Search This Blog

Tuesday, 17 May 2022

BIKIRA YANGU - 4

 





    Chombezo : Bikira Yangu

    Sehemu Ya Nne (4)



    ILIPOISHIA

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kitendo cha kugeuka nyuma waliowaona watu waliovaa majani wakiwa na mishale mikononi mwao na kuwaweka chini ya ulinzi.

    Huku wakiongea lugha za ajabu na kucheka,

    “hawa watu gani?”

    “hata mimi sijui, ila kwa haraka haraka nimeelewa, wamesema kuwa wame pata vitoweo”

    “unasema nini?”

    Alihamaki Enock huku akitoa macho yake na kuzidi kuwashangaa watu hao wa ajabu mbele yake waliozidi kuwasogelea karibu yao wakizidi kucheka na kuruka ruka



    SONGA NAYO



    Catherine Baada ya kuponea chup chup nchini Kongo na kuokolewa na jeshi la polisi la majini, hali yake ilikua mbaya sana na kupelekwa hospitali kwa ajili ya matibabu, hapo ndipo alipo kutana na Julia au Mama Natu.

    Alivyo ruhusiwa hospitali tu ili bidi achukuliwe na Julia sababu hakua na sehemu nyingine yoyote ile ya kuishi, shukrani alizompa shangazi yake huyo hazikua na mfano, hapo ndipo alipoanza kumueleza juu ya yaliyo mtokea na mpaka kukutana na Mwanae Natu,ndani ya jumba hilo wakiwa nchini Uganda.

    “hapana sio kweli, Natu Alisha fariki”

    “Kweli Anti”

    “hapana, sio kweli sio kweli”

    Julia alikataa katakata juu ya swala hilo, aliamini mwanae kasha fariki dunia hakutaka tena kukumbuka yaliyotokea katika maisha yake, sababu alisha anza maisha mapya!

    Julia hakua na kinyongo cha aina yoyote ile juu ya Catherine alishajua kuwa mama yake alibeba mimba ya Kway, ili bidi tu amchukulie kama mwanae wa kumzaa hakua na jinsi yoyote ile ya kukataa ukweli hakutaka kumwambia chochote,

    Alishakaa nyumbani kwa Julia BUKAVU siku tatu sasa, ambapo hapo alikua akiishi na kaka yake!

    “Anti naomba niazime simu yako niongee na Mama, nimpigie simu”

    Alisema Catherine

    “sawa,”

    Baada ya kupewa jibu hilo alikabidhiwa simu ya mkononi ili afanye mawasiliano na Mama yake mzazi, alibonyeza namba za mama yake na kuiweka simu sikioni.

    “halloo Mama shikamoo!”

    Baada ya simu kupokelewa Catherine alisalimia

    “Nani, Catherine mwanangu upo wapi? Upo salama?”

    “ndiio mama nipo salama”

    “upo na Enock?”

    Hilo ndilo swali lililo mfanya Catherine akae kimnya hakuelewa chochote juu ya Enock, hakuelewa kuwa mwanaume huyo alimfuata Mpaka Uganda kwa ajili ya kumuokoa

    “hapana Mama”

    “si alikufuata?”

    “nani Enock? wapi?”

    Catherine alitafakari kwa kitambo kidogo kabla ya kutoa jibu

    “Uganda, kwani wewe upo wapi?”

    “nipo kongo kwa Anti Julia, ”

    Hapo ndipo ukimnya ulitawala, kumbu kumbu zili mpeleka siku aliyokua akimfokea Kway juu ya ujauzito wake kisha baada ya siku mbili Loyda alimwambia kuwa alipata ajali mbaya siku hiyo hiyo,aliomba simu ili amuombe msamaha, ilikua ni lazima afanye ivyo,CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya kupewa simu alianza kuomba msamaha uku akijutia kwa aliyo yafanya alijua yeye ndiye chanzo cha kuvuruga ndoa yao hiyo ya watu hao wawili,

    ilibidi tu Julia atoe msamaha sababu aliamini yalisha pita hakukua na namna nyingine ya kuubadili ukweli, upande wa pili wa simu ulisikika mtoto akiwa analia hapo ndipo Julia alidondosha chozi.



    “Mtoto ana itwa nani?”

    Aliuliza Julia kwa sauti ya kinyonge huku akifuta machozi yake, Catherine aliyekua pembeni hakuelewa nini kinachoendelea hata yeye hakujua kuwa mama yake kajifungua mtoto. hakutaka kuuliza chochote zaidi ya kukaa kimnya lakini alihisi kuna kitu kinaendelea kati ya Julia na Mama yake, alihisi hawakuwa na maelewano mazuri, kupitia picha iliyokua mbele yake lakini hakutaka kuuliza, sababu aliamini hayamuhusu.

    “anaitwa Christopher”

    “sawa”

    Baada ya kumaliza mazungumzo kwa njia ya simu wali tayarisha chakula kwa ajili ya kula usiku huo huku Julia akifanya taratibu za kumtafutia tiketi Catherine aweze kurudi Tanzania siku mbili zijazo fujo zikitulia.

    Catherine hakuweza kulala usiku kucha aliwaza mambo mengi juu ya Enock, hisia zake zili mtuma atakua yupo sehemu amekwama au anateseka sana sababu ya mvua kali iliyokua ikinyesha,

    aliwaza mambo mengi sana juu ya maisha yake yalivyokua yanaenda, vitu vingi sana alivikumbuka.

    Kilicho mshtua zaidi ni kishindo kikubwa sana mithili ya bomu na kumfanya akurupuke kitandani, baada ya dakika chache alisikia milio ya risasi inarindima, alichungulia dirishani na kuona watu wanavyokimbia huku na kule,

    alivyotoka seblen alimuona Julia akijitaidi kufunga milango sababu hata yeye hofu ilimtanda.

    “Anti kuna nini?”

    “kuna vita,”

    “vita!?”

    “ndio, hawa bamutu ya huku kongo hawa wataki watu wa Rwanda, sasa naona wameamua kutumia njoo nguvu usiwe na wasi wasi juu la lolote”

    Baada ya kuchungulia Dirishani waliwaona watu wafupi wakiwa na mitutu wapo nyumba ya jirani wamevunja mlango na kuwatoa vijana wawili wa Kinyarwanda, pale pale walipigwa risasi huku wengine wakipakiwa ndani ya gari,

    Ilikua ni vita ya kutisha sana mara ya kwanza ilikua kama masihala, nyumba zili unguzwa na moto na watu wenye sura ndefu waliuwawa hawa kua na masihala hata kidogo,

    “wewe ni Rwandee kaa chonjo”

    Sauti hiyo ilipenya masikioni mwa Julia na Catherine wakishuhudia watu nje wakipangwa chini wakiwa wamepiga magoti yao, hapo ndipo mitutu ilikokiwa na watu hao kuuliwa pale pale kisha maiti kupakiwa ndani ya gari ili kwenda kutupwa. Ivyo ndivyo ilivyo kua walikua wakipita kila nyumba wakikagua,

    Walipiga mlango teke na kufanya Julia na Catherine hofu iwatande.

    Mtu mmoja mfupi mwenye misuli alimkata jicho kali Catherine huku wengine wakiwa wana kagua ndani ya nyumba hiyo.

    “songa nasisi upesi!”

    Aliamuru mtu huyo akiwa na mtutu dalili zilionesha kuwa walimuhisi Catherine ni raia wa Rwanda baada ya kuangalia pua yake ilivyo jichonga na sura yake iliyokuwa nyembamba kidogo.

    “hapana huyo ni mutanzania”

    Alidakia Julia akijaribu kumtetea

    “shiii Funga,usiji fanye unajua”

    Muda wote Catherine alikua akilia machozi akimuomba Mungu wake, aliamini huo ndio mwisho wa maisha yake, alichukuliwa na kusimamishwa nje ya uwanja mkubwa usiku huo ambao aliuita mwisho wa maisha yake!.

    akijimuika na wengine ambao baada ya muda mfupi wata pigwa risasi, watu takribani watano walisimama mbele yao wakiwa na mitutu mikononi mwao wameikoki tayari kwa kuachia risasi zao.

    “Jamani mimi ni Mtanzania”

    Aliropoka Catherine huku akijitoa kati kati ya kundi la watu akijaribu kuitetea nafsi yake hakufika mbali alipigwa na kitako cha mtutu kichwani na kumfanya adondoke chini na kuzirai, hapo ndipo kelele za mitutu zilisikika na damu nyingi kumwagika watoto kwa watu wazima walipo teza maisha yao siku hiyo.

    Julia aliyekua dirishani alilia machozi sana baada ya kuona vile, alishuhudia wanavyo wapakia watu waliokufa akiwemo Catherine ndani ya karandinga na gari hilo kuondoka huku milio ya risasi ikisikika hewani!.

    **

    Sufuria kubwa sana lililetwa pembeni yao huku wakiwa wamefungwa kamba kwenye mti mkubwa. mbele yao kulikua kuna mwanaume wa kizungu nayeye kafungwa kamba pia , hawakuwa na ujanja tena walishajua wanaenda kuliwa nyama muda mchache ujao, hawa kutaka kuamini kuwa kuna binadamu kama hao bado wapo duniani!

    Kway na Enock walizidi kustaajabu na kutandwa na hofu sana mioyoni mwao, kuni zilizidi kuchochewa na moto kuwa mkali, maji yaliyokua yanachemka yalizidi kutokota kumaanisha kuwa muda mfupi wange tumbukizwa ndani ya sufuria kubwa,

    Mmoja wa watu hao aliye valia ngozi ya mnyama ili kuziba sehemu zake za siri alitembea huku akiwakagua mmoja baada ya mwingine kwa zamu ili kumchagua ni nani aanze, kila mtu alisali ndani ya moyo wake, macho yake yalitulia kwa kway, mijitu hiyo iliyovalia nguo za wanyama mwilini mwao ilianza kushangilia sana,

    Kway alifunguliwa kamba na taratibu kuanza kupelekwa kwenye sufuria kwa ajili ya kuchemshwa, waliamini hapakuwa na masihali hata kidogo sababu aliona vichwa vya watu chini na baadhi ya viungo vya binadamu pembeni yake, CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    walimfunga na kamba mwili mzima na kumpandisha juu huku taratibu wakimshusha kwenye sufuria, katika hali ya kushangaza walisikia milio ya risasi ziki pigwa hewani na wazungu kumi kuwazunguka.

    Walivyotaka kutumia mikuki yao walisambaratishwa dakika hiyo hiyo na risasi ya mzungu

    “Carlos! Are you okay?”

    Mmoja wa wazungu aliita na kumfuata ndugu yake ambaye ilionekana ndiye waliyekuja kumuokoa, hapo ndipo walipo wafungua mateka wengine Kway na Enock Waliwashukuru wazungu hao sana, maana bila wao wangesha kuwa vitoweo na kuliwa nyama siku hiyo.

    “Excuse me! may I use your phone?”(samahani naweza nikatumia simu yako”?)

    Enock aliomba simu na kukabidhiwa sababu hawakuwa nazo kwa wakati huo, moja kwa moja alimtafuta Sabrina hewani kwa kujaribu kuvuta kumbu kumbu za namba zake kichwani sababu ndiyo ilikua ikimpigia mara kwa mara.

    Nia yake ilikua ni moja tu kumjulisha habari za Catherine, kweli baada ya simu kupokelewa alimueleza kila kitu kilichokua kina tokea mpaka walipo fikia.

    “Catherine yupo salama mbona, niliongea nae jana usiku, yupo Kongo!”

    Alijibu Mama Catherine

    “sasa nita mpata vipi?”

    “subiri nakutumia namba za simu ili uweze kuongea nae”

    “sawa nitashukuru sana”

    Haikuchukua muda namba za Julia ziliingia kwenye simu yake na hapo ndipo alipoamua kumtafuta mwanamke huyo hewani mara moja,

    Baada ya mazungumzo machache alianza kuhema juu juu huku mapigo yake ya moyo yakimwenda kasi,

    alihisi wenda hakusikia vizuri.

    “unasema?”

    “Catherine amefariki, ameuwawa na Masasi(risasi)”

    Upande wa pili ulisikika wa simu kway aliye kua pembeni alimtizama Enock, kupitia macho yake alijua tu hakukua na taarifa nzuri hata kidogo, ilibidi apore simu na kuiweka sikioni.

    “umesema Catherine kafanya nini?”

    Aliuliza Kway

    “Amefariki dunia, njoo kapigwa Masasi la…”

    “Cherie. Mama Natu upo upo wapi?.”

    Sauti ya mke wake hata siku moja haikuweza kumtoka wala kuisahau.



    Hakuweza kuyazuia machozi yake yaliyo kua yakimbubujika kama mtoto wa miaka mitatu na kulowanisha mashavu yake yote mawili, maumivu makali aliyosikia ndani ya moyo wake hayakua na mfano wa kufananishwa na kitu chochote kile!,

    “Hapana Catherine wangu, it is too early I have come for you my love!(bado mapema nimekuja kwa ajili yako mpenzi)”

    Yalikua ni maneno yenye kutia huruma kutoka kwa Enock bado alikua aamini kama mwanamke anayempenda na aliyempigania kutoka Uganda mpaka kufika Kongo na leo anapewa taarifa kuwa amefariki Dunia!

    Halikua jambo rahisi kabisa, aliupiga piga mti ulio kua pembeni yake huku akilia kwa machungu sana, tena kwa hisia, mambo waliyokua wakiyafanya hapo nyuma na Catherine ndiyo yalipita kichwani kwake na kujirudia rudia na kufanya kama mkanda wa.filamu unaosisimua, hakutaka kuamini kuwa Catherine amefarki bila ya kumuomba msamaha,

    ndoto za kufunga nae ndoa ya kifahari ambayo ingeongelewa na watu wote sasa ilianza kupotea na kuzimika kama mshumaa uliopulizwa na upepo.



    “Enock!”

    Aliita Kway akiwa pembeni yake hata yeye aliguswa vile vile.

    “No Kway No, mpigie mkeo muulize tena”

    “pole sana, yote tumuachie Mungu jikaze ita kubidi ukubaliane na matokeo, jikaze”

    “siwezi Kway, inaniuma siwezi siwezi bratha”

    Maneno hayo yalitosha kuonesha kuwa Enock aliguswa sana, aliserereka mpaka chini na kukaa kitako huku akilia sana machozi!

    “Enock ujue nakupenda sana, wewe ndiye mwanaume wa maisha yangu”

    Sauti ya Catherine ndiyo ilikua ikipita kichwani mwake huku akimuona siku hiyo wakiwa wote kitandani akiwa anatabasamu,

    Ndani ya sekunde mbili alisimama kwa hasira huku akiwa anahema kifua kikipanda juu na kushuka chini na kupangusa machozi yake.

    “nataka nirudi Tanzania sasa hivi!”

    Alizungumza Enock

    “mbona sikuelewi?”

    “nataka nirudi Tanzania, tiketi nitakata wapi ya ndege?”

    “inabidi turudi wote nisubiri!”

    “hapana nenda kwa mkeo, mimi mtanikuta nikiwa hai sawa, ila nikiwa nime kufa basi”

    Maneno aliyoongea Enock yalimchanganya Kway hakuelewa nini anazungumza, aliona wenda amerukwa na akili zake, alijitajidi kumzuia lakini hakuweza kufanikiwa neno Tanzania ndilo lilikua likitoka kinywani mwa Enock, japo hakutaka kusema ni kwanini anataka kurudi,CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hawa kuwa na haja ya kuendelea kulumbana ilibidi tu watoke msituni humo na kutafuta usafiri, ili Enock arudi Tanzania. Alianza safari vizuri baada ya kuingia ndani ya basi kubwa ambalo lilimpeleka mpaka Kinshasa hapo alichukua ndege mpaka Uganda akiwa amemuacha Kway,

    hapo alitafuta benki na kutoa kiasi kidogo cha pesa baada ya masaa mawili alikua teyari yupo angani na ndege hiyo kutua Tanzania Dar es salaam uwanja wa kimataifa mwalimu Nyerere safari nzima alikua hasemi kitu chochote mpaka anafika asubuhi.,

    Mambo yaliyokua yana tokea katika maisha yake bado alikua anadhani anaota njonzi ndefu na muda mfupi angeenda kuzinduka,

    alicho kuwa anawaza wakati huo sio kitu kingine bali ni kumtafuta Baba yake mzazi mzee Mwasha, hisia zake zilimtuma kuwa yeye ndiye aliye sababisha mpaka maisha yake yame kua kinyume!.

    Alishaamua kumchukia mazima aliwaza vitu vingi sana vilivyo sababishwa na baba yake, aliwaza jinsi alivyotaka kumuua,

    Alitafuta taxi na kunyoosha mpaka nyumbani kwake, ila kilicho mshangaza ni baada ya kuona kuna sura ngeni kila aliye muona alimshangaa wengine walianza kukimbia huku na kule wakipiga kelele,

    kwa mara ya kwanza hakuelewa nini kiliwa kimbiza watu hao lakini alikumbuka kuwa walidhani amekufa ivyo walimuona ni kama mzimu au mzuka,



    hakua na muda wa kuongea na mtu yoyote alinyoosha mpaka ndani.

    “Jamani majirani uwiii mzimu”

    Kelele izo alizitoa Mdogo wake na Heather baada ya kumuona Enock kaingia ndani aliogopa sana hata yeye na kutoamini kuwa ana ona kitu cha ukweli mbele yake, alidhani wenda anaona maluwe luwe.

    Bado alikua na hasira hakuweza kuongea chochote alinyoosha mpaka chumbani kwake haraka haraka na kufungua kabati,

    alikumbuka vizuri aliweka kisu kirefu cha kujikunja.

    “nikishamuua na mimi najiua!”

    Aliwaza Enock na kutoka nje haraka haraka, ndani ya akili yake aliwaza kitu kimoja tu kum-maliza baba yake mzazi na baadaye ajiue, mwanamke anayempenda Alisha kufa tayari aliona ni bora amfuate huko alipo ili waweze kuungana mbinguni na waweze kuendeleza mapenzi yao huko huko!.

    Alitafuta taxi mpaka oysterbay nyumbani kwa baba yake mzazi, alishuka na kumkabidhi dereva pesa yake, kabla ya kuingia ndani ya geti alisimama nje na kuiangalia nyumba ya baba yake, alikumbuka mambo mengi sana akiwa mdogo akiwa na wazazi wake wote wawili wakiishi kwa furaha na leo hii anaenda kumuuwa baba yake mzazi hii yote yalisababishwa na Mapenzi.

    Aliukunja mdomo kwa hasira na kuyabana meno yake na kulisukuma geti kwa nguvu, hakukua na mtu yoyote Yule ila aliliona gari la baba yake na kugundua kuwa yupo ndani!,

    Alipita seblen na kumkuta Baba yake yupo na mwanamke mwingine

    “Dad!”

    Aliita huku akikitoa kisu kiunoni mwake

    “Enock my son!”(Enock mwanangu)”

    “No! am not your son,(hapana mimi sio mwanao)”

    Alijibu Enock huku akizidi kusogea na kisu picha ilionesha kuwa alidhamiria kumuuwa baba yake tena kwa kisu

    “unataka kufanya nini”?



    “nataka kukuua , Nataka kukuua mbele ya Malaya wako, wewe sio baba yangu, wewe sio baba yangu, ulitaka kuniua kipindi nipo hospitali, umefurahi sasa Catherine amekufa, nakuuliza umefurahi, baba nini kimekukumbuka, mwanamke ndiyo anakufanya utake kuniua?”

    Enock huku akilia kwa uchungu na Hasira za waziwazi haikua rahisi kutuliza hasira za mwanaume huyo aliyekua na kisu mkononi tayari kwa kuua.

    “hapana mwanangu, mama yako ndiyo chanzo, Mama yako ndiyo chanzo!”

    “usimtaje Mama yangu”

    Alichomoka haraka haraka huku akiwa na kisu mkononi mwake kakishika vizuri tayari kwa kumchoma Baba yake mzazi, ilikua ni vita tayari, lakini alivyotaka kumchoma kilishikwa tayari na kuanza kushindana nguvu huku Mwasha akijaribu kukizuia kisu kisizame ndani ya tumbo lake,

    Mwanamke mnene maji ya kunde aliyekua akishuhudia kitendo hiko aliokota kitu kilicho fanana na udongo cha kuwekea maua na kumpiga nacho Enock kichwani, hapo ndipo alipo dondoka na kelele kusikika huku damu nyingi kutoka kwa Enock zikichuluzika chini na kumfanya apige kelele za maumivu sababu ya kisu alichokua amekishika kuzama mwilini mwake!.

    **

    Tipa lililokua lime beba maiti lilibinuka kwa nyuma ili kumwaga maiti jalalani za wanyarwada waliokufa kwa kupigwa risasi na wakongo, lilikua nje kidogo ya mji wa Bukavu baada ya vita kubwa kutokea, hapo ndipo walipokua wana mwagwa maiti kisha kwenda kuchukua nyingine,

    Alihisi mwili wake mzito sana miili ya watu waliokufa baada ya kupigwa risasi zilimkandamiza na kuzibana mbavu zake,

    kwa nguvu sana Catherine alizisukumiza na kuanza taratibu kusimama.

    Alikua amepona ni baada ya kupigwa na mtutu kichwani na kuzirai hiyo ndiyo ilikua ponea yake,

    Hakuelewa ni wapi alipo.Alikua amezungukwa na maiti nyingi pembeni yake zilizo kua zina toa harufu kali sana na kufanya pua zake zimuume mno!, bado ulikua ni usiku mnene wa kutisha mbalamwezi peke yake ndilo lililomsaidia kuona mbele, CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    alianza kutembea akifuata matairi ya gari yalipo pita, alizidi kusonga mbele usiku huo akizipita maiti zilizo kua zina liwa na mbwa,

    alimuomba sana mungu amlinde aliamini bado anamtetea na isingekua yeye angesha kufa tayari na sio vinginevyo.

    Alitembea mpaka alipo fika bara bara kubwa akiwa amechoka hana nguvu na kukaa pembezoni ili walau apate msaada wowote ule,

    Kwa mbali alisikia muungurumo wa gari na kusimama ili aombe msaada, lakini alishindwa kujua afanye nini baada ya kuona ni tipa kubwa huku juu wakiwemo maaskari wakiwa na mitutu mikononi,

    Alijua ni lazima walikua wakongo walioanzisha fujo na kuwauwa wanyarwanda vita ilikua bado ni kali bado.

    Hapo ndipo alipogeuka na kuanza kukimbia ili kunusuru maisha yake, tipa lilisimamishwa na watu wanne kushuka na mitutu wakianza kumfukuzia kwa nia moja tu wam-miminie risasi ili wamuuwe.

    Alizidi kusonga mbele akikimbia na kuingia ndani ya kimsitu kidogo chenye miti licha ya kukimbia lakini alisikia vishindo vya watu hao wakiwa nyuma yake wakimulika mulika tochi zao, bahati mbaya alikanyaga majani na kupiga mueleka hapo ndipo alipoanza kubiringika kama mpira kuelekea chini mabondeni.



    Alijua ni lazima walikua wakongo walioanzisha fujo na kuwauwa wanyarwanda vita ilikua bado ni kali bado.

    Hapo ndipo alipogeuka na kuanza kukimbia ili kunusuru maisha yake, tipa lilisimamishwa na watu wanne kushuka na mitutu wakianza kumfukuzia kwa nia moja tu wam-miminie risasi ili wamuuwe.

    Alizidi kusonga mbele akikimbia na kuingia ndani ya kimsitu kidogo chenye miti licha ya kukimbia lakini alisikia vishindo vya watu hao wakiwa nyuma yake wakimulika mulika tochio zao, bahati mbaya alikanyaga majani na kupiga mueleka hapo ndipo alipoanza kubiringika kama mpira kuelekea chini.



    SONGA NAYO.



    “ongoza mbele, ukijaribu kupiga kelele tu nasambaratisha huo ubongo wako sasa hivi!”

    Sabrina alitii amri hiyo kutoka kwa mtu mweusi mrefu sana mwenye makunyanzi usoni na mwenye makovu pia, uso wake ulijaa mabaka sana alionekana kabisa ni jambazi tena sugu,

    Alisha muweka Sabrina chini ya ulinzi akiwa na bastola ndogo mkononi mwake, ndani ya akili yake Alisha jua kuwa anaenda kufa, na jitu lililokua mbele yake lilitumwa na Mwasha hakua na chaguo lingine zaidi ya kumbeba mtoto wake mchanga Christopher aliyekua akilia muda wote usiku huo alijua teyari vita imeanza kati yake na Mzee Mwasha.

    “naomba niende na mwanangu”

    “twende, twende”

    Alimuweka mwanae mgongoni na kuamriwa abebe na funguo zake za gari, walitoka mpaka nje na ndiye aliyeamuriwa aendeshe gari huku jitu hilo jambazi likifuatia upande wa kushoto mkononi akiwa ame mbeba Christopher mtoto mdogo na mkono wake mwingine wa kuume ukiwa na bastola.

    “washa gari”

    “tunaenda wapi?”

    “oysterbay, naomba usifanye kitu chochote cha kijinga, twende”

    Kilicho fanya watu wa nje wasijue kinachoendelea ndani ya gari ilikua ni vioo vyeusi yaani tinted, walinyoosha barabara kubwa ya tegeta huku Sabrina njia nzima akiwa analia kwa kwikwi,

    hiyo haikufanya jambazi aliyemuweka mateka abadilishe maagizo aliyo ambiwa na bosi wake.

    “najua umetumwa na Mwasha”

    Alizungumza Sabrina

    “Kaa kimnya, ka kimnya endesha gari”

    Gari lilizidi kwenda mpaka walipo fika Oysterbay kwenye nyumba kubwa ya gorofa kisha geti kufunguliwa, hapo ndipo alipo pata jibu la swali lake kuwa Mwasha ndiye aliye toa agizo la yeye kutekwa nyara baada ya kumuona amesimama nje anawasubiri,

    alivyo waona tu alitabasamu kumaanisha kuwa amefanikiwa.

    “Ha!Ha!Ha!Ha!Ha! Sabrina, Sabrina, nafikiri unajua kwanini upo hapa, Kobelo mpeleke huyo stoo kule uwani,”

    Alitoa kauli moja hiyo Mwasha na Sabrina kuanza kukokotwa mpaka nyuma uwani ndani ya stoo iliyo tumika kuifadhia spea za magari na kufungiwa kwa nje akisubiri kitu kimoja tu mwisho wa uhai wake.

    Alimnyonyesha mtoto wake maziwa aliyekua akilia, alivyo hakikisha amelala alisimama na kuanza kuchungulia nje akiya lazimisha macho yake kuona mbele kutokana na giza totoro,

    ilikua ni lazima atoroke au aondoke, alipitisha mkono wake kwenye kitundu kidogo na kupapasa kwa nje, ila alikata tamaa baada ya kugusa kufuli kubwa na kuishiwa nguvu zote mwilini mwake,

    alirudi kinyume nyume mpaka ukutani na kumbeba mtoto wake mikononi akitafakari nini cha kufanya alivyo papasa papasa pembeni aligusa kitu kama chuma alivyo kitizama vizuri aligundua ni exsozi ya gari, alitafakari kwa kina na kutulia kimnya, hakuweza kulala mpaka kunakucha.

    Parakacha za mtu kutokea nje ya stoo ndizo zilimfaya akamate chuma hiko vizuri nyuma ya mikono yake tayari kwa kujiokoa, ilikua ni lazima ajaribu kujiokoa ili hata akifa ajue kuwa alijaribu kujitetea lakini alishindwa, hakua na uhakika kwa kile alichotaka kukifanya kitafanikiwa, lakini alipiga moyo konde!,alisogea mpaka kando ya mlango na kumsubiri mtu anaye kuja,

    Bila kujiuliza mara mbili mbili alikishusha chuma juu ya utosi wa Kobelo aliyekua na bastola mkononi mwake kutokana na kutokujiaandaa alidondoka chini puuh!

    Hapo ndipo alipo chukua bastola na kuishika vizuri lilikua ni jambo la ujasiri hata yeye hakuelewa ujasiri huo kautolea wapi, alitoka nje na kuchungulia usalama kisha kurudi ndani kumchukua mwanae, alimfunga vizuri mgongoni mwake na kuanza kutembea taratibu lakini kabla ya kupiga hatua, dirishani alisikia sauti ya mtu akilumbana,

    Alivuta kumbu kumbu na kuchungulia dirishani, hakuamini baada ya kumuona Enock akiwa amesimama ameshika kisu kisha baadae mwanamke aliyesimama kumpiga Enock kichwani,

    hayo yote yakiwa yanatokea aliya shuhudia kwa macho yake yote mawili, kitendo cha Kumuona Enock alijua kabisa lazima Catherine atakua kasha rudi nae tena salama salmin, ilikua ni lazima afanye jambo ili amuokoe mwanaume huyo.



    “Bastola yangu iko wapi?”

    Sauti hiyo ilifoka kutoka kwa Mwasha baada ya kumuona Enock yupo chini hoi anavuja damu mkononi baada ya ncha ya kisu kuzama, alivyo weka mkono wake kibindoni hakuiona bastola yake,

    “ipo ipo juu pembeni ya t.v”

    Alijibu mwanamke wake huku akitetemeka sana, hapo ndipo Mwasha alipandisha ngazi kwa hasira akiiendea silaha yake.

    “ganda ivyo ivyo, nipe funguo za gari!”

    Sabrina aliongea na kumuweka Mwanamke huyo chini ya ulinzi akiwa na bastola, alimuamuru akafunge mlango mkubwa ili Mwasha ashindwe kutoka,

    Ilibidi atii amri hiyo mara moja.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Jambo alilofanya ni kumuinua Enock aliyekua chini anavuja Damu na kuanza kumkokota mpaka kwenye gari, alimuweka na mtoto wake Christopher kisha yeye kuliendea geti na kulifungua,

    Alirudi ndani ya gari na haraka haraka kupiga gia akitoa kasi ya ajabu moja kwa moja nje.

    “Enock pole sana, ina kubidi nikupeleke Hospitali”

    “hapana, hapana usifanye ivyo tutakamatwa tu, alafu ulifikaje hapa, ulijuaje kama nimerudi?”

    “nitakwambia ni stori ndefu sana, sasa tuta fanya nini kama hutaki nikupeleke hospitali?”

    “hata ivyo ungeniacha tu baba yangu aniue, sababu sioni haja ya kuishi”

    “hapana usiseme ivyo, na Catherine yuko wapi?”

    “cat..herine amefariki, Catherine ameuwawa nchini Kongo Mama!”

    Aliongea Enock bila kuchuja maneno hayo mazito yaliyo penya masikioni mwa Sabrina na kubaki akimtolea macho yake Enock na kudhani wenda alisikia vibaya maneno yaliyo tamkwa!

    ***

    Alizidi kubiringika kuelekea mabondeni kama mpira na kujigonga gonga na miti mpaka kufika chini kwenye matope na kutulia tuli, alihisi tena maumivu kwenye mguu wake wa kulia na kuona miale miale ya tochi ikiangaza huku na kule ilibidi atulie,

    alielewa kabisa kitendo cha kujigusa angemiminiwa risasi na kufa hapo hapo, hofu ili zidi kumtanda huku akimuomba Mungu wake aliye juu aitetee nafsi yake,

    Kwa uwoga alijikuta akikaa bila kujigusa mpaka kuna kucha, taratibu sana alisimama na kutembea huku akichechemea akienda asipo pajua,

    njaa tayari ilianza kumtafuna na kuhisi nguvu zina muishia mwilini mwake, ilibidi akae chini ya mti ili akusanye nguvu ili azidi kusonga mbele,

    kitendo cha kukaa na kutafakari hapo ndipo usingizi uka mchukua kutokana na uchovu aliokua nao.

    Kilicho mshtua ni kitu kama kichuma cha moto usoni mwake alivyo yafumbua macho yake alikutana na mdomo wa mtutu umeshikwa vizuri na mtu mmoja mfupi mwenye misuli mikononi, moyo ulimdunda sana vikiambatana na jasho jembamba usoni baada ya kujua huo ndio mwisho wa Maisha yake!.

    “naomba usiniue tafadhali! Nita kupa chochote unachotaka!”

    Alisema Catherine akijaribu kumshawishi Mwanaume aliyekua mbele yake amekunja sura hacheki wala kuongea lolote.

    Mzee wa Makamo Mfupi alianza kujilamba midomo yake na kumtizama Catherine kuanzia juu mpaka chini.

    “simama juu”

    Aliamuru mzee huyo akiwa na mtutu mkononi mwake nyuma ya Catherine huku akizidi kumkagua jinsi Mungu alivyo mpendelea kila sehemu,

    walizidi kusonga mbele maili moja na kufika kwenye kijiji kilichokua kina vibanda vibanda vilivyo tengenezwa katika mfumo wa Nyasi,

    Baadae alitoka na mwanamke mwingine mtu mzima!.

    “Mtanzania mwenzako huyu Mama Abushiri, nime mtosha kule juu. Kiswahili yake tu ilinifanya nijue kuwa ni mtanzania, Binti karibu sana hii fasi tunaishi kwa kujificha sana, kabla ya kukuchosha naomba kwanza ukanawe kisha njoo uje upatiwe chakula”

    Maneno yaliyokua yanatoka kwa mzee huyo hata yeye alishindwa kuyaamini alijua wenda baadae wange mgeuka na kumuuwa ila mpaka wakati huo hakukua na dalili yoyote ya picha mbaya.

    “karibu sana, jina lako nani?”

    Aliuliza Mama Abushiri

    “Mimi,? Mimi naitwa Catherine, naitwa Catherine Ramsey”

    “twende kwanza ukajimwagie maji, alafu ule chakula niweze kukukanda mguu wako jisikie upo nyumbani”

    Alioneshwa chumba cha kubadilishia nguo na kupewa maji ya kuoga baada ya hayo kufanyika alirudi na kukuta ugali na samaki,

    kula kwa haraka haraka ndipo kulidhihirisha kuwa ana njaa sana, mpaka alipo shiba Alisha kula sahani tatu peke yake na kuomba maji ya kunywa.

    “ilikuaje mpaka umefika kongo”?

    “ni stori ndefu sana”

    “niadisie taratibu huku namalizia kukukanda mguu wako”

    Hapo ndipo Catherine alimuelezea alivyokua kwa shangazi yake julia na kundi la waasi kudhani kuwa yeye ni mnyarwanda, alielezea historia hiyo kwa ufupi huku akilia machozi na kutoamini kuwa mpaka wakati huo anapumua na mzima wa afya.

    Mpaka ina fika usiku aliweza kuzoeana na baadhi ya majirani zake, kweli alionesha uchangamfu sana na kupendwa na watu.

    Alioneshwa sehemu ya kulala ili apumzike baada ya kukandwa mguu wake uliokua na maumivu,

    Alisali sala ya usiku kabla ya kulala akiomba Ulinzi kwa Mungu baba aliye juu mbinguni na kuweka kichwa chake juu ya mto mdogo, kabla ya kukaa sawa alihisi watu wakipiga kelele nyingi nje na kuanza tena kuogopa,



    Alivyo chungulia nje aliwaona watu wawili wakiwa na mitutu yao mkononi.

    “kuna mwanamke njoo tuna mtaka musifanye muchezo, tutaua kijiji kizima, ako wapi?”

    Liliuliza jitu moja la kikongo! Moyo ulimlipuka paa! Na kuanza tena kudondosha machozi sababu alishajua kuwa anayeuliziwa ni yeye na sio mtu mwingine.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ilikua ni kilio cha uchungu Kwa Enock baada ya kusimulia historia fupi tangu alivyofika nchini Uganda mpaka umauti wa Catherine kumkuta,aliumia ndani ya mtima wake, hata yeye hakuelewa ni mambo gani yalitokea katika maisha yake alijaribu kuvuta kumbu kumbu juu ya mambo yaliyo pita nyuma na kuchukiana mpaka na baba yake mzazi juu ya kutetea penzi lake kutoka kwa Catherine aliyemtoa bikira yake yeye mwenyewe na kupanga aje kuwa mke wake hapo baadaye!,



    ila mambo yalienda kombo baada ya Heather kuingilia kati akitumia ndumba au nguvu za giza ili kumkamata na kufanikiwa kuichukua akili yake, ni kweli! Alipitia misuko suko mingi sana mpaka hapo alipofikia, hata kwa Sabrina alilia sana kwa kupotelewa na mtoto wake wa kike ambaye alikua kama ndiyo kumbu kumbu yake kwa marehemu Ramsey aliyemzalisha kipindi wanasoma Morogoro,

    alilia machozi huku mtoto wake mwingine akiwa juu ya kochi, pole haikutosha kuzuia uchungu aliokua nao.

    “Enock!”

    Sabrina alimuita

    “Naam Mama!”

    “una uhakika na unachokisema?”

    “ndio Mama nina uhakika?”

    “Kway ulimuacha wapi?”

    “nili muacha, yeye alirudi Congo Bukavu kwa mke wake, tulikua wote na tuka muokoa vizuri mtoto wake Natu, lakini alisema anaenda Congo kwa mke wake, sidhani kama alifika salama sababu kuna vita kali”

    “wewe ulishuhudia Catherine amekufa?”

    “niliambiwa”

    “na nani?”

    “na mke wa Kway”

    Bado Sabrina hakutaka kukubaliana na mambo anayo sikia aliangua tena kilio kwa sauti ya juu sana huku akianza kupiga simu kwa ndugu jamaa na marafiki kwa uchungu sana, mpaka inafika jioni ya saa kumi na mbili watu walifurika nyumbani kwake wakimpa pole,

    ila wengi walimfuata Enock na kutaka kujua nini kilicho tokea mpaka umauti uka mkuta msichana mrembo Catherine,

    Kila mtu aliye sikia historia hiyo fupi kutoka kwa Enock alitingisha kichwa chake na kuoneshwa kuguswa mpaka ndani ya moyo wake, Loyda Alisha fika teyari na ndiye aliye fanya watu waanze kulia upya alionekana ndiye mwenye maumivu kuliko mtu yoyote kwa kuondokewa na Mtoto wa kaka yake ambaye ilikua ni kama ukumbusho kwake,

    mpaka dakika hiyo hawa kuweza kuuona mwili wowote, siku mbili nzima walibaki wakiomboleza na kulia tu,

    Kwa Enock alishalia sasa mpaka machozi kumkauka machoni mwake, bado alikua haamini, alikua amekaa na vijana wengine ameganda kama barafu mdomo kauacha wazi akiwa na fikra nyingi sana kichwani mwake alijiona ni mwenye mkosi duniani na kujuta ni kwanini alizaliwa,

    licha ya hayo yote alimlaumu sana baba yake mzazi mzee Mwasha, alimuhesabia kuwa yeye ndiye chanzo cha hayo yote yanatokea katika maisha yake.

    “nita kuua kwa mikono yangu”

    Aliwaza Enock kichwani mwake.

    **

    Kelele za watu ndizo zilimkurupua Baba Abushiri kitandani kwake na kumziba mke wake mdomo, alijua teyari kuna jambo baya linaendelea nje, alitembea hatua chache tu na kuchungulia nje, hapo ndipo alipata majibu sahihi ya maswali yake aliwaona watu watatu wameshika mitutu wamewaweka baadhi ya watu chini ya ulinzi, ilikua ni lazima afanye jambo sababu ndiye aliye tegemewa ndani ya kijiji hiko,

    Alitembea mpaka uvunguni na kuinua gobole na kushika kisu sawa sawa mkononi mwake alivyo fanya hayo yote alitembea taratibu sana nje, na kumfata mmoja wa waasi na kutumbukiza kisu ndani ya shingo yake,

    kabla ya mwingine kushtuka alimvuta na kumtwanga kichwa puani na kuzungusha teke lililo mfikia mwingine aliyesimama nyuma yake kabla ya kufanya lolote, alichukua gobole na kuwamaliza papo hapo,

    Yote yaliyokua yanaendelea Catherine aliya shuhudia alipenda sana jinsi baba Abushiri alivyokua anapambana na watu hao mpaka kuwauwa, hakuwahi kuona mtu akipigana ivyo zaidi ya kuwaona wacheza muvi wakina Steven Seagal na Don Yen, hapo ndipo alipo tamani nayeye kujua kupigana ili awe anajiamini na kujihami.

    “Ahsante!”

    Alishukuru Catherine

    “usijali rudi ukalale”

    “nilikua naomba kitu kimoja kutoka kwako”

    “kitu gani?”

    “naomba nijue kupambana kama wewe”

    Kauli hiyo ilimshtua sana Baba Abushir hakutegemea hata yeye kwa msichana mdogo kama Catherine kutaka kucheza michezo hatari.

    “hii michezo hatari sana, hautaweza”

    “nitaweza tu, nakuomba tafadhali”

    Huo ndio ulikua mwazo wa kumsumbua Baba Abushir kila siku akimuona, wiki sasa ili katika akizidi kumsihi na kutaka kujua mbinu za kupigana japo aliambiwa kuwa ni kazi na ingemchukua muda,

    lakini hakujali hata kidogo hata ingechukua miaka mia, ili mradi alishajua kile anacho kitaka, alishataka kujua jinsi ya kupambana kutokana na maisha aliyo pitia nyuma na kufanya awe na maadui wengi alijua iyo inge msaidia sana mbele ya safari.

    “beba huo mti twende msituni”

    Alisema Baba Abushir siku hiyo asubuhi sana.

    “sawa”

    “kwanini unataka kujua kupigana?”

    “napenda kujua, kwanza moja self defence, alafu mchezo huu nilikua naupenda tangu muda mrefu sana”

    “sawa, utajua tu ila inakubidi uwe mvumilivu”

    “nakuhaidi nitakua mvumilivu”

    “sawa twende huku ukaanze mazoezi leo”

    Walitembea msituni mpaka walipofika kati kati hapo ndipo Catherine alianza kuambiwa aanze kufanya pushup ili kutanua misuli yake,

    kwake lilikua jambo gumu sana sababu ilikua siku yake ya kwanza hata Baba Abushir hakutaka kumkatisha tamaa, walizidi kufanya mazoezi wote kwa pamoja mpaka ikakatika wiki nzima Catherine alikua anaweza kupiga pushup nyingi hapo, hio ilimpa sana faraja Baba Abushir na hatua nyingine kufuata,

    kila asubuhi walikua waki kimbia mbio ndefu ili kuongeza pumzi, siku zilikatika na mwishowe kuanza mazoezi rasmi ya kupigana ndondi.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “hapana ngumi haikunjwi ivyo, ukitaka kukunja ngumi, hii ngumi moja unaiweka karibu na usoni huku ukitingisha tingisha miguu, alafu kitu kingine ukiwa una pambana na adui yako, jua kumsoma akili”

    “kivipi?”

    “uwe una muangalia sehemu kuu mbili, machoni na miguuni, mfano mimi nikikuangalia miguuni nitajua unarusha ngumi ipi ya kulia au kushoto,embu rusha ngumi”

    Catherine alivyo rusha ngumi ilidakwa na kujikuta yupo chini bila kujua kadondoka vipi.

    “inuka”

    Hayo ndiyo yalikua mazoezi kila siku iendayo kwa Mungu mpaka miezi miwili ilivyokatika Catherine alikua amekwiva sana, alishajua jinsi ya kutumia bastola na kulenga shabaha,

    alishajua jinsi ya kurusha mateke na kupambana na mtu yoyote Yule hata mnyama mkali, kitu ambacho alisisitizwa na Baba Abushir ni ujasiri na asiwe mkorofi.

    ***

    Uzuri Mungu aliumba kitu wakati na kusahau, ivyo ndivyo ilikua kwa Enock ilibidi tu asahau na kuchukulia kuwa ni sehemu ya Maisha kufiwa,

    sababu kama ulizaliwa ni lazima ufe na mwisho wa siku kila mtu ataonja umauti!, alishaamini kuwa Catherine amesha fariki Dunia, kama mama yake mzazi Alisha fariki na kumsahau kwanini isiwe kwa mwanamke huyo,

    Alisha rudi kwenye nyumba yake na kuwatimua watu wote aliowakuta, kila aliye msimulia kilichotokea katika maisha yake alibaki kinywa wazi asijue cha kufanya, lakini licha ya yote mara kwa mara alikua akienda wodi ya vichaa kumuangalia mke wake Heather hali yake ina endeleaje, hakua na kinyongo chochote juu ya mwanamke huyo,

    Baba yake Mzee Mwasha Alisha kimbia na kutokomea kusipofahamika jeshi la polisi lilikua bado lina mtafuta bila mafanikio yoyote yale,

    ilibidi kila mahali atembee na walinzi aliowaajiri kwa ajili ya usalama wake sababu aliamini baba yake mzazi yupo na muda wowote anaweza akamuuwa, na huo ndio ushauri aliochukua kutoka kwa rafiki yake kipenzi Anderson Peter.

    Bado Zahara alionesha kumpenda sana Enock alimsisitiza lakini mbinu zake hazikuzaa matunda.

    Baada ya kuingia ndani ya gari kutoka ofisi za Nissan siku hiyo Enock alinyoosha mpaka kwenye moja ya baa ili akapumzishe akili yake iliyokua na msongo wa mawazo,

    ndani ya akili yake alihitaji mke mwema ili baadae aje kumzalia watoto japo ilikua vigumu kumpata mwanamke kama Catherine,

    “dada naomba kaniitie Yule binti aliyevaa shati jeupe”

    Enock alimwambia muhuhdumu

    “sawa anco, vipi tuongeze kinywaji,?”

    “ndio niongezee alafu umsikilize anataka nini”

    “sawa”

    Baada ya dakika moja msichana mrefu maji ya kunde alikua mbele yake ameketi na kuanza kuulizana maswali huku wakipiga stori mbali mbali za maisha, walizoeana na muda mfupi walifahamiana majina.

    “nafanya kazi bank,kama cashier”

    “sawa Naomi mimi nipo NISSAN posta pale kama mkurugenzi, muda umesha kwenda naomba nikuache”

    “sawa usiku mwema”

    Hapo ndipo urafiki ulipo anzia na baadaye haukuwa tena urafiki, walikua wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati, taratibu alianza kumsahau Catherine na mwishowe kusahau yote yaliyo tokea na hisia zake kuhamia kwa Naomi hakua anasema wala kuongea juu ya mapenzi aliyopata,ila kwao kipingamizi kilikua ni kimoja tu Heather ambaye aliaminika kuwa ni mke wa ndoa kama mkristo hakutakiwa kufunga ndoa mara ya pili. Kila mtu ndani ya moyo wake alitamani swala la ndoa litokee.



    “lazima nifanye kitu, nampenda sana Enock nataka anioe”

    Aliwaza siku iyo Naomi akiwa chumbani kwake amelala baada ya kukata simu ya Enock wakitakiana usiku mwema.





    Mwanamke Naomi alishazama kabisa kihisia, Alisha mpenda sana Enock kupindukia kutoka ndani ya moyo wake na kutamani kufunga nae ndoa aishi nae kihalali na hapo baadaye amzalie watoto wajenge familia waishi kama baba na mama mpaka kifo,

    lakini jambo moja ndilo lina muumiza kichwa ni Heather mke wake na Enock ambaye alikua yupo wodini amerukwa na akili zake kabisa, mwanamke huyo ndiye alikua kikwazo kikubwa cha safari yake ya ndoa kutimia, kama maandiko ya biblia yalivyoandikwa kuwa ni kifo tu ndiko kitawatenganisha wana ndoa na wala sio kitu kingine,

    Alitamani muda wowote ule Heather afe ili yeye aweze kuolewa, ilishapita wiki nzima akitafakari ni kitu gani akifanye. sio yeye tu Hata Enock alishafikiria ni kitu gani akifanye lakini akili yake iligota na kugonga mwamba alishindwa kufikiria nje ya boxi,

    hata kama mwanamke huyo alihusika kumuuma Mama yake mzazi hakupaswa kulipiza ubaya,

    kasha kua mwendawazimu aliamini hiyo ni adhabu tosha kutoka kwa Mungu!

    “sasa itakuaje Mpenzi?”

    Naomi alimuuliza mpenzi wake

    “kuhusu nini?”

    “kuhusu ndoa yetu”

    “kama nilivyo kwambia ina bidi tuwe na subira si nilishakwambia nina mke, nipe muda kwanza nifikirie cha kufanya alafu nitakujibu, haya mambo sio ya kwenda pupa”

    “Enock unanipenda?”

    “nakupenda sana hilo sio la kuuliza”

    “nikuulize kitu?”

    “ndio mpenzi wangu”

    “mimi na Yule kichaa wako unampenda nani?”

    “nakupenda wewe Naomi”

    “sasa mbona una kua mzito wa kufikiri,kama hauna malengo namimi uniambie sio unanipotezea muda wangu bure”

    “nipe muda nitajua cha kufanya”

    Ivyo ndivyo kila siku Naomi alikua akimsumbua mpenzi wake Enock juu ya yeye kumuoa, ni kweli kabisa alitamani ndoa kuliko kitu chochote kile duniani,

    Enock alishachanganyikiwa hakujua ni kitu gani afanye kila siku alikua akiwaza ni kitu gani akifanye juu ya Heather alitamani afe mara moja ili yeye apate mwanya wa kuishi na kufunga ndoa na Naomi,

    ofisini alikua hapakaliki tena kila kukicha Naomi alikua akimsumbua juu ya yeye kafikia uamuzi gani na kufanya iwe kero na kumtishia kuwa atamuacha muda wowote.

    “kama hutaki basi tuachane!”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Naomi alitingisha kiberiti siku hiyo na kuona ni jinsi gani Enock alivyo shtuka akimuomba msamaha

    “sasa huko umefika mbali sana”

    “ndio ivyo”

    “Naomi usifanye ivyo”

    “basi kama hutaki niruhusu nifaye kitu kimoja”

    “kitu gani?”

    “naenda kumuuwa”

    “nini?”

    “kama ulivyosikia”

    “hapana usifanye ivyo”

    “Enock hunipendi bado unampenda Yule kichaa wako, na usinitafute tena”

    Baada ya kumaliza maneno hayo Naomi alisimama akiwa amekasirika sana, siku mbili nzima walinuniana kila mtu hakumsemesha mwenzake kabisa,

    lakini mmoja wapo kati ya hao wawili alionesha kuumia zaidi kuliko mwenzake si mwingine bali ni Enock siku mbili bila ya kuongea na Naomi alihisi kuumwa sana,

    baada ya siku mbili kupita mpaka ina fika mtondogoo ndipo alipompigia simu na kumuomba msamaha japo alijua hakufanya kosa la aina yoyote ile,

    ili mbidi awe mdogo na kujishusha.



    “kwaio umeamuaje?”

    Aliuliza Naomi

    “fanya unavyo jua ili tufunge ndoa”

    “okay baby wangu”

    Baada ya kukata Simu Naomi alikua mwenye furaha sana, ,kichwani mwake hakuwaza kitu kingine bali ni kufanya mauaji japo hakuwahi kufanya kitendo hiko kabla, lakini mapenzi ndiyo yalimpelekea akachukua maamuzi ya kutaka kutoa uhai wa Heather ambaye alikua ndiye kikwazo peke yake.

    Siku hiyo hiyo aliwasha gari mpaka wodi ya vichaa Muhimbili ili kumuona Heather,

    ivyo ndivyo alivyo fanya siku iliyo fuata, alijaribu kujenga urafiki wa karibu na mwanamke huyo mwendawazimu, alionesha sura ya ukarimu hata wauguzi waliomuona walimuonea huruma sana Naomi.

    “Dada angu anaendeleaje?”

    Aliuliza Naomi

    “kama unavyomuona ivyo, tunajaribu kumpa mpa dawa zitakazo msaidia”

    Alijibu muuguzi wa kikealiyevalia sare za rangi ya bluu

    “Mungu amsaidie dada yangu apone, sijui kwanini imekua ivi. EEh Mungu nini nime kukosea nini kakukosea Heather, kwanini umeamua kumpa Adhabu hiyo”

    Alizungumza Naomi akitia huruma sana hata muuguzi aliye kua nae pembeni alimuonea sana huruma moyo ni kiza kinene huwezi kujua yupi mkweli yupi muongo!, hakuna hata punje ya neno moja lililokua lenye ukweli ndani yake, mambo aliyokua akiongea Naomi haya kushahabiana na moyo wake hata kidogo,

    Ndani ya moyo wake alitamani Heather afe muda huo huo, wiki nzima alifululiza kwenda wodi ya vichaa mpaka wauguzi kuanza kumzoea.

    “Mimi na kamazubanda banda banda, njoo hapa hi hi hi hi hi hi, what is biology? Njoo tuvue samaki, unajua kuimba Mungu ibariki njoo tuimbe oooh Baba wa taifa nime kukumbuka sana baba yangu, unavikumbuka vita vya maji maji ha ha ha ha ha viliongozwa na kinjeketile. Inabidi nimpigie simu”

    Maneno hayo yalimtoka Heather akijaribu kuongea vitu visivyoeleweka akichanganya habari,

    Naomi aliyekua pembeni yake alimkata jicho kali la chuki za wazi wazi, kwakua wauguzi walimzoea tayari walimuacha chumba kimoja na wao kuondoka zao,

    Hiyo ndiyo ilikua nafasi yake pekee ya kutimiza kile alichotaka kukifanya siku nyingi, sumu kali ya panya DDT poison aliyokua akitembea nayo kila siku kwenye pochi yake aliitoa na kuimimina ndani ya maji ya kunywa na kumkabidhi Heather anywe.

    “kunywa maji matamu sana”

    “tamu?”

    “Tamu ndio shika”

    Hakuelewa kuwa amewekewa sumu kali na kuanza kuyanywa maji kwa mkupuo mpaka chupa yote kuisha, haikupita hata sekunde mbili Heather alikua akipiga kelele za maumivu ya tumbo huku akigala gala chini,

    Alishajua kuwa dawa yake inafanya kazi alimsogelea karibu yake na kumziba pua ili aweze kummalizia kweli alikua na roho ya kijasili pepo mchafu alishamuingia,

    alivyo hakikisha Heather katulia hasemi alitoka nje nakuanza kupiga kelele nyingi sana za msaada.

    “nini?”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “amekunywa maji yaliyokua yana sumu ya panya nilitoka nje kwenda chooni”

    “kwanni umekuja na sumu sasa?”

    “nyumbani kwangu kuna panya nilinunua ili kuwategeshea”

    Ivyo ndivyo alivyokua akijitetea Naomi hata alipohojiwa na mtu yoyote Yule aliyemuuliza juu ya kifo cha Heather,

    alilia machozi ya uwongo wauguzi waliomzoea walimpa pole nyingi huku wakimpa matumaini, ndani ya moyo wake alijiona mshindi sana na kuona ataweza kuishi vizuri na Enock wakiwa na maisha mazuri sababu ya uwezo wake kifedha.

    Baada ya mazishi ya Heaher kuka milika kila kitu na kutoa matanga sasa ilibaki kazi moja tu kufunga ndoa na Naomi,lakini ilibidi kidogo avute muda ili ndugu wa upande wa Heather wasiweze kumfikiria vibaya,

    Mwezi ulikatika na sasa kuanza kuishi nyumba moja na Naomi kama mume na mke wakisubiri tu Ndoa ifanyike hayo ndiyo yalikua mawazo katika kila akili ya mmoja wapo.

    ***

    “Mama shikamoo, Mimi Catherine”

    Upande wa pili wa simu ulisikika baada ya Sabrina kuweka simu yake sikioni, alistaajabu aliitoa simu sikioni na kuiangalia tena sababu hakuamini sauti aliyo sikia , alijua wenda yupo kwenye njozi.

    “Catherine yupi?”

    “Catherine mwanao”

    “hapana sio kweli Catherine mwanangu ameshafariki na tushamzika kama unanichezea akili naomba uniache binti”

    “Mama mimi sikufa,nipo Kongo nilipona ni historia ndefu sana, lakini nacho kuomba usimwambie mtu yoyote Yule mimi nakuja kesho nishakata tiketi ya ndege”

    “Mungu wangu, Mwanangu Catherine njoo nikuone, nililia sana kwenye msiba wako, kumbe haukufa? Eeh Mungu wangu”

    Bado hakutaka kuamini kuwa mwanae yupo hai na ametoka kuongea nae sekunde chache zilizopita, alitembea mpaka kwenye sink la maji na kunawa uso ili kuhakikisha kuwa kama ni kweli au yupo kwenye njozi,

    ukweli ni kwamba hakua ndotoni alimtizama Mwanae Christopher ambaye alishaanza kutambaa sasa na kuweza kuita Mama,

    Usiku kucha aliwaza bila hata ya kupata lepe la usingizi akisubiri kukuche na kwenda kumpokea Mwanae Catherine uwanja wa ndege mwalimu Nyerere,

    masaa yalienda na kukucha tayari. alimpa Christopher uji na kumuogesha kama afanyavyo kila siku,

    Mchana ulivyo fika kweli simu yake iliita na kuongea na Catherine kuwa kasha fika uwanja wa ndege mwalimu Nyerere, hapo ndipo alipoamini kuwa hayupo ndotoni. Aliwasha gari na kunyoosha mpaka uwanja wa ndege.

    Alishuka haraka haraka akiwa na Christopher mkononi mwakempaka macho yalivyotuwa machoni mwa Catherine walikimbiliana na kurukiana,

    kila mtu hakuamini na kujikuta wote wanalia machozi ya uchungu, walikua na mambo mengi ya kuongea juu ya maisha waliyopitia hapo nyuma mtu na mama yake.

    “Ma..ma ya…ngu, sia..mini kama ningekuona tena, niliteseka sana Mama”

    Aliongea Catherine kwa uchungu huku akilia machozi, alimtizama mtoto mdogo aliye mshika mama yake na kutaka kuuliza kitu lakini alisita

    “Catherine mwanangu, huyu ni mdogo wako”

    “Ma…ma”

    “Abee”

    “sawa usijali, Baba yake ni nani?”

    “nitakwambia”

    Waliingia ndani ya gari na safari ya kuanza kurudi kupumzika kuanza, Sabrina Alisha ama tayari nyumba safari hii alikua akiishi Tabata bima kisiri sana hakuna mtu aliyejua isipokua ndugu wa karibu.

    Ndani ya siku mbili Catherine alishaanza kuzoea mazingira na kurudi katika hali yake ya kawaida baada ya kutuliza akili yake, alimkumbuka mwanaume Enock, hapo ndipo aliposimuliwa na Mama yake kuwa alimfuatilia mpaka Uganda na kushindwa kumpata.

    “wachaniende kwake sasa hivi”

    “sawa mwanangu”

    Alichukua gari ya mama yake na kuliondosha kwa lengo moja tu kumfuata Enock ili amshukuru, ndani ya moyo wake hata yeye alihisi kuna kitu kina msumbua lakini hakujua ni kipi,

    alinyoosha mpaka nyumbani kwa Enock asubuhi hiyo na mapema, alivyo fika aliweka gari pembeni na kufungua geti,CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alinyoosha mpaka seblen kitu kilicho mshtua ni picha ya mwanamke wa maji ya kunde zikiwa zimebandikwa ukutani huku nyingine wakiwa wamepiga na Enock,

    bado alikumbuka mambo mengi waliyo fanya na Enock ndani ya nyumba hiyo, ilimkumbusha vitu vingi sana vilivyopita katika maisha yake, kweli alikua mbali kifikra, mwanamke aliye kua pichani bila kuuliza chochote alijua tu ni mwanamke wa Enock.

    “Dada samahani nikusaidie nini?”

    Sauti ya kike ndiyo ilimshtua katika ndimbwi la mawazo alivyokua amesimama, mwanamke aliyesimama mbele ndiyo huyo aliyemuona pichani.

    “naomba nionane na Enock”

    “wewe ni nani yake?”

    “mwambie Catherine”

    “Catherine yupi, wa wa….”

    “baby funguo zangu za gari utazikuta chumbani, nilikua naomba nitumie gari yako ala….”

    Enock aliyekua anatokea chumbani anashusha ngazi huku akirekebisha tai yake vizuri hakuamini mwananamke aliyesimama mbele yake kuwa ni Catherine, alibaki ameganda kama barafu huku bado mkono wake ukiwa kooni mwake, mapigo ya moyo yanamdunda kwa kasi,



    Mapigo yake ya moyo yalizidi kumwenda kasi kungekua kuna kipimo cha mapigo ya moyo basi kingeonesha moyo wake una dunda mara mia mbili kwa dakika moja! Mwanamke aliye simama mbele yake bado alibaki kumshangaa,

    mwanamke ambae alihangaika kumpata kwa siku nyingi sana akijitolea muhanga na kusafiri mpaka nchini Uganda ili kumkomboa , mwanamke ambaye aliyefanya mpaka wawindane na baba yake mzazi kutaka kuuwana,mwanamke huyo huyo alimtoa bikra yake,mwanamke ambaye alidhani amekufa miezi kadhaa iliyopita,

    Bado alikua haelewi ni kitu gani kinatokea alimtizama Naomi mchumba wake na kurudisha tena macho yake kwa catherine, hata Naomi nayeye alishindwa kuelewa kwanini mchumba wake ameganda kama barafu anahema juu juu hata yeye alijua kuna kitu kinaendelea picha ilionesha.

    “Enock mpenzi upo sawa?”

    Aliuliza mchumba wake

    “Catherine, hapana sitaki kuamini”

    Badala ya kumjibu mchumba wake alimuongelesha Catherine, sio Enock tu peke yake hata Catherine mapigo yake ya moyo yalimwenda kasi na kukumbuka vitu vingi vilivyopita katika maisha yake,

    hakusema lolote lile na kuanza kuondoka zake pale pale.

    “unaenda wapi Enock?”

    Alihoji Naomi alivyomuona mchumba wake nayeye anataka kutoka nje,alitanda mbele yake kwa hasira na jazba zote.

    “embu nipishe”

    “sitaki, unaenda wapi?”

    “nipishe moja”

    “sipishi”

    “nipishe mbili”

    “sipishi!”

    “Ebwana nipishe bwana tat..”

    Naomi alijikuta yupo juu ya kochi baada ya kusukumumizwa, hata yeye alishangaa kuona hali aliyokua nayo Enock. Alimshuhudia akitoka nje huku akiita jina Catherine.

    “Catherine Catherine!”

    Enock Alizidi kuita huku akiwa nyuma nyuma ana kimbia alivyotoka getini alishuhudia Verosa inazunguka na kutoka kasi ndani akiwepo Catherine anaendesha, aliitambua gari hiyo ilikua ni ya mama yake, alirudi ndani ya geti na yeye kuwasha gari, alifungua geti na kuanza safari ya kumfukuzia mpaka tabata bima nyumbani kwa Mama yake mzazi na kushuka ndani ya gari,

    **

    Mzee Mwasha bado alikua na kinyongo na watu watatu rohoni mwake, alishaweka hali ya chuki tangu mwanzo, swala alilolianza ilikua ni lazima alimalize na kuishi kwa amani Catherine, Enock na Sabrina ilikua ni lazima wauwawe.

    alikua ni mtu wa kujificha sasa alishajua kuwa Catherine amerudi na yupo hai ilikua ni lazima amuuwe kivyoyote vile, kila siku iendayo kwa Mungu huwa tuma vijana wake wafanye uchunguzi juu ya Enock ili wammalize lakini kikwazo kilikua ni kimoja tu, alikua akitembea na walinzi kila kukicha na kila wakati,

    makazi yake aliya hamishia Zanzibar kijiji cha DORE huko ndipo alipokua amejificha lakini dunia ni kijiji alishajua nini kinaendelea Dar es salaam juu ya watu anaowatafuta, vijana wake ndiyo waliokua wakimpa taarifa zote.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hakuna habari iliyo mfurahisha kama alivyo sikia kuwa Enock asubuhi katoka mbio mbio bila ya walinzi wake, hapo ndipo alipo toa kauli kuwa wamfuatilie kisha wamuuwe,

    Walikua wakilifuatilia gari lake Marced Benz nyuma nyuma mpaka lilipopaki katika nyumba iliyopo tabata bima.

    **

    “Catherine”

    Aliita Enock akitia huruma baada ya kuingia ndani mwa Sabrina kama mshale bila ya kubisha hodi

    “jamani kuna nini?”

    Alihoji Mama Catherine

    “Mama nampenda sana Catherine nime kuja kumuomba msamaha ili tuyamalize, nime furahi kumuona akiwa hai”

    “hapana hunipendi mimi nawewe hatuwezi kuwa pamoja tena sahau Enock, una mwanamke wako teyari”

    Alijibu Catherine akiwa amesimama bado

    “usiseme ivyo Catherine usiseme ivyo tafadhali, haujui kilichotokea mimi na mama yako tuliteseka kukutafuta, nilijitolea maisha yangu kufa kwa ajili yako mpenzi wangu, naomba sahau yote yaliyo pita tugange yajayo”

    “siwezi kusahau, nitasahau vipi kirahisi?, kisa wewe nilitaka kufa, hapana siwezi, napenda tu kukushukuru uliokoa maisha yangu basi ila kwa unachotaka sahau”

    Sabrina aliyekua pembeni yao alibaki kimnya akiwatizama alikua ni kama anaangalia maigizo au tamthilia sababu walipokezana kuongea, alimuonea sana Huruma Enock laiti angelikua Catherine ange mkubalia mara moja Enock sababu alielewa ni jinsi gani kijana huyo alivyoteseka juu ya maisha ya binti yake hata yeye alilielewa hilo,

    Bila kuamini alimshuhudia Enock akienda chini na kupiga magoti huku akilia machozi kama mtoto mdogo akizidi kuomba msamaha sana,

    jambo hilo lilimgusa sana moyoni mwake na kuamua kuingilia kati.

    “Catherine”

    Alimuita mwanae

    “Abee Mama”

    “naomba umsamehe”

    “Mama!...”

    “nakuomba mwanangu, binadamu huwa tunajifunza kupitia makosa Enock na mimi tuliteseka sana kwa ajili yako, aliniadithia kila kitu kuhusu wewe na yeye, alinihadithia kila kitu kuhusu mke wake jinsi alivyomuendea kwa waganga, haikuwa akili yake, kwa niaba yangu naomba msamehe”

    Hayo ndiyo maneno aliyo sema Sabrina akimuangalia mwanae hakika hata yeye aliridhia binti yake aolewe na Enock aliona ni kijana mkarimu sana kupita yoyote Yule ambaye aliyewahi kujuana nao kabla.

    Lakini ndani ya moyo wa Catherine pia alimpenda Enock ila kuna nafsi nyingine ilikua nzito kukubaliana na uamuzi anaotaka kuutoa wakati huo, alishusha pumzi na kumtizama Enock machoni mwake ambaye alikua akilia bado kajikunja,

    alimuinua taratibu na kutabasamu kisha kumkumbatia.

    “nime kusamehe, nakupenda sana Enock”

    Katika maisha yake hakudhani kuwa atakuja kukutana tena na Catherine alijua kisha kufa tayari aliona ni kama yupo kwenye njozi ,

    maisha waliyopitia alistaili kwanza amshukuru Mungu, hakuna alichowaza zaidi ya kitu ndoa kubwa ndani ya akili yake.

    “Catherine,naomba uwe mke wangu,nataka tufunge ndoa mwezi ujao”

    Alitamka Enock

    “Enock bado mapema”

    “hapana mpenzi sitaki kukukosa tena”

    Ilikua ni furaha kwa wawili hao kukutana tena kuwa wapenzi. Maisha aliyopitia Catherine ndiyo yaliyo muumiza kichwa chake wanaume mbali mbali waliokua wakimuingilia kimwili wakimchezesha filamu za ngono ndiko kitu pekee kilichokua kina mtesa ndani ya mtima wake,

    lakini hakutaka kumwambia Enock wakati huo wa furaha yao ilibidi kwanza watulie ili aweze kumuelezea wakiwa hata kitandani wanasherekea matunda ya kurudiana na kufungua ukurasa wao mpya wa mapenzi.

    “gandeni ivyo ivyo”

    Sauti ya jitu lenye misuli ndilo lililowashtua na wote kumgeukia, waliingia ndani watu watatu na kutabasamu.

    “ha ha ha ha ha bora tumewakuta wote watatu kazi yetu itakua rahisi, tuanze kumuuwa nani kati yenu?”

    Jitu lingine lilitokea, Enock alishajua teyari watu hao walitumwa na baba yake mzazi mzee Mwasha, na bado vita inaendelea, CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hata kwa Sabrina na Catherine walikua wanawaza kitu kimoja, walishangaa kumuona Catherine akiwasogelea.

    “niueni Mimi wa kwanza”

    Alisema Catherine akimsogelea mtu mmoja wao aliyekua na bastola mkononi mwake akijiamini sana, alikumbuka mafunzo yote ya kupambana na adui yoyote Yule akiwa nchini Kongo,

    alimkumbuka baba Abushiri na kutambua kuwa sasa huo ndio mtihani wa kuthihirisha kuwa amekwisha wiva kwa kupambana,

    aliwatizama watu wote watatu kwa zamu na taratibu kusogeza mguu wake nyuma tayari kwa kupambana na maadui hao waliokua mbele yake wanataka kuutoa uhai wake..



    Catherine Ramsey Kidhirwa alisha windwa mara nyingi sana kuuwawa sio yeye tu alitakiwa awuwawe, bali ni watu wengine wawili Mama yake mzazi na Mpenzi wake Enock ambaye alitoka kumsamehe muda mchache uliopita, watu waliokua mbele yao wamewazunguka ili kuwauwa walitumwa na Mzee Mwasha aliyekua amejificha huko kisiwani Zanzibar kijiji cha Dore!,

    Kila mtu hofu ili mtanda isipokua kwa Catherine ambaye alikua na mahesabu yake kichwani aliona kofi linakuja usawa wake na kuinama kidogo, bastola iliyokua imeshikwa na jambazi aliyekua mbele yake aliipiga teke kisha kumvuta jambazi mwingine na kumpiga kifuti sehemu zake za siri, kitendo cha dakika mbili tu majambazi walikua chini kila mtu anaugulia maumivu sehemu tofauti ya mwili wake, hawakuamini kama mwana mke kawaweka chini,kawazidi nguvu.

    Enock na Mama yake mzazi hata wao walistaajabu kushuhudia kitendo kilichotokea mbele yao Catherine kuwapiga wanaume watatu tena kiujasiri,

    kweli hakua Catherine waliyemjua miaka michache iliyo pita hapo nyuma,

    Majambazi hao walijizoa zoa na kuondoka zao wakiwa hawaamini kilichotokea, hapo ndipo Catherine alipo pata nafasi ya kuwahadithia jinsi alivyo fundishwa jinsi ya kupigana.

    Siku zilizidi kukatika huku Enock akizidi kumuonesha mapenzi mengi sana Catherine aliamini kuwa ndiye mwana mke wa maisha yake hapo baadaye, ilikua ni lazima amfate Naomi amueleze ukweli wa mambo, ilikua ni lazima ayaweke mambo wazi, ilikua ni lazima ampe historia fupi juu ya mapenzi yake na Catherine japo alimjua mwanamke huyo angekasirika na kuchukua hatua yoyote mbaya sababu tu Alisha muuwa Heather ili afunge ndoa na Enock,

    haikua kazi rahisi kumfuata na kumueleza ili hitajika akili ya ziada hakua na imani kabisa kama Naomi angemuelewa sababu alijua ni jinsi gani mwanamke huyo alikua ni mkorofi na m-babe sana ingawa alikua mwanamke ila alikua ni mwepesi wa kukasirika sana na sio mwelewa!.

    “Mpenzi!”

    Aliita Enock usiku wakiwa chumbani mwao kitandani.

    “Bee mume wangu mtarajiwa!”

    “unanipenda?”

    “nakupenda sana, na sijui kitu gani kitakuja kututenganisha Mume wangu”

    “nikuombe kitu kimoja Mpenzi?”

    “bila shaka!”

    Hapo ndipo Enock alipo anza kumuhadithia historia fupi kuhusu Catherine tangu walipoanza mapenzi yao na kudhani wenda alikufa kwenye vita vilivyotokea Congo, maneno hayo haya kumfurahisha hata kidogo mwanamke huyo ambaye muda mchache alikua anawaza ndoa kisha anaambiwa habari za Catherine, alimtizama Enock kwa macho makali na kukunja uso wake, Alisha waalika marafiki zake na kujitamba juu ya harusi yake kubwa itakayozungumziwa na watu wengi sana.

    “hivi ni mwanamke gani ambaye utamueleza huo upuuzi unaonieleza akubali, wewe una umwa wewe Enock,oooooh! Eti Catherine nilijua amekufa sasa hivi yupo hai nataka kumrudia, MPUUZI WEWE, HUNA AKILI HATA KIDOGO, yaani sijawahi kuona mwanaume ambaye hamnazo kama wewe, mwenyewe kwa nye** zako ulinitongoza alafu leo unaniambia mashudu yako. UTANIOA nakwambia”

    Enock alitegemea majibu kama hayo kutoka kwa Naomi alivuta pumzi ndefu sana na kumtizama mwanamke huyo ambaye alikua bado anabwabwaja sana maneno mengi yaliyoendana na mdomo wake mpana kiasi.

    “na kesho kutwa nataka univalishe ile pete ya uchumba uliyo nihaidi”

    Alimalizia Naomi huku akiji funika shuka gubi gubi akiwa bado anaongea akiwa ndani ya shuka, haikuwa kazi rahisi kukubali yale yaliyozungumzwa na Enock.

    “eti ooh Catherine mimi nampenda tume toka mbali mjinga wewe, usiniletee upuuzi, mimi sio wa kujaribiwa jaribiwa ovyo!”

    Naomi bado alizidi kuongea huku akibana pua zake akiyaiga yale aliyokua akiongea Enock,bado alisisitiza kuhusu ndoa yake ambayo teyari aliwaalika marafiki zake kutokea mikoani na wafanya kazi wenzake.



    Usiku huo ulipita, hatimaye kukucha!

    Jioni ilifika ya siku nyingine bado Enock alikua na mawazo mengi kupita maelezo akili yake ili elemewa na msongo wa mawazo mengi, juu ya wanawake wawili waliokua wanamtesa, Naomi na Catherine!

    Alimpenda Catherine sana na muda wowote ule alitaka afunge nae ndoa awe mke wake kisha baadaye amsomeshe hata nje ya nchi ikiwezekana ampeleke OXFORD chuo kikuu alichomalizia masomo yake, ila Naomi ndiye alikua kikwazo kikubwa, Alisha jaribu kukaa nae kistaarabu lakini alishindwa, ilibidi aende nae taratibu sana sababu alimtishia kuwa atamshtaki kuwa yeye ndiye aliyemuagiza aende na sumu wodi ya vichaa na amuuwe Heather, habari izo ndizo zilimfanya aogope sana, kwani alijua sheria ingembana mpaka kujua ukweli angesota sana gerezani, ni kweli alikua katika wakati mgumu mno.

    “ndio ivyo chagua moja, twende wote gerezani au unioe?”

    Aliuliza Naomi ilikua ni sawa kuvaa bomu na kujitoa muanga wote wakaozee gerezani kuliko kum-shuhudia Enock anafunga ndoa.

    “Naomi?”

    “Ndio jina langu unasemaje?”

    “Mbona unakua ivyo?”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Nakuwaje? Kama nilivyokwambia usipoangalia tutaenda wote gerezani, mimi naenda utanikuta nyumbani”

    Enock alichoka kabisa na kuweka kichwa chake juu ya meza ofisini kwake na kulegeza tai yake kooni, alishindwa ni kitu gani akifanye kwa wakati huo, siku hiyo jioni aliona ni bora aende kumueleza mshenga wake Anderson Peter kila kitu kilichokua kinaendelea ili amuombe ushauri ni kitu gani akifanye juu ya wanawake hao wawili.

    “umesema kuwa Naomi ndiye alimuuwa Heather?”

    “ndio Anderson”

    “kwani wewe ulikua hujui?”

    “nilikua najua sana kusema ukweli wa Mungu”

    “hapo una kazi ngumu blazza, kuwa makini sana, cha kufanya nipe siku mbili tatu nitajua cha kufanya”

    “nitashukuru sana, maana kichwa changu kimechoka hapa sana, silali usiku ndugu yangu!”

    Aliona ni bora amuelezee kila kitu rafiki yake aliyemuamini sana kupita mtu yoyote Yule.

    **

    Naomi Alisha mfuatilia Catherine mpaka sehemu anayoishi kutokana na wivu wa mapenzi aliokua nao bado alitaka kula nae sahani moja, maneno aliyo ambiwa kuhusiana na mwanamke huyo aliyekiri kuwa ni mrembo kupita yeye yalijenga chuki sana ndani ya moyo wake, alijua ndiye yeye tu anaye fanya mambo ya ndoa yake ya Kwame ilikua ni lazima afanye jambo, mchana wa siku hiyo aliweka gari yake tabata bima pembeni ya nyumba anayoishi Catherine na kushuka ndani ya gari aligonga geti na kufunguliwa na mlinzi.

    “nime mkuta Catherine?”

    Aliuliza Naomi akiwa na miwani ya jua machoni mwake.

    “ndio yupo pita ndani, yupo seblen”

    Jibu hilo tu ndilo lilimfanya atembee haraka haraka mlangoni na kuufungua mlango na kumkuta Catherine akiwa na mama yake wamekaa seblen wakiwa na mtoto mdogo christopher!.

    “sina haja ya kujitambulisha nafikiri unanijua?”

    Alianza kuongea Naomi bila ya salamu

    “nakufahamu, mchumba wake na Enock!”

    “ahaa umejibu vizuri!, sasa nisikilize wewe Malaya wa Dar es salaam uliye kubuhu, naomba iwe mwanzo na mwisho kuzungumza na Enock umesha nielewa, Enock ni mume wangu mtarajiwa, tunaenda kufunga ndoa kama keshakudanganya atakuoa sahau! Tena sahau, UMKOME Malaya wewe, sijamaliza kukwambia kitu kingine, nimesha zaa nae watoto wawili tayari najua kakuficha”

    Naomi alizidi kutoa maneno machafu na kumfanya Catherine aumie moyoni mwake hakika yalikua ni maneno makali sana yenye uzito mno, alijikuta anashindwa kuvumilia na kuanza kububujikwa na machozi yaliyofanya mashavu yake yalowane..



    Enock na Catherine walisha patana tayari na kurudiana, sasa hivi ni mtu na mpenzi wake ndoa ndiyo iliyokua ikisubiriwa, historia fupi yenye kusisimua waliyopitia katika maisha yao ndiyo iliyowaunganisha, hata wewe ungeisikia ungewaonea sana huruma visa vingi sana vilijitokeza miaka michache iliyopita katika mahusiano yao na mikasa vile vile mpaka walipofikia siku hiyo!

    Hata Enock kuchukiana na Baba yake mzazi mzee Mwasha na kupigana risasi kisa mwanamke huyo mrembo ambaye alikua tishio mbele ya macho ya wanaume,

    ingawa walipatana ila kikwazo kilikua ni kimoja tu mwanamke aliyeitwa Naomi ambaye alikua ni mchumba wake na Enock, alimpata kutokana na kudhani wenda Catherine alifariki katika vita na fujo zilizotokea nchini Kongo, alidiriki kufanya mauaji na kumuuwa mwanamke Heather kisa yeye aolewe na tajiri Enock aliyetoka ng’ambo.

    Mambo yanakua magumu tena baada ya Catherine kutokea na ndoto zake kuzimika kama mshumaa, hapo ndipo alipo funga safari Mpaka tabata Bima na kuanza kumtukana Catherine mbele ya Mama yake mzazi.

    “umenisikia Malaya,umkome sawa!”

    Alizidi kuropoka Naomi

    “Lakini binti mbona una kua sio mstaarabu, unakuja kwa watu na kuanza kutoa kauli chafu”

    Alidakia Mama Catherine

    “Mama tafadhali, naomba umkanye mwanao mimi naenda ila akiendelea kitakachompata tusije tukalaumiana kabisa hapo baadaye, nadhani nimeeleweka mkanye mwanao”

    Alimaliza Naomi na kuondoka zake. Catherine alibaki akilia machozi asijue cha kufanya matusi aliyo tukanwa hakika yalikua mazito sana mama yake ndiye pekee aliyeenda na kumbembeleza ili asiendelee kulia,

    Ndani ya moyo wake alijuta kumkubalia Enock, ilikua ni lazima amfuate na amuelezee ukweli hata kama angeumia ndani ya moyo wake, alijua yeye ndiye kikwazo cha matatizo yanayotokea na ugomvi japo alimpenda Enock ilikua ni lazima aachie ngazi ili amuachie Naomi afurahi.

    “Mama nataka niende kwa Enock Kesho, nimwambie ukweli siwezi kuishi hivi, siwezi kuishi na mashaka kiasi hiki nishachoka Mama”

    Alizungumza Catherine siku hiyo usiku wakiwa wanakula chakula mezani, kweli aliongea kwa msisitizo juu ya kile anachozungumza japo alijua kuwa ni jinsi gani Enock alivyoteseka na kuyapigania maisha yake,

    alikumbuka jinsi alivyojitosa na kupigwa risasi kwa ajili ya kutetea uhai wake,licha ya kukumbuka yote hayo lakini hakuweza kubadili maamuzi aliyo yatoa tayari, aliona ni bora kula wali mkavu kwa amani kuliko wali nyama vitani!,

    “lakini mwanangu… Enock hakukwambia kuhusu huyu mwanamke?”

    “aliniambia lakini alisema atajua cha kufanya, Mama mimi siwezi”

    “Embu kajaribu kuongea naye iyo kesho alafu uniambie kasemaje, usije ukapata matatizo hapo baadaye”

    Alishauri Mama yake

    “sawa Mama wacha niende hiyo kesho”

    Baada ya kula chakula kila mtu alienda kulala, ila kwa Catherine ilikua kinyume, hakuweza kulala usiku kucha akitamani kukuche asubuhi yake ili akaonane na Enock na kumueleza yale yanayo msumbua ndani ya kichwa chake ilikua ni lazima amuombe waachane.



    Asubuhi ilivyo fika alijiandaa!. Aliwasha gari ya mama yake mkuku mkuku mpaka kwa Enock, baada ya kufika alipaki nje ya geti na kuingia ndani, bahati nzuri alimkuta Enock yupo peke yake Naomi Alisha ondoka tayari kwenda kazini.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “vipi mbona ghafla, hata kunipigia simu?”

    Alihoji Enock akiwa ana malizia kunywa chai asubuhi kasha jiandaa tayari kwa kuondoka kibaruani.

    “sikia Enock sina mengi ya kuongea nawewe, ninacho kuomba tu, tuwe marafiki wa kawaida sio vinginevyo, siwezi mimi kuishi na mashaka”

    “Catherine usiseme ivyo, Naomi isiwe kikwazo mimi na wewe tume toka mbali sana, unalijua hilo Catherine Mpenzi wangu, naomba usichukue huo uamuzi,”

    “hapana Enock nishamaliza mimi”

    “Catherine,”

    Aliita Enock huku akimsogelea kwa hatua za taratibu sana na kumshika Kidevu chake, alipeleka mdomo wake mpaka midomoni mwa Catherine na kuanza kumnyonya mdomo wake taratibu sana wakilana denda,

    Alichukua mikono yake na kuizungusha mpaka kwenye kiuno chake na kumvuta karibu na kufanya maziwa yaguse kifuani mwake, Catherine damu ilimwenda mbio hakua na cha kusema zaidi tu nayeye aliuzungusha ulimi wake ndani kinywani mwa Enock.

    Safari ya ofisini ilighairishwa Enock alimbeba Catherine juu juu mpaka juu gorofani chumbani kwake na kumtupa kitandani huku wakiendelea kupigana madenda wakicheza na ndimi zao kama njiwa,

    Kila mtu hakua mgeni wa Mwenzake Enock alijua udhaifu wa Cate ulipo ni kwenye maziwa juu ya chuchu zake, taratibu alimvua topu aliyo vaa na kuanza kuyanyonya maziwa yake tena kwa zamu kila sekunde akibadili huku mkono wake mmoja akiupitisha chini kwenye mgodi wa msichana huyo mrembo na kuanza kupekecha pekechua,

    wakati hayo yana fanyika Catherine alikua hajiwezi kaya fumba macho yake, ni siku nyingi sana hakuwahi kukutana kimwili na mwanaume ivyo kutoka ilikua vigumu, mwenyewe alianza kukikatikia kidole kilichoingia ndani ya mgodi wake huku akitoa mihemo puani mwake,

    Alijikuta anapeleka mikono yake mpaka kwenye suruali juu ya zipu ya Enock na kuifungua. Alitoa Tango la Enock na taratibu kuanza kulichua baada ya sekunde mbili aliliweka mdomoni mwake na kuanza kulilamba taratibu, ‘utamu wa pipi ni mate’ aliyakusanya mate mengi mdomoni mwake ili ale pipi kijiti, hakuelewa hata yeye ni kwanini anafanya hayo yote,

    alikumbuka sana alivyokua UGANDA alivyokua akichezeshwa filamu za ngono na kusikia wanavyo fundishwa jinsi ya kucheza na UUME na ndio alivyo taka kudhiirisha utundu huo kwa Enock,

    alimtoa shati lake la juu kisha kuanza kumlamba kifuani na kutumbukiza ulimi wake hadi masikioni mwake.

    Enock alikua hoi bin taaban! Hajiwezi tena, hata yeye alisha jua kuwa mwanamke huyo amebadilika na sasa hivi yupo vizuri kitandani, licha ya hayo yote hata yeye hakutaka kuonekana mzembe alimvua suruali ya jins Catherine na chu** kufuatiwa kisha kuipanua miguu yake,

    hakuna kilicho fuata hapo zaidi ya kupeleka ulimi wake mgodini juu ya kitu kilicho fanana na kiharage na kuanza kukilamba vizuri sana kama paka alambavyo maziwa juu ya kisosi!,

    Alichukua kidole chake na kuanza kupima oil.

    “aaashhssss Assshhhs Ennnn….ockk.. Assshhh aaaaaah aaaaah …aaashsssss aaaaaah”

    Sauti izo za puani ndizo alizotoa Catherine huku akiya shika shika mashuka na kuyavuta, alihisi raha za Ajabu sana, alihisi mabati yanafunguka na yupo angani anapaa bila mabawa,

    Enock Alisha lijua hilo na kuzidisha kasi ya mashambulizi, akizidi kuulamba mgodi wa mrembo huyo ambaye muda mfupi uliopita alikua anataka kumuacha hakutaka jambo hilo litokee,

    Catherine alizidi kuibana miguu yake huku akizidi kukishika kichwa cha Enock kwa nguvu zake zote dalili zilionesha kuwa anafika MSHINDO,baada ya kufika tu, Enock alimuwahi na kuipanua miguu ya Catherine tayari kwa kuanza uchimbaji wa mgodi huo ambao ulikua usha tema madini tayari,

    lakini alitaka kuuchimba na kupata madini aina ya Tanzanite sababu madini aina ya shaba yalikua yametoka tayari.

    Kifo cha mende ndiyo ili toka kubadilishwa na sasa ili kua mbuzi kagoma kwenda majanini kula!, Enock alikamata vizuri kiuno cha Catherine kwa mikono yake yote miwili na sasa kuanza kuchimba mgodi wa Catherine huku akikizungusha kiuno chake taratibu sana, mambo yalikua mukide mukide yalienda aste aste taratibu sana,

    hakika siku hiyo ndiyo ilikua siku ya kufungua ukurasa wao mpya wa mapenzi hapo kitandani na wala sio vinginevyo,

    Alimpindua tena na kumuweka chini kisha yeye kupanda juu yake, mguu mmoja wa kulia aliuchukua na kuuweka begani kwake na kuingiza tena mashine ndani ya mgodi kwa mara nyingine huku akinyonya maembe ya Catherine,

    “Aaaaaah aaaaaah aaaaah Ennn…..ockkkk”

    Kelele izo zilimaanisha kuwa gari imewaka ivyo muda mfuppi angeenda tena kufunga goli la pili,

    aliomba denda hapo hapo bila kuchelewa, hapo ndipo Enock alipozidisha nguvu kazi za kuchimba mgodi na kwenda spidi za haraka,

    kama angekua gari basi angekamatwa na trafiki kutokana na kutembeza gari kwa spidi nyingi sana zilizozidi mia.

    Catherine alizidi kutoa miguno ya huba kisha kucheua madini ya Tanzanite papo hapo, ivyo ndivyo ilivyokua Kwa Enock kasi ilizidi na baadae kidogo kupungua alimwaga oili chafu na kudondoka kifuani mwa Catherine huku jasho kwa mbali likimtoka,

    Kila mtu alikua amechoka lakini mwenye furaha,

    Kilicho mfanya Catherine ashtuke ni hodi ya mlango iliyokua ikigongwa kwenye mlango na hisia kumpelekea ni lazima atakua NAOMI. alimuogopa sana na kujua kuwa amekwisha, moyo ulimwenda mbio mno,

    Hata kwa Enock alianza kuogopa lakini hakutaka kuonesha hali hiyo sababu alijua fujo za mchumba wake huyo Naomi ambaye ni mkorofi sana…



    Ilikua ni furaha kubwa sana kwa wawili hao wakiwa kitandani wana fanya mapenzi wakiiburudisha miili yao baada ya kupitia matatizo mengi sana katika maisha yao. Safari ya Catherine aliyeenda kwa Jazba nyumbani kwa Enock ili wamalize mapenzi yao sasa ilikua kinyume, badala yake walijikuta katika dimbwi la huba.

    Kitendo cha kumalizakufanya mapenzi na kila mtu kuridhika mlango wao uligongwa nakuwafanya wote washtuke.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Nani?”

    Aliuliza Enock

    “Boni, mimi Boni”

    Hapo ndipo wote walishusha pumzi ndefu baada ya kusikia sauti ya mlinzi wake.

    “kuna nini?”

    “kuna simu yako bosi kutoka kwa Mama”

    “sawa nakuja”

    Alifungua mlango kiubavu ubavu na kuchukua simu aliyo pewa iliyo kua bado hewani.

    “Naomi”

    “upo wapi?”

    “nipo nyumbani kuna kitu nilisahau”

    “fanya basi uje nakusubiri mpenzi wangu, nishafika ofisini kwako”

    “poa nakuja”

    Baada ya kumaliza mazungumzo yao alikata simu na kumuendea Catherine aliyekua kitandani bado kajifunika na shuka amechoka na shughuli pevu waliyo fanya muda mchache uliopita!.

    “Catherine mpenzi wangu?”

    “Abee”

    “naomba usinione mimi muhuni,napenda kukwambia kuwa haya yote yataisha naomba uwe mvumilivu, huyu mwanamke sio wa kwenda nae pupa pupa”

    “sawa lakini muda una kwenda Enock, wewe ni mwanaume utamuogopa mpaka lini sasa?”

    “sio kwamba namuogopa, ana mambo Fulani Fulani ambayo hata mimi nashindwa kuyaelewa vile vile, cha kufanya uwe na subira kidogo”

    Kweli Naomi alikua ni hatari na mgumu wa kuelewa jambo hata Enock hakutaka kumuendea kichwa kichwa alijua hata yeye angefanyiwa kitu ambacho hatokuja kukisahau maishani,

    mauaji aliyo yafanya kwa Heather ndiyo yalimtisha ivyo alijua hayo ndiyo yatatokea kwa Catherine endapo akigundua siku yoyote ile ana mahusiano na mwanamke huyo Catherine.

    Walikua wakifanya mapenzi yao kwa siri sana bila ya Naomi kujua lolote lile, walikua sana makini huku taratibu Enock akijitahidi kukaa sana Mbali na Naomi, mapenzi aliya punguza kwa kasi sana.

    “Mbona siku izi sikuelewi Enock”?

    Aliuliza Naomi baada ya kuchezwa na machale.

    “kivipi?”

    “hujui?”

    “kama hauna cha kuzungumza nyamaza naangalia CNN”

    “mimi na CNN kipi muhimu?”

    Aliuliza tena Naomi

    “CNN”

    Enock alipokea ukofi mkali sana wa usoni kutoka kwa Naomi majibu aliyokua akimpa ya mkato ndiyo yalimkera sana, hakuweza kujizuia hasira zilimpanda na kuzima tv kisha kutanda mbele yake huku akiwa ameshika kiuno chake tayari kwa lolote.

    “yaani mimi nakuongelesha unanijibu kunya nyodo nyodo, mpuuzi nini wewe, nakuuliza mimi na CNN kipi bora unasema huo utumbo bwege sana wewe”

    Alizidi kubwata Naomi akipaza sauti na kumkalipia Enock aliyekua amekaa kwenye sofa kafura kwa hasira huku majasho yana mtoka, hata yeye kifua chake kilikua kinapanda juu na kushuka huku akitetemeka kwa hasira alijua fika kitendo cha kusimama na kumvaa Naomi kinge mgharimu wenda angefungwa ili bidi kama mwanaume azuie hasira zake, bila kusema lolote alipita na kupanda ngazi juu gorofani chumbani mwake na kujitupa kitadani kulala,

    “unaona ulivyokua una dharau, nakusemesha unaondoka?”

    Naomi aliongea bado akiwa nyuma yake, maneno haya kua mishale ivyo aliweka pamba masikio na kunyamaza kimnya!

    Kesho yake asubuhi waliamka vizuri kabisa walisemeshana kama hawa kuwahi kugombana na ndo ivyo ilivyokua hata siku iliyo fuata, Naomi alikua mpole sana, akifanya uchunguzi wake chini chini ili kujua ni kipi kilicho msibu Enock mchumba wake na kufanya hata kutokushiriki nae tendo la ndoa kama zamani, alijua fika Mwanamke Aliyeitwa Catherine ndiye chanzo cha yote licha ya kudhani hayo yote ilibidi afanye uchunguzi wa kina ili apate ushahidi wa kutosha.

    “nitaua mtu namimi nife hawa wanacheza na Akili zangu”

    Aliwaza Naomi siku hiyo akiwa anaendesha gari anarudi nyumbani kwa Enock walishaamua tayari kuishi wote kama mume na mke wakilala chumba kimoja lakini kulikua hakuna maelewano ya aina yoyote.

    “Mume wangu”

    Aliita Naomi siku hiyo mezani wakiwa wote wanakula chakula cha usiku.

    “Naam”

    “nikuombe kitu”

    “niombe tu”

    “kesho nasafiri naenda Mwanza”

    “kuna nini?”

    “naenda kikazi”

    “sawa sina shida, safari njema”

    Enock hakuweka kipingamizi chochote kile zaidi tu alifurahi sana ndani ya mtima wake, alijua mambo yake angeyafanya chap chap na Catherine na kujiachia,Alisha mchukia sana Naomi aliona ndiye kikwazo cha mapenzi yake na Catherine kukwama, kitu kimoja ndicho alichoogopa endapo akimfukuza mwanamke huyo ghafla ilimaanisha yeye kwenda jela kutokana na mauaji ya Heather yaliyo tokea hospitalini. Alitamani afunge ndoa na Catherine hata kesho yake asubuhi ili waishi kwa amani.

    “sasa tiketi ulishakata?”

    “ndio”

    “unaondoka na basi au ndege?”

    “basi”

    “aya safari njema Mama”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya kumaliza kula chakula cha usiku vyombo vilitolewa na Naomi kwa kuwa hawakua na mfanya kazi wa ndani waliiishi wenyewe ndani ya nyumba hiyo kubwa.

    Saa kumi na moja ya asubuhi ilifika na Naomi kudamka, alijiandaa haraka haraka na kumuamsha Enock ili ampeleke Ubungo terminal, waliwasha gari mpaka ubungo Terminal tayari kwa safari, walikuta basi lina karibia kuondoka, hapo ndipo Naomi alipoingia ndani ya basi kubwa baada ya kutoka kuagana,

    Enock alisubiri ili kuhakikisha kama Kweli Naomi anasafiri, alishuhudia basi lina ondoka nayeye kuondoka zake akiwa na furaha tele moyoni mwake, hapo hapo alimpigia simu Catherine na kupanga waonane siku hiyo jioni yake!.



    “Konda kimara shusha!”

    Alisema Naomi akiwandani ya basi, ki ukweli hakua na safari yoyote ile ilikua ni lazima akamilishe swala lake la uchunguzi juu yanayo fanyika, ikiwezekana auwe hata mtu. Aliteremka hapo hapo Kimara mwisho na kutafuta taxi iliyompeleka mpaka Mwenge na kutafuta hotel ili apumzike na kupanga kitu cha kufanya,

    jioni ya saa kumi na moja ilipofika alijua ndiyo mida ya Enock kutoka kazini ivyo alitafuta taxi iliyompeleka mpaka posta kimnya kimnya kama mpelelezi,

    Kwamacho yake alimuona Enock anaagana na kuingia ndani ya gari lake BMW.

    “unaona hio BM?”

    “ndio dada”

    “ifate nyuma nyuma”

    “sawa hakuna tabu”

    Walizidi kuifata nyuma nyuma gari ya Enock mpaka alipo fika nyumbani kwake kisha baadae kumuona anatoka na gari nyingine hapo ndipo umakini ulipo hitajika,

    walizidi kumfuatilia taratibu sana.

    “Nani Catherine mpenzi wangu nipo njiani nakuja, si umesema nikukute nyumbani?”

    “ndio Enock nipo nyumbani, Mama hayupo nipo na mtoto siwezi kutoka”

    “sawa basi nakuja”

    Bilakujua nyuma yake anafuataliwa na mchumba wake Naomi aliyekua na hasira hata ya kuuwa mtu,alitembeza gari mpaka tabata Bima na kuliweka upande wa kushoto kisha kushuka na kuingia kwa Catherine, yote yaliyokua yana tokea Naomi aliyashuhudia kwa macho yake yote mawili.

    Alishuka na kumlipa Pesa dereva taxi na yeye kusimama upande wa pili, alipiga mahesabu mengi sana bila kujua nini chakufanya,

    ghafla mawazo yalimjia pale pale na kuelekea dukani kununua kisu kidogo na kuliendea gari la Enock lililokua upande wa pili, aliingia uvunguni na kutafuta paipu ya mafuta ya breki na kuikata alijua nini maana yake,

    Alisha taka kumuuwa Enock kisha baadaye Catherine afuate na hakuna hata mmoja angewahi kumshtukia,

    Alitembea mpaka kwenye baa ya jirani na kukaa ili kuwashuhudia,

    kweli hakukaa sana aliwaona Catherine na Enock wanatoka huku wameshikana viuno mpaka ndani ya gari na kutabasamu sana sababu aliona ni kifo kitakacho wapata…

    “Enock nisubiri kidogo nimesahau simu yangu”

    Hiyo ndiyo ilikua ponea yake,na kushuka ndani ya gari na kumuacha Enock, ni simu tu peke yake ndiyo ilimuepusha na kifo cha ajali iliyotaka kutokea muda mfupi ujao, aliyetaka kusababisha yote hayo alikua ni Naomi yupo pembeni mbali kidogo kwenye moja ya grosari anawatizama, hata yeye alivyoona tukio hilo la Catherine kuteremka ndani ya gari alikasirika sana lakini alisubiri ili ajue nini kitaendelea, alikata paipu za breki ya gari la Enock tayari akitaka kumuua kutokana na wivu alio kua nao ndani ya moyo wake, kitendo cha Enock kurudiana na Catherine kilizidi kumsumbua usiku na Mchana mpaka akadanganya ana safari kumbe haikuwa ivyo alitaka afanye mauaji hayo kimnya kimnya bila mtu yoyote kujua, hata kama wasinge kufa kwa ajali ilikua ni lazima awaangamize watu hao wawili hata kwa kuwapiga risasi za utosini, sana sana Catherine mwanamke aliye sababisha mpaka yeye asiolewe kabisa.

    Enock Alisha subiri sana bila kuona dalili ya Catherine kutokea alishuka ndani ya gari na yeye kumfuata, kilichomshtua zilikua ni kelele za mtoto mdogo Christopher akilia kwa sauti yaa juu akipaza sauti yake sana, alivyo fungua mlango alimuona Catherine kambeba akiangaika nae mgongoni mwake,

    Ilimbidi ajumuike nae na kughairi safari yao, masaa matatu yalipita bado mtoto alikua akilia ila baadae alinyamaza na kulala.

    “Enock nimechoka naomba iyo safari tughairi tu”

    Alisema Catherine

    “sawa, hakuna tabu lakini sitoweza kukuacha hapa peke yako, nitabaki nawewe mpaka mama yako atakapo rudi”

    “hakuna tabu mpenzi”

    Hawakutaka kulala badala yake walipiga stori mpaka usiku mzito kuingia.

    **

    “mtapigwaje na Mwanamke?”

    “lakini…..”

    “nyamaza usiongee upuuzi, usinitie kichefu chefu, sikutegemea kama mtaniangusha yaani mnakuja na makende yenu, mpaka huku Zanzibar mnakuja kuniambia huo ujinga ujinga”

    “bosi tusamehe”

    “mimi nitaenda mwenyewe na vijana wangu wengine nyie hamnifai, lazima Enock,Sabrina na Catherine wafe tu, ndiyo nitaishi kwa amani sana”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alifoka mzee Mwasha kitendo cha vijana wake aliowatuma wakamchukue Catherine,Enock na Sabrina kupigwa kili mkera sana hakutegemea kupokea habari kama izo siku hiyo, siku hiyo hiyo alinyoosha mpaka Forodhani kukitafuta kikundi kilichoitwa NO MITEGO kilichosifika kwa wapiganaji mahiri na wafanya mazoezi kilichoongozwa na Rodgers Mbita aliye fahamika Zanzibar nzima kwa upambanaji kwenye ndondi za ulingoni katika michezo ya kick boxa, hakuwahi kushindwa ulingoni hata siku moja, kipindi alicho kaa Zanzibar aliweza kuzisikia habari zake hata mara nyingi humuona kwenye t,v akiwa ana pambana na watu wengi wenye misuli na kuwapiga vibaya sana. Aliona huyo ndiye atakae mfaa katika kazi zake chafu atakazo zifanya popote pale.

    “habari zenu vijana?”

    Alisalimia Mzee Mwasha baada ya kufika maskani waliyokua wakikaa kikundi hiko cha No Mitego jioni ya siku hiyo.

    “salamaa atiiii”

    Alijibu mpemba mmoja wao kwa rafudhi yao

    “Namuulizia Rodgers Mbita kuna kazi nataka nimpe,nime mkuta?”

    “Alikuwepo sasa hivi hapa, ngoja kidogo”

    walimtafuta dakika hiyo hiyo kupitia simu yake ya mkononi, haikuchukua muda mwingi mtu mfupi mwenye misuli alikua amesimama mbele yao,

    “Njoo tuongee Rodgers,”

    Alisema Mzee Mwasha kisha wote kutoka pembeni ili kuteta, hapo hapo alianza kumpa kazi hiyo ya kwenda barani Dar es salaam ili kuwatafuta Catherine, Enock na Sabrina, kazi hiyo ilikua ndogo sana kwa mtu mafia kama huyo, ilikua ni kama kuweka tonge la ugali nyama mdomoni.

    “Andaa pesa tu,nauli makazi na chakula itakua juu yako, kazi yako nitaianza ukishanipa nusu ya malipo yangu”

    “mimi sina shida nitakupa pesa yote, ingia kwenye gari twende”

    Walinyoosha mpaka kwenye moja ya benki. Hapo mzee Mwasha alichukua kiasi cha shilingi milioni mbili taslim na kumkabidhi Rodgers ili kazi yake ianze, muda wote alitabasamu sana alijua kazi yake sasa inaenda kuwa rahisi.

    Jiioni ya siku hiyo hiyo Rodgers alikua kwenye boti ya Azam akielekea Dar es salaam huku mikononi mwake

    akiwa na picha za watu hao watatu,.



    **

    Bado alishindwa kuelewa ni nani aliyekata paipu za breki ya gari lake, alielewa maana yake kuwa kitendo cha kuliwasha gari angepata ajali, bila kushtuliwa na wasamalia wema kuwa mafuta yana vuja chini angesha kufa usiku wa jana yake,

    na angeitwa marehemu siku hiyo hiyo,alishajua kuwa bado kuna watu wabaya wanamuwinda na vita bado havijaisha, hisia zilimpeleka ni lazima atakua ni baba yake Mzazi Mzee Mwasha sababu Naomi aliamini alikua amesafiri na yupo Mwanza alishindwa kumuhisi mchumba wake huyo!.

    “itabidi nipeleke gari sevisi kesho”

    Aliwaza Enock na kujitupa kitandani kulala, fikra zake zilimtuma kwa mwanamke Catherine mwanamke wa maisha yake, bado aliamini kuwa anaota na atashtuka na kukuta kuwa Catherine alifariki dunia,

    alitamani isiwe ivyo hata siku moja, Mchumba wake Naomi ndiye aliyekua kikwazo tu cha harusi yake yeye na Catherine hakuelewa ni kitu gani akifanye kwa wakati huo,

    Kutokana na msongo wa mawazo alipitiwa na usingizi na kushtuka asubuhi na mapema, alivaa haraka haraka na kujiandaa ili awahi ofisini kwake, baada ya kumaliza alichukua funguo zake za gari na kushusha ngazi, ila alivyotoka nje alimuona mwanaume mfupi mwenye misuli ametanda huku baadhi ya walinzi wake wakiwa chini, hakuelewa ni kitu gani kimetokea.

    “wewe ni nani?”

    Aliuliza Enock

    “Mafia, mimi naitwa mafia ninja”

    Alijibu Rodgers kwa majigambo huku akimsogelea karibu, alimfuata na kumtandika ngumi moja nzito ya mdomoni iliyompeleka mpaka chini mzima mzima chali na suti yake, kisha kumkaba ili amzimishe baada ya zoezi hilo kufanyika alimpigia simu mzee Mwasha.

    “Tayari Enock mwanao ninae,”

    “Nataka wote watatu, ukisha wapata nitakwambia cha kufanya”

    “okay”

    Rodgers alikata simu na kumbeba Enock begani mpaka ndani kisha kumuweka juu ya kochi, fahamu zilimrudia huku akiwa na maumivu mengi sana kichwani mwake kutokana na ngumi aliyopigwa muda mchache uliopita.

    “kijana, mpigie simu Catherine mwambie aje mara moja”

    “Sii…wezi”

    Neno moja tu lilimfanya Enock apigwe ngumi nyingine ya pua iliyofanya damu nyingi zimvuje puani, hapo ndipo alipoanza kusha mbuliwa akipigwa ngumi usoni mpaka kuzirai tena kwa mara ya pili.



    Hata angepigwa nusu kufa asingethubutu kufungua kinywa chake kusema ni wapi Mpenzi wake Catherine alipo, aligoma kumpigia simu, hapo ndipo kipondo kilizidi kuendelea kutoka kwa Mwanaume mcheza kick boxa mfupi aliyekua mbele yake amejazia misuli mikononi, nusu saa nzima alikua akipokea mateso, aligoma kabisa kumpigia simu Catherine, alijua kufanya ivyo alikua anamuweka kwenye matatizo makubwa ilikua ni bora afe. Uso wake tayari ulishaharibika lakini hakuonesha ushirikiano wa aina yoyote ile.

    “nii…..pige mpaka n..iiife”

    Alizungumza Enock kwa tabu sana akiwa mwenye maumivu mwili mzima.

    “sawa, wacha tuone kama wewe kweli ni kidume cha mbegu!”

    Kitendo cha kutoa jibu hilo tu na hapo ndipo kipondo kilizidi na mateso makali sana kwa Enock kufuata, ili aweze kumumleta Catherine mahali hapo kama wajibu wa kazi yake iliyo mfanya afunge safari yake kutoka kisiwani Zanzibar mpaka Dar es salaam akiwa tayari kasha pewa pesa taslimu ili kazi hiyo ndogo kwake aliyo ifananisha kama kuua mbu ndani ya neti ifanyike,

    Hata yeye alikerwa kwa kitendo cha Enock kuifanya kazi yake iwe ngumu, damu zilichuluzika chini juu ya makochi na kutapakaa kila mahali, alikua hajiwezi tena hata kuongea, hakika alikua katika mateso yasiyoweza kuelezeka, licha ya kuteseka sana hakutaka kuongea lolote lile.

    Hapo ndipo Rodgers mwanaume katili asiyekua na utu kutoa kisu chake mfukoni na kuanza kumkata nyama za mikononi taratibu.

    “nitaendelea kukukata kila mahali”

    Bado aliendelea kumkata kata, kitendo cha simu ya Enock kuita ndiyo ili fanya zoezi hilo alisitishe, Simu ilitolewa na kuwekwa mezani aliyekua akipiga simu sio mtu mwingine bali ni Catherine alielewa kabisa Enock atakua ana tatizo sababu kila asubuhi ilikua ni lazima wajuliane hali na mpenzi wake kisha mengine yafuate.

    “Halloo”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Rodgers jambazi katili ndiye aliyepokea simu akitoka nje.

    “naomba niongee na mwenye simu”

    “amedondoka ghafla hapa nyumbani kwake”

    “una sema?”

    “Amedondoka ghafla nyumbani kwake, ana hali mbaya sana tuna msubiri daktari aje”

    “naweza nikaja?”

    “sawa njoo”

    Catherine Alisha ingiwa na wasiwasi mwingi moyoni mwake hakuelewa ni kitu gani kili mpata mpenzi wake mpaka akadondoka, hakuwahi kusikia taarifa kama izo tangu amjue,haraka haraka alimlaza Christopher kitandani na kumuaga mama yake,

    “huu ugonjwa umemuanza lini, sijawahi kusikia”

    Aliwaza Catherine akiwa njiani anaendesha gari, njia nzima alikua akiwaza kisha kuweka gari nje ya geti la nyumba ya Enock nayeye kushuka haraka haraka, kitendo cha kuingia getini tu alishikwa mkono kwa nguvu sana bila kufanya lolote na kubebwa begani moja kwa moja mpaka sablen na kutupwa chali juu ya sofa, hakuamini alivyomuona Enock anavuja damu nyingi mwilini mwake, alishindwa kuelewa nini kimetokea kwa wakati huo.

    “Mpigie Mama yako simu mwambie aje sasa hivi”

    Aliongea Rodgers akimtizama Catherine, hakua na haja ya kumfunga kamba alijua kuwa ni mwanamke, hawezi kufanya lolote, hakujua kuwa anafanya kosa kubwa la jinai kumwacha mwanamke huyo huru bila kumuwekea ulinzi mkali.

    “nimpigie wa nini?”

    “acha maswali binti, piga simu kama una hitaji kuishi,usinipotezee muda wangu nina shughuli nyingi za kufanya aroo”

    Alizidi kuzungumza jambazi huyo katili akiwa bado na kisu chake mkononi kakishika,hapo ndipo Catherine aliporuka haraka kama umeme na kumvaa na kumtwanga kichwa kizito puani, alivuta kichwa chake na kukipigiza juu ya stuli ya kioo, hakuishia hapo alirusha teke lingine hewani lakini Rodgers aliliona na kuhepa kushoto nayeye kurusha ngumi iliyotua usoni mwa Catherine puani na kumfanya ayumbe,

    Rodgers alitabasamau na wote kukunja ngumi tayari kwa mpambano ambao ulikua hauna refalii, katika watu hao wawili mmoja wao alikua akimdharau mwezake, ngumi zilianza kurushwa na kuanza kutupana huku na kule Catherine alivyotaka kukiwahi kisu kilichokua chini alipigwa teke na kutupwa upande wa pili, tayari alikua amezidiwa ameumia amepigwa sehemu mbaya kwenye mbavu zake.

    Ilibidi atulie anyamaze hakua na ujanja mwingine wa aina yoyote ile wa kujitetea alitembea akijiburuza mpaka juu ya kochi alilolala Enock anavuja damu mwilini na kumkumbatia, wote walikua kwenye maumivu makali, bado walikua na safari ndefu ambayo iliyo jaa maadui wengi walio wazunguka kila sehemu na walisha lielewa jambo hilo, Walishaelewa kuwa ni Mzee Mwasha ndiye anawawinda na wala sio mtu mwingine yoyote Yule.

    “Bosi, ninao Enock na demu wake tayari”

    Aliongea na Simu Rodgers

    “vipi kuhusu Sabrina?”

    “sipo nae”

    “upo nao wapi?”

    “hapa kwa Enock wote wawili, nasubiri nisikie kauli yako tu”

    “wachomee ndani na moto kisha maliza kwa Sabrina nataka hiyo kazi iishe leoleo”

    Kauli ya Mzee Mwasha akiwa kisiwani Zanzibar wakiongea na simu ilieleweka kabisa kwa Rodgers, hakua na chaguo lingine zaidi ya kuwazungushia kamba wote wawili kwa pamoja tayari kwa kuwateketeza na moto, alitoka mpaka nje na kununua mafuta makali aina ya Petroli lita kumi na kuanza kumimina nje kisha kuingia ndani akimimina kila sehemu, walijihesabia hiyo ndiyo ilikua siku yao ya mwisho kuishi duniani hawakua na ujanja wa aina yoyote,

    “Ca…their..ne nakupenda sana”

    Alisema Enock kama ishara ya kumuaga mpenzi wake.

    “hata mimi Enock,buliani tuta kutana mbinguni tuendeleze mapenzi yetu upya”

    Wote walisemezana na kuibananisha mikono yao, wakiwa ndani walihisi harufu kali ya Moshi wa petrol dalili zilionesha kuwa moto mkubwa ulikua ukiwaka nje, haikuchukua hata dakika mbili moto ulikua mkubwa sana ndani uliofanya moshi mwingi sana na mzito, ujaze mapafu yao, walianza kukohoa baada ya kupaliwa na moshi, hewa ya oxygen ilianza kuisha taratibu kisha kukatika kabisa,moto ulikua karibu yao taratibu macho yao yalianza kujifumba kutokana na uzito wa moshi mkali sana uliokua ukiteketea, wote walilaliana ili kusubiri kifo chao muda mfupi ujao, fikra za miili yao ikiwa katika hali ya majivu vilianza kujijenga ndani ya vichwa vyao,

    ilikua ni picha mbaya ya kutisha sana,

    “Cat..theer…ine mp…penz…i wa..ngu nime..ishiwa pumz….i tayari.. mi..mi natangu…liia”

    “ha..ta mimi mp.e.nzi ni..po nyuma yako.. na…kufua…ta, nak..upend..a p..ia”

    Waliagana tayari kwa safari ya kwenda Mbinguni walishaelewa roho zao zilikua ni lazima ziache mwili. Moto tayari ulikua ukiteketeza nyumba kubwa ya kifahari ya Enock ambayo aliijenga kwa gharama nyingi sana punde tu alivyorejea masomoni Marekani,leo hii ilikua ikiungua na moto uliosababishwa na baba yake mzazi Mzee Mwasha,

    hata angebahatika kupona na kuokolewa katika moto huo asingeweza kumsamehe hata mara moja, japo aliamini swala hilo halitoweza kutokea labda itokee miujiza, wote na mpenzi wake Catherine walikua ndani ya nyumba inayowaka moto mkali wa petroli na kutoa moshi mkubwa juu.

    hawana msaada wowote ule wala njia ya kujinusuru na kuziokoa roho zao, walishakata tamaa ya kutaka kuzipigania nafsi zao,walisha pitia mengi sana na kunusurika kufa sasa waliona huo ndio mwisho wa maisha yao kuishi duniani waliamini kuwa kuna maisha mengine huko waendapo ahera………..



    USO WAKE ULIKUA NA DAMU nyingi,mdomo umemvimba, macho yake yameumuka sana, alihisi maumivu mwilini mwake, alishapigwa vya kutosha na kulia bila kupata msaada wa aina yoyote ile, aliona bora afe ili apumzike na kuepukana na mateso anayopata kuliko kuendelea kuteseka, hata kama ungebahatika kumuona alivyokua hapo na ukapewa picha yake usingeweza kudhani kuwa ndiye Kway,

    alishateseka sasa siku mbili nzima akiwa ametekwa nyara hajui alipo, njaa kali ndio ilitafuna tumbo lake, na kuishiwa nguvu mwilini kabisa, alikumbuka mara ya mwisho alikua Goma nchini Kongo,akishughulikia maswala ya tiketi za ndege ili waweze kurejea Tanzania yeye na mke wake julia waka anze maisha mapya na mtoto wao Natu ambae walidhani amekufa, furaha yake ilikatishwa na wema wake baada ya kusimamishwa na omba omba akimuomba pesa hapo ndipo alipohisi kitu kimetua kichwani mwake juu utosi na kilichotokea hapo hakuelewa.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alikua hana shati la juu amefungwa kati kati ya miti mingi msituni, hapo ndipo kilikua kitanda chake hata haja ndogo alitolea hapo hapo,

    kila siku alikuja kuchapwa na mkia wa taa ambao ulifanya nyama zake zitoke mwilini na kufanya vidonda vidonda vilivyoanza kuliwa na nzi, hakika yalikua mateso yasiyo stahili kwa kiumbe hai wa aina yoyote ile, aliikumbuka sana familia yake,bado hakuelewa ni nani aliyesababisha mpaka kufika ndani ya msitu huo, hakuelewa ni nani alimkosea ila alijua ametekwa nyara teyari na kuna mambo mawili tu kufa au kupona ndiyo yatakayo tokea hapo baadaye!.

    “Mfungueni”

    Kauli hiyo ilitoka kwa mtu mwenye misuli mingi mrefu sana kwenda juu kama Goliati, kisha Kway alifunguliwa na kudondoka kama gunia la mchele puu! chini hana nguvu hata za kuinuka anatetemeka kwa njaa na maumivu.

    “Kway!”

    Liliita jitu hilo, Kway alishtuka alijua vizuri kuwa watu waliomteka wanamfahamu vizuri tena waliongea Kiswahili cha kitanzania lakini bado hakujua ni kipi wanachotaka kutoka kwake.alivyotaka kuitikia alishindwa na kuinua kichwa chake juu.

    “Najua,hutaki kurudi hapo na kuendelea na mateso, naomba unijibu swali moja tu ili uwe huru uende zako kwa amani,Catherine yuko wapi?”



    Swali aliloulizwa ndilo lilimshtua sana na kuelewa kwanini ametekwa, alichojua yeye Catherine alisha fariki dunia.

    “Ametaja?”

    Mwanamke mrefu wa wastani alitokea huku akiwa na mti wa chuma uliomsaidia kutembea, Kway alimtizama mwanamke aliyekua mbele yake Joyla, alikumbuka risasi aliyopigwa na Enock siku waliyokua wanawakomboa Catherine na Natu nchini Uganda,hata yeye hakuamini kama bado mwanamke huyo mpenzi wake wa zamani alikua akimtafuta, alijua teyari yasha kwisha kumbe ilikua ni kama kamwaga Petroli kwenye moto,.

    Joyla na Mume wake Don Mullosi walimtafuta Kway kwa kipindi kirefu sana walishakula pesa nyingi za Carl Martin raia wa Germany baada ya kukubaliana kumuuza Catherine lakini hawakufanikiwa baada ya Kway na Enock kuingilia zoezi lao,

    Bado walisumbuliwa na Carl Martin na kuwalazimu wamsake Kway kwa wudi na uvumba na kupata habari kuwa yupo nchini Kongo sehemu iliyoitwa Goma na ndo hapo walipo mkamata na kumteka na kuanza kumsulubu vya kutosha kutokana na hasira walizokua nazo.

    “bado hajataja,ndio”

    “mrudishe kwenye mti”

    Kway alirudishwa kwenye mti na kuanza kuchapwa tena na mkia wa taa mwilini mwake, kila alipokua akichapwa ulitoka na nyama na kumchana, kelele za maumivu alizopiga hazikuweza kumzuia mtu anaye mchapa, vidonda alivyokua navyo vilianza tena kutoa damu, alilia sana kwa maumivu kama mtoto

    “aaaaaah aaaaaaaaah”

    Kway alilia machozi mpaka kumkauka kabisa, hakuweza tena kutoa sauti na kutulia kwenye mti hasemi tena.

    “leteni maji mummwagie, zoezi liendelee tena”

    Maji ya baridi yaliletwa na Kway kumwagiwa mwilini mwake,pale pale alizinduka na mateso kuendelea kama kawaida,

    hakutegemea kama Joyla angekua na roho mbaya zaidi ya shetani, maumivu aliyokua akisikia mwilini mwake hayakuweza kuelezeka, kimoyo moyo alimuomba Mungu eweze kuichukua roho yake japo alielewa kuwa anakufukuru.

    “EEEH Mu…..ngu na….omba uichu..kue ro…ho yangu”

    Aliwaza Kway! Na mateso kuzidi.kesho yake asubuhi sana walimfungua na kumlaza chali chini ya matope.

    “Catherine yuko wapi bwana mdogo?”

    Liliuliza jitu hilo katili

    “am..eku.fa tayari”

    “Ha ha ha ha ha unajifanya giniasi sio?”

    “ukwe..li tena au mna muuli..zia cath..rine yupi?”

    “Catherine uliyekuja wewe na fala mwenzako kumchukua”

    “ame fariki tayari mi..mi sijui lolo..te mnanitesa tu bure, Catherine amekufa tayari siwezi kuwadanganya”

    “ushawahi kushuhudia mtu ana kufa?, nitamleta mke wako nimuuwe mbele yako unashuhudia na sitoshindwa”

    Hakuelewa ni kitu gani aongee,familia ya Rafiki yake marehemu Ramsey ndiyo iliyo mtia kwenye matatizo alijilaumu sana kujiingiza kwenye matatizo lakini alishaingia ilimbidi tu akubali matokeo,

    “labdaaa niwape namb….a za simu za MAMA ya..ke ndiye atawapa jibu kamili tafadhali naomba maji ya kunywa ja…apo tone moja nina ki..u sana”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alizidi kuongea maneno ya uchungu akiwa mwenye maumivu, na kuletewa maji taratibu alianza kuyanywa ila ghafla aliya tema kwa maumivu makali sana, ndani yalikua yana pilipili mtama iliyo mfanya awashwe sana, hapo ndipo ndoo ya maji ililetwa na kumiminiwa pili pili ya unga kisha Kway kumwagiwa mwilini mwake na kumuingia mpaka machoni hapo ndipo alipoangua kilio cha uchungu.

    Kila alivyotaka kujikuna alihisi maumivu makali sana mwilini mwake na kuzidi kukwangua vidonda vilivyo sababishwa na mijeredi aliyopigwa.

    Siku hiyo nzima ilipita akiwa mwenye maumivu mengi sana mwilini mwake.

    “Namb…a za ma…ma yake zip..o kwen…y simu yangu”

    “sasa tuta mpata vipi?”

    “Siii…ju.i si…elew….i kwa kwe….l….i”

    “okay, wacha tujaribu kumtafuta”

    Mchakato wa kumtafuta Sabrina ulianza mara moja haikuwa rahisi kwa watu hao wanaomuhitaji kuamini kuwa catherine amefariki Dunia, ilikua ni lazima hata wapate mwili wake ili wamuoneshe Carl Martin kama ushahidi sababu ndiye yeye aliyemuhitaji kwa wudi na uvumba akizidi kumpa vitisho Don Mullosi na Mke wake Joyla hata wao walihaha.

    “sasa twende Tanzania au?”

    “Noo..nina watu wangu Tanzania watanisaidia kumpata huyo binti, nipe namba za huyo Mama, nifanye mawasiliano”

    “utawasiliana na nani?”

    “subiri uone”

    Kikao kizima walizungumzia jinsi ya kumpata Catherine awe mzima au amekufa. Mawasiliano yalianza mara moja na kuruka nchini Tanzania, akiwasiliana na watu tofauti wa vitengo maalumu, alituma namba kwa mkuu wa mitandao ya simu ili aweze kuinasa namba iyo kisha kazi ya kumtafuta Catherine ifuate, haikupita hata siku nne tayari alishajua wapi alipo na kupewa taarifa, lakini taarifa zilizo mchanganya sana ni kusikia kuwa yupo ndani ya nyumba inayo teketea moto.

    “nataka akiwa hai, fanya juu chini”

    “sawa usijali”



    Kila hatua aliyopiga Catherine mwanamke aliyeitwa Jenipher alikua nyuma yake akimfuatilia kila hatua anayopiga ni agizo hilo alilopewa na Don Mulosi aliyekua Demokrasia ya Kongo kwa wakati huo, alishapewa agizo kuwa Catherine awe hai kwa gharama yoyote ile,

    Na ndo hapo hapo alipoamua kupiga simu gari la zima moto asubuhi alipoona nyumba aliyoingia Catherine ikiungua moto, baada ya dakika mbili gari tatu kubwa kikosi cha zima moto zilifika na kuanza kutoa mabomba ya maji makubwa ili kuuzima moto mkubwa ambao ulianza kuteketea.

    Moto ulikua bado mkubwa sana ilibidi simu ipigwe na gari nyingine zenye maji kuja mbili,watu waliobobea kwenye kazi hiyo ya uzimaji moto walishika mabomba ya maji wawili wawili na kuzidi kuushambulia moto huo kwa maji.

    “kuna watu ndani?”

    Aliuliza mmoja kati ya watu hao zima moto

    “ndio,nimeambiwa kuna watu wawili nadhani, lakini sina uhakika”

    “wengie waingie kuwatoa moto ushapungua sasa”

    Haraka haraka wasamalia wawili waliingia mbio mbio mpaka ndani kila mtu alisikitika sana kuona nyumba hiyo kubwa ya Enock ya kifahari ikiwa inateketea moto,

    “hawa hapa”

    Mmoja wao alishtuka baada ya kuwaona Enock na Catherine wapo juu ya kochi wame kakamaa.

    “embu tuwatoe nje kwanza”

    “sawa lakini wameungua upande mmoja kuwa makini”

    “aya twende moja, mbili ta..”

    Walisaidiana kuwa beba Enock na Catherine ivyo ivyo wakiwa kwenye kamba zao, maswali mengi walijiuliza lakini hawakuwa na majibu juu ya kamba walizofungwa walichotakiwa ni kuwawaisha hospitalini na wala sio kitu kingine, gari maalumu la wagonjwa lilikuja hapo hapo na safari ya kuelekea hospitalini kuanza. Jenipher hakucheza mbali nayeye alikua nyuma nyuma mpaka hospitalini, hakua na shida na Enock, shida yake ilikua ni kumchukua Catherine lakini ili mbidi afanye mambo taratibu sana na baadaye amteke, na ndo hayo yalikua mahesabu yake.

    Enock na Catherine mpaka wanafikishwa hospitali walikua hawana fahamu zao kabisa ila mmoja kati ya hao wawili alikua na hali mbaya kuliko mwingine. Enock aliungua mgongoni na kufanya nyama zake zote zionekane, dalili ya kupona ilikua ni asilimia mbili, Waliingizwa ndani ya vyumba vya matibabu ili matibabu ya haraka yaanze mara moja.

    “huyu ameshafariki”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alisema Dokta Ibrahim baada ya kuchukua vipimo vya mapigo ya moyo kutoka kwa Enock,. Walimfunika na shuka jeupe na kusukumiza kitanda mpaka chumba maalumu cha kuhifadhia maiti yaani Monchwari ili kusubiri taratibu za ndugu zake waje kuchukua mwili wa Enock ili wafanye mazishi...



    Hali ya ubaridi ndiyo iliyomfanya fahamu zimrudie hakuelewa ni wapi alipo zaidi ya kufumbua macho yake na kukuta yupo ndani ya giza nene,

    fikra zake zilirudi nyuma haraka kama umeme na kukumbuka mara ya mwisho alikua katika mateso na Catherine, kisha baadaye moto mkubwa ulikua ukiteketea, alipapasa upande wa kushoto ili kumtafuta Catherine na kugusa chuma kingine, wakati mwingine alidhani keshafika Mbinguni kwa Mungu baba, sababu mara ya mwisho waliagana na Mpenzi wake tayari kwa safari ya ahera, alijipapasa mwilini mwake na kujikuta yupo kama aliyetoka tumboni mwa mama yake hana nguo hata moja!



    Haikuchukua hata dakika mbili aligundua kuwa yupo ndani ya friji tena monchwari ili kuhakikisha hilo alijisukuma kwa nguvu zake zote na Friji kufunguka na kudondoka chini.

    “Mtumeeeee!”

    Sauti ya mlinzi mlinda maiti alidondosha sigara yake na kuanza kutetemeka sana baada ya kuona maiti imefumbua macho yake imedondoka chini, hapo hapo alimwaga kojo kwenye suruali yake akiwa anatetemeka sana sababu mambo hayo huona kwenye sinema za Nigeria,alirudi kinyume nyume kwa uwoga na kuteleza hapo hapo mpaka chini mzima mzima, kitendo cha kusimama alikimbia kama ‘kipepe’ huku akipiga kelele. Kitu kimoja kilichokuwa kinagonga katika akili ya Enock ni Catherine na ndiye aliyetaka kujua ni wapi alipo,aliona shuka pembeni yake na kujifunga na kuanza kutoka nje,

    hapo ndipo watu walianza kukimbia baada ya kumuona anatoka ndani ya monchwari chumba cha kuhifadhia maiti!.



    Watu walishaanza kukimbia huku na kule na habari kuanza kutapakaa hospitalini, za Enock kuzinduka monchwari wakidhani ni uchawi, dokta Ibrahim aliyempima mapigo ya moyo alifuatwa na jopo la madaktari na kumnusa mdomo wake, waligundua kuwa alikua amelewa ananuka pombe hapo hapo alifukuzwa kazi kwa kitendo cha kufanya mambo ya ajabu yatokee hospitalini,

    walielewa pombe ndiyo iliyomfanya atoe majibu hayo.

    Taratibu walimfuata Enock ambaye anatembea kila wodi anamtafuta Catherine wake huku akiwa ana majeraha ya moto mgongoni mwake.

    “kijanaa”

    Aliita mmoja wa madaktari.

    “Naam, Catherine yupo wapi?”

    “yupo, yupo usijali yupo salama nachokuomba uje naomba upunguze jazba, mkeo yupo salama yupo kwenye matibabu”

    “sawa yuko wapi? Nahitaji kumuona sasa hivi”

    Madaktari walimtuliza na kumsogelea karibu ili wampe mavazi ya kuvaa kisha baada ya muda mfupi waliingia nae mpaka ndani ya chumba alichokua Catherine, alikua teyari keyafumbua macho yake lakini anaongea kwa shida.

    “Mun..gu yupo pa..moja na.sisi Enock tumepona”

    “Ni kweli mpenzi wangu tumekishinda kifo, unajisikiaje?”

    “Nitapona usijali,naaa.omba umpigie simu MAMA yangu mwambie nipo mahali hapa,”

    “sawa Cathe nakupenda sana”

    Enock tayari aliridhika na kulazimika apatiwe matibabu sababu bado alikua na majeraha yanatoa damu mwilini mwake, hata yeye hakuamini yupo hai mpaka dakika hiyo, alishajihesabia yeye ni maiti baada ya moto mkubwa kuzuka nyumbani kwake uliosababishwa na jambazi aliyetumwa na baba yake Mzazi Mzee Mwasha.

    “Mimi naitwa jenipher unajisikiaje Catherine?”

    “sasa hivi nina hali nzuri sana”

    “Utapona sawa mamii”

    “Ahsante”

    Pembeni alisimama Mama yake catherine na Mwanamke aliyeitwa Jenipher, japo hakumjua ni nani lakini alijua kuwa ni msamalia mwema aliyeokoa maisha yake sababu alijielezea hapo awali, alijikuta anazoeana sana na Jenipher kutokana na kila siku kuwepo hospitalini hapo, hakuelewa kuwa mwanamke huyo hatari sana laiti angejua wenda angekaa nae mbali sana, alikua ndani ya giza nene sasa, hakujua ukweli uliojificha nyuma ya pazia, hakuelewa kuwa alikua ni mtu wa Don Mullosi na siku chache baadaye angerudi mikononi mwao, Jenipher ilibidi afanye mambo taratibu sana hata ingemchukua mwezi mzima, ilikua ni lazima afanikishe zoezi hilo na kupewa pesa nyingi walizomuhaidi.

    **CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa upande wa Naomi bado alikua na kinyongo sana juu ya watu hao wawili haswa kwa Catherine habari zilisha mfikia tayari kuwa wapo hospitali na waliponea chup chup kufa kutokana na itlfau ya moto mkubwa, hata yeye alikua katika harakati za kuwauwa watu hao wawili, alishapata jina la Dokta Simon kuwa ndiye anayehusika na matibabu yote ya Catherine,

    Taratibu sana alianza kumzoea na kuanza kuwa nae karibu mara kwa mara.

    “hapa ni kumpa mapenzi tu, nishajua huyu mwanaume ni dhaifu sana mimi ni mwanamke lazima atafanya kazi yangu kirahisi sana bila kumpa hata senti tano”

    Aliwaza Naomi na kumpigia simu dokta Simon usiku huo huo wa saa mbili.

    “Dokta mambo”

    “safi tu”

    “tunaweza tuka onana?”

    “ndio itawezekana, inategemea na muda”

    “sasa hivi”

    “aaaah well, labda baada ya lisaa”

    “sawa”

    “sasa wapi?”

    “ni mambo ya siri tukutane Rombo Hotel shekilango”

    “sawa nitakuja”

    “okay”

    Naomi alishajiona mshindi tayari alitafuta chumba haraka haraka, na baada ya masaa mawili alikua na daktari huyo chumbani, taratibu alitoa nguo yake ya juu na kubaki na sidiria Dokta Simon alishindwa kuelewa.

    “mbona unavua nguo?”

    “wewe mwanaume mpaka hapa hujui nataka nini?”

    Hapo ndipo Dokta simon alijua nini nia ya Naomi alijikuta tayari ananyonywa mdomo wake huku akishikwa shikwa taratibu juu ya Mashine yake na kufanya itune na kuishiwa nguvu kabisa na kumfanya damu imuende mbio mno, hakuweza kusema lolote zaidi ya kuonesha ushirikiano hata yeye. Naomi aliifungua zipu ya daktari huyo na kutoa MASHINE kisha kuanza kuilamba taratibu sana kwa ufundi huku akianza kuchezea chezea gololi mbili zilizokua kwa chini, ndani ya dakika mbili tu nguo za dokta zilikua chini zimetupwa hata yeye hakuelewa zilitoka vipi mwilini mwake,

    Naomi alikua na kazi moja tu kucheza na filimbi ya Dokta huyo ambaye alikua hoi bin taaban kwa raha zote na kutamani wakati huo huo mechi ianze. Naomi alivua nguo zake zote na kumpandia kwa juu kisha kujiweka mwenyewe kwenye mashine na kuanza kukatika kwa juu tena taratibu kwa madoido, Mzee huyo daktari mwenye mvi chache alikamata vizuri kiuno cha binti huyo ambaye aliye kua ni kama binti yake wa kumzaaa lakini hakujali hilo, alishaanza kuhisi raha za ajabu huku akipelekwa puta kwenye mchezo huo wa kikubwa…

    “Doktaaaaa!”

    Aliitaa Naomi Kwa sauti ya puani huku akiwa anakatika juu yake

    “Abe..ee Naaa…m”

    “kunaaaaa kaziiii nataka unifanyieeeeee”

    “Ipppiii aaaaaaaah?”

    “kuna mtu natakaaaa umpotezeeee dunianiiii”

    “hapaaaana sitoowezaaaaa”

    Hapo hapo Naomi alisitisha kukatika na kutulia huku akimuangalia machoni

    “hutaki basi naondoka”

    “basi tafadhali binti tuendelee nionee huruma mzee wako, basi nitafanya unachokitaka”

    “ukifanya nachokitaka utani faidi sana, ushawahi kula tigo?”

    “haaaapana”

    “basi nitakupa mpaka nyuma”

    “nipee sasa hiivii”

    Kweli Naomi hakua na masihala aligeuka na kushika vizuri mashine ya daktari kisha kuiingiza ndani ya shimo la nyuma yaani mlango wa uwani na kuanza kukatika tena…….



    Dokta Simon yupo kitandani yupo hoi bin taaban kwa raha na burudani alizokua akizipata kutoka kwa Naomi, katika maisha yake hakuwahi kupewa mapenzi ya aina hiyo kwani alienda mizunguko mitatu kwa masaa machache, ni utundu huo peke yake aliupata kutoka kwa Naomi mwanamke ambaye aliyejitolea rushwa ya ngono ili afanikishe kumuuwa Catherine. Aliamini kuwa mwili wake ni silaha tosha kumpagawisha dokta huyo Mzee, aliyekua na umri uliofanana na baba yake mzazi.

    “Vipi turudie tena?”

    Aliuliza Naomi akiwa kifuani mwa daktari wote wakiwa watupu wamejifunika na shuka

    “mmmh mmmh”

    Alikataa kwa kutingisha kichwa akiwa yupo hoi jasho linamtoka.

    “mbona hapa bado, ukishanifanyia kazi yangu, utapenda mwenyewe”

    “kweli?”

    “nakwambia ukweli”

    “nina familia ujue, nina mtoto kama wewe, usije ukafanya nikaikimbia familia kisa wewe, sikuwahi kujua kama watoto wa siku hizi mna mambo makubwa kiasi hiki”

    “hayo tisa, kumi nataka Catherine umpoteze, naelewa sana maisha yake unayo”

    “ndio,”

    “sasa fanya ivyo ivyo basi Darling”

    “okay”

    Naomi alitabasamu kusikia jibu hilo,alishawaza mbeleni kuwa mambo yangemnyookea, watu wa karibu ndugu zake na Enock walivyompa taarifa juu ya Moto mkali kuunguza nyuma aliwajibu kuwa yupo Arusha na muda mfupi angerejea Dar es salaam na ndivyo walivyodhani, hawakuelewa kuwa mwanamke huyo ni simba aliyejifika ngozi ya mwanakondoo.

    Siku zilizidi kwenda,na wiki kukatika bado hakuweza kusikia habari yoyote ile ya msiba Wa Catherine kutoka kwa Dokta Simon, hapo ndipo alipoamua kumpigia simu siku hiyo mchana.

    “kazi yako siwezi kuifanya,tena ukiendelea kunisumbua nitakushtaki, siwezi kuuwa mimi” Alijibu Dokta simon.

    “ha ha ha ha ha ha, nadhani hunijui vizuri, okay sawa tuone mimi nawewe nani zaidi, una mke ana itwa Diana, nina amini una mpenda sana, na unaipenda kazi yako pia”

    “usinipigie tena simu Naomi”

    “umechelewa”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “una maana gani?”

    “nakutumia video uliyokua unanifanya kinyume na maumbile, na itaenda kwa mkeo sasa hivi”

    Moyo wa Dokta Simon ulidunda kwa kasi sana kusikia habari izo, akili yake ilimtuma moja kwa moja mpaka kwa familia yake na ukoo wake kwa ujumla jinsi walivyomuheshimu hata serikalini vile vile, alielewa nini maana yake.

    “unanana..sema una una nini?”

    Alipata kigugumizi cha ghafla.

    “ndio ivyo sasa hivi nakutumia”

    Kweli ndani ya dakika moja video iliingia kwenye simu kupitia mtandao wa watsap hapo ndipo alishindwa kuamua cha kufanya ilibidi ampigie tena simu Naomi na kukubaliana na lolote analotaka.

    “ila naomba baada ya kukufanyia kazi yako hiyo video uifute”

    “sitakua na sababu ya kukaa nayo”

    Hakua na jinsi zaidi ya kukubali kwenda kushiriki mauaji japo hakupenda hata kidogo, hakua na jisni yoyote ile, alipewa siku mbili tu na Naomi ili afanye kazi hio ya kumuondosha Catherine duniani.

    **

    Hali ya Catherine kila kukicha ilizidi kutisha ili kuwa mbaya sana hakuweza kula hata kidogo, alitapika mfululizo na kukonda ghafla madaktari ilibidi wamuwekee ukaribu wa hali ya juu sana kuliko mgonjwa mwingine yoyote yule, baada ya kuchukua vipimo vyake aligundulika kuwa ana ugonjwa Wa typhoid na homa kali mwilini!, hapo hapo akiwa kitandani alianza dozi ya vidonge vya typhoid huku akiwa ametundikiwa dripu aina ya Glucose kwenye mishipa yake ya damu ili kurudisha nguvu zake. kwa upande wa Enock ilikua kinyume yeye hali yake ilizidi kuwa nzuri na kuonesha matumaini, dalili zilionesha kuwa atarudi katika hali yake ya kawaida licha ya yote lakini hakuwa mwenye furaha hata kidogo, habari za Catherine zilimfanya aonekane bado anaumwa, kila siku alikua akitoka wodi lake mpaka kwa Catherine kuangalia hali yake,

    Alivyomuona alitamani kulia, Catherine aliongea kwa tabu nyingi sana alimuangalia mtu kwa shida.

    “Catherine Mpenzi”

    “Ab…ee Dar..ling”

    “unajisikiaje na hali?”

    “sa..sa nina afadhali ond..oa shaka mpenzi wa..ngu. nikipona tutafunga nd..oa?”

    “ndio utakuja kuwa mke wangu unizalie watoto, unakumbuka ahadi yetu?”

    “ndi..o naku..mbuka niombee nipone niwe mzi..ma sidhani ka..ma nitapona nahisi nita..kufa sitaki kuf..a Enock uzidi kuniombea!”

    “usiseme ivyo Catherine, unamkufuru Mungu. Utapona tu, kama Mungu kaweza kutupigania kutoka kwenye moto hatoshindwa kukupigania, Mungu wetu ni Mwema”

    “Ahs…ante Mpe..nzi wangu”

    Yalikua ni maneno ya kuuzunisha sana kwa wawili hao, Enock alishindwa kuyazuia machozi yake alitoka nje na kuanza kulia sana,maneno aliyokua akiongea Catherine yalimuogopesha sana hata alivyoangalia hali na maneno aliyokua akiongea yaliendana kabisa hilo hakupinga,

    alikumbuka mambo mengi yaliyopita katika maisha yao jinsi walivyoteseska mpaka kufikia hapo, ni kweli maisha yao yalijawa na misukosuko mingi sana,

    “Enock usilie Mwanangu,”

    Mama Catherine alisema na kumfanya Enock apanguse machozi yake harakaharaka akitumia viganja vyake vya mikono.

    “hapana Mama nipo sawa, nipo sawa”

    “Catherine vipi hali yake?”

    “sasa hivi inaridhisha”

    Catherine alizidi kupewa huduma na matibabu, kila kukicha madaktari walimtibu kwa uangalifu sana, hali yake taratibu ilianza kurudi kama zamani aliweza hata kutembea na kukaa kitandani mwenyewe, hata yeye alijipa moyo anaenda kupona muda mfupi kutokana na hali aliyokuwa nayo, aliweza kula sasa bila kutapika, afya yake taratibu ilianza kujijenga na mwili kurudi kwa ujumla!,

    Ghafla siku hiyo asubuhi baada ya kumaliza kunywa uji alianza kuhisi tumbo lina muuma sana, alivyoenda chooni aliharisha sana,kwa mara ya kwanza alidhani wenda ni mchafuko wa tumbo lakini siku mbili mfululizo aliharisha na kupoteza maji mengi sana mwilini mwake,

    alikua hakauki chooni, kila mtu aliogopa sana, madaktari walipata tena shughuli za kuanza kumtibu upya, hata wao walishindwa kuelewa ni kitu gani kimemtokea Catherine.

    Nywele zake zilianza kubadilika rangi na kuanza kukatika, mwili wote ulipungua tena mara tano yake, walivyo mpima uzito kila mtu alishika mdomo, uzito wake ulipungua kilo ishirini ndani ya siku chache,hazikupita siku mbili alianza kutapika kila kitu na wakati mwingine mpaka damu, alianza kukohoa kikohozi kikavu, Mama yake aliingiwa na wasi wasi mwingi sana alishaelewa nini maana ya dalili izo, alimuomba sana Mungu wake Catherine asiwe ni muathirika wa ugonjwa hatari wa Ukimwi, sababu alijua ni jinsi gani ulivyokua una tesa na hauna tiba, Hata madaktari nao walikua na mashaka juu ya afya ya Catherine, hapo ndipo walipoamua kumuita mama yake mzazi ili waanze taratibu za kumpima damu kubwa.

    “Mimi sina tatizo mumpime tu damu yake”

    “okay sawa, hakuna tatizo tulikua tuna subiri kauli yako”

    Hapo ndipo madaktari walipoanza kuchukua damu kubwa ya Catherine na moja kwa moja kuingia nayo maabara kwa kuiangalia kama ina maambukizi ya virusi vya ukimwi, haikuchukua hata lisaa limoja Mama Catherine aliitwa ndani ya chumba cha daktari ili apewe majibu ya mwanae, mapigo yake ya moyo yalimwenda mbio sana.

    “nasikitika kukwambia kuwa mwanao…..!”

    Daktari alishindwa kumalizia majibu aliyokua akitaka kuyatoa na kumtuliza Mama Catherine ambaye alikua analia kwa kwikwi.



    “kumbe wifi una watoto wakubwa kiasi hiki?”

    “aaah sio sana. Lakini umri umeenda pia, huyu ana miaka ishirini na tatu yupo Libia,ana maliza digrii ya udaktari kama baba yake, kuna mwingine mkubwa ameolewa sasa hivi na anakaribia kujifungua”

    “hongera, mimi bado hata sijafikiria kuwa na wangu wifi”

    “mmh.. lakini bado sijakufahamu vizuri, naomba tufahamiane”

    “mimi naitwa Naomi, nafanya kazi na Dokta Simon, ni kama kaka kwangu leo alinialika hapa kwake”

    “ooh nashukuru kukufahamu, ndio kwanza anajiandaa yupo chumbani”

    “sawa basi atanikuta”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Naomi alishafika nyumbani kwa Dokta Simon akiwa na mke wake ameshika album za picha mbali mbali anaziangalia, mpaka wiki mbili zinapita hakuweza kusikia habari zozote zile juu ya Kifo cha Catherine ilikua ni lazima aweke unoko kwa mke wake na kumuonesha video waliyokua kitandani wanafanya mapenzi na daktari huyo aliyekua anaheshimika sana na familia yake mpaka katika jamii yake kwa ujumla,

    Dokta simon alivyotoka chumbani kwake alishtuka sana kuiona sura ya NAOMI akiwa yupo seblen tena yupo na mke wake Diana, alielewa nini maana yake.

    “vipi mbona umeshtuka?”

    Alihoji mke wake

    “hapana nipo sawa naona kuna ugeni”

    “Dokta ndio nimekuja sasa”

    Alidakia Naomi

    “ahaa sawa, twende basi”

    “twende wapi?”

    “tukamalizie ile kazi ya operesheni”

    “hakuna cha kazi yoyote, nimekuja kumwambia mkeo utanifanyia kazi yangu au hunifanyii?”

    “kwani kuna nini?”

    Diana aliuliza baada ya kuona haelewi kinachoendelea hata yeye aliingiwa na mashaka.

    “hakuna kitu mke wangu”

    “hapana kuna kitu”

    “usimfiche mkeo mwambie ukweli la sivyo nafanya yangu simu hii hapa, utanifanyia kazi yangu hunifanyii?”

    “nitaifanya”

    “lini?”

    “leo hii hii itakua imeisha”

    “sawa mimi naenda ila usipoifanya……”

    Jasho liliaza kumtoka mwilini mwake na kulowanisha shati alilokua amelivaa japo alikua ametoka kuoga muda mchache uliopita, alikua katika wakati mgumu sana, ilibidi tu achukue maamuzi ya kuuwa ili kuepukana na fedhea atakayoipata siku chache zijazo, bila kuongea chochote Dokta Simon aliingia ndani ya gari mpaka hospitalini, hakua na chaguo lingine zaidi ya kuandaa chupa yenye sumu kali sana na kuiweka ndani ya droo lake akisubiri usiku uingie ili amalize kazi yake.

    “dokta simon kuna kitu nataka nikwambie samahani lakini”

    Muuguzi wa kike aliingia ofisini mwake.

    “sipo sawa sasa hivi njoo baadae au kesho”

    “hapana ni muhimu,”

    “sipo sawa kuruthumu,niache kidogo”

    Kweli alikua amechanganyikiwa, alimaini kuwa baadae ataenda kubeba dhambi kubwa sana ya kuuwa mtu asiyekua na hatia, alijutia sana ni kwanini alifanya mapenzi,alimlaumu sana shetani alitamani muda urudi nyuma angalau amkatae Naomi, lakini hilo halikuwezekana alikua kesha chelewa tayari, na ana masaa machache tu atimize aliyoambiwa,bado jasho lilizidi kumtoka mwilini mwake, masaa yalienda haraka haraka siku iyo mpaka giza linaingia bado alikua juu ya kiti chake ndani ofisini akitafakari,

    Alivuta droo na kutoa kichupa cha sumu na kuweka pamoja na bomba la sindano ndani ya koti lake kubwa jeupe, baadhi ya wauguzi walishaanza kuaga na kuondoka ili baadae waingie wenye zamu za usiku, alitembea mpaka wodi alilolazwa Catherine, alikijua sana kitanda alicholazwa, na kuona alivyojifunika shuka gubi gubi mpaka usoni kama afanyavyo kila siku, bila kuuliza kitu chochote alimchoma sindano ya sumu hiyo kali shingoni huku akizikandamiza pua zake, miguu ilivyokua ikitupwa tupwa juu ya kitanda ilimaanisha kuwa pumzi imekosekana ivyo baada ya muda mfupi angetulia, alizidi kukandamiza mikono yake puani mwa catherine, baada ya sekunde chache sumu ilikua teyari isha sambaa mwilini na kufanya ukimnya utawale,

    kazi aliyokua ametumwa aifanye tayari alikua ameikamilisha.

    **

    Alichomshukuru Mungu wake binti yake hakua na maambukizi ya virusi vya ukimwi bali ni magonjwa ya zinaa ndiyo yalikua yakimtesa kupindukia, kutokana na uhaba wa dawa hospitalini hapo ilibidi kitendo cha haraka kifanyike cha Catherine kuhamishwa hospitali.

    “Kuruthumu, muandikie huyu mgonjwa transafer”

    “lakini si mpaka Dokta Simon afike?”

    “hayupo sasa, na simpati kwenye simu yake, itabidi umwambie kesho asubuhi akifika, hatuwezi kumuacha huyu binti afe”

    “sawa hakuna tabu”

    “andika na dawa zote alizokua akitumia hapa”

    “sawa dokta”

    Utaratibu wa Catherine kuhamishwa hospitali ulianza dakika hiyo hiyo na kupelekwa hospitali nyingine, hawakujua kuwa ni kama Mungu alikua akiipigania roho yake bado,hawakuelewa kuwa isingekuwa kumuhamisha hospitali wenda angeuwawa mara moja,

    Matibabu yalianza haraka sana akiwa hospitali nyingine, hapo alipata ahueni na hali yake taratibu kurudi kama awali, miezi ilizidi kukatika tayari na siku kuyoyoma siku hiyo asubuhi na mapema Mama yake alivyo fika hospitalini hakumkuta alishtuka sana na kuanza kuwauliza madaktari.

    “Alitoka na mwenzake hapa Yule Jenipher”

    Alijibu daktari

    “tangu saa ngapi?”

    “Asubuhi sana”

    “mbona hakuniambia lakini, ngoja nimtafute kwenye simu”

    Kilichomchanganya tena simu ilikua haipo hewani. Lakini hakuweka mashaka ya aina yoyote, sababu alishamzoea Jenipher tangu wanamuuguza Catherine hapo hospitalini akimletea chakula pamoja na baadhi ya pesa za matibabu, hakujua kuwa yupo ndani ya kiza kinene hakuelewa kuwa mwanamke huyo Jenipher ni zaidi ya chui….



    Moyo wa Sabrina ulizidi kumwenda mbio lakini bado alijipa matumaini kuwa mwanae Catherine yupo salama huko alipo japokuwa alikua hapatikani hewani, hakutaka kubanduka hospitalini ili kumsubiri Jenipha kitu alichojilaumu ni kutokua na namba ya mwanamke huyo ambaye madaktari walidai aliondoka na binti yake.Alizidi kukaa juu ya benchi bila kuona dalili yoyote ile ya Catherine kutokea, na ndo hapo alipoinuka mpaka mapokezi kwenda kumuulizia tena.

    “kwani alivyoondoka hakuaga?”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “hapana, hakuaga”

    “inakuaje mnaruhusu mgonjwa kiholela aondoke na mtu ambaye hana uhusiano nae?”

    “alidai kuwa wanaenda kufanya mazoezi na Yule ndugu yake,lakini watarudi sasa hivi”

    Hata wauguzi nao walishaanza kuingiwa na mashaka mioyoni mwao, picha ilionesha kuwa kuna kitu kibaya kimetokea kwa mgonjwa wao, hio ilimaanisha vibarua vyao vitaota nyasi endapo Catherine atapata matatizo ya aina yoyote yale huko alipo,

    Ghafla walimuona Jenipha amefika hospitalini lakini bila ya Catherine pembeni wala nyuma yake, Sabrina Alisimama wima na kumuendea kwa haraka.

    “Catherine yuko wapi?”

    “yupo hapo nje samahani Mama kulikua kuna foleni ndio maana tumechelewa nilimpeleka kidogo akafanye mazoezi”

    Alijibu Jenipha kwa upole Mama Catherine hakuelewa kuwa anaongea na mwanamke hatari mno,Jenipher hakutaka kupeleka mambo harakaharaka ilibidi ayafanye mambo taratibu sana ili ampeleke Catherine Kongo akiwa salama Salmin kwa Don Mullosi,alishapewa hundi ya milioni tano teyari kama malipo na kubaki na salio la shilingi milioni mbili endapo atafanikiwa kumkabidhisha Catherine kwa watu wabaya ambao bado walitaka kumpeleka nchini Germany na hapo ndipo kazi yake hiyo ndogo kuisha.

    Catherine alitokea akiwa mwenye furaha sana na kumsalimia Mama yake, wote walikumbatiana kwa furaha baada ya kuonana tena, baada ya siku mbili kupita Catherine aliruhusiwa kutoka hospitalini kutokana na hali yake kuwa nzuri kiafya, alipatiwa dawa za kutumia akiwa nyumbani kwao, ilikua furaha sana kwake, Kwa upande wa Enock aliruhusiwa siku tatu kabla, alisikitika sana kuona nyumba yake kubwa imetekea na moto na kuwa kama gofu,alinyoosha mpaka kituo cha polisi baada ya kupigiwa simu na mkuu wa kituo ili kutoa maelezo ya ziada kabla ya nyumba yake kuungua na moto.

    “Ndio, kuna mtu alikuja akatufunga kamba mimi na mpenzi wangu, kisha baadae akamimina mafuta ya petroli”

    “huyo mtu unamfahamu?”

    “hapana simfahamu”

    “kuna mtu yoyote una ugomvi nae?”

    “ndio”

    “nani?”

    “baba yangu mzazi”

    Polisi walizidi kuandika maelezo ya Enock kwenye karatasi.

    “unajua alipo kwa sasa hivi?”

    “hapana, lakini mimi mwenyewe nita mkamata kwa mikono yangu, lazima nimuuwe nifungwe. Lazima nimuuwe mwenyewe, nitamtafuta kwa gharama yoyote ile, hawezi kunifanya niishi kwa wasi wasi, hastaili kuishi huyu mzee!”

    Aliongea Enock kwa hasira sana akiwa anapigapiga kifua chake kwa Uchungu sana huku pumzi zikiwa zimemjaa kifuani mwake na kufanya kifua chake kipande juu na kushuka.

    “punguza jazba Enock ili tuongee kwa utaratibu, wewe nenda tutakupigia simu tukikuhitaji tena, tupe siku nne tutakua tumemtia nguvuni, hiyo ndiyo kazi yetu jeshi la polisi”

    Aliongea mmoja wa polisi akiwa na uhakika kwa kile anachokisema, Enock aliondoka akiwa na Amani japo sio sana, sababu hata yeye alielewa ni jinsi gani baba yake mzee Mwasha alivyokua katili na asiye kubali kushindwa kitu,

    “Dad, lazima nikutafute”

    Alisema mwenyewe kwa jazba akiwa ndani ya gari akielekea Goigi kwa rafiki yake Anderson Peter na ndo hapo alipokua akiishi tangu alipo ruhusiwa hospitalini, hakua na mahali pa kulala tena, Anderson peter ndiye aliyempa hifadhi kwa kila kitu alichohitaji, kama rafiki yake hakuweza kumuacha ateseke au akodi hotel na kupoteza pesa.

    ***

    Mwanamke aliyeitwa Jenipha alizidi kuzoeleka nyumbani kwa akina Catherine hata wakati mwingine kudiriki kulala kabisa, Mama Catherine hakua na tatizo kabisa juu ya mwanamke huyo, sababu alimuamini na wakati mwingine kuwaruhusu waende popote akiwapa gari yake wakatembee sehemu tofauti, alishamuamini kabisa asilimia zote mia moja bila kufanya utafiti wowote juu ya mwanamke huyu.



    Hata kwa Catherine naye ilikuwa ivyo ivyo kwa upande wake, alipata faraja sana na kumuamini Jenipha kwa muda mchache sana, sababu ya kuonesha kuwa nae karibu mno tangu alipokua hospitalini anapatiwa matibabu baada ya kunusurika kifo cha moto, hakuelewa hata yeye kuwa muda mchache baadaye ataingia tena kwenye matatizo makubwa kama asipokuwa makini.

    “Catherine”

    Aliita Jenipher siku hiyo wakiwa wanaelekea sokoni kununua vyakula vya kupika mchana nyumbani.

    “Nambie Jenifa” “Mama yangu anaumwa sana”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Jamani nini tatizo anaumwa nini?”

    “Ana presha, alafu mimi ndiye mtoto wake wa pekee baba yangu alifariki tangu nipo mdogo sana, nampenda sana Mama yangu kuliko kitu kingine chochote kile”

    Aliongea Jenipher kwa simanzi sana huku machozi yakimlega,

    “pole sana, inabidi uwende ukamuone”

    Catherine aliguswa na historia hiyo.

    “sina mtu wa kunisindikiza naomba twende wote”

    “sawa mimi nipo tayari, lakini tuwahi kurudi ili tupike,tukishatoka kumuona”

    “hapana Catherine hayupo hapa nchini”

    “sijakuelewa”

    “yupo India, naomba unisindikize”

    “Mhh… Wacha niongee na Mama kwanza ili tujue tutafanya nini, yeye ndiye atakae toa ruksa”

    “sawa ahsante sana Catherine”

    Moyo wa Jenipha ulijawa na furaha sana ni baada ya kuona njama alizopanga zina mnyookea za kumkabidhisha Catherine mikononi mwa Don Mullosi tena bila kutumia nguvu yoyote ile wala silaha, aliwasiliana na Mullosi pamoja na Joyla kwa kila hatua aliyopiga na wao walifurahishwa sana na utendaji kazi wa mwanamke huyo Jenipha na kumsubiri sana Catherine nchini Uganda na baada ya hapo wamkabidhi kwa Carl Martin wamalize biashara yao kwani alishawasumbua sana.



    Mama Catherine hakuwa na tatizo lolote lile juu ya Catherine kuondoka na Jenipha alitokea kumuamini sana na kumchukulia kama mwanae wa kumzaa alichokosea ni kutokumchunguza ni wapi anaishi, wema wake tu ndio aliyochukulia kuwa hakua mtu mbaya kwao hata kidogo, hata alivyosikia habari za Mama yake kuwa yupo India Anaumwa alishtuka sana,na kuwaongezea kiasi cha pesa kidogo kiwasaidie mbele ya safari sababu kuanzia nauli mpaka makazi Jenipha ndiye alisema atagharamia.

    “Mimi nawatakia safari njema wanangu, Mama yako atapona sawa, Mungu atampigania”

    “Ahsante Mama”

    Mama Catherine aliwapa Baraka zote na kuwaombea wafike salama na Mungu awatangulie, mipango ya tikeki ya ndege ilikua teyari imekamilika mpaka visa ndani ya wiki moja baadaye. Ni siku mbili tu zilibaki ili safari yao ianze. Catherine hakutaka kuondoka bila ya kumuaga Enock kupitia simu, kwa kuwa alikua bize siku hiyo hawakubahatika kuonana, Catherine hakua na neno juu yake.

    Wote waliamka saa kumi na mbili ya asubuhi siku hiyo kwa ajiiri ya safari, Jenipha alilala kwa akina Catherine ili asichelewe na kuachwa na ndege, siku hiyo asubuhi ya saa mbili walijiaanda na kupata kifungua kinywa kisha baadaye kupakia mabegi yao ndani ya gari, kila kitu kilivyo kaa sawa tu Mama Catherine aliondosha gari mpaka uwanja wa ndege Mwalimu Nyerere ili kuwahi shirika la Ndege la RwandAir.



    Walifika uwanja wa ndege na kushusha mizigo yao nyuma ya buti kisha kuanza kuburuza mabegi yao.

    “wanangu nawatakieni safari njema”

    “sawa Mama hata wewe ubaki salama”

    “kuweni makini sana, Catherine ukirudi tu inakubidi uje umalizie chuo Mama sawa?”

    “sawa Mama”

    Wote walikumbatiana kisha kuagana kwa mara ya mwisho, walifika mlangoni na kuweka mabegi yao juu ya mashine maalumu inayopeleka mabegi upande wa pili na wao kupita mlangoni mpaka ndani ya ndege.

    Sauti nyororo kutokea kwenye spika za pembeni ziliwataka wafunge mikanda sababu ndege ilikua tayari inaondoka, baada ya dakika mbili taratibu ilianza kutembea kisha kuchanganya kasi na baadaye matairi ya mbele kuinuka na ya nyuma kufuata ikipaa angani.

    “tutatua wapi na wapi?”

    Alivunja ukimnya Catherine wakiwa ndani ya ndege

    “Kigali na Entebbe kisha tutabadilisha ndege hapo na kuchukua nyingine”

    “aah sawa”

    Baada ya nusu saa ndege ilitua Rwanda uwanja wa ndege wa Kigali, hapo hawakukaa sana ndege iliinua matairi yake na kupaa tena, kisha baadaye kutua tena uwanja mkubwa wa Entebbe nchini Uganda.

    Catherine na Jenipha walikuwa miongoni mwa abiria ambao safari yao ilikomea hapo ili wabadili ndege nyingine ivyo ndivyo aliamini Catherine, hakuelewa lolote juu mipango ya Jenipha,walitoka kidogo nje ya uwanja wa ndege.

    “inabidi tusubiri ndege ya usiku”

    “sawa hakuna shida yoyote, sasa si tuache mizigo yetu au tuondoke nayo?”

    “tuondoke nayo tu”

    Hapo hapo walichukua Taxi Mpaka kwenye moja ya Hotel ili kupumzika.

    “njoeni mchukue mzigo wenu tayari nipo hapa Chiken Bites hotel chumba namba 20”

    “okay”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mazungumzo hayo kupitia simu yalimfurahisha sana Joyla, hapo hapo alichukua gari mpaka Entebbe na kupaki nje ya hotel na watu wake.



    Catherine Hakutaka kuamini macho yake baada ya kumuona Joyla mbele ya macho yake, alimkumbuka sana mwanamke huyo ambaye alimtesa na kumchezesha filamu za ngono siku za nyuma zilizopita, moyo ulimwenda mbio hakuamini kama amerudi kwenye mikono yake upya, alimtizama Jenipha na kumuona akifurahi na kuelewa teyari kuna mchezo umefanyika sababu picha ilionesha dhahiri,

    Watu sita walioshiba waliingia ndani ya chumba chao.

    “ha ha ha ha ha, Catherine Ramsey, kwa akili yako unafikiri ungeweza kutukimbia?”

    Aliongea Joyla kwa nyodo.

    “mchukueni”

    Joyla alitoa kauli hiyo kwa mabaunsa na kuanza kumsogelea Catherine, mmoja wapo alivyotaka kumshika aligoma, walivyotaka kutumia nguvu Catherine alirusha ngumi palepale iliyo mfikia baunsa mmoja wapo puani, alirudi nyuma kidogo na kurusha round kick kwa mwingine na kumfanya aparamie meza na kudondoka kama mzigo na kukaa tena sawa, ilikua ni lazima ajiokoe maana hakutaka kurudi tena mikononi mwa watu hao hatari,

    Alichezesha miguu yake na kumpiga baunsa mwingine nyuma ya goti iliyopelekea aende chini, hapo hapo aliruka na ngumi iliyomfikia juu ya taya,dalili zilionesha kuwa anaenda kushinda na kuwazidi nguvu wanaume hao kutokana na hawakuwa na mafunzo vizuri ya ngumi lakini wana miili mikubwa,



    alizidi kupambana nao, lakini alijikuta yupo chini baada ya Jenipha kuokota taa kubwa ya mezani na kumpiga nayo kichwani, walianza kumshambulia akiwa chini na hapo hapo kupoteza fahamu zake…



    Katikati ya usiku alizinduka baada ya kuhisi maumivu makali juu ya utosi wake,fikra zake zilirudi nyuma kwa kasi na kukumbuka yote yalitokea,mtu wa kwanza kumkumbuka ndani ya akili yake alikua ni Jenifa ambaye aliyesababisha mpaka yeye kurudi katika mikono ya watu wabaya waliomtesa na baadaye kuokolewa,lakini leo amerudi tena kirahisi,

    alichojilaumu ni kitendo cha kumuamini mwanamke huyo, licha ya yote kutokea alipiga moyo konde na kuamini kuwa atashinda vita hiyo kali iliyokua imeanza tayari.

    Alikaa macho mpaka kunakucha na mlango wa chumba alichofungiwa kufunguliwa, alifunikwa usoni na kitambaa cheusi na kuingizwa ndani ya gari, hakuelewa ni wapi anaenda hata yeye. Baada ya dakika ishirini alihisi gari imesimama na kushikwa mkono akivutwa nje,

    Mbele yake aliona nyumba kubwa baada ya kitambaa cheusi kutolewa usoni mwake, walimuingiza ndani ya nyumba hiyo seblen na kuona sura zote ngeni lakini baadaye alitokea Joyla, alivyopiga jicho lake pembeni hakuamini Mwanaume aliyemuona amefungwa kamba yupo chini.

    “Anc…o Kway!”

    Aliita Catherine kwa sauti ya chini na Kway aliyekua amelala kuinua kichwa chake juu kwa shida ili kumtazama ni nani aliyekua akimuita, hata yeye alionekana kustaajabu sababu alijua Catherine amefariki Dunia na ndiyo ivyo alivyowaambia Watu hao wabaya waliokua wanamuhitaji,

    “Caa..therine” Aliita Kway.

    Catherine alikua teyari na kibarua kingine, mwanaume aliyekua mbele yake ana majeraha ilikua ni lazima amuweke huru kutoka kwenye mikono ya watu hawa wabaya wanaomtesa nusu kumuuwa.



    Alishaelewa kuwa ndiye baba yake kutokana na kumzalisha Mama yake mtoto Christopher ivyo alimuhesabia kuwa ni kama Baba yake wa kumzaa,

    hakutaka kumpoteza wakati uwezo wa kumuokoa na kumuweka huru alikua nao,

    Baada ya muda kidogo ulisikika muungurumo wa Gari kisha ukimnya kutawala, Carl Martin alikua teyari amewasili ili tu amchukue CATHERINE na kuondoka nae siku hiyo hiyo aende naye Germany, alionekana alikua na hamu naye hata yeye!.

    “Mr. Mullosi! Hope you have good news for me?”(Mr.Mullosi natumai una habari nzuri za kunipa)

    Aliuliza Mwanaume wa Kigermani akiwa na walinzi wake pembeni wakilinda usalama wake.

    “First be seated then we talk My Friend,which kind of drink would you prefer?”(embu keti kwanza alafu tuongee,aina ya kinywaji gani unapenda?”

    “Red wine”

    “okay”

    Kabla ya mazungumzo yao kuanza waliletewa vileo ili kupasha akili zao, Carl Martin alifurahishwa alivyomuona Catherine, hata yeye alikiri kuwa ni mzuri sana alivyoletwa mbele yake, udenda ulimtoka na baadhi ya viungo vyake vya mwili kusimama,neno Ngono ndilo lilikuwa limetawala ndani ya kichwa cha Carl Martin, baada ya kila kitu kufanyika Catherine aliingizwa ndani ya gari ndefu milango sita aina ya Limo mlango wa nyuma kisha Carl Martin kufuata.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Your pretty, I wan’t to enjoy with you today before we start our journey to Germany My Angel(Wewe ni mrembo,nahitaji kufurahi nawewe leo kabla hatujaanza safari yetu ya ujerumani Malkia wangu”

    Tamaa za Mwili zilizidi kuusumbua mwili Wa carl Martin na kutamani hata wakati huo huo afanye ngono, alimuangalia Catherine maziwa yake yalivyosimama vizuri na kufanya kidogo yaonekane sehemu ya juu, aligandisha macho yake juu ya midomo ya mwanamke huyu ilivyokua myekundu iliyolowa muda wote, alishusha macho yake tena mpaka kwenye mapaja yake yaliyokuwa meupe na malaini sana, kitendo cha kuangalia sehemu izo tu kilifanya uume wake usisame na kufanya suruali yake itune kidogo, Catherine alikua kimnya hasemi lolote, ndani ya akili yake aliwaza ukombozi ilikua ni lazima arudi nyuma akamkomboe Kway na wanawake wenzake wengine waliokuwa wakiteseka sana wakichezeshwa filamu za ngono kisha kuuzwa nchi tofauti mbali mbali.

    “Alexander!”

    Carl Martin alimuita dereva wake

    “Yes boss”

    “Take me back to the hotel immediately(nirudishe hotelini haraka iwezekanavyo)

    “But Boss, you have a flight to catch!”(Lakini muheshimiwa kuna ndege unatakiwa kuwahi”)

    “I know, just do what I have said(naelewa,fanya nilichokwambia)”

    Hapo hapo dereva alizungusha usukani na gari kuanza kurudi lilipotoka na kufika ndani ya hotel ya nyota tano alipokua amefikia Carl Martin iliyoitwa Sea Hotel, na walinzi kuwafungulia mlango, kisha Carl Martin na Catherine kushuka ndani ya gari hiyo Limo ya kisasa,

    Ndani ya akili ya Catherine hakuwa anawaza kitu kingine zaidi ya kutumia akili yake ya ziada, kama mwanamke ili bidi amlegeze mwanaume huyo aliyeonekana kuwa hoi na miyemko iliyo mpata,

    lift ililia baada ya kufika gorofa namba ishirini kisha kujifungua na wote kuanza kutembea mpaka chumbani,

    Kitendo cha kufika tu Catherine aliomba kuingia bafuni kujimwagia Maji ili baadae akirudi waanze kufanya mapenzi na Carl Martin, alipita mpaka bafuni na kuchungulia dirishani, kupitia kioo aliweza kuwaona walinzi wa Carl Martin wakiwa kwenye gari na kuanza kupiga hesabu jinsi ya kutoka, alishaelewa kuwa kuna mlango mwingine wa upande wa nyuma atakao tumia kutokea,

    Alivuta pumzi ndefu na kufungua mlango wa Bafuni.

    Carl Martin alikua teyari hana shati lake akiwa na glasi mbili za pombe kali mikononi mwake na kumkabidhi Catherine ili wanywe kidogo!.

    Baada ya kunywa pombe Carl Martin alimsogelea Catherine na kuanza kumpapasa kwenye maungo yake, hata ivyo ilibidi Catherine nayeye amlegeze kwanza mwanaume huyo ili aweze kutoka kiurahisi, alianza kumshika shika ila baada ya kumshika kiuno kwa nyuma alihisi kashika kitu kigumu sana,

    “You have a gun sweatheart?, I fear gun please put it aside(una bastola mpenzi?, ninaogopa bastola tafadhali iweke pembeni)”

    Aliongea Catherine akitoa sauti ya puani na kuzidi kumpumbaza Mjerumani huyu aliyekua hoi bin taaban damu ikimwenda mbio!, alitoa bastola yake kiunoni na kuiweka juu ya meza bila kujua anafanya kosa la jinai, na kilichofuata hapo yalikua ni madenda kwenda mbele, kisha Catherine kumtupa Carl Martin juu kitandani nayeye kupanda juu yake,alianza kumnyonya masikio yake na kumvua mkanda taratibu na kisha baadae kutoa suruali yake na boxa kufuata, kilichomshangaza Catherine ni mzungu huyo kuwa na Mashine ndogo kama ya mtoto wa miaka tisa ambayo ilikuwa tofauti kabisa na mwili wake, hata ingetokea wangefanya ngono asingemfikisha popote pale, hakutaka kujali sababu haikuwa kazi yake, alimfuata kwenye shingo na kuanza kuilamba shingo yake huku mkono wake taratibu akiusogeza mezani ilipokuwa bastola ya Carl Martin, alivyohakikisha kaiweka vizuri mikononi mwake, wakati huo huo alimuwekea juu ya uso wake.

    “I don’t want to do this, but I will if you won’t cooperate (sitaki kufanya haya lakini nitalazimika endapo usipotoa ushirikiano)”

    Carl Martin alikua amepigwa na butwaa sana macho yamemtoka, kitendo cha kumuona Catherine kaishika bastola vizuri kiujuzi tena kidole chake kipo kwenye triga ambacho kikivutwa nyuma tu risasi itatoka hapo hapo na kumpeleka ahera!.

    Hakuwa na chaguo lingine kwani maisha kwake yalikua matamu sana alisimama akiwa bado uchi wa mnyama na kuhamriwa kuingia bafuni na Catherine kufunga mlango kwa Nje.

    Aliweka nguo yake sawa na kuiweka bastola kiunoni kwa safari moja tu kurudi kwa Kway na wanawake wengine waliokua wametekwa nyara ili awaweke huru, aliamini jambo hilo litafanyika tena siku hiyo hiyo, alitoka nje na kuingia ndani ya lift.

    Baada ya kushuka alitembea mpaka mapokezi.

    “Don’t disturb my husband I will be back soon”(usimsumbue Mume wangu, nitarudi hivi karibuni)”

    Catherine alitoa maagizo hayo kwa mwanamke aliyekua mapokezi kisha kutokea mlango mwingine, aliangalia huku na kule na kukodi usafiri mpaka kwenye nyumba kubwa aliyokua amechukuliwa na Carl Martin, na kumuomba dereva taxi amsubiri asiende popote pale.

    Alinyoosha mpaka Getini na kugonga, kitendo cha mlinzi kulifungua geti alikutana na mlango wa bastola na kushindwa kufanya lolote.

    “Kway yuko wapi?”

    “yu yu yu yupo ndani”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya kuongea hayo alipigwa kitako cha bastola kisha Catherine kuzidi kusonga mbele mpaka alipoingia seblen, ni kweli alipo chungulia tu aliwaona Don Mullosi pamoja na Joyla wakiwa wananyonyana midomo yao wakiwa mbali kimahaba, alivyopiga jicho upande wa kushoto alimuona Kway akiwa amelala sakafuni amelowa damu nyingi, hakutaka kupoteza wakati, mzima mzima aliingia na kumtwanga Don Mullosi na kitako cha bastola kichwani aliyekua juu anampiga denda Joyla na kujisahau kuwa yupo seblen.

    “kaeni chini sasa hivi”

    Alifoka Catherine akiwa kaishika bastola vizuri tena na mikono yake yote miwili tayari kwa kufyatua endapo wataenda kinyume.

    “Catherine!”

    “kaa kimnya, nenda kamfungue Kway kahaba wewe”

    Kwa hofu nyingi Joyla alitembea Mpaka kwa Kway aliyekua chini na kumfungua kamba zote walizomfunga.

    “aya mfunge huyo baasha ako pia na kamba, FANYA UPESI kabla sija weka ubongo wako sakafuni”

    Joyla alitii kila kitu alichoambiwa na mwanamke jasiri Catherine aliyekua mbele yake na bastola tayari kwa kuuwa, alienda na kumfunga Don Mullosi kamba mikononi na miguuni kisha kusimama huku mikono yake ikiwa juu, na kuhamriwa mpaka ndani ya chumba kikubwa kilichokua kina wanawake wengi waliotekwa nyara, wote walifunguliwa na kuwa huru kabisa, Joyla akiwa Mbele Catherine nyuma yake akiwa amemuwekea bastola nyuma ya kisogo chake bado, ghafla alivyofika seblen alimuona Kway amesimamishwa huku nyuma yake akiwa amesimama Don Mullosi na bastola ambayo amemuwekea Kway Kichwani, alishaelewa maana yake kuwa asalimu amri vinginevyo risasi ingepenya na kumwaga ubongo wa Kway chini aliyemchukulia kuwa ni Baba yake, bado alikua katika wakati mgumu sana, hakutaka kukubali kirahisi, nayeye alimvuta Joyla na kumkaba shingoni na kumuwekea bastola kichwani.

    “Binti weka bastola yako chini,”

    “hapana”

    “WEka moja,”

    “Hapana weka wewe nitamuuwa mkeo”

    “weka mbili,”

    Don Mulosi hakuwa na masihala, alishaanza kuhesabu tayari huku taratibu kidole chake kikisogea kwenye triga,kumaanisha kuwa kitendo cha kuvuta Triga risasi ingetoka na kumuondosha Kway Duniani hapo hapo.

    “WEka ta…. Paaaaaaaaaa”

    Kilichosikika hapo ulikua ni mlio wa bastola na kufanya risasi kufumuka kutoka ndani ya chemba.

    Moto ulioteketeza nyumba ya Enock kwa nia ya kumuuwa akiwa na Mpenzi wake Catherine haukuweza kuzaa matunda kwani waliokolewa na sasa wapo salama Salmin!

    Ilikua kazi rahisi sana kwa taarifa izo kumfikia Mzee Mwasha aliyekua huko kisiwani Unguja ameweka kambi yake amejificha na kulindwa sana, alishaamua kuwa Gaidi sasa, bado alikua ana kisasi na watu watatu Catherine, Enock na Sabrina, aliapia ni lazima awamalize tena kwa mikono yake miwili ndipo apumzike au ajisalimishe polisi!.

    Tetesi zilifika mpaka makao makuu ya polisi kituo kikuu cha staki shari kuwa Mzee Mwasha ambaye anatishia na kuogopeka anaishi Kisiwani Unguja, waliandaa majeshi yao na kubeba silaha za kutosha, haraka haraka askari shupavu walipewa taarifa hizo na kuweka kikao kidogo cha siri,kilichofanywa na maaskari kumi na sita.

    “sasa tunaenda kufanya ambushi”

    “sawa mkuu”

    “kuna cha ziada?”

    “hapana mkuu”

    “Mpigie kamishna Brighton MANDA mwambie sisi tunaanza safari sasa hivi, baada ya masaa mawili tutakuwa tumefika,mwambie tushawasiliana na jeshi la Zanzibar”

    “sawa mkuu”

    “sawa mkuu”

    Wote waliitikia kwa pamoja.

    Kila Askari alikua teyari kajipanga kwa ajili ya msako mkali waliokua wameupanga Muda mrefu sana dhidi ya Mzee Mwasha aliyekua tishio sasa jijini Dar es salaam,kwa ujambazi na uharamia, kikao kilifungwa saa tisa ya alasiri na wote kuingia ndani ya defender mpaka bandarini posta, hapo walichukua boti za polisi zilizokua tayari zimeandaliwa na wote kuingia,

    Boti za spidi zilizidi kwenda mwendokasi zikikata mawimbi huku polisi wakizidi kufanya mawasiliano kupitia redio upepo na jeshi la Zanzibar ambao hata wao walikua wanajua ugeni huo, kutokana na kasi za boti hizo zilizokua na injini mbili nyuma, lisaa limoja na nusu waliwasili na kupokelewa na Jeshi la polisi Zanzibar.

    ****

    Risasi ilipenya moja kwa moja na kuzama ndani ya ubongo wa Don Mullosi ni kitendo cha umakini wa hali ya juu sana ndio uliofanyika,kitendo cha Catherine kupima kwa jicho moja na kuona kichwa cha Mulosi kimejitokeza akiwa nyuma ya Kway ndiko kilichofanya avute triga bila kujifikiria na kufanya umauti umkute Don Mullosi hapo hapo.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kama asingekua na shabaha basi Kway ndiye angekua chini na ubongo wake kutapakaa sakafuni, hakua yule Catherine ambaye anamjua miaka mingi iliyopita, sasa alikua ni mwanamke anayejiamini mwenye mengi mafunzo ya kupigana hata ujuzi wa kutumia bastola vile vile na ndiye yeye aliyefanya ukombozi na kumuweka Kway huru pamoja na wanawake waliokuwa wakiteseka na kuchezeshwa filamu za Ngono!.

    Bastola aliyoshika ilikua bado inafuka moshi na ndo hapo alipomsukumiza Joyla mpaka juu ya sofa, akitetemeka na kufanya ajikojolee ndani ya jinsi aliyovaa baada ya kuona Ubongo wa Mume wake upo chini na damu kutapakaa, lilikua ni tukio la kutisha ambalo hakuliamini mbele ya macho yake.

    “sasa mbona umejikojolea mtu mzima?”

    “Ninininini samehe Catherine Mwanangu”

    “haustaili kuishi hata kidogo, mshahara wa dhambi ni mauti we….”

    “paaa paaa paaaaa”

    Catherine alishtuka sana baada ya kusikia mlio wa bastola sababu hakuwa yeye amefyatua risasi alivyogeuza shingo yake nyuma Alimuona Kway ndiye kashika bastola akiwa anayabana meno yake, dalili zilionesha kuwa alikua na hasira sana na mwanamke huyo, alisimama kwa shida na kumpiga risasi nyingine Joyla ya kichwani papo hapo.

    Mateso aliyokua anayapata hakika hakuweza kuyasahau, alimgeukia Catherine na kumshukuru sana kwa alicho mfanyia.

    “wapigieni simu wazazi wenu mpo huru sasa”

    Agizo hilo alitoa Catherine,kwa wanawake waliokuwa mateka.

    Hakuweza kwenda popote pale isipokuwa kurudi nchini Kongo ili ahakikishe usalama wa mke wake Mama Natu, Moyo wake ulitulia baada ya kuongea naye kupitia simu ya mkononi kisha safari ya kwenda kongo kuanza, kwa kuwa Catherine alikua na pesa bank. walitafuta usafiri wa basi ili waanze safari usiku huo huo, ni kweli walipata basi na kukata tiketi kisha kuingia na kusubiri safari.

    “Najua kinachoendelea,najua wewe ni baba yangu sasa hivi”

    Aliongea Catherine wakiwa ndani ya basi safarini.

    “Naomba niruhusu nikuite Baba, mimi sina Baba.. Baba yangu alikufa kipindi nipo mdogo, nilitamani siku moja namimi niite Baba kama wanafunzi wenzangu lakini sikuweza, sikutaka kumkufuru Mungu sababu najua ni mipango yake,Christopher ni mdogo wangu, najua wewe ndiye Baba yake najua unamchukia Mama yangu, lakini naomba umsamehe na tuishi kama familia”

    Catherine alitia huruma aliongea huku machozi yakimlenga na kutamani kulia, Kway aliyekua pembeni yake alinyamaza kimnya bila kusema lolote, hata yeye aliingiwa na huruma alimkumbuka sana rafiki yake marehemu Ramsey walivyokuwa wakiishi miaka mingi iliyopita, mpaka alivyokufa kifo kibaya cha kansa ya ubongo, alivuta fikra zake nyuma jinsi kipindi Catherine ana miaka miwili alivyompoteza baba yake huyo, ni yeye Loyda pamoja na Sabrina ndiyo waliokua wakipigania kuokoa uhai wa Ramsey na kufia uwanja wa ndege wakijaribu kumsafirisha India kwa ajili ya matibabu, na kugundua kuwa ni miaka mingi sana ilipita, lakini alijiona ni mwenye dhambi sana kumsaliti rafiki yake na kutembea na Sabrina.

    Licha ya kuwaza hayo yote aliamini kuwa yashatokea na hana jinsi tena ya kurudisha mambo nyuma na kuyabadilisha.

    Ni kweli alimzalisha Sabrina Mtoto, ilibidi tu awe kama mwanafamilia achukue jukumu la kuwatunza,

    “Catherine”

    Aliita Kway.

    “Abee”

    “Kwanzia leo mimi nitakua baba yako,nitahakikisha nakulea na kukusomesha pia, Nakupenda mwanangu”

    Maneno hayo yalimfariji sana Catherine na wote kukombatiana wakiwa wenye furaha sana mioyoni mwao. Basi kubwa la kusafiria lilizidi kusonga mbele,Siku nzima walikua njiani bado hawajawasili nchini Kongo.

    Asubuhi ya saa mbili walikua wamefika nchini kongo na kutafuta usafiri mwingine uliowapeleka mpaka Bukavu, hapo walinyoosha mpaka nyumbani alipokua anaishi na Julia mke wake na kutamani afike mapema ili aonane nae!.

    Moyo wa Kway ulizidi kumlipuka na kumwenda mbio, alitoa macho yake baada ya kuangalia chini na kuona michirizi ya damu, dalili zilionesha kuwa hakukua na usalama hata kidogo alizidi kufuata damu zilizopita mpaka seblen kisha kuelekea chumbani, hata kwa Catherine alikua na hofu lakini sio sana. Alisogea Kwa hatua za taratibu, picha iliyomjia kway ilikua ni lazima mke wake atakua amejeruhiwa na risasi na kufa, alimuomba Mungu sana ndani ya moyo wake yasiwe kweli kwa anayofikiria.

    Mikono yake ilikua na jasho sana baada ya kufungua mlango wa chumba alipoona kuna michirizi ya damu ilipoelekea……



    Kway na Wanawake wengine waliokuwa mateka sasa wapo huru wamekombolewa kutoka ndani ya nyumba kubwa iliyokua na ulinzi wa kutosha huko nchini Uganda na Mwanamke Catherine huku nyuma akiwaachia jeshi la polisi lifanye kazi yake,

    lilikua ni jambo la kushangaza kwa mwanamke huyu tena mmoja kufanya kitendo ambacho hata kwa jeshi la polisi lilishindwa kutekeleza.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hakuwa Yule Catherine aliyemeza sumu na kutaka kujiua kisa mapenzi miaka ya nyuma iliyopita, hakua Catherine aliyekua lelemama na dhaifu, sasa ni mwanamke mwingine shupavu aliyekua na mafunzo mengi ya kujitetea na kujiamini pia, hata wewe ungemuona na kupewa historia yake ungekataa katakata kuwa ndiye aliyewatoa watu mateka!.

    Alishamuokoa Kway tayari na kuanza safari ya kuelekea nchini kongo Kwa Mama Natu kisha baadaye waweze kuondoka na kurejea nchini Kwao Tanzania, njiani waliongea mengi sana hususani juu ya mambo yaliyopita.

    Kway alikubali kumlea Catherine kama mwanae wa kumzaa, ni Mwanamke aliyeitwa Sabrina ndiye aliyawaunganisha. wote wawili walikua wenye furaha sana lakini furaha yao ilikatika ghafla baada ya kufika tu nchini kongo. Michirizi ya damu ndiyo iliyowashtua na kuingiwa na hofu mioyoni mwao. Walizidi kufuata michirizi mpaka chumbani.

    “Mama Natu!”

    Aliita Kway baada ya kumuona Mke wake anajifunga na bandeji mkononi mwake.

    “nimeyikata na kisu nilikua napika”

    Wote walikumbatiana kwa furaha zote baada ya kuonana tena wakiwa wazima. Mama Natu muda wote alijawa na furaha kumuona Mume wake akiwa salama Salmin! hakutegemea kama angekuwa hai. Hakuwa na kinyongo cha aina yoyote alivyomuona Catherine mbele yake,ilibidi Kway aweke mambo wazi wakimjumuisha Catherine awe kama mtoto wao wa kumzaa, Julia hakua na haja ya kuweka kipingamizi na kuonesha hali ya chuki badala yake alimshukuru sana alivyosikia kuwa ndiye yeye aliyemkomboa Mume wake Kway.

    Siku mbili nzima walishinda vizuri, Kway akiwa anapatiwa matibabu ya majeraha yaliyotokana na kuteswa. Baada ya wiki kukatika walichukua usafiri mpaka kwa wazazi wake na Julia ili kuomba tena baraka zao.

    Hata wao walivyowaona hawakuwa na haja tena ya kuweka kizuizi cha aina yoyote ile kama hapo awali,ili mradi mtoto wao Julia karudi katika furaha.

    “Mimi sina cha zaidi, napenda tu kumshukuru Mungu maana pasipo yeye wenda tungekua tunaongea mengine,naamini mambo tuliyopitia mimi na Mama Natu ni mitihani tu ya hapa Duniani”

    Alizungumza Kway akiwa katikati ya wazee wa kikongo.

    “hakuna njoo mushida yoyote ile,ako nataka kumuomba Mungu aliye yuu Mbiguni atende Miuyiza,Mimi nawatakia Mupate Baraka zote wanangu, pia utusamehe sisi kwa kukuondoshea Mukeo Tanzania”

    Baba Mzazi wa Julia alitoa Baraka zote na siku hiyo hiyo walichinja Ng’ombe mzima kama kuwapa Baraka na ndio ivyo walivyoamini.baadhi ya wazee walikaa kikao kidogo wakiteta kwa lugha ya kikongo na kuwapa kila baraka wakiamini kuwa wameshawaondolea Nuksi.



    Wote walirudi wakiwa wenye furaha sana,siku hiyo hiyo walitafuta tiketi tatu za Ndege itakayo ondoka kesho yake jioni.kweli walipata ndege, muda huo ulitosha kabisa kujiandaa na kupanga kila kitu kuanzia nguo zao na vingine kadhalika.

    Hata kwa Catherine vile vile alitamani hata kesho ifike mapema ili aweze kurudi nchini Tanzania, alimkumbuka sana Enock mpenzi wake.walimaliza kula chakula cha usiku na kila mtu kuelekea chumbani kwake kulala kwa ajili ya kesho yake safarini.



    “Darling nimekumisi sana”

    Alisema Julia akimwambia Mume wake usiku mnene baada ya kumaliza kupanga nguo kwa ajili ya safari.

    “hata mimi mke wangu”

    Na ndo hapo walipoanza kunyonyana midomo yao kisha kuvuana nguo na kubaki kama walivyotoka tumboni mwa Mama zao, ni kweli ilionekana kila mtu alikua na hamu na mwenzake kutokana na fujo za mabusu walizokua wanapeana. Hakika ilikua ni kama siku yao mpya.miguno ya mahaba ndiyo peke yake iliyosikika na kelele za chaga kwa mbali!.

    ***

    Asubuhi kulichuka tayari. Catherine ndiye aliye kuwa wa kwanza kuamka kutoka kitandani na kuanza kufanya usafi wa mwisho, baada ya hapo alitenga chai jikoni kisha kwenda chumbani kuwaamsha wazazi wake Kway na Julia.

    Hata wao ilionekana walikua macho, hawakuchukua muda mwingi walikua wameshajindaa na wote kujumuika mezani kwa ajili ya kula chakula cha asubuhi.

    walipanga panga vitu na kuweka sawa. Majira ya saa nane mchana waliweka mabegi yao nje ili kuwahi ndege inayoondoka Saa kumi jioni ya siku hiyo hiyo.

    Dereva taxi kutoka uwanja wa ndege ambaye walifanya naye mawasiliano jana yake alishafika tayari na kuanza kuingiza mizigo ndani ya boneti kisha wote kuingia ndani ya taxi.

    Haikuchukua hata dakika sitini walikua teyari wapo uwanja wa ndege na kushusha mabegi yao.

    Wote walikua wenye nyuso zenye furaha muda wote wakitabasamu, kila mtu alitamani kufika Tanzania wakati huo huo.Wakati Catherine ana muwaza Enock, Kway na mke wake muda wote walimuwaza mtoto wao mdogo Natu waliyemkabidhi Kwa Husssein Molito wakiwasiliana naye kwa njia ya simu, ni kipindi kirefu sana. CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Waliweka mizigo yao juu ya mashine maalumu kisha kuvua vitu vyote vya chuma chuma kama utaratibu.

    Macho ya Catherine yalitua juu ya sura ya mwanaume mrefu aliyevalia kanzu mwenye ndevu nyingi kama za Osama bin Laden aliyekuwa na asili ya kiarabu.

    Hakika sura hiyo haikuwa ngeni machoni mwake lakini hakukumbuka ni wapi aliiona. Hofu na mashaka ndivyo vilimtanda moyoni mwake.Ni kweli alivyojaribu kumuangalia mwanaume huyo machoni aliinamisha kichwa chake chini!.

    “Huyu Mzee nilimuona wapi Mungu wangu”

    Aliwaza Catherine baada ya kuingia ndani ya ndege akiweka begi lake dogo juu ya sehemu maalumu ya kuwekea mizigo midogo, alimtizama mwarabu huyo mpaka alipoenda kuketi siti za nyuma. Sauti nyororo ndiyo iliyowashtua waweze kufunga mikanda kwani ndege inaanza kupaa angani. Kila abiria alifunga mkanda wake,bado Catherine aligeuza geuza shingo yake akimtizama mwarabu huyo, lakini ghafla hakumuona siti za nyuma na ndo hapo alipoamua kusimama nayeye.

    “Dada samahani naomba ukae kwenye siti yako na ufunge mkanda, ndege ikiwa hewani ndiyo tutawaruhusu muweze kutembea”

    Sauti ya muhudumu wa Ndege ndiyo iliyomfanya asitishe zoezi la kutaka kusimama,

    Moyo wake bado ulimwenda mbio na kutulia kwenye kiti, fikra zake zilimtuma kuwa hakukua na usalama ndani ya ndege hiyo,alijaribu kuvuta kumbu kumbu ni wapi mwanaume huyo alipomuona na kushindwa kupata jibu la haraka haraka.

    “Allah Akbar!, Allah Akbar!”

    Ni sauti nzito ndani ya ndege ndiyo iliyowashtua abiria wote baada ya ndege kuwa hewani tayari. Kati kati alisimama mwarabu mwenye ndevu nyingi huku mkononi mwake akiwa na bastola.hiyo ilimaanisha kuwa ndege tayari imetekwa nyara.

    Catherine aliyekua amekaa kwenye kiti chake hata yeye alishtuka na kupata jibu la swali lake.

    Alishindwa kuelewa ni kivipi mwarabu huyo kaingia na silaha ndani ya ndege jibu lilikuja hakua peke yake alishirikiana na muhudumu wa ndege sababu hata alivyomuangalia nayeye alitoa bastola huku wakiongea lugha ya kiarabu.

    “silence (kimnya)”

    Aliamuru mwanamke huyo muhudumu huku akiwa na bastola mkononi mwake, yaliyokua yanaendelea hakuna hata rubani mmoja aliyejua, ndege ilizidi kusonga mbele.

    Hakuna hata abiria mmoja aliyejua ni kitu gani wanachotaka mpaka wakaamua kuiteka ndege hiyo, kila mtu alimkombatia ampendae. Kway alimkombatia Mke wake Julia na kuwa tayari kwa lolote litakalo tokea huku baadhi ya abiria wengine wakianza kusali sala zao za mwisho.

    “Captain Karunji Johnson,tuna mateka, ndege yako ipo chini ya ulinzi, unachotakiwa kufanya ni kupeleka ndege uwanja wa ndege wa Entebbe mara moja una sekunde tano,”

    Alisema mwanamke gaidi aliyevalia nguo kama za wahudumu wa ndege akiwa na kipaza sauti mkononi mwake na kufanya sauti hiyo kupenya mpaka ndani ya chumba cha marubani.

    “moja, mbili, tatu.. paa paaaa”

    Tayari abiria mmoja alipoteza maisha yake hapo hapo baada ya kupigwa risasi ya kichwa, hiyo ilimaanisha kuwa watu hao hawana masihala hata kidogo, na ndo ivyo walivyofanya kwa abiria mwingine!.

    “Captain Abeid, sasa tunafanyaje hapa?”

    Ndani ya chumba kidogo cha marubani kelele za bastola zilisikika hata wao walitandwa na hofu, hawakuelewa ni kitu gani wakifanye.

    “we unahisi tutafanya nini zaidi ya kutii wanachotaka”

    “unadhani hilo ni wazo zuri?”

    “sasa tukiendelea kusonga mbele abiria wote watauwawa alafu hawana hatia”

    Hawakua na chaguo lingine zaidi ya kugusa gusa mitambo yao kisha kugeuza ndege, na hayo ndiyo maamuzi waliyoamua kuyafanya kuliko kuzidi kufanya abiria wasiokua na hatia wauwawe.

    “tuna muhitaji Catherine Ramsey Kidhirwa hapa mbele”

    Aliongea Mwarabu huyo huku akimuwekea mmoja wa abiria bastola. Catherine Alishaelewa tayari nia ya kutekwa ndege hiyo walikua wakimuhitaji yeye, japo hakujua kwanini, akiwa ana tetemeka alisimama huku mikono yake ikiwa juu akisalimu amri, mpaka kuwasogelea walipo.

    “piga magoti”

    Alitii amri huku akiwa chini ya ulinzi baadaye kidogo yaliletwa mabegi matatu moja alivaa mwarabu kisha jingine kuvalishwa Catherine na lingine kupewa Mwanamke aliyevalia sare za waudumu.



    Mwarabu mwenye ndevu nyingi alitembea mpaka chooni kisha kutoa bomu kubwa na kuliseti dakika thelathini, baada ya hapo aliliachia na dakika zake kuanza kujihesabu zikirudi nyuma. Mlango ulifunguliwa na kufanya upepo mkali sana kuingia ndani ya ndege, kilichofuata hapo ni catherine kusukumizwa nje kisha Mwanamke muhudumu na Mwarabu kufuata wakiruka nje huku nyuma wakiacha dakika kumi tu bomu lilipuke.

    Catherine akiwa anaelea hewani alishuhudia mlipuko mkubwa wa Ndege na kufanya vipande vipande viruke dalili zilionesha kuwa hakuna hata mmoja aliyepona ndani ya ndege hiyo.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Noo!”

    Catherine alishtuka kutoka usingizini akiwa ndani ya ndege hakuelewa ni wakati gani usingizi ulimpitia na kulala fofofo! ndoto aliyokua akiota ilimshtua sana ni kweli alivyogeuka kuangalia siti za nyuma Mwarabu hakuwa bado amerudi kwenye siti yake.

    Alifungua mkanda wake wa kiti na kuanza kutembea taratibu mpaka chooni!…



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog