Search This Blog

Thursday, 19 May 2022

JAMANI BABA - 3

 





    Chombezo : Jamani Baba

    Sehemu Ya Tatu (3)



    ILIPOISHIA :

    “Uko poa ? Nimekumisi sana !”

    “Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba ,

    niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani

    kwangu?”

    ENDELEA SASA .. .

    “Angejua unadhani angekuacha?”

    “Najua asingeniacha , lakini mbona kama leo

    kaamka vibaya kuliko siku nyingine?”

    “Mvumilie , ndivyo anavyokuaga wakati

    mwingine, mimi namjua .”

    “Nilidhani alijua , maana kama nakiona kifo

    njenje.”

    “Usijali Mwaija. Sasa leo inakuaje?”

    “Nakusikiliza wewe baba .”

    “Huwezi kutoka tukakutana mahali ?”

    “Mama nitamwambia naenda wapi ?”

    “Kusuka .”

    “Ataniuliza pesa nimepata wapi, nitasemaje?”

    “Utamwambia nimekupa mimi. ”

    “Mh ! Baba , hatanielewa.”

    “Atakuelewa tu, mimi akiniuliza nitajua cha

    kumwambia.”

    “Halafu si itabidi nikasuke kweli? Maana nikirudi

    sijasuka je ?”

    “Utamwambia ulikuta foleni na muda unazidi

    kwenda ndiyo ukaamua kurudi .”

    “Basi nitajaribu baba. ”

    “Sawa Mwaija halafu kuna kitu kingine nataka

    kukwambia...”

    “Kipi hicho baba jamani ?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Usiniite baba . Niite dear au mpenzi. ”

    “Usijali basi my dear. ”

    Masilinde alihisi damu zikitembea kwa kasi

    mwilini na msisimko juu kwa kusoma meseji

    akiitwa dear!

    “Safi sana ! halafu kingine tena. ..”

    “Kingine tena nini jamani mpenzi wangu ?”

    “Mh ! We mtoto unajua kusakata kabumbu

    kitandani. ”

    “Kuliko wewe dear?”

    “Unanishinda .”

    “Sikushindi ila ufundi wako ndiyo unaonifanya na

    mimi unione fundi .”

    “Loo ! Mwaija mpenzi ... unapenda staili gani zaidi

    ili tukikutana nikupe hiyo .”

    “Mmm! Kwa wewe yoyote ile lakini ile ya kagoma

    kwenda nzuri , nyingine napenda ile ya kujiandaa

    kuunga mchuzi kwa nazi .”

    Masilinde alibaki hoi. Kagoma kwenda hakujua ni

    nini, kujiandaa kuunga mchuzi kwa nazi pia

    hakujua ni nini ! Kuuliza akashindwa, akabaki

    kimya na kujifanya anajua kila kitu .

    “Hizo zote utazipata leo tukikutana . Halafu we

    mtoto umeumbwa vizuri sana, uliumbwa asubuhi

    nini? Maana loo !”

    “Siyo sana jamani dear , kidogo tu.”

    “Loo ! Mtoto kila kitu kipo sawasawa . Ukitembea

    unatembea kweli . Ukikaa umekaa kweli. Kulia na

    kushoto umejazia , uani ndiyo balaa ,” Masilinde

    alimsifia Mwaija huku mwili ukiwa tayari moto .

    “Mh ! Jamani my love. Wewe je , umeumbwa

    vizuri , mama anafaidi sana ndiyo maana nataka

    tukufaidi wote .”

    “Tena wewe utanifaidi sana kuliko mama yako .”

    “Hayo maneno sasa mpenzi wangu, ” alisema

    Mwaija. ..

    “Wewe muda mrefu nakuona unaminyaminya

    simu, unawasiliana na nani?” mama Mwaija

    alisema kwa hasira huku akimsogelea ...

    “Mama nilikuwa nawasiliana na rafiki yangu

    Tanga.”

    “Nani?”“ Anaitwa Rehema .”

    “Mnawasiliana kuhusu nini ?”

    “Kuna vitu vyangu f’lani ,” alisema Mwaija huku

    akifuta meseji zote za baba yake .

    “Hebu tuone hiyo simu yako. ”

    Mwaija alimpa simu mama yake huku mapigo ya

    moyo yakimwenda kwa kasi kwani alijua baba

    yake anaweza kutuma meseji muda huohuo

    kulingana na walivyokuwa wakichati.

    Bahati nzuri sana ndani ya simu hiyo kulikuwa na

    meseji za Rehema ambapo mama huyo

    alipoziona bila kuangalia muda wala tarehe

    aliamini...

    “Bahati yako, nilidhani unawasiliana na

    wanaume. Nikija kusikia una wanaume

    nitakukata masikio yako. ”

    “Siwezi mama, si unaona mimi nashinda

    humuhumu ndani .”

    Ile Mwaija anashika simu yake tu, meseji kutoka

    kwa Masilinde inaingia. ..

    “Muage mapema mama yako kwamba

    utakwenda kusuka .”

    Mwaija alikunja sura maana alijua lilikuwa bomu

    zito kama mama yake angeiona meseji hiyo.

    “Poa, lakini usitume tena meseji, kuna wakati

    simu alishika mama.”

    Masilinde alihisi mwili kwisha nguvu na

    kizunguzungu juu aliposikia simu ya Mwaija

    ilishikwa na mkewe .

    ***

    Saa kumi na moja jioni, Masilinde alitoka kwenye

    shughuli zake na kuanza kufikiria namna ya

    kuwasiliana na Mwaija maana tangu

    alipomwambia asitume meseji simu ilishikwa na

    mkewe hakuwahi kutuma meseji tena.

    Alifika maeneo ya nyumbani kwake kwa

    kubakiza kama mitaa mitatu , akasimama

    kwenye duka la Mchaga mmoja na kuomba

    msaada wa simu ...

    “Kuna mtu nataka kumpigia , sasa simu yangu

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    imejiloki,” aliongopa ili aazimwe simu.

    Alipewa simu , akasimama pembeni kidogo .

    alichukua namba za simu za Mwaija akaziandika

    kwenye simu aliyoomba na kuzipiga ...

    “Haloo,” alipokea Mwaija ...

    “Ni mimi baba yako , nimeazima simu kwa mtu.”

    “Simu yako ina nini kwani?”

    “Nilihofia kuitumia tangu pale uliposema nisitume

    meseji. Kwani mama yako yuko wapi?”

    “Amekwenda msibani.”

    “Oooh ! Sasa ?”

    “Kuhusu kukutana nje ya hapa nyumbani?”

    “Ee, ndiyo .”“ Nije wapi sasa ? Halafu leo naomba

    unikate kiu kwelikweli mpenzi wangu.”





    “Hilo wala si ombi ni jukumu langu mimi kama

    mpenzi wako , mimi kama mkata kiu wako na

    mimi kama mumeo mtarajiwa, ” alisema

    Masilinde huku mapigo ya moyo yakimwenda

    kwa kasi ya ajabu kwani alikuwa bado hajaamini

    kama amefika mahali binti mbichi kabisa ,

    aliyeumbwa akaumbika kama Mwaija anafikia

    hatua ya kuomba kukatwa kiu na yeye .

    “Sasa sikia , ulizia watu Kwasandarusi ni wapi ,

    watakuonesha mimi utanikuta nimekaa nje .”

    “Sawa baby ,” alijibu bila woga Mwaija .Mwaija

    alifunga nyumba huku sauti ya mama yake

    ikisikika masikioni mwake . ..“ Mimi nakwenda

    msibani tena, naomba usitoke nyumbani Mwaija .”

    “Sawa mama .”

    “We sema sawa mama halafu nirudi nikute

    haupo.”

    “Haitatokea mama. ”

    “Sawa .”

    “Aah! Sasa nikianza kuogopa maneno ya mama

    nitalala na kiu yangu, ye’ ikifika usiku atakatwa

    kiu, mimi je ?” alijipa moyo Mwaija huku akianza

    safari ya kuelekea Kwasandarusi.. .

    “Eti we mtoto, hujambo ?”

    “Sijambo, shikamoo.”

    “Marahabaa . Eti Kwasandarusi wapi ?”

    “Pale penye mikokoteni nje ,” alijibu mtoto mmoja

    aliyekuwa akicheza mtaani .

    “Haya asante ee?” alishukuru Mwaija .

    Mwaija alitembea kuelekea Kwasandarusi , kwa

    mbali alimwona mama yake wa kambo amekaa

    nje kwenye fomu ...

    “Nikifika nitamwonesha maajabu ,

    nitamkumbatia, ” alisema moyoni Mwaija .

    “Kweli , alipofika, wakati Masilinde anasimama ili

    kumkaribisha, Mwaija akamvaa na kumkumbatia

    kisha mabusu mfululizo yakafuatia ...

    “Mmm.. .mwaaa ... mmmmmwaaa ... mmmmwaaa!”

    Masilinde tayari alishafika kitandani kihisia

    japokuwa mabusu yale yaliwashangaza wengi

    kwani waliowaona walibaini tofauti kubwa ya

    umri kati ya Masilinde aliyeonekana kama ana

    miaka 50 na Mwaija aliyeonekana ana miaka

    kama 20 tu!

    “Yule si kama mtoto wake?” alisema mzee

    mmoja akiwa jirani na eneo la waliposimama

    wawili hao .. .

    “Yahe siku hizi ukifuata umri utaachwa! We

    angalia wapi umelenga ,” alisema mwenzake

    wakiwakodolea macho akina Masilinde.

    “Nikwambie kitu my love,” alianza kusema

    Mwaija.

    “Nambie tu. ”“ Mama alinionya kuhusu kutoka

    nyumbani.”

    “Kwa hiyo?”

    “Kwa hiyo twende haraka , kila kitu kiende

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    haraka ili niwahi kurudi kabla hajarudi. ”

    “Sawa . Sasa unaona lile geti la mwisho pale?”

    “Ndiyo.”

    “Ile ni gesti , inaitwa Kichapo! Nenda pale ingia

    mimi nakuja nikukute imesimama mapokezi ,

    sawa?”

    “Sawa ,” alisema Mwaija akiwa ameshaanza

    kutembea kuelekea kwenye gesti hiyo ya

    Kichapo.

    “Hodi. ..hodi wenyewe,” Mwaija alibisha hodi

    baada ya kuhisi ukimya umetawala .

    “Karibu, ” sauti ya mwanaume ilisikika kutokea

    ndani.

    Mwaija alisimama mapokezi. ..

    “Kuna mtu kaniambia nije nimsubiri hapa

    mapokezi,” alisema Mwaija akiwa

    anaogopaogopa...

    “Nani, au Masilinde?” mtu wa mapokezi

    alimuuliza.

    “Mh ! Mi simjui jina . ”

    “Sasa we utakujaje na mtu humjui jina ?”

    “Hayakuhusu ,” alikuja juu Mwaija .. .

    “Halafu pamoja na kuja kumsubiri mtu, we mtoto

    umeumbika kweli ungekuwa na mtu kama mimi

    ungefaidi. Ningekununulia simu ya maana, viatu

    vizuri , yaani ungependa mwenyewe, ” alisema

    yule mtu wa mapokezi.

    “Sina shida navyo,” alijibu Mwaija , safari hii

    akionesha hasira za waziwazi .

    Mtu wa mapokezi aliposikia mlio wa viatu

    alijikausha akijua aliyemtuma Mwaija kumsubiri

    hapo anaingia ...

    “Karibu sana. ”

    “Asante . Kuna chumba ?”

    “Kipo. ”

    “Naomba. ”

    Masilinde alichukua chumba akazama ndani na

    Mwaija. ..

    “Eti baby, we unaitwa nani?” aliuliza Mwaija mara

    baada ya kukaa tu.

    “Kwani vipi dear, hujui jina langu ?”

    “Silijui . Nani ataniambia na kwa ajili ya nini ?”

    Masilinde alipiga hesabu za haraka akagundua

    kuwa, kuuliza kwa Mwaija kumekuja kwa

    kuambiwa na mhudumu wa gesti hiyo. ..

    “Huyu haiwezekani tumeingia chumbani kukaa

    tu, anaulina naitwa nani? Lazima kaambiwa jina

    langu na yule kijana. Na kama ni kweli kwa

    kamwambia kwa sababu gani na ili iweje ?”

    alijiuliza Masilinde.. .

    “Mimi naitwa Mathayo, ” Masilinde alilitaja jina

    lake la kwanza ambalo alijua muhudumu wa

    gesti halijui.

    “Ooo! Maana yule kaka kaniuliza umekuja

    kumsubiri nani? Nikasema simjui jina , akasema

    au Masilinde nini ? Sasa nikawa najiuliza

    inawezekana ukawa unajulikana kwa jina hadi

    gesti?”

    “Simjui mimi na ni mara yangu ya kwanza

    kuingia humu . Kumbe mzuri kidogo, si tutakuwa

    tunakujakuja hapa mara mojamoja?” aliuliza

    Masilinde...“ Wewe tu baby wangu,” alisema

    Mwaija huku bila soni wala haya akianza kumvua

    nguo Masilinde ili akatwe kiu .





    Masilinde alimwangalia Mwaija kwa macho ya

    mahaba mazito huku ulimi ukiwa nje kuashiria

    kwamba alikuwa akihisi raha kuvuliwa nguo na

    binti huyo ambaye tangu azaliwe hajawahi

    kumwona binti mrembo kama Mwaija .

    Hata kumpata kwake kimapenzi, Masilinde

    alitamani kufanya sherehe na kualika watu ili

    wajue kwamba, amebahatika kumnasa mtoto

    bomba kwelikweli .. .

    “Sijui nimhamishe pale nyumbani halafu

    nimtangazie ndoa ,” alisema moyoni Masilinde

    akiwa amelegea kila sehemu ya mwili wakati

    mikono ya Mwaija ikipita kumpapasa sehemu

    mbalimbali za mwili .

    “Ah! Hapo ulipopashika nimetekenyeka,” alisema

    Masilinde.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa kujua hilo , Mwaija alizidisha mbwembwe ,

    sasa alikuwa akimvua huku anamkwaruza kwa

    mbali na kucha za mikono yake, Masilinde

    akawa kama mtoto aliyelazwa kwenye miguu ya

    mama yake huku akivalishwa nepi !

    Alikuwa akirusharusha miguu huku na kule huku

    akijisikilizia kimapenzi. ..

    “Baby na wewe nivue na mimi, ” alisema Mwaija

    huku akiwa amepeleka mikono juu kumpa nafasi

    Masilinde naye ashike zamu yake ya kumchojoa

    nguo.

    Masilinde ile anaanza tu, simu ya Mwaija ikaita . ..

    “Huyo piga ua galagaza ni mama tu, ” alisema

    Mwaija akiwa amekosa amani. ..

    “Usipokee , mimi nitakutetea. Kwa hatua

    tuliyofika si ya kuniacha kama tulivyoingia ,”

    alisema Masilinde huku akimvua nguo kwa pupa

    Mwaija.

    Alimbinuabinua mpaka Mwaija akawa mtupu.

    Mapigo ya moyo yalimwenda kwa kasi kwa

    woga wa mama yake lakini kwa kuwa aliahidiwa

    utetezi kwa mbali alirejesha mahaba kwa

    Masilinde...

    “Iwe haraka basi ,” alisema Mwaija akimaanisha

    kama ni kukatwa kiu basi akatwe haraka ili

    awahi nyumbani.. .

    “Iwe haraka nini ?” alihoji Masilinde.

    “Nikate kiu haraka jamani tuondoke . ”

    Wakati Mwaija anaweza ufafanuzi wa kauli yake,

    siku nyingi Masilinde alikuwa uwanjani akisakata

    mpira na Mwaija akaunganisha maneno yake na

    maneno ya mahaba. Hapo alimsahau mama yake

    kwamba anapiga simu kwani iliendelea kuita .

    Maneno yalimtoka Mwaija , lengo lake ilikuwa

    kumhamasisha Masilinde ili afike mapema

    kwenye kilele cha mlima waliokuwa wakiupanda

    kwani hata yeye alishaanza kuwa na dalili za

    kufika hapo ila alipunguza kasi ili wafike wote

    kwa ushindi wa kishindo.

    Masilinde alibadili aina ya mchezo, sasa ikawa

    mnyama kagoma , akatoka hapo akatumia

    marehemu mdudu, akahamia kwenye unga

    mboga kwa nazi kwanza tupike ugali .

    Mapozi yote hayo , Mwaija alichanganyikiwa...

    “We mzee .. .si unioe .. .”

    “Mwa ... Mwa.. .ija mzee nani?”

    “Naku ... nakutania we mpenzi wangu ,” alisema

    Mwaija kupoza lakini pamoja na utani huo ,

    Masilinde akaanza kupiga mikiki ya karibu kama

    ya penati kwenye mpira, Mwaija akaachia , mguu

    wa kulia mashariki, wa kushoto magharibi ,

    Masilinde akahema kwa nguvu na kutangaza

    kuvunja dafu, mwaa akadakia .. .

    “Hata mimi. ..hata mimi ...hata mi. ..mi ...mimiiiii .. .”

    ***

    “Hivi huyu mbwa ananitafutia nini mimi ?” mama

    Mwaija alisema akiwa bado msibani. Yeye alitaka

    kumpa maagizo f ’lani .

    “Mbona umekasirika mwenzetu?” aliuliza

    mwanamke mmoja swali likimwelekea mama

    Mwaija. ..

    “Si binti yangu. Nampigia simu nimpe maagizo

    hapokei.”

    “Ni yako yule niliyemkuta kwako siku ile anafagia

    nje?” aliuliza mwanamke huyo mama Snura. ..

    “Ndiyo yuleyule .”

    “Mimi wakati nakuja nimekutana naye pale kwa

    Mshihiri anaongea na simu , vicheko vingi,”

    alisema mwanamke huyo .

    “Ha ! Ina maana hayuko nyumbani?”

    “Itakuwa. Kwa jinsi alivyovaa, atakuwa

    anakwenda kwa wanaume. Kwani unamchunga,

    si mtu mzima yule?”

    “Mama Snura, mtu mzima ndiyo, ana miaka

    ishirini na moja lakini si wakati wake kuwa na

    wanaume huu . Asubiri kwanza.”

    “Mh ! Mimi sichungi mtoto akifikisha miaka kumi

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    na nane , dunia itamfunza.”

    ***

    Masilinde kawaida yake mechi ya kipindi cha

    kwanza humpa ari ya kurudi uwanjani raundi ya

    pili hivyo alipopumzika kidogo tu, akadandia tena

    kwa nguvu zaidi ya zile za kwanza...

    “Baby wewe bado ?” aliuliza Mwaija .. .

    “Bado , si unaniona!”

    “Nakuona , haya baby . Wewe tu baba ... niko kwa

    ajili yako. ..mimi pia najikuta bado kwa sababu

    wewe bado .”

    Maneno hayo ya Mwaija yalimchochea sana

    Masilinde kiasi kwamba, kule kuanza mechi tu,

    washambuliaji walitaka kuingia uwanjani kwa

    wingi kushangilia ushindi , ikabidi Masilinde

    asitishe kidogo zoezi ili kujipa muda wa kuanza

    tena.

    Mwaija alijua! Alijua kuwa , Masilinde

    alishahamasika na maneno yake , akabaini

    kumbe maneno peke yake ni silaha ya

    kumharakisha mwanaume huyo. ..

    “Vipi tena baby ?”

    “Ah! We unanichanganya dear mpaka najikuta

    nataka kumaliza . ..”

    “Pole sana baby, usimalize basi. ..lakini . ..lakini

    mimi wako jamani.. .au unataka kingine zaidi ?”

    “Sina.



    “Haya baby ... hata mimi sihitaji kingine zaidi ya

    kilichopo. ..haya baby ... wewe tu.”

    Masilinde safari hii alipatikana, akajikuta anapiga

    mayowe kama mtoto mdogo huku machozi

    yakimlengalenga. ..

    “Mwaija mimi sikubali,” alisema Masilinde huku

    akihema kwa nguvu akiwa ameshavunja dafu

    lake.

    “Kwa. ..kwa nini ba. ..by?” aliuliza Mwaija huku

    akimkumbatia kwa nguvu Masilinde kumbe na

    yeye alikuwa akivunja dafu lake lakini

    kimyakimya.

    “Mimi lazima nikupangishie chumba Mwaija , pale

    nyumbani uhame , uko tayari?”

    “Nipo tayari baba , wewe tu,” Mwaija alijibu kwa

    sauti tamu , sauti ya kumnyofoa kama si kumtoa

    nyoka pangoni mwake . ..

    “Basi niachie mimi, sawa mama?”

    “Sawa mpenzi , ” alisema Mwaija huku akizidi

    kumbana Masilinde kwenye mikono yake milaini

    kama ya mtoto mdogo. Ilikuwa shughuli nzito , kila

    mmoja alionekana kumkamia mwenzake na

    kutojali nini kitatokea mbele ya safari.

    Kwa upande wake , Mwaija moyoni aliamua liwalo

    kwa mama yake na liwe kwani ameshaahidiwa

    kupangiwa nyumba na kuendelea na penzi la

    baba yake wa kambo huyo ...

    “Mama hata apige mpaka simu ijipokelee

    yenyewe, mimi niko na wangu saa hizi ,” alisema

    moyoni Mwaija huku akiendelea na mechi .

    Ilikuwa piga nikupige .

    Kuna wakati, Mwaija aliachia mayowe ya

    kuashiria yupo pazuri lakini pia kuna wakati ,

    Masilinde aliguna sana kuashiria naye yupo

    pazuri.Jasho jembamba lilimchuruzika Masilinde

    lakini kwa sababu yeye alikuwa upande mzuri,

    Mwaija alitumia nafasi hiyo kumfuta jasho kwa

    taulo huku akihema kwa kasi.

    Ni Mwaija ndiye aliyeanza kutangaza kwamba

    anafika kwenye kona ya uwanja tayari kwa kiki

    zito mpaka kuchana nyavu kama siyo kutoboa

    nyanda. “Ngoja. ..ngoja Mwaija ngoja . ..ngoja

    bwa... na.. .aaa ... ” alisema Masilinde akiwa

    anaweweseka kwa dalili za kufika kwenye kona

    ya uwanja na yeye.

    Alipomaliza kusema ngoja , Masilinde akabadili ,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akaanza kusema ...

    “Haya sasa ... haya sasa Mwaija . ..haya

    jama.. .niiii .”

    Wakati akisema hivyo , Mwaija yeye alikuwa

    akisema.. .

    “Sawa .. .sawa ... sa.. .sa. ..waaa .. .”

    Wakanyamaza kimya wote . Kilichokuwa

    kikisikika hapo ni kuhema kwao tu. Mwaija

    alikuwa akihema kwa spidi zaidi huku Masilinde

    akifuatia kwa nyuma, kijasho kama kawaida .

    “Loo ! Tumechoka ee?” aliuliza Mwaija huku

    akimbusu shavuni Masilinde. ..

    “Asante ... ni kweli tumechoka sana loo !” alijibu

    mwanaume.

    Wote walikuwa wamelala kama walivyozaliwa

    pale kitandani . Hakuna aliyekuwa na aibu na

    mwenzake. Kuna wakati walikutana macho,

    Mwaija akaachia tabasamu laini huku

    mwanaume akikenua kinywa tu lakini bila

    kicheko.

    “Sasa baby ?” aliuliza Mwaija ...

    “Nini?”

    “Tuondoke sasa au ?”

    “Ni kweli , lakini tangulia wewe au?”

    “Hapana, tangulia wewe.”

    “Oke,” alisema Mwaija huku akitoka kitandani .

    Kutembea kwake kwenda bafuni kulimpa wakati

    mgumu sana Masilinde kwani alipomwangalia

    wowowo lilivyokuwa likijiachia , alihisi

    kuchanganyikiwa na kutamani kusitisha zoezi la

    kuondoka ili waingie ngwe nyingine.. .

    “Baby ,” aliiita Masilinde.. .

    “Yes baby .”

    “Kwani lazima tuondoke muda huu ?”

    “Wewe tu, kwani bado wewe ?”

    “Kama badobado. ..”

    “Jamani , wewe kama mimi . Pia nahisi kama

    badobado hivi .”

    “Basi njoo.”

    Mwaija aliingia bafuni bila kumjibu Masilinde

    kama anarudi au la ! Akaoga , akajifuta akatoka.

    Kufika chumbani akapanda kitandani huku akiwa

    analitupa mbali taulo alilojifunga wakati akienda

    kuoga...

    Alichekacheka kidogo kisha akamlalia Masilinde

    kifuani.. .

    “Baby simu inaita , atakuwa mama tu,” alisema

    Mwaija huku akiifuata simu yake ili kuthibitisha

    kama kweli ni mama yake. ..

    “Si nilikwambia atakuwa mama, ni yeye, ”

    alisema Mwaija ...

    “Usipokee ,” Masilinde alishauri .

    “Poa,” alikubali ushauri Mwaija huku akiiweka

    simu kwenye stuli.

    ***

    Mama Mwaija alikuwa amesimama dukani kwa

    Mshihiri na kumpigia simu Mwaija. Alifika dukani

    hapo kwa sababu aliambiwa na mama Snura.. .

    “Huyu mtoto ni mshe **i sana , kwa nini hapokei

    simu yangu muda wote huo ,” alisema moyoni

    mama Mwaija .. .

    “Shikamoo, ” binti mmoja jirani na nyumbani

    kwake alimwamkia mama Mwaija. ..

    “Marhaba Tina, hujambo?”

    “Sijambo. ”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Hajambo mama?”

    “Hajambo , unamtafuta nani?”

    “Yule mwanangu mgenimgeni.”

    “Yule nani sijui. ..”

    “Anaitwa Mwaija. ”

    “Nimemwona ameingia mle .”





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog