Search This Blog

Monday 16 May 2022

SECONDARY SCHOOL - 5

 







    Chombezo : Secondary School

    Sehemu Ya Tano (5)



    Kiukweli nilikua nayaongea maneno mengi bila ya mimi kujua, maana sio kwa ridhaa yangu, bali ni kile kikono kono nilichokishika mkononi ndicho kilichokua kinanipeleka puta na kusema maneno ambayo hayaeleweki na pia yalikua yakiniharibia na kumzalilisha anti wangu, Lakini mtoto wa kiume nimekaza tu kusema kua namtaka shamim, Kweli shamim ni mzuri na wamefanana na jasu kana kwamba ni kweli ni ndugu yake wa kuzaliwa, lakini sijui ni kwanini anamfanyia fitina ndugu yake, Na swala hili sio la kuandikwa tu.... bali hili ni jambo ambalo lipo kabisa, yaani wapo ndugu ambao hawapendi kuona wadogo au dada zao wakiolewa na kijana ambae kidogo ana maendeleo fulani au mvuto fulani, Hili lipo kweli sema wengi wao hawajionyeshi kama nilivyoandika, ila unakuta mtu kinamuuma ndani kwa ndani kisa ndugu yake kuolewa, na shamim ni malaya kwa muonekano wa haraka, maana hata pale nilupomchubua migombani pale ile nanii yake haikuonesha kutaiti hata kidogo japo ilimkuna kwa kibao kimoja na aliisikilizia vizuri, hivyo una kidude kifufi kwa shamim itakula kwako wewe mtoto wa kiume unaemtongoza shamim.... Kwa akili zangu binafsi shamim ni wakumtamani tu na sio wa kuoa hata kidogo, ila shinikizo la kuoa linatokana na kile kikono kono nilichokishika mkono wa kushoto, Na shamim kaniambia nisiposema nisikiachie yaani nisiposema itakula kwangu, ni bora niseme nikataliwe kuliko kutokusema kabisa......

    "naomba mnisikilize kwa umakini, mimi nataka nimuoe.............."

    Nikanyoosha kidole kule dirishani, ila hawakumuona, badala yake wakaniuliza kwa wote

    "umuoe nani kule?"

    Nilinyamaza kwa dakika moja hivi huku wakiniangalia kama vile nimebadirika kiasi flani hivi, Nilipotulia kidogo, ndipo nilipoanza kuropoka yote sasa

    "nataka nimuoe shamim na sio jasu"

    Anti mwaju alitoa macho huku akiwa kauinua mkono wake na kunizaba bonge la kibao kilichotua kwenye ule ule mkono ambao ndio nilikishika kile kikono kono, Na kile kikono kono nacho kilidondoka baada ya kupigwa kibao na anti mwaju, Sasa wote walianza kukishangaa kile kikono kono kilichodondoka baada ya kupigwa kofi la kwenye bega, na kusababisha kuachia nilichokishika, Walipokiona Anti mwaju alishindwa kukielewa vizuri ila mama ake na jasu alikielewa na kuniuliza,

    "kakupa nani hiki kitu?"

    "kanipa shamim?"

    Wakati huo mtoto wa kiume akili ilisharudi kua ya kawaida, na wazo la kumuoa shamim sikua nalo tena..

    "jamani mtoto ana roho mbaya huyu"

    Mama jasu ndio alisema hivyo huku anti mwaju nae akiuliza kwa uoga

    "kwani hiki ni nini mama jasu?"

    "yaani kweli shamim ndio anamfanyia mdogo wake hivi kweli?"

    "kwani ni nini mama jasu?"

    "ni mschana wangu wa pili... kutoka dada yao wa kwanza aliofariki... na huyu jasu ndio wa mwisho, sasa huyo wa pili hakupenda mdogo wake aolewe na mwanao"

    "kwanini sasa?"

    "jamani mama sheby nina mtihani mkubwa mimi mmhh"

    "sheby mwanangu? eti hiki kitu umekitoa wapi?"

    "kanipa yule mdada"

    Mara yule mama jasu akadakia na kusema kua,

    "sasa kwanini usikatae? na wewe mtoto wa kiume pia sio mzuri kwa mwanangu wewe"

    "aliniambia nikikataa atanitoa busha"

    "haaaaaaaaaaaaaa, sheby mwanangu? kama ni mwanamke utampata mwingine baba, tuondoke mwanangu"

    Mara mama jasu akatuzuia huku akilaani kitendo alichokifanya mwanaye,

    "mama sheby? watoto wamependana, na mimi nasema hivi nafungisha ndoa muda sio mrefu, we subiri uone"

    Mama jasu au mama mkwe aliingia ndani na kutoa kidaftari kidogo ambacho kilikua kimejaa namba za simu za watu waliokua mbali na hapo,

    "baba? naomba unipigie hizi namba zote za muhimu niongee nazo, Niliitoa simu yangu iliokua imeunganishwa na vifurushi vya nwezi, yaani hua naendaga voda au tigo kulipa kwa mwezi, yaani hua sijiungagi na hizi cheka zenu za kimaskini za MB.8....... ( MMHH JAMANI NI UTANI TUU, COZ HATA HAPA MWENYEWE NIMEKOPA TOKA JUZI SIJALIPA NA SILIPI NG'OOO )

    Niliitoa simu yangu kwa shangwe, maana ni mama mzaa chema, Nilianza kuwapigia wale watu wa umuhimu kwao ama kwetu, ili waweze kuja, Tena nikiwapigia kila mmoja namuahidi kumtumia nauli kwa muda huo, ili wafike mara moja,

    Niliwapigia watu wasiopungua 50 wengine wapo hapa hapa tanga na wengine wapo mikoani, Muda huo ulikua ni muda wa saa 11 jioni, na ndoa inafungwa kesho saa 4 asubuhi, ili ikifika saa saba tuende msikitini kwa ajili ya kupewa baraka zetu,

    Muda huo kama unavyojua wamama wa tanga walivyo, hawapitwi na shuhuli, alipoambiwa mmoja tu walikuja wamama wengi huku mimi nikijiandaa kwenda mjini na jasu pamoja na mama zetu wote kwa ajili ya maandalizi ya harusi, Niliita tax kisha ikatuchukua wote wanne, na kuelekea tanga mjini, ambako huko ndipo tunapokwenda kununua mapocho pocho, Tulitumia muda wa lisaa lizima tena kwa mwendo wa spidi ya hatari, kutoka tanga eneo wanaloita mnyuzi hadi tanga mjini,

    Tulianza kuingia katika maduka ya nguo na kuchagua nguo za harusi ambazo tungezitumia kwa kesho, Mimi nilivuta suti ya shilingi laki nane ambayo haikua hadhi yangu lakini ni kwa dharula tu, jasu alipelekwa upande wa kike ambapo nililetewa bili ya laki 4 kwa vazi lake tu, nikajua litakua ni shela hilo, Mimi nilikua najichagulia mwenyewe na sikua hata na best man, ila jasu anachaguliwa na wamama wote,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya hapo tuliingia saluni, kaguza kalikua kameshaingia tayari ni usiku, ila kwakua ni maandalizi ya kesho basi hakuna hofu, Na pesa nilikua nazo licha ya kupewa na mama angu kule aliponambia kua nimsindikize dada nusura kuja tanga, alinipa kama milioni tatu hivi za kutumia tu, na bado kwenye simu yangu kulikua na pesa ya kumwaga, afu bado benki nilikua na kitita kisichopungua milioni 11 hivi.... zinatosha kuolea hizo japo muoaji hapaswi kutoa mahali yote ila kwa jasu natoa yote na nyongeza kabisa....

    Jasu alikua kapambwa kapambika, yaani kila nikimuangalia jasu ndio anazidi kunipa wazimu wa kumpenda, Jamani jamani laiti ungelimuona jasu alivyoumbika na upole wake pamoja na uzuri wa sura yake, toto lina macho makubwaaaa ya kuvutia, afu jeupe kiasi........

    Baada ya kupambwa na kupambika tuliingia kwenye vyakula na kununua mchele gunia kama mbili hivi na kukomba nyama zang'ombe zilizokua zimening'inizwa mabuchani, Yaani tulinunua mabucha kama matatu hivi na ndoo za mafuta maviungo aina zote tukavitupia kwenye gari kisha safari ikaabza ya kurudi mnyuzi na usiku huo

    Ikiwa ni mida ya saa 2 usiku, kukiwa na mawingu mawingu, ya mvua ilionyesha jana, wote tulikua tumevua nguo za harusi na kuvaa kawaida tu kwa ajili ya kesho, na hio tulijipamba kwa ajili ya muda wa kesho ni mdogo na hatuwazi kuambiwa kwanini tulijipamba toka jana,

    Tulikua tunasonga huku wamama hawa kama vile wamekutana wehu, maana walikua wawili tu lakini walikua wakipiga vigere gere kwa furaha ya hali ya juu, na mimi na jasu tulikua nyuma tukianza kushikana shikana, japo kwa matamanio tu, kweli jasu ni mtoto aliefunzwa na akafunzika, yaani ni kama mimi pale mwanzo,

    Sasa kwa bahati mbaya tulifika mahari gari ikakwama kutokana na tope tope kiasi flani, Ilibidi dereva ashuke aangalie kuna nini, kwanini gari haiendi, au ni mzigo mkubwa nini?

    Dereva aliposhuka aligundua mbona gari haikua imezama wala nini, akaingia tena na kujaribu lakini gari haiendi hata kidogo, Ikabudi tushuke wote na kuketi pembeni huku dereva akihangaika mwenyewe,

    Sasa ghafla kojo nalo likaanza kusumbua, na wakati huo nilikua nimemkumbatia jasu,

    "mamy?"

    Nilimuita jasu kwa heshma kubwa mno

    "abeee?"

    "ngoja nikajiseidie mara moja"

    "si ujiseidie hapa hapa tu"

    "no wacha niende kwenye kile kichaka pale"

    "sawa, ila naomba nikukiss mume wangu"

    Jasu alinikisi kisha nikakimbia kwenye kile kichaka ili nikojoe, lakini nilipokua naenda nilihisi kama naitwa maana nilikua nakimbia kukojoa pale utafikiri pana madini vile,

    Nilipofika nilifungua zipu na kuanza kukojoa, Lakini cha kushangaza nikikojoa naskia kama vile nakojoa chooni, yaani ukikojoa chooni ukiwa umelenga lile sinki la kuflash, hua kuna sauti inatoka kua mkojo unegusana na maji ya sinki, Lakini ni kwanini sauti hio niisikie huku kwenye kichaka? Nilijiuliza maswali mengi ila nikahisi labda ninapokojoa kuna kashimo,......... Mara nikaona mtu ila sikujua sura yake, nilitaka kukimbia lakini ujasiri nao ndio ulinizuia na kumuuliza

    "we ni nani?"

    Niliuliza lakini sijajibiwa, Mara akatokelezea na kunivuta kule kwenye kichaka, tena alikua ni mwanamke mwenye joto kali kuliko kawaida,

    "wewe? umeshindwa kutimiza ahadi niliokupa si ndio?"

    Nilikua nimepakatwa kama mtoto mdogo

    "kwani wewe ni nani?"

    "ina maana hunioni au?"

    "sikuoni ila nahisi kama shamim vile"

    "sio vile, ndio mimi ndio"

    "lakini pale mi nilipigwa kibao na mamy wangu ndio kile kikono kono kikadondoka"

    "sikia, kwakua hujatekeza jambo langu, sasa nakuambia hivi? nimekubali umuoe mdogo wangu, ila kwa sharti moja tu"

    "sharti gani tena sham?"

    Nilikua makini kwa kumsikiliza hilo sharti lake analolitaka kwangu

    "leo usiku nataka ni................



    Nilikua natetemeka kuliko kawaida, maana huyu mtoto wa kike nadhani atakua ni mchawi, Na sio mkubwa wala bali ni kimo cha msichana mwenye umri wa miaka 22 au 23, ni umri sawa na dada yangu zaituni, ila sema huyu kafunguka kidogo, yaani anaonekana kama mwenye miaka 30 au 28 kwasababu ya maisha ya kijijini, lakini ni sawa tu na dada yangu wa pili ambae ni zaituni, kuacha nusura huyu ambae nipo nae huku tanga japo hajui nilipo, Mtoto wa kiume nilikua nimepakatwa kwenye mapaja ya shamim kama mtoto anaetaka kunyonyeshwa nyonyo vile, na kwa umbo langu lilivyo dogo, nilikua nimeenea vizuri tu kwenye mapaja yake,

    "sikia, kwakua hujatekeza jambo langu, sasa nakuambia hivi? nimekubali umuoe mdogo wangu, ila kwa sharti moja tu"

    "sharti gani tena sham?"

    Nilikua makini kwa kumsikiliza hilo sharti lake analolitaka kwangu

    "leo usiku nataka nije tulale wote"

    "aaaa lakini si nitakua na jasu?"

    "huezi kulazwa na jasu kwa siku ya leo"

    "kwanini sasa? si mke wangu lakini?"

    "bado hajawa mkeo na sii kua mimi ndio nitasema asilale na wewe, ila ni mira na destuli za kitanzania, hairuusiwi bibj harusi na bwana harusi wanaotarijiwa kufunga toa kesho kulala kitanda kimoja hua hairuusiwi na ikitokea hio itakua ni kinyume na maadili ya kitanzania, umenielewa?"

    "ndio"

    Nilikua naitikia ila sikua na amani kabisa juu yajambo hili la kupakatwa na mchawi kama huyu,

    "kwaio?"

    Aliniuliza hivyo nami nikamuuliza

    "kwaio nini?"

    "kwani nimesemaje mwanzo?"

    "ulisema uje tulale wote"

    "na sio kulala tu, nataka unimalizie zile raha ulizonianza mchana ule"

    "mmhhh sawa"

    Niliitikia kishingo upabde huku moyo ukiwa haujaridhika kufanya tendo hilo na shamim,

    "nipe mate basi"

    "aaahhh lakini si uta"

    "niiiiipe mate hutaki sio?"

    "haya basi chukua mama eee"

    "mmmmhhhhhj ssssssiiiiiiiiiiiii iiiiiiiimmmmmmhhhhh nnnnnddddd hhhhhhhiiiiiiiiii, au nipe hapa hapa"

    "shamiiimuuuuu?"

    "nini?"

    "sio vizuri, si unaona nina wenzangu pale"

    "ok nenda, ila usiku nakuja, na nikigonga tu mlango fungua"

    "sawa, ila si utapitia ukutani au?"

    "we fara? uliambiwa mi mchawi?"

    "ah ah sina maana hio, ila huku umefikaje?"

    "hupaswi kujua sana, ila nimekuja na gari kama nyie mlivyokuja, na lile gari yenu kuna kitu nimefanya na nduo maana halisogei"

    "kwaio naweza kwenda?"

    "nenda zako, na unitunzie mdogo waku huko"

    "sawa"

    Aliponiachia nilikimbia kwa spidi kali na kuingia kwenye gari kisha tukaondoka zetu, Wote walikua nje lakini nao waliingia kwa spidi kali baa ya kuona mimi nimeingia kwa spidi kali ..... sasa tukiwa njiani walianza kuniuliza

    "wewe umekimbizwa na nini?"

    "joka kubwaaaaa"

    "mungu wangu sheby mwanangu upo salama kweli?"

    "usijali mamy"

    Mara dereva kadakia juu kwa juu

    "lakini yote tisa, Kumi gari imetokaje jamani na ilikua imekwama?"

    "heeee alafu kweli eti....duuu joka noma eee"

    Basi ilikua ni furaha ndani ya gari ila mimi sikua na furaha moyoni baada ya kuahidiwa kulala na shamim usiku wa lei,

    Hatimae tulifika nyumbani mida ya saa nne kasoro na kukuta tayari wana baikoko wanataka kuikeshea ngoma utafikiri msibani vile, saa hio mijungu ya msosi naiona ipo tayari tayari jikoni, Tuliingiza vitu vyote ndani, huku nikiwa nimeshikiria vibox vilivyokua na pete moja moja kwa ajili ya kuvishana wakati wa ndoa,...... Kwakua muda tuliorudi ulikua umeenda sana hivyo ilitufanya wale watu husika yaani bibi / bwana harusi tuambiwe tukapumzike, Jasu aliingizwa chumba chake ambacho alilala na bibi yake kule ndani, na mimi nimepelekwa chumba changu peke yangu, Mtoto wa kiume nimezoea kitanda cha springi, cha kunesa nesa, ila leo nimelazwa kwenye viroba vilivyojazwa pamba kwa ndani na kutengenezewa kama godoro, kisha likawekwa kwenye kitanda cha kamba, Mtoto wa kiume nilikua napenda kuzoea shida toka mwanzo, mpaka nikawa nagombana na mama yangu kwa kupenda maisha ya shida na wakati kwetu kuna pesa za kumwaga.... sasa leo yale maisha ndio nakutana nayo live bila chenga, ......

    Ilipofika mida ya saa saba usiku nilishtuliwa na ngoma zilizokua zikipigwa huko nje, Kana kwamba wana baikoko wameikeshea hii harusi, Sikua na shauku ya kutoka nje maana kulikua kuna baridi kiasi flani........ Sasa nikiwa najifunika shuka vizuri, nilisikia mlango ukigongwa, nikajua Eheee yule fara ndio huyo anakuja, Sikua na budi kwenda kufungua, maana nikikataa nitakiona cha moto,

    "we? toka saa hio nagonga ulikua husikii?"

    Alikua ni yeye shamim ndio amekuja nilale na, .... sijakaa vizuri alinisukuma hadi kwenye kitanda huku akionekana kua na hamu na mimi ya kimapenzi,

    "sasa unashangaa nini hunijui?"

    "shamim?"

    "nini?"

    "leo nimechoka sana eti"

    "sasa kuchoka kwako kunaniusu nini? we nipe utamu niende zangu kwenye ngoma mie"

    Huezi amini nilivuliwa nguo kwa nguvu kisha akavua na yeye, alikua ananuka jasho maana si alikua kwenye ngoma, yaani nilikua kama nabakwa vile maana sikua hata na aptaiti ya ngoni, Ila nilijitahidi kumkatikia miuno ile adimu adimu japo kwa shida ila hivyo,........

    Nilimpa mautamu yangu mpaka akajisahau kutoka, na nikicheki saa inaendea saa 1 asubuhi, na alitakiwa atoke saa 10 au 11 arfajiri, lakini kwa kichapo nilichompa alipitiluza masaa,

    "sham? we sham?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "nini?"

    "amka wewe?"

    "haaaaa ni saaa ngapi?"

    "saa moja kasoro hii"

    "mungu wangu, nitatokaje mimi?"

    "we si mchawi wewe?"

    "acha utani mi sio mchawi, zile ni dawa nilizoenda kununua tu ili nikupate wewe, sasa zimeisha"

    "mmhhhhhh yaani mpaka hapo umeshanikoseshea mke"

    "ila yote tisa sheby, kumi ni kwamba nakupa saluti, yaani toka nizaliwe sijawahi kut******bwa kama leo, aiseee we mtoto umejaaliwa yaani natamani ningekua jasu nikazitumie hizo raha"

    "usijali nitakupaga hata siku ingine"

    Basi shamim alikua akivaa chupi yake huku akinikonyeza kua nimempa vitu adim, ambavyo hakuwahi kuvipata kabla, Sasa mimi jinsi nilivyochoka hata kuamka sikua natamani kabisa, maana mapaja yalikua yakiniuma vibaya mno, yaani yalikua nanakaza,

    "sheby mpenzi? naomba utangulie wewe ili nisionewe"

    "sasa mimi nitakuficha na nini?"

    "hapana we uniongoze tu"

    Dahh niliamka na kuvaa nguo zangu huku nikiwa muoga maana kwa kitendo hiki tukionewa na mama yake jasu sijui itakuaje,

    Shamim alikua keshavaa tayari, hivyo alikua ananisubiria mimi tu,

    Nilipomaliza kuvaa nilianza mimi kupita mbele, Lakini sikutaka kufungua mlango kwanza, bali nilichungulia kwenye kitobo flani hivi na kugundua hakukua na mtu hapo sebuleni, hivyo nilimshika mkono na kufungua mlango kwa nguvu kisha tukaanza hatua za kutoka,

    Sasa ile tumemaliza tu mlango, Tulikutana uso kwa uso na Jasu akiwa kasimama kwenye mlango wa chumba alichokua amelala yeye

    Kabla hatujaanza kuongea, Jasu alianza kulua machozi yalimtoka kwa kasi, kana kwamba hapo alikua na hasira nyingi mno,

    Kabla hajaanza kuongea lolote mara shamim akaanza kuomba msamaha kwa mdogo wake, Lakini jasu hakuoneka kuridhishwa na lile, bali alikua ananiangalia mimi tu... Nami ikabidi niombe msamaha kabla wazazi hawajajua maana wapo nje wakifanya maandalizi, na sisi tumefumaniana huku ndani kwa ndani,

    "jasu? plz plz naomba iishie hapa, nitasema yote yaliotokea jasu, plz plz jasu punguza hasira mama?"

    Niliongea hivyo lakini kama ndio nilizidi kuntia hasira jasu,

    "sheby? yaani kukupenda kote huku mpaka umenitoa uschana wangu, lakini huridhikii"

    "jasuu tatizo ni dada ako hakiyamungu vile"

    "dada angu? nimekukosea nini dada angu? mpaka unaenda kutembea na mchumba wangu"

    Baada ya kuskia hivyo nami nikasapoti juu kwa juuu

    "eee dada yako ndio kaja mwenyewe chumbani"

    "tulia na wewe, mschiuuuuu, umalaya tu ndio umeuleta huku,"

    "jasu mdogo wangu, mi naomba utusamee, kweli mimi ndio mwenye kosa, na usitake kuvunja ndoa yako jasu, mimi ndio mwenye makosa na naomba unisameee"

    "mimi siwezi kuumia nikiwa ndani ya ndoa, kama leo ndio tunafunga ndoa na bado umelala na dada yangu je tukiwa kwenye ndoa si utantongozea hadi mama angu wewe? mi nasema hivi nitaumia ndani ya wiki mwezi hata mwaka lakini kua na wewe tena sitaki"

    "jasuuuuuuu??? nipo chini ya miguu yako, nitakuambia yote jasu"

    "sheby, sikutaki tena sheby, nipo tayari roho iniume kwa kukukosa kuliko kuishi na shetani kama wewe"

    Jasu alikua na hasira nyingi mno huku akiwa tayari kwa kutoka nje na kutangaza kusimama kwa ndoa hio,

    "jasuuuuu? tusameee nipe makosa mimi dada yako, mimi ndio nilimfuata huku ndani?"

    "dada? sitaki kusikia sauti yako tena maskioni kwangu.... masgetani nyie"

    "jasu.... napiga hadi magoti kukuomba msamaha kama dada yako, kweli nimekosa, ila mahari mlipofikia na sheby, hupaswi kuachana na sheby.... nazijutia tamaa zangu mie"

    "mimi najua kua kosa ni lakwako maana jana nilikuona kwa macho yangu ukiingia huku chumbani kwa sheby, nikajikaza tu kuvumilia na ndio maana niliamka toka saa kumi nipo hapa mlangoni ili nijue utatokea wapi.... na kosa la sheby ni kukubali kulala na wewe"

    "naomba unisamee jasu"

    Nilipoona haitoshi niliona na mimi nipige magoti maana nafasi tuliofikia ni masaa matatu tu ndio yamebaki tufunge ndoa,

    "jasu? nakuomba na kupiga magoti juu yako nikiwa kama mumeo mtarajiwa, naomba unisameee"

    "sitaki, tena ngoja nimuite mama aone ushenzi wenu........ Mamaaa?"

    "aaaaaaaaaaaaaa Jasuuu usifanye hivyoo"

    "mamaaa?"

    "jasu nitakulamba hata unyayo mama usiseme, si unamjua mama yako lakini?"



    Jasu hakuonekana kuelewa kabisa, maana alikua analia kwa uchungu mno, huku akiwa kama anaonewa vile, kiukweli nilikua nina hofu kubwa sana juu ya jasu kusema kwa mama yake, maana akisema tu basi yaani atakua kaharibu kila kitu, ni mama yake jinsi alivyl hana utani utashangaa tunafukuzwa mimi na anti mwaju, Na sasa hivi wapo nje wanaendelea kupokea wageni na kyandaa andaa chai, kwa ajili ya wageni, maana wao ndio wazoefu afu istoshe watu muhimu kwa ajili ya maakuli hawakuepo kwasababu ilikua ni ghafla tu, maana wazazi wanatakiwa wawepo ndani muda wote, mpaka wakati wa kuvishana pete ndio waje,

    Basi mtoto wa kiume niliendelea kumbembeleza mke wangu mtarajiwa ili hio sauti ya kumuita mama yake isiskike kabisa... lakini jasu hakutaka kunielewa kabisa, yaani kweli jasu hakua akitaka mchezo mchezo.... yaani kweli alikasirika vibaya mno,

    "jasu kwanini hutaki kuelewa mama ee? yaani mpaka tumepiga magoti wote tumekili kosa lakini hata hutuoni, hata mungu mwenyewe hakk hivyo jasuuuu"

    Nilipoongea hivyo ndio kwanza hata haelewi.... nami nikaamua kukata tamaa kabisa na kumuambia kua

    "jasu, mimi sisemi tena, kwani hata mwanamke akiachwa kwa taraka sio mwisho wa mwanaume kuoa.... hata mimi itaniuma sana sana tena zaidi ya wewe.... sawa mwambie mama ako lakini kwanza ukumbuke tulipotoka mpaka kufika hapa, tutaumia wote japo mimi ndio zaidi..... hebu fikiria mama yangu aliponiambia tu unalia kwasababu mama yako alikufokea kwa kosa langu mimi... nikaona bora nikuoe ili usije ukasuswa, na pia nakupenda,.... hebu jiulize mimi ni mwanafunzi au raia tu? nimeamua kukuoa nikiwa bado nasoma tena sio chuo bali ni shule ya secondary, yaani naoa nikiwa mwanafunzi, lakini vyote hufikilii, tumekili makosa tusameheane, lakini hutaki kuelewa, sawa muambie mama yako nipo tayari na sikuzuiii tena,.... labda ukimuambia utaendelea kuishi na usipomwambia utakufa, sawa nenda kanwambie, ila jua kua tutateseka wote na sio peke yako tu... nimemaliza"

    Nilipomaliza niligeuka na kurudi zangu ndani huku nikiwa na maumivu ya kumkosa jasu,..... Kabla sijaondoka nilianza kusikia kilio.... huku akinikimbilia na kunikumbatia huku akilia kwa kwi kwi nyungi mno,

    Papo hapo shamim nae akapata chansi na kuondoka zake.....

    Jasu alinisamee na kurudi zake ndani lakini bado alikua na hasira na mimi,

    Saa nne ilifika mimi na jasu tulikua tumeshapendeza, ila jasu hakua na furaha kabisa, mpaka nikahofia kukataa pete wakati wa kuvishana, Mimi nilikua nimekula suti yangu ya maana, na jasu alivaa gauni jeupee lililokua likiburuzika kwa nyuma, huku mziki mwembamba ukituzunguka kwa furaha, huku nikimuona anti mwaju akiwa na furaha na mama mkwe wangu, lakini najilaumu sana, kwakua hapakua na mama yangu mzazi, japo anti mwaju kaziba nafasi yake,

    Ilifika wakati wa kuvishana pete za ndoa, huku maostadhi wakiwa tayari kwa kutufungisha ndoa mimi na jasu, shekhe mmoja alianza na mimi huku akiniapisha kwa mswaafu aliokua kaushika....

    "bwana sharbiny rashidy? umekubali kumuoa bibi jasmini abu bakari kuwa mkeo?"

    Niliitikia kwa sauti ya juu tena kwa furaha yahali ya juuu,

    "ndiooooo"

    "bwana sharbiny rashidy, upo tayari kumvisha bibi jasmini abu bakari pete ya ndoa?"

    "ndiooooo?"

    Niliitikia kwa nguvu tofauti na ndoa flani hivi nikikumbuka hua nakosa raha, hio ndoa ipo kwenye story moja hivi inaitwa DEREVA TOYO nilioa mke huyo duuuu.... wala haikua hiali yangu

    Sasa maswali yalihamia kwa jasu.. nae alihojiwa kama mimi.....

    "bibi jasmini abu bakari umeridhika kuolewa na bwana sharbiny rashidy kua mumeo wa maisha yenu yote?"

    "ndiooooo"

    Nilifurahi sana kusikia jasu kakubali tena kwa sauti kama mimi.... watu ni vigere gere gani hivyo,

    Sasa ilifika saa ya kujua thamani ya mali ambayo ilitolewa, Mmi najua ni ng'ombe tatu dume na mbuzi mbili... Lakini ghafla nimuona anti kuna kapu kaishika ambayo ndani yake kulikua na mfuko,

    "jamani hayawi hayawiiiiiii?"

    watu wakaitika

    "sasa yamekuaaaaaa"

    "jamani msije mkasema ooohh yule mtoto kaolewa kibubu ni mhuni, sasa mshuhudie wenyewe, kua watoto wetu sio wahuni na mahali yangu nimelipwa yote kwasababu mtoto wa kike niiiiiiiiiiiiiii"

    Nilishangaaa kuliona lile shuka ambalo tulilichafua siku ile ambayo nilimtoa jasu bikra, Niliona aibu na kuangalia chini huku kama nimekasirika pamoja na furaha juu yake, lakini kama mimi sijui basi wao wazazi watajua ina maana gani

    Ndoa baina yetu mimi na jasu ilipita na hanimuni yetu tulienda msikitini kupata baraka za mwenyezi mungu ili atujaalie maisha mazuri na yenye baraka tele,

    Ilipofika saa tisa dada nusura alinipigia simu

    "we mshenzi upo wapi wewe toka jana huonekani ivi una nini wewe?"

    "ooohhh simu iliisha chaji afu nilikua matembezi kidogo"

    "yaani mtoto ni mshenzi wewe... tulikua tuondoke toka jana, mimi nikikupia hupatikani.... haya sema upo wapi nikupitie twende?"

    "nipo stendi apa"

    "nisubiri hapo hapo fara wewe"

    Alikata simu, ila toka jana hakunipata kwakua nilimblock, nilimueka blacklist,

    Sasa kwakua nilikua nina haraka nilimwambia anti mwaju mimi natangulia

    "antiii mimi natangulia"

    "unakwenda wapi tena?"

    "dada ananiita mamy na staki ajue"

    "ok kamuage mama mkwe wako ila inabidi tupitie mahari ukamuone dada ako?"

    "wapi tena na wakati nakutana nae stendj"

    "sio nusura"

    "nani?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "sheby? mimi nina mtoto wa kike nilimuachaga kwa baba yake"

    "aaaahh lakini anti saa hii mi sina muda wa kwenda mpaka huko"

    "sheby hutaki hata kwenda kumuona dada yako?"

    "tutaenda siku nyingine....ona dada nusura anapiga simu tena daahhh.... halooo nakuja hapo stendi"

    Nilikata simu na kumuambia jasu kua

    "jasu? mi natangulia, tutaonana nyumbani....... Anti? si umeshajua kukata tiketi za ndege"

    "ndio tutakwenda wenyewe sasa"

    Mara shamim kaja

    "haya shem mbona hati hati hivyo?"

    "daa nina haraka ile mbaya sgem"

    "mmhhh sawa nakutakia safari njema"

    "poa"

    Nilitoa kama laki moja hivi na kumkatia shem.... kisha nikaenda kumuaga mama mkwe,

    Muda si mrefu nilifika Stendi na kupiga simu,

    "upo wapi dada?"

    "nipo hapa kwenye kibanda cha simu... geuka utaniona"

    Nilipogeuka nilimuona, Haikupita muda tulichukua tax mpaka Eapoti na kuchukua private jet,

    "mbona una haraka hivyo dada?"

    "bwana mi nawahi saluni kule"

    "mmhhh sawa?"

    Mara simu yangu ikaita, kucheki ni aisha,

    "mambo sheby?"

    "poa nambie?"

    "safi... vp ushaondoka?"

    "yes ndio nipo juu sasa"

    "mmmhh hata kuniaga una roo mbaya kama nini wewe"

    "usijali"

    "poa basi baadae"

    "poa"

    Baada ya masaa mawili tulifika arusha tukiwa wazima, tulichukua gari yetu tulioiacha pale Eapoti, tuliingia kwenye gari na kuondoka zetu huku tukiongea

    "ivi we ulikua wapi? Maana umenitia wasi wasi na nikasema arusha siji bila wewe... Tena na vile simu haipatikani ndio nilikua naumwa kabisaaa"

    "mbona mi nipo tu"

    "yaani wewe mhhh, afu mbona kuna harufu ya nguo mpya mpya naisikia"

    "mmmhh huo mpua wako kaurepee haunusi vizuri"

    "mschiuuuuuuu"

    "unanisunya aseee?"

    "vungaaaa dogooo"

    Basi ilikua ni utani wa hapa na pale baina yangu mimi na dada nusura,

    "aseee huko unaenda wapi tena?"

    Nilimuuliza dada nusura kua huko anapokwenda, ni wapi? Japo najua ni njia ya kuelekea nyumbani kwake,

    "kwani hujui?"

    "twende ukaniache nyumbani kwanza afu ndo uje kwako"

    "aaaaahhh mi nimechoka utaenda mwenyewe"

    "nitaenda na nini sasa jamani"

    "nitakupa gari"

    "aaaaa labda ivyo ndio sawa."

    Tulifika nyumbani kwa dada nusura, tukashusha mizigo na kuingiza ndani maana mimi sikua na mzigo wowote ule zaidi ya begi langu na rasketi, sasa nikiwa naingiza vitu ndani mara simu yangu ikaita kucheki jina alikua ni aisha tena,

    "wewe ingiza vitu ndani bwana misimu simu ya nini hio"

    "subiri nimpokelee wifi yako wewe mbona una kelele"

    Sasa ile kusema vile dada nusura akaanza utani wa kuninyang'anya simu

    "we dadaa mi nshapokea afu ni mama sasa"

    "nani?"

    "eeeee uongooii ulikua ushaanza kuvaibreti fasta"

    Akanipiga likibao la mgongo liliuma hilo hadi nikakasirika,

    "staki utani na wewe bwana, unakuja kunibukua bukua tu ovyo"

    "mmmhh na wewe kidogo tu umenuna heee"

    Niliachana na dada nusura na kuipokea simu ya aisha mtoto kama muarabu vile,

    "halooo..... Mbona unapiga simu kila saa mama kuna nini?"

    "sheby huezi amini leo mama angu kaja mpaka nyumbani"

    "waaacha weee?"

    "sasa je"

    "mmmhhh haya nisalimie huko,"

    "alafu kuna mtu anaitwa sadiki unamjua?"

    "mmmhhh sasa mi nitamjulia wapi huyo sadiki wako"

    "sio sadiki wangu.... Ona sasa ushaanza wivuuuu uyoooo"

    "ni nani huyo sadiki"

    "ni mdogo wangu yupo huko, tena kaniambia muda sio mrefu alikuepo hapa tanga"

    "aaaahahahaha kwaio kaondoka?"

    "ndio, na nikimaliza tu shule naenda arusha..... Tutainjoi eee?"

    " sanaaaa tena kama sio shule? Ningekutumia nauli uje"

    "usijali mpenzi wangu nitakuja tu"

    "unajua nini aisha?"

    "eeeenheee"

    "nataka unipe ile kitu"

    "mschiuuuuu staki"

    "aaaaaaa acha zako bwana"

    "takiiii"

    Mara dada nusura kaja na fujo zake huku akiongea kwa sauti,

    "wewe fara huingizi mizigo ndani kazi ni kutongozana tu kwenye simu"

    "dada vunga basi jamani"

    "hebu kata hio simu haraka"

    Daaahhh ilibidi nimuage aisha na kukata simu.

    "mbona msumbufu hivyo dadaa?"

    "peleka mizigo ndani"

    "au kisa nipo kwako nini? Ila nami nitakua na kwanguuuu?"

    "utajiju"

    "utajiju mwenyewe na linyumba lako hili"

    "nani?"

    "mmmhh basi yaishe Eeee?"

    Basi mtoto wa kiume nilimaliza kuingiza mizigo ambayo ilikua ndani ya gari... Na yalikua ni baadhi ya matunda tuliotoka nayo tanga,

    "dada nusura?"

    "nini wewe jamani?"

    "njaaaaa Aiseee"

    "kwani mi hoteli"

    "Aaahaaaa sawaaa ngoja nipike afu nione ulete mkono nakata ivo viganja"

    Basi mtoto wa kiume nikaingia jikoni na kuanza kubandika masafria ya msosi, Nilianza kuosha vyombo maana vilikua vina vumbi, muda huo nilibandika tambi jikoni huku naosha vyombo, na mtoto wa kiume sio haba kwa kupika misosi ni... Nikicheki friji lina kuku nyama na kadhalka, Nilichukua kuku na kuanza kuikata kata...

    "dikiiiiii? We diiiiiii? Dikiiiiiii., we sadiki husikii nikikuita?"

    "nani sadiki sasa? ebu jieshim na hizo ndoto zako za mchana"

    "hata ukatae hilo ndio jina lako babu weee"

    "aaaaaa ebu sogea bwanaaa"

    Sasa ile kumuangalia dada nusura alikua kavaa mtandio tuuu na chupi ya bluu ndani

    "asa ndio nini hivyo?"

    Nilishangaa akinisogelea na kunisimamia kwa nyuma huku akinishika kiuno

    "dada niachie bwana"

    "sadiki mdogo wangu? naomba unisameee ila nimejikuta tu ghafla nakutamani, na hii inatoka na siku ileee ulivyonifanyia nikiwa nimelewa... sasa na leo nataka tena plz plz but naomba unieamee diki wangu"

    "dada? mimi si nilishakuomba msamaha lakini?"

    "najua, ila mdogo wangu umejaaliwa na utamu usiosahaulika, plz naomba unifanyie masaji, nipo tayari kwa chochote nikupe"

    "dada? hivi upo siriasi kweli?"

    Sijakaa vizuri alinivuta na kunyonya bonge la denda huku akinipandishia mapaja yake juu juuu,

    "diki mdogo wangu, kweli nipo sirisi nakutaka, yaani nataka unipe utamu, maana nimechoka kukumezea mate kila siku afu upo nami kila siku"

    "yaani sikutegemea kama hata wewe utakuja kuniamhia maneno kama hayo"

    "sadiki? naomba unipe jibu hutaki au unataka, na kama hutaki mi nitajua cha kufanya, halafu taka usitake lazima uniruke maana unajua"

    "dada? yaani kuanzia leo sitokuja kwako, na kuanzia leo tusijuane"

    "Ehehehehe utaenda wapi wewe mtu usiokua na wazazi..... skia sasa ukweli ni hivi, wewe huitwi sharbiny..... hilo ulipewa tu ili uriplesi jina la huyu sheby mwenyewe, ila jina lako halisi ni sadiki, na siri hii tunaijua mimi na anti mwaju wako yule,.......... yote tisa, .... kumi ukikubali nikupe 0714 simuambiii mama kua wewe sio mtoto wake, na ukikataa 0714 namuambia mama ukweli na lile gawio lako tuone kama utalipata..... mbali na gawio, unaona mali zote za nje na ndani ya nchi? sasa hizo mali zote umeandikiwa wewe kwakua ni mtoto wa kiume,..... sadiki? toka siku ile ulivyonipa utamu wako, mpaka leo natamani uurudie tena, sadiki? njooo basi,.... ila ukikataa naenda kumuambia mama kua wewe sio mtoto wake..... "

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sikua nikiamini maskio yangu kwa kile nilichokua naskia kwa dada nusura, nilikua kama mwehu huku nikijiuliza kua, ivi ni kweli au anatania, kutoka saa hio sikua na raha tena baada ya kusikia taarifa hizo, lakini sikua nataka kufanya haraka maana huenda dada nusura anataka tu kutumia ujanja, nami saa hio hio nilipata wazo fulani kua nimkubalie kulala nae afu baada ya kumaliza nimuulize, maana si atakua keshapata akitakacho, hivyo hapo ndio nitaujua ukweli juu ya jambo analolisema dada nusura,

    "sheby haina haja ya kufikiria sana, na ukweli zaidi ni kwamba mimi na wewe bado ni ndugu ila mengine sintokwambia mpaka ukubali. . Maana kila rafiki yangu ninaemuonyesha picha zako anakua anakutamani kimapenzi, sasa kwanini unibanie dada ako?"

    "lakini dada nusura? Haya mapenzi ya kindugu ndugu yameanza lini tena?"

    "we mbona ulinibaka siku ile, au nikamwambie mama?"

    "ah ah usiende ile ni sili yetu na hata hivyo nilikua nimelewa na mimi"

    "skia sadiki mdogo wangu, unajua wewe ni hensam na sijui kama kuna mwanamke utamtongoza na akakataa, sasa kwanini mimi nisikupende na nina hisia zote za kupenda, sadiki? Njoo unipe kimoja tu ka siku ile"

    Nilijiuliza mara mbili mbili kisha nikawa kama nakubali, maana hivyo alivyovaa tu huo mtandio na chupi vilinipeleka roho mbio mbio, afu ukizingatia na umbo lake kaliii mtoto shombe shombe, Nikaona sio mbaya kupanda mahindi kwenye shamba la ndugu yako, Nilikubali pale pale, maana kila nikifikiria hizo mali ni nyingi mno, afu unaambiwa nitazikosa kwakua sio mtoto wa familia hiii

    Katika familia hii kuna gawio ambalo kila mtoto wa familia hio anatakiwa alipate, na sisi watoto tupo watatu, ambae ni MIMI, DADA NUSURA NA DADA ZAITUNI, kwahio mwanaume nipo peke angu, na dada nusura ameshapewa gawio lake la shilingi milioni mia tano 500... Na dada zaituni nae atapewa kiasi hicho hicho alichopewa dada nusura, Sasa kwa mimi mtoto wa kiume nimepangiwa kiasi cha shilingi Bilioni moja, kwakua ni mtoto wa kiume, na mali zote za wazazi hawa nimeandikiwa mimi tu, Sasa kama akisema mimi sio mtoto wao je nitazipataje hizo mali? Aiseeee bora nimchubue dada angu kuliko nizikose hizo mali......

    Nilizima majiko kisha Nikamchota dada nusura hadi kitandani kwake, nikambwaga na kuutoa ule mtandio aliokua kauvaa na kubakiwa na ile chupi tu, hapo hapo tulianza kudendeka lakini ukweli ni kwamba nusura sio ndugu yangu kama yeye alivyosema, sasa kwanini nisimpakue, Mtoto wa kiume nilianza kumnyonya dada angu kitovu

    JAMANI MIMI NAPENDA MWANAMKE MWENYE KITOVU CHA KISHIMO DUUU YAANI NAPENDA LIVE LIVE SIO KWENYE STORY

    Na dada yangu nae alikua akipenda kuishika nanii yangu huku kama anaichezea vile, Nilimshika shika kila kona ya mwili wake mpaka akaniambia basi imetosha, nilikua nina maumivu ya kwenye uume wangu maana ukumbuke jana usiku nililala na dada yake jasu, na alinikamua vibaya mno, Lakini hapa nimekutana na dada nusura nipo fresh ila maumivu kidogo yalikuepo, Basi mtoto wa kiume bila kupoteza muda wala dakika, nilimkunja dada angu nusura na kumueka sawa kisha nikaanza kazi, ayaaaaaa mtoto alikua ana uwanja wa kulala hadi raha yani

    Nilipiga raundi moja lakini dada nusura alikua analia na kusema kua hataki tena, maana nanii yangu ilikua ni kubwa hivyo inamuumiza, Aliposema hivyo nami nikaona poa na nikawa nashuka ili nivae nguo

    "sasa mbona unashuka sheby?"

    "sasa si umesema hutaki tena wewe?"

    "no no njoo bwana"

    Nilipanda tena kitandani na kumsikiliza

    "mi bado nina hamu"

    "sasa nitaingiza wapi mimi? na huko unasema kunauma"

    Dada nusura alinirukia na kunishika mkono wangu wa kushoto kisha akauelekeza kule sehemu flani, yaani anamaanisha nifanye nae mapenzu kinyume na maumbile yake, Nilishangaa na kutikisa kichwa kwa kumkatalia kabisa, dada nusura alinibembeleza kwa kila njia mpaka akaniambia sababu ya kupenda kuliwa tigo

    "dada? hata wewe unasuhutu kufanya huo uchafu"

    "sheby? plz plz yaani mimi kwa sasa nimekua teja wa kitendo hicho, na nilitamani uanze na huko ila nikawa naogopa kukwambia, Sheby mdogo wangu, nipe angalau kimoja tu nilizike maana vinawasha"

    "hapana hapana siwezi fanya huo ushenzi kabisa yani"

    "sheby??? sina cha kukuhonga chochote kile maana kama ni pesa unazo nyumbani zipo, sasa cha kuniseidia we nipe tu"

    "kiukweli sitaki na sitaki tena"

    "sheby ngoja basi"

    "nini?"

    "niingizie hata toy basi"

    "dada kwani usiache hii tabia?"

    "napenda kuacha mdogo wangu ila nitaanzaje?"

    "we acha tu"

    "basi fanya hivyo kwa leo tu then nitajitaidi kuacha"

    "haya liko wapi hilo toy lako?"

    Niliona nikubali kumuingizia toy, yaani sanamu liliotengenezwa mfano wa mboo, Alilileta nami nikalipokea huku dada angu akijiangaa kukaa ili nimseksishe na sanamu lake kinyume na maumhile yake,

    "lakini kwanini uipende tabia dada?"

    "shemeji yako"

    "ndio kafanyaje?"

    "aliniombaga siku moia, ila nilimkatalia vizuri ila katikati ya mapenzi alipokua anapizi, aliniingizia hila hiali yangu, hivyo toka siku hio nikawa nampa kwakua nilikua naskia raha, sasa siku hizi nimeachana nae hivyo sina wa kunipa utamu huo, na ndio maana nimenunua dude hilo japo halifanyi chochote kama uume wa kweli"

    "ni kabira gani uyo fara?"

    "kabila letu"

    "muarabu?"

    "ndio"

    "toobaaa"

    "sheby? nipe bwana"

    Sasa vile dada alivyoinama aliinama vizuri mpaka mi mwenyewe nikatamani kumla kinyume na maumbile yake, Alibong'oka vizuri ili nimuingizie lile toy, Lakini nkaona hii staili aliokaa haistaili hili toy, Niliamua jimpande dada yandu kinyume na maumbile

    "dada?"

    "abeeee?"

    "una kondom?"

    "kondom ya nini tena?"

    "nataka nijaribu"

    "sema kweli sheby?"

    Dada aliamka na kunibusu mabusu mengi kisa nimekubali kumla tigo,

    "sheby? kondom nilizonazo ni za kike tu"

    "kwaio itakuaje?"

    "sheby mdogo wangu, kwaio unaniona mi mchafu sio?"

    "no sina maana hio"

    "basi we ingiza tu, tena ukimwagia humo humo ndio naskiaga raha"

    Huezi akini nilikubali kumruka ukuta dada yangu kabisa,

    "paka mafuta kidogo bwana"

    Alinipa mafuta ambayo hua anayatumia kufanyia tendo hilo, nami nikayachukua kisha nikajipaka kwenye nanii yangu, Kisha nikamgeuza dada yangu na kumueka mhuzi kagoma huku akisema kua

    "sheby mdogo wangu, ingiza basi mwenzio nawashwa, afu ingiza yote huku ukinipiga piga vibao vya makalio ndio napendaaaaa...... uuuuwiiiiiiiiiiiiiiii taratibu jamani, mmmhh mdogo wangu una mdude wewe duuu, hata yule fara hakuezi.... yaaaaalaaaaaaaaa ngoja ngoja ngoja ngoja, paka mafuta tena mmmhhh"



    Sikua na haraka ya kunpakua dada yangu, maana alikua ni mtamu katika hayo maeneo, Na hili eneo nakumbuka nilishawahi kumuomba demu mmoja kule tanga, na ilibaki kidogo tu nimpakue hilo eneo ila kwa haraka haraka nikajikuta naacha, Sasa leo nimepewa na dada yangu nimpakue, tena bila aibu dada huyu alinibong'okea vizuri utafikiri anambong'okea mumewe, kumbe ni mdogo wake kabisaaa, Na mimi bila huruma wala aibu pamoja na haya. Niliusukuma mtarimbo wangu, kunako tigo ya dada nusura, Yaani tena alikua ni mtamu, kumbe hayo maeneo nilikua nayakataa bure tu ila ni matamu kuliko hata mbele, maana palikua panatyt hadi raha yani, Kiukweli hakuna siku nimejiskia raha ya ngono kama leo, maana nimejikuta napizi kwa muda mfupi tu kwa udogo wa ile sehemu, Tena dada nusura alikua analia milio mitamu kuashiria kua anapata raha kuliko mimi, maana mimi napata raha ya kubanwa banwa huku nikijigusa kwenye makalio yake yalio laiiiniii kabisa, dada yangu sasa amekua mtu mwema sana kwangu maana kanijuza raha ya mwanamke ipo wapi,

    Nilimkwachua dada nusura hadi mwenyewe akaomba poo, Nami kwa hasira nikawa namalizia raundi yangu ya tatu, kiukweli dada nusura alikua ni mtamu wa kutupwa yaani lazima niwe nakuja kulaka huku kwa dada nusura maana ni furu utamu,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwakua dada nusura alikiri kuridhika kwa kila kitu, alinisogelea na kuibusu naniii yangu, kisha akanibusu na mimi kwenye paji la uso, Huku akisema

    "asante sana mdogo wangu, maana nilikua nawaza nikanunue mwanaume anifanye kinyume na maumbile, lakini kumbe dogo langu niliokulea mwenyewe leo umenifurahisha kuliko hata yule fara alienianzisha"

    Dada nusura aliongea mengi ila nami sikuacha kumsifia kwa utamu wake ulivyo, maana sijawahi kupata utamu kama huo maishani mwangu,

    "dada? kiukweli umtamu mpaka umepitiliza, yaani mi nasema hivi? usiache hio tabia"

    "No inabidi niache sheby, coz yule aliokua ananifanya nimesha achana nae"

    "Dada? nitakua nakuja kuja kulala huku kwako ili tupeane vitu"

    "kweli sheby? jamani mwah, mwah, mwah, mwah i love you"

    Dada nusura alinipiga mabusu ya furaha kwakua nimekubali kuja kwake kwa siku moja moja ili nimfi*********e vizuri, Kiukweli dada nusura ni kama alidata na mimi kama mpenzi wake vile kumbe ni kaka yake, Nami huu ndio mwanzo wangu wa kupenda mwanamke kinyume na maumbile yake,

    JAMANI NDUGU WASOMAJI WANGU WA JINSIA ZOTE, HII NI STORY TU NA HAINA UKWELI WOWOTE ULE, HIVYO USIJE UKAIGA KILE NINACHOKIFANYA MIMI HUMU. . . MFONO KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE YA KAWAIDA KWA MWANAMKE KUNA MADHARA NDANI YAKE,

    KWANZA MWANAMKE ATAPATA SHIDA WAKATI WA KUZAAA, HIVYO KUNA ADHARI KUBWA YA KUMUUA MTOTO, MAANA KUNA NGUVU ITOKANAYO NA MISHIPA ILIOPO PEMBEZONI MWA MKUNDU YAANI KILE KITUNDU NA SIO MAKALIO... MAANA KUNA MAKALIO NA MKUNDU,

    SASA KILE KITOBO NDIO KINATOA UWEZO WA KUWEZA KUSUKUMA KITU KILICHOPO NDANI, KAMA MTOTO UNAPOJIFUNGUA, MAANA ILIE MISHIPA IMESHALEGEA HAIWEZI KUFUNGA KITOBO KILE KUA CHA KAWAIDA KAMA ZAMANI, HIVYO UNAWEZA KUJIFUNGUA KWA OPARESHENI AU UKAFANIKIWA KWA NJIA YA KAWAIDA... ILA KWA ASILIMIA 80 HUA WANAJIFUNGUA KWA OPARESHENI,

    NA ATHARI NYINGINE YA PILI NI KWAMBA UNA ASILIMIA 90 YA KUJISEIDIA MBELE ZA WATU KAMA UNA TUMBO LA KUHARISHA, MAANA ILE MISHIPA YA KUJIZUIA IMESHALEGEA,

    NA ATHARI YA TATU NI KWAMBA HUYO UNAEMPA TIGO YAKO NI KWAMBA HATODUMU NA WEWE, KWAHIO USIJE UKAJIDANGANYA KUA ETI

    "nampa mpenzi wangu nyuma ili asiniache"

    SASA KWA TAARIFA YAKO SISI WANAUME HUA HATUOI MWANAMKE ALIEJIRAHISISHA KULIWA TIGO YAKE, NAANA SIWEZI KUISHI NA SHETANI HATA KAMA MIMI NDIO NIMEKUANZISHIA KUKULA HIO TIGO LAKINI SIKUOI NG'OOO NA HATA KUKUEKA NDANI NITAKUEKA KAMA UNA PESA, MAANA UKIWA NA MWANAMKE NDANI ZAIDI YA SIKU TATU HUYO NI MKEO, KWAIO WE ULIOLIWA TIGO NA AKAKUOA BASI MSHUKURU MUNGU, AU LABDA ULILIWA UKIWA NDANI YA NDOA, LAKINI BILA HIVYO HUOLEWI PYUUUUUU UTALIWA TIGO HIO NA KUOLEWA HUOLEWI NA DHAMBI JUUUU,

    KWAHIO WE MWANADADA UNAESEMA TIGO TAMU UNATAKA UJARIBU SHAURI LAKO, WE JARIBU ILA KAWAIDAHATUOI MAKAHABA... ... MAANA PALE KWENYE KUBEMBELEZWA PALE, JAMAA UNAMKUTA ANAPIGA HADI MAGOTI ILI APEWE TIGO TU, NA DEMU LILIVYO FARA LINAJIFANYA LINA UPENDO WA KWELI, UTASIKIA JAMAA AKIANZA KUOMBA HIVI

    "sasa baby?"

    "sasa nini?"

    "aaa baby kimoja tu"

    "akuuu mi staki"

    "kichwa tu natoa"

    "takiiiiii"

    JAMAA LINAPIGA MAGOTI HUKU LIKIOMBA KWA MSISTIZO MKALI, NA DEMU ALIVYO MSENGE FARA FARASI KUMA MAE WE DEMU ULIELIWA TIGO KWA AJILI YA PESA AU KUDANGANYWA NA MPENZI. ... SASA NA DEMU NAE ALIVYO MSENGE UTASIKIA AKIANZA, OOOHHH MIMI MWENZIO SIJAWAHI KUFANYA KWAIO MI STAKI.... JAMAA NALO UNASKIA.... AAA NITAINGIZA TARATIBU, AFU KWANZA YALE MAFUTA YAKOWAPI?... KADEMU UTASIKIA. YALE PALE, ILA USIINGIZE SANA, MAANA VINA MADHARA.... JAMAA UTAMSIKIA AKISEMA..... HAKUNA MADHARA WEWE NANI KAKUDANGANYA, NA HATA KAMA KUNA MADHARA KWA MIMI SI NDIO MUMEO MTARAJIWA......

    SASA WE JIDANGANYE KUA ANAEKUANZA KULA TIGO ATAKUOA, HAKUI NG'OOO LABDA UKAMROGE NDIO ATAKUOA LAKINI NA AKILI ZAKE ZOTE HASUBUTU KUFANYA UENGE KAMA HUO,...... ANAKUHARIBU WEWE AFU ANAENDA OA NWINGINE... UTAJIJU NA TOGO LAKO HILO LIMELEGEAAAAAA....

    NA KAMA IMEKUUMA NA UMENUNA PASUKA, AU NJOO INBOX, AU WASAPU 0714419487 NI MIMI MoonBoy NDIO NIMEIANDIKA, KWAIO KAMA IMEKUTACHI CHUKUA KUDU KAJITIE TANZI LAKINI MASSAGE SENT TO YOU MWENYE TABIA HIO......

    KWENYE SEHEMU ZA MBELE NITAWAELEZEA MAZARA YA MWANAUME ANAELIWA TIGO NA YULE ANAEKULA WENZAKE AU MADEMU ZAKE, USIONE TU MADHARA ANAYAPATA ANAELIWA BALI HATA WEWE UNAEKULA MADEMU AU MAJAMAA ZAKO PIA UNA MADHARA MAKUBWAAAAAAA......... AAAAALAAAA PUMBAVU ZENU NYIE

    HEBU TUENDELEENI NA STORY YETU ILA NIMEWAPA MAKAVU LIVE JUU YA HILO

    Basi Baada ya muda kupita niliamua kuondoka zangu kwenda nyumbani, Nilichukua begi langu na kulitupia mgongoni bila kusahau rasketi yangu, Sikutaka hata kutumia gari yake,

    "sasa? mi naenda"

    "sawa, chukua gari moja hapo nitakuja kuichukua kesho"

    "aaa wacha nile zoezi tu, ila nitachukua toyo"

    "poa, kesho uje basi"

    "sawa, but kama sitokua na nafasi siwezi kuja"

    "bwana fanya juu chini uje bwanaaa"

    "ni kwasababu ya masomo"

    "uje na hio homework yako nitakufundisha huku huku sawa baba?"

    "sawa"

    "sheby?"

    "nini tena?"

    "njooo"

    Nilimfuata mpaka pale alipo na kumuuliza

    "sema dada yangu mpendwa"

    "skia, muulize anti wako vizuri atakuambia kila kitu kuusu wewe, maana mimi sijui sana, ila kaa ukijua kua Anti mwaju ndio mama yako mzazi kabisaaa wakukuzaaa, hivyo we nenda kapate uhakika kutoka kwake ila mimi aliniambia kua alikuchukua kwenye kituo cha watoto yatima, sasa sijui kama ni kweli au laaa, na hilo jina la sharbiny ni la mdogo wangu mimi ila alikufa akiwa mchanga, na ndio ukapewa jina lake ili mama asijue, kwahio undugu wa mimi na wewe upo pale pale maana tunachangia baba mmoja kasoro mama tu"

    "mungu wangu, kwaio sasa mimi mama angu ni nani?"

    "ndio maana nakuambia kamuulize anti mwaju ndio anajua kila kitu kuusu wewe"

    Baada ya kuambiwa hivyo sikukawia kuondoka, na kwakua anti mwaju bado hajarudi tanga hivyo nilielekea zangu nyumhani badala ya kwenda kwa anti mwaju,

    Basi mtoto wa kiume nilianza kutembea kutoka hapo kwa dada hadi nyumbani, ikiwa ni mida ya saa 12 jioni kagiza kanaingia hivi,

    Nilifika nyumbani na kumkuta dada zai akijisomea pale nje,

    "waaaaaoooo sheby mdogo wangu nimekumisije?"

    dada zai sasa hivi ananipenda vibaya mno maana nae tayari nilishampitia kimapenzi hivyo nusura na zai wote tayari nimeshawapitia,

    "mi pia nimekumisi mbaya"

    "weeee, dada nusura yuko wapi?"

    "aaaah nimemuacha kwake uko"

    "jamani hata zawadi hamkuleta"

    "zipo humu ndani ya begi"

    Mara jesca ambae ni mfanyakazi wetu alikuja na kunipokea mabegi, na kuondoka zake,

    "ila mimi staki zawadi za mabegi, bali zawadi yangu unaijua mwenyewe"

    "kweli ila ili nikupe hio zawadi, kwanza umuombe msamaa zam zam ndio nikupe"

    "heeeeeee mbona nshamuomba msamaa toka juzi ile ulioondoka na tumesameeana na nimemuambia ukweli kua wewe ni mdogo wangu"

    "nitajua kama kweli umemuomba msamaha?"

    "kesho tukienda shule umuulize tena umuulize mbele yangu"

    "sawa nitamuuliza"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Basi niliingia chumbani kwangu, huku nikiwa nanuka janaba la kula tigo, Ilibidi niingie bafuni mara moja ili kuitoa ile harufu mbaya nwilini, Kiukweli sikua na woga wala wasi wasi juu ya kukosa mali kama sio mtoto wa sonia, Maana kama ni mali bado zipo pale pale maana baba etu bado ni baba angu hivyo kikubwa ni kujua kua nina mama au sina,

    Nilimaliza kuoga na kutoka hadi hapo sebureni ili kupata juice baridi, ikiwa ni saa moja na nusu usiku. .

    BAADA YA SIKU HIO KUPITA NA LEO NI SIKU NYINGINE TENA

    Na leo sikuenda shule, maana sikua najiskia vizuri na pia sikua na wasi wasi maana nimeagiwa shule.... Ikiwa ni muda wa saa tisa hivi kwenda saa kumi, nilimpigia anti mwaju simu na kumuuliza kama kesharudi, alinambia ni kweli karudi muda sio mrefu,

    Papo hapo nikatoka na kuingia kwenye gari yangu na kwenda huko kwake ili nipate ukweli juu ya maisha yangu mimi, maana naishi maisha ya kifahari na kutegemea kua mali ni zangu, kumbe sio kweli mimi ni mtoto wa kuokotwa tu mtaani, hivyo ndio naelekea kwa anti mwaju kujua ukweli juu ya hilo,

    Nilifika getini na kupiga honi, anti mwenyewe ndio alikuja kunifungulia ila nilikua sipo vizuri kiafya maana nimefanya ngono mara mbili kwa siku yaani mwili haukua poa kisawa sawa...

    Kwanza niliposhuka kwenye gari nilimuangalia anti mwaju kwa hasira kisha nikaingia ndani na kukaa kwenye sofa.....

    Anti alikuja huku akiwa na wasi wasi juu yangu,

    "sheby una nini baba?"

    "hujui eee?"

    "aaaa mbona sikuelewi jamani?"

    "nakuuliza hujui"

    "mmhhh kama ni mkeo yupo ndani nenda kamuone"

    "sikufata mke hapa"

    Niliamka kwa hasira huku nikimnyooshea kidole, kwa ukali wa hali ya juuu

    "mmhhhh jamani sheby mbona sikuelewi baba"

    "sikia anti, yaani hapa sintokuelewa kama usiponambia ukweli"

    Niliongea huku nikitamani kulia,maana yeye ndio anajua mama yangu ni nani, na hata kama ni kichaa nipo tayari kumjua tu,

    "ukweli gani jamani?"

    "anti mwaju? nakueshim na nitazidi kukueshim, ila heshma yangu kwako itatoweka baada ya wewe kunidanganya"

    "mmhhhhh sasa mimi najua nini mimi?"

    "anti?? naomba uniambie wazazi wangu ni akina nani? na kama huwajui wazazi wangu je? ulinichukua kituo gani cha watoto yatima? labda nikienda huenda nitawajua wazazi wangu"

    "sheby? hebu funga domo lako..... kwanza ni nani kakuambia huo ushenzi?"

    "Ahaaaaaaaaaaa kumbe huu ninaouongea hapa ni ushenzi eee?... yaani mimi nataka niijue familia yangu afu unaniambia ni ushenzi? Sawa, mimi naondoka ila ipo siku tu"

    Nilipiga hatua kubwa kubwa nikielekea nje, mara nikasikia sauti ya anti mwaju ambayo ilikua ikiniita niende nikamsikilize

    "basi baba njoo nikuambie tu, maana tayari umeshakua na unapaswa kujua kila kitu kuusu wewe"

    Kwakua nilikua nina hamu ya kuijua familia yangu ya kweli, hivyo sikuweza kukaidi sauti ya anti mwaju ambayo ilikua ikiniita kwa upole, Nilirudi na kuendelea kukaa sofani huku nikimsikiliza kwa umakini wa hali ya juu mno,

    "najua ni dada yako nusura ndio kakwambia hayo yote, nami wacha nimalizie tu kukuambia ukweli wangu..... Sheby baba??? ..... Nakumbuka mwaka 1993"

    Nilikaa vizuri na kwa umakini huku nikimuuliza kua

    "mwaka 1993 kulitokea nini?"

    Je? unataka kujua kwanini nimeitwa sharbiny? na je ilikuaje mpaka nikakulia kwenye jumba la kitajiri nikiwa kama sharbiny?.... Na je huyo sharbiny mwenyewe anaedhaniwa kua mtoto wao ni yupi???????? Basi we Usikose Kufatilia sehemu ya 94 mida kama hiiiiii



    Nilikua na shauku ya kujua huo mwaka kulikua na nini au kulitokea nini, Maana napenda kujua kila kitu kuusu mimi, nilikaa vizuri na kutoa macho kwa msistizo wa kutotaka kupitwa na neno hata moja, Anti mwaju alianza kunipa stori kuanzia alivyozaliwa mpaka kufikia hapo, na ukumbuke muda huu ni muda wa saa tano hivi inaendea saa sita mchana, na leo sikwenda shule kwa ajili hii ya kujua ukweli juu ya maisha yangu, na kujua wazazi wangu ni akina nani na wapo wapi kwa sasa, au ni wafu au wapo hai? Nilikaa kwa umakini huku anti mwaju akiwa kama anataka kulia hivi lakini mimi ndio kwanza macho makavu na wala sikua na wasi wasi nae maana ni haki yangu kujua ukweli zaidi,

    "sheby? Nipo tayari kukuambia kila kitu kuusu wewe, na nitakuambia hata visivyosemwa maana umeshakua na unapaswa kujua ukweli, ila ukishaujua ukweli basi kuna mtu mwingine ambae hapaswi kuujua ukwelu huo, sasa hebu nihakikishie kua hutomwambia mtu yeyote siri hii iliotunzwa ndani ya miaka ishirini iliopita, na inatakiwa itunzwe mpaka huyo mtu atakapofariki ndio siri ivuje, Je hutomwambia?"

    "nani sasa nisimwambie?"

    "we kubali tu"

    "sawa sitomwambia"

    Niliona bira nikubali tu ili ipite maana kikubwa ni kutaka kujua mimi ni nani

    "mmmhh kwanza mimi nimezaliwa mwaka 1980, nilipofikisha umri wa miaka 7 ambapo ni mwaka 1987 nilianzishwa shule ya awali ya darasa la kwanza, kwani kipindi hicho nilikua nina mwili kidogo.... Ulipofika mwaka 1990, nilikua nipo darasa la tatu, na nilikua na umri wa miaka kumi, niliendelea kusoma katika shule hio ya msingi iitwayo KWEM NINGA iliopo tanga kwenye mji mmoja uitwa KIWOLENI, nilipofikia darasa la sita ambapo ni mwaka 1993 niliweza kudanganywa na mwalimu mkuu kuwa nitembee nae kimapenzi ili anipasishe kwenye mtihani wangu wa miaka miwili ijayo, kiukweli nilimkatalia na nilikua ni mdogo kiumri lakini umbo langu lilikua ni kubwa, na nilikua na umri wa miaka kumi na tatu hivi naa miezi..... Nakumbuka mimi ndio nilikua monita wa darasa, Sasa siku moja nikiwa nimekusanya daftari na kuzipeleka kwa mwalimu, Niliingia ofisini kwa mwalimu na kuacha daftari za wanafunzi wenzangu, lakini mwalimu hakuchoka kunisumbua, Lakini siku hio nilikua na mawazo sana kwakua mama yangu alilazwa hospitalini, na baba yangu alishafariki dunia, hivyo mwalimu aliniuliza,

    "mwajabu una nini? Mbona toka asubuhi huna raha"

    Nilianza kulia kisha nikamwambia kua

    "mwalimu nina matatizo makubwa"

    "matatizo gani tena mwaju"

    "mama kalazwa hospitalini na sina pesa ya kulipia matibabu"

    "oooohhh shit pole sana mwaju, muombee mama atapona tu"

    "sawa"

    Lakini nilipotaka kuondoka, mwalimu aliniita na kutoa shilingi Elfu 30 ambayo kwa kipindi hicho ukiipata hio pesa ni sawa na mtu aliepata laki tatu kwa maisha ya sasa hivi, yaani ni kama laki tatu ya leo, kwa thamani ya kipindi hicho...... Nilishukuru sana kwa mungu kua ameninyooshea mkono juu ya tatizo langu, Alinipa ruksa ya wiki nzima kua nikamuudumie mama

    "mwaju? Chukua hiki kiasi kidogo kamuudumie mama, maana kuliko apoteze maisha ni bora nijitoleee"

    "asante sana mwalimu, nakushukuru sana, maana sasa nauona uhai wa mama yangu"

    "usijali mwaju watu ni kuseidiana, na nakupa wiki nzima umuudumie mama vizuri mpaka apone sawa mwaju?"

    "sawa mwalimu asante"

    Niliondoka huku nikifurahia kwa msaada nilioupewa na mwalimu juma, Nilirudi hospitali na kumuanzishia mama yangu matibabu na kwa uwezo wa mwenyezi mungu mama yangu alipona ndani ya wiki mbili tu

    Wiki iliofuata nilirejea shuleni nikiwa na furaha juu ya kupona kwa mama yangu mzazi, tena kwa furaha nilipitia ofisini kwa mwalimu juma kumshukuru kwa mara nyingine tena, maana katoa mchango mkubwa sana juu ya kupona kwa mama angu

    "shkamoo mwalimu"

    "marahaba hujambo mwaju? Mama anaendeleaje?"

    "tunamshukuru mungu amepona na kwa sasa yupo nyumbani anaendelea na kazi zake"

    "vizuri sana na umefanya la maana kumuangalia mama hadi kupona kwake"

    "hata wewe mwalimu umemseidia sana mama angu"

    "aaaaaa binadamu tumeumbwa kuseidiana bwana"

    "sawa, mi naingia darasani"

    "sawa, ila mwaju?"

    "abeee"

    "vp kuusu lile ombi langu"

    "mwalimuuuu mimi sitaki na siwezi"

    "sasa kama hutaki ulipokea pesa yangu ya nini?"

    "mwalimuuuu lakini si uliniseidia tu"

    "hakuna kuseidiana hapa bali ni kubadilishana tuuu"

    "mwalimuuuuuuuuu"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilianza kulia kwa uchungu huku mwalimu akinivutia kwenye kichumba fulani hivi, Kiukweli nililia sana tena sana kwa kitende nilichofanyiwa na mwalimu, huezi amini mwalimu alinibaka ofisini kwake, yaani bila hata huruma alinifanya mpenzi wake kabisa, kiukweli toka siku hio sikuenda shule kwa maumivu ya kubakwa na mwalimu mkuu,

    Baada ya wiki kama tatu hivi, mama yangu alinishtukia kitu ambacho hata mimi nilikua nina mashaka nacho,

    "wewe mwaju? una nini mwanangu?"

    "mama sina tatizo ila najiskia tu vibaya"

    "hapana hii sio kawaida yako mwanangu, huezi kutema tema mate hovyo hovyo tu"

    "mamaaa mi sina tatizo"

    "hebu njoo huku ndani uniambie gizuri"

    Nilikua naogopa sana maana mama yangu alikua ni mkali mno

    "sikia wewe mtoto, hivi na rarasa hili la sita mwanangu umepata mimba je shule itakuaje?"

    "mama mi sina mimba"

    "mshenzi mkubwa wewe.... ulifikiri mimi sijui si ndio? sisi pia tumetoka huko huko"

    "nisamee mama"

    "mimi siiwazii hio mimba bali nawazia huyo aliekupa hio mimba"

    "mama mi nakuambia ukweli, ni mwalimu juma"

    "Ati nini? lile jibaba kubwa umeliweza we mtoto?"

    "mama.... alinibaka"

    "pumbavu zake, hebu nenda kamwambie aje hapa haraka sana"

    Niliondoka na kuenda kukaa kwenye njia ambayo hua anapitaga na kumsimamisha akiwa yupo na baiskeli yake....

    "nini we mtoto wa kike? hebu nipishe mimi usije ukaniharibia ndoa yangu mimi"

    "aaaaaaeeeee ulivyonibaka hukujua kua una ndoa? sasa sikia, unaona jinsi nilivyo? hapa nilipo nina mimba yako, kataa ukubali na mama yangu anakuita laa sivyo ataenda kwa afisa elimu afu uone utajitapa nini"

    "sikia mwaju, hio mimba sio yakwangu na naomba umtafute mwenye hio mimba sawa"

    "ahaaaa sawa nitamtafuta Eehee na huo wito wa mama pia huendi"

    "nitakuja jioni ila sio kwa ajili ya hio mimba"

    "utajijua mwenyewe"

    Niliondoka zangu kwa hasira huku nikilia mno na kipindi hicho kulikua hakuna cha kutoa mimba wala nini, yaani ni kuzaa na kulea basi, na kipindi hicho ukipata mimba ukiwa mwanafunzi basi ujue na shule nayo ndio basi,......... Jioni ilifika na mwalimu alikuja nyumbani na walikutana na mama, ila mimi sikusikiliza waliyokua wakiongea, maana nilikua nje nachambua mboga, ....... Ila nilimuona mwalimu akitoka ndani huku akiwa mpole na mwenye hasira, kana kwamba huenda kuna jambo kaambiwa na mama, Mwalimu alikuja hadi pale chini ya mti nilipokua nachambua mboga, Nilishangaa akianza kunisemesha gizuri,

    "mwaju? nisamee kwa kukukwaza na nimeikubali hio mimba..... hivyo usifikirie nengi kuusu mimi"

    Nilifurahi sana kusikia vile maana nilikua nawaza nitailea vipi hii mimba na mama yangu mwenyewe ndio huyo mpika vitumbua mtaani,

    "mmmhhh sawa"

    Niliitikia tu lakini moyoni mwangu nilijua tu lazima mama atakua kapewa pesa,

    "naa pia utahamia kwangu kama vp?"

    "akuuuu mi nitaishi kwetu"

    "aaaaahhh lakini mama yako ndivyo alivyosema,"

    Mara mama alitokea na kuniambia kua anachokisema mwalimu kua nihamie kwa mwalimu juma

    "lakini mama? huyu mwalimu ana mke"

    "No No mwaju nilikudanganya lakini sio kweli"

    Basi kuanzia siku hio nikawa mke wa mwalimu mkuu japo hakunioa kwa ndoa bali ni kuburuzqna tu, tena ukizingatia na wazazi wakipewa pesa ndio kabisaa hupaswi kukataa,....... kwa mahitaji nilikua nayapata japo ni kwa shida sana

    Siku na miezi ilikatika nikiwa nipo huko huko kwa mwalimu na nilikua nakwenda kumsalimia tu mama yangu na kurudi,......... Miezi 9 ilifika nikajifungua mtoto wa kike aitwae aisha, kiukweli nilihangaika na mtoto wangu huku nikiuza nyanya na maembe kwenye beseni, maana mwalimu aliingia kwenye kundi la ulevi na kushindwa kuniudumia kama mkewe, Nilirudi nyumbani nikiwa sina hata mwezi toka nijifungue. ........ Mama ndio alianza kunihudumia upya mpaka nikarudisha afya yangu na kua kama wa zamani.... wakati huo mtoto wangu ana miezi 5 hivi na alikua na afya nzuri tu, ...... mama alimfuata mwalimu na kumuelezea kua aje anichukue nirudi kwangu, kipindi hicho jilikua nina umri wa miaka kumi na nne, ilikua ni mwaka 1994 mwanzoni mwanzoni wa mwaka, Kweli mwalimu alikuja kunichukua tena ila hali ya kutopewa matumizi ilikuepo pale pale, tena na kipigo juu, huku akinitukana sana,

    Ila siku moja ikiwa ilikua ni siku ya juma pili asubuhi, nilimpa mtoto amuangalie ili nikatafute maembe ya kuuza kwa siku hio,

    "baba aisha, naomba nikatafute hata dawa za mtoto"

    "kwani we watakaje?"

    "uniangalilie aisha akiamka umuangalie maana hapa nawahi maembe ya asubuhi subuhi"

    "sawa ila usichelewe kurudi mi nataka niende kilabuni nikapashe kidogo"

    "sawa"

    Nilikua nakubali tu kwa kila kitu maana kwanza nilikua na umri mdogo sana, Yaani mimi ndio nikatafute pesa ya dawa ya mtoto afu yeye pesa zake akanywe pombe kilabuni, kweli yalikua ni maisha ya ajabu sana kwa kipindi hicho,

    Basi nilitoka na nikafanikiwa kupata maembe na kuja barabarani kuyauza ili nipate pesa za kumnunulia mwanangu dawa, nikiwa nipo njiani na beseni langu lililojaa maembe ghafla ilitokea gari moja aina ya NOAH yenye rangi ya goldi, ilisimama kisha wakafungua kioo, walikuepo watu wawili ambao mmoja wa kike alikua ni muarabu na wa kiume alikua ni mwafrika tu, ila yule mama alikua kapakata mtoto mdogo hivi mwenye umri wa miezi kama 10 hivi au mwaka mmoja, wale watu waliniungisha maembe yangu yote, hivyo nilikua na furaha ya kua mwanangu ameshapata dawa, na visketi ambavyo ningemnunulia,........

    Lakini kwa bahati mbaya pale pale nilidondoka mbele ya wale watu, Na sikujua kilichoendelea hapo, ila nilipokuja kuzinduka nilijikuta nipo hospitali ya tanga BOMBO HOSPITAL nilikua nimewekewa dripu la maji, na mbele yangu alikuepo yule mama wa kiarabu

    "hujambo binti?"

    "sijambo shikamoo"

    "marahaba, unaitwa nani?"

    "naitwa mwajabu"

    "okeee pole sana"

    "asante, kwani hapa nipo wapi?"

    "hapa upo hospitali"

    Sasa nilipotaka kuropoka kwa kumlilia mtoto wangu niliskia wakiambizana kua

    "mama nusura? huyu mschana anaweza kutufaa kwa kazi za ndani"

    "ni kweli, ila mpaka tujue kwao kwanza"

    Walipomaliza kuongea yule baba aliondoka na kubaki na yule mama,

    "binti? wewe unauguaga kifafa?"

    "hapana"

    "okeee vp umemaliza shule?"

    "ndioo"

    Nilidanganya kua nimemaliza lakini sivyo...

    "sasa binti? mimi nataka nikajue kwenu ili nikuchukue ukaniseidie kazi"

    "mmmhhh dada? kiukweli mimi sina mtu anaenisimamia nipo peke yangu"

    Nilidanganya lakini roho ilikua ikiniuma kwa kuuongea ule uongo....

    "kwahio huna hata mzazi?"

    "ndioooo"

    Niliona ni bioa niondoke na kuacha kila kitu ila niliahidi kurudi ili kumchukua mwanangu na kumsalimia mama angu, Kichwani nilikua nazijua namba za mjomba wangu, kipindi hicho simu hakuna kabisa yani ni mmoja mmoja sana kumkuta na simu, Kweli wale watu walinichukua hadi arusha ambako nilikuta nyumba yao ndio ilikua inajengwa lakini wanaishi humo humo,..... na ndio ile nyumba unayoishi sasa hivi, Nilipofika nilimkuta mtoto wa miaka kama mitano hivi aitwae nusura, na yule mwenye mwaka mmoja alikua anaitwa zaituni,..... nilifanya mpango wa kupata simu na kuongea na mama angu kupitia simu ya mjomba, nilimwambia asikubali kumpokea mtoto ambae jimemuacha kwa baba yake, na kweli alifanya hivyo na mwalimu aliacha pombe kwakua tayari keshakua mama ndio yeye na baba ndio yeye, lakini kiukweli roho ilikua inaniuma sana kwa kumuacha mwanangu, lakini nimeshaahidi kua nitawaseidia wote niliwaacha nyumbani,........ Nilianza kazi za ndani nikiwa nalipwa shilingi Elfu kumi ( 10 ) Na kipindi hicho ilikua ni kubwa na ilitosha,

    Miezi ilizidi kwenda na nilizoea kuachwa na watoto wale wawili mmoja akiwa darasa la kwanza, ambae ndio huyo nusura, Wazazi wao walikua ni watu wa kusafiri safiri mara kwa mara, hivyo watoto nilikua naachiwa mimi, Lakini yule mwanamke wa kiarabu ambae ndio mama yako, kuna kitu kilikua kikimuumiza kichwa, ila sikua na uwezo wa kumuuliza maana nilikua namuogopa, Lakini siku moja aliniita chumbani kwake tena kwa siri sana na kuniambia kua,

    "mwajabu mdogo wangu? nina zawadi kubwa kutoka kwangu kama utakubali kunifanyia jambo langu, kwanza nitakufanya uwe mwana familia wa nyumba hiii, na pia nitakupatia hizi pesa zote unazoona hapo kwenye begi"

    Nilishtuka kwa kuona zile pesa yaani nilitetemeka vibaya mno, ila mbaya zaidi ni kwamba sijui kitu anachokitaka kwangu, Sikutaka kukubali kwanza hadi niambiwe hicho kitu ninachotakiwa kutoa

    "kwani unataka nini dada?"

    Nilimuuliza hivyo huku nikihema juu juu kwa uoga maana chumba chenyewe ni kizuri mpaka naogopa kuendelea kukaa....

    "swali zuri sana uliouliza, ila kabla sijakujibu, kwanza chukua hizo pesa zote kisha nikuambie kitu ninachokitaka kwako"

    Nilianza kutetemeka kwa woga huku nikimuuliza kua

    "hizi pesa zote ni zangu?"

    "tena sio hizo tu kuna zingine hizi hapa ila ni mpaka ukubali ombi langu kwako"

    "ombi gani hilo dada mbona wantisha???"

    "ila niahidi hutomwambia mtu"

    "kweli dada itakua ni siri yangu"

    "haya chukua hizo pesa zote"

    "hapana dada mpaka nijue unachokitaka kwangu ni nini?"

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilikua nina uoga mno, maana dada sonia alikua akinitisha sana kwa kunitangulizia pesa kabla ya kuniambia kitu anachokitaka kwangu..... Na nilikua namueshimu sana japo tayari nimeshamaliza miezi nane au kumi toka nije arusha au kuishi katika nyumba hio..... Yaani nina miezi 8 toka niletwe humu ndani, hivyo nilikua ni mzoefu mno, na hata kupendeza nilikua nimependeza, hali yangu ile ya kimama mama ilitoweka na kua kama msichana wa kawaida, kumbe nimeshazaa na mtoto wangu hakosi mwaka hivi, na watoto wa sonia ambao ni nusura na zaituni..... nusura alikua ana umri wa miaka sita na zaituni alikua anaendea kufunga mwaka wa pili, yaani alikua ana mwaka mmoa na miezi nane...

    Sasa baada ya kuzikataa zile pesa za dada sonia ambae ni mama ako, Ilibidi aniambie ukweli juu ya kitu alichokua akikitaka kwangu, Nakumbuka ilikua ni siku ya juma mosi mida ya saa kumi jioni,..... Dada aliniambia ukweli wake wote ambao ulikua ukimtesa kwa miaka mingi kama alivyonambia kabla ya kuniita hapa,

    "mwaju mdogo wangu? kiukweli nina jambo zito linalonisumbua sana katika kichwa changu, na sijui kama utaweza kuniseidia, na sio kuniseidia tu bali pesa hizo zote hapo zitakua zako pindi utakapotekeleza jambo langu"

    Mama yako alikua akiongea huku akilia, kwa uchungu mzito sana... ila nilimhakikishia kukubali na kulitekeleza jambo lake endapo litakua la kuwezekana.....

    "dada? nipo tayari kukuseidia popote utakaponituma au kukufanyia zaidi ya hapa"

    "kweli utaweza mwaju? yaani nitakufanya uwe mtoto wa familia hii kama utakubali"

    "nipo tayari ila naona husemi jambo lenyewe"

    "mwajabu? sio jambo la kirahisi kusema, bali linahitaji kufikiri zaidi"

    "basi ngoja nikuache ufikirie"

    "hapana, tayari nimeshafikiri imebaki kusema tu"

    "niambie dada yangu, nitakubali"

    "mwajabu?........ Nahitaji mtoto wa kiume kutoka kwako"

    "Whattt?????..... sasa? mi nitamtoa wapi huyo mtoto dada?"

    Nilitamani angesema wa kike ili nikamchukue aisha wangu kule kijijini, lakini kwa bahati nzuri au mbaya alitaka mtoto wa kiume, Hivyo ilinipa kigugumizi juu ya upataji wa mtoto huyo,

    "mwaju??, nilipojifungua huyu nusura, nilitamani anaefuata awe wa kiume, na pia hivyo nilitaka mtoto wangu wa kwanza awe wa kiume, lakini mungu nae akasema hupati, nikajifungua nusura....... nilipopata ujauzito tena, nilitamani nipate mtoto wa kiume ili mali zangu zipate mrithi, lakini mungu nae akanikandia, nikapata tena mtoto wa kike ambae ni zaituni,...... Baada ya mwezi kupita nilienda hospitali kupima, na majibu yalivyotoka niliambiwa siwezi kutungisha mbegu za kiume, yaani mume wangu akitoa mbegu za kiume hazikai mwilini mwangu kwakua kuna uwezo flani sina,..... kiukweli nililia sana, ila nikaenda kumpima na mume wangu akaonekana yupo sawa kila upande... lakini mimi sitoweza kuzaa mtoto wa kiume maisha yangu yote"

    "mmhhhh pole sana dada sonia, kiukweli inauma sana dada sonia"

    "ndio hivyo mdogo wangu, ila nimekuona wewe ndio msaada wa pekee kwangu"

    "lakini dada sonia? mimj nitawezaje kukupa mtoto wa kiume na wakati mimi mwenyewe ni mwanamke"

    Nilimuuliza hivyo huku dada sonia akilia kwa uchungu,

    "mwaju mdogo wangu, najua unao uezo wa kunipa mtoto japo sitomzaa mimi"

    "unamaana gani dada?"

    "nimeshaongea na mume wangu, na tumekubaliana, ila nimeona nikipata mtoto kwa mwanamke ambae simjui itakua haipendezi, hivyo nakupa nafasi hiii..... leo nitakwenda kulalia hotelini, ili nikupe nafasi ulale na mume wangu"

    "mmmhhh no no no hapana dada mi siwezi kufanya hivyo dada angu"

    "mwaju? lakini ukumbuke uliniahidi kabla?"

    "ni kweli dada, lakini kwa hilo mi siwezi"

    "nakuomba sana mwaju, utalala nae kwa leo tu"

    "hapana siwezi kulala na mumeo, nitakua nimekuvunjia heshma dada angu"

    "mwaju?? mimi mwenyewe nimekuruusu, na leo sintolalia hapa, ili nikutoe wasi wasi"

    Dada sonia alinibembeleza kwa nguvu na kuniongeza pesa nyingi zaidi na kusema kua nikimaliza kulala nae zitakua ni pesa zangu zote,.... yaani dada sonia, anataka nimzalie mtoto afu nimuuzie,....... Pale pale nikakumbuka maisha nilioyaacha kijijini yalikua ni magumu na ya tabu mno, hivyo ilifikia mahari mpaka nikakubali kulala na mume wake.....

    "lakini mwaju? nakupa sharti moja tu, mtoto huyo akipatikana sahau kuwa wako yaani iwe ni siri yako wewe mwenyewe na usimuambie mtu, na mtoto huyo hatokua wako tena, yaani ukinipa umenipa na tumemalizana sawa?"

    "sawa dada"

    Nilikubali kuiuza damu yangu wa ajili ya pesa, ila nisingeweza kufanya hivyo,

    "sasa wewe nenda kwanza kaendelee na shughuli zako, ila nikiondoka nitakuambia"

    "sawa dada"

    Nilitoka pale nikiwa nazifurahia tu zile pesa ambazo nitapewa baada ya kulala na mume wake,.......

    Ilipofika mida ya saa mbili usiku Dada sonia ambae ni mama ako aliwasha gari yake na kuniaga kisha akamuaga na mumewe, lakini nilijua tu roho itakua inamuuma kwa hilo, ila zangu zilikua ni pesa, Watoto kwa muda huo walikua wamelala maana ilikua inaendea saa tatu hivi.... Yule baba ambae ni mumewe alikuja chumbani kwangu na kuniuliza

    "ivi umeridhika kulala na mimi?"

    Niliitikia kwa moyo wote kua ndio nimeridhika kulala nae,.... Basi yule baba akaondka huku akiniambia,

    "ikifika saa tano njoo chumbani kwangu"

    Iipofika mida ya saa tano na nusu, nilivaa nguo ya kulalia, tena nilikua nimezima simu yangu kabisaaa yaani sikua nataka usumbufu wowote, maana nilikubali kwa moyo mmoja, na yeye pia alizima simu yake ili usumbufu usiwepo..

    Usiku mzima nililala na yule baba na hakunikopesha, tena na vile nilivyokua navutia afu nilikua bado ni mschana mdogo ila umbo ndio lilikua kubwa, nakumbuka nilikua nina umri wa miaka 16 ila umbo langu utafikiri nilikua na umri wa miaka 20 kumbe ni kumi na sita, tena na hapo bado nimeacha mtoto kijijini, Unaweza ukasema ni malaya lakini ilikua ni kwa shida tu,

    Sasa usiku ule kumbe dada sonia alipatwa na presha ya ghafla, kwakua kaniacha mimi na mumewe katika kitanda chake,

    Sasa Asubuhi mida ya saa 12 hivi nilikua ndio natoka chumbani kwa huyo baba, nilikuta meseji ilionishtua sana moyo wangu, Niliisoma huku nikiwa naogopa na ni yeye mwenyewe dada sonia ndio kaituma hio meseji,

    Nilianza kuwaza sasa itakuaje, maana kama ni kufanya tumeshafanya...... Meseji yenyewe ilikua imeandika hivi

    "Mwajabu? mbona umezima simu jamani???? Hebu naomba kama bado hamujaanza, basi msifanye na usiingie kabisa chumbani kwangu..... yaani kifupi ni kwamba nimeahirisha, kwahio sitaki tena, na usiende..... utanisamee"

    Sasa meseji hio ilikua ikinipa wasi wasi wa kuachishwa kazi kama endapo atajua kua tayari tulishafanya, ........ muda huo nilikua ndani nikijiandaa nirudi chumbani, ili nikamtaarifu yule baba kua, mkewe akija akatae kua hatujafanya kabisa.... Sasa nilipokua natoka niliskia gari ikisimama nje ya geti kwa spidi kali, na dada sonia aliingia ndani huku akihema hema kwa nguvu, na kuniita mimi...... sasa nikajikuta nimechelewa kwenda kumuambia yule baba kua, akiulizwa akatae kua hatujafanya chochote kile

    "mwajuuuuuii? mwajuuuuuu? we mwajuuuuu? jamani we mwaju si nakuita we msichana?"

    "abee dada"

    Nilitoka huku mapigo ya moyo yakinienda mbio mbio,.... Sasa kwa bahati nzuri nilipotoka nilimkuta ndio anamuuliza mumewe kuusu hilo jambo, sasa walikua wana angaliana uso kwa uso, kana kwamba dada sonia au mama yako alikua kanipa mgongo na yule baba alikua ananiona kule nilipokua natoka, sasa alipoulizwa hilo swali

    "baba nusura? hivi tayari umeshafanya na yule mschana?"

    "kwani vp mke wangu?"

    "ah ah naomba unijibu kwanza mumefanya au hamujafanya?"

    Sasa mimi niliekua nyuma ya dada sonia, Sasa nikawa namkonyeza yule baba kua akatae, yaani asiseme ukweli,........ lakini yule baba ambae ndio baba ako, alinijulisha kwa signo ya vidole kua hawezi kumdanganya mkewe kwa chochote kile, Nilipiga mpaka magoti ili asiseme lakini hakutaka

    "baba nusura? naomba unijibu swali langu, huyu malaya amekuja kweli au?"

    Nilikua ninatamani kulia ili asiseme

    "mke wangu, mimi siwezi kukudanganya, nakuambia ukweli kuusu huyu mschana wako"

    "Enheee, unamaanisha mumefanya?"



    Nilikua natetemeka mwili mzima Huku nikiendelea kumuomba shemeji asiseme kua tumefanya kitu, maana alikua anataka kumuambia kweli na akimwambia tu keshaniharibia kazi, Kiukweli nilimuomba sana yule baba asiseme, japo mpango huo aliutaka mwenyewe tuufanye sasa sijui ni kitu gani kilichomrudisha au kumvuruga mawazo yake, Basi nilikua nipo kwa nyuma ya dada sonia huku akiwa hanioni mimi nilipo, na niliitwa lakini nilijifanya kama sijasikia ili nipate nafasi ya kumueleza yule baba asiseme kitu kwa huyo mama, Na kweli yule baba alinielewa vizuri maombi yangu

    "mke wangu, mimi siwezi kukudanganya, nakuambia ukweli kuusu huyu mschana wako"

    "Enheee, unamaanisha mumefanya?"

    "mke wangu? huyu mtoto uliejiacha nae ni mshenzi sana, yaani nimemuita aje tufanye ulichosema lakini baada ya kuniona tu, akakimbia, yaani ni mshenzi sana uyu msichana"

    "ooohhh afadhali mume wangu............ we mwaju??"

    "abeeee dada?"

    "si nimekuita wewe au hukusikia"

    Nilitoka mbio na kujifanya ule muito wa kwanza sikuusikia kabisa, Nilipofika aliniangalia kwa jicho la ukali huku akiniuliza,

    "wewe? kwanini umeshindwa kutekeleza agizo langu?"

    "mmmmmhhh dada? kiukweli mi simuezi mumeo"

    "kwanini?"

    "mmmmhhhh sio saizi yangu"

    "safi sana, hukufanya vibaya, na nashukuru sana mwaju kwa ukarimu wako"

    Nilikua naongea huku nikilia kwa uchungu kana kwamba niliiogopa naniiiii ya munewe, lakini sio kweli bali tulidanganya tu, Basi baada ya kuacha kuniuliza alimgeukia mumewe na kumuambia kilichofanya asitishe mpango

    "haya mke wangu, vp mbona umearisha ghafla"

    "mume wangu na mwaju?? kwanza naombeni msamaha juu yenu...... na sababu ya kuahirisha zoezi hili, Ni kwamba nilipofika hotelini, nilikua nawaza sana kuusu nyie mpaka nikapata mshtuko wa ghafla na kupelekwa hospitalini, kufika kule nilipimwa vipimo vyote, ila kizuri zaidi ni dokta aliponiambia nina UJA UZITO WA WIKI MBILI, hivyo hio ndio sababu ya kusitisha mpango huo ili tuangalie kua nitajifungua mtoto gani"

    "ooooohhh sawa mke wangu, hakuna shida, ila tumuombe mungu atujaalie dume"

    Baada ya wiki mbili kupita, nami nilianza kujiskia vibaya kana kwamba na mimi nilikua tayari nimeshapata mimba kutoka kwa yule baba, sasa hofu ni kwangu kua nitadanganyaje kuusu hii mimba, maana huko nje sijuani na mvulana hata mmoja ambae angeweza kunipa mimba, ila nilipowaza sana nilipata wazo, Nilienda kwenye friji na kuchukua nyama samaki na vitu vingi vilivyopo ndani ya friji, nilivichukua na kwenda kumpa jirani yetu, atumie tu, kisha dada aliporudi kazini nikamwambia mboga zimeisha ili anitume sokoni, na muda huo ulikua ni muda wa saa kumi na moja hivi jioni, kipindi hicho hawakua matajiri bado ila maisha mazuri wanayo, na hata hizo kampuni hazikua nyingi, bali walikua na kampuni nne tu za hapa hapa nchini,..........

    Sasa nilipokuja kumuambia kua mboga zimeisha alinifokea sana ila haikua tatizo, na kwakua hata mboga za jioni zilikua hakuna hivyo alinituma muda huo saa kumi na mbili kasoro, Nami nilichukua pesa na kuondoka kwenda kununua tu nyama za siku hio afu kesho yake ndio ataenda mwenyewe supa maketi, ila nilikua na lengo langu moyoni.......

    Baada ya lisaa limoja kupita, nilirudi nyumbani huku nikilia tena nilikua nimechafuka vumbi mwili mzima, Saa hio ilikua ni saa moja na robo hivi..... Dada alitoka ndani mbio huku akiniuliza

    "we mwaju una nini wewe?"

    Nilikua kama naona aibu kusema ili asijue kama ni mpango nilioupanga

    "we mwaju si useme basi"

    "dada? Nimevamiwa na vibaka"

    "vibaka? Jamani pole"

    "ila"

    "ila nini mwaju"

    Nilinyoosha kidole huku chini kumaanisha kua nimebakwa na hao vibaka,

    "umefanya nini huko chini?"

    "dada? Wameni wamenibaka"

    "uuuuuuwiiiiiiiiiii. Mungu wangu we mwaju jamani, lakini mbona utanuletea matatizo mwaju?"

    "nisamee dada"

    " jamani hebu twende hospitali ukapimwe kama umeumia"

    "hapana dada sijaumia"

    "wacha ujinga wewe, kwani walikua wangapi?"

    "wawili tu"

    "kweli hujaumia wewe?"

    "sijaumia dada, wala usisumbuke kunipeleka hospitalini"

    Basi alinifokea fokea pale yakaisha, na kwenda kuchukua nyama akaenda mwenyewe,.......

    Baada ya wiki mbili tena kupita, mimba yangu ilikua inaanza kuonekana maana tayari ina wiki nne, na mimba ya dada sonia ina miezi miwili, kwahio imeshaonekana, Sasa baada ya kuona nitagundulika ikanibidi nimfuate yule baba. Ila siku hio dada hakuepo nyumbani, bali alikuepo shemeji tu, Niliingia hadi chumbani kwake na kukaa kitandani kabisa, Na shemeji hakushtuka, tena alikua ananitaka tena na kunisifia kua mimi ni mtamu, hivyo angependa turudie, Lakini hapo chumbani sikuenda kwa nia ya kurudia mchezo bali nilienda kumuambia swala la uja uzito huu ni wakeCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "shemeji? Nadhani unakumbuka siku tuliolala mimi na wewe"

    "ndio, ndio naikumbuka vizuri tu"

    "basi nina uja uzito wako"

    "what? Acha zaki we mtoto... Unataka unigombanishe na mke wangu"

    "lakini mimba ni yako, sasa nimpelekee nani na wakati ni yako"

    "we acha utani, ivi unasema kweli hio mimba ni yangu?"

    "ndio, sasa nikudanganyie nini?"

    "mbona juzi juzi hapa nilisikia umebakwa wewe"

    "hapana sikubakwa bali ilikua ni njia yangu binafsi na utaiona leo"

    "mwaju? Sema kweli kama hio mimba ni yangu"

    Nilimpiga kibao shemeji huku nikiogopa ogopa,

    "yaani mi nakuambia mimba ni yako afu bado unazidi kuniuliza tu, . Aaaaaaiiiiii ona sasa hadi tumbo limeanza kuuma"

    Nilijifanya nainama chini ili asije tu akaikataa maana ni yake kweli na toka nije sikuwahi kuguswa bali yeye ndio alionigusa siku ile tulipoambiwa tulale na mkewe na ndio siku alionipa mimba,

    "basi basi mwaju amka, sasa skia naomba unitunzie mtoto wangu sawa?"

    "hilo sio tatizo, maana hata mimi nampenda sana mtoto wangu, lakini nahofia kufukuzwa humu ndani"

    "mamaaaa, hata ukifukuzwa mimi nitailea hio mimba, nitakujengea nyumba kama atakufukuza sawa"

    "sawa ila unitetee kama akitaka kunifukuza"

    "sawa ila uwe na chanzo cha kuongea"

    "chanzo ninacho"

    Basi tulielewana pale kisha akanikisi na kunishika shika na kuondoka zangu... Nilikua namsubiri dada sonia kwa hamu ili nimuambie kua nina uja uzito,

    Baada ya muda dada alitokea nami sikuchelewa nikamvizia kakaa sebuleni, nikaanza kumuambia

    "dada? Nina jambo langu nataka kusema ila naomba unisameee"

    "mmmmmm jambo gani hilo hadi unaomba msamaha kabla"

    "dada? Nina uja uzito"

    "whattt.??"

    "ndio"

    "Enheee haya ni wanani huo uja uzito?"

    "ni siku ile nilivyobakwa"

    "mungu wangu jamani mwaju"

    "nisameee dada"

    "nikusamehe nini? Hebu ona mimi mwenyewe nimebakiza miezi michache tu nijifungue, leo tena na wewe unasema una ujauzito, je mimi nitaseidiwa na nani sasa?"

    "nitaweza dada"

    "mmmh mmh hapana kwakweli inabidi nitafute mschana mwingine kuliko wote tuwe na uja uzito"

    Mara shemeji kaja huku akiuliza kama vile hajui

    "kuna nini mke wangu?"

    "si huyu mtoto hapa, eti ananiambia ana mimba"

    "haaaaaaa mwaju uchafu huo umeanza lini wewe?"

    "shemeji, ni vile nilivyobakwa juziii"

    "khaaa ivi ulibakwaga kumbe? Mbona mi sijui"

    "mume wangu? Huyu msichana hatufai tena"

    "aaaaaaaaaaaa mke wangu usiseme hivyo, kumbuka huyu mschana tulimpataje mke wangu"

    "sawa lakini mimi nikijifungua nitaseidiwa na nani"

    "sasa kuliko utafute mwingine mpaka azoee hii nyumba azoee kukaa peke yake miezi miwili tukiwa nje ya nchi, ni lini? Apana mke wangu hayo sio maamuzi sahihi kabisa, hebu fikiria mara mbili mbili mke wangu, muache tu maana hakuzuii kitu"

    "sawa baba nusura lakini inaniuma sana mimi niwe mja mzito na yeye pia? Jamani au ukajifungulie nyumbani kwenu afu urudi"

    "mke wanguuuuuu hukumbuki tulivyomchukua huyu alisema hana mtu yeyote anaemtegemea huko kwao, sasa je akienda atajifungulia wapi?"

    Dada sonia aliondoka pale sebuleni kwa hasira nyingi mno huku akiniangalia kwa uchungu sana, ila mimi sikujali wala nini

    Basi lile swala lilipita na walikua wakisafiri kwa muda mrefu sana, yaani wanaweza kukaa huko hata miezi nane hadi mwaka, lakini safari hii alirudi mama akiwa kachoka na kitumbo tayari anakaribia kujifungua

    Na mimi mimba yangu ilikua ina miezi saba, yasni bado miezi miwili tu, na ya dada sonia badi mwezi mmoja tu ajifungue na ndio maana akarudi kutoka safari ili ajifungue,

    Baada ya mwezi mmoja kupita dada sonia alibahatika kujifungua mtoto wa kiume, mweupeee wa kiarabu ila hakukolea sana kama wa kiarabu bali alikua ni mchanganyiko hivi,....... Dada sonia alifurahi sana kwa kupata mtoto wa kiume aliokua akimlilia toka mwanzo, aliwasiliana na mumewe huko nje ya nchi kua amejifungua dume la mbegu, kweli ilikua ni furaha kwa familia nzima, na hata wakina nusura walifurahia sana kuona mtoto wa kiume katika familia yao,

    Sasa mimi nilichelewa kujifungua mpaka ikafika miezi tisa lakini nilikua sioni dalili yeyote ya kuumwa uchungu,

    Maana tayari mwezi umeshapita toka dada sonia ajifungue,.....

    Sikuamini macho yangu kwa kumuoda dada nusura akiniachia mtoto na kuondoka zake, yaani aliitwa nje ya nchi kuna mikataba akaijaze, na huko anapokwenda inasemekana hakutakiwi mwanamke mwenye mtoto mdogo hivyo aliniachia mtoto wake kisha yeye atarudi baada ya siku mbili hizi, Na mimi wakati huo sitabiliki siku ya kujifungua maana miezi ya kawaida imeshafika na inaendea mwezi wa kumi huu,

    Basi kutokana na hali yangu nilimstopisha nusura kwenda shule kwa wiki nzima, maana alikua yupo darasa la pili na anaweza kufanya kazi, na zaituni nae alikua hajaanza hata chekechea maana alikua ana miaka miwili na mwezi mmoja,

    Siku ya kujifungua ilifika, nilikua nimeshaandaa chakula cha watoto na maziwa ya yule mtoto mdogo aitwae Sharbiny, yaani huyo mtoto wa kiume aliozaliwa na dada sonia, kwakua nisingeweza kuenda nae hospitalini hivyo nilimuachia nusura akae nae na kumpa chakula kwa muda niliomuagiza,

    Nilifikishwa hospitalini na majirani huku nikiumwa uchungu mkali sana, na hatimae nilijifungua mtoto wa kiume nae alikua ni mweupe mpaka nikaogopa kua baba yake ataona nimemuibia, lakini sio maana mtoto alikua ni mweupee pyee, Nilikaa hospitalini siku mbili kisha nikaruhusiwa kurudi nyumbani na ni baada ya kuelezea matatizo yangu, ila sikutakiwa kutoka baada ya siku mbili..

    Mtoto wangu nilimpa jina la SADIKI.... Sasa nilipofika nyumbani nilimkuta mtoto kalazwa kwenye kochi afu nusura simuoni

    Nilimuita nusura,

    "nusura?"

    "abeee anti"

    "uko wapi huko, afu mbona umemuacha mtoto mwenyewe"

    "nampashia maziwa, ila kalala toka jana"

    "kalala toka jana? We mtoto wewe"

    Nilimuwahi yule mtoto pale kwenye kochi na kumuangalia, kiukweli yule mtoto alikua keshafariki dunia, pale pale nilipata mstuko kwa kuiona ile hali, nilikua nikijiuliza huyu mtoto wa watu amefariki na tatizo gani,

    Sasa nikiwa nalia tu mbele ya nusura, mara simu yangu iliita, kuangalia alikua ni shemeji

    "haloo shemeji? Shkamoo?"

    "marahaba, we mwaju upo hai?"

    "ndio nipo hai kwani vipi"

    "umeshajifungua?"

    "ndio"

    "vp mtoto wetu yupo hai"

    "mtoto yupi"

    "huyo wa kwako"

    "lakini kwanini unauliza hivyo shemeji?"





    Nilikua sielewi kwa maneno aliokua akiongea shemeji. Mana ni kama anajua kilichotokea huku nyumbani, nilikua naogopa sana kuliko kawaida, nilikua nalia lakini nilipoiona simu ya shemeji nilisitisha kulia ili asijue kinachoendelea hapa nyumbani, lakini nilishangaa kusikia maneno yanayoendana na hapo nyumbani, Niliogopa sana ila nilijikaza kama mtoto wa kike, na muda huo nusura alikua karibu yangu akinisikiliza kwa umakini sana,

    "lakini kwanini unauliza hivyo shemeji?"

    "we nijibu bwana"

    "ndio yupo hai"

    Alikata simu baada ya kumuambia kua mtoto yupo hai, Basi niliendelea tu kulia huku nikimlaumu nusura,

    "nusura, umemfanya nini mdogo wako lakini?"

    "kwani kafanyaje anti"

    "ameshakufa huyu"

    "haaaaaaaa"

    Nilijikuta nimeropoka kwa mtoto mdogo jambo ambalo hakutakiwa kulijua, ila alikua ana akili na umbo lake lilikua ni kubwa, hivyo ana uelewa wa kujua kifo ji nini japo alikua ana umri wa miaka saba, lakini ni mtu mwenye uelewa, Basi ikabidi nimshirikishe nusura kwenye jambo hili na kwakua watoto hawa hawakupishana sana, ilibidi sharbiny tukamzike katika makaburi ya manispaa ya jiji la arusha, na baada ya hapo tulikuja kujadili mimi na nusura japo alikua ni mtoto mdogo sana lakini ana uwezo wa kuelewa,

    maana kuanzia miaka mitano kwenda juu, mtoto ana uwezo wa kukumbuka kitu ... yaani mfano akifikisha miaka 20 au na zaidi,..... ukimwambia akumbuke kitu cha utotoni kwake, basi ana uwezo wakukumbuka kipindi cha kuanzia miaka mitano, labda binafsi asahau lakini kisayansi kumbu kumbu inaanziga miaka mitano kwenda mbele, kwaio nimeona bora nimueke chini kisha nimueleweshe maana pia kafia mikononi mwake, hivyo nilimtishia tishia ili akae kimya na asimuambie mama wala mtu yeyote yule...

    Ilipita miezi mitatu, tukiwa tayari tumeshamzika sharbiny, na sasa mwanangu sadiki akawa anatumia jina la sharbiny, Na toka kipindi hicho tulikua tukimseti nywele ili aendane kidogo na sharbiny, maana tofauti yao ilikua ni nywele tu ila rangi za utoto zilikua ni sawa, maana mtoto akikua ndio anabadirika rangi....

    Siku hio ilikua ni siku anayokuja baba na mama, yaani shemeji na dada wakiwa wanatoka nje ya nchi, kuja nyumbani, tulijipanga kuwapokea ila nilikua nagopa sana nusura asije kusema, maana skisema lazima tuende jela kwa mauaji ya mtoto asiekua na hatia, japo hatujui chanzo cha kifo chake, . Ilipofika saa kumi tuliona gari aina ya VX nyeusi mpyaa kana kwamba hata gari wamebadirisha,....... Moja kwa moja dada alimkimbilia mtoto wake na kumpakata, lakini hakua mtoto wake bali alikua ni mtoto wangu mimi, na wakwake tulishamzika miezi mitatu iliopita,

    "jamani kamekua kweli yani.... Na wewe mtoto wako yupo wapi"

    Nilianza kulia kwa uchungu kumaanisha kua mtoto wangu mimi amefariki dunia, miezi mitatu iliopita,

    "alifia tumboni dada"

    Nilimuambia hivyo huku nikilia kwa uchungu,

    "mmmhhh jamani pole sana mwaju, lakini usijali ndio mambo ya mungu hayo"

    Nilipomuangalia shemeji alipigwa na butwaa huku akiniangalia kwa hasira kana kwamba nilimdanganya kua mtoto wetu yupo hai kumbe ameshafariki dunia,

    "jamani sheby kakua mpaka nywele zimebadirika"

    KWA NYIE WATU WENYE AKILI POTOFU MNAWEZA KUSEMA KUA, KWANINI HUYO MAMA ASIMJUE MTOTO WAKE,

    WATOTO WACHANGA WALIOPITANA MWENZI MMOJA HUA HAWANAGA TOFAUTI KABISA, LABDA AZALIWE MWEUSI, NA ASILIMIA NYINGI WATOTO HUZALIWA WAKIWA WEUPE, HUBADIRIKA NGOZI PINDI UMRI WAO UNAVYOZIDI KUSONGA NA NDIVYO MTOTO ANAKUJA KUA MWEUSI AU MAJI YA KUNDE AU MWEUPE KABISA,

    NA MASWALA HAYA YA KUBADIRISHIANA WATOTO MBONA YAPO SANA TU, MTU ANAJIFUNGUA MTOTO HUYU LAKINI ANALETEWA MWINGINE NA HAJUI KAMA KABADIRISHIWA, KWAHIO USIJE UKAKOMPLENI KUA KIVIPI MAMA ASIMJUE MWANAE,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sasa siku iliofuata shemeji alinichukua na kunizungusha nyuma ya nyumba na kuanza kuniuliza

    "wewe sasa kwanini ulinidanganya kua mtoto yupo hai halafu sivyo"

    "hapana hii ni siri shemeji, yule ndio huyo mtoto wetu, na aliokufa ni huyo wakwenu"

    "kwahio yule ni mtoto wetu?"

    "ndio, kwahio ukimuona umuone hivyo hivyo kama mtoto wako"

    "umempa jina gani"

    "lile lile ulioniambia"

    "sadiki eee?"

    "ndio"

    "hahahahahaha jina la baba yangu hilo.... Ilaa amezaliwa tarehe ngapi? Maana itashangaza sana baba hajui kuzaliwa kwa mwanae"

    "na ndio maana nikampa hilo..... Aaaaa kuusu tarehe nimemzaa tarehe 12 mwezi wa 12 mwaka 1995 "

    "sasa? Hakikisha huyu mtoto unamlea katika maadili mema kama baba ake vile, ila sjui mama yake kama alilelewa vizuri"

    "mmmmmm. Nimelelewa vizuri tu"

    "basi we mlee mtoto wetu katika maadili mema, akikisha atasoma madrasa, yaani nataka awe ostazi huyo,,, maana mke wangu ana tabia za kimjini mjini sana, hivyo hatokua na maadili kama atafuata vya mama yake"

    "usijali"

    "je vip unahitaji kiasi cha pesa?"

    "mmmhhhh hapana labda uamue tu"

    "ok nitakutumia laki nane kwenye m-pesa yako sawa?"

    "sawa....... Lakini, naomba nikuulize swali"

    "uliza tu"

    "kuna siku uliniuliza maswali ya uhai uhai afu ndio siku aliokufa sharbiny yule mtoto wenu, hivi ulikua unajua kua atakufa mtu?"

    "mmmmmmmhhhhhhh swali hilo nitakujibu siku nyingine"

    Aliondoka zake, lakini toka siku hio sikua na chuki na mtu tena

    BAADA YA MIAKA MITANO KUPITA

    Mambo yalienda hivyo na alikulea akijua ni mwanae, mpaka ulipofika miaka mitano.... Wakapata safari ya kwenda sauzi afrika, kikazi zaidi, hivyo nikaachiwa jukumu la kukuendeleza na masomo, na kuambiwa nikutafutie shule ya chekechea, nikakutaftia na baada ya mwaka nikakuanzisha shule ya msingi iitwayo SENT JUDE PRIMARY SCHOOL ulianza darasa la kwanza mpaka lasaba ukiwa chini ya uangalizi wangu,

    Na kipindi wewe unaanza form one yaani kidato cha kwanza katika shule ya moja ya kiislam iitwayo ASHRAF SEMINARY SEC SCHOOL shule ambayo nilitafuta mimi na kukulipia kila kitu kwa kutumiwa pesa na wazazi wako,

    Kwahio kipindi unaanza kidato cha kwanza mwaka 2012,.... Dada yako zaituni alikua yupo kidato cha pili, na dada yako nusura alikua keshamaliza mwaka mmoja uliopita katika shule anayosomea zaituni iitwayo SENT PETER SUNEKA SEC SCHOOL,

    Kwahio wazazi wako wakija wanakukuta unasoma na maisha yanakuendea vizuri, na kila kitu, Sasa walipoanza kukuharibu ni walipositishiwa kusafiri mke na mume, yaani anatakiwa aende mmoja tu ambae ni baba yako, kwahio mama yako akarudi na kufungua duka lake kubwa la nguo hapa mjini, na dada yako nusura nae akafungua saluni yake kubwa tu, Sasa mama yako akaanza kuleta kopleni kutokana na shule uliokua ukisoma kwamba uhamishwe shule ukasomee kwenye shule ambayo anaitaka yeye, . Nadhani hili unalijua maana ulikataa mpaka ukakubali kuhama,.......

    Katika maisha yangu yote sikutaka kuondoka katika ile nyumba kwakua nilikua najua nikiondoka nitakuacha katika madhingira gani, maana mama yako alishaanza tabia ya kukuona wewe ni shoga na kuanza kukutafutia wasichana ili akujue jua wewe ni shoga au laaaaa, ..........

    Na kama unakumbuka kuna siku tena niliitwa na mama yako chumbani, yaani ilikua kama siku ile alivyoniita

    "mwaju?"

    "abeeee dada"?

    "nina jambo linanisumbua sana mdogo wangu, na nahitaji msaada wako"

    "jambo gani hilo dada?"

    "nahisi mtoto wangu atakua shoga, na nimejaribu kila njia ya kumkutanisha na wasichana lakini haonekani kuwapenda kabisa, na sijui umemlea vp mwanangu"

    "lakini dada mbona sheby yupo sawa tu"

    "hapana hayupo sawa kabisa,..... nisikilize kwa makini, nitakupatia pesa nyingi sana kama utakubali kulala nae"

    "whaatt hapana dada mimi siwezi"

    "begi la pesa hilo hapo, chukua kabisa uende nalo, ila nataka nimkute akiwa yupo juu ya kifua chako"

    Nilifikiria mara mbili mbili juu ya kulala na wewe kitanda kimoja,

    "au dada tufanye hivi? nisifanye nae ila nitafanya juu chini umkute akiwa kasimamisha uume ili ujue kua mwanao ni rijali kuliko nilale nae"

    "ok mi kikubwa tu nijue kua nina dume la mbegu"

    Nilitoka pale chumbani na wala sikuchukua pesa zake, bali jambo hili nilimshirikisha nusura, na nusura alinipa wazo la kwenda kwa mganga, sikuchelewa, nilienda kisha nikapewa dawa mbili ambayo moja ni ya kukupa kwenye juice kisha nyingine ni ya kujipaka mimi, ili uiendelee kunitamani,, kama unakumbuka kuna siku uliagiza juice mida ya saa mbili usiku, ulimuagizia salma ila ile nafasi ya salma niliichukua mimi badala yake, maana najua ninachokifanya, Nilikuekea ile dawa kwenye juice kisha nikasimama hapo hapo ili unitamani n ukishanitamani ni kwamba lazima utasimamisha uume, kwahio kile kitendo cha wewe kusimamisha uume, inatakiwa nimuite mama yako aje akushuhudie kua wewe ni rijali, Na yote nilikua nafanya ili nisikuache katika nyumba hio, maana mimi ndio nina uchungu zaidi kuliko yeye, maana nikikataa nitafukuzwa na niliambiwa nikishindwa basi nibebe virago vyangu,

    Sasa na wewe mzuka ulivyokupanda baada ya kunywa juice, ulianza kunifuata mimi, na kabla hujanifikia nilichukua simu na kumpigia mama yako simu ili aje akuone nwenyewe kwa jinsi ulivyosimamisha, lakini kwa bahati mbaya simu yake ikawa haipatikani, nikikuangalia kwa spidi unayokuja nayo nilijua lazima utanishinda nguvu tu, maana ulikua na nguvu kuliko mimi, hivyo nilimpigia nusura aje aniseidie ili usije ukanifanyia chochote kile, lakini ghafla simu ya nusura nayo ikawa haipatikani, niliandika meseji kwa nusura na kuituma haraka haraka,..... Nilijikuta tayari umeshanishika kiuno na siku hio ulikua umevaa taulo tu, na mimi nilikua nina nguo nyingi maana nilijua nikizidiwa itakua tabu..... Sheby ulikua unanivutia kitandani lakini nilikua nakataa, na misaada yangu yote niliotaraji iniseidie ilikua haipatikani na wewe saa hio macho yalikubadirika na mishipa ilikutoka, yaani nilipoona vile niliona nitakuua bure, hivyo niliamua tu kujilegeza ili uweze ulichotaka maana ungekufa...



    Ulizipunguza nguo zangu nyingi tu, ila nilikataa kutoa kanga yangu ambayo niliifunga vizuri, ndani kabla ya nguo zote, sasa ulivyonitupa kitandani mara simu yangu ikaita, hivyo nikaiwahi na kuipokea.... Nakumbuka siku ile ilikua hivi

    Niliipokea simu ya nusura na sikutaka kuongea mengi badala yake nilimuita haraka aje chumbani kwako, ......

    Na mambo yalikua hivi

    ******************************************

    HII NI SEHEMU YA 34 JINSI ILIVYOKUA SIKU HIO

    "njoo"

    Sasa sijui alimuambia nani njooo. ila pale pale nikaishika ile simu na kuitupa kwenye manguo nguo huko, Afu nikaanza kumshika mabega kama vile namtomasa tomasa vile kimahaba yani, Maskini anti mwaju alikua alikua ananizuia na mkono mmojo maana mmoja kashikilia kanga, Sasa mtoto wa kiume nikapata wazo nianze kumshika shika makalio, maana alikua ana kanga moja tu na chupi hivyo ilikua ni rahisi kumlainisha mwaju, Huezi amini siku hio nilikua kama punguani fulani hivi Maana kila ninapopagusa anti mwaju alikua analia tena kwa ukunga, Saa hio nimemuegemeza ukutani, sasa nikamsogelea taaratibu na kumuomba denda Sii kua namwambia amipe denda, lahasha bali nilikua najisogeza mwenyewe ili anipe denda, sasa anti mwaju akawa anakata kwa kukwepesha kichwa, Sasa nilipokua nakaribia tu kula denda, nilisikia sauti ya kuitwa

    "weee sheby wewe??? pumbavu mkubwa"

    Alikua ni dada nusura ndio alikuja chumbani na kunikuta nataka nimparue anti mwaju, Lakini licha ya nusura kuja kutetea lakini bado nilikua nina fujo yaani sikua nata kumuacha anti mwaju bila kumparua

    "sheby tulia basi jamani"

    Sasa nikamuona antu mwaju akimkonyeza dada nusura kua atekeleze kitu fulani. lakini dada nusura hataki kufanya hivyo, Na wakati hui nilikua nashindana nguvu na dada nusura,.... ila anti mwaju alikua anamsistizia dada nusura atekeleze hicho cha kutekeleza, mimi nilikua naona tu wakiambiana kwa macho, kwahio dada nusura kuna kitu anatakiwa afanye ila hapendi afanye,

    Anti alimuomba sana dada nusura afanye tu, ndio nikaona dada nusura kama kakubali kufanya hicho kitu lakini ni kishingo upande... Nikaona au natakuwa nimparue dada nusura badala ya mwaju........

    Sasa sijakaa vizuri Nilikula bonge mija la mkibao huooooo

    "Taaaaaaaaasss"

    Huezi amini nilizunguka mara mbili kisha nikadondokea kitandani, huku nikiwa naugulia maumivu ya kibao..

    Sasa cha ajabu alionipiga mwenyewe analia huku akinibembeleza

    "sheby mdogo wangu pole, umeumia sana?"

    Nikazinduka na kuona wote wawili wananijulia hali kwa kile kibao nilichopigwa na dada nusura.... Nilikua saa hio nina kiu, hivyo nikahitaji juice kwanza maana likibao niliopewa lilikua ni la heshima....

    "nipe hio juice yangu apo"

    "ah ah usimpe hio"

    Anti mwaju alikataa nisinye ile juice niliokua nimekunywa mwanzo, sasa wakawa wanaongea wenyewe nusura na mwaju

    "kwanini asinywe?"

    "hio juice ndio ileeeeee"

    "aaaaa basi nenda kaimwage afu mletee nyingine"

    Sasa nikashindwa kuelewa hayo maingezi yao ya kuimwaga juice na wakati ndio niliokua nikiinywa....

    Mara mama angu akatokea huku kama kuna kitu kaja kuona lakini ni kama kachelewa...

    Alivyokuja hakukaa sana aliniangalia tu na kuondoka zake, saa hio juice mpya ishaletwa kisha nikanywa na kulala papo hapo...

    ********************************************

    HAPA SASA TUENDELEENI NA SEHEMU YA 98 MAANA HAPO NILIWAKUMBUSHA TU SEHEMU ZA NYUMA...... NA HII PIA TUNAYOENDELEA NAYO NI STORY ILIOTEKEA NYUMA AMBAYO SOTE HATUIJUI, HIVYO HAPO TUNAHADITHIWA ILIVYOKUA NA JINSI NILIVYOITWA SHARBINY NA KUKULIA KATIKA NYUMBA HIO..... SASA TUENDELEENI

    Basi nilimshukuru sana dada ako nusura kwa kuja kuniokoa maana kama sio yeye basi yangelikua mengine,...... Sasa kwakua mama yako hajakuona hivyo ikasemekana kua zoezi lianze upya kwakua yeye hajaona, japo tulimdhibitishia mimi na nusura kua wewe ni rijali lakini hakutaka kuamini hilo, bali alitaka aone kwa macho yake,...... Kwakua ilikua ni usiku, mama yako aliniambia kesho nirudie mchezo kama huo ili akuone urijali wako, laa sivyo jioni akirudi asinikute nyumbani kwake,

    Ilipofika kesho yake jioni aliporudi kazini, alinikuta nimekaa kiunyonge sana ila hakujua, kua nimekataa kurudia hilo zoezi, aliniongezea pesa nyingi zaidi na kuniambia kua

    "pesa hizi hapa, na nimekuteu wewe kwakua upo karibu nae sana, kwahio naomba hili zoezi ulirudie vizuri kwa mara ya pili"

    "dada nipo tayari kuondoka nyumbani kwako, lakini kamwe siwezi fanya huo ujinga tena, mana kama nimejaribu na tukakuhakikishia kua mwanao hana shida huamini basi hata hii ya pili hutoamini, kwahio mimi naondoka zangu"

    "mwajabu, yaani unathubutu kuondoka kwa jambo dogo kama hilo?"

    "ndio na sitaki tena"

    Kwa yeye alikua akiona ni jambo dogo lakini kwangu lilikua ni kubwa kwa maana ni mtoto wangu wa kumzaa, Basi kweli aliniruhusu kuondoka na usiku ule wa saa moja hivi, ndio wewe ukanichukua na kunipeleka hotelini na kuninunulia hii nyumba

    Ila kosa ambalo lilibakia siku ile ni zile dawa nilizoenda kuchukua kwa mganga, maana alinipa dawa mbili, moja ni ya kukuekea kwenye juice na nyingine ni ya kujipaka mwilini mwangu ili ukiniona usithubutu kunitamani tena, lakini kumbe ile dawa nilikosea kupewa yaani mganga alikosea kunipa na badala yake alinipa ambayo ukinigusa unanitamani,

    Nakumbuka siku ulionunua nyumba hii na kuja kunionyesha, nilirudi nyuma na kukugusa, ikawa balaaa na pia nimshukuru nusura kwa kukupigia simu ndio ukaacha, Kwahio kitu kilichonifukuza pale kwenu ni kwamba nimekataa kulala na wewe, sasa hebu jibageni mwenyewe kati ya mimi na sonia ni nani mama yako....... Na huo ndio mwisho wa ukweli wangu wote, na sikutaka kukuficha kitu chochote kile mwanangu.... Ila penye makosa yangu naomba unisamehe baba.... Asante kwa kunisikiliza"

    NA HAPO NDIO MWISHO WA UKWELI WA ANTI MWAJU, WA KUJUA KUA MIMI NI NANI NA KWANINI NIKAITWA JINA AMBALO SIO LAKWANGU,.... SASA HAPA TUNAENDELEA NA STORY YETU YENYEWE SASA

    Anti mwaju aliongea kila kitu nilichokua sikijui, hivyo nimeshajua kila kitu kuusu mimi, na mama yangu mzazi wa kunizaa ni anti mwaju

    Baada ya kuujua ukweli niliamka kwenye sofa na kuondoka bila hata ya kuaga mtu

    "wewe sadiki? Unaenda wapi sasa?"

    Sikumjubu wala nini, nilipanda gari yangu na kutoka zangu,

    Ikiwa ni mida ya saa kumi na mbili jioni hivi niliingia zangu ndani na kupumzika ili kesho niende shule,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kesho yake niliondoka na kueleka shule ila kufika shule kila mtu alikua ananiangalia, nikamtafuta best yangu jackson na kumuuliza

    "oyaa jack? Mbona watu macho kodo vipi?"

    "amna kitu but madam joy alikua anakuulizia kila siku, utafikiri anakudai asee, au ulimkopesha nini?"

    "lile liticha ni limalaya lile"

    "anakutaka nini chalii yangu?"

    "sasa je? Ndio ivo"

    "duuuuu mtende uoooo"

    "mtende? mtende gani na wakati ni ujinga mtupu"

    "aaaaaaa weweeee kua na mahusiano na mwalimu ni wazi kua kidato cha tano unakiona hivi hivi"

    "aaaaa jack mi mbona ninae akili zangu"

    "aahahahaha acha kuzinua wewe piga ticha uyo, tena limaadam joy jinsi lilivyo kama ingekua ni mimi ningemmanua manua kinoma"

    "aaaaaa ujinga uooo"

    "Enheeee afu umemuona yule madam shufaa?"

    "aaaaaaaaaaaa mi nishamuona kabla yako babu"

    "mmmmmm. Na we m-bayaaaaa weweee"

    "kawida tu mbona"

    Mara kengele ya kuingia darasani iligongwa na wanafunzi wote tukaingia darasani, na kuendelea kujisomea

    Baada ya kama robo saa hivi, ghafla madam joy alikuja darasani kwetu, cha kwanza kuuliza aliniulizia mimi tu

    "sheby?"

    "naam"

    "ulikua wapi wiki nzima usije shule"

    "madam. Mbona ni siku mbili tu"

    "sikia wewe uliagiwa siku mbili tu lakini ukaongeza na zako mbili, sasa kwangu naita ni wiki, Hebu nifate ofisini"

    Nilipokua natoka wale machizi masnich walikua wakifurahia ila sio kitu nikatoka darasani na kumkuta kasimama nje

    "kwa kosa lako la kutokuja shule wiki nzima njoo nikupe azabu yako hapa"

    Aisee huezi amini madam joy alienda kunipa kisiki cha mti ambacho kinatakiwa kung'olewa kwa muda huo,

    KISIKI NI KIPANDE CHA MTI ULIOKATWA KATIKATI NA KUBAKIA KILE KIPANDE CHA CHINI, NADHANI WANAFUNZI MNAJUA HIZI AZABU, TENA HAPA KANIHURUMIA AU HAJAGUNDUA... MAANA HUA WENGINE WANAPELEKWAGA KWENYE SHIMO LA TAKA

    "unaona hiki kisiki, unatakiwa ukichimbe kisibaki hata mzizi wa ndani, afu ukimaliza ulifunike hilo shimo"

    "lakini madam? Hizi azabu zimeanza lini kwenye hii shule"

    "ustake kujua, we nenda stoo kachukue jembe panga na shoka, hakikisha unaking'oa chote hiki kimti"

    "daaaahhh lakini madam hilo ni bifu gani lisiloisha"

    "kwani hujui"

    Unajua bifu la madam joy ni kwamba alinitaka kimapenzi, nikamkubalia na nimeshafanya nae mapenzi, ila sasa kitu nilichokataa kutoka kwake, alikua anataka nisex nae kinyume na maumbile yake, yaani nimruke ukuta au nimle tigo ndio aridhike, kimapenzi, ila mimi nilikataa kufanya nae hivyo, sasa ndio kaniwekea bifu mpaka kufikia kunipa adhabu kama hiii, Basi nilienda stoo nikachukua zana za kuchimbia hilo limti

    "yaani hakikisha huachi hata mzizi hapo na ukiacha tu nakupeleka kwenye shimo la taka kule"

    "lakini madam joy?"

    Alinisogelea karibu na kusema

    "hakuna cha lakini hapa, we chimbua huo mti afu ufukie hilo shimo.....au ili uepuke hio adhabu Unikubalie lile ombi langu kwako, na ukija ujue unakuja kufanya nini... Sitaki mbele tena, bali nataka huku, kama utakubali achana na hio adhabu njoo Ofisini kwangu now kama ukitaka"

    Aliondoka huku akinitingishia makalio yake ili nikayapakue kinyume nyume...... Sasa alipokua akiondoka nilikaa chini na kumfikiria kua nikampakue au nimalize tu hio adhabu yake?? Maana nikicheki huo mkalio wake ni balaaa..... Afu nikicheki huo mti wa kuchimba ulivyo, Daaaaa sikupata jibu sahihi......



    Nilikua nawazia sana hicho kisiki kinachotakiwa kuchimbwa kutokana na adhabu ya kuaa nyumbani kwa siku mbili, na wala sikustahili adhabu kama hii ila sema madam joy ana bifu na mimi, Na ndio maana ananifanyia hivyo, na bifu lenyewe ni kukataa kusex nae kinyume na maumbile yake, lakini mimi kwa sasa tayari nimeshaonja utamu wa huko maeneo hivyo ni kitendo tu cha kwenda kutekeleza jukumu hilo, nilitamani niende nikampakue ili aache bifu na mimi, lakini roho ilikua kama inasita kwenda, Niliamua kwenda kumpakua madam joy 0714 ili aridhike,

    Sasa ile nakusanya zana ili nikaziweke stoo afu niende nikajilie vyangu, mara head master kaja hapo nilipokua nataka kutoka,

    "vp mboba upo hapa badala ya darasani?"

    "aaaaa ni madam joy kanambia nichimbe huu mti hapa"

    "khaaaaa kwanini uuchimbe sasa?"

    "mmmhhh mi sijui"

    "basi kutakua kuna shida kati yako wewe na madam joy, maana hii adhabu haijawahi kutolewa hapa shule, hii adhabu ni za shule za mtaani huko, tena inaoneka umemueshim sana maana kama ni mwanafunzi mwingine hapa, angeshampiga muda tuuu"

    "we acha tu sir, ngoja niipige chapu ili duku duku lake liishe"

    "basi fanya haraka uingie darasani usipitwe na masomo sawa?"

    "sawa mwalim"

    Daaaahh sasa sir juma ndio kanivurugia prosesi zangu, hivyo inanibidi nimalize tu hii kazi fasta ili niingie class, Basi nilitoka hapo na kuingia darasani kisha nikachukua begi langu, ili wasije wakanifanyia fix ya kuniibia, maana najua hawana shida ya kuiba ila wana tabia ya kukomoana,

    Nilichukua begi langu kisha nikatoka nje na kwenda kuendelea na adhabu yangu, Nilipunguza nguo za juu kama vile kikoi na shati pamoja na tai yake, sasa nikawa nimebakia na kaoshi ya ndani au singlendi, Basi kazi ya kuchimba mti ilianza mara moja, ilikua kila nikichimba kidogo napumzika na kujisomea baadhi ya masomo yaliopo kwenye vitabu vyangu, kwsio nilikua kama sipitwi na somo kabisa maana nilikua nasoma misomo yangu nilikua naijua mwenyewe,

    Ilifika mpaka mida ya saa nne muda wa break,

    Nilikua nimeshalichimba lile limti ila nilikua kama namalizia hivi, Basi mtoto wa kiume nikakaa chini ya mti mwingine wa kivuli na kuanza kujisomea........

    Sasa mara wanafunzi wa kike walikua wananiangalia huku kama wakinichekea chekea vile, Dikukaa vizuri mara madam shufaa katokea akiwa anapita eneo hilo, ila hakuja hapo nilipo

    "we? Vp mbona leo upo huku"

    "daaahh we acha tu madam, ni madam joy ndio kanipa adhabu hii"

    "umemfanya nini yule mwanamke? Maana shule hii nimeambiwa ipo ki intaneshno sasa iweje mwanafunzi kama wewe unachimba kisiki?"

    Kiukweli hili jambo la kuchimba mti limewakera walimu wengi sana, ila sikua na lakujitetea dhidi ya kuifanya kazi ipasavyo,

    "wewe una tatizo na madam joy, na nimeshajua"

    "umejua?? Umejua nini?"

    "wewe una mahusiano na madam joy, au unabisha?"

    "ndio nabisha, ila we nani kakwambia"

    "kaniambia mwenyewe, tena kaniambia nimseidie kukuambia kua umkubalie ombi lake ila mi sijui ni ombi gani, na pia alisema kua hakupenda kukupa hii adhabu bali ni hasira tu kwakua ulikataa kitu chake, nilimuuliza kitu ulichokikataa lakini hakuniambia"

    "sasa mwambie hivi? Asinizoeee akawape hao wengine ila sio mimi"

    "lakini unamtesa mwalimu wako"

    "atajua mwenyewe"

    Lakini kwa takwimu zangu zinavyonionyesha inaonekana hata madam shufaa keshaanza kunitamani, maana mi mwenyewe namtamani kupita maelezo maana ni mgeni katika shule hii, Sasa nilipokua naangalia pembeni niliwaona wanafunzi wa kike walikua wakiniangalia tu mimi, sasa nikajiuliza kwanini wananiangalia

    "hawa waschana wanakuangalia wewe au mimi?"

    "ivi mwanamke anaweza kumuangalia mwanamke mwenzie kweli"

    "mmmhhh mi sijui"

    "hao wanakuangalia wewe kwa jinsi ulivyo bakia na singlendi,"

    "oooohhhh shit kumbe ninawaboa watu ee?"

    "wala tu huboi mtu ila wamevutiwa na hilo bodi lako, cha kukushauri tu we vaa shati lako wasije wakakubaka bure"

    Madam shufaa alionekana kunitamani, japo mimi namuonea aibu kiasi flani,

    "aaaaaa wapi mi siwezi kubakwa na mwanamke"

    "mmmhhh ebu fanya kazi ya watu kwanza afu uje ofisini uniambie kwanini madam joy kakupa hii adhabu"

    Nilishangaa kupata mualiko wa kwenda kwa madam shufaa bila ya kazi yeyote ile bali ni kupiga stori tu,

    Madam shufaa aliondoka zake huku akiniangalia kwa jicho la uizi, Mara alikutana na madam joy, waliongea mambo yao lakini sikuwasikia walichokua wakiongea, Mimi niliendelea zangu kumalizia kuchimba mti huku watoto wa kike wakinizunguka kwa kujifanya wanapita pita, kumbe wananiangalia mimi

    Sasa nilipokua nimepumzika huku nikijisomea kitabu changu cha atlas, mara madam joy alikuja na kukichukua huku akiwa na hasira tele, kana kwamba yale niliomueleza madam shufaa alimwambia bila kumficha na ndio mana kaja na hasira

    "yaani hapa nimekupa kazi au nimekwambia ujisomee?"

    "khaaaaaa"

    "khaaaa? Khaaa ya nini?"

    "madam joy? Mbona hinipi hata raha kwenye hii shule ee?"

    "chimba mti huo haraka, upewe raha, raha unazijua wewe"

    "basi nipe kitabu changu niendelee kujisomea"

    "sikupi na utakifata ofisini kwangu, mshenzi wewe"

    Basi niliendelea kuchimba ule mti huku madam joy akiwa keshaondoka zake na kile kitabu changu, Nilipiga kazi kisha nikatoa kitabu kingine na kuendelea kujisomea taratibu, Sasa nikiwa najisomea zangu huku nikiandika baadhi ya maswali niliokua nikiyasoma katika kitabu hicho, Ghafla nilishikwa kwa nyuma, yaani niliminywa kimahaba kwenye mbavu, akili yangu yote nilijua ni mtoto wa lowassa, maana kila atakaponiona tu ni kunidandia dandia, Lakini sikuamini macho yangu kwa nilichokiona....... Kumbe alikua ni yule mtoto wa kike niliemtongoza wiki moja tu iliopita, na tugombana baada ya siku hio dada zaituni kuniharibia......... Alikua ni zamda

    Kwanza nilishikwa na kigugumizi huku nikimuangalia kwa umakini mkubwa

    "mbona unaniangalia hivyo?"

    "mmmmmm wala tu sema nimeshangaa"

    "umeshangazwa na nini sasa?"

    "mmmmhh ok tuyaache hayo, vp mbons umenifata hapa kuna nini?"

    Nilimuuliza huku mtoto wa kike ndio kwanza kakaa pembeni yangu mkono wa kushoto,

    "sheby? Samaani kwa kukununia kwa wiki nzima, coz toka siku ile yule mdada anivuruge, yaani sikua na amani kabisa na niliapa kukuchukia milele, lakini juzi yule mdada alikuja na kuniomba msamaha na aliniambia kua yeye ni dada yako, na alifanya vile kama utani tu, lakini mimi nilichukulia siriasi, hivyo baada ya kupata ukweli nimeamua kujileta mwenyewe unihukumu"

    Aliongea hivyo huku akiniangalia kwa utamu utamu, Mimi sikumjibu kitu bali nilibaki natabasam tu, huku nikiangalia pembeni kama vile mtu anaeona aibu, kumbe ni bonge la ninja naficha makucha tu,

    "sheby?"

    "mmh?"

    "mbona huongei sasa?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "amna, nitaongea tu"

    Mtoto alirudia kuniminya mbavu kama vile vya mwanzo, Nilipomuangalia nilimuona mtoto kang'ata lipsi afu akanikonyeza kimahaba, kisha akaingiza mkono wake kwenye mfuko wangu wa shati kisha akaondoka zake kwa kukimbia kabiasa, Aliniwekea ujumbe wa maandishi kwenye mfuko, Nami kwa shauku kubwa nikaifungua barua ile na kuanza kuisoma, iliandikwa hivi

    "sheby? Nimeshajua ukweli juu yenu wewe na zaituni kua ni ndugu, ila nilikua nimenuna kutokana na lile, but naomba unisamee, na kuusu lile ombi lako, mmmmmmmhhhhhhh. Mmmmwaahhh hata mimi nilikupenda kabla yako ila nilishindwa kukuambia, kutokana na mila na destuli zetu haziruusu mwanamke kumtongoza mwanaume, na nilikua nataka unianze wewe afu mimi nimalizie,..... Kiukweli ni kwamba hata mimi nakupenda dana....... I LOVE YOU MY BABY BOY ila naomba usuumize moyo wangu, maana wakwako nimeupokea na kuufungia na makufuli yasiohesabika... I love you tooo... Mwaaahhh"

    Nilifurahi kuskis hivyo, basi papo hapo nikapata kanguvu kapya kalikonifanya niimalize ile kazi ya madam joy, Baada ya kuimaliza ile kazi nilikusanya zana za kazi na kuzipeleka stoo, Kisha nikaelekea ofisini kwa madam joy kuchukua atlas yangu, Lakini nilipokua nataka kuingia tu niliskia nikiitwa na madam shufaa

    "shebiiiiii?"

    "naam"

    "ebu unikusanyie daftari za wenzio nizisahishe mara moja"

    "sawa madam"

    Niliingia kwa madam joy na kumkuta kakaa akisahisha baadhi ya zoezi la form two,

    "nimemaliza kazi yako madam, ila nimekuja kuchukua kitabu changu"

    "lakini sheby? Ebu kua mpole basi, kiukweli hata mimi sikupenda kukupa ile adhabu ila ni hasira tu, naomba unisamee nipo chini ya miguu yako"

    "ivi madam joy? Unataka nini kwangu?"

    "lakini unakijua ninachokitaka, mmhh sheby siku ya mtihani nitakuandalia kibuti kizuri mpaka utafurahi mwenyewe"

    "sitaki, nina akili zangu zinanitosha, maswala ya kuniandalia kibuti sitaki,"

    Nilikua nimekaza mtoto wa kiume huku nikikinyakua kitabu changu na kumuambia

    "sitaki mazoea na wewe madam, yaani we nifanye utakalo lakini hilo litako lako sintokaa nikaligusa"

    Madam joy aliamka kwa hasira huku akisema

    "sheby? Nitakuchukua mpaka kufa kwangu, yaani nakuchukia sheby, kwanza toka ofisini kwangu mbwa wewe"

    Nilitoka kisha nikaelekea darasani kwetu na kupanga vitu vyangu freshi

    "daaahhh asee sheby ee? Ebana unatema kinyama asee kama vp kaoge mwana"

    Ni chalii yangu jack ndio aliniambia hivyo, na ni kweli nilikua nimesweti kinoma na kakikwapa kalikua kabatema, maana si nimetoka kuchimba kisiki sasa hivi,

    Nilikusanya daftari nikiwa kama monita wa darasa langu, nilitoka na daftari za wanafunzi wenzangu nikizipeleka kwa madam shufaa, maana ni zoezi lake la geography, Niliingia kwa madam shufaa huku nikiwa nanuka kwapa, Sasa nimemkuta akiwa anaangalia video kwenye simu yake ila sikujua ni video gani maana alificha fasta fasta baada ya kuniona mimi,

    "hizi hapa madam"

    "oookeee, asantee, unaweza kwenda"

    Nilikua natamani nimuambie ukweli juu yake ila tatizo ni mkubwa kwangu,....... Unajua shuga mamy ni rahisi kumpata mtoto wa kiume kuliko mtoto wa kiume kumtongoza mtu ambae sio saizi yake, Sasa nilikua nimesima bila kuongea kitu

    "mbona huondoki wewe, una tatizo"

    "ndio madam, mimi sijaandika hilo zoezi afu kule ubaoni wameshafuta"

    "ooohhh shit, ok chukua hiki kitabu changu, andika kuanzia hapa mpaka hapa, fanya haraka ili nikusaishie kabisa"

    Nilitoka mbio kwenda kuchukua daftari langu liliokua darasani kisha nikaja kuandika huku huku kwa ofisini kwa madam, joy

    Sasa nilipoanza kuandika, madam joy alianza kuniuliza

    "vp nimekuona umeingia kwa mpenzi wako, ila sheby nakushauri achana na mapenzi, soma kwanza"

    "nimeingia kwa mpenzi? Mpenzi nani?"

    "si madam joy"

    "aaaaaaa madam shufaa. Mi sina mpenzi mkubwa vile"

    "ameniambia mwenyewe"

    "lakini mimi, nimemkataa"

    "mmmhhhh mtoto ni muongo wewe duuu,,, umemkataa na wakati ulishalala nae"

    "wala tu"

    "ila sema unavutia sana, maana hata wanafunzi wenzio wa kike wanakuongelea sana"

    "ok sawa but, but mi ndoto zangu ni kua na mwanamke mzuriii kama wewe"

    Sasa nikaanza kumchokoza madam shufaa kwa maneno ya chini chini, huku nikiendelea kuandika zoezi lake,

    "sheby? Mi nakushauri soma kwa bidiii"

    "ndio madam but si unajua kazi na dawa"

    "we mtoto soma kwanza, wanawake wapo tuu"

    Sasa nilipomuangalia madam shufaa nilimuona kama ananiangalia kiwizi wizi huku akisahisha madaftari ya wanafunzi

    "ila madam we mzuri ee?"

    "mmh najua mi mzuri, ila ni spesho kwa ajili ya watu wazima"

    "mmmhh basi najuta kua mtoto mie"

    "ila sheby, umejaaliwa kwa uhensam"

    "mmhhh kawaida tu"

    Sasa baada ya kuona madam keshaanza kunisifia, nikasogea karibu yake,

    "we mtoto, mbona unazidi kusogea huku?"

    Nikaanza kumrembulia huku nikijifanya nimemtamani,

    "madam we ni mzuri kwakweli, na una umbo hebu ona jinsi ulivyo"

    Sasa nikawa namshika kwa uoga lakini cha ajabu madam shufaa katulia tu, Nilikua nashika kwenye kiuno chake

    "heeeee we mtoto na huko nako?"

    "mmmh wala tu sema umbo lako ni noma"

    Madam shufaa alikua ana umbo kama agness masogange vile, yaani vile vile na uzuri wake,

    Huezi amini madam shufaa aliacha kusahisha na kuniangalia mimi

    "sheby?"

    "naam madam"

    "kaoge kwanza, afu ukija nitajua cha kufanya juu yako sawa mtoto mzuri"

    Yaani niliposikia hivyo tu nilifurahi kimoyo moyo huku nikiacha kuandika na kupiga hatua za kutoka nje kwenda kuoga, maana hii shule ina mabweni hivyo ina mabafu kila kona, mpaka kwenye ofisi za walimu kuna mabafu

    "sasa unaenda wapi?"

    Aliniuliza huku kama akishangaa

    "si naenda kuoga"

    "No nenda tu kaoge hapo kwangu mara moja"

    Aliniruusu nikaoge kwenye bafu lake la hapo ofisini, Kweli sikukawia nikaingia bafuni, na kuvua nguo fasta nikaanza kujipiga maji........... Sasa nikiwa nina povu usoni madam shufaa aliniita

    "sheby, we sheby?"

    "naam madam"

    "naomba unipe hio chupi yangu itakua imekauka"

    "aaaaahh madam subiri kidogo"

    "bwana sheby mi naitaka niivae sasa hivi"

    "nitakupa usijalu ila ngoja nitoe povu la usoni kwanza"

    "aaahhh au ngoja nije mwenyewe"

    "aaaaaaaa No no no usije bwana madam"

    "kwani mi si sawa na dada yako tu"

    "ah ah usije"

    Mara nikasikia mlango umefunguliwa, maana nilikua sijafunga kwasababu nimezoea kule chumbani kwangu nikiingia bafuni sifungagi, sasa niliposikia mlango umefunguka, aiseee nilikosa pozi kabisa, afu mbaya zaidi naniii yangu ilishasimama dede kwa kusikia neno CHUPI maana ndio ugonjwa wangu

    "haaaaaaaaa shebiiiiiiiii kumbe uzuri wako sio sura tu? Kweli mungu kakupendelea kila sekta ya mwili wako....... Aiseee sheby hata mimi nimejiskia kuoga na wewe, hebu sogea na huko ili tuenee"

    Saaa hio nilikua bado nina povu usoni, huku nimeshikwa na butwaa kwa kugundua kua madam shufaa. Yupo ndani ya bafu, na mbaya zaidi eti anataka aoge na mimi bafu moja

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kama kawaida yetu sisi wanaume, hua mwanamke akijipendekeza tu kwa kidume kama hivi, hua tunaanza kulinga kama jinsi wao wanavyotulingia, maana wao wanapotulingia hua tunaona ni kawaida tu, ila mwanaume anapomlingia mwanamke hio sio kawaida bali ni makusudi, maana akili ya mwanaume ni tofauti na ya mwanamke, coz sasa hivi mwanamke akimwambia mwanaume kua

    "leo nataka unit********e"

    Mwanaume akiambiwa hivyo hata kama kaambiwa na kichaa, lazima ataanza kusisimkwa na mwili, na ni rahisi mwanaume kutekeleza jambo hilo hata kama hawajawahi kuonana kabla, Lakini mwanaume Eti amuambie mwanamke kua

    "twende nikakut*********e"

    Heeeeee spati picha mitusi utakapakwa kwa siku hio,

    Sasa sikuzote nilikua namtamani sana madam shufaa, na nilikua natarajia nimtongoze japo nilijua itakua ngumu kufanya hivyo, lakini leo sikuamini macho yangu kama yule yule niliekua namuwazia leo kajileta nwenyewe bafuni, Lakini mtoto wa kiume nikaanza maringo ya kumringia, maana tayari nimeshamuona udhaifu wake ulipo,.......... Sasa baada ya yeye kuingia akawa anaanza kuvua nguo ili aoge na mimi bafu moja, Ila mimi fasta fasta nikajisuuza huku nikimwambia kua

    "subiri nitoke uoge kwa raha zako"

    Niliongea hivyo huku nikiwa nimekasirika kiuso uso, maana sikutaka anione dudu yangu ilivyo.... Sasa keshaiona ilivyo na kaniona kila kitu,........ Ila mimi sikuonyesha kumshobokea japo alikua ndio kafikia kuvua taiti ya ndani, Nilimtamani lakini kwakua nimejipangia msimamo wacha nivumilie tu, Sasa alivyoona kweli nimegoma kuoga nae, aliona haina maana tena, hivyo alianza kuvaa nguo zake, na kuniwahi kutoka, maana mimi nilikua nina nguo nyingi sana za kuvaa, hivyo alinitangulia kutoka na kwenda kukaa kwenye kiti chake, lakini saa hio mimi tayari nimesha kasirika kwa tabia ya kuingia bafuni bila ruksa yangu,.... Nilitoka huku nikiwa nimenuna kweli kweli

    "sheby? Unaenda wapi tena?"

    "sitaki kuulizwa"

    Nilimjibu hivyo huku nikichukua lile daftari langu niliokua nimiandika na kuondoka nalo

    "sheby? Lakini bado hujamaliza kuandika"

    "sitaki"

    "basi lete nikuandikie jamaniiiii"

    Aliongea hivyo lakini mimi sikuangalia nyuma wala kusita sita,

    Niliingia zangu darasani huku nikiwa nimekasirika sana, Sir john alikuja na kutupa zoezi la mathematics, Kama kawaida yangu mimi ni noma sana kwenye zoezi kama hili, sasa nikiwa naandika na kuzikokotoa hesabu, mara shania alikuja mpaka kwenye meza yangu

    "sheby? Plz naomba uniseidie hili swaki hapa linaendaje?"

    Lakini nilipoangalia hilo swali lenyewe halikya swali kama swali bali alikua kaniletea ujumbe kwa siri ili wanafunzi wengine wasijue kilichomleta kwenye meza yangu,

    Nilianza kuusoma ule ujumbe aliojifanya ni kama swali la mathe, Ujumbe aliandika hivi

    "sheby? Mbona mi sikuelewi mpenzi, toka tuanze uhusiano, hujawahi hata kuniomba, kwanini? Mimi nina hamu bwana na kama vp leo nataka unikamue"

    Baada ya kumaliza kuusoma, nami nilirudisha majibu kwa chini yake kua

    "nicheki kesho leo sipo vizuri kiakili"

    Niliamua kumuandikia hivyo ili leo nisijichoshe sana, maana wanaotaka nafasi kama hio ni wengi mno,

    Shania aliposoma ujumbe niliourudisha alinielewa,

    Mara head master aliingia darasani kama vile kuna taarifa flani hivi ya ghafla,

    "good evening sir"

    "good evening too, sit down"

    "thank you sir"

    Tulitoa heshima ya jioni kwa head master

    "aaaaa jamani kesho tuna mashindano ya mathematics na shule zaidi ya kumi, hivyo kuna watu humu tunawategemea kwa hilo, hasa sheby utakua mmoja wapo"

    Head master alianza kuchagua watu watakao enda katika mashindano hayo, ila mimi siku hio ya leo nilikua nimechoka kiakili mpaka kimwili, hivyo nilimuomba mwalimu mkuu asinichague, maana sipo tayari kwa kwenda huko kushindana mathematics na shule zingine

    "sir? Plz mimi sijiskii vizuri kwakweli, tena ilikua niombe ruksa ya kutokuja kesho maana mwili wangu unaniuma sana". "hapana sheby, wewe ndio jembe bwana"

    "kweli mwalimu sintoweza"

    Kama kawa shuleni hakukosi wanafunzi wanaokuchukia,

    "aaaa ticha, kwani sheby kitu gani? Hata sisi tutapasua mawimbi, we achana nae"

    Huyo alikua ni mmoja kati ya wanafunzi wa kiume, na aliongea hivyo kwa kudhani kunipondea kunidhalilisha, lakini haikuseidia japo kuna waliomsapoti yule jamaa aliosema.....

    "ok sawa,...... Kwakua kesho ni ijumaa, na ndio siku ya mashindano hayo, hivyo wale ambao nimewachagua tutaenda wote, na kwa wale ambao mtabaki, basi mtakuja shule kama kawaida, na kwa wewe sheby nakupa ruksa ya kupumzika kwa kesho ila hakikisha juma tatu unawasili shuleni sawa?"

    "yes sir"

    Kama kawaida yangu, muda wa kutoka ulifika na wanafunzi tulienda paredi kwa matangazo mawili matatu kwa ajili ya kesho, kisha tukaruusiwa kurudi nyumbani, kiukweli mwili ulikua unaniuma kwa vile nilivyochimba lile limti,

    Nilipokua njiani nilimkumbuka nusura, yule mtoto flani wa kiislam, na sio nusura dada yangu,

    Niliona leo wacha nipitie kwao ili nikampe hata hai, maana toka nimtoe bikra yule mtoto wa watu, sijawai hata kumsalimia kwa simu,

    Nilifika hapo nje kwao kisha nikaingia kwenye geti maana nilitaka nimsapraizi kufika kwao, Nilipiga hodi na nikaitikiwa vizuri, Lakini alietoka alikua ni dada yake na nusura, aitwae mwantumu au tumi, na dada yake nae sio haba kwenye sura na umbo mashalaa,

    "ooohhh shem mambo?"

    Alianza uchokozi wa kuniita shem huku akinikaribisha ndani,

    "poa nambie"

    "safi tu karibu ndani basi"

    "aaaaahh kwani ulizani nakaa basi"

    "bwana shem ingia ndani"

    "aaa mama enu si yupo?"

    "nani kakuambia yupo, kampeleka nusura dares salam"

    "kampeleka dar? Kaenda kufanya nini huko"

    "kahamishwa shule, maana mama kajua kua katolewa bikra"

    "aaayaaaa nusura nusura, kwanini asinipigie simu sasa?"

    "simu alipokonywa na mama"

    "lakini kwa sasa si atakua nayo?"

    "ndio anayo"

    Basi mtoto wa kiume nilimpigia demu wangu simu ili nijue alupo

    "eee halo nusura".

    "abeeee"

    "mbona umekua mpole hivyo mama, nini shida?"

    "we sheby nipigie baadae mama yupo karibu"

    " sawa, but we upo wapi kwani"

    "nipo dar toka juzi, na ndio nimehamishiwa huku mpaka shule nimeanza kidato cha tatu"

    "Alahu Akhbalu nusuru wangu, sasa itakuaje"

    "ila ukihitaji kuja siku nitakuelekeza maana nimeletwa kwa shangazi yangu"

    "daaahhh aisee nitafanya juu chini nije,.... Kumbe ndio maana shule nilikua sikuoni jamani"

    "ndio hivyo mwaya, nimehamishwa shule mpaka makazi, yaani arusha nitakua nakuja kwa likizo tu"

    "daaahhh hadi roho inaniuma kwakweli"

    "mi mwenyewe nililiaaaaa mpaka nilivimba macho, lakini sasa nitafanyaje na wakati ni wazazi ndio wameamua, na hata hii simu yenyewe kuna muda napokonywa na mamaa"

    "daahhh poa basi nitacheki wiki hii nije dar"

    "poa ila usitanie sheby, si unajua nimekumisi sana"

    "najua, ila si utakua umeshapona"

    "heeee nishapona kitambo tu, tena nilipona kabla sijaja dar"

    "wacha weee, sasa kwanini usinishtue nikibatue tena"

    "sasa ningekushtuaje na wakati michongo ya kuja dar kumbe ilishapangwa kitambo tu, hivyo mimi niliambiwa mchana, na kesho yake jioni huyooo tukaondoka, yaani nilishtukizwa tuuu"

    "dahhh poa basi wiki hii naja dar"

    "nitafrai wewe duuuu"

    "poa basi mida"

    "poa bayby, i love u"

    "love u too"

    Nilikata simu huku nikihema kwa nguvu kwa kumkosa mtoto kama yule..... Sasa mtoto wa kiume sikua na muda wa kuendelea kukaa tena, hivyo nilianza kuondoka tena bila hata ya kumuaga mwantumu,

    "sasa unaenda wapi na wewe?"

    "kwani watakaje? Wacha niwai zangu home coz nina homework ya kufanya muda huu

    "we sheby, kila siku unanidanganya tu, sasa leo vp?"

    "nakudanganya na nini?"

    "hebu njoo huku chumbani kwangu nikuambie ninachotaka"

    "apana bwana nusura akitukuta ee unadhani atajiskiaje?"

    "sasa atatuonea wapi na wakati yupo dar, ee mi najua unampenda sana mdogo wangu, ila hata mimi nakutaka sheby"

    "apana bwana"

    Mara akanivuta mkono kuelekea chumbani huku akijiskia utamu kwa kuushika mkono wangu,

    Sasa nilipoangalia makalio yake jinsi yanavyotetemeka, aisee huezi amini nilianza kumuwazia vibaya mtoto wawatu, maana kama kawa mimi na kale kaugonjwa kangu ka kuruka ukuta,.... Tumi aliniingiza chumbani kwake na kunikalisha kitandani, afu tumi ni mkubwa kwangu, maana kanizidi miaka kama mitatu hivi,

    "kwani we upo na nani humu?"

    Nilimuuliza huku akinijibu bila wasi wasi

    "nipo na house girl tu, na pia yeye hayupo kaenda kwenye mizunguko yake"

    Mara mtoto tumi aliniwahi kuninyonya denda, sijakaa vizuri mara kaanza kufungua mkanda wa suruali yangu ya shule,

    "mbona una haraka tumi"

    "bwana mi nakuhofia usije ukaarisha"

    "lakini?"

    "lakini nini na wewe sheby? Nipe kimoja tu na mimi niionje hio mb******o yako"

    Nikua namtaarifu mapema kua mimi sntomgusa mbele

    "mimi nataka huko"

    "wapi?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "next dor"

    "sheeeeeeebiiiii humuogopi mungu wewe?"

    "kama hutaki useme"

    "akuuu mi sijawahi kuliwa huko mie"

    "kwaio"

    "staki"

    Baada ya yeye kusema kua hataki niliamka zangu taratibu na kuanza kuondoka

    "sheby? Ivi upo siriasi kweli?"

    "kama unaona ni utani vua nguo uone, tena nitakukuna mpaka simulie"

    "mmmhhh kweli napenda kukunwa ila sio huko sheby"

    "basi niache niende zangu"

    "sheeeebiiii jamani, nakupa mbele bila condom"

    "sitaki"

    "mmmhhh sawa we nenda ila huko mi staki mwenzangu akuuu"

    Nilianza kuondoka taratibu huku nikiwa nipo siriasi kweli, maana haka katabia kamenikaa mwilini ghafla,

    "sheby?"

    "nini"

    "rudi basi"

    "umekubali?"

    "lakini sheby? Hii tabia umeanza lini mtoto mdogo mno"

    Unajua kuna sehemu ukimshika mwanamke vizuri unaweza kumruka ukuta kiurahisi sana, hivyo nikamrudia na kuanza kumnyonya denda zitooo mpaka tumi kalainika kama bamia, Nilimpambua nguo zake zote na kubaki kama alivyozaliwa

    "sheby ivi ni kweli unataka 0714?"

    "ndio, ila ni kimoja tu"

    "mmhhh lakini mimi sijawahi huko"

    "nitapeleka taratibu usijali"

    Nilivyoona bado anakua mgumu, niliitumia ile njia yangu ya kumminya sehemu flani ya kiuno ambapo kunapitia mishipa ya sehemu......

    " shebiiiiii aaaaaaaaiiiiiiiiii, umenifanyaje jamani?"

    "usijali....... Sasa vp utanionjesha kidogo?"

    "lakini naniii ssssiii jaribu ila vikiuma mi staki"

    Yaani aliposema tu hivyo mtoto wa kiume niliamka fasta na kumpanga stali moja kalii kwa ajili ya sehemu hio,

    "aaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiii sheby vinauma bwana mi staki"

    "ngoja kwanza..... Una mafuta ya baby care?"

    "ndiiiiiiiiooooooo"







    Kiukweli nilikua na tabia mbaya sana na sijui kama nitaiacha, maana kuwala watoto wa wati kinyume na maumbile duuu, hiii sio sahihi kabisa, ila namlaumu sana dada nusura kwa kunifundisha hii tabia chafu hii ya kuruka ukuta, maana yeye ndio wa kwanza kunipa hio sehemu na kuniambia kua asiponipa atamuambia mama kua mimi sio mwanae, Ikabidi nimle tu ili mali zisinipotee mikononi mwangu, sasa kile kitendo cha kumkubalia dada nusura kumla kinyume na maumbile ndio kimenifanya mpaka leo niione sehemu hio ni tamu kuliko hata mbele,



    Na licha ya kumbembeleza mwanamke wako, kua unataka kumla kinyume na maumbile yake, bali ipo sehemu ya kiuno kwa nyuma ambapo ukipagusa vizuri basi mpenzi wako anaweza kukuambia mwenyewe umruke ukuta,...... Yaani pale kwenye mgongo kwa chini kuna mshipa uliopita kiunoni mpaka kwenye KITUNDU CHA HAJA KUBWA kwahio ukiubana vizuri ule mshipa, basi kubana kule kutafanya ule mshipa uwashe na ukisha washa, ule muwasho unaenda moja kwa moja hadi kwenye tigo, na ikifika kwenye tigo inamalizia pale muwasho huo, mshipa wenyewe upo pale kiunoni kwa nyuma, ila sikuambii umekaaje, na huezi ujua kiurahisi kama unavyofikiria, na hata nikikuambia upo upande gani pia huezi kuuona labda umfanye mwanamke atokwe na jasho jingi, ili uuone mshipa huo, na je utaujua ni upi na wakati ipo mingi? Mimi sitokuambia maana ni kama nitaichochea tabia hio,



    Sasa mtoto tumi aliyaleta mafuta ya kujipaka aina ya baby care, nikayachukua na kuanza kuyapakalia kwenye uume wangu kisha na yeye nikampakalia pale kwenye. 0714 yake, kisha nikamkusanya mtoto na kumuweka sawa kwa kumrarua kama punda, Niliishika nanii yangu bara bara kabisa na kuipenyeza katika 0714 ya tumi, lakini tumi aliruka mbele kwa kuiogopa kuingia nanii yangu, lakini mtoto wa kiume sikukata tamaa, nilimkusanya tena huku nikimpa moyo wa kua haviumi sana, maana kumla demu kinyume na maumbile kuna maumivu zaidi ya kutolewa bikra, kwahio kuna maumivu ya ukweli ukweli...... Nilijitaidi kuingixa lakini wapi, tumi alikua msumbufu tena alikua analia kabisa,



    Unajua wanawake wanaofanyiwa hivi ni wengi sana japo kuna wengine hua hawapendi kufanyiwa tabia. Hii ila itamlazimu kwa kua jamaa aliomuomba 0714 ana pesa..... Au jamaa aliomuomba 0714 anampenda kuliko mwanaume yeyote yule duniani, hivyo anaona akikataa kumpa jamaa tigo, atakosa mapenzi mazuri na pia jamaa atachepuka nje na kupewa hicho alichomnyima yeye.... Au akikataa kumpa 0714 anahisi atakosa pesa nyingi kama asipofanya hivyo, maana utakuta jamaa anampaga pesa nyingi kila siku, sasa anahisi akimnyima atazikosa hizo pesa.......

    Na kwa wale machangudoa, unakuta maskini ya mungu hajawahi kuliwa 0714 lakini siku hio kakutana na dau la shilingi laki moja au mbili kwa kuliwa 0714 tu, akiangalia hio pesa hakuwahi kuingiza hata siku moja, kazoea elfu kumi kumi ishirini, sasa wazo lake utasikia akisema

    "potelea mbali kwani si anaingiza tu afu anatoa tu, kwani atanipasua"

    Au kama ana wasi wasi sana basi utaona anampigia changudoa mwenzie na kumpa taarifa kams hivi

    "best, kuna kitu naomba unishauri mwaya"

    "kitu gani tena"

    "kuna mwanaume anataka nimpe 0714"

    "weweee si unajua bei ya kuliwa huko"

    "sikui, ila vp nikubali"

    "sikia wewe, hakikisha isiwe chini ya elfu hamsini"

    "hapana kanitengea laki moja na nusu"

    "we ni fara nini, yaani laki moja na nusu afu bado unajishauri, hebu niambie huyo mwanaume yupo wapi nije nimpe mzigo"

    "heeeeee kwani na wewe ulishawahi"

    "heeee yaani unashangaa leo? Hukumbuki siku ile hata kukaa siwezi"

    "mmmmhh haya mwaya ngoja nijaribu"

    "sio ujaribu wewe, piga kazi hio wewe kwani ataondoka nao huo mkundu?"



    Yaani unakuta wanashauriana ujinga ambao hauna maana kabisa, na huyu nae alieshauriwa anakubali kutoa nyuma yake kisa lakini moja na nusu au upendo wa dhati,............. Huo ni ujinga nyie wadada, tena mwingine anaweza kukupa hata laki tano, lakini anajua hio laki tano yake inaweza kurudi, unajua itarudije?



    Pale anapoanza kukubikiri nyuma, ili usirudie hio tabia, basi we mwambie akojolee nje, au avae condom, lakini ukikubali tu apizi ndani kwa ndani, basi ujue siku tatu mbele utaanza kumtafuta mwanaume wa kuku kuna, maana ule uchafu uliongizwa mule ndani umeoza na kusababisha muwasho mzuri mzuri, na ndio maana hata shoga haachi kuliwa 0714 kwa sababu hio....... NEXT EPSODE NITAELEZEA SABABU YA MWANAUME KUWA SHOGA......... kwahio ili huyu mwanamke akunwe tena ni lazima atafute mwanaume, na kwa kawaida sio wanaume wote wanapenda kula 0714, hivyo ni lazima amtafute yule yule alianza kumla 0714 ili ampooze, na akishampata yule yule, ni kwamba yule jamaa hatoi pesa tena, na akikataa demu mwenyewe anaingia mfukoni na kumpa jamaa ili akunwe, sasa jiulize ile pesa ya yule jamaa haijarudi? Yaani inarudi na utamu wa bure kila siku, tena kama ni lishuga mamy linaweza kukuvutia nyumbani kwake ili umkunyue vizuri....



    Sasa kwa upande wangu mimi, mademu hua hawanipendi kwa ajili ya pesa, mali wananipenda tu kwa jinsi nilivyo,

    Hata we mwanamke wewe kuna mwanaume unakutana nae njiani, mpaka moyo wako unakupasuka, kwa jinsi ulivyompenda, yaani hapo hapo unaaza kujiukumu mwenyewe kua

    "mmmhh nikimpata yule duuu nitampa chochote atakacho"

    Yaani tayari ulishajijengea madhingira ya kumpa 0714 kisa ni mzuri, hensam boy,...

    Sasa ndio hawa akina tumi ndivyo jinsi walivyo,.... Na kwakua mimi nilifundishwa kula hio kitu basi wacha mi nile.....

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sasa mtoto tumi alikua anasumbua mno, yaani mpaka sasa bado sijamgusa nanii yake, yaani anaumia kila nikitaka kuingiza, na nikiamua kula huko basi sitaki tena kula mbele,

    "sheby, kiukweli vinauma aisee"

    "lete tujaribu tena"

    "staki, staki tena, kama hutaki mbele basi"

    Tumi au mwantumu alikua akisema hivyo huku akilia, na kushika shika huko nyuma, maana nilishaingiza kichwa tu, ila huko kwingine kashindwa kuvumilia....

    "kwahio hutaki"

    "shebiiiiiiii vinauma kweli vile"

    Niliamka kitandani na kuchukua chupi yake kisha nikawa najifuta yale mafuta ambayo tuliyapaka mwanzo, nilipomaliza kujifuta, nilivaa nguo zangu kisha nikamuaga kwa uzuri tu

    "sasa? Kama vp siku nyingine ukitaka nitakuja"

    " sheby yani kweli unaondoka?"

    "sina muda wa kukubembeleza mimi"

    "basi njoo kesho sheby maana hapa nasikia maumivu makalu"

    "wala siji, nani aje tusumbuane"

    "shebiiiiiiii kesho ukija nitajitaidi eee?"

    "nitaangalia kama nitapata muda"

    "uje bwana,...... Nikiss bas jamani mpenzi"

    "afu ukae na kujua mimi ni mdogo kwako kiumri"

    "kwani inahuuu? Kwanza hata sijakupita sana ni miaka minne tu"

    "ok poa basi kesho"

    "poa, sasa ukija nikuandalie chakula gani"

    "heeeee nishakua mumeo nini"

    "nataka iwe hivyo"

    "poa nitakujulisha nikija"



    Mtoto wa kiume niliingia kwenye gari yangu huku nikiwa nipo na nguo za shule, maana kama unakumbuka nilipitia huku ili nimcheki nusura, Sasa nilipokua njiani, simu yangu iliingia meseji, nilipoicheki ilikua inatoka kwa dada zaituni, aliandika hivi

    "dogo langu vp? Leo jiandae na mimi maana nina hamu mpaka naumwa"

    Sasa nikafikiria kua mwantumu kanitibua tu, hajanipa chochote yaani kanisisimua tu na kunipa mzuka wa mapenzi afu kagoma, sasa kwanini hasira hizi nisiende kummalizia dada yangu, Niligeuza gari na kuelekea mjini kwanza



    Niliingia duka moja la dawa za jumla jumla

    "niaje kaka"

    "poa dogo nambie"

    "fresh tu"

    "sema nikusaidie nini"

    "ebana kile kichupa cha dozi unacho?"

    "kichupa gani hicho"

    "aaaaa kakaa ni kichupa flani hivi cha kikubwa, nataka nikamkomoe mtu"

    "aaaaaaaa oookeeeee Via...... "

    " aaaaa usimalizie, noma noma sana"

    "ebana kichupa hicho itabidi uniachie 30 dogo langu au sio?"

    "haina noma we nipe kichupa hicho"

    Nilikichukua kile kichupa kidogo tu ambacho unaweza hata kukikumbatia mkononi,

    "matumizi yake"

    "ebana matumizi yake, akikisha unapiga kifuniko kimoja tu, na inakaa nusu saa tu inakua dafi"

    "ok poa basi mida arf"

    "poa dogo ila akikisha mtoto pembeni"

    "poaaaa"

    Niliondoka zangu na kurudi nyumbani nilimkuta dada zai anacheka cheka tu hapo sebuleni huku akitamani anifate chumbani kwangu,..... Niliingia bafuni na kuoga fresh kisha nikatoka nje huku nikiwa na mzuka wa kumpasua zai mpaka anikome, maana mimi ni kaka yake wa damu kabisa kasoro mama tu,.......

    Nilishika simu yangu na kumtumia meseji

    "vp utakuja saa ngapi sasa"

    Akajibu fasta maana naye pia ana mzuka na mimi sio haba

    "saa nne kamili mama akilala tu nakuja, ila haipiti saa nne na nusu, yaani ikizidi sana ni saa nne na robo"

    "poa nakusubiria kwa hamu dada angu"

    "mi pia"

    Huezi amini huyo ni dada angu tunaechangia baba mmoja kasoro mama tu, kwahio undugu bado upo pale pale



    Ilipofika saa tatu na nusu nikampigia simu

    "we mbona huji"

    "sheby dogo langu, subiri saa nne, ifike maana mama namuona bado yupo sebuleni"

    "poa basi ila saa nne usikose"

    "poa sweety"

    "poa"

    Nilikua nina ukwaru na dada yangu, tena na vile alivyo shombe shombe afu na ule uzuri na umbo lake, yaani leo nataka nimsugue mpaka asiniziee tena,.......



    Sasa nikakumbuka kuna dawa yangu nimeinunua kwa bei gali, inaitwa VIAGRA ni dawa inayosimamisha uume kwa kasi na inayofanya upige raundi moja kwa masaa mawili hadi matatu, yaani kile kibao cha kwanza kinachotoka baada ya dakika tatu au tano, sasa ukinywa hii kitatoka baada ya masaa mawili au matatu... Dawa hii ina madhara makubwa sana, nitayaelezea huko mbele,.......

    Niliifungua na kupima kifuniko kimoja tu kisha nikainywa afu nikaifunga na kuiweka, pembeni, sasa nikaanza kusikilizia jinsi inavyokuja......... Dawa hiii nimeinywa ili nimkomeshe dada zai, ila sio kua nimekosa nguvu za kiume, maana nina nguvu za kiume original mpaka najiogopa,

    "dada zai cheki saa ni saa ngapi"

    Nilimtumia meseji na kumuambia hivyo maana uume wangu ulishaanza kusimama,

    "shebiiiiiiiii mdogo wangu, nipo na mama huku chumbani kwake, eti anasema kaona mende hivyo hawezi kulala mwenyewe"

    "haaaaaaaaa, kwa... kwa.... kwa.. kwa... kwaio haitowezekana?"

    Nilimuuliza huku nikiwa nimetoa macho makubwa huku nikiwa nimeshikilia taulo langu,

    "kesho nitakuja mapema, ila leo kiukweli sidhani labda ningoje hadi saa nane kama atalala fofofo"

    Yaani kusikia hivyo simu iliniponyoka na kuanza kujiuliza, maswali mengi kuusiana na hio dawa niliokunywa nusu saa iliopita, na sasa imeshaanza kufanya kazi.... Nilihisi nimeshachimbiwa kaburi, tayari kwa kuzikwa





    NDUGU ZANGUNI KWA USHAURI WA DAWA KAMA HIZI KIUKWELI USIJE UKAJARIBU KUTUMIA HATA SIKU MOJA, MAANA INA MADHARA HII DAWA, NA ZIPO DAWA AINA NYINGI SANA... KUNA ZA VIDONGE, KUNA ZA KUPAKA KWENYE UUME NA KUNA ZA KUNYWA KAMA HIO NILIOKUNYWA MIMI, DAWA HIO UNATAKIWA UITUMIE UKIWA NA GRUPU LA WANAWAKE ILA SIO MWANAMKE MMOJA, NA LAITI KAMA MWANAMKE UNAEMNYWEA ANGEJUA, WALAI VILE ASINGEKUJA KABISA, LABDA AWE HAJUI,.... MAANA HIO DAWA UKIINYWA UTATAKIWA KUWA NA WASICHANA WASIOPUNGUA WATANO TENA WENYE AFYA ZAO, MAANA WASICHANA WAWILI HAWAWEZI KUKUZUIA KABISA, KWAHIO TAFSDHSLI SANA USIZITUMIE HIZO DAWA MAISHA YAKO YOTE, MAANA UTAJIUMIZA, TENA SIO KUUMIA NI KUFA KABISA, WE IMAGEN TU UKIONA MWANAMKE KAVAA KANGA MOJA CHUPI NJE NJE, UNASIMAMISHA UUME MPAKA UNAUMA, SASA IWEJE DAWA USIKIE RAHA, TAHADHALI JAMANI HII HIZI DAWA ZIPO NA HATA SIJUI ZINAUZWA WAPI, MAANA HAPO DUKA LA DAWA NIMECHOMEKEA TU ILA SIZIJUI ZILIVYO WALA SIJAWAI KUZITUMIA, MAA SIZITAKI KABISA,



    KWAHIO NYIE WANAUME WENZANGU, MSIJARIBU KITU KAMA HICHO, NA UKIJARIBU BASI HAKIKISHA WAMEKUZUNGUKA WA KUTOSHA NA SIO WA KUPAPASA,

    MAANA UKIKOSA UTAKUFA, NA HUEZI KUPIGA NYETO HATA SIKU MOJA, MAANA VINAUMA AFU TENA UONGEZE MAUMIVU NA LIMKONO LAKO LILIOBEBA ZEGE,.... UKISHAKUNYWA AMA KUITUMIA HIO DAWA UNATAKIWA UWE NA WANAWAKE ZAIDI YA WANNE WENYE AFYA NZURI,



    Sasa mtoto wa kiume nilianza kugalagala pale chumbani kwangu, huku nikiwa nimevua taulo pembeni, uume ulikua unauma afu nikicheki saa inaniambia ni saa nne na robo, mtoro wa watu nilikua sijui hata kupiga puchu yaani sijui linapigwaje, lakini nilipokua nikiteseka nilipata, wazo la fasta fasta, na kuanza kulifanyia kazi, Nilivaa taulo langu na kuibana nanii yangu kwa juu kisha huyoo, nikapanda ghorifani, maana nyunba yetu ni ya ghorofa moja, Nilimgongea housegirl mmoja aitwae salma, huyo dada nilishasex nae siku moja asubui subui,.... Alinifungulia huku akiwa anafuraha kwa kuniona, angejua kua nimekuja na balaaa zito wala asingenifungulia mlango,.... Sikutaka hata kumnyonya denda, nilikimbilia kumvua chupi tu, maana alikua ndio anataka kulala,

    "kaka sheby mbona leo una haraka hivyo"

    "aaaa mi nataka nifanye fasta niende nikawahi kulala maana kesho shule"

    "basi ninyonye matiti kwanza"

    "aaaa Achana na matiti bwana we nipe mzigo"

    Saa hio mtoto wa kiume sikua nataka nyuma wala mbele yaani nilikua sichagui itakapoingia ndio hapo hapo,...... Salma wa watu kweli akapanua miguu bila kujua kua nimekuja na balaa zito lisilo wezekana, niliingiza dudu yangu katika nanii ya salma au housegirl wetu, na mahousegirl tunao kama wanne hivi ila kila mtu na chumba chake maana jengo kubwa mno...

    Mtoto alianza kuililia akizani ni simpo & pafekti kumbe ni balaaaa, sasa uzuri wake ni kwamba nimeiwahi kabla haijachanganya damu kwa nguvu, maana ningechelewa basi hata kutembea ingelikua siwezi,...... Nilianza sasa kuchochea viuno, mtoto wa watu si kupizi gani huko, kila saa salma anapizi kila saa anapizi,

    "kaka sheby naskia kiu"

    "kiu ya nini tena"

    "majiiii"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "aaaa tulia nimalizie"

    Mtoto wa kiume nilianza kumchikichia mtoto wa watu,

    "sheby basi unanichubuaaa"

    Salma alikua analia kama mtoto huku akijaribu kunisukuma ili nitoke lakini wapiii



    Baada ya muda flani hivi kupita Nilifanikiwa kupizi bao moja..... lakini ile kuangalia kwenye nanii yangu niliikuta nanii yangu imejaa damu kibao afu salma wa watu katulia kimyaa na yaani yale maneno alikua akiyaongea alikua haongei tena, niliichomoa taratibu na kumuacha hapo hapo alipo, kisha nikaenda kwa jesca ambako nilimkuta jesca akiwa kalala



    "kaka sheby saa hizi huku kwangu"

    "aaaa jesca leo nina hamu na wewe"

    Niliongea hivyo huku uume wangu nimeubana na taulo huku jicho likiangalia juuu, nilimbembeleza mpaka mtoto akaingia laini, nikamdandia mtoto wa watu



    "kaka sheby naomba niinyonye hio nanii yako"

    "aaaa utainyonya baadae"

    Nilianza kumkatikia jesca kwa kasi zote tena jedca alikua ana mzuka huo duuuu yaani alikua anaifurahia spidi niliokua nikitembea nayo, na wakati huo kila mtu kimya yaani mimi ndio kabisaaaa wala siongei maana nahisi kama nitapoteza point fulani hivi, Nilimkatikia jesca mpaka ule mzuka wake wote kwisha, yaani akabaki kulia lia tu, ila mimi saa hio hata ufe wala sikujali maana hapo ni sawa na mfa maji, maana ukimuokoa mtu anaetaka kufa kwa maji, basi ujiandae nawewe ufe kama hujui kuokoa, maana atakukanyaga mpaka ufe wewe uliokuja kumuokoa



    Sasa nilishangaa kumuona jesca akichapika chapika tu miguu yaani alikua hajiwrzi kabisa,

    Nami nikapata bao la pili lakini ni kwa mbinde,....... Nikimcheki jesca alikua anajinyonga shingo

    Nikachukua taulo langu na kutaka kuondoka na kufata mwingine. . .. Sasa ile natoka tu, nilimuona jesca akidondoka mwenyewe kutoka kwenye kitanda mpaka chini, huku akigala gala na kurusha rusha miguu,



    Nilitoka na kumfata zena, zena nae ni mmoja kati ya mahousegirl wetu humu ndani, keani wapo mahousegirl wanne, mmoja yupo nje kabisa na wengine wapo ndani, na huyu zena sikuwahi kumuandika katika sehemu za nyuma, sasa nilipogonga kwa zena

    "nani"

    "mimi sheby"

    "mmmhh kaka sheby saa hizi tena una taulo tu"

    "heeeee ivi mi naulizwaga maswali mabaya kama hayo"

    Niliongea hivyo huku nikiwa nimemtolea macho makali,

    "basi nisamee kaka, karibu ndani"

    Kalianza kujisheua sheua lakini mimi sikatai wala nini maana najua hapa nilipo nimebeba balaa zito,

    "sasa zena, mi nataka leo tulale wote"

    "hapana kaka mi naogopa"

    "unaogopa nini zena"

    "mama ako akijua je"

    "labda umwambie wewe"

    Sasa kile kitendo cha yeye kunifikiria mi kitambi nishaanza kumdanganya na denda, kitoto kikajiachia kweli, na saa hio uume ulikua unauma hivyo nilikua najikaza ili wasishtuke kua nina majanga mazito yasiobebeka, maana wakijua hawatonipa kitu cha ndani, Sasa alivyojilegeza tu maskini hata chupi sikuivua niliitupia tu humo humo

    "aaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiii kaka sheby nivue chupi kwanza"

    "achana nayo bwanaaa"

    Nilikatika kwa nguvu zangu zote ili kujiokoa maisha yangu,



    Haikupita muda mrefu naona zena analia, lakini bado alikua ana nguvu, haaaaa sasa kuangalia kitandani naona damu nyingi afu kashikilia nanii yake yaani hataki,

    "we? Ivi ulikua bikra?"

    Aliitikia kwa kutikisa kichwa kuashiria alikua ni bikra,

    Masikini zena wa watu alikua akilia kama mtoto mdogo vile, nikaona wala hapanifai,



    Nilifungua mlango wa nje taaratibu na kumfata dija,

    Dija ni mfanyakazi wa nje kwenye gaden na yeye ana chumba chake huku nje,



    Nilienda kumshawishi kama kawaida yangu akakubali, nikamuingiza chumbani kwangu, Alikua kavaa kanga tu, nilianza kumkamua mtoto dija au khadija, nilikatika mpaka mi mwenyew nikawa nahisi kichwa kinauma,

    "sheby, hii spidi yote ni ya nini"

    Mimi nilikua bize tu na kukatika miuno, sasa dija yeye ni housegirl wa mwisho kuja humu ndani hivyo kuna vitu vingi tu vya mtaani anavijua,



    Kwaio dijaalinigundua kua mimi sipo kawaida, maana spidi nilionayo ilikua haifai kuigwa,

    Sasa nilikua nipo juu ya kifua cha dija nikimkamua mtoto wa kike huyu,

    "uuuuuuuuuuuwiiiiii mamaaaa"

    Dija aligundua nitamuua, hivyo alipiga kelele kumuita mama, sasa hapo ndipo aliponiamsha kichaaaa,

    Nilimkamua dija mpaka akawa hoi bin taabani, sasa mama alikua anaiskilizia hio sauti inatoka wapi

    Mara dija akapiga tena ukunga wa kelele kubwa,

    "mamaaaaaa nakufaaa"

    Haikupita muda mara mama na zai walitokea, lakini wakati huo mimi ndio kwanza sijali kama mama alikuepo, Dija yeye alianza kutupa mikono huku na kule kuashiria kua sasa hana uwezo tena wa kubishana na mimi kwa kutumia nguvu,

    Mama alipoona vile walikimbilia kunivuta katika kifua cha dija, dija alikua hajitambui, sasa baada ya kuvutwa pale nanii yangu ikawa bado inauma yaani bado ilikua inadai,

    "mama sheby atakufa huyu"

    "jamani kwani kafanya nini"

    Mama alikua haoni aibu wala nini na mimi pia nilikua sijali kama mama yupo..... Sasa mama na dada zai si wametoka kulala, niliona chupi ya dada zai kwa kutumia pajama aliolivaa, huezi amini nilimrukia dada zai bila kujali kuna mama wala nani,........ Lakini zai hakukataa tena alikubali bara bara kabisa, maana mpango wa kungonoka leo na yeye ulikuepo kabisa, hivyo kukubali kule kulikua kupo mara mbili, kuniokoa mimi pamoja na kujifariji mwenyewe maaba si alikua anaililia toka mwanzo, na hata hii doziilikua inamuusu,

    "sheby huyo ni dada yako sheby"

    Mama alikimbia nje na kurudi bila kupata msaada wowote ule, na saa hio nilikua namkatikia zai utafikiri nina kipururu cha mwaka,......



    Sasa nilipiga mzigo mpaka dada zai nae hoi, mama alikua anahangaika kunivuta tu ili nisisex na zai, lakini wapi alikua haambulii kitu, sasa dada zai baada kuchoka kila kitu alilegea lege nikajua ndio kwaheli hio, na mimi wakati huo ndio nilikua naikamulia ndani mpaka nikakata moto na kudondokea kifuani kwa zai, na zai mwenyewe hoi hoi hafai, ila mimi nilikua nimekata moto...... Kwahio kutoka hapo sikujua kilichoendelea



    Kesho yake asubuhi nilishtuka, lakini nilishangaa kuona nimezungushiwa madripu mawili ya maji, na damu, nikiangalia kushoto kwangu nikaona kuna vitanda vitatu navyo vilikua vimening'iniziwa madripu ya maji, nilipocheki mkono wa kulia nilimuona zai nae pia katundikiwa kama mimi,

    "we zai tupo wapi huku"

    "ni hospitalini hapa wewe"

    "mungu wangu, ivi ilikuaje"

    "sheby, umenibaka mbele mama anatuangalia hivi"

    "haaaaaaa acha utani zai"

    "utani wa nini, tena mama kaenda kuleta chakula, sasa ngoja aje, na ana hasira na wewe heee"

    "aaaaaaa mbona unanitisha tena"

    "nikutishe na nini sasa..... Hebu ona akina jesca wale pale nao wapo hoi"

    "haaaaaaaa mbona yule kafunikwa hadi usoni afu hana dripu la maji"

    "mi sijui muulize huyo doktahapo"

    Alitokea dokta mmoja hivi aliokua, akija kwenye kitanda changu,

    "aiseee dokta shkamoo broo, aisee broo yule mtu mmoja pale mbona mumemfunika hadi usoni"

    "kazi yako ile, fara wewe, na ukailete hio dawa pumbuvu wewe"

    "nisamee dokta, ila naomba unipe taarifa za yule mtu ambae mumemfunika hadi usoni"

    "unataka kujua eeeee"

    "ndio dokta"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/





    Mtoto wa kiume nilikua nina wasiwasi juu ya watoto wa watu, maana wote wapo hapo nao wametundikiwa madripu ya maji na damu,

    " yule mmoja tumemtoa dripu muda huu tu"

    "kwanini mumtoe"

    "hali yake sio nzuri, na anahitajika kuhamishwa room na kupelekwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi"

    "aiseee dokta muwahishe basi jamani"

    "usijali, ila nakihitaji hicho kichupa cha hio dawa uliotumia, tena kama mpigie mama yako simu akilete hapa ili tukipime vizuri"

    "sawa"

    "usisubutu kutumia tena vitu kama hivi"

    "sawa dokta"

    Sasa ile kujigeuza kidogo, duuuu aisee kumbe na mimi uume wangu ulikua umechubuka vibaya mno, yaani ulikua hautaki bugza wala kusumbuliwa na nguo, nilianza kukaa ovyo ovyo ili usijiguse kwenye nguo maana vinauma ile mbaya, yaani utafikiri ni mtu mwenye kisonono vile,

    "dokta, nitavaa nini sasa kwa hali hii"

    "inabidi umuagizie mama yako msuli"

    "haaaaaaa yaani msuli ndio nitauvaa siku zote"

    "sasa unashangaa nini, si ujinga wako huo"

    Mara zai akanishtua

    "sheby mama uyo"

    "yuko wapi"

    Nilijilaza fasta na kujigubika shuka kwa kujifanya nimelala, mama alikuja na kumuuliza dokta

    "vp hakuna aliemka hata mmoja"

    "aaaa nadhani huyu wa kiume kaamka huyu na yule pale"

    Lidokta nalo halikua na siri hata kidogo

    "sheby, sheby, we sheby?"

    "naam"

    "unajiskiaje baba"

    Mara dokta akamwambia mama kua

    "aaaa mama, sasa huu ni muda wa kuwahamisha hawa wagonjwa wa kike na kuwapeleka katika wodi za kike, maana hapa tuliwahifadhi tu"

    "sawa dokta we fanya kazi yako"

    "ila huyu mtoto wa kiume huyu, umtaftie msuli, haruusiwi kuvaa suruali kwa muda huu, maana kachubuka nanii yake hio"

    "heeeeeee jamani kutakua na uwezekano wa kurudia hali yake"

    "ndio"

    "jamani uwezo je atakua nao"

    "uwezo hata sasa anao, ila kuvaa kwake msuli ni ili asiumie"

    "aaaaaa sawa nitaenda kumnunulia"

    Basi dokta akaendelea zake na shughuli za kuwahamisha akina jesca katika wodi za kike maana hapo ilikua ni wodi ya kiume,

    "we pumbavu wewe, ulikunywa nini we mtoto, hebu ona umewaumiza watoto wa watu"

    "mamii naomba unisamee mamii"

    Mama alinifokea lakini iliisha hio



    BAADA YA SIKU TATU KUPITA



    sasa leo ndio tulikua tunatoka wote hospitalini, tukielekea majumbani kwetu, nilikua bado nimevaa msuli na bado natumia dozi ya kukausha vidonda vya huko chini, lakini wenzangu tayari wamedhapona ila nao wanatumia dozi, tulifika nyumbani salama ila mama aliniita sebuleni peke yangu,

    "sheby mwanangu, hivi ni aibu gani na laana ulioipa katika hii nyumba, eee? Yaani umetembea na ndugu yako sheby"

    Mama alinza kunifokea huku akilia kwa kitendo cha kutembea na zai, japo dokta alimuambia kua bila kuingilia kati dada zai badi mimi ningekufa,

    "nisameee mamy"

    "hakuna cha msamaha, kile kichupa nilimpelekea dokta na kuniambia kua umekunywa kulio kipimo kilichotakiwa, lakini kwanini utumie hio dawa na wskati una nguvu zako mwanangu"

    "nisamee mama"

    Nilipiga magoti kabisa huku nikimuomba msamaha mama angu,

    "hebu niambie nani alikushauri kutumia hio dawa"

    "wala tu nilijidhauri mwenyewe"

    "hapana lazima kuna mtu kakushauri utumie dawa hio, yaani natamani nisiluone katika macho yangu mshenzi mkubwa wewe"

    "mamy licha ya hivyo, lakini mi nishakua mtu mzima, nahitaji kuishi mbali na hapa, hivyo napenda kua na geto langu nje ya nyumba hii"

    "aaaaaa eee ili ufe vizuri huko si ndio ee, sasa subiri"

    Mama aliingia chumbani kwake na kutoka akiwa kashika begi kama la shule,

    "haya shika nenda kaishi unakotaka sitaki kukuona tena nyumbani kwangu"

    "heeee mamii mbona unanifukuza tena"

    Mama alianza kulia huku akiniambie niende nikatafute nyumba niishi mwenyewe,

    Nami swaga kama hizo ndio nilikua napenda na lile begi alilonirushia lilikua ndio lile gawio langu ambalo nilikua nikilililia kila siku nilipewe, yaani urithi wa watoto kabla wazazi hawajafa, maana hata dada nusura pia keshapewa gawio lake, na kujenga nyumba pamoja na kufungua saluni yake,



    Niliingia kwenye gari yangu, kisha nikatoka na kuelekea kwa anti mwaju, nilipofika nilimkabidhi anti azishikilie na kuzificha,

    "wewe umetoa wapi hizi pesa"

    "si lile gawio la watoto kabla ya wazazi kufa"

    "aaaaaa ndio umepewa sio"

    "ndio"

    "sasa unaenda wapi"

    "subiri kidigo anti"

    Niliwasha gari na kuelekea maeneo ya msikitini na kumcheki imamu, Nilifikia nje kisha nikampigia simu,........ Punde si punde imamu kafika

    "Asalam aleykh mzee"

    "waaleykh msalam, vp kijana mbona siku hizi sikuoni au ulisagiri nini"

    "daahh mzee wangu kama ulijua vile nilipataga safari nilienda tanga daa majukumu yamenianza mzee wangu"

    "Alahu Akhbaru mungu akuongoze, ila ibada unafanya"

    "ndii ibada nafanya kabisa"

    "sasa kwanini usiingie msikitini sasa hivi, hebu twende tukapate lakaa mbili za suna"

    "mzee mzee hapa nilipo naumwa mzee hivyo nikiinama inama nitapata maumivu makali sana"

    "ooohh pole sana kwani umepatwa na nini kijana"

    "aaa mzee ni majanga tu madogo madogo"

    "aaaaa pole sana kijana wangu, mwezi uliopita nilikua nataka nikupe USHEKHE uwe mseidizi wa shekhe, sasa sikuoni mpaka nafasi yako imefunikwa na wengine bwana sasa umefanya nini, na mimi nilitaka uje unirithi mimi imamu wa msikiti huu"

    "usijali mzee mimi mbona nitakurithi tu mzee"

    Nilimdanganya huyu mzee kwa kila neno lakini yote na yote nilimchukua na kuenda mahali tukiwa tunapa chakula, wakati huo bado ninavaa mduli tu, jinsi vitambaa sijui balotel sjui nini havikupata nafasi hio katika mwili wangu,



    "sasa mzee, nimekuita hapa kuna jambo nataka unifanyie"

    "jambo gani tena kijana wangu"

    "mzee, nahitaji nyumba, na wewe ndio unaweza kuzitafuta vizuri"

    "mmmhhh kweli kijana wangu unaakili kama mchwa, maana wewe peda zako ni kuzifanyia maendeleo tu"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "aaaaa mzee si unajua tena pesa hazikai"

    "ni kweli kabisa"

    "sasa mzee, nataka nyumba kuubwa yaani kama ulaya vile swimpuli kwa ndani iwe na paking kubwa afu iwe ya kisasa.... Kifupi ni kwamba iwe kama ile yakwetu ambayo ndio ninapoishi kwa sasa"

    "ipi hio maana mnazo mbili nyie sasa sijui unasemea ile niliokutafutia au ile yakwenu ulipozaliwa"

    "hewalaaaaaa ile yakwetu nilipozaliwa"

    "sawa nitajitahidi kadri ya uwezo wangu nikutafutie nyumba, safi uipendayo"

    "sawa mzee nitafurahi sana kuiona ikiwa na uzuri wa aina yake"

    "usijali kijana wangu, nataka kuanzia sasa nianze na hio kazi yako"

    "ok wacha nikuachie nauli ya tax ili usipate shida"

    Nilimpatia mzee kama laki tatu hivi kwa ajili ya nauli ya hapa na pale,

    " afu mzee, ile nyumba unayoishi ni yako au ni ya msikiti"

    "nimepewa na msikiti, ila ni yakwangu na hata nikistaafu uimamu bado itakua ni yakwangu tu"

    "ok basi hebu tafuta nyumba mbili na yakwako, ila zisiwe jirani, yaani utafute mtaa mwingine tofauti na mtaa huo ambao nyumba yangu itakuepo"

    "aaaaaaa asante sana kijana, nashukuru sana na mungu akuongoze katika mambo yako"

    "nashukuru mzee wangu"



    BAADA YA SIKU MBILI KUPITA



    Mzee alimipigia simu na kusema kua keshapata nyumba hizo, nami nikachukua pesa na kwenda kuzilipia, tena nyumba yangu ilikua ni nyumba ya kisasa na ilio tofauti na ile yakwetu, Basi niliilipia shilingi milioni mia nne kamili, yaani ulikua ni bonge la mjengo afu mpyaaaa, nilipotoka hapo nikaenda kumlipia mzee milioni 80 katika ile nyumba ambayo nimemzawadia kama mzee wangu,... Kisha nilimpa milioni mbili kama asante ya kuniseidia, kwahio mzee katumia milioni mia, nilienda nyumbani kusomba nguo zangu, muda wa mchana mama alikua hayupo, nikasomba nguo zangu zote na kuziingiza kwenye mjengo wangu mpyaaaaaaa



    Nilimleta anti mwaju akaja kuuona pamoja na jasu, wote waliona nyumba yangu mpya ambayo nitaishi na jasu kwa baadae nitakapo maliza shule



    BAADA YA WIKI MOJA KUPITA



    Mtoto wa kiume nilikua nimeshapona nipo fiti kama zamani, yaani nanii yangu ilipona hadi raha,

    Basi kesho yake kama kawa nikaamkia shule, maana nina wiki mbili sijaingia shule, na saa hio nilienda na dozi pamoja na lisiti ya hospitali ili wasinione muongo,



    Nilipofika nilipita moja kwa moja hadi kwa head master, kisha nikamuonyesha kadi la hospitalini kua nilikua naumwa, head master alinielewa, ila madam joy hakupenda jambo lile, yaani alitaka kunipa adhabu mwanzo mwisho,........

    Tulipokua nje mimi zamda nilimbembeleza leo akaone nyumbani kwangu,

    "sheby we una nyumba?"

    "ndio"

    "muongooo"

    "kweli vile jioni twende ukaione"

    "sawa nitaenda kuiona nyumba ya mpenzi wangu"

    "poa"

    Kama kawa tulipiga kitabu mwanzo mwisho huku nikimuwaza zamda tu, maana nina nia ya kwenda kumparura,



    Ilipofika jioni kweli zam zam hakusita kuingia kwenye gari yangu, kishatukaondoka na kuelekea nyumbani kwangu, geti lenyewe nabinya rimoti tu, yaani sina mlinzi wala afande

    "shebiiiiiiiii kumbe hapa ndii kwako, jamani nyumba nzuri haaaa mpaka swimpuli lipo duu, sheby we utakua muongo wewe"

    Nilimuingiza mpaka chumbani kwangu ambako kumekaa kitajiri utafikiri ni chumba makhresa,

    "hiki chumba tutaishi mimi na wewe"

    "sheby kweli, jamani sheby usinidanganye"

    Sasa tukiwa tumekumbatiana, nilianza kumshika shika shika, na yeye akanogewa kunishika mwili wangu, mara tukaanza kudendeka, nilivyoona utamu unazidi, nilianza kufungua zipu ya sketi yake ya shule, kisha nikaingiza kidole kwenye sketi ili niishushe chini

    "sheby unataka nini"

    "aaaaaaa zamdaa kwani hujui jamani"

    "mh mh, mimi nimekuja kuona nyumba yako tu"

    Nikamkubalia, nikaipandisha sketi kuashiria sawa, sasa nikaanza kumshika shika kila kona nimemlamba kila kona, minya minya kila mahari, shika matiti yake mpaka mtoto akawa anapiga tu kelele za Mapenzi, sasa nikajaribu kuishusha sketi yake, nikaona katulia tuliiiii, nikamkuta ana suruali nayo nikaidhusha katulia tuliii, nikaiona chupi, uuuuuuwiiiiiiiiiii ule ugonjwa wangu, sasa zamda mwenyewe alianza kunifungua zipu mwenyewe, Nilimsukumia kitandani kisha nikapambua nguo zangu zoooote mpaka boxer

    "uuuuuuwiiiiiiiiiii sheby, hio yote ni yako? Mungu wangu sheby utanianza na vidole kwanza, maana mi sijawahi kufanywa toka nzaliwe"

    Aaaaaaaa nilichukia kusikia kua mtoto ana bikra, maana demu akiwa na bikra najihisi siinjoi kwa vile nitakavyo, nikicheki chupi yake tayari, yaani ni kupaka sabuni tu na kuifua



    Mtoto wa kiume nilikua na ukwaru wa kutosha maana nina wiki kama mbili hivi sijagusa mzigo, kutokana na kule kuumia kwa kufanya mapenzi na wasichana wote walipo nyumbani kwetu, pamoja na dada zai, kwahio toka siku ile sijagusa mzigo kabisa, sasa baada ya kumtupia zam kitandani nami nilipambua nguo zangu zote, zam kuona dudu yangu ni kubwa alianza kuogopa, ila kitu nilichokichukia ni kumkuta na bikra, yaani ameniuzi sana, maana nikila demu mwenye bikra hua naishia njiani yaani simulizi utamu wangu niliotaka kuumaliza, kwasababu ukishamtusua tu, hua hataki tena kuguswa, hivyo itanifanya nitoke na hamu ikiwa bado imejazana kiunoni kwangu,



    Basi mtoto wa kiume nilianza kufanya mautundu yangu ninayo yajua, maana huyu mtoto sitaki kumtafuna, kwa hara haraka, maana anaonekana ni mtamu kupita kiasi, mtoto alikua analia vilio vyote, ila nia yangu ni kumkuna mpaka akome ila siwezi kumuomba nyuma maana mmhh namuogopa coz ns yeye ni swala tano sasa nikimuomba huko duuu itakua balaa hapa,

    Zam alianza kujinyonga nyonga huku akifumba macho kuashiria kua anapata raha isio ya kifani, maana alikua hana hata raha mtoto wa watu,

    Nilikua nina ukwaru, nilimvua chupi fasta fasta kisha nikaanza kumparamia mtoto wa watu, na ana mipaja hio duuu, yaani hata akisema akubanie mapaja kisha uyakatikie, huezi jua kama ni mapaja, maana ntoto ana paja zuri afu lainiiiiii, sasa kila nikiingiza mtoto anaruka yaani alikua hatuliii, nilijitahidi kumkusanya mara kadhaa lakini zam wapi hataki, eti vinauma, na ilikua nakula mbele tu ila anasema vinauma kwasababu si ana bikra, sasa mtoto wa kiume baada kumueka vizuri mkao ule wenyewe ule. Niliipitisha mpaka zam alijipinda kiuno na kuanza kulia, sasa yeye akilia mimi nilikua nakatika vibaya mno, maana nina ukame mkubwa wa hali ya juu, kweli mtoto zam alikua ni mtamu kupitiliza tena utamu wake umeongezwa na kilio chake kizuuri cha mahaba,



    JAMANI NYIE WADADA MUE MNASONONEKA KIDOGO PALE KITANDANI ILI NASI TUSISIMUKE

    SIO UNAKUTA JITU LIMENUNA UTAFIKIRI UNA UGOMVI NALO



    Baada ya muda mfupi nilifanikiwa kumtusua bikea yake, zam alikua analia vibaya mno, sasa mi mwenyewe hata huduma ya kwanza siijui maskini ya mungu..... Nilimuingiza bafuni kisha nikamsafisha vizuri afu nikampeleka hospitali, zam alikua akilia njia nzima huku akiwa kashikilia nanii yake........

    Tulifika hospitali na kupewa matibabu ikiwa ni mida ya saa moja usiku, nilimpeleka hadi kwao ambapo ndipo anapoishi....... Baada ya kumfikisha nilirudi nyumbani kwangu kisha nikaingia jikoni na kuanza kupika tambi chap chap,... Mara simu yangu iliita, na si mwingine alikua ni mama

    "haloo shkamoo mamy"

    "marahaba mwanangu ujambo"

    "sijambo tu"

    "sasa mwanangu, mbona hata kuja kusalimia huji, mi ningekuomba urudi nyumbani baba"

    Mama alikua keshaanza kunimic uwepo wangu pale nyumbani,

    "mamy mi siwezi kurudi nyumbani tena"

    "sheby mwanangu usiseme hivyo, zile zilikua ni hasira tu mwanangu, plz naomba urudi nyumbani"

    "mamy, nitakuja kuwasalimia tu"

    "sheby, naomba urudi nyumbani baba ako amerudi"

    "haaaaaa dady karudi?"

    "ndio na anakuulizia"

    "basi nakuja muda huu"

    Nilizima jiko kisha nikafunga mjengo wangu na kuelekea nyumbanu huku nikiwa na shauku ya kumuona baba, maana toka asafiri sasa yapata mwaka mzima, japo nilikua nawasiliana nae kwa simu,



    Nilifika nyumbani kweli nilimkuta dady wangu,

    "waaaoo shikamoo. Dady?"

    "marahaba ujambo?"

    "sijambo dady, za safari huko vp?"

    "aaa safari sio mbaya na tunashukuru mungu nimerudi salama"

    "dady nilikumic sana dady angu"

    "hunishindi mimi, hebu ona ulivyokua, umekua mkubwa haaa"

    "ahahahahaha wala tu dady mbona kawaida tu"

    "nimekuletea zawadi yako"

    "haaaaaa dady zawadi gani"

    Alitoa ufunguo wa gari mpyaa aina ya PARIO VX VIPAR....

    "haaa Daddy hii gari ni mpya"

    "mwanangu, hii gari hata africa bado haijafika yaani sio tanzania bali ni africa nzima hii gari Bado haijafika na ina dhamani ya shilingi milion mia tano"

    "waaooooo liko wapi"

    "lipo uwani huko"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "daahhh dady asante sana dady"

    Nilimkumbatia baba angu kwa kuniletea gari mpya na yenye gharama kubwa japo gari nilionayo kabla ya hii, ina thamani kubwa kuliko hii nilioletewa, maana niliona ni aina ya LAMBORGINIE yenye thamani ya shilingi milioni mia nane kamili, ila tanzania zimejaa za kutosha hizo,



    KESHO YAKE ASUBUHI IKIWA NI SIKU YA JUMA MOSI



    nililalia pale pale home kisha nikaamka asubuhi subuhi na kuanza kuipiga raundi bonge ya gari, yaani ilikua ni gari ya kisasa zaidi

    Ilipofika muda ya mchana dady alinichukua na kutoka nae kidogo, ikiwa tunatumia gari ile ile mpya,

    "sheby, naskia una kwako sasa hivi"

    "ndio mzee, nimeona kubanana pale sii vizuri mzee"

    "ndio maana najivunia kupata dume lenye akili kama wewe"

    "ahahahahaha sawa"

    "afu mbona sijamkuta anti wako, maana kuna siku alinipigia simu na kusema kua ameshafukuzwa na mama ako"

    "ndio, mama alimfukuza anti mwaju, na aliondoka zake"

    "ati nini, yaani umemuachia kabisa yani anaondoka"

    "kwani ana nini dady, yule ni housegirl kama mahousegirl wengine tu"

    "pumbavu wewe, yule ndio mama yako fara wewe, hebu twende tanga sasa hivi"

    "unasemaje dady"

    "yule ndio mama yaki mzazi na ukome kumuita housegirl pumbavu mkubwa wewe"

    "aaaa hahahahahaha nilijua tu utachukia ilooo anti yupo hapa hapa arusha"

    "wacha utani yupo wapi"

    "kuna mahari yupo"

    "ndio maana nakupenda sana dume langu maana una akili kama mimi"

    "lakini kwanini usingeniambia toka mwanzo kua anti ni mama angu mzazi"

    "ni kweli mwanangu, ila kuna sababu zilifanya mpaka tufanye hivyo, mimi na yule mama yako tulijuana tu kwenye biashara, na yeye ndio mwenye sauti kubwa katika biashara hizo, mimi nina kampuni mbili tu ambazo ni salama na nilikua nazo kabla sijamuoa mama yako, na pia ningependa ukae pembeni na hizi mali za mama yako"

    "ati nini, yaani niziache tena"

    "sheby, mwanangu ni bora upate shilingi mia tano kwa siku lakini ni ya kuitolea jashi, kuliko kupata laki tano kwa siku pasipo kuitolea jasho"

    "mmmhhh unamaanisha nini dady"

    "utanielewa tu ila twende kwa anti mwaju nikamuone"

    Mmmhhh niliwasha gari na kuelekea kwa anti mwaju,



    Tulifika kwa anti mwaju na alitufungulia mwenyewe, huku akiwa ana furaha ya kumuona mtu wake,

    "jamani shemeji karibu"

    Anti mwaju ndio alimkaribisha baba kwa kumuita shemeji, lakini baba alikatas kuitwa shemeji

    "hapana mimi sio shemeji yako, mimi ni mumeo hukumbuki tulifunga ndoa ya mkeka"

    "basi nisamee mume wangu"

    Mmmhhh wakakumbatiana kitu na mumewe kumbe walifungaga ndoa ya diri kwakua waligundua watakuja kua pamoja tu, basi nami sikuwakodolea macho maana wao wamekutana, nami nikaanza kumtafuta wangu huko ndani

    "we jasu"

    "abeeee"

    "njoooo huku, siku zote ni mwali tu"

    Nilimuingilia kule chumbani kwake na kumrukia na denda la nguvu

    "jamani mume wangu hata salamu huna"

    "salamu ya nini na wakati nina hamu na wewe"

    "haaaa weweee kwaio unataka nikupe sasa hivi"

    "ndio"

    "aaaaaaa mpaka anti aondoke bwana"

    "aaaa anti yupo nje na mumewe huko"

    "haaaa afu mi simjuigi baba mkwe wangu naomba nikamuone"

    "vaa vizuri basi twende"

    Tulitoka mimi na jasu kutoka chumbani huku tukiwa tumekumbatiana vizuri tu... Tuliwakuta anti mwaju na baba wapo sebuleni wanahadithiana maisha ya nyuma,

    "Daddy?"

    "ndio mzee wangu sema"

    "huyu hapa ni mke wangu"

    Baba alionekana kukasirika kwa kusikia hivyo, nami nilishangaa sana kwa kusikia hivyo, maana nilitegemea atafurahia... Aliamka huku akinifata kwa hasira mpaka mtoto wa watu akaanza kuogopa,

    "baba sheby waache watoto"

    "hapana mtoto wangu bado ni mdogo, haiwezekani umuozeshe mwanangu akiwa na umri mdogo kiasi hiki, inamaana wewe kama mama umekubali kumpa mwanao matatizo"

    "lakini si anajimudu jamani, na pia wamependana"

    "hata kama awe bilionea lakini huwezi mpa mtoto wetu mzigo wa kuoa, na huyu binti nampa nauli arudi kwao"

    Maskini mpaka mtoto wa watu ilibaki kidogo tu adondoke kwa presha,

    "we binti hebu njoo hapa haraka sana, unakubali tu kuolewa bila kujua familia ulioolewa imejipanga vp, je ukifa? Hebu njooo"

    Jasu alienda huku akitetemeka mwili mzima, na saa hio kajifunikiza mikanga mingi mpaka kero

    "sh... Sh... Shik... Shi... Shikamoo baba"

    Heeeeeee Baba alitoa macho hayo kwa kusikia hio salamu iliotoka kwa jasu





    Nilishangaa sana kumuona mzee wangu akimchukia mke wangu, tena mke wa ndoa kabisaa, yaani sikuamini macho yangu dhidi ya jambo hilo, maana nilitegemea atafurahia kumbe ndio kwanza anachukia.....

    "sh... Sh... Shik... Shi... Shikamoo baba"

    Heeeeeee Baba alitoa macho hayo kwa kusikia hio salamu iliotoka kwa jasu.....



    Lakini ghafla mzee akacheka huku akiitikia kwa heshma, na maneno mazuri

    "marahaba mama hujambo?"

    "sijambo"

    "sheby baba, umefanya la maana yaani katika vitu vizuri ulivyo fanya, aisee hiki ni kitu cha maana... Kweli nimezaa dume lenye akili kama mimi"

    "tunashukuru sana baba, yaani hapo tunahitaji tu baraka zako tu mzee wangu"

    " yaani kwa mimi baba enu moyo wangu mweupeeeeee sina kinyongo na nyinyi, yaani muishi kwa upendo na amani katika maisha yenu,... Na pia nadhan mke ulienae kweli mungu kakupa mwanangu, nakuomba baba mwanamke hapigwi na fimbo sawa baba ee"

    "hahahahahaha sawa dady tunashkuru kwa baraka zako"

    "jamani afu sikuwapa hata zawadi,... Sasa nasema hivi nitawanunulia bonge ya nyumbaaa"

    "ah mzee mbona mjengo tayari tunao ila bado hatujahamia tu"

    "basi kwakua jana nilikuletea gari basi kesho lazima nikamnunulie gari na yeye, au sio mama"

    "asante baba"

    "mwanangu una akili wewe.... Kweli nimezaa dume lenye akili kama mimi"

    "we usijali dady, kila kitu kipo sawa, kilichobaki ni kuhama tu"

    "mwanangu sheby,.... Kwanza kuanzia sasa hivi usiitwe hilo jina, wewe unaitwa sadiki babaaaa"

    "aaaahh unajua bado tunaliacha kwasababu ya mama kule asije akajua"

    "asijue kwa mpango gani"

    "mali"

    "Enheee kwanza umenikumbusha hebu kaeni chini"

    Tukakaa chini mimi na jasu na wazee wetu ili dady yangu aniambie hilo jambo nililomkumbusha sasa hivi

    "mwanangu sadiki? Zile mali za mama yako kuanzia sasa hivi kaa nazo pembeni"

    Nilishangaa sana kusikia kua nikae mbali na mali za mama,

    "dady kwanini useme hivyo, eti anti ivi ni kweli niache zile mali kweli"

    "sadiki, mwanangu msikilize baba ako kwanza anamaanisha nini"

    "ok sawa ongea dady"

    "mwanangu, jembe langu, mimi ni baba yako, nikikuambia wacha hapo basi ujue nina maana yangu kusema hivyo,.... Mimi nikipita kwenye maji, basi wewe unaenifata nyuma nataka upite kwenye daraja, sadiki mwanangu, kamwe siwezi kukufunga kitambaa cha macho na kukuongoza kwenye shimo.... Sintokuambia ni kwanini ila kizuri zaidi hata ukihama we hama kabisa na usiweke upendo na yule mama"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mara anti mwaju akadakia juu kwa juu

    "baba sadiki, usimfanye mtoto amchukie mama yake, we mpe sababu tu ila usimkataze maana na yule pia ni mama yake"

    "sawa, simnyimi kumsalimia ila namnyima kua beneti na yule mama, na ukikaidi kauli yangu basi ujue kabisa next is you"

    "heeeee next is me? Kwanini"

    "hutakiwi kujua leo"

    mtoto wa kiume nilitulia huku nikitafakari hayo maneno ya baba aliokua akuongea

    "sadiki mwanangu, mimi na yule mama ako tulikutana tukiwa tuna mali tofauti, mimi nilikua na kampuni mbili na yeye alikua ameachiwa urithi na baba yake mzazi, ambao ni kampuni nne, kwaio tulivyopendana, ilikua kila mtu kivyake, lakini tukaja tukaungana lakini mali zangu sikuwahi kuzichanganya na pesa zake.... Niliendelea kufungua kampuni nyingi, na yeye nae nyingi, na kwa sasa nina kampuni tisa nje na ndani, na mama yako kwa sasa ana kampuni kumi na mbili za nje na ndani ya nchi, kwahio katika hizo kampuni zangu mimi hizo tisa, kampuni sana zimesimama kwa damu za watu, ila hizo mbili hazihusiani na chochote kile ni jasho langu"

    "mmmhhh mzee maneno mbona ni mapya maskioni mwangu, hebu ngoja tutakaa vizuri ili nijue undani zaidi"

    Niliamka pale mimi na jasu kisha nikampeleka mke wangu ndani afu mimi huyooi nikaenda zangu kwangu, maana Daddy ndio kafika hapo,



    Kesho yake kama kawaida yangu ya kusepa shuleni, na niliingia shuleni freshi, tena madam shufaa ndio alikuja kutupa hilo zoezi, baada ya muda nikakusanya madaftari kama monita wa darasa hili.... Nilipofika nikamtengea kwenye meza yake

    "sheby, ivi una hasira na mimi tuu?"

    "madam shufaa mimi sitaki maneno na wewe sawa"

    "kama unanichukia kwakua nimekuona uchi wako, basi nami navua ili tuwe sawa"

    "sina shida na uchi wako"

    "sheby, hebu njoo basi na wewe, ona basi navua na mimi ili uniote tuwe sawa kila mtu kamuona mwenzie"

    "sitaki"

    Nilitoka na kuelekea darasani huku nikiwa nayafikiria sana yale maneno ya mzee. Wangu, yalikua yakiniumiza kichwa sana ila sikua na budi ya kuyawaza sana.... Sasa nikiwa nipo na mawazo yangu mara kuna karatasi ilirushwa kutoka nyuma ikatua kwenye kimeza changu, kiliandikwa

    "vp leo tutaenda kwangu"

    Alikua ni shania ndio alinitumia huo ujumbe wa karatadi, ila mimi sikumjibu kwa karatasi bali nilitoa simu na kumtumia text, kua

    "siendi kwako labda wewe ndio uje kwangu"

    "ok poa, but tutatoka wote kwenda kwako"

    "poa"



    Baada ya masaa sita kupita madam shufaa alileta daftari na kuziacha kwenye meza ya mbele, basi mimi kama monita niliamka na kwenda kuyaita majina ili kila mmoja achukue daftari yake,..... Niliwaitisha majina wanafunzi wote waliopo kwenye darasa langu, kisha nikabakiwa na daftari yangu, nilipofika kwenye meza yangu, nilifungua daftari yangu ili niangalie kama nimesahishiwa au nimekosa, nilikuta nimeekewa hadi vema........

    Ila nilipoangalia vizuri, nilikuta kikaratasi kimefungwa vizuri mno, nikajua huu utakua ni ujumbe from shufaa, nilipoufungua ujumbe huo nilikuta kumeandikwa hivi



    "sheby, mbona unatulingia hivyo, eee kumbe ndio maana madam joy anateseka kiasi hiki, ila wacha nijielezee binafsi yangu, sheby kiukweli tateseka sana mwalimu wako, naumia juu yako, plz naomba uje ofisini kwangu, nipo tayari univue chupi.... I love you my baby biy mmwwaahh"



    Niliipuuzia kisha nikaichana chana na kuitupa huko, kisha nikaendelea kujisomea zangu vitabu, haikupita muda madam shufaa alikuja darasani na kuniita mimi, nami sikukataa nilitoka nje kwa kumfata nyuma nyuma hadi ofisini kwake, nilipofika alinikaribisha nikae kwenye kile kiti chake, lakini mimi nilikataa katu katu,

    "sheby, mbona umenipuuzia ujumbe wangu"

    Sikumjibu kitu, ila gjafla akaanza kupandisha sketi yake, maana madam shufaa ana umbo zuri utafikiri agness masogange vile vile, mpaka mi mwenyewe namtamani ila namzingua tu kwa kumchunia,

    "sheby, nakupenda baba, yasni nafdi yangu imekuangukia mtoto mdogo kama wewe, yaani siamini kama ipo siku nitakuja kumpenda mwanafunzi wangu mwenyewe, sheby, plz nataka uupoze moyo wangu"

    Clakini madam shufaa, kila swali hua lina majibu, na majibu hayo hutegemei kuja kwa muda uutakao wewe, sawa umeniomba kitu kama hicho, lakini nami nahitaji kukufikiria, eee, kwanza wewe ni dada yangu mara mbili wewe kwanini unipende kinda kama mimi"

    "wewe sio kinda kwa wale tunaokujua, ila wewe ni mfalme wa moyo wangu na siwezi kukuita kinda, sheby, wewe ni hensam afu una nanii ndefu hadi raha yani"

    "basi haina haja ya mambo mengi wacha nikakufikirie sawa"

    "sawa, ila nakutegemea usiniangushe"

    Sikumjibu mimi huyooo nikaingia zangu class na kuendelea kusoma....



    Ilipofika saa kumi kama kawa niliondoka na shania kwenda nae hadi nyumbani kwangu, na shida yake anataka nikamtusue mzigo, yaani leo mtoto Edward ngonyai lazima nimtusue leo, sasa kwa shauku niliokua nayo ya huyu mtoto... Maana lina mipaja, hivyo bila kula vizuri nitamshindwa kitandani,.... Tulipitia kwenye hoteli moja hivi tukapiga nyama vizuri kisha, tukapanda kwenye gari na kuendelea na safari ya kuja nyumbani kwangu, ikiwa ni mida ya saa 11 jioni, tulifika nyumbani kwangu, ambapo geti langu nafungua kwa rimoti kontroo, mpaka shania alishangaa kuona geti la nyumbani kwangu linafunguka kwa rimoti,



    "sheby, naomba unionyeshe bafu lilipo nikaoge ili uninyonye kila mahari, yaani staki uchague pakuninyonya"

    "bafu si hilo hapo nyuma yako"

    Mtoto alipoona bafu nyuma yake, alivua nguo za shule hapo hapo nilipo kisha akawa anaenda bafuni na chupi tu, aisee nami nikavua zangu na kuelekea. Huko huko bafuni,

    "usivue kwanza"

    "heeee sheby unataka tuoge wote.......... Haaaaa shebiiiiiiiii hio mbo********* yote ni yako au?"

    "kwani vp unaiogopa"

    "wala tu tena ndio tamu hio, maana utanigusa pale penyewe"

    Basi tulianza kuoga huku mtoto wa kike akiwa anachezea nanii yangu, yaani kawa na kichaa utafikiri mtoto aliepewa mdoli mpya sasa anauchezea mpaka basi,...... Sasa ule mgusano wa kugusana afu mtoto chupi yake ilikua imeloa, sasa jinsi ilivyomganda ndio ilikua balaaa, nilianza kumshika shika matako yake makubwaaa huku nikiyaminya minya kwa utamu wa ulaini wake, maana mtoto alikua ni laini kama ubuyu vile,

    Aisee nilimtamani pale pale bafuni,

    "shania mi nataka hapa hapa bwana"

    "we sheby vumilia twende kitandani tukainjoi"

    "mh mh staki"

    "sawa, coz spendi kukuuzi mpenzi wangu, na nimekuja kwa ajili yako, hivyo nivue chupi ule tunda lako"

    Niliivua ile chupi yake kisha, kisha nikamshikisha jacuzz, la kuogea lile, mtoto alivyoinama mikalio yake iliachana vizuri maana alikaa staili ya mbuzi kagoma, niliipenyeza sehemu nilikua naipendaga na kumfanya shania aruke kwa kuogopa

    "nini shania?"

    "inamaana huoni au ulikusudia?"

    "shaniii nipe kidogo tu plz nakuomba"

    "heeee shebiiiiiiiii kumbe umefanya kusudi kuniingizia huko"

    "shaniii plz naomba kichwa tu"

    "staki, hilo lidude lote hilo si utaniumiza jamani"

    "haviumi bwana"

    "sheby mpenzi, mimi nakupenda sana mpenzi wangu, na nipo tayari kwa lolote, ila hilo dudu lako ni kubwa sana afu mwenzio sijawahi kunanii huko"

    "kwaio hutaki eee, sawa haina noma"

    "baaaaasi chukua"

    "kweli?"

    "eeeee lione vile ulivyofurahi, ivi unakupendea nini huko we sheby"

    "ni kutamu huko we acha tu"

    "ivi we ni muislam au mkristu"

    "muislamu mimi"

    "mmhhh hebu muogope mungu.... Na ninakupa leo tu ila usirudie tena sawa"

    "sawa mamy wangu nipeee"

    Mtoto aliniruusu kumpakua hukoooo kunako mmmhhhhh

    "shebiiiiiiiii"

    "nini tena?"

    "unaingiza kavu kavu"

    "ndio kwani vp"

    "bwana ipake sabuni kwanza iteleze, ili nisiumie mwenzio, eee? "

    "sawaaaaaaaaa"



    Mtoto wa kiume nilikua na papara ya kumbinua shania, Niliichukua sabuni aina ya Family Soap kisha nikaipakalia kwenye nanii yangu kisha nikaitupa huko, na kumfata mtoto, na saa hio shania kainama mithili ya mbuzi huku akiwa kashika jacuzz la kuogea, Nilianza kuipenyeza nanii yangu huku mtoto akienda ili aikwepe maana ilikua ikimpa maumivu makali, Lakini mtoto wa kiume ndio ilikua raha yangu juu ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile yake, yaani nilijikuta naupenda huu mchezo bila ya kutegemea, maana toka mwanzo nilikuaga tu naskia ooohhh nanii tamu lakini mimi sikua naifatilia maana siujui utamu wake, Lakini siku hio ya kwanza kupewa hii kitu na dada yangu mpendwa nusura, ndio siku alionifungulia njia ya kuipenda sehemu hio

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "sheby subiri kwanza, vinaumaaaa"

    "aaaaaaa shanii naomba uvumilie mpenzi wangu"

    "mmmhh sheby bwana mi naskia maumivu"

    "usijali, au nianze na kidole?"

    "eeee fanya ivo basi"

    Kwanza kabla sijambinua ili nianze na vidole nilimpiga kwanza madenda ya hali ya juu hu, mpaka mtoto akanigeuzia mwenyewe kunako 0714 ili niingize kidole,

    Nilianza zoezi hilo taaratibu kabisa, huku mtoto shania akifumba fumba macho, kuashiria hata hapo pia anaumia, na muda huo ukumbuke tupo bafuni na kila mtu keshapaka povu kana kwamba miili yetu inateleza mithili ya kambale vile, saa hio dudu yangu ilikua imetoka mishipa kwa hasira ya kutaka kitu chaje,

    "aaaaaaaaaaaiiiiiiiii shebiiiiiiiii"

    "nini shania"

    "vinauma"

    "haaaaaaaaaa Hata kidole pia kinauma"

    "sheby mpenzi, mi nishakwambia sijawahi"

    "sawa naomba nijaribu kamwisho tu"

    Mtoto wa watu akainama tena, nami nikajipakaa misabuni kibao kwenye nanii yangu, kisha nikaanza kumtekenya naya pale pale kwenye 0714, akawa anajiskia rahaa, Na saa hio nanii yangu ilikua ni kigongo cha maana yaani haikua ikilala lala kisenge,

    "mamaaaaaaaaaaaaa sheby umeniumizaaa uuuuwiiiiii, sheby"

    "tulia basi shania, kitu tayari kupo ndani"

    "sheby chomoa kwanza mi naumia"

    "apana bwana mi naendelea coz tayari kitu imezama"

    Shania alikua akilia kama mtoto mdogo vile, lakini mtoto wa kiume sikuichomoa nikaanza kukatika goma tamu kuliko zote duniani, afu ukizingatia mtoto alikua ana makalio hayo khaaaaaaa kweli waziri mstaafu hapa kazaa mtoto, maana toto toto kweli, na sio makalio tu hata sura nayo imo,



    Baada ya kama nusu saa hivi nilikua nimesha chapa raundi mbili za nguvu, maana si kuna taiti, kwaio nilipiga mizinga miwili ya kuunganisha, afu mbaya zaidi sikumwagia nje, ila shania au mtoto wa waziri alikua hoi kashikilia makalio yaje huku akilia na kulegea legea utafikiri ni mtu anae umwa dege dege,

    "shaniii, amka basi tuendeleee"

    "ninu? Akuuu mi staki tena"

    "aaaaa shanii nipe cha mwisho mamii"

    "sitaki"

    Daahhh shanii alizira kabisa na kukataa kurudia tendo kwa mara ya pili, Basi sikumlazimisha sana maana najua atanifata tu, Basi nilimuamsha pale chini na kuanza kumuogesha kama mtoto mdogo huku nikimsugua nanii yake pale mbele, mtoto alikua kalegea kama mrenda, Nilimaliza kumuogesha kisha nikawa nambeba ili nikamtupe kitandani,

    "sheby?"

    "sema baby"

    "plz nakuomba unifulie chupi yangu plz"

    Nikaona haina noma, nikamkalisha kwenye jacuzz kisha nikaanza kuifua chupi yake huku yeye akiniangalia

    "sheby?"

    "mmmmhh"

    "mi nataka unioe"

    "haaaaaaa Edward atakubali"

    "kwani akikataa itazuia nini, si tunahama popote pale"

    "mmmhhhhh Baba yako yule akianza kukutafuta je itakuaje, we tumalize shule kwanza"

    "shebiiiiiiiii mi nipo tayari ila tatizo ni kwako tu"

    "mi pia nitakubali"

    Nilimridhisha maneno kama hayo lakini kiukweli ni kwamba hapa nilipo nina mke, na hata kama nisingekua na mke bado nisingemuoa huyu, maana siwezi kuoa mwanamke aliejirahisisha kuliwa kinyume na maumbile yake,



    SASA HIO NDIO HADARA NYINGINE MOJA WAPO YA WANAWAKE WALIO RUKWA UKUTA, YAANI MWANAUME ATAKAE KUOA NI YULE AMBAE HAJAWAHI NA WALA HAJUI KAMA ULISHALIWA HUKO, HUYO NDIO ATAKUOA, LAKINI YULE ALIEKUANZA NI NGUMU KUKUOA, NA KAMA KAUOA KABISA BASI LABDA KAPENDA MALI ZAKO, KAMA KWENU KUNA PESA, ILA KAMA NI HOHE HAHE KAMA WENGINE, PWIIIIIIII HAKUOI NG'OOOOOO, YAANI ATAKAE KUOA HATA HUKUMTARAJIA, NA KAKUOA KWASABABU HAJUI KAMA ULIRUKWA UKUTA, LAKINI SIKU AKIJUA BASI UJUE KANDOA CHAKO KAPO HATARINI, NA SISI WANAUME PINDI TUNAPOOMBA KURUKA UKUTA, HUA TUNAWAAHIDI KUA TUTAWAOA, LAKINI WAAAPI HIO NI JANJA YETU TU, ILA UKIOMBWA NA UKIKATAA YULE MWANAUME HATA KAMA UKIACHANA NAE ILA IPO SIKU ATAKUKUMBUKA KWA MSIMAMO WAKO MZURI, MAANA KUNA MWANAUME MWINGINE ANAKUOMBA ILI AKUPIME NA KUNA MWINGINE ANAFANYA KWELI, KWAHIO KUENI MAKINI NYIE WADADA, MAANA SISI HATUOI MWANAMKE ALIE HARIBIKA KIMADHINGIRA,



    Basi mtoto wa kiume nilimaliza kufua kichupi chake,

    "unaondoka nayo"

    "akuuu nina chupi nyingine kwenye begi"

    "sasa hii si ukaweke kwenye begi uko"

    "bwana sheby we ianike hapo tu, kule italoanisha madaftari"

    "mmmhhh haya, ila uikumbuke kuja kuichukua"

    "utakuja nayo kesho shule"

    "booooooo yaani niweke chupi ya kike ndani ya begi langu, we una kichaa kweli wewe"

    "haaaaaa sheby yaani mi nina kichaa"

    "mmmhhh basi na wewe, hutaniwi hata mmhhh ilooo"

    "bwaanaa hebu nibebe ukooo"

    Basi nikambeba na kutoka bafuni tukiwa uchi wote, hadi kitandani na kumbwaga kama mzigo,

    "ikuapi hio chupi nikuvalishe chap chap"

    "fungua hilo begi langu la shule"

    Basi nilifungua begi lake na kutoa chupi kubwaa nyekundu, nikaanza kumvalisha mtoto wa kike huku nikianza kumtamani tena, maana vile vya bafuni sijatosheka bado, sasa nilipokua nataka niivue tena ile chupi niliomvalisha...... Mara nilisikia kengele ikilia kuashiria kuna mtu anabisha hodi

    "sheby, huyo ni nani saa hizi kwenye nyumba ya mvulana"

    "mmmhhhh hata mi sijui, maana hakuna anaejua kwangu zaidi ya anti mwaju na mke wangu jasu"

    "haaaaa sheby kumbe una mke"

    "amna bwana, yaani mtoto wa huyo anti mwaju hua tunaitana mke na mume kiutani utani"

    "aaaaaaa na huyo anti mwaju ni nani"

    "ah we hutomjua bwana"

    Niliteleza kusema nina mke, ila hapo hapo nikalisovu fasta fasta,

    Mara kengele ililia tena, ikabidi nimfiche shania bafuni,

    "Shanii naomba ukakae bafuni kidogo isijekua ni anti mwaju, maana tunaheshimiana sana"

    Shania alikubali lakini ni kishingo upande tu, Baada ya shania kumueka bafuni, nilienda kufungua mlango, lakini ghafla nilistuka baada ya kuona aliegonga,

    "weeee saa hizi saa moja kasoro unaenda wapi"

    "si nimekuja kwa mpenzi wangu"

    "haaaaa sasa saa hizi mama, kwanini usije kesho"

    "liwezekanalo leo kwanini lingoje kesho"

    "lakini wewe si unaumwa wewe"

    "nimepona jamani sheby, afu nina hamu"

    Si mwingine bali alikua ni zamda, mtoto ambae nilimtoa bikra siku mbili zilizopita, na ninasoma nae shule moja, ila yeye ni form 4 B na mimi na shania ni form 4 A,.... Sasa nikaanza kujifanya naumwa ili aondoke zake, maana najua hapa kaja nimpe vitu, na nina hamu nae ile mbaya ila sasa tatizo shania yupo bafuni kule

    "nini tena sheby"

    "yaani toka nirudi shule tumbo linaniuma kweli kweli yani"

    "jamani pole mpenzi wangu, basi mwenyezi mungu atakua kanileta ili nikuseidie mpenzi, siwezi kukuacha katika hali kama hiii"

    Nilijikuta mbinu niliotumia ni mbaya, maana nilitaka ajue kua naumwa maana nikiwa naumwa nitakua siwezi kufanya ngono, sasa ninejikuta ndio kwanzaa anaweka mkoba wake pembeni, na begi la shania lipo uvunguni,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "sheby pole, mpenzi wangu"

    "ah mi siumwi bwana we nenda tu nyumbani"

    "bwana sheby acha utani, ujue mi nimekuja kwa ajili yako, sasa nitaendaje nyumbani"

    "lakini sasa zamda kwanini huji na taarifa huku kua unakuja ili nikuandalie hata kuku wa kuchoma"

    "wala usijali mpenzi wangu, mimi hata dagaa nitakula wala usijali,.....tena ngoja nikaoge afu nije nikupikie bonge la msosi"

    "Ati nini?"

    "naenda kuoga kwanza"

    "kwani hujaoga huko kwenu"

    "nimeoga, ila nimekuja na tax, yaani kulikua na joto humo ndani"

    "aaaahh sasa, huko sabuni zimeisha"

    Nilianza kutoa sababu kibao maana najua kule bafuni kuna mtu kajificha huko

    "mimi siogi ili ning'ae, natoa tu jasho"

    "aaaa ila hata maji yenyewe yamekata"

    "lakini tenki si unalo"

    Daaahhh sasa hapo nikakosa swaga za kudanganya tena, Sasa alipotaka tu kufungua mlango wa bafuni mara kageuka na kurudi huku, nikaona afadhali kama atakua kaahirisha kuoga, Mara akainama uvunguni



    "we unatafuta nini huko?"

    "nachukua kandambili za kuogea"

    "zipo kule kule bwana.... Afu pia zimekatika na fundi wangu kafa"

    "haaaaaaaa sheby hili begi la kike ni la nani huku uvunguni"

    Sasa zamda aliliona lile begi la shania kule uvunguni

    "hilo si begi la anti mwaju hilo kwani hulijui"

    "anti mwaju? Anti mwaju ndio nani"

    "aaaa we humjui ila ni begi la anti yangu mwaju"

    "Lakini hili begi kama nalijua jua vile"

    "huo ndio unafki nisioutaka huo, we umelionea wapi hilo begi,.... Aaaaaaaaaa basi we utakua ulilionea dukaniiii, maana hili begi ni lipya hili"

    Nilipotezea kua analijua na ni kweli analijua maana ni la mwanafunzi mwenzie,

    "wala sikuliona dukani, ila hili begi ni la mtoto wa waziri, na lazima atakuepo humu ndani, maana mi sikuami kabisa wewe na nilijua tu lazima unitese na huuuhensam wako wa kijinga, hili begi si la shania hili?"

    "sioooo lake yanafanana tuuuu"

    "haaaaaa sheby? Na ile si sketi ya shule ile?...... Hebu niambie mwenye ile sketi yuko wapi"

    "zamdaaaaaaa ivi hujui skuizi mimi ni dobi"

    "Ati nini?"

    "ndio mimi ni dobi toka juzi"

    "sasa skia, naenda kuoga kwanza, na nikirudi nataka unipe majibu mazuri ya hilo begi na hizo yunifom ni za nani"

    "lakini ngoja kwanza kidogo basi nikupe sabuni"

    "staki sabuni yako"

    Mtoto wa kiume ilibidi tu nikae kitandani ili nione vikiamshana huko bafuni, maana liwalo na liwe kama ni kuachwa niachwe,





    Niliamua kutulia tulii kama maji ya mtungi, Sasa akiwa anaenda huko bafuni, alishangaa mlango wa bafu umefunguliwa kabla hajafika,

    "sheby, kumbe kulikua na mtu huku bafuni? Haaaa shebiiiiiiiii unatembea na shania sheby"

    Mimi nilikua nimeangalia chini kwa aibu maana wamekutana wote, wanafunzi wa kidato kimoja kasoro class tu ndio tofaut,

    "sheby, kumbe ndio maana ulikua unanikataza kuingia na visingizio vyako, huku ukinambia kwanini nimekuja saa hizi, kumbe shania yupo ndani, asante sana baba, nakutakia maisha mema juu yako"

    Nilimuona zamda akichukua begi lake na kutaka kuondoka zake,

    "zamda, sio hivyo"

    "niacheeeeee, utanidanganya nini, shania katoka bafuni tena akiwa kavaa chupi tu, je utanidanganya nini tena"

    "sawa lakini, anatoka tu kuoga aliniomba atoe jasho"

    Mara zamda akamfuata shania huku akimuuliza

    "we shania, yule ni nani yako"

    "mpenzi wangu, kwani vp? We umeona moshi angani, na ukaufatilia mpaka ukajua ulipotokea, afu unauliza ivi huu ni moto, we pita ivi, kama alikupitia alikosea tu, ila sheby ni mpenzi wangu na sinto muacha ng'oo"

    "sawa, najua huo ni umalaya wako uliokuleta kwa sheby, ila kaa ukijua, utantambua"

    "weeeeeeee usintishie nakwambia, mimi ni mtoto wa kigogo, wewe unalelewa na serikali wapi na wapi, ishia zako uko"

    Zamda alikua akilia kwa uchungu huku akiniangalia mimi huku nilipo, na ni kweli shania alikua ana chupi tu, maana nilupomaliza kumvalisha tu ndio mlango ukagongwa,

    Zamda aliondoka kwa hasira huku mimi nikimfuata nyuma nyuma

    "zam, we zam, plz hebu simama basi"

    "sitaki, niachie uko"

    "lakini nami napaswa kuskilizwa zam plz"

    "sheby, mimi pia nilikupenda, ila nilijua tu mateso kama haya lazima nitayapata tu, nilijua tu"

    "sawa, lakini nami nilishawahi kukuambia kua wasichana wengi pale shule wananipenda, afu nikikufikiria wewe ulikua unaumwa, je ningeenda kujipoozea wapi mama angu"

    "sheby sheby sheby, we ni malaya sheby, umeniharibia uschana wangu kwa kujua utaishi na mimi kumbe ni maumivu tu"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Zam alikua akilia huku akiwa ameniegemea kwenye kifua, saa hio nilitumia nguvu nyingi na akili kumbembeleza anisamee,....... Muda huo tulikua nje ya nyumba kabisa,

    "naomba unisamee zam plz"

    "sheby mimi siwezi kukusamehe mpaka umtoe yule kahaba wako kule ndani na uachane nae laa sivyo mimi usinijue kuanzia leo"

    "aaaaaaa sasa unaenda wapi tena zam"

    "usinizoeee"

    "ngoja basi nikuitie tax zam"

    "sitaki, hata mimi nina hela"

    Zam aliondoka zake huku akiwa ana hasira na mimi, na sababu ya kumbembeleza ni kwamba nataka nae nimguse kule ninapotakaga, maana zam sikumgusa huko 0714 maana siku ya kwanza kukutana nae kimwili nilimuonea aibu na kumueshim kwakua alikua ana bikra hivyo mpaka sasa nitambembeleza ili nipate kule maeneo yangu,..... Niliingia zangu ndani na kumkuta shania nae kavaa nguo zake tayari kwa kuondoka zake,

    "heeeeeee na wewe vp tena"

    "kwani vp"

    "naona kama unavaa uondoke"

    "ndio maana yake"

    "khaaaaaaa sasa mbona siwaelewi nyie watoto wa kike"

    "sikia sheby, mimi na huyo uliemtoa sasa hivi, ni nani mwenye maumivu makali ya kukupenda wewe,...... Sheby umeniharibu, nimekukubalia kukupa huku nikitegemea nipo mwenyewe na tutaoana, kumbe una mpenzi mwingine tena mbaya zaidi ni clasmate mwenzetu, hainiingii akilini kabisa, bora nikauguze maumivu yangu mbele kwa mbele"

    "shania acha utani, bwana tulale uondoke kesho mama"

    "sitaki, hata mimi nina kwetu"

    Kweli shania alichukua begi lake na kuondoka, Tena usiku ulikua umeshaingia tayari,

    Kesho yake asubuhi, kama kawaida niliamkia shule, siku hio sikua na furaha hata kidogo maana nimegombana na madem zangu wote, hivyo sikua najiskia raha, Ilifika muda madam shufaa alikuja darasani na kutuandikia somo lake la geography, tukalipiga chap chap kisha mimi kama monita wa darasa A nilimka na kuanza kuzikusanya daftari za wanafunzi wenzangu ili zikasahishiwe, nilizipeleka lakini sikumkuta hapo ofisini kwake, kana kwamba alikua Class B anatoa somo, Nilirudi zangu class na kuendelea na mambo mengine ya kujisomea huku nikimuangalia shania, alikua kanuna huyo khaaaa, Mara kengele ya break iligongwa mida ya saa nne hivi, Nilitoka na kwenda kantini kupata chai, maana hua nikilala nyumbani kwangu naamkaga na njaa kwasababu ya uvivu wa kupika,

    Punde si Punde tuliingia class baada ya break kupita, Alikuja Sir john akatupa zoezi la mathematics, tukapiga chap chap kisha nikakusanya na kumpelekea ofisini kwake, Nikarudi class huku nikiwa nami nimenuna, Lakini ghafla nilimuona madam shufaa akiniita kwa dirishani, Nilienda hadi ofisini kwake na kuchukua daftari ambazo nilipeleka ili zikasahishiwe baada ya zoezi kulifanya,..........

    Lakini nilikuta daftari yangu haikusahishiwa na wala haikua na alama yeyote inayojulisha kupata au kukosa, Niliamka kwenye meza yangu na kwenda ofisini kwake huku nikiwa nina hasira za hapa na pale, Nilipofika nikalitupa daftari mezani kwake kisha nikamwambia kua

    "madam shufaa, hebu nipe kosa la daftari yangu kwanini haikusahishiwa? Basi kama nimekosa ungeniekea makosa ili nijijue kuliko kuliacha kama lilivyo"

    "punguza jazba laazizi wangu"

    "sitaki, kwanza nipe sababu ya kuliacha daftari langu na kuyasahishia mengine"

    "hio ni njia nilioitumia ili uje, lakini huna makosa yeyote yule, ila sheby, kumbuka unanitesa mwalimu wako, kwanini hunijibu ombi langu, eti"

    "sahisha kwanza hilo daftari"

    Madam shufaa alichukua daftari yangu na kuipiga matiki na vema juu,

    "haya hilo hapo Tayari, sasa vp kuusu jambo langu"

    Madam shufaa alikua akiniomba penzi langu huku akifinyanga vidole vyake vilainiii, niliona bora nimpe denda ili nimridhishe moyo wake, ila sikua na hamu ya kungonoka nae,

    Sasa nilipokua namfuata pale alipo, yaani madam shufaa kwa jinsi alivyokua akinipenda, alikua haamini kama nimemkubalia, maana alikua anatetemeka kwa furaha nzito,

    Sasa ile kufika karibu nikaona chupi kwenye nyeusi kwenye droo ya meza yake, ndipo nikajiuliza, kwaio hapo alipo atakua hana hata chupi, Nilimrukia na denda huku nikimpapasa makalio yake ili nihakiki kama kweli hakua na chupi au ile ni nyingine, Aaaaaaaiseeeee kweli madam shufaa hakua hata na chupi bali alikua ni yeye na lile gauni lake la kushika mbele ( tentemente) afu mbaya zamdi, Madam shufaa alikua ana makalio malaini, mpaka nikatamani kumla hapo hapo ofisini kwake, Mara madam shufaa alinivutia hadi kwenye sofa lake na kunilalia kwa juu,

    "sheby, kwanza nakushukuru sana kwa kunikubalia kunipa hio dudu yako"

    Mimi sikumjibu badala yake niliendelea kumlamba lamba mwili wake huku nikitamani kalio lake, Mara madam shufaa alinyanyuka na kulivua lile gauni, na kubaki kama alivyozaliwa, huku tumbo lake likiwa limekatika katika kwa minyama nyama iliokua tumboni mwake, Huezi amini madam shufaa alinibeba mpaka kwenye kitanda chake ambacho hua anamzikaga kama akichoka na majukumu ya kikazi, maana hii ni shule ya kitajiri hivyo ina kila kitu ndani, maana ina boding na dei, hivyo ofisi binafsi ya walimu hua ukiingia utafikiri ni nyumbani kumbe ni private office na sii staff, maana kuna staff na ofisi, Staff ni pale wanapokusanyika walimu wote na kuendelea na majukumu ya kishule, Sasa hapa tulipo ni private office,

    Saa hio mtoto wa kiume nilikua bado nina nguo za shule,

    Nilianza kumuomba madam shufaa ile sehemu ninayotaka, lakini alikua mgumu kukubali

    "sheby, wewe ni sawa na mdogo wangu, na kama ningeliwahi kuzaa basi ungelikua sawa na mtoto wangu, sheby achana na hio tabia sio nzuri"

    "plz madam shufaa naomba hata bao moja tu"

    "takiii"

    Madam shufaa alikua ananidekea kama vile ni staki nataka, Nilichokifanya ni kuvua yunifom zangu zote kisha nami nikabaki kama nilivyo zaliwa, kisha nikapanda kitandani huku nikianza kumtekenya tekenya kwenye kiuno chake, kilainii,

    "kwahio sasa madam, nitapata au"

    "kweli vile sintokupa"

    "mmmhh basi wacha nivae nguo zangu"

    Nilipokua nashuka kitandani alivuta na kunitupia kifuani kwake huku akiniambia

    "shebiiiiiiiii mbona hata mbele kwangu kuna taiti vizuri tu, ona panavotaiti, yaani haina haja ya kutaka kuniruka ukuta"

    "mimi siangalii taiti ya kitu, bali najiskia raha sana pindi ukinipa huko"

    "aaaakuuu mwaya mi siwezi"

    Nikajua dawa yake ni ndogo, nikaanza kumchezea chezea madam huku dudu yangu imesimama barabara kabisa, Sasa nilikua kila nikimchezea huku najaribu kuingiza huku naacha huku naingiza mpaka akanogewa,

    "shebiiiiiiiii umenitekenya huko mpaka kunawasha"

    "kwaio sasa vp jamani"

    "sawa, ila naomba niinyonye kwabza ili iwe na mate mate usije ukaniumiza sawa"

    "haina shida"

    Madam alinza kuinyonya nanii yangu huku mimi nikichezea kitovu chake cha shimo, na mkono mwingine nilikua naendelea kuipapasa 0714 ili imnyegeshe zaidi, tena madam shufaa ana mtako mlaini, yaani katika siku ninayofaidi 0714 ni leo,

    "basi inatosha"

    "aaaakuuu bado, mi nataka ukiingiza tu ipite moja kwa moja, maana ndio kwanzaa unanianzisha"

    Baada ya kumaliza kuninyonya madam shufaa aligeuka na kukaa mbuzi kagoma kisha nami sikua na hiana, nilimshika kiuno chake kisha nikailengesha nanii yangu, Madam shufaa alikua akivumilia kweli kweli, mpaka ikaingia kichwa tu,

    "uuuuuuwiiiiiiiiiii shebiiiiiiiii. Naniii yako tamu, ssssssssssssssssiiiiiiiii, Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisssssssssiiiiiii usiingize yote kwanza uuuuuuwiiiiiiiiiii. Subiri subiri subiri kwanza laazizi wangu, vinaumaaaaa uko"



    Kiukweli tabia hii imenikaa mno kiasi kwamba mpaka walimu wangu nawafanyia vitu vya kishenzi kiasi hiki, yaani namrubuni mwanamke mpaka anakubali kusex na mimi kinyume na maumbile, Madam shufaa nilimfaidi sana japo alisumbua kama mtoto mwenye bikra, Yaani tena hakuna tako niliolifaidi kama tako la madam shufaa, maana umbo lake kwanza lilikua ni kubwa, afu mlainiii yaani nilipiga mabao matatu mpaka hamu yangu iliisha, Baada ya kumpakua nyuma, sasa nikamgeukia na mbele naki nikapiga bao moja yaani siku hio ndio siku yangu ya kwanza kuridhika kimapenzi, maana nilikula kote kote, Madam shufaa alikua yupo hoi hata kukaa alikua anashindwa

    "sheby, naomba nikaombe ruksa kwa mkuu wa shule ili unipeleke nyumbani, maana sijiskii vizuri"

    "sawa we nenda kaomba mi wacha niende zangu darasani"

    "hapana sheby, hebu nenda kaoge kwanza afu nikitoka kwa mkuu nami nioge kisha unipeleke sawa"

    "sawa"

    Madam shufaa alikua anachechemea kama vile alikua ana mguu mbovu, maskini hii tabia nitaiacha lini, maana naharibu wenzangu kisa wananipenda, niliwaza sana kuusiana na jambo hilo, lakini bado sikua nimeliacha,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Siku hio ilipita na leo ni siku nyingine tena tukiwa shule, nilikua zangu nipo kwenye bustani nimetulia huku nikijisomea zangu, kwani ilikua ni mida ya saa 7 hivi tumetoka ili tupate lanchi, Nilipokua nachezea simu yangu mara nilishtuliwa kwa kushikwa bega na mkono mmoja mlainii ila sikumjua ni nani, maana alinishika bega kwa nyuma, Nilipogeuka nilikuta ni madam fau ndio alionishika bega

    "aaaaa madam fau shkamooo"

    "safi tu, mbona umekaa mwenyewe huku"

    "aaaa nipo tu napoteza poteza tu mawazo"

    "mtoto mdogo mno una mawazo gani wewe"

    Madam fau alikaa kwenye ukoka wa bustani huku akiweka kitabu chake pembeni,

    "lakini hata mimi nina mawazo yangu"

    KAMA UTAMKUMBUKA HUYU MADAM FAU AU MADAM FAUDHIA, HUA TUNAMKATISHIA NA KUMUITA FAU, LAKINI KIREFU CHAKE NI FAUDHIA, SASA HUYU MADAM FAU SIO KUA NDIO NIMEANZA KUMJUA HUKU, BALI ALIKUAGA NI MWALIMU WANGU WA KISWAHILI KATIKA ILE SHULE YA KIISLAM AMBAYO NILIKUA NASOMA, IITWAYO ASHRAFF SEMINARY SCHOOL, SHULE AMBAYO ILIKUA INA MAADILI YA KIISLAM, NA ALIOSABABISHA SANA HADI NIKAFUKUZWA KWENYE ILE SHULE NI HUYU MADAM FAU, ILA NA YEYE PIA ALIFUKUZWA, HIVYO MAMA ANGU AKANITAFUTIA SHULE NYINGINE AMBAYO ALIKUA ANAITAKA YEYE, MAANA ILE YA MWANZO NILITAFUTIWA NA ANTI MWAJU, SASA NILIPOKUJA KUANZA KUSOMA KATIKA HII SHULE NDIO NIKASHANGAS KUMUONA NA HUYU MADAM FAU KAAJIRIWA HAPA KAMA MWALIMU WA KISWAHILI, KAMA VILE VILE ALIVYOKUA AKIFUNDISHA KULE,

    NA SABABU ILINIFANYA NIFUKUZWE PALE NI KWASABABU YA MADAM FAU KUNITAKA MIMI KIMAPENZI, NAMI KIPINDI KILE NILIKUA SITAKI KUSIKIA NENO MAPENZI, MAANA NILIKUA NI MTU WA DINI SWALA TANO, KWAHIO BAADA YA KUONA MIMI NIMEMKATAA, HIVYO AKANITANGAZIA KWA WANAFUNZI WENZANGU KUA MIMI NI SHOGA KWAKUA NIMEMKATAA, KWA MANENO YALE YALINIFANYA NISHIKWE NA HASIRA NA KUMVAMIA NA MAKOFI ILI HESHMA IWEPO, NA HIO NDIO SABABU YA KUHAMA SHULE NA KUJA KUSOMA KATIKA SHULE HII,.... ILA KUJA KATIKA SHULE HII PIA KULICHANGIWA NA MAMA ANGU KUA NISOME SHULE AMBAYO INAENDANA NS HADHI YETU YA KIFEDHA,

    SASA TUENDELEE NA STORY YETU BAADA YA KUKUPA HISTORIA FUPI JUU YANGU MIMI NA MADAM FAU,

    "ila sheby, we ulianza lini kwenye hii shule"

    "mmmhhh mimi nilikuja kitambo sana toka tulipogombana kipindi kile sikuchukua hata wiki nilikuja kuanza shule"

    "eeee basi ulianza muda ee"

    "ndio"

    "vp madam wako leo simuoni"

    "madam. Nani"

    "si shufaa"

    "aaaaaaaa sijui ata yupo wapi"

    "weweeee acha kunidanganya, jana si nilikuona unaondoka nae kwenye gari yako"

    "aaaaa nilisahau ila anaumwa"

    "anaumwa nini"

    "maralia tu"

    "muongo, shufaa ni rafiki yangu kipenzi kabisa na asingeweza kunificha kitu chochote, Sasa ona hii meseji alionitumia leo asubuhi"

    Niliichukua simu ya madam fau na kuisoma hio meseji aliotumiwa na madam shufaa

    "fau? Mwaya leo sntoweza kuja shule, maana sijiskii vizuri kiafaya"

    Madam fau alimjibu kwa kumuuliza hivyo hivyo kwa meseji kua

    "wewe umeumwa saa ngapi na jana ulikua ni mzima"

    "we acha tu shost"

    "we niambie, maana jana nilikuona unatoka na yule mtoto"

    "mmmhhh mwenzangu ni kweli yule mtoto nilikua nae"

    "ivi alikuacha kweli"

    "mmmhhh mwenzangu wacha nikuambie ukweli shost wangu"

    "mmmhh nambie"

    "yule mtoto ni mbaya yule"

    "kwanini"

    Hizo ninazo soma ni meseji zilizokuepo kwenye simu ya madam fau,

    "mmmhhh shost huezi amini yule mtoto alinigeuza"

    "alikugeuza? Alikugeuza nini"

    "mwenzangu aliniomba 0714"

    "haaaaaaaa sasa ulimpa"

    "mwenzangu weeee nampenda yule mtoto"

    "mtumeeeeee usiniambie kua umempa 0714"

    "ndio, nilimpa"

    "mmmhhh pole shost yangu, ila umeaga kwa mkuu wa shule"

    "ndio niliaga toka jana"

    "mmmhh haya mwaya ugua pole"

    "asante, ila naomba uniangalilie huyo dogo asije akatembea na hivyo vitoto vichafu kunuka, maana sitamani hata kumuacha huyo mtoto"

    "sawa usijali shoga angu nitamuangalia"

    "poa"

    Nilipomaliza kuzisoma hizo meseji, nilimpa simu yake na kuendelea na mambo yangu ya kujisomea

    "sheby"

    "naam"

    "mbona umekua kimya baada ya kuzisoma hizi meseji?"

    "mh mh nipo fresh tu"

    "hebu naombs uje ofisini kwangu mara moja"

    "kuna nini muda hu"

    "naomba uje"

    Niliamka na kumfata nyuma mpaka ofisini kwake, Tulipofika alikaa kwenye kiti chake nami nikakaa kwenye dofa, Mara akaamka na kunifata pale nilipokua kwenye sofa

    "sheby, Madam shufaa amekuja juzi tu, na umemkubali kufanya nae mapenzi, je? Mimi nilioanza toka tukiwa ASHRAFF na wote tulifukuzwa kwa kosa moja tu, shebiiiiiiiii plz naomba na mimi"

    "madam fau? Umeanza mambo yako ya kipindi kile, ivi unakumbuka kua wewe ndio sababu ya kufukuzwa shule"

    "sheby, najua kua ni mimi, lakini si nilikuomba msamaha,..... shebiiiiiiiii niridhishe na mimi"

    "staki bwana"

    "sheby, nitakupa huko huko ulipomfanyia shufaa"

    "eeeehhh?"

    "ndio, nitakupa 0714 uisugue utakavyo, maana sina wa kunisugua toka juzi, shebiiiiiiiii vua basi, au ngoja nianze kuvua mimi"

    Madam fau alipambua nguo zake zote na kuanza kuninyonya maskio huku akifungua zipu yangu

    "madam fau, huu ni muda wa darasani lakini"

    "usijali, kwani somo linalofuata ni lakwangu hivyo usijali kwa hilo sawa"

    "sawa lakini"

    Akaniziba mdomo wangu kisha akanivutia kitandani, na kunipambua nguo zangu zote, kisha akaanza kulishika shika dudu langu huku akililamba lamba kwa ulimi,

    "ssssssssssssssssiiiiiiiii sheby, nataka unifanye hadi niumie kama shufaa, maana nimeona wivu umemkuna mwenzangu mpaka ameshindwa kuja kazini"

    "lakini si alikuambia unilinde nisitembee na watoto wachafu"

    "sasa kwani mi ni mtoto, afu mi na yeye ni marafiki hivyo kaniruusu nitembee na wewe"

    "mmmhhh muongo wewe, nimuulize"

    "ah ah usimuulize bwana tutagombana bure, maana nipo tayari kuuvunja urafiki wetu kwa ajili yako"

    "ila utaiweza nanii yangu"

    "mmmhh we acha tu boy, maana hapa naiwazia nitaingizia upande gani"

    Madam fau aliinama vizuri mpaka mi mwenyewe nikasisimkwa na mwili, kitu yangu ilikua ina hamu ile mbaya japo jana ilipata........

    Sasa ile naingiza tu nanii yangu kwenye 0714 Mara simu ya madam fau iliita

    "aaaaaaa ni nani tena uyo"

    Niliuliza huku fau akiichukua simu na kuangalia jina

    "ni shufaa"

    "haaaaaaaa au anatuona nini"

    "sijui, yaana mpaka naogopa kuipokea, maana nimemsaliti rafiki yangu"

    "hebu pokea afu weka laudi spika tumsikie, maana asije akapata nafuu akaja shule"

    "mmmhhh mi naogopa kuipokea"

    "pokea bwana"

    "ok poa....... HALLOOO shost mambo?"

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Madam fau aliipokea simu ya madam shufaa huku akiwa na shauku ya kujishuku shuku,

    "poa, aisee fau? Nina wasiwasi dogo atakua ana mtu"

    "shufaaa, hebu tuliza mwili wako kwanza, mbona huyu mtoto kakuteka ghafla hivi"

    "fau, yule mtoto alichonifanyia sintokas kumuacha, yasni nitaua mtu kwa ajili ya yule mtoto"

    "basi ondoa shaka kwa hilo but sheby kwa sasa yupo darasani anajisomea kule"

    "ok poa basi, kesho nitajitaidi nije"

    "ok poa nakuombea upone shost angu"

    "asante"

    Alikata simu huku madam fau akihema juu juu kwa hofu, maana anamuogopa ile mbaya

    "we sheby, umempa nini madam shufaa?"

    "mmmhhh wala tu"

    "mmmmmhhh kiukweli shufaa anakupenda kupita maelezo"

    "hata mimi pia nampenda"

    "mmmhhh ila hujamzidi yeye, aisee kweli shufaa ataua mtu"

    "kwaio umeairisha au"

    "weeeeee nani aghairishe, chukua baba yote yako"

    Madam fau alikua sio mgeni kwenye tabia hio ya kurukwa ukuta,

    "kumbe hii tabia unaijua ee"

    "sheby, tabia hii niliianza toka nasoma SECONDARY yaani, nakumbuka nilibakwa na wanafunzi wenzangu, na mmoja wao aliniingilia kinyume na maumbile yangu, ndio maana mpaka leo, siachi kufanywa huko, yaani mpaka nimejisahau kama nina ku********a, maana kila mwanaume nikiwa nae sithubutu anile mbele hata mara moja, maana nikisex mbele sioni raha"

    "mmmhh pole sana mamii"

    "asanteeeeee uuuuuuwiiiiiiiiiii shebiiiiiiiii unapizi nini mbona umeingiza yote"

    Baada ya muda tulimaliza tendo hilo chafu ambalo mungu hapendi, Sasa Madam fau alikua anakaa upande upande maana nilikua namchochea kichocheo cha maana,

    "khaaaa sheby una uboo. Mmhhhh yaani mpaka kunawaka moto"

    Nilivaa nguo zangu huku fau akiendelea kunisifia nanii yangu jinsi ilivyo kubwa na iliochongwa vizuri

    Mtoto wa kiume sikuchukua muda nilitoka zangu nje na kukuta wanafunzi ndio kwanza wanaondoka

    "khaaa mbona wanafunzi wanaondoka....... Ayaaaaa kumbe ni saa kumi sasa duuu"

    Nilijisemea mwenyewe huku nikitoka na begi langu mgongoni, Sikutaka hata kuingia darasani bali niliingia zangu kwenye gari kisha nikaliwasha tayari kwa kuondoka, Mara sir juma ambae ndio headmaster, aliniita

    "naam sir"

    "mchana huu sijakuona darasani afu nimeshangaa kukuona ukitokea kwa madam fau"

    "aaah ndio nimetoka kwa madam fau coz kuna baadhi ya test za form one nilikua namseidia kusaisha"

    "aaaaaa oookee safi sana, ila unajua kua wiki ijayo ni moko"

    "yes i know"

    "ok u can go"

    "thank you sir"

    "sheby, tunakutegemea ushike nafasi ya kwanza katika shule yetu"

    "usijali mwalimu nitajitaidi"

    Basi sir juma tuliachana nae hapo hapo,........ Ila kufika kwenye geti la shule nilikutana na madam Joy, alinipungia mkono yaani nisimame, nilisimama na kumsikiliza kwa umakini

    "mambo sheby"

    "poa, vp una shida ya lifti au pesa"

    Nilimuuliza kwa kejeli maana najua ananitaka kimapenzi tena kinyume na maumbile yake,

    "yaani sheby wewe ndio wa kuniambia mimi ivyo wewe"

    "skia madam joy Mimi naipenda sana hio sehemu unayotaka kunipa, ila nimeamua kuikataa kwa makusudi kabisa ili ujue kua nami nina msimamo wangu binafsi"

    "lakini ukumbuke mtihani ni keshokutwa wiki ijayo"

    "hata kama ingekua leo, kwani akili ni yako"

    "sawa, umeshinda ila usije ukanililia baadae"

    "kwenda uko nikulilie ukiwa kama nani? Mtako wenyewe mchafuuu afu unataka uunipe mimi, nyoooo huna hata haya mwana izaya wewe, peleka mkundu wako mchafu uko"

    "whaaat"

    "whati? Wati wati watiwa dudu au?"

    "sawa umeshinda, ila nakuhakikishia utakiona kidato cha tano sawa eee mtoto mzuri"

    "kweeeendraaa huna jipya kwanza unanuka makalio hebu toka nipite mimi"

    Niliongea hayo kisha nikateleza zangu home, maana nilikua nina hasira nyingi mno, kwasababu ya moko inayonikabiri muda si mrefu,............ yaani toka sir juma anikumbushe kua wiki ijayo ni moko nimekua mtu wa kuwaza mitihani itakuaje, maana huu ni mwezi wa tisa, mwezi wa mitihani kwa kidato cha nne,

    BAADA YA WIKI MOJA KUPITA

    Nilikua nipo nyumbani namsubiri zai atoke twende shule, kwani leo tumeamua tutumie gari moja tu,...... sasa nikiwa nipo ndani ya gari kuelekea shule mara simu yangu iliita, kucheki jina alikua ni madam shufaa

    "haloo shkamooo madam"

    "poa vp"

    "safi tu"

    "sasa sheby, ukitoka pepa uje basi nyumbani kwangu, au nije kwako"

    "madam shufaa? Ivi hujui kua leo ni ni siku ya mitihani? Sasa nitakujaje"

    "sheby, we njoo baba, au kama unaona uvivu basi niambie nije saa ngapi kwako"

    "staki tena, yaani we baada uniombee kama mdogo wako ili mitihani yote niione miepesi afu ndio kwanza unaniita nije nisex na wewe, aisee siji kwako na wala usije kwangu, kwanza najuta kukupeleka kwangu mschiuuuuu"

    "sheby, yaani umefikia hatua ya kunisunya jamani"

    "umeniuzi sana shufaa, wewe sio wa kunikandamiza kiasi hiki ulipaswa uniombee na sio kunitaka tena"

    "sasa kama vinaniwasha mi nifanyeje"

    "tafuta mwanaume nakuruu"

    "sitaki kukusaliti sheby plz naomba jioni uje"

    "nasema hivi sitaki, afu sasa kuanzia leo sikutaki tena mbwa wewe na ufute namba yangu fara wewe"

    "sheby, yaani kukupenda kwangu ndio unitukane kiasi hicho, kweli najuta kuanza mahusiano na mtoto mdogo"

    "utajiju kwani si kiere ere chako, nlikuita mimi"

    "sawa, asante sana kwa matusi yako ila utaniona mimi ni nani yaani ndio utajua kua mimi ni mtoto wa kitanga, siwezi kukuacha hivi hivi nakuona, sasa subiri sasa"

    "kwendraaaaaaa pepea huko jibwa wewe"

    "asante sana, na kwaheri"

    Alikata simu huku akinipa vitisho vingi mno, ila kwangu ni kama hewa tu,

    "sheby ulikua unaongea na nani kwa hasira hivyo?"

    Dada zai aliniuliza huku tukiwa tunakaribia kufika shule

    "si madam shufaa huyo"

    "kafanya nini"

    "eti anataka nikitoka pepa niende kwake nikalale nae"

    "heeeee sheby ivi una mahusiano na walimu wa kike"

    "we nawe vp, unakumbuka shuka kumekucha"

    "ok sawa....... Sasa na hio simu unaenda nayo wapi"

    "nitamuachia mlinzi"

    Daaahh tulifika shuleni na kuingia moja kwa moja hadi darasani, Khaaaaaa nilishangaa kuona neza zimebaki kumi kwenye darasa zima, haaaa..... Yaani meza zimepunguzwa zimebaki meza kumi tu tena zimewekwa mbali mbali ili tusiigiane, khaaaaaaa hii kweli ni kali ya mwaka, sijawahi kuona mtihani wa namna hiii, yaani kila darasa linatakiwa liwe na wanafunzi kumi tu, sasa utacheka ufe ukiona hizo meza jinsi zilivyo pangwa, yaani meza moja kulee nyingine kuleee na nyingine huku, yaani zimeachana hatu nyingi mno,

    Basi hatukua na jinsi, tulikaa katika meza zetu tulizopangiwa, nilimuona jackson chalii yangu sana

    "asee jack niaje baba"

    "daa poa arf nambie"

    "khaaaaaa baba nashangaa meza zimekua chache kinoma"

    Cmmmhh ukiskia pepa basi ujue ni pepa kweli na sio utani"

    "duuuu kweli apa kama umezoea kukodolea macho wenzio, hapa ni tuu machi kweli"

    Mara kukaja mwalimu mgeni ambae alikua kashika pepa mkononi

    "nyie, nani kawaruusu muongee"

    "tusamee madam"

    "ok hampaswi kunifahamu sana ila mimi ndio mwalimu ambae nitawasimamia kazi zenu, na mlinzi atakuepo mlangoni, hivyo kama una kibuti umeingia nacho, tafadhali sana naomba ukitoa kabla hujajulikana, maana ukionekana na karatasi yeyote hata kama ni empty litakufelisha hata kama ulifaulu"

    Kila mtu alikua kimya huku tukiwa na wasi wasi na mitihani ya leo, maana tunasimamiwa na walimu ambao sio wa shule hii na pia hatujawahi kuwaona kabla,

    "mwenye simu naomba anipe mara moja"

    Kila mtu kimyaaa,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "we kijana ulieingia sasa hivi nilikuona na simu ulipokua ukiingia, nipe hio simu"

    "nimeshampa mlinzi"

    "jamani, endapo mwanafunzi atakutwa na kitu chochote kitakachoonekana kukuseidia, utapunguziwa maksi zako katika mitihani yako"

    Baada ya mwalimu huyo kuongea sana nilimuona akianza kugawa karatasi mbili mbili, karatasi ya majibu na ya maswali....

    Daaaahhh tulianzishwa na mtihani wa mathematics, ila mtihani huo kwangu ni nyala tu, maana mimi ni kichwa kwenye kiswahili, mathematics, na science.... Geography ni kidogo sana, ila hayo mengine hayaingii kabisa kichwani kwangu, hua nayasoma iyo basi tu,

    Baada ya lisaa limoja na nusu kupita tulimaliza mtihani wa kwanza wa hisabati, hivyo tulitoka nje kwenda kupunga upepo huku tukisubiri pepa lingine, siku hio hakukua na wanafunzi wengine kwani walistopishwa kuja shule, hivyo tulikua sisi form 4 tu ( kidato cha nne)

    "aaaa jack, nambie kaka"

    "daahh fresh tu chalii yangu"

    "vp pepa unalionaje?"

    "aaaaaa mbona izi tuu, yaani maswali yote ni yale yale, yaani nakuhakikishia kwenye mathe lazima nipige mia mia, kitu cha A baba ake"

    "aaaaaa wacha kujisifia wewe, mi nakwambia ukinipita kwenye mathe mi nakunya mbele za watu"

    "aaahahahahaha tupinge dau, laki laki kudadeki zako lazima uende chini sheby"

    "tutaona sasa, mi nakwambia ukinipita mi nakunya bonge la mavi popote utakapo kudadeki"

    "sawa, tusijisifie na wakati hatujui kitu"

    Basi tulikua tukitambiana mimi na jack huku machizi wengine wakisapoti dau tulilowekeana mimi na jackson, chalii yangu wa kitambo mno.........

    Basi tulipewa nusu saa tu kuwepo nje, sasa tunaingia tena tukapewe mtihani mwingine wa pili............

    SWALA LA MITIHANI LILITUCHUKUA SIKU NNE NZIMA NDIO TULIMALIZA

    KUTOKA JUMA TATU MPAKA ALHAMIS NDIO SIKU AMBAYO TULIMALIZA MITIHANI YETU YA KUMALIZA KIDATO CHA NNE,

    NA LEO NI SIKU YA JUMA TATU, NA ILIKUA NI SIKU YA GRADUESHENI YETU,

    shule yetu ilikua imepamwa ile mbaya huku wazazi wa wanafunzi wote wakijazana shuleni hapo kwa nia ya kuwazawadia watoto wao zawadi mbali mbali, na wazazi wangu pia walikuepo wamejaa tele, kasoro anti mwaju tu, maana yeye hataki kukutana na mama uso kwa uso ila alitamani kuja,

    Basi ma MC waliongea yao mengi sana na wazazi wakaanza kuruhusiwa kutupa zawadi watoto wao, kwa ajili ya kumaliza elimu yao ya SECONDARY na kama tutabarikiwa kuendelea na kidato cha tano,

    Kiukweli sikuamini kwa kile nilichozawadiwa na baba angu, yaani mpaka walimu walibaki midomo wazi, yaani katika vitu nilivyozawadiwa na baba na mama aiseee

    "nashukuru sana ma MC kwa kunipa mic ili nimpe kijana wangu zawadi,..... Sheby mwanangu, namshukuru mungu leo umemaliza elimu yako ya SECONDARY na kuanzia hapa nakudhihirishia kua, sasa umekua baba, na mimi kama mzazi wako, nakuzawadia kampuni zangu mbili nakukabidhi kama zawadi kutoka kwangu na kwa mama yako"

    Sikuamini, eti nimeshamilikishwa makampuni mawili ya baba angu, Nilifurahi mpaka machozi yalinitoka kwa furaha, Yaani walimu walibaki midomo wazi kwa mtoto kama mimi kuzawadiwa kampuni mbili za wazazi wangu, kwa upande wa shania alikuja mama yake tu kwani baba yake alikua bize na mambo ya kisiasa, maana ni waziri mstaafu na mbunge wa jimbo la munduli..... Na mama yake na shania alikuja na gari aina ya BUGHATI gari ambayo anayo dada zai ila hio ya shania ilikua ni new model,......... kwa upande zamda nae alizawadiwa na serikali, gari mpyaa aina ya VX mayai.....

    Na kwa upande wa wanafunzi wengine asilimia nyingi walipewa magari mapya wengine walipewa nyumba.... Na hizo ni zawadi za kumaliza tu shule, bado za kufaulu kwenda kidato cha tano.



    Baada ya graduesheni kupita, siku hio hio nikiwa bado nipo hapo shule nikizifurahia nyalaka za makampuni ambayo nimezawadiwa kama zawadi kutoka kwa wazazi wangu, Sasa nikiwa nimekaa nilimuona shania na kufuata

    "shania, we shania inamaana hunisikii au"

    "niache na staki mazoea na wewe"

    "aaaa shania"

    "sheby, nilikupa maumbile yangu nikajua nipo peke yangu kumbe tupo wengi, nasema hivi nina hamu kweli ya kufanywa kule uliponianzisha lakini nimeshapata mwingine atanikuna tu, ila nashukuru sana kwa kuniharibu, maana kwa sasa nikikosa mwanaume najikuta namnunua mwansume kwa gharama yeyote ile ili tu hamu iniishe, chanzo chote ni wewe fara mkubwa wewe"

    "heeeeeee yamekua hayo tena"

    "tena ya isho"

    Mmhhhhh sasa nikaona shania kanikandia nilimfuata zamda ili nione kama atashauka au laaa



    "zamda, we zamda, ivi nyie vp mbona kila mmoja anasambaratika nini shida"

    "ivi kumbe unaongea na mimi, mmhhh samaani kaka angu sikujua"

    "duuuu yaani leo nimekua kaka ako"

    "sikia sheby, siku wakati serikali ilipoamua kuniseidia kuendelea na shule, walinipima kwanza kama nina afya njema na wakanikuta nina bikra, ikawa njia rahisi sana kuseidiwa,..... Juzi juzi nilitoroka kupimwa na ndio ile siku niliokuja kwako nikakukuta na yule malaya wako, ile siku nilitoroka hospitali maana nilijua wakinipima bikra hawatoweza kuikuta tena, maana ulishaitoa.... Na siku ile ndio nilikua nahamia kwako kabisaaa, ila kilichonikatisha tamaa ni kumkuta shania ndani kwako"



    "hebu ngoja kwanza, mbona maneno mengi afu sielewi"

    "we subiri utaelewa tu,... Sasa nilipoona upo na shania ndani nikajua tu hapa hakuna changu na nikiendelea kukuganda nitaiumiza nafsi yangu kila muda, hivyo nilikubali kupimwa tena, na nilikutwa sina bikra kabisa,.... Niliulizwa kuusiana na hilo, ni nani alinifanyia hivi, nilikua nasita kuongea kwakua nilikua bado nakupenda, na pia hawakunilazimisha kukutaja, bali waliniambia kama huyo kidume ni raia basi tunaomba utuonyeshe, ila kama huyo kidume ni mwanafunzi mwenzio basi muache amalize kwanza mitihani yake kisha utuambie, na nisipo waambia nimeambiwa ndio nitaitumikia adhabu yako kwa kua nimeichafulia seriksli yangu ilioniseidia..... Kwahio baba kaa tayari, ila kwa ubinaadamu wangu nakupa mwezi huu mmoja utafute pakukimbilia japo serikali ni mkono mrefu, bai bai, nakutakia mafanikio mema juu yako"



    Nilibaki nimeduaa huku zamda akiishia zake, yaani sikuamini maskio yangu kwa kile alichokisema zamda..... Basi baada ya hapo nikawa naelekea kwenye gari yangu ili niishie zangu, nilikutana na Headmaster

    "sheby vizuri sana, lazima ushike namba moja"

    "kweli sir juma"

    "mi nakuambia sasa"

    Sir juma alimifariji kua matokea yatakua mazuri zaidi, Sasa nilipoingia tu kwenye gari mara madam joy kaja tena

    "ivi madam joy? Hadi nikutmee mate ndio ujue kua sikupendi"

    "hata ukinitemea kohozi haiseidii kitu, ila nilitaka tu kukuuliza kua una matumaini yeyote ya kwenda kidato cha tano"

    "haaaaaaaa hilo sio swala la kuniuliza, yaani kidato cha tano nakiona live bila chenga"

    "ok poa"

    Aliondoka zake na maneno yake ya kejeli yasiokua na maana yeyote



    BAADA YA WIKI MOJA KUPITA

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Leo ni siku nyingine tena, nikiwa nakula maisha tu, maana shule tulishamaliza sasa tunasubiri matokeo tu, nikiwa njiani mara nilipigiwa simu na anti mwaju kua,

    " we sheby upo wapi baba"

    "mamy nipo mjini huku kwani vipi"

    "dada ako anakuja leo, hivyo hebu njoo twende stendi tukampokee"

    "sawa ila kwanini wewe usije huku"

    "sawa nikukute hapo stendi"

    "sawa mamy"

    Baada ya muda mama alitokea pale nilipo kisha tukaelekea stendi kumpokea dada yangu, ila mimi simjui huyo dada ni yupi japo alishawahi kuniambia kua nina dada yangu tanga, na atakuja baada ya kumaliza shule, hivyo atakuja kusubiri matokeo yake huku huku mjini, Sasa tukiwa hapo stendi anti mwaju aliniambia kua

    "simu yangu haina vocha, chukua namba hii tumpigie umuulize kua kapanda basi gani"

    "sawa lete"

    Niliichukua ile namba na kuipiga, Lakini ghafla limekuja jina la mtu niliomsevu kwenye simu yangu,

    "mamy utakua umekosea namba aisee"

    "sijakosea jamani, ndio hio yenyewe si hii hapa"

    "anaitwa nani"

    "anaitwa aisha, ni dada yako kabisa tumbo moja kasoro baba tu"



    Nilianza kumtilia sha huyo dada angu, sasa niliikata ile simu kabla haijaita,

    "jaribu tena bwana"

    "hapatikani mama"

    Nilumdanganya kua hapatikani ila mimi ndio nimeikata makusudi

    "heeee jamani sasa tutajua kapanda basi gani"

    "ngoja nikununulie vicha ujaribu kumpigia wewe mwenyewe"

    Nilimnunulia vocha kisha akampigia mwenyewe

    "eeeee halo mama, umepanda basi gani"

    Sikumsikia huyo dada maana sauti ya simu ilikua chini

    "sawa, nasi tupo hapa stendi nipo na sadiki"

    Mama alinitambulisha lakini mimi nilikua sielewi kitu

    "sawa, we njoo utamuona mdogo wako"

    Walikata simu huku mama akiwa na furaha lakini mimi nilianza kutia shaka na huyo dada angu,



    Baada ya kama dakika tano simu yangu iliita, na ile kucheki jina alikua ni aisha huyo niliempigia muda huu na kuikata, niliipokea

    "halooo"

    "mmmhh mambo mpenzi, niliona miskolu yako, nami nilitaka niku sapraizi kua nimefika arusha"

    "aaaaa ok ndio unakuja eee"

    "ok sawa"

    "lakini mbona kama huna raha vile una nini"

    "wala tu nina furaha nyingi tu"

    Nilikata simu na kuizima kabisa maana hii ishakua tabu na laana juuu kama kweli atakua ni yeye,



    Baada ya masaa mawili kupita, mama alisema

    "eheee basi alilopanda ndio hilo linakuja"

    Tumbo lilinikata shaaaaa...... Tukashuka kutoka kwenye gari ili tumuone huyo mgeni, moyo wangu ulikua ukinidunda juu juu huku, sina hata raha,.....

    Mara nikaiona sura ya aisha ikishuka kwenye gari, aisee sikuamini macho yangu kwa nilichokiona, afu papo hapo mama nae akamkimbilia huku akisema,

    "mwanangu jamani mwanangu, nashukuru umefika salama mama"

    Aisha aliona pale alipokumbatiana na mama, alishangaa kuniona, ila niliweka kidole mdomoni kuashiria anyamaze kimya, maana aisha yule niliesex nae kule tanga ndio yeye huyo huyo ndugu yangu.... Aisha pia yeye alishangaa sana kuniona mimi nikiwa karibu na mama yake, Mama alikuja nae mpaka pale nilipo huku akisema

    "sheby mwanangu mbona huna furaha na dada yako"

    "aaa sorry mamy nilikua nipo mbali sana kimawazo...... Aaaa karibu sana dada angu"

    Nilimpa mkono ila aliupokea kishingo upande na alionekana kua na maswali mengi sana ya kuniuliza...... Basi tulipanda gari na dereva alikua ni mimi mwenyewe,



    Lakini ghafla meseji iliingia kwenye simu yangu, ilitoka kwa aisha ambae yupohumu humu ndani ya gari,

    "sheby, mbona sielewi eee, wewe ni mfanyakazi wetu au"

    "wala"

    Nilimjibu kwa meseji kama alivyotuma yeye, sasa tukaanza kuchati huku mimi nikiendesha gari

    "usiniambie kua wewe ni ndugu yangu"

    "ndio ivyo"

    Niliskia sauti ya simu ikimdondoka kwa jibu nililo mpa,



    Tulifika nyumbani kwa anti mwaju tukashuka wote, na kuingia ndani, mama alitutambulisha kwa undani zaidi na tukafahamiana pale kila mtu akawa ana raha juu ya kumjua mwenzie ila mimi na aisha tulishawahi kujuana kabla.....

    Baada ya kutambulishwa mimi niliamua kutoka zangu ili niende mizunguko yangu binafsi, maana sasa hivi nipo kwenye kampuni zangu mbili,

    "mama, naomba nimsindikize kaka sheby"

    "sawa tu, nenda akakuzungushe mji"

    Niliingia kwenye gari kisha na yeye akaingia

    "we unaenda wapi"

    "hebu endesha gari"

    Niliondoa gari na kulitega mbali kabisa na mji,



    "hebu naomba unitofautishie kati ya sharbiny na sadiki, maana sielewi hata kidogo"

    "aisha, mimi na wewe ni ndugu, na kuanzia leo tufute mahusiano yetu yaani sasa tuwe kama ndugu"

    "eeeenee ulizani ni kirahisi si ndio"

    "sasa unakataa nini"

    Aisha alianza kulia huku akiwa anasema kua

    "mimi siutaki huu undugu, yaani sikubali sheby mi staki sitaki sitaki sitakiiiiiiiiiii"

    "nyamaza basi, kwani mimi ndio niliosema wewe ni ndugu yangu, au kama nilikua najua au tunajua ivi tungethubutu kufanya mapenzi kweli"

    "sitaki, mi naona huu ni mchezo umeucheza sheby"

    "aisha, kweli mimi ni ndugu yako na sipo tayari kuuendeleza uhusiano huu"

    "sheby, yaani kuliko nikukose bora nife, bora nitoweke duniani"

    "sitaki sasa"

    "sheby naomba tusiwe ndugu plz plz mpenzi wangu"

    "aisha, sisi tumeshajijua ni ndugu kwahio hatupaswi kuendeleaaa"

    "sheby mpenzi, naomba hata tufanye siri,... Tena nitakupa kule unapopatakaga, si unakumbuka siku ile uliishia wapi? Sasa leo nakuruusu uniruke ukuta mpenzi wangu, na nipo tayari hata sasa hivi, ila sitaki uniache sheby"

    "eeeeee umesema"

    "nasema nipo tayari kukupa nyuma sheby, plz naomba tuufute undugu iwe siri yetu"

    "mmmhhh ssssssssssssssssiiiiiiiii unantamanisha aisha"

    "sheby, wewe ni mpenzi wangu na sio ndugu yangu, je ukiwa ndugu yangu utamu wako nitaupataje, eti sheby kubali basi, sisi sio ndugu si kweli ee?"

    "lakini aisha"

    Sasa kabla sijasema aisha alinirukia na denda huku akiifungua zipu yangu, huezi amini aisha alikua ana nguvu za kunizidi mpaka nililegea kwa denda alioninyonya

    "sheby, hebu laza siti za gari unifanye hapa hapa kwenye gari"

    "aishaaa Laana inatutembelea eti"

    "nipo tayari kulaanika sheby ila kukuacha siwezi kamwe.... Hebu laza siti hizo unipe mambo, kwanza nina hamu toka siku ile unifabye hadi leo nilikua nakuwaza wewe tu, tena nipo tayari kabisa kukupa tigo"

    "Eeeennn"

    "ndio au huamini"

    Aisha alintamanisha baada ya kunitajia hayo maeneo,



    Mtoto wa kiume nilishindwa kujizuia kwa dada yangu kabisa, maana kwa mimi binafsi sikupenda lakini yeye ndio alinilazimisha, sasa hapa tunafanya mapenzi kila mmoja anamjua mwenzie, na tayari tumeshajuana lakini tatizo ni aisha ndio mbishi kuelewa kua mimi ni mdogo wake, Basi mtoto wa kiume sikua na jinsi maana kama kang'ang'ania nisex nae tena hapo hapo kwenye gari,..... Nililaza siti za gari kisha nikapandisha tintedi ili watu wasione kwa ndani,

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Dada aisha alikua ananipa nyuma kama alivyoniahidi, ila huezi amini kwa dada yangu nilijiskia aibu kufanya hivyo na kwakua nilijua kabisa ni dada yangu, hivyo sikutaka kumuaribu maana najua hizi ni hasira tu ila akitulia vizuri atanisahau, hivyo sitaki anijutie kwa kufanyia kitendo ambacho sio kizuri, japo kweli ana mtako huo khaaaaa na nilikua nautamani kweli kweli, lakini nilivumilia tu nika kataa kula kinyume na maumbile yake, japo kanipa mwenyewe, sikutaka kumharibu dada yangu kabisa,.... Ila kumpakua njia ya kawaida sikumuacha tena nilimrusha rusha hapo kwenye gari mpaka akaomba poo, yaani nilimfanya mpaka akasema basi, baada ya kumuacha nilimvalisha chupi yake huku akiwa ameniegemea kifuani,....

    "kweli tuna laana aisha, yaani dada yangu nakuvalisha chupi khaaa kweli hii ni laana kubwa kwakweli"

    "achana na hilo, ila kusema ukweli sheby nilikua nina nyege haaaaa yaani we acha tu nakushuru umezitoa zote yaani sasa hivi najihisi mwepesiiiiiiii kama nipo mbinguni vile"

    "yaani maneno mazito kama hayo unathubutu kumuambia mdogo wako kweli"

    "ivi we sheby, yaani kweli umeukubali huu undugu?"

    "aisha, mama sio mjinga, afu mimi ndio ilitakiwa nikukatae wewe, maana ndio leo tumetambulishwa kua ni ndugu, lakini mimi nimeishi na mama toka nikiwa mdogo afu leo uje useme sio ndugu, acha ukichaa dada, mapenzi yatatupeleka wapi, eee au tuseme mama etu ni kichaa si ndio"

    "hapana ila"

    "ila nini wewe, sisi ni ndugu yani we kataa kubali ila sisi ni ndugu tu"

    "sawa nimekubali kua ni ndugu, lakini nitakusahau vp mpenzi wangu mmhh nipe njia basi ili nikusahau"

    "we jitaidi tu dada, yaani fanya juu chini unisahau, utapata mwanaume na atakukuna kama mimi"

    "najua kua nitapa mwanaume ila sio kama wewe sheby"

    "utapata tu"

    "sawa ila sidhani kama nitakusahau, tena kwa jinsi unavyonifanya uuuuuuwiiiiiiiiiii yaani we utabaki kua mpenzi wangu tu hata iweje labda nife su ufe"

    "hebu twende nyumbani tusije shtukiwa, ila mapenzi na wewe mwisho leo"

    "nyoooo sjui nani atakuskia"



    Basi niliwasha gari kisha tukawa tunarudi nyumbani,

    "we usinilalie sasa"

    "bwana niache uko, tukifika karibu na nyumbani nitatoka kifuani kwako"

    "daaahhh yaani najuta kwenda tanga aaaaaaahhh mschiuuui"

    "sheby unanisunya"

    "ndio, kwakua huna akili"

    "hata unitukane sikuachi ng'oooo"

    "mschiuuuuu lione vile"

    Basi nilikua nampiga mkwara mpaka tukafika nyumbani na kuingia,

    "eeee mmependeza jamani kitu na dada yake huyo"

    Tulikua tunatabasam tu kwakua mama ndio alituambia hivyo, lakini aaangejuaa heee ni balaa tupu, yaani hapo hakuna cha undugu wala nini.... Sasa kwakua aisha najua ni ndugu yangu na ili nimpotezee mawazo niliona nimkabidhi ila gari yangu, ili atumie yeye na anti mwaju kwa kuelekea sokoni sokoni na kadhalika,..... Niliwaachia ile gari yangu aina ya LAMBORGHINE kisha mimi nikawa natembelea ile mpya nilioletewa na Daddy kutoka south africa,

    "kaka asante"

    Alinishukuru kinafki na kuniita kaka lakini walaa hakuna cha kaka wala nini

    "aaaa usijali ila mtaitumia na mama afu mi nitatumia ile mpya"

    "sawa mwanangu tunashukuru, maana nitakua dukani siendi kwa tax"

    "sawa, ila vp biashara inaenda vizuri"

    "ndio tena kwa kuo za kike zinauliziwa kila siku ya mungu, yaani hata muda wa kwenda kufungasha sina"

    "aaaaaa lakini kwa sasa nadhani aisha yupo hivyo itakubidi ukafungashe ili duka lisipungue nguo, au kama tatizo ni pesa usema mamy"

    "apana baba pesa ipo ya kutosha mpaka basi, maana wiki yote hii nauza vizuri tu"

    "sawa mama ngoja niende ila kuna pesa kidogo nitakuletea"

    "sawa baba sio mbaya tukiongeza biashara, hasa nguo za kiume pia wanazitaka sana"

    "sawa ngoja nilifanyie kazi"



    Basi sikuchukua muda niliondoka zangu mida ya saa kumi nikaelekea zangu nyumbani kwangu, maana sasa hivi nimeshahamia kabisa na kule kwa mama wa kiarabu hua naenda kusalimia tu,

    Sasa nilipofika getini kwangu niliona mtu kasimama anaangalia huku, tena alikua ni mwanamke, ila sikumuona ni nani, na wakati huo nipo ndani ya gari nikielekea getini kwangu, nilinyoosha mkono na kuminya rimote kisha geti ikawa inafunguka, lakini ghafla yule mtu alinimulika na kioo machoni, sasa ile kufumba macho tu nilikata moto hapo hapo na uzuri ni kwamba gari ilikua ni automaticaly hivyo nilipoachia less padel kwa nguvu ilizima kabisa



    Nilipokuja kushtuka nilijikuta nipo ndani tena kitandani, nikiangalia mbele naona mtu lakini sikua nikimuelewa.... Sasa baada ya kutoa macho vizuri nilimuona, alikua ni madam shufaa tena alikua anacheka cheka hovyo kuashiria ushindi juu yake,

    "madam, umekuja saa ngapi mama, aiseee mwalimu nakupenda mpaka basi, tena ulijuaje nina hamu mpaka kwenye visigino"

    "Heheeeeeee haloooo leo umepatikana leo, ukitaka nikupe mwili wangu, kwanza pesa mbele baba"

    "pesa tuuuu yaani pesa, we sema unataka shingapi nikupe"

    "milioni kumi tu zinatosha"

    "kumi, kumi kitu gani sema mia"

    Ndani nilikua nina milioni mia tano ambayo kama unakumbuka lile gawio nililopewa, nikanunua hii nyumba kwa shilingi milioni mia nne bonge la nyumba ikulu cha mtoto, afu nikamnunulia yule mzee anaenitaftiaga nyumba, nilimnunulia nyumba ya shilingi milioni 80 kisha nikampa na milioni 20 kama shukrani kwake, sasa nikawa nimebakiza milioni mia tano keshi..... Sasa huezi amini niliingia ndani na kuzitoa zote na kumpa madam shufaa, baada yahapo ndio akakubali kunipa 0714 ila hakuvua nguo alinipanulia tu kidogo kisha nikapiga bao moja, afu akasogea na kusema



    "hapa ni pesa tu, vp una zingine kama hizi kalete nikupe bao la pili"

    Siwezi kuamini sijui madam shufaa aliniekea nini mpaka nimekua fara kiasi hiki,

    "mama tatizo ni pesa ngoja niuze gari yangu chapuuu"

    "ah ah ngoja usiiuze kwanza, kwani hio gari kadi yake si unayo?"

    "ndio ninayo ipo pale kwenye droo"

    "nipe sasa unasubiri nini"

    Huezi amini niliichukua ile kadi na kumletea,

    "lete kalamu"

    "ya nini sasa"

    "si usaini kua umenikabidhi gari hio"

    "aaaaa ni hilo tu, basi kalamu hii hapa"

    "tia saini hapa kua gari umelikabidhi kwangu"

    Huezi amini kweli nilianguka saini bila hata ya kufikiri kua ninachokifanya ni ujinga mtupu,

    Sasa baada ya kuanguka saini madam shufaa alinipa 0714 mpaka nikaridhika, kisha akaondoka na zile pesa pamoja na gari yangu, yaani nilikua naona akiondoka na gari yangu lakini sikua nikisema kitu...

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lakini sasa cha ajabu na cha kushangaza akiondoka akili yangu inarudi kua nzima, sasa ndio nikajiuliza kwanini nifanye ujinga kama ule, nilivuta simu na kumpigia lakini sasa akipokea maneno ninayoongea ni mengine tofauti na nilivyo panga, yaani mfano kama nimepanga nimkoromee arudishe vitu vyangu, akipokea simu naanza kusema mengine ambayo hayapo,



    BASI, BAADA YA MIEZI MIWILI KUPITA NA HUU NI MWEZI WA KUMI NA MBILI TAREHE 20, NILIKUA SHULE NIKIANGALIA MATOKEO YANGU



    Kila mwanafunzi nikikutana nae namuuliza kuusu mimi nimefaulu au laa, lakini hawaniambiaa, maana mimi nilikuepo maeneo ya shule ila nilikua bado sija yafikia matokeo pale yalipo bandikwa,



    Sasa nilipoyafikia na kuangalia namba yangu, mungu wangu, nilihisi kuzimia maana nilihisi kizungu zungu huku maumivu ya kichwa yakiniandama katika kichwa changu, yaani huezi amini matokeo yangu yalikua ni ziro

    Yaani sikuamini macho yangu kwa nilichokiona pale

    "aiseee ivi hii ni namba yangu au nimebadirishiwa"

    Nilimuuliza jamaa mmoja hivi aliekua pembeni yangu,

    "unamuuliza nani, si ulikua unajifanya play boy mpaka kwa walimu, haya sasa unaona faida yake"

    Sikukaa vizuri mara nilishikwa bega.... Kugeuka alikua ni sir juma, headmaster

    "usilie sheby, kwani hata mimi najua hio sio akili yako, yaani hio namba hapo juu ni yako lakini kuna mtu kakuchezea, maana siku ile ya mtihani niliona mitihani yako yote, kabla haikufika NECTA ulifanya vizuri sana, lakini nami pia nimeshangazwa na hayo majibu yako yamekuaje hivyo"

    "sir juma, yaani kweli mimi nipate F masomo yote kweli, yaani hata nisingefanya mitihani yote lakini 'F' nisingeipata mwalimu"



    Sir john alinifariji sana lakini haikuseidia kitu, yaani huezi amini nimefeli tena katika shule nzima tumefeli wanafunzi watano tu yaani sikuamini macho yangu kwa kuona matokeo yangu yalivyo........

    Nilitoka zangu pale shule huku nikiwa nina uchungu na hasira za kufeli, yaani sikua na 'D' hata moja ya kunifuta machozi, masomo yote saba nimeongoza 'F' tu yaani roho ilikua ikiniuma kuliko chochote kile,



    Lakini nilipofika getini nilikutana na madam fau huku akicheka ile mbaya

    "ivi madam fau ivi huna hata mtoto wewe, na kama huna mtoto je hutarajii kupata mtoto, na kama pia hutarajii, je hata ndugu huna, aisee madam fau ulichokifanya kwangu sio vizuri, na najua ni wewe tu ndio umefanya ushenzi wako, ila haina shida yote maisha"



    " Eheheeeee halooooo nilikuambia mimi utakuja nililia mieeeee, sheby ulinitukana mpaka nikajiskia mavi mbele za watu,..... Tena sasa kwa taarifa yako, yule mwanafunzi wa kwanza kufaulu ulikua ni wewe yaani yule wa kwanza alikua ni wa pili kutoka wewe, lakini kwakua wewe ni mtoto tu kwangu na ndio maana nikahonga pesa zangu zote, ili tu nikukomoe,.... sasa chagua moja kurisiti au kuachana na mambo ya shule... . Kwaheri"



    Yaani kwa hasira alizonipandisha nami nikaona ngoja nimnyookee mama angu,



    Kwanza nilipitia kwa anti mwaju, nikiwa nina kile kibaiskeli changu, maana gari nishaahonga, gari ya milioni mia tano nimeihonga kwa mwanamke, nilienda kwa anti mwaju tena kwa bahati nzuri nilimkuta na baba yupo kwa anti mwaju...

    "anti na baba, mimi naenda kumpa makavu yake yule mama kule"

    "we mtoto una nini, sasa ukampe nani makavu"

    Niliondoka bila kuaga maana niliona wananichelewesha



    Nilifika nyumbani kwakina zai kisha nikaingia kwa hasira hizo na kumuita mama yangu kwa jina lake kabisa

    "we sonia, we sonia husikiii"

    Mara dada nusura alitoka, kumbe na yeye alikuepo,

    "we unamuitaje mama ivyo"

    "we nawe usinizoee fara wewe,"

    "sheby hebu kua na adabu pumbavu wewe"

    Mara mama akatoka huku akiuliza

    "kuna nini huku mbona kama mnagombana"

    "sio kugombana, we mwanamke ni mbaya sana wewe, kwanini unipeleke kwenye shule ya kishetani mpaka nimefeli, kwanini usingeniacha kulekule ashraff, wewe mama ni mbaya sana wewe, haya sasa ona raha nimefeli mtoto wa mwenzio"

    "jamani, mbona simuelewi huyu mtoto"

    "utanielewa tu, kwanini uniamishe shule eee?"

    "sheby mwanangu mbona sikuelewi"

    "nani mwanao, afu kumbe hujui,... Sasa kwataarifa yako mimi sio mwanao muulize huyo mwanao hapo atakuambia kila kitu"

    "sheby sheby hebu punguza hasira, ivi unajua kua unanitukana, yaani nikuweke tumboni miezi tisa leo uje useme ushenzi wako hebu funga domo lako hilo"

    "wewe sonia funga domo lako mwenyewe, umenilea kipumbavu kazi kunitafutia wanawake tu mpaka nikawa najiuliza ivi wewe ni mama angu kweli.... Kumbe ni kweli sio mama angu mschiuuii"

    Mara dada nusura akaingilia kati na kusema kua

    "sheby hata kama sio mama ako lakini hupaswi kumtolea maneno machafu kiasi hicho"

    Mara mama akamgeukia nusura na kumuuliza kua

    "na wewe unamsapoti huo ujinga wake"

    "mama, ni kweli sgeby sio mwanao"

    "ati unasemaje"

    "ndio, sheby ni mtoto wa anti mwaju"

    "Whaaaaaaaaaat? Anti mwaju huyu aliekua mfanyakazi wetu"

    "ndio"

    "mungu wangu nakufa mie uuuuuuwiiiiiiiiiii sasa kwanini usiniambie mwanangu, ila hii kesi lazima niifufue hata kama ni ya miaka mingi, lazima anti mwaju ataijibu hii kesi, mtoto wangu yupo wapi na alikufaje"



    Mara ikasikika sauti nyuma yangu ikisema

    "mtoto wako ulimuua mwenyewe kwa mikono yako, sasa hio kesi waifungua ya nini"

    Heee wote tuligeuka na kushangaa kwa kumuona huyo alietaamka hayo maneno yaliomchoma sonia au mama yangu mlezi,





    Niligeuka haraka haraka haraka ili nimuone huyo mtu alietaamka maneno hayo, maneno yaliomkosesha raha mama angu, Lakini hakua mtu mwingine bali alikua ni baba ndio aliongea maneno hayo,

    "baba zai, unanisaliti, hukumbuki kiapo chetu mimi na wewe tuliapiana nini"

    "nimekusaliti kwakua unataka kuipoteza familia yangu, hivyo nakuruusu ukaifungue hio kesi ila kaa na kujua kua mimi nipo nitautoa ushahidi wote, na mbaya zaidi sitaki tena kushiriki katika mali za kishetani, mali zilizosimama kwa damu za watu ni mali gani hizo"

    "baba zai, hebu wacha kuongea maneno machafu kiasi hicho, kumbuka ahadi tulioahidi juu yetu"

    "nimesema hivi, sitaki tena na nipo tayari kufa kuoza lakini kushiriki katika mali kama hizo sitaki"

    "ok sawa, ila nakuapia lazima hii kesi ifunguliwe nataka nifunge mtu jela"

    "utamfunga nani mama"

    "yaani wewe na mwajabu lazima mnyee debe"

    "basi hata nusura anapaswa awepo huko jela, maana mtoto alipokufa alifia mikononi mwake....... Sheby mwanangu wala usiogope kitu hapa hafungwi mtu"

    "baba zai, yaani nasema hivi lazima nikufungulie kesi"

    Mama alikua ana hasira mno huku akitetemeka kwa kukosa nguvu ya kusimama

    "huezi kunifunga sonia, ushahidi wote mimi naujua, mimi nimeuwa ndugu zangu karibia wote kisa pesa,... Wewe ndio huna hata ndugu wa dawa, wote ulisha wamaliza kwa tamaa zako za pesa, nikaona kwakua huna mtoto wa kumtoa tena ili mali iendelee kusimama, nikaona bora nikuachie mzigo wako maana utakuja kuniulua mwanangu buree"

    Mara anti mwaju aliingilia kati na kusema

    "kwani huyo mtoto alimuuwaje"

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baba alimpa story nzima jinsi ilivyokua huko walipomuua sheby,

    "mwajabu, huyo sheby huyo, sisi tulienda south Africa, tulipofika kule tukaambiwa kua ili mali zetu ziendelee kusimama, tunahitaji kuua mtoto mchanga, haijalishi ni wa kike au wa kiume, kikubwa awe wa kuanzia siku moja mpaka miezi saba, yaani katika ya hio miezi ila kama kazidi miezi saba huyo hataki,..... Sasa huyu mwanamke akapigia pla ya kumuuwa mtoto wako ambae ndio huyu sadiki, Lakini wakuu wakamwambia huyu mtoto hatakiwi wa damu nyingine bali anatakiwa wakwake kabisa,...... Majibu alioyaacha sonia pale kwa wakuuu, alisema kua

    "liwalo na liwe ila itakua vizuri afe yule mtoto wa mwajabu" Na wakuu nao wakamwambia kua tutajaribu kumvuta huyo mtoto wa mfanyakazi wako, ila ikishindikana tutamchukua mwanao, kweli sonia akakubali,...... Sasa baada ya zoezi kuisha kwa wale wakuu hawakutupa taarifa kua walifanikiwa mtoto yupi kati ya sheby na sadiki, na ndio maana kuna siku nilikupigia simu nikakuuliza wewe upo salama, ukaniambia upo salama, nikakuuliza je mtoto yupo salama ukaniambia ndio yupo salama,....... Sasa kumbe wale wakuu walishindwa kumvuta sadiki kwakua haikua damu ya mhusika dahihi, badala yao wakamvuta sheby ambae ni mtoto wake,.... Na nyie kwa akili zenu za kujiongeza, mkamzika sheby kisha jina la sheby mukampa sadiki.... Lakini mwanae sheby alimuua mwenyewe na tamaa zake"



    Mzee aliongea yote yaliojiri huko kwenye ushetani wao wa kutafuta pesa kwa kutumia damu za watu, Sasa sonia..... JAMANI UKISIKIA NENO SONIA BASI UJUE NI YULE MAMA YANGU WA KIARABU AMBAE IMESEMEKANA SIO MAMA YANGU MZAZI, NA UKISIKIA MWAJABU BASI UJUE NDIO HUYO MAMA YANGU MZAZI ALIEKUA MFANYAKAZI WA SONIA....



    "sawa baba zai nimekubali kua nimeyafanya hayo, na hio kesi sintoifungua tena, yaani naachana nayo kabisa... Ila ninachokiomba naomba niendelee kukaa na sheby"

    Mara anti mwaju akadakia juu kwa juu

    "weeeeee tena usiniitie mwanangu jina la mtu aliekufa, mwanangu anaitwa sadiki"

    "sawa haina shida, lakini baba zai kwanini ulinisaliti na kutembea na mwajabu"

    "mama zai, mimi sikukusaliti, ila unakumbuka siku uliotuambia tulale na mwaju ili tupate mtoto wa kiume, sasa ile siku tulikudanganya tu, lakini tulishafanya usiku ule ule"

    "sawa, lakini naombeni niishi na sadiki maana nimeshamzoea"

    "weeeee ili uniulie mwanangu, tena kwa taarifa yako nawataka na hao wa kike usije niulia mimi"

    "wakike wapi hao"

    "si hao akina nusura na zaituni"

    "weeeeeeeee koma baba wewe, sasa kwa taarifa yako hawa watoto kila mmoja ana baba yake, yaani wewe ushukuru ulivyochepuka na mwaju lakini usingepata kitu apa"



    Sasa nikiwa nipo hapo naendelea kuwasikiliza, simu yangu iliita, kucheki jina alikua ni madam shufaa, Niliipokea haraka haraka, kisha akaniambia nimkute kule nyumbani kwangu..... Hasira za kufeli ziliisha baada ya kumsikia madam shufaa akiniii,. ... Nilichukua BMX yangu na kuwaacha wakiendelea kurumbana, maana mambo mengine hayakua yakiniusu...

    Nilipofika nilimkuta madam shufaa yupo getini ananisubiria, nilipomuona nilifurahi sana maana ananipaga kitu roo inapenda, Lakini alikua anaonekana kakasirika sana

    "mama nini mbona kama umenuna nuna vile nini shida"

    "kwanini umechelewa, yaani mi nakaa nje kama mlinzi kwanini lakini, afu hebu fungua nikuambie kitu"

    Nilifungua geti la nyumba yangu huku yeye akiingiza gari ile ile niliompa mimi, sasa tulipofika ndani, Madam shufaa alinza kuniomba pesa

    "kwanza gari imeisha mafuta, inatakiwa nipeleke gereji, kwaio nataka pesa"

    "sawaaa kwani tatizo ni nini mamaa"

    Nilitoa kadi yangu ya benki na kumkabidhi

    "shika hii kadi nenda katoe kiasi kinachohitajika afu unirudishie kadi yangu"

    "kwani kuna shing ngapi humu"

    "kuna milioni 4 tu"

    "aaaaaaa hizo hazitoshi bwana.... Afu dia ile gari yako nyingine uliokua ukija nayo shule kabla ya hiii, iko wapi ile gari"

    "aaaa ile nimemuachia mama yangu aendee sokoni tu, vp nikaichukue nikupe"

    "ah ah achana nayo.... We fanya mpango wa kuniongezea pesa"

    "ok.... Kwenye hii line yangu ya simu kuna milioni mbili, sasa twende tukatoe basi nikuongezee mama au vp"

    "tutaenda baadae bwana....... Sasa"

    "nini tena mpenzi eee.... Mtoto wa kitanga umejaaliwa duuu"

    "ebu niache"

    "aaaaa kwani kuna tatizo mamy"

    "ndio"

    "nini tena, kama ni pesa nimeshakupa"

    "mi nataka hii nyumba yako iwe yangu ili tuishi wote"

    "aaaaaa sasa hilo ndio likukasirishe, we kalete vitu vyako uje tuishi mama"

    "apana mi nataka unibinafsishe iwe yangu bwanaaa"

    "aaaaaa hilo ni sawa tu, yaani hata ukitaka zile kampuni nilizopewa na baba mi nakupa tu"

    "Enheeeeee hapo sasa umenena jambo, fanya hivyo basi, kalete nyalaka ya nyumba na hizo kampuni, afu nitakupa huku ujibwedeee"

    "haaaaaa kweli shufaa?"

    "ndio we kalete unitilie saini tu"



    Huezi amini kwa jinsi nilivyokua bwege, nilienda kwenye droo yangu, ya kuekea vitu vya siri, nilitoa nyalaka ya nyumba hii pamoja na yale makampuni niliopewa na baba kama zawadi kwangu,...... Nilienda kumkabidhi na kutia daini kabisa kua mali hizo ni za kwake, japo hakukua na mashaidi lakini sahihi yangu ilikuepo ya kudhibitisha jambo kama hilo,..... Nilipomaliza kutia saini,



    Madam shufaa alinipiga bonge la kibao mpaka nilizunguka mara mbili mpaka chini, Nilikata moto kwa muda mfupi tu,..... Nilipokuja kuzinduka nilikua sielewi elewi, maana nilimkuta mezani anakula kuku wa kuchoma huku akiwa ananibinulia midomo

    "we fara, nani kakuruusu kuingia humu ndani"

    Akili yangu ilirudi kua kama zamani na nilikua naweza kumkoromea,

    "heeeeee unanifokea na kwangu, we ndio fara, tena toka ndani ya nyumba yangu"

    "heeee kweli madam shufaa utakua umechanganyikiwa, yaani umfukuze mtu na nyumba yake, afu siku ile nilipokua naenda shule kupiga pepa nilikuambia staki mazoea na wewe, sasa kwanini leo umefika hapa,..... Nyie wanawake vp nyie kwani mwanaume ni mimi tu.... Hebu toka kwangu nisije kukuvuruga sasa hivi"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilikua naongea kwa kujiamini sana, bila kujua kumbe tayari nilishaharibu mambo



    "sheby, unajua hujui lolote lile ulilofanya, hebu ona haya makaratasi yalivyo"

    "heeeee hizi si nyalaka za makampuni na hii nyumba"

    "ndio, kwani huoni"

    "we umezitoa wapi.......... Haaaaaaaa nani katia saini kua mali ni zako"

    "Heheeeeeeee halooooo, we unaona hio saini ni ya nani"

    "mtumeeeeee.... Ah ah mi sikubali toka kwangu"

    "wacha hasira sheby, mali zako zote Tayari umeshanikabidhi... Na wewe ndio wa kutoka humu ndani ila sio mimi.... Na kama hutaki sema niite polisi sasa hivi nikukemee mwizi"



    Huezi amini leo ndio ilikua siku yangu ya kwanza kulia kwa uchungu,

    "shufaa ivi nimekukosea nini mtoto wa mwenzio eee, yaani umenifanya zezeta mpaka nikakubali kufanya huo ushenzi"

    "sitaki lawama zako, mschiuuuuuuu, we si unajifanya kidune sana,..... Haya nafumba macho na kufumbua nisione nguo yako hata moja humu ndani, yaani uondoke na usinijue tena"



    Kiukweli sikua na jinsi ya kubisha maana nyalaka zinaonyesha sahihi ya kuuza nyumba na makampuni ambayo nilipewa na baba......

    Nilitoka na begi langu kubwaa liliojaa nguo zangu, nilichukua na Baiskeli yangu ambayo ndio nimebakiwa nayo, Sikua na pakwenda tena zaidi ya kwa anti mwaju, maana kule kwa mama wa kiarabu nilisha haribu tayari....

    Niliingia ndani kila mtu alinza kunishangaa, huku mimi machozi yakini mwagika mfululizo....

    "sadiki mwanangu, nini shida, mbona una mabegi saa hizi alafu unalia"

    "mama, we acha tu, na sijui kama baba atanielewa kwakweli"

    "kwani umefanya nini, afu umekuja na baiskeli, hilo gari bado halijafaa huko gereji"

    "mama, Gari, nyumba, na zile kampuni"

    "zimefanyeje hizo kampuni"

    "mama naomba unisameee, kiukweli nilifanywa zezeta kwa muda mfupi tu, hivyo nilijikuta natoa mali zote bila kujua"

    "hebu nyoosha maelezo we mtoto, unasemaje"

    "mama. . Mali zote zimechukuliwa, yaani nimetia saini za mali bila mimi kujua kua nafanya ujinga"

    Mara nikaskia mtu kadondoka nyuma yangu huku akisema

    "mtume roho yangu"

    Kumbe baba alikua kwa nyuma akinisikiliza, na alizimia baada ya kupata habari ya mimi kutoa mali pasipo kujua, maana ni bora ningeuza ingekua nafuuu,

    "baba, babaaaa"



    Daahhh nilienda uwani na kuchukua ile gari niliwaachia kwa ajili ya sokoni kisha nikampakia baba na kumuwahisha hospitalini mara moja, saa hio nilikua na akili zangu timamu,



    Tulimfikisha mpaka hospitalini kisha sisi tulizuiliwa kuingia nae wodini, hivyo aliingizwa mwenyewe, nasi tukabaki nje huku tukiwa na hofu kubwa juu yetu,.......

    Mara dokta alitokea na kuniita mimi... Alinipeleka ofisini kwake na kuniambia kua

    "we kijana huyu mzee ni baba yako"

    "ndio dokta ni baba yangu"

    "aaaaaaa pole sana kijana, ila tunasikitika kua baba yako hatunae tena"

    "Ati nini dokta"

    "huo ndio ukweli halisi, kwani baba yako alikua ana presha kubwa, na pia alikua ni mgonywa wa kisukari, na pia inaonekana kuna kitu mulimwambia hivyo kilimpelekea hadi kupata umauti"

    "aaaaaayaaaaa babaaaa kwanini umetuacha ghafla"

    Mara mama alisikia nilipokua nalia

    "sadiki mwanangu, unamaanisha baba yakohatunae tena"

    Sikumjibu kitu bali nilimfata na kwenda kumkumbatia mama yangu ili tufarijiane maana ni ukweli usiofichika



    BAADA YA WIKI MOJA KUPITA



    Na leo tulikua njiani tukitokea tanga kwenye mazishi ya kumzika baba, na tulikua tumeshaingia arusha.... Kwani tulienda watu wote, mimi na mke wangu jasmini na mama pamoja na dada aisha, na tulikua na ile ile gari aina ya Lamborghine.... Sasa tulipokua tu kwenye kona ya kuingia njia ya nyumbani kule kwa mama au anti mwaju, nilishangaa kuona kuna gari imesima katikati ya barabara ambayo ndio ya kuingilia kwenda nyumbani, yaani tuiache lami ili tuingie mtaani....



    Sasa nikiwa bado nashangaa na kujiuliza kuusu hio gari, mara kulishuka watu walioongozwa na zamda, nikajua Eheee ile kesi ya zamda alioniambia sasa ndio hii

    "sheby, unawajua hao watu wanaokuja"

    "mmmhh hapana mamy"

    Ilibidi tushuke wote kwenye gari mpaka wale watu pamoja na zamda walitufikia karibu,

    Nikamsikia zamda akiwaambia wale watu kua

    "huyo kijana wenyewe ndio huyu"

    Nikawaskia wale jamaa wakisema kua

    "ahaaaa kumbe wewe ndio kidume wa kuchafua watoto wa watu, yaani sisi kama serikali tumeamua kunseidia huyu mtoto wa kike, afu wewe kidume au dume la mbegu unakuja kuharibu. . . Sasa hiiitakuhusu, lazima utumikie adhabu ya kuichafulia serikali mpumbuvu mkubwa wewe"

    Walikuja na kunikamata pale pale familia yangu ikiona hivi hivi nafungwa pingu...

    "jamani akina baba hebu subirini kwanza.... Mwanangu ana kosa gani jamani, maana wiki yote hii tulikua tanga kwenye msiba na leo ndio tunarudi, hata ndani tu hatujafika baba"

    "mama, tutakuhitaji kituo cha polisi ufike mara moja, na kesi ya mwanao tayari faili lake lilishaandikwa, hivyo tulikua tukisubiri amalize mitihani yake ndio tuje tumchukue, tena kwa bahati nzuri kafeli... Pumbavu sana huyu"

    Walianza kunivuta maskini ya mungu sikua na ujanja wowote ule zaidi ya kukubali kosa.....

    "sadiki mwanangu umefanya nini tena baba, hebu ona sasa maisha yako yataishia wapi mwanangu"

    Mama slilia sana lakini haikuseidia kitu chochote kile, zaidi ya kuniangalia jinsi ninavyo vushwa barabara ili nikapande kwenye gari yao, nami nilikua nalia kwa uchungu mkali maana nilikua naiacha familia yangu kwenye matatizo,.... Mama na dada walikua wakilia mno, ila aliekua akilia zaidi alikua ni mke wangu



    Lakini nilishangaa kumuona mke wangu akilia huku akinionyesha tumbo, kana kwamba alikua akinipa ishara ya kua ana mimba....

    "aiseee ndugu zanguni, nipo tayari kutumikia adhabu hii, ila naombeni dakika moja tu, nimuage hata mke wangu"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "ah ah hakuna twendeee"

    Mke wangu alikua akitamani kuvuka barabara ili aje lakini hakupata nafasi hio,

    "brooo plz nakuomba dakika moja tu"

    Mara kuna mmoja akamshauri mwenzie kua

    "afande, mpe hio dakika moja tu fasta fasta"

    Kweli yule afande alinielewa na kunipa dakika moja tu, tena kwa kuniamini hawakua wakinisibdikiza maana bado waliniacha nikiwa nina pingu mkononi hivyo nisingeweza kutoroka maana nikitoroka nitamletea mama angu matatizo



    Nilifika kwa mke wangu na kumfuta machozi nikiwa bado nina pingu mkononi, kila mtu aliekuepo maeneo hayo alikua akisikitika kwa jinsi nilivyokua nikilia mimi na mke wangu

    "jasu, nilikuona umeshika tumbo mama, labda ulimaanisha nini vile"

    "mume wangu, kiukweli nilitaka tukifika nyumbani ndio niku sapraizi.... Ila ukweli ni kwamba nina mimba ya mwezi mmoja"

    Jasu au mke wangu alilia sana lakini haikua na jinsi, nilimbusu kwenye tumbo kuashiria kua nampenda sana mtoto huyo,

    "jasu mke wangu, naomba mtoto wetu umlee malezi yenye maadili kama mimi nilivyokua hapo mwanzo, na kama atakua wa kiume basi naomba umuite RASHIDI na kama atakua ni wa kike, naomba umuite MWAJABU.... Nakuombea ujifungue salama salimi, ila usimuambie kua baba yako yupo jela, mdanganye vyovyote vile ila sijue nilipo mke wangu"



    Mara wale jamaa wakaniita

    "oyaaa muda muda wewe"

    Nilimalizia kwa kumuaga mke wangu na mama yangu pamoja na dada yangu.....

    "oyaaa wai basi"

    Niliharakishwa na wale maafande kua muda walionipa kuiaga familia yangu umekwisha.....



    Sasa ile nageuka tu nirudi kule kwa maafande, nilijikuta nimerushwa juu kwa juu mpaka ng'ambo ya barabara, nilichosikia ni kelele za mke wangu na mama, huku nikisikia piki piki ilionigonga nayo ikadondoka....... Nilikua natokwa na damu nyingi mno,.......

    Sasa maafande wakanichukua na kuniwaisha hospitalini huku familia yangu ikifuata nyuma nyuma ili kujua hali yangu ikoje,



    Nilingizwa katika chumba cha wagonjwa mahututi, yaani wagonjwa waliozidiwa, nilipoingia mama na wale askari walibaki nje ili kuletewa taari yangu, lakini sauti niliokua nikiisikia ni sauti ya mke wangu na mama angu wakiwa wanalia sana, maana nilikua nimegongwa vibaya na damu nyingi zilikua zikinitoka,..... Maaskari au maafande walikuepo hapo nje wakisubiri majibu ya mtuhumiwa wao,... Mama alikua akilia vibaya mno, ila mimi huku ndani nilikua nasikia tu yaani hata nifanyweje siwezi kuongea kabisa.....



    Mara dokta alitoka kidogo na kwenda ofisini kwake kuchukua dripu la damu, lakini wale maafande waliamka pamoja na mama huku wakimuuliza dokta kuusiana na mimi

    "dokta dokta dokta, mwanangu ana hali gani dokta"

    "subirini kwanza nichukue vipimo"

    Dokta aliingia ofisini kwake, lakini kwakua uchungu wa mwana aujuae mzazi, kwshio mama yangu hakukata tamaa ya kumfuata na kuendelea kumuuliza kuusu mimi, Lakini dokta hakumsikiliza japo mama aliingia mpaka ofisini huku akilia lakini hakupewa majibu yeyote yale na dokta,



    Dokta alirudi katika chumba ambacho mimi nipo, lakini ghafla nilijihisi kuchomwa sindano, kisha nikafunikwa shuka mpaka usoni,.... Huku dokta akisema

    "mungu akulaze mahali pema peponi"

    Dokta alitoka taaratibu nje huku akionekana kujifuta futa machozi kwa kuashiria uchungu juu yake,.... Maafande pamoja na mama angu walimkimbilia dokta na kumuuliza...... Lakini dokta alimuita mama

    "mama nakuomba ofisini kidogo"

    Kabla mama hajaenda, mara afande mmoja akasema kua,

    "dokta, huyo dogo ni muarifu, hivyo tunapaswa nasi kujua hali yake ili usalama uwepo juu yake hapa hospitalini"

    "ok sawa njoeni kwa wote ofisini kwangu"

    Waliingia wote, mama na wale askari katika ofisi ya dokta........ .

    "mama, nafikiri kua yule kijana ni mtoto wako"

    "ndio baba ni mtoto wangu"

    "aaaaaaa kiukweli kijana yule alipoteza damu nyingi sana, na kwa bahati nzuri aina ya damu yake ilikuepo, lakini kwa bahati mbaya, duuuuuuuu pia tunapaswa kumshukuru mungu.... Kwa kila atendalo juu yake... Kifupi ni kwamba kijana wetu amepoteza maisha"

    Niliskia kishindo cha kuanguka mtu, na si mwingine bali alikua ni mama angu ndio alidondoka na kukata moto..... Nae akawa mgonjwa papo hapo na kupelekwa katika wodi za wagonjwa wa kawaida...... Kwa upande wa maaskari walikuja kuniona na kunifunua,..... Walikuta tayari nilishawekewa pamba katika tundu zangu za pua na masikio...... Askari walitoka huku kila mmoja akisikitika kwa staili yake,



    Kwa upande wa mama yangu kule alizinduka maana alipata mshtuko wa ghafla.... Sasa baada ya kuzinduka alianza kuwatupia lawama wale askari, huku mama yangu akilia kwa kugala gala hapo hospitalini

    "mama, hupaswi kutulaumu sisi, kwani nasi tuliagizwa na wakuu wetu tuje tumkamate mwanao, na katika ajali nadhani tuliona wote kua ni piki piki ndio ilimgonga mwanao"

    "hapana, kama sio nyie mwanangu leo ningekua naeeee"

    "mama, nasi pia tunaumia juu ya mwanao kupoteza maisha, kwani nae ni binadamu kama sisi"

    Mama yangu alikua akilia sana mpaka askari wakajua anaendea kua chizi,



    Muda si mrefu manesi walikuja kunichukua na kunipeleka mochwali kuniweka katika jokofu, ili nisiharibike..... Huku familia ikinifanyie mipango ya kunisafirisha kwa ajili ya maziko katika mkoa wa tanga mahali walipozaliwa. Wazazi wangu......



    Nilisikia sauti ya mama ikimuambia dokta kua

    "usimueke huko mi nataka nikae nae hapa hapa"

    "mama, huyu kijana aliumia sana hivyo akiwekwa mahali penye joto ataharibika"

    "sitakiiiiiiiiiiii nimtaka mwanangu uuuuuuwiiiiiiiiiii sadiki baba umeniacha mwanangu. . Uuuuuuwiiiiiiiiiii"

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    STORY HII INA MUENDELEZO WAKE, NA ITAANZA HIVI KARIBUNI.. . ILA ITAENDELEA KWA JINA LINGINE LA STORY ITAKAYOFUATA...... KWAHIO INAONEKANA KUA JAMAA HAJAFA... JE UNAJUA ITAKUAJE KWENYE STORY IJAYO???...... BASI WE USIKOSE KESHO KUTWAA



    (MWISHOOOO)

0 comments:

Post a Comment

Blog