Search This Blog

Thursday, 19 May 2022

JINI MAHABATI - 5

 







    Chombezo : Jini Mahabati

    Sehemu Ya Tano (5)





    “Asante sana mtaalamu kwa kuwa mgonjwa yupo kwako mimi nipo tayari kufanya kila liwezekanalo ili baba apone. Kama upo tayari basi ngoja nikupe gharama za zangu ili uone kama unaweza.Mtaalamu huyo akatoa karatasi amabyo ilionesha jinsi ya kumuondoa jini huyo kwenye mwili wa mtu.



    Tariq alitathimin gharama hizo akaona ipo haja ya kurudi Tanga kushirikisha ndugu jamaa na marafiki. Mtaalam akashauri baba yake aendelee kubaki hapo maana kama akiondoka naye basi kuna uwezekano majini wakaamua kumua kabisa. Tariq alikubaliana na ushauri huo na siku hiyo hiyo akaanza safari ya kurudi Tanga.



    Alifika Tanga akalala huku akiamini kuwa asubuhi ikifika atawashirikisha watu wa karibu dhaama ambazo zinampata baba yao ili waweze kutoa ushauri nini kifanyike.



    Usiku uliingia na Tariq aliamua kulala.Akiwa ndotoni Tariq aliota ndoto ya majini, yaani Jini Barike alimjia.Aliota kuwa yeye, Radhia na baba yake walikuwa wakibishana kuhusu viumbe hivyo yaani majini.Akiwa ndotoni mambo ya ubishani yalikuwa hivi;



    RADHIA: Ujue bindamu ni mtu wa ajabu sana, yaani yeye akifanya kitu kwa tamaa zake basi mambo ya kisha haribika anamsingizia shetani au majini wakati ni tamaa zake tu.



    BABA TARIQ. Mimi ninavojua shetani yupo na Mungu yupo ila cha muhimu ni kumtii Mungu na kufuata sheria zake shetani hawezi kukutawala.



    TARIQ. Akaanza kumsifia shetani, jamani acheni kubishana ujinga shetani hana ubaya wowote, kwanza ni kiumbe kama viumbe vingine, kwanza nasikia yeye ndo anamiliki utajiri wa dunia fedha na vitu vyote vizuri vilivyomo, sasa utasema pesa ni mbaya au utajiri ni mbaya yaani kwanza mimi ningejua anapatikana wapi ningemfuata niwe rafiki yake kabisa. Alafu usione watu wanajifanya walokole ni shida tu zinawasumbua ila wakipata hela wote ni washetani tu.



    Basi mabishano yaliendelea kwa mda mrefu, huku TARIQ akiendelea kumsifia shetani kwa kadiri anavyoweza. Kwa mujibu wa Tariq alidai kuwa baba yake lazima aogope majini na mashetani kwa sababu alikuwa akiyafuga na baada ya kukosana nayo ndio yameanza kumtesa.



    Ila Radhia lazima akae katikati kwa sababu majini hayo yana mtesa lakini pia yanampa pesa na kumfanya azidi kuonekana mzuri. Basi kwa mujibu wa ndoto watu hawa watatu waliachana kila mtu akaendelea na mambo yake mengine.



    Ndoto iliendelea kuonesha kuwa mara baada ya mabishano hayo usiku uliingia. Sasa Jini Barike akamjia Tariq na kumwelezea furaha yake juu ya sifa alizokuwa akimpa mchana. Shetani akasema kwa kuwa yeye si mbaya kama watu wanavyomfikiria itabidi amlipe kwa kazi nzuri aliyoifanya kuwaelewesha baba yake na msichana anaye mpenda yaani Radhia jinsi alivyo. Basi Tariq alikuwa tayari kwa malipo hayo ya kijini na mambo yalikuwa hivi.



    BARIKE; Nitakupeleka miji mikubwa mitano duniani ili uone fahari na vitu vilivyo chini yangu. Basi jini hilo likamchukua Tariq wakanza safari huku wakiwa angani kwa juu na mji wa kwanza kabisa aliompeleka ilikuwa ni Paris.



    TARIQ; Kumbe Paris ndo pazuri hivyo? Ndo maana watu wanapapenda basi naomba unishushe nibaki huku huku, kwanza nasikia huku mvua hainyeshi.



    BARIKE; Ngoja ngoja Tariq usiwe na haraka sana, ngoja nikupeleke mji mwingine maarufu duniani.Akampeleka haraka haraka mpaka Hong Kong.



    TARIQ; Hee kumbe ndo maana watanzania wakija hawataki kurudi bongo, Nishushe basi jamani nikawasalimie wale ndugu zetu waliokamatwa na madawa ya kulevya.



    BARIKE; Wacha papara Tariq miji mitano bado haijaisha.Akamkimbiza mpaka London.



    TARIQ; Akaendelea kung’ang’ania ashushwe abaki huko, nishushe kumbe Tanzania ndo kubaya vile?



    BARIKE; Akamkimbiza mpaka mpaka Berlin.



    TARIQ; Jamani shetani kumbe huku kwa kina Hilter ni pazuri hivyo, jamani hata wale Bayern Munich si wanakaa huku, nishushe basi na ujumbe wa Pep Gurdiola kutoka kwa mashabiki wa Barcelona.



    BARIKE; Kupitia ndoto hii nakupeleka mpaka mji wa tano na huu ni mji wa 5 kama nilivyo kuahidi unaitwa NEW YORK.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    TARIQ; Kuona huo ni mji wa mwisho na shetani hataki kumruhusu akaona njia rahisi ya kubaki ni kusema amebanwa na haja kubwa. “Naomba unishushe nijisaidie ndo tuondoke” alisema Tariq.



    BARIKE; Ngoja nikupeleke ikulu ya Marekani ukajisaidie vizuri.



    TARIQ; H ee kumbe white house ndo pazurii hivyoo, alisema Tariq huku macho yakimtoka na kushangaa ikulu hiyo ya Marekani



    BARIKE; Kwa huku sa hivi ni mchana tukishuka utakamatwa sasa wewe kunya tu huku huku juu tuwakomeshe wazungu maana waringaga sana, alafu kama umepapenda ntakuleta mida ya usiku kwa masaa za huku.



    TARIQ; Kwa hasira akanza kunya kwa kujikakamua eti kuwakomesha wazungu. Akajisemea ngoja kila mtu nimpe Kimba lake, haya hilo chukua Obama, ilo chukua mkewe, ilo wanao na hilo wafanyakazi na hilo walinzi na hilo wapishi. Basi akaakikisha watu wote pale white house amewachafua kwa mavi.



    Baada ya kjikakamua vya kutosha akiwa ndotoni hapo Tariq akashituka kutoka ndotoni.Masikini ya Mungu alikuta amejinyea na kuchafua mashuka yake.Tariq alishtuka kutoka usingizini akakuta hali ya chumbani imeharibika, harufu ya kinyesi chake ilisambaa kila mahali.



    Alipatwa na huzuni kubwa sana na kuzidi kuvichuia viumbe hivyo.Aliamaka akasafisha mashuka kisha akaoga vizuri.Alikuwa ni mwenye huzuni pengine kuliko siku zote alizowahi kuishi duniani. Akafikiria sana juu ya kuwashirikisha watu juu ya kisa hicho kilichompata usiku huo lakini akaona aibu.



    Akaamua kuanza kufanya kikao na mama zake watatu maana baba yake alikuwa na wake watatu siunajua tena dini ya kiisalmu inaruhusu kufanya hivyo.Aliwaeleza kilichompata baba mwenye nyumba na gharama halisi za kumtibia. Lengo likiwa ni kupata ridhaa ya kuuza baadhi ya mali za baba yake ili waweze kumtibia.



    Kwa kuwa gharama waliyotajiwa ilihusisha kiasi kikubwa cha fedha wake wa mzee huyo walipinga vikali kwa madai kuwa kuna mtaalamu mwingine huko Mombasa ambaye anatibu kwa gharama ndogo sana.



    Ikabidi Tariq aende kuwaita baba zake wadogo ili na wao watoe mawazo.Wakashaurina na wote kwa pamoja wakasema gharama hizo ni kubwa hivyo ni bora mgonjwa apelekwe Mombasa kwa mtaalamu mwingine





    Radhia baada ya kuachana na yule daktari bingwa wa magonjwa ya akina mama alitoka na kumkuta yule dereva akiwa bado anamsubiri. Dereva alishangaa sana kuona binti huyo alikuwa amechoka utazani alitoka kupanda mlima.Sio kuchoka tu bali hata macho yake yalikuwa yameorojeka kama mtu aliyetoka kufanya mapenzi. “Mmmmh huyu mtoto ameiva aisee usikute na daktari ameshajipatia huko” alijisemea dereva huyo mara baada ya Radhia kuingia kwenye gari. “Vipi umepata tiba aliuliza deerva huyo.

    “Yeah nimepata dawa japo tatizo alijaonekana” alisema Radhia. Kwani wewe unasumbuliwa na ugonjwa gani ilibidi aliuze dereva huyo huku akiondoa gari. Radhia akaamua kulipotezea swali hilo kwa kukaa kimya. “Mbona hunijibu mtoto mzuri aliuliza mzee huyo kwa stahili ya kuchombeza.. “Eeeeh Uncle vingine siri za watoto wa kike haya naumwa ugonjwa wa kuwashwa sehemu za siri” aliropoka binti huyo huku akimkazia macho. Mzee ikabidi awe mpole maana alikutana na mcharuko uliochagizwa na mbwembwe za jini mahabati.

    “Sasa Radhia hilo mbona ni tatizo dogo sana hata mimi ningeweza kukusaidia” alisema mzee huyo. Kwani na wewe uncle ni daktari au ndo kutaka kuingilia fan za watu. “Ndio mimi ni daktari, tena dakatri mwanajeshi ili kuna makosa nilifanya nikafukuzwa kazi na pia kunyang’anywa vyeti vyangu alifafanua dereva huyo. “Haya thibitisha kwa maelzo ya kitaalamu” alisema Radhia. Hapo sasa ndo tutaelewana ujue Kwa kawaida kuwashwa sehemu za siri husababishwa na maambukizi ya fangasi na maambukizi mengine ya bakteria watokanao na kujamiana. Wakati mwingine alegi pia inaweza kusababisha mwasho.

    Muwasho maeneo ya ndani ya uke au kwenye mashavu ya uke husababishwa na mambo mengi. Muwasho ndani ya uke (vagina) unaweza kutokana na matumizi ya kemikali, sabuni zilizowekewa dawa ya kuua bakteria ( detergents or soaps), kuosha ndani ya uke na sabuni zenye dawa ya kuua wadudu au kuondoa harufu (kitaalamu tunasema vaginal douching) kitendo hiki husaidia kuua bakteria wanaoishi kwenye uke (normal flora) kwa ajili ya kuulinda, kutumia cream kwenye uke, karatasi za chooni (toilet papers), sabuni za bafuni (bath products), madawa ya usafi kwa akina mama (feminine hygiene products) na njia za uzazi wa mpango. Wanawake ambao wameacha kuingia kwenye hedhi wanaweza kupata mwasho kutokana na kubadilika kwa kiwango cha homoni ya Oestrogen. Kwa kipindi hiki kuta za uke huwa nyembamba na kukauka na hivyo kupelekea kupata mwasho.Aliweka nukta mzee huyo na kumwangalia Radhia. “Eeh uncle huenda ni kweli uyasemayo una ufahamu kidogo kuhusu mambo ya kidakatari alisema Radhia na kumkubusha dreva huyo kupaki mahali ambapo ataweza kubadilisha dola zake na kupata fedha za kitanzania.

    “Sawa tutaenda kupaki bureu ile ya kule mwisho maana hizi zinasumbua parking” alisema dereva huyo. Kwa hiyo zipi sasa ni njia za kuondoa muwasho huo? aliuliza Radhia hili hali akijua kabisa muwasho wake hata ausababishwi na mambo hayo zaidi ni mzimu wa jini Barike ndo ulikuwa ukimsumbua. “Njia za kuzia muwasho kwa mwanamke ni pamoja na namna ya kujitawadha baada ya haja.Wanawake wanashauriwa kujitawaza kutokea mbele kuelekea nyuma ili kuzuia bakteria wa kwenye njia kubwa ya choo (anus) kuingia kwenye uke (vagina)” alisema dreva huyo na kuongeza poa ni vizuri kwa mwanamke Kuzuia matumizi ya kemikali, sabuni zilizowekewa dawa ya kuua bakteria ( detergents or soaps), kuosha ndani ya uke na sabuni zenye dawa ya kuua wadudu au kuondoa harufu (kitaalamu vaginal douching), kutumia cream kwenye uke, karatasi za chooni (toilet papers), sabuni za bafuni (bath products), madawa ya usafi kwa akina mama (feminine hygiene products).

    Kweli leo uwanja umepata mchezaji maana hakuishia hapo akamshauri pia Kuzuia matumizi ya pads na sabuni zilizowekewa dawa ya kuua wadudu. Pia Kuhakikisha sehemu za siri ni kavu baada ya kuoga. Alafu mtoto mzuri pia nakushaur kuvaa nguo za ndani ambazo hazibani sana na badilisha nguo za ndani angalau kila baada ya masaa 24 . Jamani uncle mbona nguo za kubana mimi no nazipenda sana” alisema Radha huku akimuonesha sehemu ya kupark ili aweze kuchanji zile pesa. Sawa lakini hakikisha sehemu za siri ni safi na kavu, jikaushe vizuri baada ya kuoga, zuia kukaa na nguo zenye unyevunyevu kwa muda mrefu” alisema mzee huyo na kupark gari. Radhia akashuka na kuingia kubadilsha pesa na baada ya dakika chache alitoka.Waakaanza safari y akurudi nyumbani. Wakiwa njiani Radhia alishangaa kuona ule muwasho wake wa huba ukianza tena. “This is too much( hii sasa imezidi” alisema Radhia kwa nguvu kuonesha kuwa amekerwa na hali hiyo. “Tatizo nini aliuliza deerva huyo. Hakuna kuuliza tatizo nini wewe ongeza mwendo tufike nyumbani unikune maana sitoweza kuvumilia alisema binti huyo huku akipitisha mkono wake huko kwenye bustani yake ya siri.***

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Dereva akawa kama mtu aliyechanganykiwa hasiamini anachokiona na kukisikia. “Yaani huyu binti atakuwa na pepo la ngono, haiwezekani aseme na kufanya anayoyafanya” aliwaza mzee huyo huku akiongeza spidi ya gari..Wakafika nyumbani kwa kina Radhia na Radhia kuonesha kuwa yupo na matatizo ya akili na mwili hakutaka hata washuke kwenye gari.Alitaka mambo yote wamalizie huko huko kwenye gari.Akamsogelea mzee wa watu na kumpelekea kinywa chake ishara kuwa alikuwa akihitajai juisi ya miwa. Wakaanza kunyonyana kwa mda kama wa dakika tatu. Hawakuishia kushirikishana katika kunywa juisi ya miwa iliyokuwa ikitiririka kutoka kwenye kila kinywa cha mtu bali walienda mbali zaidi kwa kuruhusu mikono yao kuperuzi na kudadisi kwenye miili yao.

    Yaani Radhia alikuwa kama anasumaku maana baba mtu mzima alijihisi kuingiwa tena na tamaa ya kufanya mapenzi.Ukizingatia na gari likuwa na tinted hapo ndo kabisa Radhia hakutaka kumwachia fundi huyo na mkunaji maarufu wa miaka mingi iliyopita.Radhia bila uwoga akamnong’oneza baba huyo eti waende raundi moja ya kutoa hamu. “Uncle nimezidiwa na muwasho mwenzio tafadhali nipe tu raundi moja ili niweze kuondokana na hali hii” alisema Radhia huku akizidi kumkunja mzee wa watu utafikiri alikuwa akimdai.Maneno hayo yakasababisha jogoo wa baba huyo kusimamisha kichwa ishara kuwa alikuwa yupo tayari kuwika hata kama ni ndani ya gari.

    Mzee kwa kuogopa mazingira hayo ilibidi ajitee kwa kumwambia Radhia kuwa hawawezi kufanya mapenzi kwenye gari kwa kuwa hawana kinga.Hapo Radhia akacheka kwa sauti yake ya huba na kumuuliza “kwani tulivyofanya asubuhi ulikumbuka kuvaa kinga?” Kabla hajajibu tayari binti huyo alipitisha mkono wake kunako na kutoa mtarimbo.Hakutaka tena habari za kuombana ombana wakati yeye mzimu wa jini Barike ulikuwa tayari umempanda tena sio kumpanda tu bali kumpanda kwa hali ya juu. Mzee wa watu akazidi kuchanganyikiwa kwa sababu Radhia alilegeza kiti cha gari huku mkono mmoja ukiendelea kucheza na kichwa cha kirungu cha mzee huyo.

    Mzee wa watu akajikutta akilegea kama mgonjwa wa kipindupindu ambaye alikuwa akisubiri dripu ya maji ili kokoa uhai wake..Akili za kawaida za kufanya maumuzi zilizidi kupungua na mzee kujikuta akitamani kufanya alivyokuwa akihitaji binti huyoKusisista sita kwa mzee huyo kulimfanya Radhia atishie kuwa atapiga kelele kuwa anambaka..Hapo mzee akajikuta akimuonae huruma na kuamua kumfuta machozi.Sio kumfuta machozi kama unavyojua wewe bali ni kumkubalia hicho alichokuwa akitaka.Mzee akalegeza siti zaidi na akampa ishar kuwa waamie siti ya nyuma. Mzee akamuliza Radhia “unahukaika sehemu hii ni salama isije kuwa baba yako ametaga kamera na kuona upuuzi huu tunaotaka kuufanya?



    Radhia akamwambia kuwa hapo hakuna shida na pia ana amini kuwa zile tinted za gari ni ulinzi tosha.Mzee akaaminishwa na maneno yalikolezwa mbwembwe za kimahaba za binti huyo. Hakutaka kupoteza mda akamshusha ile nguo aliyokuwa ameivaa kisha akaenda ndani zaidi kwa kusogeza pembeni lile kufuli alilokuwa amevaa na hapo bila woga mzee huyo akapitisha vidole sehemu ya bustani hiyo.



    Akafanya kama anatafuta chuya kwenye mchele wa Mbeya.Akayachezea chezea mavumbi ya kokoto na kumsababishia raha ya ajabu binti huyo.Mzee aliendelea kupekechuapekechua mpaka sehemu hizo zikawa ndembendembe chepepechepe yaani maji kupwa na maji kujaa. Uoto wa asili wa binti huyo ukaja juu kabisa ya rasi ya raha ya wanaume.



    Fundi huyu wa karne zilizopita akaendelea kufanya yake mpaka hapo alipokipata kitu alichokuwa akikitafuta. Alikigeuza kitufe laini kilicho ndani ya bustani ya binti huyo Kisiponji hicho ambacho ndicho huwa kinamuwasha sana. Radhia kikawa kimefikiwa na mkunuji kwa njiia hiyo isiyo rasmi yaani kutumia vidole.



    Mzee akasugua sugua sehemu hizo na hapo Radhia alilegea kupita malezo macho yakaorojeka kama juisi ya mlenda.. Leo Radhia alibadilisha staili za ufuraiaji badala ya kupiga makelele na mayowe ya huba yeye akawa anahema kwa nguvu huku akiimba nyimbo za shukurani kichwani mwake.



    Ilikuwa ni lazima ashukuru maana sehemu korofi zilifikiwa na mzee huyo..

    Baba mtu mzima bila aibu kuwa huyo ni sawa na mwanaye akaendelea na kamchezo ako mpaka pale Radhia alipomwangukia ishara kuwa raha zilimzidia na alifika kileleni hivyo anahitaji kuvuta pumzi.



    Radhia alikuwa akihema kwa nguvu sana utazani alikuwa amekimbia kilomota nyingi sana. Alikuwa amemlalia mzee huyo na akihema sana hapo mzee hakuwa na jinsi zaidi ya kumsukuma kwa mbele akijua kabisa lazima ataogopa kujigonga kwenye siti ya gari.



    Hivyo alivyorudi nyuma kwa nguvu akakutana na kirungu cha uncle.Ilikuwa hakuna haja ya kujiuliza nyoka ameingia saa ngapi kwenye pango zaidi ya kuanza harakati za kumtoa.Harakati hizo za kumtoa zilinifanya mzee asikie raha ya ajabu maana mtoto si haba alijua kuizungusha nyonga kama perepera..



    Alizungusha mpaka mzee wa watu akasahau shida kwa mda huo mfupi.Akachochoe kuni mpaka na yeye akafanikiwa kuwasha moto. Hapo Barike akachukua bidhaa zake na kuzikimbiza kwenye benki yao kwa ajili ya kizihifadhi.



    Baada ya kamchezo akao Radhia alivaa viwalo vyake huku nywele zikiwa timutimu na kutoka eneo hilo.Kwa aibu aibu aliingia ndani na moja kwa moja alijitupa kitandani mwake. Alikuwa mwepesi kama lailoni.Alifurahiswa na hiyo huduma na alijihisi kuwa ule mshawasha unao msumbua mara kwa mara umemisha kabisa.



    Hapo akakumbuka kuwa Tariq alikuwa akimpigia na hakupokea na alitumiwa meseji kuwa kijana huyo yupo kwenye matataizo mazito. Alifikiria mara mbili mbili kumpigia kijana huyo lakini roho ikasita. “Sasa atakuwa amepatwa na matatizo gani?Radhia aliwaza na kujiuliza.



    Akajikuta ananyanyua simu na kumpigia.Simu iliita bila kupokelewa.Akaamua kurudia lakini bado haikupolewa. “Jamani my love Tariq atakuwa amekumbwa na nini?” alijuliza Radhia. Basi kwa upendo wa moyo ulivyokuwa ukimsukuma akakuta akiandika sms iliyosomeka hvi “Please myn pokea basi simu yangu unieleze tatizo linalokusibu” meseji ilipokelewa lakini haikujibiwa.



    Radhia akaendelea kutafakari mustakabali wa maisha yake akiwa amejilaza pale kitandani. “Yaani jamani mimi naye ni kiboko yaani kwa siku nazini mara tatu alafu nipo tu kawaida” Alafu jaman kama yule dereva mzee wa watu ni sawa tu na baba yangu sijui hata nifanyaje mwenzenu” yalikuwa ni moja ya maswali aliojiuliza binti huyo.



    Alizama kwenye dimbwi zito la mawazo huku akitamani kusimulia watu hayo maswahibu yanayomkuta kila uitwayo leo.Radhia akajikuta anapitiwa na usingizi mzito uliomuamisha kutoka sayari hii ya dunia na kumpeleka sayari ingine kabisa. Akiwa kwenye sayari hiyo ya ndoto jini Barike alimjia na kumpa mwongozo wa mambo machache ambayo aliona yalikuwa hayaendi sawa.



    “Binti uliyeridhiwa kamwe usije kutumia pesa tulizokupa kumsaidia Tariq. Hiyo itakuwa ni sawasawa na kucheza na sharubu za simba. Ukikiuka hili amani yatakukuta makubwa” ilikuw ni moja ya sauti ya jini huyo ambayo ilimtokea Barike akiwa ndotoni.



    “Kuhusu kuomba ushauri na kusema vitu unavyovifanya pia hairuhusiwi kwanza utakuwa unajizalilisha mwenyewe na hautapata msaada wowote.



    Pia kwa sasa tunaomba utumie hizo pesa tulizokupa kwa maendeleo yako binafsi na kusaidi watu wenye shida mbali mbali” iliendelea kusikika sauti ya jini Barike sauti ambayo hata Radhia alaishaizoea. Baada ya maelekezo hayo mafupi Radhia alishituka kutoka ndotoni.



    Akaangaza huku na kule kuona kama alikuwa akipewa maagizo hayo live au ilikuwa ni ndoto. “Daaah yaaani ndoto zingine bhana sijui hata zina lengo gani” Sasa mtu anakwambia zile pesa zitumie kwa matumizi yako binafsi alafu pia unaweza kuwasaiia watu wenye shida lakini sio Tariq.



    Ina maana Tariq yeye hana shida. Potelea mbali mimi nitamsaidia bhana na la kutokea litokee alisema Radhia huku akionesha kuchoshwa na maalekezo ya viumbe hao.



    “Aaaaaaaah aaaahhhhhhhhhhhh bint uliyeridhiwa kamwe usisahau msemo usemao Mkaidi hafaidi mpaka siku ya idi” aaaah aaaaaaaaaaaaah akili kunyele, kunywele kumkichwa” ilisikika sauti ya kutisha masikioni mwa Radhia. Akahisi kichwa kuwa kikubwa na nywele kumziba.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Akajitahidi kujigeua huku na kule hasione hiyo sauti ilitokea wapi.Sauti hiyo ilikuwa ni ngeni masikioni mwake na alikuwa hajawahi kuisikia tangu aanze ushirika na viumbe hao.Radhia akahisi kichwa kinazidi kuwa kizito na mbele yake kuna giza nene.Akajaribu kujitingisha tingisha lakini wapi hali hiyo haikumuisha.



    Kwa mara ya kwanza Radhia akaanza kuonja kashikashi za jini Barike pindi anapokereka. Binti wa watu akahisi uwezo wake wa kuona unazidi kupungua kila baada ya sekunde kadhaa.



    Baaadaye akawa haoni kabisa.Sauti za kutisha na kuumiza ngome za masikio zikawa zinagonga gonga kichwani mwake. Maumivu makali yakamkumba binti huyo. Radhia akawa anatapatapapale kitandani na kutamani auvue huo uhusika lakini bado haikuwezekana.



    Taswira hiyo hiyo ya mateso ndo ikawa imempa jibu ya hali halisi ambayo Tariq na baba yake walikuwa wakiipata mara baada ya kujaribu kufuatilia mambo ya viumbe hivyo.Akiwa kwenye taswira hiyo ya maumivu na mateso ya mda mfupi Radhia alijuta kuzaliwa.



    Sio kuzaliwa tu pia alijuta kukutana na viumbe hao.Alitamani kama angetokea mwanadamu ambaye angeweza kumpa msaada wa haraka.



    “Aaahhhhhhhhhhhhhhh ahhhhhhhhhhhh hiyo ilikuwa ni trela tu, narudia tena kukuonya kamwe usijaribu kumsimulia mtu habari hizi” Uwezo wetu ni mkubwa sana tunaweza kwenda tutakapo kwa mda wowote na pia tunaweza kusikia na kugundua jambo ambalo mwanadamu anataka kulifanya kabla ya yeye kulifanya.



    Kwa kifupi binti uliyeridhiwa kamwe usijaribu kushindana na sisi, bali kuwa mtiiifu na utafaidi matunda ya nchi.” Ilisikika sauti hiyo ambayo ilikuwa na mwangwi mwangi



    Radhia akawa ameachiwa na kitu kilichomvaa ghafla na akarudi katika hali yake ya kawaida. “Mmmmh kazi ipo” alijisemea Radhia huku akitoka chumbani kwake na kwenda sebuleni.Alifika sebuleni akawasha Tv na kuanza kuangalia maana hakuamini kama kweli ameachwa na mateso yaliyomkuta mda mfupi uliopita. “Hapa ukisikia nimekuwa bubu ndo wasishangae maana yale mateso ya mda mfupi niliyoyapata kwa kweli yanatosha alijisemea Radhia. Akiwa hapo sebuleni yule mfanyakazi wao alikuja kujiunga naye. Wakawa wanaangalia Tv huku hakuna mtu aliyemsemesha mwenzake. Kila mtu alikuwa akiwaza juu ya kashikashi alizozipata. “Huwezi kubadilisha tukaangalia Tamthiliya?” alipendekeza yule mfanyakazi na huo ukawa ndo mwanzo wa wao kuzungumza.

    Radhia alibadilisha kama binti mwenziye alivyopendekeza kisha akaumuuliza “ eeeh shosti nini kilikukumba na kwa sasa unaendeleaje”. Hata sijui niache wangu yasije kunirudia yaliyonitokea alisema mfanyakazi huyo huku akijiweka vizuri pale kwenye sofa. Radhia akatabasamu na kujisema ukiona manyoya ujue kaliwa, usikute yale yaliyonipata mimi yeye ni mara mia. Bado Radhia alimmuwaza Tariq na alitamani kama ungetokea muaujiza mtu huyo akapata msaada.Akajikuta anasahau yale mateso yaliyompata mda mfupi ulopita akanyanyua simu yake tayari kwa kumpigia. “Wacha nimpigie tena nijue ana tatizo gani hata kama sitomsaidia lakini kujua tu tatizo ni jambo zuri.Radhia akaanza kupokea simu yake lakini cha ajabu hakuziona namba za kijana huyo. Akatafuta meseji alizomtumia siku hiyo lakini pia hakuziona. Sasa jamani nini kimetokea na hakuna mtu yeyote alioshika simu yangu aliwaza binti huyo.

    Akajikuta ananyanyuka pale sebuleni na kuenda chumbani kwake. Akachukua simu yake ndogo na kuanza kutafuta namba ya Tariq lakini pia hakuiona.Akajikuta anarudi zake sebuleni huku akiwa amekuwa mdogo na mapole sana. Akashindwa kuelewa kwa nini viumbe hivyo vilikuwa vinamnyanyasa sana.Wakaendelea kufuatilia tamthiliya mpaka wazazi wao waliporudi. Baba yake aliingia kwa mbwembe siku hiyo huku akiwa na kijana mwingine. Kijana huyo alikuwa ni wa kiume. “Radhia mwanangu huyu ni kaka wetu mpya nimemeleta ili awe anatusaidia saidia kazi za hapa na pale” alifafanua mzee. “Yaani kweli baba yangu ni mtu mzito jana tu kijana ameondoka naleo umeleat mwingine” Radhia alimpa sifa baba yake huku akajisemea afadhali maana ule muwasho ukianza atakuwa amepata mkunaji. “Nawapenda sana ndo maana nimewaletea msaidizi ili msije mkasema hapa nyumbani kazi zimekuwa nyingi’ alifafanua mzee huyo.

    Wakiwa hapo sebuleni baba aliwaacha na kumpeleka kijana huyo chumbani.Akamkabidhi chumba na kumpa taratibu za hapo nyumbani. “Sisi hapa tunaishi kama ndugu hivyo kitu kikubwa ni heshima. Hao watoto wa kike unawaona wachukulie kama dada zako na uwaheshimu kuliko maelezo” usije ukaingia tamaa na kujaribu kujihusisha na mambo ya maenzi hiyo itakuwa ni tiketi yako ya kurudi nyumbani hivyo uwe makini. Fanya kilichokuleta na mimi nakuahidi ukifanya vizuri mwezi huu mwezi unaofuta nitakuongezea mshahara.” Hayo yalikuwa ni maneno machache ya mzeee huyo kwa kijana huyo.Ilibidi ampige biti maana Radhia kwa kweli alikuwa nimzuri hivyo mwanaume yeyote lazima akimuona tu atamtani.

    Wakati baba akiwampa somo kijana huyo mama Radhi naye alitumia mda huo kumwita mwanaye.Alimwita chumbani kwake na alikuwa na machache ya kumueleza. “Haya mwanagu niambie ulionana na dakatari? Aliluza mama Radhia. “Nilionana naye mama japo alinifanyia uchunguzi na kusema hakuna tatizo lolote linalonisumbua. “Kwani unasumbuliwa na nini mwanangu? aliuliza mama huyo. “Mmmmh mama bwana mimi naogopa hata kukuambia” alisema Radhia kwa sauti ya kudeka. “Sasa usiponiambia mimi mama yako utamwambia nani mwingine alisema mama na huyo na kujaribu kumtoa hofu binti huyo aeleze kile kilichokuwa kinamsumbua. “Mama nilikuwa na sumbuliwa na tatizo la kutopata hedhi kwa mda mrefu sana” Radhia alijikza na kueleza tatizo lake huku akitamani amuelezee na maswaibu ya majini yanavyomsumbua. “kwa hiyo dokta kitu cha kwanza alifanyaje? Aliuliza mama huyo.

    “Mama bwana maswali yako sasa dokta atafanyaje zaidi ya kuchukua vipimo, alianza kunipima mimba akakuta sina hivyo akanielezea kitaalamu vitu vinavyoweza kusababisha hali hiyo na mwishowe kuna dawa alinipa. “Ok, vizuri basi tumia hizo dawa tuone kama zitakusadia zisipo kusaidia pia hatutokosa utatuzi wa swala hili maana ni dogo na lipo chini wa uwezo wetu’ alifafanua mama huyo. “Alafu mwanangu siku hizi umekuwa mzuri sana nini siri ya mafanikio” mama huyo alienelea kumdadisi Radhia maana aligundua kuwa mwanaye huyo alikuwa na mabadiliko makubwa sana. Hamna mama yangu mbona nipo kawaida tu alijitetea Radhia. Wakati wakiendelea na story mara ule mshawasha ambao huwa unamsumbua Radhia ukamuanza.Mabadiliko makubwa yakaonekana kwenye mwili wake hasa machoni. Mama yake akashangaa mbona Radhia amebadilika ghafla na macho yamelegea kama urojo urojo wa kizanzibari.

    Mara Radhia akanyanyuka kwa ghafla kutoka pale chumbani kwa mama yake na kukimbilia chumbani kwake. Mama yake alishangaaa mtoto wake amepatwa na nini ghafla. Radhia akajibwaga kitandani kwake huku ile hali ikikolea. “Sasa ndo nini hivi alijisemea Radhia huku akikaa pale katikati ya kitanda na kujipanua miguu kama yupo labour anasubiri kujifungua.Alijaribu kupambana na muwasho huo kwa kutumia vidole vyake ambavyo aliamini ndo tiba ya haraka. “Mungu wangu alisema mama yake kwa nguvu huku akiweka mikono juu ya kichwa mara baada ya kumkuta Radhia akiwa kwenye hali hiyo. Alishangaa sana kuona mwanamke anajipa raha mwenyewe na kwa aibu alirudishia mlango na kubaki amesimama hapo nje. Akiwa hapo nje baba naye akawa anatoka kwenye kile chumba cha yule kijana ambaye alikuwa anampa maelekezo.

    “Vipi mama watoto kuna tatizo” aliuliza baba mwenye nyumba . “Hapana mume wangu “ nilikuwa nataka kuongea na mwanangu lakini naona hafungui labda anaswali siunajua tena mwanetu huyu huwa harukishi. Basi mke akajibaraguza na kumtunzia siri mwanaye. Wakaondoka na mme wake wakaenda huko sehemu ya kuswalia maaana hazana ya saa mbili usiku ilishalia. Nyumba hii walikuwa na imani kubwa sana ya dini hivyo hawakuweza kurukisha hata swala moja katika zile tano wanazoamani waislamu.Walimaliza kuswali lakini bado Radhia hakutoka huko chumbani



    Kwa upande wa Tariq yeye baada ya kushauriana na mama zake na baba zake juu ya gharama alizotamka mtaalamu wa majini na kuamua kuwa wamuamishe baba yake kutoka huko Zanzibar mpaka Mombasa hivyo alianza safari ya kurudi Zanzibar. Akawaambia baba zake wadogo waweke mazingia ambayo yatarahisisha kuwa akitoka huko Zanzibar waende Mombasa kirahisi. Hakuenda peke yake huko Zanzibar bali aliongozana na baba yake mwingne ili iwe rahisi kumfikisha mgonjwa nyumbani kwa kesi yoyote kama atazidiwa. Walifika Zanzibar na moja kwa moja wakaelekea kwa mtaalamu huyo.Kama kawaida walikuta watu ni wengi sana hata kuonana naye ikawa ngumu. Waliewa appointment ya kusubiri amaliza nae na baadhi ya wateja. Basi kama tujuavyo mvumilivu hula mbivu baada ya mda wakweza kuonana na mtaalamu huyo. Walishangaa kabla hawajaongea kitu chochote mzee huyo alimwita baba Tariq na alikuja akiwa ni mzima kabisa. Tofauti na siku ile hapo alikuwa akiongea na kutabasamu kabisa. “Baada ya salamu mtaalamu kwa mbwembwe akamwambia mzee huyo aseme nini kilitokea. “Kwa kweli lazima nimshukuru Mungu maana kwa maswahiba niliyopata nilitakiwa niwe nimeshakufa. Siku ile mwanangu nilioata ububu wa ghafla nilipatwa na majanga makubwa. Licha ya vimbwanga vyote walivyonifanyia lakini pia walinipeleka huko kisiwani kwao. Huko kwa kweli nilionja mateso ya jehanamu ndogo niliyojitengenezea wenyewe.

    Walinionesha watu mbali mbali waliowachukua mateka na kuamua kuwafunga kwenye jela zao. Sio hivyo tu huko nilichezea makofi ya baadhi ya majini niliyokuwa nikiyafuga. Yaani walinipeleka kwenye jumba la vimbwengo na kwa kweli viliniadhibu. Hapo Tariq alitamani kucheka maana hekaheka za vimbwengo anavijua. Anakumbuka siku moja usiku akiwa sekondari alijaribu kutoka na kwenda kujisaidia.Sasa dom alilokuwa akikaa ni ghorofani hivyo wakati anashuka akakutana na kibwengo.Kwa wale wasiojua huyu naye ni jini ambaye huwa ni mfupi sana na ukikutana nao wengi usiku unaweza kujuta kuzaliwa. Hivi huwa ni visumbufu tu yaani vilimzungusha Tariq kwenye ngazi mpaka pakakucha. Hiki kinataka kumvua suruali akikimbilia huku anakutana na kingine akirudi huku hivyo hivyo mpaka asubuhi ya alfajiri.

    Mzee baba Tariq akendelea kusimulia na mwisho akasema eti majini wa kisiwa hicho walimuonya hasisimulie jambo lolote hivyo wakamruhusu na kumrudisha kifikra. Kwa hapa nilikuwepo kiumbo tu lakini mda wote huo nilikuwa huko kisiwani kwenye rasi ambayo ukiingilia unguja unatokea Pangani. “Sasa baba kama uliambiwa usisimulie mbona wewe umesimulia” aliluza Tariq. Aaaah mwanangu acha woga wale ni viumbe tu wamepewa akili kama tuivyopewa sisi wanadamu. Wakitaka kuwatawala mwanadamu wanaweza kwa kutumia maarifa yao na sisi tukitaka kuwatawala tunaweza kwa kutumia maarifa yetu’ alifafanua baba huyo. Lakini baba unajiamini nini wakati hawa viumbe ulishawahi kuwafuga na baadaye ndo kama hivi huoni bado kuna kitu kilichojificha hapo aliuliza Tariq kuendelea kuonesha wasiwasi wake.

    Mimi kwa sasa sigopi kwa kuwa nipo kwa mtaalamu. Kuna duwa shekehe huyu ameshafanya hivyo hakuna mawasiliano yoyote baina yangu na viumbe hivyo.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hapa nilikuwa nawasubiri tu ili niwaambie mkauze nyumba yangu ili nije nipewe tiba kubwa ya kuvunja ushirika na viumbe hivi.. “Ukauze nyumba yako?” alafu watoto wako na wake zako walivyokuwa wengi wataishi wapi? Aiuliza swali mdogo wake yaani baba yake mdogo na Tariq.



    “Kwa hiyo mimi nikiuawa na viumbe hivi nyie ndo itakuwa furaha yaenu?” alijibu baba huyo kwa mtindo wa swali.Hapo kila mtu alikuwa kimya hasijue nini cha kumjibu. Ni kweli afya ni bora kuliko mali lakini pia lazima tuangalie uhalisia wa jinsi familia yetu itakavyoishi baada ya wewe kupona. Sio kwamba hatutaki upate tiba bali tunataka upate tiba inayoendana na hali zetu za kiuchumi alifafanua baba mdogo wa Tariq.



    Tunataka tukupeleke Mombasa kwa mtaaalamu mwingine ambaye atamaliza tatizo lako kwa gharama ndogo na utapona kabisa. Tumeambiwa kuwa gharama ya Mombasa ni ndogo sana na tiba ni hiyo hiyo hivyo tunaomba ridhaa yako tuongee na mtaalamu huyu tumueleze kuwa ni kweli tunahitaji upone ila gharama hizo sisi hatuzimudu



    Wakati huo yule mtaalam hakuwepo aliwaachia nafasi wajadili mambo yao. “Kwa hiyo baba sisi tumefikiria hivyo au wewe ulikuwa na fikra tofauti aluliza Tariq”. “Mimi hofu yangu ni kwamba huyu mtaalamu atatuonaje sisi? “Hilo niachie mimi nitaongea naye kiutu uzima alidakia baba mdogo wa Tariq. Basi wakakubaliaa hivyo kuwa walipe pesa ambayo wataambiwa kama tiba ya baba Tariq kukaaa hapo kwa mda. Basi baadaye wakaongea na mtaalamu na kueleza hayo walioafikiana.



    Mtaalamu yule hakuwa na kinyongo aliwatajia pesa kama gharama ya huduma ya kukaa hapo na tiba kwa mda mchache kisha wakalipa na tayari kwa safari ya kurudi Tanga. Walisafiri siku hiyo hiyo na mida ya jioni sana walifika nyumbani kwao.

    Kesho yake asubuhi na mapema walifunga safari ya kuelekea Mombasa kwa mganga mwingine aliyeaminika kuwa ni mtaalamu sana wa majini.Walifika huko na baada ya kueleza tatizo lao walipewa masharti na gharama nafuu kabisa kama walivyotarajia, Kimoyo moyo kila mmoja alikuwa akijisema moyoni siunaona tungekuwa masikini bure wakati mambo yenyewe ni marahisi tu.Mtaaalmu licha ya kuwatajia bei nafuu aliwaeleza vitu ambavto wanatakiwa kuleta kutoka katika bahari ya hindi. Aliwaambia kuwa waende kwenye Kisiwa kimoja kinachoitwa Maziwe huko watakuta kuku wa ajabu na mchanga.



    Hivyo ndo vitatumika kufanya tiba itakayovunja ushirika wa baba yao na viumbe hivyo.

    Hapo Baba Tariq alikuwa na wasiwasi juu ya uwepo wa kisiwa hicho maana kwa kumbukumbu zake kisiwa hicho kilikuwepo zamani sana kabla ya vita ya Tanzania na Uganda mwaka 1978. Kisiwa hicho kilikuwa ufukweni palipoitwa Punguni Masahriki mwa Pangani.Kilikwa na mandhari nzuri sana maana kilishonana miti ya asili. Hapo ikawa kambi ya wavuvi maana pia kulikuwa kunapatikana samaki waliopendwa kama ng’onda,jodari na mzia. Miaka ilivyozidi kwenda ndo kukatokea kuku wa ajabu katika kiswa hicho.Kuku hao walikuwa weupe pee kama saruji.Sio hivyo tu bali pia kuku hao walikuwa na maumbo sawa yaani wote walikuwa wakubwa.Kulikuwa hakuna kifaranga wala walikuwa hawatagi mayai.Maajabu hayo ndo yakasababisha waganga waanze kujitafutia kipato kwa kuwaambia watu kuwa kuku hao ni tiba ya maradhi na mikosi mbalimbali inayowasumbua.



    Sharti la kuwapata kuku hao ni lazima uende na kuku wako hivyo ukishamfikisha unaweza kubadili ukachukua wa huko.Ukienda na mmoja basi utachukua mmoja.Kuku hawa walikuwa hawafai kula, na laiti ukijaribu kumchinja lazima yatakukuta makubwa.Pia kulikuwa na huo mchanga wa ajabu ambao wenyewe ulikuwa ukitetemeka mda wote na hata ukiuchota na kuuweka kiganjani lazima utamwagika wote hivyo watu walikuwa wakienda na kaniki ili kuchota kwa ajili ya tiba. Baadaye kisiwa hicho kilikuja kufywekwa miti yote wakati w vita vya Iddi Amin Dadaaa. Miti yote na uoto wa asili ilikatwa ili kuepusha kuwa maficho ya maadui ambao hawakuwa na nia njema na Tanzania. Baada ya kukatwa kwa mujibu wa kumbukumbu za baba yake na Tariq kisiwa hicho kilikuwa ni kama jangwa. Sasa inakuwaje leo anaambiwa na huyu mganga kutoka Mombasa kuwa aende kwenye kisiwa hicho cha Maziwe akalete kuku hao wa ajabu pamoja na mchanga.

    Mganga huyo hakutaka kujibu swali akasema nimekwambia nenda eneo hilo uje na vitu hivyo alitoa oda. Baba Tariq kwa kuwa alikuwa anaumwa akaona hakuna haja ya kubishana na mgaga huyo akakukbali kufunga safari na kwenda huko. Kwa hiyo iliwalazimu kurudi kwanza mpaka Pangani.Kesho yake asubuhi na mapema yeye pamoja na mdogo wake walikwenda huko. Tariq ilimlazimu kubaki nyumbani. Walikwenda na mashua na kwa kuwa haikuwa mbali sana walifanikiwa kufika.Kama kawaida walaikwenda usiku sana kama moja ya masharti ya kufika eneo hilo.Walikuwa na kuku wao pamoja na kaniki maalumu kabisa kwa ajli ya kuchotea mchanga huo wa amaajabu.

    Walivyofika walishangaa kuona pametulia sana huku kukiwa na mwanga wa taaa kama vile watu walikuwa wakiishi. Wakati wanajishauri kuingia kwenye kisiwa hicho, walikaribiswha na sauti ya jogoo kuwika.Wote walishituka sana maana ile taa iliyokuwa ikitoa mwaga ilizima. Mbaya zaidi ilikuwa ni saa mbili usiku kivipi sasa jogoo awike.Hofu na woga zikazidi kuwatawala.

    Wakaulizana waendelee kwenda au warudie hapo.Kwa ujasiri wakasema wacha waende potelea mbali liwalo na liwe.Wakasogea zaidi kwenye kisiwa hicho wakatia nanga na kusiamma.Kimya kikubwa kilikuwa kimetawala huku ule mwanga wa taa nao ulikuwa umezimika.Wakatulia dakika kadhaa kabla ya kuwasha taa yao.Waliangaza huku na kule lakini kisiwa kilikuwa ni cheupee pee kama vie ni jangwa.Hakukuwa na dalili za viumbe kuishi eneo hilo. “Mbona hakuna adalili zozote za kupatikana kwa hao kuku tulioagizwa?” lilikuwa ni swali la baba yake Tariq kwa mdogo wake. “Usiwe na hofu kwa kuwa tulisikia kuku anawika ni dhairi kuwa viumbe hao wapo” lifafanua mdogo wake na baba Tariq. Wakapiga moyo konde wakashuka kutoka kwenye mashua na kusogea eneo hilo.Wakasogea mpaka katikati kabisa ya kisiwa hicho maarufu kama kisiwa cha Maziwe mahali ambapo wavuvi zamani walikuwa wakiweka uzio ili kuvua samaki na pia ilikuwa ni sehemu ya kupumzika.

    Baada ya kumulika kwa mda mrefu walifanikiwa kuona kitu kama banda la kuku likiwa pembezoni kabisa.Wakasogea hapo na kweli walifanikiwa kuwaona hao kuku wa ajabu.Wakaweka wa kwao na kuchukua mmoja aliolingana na yule wa kwao waliompeleka. Wakatabasamu maana walipata walichokusudia na kuagizwa na mganga. Wakaondoka na kusogea pembezoni mwa kisiwa hicho wakachota mchanga wa maajaabu na kuufunga kwenye kaniki waliyokuwa wameibeba. Kuku alikuwa mpole mweupe pee kama wale njiwa wa kwenye maonesho.Tofauti ni kwamba kuku huyo alikuwa ni mkubwa. Safari ya kurudi nchi kavu ikaanza huku wakiwa na imani kuwa wamefanikisha kile walichokitaka.

    Wakiwa njiani ghafla hali ya hewa ilibadilika. Dhoruba ya upepo mkali wa bahari ukaanza kuvuma. Sio kusi, sio kasi, si mshariki sio magahraibi hali ya hewa ilichafuka na kuwa tete. Usafiri wao ukaanz akuyumba huku na kule hali ikazidi kuwa tete. Wakawasha taa yao ya tochiishara kuwa wanaomba msaada kama kuna meli au chombo kikubwa ambacho kingeweza kuwasaidia.Mawimbi yakakipiga kile chombo kikazidi kuyumba.Sio kuku sio mchanga wote ulizama baharini. Kwa macho yao walifanikiwa kuona yule kuku akiogelea bila kuzama.Baba Tariq akaamua kujitoa muanga na kujitosa baharini ili kumchukua huyo kuku.Lengo lilikuwa ni kumokoa huyo kuku wa dawa na kumrudisha kwenye ngalawa. Mambo hayakuwa rahisi kama yeye alivyofikiria maaan yule kuka alikuwa akielea na kuogelea kwa mwendo wa kasi utafikiri boti za kilmanjaro..Mzee naye akajaribu kutumia uzoefu wake wa kupiga mbizi lakini bado haikuwa jambo rahisi.Dhoruba ikaongezeka na badala sasa ya kuanza kupambana kuokoa yule kuku wa maajabu mzee hyo akaanzza kupambana kuokoa maisha yake. Mdogo wake akiwa bado kwenye mashua akiangalia jinsi baba Tariq alivyokuwa akitapatapa kuokoa maisha yake.

    Mdogo wake huyo akaamua kujitosa nayeye baharini ili aweze kuokoa maisha ya kaka yake. Bahati mbaya baba huyo alizama kabisa hakuonekana tena. Hiyo ilimaanisha kuwa tayari alishakunywa vikombe kadhaa vya maji hivyo hakuweza tena kupambana kuokoa maisha yake. Dhoruba nayo haikukomaa, hivyo hata mdogo wake na baba Tariq alishindwa kutoa msaada kwa kaka yake badala yake na yeye akaanza kupigania kuokoa maisha yake.Mawimbi yakapiga, pepo zikavuma watu wakanywa maji ya kutosha.. Kuna wavuvi waliokuwa wakiangaika kwenda kutafuta samaki ukingooni mwa kisiwa kile cha Maziwe walifanikiwa kuona dhahama hiyo na ishara kuwa kuna watu walikuwa wakitapatapa kujiokoa. Wakafanya msaada wa kibinadamu wa kuwaokaoa.

    Wakwanza kabisa kufanikiwa kuokolewa alikuwa baba mdogo wa Tariq. Kasheshe ikawa ni kumtafuta baba yake na Tariq.Hakuonekana kabisa hivyo ilikuwa ni ngumu sana kumuokoa.Wakatumia uzoefu wao wa uvivu na kucheza na maji lakini hawakufanikiwa.Kulikuwa na kila dalili kuwa baba huyo tayari alishapoteza uhai. Wakaamua kuachana naye ili wamsaidie huyo ambaye alikuwa bado akipumua.Maana hata yeye hali yake ilikuwa ni mbaya sana. Wakapiga makasia kuelekea nchi kavu.Kudra za Mungu zikawawezesha kuwafikisha nchi kavu.Wakampa huduma ya kwanza kisha wakamkimbiza hospitali kwa ajili ya matibabu zaidi.Swala likabaki pale pale baba Tariq atakuwa ameenda wapi.Taarifa zikatolewa kwa serikali na watu wenye uwezo wa kutafuta miili wakatumwa sehemu hiyo kuutafuta mwili wa mzee huyo.

    Dalili zote zilionesha kuwa mzee huyo hakuwa hai.Lakini hakuna aliekuwa na uhakika wa moja kwa moja kuwa juu ya jamb hilo.Boti na mashua zikatumwa kuzunguka huku na kule kutafuta mwili huo.Walienda mpaka kwenye kingo za kile kisiwa cha Maziwe lakini bado hawakufanikiwa. Walifanya kazi hiyo kwa siku nzima bila mafankio.Watu walishakata tama na kwa kuwa walijua wengi ya watu wanafariki kwa njia hiyo waliamua kuweka msiba nyumbani. Mabishano yakatokea baina ya baba wadogoo, wake wa mzee huyo na Tariq.Tariq alikuwa akitaka wavute mda wasikimbilie kuitisha msiba wasubiri kama wiki moja hivi ili waende kule kwa wataalamu na kuuliza.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Radhia baada ya kukimbilia chumbani kwake na kwenda kujichua ule muwasho wake na mama yake kumfuma aliamua kuingia bafuni akachuku maji ya moto na kujichua.Alijikanda kanda sehemu hizo huku akijuta na kutamani kuanika ukweli juu ya hali hiyo. Baada ya mda mrefu kupita Radhai alitoka huko chumbani kwake na kwenda sebuleni ambapo alipata chakula cha usiku. Mama yake alikuwa bado yupo njia panda hasijue nini kilitokea.Alitamani kumuuliza lakini alishindwa kwa sababu baba naye alikuwepo mda huo. Baadaye watu walienda kulala kila mtu aliingia chumbani kwake.Radhia akajibwaga kitandani huku akiomba ule muwasho usije ukamuanza tena usiku huo.Kwa upande wa mama yake usingizi haukumjia kabisa maana alitamani kuongea na mwanaye usiku huo ili kujua tatizo ni nini kwa mwanaye. Lakini kwa kuwa usiku ulikuwa umeingia na yeye alikuwa na mumewe akaona ngoja avumilie kesho ataongea na mwanaye ili kujua nini tatizo.

    Kwa upande wa Frank yeye alishukuru kwa sababu alikuwa amefika kwenye nyumba ya kifahari kutoka huko kwao kijijini.Alikuja hapo huku akiwa na ni ya kufanya kazi kwa bidii sana ili aweze kusaidia wazazi wake na nduguze wemgine ambao wanaishi katika hali ngumu sana ya uamsikini uliokithiri.Frank alikuwa ni kijana mcha Mungu aliyelelewa katika mazingira ya dini. Alichukua biblia yake na kaanza kusoma baadhi ya mistari ambayo huwa inampa faraja kabla ajalala. Frank alishazoea kusoma biblia kwa kutumia kibatari lakini siku hiyo alikuwa akitumia taa ya umeme. Hivyo akajikuta anatumia mda mwingi sana na usiku ukazidi kuwa mkubwa. Sina uhakika kama kukaa huko sana kwa Frank kijana wa kilokole aliyengia nyumba ya kiislamu ilikuwa ni makusudi ya Mungu au ya mzimu wa jinni Barike.

    Mana wakati yeye akifurahia mistari ya faraja kutoka kwenye kitabu kitakatifu cha mwenyezi Mungu, Radhia alikuwa kwenye usingizi mzito ambo ulimplekea kuota ndoto ya mapenzi.Aliota kuwa siku hiyo alipata mwanaume ambaye aliweza kumsugua vya kutosha na kuondoa muwasho wote ambao ulikuwa ukimsumbua.Aligugumia vya kutosha huku akiwa ndani ya usingizi mzito.

    Utamu ulipokolea binti huyo aishituka kutoka usingizini. Akapapsapsa pembezoni kuona kama alilala na mwanaume lakinii hakukwa na mtu zaidi ya mito mingi ya kulalia iliyojaza kitanda. Akajaribu kujikagua akakuta zile rasha rasha za mvua zilishanyesha. “Mmmmh mbona nahisi kama nimeliwa” atakuw ani nani alijisema Radhia huku akijinyanyua pale kitandani na kwenda maliwatoni. Radhia kama kawaida yake akaaamua kujisafisha vizuri kisha akarudi zake kitandani na kulala. Kwani usingizi ulikuwa ukija aaaah wapi ni mwendelezo wa mateso tu. Usingizi haukuja na badala yake muendelezo wa muwasho ukaanza. Safari hii ulikuwa sio wa kujikuna na kiole bali ulihitahitaji kifaa maalumu yaani muhogo wa chang’ombe.

    Radhia alisimama akazunguka zunguka kama mtu aliyechanganyikiwa kwenye chumba hicho.Mara akae kwenye sofa liliopo hapo chumbani mara anyanyuke, mara apinde mguu mmoja juu mara ajibinue mara apande kitandani kwa kweli hali haikua hali. Akajikuta amevua nguo zote na kujifunga khanga moja. “Potelea mbali ngoja nimpelekee Frank maana nisije kufa bure hili hali ujio wake ni wa makusudi” alisema Radhia huku akifungua mlango na kutoka kwa mwendo wa kunyata. Akatoka mpaka sebuleni kisha akanyata zaidi mpaka kwenye mlango wa wazazi wake.Akili zake zikamtuma kuwa awafungie kwa ndani ili yeye aendeleee na upuuzi wake uliomjia kichwani kwake.

    Radhia akafanikiwa kwa hilo maana alifunga mlango kisha akaanza kunyata na kuelekea chumba cha Frank.Wakati huo Frank naye alikuwa ndo amemaliza kusoma kitabu kitakatifu cha mwenyezi Mungu.Yaani ndo alizima taa na kupanda kitandani tayari kwa kuianza safari ya kuutafuta usingizi. Alikuwa ni mwenye furaha huku akiamini usiku huo atalala usingizi mtamu kuliko siku zote kwa sababu chumba hicho kilikuwa kikivutia sana. Kuanzia rangi ya ukuta mpaka aina ya mashuka yaliyo kuwa yametandikwa. Ngongongooooooooo ngongongoooooooooooo ilikuwa ni sauti ya mlango uliolalamika ishara kuwa kunamtu alikuwa akigonga. Frank akakaa kimya sana ili kusikilizia kama ile sauti itajirudia teana.Ngongonooooooooooo ngongongooooooooo mlango uligongwa kwa marra nyingine tena.

    Mmmmmmh itakuwa ni nani aliwaza Frank huku akijinyanua pale kitandani na kuamua kwenda kuufungua. Akawasha taa yake na baada ya mwanga akaamua kuvaa nguo maana alikuwa amevua kutokana na joto la jijni la Dar es salaam. Akasogea mpaka kwenye kitasa cha mlango na kabla ya kufungua akauliza nani? Kimya kidogo kikatawala kabla ya sauti nyororo kusema wewe fungua mlango. Frank akajishauri mara mbili mbili kisha akafungua malango.Radhia kama alijua kuwa Frank ni mcha Mungu hivyo ingeweza kuwa jambo gumu kukamilisha athma yake ya kupata mkuno usiku huo. “Samahani kwa usumbufu kuna kitu changu nilikificha huku sasa sitaki mtu akione ngoja nikitoe” alisema Radhia na kuingia ndani ya Chumba. Frank akabaki ameshangaa tu kama mtu aliyepigwa shoti ya umeme. Radhia akapanda kitandani na kupiga magoti huku khanga ile yenye maji maji ya bafuni ikionesha mautamu utamu yote. Hapo sasa



    Hapo sasa Frank ilibidi afunge macho na kuanza kusali. “Mungu baba wenyezi muumba mbingu na dunia na vitu vyote vionekanavyo na visivyo onekana naomba fanya wepesi katika hili. Nasema shetani shindwa shindwa katika jina la Yesu.Alisali Frank kisha akafungua macho na akauta ndo kwanza Radhia amejilaza pale kitandani huku akiwa amejigeuza na amekunja nne na kufanya mapaja yake yaonekane. Mwanaume ni mwanaume tu maana Frank alipata msisimko wa ajabu mara baada ya kuoa mauamu hayo ya sehemu za mbele.Sio mapaja tu ndo yalikuwa yakionekana bali pia hata matikiti maji ya Radhi yalionekana, Akaptisha macho kifuanai na kuyaona hayo matikiti maji yakiwa na michirzi chirizi iliyovutiwa. Hapo sasa maji yakazidi unga maana Frank alihisi kusimamaisha gari lake kwa ghafla. Hakuamaini kama gari limesimama kisa eti tu kuna mtu amejilaza mbele ya barabara na yeye anaogopa kumgonga.Frank akapitisha mkono sehemu zake za mbele na kujaribu kuishusha hiyo handbreak ambayo iling’angaania kusimamisha gari zima.

    Radhia hakuwa muongeji sana yeye ilikuwa ni vitendo yaani vitendo vya kibubu bubu. Kwa mwanaume mwenye uchu ilikuwa haitaji kuuliza kuwa Radhi alaikuwa akitafuta nini huko bali ilijulikana ni dhairi alikuwa akitafuta maiki ya msanii yoyote ambaye aliacha kuimba mda mrefu.Kwa Frank ilikuwa ni zaidi ya mtihani maana maiki yake iliachwa mda mtrefu bila kutumika hivyo ilishasahu kufanya mambo hayo. Frank akafunga tena macho na safari hii alifanya maombi ya sauti.. “Najua baba haya ni mapepo, tena mapepo ya majini, majini yanayopenda kufanya ufuska na kumzalilisha binti wa watu. Kwa mamlaka uliyonipa nasema shetani toka toka kabisa”.Radhia sasa ikabidi na yeye ashangae maana hakutarajia kama eti yeye anawezwa kukemewa hivyo. “Eeeeeh ngoja tuone leo kama kweli ataweza kunishusha miamko yangu kwa njia hiyo ya kukemea”.



    Radhia kwa mbwembwe zake na yeye akafunga macho na kujiunga katika maombi hayo.Baada ya Frank kutaja majina mengi ya mwenyezi Mungu kama Mungu wa Isaka , Mungu wa Yakobo, Mungu wa Israel alifungua macho akakuta binti huyo hayupo kitandani. Hapo sasa akasema kwa nguvu asante Mungu baba muweza wa yote kwa kuniepusha na hili. Aaaah Frank bhana unanifuraisha sana” ilisikika sauti ya Radhia akiwa nyuma yake yaani alishaondoka pale kitandani na sasa alikuwa mlangoni akishangaa jinsi Frank akioma na kunena kwa lugha.Safari hii Radhia alikuwa amevua hata ile khanga moja nakubaki uchi kama alivyozaliwa.

    Kama kawaida ya mwaanume rijali lazima afanye ukaguzi kwanza kabla ya kuamua kutenda au kutotenda. Frank kwa macho ya uwizi uwizi macho ya matamanio, macho ya kishetani akafana ukaguzi wa haraka kwenye mwili wa binti huyo.Akaanza juu kabisa kwenye matikiti maji. “Jamani mtoto ana mabere mazuri” alijesemea Frank kabla ya kushuka sehemu za kitovuni na kuendelea kustaajabu ya Musa na kuyaona ya firauni. Ilikuwa lazima ashangae maana hakuwahi kuona vituko vya mwanake mzuri kama Radhia. Akakagua ule mtovu wenye rangi ya huba. Yaani Frank alichanganyikiwa kwa sababu licha ya kuwa macho yake yalikuwa kitovuni kwa binti huyo lakini bado mawazo mengine yalikuwa yakiifikiria ile tatuuu ambayo ilichorwa kwenye titi la kushoto la Radhia.

    Frank Akawa kama mjusi kafiri anayeweza kugeuza jicho huku na kule na kufanya ukaguzi wa sehemu mbili kwa wakati mmoja. Macho sasa yakawa yamefika kwenye bustani ndogo ya Radhia.Mkunjo kunjo mzuri usio na nyama uzembe sehemu za mapaja za binti huyo zilimfanya Frank agande na kusahau kuwa mda mfupi uliopita alikuwa kwenye maombi akimuomba Mungu amuepushe na mtihani huo ambao upo mbele yake.Manyoyanyoya laini yaliyozunguka sehemu hizo muhimu za binyi alyeridhiwa vikazidi kumchanganya kijana huyu wa kilokole. Haya hayakuwa mavumbi ya kokote kama watu wengi walivyozoea bali haya ya Radhia yaliwakuwa ni manyonya ya farasi jike wa mtoto wa mfalme. Yalivutia kwa kweli jinsi yalivyokuwa yakimeremta na kuongeza matamanio ya kutaka kulimenya tunda hilo.

    Rangi nzuri ya choculae ya injini ya gari ya Radhia ilimfanya Frank hasindwe kuvumilia na kufungulia maombi ya nguvu. “Mumgu baba najua mtihani huu ulionipa ni mkubwa sana ila naomba nifanyie wepesi.Tazama baba hata viungo vyake sio kama vya wengine, vimenitoa udenda na kufanya dhambi ya kuzini kwa matamanio. “Baba wangu wa mbinguni hukunileta huku ili nije niteseke baba fanya wepesi nasema fanya wepesi nashetani shindwa katika jina la yesu shindwa shindwa na ulegeee. Alisema Frank huku akazunguka zungua kile chumba na safari hii alikuwa ameshika bibilia.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Aliongeza spidi ya maombi ambapo sasa sala zake zilimfikia mwenyezi Mungu. Maana Radhia alichuchumaaa pale chini akavuta khanga yake na kujifunga. Muwasho wote uliisha gahafla na alikuwa akiona kama kuna nguvu mbili ilikuwa zikishindana mwilini mwake.Nguvu ya kwanza ilikuwa ikitaka kuondoa ule mwasho na nguvu ingine ilikuwa ikitaka kurudisha ule muwasho.Hapo naweza kusema nguvu ya maombi ya Frank ilikuw ikishindana na nguvu ya mzimu wa jini Bbarike. Si hivyo tu Radhia aijashangaa sana maana alihisi kama miale ya moto ikipiga kichwani kwake kila ambapo Frank alilitaja jina ya Yesu. “Asante baba, asante baba , asante baba maana ulisema ombeni nanyi mtapewa , bisheni nanyi mtafunguliwa, fungeni nguvu za giza nazo zitajifunga. Maneno hayo yalikuwa ni zaidi ya mwiba kwa Radhia akajikuta akifungua mlango taratibu na kurudi chumbani kwake.

    Hakuamini kilichotokea maana ule muwasho wake uliisha kabisa. Akawa mwepesi kama vile ametoka kufanya mapenzi.Rasha rasha za mvua kwenye bustani ndogo zikawa zimekoma kabisa. Kwa Radhia ilikuwa ni zaidi ya maajabu.Hakuamini eti mzimu wa Barike umeshindwa kupambana na maombi ya Frank. Akawa anawaza kama Frank ameweza kuyashinda majaribu ambayo hakuna mwanamume aliyeweza kuyashinda basi viumbe hivyo vinaweza kutolewa kwenye mwili wake kupitia Mungu. “Japo mimi sio mkiristo ila naamini hata kwenye dini yetu ya kisalamu wapo watu wenye uwezo kama Frank ambao wanaweza kupambana na viumbe hivi. Radhia kwa kweli siku hiyo alipatwa na mshangao sana na pengine alisema Frank ni mtu wa kipekee sana. Yaani pamoja na kuvua nguo zote lakini hajathubutu hata kunigusa? Kweli Mungu yupo na nahisi kupata nguvu ya kuondokana na hichi kifungo.

    Kwa upande wa Frank yeye alikuwa bado aakiendelea na maombi yake. Alikuwa amefunga macho na akizunguka kile chumba huku bibblia ikiwa mkononi. Alikuwa akinena kwa lugha kama walokole wengi wanavyoamini.. “Baba katika jina la yesu, pambana na pepo hili la binti huyu, pepo la ngono, pepo la tamaa, pepo la uzinifu, pepo la usahwishi, ukavunje vunje nguvu za giza, ukakomeshe vifungoo vya laaama, ashalalrarararara baratika tikaroroooooo roorooo arrararraraa zilikuwa ni sauit za juu kabisa za Frank.



    Sauti hizo hazikuishia tu kwenye chumba chake bali sauti hizo zilipenya mpaka kwenye vyumba vingine. Zikamfikia baba na mama waliokuwa wamejilaza huko ndani.Mama akaamaua kutoka ili kuona sauti hizo zilikuwa zitoka wapi. Akasogea kwenye chumba cha binti wake akakuta kuna taa ikiwaka.Akaenda kwenye chumba cha Frank akakuta pia taa ikiwaka. “Sasa mbona wote wapo macho aliwaza mama huyo” kabla ya muwe naye kuja. Wakasogea zaidi kwenye chumba cha Frank na walibahatika kusikia maneno ya maombi ya kijana huyo. “Najua baba Mungu binti mrembo kama Radhia hawezi kufanya mambo haya ya ushawishi wa ngono kwa kuwa ni msomi, huyu atakuwa ni pepo nasema haya ni mapepo baba fanya wepesi kwenye mwili wa binti huyu. Maneno hayo yaliwashangaza sana hivyo baba Radhia akakosa ustahimilivu na kujikuta akiamaua kuingia ndani ya chumba hicho cha Frank.

    Baba naye alishanaagga sana maaana kiana huyo hakuwa kwenye ulimwengu huu wa kawaida tuliouzoea.Alikuwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa wa maombi mazito yaliomabatana kunenea kwa lugha. Ilibidi baba Radhia amauche tu maana hata yeye alishangaa vitu alivyokuwa akivisikia.Akatoka nje akamkuta mkewe bado amesimama pale. “Kutakuwa kuna jambo zito sana linaloendelea katika nyumba hii maana hata simuelewi , ebu fanya kuingia kwenye hicho chumba cha mwanao uone nini kilikuwa kikiendelea. Mama Radhia ikabidi afanye kama alivyoagaizwa na mumewe. Akaingia kwenye chumba cha bintiye na kwa bahati nzuri mlango ulikuwa wazi. “Jamani mama mbona usiku usiku alafu unaingia chumbani kwangu bila kugonga malango”alilalama Radhia. “Nsamehe mwanangu maana hata hatuelewi hii nyumba imeshageuza sinagogi la kikiristo. “Kwani nini unasema hivyo mama yangu?aliuiza Radhia

    “Si unaona huyu mgeni anakesha na kuomba huku akilitaja jina lako” mama yake alifafanua. “Kwani kuna ubaya kwa yeye kufanya hivyo? Radhia alihoji. Unaonekana unajua mengi mwanangu ebu nambie nini tatizo aliuliza mama yake. “Tatizo nimeota ndoto mbaya na niliposhtuka nikakauta Frank anaomba na kusema Mungu anilinde na kuniepusha na nguvu za mapepo hivyo namshukuru pia maana ameonyeshwa maono ya vitu ambavyo vinaniusumbua mda mrefu. Radhia alijibu kudanganya. “Ni vitu gani hivyo vinavyokusumbua mwanagu?” Nitakwambia pakipambazuka mama yangu naomba sasa hivi niache nilale tu , Radhia aljibu kwa kifupi. Mama ikabidi awe mpole maana hakuelewa kinachoendelea. “Kwa hiyo mwanangu ulienda kwenye chumba cha Frank? Aliuliza mama. Kufanya nini? Radhia alijibu kwa mtindo wa swali. Mama akaona isiwe tabu atatafuta ukweli mwenyewe, akafunga mlango na kutoka nje ya chumba hicho.

    Akamkuta mumewe akiwa bado yupo hapo nje akimsubiri.Mama kamapa ishara mumuwe kuwa waende chumbani kulala. Amekwambiaje? Baba Radia alimuuliza mkewe. “Wewe acha tu muwe wangu twende chumabni nitakueleza” mama Radhia alimjibu mumewe na kumshika mkono wakaingia chumabani.



    Kikao kikubwa sana kinaendelea kwenye kambi ya majini.Inatokea sitofahamu kubwa sana baina yao juu ya baba yake na Tariq.Swali kubwa linaloulizwa ni kwa nini Makata ameamua kumua baba Tariq hili hali walishaafanikiwa kumpeleka kwa mganga ambaye anatumia majini.Wanafafanua kuwa hata yule kuku wa ajabu aliyekuwa amembeba ni jinni hivyo angepata tiba ya kijini ambayo ingemsaidia kwa mda. Nia ya tiba hiyo ilikuwa ni kumfanya aendelee kuwa na ushirika wa majni na ashindwe kuwatawala. Kwa hiyo hata kule kung’ang’ania kwa mdogo wa baba Tariq kumtoa mzee huyo kule kwa mtaalamu wa majini Zanzibar ilikuwa ni ushawishi wa kijini.Yaani jini la ushawishi lilifanya kazi ya kuwashawishi wake,ndugu na jamaa wa karibu wa baba Tariq kuona gharama zile ni kubwa sana.Hivyo jini hili la ushawishi lilishafanikiwa na ndo maana hawa wakaenda kwa mtaalamu wa majini Mombasa.Tofauti hapa ni kwamba huyu mtaalamu wa Mombasa alikuwa anatumia majini kutibu majini na pia yule kuku wa jabau naye ni jini.

    Sasa wakati mikakaiti hiyo ikikamilika jini Makata naye huwa ni mvivu sana kuja kwenye vikao yeye aliingilia kati na kusababisha ile dhoruba iliyotokea baharini.Jini Makata kwa kuwa hakuwepo kikao kilichopita yeye alikuwa akitimiza maazimio ya kikao cha wali kabisa cha kumsaidia jinni Barike kumtia kashikashi baba Tariq na akiweza amtoe duniani.Kwa hiyo kikao hichi kilikuwa na malumbano makubwa sana maana Makata alikiuka maazimio ya kikao cha pili. Makata alijitetea kuwa yeye hakuwepo kikao kilichopita hivyo anaomba radhi kwa yaliyotokoea. Bado utetezi huo haukuwafuraisha baadhi ya majini na kutaka jini huyo apewe adhabu maana ana haribu mikakati na kufanya watu washindwe kufikia malengo.Ubishani ukawa mkubwa wapo waliosema kuwa hakuna tataizo maana kikwazo kimeondoka na wapo waliosema kuna tatizo maana kwa sasa hawawezi kumtia hatiani Tariq. Kwa mujibu wa majini ni kwamba huwezi kumtia hatianai mwanadamu bila sababu.

    Yaani kwao kumtesa baba yake na Tariq ni halali kwa maana walikuwa na kisa na sababu ya kufanya hivyo.Kwanaza walikuwa wakilipa kisasi cha wao kufungwa na mzee huyo alafu baadaye kutelekezwa na kuachwa wakiteseka na kuranda randa kwenye viunga vya mji wa pangani. Kwa hiyo walikuwa na sababu ya kumtesa baba Tariq. Lakini kumtesa Tariq haikuwa sawa japo walifanya hivyo kwa sababu yeye Tariq alijitia ujuaji na kutaka kumsaidia Radhia.Hivyo kwa kuuwawa baba Tariq hiyo ilimaanisha kuwa wamevunja ushirika na hawana sababu ya kumtesa tena Tariq.

    Hicho ndicho kilizua malumbano maana wapo majini walioanamin kuwa Tariq atakuwa huru hivyoo anaweza kuwa kikwazo maana atamsaidia Radhia kutoka kwenye kifungo cha jini Barike. Mgogoro haukuwa hapo tu bali mgogoro mwingine ulizuka juu ya ile banki ya kuhifadhia manii. Wapo waliosisitiza kuwa ili wafanikiwe lazima mbegu hizo ziwekwe na kupandikzwa kwa viumbe hivyo.Yaani lengo si ilikuwa ni kupata machotara yaani viumbe wenye mchanganyiko wa majini na binadamu sasa kivipi madaktari wameanza kupandikiza mbegu hiyo mpaka kwa viumbe vingine kama wanyama. Hapo daktari bingwa akasimama na kutoa ufafafnuzi kuwa zile mbegu zilzowekwa kwa wanyama ni za majaribio tu hivyo wasiwe na hofu waaandaliwe hao wasichana wa kijini wapandkizwe.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hapo mwenyekiti wa kikao ikamlazimu kuingilia kati na kuokoa mkwamo huo wa maoni ya wajumbe.Akasema kuwa kwa jambo hilo limeshatokea basi anaomba kikao kiharishwe ili aende kuongea na viuongozi wa juu kabisa ili wajue nini suluhisho wa mgogoro huo wafikra.Watu wakatawanyika na kila kikundi kilichokuwa kinatetea hoja kikakutana ili kujadili nini kifanyike kama uogozi wa juu utakuwa upande Fulani wa malumbano.Hapa naomba ieleweke katika majini waligawanyika katika makundi mbali mbali. Wapo waliojiita majini wema hao walikuwa wakiamini sana juu ya haki na hata wakati mwingine walifikia hatua ya kumuabudu Mungu huyu huyu ambaye binadamu tunamuamini..Wapo ambao hao walikuwa hawaamini kuhusu Mungu na wao walikuwa ni maadui wakubwa wa binadamu. Hivyo mipango yote ya huko kambini ilitakiwa kujali kada zote ni kama vile seriaklai ya Tanzania inapopitisha sheria lazima iangalie kuwa itakuwa sawa kwa watu wa itikadi tofauti tofauti.

    Kwa hiyo kikao kikaharishwa na viumbe hivyo vilitawanyika huku jini Barike naye akiwa bado yupo njia panda juu ya binti aliyeridhiwa.Maana aishaanza kukata tama kutokana na binti huyo kuonekana akipiganiwa na watu mbali mbali ili aweze kutoka kwenye vifungo hivyo walivyompatia.Ujio wa Frank nao ulikuwa ni tatizo maana alionekana ana nguvu sana za imani yake ya kilokole.****

    Tariq mara baada ya mabishano ya mda mrefu na ndugu zake juu ya kutangaza msiba baadaye aliamua kuondoka na kwenda kuonana na sheik mkuuu wa mkoa wa Tanga.Mzee huyu licha ya kuwa alikuwa ni mtu mwenye cheoo kikubwa cha din bado walikuwa na urafki na familia yao. Urafiki wao haukujengwa na baba yake la hasha urafiki wao ulijengwa na Tariq mwenyewe kipindi akiwa anasoma madrasa. Tariq aliwahi kushiriki mashindano ya kusoma quruan kwa nchi za Africa mashariki na akaibuka mshindi. Ni miaka ya nyuma kidogo Tariq akiwa bado mdogo.Umahiri huo ndo ulifanya aliyewahi kuwa sheik mkuu wa mkoa wa Tanga kua na mazoea na mtoto huyo.Tariq kabla hajaanza sekondari alikuwa akipendwa sana na viungozi wa dini ya kiisalamu kutokana na kujituma kwake katika kufuatailia mambo matakatifu na kuletea heshima kubwa mkoa huo.

    Sasa Tariq aliona ni vyema kuwatumia watu wenye imani ya kweli ya dini wanaoweza kumsaidia kuliko kutegemea waganga wa majini ambao wengi wao wanachanganya mambo.Wengine wanatumia majini kutibu majini wengine wanadanganya kuwa wanatuia jina la mungu kutibu majini. Hapo akaona ni bora aende kwa kiongozi huyo maana alimwamini sana. Akafika nyumbani kwa mzee huyo kupata ufafanuzi.Baada ya salamu akaeleza kile kilichompeleka hapo.Ikiwa ni pamoja na kujua kama kweli majini wanaweza kuwa wameshiriki kumua baba yake. Na nini kifanyike kwa sasa kuthibitisha hilo.

    “Pole sana mwanangu kwa maswaiba yanayokukumba sasa mbona hukuja mapema kabla mambo hayajaharibika aliuliza baba huyo. “Nisameha maana mtu hajui maana mpaka hapo atakapo ambiwa mana Tariq alijibu swali la Sheik huyo kwa msomo wa Kiswahili. “Ngoja nikueleze kitu kimoja mwanagu alafu wewe ndo utajaji kuwa baba yako anaweza kuwa ameuliwa na majni au ni kudra za Mungu hivyo ameamua kumpumzisha. “Majini na Binadamu wana uadui wa asili tangu pale Binadamu alipoumbwa na kabla Mwenyezi Mungu hajampulizia Roho. Shetani akawa anauzunguka mwili wa binaadam na kusema “Nikipewa Uongozi juu yako basi nitakufanya uwe Aaswi (Usimsikilize Mola wako) na ikiwa utapewa wewe Uongozi basi nitakuangamiza”. Mungu alipompulizia Roho Adamu aliwaamrisha Ibilisi na Malaika wamsujudie lakini Ibilisi alikataa kwa kusema kwamba yeye ni bora kuliko Binadamu. Kwa hiyo Tariq mwanangu uadui wa bnadamu na majini upo tangu wakati wa uumbaji. Japo wakati mwingine,majini huwa wanafanya Urafiki na Binadamu lakini marafiki wao wakubwa ni Ngamia. Baadhi yao wanaishi katika nyumba tunazoishi na ukitaka kuwafukuza unasoma Quran au Biblia au kumtaja Mwenyezi Mungu. Majini hukusanyika na kuongezeka giza linapoingia au unapopatwa Mwezi, na huwa wanakimbia wanaposikia Adhana au Kengele ya kamba. Majini wengi wanapenda kukaa baina ya kivuli na jua na siyo vizuri kukaa eneo hilo..Sheik huyo aliffanua kwa marefu na mapana.*



    “Sasa baba tufanyaje hili kuepukana na majini”Tariq aliuliza. “Ujue baba yako alikuwa akiyafuga majini na alifanya urafiki nayo lakini hakuachana nayo vizuri hivyo huenda ni kweli yamelipa kisasi. “Kwa hiyo mwanadamu anaweza kutatumikisha majini? Tariq aliuliza. “Kabisa na hata baba yako alikuwa akiyatumikisha. Majini wanaweza kutumika kwa kazi mbalimbali ambazo Binadamu anaweza kumtuma. Mwenyezi Mungu aliwaamuru Majini wamtumikie Mfalme Suleimani na wakawa wanamfanyia Kazi kadri anavyotaka yeye. Katika Biblia 1Wafalme 5: (13-17). Biblia inaeleza jinsi nyumba ya Suleimani ilivyokuwa ikijengwa kimya kimya. ... “Na nyumba ilipokuwa ikijengwa, ikajengwa kwa mawe yaliyokwishachongwa chimboni, wala nyundo wala shoka, wala chombo cha chuma chochote sauti yake haikusikika ilipokuwa ikijengwa Nyumba”.



    Majini vilevile wanatumiwa na watu katika kupata habari za mambo mbalimbali kwa sababu wao wana uwezo wa kupata habari angani. Majini vilevile wanatumika katika ulinzi wa kulinda majumba au kulinda watu au Mikutano au Shughuli yeyote na vilevile wanaweza kutumika katika vita. Wao wanajigeuza katika maumbo aidha ya Binaadamu au Mnyama na kushiriki katika vita. Mfano Shetani mmoja alijigeuza kwa mfano wa Binaadamu mmoja aitwae Saraqa Bin Malik na kushiriki vita vya Badri na kuwaahidi Makafiri ushindi mkubwa lakini alipoona Majeshi mawili ya Malaika wanateremka kutoka Mbinguni alitimka na kutoroka.



    “Sasa baba yangu mimi nisikuchoshe nataka unisaidie tu ili niweze kuondokana na viumbe hivi pia niweze kumsaidia Radhia kuepukana na viumbe hivi kwa sababu yule binti nampenda sana na naamini nateseka kwa ajli yake lakini ipo siku nitakuja kuoana naye”Tariq alifafanua huku akionesha alikuwa na imani kubwa ya kuja kumuoa Radhia. “Zipo njia nyingi za kujikinga na Mashetani lakini kubwa zaidi ni kutumia Jina la Mwenyezi Mungu na kumtaka Mungu akuepushe na Shetani mbaya naye atakusaidia.

    Shetani ana Maudhi mengi sana kwa Binadamu kwa sababu anapenda kujishirikisha na Binadamu katika kila kitu kama vile katika kula, kunywa, kufanya Mapenzi, kutembea, Kuishi ndani ya Nyumba na hupenda kufanya hayo yote pale Mwanadamu anapopotea na kumsahau Mwenyezi Mungu.



    Shetani vilevile anamgusa kila Mtoto anayezaliwa katika dunia hii. Mtoto ambaye hajaguswa na Shetani ni Yesu au Issa Bin Maryam hayo ni kwa mujibu wa maelezo ya Qurani na Mtume Muhammad (SAW). Mashetani vilevile ndio wanasababisha Ugonjwa wa Tauni (Plague – Ugonjwa unaoambukiza). Mtume Muhammad (SAW) ameeleza “Hakika kuangamia kwa umma wangu kunatokana na kushuka Hadhi yao na Ugonjwa wa Tauni na Adui yenu Mkubwa anatokana na Jini, na Hiyo kwenu ni Shahada”. Hivyo basi ili kujiepusha na maovu ya Shetani unashauriwa kumweka mbele Mwenyeezi Mungu katika lolote unalolifanya ukiwa Nyumbani au popote pale.Pia nitakupa kitabu na kukufundisha dua ya kupambana na viumbe hivi alisema mzee huyo. Kwa hiyo baba tunaweza kuyaua majini kabisa.



    “Majini na Mashetani nao wanakufa isipokuwa wao wanaishi miaka mingi kuliko Binadamu kwa sababu hawana maumbo maalum. Majini tunaoishi nao nyumbani mwetu tunaweza kuwaua kwa kutumia utaalamu Maalum. Lakini kabla ya kufanya hivyo unatakiwa umuadhinie mara tatu kidini yako au umtaje Mwenyezi Mungu mara tatu; asipobadilika au kuchukua mfano mwingine muache, lakini akibadilika muuwe huyo atakuwa Shetani. Shetani anapohisi Binadamu anataka kumdhuru basi hukimbia kama vile damu inavyokimbia kwenye mishipa ya damu. Basi Tariq akafundishwa dua amabyo angeisoma pindi akautanapo na msichana yule nayaempenda yaani Radhia. Baada ya maelezo marefu na tiba ya kisaikolojia aliyoipata Tariq kutoka kwa mwalimu huyo wa dini aliamua kuondoka na kurudi nyumbani.Akakuta watu waiendelea na maombelezo juu ya msiba wa baba yake.Hakuwa na jinsi zaidi ya kujiunga kwenye maombolezo hayo.Japo wapo waliomuangalia kwa jicho baya lakini yeye alikuwa na amani moyoni juu ya ufafanuzi alioupata.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Tariq sasa alikuwa na uhakika wa asilimia 60 kuwa huenda kweli baba yake amekufa.Kwa sababu yule shekhee alimwambia kuwa hata hao kuku walioambiwa kwa ajili ya tiba ni majini.



    Akamshukuru Mungu kwa yote yaliytokea akawa tayari kuanza maisha mapya. Siku zikazidi kwenda huku akiwa mwenye afya nzuri na wala hakuwahi kupata kashikashi yoyote kutoka kwa viumbe hao.Akaaanza mipango ya kurudi chuoni ili kuendelea na masomo.Kwa kuwa ilikuwa ni bado likizo basi alijitahidi sana kujisomea na baada ya kuhakikisha kuwa yupo vizuri alienda chuoni kuomba mitihani ili kama atafaulu basi chuo kikifunguliwa aweze kuendelea na wenzake. Tariq pamoja na mambo mengine lakini pia alijaliwa uwezo mkubwa sana wa uelewa hivyo hata walimu hawakuwa na hofu juu yake. Akafanikiwa kupewa mitihani maalaumu ambao huwa wanapewa wanafunzi waliopatwa na matataizo na kutofanya mitihani kwa semista husika. Hapa pia umaarufu wake na uelewano mzuri na walimu ulisaidia kumbeba na kufanya mithiani hiyo. Japo walimu wengine walisita sita kutunga mithiahani lakini hawakuwa na ujanja maaan oda ilitoka kwa mkuu wa chuo.



    Tariq alifanikiwa kufanya mitihani yote na alifaulu vizuri tu hivyo akawa anasubiri likizo iishe ili aweze kuendelea na masomo na wenzake.Akawa anatumia mda huo mchache uliobakia kujifunza mambo mbali mbali ya dini.Mda mwingi akawa kwa yule shekhee na mwalimu wa dini aliyepata kuwahi kuwa sheik mkuu wa mkoa wa Taga miaka ya nyuma. Akawa pia anaomsomea duwa ya mbali binti aliyeridhiwa ili aepukane na majanga ambayo huwa yanampata kutokana na viumbe vile. Siku zikazidi kuyoyoma hatimaye baba Tariq akazidikusauuilka watu wakagawana mali zake kama urith. Migogoro migoro ilitokea lakini Tariq kwa kuwa alikuwa ni mtu mzima hivyo aliweza kukabiliana na changamoto hizo.



    Maisha ya Tariq yakarudi vizuri maana kwa sasa alikuwa na majukumu mengi sana ikiwa ni pamoja na kusimamia mali za baba yake bila kusahau kuwalea wadogo zake wengine ambao walikuwa bado wadogo. Kwa kipindi hicho akaamua kujishughlisha na shughuli za kufundisha watoto wa tuition. Kazi hiyo ya aualimu Tariq alikuwa aikiipenda sana maana aliaaini kuwa alikuwa akisaidia jamii. Kwa hiyo akawa amepata njia nyingine ya kujiingizia kipato na kusadia familia.Kila siku akwa anaingalia picha ya Radhia kwenye simu yake yaani hilo lilikwa ni zoezi la siku asubuhi akiamka na usiku akilala.Kulikuwa na picha mbili kwenye simu yake.



    Picha moja ni ya Radhia wa mwanzo kabisa kabla hajaingiliwa na jini Barike na ingine ni Radhia wa baada ya kuingiliwa na jini Barike.Picha hizo zilikuwa zinampa tabu Tarik maana zilikuwa zinamfanano fulani lakini pia zilikuwa zinaotofautiana kwa namna fulani. Japo Radhia baada ya kuingiwa na mzimu wa jini Barike alonekana ni mzuri sana lakini Tariq yeye alikuwa akiipenda ile picha ya mwanzo. Akawa anajisemea kuwa anatamani siku moja ile picha ya pili ibadilike na kuwa kama ile ya Kwanza. Basi siku hiyo usiku akiafanya zoezi hiko la kuangali apicha kabla hajalala kweli aliyaona maajabu mengine. Ile piacha ya pili ilibadilika an kuwa kama ya kwanza.***



    Baada ya tukio lile la maombi mazito baina ya Frank na Radhia. Radhi alaiiingia chumbani kwake huku akiwa haamini kilichtokea. Hakuaamini kama eti Frank ameweza kutumia neno la mungu kushinda vishwashi alivyomtengenezea.Sasa akaanza kupata tumaini jipya la kushinda majaribu yaliyokuwa yakimkabili kwa mda mrefu.



    Baada ya mama yake kumfuata kule chumbani na kuuuliza juu ya yeye na Frank, Radhi alishindwa kujibu kitu hivyo wakakubaliana kuwa wasubiri papambazuke. Mama yake na baba yake waliingia chumbani na kuanza kujadili juu ya jambo lilotokea.



    “Hivi mke wangu unaamini kuhusu ulokole wa namna ile anyofanya Frank?mume aliuliza mara baada ya wao kupanda kitandani. “Naamini mme wangu kwa kuwa Mungu ni mmoja ila njia ndo tofauti za kumwamini, kumpenda, kumfuata na mwishowe kufika kwake mbinguni.



    “Umesema vizuri mme wangu lakini mwanetu ana matatizo makubwa kama asemavyo Frank maana hata mimi simwelewi. Juzi alinambia anamatatizo anataka kuonana na daktaari kwa kuwa haoini siku zake kwa mda mrefu.



    Aliporudi tupo hapa chumbani akinipa ripoti juu ya nini kilichotokea ghafla akaanza kubadilika na kuwa kaa mtu aliyepandwa na majini. Mara akanyanyuka na kukimbilia chumbani kwake. Kwa hofu mimi niliamua kumfuata huko huko chumbani kwake ndipo hapo nilipomkuta akifanya vitu vya ajabau.



    Vitu gani tena mke wangu? Mumewe aliuliza ili kuweka usikivu mzuri. “Ni aibu mume wangu ni aibu kwa sababu niimkuta mwanetu amaekaa kitandani amejipanua miguu huku akijaribu kujichua.Ni kama mtu amabye alipatwa na hamu ya ghafla ya kufanya mapenzi hivyo ikabidi ajipooze kwa njiia hiyo aliendelea kufafanua mama huyo.



    “Hayo sasa ndo mapepo ya ngono kama asemavyo Frank na dawa yake ni kuwa karibu na Mungu alidakia mumewe. Kwanza Radhia sijui kama yupo karibu na Mungu na cha msingi hapa ni kumwita shekhee aje apige dua kuondoa vifungo vyote vinavyomkabili.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Basi hayo walikuwa ni mawazo ya baba mwenye nyumba na yaliungwa mkono na mama Radhia kwa asilimia 100.

    Wakavuta shuka wakajifunika na kuamia ulimwengu mwingine. Ndio waliamia ulimwengu wa kupeana raha za tendo la ndoa.



    Asubuhi palikucha na kila mtu alienda kwenye miangaiko yake isipokuwa mama mzazi wa Radhia.Mama aliamua kubaki ili aweze kuongea na mwanaye juu ya mambo yanayomkabili.Kama kawaida ya Radhia siku hiyo pia alichelewa kuamka na alivyoamka kwa sababu aligundua kuwa mama yake hakuenda kazini hivyo alijbaraguza kwa kumsaidia kazi za ndani yule binti wa kazi.



    Ndio alijibaraguza kwa sababu haikuwa kawaida yake kushirikiana hata katika usafi wa chumba chake.Mtoto alikuwa amedekezwa sana ingawa mama yake alikuwa akijitahidi sana kuwa mkali akiamini hiyo ndio njia nzuri ya kuwajibika na majukumu ili pindi atakapokuja kuolewa hasije kupata tabu na mumewe.



    Baaada ya mjukumu madogo madogo ya hapa na pale mama alipata fursa ya kuzungumza na mwanaye.Alijitahidi sana kumdadisi Radhia kama kuna jambo au siri nzito ambayo alihifadhi moyoni. Radhia alijaribu kueleza kuwa kwa sasa anahitaji sana kuwa karibu na mungu maana hakuna anayeweza kumsaidia tatizo lake bali ni Mungu.



    “Ujue mama ni kweli kama ufikiriavyo kuwa mimi na matatizo. Ila matatizo yangu ni makubwa sana na nikidiriki kukuambia ndo nitakiona cha mtema kuni yaani yataongezeaka na kuwa makubwa mara dufu. Maelezo hayo ya Radhia yalitosha kabisa kumfungu akili mama yake na kuamini kuwa kweli huenda mwanaye anapandwa na majini.



    Mama aliamini hivyo kwa asilimia kadhaa hivyo akaamua kuachana na Radhia na kwenda kongea na Frank.

    Aliongea naye kirafiki ili kujua nini kilitokea jana usiku. “Yaani Frank wewe ni mgeni sana lakini kwa maelezo ya mwanangu ni kwamba jana kuna kitu kilitokea na wewe ulimsadia kuondokana na hali hiyo.



    Naomba mwanangu usiwe na hofu wewe nambie tu nini kilitokea ili tujue tunamsaidaije huyuu mtoto” mama Radhia alongea kwa sauti ya upole uliopitiliza. “Yeah ni kweli mama kuna jambo ambalo si jema machoni pa mungu. Jambo hilo siwezi kukueleza moja kwa moja lakini kwa kifupi mwanao ana mapepo.



    Mapepo? Mama Radhi alaiuliza kwa msahangao. “Ndio mama, mwanao ana mapepo tena mapepo yanayoshawishi kufanya mapenzi na kutamani wanaume”. “Kwa hiyo na jana alikuja chumbani kwako kukushawishi mfanye mapenzi? Mama huyo aliuliza swali ambalo hakutakiwa kuuliza.



    “Hapana mama ila tambua kuwa mwanao anahitaji tiba ya karibu kutoka kwa Mungu. Mimi binafsi kuanzie leo nimeanza kufunga na kuomba na nimeshawapigia simu nyumbani kwetu na wao watafunga na kuomba ili kumsaidia binti wako.Hayo yanaitwa maombi ya mnyororo” Frank alaifafanua kwa kujiamini.



    Mama mda huo huo alimpigia simu mumewe na kumueleza yote alitoambiwa na Frank.Baba Radhia ikambidi atoke kazini na kurudi nyumbani. Akiwa njiani…



    Akiwa njiani aliamua kumpigia simu shekhee mmoja mbaye pia ni rafiki yake kumweleza mambo yanayomkabidili na kumtatiza mwanaye.Kutokana na wadhifa aliokuwa nao hakutaka kumweleza mambo mengi alimwambia tu nyumbani kua matatizo hivyo wanahitaji huduma ya duwa hivyo anaomba afike mara moja.



    Walikutana nyumbani wakapanga mikakati na kulichambua tataizo la Radhia kiundani. Hitimisho liliofikiwa ni kwamba kwa kuwa siku hiyo ilikuwa ni alkhamisi basi wasubiri kesho ijumaa hivyo watatangaza msikitini kuwa kuan dua ili waweze kupata angalu walau watu wengi.



    Lakini baba yake na Tariq alipinga jambo hilo akidai hicho kinachoombewa ni jambo la siri na aibu hivyo watafute tu masheik kadhaa watafanya kifamilia.Basi ikapitishwa hivyo na siku hiyo ya duwa ikapangwa.***



    Baada ya kikao kile cha majini kuvunjika kutokana na malumbano ya hoja sasa kikao cha upatanisho na madhiriano kikafanyika.Nasema ni cha upatanisho kwa sababu watu wote walikuwa tayari kusikilizana na kuelewana. Ndio jini Makata alikosea hivyo tusigombanie fito wakati tunajenga zizi moja hiyo ilikuwa ni kauli ya mkuu wa kambi.



    Kauli hiyo ya busara ilionekana kujenga zaidi kuliko kubomoa. Na kwa kuwa ili onesha udhaifu wa upangde mmoja hivyo waliamua kuungana na kaunza kujadili mada zingine ambazo waliamini zilikuwa na mashiko zaidi kwa wakati huo. Hapo akakaribishwa jini Barike kuelezea amefika wapi katika kazi aliyotumwa juu ya binti aliyeridhiwa.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Jini Barike akasimama na kusema kabla hajaeleza kuwa amefikia wapi ni bora mwenyekiti wa kikao aeleze juu ya banki ya manii maana mara ya mwisho katika kikao kilichovunjika kulikuwa na mgongano wa hoja juu ya upandikizaji wa mbegu hizo.Wengine walisema kwamba si sahihi kufanya uandikizaji kwa wanyama maana itakuwa nje ya lengo.



    Ikumbukwe lengo kuu la mpango huo ni kutengeneza viumbe ambavyo vitakuwa ni mchanganyiko wa majini na binadamu.Viumbe hivyo vitakuja kutumika kutengeza utawala mkubwa sana ambao utaitawala dunia. Viumbe hao wanatarajiwa kuja kuwa na nguvu sana duniani na watashika dola.



    Watakuwa viongozi wakubwawenye kutawala dunia. Baada ya ufafanuzi huo mwenye kiti wa kikao alisimama na kusema kwa kuwa hoja hiyo pia ilikwa na mshiko nitamuomba dakatari bingwa na msimamizi mkuu wa mpango huu asimame na kuleza nini hasa kitfanyika.



    Basi akasimama yule daktari bingwa wa mambo ya wanawake na kusema” Baada ya majadiliano marefu sana mimi na wataalamu wenzangu tumeamua upandikizaji huo usifanyike kwenye viumbe vingine kama mimea na wanyama. Hapo waliokuwa wakitetea hoja hiyo walipiga makofi.



    Walifurahai na ilikuwa ni haki yao kufurahi kwa sababu walisikilizwa. “Naomba ieleweke kuwa kwa kuwa tumeamua kufanya ushirika na binadamu basi tufanya ushirika na binadamu” alisema daktari huyo na kukaa chini. Mwenyekitai wa kikao akasimama na kusema “sasa nadhani ameeleweka hivyo jini Barike aendelee kueleza amefikia wapi na binti alyeridhiwa.



    Kabla Barike hajasimama na kueleza kuwa amefikia wapi jini Maimuna alisimama na kusema, “Jamani mmesema kuwa ushirika utakuwa wa binadamu na sisi majini hivyo watakaobebe mimba ni sisi majini wa kike, je hamuoni mpango huu utachukua mda mrefu sana kwa kuwa sisis majini wa kike kweye kambi hii tupo wachache sana?.



    Hapo kila jini alimwangalia mwenzake maana lilikuwa ni swali la msingi sana.Akasimama mwenyektii wa kikao na kusema ni kweli wanawake ni wachache huko ujinini hivyo wataanza na waliopo wakati huo huo wataanza plan B yaani wanaume wa kijini waanze kuzini na kuzaa na binadamu alafu baaada ya hapo watoto wachukuliwe na kupelekwa huko ujinini.



    Kuna mwenye wasiwasi na mpango huu aliuliza mwenyekiti huyo wa kikao.Akadakia jinni maimuna bila shaka. Kabla ya jinni Barike kusema yeye atolewe kwenye orodha ya majini wataobeba mimba hivyo yeye ataendelea na kazi yae ya kuleta manii.



    Akadakia jinni mwingine hilo haliwezekani wote ni wanawake wote tutabeba mimba kwa maaana hata ile bank ishajaa hivyo hatuitaji tena. Ugomvi mpaya ukazuka tena juu ya nani abebe mimba na nani asibebe.Kukawa na sitoelewana tena na kila mtu akaanza kusema la kwake.



    Dalili zote za mpango huo kukwama zikaanza kuonekana na viongozi wakajitahidi kuzima hali hiyo.

    Barike akaendelea kutoa ufafanuzi juu ya kazi aliyopewa.Akasisitiza kuwa kuna uwezekano mkubwa sana kuwa Radhia kuna binadamu wengi nyuma yake wanaompigania.



    Hivyo tangia jana alikuwa akipata tabu sana kumwingilia binti aliyeridhiwa.Hapo kila jini alishangaaa maana inakuwaje kwa nguvu alizokuwa nazo Barike ashindwe kumwingia Radhia na kumfanya atakavyo. Wasioelewa hoja hiyo wakaona kama ni mbinu ya Barike kukwamisha hoja hiyo.



    Lakini mwenye kiti alisimama na kumtetea kuwa mambo hayo hutokea kama binadamu akiwa karibu na Mungu. “Sisi sote ni viumbe wa Mungu hivyo hatuwezi kumzuia na kuendelea kumtawala binadamu kama atarudi kwa Mungu na Mungu akaamua kumuokoa.



    “Kwa sasa darubini yangu inaonesha kuwa tumeshindwa kutumiza lengo letu la kuendelea kumtumia Radhia hivyo tuataamishia mpango wetu kwa mabinti wengine. Wakati mwenyekiti wa kikao anasema hivyo mara kulitokea moshi mkali sana ulioambatana na moto hasa sehemu zile ambazo huwa zinatumika kuhifadhi zile manii.



    Hapo sasa hofu na huzuni zikatawala.Kikao kiliharishwa bila kuarajia. Majini yakaanza kukimbia huku na kule kujaribu kuokoa benki hiyo isitetkee kwa moto.Haikujuliana nini kilikuwa nichanzo cha moto huo.Kwao ilikuwa ni zaidi ya maajabu au miujiza kwa sababu haikuwa jambao rahisi sana kwenye kambi hiyo moto kuwaka.



    Walijiamaini na walikuwa na mitambo ya kuzia moto.Lakini cha ajabu moto ulikuwa ni mkali sana. Zilisikika sauti za majini hao zikisema “Tafadhali Mungu usishushe moto wa jehanamu maana siku ya hukumu bado haijafika” wapo waliopiga magoti na kushudu wakielekeza vichwa vyao juu ya mbingu.



    Walikuwa wakiomba na kuomba Mungu hawanusuri na dhahama hiyo waliyoipata. “Mungu si ulisema umewapa utashi binadamu wa kuamua mema na mabaya sasa kwa nini unawatetea” lilisikika kubwa la majni likiomba kwa mtindo wa kulalamika.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Inaonekana sala zao zilifika mbele ya Mungu maana ule moto ulikuwa kama unapungua.Ulipungua kasi na baadayae ulizima kabisa. Wakasogea eneo lile na kukuta ile bank yao ya kuhifadhia mbegu za kiume imepotea kabisa. Ndio yalibaki majivu.Majini yote yakajikusanya tena na kuanza kujadili nini kimetokea kwa gafala hivyo.



    Kwanza waliulizana je kuna mtu ambaye hakuwepo kwenye kikao hicho.Jibu lilikuwa ni hapana maana majini wote walikuwepo kwenye kikao. Akasimama mtaalamu wa kufafanua jambo lolote lilotokea na lenye utata katika kambi hiyo ya majini. “Jamani tusitafute mchawi hiki kilichotokea ni mtokeo ya vitu vitatu.



    Kwanza ni matokeo ya sisi kumua baba yake na Tariq hapo ndipo tulipoanza kupoteza ushirika na binadamu hawa. Tukakosa sababu ya kuendelea kumtia hatiani Tariq ambaye alionesha dalili za kupambana na kumuokoa Radhia ambaye sisi ndo alikuwa mtumwa wetu.



    “Kwa hiyo ndugu zangu Tariq alikwenda kwa masheik walioijiua dini vizuri wakaanza kufunga na kuomba ili kumuoka na kuvunja ushirikana sisi. Hivyo nachelea kusema maombi yao yamefika mbele za Mungu.Sio maombi ya Tariq tu bali hata maombi ya Frank kijana ambaye alikwenda kwa kina Radhia nayo yamesaidia.



    Kwa kifupi huu moto uliotokea hapa ni kutokana na dua nzito uliyosomwa kwa baba yake Radhia. Waliomba Mungu amtume malaika wake ili kuju kuvunja ushirika wa majini na Radhia. “Hivyo naomba tusimtafute machawi kila mtu aendele na ratiba zake.



    Majini yote yalikua kimya sana na kwa kuwa huyo ndo alikuwa mtabiri wa yaliyopita na yajao basi walimwamini. Mwenyekiti wa kikao akasema ingawa mpango wa umefeli lakini bado watajaribu tena na tena kwa binadamu wengine mpaka hapo watakapofanikiwa kutimiza athma yao ya kutengeneza utawala wenye mchanagyiko wa binadamu na majini.***



    Dua na sala kutoka pande zote zilizokuwa zikimzunguka Radhia zilitosha kumuondoa binti huyo katika heka heka za majini.Lengo la baba yake kumfanyia dua lilitimia na yeye alipewa na kufundisha dua ambayo atakuwa kaiitumia kujikinga na jini Barike.



    Sio hivyo tu bali hata maombi ya mnyororo aliyofanya Frank na ndugu zake yalisaidia sana kumkinga Radhia na hali hiyo.Bila kusahau maombii ya Tariq kijana ambaye alikuwa na mapezi ya kweli kabisa tangia siku ya kwanza alipomuona binti huyo alipokuwa akiingia chuoni.



    Hatimaye Radhia kawa huru na mda wa kurudi shuleni ukafika.Radhia alirudi kwenye hali yake ya mwanzo kabisa.Na huwezi amini hakukuwa na mshawasha wala muwasho huko bustanini kwake na sehemu zake zikareje katika hali nzuir na nachelea kusema kuwa alirudishiwa uanawali wake.



    Mapenzi mazito yakazuka baina ya Radhia na Tariq. Hayakuwa mapenzi ya ngono bali mapenzi ya kweli, mapenzi ya subira, mapenzi ya kufuata kanuni na taratibu za dini. Hawakuwahi kufanya mapenzi mpaka walipomaliza chuo. Uvumilivu huo uliwafanya wazazi, ndugu na jamaa wapande zote mbili kusubiri harusi na siku ya kufunga ndoa ya wawili hawa.



    Siku hazigandi, hatimaye miaka ikasogea na walipomaliza chuo walifunga ndoa. Ilifanyika harusi kubwa sana iliyopelekea furaha ya kudumu ya Radhia na Tariq. Radhia binti ambaye aliridhiwa mwanzo na viumbe vya ajabu vilivyomtesa na kumnyanyasa sasa akawa amepata pumziko la nafsi la kudumu.



    Tariq akawa amemridhia binti huyu na kwa muunganikano wa ndoa halali wakaanza maisha mapya yenye furaha na amani tele.Kwa sasa wapendanao hawa wote wawili wanafundisha katika chuo kikuu cha Dar es salaam.Mungu muweza wa yote amewabariki watoto wawili mmoja wa kike na mwingine wa kiume..

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Upendo wa Mungu unatosha na tuyaweze yote katika yeye atutiae nguvu.Kweli mwacheni Mungu aitwe Mungu.Lishindikanlo kwa binadamu, majinii, waganga na walanguzi kwa Mungu linawezekana. “ God, you are the Father of Creation(Mungu, wewe ni baba wa uumbaji).”



    Eliado “The Philosopher”

    **************MWISHO***********



0 comments:

Post a Comment

Blog