Search This Blog

Tuesday, 17 May 2022

NIFANYE NA MIMI KAKA DICK - 4

 





    Chombezo : Nifanye Na Mimi Kaka Dick

    Sehemu Ya Nne (4)



    “Mbona unajifikiria hivyo?” aliniuliza.

    “Hapana Precious nawaza,”nilimwambia.

    “Unawaza nini sasa wakati nimekuambia kama ni pesa nitakupa.”

    “Tatizo sio pesa Precious.”

    “Ila.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kumbuka wewe ni mke wa mtu.”

    “Nafahamu Dick ila naahidi kufanya iwe siri.”

    “Siri?”

    “Ndiyo itabaki kuwa siri kati yetu.”

    “Siamini kama kuna siri hapo hivi mumeo ni mjinga kiasi gani mpaka umefikiria kuchukua uamuzi huo.”

    “Dick naomba uniamini mimi hakuna kibaya chochote ambacho kitaweza kukutokea kwanza shida yangu ni kupata mtoto tu.”

    “Mumeo akijua kuwa ujauzito sio wake unafikiri ni nini kitatokea?”

    “Si rahisi kama unavyodhani Dick naomba unielewe basi,” aliniambia Precious kwa sauti iliyokosa kabisa uvumilivu, alikuwa amekimaanisha kile alichokuwa akikiomba, nilipomtazama na yeye alinitazama kwa macho yaliyoniambia “Nifanye Dick sasa hivi hivi.”

    Nilizidi kuwaza mambo mengi sana kichwani mwangu lakini kila nilipokuwa nikijaribu kuwaza na kuwazua ajabu sikubahatika kabisa kung’amua lolote zaidi nilizidi kuona dakika zikizidi kujongea kwa kasi sana kusababisha mabadiliko ya saa. Nilizidi kupagawa.

    “Dick inamaana umekataa kabisa kunisaidia?” aliniuliza Precious huku akiendelea kunitazama kimatamanio.

    “Precious unaniingiza katika matatizo,” nilimwambia huku nikionekana kuzidi kutawaliwa na uwoga.

    “Embu acha uwoga Dick.”

    “lazima niwe na uoga kumbuka wewe tayari umeshakua mke wa mtu sasa nitaanzaje kukupa ujauzito huoni nitakuwa nakimbilia matatizo?”

    “Kwanini hutaki kuniamini lakini nimekuambia hakuna kibaya kitakachokupata shida yangu ni unipe ujauzito tu,” aliniambia kwa sauti iliyoonyesha msisitizo wa kauli yake.

    Baada ya maneno yale sikutaka kuwaza mara mbilimbili, nilichoamua kukifanya ni kumpa alichokuwa akikihitaji.

    Nilianza kwa kumtomasa taratibu mpaka akaanza kuzichojoa nguo zake mwenyewe, haikuchukua muda na mimi nikaweza kuzichojoa zangu na kitendo kilichofuata nilianza kuutumia ulimi wangu katika kutalii sehemu mbalimbali za mwili wake laini ambao ulizidi kunisisimua kila nilipokuwa napita. Sauti na miguno ya kimahaba aliyokuwa akiitoa mahali pale iliufanya mpaka mtarimbo wangu ukawa umesimama wima halafu ukaanza kutokwa na majimaji legevu mithili ya mlenda. Sikuacha kuupeleka ulimi wangu katika vile vitongoji ambavyo vilikuwa vikisifika kwa kutoa ladha ya utamu mithili ya rojorojo za chocolate.

    “Aiiiisssshhh Babyyyyyyyyyyyyyy,” alizidi kutoa miguno hapa ni baada ya kufika katika kisima cha chumvi.

    “Yeees babyyyy,” nilimuitikia huku nikijaribu kuizuia mihemko iliyokwisha anza kunipanda kwa wakati huo. Nilijitoa ufahamu kisha nikawa naendelea kupasugua pale kwenye kisimi kwa kuutumia ulimi wangu.

    Ulikuwa ni mchezo mdogo ambao nilikuwa nikiurudia mara kwa mara, niliamini ulikuwa ni mchezo wa utamu utamu niliyokuwa nikimpa Precious kwa wakati huo alikuwa hoi bin taabani akisubiria dozi ya mapenzi.

    “Tamuuuuuu babyyy ooooooohhhh aaaaiiiishhhhhh,” alizidi kulalamika kimahaba katika namna ya sauti iliyoniweka katika wakati mgumu sana, mtarimbo wangu ulikuwa umesimama muda wote huo ukisubiria mechi.

    “Inatoshaaaaaa babyyyyyy aaaaaaaahhhhh inatoshaaaaaaa ooooooohhhh,” aliniambia huku akionekana kuzidiwa.

    Nilitoka chumvini na sasa nikaingia rasmi katika mgodi, nilianza kwa pupa katika kuchimba madini kiasi kwamba nilishindwa kabisa kujizuia, nikajikuta goli la kwanza nimelimwagia ndani.

    “Oooooooh,” niliutoa mguno huku nikiwa nimejilaza kifuani mwa Precious, alikuwa amening’ang’ania vilivyo kwa wakati huo, hakutaka nitoke nje hata kidogo na kitendo cha goli la kwanza kulimwagia ndani alikifurahia sana, alinipokea kwa mabusu mfululizo huku akizidi kunishukuru.

    “Asante mume wangu asanteeeee,” aliniambia maneno ambayo sidhani kama aliyahakiki kabla ya kunitamkia, sikua mume wake wa ndoa lakini nilishangaa akiniita jina hilo huku akiwa amenikumbatia.

    Labda nikuambie kitu ni katika siku hiyohiyo ambayo niliweza kufanya mapenzi na Precious tena katika siku zake za hatari lakini ajabu alikuwa akifurahia kila bao ambalo nilikuwa nikilimwagia ndani, aliamini kuwa hitaji lake lilikuwa linakwenda kutimia. Hivyo furaha ilizidi kuchukua nafasi kubwa katika uso wake.

    ****

    TABATA BIMA, DARESALAAM.



    Ilikuwa ni siku ya jumamosi tulivu, hali ya hewa ilikuwa ni ya joto la wastani katika jjiji la Daresalaam. Siku hiyo ilikuwa ni siku ambayo Evadia aliamua kunipeleka nyumbani kwao Tabata kwa lengo la kwenda kunitambulisha.

    Ilikuwa ni moja kati ya ndoto yake kubwa aliyokuwa akitamani kuitimiza siku moja, ndoto ya kumpata mpenzi ambapo wazazi wake wataweza kumfahamu.

    Nakumbuka siku hiyo nilienda dukani kwake nikatafuta suti nzuri ambayo iliweza kunipendeza sana, ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuonekana katika muonekano wa vazi la suti.

    “Karibu baba,” alinikaribisha Mama yake.

    “Karibu kijana,” alinikaribisha Baba yake.

    “Asanteni Baba na Mama,” nilijibu kwa sauti ya upole.

    “Unaitwa nani?” aliniuliza Baba yake Evadia.

    “Naitwa Dick,’ nilijibu kwa kujiamini.

    “Unaitwa Dick! hilo ndiyo jina lako?” aliniuliza baba mtu kwa ukali wakati huo mama yake alikuwa kimya.

    “Hapana Baba mimi naitwa Dickson Felix,” nilimwambia.

    “Anha! Unajishughulisha na kazi gani?” aliniuliza.

    “Mimi ni mwandishi wa hadithi hivyo kazi yangu kubwa ni uandishi.”

    Hayo yalikuwa ni moja kati ya maswali na majibu ambayo yaliweza kunikabili siku hiyo lakini kitu ambacho nilikishukuru ni kuwa kila kitu kilikwenda vizuri, hakuna kitu kilichoweza kwenda mrama siku hiyo.

    Baada ya utambulisho ule na pamoja na wazazi wake Evadia kuonekana kunikubali kwa kila kitu, nilichoamua ni kuitumia siku hiyohiyo katika kumuelezea Evadia dhamira yangu ya kutaka kutoa hadithi yangu iweze kuchezewa filamu na Irine muigizaji ambaye alikuwa ni rafiki yake.

    “Usijali nitazungumza naye na kila kitu kitakwenda sawa,” aliniambia Evadia maneno yaliyonipa matumaini makubwa sana.



    Evadia aliamua kujitoa muhanga katika kuhakikisha ndoto yangu inatimia, alijitoa sana kwangu, aliutumia muda wake mwingi sana katika kuzungumza na Irine. Aliamini katika urafiki aliyokuwa nao kwake hivyo alizidi kuniondoa hofu kuwa kila kitu kingeweza kutimia.

    “Vipi imekuaje amekubali?” nilimuuliza siku moja huku nikionekana kukosa matumaini kabisa kwani ilikuwa tayari imeshapita wiki moja tangu alipoanza kufuatilia suala hilo.

    “Bado usiwe na wasiwasi mpenzi atakubali,” aliniambia katika namna ya kunipa matumaini.

    “Lini?” nilimuuliza.

    “Atakubali tu! kikubwa unatikiwa uwe na subira kumbuka yule ameshakuwa msanii mkubwa na ana mambo mengi anayafanya lakini hata hivyo nilikumbuka kumpatia namba yako ya simu, aliniambia atakutafuta,” aliniambia Evadia kwa sauti iliyozidi kunidhihirishia wazi kuwa alikuwa akinipenda sana.

    Niliendelea kuvuta subiria katika hilo, siku nazo hazikuacha kusonga mbele kwa kasi na kila ilipokuwa ikiitwa leo nilianza kumuona Evadia alikuwa ni miongoni mwa wale wasichana waongo ambao ukweli kwao ulikuwa ni mwiko. Nilihisi wenda alikuwa amenidanganja kwa kuniambia kuwa aliweza kumpa namba yangu Irine ili aweze kuwasiliana na mimi, jambo ambalo sikutaka kuliamini kabisa.

    ****CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Siku moja nilipokuwa ndani ya chumba changu nimejilaza kitandani niliweza kupigiwa simu na namba ngeni nisiyoifahamu, nilipoitazama na kuligundua hilo sikutaka kupokea kabisa, niliamua kuachana nayo kwani nilihisi watakuwa ni wale mashabiki zangu wa Machombezo ambao kila siku walikuwa wakinisumbua.

    Simu ilikata lakini iliweza kupigwa tena, niliendelea kuitazama bila kupokea lakini safari hii uvumilivu ulianza kunishinda, nikaamua kupokea huku nikionekana kuwa mvivu nikatega sikio langu vyema kusikiliza.

    “Nazungumza na Dickson?” sauti nyororo ya kike ilinipokea kwa kuniuliza swali.

    “Yes! Ndiyo mimi wala hujakosea,” nilijibu huku nikionekana kama nisiyejisikia kuongea kabisa, nilikuwa nikijilazimisha.

    “Unajua unazungumza na nani?”

    “Hapana sikufahamu.”

    “Naitwa Irine Kisoka,” alijitambulisha kisha ghafla! nikainuka pale kitandani nilipokuwa nimejilaza nikakaa, nilikuwa nimeyatoa macho yangu kwa mshangao, nilikuwa siamini kabisa kama kweli Irine alikuwa amenipigia simu kwa wakati huo.

    “Irine ni wewe kweli?”

    “Ndiyo mimi,” alijibu kisha akanyamaza kidogo halafu akaendelea kuzungumza.

    “Nimepokea taarifa kuhusu wewe kutoka kwa rafiki yangu Evadia. Ameniambia kuwa wewe ni mwandishi wa hadithi mitandaoni, nimejaribu kuzitafuta kurasa zako alizonitajia ambazo ni Facebook na Instagram na nimezipitia baadhi ya hadithi zako kwa kweli ni nzuri, kipaji unacho hongera sana,” aliniambia Irine.

    “Asante sana,” nilimwambia.

    “Kwahiyo unataka ufanyie filamu hadithi ipi?” aliniuliza.

    “Ipo hadithi nimeiandika ambayo nimepanga kuifanyia filamu,” nilimjibu.

    “Inahusu nini na inaitwaje?”

    “Hadithi inaitwa BADO UNAISHI MOYONI MWANGU na inahusu mapenzi.”

    “Kuna kitu gani kipya katika hadithi yako?”

    “Vipo vingi sana na ndiyo maana nataka kuifanyia filamu?”

    “Unajua kwanini nimekuuliza hivyo?”

    “Hapana sifahamu.”

    “Zipo hadithi nyingi sana za mapenzi pamoja na kazi nyingi ambazo wasanii wamekuwa wakiziingiza sokoni lakini zimekuwa hazifanyi vizuri kutokana na kufanana kwa hadithi, unakuta kisa ni kile kile kinarudiwa katika mtindo tofautitofauti.”

    “Ni kweli kama unavyosema lakini hadithi hii ni ya kipekee sana.”

    “Unauhakika itafanya vizuri?”

    “Ndiyo ninauhakika?”

    “Unaishi wapi?”

    “Tandale.”

    “Basi sawa kesho nitakupa maelekezo ili uweze kufika kwenye kampuni yangu na nitakukutanisha na wadau wa filamu ambao wataweza kulisimamia hilo.”

    “Sawa nitashukuru sana.”

    “Usijali,” alinijibu kisha akakata simu.

    Kama nilivyotangulia kukusimulia hapo awali kuwa Irine alikuwa ni muigizaji maarufu sana wa filamu lakini pia alikuwa akimiliki kampuni yake ya uzalishaji filamu ambayo ilikuwa ikijulikana kama Kisoka Film Company. Ilikuwa ni moja kati ya kampuni bora ambayo ilikuwa ikiaminiwa sana katika kutengeneza filamu nzuri ambazo zilikuwa zikipendwa sana hususani filamu za kimapenzi.



    Hakukuwa na kitu nilichokuwa nakipenda katika maisha yangu kama umaarufu, nilikuwa nikiupenda sana umaarufu. Niliamini katika umaarufu ningeweza kupata vitu vingi kwa urahisi moja ya vitu hivyo ni wanawake. Hata nilipoamua kuandika machombezo yangu katika mitandao ya kijamii kitu cha kwanza nilichokuwa nikikifikiria ni umaarufu. Naam! Katika hilo naweza kusema nilifanikiwa kwa kiasi fulani kwani licha ya kuwa na umaarufu wa mitandaoni niliweza kutembea na wanawake lukuki.

    Ngoja nikuambie kitu ndugu yangu katika haya maisha kuna vitu vine vya msingi ambavyo mimi huwa naamini vikikosekana kwa mwanaume basi katika sekta nzima ya mapenzi atanyanyasika sana, vitu venyewe ni Elimu, Pesa, Umaarufu na Muonekano. Sikulazimishi uniamini haya niyasemayo ila najaribu kukuaminisha katika mkasa huu wa maisha yangu uliyonitokea.

    Bado nilikuwa siamini kwamba niliweza kuzungumza na Irine ambaye aliniahidi kuhakikisha ndoto yangu ya kutoa filamu inatimia, kwa kweli nilikuwa nikijihisi furaha isiyokuwa na kifani. Niliamua kumpigia simu Evadia nyakati za usiku.

    “Nimezungumza na Irine,” nilimwambia Evadia huku furaha ikiwa imenitawala kwa kiasi kikubwa.

    “Anasemaje?” aliniuliza Evadia.

    “Amekubali kufanya kazi na mimi.”

    “Hongera mpenzi naamini utafanikiwa katika hilo.”

    “Nakushukuru sana Mpenzi wangu najua bila wewe hili lisingeweza kutimia.”

    “Usijali Mume wangu ni wajibu wangu kuhakikisha nafanya kila niwezalo mpaka natimiza kitu katika maisha yako.”

    “Upo sahihi mpenzi wewe ndiyo daraja la mafanikio yangu.”

    “Hata kwako pia wewe ndiyo kila kitu kwangu.”

    “Wakati mwingine siamini kabisa.”

    “Huamini nini?”

    “Kama nimweza kukupata umekuwa wangu.”

    “Amini nimeshakuwa wako.”

    “Nakupenda sana Evadia, nakufananisha na ngozi ama damu mwilini ukiondoka mimi si kitu tena.”

    “Kwanini unasema hivyo?”

    “Kwasababu nakupenda sana, moyo wangu unauhitaji ukaribu wako, unakupenda Evadia.”

    “Nakupenda pia Dick mpaka nimeamua kukutambulisha kwa wazazi wangu hivi bado huamini kuwa nakupenda, nataka kuishi na wewe.”

    “Kuna siri inanitesa moyoni mwangu.”

    “Siri gani?”

    “Naogopa kukupa siri hii utaitangaza.”

    “Ina maana huniamini?”

    “Nakuamini sana.”

    “Basi niambie ni siri gani hiyo?”

    “Kabla sijakwambia niahidi kwanza.”

    “Nikuahidi nini?”

    “Kuwa hutomwambia mtu mwingine zaidi, itabaki kuwa siri yako.”

    “Nakuahidi sitamwambia mtu mwingine yule itabaki kuwa siri yangu.”

    “Siri yenyewe….”

    “Enhe! niambie ni siri gani hiyo?”

    “Nakupenda,” nilimwambia neno ambalo lilimfanya acheke sana, hakutegemea kama ningeweza kumwambia neno lile kwa wakati ule.

    “Halafu sitaki uchokozi wako.”

    “Hahaha!”

    “We cheka tu!”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ndiyo umenuna?”

    “Ndiyo nimenuna.”

    “Usinune bhanaa.”

    “Niache mimi.”

    “Jamani mpenzi we mwenyewe unajua kuwa tabasamu lako limeimiliki furaha yangu sasa ukinuna unafikiri nitaishi vipi?”

    “Niache nimenuna.”

    “Usinune mpenzi.”

    “Sitaki niachee,” aliniambia Evadia huku akijifanya kununa mnuno wa kimapenzi. Nilianza kazi ya kumbembeleza huku nikijitahidi kutumia mashairi mazuri katika kumrudisha katika hali yake ya kawaida, hahaha! Mapenzi bhanaa! Ilifikia wakati akatulia na ule mnuno wote ukamuisha. Siku hiyo iliweza kupita.

    ****

    Niliamka katika siku nyingine ya kitofauti sana, naweza kusema ilikuwa ni miongoni mwa siku niliyokuwa nikitamani itokee katika maisha yangu. Nilipokea simu kutoka kwa Irine ambapo aliweza akunielekeza mahali nilipotakiwa kwenda kwa lengo la kupeleka Hadithi yangu.

    “Kwa hiyo nikifika hapo Mori naelekea wapi sasa?” nilimuuliza.

    “Utanijulisha kuna mtu atakufuata hapo,” alinijibu.

    “Sawa kwahiyo naruhusiwa kuja mida hii?”

    “Ndiyo.”

    “Basi sawa nakuja.”

    “Oky,” alinijibu na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa mazungumzo yetu.

    Sikutaka kupoteza muda niliamka nikaenda kuoga, niliporudi kutoka bafuni nilivaa nguo zangu na sasa nikawa natoka kuelekea Sinza Mori mahali ambapo nilitakiwa kwenda kwa wakati huo. Nilikumbuka kumtumia ujumbe mfupi Evadia lakini hakuweza kunijibu kwa wakati huo. Niliamua kutoka.

    Wakati nilipokuwa kwenye daladala simu yangu iliingia ujumbe mfupi, nilipoitoa mfukoni na kuufungua, ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Precious, alikuwa ameniandikia kwa kuniita jina langu

    “Dick!”



    Nilikumbuka siku chache zilizokuwa zimepita katika ile siku ambayo Precious alikuwa akiniomba nifanye naye mapenzi kwa lengo la kumpa ujauzito. Alikuwa akitamani kuwa na ujauzito kwa kipindi cha muda mrefu, siku ile aliponiomba kisha nikaweza kumkubalia ombi lake hakika aliweza kufurahi sana.

    Sikutaka kujiuliza mara mbilimbili kuwa kitendo cha Precious kuamua kunitafuta alimaanisha nini. Nilifahamu bila shaka nilikuwa nakwenda kupewa taarifa za ujauzito wangu aliyokuwa ameubeba. Hata hivyo sikutaka kuwaza sana, nilipozikumbuka ahadi zake alizokuwa ameniahidi nilihisi kufanikiwa katika maisha yangu.

    “Precious,” niliamua kumuandikia ujumbe kwa kumuita jina lake kama yeye alivyoweza kuniita, wakati huo daladala ilikuwa imefika kituo cha Sinza Kumekucha.

    “Uko wapi?” aliniuliza.

    “Naelekea Sinza mara moja kuna dili nafuatilia.”

    “Asubuhi hii.”

    “Ndiyo.”

    “Dili gani hilo?”

    “Dili tu.”

    “Ndiyo ni dili gani?”

    “La hadithi.”

    “Sawa utarudi saa ngapi?”

    “Sijajua ila nitakuambia wakati nikiwa narudi.”

    “Kwani utachelewa sana?”

    “Hapana sio sana.”

    “Ok basi utakaporudi utaniambia ili nikufuate kuna sehemu nataka nikupeleke?”

    “Sehemu gani?”

    “Nitakwambia.”

    “Wapi?”

    “Mbona maswali mwengi Dick wewe usijali muda huo mimi nitakufuata halafu tutaenda wote?”

    “Sawa,” nilimjibu kisha nikashangaa mbona hakuweza kunipa taarifa zozote za ujauzito.

    “Au nilifunga nje siku ile?” nilijiuliza lakini sikutaka kujipa muda wa maswali mengi ambayo sikuwa na majibu yake. Nilihisi kuukosa utajiri.

    Baada ya dakika kadhaa niliweza kufika Sinza Mori, nilikumbuka kumpigia simu Irine ili niweze kumjulisha kuwa tayari nilikuwa nimeshafika lakini nilipoamua kufanya hivyo nilishindwa, simu yangu ilikuwa imeisha salio.

    Sikutaka kupoteza muda haraka nikaweza kununua muda wa maongezi kupitia huduma za kifedha, nikajiunga halafu nikaweza kumpigia simu Irine. Hakuwa akipokea simu kwa wakati huo, kila nilipokuwa nikimpigia simu yake ilikuwa ikiita mpaka ikawa inakata yenyewe. Nilihisi kama kudharauliwa sana, yani mbali na kupigia simu kama mara sita bado hakuweza kupokea.

    “Huyu boya anajiona mzuri sana au huo umaarufu ndiyo unamchanganya mpaka anashindwa kupokea simu yangu,” nilijiambia huku nikifyonza, nilianza kuingiwa na hasira.

    Baada ya dakika kama kumi ndipo alipoweza kunitumia ujumbe mfupi.

    “Umefika tayari?”

    “Ndiyo nimeshafika muda tu.”

    “Ooh! Sorry upo hapo Mori.”

    “Ndiyo.”

    “Ok kuna mtu namuagiza anakuja kukufuata hapo.”

    “Ok.”

    Kama alivyoweza kuniambia baada ya dakika kadhaa niliiona gari aina ya NOAH yenye rangi nyeusi iliweza kunifuata. Sikutaka kushangaa sana kwani nilifahamu mtu niliyekuwa nikiwasiliana naye alikuwa ni mtu wa namna gani hivyo kuliona gari kama lile mbele yangu wala waikuweza kunishtua hata kidogo sana sana nilikuwa makini kumuangalia huyo mtu aliyenifuata alikuwa ni nani.

    “Wewe ndiyo Dick?” aliniuliza dereva huku akinitazama kwa madharau.

    “Ndiyo,” nilimjibu huku nikimtazama kwa kumthaminisha, alionekana kuwa mtu fulani mwenye hadhi yake.

    “Panda kwenye gari,” aliniambia kisha nikafanya kama vile alivyosema, nilipopanda tukaweza kuondoka huku nikionekana kuwa mpole sana.

    Hatimaye gari lilifunga breki mbele ya jengo moja kubwa ambalo nilipolizama kwa haraka niliweza kufahamu kuwa pale ni wapi. Kulikuwepo na bango moja kubwa lililokuwa limeandikwa kwa maandishi makubwa ambayo yalisomeka ‘KISOKA FILM PRODUCTION’ maneno hayo hayakuweza kunipa wakati mgumu wa kuweza kugundua kuwa pale nilikuwa sehemu gani. Nilifahamu na nilikuwa nikitabasamu muda wote.

    “Karibu sana Dickson,” alinikaribisha Irine mara baada ya kuingia ofisini kwake.

    “Asante sana.”

    “Hivi ulisema unaishi wapi?”

    “Tandale.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Anha! Maana nilisahau kabisa.”

    “Una mambo sana.”

    “Yani we acha tu! kichwa changu kinafikiria mambo mengi mpaka basi.”

    “Itabidi upunguze.”

    “Oooh! Umekumbuka kuja na hadithi?”

    “Ndiyo nimekuja nayo.”

    “Kwanza hongera unajitahidi sana kuandika.”

    “Asante hata wewe nikupongeze kwa uchezaji mzuri wa filamu zako.”

    “Hahahaha! asante.”

    “Unaweza kuziteka hisia za mtazamaji pindi anapokutizama.”

    “Mmmh! Kweli.”

    “Sijawahi kumuongopea mtu wewe niamini.”

    “Sawa nakuamini.”

    “Hadithi ndiyo umesema inaitwa?”

    “BADO UNAISHI MOYONI MWANGU.”

    “Kwanini BADO UNAISHI MOYONI MWANGU na isiwe jina lingine?”

    “Nadhani kisa nilichokizungumzia humo ndiyo kimenifanya niweze kuiita jina hilo.”

    “Inaonekana itakuwa nzuri sana.”

    “Ndiyo ni nzuri kwa ujumla,” nilimwambia huku nikimtazama usoni, alionekana kunivutia kila kiungo cha mwili wake. Si kwa macho yake, uso wake, rangi yake, midomo yake, dimpozi zake, kifua pamoja na umbo lake vyote hivi viliweza kunifanya nianze kuwaza ngono.

    ****

    Irine aliweza kunikutanisha na baadhi ya waandaaji wa filamu aliyokuwa amewaajiri katika kampuni yake, alikuwa amedhamiria kufanya kazi na mimi kwa moyo mmoja bila kujali umaarufu aliyokuwa nao.

    “Itabidi unikopie hii kazi yako kwenye hii flash ili baadae niipitie halafu nijue kama itafaa kufanyiwa filamu,” aliniambia Christopher Director mkubwa wa na Irine.

    “Sawa haina tatizo mkuu,” nilimjibu kisha nikaondoka zangu huku nikiwa nimechukua namba zake za simu.

    ****

    “Kwani wewe uko wapi?”

    “Mimi niko hapa kituoni Mori.”

    “Utaweza kunisubiria nikufuate?”

    “Uko mbali sana?”

    “Hapana.”

    “Uko wapi?”

    “Shekilango nakuja hapo.”

    “Sawa nakusubiri.”

    “Sawa honey love you.”

    “Love you two.”

    Zilikuwa ni chatting kati yangu na Precious ambaye alikuwa ameniahidi kuwa alikuwa anakuja kunichukua. Haikuchukua dakika nyingi aliweza kufika, nikapanda kwenye gari lake, nikambusu kisha safari ikaanzia hapo.

    “Kwani tunaenda wapi?”

    “Wewe wasiwasi wako ni nini?”

    “Hapana ila nimeuliza tu!”

    “Usijali tukifika utajua,” alinijibu kisha sikutaka tena kuzungumza, niliamua kukaa kimya.

    Safari yetu ilikwenda kuishia Mbezi Beach mbele ya nyumba moja ya kifahari sana, niliitazama nyumba hiyo katika macho ya matamanio, Ilionekana kuwa ni nyumba ya kisasa ambayo ilisheheni kila kitu cha kuvutia, kama ungepata bahati ya kuitazama hakika ungeyasahili maneno yangu.



    “Hapa ni wapi?” nilimuuliza Precious kisha akatabasamu, hakunijibu lolote badala yake alipiga honi kuashiria kuwa alikuwa nje na baada ya dakika chache geti liliweza kufunguliwa na kijana mmoja ambaye kwa macho ya harakaharaka alionekana kuwa mlinzi.

    Hatimaye tukaingia ndani ya nyumba ile ya kifahari kisha Precious akaenda moja kwa moja mpaka eneo maalumu la kuegesha gari, akaliegesha vyema kisha tukashuka.

    Macho yangu yalikumbana na gari la kifahari aina ya BMW 545 yenye thamani ya shilingi milioni hamsini na sita lililokuwa limeegeshwa pembeni na pale ambapo Precious alikuwa ameegesha gari lake. Sio siri nilizidi kujionea maajabu tu! kwani mpaka kufikia wakati huo Precious hakuwa ameniambia lolote lile.

    “Vipi mpenzi,” aliniambia Precious kisha akanisogelea na kunishika mkono, tukaingia ndani ya nyumba hiyo iliyokuwa imekamilika kila kitu ndani, hakukuwa na kasoro yoyote.

    “Unaionaje hii nyumba?” aliniuliza swali nililoliona kuwa kama la kunikejeli kwani ukweli nyumba ilikuwa ikionekana kuwa nzuri hata bila kuulizwa lolote.

    “Mbaya tu!” nilimjibu huku nikijifanya kama sielewi. Alicheka kisha akajizuia.

    “Baby embu acha masihara ujue mimi nakuuliza kwa kumaanisha.”

    “Kiukweli nyumba ni nzuri sana inaonekana kukamilika kwa kila kitu kasoro kitu kimoja tu!”

    “Kitu gani?”

    “Hakuna watu,” nilijibu kisha akacheka tena.

    Alionekana kuwa na furaha sana, uso wake ulitawaliwa na tabasamu mwanana lililozidi kumfanya aonekane kuwa wa aina yake.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Dick,” aliniita baada ya ukimya mfupi kutawala.

    “Niambie malkia wangu,” nilimjibu huku nikimshika kiuno chake laini kilichogawanyika mithili ya mdudu nyigu.

    “Asante sana kwa zawaidi uliyoweza kunipa katika maisha yangu, siwezi kukusahau.”

    “Zawadi?”

    “Ndiyo.”

    “Zawadi gani?”

    “Mimba.”

    “Unasema?”

    “Nina mimba yako Dick,” aliniambia kisha nikajifanya kama nimeshtushwa na taarifa hizo ambazo sikuzitegemea.

    “Nini mbona umekuwa hivyo?”

    “Hamna, siamini kama nimeweza kukupa ujauzito.”

    “Amini Dick, wewe ndiyo mwanaume pekee ambaye umeweza kunibadilisha jina, naamini hivi karibuni na mimi nitakwenda kuitwa mama wa mwanao, nimebeba kiumbe chako Dick,” aliniambia.

    “Ujue siamini kabisa.”

    “Amini Dick nina kiumbe chako tumboni.”

    “Dah!”

    “Ila baby usijali unakumbuka nilikuahidi nini?”

    “Nini?”

    “Nilikuahidi vitu vingi sana ila kubwa ni kukununulia nyumba, usafiri pamoja na kukupa mtaji utakaoanzia katika biashara yako ya vitabu.”

    “Ndiyo nakumbuka.”

    “Basi hivi vyote unavyoviona mbele yako kuanzia sasa vipo chini yako,” aliniambia Precious maneno ambayo nilihisi wenda alikuwa katika utani, alikuwa akinitania lakini haikuwa hivyo bali kila ambacho alichokuwa akikizungumza alikuwa akikimaanisha.

    “Ina maana ile BMW na hii nyumba unataka kuniambia vyote kuanzia sasa ni mali yangu?” nilimuuliza.

    “Ndiyo baby,” alinijibu Precious huku akionekana kutojali lolote lile.

    Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa mimi kumiliki nyumba nzuri, gari la kifahari na pia kukabidhiwa kiasi cha pesa ambacho nilikitumia kama mtaji wa kutoa vitabu vyangu. Niliamua kuhama Tandale na sasa maisha yangu yakahamia Mbezi Beach.

    Sikutaka kufikiria lolote kuhusu mume wa Precious pamoja na taarifa zile za ujauzito. Nilichokuwa nakiangalia kwa wakati ule ni ule utajiri wa ghafla! niliyoweza kuupata katika maisha yangu, ulikuwa ni utajiri ambao kwa kweli kama ingetokea ukaniuliza niliupata katika njia zipi, jibu pekee ambalo ningeweza kukujibu ni kuwa nilitembea na mke wa mtu kisha akaweza kunihonga wala hakukuwa na njia nyingine. Siyasemi haya ili nikushinikize na wewe unayeyasoma maandishi haya uende ukafanye kama mimi nilivyofanya lahasha! isipokuwa ipo sababu ya msingi ya kukuandikia haya kwani naamini mwisho wa siku utaweza kujifunza kitu kupitia mimi Mr. Chombezo au ukipenda unaweza kuniita Dick Mapenzi. Majina haya ndiyo yaliyoweza kuniponza Dick mimi ambaye leo naishia kusimulia tu!.

    ****

    Siku hiyo ilikuwa ni siku ya kipekee sana kwangu, kwanza nakumbuka nilimtafuta Mick simuni kisha nikamuelezea kila kitu kichokuwa kimetokea, aliweza kunishangaa sana.

    “Dick ujue una michezo hatari sana,” aliniambia.

    “Kwanini unasema hivyo?”

    “Unajisifia kabisa umempa mke wa mtu mimba halafu kakupa nyumba unafurahi kabisa.”

    “Sasa wewe ulitaka ninune au? Kwanza yeye mwenyewe ndiyo kaniletea shobo mimi nifanye nini sasa?”

    “Ndugu yangu unapotea.”

    “Acha uzoba wewe hapa ni mjini na mjibu kuishi ni mipango hivi unafikiri kwa maisha haya yalivyo magumu halafu anatokea mtu anakupa pesa utaanzaje kuzikataa.”

    “Dick mke wa mtu sumu.”

    “Hayo ni maneno tu! siku hizi tunakula mpaka vya nyongeza.”

    “Unajua unafanya masihara lakini ipo siku hivyo vitu vitakutokea puani.”

    “Ndugu yangu sasa naona unafika mbali kama vipi baadae ngoja leo nitafute kahaba nilale naye huku maana tayari nimeshakuwa Don,” nilimwambia kisha nikakata simu.

    ****’

    Kitendo cha kuhamia Mbezi Beach kilikwenda kuufungua ukurasa mpya hata katika upande wa wasichana niliyokuwa nikitembea nao, sikutaka kuendelea kutembea na wasichana kama akina Helena ambao walionekana kuwa na shida, niliamini kama ningeweza kuwa nao basi hakukuwa na kitu cha ziada ambacho kingeweza kubadilika sanasana ndiyo kwanza wangezidi kunipa mawazo ya kuwahudumia wakati mimi mwenyewe nilikuwa nikihudumiwa.

    Nilianza kubadilika kimavazi, kila siku nilionekana kupendeza sana hata wale wasichana waliyokuwa wakiziona picha zangu Instagram nilizokuwa nimezipost huku nikiwa nimeegemea gari langu la BMW hakika ziliwachanganya sana.

    “Mbona umehama bila kuniambia?” aliniuliza Evadia usiku mmoja nilipoamua kumpigia simu.

    “Nisamehe mpenzi nilisahau kukuambia,” nilimjibu.

    “Umehamia wapi?”

    “Sasa hivi nimehamia Mbezi ila usijali kesho lazima nikuone na utakuja kupafahamu.”

    “Sawa Mume wangu nitafurahi.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ukitoa wewe hakuna mapenzi tena, wewe ndiyo maana ya mapenzi yangu.”

    “Umeanza na vijimaneno vyako.”

    “Huo ndiyo ukweli.”

    “Halafu nimekumis baby.”

    “Nimekumis pia.”

    “Njoo basi sasa hivi mpenzi, nauhitaji ukaribu wako.”

    “Nikija siunajua nini kitatokea?”

    “Haya nakuja.”

    “Njoo tu! babyyy nitakupa ondoa shakaa.”

    “Hodi.”

    “Karibu.”

    “Asante, mbona sasa hujachojoa nguo?”

    “Tayari baby.”

    “Sawa, sogea basi.” “Tayari baby nipeee,” aliniambia kwa sauti ya kimahaba ambayo ilinifanya akili yangu ibadilike na kuanza kufikiria ngono na kila ambacho nilikuwa nikikizungumza kwa wakati huo hakikuwa na maana nyingine zaidi ya ngono.

    Kilichoendelea kusikika kwa upande wa pili ni miguno pamoja na sauti za kimahaba alizokuwa akizitoa Evadia, alikuwa akilalamika kana kwamba nilikuwa nikifanya naye mapenzi kumbe yalikuwa ni mapenzi yaliyofanyika simuni. Kutokana na uhodari wangu katika kucheza na michezo hii nilizidi kumpagawisha kwa kumpa muwashawasha uliyozidi kumuacha mpaka akawa analia kwa kuomba utamu wangu.

    “Ooooooh, babbyyyyyyy nipe nipeeee ooooohhh chukuaaaa yoteeee yakoooo aaaasssshhhh ooooohhh aaaaaaah,” alitokwa na miguno wakati huo nilikuwa nikifanya naye mapenzi kwenye simu.



    Sauti pamoja na miguno ile ya kimapenzi aliyokuwa akiitoa haikukoma, aliendelea kulalamika huku akidai kuwa alikuwa akiumia. Nilifahamu fika ni maumivu gani aliyokuwa akiyapata, yalikuwa ni maumivu ya utamu aliyokuwa akiutamani kupata kutoka kwangu.

    “Dick naumiaaaaaa,” aliniambia kwa sauti la kulalamika. Sikutaka kumjibu lolote, niliendelea na mchezo wangu wa kumpandisha nyege.

    “Aaaahhh Dick acha bhnaaa mwenzio naumiaaaa,” alizidi kulalamika.

    Nakumbuka siku hiyo niliutumia muda mwingi sana katika kufanya mapenzi na Evadia kwa njia ya simu, yalikuwa ni mapenzi fulani hivi ya kimzaha yaliyotukutanisha kihisia na kuhisi kama tulikuwa tukifanya mapenzi kiuhalisi. Naam! kama uliwahi kuucheza mchezo huu hakika utakuwa umefahamu ni nini ninachokimaanisha.

    Mchezo huo uliniweka katika wakati mgumu sana, hali ya mtarimbo wangu haikuwa shwari, alikuwa katika midadi ya kuukamata utamu wa mwanadada Evadia kwa wakati huo.

    “Dick…”

    “Niambie Mpenzi wangu.”

    “Umefanya mpaka nimechafua nguo.”

    “Hahaha! Pole.”

    “Sitaki.”

    “Hutaki nini sasa kwani hujafurahia tendo?”

    “Nimefurahia.”

    “Sasa mbona usemi asante?”

    “Asante Dick.”

    “Mmh! Mpaka nikuombe?”

    “Hapana Darling.”

    “Nikuulize?”

    “Ndiyo niulize.”

    “Unanipenda?”

    “Ndiyo nakupenda, mbona unaniuliza swali hilo?”

    “Nilitaka kufahamu.”

    “Dick nakupenda sana wala hakuna Mwanaume ambaye nimewahi kumpenda zaidi yako hata Ex-boyfriend wangu sijawahi kumpenda kiasi hiki.”

    “Nitaamini vipi kuwa unanipenda?”

    “Baby kitendo cha kukutambulisha kwa wazazi wangu nahisi ni sababu tosha ya wewe kuniamini.”

    “Unaonekana kuwa mwanamke ambaye niliwahi kumuona sehemu.”

    “Mwanamke yupi na ni sehemu gani ulimuona?”

    “Nimekuwa nikiiamini ndoto kwa muda mrefu, niliishi maisha hayo ya kumuota msichana mrembo ambaye niliamini huyo ndiyo mwanamke wa maisha yangu, sikuwa nafahamu anafananaje sura yake, umbo lake au hata tabia yake lakini kupitia wewe nimeweza kuiamini ile ndoto. Wewe ndiyo huyo mwanamke niliyekuwa namuota kila siku.”

    “Nafurahi kusikia hivyo mpenzi wangu, kila siku namuomba Mungu atujaalie kila tulilolipanga liweze kutimia.”

    “Hata mimi nafanya hivyo,” nilimwambia Evadia maneno ambayo kuna kipindi nafsi yangu ilikuwa inanisuta. Sikuwa nikimaanisha kila neno nililokuwa nikilisema, kuna wakati nilikuwa nikizungumza kuwa kama sehemu moja wapo ya sanaa ya utunzi niliyokuwa nao. Maneno yangu mazuri, matamu yenye kumsisimua msichana pindi anisikiapo yaliweza kumuingia vyema Evadia.

    Alikuwa akiniamini kupitiliza na hili ndiyo kosa kubwa ambalo alilokuwa amelifanya bila kujua. Nilikuwa nikizungumza na wanawake wengi sana, si kwa kuzungumza nao simuni tu lahasha! bali wengine nilikuwa nikichat nao muda mrefu kitendo ambacho kilinifanya niwe mvivu kujibu jumbe za Evadia pamoja na kupokea simu zake kwa wakati, hilo lilikuwa ni tatizo kubwa ambalo liliweza kuzua ugomvi kati yetu lakini nilipojaribu kumpigia simu yake na kuitumia fursa hiyo kumdanganya kwa mpangilio wa maneno yangu mazuri hakika aliweza kunielewa na kunisamehe.

    ****

    Siku iliyofuata niliweza kumleta Evadia katika nyumba niliyokuwa nimehamia maeneo ya Mbezi Beach. Alionekana kushangaa kila kitu kilichokuwa mbele yake. Nilifahamu siku hiyo ningeweza kukumbana na maswali lukuki kutoka kwa Evadia ambaye asingeweza kuamini kirahisi mabadiliko yangu ya kimaisha hasa katika kipindi kama kile.

    “Hii ni nyumba yako?” aliniuliza wakati nilipokuwa nikimzungusha sehemu mbalimbali za ile nyumba.

    “Ndiyo,” nilimjibu huku nikitabasamu kumuonyesha kuwa hakukuwa na tatizo lolote bali kila kitu alichokuwa akikishuhudia kilikuwa ni mali yangu.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Na lile gari je?”

    “Baby vyote ni mali yangu.”

    “Umewezaje kumiliki vitu hivi Dick, umefanya kazi gani mpaka uweze kumiliki mali zote hizi.”

    “Evadia mjini ni mipango, kila mtu unayemuona anaishi katika mji huu basi fahamu kuwa anaishi kwa mipango. Nilifahamu kuwa utaweza kushangaa hasa kwa mali hizi ambazo nimeweza kuzimiliki lakini nikuondoe wasiwasi mimi ni mtafutaji na siku zote ulizokuwa unaniona nyuma ya pazia kulikuwa kuna mishe nazifanya na ndizo zimeweza kuzaa matunda haya.”

    “Mishe! Mishe gani hizo?”

    “Baby mbona kama huniamini?”

    “Lazima niingiwe na hofu ujue mimi nakufahamu sana.”

    “Hata kama lakini ufahamu mimi ni mwanaume na sifa kubwa ya mwanaume ni kupambana na wala si kula kama wengi wanavyoamini.”

    “Umefanya kazi gani?”

    “Kazi nyingi tu! ila nakumbuka kitu kilichonisaidia, nilikuwa nikiwekeza sana pesa yangu katika vitu vya msingi nah ii ndiyo siri kubwa iliyoweza kuniletea mafanikio haya unayoyaona.”

    “Mmh! Dick kweli?”

    “Ndiyo.”

    “Hakuna chochote unachonificha?”

    “Hakuna,” nilimjibu.

    Uwongo ndiyo uliyokuwa umechukua nafasi kubwa katika maisha yangu, sikuwa naogopa lolote lile hasa katika uwongo niliyokuwa nikidanganya, wanawake wengi waliweza kuniamini na kunikabidhi dhamana ya maisha yao. Miongoni mwa hao wanawake Evadia alikuwa ni mmoja wao. Alizidi kuniamini sana hasa baada ya kila kitu alichokuwa akikihisi vibaya, nilipoweza kumuelezea kwa maneno yangu ya uwongo aliweza kunielewa.

    Wakati ule nilipokuwa na Evadia mule ndani, simu yangu iliita, nilipoitoa mfukoni na kuitazama nilikutana na jina la Precious. Sikutaka kupokea niliamua kuiacha iite mpaka pale ilipoweza kukata yenyewe.

    “Mbona hupokei simu?” aliniuliza Evadia.

    “Ah! Achana naye.”

    “Ni nani kwani?”

    “Mjinga mmoja hivi anasumbua sana.”

    “Mwanaume au mwanamke.”

    “Mwanaume.”

    “Kwani anasemaje?”

    “Tangu jana ananitumia meseji zake, ananiambia anataka nimsaidie kumuandikia hadithi yani ni msumbufu.”

    “Sawa mpenzi wangu,” alinijibu Evadia kisha hapo hapo nikambeba na kumpeleka chumbani. Kilichoendelea humo ni kufanya mapenzi tu! nilihakikisha namkuna kila sehemu vilivyo ili azidi kunikumbuka kila siku za maisha yake.

    ****

    Hatimaye ile hadithi yangu ya BADO UNAISHI MOYONI MWANGU iliweza kuhakikiwa na wahariri wa bodi ya filamu pamoja na waandaji wa filamu kwa ujumla.

    Ilikuwa ni moja kati ya Hadithi nzuri ambayo waliipenda sana. Irine hakuwa mbali katika hilo alihakikisha kila kitu kinakwenda sawa na baada ya wiki moja kupita kazi ya kushoot filamu hiyo ilikuwa tayari imeshaanza hapa ilikuwa ni baada ya kutafuta Cast za wasanii ambao wangeweza kushiriki katika filamu hiyo ambayo mhusika mkuu alikuwa ni Irine Kisoka.

    Nilimtazama Irine kama mhusika mkuu katika filamu hiyo ya BADO UNAISHI MOYONI MWANGU na kwa jinsi ambavyo alikuwa akiigiza, niliamini fika ilikuwa ni filamu ambayo ingeweza kufanya vizuri sana hasa katika upande wa soko zima la filamu nchini Tanzania.



    “Vipi kuhusu mumeo?”

    “Amefanyaje?”

    “Amesemaje kuhusu huu ujauzito?”

    “Hajasema kitu halafu ameamini kabisa kuwa huu ujauzito ni wa kwake.”

    “Kivipi?”

    “Ameamini tu!”

    “Hivi siku akigundua kuwa unamchezea mchezo huu mchafu unafikiri itakuwaje?”

    “Dick mbona hujiamini yani unaogopa utadhani umekuwa mtoto wa kike.”

    “Hayo umesema wewe ila mimi nimekuuliza.”

    “Hawezi kufanya lolote bhana embu niamini basi.”

    Yalikuwa ni mazungumzo kati yangu na Precious, nilionekana kuwa muoga sana hasa baada ya kuanza kuwaza kuhusu mume wake. Niliwaza siku ambayo ingetokea mume wake akagundua kuwa mimi ndiye nilikuwa sababu ya yote yale pamoja na ukatili ambao angeweza kunifanyia.

    Nilikumbuka kesi na matukio mbalimbali ambayo nimewahi kuyashuhudia na jinsi ambavyo mtu akifumaniwa na mke wa mtu kitendo anachofanyiwa. Hilo lilizidi kuniogopesha sana.

    “Embu acha kuogopa uko na mimi hakuna kitakachoharibika,” aliniambia Precious tulipokuwa kitandani amejilaza mapajani mwangu akijaribu kudeka deko la kimapenzi. Wakati huo nje jua kali la saa saba lilikuwa likiangaza.

    “Lazima niogope ujue mimi nawaza mambo mengi sana,” nilimwambia huku nikilipapasa tumbo lake.

    “Mambo gani hayo niambie usinifiche tafadhali.”

    “Ni kuhusu mume wako.”

    “Kafanyaje tena?”

    “Wewe hunipendi.”

    “Sikupendi na nini mpenzi wangu.”

    “Unataka mumeo aniue.”

    “Hawezi kukuua bhana embu acha kuwa na dhana hizo za kijinga.”

    “Kwahiyo hapa nazungumza ujinga.”

    “Sio hivyo mpenzi wangu sasa wewe kila wakati unaongelea kitu hichohicho tu! mimi nimekuambia jiamini hakuna chochote kitakachotokea.”

    “Sawa,” nilimjibu.

    Precious alizidi kuniaminisha kuwa hakukuwa na kitu chochote ambacho kingeweza kutokea. Ule wasiwasi wangu uliyoanza kuniingia taratibu ulianza kupotea, nilizidi kuyaamini maneno ya Precious na hivyo sikuwa na hofu yoyote.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Wewe kweli ni kidume,” aliniambia Precious.

    “Kwanini?” nilimuuliza.

    “Siamini kama leo nina ujauzito kwakweli yani Dick nitakupenda mpaka mwisho wa maisha yangu,” aliniambia.

    “Na mumeo je?”

    “Mume wangu wa nini sasa?” aliniuliza kwa ghadhabu kisha akanuna, nikapata kazi mpya ya kumbembeleza mpaka pale alipoamua kutulia. Hakupenda kulisikia jina la mume wake nikilitaja mbele yake.

    “Kwanini unakuwa hivyo lakini?”

    “Nisamehe mpenzi.”

    “Mimi sipendi.”

    “Najua mpenzi wangu nisamehe.”

    “Niahidi kwanza.”

    “Nikuahidi nini?”

    “Kuwa hautarudia tena kumtajataja.”

    “Ndiyo sitarudia tena kumtaja.”

    “Nakupenda sana Dick wangu.”

    “Nakupenda pia Mahabuba.”

    “Nafurahi sana kusikia hivyo.”

    “ Binafsi najivunia kukupata katika maisha yangu, umeyabadilisha maisha yangu Precious.”

    “Usijali nitazidi kuyabadilisha na kila kitu ambacho unakitaka niambie nitakutimizia, mimi nipo kwa ajili yako.”

    “Sawa mpenzi wangu,” nilimwambia.

    ****

    Baada ya kupita miezi kadhaa hatimaye filamu ya BADO UNAISHI MOYONI MWANGU iliweza kukamilika na kuingia sokoni, ilikuwa ni moja kati ya filamu bora zilizokuwa zikipendwa sana hata katika upande wa mauzo iliweza kuvunja rekodi. Hakukuwa na filamu nyingine iliyokuwa ikitazamwa tena, kila mtu alibaki akitazama BADO UNAISHI MOYONI MWANGU.

    Kwa kweli sikutaka kuamini kabisa kama filamu hiyo ingeweza kunifungulia milango ya mafanikio kila kukicha. Nilikuwa nikipokea simu mbalimbali kwa ajili ya kufanya kazi na makampuni makubwa yaliyoniamini kuutambua uwezo wangu katika kuandika.

    Jina langu la Dick Mapenzi sasa lilizidi kuwa jina kubwa mno, kila mtu alianza kunifahamu, hakukuwa na mtu ambaye aliitaja filamu ya BADO UNAISHI MOYONI MWANGU bila kulitaja jina langu kama mwandishi.

    Wasichana nao hawakuisha kujipendekeza kwangu, kila msichana ambaye alijipendekeza kwa kweli sikuacha kufanya naye mapenzi, huo ndiyo ulikuwa ugonjwa wangu haswaa!

    Niliweza kutengeneza pesa nzuri sana kupitia filamu hiyo, faida nzima niliyoweza kuipata niliamua kwenda kuwekeza katika biashara mbalimbali. Sikuwa na shida yoyote kama ni nyumba nzuri nilikuwa nayo, gari la kifahamu tena BMW nilikuwa nalo, kuhusu pesa wala haikuwa ni moja ya tatizo kwangu, Precious alikuwa akinihudumia kwa kila kitu.

    Sikutaka mafanikio yangu pamoja na umaarufu wangu uishie kwenye filamu tu! pamoja na kupokea sifa mbalimbali kutoka kwa watu waliyokuwa wakinifahamu. Nilitamani sana kuwa mtu maarufu na umaarufu ambao nilikuwa nikiutaka ni ule wa kuandikwa kila siku katika magazeti pamoja na kuandikwa sana katika mitandao ya kijamii. Hakukuwa na wazo lingine lililonijia kichwani mwangu kwa wakati huo zaidi ya kuamua kutembea na Irine Kisoka miongoni kati ya waigizaji ambao walishiriki kwa asilimia kubwa katika kuhakikisha lengo langu la kutoa filamu linatimia na kweli liliweza kutimia.

    Alikuwa ni muigizaji aliyeongoza kwa kuandikwa vibaya katika magazeti ya udaku pamoja na mitandao ya kijamii, hii ilitokana na uzuri pamoja na umaarufu aliyokuwa nao.

    Nilijisahaulisha kuhusu urafiki aliyokuwa nao na Evadia. Hata kipindi kile ambacho Evadia alikuwa akihangaika katika kuhakikisha nafanikiwa vyote nilijisahaulisha na sasa kitu nilichokuwa nimepanga ni kutoka kimapenzi na Irine Kisoka huku lengo langu likiwa ni kutafuta skendo itakayonifanya niwe maarufu zaidi mpaka nianze kuandikwa katika magazeti ya udaku na mitandao ya kijamii.

    “Hongera kwa kazi nzuri uliyoifanya.”

    “Asante ila nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nisipokushukuru wewe.”

    “Mbona sioni cha kunishukuru hapo wakati kila kitu umehusika.”

    “Jina lako na umaarufu wako ndiyo vimefanya nikaweza kulitimiza hili kama si wewe nadhani nisingefika hapa.”

    “Kweli?”

    “Ndiyo.”

    Yalikuwa ni mazungumzo kati yangu na Irine tulipokuwa katika moja ya hoteli kubwa hapa mjini majira ya mchana, tulikuwa tukipata chakula cha mchana lakini pia ilikuwa ni katika harakati za kupongezana baada ya filamu tuliyoitoa kufanya vizuri kimauzo.

    “Imekuwa ni filamu ya kipekee sana ujue siamini kama imeweza kufanya vizuri,” aliniambia Irine.

    “Hata mimi siamini,” nilimwambia.

    “Unajua sana kuandika hadithi za kimapenzi.”

    “Hahahaha! mbona hata wewe unajua kuigiza filamu za kimapenzi.”

    “Nikwambie kitu.”

    “Niambie.”

    “Hii imekuwa ni filamu ya kitofauti sana kwangu na filamu zote ambazo nimewahi kuzifanya.”

    “Kwanini?”

    “Hadithi uliyoiandika ni ya kipekee sana yani kwa kipaji ulichonacho hukustahili kuwa hapa,” aliniambia Irine maneno yaliyonifanya nitoe tabasamu.

    “Mbona unacheka?”

    “Umenifurahisha.”

    “Huo ndiyo ukweli.”

    “Kila siku huwa najiambia mwenyewe kuwa kama nisingebahatika kukutana na wewe sijui ni lini ningeweza kuitimiza ndoto yangu.”

    “Hapana usiseme hivyo ila unachotakiwa ni kumshukuru Mungu halafu pia nadhani usimsahau Evadia maana nadhani yeye ndiye amekuwa msaada mkubwa sana kwako.”

    Nilionekana kuwa mwenye furaha wakati wote wa mazungumzo lakini alipofikia kulitaja jina la Evadia na kuniambia kuwa nilitakiwa kumshukuru kiukweli nilibadilika, sikutaka kulisikia jina la Evadia mahali pale.

    Mabadiliko yangu kwa wakati ule yalimshangaza Irine, aliponiangalia usoni alionyesha kuwa na maswali juu ya hali yangu ile, hilo nililifahamu nikajaribu kuwahi kuliunda tabasamu bandia ili niweze kumficha hali niliyokuwa nayo lakini haikuwa kama nilivyowaza aliwahi kuniuliza na hapo nikawahi kutafuta jibu la kumzugia.

    “Nini mbona umebadilika ghafla!” aliniuliza Irine, wakati huo macho yangu yalikuwa yakikitazama kifua chake ambacho alikisitiri kwa vazi la wazi lililojaribu kukidhihaki na niliitumia nafasi hiyo kumtazama kwa macho ya uwizi.

    “Hapana hakuna kitu,” nilimjibu kisha nikajifanya kuwa bize na sahani ya chakula ambacho nilikuwa nikiendelea kukila.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kila nilipokuwa nikimtazama Irine na kwa jinsi alivyokuwa ameumbika kiukweli nilizidi kumtamani sana, kuna muda nilitamani kumwambia lakini niliogopa, hapa ni baada ya kuzikumbuka zile skendo za kutembea na wanaume tofautitofauti, nilibaki nikimtazama na kula kwa macho ya uchu.

    Kila siku alikuwa akiandikwa vibaya magazetini, alikuwa akiandikwa kuwa alikuwa akitembea na wanaume tofautitofauti ambao wengi wao walikuwa ni watu wenye wadhifa fulani, hilo lilizidi kuniogopesha.

    “Kuna kitu unataka kuniambia?” aliniuliza.

    “Hapana,” nilimjibu huku nikiweweseka na jibu langu, nilikuwa nimeshapagawa.

    “Niambie usiogope au bado unahisi hujanizoea?” aliniuliza huku akiendelea kula chakula katika mpangilio uliyozidi kupendeza, hakuonekana kuwa na makuu hata kidogo na kila nilipokuwa nikiendelea kumtazama mapigo ya moyo wangu yalizidi kwenda kwa kasi kuhofia uwepo wa Irine. Kwa wakati huo nilikuwa tayari nimeshamsahau Evadia na Precious mwanamke ambaye alikuwa akinihudumia kwa kila kitu.

    Nilichoamua kufanya kwa wakati huo ni kuchukua maamuzi, nikayapanga maneno yangu vyema halafu neno moja nikaliunganisha na lingine kisha nikatiririka katika kumpangilia vina, nakumbuka kuna baadhi ya maneno nilikuwa nikiyatoa katika dayaloji ya machombezo yangu ambayo niliamini yangeweza kumvutia kiasi kwamba akawahi kunikubalia na huo ndiyo ungekuwa mwanzo wa umaarufu wa kuandikwa magazetini na kwenye mitandao ya kijamii.

    “Hapana Irine unajua kuna vitu vinaniweka katika wakati wa mawazo sana.”

    “Vitu gani hivyo?”

    “Uzuri wako,” nilimwambia kisha akatabasamu.

    “Unajua unavituko Dick sasa uzuri wangu umefanyaje?”

    “Irine wewe ni mwanamke mzuri sana una kila sifa za kumvutia mwanaume yoyote yule, ujue mpaka sasa hivi siamini kama zile habari unazoandikwa magazetini ni za kweli au?”

    “Dick unajua mimi ni staa na kama unajua maisha yetu sisi mastaa kuchafuliwa na kuandikwa kila aina ya mabaya mitandaoni, magazetini ni sehemu moja wapo ya maisha yetu.”

    “Ina maana unataka kuniambia hakuna ukweli wowote kuhusu ile habari niliyoisikia?”

    “Habari gani?”

    “Kuhusu unatembea na kigogo.”

    “Hapana hazina ukweli wowote.”

    “Kuna kitu nataka kukuambia ila nahisi nafsi inasita.”

    “Kitu gani niambie usiogope.”

    “Irine sijui kama utaweza kukubali.”

    “Kwanini nisikubali wewe niambie kuwa huru.”

    “Irine nakupenda,” nilimwambia.



    “Unanipenda?” aliniuliza swali nililolitegemea kwa wakati ule, sikutaka kung’atang’ata maneno, nikaanza kumchombezo.

    “Ndiyo nakupenda sana Irine wala siwezi kukuficha hilo,” nilimwambia.

    “Unanipenda kwasababu mimi ni maarufu au?”

    “Nakupenda jinsi ulivyo wala sijakupendea huo umaarufu wako.”

    “Nitaamini vipi hayo unayoyasema kuwa ni kweli?”

    “Amini tu! ila labda nikuulize swali?”

    “Niulize?”

    “Hivi unaweza kumuamini daktari akikuambia kuwa mgonjwa wako anasumbuliwa na ugonjwa fulani?”

    “Ndiyo naweza kumuamini.”

    “Kwanini?”

    “Kwasababu yeye ni daktari na ni kazi yake.”

    “Kwanini hutaki kuniamini mimi shuhuda wa hisia zangu.”

    “Dick siwezi kukuamini kirahisi hivyo.”

    “Kwani uko na mtu?”

    “Ofcourse nilikuwa naye ila kwa sasa tumeachana.”

    “Ni nani huyo au ni…”

    “Huyo huyo.”

    “Nani sasa?”

    “Juma Hiza.”

    “Unaweza kuniambia kwanini mliachana?”

    “Unajua katika mapenzi hasa kwa sisi mastaa kuna vitu vingi sana huwa vinatokea ila naweza kusema ilifikia wakati kila mapenzi hayakutakiwa yaendelee.”

    “Kwani bado unampenda?”

    “Sidhani kama kuna ukweli katika hilo na kama ningekuwa nampenda ungetuona tuko pamoja.”

    “Nini kilitokea kati yenu?”

    “Hee! Dick mbona maswali mengi kama mwandishi wa habari.”

    “Inamaana umesahau kuwa mimi ni mwandishi wa hadithi?”

    “Sijasahau.”

    “Lakini kumbuka kiu yangu ni kutaka kufahamu ukweli kuhusu wewe.”

    “Ukweli gani ambao unataka kuufahamu?”

    “Ukweli kuhusu mapenzi yako.”

    “Nafikiri ukweli wangu ni ndiyo huo na kuhusu kutoka kimapenzi katika maisha yangu nimewahi kutembea na mwanaume mmoja ambaye ni huyo Juma Hiza na baada ya hapo sijawahi kujihusisha na mapenzi na mwanaume mwingine.”

    “Kweli?”

    “Ndiyo sioni sababu ya kukudanganya Dick na kama kiu yako ni kutaka kuufahamu ukweli nadhani tayari umeshafahamu.”

    “Na yale magazeti yanayoandika habari kuwa unatembea na wanaume tofautitofauti vipi?”

    “Dick mimi ni staa na mambo kama hayo ya kuandikwa vibaya ni kawaida.”

    “Asante kwa kuwa mkweli kwangu hata hivyo najivunia kukufahamu, unaonekana kuwa tofauti na wanawake wengine.”

    “Asante Dick.”

    “Usijali.”

    “Ila kuna kitu Dick nataka kukuuliza.”

    “Kitu gani?”

    “Samahani lakini kwa kukuuliza swali hili ila inanibidi nikuulize.”

    “Bila samahani niulize tu.”

    “Hivi katika maisha yako umewahi kutoka na wanawake wangapi?”

    “Nimetembea na mwanamke mmoja tu na tena aliwahi kuniumiza.”

    “Kivipi?”

    “Sikuwa na pesa hivyo wenye pesa walinipiku.”

    “Pole sana.”

    “Nishapoa na maumivu nimeshaanza kuyasahau.”

    “Unaweza kuniambia ulimpenda kiasi gani?”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kwa kweli naweza kusema nilimpenda mithili ya nafsi na mwili kimoja kikikosekana basi hakuna maana ya uzima.”

    “Una maneno Dick.”

    “Hapana najitahidi kukuweka uwe karibu yangu lakini umekuwa kama ndege naona unakwea matawi tu.”

    “Hahaha.”

    “Niambie kitu kimoja.”

    “Dick tatizo mimi sikuamini.”

    “Kwanini huniamini?”

    “Sijui hata.”

    “Au bado unampenda Juma Hiza?”

    “Hapana,” alinijibu Irine huku akiwa ameyaelekezea macho yake chini.

    Kwa kweli ilikuwa ni kazi kubwa sana katika kumshawishi Irine msichana maarufu ili aweze kuwa na mimi kimapenzi, niliutumia ulimi wangu vyema katika kupangilia maneno, ndoano niliyokuwa nikiitupa baharini ya kumnasa samaki upendo kuna muda nilikata tamaa nikahisi kukosa kila kitu.

    Juma Hiza huyu ndiye mwanaume aliyekiri kutoka naye kimapenzi, alikuwa ni miongoni kati ya wanamitindo wakubwa hapa nchini, kipindi cha nyuma mapenzi yao yalionekana kukolea, kila kona walikuwa wakisikika wao tu. Kwenye magazeti hakukuwa na habari nyingine zilizoandikwa zaidi ya mapenzi yao lakini mwisho wa siku penzi lao liliweza kufa.

    Umaarufu wa mwanaume huyo pamoja na nguvu kubwa aliyokuwa nayo ilizidi kuniogopesha lakini nilijivika vazi la ujasiri kisha nikaendelea kuamini kumpata Irine. Nilitofautiana naye kwa vitu vingi sana hivyo sikutaka kukubali kuona mapungufu yoyote.

    Niliendelea kubembeleza penzi kila siku, nililia kwa kudanganya, nikafanya kila niwezalo, visa vyote nikafanya mpaka Irine akaweza kunikubalia.

    “Dick naomba unipende kweli, usicheze na hisia zangu, nimekukubalia ombi lako,” aliniambia Irine maneno yaliyonifanya nizidi kujiona gwuji wa mchezo huu hatari wa mapenzi na huo ndiyo ulikuwa mwanzo wangu wa penzi jipya na yeye. Lilikuwa ni penzi lililonipa umaarufu ambao sikujua kama mwisho wa siku ungeweza kunipa funzo katika maisha yangu.



    Nilianza kubadilika baada ya kufanikiwa kumpata Irine kimapenzi, nilijiojna kuwa zaidi ya kila kitu hata kwa upande wa mapenzi niliyokuwa nayo kwa Evadia nilianza kuyapunguza. Sikuwa tena ni mtu wa kumtafuta kama ilivyokuwa kawaida yangu, nilisubiri mpaka yeye ndiyo anianze kisha mimi niendelee.

    Niliamua kufanya hivyo kwasababu nilijua wazi kuwa alikuwa akinipenda sana kuliko kitu chochote kile, alikuwa akinipenda kiasi kwamba kuna kipindi nilivyokuwa nikikaa kimya nilikuwa nikimuumiza.

    “Kwanini siku hizi umebadilika hivyo?” aliniuliza siku moja alipokuja nyumbani kwangu ghafla! majira ya mchana, alikuwa ameshindwa kuvumilia ukimya ule ambao ulikuwa umetawala kati yetu siku zote hivyo aliamua kunifuata kwa lengo la kutaka kujua ni nini kilichokuwa kinanifanya mpaka nikae kimya kiasi kile, kwa akili ya harakaharaka alihisi kwa ujio wake ule angeweza labda kunifumania na mwanamke mwingine lakini haikuwa hivyo, alinikuta peke yangu tena kwa wakati huo nilikuwa sebuleni nikiandika hadithi kwenye laptop yangu.

    “Nimefanyaje kwani?” nilimuuliza huku nikionekana kuwa bize na kuandika.

    “ina maana hujanisikia au?” aliniuliza kwa sauti ya kunifokea kisha nikamtazama, alionekana kuwa na hasira kupitia uso wake aliyokuwa ameukunja mithili ya ngozi ya bibi kizee.

    “Evadia kwani kosa langu ni lipi?” nilimuuliza.

    “Kosa lako hulifahamu?” aliniuliza

    “Kama ningelifahamu hivi ningekuuliza kweli?” nilimuuliza.

    “Dick hivi kwanini siku hizi unanidharau sana,” aliniambia.

    “Nakudharau kivipi mbona sikuelewi?” nilimuuliza.

    Nilijikuta naanza kupoteza mapenzi kwa Evadia, kila nilipokuwa nikimtazama nilihisi kumchukia sana, kila sehemu ya kiungo cha mwili wake nilipokitazama sikuhisi msisimko wowote, nilikuwa nimeshamkinai japo sikumwelieza ukweli wa jambo hilo lakini kupitia visa na mikasa niliyokuwa namfanyia nilihisi wenda angeweza kung’amua lolote kuwa nilikuwa nikimchukia kupita maelezo na hivyo hakutakiwa tena kuishi na mimi. Nilijisahaulisha yale yote ambayoaliwahi kunifanyia katika maisha yangu, nilichokuwa nikikitazama kwa wakati huo ni mapenzi niliyokuwa nayo kati yangu na Irine.

    “Dick siko hapa kwa ajili ya ugomvi na wewe,” aliniambia huku akinitazama kwa macho ya huba, niliamua kuamka pale kwenye kochi nilipokuwa nimekaa nikasimama kisha nikaanza kumogelea taratibu.

    “Kwahiyo kama haupo hapa kwa ajili ya ugomvi umefuata nini sasa?” nilimuuliza swali ambalo niliamini lilikwenda kumuumiza moyoni mwake lakini sikutaka kujali lolote.

    “Dick hivi kwanini unanichukia?” aliniuliza.

    “Hicho ndiyo ulichokifuata?”

    “Hapana ila nataka kufahamu kwanza.”

    “Unataka kufahamu nini?”

    “Dick au kisa nimekupa moyo wangu wa mapenzi unaumiliki na umegundua kuwa nakupenda kwa dhati ndiyo sababu unanifanyia haya?”

    “Mbona sioni tatizo lolote huo ni wasiwasi wako.”

    “Hapana Dick naomba uniambie.”

    “Evadia unajua sikuelewi.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Dick nikuulize?”

    “Ndiyo niulize lakini usiniulize maswali ya shule ya msingi.”

    “Unanipenda?”

    “Aaaggghh! Hivi hatuelewani au? Nimekuambia sitaki uniuliza maswali ya kitoto sasa hilo ni swali gani?”

    “Naomba unijibu Dick.”

    “Jibu unalo wewe mimi siwezi kukujibu.”

    “Dick unasemaje?”

    “Swali lingine?”

    “Hivi kweli una mpango wa kufunga ndoa na mimi kweli?”

    “Sahau kabisa kuhusu ndoa tena futa kabisa katika ufahamu wako. Kwasasa sipo na mipango hiyo.”

    “Unasemaje?”

    “Sina mpango wa kuoa kabisa kama unaona unaharaka na ndoa nenda kaolewe na wanaume wengine nimekukubalia sawa,” nilimwambia maneno ambayo yalimtoa machozi, hakutaka kuamini kama mimi ndiye ambaye nilikuwa nikimwambia maneno yale yaliyokuwa na mkuki wenye sumu kali uliyokwenda kukika katika kuta za moyo wake. Machozi yalikuwa yakimbubujika mfululizo.

    “Hajafa mtu hapa tafadhali usiniletee uchuro sawa wewe kahaba,” nilimwambia kisha nikaanza kumtolea maneno machafu ambayo kiukweli mengine nafsi ilikuwa ikinisuta pindi nilipokuwa nikiyatamka, sikupanga kumfanyia yale ambayo nilikuwa nikimfanyia lakini nilijikuta tu! nikifanya bila kutarajia.

    “Dick umenifanya niwachukie waandishi wote wa hadithi mitandaoni,” aliniambia Evadia huku akiyafuta macho yake.

    “Sasa ulitumwa unipende embu chukua time ondokaaa.”

    “Dick.”

    “Sikutaki Evadia naomba tuachane.”

    “Unasemaje?”

    “Sikutakii.”

    ‘Dick hivi ni wewe kweli?”

    “Sasa kama si mimi utakuwa unaongea na nani?”

    “Nini kimekupata?”

    “Natumia lugha adhimu kabisa ya Kiswahili, nimesema sikutaki na naomba uondoke nyumbani kwangu sawa,” nilimwambia kisha nikaanza kumfukuza bila huruma. Huo ndiyo ulikuwa mwanzo na mwisho wa penzi langu na Evadia, mwisho ambao niliweza kumpa maumivu ambayo hayakutarajia kuyapata.

    ****

    Baada ya kupita miezi tisa hatimaye Precious aliweza kujifungua mtoto wa kiume, alikuwa ni mtoto ambaye aliyefanana na mimi kila kitu, Precious hakuacha kuniambia kuwa ilitakiwa kubaki kuwa siri kati yetu kwani mpaka kufikia wakati ule mume wake alikuwa bado hafahamu lolote lile, niliutumia udhaifu wa mume wake katika kujivika vazi la ubaba kwa mwanamke ambaye alikuwa ni mke wa mtu, naweza kusema katika hilo nilikuwa kipofu.





    “Hongera mpenzi kwa kujifungua salama,” nilimwambia Precious wakati nilipokuwa nimempigia simu kwa lengo la kumpongeza. Wakati huo alikuwa bado yupo hospitalini.

    “Asante yani Dick nina furaha,” aliniambia kwa sauti iliyoonyesha kufurahishwa.

    “Najua furaha uliyonayo inaletwa na nini,” nilimwambia.

    “Hatimaye nimekuzalia dume,” aliniambia.

    “Tena Dume haswaa!”

    “Dick asante kwa kunifanya nimekuwa mama sasa hivi,” aliniambia.

    “Precious asante na mimi kwa kunifanya nimekuwa baba sasa hivi,” nilimwambia maneno ambayo nilimuiga kwa kubalidili neno baba. Alicheka sana.

    “Mbona unacheka?” nilimuuliza huku na mimi nikicheka.

    “Dick unanifanya nakuwa mwenye furaha sana,” aliniambia kwa sauti ya upole.

    “Kwanini?” nilimuuliza.

    “Sijui hata kwanini.”

    “Nikwambie kwanini?”

    “Ndiyo niambie.”

    “Ni kwasababu moyo wangu na wako umeendana na laiti kama usingeendana nafikiri leo hii tusingekuwa pamoja.”

    “Ni kweli mpenzi wangu yani sio siri nakupenda sana.”

    “Hata mimi nakupenda pia?”

    “Halafu nilitaka kusahau kitu.”

    “Ulitaka kusahau nini tena malkia wangu?”

    “Jina la mtoto?”

    “Ina maana mpaka kufikia muda huu bado hana jina?”

    “Ndiyo.”

    “Ulikuwa unasubiri nini sasa?”

    “Nilikuwa namsubiria baba yake ili aweze kumpa jina,” aliniambia kisha nikacheka.

    “Usicheke embu mpe jina mwanangu tafadhali.”

    “Tumuite Mzigo wa kuni Tabu Tupu.”

    “Heee! Ndiyo jina gani hilo sitaki Dick, naomba mwanangu umpe jina zuri.”

    “Ok basi tumuite Nickson.”

    “Hahaha kwanini Nickson?”

    “Ili isound sawasawa na jina la Baba yake yani Nickson Dickson.”

    “Jamani nimelipenda bure.”

    “Basi tumuite hivyo.”

    “Unataka mwanao aje afanye kazi gani akiwa mkubwa?”

    “Nataka nay eye aje kuwa mwandishi wa hadithi kama Baba yake.”

    “Unataka na yeye atoe filamu?”

    “Ndiyo wanasema maji yanafuata mkondo.”

    “Nitafurahi kama ikiwa hivyo.”

    “Usijali kila kitu kinawezekana.”

    “Sawa Mume wangu,” aliniambia Precious.

    Katika mazungumzo yetu sikutaka kabisa kugusia suala la mume wake wala kuhusu ndugu zake, nilifahamu fika kuwa walikuwa wakizifahamu habari zile za Precious, nilijitoa ufahamu na hakukuwa na mada nyingine ambayo nilitaka kuzungumza zaidi ya mada iliyonihusu mimi na mtoto.

    Nilifanya hivyo ni katika harakati za kutomfanya Precious achukie, nilifahamu vyema kuwa alikuwa ni mwanamke wa aina gani, hakupenda pindi tulipokuwa katika mazungumzo neno au jina la mume wake alisikie, hilo nililifahamu na ndiyo sababu sikutaka kumuuliza lolote kuhusu mume wake wala ndugu zake. Nilijifanya kuwa jasiri nikiamini kuwa kwa kufanya hivyo nilikuwa natengeneza mazingira ya kusifiwa kuwa hakika nilikuwa kidume haswaa, furaha yangu ilikuwa nikuona nasifiwa kila wakati na Precious hasa katika kitendo kile cha kumfanya kuwa na mtoto.

    ****

    “PENZI LA DICK MAPENZI LAMTEKA IRINE.”, “IRINE HAONI WALA HASIKII KWA PENZI LA DICK.” , “MWANDISHI WA HADITHI FACEBOOK DICK NA IRINE SASA MAPENZI HADHARANI.”

    Hivi vilikuwa ni baadhi ya vichwa vya habari vya magazeti ya udaku ambayo nilikuwa nikiyapekuwa kupitia Application ya simu yangu kwa siku hiyo. Sikutaka kuamini kama kile nilichokuwa nikikisoma kilikuwa ni kweli au lah! macho yangu yalirudiarudia kuvisoma vichwa vile mara mbilimbili kana kwamba nilikuwa sioni vizuri.

    Moyo wangu ulikuwa katika furaha isiyokuwa na kifani kwa siku hiyo, kama ilivyokuwa ndoto yangu ya hatimaye iliweza kutimia. Katika hali ya kushangaza siku hiyo Mick aliweza kunitafuta lakini alionekana kuwa tofauti kwa kila kitu.

    “Niambie ndugu yangu,” nilimwambia huku nikiachia tabasamu la furaha.

    “Naona ndoto yako imetimia,” aliniambia.

    “Ndoto ipi tena?” nilimuuliza huku nikijifanya sifahamu lolote lile lililokuwa likiendelea.

    “Umefanikiwa kuwa na Irine kimapenzi.”

    “Irine?”

    “Ina maana unajifanya hujui?”

    “Hahaha! Ndugu yangu nilikwambia lakini kuwa lazima nimpate umeona?”

    “Dick una hatari ujue.”

    “Hatari ipi?”

    “Umeanza kuandikwa kwenye magazeti, hivi unafikri Evadia au huyo mke wa mtu akiona itakuwaje?”

    “Evadia yupi?”

    “Evadia mpenzi wako.”

    “Mbona nimeshaachana naye muda tu hata sijui habari zake.”

    “Dick.”

    “Naam.”

    “Evadia umeachana naye?”

    “Ndiyo.”

    “Mbona mapema sana kwani amefanya nini?”

    “Mimi ndiyo nimezingua.”

    “Dick ipo siku maamuzi yako utayajutia.”

    “Mick kila siku umekuwa ni mtu wa kunipa ngonjera tu hivi kwanini usifurahi rafiki yako tayari nimeshakuwa staa, muda wa kutengeneza pesa umefika halafu nina habari nzuri kwako.”

    “Habari gani?”

    “Precious amejifungua.”

    “Dick unapotea.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Wewe baki na maneno yako mimi nazidi kutusua tu.”

    “Dick hivi kwanini hutaki kubadilika?”

    “Unataka niwe vipi sasa?”

    “Dick embu badilika huo uhuni wala hautakupeleka popote.”

    “Acha niendelee kutengeneza pesa.”

    “Sawa ila utakuja kujuta,” aliniambia Mick.

    Katika mafanikio na pesa ambazo nilikuwa nikizipata sikutaka ziwe zangu peke yangu, nilikuwa nikimpatia na Mick kiasi cha pesa ambacho niliamini kiliweza kumsaidia katika kutatua matatizo yaliyokuwa yakimsibu katika maisha yake.

    ****

    “Asante Dick kwa kunipotezea muda wangu ila pia nashukuru kwa yote uliyonifanyia. Kumbe visa vyote vile ulivyokuwa unanifanyia shida yako ilikuwa utembee na Irine rafiki yangu. Asante sana Mungu akujaalie maisha marefu ya mapenzi yenu.”

    Huo ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Evadia aliyokuwa amenitumia, nilipousoma nilitabasamu kisha nikaufuta, sikutaka kumjibu lolote.



    Nilikuwa nikimchukia Evadia kuliko kitu chochote kile, Laiti kama ingetokea ukaniuliza kuwa Evadia alinifanya nini na kwanini namchukia kwa kweli sitaweza kukupa jibu sahihi, hakuwahi kunifanyia kitu kibaya katika maisha yangu lakini nilijikuta namchukia tu bila sababu.

    Tamaa ya pesa na umarufu ndiyo iliyoweza kuniponza mpaka nikamsahau Evadia pamoja na wema wake wote aliyoweza kunionyesha kwangu. Sikufikiria kuhusu Mama yake wala Baba yake ambao walitokea kunipenda sana na walitamani siku moja niweze kufunga ndoa na mtoto wao. Kila kitu nilichokuwa nikikifanya nilikifanya bila kufikiria mara mbilimbili, naweza kusema nilikurupuka kuchukua maamuzi.

    ****

    “Dick mbona sielewei?” aliniuliza Precious kwa sauti iliyoonekana kugubwikwa na jazba. Wakati huo alikuwa amenipigia simu.

    “Huelewi nini?” nilimuuliza huku kichwani mwangu nikianza kukumbuka kama kulikuwa kuna kosa lolote ambalo nilikuwa nimelifanya kwake, hakukuwa na kosa lolote, hali hiyo ilinifanya niingiwe na shauku ya kutaka kufahamu ni nini kilichokuwa kimetokea. Yalikuwa ni majira ya usiku.

    “Hiki nilichokiona hivi ni kweli au macho yangu yananidanganya?” aliniuliza.

    “Kitu gani?”

    “Unatoka kimapenzi na Irine?”

    “Umeona wapi?”

    “Nimeona wapi wakati kwenye magazeti wameandika na kwenda mitandao naona zenu zinasambaa kila mtu anasema unatoka kimapenzi na yeye….Hivi Dick ni kitu gani umekosa kwangu eeeeh niambie ni nini umekikosa kwangu mpaka umeamua kutembea na Irine au kisa ni supa staa?” aliniuliza huku sauti yake ikiashiria kukosa uvumilivu katika hilo, alikuwa akilia.

    “Embu tulia Mpenzi sawa acha kulia kwanza nikuambie kitu sawa,” nilimwambia huku nikianza kupanga maneno ya kumdanganya, Kila kitu alichokuwa akiniambia kilikuwa kina ukweli ndani yake.

    “Uniambie nini Dick unahisi utakuwa ni kitu gani cha kunishawishi mimi mpaka nikakuelewa,” aliniambia huku akiendelea kulia kwa sauti ya kwikwi.

    “Precious jaribu kunielewa basi mpenzi wangu,” nilimwambia kwa sauti ya upole.

    “Unataka kuniambia nini, unataka kuniambia nini Dick?” aliniuliza kisha akawa kama mtu aliyenyamaza kulia, akawa ananisikiliza kwa umakini.

    “Najua umejisikia vibaya baada ya kuona hivyo lakini unatakiwa kunisikiliza Darling kumbuka mimi ndiyo ninayeufahamu ukweli sasa usiponipa nafasi utakuwa hunitendei haki,” nilimwambia.

    “Hivi ni nafasi gani ambayo unataka nikupe, Dick sema ukweli tu! ni nafasi ipi unataka nikupe? Nimekupa nyumba, nimekupa gari, pesa lakini umeona vyote havitosha bado unaamua kunisaliti,” aliniambia maneno ambayo kimoyomoyo yalinifanya nicheke, nilijichekesha kwasababu Precious alikuwa ni mke wa mtu na kwa maneno ambayo alikuwa akiyazungumza laiti kama mume wake angemsikia sio siri ule ndiyo ulikuwa mwisho wa maisha yake, angeanguka chini kwa presha.

    “Unajua mimi ni mwandishi na mpaka sasa tayari nimeshafanya kazi na mtu maarufu,” nilimwambia.

    “Kwahiyo ukifanya kazi na mtu maarufu ndiyo?” aliniuliza kwa sauti ya kunikejeli.

    “Najua unashindwa kunielewa kwasababu moyo wako tayari umeamini kile ambacho umekiona katika magazeti lakini kama utaweza kuuruhusu moyo wake walau uniamini japo kwa sekunde moja basi huwezi kunifanyia hiyo,” nilimwambia.

    “Dick unajua ni jinsi gani ninavyokupenda sana nadhani unautumia udhaifu huo kuniadhibu kwakuwa unajua siwezi kwenda mbali,” aliniambia.

    “Precious mbona sasa unakwenda mbali mimi nia yangu ni kukuelezea ukweli na si vinginevyo,” nilimwambia.

    “Unataka kunielezea ukweli upi?” aliniuliza.

    “Kuhusu hizo habari ulizozisoma katika magazeti pamoja na kwenye mitandao.”

    “Kwahiyo hazina ukweli?”

    “Precious unapokuwa maarufu lazima utakutana nanyo, skendo ni moja ya adui mkubwa sana kwa watu maarufu na mpaka unaona vitu kama hivyo ujue tayari nimeshakuwa staa.”

    “Dick niambie ukweli kama unatoka na Irine,” aliniambia huku sauti yake akiwa ameielegeza.

    “Hakuna ukweli katika hilo embu naomba uniamini basi hata kwa kuniigizia,” nilimwambia.

    “Sawa nimekuelewa ila mimi sipendi kuona au kusikia habari hizo,” aliniambia.

    “Hatuwezi kuwakataza waandishi wa habari waache kufanya kazi yao….acha waendelee kuniandika vibaya lakini kitu ambacho nakihitaji kutoka kwako ni uaminifu, nataka uniamini kutoka moyoni mwako,” nilimwambia.

    “Sawa nimekuamini,” alinijibu kisha akaweza kuniaga na kukata simu. Precious alionekana kunipenda sana kuliko kitu chochote kile.

    ****

    Niliutumia umaarufu niliyozidi kuupata katika kuendelea kuandika hadithi mbalimbali ambazo nilikuwa nikizichapisha katika mitandao ya kijamii. Zilizidi kupendwa sana na kila siku nilizidi kujiongezea mashabiki wengi waliyoonekana kunipenda na kuzipenda kazi zangu.

    “Hello Dick Mapenzi.”

    “Yes Hello Alice.”

    “How are you?” (Habari yako?)

    “Fine, how about you?” (Nzuri, vipi kuhusu wewe?)

    “Everything is good, where are you? (Kila kitu kipo vizuri, uko wapi?)

    “Tanzania and you?” (Tanzania na wewe?)

    “Kenya.”

    “Tell me?” (Niambie.)

    “Ireally like reading your stories is very good.” (Napenda sana kusoma hadithi zako ni nzuri sana.”

    “Thank you so much and I am glad to hear that.” (Asante sana na pia nafurahi sana kusikia hivyo.)

    “Ok.” (Sawa.)CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “What story didi you like?” (Hadithi ipiumeipenda?)

    “CHUMBA CHA MASAJI.)

    “Ok.” (Sawa.)

    “Ok.” (Sawa.)

    Nilimaliza kuchat Instagram na Alice shabiki yangu kutoka Kenya msichana ambaye alionekana kuvutiwa na hadithi zangu.



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog