Search This Blog

Tuesday, 17 May 2022

BIKIRA YANGU - 3

 





    Chombezo : Bikira Yangu

    Sehemu Ya Tatu (3)



    ILIPOISHIA



    Ilikua ni kama mkuki wenye moto wa petrol umetua ndani ya moyo wake na kulipuka, baada tu ya kusikia taarifa ile kutoka kwa mke wake, wakati mwingine alidhani ni ndoto,na baadae ashtuke, wenda alitamani iwe ivyo lakini ulikua ni ukweli mtupu kile alicho kisikia kilikua kina ukweli ndani yake.

    “sa sasa Sabrina.. nini anase..ma Nat..u amefanya ni..ni”?

    “Amefariki kway, maiti yake ime kutwa posta baharini,”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    SONGA NAYO.



    “Mama Enock tafadhali, nisamehe najua nimekufanyia ubaya, doktaa uwii dokta”

    Zilikua ni kelele za Heather akiwa ndani ya hospitali ya aghakani akipewa matibabu lakini kila kukicha alikua akilitaja jina la Mama huyo kuwa amuache, alijuta sana kumuuwa, mzimu wake ulianza kumtesa, kwa mara ya kwanza alidhani ni ndoto lakini ilikua ni ukweli kabisa, mwanamke ambaye akiwa anavuja damu mdomoni alikua mbele yake kila wakati akimtokea,

    Aliona dunia chungu sana hakuweza kuishi kwa raha kabisa,leo hii alijuta yeye binafsi aliamini kuwa mtu akifa amekufa lakini kiukweli haikuwa ivyo, mwanamke ambaye aliye muuwa Mama mkwe wake alianza kumtokea kila wakati.

    Madaktari walikuja mbio mbio mpaka wodini alipo lazwa Heather Mwasha na kushangazwa na kumuona akinyoosha kidole ukutani.

    “Dokta huyo hapo”

    “kitu gani Mama”?

    “huyo huyo hapo Mama Enock”

    “Mama Enock ndiye nani?,naomba upumzike kidogo,Editha mchome sindano ya usingizi ili aweze kupumizka”

    Baada ya kuchomwa sindano ya usingizi alilala pale pale, bado madaktari bingwa walishindwa kuelewa nini tatizo la mwanamke huyo ambaye ana piga kelele kila kukicha,

    jopo la madaktari lilikaa chini likiongozwa na daktari bingwa wa kihindi aliyeitwa Josh ili waweze kumpa mgonjwa wao.Akilini mwao waliamini amekuwa mwehu,.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “lakini mimi naona wenda ni mimba tu ina mpelekea awe vile Dr, Josh”

    “hapana, kuna tatizo lingine hapa, ina bidi tuzungumze na ndugu zake ili tuanze kufanya vipimo vya scania, naona akili zake hazipo sawa, ninaweza kusema ivyo, ile ajali aliyo pata, inawezekana ubongo wake umecheza, Naniii nanii Dokta Amir naomba ripoti yake kesho ya x-ray na vipimo vyote mpaka scania ofisini kwangu”

    “sawa dokta”

    Kila daktari alikua ndani ya giza nene hawakujua kuwa Heather huko nyuma alifanya mauaji na sasa aliye muuwaa alizidi kumtesa sana.



    ***

    “hapa kuna mawili kway utoe milioni kumi kesi ifutwe au tuendelee na kesi”?

    “nashindwa kuelewa Sabrina, lazima nitoke humu ndani, japo niudhurue msiba wa mwanangu”

    “sasa ina kubidi ufanye ivyo mimi nita toa millioni tatu,nime kupigania sana, hii kesi yako ilikua unaenda jela, nime muomba sana Yule mama anataka hiyo pesa niliyokutajia”

    “niende vipi jela wakati sio kitu cha kweli”?

    “hapo mimi sijui sasa,”

    “poa nitatoa, kamwambie nipo tayari”

    Yalikua ni mazungumzo kati ya Sabrina na Kway huku akiwa ndani ya nondo amechoka kabisa, mawazo na mateso vilishatafuna mwili wake wote na kubadilika kabisa na kumfanya hata ngozi yake iote ukurutu, kutokana na kutooga siku kadhaa zilizo pita,

    Baada ya kupata pesa zile ilibidi tu kway aachiwe huru hii ni kutokana na Mwita kumaliza ushahidi baada ya kuagiza vijana wake wamuuwe mtoto wake Kway aliyeitwa Natu,

    Shukrani alizozitoa kwa Sabrina hazikuweza kuelezeka kwa maneno, alifika kwake na kumkuta mke wake bado akilia sana huku akitaja jina Natu, haikuwa kazi rahisi kumtuliza mwanamke huyu ambaye ilionekana aliguswa sana na kufiwa na mtoto wake, kilicho muuma zaidi ni jinsi alivyo uwawa kwa kukatwa mapanga na kufanya kiwili wili wala kichwa kisi onekane, waliweza kuutambua mkono tu.

    Kway alisogea na kujumuika na mke wake huku wakilia kwa uchungu,majirani ndugu na jamaa hawakuwa mbali, walikusanyika nyumnbani kwa Kway kimara kwa msuguli na kuzidi kumfariji kwa yaliyo mtokea,

    kila mtu alimuonea huruma mwanaume huyo ambaye walitafsiri huo ulikua ni kama mkosi kwake.

    “Kway jikaze kaka, ni mitihani ya Mwenyezi Mungu, wewe ni mwana ume, usilie usilie,”

    Alikua ni rafiki yake kipenzi aliyeitwa Chesta mkurugenzi wa kampuni za Mamodo jijini Arusha, baada ya kupokea taarifa hiyo aliruka mara moja na ndege na kufika Dar es salaam ili kumfariji rafiki yake huyo,

    licha ya ivyo nayeye pia alijikuta akitoa leso na kujipangusa machozi yaliyokua yakimtoka, huku Kway alikua akilia mke wake Julia sasa alishazimia mara nne kila akiamka alikua akizimia tu na kuzidi kulia,watoto wawili sasa Alisha wapoteza mmoja aliyekua tumboni na mwingine Natu, wamama kwa wasichana walikua pembeni yake wakimpepea na kanga zao,

    hakika msiba wa mtoto huyo Natu ulimgusa kila mtu sababu bado alikua mdogo mwenye ndoto nyingi hapo baadae.



    Jeneza lililetwa lakini hawakuweza kuuwaga mwili wake sababu haukupatikana, safari ilianza siku iyo saa tisa mchana na costa mbili kutafutwa na safari ya kwenda mkoani Kilimanjaro kuanza,

    kesho yake asubuhi walifika Moshi kijijini Mwika na tararibu za mazishi kuanza huku wakimpumzisha mtoto mdogo Natu kwenye shamba la Kway ambalo lilikua na migomba na kahawa nyingi.!

    ***

    “oyaa Ngesa, usimuuwe huyo mtoto”

    “una wazimu nini”?

    “kuna dili nataka nikupe”

    “acha wazimu huyu mtoto lazima tumuuwe, Mwita ndo katoa hilo agizo”

    “nisikilize Ngesa,nisikilize mimi, Mwita hatokusaidia kitu, kuna dili la pesa ndefu sana,haka katoto kazuri, kuna jamaa anaitwa Don Mullosi Jah Gwan. mtu wa jamaica, ananunua watoto wa kike wadogo kwa pesa ndefu alafu anaenda kuwachezesha muvi chafu”

    “una ongea utumbo wewe,Joel”

    “aya shauri yako”

    Gari ilizidi kwenda kasi huku nyuma ya siti akiwa Natu amelala baada tu ya kuchomwa sindano ya usingizi ili alale hakuelewa kinachoendelea,

    Joel alimtizama NATU siti za nyuma na kuvalisha bastola yake kiwamba kinachozuia sauti za bastola zisitoke bila Ngesa kujua, baada ya kufanya ivyo aliiweka vizuri kiunoni,

    Walisha fika Mto msimbazi usiku huo wa saa saba, na kumtoa Natu nje kwa nia moja tu wamuuwe, ilakatika kitendo cha ghafla Joel alitoa bastola yake na kumfyatuaya kichwa pale pale Ngesa,

    alichokua anakiwaza kichwani kwa wakati huo ni kutengeneza ela nyingi kupitia Taikuni Mulosi ambaye alikua ni raia wa Jamaica anaye fahamika kwa kuwa na madanguro ya wanawake machangudoa nchi mbali mbali za Afrika Mashariki, CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    japo alijifunika na mwavuli wa biashara ya kusafirisha mafuta ya kupikia na unga pia, hakuweza kugundulika kabisa kirahisi.

    Joel alifanya haraka haraka na kumtupa Ngesa kwenye maji ya mto msimbazi kisha kuondoka na Natu, aliiivua saa ya mtoto huyo, kishaa baada ya siku chache alinunua maiti ya mtoto iliyo kua haina ndugu kisha kuivalisha saa ile na kuikataka taka,

    baada ya hapo aliivalisha saa ya Natu na kufika posta na kuitupa pembezoni kabisa ya bahari,

    Kila alilolifanya alifanya kwa akili nyingi kupindukia,

    Tayari alianza kufanya mazungumzo na Mullosi ambaye alimtupia picha ya Nattu kwenye mtandao., na kuanza kupatana bei na kufikia dolla elfu tatu zilikua ni pesa nyingi sana kwake yeye kwa kazi ndogo kama hiyo, hakuelewa kuwa wazazi wa mtoto huyo walikua wakilia machozi wakidhani amekufa tayari,

    “kesho nita kuja kumchukua uwanja wa jommo Kenyatta Kenya tukutane pale, fanya ivyo”!

    Upande wa pili wa simu kutoka kwa Mullosi ulisikika kisha simu kukatwa.



    ***

    Bado wivu wa mapenzi ulizidi kumfanya Enock apiganie penzi la mwanamke Catherine ilikua ni lazima arudishe penzi lake kutoka kwa mwanamke huyo aliye kiri kuwa ni mrembo sana,

    moyo wake uliruhusu kuinua kinywa chake na kutamka ukweli wa mambo, ili baba yake ajue, kuliko yeye kubaki na maumivu ya ndani kwa ndani,

    Baba yake akiwa mwenye jazba amesogea karibu yao kitendo cha kumuona Enock kumlazimisha kumpiga busu catherine kilimuuma sana na kujenga picha mbaya tofauti ndani ya mtima wake.

    “Enock… nini unafanya, unavuta bangi siku izi?, au umelewa”?

    “Dad sija lewa wala sijavuta bangi, nataka kukwambia ukweli”

    Aliongea Enock huku akimuachilia Catherine taratibu na kumfuata baba yake mzazi kwa nia moja tu amwambie ukweli wa mambo na kupasua jipu., Mkojo kwa mbali ulianza kumbana Catherine na kuanza kuogopa sana kwa kitendo anachotaka kukifanya mwanaume huyu Enock aliyekua kiburi asiye ogopa kitu…



    Mwanamke Heather alizidi kuteseka sana siku zake za kujifungua zilisha fika na sasa kuanza kusikia uchungu tumboni mwake ni baada tu ya kupata ahueni, ndugu zake walisha fika hospitalini hapo kumuona ili wajue anaendeleaje,

    kila mtu aliyemtizama alimuonea huruma jinsi alivyochoka na kuchakaa kabisa, mawazo na mateso aliyo kua akiyapata yalisha kula mwili wake wote na kubakisha macho na kichwa peke yake,

    Hii ilitokana na kutokewa na mama Enock kila wakati, alitamani kufungua kinywa chake ili azungumze kile kilicho mfanya ateseke lakini hakuweza hata kidogo , kufungua kinywa chake ilikua ni sawa na kujitia kitanzi au kwenda jela kufungwa kifungo cha maisha, ili m-bidi akae kimnya atulie na maumivu yake.!

    Kitanda chenye magurudumu kilikuja mbele yake nayeye kuwekwa juu yake na safari ya kuelekea leba kuanza huku akiwa na maumivu mengi tumboni,

    licha ya yote hayo alikua ni mwenye furaha sana siku hiyo baada tu ya kuambiwa anaenda kujifungua mtoto,

    “jikaze shangazi jikaze, kuwa mwanamke jasiri”

    Alizungumza shangazi yake aliyeitwa Rehema akizidi kumpa moyo Heather, kwao waliona ni ushindi sana,

    Kitanda kilifika mpaka mlangoni na madaktari bingwa kuingia haraka haraka ndani ili kuweza kumzalisha mwanamke huyo Heather,

    “Pushhhh”!

    “push, bana pumzi zako”

    Muuguzi wa kike alizungumza huku akiwa amekinga mikono yake kati kati ya miguu ya Heather akisubiri mtoto atoke tumboni,

    jasho jingi sana na uchungu ambao haukuweza kuelezeka ulimkuta Heather, lakini alijikaza kisabuni, alibana pumzi zake na kujikamua kama aliyekua anatoa haja kubwa huku jasho jingi likimtoka mwilini mwake,



    alihisi kitu kigumu kina toka kati kati ya mapaja yake , ilikua kidogo manesi wakimbie, kila mtu alishtuka ndani ya chumba hiko na hofu kuzidi kuwa tanda,

    mmoja wa manesi alidondoka chini na kupoteza fahamu zake pale pale baada tu ya kuona kiumbe cha ajabu kikitoka tumboni mwa Heather, kilitangulia kichwa chenye nywele nyingi sana huku kikiwa kina mikono mirefu na kucha ndefu sana, kila mtu alistaajabu kabisa,

    Heather alikua amechoka kimnya ana tabasamu kwa mbali sana kwa kujifungua salama, alijipongeza moyoni mwake, hakuelewa kuwa kuna muuguzi amezimia chini na kuona kiumbe cha ajabu,

    “ng”aaa ng”aaaa”

    Mtoto huyo alianza kulia kwa sauti kubwa sana, hakika unge bahatika kumuona mtoto huyo hata wewe ungedondoka chini na kuzimia kama sio kukimbia,CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kilikua ni kitu cha ajabu chenye kuweka historia hapo hospitalini,

    “Mama mtoto wako huyu hapa”

    Dokta Amir alijikaza kisabuni na kumkabidhi mtoto Yule Heather huku akiwa amemfunika na kanga,

    Heather Alitoa tabasamu na kumbeba mtoto wake ila baada tu ya kumwangalia nayeye alishtuka na kumtupa chini na pale pale kuzimia baada ya kuona kiumbe hiko,sababu hakutegemea hata yeye.!



    ***

    BAADA ya mazishi kuisha mkoani Kilimanjaro wakiamini kuwa mtoto wao Natu amefariki dunia, wazee wa kichaga walimkalisha kway na kuchinja mbuzi wawili kama mila zao za kichaga zinavyotaka zifuatwe, waliamini kuwa mtoto wao amepatwa na mkosi au balaa na kumpa Baraka zote,



    Hawakuelewa kuwa mtoto wao kwa wakati huo ana pangiwa mipango mibaya ya kupelekwa nje ya nchi akachezeshwe filamu chafu za ngono, lakini licha ya yote walimuachia Mungu sababu yeye ndiye muweza wa kila kitu,

    Baada ya taratibu zote za matanga kukamilika. Kway na mke wake Julia waliwasha gari na kuanza safari ya kurudi jijini Dar es salaam wakiwa hawana furaha hata kidogo,

    Walifika usiku wa siku hiyo wakiwa wamechoka sana na kuanza kufanya juhudi za kuanza kutafuta mtoto mwingine kila siku ipitayo kwa Mungu,

    lakini haikuwa rahisi kama alivyodhani,

    “inatubidi tujaribu tena Mke wangu, najua leo upo siku za hatari”

    “sawa”

    Siku iyo tena walikula tunda la usiku kwa malengo na kwa nia moja tu kujaribu kutafuta mtoto mwingine,

    Mwezi sasa ulipita bila kuona dalili yoyote ya Julia kushika mimba, ili bidi tu wanyooshe moja kwa moja hospitalini ili kuweza kujua nini tatizo,

    Habari zilikua mbaya sana taarifa hizo zilionekana kumchanganya sana Kway na kutoelewa kama anasikia vibaya au anaota.

    “mkeo ana ugonjwa unaitwa pyelonephritis deases, hii imetokana na mirija ya Fallopian kuziba ivyo inapelekea mbegu kutofika kwenye ovary na kutungisha yai, nina maana kwamba mkeo itachukua muda mrefu sana kupata mtoto au ataweza kuwa tasa kabisa”

    Majibu hayo yaliukondesha moyo wa Kway Julia alipiga kelele za kilio na kushindwa kuelewa nini afanye.

    “lakini dokta tulishawahi kupata mtoto inakua kuaje unavyo niambia ivyo, au mpime tena vizuri itakua umechanganya majibu, wakati mwingine binadamu tuna kuwa na mambo mengi, tuna pitiwa”

    Kway alijitahidi kubadili ukweli,

    “hapana nime mpima mara mbili mbili, najua kuwa alishawahi kushika mimba,nime mpima na x ray pia ina onyesha kuwa kuna uchafu wa damu iliyo vulia tumboni na majeraha, sina uhakika kama hajawahi kuanguka au mtu kumpiga maeneo ya tumboni”

    Kumbu kumbu zake zili mpeleka moja kwa moja kwa majambazi waliowahi kumteka mke wake na kumtesa sana, hasira na chuki vilizidi kujijenga ndani yake na kumfanya ayabane meno yake.

    “kweaio hatoweza kushika mimba”?

    “sijasema ivyo lakini itachukua muda sana, nita mpa dawa za kutumia”

    “ahsante dokta”

    Walitoka ndani ya chumba hiko wakiwa wenye huzuni mwingi na kurudi kupumzika nyumbani.

    “happy Birthday Natu”

    “Dad Dad thank you, DaD YOU’RE THE best Dad I love you, Noo Dad Mom anakula keki yangu mimi chitaki”

    Alikua ni kway usiku huo akiangalia mkanda wa video wa mtoto wake huku akilia machozi, alijiona alivyokua akipakwa keki usoni na mtoto wake huku wakiwa wenye furaha na mke wake Julia siku hiyo ya sherehe alipokua akitimiza miaka mitano wakiwa nchini Malaysia,

    Alijikuta akilia na kuzima t,v ile sababu alihisi bado uchungu moyoni mwake.

    ***

    “sasa kway, mbona nashindwa kukuelewa”?

    “kunielewa kivipi?”

    “hujui, hujui kuwa nina mimba yako au unajitoa fahamu”?

    “sasa ndo umeamua kuni fuata mpaka nyumbani”

    “ndio! naona hunipigii simu, hupokei simu zangu, nimeamua kuja”

    Sabrina alizidi kupayuka kwa sauti huku akiwa mwenye jazba nyingi sana mdomoni, alionekana kabisa alimuwekea kway maneno mdomoni mwake na sasa aliamua kufunguka,

    Julia akiwa dukani alirudi kimnya kimnya na kusita kidogo baada ya kusikia malumbano hayo, akiwa dirishani aliweza kusikia kila kitu na kuanza kulia machozi ya uchungu sana.

    Bila kuongea chochote aliwapita na baadae kutoka na mabegi yake mkononi, dalili zilionesha kuwa alikua akiondoka mazima.

    “mke wangu unaenda wa…”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “funga, nyamaza niache niende kwetu, siyauwa”

    Aliongea Julia akiwa mwenye machozi machoni mwake na kuzidi kuburuza mabegi.



    ***

    Catherine alizidi kutetemeka kwa hofu sana baada ya Enock kumsogelea baba yake mzazi na kutaka kupasua jipu lililokua lina muuma siku nyingi sana.

    “Dad huyu ni mwana mke wangu, kama ulikua hujui nakwambia leo hii hii, nampenda sana,”

    “lini umeanza kuvuta bangi na kukosa heshima mpuuzi mmoja huna akili,blood full, huo umalaya umerithi wapi, huyo ni mama yako, nilishakwambia tangu siku ya kwanza huyu ni mama yako, sijui hiyo tabia ya umalaya umeitoa wapi, umeitoa wapi, pumbavu zako mkosa adabu mimi sina tabia hiyo, hiyo tabia najua umerithi kutoka kwa mama yako, Mama yako ndiyo alikurithisha hiyo tabia ya umalaya ya hadi kutamani mke wa baba yako mzazi,”

    Maneno aliyokua akiongea Mwasha baba yake mzazi na Enock yalikua makali sana na kumfanya Enock azidi kupandwa na hasira mno,

    alishindwa kuzizuia hasira zake na kuchanganya na wivu aliokua nao, baada ya kusikia mama yake anazidi kutukanwa alijikuta ana kusanya nguvu na kukunja ngumi na kumtwanga baba yake mzazi ya mdomo pale pale na kumfanya aende chini na kudondoka chini kama mzigo puuh!



    ***

    Biashara chafu inazidi kutikisa nchini Tanzania watoto wa kike walizidi kupotea katika mikoa mbali mbali na kufanya hofu kuzidi kutanda sana ndani mioyoni mwa wazazi wenye watoto wa kike, bado hali ya sitofahamu inazidi kuzua gumzo na kujijenga ndani ya mioyo ya kila mtanzania,

    kesi zilizidi kila kukicha, kila mwana mama sasa alikua makini na binti yake wa kike, wazazi walizidi kugongana vikumbo vituo vya polisi kufungua majarada juu ya upotevu wa watoto wao wa kike wadogo kwa wakubwa.

    “Mama ulisema mtoto wako anaitwa nani”?

    “anaitwa Linda, ana miaka ishirini na mbili”

    “hii wiki inakuaje kuna mfululizo wa watoto wa kike kupotea hapa kuna kitu lazima, alipotea lini”?

    “tangu juzi hajaonekana nyumbani nilimtuma dukani basi hakurudi tena”

    Mama Linda alizidi kutoa maelezo yake kituoni huku akilia kwa uchungu, bado jeshi la polisi lilizidi kuumiza kichwa sana na bongo zao, hawakuelewa ni kwanini tukio hilo lina tokea, ulinzi ulizidi kuboreshwa ili wakamate mtandao huo unaoteka mabinti bila kujua nini wanachokitaka,

    ivyo ndivyo ilivyo kua bila kuelewa kuwa kuna mtandao mkubwa sana hapo nyuma wenye nguvu,



    **

    “unamuonaje huyu”?

    “huyo safi sana, embu nitumie picha yake akiwa amesimama”

    “ahaaa poa poa, sasa hivi subiri niichukue facebook”

    Baada ya dakika chache picha ilitumwa ya mwanamke mrembo sana akiwa amekamilika na mwenye makalio makubwa kiasi.

    “nime muona huyo atafaa sana”

    “kwaio , subiri nipe muda kidogo kila kitu kitaenda sawa”!

    Yalikua ni mazungumzo kupitia mtandao, huku picha ya Catherine Ramsey ikirushwa kumaanisha kuwa anatakiwa kwa gharama yoyote ile kutokana na uzuri wa kipekee aliokua nao,

    walizidi kufanya mawasiliano baada ya kuhafiki na kupatana bei sasa ilibaki kazi moja tu kumtafuta Catherine Ramsey kwa wudi na uvumba.



    ****

    “Julia unaenda wapi sasa!,yaka tusolola Mama Natu(njoo tuongee Mama Natu)”

    Alizungumza kway huku akiwa nyuma ya mke wake huyo akijaribu kumshika mkono na kuzuia mabegi yake asitoke nayo nje, hakujua kama juhudi zake zingezaa matunda ilikua sio rahisi kumtuliza mwanamke wake akiwa na hasira,

    hilo alilijua ila kama mume ilibidi ajishushe ili amruhusu shetani aende zake.

    “kisa mimi sizali si ndio sawa tu, tikanga nazo kyende,restre avec ta pite(niache niende,baki na Malaya wako).

    Aliongea akichanganya lugha ya kwao lingala na kifaransa huku akilia machozi mengi, iyo iliashiria ni jinsi gani alikua mwenye hasira,

    alijiona hana thamani tena mbele ya mume wake kutokana na kutokuzaa kwake, hiko ndiko kilicho kua kichwani mwake kwa wakati huo ni baada tu ya kugundua kuwa Sabrina kashika mimba ya mume wake,

    ilikua ni bora aende zake kuliko kuendelea kubaki nyumbani hapo. akiwa mwenye machungu mengi, hilo lilikua ni pigo jingine tosha,

    ndoa haikua tamu tena ilikua ni shubiri alijilaumu ni kwanini alikubali kuja Tanzania, alishindwa kuongea na kubaki kulia kwa kwikwi.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “pardon Mama Natu(nisamehe Mama Natu), nita kuelezea kila kitu kilicho tokea”

    “Kway niache mi yangu nijiendee, ni…ache”

    Aliongea na kumsukumiza kway kisha kuendelea kuburuza mabegi yake mpaka nje na kuanza kuyapakia ndani ya gari huku bado akilia machozi na kuongea lugha ya kwao akionesha hasira za wazi wazi na kumwambia mlinzi wa getini afungue geti ili yeye atoe gari.

    “Masai acha usifungue geti”

    “em..bu nif..ungulie wewe Masai”

    “Masai usifungue geti”

    Julia kuona vile alishuka ndani ya gari na kulifungua geti kisha kurudi ndani ya gari na kuliwasha, alitia milango lock, huku akimuangalia mumewake aliyekua nje akiomba msamaha lakini yeye aliona kama ni unafki,

    Sabrina aliyekua pembeni alianza kujuta sana kwa kitendo alicho kifanya kilicho sababisha ugomvi mkubwa uliokua ukiendelea juu ya wanandoa hao,!

    Hakuamini alichokiona baada ya kumuona Kway amesimama na kutanda mbele ya gari ili kutoruhusu Julia asilitoe gari nje,

    “piii piiiiii”

    Honi ya gari ilisikika mara mbili na kilicho fuata hapo ni gari kutolewa kwa kasi sana, Sabrina hakuamini alichokiona baada ya kumuona kway kagongwa na gari na kutupwa upande wa pili,

    hakuamini kuwa mke wake Julia ana hasira kiasi kile na kufikia hatua ya kumgonga mume wake.

    Masai aliyekua getini alishika kichwa baada ya kumuona bosi wake yupo chini akilia machozi yaliyo changanyika na maumivu makali sana,

    Aliinua kichwa chake na kushuhudia mke wake Julia akiishia bila hata kupunguza mwendo kasi wa gari na kutokomea akiacha vumbi kwa nyuma yake.

    “juliiaaaaaaaaaa”!

    Aliita kway huku akilia machozi mengi, Sabrina aliyekua juu kibarazani ilikua ni kama anaangalia filamu ya kihindi yenye kusisimua sana na starring wa picha hilo alikua shurkhan!,

    Alibaki chini akiwa na maumivu mengi sana alivyotaka kusimama alirudi tena chini baada ya kuhisi maumivu makali sana mguu wa kulia,

    alimkata Sabrina jicho kali sana lenye kuonesha chuki na maumivu makali mengi.

    Alisimama tena kwa hasira na kupapasa kiuno chake na kufanya Sabrina aingiwe na hofu sababu alijua nini maana yake, alielewa sasa ni kifo ndo kina fuata tena cha kupigwa risasi.

    Alivyo papasa kiunoni hakua na bastola yake kweli alidhamiria kumpiga risasi mwanamke huyo aliyesababisha balaa. alikua sio yeye tena zilikua ni hasira sasa, alinyoosha mpaka ndani na baadae kurudi na bastola yake mkononi lakini hakumuona tena Sabrina.!

    “yuko wapi, wewe masai yuko wapi Yule mwanamke?”

    “amesakimbia bosi amesakimbia, ametoka nje, nimkimbise?”

    Kway aliachia misonyo na kurudi ndani huku bado akiwa mwenye hasira sana kupita kiasi.



    Vitz ya rangi ya bluu ilizidi kukoleza mwendo ndani ya gari alikua mwanamke Julia huku akilia machozi mengi yaliyojaa hasira sana na kufanya yamzibe machoni aliyapangusamachozi yake na kutoa simu yake ya mkononi.

    “yaya Bo…..zi na..zoya Lobi na airport ya ndjili(kaka Bozi naomba uje kunipokea kesho uwanja wa ndege ndjili).

    Alizungumza Julia huku akiwa analia sana na kuongea kwa kigugumizi akijaribu kuficha hisia zake moyoni!.

    “problem ezala nini?,(kuna tatizo gani”) nipo Lubumbashi mbona unatoa machozi uko nini umefanya sasa julia,?”

    “kuja nitwala iyo Kes….ho yaya. Ikol….”

    Hakuweza kumalizia maneno anayoongea kutokana na kulia sana. hakuweza kujua kua taa za rangi nyekundu zime waka hapo ubungo mataa kuashiria kuwa asimamishe gari ili magari mengine yapite kama sheria za barabarani zilivyowekwa,

    ivyo alipita kwa kasi sana, tipa la michanga lililokua linatokea upande Gongo la mboto kuelekea mwenge likiwa kwenye kasi sana, lilipiga honi mfululizo na kuonekana dereva Yule kushindwa kulisimamisha tipa hilo kwa wakati huo,

    Kilicho tokea hapo zilikua ni kelele za watu na wengine kushika kichwa, ilikua ni ajali mbaya sana sababu vitz aliyokua akiendesha Julia ilisagika vibaya mno ikiwa uvunguni mwa tipa,

    raia walioshuhudia ajali ile hapo ubungo walianza kutokea ili kujua kinachoendelea kama kawaida ya wabongo, wenye simu zao walitoa ili wapige picha na kurushiana katika mtandao wa watsap,



    Walichoona pale zilikua ni damu zime tapakaa kwenye lami ilikua ni ajali ya kutisha ambapo usingeweza kuiangalia mara mbili kama ulikua na moyo mwepesi.



    ***

    Ngowi aliingilia ugomvi ule ambapo Mwasha alikua akipigana na mwanae Enock kisa mwanamke Catherine, kila mtu alimpenda sana mwana mke huyo hakuna hata mmoja aliyetaka kumuacha kirahisi na kutengeneza chuki kati ya mtu na baba yake.

    “huyu ni mwanamke wangu, alishawahi kuwa mpenzi wangu”

    Alizungumza Enock huku akiwa ameshikwa na Ngowi akitaka kujitoa.

    “Enock”!

    Catherine aliita huku akimzabua kofi kali lililolia kwa nguvu sana, kitendo kile haki kumfurahisha hata yeye na ili bidi afanye vile kuzuga kwa wakati huo!.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mzee mwasha Alisha pandwa na hasira sana na kuzidi kumlaani mwanae.

    “Beatrice au Catherine what ever, kapange nguo zako turudi Tanzania,samahani kwa yaliyo jitokeza huyu mtoto wangu keshaanza kuharibikiwa sana na mabangi anayo vuta, ninge kua na bastola ningemtandika nayo”

    Alizungumza Mwasha huku akiwa mwenye hasira nyingi sana, walirudi na Catherine ndani ya chumba chao na kuanza kupanga nguo kwa ajili ya kurudi Tanzania,

    taratibu za kuanza kukata tiketi zilianza mara moja na kwa bahati nzuri walipata ndege siku hiyo inayoondoka saa tano za usiku,

    japo ilikua ya kuunga ilikua ni lazima mzee huyo aondoke Brazil siku iyo iyo ili amuweke mbali Catherine na Enock aliye amini kuwa anavuta bangi,

    Usiku ulifika na tayari walifika uwanja wa ndege na sasa kuingia na kurudi wakiwa na Ngowi pamoja na Betty rafiki yake kipenzi.

    Kesho yake saa kumi za jioni walifika uwanja wa ndege mwalimu Nyerere na moja kwa moja kunyoosha mpaka nyumbani kwake oysterbay akiwa na Catherine.

    “nawewe sitaki kukuona una zungumza na Enock, hata siku moja iwe mwanzo na mwisho”!

    “mbona unanifokea lakini”?

    “samahani kipenzi, hapa nisha changanyikiwa”

    Mwasha alimsogelea Catherine na kumuendea mdomoni lakini aliukwepesha mdomo wake na kuangalia pembeni.

    “humu chumbani kwako kupo rafu sana, ngoja nikusaidie kupanga panga”

    Catherine alizuga na kuanza kupanga panga ndani ya chumba hiko cha Mwasha ila baada ya kuvuta droo ya kwenye kitanda alikutana na bahasha kubwa sana,

    Hakutaka kupitwa aliitoa bahasha ile na kukutana na picha sita,

    Moyo ulimwenda mbio sana baada ya kuona picha ya baba yake mzazi Ramsey akiwa na mwanamke wame kombatiana, lakini hakuelewa Yule mwanamke ni nani,

    Alizidi kuziangalia picha nyingine na kuanza kulia kwa sauti hii ni baada ya kuona picha ya baba yake ambaye ni marehemu akiwa amefungwa kamba huku akiwa na damu nyingi sana mwilini mwake,!

    Pembeni ya picha ile alionekana mwanamke amepiga magoti analia huku nyuma yake akiwa amesimama Mwasha na bastola mkononi mwake,

    Kwa haraka haraka kupitia picha zile aliweza kuunga unga matukio na kumfanya apatwe na hasira sana.

    “vipi mbona unalia”?

    Aliuliza mwasha baada ya kuingia ndani chumbani.

    “huyo ndiye mwanaume niliyekwambia, alitembea na mke wangu huyo hapo, nili mfanya vibaya sana najua amekufa namimi ndiye niliye fanya ivyo mpaka nikafungwa jela, ila bado nina kisasi na familia yake , mke wake nishamfahamu na ana mtoto wa kike niliambiwa, lazima niwafanye vibaya hapo nafsi yangu itatulia”

    Maneno aliyo zungumza mzee Mwasha yalikua ya kutisha sana yalikua ya kuogopesha kuliko kawaida,

    Hakuelewa kuwa mwanamke aliyekua ameketi pembeni yake ndiye aliye paswa kumuuwa au ndiye aliyekua akimzungumzia.,

    maneno aliyokua akiongea yalimaanisha sababu aliongea akiwa mwenye hasira za wazi wazi.

    Moyo wa Catherine ulizidi kumwenda mbio sana na kuelewa kuwa alikua kesha nasa kwenye mtego mkali na kutoka ilikua vigumu, ilikua ni lazima atoke kwenye mtego huo na kumueleza mama yake mzazi ili amuokoe….



    “kway uko wapi rafiki yangu”?

    “vipi kwani Ali?”

    “sijui kuna gari nime ifananisha hapa ubungo, nafikiri nime ifananisha, za masiku”?

    “ngo ngo ngo ngoja kwanza,. Gari yangu umeiona wapi ile vitz?”

    “ndio! hapa ubungo mataa imepata ajali,kwani wewe upo wa …tititi”

    Mapigo ya moyo ya Kway yalilipuka na kuanza kuhisi joto kali mwilini mwake na kuikata ile simu, hakuna alichowaza zaidi ya kujua kivyovyote vile mke wake ndiye kapata ajali kutokana na hali aliyoondoka nayo dakika chache zilizo pita hapo nyuma!,

    moja kwa mojalichomoka kama kichaa na kutoka nje ya geti, bahati nzuri alikutana na boda boda na kuiparamia.

    “twende ubungo mataa fanya fasta, nahitaji kufika hapo sasa hivi”

    “sawa shilingi elfu kumi na tano”

    Japokua alikua anajua anapigwa mzinga sababu haikuwa bei ya kutoka kimara mpaka ubungo, hakutaka hata kujaribu kupunguza bei kama afanyavyo, kutokana na haraka aliyokua nayo hata angetajiwa shilingi elfu hamsini angetoa mara moja,

    Piki piki iyo ilizidi kwenda kasi huku kway akizidi kumsihi dereva Yule awahi kufika, walipita katikati ya magari mengine kwa kasi sana, baada ya dakika kumi alifika ubungo maji na kwa mbali aliona watu wengi,

    hakutaka kujiuliza alijua kivyovyote ni watu walioshuhudia ajali ile, alimkabidhi dereva Yule elfu ishirini bila kudai chenji na kuanza kukimbia haraka haraka eneo la tukio,

    Chini aliona bangili ya Julia juu ya lami ambayo ilikua na kidani cha jina lake, alikiokota na kuzidi kusogea huku akiwa pangua pangua watu waliokuwa wamezunguka kushuhudia ajali hiyo mbaya sana!,

    “jamani naombeni kupita, naomba njia naomba kupita”

    Alizidi kuwapangua watu hakuamini alichokiona walikua ni watu watatu wakisaidiana kulivuta gari ili wamtoe mke wake Julia aliye kua amebanwa ndani hasemi chochote kile,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    damu nyingi zikiwa zime tapakaa chini yake na kufanya sura yake isionekane kabisa, aliweka kiganja chake machoni huku akilia kwa machungu, alizidi kuishiwa nguvu sababu mpaka dakika hiyo hakuelewa kuwa kama mke wake ni mzima au keshakata kauli tayari, alipita mpaka kwa wale vijana na kuanza kusaidiana nao kumtoa Julia ndani ya gari ambao ilionekana amekandamizwa na m-bonyeo wa gari hilo.



    ***



    Machozi yalimtoka Catherine bado picha ya baba yake mzazi ili mjia kichwani japo kua hakuwahi kupata malezi kutoka kwake lakini alijua kivyovyote vile kifo chake alikufa akiwa ana teseka sana,

    na aliyesababisha hayo yote ni mzee huyo ambaye sasa hivi yupo mbele yake na isitoshe wana mahusiano ya kimapenzi.

    Maneno ya mzee Mwasha yalizidi kuukoroga ubongo wake alijua ni kisasi ndicho analipiza kwa sasa hivi na si vinginevyo, alisimama na kuomba ruksa ya kurudi hostel huku akijaribu kuficha uso wake.!

    “unalia nini”?

    “no kuna kitu nime kumbuka tu, alafu mafua yana nisumbua wala usijali baby”

    “niambie kama unaumwa nikupeleke hospitali”

    “nipo sawa”

    Alijibu Catherine huku akizuga na tabasamu la bandia,alimbusu Mzee Mwasha mdomoni na kutoka nje akiwa mwenye wasi wasi,

    hakuna alichowaza hapo zaidi ya kutafuta usafiri mpaka kwao Bunju B kisha akamueleze mama yake juu ya kile alicho sikia kutoka kwa Mwasha,

    Lakini hakuelewa kama mama yake ange muelewa au angemchukuliaje.

    “lazima nimwambie mama yangu, inabidi nimuokoe kabla hayajatokea makubwa, asipo niamni basi”

    Alizidi kuwaza Catherine na kufika kwao Bunju lakini kwa bahati mbaya hakumkuta mama yake, alimtafuta kwenye simu na kukuta haipatikani hewani!,

    Wasiwasi ulizidi kumtawala moyoni mwake hisia mbaya juu ya kukamatwa kwake vilizidi kujijenga ndani ya mtima wake.



    ****

    “dushwa dushwa dushwa kufa kufa kufa… hiii mbona mnanitazama hamnijui, halloo eeeh kamuzubanda.. ha ha ha ha ha ha ha ha hihiihihihi. Nataka nivue samaki, nyie tokeni tokeni mnazama!”

    Maneno hayo yalitoka kinywani mwa mwanamke Heather akiwa ameshika kiatu kikubwa mkononi huku kikiwa sikioni akiifanya kama simu,

    hii iliashiria tosha teyari amerukwa na akili amekuwa chizi kabisa au mwehu, nywele zake tim tim akiwa juu ya kitanda cha hospitali , wakijaribu kumtuliza,

    baadae walimfunga kamba, kila mtu alishika kichwa chake baada ya kumuona mwanamke huyo.

    “Mganga kalumanzila…huyu hapa bruuuchaha cha cha”

    Alizidi kuongea Heather maneno yasiyo eleweka kabisa.

    Enock teyari Alisha tua kutokea Brazil na kunyoosha moja kwa moja hospitali kabla ya hata kupumzika, alishtuka hata yeye baada ya kumuona mke wake yupo katika hali ile,

    Ilikua ni fedhea kwake pia, alimtizama mwanamke wake na kuomba mtoto wake aliye jifungua, ila alistaajabu baada ya kuletewa kiumbe kisichoeleweka, na kumkana mtoto Yule pale pale.

    Shangazi yake Heather aliyeitwa Rehema alikua pembeni ameji kunyata bila kuongea chochote kile, babamzazi mzee mpelembe na mama yake mzazi Heather walimtupia jicho kali Enock wakimshtumu na kumtuhumu kuwa amemroga mtoto wao.

    “Enoock kamata kamata ha ha ha ha ha ha, Mama Enock huyo dushwa dushwa kufa tena.. haha mimi ndiye niliye kuuwa ndiyo dushwa dushwa nita kuua tena”

    Enock taratibu alianza kusogea karibu yake na kusikia habari hizo kutoka kwa mke wake Heather, kwa mara ya kwanza alidhani ni uwendawazimu ila alizidi kurudia maneno yale yale kuwa alimuuwa mama Enock, na kuanza kutoa siri zote huku akimtaja na Zahara wakati mwingine.

    Hasira zilizidi kumkaba Enock na kuzidi kusogea, alimfuata na kuanza kumkaba kwa hasira pale pale kitandani alipokua amelala, na kufanya watu wamfuate wakimzuia asichukue hatua hiyo kali.

    ****

    “bosi tumeshapata picha kamili ya mtoto wa Ramsey”

    “mumeipata wapi”?

    “tume chunguza si ulipita iyo kazi mimi”?

    “kabisa”

    “ngoja nikutumie watsap”

    “poa”

    Yalikua ni mazungumzo baina ya simon na Mwasha kisha baada ya muda mfupi ujumbe uliingia kumaanisha kuwa teyari picha ime tumwa.

    Baada ya kufungua simu yake hakuamini picha aliyoiona ilikua ni ya mwanamke Catherine tena akiwana mama yake Sabrina,

    Alishindwa kuelewa ni kitu gani afanye, lakini ilibidi tu alipize kisasi ilikua ni lazima aweke hisia zake pembeni na amalize kile alicho kipanga muda mrefu,

    Kweli alikua na chuki sana na marehemu Ramsey ilikua ni kama alitoneshwa kidonda kilichopoa muda mrefu,

    alimkumbuka sana mke wake Josephine alivyokua mzuri walivyokuwa wenyeupendo lakini upendo wao ulikatishwa na Ramsey,

    Alivuta droo na kutoa bastola yake na kuikagua kama ina risasi alivyo hakikisha kila kitu kipo sawa aliiweka kiunoni na kuanza safari ya kutoka nje,

    Alipewa maelekezo vizuri sana nyumbani kwa Sabrina na sasa alikua njiani kuelekea bunju B kwa nia moja tu kuteketeza familia hiyo ya Ramsey akiwemo Sabrina na Catherine.!



    Baada ya dakika chache Alisha fika teyari bunju jioni hiyo ya saa kumi na kuweka gari pembeni na kuweka bastola yake sawa sawa.



    ***



    Baada ya kumtoa Enock shingoni mwa Heather alikasirika sana na kuondoka zake kwa nia moja tu kuelekea kwa Catherine, bado alikua na mapenzi nae mengi moyoni,



    Aliwasha gari na kufika mpaka nyumbani kwao, ila aliona gari la baba yake nje bila kuhofia chochote nayeye aliingia ndani ya geti, ila alisita kidogo baada ya kusikia baba yake anafoka na kuongea maneno ya ajabu,

    Alinyata kidogo na kuchungulia dirishani hakuamini alichokiona hii ni baada ya kumuona baba yake ana bastola mkononi amewaweka chini ya ulinzi Sabrina na Catherine.

    “ni lazima niwauwe, na sito wapa hata nafasi ya kusali sala ya mwisho, kwa ajili ya Ramsey nimeamua kufanya ivii, kacha kacha paaa paaaa”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Pale pale Mzee Mwasha alifyatua risasi ila hakuamini alichokiona baada ya tu kuona aliyekua akivuja damu mbele yake alikua ni Enock,

    kitendo cha kufya tua risasi ile Enock alimrukia Catherine na risasi mbili kupenya ndani ya tumbo lake na kubaki chini anavuja damu nyingi sana,

    kilikua ni kitendo cha ghafla hata yeye alishindwa kuelewa Enock aliingiaje humo ndani,.

    Mzee Mwasha alizidi kuyatoa macho yake huku akimtizama mwanae aliye kua chini anavuja damu nyingi sana mdomoni na tumboni mwake, huku akitafuta pumzi kwa shida sana……



    Walivuana nguo zao haraka haraka kana kwamba hawa kuwahi kuufanya mchezo huo wa kikubwa kwa takribani miaka kadhaa iliyo pita, huku wakipeana mabusu kwa njia ya kubadilishana ndimi zao,



    ilikua ni raha mustarehe, sasa walibaki kama walivyo toka ndani ya matumbo ya mama zao!,

    Binti huyu mrembo pengine ungebahatika kumuona ungeweza kumfananisha na Celine Gombez mwanamke wake na Justine bierber msaanii wa marekani,

    alikua ana midomo mizuri ana mvuto wa kimapenzi, kama mwana ume ilikua ni lazima uwe na mkono mrefu au mfuko mrefu wenye pesa nyingi ili kumpata mrembo huyu,

    Kweli mwana ume aliye kua nae kitandani leo hii Alisha tumia takribani laki tano mpaka dakika hiyo na kufanikisha kuivua nguo yake ya ndani,!

    Mambo yalikua mukide mukide, huku wakishikana sehemu mbali mbali nyeti,kisha baadae mchezo wa kibaba baba kuanza , kila mtu alimfurahisha mwenzake kimwili na kudiriki hata kurudia raundi nyingine wakiwa bafuni,

    Huko walipeana raha zote za dunia wakichezeana ipasavyo kama waliambiwa wakitoka hapo wataenda kufa, mambo yalikua moto moto,



    mwana ume huyo mwenye misuli mingi na kufanya kifua chake kitanuke na kujenga mwili mkubwa ulizidi kuwa kivutio kwa mwana mke yoyote Yule mwenye hisia.

    “puuuuu”

    Binti huyo mremboalitupwa kitandani baada ya kutoka bafuni.kisha mambo yakaanza upya ilielekea alikua na pumzi nyingi za kutosha,



    sababu walianza tena kuchokozana na baadae kuingia kwenye dimbwi la Mahaba mazito.

    Baada ya kuchuka binti huyo aliweka kichwa chake juu ya kifua kipana kilicho fananishwa na kalio la mtoto mwenye umri wa miaka tisa.

    “Faisal,ujue nakupenda sana, nakupenda kweli unajua kunihudumia, nilikwambia tangu mwanzo watoto wazuri kama sisi kutupata lazima uwe na pochi sio ili mradi pochi, pochi iliyo tuna, una ona sasa kiulaini umenibeba, mambo yanaenda ivyo siku izi mjini hapa!,”

    “naelewa jesca, naelewa ndio maana nikawa nakugharamikia,, nataka kesho twende mbali Arusha tukale bata tu”

    “wooow, vitu kama ivyo ndivyo nilikua naongelea sasa, ndio maana nakupenda!”

    Faisal alisimama na kutoa pochi kisha kumkabidhi Jesca laki moja pale pale na kumuhaidi kuwa jioni yake ange mtumia pesa nyingine, alishajua udhaifu wa mwanamke huyo sasa.

    “ahsante baby hizi nikaset nywele kwa ajili ya kesho safari ya Arusha”

    Waliongea mengi siku hiyo wakiwa ndani ya hotel kubwa ya nyota tano. baada ya hapo Faisal alitoka nje na kuwasha gari yake akiondoka eneo hilo,

    “tayari sasa kesho jiandaeni, huyu teyari keshanasa, nitakua nae kesho asubuhi”

    “poa ukimaliza hiyo kazi kuna nyingine nitakupa”

    “hakuna tabu, andaa tu mzigo wangu mezani”

    Upande wa pili wa shilingi faisal alikua katika kikundi kiitwacho BITCH HUNTERS kikundi hatari chenye mtandao mkubwa cha kuteka nyara watoto wa kike kisha kuwa uza kwa pesa nyingi sana wakiwawekea madawa ya kulevya, na wengine kuwa tumia katika picha zao chafu za ngono na kujiingizia mamilioni ya pesa.

    Kikundi hiko kilimtumia Faisal sababu ya utanashati wake walimpa kila kitu kiwe kama kivutio atakapo mtaka mwanamke yoyote Yule hapo mjini Dar es salaam,!



    Siku inayo futa tayari walikua na Jesca ndani ya gari akidhani kuwa wana enda safari ila alipewa juice yenye madawa ya kulevya aina ya cocaine napale pale kupoteza fahamu zake,

    Muda mfupi baadae walikuja watu kumchukua na kumuweka kwenye gari nyingine.

    “huyu demu anaitwa catherine Ramsey yupo C.B.E fanya kazi sasa”

    “poa poa”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kazi hiyo kwake ilikua rahisi sana ilikua ni kama kuweka bakuli la supu mdomoni., aliichukua picha ya Catherine na kuiweka ndani ya koti lake.



    ***

    Mwasha alizidi kuyatoa macho yake baada ya kumuona Enock mtoto wake wa kiume anavuja damu nyingi,kitendo hiko alikifanya mwenyewe ni baada ya kutaka kumpiga risasi na kumuuwa Catherine, mambo sasa yalienda kinyume,



    hakua na chaguo lingine zaidi ya kurudi kinyume nyume na kukimbia huku akimuacha Catherine akiwa chini ameyatoa macho yake akiwa juu ya damu.

    Alivyo muangalia mama yake mzazi alikua amepoteza fahamu zake kutokana na kelele za silaha ile, Catherine hakua na wazolingine zaidi ya kupiga kelele akiomba msaada kwa majirani waliopo karibu nahapo kwao,

    Kelele zake zilipaa na kuwa fikia majirani, haraka haraka walikuja na kuanza kuwabeba watu hao wakiomba msaada wa gari ili wawaishwe hospitali.

    “kalete funguo za gari Catherine”

    “sijui mama anapoziwekaga!”

    “kaangalie chumbani”

    Alizungumza jirani mmoja mzee wa makamo, kisha baadae funguo za gari kuletwa, haraka haraka kitu cha kwanza ilikua ni kwenda polisi kuchukua PF3 wakisingizia kuwa walivamiwa na majambazi, ili kuhofia mahojiano kutoka polisi,

    Catherine aliji tahidi kumuamsha mama yake bila mafanikio yoyote yale, na kumfanya aingiwe na wasi wasi, pembeni alikua amelala Enock akiwa bado anajitahidi kutafuta pumzi kwa shida.

    “C…ath…erine”

    Aliita Enock kwa mbali sana huku akikohoa damu nyingi sana, hakuna mtu aliye weka matumaini juu ya maisha yake kwa wakati huo alikua ni nusu mtu sasa.

    “le….o nan a…ku,,fa kwa aaaaj..li.. ya penz.. la..ko naaaa kupe..nda saa.ana”

    Alizidi kuongea maneno hayo na kumfanya Catherine azidi kulia sana kwa machungu.

    Gari lili kua teyari limepaki hospitali na wauguzi kufika hapo na vitanda viwili, alitembea nyuma nyuma na kushindwa kuelewa akifuate kitanda kipi, ilikua ni lazima achague kimoja kwa Enock au mama yake mzazi,alikua ni kama mtu aliye changanyikiwa au kurukwa na akili zake.

    Hakua na chaguo lingune zaidi ya kufuata kitanda cha mama yake mzazi huku akiwa mwenye wasi wasi mwingi sana, siku hiyo kwake ilikua mbaya mno.

    Walimuambia asubiri kwenye viti vya nje vya hospitali ili madaktari wafanye kazi yao.

    Baada ya dakika thelathini aliitwa ofisini na daktari kisha kuingia mpaka ndani.

    “Mama yangu anaendeleaje”?

    “kaa kwenye kiti kwanza punguza jazba”

    Baada ya Catherine kukaa kwenye kiti kimoja wapo cha pembeni ,

    dokta aliye jitambulisha kwa jina la William alianza kutoa makaratasi mezani akimtajia majibu aliyo yapata kutoka kwenye vipimo vyake.

    “Mama yako ana presha na sukari imeshuka ghafla, lakini naweza kukusaidia, namimi nisaidie pia”

    Kwa mara ya kwanza catherine hakuelewa ni kitu gani hasa ana hitaji daktari Yule mpaka alipofunguka kuwa anahitaji kulala nae kwa usiku mmoja ndipo mama yake mzazi aweze kutibiwa,

    Ki ukweli maisha ya mama yake yalikua mikononi mwa daktari huyo,

    catherine alikua katika wakati mgumu sana hakuelewa ni mkosi au laana aliyokua nayo aliachiwa na nani, alishindwa kuongea na kubaki kububujikwa na mchozi.

    “una dakika arobaini tu za kufikiria, na wala usifikirie kumbadilisha hospitali yoyote ile, ukifanya mchezo, utamkosa Mama yako mzazi”

    Alizidi kusisitiza daktari huyo huku macho yake yakiwa yame tua juu kifuani mwa Catherine.



    Mwanamke aliyekua juu ya kitanda cha wagonjwa mahututi alikua hasemi tena, aliongea maneno mawili tu na kukaa kimnya pale pale, picha ilionesha kuwa hakukua na dalili yoyote ile ya uhai,



    alionesha hali ya kuchanganyikiwa sana hata kwa manesi waliokua wakikimbiza kitanda kile katika chumba maalumu cha wagonjwa nguvu ziliwaishia,

    “Kway,!…..me…r..ci”(kway Ahs.a.nte)”

    Maneno hayo mawili yalizidi kupita ndani ya kichwa chake na kujirudia rudia ndani ya ubongo wake.

    aliye lala juu ya kitanda kile alikua Julia mke wake hasemi neno lingine lolote,

    Moyo ulimnyong’onyea hakuelewa ni kitu gani kilitokea katika maisha yake, alidhani wenda ni ndoto ndefu anaota yenye kusisimua na baadae angeshtuka akiwa kitandani na mke wake lakini haikuwa ivyo,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    mambo yaliyo kua yana tokea hapo yalikua yana ukweli mtupu,

    Kila aliye muona alimuonea huruma sana sababu alionesha ni mtu aliye changanyikiwa, macho yake yalishaanza kulowana na machozi,

    kupoteza mtu aliye mpenda katika maisha yake haikuwa rahisi kuikubali hali iyo hakuelewa ataishi vipi bila mke ya wake Julia aliyekua akimpenda sana,

    Mtoto wake Mdogo Natu kufariki tena na leo hii kufiwa na mke wake kipenzi ubavu wake,

    lawama zote alizidondosha kwa Sabrina yeye ndiye aliye sababisha hayo yote yana tokea, yeye ndiye alitoboa siri na kumfanya mke wake atimue na gari na kukutwa na umauti,, ivyo ndivyo vitu vilivyokua vikimomonyoka ndani ya akili yake.

    Alishuhudia manesi mbio mbio wakiingiza kitanda ndani ya chumba maalumu akiwa bado ameganda mwili wake umekufa ngazi hakuweza kuzungumza,

    alienda chini taratibu na kuchuchumaa huku mikono yake akiwa ameiweka kichwani, hakua anafikiria kingine kichwani mwake zaidi ya kuandaa taratibu za mazishi kutokana na jambo aliloliona machoni mwake muda mchache tu uliopita nyuma!.

    Kilicho mshtua katika dimbwi la mawazo mazito ni simu yake ya mkononi alishtuka sana baada yakuona simu iyo imetokea nchini Congo,

    ilikua ni ya kaka mkubwa wa Julia aliyeitwa Bozii hakuelewa angemjibu aliye elewa shemeji yake huyo alikua ni mkorofi sana,

    kumwambia ukweli wa mambo ingemlazimu achukue ndege kutoka lumbumbashi mpaka Tanzania siku iyo iyo.

    Aliya pangusa machozi yake ili ajaribu kuweka sawa sauti yake.

    “Shemeji”!

    “Naam shemeji, mbona Julia ako simpati kwenye telephone yake kuna jambo gani”?

    “aah aaaah atakua anaichaji tu lakini yupo nilikua nae sasa hivi”

    “sasa nita piga tena baada ya dakika njoo kumi baadae ili niweze kuongea nae”

    “sa.. sawa”

    Ndani ya moyo wake alihisi jambo kuwa kaka yake kuna kitu anahisi moyo ulizidi kumdunda atakapo piga baadae ni nini ange mueleza, ili kua ni habari aliyo takiwa kuitoa kwa makini sana sio ya kukurupuka,



    dakika zilikwenda mwishowe lisaa kupita bado hakupewa majibu yoyote ya mke wake, dalili zilionesha kuwa waliogopa kumpa taarifa mbaya kuhofia usalama, bado



    alijenga picha mbaya ya msiba kichwani kwake, kabla ya kukaa sawa simu yake iliita tena, alikua sio mwingine bali ni Bozii shemeji yake,

    aliamini kuwa kitendo cha kuipokea simu ile kilimaanisha amueeleze ukweli juu ya wapi mdogo wake Julia alipo au kumpatia aongee nae.

    “Kway nina kuheshimu, usinifanye mie petit, njoo nakuheeshimu sana wajua, nieleze ukweli nataka kuongea na Julia saa hii saa hii,”

    “lakini Bozii, sikiliza nikwambie Julia ame amepata ajali”

    “juu ya nini?, unasema nini,, nakuya huko unieleze vizuri ,chunga unieleze vizuri”

    “lakin tititi”

    Simu ile ili katwa na kumfanya kway azidi kuingiwa namashaka sana juu ya maisha yake alielewa nini maana ya kuja kwa shemeji yake huyo aliyekua mtata na mkorofi kuliko ndugu zake Julia wote,

    **

    Hali ya Enock ilizidi kuwa mbaya sana risasi zilizopenya ndani ya tumbo zilifanya sumu isambae kwa haraka sana, madaktari walizidi kumshambulia ipasavyo ili kuokoa maisha yake,

    walisha angaika nae sana baada ya kuitoa risasi ya kwanza ilibaki moja tumboni iyo ilihitajika umakini wa hali ya juu sana sababu ilizama kabisa karibu na utumbo na ndiyo sehemu iyo ilikua ngumu sana kwa madaktari kutokana na sehemu hiyo kuwa laini,

    umakini wa hali ya juu ulihitajika kupita kitu chochote kile,

    Kila daktari ilibidi awe makini kufanya risasi hiyo itoke tumboni, wakati yana fanyika hayo Enock hakuwa anaelewa chochote kinachoedelea chini ya jua alikua ni kama mtu aliyekufa kabisa!,

    Kitu kilicho msaidia ni mashine ya kupumulia huku tumbo lake likiwa wazi madaktari bingwa wakizidi kufanya kazi ya kuokoa maisha yake,

    yalisha pita masaa matano sasa bado hawakufanikiwa kuitoa risasi hiyo ndani ya tumbo lake na kushindwa kuelewa ni kitu gani wafanye.

    ***

    Hakua na chaguo lingine zaidi ya kukubali kuyarudisha maisha ya mama yake mzazi duniani hiyo ilimaanisha kuwa alikubali kufanya Ngono na daktari huyo ambaye alikua akiyaokoa maisha ya mama yake,

    hakutaka kumpoteza mama yake hata kidogo aliamini utu wake hauna thamani kuliko maisha ya mama yake mzazi yaliyokua mikononi mwake mwenyewe,CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Japokua ilikua ni jambo gumu kwake ilimbidi tu akubaliane na daktari huyo,

    Usiku huo walisha fika gest iliyokua Mabibo mwisho na wote kushuka ndani ya gari, kwa mara ya kwanza Catherine alijua ni utani ila aliamini,

    ni baaada ya kukabidhiwa funguo za gest hiyo nakuingia chumbani, muda wote meno ya daktari yalikua nje akiyakenua kwa furaha sana kwenda kufanya mapenzi na binti mrembo na mbichi kama huyo,

    haraka haraka alizivua nguo zake na kuanza kumbusu Catherine midomoni na kuanza kumvua nguo zake mbio mbio,

    Alionekana alikua na uchu sana, hata hakumuandaa moja moja aliipanua miguu ya Catherine na kuingiza kombola lake,

    hakuelewa kuwa Catherine alipata maumivu kiasi gani alichojali yeye ni kujiburudisha kimwili tu na sio vinginevyo.

    Maumivu aliyo sikia Catherine kwa wakati huo hayakuelezeka kutokana na uume mkubwa sana aliokua nao daktari na kumwingilia kimwili pasipo hata ya kumuandaa ili

    Catherine atoe ute ute, yeye hakujali hilo alifanya mambo kwa fujo zote na kumfanya Catherine alalamike lakini kwake yeye ilikua burudani sana,

    “bado sijaridhika tuingie round ya pili, ngoja nikaoge”

    “tufanye siku nyingine nakuomba”

    “basi nimuache mama yako afe”!

    Hakua na chaguo linguine zaidi ya kukaa kimnya ila aliumia ndani kwa ndani hakua na jinsi zaidi ya kukaa kimnya tu,

    daktari Yule alitoka tena nje na kurudi akiwa na taulo tu huku mbele yake kulionesha kutuna kutokana na kombola kutokeza kwa mbele,

    alivua taulo lake na kulisogeza kombola lake mdomoni mwa Catherine na kumwambia anyonye huku akimtishia kuyapoteza maishaya mama yake,

    Hakua na namna nyingine kwa kuwa alitaka maisha ya mama yake yarudi ilimbidi tu alishike kombola la daktari huyo kwa mikono yote miwili na kuanza kuliingiza mdomoni japo kua mdomo wake ulikua mdogo ilibidi tu alazimishe kuliingiza huku daktari huyo akiwa amezibana nywele za Catherine kwa nyuma akililazimisha kuingia ndani kabisa,

    wakati mwingine alihisi kutapika kutokana na kombola hilo kuzama kabisamdomoni mwake,

    Haikuwa tena ngono yalikua ni mateso sasa alikua ni mtumwa wa ngono kwa wakati huo, alipiga moyo konde sababu alishaaamua kuyaokoa maisha ya mama yake mzazi aliyekua hospitalini maututi!,

    Daktari Yule alizidi kuhisi raha sana. hasa alipohisi risasi zina kuja Catherine alipotaka kutoka alizidi kumshika na kufanya risasi za daktari huyo kuingia kinywani mwake jambo ambalo hakutaka litokee,

    alisimama mbio mbio mpaka bafuni na kwenda kusukutua mdomo wake.

    ***

    Kadri siku zilivyo zidi kwenda hali ya mama yake ilizidi kuwa nzuri, swala la kumuhudumia chakula mpaka vinywaji alilibeba yeye pamoja na Loyda shangazi yake,

    walimuonesha kila aina ya ukaribu alimshukuru sana Mungu kwa kitendo cha yeye kupona bila kujua isingekua mwanae Catherine kutoa rushwa ya ngono kwa daktari pengine angekua marehemu,

    Dokta William aliingia ndani ya chumba hiko na kupewa shukrani sana, ila kwa Catherine alimkata jicho kali lenye chuki sana,

    “ahsante daktari sasa hivi naendelea vizuri sana”

    “usijali naweza nikapata faragha ya kuzungumza na wewe kidogo?”

    Aliomba dokta William huku akiwatizama Catherine na Loydah kumaanisha kuwa waweze kutoka nje ili wao waweze kuongea, na wao kutoka wakiwaacha.,

    “una ujauzito, ndio ilifanya sukari ishuke,ina kubidi uanze kuudhuria clinic, mara moja”

    Kumbu kumbu zake zilimpeleka kwa Kway hakuelewa kuwa huko alipo ana matatizo makubwa kupita maelezo alimtizama daktari na kushusha pumzi ndefu.

    “sawa nitafanya ivyo, nitafanya ivyo”

    “baada ya siku mbili nita kuruhusu uende”

    “ahsante dokta”

    Baada ya maongezi hayo kuisha alichukua simu ya Catherine na kumtafuta kway hewani ila simu hiyo iliita kisha baadae kupokelewa.

    “naongea na nani”?

    Upande wa pili ulisikika wa simu baada ya kway kupokea simu.

    “kway ni mimi Sabrina nili…tiititi”

    Kabla ya kumalizia chochote kway alikata simu yake kumaanisha kuwa hakutaka mazungumzo na mwanamke huyo hata kidogo,

    **

    “alikua anaenda sokoni asubuhi, aliniaga vizuri lakini baadae nikapigiwa simu amepata ajali ndio maana ikawa ivyo”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kway alizungumza maneno ya uongo mbele ya Bozii wakiwemo wakwe zake mzee Ladisglas Munganga na mke wake, nyuma yao alisimama kaka yake Julia mwingine aliyeitwa Chanci, walikua tuli wana sikiliza maelezo ya Kway,

    “bongo, anadanganya, Julia alinipigia kwa telephone yangu analia alikua analia juu ya nini anadai nika mpokee uwanja wa ndege, acha kuzungumza uongo bwana mdogo”!

    Ilikua teyari jipu lime pasuka sasa, moyo wa kway ulimlipuka hakuelewa aanzie wapi kuongea, alipata kiwewe cha ghafla alishadanganya tayari,

    “pardon la..”

    Kabla ya kuongea alipokea ngumi nzito ya tumbo kutoka kwa shemeji yake Bozii na kumfanya ajikunje na kulishika tumbo lake,



    alipokea teke jingine la kifua duuf! na kujibamiza ukutani, kilichomsaidia ni chanci kumshika mwanaume huyo ambaye alishaanza kuleta fujo hospitalini hapo,

    ndani ya moyo wake hakutaka mdogo wake Julia apate matatizo au anyanyasike.

    “sawa, sawa,..aaaah tulipishana kidogo maneno asubuhi akaamua kuondoka ndi..o ivyo, huo ndiyo ukwel…”

    Kway aliongea kwa shida sana huku akiwa amejishika tumboni kutokana na maumivu makali aliyo yapata.

    “maneno yepi”?

    “Bozi haya hayakuhusu embu jaribu kupunguza hasira huyu ndiye mume wake, unamkosea heshima”!

    Alizungumza Mzee Munganga akijaribu kumtuliza Bozii aliyekua na hasira sana.

    **

    “ndio ndio mshajua yupo hospitali ipi”?

    “ndio bosi”

    “yupo wapi”?

    “amelazwa Lugalo pale”

    “vizuri sana ngoja nimpigie Machabe afanye kazi yake yako imesha kwisha”

    Yalikua ni mazungumzo ya mzee Mwasha Alisha kuwamwenye wasi wasi mwingi sana, hakutaka kurudi tena jela,

    kuzinduka kwa Enock kitandani kilimaanisha yeye kwenda jela aliamini kuwa kitendo cha yeye kupata fahamu zake angeeleza kila kitu juu ya yaliyo mtokea,

    Aliamua kuchukua uamuzi mgumu sasa wa kutaka kumpoteza duniani, japo kua alimpenda sana lakini hakuwa na jinsi yoyote ile zaidi ya kumtafuta mkuu wa majeshi aliyekua akifanya kazi hapo lugalo aliyeitwa Machabe,

    Alibonyeza namba za simu na kuiruhusu simu iruke hewani kisha kusubiri ipokelewe.

    “Yes Mr, Mwasha”

    “bwana Machabe, za masiku?”

    “nzuri tu ni siku nyingi sana, nipe habari”

    “nataka nikupe kazi moja ndogo sana kwako, ngoja nisipoteze muda, nafikiri una mfahamu kijana wangu Enock”?

    “ndio, Yule aliyekua ng’ambo”?

    “huyo huyo, sasa amelazwa hapo Lugalo, nataka nijue ni wapi kalazwa kisha umuondoshe duniani”

    “unasema”?

    “kama ulivyonisikia, nakutumia milioni mbili sasa hivi kama robo ya malipo”

    “ahaaa okay basi sawa hakuna tabu. Leo hii hiii, tegemea mazuri, sasa sasa hiyo utanitumia humu kwenye hii namba”

    “kitendo cha kukata simu utakua nayo teyari”

    “sawa”



    “Mambo”!

    “poa”

    “unaelekea wapi”?

    “stendi”

    “naweza nika kupeleka?”

    “hapana”

    Ndani ya gari alikua kijana mtanashati aliyeitwa Faisal akiwa anatembeza gari taratibu sana akienda sawa na mwendo anaotembea Catherine huku nyuma akiwa anatingisha,

    kweli mwendo wake ulimvutia kila mtu, alijua kuutumia mwendo wake alikua kama ananyata lakini ndiyo ulikua mwendo wakeasilia,

    Faisal Alisha mfuatilia chuoni kwao CBE na kutomuona ivyo alielekezwa mpaka hapo kwao Bunju B na kupitia picha yake aliweza kujua ndiye yeye hata yeye alikiri machoni mwake kuwa msichana huyo sio wa kawaida ili hitajika nguvu ya ziada paka kumnasa.

    “Kaka tueshimiane basi, niache nina mambo mengi kichwani nisije nikakutukana bure nikuharibie siku, pita basi na gari lako”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alifoka Catherine akiwa amesimama anamtizama Faisal akiwa amejawa na hasira, ndani ya moyo wake alimchukia kila mwanaume wanaume wote aliwaona ni sawa tu hakuna aliye na afadhali,

    kila aliyempenda alimfanyia vituko,

    Baada ya kuongea maneno hayo alifika stendi ya dala dala na kuingia kwenye dala dala la mwenge, safari ilianza ya kuelekea Hospitali ya Lugalo kumuona Enock,

    moyo ulimuuma ilikua ni lazima amshukuru kwa kitendo cha yeye kuokoa maisha yake sababu isingekua Enock alikua teyari leo hii angekua maiti amekufa na kufika ahera,

    akiwa kwenye dala dala aliwaza mambo mengi sana yaliyokua yakipita katika maisha yake,wakati mwingine alidhani wenda anaigiza filamu na watu wana mtizama,

    ila mambo yaliyo tokea hapo nyuma yalikua yana mtokea katika maisha yake,

    “Konda Lugalo”

    Alisema Catherine na kupandisha sketi yake ndefu aliyovaa kisha kumpatia kondakta pesa yake nayeye kushuka ndani ya dala dala,

    Alitembea akiwa mwenye mawazo tele kichwani mpaka alipofika getini na kujitambulisha na kuingia ndani,

    Alitaja jina la mgonjwa anayeenda kumuulizia na kuelekezwa aweze kuingia ICU chumba cha wagonjwa mahututi, taratibu alijongea na kuingia ndani ya chumba hiko ila cha ajabu kilichomshangaza hakukuta hata muuguzi mmoja na kustaajabu baada ya kuona mashine alizokua ameweka Enock zote zipo pembeni kuanzia ya mapigo ya moyo mpaka ya hewa,



    aliogopa sana na kutoka nje ili kuwaita wauguzi.

    Baada ya wauguzi hao kufika hata wao walishangazwa sana kukutana na hali hiyo.

    **

    Sio kway peke yake hata kwa madaktari na wauguzi walishaanza kuingiwa na hofusana babadaya mwanamke waliyekua wakimpa matibabu kutokuzinduka kwa siku nne kitandani,

    ilikua ni jambo la ajabu sana walivyo mchoma nusu kaputi hakuweza kuzinduka tena lakini kilichokua kinawapa moyo ni mapigo yake kudunda wakiamini kuwa hali yake ni nzuri sana,



    Kila mtu sasa alimtupia lawama Kway sababu waliamini Julia akitoweka duniani ni yeye atakua amesababisha, walimzuia hata asiweze kukanyaga hospitalini hapo, kila alipokuja walimfukuza mbali sana, sio wengine bali ni ndugu zake na julia,

    moyo ulimuuma sana kutokuruhusiwa kumuona mke wake Julia., hakua na la kufanya zaidi ya kukubaliana na hali hiyo hakutaka kugombana na ndugu wa mke wake.

    Ilikua kila siku ni lazima apige simu hospitalini hapo kuuliza hali ya mke wake ila alijibiwa nakuambiwa kuwa bado hali ni ile ile,

    Habari iliyo mchanganya siku hiyo ni baada ya kupiga simu na kuambiwa kuwa mke wake alihamishwa hospitali kimnya kimnya na hata madaktari hawakujua ni wapi wazazi wake walimpeleka,



    alijua nini maana yake alijua tu ni lazima zilikua ni njama za kumtenganisha mke wake na yeye.



    **

    “mpeeeeenzi waaaaangu naaaaomb……a nikue….leze pendo langu lililo moyoni mmmh moyoni mwangu…..Mweeeenyezi Muuungu muumba ardhi na Mbingu ndiye shahidi wa pendo mmmh moyoni mwangu”!

    Alikua ni kway akiimba nyimbo hiyo huku mkononi akiwa ameshika chupa ya pombe kali mdomoni akiwa na sigara, aliamini vitu ivyo ndivyo vinge mpunguzia mawazo, kila alichokipenda sasa hakikuwepo Duniani,

    aliimba huku akiangalia chupa yake ya pombe huku akisimama wakati mwingine akicheza usiku huo ndani ya baa iliyoitwa Mandela, nyumba yake aliiona chungu pengine kuliko shubiri,

    Alikua ni mtu wa kukesha baa na kulewa na watu aliowakuta, aliimba nyimbo iyo ya wana Njenje huku akicheua cheua.,ndugu jamaaa na marafiki walisha mshauri ila wote aliwapuuzia

    “mapenzi niiiii kuvumilianaaaaa nami mpenzi nimekuvumilia,…..,tulizana mpenzi Tupendaaanee, wewe dada kuja hapaaa hii chupa imeekwishaaaa, alaaafu moja, mbili Yule pale wape bia mbili mbili hawa kwenye bili yanguuuuuu”

    Aliongea kway akiwa bwii pombe zime mshika kichwani akitoa agizo hilo mara moja.

    “Kway bratha nini una fanya?, mpaka muda huu upo baa pombe sio suluisho, achana na mapombe twende nikupeleke nyumbani, sawa una matatizo lakini wewe sio mwenye matatizo peke yako hapa duniani,”

    Alizungumza binamu yake aliye fika hapo na kumkuta ndugu yake akiwa chakali.

    “Jamesss ulishawahi kuninunulia pombe, jibu ni hapana, kwaiiiooo kama unataka pombe niambie nikununulie sio una kuja unazuunguka mbuyu,”

    Ilibidi binamu yake James atumie akili kumuelewesha kuwa anachokifanya anaji dhalilisha, kwa mara ya kwanza ilikua vigumu sana kumuelewa ila baadae taratibu waliinuka na safari ya kumpeleka kway kwake kuanza.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kitendo cha kufika alijitupa kitandani na kuanza kulitaja jina lamke wake julia huku akilia machozi,

    Picha ilionesha kuwa bado alikua akimkumbuka.



    Asubuhi aliamka akiwa amechoka sana na kuamua kwenda kwenye album za picha akitizama picha za mke wake na mtoto wao Natu,

    alivuta droo na kutoa baasha kubwa ya picha alizopigwa Natu akiwa amefariki aliangalia mkono ule wa Natu na kusita kidogo.

    “Mhhhh”

    Alijikuta akiguna baada ya kuuchunguza mkono ule vizuri na kugundua kuwa hauna kidoti cheusi kwenye kiganja,

    alichukua picha nyingine na kulinganisha kucha za mtoto wake Natu na kufikicha macho yake,

    Ili kuhakikisha ni kweli au anaona vibaya, alitizama tena na kugundua ni vitu viwili tofauti.

    Alichukua simu yake ya mkononi na kumtafuta Molito rafiki yake wa karibu na kumuita ili nayeye aweze kumwambia nini cha kufanya ndani ya dakika arobaini alikua keshafika haikuwa na haja ya kuficha aliweka kila kitu wazi.

    “sikia nikwambie kitu kway, si alizikwa Moshi?, kama una uwezo tutaomba kibali maiti ile ifukuliwe tupime DNA hapo ndo tutajua, na tutajua pa kuanzia”

    “sawa ndugu yangu ngoja nita fanya ivyo,”

    Siku hiyo hiyo alinyoosha mpaka kituo cha polisi na kuomba kibali hiko na kuambiwa kuwa akaonane na maaskari wa mkoani Kilimanjaro hapo Himo.

    Asubuhi ya saa kumi na mbili kesho yake alishafika ubungo na kupanda basi la kampuni ya MERIDIAN na sasa alikua njianni kuelekea mkoani Kilimanjaro,



    ndani ya kichwa chake alikua mwenye mawazo mengi sana na kusinzia pale pale.

    Masaa saba yalivyopita tayari alikua njia panda na kushuka, hapo alitafuta usafiri mwingine mpaka hapo Himo na kutoa kibali kile,

    kutokana na kazi iyo kuwa ngumu askari walimshauri kesho yake wangeanza kazi wakiwa na daktari maalumu kwa ajili ya kupima DNA yalikua ni maamuzi yaliyokua yanaitaji ujasiri sana.

    Masaa yalienda mwendo wa kinyonga kwake kisha asubuhi kufika alinyoosha mpaka kituoni hapo na kuondoka na defender mpaka kijijini Mwika,

    wanakijij waliowaona waliwashangaa ila yeye moyoni mwake alijua anacho kifanya.

    Zoezi lilianza mara moja la kufukua maiti hiyo na kufika chini huku wakiwa na vitambaa puani mwao kutokana na harufu kali.

    “sasa mbona tume kuta mkono”?

    Aliuliza askari mmoja wao

    “ndivyo tulivyozika”

    Waliuchukua mkono ule na kwenda nao mpaka maabara na kuanza kuupima, walichukua na damu kubwa ya kway kisha kumwambia aje jioni yake..

    “Majibu kweli yanaonesha wewe na huyu aliyezikwa hamna uhusiano wowote ule”

    Moyo wa kway ulimlipuka kuna picha ilimjia kichwani kuwa mwanae Natu yupo mahali anateseka sana hakujua ni wapi hakujua ni wapi aanzie kumtafuta.



    **

    Hali ya Enock bado ilizidi kuwa mbaya sana baada ya mashine zile kurudiswa mwilini mwake, ilibidi ulinzi mkali uwekwe hospitalini hapo wakiamini kuwa kuna watu wabaya wana taka kuyapoteza maisha ya mwana ume huyo,

    Zahara Alisha fika hospitalini baada ya kupata taarifa juu ya hali aliyokua nayo Enock mwanaume anaye mpenda sana.

    Aliangua kilio sana, pembeni yake alimuona mwanamke mmoja mweupe aliyekua na majonzi alionekana kama alikua akimfananisha ilibidi tu amsogeleee na kumuuliza kama wana fahamiana.

    “ndio nakufahamu tulishawahi kukutana kituo cha polisi, wewe ni anti yake na Suzi”?

    “basi nishakumbuka”

    “hali yake vipi”?

    “kama unavyo muona tangu aletwe hajaweza kusema chochote”

    “hawa majambazi hawa…”

    Alijisemea Zahara bila kujua ukweli wa mambo. kwa Catherine alimuona mzee wa makamo hakuweza kuisahau sura yake hata kidogo japo alivalia miwani kubwa na kofia,

    alikua ni mzee Mwasha, alivyo muona hata yeye aliinamisha kichwa chake chini, na kujificha nyuma ya zahara.



    “naomba nimuone mwanangu”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Aliomba Mzee Mwasha baada ya kukutana na Mlinzi akiwa mlangoni hapo chumba alicholazwa Enock, alitoa kitambulisho na kweli ilionekana kabisa alikua ni baba yake mzazi,

    hakukua na haja ya mlinzi Yule kuweka aina yoyote ya kipingamizi bila kujua kuwa anamruhusu israeli atoe roho ya Enock hapo kitandani.

    Ndani ya Moyo wa Mzee Mwasha alishaa apa ni lazima amuuwe mtoto wake ili kupoteza ushahidi wa mambo japo kwake ulikua ni uamuzia mgumu sana lakini ilimbidi afanye ivyo ili mkono wa sheria upite mbali,

    aliingia ndani ya chumba hiko na kumkuta mwanae amelala mashine ndizo zina piga kelele peke yake.

    “Mwanangu Enock naomba unisamehe kwa kitendo nitakacho kifanya hapa sina jinsi, REST IN PEACE MY LOVELY SON(pumzika kwa amani mwanangu kipenzi)”

    Alizungumza mwasha na kuibana mashine iliyokua puani mwa Enock akizuia hewa iyo ya Oxygen isipite ndani ya mfumo wa upumuaji,…



    Akili yake ilicheza kama umeme ilikua ni lazima afanye jambo ilikua ni lazima atumie akili ya ziada sababu alishajua ni lazima mzee Mwasha aliyeingia ndani ya chumba alichokua Enock alitaka kummaliza ivyo ndivyo akili yake ilimtuma.



    Alihisi moyo wake una muuma sana hakutaka jambo lile litokee hata kidogo, pale pale aliruhusu miguu yake itembee haraka haraka na kwenda mpaka kwa askari aliyesimama mlangoni na kupiga kelele nyingi.

    “naomba niingie humu ndani, naomba niingie jamani uwii”

    Ilikua ni lazima apige kelele zile ili amuokoe Enock aliamini kelele zile zinge mshtua Mwasha aliyekua ndani ya chumba alicholazwa Enock, maaskari walizidi kusogea eneo hilo na kumshika Catherine aliyekua akilia sana,

    hakuna hata askari mmoja aliyeweza kujua nini kilimfanya mwanamke huyo alie kwa sauti huku wakati mwingine akilitaja jina la Enock.

    “binti wacha kupiga kelele”

    Alifoka askari mmoja kati ya wengene nane waliofika eneo hilo, moyo wake uliingiwa na amani japo sio sana baada ya kumuona Mzee mwasha akiwa ametoka nje ya chumba alicholazwa Enock macho yao yaligongana na kuangaliana kwa kitambo kidogo na kumfanya mzee huyo aachie misonyo mikali kisha kuondoka zake akiwa bado na hasira nyingi sana kutokana na kukatisha kitu alichokua anakifanya cha kutaka kumuua mtoto wake wa kiume.

    “naomba nimuone Enock tafadhali”

    “hurusiwi embu kaa hapo, na unyamaze”

    Alizidi kufoka askari huku akiwa amekunja ndita laiti wange jua kuwa kelele alizokua akipiga Catherine ndizo zilimuokoa Enock ambaye alikua anaenda kufa,

    **

    Tayari alishajua ukweli juu ya mtoto waliyemzika hakua yeye ni baada ya kupima DNA chini ya usaidizi wa jeshi la polisi, ilikua ni lazima afanye jambo na kujua ni wapi mtoto wake Natu alipo kua, kweli alidhamiria kufa au kupona ili mtoto wake arudi mikononi mwake,



    hapo ndipo siku inayo fuata aliingia kwenye basi na kurudi mkoani Dar es salaam ili ajue ni wapi atakapo anzia juu la swala lake,

    Hakua na msaada mwingine zaidi ya kumfuata Molito na kumueleza juu ya swala zima jinsi ilivyokua, hawakukaa sana walinyoosha mpaka kwa waziri wa mambo ya ulinzi hapo nyumbani kwake masaki aliyeitwa Eddizaria Msulwa ambaye alikua ni mjomba wake na Molitto, kisha kumuelezea kila kitu.

    Ilibidi Molito aongee shida ya rafiki yake huyo kway ili wampate mtu atakae weza kuwasaidia, walikaribishwa vizuri na kuelekezwa mpaka nyumbani kwa mpelelezi aliyejitegemea nje kidogo maili kadhaa kutoka hapo mjini Dar es salaam,

    “nawatakia mafanikio mema nina imani huyu mtu atawasaidia sana, mwambieni mimi nimewatuma”

    Aliongea Mh. Edizaria Msulwa huku akiwapa mkono wote wawili kisha kuketi, hata yeye alisikitishwa sana na kuguswa na mkasa aliousikia kutoka kwa Kway hakua na kinyogo chochote ilibidi awape mpelelezi wake binafsi anaemtumiaga katika kazi zake za kutaka kujua baadhi ya siri za nchi yake.

    “sawa ahsante sana Mheshimiwa Mungu akubariki”

    Kway alijibu kisha kusindikikzwa mpaka nje na walinzi, hakukua na sababu yoyote ile ya kusubiri siku inayo fuata waliendesha gari mpaka boko na kumtafuta mpelelezi huyo waliyetumwa kwake,

    Walipewa maelekezo mpaka ndani kidogo kati kati ya kipori kidogo kwa njia ya simu. walishuka na kuanza kutembea kwa mguu,

    Kulikua kuna nyumba moja peke yake iliyo zungushiwa ukuta mrefu sana kwenda juu waligonga na kelele kusikia za mbwa wanabweka kisha baadae kutoka mwanamke mmoja mrefu kidogo mwenye macho makubwa ya duara.

    “samahani habari yako, tuna muulizia sasha, tumemkuta?”

    “nyie mkimuona mtamjua”?CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mwanamke huyo badala ya kujibu swali nayeye aliwapiga swali huku akiwatizama wote wawili kwa zamu

    “hapana, tumeelekezwa na Mh.Msulwa hata ivyo tulikua tukiongea nae kwenye simu muda mchache uliopita”

    “ahaa okay karibuni ndiye mimi”

    Walikaribishwa na mwanamke huyo na pale pale kuanza kueleza shida iliyowapeleka hapo, baada ya maelekezo kutolewa mwanamke huyo alivuta pumzi ndefu kisha kuwatizama kila mmoja wao.

    “kazi ndogo sana hiyo, mwanao ni lazima atakua ametekwa na kikundi kinachoitwa BITCH HUNTERS,NITAFUTIENI milioni tano kazi yenu itakua imekamilika kesho kutwa nitakua nisha jua mwanao alipo na utampata”

    Alizungumza Sasha akiwa anaamini na kile anachokiongea kutoka kinywani mwake, hakukua hata na mzaha ndani ya maneno aliyokua akiongea hapo.

    “huwezi kupunguza kidogo?”

    “hapana kway iyo ni kwasabu tu ya mheshimiwa Ila wengine huwa wananipa mara mbili ya hapo, nenda kajipange ukiwa tayari uje”

    “nipo tayari sasa hivi”

    “kama upo tayari utalipa Advance milioni moja utaiingiza ndani ya hii account, naona una wasi wasi ngoja nikutoe wasi wasi., mwanao utampata niamini mimi,”

    Alizungumza mwanamke huyo na kumtoa wasi wasi kway aliyekua anatoa mimacho na kushindwa kumuamini mwanamke huyo anayeongea maneno ya kijasiri sana na mwenye kujiamini kuliko kawaida,



    Siku inayo fata ilibidi aanze kukamilisha malipo aliyoambiwa na tayari kumuingizia pesa kwenye account na kumpa taarifa hiyo.

    Baada ya siku mbili aliitwa mpaka Boko ili akapewe taarifa ni wapi alipo fikia, taarifa alizosikia zilizidi kumchosha sana akili yake moyo ulimwenda mbio kupita kawaida.

    “kabla ya kukuta ule mkono wa mwanao, siku mbili nyuma kuna maiti iliokotwa baada ya kufanya uchunguzi wangu sikupewa ushirikiano ikanibidi niibe risasi iliyotumika kumuuwa huyo mtu, sasa hapa una kazi kidogo, kuna uhusiano baina ya hiyo maiti na koplo Mwita”

    Kumbu kumbu za haraka haraka zilimjia kway na kumpeleka mpaka siku hiyo walivyokua na Natu mtoto wake mdogo akimnyooshea kidole Mwita, jambo alilokua analiona mbele yake ulikua ni kama mkanda una pita na kucheza mbele ya macho yake,



    na hapo ndipo alipo anza kuunga unga matukio alijua kivyovyote vile ni lazima askari huyo alikula njama.

    “nime nime kumbuka ki..”

    “subiri nimalize sasa, huyu Mwita ni askari lakini ni jambazi sugu ana toa michoro mbali mbali historia yake ninae kwaio hili halikunishtua sana”

    “sasa kwanini kama unawajua hao majambazi usiwakamate”?

    “siwezi kufanya ivyo bila kibali, kumbuka mimi ni mpelelezi wa kujitegemea, sasa hapa hatuna jinsi inabidi tutumie nguvu za ziada ili huyu mtu ataje”

    Baada ya maongezi hayo taratibu zilianza mara moja za kumtafuta Koplo Mwita hakuna njia watakayo tumia zaidi ya kumteka nyara ili wafanikishe.



    ***

    Hali ya Enock ilizidi kuonesha faraja, sasa aliweza kufumbua macho yake lakini alishindwa kuongea chochote kile alichoweza kukifanya ni kutingisha vidole tu huku akimtizama kila mtu aliye kua akimzunguka mahali hapo,



    licha ya hayo yote lakini bado hakuweza kupumua bila kutumia msaada wa mashine,

    Jambo lililowashtua wauguzi ndani mule ni baada ya kumuona akitabasamu hasa alipomtizama mwanamke mzuri aliye simama mbele yake aliyevalia sketi nyekundu ndefu na shati jeupe huku mkononi akiwa ameshika maua alikua si mwingine bali ni Catherine Ramsey,

    Wauguzi wote walibaki wakimwangalia

    “dada wewe ni nani yake”?

    Ilibidi nesi mmoja aulize

    “ni rafiki yake tu”

    “hapana haiwezekani, huyu mgonjwa hakuwahi hata kutabasamu lakini alipokuona wewe tu baasi akatabasamu, usitufanye sisi watoto”

    Zahara aliyekua pembeni wivu ulimwingia na kuhisi ni lazima kuna kitu kinaendelea kati ya Enock na Catherine alitoka nje bila kuongea chochote kile,

    Catherine aliweka maua yake pembeni na kumsogelea Enock huku akiwa anatabasamu na kufanya kishimo cha shavu la kushoto kuingia ndani,

    alimsogelea Enock karibu na kukaa kitako juu ya kitanda kile huku akiwa mwenye huruma sana.

    Ila katika hali ya kushangaza mashine ilianza kupiga kelele sana kwa sauti kuashiria kuwa mapigo ya moyo yanazidi kushuka kwa kasi,

    wasi wasi ulizidi kumuingia kila mtu, hasa baada ya kumuona Enock anatingisha miguu kuashiria kuwa roho yake inaacha mwili, alizidi kuweweseka akiwa juu ya kitanda.

    “dada naomba utoke nje tafadhali, nenda kamuite Dokta haraka sana Mage”

    Walimtoa Catherine nje huku wakizidi kushughulika na Enock, mapigo ya moyo ya Catherine yalizidi kwenda mbio sana katika akili yake alitafsiri lile tabasamu la Enock ndilo lilikua la kumuaga.

    **

    “umefikia wapi Dokta saki”?

    “mambo yapo sawa sasa, nilimchoma sindano ya sumu ambayo itakua inamuua taratibu sana, hakuna atayeweza kuhisi, na sasa hivi tunavyoongea ndio itaanza kufanya kazi, usijali mzee andaa kitita changu”

    “sawa saki nakuaminia”

    Mzee Mwasha alitabasamu baada ya kusikia majibu kutoka upande wa pili yaliyo mfanya azidi kufurahi, kweli alidhamiria kumuua mwanae kipenzi akisha maliza hapo afuatie Sabrina na mtoto wake Catherine alishavaa ngozi ya Simba sasa.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “ndio mwanangu anaitwa Catherine Ramsey. Tangu juzi alivyotoka nyumbani hakurudi tena”

    “Mama punguza jazba nieleze vizuri,nimekuuliza hivi alivyoondoka alikuaga”?

    “hapana hakuniaga”

    “ana umri gani”?

    “anamiaka ishirini na tatu”

    “anasoma”?

    “ndio”

    “wapi”?

    “C.B.E”

    “ulishawahi kwenda hapo chuoni kumuulizia”?

    “ndio ndio nilishaenda hapo na hapa nimetoka chuoni kwao”

    Askari huyo aliyekua zamu jioni hiyo alizidi kuyachukua maelezo ya Sabrina akiyaandika vizuri juu ya karatasi maalumu na kuzidi kuhoji maswali ambapo kila lililosemwa aliliandika vizuri alisikiliza vizuri kwa umakini mno.

    Catherine siku kadhaa sasa hakuonekana nyumbani, Sabrina alizidi kuingiwa na hofu aliamua kumtafuta chuoni na sehemu zote alizojua kuwa mwanae anaweza kuwepo lakini hakuweza kumpata na kumfanya azidi kuingiwa na wasi wasi sana,ndipo alipoamua kunyoosha mpaka kituo kidogo cha polisi Tegeta.

    “lakini afande”!

    “naam”

    “nina mashaka na mtu mmoja”

    “enhee nani huyo”?

    “anaitwa mwashii sijui mwasha David”

    “kwanini”?

    Hapo hapo Sabrina alianza kumuelezea askari huyo kila kitu mpaka alipo taka kumuua mtoto wake Catherine hakua na jinsi ya kuficha kitu chochote kile ilikua ni lazima aweke mambo wazi ilikua ni lazima afanye jambo hilo ili mwanae aliyeamini ametekwa nyara aweze kumpata.

    “mama una uhakika na unachokiongea”?

    “ndio”

    “Mwasha David si ndio, huyu ninae mfahamu mimi au mwingine, mrefu hivi ana mvi kwa mbali sana”

    “ndiye mwenyewe”

    Askari Yule baada ya kuchukua maelezo ya Sabrina alimruhusu aende na kumu hakikishia kuwa kila kitu kitaenda sawa na Catherine kupatikana mara moja.

    ***

    Baada ya Faisal kutumia kila jitihada kumnasa Catherine kushindikana ili mbidi atumie njia nyingine tu ya kumteka nyara,

    Alimsha mfukuzia na kumrubuni na vitu vingi sana kila siku akibadili magari ya kifahari lakini aligonga mwamba na kushindwa kuelewa nini binti huyo aliringia hasa.

    Siku hiyo akiwa amepaki gari Mwenge mwisho baada ya kumfuatilia akiwa anatoka Hospitaali ya Lugalo alishuka ndani ya gari na kumuongelesha lakini bado alitolewa nje.

    “siwezi kupanda kwenye gari yako, sitaki sitaki sitaki”

    Aliropoka Catherine na kufanya abiria waliokua stendi iyo wanasubiri usafiri wa dala dala wageuze shingo zao nyuma kuwatizama wawili hao,

    walitizama gari hilo la kifahari aina ya BMW X6 ikiwa pembeni na kustaajabu kwanini Catherine alikataaa kuingia ndani ya gari wakati usafiri ulikua mgumu siku hiyo.

    Wasichana waliokua pembeni udenda uliwatoka na kumuona Catherine anapoteza bahati walitamani walau ingekua bahati yao lakini haikuwa ivyo.

    “sawa hakuna neno,”

    Alijibu kifupi na kuingia ndani ya gari na kuliondosha mbio, alifika na kuliegesha gari lake nje, mbali kidogo na geti anapoishi catherinekisha kunyunyizia madawa makali ya usingizi juu ya kitambaa cheupe na kumsubiri catherine,



    aliona njia hiyo ingekua bora zaidi, sababu Alisha kula nusu ya pesa ili tu kufanikisha zoezi la kumteka Catherine Ramsey na asafirishwe mara moja.

    Jioni ya saa moja ilipofika kwa mbali aliweza kumuona na kushuka ndani ya gari nyuma nyuma alimfuata taratibu kisha kumkaba shingo yake na kukiweka kitambaa kile puani mwa Catherine,

    haikuchukua hata sekunde mbili Catherine alihisi kizungu zungu kizito na kupoteza fahamu zake pale pale.

    Moja kwa moja aliiingia nae ndani ya gari na kutoka nae mbio, sehemu ya kwanza alifika nae mpaka chumbani na kumvua nguo zake zote nayeye kuvua nguo zake,

    Aliipanua miguu ya Catherine na kuanza kumuingilia kimwili vile vile bila fahamu zake kumrudia, baada ya hapo alimpiga picha akiwa utupu,

    na kuingia bafuni kuoga alivyomuangalia tena Catherine jinsi alivyokua mzuri na mweupe, hisia kali zili mpanda tena na kumpandia kwa juu na kuingiza MASHINE yake ndani ya MGODI na kuzidi kujiburudisha kimwili.!



    Kwa mbali sana alihisi kichwa chake kizito kabla ya kufungua macho yake alihisi kitu tofauti kabisa, na taratibu kuanza kufumbua macho yake hakuamini alichokiona,

    hakuamini baada ya kumuona Faisal yupo juu yake ndio anamalizia kurusha risasi zake juu ya tumbo lake, aliinuka haraka haraka na kushindwa kuelewa alifikaje fikaje chumbani humo,

    alijaribu kuvuta kumbu kumbu zake nyuma taratibu na kukumbuka mara yamwisho alikua na Enock hospitalini kisha kupanda gari mpaka nyumbani kwao, ila baada ya hapoa

    alishindwa kuelewa nini kimetokea na kufika hapo kitandani.

    “turudie tena”

    Alizungumza Faisal lakini aliambulia kofi la shavu zito na kumfanya Catherine alie machozi alielewa ni kitu gani kilitokea hapo nyuma,

    alielewa ameingiliwa kimwili bila ya ridhaa yake na kuzidi kupandwa na jazba.

    Na kujikuta anashindwa kuongea sababu ya kwikwi

    “umeridhika, umer..idhika sasa”?CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “kidogo sio sana”

    Alijibu Faisal kwa dharau

    “sasa umepata faida gani fala wewe, wana ume wenzako hawapo iv..yo”

    Catherine aliongea kwa hasira na kusimama akitafuta nguo zake, alivyo zipata alizivaa na kuzidi kumtolea maneno machafu Faisal aliyekua kitandani yupo uchi wa mnyama.

    “nipe funguo niondoke”

    Alisema Catherine baada ya kukuta mlango umefungwa, baada ya kutoa funguo Faisal alitoa simu yake mfukoni na kuipiga.



    baada ya dakika thelathini walitokea wanaume watatu na kuingia baada ya kufungua mlango kwa nje,

    Kitita cha pesa kilirushwa na Faisal kukipokea mpaka dakika hiyo Catherine hakuongea kitu chochote kile ila baadae aligundua kinachoendelea,

    alishaelewa kuwa anauzwa na kubaki akilia machozi mengi akiomba msamaha ili wasifanye wanachotaka kukifanya.

    “Binti Catherine tuondoke, ushauzwa tayari”

    Aliongea mmoja wa watu hao walioingia ndani.

    “tafadhali msifanye ivyo, kama mnataka pesa nitawapa”

    Hawa kutaka kubishana nae walichofanya walimshika kwa nguvu na kumchoma sindano kali ya VALIUM baada ya dakika mbili tayari alipoteza fahamu zake na kum-beba begani na kuondoka nae….



    “hapana sitaki kuamini, mnanidanganya”

    “ukweli ndio ivyo mzee!”

    “ilikuaje”?

    “hata sisi tuna shindwa kuelewa ni moto wa ghafla ulitokea kwa bahati mbaya tulijitahidi kumuokoa lakini ilishindikana, ameteketea na moto, samahani mzee mwanao pia alikua ndani ya chumba”

    “hapana, My s..on! haiwezekani”

    Mzee Mwasha aliserereka mpaka chini akitumia mgongo wake hapo ukutani asubuhi ya saa kumi na mbili ni baada tu ya kusikia taarifa mbaya kutoka hospitalini hapo kuwa mwanae Enock alikuwa ndani ya chumba maututi ambacho kiliwaka moto usiku wa kuamkia jana yake,



    hakukua na haja ya kubisha sababu hata yeye aliona chumba hiko jinsi kilivyokua cheusi kimejaa masizi, moyo ulimpasuka na kuanza kulia kwa sauti kubwa sana, lakini ndani ya moyo wake alikua amejawa na furaha sana na kuona njia aliyo tumia ya kuwa tuma watu wake warushe dumu la petrol na moto usiku wa jana baada ya njia zote kugonga mwamba sasa hiyo ime fanikiwa na sasa ataweza kuishi kwa amani sana,



    Madaktari walikuja pembeni yake na kumtuliza huku wakimfariji.

    Hakuna alicho fanya zaidi ya kuwapigia simu ndugu jamaa na marafiki ili kuanza taratibu na vikao vya msiba wa Enock ,

    Alim-maliza mwanae kipenzi alishamuua tayari kwa njia ya moto, sasa ili baki kazi nyingine ya kuwatafuta Sabrina na Catherine, kazi hiyo ilikua ni ndogo sana kwake, kuwa tafuta watu hao wawili ilikua ni lazima wafe, ivyo ndivyo alivyo jiapiza,

    Alitoka hospitalini hapo na kurudi nyumbani kwake ambapo kila mtu aliye muona alimuonea huruma hasa baada ya kupotelewa na mtoto wake pamoja na mke wake kwa muda wa kipindi kifupi sana,!

    ****

    “jamani moto! moto! moto!”

    Ilisikika sauti ya muuguzi wa kike majira ya usiku ndani ya hospitali ya jeshi la LUGALO ikipiga kelele kwa mbali huku akikimbia sehemu ya tukio.

    watu wote walitizama eneo hilo nakuanza kulikimbilia huku wakipiga kelele za msaada, kweli ulikua ni moto mkubwasana wenye moshi mweusi baada ya kuingia ndani waliona ni chumba kimoja ndicho kinawaka moto huo, hawa kuelewa chanzo hasa kilichosababisha moto wa ghafla kutokea!,

    Kengele ya dharura ilipigwa na wagonjwa kuanza kutoka nje mara moja, na wengine kutolewa haraka haraka.

    “humu ndani kuna mgonjwa?”

    Aliuliza Generali Shedrack akiwa na kombati za jeshi mwilini mwake.

    “ndio Yule mgonjwa wa juzi aliyekutwa na sumu mwilini”

    “una uhakika yupo?”

    “ndio”

    “nishikie hizi”

    Generali Shedrack alimkabidhi muuguzi wa kike koti lake la jeshi na kuupiga mlango teke kwa nguvu zake zote na kuufanya udondoke mzima mzima,

    alijitosa ndani ya chumba kilichokua kina waka moto mkubwa ,macho yalikua yame mjaa ukungu alipata shida sana kuona mbele ila ilimbidi tu afanye kile alicho taka kukifanya ilikua ni lazima ayaokoe maisha ya mgonjwa huyo ambaye kwa siku nyingi sana alikua akiwindwa kuuliwa.

    hakuelewa ni kwanini aliamua kumuokoa kijana huyo mdogo ambaye hakustaili kufa kwa kuungua na moto,



    Alifika mpaka kitanda alicholazwa Enock na kumuweka begani kisha kuanza kutafuta njia ya kutokea alivyofika mlangoni kutaka kutoka nae alisita na kutokea mlango mwingine wa dharura uliokua kushoto kwake,

    Alimfikisha mpaka nje na kumuweka vizuri na kutoka yeye peke yake, watu wote walimshangaa bila kutoka na mgonjwa ambaye alisema anaenda kumuokoa,

    hakutaka kuongea chochote zaidi ya kutingisha kichwa kuashiria kuwa hakuweza kumuokoa.

    “nimeshindwa, kuna moto mkali!”

    Alizungumza Generali Shedrack na kuchukua nguo zake kisha haraka haraka bila ya mtu yoyote kumuona alienda mpaka nyuma, alipomuhifadhi Enock na kumuweka begani, alitembea kwa kujificha mpaka ndani ya gari ya jeshi Hammer aliyokua akitembelea.

    Alimuweka nyuma yake na kumfunika na kitambaa na kuanza kuondoka taratibu, ndani ya moyo wake alijua kuwa kusema ukweli juu ya uhai wa mwanaume huyo ilimaanisha kumuweka tena mashakani ili bidi tu amuokoe kwa njia hiyo.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Aliondoa gari taratibu na kusimamishwa getini na mlinzi ambaye alikua na mashaka nae usiku huo,

    “naomba nika pumzike Joram, kichwa kina niuma wacha nikanywe dawa nitarudi, endelea na lindo”

    Alijitetea Generali Shedrack na kuruhusiwa pale pale, aliendesha gari mpaka nyumbani kwake KAWE mwisho alipo kua anaishi yeye na mke wake Vivian ambaye alikua muuguzi wa hospitali ya taifa muhimbili , alimshusha na kumuweka juu ya sofa na kwenda kuufunga mlango.

    “huyu ni nani?”

    Alihoji mke wake

    “nita kuhadithia kila kitu naomba umpe huduma ya kwanza”

    Vivian bila kuweka kipingamizi haraka haraka alitafuta madawa na kuanza kumpima na baadae kumuwekea dripu yenye dawa kisha kumchoma sindano,

    Hapo ndipo Shedrack alianzakumuelezea kila kitu juu ya kijana huyo alivyokua anawindwa sana, hata mke wake alitingisha kichwa akisikitika sana kusikia habari hizo mbaya!.

    “sasa hao watu wanaotaka kumuuwa unawajua?”

    Alihoji Vivian

    “mimi sijawajui kama nilivyo kwambia, naomba kesho asubuhi sana saa kumi uwashe gari umpeleke Tanga kwa Mama Andunje!”



    “kwanini sasa?”

    “hapa sio salama, akionekana pia tutakua kwenye matatizo hata mimi nitakua matatizoni mke wangu”

    “sawa hakuna neno”

    Ilibidi Shedrack atoke nje na kuanzakutengeneza dala dala yake binafsi ambayo ilikua bado ina marekebisho kidogo usiku huo huo,

    alivyo hakikisha kila kitu kipo sawa alirudi ndani, alimsisitiza sana mke wake kesho asubuhi aweze kusafiri mpaka Tanga kijji cha handeni akamfiche Enock huko na siri hiyo wabaki nayo wawili tu.



    Majogoo yaliwika kuashiria kuwa kumekucha teyari na baadae hazana kusikika, alimuamsha mke wake na kumwambia ajiandae haraka haraka ilikua ni lazima aondoke asubuhi sana ya siku hiyo hiyo.

    “sasa wewe huendi?”

    Aliuliza mke wake

    “mimi nikienda watanishtukia, wewe nenda najua upo likizo mimi natakiwa kazini leo hii mke wangu, hakikisha tunawasiliana”

    “sawa mume wangu nitafanya ivyo”

    “spea zote zipo kwenye gari kuwa makini bara barani ukifika tu nipigie simu”

    Baada ya kumaliza mazungumzo yao taratibu walimbeba Enock na kumlaza ndani ya dala dala hiyo na kumfunika kidogo nashuka ,

    “safari njema”

    Waliagana na dala dala hiyo kuanza kutembea taratibu huku Vivian peke yake akiwa anaendesha,

    Alikua makini sana juu ya usukani akiyatoa macho yake mbele. saa mbili za asubuhi alikua kasha fika chalinze hapo hakusimama alizidi kusonga mbele akibadili gia na kuzidi kwenda taratibu hakua na haja ya kukimbiza gari, ilikua ni lazima afike salama mkoani Tanga,

    Alishakata kilometa sabini nyuma, sasa zilibaki chache tu afike kijijini HANDENI hii tu ni baada ya kuzungusha gari raundi abauti ya Segera na kuzidi kusonga mbele,

    Tangu safari inaanza aliweza kuweka maji mdomoni mwake tu na mara kadhaa aligeuka nyuma kumuangalia Enock aliyelala ambaye haelewi kitu chochote kinachoendelea chini ya jua , alikua ni kama amekufa kabisa.



    Aliacha barabara ya lami na sasa kukitafuta kijiji cha Handeni ilisha timu saa tisa alasiri na kupaki gari nje ya nyumba ya Mama Andunje! ,

    Mama aliyemlea mume wake hapo kijijini, kwa kuwa alikua anajua ujio wake hakushtuka sana walimpokea na kuanza kumshusha Enock ndani ya gari, nayeye kumpigia simu mume wake kumwambia kuwa amesha fika tayari.

    Walimuingiza ndani ya chumba kidogo na bibi mmoja kutokea ambaye aliaminika katika kutibu kwa kutumia dawa za miti shamba,!

    Alivyo muangalia hata yeye alisikitishwa alikimbia mpaka kwake na kuleta majani majani na kinu kisha kuchukua na tangawizi na kuanza kuitwanga akichanganya na majani.

    “huyu inabidi tumpake hii dawa kwenye unyayo kwanza”

    Aliongea Mama Fina akiwa anatwanga dawa zake,

    Baada ya zoezi hilo kuisha alianza kumpaka dawa zile kwenye miguu huku akikindamiza kifua cha Enock.

    “sasa ivyo si utamuuwa?”

    “hapana hapa najaribu kulegeza mapafu yake ili hewa iweze kupita ki urahisi”

    Alijibu mama Fina huku akiendelea kumpatia Enock matibabu .

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ukweli aliokua akiutafuta tayari alishaujua sasa kuwa mwanae Natu hakufariki Dunia na walizika mkono, hii baada ya kupima DNA ya mwili uliozikwa hapo Mkoani Kilimanjaro kijiji cha Mwika kupitia chini ya usaidizi wa mpelelezi wa kujitegemea sasha waliweza kujua ukweli wa mambo.!

    Hakua na haja ya kubaki nchini Tanzania ilikua ni lazima achukue usafiri mara moja na aanze safari ya kuondoka , utaratibu wa kukata tiketi ulianza mara moja na tayari alipata ndege ya shirika la RWANDAIR inayoondoka jumatano saa moja ya asubuhi.

    Alichofanya ni kuweka pesa kwenye akaunti yake tayari ili ziweze kumsaidia huko atakapo enda, alijua kwake kazi iyo ilikua ni ngumu lakini ilikua ni lazima akamuokoe mtoto wake Mdogo Natu aliyeamini kua anapata mateso makali sana.

    Hussein Molito,Khalfan Sudi, Sasha Jason na ndugu wengine wa karibu walikua teyari wapo uwanjani hapo saa moja ya asubuhi siku hiyo ya Jumatano wakimuaga Kway huku wakipunga mikono ambaye tayari alikua akiingia ndani ya chumba maalumu ili kuweka silaha yake.

    Alivyomaliza taratibu aliweka mabegi yake juu ya kifaa maalumu kinachopeleka mizigo upande wa pili nayeye kupita chini ya kimlango kwa ajili ya ukaguzi wa mashine za kuscani.

    Kitendo cha kupita katika mashine iyo ilianza kupiga kelele nyingi sana huku ikiwasha taa zake juu na kumfanya aanze kutetemeka,



    sababu mbele yake aliwaona maaskari wakisimama na kukoki mitutu yao, hakuelewa ni kitu gani afanye zaidi ya kuambiwa agande hapo hapo na yupo chini ya ulinzi.

    “hana kitu jamani afande, anco samahani vua cheni saa na mkanda wako kama una kitu cha chuma weka hapo kwenye kapu!”

    Alizungumza mwanamke mmoja aliyekua pembeni hapo kwenye kompyuta na kumfanya kway arudi nyuma na kuvua vitu alivyoambiwa , na kupita tena bila wasi wasi.

    “ahsante”

    “safari njema”

    Kway alipita bila kuamini hii yote ni kwa sababu ya mawazo aliyokua nayo kichwani mwake na kusahau kuwa haruhusiwi kupita na kitu chochote cha chuma.

    Magari maalumu ya kuweka ngazi yalishafika teyari na kuweka ngazi zake kwenye mlango wa ndege ya Shirika la Rwandair, baada ya zoezi hilo kukamilika abiria walianza kupanda ngazi kwa ajili ya safari ya kuondoka.

    “karibuni katika shirika la ndege la Rwandair A1050 hakikisha una funga mkanda muda wote wa safari hasa hasa pale taa za mikanda ziwakapo. Rwandaair inaelekea Entebbe kupitia KIA na KIGALI kwa niaba ya captain Michael Mimi naitwa Irenestella”

    Sauti hiyo nyororo ya muhudumu wa ndege(air hostress) ilisikika kutoka kwenye kipaza sauti ikijirudia kwa lugha nyingi tofauti .



    Ndege taratibu ilianza kutembea na baadae kuchanganya kasi na taratibu matairi ya mbele kuinuka na mengine kufuatia pia kidogo kidogo kuiacha ardhi ya Tanzania ikipaa angani.

    “Halloo!”

    Kway alivunja ukimnya kwa abiria mwenzake aliyekua ameketi pembeni yake dirishani.

    “Hei Mambo?”

    Alijibu mwanamke huyo mtu mzima na kumgeukia

    “kumbe unazungumza Kiswahili?”

    “ya kidogo sana”

    “wewe ni raia wa wapi?”

    “Uganda, sema nilikua huku kwa muda wa murefu sana sasa nimeamua kurudi Nyumbani kidogo”

    “Naitwa Kway!”

    “Sandra, naitwa Sandra Katali, unapita Uganda?”

    “ndio” alijibu Kway

    “kumbe tupo musafari moja”



    Alizidi kuongea Kiswahili kibovu mwanamke huyo Sandra huku wakizidi kupiga stori na kujaribu kuzoeana, ndani ya dakika arobaini na tano ndege ilishusha matairi yake uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA) ,

    na abiria waliokuwa wamefika walishuka na wengine walipanda, baada ya dakika chache Ndege iliondoka tena na kutua Rwanda Kigali hapo walibadili ndege na sasa kubakiza uwanja wa ndege mmoja tu Entebbe ili afanikishe safari yake,

    Moyo wake ulikua ukimdunda muda wote, japo alikua wakisimuliana jinsi maisha yanavyoenda pamoja na Sandra lakini akili yake haikuwa hapo,

    muda wote alimuawaza Natu na mke wake Julia ambaye mpaka dakika hiyo hakujua ni wapi alipelekwa na wazazi wake.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sauti ya muudumu ilisikika tena ikiwaomba abiria wafunge mikanda yao sababu ya ndege kwenda kutua.

    Iliinama na kutoa matairi yake nje tayari kwa kutua baada ya kutua ilitingishika kidogo na kukaa sawa ikiwa bado na mwendo kasi kisha baadae taratibu kusimama.

    “Ahsante Mungu!”

    Kway alishukuru Mungu kimoyo moyo nakuanza kutoa begi lake dogo juu sehemu maalumu na kuanza taratibu kutembea.



    “sasa unaelekea wapi?”

    Alihoji sandra baada ya kutoka nje wakiwa na mizigo yao.

    “sasa hivi nataka nitafute Hoteli nikapumzike ili kesho nianze biashara zangu”

    “itakua sio vizuri, tuongozane namimi twende kwangu tafadhali kwani wewe ni mkarimu sana”

    “hapana usijali”

    “nakuomba”

    Kway hakuwa na kipingamizi chochote kwani tangu safari ianze alitokea kumzoea sana mwanamke huyo waliingia ndani ya taxi na kuanza kuondoka zao.

    **

    “mwanangu Enock mimi sina kipingamizi nawatakia maisha mema wewe na Catherine najua unampenda sana, naomba unisamehe kwa yote yaliyo tokea tafadhali”

    “Dad, usijali wewe ni baba yangu, nime kusamehe baba yangu, naomba usipige magoti tafadhali simama, tuishi tu kama zamani”

    “ahsante Mwanagu Catherine naomba niwa bariki wote muishi kwa pamoja”

    Mbele yake walisimama watu wawili pembeni Catherine, mbele baba yake mzazi Mzee mwasha ambaye aliinuka kutoka kupiga magoti na kuwa kombatia Catherine na Enock na kuwapa Baraka zote,



    alishaamua sasa kuwaacha na mapenzi yao, Enock na Catherine kwa furaha pale pale walianza kunyonyana midomo yao huku baba yake akipiga makofi ya furaha sana.

    “Heather nilisahau kumfunga kamba”

    Alihamaki Enock na kumtoa Catherine mikononi mwake Heather Alisha kua kichaa sasa lakini alitunzwa ndani akiwa muda wote kwenye kamba,

    Enock alivyoenda stoo hakumkuta na kuzidi kumuita lakini ukimnya ulitawala.

    “En…..ock na..kufa”

    Sauti pekee ya Catherine ndiyo iliyosikika kwa mbali sana na kumfanya Enock atoke mbio mpaka seblen hakuamini alichokiona baada ya kuona kisu kirefu kimezama tumboni mwa Catherine huku Heather aliyekua pembeni amemchoma anacheka sana sababu ya akili zake kumruka.

    Alikichomoa kisu na kumchoma Tena Catherine hapo ndipo Enock alipo chomoka na kumsukumiza Heather pembeni huku akimshika Catherine mikononi mwake!.

    “En..ock natese..ka siwezi kuu..pona na..kuf..a nakup..”

    “Catherine haufi nakupeleka hospit…”

    Hakumalizia kuongea neno lingine nayeye alihisi maumivu makali sana juu ya shingo yake kisu kilikua teyari kimeingia ndani ya koromeo lake alivyogeuka nyuma alimuona Heather anafurahi.



    “Jamani kafumbua macho, ni maajabu haya, Mungu ni mkubwa sana”

    Aliruka Mama Fina kutoka kitandani na kwenda kumuita Mama Andunje aliyekua jikoni anapika dawa,

    Enock alishayafumbua macho yake baada ya wiki nne kupita tangu ajeruhiwe kwa kupigwa narisasi na baba yake, ni ndoto peke yake ndiyo ili mzindua kutoka katika usingizi mzito aliokua amelala.

    Jina la kwanza kuliita lilikua ni Catherine tu alivyotaka kuinuka alirudi chini kutokana na maumivu makali aliyo yasikia kifuani mwake, bado ndoto aliyokua ametoka kuiota ilimrudia tena, na kuanza kutoa machozi.

    “usifanye chochote pumzika”

    Aliongea Mama Fina na kumnywesha kikombe chenye dawa nyeusi ndani yake.

    Matibabu yalizidi kuendelea kila kukicha Vivian kila akipata nafasi alikua akitoka Dar es salaam mpaka hapo Tanga kumjulia hali,

    alimchukulia kama ni mtoto wake wa kumzaa sasa hata yeye alilvyo iona hali ya Enock alifurahi sana na kupatwa na matumaini.

    Siku zilizidi kuyoyoma na miezi kukatika na kuweza kutembea mwenyewe lakini kwa msaada wa magongo akifanya mazoeezi kila siku, walisha mzoea sasa hapo nyumbani .

    “naona hali yangu ishakua nzuri sasa, naweza nikaondoka?”

    Aliuliza Enock siku iyo asubuhi baada ya kunywa uji mzito hakuona haja ya kubaki hapo sababu aliamini kuwa hali yake ilikua ni nzuri ya afya.

    “tutakuruhusu uondoke hivi karibuni usijali”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “naweza nikapata simu niongee”

    “nime pewa maagizo kuwa haurusiwi kupiga simu popote pale”

    “kwanini?”

    “sijajua hata mimi”

    “baba yangu anajua kua nipo hapa”

    “hakuna mtu anaye jua”

    “tafadhali naomba nimpigie baba yangu simu ili ajue nipo hapa, najua ana nitafuta sana nataka nimsamehe najua kuna kitu ameni fanyia na anahitaji msamaha wangu, mimi ndio mtoto wake wa kipeke hana mtoto mwingine”

    “sawa ngoja nikupatie simu,”

    Hakuelewa kuwa baba yake mpaka dakika hiyo alijua yeye ni marehemu, hakujua kuwa kwao walisha mzika na kumsahau tena aliye fanya njama ndiye baba yake mzazi,

    alikua ndani ya kiza kinene sana. Simu ili letwa na kukabidhiwa kwa kuwa namba za baba yake alikua nazo kichwani alibonyeza namba za simu kisha kuiweka sikioni.

    “Dad!”

    Kitendo cha upande wa pili kupokelewa tu Enock alizungumza lakini hakujibiwa kitu mpaka alipoita tena

    “Eno..ck!”

    “yes Dad ni mimi Enock mwanao!”

    “kweli ni wewe?”

    “ndio Dad ni mimi”

    “mwanangu Mungu mkubwa sana, sisi tulijua umefariki tayari upo upo upo wapi”?

    “nipo Tanga kijiji cha Handeni”

    “sasa mwanangu usitoke hapo mimi nitatuma watu waje kukuchukua leoleo, tuweze kuongea mwanangu”

    Hakuelewa kuwa teyari anajiweka kwenye matatizo tena, hakuelewa kuwa baba yake ndiye aliyepanga njama za kumuuwa.

    **

    “shiiit!”

    Alifoka Mzee mwasha na kupiga simu haraka haraka

    “Hakufa nendeni Handeni sasa hivi mkam-malize huko huko kabla hajaongea chochote”

    Aliropoka mzee Mwasha huku jasho likimtoka hakuelewa mwanae Enock alipona vipi hakuelewa kuwa mwanae alitaka kumuomba msamaha na wayamalize!.

    “sasa kuhusu Sabrina na mwanae?” uliuliza upande wa pili

    “hao niachie mimi”



    Mbele ya macho yake alisimama mwanamke aliyekua uchi wa mnyama juu ya kitanda amelala chali!, pembeni alisimama mwanaume aliyeshika kamera anamrekodi huku mwanamke huyo akiwa anaongea maneno ya kimahaba,

    ukutani alisimama mwanamke mwenye macho makubwa, kwa haraka haraka alikua ndiye meneja,akiangalia zoezi linavyoendelea ambapo baadae anaingia mwanaume aliyejazia mwili wake mwenye kifua kipana sana na kusogea kitandani pale.

    “Cut!”

    Alisema mwanamke huyo na kufanya mchukua kamera asitishe zoezi la kurekodi

    “Sikiliza ukiingia jifanye kama una shangaa, wewe Pendo ukimuona huyu anakuja unamfuata unafungua zipu yake unaanza kumshika shika hilo dude lake!”

    “sawa Maam!”

    Mambo yaliyokua yakiendelea mbele yake Catherine aliyashuhudia akiwa pembeni, walikua wakitengeneza mkanda wa ngono tena aliambiwa wakishamaliza kucheza na yeye zamu yake inge fuata ili arekodiwe na kampuni iweze kuingiza pesa nyingi za kigeni.

    Aliweza kumshuhudia mwanaume huyo alivyokua na uume mkubwa akizidi kufanya mapenzi na kubadilisha mikao mbali mbali kila sekunde na kusababisha kelele nyingi sana ndani humo,

    Alijikuta akilia sana machozi ya uchungu hakuelewa atatokaje ndani ya jumba hilo lililokua na ulinzi mkali sana kuanzia nje mpaka ndani ambapo hakuna hata mmoja wao aliyegundua kuwa ndani humo kuna michezo michafu inaendelea,

    Alishuhudia mwanamke huyo akimeza risasi nyeupe mdomoni mwake huku akitabasamu kuashiria kua amependezwa na kitendo kile,

    baada ya hapo alimuona mwanume mwingine ambae mwili wake ulifanana na aliyokuwepo mara ya kwanza.

    “zamu yako, vua nguo panda kitandani”

    Alisema mwanamke huyo Meneja

    “siwezi labda niwe nime kufa”

    “usijidanganye kabisa, chagua mwenyewe ufanye kwa hiari yako au tutumie nguvu , nina uwezo wa kufanya ivyo pia!”

    Alizidi kuongea mwanamke huyo huku akimsogelea Catherine.

    Alibubujikwa na machozi mengi hasa baada ya kuona wanaume wengine watatu wanaingia ndani humo.

    “wote hawa itakubidi uwamiliki, camera action!”

    Kitendo cha kusema ivyo wanaume hao waliokua na misuli kama wapiganaji walimvaa Catherine na kumshika huku na kule na kumbwaga kitandani huku wakianza kumvua nguo zake,



    hakuweza kushindana nao nguvu kabisa.

    Ndani ya sekunde mbili alikua tayari uchi wa mnyama na wanaume wawili kuipanua miguu yake kisha mmoja wao kupeleka ulimi wake chini ya mgodi wa cate na kuanza kuulamba taratibu sana,

    wakati hayo yana fanyika mchukua video nayeye alikua makini sana kuchukua mkanda huo ambapo Catherine kila alipojaribu kutumia nguvu kujinasua hakuweza kujitoa, hakuweza kushindana nguvu na mijitu hiyo ya miraba minne ambayo sasa hivi yalikua yakimlamba ikulu yake kwa zamu zamu yakipokezana.



    ***CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “kesi imehairishwa mpaka ,mnamo tarehe sita mwezi ujao”

    Aligonga nyundo mezani Jaji Julius Ikanza baada ya kusikiliza kesi ya Sabrina na Mzee Mwasha kuhusu kifo cha mwanae Enock ,

    Sabrina ndiye aliyepeleka mashtaka mahakamani ni baada ya kumtafuta mwanae Catherine kila kona ya pembe ya mji bila mafanikio ya aina yoyote na kumshuku Mzee mwasha ndiye aliyekua muhusika,

    hakujua kuwa amejiingiza katika mambo ya hatari sana hakujua kuwa ilikua ni kama amemwaga mafuta ya petrol juu ya moto unaowaka kichakani na kuufanya ulipuke,

    Kesi ili hairishwa mpaka pale Catherine atakapo patikana na atoe usha hidi ili kukamilisha kesi na hukumu itolewe,

    hakukua na ushahidi wa kutosha wa kumuweka Mwasha jela sababu alikua na wakili aliye mtetea vilivyo,

    Sabrina alishaelewa nini maana yake alishaelewa kuwa hakukua na dalili ya yeye kushinda sababu hakuelewa ni wapi mwanae Catherine alipo.

    Licha ya yote hakuacha kuweka juhudi kumtafuta mwanae kipenzi kila sehemu. mwishowe aliamua kwenda kwenye maredio na mitandao kutangaza juu ya kupotelewa kwa mtoto wake catherine, hakuweza kufua dafu wala kupokea simu yoyote ile na kuchoka kabisa na mimba iliyo kua ikimsumbua tumboni mwake.

    Roho iliyo jaa chuki tayari ilisha mtawala Mzee Mwasha Alisha fikiria kumwaga damu alishawaza kumuuwa mwanae kipenzi,

    siri ya kuwa mwanae yupo hai alikua ameibeba peke yake kifuani mwake ilikua ni lazima ammalize pia, hakuacha kuweka juhudi hata yeye kumtafuta Catherine na kumteketeza kabla ya hata Sabrina kumpata.

    Ilikua ni lazima akatishe uhai wa watu watatu Sabrina, Catherine pamoja na Enock.

    “Mshafika tayari?”

    Aliuliza Mwasha akiwa ameweka simu sikioni mwake

    “tusha fika ndio, tunasubiri kauli yako bosi”

    “subiri usiku uingie”

    “kwaio tumuulie hapa hapa?”

    “hilo swali gani una niuliza muuweni hapo hapo”

    “sawa tutafanya ivyo”

    Upande wa pili wa simu ulisikika na simu kukatwa baada ya kutoa kauli kuwa Enock mwanae auwawe na majambazi aliowatuma mkoani Tanga,



    Pick nyeusi tayari ilikua nje ya nyumba ya Mama Andunje ndani ya gari hiyo walikaa wanaume wanne wakisubiri giza liingie ili waweze kumuuwa Enock wakitumia silaha za moto,

    walisha kula nusu ya pesa kutoka kwa Mzee Mwasha ili jambo hilo la mauaji litekelezeke.

    “wewe na Pascal itawabidi muingie, sisi tuta subiri ndani ya gari”

    “kwanini wewe usiende sisi tubaki?”

    “usitake mambo ya kubishana sawa, fuata nilichokwambia, piga shaba tusepe, nafikiri mtu mwenyewe unamjua?”

    “ndio,”

    “hakuna cha mazungumzo ukifika hapo piga risasi, atakae leta shobo tandika risasi”

    Alizungumza mwanaume mmoja aliyeonekana mwenye mamlaka kupita wengine.

    Giza lilishaingia sasa na kufungua Milango na kuingia ndani ya nyumba ya mama Andunje.

    Waliwakuta wote wapo seblen isipokua Enock peke yake wanayemtafuta.

    “tuna mtaka Enock yuko wapi?”

    Aliuliza jambazi mmoja akiwa na bastola yake mkononi, hofu ilizidi kutanda, watu wote walikua wamelala chini sakafuni wakisali sala zao za mwisho,

    ilibidi mmoja aingie kila chumba kumtafuta Enock kisha baadae kurudi nae na kumuamuru apige magoti kati kati.

    “kabla hamja niua naomba nijue ni nani aliye watuma”

    Aliuliza Enock. ndani ya akili yake alishajua kuwa watu hao walitumwa na mtu anaye mjua, kumbu kumbu za kutekwa nyara kipindi cha nyuma akiwa na Catherine zilianza kujijenga moja kwa moja akili yake ilimpeleka kwa Darlington Shebby alijua ni bado ana kisasi na Catherine na wala sio vinginevyo,

    hakuelewa kuwa baba yake ndiye aliwa tuma watu hao.

    “sawa nisha mjua, mnaweza kuniua sasa..”

    Aliyafumba macho yake huku akiwa amepiga magoti chini, kweli alishasalimu amri hakutaka kujitetea kwa lolote lile hata majambazi hao walishangazwa na ujasiri wa Enock.

    Lakini hio haikuwafanya wabadili mawazo yao ya kutaka kumuuwa.

    “kacha kacha”

    Bastola ilikokiwa kisha Enock kuwekewa kichwani kumaanisha kuwa kitendo cha risasi kutoka ndani ya chemba ingemuondoa duniani pale pale na umauti kumkuta.

    Picha ya ubongo wake pamoja na damu nyingi zikiwa zime tapakaa chini vilinza kujijenga ndani ya akili yake akisubiri kifo chake sekunde chache tu mbeleni na kuji kuta akibubujikwa na macho sababu anaenda kufa bila ya kumsamehe baba yake mzazi na kumuaga Catherine.

    “paaaaaaa”

    Mlio mkubwa wa bastola pekee ndio uliosikika ndani hapo na damu nyingi kuruka pamoja na ubongo kutapakaa chini sakafuni!.



    “hivi hali ya Yule mgonjwa inaendeleaje?”

    Generali Shedrack alimuuliza mke wake baada ya kuzinduka kutoka usingizini asubuhi ya siku hiyo, ni siku nyingi sasa zimepita bila ya kumuona japo moyo ulimuuma lakini hakua na lakufanya kutokana na kazi zilizombana za kulitumikia jeshi la JWTZ,



    ivyo mke wake pekee ndiye aliyekua akimpa taarifa juu ya afya ya Enock!.

    “sasa hivi hali yake inaridhisha sio kama tulivyo mpeleka”

    Alijibu Vivian

    “itabidi leo twende hata iweje, nataka niage kazini ili leo jioni tuwe tunaenda”

    “utakua umefanya vizuri sana”

    “sawa wacha nikajiandae, nawewe jiandae sasa hivi nikija tu tuanze safari”

    “sawa mume wangu kazi njema”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Na ivyo ndivyo walivyo kubaliana mtu na mke wake asubuhi ya siku hiyo,

    alichukua koti lake la jeshi na kulivaa kisha baadae kukagua magazine ya bastola yake kama ina risasi na kuiweka kiunoni kama afanyavyo kila siku.

    Hakuna alichowaza kichwani mwake zaidi ya kwenda kazini kuomba ruksa akidanganya kuwa anaenda kuuguza mgonjwa mkoani,

    kumbe haikuwa ivyo nia yake ilikua ni kwenda kumuona Enock mwanaume asiye na hatia ambaye anawindwa na kutaka kuuliwa na watu wabaya, bado alikua na siri hiyo ndani ya mtima wake,

    bado alitaka kujua ni wakina nani walikua nyuma na kutaka kumuua kijana huyo, alifika moja kwa moja mpaka kwa mkuu wake wa kazi na kuomba ruksa.

    “umesma nani anaumwa?”

    Alihoji mkuu wake wa kazi

    “mtoto wa dada yangu, ana wiki sasa”

    “utachukua muda gani?”

    “siku moja tu Mkuu”

    “basi nitamwambia MP Ngoni akushikie nafasi yako, fanya hima iyo kesho urudi”

    “sawa mkuu”

    Hakuelewa kuwa mambo yangekua maraisi kama alivyodhani hapo awali, alimuelewa sana mkuu wake jinsi alivyokuwa mgumu,

    alimshukuru mara mbili mbili na kuingia ndani ya gari huku akimsisitiza mke wake awe tayari amejiandaa sababu yeye yupo njiani.

    Haikuchukua muda mwingi walikua njiani tayari wanaelekea Tanga wakiwasiti za mbele huku gari likiwa inaenda kasi kidogo,

    walishakata kilometa sitini sasa na kuikaribia Tanga, giza kwa mbali lilishaanza kuingia walisimama sehemu ili kununua vitu kama mchele na mkaa kama shukrani ya kumpa mama Finakwa kazi aliyo fanya ya kumtibu Enock na ndugu wengine wa karibu!.

    Walirudi ndani ya gari na kuzidi kusonga mbele ilishafika saa moja ya jioni, na kuwasili kijiji cha Handeni salama salmin!.

    “lile ni gari la nani”?

    Alihoji Shedrack baada ya kuona pickup kwa mbali sana nje ya nyumba ya Mama Andunje na kuanza kuanza kupunguza mwendokasi taratibu na kupaki pembeni ya michongoma

    “hata sijui”

    “nisubiri ndani ya gari”

    “lakini..”

    “nisubiri usitoke”

    Hisia kuwa hakuna usalama wa aina yoyote ile vilianza kujijenga ndani ya akili yake sababu ya hali ya utulivu iliyo kuwepo mahali hapo,

    alitembea taratibu kwa tahadhari zote kwa mbali aliwaona wanaume wawili wanashuka ndani ya gari,

    Nayeye kupita upande wa nyuma uwani taratibu na kuifikia nyumba ya mama Andunje.

    alitegesha sikio lake dirishani na kutambua kuwa walikua ni majambazi na kilichomshtua zaidi ni kitendop cha wao kumuulizia Enock,

    hata yeye hakuelewa walijuaje kama Enock yupo mahali hapo.

    Alifungua mlango Taratibu sana na kulala chini chali huku akitambaa kama mwanajeshi msituni anaye pigana vita huku silaha yake ikiwa ameishika mkononi vizuri kabisa,

    alivyofika chini ya meza alikua akimuona kila mtu, alimuona Enock amepiga magoti na kawekewa bastola kichwani,

    Ilikua ni lazima achukue hatua ya haraka sana vinginevyo Enock angeuwawa pale pale.

    aliiweka bastola yake vizuri kwa kutumia jicho moja nayeye alimlenga jambazi aliyeshika bastola usawa wa kichwani.

    Kabla ya kumfyatua Enock yeye alishairuhusu risasi itoke kwenye chemba na kumpeleka jambazi huyo chini pia, ivyo ivyo alifanya kwa mwingiwe na wote kudondoka chini puh!.



    “jamani mpo salama?”

    Aliuliza Generali Shedrack na wote kutoamini kitendo kilichotokea sekunde chache zilizo pita, Enock alikua bado ameganda amepiga magoti analia machozi sana, hakuamini kuwa amepona, hakuamini kuwa muda mfupi angeitwa marehemu, alibaki akimtizama mwanajeshi huyo aliyeyaokoa maisha yake.



    “kaeni kimnya tulieni hapo hapo”

    Alisema Shedrack na kutoka nje mpaka ndani ya gari kisha kumtwanga risasi mmoja wa majambazi na mwingine kuingia nae ndani ili tu amuhoji ni kwanini wana taka kumuuwa Enock.

    “unaona wenzako nilivyowafanya, sishindwi kutenganisha ubongo wako, nani kawatuma?”

    Jambazi huyo alimpiga jicho Enock na kuonekana anataka kuongea kitu lakini alisita

    “sema wenda unaweza ukaishi”

    “sa sawa sawa naongea…”

    Kila mtu alikua kimnya anamuangalia yeye, hata Enock pia hakuelewa kuwa alikua anawindwa tangu alipokua kitandani maututi.

    “kuna mzee mmoja anaitwa Mwasha, david mwasha, baba yake na huyo kijana hapo ndiyo ali ali aliyetuagiza”

    Enock alisimama mzima mzima baada ya kusikia maneno yale hakutaka kuyapa nafasi kabisa, hakutaka kuamini kuwa baba yake mzazi ndiye katuma majambazi ili yeye afe pengine alidhani wanamsingizia.

    “My Dad!,,sio kweli”

    Alikataa katakata!

    “kuna kipindi alituma watu wakuteke kisa Catherine lakini hakujua kama ni wewe mkapata ajali, Enock mimi nakufahamu sana tangu ulivyozaliwa.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Jambazi huyo ilibidi atoe historia fupi juu ya visa vingi vilivyopita, aliongea kila kitu juu ya marehemu mama yake Josephine na Ramsey, hapo ndipo kila mtu alibaki mdomo wazi.

    “jiulize mimi nime juaje wewe upo hapa, ulimpigia baba yako simu, ajev kukufuata”

    Alizidi kupasua jibu jambazi huyo huku mlango wa bastola ukiwa kisogoni mwake.

    Kila mtu alimtizama Enock aliyekua bado amechanganyikiwa asijue la kufanya alishajua ukweli sasa baba yake ndiye anaetaka kumuuwa,

    Alisha jua ukweli kuwa ni lazima Sabrina na Catherine wauwawe, ilikua ni wakati wake wa kumuokoa catherine mwanamke anaye mpenda na mama yake Sabrina.

    “mpigie simu nisikie mwambie kuwa mshanikamata nime kufa tayari”

    Ivyo ndivyo Enock aliamuru na jambo hilo kufanyika, kweli jambazi huyo alichukua simu na kumpigia mzee mwasha.

    Hakuamini upande wa pili wa simu baada ya kusikia sauti ya baba yake mzazi ikicheka huku ikitoa pongezi za dhati sana, jasho jingi lilimtoka mwilini mwake huku akitetemeka kwa hasira nyingi hakuelewa hamfanye nini baba yake mzazi endapo atamuweka mikononi mwake!.

    Alimsukumiza Shedrack nayeye kuikamata bastola, pale pale bila kujiuliza alimfyatua risasi jambazi huyo kichwani mwake na kumfanya kila mtu aingiwe na hofu nyingi sana.

    “lazima nifanye kitu nimuokoe Catherine wangu!”

    Aliwaza Enock kichwani mwake huku akitetemeka kwa hasira

    **

    Mambo yalizidi kuwa mabaya kwa Catherine kila siku alikua ni mtu wa kuingiliwa kimwili na wanaumwe tofauti wenye nguvu zao huku wakiendelea kurekodi mikanda ya ngono na kuirusha sehemu nyingi tofauti,

    mama yake aliyekua Tanzania Alisha mtafuta sana bila mafanikio yoyote yale na kuchoka kabisa, alitamani japo apige simu aseme jinsi gani anavyo teseka lakini ilishindikana kabisa,

    alimkumbuka Enock hakuelewa kuwa amekufa au la!. Kilasiku alikua ni mtu wakulia kwa uchungu, hakujua mwisho wake ungeishia vipi.

    Joyla mwanamke meneja katika usambazaji wa kampuni hiyo ya ngono, kila siku alikua akikenua meno yakekwa kitendo cha Catherine kumuingizia pesa nyingi kuzidi mwanamkeyoyote Yule ndani humo, mikanda yake iliuzika sana kwenye mitandao,

    Mataikuni mbali mbali walisha taka kumnunua kwa pesa nyingi lakini Joyla hakukubali hata kidogo, akiamini kuwa atapoteza pesa nyingi sana kwakitendo cha kumuuza Catherine, hata yeye hakuweza kuamini kabisa kama mambo yangekua kama hayo

    “ina bidi sasa hivi tutumie mbwa”

    Alishauri Joyla akiwa anaongea na simu ndani ya jumba hilo kubwa lenye ulinzi kila kona ya pembe, wanawake waliozoea kucheza ngono walikua wakipita mbele yake na kumuita mama.



    Catherine alikua chumbani akilia, alivyosimama alimuona mwanaume mchukua kamera anapita dirishani huku akiongea na simu hapo ndipo alipompungia mkono na kumuita.

    Ilikua ni lazima atumie akili nyingi ili aweze kuichukua simu ya mchukua kamera huyo.



    Kitendo cha mwanaume huyo kuingia alimrukia na kuanza kumshika shika kifua chake huku mikono yake ikigusa mtalimbo wake taratibu na kumtupa kitandani,

    alisha sahau kibarua cha kuchukua video sababu hata yeye kazi hiyo ilimfanya awe mvumilivu sana, kuchukua watu wanaofanya ngono alikua akiumia sana kihisia,

    leo hii aliona kwake ni bahati sana.

    Akili ya Catherine ilimtuma sehemu moja tu mifukoni mwa mwanaume huyo na kuitoa simu ndani ya mifuko ya suruali yake na kuzidi kumpagawisha ambapo alizidi kuichua koki yake.

    “Carlos!”

    Sauti ya bosi wake ndiyo iliyo mshtua alijua kukutwa ndani ya chumba hiko angekosa kazi na pengine kuuliwa kabisa,

    Alichomoka kama mkuki na kuiweka suruali yake mwilini haraka haraka na kutoka nje.

    KITU cha kwanza alichofanya kuiweka namba ya mama yake mzazi kwenye simu sababu aliijua kichwani mwake,iliiita sana bila kupokelewa ,alijaribu tena mara nyingine lakini jambo lilikua lile lile tu,

    Alipiga tena na kuzidi kuishiwa nguvu hasa baada ya simu ya mama yake kukuta haipatikani.

    Kilichomshtua tena ni simu kuita alivyoangalia namba ilikua ni namba ngeni lakini ni ya Tanzania, haraka haraka aliiweka sikioni na kutulia.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “hallo”

    Upande wa pili ulisikika wa simu na kuitambua sauti hiyo ilikua niya mama yake mzazi

    “Mama mimi Catherine, tafadhali njoo unichukue. Mama nj… si.”

    “Catherine upo wapi mwanangu siku sikii”

    “Mam.. sijui nilipo tafadh..li njoo.., UNAONGEA NA NANI?”

    Sauti ya Joyla ndiyo iliyomshtua na kumpora simu bila ya hata kusema ni wapi alipo.



    Hakua na chaguo lingine zaidi ya usiku kuzinduka na kuanza kupanga vitu vyake kimnya kimnya, alishajua kuwa Catherime yupo katika hali ya hatari na muda wowote ule angeuwawa na baba yake mzazi, alishajua ukweli sasa, hakua na sababu ya kubaki Kwa Mama Andunje alijiona tayari keshapata nafuu kabisa,

    hakuna alichowaza ndani ya kichwa chake zaidi ya kumkumbuka Catherine mwanamke ambaye alimpenda kwa dhati kuliko yoyote Yule duniani, aliamini kuwa huyo ndiye mwanamke wake sahihi tena wa maisha yake isitoshe ni yeye ndiye aliye mtoa bikira yake, walisha pitia mengi sana.

    Baada ya kumaliza kuweka kila kitu sawa alivuta karatasi na kuandika ujumbe juu yake na kuanza kunyata taratibu akitoka nje, alishika barabara kubwa na kuanza kutembea mpaka alipofikia bara bara ya lami hapo alijaribu kuomba msaada kwenye magari makubwa ya mizigo na baadae kupata usafiri wa gari kubwa la mbao linaloenda dar es salaam,



    Njia nzima alikua akimuwaza Catherine tu na wala sio vinginevyo baada yamasaa manne walikua teyari wamefika Dar es salaam.

    Kulikua teyari kumepambazuka na kutafuta moja ya bank ya CRDB hapo kimara ili kutoa pesa kidogo.

    Alichoshukuru bado alikuta pesa zake zipo vile vile, alitafuta taxi na kunyoosha mpaka Bunju B nyumbani kwa Sabrina lakini hakukuta mtu wa aina yoyote ile,

    ilibidi akae nje hapo asubiri mwenyeji wake aweze kuja.

    Baada ya dakika tano alimuona mwanamke mwenye tumbo kubwa la mimba akishuka ndani ya gari na kuliendea geti.

    “Shikamoo”

    Aliamkia Enock

    “Marahaba, nikusaidie nini?”

    “namuulizia Catherine”

    Kitendo cha kuuliza vile Sabrina aliinamisha kichwa chake chini, kupitia kitendo kile alijua kuna kitua ambacho sio cha kawaida kinachoendelea,

    moyo ulimwenda mbio sana hisia za kifo cha Catherine zilianza kupita ndani ya kichwa chake lakini hakutaka kuyapa nafasi mawazo hayo yateke akili yake.

    “nime mkuta?”

    “hapana”

    “yuuu yuko wapi?”

    “kwani wewe ni nani?”

    “naitwa Enock”

    Sabrina alimuangalia mtu aliye kua mbele yake na kukumbuka siku za nyuma alivyo ruka na kuyaokoa maisha ya Catherine, izo ndizo kumbu kumbu za haraka zilizo mjia akilini mwake kwa wakati huo na kuanza kusikitika sana.

    Ilikua ni kama ametoneshwa kidonda kilichokua ndani ya moyo wake.hakuna alicho fanya zaidi ya kumkaribisha ndani na kuanza kumuelezea kila kitu tangu alivyoanza kumtafuta Catherine bila kuficha chochote,

    pia hakuacha kumshukuru kwa kitendo cha yeye kuyaokoa maisha ya mwanae kwa kitendo cha kumrukia japokua hakua na kitu cha kumpa, halikua jambo la kawaida kwa mtu yoyote kuamua kupoteza maisha kisa mapenzi.

    “Mama nampenda sana catherine, nita hakikisha nita mtafuta mpaka pale nitakapo mpata, hata kama nikifa sawa tu”

    Alizungumza Enock akiwa mwenye hisia sana moyoni mwake.

    “ninavyo kwambia hapa leo hii kanipigia simu ila sikuweza kuongea nae vizuri”

    “unasema ukweli Mama?”

    “ndio, nilitaka nipite polisi lakini hali yangu haikuwa nzuri sana”

    “hiyo namba iko wapi?”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “hii hapa”

    Sabrina alipekua pekua simu yake na kumkabidhi Enock

    “hizi code za Uganda,, mimi nitaenda hata leo”

    “hapana mwanangu huoni ni hatari”

    “siwezi kukaa hapa lazima niende, nachokuomba usiwaambie polisi chochote kile, na hapa naomba uhame”

    “kwanini?”

    Sabrina aliuliza, na hapo ndipo Enock alianza kumueleza nia na mipango ya baba yake ya kutaka kumuuwa kabisa hata yeye habari zile aliziona ngeni kwake,

    Kabla ya kukaa sawa walihisi geti limefunguliwa Enock alisimama na kuwaona watu wawili wakiwa wamevalia miwani na makoti, hapo ndipo alipo mshika mkono Sabrina na kutoka nae mlango wanyuma taratibu sana,

    walitembea kimachale na kutoka nje mbio mbio na kulipalamia Geti.

    “nipe funguo za gari”

    Enock aliingia ndani ya gari na Sabrina kisha kutoa mbio za ajabu huku majambazi hao wakibaki kulishangaa gari hilo likitoa mbio.

    “wale ni akina nani?”

    “bila shaka ni watu wa mzee”

    “sasa itakuaje?”

    “inabidi tutafute sehemu ya kujificha”

    Enock tayari aliamua kumsaidia Sabrina mama mzazi wa Catherine dhidi ya mkono wa baba yake Mwasha ilikua ni lazima awalinde watu hao wawili akitumia jicho lake la tatu,

    Walitafuta Hotel iliyokua nje ya mji kidogo na kila mtu kutafuta chumba chake, lakini kwa Enock bado alikua na nia moja tu aanze safari ya kwenda nchini Uganda mara moja, japo hakujua ni wapi atafikia,

    Baada ya siku mbili alikua kisha kamilisha safari yake ya kukata tiketi na ilibaki siku moja tu ili safari yake iweze kuanza.

    Siku iyo ilivyofika aliwasha gari na kushoto alikaa Sabrina wakielekea uwanja wa ndege kwa ajili ya safari, katika hali ya ajabu Sabrina alianz kupiga kelele huku akishika tumbo lake kubwa lenye mimba kuashiria kuwa kivyovyote vile tayari anahitajika kuwaishwa hospitali,

    Hapo alikua na mambo mawii ya kuchagua amuwaishe hospitali Sabrina au awahi ndege ambayo zilibaki dakika kumi tu iweze kuondoka.



    Japokua kifo cha Enock kiliwasikitisha wengi mamia na maelfu ya watu hasa kwa waliomfahamu, kijana mdogo aliyekua na mafanikio makubwa hapo mjini kufa mapema ili kua ni vigumu watu kuamini,

    kuna waliosikika chini kwa chini kuwa kuna ndumba! Kuna wengine walisema alikua freemason chama kinacho tumia nguvu za giza na alimtoa mama yake mzazi kafara kisha akamfanya mke wake awe mwenda wazimu, na kukosea masharti hapo ndipo umauti ukamkuta.

    Anderson Peter rafiki yake kipenzi ndiye yeye tu aliamini kuwa moto uliotokea hapo hospitali wenda zilikua itlafu za umeme aliwa pingasana waliokua na imani potofu juu ya msiba wa Enock kila siku!.

    “Ndumba izo hakuna kitu, Enock alikua mchawi alikua mkuu wa Freemason,”

    Ilisikia sauti ya kijana mmoja siku iyo katika kilabu cha pombe

    “kwanini watu wanakua wanamkosea Mungu, kamtoa mama yake kafara, kamgeuzia mke wake awe chizi, maskini watu wana laana sana!”

    Ivyo ndivyo wengi walivyofikiria juu ya mambo yaliyo tokea, kila mtu aliyekua akipewa historia hiyo fupi nakuunga unga matukio basi huamini asilimia mia moja kabisa.

    Hakuelewa kuwa Siri kubwa aliibeba Zahara peke yake juu ya uchizi wa Heather mpaka kifo cha Mama Enock hakutaka kuongea chochote kile,

    hakutaka kuthubutu kufungua kinywa chake kuzungumza kitu cha aina yoyote ile kuhusiana na mambo yaliyo tokea hapo nyuma yake,

    Heather Alisha kuwa mwenda wazimu yupo milembe na wodi ya vichaa, ndugu zake wakiwa teyari wametaifisha nyumba ya Enock na kujimilikisha magari yote ya kifahari,

    “Alafu hili gari tuuze au?”

    Aliuliza Sakina mdogo wake Heather siku iyo usiku

    “uuze lako, alafu nakushangaa sana Dada Sakina mali izi zote sio zako ni za Dada Heather, hata kama ana hali ile sio vizuri”

    “wewe una jua nini kaa kimnya, sasa unafikiri atapona tena”

    “hata kama, na usinishirikishe wala nini”

    “poa utajijua”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hayo ndiyo yalikua mabishano baina ya watu hao wawili kila kukicha wakitaka kuuza mali, walishauza shamba moja la Enock la mpunga Kilosa, Morogoro na kuanza kuuza sasa baadhi ya hisa za kampuni ya Nissan chini kwa chini. Hayo ndiyo yalikua yakiendelea.

    **

    Aliona ni bora amuwaishe Sabrina Hospitali wala sio vinginevyo, roho ya huruma ilimuingia hapo hapo, alizungusha usukani na kunyoosha mpaka hospitali ya hapo karibu,

    Kitendo cha kufika tu alimchukua Sabrina na kumkokota mpaka ndani hospitali, ambapo alipelekwa na wauguzi na moja kwa moja kumuwaisha ndani wodi ya wamama wajawazito madaktari wote sasa walikua bize kumshughulikia.

    Alivyoangalia saa yake ya mkononi alikua kasha chelewa teyari hakua na jinsi zaidi ya kutulia na kughaili safari siku iyo,



    Alikaa juu ya benchi ili asubiri nini kitaendelea. Mwanaume mmoja aliye valia kotijeupe la kidaktari alimuita na kuanza kuongozana wote ofisini yeye nyuma daktari mbele mpaka ofisini kwake na kuketi pembeni ya kiti, ili kusubiri nini daktari huyo angesema kwa wakati huo.



    “amejifungua salama bila matatizo yoyote yale, unaweza kwenda kumuona”

    Hilo jibu moja tu lili mfanya asimame na kunyoosha mpaka wodi ya wanawake waliojifungua na kuketi pembeni mwa Sabrina ambaye alionekana kuchoka sana akiwa ameshika kichanga mikononi mwake.

    Enock ndani ya moyo wake alitamani kuuliza ni nani baba wa mtoto huyo, lakini aliona hilo yeye alimuhusu kabisa, alimpa pongezi za dhati kwa kujifungua mtoto wa kiume mwenye afya.

    “Ahsante sana, unaonekana ni kijana mkarimu”

    Alizungumza Sabrina akimshukuru sana Enock japo walizoeana kwa siku chache lakini alishajua tabia za kijana huyo ambaye aliokoa maisha ya mwanae kipindi cha nyuma kilichopita.



    Baada ya kumpa pongezi ilibidi tu amkumbushie kuwa bado anasafari ya kuondoka kesho asubuhi sana mpaka Uganda ili aweze kumuokoa Catherine mwanamke anaye mpenda kuliko mtu yoyote Yule chini ya jua la Mungu!.

    Alitafuta Hotel huku akiandaa mipango ya tiketi siku inayofuata, alipata ndege ya asubuhi na kumfanya afurahi sana,

    Hakuona jambo la busara kuondoka bila ya kumuona Sabrina hospitalini na kumuaga Mama huyo.

    “Nakutakia safari njema huko uendako”

    “sawa Mama ubaki salama, naomba nikirudi na Catherine nifunge nae ndoa!”

    “mimi sina kipangamizi kila la kheri mwanangu!”

    Baada ya kujiridhisha na majibu hayo aliweka begi lake dogo mgongoni na kuanza kuondoka, alitafuta taxi mpaka uwanja wa ndege na baada ya muda mchache alikua ndani ya shirika la ndege la AIRUGANDA,

    ilitembea angani kwa masaa Manne na kutua uwanja mkubwa wa Entebbe nchini Uganda na kushuka taratibu ngazi huku akizidi kushangaa,

    Ki ukweli hakua mwenyeji wa nchi hiyo lakini alisha weka nia ndani ya moyo wake kwa gharama yoyote ile ni lazima arudi na Catherine nchini Tanzania na waweze kufunga ndoa,

    Alimpenda sana Catherine ndani ya moyo wake aliwaza vitu vingi sana akiwa nje katika maegesho ya magari.

    “Jebalekoo sebbo?”(habari yako muheshimiwa?”)

    Sauti ya kiume dereva taxi ndiyo iliyo mshtua akiwa ameduwaa asielewe nini cha kufanya.

    “I don’t speak your language(siongei lugha yenu)”

    “sawa habari!”

    “nzuri tu”

    “taxi ipo hapa, kwa mubei ya muzuri sana sema twende”

    “nipeleke hotel nzuri”

    “sawa twende ingia twende”

    Enock aliingia mlango wa nyuma na begi lake mgongoni huku dereva huyo akiwa anamchangamkia sana akimuongelesha na kumuuliza maswali ya hapa na pale akijaribu kumzoea mpaka walipofika jiji la kampala hotel ya nyota tano iliyoitwa Serena na gari kuingia kwenye maegesho maalumu.

    Alimpatia dereva pesa yake na kuingia mapokezi

    “for how long are you going to stay?( unatakaa kwa kipindi gani)?”

    Alihoji dada wa mapokezi

    “actually I don’t know,!probably two to three days(ki ukweli sijajua, ni kama siku mbili mpaka tatu)”

    Baada ya kutajiwa malipo Enock alipewa funguo zake na kuingia ndani ya lift kisha kubonyeza namba ukutani na lift kuanza kupanda juu,

    Ilivyo fika gorofa ya saba lift ilijifungua na mwanaume mwenye ndevu kiasi mfupi wa wastani mweupe kuingia huku akiwa anaongea na simu kwa Kiswahili fasaha kabisa.

    “ndio, hata sielewi itakuaje, ila nishajua pa kuanzia ndio ndio, nitakucheki mida basi!”

    Enock alizidi kumtizama mwanaume huyo kwa umakini na baada ya lift kujifungua alitoka nje na kumuacha ndani,CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya kufika namba ya lift aliyobonyeza ilijifungua na kutoka nje na kuanza kutafuta chumba chake,

    baadae alivyo kipata aliingia na moja kwa moja kujitupa kitandani akiwa na mawazo mengi kichwani mwake.

    Aliwaza juu ya ndoa kubwa na sherehe kubwa atakayo fanya na Catherine siku chache atakapo mpata, licha ya kuwaza yote hayo ilikua ni lazima afanye jambo juu ya baba yake mzazi,

    Alisha mchukia sana, aliwaza vitu vingi vilivyo pita katika maisha yake na kujiona kama anaota ndoto, ni kweli alipitia mambo mengi yaliyokua kama historia kwake tena iliyo bidi iandikwe au kuaktiwa na wasanii hodari kama Juan Miguel wa kwenye tamthilia ya DON’T MESS WITH AN ANGEL ,

    Usiku kucha hakupata hata lepe la usingizi, sura ya Catherine ndiyo ilikua imetawala mbele yake alitamani wawe wote kitandani hapo wakiongea na kucheka pamoja kama walivyo fanya hapo nyuma,

    Alichukua mudakidogo na kumkumbuka mama yake mzazi Josephine ambaye alikua tayari amefukiwa mavumbini ametangulia mbele ya haki,

    na aliye katisha maisha yake alikua ni Heather Mke wake na sasa hivi amewehuka na akili zake,

    Aliwaza jinsi miaka ya nyuma walivyokua wakiishi vizuri na Wazazi wake wakiwa wenye furaha sana, lakini sasa hivi mambo yalibadilika kabisa, mambo yalikua juu chini chini juu.

    Usingizi mkali sana ulimchukua hapo hapo baada ya kuwaza mambo hayo yote usiku huo.

    Alikurupuka asubuhi na kuingia ndani ya lift ili aende kula asubuhi yake.

    Aliagiza chakula na kuanza kula ila kwa mbali alimuona mwanaume aliye kua anaongea Kiswahili usiku wa jana ndani ya lift, aliamini kuwa huyo ndiye atakae kuwa mwenyeji wake,

    Alisimama na kwenda kwenye meza aliyokua mwanaume huyo.

    “Ndugu habari?”

    Enock alisalimia.

    “safi tu,za kwako?”

    “salama, Wewe ni Mkenya au Tanzania?”

    Alizidi kuhoji Enock

    “TANZANIA, natokea Tanzania”

    “hata mimi!, naitwa Enock”

    “Kway,!”

    “upo huku kwa muda gani”?

    Alizidi kudadisi Enock

    “muda kidogo,wewe je?”

    “nimeingia tu jana hapa”

    “okay sawa, wacha niwahi kuna sehemu nawahi, tutakuja tuzungumze, nipo chumba namba 105”

    “ahsante sana”

    Enock alitabasamu sana kupata mwenyeji wake ambaye angeweza kumtembeza maeneo tofauti ya huko hakuelewa kuwa wapo safari moja ya kuwatafuta watu waliopotea siku nyingi zilizo pita!.

    ***



    “Hodi ndugu nimekuja”

    “karibu karibu sana, pita ndani Enock!”

    Alijibu Kway usiku huo na kumkaribisha Enock chumbani, hakua na sababu ya kumuwekea mashaka ilibidi tu wazoeane sababu walitokea nchi moja Tanzania,

    waliulizana maswali mengi tofauti ya hapa na pale, Kisha baadae Enock kuamua kusema jambo lililo mleta Uganda na kutoa picha ya Catherine mfukoni mwake na kumuonesha Kway.

    Picha ile aliichukua na kuitizama kwa karibu sana na kumtizama mwanaume Enock aliye kua anaongea kwa hisia zote juu ya mwanamke huyo Catherine.,

    kumbu kumbu zake zilianza kurudi nyuma na kukumbuka sikuambayo Catherie alikua Hospitali akisema kuwa Enock ndiye aliye fanya mpaka atake kujiua,

    Alizidi kuvuta vitu vingi sana juu ya Enock aliye kua ameketi juu ya sofa akizidi kubwabwaja maneno mengi juu ya mapenzi aliyokua nayo juu ya mwanamke huyo.

    Kway alishusha Pumzi ndefu na kukuna kichwa chake kidogo.

    “Catherine Ramsey Kidhirwa, namfahamu sana”

    Alijibu Kway na kumfanya Enock akae vizuri akiyatoa macho yake makubwa na kukaa sawa juu ya sofa baada ya kusikia habari hizo mpya kwake!.



    Catherine Ramsey msichana mrembo anayetikisa jijini Dar es salaam ameshatekwa tayari yupo Nchini Uganda ana chezeshwa filamu chafu za Ngono, wana mtishia kumuuwa pale atakapo kataa kuonesha ushirikiano kutokana na uzuri usiokua na mfano aliokua nao, hakua na jinsi zaidi ya kukubali ili tu aweze kunusuru maisha yake kwani aliamini kuishi ni mara moja. Enock ana zinduka kitandani na kupewa taarifa hizo mbaya za kupotelewa na mwanamke aliyempenda, baada ya kufanya uchunguzi anagundua kua yupo nchini Uganda anaamua kufunga safari moja kwa moja Mpaka Uganda ili tu kumuokoa mwanamke catherine, aliyekiri kuwa ndiye atakae kuja kumzalia watoto hapo baadae.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    SONGA NAYO.

    Mvua kubwa sana ambayo haikuwahi kunyesha miaka mingi iliyopita sasa ilinyesha siku tatu mfululizo bila kuacha ikiambatana na radi kubwa sana, watu walipelekwa na maji mamia na maelfu ya watu walipoteza maisha yao pamoja na mali nyingi sana zilisombwa na mafuriko.

    Usafiri wanchi kavu ulikua shida mno hakukua na usafiri wa aina yoyote ile kila raia waNchi hiyo ya Uganda alishindwa kutoka nje kutokana na mafuriko hayo yaliyokua hayana mfano wake!.

    “sisi tumekwama hapa”

    “Mmefika wapi?”

    “tuna karibia Gatuna mpakani! kuna mafuriko sana, njia hazipitiki, kuna daraja limevunjika”

    “tafuteni hoteli mlale”

    Larry dereva aliyekua akiendesha Landcruiser mkonga mvua hiyo kubwa ilimkuta njiani, akishuhudia magari mengine yakisombwa na maji na kupinduka, hofu ili mtanda na kuamua kumpigia simu Bosi wake Joyla ili wajue nini cha kufanya.



    Walishaamua kumuuza Catherine Ramsey kwa pesa nyingi sana na sasa hivi walikua njiani wakipitia njia boda ya Congo ili wakutane na tajiri mkubwa sana wa Kigerman Karl Martin hapo Kinshasa, ili wamkabidhi Catherine ,

    Mvua peke yake ndiyo iliyo leta kikwazo na kufanya gari hilo litembee mwendo wa kinyonga, mambo yote hayo yanatokea Catherine hakua anaelewa kitu chochote kile alichomwa sindano kali sana ya madawa ya usingizi na kulala kwenye viti vya nyuma, alikua ni kama aliyekufa hajui kinachoendelea,

    Hakua anaelewa ni wapi anaenda hakuelewa kuwa tayari kasha uzwa na siku chache atakua nchini German. Baada ya kusimama masaa mawili Dereva anapata ufumbuzi wa njia nyingine japo ilikua na mafuriko lakini alizidi kusonga mbele ivyo ivyo akizidi kushuhudia jinsi magari yanavyosombwa na maji yakielea juu juu,

    ilikua nil lazima amfikishe Catherine Kinshasa na hiyo ndiyo ilikua kazi kubwa aliyokua nayo. Kwa mwendo wa kobe alifanikiwa kufika boda ya Gatuna, hapo hawa kuwa na shida yoyote ile na maaskari wa hapo kutokana na walisha fanya mawasiliano juu ya ujio wake,

    walipita bila wasiwasi na kuingia Rwanda usiku kucha gari lilizidi kuchanja Mbunga kutokana na hali kuwa shwari kabisa mpaka mjini Kigali walifika salama salmin!,

    Jioni ya saa kumi na moja walifika boda ya Ruzizi na kusimamishwa na askari kwa ajili ya ukaguzi hapo mpakani.

    “Naomba niongee na Hafsa Kaijage”

    Alisema Larry dereva baada ya kuona askari huyo anamuwekea mashaka juu ya msichana catherine aliyekua amelala viti vya nyuma.

    Mkuu wa kikosi cha ulinzi hao boda alikuja baada ya kuitwa.

    “nime tumwa na Don Mullosi, huu hapa mzigo wako”

    Baasha ya kaki ilitolewa na askari huyo kupewa hongo ili tu aruhusu gari hiyo ipite, Don Mulllosi alijulikana kote hakuna mtu aliyeweza kuigusa gari yake,walijua kufanya ivyo wange poteza vibarua vyao, walijua ni kiasi gani alikua na pesa za kutisha.

    “Bimaa! Bimaa!(nenda nenda)”

    Aliamuru Hafsa wa polisi

    “Merci”(shukrani)

    Gari taratibu lilianza kuondoka lakini kabla ya kufika mbele askari wengine walikuja na kulizunguka gari hilo wakiwa na mitutu mikononi mwao na kufanya dereva huyo hofu izidi kumtanda alisimama na kusubiri nini kinge fuata,

    hofu na mashaka moja kwa moja vilitua juu ya Catherine alijua hapo ndipo angepewa kesi ya utekaji nyara, hakujua afanye nini.

    “weka gari kando saa hii”

    Aliamuru askari mmoja mfupi wa kikongo na gari kuwekwa pembeni.

    “kuna shida gani afande?”

    “una kwenda fasi gani?”

    “Kinshasaa,Gombe, kuna problema?”

    “hurusiwi kutembea saa hii ina kubidi ulale hapa, huko hali ya hewa haiko shwari.”

    “nina haraka afande, embu pata hizi mkanywe supu”

    Ilibidi tu atoe hongo nyingine hapo mpakani na kuruhusiwa apite,licha ya kuchukua pesa zake lakini walimsisitiza kuwa kuna mvua kubwa sana huko anapoenda, lakini ili bidi asonge mbele.

    Alisha tembeza gari takribani masaa matatu njiani na kuamua kwenda kujaza mafuta na kutafuta chakula .

    “huko njia habiko bien, ni mubaya saana,”

    Mjaza mafuta alisema.

    “ni mbaya sana?”

    Nayeye aliuliza tena

    “haifai kabisa”

    Alipuuzia na kupiga gia na kuondoka, huyo ni mtu wa nne sasa kumwambia habari izo za bara bara kuwa mbovu.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “tu..naenda wapi?”

    Sauti ya Catherine ndiyo iliyomshtua baada ya kutoka usingizini, alichofanya bila kujibu chochote alimdunga sindano ya usingizi nyingine na kuzidi kusonga mbele, kila alivyozidi kusonga mbele kiza nene lilizidi na wingu zito kuonekana,

    baada ya sekunde chache mvua kubwa ilianza kunyesha iliyo ambatana na radi kali usiku huo, hakutaka kusimamisha gari alizidi kusonga mbele alikua amebakiza masaa manne tu aufikie mji mkuu wa Kongo Kinshasa hiyo ili mpa moyo sana.

    Upepo mkali sana ulizidi kuvuma kuelekea upande wa magharibi ya kaskazini na kufanya kitu kama kimbunga, vitu vilianza kuchukuliwa na maji.

    Katika hali ya kushangaza alihisi kitu kizito kime piga gari upande wa kushoto alivyo geuka nyuma aliona mti mkubwa uliodondoka na kufanya gari izidi kuhama bara barani,

    kila alipojaribu kucheza na usukani kushindana na hali hiyo hakuweza, ilibidi tu anusuru maisha yake na kujitosa nje huku akimuacha Catherine ndani ya gari hana fahamu na kushuhudia gari ikipelekwa na maji na kutumbukia kwenye maporomoko ya maji yaendayo kasi sana.



    ***

    “mi naona imeshindikana bratha Kway, bado anazingua huyo Demu na muda umekwenda”

    “tunafanyaje sasa?”

    “tutumie njia m-badala”

    “kama ipi”?

    “tutumie mabavu tu, sababu ukweli nisha jua mwanao pamoja na Catherine wapo kwenye hiyo nyumba”

    “sawa!...mabavu kivipi?”

    “tuvamie tu, hakuna njia nyingine, ile nyumba ina lindwa sana”

    “kumbuka tupo katika nchi ya Watu”

    “hata kama, hata kama lazima tuwaokoe Natu na Catherine tena leo hii”

    Maneno aliyokua akiongea Enock hayakuwa na mzaha ndani yake, kway hakua na namna yoyote ya kumzuia hata kidogo aliongea akimaanisha sana.

    Mipango waliyopana ya kumlaghai mwanamke Joyla ambayo walipanga Enock amuendee na kumtongoza na wawe wapenzi kisha baadae aweze kujua siri viligonga mwamba baada ya mwanamke huyo kuonekana bado mgumu,

    sasa waliamua kutumia mabavu tu ni baada ya kujua teyari nyumba anayo ishi mwanamke huyo mwenye dangulo yeye na mume wake Mullosi mwenye uraia wa Jamaica ipo Namugongo.

    Wanaume hao wawili kila mtu aliyekua na maumivu yake moyoni walitoka nje na kwenda mjini kampala kununua silaha kama mapanga, visu, suluu na plies hawa kuwa na uhakika kwamba silaha hizo zingefanya kazi.

    “ninge kuwa na bastola yangu ingekua rahisi sana”

    Alizungumza kway wakiwa kwenye moja ya mgahawa wakila chakula baada ya kufanya manunuzi ya silaha izo.

    “iko wapi kwani?”

    “nimeiacha Mwalimu Nyerere!”

    Walikula chakula ila ghafla mvua ilianza kunyesha kali sana na radi kupiga na kufanya hofu kutanda, kitendo cha dakika mbili kilifanya maji yaanze kujaa.

    “sasa tuna fanyaje blazza kway?”

    Alihoji Enock kwa sauti ya Juu

    “si unaona kuna mvua tufanye kesho”

    “hapana haiwezekani, leo hii lazima tuka waokoe”

    “sasa tutaendaje?”

    Kway aliuliza!

    Wote walitoka nje nakuona ni jinsi gani magari tayari yalianza kusombwa na maji ilikua ni mvua kubwa hatari,

    yenye nguvu na maajabu vile vile, hata wao walishindwa kuelewa na kufikiria nini cha kufanya,

    Baadaye walikua teyari wameshapata jibu kamili kuwa watafute helikopta ya kukodi ili waweze kufanya uvamizi, waliona bora wafanye ivyo. Ili kua ni lazmia waende Entebbe nje ya mji wa KAMPALA na huko ndipo wata pata helikopta ya kukodi.

    Kwa bahati nzuri walipata usafiri wa gari kubwa na kuingia, mpaka usiku unafika walikua bado njiani kutokana na mvua hiyo kubwa sana iliyo sababisha maafa.

    Walifika moja kwa moja na kuonana na mkurugenzi wa usafiri huo wa kukodi Kanyika Amoti japo kwa mara ya kwanza aliweka mgomo.

    “sawa ni milioni moja kwa saa!, mutatumia muda gani?”

    Alihoji mkurugenzi huyo

    “masaa kama matano,”

    “sawa milioni tano”

    “BARCLAYS bank ipo wapi?”

    “ipo hapo nyuma”

    Kwa siku iyo waliweza kutoa milioni mbili peke yake ambayo kway nayeye alichangia, hawakuweza kutoa pesa izo zote kwa mkupuo kwenye mashine,CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Walitoa nusu ya malipo nakupewa dereva, baadaye walikua wapo angani helikopta ikipiga kelele huku ikizungusha mapanga boi yake kuelekea Namugongo,

    bado mvua ili kua kubwa sana, walitoa maelekezo wakimuelekeza dereva huyo mpaka Helikopta hiyo ilivyotua juu ya gorofa ya nyumba hiyo.

    Sababu ya mvua nyingi sana haikua raisi kusikia mlio wa helikopta ikipiga kelele zake!

    Walishuka wakiwa na silaha zao mikononi na kuingia mpaka ndani ya nyumba hiyo kubwa sana kimnya kimnya kama makomandoo,

    harakaharaka walifungua kila chumba na kukosa watu wanaowatafuta Catherine na Natu,Enock alimvaa mmoja wa kijana aliyekua lindo na kumuwekea kisu shingoni. Kwa uwoga ilibidi asonte kidole mlango unaofuata na ndo hapo walipoupiga teke na kukuta wanawake kwa watoto wengi wakiwa ndani!.

    Kila mtu alipiga jicho kumtafuta mtu wake.

    “Daa….d(baba)”

    Sauti ya mtoto mdogo ndiyo iliyosikika na Natu kutokeza alimrukia baba yake na kuanza kulia machozi. Kway alilia japo hakujua ni kwanini alilia machozi hayo yaliyokua yaki mbubujika machoni mwake na kulowanisha mashavu yake kwa kumpata mwanae ambaye aliamini Alisha kufa tayari na walisha fanya mazishi.

    “Catherine, Catherine, Catherine”

    Aliita Enock akiwa bado anamtafuta Catherine ni wapi alipo aliwapangua pangua wanawake waliokua hapo bila kumuona mwanamke huyo aliye mpenda sana na kumfanya afunge safari yake kutoka Tanzania mpaka hapo Uganda.

    “Da..d dada Catherine hayupo humu!”

    Alizungumza Natu.

    “yuko wapi”?

    “wameondoka nae jana Dad,”

    “Wapi?”

    Alidakia Enock kabla ya kway kusema lolote!

    “sijui ni wapi , ila nilisikia neno Kinshasa”

    Japo Natu alikua ni mtoto lakini aliweza kutoa maelezo yaliyonyooka.

    Haraka haraka walianza tena kutoka nje bado walikua na safari ndefu ya kumtafuta Catherine walipanda ngazi na kukuta Helikopta inazungusha mapanga boi yake,

    Derevaakiwa tayari kuuinua ili ipae angani,

    Walimuingiza Natu na Enock kufuatia kabla Kway hajaingia zilianza kusikika risasi kutokea upande wa nyuma, Dereva hakua na chaguo lingine zaidi ya kuinua helikopta nakupaa angani ,

    hapo ndipo walinzi walipoanza kuishambulia Helikopta hiyo na risasi upande wa nyuma ya injini. ilianza kutoa moshi mzito haikuchukua dakika hata tatu ilipoteza uelekeo na kulipuka vipande vipande na kusababisha Moto mkali sana.

    “Natuuuuuuuuuuuuu!”

    Kway alipiga kelele nyingi baadaya kushuhudia Helikopta aliyo kuwemo Enock na Natu imelipuka na moto baada ya kusha mbuliwa na risasi na walinzi hao na hapo ndipo watu wenye ngozi nyeusi walipomfuata na kumzunguka wakiwa na mitutu Mikononi mwao na hasira nyingi usoni mwao.



    Mafuriko ya Maji ndiyo yalimzindua kutoka katika usingizi mzito na wala sio kitu kingine!, hakuelewa ni wapi alipo ila alikua ndani ya gari bado likielea juu juu,

    maji yalikua tayari yamejaa ndani ya gari, kumbu kumbu za haraka haraka zilianza kumjia na kukumbuka kuwa alikua yupo ndani ya gari wanasafiri barabarani na baada ya kuzinduka alichomwa sindano na kutojua kilichoendelea kuanzia hapo.

    Jambo alilofanya ni kuhangaika kutoka ndani ya gari akijaribu kufungua mlango, maji yaliyomzidi kimo yalizidi kumsonga na kumzidi nguvu,

    alibana pumzi zake na kuyafumbua macho yake akijaribu kuufungua mlango, alivyoibua kichwa chake aliona ni jinsi gani maji yalivyokua yanaenda kasi na mbele yake kulikua kuna maporomoko, ilikua ni lazima afungue mlango huo na kutoka nje vinginevyo angepoteza maisha yake humo ndani ya gari.

    Alihesabu mpaka tatu na kuzamisha tena kichwa chake chini akijaribu kupapasa papasa kitasa, bahati nzuri aliweza kukiona na kwa nguvu zake zote alifungua mlango na kutoka nje huku akianza kuogelea taratibu.

    Haikupita hata sekunde mbili maji yalimpeleka mpaka kwenye maporomoko na kumrusha hakua na jinsi ya kufanya zaidi ya kumkumbuka mwalimu wake wa St, Marrys Jonas, alivyomfundisha kucheza na maji, alisimama wima na kuibana miguu yake na mikono pia akiwa amenyooka kama mti na kuyafumba macho yake.

    Na kujikuta amejikita ndani ya maji mpaka chini kisha kuibuka juu akitoa kichwa chake akiangalia jinsi ya kutoka nchi kavu, CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    alijitahidi kuogelea akitafuta atoke nchi kavu lakini hakuweza na maji kuzidi kumshinda nguvu,maji yaliyo kua yanazunguka kwa nguvu sana hakuweza kushindana nayo na taratibu kuanza kunywa maji, hapo ndipo alipo jua kuwa masaa machache anaenda kufa,

    licha ya kuishiwa nguvu hakutaka kufa bado alijipa moyo kuwa atapata sehemu ili anusuru roho yake, kwa mbali aliona gogo la mti na kuanza kuogelea kulifuata.

    Alipo lifikia aliweka kichwa chake juu ya gogo hilo aliloamini kuwa ndilo litakua msaada pekee kwake!

    Akiwa anatetemeka sana huku meno yake yakiwa yanagongana kutokana na baridi kali, alizidi kusogea mbele na gogo hilo,

    harufu kali sana za maiti ndizo zilimuumiza pua zake, aliona miili ya watu ikipelekwa na maji na kumfanya azidi kuogopa, bado mvua ilizidi kunyesha usiku huo bila kuacha.

    Matumaini ya kupona yalipotea baada ya maji makali kulipiga gogo la mti ambalo aliweka kichwa na mikono yake kwa juu na kufanya lihame, hapo ndipo maji yaliyokua yana zunguka yalianza kumzungusha aliibuka mara moja! Mara ya pili. Ya tatu! Alikua teyari kasha ishiwa nguvu zake kabisa,

    Hakuna alicho subiri zaidi ya umauti kumkuta alimkumbuka Mama yake mzazi, alimkumbuka Enock na vitu vingi vilivyotokea katika maisha yake.

    “Ehh Mungu!, naomba unisamehe dhambi zangu zote kabla hujaichukua roho yangu na kuungana na Baba yangu huko alipo”

    Alisema maneno hayo ndani ya moyo wake huku akizidi kunywa maji hayo na taratibu kuanza kumpeleka,

    miguu na mikono yake vyote vilishindwa kufanya kazi kabisa. Umauti tu ndio kitu pekee alichojua kinachofuata baada tu ya muda mfupi ujao, giza nene lilianza kutanda juu ya macho yake na mapigo yake ya moyo kumwenda taratibu sana huku akizidi kuzama chini ya maji baada ya kunywa maji mengi na kujaa kwenye mapafu yake!,

    yalimfanya awe mzito hapo ndipo macho yake yalipo funga na giza nene kutawala mbele yake baada ya kuteseka sana na kukosa pumzi pia!



    ***

    “Noo msimuuwe!”

    Kauli ya mwanamke huyo ndiyo pekee iliowazuia watu hao weusi wenye hasira kushusha mitutu yao chini na hapo ndipo Kway alipokua ameponea chupchup!

    akiwa amepiga magoti huku bado mvua inanyesha, walimchukua na kuingia nae ndani ya nyumba hiyo kisha kumfungia ndani ya chumba kidogo,

    Bado alikua na machungu baada ya mtoto wake Natu pamoja na Enock kulipuka ndani ya helikopta, aliona kuja Uganda alifanya kazi bure ni bora angebaki, alishampata tayari mtoto wake mikononi mwake na kuuwawa mbele ya macho yake,

    alibaki akijilaumu sana, akiwa amefungwa juu ya kiti mikono yake ikiwa kwenye kamba kwa nyuma.

    Alitulia kidogo baada ya chumba kufunguliwa na mwanamke mwenye macho makubwa kuingia.

    “Joyla, nini unafanya?”

    Aliuliza kway akiwa katika maumivu moyoni.

    “ha ha ha ha Dear X Kway, nilikupenda sana wewe mwanaume, nilikupenda sana, alafu nilikua sijui kuwa ulimfuata mtoto wako, lakini pole sana, vipi mkeo hajambo?, nilivyosikia unaoa nilitaka nije kwenye harusi yako ila nilishindwa”

    “Joyla naomba niache niende”

    “hapana huwezi kwenda popote pale”

    Taratibu mwanamke huyo aliye kua anajiamini alisogea midomoni mwa Kway na kuanza kumnyonya mdomo wake.

    “bado nakumbuka mengi tuliyo yafanya Kway, namkumbuka Marehemu Ramsey rafiki yako, juzi ndipo niligundua kuwa Catherine ni mtoto wake, lakini kabla sijakuua naomba nikwambie ukweli, nilisha toa mimba zako tatu,”

    Aliongea kwa majigambo huku akitembea tembea huku na kule kwa dharau na kebehi sana. Mwanaume aliyekua juu ya kiti walikua wapenzi kipindi cha nyuma kilicho pita lakini sasa hivi hakua na mapenzi nae tena ilikua ni lazima amuuwe tu na ndo hiko kilikua ndani ya moyo wake.

    “Fuc** you Joyla!,Fuc** you once again fuc*** you I said!”

    Kway aliongea kwa hasira sana akitukana! na kutamani kutoka juu ya kiti alichowekwa sababu aliongea huku akijaribu kusimama lakini alishindwa, hasira tayari zilisha mtawala na misuli ya kichwani kumsimama

    “unasema?”

    Alihoji Joyla

    “Fuc** you”

    Pale pale alipokea kofi kali sana la shavu na kumfanya adondoke chini mzima mzima kama gogo na kiti alicho fungwa,

    Joyla alitembea mpaka nje na kurudi akiwa na bastola mikononi mwake hapo ndipo alipo ikoki na kumuwekea kway usawa wa kichwa bila kuuliza chochote alifyaatua,

    Lakini katika hali ya kushangaza akiwa chini kwenye kamba zake baada ya risasi hiyo kusikika hakusikia maumivu yoyote yale na kushindwa kuelewa nani aliye pigwa na risasi, alivyofumbua macho yake alimuona Joyla yupo chini. Amedondoka chali!.

    **

    “usiondoe Helkopta, si unaona kuna mtu bado hajaingia, acha upumbavu!”

    “hapana siwezi tuta kufa”

    “nimesema tumsubiri”

    “hapana wewe niue tu”

    Dereva wa helkopta japo aliwekewa kisu shingoni mwake, hakutaka kubaki chini baada ya kuona wana shambuliwa na risasi kutoka kwa walinzi,

    Natu alilia sana baada ya kuona wana muacha baba yake chini hakukua na jinsi tena ya kurudi sababu ya walinzi kuanza kuwa wengi na kuishambulia Helkopta hiyo, ambapo baada ya sekunde nne ilianza kutoa mlio kuashiria kuwa injini ina matatizo ivyo kuna mawili tu ilibidi yafanyike,

    waruke nje au watue chini na helikopta, japo wazo la pili hawakudhani kama lingefaa hapo ndipo Enock bila kujifikiria alimshika Natu vizuri na kuruka nje huku nyuma akiacha mlipuko mkubwa wa helkopta,

    Walitua mpaka juu ya maji na kumuweka Natu vizuri mgongoni mwake na kuanza kupiga mbizi mpaka alipo fika sehemu salama.

    “Natu naomba nisikilize, wewe ni mtoto mzuri sana, naomba unisubiri hapa sawa, usitoke naenda kumchukua baba yako”

    Alizungumza Enock na kumuweka Natu sehemu ambayo haitoweza kuingia maji ili yeye arudi mwenyewe kwenda kumuokoa Kway.

    Alivyo maliza hayo yote alijitosa ndani ya maji na kuanza kupiga mbizi mpaka ndani ya nyumba hiyo kubwa na kumkuta mlinzi getini alimvuta na kumkaba shingo kisha kuchukua silaha yake, na ndo hapo alipoanza kuwa uwa walinzi wote mpaka kuingia chumba alichokua ame fungwa Kway na kumkuta Joyla kashika bastola mkononi,CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kabla ya kufyatua bastola yake alimpiga teke na kumfanya Adondoke chini.

    “bratha Kway, upo salama?”

    Aliuliza Enock akiwa na bastola yake mkononi

    “nipo salama”

    Jibu hilo lilimfanya amgeukie Joyla na kumpiga teke la tumbo bila huruma, Alisha changanyikiwa tayari alicho taka kujua kwa wakati huo ni wapi Catherine alipo na wala sio kitu kingine, alizidi kumpiga mateke na kumsimamisha mpaka ukutani.

    “paaaaaaaa”

    Bila huruma alimfyatua bastola ya mguu pale pale na kufanya Joyla atoe siri zote.

    ***

    Watu walizidi kusombwa na maji na hali kuwa tete, ilibidi tu jeshi la polisi watumie maboti maalumu ili kuokoa maisha ya watu, hapo ndipo walianza kutembeza boti zao huku wakitafuta watu usiku huo huo wakiwa na tochi kubwa sana, walizidi kupiga patro na kufanikiwa kuokoa baadhi ya watu.

    “jamani sio mtu Yule!?”

    Aliuliza Askari mmoja wao huku akiwashtua wenzake wote walipiga tochi zao na kuona mtu kwa mbali, walianza kupeleka boti zao, ila walipo fika mahali walipo muona walishangaa kutokumuona tena.

    “si alikua hii fasi?”

    “ndio!”

    “sasa amekwenda wapi?”

    “embu tusubiri”

    Walizidi kupiga tochi zao huku na kule walivyoangaza ndani ya maji waliweza kumuona Catherine akiwa taratibu anazama chini ya maji, hapo ndipo mmoja wa askari alipojitosa na kuingia mpaka ndani ya maji,

    Baada ya sekunde kadhaa aliibuka nae akiwa amemshika kiunoni walisaidiana mpaka kumuingiza ndani ya boti hio HUKU WAKIMUONEA HURUMA jinsi alivyo kua na hali mbaya sana ameya fumba macho yake,

    hakuna walichofanya zaidi ya kuanza kumpa huduma ya kwanza wakimkamua maji yaliyokua yamejaa tumboni mwake., waliendelea kusaka watu. mpaka kunakucha waliweza kuokoa idadi ya watu hamsini na mbili huku watu themanini wakiwa teyari wamepoteza maisha yao baada ya kufamaji.

    Kulivyokucha asubuhi walimuwaisha Catherine Hospitali sababu ndiye yeye peke yake alionekana kuwa na hali mbaya kuliko wenzake wote, moja kwa moja aliingizwa chumba cha wagonjwa maututi na matitabu kuanza harakaharaka!,

    Baada ya siku mbili hali yake ilizidi kuwa nzuri sana,



    “hali yako iko aye, uko bien”?

    Sauti hiyo ndiyo iliyo mfanya ayafumbue macho yake sababu aliitambua sana haikua ngeni katika masikio yake, aligeuza shingo yake na kumtizama mwanamke aliye kua amefunga tenge kubwa akiwa pembeni ya kitanda ana muangalia mgonjwa mwingine!.

    “Anti Julia?”

    Aliita Catherine baada ya kumuona mwanamke huyo pembeni yake!



    Alikua ni MWENYE furaha muda wote usoni mwake mpaka ndani kabisa ya moyo wake, lakini kilicho mchanganya zaidi ni kuhusu baba wa mtoto aliye jifungua ambaye alikua ni Kway mpaka wakati huo hakua na mawasiliano mazuri na Mwanaume huyo aliyembebesha mimba mpaka akajifungua,

    Bado alikua amelala kitandani akipatiwa matibabu na madaktari ndani ya hospitali ya Mico hapo sinza, ndugu jamaa na marafiki walifika ili kumpa pongezi kwa kujifungua kichanga ambaye alimpa jina Christopher alimpenda sana mtoto huyo japo hakuzaa na Ramsey, aliamini kile kilicho tokea kwa wakati huo ni mipango ya Mungu aliye juu mbinguni!

    Wifi yake aliyeitwa Loydah dada yake na marehemu Ramsey pia alikua amesimama wima pembeni ya kitanda chake, ndani ya akili yake hata yeye alitaka kujua ni nani muhusika wa mtoto huyo haswaa!

    Bado alikua na alama ya kiulizo ndani ya kichwa chake alisubiri watu waondoke kisha kusogea karibu na kuanza kumuhoji Sabrina maswali.

    “una jisikiaje na hali wifi yangu?”

    Aliuliza Loyda

    “Mungu ni mwema!,”

    “lakini bado sija jua baba yake na huyu mtoto ni nani?”

    “utamjua tu usijali wifi yangu”

    Majibu hayo ndiyo yalimfanya anyamaze . Loyda alimshika mtoto huyo mtoto na kumuweka mikononi mwake.

    “anaitwa nani?”

    “Christopher, jina la babu yake”

    “mmmh ahhhhhaaa…jina zuri sana”

    Aliitikia Loydah, lakini ilionekana kabisa hakufurahishwa na mtoto huyo kuzaliwa na wifi yake, kitu kama dharau au nyodo ndicho alicho kitafsiri ndani ya akili yake kupitia Sabrina kuzaa mtoto huyo,

    alimkumbuka kaka yake Ramsey ambaye kwa wakati huo alikua amefukiwa mavumbini ametangulia mbele ya haki kisha kumtizama tena Sabrina,CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “nataka kujua mtoto huyo ni wa nani Sabrina?”

    Safari hii aliuliza akionyesha hasira za wazi wazi

    “wifi subiri hali yangu ni mbaya ila nita kwambia tu”

    “sawa, nitarudi kesho ili uniambie”

    Maneno aliyo kua akiongea haya kua hata na punje ya masihala ndani yake, ndani ya nafsi yake alitaka kweli kumjua mwanaume aliyemzalisha wifi yake, japokua hakujua akimjua ni kipi amfanye!

    Sabrina hakutaka kulifikiria sana hilo, alimuacha mtoto wake kitandani na kutoka nje akielekea msalani kujisaidia , baada ya kurudi alishtuka sana baada ya kuona sura ya mzee Mwasha ikiwa mbele yake tena amemshika Christopher mikononi mwake na kutabasamu.

    “hongera Sabrina,!”

    Alisema Mzee Mwasha

    “Ahsante!”

    Kitendo cha kujibu ivyo alimvaa na kumpokonya mtoto huyo mikononi mwa Mwasha sababu alijua mzee huyo ni hatari sana na alikuja hapo hospitali kwa nia moja tu kulipa kisasi, aliyakumbuka yote yaliyo tokea kipindi cha nyuma, kama aliweza kumtandika risasi mtoto wake wa kumzaa Enock hatoshindwa kumuuwa Christopher au yeye hapo alipo,

    Hofu ilizidi kumtawala ndani ya moyo wake huku akimtizama mzee huyo aliye simama mbele yake ana tabasamu.

    “mbona umeni pokonya sasa mtoto?”

    “sitaki! kaa mbali na mwanangu”

    “ha! ha! ha! ha! ha! ha!, Catherine yuko wapi?”

    “sijui, naomba uwende”

    “okay, mimi naenda lakini…….”

    Maneno hayo hakuweza kumalizia na taratibu kuanza kuondoka huku akimuoneshea Sabrina ishara ya kumkata kichwa baada ya kupitisha mkono wake shingoni akimpa kama ujumbe,

    Alisha dhamiria kuteketeza uzao wa Ramsey na hiko ndiko alicho jiapizia miaka mingi iliyo pita mtoto mchanga aliye ji fungua Sabrina alikua teyari kasha ingia kwenye huo mkumbo,

    ilikua ni lazima nayeye amuangamize kwani ni kizazi cha Ramsey, ni mtoto wa Sabrina!.

    Masaa yalienda huku bado akiwa na hofu sana moyoni mwake bado alimfikiria mwanae Christopher aliye kua bado mdogo sana kuingia ndani ya matatizo hayo makubwa yaliyo sababishwa na Ramsey!.

    ***

    Walisha shauriana vya kutosha na kupata muafaka kuwa wampakie Natu ndani ya ndege ili wao waendelee na msako wao, sababu hatua ya kwanza ilikua teyari ime kamilika kilicho baki hapo ni kitu kimoja tu kumtafuta Catherine kwa wudi na uvumba.

    Enock alishaamua kujitoa muhanga iwe kufa au kupona ili mradi ampate Catherine ndipo moyo wake uta tulia hakuna alicho fikiria zaidi ya kufunga ndoa kubwa itakayo weka historia hata nje na ndani ya Afrika!,

    Hali ya hewa kidogo ilikua shwari! Magari machache ndiyo yaliweza kutembea barabarani na kupata usafiri mmoja ulio wapeleka mpaka Entebbe uwanja wa ndege ili wampakie Natu afike Tanzania.

    “Hallo Molito, ndio nishampata, Ahsante kaka, ndio atafika hapo jioni saa kumi na AIRUGANDA, ndio mpaka nitakapo rudi, sawa ndugu kazi njema Mungu akubariki”

    Baada ya kukata simu alimkombatia mtoto wake na kumkabidhi kwa mmoja wa waudumu wa ndege ili ahakikishe usalama wa mwanae mpaka atakapo fika.

    “when you reach, call this number(ukifika piga hii namba)”

    Aliongea Kway akimuachia namba mhudumu wa Ndege hiyo akimkabidhi Natu,baada ya taratibu hizo kukamilika, walirudi akiwa pamoja na Enock kwa kazi moja tu kuanza safari ya kumtafuta Catherine wakitumia usafiri wa gari la kukodi,

    Ilikua ni lazima warudi Tanzania na Catherine ndipo roho ya Enock itulie, Kway alikua juu ya usukani huku kushoto akiwa ameketi Enock.

    “Blazza kway ahsante sana, napenda kukuhaidi kuwa kama mkwe sijui niseme.., niki mpata Catherine nita fanya harusi kubwa sana utashangaa mwenyewe, nitakupa zawadi kubwa sana,”

    Aliongea Enock kwa hisia sana huku akimaanisha

    “Enock ndugu yangu, mimi sio wa kunipa zawadi hio ina takiwa umkabidhi Mama yake”

    “alafu kuna kitu nilikua sija kwambia”

    “kitu gani?”

    “Mama yake kaji fungua mtoto wa kiume”

    “Mama yake nani?”

    Aliuliza Kway huku akimtizama Enock machoni mikono yake miwili ikiwa juu ya usukani

    “Mama yake na Catherine”

    “ahaaaa okay!”

    Hakutaka kujua mengi sababu Alisha jua kuwa mtoto huyo ni wake na wala sio vinginevyo alirudisha macho yake mbele na kuzidi kusonga mbele, walisha tembea sasa masaa takribani matatu barabarani walifika Gatuna na kupiga passot zao mihuli kisha kuzidi kusonga mbele,

    baadaye walifika Ruzizi boda ya Congo na kuzidi kusonga mbele,

    Harufu za mizoga ya binadamu ndizo zilizo mshtua Enock aliye kua amelala fofofo, tayari kulikua kumekucha baada ya kutembea mwendo mrefu sana.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “hapa wapi?”

    “tushaingia Demokrasia ya Kongo, bado kidogo tuna fika Kinshasa”

    “huku umepajuaje blazza kway?”

    “nilikua natafuta maisha”

    Walizidi kusonga mbele ila Enock alipiga kelele baada ya kufika darajani na kupiga jicho lake chini, aliona Nissan Mkonge lenye namba za Uganda na kukumbuka kuwa aliambiwa kuwa Catherine ndiyo alisafirishwa kwa kutumia gari ya aina hiyo.

    Walisimamisha gari na kushuka huku wakienda chini darajani kulikua kuna tisha sana, miti ilikua ni mingi mno, taratibu walijongea mpaka kwenye gari hilo bila ya kuona dalili ya kuwa na mtu yoyote Yule, ila ghafla walisikia kelele za watu,

    Kitendo cha kugeuka nyuma waliowaona watu waliovaa majani wakiwa na mishale mikononi mwao na kuwaweka chini ya ulinzi.

    Huku wakiongea lugha za ajabu na kucheka,

    “hawa watu gani?”

    “hata mimi sijui, ila kwa haraka haraka nimeelewa, wamesema kuwa wame pata vitoweo”

    “unasema nini?”

    Alihamaki Enock huku akitoa macho yake na kuzidi kuwashangaa watu hao wa ajabu mbele yake waliozidi kuwasogelea karibu yao wakizidi kucheka na kuruka ruka



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog