Chombezo : My Diary
Sehemu Ya Tano (5)
Hatua muhimu aliyoniambia ni “Learn How to Act”(jifunze jinsi ya kuigiza).Siku zote ni muhimu kujifunza kama unataka
kufanikiwa kiurahisi.Kwa hiyo alinishauri kama nina mda basi niende kusomea fani hiyo iwe kwa kozi fupi au kwa semina.Kitu cha pili alichokisisitiza ni
location. Alinambia kwa kimombo kuwa “if you hope to work in film as an actor you need to go where the work is. Hapa alikuwa na maana kwamba kama
napenda kuwa muigizaji wa filamu ni vizuri nikaenda kuishi sehemu ambapo kazi hizo zinafanyika kwa urahisi.Alinitolea mfano kuwa filamu nyingi za Canada
na miji mingine ya Marekani zote zinachezwa Los Angles na New York.Kwa hiyo alisisitiza kwa Tanzania Dar es salaam tayari imepiga hatua katika tasnia hiyo
na filamu nyingi zinafanyika Dar es salaam.
Kitu kingine cha muhimu alichonambia ni kwamba niwe tayari kujitoa kwa ajili ya kazi hiyo na niwe tayari kupoteza hata marafiki ili mradi tu nifanikiwe. Hapa
alisisitiza kuwa lazima nifanye kazi kwa bidii sana kwa sababu hata wacheza filamu maaraufu ambao wanalipwa vizuri sana kwenye matangazo lakini bado
hawalali na kubweteka.Alimaliza kwa maneno machache ya kiingereza kuwa kama nataka kufanikiwa basi nahitaji time(mda), training(mafunzo). Dedication
(kujitoa), passion and patience( shauku na uvumilivu).Basi niliagana na mwalimu huyo ambaye kwa kweli alinijenga kisaikolojia na kujiona ni mtu ambaye
niyaweza yote aliyosema kwa uwezo wa Mungu muumba mbinu na vyote vilivyomo.
Baada ya hapo Mark akaendelea kunifundisha jinsi ya kucheza na kamera pindi tunapochukua picha za filamu.Uzuri kichwa changu kilikuwa ni chepesi sana
ambacho kilikuwa kinauwezo wa kushika mambo kwa urahisi zaidi.Katika mda mchache nilikuwa nimeshapiga hatua kubwa sana na nilishaweza kuigiza baadhi
ya matukio ambayo nilikuwa napewa kama majaribio.Mark alitumia filamu zake zilizopita kunifundisha na alikuwa akijaribu kunipa sehemu zile ngumu
niingize. Neno lake kubwa lilikuwa leo nataka ugize kama fulani kwenye filamu fulani, kisha ananipa hiyo part na naiangalia kisha naifanya.Mark alifurahishwa
sana na uwezo wangu hasa kwenye vile sehemu za burudani na kuwafurahsha watu.Kwa hiyo kipaji changu cha kucheza mziki kipaji changu cha kucheza na
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
hadhira jukwaani vyote vilinisaidia kuimudu sanaa fani hii ya filamu.
Lilian Muchuma disgner na mwanamitindo maarufu wa nchini Zambia naye alitokea kunikubali sana na alijitolea kuwa ananivalisha mavazi yake na kutengeneza
brand mpya ya biashara ambayo iliendelea kunipa umaarufu sana kupitia mitandao ya kijamii. Jamii ya Watanzaia ikaanza kunikubali na umaarufu ukaanza
kuja.Magazeti ya udaku nayo hayakuchoka kumuandama Mark wangu kwa madai kuwa anatoka na mzambia. Watanzania wengi hawakujua kuwa mimi ni
mtanzania kwa sababu ya Lilian Muchuma, wao walijua kuwa mimi ni mzambia ambaye tupo share na mwanamitindo huyo ambapo eti mimi niliamua kujikita
kutafuata masoko upande wa Tanzania.
Mark naye alitumia nafasi hiyo vizuri kwani aliniambia kamwe nisiweke ukweli wowote kuwa mimi ni mtanzania au ni mzambia.Maisha yakaendelea huku
tukiwa kwenye mikakatai ya kuitoa ile filamu yetu ya “LET ME LOVE YOU”.Katika filamu hiyo pia tuliamua kumuweka Lilian Muchuma ili tupate pia wateja
wengi kutoka nchini Zambia. Lilian yeye alicheza kama mwanamke wa kwanza kuolewa na Mark tena kwa ndoa kubwa. Lilian kwenye filamu hiyo alionekana
kama msichana ambaye Mark alimpenda sana pengine kuliko kitu chochote duniani.Lakini filamu hiyo ilionesha kuwa Lilian ni binti ambaye Mark alimtoa
kijijini akiwa ni mshamba kupindukia.Utamu wa fiamu hii ni kwamba matukio mengi yalichukuliwa nchini Zambia ambapo tulikwenda kwa mwaliko wa
mwanamitindo huyo.
Filamu hii inaonesha mara baada ya Lilian kutolewa kijijini kwao na kupelekwa Lusaka kwa ajili ya kuishi na Mark hapo ndipo kasheshe za binti huyo
zinapoanzia.Binti huyo anabadilika na kulijua jiji na kuanza kumsaliti Mark.Baadaye Lilian anaanza kutoka na mapedeshee na watu maarufu nchini
Zambia.Filamu inafafanua kuwa kipindi hicho Mark alikuwa ni mtu wa maisha ya kawaida sana hivyo alizidiwa nguvu na watu wenye uwezo.Dhuluma hiyo ya
mapenzi ndo inamfanya Mark kuyachukia mapenzi na kuanza kutafuta hela kwa nguvu huku akiaamini kuwa ndo kitu pekee kinachoweza kurudisha furaha yake
iliyopotea.Katika harakati zake hizo za kutafuta hela ndipo anapata dili la kuja Tanzania kufanya biashara.Mark anaonekana mkoani mbeya ambapo alikuwa
akitoa vitu nchini Zambia na kuleta hapo Mbeya. Akiwa mkoani Mbeya anakutana na msichana mwingine ambaye anatokea kumepnda sana na kuanzisha
uhusiano wa kimapenzi.
Filamu hiyo inaendelea kuonesha kuwa mara baada ya Mark kukolea na penzi la binti huyo na kuanza kusahau maisha aliyopitia akiwa na Lilian hapo tena
anapatwa na Majanga mazito mara baada ya binti huyo kumuibia mamilioni ya hela na kutoroka.Kitendo hicho cha kuibiwa fedha zake za biashara zinamrudisha
sana nyuma Mark kimaendeleo na kujikuta akianza upya.Baadaye anapata taarifa kuwa binti yule yupo Dar es salaam na amekuwa tajiri sana.Mark anaamua
kufanya utafiti juu ya taaarifa hizo na kuamua kwenda Dar es salaam.Anaamua kuhama mji kutoka mbeya na kwenda Dar es Salaam mara baada ya kujua
mwanamke huyo mahali anapoishi.Mark anafanikiwa kuonana na mwanamke huyo lakini mwanamke huyo anamwambia hakuna haja ya kulipa kisasi anampa
mara mbili ya hela alizomuibia.Mark anashangaazwa sana na mwanamke huyo lakini kwa kuwa shida yake ilikuwa ni hela anaamua kuachana nae na kuanza
maisha mapya hapo jijiini Dar es salaam
Maisha yanaendela lakini Mark amekuwa tajiri na mtu mwenye mafanikio sana kiuchumi.Pamoja na mafanikio hayo ni mtu ambaye mapenzi bado yalikuwa
yakimuumiza siku hadi siku.Filamu inaeleza inafikia mahali Mark anakata tamaa kabisa na kupoteza imani kwa kila mwanamke anayekutana naye.Kwa hiyo
akawa akizini na mwanamke arudiii tena.Hapa sasa fialamu hii ilikuwa inajaribu kuonesha maisha ya mpenzi wangu Mark.Kuna matukio mengi sana kwenye
filamu hiyo lakini najaribu kukupa picha tu kidogo ili uone ni jinsi gani mimi niliingia kwenye tasnia hiyo. Na ukumbuke filamu hii inaanzia pale Mark yupo
barabarani anatembea yaani kama alivyotunga Eliado kwenye ile stori aliyotutumia.
Kwa upande wangu pia filamu inaanza kunionesha nikiwa nimezaliwa kwenye familia tajiri sana lakini baabaye wazazi wangu wote wanafariki na kubaki
mwenyewe.Ndugu wanagombania mali na mimi kuwa mtoto wa mtaani.Filamu ilijaribu kuonesha maisha yangu japo mengine hayakuwa ya kweli.Filamu
inaendelea kuonesha jinsi nilivyopata changamoto za maisha mpaka ikifikia sehemu naingia kwenye biashara ya ukahaba.Sehemu hii nazani ndio ilifanya watu
wengi wanikubali kuwa nina kipaji kwa sababu niliyapatia sana maisha hayo ya kujiuza.Pia kuna viapande vilinionesha nikiwa club nikicheza mziki.Yaani kwa
kifupi filamu ilieleza kwa kiasi kikubwa maisha ya ukweli ya Mark na pia ya kwangu.Baadaye na mimi nilikwenda Dar es salaam na nilikuwa na stress nyingi
sana za maisha mara baada ya mwenyeji wangu kufariki(hapa nilimuenzi rafiki yangu Joyce) katika harakati zetu hizo za kutafuta hela.
Sasa hapo kwa mujibu wa filamu baadaa ya msiba ndo nipo na tembea barabarani kwa miguu ndo nakutana na Mark ambaye ananisalimia lakini namchunia
kutokana na mawazo makubwa niliyokuwa nayo.Na japo ilikuwa ni siku ya Valentine day lakini mimi siku hiyo nilivaa nguo nyeusi kumkumbuka rafiki yangu
Joyce. Hapo sasa baada ya kutomjibu salamu ya Mark baadaye ndo inatokea ajali na kujikuta namuonea huruma Mark.Nikamkimbiza hospitali.Kwa hiyo filamu
hiyo inaeleza jinsi tulivoendelea na mazoea mpaka tukafikia hatua ya kupendana na kuwa wapenzi na baadaye tunafunga ndoa na kuanza maisha mapya ya raha na
kufurahia mapenzi.
Filamu hii ya Let Me Love You pia ilishinda ile tunzo za filamu bora hivyo kunipa sana umaarufu.Magazeti mengi ya Tanzania bado yaliendela kuandika kuwa
Wazambia wamtangaza Mark kimataifa.Huku wakiamini kuwa mimi na Lilian ndo tulifanya Mark apate umaarufu huo.Hakuna aliyeamini kuwa mimi ni
mtanzania isipokuwa wachache ambao walikuwa wakijua historia yangu ya maisha.
Tangia hapo Leah mimi nikaanza kujulikana na nikawa naenda Zambia kufanya shughuli zangu nyingi tu za kibiashara huku nikishirikiana na yule
mwanamitindo.Baadaye Mark alinishauri kuwa nisomee kozi ya sanaa kwa upande wa filamu ili niwe na uwezo mkubwa kwenye fani hiyo na pia ili niwenafanya
vitu kitaaluma ziadi.Niliona ni wazo zuri lakini sasa mimi mda mwingi nilikuwa Zambia na South Afrika ambapo Lilian ndo alikuwa akijulikana sana kwa kazi
yake hiyo ya uwana mitindo.Lilian alikuwa ni mjanja sana kwani mara baada ya kusikia nataka
kusomea mambo ya filamu alinitafutia chuo nchini Zambia kinyume na Mark ambayee yeye alinitafutia chuo nchini South Afrika.
Lakini niliamua kusoma nchini Zambia kwa sababu kipindi hicho ile ishu ya wasouth Afrika kuwauwa waafrika wengine kwa madai kuwa wanawachukulia ajira
zao ilkuwa imeshika kasi.Kwa hiyo sababu hiyo pia hata mimi ilinifanya niogope kusoma nchini South Afika.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Lilian aligundua uwezo wangu mkubwa wa kusimamia bashara hivyo akawa amenipa jukumu la kusimamia biashara zake nchini Zambia.Ili kuishi vizuri chini
Zambia ilibidi nichukue uraia wa kujisajili(Citizen by registration).Kwa hiyo hata wazambia wengi walikuwa wakijua kuwa mimi ni binamu wake na Lilian na
ndo maana ananiamini na kuniachia nisimamie biashara zake.Kweli Mungu akiamua kukubariki hakuna anayeweza kupinga.Maisha yangu yalibadilika sana na
nilisahau shida zote ambazo niliwahi kupitia.Usupa staa ukanijia na nikawa najulikana mpaka na watoto wadogo huko Zambia.Nilimuheshimu sana Mark na
tulipanga kufunga ndoa kubwa sana mara baada ya kumaliza hiyo kozi ya mambo ya filamu niliyoianza.Ilikuwa kila nikitaka kuwaambia Watanzani ukweli kuwa
mimi ni Mtanzania niyezaliwa na kukulia Arusha Mark na Lilian walikuwa wakipinga vikali.Wakidai kwamba hiyo itatunyima fursa za kibiashara nchini Zambia.
Maisha yaliendelea huku mimi nikisoma kwa raha sana kwani chuo nilichosoma kilikuwa hakibani sana hivyo niliweza kusafiri na kwenda sehemu yoyote
niliyokuwa nataka.Nakumbuka katika harakati hizo za kuzunguka na kutembelea sehemu mbali mbali maarufu nilijikuta nikifika Dubai.Pamoja na mambo
mengine ya kibiashara nilijaribu kumtafuta mama yangu mzazi ili nione kama nitaweza kumpata.Sikujua anaishi wapi, sikujua ukoo wake uliitwaje bali
nilichojua kuwa jina lake la mwanzo ni Sabra.Kitu pekee ambacho nilibahatika kukumbuka na jina la eneo la Deira ambalo lipo katikati ya mmji wa Dubai
ambalo pia ni maarufu kwa biashara za bei chee.Eneo hilo ndio linasemekana mama yangu alikuwa akifanya kazi kabla ya kukutana na baba yangu kwenye moja
ya hoteli ambayo ilikuwa eneo hilo.
Kwa kuwa nilikuwa na watu ambao ni wenyeji wa mji huo tuliamua kuitafuata hiyo hoteli lakini cha ajabu tuliambiwa kuwa hotel hiyo iliamishwa na
kupelekwa mtaa mwingine kabisa ambayo ilikuwepo kwenye eneo maarufu la barabara ya Sheikh Zayed karibu na soko kuu la kibiashara na mnara wa Emirates
ambapo sehemu hizi zilikuwa zikiishi watu wenye uwezo mkubwa sana kiuchumi. Sehemu hiyo tulifanikiwa kuipata hiyo hotel ambayo inasemekana ni hotel
ambazo zilikuwepo mda mrefu sana.Tulifika kwenye hotel hiyo na kujaribu kuwasiliana na msimamizi wa hoteli huyo.Ambapo tulimweleza shida yetu na
kumuambia kuwa tunamtafuta mtu ambaye inasemekana aliwahi kufanya kazi hapo miaka 30 iliyopita.Hapo meneja huyo alibidii acheke kwa sababu mika 30
hiyo hata yeye hakuwepo ndo kwanza alikuwa anazaliwa.
Ilibidi atuulize kuwa kwani tunashida gani ya muhimu hivyo mpaka kuamua kumtafuta mtu ambaye alifanya kazi hapo miaka 30 iliyopita.Ilibidi nianze
kumuelezea kuwa mtu huyo ni mama yangu mzazi na alikutana na baba yangu miaka hiyo hivyo kupelekea mimi kuzaliwa.Yaani huyo meneja aliniangalia mara
mbili kuanzia juu mpaka chini na kuniuliza wewe mama yako ni mtu wa Dubai hii.Nilimwambia ndio kwani haoni hata nywele zangu na sura.Aliendelea
kushangaa sana kwa sababu ilikuwa ni aibu sana kwa mwanamke wa kiaarabu kuzaa na ngozi nyeusi na kama ikitokea hivyo basi huwa anatengwa na familia.Ni
ubaguzi ambao ulikuwepo miaka hiyo baba yangu akikutana na mama yangu mpaka sasa.
Wakati tukiendelea na mazungumzo alikuja msaidizi wake ambaye yeye alikuwa na kazi rasmi ya kuwahudumia wageni kutoka Afrika na yeye alikuwa ni raia
kutoka Zanzibar hivyo mambo yakawa marahisi kidogo.Alitusikiliza mwanzo mpaka mwisho na badala ya kutusaidia alibaki anatuonea huruma tu.Kwa kuwa
alikuwa ni Mtanzania mwenzetu nilijua kabisa njia pekee ninayoweza kuitumia ni kutoa hela. Hapo sikutaka kuongea sana nilifungua pochi yangu na kutoa pesa
za falme za kiharabu maarufu kama Dirham na kuziweka mezani.Hapo alianza kutetemeka na kuniambia kuwa atanisaidia lakini nisirudie mchezo huo wa kutoa
rushwa katika mji wa Dubai kwa sababu eti wakazi wa huko hawatoi wala kupokea rushwa.
Nilitamani kucheka kwa sababu wakati ananambia maneno hayo tayari zile Dirham alishaziweka kwenye mfuko wake wa suruali.Hama kweli mtanzania ni
mtanzania tu pamoja nakuwa alikuwa kwenye mji unaosifika kwa watu wake kuwa wakarimu wasioweza hata kuiba bado alizichukua.Kweli jasiri haachi asili
alafu kwa kunichosha zaidi alianza kunielezea kuwa watu wa Dubai ni wakarimu sana hata ukiangusha pochi yako utaipata.Hapo na mimi nikampinga na
kumwambia nitaamini vipi hayo unayoyasema kama yana ukweli wowote. Akanambia hayo maneno sio porojo kwani kuna mzungu mmoja kutoka Uingereza
alishawahi kufanya utafiti wake katika mji huo kwa kuidondosha pochi yake zaidi ya mara arobaini na tano.Lakini kila yaliyeiokota aliirudisha.
Akaendelea kufafanua kuwa mzungu huyo ambaye pia alikuwa ni mtengeneza filamu maarufu kwa jina la Daniel Jarvis alificha kamera yake na kuanza kurekodi
matukio ya makusudi ya kudondosha pochi yake ambayo ilikuwa na hela za kutosha.Kwa mujibu wa mzungu huyo kila mtu aliyeiokota pochi hiyo hakuangaika
kuangalia kuwa ndani kulikuwa kuna nini bali alikuwa akitafuta aliyeidondosha.Kwa hiyo mzungu huyo alikuwa na marafiki zake na walikuwa wakifuatilia na
walifanya utafiti huo kuanzia kwenye mitaa ya matajiri na mitaa ya masikini.
Kwa hiyo mara baada ya kujaribu kunithibitishia kuwa wakazi wa mji huo ni wakarimu kwa kunielezea utafiti wa Daniel Jarvis aliniuliza sasa hata tukitafuta
mafaili tukakuta kweli mama yako alishawahi kufanya kazi hapo na mimi ni kitu gani muhimu ambacho kitawezesha kumpata.Maana alinmbia kuwa kufanya
kazi hapo haimaanishi kuwa mama huyo alikuwa akiishi mitaa hiyo.Alafu ukizingatia kuwa hoteli hiyo ilishaamishwa kutoka mtaa wa mwanzo ambao ulikuwa
ni mtaa wa vitu vya bei chee mpaka mtaa wa matajiri hivyo hata hadhi iliyonayo hoteli hiyo kwa saa ni tofauti na zamani.Kitu pekee ambacho mimi nilikuwa
nacho kwa kweli ilikuwa ni picha tu ambayo iikuwa ikimuonesha marehemu baba yangu akiwa na mama yangu ambaye kwa kweli na mtafuta kwa udi na
uvumba.
Huyo meneja msaidizi aliingalia hiyo picha kisha akasema ngoja jaribu kutafuta mafaili ya miaka hiyo tuliyomtajia. Nia yangu ilikuwa ni kwamba kama tutapata
faili lake pia litaonesha taarifa zake zingine kama vile mahali alipokuwa akiishi jina la pili na anuani yake.Ilibidi nipelekwe masijara ambapo ndipo kulikuwa na
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
mafaili ya wafanyakazi wote wa sasa na wazamani.Yaani kwa jinsi mafaili yalivyokuwa mengi kwa kweli nilikata tamaaa.Yule aliyenipeleka akaniuliza sasa
umeona hiyo shughuli hapo, je upo tayari kutafuta faili moja baada ya lingine.
Yaani nilishangaa sana ni kwa vipi hotel kubwa kama hiyo bado ilikuwa inahifadhi kumbukumbu zake kwa staili hiyo ya kizamani na iliyopitwa na
wakati.Uzalendo ulinishinda ikabidi nimuulize ni kwanini bado wanatumia njia hiyo ya kizamani kutunza kumbukumbu wakati siku hizi kuna kitu kinachoitwa
Human Resource Informaion system ambapo kumbukumbu zote za wafanyakazi kama waliochishwa kazi, wagonjwa, walioenda likizo ,waliopandishwa vyeo na
taarifa nyingine muhimu uhifadhiwa kwa kutumia komputa.Akanambia system hiyo pia wanayo sema bado tu hawajaweza kuingiza document zote za miaka
iliyopita.Ila waemeingiza kumbukumu za miaka ya hivi karibuni.
Kwa kuwa ilikuwa ni ijumaa na mda wa kwenda swala ulifika ilininbidi wanaiambie nirudi kesho yake asubuhi na mapema.Sikutana kupingana nao kwa sababu
pia watu wa kule Dudai wengi ni waislamu na mda huo ofisi, maduka na sehemu nyingi za biashara huwa zinafungwa kwa ajili ya sala ya ijumaa. Niliondoka
mimi na mwenyeji wangu na akaendelea kunitembeza sehemu mbalimbali za viunga vya mji huo kama downtown na penginepo.Uongo zambi jamani Dubai ni
pazuri alafu vitu ni bei rahisi sana.Yaani kwa kweli huu ni mji wa kibiashara ambao ulikuwa ukikua kwa kasi sana.
Kesho yake asubuhi na mapema nilikuwa pale utafikiri labda nilikuwa nawahi kwenye interview.Tukaingia masijara na moja kwa moja tukaanza kupekuea faili
moja baada ya lingine hasa kwenye yale mafaili ya watu ambao waliashawahi kufanya kazi hotelini hapo zaidi ya miaka 30 iliyopita.Ilikuwa ni kazi ngumu sana
kwa sababu mimi sikujua ni mwaka gani mama yangu aliacha kazi au ni mwaka gani baba yangu alimuoa baba yangu.Nilichokuwa nakiaangalia zaidi ni umri
wangu mimi hivyo nikarudisha miaka kidogo nyuma na kufanya iwe thelathini.Tuliendelea na kazi hiyo huku pia tukiangalia na picha ambazo ziliweka kwenye
mafaili hayo na tulikuwa na imani labda huenda alikuwa akitumia jina lingine. Baada ya masumbuko ya mda mrefu huku tukiwa tumekataa tamaa ya kueendelea
kupekua kwa sababu tulibakiza mafaili mawili tulikutana na jina la Sabra.Hapo nilitamani kumbeba yule menaja juu juu na kushangilia maana nilihisi ndo tayari
nishampata mama yangu.Lakini tofauti na mafaili mengine faili lenye jina la Sabra lilikuwa halina picha hivyo asilimia kuwa ndo yeye zilipungua.Kabla sijasema
kitu yule mtunza rekodi aliniuliza mbona ili faili halina picha swali ambalo hata mimi nilitaka kumuuliza.Ingawa yeye ndo ofisi yake lakini ilimbidi
ashangaae.Sema akajitetea kuwa yeye ameanza kazi juzi hivyo hajui nini kilitokea mpaka faili hilo likawa halina picha.
Ilibidi tumalizie faili lingine moja lilobakia na kwa bahati nzuri au mbaya na lenye jina la mwanzo lilikuwa ni Sabra hivo kumaanisha kuwa kulikuwa na Sabrra
wawili wakati huo kwa sababu ubini wao ulitofautiana.Kitu kingine ambacho kilituweka matatani ni kwamba Sabra huyu alikuwa na picha mbili za passpot
size.Hapo sasa yule jamaa akapata la kuongea na kusema huenda mtunza masijara wakati huo naye alichanganyikiwa hasijue ipi ni ya Sabra wa mwanzo na ipi ni
ya Sabra wa pili.Ilinibidi nimpokonye zile picha ili nizifananishe na ile picha ya mama yangu.Hapo nikagundua vitu viwili ambayo viliondoa furaha niliyoipata
mda mfupi uliopita.Moja niligundua kuwa piacha zile mbili za passpot sa hizi zilikuwa zinafanana hivyo ilimaanisha kuwa zilikuwa ni za mtu mmoja kinyume
na mtunza masijara alikuwa akizani kuwa moja ni ya Sabra wa kwanza na ingine ni ya Sabra wa pili.
Kitu kingine nilichogundua ni kwamba pamoja kuwa zilikuwa ni za mtu mmoja lakini pia zilikuwa hazifanani kabisa na picha ya mama yangu.Hapo nilikuwa
mdogo kama pilitoni na mpole kama shilingi kumi.Tulibaki tumeangaliana tu na tusijue nini cha kufanya.Tulijaribu kuangalia anuani za watu hao zilikuwepo
lakini kwa mujibu wa mwenyeji wangu ni kwamba hizo namba za simu zilizoandikwa kwenye mafaili yote mawili ni namba za mtandao wa zamani sana ambao
mtandao huo ulishafilisikaga hivyo kwa Dubai hiyo ya sasa hakuna namba za simu za namna hiyo.Akanambia kitu pekee kitakachoweza kutusaidia hapo ni hizo
anuani za makazi ambazo zilionesha namba za nyumba na mtaa ambao walikuwa wakiishi.
Baada ya maelezo hayo wazo la haraka haraka nililolipata ni kuwa tuanze harakati za kumtafuta Sabra huyo ambaye alikuwa na picha na kama tukimpata huyo
itakuwa ni rahisi kutueleza habari za Sabra mwingine ambaye alikuwa akifanya naye kazi. Tulichukua jina la mtaa na namba za nyumba zote za Sabra wawili
tukamlipa huyo bwana kwa kumpotezea mda wake kisha mimi na mwenyeji wangu tukaondoka zetu.Tuliamua kwenda moja kwa moja mpaka mtaa unaitwa mtaa
wa Bur ambapo tulianza kupita nyumba hadi nyumba kumtafuta Sabra ambaye ndo jina la mama yangu.Ingawa tulikuwa na uhakikika kuwa huyo hakuwa mama
yangu lakini nilijua kuwa kama ni tukimpata huyo itakuwa ni rahisi sana kumpata.Kwa kweli tulizunguka sana na baadaye tulipelekwa kwa mzee mmoja ambaye
yeye alikuwa ni mtabiri wa mambo ya nyota.Na kwa mbwembwe tulivyofika tu kwa mtaalamu huyo alianza kusema najua mnachotafuta najua tena najua
sana.Vua huo mkufu wako wa dhahabu na uweke hapo nikwambie mambo yote yanayokusibu maishani mwako.
Hapo nilisita yaani nivue mkufu wangu tena wa miaka nenda miaka rudi.Siunakumbuka huu mkufu na hili jino la dhahabu ni marehemu baba yangu alininulia
tena ilifafanana na ya mama yangu na huwa inathamani kubwa sana.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
*********
**************
*******************
Lakini bibi alisema ila kama siriziki tuende tukapime japo hana uakika kuwa DNA hupimwa kwa bibi na mtoto.Basi tukapanga kesho tukafanyae hiyo.Uzuri wa
wenzetu huduma hiyo zinapatikana sehemu nyingi hata kwenye hospitali binafsi tofauti na Tanzania kuwa mpaka umuandikie mkemia mkuu wa serikali ukieleza
sababu za msingi za kutaka kupima kipimo hicho kikubwa. Kesho asubuhi tulienda kufanya kipimo hicho na tuliambiwa turudi mchana kuchukua majibu.Kwa
bahati mbaya majibu yalionesha kuwa sikuwa na undugu na bibi huyo hata chembe.Hapo roho yangu ikawa imerizika kabisa na nikawa tayari na kuendelea na
michakato mingine ambayo ingeniwezesha kumpata mama yangu
Hatukukata tamaa bado tuliendelea kumtafuta na safari hii tulienda kwa Sabra yule mwingine ambaye alikuwa hana picha.Na kwa mijibu wa lile faili yeye
alikuwa anaishi mitaa ya downtown ambyo yenyewe ipo mjni kabisa.Hapo ndo ilikuwa ni kazi kabisa kwani makazi mengi ya eneo hilo yalikuwa ni maghorofa.
Ikabidi tuende kwa uwongozi kuchukua kibali cha kufanya zoezi hilo la kutafuta nyumba hadi nyumba.Tulivyofika hapo kwa kiongozi tulikuta utaratibu ni
tofauti kabisa maana kulikuwa na kampuni ambayo yenyewe ndo ilikuwa inajihusisha na mambo hayo ya kukonecti watu waliopotezana.
Tulielezwa kuwa kampuni hiyo inajiusisha na mambo hayo nje na ndani ya nchi hiyo.Kwa tulielekezwa kwenda sehemu hiyo na tulivyofika tulipokelewa vizuri
tukaelezwa jinsi wanavyofanya kazi. Tuliwapa picha hiyo ya mama yangu wakaitengenezea matangazo na wakahaidi kuwa watahakikisha kuwa mama huyo
anapatikana maana wataweka matangazo kila mahali nchini humo.Tulitajiwa dau kubwa sana ambalo tuliambiwa kuwa tunalipa hela hiyo asilimia hamsini mara
ya kwanza na pia tutamalizia hiyo asilimia 50% zingine tutamalizia endapo mtu huyo tunayemtafuta atapatikana.
Kwa hiyo zoezi hilo likawa limeishia hapo na mimi nikarudi zangu kwa huyo mwenyeji wangu.Nilikuwa na imani kabisa na kampuni hiyo kwa jinsi
walivyokuwa wanafanya kazi kitaalamu.Sikuwa na haja ya kutia shaka wakatii hata viongozi wa nchi hiyo waliuamini sana mtandao huo na kuruhusu wawe na
ofisi nchini humo.Niliendelea kukaa nchini Dubai kwa wiki moja zaidi kabla ya kuamua kurudi nchini Zambia kuendelea na masomo yangu.Nilitamani
kuendelea kukaa nchini humo na kula bata sema sikuwa na jinsi zaidi kuondoka na kuwaachia mji wao.Nilifika Lusaka na kuendeleaa na masomo yangu ya sanaa
ya filamu huku nikiwa nimebakisha mda mchache sana kabla ya kuyamaliza.
Huko nilikuwa naishi maisha mazuri sana kwa sababu watu walinitambua kuwa mimi ni star mkubwa sana.Nilikuwa namkumbuka sana Mark wangu na
nilimuomba wikindi inayofuata aje kunitembelea.Huwa hapingi labda awe amebanwa sana na kazi.Na kila akija alikuwa anapenda sana kufikia Kitwe sehemu
ambayo ilikuwa ndani ya jiji hilo.Kitu ambacho alikuwa akinikera Mark ni kwamba mtafanya starehe zote lakini kufanya mapenzi no.Aliendelea kukomaa na
msimamo wake kuwa tutafanya hivyo pindi tu tutakapoonaa. Basi huwezi amini miaka yote hiyo mimi nilikuwa naishi kwa matumaini huku nikiisubiri kwa
hamu na jamu siku hiyo ya harusi.
Kama binadamu kuna kipindi libido ilikuwa ikinizidi hivyo nikanunua kifaa maalumu kwa ajili ya kujichua.Ujue mwanzoni nilikuwa nikipata hamu ya kufanya
mapenzi mimi nachukua maji ya moto na kujikanda.Lakini nilivyoenda Dubai nikakutana na vifaa maalumu ambavyo vipo kabisa kama uume wa mwanaume
ambavyo vimetengezwa kitaalamu na kuwekewa ulaini na joto sawa na lile ambalo lilipatikana kwenye uume wa binadamu. Najua mtashangaa nani aibu
kusimulia vitu hivyo lakini hakuna jinsi wacha tu niwaambie na baadae nitakuja kuwaambia madhara yake.Mnikumbushe lakini maana mimi naye kwa kusahau.
Kwa hiyo siku hiyo Marka alivyokuja kunisalimia nchini Zambia baada ya kukomaa na msimamo wake usiku mimi niliingia zangu bafuni na kujipa raha
mwenyewe.
Eeeeh kumbe Mark alishitushwa na sauti zangu za mahaba nilizokuwa nazitoa huko bafuni tena usiku wa manane akajua labda kuna mwizi alikuwa akimwibia
mali zake.Akasogea mpaka kwenye tundu la kitasa cha mlango na kutega sikoooo.Mmmmmmh mmmmmmh, ooooooooooh yeeeaaaah, yes yeaaaaaaaaah
yeaaaaaaaaaah ni baadhi ya sauti ambazoo huwa nazitoa pindi tu nitakapo jiingiza hicho kidude. Nilikuwa nimekaaa juu ya sinki la choo huku nikiwa nimepanua
miguu utafikiri nipo labour hivyo kufanya nisikie raha ya ajabu. Yaaani nilijisahau na kujikuta nikijipa raha mwenyewe.Nilikuwa sina jinsi kwa sababu siwezi
kulala na mwanaume aliyenipenda mpaka asubuhi na kuizulumu nafsi yangu. Tena aliyeniuzia kifaa hicho aliniambia kama mwanamke akikaa sana mda mrefu
bila kufanya mapenzi anaweza kupatwa na ugonjwa wa kuzidiwa na homoni hivyo kujikuta anapatwa na ugonjwa ambayo tiba yake ilikuwa ni kutolewa kizazi.
Weeeee nani anataka kutolewa kizazi kabla hajazaa acha nijipe raha mwenyewe nisiingoje kupewa.Wakati nabadilisha staili kwa kukichua kile kifaa na kukiweka
vizuri huku nikibinya ile switch hili iongeze spidi Mark aliingia.Ni kweli nilimuona ila sasa sikuwa na jinsi ilibidi nimalizie furaha hiyo ya uwongo
uwongo.Yaani wazungu jamani sijui walifikiria nini maana kile kifaa ukikiminya kwa juu kinakuwa kinajizungusha chenyewe.Alafu ukikibonyeza kwa pembeni
kinakuwa kinazama na kutoka ni sawa tu na mwanume anavyotwanga na kupepeta..Ujue hichi kifaa nilikinunua kule Dubai lakini namuomba mungu hata
visifike huku Tanzania maana zitaharibu sana wadada.
Maana ukizoea kujichua kwa kutumia njia hiyo lazima kuna uwezekano unaweza usone faida ya kuwa na mwanaume kabisa.Kuna wakati mimi nilikwa najilaza
kitandani kisha nakichomeka na kuacha kizunguke kinavyotaka na kwa mda wa dakika tu huwa najikuata nimemaliza maugwadu yangu yote.Ila sikuwa
nakitumia kila siku msinifikirie vibaya. Mimi nilikuwa nakitumia kifaa hicho kila mara baada ya miezi 6. Msije mkaenda kukitafuta mkajitafutia majanga
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
bure.Hiki kinaharibu kisaikolojia.
Basi Mark alivyoingia alibaki ameduwaa na kushangaa asijue afanyaje.Nilivyojihakikishia kuwa tayari nimejipa raha niliyoitaka nilikichomoa na kuamua
kumfuata na kumwambia am sorry babe nilizidiwa na hamu.Alafu sasa nikamkumbtia kwa nguvu.Nikijua kabisa lazima atanionea huruma na kunipa haki yangu
original.Na kwa kweli nilimkumbatia kwa nguvu akaninyanyua na kwenda kunimwaga kitandani.Alikuwa juu yangu na tayari alishaanza kunipapasa kwenye
mapaja mpapaso ambao ulinipa ile ladha ya mapenzi original.
Hapo mapigo yangu ya moyo yakaanza kwenda mbio huku nikiamini kuwa siku hiyo ndo nilikuwa naonja utamu wa Mark.Mark alinichezea sana na kwa mara ya
kwanza tulikutanisha ndimi zetu na kupeana mate.Macho yangu yalikuwa yakifumba na kufumbua kama mtu ambaye alikwa baharini akipulizwa na upepo mkali
uliosababisha macho kupata raha ya ajabu.Nilihisi kama ute ute ulikuwa ukishuka na kuzilowanisha sehemu zangu za siri kwa kasi ya ajabu.Nilisikia raha kwa
kweli na sikujua Mark alipata wapi utundu huo wa kumchezea mwanamke na kujikuta nikifika kileleni bila hata kufanya sex.Nilihisi kuishiwa nguvu na mwili
kulegea na kushindwa hata kusema neno mara baada ya Mark kunibwaga kwa nguvu pembeni ya kitanda.Tayari nilikuwa hoi huku nikihema kwa nguvu kama
mtu aliyekimbia kilometa 10.
Nilijaribu kujinyanyua ili nimsogelee Mark lakini nilishindwa na kuendelea kujilaza pale kitandani nikiwa hoi bin taabani.Nikasema ngoja nipumzike kidogo
kisha nimsogelee Mark na kumpa haki yake ambayo alikua akijinyima kwa mda mrefu.Zilipita kama dakika kumi na tano huku kila mtu akiwa kimya,
nilishuhudia Mark akienda chooni na kurudi na kujilaza kama vile mtu ambaye alikuwa ameshamaliza kazi.Nilishanga na kujiuliza huyu mwanaume alikuwa na
shida gani maana mimi nilitarajia kuwa baada ya kunichezea hivyo angekuwa amepandisha mizuka na kunitafuna kama simba aliyemwona swala mbele yake
Nilijaribu tena kujinyanyua lakini nilishindwa mwili ulikuwa umechoka sana.Sijui huyu mwanaume alinifanya nini maana haiwezekani kunipapasa vile tu niwe
hoi bin taabani.Nilishangaa zaidi kumuona akivuta shuka na kujifunika.Kitu pekee kilichonichanganya sana siku hiyo na kujikuta kuikubuka sana ni kwa sababu
mara baada ya romance hiyo fupi hamu yote ya kufanya mapenzi iiisha. Sikuwa na ujanja nilikuwa kama mtu niliyelogwa sikuweza hata kujisogeza pale
nilipokuwa nimelala.
Mark kwa kulitambua hilo alinifunika shuka na kuniambia “I love you baby but we should keep our promise” alikuwa akimaanisha kuwa ananipenda ila tutunze
ahadi yetu kuwa tutazini mara baada ya kufunga ndoa.Hapa sasa sikumwelewa Mark maana sasa hataki tuzini lakini hayo tuliyoyafanya hapo mda mfupi uliopita
ni sawa tu na kuzini maana mimi nilishajikojelea zaidi ya mara 2.. Sasa yeye sijui alikuwa ana maanisha zinaa gani wakati kumtamani tu mwanamke ni sawa na
kuzini nae.
Niliendelea kumuwaza sana huyu mwanaume lakini sikumpatia jibu.Hivi jamani nisaidieni ni kweli hichi kitu cha kusubiri mpaka muoane kipo kwenye
ulimwengu huu wa digitali au ilikuwa ni enzi za babu zetu.Niliendela kuwaza mpaka nikajikuta nimepitiwa na usigizi.Nilikuja kushituka asubuhi na nilishangaa
maana ilishakuwa nikawaida siku nikilala na mwanaume huyo basi huwa napitiwa na usingizi mzito sana. Sijui alikuwa akiniwekea nini maana huwa natamani
niwe nashituka usiku alafu niichukue ile maiki yake na kuicheea jinsi ninavyotaka.Lakini ni zaidi ya mara tano nimelala na mwanaume huyo lakini hakuna
chochote ambacho tuliwahi kufanya.Kidogo usiku huo ndo alinpa romance kwa mara ya kwanza na hiyo ni mara baada ya kujikuta najichua kule chooni.
Basi tuliamka na kuendelea na shughuli zetu zingine na Mark alinieleza kuwa mipango yetu ya harusi inaendelea vizuri sana na pindi nitakapomaliza tu masomo
yangu miezi mitatu ijayo basi tutafunga ndoa na kufanya harusi kubwa sana kuwahi kufanyika nchini Tanzania.Nilifurahi saana kusikia hivyo lakini nilitamni
kama harusi hiyo ingeuzuriwa na ndugu yangu yeyote kama sio mama yangu basi kaka yangu. Hapo nilitamani hile kampuni ya kutafuta watu waliopotezana
wampate mama yangu kabla ya harusi hiyo.Niliwaza pia vipi kuhusu kaka yangu ambaye yeye kipindi kile baba anafariki yeye alishadata na kuwa chizi nilitamani
sana kama na yeye ningemtafuta na kumpata.
Sema nilikata tamaa na yeye kwa sababu ni vigumu sana kumtafuta na kumpata mru ambaye alikuwa amechanganyikiwa kabisa.
Mark alimaliza shughuli zake hapo Zambia na kurudi zake Tanzania na kuniacha mimi nikiendelea na masomo na biashara zingine. Sikusita pia kuwasiliana na
ile kampuni niliyowapa kazi ya kumtafuta mama yangu lakini walinambia bado wanaendelea na kazi hiyo japo zoezi lilikuwa gumu sana.Niliendelea kuwaamini
na kuwaombea mungu kuwa siku moja wafanikiwe.Ilibidi nimkabizi mungu swala hilo maana pale uwezo wa mwanadamu unapoishia ndipo uwezo wa Mungu
unapoanzia.Na lisilowezekana kwa wanadamu basi kwa mungu linawezekana.*********
Mwaka 2003 Afrika iliingia kwenye ramani mpya kwa kuanzisha shindano kubwa na la kipekee ambalo lilizoelewa kuonekana kwenye nchi za Ulaya na
Marekani.Show hiyo ya kwenye TV maarufu kama big brother Afrika ilihusisha washiriki kutoka nchi 12 ambayo ni Angola.Botswana,Ghana, Kenya, Malawi,
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Namibia,Nigeria.South Afrika, Tanzania, Uganda, Zimbambwe na Zambia. Kila nchi hutoa mshiriki angalau mmoja na washiriki hao uwekwa kwenye jumba
maalumu.Washirki wote mara baaada ya kuwekwa kwenye jumba hilo kila mmoja ugombania kuwashawishi watazamaji wa show hiyo wawapigie kura na
kuendelea kubakia. Big brother ya mwaka huo ndo ilikuwa ndefu zaidi kwani ilichukua siku 106 tofauti na zingine ambazo zilifuata zilifanyika kwa siku 91 tu.
Kwa hiyo washiriki wote hao huwa wanagombania kubaki na hatimaye kushinda kitita cha dola za kimarekani. Shindano hilo limepata umaarufu mwaka hadi
mwaka na limekuwa likikonga nyoyo za watazamaji wengi hasa wale wa VIP ambao hao hupata bahati ya kuona vitu vyote vinavyoendelea katika jumba hilo
mpka vile ambavyo pengine huwa ni kinyume na maadili ya waaafrika kama kuonesha washiriki wakiwa bafuni wakioga au kuonesha washiriki wakiwa kwenye
mapenzi mazito.Washiriki wamekuwa wakiongezeka na mwaka huu walishafia washiriki 14.
Chriss Marcuros ni mtangazaji maarufu sana nchini Afrika kusini na Dj ambaye alikuwa akipendwa sana kwenye club za usiku. Mtu huyu ndo alikuwa mtu wa
kwanza kupata nafasi ya kuwa host kwenye show hiyo ya big brother Africa 2003. Radio maarufu ambazo alishawahi kufanya kazi ni radio 5FM, 94.7, Highveld
stereo na 94.5 KFM . Dj huyu na MC huyu maarufu ndiye naweza kusema alinishawishi kwa namna moja au nyingine kushiriki katika mchakato huo wa kutafuta
mshiriki kwa upande wa Zambia.
Marcuros kabla hajaingia kwenye mambo ya utangazaji alikuwa anafanya kazi ya utafiti wa masoko barani Afrika hasa katika nchi ya Zambia.Mtu huyu maarufu
alitokea kufanya kazi kwa ukaribu sana na familia ya kina Lilian. Kwa hiyo hata kabla hajachaguliwa kuwa host tayari mimi nilishakuwa namfahamu kupitia kwa
rafiki yangu Lilian.
Kipindi kile tunaenda South Afrika yeye na wengine wengi ndo walikuwa miongoni wa kampani ya Lilian.Nilikuwa na urafiki wa karibu sana na tu huyu
kutokana a historia yake ya maisha na nafasi yake katika kusaidia jamiii ya watu waliokata tamaa kutokana na kuugua maradhi yanayoogopwa sana.Marcuros
alikuwa akiugua kansa tangu mwaka 1995 na ameweza kuishi kwenye hali hiyo huku akiwa ni muhamasishaji na miongoni wa watu ambao hawakuwahi kukata
tamaa katika maisha haya. Kwa hiyo kutokana na urafiki wetu baina ya mimi, Lilian, Mark na Marcuros ilituwezesha kupeana michongo mingi na fursa ambazo
zingeweza kutokea na kutufanya tupate pesa.
Nakumbuka kabisa Marcuros ndo mtu wa kwanza kabisa kuniambia kuwa Endemol South Africa inataka kuanzisha show ya big brother kwa upande wa bara la
Afrika.Kipindi hicho mimi sijui lolote kuhusu shindano hilo maana sasa kama lilikuwa ni show maarufu ulaya na marekani mimi ningelijuaje. Kwa hiyo
Marcuros alinishawishi kuwa nisisite kujaza form na kushiriki shindano hilo pindi tu mchakato wa kutafuta washiriki utakapoanza.
Unajua hata yeye alikuwa anajua kabisa mimi nilikuwa ni Mzambia. Sikuweza kubadilisha ukweli na uwongo huo kwa sababu ni kweli nilishakuwa na uraia wa
nchi mbili.Japo serikali yetu ya Tanzania inajifanyaga haitambui uraia wan chi mblili.Wakati mimi nikiendelea na masomo yangu ya sanaa, uanamimtindo na
utangazaji nchini Zambia nilishangaa kukuiona kile kitu alichokisema Marcuros ndani ya mwaka mmoja kikitokea.Ni big brother Afrika ilikuwa ikitafuta
Washiriki.
Hapo Lilian alinambia nisifanye makosa nijitokeze kwenye mchakato huo wa kutafuta mtu wa kuiwakilisha nchi hiyo.Nilisita sana na hata nilipomwambia
mpenzi wangu Mark naye alisita sana lakini baadaye niliijikuta nikichukua form na kujaza. Nilipitia kwenye interview kama watu wengine. Watu walikuwa
wengi sana na kwa kweli siku ya kwanza tu nilikata tamaa kutokana na watu waliojitokeza kuwa ni maarufu sana nchini Zambia. Wakati mimi nikichukua form
nchini Zambia Mark naye alishahamasika na alinambia niende nikaiwakilishe Tanzania badala ya Zambia
Yani alianza kutaka uhusiano na mimi tena uhusinao wa mapenzi.Mda wote alikuwa akiniganda kama luba.Na mimi nilikuwa mjanja sana maana nilijifanya
sinywi pombe wala kuvuta sigara.Pia baada ya kugundua kuwa wahusika wengine walikuwa wanajiachia niliamua kujifanya mshauri wa mapenzi na
mahusiano.Nilikuwa nawasshauri sana mshiriki wa Msumbiji ambaye tayari alikuwa amedata kimapenzi na mshiriki kutoka Botswana. Yaani mambo yalikuwa
hadharani yaani wao popote tu waliamua kufanya maladavidavi.
Japo niliamua kujifanya ni mlokole nisiyetumia kilevi lakini kiukweli ilikuwa ni kazi na mtihani mkubwa sana kwangu kuona watu wakipiga zile pombe za bei
ghali ambazo huwa nazipenda sana. Ugumu mwingine ulikuja wiki ya tatu pale mshiriki wa Tanzania aliponifuata bafuni na kutaka kuniogesha. Nakumbuka siku
hiyo ilinibidi nitoke bafuni huku nikiwa uchi wa mnyama na mapovu usoni ili kumkimbia mwanaume huyo kwa maana nilijua tu endapo atanisogelea karibu na
kunishika basi mambo yangeharibika kwa jinsi nilivyokuwa na uchu wa kufanya mapenzi.
Siunakumbuka ni miaka kadhaa sasa imepita bila mimi kushiriki tendo la mapenzi.Na mara ya mwisho ndo ile Mark akiishia kunchezea tu na kuniacha njia
panda. Nikawa nimeshinda kishawishi hicho ambacho kingeweza kuvunja uchumba wangu maana Mark alilipia hela ya VIP na alikuwa akiona kila kitu ambacho
kilikuwa kikiendela ndani ya jumba hilo.
Basi maisha yaliendelea mpaka mwezi wa kwanza ukaisha huku washiriki wakiwa wanazidi kupungua tu. Nilikuwa navutiwa sana na mshiriki kutoka Nigeria
ambaye alikuwa na kipaji kikubwa sana cha kupiga gitaa na vitu vingi vya musiki.Uzuri na yeye alishatambua kipaji changu hivyo akawa ananipigia zile melody
za taarabu na miziki ya asili ya Tanzania nikawa nacheza. Kuna mda washiriki wengine walitaka kutumia nafasi hiyo ili kucheza na mimi kwa kunimbaia na mimi
kwa kutumia maujanja yangu niliweza kuwakataa na kujifanya ni mtu mwenye aibu sana na nisiyeweza kucheza na mtu mwingine hasa akikaa nyuma yangu.
Kwa kifupi nilikuwa naepusha vitu vyote ambavyo vingeweza kunitia mashakani.Jamani simnajua kila mtu ana sehemu zake ambazo zina hashkiiiiiiii zikiguswa
tu ni majanga. Basi mwenzenu mimi moja ya sehemu ambayo mwanaume akinigusa napatwa na stimu za mapenzi ni makalio yangu haya.Yaani mimi ukinigusa
wowowooo langu tu ni shida huwa naanza kuwaza ujinga kabisa.Hivyo sikuruhusu kabisa mtu anibambie.
Ni mwezi wa pili na tumebaki washiriki wachache na wenye nguvu sana. Kuna wawili ambao wao walikuwa wakijiachia sana na kufanya utumbo wowote
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
waliojisikia kuufanya. Sasa nikawa na hofu ya kutolewa kwa sababu ninavyojua wapiga kura wengi ni vijana na vijana sikuzote wanapenda sana kuona matukio
yanayohusisha hisia nzito za mapenzi.
Hapo nikaanza kulegeza kidogo mpaka nikawa naweza kulala na mwanaume kitanda kimoja.Usishangae ni kitu cha kawaida sasa kama niliweza kulala na Mark
bila kufanya lolote sembuze mtu tuliyekutana naye kwenye jumba hilo la big brother. Kwa kweli hili lilikuwa ni zoezi gumu sana lakini nililishinda.Mambo
yalizidi kuwa matamu pale mshiriki wa South Afrika alipogombana na mshiriki mwingine ambaye walikuwa na uhusiano wa kimapenzi. Eti na yeye akataka
aamie kwangu.
Hapo napo nilipata wakati mgumu sana kwa sababu mshiriki huyu alionekana kuwa na nguvu sana kwa sababu ya mwamko mkubwa sana wa watazamaji wake.
Nakumbuka siku moja nimeamka asubuhi na kuamua kufanya mazoezi.Na siku hiyo mimi nilikuwa nimevaa tu skini ambayo kwa kweli iliwachanganya
wengi.Huyo mshiriki wa South Africa alikuwa akinipa kampani sijui hata nini kilitokea kwa sababu nilijikwaa na kuanguaka. Basi akatumia nafasi hiyo vizuri
sana kwani alikuja kuninyanyua na alianza kunishika shika matiti yangu ambayo kwa kweli nilikuwa sivaagi sidiria nikiyaachia yapunge upepo mda wote.
Kwa kweli siku hiyo ilikuwa ni ngumu sana maana mmmh alinibeba na kwenda kunimwaga kitandani na kuanza kunipa huduma ya kwanza.Nilishikwa na msuli
wa nyonga kwa wale wanaofanyaga mazoezi watajua maumivu ya msuli wa juu ya paja unavyouma.Eeeeeh jamani si ndo akaanza kunichua na kunipiga piga
sehemu hizo ambapo kwa kweli alikuwa akifanya makusudii na kupiliza hadi kwenye makalio.Siku hiyo mapigo ya moyo yalienda kasi sana na ilibaki hivi
mambo ya haribike lakini nilijikaza sana mara baada ya kumkumbuka Mark wangu.
Ni mwezi wa mwisho na tumebaki washiri wanne mjengoni na wote mambo yamekuwa magumu na hapo nikahisi huo ndo utakuwa ni mwisho wangu.Watu
wote waliokuwa wakinifanya ning’are mjengoni walishatolewa. Nilifikiria nitafanyaje angalau hata niingie tatu bora nikaona hapo nikukomaa na yule mshiriki
wa South Afrika ambaye alionekana kuwa na nguvu sana. Nilikomaa nae ili ikibidi atoke yeye au nitoke mimi au tubaki wote.Kwa hiyo na mimi nilijfanya
nimetokea kumpenda ghafla lakini lengo ni kuwa ni kuhakikisha mashabiki wake na wao wananipigia kura ili nisitoke.
Nakumbuka siku hiyo tulikuwa tunacheza michezo ya kitoto ya kupakana rangi na kuchezea maji yaliyokuwa kwenye garden hiyo.Siku hiyo nilifanya makusudi
tu kwa kutokuvaa nguo ya ndani hivyo nilijifunga khanga tu sasa alivyokuwa akinimwagia maji alikuwa akisababisha majanga kwa watazamaji wa show
hiyo.Hiyo ilikuwa ni mbinu tuu maana bila hivyo hatua hizo za mwisho ukitegemea kura za waafrika wanaopenda maadili unaweza kujikuta unaaga mashindano.
Basi siku hiyo mshiriki huyo ambaye kwa kweli alikuwa ni handsome boy sana alininyanyua juu juu na kwenda kunilalza kwenye majani pembeni ya swimming
pool tuliyokuwa tukicheza. Kwa jinsi alivyonilaza ni dhairi kuwa alikuwa akitaka kunipa denda.Nililigundua hilo na nilikuwa namlia timing tu ili nikimbie kama
chizi aliyetoroka milembe.Ile amesogeza tu ulimi wake nilimsukuma kwa nguvu na kumfanya adondoka chini na kuumia. Sikutaka ata kumwangalia mimi
nilikimbia na kwenda chumbani.Yaani sijui ilikuaje maana hamu ilinishika na kujikuta naenda bafuni na kuJichua.Niliamua kujipa raha mwenyewe na sikujali
kama kamera zilikuwa zikinimulika au la.
Ujue naweza kusema nilishahasirika kisaikolojia maana huduma hiyo ya kujichua na kupiga punyeto ilikuwa ni kinga yangu pale tu ninapohisi hamu ya kufanya
mapenzi.Na ukumbuke nilikuwa sijaiifanya tangia niingie kwenye jumba hilo na miezi mitatu ilikuwa imeshaisha. Nilijipa raha huko bafuni kwa kutumia maji
ya moto na baada ya hapo nilikoga vizuri na kuva nguo zangu. Nilitoka na kukuta yule kaka akiwa bado anaugulia yale maumivu aliyoyapata mara baada ya
kumsukuma na kuanguka.
Najua tu alijidekeza na alikuwa anatafuta tu umaarufu humo mjengoni.Eti jamnai msichana anaweza kumsukuma mwanaume akaanguka na kuumia. Wale
washiriki wegine walimsaidia na kumpeleka ndani.Mimi sikutaka kumnyenyekea maana hata kitu alichokuwa akitaka kukufinya kilikuwa sio cha ustaarabu.
Baadaye niliitwa kwenye chumba cha secret diary na kuhojiwa kuhusu mambo kadhaa.Nilishangaa sana mara baada ya kuulizwa kuhusu uraia wangu badala ya
kuulizwa kuhusu mambo yaliyokuwa yakiendelea mule ndani kama vile lile tukio la kumsukuma yule mwanaume aliyetaka kujipatia mautamu mchana kweupe
kabisa.
Mimi sikutaka kupindisha maelezo nilieleza kuwa na uraia wa nchi zote mbili.Nilielezwa kuwa kuna mtu amewasilisha mapingamizi kuwa mimi sikustahili
kuiwakilisha Zambia kwa sababu nilidanganya uraia.Nilitoa utetezi wangu ambao kwa namna moja au nyingine ulionekana kuwa ulikuwa na mashiko sana.Basi
Biggie alinambia kuwa atanifanyia fake envection. Yaani ataniweka kwenye chumba maalumu ambapo wafuatiliaji wote na washiriki waliobaki wakajua mimi
ndo nilikuwa nimeshatolewa.Nilikaa kwa mda wa masaa 24 kabla ya kurudishwa na kufanya washiriki wote kupagawa maana walishajua wasiyempenda
katolewa hivyo kuwaachia nafasi ya wao kushinda kiurahsi.
Nikiwa kwenye kile chumba nilioneshwa baadhi ya vipande vya video ambazo ziliwakilishwa na mtu aliyeleta pingamizi juu ya mimi kuendelea kubaki kwenye
jumba hilo.Hapo hata mimi niliingiwa na kiwewe kuambiwa kuwa anayepinga ushiriki wangu ni mtu wa South Afrika.Masikini ya mungu nilijuta kuzaliwa na
nilitamani kujiua mara baada ya kuoneshwa vipande vya baadhi ya movie ya xxxx tuliyocheza na wale wazungu enzi za uhai wa marehmu Joyce.
Nilijiuliza nitaiweka wapi sura yangu kama video hizo zitamfikia Mark na watu wengine ambao walikuwa wakinifahamu. Nilihisi kuchanganyikiwa sana na
kuona kuwa nitakosa yote yaani kushinda shindano hilo na pia kuchafuliwa jina ambalo nilitengeneza kwa miaka mingi sana.Biggie alinambia kuwa nisiwe na
wasiwasi kwa sababu hawawezi kuharibu shindano hilo kwa kuangalia vitu vinavyoendela nje ya jingo hilo la big brother. Nilimuomba kitu kimoja kuwa
hakanushe juu ya clips hizo za video za uchafu na aseme kuwa zilitengenezwa.
Sikujua kwa nini Biggie alinielewa kwa urahisi na kujikuta akinirudisha kwenye jumba la big brother tayari kwa mchuano wa mwisho. Nazani hiyo ndo ilikuwa
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
ni turn point ya mimi kuwa maarufu maana badala ya kutolewa nilibaki na kuingia fainali.Cha ajabu yule mshiriki wa South Afrika ambaye alikuwa ni tishio
alitolewa.Hapo sasa tukabaki washiriki wa tatu tu.
Nilionekana kuwa mtu ambaye nilipoteza sana furaha yangu kwa kuamini kuwa tayari jina langu lilishachafuka kutokana na video zile za uchafu ambazo
zilinionesha mimi na rafiki yangu marehmu Joyce tukifanya vitu vya ajabu.Mimi kilichoniumiza zaidi ni kwamba nilikumbuka mambo mengi sana tuliyofanya na
rafiki yangu Joyce.
Roho iliniuma sana kwa sababu Joyce alipotea katika mazingira kama hayo ambayo yalimkuta.Baadaye nilijipa moyo kuwa nitajitetea kuwa ile ilitengenezwa
kwa ajili ya kunichafua nisishinde.Nilipiga moyo konde na kuhamua kukomaa na kumalizia raundi hiyo. Niliamua kujitoa ufahamu na kuseama potelea mbali
acha maisha yaendelee na liwalo na liwe. Nilivaa sura ya kazi na kukomaa na siku hizo chache zilizobaki na kutokana na mchuano mkali baina ya washiriki
tuliobaki Biggie alitangaza kuwa hakuna mshiriki atayetoka mpaka siku ya mwisho.Nilimkabidhi Mungu maisha yangu na nilimuhadi kuwa nitamrudia na kuwa
kiumbe safi mara baada ya kutoka kwenye jumba hilo.Ndio niliona hipo haja ya kuokoka na kuishi maisha ya utakatifu kwa maana nishaishi maisha yote ya kuwa
mbali na mungu.Nakumbuka nilipokuwa mdogo kipindi hicho naujua mlango wa kanisani tuisahawahi kufundishwa kuwa mtetezi wa kweli wa maisha ya
mwanadamu ni Mungu.
Na siku zote alaaniwe mtu yule amtegemeaye mwanadamu.Sio kazi ya mwanadamu kuhukumu lakini kama watazamaji wa shindano hilo watanihukumu kwa
video hizo za uchafu ambazo sikuwa na uhakika kuwa zilishasambazwa mtandaoni au zilikuwa pale tu kwa Biggie ambaye ni Father House and Mother house
wa jumba hilo.Haya mawazo yote yalikuwa ni yangu na niliumia na kujutia maisha yote mabaya ambayo nilishawahi kupitia.Lakini baadaye nilijipa moyo na
kusema kuwa yote yaliyotokea yalikuwa ni mapito ya dunia hii kwa sababu huwezi kuwa imara kama hujapitia majaribu.
Hata dhahabu hupita kwenye moto ili iweze kung’ara.Wakati naendelea kuwaza mambo hayo yote nilisikia kengele kuhashiria kuwa tunatakiwa tukaongee na
Biggie.Roho iliingiwa na hofu nikajua labda ndo safari yangu ya mwisho ya kutoka.Sikuelewa lakini nakumbuka jana yake tuliambiwa kuwa hakuna mshiriki
yoyote atakayetolewa kwa sababu kura zetu zilikuwa zinalingana.
Tulitega masikio kwa umakini sana ili tujue nini kiongozi huyo wa jumba hilo anataka kutuambia.Hakuwa na jipya sana zaidi ya kutukumbusaha kanuni na
taratibu za hapo.Alitueleza mchuano umekuwa mkali sana hivyo wameamua kuongeza siku moja ili kupata mshindi wa ukweli.
Nilifurahi maana nilihisi kuwa siku hiyo moja inatosha kabisa kubadilisha matokeo na mimi kutangazwa mshindi.Nilijua kabisa wiki hiyo moja inatosha kabisa
team Leah kufanya yake.Nilijua kabisa Mark atakuwa anaendelea kunipigania kwa hali na mali kwa upande wa Tanzana pia Lilian atakuwa akinipigania kwa hali
na mali kwa upande wa Zambia.
Siku hiyo moja iliyobaki ilikuwa kama mwaka mzima maana kila mtu alikuwa na hamu kubwa sana ya kutangazwa mshindi.Ilibidi wote tuungane na kuwa kitu
kimoja.Mda wote tulikuwa pamoja na kulikuwa hakuna namna yeyeote zaidi ya kuwa kitu kimoja kila mtu alitamani yeye atangazwe kuwa mshindi lakini pia
kila mtu alikubali ukweli kwamba mtu yeyote baina yetu anaweza kutangazwa kuwa mshindi. Mda mwingi tulikuwa tumekumbatiana kama vifaranga ambavyo
vina njaa a vinaamini vitanyonya kesho.
Waswahili wanasema siku hazigandi na kama ipi ipo tu, riziki iiyopangwa na Mungu hakuna mwanadamu anayeweza kuiziba.
Huku tukiwa tumeshikana na kukumbatiana na kusubiri mshindi kutangazwa Biggie alianza kwa mbwembwe kwa kuita jina langu.Nikasogea mbele huku
machozi yakinitoka nikijua kuwa nilikuwa nimeshika nafasi ya tatu.Niliambiwa nikae upande wa kulia. Alafu akaitwa mwingine akaambiwa akae uapande wa
kushoto.Vivyo hivyo akaitwa na mwingine na yeye akakaa katikati.
Baada ya hapo host wa show akasema kwa bahati mbaya mwaka huu hatutakuwa na mshindi wa tatu bali………..kabla hajamalizia kelele za shangwe zilipigwa
na kuniacha nikishangaa nisijue alisema nini mpaka watu wote walioalikwa kupiga kelele za shangwe kiasi hicho.Mimi binafsi sikuelewa au alimaanisha wote
kuwa ni washindi bado sikuelewa nikabaki tu nmeshangaaa. Akasema sijamaaanisha kuwa watu wote ni washindi ila nimemaanisha kuwa Mshiriki wa kushoto
na katikati wote kwa pamoja ni washindi namba mbili kwa sababu kura zao zimegongana hivyo watapata kitika sawa.
Kauli hiyo iliwafanya washiriki wale wawili waende kukumbatiana.Nilibaki mimi nimesimama na kushangaa kama mtu aliyepigwa na butwaa sikujua nini
kinaendelea na nihisi nilipatwa na ugonjwa wa mshangaooo.Hivyo ma bibi na mabwana napenda kumtangaza Leah kuwa ndiye mshindi wetu wa shindano hili
hiyo ilikuwa ni sauti ya aliyepewa kazi hiyo..Niliendelea kusimama pale pale kabla ya machozi kuanza kunitirika sikuamini macho yangu na masiko yangu kama
kweli mimi nimetangazwa kuwa mshindi wa shindano hilo.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Kelele za shangwe ziliendela huku mimi nikapiga magoti na kuinua mikono juu na kumwambia mungu asante kwa sababu ameniunua kutoka kwenye dimbwi la
mkato wa tamaa mpaka kwenye bonde la Baraka.Nikiwa hapo chini nilishangaa kuona watu wawili wakiniinua kwa furaha na so wengine bali ni Mark na
Lilian.NilifurahI sana tukakumbatiana kwa furaha na kuruhusu watu wangu wote wa karibu kuja kunipa pongezi na kunikumbatia.Wengine waliambiwa wasogee
ili nipigwe picha za ukumbusho.Kulikuwa na wawakilishi kutoka Zambai na pia kulikuwa na wawakilishi kutoka nchini Tanzania
Nazani sasa wote kwa pamoja walishakubaliana na ukweli kuwa mimi nilikuwa na uraia wa nchi mbili.Niliweka mapozi ya kila aina ili mradi tu nipigwe picha
za kutosha za kuuza kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari.Nilikua na furaha ambayo naweza kusema kuwa haikuwahi kutokea maishani mwangu.
Nilimshukuru Mungu kwa kila lililotokea mpaka nikafikia hapo na nilikuwa na furaha kwa sababu ndoto yangu moja na kubwa ya kuja kuwa superstar mkubwa
sana ilikuwa imefanikiwa.
Hapo sasa wasanii maarufu wa Zambia waliapanda na kutoa burudani na pia sio hao tu bali pia wasanii kutoka Tanzania na wao walipanda na kutoa
burudani.Mashabiki wote waliomba nipande na kuwapa burudani ile ambayo nilikuwa nawapa kipindi nikitafuata kura zao.Kwa kweli sikusita nilipanda na
kuanza kukatika mauno.Yaani naweza kusema siku hiyo nilitoa burudani kuliko siku yoyote maishani mwangu.
Nilifanya kila kitu hapo jukwaani na kuacha watu wote wakinishangaa.Sijui na Dj alijuaje nyimbo zangu maana alikuwa anapita mule mule.Nilicheza nyimbo
kama tano mfulizo za kutoka nchi mbali mbali.Nilicheza kwanza staili za nyumbani kwetu yaani Tanzania, pili nilicheza za Zambia, nikapiga za South afrka,
Nigeria na Jamaika.Nia yangu ni kuwathibitishia kuwa tu hawakukosea kunipa kura zao pamoja na skendo zote zilizovumbuliwa kwa ajili ya kunichafua na
kuhakikisha kuwa si shindi shindano hilo.
Hapo nilishia mike na kuruhusu mtu yeyote anajiamini kuwa anajua kucheza basi aje kunibambia.Nilifanya vitu ambavyo kwa kweli mpaka leo nashindwa
kuvieleza kwa maana viliweka historia kubwa sana tofauti na mashindano yoyote ya big brother yaliyotokea.Ujue walikuwa wamezoea kwamba burudani nyingi
zilikuwa zinatolewaga kabla ya mshindi kutangazwa na baada ya hapo mshindi huwa anatoweka mara moja na kupotea.Sasa siku hiyo burudani ndo zilikuwa
zimeenza maana watu wote walikuwa wakinishangaaa jinsi nilivyokuwa na uwezo mkubwa wa kutoa burudani.
Naweza kusema niliwachanganya na kuwavuruga maana wengine walinichukulia mimi kama ni mpole sana na huwa nacheza tu kwa sababu tuliambiwa tuoneshe
vipaji ndani ya jumba hilo.Kwa hiyo kitendo changu cha kutoa burudani ambayo hawakuiwahi kuiona wala kutegemea kuwa naweza kuifanya ilikuwa ni bonge
la surprise kwao. Its enough its enough its enough(inatosha, inatosha, inatosha) hayo yalikuwa ni maneno ya Biggie mara baada ya kuona jukwaa limejaa na kila
mtu akitaka kucheza na mimi mabausa walizidiwa na burudani ikabadilika na kuwa fujo.
Watu wote walishuka na nikabaki mimi na Biggie na host wa show hiyo.Nilikabiziwa zawadi yangu na kupewa cheque ya dola 300,000. Kabla sijashuka
jukwaani host wa show alisema one more thing please, I have one more big surprise hapo(kitu kimoja tafadhali na pia nina surprise ingine). Hapo alifanya kila
mtu awe kimya na kusikiliza ni surprise gani ilikuwa ikifuata mimi mwenyewe nilikuwa kimya kujua ni surprise gani inafuata.
Badala ya kusema nini kinafuata mtangazaji huyo maarufu alikaa kimya kama dakika nzima na kusababisha sintofahamu kwangu na kwa wageni
wengine.Alikuwa ni kama mtu aliyetafakari jambo kabla ya kusema ni surprise gani hiyo aliyokuwa nayo.Nilitamnai nimsogelee na kumwambia kuwa si aseme
tu hicho kitu watu tutawanyike maana tulishazidisha mda wa kuwepo hapo.Nilivyoona ameeendelea kukaa kimya nilimfuata na kabla sijamfikia alisema
nawakaribisha wageni maalumu kutoka Dubai waje watuambie ni surprise gani waliyokuwa nayo.
Kabla ya hao wa Dubai kuna kijana ambaye alikuwa amekaa mbali sana naweza kusema mwisho wa ukumbia alipiga kelele na kuanza kukimbia kuja mbele ya
jukwaaa.Kila mtu alishindwa kuelewa ni nini kilikuwa kinaendelea na kijana huyo alikuwa ni nani.Hata mimi ilinibidi niangalie kwa umakini kupitia screen
kubwa ambazo zilikuwa zikionesha kila tukio ambalo lilikuwa likiendelea hapo ukumbini.Ilikuwa haina haja sana ya kungalia nyuma bali kila meza kulikuwa na
kamera maalumu zilizoonesha kuona kila kitu ambacho kilikuwa kikiendelea.Kijana huyo hakuwa pekee yake bali alikuwa na binti ambaye alikuwa ni mrembo
sana.
Nilikaza macho vizuri ili niweze kumtambua kijana huyo alikuwa ni nani.Sura yake haikuwa mbali sana na kumbukumbu za macho yangu. Ni mtu ambaye
nilikua namjua kabisa.Kilichonichosha zaidi ni mkononi alikuwa na picha.Sasa sikujua ile picha ilikuwa ni ya nini.Mabausa waliweka ulinzi mkali ili kumzuia
asipande jukwaani maana angeweza kuleta majanga.Ilikuwa ni lazima wamzuie kwa sababu hawakujua kuwa nia yake ni nzuri au mbaya.
Wakati wakiendelea kumzuia niliona tena wale wageni iliosemekana kuwa wanatoka Dubai kuwa walizuiliwa kidogo ili kupata ufumbuzi wa hilo ambalo
lilikuwa likiendelea.Mabausa walimzuia na nilivyovuta kumbukumbu vizuri niligundua kuwa yule alikuwa ni James kaka yangu ambaye alipoteaga na ambaye
alichnganyikiwa kutokana na ugonjwa aliokuwa akiugua ugonjwa wa U-Social.Yule dada aliyekuwa nyumma yake bado sikuweza kumtambua.Nilimuona host
naye ameshuka kwenda sehemu ambayo mabausa walikuwa wamewazuia watu hao wasipande kwenye jukwaaaa. Niliona wamesogea pembeni na kuwa
wanasahurina.Ilichukua kama dakika tano hivi kabla ya Mtangazaji huyo na mwendesha show hiyo kupanda na kuanza mbwembwe zake….
“Naomba tusikilizane jamani mambo yamekuwa mambo na sasa kama nilivyosema mwanzo kuna surprise ilikuwa ikifuata na sasa sio suprize moja bali ni
surprise tano.Nazani hizi zote zitaweka historia mpya kwa wafuatiliaji wa Big brother na pia kwa mshindi wetu Leah.Sasa naomba watu wote mpige kelele kwa
surprise namba moja.Watu wote walishangilia isipokuwa mimi maana nilishindwa kuelewa nini kilikuwa kinaendelea.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Surprise namba moja ilikuwa ni kupanda jukwaani kwa yule kijana ambaye alikuwa akizuiliwa kupanda. Aliruhusiwa kupanda na hapo sasa ndo nikamuona
vizuri na kumtambua.Nilikuwa kama niliyepigwa butwaa nisiamini nilichokuwa nakiona mbele yangu.Oooooh my God hold me on yalikuwa ni maneno
yaliyonitoka kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu mara baada ya kumuona James kwa uzuri zaidi na kuamini kuwa yule kweli alikuwa ni kaka
yangu.Nilishindwa kuelewa nini kimetokea mpaka yeye kurudi katika hali yake ya kawaida.Maana alikuwa anavutia alikuwa anapendeza na hata huyo binti
aliyepanda naye alikuwa amependeza sana.
Kitu cha kwanza alichokifanya ni kunifuata na kunikumbatia.Nililia machozi ya furaha na hakuna alieongea neno.Tulikumbatiana kwa mda mrefu sana kabla ya
kuachiana.Najua huwezi amini lakini hiii ni dunia na mungu pekee ndiye ajuaye maisha ya mwanadamu mwanzo na mwisho wake alisema James.Kisha
akanikabidhi ile picha ambayo ilituonesha sisi tukiwa wadogo yaani mimi yeye baba na mama.
Nilishindwa kuelewa picha hiyo aliipata wapi kwa maana yeye alivyochanganyikiwa hakuwa na hata uwezo wa kuchukua kitu chochote.Hapo kumbukumbu
zangu zilinijia kuwa marehemu baba yangu alinambia katika yale madini aliyoyaficha kule shambani ndani ya kiboksi aliweka picha ambayo ilionesha watu
ambao wanatakiwa wanufaike na madini hayo.Kwa hiyo picha hizo zilikuwa mbili moja ndo hiyo na nyingine nilikuwa nayo mimi.
Na nakumbuka siku naingia kwenye jumba hilo la Big brother walikataa nisiingie nayo hivyo nilimkabidhi Lilian.Wakati bado naendelea kuitafakari ile picha na
wosia wa baba kuwa nikipata yale madini nihakikishe kuwa watu hao nawatafuta na kuyafufua matumaini ya maisha yao.Kweli ilikuwa ni surprise nikachukua
mike na kusema Lilian popote ulipo tafadhali naomba uniletee picha yangu.Haikuchukua hata dakika Lilian alionekana kwenye screen kubwa akiiletea hiyo picha
yangu.Mungu wangu ni kweli zilikuwa zinafanana hivyo nilizi kubaki njia panda nisijue nini cha kufanya.
Nilishindwa kuelewa na sikutaka kuamini kuwa kaka yangu huyo alikwenda kule shambani na kuyafukua yale madini.Sasa yeye alijuaje mahali yalipo hili hali
mimi nilishasumbuka juu ya urithi huo kwa miaka mimgi bila mafanikio.Sikuelewa kwa kweli nini kilitokea na nini James anataka kusema kwa sababu kipindi
baba yetu anafariki yeye hakuwepo nyumbani na alikuwa tayari aeshachanganyikiwa.
James alichukua maiki na kuanza kueleza nini kimempandisha hapo jukwaani.Leo ni siku kubwa na siku ya furaha kwa Leah , kwangu na kwa wote waliofika
hapa.Najua kwa wasiojua historia yetu mimi na Leah lazima watakuwa bado wako njia panda.Lakini nitaeleza kwa kifupi sana ili na nyinyi mjue nini
kinaendelea.Mimi na Leah ni ndugu kabisa tuliyezaliwa na baba mmoja ingawa amama zetu walikuwa tofauti. Tulibahtika kuzaliwa kwenye familia ya kitajiri na
baba yetu alitupenda sana.
Baba yetu alihakikisha tunapata elimu bora ambyo inetuwezesha kupambana na changamoto za maisha.Katika harakati hizo za baba mimi alinileta nchini humu
(south Africa) kwa ajili ya masomo ya mambo ya utalii.Kwa bahati mbaya nilibahatika kukutana na msichana kutoka nchini Uganda ambaye tulipendana
sana.Mpaka ikafikia kuwa siwezi kuishi bila yeye yaani upendo uliovuka mipaka.Baadaye binti huyu alirudi kwao mara baada ya kumaliza chuo na alikuwa
amenizidi mwaka mmoja hivyo mimi niliendelea na masomo.Baadaye nilipata taarifa kutoka kwa rafiki yake wa karibu ambaye ndio binti huyu niliyenaye hapa
kuwa binti yule niliyempenda alikuwa anaolewa.
Hapo James akampa kipaza sauti binti huyo na kabla hajaongea zilisikika kelele za shangwe zikimshangilia binti huyo.Kumbe binti huyo naye alikuwa ni msouth
Africa na alikuwa ni maarufu sana nchini humo. ‘binti huyo akasema kwa kifupi jamani leo tumeamua kuwapa suprrise na kuwazihirishia kuwa wafrika wote ni
wa moja.Kweli mimi ndo nilikua rafiki wa karibu sana wa binti ambaye walikuwa wanapendana sana na kijana huyu.Niliamua kumpa taarifa kijana huyu mara
baada ya kujisikia uchungu sana kuona binti yule alifanya kitu ambacho hata mimi kiliniuma sana.Kumbe jamani binti yule alikuwa na mchumbaa wake nchini
kwao na ndiye aliyemleta pale chuoni kusoma na alikuwa akimlipia kila kitu.
Sasa sikuona haja ya kumficha James kwa maana alikuwa akidanganywa.Mimi nilimwambia ukweli James kwa sababu hata mimi nilikuwa nikimpenda
sana.Kauli hiyo ilifanya ukumbi ufurike kwa shangwe maana ni wanawake wachache sana wanaoweza kukiri jambo hilo mbele ya kadamnasi ya watu.
Kwa hiyo kumbe wema wangu huo ndo ulikuwa unamwaribia James maisha yake kwani baada ya hapo alichanganyikiwa kabisa akajikuta anaingia kwenye
utumiaji wa madawa ya kulevya na baadaye akawa chizi kabisa.Tulimrudisha kwao nchini Tanzani tukamkabidhi kwa wazazi wake.Aliishia hapo binti huyo na
akarudishia kipaza sauti James ili aendelee kuongea. Kwa hiyo ndugu zangu nilichangyikiwa na kupoteza fahamu na nilikuwa nazunguka mitaani na kuokota
makopo na kula majalalani alisema James mara baada ya kupewa kipaza sauti.
Niliishi hivyo na kila siku nilikuwa nikitembea kwa miguuu na kutokomea pasipo julikana.Hali hii sitaki kuielezea sana kwa sababu naweza kutumia mda
mwingi sana ila naomba nipeleke shukurani zangu kwa Dokta Patrick na namuomba aje mbele aelezee nini kimenifanya nirudi katika hali yangu hii ya kawaida
na kuwa binadamu nianyejielewa.
Hapo surprise ziliendelea kwa sababu alipanda huyo daktari ambaye alikuwa ni mzungu.Asante sana James kwa kifupi mimi ni daktari wa magonjwa ya akili na
saikolojia.Nikiwa Tanzania miaka mitatu iliyopita nilipoenda kwenye mambo yangu ya utaliii.Nilimkuta kijana huyu kwenye bonde la Ngorongoro na niliogopa
sana maana niliambiwa huko pia kuna wanyama wakali.
Nilishindwa kuelewa alifikaje huko porini na alikuwa akitafuta nini.Niliingiwa na imani sana na kwa kutumia elimu yangu niliamua kuweka gari pembeni na
kuamua kumsaidia.Nilijua kabisa atakimbia hivyo nilishuka na picha kubwa sana iliyovutia ambayo huwa natembea nayo na nikikutana na mtu yeyeote
aliyechanaganyikiwa basi huwa namuonesha.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Picha hiyo ilikuwa imechorwa kwa kutumia rangi zote zilizopo duniani na mtu ambaye alirukwa na akili akiona lazima atakumbuka kitu chochote kizuri
kilichowahi kutokea na kuanza kuiishangaa.Ndivyo ilivyokuwa kwa James alitulia tuliii na kushangaa picha hiyo hapo tuliweza kumkamata na kumfunga kamba
na nilpofika getini tuliwaeleza kuwa tumemkuata barabarani na tumeamua kumsaiidia kwa sababu mimi ni daktari wa mambo hayo.Cha ajabu wale walinzi
getini walicheka na kusema kuwa huyo ameshindikana kwa sababu ana uwezo wa kuishi na wanyama bila ya wao kumdhuru.Wakatuleza huyo ni kiboko kwa
sababu alishawahi kukutwa amekaa na simba na taarifa hiyo ilirushwa mpaka BBC.Maelezo hayo ndo yalinifanya niamue kumsaidia kijana huyu.
Niliomba kibali kwa sereikali ya Tanzania ili niweze kumsaidia kijana huyu na nilikuja naye hapa South Africa ambapo ndo yalikuwa makaoo makuu ya ofisi
yetu na hospitali ya kuwasaidia watu wenye matatizo ya namna hii. Basi serikali ya Tanzania ilikuwa tayari kunisapoti na iiahidi kugharamia matiababu ya kijana
huyu.Basi kwa uwezo wa mungu na utaalamu wetu kijana huyu alianza kupona na siku hadi siku alianza kurudisha kumbukumbu zake na baadaye alikumbuka
historia yote ya maisha yake.
Historia yake ndo ilituwezesha kumtafuta huyu binti ambaye walisoma nae.Kweli mungu ni mwema binti huyu tulimpata na kuwakutanisha na baadaye walienda
Uganda na kukuta binti yule bado anaendelea na maisha yake ya ndoa.Pia tulimfundisha James vitu vya kufanya ili aweze kumsahau kabisa binti huyo na
kukubaliana na matokeo.Hiyo ndo historia fupi naweza kuieleza juuu ya kijana huyu alimaliza daktari huyo mzungu na kurudisha kipaza sauti kwa James
Asante sana Dr Patrick na mungu akuzidishie uendelee kuwa na moyo wako huo wa ukarimu alisema James.Hapo ukumbi mzima ulikuwa umepoa sana na yule
binti ambaye alikua naye alichukua mike na kuimba wimbo mmoja maarufu nchini humo.Kumbe yule binti alikuwa ni mshindi wa shindano na Cocacola Popo
idlez shindano ambalo ni maarufu kwa kuinua vipaji vya wasanii.Nazani kwa Kenya ni sawa na lile la Tusker project na kwa Tanzania ni sawa na Bongostar
search.Mmmmmh hata mimi nilimshangaa binti huyo kutokana na kipaji chake cha kuimba na alikuwa akiimba wimbo wa Beyonce wa Listen , yaani
alivyouimba utafikiri ulikuwa ni wake. Watu wakafurahi kidogo na kutuliza machungu ya historia waliyopewa na dr Patrick.
Mimi nilikuwa namfuatilia yule binti jinsi akiimba vizuri na kusema kama ni kweli anampenda James basi kaka yangu huyo atakuwa ameokota embe dodo chini
ya mbuyu. Baadaye James alirudishiwa kipaza sauti na kuendelea.Nilitamani sana kama angezungumzia kuhusu ile picha aliyokuwa nayo kwa sababu ndo
ilikuwa bado inaniweka njia panda. James akaendelea kwa kusema najua hii picha itakua inawachanganya sana ila sio mbaya nitaielezea.Hii picha jamani ilikuwa
imefukiwa ndani ya kaburi ambalo kaburi hilo ndo lilikuwa urithi wetu.Hapo kila mtu alishangaa kabisa kusikia eti ilifukiwa karibuni.Msishangae sana jamani
nitatoa ufafanuzi wa kauli hiyo ilibidi James awaondoe watu hofu baada ya kusema kauli ambayo ilikuwa haijakamilika.
Marehemu baba yetu alikuwa ni mfanya biashara wa madini na alivyofariki tulizulumiwa kila kitu ambacho tulikuwa nacho kuanzia jumba,ardhi na kila kitu.
Lakini naweza kusema baba yetu alikuwa na maono ya mbele sana maana pamoja na kuzulumiwa mali zote hizo basi yeye aweza kuyaficha madini mengi sana
sehemu ya kijijini kwenye shamba lake.Ili kuhakikisha madini hayo yanakuwa salama sana aliamua kutengeneza kaburi la bandia baada ya kuyahifadhi madini
hayo chini ya ardhi.Siri hii hakuna aliyeijua zaidi ya Leah.
Hapo sasa James akawa ameniongezea hamu ya kujua kama yeye alikuwa haijui siri hiyo sasa ameipata wapi. Mimi tangia nikiwa nimechanganyikiwa baba yangu
alikuwa akinitokea ndotoni na kuniambia siri hii na alikuwa akinisihi sana nimsaidie dada yangu kufanikisha dili hilo.Sasa nilivyopona na kuwa mzima kabisa
ndoto hiyo ilikuja tena.Nilijaribu kumuelezea Dr Pactrick kuhusu ndoto hiyo ambayo ilikuwa inanitokea mara kwa mara lakini aliipinga na kusema hizo ni hisia
tu hakuna ukweli wowote.
Lakini ilifikia mahali ndoto hiyo inanijia hata mchana nikiwa nimekaa mahali tulivu.Ilikuwa inanipa taswira nzuri ya sehemu ambayo madini yalikuwepo.Basi
nilianza mikakati ya kulitafuta eneo hilo na hiyo ni mara baada ya ushauri wa mpenzi wangu Candy hapo akimaaanisha yule dada aliyekuwa naye pale jukwaaani.
Candy alinisihii sana tuende huko Tanzania Moshi Kilimanjaro tukajaribu kuyatafuta madini hayo.Ila kabla sijaanza kuyatafuta madini hayo niliamua kumtafuta
kwanza ndugu yangu Leah.Niliangaika sana lakini kwa kuwa kumbukumbu zangu zilikuwa zimejirudi vizuri niliweza kupata baadhi ya taarifa zake japo
ziinichanganya kidogo mara baada ya kuambiwa kuwa ni Mzambia.Nilimtafuta Mark mtu ambyae walicheza naye filamu na yeye alinithibitishi kuwa binti huyo
ambaye kwa sasa yupo kwenye mashindano ya bigbrother ndiye yeye.Maelezo yangu yalifanaana kabisa na maelezo ambayo Leah alimwambia kuhusu kaka
yake.Basi tangia siku hiyo nikawa naisubiri sana siku hii ili nije kuonana na dada yangu na kumueleza kuwa urithi ambao baba yetu alituachia tayari nilishaupata
hivyo tutaishi maisha ya raha sisi na vizazi vyetu.
Hapo kuna mshabiki mmoja aliyeguswa sana na maelezo ya James alinyoosha kidole juu na alivyoona asikilizwi alisimama kabisa na kuja mbele na alipopewa
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
kipaza sauti alisema yaani hii stori yenu nimeipenda sana ila naomba utuelezee uliyapataje hayo madini.Naweza kusema swali hilo hata mimi Leah nilitamani
sana kama kaka yangu huyo angetuelezea maana haya mambo ya ndoto hata mimi huwa siyaamini sana.
Ila nakumbuka pia mara ya mwisho kuota juu ya madIni hayo ilikuwa ni miaka miwili na niliota kuwa madini hayo yameibiwa mpaka nikaingiwa na hofu kuwa
uenda hayapo mahali salama tena. James alichukua kipaza sauti ili ajibu swali hilo na hapo kila mwandishi alikuwa makini sana kusikiliza majibu yake.Naweza
kusema na yeye alipata umaarufu wa ghafla maana alikuwa akipigwa picha nyingi sana.
Na historia yake ilikuwa inafanana na historia ya mvuvi mmoja wa South Africa ambaye yeye alipotea baharini na baada ya kupigwa na dhuruba alibahatika
kupata mwamba na akakaa hapo akisubiri watu wa kumuokoa.Kinyume na matarajio yake badala ya kuja waokoaji alikuja ndege ambaye alikuwa ni mkubwa
sana zaidi ya papa au nyangumi.Ndege huyo ambaye inasemekana huwa anabeba madini kwenye magamba ya mguu yake aliweza kumuokoa mvuvi huyo.
Mvuvi huyo alishika miguuu akaondoka na ndege huyo na kwenda naye mpaka Australia.Na alipotua tu tayari mvuvi huyo alikuwa ameshachomoa madini hivyo
akawa tajiri maarufu na Satalite za South Africa zilizokuwa zikifuatilia tukio hilo zilishawishi tukio hilo liingie kwenye kitabu cha kumbukumbu za dunia
maarufu kama genesis.Kwa hiyo hata zile kamera na utamu wa simulizi wa maisha yetu aliyoku akisimulia na kufanya kila mtu amsikilize nilihisi huenda
zikatupa umaarufu sana duniani.
James akasema waliondoka na kwenda kwenye hicho kijiji ambacho madini yalihifadhiwa. Na baaada ya kutafuta sana bila mafanikio waliamua kutafuata hela
nyingi sana kwa kukopa kutoka bank na kwa watu maarufu kama mchumba wangu Mark, Lilian na wengine wote ambapo iliwawezesha kununua ardhi kubwa
sana ambayo walihisi kuwa ndo kuna madini hayo.James aliendelea kusimulia kuwa walipata ugumu sana maana walishafukua makaburi mawili na kukutana na
mifupa ya binadamu.Baadaye waliliipata eneo moja maarufu sana ambalo lilitengwa kwa ajili ya mradi mkubwa wa maji.James anasema walifika sehemu hiyo na
walifanikiwa kuliona kaburi hilo lakini ugumu ukaja kuwa eneo hilo lilishachukuliwa na serikali na hakuna mtu yeyote aliyeruhusiwa hata kusogea eneo
hilo.James anasema walifikiria sana lakini walishindwa cha kufanya maaana serikali ilisema kuwa wataliamisha kaburi hilo wao siku chache zijazo ili waweze
kuwapatia wananchi huduma ya maji waliyowahidi.
James ambaye alikuwa ameteka masikio ya watu wengi sana aliendelea kusimulia kuwa baada ya kuona kuwa watayakosa madini hayo waliamua kuomba kibali
kutoka kwa serikali ili waweze kuliamisha kaburi hilo.Hapo anaeleza kuwa hawakusita kutumia rushwa ili mradi tu kufanikisha zoezi hilo.James anasema
alikuwa na hofu sana juu ya hela nyingi alizozitumia tena zingine alichukua bank kunukua ardhi na kushawishi mradi huo uchelewe kuanza juu ya kitu ambacho
hakuna hata mtu aliyejua ualisia wake
Baadaye walikuja kuanza kuchimba eneo hilo hapo James aliongea vitu ambavyo viliwachekesha sana watu alikuwa akilitamka neno chimba, chimba, chimba.
hata zaidi ya mara kumi eti hayo ni maelezo ambayo alikuwa akimpa Mark aliyekuwa ameshika sururu kuchimba kaburi hilo la bandia lilojengewa kwa sumenti
na mawe…Chimba chimba, chimba, chimba, chimba nasema chimba mpaka eti wakakipata kisanduku cha madini.
Kwa hiyo madini yalikuwa yamepatikana kwa mtindo huo alimaliza kusimulia James na kumkabidi kipaza sauti muendesha show hiyo.
Na kwa mbwembe alimwambia James asiondoke kwanza aseme tu mgawanyo wa madini hayo.Lilikuwa ni swali la utani lakini James alichukua kipaza sauti na
kusema baba yangu alinambia kazi yangu ni kutafuta madini tu lakini anayehusika kuyagawa ni Leah nazani yanamsubiri akitoka hapa.
Hapo nilifarijika kidogo na kuona kuwa tayari mungu amejibu ndoto zangu za kuwa mtu maarufu na pia kuwa tajiri mkubwa duniani. Yule host akachuku kipaza
sauti na kufanya mbwembwe zake za ki MC. Akawauliza watu kuwa wamechoka wakamwamba kuwa bado hawajachoka wanataka hiyo surprise ya pili.Kelele
zililindima wageni wote wakitaka kujua hiyo surprise ya pili ni ipi hata mimi nilikuwa njia panda nisijue ni nini kinafuata.
Surprise namba mbili ilikuwa nikupanda wageni kutoka nchini Dubai.Niliwaangalia kwa umakini wa hali ya juu sana ili nijue kama nawajua au laaa.Nilishangaa
kuona aliyekuwa akipanda ni yule mkuu wa kampuni ile niliyowapa kazi ya kumtafuata mama yangu.Hapo nilianza kuwa na shauku ya kuataka kujua nini
kilikuwa kikiendelea.Kila mtu alikaa kimya kusubiri atasema nini mwarabu huyo pindi tu atakapofika jukwaani.Alivyofika kwa mbwembewe na yeye
aliwasalimia watu kwa kiaarabu.
Nilipomuangalia vizuri nikagundua hapana hakuwa anatoka kwenye ile kampuni ya utafuataji wa watu waliopotezana.Nilijaribu kuendelea kuvuta taswira kuwa
nilimuona wapi mtu huyo na nikakumbuka ni kwenye shirika la ndege la fly emirates.Alipanda na kueleza kwa kifupia nini kampuni yao inafanya na alisema
amepanda hapo jukwaani kwa ajili ya kazi mbili moja ni kwamba kampuni yake imemtuma aje atangaze dau nono la mkataba juu yangu na nimeshaandaliwa
nyumba ya kifahari na maisha yenye hadhi ya juu sana huko Dubai. Mkataba unahusu niwe manager wa masoko wa shirika hilo kwa upande wa Dubai.
Hilo dau lilotajwa hapo kwa kweli hakuna mtu aliyeaamini hata mimi nilifunga mdomo maana ilikuwa ni hela nyingi sana pengine sikuwahi kufikiria kuziiingiza
wa mda huo mfupi wa miezi sita iliyotaja hapo.Baada ya kumaliza hilo jambo la kwanza alianza kushuka zake na kufanya watu wapige kelele na kusema bado
moja bado moja ulisema una mambo mawili ya kusema.Ilibidi arudi na kuchukua kipaza sauti na kusema nilisahau jamani ila ngoja nimpandishe mtu ambaye
atanisaidia kulisema hilo jambo la pili.
Kila mtu akawa ameduwaaa maana sasa surprise zilikuwa zimezidi kwa kweli.Alipanda mwarabu mwingine ambaye walikuwa kama wamefanana kidogo.Hapo
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
sasa moyo wangu ulianza kuzizima kwa furaha kwa sababu mwarabu huyo mimi nilikuwa namjua ni yule wa kampuni ile ambayo niliwapa kazi ya kumtafuta
mama yangu.Alionekana mwenye furaha sana na sijui alitaka kusema nini ambacho kingekuwa kweli ni surprise.
Surprise namba tatu ilianza kwa mbwembwe za kujitambulisha yeye ni nani na kampuni yao inajihusisha na shughuli gani.Ilikuwa ni zaidi ya shauku kwangu
kutaka kujua kama siku hiyo mama yangu alipatikana au la.Alibwabwaja bwabwaja maneno kabla ya kusema kuwa ili kuthibitisha kuwa wanastahili kuitwa
kampuni bora kwenye anga hizo za kukutanisha watu alisemaa ana muomba mama Leah apite mbele aje amlaki mwanaye aliyepotezana naye kwa zaidi ya miaka
20 iliyopita.Hapo sasa moyo wangu ulizizima kwa furahaa nisiamini nianachoambiwa.Nilimuona mama huyo anayesemekana kuwa ni mama yangu akipanda
jukwaa huku akiwa amesindikizwa na binti mwingine ambaye alionekana kuwa mdogo na kwa haraka haraka nilihisi labda ni mwanaye.
Sikuamini kama kweli alikuwa ni mama yangu maana alikuwa amejifunga ushungi huku akiwa amejisitiri kama isemavyo na iatakavyo dini ya
kiislam.Kimoyomoyo nikajisemea usikute wananichezea pata potea ule mchezo wa karata tatu.Mama hakutaka kupoteza mda alikuja moja kwa moja sehemu
ambayo nilikuwa nimesismama akanikumbatia.Alimwaga chozi na mimi nilimwaga chozi maana ilikuwa ni miaka mingi sana tangia aniache mimi nikiwa
mdogo.
Sikujua aliiishi maisha gani kwa kipindi chote hicho na nini kilimkuta mpaka akaamua kukaa kimya miaka yote hiyo bila kunitafuta. Mama kama alijua kuwa
nilkuwa sijamuona sura vizuri aliaamua kutoa ule mtandio na kufanya sura yake kuonekana vizuri.Sikuhitaji kuuliza tena maana alifanana kabisa na ile picha
ambayo nilikuwa nimeishika mkononi.Nilimkumbatia kwa nguvu na kwa mara ya kwanza nikapata kumbatio la mama ambalo nililitafuta kwa zidi ya mika 20.
Mama akapewa kipaza sauti na kuanza kueleza nini kilimkuta mpaka akapotezana na mwanaye mpendwa.Alianza kusema “ kwanza ninaomba radhi kwa ndugu
zangu maana walipinga nisifikie kwenye shindano hil kwa sababu wao ni watu wa imani kali ya dini hivyo wanalichukulia shindano hili kana utovu wa
maadili.Nasema nilikuwa sina jinsi na pia sina jinsi kwa maana kupitia ndugu zangu niliweza kumpoteza mwanangu na kupitia hao hao nimeweza kumpata
mwanangu.
Nina machungu sana ndani ya nafsi yangu nikikumbuka nini kilifanya kupotezana na mwanagu ila pia nina furaha sana kwa kumpata mwanangu.Nimeugua kwa
miaka mingi sana lakini niliposikia kuwa mwanangu amekuja Dubai na kunitafuta nilijikuta napona ghafla.Najua si vizuri kuyaeleza matatizo yaliyonikuta ila
kwa ajili ya kuiponya nafsi yangu ambayo imekuwa na machungu sana nitaeleza.
Kwa kifupi mimi nilkutana na marehemu baba Leah alipokuwa akija nchini Dubai kwa ajili ya biashara zake za madini na magari.Kama mnavyojua mapenzi
hayachagui umri, rangi au kabila basi nilijikuta kwenye mapenzi mazito sana na mwanaume huyo.Familia yangu haikukubali kabisa mimi kuolewa na rangi
nyeusi hivyo walinitenga na kusema hawanitambui kuwa mimi ni ndugu yao.Lakini kutokana na mapenzi mazito niliyokuwa nayo kwa baba yake na Leah
nilijikuta nipo tayari kwa lolote hivyo nikahama na kwenda kuishi Tanzania.Katika miaka hiyo tuliyokaa nilibahatika kupata mtoto huyu ambaye sasa ndo
anaweka historia nyingine katika bara la Afrika.
Naomba leo nimuombe msamaha kwa sababu ndugu zangu walinishinikiza sana na nikajikuta namuacha mwanangu na kurudi Dubai.Nilimshawishi sana baba
yake tuhamie Dubai lakini alikataa wazo hilo akidai kuwa Arusha Tanzania ndo ilikuwa makao yake makuu ya kibiashara.Wakati naondoka nchini Tanzania
nilijua kabisa nitawza kurudi tena.Lakini kilichonikuta nashindwa hata kuelewa ni nini.Nahisi nilifungwa nikashindwa kabisa kurudi Tanzania.
Nikalazimishwa kuolewa na mwanaume ambao wao walinichagulia.Nilianza maisha mapya lakini sikuwa na amani na nafsi.Maisha yaliendelea lakini kwenye
ndoa hiyo ya shinikizo kuna tatizo lingine lilitokea katika ndoa mpya hiyo ambapo hatukuweza kuapata mtoto.Ndo ikawa ngumu sana na baadaye nilianza
kuugua maradhi ya moyo pressure nna kisukari.Maisha yangu yalikuwa magumu sana na mme wangu aliamua kuoa mwanamke mwingine.Nilijaribu
kuwaelewesha kuwa mimi sio mgumba lakini hawakunielewa manyanya so yalizidi siku hadi siku mpka ikafikia mahali nikaomba talaka yangu.
Nayaongea haya kwa machungu makubwa sana kwani hata hivyo sikuwepo nchini mwangu.Nilikuwa nchini India kwa ajili ya matibabu ya moyo.Kuna ndugu
yangu mmoja ambaye ni mdogo wangu ndo alikuja kuniambia kuwa kuna kampuni inaonesha picha zangu na kunitafuta ili niweze kukutana na mwanangu.Bado
ndugu zangu walilipinga hilo swala la mimi kujitokeza hazarani kwa ajili ya mwanangu.Walinileza kuwa hawamtambui mtoto huyo.
Pia walisema sikuwahi kupata mtoto na hiyo ilikuwa ni mbinu tu ya kujisafisha kutokana na tatizo langu la kutokuzaa.Niliandamwa kwa maneno sana na
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
waliniita Malaya na kusema matatizo yote hayo ni kutokana na mimi kukubali kwenda kufanya umalaya Africa. Sikuvunjika moyo mdogo wangu aliendelea
kunifariji na siku zote mtoto wake huyu ndo amekuwa kama ni mwanangu na huwa ananipa kamapnai na kuenda nae sehemu yeyote ile ambayo nilihitaji.
Nilimuomba mungu aendelee kunitia nguvu ili niweze kufanikiwa katika kila jambo langu ninalolifanya kwa haki.
Niliapa kama nikipona maradhi ya mwili basi ni lazima nitamtafuta mwanangu Leah popote alipo na kwa gharama yeyeote ile.Nilisema kama nilivyompenda
baba yake na kukubali kutengwa katika familia ndivyo hivyo nitakavyofanya kwa Leah na kuwa tayari kutengwa na familia kwa ajili ya mwanangu wa
pekeee.Kitu kilichokuwa kina nizuia ni ugonjwa ulionisumbua kwa mda mrefu naweza sema tangia niachane na baba yake.Leo hii nakiri mbele za watu wote
mliofika hapa kushuuhudia mshindi wa Big brorher kuwa nilipona mara baada ya kampuni ya kutafuta watu kunifuata nchini India na kuniambia kuwa
mwanangu yupo na ameingia tatu bora ya shindano hili.
Baada ya hapo mama yangu alinyamaza kimya kama mtu ambaye alikuwa akiwaza jambo kisha akasema mwanangu Leah naomba unisamehe kwa yote
yaliyotokea nakuhaidi kuishi na wewe sehemu yoyote utakayopenda niwe. Hapo hata mimi maneno hayo yaliniumiza sana nikajikuta namsogelee mama yangu na
kumkumbatia.Machozi yalikuwa yakinitoka kwa sababu maneno aliyoyasema kwa kweli yalikuwa yakiniumiza mno.
Sio mimi tu niliye mwaga chozi bali kila mwanadamu ambaye alikuwa na hisia za karibu.Nilimuona yule binti aliyepanda nae pale stagini naye akimwaga chozi.
Tulikumbatiana kwa mda mrefu kabla ya baadae host wa show kusema maneno yaliomaanisha kuwa tulikuwa nyuma ya mda hivyo tuache mambo mengine
yaendeleeee.
Mama alishuka jukwaaani huku na mimi nikisema asante mama na asante Mungu kwa upendo huu mkubwa wa kumpata mama yangu ambaye siku zote nilikuwa
nikimtafuta na kuumiza kichwa kuwa alikuwa ni mwanamke wa namna gani aliyezaa na kumuacha mwanaye bila kumtafuta kwa miaka yote hiyo.Nikapata funzo
kuwa tusipende kutoa lawama kwa jambo ambalo hatujui chanzo chake.
Ilniibidi niishukuru ile kampuni kwa msaaada mkubwa walionifanyia na nikawahidi kuwalipa asilimia mia ya pesa zilizobaki kuacha zile hamsini walizokuwa
wakinidai.Tofauti na mawazo yangu kuwa kuwalipa mara mbili itakuwa ndo shukurani yao yule mwakilishi alikataa na kusema kuwa kamapuni imemtuma kuwa
wanaomba kufanya kazi na mimi ili wanitumie katika kuatangaza kampuni yao katika nchi za Kiafrika hivyo sio mimi nitawalipa hiyo hela wanayonidai bali ni
wao watanilipa
.Nilishangaa kwa sababu kila kampuni ilikuwa ikitaka kufanya kazi na mimi hivyo naweza kusema ilikuwa ni zaidi ya Baraka kutoka kwa mwenyezi Mungu.
Basi kwa kuwa mda ulikuwa umeenda sana host alimpandisha mtu wanne ilia je atoe surprise yake na hapo nilimuona kaka yangu James akijiandaa.Sasa
nilishindwa kuelewa kuwa atatoa surprise gani tofauti na ile ya kwanza ya mimi na yeye kukutaka baada ya kupotezana.
Surprise namba nne ni kwamba James alishika kipaza sauti na kusema leo najua mtakuwa mnashangaa sana ila nimeamua kuweka historia ingine leo katika
maisha yangu.Nimemeamua mimi na mpenzi wangu Candy kufanya jambo kubwa ambalo litawashangaza watu wote mliofika hapa.Nimekuwa nikipitia mambo
mengi sana katika maisha yangu na kwa kweli kwa imani yangu itakuwa ni vibaya sana nisipo mshukuru mungu kwa yote aliyenitendea.Kwa imani yangu bwana
yesu alishawahi kusema kuwa ukimkiri mbele za watu na yeye atakukiri mbele za Mungu.
Hivyo leo nataka kumkiri Mungu mbele ya watu wengi wenye imani tofauti tofauti.Sitaki kuwapotezea mda wenu maana nimeambiwa kuwa pia bado kuna
surprise moja ambayo ndo itakuwa ya mwisho usiku huu wa leo.Namuomba kiongozi wa dini aliyendaliwa kwa shughuli hii apite mbele. Na wakati huo huo
mke wangu mtarajiwa afike mbele ya jukwaa.Hapo nikamuona mbaba alieyevalia suti kali akipita mbele huku akiwa ameshikilia biblia na yule binti mrembo
kipenzi cha wananchi wengi wa South Africa alipita mbele huku akishangiliwa kwa nguvu na mashabiki wake waliokuwepo hapo.
Yule mchungaji akapewa kipaza sauti na kusema “Najua hapa tumekusanyika watu wa imani mbali mbali wanaonamini dini na wasioamini dini.Hivyo sitotumia
zaidi ya dakika mbili ili nisiwakere watu wengine.Mgeukie mwenzio mwambie Mungu yupo. Watu wote ukumbini wakafanya walivyoagizwa na kusema Mungu
yupo.Yule mchungaji akasema mgeukie tena wa kulia kwako mwambie Mungu ni mmoja watu wote wakageuiana na kusema Mungu ni mmoja.Hapa
nikakumbuka ule utani kuwa eti kuna mchungaji alikuwa anahubiri na kuwaambia waumini kuwa shida zao zote zimeisha hivyo akaanza kusema mgeukie
mwenzio na umwambie umwambie umasikini bye bye, shida zote kwisha , maradhi yote kwisha.
Kwa wale mabinti wasiopata mimba mgeukie mwenzio leo utapata mimba.Hapo ndo kasheshe sasa eti mtoto kamgeukia baba yake na kumwambia leo utapata
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
mimba.Ni utani tu jamnani niekumbushia kidogo, ila tusipende kuweka utani kwenye mambo ya dini. Mungu atatulaani bure.
Basi yule mchungaji akaendelea kusema “Sikuzote nimekuwa nikisisitiza upendo na amani duniani kote.Hakuna haja ya kubaguana kwa sababu ya dini, rangi ,
sura wala kabila.Nachukua nafasi hii kuwataka wa South Africa wanowabagua wafrika wenzao na kuwafukuza waache mara moja kwa maana Waafrika hao hao
walishiriki kuupigania uhuru wa nchi hii.Jamani si mnakumbuka nchi kama Tanzania ilivyokuwa mstari wa mbele kuakikisha kuwa tunapata uhuru.Na sio
Tanzania bali ni nchi nyingi sana zilitusaidia kupinga ubaguzi uliokuwa unaendelea nchini.
Ni ombi langu tuwe na moyo wa kizalendo kama wa baba wa taifa hayati Nelson Mandela.Ukimbi wote ulikuwa kimya sana maana ilionekana kiongozi huyo
alikuwa anaongea maneno ya busara sana.Kwa hiyo ndugu zangu kusibitisha hilo kuwa waafrika wote ni wa moja na mungu ni mmoja nitakwenda kuwapa
neema ya ubatizo na kuwafanya ndugu hawa waliopendana kuokoka. Nawaalika wote wanaotaka kuokoka na kukiri mbele ya kadamnasi kuwa wanamuamini
Mungu waje mbele.Hapo Leah mimi sikutaka kujiuliza mara mbili mbili na mimi nilisimama na kujiunga na watu hao.
Wakati mchungaji huyo akiendelea kutoa wito nilimuona pia Mark akipanda na kuja kuungana na sisi. Waliongezeka na watu wachache tukawa kama 60
hivi.Siunajua tena kumkiri Mungu mbele za mataifa ni jambo gumu sana kwa watu wengi. Naomba mtarudia maneno haya nitakayoyasema alisema mchungaji
yule mara baada ya kurizishwa na idadi ya watu waliopandda jukwaani. “This is my decision to receice Christ as my savoour( Huu ni uamuzi wangu kumpokea
Yesu awe mwokozi wangu)
Akendelea kusema “ Confessing to God that I am a sinner, and believing that the Lord Jesuse Christ died for my sin on the cross and was raised for my
justification.(Naungama kwa mungu kwamba mimi ni mwenye dhambi, na kuamini kwamba Bwana yesu kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zangu juu ya msalaba
na alifufulwa kwa ajili ya kuhesabiwa haki.)
Akaendelea kusema kwa kimombo “I do now receive him and confess him as my personal savoiur(Tangu sasa ninampokea na kumkubali Bwana kuwa mwokozi
wangu).
Baada ya maneno hayo ambayo yalinitoa jasho mchungaji na wale wengine waliokiri kumpokea Yesu walishuka kwenye jukwaa na kumuachia host kipaza
sauti.Naye akasema asante sana mtumishi wa mungu kwa kufanya kazi yako naamini sasa taifa la mungu litakuwa, alafu akachelka kidogo.Yaaani huyu MC
alikuwa na utani sana mpaka kwenye mambo ya mungu.
Akasema pia nawaalika kama kuna kiongozi wa dini ya kiisalam na yeye aje aseme neno kwa ajili ya kusisitiza umoja kwa waaafrika na dunia nzima.Akapanda
kijana mmoja ambaye kweli alionekana ni shekheee na yeye akasema amefurahishwa na maneno ya mchungjai kuwa Mungu ni mmoja.Akasema pia lazima
tusisitize amani na upendo kwa sababu ndo kitu tulichoagizwa na mungu. Akatoa wito kuwa kama kuna mtu anataka kuslim basi apite mbele.Hapo napo
walipanda watu wengi na kupewa huduma hiyo ya usilimisho.Kweli hii ilikuwa ni historia kubwa sana maana watu waliamasika utazani labda ndo ilikuwa
mwisho wa dunia..
Baada ya maneno ya kusilimu ambayo waliambiwa wayatamke kiongozi huyo alisema neno ya mwisho kabla hajashuka.” Kila alie na akili timamu, mwenye
busara naa anaetaka haki, na kusimama pamoja na haki , basi akiangalia dunia ilivyo na jinsi inavyokwenda basi lazima kutakuwa na nguvu kuuu nayo ni
mwenyezi mungu.Kuna vitu vingi sana vinavyothibitisha uwepo wa mungu navyo ni pamoja jua, mwezi, mvua, viumbe vya aina mbalimbli.Basi vyote hivo
vimeumbwa na Mungu hivyo tumwamini na kuzifuata njia zake ambazo ni za kweli na haki.Alimaliza kusema na kurudisha kipaza sauti kwa MC ambaye na yeye
alimsifia sana kiongozi huyo wa dini kwa upande wa waislamu.
Basi naona mda umeenda sana na watu wamechoka na hivyo nawakaribisha wale wote wanaohusika kwa ajili ya surprise ya tano na ya mwisho wapande
jukwaaani.Hapo kila mtu alikuwa makini akitaka kujua nini kitafuata.
Wakati tukiendelea kusubiri surprise ya tano na ya mwisho walipanda waigazaji na wachekeshaji maarufu kutoka Nigeria na kutoa burudani. Host wa show
alinifuata na kuniambia nahitajika chumba maalumu mara moja tu.Sikutaka kumpinga niliingia kwenye hicho chumba maalumu na nilikuwa na shauku ya kujua
nini kinaendelea.
Nilishangaa kumkuta yule mpenzi wake na kaka yangu yaani Candy akiwa ndani ya shela na pembeni kukiwa na binti mwingine ambaye naye alikuwa amevaa
shela kuonesha alikuwa ni mpambe wa bibi harusi yaani Candy. Wakati naendelea kushangaa nisijue nini kimetokea na nini kinaendelea Lilian naye aliingia
akanittupia shela na kuniambia nivae haraka haraka huku na yeye akivaa la kwake.Kwa jinsi alivyokuwa na haraka sikutaka kupoteza mda nilivaa na kuwekwa
vizuri kama bibi harusi.Hiyo ilimaanisha kuwa Lilian ndo alikuwa mpambe wangu.Sikujua hilo wazo la kufunga harusi lilitoka wapi.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/*
Humo kwenye hicho chumba kulikuwa na wadada wengine ambao walikuwa na kazi moja tu ya kutupambapamba na kutuweka sawa ili tuonekane tofauti na
kuwa kama mabibi harusi waliojaiandaa kwa ajili ya harusi.Baada ya kuhakikisha kuwa tumependeza vya kutosha tulitoka na kuelekea ukimbini.Heee nilizidi
kupigwa na butwaa mara baada ya kukuta ukumbi umebadilika na kupambwa kama ukumbi wa harausi.Tulifika na kwa bahati nzuri tukaingia pamoja na ma
mabwana harusi yaani Mark na James.
Kelele za shangwe zilisikikika kutoka kwa watu walifika eneo hilo.Nilikuwa na raha iliyopitiliza nisijue hata nitamshukuru Mungu vipi kwa kubadilisha maisha
yangu ndani ya mda mchache. Mark akakimbilia kipaza sauti na kusema najua mmeshaelewa nini kinachotaka kutokea usiku huu wa leo.Bila shaka hii sio tena
surprise kwa sababu tunaenda kufunga ndoa kubwa sana ambayo itaweka historia mpya ya maisha yangu na Leha na pia itaweka historia mpya baina ya James na
Candy.
Je, Mark unampenda Leah awe mke wako kwenye shida na raha, ziki na faraja, uzima na afya aliuliza baba mchungaji.Mark kwa tabasamu zito akasema ndio
nakubali kuwa Leaha awe mke wangu nitampenda na kumuheshimu siku zote za maisha yangu.Hapo moyo wangu ulizizima kwa furaha maana nilihofia huenda
Mark angebadilisha mawazo.Ikafika zamu yangu nikaulizwa hivyo hivyo na mimi nilijibu kwa tabasamu zito sana kuwa nakubali kuwa Mark awe mme wangu
kwenye shida na raha,dhiki na faraja, uzima na afya. Kelele a shangwe zilisikika ukumbi ukazizima kwa furaha
Hakuna aliyeamini kuwa Mark atakubali kufunga ndoa na mwanamke ambaye ni muathirika wa ugonjwa wa ukimwi.Kwangu mimi hii ilikuwa ni zaidi ya furaha
na nilimshukuru mungu kwa yote aliyonitendea na anayoendelea kunitendea.Ikafika zamu ya kina James na Candy na wao wakaweka nadhiri zao za ndoa.Ukumbi
uliendelea kuwa na furaha sana na hakuna aliyeamini kilichokuwa kinatokea.
Shamra shamra ziliendelea huku watu wakila na kunywa kushangilia siku hiyo.Mama yangu mzazi pia alionekana kuwa ni mtu mwenye furaha sana na
aliyefurrahishwa na tukio hilo.Kama kawaida watu waliruhusiwa kuja kutoa zawadi zao na hapo matajiri wakubwa walionesha uwezo wao wa
kifedha.Watanzania nao hawakuniangusha walipambana vya kutosha maana hiyo ilikuwa ni nafasi yao kutangaza biashara zao. Baadaye watu walianza
kutawanyika na ukumbi kubaki mweupe.
Nilimtafutia mama hotel nzuri na kumwambia asirudi tena Dubai mimi nitaenda kuishi naye sehemu ambayo tutaipanga kuhamisha makazi yetu mara baada ya
kutoka fungate.Mama alinielewa na nilimuahakikishia kuwa nitagharamia matibabu yake yote mpaka awe mzima wa afya.
Mama japo ya kukubaliana na ombi langu kuwa asirudi Dubai lakini aliniambia kuwa nisikatae kusaini ule mkataba mnono wa kampuni ya Emirates ili nipate
chance ya kwenda kuishi nchini Dubai.Nilimuitikia tu japo sikuwa na uhakika kuwa jambo hilo litawezekana maana kwa sasa mimi ni mke wa mtu hivyo lazima
tutashaurina na mme wangu kwanza kabla sijafikia uamuzi wowote.Yaani isingekuwa siku hiyo ni usiku wa ndoa basi ningependa sana kulala na mama yangu.
Baada ya kuhakikisha kuwa mama amepata sehemu nzuri ya kupumzika na mimi na mume wangu tukaenda kwenye hotel maalum tuliyoandaliwa kwa ajili ya
fungate la siku hiyo maalumu sana kwetu.
Sikujua hata kaka yangu James na mchumba wake walikuwa wameenda wapi maana na wao walikuwa na raha sana. Maadamu mama yangu alishapata sehemu ya
kupumzika sikutaka kuwafuatilia watu wengine zaidi ya kuingia kwenye gari maalumu na kwenye sehemu yetu tuliyoandaliwa kama bwana na bibi harusi kwa
ajili ya fungate la siku saba.****
Ni usiku wa kwanza wa fungate kwenye hotel yenye hadhi ya nyota tano hotel ambayo tulichaguliwa na wapambe wetu mara baada ya kufunga ndoa
yetu.Tumebaki mimi na Mark wangu na kila mmoja akiwa na hamu ya kuujua mwili wa mwenzake mara baada ya kusubiri kwa mda mrefu.Tofauti na siku
zingine za nyuma Mark leo alikuwa na mamizuka ya hatari.Hata hajavua nguo zetu za harusi tayari alishanibeba juuu juuu na kunimwaga kitandani.Nilihisi
mapigo ya moyo kuongezeka mara baada ya kuupitisha ulimi wake masikioni mwangu.Sijakaa sawa tayari alishanipa ulimi wake na mimi sikufanya makosa
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
nilianza kuunyonya nyoanya kwa ustadi wa hali ya juu.
Nilikuwa nahema utafikiri mtu ambaye alikuwa akikimbia na kuwahi bahati nasibu iliyotangazwa mda mfupi uliopita. Nilimsukuma kwa nguvu pembeni ili
nipate nafasi ya kuvua lile shela ambalo nilikuwa naliona kama linanikera tu. Wakati naangaika kuifikia zipu ya gauni hilo Mark tayari na yeye alishaanza kuvua
nguo zake na kubaki kama alivyozaliwa.Niliuona mtarimbo ukiwa umesima vya kutosha.Nikaseama safi sana leo ndio leo na nitamuoneasha kuwa hakufanya
makosa kukubali kunioa pamoja na mapungufu ya ugonjwa yaliyojitokeza.Ile zipu na yenyewe sijui ilikuwa na nini maana nilikuwa siifikiii.
Mark kama alijua alinifuata na kunisaidia kufungua zipu.Hakutaka kupoteza mda alinisaidia kuchojoa na vingine vingi vilivyobakia.Yaani alikuwa na fujo kweli
utazani ndo alikuwa anaiba kumbe ndo alishakabiziwa mali hizo maisha yake yote. Kile kibikini nilichokivaa aliona nachelewa kunyanyua miguuu ili kitoke yeye
alikivuta kwa nguvu na kukata mkanda.Nilibaki kama nilivyozaliwa huku nikihisi tayari sehemu zangu za siri zilishalowana kwa ute ambao ulikuwa ukiteremka
kutoka kwenye uterasi kwa kasi ya ajabu.Nilimnongo’oneza kuwa atumie kinga ili nisimwambukize ukimwi akanijibu kwa sauti ya mahaba nisiwe na hofu yeye
yupo tayari kufa kwa ajili ya penzi langu hivyo hawezi kutumia kinga kwa mke wake aliyemoa tena siku muhimu kama hiyo.Sikutaka kumbishia yeye ndo
muaamuzi wa mwisho kuhusu afya yake hivyo nilimuacha aendelee kufanya yake.
Kumbe na yeye alikuwa ni mtundu wa hayo mambo kwa sababu alinibenua benua utafikiri samaki kikaangaoni.Aliamua kuzama kabisa kisimani na kunywa maji
ya chumvi chumvi ambayo yalikuwa yakitirirka kutoka kwenye chemchem za viungo vya uzazi vya mwili wamgu. Alininyonya bila kinyaa wala aibu huku mimi
nikipiga kelele za mahaba nisijue hizo raha kwanini alikuwa akinibania siku zote hizo.Aliamua kudeki bahari kwa mda mrefu sana mpka nikahisi huenda
akaweka historia ya kuikausha bahari hiyo walioishindwa watu wengi.Naweza sema siku hiyo ilikuwa ni special sana kuliko siku zote maishani mwangu kwa
maana ndo nilikuwa katikati ya mzunguko wa siku zangu.
Kwa wale wasiojua sayansi kwa sisi wasichana ambao tuna mzunguko wa siku 28 basi ikifikaga katikati ndio siku ambayo yai ipevushwa na kutoka kuja kwenye
via vya uzazi kusubiri yai la mwanaume.Ni siku ambayo joto la mwanamke huwa juu sana na hata ute huwa mzito hivyo kufanya kuwa na hamu kubwa sana ya
kufanya mapenzi. Kwa hiyo nilikuwa na mizuka mingi sana ukilinganisha na hiyo huduma ya kulambwalambwa kwenye kinu changu jamani wewe acha tu utamu
unakuja utamu unakata.Baadaye na mimi nilimpatia nafasi nzuri na kuanza kufanya yangu.
Nilikumbuka mautundu yote niyojifunza enzi za maangaikao yangu katika sanaa hiyo ya mapenzi.Kwa kweli simsifiii lakini kiungo chake kilikuwa na afya
utazani muwa uliokulia kwenye bonde la maji ya kinyesi na mbolea nyingi.Nilikichezea nitakavyo na hapo lile jino langu la dhahabu nalo lilitumika kuuchezea
mpini huo.Nilifurahia kuimba nyimbo zote ninazozipenda kwenye maiki hiyo ya Mark ambayo kwa kweli nilikuwa naitamani kwa mda wa miaka mingi
sana.Nilifanya yangu mpaka nikaona urojourojo wa Zanzibar.Tulikimbilia bafuni kwenda kuoga kuondoa uchovu wa kukaa mda mrfu ukumbini.Kama
ulishawahi kuona watu wakifanya mchezo huu kwenye maji ya bomba lamvua basi sisi tulifanya siku hiyo.
Kwa kweli kila mtu alichanganyikiwa na mwenzakn na baada ya raundi ya bafuni tulirudi kitandani.Yaani kazi ilikuwa ni moja kulimenye tunda na kupeana
mautamu.Hapa alinikumbusha mbali sana alivyoonipa ile staili ya dog.Kama ulishawahi kuona mbwa wakifanya mapenzi basi na yeye aliamua kuiga kamchezo
ako.Mmmmmh hiii staili huwa inanimaliza sana mwenzenu na kujikuta nikitoa milio ya ajabu ajabu mpaka ule niliouweka kwenye mlio wa simu yangu.
Leah mimi nilihisi mafua yakiniapanda huku kamasi jembamba likiteremka.Nililia kama mtoto mdogo kwa jinsi Mark alivyokuwa akinipatia.Nilisahau kila kitu
kilichowahi kunitokea na kufurahia mapenzi.Ulikuwa ni usiku wa raha sana na kuthibitisha hilo sikumwacha Mark anizidi ujanja.Na mimi nilimgeuza nikamlaza
chini na kuanza kufanya yangu.Hapa nitawakumbusha mbali kidogo yale maufundi yangu ya kuzungusha na kukakata mauno utafikiri nilikuwa stegini nikicheza
zile nyimbo zangu ambazo huwa zinanipa umaarufu sana.Nilizungusha mpaka Mark aliomba maji ya kunywa.Mwili mzima ulikuwa umejaa jasho kwa raha na
khaara nilizompatia.
Baada ya kunywa maji tulimazia pale kwenye masofa ambayo kwa keli sikuwahi kuyaona tangu nizaliwe. Kwa kifupi yalikuwa ni mazuri na Mark alionesha
kuwa amechoka hivyo bado aliniachia mimi niendelee kuwa dereva wa mchezoo huo.Nilimwambia akae kwenye sofa kisha na mimi nikamkalia sasa nikawa
namsugua kwa kadiri ya spidi aliyokuwa akitaka.
Hakubweteka mikono yake nayo ilikuwa ikiendelea kuchezea chuchu zangu ambazo huwa zinasimama kama ncha pindi nikiwa kwenye hako kamchezo.Alijua
kucheza na chuchu zangu kwa kweli na mda mwingine alikuwa akishusha mikono yake na kunipapasa papasa mpaka sehemu za kitovu.Alikuja kunikosha kabisa
pale alipofika maeneno ya ikulu akawa anausaidia mtarimbo wake kufanya kazi kwa kutumia vidole vyake.Alikuwa akizisugua zile sehemu ambazo wanawake
wengi huwa wanapenda kuzisugua kwa vidole pindi mtarimboo unapokuwa kwenye kinu ukitwanga na kupepeta..Mapenzi kweli ni upofu maana nilitaja kila jina
zuri analopaswa kuitwa mpenzi.
Mark alikuwa mjanja sana maana kila akitaka kumwaga alichoma mashine yake na kuipigapiga pemebeni hivyo kuchelewasha mambo na kufanya kazi ya
kupeana raha iendeleee.Ili kunikomesha kabisa alininyanyua na kunipleka kitandani.Kwa hiyo huo mda wa kutoka hapo mpaka kitandani tayari wazungu wake
weupe walisharudi ndani.Kitandani aligundua kuwa na mimi nilikuwa hoi bin taabani basi tukamalizia na ile staili ya kifo cha mende.Sikuwa mzemba hapo hapo
nilikuwa namkatikia kwa chini chini wenyeew wanitaga kiuno cha ngono na sio ndomborooo.Mark alivuta pumzi kwa nguvu kumaanisha kuwa alifikia mshindo
na mimi nilijikuta nikiropoka kwa nguvu kwa kusema asante mungu maana tulimaliza pamoja.Kwa raha ya kufika kileleni hakuna aliyeteka kushuka
kilimani.Tuliala hivyo hivyo yaani Mark aliamua kukiacha kisu chake kwenue ala ya Leah mpaka asubuhi********
Ni miaka kumi sasa imepita mimi na Mark tukiwa tunaishi kwa furaha na amani ndani ya ndoa yetu.Mungu ametujalia watoto wawili mmoja wa kiume na
mwingine wa kike.Wa kiume anitwa Bigbrother kama kumbukumbu ya siku ya ndoa yetu na wa pili anaitwa Joyce kama kumbukumbu ya rafiki yangu
kipenzi.Pia naishi na mtoto wa Joyce mara baada ya baba yake kufariki.Familia yetu ni kubwa kwa maana na mama yangu nilikuwa nikiishi naye kwa upendo na
amani.Nilimgharamia matibabu yake yote na akapona kabisa na kwa sasa ni mwenye furaha sana.Leah nimekuwa mtu maarufu sana Africa na tajiri namba moja
wa kike kwenye bara hili la Africa.
Utajiri wangu umeongezeka siku hadi hadi siku kwa sababu yale madini ambayo tuligawana pasu kwa pasu na kaka yangu James yalitosha kabisa kunifanya niwe
tajiri mkubwa Afrika.Madini hayo kwa kipindi hicho yalitoweka kabisa hivyo yalikuwa yakitafutwa kwa udi na uvumba na kwa bahati nzuri sisi tulikuwa
tukiyauza kidogo kidogo.Sio mimi sio Jemes wote tulikuwa ni matajiri wakubwa.Nilindelea kuwasaidia yatima na wale wote wasiojiweza kupitia kampuni
yangu ya Leah foundation.Niliendelea kufanya kazi za matangazo hivyo kujiongezea kipato.Mikataba niliyosaini na makampuni makubwa hasa kwenye
matangazo imekuwa njia rahisi sana kwangu ya kujipatia kipato kwa urahisi. Mimi na Mark tuliendelea kuigiza filamu kazi ambayo niliisomea.
Miaka yote hiyo ya ndoa tumishi kwenye iamani kubwa ya kumjua Mungu.Napenda kutoa shukurani zangu kwa Mungu baba mwenyezi muumba mbingu na
dunia.Amini mungu yupo na usikate tama kwa maisha yeyote magumu unayopitia amini Mungu atakunyanyua na kukufanya uwe wa thamani kama
utamtumainia na kumwmini.Namshukuru pia mume wangu Mark kwa kunipenda hili hali nilikuwa ni muhathirika wa ukimwi.Namshukuru pia Eliado
mwandishi wa simulizi hizi kwa ushauri wake mzuri katika baadhi sehemu ngumu za mapenzi nilizopitia.Nakushukuru pia na wewe ndugu msomaji uliyejitolea
kuisoma hadithi hii kwa gharama yeyote.Naamini asilimia kumi ya mauzo ya kitabu hiki cha kumbukumbu zangu yatapelekwa kwa watoto yatima na watu
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
wanaoishi kwenye mazingira magumu. Mungu anakupenda sana na tusikate tamaa kwenye hali yoyote ya maisha tunayopitia.
"WAKE UP ARISE AND SHINE (INUKUKA NA UANGAZE)
Eliado "The Philosopher"
*******************MWISHO***********
0 comments:
Post a Comment