Search This Blog

Tuesday 1 November 2022

BABA KAMA PUNDA JAMANI - 5

 







    Chombezo : Baba Uboo Kama Punda Jamani

    Sehemu Ya Tano (5)







    Hee uyu Dada mwehu nini..!! Yani kumwambia tu kapagawa ghafla...!! Sasa kitendo cha uyu binti mmbeya kulopoka ivyo Baba yake Limbe akasikia..basi kwa hasira akampiga Kofi zito la usoni yule binti mmbeya huku akimwambia;

    "Mchawi mkubwa weee hole wako binti yangu apoteze maisha..!!"

    Basi mmoja ya askari akamfuata Limbe kule jikoni akamuona Limbe kakumbatia mtungi wa gesi huku akimsihi uyo askari arudi nyuma lakini askari alizidi kumsogerea tu...ile anataka kumlukia ili ampokonye mtungi daah!! Binti Wawatu na mchumba wa marehemu Nnale akachomoa kitasa cha mtungi kisha akasogea kwenye Niko la umeme.. Weeeee!! Mlipuko uliotokea pale jikoni daah.. Ilikuwa ni mtafutano huku mganga akitimua mbio Kama mwizi... Bahati nzuri ile Nyumba ilikuwa na system ya maji endapo kunatokea moto... Basi maji yalinza kumwagika kila chumba mpaka sebureni ikawa ni patashika kamata shati chanika....watu wote wakiwa nje police wa huduma ya kwanza walifika na uokozi ukaanza haraka.. Baba yake Limbe akiwa kakodoa macho mara wakaja waokoaji na mwili wa binti yake Mrembo ukiwa umeungua ungua vibaya sana Limbe alikuwa hayupo tena duniani tayari alishaungana na mpenzi wake Nnale katika makao ya milele wakisubiri siku ya ufufuo Kama watabahatika kupata nafasi..!!



    ?Tangulia salama binti yangu nimeshindwa kukulinda maana ni ngumu Sana kushindana na hisia zako, ila nakuhaidi lazima nitalipa kisasi kwa wote walio usika kwa namna moja au nyingine kukusababishia kifo..!!?



    Yalikuwa ni maneno makali toka kwa Baba yake Limbe ambaye tayari kabaki jina, mganga kwa hasira akaomba pesa zake ili aondoke lakini yule askari akasema;

    "Mganga upo chini ya ulinzi sababu wewe ndio chanzo cha yote aya ivyo Una kesi yakujibu"

    Lakini mganga akamwambia;

    "Nakuuliza tena kwa Mara ya mwisho pesa zangu unanipa hunipi jibu swali..!?"

    Yule askari kuona mganga anamtisha akawaamuru askari wangine wamfunge pingu haraka na wampeleke kituoni, basi ile kusogea tu manganese akachukua kimwanda chake akawachapa nao usoni mwao haraka haraka..na sekunde iyo iyo wakawa vipofu kabisa..!!

    ??Mkuuu Mkuuuu Afandeee hatuoni...Afandeee hatuoni jamani..??

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Maganga akamsogerea tena uyo Inspecter Kama kawaida akamwambia;

    "Afande nipatie pesa zangu unanichelewesha, yani nimewasaidia polish kufanya upelelezi alafu tena mnanigeuka...pumbavu mbona mtajuta kuwa polisi leo..nipe pesa zangu..!!"



    Kwa woga yule askari akachukua mfuko wenye ile pesa iliyo changishwa pale ndani nakumpatia mganga...ambaye alirudi nakuwachapa tena wale police wawili kisha wakaona tena, na baada ya hapo akachukua Kitambaa akamfunuka Baba yake Limbe akamwaga unga kuzunguka maali waliposimama na ghafla walipotea Kama Moshi vile huku nyuma askari wakiwajulisha wenzao wa shinyanga tsyari kwa maandalizi yakumkabili Mzee Shigera ambaye ndio Baba yake koga.



    Muda uo Mimi nilikuwa nimesimama pamoja na Mama Dada Shemeji pamoja na baadhi ya watazamaji wangine kibao. Polisi walipomaliza kuweka sawa mazingira polisi wakaja nakunichukua Mimi...hakuna ata mmoja aliyeuliza wala kukohoa nilikuwa nachukiwa zaidi ya shetani..na Mama, Shemeji, na ata Dada ambaye alikuwa karibu yangu.

    Niliongea neno moja tu nikimwambia Jofu;



    ?Kumbuka mpenzi Wangu Jofu, ulisema hutoweza kuniacha kwa sababu yoyote labda kifo kitutenganishe..mbona unaniacha..?!?!???



    Nikamuona Jofu akitoa machozi?? na alikuwa Kama anataka kunifuata ivi ila rafiki yake Munah alimzuia kwa nguvu, na gari ya polisi ikaondoka taratibu kuelekea kituo cha polisi magomeni.. Hapo iliandikwa taarifa fupi kisha nikapelekwa Mbezi ambako walisema nitalala huku ili kesho nisomewe huku pamoja na Baba.

    Basi usiku nikawa usingizini nikaanza kuota namnyonyesha yule mtoto wangu Punda.... Wakati naendelea kumnyonyesha nilianza kuhisi nyege nikajikuta napata mzuka nikawa namshika shika kibolo chake kidogo mtoto wangu uyo eti mpaka kikasimama..!! Nikaamua kukisugua kwenye uchi wangu ivyo ivyo na udogo wake... Lakini katika hali yakushangaza kile kibolo chake kilikuwa ghafla mpaka kikamzidi umri na ghafla kikaniingiza nakuanza kunitomba kwa nguvu za ajabu..nikaanza kulia huku naomba msahada kwa walinzi lakini nikashangaa kusikia uyu mtoto wangu akiongea kwa sauti ambayo niliitambua kuwa ni ya yule mganga;

    "Hakuna wakukupa msahada hapa, wewe si Malaya huchagui mboo iwe ya mtoto mkubwa sawa tu.. Sasa utakufa kwa mateso sana binti na huu ndio mwanzo wa mateso yako mpaka uliowasababishia kifo waridhike na mateso yako ndipo tutakuua vinginevyo utateseka ata miaka mia Malaya weee katikia sasa hii mboo si unajifanya kiuno bila mfupa wewe..!!"



    Basi mtoto akiwa kaingiwa na mganga aliendelea kunitomba kwa mpaka uchi wangu ukaanza kutoa damu nililia mpaka sauti ikakauka damu zilinivuja vibaya mno..alinichana chana uchi wangu maana lile lilikuwa ni zaidi ya mbolo la tumbo..!!



    Ilikuwa ni ndoto lakini cha Ajabu asubuhi nilikuja kupata fahamu nikiwa kitandani huku pembeni yupo daktari pamoja na askari nilipotikisa miguu yangu niligundua kuwa Nina maumivu makari sana kwenye uchi wangu.. Sikumuuliza mtu chochote sababu najua kilicho tokea usiku..



    Akaja mkuu wakituo ambaye ni mkuu wa upelelezi wa kanda ya kinondoni akanipa pole kisha akasema naweza kueleza tukio zima lilivyokuwa, na je watuhumiwa wakiletwa hapa ntawajua...??

    Mimi nikamwambia tu hakuna sababu yakupoteza muda, naomba Kama kuna mlinzi yoyote wanaye mshikilia basi wamuachie haraka sana sababu hausiki na chochote kuhusu ili tukio langu..!!

    Afande akafikiria akapata jibu, akapiga Simu nakutoa amri kuwa walinzi wa zamu ya usiku jana waachiwe huru haraka hawausiki.



    Basi ndio ivyo nikabaki hapo muhimbili chini ya ulinzi mkali wa polisi, Dada alikuja kunisalimia pamoja na Jofu baada yakupewa taarifa zakubakwa kwangu na walinzi japokuwa zilikuwa sio za kweli. Lakini Mama hakuwepo Dada alisema Mama kaondoka na police kwenda kwa Baba maana kikosi cha kwanza kimeshindwa na police wakaamua kutumia waganga wakienyeji maana Baba anatumia madawa na ndipo waganga wakasema lazima apatikane MTU aliyefanya naye mapenzi kwa mala ya mwisho au ata kulala naye tu na ndipo Mama akaamua kujitokeza maana ana hasira naye Sana...!!

    Kwaiyo Mama kaondoka na police kuelekea kumkamata Baba, sijui itakuwaje huko ila kumbuka chanzo cha yote aya ni wewe Mdogo wangu Koga yani nikikutazama ata sikumalizi kwakweli sitokusahau mpaka naingia kaburini.

    "Dada sio wakati wakunilaumu huu Mimi adhabu nayopata mpaka saizi inatosha kabisa, ebu nitazame uchi wangu ulivyo aribika ndio maana nimewaambia police wawaachie wale walinzi wa dhamu sababu najua mwenyewe kilicho nifanya ivi..!!"



    "Mmh! Pole Mdogo wangu ebu nione ulivyo umia jamani.. Mmmmmmmhhh!! Koga ndio upo ivyooooo..!! Mdogo wangu kwaheri mmh..!"



    Dada aliondoka nakumuacha Jofu amekaa pembeni yangu akinitazama kwa jicho lenye machozi.. Nilimuonea huluma kijana wawatu nikamwambia;

    "Jofu mpenzi wangu naomba uende pale kwako upande wa kule jikoni, kwenye niliweka nguo zangu utakuta kuna kibegi cha rangi ya pink chukua ndani kuna Pesa kama million tatu ivi naomba utumie izo pesa kuendesha maisha yako alafu uende Kahama kamchukue Nasri yule mbwa wetu umtunze nakumpenda Kama ulivyo nipenda Mimi nakuomba sana..!!"



    "Hapana Koga acha kunipa maagizo Kama unakufa vile, Mimi nataka niende tanga au Nigeria kutafuta mganga ili aje afanye ujuzi wake amalize matatizo yako kwa uchawi..!!"



    ?Hapana Jofu hakuna sababu yakupoteza Pesa au kuangaika kwa ajili yangu sababu Mimi mwenyewe sitaki tena kuishi, nashukuru umekuja nimekueleza mambo muhimu roho yangu imetulia nenda Jofu muda umeisha alafu nina usingizi Mimi?



    "Sawa Koga, ila asubuhi nakuja nikuletee kitu gani mpenzi wangu"



    ?Chochote utakachoona kizuri basi na Mimi nitakipenda pia, ila naomba kesho uende kahama kumchukua Nasri ili nimuone ata kwa mara ya mwisho maana bila yeye nadhani ningekuwa nimesha oza chini ya ardhi?



    "Sawa mpenzi pumzika salama"



    Basi Jofu akaondoka zake nikabaki peke yako huku madaktari wakiwa wamenilaza kwa style yakunitanua miguu ili vidonda vya uchi wangu vipate hewa....alikuja muuguzi kuniuliza Kama nahitaji chochote nikamwambia hapana. Usiku ulikuwa tayari nilikuwa naogopa kulala ila nikajikaza tu lolote na liwe..! Basi nikalala zangu huku kichwani nikiwa nimeweka ndimu ili Kama kuna mchawi ananijia ndotoni ashindwe aone kichuguu.

    Usingizi ukanipitia na ghafla nikaanza kumuona tena mtoto akilia Mara akaja Kaka Nnale nakuniambia;

    "Wee Koga ebu mnyonyeshe mtoto bwana, ivi uoni jinsi anavyo lia au unadhani anaimba..!!"



    Nilipotaka kuinuka ili nimfuate Mara akatokea yule binti Limbe ambaye ni mchumba wa Kaka Nnale aliyekufa majuzi tu akamchukua yule mtoto nakunipa huku akisema;

    "Wifi mnyonyeshe kipenzi chako uyoo anakupenda sana mwanao ujue...!!"



    Mara nikaanza kumnyonyesha nikiwa namnyonyesha Kama kawaida nyege zikanipanda tena..nikapata mizuka nikaanza tena Kama nilivyofanya kule mbenzi nikiwa maabusu uume wa uyu mtoto ukakua mpaka ukawa ndio msimamio wake na ghafla akaanza kunitomba tena.. Ajabu nilipoanza kupiga kelele akatokea Punda mwenyewe huku akiongea Kama binadamu;

    "Weee mpenzi wangu Koga unalia nini, haaa!jamani yani kimboo cha mtoto Mdogo uyu ndio kinakulizaaaaa...ebu acha ujinga.. ngoja nikupe bolo langu...sikuamini my Baby love donkey akiwa anavuja damu vile vile huku akiwa na mkuki ubavuni mwake akaanza kuniingilia kinyume cha maumbile yangu au Tigo Pesa...Nilipiga kelele zakufa mtu maana katoto kalinimwaga damu zaidi ya siku ile huku Baba mtu my baby love story akinimwaga mavi vibaya mno maumivu yakazidi mpaka nikapoteza fahamu..!!

    Mara ghafla akatokea baba yake Limbe akiwa na mganga kisha wakaniambia;



    "Vipi Bibie Kama ulishawahi kusikia kauli ya malipo yote ni hapa duniani tafsri yake ndio hii, utapata tabu sana binti, nakwambia tumejipanga kukupa mateso kumbuka kitu kimoja, huwezi kufa mpaka ulio waua walizike na kichapo chako ukiwa hai maana tukikuua utakuwa mikononi mwa utawala mwingine, aya kwaheri tukutane usiku ujao..??????..!!"

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Wakatoweka ghafla huku yule mganga akinimwagia kitu kwenye uchi wangu!! Nilipokuja kushtuka nikamuona muuguzi pamoja na wagonjwa wangine wakiwa pembeni yangu huku kitandani pakiwa pananuka mavi ovyo mixer damu chupi yangu imechanwa chanwa nilifumbua macho tu sikuwa na uwezo wasimama niliumizwa vibaya sana maana nilikuwa natapika mishahawa tu ya yule Punda hali iliyofanya wagonjwa wangine waondoke iyo wodi wakabaki waliozidiwa Sana....!!!



    Uongozi wa hospital ukaamua kunirudisha mikononi mwa police wakidai Mimi sio mgonjwa wa kawaida Nina maajabu sana...Jofu akawaomba police ili anichukue police nao bila iyana wakakubali maana waliona sifai ata kwenda mahakamani mapigo nayopata ni jela tosha kabisa..!!

    Jofu aliniambia kuhusu Baba kuwa baada yakuvamiwa na askari walopewa sawa Baba alibadilika nakuwa fisi kisha akatokomea porini kwaiyo waganga wakienyeji bado wapo kupambana chini ya usimamizi wa serikali pamoja na Mama yako ambapo kuna askari wamejitoa wepewe dawa wabadilike kuwa fisi kisha wazame msituni kumtafuta Baba popote alipo mpaka auwawe..!!



    Nilikaa siku tatu kwa Jofu atimaye nilianza kuoza uchi wangu... Baada ya siku tano nikawa natoa wadudu kabisa....!!! Ikabidi Jofu akimbie Nyumba yake akaenda mpaka kwa warokore yani kanisani kutoa maelezo....jioni moja kundi la walokore lilifika nyumbani kwa Jofu.. Nakukutana na halufu Kali sana maana nilikuwa nimeoza kuma yangu kwisha kabisa natokwa na wadudu nyuma na mbele...!!

    Wale walokore wakaanza kuomba wakiwa huko huko mlangoni... Mara ghafla wale funza kwenye uchi wangu wakatoka kadhaa nakuwalukia wale walokore daah!! Walitimua mbio huku wakitupa Bible zao....!!



    Hali yangu ikazidi kuwa mbaya na sauti ya Ajabu ikawa inaniambia muda wako wa mateso umeisha sasa ni safari yako kwenda kusubiri hukumu ya mkuu mwenyewe..!!

    Nililia sana huku nikimuomba MUNGU anisamehe kwa yote..nikiwa nimelala Mara nikahisi kama nipo pamoja na Kaka yangu na watu wangine wengi tu Kama Babu yangu mzaa Mama.. Huku kwa mbali nikawa namuona Baba akichungulia..!!



    "Jamani kazidiwa Sana uyu yani sijui tufanyaje mmmh! Maana ananuka mpaka basi"

    Alikuwa ni Shemeji akiongea kwa nje kidogo na watu wangine na sauti ya Jofu niliisikia ila ndio ivyo nilikuwa siwezi ata kugeuza shingo nilikuwa sina nguvu kabisa ata kutikisa shingo tu nilikuwa siwezi....!!

    Lakini kwa mbali nikasikia Jofu akisema;

    ?Jamani Mimi nampeleka Tanganyika Pekars kuna waubili na waombaji wakimataifa toka Marekani na Canada nasikia wanaponya magonjwa, vilema wanatembea na miujiza mingine mingi tu kwaiyo Mimi nampeleka Tanganyika Pekas akaombewe sababu ugonjwa wake sio wa MUNGU..?



    "Mmmh! Kweli Jofu unampenda mdogo wangu..maana sio kwa maamzi magumu ivyo..!! Yani mtu kaisha kabisa uyu unampeleka kwenye kundi la watu kule unataka watu wakakimbie ubaki peke yako...??..Mambo mangine yanachekesha japo naumia..!!"



    ?Siwezi kumuacha aendelee kuteseka ivi Koga wangu..Mimi nampeleka Tanganyika pekas nataka nikaone nguvu ya mungu na uchawi nani zaidi. Simuachi koga Wangu mpaka tone la mwisho au pumzi yake ya mwisho nilimpa hii ahadi Mimi mwenyewe kuwa nitakuwa pamoja naye mpaka mwisho"



    "Sawa mpeleke Mimi sina tatizo ila naona Kama una mdhalilisha tu Mdogo wangu, maana anatoa halufu kali sana..!!"



    Basi nikimsikia Jofu akiongea na Simu na mtu wa Bajaji kuwa ikifika saa Tisa awe tayari maana mkutano wa injili ndio unaanza pale Tanganyika Pekas, alikata Simu kisha akaja chumbani nilikokuwa nimlala akanishika kichwani huku akisema;

    "Pole sana mpenzi wangu, unajua binadamu huwa tunajua kuhukumu tu bila kujua mwenye hii kazi ni MUNGU pekee. Pia nashangaa kila Doctor naye mleta hapa akifika tu huku chumbani anaziba pua yake akidai unatoa halufu mbaya sana na akikufunua tu eneo usika anasema wewe sio wakupona kisha anakuchoma sindano yakupunguza maumivu alafu anaondoka zake...yani wamesahau kabisa kuwa leo kila mmoja anajiona ananukia ila kesho atakuwa maiti na atatoa halufu Kali kuliko ata hii wanayo inusa kwako...!!"



    Nilikuwa namsikia Jofu maneno yake mazuri lakini sikuweza kumjibu kabisa maana midomo yangu ilikuwa haiwezi ata kuinuka nguvu ziliniishia kabisa....Jofu alikuja nakunipa uchi maalumu kwa lishe nikanywa kama nusu robo ya kikombe cha robo huku miguu yangu nikiwa naihisi haipo kutokana na maumivu makali niliyokuwa nayapata lakini ndio ivyo sifi na ata nguvu yakujiua sina..!!



    Basi nadhani muda wa kwenda huko Tanganyika Pekas uliwadia maana Bajaji ilifika kisha nje kisha Jofu akaja mpaka karibu yangu nakuniambia maneno mazuri kwa lugha ya kimombo ambayo ni Nigeria Pidgin;

    "Koga your love dey affect my brain... If you not hear ama gonna talk am again... Koga your love dey affect my brain..!!!" (Koga penzi lako limeathiri ubongo wangu..Kama hauja nisikia narudia tena kuongea..Koga penzi lako limeathiri ubongo wangu..)



    "Oyaa July njoo unisaidie tumbebe mpenzi wangu, mbona umesimama mbali ivyo wee vipi dogo kua uyaone..!!"

    "Ivi kaka Jofu uyu ndio yule Dada wa siku ilee ambaye tulikamatwaga na police pale barabarani..?"

    "Ndio Mdogo wangu kwani kawaje..?"

    "Mmh! Kaka basi yaishe"



    Basi nikampulizia Perfume chupa nzima ili kupunguza halufu yake, kiukweli Koga Kama ananisikia ama anaisikia halufu yake atakuwa anajuta sana kwa upumbavu wake.

    "Wee July ebu muweke vizuri bhana, Mdogo acha kuona kinyaa wee bado kijana Mdogo Sana hujui kesho yako itakuwaje..!!"

    "Sawa kaka Jofu"

    Basi safari ikaanza kuelekea Viwanja vya Tanganyika Pekas ambako ndio kuna mkutano mkubwa wa injili ambao nasikia kuna miujiza na uponyaji wa Ajabu na kuna watu zaidi ya laki saba uwanja wa Tanganyika Pekas umejaa mpaka umetapika..ngoja nikaone mwenyewe.



    Kweli tulifika hapo uwanjani yani ilikuwa ni balaa watu walikuwa wamejaa huku wangine wakitoka mbio huku wakipiga kelele nimeona nimeona jamani siamini Mimi nimeona.. Huku wangine wakitoka nduki wakipiga kelele natembea natembea jamani natembea Mimi..nilipoona vile nikaona kweli hapa kuna MUNGU tena sio MUNGU wa bahari au MUNGU jua hapa kuna MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI, kwa kifupi MUNGU WA MIUNGU.



    Basi hali ilikuwa ngumu sana maana ata kupitisha unyayo tu ilikuwa haiwezekani... Sasa wale waubiri walikuwa ni wazungu kwaiyo walikuwa na vifaa vya kisasa kabisa mpaka vindege maalumu ambavyo vinatumika kuwachukua watu kule mbele kabisa walikoombewa nakuponywa kisha vinawaleta pembeni kabisa huku ili waondoke zao, sasa kimoja kikapita karibu yangu nikanyoosha mkono kuomba msahada.. Yule dereva alikuwa ni mweusi tu kama sisi kwaiyo nikajua kama atakuwa ni Mtanzania sidhani Kama atakuja maana kulikuwa na mikono mingine mingi sana ya watu wakiomba msahada pia...!!



    Basi nikakata tamaa kabisa maana niliona Kama hana habari kabisa na Mimi, ivyo nikabaki nimenyoosha tu mkono kama mwanafunzi anaye taka kutoa jibu au kuuliza swali alafu mwalimu akawa hamchagui....!!

    Ata ivyo kile kindege kilipotelea mbele kabisa na Mimi nikabaki tu nashangaa.. Maombi yalikuwa yanaendelea kwa lugha Mbili yani English na Kiswahili...Sasa ilikuwa ni kelele zakutosha pale uwanjani maana muhubiri wa kizungu anaubiri kwa Kiingereza kisha mwafrika au mtanzania ana tafsri kwa kiswahili. Nilisimama zaidi ya masaa matatu inamaana toka SAA tisa mpaka saa kumi na mbili huku baadhi ya watu wakiniambia kuwa kuna watu wametoka Kigoma wangine Arusha wapo hapa na bado hawajaombewa...nikauliza kwani ghalama zake ni shingapi.. Wakanijibu hakuna malipo yoyote zaidi ukiombewa na ukipona Unatakiwa ununue Bible na Tenzi kisha inabidi uende kanisa lolote la Kikristo au Kipentecost kama wao vinginevyo unaweza kuludiwa na tatizo lako maana ukikaa tu bila kwenda kanisani shetani anakutudia tena.



    Basi ilipofika saa kumi na mbili na nusu nilishangaa kuona watu wachache sana ndio wanaondoka lakini wangine walikuwa wakijiandaa kulala hapo hapo...!! Aisee ikabidi na Mimi nimtume hali akachukue godoro ili nilale hapo hapo kudadeki...!!



    Kutokana na foleni na muda kuwa umeenda sana niliamua kununua tu Godoro jipya tu, maana sikuona thamani ya pesa kwa sasa zaidi ya uponyaji wa Koga wangu. Basi July akalifikisha ilo godoro na Mimi nikaanza kuweka mazingira vizuri tayari kwa kulala na Ubavu wangu wapekee Koga.



    ?Watu wangine bwana Kama mpumbavu, yaani mgonjwa wakumpeleka hospital yeye kamleta hapa kuombewa..sasa ananukaa mpaka wangine tunashindwa kulala..!!?



    Ilikuwa ni sauti za minong'ono ya watu wangine waliokuwa na wagonjwa wao pale uwanjani, sasa walinzi pamoja na watoa huduma wangine wakawa wameipata ile halufu ya mpenzi Wangu ?ØG? ivyo wakasogea ili wajue tatizo ni nini, basi alisogea bwana mmoja akiwa kavalia suti huku shingoni kaweka skaffu ambayo ndio inafanya atambulike Kama mtoa huduma pale uwanjani au shemasi;

    ?Habari yako ndugu?

    Alifika na kunisalimia huku akinipa mkono, nilimuitikia vizuri kabisa tena kwa busara zote kisha akaniuliza tena huku macho yake yakimtazama ?ØG? Wangu;

    ?Aisee uyu mgonjwa wako anatatizo gani ndugu yangu..???

    Muda uo tayari watu walishasogea huku wakiteta kuwa uyo ni wakupelekwa hospital tu maana ameshaoza tayari ata akiombewa haponi, nilikata tamaa kutokana na yale maneno yao basi nikamjibu uyu shemasi lile swali lake;

    "Kwakweli uyu ata Mimi sielewi tatizo lake kiukweli, ila alikuwa akiingiliwa kimapenzi ndotoni alafu akija kuamka anajikuta kweli kafanya mapenzi...!? Na kibaya zaidi anakuwa kaumia vibaya sana sehemu zake za siri..!!"

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilitulia kidogo ili nimpe nafasi kama ana swali lolote la haraka haraka, lakini nilimuona akiwa bado anatafakari chakuuliza au kuongeza. Mara akaniuliza kwa kusita sita kidogo;



    "Mmh!! Umeshawahi kumpeleka kituo cha afya, au ata kufanyiwa uchunguzi wowote na watalamu wa afya za binadamu..??"



    "Ndio ndugu naweza kusema ata ili tatizo lakuingiliwa kimwili pindi tu alalpo lilifanyika kwa mara ya pili akiwa hospital, maana amekaa pale Muhimbili zaidi ya mwezi na wiki zake lakini madaktari hawaoni ugonjwa wowote alafu anazidi kunuka tu huku akioza nakutokwa na wadudu sehemu za uke na haja..hali ilipoendelea ivyo ndipo uongozi wa hospital ukanifukuza ukidai mke wangu ana tatizo la nguvu za giza kwaiyo ni ngumu kuweza kutibiwa na dawa za kawaida za mzungu...basi nikiwa nimekata tamaa ndipo nikasikia nakuona kwenye TV??, hiki kinacho endelea hapa ndipo nikaona nije kujaribu..??!!"



    Basi nilipomaliza kuongea tayari mashavu yangu yalikuwa yamelowana maji kupita kawaida maji ambayo ni machozi yangu, nilijifuta kwa mkono wangu tu maana sikuwa na Kitambaa. Huku watu walioleta wagonjwa wao wakiacha kuwawekea uangalizi nakuja kunitazama Mimi kijana handsome niliepanda juu jinsi nnavyo pata tabu na msichana aliyeoza nakufanya atoe halufu mbaya zaidi ya mzoga wa mbwa au kinyesi..??



    ?Pole Sana ndugu yangu na pia ongera kwa roho ya uvumilivu na Upendo wa ajabu ulionao kwa uyu mwanamke, Mimi naweza kusema mahali ulipofika sasa ni mahali sahihi kabisa tena hutakiwi kusema umekuja kujaribu hapana, maana Bible inasema usimjaribu bwana MUNGU wako..! Wewe sema nimekuja kupona maana hakuna linalo shindikana kwa mungu, Ebu fikiri kama yeye aliweza kumuumba uyo binti atashindwa nini kumfanyia matengenezo madogo tu kama ayo..kitu pekee kinacho hitajika ni imani na moyo wenye imani kuwa MUNGU ANAWEZA..!?



    "Kwakweli ndugu yangu Mimi saizi namuachia MUNGU tu maana sioni msahada mwingine kutoka mahali popote zaidi ya kwa MUNGU.!"



    "Vizuri sana kijana, kama umeamini ivyo toka moyoni mwako kabisa basi subiria muujiza wako ivi punde ili uwe shaidi wa MUNGU kuwa yupo na yoyote amuaminie tu salama..!!"



    Basi alipomaliza kuongea akaondoka bila ata kuniaga, lakini muda mfupi nikaona vile vi helicopter vidogo kikija usawa wangu kisha kika sogea chini kabisa alafu akasema mlete hapa ndani nikawaomba vijana wanisaidie kumpakia ndani ya iyo helicopter wakati tunampakia wale vijana wakawa wanasema;



    "Yani kama akipona uyu Dada hakika Mimi nakuwa mlokore mpaka kifo maana ntaamini kweli MUNGU wao yu hai na anajibu maombi"



    Mwingine akamjibu huku akimtazama uyo mwenzake kwa jicho la mshangao.



    "Ngoja tuone haina sababu yakujiuliza uliza wakati kunapazuka sasaivi tu, maana nasikia kuna walikuja wakiwa na matatizo ya ajabu sana lakini katika hali isiyo temewa walipona"



    Mwenzake alimjibu nakunifanya Mimi kidogo nijisikie furaha kidogo moyoni baada yakusikia ivyo, maana Imani na matumaini yakupona mke wangu koga yakazidi kuongezeka.



    Basi Koga alichukuliwa na yule muhudumu Shemasi nakumpeleka mbele kabisa kule ambako nadhani kuna watu wenye matatizo mazito mazito, Mimi nilibaki zangu nimesimama tu maana ata usingizi sikuwa nao kabisa kutokana na halo yenyewe. Kwanza godoro nililo nunu kwa ajili ya Koga lilikuwa linatoa alufu mbaya yani mtu mzima huwezi kulalia kabisa, palikuwa na sinema kubwa ikiendelea kuonyesha onyesha bahadhi ya miujiza na uponyaji alioufanya uyu mchungaji sehemu mbalimbali za Africa na Dunia kwa ujumla, basi nikaamua nikae nitazamage ata iyo Sinema tu. Watu walikuwa wamelala uwanja wote, yani ukitaka kutembea toka sehemu moja kwenda nyingine lazima ujipange maana panaweza kupapazuka bado hujafika.!!



    Ilipofika saa kumi na dakika zake wakati usingizi ukianza kuninyemelea nyemelea nikaona watu wakianza kuwasili na wagonjwa wao..! Niliwatazama nikawaza kuwa MUNGU alikuwa yupo sahihi sana kukaa mbali na wanadamu na kuto kuonekana kabisa maana kila hasinge kubali kupata tatizo akiofia kufa sasa sipati picha ni usumbufu gani ambao angeupata Baba MUNGU kutoka kwetu viumbe dhaifu wenye imani haba...!!



    Lakini wakati nipo kuwaza ivyo Mara nikasikia sauti ya kilio toka upande wa kule mbele..ghafla na usingizi ukaniisha...!!

    Ilikuwa ni sauti ya Koga akilia huku akiomba msahada, Mamaa nakufaa nakufaa Mimi.. Sekunde chache sauti yake ikamezwa na sauti za maombi ya watoa huduma wa kawaida waliokuwepo usiku huu. Na baada ya dakika kadhaa kukawa kimya, nikavuta pumzi ndefu nakuisukuma nje ya kifua changu kwa mpigo kisha nikaketi kwenye godoro langu nikabaki kuwatazama tu watu jinsi wanavyo endelea kuwasili toka sehemu mbali mbali.



    Mishale ya saa kumi na moja alikuja tena yule shemasi aliyempeleka Koga kule mbele, akaniambia kuwa Koga katupiwa jini baya sana tena sana maana linamungilia katika ndoto alafu akitoka katika ulimwengu uo wa kuzimu akija kwenye ulimwengu wa kawaida anaona kila kitu kipo kama alivyo ona ndotoni..! Sasa uo ni uchawi mkubwa sana ila nashukuru maana umemleta sehemu sahihi kabisa sababu hapa yupo mchawi wa wachawi maganga wa waganga naye sio mwingine ni YESU KRISTO BWANA NA MWOKOZI WETU. yeye atamponya nakumrudisha nakuwa kiumbe kipya kabisa.



    Basi muda wote uo Mimi nilikuwa nimeinamisha tu kichwa changu namsikiliza kwa umakini na hisia kubwa sana, kadri alivyozidi kuongea nilihisi kuanza kutetemeka mwili mzima huku machozi yakianza kunilenga lenga machoni..??

    Baada ya maongezi hayo alisogea kwa wagonjwa wangine akiendelea kuwapa matumaini nakuwasihi kuwa endapo wakipokea uponyaji wasije kumwacha MUNGU watajuta maana matatizo yatarudi Mara saba yake yani Kama ulikuwa unaumwa mgongo inakuwa ni mara saba yake, maana shetani anakuja kwa hasira zaidi ya mwanzo.

    Basi kama unavyoujua usingizi wa SAA 11 alfajiri ulivyo nikajikuta nimelala kwenye lile lile godoro ambalo alilalia Koga nakuiachia halufu mbaya sana, nililala usingizi mzito kinyama yani, yani usingizi wangu ulikuwa ni zaidi ya fofofooo au ule wa pono.



    Niliamshwa na shemasi mwingine tofauti na yule Rafiki yangu, Aliniuliza Kama Mimi ni mgonjwa nikamwambia hapana Mimi sio mgonjwa ila Mimi ndio nimeleta mgonjwa. Basi akasema nisilale maana tayari kumekicha watu ni wengi kwaiyo sio salama kwangu maana sio wote waliokuja hapa ni wema, basi nilmshukuru nikacheki SAA kwenye Simu yangu ilikuwa ni tayari saa kumi na mbili asubuhi na muda uo ulikuwa umewekwa mziki mkubwa sana huku nyimbo ya wanamziki wawili maarufu wa nyimbo za kuabudu Tanzania nao sio wangine bali ni mwanadada Upendo Kilahiro na Ndugu yake Amoni Kilahiro ukiendelea kugonga nyoyo za wagonjwa waliojaa hapa viwanja wa Tanganyika Pekars. Na muda uo ilikuwa ikipigwa nyimbo yao ya: Unajibu maombi



    __CHORUS_

    ??????Unajibu maombi, unajibu maombi, unajibu maombi naku amini BWANA, ×3



    __VERSE__(1)

    Ezekiel alipougua alikulilia ukamsikia ukamponya nakumuongezea miaka maana unajibu maombi.

    Nami leo nakuita Baba usinifiche uso wako, wagange waliokata tamaa maana wewe hu mwaminifu aleluya.



    ___CHORUS__

    ??????Unajibu maombi, Unajibu maombi, Unajibu maombi, nnaku amini BWANA. ×3



    __VERSE__(2)

    Umesema ikiwa watu wako, tulioitwa kwa jina lako, tutajinyeyekesha nakuomba nakukutafuta uso wako.

    Nakuziacha njia zetu mbaya utasikia toka mbinguni JUU, nakutusamehe maovu yetu nakuiponya nchi yetuuh.

    ??.Endelea kuimba.??



    Iyo ni baadhi ya mistari ya wimbo huo mzuri wenye kutia uzuni na kutia moyo kwa Yoyote aliyekuwa hapa uwanjani akisubiri kuona muujizi wake.

    Ilikuwa ni maporomoko ya watu wakiwa na wagonjwa wao aina mbalimbali wangine vipofu, vilema, wagumba, machongo, viziwi, wenye vifafa, waliopooza, visukari, BP, nadhani ata wenye UKIMWI walikuwepo. Maana Kama mwenye Cancer na kisukari anapona wa ukmwi hasipone kwanini.!? Nilikuwa najiuiza maswali kichwani nakujijibu mwenyewe, wagonjwa walikuwa ni wengi sana tena sana huku asilimia kubwa wakiwa ni wagonjwa wakurogwa yani wale walioshindikana kabisa Hospital, huku wengi zaidi wakitolewa mirembe hospital ya vichaa ambapo walikuwa wakiwekewa mkono tu wanapona papo hapo...kisha wankimbilia baharini kuoga maana mtu ahamini kama kapona!!



    Muda ulifika na mgonjwa wa kwanza kabisa alikuwa ni mpenzi wangu mpendwa Koga, kwanza nilimsikia yule Pastor Stefansson Mzee Mwenye umri wa miaka 78 ivi akisema;



    ?Alelujaa Groly to GOD, Alelujaah yesterday I promise you that, today is our last day to bee in Tanzania... I am very sorry because there is a lot of people here who needs help. So let our prayer beginning. ?

    Alipomaliza akaanza kutafsri kwa kiswahili jamaa ayekuwa pembeni yake;

    "Aleluya Utukufu kwa MUNGU, aleluyahh, Jana niliwaahidi kwamba leo ndio itakuwa siku yetu ya mwisho kuwepo Tanzania..Nasikitika kwasababu kuna watu wengi Sana hapa ambao wanahitaji msahada. Basi acha maombezi yaanze nakuendelea...!!"



    "Everyone who stand here, receive your hill from our saviour The God Lord Jesus Christ fireeeeee???? Fireeeee????...!!"



    Sikuamini nikaona kitanda cha Koga kikisukumwa nakusogezwa jilani na Pastor Stefansson, ambaye yeye katoka Canada, akamsogerea huku akiwa haonyeshi kukelwa na ile halufu ya Koga ata kidogo.... Waandishi wa habari za udaku, blogs, na viombo vikubwa kabisa vya habari vilikuwepo pale vikifuatilia matukio mbalimbali yanayoendelea ila ili la Koga ndio liliwavuta wengi maana walianza kulisikia muda mlefu tangu kuzariwa kwa Punda. Basi Pastor Stefansson akamfunua usoni Koga tayari kwa kuanza kumuombea...lakini ile anataka tu kufungua mdomo wake.... Ghafla....!!



    Ile Pastor Stefansson kutaka kuweka mkono juu ya mwili wa Koga, mala ghafla Koga akafumbua macho yake huku akiwa kayatonoa..??..!! Pastor Stefansson hakujali akamuwekea mkono ivyo ivyo daah!!

    Nilimshuudia koga aliyekuwa anaumwa na hawezi kutembea zaidi ya mwezi sasa, lakini alisimama huku sura yake nzuri yakuvutia kama malaika ikabadirika nakuwa kama zombie??...Alikuwa anatisha wahudumu na walinzi wa mkutano wakajaribu kumshika ili wamzuie hasije kumgusa Pastor Stefansson lakini ilikuwa ngumu sana sababu aliwatupa huku na huko kama maembe yaliyooza hali ambayo ilifanya waandishi wa habari wenye roho nyepesi kuanza kutimua mbio..Koga alibadilika kabisa kama nilivyokwambia uso wake ulikuwa Kama jini?? au shetani basi hali ikawa si hali tena maana ata yule mkalimani wa Kiingereza kuja kiswahili wa Pastor Stefansson alikimbia jukwaa maana Koga alipofungua mdomo wake nilishangaa kuona meno yake mawili ya mbele yakiwa malefu kuliko mangine..basi jukwaa likabaki jeupe japokuwa police walisogea karibu kabisa lakini wachungaji wangine wa kibongo wakasema tafadhali tafadhali ndugu zetu askari naomba msipige Risasi yoyote maana endapo mkifanya ivyo ndio mtamuua kabisa uyo binti alafu ayo mashetani yataondoka zake...!!



    Koga yeye alikuwa anamkabili tu Pastor Stefansson wale askari wakasogea nakumshika Koga kisha wakafanikiwa kumtia pingu..katika hali isiyokuwa ya kawaida Koga alizikata zile pingu Kama uzi tu kisha akamdaka mmoja nakumng'ata mkono wake kitendo cha kumng'ata hazikupita ata sekunde ule.mkono ukaanza kuoza papo hapo..!! ndipo askari mwingine akajibu mapigo kwa kumpiga risasi kwenye paji la uso lakini iliteleza tu ata alama haikubaki...watu walishangaa wakaduwaa mpaka vilema wakasimama kumshuudi Koga wangu jinsi anavyo onyesha mauza uza. Niliwasikia watu wakisema kweli kuna uchawi jamani daaah maana ili ni zaidi ya shetani ili litakuwa jini Makata kama sio maimuna...!!

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Ladies and Gentleman, please makes your self prayer to prevent against the devil spiritual, if you don't know how to pray you can say " Protect me Jesus, Protect me Jesus " Because the Devil spiritual is everywhere around you."

    Ayo yalikuwa ni maneno ya Pastor Stefansson, ambayo kwa kiswahili alikuwa akimaanisha:



    "Mabibi na mabwana tafadhali fanyeni maombi yenu binafsi ili mjilinde dhidi ya nguvu za giza za shetani, kama hujui jinsi yakuomba unaweza kutamka ivi " Nilinde YESU, nilinde YESU" kwasababu NGUVU za giza zipo kila mahali kukuzunguka wewe.!!"



    Nilishangaa kuona watu wote wakisema "NILINDE YESU, NILINDE YESU"

    japokuwa na Mimi nilikuwa nikisema lakini nilidhidi kupata majibu kuwa kweli watu wanaogopa kifo aisee daah!

    Basi baada ya yule askari kumpiga Risasi ya kwenye paji la uso Koga nakuona imedunda alianza kutetemeka mwili mzima mpaka akajikojorea Muda uo Pastor Stefansson alikuwa akimuombea yule mwingine aliyeumwa mkono wake nakuanza kuoza papo hapo, alimshika akakemea mkono ukapona. Walipoona ivyo wote wakatelemka juu ya jukwaa mbio mbio.

    Kwa kifupi wakatoka nduki pale jukwaani akabaki Pastor Stefansson peke yake akainua mikono yake juu muda uo walokore wote waliokuwepo pale walikuwa wakiomba kila aina ya maombi huku wakilia na mikono yao wameielekeza kule jukwaani. Basi wakati Koga akimfuata kwa kasi Pastor Stefansson, yeye alikuwa kainua mikono yake pamoja na uso wake juu. Muda huu koga ndio alikuwa kawa jini kabisa maana ata kucha zake zililefu ghafla kibaya zaidi nguo zake alizichana chana, nashukuru MUNGU alivaa tight ngumu original bila ivyo ilikuwa ni story nyingine kwa waandishi wa magazeti ya udaku. Basi mpaka Koga akamfikia kabisa Pastor Stefansson nakumvaa mwilini kwa kumkumbatia huku mdomo wake akiupeleka shingoni tayari kwa kumng'ata..!! Lakini Pastor Stefansson alisimama vilevile hakushusha mkono wala kumtazama Koga anafanya.

    Watu wote pale jukwaani na uwanjani pia walishika vichwa wangine waliziba midomo, yote ilikuwa ni ishara kuwa hawaamini kinachoendelea hapo.

    Kweli watu hawakuamini kama Pastor Stefansson aliyeponya vipofu walemavu visukari n.k anakuja kushindwa kwa mwanamke tu tena kijana Mdogo Kama Koga.

    Walibaki kushika midomo tu huku wangine wakisema yeye si alijifanya YESU WA PILI aya sasa kakumbana na jini makata ilo tuone Kama atachomoka hapo..ilikuwa ni taaruki...!!



    Ilikuwa ni patashika kamata shati chanika, uwanja mzima ulikuwa umemezwa na sauti za maombi kila mdomo ulikuwa ukiomba ombi lake. Mara ghafla...!!



    Mara ghafla...Pastor Stefansson akawaka moto..??..ambao ulimnasa na Koga.. Ikabidi Koga amuachie Pastor Stefansson kisha akaanza kukimbia huku akipiga kelele waaaaahh!! Yaaaaaahh!!

    Tumekomaaaaah! Tumekomaa!!

    Tunamuachaahh Tusameheeeh!!

    Katika hali yakushangaza Pastor Stefansson akiwa anawaka moto vile vile akashika mike nakuanza kukemea;

    "Fireeeeeee..!!?? Fireeeeeeee..!!??

    In the name of Jesus.. I say Fireeeeeeeeeee....?? Out..out..lapa papapa..Yaweeeeehhhh!!

    Out Out Out...Fireeeeeee...?? I burning you.!!!"

    "Motoooo..!! Motoooo..!! Katika jina la Yesu..nasema motoomotoo...Toka..!! Toka..!! Lapapapapa.. Toka..Toka..!!"

    Yalikuwa ni maombi yaliyojaa NGUVU za MUNGU na roho mtakatifu maana watu walikuwa wakiponywa ovyo ovyo Kama nilivyokwambia hali ilikuwa ni hatari ukizubaa unagongwa ukigeuka huoni mtu chezea kilema kuponywa miguu yake wewe, mtu amekaa kwenye wheels Chair(kiti cha matili) zaidi ya miaka Tisa alafu leo kaponywa lazima apashe kwa kukimbia mbio za mita mia Kama Hussein Bolt.



    Sikuamini kabisa kinacho endelea nilijikuta napiga magoti mwenyewe Peke yangu jamaa aliyekuwa karibu yangu naye akapiga magoti basi tukajikuta wote pale uwanjani tumepiga magoti huku tukiogopa maana yule Pastor alikuwa anawaka moto alafu bado anatembea nakuendelea kukemea pepo Kama kawaida. Koga wangu aliendelea kuwaka moto huku akipiga kelele vile vile watu waliofia kuwa anaweza kupoteza maisha, ila Mimi niliwaona Kama wajinga maana ule sio moto wa kawaida sababu hakuna aliye mchoma moto sasa anakufaje. Basi aliwaka moto Kama dakika kadhaa ivi kisha ile sauti ya ajabu ikanyama nikamuona akilegea kisha akandoka chini mzima mzima ila ni pale pale jukwaani..!!

    Thank you Jesus, Thank you Jesus. Well done Jesusssssss well Jesusssss..!!

    Alikuwa ni Pastor akiongea huku anatembea tembea pale juu ya jukwaa anaenda huku anarudi kule huku akiongea maneno yakumpa utukufu MUNGU kwa sauti ya chini sauti ya upepo. Baada ya koga kuanguka nakuzimika ule moto ndipo nikamuona Pastor Stefansson naye akiacha kuwaka moto...!!

    Akamsogerea Koga kisha akamwambia kwa kiingereza;

    "Stend up please, you're free now!!"

    (Tafadhali inuka, upo huru sasa)



    Jamani, Jamani, Jamaaaaaaaaani..sikuamini macho yangu nilipomuona Koga akisimama huku anamelemeta Kama bibi harusi yani moto wote ule uliomuwakia haukumdhuru kabisa. Yale meno malefu hayakuwepo kabisa ilikuwa ni mshangao na tahamaki kwa kila mwenye macho aliyeona tukio zima tangu mwanzo.

    Akaja Mama mmoja akamfunga kitenge Koga huku akiwa anamuogopa ogopa kidogo.

    Watu walikuwa wapo bize kumpiga picha koga huku Media kadhaa zikiwa zipo live hapo uwanjani kama vileo Daz TV, na Live Town TV, zote ni za hapa mjini zilikuwa zikiripoti tukio zima live bila chenga. Yani jinsi Koga alivyokuwa kasimama pale juu huwezi amini kama ndio aliyekuwa akitoa halufu mbaya muda mfupi tu uliopita. Mimi nilibaki nimesimama tu huku nikibubujikwa na machozi kama nimemwagiwa maji kichwani kumbe laah!!

    Nilimuona Yule Pastor akimsogerea Koga alafu akawa kama anamuuliza jambo kwa bahati mkalimani alikuwa achezi mbali, baadaye niliona Koga akitikisa kichwa kuashilia kukubali jambo fulani.

    Pastor Stefansson akachukua Mike akampatia Koga, wakati uo waandishi wa habari tayari walikuwa wamesha sogea tena karibu na jukwaa la maombi, askari walipotaka kuwarudisha nyuma Pastor aliomba waachwe maana anataka kila mmoja ajue kuwa kuna MUNGU ambaye ni kiboko ya ukoma kiboko ya UKIMWI, kiboko ya kisukari n.k

    wakati Koga ameshika mike tayari kwa kujibu maswali toka kwa Pastor Stefansson nilikuwa nawaza kama ataweza kuongea au;



    "What is your name..?"

    (Jina lako nani)



    "Naitwa Koga"



    Kwa mala ya kwanza nikasikia sauti laini ya Koga ikiwa katika ubora wake Kama nilivyo isikiaga miaka miwili nyuma, Koga alimjibu Pastor kwa sauti nzuri huku akitabasamu..!! Naye Pastor aliendelea kumuuliza maswali mangine kisha akafikia kumwambia kuwa Yesu kamponya je atamlipa nini kwa kumpa Uzima uo bure ndipo nikamuona Koga akishika Mike nakuanza kulia kwanza.. Alilia sana na fundi wa viombo au wengi uwaita DJ, akaweka wimbo wa Dada Jennifer M. ;



    __KIITIKIO__

    "Naliaaa pole, naliaa pole Sana mmh naliiiiaa pole naliaaaa pole Sana.×3



    __UBETI__

    Mimi nilijiona nimepata kuumbe nimepatikanaeeh, Mimi nilijiona ni mzuri kumbe nina poteaa, nikajifanya nimrembo kumbe naaribikiwa hee.



    __KIITIKIO_

    Mimi nalia pole naliaa pole Sana, hiiii nalia pole mmmmh naliaaaa pole eehiiiheheheheee!!



    Koga alilia sana tena sana kiasi kwamba kila mmoja pale uwanjani alitokwa na machozi huku wanawake wakishindwa kujizuia nakujikuta wakilia pamoja na Koga. Basi baada yakutulia ndipo Pastor Stefansson kama kawaida akamuuliza;

    "Binti tayari Yesu kakupa nafasi nyingine yakuishi je unataka kufanya nini hapa duniani katika muda huu mchache aliokupa..??"



    Ndipo Koga akasema huku akimtazama Pastor Stefansson usoni;

    "Nataka nimtumikie yeye mpaka siku yangu ya mwisho, na kwakuthibisha ilo naanza na rafiki yangu mpya aliyenivumilia katika hali zote na ndio aliyenileta hapa mpaka saizi nimesimama hapa naonekana kama binadamu kumbe tayari nilikuwa ni mfu ambaye nasubiri kuzikwa"

    "The walking Died"

    (Maiti inayo tembea)



    Basi Koga alipogusia habari ya rafiki yake wa karibu nikajua moja kwa moja ni Mimi, lakini nilishangaa maana...!!!



    Basi nikamuona Koga akiangaza angaza macho yake kwenye umati mkubwa wa watu pale Tanganyika Pekars, lakini hakuweza kuniona nadhani nikutokana na pindi nilipokuwa namleta alikuwa hajitambui kabisa kwaiyo hakujua Mimi nipo upande gani.

    Basi ikabidi wale wahudumu wamuulize jina la uyo MTU yani Mimi akawaambia na hapo ndipo nikalisikia jina langu kwenye speaker kubwa likitajwa nakunitaka niende mbele.



    Jofu, Jofu, rafiki wa Koga, tunakuomba uje mbele. Jofu tunaomba usogee hapa mbele.??



    Basi haraka nikasogea mpaka pale juu ya jukwaa, nikawa nimesimama pembeni kidogo ya Koga.. Basi Koga akawa ananitazama tu huku akibubujikwa na machozi yakutosha mpaka na Mimi nikashindwa kujizuia nikaanza kutokwa na machozi pia..!! Basi nikamfuata naye akawa ananifuata kisha wote kwa Pamoja tukakumbatiana huku tukilia..!!

    Lakini katika hali yakushangaza nilijikuta nikianza kuungua vibaya sana..??Mpaka ikabidi nimuachie ghafla Koga nakusogea pembeni huku nikimtazama kwa woga..!!??

    Ilo tukio kila mmoja alikuwa akilishuudia, Pastor Stefansson huku akitabasamu akasogea karibu kisha akaniwekea mikono kichwani kisha akasema;

    "Kijana upo tayari kumpokea YESU awe bwana na mwokozi wako..??"

    "Ndio nipo tayari kabisa"

    "Sawa,naomba nifuatishe maneno aya, sema bwana YESU"

    "Bwana YESU"

    "Naja mbele zako"

    "Naja mbele zako"

    "Nisamehe Mimi mwenye dhambi"

    "Nisamehe Mimi Mwenye dhambi"

    "Nifute jina langu kwenye kitabu cha hukumu, na uniandike kwenye kitabu cha watakatifu.!"

    "AMEN"



    "Basi sasa upo umefunguliwa nakuwa kiumbe kipya ambaye umepewa mamlaka yakukanya nyoka nakula vitu vyakufisha lakini hautodhulika, sasa waweza kumsalimu tu rafiki maana mwanzo wewe ulikuwa tofauti kabisa na uyu..maana yeye alikuwa ni nuru wakati uo wee ni Giza..!!"



    Basi tukakumbatiana vizuri na Koga wangu kisha nikamsogerea Pastor Stefansson akatuambia;

    "Kuweni tayari kesho tunaondoka pamoja kuelekea Canada ili muanze lasmi kazi ya MUNGU, kila kitu mtakikuta huko Ottawa

    MUNGU awabariki sana!!"



    "Kweli Pastor"



    "Ndio kijana, maana roho mtakatifu ananishuudia nakunionyesha juu ya utumishi wenu kwa MUNGU hapo baadaye kwaiyo lazima nilisimamie ilo ili mtumike."



    "Tunashukuru sana Pastor.!"



    Nilifurahi Sana huku nikiondoka zangu pamoja na Koga wangu kurudi nyumbani kwaajili ya maandalizi. Tulipewa Bible na baadhi ya vitabu vingine, Koga alikuwa akionekana Kama hataki ata kuondoka pale Tanganyika Pekars. Lakini Mimi nilimsihi kuwa anahitaji kuoga na apumzike maana kateseka sana mke wangu.



    Tukafika kwa Dada yake koga..Mimi nikapita ndani moja kwa moja ambapo nilimuona Shemeji akiwa na rafiki zake wengine wakanikaribisha huku wakisema nimefika muda mzuri;

    "Karibu Shemeji yangu Jofu, Shemeji wa ukweli Shemeji mwenye mapenzi ya dhati, aya niambie mzoga wako ukwapi maana ungekuwa umekuja nao hapa sidhani Kama pangekalika."



    Alivyoongea ivyo chumba chote wakaangua kicheko huku rafiki yao mmoja akisema;

    "Lakini jamani sio vizuri ivyo mjue, kumbukeni kuna leo na kesho, alafu pia yule binti ni mwanamke mwenzetu sema ndio ivyo yamemkuta tu, alafu wewe yule ni Mdogo wako inamaana huoni ata aibu.!!"



    Nilipoona ivyo sikutaka kusubiri mpaka waongee sana nilichofanya nikumwita tu Koga.

    "Koga mpenzi naomba ingia ndani umsalimie Dada yako kwanza.!!"

    Wote wakatumbua macho mlangoni kuangalia kama ni kweli au masihala.

    Kila mmoja alipigwa na butwaa hakuamini anacho kiona mbele yake, Koga akasema;

    "Usinishangae Dada, ni Mimi Koga, ni Mimi Mdogo wako, ila sio yule Koga unayemjua wewe, Mimi ni Koga Mpya kabisa, au waweza kuniita binti sayuni..!!"

    Basi Dada akainuka nakuja kwangu, kisha akanikumbatia Kama alivyofanya Jofu pale jukwaani muda ule.!! Mara ghafla akaniachia huku akilalama kwa kusema;

    "Uwiiiihh..wee Koga mbona una moto mwilini mwako wewe eeh!! Jamani.. Makubwa.!!"

    Basi nikacheka kidogo kisha nikamwambia kwa sauti laini na ya unyenyekevu;

    "Dada huu sio moto ila ni NGUVU za damu ya YESU, ndio zinafanya uone Kama nina moto. Na pia Mimi ni nuru na wewe ni giza hatuwezi

    Kukaa mahali Pamoja.!!"

    Basi wakabaki kunishangaa tu jinsi nilivyo na Mimi nilikuwa nikiwashangaa jinsi walivyo maana nilikuwa nikiwaonea huruma sana.

    Nikaenda kuoga niliporudi Dada alikuwa tayari kaanda Chakula na wale rafiki zake walishaondoka, basi tukiwa kwenye Chakula ndipo nikaanza kumwambia Dada juu uponywaji wangu na nikamshuudia juu ya uyu MTU wa Ajabu aitwaye YESU, kuwa ata yeye akimpokea atambadilisha nakumfanya kuwa kiumbe kipya kabisa. Dada alikuwa akinisikiliza kwa umakini sana, na nilipomaliza ndipo Jofu akamwambia;

    "Alafu Dada Kama MUNGU akipenda kesho tunaanza safari kuelekea nchini Canada."



    Dada akastaajabu akauliza tena kana kwamba hajasikia nilichomwambia.

    "Unasemaje Jofu..!!?"

    Ikabidi nimjibu Mimi maana nikaona Kama Jofu akimwambia hamuelewi vizuri.

    "Nasema ivi Kama MUNGU akiwa upande wetu kesho tunaaza safari ya kuelekea nchini Canada, Pamoja na Mtumishi wa MUNGU Pastor Stefansson!, na tunaenda wote Mimi na Jofu na tutakuwa huko kimaisha na tutakuwa tukimtumikia MUNGU muda wote Kama wainjilist mpaka pale tutakapo itwa nakupewa malipo yetu au kupewa mavuno ya tulicho kipanda, maana imeandikwa kuwa "Kwa muda usio dhani utavuna ulichopanda, kama umepanda mema hakika utavuna mema.!!"



    Nilipomaliza kuongea nikamuona Shemeji akitoka CHUMBANI, sikufikiri kama atakuwepo hapa ndani basi akamgeukia Jofu nakuanza kumwambia kwa mtindo wakuuliza;

    "Wee Jofu ivi unaelewa anachozughumza uyu mkeo, maana anaongea vitu ambavyo havipo kabisa maana nasikia Mara Canada Mara sijui kulipwa na MUNGU, kwakweli Mdogo wangu kapona ila nahisi akili zake bado hazipo sawa.!"



    Kwanza nilimshangaa Sana Shemeji yangu kwa kuniona Mimi Mjinga na mpuuzi nadhani hajui nani kaniponya, ila kabla Jofu hajamjibu chochote Shemeji nikamkatisha kwa kusema..!!



    Nilimshangaa sana Shemeji yangu ananiona Mimi Mjinga sina akili, kabla Jofu hajajibu nikamwambia Dada kuwa inatosha nilicho ongea kimeeleweka uzuri hakuna mtoto hapo. Ndipo Dada akasema huku akionyesha wasiwasi kidogo;

    "Kwaiyo Mdogo wangu Koga Ndio unaondoka kwenda Canada kweli..!??"

    "Ndio ivyo Dada, acha niende nikamtumikie Mungu maana bila yeye ningekuwa maiti..!"

    "Sawa, lakini mbona imekuwa ghafla sana Mdogo wangu, Mimi nashukuru umepona nilitaka tule bata kwa uzima uliopata ivyo nilitegemea utasubiri Mama arudi tufurahi Pamoja ndio uende huko Canada sasa Mdogo Wangu. Pia Mimi nimesha kusamehe kabisa naomba husiondoke ili ikiwezekana tufungue ukurasa Mpya wa maisha yetu, sababu ata Baba tayari kafariki kwaiyo nilidhani wewe unaenda kumsimamia Mama kuzipangilia zile Mali kule kijijini..Koga husiende Canada Mdogo wangu nakuomba.!!"

    Alipomaliza kuongea nilimuangalia sana Dada yangu maana nilimuona mpaka sasa hajui Mimi ninani, na ndipo nikamjibu;

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Dada Mimi nilisha kufa sawa ndio maana wote mliukimbia mwili wangu, akabaki binadamu mmoja tu Mwenye roho ya ajabu ambaye ni Jofu, lakini yote ayo nimesha wasamehe kwa dhati kabisa kama Mimi alivyo nisamehe Baba yangu Yesu Christo, sasa ujio Wangu huu au kuzaliwa kwangu huku mala ya pili ni special kwa ajili ya kazi moja tu hapa duniani ambayo nikuakikisha wewe na familia yangu yote mnaenda mbinguni na iyo kazi ndio ajira yangu kwa sasa. Kwaiyo ukurasa unaotaka wewe nifungue Mimi tayari nimeshaufungua ukurasa Mpya tena wa HOLY BIBLE (Biblia takatifu) kwaheri Dada yangu naomba kesho mnisindikize airport hapa naomba tu process za Passport zikamilike vizuri ili kesho niondoke zangu, ila katika jina la Yesu itawezekana..!!

    "Mmh! Sawa Mdogo wangu naona umeamua Mimi sina neno zaidi..!!"



    Basi ilipofika jioni wahudumu walikuja mpaka tunapoishi tukafanya maombi kwenye kile chumba kisha wakatuambia kuwa taratibu zote za Passport zimekamilika kwaiyo safari ipo tayari, kwaiyo kama tupo tayari basi tujiandae kwa safari yakwenda alipofikia Pastor. Basi nikamfuata yule mbwa wetu Nasri aliyeokoa maisha yangu nikafumba macho huku nimemshika kichwani nikamuombea maombi ya kumtakia maisha mema na uzima tele, baada ya hapo alichukuliwa na Dada nakuondoka naye kuelekea kwake.



    Tukapanga panga nguo nakuweka vizuri chumba chetu na jioni iyo iyo tukaondoka mpaka New Africa Hotel ambapo ndio alikuwa amefikia Pastor Stefansson, alifurahi sana kutuona alikuwa akinitazama kwa shauku kisha akasema;

    "I don't know why people they don't realize the name Jesus, the only healing name.!!"

    (Sijui kwanini watu hawalitambui jina la Yesu, jina pekee linalo ponya.!!"

    Aliongea Pastor huku tukipeana mikono akaniambia;

    "Groly to God"

    (Utukufu kwa Mungu)

    Nami nikamjibu huku nikivunja goti kuonyesha heshima kwa uyu Pastor;

    "Amen"



    Tukiwa hapo Hotelini tulikula Chakula kizuri kabisa, tuliongea mengi sana na jopo zima la wahudumu wa Pastor Stefansson. Muda wakulala ulupofika Mimi sikulala na Jofu kutokana nakuwa sio mume wangu ivyo nililala na wanawake wenzangu. Tukalala hapo na asubuhi ya saa moja tulichukuliwa na gari mahalumu la hapa hotelini mpaka airport, ambapo kwa mara ya kwanza nilipanda ndege mahalumu nikiwa na kundi zima la Pastor Pamoja na Jofu wangu. Ndege iyo iliyotumwa na serikali ya Kenya, ili Pastor akafanye huduma kwenye nchi yao.

    Tulifika Kenya na huduma ikaanza, tulifanya maombi mfululizo kama siku tatu tu watu walifunguliwa vilema walitembea wapagani mamia kwa mamia walimpa yesu maisha kwakweli ilikuwa ni utukufu kwa Mungu.



    Baada ya huduma iyo nzuri ya hapo Kenya atimaye safari ikaanza kuelekea Uganda, maana Pastor Stefansson alisema ngoja afanye maombezi East Africa yote kuliko kufanya Tanzania tu na Kenya.

    Basi kwakuwa tulifanya huduma kubwa sana nchini Uganda huku Mimi nikiwa busy kuwasadia wagonjwa wa aina zote ata awe kajinyea Mimi sijali kabisa, maana naijua hali niliyokuwanayo Mimi hapo awali. Sasa waganda wakawa wananishangaa nakuniona Mimi ni msichana wa ajabu sana wasijue nilikuwaje;

    "Wow! this is a wonderful woman!"

    (Aisee! Uyu ni mwanamke wa ajabu sana)

    Nilimsiki mtu mmoja aliyekuwa karibu yangu akiongea, baada ya Mimi kumshikilia mmoja ya mgonjwa aliyekuwa anaumwa moto wa Mungu, nadhani kilichomfanya uyu mganda kunishangaa nikutokana na ugonjwa uo ulivyo mmbaya na hatari sana yani bora uugue Ukimwi na magonjwa mangine mangine unaweza kuishi maisha ya kawaida kabisa lakini sio kwa huu ugonjwa ni hatari sana.!!



    Basi baada yakumaliza kufanya maombezi katika jiji la Kampala nchini Uganda, atimaye ndege mahalumu kabisa toka nchini Canada ilifika Entebbe International Airport nakutusubiri hapo. Tulifika uwanja wa ndege mapema alfajiri nikaiona ndege kubwa yenye maandishi ubavuni mwake yanayo someka

    AIR CANADIAN WORSHIP?

    Tukatazamana usoni Mimi na Jofu alafu kila mmoja akauvuta mdomo wake pembeni nakutengeneza tabasamu changa. Zikafanyika taratibu kadhaa hapo kisha tukaingia ndani ya ndege iyo kubwa sana tayari kwa safari ya kuelekea ulaya au America ya kasikazini.



    Lakini huwezi amini maana ghafla nili...!!!



    Tulipopaa tu angani nikamwambia Jofu;

    ?Jofu Nasikitika kukwambia kuwa sirudi tena Tanzania au nyumbani..???

    Kisha machozi yakaanza kunitoka, kwakuwa tulikuwa tumekaa seat moja basi Jofu akanikumbatia huku akiniambia;

    "Upo sahihi kabisa Mama hakuna sababu yakurudi tena nyuma kuna nini cha maana kilicho baki kwanza zaidi ya maasi na maovu yanayofanywa kila siku twende Mama twende tukamtumikie MUNGU ili tuishi maisha ya furaha na amani.!!"



    Safari ilikuwa ndefu sana na kilicho saidia ni kwamba hii ndege ilikuwa ni special kwa safari za nchi nne tu yani ikitoka Dar es salaam inaweka kituo Ethiopia, ikitoka hapo inatua Egypt (Misri) baada ya hapo inakuja Turkish alafu ndio inakuja Emirates (Dubai) ikiluka hapo ndio moja kwa moja mpaka Toronto au Ontario Canada.

    Izo ndio route za hii ndege ivyo hakuna kusimama simama ovyo njiani kama daladala.

    Safari ilikuwa ndefu sana maana toka Dar mpaka Toronto kwa usafiri wa ndege inatumia masaa 16 na dakika 26. Kwaiyo kwakuwa tulitoka saa moja asubuhi ivyo Canada tunaingia kesho yake saa 4:00 asubuhi ambayo kwa masaa ya America itakuwa sijui muda gani uenda ikawa usiku.



    Ayo yalikuwa ni maongezi yetu Mimi na Jofu wangu, Mimi nilianza kusinzia baada yakuluka toka Turkish wakati Jofu yeye alikuwa kavaa headphones anaendelea kusikiliza wimbo wa Fanuel Sedekia Manukato.

    Nikawa namsikia akijaribu kuigizia kuuimba uo wimbo, ikabidi nimwambie;

    "Jofu una sauti nzuri na yenye kuvutia, yavaa uanze kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji tukifika huko Canada.!!"

    "Nashukuru kwa ushuuda wako, itabidi nifanye mazoezi sana maana uimbaji sio kazi ndogo."

    "Ni kweli, ila ukimshirikisha Mungu utaweza na itakuwa kazi lahisi sana.!"



    Basi safari ikaendelea huku ma afisa wa ndege wakipita huku na huko wakijaribu kuangalia usalama wa abiria wao. Yeye Jofu alikuwa busy tu na kuigizia uo wimbo, msikie kidogo;



    Verse: 1.

    Umeweka wimbo, kinywani mwaangu,

    Bwana niache niimba, sifa zaako,

    Emeniumba, ili nikuabudu

    Nakuabuuuudu nakuabuuuuuuduu..

    ******

    Chorus: ×2

    Wewe uketiye juuu ya vyote,

    Sifa izi zifike kitini pako,

    Wimbo huu ukawe manukato,

    ***

    Weeweeee, wewe uketiye juu ya vyote,

    Sifa izi zifike kitini pako,

    Wimbo huu ukawe manukato.



    Verse: 2.

    Wewe ni Niko ambaye ni iko,

    Milele iliyopita, na milele ijayo,

    Sioni chakunishibisha moyo waaangu,

    Badala yakukuabudu mtakatiiiifuu.



    Chorus:

    Wewe uketie juu ya vyote,

    Sifa izi zifike kitini pako,

    Wimbo huu ukawe manukato.x3

    ****

    Kama sadaka ya Aberi,

    manukato.

    Kama zaburi ya Daudi,

    manukato.

    Manukato, manukato, manukatoooh

    Manukato

    Aleluyaah Aleluyaah Aleluyaaaaah

    Manukato

    Nakuomba bwana wimbo huu, ukawee, manukato

    Manukato, manukato, manukatooohh!

    Manukato

    Aleluyaah Aleluyaah Aleluyaaaaah

    Manukato.x2



    "Woow Jofu uyoo, akika lazima umwimbie Mungu kabisa yani.!"

    Nilimwambia Jofu baada yakumaliza kuimba uo wimbo wa Fanuel Sedekia kama ulivyo, Jofu alikuwa akitabasamu tu huku akinitazama.



    Mwanzo nilipenda sana hii safari ya ndege lakini tulipofika anga la juu zaidi nilianza kuogopa japokuwa sio sana maana ata nikifa sawa tu Sababu nipo na Yesu moyoni mwangu ivyo siogopi kifo, maana kufa ni lazima nakuishi ni bahati.

    "Mmh! Jofu kumbe America ni mbali ujue mpaka numechoka kukaa yani.!"

    Nilimwambia Jofu kisha akajibu;

    "Pole Mama, subiri muhudumu akipita nimweleze ili walau utembee tembee kidogo, sababu naona system inaonyesha bado kuna miles kadhaa ndio tufike Toronto..!!"

    "Kwani Jofu, unajua umbali wa toka Dar mpaka huko Toronto tuendako..?"

    "Ndio najua, kwanini nisijue sasa wangu!?"

    "Niambie basi na Mimi.!"

    "Sawa, toka Dar Tanzania, mpaka Toronto Canada kuna umbali wa 7,967miles ambazo ni sawa na 12,821Kilometers ni palefu sana.!"

    "Mmh! Ongera yako bwana"



    Basi baada ya mwendo mlefu na kmya kikuu kuitawala ndege yote atimaye tuliamka wote na taarifa ya kwanza kabisa alikuwa ni salam kisha tukaambiwa tumefika nchini Canada ivyo tukae tayari tufunge vyema mikanda yetu maana ndege inaenda kutua sasa.

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya ndege kutua tulitelemka huku tukisalimiana hali ya hewa ilikuwa ni baridi sana, nikatazama mbele ya jengo kubwa nikaona maandishi Toronto Pearson International Airport. Nikamuuliza Jofu kuwa kumbe bado kufika Canada maana hapa ni Toronto, ila Jofu akcheka kisha akasema hapana hapa ni Canada na huu mji wao au Main City kama vile sisi kule Tanzania Dar, Arusha, labda na Mbeya.

    Tulifika salama kabisa nchini Canada na baada ya mwezi mmoja tukiwa chini ya Pastor Stefansson ambaye kwa hapa Canada waumini wamempa jina la The Second Jesus (Yesu wa pili) jina ambalo yeye ulikataa katu katu kabisa maana anaamini kuwa Hakuna wakufanana na Yesu, hakuna wakufanana naye..!!



    Basi tulifunga ndoa na siku ya kwanza kufanya mapenzi na Jofu yani toka nipone huwezi amini kabisa maana nilijishangaa kuona kuwa nimerudi kuwa bikra kabisa yani jamani kweli MUNGU mkubwa aisee...mume wangu mwenyewe ambaye ni Jofu alishangaa kabisa akabaki kaduwaa tu baada yakuona damu kibao huku nyuzi nyuzi za uke Wangu zikikatika yani inaonyesha ni bikra original kabisa tena ambaye sijawahi ata kujiosha na vidole....!!



    Tulipata tabu sana kukutana kimwili, maana iyo siku Jofu alipoona nalia huku damu zikitoka aliogopa sana akanibebeleza nakunipa pole za mara kwa mara huku akisema;

    "Asante Mungu kwa kuniletea mwanamke mpya binti sayuni, na kuanzia leo nitamwita Sayuni..!!'

    Jofu alikuwa akijiongelesha mwenyewe wakati uo Mimi nimejishika sehemu zangu za siri huku nasikilizia yale maumivu wa yaliyofanywa na chuma cha Jofu wakati wakuvunja mpaka ya mlango wangu wa sita.



    Siku ya pili tukarudia tena nashukuru maana maumivu yalikuwa sio makali ila yalikuja nakutoweka atimaye ukabaki utamu tu..!! Tulifurahi sana tena sana, Mimi ndio nilienjoy zaidi nakujikuta naanza kufurahia uzima nakuzidi kumpenda nakumsifu Mungu.



    Tulifanya mapenzi mfululizo Sana na Mimi Sayuni ndio nilikuwa nikihitaji na kila tukifanya

    Tunapomaliza kufanya tunapiga magoti nakumuomba MUNGU atusamehe, maisha yakaendelea pale Canada huku Pastor Stefansson akisafiri nchi mbalimbali pamoja na mume wangu Jofu nashukuru MUNGU maana nguvu za MUNGU zilimshukia naye akaanza kutoa mapepo nakuwaponya watu wenye magonjwa madogo madogo.



    Baada ya muda mlefu kidogo nikafanikiwa kupata mtoto wakiume ambaye tulimpa jina Stefano ili awe wajina wa Pastor Stefansson, nilisahau kabisa kama nina ndugu Tanzania na wala sikutaka kulijua ilo zaidi nilimjua Mungu tu na kazi zake. Maana ata Yesu alimjibu Petri alipomwambia kuwa;

    "Bwana, Mama na ndugu zako wanakutafuta wapo hapo nje!"

    Yesu alimjibu kwa akisema;

    "Mama na ndugu zangu ni wale wanao nisikiliza nakulishila neno langu..!!'

    Kwaiyo ata Mimi kwa kupitia mstari uo sihitaji kuwatafuta Mama na ndugu zangu zaidi ya Mungu na wanafunzi wake.



    Baada ya miaka mitano nilikuwa tayari nina watoto watatu yani Stefano, Leah, Na Kenan.

    Baada ya muda Pastor Stefansson alianza kusumbuliwa na maladhi ya moyo, tulimuombea nakujitahidi kumpeleka mpaka London kwenye matibabu lakini madaktari wakasema kwa ni ngumu kuweza kupona maana maladhi yake yanatokana na umri wake kuwa mkubwa sana ivyo labda turudishe umri wake nyuma ili atibike.

    Badi kwa bahati nzuri ilipofika tarehe 5/10 mwaka uo huo Pastor Stefansson aliitwa na MUNGU ivyo alilala usingizi mzito usingizi ambao kwetu sisi wateule ni mzuri sana wenye kuendeza na ambao kamwe huto hitaji kuamshwa ifikapo siku ya ufufuo.

    Alipokelewa mbinguni na Baba yetu...na akaketi mkono wakuume wa YESU.



    Basi nafasi yake ikachululiwa na mume wangu Jofu, na akawa anafanya ziara kila maahali ulimwenguni huku akiongozwa na roho mtakatifu. Tulisubi roho mtakatifu atuongoze au atuonyesha ndipo tuelekee huko Tanzania, kwa kifupi Mimi na mume wangu Jofu tulikuwa tumeiva sana tena kwenye lugha ya kiingereza achilia mbali watoto wengi ambao wao walikuwa hawawezi wala hawajui kabisa kiswahili.

    Tulipata taarifa kuwa Mama yangu ni mgonjwa sana..na Mimi sikutaka kabisa ndugu zangu wafe bila kuona nguvu na uwezo wa MUNGU alionifanyia. Basi nikafunga safari ya ghafla Mimi pamoja na familia nzima Kama ilivyokuwa enzi za Pastor Stefansson tukafika mpaka Dar es salama kwa bahati nzuri kumbe Mama alikuwa yupo Hospital ya Agakhan kalazwa anasumbuliwa na kisukari, miguu, pamoja na macho, sawa umri ulikuwa umeenda lakini ikumbukwe kuwa kwa MUNGU hakuna Bibi wala Babu..tukaenda pale pale hospital tukamfanyia maombi akasimama mwenyewe nakutembea mpaka ilipokuwa imepaki gari..!!

    Madaktari na wagonjwa wangine walishangaa Sana na wao wakahitaji kufanyiwa maombi lakini tuligoma maana sio vyema pale ni hospital na ni maahali sahihi labda pangekuwa kwa mganga hapo sawa.

    Kwa tukio ilo tulipofika tu nyumbani Dada na Shemeji pamoja na mtoto wa Dada Shinje wote wakapiga magoti nakumpa Yesu maisha yao baada ya siku kadhaa ndugu zangu na rafiki zao wote wakampa Yesu maisha yao.



    Jambo la Ajabu nikwamba Munah rafiki yake Jofu alikuwa nchini India akimuuguza Baba yake aliyekuwa akisumbuliwa na moyo, Basi Jofu akampigia Simu rafiki yake Munah nakumwambia kuwa ampe Simu Baba yake ili amfanyie maombi maana hakuna umbali katika maombi, Munah alifoka nakudai kuwa Jofu analeta utani kwenye maisha au uhai wa Baba yake. Lakini kwa hekima mume wangu Jofu alimsihi sana nakumwambia akubari aone uwezo na nguvu za Mungu kuwa sio za kawaida kawaida kabisa.

    Baada ya hapo Munah alikibali akapiga Simu kisha akampa Baba yake ili afanyiwe maombi.



    Kweli Jofu alifanya ivyo.. Dakika chache tu Munah akapiga Simu akidai Baba yake kasimama nakuzitoa mashine zote za oxygen kwakweli ilikuwa ni furaha ilioje Baba yake Munah aliporudi toka India akatoa godauni lake moja liliopo maeneo ya Tabata ili liwe kanisa kisha na yeye akawa mkristo pamoja na familia yake yote..!!

    Ikumbukwe ni waarabu....!!



    Taarifa za Baba yake Munah kuacha uisilamu nakuwa mkristo (Mrokole) zilifika Pakistan ambako ndiko chimbuko la ukoo wake, kwaiyo misugiano na migongano ilianza baina yao huku bahadhi ya wafanyakazi wake toka huko Pakistan na India wakiacha kazi nakuondoka zao kurudi kwao wakidai uyu Mzee kawa kafiri.

    Siku ya jumamosi alikuja Mjomba wake na Munah toka huko Pakistan akiwa kaongozana na vijana wake wakazi, hakufikia kwa ndugu yake ila alifikia hotelini.

    Na siku ya jumapili tukiwa ibadani Mimi nilikuwa pamoja na mume wangu Jofu tukisubiri tupewe nafasi ili tuwaage maana kesho ndio tulitakiwa kurudi Canada Sasa sijui ni kitu gani maana Jofu aliwaambia watoto wetu waende nje kuleta zawadi zilizokuwa ndani ya gari la Baba yake Munah kweli Stefano alienda na wadogo zake wote wawili Kenany na Leah wakaenda nakuleta briefcase ya ajabu..!! Kila mmoja alishangaa maana iyo Briefcase hatuitambui kabisa kisha watoto wetu wakaenda tena nje ambako ata sikujua walifuata nini huko nje. Tukiwa tunasubiri kuona labda kuna mgeni wamempokea iyo briefcase, na sasa wamerudi kuchukua izo zawadi. Lakini hali alikuwa tofauti kabisa, maana aliingia kijana mmoja akiwa kavalia kanzu na skafu aliyoizungusha shingoni mwake mpaka mdomoni akasema;

    "ALAHU AKBAR..!!"

    Kisha nikamshuudia akitoa remote nakubonyeza Twiiiiiiiiiiiiiiihh..!!!



    Mara ghafla ulitokea mlipuko mkubwa sana??????.BUUUUUUUUUUUUUUUUHHH???????? na kanisa lote likashika moto wakati moto unaendelea kuwaka huku ukiwa umeenea kila maahali hapo mara nikamuona mume wangu Jofu akiwa na mabawa akanishika mkono na Mimi niligundua nina mabawa pia..!!???? kisha tukaanza kupaa kwenda juu mbinguni na watu wangine nao ivyo ivyo..!!

    Baadhi ya wenzetu walibaki wakilia nakusaga meno maana moto uliwachoma vibaya sana pale kanisani tulipaa watu wachache sana nasikitika Dada yangu na Shemeji walibaki wakilia nakusaga meno wasijue nani atawakoa toka kwenye lile dimbwi la au ziwa la moto.



    Tulifika mbinguni tukamuona Pastor Stefansson akiwa pamoja na Yule mtume wa Yesu Stefanie aliyeuwawa kwa kupigwa mawe mwaka 106 AD. Tukasogea na kupokelewa huku watu wote wakiimba nakusujudu. Wakiwa na mavazi meupe na malefu yakupendeza sura zao zinawaka nakung'ara kama jua. Sote tulikuwa sawa hakuna mlefu wala mfupi mweupe wala mweusi, mnene wala mwembamba, mzuri wa sura wala mmbaya, kionhozi wala hasiye kiongozi, mkubwa wala Mdogo, tajiri wala maskini, msomi wala hasiye msomi. Hakika MUNGU ni wa ajabu sana maana hakujulikana mwanaume wala mwanamke, hakika sote ni sawa. Hapo ndio nikaamini kweli binadamu tunaishi kwa kubaguana sana.



    Nikaomba nitazame kidogo duniani, ndipo malaika mmoja akanipeleka sehemu mahalumu kabisa yakutazamia duniani. Aisee nilipotazama duniani kwanza nilikutana na halufu kali na mbaya ya uozo wa binadamu na maovu yao, nikajikaza nikaendelea kutazama. Nilijikuta nalia Sana nilitamani nirudi kuwachukua watoto wangu ili wasiingie kwenye mtengo na matamanio ya muovu ibilisi shetani, lakini Yule malaila akasema haiwezekani kabisa maana imeandikwa kuwa KILA MMOJA ATABEBA MSARABA WAKE MWENYEWE.

    Nilipoendelea kulia nakumsihi uyu malaika anipe nafasi iyo niwafuate watoto wangu, alikataa kabisa kisha akafunga na ile sehemu kisha akaniacha Mimi nalia yeye akaondoka zake. Punde kidogo nikamuona Pastor Stefansson akiwa Pamoja na Ester pomoja na wateule wangine,waliponifikia Pastor Stefansson akasema;http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "UMECHELEWA HAUWEZI KUZUIA, MAANA IMEANDIKWA KUWA NI LAZIMA KILA MWANADAMU APITIE MAJARIBU NA AYASHINDE YEYE MWENYEWE KWA KUJIKANA NAKUBEBA MSARABA WAKE MWENYEWE NA AMFUATE YESU KRISTO. KWAIYO WEWE SAFARI YAKO IMEISHIA HAPO NA KITABU CHAKO TAYARI KIMEFUNGWA MAMBO YA DUNIANI AYAKUHUSU TENA."



    ________M....W....I....S...H...O________



    "Shukrani za dhati kwa rafiki zangu niliokuwanao Pamoja mwanzo wa hadithi yetu mpaka leo tumefika tamati, tusameheane kwa makosa madogo madogo yakibinadamu



0 comments:

Post a Comment

Blog