IMEANDIKWA NA : ELIADO TARIMO
*********************************************************************************
Sehemu Ya Kwanza (1)
Nilikuwa juu ya jukwaaa nikifanya vitu vyangu ili hali nikijua kabisa watu wote waliokuwa wakinitizama walikuwa wanaumia roho kutokana na mvuto wa
umbo langu niliokuwa nao. Nilisikia mijibaba miwili ikiulizana hivi lile wowoo ni la kwake au ni la mchina? Mmoja wao akaropoka “wee kitu original hicho,
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
kwani umemsaahau huyu binti tulishakutana nae kule Arusha mpaka tukambatiza jina la soda kubwa tena ya fanta yaani BAMBUCHA.?” Yeah nimekumbuka
alidakia mwanaume wa tatu waliokuwa nao.
Akaongeza basi huyu tusimwite tena BAMBUCHA bali tumpe jina la bia kwani inaonesha thamani yake ni kubwa zaidi. Basi wote kwa pamoja wakacheka.
Wakati nikiendelea kutingisha makalio yangu ambayo kiukweli yalikuwa yakitetemeka kama mawimbi ya bahari, Yule aliyetoa hoja akapendekeza jina
linalofanana na bia eti kutokana na uzuri niliokuwa nao aliniita HAINKEN WOWOWO.
Ilinibidi nicheke kwa nguvu kitu ambacho kiliwashitua mashabiki wangu waliokuwa wakinifuatilia, hawakujua nilikuwa nikicheka nini wakajua labda
nilifurahishwa na ule wimbo wa kanga ndembendembe laki si pesa. Wakati nikiendelea kuzungusha nyonga yangu kwa ufundi wa ajabu niliokuwa nao
niliendelea kufuatilia mazunguzo ya wale watu waliokuwa wamekaa meza ya karibu na jukwaa. Niliendelea kuzungusha nyonga na kwa wale ambao ndo ilikuwa
ni mara yao ya kwanza kuniona walishangaa sana.
Lakini kwa wale ambao walishaniona kwenye shindano la miss nyonga kule Arusha wasingeshangaa sana kwani kile ndo kipaji nilichojaliwa na mwenyezi
Mungu.Nilizungusha kisawa sawa huku nikirembua macho yangu kitu ambacho siku zote kilikuwa nikiwaumiza wanaume wenye tamaa. Kwa ufundi wa ajabu
nilio kuwa nao niliendelea kufuatilia wimbo niliowekewa huku nikilitegeza sikio langu moja kwenye ile meza iliyokuwa karibu yangu. Wale wanaume
waliendelea kunitumbulia macho huku wakiendelea kubishana juu ya jina gani wangenibatiza kulingana na uzuri wangu.
Nilibahatika kumsikia mmoja akimwita muhudumu kwa fujo na kumwambia “inaelekea wewe hujui majukumu yako, mbona bia imeisha na umekaa mbali?
Dada kwa heshima kubwa na kutambua kuwa walikuwa wameanza kulewa alimjibu kwa kumbaia samahani kaka” Sitaki samhani yako niletee bia inayofanana na
huyo dada kwenye jukwaa. Yule muhudumu alibaki ameduwaa asijue nini cha kufanya. Akauliza jamani kaka mbona sikuelewi nikuletee kinywaji gani? Kaka
kwa ukali akamwambia kinachofanana na huyo dada.
Muhudumu akaenda kaunta na alipokuja alikuja na soda kubwa iliyojazia yaani BAMBUCHA. Watu wote kwenye meza yao walishangaa yaani mtu alikuwa
anakunywa bia na sasa ameletewa Bambucha. Ili bidi wapigwe na butwaa, yule jamaa akamuuliza yule muhudumu kwanini umeleta hii soda? Muhudumu kwa
kujiamini alisema ‘Ni kwa sababu huyo dada anaitwa BAMBUCHA.Basi watu wote pale mezani waliangua kicheko.
Basi kwa kuwa kila mtu alipewa nyimbo tatu kuonesha maujuzi ya kuzungusha nyonga na kuchezesha makalio, hivyo mimi niliwekewa wimbo wangu wa
mwisho. Huku nikibadilisha staili na kucheza ile matata ya kulala chini kisha kuzungusha kama vile upo juu ya mwanaume. Nilimsikia yule mteja akimwambia
muhudumu niletee HAINKEN WOWOWO na wakati Yule dada akitafakari Heinken wowowo ni ipi, kwa macho yangu ya wizi nilimwona yule kaka akifungua
pochi yake na kutoa hela na kila kwenye noti ya elfu kumi alikuwa akiandika kitu.
Sikujua alikuwa akiaandika nini nitakwambia nikishuka jukwaani. Basi nikaamua kuendelea kufanya yangu na nilikuwa namalizia na ile staili ya mdembwedo.
Hii staili ni mbaya sana kwani unakuwa kama unajizalilisha, hapa wapambe wangu walinimwagia maji kwenye makalio hivyo kuwa ndembendembe. Nilitumia
vizuri vidole vyangu kuviingiza sehemu ambazo kwa kweli naogopa kusema. Yule kaka akashindwa kuvumilia akanifuta na kunimwagia zile noti za elfu kumi
kumi.
Sikujua alinipa shiling ngapi kwa kuwa haikuwa kazi yangu kuokota hela ila kwa utundu wangu niliivuta moja kwa kutumia vidole vya miguu yangu. Nilifanya
hivyo kwa sababu mara nyingine huwa tunazulumiwa na pia nilitaka kujua yule kaka aliandika nini kwenye zile hela. Wakati nashuka ili kuruhusu mshiriki
mwingine apande na kuendelea na vitu vyake, nilimsikia tena yule kaka akibishana na yule muhudumu “nimekwambia Heinken wowoo sio Mutungi.
Hapo nikajua yule kaka atakuwa amekaa sana nje ya nchi maaana zile bia watanzania wengi hawazinywi kwa kuhofia bei. Basi muhudumu alimwita meneja wa
bar kwani ilionekana walikuwa hawaelewani. Basi meneja aliweza kumwelewa na kumpa bia iliyofanana na mimi.
Baadaye nilipewa zile hela zangu japo nilihisi wamenichakachua.Kumbe kwenye zile noti aliandika namba zake na mara baada ya shindano kuisha na mimi
kutangazwa mshindi niliamua kumtafuta yule kaka. Aliongea mengi ila kubwa na la muhimu kwake eti alitangaza nia ya kunioa. Nilishangaa sana itawezekanaje
umwone msichana siku moja umpende na utake kumwoa. Kwa kweli haikuniingia akilini na pia nilimwonea huruma sana kwa kuwa hakujua historia yangu.
Baadaye tulielewana na kwenda kuchukua chumba na kulala. Ingawa alinilipa hela yangu lakini hakutka tufanye mapenzi kitu ambacho sikuamini maishani
mwangu kuwa mwanaume anaweza kulala na mwanamke mzuri kama mimi na hasifanye kitu chochote. Ilibidi niwe mkali lakini aliniambia anilipe mara mbili ili
niwe nae kwani alikuwa anataka kujua hisoria yangu ya maisha.Nikahisi labla alikuwa akifanya utafiti, basi nilimwambia historia yangu ni ndefu sana ingawa
nimeeiandika kwenye diary yangu kwa leo siwezi kukupata hata robo labda kama tusilale.. Yule kaka aliendelea kunishangaaa. Nikamwambia atoe historia yake
alafu ya kwangu nitamtafuta yule mwandishi mashuhuri Eliado aiandike kwenye kitabu.
Basi ingawa nilkuwa namjua kuwa ni star wa bongo movies, nilijifanya sijui chochote. Alieleza stori ndefu sana ya maisha yake hasa upande wa mahusiano na
mafanikio yake. Nilimsikiliza sana na kwa kweli nilitokewa kuvutiwa nae japo kiukweli sikuwahi kufikiria kuwa nitakuja kuolewa maishani mangu hivyo ombi
lake la kutaka kunioa liliniumiza sana hasa kutokana na ugumu wa historai yangu.
Baadaye alinimba niombe kushiriki shindano la big brother Africa na akasema kutokana na umaarufu wake atanipigania nipate nafasi hiyo. Nilifurahi sana maana
siku zote niliamini nitakuja kuwa super star mkubwa sana wa nchi hii.Alisistiza kwamba pamoja na mambo mengine uzuri wangu ni kigezo tosha cha kucheza
filamu hivyo ataniingiza kwenye filamu mpya ambayo ingetoka mwezi ujao.
Watanzania hawakuamini kuwa naweza kuwawakilisha vyema kwenye shindano la big brother Africa mpaka pale nilipotangazwa mshindi. Vyombo vya habari
vya Tanzania na Afrika kwa ujumla vinmenizunguka wakitaka kujua historia yangu, napatwa na kigugumizi kwa kuwa historia yangu ni ngumu sana. Wazo la
haraka ni kumpigia Elias Adolf maarufu kama eliado mwandishi mashuhuri aje kunisaidia maana mara ya mwisho alinambia ataniandalia kitabu cha
kumbukumbu za maisha yangu
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Nilikuwa hata sijajitambulisha kwani nilitaka mjue asili ya majina yangu maana kiukweli nilikuwa na majina mengi kabla na baada ya kuwa superstar. Ila
nitatumia jina langu la asili nililopewa na wazazi wangu. Nilipozaliwa tu wazazi wangu waliniita Leah. Ni mtoto wa kimbulu niliyechanganya damu na mama
wa kiharabu.Nina historia ndefu sana ambayo kiukweli inahuzunisha sana. Lakini kwa kuwa dunia mapito nitaeleza kwa kifupi hasa upande wa mahusianao na
mapenzi. Mimi ni mtoto wa pekee wa kike katika familia ya mzee Bura mzee ambaye alikuwa ni maarufu na tajiri mkubwa pale jijini Arusha.
Ingawa nina mapungufu yangu ya kimaisha lakini kiukweli nimejaliwa uzuri ambao kwa namna moja au nyingine ndo chanzo cha kuharibikiwa na kisha
kufanikiwa katika maisha yangu.Ni mweupe kiasi, mwenye umbo la kibantu na nyuma nimefungashia kama mlima kitonga. Nina sura ya mduara kama watoto
wa kiharabu ambapo kwa haraka haraka ukikutana na mimi huwezi amini kuwa ni mtanzania tena wa Arusha.
Mungu kanijalia umbo,sura, mwendo, macho na kila kiungo unachojua wewe kinaweza mvutia mwnaume.Ni mnene lakini si ule wa kuboa ni ule wa mpangilio
na kwa kweli sina matiti makubwa. Nina macho ya mlegezo ambapo kiukweli nikikuangalia mara mbili ni lazima tu utanitamani. Kasoro yangu kubwa au kilema
mungu alichonipa ni
Mungu kanijalia umbo,sura, mwendo, macho na kila kiungo unachojua wewe kinaweza mvutia mwnaume.Ni mnene lakini si ule wa kuboa ni ule wa mpangilio
na kwa kweli sina matiti makubwa. Nina macho ya mlegezo ambapo kiukweli nikikuangalia mara mbili ni lazima tu utanitamani. Kasoro yangu kubwa au kilema
mungu alichonipa ni kile kilema pendwa yaani kuwa na vijishimo mashavuni mwangu ambapo kila nikicheka vinaonekana(DIMPOZ).
Leah jina langu la utotoni kwa sasa lishapotea kutokana na matukio yangu. Club za Arusha na sehemu zingine za starehe jijini pale wananijua kama
BAMBUCHA. Na jina hili nilipewa siku niliyoshinda taji la miss BANTU. Moshi nilipewa jina la Heinken wowow au Heinken Mutungi baada ya kushinda
shindano la kuzungusha nyonga. Mpaka sasa sijui idadi ya wanaume ambao nishawahi kulala nao ila hawapungui elfu 1.
Ndio usishangae kwani kwenye daftari langu la kumbukumbu mpaka mwaka jana idadi ya wanaume nilotembea nao walikuwa 892. Sasa ndani ya huu mwaka
watakuwa wamezidi elfu lazima. Sipendi na inaniuma sana ila nataka watu wajifunze kutokana na historia hii.
Naamini mtanifuatili hadi mwisho ili iwe fundisho kwa wasichana wazuri kama mimi na kwa wanaume wote wanaodanganyika kiurahisi na wasichana
warembo. Sitoeleza kila kitu kuhusu maisha yangu lakini nitaeleza vile ninavyovikumbuka na pia ni funzo na fundisho kwa wengine.
Nimezaliwa miaka 27 iliyopita huko mkoani Arusha, familia yetu ni moja au miongoni mwa familia tajiri. Kwetu tupo tu wawili mmoja wa kiume na mwingine
ndo mimi. Kwa hiyo tupo mimi na kaka yangu tu ambaye na yeye masikini ya mungu maisha yake yaliingia doa hata sijui ni kwa nini familia yetu imekuwa na
majanga hivi.
Kwa ufupi japo sitaki kueleza historia yake ila kwa sasa ni shoga na teja. Baba yetu alitupenda sana na alihakikisha tunapata elimu nzuri na bora. Mimi na kaka
yangu wote tulisoma International school ya hapo Moshi. Baadaye kaka yangu alianza kuvuta bangi kitu ambacho kilimtia hofu baba yangu na kuamua
kumpeleka kusoma nje ya nchi.
Alikosea sana kwani alimpeleka south Afrika katika chuo kimoja maarufu cha mambo ya utalii. Huko aliendelaa na tabia yake ya miadarati na mbaya zaidi
alianza kutumia madawa ya kulevya hivyo akawa teja kabisa. Akaenda mbali kabisa na kuwa shoga kabisa, sitaki kukueleza zaidi ya hapo kwani lengo la simulizi
hii ni kukupa historia ya maisha yangu. Kama nilivyosema mwanzo familia yetu ni tajiri sana kwani baba yangu alikuwa ni mfanyabiashara maarufu wa madini
tena yale ya Tanzanite.
Historia ya baba yangu nayo ni ngumu sana kwani inasemekana chanzo cha yeye kupata utajiri ni ajali ya wazungu iliyotokea huko Mererani hivyo yeye na
wenzake waliiba madini mengi sana. Lakini kabla ya hapo alikuwa ni chokoraa asiye na mbele wala nyuma. Kama nilivyosema sitaki kukupa historia ya watu
wengine lakini inanibidi ili uweze kujua aina ya familia ninayotoea.
Baba yangu alituambia kuwa yeye alikuwa ni mtoto yatima ambaye baba na mama yake walikufa kwenye ajali mbaya iliyotokea huko Kateshi/mbulu.Hicho
ndicho kikawa chanzo cha yeye kuwa chokoraa. Baadaye alikuja Arusha kutafuta maisha ambapo walipelekwa Mererani kama manyoka. Huko aliteseka sana
mpaka alipokuwa kijana anayejitambua. Baadaye ndo akapata bahati ya mtende ya kuiba madini.
Tangia hapo akaanza biashara ya kuuza madini na mungu alimjalia sana na baadaye alikuwa anaenda Dubai kuchukua magari.Huko ndipo alipopata bahati ya
kukutana na mtoto wa kiharabu ambaye naye alimpata katika hoteli ambayo alikuwa akifikia. Inasemekana msichana huyo alikuwa n imzuri sana kitu ambacho
kilimfanya baba yangu atumie gharama kubwa kumpata.
Kwa kuwa binti huyo alikuwa akifanya kazi kwenye hotel hiyo aliyokuwa akifikia hivyo ilikuwa ni rahisi kumwingiza laini. Basi hicho ndo chanzo cha mimi
kuzaliwa. Baba yetu alituambia kuwa baada ya mahusiano yao ya mda mrefu na mtoto huyo wa kiarabu huku wakizunguka nchi nyingi na kula raha, baadaye
binti huyo aliacha kazi na kuja Tanzania.Baba anasema walipata wakati mgumu sana kwani familia ya binti huyo mrembo alikataa katu katu mwanao kuolewa
Afrika na mtu mweusi tena mkristo.
Hivyo basi kutokana na upendo wao wa dhati binti huyo alikubali kutengwa na familia yao na kuja Tanzania n kuishi na baba yangu. Nazani sasa umeanza kupata
picha halisi ya uzuri wangu. Huu unene sijui niliupata wapi lakini nahisi ni kwa upande wa baba yangu ambao na wao nasikia walikuwa ni wazuri sana.Hapo
ndipo historia ya maisha yangu inapoanzia.
Nimekulia kwenye familia ya kitajiri hali ambayo ilinifanye nisizijue shida mpaka nilipofkisha umri wa kubalehe. Nakumbuka niliwahi sana kubalehe au kuvunja
ungo na kipindi hicho nilikuwa standard six(darasa la sita) huko international school mjini Moshi.Basi waswahili husema hujafa hujaumbika na kaka yangu
kama nilivyowaeleza alipelekwa nje ya nchi ambapo baada ya miaka mitatu alirudi nchini akiwa katika hali hiyo ya uteja na ushoga.
Kaka yangu huyu alikuwa ni wa mama mwingine ambaye baba alizaa nae kabla ya kukutana na mama yangu.Najua unasubiri kwa hamu na jamu kujua nini
kilitokea katika maisha yangu mpaka mimi kuharibikiwa na kuwa malaya, kahaba maarufu ndani na nje ya nchi.Sio mbaya nikaanzia hapa. Ilikuwa ni siku ya
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
jumapili asubuhi mimi nikiwa likizo nimelala kwenye chumba changu, kipindi hicho najielewa kabisa kwani tayari nilikuwa na umri wa miaka 13 na tayari
nilishaanza kusoma sekondari.
Siku hiyo ulitokea ugomvi mkubwa sana baina ya mama yangu na baba yangu.Chanzo kikiwa ni mama ambaye alikuwa akimshinikiza baba waame Tanzania na
kwenda kuishi Dubai kwenye moja ya jengo lao la kifahari ambalo walikuwa wamelinunua. Baba alikuwa akikataa kwa madai kuwa asingeweza kuhama Arusha
kwani biashara zake zingeyumba sana.
Ugomvi ulikuwa ni mkubwa sana kitu ambacho kilimpelekea mama yangu kuondoka Tanzania na kurudi kwao Dubai.Kiukweli mpaka leo sina uhakika kuwa
hiyo ndo ilikuwa sababu ya msingi ya wao kuachana au kulikuwa na kitu kingine nyuma ya pazia.
Tangia siku hiyo sikuwahi kumwona tena mama yangu mpaka leo hii ninapoamua kusimulia historia ya maisha yangu.Tuliendelea kuishi na baba yetu na cha
ajabu baba hakutaka kuoa mwanamke mwingine yeyote.Tuliishi vizuri sana na baba yetu ingawa kaka yangu tayari maisha yake yaliharibika na kuugua ukichaa
kabisa.Sikushangaa sana kwani tunajua madhara ya madawa ya kulevya.
Lakini kuna kitu kimoja ambacho huwa nakikumbuka sana. Kitu hicho ni kilichosemwa na daktari mmoja wa KCMC ambaye ni bingwa wa saikolojia na
magonjwa ya akili. Alitueleza kuwa kaka yangu alikuwa anaugua ugonjwa wa U-SOCIAL huu ni ugonjwa mbaya sana unaosababishwa na mapenzi.Inasemekana
kuwa kaka yangu alipokuwa huko chuoni alitokea kumpenda dada mmoja ambaye alikuwa amemzidi mwaka mmoja wa masomo.
Inasemekana pia mapenzi yao yalipita kiasi mpaka wakawa kama ni mwili mmoja. Daktari huyo alitueleza kuwa U-SOCIAL ni ugonjwa hatari sana ambao
unafanya watu wengi kuchanganyikiwa na kuwa vichaaa kabisa. Dakatri huyo alisema kuwa huo ni upendo mkubwa sana ambao mtu hawezi kuishi bila ya
mwenzie na nakumbuka alitutolea mfano wa nyuki ambao wanakuwa tayari kutoa kizazi chao kwa ajili ya nyuki mmoja ambaye ni malikia.Sijui kama nipo
sahihi sana ila mtawauliza wataalam wa ecology.
Basi inasemekana kaka yangu na huyo msichana walifikia hatua hiyo kwani kaka yangu alishawahi kumtolea mpaka figo kuokoa masiha yake. Binti huyo
alikuwa anatokea Kampala nchini Uganda na kutokana na hali nzuri ya kiuchumi baiana ya familia zote mbili yaani ya kwao na kwetu penzi lao liliweza
kushamiri sana.
Kwa kuwa binti huyo alimtangulia kaka yangu mwaka mmoja wa masomo basi alivyomaliza alirudi nchini kwao Uganda. Hapo ndipo kasheshe ilipoanzia kumbe
binti yule alikuwa na mpenzi wake wa mda mrefu na ndiye alimpeleka South Afrika kwa ajili ya masomo. Hivyo alipomaliza tu masomo aliolewa na kibaya zaidi
siku ya harusi yake kaka yangu alipewa taarifa na mmoja wa marafiki wa karibu wa msichana huyo.
Kaka yangu akafunga safari mpaka Kampala nchini Uganda kwenye mji mkuu wa nchi hiyo na alifikia Severa Hotel sehemu ambayo shughuli za harusi zilikuwa
zikiendelea. Hakuamini macho yake lakini
Sijisifii lakini kiukweli nilikuwa na uwezo mkubwa darasani kitu ambacho kilimfurahisha sana baba yangu na kuwa tayari kuniudumia kwa gharama yeyote ile.
Basi niliendelea kuishi maisha mazuri yale ya kutojua shida, maisha ambayio kila mtu aliyatamani. Nilisoma mpaka nikafika form five hapo ndipo safari yangu
ya maisha yalipoanza kuingia doa. Hapa nitasimulia kwa urefu zaidi kwani ndicho chanzo cha mimi kuharibikiwa. Nakumbuka kipindi hicho biashara ya baba
zilianza kuyumba, migogoro ya kutokulipa kodi na serikali ilimmalia
Sijui kama ilikuwa ni kweli ni mkwepa kodi au laa lakini nakumbuka baba yangu dakika chache kabla hajafa alinambia kuwa serikali eti imeamua kumfilisi sio
kwa sababu eti halipi kodi la hasha bali ni kwa sababu alikuwa na mahusiano wa kimapenzi na msichana mmoja ambaye alikuwa ni kimada wa kigogo mmoja wa
serikalini.
Baba alienda mbali sana na kuniambia licha ya kutaka kumfilisi pia walishajaribu mara kibao kumbambikizia kesi ili wamfuge. Nilikuwa simwelewi kwa sababu
kila baada ya sentensi mbili alikuwa akinambia “mwanangu dunia sio mbaya bali walimwengu ndio wabaya” Alionekana kama ni mtu ambaye alikuwa akisubiri
mda wake wa kukata roho ufike. Niliumia sana kwani uwezekano wa baba yangu kuendelea kuishi ulikuwa ni mdogo sana.
Baba yangu alikuwa akiongea maneno hayo hospitalini ambayo kwangu yalionekana kama ni wosia wa mwisho. Baba yangu alipigwa risasi na watu
waliosadikika kuwa ni majambazi, japo taarifa zilikingana kwani wapo waliodai kuwa baba yangu alipigwa risasi na majambazi na wapo waliodai kuwa baba
yangu alipigwa risasi na wafanyabiashara wenzake ambao walizulimiana madini. Ukweli haujulikani mpaka leo lakini baba kabla hajafa alinambia kuwa watu
wanaomtoa uhai tayari walikuwa wameshaiba hati zote za nyumba zake.
Kauli ambayo hata mimi ilinishangaza na kuniumiza sana. Kitu pekee ambacho baba yangu alinambia ni kwamba katika moja ya shamba lake ambalo lipo huko
longoi wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro amefukia kiisanduku ambacho hicho kisanduku ndani yake kulikuwa na madini ya Tanzanite na hicho ndicho kitu
pekee ambacho alikihifadhi kama urithi wangu. Baba alinambia kuwa “kwa sasa mwanangu huna nguvu ya kutetea mali zilizoporwa na kutaifishwa na watu
wasiopenda maendeleo ya watu wengine lakini hayo madini kama nikiyapata ni zaidi ya utajiri. Kauli hiyo ndio ilikuwa ya mwisho kutoka kwenye kinywa cha
baba yangu.
Baba alikata roho kwa mtindo huo na kuniacha njiapanda nisijue ni sehemu gani hasa hayo madini aliyaficha. Nikabaki nimeduwaa nikachanganyikiwa nisijue
cha kufanya. Basi taratibu zingine za mazishi ziliendelea na baada ya hapo ndipo mauzauza yalipoanza. Nilibaki mwenyewe nisiye na ndugu kwani kaka yangu
alipelekwa huko Milembe kwenye hospitali ya vichaa. Basi baada ya hapo nilirudi shuleni na kuendelaea na masomo yangu huku nikiwa sijui nini hatima ya
maisha yangu
Baadaye tulifunga shule na niliporudi likizo nilichoka kabisa kwani ile nyumba niliyokuwa nakaa ilikuwa imevunjwa na kujengwa ghorofa kubwa sana na kwa
sasa ni moja ya shoping centre kubwa sana hapo Njiro-Arusha. Nilichanganyikiwa nisijue cha kufanya na kila rafiki wa baba niliyempigai walikana kunijua.
Nilikosa msaada na ikumbukwe kuwa baba yangu pamoja na kujulikanna Mbulu tena kwa jia la Bura lakini ukweli ni kwambaalikuwa ni mkimbizi kutoka
Rwaanda na huyo baba yake Bura alikuwa ni baba wa kumlea tu. Na babada ya wazazi wake hao wa kumlea kufariki kwa ajali yeye alikuaja Arusha na kuishi
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
maisha ya kichokoraa mpaka hapo alipoapata bahati ya mtende.
Nazani sasa unanielewa ninaposema nilikuwa sina ndugu kwani baba yangu hakuwa na ndugu yeyeote zaidi ya marafiki ambao na wao kwa sasa ndio hao
wameshagawana mali zote. Nimebaki mimi na dunia yangu hivyo basi nilimwomba rafiki yangu wa kufa na kuzikana kwa jina Joyce anisaidie kunisitiri
nyumbani kwao. Likizo ilipoisha tulirusi shuleni na kuendelea na masomao ingawa kwangu ilikuwa ni kitu kigumu sana.Sikuzoea kusoma kwa shida hasa
ukilinganisha na historia yangu.
Maisha yalibadilika sana na kilichokuwa kinanisaidia wakati huo ni hela ambazo baba yangu alikuwa akiniwekea kwenye akaunti yangu pamoja na zile ambazo
nilikuwa nikimwibia.Nilikuwa na akiba ya kutosha kwenye akaunti yangu lakini bado hazikunipa amani na furaha kutokana na tabia yangu ya kuwa na matumizi
makubwa sana.Nilijaribu kutaka kuacha shule lakin walimu na wanafunzi wenzangu hasa Joyce walinisaidia sana mpaka nikamaliza kidato cha sita.
Ingawa uwezo wangu kimasomo ulishuka sana liakini nilikuwa na uhakika wa kufaulu na kujiunga na chuo.Nilipomaliza elimu yangu ya sekondari hapo Marian
girls mkoa wa pwani nilitafakri sana wapi nitaenda. Baadaye niliamua kwamba nibora niende Moshi na kukodi chumba changu na kuendelea na maisha yangu
huku nikisubiri matokeo ya form six. Nilipachagua Moshi kwa sababu kwanza maisha yalikuwa ni rahisi sana na pili nilitaka kufanya utafiti na kujua mahali
ambapo lile shamba la baba lipo ili niweze kupata hayo madini ambayo ndio urithi nilioachiwa.
Hivyo nikabaliana na ule msemo kuwa life is change(maisha yanabadilika) na kuamua kujishusha kabisa na kuishi maisha ya chini kabisa ili niweze kuishi kwa
viakiba vya hela ambavyo mda wowote vingeweza kuisha. Niliendelea kuishi hivyo kama kifaranga cha kuku kinachoamini kesho kitanyonya ingawa mama yake
hana maziwa. Niliishi kwa matumaini kuwa siku moja nitarudi juu na kuishi maisha niliyoyazoea. Kila siku iendayo kwa mungu mawazo yangu yote yalikuwa
huko kwenye hilo shamba la marehemu baba yangu ambako aliniambia ameficha madini ya Tanzanite. Pakoje na pana umbali gani kutoka mjini hayao ndo
maswali nilioshindwa kujijibu nikabaki navuta taswira ya sehemu ambayo ni mafichoni sana.
Wakati mwingine nilimkumbuka sana mama yangu lakini sikjua jinsi ya kumpata na nilijuta sana kwa nini aliamua kuachana na baba yangu na kurudi kwao
Dubai. Nilitamani sana kwenda Dubai kumtafuta lakini sikuwa na mbele wala nyuma.Basi niliendela kuwaza na kuwazua nisijue nini hatima ya maisha yangu na
siku hiyo nilimkumbuka sana mwalimu mmoja ambaye alikuwa field shuleni kwetu huyo alitokeaga kunipenda sana lakini mimi nilikuwa nampotezea sana.
Siku hiyo nilimkumbuka sana mwalimu huyo kwa jina la John kwa sababu ndio mwanaume wa kwanza kunitoa wanawali wangu. Nakumbuka kipindi hicho
nilkuwa nipo form six mwanzoni na tulienda tour yetu ya mwisho huko Amboni Tanga. Sipendagi kulikumbuka tukio hilo lakini ngoja nilisimulie kwani ndio
chanzo cha mimi kuyajua mapenzi.Huwezi amini kwa uzuri wa sura na umbo niliokuwa nao mpaka nafika form six nilikuwa simjui na sijawai kulala na
mwanaume.
Najivumia kwa hilo kwani wasichana wa siku hizi kidato cha kwanza tua wameshaanza hayo mambo. Basi mwalimu huyo baada ya kunifuatilia sana shuleni na
kunishindwa aliamua kutumia nafasi hiyo ya kwenda kutembele mapango ya kale huko Tanga vizuri. Nakumbuka mimi nilikuwa kiranja wa michezo na
mwalimu huyo na mwalimu huyo kijana alikuwa mwalimu wa michezo msaidizi akishirikiana na madam Kunambi. Hawa watu walikuwa ni mtu na binamu yake
na ukweli huo hakuna mtu aliyeujua zaidi yangu mimi. Hata hiyo nafasi ya field ya John ndo madam alimfuatilia. Siunaju tena shule kubwa kama zile ni kazi
sana kupata kwa ajilia ya mafunzo kwa vitendo(field). Ukweli huo nilikuja kuujua baada ya kufanya ziara Amboni huko mkoani Tanga. Basi siku hiyo usiku
ulipofika tulikwenda kulala Lodge moja ambayo ni maarufu hapo mjini Tanga.
Tukio hilo sijui lilipangwa au la kwani eti kila chumba walitakiwa kulala watu watatu lakini alibaki mwanafunzi mmoja ambaye ni mimi hivyo madam akashauri
kuliko kulala watu wa nne ni bora mimi nikalale nae.Basi usiku madam akanipeleka mahali (outing) kwa madai kuwa alitaka kunionesha uzuri wa mji wa
Tanga.Basi tulienda sehemu moja ambayo kwa kweli ilikuwa ni nzuri sana akaagiza vyuku tukaendelea kula raha ili hali wanafunzi wenzangu hawajui.
Mimi baada ya hapo nilikuwa nakomaa na soda zangu lakinji baadaye madam alinishawishi ninywe red wine. Alinishawishi sana nionje na nikajikuta nakunywa
na kutokana na ladha nzuri iliyokuwa nayo mimi niliongeza speed nikijua kuwa haina kilevi.Nakumbuka ilikuwa ni natural sweat red wine yaani ni wine ile ya
matunda kabisa, tena ilikuwa ni tamu kama juisi.
Hapa naweza sema ingawa mimi nilikuwa mtoto wa kishua lakini sikuwai kuzinywa zaidi ya kuziona kwenya friji.Basi baadaye madam huyo ambaye na yeye
bado ni mbichi(mdogo) kiumri. Baadaye madam alimpigia Mwalimu John ambaye tulimwacha kule walipolala wanafunzi na yeye alikuwa amelala chumba cha
mbali kidogo kutokana na jinsia yake
Basi mwalimu huyo baada ya kunifuatilia sana shuleni na kunishindwa aliamua kutumia nafasi hiyo ya kwenda kutembele mapango ya kale huko Tanga vizuri.
Nakumbuka mimi nilikuwa kiranja wa michezo na mwalimu huyo kijana alikuwa mwalimu wa michezo msaidizi akishirikiana na madam Kunambi. Hawa watu
walikuwa ni mtu na binamu yake na ukweli huo hakuna mtu aliyeujua zaidi yangu mimi.
Hata hiyo nafasi ya field ya John ndo madam alimfuatilia. Siunaju tena shule kubwa kama zile ni kazi sana kupata kwa ajilia ya mafunzo kwa vitendo(field).
Ukweli huo nilikuja kuujua baada ya kufanya ziara Amboni huko mkoani Tanga. Basi siku hiyo usiku ulipofika tulikwenda kulala Lodge moja ambayo ni
maarufu hapo mjini Tanga.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Tukio hilo sijui lilipangwa au la kwani eti kila chumba walitakiwa kulala watu watatu lakini alibaki mwanafunzi mmoja ambaye ni mimi hivyo madam akashauri
kuliko kulala watu wa nne ni bora mimi nikalale nae.Basi usiku madam akanipeleka mahali (outing) kwa madai kuwa alitaka kunionesha uzuri wa mji wa Tanga.
Basi tulienda sehemu moja ambayo kwa kweli ilikuwa ni nzuri sana akaagiza vyuku tukaendelea kula raha ili hali wanafunzi wenzangu hawajui.Mimi baada ya
hapo nilikuwa nakomaa na soda zangu lakini baadaye madam alinishawishi ninywe red wine. Alinishawishi sana nionje na nikajikuta nakunywa na kutokana na
ladha nzuri iliyokuwa nayo mimi niliongeza speed nikijua kuwa haina kilevi.Nakumbuka ilikuwa ni natural sweat red wine yaani ni wine ile ya matunda kabisa,
tena ilikuwa ni tamu kama juisi.
Hapa naweza sema ingawa mimi nilikuwa mtoto wa kishua lakini sikuwai kuzinywa zaidi ya kuziona kwenya friji.Basi baadaye madam huyo ambaye na yeye
bado ni mbichi(mdogo) kiumri alimpigia Mwalimu John ambaye tulimwacha kule walipolala wanafunzi na yeye alikuwa amelala chumba cha mbali kidogo
kutokana na jinsia yake.
Nilishituka sana kutokana na ujio wa huyo mwalimu, kuna sababu mbili kwanza sikupenda ajue kuwa nimetoka out na mwalimu na pili ni kwa sababu alikuwa
akinitaka kwa mda mrefu sana. Mwalimu John alivyofika alikaa kwa mbwembwe na aliagiza kuku choma na bia japo sikumbuki alikuwa anakunywa bia
gani.Alionekana kuwa mwenye furaha sana kitu ambacho kilizidi kunitia hofu maana nilihisi naweza kuuzwa kiurahisi mno.
Wakati tukiendelaea na stori mara alikuja mbaba mmoja sio mzee sana lakini ni kijana wa makamo.
Alikuja na gari kali sana na alipofika madam aliamka na kumkumbatia hapo haikuitaji kuuliza kitu chochote dhairi walikuwa ni wapenzi. Alipokaa tu alimpa
mwalimu mkono na kumwambia “ habari za masiku shemeji” kauli ambayo iliniweka matatani. Nikajiuliza shemeji yake kwa nani, je kwani madam na John ni
ndugu? Wakati nikiendelea kutabasamu naq mimi alinipa mkono na kuniambia hujambo mrembo na nilipomsalimia alichombeza kwa kusema kweli shemaji
yangu John unajua kuchagua.Kauli ambayo ilizidi kunitatiza na kunikera lakini sikutaka kuonesha kuwa nilikereka.
Tuliendelea kunywa na kula huku vikiagizwa vitu mbalimbali kama vile supu ya pweza na kadhalika.Baadaye nilienda mawaliotoni kujisaidia huku nilijiuliza
maswali mengi nilikuwa nakosa majibu na niliporudi mezami nilimkuta amebaki Mwalimu John peke yake.Na nilipo kaa nikamuuliza mwalimu mbona umebaki
mwenyewe.
Alinijibu huku akitabasamu “usihofu madam amemsindikiza mume wake na atarudi. Mda haukupiata na mimi simu yangu iliingia meseji kutoka kwa madam
ambayo ilisema “Nimemsindikiza mume wangu, nakuomba usiwe na hofu John mimi namwamini sana, nitarudi baada ya dakika 30” Sikujibu ile meseji kwani
niliona alikuwa akinichanganya tu maana mda ulikuwa umeenda sana na saa yangu ya mkononi ilionesha ilikuwa ni saa 5 na dakiaka 43 usiku. Hivyo ilimaanisha
atarudi saa sita na ushee ukizingatia na nusu saa za kitanzania nilizidi kuchanganyikiwa kabisa.
Tuliendela kupiga stori na Mwalimu John huku safari hii akiama na kunisogelea zaidi wenyewe wanasemaga zero distance. Nilitumia nafasi hiyo kumuuliza
kama yeye na madam Kunambi ni ndugu. Naye alinieleza kuwa alikuwa ni mtoto wa mjomba ake yaani binamu japo walikuwa hawataki wafanyakazi wenzao au
wanafunzi pale shuleni wafahamu. Tuliongea mengi lakini yeye alijaribu kuelezea hisia zake kwamba ananipenda sana. Siku hiyo sikuwa mkali kutokana na
mzingira yenyewe na kuna baazi ya vitu nilikuwa namsapoti.
Nilimweleza ukweli kuwa mimi ni bikira na sijawahi kulala na mwanaume yeyote yule hivyo kama ananipenda kwa dhati basi avumilie nimalize shule. Alikuwa
ni mjanja sana huyu mwalimu kwani alikuwa akijibu sera zangu kwa hoja. Nakumbuka alinambia kuwa bikira si kitu cha maana sana kwa mwanamke eti kwa
sababu ule ni utando mdogo ambao upo pembezoni mwa kuta za ikulu ya mwanamke.
Hata ukiitunza vipi hauwezi kukaa nayo maisha yako yote. Akaendela kusema kuwa ndo maana wanawake wengine hawajawahi kujamiana lakin si bikira.
Akaongeza kuwa utando huo unaweza kutoka kwa kuendesha baiskeli kufanya mazoezi na kadhalika.
Uchambuzi huu ulinigusa sana kwani hata mimi nilijihisi kuwa sikuwa na utando huo yaani bikira japo nilikuwa sijawahi kujamiana na mwanaume wa aina
yeyote zaidi ya ile michezo ya utotoni ya kula mbakishie baba au ile ya kibabababa na kimamamama.Alianza kunishika mapajani na kunifanya nianze kusisimuka
ajabu kwani japo alikuwa ni mwanaume mikono yake likuwa ni milani sana kama ya mtoto wa kike.
Niliendela kusisimka na mapigo ya moyo yaliongezeka sana na nilitamani madam arudi upesi aniokoe kwenye mtego huo wa simba mwenye uchu na nyama ya
twiga aliyembele yake.Niliitoa mikono yake taratibu na kumshikisha glass yake ya pombe nikiwa na maana aendelee kunywa. Alipiga pafu mbili kisha akachukua
ile chupa ya wine akaninmiminia kwenye glass yangu kisha akaninywesha.
Nilikunywa kwa nguvu na nilipomaliza nilihisi kama kuna kitu alikuwa amenichanganyia kwani ile iliyobaki kwenye glass ilikuwa ikitoa povu na yeye alikuwa
kama amepigwa na butwaa na kusibitisha hilo aliimwaga chini ile uliyobaki kwenye glass na kunimiminia ingine ambayo haikutoa povu.
Alafu akajibaraguza kwa kusema inaelekea hii wine ya kwenye glass ilipigwa na upepo sna. Niliona kabisa kuwa kauli yake haikuwa na mantiki lakini niliamua
kupotezea na kuendela na stori zingine. Kadri dakika zilivyokuwa zinaenda ndivyo hivyo nilivyozidi kuzidiwa. Nililewa sana na kichwa kilianza
kuniuama.Nikaanza kulalamika mbona madam harudi?Mwalimu huyo aliendelea kunidanganya huku mimi nikiendelea kuzidiwa huku nikimlazimisha anipeleke
kulala.
Sikujua tuliondoka saa ngapi wala kwa kutumia usafiri gani. Nilikuja kushituka saa kumi usiku na kujikuta nipo kama nilivyozaliwa tena kitandani na mwalimu
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
John.Roho iliniuma sana na nilipoangalia pemeni niliona paketi za kondom zilizotumika na zisizotumika. Kidogo nilifarijika nikajisemea kama alitumia kinga
sio mbaya sana maana nilikuwa katika siku za hatari ya kupata mimba.
Ilinibidi nimwamshe na alipoamka alijifanya kuniomba msamaha tena kwa kunipigia magoti. Nakumbuka alinambia nimsameha sana na alifanya vile kwa sababu
alikuwa akinipenda sana na pili eti jana tuliponzwa na pombe na alinieleza kuwa mimi nilkuwa nimezidiwa sana na alipompigia madam eti alimwambia kuwa
ameamua kwenda kufurahia usiku na mpenzi wake hivyo basi ameeacha fungo pale mezani nikupeleke chumbani kwake alafu yeye atarudi asubuhi.
Nilichukia sana na nilkua nalia na nilimtupia swali “kama ndo hivyo kwa nini ukanileta huku chmbani kwako wewe unafikiri wanfunzi wenzangu wakijua
nitaiweka wapi sura yangu.Alianza kunibembeleza na kuniambia ikifika saa 11 ataniamishia kwenye chumba cha madam alkini nitunze siri.
Nakumbuka alinionya sana na akanambia kama ningeripoti tukio hilo lingekula kote kote akiwa na maana kuwa yeye atapoteza kazi na mimi nitaachishwa shule.
Kwa akili zangu za kitoto nilimwelewa hivyo basi akaanza tena mchezo wake wa kunishikashika sehemu zenye hashki na nilipozidiwa nikajikuta nampanulia
miguu mwenyewe na kwa mara ya kwanza. nilisikia raha ya mapenzi.
Nilihisi nipo dunia ingine na kwa kweli nilikuwa natoa miguno ya ajabu. Nikakumbuka ile kauli kuwa sio kila msichana ambaye hajawai kufanya mapenzi ni
bikira. Maana mmmmh kulikuwa hakuana hata chembe ya damu.Aaaah kwa kweli nilienjey sana maana zile za usiku mimi nilikuwa sijielewi ila raundi hii
nilikuwa mzima kabisa na pombe zilikuwa zimekata.
Basi baada ya raundi hiyo ya asubuhi nilijifanya nilijifanya kukasirika na kumtupia lawama kuwa ameniumiza. Mwalimu alicheka na kuniambia usijali kwa
maana mara ya kwanza huwa inauma lakini asante kwani ulitoa ushirikiano mzuri. Sikuwa na la kusema zaidi ya kuingia bafuni nikaoga zangu huku nikiwa bado
aibu zinanitawala ikanibidi nirudie nguo zile zile kitu ambacho sikuwahi maishani mwangu.
Ndio ilikuwa ni kitu cha ajabu kuweza kurudia nguo kwani enzi zangu kipindi naitwa Leah nilikuwa nabadilisha nguo za ndani kwa siku mara tatu. Saa kumi na
moja ilikuwa tayari imefika hivyo mwalimu John alinitoa kwenye chumba hicho na kunipeleka na kunipeleka kwenye chumba cha madam. Nilifungua nikaingia
nikajitupa kitandani na kujifunika shuka ili eti madam akija ajue kuwa nililala humo.
Kumbe mwenzangu ndo alichora ramani hiyo kwa John. Basi ilivyofika saa kumi na mbili madam alikuja na kwa mbwembwe alinambia “samahani sana best
kwa kukuacha ulale mwenyewe” Na mimi nilimjibu usijali madam. Akaingia bafuni akaoga na alivyotoka na mimi nilijibaraguza kwa kuingia tena bafuni na
kuoga na nilivyotoka nilibadilisha nguo na kuvaa jezi za shule tayari kwa safari ya kurudi shuleni kwetu
Hizo ndo kumbukumbu za mwanaume wa kwanza maishani mwangu.Nilimkumbuka sana mwalimu John kwa sababu hapa moshi nilikuwa naishi sana maisha ya
upweke ambao huu ni ugonjwa unaoripotiwa kuua watu wengi sana nchi za ulaya. Upweke huu ulisababishwa na vitu vingi ikiwa ni pamoja na hali ngumu ya
maisha na pia na kutokana na tabia yangu ya kukataa wanaume waliokuwa wakinitaka.
Ilikuwa ni mwisho wa mwezi hivyo nilikuwa nawaza jinsi ya kupata kodi ya miezi sita kwani tayari kodi yangu ilikuwa imeisha na kwenye akaunti yangu
kulibakiwa na hela kidogo sana, na naweza kusema ilibakia hela ya kula tu.Hivyo nilinyanyua simu na kuamua kumtafuta mwalimu John. Namba zake nilikuwa
nazo ingawa yeye hakuwa na namba zangu kwani mimi nilikuwa nabadilisha badilisha sana namba.
Kwa bahati nzuri nilimpata hewani na nilipomuuliza yupo wapi, aliniambia kwa sasa yupo Dar es Salaam na ameamua kuendelea na masomo na tayarii
amejiunga na masters.Nilimweleza kuwa mimi nipo Moshi na nilikuwa nimemiss sana.Kwa kweli mwalimu John alichanganyikiwa kusikia kuwa nimemmiss
sana. Siunajua tena kila ndege utua mti aupendao na kwangu ndo ulikuwa ni mti wake. Alikuwa hana jinsi ilimbidi apange safari ya kuja moshi mwezi ujao.
Na kwa kuwa mimi nilikuwa na shida niliona kuwa mwezi ujao itakuwa mbali sana, hivyo nilimdanganya kuwa nilikuwa na safari ya kwenda Dubai kumtafuta
mama yangu. Kwa hiyo nilimwomba aje wikiendi kwa maana siku hiyo ndo kwanza ilikuwa ni jumatatu.Nilipokata simu tu nilisikia mlango ukigongwa , ikabidi
niamke na kwenda kuufungua.Nilishituka sana kuona alikuwa ni yule dada ambaye huwa anakusanya kodi na kupeleka benki.
Ngoja nikueleze kitu hapo nilipokuwa nimepanga kulikuwa na wanafunzi wa chuo, hivyo basi majukumu yote ya nyumba alikabiziwa dada mmoja kama
mwakilishi wa mwenye nyumba.Nilikuwa sina jibu la kumpa kwa sababu nilikuwa sina hela ndani na kwa mawazo ya harakaharaka nilimwambia yule dada
naomba namba za mwenye nyumba niongee nae kwani mambo yangu yalikuwa yamekwama.
Kwa dharau alinambia “yaani wewe una matatizo kweli hata namba za mwenye nyumba ulikuwa huna” Nilijifanya mjinga ili anipe namba sikumjibu jeuri na
aliponipa nilimwambia anipe dakika kumi nitampa jibu.Niliingia chumbani na kumpigia baba mwenye nyumba ambaye alisifika kwa kupenda mabinti
wadogo.Kwa kuwa nilishajua udhaifu wake niliamua kuutumia vizuri.Nilimlegezea sauti mpaka akingia laini lakini alinambia ananipa wiki moja la sivyo
nitafute sehemu ya kukaa bure kauli ambyo iliniuma sana.
Alikuwa na haki ya kuwa mkali kwani alishanitongoza mara mbili nikamkatalia. Nilifungua mlango na kwenda kumgongea yule dada mkusanya kodi na kabla
hajafungua nikasikia mtu akigonga getini. Nilijifikiria mara mbili kwenda kufungua kwani nilikuwa nimevaa kanga moja, ukilinganisha na jinsi umbo langu
lilivyo nidhairi kabisa kuwa kama ni mwanaume alikuwa akigonga ni lazima ningemtia majaribuni.
Nikasema potelea mbali njoja niende kumfungulia. Mungu wangu alakuwa ni mtoto wa kiumewa baba mwenye nyumba ambaye na yeye alikuwa na gheto lake
hapo japo alikuwa akionekana mara chache sana. Aliponiona tu kwa mshtuko aliangusha simu zake mbili alizokuwa ameshika mkononi.Betri kule, mfuniko kule
na yeye akabaki ananikodolea mimacho.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Nilishagundua kuwa nilifanya makosa makubwa kutoka na kanga moja tene zile za mtepweto. Na kwa kuwa alikuwa ameganda kama mtu aliyepigwa nashoti ya
umeme niliinama chini na kuanza kuokota zile simu na betri ilikuwa imeenda mbali kidogo hivyo ikanilazimu kupiga hatua na kumwachia mgongo na makalio
na hapao niliamua kufanya makusudi tu siunajua tena sisi wasichana wakati mwingine tunajisikiaga raha kuona mtu anapagawa.
Nilisimama nikampa simu zake na kumwambia samahani.Akavipokea nakuniambia usijali na yeye kuingia ndani na mimi nikaenda kwa yule dada na kumwambia
kuwa nimeongea na baba mwenye nyumba amenielewa hivyo yeye apeleke benki za wengine mimi nitamalizana nae mwenyewe. Aliguna kutokana na kauli zangu
kwa maana alimjua baba mwenye nyumba jinsi alivyokuwa mkorofi sana na hata siku moja kodi yake haikupitishwa.
Alishangaaa ikabidi ampigie simu. Baba mwenye nyumba alimwambia kwa kifupi ni sawa binyi huyo ana matatizo. Dada huyo alikata simu na kuniambia sawa
unaweza kwenda. Nilipokuwa naondoka alinambia ebu njoo mara moja na kuniuliza vipi huyu mzee mpoje maana siamini? Mimi nikamjibu kwa kifupi kawaida
tu usiwe na wasiawasi.
Basi akanambia take care mdogo wangu huyo mzee anapenda sana mabinti wadogo kama nyie.Sikumjibu kitu nilirudi chumbani kwangu na kuendelea kulala
japo ilikuwa ni saa nne asubuhi. Ndio ilikuwa ni kawaida yangu kulala mpaka saa sita kwani nilkuwa sina cha kufanya na wala nilikuwa sina pa kwenda na
ukizingatia nilikuwa sina hela mimi ilikuwa ni wa kushinda ndani tu.
Niliwasjha lap top yangu niliyonunuliwa na marehemu baba yangu tangia nikiwa mdogo.
Japo nilishauza vitu vyangu vya thamani lakini lap top nilishindwa kuiuza kwa sababu ndo kitu pekee kilichokuwa kinanipa kamapani na kunifariji. Ilikuwa ni
kawaida yangu kuangalia movie nikichoka naingi akwenye mitandao ya kijamii nachati na kusoma makala za waandishi mbali mbali hasa zile za mwandishi
anayejiita Eliado na nilipenda sana hadithi zake kwani zilikuwa zikinigusa na mapak nikaamua kumtafuta ili aweze kunitungia hadithi hii ya kweli ya maisha
yangu.
Ilivyofika saa saba mchana njaa iliniuma nikasema ngoja nitoke nje nikachukue mayai nije nikaange nile.Safari hii sikutoka na kanga moja niliamua kujisitiri
kwa kuvaa kipedo na top. Nikatoka nje ya geti na kwenda dukani, kabla sijafika nikakutana na yule kaka mtot wa mwenye nyumba. Akanisimamisha na kuanza
kuiuliza maswali mengi yasiyo na maana huko akionekana kutojiamini. “samahani dada, sijui unaelekea wapi”?Nikamjibu dukani. Akavuta pumzi ndefu na
kuniambia ok, nisaidie namba zako za simu. Nikamwangalia juu na chini nikwambaia nimezisahau na simu nimeiacha ndani nikirudi ndani nitakuletea..
Akaishiwa pozi akanambia, nikombe kitu komoja kama hautojali... “kitu gani sema haraka mimi nasikia njaa nilimjibu kwa ukali” Alasema hapa nimenunua
nyama kilo moja na kule ndani nina viazi unaonaje tukajiunga pamoja.Nikacheka kwanza na kumuuliza kwani wewe hujui kupika? Akajibu hapana wewe njoo
bhana au hujiamni? Akaendelea ujue mambo ni kusaidiana na chakula anachopika mwanaume ni tofauti na anachopika mwanamke...
Hapo kimoyo moyo nilishakubali maana kuliko kushindia mayai mawili ya mia tano si bora kula rosti ya chipsi ya burebure.Ikabidi nimkubali huku nimtania
kwa kumwambia umwogopi mkeo? Akacheka na akongoza njia mpaka chumbani kwake na sikuaamini macho yangu kwani ile naingia tu nilikaribishwa na
harufu nzuri aliyopulizia kwenye chumba chake. Kwa kweli lilikuwa ni gheto zuri sana ambalo mwanamke yeyote akiingiz lazima angeshtuka kutokana na jinsi
lilivyopangiliwa na usafi mzuri. Akanikaribisha kwenye sofa la ngozi na nilipokaa tu alienda moja kwa moja kwenye friji akachukua vinywaji vya aina tatu,
juice, wine na soda za kopo. Akanisogezea kimeza cha kioo na kuniambia karibu.
Kwa haraka haraka na mbwembwe zangu za kitoto nikamuuliza hakuna maji, swali lilomshtua kwani yeye alijua kwa idadi ya vinywaji alivyoleta alikuwa
kamaliza kazi. Niliamua kumsumbua tu lakini kiukweli niiitamani iloe wine huku nikukumbuka lile tukio la Mwalimu John. Akafungua friji akaniletea maji na
bia za kopo mbili akimaanisha kuwa hataki tena usumbufu
Basi nikafungua nikanywa glass moja na kwa kuwa njaa ilikuwa ikinisumbua nikachukua juisi nikanywa tena glass moja. Akawasha flat sreen iliyokuwa mbele
yangu kisha akaniletea remote akiwa na maana nichague nitakayo ipenda niendelee kuangalia.Sikumwelewa maana nilijua ataniletea viazi niendelee kumenya
kwa kuwa nilimwambia nasikia njaa.Kama alikuwepo kwenye akili yangu ingawa hakuniletea viazi nimenye aliniletea matunda na karanga niendele
kula.Kimoyomoyo usikute ananiwekea madawa anizimishe maana alionesha dhairi anapagwa natoto la kibantu.
Sikujivunga nikaendelea kula vitu taratibu, mara apple, papai na vingine sijui hiyo friji ilikosa nini.Basi nikachagua CD moja iliyoandikwa Asian Romantic
nikaweka na kuanza kuiangalia na yeye alikuwa bize akikata kata nyama.Nilimwomba nimsaidie lakini aliktaa akasema nyie si mnafikirii wanaume hawajui
kupika ngoja leo nikonyeshee.Kimoyomoyo nikasema afazali maana hata mimi uwongo dhambi nilkuwa sijui kupika vizuri ndio usishangae hii ni kutokana na
malezi niliyolelewa na baba yangu.
Nyumbani mimi sikuwahi kupika na isingekuwa ile kozi ya mapishi niliyosoma kule o’level mbona ingekuwa kasheshe. Kaka wa watu aliendelea kupika na
mimi kuangali movie ile niliyoichagua. Mara hee kumbe bhana ile CD huko mbele watu walikuwa wakichakachuana live(wakifanya mapenzi). Niliamua
kupunguz asauti ili niendelee kufaidi ya duniani. Kumbe wahindi na wao wamo lakini nilivyoona naweza kuzidiwa na kuleta majanga niliamaua kubadilisha na
kuweka CD ingine.
Japo yule alijifanya kuniuliza hiyo CD ni nzuri sana ungefoward tu hiyo sehemu na uendelee kupata love stories. Sikumjibu kitu maana niliona nia yake sio
nzuri. Niliendelea kuangalia movie huku zile za season niliamaua kuziweka pembeni ili nikitoka nimwombe nikaziangalizie kwangu.
Nilikuwa free utazani huyu kijana tulijuana mda mrefu. Niliomba chakula kiendelee kuchelewa ili niendelee kufaidi kwani nilichoshwa sana na mimi kila siku
kujifungia ndani kama mwali.Basi baadaye chakula kiliiva kikaletwa mezani nikajipakulia mwenyewe mtoto wa kike na kuendelea. Niliamua kujitoa ufahamu
nikaacha maringo kwani nijilijua nikitoka hapo kukutana na chakula ni mpaka kesho tena. Tulikula huku tukipiga stori za hapa na pale.Kubwa zaidi ilikuwa ni
kufahamiana.
Alijitambulisha kuwa yeye anaitwa Ally ni afisa wa wanyamapori huko TANAPA na mda mwingi yupo porini. Ila wiki hii alikuwa amechoka kwani walikuwa
huko mikumi wakikusanya data kwani yeye yupo kitengo cha utafiti(research). Alijinadi vya kutosha na kutokana na sera zake ata mimi nililowana.Nikatokea
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
kuvutiwa ghafla na kijana huyu anayeonesha kujitambua na kujua nini maana ya maisha.
Nilimwacha atawale mazungumzo kwani mimi siku zote sikupendaga mtu ajue historia yngu ya maisha. Basi baada ya kula aliweka filamu kali tukaanza
kuangalia niliytamani kuaga lakini niende wa[pi na kufanya nini. Basi kwa kuwa na yeye alisema alikuwa hana pakwenda tuliendelea kukaa hapo mpka giza
likaingia. Kila nikiaga alikua akikataa na kuniomba niendelee kumpa kampani. Na pia alitumia kigezo cha kusema subiri movie iishe wakati ni dhairi shairi hata
ningesubiri kiasi gani ile movie isingeisha maana ilikuwa ni collection na labda uangalie kwa mda wa siku tatu mfulilizo.
Usiku ulivyozidi niliondoka na kuingia chumbani kwangu na kujitupa kitandani huku nikiendelea kutafakari mambo yaliyotoka siku hiyo, nikakumbuka jinsi
kaka wa watu alivyochanganyikiwa baada ya kuniona nikiwa ndani ya kanga moja. Nikajisemea “ inaonekana ni mkarimu sana”.Basi nikaamua kupotezea
mawazo hayo lakin kabal sijalala mara akanitumia meseji inayosema asante kwa kampani yako nimefurahishwa na wewe sana na ningeoenda urafiki wetu
uendelee na ikibidi uwe zaidi ya urafiki. Niliielewa vizuri ile mesji lakini niliijibu kisanii “asante, karibu tena”> Kauli ambayo siku zote uwa inawachanganya
wanaume wengi. Aliendelea kunichombeza kwenye meseji mpaka nikapitiwa na usingizi***************************
Siku zilienda huku nikisubiri wikiendi ifike ili niweze kukutana na mwalimu John mawanume wa kwanza kuujua mwili wangu na kufaidi maungo mazuri
niliyojaliwa na mungu. Ndio usishangae ndugu msomaji mwanamke ni tunda, pambo, mlezi, mshauri na mlezi. Sijisifii lakini mpaka sasa nasubiri matokeo ya
kujiunga na chuo ni mwanaume mmoja tu ndo nilishawahi kukutana nae.
Ni ijumaa tulivu mida ya saa kumi jioni huku mji wa Moshi ukiwa umetawaliwa na kibaridi cha wastani hali ya hewa ambayo nilikuwa nikiipend sana
Nilikwenda stendi kwenda kumpokea mwalimu John. Alinambi alikuwa amepanda Bus la Kilimanjaro hivyo hawatashukia stendi bali kwenye ofisi zao.
Nilikuwa na hamu sana ya kumwona klwani nilimmiss sana.
Wakati naendelea kumsubiri kuna mtu alinigusa begani, nikageuka kwa haraka na kukutana na tabasamu kali la kijana mmoja ambaye alikuwa ni shombeshombe
aliyefuga nywele utazani mtoto wa kike.Sikuongea kitu zaidi ya kumsilkiiza lakini chs ajabu na yeye hakusema kitu zaid ya kutabasamu hivyo nikaingia na hofu
na kumuuliza samahani nikusaidie nini.? Akanipa hearphone zangu ambazo niliziangusha pembeni kisha akanambia “am Chriss”(naitwa Kris) nikamjibu thank u
am Leah. Hatukuweza kuongea tena kwani gari tulilokuwa tunalisubiri lilikuwa limeshafika hivyo akaingia mfukoni na kutoa business card yake na kunikabizi.
Sikutaka kuikataaa, niliichukua nikaitupia kwenye pochi yangu na kumpa ishara ya kumwaga na kwenda kumkumbatia Mwalimu John. Alikuwa yupo simpo sana
siku hiyo mpaka nikashangaa kwani alikuwa amevaa hizi kaptura za kisasa na kifulana cha kubana na sendo na mkononi na alikuwa na kibegi kidogo vile vya
kimichezo.Kidogi nimsahau yaani yule mwalimu aliyezoea kuvaa suruali na kuchomekea mda wote leo hii amevaa kisharobaro. Basi nikajua ni zile mbinu zake
anazotumiaga maana alishawahi kunielza kuwa eti yeye ni usalama wa taifa. Mimi huwa simwamini sana maana hawa watu nasikiaga eti hata wake zao huwa
hawawajui. Tuliongea mawili matatu na kuniuliza tunaelekea wapi mwenyeji wangu?
Mimi sikuwa na jibu la swali hilo niliridisha mpira kwake “sema wewe boss wangu tunaeleka wapi maana mimi moshi bado mgeni”Tukaingia kwenye tax na
moja kwa moja tulipelekwa Leorpard Hotel.Sikujua kwa nini alichagu hapo lakini palikuwa ni katikati ya mda.Tukaingia ndani na mwalimu John alibadilisha
nguo na kwenda kuoga. Nikajifanya kama sijamwona na mimi nikaendelea kuangalia uzuri wa kile chumba, kwa kweli kilikuwa ni kizuri na kilikuwa na kila kitu
mpaka huduma ya internet. Basi alitoka bafuni na kuvaa kibukta fulani hivi kizuri chenye rangi za kuvutia. Akaja kitandani tukakaa na kuanza kupiga stori,
tuliongea mengi sana na zaidi zilikuwa ni lawama zilizoelekezwa kwangu kuwa kwanini sikumtafuta miezi yote hiyo na hili nilibadilisha namba na sikutaka
kumwambia.
Kimoyomoyo nikajisemea ungejua ni hizi shida za masiha ndo zinanifanya nichanganyikiwe asingenilaumu.Hapa ngoja nikupe siri moja, ujue sisi wasichana
wakati mwingine mwanaume anaweza kuwa anakupenda sana lakini usirizike kuwa nae.Huyu mwalimu mimi nilikuwa simkubali kihivyo sema faida aliyopata ni
ile ya kuwa mwanaume wangu wa kwanza aliyenifundisha mapenzi ni nini. Lakini kitu kingine kilichonifanya nimtafute ni shida si unakumbuka nilikuwa na
daiwa kodi na niliomba nipewe wiki moja tu na siku hiyo ilikuwa ni ijumaa hivyo zilibaki siku mbili tu
Basi nilimwomba msamaha na kumwambia ni shida za maisha tu ndo zilikuwa zikinisumbua. Sikutaka kumweleza yote kwa haraka kwani angeshtuka sana hivyo
nilienda nae taratibu.. Wakati tukiendelea na stori simu yake ilikuwa ikiiita sana lakini alikuwa hataki kupokea, kitu ambacho kitu ambacho kilinishtua
nikamwambia “please pokea simu yako kabla hujanikera”Ilivyoita tena akapokea, nikatega sikio nisikie anaongea na nani siunajua tena wivu lazima. Kumbe
walikuwa ni marafiki zake wa moshi, wakamwambia wanamsubiri mahali wakutane.
Basi alivyokata akanambia kuna club moja nasikia imefunguliwa huku Moshi inaitwa Club La Liga hivyo inazinduuliwa leo na marafiki zangu wanataka tuende.
Vipi tunaweza kwenda wote aliuliza John. Nilikosa jibu la swali hilo kwani sikujiandaa kwenda club si unajua tena kila sehemu na mavazi yake. Kipindi hicho
nilikuwa bado ni mshamba hata club nilikuwa sijawahi kwenda na pia bado nilikuwa na akili za kitoto. Alinishauri sana tuende wote kwani kuwa na marafiki ni
jambo zuri.
Akanambia kuwa wamemwambia wapo East Africa Pub na tayari wamaeshaagiza mkuu wa mbuzi. Mmmmhhhh kusikia mguu wa mbuzi mate yalinijaa
mdomoni. Basi kwa harakaharaka nikamwambia naomba niende niende nyumbani nikachukue viwalo vya club kisha nitawakuta hapo. Alinambia mbona hizo
nguo ulizofaa zipo poa tu wewe twende hivyo bhana si upo na mimi.Nikamwambia ujue hizi nguo ni za heshima sana na kwa club watu wataniona kama ni
mshamba, Je, wewe unapenda rafiki zako wanione mimi mshamba?Hakuwa na jinsi akanipa elfu kumi na kuniambia chukau tax hapo nje uende nayo fasta na
ikibidi urudi nayo na pia uchukue nguo za kubadilisha kesho maana yeye yupo mpaka jumatatu ndo ataondoka.
Nikatooka nje na kwa ubahiri wangu badala ya kuchukua tax nilipanda boda boda siunajua tena mjini mipango. Nikafika gheto na nikamkuta yule kaka mwenye
nyumba amekaa kwa nje.Nikamsalimia na kumwambia na haraka kidogo kuna mahali nimealikwa kuna send off. Basi atafanyanye wakati uwongo ndo unatawala
dunia. Nikaingia ndaani nikamwaga nguo zangu zote kitandani, nikaanza kujaribisha mara hii mara hii, siunajua tena mtoto wa kike ikija swala la outing.Basi
katika kupekua pekua nikakita kiwalo kimoja, hicho ni kiboko nilikinunuaga siku nyingi lakini sikupata sehemu ya kukuivaa.
Ni vile vya kina Beyonce, kigauni kifupi kina meremetameta na kwa nyuma kinaacha mgongo wazi. Nikajiaangalia kwenye kiooo nikasema potelea mbali leo
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
wacha wanikome. Nikaenda kwenye kioo kikubwa na kujigeuza kwa kweli kilikuwa kimenibana saana na kufanya wowoo langu lionekane vizuri.
Nikachukua nguo zingine nikaweka kwenye pochi kama nilivyoambiwa, nikatoka nje kwa kasi tayari kuelekea eneo la tukio.Masikini yule mtoto wa baba
mwenye nyumba kuniona ilibidi agune, ndio alishindwa kuvumilia akanambia take care baby.
Nikacheka yaani nishakuwa baby..Sikupoteza mda nikapanda bodaboda na kuelekea mjini lakini nikiwa njiani nikapigiwa simu na John na kuniambia “wanasema
hawapo tena East Afrika hivyo mwambie akulete mpaka makumba bay.Nikamuuliza wewe ushafika akanijibu ndio. Nikamwambia boda boda anyooshe mapaka
hiyo sehemu ambayo na yenyewe ilikuwa ni maarufu sana hasa kwa huduma nzuri na bei kubwa.
Nilivyofika ikabidi nimwongeze yule bodaboda mia tani kitu ambacho kilimfanya acheke na kuniona mimi mbahiri. Akanambia fanya buku dada yangu, yaani na
kupendeza kote hivyo. Nikaona aibu na kupekua pekua pochi yangu lakini sikuona hela nyingine zaidi ya hile buku kumi niliyopewa nakamwambaia sina heala
ndogo kwanza hapa si ni hatua mbili tu hivyo kama vipi baadaye.
Nikapiga hatua mbili za madaha kuvuka upande wa pili wa barabara.
Nikachukua simu na kumpigia Ticha wangu.Akapokea na kuniambia ingia kwa ndani sisi tupo hapa kwene masofa. Kwa uwoga wangu nilimkatalia na
kumwambia aje kunichukua na nilizidi kuyasoma mazingira wakati nikiendelea kumsubiria.Nilijaribu kuvuta taswira kama pale nje palikuwa pazuri zile huku
ndugu zetu wazungu wakiwa wamejiachia kwenye vitu virefu vilivyotengenezwa kitalili talii.
John alitoka kwa mbwembwe alinikumbatia na kuniambia “umependeza sana babee” Nikamjibu kimahaba asant sana my hubby(mume wangu). Akanipa mkono
kama vile bibi harusi wanaingia ukumbini. Wanaume waliokuwa wamekaa hapo nje hawakusita kugeuka na nilibahatiaka kumsikia mmoja akisema “e bwana eeh
daah cheki hicho kifaa kilichoingai” Mwenzake akamjibu kweli kipo vizuri alafu inaonekana bado mdogo sana huyu. Tuliingia zetu ndani lakini huku nyuma
tuliacha gumzo.
Tukafika kwenye masofa na kabla sijakaa marafiki zake wote walisimama et kwa heshima. Walikuwa wanaume wawili na msichana mmoja hivyo kufanya idadi
yetu kuwa watano. Nilimwonea huruma yule kaka mmoja ambaye hakuwa na msichana kwani mda mwingi alikuwa bize na simu. Wakanambia wenyewe
wameshakula hivyo hivyo mimi niagize kitu ninachotaka. Niliagiza mchemsho wa samaki nikaendelea kufurahia maisha na kusahau shida kwa mda.Nilipoulizwa
kinywaji nilisema niletewe maji kitu ambacho kiliwashangaza wengi.
Yule kaka aliyekuwa na simu akaniuliza kwani shemeji hutumii kinywaji? Nikamjibu nakunywa kwanza maji ili chakula kiende vizuri.Nilikuwa najiuliza ninywe
nini maana yule msichana mwenzangu alikuwa anakunywa pombe ila ni hizi laini laini.
Wale wanaume wote walikuwa wakishea ile juisi ya miwa(konyagi).Basi nikamtumia meseji rafiki yangu Joyce na kumwambia “shoga nipo na company hapa na
wote wanakunywa vinywaji na wanachonga sana ebu nambie ninywe kinywaji gani ambacho akitanisumbua?” Akacheka sana kwenye meseji na kuniambia
kunywa savana dry au siminof ice ila kuwa makini usizidishe zxaid ya 3 kwa kuwa ndo unaanza. Basi niliendelea kunywa maji yangu taratibu huku nikichati na
rafiki yangu huyo ambaye naweza kusema yeye alikuwa ni mjanja zaidi yangu.
Na alishaanza harakati za starehe miaka mingi iliyopita. Basi kama kawaida ya walevi wengi waliendelea kunisihi ninywe pombe kwa madai kwamba eti
nitawalete inzi mezani. Mwalimu John kuona hivyo alinisaidia kuniagizia alimwambia muhudumu aniletee glass ya wine na kwa jinsi alivyokuwa mzooefu
alimtajia na jina kabisa lakini wakati muhudumu akienda kaunta alimwita na kumuuliza bei ya chupa nzima ya Saint Anne. Alipoambiwa alitoea hela akaletewa.
Nilipomimina tu na kuanza kunywa tu nilikumbuka ile ladha ya siku ile nilipokuwa na madam wa michezo ambayo pia ilikuwa siku niliyofungua ukurasa wa
mapenzi na mwalimu John.Hapa sasa kila mtu alichangamka na stori kunoga.Mara ikatokea kasheshe ambayo ilisababishwa na yule kaka ambaye alikuwa hana
mwanamke.Kumbe pale alipokuwa amekaa kulikuwa na wavulana ambao walikuwa ni wengi kuliko wavulana Kuna ishara ambazo walikuwa wakipeana na na
mmoja wa wasichana na alikuwa akimwonyesha simu ishara kama alikuwa akitaka namba. Kumbe yule pedeshee aliokuwa nao alishashtukia mchezo hivyo
akamshtua dada yake. Kumbe kale kabinti kalikuwa ni cha kusoma na dada yake ndo alikuwa ni kila kitu.
Basi kuna mda yule binti alienda chooni na jamaa nae akaaamka na kwenda kuchukua namba hapo ndipo kasheshe ilipoanzia. Jamaa wakati anabadilishana
namba na mtoto wa kike kwenye juction ya kuingilia maliwatoni ya kike na kiume.Dada yake naye akatokea papo hapo na akaaanza kuwatukana. Aliwachanganya
wote kwa matusi.Kitu ambacho kilisababisha ugomvi mkubwa na yule kaka alishindwa kuvumilia akaanza kumopa kifinyo(kipigo) cha maana. Ukizingatia na
konyani zilikuwwa kichwani kwa kweli alimpiga sana.
Mpaka mabausa wanakuja kumwamulia tayari mambo yalishaharibika. Watu wengi walishanyanyuka kwenye viti na mimi mwenyewe mamaaa wa umbea
nilishafika kwenye eneo la tukio na kuona kuwa yule kaka tuliyekaa naye anapigwa na mabausa nilirudi harakahara na kumwambia mwalimu John kuwa rafiki
yao alikuwa akifanya fujo.Vurugu ilikuwa kubwa sana kwani kila meza ilitaka ushindi japo John yeye aliamua kutumia busura zaisi na diplomasia.
Johna hakutaka kutumia nguvu kabisas bali kauli ambazo ziliweza kuwatuliza wale wa dada waliokuwa kwenye meza ya pembeni maana walikuwa wakitukana
sana.Baadaye aliongea na mabaunsa na wakamwelewa ila walitoa sharti moja tu kuwa nalo ni kuondoka na mtu wetu ili tusiendelee kuwa kera wateja wengine
au wamuweke selo na sisi tuendelee kukaa hapo. Hivyo ilitulazimu kuama bar.
Tulivyotoka nje kumbe walikuwa na usafiri na sijui lile gari lilikuwa hata ni la nani ila yule kaka aliyekuwa akishughulikiwa na mabaunsa ndo alikuwa dereva
kitu ambacho kiliniogopesha sana na kupoteza imani naye.Alikuwa amelewa sana hivyo angeweza kusababisha ajali mda wowote.Nilicheki mda ndo kwanaza
ilikuwa ni saa nne kasoro hivyo yule shem mwingine ambaye alikuwa na mpenzi wake alipendekeza tuende kwanza Malindi Club tuvute vute mda mpaka saa 5
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
usiku.
Kwangu mimi ilikuwa ni zaidi ya ushindi na shangwe kwani licha ya kuishi zaidi ya miezi 3 mjini Moshi sehemu hizo nilikuwa sijawahio kufika zaidi ya
kuzisikia kwenye stori tu. Tulifika Malindi Club tukaingia ndani na tulivyokaa kila mtu aliendelea kunywa kinywaji chake. Na safari hii hawakunywa tena spirit
walikunywa bia. Kazi ikabaki kwangu niagize nini wakati ile chupa yangu ya waini tulizuiliwa kuingia nayo.
Nikakumbuka vile vinywaji alivyonambia rafiki yangu Joyce, ndio ilinibidi nifungue simu yangu na kusoma zile sms.Basi muhudumu aliporudi nikamwambia
mimi niletee Savana baridi. Basi kinywaji kililetwa mezani na mwanekano wa chupa yake tu ulinifurahisha. Tuliendelea kunywa huku kasi yangu ikiwa ndogo na
hofu yangu kubwa ilikuwa nisije nikalewa na kufanya utumbo.
Vituko viliendelea na watu wengine ambao walikuwa pembeni yetu walikuwa wakicheza na kukumbatiana na wengine wakifanya vitu vya ajabu ajabu.Macho
yangu yalikuwa yakizunguka huku na kule ili kuangali watu.Niligundua kuwa kulikuwa na watu waliokuwa wamevaa vibaya zaidi yangu. Na baadaye niligundua
kuwa mule wa dada waliokuwa wakijiuliza walikuwa ni wengi sana. Matendo yao tu yalikuwa yakijieleza kwani tulipokuwa nje kuna manaeno wadada hao
walituambia “wapelekeni ndani mrudi nje tukapige short time tunawasubir” Wakiwa na maana John na marafiki zake watupeleke sisi watoto wa kike ndani na
wao warudi nje wakawanunue. Kweli biashara matangazo na hivi vitu nilikuwa nikisimuliwa tu lakini leo nilikuwaa naviona kwa macho na kuvisikia kwa
masikio yangu.
Mda ulikuwa umeenda kwani ilishafika saa 5 na nusu. Tuliingia kwenye gari na kuelekea huko Club La Liga. Nikiwa njiani nilikuwa nikijiuliza mbona kama
tulikuwa tunaenda nje ya mji. Basi tulifika na bila kupoteza mda walilipa kiingilio tukaingia na tulivyofika ndani tulipnda juu kwenye kighorofa hivyo kuwaona
kwa urahisi watu walivyokuwa wakicheza kwa chini.
Mimi nilifanikiwa kupata kiti japo wenzangu wote walikosa basi baby wangu yaani mwalimu John yeye hakucheza mbali maana alijua tu kwa jinsi nilivyo
angeweza kupokonywa mda wowote na wanaume wenye uchu na aleji na vitu vuizuri. Yule binti ambaye tulikuwa nae alikuwa na jamaa ake wakicheza kwaito
hadi nikafurahi.Nilikuwa sijawahi kwenda Club maishani mwangu japo nilikuwa ni fundi mzuri wa kucheza miziki ya aina mbalimbali na kule shuleni mimi
nilikuwa ndo kibok yao.
Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza
sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri. Yeye alishindwa kushuka
akiofika kile kitu kukaliwa na watu wengine.. Basi niliamua kuondoka stegini mara baada ya kuona wanaume walikuwa wakinibambia sana. Nilijua kabisa John
lazima atajisikia vibaya na kweli nilivyofika nilmkuta kanuna.
Kwa mbwembwe nilimpiga busu shavuni na kumwambia haya sasa ni zamu yako nenda na wewe ukacheze Akanamba nyimbo zinazomgusa bado. Akanipisha
nikakaa kwenye kiti akaenda kaunta na kuniletea maji ya kunywa. Sijui alijuaje kuwa nilikuwa na kiu. Aliendelea kuwa pembeni yangu huku akinitekenya tekenya
na kupapasa zile sehemu mbaya. Akaja yule shem ambaye alizua msala kule makumba bay. Akanambia shem twende tukacheze, nilishindwa kumkatalia japo
nilikuwa nimechoka. Tulicheza vizuri sana lakini alipoanza kuvuka mipaka nilmwekea pingamizi maana nilijua ushemeji shemeji ungeweza kuleta balaa. Wakati
akikazana kunibambia mara kwa pembeni nikamwona John akiwa anacheza na yule binti mwingine tuliyekuwa nae na walikuwa wamebambiana ile mbaya.
Basi yule mkaka akatumia nafasi hiyo vizuri na kuniambia shem acha uoga siu naona jinsi John anavyojiachia na shem wake. Basi akazidi kunikumbatia hukua
akiwa nang’ang’ania nimpe sehemu zangu za nyuma yaani mgongo na makalio. Sikuona shida sana nikawa namakatikia ile mbaya.Masikini wee kumbe kaka wa
watu alikuwa ameshazidiwa,mara akanibana kwa nguvu huku mikono kaipitisha kwenye matiti akazidi kunkumbatia kwa nguvu nikahisi alikuwa akijikojelea.
Nilivyona amevuta pumzi ndefu nikamchomoa kwa haraka na kuelekea maliwatoni. Nilivyorudi wanaume walikuwa wakinisumbua sumbua kila mmoja akitaka
kucheza nami. Niliamua kupanda zangu juu na kwenda kukaa na yule shem wangu mwingine ambaye mpenzi wake ndo allikuwa akicheza na John. “Kwa kweli
unayaweza mambo jinsi ulivyokuwa ukikatika John aatakuwa anafaidi sana kitandani” alisema shemu huyo. Wakati tukipiga stori mbili tatu kina John na wao
wakapanda.
John akaniuliza umemwacha wapi shemeji yako maaana yule ameshalewa na achelewi kufanya fujo.Sikuwa na jibu nikamwambia mimi nilikuwa nimechoka
kucheza nikaenda chooni na nilivyotoka nilipanda huku juu moja kwa moja. Wakati tukiendelea kumuulizia mara mabaunsa watatu walikuja nae na kutuuliza eti
huyu kaka mpo nae? Tayari alishaharibu huko chini na ugomvi ulishatokea. Kama kawaida yake na safari hii ilisemekana alikuwa amewashika wadada makalio
hivyo walimchapa vibao vya kutosha na fujo kutokea. Kumbe mabaunsa walikuwa tayari wamemshamtoa nje na walishamwagia maji kichwani.
Lakini eti baaada ya kusema kuwa yupo na demu wake yaaani mimi na marafiki zake,mabaunsa waliamua kumsikiliza na kumleta ndani. Rafiki zake walikuwa
wakali na kumwambia aache ujinga kwani anaweza kupelekwa selo mda wowote.Mara ulipigwa wimbo mzuri wa kikenya nikaanza kuzungusha pale pale
kwenye kiti kitu ambacho kilimtia amaasa John na kunipa mkono tukacheze. Basi John nae sijui ni pombe zilishampanda kwani alikuwa akinipapasa sehemu
mbaya na kusababisha stimu za kulimenya tunda zipande.
Safari hii hatukushuka chini tulikuwa tukicheza huko huko juu sehemu yeye kigiza kidogo hivyo ilikuwa ni rahisi kufanya mambo ya ajabu. Tayari tulishapoteza
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
staili ya mziki uliokuwa ukipigwa na sisi tulikuwa bize tukinyonyana ndimi. Mara zikaanza kupigwa taarabu na miduara, hapo sasa nikamwambia John tushuke
chini nikazungushe nyonga siunajua tena wasichana kama sisi tuliojaliwa nyonga na makalio yaliyojazia kama mlima kitonga na yaliyobebwa na kiuno laini
kama nyigu sasa ndo ilikuwa ni nyimbo zetu.
John yeye hakupata kazi sana zaidi ya kukaa nyuma yangu na kusikilizia milindimo yangu japo sikuzaliwa pwani lakini club nzima macho yaliamia kwangu.Dj
akasema tunaomba hapo kati muache nafasi watu waoneshe vitu vyao na atakayezungusha nyonga vizuri tutampa zawadi. Hapo sikujivunga ukilinganisha na
wine na savana zilizokuwa zinaanza kupanda niliingia uwanjani bila aibu yoyote. John ikabidi asarende aniache nicheze na dada mmoja hapo katikati
Kiukweli sikumweza alionesha alikuwa ni mzoefu lakini mimi kilichonibeba ni umbo langu na shape nzuri, kwani yeye alikuwa ni mwembamba sana alafu
hakujaliwa sura kwani mmmmh alikuwa na sura ngumu kama ya Bi kidude. Mungu anisamehe kwa kutoa mfano huo wa marehemu.Basi ulivyopigwa ule
wimbo wa kinyanyau sikufanya ajizi nilikipandisha juu kile kigauni changu nilichokivaa na kuacha paja moja wazi nikashikilia kiti cha plastiki kilichowekwa
hapo mbele yangu, weeee asikwambie mtu nilijichukulia ushindi na kupata ustaaa wa ghafla.John kuona nilikuwa nakaribia kumwaga radhi alinifuata na
kuniondoa.
Ilikuwa hamna jinsi ikabidi nipandishiwe zawadi zangu kule juu tulipokuwa tumakaa. Kwanza nilirudishiwa kiingilio changu, nikapewa tisheti na kuponi ya
kuingia bure siku yoyote nitakayorudi tena. John akawa mkali na kuniuliza eti nimejifunzia wapi mambo yale. Nikacheka sana na kumwambia yaaani siku zote
nashinda kwenye Tv nisijue kucheza jamani si itakuwa ni aibu.
Basi kwa kuwa mda ulikuwa umeenda sana tuliamaua kuondoka zetu.Nilimwomba yule kaka mwenye mafujo nimsaidie kuendesha gari kwa kuwa yeye alikuwa
amelewa sana.Alikataa katu katu na mimi kuona hivyo nilimwambia John siwezi endeshwa na mlevi bado nayapenda maisha yangu, Kauli amabyo ilitaka kuleta
ugomvi kwani na yeye alisema unafikiri kuendesha gari ni rahisi kama kukata mauono.
Sikutaka kubishana nae nilitoa leseni yangu ambayo ilikuwa kwenye pochi ndogo nikamwonesha na kumwambia aache zarau. Akanipa funguo, siunajua tena
mtoto wa kishua enzi za marehemu baba yangu nilishajifunza tangia nikiwa shule ya msingi.Niliendesha vizuri tu mpaka pale Leorpad Hotel kisha sisi tukashuka
tukaingia kwenye chumba tulichokodi na kuwaacha wao hapo nje.Sijui nini kiliendelea hapo nje au walifikaje walipokuwa wakienda.
Tulivyoingia tu Mwalimu John kwa papara alinitupia kitandani, bada sijakaa vizuri alishazamisha ulimi wake mdomoni mwangu. Yaani sijui ni akili za pombe
mikono yake tayari ilikuwa kwenye matiti yangu ambayo yalikuwa yamebanwa vizuri na kile kigauni changu. Kwa jinsi alivyokuwa na papara nikaamua nikivue
tu asije akakichana. Hapo ndipo nilipoharibu yaani alikuwa na uchu kama paka aliyeona panya.Alitaka nyoka wake aingie pangoni mwangu hata kaba sijavua
kufuli langu.
Nikaguna mmmmhhh, kweli hajielewi nikaamua kumfanyia makusudi akinishika huku mimi naruka kule nia ni kuruhusu sehemu zangu za ikulu zilowane kwa
uteute ili akiingiza mtwangio kwenye kinu nisiumie.Maana huwezi kutwanga tu bila mpangilio au maandalizi mazuri sana sana utaumiza kinu, siunajua tena
hichi ni kinu cha dhahabu.Nilifanya hivi ili tupate mda wa kufanya romance siunajua tena tulikuwa hatujafanya haya mambo kwa mda mrefu.
Nilimvua nguo zake nikamlaza kitandani na wembamba wake nilimmudu kwa kweli. Nikaanza kumchezea kwa kumpapasa kifuani kwenye garden love yake.
Huwezi amini japo alikuwa ni mwanaume lakini milio aliyokuwa akitoa ni kama ya mtoto wa kike. Aligugumia sana na kuomba huruma yangu kwa kubadilisha
milio mara ya smartphone mara analogia basi tu ndo mizuka ya mahaba.
Basi nikaona sio jambo baya kutumia kucha zangu kumpagawisha kwa kuzipitisha mwili mzima, masikioni mapajani,kwenye korodani na sehemu zote zenye
hashki.Kwa wale mabinti wasiojua umuhimu wa kucha leo ndo siri nawapa kucha ina nafasi sana kwenye mapenzi mradi tu ziwe zimechongoka vizuri alafu
unakuwa kama unachora nane nane kwenye sehemu zenye hisia za haraka. Ila kama huna kucha nzuri unaweza tumia pia ulimi wako.Nia yangu ilikuwa nataka
kile kibao cha kwanza chenye kiherehere kitoke chenyewe.
Lakini pamoja na utundu wote huo wapi ndo kwanza jogooo wake alikuwa amesimama kama msumari na kulikuwa hakuna dalili ya kulaala bila kuwika.
Nikaona Mwalimu John atanisumbua nikashusha mdomo wangu pande zile na kuanza kufanya uchafu wa kizungu.Hapo sasa kidogo alie maaana nililamba koni
yake kwa ustadi wa hali ya juu huku nikipuuza ile meseji na picha niliyotumiwa WhatApp kuwa kuzama chumvini(orala sex) ina madhra kwa afya ya
mwanadamu ikiwa ni pamoja na kupata kansa ya mdomo na koo.
Nilinyonya na kulamba mpaka nikaona mwalimu John anafunga funga macho, mara heeeee si akapiga ukunga jamani kumbe alikuwa anaangaika asinimwagie
mdomoni.Kugundua hivyo niliitoa haraka kisha nikaona wale wazungu weupe kama maziwa ya mgando yakiruka juu kwa kasi.Mmmmmhhh sikuwai kuona kwa
kweli maana yaligusa neti. Nikastaajabu ya Musa baada ya kuyaona ya firauni, macho yakanitoka kama mjusi aliyebanwa na mlango na mawazo ya kijinga
yakanijia eti kama bao lake lilikuwa na nguvu vile je akimwagia kwenye ikulu yangu si ndo litatokea mdomoni.
Wakati naendelea kufikiria ujinga mara akachukua taulo akajifuta maana mimi nilikuwa nashangaa tu.Mara na yeye akanivamia, sijui alikuwa anataka kufanya
nini ila nilikuwa makini asije niingilia bila soksi(kondomu).Siunajua tena peku peku ni mbaya unaweza chomwa na miba ya magonjwa na mimba na mimi
nilikuwa kwenye siku za hatari.Akanichojoa kufuli langu jeupe peee amabalo lilishalowana kwa ute na kubaki kama nilivyozaliwa.
Hapo sasa mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda mbio. Aliamua kulipa deni kwa kukichezea kitumbua changu, mwanzo alianza kuingza kidole kitu ambacho
huwa sikipendi, nilimzuia kwa kumtoa vidole vyake kuonesha kuwa sipendi kuigizwa kidole sehemu zile ambazo ni sensitive sana.Basi hakuwa na jinsi zaidi ya
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
kunilaza chali na kuanza kuninyonya kwa kutumia ulimi wake, kitu ambacho kilinipeleka ulimwengu mwingine kabisa.
Kwa kweli hata mimi huduma hii ilinifuraisha japo ina madhara mengi na inapigwa vita ila ina raha yake kwa kweli. Yaani nililia milio yote ya huku duniani,
mara nigune kichina, mara nitoe milio ya kuku jike(mtetea) na kiboko ni pale nilipoweweseka kama smartphone iliyozidiwa na meseji za WhatsApp.
Niliweweseka sana na kuomba nipewe dawa. “Basi babee inatosha mume wangu, mwingize tuuuuuuuuuuh” hayo ni baadhi ya maneneo yaliyontoka.
Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta
mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa
ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa kweli hata yale mawazo ya kumwambia avae kondom yalishatoweka.
Asikwambie mtu mwanaume alijua kucheza na hisia zangu maana kuna mda aliongeza spidi kama vile anachochoe pedo za baiskeli, utamu si utamu , uchungu si
uchungu jamani nyie haya mambo yana raha. Alifanya yake mpaka pale alipoamaliza na nilijitahidi tumalize wote.Nikasikia akisema asante asante babee.
Nilimwacha apumzike lakini wapi alijifuta na kabla injini yake haijapoa na kulaa alinibenua tena, hii sasa inaitwa mbuzi kagoma kwenda, mmmh ni raha lakini
nilikuwa naumia kimtindo siunajua tena mtoto wa kishua nilikuwa sijui kuchuma tembele.Nikaona isiwe tabu nikamchomoa na kumtupia kitandani. Yaani
nilivyokuwa nafanya natamani ungekuwa unaniona na jinsi nilivyokuwa mlaini mwili mzima wewe acha tu
Nikapanda mimi juu yake na kuanza kumpa yale mambo yangu ya kule club.Nilizungusha kiuno na nyonga mpaka nikasema naweza kukinyofoa kidude chake.
Hakuacha kunipa sapoti lakini jasho lilikuwa likmtoka vibaya sana, kukojoa hakojoi na mimi nilikuwa sibanduki. Mpaka akasema babee unasumaku nini mbona
jogoo wangu hachoki kuwika. Alinisifia sana kwa kweli eti ikulu yangu imejengwa kwa nta hivyo ni mnato mnato isiyoisha hamu.
Basi tulisiadiana mpaka pale kila mtu alipomaliza haja zake na kufika kileleni. Alivyomwaga tu alinikumbatia kwa nguvu na hakubanduka tukapitiwa na usingizi
huku viungo vyetu muhimu na vyenyewe kwa mara ya kwanza vikalala pamoja.Nilikuja kushtuka asubuhi nikamwonea huruma sana mwalimu John yaani na
wembamba wake ule nililalajuu ya kifua chake mpaka asubuhi. Tulichelewa kuamka sana na mbaya zaidi walipanga na marafiki siku hiyo tuende Marangu
Waterfalls nje kidogo ya mji wa Moshi.
Ilishafika saa tatu asubuhi na rafiki zake walishaanza kumsumbua kwenye simu.Basi ilinibidi aniulize eti babee tuende au la? Mimi kwa kuwa sikuwahi kufika
sehemu hiyo basi niliona ndo nafasi nzuri ya kufika sehemu hiyo.Sikumjibu moja kwa moja kuwa twende, lakini nilimwambia aangalie ratiba zake kwani mimi
ni kijakazi wake na siku zote nipo kutii amari ya boss wangu.
Kauli hiyo ilimfanya acheke na hivyo aliamka akanipa hishara kuwa twende tukaoge tena kwa maji ya moto ili kuondoa uchovu.Baadaye tuliletewa breakfast ya
supu tukanywa na tulivyomaliza akampigia rafiki yake akaja kutuchukua na gari.Safari hii alikuwepo yule tu ambaye jana yake alikuwa na mpenzi wake. Kwa
hiyo tulikuwa wanne tu.Asikwambie mtu siku zote mkiwa na usafiri wenu ni raha sana kufanya tour kama hizo.
Ndio utalii wa ndani sasa haiwezekani tupo Kilimanjaro na hatujui vitu vilivyomo. Tulipitia supermarket kubwa na maarufu mjini Moshi iliitwa NAKUMAT,
tukachukua vitu muhimu kama vile bites na vinywaji. Wanaume wao walichukua spirit(pombe kali) na sisi tukachukua wine. Tukapitia sehmu moja karibu na
stendi(polisi mess), tukafungiwa kuku mzima wa kuchoma.
Kumbe yule rafiki yake na mwalimu ni mtu maarufu sana na alikuwa tayari amekwisha weka oda.Basi safari ikaanza huku watu tukijiaachia kwa stori za hapa na
pale. Mwanzoni mimi nilifikiri kuwa nikaribu kumbe palikuwa na pa mwendo. Tulifika huko mida ya saaa tano , tukalipa kiingilio na kuendelea kujiachia.
Hakuna mtu aliyebeba nguo rasmi ya kuogelea jambo ambalo lilituwia ugumu.Wanaume wao walivua na kubaki na vibukta na kuanza kuchezea maji na
kuogelea pembani ya maporomoko ya maji hayo. Mimi uzalendo ulinishinda mara baada ya kuona wazungu wanaogelea na vichupi tu. Na mimi hakuna kitu
nilichokuwa napenda maishani kama kuogelea. Ikabidi nichojoe na kubaki na taiti niliyovaa, nilitamani na yenyewe niitoe na kubaki na kufuli lakini nikafikiria
umbo langu jinsi lilivyo na mvuto nikajua itakuwa ni shida.
Mimi nikajirusha na kuanza kuogelea nikaenda kabisa sehemu ambayo watu walliogopa kufika kwa madai kuwa maji yalikuwa na kina kirefu sana.Sehemu ile
iliogopwa kwa sababu ndipo maporomoko ya maji yalikuwa yakipiga, mimi nilitumia uzoefu wangu wa kuogelea niliofundishwa na wazungu ambao walikuwa
ni marafiki wa marehemu baba yangu.
Watu wasionijua walibaki wakinishangaa tu so wazungu sio waafrika wote macho yaliaamia kwangu.Mwalimu John yeye alibaki ameshika kichwa tu kwa
uwoga kuwa nitapata madhara. Ilikuwa lazima washangae maana hakuna aliyeweza kufika ile sehemu niliyofika na kuogelea mimi. Nilivyotoka wale wazungu
waliniomba tupige picha nao kitu ambacho hakikimfurahisha mwalimu John.
Kuna mzungu mmoja alienda kwenye pochi yake na kuniletea mawasilianao yake. Nilikichukua kile kikadi chenye mawasilianao ya yule mzungu wa kiume ili
kisije kikazua balaa siunajua tena Mwalimu John alikuwa na wivu sana..Sijui ndo tayari amedata na mimi au ndo mambo yao ya kizungu. Basi tuliendelea
kupiga picha za kumwaga ilimradi tuuze sura kwenye mitandao ya kijamii.
Baadaye tulipelekwa kwenye pango ambalo kwa kweli lilitisha sana na palikuwa panagiza nene. Niliogopa sana na sikutaka kubanduka pembeni ya mwalimu
John. Alafu nishazoea kumwita mwalimu John na sijui kwa nini sipendi kumwita babee.Tulivyotoka kila mtu alikuwa amejichokea.Tukafungua vile vyakula na
vinywaji vyetu na kuendelea kujitanua.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Tulivomaliza yule kuku wa kuchoma tukaaamia kwenye sambusa na bagia, kachori na sijui nini vingine. Tulivyomaliza kula tuliamaua kuamia kwenye vinywaji
na leo nilikuwa nakunywa wine kama maji maana ile ya jana ilibaki sijui hata ilienda wapi.Hivyo nikasema leo mpaka nione made in................. siunajua tena
ukipata vya mteremko tumia maisha yenyewe mafupi, leo unacho kesho huna.
Baada ya hapo tulipelekwa sehemu ambayo wanatengeneza vitu vya asili vya kichaga. Tulioneshwa aina ya mavazi na vitu ambavyo walikuwa wakitumia zamani.
Kuna vitu ambavyo nilivipenda nikavinunua.Mda ulikuwa umeenda sana hivyo tukaingia kwenye gari na kuridi zetu Moshi.
Walituacha hotelini na wao wakaenda zao. Tulifika chumbani na nilipoingia bafuni Mwalimu John alinifuata na kuanza kunisugua mgongo.. Aliniogesha kama
mtoto mdogo na kutokana na kunishikashika zile sehemu nyeti nilijikuta napandwa na mizuka. Huko huko bafuni mambo yaiharibika uvumilivu ukatushinda
tukajikuta tunaenda raundi moja tena kavu kavu.
Baada ya hapo ndo nikaanza kumuuliza maswali yangu ya msingi. “Hivi wewe Ticha unampango gani na mimi maana tangia jana hutujavaa kinga”? Eti na yeye
anajifanya kushangaa na kuuliza hivi tangia jana hatuj vaa heee.? Nikamkazia macho kwa hasira, Akaendelea kuongea “mimi nilifikiri upo safe day na ndo
maaana unajiachia tu”. Majibu hayo yalinikera sana. Nikamwambia basi jiandae kulea.
Hapa nikaona naweza kupata mimba kiutani utani ikabidi niwasiliane na kungwi wangu yaani Joyce.“Shoga mwenzio tangia jana nakula pilau kwa mkono” hiyo
ndo meseji niliyomtumia. Akanijibu sikuelewei vizuri shoga yangu una maanisha mnatembea msituni kwenye miiba pekupeku? Nikamjibu ndio shoga wangu
pombe zinaniponza tangia jana niambie nifanyaje shoga yangu.?
Akanambia “nenda duka la dawa waaambie wakupe vidonge vya post natal hivyo vinarekebisha mambo kama hujazidisha masaa 48 tangia ufanye mapenzi.Alafu
kuna vingine watakupa hivyo unavimeza kabla hujaanza kale ka mchezo”. Nikamtumia meseji na kumwambia asante sana shoga yangu. Akanijibu kuwa makini
usipende kutembea pekupeku kuna magonjwa meseji iliyonitisha kidogo.
Nilimwomba John aende duka la dawa akatafute zilee dawa za kuzuia mimba kabla masaa 24 hayajafika. Ilinibisi nimwambie kuwa ni masaa 24 badala ya 48
maana ningemwambia 48 asingeenda. Basi kwa kuwa alinijalia aliingia bafuni akajimwagia maji akavaa nguo zake na kuanza kushuka ngazi za ghorofa huku
akiniacha mimi nikiwa pale kitandani mtupu kama nilivyozaliwa.
Niliamaka kwenda kuoga huku nikiwa najiangalia kwenye kioo jinsi nilivyokuwa mzuri.Yaani huwezi amini mimi mwenyewe nilikuwa najipenda na kujitamani.
Sema nikawa najiuliza kwa nini mungu hakunipa matiti maakubwa kama yalivyo makalio yangu. Nikajisemeha mweeehhh mungu hakosei ningeweza kuchukiza
bure. Nikanyikonyeza kwenye kiooo na kumwambia asante Mungu kwa kuniumba jinsi nilivyooumbwa
Nilijisugua vizuri huku yale maji nikiyawekea shower jelly ambayo huwa inanifanya ninukie siku nzima. Nilijisafisha vizuri, siunajua tena na unatakiwa ujue
kujisafisha vizuri.Ikulu ni sehemu nyeti sana inayohitaji usafi wa hali ya juu. Wewe unafikiri mtu kuingiza ulimi ni jambo dogo. Nilivyomaliza kuoga
nilijikausha vizuri na kuondoa unyevunyevu hasa vile sehemu nyeti.
Sikuona haja ya kuvaa kufuli maana nilijua Ticha akirudi mda wowote atataka tena.Nilijifunga khanga na kujilaza kitandani. Nililiaa kifudifudi makusudi tu ili
Ticha John akija akutane na mlima kitonga, si unajua ndo ugonjwa wake.Ticha John alirudi na safari hii alipoanza kuchezea wowowooo nilimzuia kwani mambo
ya kuoga oga kila saa yalinichosha. Lakini wapi aliendelea kunipapasapapasa, nikamwambia ina maaana wewe mwanaume bado hujatosheka tu? Akanijibu kwa
jinsi ulivyo ata ukinipa kila saaa sikinai.
Nilimwambia tupumzike bhana kwani ndo kwanza nilikuwa nimetoka kuoga lakini wapi mtoto wa kiume haelewi utazani jogooo mda wowote akitaka
anakimbiza tu mtetea na kupanda.Alivyoona nimebana sana eti akatoa lap top yake na kuweka nyimbo na kuniomba nicheze. Yaani nilizidi kumshangaa na
kumwona kuwa amechanganyikiwa kwa vitu anavyovitaka.
Basi kwa kuwa mapenzi ni upofu na wakati mwingine ni uchizi nilianza kuyarudi magoma pale pale kitandani. Akaona haitoshi akaninyanyua na nikasimama juu
ya kitanda huku nikimkatikia mauno na yeye alikuwa akipiga makofi. Dj huyu wa kufoji akaona kama vile haitoshi akaniwekea ule wimbo wa kinaijeria baby
pull over.....show me your particular..........reserse.........back.......basi na mimi sikufanya hajizi nilikuwa navua kiukweli na kumwonesha vitu vyangu vya
mbele,nyuma, kati na juu.
Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya
kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika
kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.
Aliniwekea vichekesho vifupi vifupi ili mradi nikenue meno ili ayaone, siunajua tena nilikuwa na meno mazuri meupe pee yanayong’aa vizuri na kwenye moja
ya meno yangu ya mbele nilikuwa nimebandika dhahabu. Ndio usishangae si baba yangu alikuwa nimfanyabiashara wa madini. Pamoja na shida za hela pia bado
sikuwa tayari kuliuza kwa sababu ndio kumbukumbu yangu kwake.
Nakumbuka meno hayo ya dhahabu aliniletea kipindi nipo form two baada ya kufaulu mtihani wangu vizuri alinipa kama zawadi. Meno haya huwa nayavaa
kwenye matukio maalum, maana wakati mwingine unawez aonekana mtoto wa kishua wakati hela ya kodi inanishinda hapa mjini. Haya meno marehemu baba
yangu aliyapenda sana na siku aliyoyaleta aliniletea mimi na mama yangu hivyo pia huwa ni kumbukmbu kwa mama yangu.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mwalimu John baada ya kunionesha vitu vilivyonipa raha akaweka mkanda wa xxxx, yaani nia yake ni moja mzuka upande tuanze kuchakachuana. Nikaona isiwe
tabu nikachukua ile lap top na kuizima. Nikamwambia sasa ni wakati wa stori na kupanga mikakati yetu ya kimaisha. Basi nilieleza mikakati yangu kiufupi na
kumwachia yeye nafasi. John alianza kueleza mikakati yake ya kimaisha huku akinitaka tuhamie Dar es Salaa na kwenda kuishi naye.Sikutaka kumkatiza
nilimwacha amalize stori zake ili nianze kumjibu kwa hoja.
Wanasemaga raha ya mapenzi ni kusikilizana na hata kama mtu alikuwa akingea pumba usimkatishe msikilize na baadaye mwambie babee hicho ndio na hicho
hapana. Basi akanipa mda na mimi nilijigeuza na kumlalia kifuani na kuanza kumwelezea shida zangu za maisha. Niliona huo ulikuwa ni mda mwafaka kwani
kesho yake asubuhi alikuwa akondoka na kuridi zake Dar.
Nilimwambia kuwa madhumuni yangu ni kuishi Moshi kwa sababu marehemu baba yangu alinambia kuna mahali alificha madini hivyo nilikuwa nikiitafuta hiyo
sehemu na kama ningeipata ningekuwa tajiri mkubwa sana Tanzania.Nilimweleza kuwa kwa sasa nikiishi maisha magumu sana..Alinisikiliza mapaka mwisho na
yeye alionesha kuumia sana.
Akaendelea kung’ang’ania tuende Dar tukaishi wote.Nilimwambia kwa sasa siwezi ondoka Moshi mpaka matokeo yatoke na hata yakitoka bado nampango
kusoma Moshi kwa sababu ya hayo madini.Kitendo chochote cha kuhama Moshi ni ishara kuwa nimekubali kuishi maisha ya kifukara. Akaniuliza “mbona siku
ile tulivyowasiliana ulinambia unaenda Dubai kumtafuta mama yako.”? Nilimwambia huko nitaenda ila sio leo wala kesho na nilikwambia vile kwa sababu
nilikuwa nimekumiss sana.
Basi Mwalimu John alinambia atanitumia hela lakini nimpe kama wiki mbili maana mshaara wake unakatwa kwenye mkopo.Kauli ambayo iliniuma sana.
Nikamwambi sasa mimi nifanyaje wakati sina ndugu wala rafiki na nikifukuzwa pale nitaenda kuishi wapi. Lakini mwalimu alisistitiza kuwa atanipa hela kidogo
ya kula na akifika Dar atafanya juu chini anitumie hiyo kodi.
Basi tuliishia hapo tukatoka nje tukala na baadaye tulirudi kulala.Usiku huo John hakufanya makosa maana aliamini anaweza asinipate tena hewani maana ndio
ilikuwa ni tabia yangu. Basi staili zote za mapenzi tulifanya usiku huo huku nikijiaminisha kwa vile vidonge nilivyovimeza vya kuzuia mimba.Asubuhi
ilivyofika nilimsindikiza Ticha stendi na tukaagana yeye akapanda gari kuelekea Dar es Salaam na mimi kurudi gheto kwangu.***********
Wiki moja iliisha na nilikuwa sijapata hela ya kodi, mitego yangu yote ilikwama nikawa sijui nifanye nini. Mwalimu John aliendelea kunipiga kiswahili kuwa
nimpe wiki moja zaidi. Nilimpigia simu mwenye nyumba na kumwomba anipe wiki moja zaidi jambo ambalo alikataa katu katu na kuniambia kuwa takuwa
hapo baada ya siku tatu na hivyo atakuja kufunga chumba chake hivyo nijiandae kwa hilo.
Nilichanganyikiwa kwa kweli ikabidi nimpigie yule mtoto wa mwenye nyumba na kumwambia nashida kidogo ya hela.Naye alinambia yupo porini hivyo
nichukue mahali na akija ataniwezesha.Kwa kweli nilichanganyikiwa kutokana na histori ya mwenye nyumba. Basi baada ya kukwama kabisa nilimpigia rafiki
yangu Joyce huyu namwachaga awe wa mwisho maana siku zote ushauri wake uwa ni mzuri lakini wenye madhara.
Ndio kawaida yake kwani na yeye alishajichokea na haya maisha na alishaanza kujiuza japo sio kwa kujianika bali kwa kutembea na vigogo na mapedeshee hapo
mjini.Mwanzoni alinishauri niamie Arusha lakini kwa kweli sikuwa tayari kuishi maisha anayoisha. Maana yeye ni starehe na starehe ni yeye. Joyce alinambia
tatizo sio hela anaweza kunipa hiyo kodi ila haitosaidia chochote kwani baada ya miezi mitatu nitamwomba tena. Hivyo alinishauri anaitafute kitu cha kufanya
ambacho kitaniingizia kipato. Alinambia kwa mafumbo sitaki kukupa samaki bali kukufundisha kuvua samaki.
Kauli hiyo huwa hainiingii kichwani kwani siku zote huwa najua matokeo yakitoka naenda chuoni.Basi Joyce alinambia ili nifanikwe na kuishi kwa urahisi ni
kudili na mwenye nyumba na kama nikifanikiwa kumweka kiganjani basi nitaishi kwa raha mjni na yeye atakuwa ananipa hela ya kula. Na kuthibitisha ilo
alipokata simu alinitumia elfu 30 ya kula. Wakati bado natafakari mara ikaingia meseji kutoka kwa baba mwenye nyumba iliyosema tatizo nyie watoto wa siku
hizi hamsaidiki. Sikuielewa ile meseji nikamjibu “baba, sijakuelewa una maanisha nini”? Akanambia kama unataka nikusaidie panda gari uje KCMC sehemu
moja inaitwa mapipa bar.
Nilijifikiria mara mbili nikaona isiwe tabu hawezi nizidi ujanja mzee kama huyu. Nikatafuta nguo ya kuvaa na nilipoipata nilitupia. Nilivaa nguo ambayo
ilionesha vizuri uzuri wangu. Ni hivi vigauni vya vitenge lakini kilikuwa kinanibana hivyo huwa kinawapa shida wanaume wenye tamaa. Kama kawaida yangu
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
huwa sipendi kabisa kupanda hice hivyo nilichukua bodaboda mpaka sehemu hiyo niliyoagiziwa.
Nilivyoshuka nilimlipa bodaboda na kumpigia mzee huyo. Nilijua kabisa kitakachoendelea huko ndani ni kutongozana na hii ni kutokana na historia ya
ukicheche aliyokuwa nayo mzee huyo. Aliagiza muhudumu aje anichukue na tulikaa sehemu ambayo ilikuwa imejificha sana. Alinikaribisha huku akionekana
mwenye furaha sana na kabla ya yote au kuniambia alinitia nini alinambia nile na kunywa kitu ninachotaka.
Kama kawaida yangu huwa sijivungi na ukijipendekeza nakufyeka. Niliagiza chipsi kuku na savana baridi kinywaji ambacho wanaume wengu huwa hawependi
kutokana na bei yake. Mzee wa watu mda wote wakati nikila macho yake yalikuwa yakinichunguza vizuri kifuani mwangu ambako hata nilikuwa sijavaa sidiria
hivyo yalikuwa yakionekana siunakumbuka nilikwambia kuwa matiti yangu hayakuwa makubwa hivyo sikuona haja ya kuyabanabana.
Nilipomaliza kula mzee alianza kujieleza huku akijifanyisha kama amelewa vile na wakati ile ndo ilikuwa ni bia yake ya pili.
Mzee alinieleza kuwa yupo tayari kunisaidia hata kama nikukaa kwake mwaka mzima bila kulipa kodi. Ila tu kama na mimi nitakuwa tayari kumsiadia. Aliongea
mengi na kusema kuwa siunajua mjini kusaidiana. Nilikuwa nikimsikiliza na kumwangalia vizuri kitu ambacho kilimwogopesha akawa anazunguka mbuyu na
kushindwa kueleza kinagaubaga nini alikuwa akitaka kutoka kwangu.
Mtu mwenyewe alikuwa amezeeka ambapo na amini kwa mziki wangu hata raundi moja asingeweza zaidi ya kunichafua tu na kuzinyanyasa hisia zangu maana
asingeweza kunitimizia kwa upande wa kitandani. Basi nikaamua kumuuliza na kumwambia ujue mimi sikuelewi ebu nambie unataka msaada gani kutoka
kwangu? Akajikaza na kwa ufupi akanambia penzi.
Nilimwangalia kwa dharau sana na kumwambia hivi wewe baba si una mke na watoto wakubwa zaidi yangu, hii umwogopi hata Mungu? Akanambia hayo yote
anayajua lakini mke wake yupo nje ya nchi na hayo mengine hayana maana kwa sasa. Nikamuuliza kwa hiyo unataka tufanye mapenzi tu au niwe mkeo?
Akanambia hapo uamuzi ni wako ila naamini wewe una mtu wako na spendi muachane kwa ajili yangu.. Nikamwambia kwa hiyo nia yako ni kunichezea tu au?
Hadi kufikia hapo mzee wa watu alikuwa ameishiwa ujanja, mbinu na maneno. Akanyamaza kwa mda na kuniambia sikia mtoto mzuri nia ni kusaidiana mimi
nataka nionje uatamu wako na wewe unufaike kwa kutokulipa kodi na kwa kweli ntakunulia hata gari kama utanipa raha duniani. Ila kama unaona
haitowezekana ni sawa ntaheshimu uamuzi wako ila tambua kesho ndo mwisho na ntakuja na kufuli kufunga chumba changu.
Nikamwambia sawa nimekuelewa kuwa unataka kutumia shida zangu kunipata. kisha nikanyanyuka na kuanza kuondoka huku nikitingisha makalio yangu kwa
makusudi tu. Alinifuata na kunishika mkono lakini nilimtoa kwa nguvu na kumwambia aniache kwani siwezi kutembea na baba yangu. Nilitoka zangu nje huku
nikiwa na hasira nikpanda bodaboda na kurudi zangu gheto.
Nilichukia sana siku hiyo na machozi yalikuwa yakinitoka, yaani mzee kama yule ananitaka au ndo alikuwa akiusambaza ukimwi nilifikiria. Niliingia chumbani
kwangu nikajibwaga na kulala. Nililia sana na kumkumbuka marehemu baba yangu, nilimtupia lawama pia mama yangu kwa nini aliondoka na kuniacha
Tanzania. Nilipitiwa na usingizi na nilipoamka niliamua kumpigia Mwalimu John na kumwambia nusu ya hela niliyomwomba ili niongezee na ile aliyonitumia
Joyce na hizi zangu nimpe yule mzee hela yake na kodi hiyo ikiisha tu nihame.
Lakini cha ajabu mwalimu John hakupatikana na nilizidi kuchanganyikiwa nikampigia Joyce na kumweleza tukio lillotokea. Joyce badala ya kuuzunika yeye
alicheka sana na kuniambia huyo sasa ndo mzuri wewe mpigie mwambie umekubali lakini upo kwenye siku zako. Kwa hiyo utampa tunda wiki ijayo alafu
tuendelee kumtafutia hiyo hela wiki moja ni kubwa sana lolote linaweza kutokea.
Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii.Nikampigia baba
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana.. Kuokoa hela ya
vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata simu.
ITAENDELEA
0 comments:
Post a Comment