Search This Blog

Tuesday, 17 May 2022

MZOEFU - 4

 







    Chombezo : Mzoefu

    Sehemu Ya Nne (4)





    'Vipi kwani ulikuwa na hamu saana enh!?'

    'We acha tu Tom ni story ndefu, ntakuhadithia badae saivi najiandaa kwenda shule' Malha alilipotezea swali langu kwa namna hiyo na mimi sikutaka kumbembeleza, nikaamka kujiandaa na mimi niende shule.

    " Utanasa tu we subiri !" Niliongea mwenyewe nilipokuwa naweka dawa ya meno kwenye mswaki.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nikiwa shuleni majira ya saa tano kasoro asubuhi, Malha alinipigia na ijapokuwa ilikuwa ni muda wa break ( mapumziko) sikutaka kuipokea simu yake, kwa kufanya hivyo niliamini kutamuongezea hamu na shauku ya kunitafuta zaidi.

    Nikakaa kimya hadi majira ya jioni tulipotoka shule ndipo nikaamua nimtafute.Kabla ya kumpigia simu niliangalia salio la kifurushi changu kwanza, naam! Zilikuwa zimesalia dakika chache sana ambazo niliamini kwa ile hadithi yake ndefu aliyonitonya asubuhi zisingetosha, Nikaamua ninunue kifurushi kikubwa ambacho kingetosha huku nikiamini ndani ya hicho kifurushi hakuna kile atakachobakiza.

    "Ahsanteni kampuni za simu kwa kuturahisishia maisha!" Nilijisemea mwenyewe nilipokuwa nasubiri Malha apokee simu yangu!

    "Nambie mrembo wangu!" Nilimsabahi Malha kichangamfu baada ya kupokea simu.

    " Sitaki huko ! Kwanza nimekununia hapa!" Malha alinilaumu kwa sauti ya deko.

    " Yeethuuuu na mariah nimefanya nini tena aithee" Nilimtania Malha kwa lafudhi ya kichaga.

    " Ha ha ha!...toka huko!" Aliangua cheko laini sanjari na vineno vya kizushi, Nashukuru aliweza kucheka kwa hiyo trick (janja) yangu niliyoitumia maana huenda alinuna kweli.

    "Uko poa lakini?" Niliirudia salaam yangu baada ya kumuona yupo sawa.

    " siko poa hujui ulichonifanyia enh!?"

    " Najua tu kwakuwa sikupokea simu yako but mda huo nilikuwa class ma dia yaani nimetoka tu kitu cha kwanza nimetafuta vocha nikupigie!"

    " Haya bhana wee nidanganye tu!" Aliongea kwa upole Malha akionekana kukolewa na maneno yangu.

    " uko wapi saivi!?" Nilihoji.

    "Nimeshafika nyumbani tayari!"

    "Duh hadi nakuonea utamu!!....enhee nambie!"

    " hapo ulipo upo comfortable ( vizuri ) tuongee!?"

    " i think so" ( nafikiri hivyo)

    " ok Tom but am sorry kwa haya ntakayokwambia!"

    "Usijali we sema tu!" Nilimuondoa shaka Malha kisha akaendelea.

    " Unajua jana bhana ....nilikuwa na miadi na my boy ( mpenzi wangu) aje tusexy. Baasi nikawa nimejiandaa mwenyewe kimwili na kiakili, subiri!

    ..subiri na wewe, eti badae too late (amechelewa sana) ndio ananitumia limeseji ( ujumbe mfupi) ' baby am sorry nna dharura sitakuja' ( Malha aliongea huku akiwa kabana pua kana kwamba anaiga sauti ya mpenzi wake) Yaani nilikereka wewe Tom!?"



    " Sasa ukamwambiaje!?"

    "Nimwambie nini sasa?....Limeseji lake sikujibu na nimemnunia hadi leo!" Aliongea kwa kujitapa Malha.

    " Ah jamani sio vizuri ivyo mwenzako itakuwa alipata dharura kweli!" Nilimshauri kinafki huku moyoni nikimpongeza kwa alichofanya, yap yap mkazie hivyo hivyo nilijisemea kimoyo moyo.

    " wee Tom hujui tu nilivyokereka yani hadi muda huo nakupigia wewe simu unisaidie nilishajipiga vidole hadi basi!"

    " Uliridhika lakini!"

    " Yeah!...kiasi flani!"

    " Si ungevumilia tu aje mfanye leo!?" Nilitoa ushauri mwingine huku nikitamañi mimi ndio ningekuwa mwenye miadi hiyo.

    " Tom na wewe unataka kuniuzi eenh!?"

    " Haya basi basi naogopa kununiwa mwenzako!" Niliongea kimzaha na kabla Malha hajajibu kitu nikaunga maneno.

    " Dala dala limeshakuja my dia sasa tuendelee kuchati basi kwa meseji!" Ukweli ni kuwa dala dala haikuwa imefika lakini nilikosa pozi la kuomba kile nnachotaka hewani na hiyo ndio sababu ya kumuhamishia kimwana huyo kwenye njia ya ujumbe mfupi. Ukitaka kuua nyani usimuangalie usoni.

    " Malha unajua wee jana uliridhika lakini mi mwenzako haikuwa hivyo kabisa' ujumbe wa kwanza huo wa choko choko nilimchokoa Malha.

    ' Tom una maana gani?'

    'Naomba nije nikutembelee kwako!' Badala ya kujibu swali nikaongeza kizungumkuti.

    ' unataka uje lini?'

    ' Alhamis'

    ' Na shule je'

    'Ntakuja nikitoka'

    " Sasa si utachelewa?'

    ' Nikichelewa ntalala huko huko!'

    " Tom bhana acha masikhara'

    ' kweli ctanii'

    ' Aya muda ukifika tutapanga basi'



    Katika chating hiyo iliyodumu dakika kadhaa hatimaye nikawa nimeondoka na ushindi wa matuta (mbinde)



    Toka siku hiyo tuongee juu ya miadi hiyo nilihakikisha kila siku usiku naigusia katika mazungumzo yetu huku nikimchombeza mtoto huyo wa kitanga kwa mikogo ya kimahaba, Hatimaye ilifika Jumatano usiku, siku moja kabla ya Alhamisi ya ahadi kufika

    Nikiwa chimbani kwangu najaribu kupitia pitia tuliyosoma shule siku hiyo , simu yangu ilitetema (ilivibrate) kuashiria kuna simu inaingia, Naam!, Nilipoangalia kioo alikuwa ni Malha.



    " Hello Tom mambo!?" Malha alinisalimia kwa sauti ya kichovu lakini iliyokuwa na ladha ya mahaba.

    " Pouwah!...mzima weyee!" Nilimjibu huku nikifunga madaftari yangu na kujitupia kitandani, niliamini mazungumzo hayo yangedumu kwa muda mrefu.

    " Leo ulikuwa na mpango wa kulala bila kuongea na mimi...bisha!?"

    " Ah jamani mbona saivi bado mapema saana!" Nilijitetea bila kujua muda huo ni saa ngapi.

    " Tom saivi sio mapema inakaribia saa sita kasoro!...wee kubali tu yaishe!" Malha aliendelea kunibebesha mzigo wa lawama.

    " Hamna bhana mbona mapema tu!" Niliendelea kubisha huku naitoa simu yangu sikioni ili kuona ni saa ngapi.

    " Tom au ulikuwa busy na wifi yangu nini!?" Malha alihoji swali lililotangaza wivu ndani yake.

    " Hamna kitu ka hiyo, nilikuwa busy tu kuandaa scheme ya wanafunzi wangu kesho, si unajua tena vitoto vyenyewe hivyo vinasumbuaa!" Ili kuipotezea mada hiyo niliingiza utani wa kazi niliyozani ameifanya Malha kabla ya kunipigia simu.

    " Ha ha ha!...afuu we mtundu wewe!" Kicheko hicho cha Malha kilitosha kumsahaulisha lawama zake juu yangu.

    " Nambie unafanyaje saivi?" Nilimuhoji swali la kizushi baada ya kumuona yuko sawa.

    " Tom kuna kitu nataka kukwambia!" Malha badala ya kujibu swali langu akachomeka mada yake.

    " Kitu gani we niambie tu!" Nilijibu huku nikiacha kutikisa mguu wangu ambao nilikuwa nautikisa tikisa toka mwanzo wa mazungumzo ili kuvuta umakini.

    " Ni kuhusu lile ombi lako Tom!"

    " La kuja kesho au!?" Nilijaribu kubashiri kwa kuwa sikuwa na uhakika ni ombi gani lingine nilimuomba Malha.

    "Si hilo bhana ina maana umeshasau ama!?"

    " oooh nimekumbukaa,..nimekumbukaa!....enhee nambie!" Nilijibu haraka haraka kana kwamba nilikuwa nimekumbuka kweli lakini kiukweli sikufahamu kabisa binti huyu anataka kunieleza nini!.

    " Vipi kama ntakataa! Utafanyaje?" Malha aliniuliza swali la kimitego na hatimaye sasa nilianza kumuelewa anaongea juu ya nini.

    " Malha kiukweli kama utanikataa ntachukua kamba ya udenda kisha ntajinyonga kwenye mti wa mnyanya!" Siku zote nilipokuwa naongea na Malha maneno mazuri ya kimapenzi na sana sana nilivyomuomba game(penzi) bila shaka alijua nimempenda na nnataka kuwa naye, na siku ile alivyoniambia atanifikiria mi nilijua ni juu ya ombi langu la kwenda kumtembelea kumbe mwenzangu alifkiria mbali zaidi.

    Ukweli ni kuwa Sikuwa namtaka Malha ila nilikuwa nataka vitu vyake alivyonionjesha kwenye simu na ndio maana hata aliponiuliza kuwa iwapo atanitosa nitafanyaje. Nilimjibu kisiasa kuwa ntajinyonga kwenye mnyanya, hiyo ni lugha ya kisiasa iliyokuwa inamaanisha kuwa nisingetetereka kwa lolote!...ama ni mtu gani anaweza kujinyonga kwenye mnyanya tena kwa kutumia kamba ya udenda?.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    " Baasi Tom kwanzia leo nimekukabidhi moyo wangu rasmi!, naomba uupende, uujali na kuuthamini!"

    "Nakupenda sana Malha!" Nilitamka kwa furaha si kwakuwa nampenda Malha ila ni kwasababu ya kunirahisishia kazi yangu ya kesho!

    " Nakupenda zaidi my Tom!" Malha alijibu kwa sauti ya huba.

    " But vipi kuhusu boyfriend wako!?"

    " Huyo mbona nishammwaga kitambo tu!" Alijibu Malha kiunyonge kuonyesha kuwa hataki kuongelea habari za mtu huyo.

    " Honey!" Nilimuita Malha kutest zali.

    " Yes my baby!" Naye akajibu mashambulizi kuonyesha kweli penzi liko active ( hai ).



    * * * *



    Ni siku ya Alhamisi tena nikiwa mzigoni ( kazini ).



    " Yap!... yap!..... Ladies and Gentlemen kama ilivyo desturiii yaaani kama kawaa walee wazeee wa kukinukisha kwenye industry ya burudani nakuacha nafsi yako imepoa imetakatata, baasi leo hii tumedondoka pande hizi za bwalo la magereza kuhakikisha kuwa wewe mkazi wa pande hii leo unaondoka na furaha ya kutumia mwaka mzima. Show hii basi ikiwa inaletwa kwenu moja kwa moja na wale wababe wa burudani nchinii Tanzaniaaa, Numerator'sintertainment. Leo tutakuwa na burudani kadha wa kadha za kulipua na kifaru maana zile za kukata nashoka tumeshawaachiaga watoto, Basi bi mwanadashosti Senorita atafunguka kuhusu safu nzima ya mashambulizi, kuhusu nani na nani watafanya nini leo Stay attention everybody....Senorita?.. wasanukie!" Tofauti na siku nyingine za kazi leo hii nilikuwa mchangamfu kupita kiasi hata mc mwenzangu Senorita alidiriki kuniuliza kama nimeshtua kidogo ( nimelewa ) lakini sikuwa nimeshtua kitu chochote zaidi ya kushtuliwa moyo na Malha, Furaha ya siku hiyo ilikuja yenyewe (automatical) sababu mwili ulijua kuwa siku hiyo ungeenda kupata burudani maridhwa kutoka Tanga.



    Baada ya onyesho la siku hiyo kuisha, majira ya saa mbili za usiku ndipo nilikuwa free ( huru ) kwenda Kigambonino ( kigamboni ) ambapo kwa muda huo mimi nilipaita kisiwa cha burudani.

    " Hello baby uko wapi saivi!?" Nilimpigia simu Malha kuconferm (kuhakiki) kabla sijaianza safari.

    " Sorry baby nilimsindikiza rafiki yangu Karia koo ndo narudi saivi"

    " kwaiyo inakuaje sasa!?" Nilimuuliza Malha kwa ghazabu roho ikiwa imeanza kuchefuka.

    " Me nilivyoona upo kimya nikajua huji tena!?"

    " Siji vipi wakati tulishapanga!" Niliongea kwa upole huku nikizuia hasira yangu isitokeze nnje, tayari furaha yangu ilishaanza kuingia doa.

    " Poa njoo basi!"

    " ok am on ma way!" ( sawa nipo njiani)

    Baadaya kukata simu hiyo niliagana na rafiki yangu Amani huku nikimuachia kiasi cha fedha anitunzie kukwepa ufujaji huko nnakokwenda.



    ' Baby usisahau zawadi plz!' Malha alinitumua ujumbe mfupi nilipokuwa njiani.

    ' usijali bby!' Nilimjibu kifupi huku nikiamini kama ningemuuliza zawadi gani angenijibu yoyote nnayoipenda kwaiyo niliokoa muda.

    Baada ya kushuka kwenye kivuko huku nikitembea mwendo wa mbwa, Kuna kitu nilikumbuka hivyo niliangalia duka ambalo nnaweza kupata kitu hicho nami nikaelekea hapo.

    " Naomba unipatie juice yoyote ya apple tafadhali!" Nia na madhuni yangu ya kufika dukani hapo ni kununua condom lakini baada ya kukutana na mmama anayeuza nikajikuta nimebadili maamuzi ghafla bin vuu!

    ' potelea mbali ntauza hata mechi bhana' nilijiwazia baada ya kukatwa stimu na mama huyo, watu wengi huwa wanashindwa kununua kinga kwenye mazingira ya namna hiyo bila kujua aibu yako ndio kifo chako. nikalipia juice yangu na kuendelea na safari.



    Hatimaye nikafika na kuonana na Malha. Naam ilikuwa ni kwenye kituo dala dala na kuna mtu aliongozana naye.

    " Honey huyu ni mdogo wangu anaitwa Salha!" Alinitambulisha mdogo wake huku akimshika bega.

    "Ooh nafurahi kukufaham! Malha na Salha i like it" Nilimwambia Salha huku nikimpa mkono.

    " Salha huyu ndio shem wako niliyekwambia anaitwa Tom!" Malha alinitambulisha huku akinishika kiuno.

    Mdogo wake akatikisa kichwa kuonyesha kuwa amenikubali.

    " Baby naomba tuongee kidogo!" Aliniambia Malha huku akinivuta pembeni na bila shaka nikajua kuna jambo!.



    " Sorry Tom, unajua sikukwambia kama naishi na mdogo wangu sasa itakuwaje?, kwani utalala!!" Malha alijitahidi kuongea kwa sauti ya chini ili mdogo wake asisikie hali sauti yake kwangu ikiwa kama vile ananipigia kelele.

    " Sikiliza hun! Me nimeshaaga hom kuwa sitarudi leo na isitoshe time imeshaenda sana saivi, kama vipi wee nielekeze guest ( nyumba ya kulala wageni ) ilipo mi nikalale!" Niliongea kwa sauti kavu yenye mgandamizo wa bass.

    " ok wait a minute!" ( sawa nisubiri dakika moja) Aliongea Malha na kabla sijajibu kitu akaenda kwa mdogo wake.

    Aliongea na mdogo wake kisha wakaanza kuja wote mimi nilipo.

    " Shem nawatakia usiku mwema!" Aliniambia Salha akiwa na tabasam pana na kauli yake ikanifanya nitabasam pia kwani nilijua mambo yametiki.

    " Nawe pia mdogo wetu!....sikukubebea zawadi lakini chukua hii utakunywa soda!" Niliongea na Salha huku nikimshikisha noti ya shilingi elfu tano mkononi. Kwa kufanya hivyo nilijua hata yeye ataufurahia ujio wangu ndani ya Kigambonino.

    " ok baby good night!...take care eenh!" Malha alimuaga mdogo wake na safari yetu ya kutafuta nyumba ya kulala wageni ikaanza.

    Safari hiyo haikudumu nusu saa tukawa tumepata tulichokitaka.

    Tukajitoma ndani ya chumba namba saba, chumba ambacho kilitakiwa kutuhifazi hadi siku inayofuata majira ya saa nne asubuhi.

    " Sasa baby hom umeaga unaenda wapi!?" Aliniuliza Malha tulipokuwa tukikagua manthari ya chumba hicho chenye choo ndani kwa ndani ( self contained).

    " mimi mtoto wa kiume bhaana nimeaga nakuja kwako!" Niliongea kiutani na Malha akanisisitiza kuwa anataka kujua.

    " Nimeaga naenda kwenye harusi ya rafiki yangu afu itachelewa kuisha so ntalala huko huko!"

    " Wee mjanja kweli!.. mara ya ngapi leo unalala nnje?"

    " Aaanh honey nimeweza leo tu kwajili yako!"

    " kweli?"CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    " Ndio!"

    " Ahsante Tom wanguu!" Alinishukuru Malha na kunipiga busu la shavu.

    " Sasa baby utakula nini wajua muda umeenda sana!?" Nilimuuliza Malha huku nikijiandaa kutoka.

    " chochote baby utakacho kula wewe na mimi hicho hicho!" Aliniambia Malha kisha nikatoka na baada ya muda mfupi nilirudi nikiwa na mifuko miwili, mmoja ulikuwa na zege ( chipsi ayai) pamoja na mishikaki ya samaki na mwingine ulikuwa una fanta orange take a way.

    " Hivi uliiona zawadi yako eenh!?" Nilimuuliza Malha baada ya kuingia ndani na kuliona boksi la juice ya apple.

    " nimeiona baby ila hujanikabidhi!"

    " Ha ha ha!.. Malha bhana!' Nilicheka huku nikimkabidhi Malha zawadi yake mithili ya mshindi akabiziwavyo tunzo.

    " Haya tule sasa baby!" Niliongea huku nikiufungua mfuko ule wa chips.

    " Sasa ntakulisha hadi utakaposhiba eenh! Wewe ni baby wangu!"

    " Aaanh jamani!" Aliiongea kwa furaha Malha akiwa ameachama mdomo nimlishe chips.

    " Baby!?" Malha aliniita huku akitafuna na mimi nikaitika kwa kutikisa kichwa.

    " naomba nikuombe kitu!" Nilimuitikia tena kwa mtindo ule ule wa kutikisa kichwa.

    " Naomba leo tulale tu afu tutasexy siku nyingine!" Nilimkubalia kwa kutikisa kichwa hali nikijua hizo ni kelele za Chura zisingemzuia Tembo kunywa maji.

    " Baby sitakii!" Aliongea kwa deko Malha huku akigoma kula.

    " unataka nini mpenzi!" Nilimbembeleza kwa sauti tamu.

    " Nataka unijibu kwa mdomo!"

    " sawa mamii nimekuelewa!"

    " Kweli!?"

    "Ndioo"

    " thanks my love" alinishukuru Malha na kunipiga busu la mdomo. Mafuta ya chips yakabaki, nikayalamba kwa pozi, kitendo hicho kikamvutia, akanibusu tena ili anipake mengine, vivyo hivyo nikayalamba, mchezo ukamnogea, akaamua kunisaidia kuyalamba, ndimi zikawa zinagombea mafuta hayo na kutengeneza mchezo wa kuvutia, ghafla kibarua cha kula kikasitishwa, tukaanza kunyonyana papi za midomo yetu, kabla mchezo huo haujakolea nikaomba ruhusa nikaoge,nikakubaliwa kishingo upande, nikaelekea bafuni huku nikimsisitiza Malha kumaliza chakula kilichobaki.nikiwa bafuni naoga Malha akaona nachelewa akanifwata huko huko, bahati nzuri ndio nilikuwa namalizia, akanisaidia kujifuta na taulo mwili mzima huku akitumia muda mrefu kufuta sehemu zilizo nyeti, naam! Ulikuwa ni mchezo wa kuvutia pia.

    " Turudi chumbani honey!" Niliongea kwa tabu kutokana na Malha kuzibana nyeti zangu. Hakujibu kitu tukatembea na kurudi chumbani.

    Kufika akakitoa kikoi alichokuwa amejifunga kifuani mwake, moyo ukanipasuka paah!, nilikuwa nimeona vingi vya utamu katika mwili wake huku vichache vikizuiliwa visionekane na sidiria pamoja na bikini aliyovaa,

    " Baby naomba unipe hiyo suruali yangu!" Niliongea nikiwa kitandani huku Malha akiwa chini, akaenda kwa mwendo wa madaha suruali yangu ilipo, akaichukua na kurudi kwa mwendo huo huo. Baada ya kunipa suruali hiyo nikaisachi mifukoni na kutoa pipi kijiti aina ya yogueta.

    " this is for you baby!" Niligonga ngeli huku nikimkabidhi pipi hiyo Malha.

    " i want to suck original baby, i dont want this artificial one!" Aliongea Malha huku akitupa pipi hiyo niliyompa. Na taratibu huku akiwa ameachama mdomo aliifwata ndizi yangu!.



    Haikuwa tabu sana kuipata kwani ilikuwa imefunikwa na taulo tu, kitaulo kikatupwa kushoto na kama mc anavyokamata mic ndivyo Malha alivyoikamata pipi kijiti iliyotengenezwa kwa nyama ngumu sana aina ya gegedu, Taratibu bila wasi akaanza kupitisha ulimi wake kwa juu huku mimi mwili mzima ukinisisimka kwa raha, hakuishia tu kupitisha ulimi wake juu juu, alikizamisha kichwa cha pipi kijiti hiyo mdomoni, akaanza kukinyonya kama mtoto mwenye njaa afakamiavyo nyonyo huku akikisugua na meno yake ya chini kwa chini, utamu nilioupata hapo hauandikiki hata kidogo, Utamu uliendelea kunoga na mimi sasa nikaanza kuzungusha kiuno taratibu huku nikizichezea nywele za Malha na utamu uliponoga zaidi nilikikandamiza kichwa chake kwa nguvu kwenye pipi yake na mwili mzima ukanisisimka, zoezi hilo la kumpigisha mswaki maridadi kabisa uliosheheni nyama ngumu lilidumu kwa takribani dakika tano, baada ya hapo Malha alihamia eneo la juu la mbavu, huku alining'ata ng'ata kwa papi ( lips ) za kinywa chake na mkono wake wa kulia uliendelea kuiminya minya mipira miwili midogo iliyopo chini ya ndizi yangu, hakika sikujuta kukutana na mtoto huyu wa Kitanga, Shikamoo Tanga ( Heshima kwa Tanga) nilijisemea mwenyewe Malha alipokuwa akiendelea kugawa dozi.



    Ama kwa hakika mtoto huyu alikuwa anaujua mchezo, hadi muda huo mimi nilikuwa hoi sina hali na sasa nilikuwa natamani niichomeke pipe yangu hiyo kunakohusika ili nipate unafuu, sababu hali ilikuwa ni mbaya.

    Sikutaka kumwacha Malha aendelee kunitaabisha na badala yake mimi sasa ndo nilitaka nishike hatamu ili niongoze nnavyopenda.

    Nikambetua Malha aliyekuwa juu yangu, kisha nikalitoa titi lake moja ndani ya sidiria, nikaanza kulinyonya taraatibu huku mkono wangu mwingine ukiiminya minya chuchu yake ya titi lingine, zoezi hilo nililifanya maridadi kabisa huku nikiziachia pua zake kibarua cha kuingiza na kutoa hewa kwa kasi.

    " ooh! Tom.....aaash..ooh...ooh!..mmmh mm!" Alilalama Malha huku jicho likiwa limemlegea sana kanakwamba kala debe zima la kungu, Sikujali malalamiko yake hayo, sasa nilihamia upande wa shingo niliilamba shingo yake huku nikimng'ata ng'ata kwa upole.

    " uuh...ooh ...mmh..mmm....assssh!" Lugha yake ilikuwa ni ile ile kila nilipomgusa sehemu zenye msisimko.

    Baada ya kumtabisha sana Malha kwa maraha sasa nilielekea kunako tunda, nilizivuta kamba za bikini yake na zenyewe zikanitii kwa kufunguka, nikampa saluti mbunifu wa vazi hilo kwa kuweka kamba za kufungulia kwani zilinirahisishia saana kazi. Baada ya kumvua bikini hiyo hatimaye nililiona tunda lilokuwa limetuna na kuvimba vizuri kiasi cha kunifanya nitake kulifakamia bila kuliosha, mtoto mashaalah huyu! Nilijiwazia mwenyewe nilipokuwa naanza kuchezea mashavu ya tunda hilo, dole langu gomba lilikuwa likihangaika kukilaza kiharage kilichokuwa kimesimana na kwa kufanya hivyo Malha aliongeza kasi ya kujinyemvua na kujikunja kunja huku akirusha rusha miguu yake juu!, alikuwa anajisikiaje? Hilo mimi sijui, nikiwa bado nazisugua kuta za mashavu ya tunda hilo huku nacheza na kigarage ( kisimi ) hata mimi uzalendo ulikuwa umeshanishinda, pipe yangu ilikuwa imesimama kuliko mnara wa simu na ilikuwa ikivuja maji ya kutelezesha njia, maji maji (ute) hayo yalilowesha hata tunda la Malha.

    Hapo hapakuwa kilichokuwa kimebaki.Niliukamata mpini wangu tayari kwa kuuingiza shamba, shamba lililokuwa limefyekwa majani yote na kubaki na kipara kilaini kilichonisisimua. Kabla sijachomeka mpini wangu tayari kwa kazi ya kulima, nilishtuliwa na simu yangu iliyoita kwa nguvu sana, ghafla nikashtuka na kuifwata ilipo, Naam baada ya kuona ni nani anapiga nilitabasam na kuikata kisha nikaizima na kufungua droo la kabati ili niiweke.

    " wow!" Nilifurahi baada ya kukuta condom kwenye kabati hilo.

    " Baby nani uyo alikuwa anapiga!?" Malha aliuliza huku akionekana kukereka zaidi na simu hiyo.

    " Aargh! Ni bi mdachi!" Niliongea huku nazima taa kisha nikarukia kitandani.

    " Haya tulale mpenzi wangu tutasexy siku nyingine!" Niliongea kimzaha hali nikijua kuwa Malha hataweza vumilia na kweli ilikuwa hivyo kwani aliitafuta na kuikwinda pipe yangu iliyosimama baraabara kama vile anataka kuing'oa

    " basi baby...basi baby!! nakupaa" niliongea huku nikitapatapa kitandani.

    Aliponiachia nilivaa kinga yangu na kuanza kazi.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Sikuweza kutambua mara moja tulikuwa tunatumia nyenzo daraja la ngapi lakini Mzigo niliuzamisha ndani, jitahada ilikuwa kwa kiuno na egemeo ilikuwa juu ya kifua kizuri cha mtoto Malha, mchezo huo uliendelea kwa dakika kadhaa kabla ya kufikia mshindo, raha ya mechi bao bwana!,

    Baada ya kupachika bao hilo la kwanza kwa mbwembwe na mitindo ( styles ) mingi sasa tulirudi kwenye maandalizi ya bao la pili, Nilikuwa nikitomasa kiuno laini cha mtoto huyu wa kitanga huku nikiminya minya wezere zake za mviringo sanjari na kupikicha mistari kazaa ya shanga zilizozunguka kiuno chake, hakika ilikuwa ni raha ya ajabu, haikuchukua dakika tatu, ule mnara ulioangushwa na shuti kali lililosababisha bao la kwanza sasa ulikuwa umeamka tena kwa fujo kuliko mara ya kwanza.

    " mmmh leo kazi ipo" nilijiwazia mwenyewe baada ya kuusukuma mnara huo na ukapingana na mimi na kung'ang'ania kusimama kwa hasira.

    Nilimpa Malha paketi ya condom anivalishe na apokuwa akifanya hivyo mnara uliendelea kuleta vurugu kama afanyavyo yule mjusi mwenye kichwa chekundu.(mjusi kabimba)

    Baada ya zoezi hilo la kuvaa kinga kukamilika mimi nililala chali na kumuachia Malha chakula chote ajisevie anavyoweza, naye bila hiyana alikuja juu yangu na kufanya mtindo ambao wataalam wa mambo wanauita kuna nazi, Naam! Malha sasa alikuwa akikuna nazi, apeleke kushoto, akune kulia, akalia yote, acheze na kichwa tu yote hayo yalikuwa ni majukumu yake. Mchezo wa kwanza niliutawala mimi hata asipate chance ( nafasi) ya kuonyesha ujuzi wake, Sikutaka anione mbinafsi mzunguko huu wa pili nilimuachia yeye.

    " mmmh....ooops....oh ....oh....mmmh ssssh" Malha aliendelea kulalama kwa utamu wa mchezo aliokuwa anafanya.

    " baby....nakojoaa..amnnnh nakojioaaa....oooh ....mmm..yeah...aaash....ooh...ohh" Malha alilalamika kwa sauti kubwa huku akinifinya na kunishika kwa nguvu, bila shaka alikuwa akifikia mshindo hivyo mimi badala ya kumuachia nilimshika kwa nguvu na kuchanganya kiuno zaidi ili nimfikishe salama mlimbwende huyu, ghafla nikasikia moto mkali ukiichoma nanilii yangu iliyokuwa imezama ndani vilivyo, nilipojaribu kuichomoa ili kujua kulikoni, ni kama vile nilikuwa nimefungulia maji, Malha alinikojolea ( squirting ) waaaah!, japo ilikuwa ni giza lakini niliweza kubashiri mkojo huo ni mwingi sana, kwani ulitoka na kuacha mara tatu.

    " Chezea Tom wewe!?" Niliongea kimoyo moyo kwa furaha kwani mambo hayo nilikuwa nikiyaona kwenye video za ngono tu, sikuwa naamini kabisa kwamba mwanamke anaweza kojoa namna hiyo hasa ukizingatia, wale wasichana wangu wawili hawakuwahi kufikia kiwango hicho ( level hizo).

    Japo round hiyo ya pili mimi sikufikia kilele cha utamu, sikuwa na shiida juu ya hilo, kitendo cha Malha kusquirt ( kukojoa) kwangu ilikuwa ni kilele cha mafanikio.

    " Haya tulale sasa mpenzi wangu!" Nilimwambia Malha aliyekuwa amelala juu yangu huku nikimkumbatia vizuri kukwepa eneo la mkojo.Sijui kesho wataanika godoro?..hiyo ni shauri yao!.

    Japo nilijilazimisha kulala lakini usingizi ulinigomea kata kata. Masikini!..sikuwahi kulala na mtoto wa kike hata siku moja, hiyo ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza, sasa mtawezaje kupata usingizi hali mwili wangu umesharabu joto zuri la mtoto wa kike na kusababisha kiungo changu cha kati kudinda. Hakika usingizi usingekuja hata kwa manati, daima kiungo hiki kikisimama usingizi hupaa mbali ila kikilala bila shaka na mimi ntalala salama.

    " Honey?....baby....baby!?" Taratibu nilimuita Malha lakini hakunisikia, pamoja na kumtikisa tikisa lakini wapi, Mchezo wa bao mbili ulitosha kabisa kumlaza usingizi wa pono. Malha amelalala ndio lakini kitumbua chake kipo macho, nikaanza kukitomasa tena taratibu huku nikiingiza kidole changu cha kati na kukitoa hadi kilipotota kwa utelezi, Huku akiwa katika usingizi fo fo fo! Nilimlaza mtindo ambao ningejibweda kwa raha zangu. Taratibu huku akiwa amelala niliivaa condom iliyosalia kwenye paketi na kuikita nanga yangu taratibu baharini, nanga hiyo ilipiga mbizi kwenye bahari ya utamu yenye maji moto.niliendelea kulila tunda langu taratibu huku nikihofia Malha asiamke ili asije niona mroho nnaye mlia vyake hali amelala. Baada ya kufikia kwenye kilele cha utamu nilienda kuoga maji ya baridi ili ya awali yasijirudie.nilipotoka bafuni niliujaribu usingizi nao ukakubali.



    Majira ya saa kumi na moja alfajiri, Malha aliniamsha tuagane huku akiwa anaupapasa muhogo wa jang'ombe kana kwamba alitamani pakuche ili aule tena.Nasikitika kuwa condom ziliisha usiku hivyo mithali iliyotumika muda huo ni kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.taratibu nilianza kukiparaza kichwa cha muhogo wangu uliosimama imara kwenye mashavu ya tunda la Malha.Malha

    Aliendelea kulalamika kimahaba huku miguu yake ikielea juu kama tiara na huku akiwa amekaa mkao ambao kama angeongea basi angesema " chukua yote baba!" Kwa raha ambayo aliipata asubuhi hiyo niliamini kuwa usiku nilivyotumia condom nilimnyima uhondo sana ( nilimbania) kwa nilimlalamisha sana asubuhi.

    Baada ya kumaliza kuagana tulielekea bafuni kuoga huku tayari nikiwa nimeshapata majibu ya lile swali nililokuwa nikijiuliza siku nyingi kuwa cha asubuhi kina denda?.



    " Leo utaweza kufundisha kweli mpenzi!?" Nilimuhoji Malha swali la kichokozi nilipokuwa najaribu kuokota shanga zilizotapakaa kitandani.

    " Toka uko!?" Naye alinijibu kimzaha akimaanisha niache utani.

    Baada ya kumaliza kuvaa nilimpatia kiasi kidogo cha pesa ambayo mimi niliita ya boda boda ili kudumisha dhana ya mimi ni mwanafunzi, la sivyo ningempa kiasi kikubwa sana hasa ukizingatia mchezo alionipa si wa kitoto. Hatimaye Malha akaondoka huku akiwa ameniacha na mahesabu ya kukimbia msala wa kulowesha godoro.



    Majira ya saa nne za asuhi nikiwa ndani ya hoteli fulani nikipata supu ya kongoro kurudisha nguvu iliyopotea mda mchache uliopita,ghafla simu yangu iliita na nilipoiangalia, ni yule yule aliyenipigia usiku nikiwa na Malha ndiye alikuwa akinipigia tena,safari hii sikutaka kumkatili Nikarudisha kongoro langu kwenye bakuli ili niweze kuongea naye.



    " Mie mzima hofu kwako!" Nilijibu salaam ya sauti nzuri iliyonisalimu kwenye simu.

    " Za kunisusa!?" Sauti hiyo haikujibu swali langu ikaelekea kwenye lawama moja kwa moja.

    " Me sio wa kukusa wewe Caro sema jana niliwahi kulala sana!" Nilijitetea naye akanielewa.

    " Enhe vipi mambo mengine!?"

    " Poa tu Mungu anasaidia!"

    " unafanyaje saivi?"

    " Nipo nakunywa chai hapa karibu!"

    " Ahsantee.....poa basi kama mzima nilikuwa nakusalimia tu!"

    " Asee Mungu akubariki sana!"

    " Amina!...Haya have a nice day!"

    " You too Caroline!"



    * * * *CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Ni Alhamisi asubuhi, siku ambayo huwa naiasi shule nakufanya kazi ni ndani ya siku hii asubuhi nilipopanda dala dala ya kwenda zilipo ofisi zetu za Numerator's Entertainment ndipo nilipokutana na binti aliyejitambulisha kwa jina la Caroline.

    Kama kawaida ili upate usafiri jijini Dar asubuhi ni lazima uwe na ubavu ( uweze kupigania gari). Dala dala lilipofika tu kituoni nilifanikiwa kucheza na akili za watu na kuingia wa kwanza, Alhamdulilah zilikuwa zimesalia seat mbili tu peke yake, hivyo sikuwania bure, nilipata zawadi ya seat, seat ya kwanza alikuwa kakaa mzee mmoja wa makamo na kubaki na mtu mmoja na nyingine alikaa binti mzuri kigoli naye alikaa peke yake. Nazani abiria waliotangulia kupanda waliogofya kukaa naye labda shauri ya ulimbwende wake. Sikujiuliza mara mbili nikae na nani kati ya yule mzee na yule binti, Penye maua ndipo nyuki anapoelekea.

    " Hey mamboo!?" Nilisalimu mara baada ya kukaa na mrembo yule.

    " poa!..."alijibu kifupi mrembo yule kisha akawa bize anatazama dirishani kana kwamba kuna kitu anaangalia. Sikujali nikakaa kimya.Abiria wengi waliokuwa wamesimama walinibana na kusababisha nisogee kwake zaidi.Ewaaaa!...sasa pua yangu ilikuwa ikifurahia harufu nzuri ya marashi aliyojipulizia binti huyu huku mwili wangu ukisanifu joto lake.Hali ya hewa ilikuwa ni ya kijiubaridi huku wingu zito likiwa limetanda anga kuashiria mvua kubwa ingeinyeshea nchi wakati wowote. Naam! Baada ya gari kutembea mwendo mfupi tu toka kituoni, kile kilichofikiriwa na wengi ndicho kilichotokea muda huo. Mvua kubwa ilianza kunyesha. Binti yule aliyekuwa bize kuangalia nnje akaanza kufukuzwa na matone machache ya mvua yaliyoanza kuingia dirishani.

    " Samahani kaka naomba unisaidie ku......" kabla hajamalizia kauli yake nilishamuelewa, alitaka nimsaidie kufunga kioo kwani yeye kilishamshinda na nilimshuhudia akihangaika kukifunga.

    " Unajua bhana daladala zetu hapa mjini ni punda afe mzigo wa bwana ufike!" Nilimchombeza kigoli huyo na nilifurahi kuwa sasa nimepata mada ya kujadili naye.

    " Alafu kweli eti,.....ivi kwanini hawazitengenezagi daladala zao!" Aliniuliza binti huyo kanakwamba mie ndo kondakta wa daladala hilo na mimi kwa kuwa alishanivutia nilimchanganulia swali lake kana kwamba namiliki dala dala mia hapa mjini.

    " Unajua mvua ikishanyesha asubuhi subuhi kama hivi siku inakuwa nzito kweli yani!" Nilimchomekea mada nyingine ghafla baada ya kuchomoa hiyo.

    " Kweli!...hata kuamka mtu unakuwa mzito kama nini!" Mlimbwende huyo aliunga mada yangu mkono.

    " Uamke uende wapi akati hiki ndio kipindi cha kutengeneza watoto!" Nilitania na binti huyo akacheka sana.

    Baada ya muda kondakta alikuja kukusanya nauli.

    " Wawili eenh!" Ingawa nilikuwa na hela ndogo ndogo mfukoni lakini nilitoa noti za elfu kumi na kumpa konda moja, Kwanini nilifanya hivyo?.. utaelewa badae!.

    " Oh asante mi nilishalipa!" Aliniambia kigoli yule nilipokuwa nampa tiketi moja.

    " khaa!... umelipa sa ngapi mbona sijakuona?" Niliuliza huku nikijitia kushangaa sana kama vile sijui kuwa abiria hao waligeuka na gari lakini nia yangu ya kufanya hivyo nilitaka Kigoli huyo aniambie mwenyewe ili nimuulize anaishi wapi.

    " Haya konda chukua hii tiketi nimekulipia wewe!!" Nilimwambia konda huku nikimrudishia tiketi yake, abiria waliokuwa karibu na mlimbwende yule niyekaa naye wote wakaangua kicheko, hawakujua kuwa nilikuwa nadai nauli yangu kwa mtindo wa kisasa.

    " Chukua ela yako bhana huyo keshalipa!" Alisema kondakta huku bado akiwa anacheka.

    " Afu we unaonekana mpole kumbe mtundu hivyo!" Aliniambia binti yule huku akinitizama mara mbili mbili usoni.

    Mvua iliendelea kunyesha na pamoja nakuwa kioo kilifungwa maji yalianza kuchuruzika ndani.

    " ooooohooo!...naomba nikae upande wa huko wee usiloane!" Nilimwambia binti huyo huku nikionyesha sura ya majonzi.

    " No thank you!...nitayazibiti tu!" Binti huyo alipingana na mimi huku akitoa mtandio kwenye mkoba wake kwa nia ya kuyazibiti maji.

    "Ooh una akili wewe!" Nilimsifia baada ya kufanikiwa kuyazibiti maji kwa asilimia kadhaa.

    " ha ha ha kama wewe!" Alinitania mrembo huyo.

    " mimi naitwa Tom!" Nilijitambulisha ili niweze kujua na yeye jina lake

    " Tomas!?" Alibashiri kirefu cha jina langu.

    " Nop!.. only Tom!" Nilijibu kwa kingereza cha mikogo.

    " Oh nafurah kukujua Tom!.... mi naitwa Caroline!"

    " Nafurah kukufaham pia!, Caroline wee unasoma au unafanya kazi!?!

    " Heeh!, me mfanyakazi wewe shule nilishamaliza siku nyingi sana!"

    " Haa mbona bado mdogo ivyo ulikuwa unarushwa madarasa nini!" Nilimtania Caro naye akacheka sana kabla ya kunijibu.

    " Hamna bhana!, vipi wewe!?"

    " mimi ndo mfanyakazi wa halali sasa!" Niliuficha uanafunzi wangu pembeni kukwepa kujishusha hadhi.

    " Ha ha ha! Wewe ndo ulirushwa madarasa sasa!...wapi unafanya kazi Tom!?"

    " Kampuni moja ya kiburudani zaidi sijui utakuwa unaifahamu? Inaitwa Numerator's Entertainment!"

    " Yeah nimeshapajua nilipitaga siku moja!"

    " Kwani nyie ofisi yenu ipo wapi!?"

    " hata usijali tukishuka ntakuonyesha coz unapita kwanza kwetu ndo ufike kwenu!"

    Tuliendelea na story za hapa na pale hadi gari likafika mwisho. Bado mvua ilikuwa ikinyesha japo sasa yalibaki manyunyu madogo madogo.

    Nilishuka na mtoto mzuri Caroline na wote tukajisitiri chini ya kijimwamvuli chake kidogo kuikwepa mvua. Ilinibidi nimshike bega ili tutembee vizuri kwa kuwa mwamvuli ulikuwa ni mdogo.

    " Caroline samahani kuna kitu nataka kukuomba japo hujanijua vizuri lakini naomba uniamini!" Nilimwambia Caro baada ya kufika nnje ya ofisi yao naye akavuta umakini kujua nataka kusema nini!



    Baada ya kurizika na umakini wake nikaendelea.

    " Naomba uniazime huu mwamvuli wako afu saa ya kutoka ntakuletea!" Niliongea kwa unyenyekevu ajabu.

    " Ha ha ha! ....hicho tu umepata sema kingine" Aliniambia Caro akiwa ameachia tabasam pana, swali lake likawa zuri sana kwangu.

    " Kitu kingine your phone number ( namba ya simu) ili nikiuleta nikupate!"

    Ingawa kwenye mwamvuli Caro alikuwa mwepesi sana kutoa majibu lakini kwenye swala la namba za simu akawa mziti kidogo.

    " ok nipe zako basi mie ntakucheki!" Baada ya kufikiri kwa muda alifikia maamuzi hayo.

    " Nop me ndo nimekuomba please!" Niliongea kwa sauti ya ushawishi huku nikimpa simu yangu aziandike.

    " Wee andika me ntakutajia tu!" Aliongea Caro huku akikwepa kushika simu yangu. Ukweli nikuwa nilimpa aniandikie yeye sababu nilihisi mikono yangu inatetemeka, ila kwa kuwa aligoma nikawa sina budi kuandika mwenyewe.

    " zero...seven......!"" Nilirudia namba alizokuwa akinitajia huju nikiishika simu yangu kwa mikono miwili kupunguza mtetemo na hadi muda sikuelewa ni kwanini nilikuwa natetemeka.

    " Poa basi any time ukitaka kusepa we nistue tu me ntakuletea!" Nilimwambia Caro hali nikijua sitaonana naye tena badae, kwani me si mtu wa kukaa ofisini na siku hiyo show ( Onyesho ) lilikuwa linafanyika bwalo la Magereza, Ukonga.



    Japo niliachana na Caroline lakini picha yake ilisalia kichwani, Ubongo wangu uliendelea kumtathimini mrembo huyo, maziwa yake yaliyosimama kifuani mwake mithili ya miiba ya mchongoma yalinivutia sana, Rangi yake nyeupe iliyotandikiwa zulia la vinyweleo vya brown vilivyolala sawia ndio ulikuwa haswaa ugonjwa wangu. Pia macho yake yenye boriti za rangi ya brown yalinipa hamu kila aliponitazama, si hayo tu umbo lake la kizungu lenye tumbo dogo na wezere la kiasi vilinishawishi kutaka kuongozana naye kila nnapokwenda hata mtindo wa nywele aliokuwa amesuka ulinifanya niamini huyo binti ni Africast. Kiufupi Caroline alikuwa ni mrembo aliyekamilika na alionekana anajitambua. kidume nikawa nimefanikiwa kuondoka na namba zake za simu huku kichwani nikiwa na mipango kebe kebe juu yake. Sijui nimualike chakula cha usiku kesho, sijui niende naye 21 century tukaangalie cinema, Sijui nimpeleke gym canner tukacheze golf, sijui nimwalike nyumbani mwisho wa wiki tucheki series, hayo yote niliwaza mimi.



    Majira ya saa saba za mchana nilimpigia Caro simu.

    " Hello!"

    " hello!"

    " unajua uko unaongea na nani!?!CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    " mmmh Tom!?" Caro alijibu kama anauliza lakini tayari alikuwa ashanijua.

    " ha ha ha! How did you know that!" ( ulijuaje?) Nilicheka kizungu na kumuuliza king'eng'e!

    " sauti yako me naiju tu!"

    " Ok nakukaribisha lunch my dear!" Ingawa bado sikuwa nimeenda kula lakini nilikuwa nasumbuliwa na kisebu sebu cha kumpigia simu huyo mtoto ili mradi tu nisikie sauti yake.

    " wow!... thanx....unakula nini!?"

    " bado cjajua naomba unisaidie kuchagua basi!" Nilijitia kumdekea.

    " mmmnh kula wali na samaki!" Alinichagulia caro.

    " wow i like it!....sasa nishushie na nini!" Niliendelea kumsumbua mtoto wa watu kama namlipa vile.

    " kunywa na juice ya embe!"

    " duh!.. kweli we nouma umejuaje vitu nnavyopenda!" Nilimvika kilemba cha ukoka Caro kwani mimi ni mpenzi wa fanta orange, ila nilimfagilia tu kumvuta karibu zaidi.

    " me nikimuona mtu tu naweza kujua anapenda nini!" Alijitapa Caro bila ya kujua kuwa maneno yangu ni punje za mahindi zinazompeleka kuku kwenye mtego.



    Ni Caroline pekee alikuwa akinipeleka puta siku hiyo kiasi cha kunifanya hata nimsahau Malha niliyekuwa na miadi naye badae.



    Hata mara baada ya kwenda na kukutana na Malha siku hiyo bado akili yangu ilikuwa ikimuwaza Caro kwa kiasi kikubwa hadi nafsi yangu ikaanza kunisuta ' yaani upo na huyu lakini bado unamuwaza yule?' Nafsi ilinishushua kwa sauti ya upole lakini sikujali sana.



    * * * *



    " Tom jamani mbona wanifanyia hivi mwana wa mwenzio au kwakuwa nimeshakupa mwili wangu uufanye unachotaka?? .....nambie basi kama hilo ndo tatizo nisirudie tena!"



    "Hamna sio hivyo!!"



    " Sasa tatizo nini Tom mbona mwanzo hukuwa hivyo!...wajua ni jinsi gani nakupenda....wajua nimeachana na my boy kwajili ako lakini sasa mbona wanifanya nijute Tom!?"' Sauti laini sana iliyokuwa na lafudhi ya pwani ilikuwa ikitoa lawama zilizopenya moyoni mwangu kama msumari wa moto kwa kidonda. Malalamiko yote aliyokuwa akitoa Malha ilikuwa ni ukweli mtupu kiasi cha kunifanya nishindwe hata la kujitetea na kubaki nikijibaraguza kwa haya. Siku tatu tu baada ya kulala na Malha na urafiki wangu na Caro kuanza kushika kasi kulionyesha wazi kuwa kuna kitu kimeingilia kati kwenye penzi letu changa mimi na Malha. Kilicholibainisha hilo ni zile simu zetu za usiku tulizokuwa tukipigiana na Malha. sasa tangu Caro alipoongezeka naye amekuwa akitaka tuongee usiku, tena ndani ya muda huo huo nnaoongea na Malha. Je ntajigawanya vipi? Huo ndio ukawa mwanzo wa hitilafu kati yangu na Malha. mara ya kwanza tulikuwa tukiongea hadi analala simu ipo hewani lakini hivi sasa haziishi dakika mbili nimeaga, mara simu iko bize, nikiulizwa nilikuwa naongea na nani, majibu ni rafiki yangu wa kiume, rafiki yangu gani wakiume naweza ongea naye nusu saa nzima usiku? Hilo halikumuungia akilini Malha, mara siku nyingine mtandao unasumbua.



    Japo lipo neno linalosema huwezi kutumikia mabwana wawili lakini hata mabibi wawili huwezi kuthubutu, Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote na mshika mbili moja humponyoka. Methali hizo mbili zilikuwa zikiuogofya moyo wangu. Itakuwaje kama niking'ang'ana kuwa nao wote kisha nikawakosa wote, ama je ni nani uyo mmoja atakayeniponyoka, baada ya kufikiria hayo ndipo nilipoamua kuwapandisha Malha na Caroline kwenye mizani ili kujua nani atamzidi uzito mwenzake. Kwa mtazamo wa macho na akili Caro alikuwa kamzidi Malha vitu vingi japo Caro naye alifunikwa na Malha kwa kishuzi lakini hiyo kwangu haikuwa sababu kubwa sana. Moyo hauna unafki kama mdomo, kura zote zilimuangukia Caro lakini nilipokumbuka kale kamchezo alikonipa Malha nilisita kidogo kufanya maamuzi ya moja kwa moja juu ya kumchinjia baharini, Hakika Malha alifunzwa unyagoni!... uongo dhambi nilitamani nipate tena walau mechi hata moja tu ya marudiano. Lakini kwa mara nyingine tena nilisita. Kitanda usichokilalia huwezi kujua kunguni wake, nawezaje kumuhukumu Caro juu ya mchezo wa kitandani hali yakuwa sijawahi kupanda naye. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, ile kura ya ndio iliyopigwa na moyo juu ya Caro ikawa imempitisha na kumpatia hatamu ya kuniendesha kama ataweza.



    Urafiki wa mimi na Caro ukazidi kunoga. Hakuna kati yetu aliyeweza kuamka bila ya kutaka kujua mwenzake kaamkaje, hakuna kati yetu aliyekula bila kumkaribisha mwenzake, hakuna kati yetu aliyeweza kulala bila kuongea na mwenzake na hakuna kati yetu ambaye hakuwa na shauku ya kutaka kuonana na mwenzake kila siku, yote hayo yalifanyika kwa mapenzi makubwa huku jina la kaka na dada likiwa limeitawala midomo yetu kila mtu alipotaka kumuita mwenzake. Ndani ya muda mfupi kutokana na maongezi mengi ya simu za usiku niliweza kufahamu vitu vingi dada ( Caro ) anavyovipenda na vichache anavyovichukia halikadhalika niliweza kujua yeye ni mtu wa aina gani na siku nikitaka kumshika nilielewa fika nimkamatie wapi na sijui kwa upande wake ila na yeye kama alikuwa ni mdadisi basi atakuwa ameshanijua vilivyo. Mahusiano yetu yaliendelea namna hiyo huku nikizidi kuyaimarisha kwa kwenda kumtembelea Caro mara kwa mara nyumbani kwao majira ya jioni na mara chache nikitoka naye kwenda kubaridhi ufukweni. Baada ya kumwamini Caro kwa kiasi kikubwa niliamua kumuingiza katika jaribio la kwanza ili kumpima ni jinsi gani ananipenda au kunithamini na majibu ya jaribio hilo ndiyo yangenipa jibu la kwenda ngazi inayofuata nnayoifikiria ama nibaki hapa kwenye ukaka na udada nilipo hivi sasa!



    Ilikuwa ni kama sheria pindi niamkapo asubuhi nikiwa salama na kumshukuru muumba wangu kwa sala fupi basi kinachofwata ni kumjulia hali Caro iwe kwa kumpigia simu ama kwa kumtumia ujumbe mfupi, ali mradi nijue tu kuwa na yeye ni buheri wa afya na tangia sheria hii ipitishwe na nyoyo zetu haikuwahi kuvunjwa hata siku moja na kwa atakayeivunja basi atawajibishwa kwa kufanya kosa la jinai.

    Siku hii niliamka nikiwa nimedhamiria kwa makusudi mazima kuivunja sheria hiyo. Nilipanga kumlia bati ( kumnyamazia) Caro kutwa nzima na jinsi atakavyoreact ndivyo atavyofaulu ama kufeli jaribio hilo. Haikuwa jambo la kawaida hata kidogo mimi kutojibu ujumbe mfupi wa Caro lakini siku hiyo si kutojibu ujumbe mfupi tu hata alipopiga sikupokea, Hadi kufikia majira ya saa nne za asubuhi, Caro alishatengeneza missed calls ( simu zisizopokelewa) kumi pia alinitumia meseji nne katika mida tofauti, ya kwanza ilikuwa ni ya good morning na ya pili na ya tatu alikuwa akijaribu kuuliza ni kwanini sipokei simu na ya nne ilikuwa ni ya lawama nayo ilisomeka hivi ' Tom hivi dada yako akikukosea si unamwambia tu anajirekebisha kuliko kumnyamazia kama hivi!!...Tom naomba unisamehe kama nimekukosea ila tafadhali usinifanyie hivi!" Kadrii Caro aliyoendelea kunitumia meseji na kuongeza missed call ndivyo aliendelea kujichumia marks (alama ) za juu katika jaribio langu na kwa upande mwingine nilihofu asije akapata A+ na kuuteka moyo wangu moja kwa moja. Majira ya saa tisa tena za alasiri nilipokea ujumbe mwingine toka kwa Caro ' Tom nimeshindwa kula toka asubuhi kwajili ako naomba upokee simu yangu niweze kunywa japo maji' akati bado nasoma ujumbe huo Caro alipiga simu kwa mara nyingine, sikuweza kuipokea ingawa nilikuwa nalifanya jaribio hilo kama mzaha lakini sasa mambo yalikuwa yameanza kuwa serious, tayari nilishaanza kumuonea huruma dada yangu wa hiyari ( Caro ) Japo awali nilizifurahia meseji zake za kulalamika kwa kuamini ananipenda na kunijali lakini muda ulivyoenda meseji hizo zikaanza kunigusa ( kuni touch) ghafla uzalendo ukaanza kunishinda. Japo nilipanga nisiwasiliane nae kutwa nzima hadi siku inayofuata lakini nilijikuta me mwenyewe nimenyanyua simu na kumpigia, Simu ilipoanza kuita moyo ulinidunda sana, sikuwa nimejipanga niseme nini na sikujua niseme nini.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    " Hallo!" Nikiwa katika tafakuri zangu za niseme nini, simu ikapokelewa na nikashtuliwa na sauti ya Caro .

    " Hallo Caro!" Nilijibu huku nikiigiza sauti ya ugonjwa ambayo pia ilionekana kunishinda.

    "Tom una nini kwanini unifanyie hivi lakini!" Caro aliongea kwa sauti iliyokwama kwama na niliamini alikuwa akilengwa lengwa na machozi muda huo.

    " Caro yaliyonikuta leo si madogo naomba badae tuonane nkusimulie!" Mambo hayakuwa marahisi kama nilivyozani, sauti ya Caro iliyogubikwa na majonzi ilitosha kabisa kuikombereza furaha yangu na kujikuta nashindwa kuongea.

    " Badae tutaonana wapi?" Caro alihoji kama vile hana imani na mimi.

    " Jioni ntakuja mtaani kwenu!"

    " ok fine!"

    " take care my dada!"

    " you too!!"

    Baada ya kupatana naye nikakata simu huku nikiwaza jioni nitamkabili vipi.

    ' uhuuuh! walau nna nafuu kidogo!" Caro alinitumia ujumbe mfupi baada ya muda kidogo kupita.

    ' usijali dada nipo kwajili ako' nilimpoza kwa ujumbe huo.



    Majira ya saa moja unusu za usiku tayari nilishakanyaga kwenye viunga vya mtaa anaoishi Caro. Nia na madhumuni hasa yakiwa ni kutoa maelezo ya kina juu ya swala la kutotaka mawasiliano naye siku hiyo, Ingawa sikuwa nimeandaa neno lolote la kusema niliamini kuwa sitakosa jema la kumueleza Caro akanielewa.



    " Hallo dada me nishafika hapa!.. njoo basi!" Niliongea kwa madaha baada ya Caro kupokea simu yangu.

    " Poa ...dakika sifuri basi ntakuwa shafika!!" Alinijibu kihuni Caro na mie nikatafuta sehemu nzuri ya kumsubiri.

    Naifahamu fika njia ambayo atakuja nayo hivyo nikakaa pembeni kwenye kigiza kidogo ili niweze kumuona pindi atakapotokea. Baada ya muda mfupi kweli nilimuona Caro akija ingawa haikuwa dakika sifuri lakini hazikuzidi dakika nyingi. Nilipokuwa mimi niliweza kumuona vizuri japo yeye hakuniona hata kidogo, nilimshuhudia akitoa simu yake nakuibonya kabla ya kuiweka sikioni, bila shaka alikuwa akinipigia mimi. nikamnyatia taratibu kisha nikaikamata simu yake iliyokuwa sikioni kana kwamba nikibaka anayetaka kumpora, Caro alishtuka sana na kugeuka kwa hofu huku akiwa anajiandaa kupiga kelele za mwizi.

    " Achia simu...achia simu....!!" Niliongea kwa kuiga besi naye baada ya kujua ni mimi akanipiga kikofi cha mzaha kama vile anaua mmbu mwilini mwangu.

    "Ohhhuuuu!!......Tom umenishtua!" Aliongea kwa sauti ndogo Caro huku akishika mkono wangu wa kuume na kuweka kwenye titi lake la kushoto, nadhani ili nisikie mapigo ya moyo wake yanavyokwenda kasi.

    "Aah jamani sikukusudia ushtuke ivyo!...pole eenh!" Niliongea huku nikiutoa mkono wangu kwenye titi lake haraka kwani tofauti na mapigo ya moyo kuna hisia zingine nilishaanza kuzipata.titi lake la mviringo lililosimama sawia sanjari nakijoto cha huba lililokuwa nalo tayari lilishaanza kuubusti mwili wangu.

    " Naona leo umekusudia kuniua kabisaa!" Alilalama kiutani Caro.

    "Ahh jamani nikikuuwa wewe nitampata wapi dada mwingine mzuri namna hii??....Sasa tukae wapi kuzungumza hapo au kule!" Nilimuhoji Caro huku nikimuonyesha Caro Restaurent moja iliyokuwa karibu nasi na nyingine ikiwa upande wa pili wa barabara.

    " Sitaki kukaa sehemu yenye watu...twende tutembee ili nikuchambe vizuri!" Alichimba mkwara Caro.

    " Ayaaa mtoto sijui una nini wewe yani kukuona tu nimesahau kama nilikubebea zawadi!" Niliongea huku nikijisachi mifukoni mwangu kwa kasi kuitafuta zawadi hiyo. Si kwamba nilikuwa nimesahau kama nna zawadi yake, la hasha! Nia na madhumuni ya kufanya hivyo kwa wakati huo ilikuwa ni kuipotezea mada yake ya kunichamba, ingawa sikuamini kama angefanya hivyo ila nilihofu kama atafanya hivyo.

    " Hii huondoa hasira za haraka haraka, hali ya kutaka kuchamba wengine na ladha yake huufanya ubongo kusahau kero zote za mchana." Niliongea huku nikimfungulia Caro Chocolate aina ya Franklyn na baada ya kumpatia niliyaanzisha mazungumzo yangu rasmi na muda wote Caro alikuwa akitabasam sijui ni kwajili ya maneno yangu matamu ama ladha nzuri ya chocolate aliyokuwa akiimumunya muda huo.

    "Caroline tumekuwa friends ( marafiki ) kwa muda mrefu na ili ujue kuwa darasani somo linaeleweka ni lazima utoe mtihani. I am sorry ( samahani ) kwa kukutest ( kukujaribu ) lakini baada ya jaribio hili napenda kukwambia kuwa nimegundua kuwa wewe ni rafiki mzuri, mwenye real love ( penzi la dhati ) mwenye ku care ( kujali ) na unayetambua value ( thamani ) ya urafiki hivyo am proud of you ( najivunia kuwa nawe ) na nna amini kuwa urafiki wetu utadumu kwa miaka mingi sana, napenda kukupromise ( kukuahidi ) sitakufanyia jaribio lolote lingine na tafadhali sana, nakuomba usije kujaribu kufanya nilichokufanyia wewe kwasababu ukijaribu kufanya hivyo utaniua kabisa na utakuwa umepoteza kaka yako wa pekee anayekupenda sana" Nilimaliza kuongea maneno ambayo sikujua yametokea wapi na nilipomuangalia Caro machozi yalikuwa yakimlenga lenga na yeye baada ya kumuona akanikumbatia.

    " Tom kwanini kila siku unakuwa mpya kwangu!?" Caro alinihoji kwa kunong'ona tulipokuwa tumekumbatiana na mimi sikuwa na jibu lingine zaidi ya kumuomba iwe hivyo milele.



    Siku hiyo ikawa imeisha kinamna hiyo na bila shaka urafiki wetu baada ya siku hiyo ukawa umepanda ngazi kadhaa juu.

    Nilimuahidi Caro kuwa sitampa jaribio lingine lakini pia niliuahidi moyo wangu kuwa iwapo angefaulu jaribio hilo basi ningeenda hatua inayofuata, ni kweli Caro alifaulu vizuri, sasa ilikuwa ni wakati wangu tena kufanya yangu.



    Moja kati ya watu nnaoweza kuwaamini hapa duniani ni yule aliyesema mapenzi upofu.Ingawa moyo wangu tayari ulishaanguka juu ya huba la Caro lakini bado nilikuwa nikisita kumtongoza si kwakuwa nilikuwa na hofu ya kupigwa cha mbavu ( kutoswa ). Niliamini kuwa kama ningemwambia Caro nahitaji awe mpenzi wangu basi asingesita kuwa hata kidogo kwani mapenzi siku zote ni kikohozi na nilishaliona hilo.Sababu moja tu iliyonifanya nisite kutangaza nia ni juu ya umri wa Caro. Mimi nikiwa bado kidato cha sita mwenzangu alishafanya bachelor ( degree ya kwanza ) na kuanza kazi.Ingawa sikuwahi kumuhoji juu ya umri wake , sababu hiyo ilitosha kabisa kuamini kuwa Caro amenifunika ( kanipita ) katika sekta hiyo.Muonekano wake wa kama mtoto wa juzi ( mdogo ) ndio haswaa ulinifanya nitake kuwa nae. Hali ya kutojiamini ndio haswaa ilinifanya nitake kupata ushauri wa kimapenzi kwa mara ya kwanza. Sikuwahi kuomba ushauri wa kimapenzi na huwa siombi ushauri wa kimapenzi hata siku moja kwa kuamini kuwa Mapenzi hayana mjuzi hata proffesor (muhadhiri) mtu mwenye elimu kubwa kuliko mwingine kwenye Mapenzi anasanda ( Anachemka ) na analizwa kama kawaida.

    Sababu ya kutojiamini kama ntakuwa sahihi au la! Kumtongoza Caro ndio ilinifanya nimshirikishe dada yangu kipenzi.

    Sikutaka kumwambia dada jambo lolote kabla ya kumkutanisha na Caro na Sikutaka kumwambia Caro kuwa nitamkutanisha na dada angu nilifanya hivyo makusudi ili mmojawapo asije akapiga chenga pia nilitaka kuwasurprise ( kuwashangaza ). Baada ya kumpanga vizuri Caro kuwa nataka kumtoa weekend hii kwa upande wa dada haikuwa tabu nilifahamu fika kuwa dada angu ni mpenzi wa pizza na nikatumia Pizza kufanya mualiko naye.



    Kama ilivyo desturi yangu nikilenga sikosi.Ni siku ya Jumamosi tulivu ndiyo niliamua kuifanya special ( maalum) kwajili ya kazi yangu hiyo.



    Mimi na dada tukiwa tumetokelezea ( tumependeza ) tayari tulikuwa ndani ya mgahawa Maridadi wa Bongo Flava pande za Masaki, mgahawa unaosifika kwa kuuza harmbugger zenye ladha za kimataifa. Kama kawaida yake dada aliagiza Pizza na mimi niliagiza fanta Orange.Dada hakuweza kutambua mara moja kwanini sikutaka kula kwanza na kunywa tu fanta pekee lakini ukweli ni kwamba nilikuwa nikimsubiri Caro ambaye hadi muda huo alishakaribia sana kufika, Sikupenda mrembo wangu huyo akifika ale peke yake.

    Baada ya dakika chache kupita Caro aliwasili tulipokuwa.Alipendeza hadi nikamsahau.Moyoni nikamsifu saana kwa kupendeza kwake." Ulijuaje kama unakuja kukutana na wifi yako!?" Nilijisemea kimoyo moyo nilipokuwa namvutia kiti ili aketi.

    "Mamboo!" Alimsalimu dada angu baada ya kuketi na baada ya Muhudumu kuchukua oda nilitumia nafasi hiyo kutoa utambulisho.

    "Caroline she's my sister jina lake atakwambia mwenyewe" Nilimwambia Caro huku nikimshika dada bega.

    " Sister she's my best friend jina lake atakwambia mwenyewe!" Pia nilitoa utambulisho kwa dada nikiwa nimemshika Caro bega.

    " Iloooh!!... si ushamtaja tayari anaitwa Caroline!" Dada alinipeza bila kunichelewesha maana hata yeye kwa mzaha tu hajambo.

    Baada ya utambulisho huo nilihisi Caro amekuwa mpole ghafla sijui ni kwajili ya kutambua uwepo wa wifi yake mahali hapo ama nini ila kwa upande wa dada nilishuhudia akimtazama Caro kwa jicho la udadisi mara kwa mara kama vile anamthaminisha.

    Baada ya misosi kuletwa, tulikula huku tukiendelea na porojo za hapa na pale hadi tulipomaliza na kuondoka.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    " Saa ya kuja tulikaa wote saivi nakaa na rafiki yangu!" Nilimnon'goneza kiutani dada tulipokuwa tunapanda daladala lakini kiukweli nilikuwa namaanisha nilichokisema kwani tulipopanda tu nilikaa na Caro huku dada akikaa upande wapili.



    " Tom!?" Baada ya gari kutembea umbali mrefu huku tukiwa kimya Caro aliniita.

    " Yes dear!" Niliitka na kumtazama Caro.



    " Sorry kwa hichi ntakachokwambia!" Caro aliongea kwa sauti iliyopoa sana ingawa alinitisha, nilijikaza kisabuni.

    " Don't care Caro just tell me!" ( usijali Caro we niambie tu. Nilijibu kwa sauti ya kawaida huku hofu ikisalia moyoni, mara nyingi inapotangulizwa Sorry huwa kinachfwata si chema.



    "Tom nilikudanganya jina me naitwa Sunshine sio Caro kama nilivyokwambia!" Aliongea Sunshine huku akiona haya kiasi.

    " Ha ha ha!! unajua siku hiyo nilihisi kitu ka hiyo coz ( sababu ) ulifikiria sana kabla ya kuniambia unaitwa nani!" Niliongea kwa furaha baada ya kufahamu Sunshine ambaye nilimtambua awali kwa jina la Caroline alitaka kusema nini.

    " So please forgive me (Kwaiyo tafadhali nisamehe) nilijuta sana badae" Sunshine alitaka kuhakiki kama nimemsamehe.

    " Usijali my Sunshine! Sichukii sababu ulinidanganya jina ila nafurai kwa kuwa nimelijua jina lako..S.u.n.s.h.i.n.eeee ...you got da cute name!" Niliongea kwa mikogo huku nikiwa nimeanza matumizi ya jina jipya la Sunshine.

    " Vipi mbona unaniangalia hivyo!?" Nilimuhoji Sun baada ya kumuona ananiangalia sana.

    " Your so awesome Tom sijawahi kukutana na mtu kama wewe!" Alinifagilia Sun huku akisafisha kucha zake ambazo hazikuwa chafu.

    "Thanks Sun pia nafurahi kukutana na wewe!" Nilimjibu huku nikiona noma (aibu) kiasi kutokana na kufagiliwa.



    "Afu umefanana na dadaako!" Aliendelea kuchombeza Sun.

    " Wee unaona hii!?" Nilimwambia Sun huku nikimuonyesha ngumi niliyoikunja baraabara bila shaka alielewa ni utani.

    " Nini kwani uongo!?" Alichombeza tena Sun kuonyesha kuwa hajaogopa mkwara mbuzi wangu.

    " Mimi sifanani na dadaangu ila yeye ndo anafanana na mimi!"

    " khaa! sasa tofauti ipo wapi hapo swala ni lile lile mmefanana!"

    "Ukisema me nimefanana na yeye inamaana me nna sura ya kike lakini yeye ndio kafanana na mimi kwaiyo ana sura ya kiume!"

    " mmmh! Mwanaume unajua kujitetea wewe!"



    Tukiwa katika mabishano hayo kondakta alikuja kuchukua nauli na kutuanzishia mabishano mapya ya kulipa nauli, mara zote tukiwa pamoja, Mimi na Sunshine kila mtu hutaka kulipa yeye hali inayochukiwa na makondakta kwasababu inawachelewesha kwenda kudai kwa abiria wengine.



    Baada ya safari kudumu kwa muda wa lisaa limoja na ushee hatimaye tulifika nyumbani huku tukimuacha Sun kituo cha kwao.



    Baada ya kupata mlo wa usiku nilimfwata dada chumbani kwake kwa nia ya kujadiliana naye mawili matatu kuhusiana na siku hiyo.



    " Vipi leo umeenjoy!?" Nilimuuliza dada nilipoingia chumbani kwake huku nikitafuta mwanya wa kuchomekea mada yangu.

    " Yeah saana tu!...na yule ndo wifi nini maana wee naye!?" Aliongea dada kimikogo huku akinitangulia kwa kile nilichotaka kumwambia, nilifurahi kwa kuwa mwanzo ni mgumu na yeye alikwishanirahisishia.

    " Aah ni rafiki tu kama nilivyokutambulisha mchana, ila wewe ni dadaangu sitokuficha kitu ukweli ni kwamba Sunshine ananipenda sana japo bado ni marafiki wa kawaida tu!" Nilimmegea dada kipande kidogo katika donge kubwa.

    " Sunshine ama Caroline mbona sielewi!?"

    " Aargh! Yote ni majina yake yani kama Pesa na hela!"

    "Ok ngoja nikwambie kitu mdogo wangu! Uyo sijui ndo Caro sijui Sunshine hakufai hata kidogo amekomaa sura kama mbuzi wa shughuli so kama una mpango naye mie hata sikushauri.

    !" Aliongea dada akiwa kabetua midomo yake.

    " Lakini nimekwambia sisi ni marafiki tu sio wapenzi!" Nilijitetea.

    " Aya ndo muendelee kuwa marafiki hivyo hivyo ila ukitaka dame mzuri hata mimi ntakutafutia!" Alimaliza dada na mie sikuongeza la kheri wala la shari zaidi ya kumtakia usiku mwema na kwenda kulala.



    Tom ndo huyoo ushauri ameupata!, Je ataufanyia kazi ama atautupa kapuni???

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog