Search This Blog

Thursday 24 November 2022

KIPAPATIO CHA NANI (2) - 4

 

     

     

     



     Chombezo : Kipapatio Cha Nani Season 2

    Sehemu Ya Nne (4)

     

    Bibi mtu alikubaliana na maneno ya Ibnuwas

    Ndege angani Wanyama mwituni bila kusahau Wadudu wadogo wadogo walikimbizana huku na kule yote ni katika kuukimbia msitu uliokumbwa na dhahama Upepo mkali ulikuwa ukipepea kulizunguka eneo hilo mpambano baina ya miamba hiyo miwili hakika ilikuwa vita ya dunia

    Ninja Ice baada kuona mpinzani wake anazikwepa zile nyembe kwa ustadi mkubwa huku akizirudisha kwake akachumpa kwenda juu na kuachia mateke dabodabo bila kutarajia alijikuta akidakwa miguu na kubamizwa kwenye mti yani kule kubamizwa kwake mti ulipasuka vipande vipande na kutawanyika Ninja Ice akadondoka chini

    Ilimchukuwa takribani dakika mbili kulala pale chini wakati huo Chinoge akimsubilia anyanyuke

    ”narudia tena kuuliza nani wewe? Nijibu kabra sijakuwashia moto"

    Ninja Ice aliuliza huku akisimama

    ”usiongee sana Brother fanya kilichokuleta nami nifanye ninachokiweza"

    Chinoge alijibu haliyakuwa akiruka juu kumfata Ninja Ice naye akafanyiwa kama alivyomfanyia mwenzake kwa kudakwa miguu akatupwa mbali na pale sema yeye aliwahi kusimama aliposimama tu Ninja Ice alikuja kwa kasi huku akiachia makombola ya Ice yenye kuambatana na madonge ya moto Chinoge akawa anakwepa kwa kudank kwenye miti akajibidua na kuachia teke moja takatifu lililotua usoni mwa Ninja Ice akadondoka chini

    Kabra ya kusimama kwanza ilimbidi akae kitako akawa anamuangalia Chinoge aliyekuwa akidanki danki akatikisa kichwa huku taratiibu akianza kubadirika kutoka umbile la Ninja Ice mwili wake wote ulitambaliwa na moto mkari mithiri ya Volcano yani niile seruji ya moto kisha akasema

    ”kijana umekwisha"

    Wakati anajiandaa kumvamia kishindo kizito kilisikika kikitua katikati yao alikuwa ni yule Bibi

    Ninja Ice akafanya haraka kujirudi katika umbile lake la Kibinadamu Chinoge nae akafanya hivyo

    Yule bibi aliwaangalia kwa zamu

    ”nini mnafanya? Kitu gani mnatenda? Je mnataka kutuangamiza sisi?"

    Bibi aliuliza huku akimkazia macho Chinoge

    ”na wewe ni nani?"

    Chinoge akauliza

    ”acha kuniuliza mi nani embu jaribu kuvuta kumbukumbu zako vyema! Je unakikumbuka kisa chako cha Ratifa na Mwajuma? Kama unakikumbuka basi mimi ndiyo yule bibi niliyekuwa nikikutokea ndotoni na ndiyo niliyekupatia uwezo huo uliokuwa nao nilikuhimiza Uwende Kijiji cha nyumbani Kilwa Kiwawa ukachukue Kitambaa mpaka ile siku ukaja kuzimu kupambana na Lusifa ukaweza kumuangamiza sema yule hakuwa Lusifa mwenyewe bali ni Mtoto wake wa kwanza"

    Bibi mtu alimkumbusha Chinoge japo kwa ufupi.

    ”sawa Bibi nimeweza kukumbuka kila kitu na vipi kuhusu huyo jamaa ni nani?"

    Chinoge akauliza huku akimuonyeshea kidole Ninja Ice ajabu hakuwepo kuonyesha kwamba tayari kashatoweka

    ”khaa huyu mshenzi mjaa laana inamaana hakutaka niwapatanishe jamani"

    Bibi alizungumza kwa masikitiko baada kutambua Ninja Ice kaondoka

    ”muache akwende zake huko kama kachukia au kukasirika kimpango wake embu mjukuu wangu kipenzi twende tukakae pale maana nina shahuku ya kutaka kufahamu mambo mengi juu yako!"

    Bibi alizungumza hivyo basi wakatafuta sehemu na kuketi

    ”za masiku ewe mjukuu wangu?"

    ”nzuri tu bibi"

    ”kwanza samahani sana kwa kukutenga ujue tulifanya yote haya kwasababu ya kumzuia yule Pimbi asiweze kutoka kule kuzimu

    Pia tulishindwa kukuchukuwa wewe uje kuishi nasi kwa sababu wewe bado ni jamii ya Wanadamu"

    Bibi mtu alitoa maelezo

    ”kuhusu hilo wala usijari ila napenda kufahamu yule kiumbe niliyepambana naye ni nani?"

    Chinoge akarudia kuuliza

    ”mmh inamaana bado ujamkumbuka tu? Yule ni wajina wako kama unakumbuka kwenye kile kisa chako alikuja kukusaidia baada kuwapoteza Marafiki zako wawili Gogisu na Figisu pia ni yeye aliyekuja kukugomboa kule kuzimu baada kukamatwa na Ukoo wa Lusifa ukatakiwa kuliwa nyama"

    ”khaa inamaana yule ni Brother Hafidhi aliyekuja kunisaidia kwenye kisa cha Ratifa na Mwajuma?"

    ”ndiyo yeye sema kwasasa kabadirika kitabia sio tena wa kipindi kile"

    ”aisee nimewezaje kupambana naye sasa? Maana yeye ana uwezo mkubwa kuliko mimi!"

    ”uwezo wake ulikuwa zamani sio sasa kwanza tambua kitu kimoja kipawa cha Ninja short alikabidhiwa Binti yake aitwae Yusrath baada Yusrath kuwawa ndipo ukakabidhiwa wewe. Kuhusu kile kipawa chake cha Ninja Ice sijui kakitolea wapi? Ehee waweza niambia kitu gani kilichokuleta huku kwenye nchi za watu?"

    ”ni stori ndefu bibi"

    ”ndiyo unisimulie sasa"

    Chinoge hakuwa na jinsi zaidi ya kumsimulia Bibi yake kila kitu

    “khaa unataka kusema ulisafirishwa na Bahari mpaka ukajikuta sehemu isiojurikana?"

    Bibi mtu alionekana kushangazwa sana na simulizi aliyosimuliwa

    ”ndiyo bibi yani hapa unaponiona nilikuwa natokea Pakistan

    kuelekea kisiwa cha Chinoge nahitaji kufika kisiwani kwaajili ya kuliacha Jeshi langu hapo kisha niendelee na safari ya kurejea nyumbani"

    ”sawa mjukuu wangu nikutakie safari njema ila kuwa makini sana katika safari yako kwa maana lolote linaweza kutokea"

    ”usijari juu ya hilo"

    Mtu na Bibi yake walikumbatiana kwa kuagana Chinoge akapiga hatua kadhaa za kuondoka kufika mbele akapiga Mruzi huku akikimbia kwa kasi Masokwe walijitokeza kwa wingi na kumkimbilia mfalme wao Bibi mtu alibaki kutabasamu tu na kumpungia mkono

    *********

    Mzee Abraham baba mzazi wa kijana Hashimu alizunguka huku na kule katika harakati za kumtafuta kijana wake aliyetekwa na watu wasiojurikana bila mafanikio ya kumpata. Kuna muda aliamini ya kwamba watekaji hao watampigia simu na kutaja kiasi cha pesa wakitakacho kwaajili ya kumuachia kijana wake. Lakini sivyo alivyofikilia wiki nzima ilikatika pasipo kupata ujumbe wowote kutoka kwa watekaji hao. Kitu ambacho kilimfanya afikirie Mara mbili mbili kama polisi alishaenda kila siku anapigwa Danadana Mara aambiwe upelelezi bado haujakamilika Mara hivi na vile mwishoe akachoka na kuamua kufunga safari mpaka maeneo ya Mbande

    Huko kulikuwa na Mzee mmoja aitwae Milongo huyu mzee ni Bingwa wa Mabingwa kwenye swala zima la Uganga ndiyo maana ukifika kwake kuna msemo umeandikwa mlangoni usemao Tiba kwanza halafu Swadaka baadae baada ya mafanikio yako.

    Wagonjwa na wenye matatizo mbalimbali walimiminika nyumbani kwake

    Mzee Abraham aliwasili maeneo hayo akatembea kwa. kuishikilia vyema kofia yake ya. Cowboy

    ili isiweze kupeperuka kutokana na upepo mkali uliokuwa ukivuma.

    ”Assalamu Alaykum Warahmatullah Wabarakatu"

    Mzee Abraham alitoa salamu kwa lugha ya kiarabu

    ”Waaleykum Ssalamu Warahmatullah Wabarakatu karibu ukae ewe ndugu yangu"

    Mganga aliitikia na kumuonyesha mteja wake sehemu ya kukaa kimya kidogo kilitanda kabra ya Sheikh Milongo kuuvunja ukimya ule

    ”kwanza kabisa napenda kukupa pole kutokana na matatizo yaliyokukuta juu ya kijana wako. Maana huko alipo anazidi kuteseka"

    Sheikhe Milongo alizungumza hivyo akafanya kukohoa kidogo kisha akaendelea kuzungumza

    ”pia ningependa kufahamu juu ya hili swala la wewe siku zote hizo umekaa kimya ukimuacha kijana wako akiteseka bila msaada wowote.

    Embu angalia pale"

    Milongo akanyoosha Usinga wake kuelekeza kwenye kitambaa chekundu kilichofungwa ukutani kwa mtindo wa pembe nne.

    Ghafla alionekana kijana Hashimu akiwa amekondeana vibaya sana.

    Mzee Abraham alishtuka kumuona kijana wake akiwa katika hali ile mwili ulimtetemeka akauma meno kwa hasira kitendo bila kuchelewa akachomoa Bastola na kumnyooshea Mganga

    ”pumbavu wewe mshenzi kabisa yani mimi nahangaika usiku na mchana kwaajili ya kumtafuta kijana wangu! Kumbe wewe ndiyo uliyemteka, sasa nasema hivi niletee kijana wangu hapa kabra sijakumwaga ubongo"

    Mzee Abraham alifoka kwa hasira huku akiwa kamkazia macho Sheikhe Milongo aliyekuwa akitabasamu tu!

    ”hivi unaakili kweli wewe? Nani aliyekwambia kuwa mimi ndiyo nimemteka kijana wako?

    Au nimefanya makosa kulitambua tatizo lako. Kuanzia sasa huna budi kuwa mpole vinginevyo utamkosa huyu

    Shusha Silaha yako chini na ukae pale"

    Milongo alizungumza kwa kujiamini Abraham hakuwa na jinsi zaidi ya kutulia

    ”sasa sikia nikwambie kitu kijana wako yupo mikononi mwa viumbe hatari waitwao Majini"

    ”khaa inamaana Majini ndiyo waliomchuwa Mwanangu?"

    ”wameweza kumchukuwa baada kupewa maagizo kutoka kwa mkuu wao ambaye ni Binadamu ni yule pale"

    Sheikhe Milongo akaonyesha kwenye ile tv yake ya asili

    ”khaa si Sylvester huyu Mtoto wa General bwana William?"

    ”kuhusu hilo mimi sifahamu ila huyu kijana ndiyo mmiliki wa viumbe hao sasa hapa cha kufanya nikitu kimoja tu anahitajika Mkweo yani Mke wa kijana wako alale na mmoja kati ya Majini wangu ndipo utaweza kumpata Hashimu"

    ”unasemaje?"

    Mzee Abrahamu akauliza kwa hamaki

    ”sikia Abraham kutokana na maelezo nilioweza kukupatia huna budi kutekeleza pia uchaguzi ni wako kusuka au kunyoa"

    Milongo alizungumza hivyo kisha akanyanyuka na kutoka nnje akimuacha Mzee Abraham akitafakari jambo.

    *********

    Bibie Dayna alishangazwa sana kutokana na hali aliyoweza kuikuta kambini kulikuwa shaghara baghara miili ya marehemu ilikuwa imepangwa sehemu moja Sasha aliyekuwa karudiwa na fahamu zake alishtuka sana baada kumuona pacha wake swahiba wake karejea basi walikumbatiana

    ”kitu gani kimewatokea tena?"

    Dayna aliuliza ndipo Wahida akamsimulia hakika alisikitika sana na kujiona yeye ndiyo msababishaji wa yote hayo

    Akachomoa Bastola na kutaka kujipiga kichwani Sasha akawahi kuiputa na kumnyanga'anya

    “unatakaka kufanya nini sasa una kichaa au?"

    Sasha aliuliza

    “ni bora ningekuwa na kichaa kiukweli sistahili kuishi mimi ndiyo niliyesababisha yote haya"

    Dayna alizungumza huku akilia

    Kila mmoja alishangazwa na yale maneno Sasha akataka kufahamu imekuwaje tena

    Dayna akasimulia siku aliyopata ajari iliyompelekea yeye kupoteza fahamu mpaka siku aliyoweza kujikuta mikononi mwa kiumbe yule mwenye kumiliki Jeshi la Masokwe

    Sasha akatikisa kichwa na kumkumbatia

    ”huna makosa yoyote rafiki ulichokifanya ni kutaka kumkomboa Mdogo wako na yule kiumbe hakufahamu kama alipomkuta yupo huru pia ubishi wetu wa kukataa kumpatia Agnes ndiyo umesababisha yote haya kuanzia sasa hatuna budi kusahau yaliyopita ili tugange ya jayo"

    Basi taratibu za Mazishi ziliweza kufanyika

    Wakati bwana mkubwa Chinoge akiendelea na safari yake akahisi kama kufatiriwa hivi hisia zake ndiyo zilivyomtuma

    Ikabidi alisimamishe Jeshi lake.

    Akawapa ishara Masokwe waendelee na safari huku yeye akirudi walipotokea nikweli alikuwa akifatiriwa na Ninja Ice maana kitendo cha kupiga hatua kadhaa kurudi nyuma akakutana nae akiwa kwenye muonekana ule wa Volcano

    ”nini shida nini tatizo Brother?"

    Chinoge aliuliza

    Ninja Ice akanyoosha kidole huku akifutuka kwa kasi

    Wakati Chinoge akinyoosha mkono kitu kama utandu ulianza kutanda mbele yake utandu ambao ulimfanya Ninja Ice arudi nyuma

    Akawa anahema na kutema cheche za moto.

    Chinoge akawa anajibadirisha ule utandu aliouweka kama kizuizi kiukweli kabisa Ninja Ice asingeweza kukatiza hata kama angefanyaje maana alikuwa anaona ukungu tu! Mtu hamuoni Chinoge akautoa ule

    Utandu Wanaume wakawa wanaangaliana Uso kwa uso

    Chinoge sijui alijivika umbo gani maana lilikuwa la ajabu sana Moto si moto wingu si wingu mwili mzima ulikuwa ukipiga miale

    Mkononi alikuwa kakamatia Nyundo zenye kuwaka moto





    **********************

    utandu ulianza kutanda mbele yake utandu ambao ulimfanya Ninja Ice arudi nyuma

    Akawa anahema na kutema cheche za moto.

    Chinoge akawa anajibadirisha ule utandu aliouweka kama kizuizi kiukweli kabisa Ninja Ice asingeweza kukatiza hata kama angefanyaje maana alikuwa anaona ukungu tu! Mtu hamuoni Chinoge akautoa ule

    Utandu Wanaume wakawa wanaangaliana Uso kwa uso

    Chinoge sijui alijivika umbo gani maana lilikuwa la ajabu sana Moto si moto wingu si wingu mwili mzima ulikuwa ukipiga miale

    Mkononi alikuwa kakamatia Nyundo zenye kuwaka moto



    Songa nayo

    Sasa



    Ninja Ice akatoa ishara ya kumuita Chinoge aweze kumfata naye bila kusita akafanya hivyo. Yani alifutuka kwa kasi kumfata huku akiitanguliza Nyundo mbele kwa kuirusha

    Ninja Ice akanesa kidogo ili kuikwepa Nyundo ikapita kwa mtindo wa kukizunguka kiwiliwili cha Ninja Ice sasa kile kitendo cha kuikwepa Nyundo kikatoa nafasi nyingine ya yeye kutandikwa Mateke dabodabo yaliyotua kifuani mwake Cheche za moto zilitatarika.

    Chinoge akatua chini huku akitoa sauti nzito yenye kuunguruma mithiri ya radi Mara akapotea Ninja Ice akawa kama vile kashikwa na mawenge fulani hivi alizunguka huku na kule kwaajili ya kumtafuta mpinzani waka Ghafla alishtukia akipigwa Nyundo mfurulizo zilizotua mwilini mwake na kumfanya apatwe na majeraha chungu nzima kwenye majeraha kukawa kukitokwa na Moshi mweusi Ninja Ice alijitahidi kukwepa na kupanchi lakini wapi. Nyundo ilimtifuatifua.

    Kumbe kule kupotea kwa Chinoge alitumia moja kati ya teknik za kuweka ukungu kitu ambacho kinampatia wakati mgumu sana Ninja Ice kwa maana hawezi kumuona adui yake. Mara Chinoge akaibuka huku Ninja Ice akidondoka chini kama mzigo wa kuni hakika alikuwa kanyong'onyea sana aliuma meno kutokana na maumivu makari aliyokuwa nayo.

    Akiwa kalala pale chini huku Chinoge akimsubilia kama ataweza kusimama ili mpambano uwendelee. Ninja Ice akiwa kakaa pale mawazo yakampeleka mbaali sana siku ambayo alipatiwa kipawa kile cha Uninja Ice

    ”hatimae leo hii kilio chako kimeweza kusikika ewe Hafidhi"

    Ilikuwa ni sauti ya kiumbe kisichoonekana ikimtamkia maneno hayo Hafidhi aliyekuwa akilia machozi huku akiwa kafungiwa kwenye Chuma kwa kutumia minyororo

    ”nani wewe?"

    Hafidhi aliuliza

    ”ni mimi hapa nimetumwa kutoka kwa mkuu wa wakuu bingwa wa mabingwa mwenye uwezo mkubwa usioweza kufanana na yoyote yule hali wala hanywi haumshiki usingizi ulimuomba pasipo kuchoka na leo hii kaamua kukupatia kipawa hiki. Chenye Masharti machache sana tafadhari kipokee"

    Alizungumza hivyo kiumbe yule

    ”ni kipawa gani hiko? Na vipi kuhusu masharti yake?"

    Hafidhi akauliza

    ”tunakupatia nguvu za Mbingu saba na vyote vilivyomo ndani yake bila kusahau na Ardhi saba na vyote vilivyomo juu yake kuanzia sasa wewe utaitwa Ninja Ice kiumbe usieshindikana. Sharti usinywe pombe usizini wala usiuwe viumbe visivyokuwa na hatiya kwani kufanya kimoja wapo au vyote basi kipawa hiki kitapoteza nusu uwezo mwishoe kitatoweka moja kwa moja"

    ”sawa nimeweza kukuelewa je naweza kukuona japo kidogo?"

    Hafidhi aliuliza swali wala hakujibiwa zaidi ya yule kiumbe kujitokeza kwenye Mwanga mkari sana wenye kung'aa mithiri ya dhahabu alikuwa ni binti mmoja mzuri sana mwenye asili ya Kiarabu nywele zake nyeusi tii kwa nyuma alikuwa na mbawa nyeupe huku akitabasamu akamuuliza Hafidhi

    ”bila shaka ombi lako limekubaliwa si ushaniona tayari haya kwaheri"

    Yule kiumbe akatoweka

    ”kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho nahisi huu ndiyo mwisho wangu mimi. Sina budi kutoa nafasi kwa wengine"

    Ninja Ice alizungumza hivyo baada kumkumbuka yule kiumbe aliyempatia kipawa cha Barafu

    huku akisimama akainua macho yake kuangalia juu Mawinguni

    ”hakika mimi ni mwenye zambi ee Mola nisamehe mimi"

    Ninja Ice alizungumza hivyo kisha akamuangalia Chinoge lakini hakuweza kumuona tena pale kwa maana alishatoweka

    ”nenda kijana hakika ushindi ni wako na zama ni zako"

    Ninja Ice alizungumza hivyo Mara kwa mbaali kuna miale yenye kung'aa ilionekana kujongea maeneo yale Ninja Ice akakaza macho kuangalia huku akijiweka tayari kukabiliana na kitu hicho sema ule mwanga haukuwa wa kawaida

    ”Assalamu Alaykum ewe kijana mtiifu"

    Alikuwa ni yule Binti aliyetoka kukumbukwa na Ninja Ice muda mchache uliopita

    ”waaleykum Ssalamu ewe Malkia hakika nimefurahi sana kwa kuweza kukuona"

    ”lazima ufurahi kwa maana mimi ndiyo niliyeagizwa kuja kukuwezesha ila tambua kitu kimoja Viumbe waliowengi hasa Wanadamu humkumbuka na kumuomba Mwenyezi Mungu pindi wapatapo matatizo Umaskini maradhi nakadharika wanajishusha na kumnyenyekea Mola wao kwa kuomba usiku na mchana ajabu ikiwashukia Neema waliyokuwa wakiililia husahau kila kitu.

    Huu ni mfano wako wewe. Uliamua kuachana na maasi yote ukafanya toba ya kweli ukasimamisha Swala tano.

    Ili kuiepuka zinaa uliamua kuoa je mpaka sasa mkeo unamkumbuka? Nakama unamkumbuka je yuko wapi? Na huko alipo yupo katika hali Gani

    Hafidhi tambua kitu kimoja

    Mwanaume wa kweli asifiwi kwa idadi ya Wanawake wangapi aliowavua chupi bali husifiwa kwa idadi ya Wanawake wangapi aliowavua ujinga kwa kuwasaidia na kuwapa maarifa ya kujitegemea Hafidhi wewe utoi msaada bila kumlala Mwanamke huyo sio sifa hizo bali ni ujinga

    Dunia ni uwanja wa Mbuzi lakini haina maana ya wewe kuwa Mbuzi, kwanini usiwe Kondoo ishi kipole maana mwisho wa siku utatoweka hapa ulimwenguni kuna uchaguzi mkubwa huko uwendako kuwa nani alikuwa Mbuzi na nani alikuwa Kondoo kwenye Ulimwengu Sasa kaa ukitafakari nini kitampata Mbuzi huko na utukutu wake wote hapa Duniani?"

    Hakika kiumbe yule alizungumza kwa Hisia kisha akatabasamu na kumwambia Ninja Ice uwezo wako sasa umerudi Mara mbili zaidi ya ulivyokuwa embu fanya hivi"

    Ninja Ice akafanya ghafla Jua likapotea kiza kizito kikatanda yani Ghafla tu Mchana ukawa Usiku

    Miungurumo ya radi ikasika Nchi nzima umeme ulikatika Chinoge akiwa anaondoka alishtushwa na ile hali akataka kumrudia Ninja Ice sema akasikia sauti ya bibi yake ikimwambia usirudi kijana

    Ikabidi aendelee kusonga mbele

    Ninja Ice akanyoosha mkono juu

    Miale ya moto ilianza kutoka kwa wingi kuelekea juu

    ”inatosha sasa waweza kuliachia jua"

    Ninja Ice akafanya hivyo nikweli Mchana ukarudi

    ”kingine waweza kufanya hivi, sio hivyo bana viangalie vizuri vidole vyangu"

    Yule kiumbe akatoa maelekezo mengine japokuwa Ninja Ice alikuwa anakoseakosea Mara vua ya ghafla ilianza kunyesha umeta mkari ukawa unapiga ukiambatana na ngurumo za kutisha

    "Piga mruzi"

    Ninja Ice akatakiwa kupiga mruzi akafanya hivyo punde walionekana Wanyama wasiokuwa na idadi kamili wakija mbiombio kuelekea uwelekeo ule aliosimama yeye na yule kiumbe kila sekunde iliyokuwa ikienda mbele ndipo idadi ya Wanyama wale ilizidi kuongezeka Ninja Ice alitamani kukimbia maana kulikuwa na Chui Simba Tembo Nyati Kifaru

    Mbwa Mwitu Nyoka aina ya Cobra Eagle nakadharika

    “ahaa unataka kwenda wapi tena? Inamaana unataka kulikimbia jeshi lako?"

    Yule kiumbe akauliza na kumfanya Ninja Ice ashangae sana wakati huo wale wanyama walishawasili maeneo Yale wakasimama kila mmoja alikaza macho yake kumuangalia yeye

    ”nilipokwambia kwamba uwezo wako umerudi Mara mbili nilimaanisha ya kwamba kwasasa una uwezo pia wa kuzungumza na wanyama wadudu Ndege isipokuwa Masokwe tu! Kwa maana Masokwe tayari wanamfalme wao hawatoweza kukusikiliza wewe wacha mi niende ila zingatia kitu kimoja ikitokea siku moja ukazini basi kipawa chako kitatoweka mazima

    Utakuja kudharirika sana hapa ulimwenguni Fanya yote ila iepuke Zinaa na ulevi kuuwa watu wasiokuwa na hatia"

    Yule kiumbe alizungumza hivyo kisha akatoweka na kumuacha Ninja Ice akivuta pumzi nzito kwa ndani kisha akazishusha

    ”opsiii kwasasa mnaweza kwenda kuendelea na majukumu yenu siku yoyote nikiwahitaji basi nitawaita"

    Ninja Ice alizungumza hivyo na kuwafanya wale Wanyama watoweke kwa makundi yani Simba kivyao Tembo peke yao harikadhalika pia Chui.

    Ninja Ice alifanya baadhi ya makeke pale kisha akatoweka

    ***********

    Hapa tunamuona bwana mkubwa Madebe akiwa amekaa chini ya mti mkubwa aina ya Muwembe huku kujiinamia hakika alionekana kuwa ni mwingi wa mawazo Mara akasikia sauti ya Baba yake ikimwita sauti ambayo ilimfanya anyanyue uso wake akageuza kichwa huku na kule

    ”Madebee,, Madebee,"

    “naamu baba"

    Madebe akaitikia japokuwa hakuweza kumuona baba yake sauti ile ikaendelea kusikika

    ”unafanya nini huku ewe mwanangu? Kwanini umewaacha ndugu zako wakiteseka na kuangaika pasipo kupata msaada wowote! Madebee, kumbuka wewe ndiyo nguzo na wewe ndiyo tegemezi juu yao. Ajabu leo hii umewakimbia ohoo kweli nimeamini Dunia sio mbaya bali walimwengu ndiyo wabaya. Nimeuwawa mimi bila hatiya yoyote ile kisa Uchu wa madaraka.

    Madebe nilipie tafadhari nakuomba rudi nyumbani unilipie kwa hili nitakushukuru sana"

    ”babaa"

    ”naamu mwanangu"

    “kiukweli kijana wako sina uwezo wowote ule juu ya mapambano kwa maana nimekutana na wajuzi wajuvini waliosomea na kufahuru vyema kwenye Tarenti za mapigano nikaonekana mimi si lolote si chochote juu yao hata ile Super punch haipo tena kwakweli siwezi kukulipia japo nafahamu hiki ni kisasi cha familia nzima"

    Madebe alizungumza kwa masikitiko

    ”hapana Mwanangu utakiwi kukata tamaa kisa umekutana na miamba embu simama kisha uwangalie nyuma yako"

    Madebe akafanya hivyo alipoangalia nyuma ghafla alishtuka sana baada kumuona Marehemu Chung Lee

    ”mwalimu,"

    Madebe alitamka hivyo huku akirudi kinyume nyume maana alihisi kutokewa na mzimu

    Chung Lee akatabasamu

    ”ndiyo ni mimi bado ninaishi sogea karibu yangu tafadhari usiniogope"

    Chung Lee alizungumza hivyo huku akichomoa jambia alilokuwa kalifutika Mgongoni kama vile Ninja

    Madebe ndiyo akazidi kuingiwa na hofu

    Ikawa kufumba na kufumbua Chung Lee kumfata Madebe kwa kasi huku akijiandaa kukikata kichwa cha Madebe aliyepiga kelele

    ”nakufaaa,, ghafla akashtuka kutoka kwenye njozi nzito yenye kuogopesha na kujikuta akiwa amelala kitandani sema alijihisi kuwa na maumivu kila mahari

    Akajitahidi kujinyanyua na kukaa kitako akawa anaifikiria ile ndoto ina maana gani?

    Mara mlango wa chumba chake ukafunguliwa pasipo mfunguwaji kubisha hodi. Hakuwa mwingine bari ni Ninja Ice

    ”habari yako kijana?"

    Ninja Ice alisalimia huku akikaa kwenye sofa dogo

    ”salama tu Brother japokuwa hapa nilipo nina maumivu makari sana hasa kwenye huu mguu wa kushoto"

    ”pole sana kijana je unahitaji msaada wowote kutoka kwangu?"

    Ninja Ice aliuliza hivyo

    “ndiyo tena nitashkuru sana kama utaweza nisaidia kaka nahitaji siku moja nije kuwa mpambanaji wa hatari kwaajili ya kuilinda nchi yangu na kuwatetea watu wangu?"

    Madebe alizungumza hivyo Ninja Ice akatabasamu

    “vizuri sana kijana je upo tayari kupokea mafunzo kutoka kwangu?"

    “ndiyo mkuu hata sasa hivi tuanze"

    Madebe akaitikia kwa sauti kubwa kama vile yupo kwenye Gwaride ghafla umeme ukakatika chumba chote kikawa Giza

    Pale alipokuwa amekaa Ninja Ice kulianza kung'aa

    Madebe alibaki kushangaa tu huku hofu na uwoga ukianza kumtawala

    “Madebee"

    Ninja Ice akaita hivyo

    ”usiogope kijana kuanzia sasa huna budi kupokea hizi nguvu ulizoomba kutoka kwangu"

    Ninja Ice akanyoosha mikono yote miwili kumuelekezea Madebe kuna vitu vilianza kutoka kupitia mikononi Mwake na kuingia mwilini kwa Madebe mara wakapotea





    **********************

    “ndiyo mkuu hata sasa hivi tuanze"

    Madebe akaitikia kwa sauti kubwa kama vile yupo kwenye Gwaride ghafla umeme ukakatika chumba chote kikawa Giza

    Pale alipokuwa amekaa Ninja Ice kulianza kung'aa

    Madebe alibaki kushangaa tu huku hofu na uwoga ukianza kumtawala

    “Madebee"

    Ninja Ice akaita hivyo

    ”usiogope kijana kuanzia sasa huna budi kupokea hizi nguvu ulizoomba kutoka kwangu"

    Ninja Ice akanyoosha mikono yote miwili kumuelekezea Madebe kuna vitu vilianza kutoka kupitia mikononi Mwake na kuingia mwilini kwa Madebe mara wakapotea



    Songa nayo

    Sasa



    Baada Ninja Ice na Madebe kutoweka ndani ya kile chumba wakaja kuibukia ufukweni Madebe kwake aliona kama vile ni ndoto hivi akiamini muda wowote atashtuka kutoka usingizini na kujikuta akiwa kitandani

    ”wapi huku mkuu?"

    Madebe aliuliza huku akionekana kutojiamini

    ”hapa ni Kaskazini mwa nchi ya Israel sehemu ambayo yaliwahi kufanyika mauwaji ya kutisha juu ya Raia waliotokea kule Palestina

    Watu wengi waliteswa kubwakwa kuchinjwa yani kila aina ya unyama uliweza kufanyika miili yao ikapakizwa kwenye Boti na kwenda kutupwa kwenye kina kirefu cha maji ili iwe chakula cha Samaki wakubwa kwa wadogo"

    Ninja Ice akajibu kisha akaendelea kuzungumza

    ”nimekuleta sehemu hii maarumu kwaajili ya kukuonyesha ni jinsi gani Dunia ilivyoharibika

    Jaribu kufumba macho yako huku ukizivuta pumzi kwa ndani na uzishushe"

    Ninja Ice alitoa maelezo basi Madebe akafumba macho Mara hisia zikampeleka mbaali na kujiona yuko sehemu moja hivi kuna umati wa watu umejazana wengi wa watu wale walionekana kujawa na majonzi

    ”ehee Mungu nisaidie mimi mja wako juzi tu umemchukuwa mume wangu kipenzi

    leo hii tena watu kutoka Serikalini wanakuja kunivunjia nyumba yangu nitaenda wapi mimi na watoto hawa jamani? Hiiiiiiiiiiiiii"

    Ilikuwa ni sauti ya malalamiko yenye kuambatana na kilio kutoka kwa mmoja kati ya wamama aliyekuwa kakaa chini kwa kuwapakata watoto wake watatu watoto hao walionekana kukondeana bila shaka ni ukosefu wa chakula hata mavazi yao yalionekana kuwa chakavu sana.

    Madebe akapiga hatua kadhaa kumsogelea yule Mama,

    ”ohoo Baba yangu nisaidie embu waangalie wale majangiri wananivunjia nyumba yangu nitaishi vipi mimi?"

    Mama yule alizidi kulalamika kumwambia Madebe aliyekuwa kasimama mbele yake

    ”kwanini wanakuvunjia Nyumba yako?"

    Madebe akauliza swali

    Kabra yule Mwanamama ajajibu kuna Gari zipatazo tano zilionekana kuja kwa kasi ujio wa Gari zile uliwafanya Wananchi waliokuwa wamejazana maeneo yale kwaajili ya kupinga Bomoa bomoa iliyokuwa ikiendelea kuanza kukimbiana maana kengere ya hatari ilishagonga kwenye ngome ya masikio yao. Kila mmoja alitafuta upenyo wa kukimbilia hata yule Mwanamama alijizoazoa pale chini akawahimiza Watoto wake waweze kukimbia. Ghafla sauti ya mlio wa risasi ukasikika huku yule Mama akidondoka chini damu nyingi zilianza kumvuja alishatandikwa risasi ya kifua

    Watoto walipiga kelele kumwita mama yao aliyekuwa kalala chini roho ilishaacha mwili

    ”mamaa,,mamaa,,hamka mamaa,,"

    Wakati huo vile vikosi vilishawasili na kufikia kupiga watu na kuwatandika risasi

    “kamata wale kisha kata vichwa vyao"

    Mmoja kati ya Majangiri akatoa amri kwa mwenzake naye bila kusita alilichomoa jambia lake akawafata Watoto wale waliokuwa wakimlilia Mama yao alipowafikia akamshika mmoja wao

    Ikawa kufumba na kufumbuwa kichwa cha Mtoto yule kutenganishwa na kiwiliwili chake

    ”unafanya nini wewe? Mbona unaacha watu wasiokuwa na hatia wakiuwawa tafadhari wasaidie"

    Ilikuwa ni sauti kutoka kwa Ninja Ice sauti ambayo nikama ilimghutusha Madebe aliyekuwa akishangaa shangaa tu! Pale wakati huo yule Muuwaji alishanyanyua upanga wake juu kwaajili ya kumchinja Mtoto mwingine. Madebe alimfata kwa kasi na kuudaka ule upanga kwa kuushika kule kwenye makari.

    ”wee nani? Unatokea wapi? Na kwanini unanizuia nisimuuwe huyu pusi?"

    Yule muuwaji aliuliza kwa ghadhabu huku akilivuta panga lake. Madebe akafanya kama kuliachia hivi huku akifutuka kwa kasi na kumtandika ngumi iliyotua mdomoni mwa yule jamaa akadondoka chini kama Mzigo wa kuni

    Panga likamponyoka

    ”kimbieni,,, kimbiaa,,"

    Madebe akapaza sauti akiwataka wale watoto wawili wakimbie

    Majangiri wapatao saba walionekana kuja kwa kasi baada kuona mwenzao kataitiwa kwa kipigo wakajua bila shaka Madebe ni mmoja kati ya raia wenye kujitetea sasa subiri waje kumfundisha adabu

    Sema wale watoto wakawa wabishi kuondoka kwa maana hawakuwa tayari kuiacha miili ya ndugu zao pale

    Sauti nyingine ikasikika ikimtaka Madebe afanye kama anaweka ngao kwaajili ya kuwalinda watoto hao kupitia maelekezo aliyokuwa akipatiwa akafanya haraka kufumbata mikono na kuiachia kitu kama tetemeko la Ardhi lilianza kutokea

    Na kufanya ile sehemu waliyokuwa wakitokea wale Majangiri kudidimia chini kila mmoja alitafuta sehemu ya kujishikiza wengine wakawa wanadumbukia kwenye shimo kubwa lililoibuka ghafla tu!

    ”nakufaaa,,nisaidiee"

    Zilikuwa ni kelele za baadhi ya majangiri wale waliokuwa wakipotelea kwenye shimo

    Madebe akadunda na kuruka akatua upande wa pili na kuanza kutembeza kichapo kwa Watu wale waliokuwa wameshikwa na taharuki isio na kifani.

    Ilimchukuwa kama dakika sita pekee kuwateketeza Majangiri wote.

    “kazi nzuri kijana"

    ”khaa inamaana ni ndoto ndotoni au?

    Madebe aliuliza hivyo baada kujiona yupo palepale ufukweni Ninja Ice akumjibu lile swali zaidi ya kumwambia

    ”unachotakiwa kukifanya kwa sasa ni kupambana nami mpaka uhakikishe ya mwamba unanidondosha chini"

    Madebe akajiweka sawa mpambano ukaanza

    Vumbi lilitimka waliruka huku na kule

    Madebe alikuwa mwepesi kupita kiasi katika kushambulia Ninja Ice akawa anapanchi na kukwepa huku akimuonyesha kwa vitendo kuwa ngumi hii itatua hapa so kuwa makini wakati unashambulia na ujikinge ili usiweze kuwashambuliwa

    Madebe alifurahia sana kupata Mwalimu kama Ninja Ice Mwalimu ambaye yuko kivitendo zaidi kuliko kumpatia mwanafunzi wake maumivu.

    Siku zote kupigwa sio kujua

    Hakika mazoezi yalikuwa ni makari kila siku zilivyozidi kusonga mbele ndivyo bwana mkubwa Madebe aliimarika ile kisawa sawa

    **********

    Tukija kwa Mzee Abraham ilimchukuwa takribani wiki moja akiwaza na kuwazua juu ya swala zima la kumtoa swadaka mkwewe kwaajili ya kumpata kijana wake.

    Aliona kama vile sio haki ila hakuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na matakwa ya Sheikhe Milongo Mara nyingi watu wenye kutumia tiba zenye Shirki ndani yake hupenda kutumia vyeo vya Kiislamu ili kuficha Ushetani wao utaskia sijui Sheikhe Sharifu Mara maarimu Seif

    Hostadhi Swalehe watu hawa huvalia kanzu kubwa barakashia nadhifu kumbe ni Wachawi wakubwa utamtambuwaje mtu wa namna hii

    Ukifika kwake ukikuta baadhi ya hivi vitambaa vyenye rangi nyekundu nyeusi nyeupe Kibuyu

    Usinga yani mkia wa mnyama ukapewa mayai sijui Nazi ukavunje sehemu au Dawa ukafukie makaburini sijui wapi

    Ndugu yangu tafadhari kimbia haraka sana tambua upo karibu na Shetani mwenye kukuchonganisha na Ndugu jamaa na marafiki zako usishangae ukaambiwa mama yako ni Mchawi usijiulize kajuwaje kawaida ya Mchawi humtambua mchawi mwenzie

    Wala hutakiwi kumnyenyekea mtu mwenye kupandisha mashetani sijui Shetani kasema anataka Pete ya Almasi mara dhahabu nawe ukamtii kwa kumnunulia huyo kiti wake Dawa ya Shetani ni kumtia makofi kiti wake ili siku nyingine asirudie tena kulilia vitu usivyokuwa na uwezo navyo

    Pia kumbuka Shirki ni zambi isioweza kusameheka mpaka kufa kwako.

    Mzee Abrahamu baada kukata shauri akaitoa simu yake na kumpigia Sheikhe Milongo simu ilisikika ikiita punde ikapokelewa

    “Assalamu Alaykum ya Akhy"

    Mzee Abraham alisalimia

    ”Waaleykum Ssalamu ewe ndugu yangu"

    “sasa ndugu nimekaa kwa muda kidogo juu ya kufikiria hili jambo mwisho nimeamua kukubaliana nawe"

    ”ohoo vizuri sana mzee mwenzangu kwanza nilishangazwa sana juu ya msimamo wako yani umekaa wiki nzima ukifiria tu! Ukichukulia yule Binti si damu yako"

    ”hivi wewe unazungumza nini si nishakubaliana nawe kuhusu hilo jambo"

    Mzee Abraham alizungumza kwa sauti ya ukari kidogo na kumfanya Sheikhe Milongo akate simu

    Tukija kwa bibie Milfat siku hiyo alikuwa amekaa kwenye kibaraza cha nyumba yake mkononi alikuwa kakamatia nakala ya kitabu kiitwacho Nyeto Nyetoni kutoka kwa Mtunzi mahiri wa Chombezo Action zenye kusisimua hapa nchini Aitwae Hafidhi Jr Ikram

    ”wee Gerald"

    Milfat akapaza sauti kumwita Gerald aliyekuwa kakaa karibu na Geti

    “naamu Madam"

    ”embu Njoo mara moja"

    Gerald akafanya haraka kwenda kumsikiliza Bosi wake

    wakati anapiga hatua za haraka Mara ghafla kuna kitu kama upepo hivi kilikuja kumkumba na kumfanya asimame

    ”vipi tena mbona umesimama tu hapo?"

    Milfat akauliza swali

    “ahaa hamna kitu nilikuwa naangalia pale nilimuona mdudu nikadhani nyoka kumbe mjusi"

    Gerald akajibu kwa kujibaraghuza kama vile sio yeye

    ”mmh uwoga wako tu mwanaume mzima kuogopa nyoka wakati masaa ishilini na nne upo naye"

    ”khaa Madam unamaanisha nini kusema natembea na Nyoka?"

    Gerald akauliza

    ”embu tuachane na hayo naomba ukaniandalie juisi ya maembe"

    ”sawa Madam"

    Gerald akaingia ndani ajabu iliyotokea ni pale alipoingia ndani alianza kubadirika na kuwa kiumbe cha ajabu mfano wa Nyamaume akatembea kwa Mwendo wa mikogo huku mkia wake mkubwa ukiburuzika

    *********

    “siku ya leo tuna moja kati ya kazi nyeti sana hapa wanahitajika watu wawili tu kwaajili ya kwenda kuifanya kazi hiyo.

    Kwa upande wangu nimejaribu kupitia baadhi ya nyaraka mwishoe nimeonelea hii kazi itafanywa na Madebe akishirikiana kwa ukaribu zaidi na Wahida"

    Yote yalikuwa ni maelezo kutoka kwa bibie Sasha hali ya kambi ilishatulia vijana wapya walishaongezwa na siku hiyo alishapokea oda kutoka kwa tajiri mmoja aitwae bwana

    Rajabu Kubrat juu ya kwenda kuchukuwa kofia ya kifalme kwenye kasri lililipo nchini Pakistan.

    Ndipo akachaguliwa Madebe na Wahida

    ”why?"

    Dayna akauliza kwanini

    ”mmh nawe vipi tena?"

    Sasha naye akamuuliza

    ”nauliza kwanini hii kazi wapatiwe wapenzi wawili hivi unadhani wakielekea huko kutakuwa na kazi kweli? Kama sio kufanya starehe?"

    Dayna akahoji

    ”sidhani kama itakuwa hivyo kwa maana wote tunafahamu Wahida awapo kwenye kazi maswala yote ya kipuuzi huyaweka pembeni"

    Sasha akajibu

    ”au ulitakaje ndugu yangu?"

    Sasha akamuuliza

    ”mi naonelea niende mimi na Hafidhi"

    “sawa haina shida ili mradi kazi ifanyike kama vile ilivyopangwa

    Mimi siwezi kwenda huko"

    Ninja Ice akakataa

    ”khaa kwanini huwezi kwenda?"

    Dayna akauliza huku akimgeukia Ninja Ice aliyekuwa kaegemea ukuta

    ”nimeamua tu! Kuwa siwezi kwenda oyaa Madebe na Wahida fanyeni mjiandae kwaajili ya kwenda kuifanya hiyo misheni"

    Ninja Ice alizungumza hivyo haliyakuwa akishika kitasa cha mlango kutoka nnje kitendo ambacho kilimchukiza sana Dayna akapaza sauti kumwita

    ”wee Hafidhi"

    Ninja Ice akasita kufungua mlango

    ”hivi unafahamu kama mimi ni mmoja kati ya mabosi wako!"

    ”ndiyo nafahamu"

    ”kama unafahamu kwanini unataka kupinga maamuzi yangu?"

    ”sina maana hiyo mkuu watu waliopangwa kwenda kuifanya hiyo kazi tayari washachaguliwa ajabu wewe unataka kupinduwa uteuzi huoni kama hiyo Misheni itakuja kuferi"

    Ninja Ice akatoa maelezo Sasha akapiga makofi kama pongezi kwakile alichokizungumza Ninja Ice

    ”sawa haina shida wataenda hawa walioteuliwa"

    Dayna akakubari japo kishingo upande

    Ninja Ice alipotoka nnje akawa anahisi mapigo yake ya moyo yanapiga kwa kasi

    Kitu ambacho kilimfanya anyooshe mkono ghafla alishtuka kwa alichokiona mbele yake

    ”ohoo shit!"

    Alitamka hivyo huku akipotea kama vumbi kile kitendo cha kupotea Madebe aliweza kukiona akabaki kutabasamu



    -------

    Episode (46)

    **********************

    ”sawa haina shida wataenda hawa walioteuliwa"

    Dayna akakubari japo kishingo upande

    Ninja Ice alipotoka nnje akawa anahisi mapigo yake ya moyo yanapiga kwa kasi

    Kitu ambacho kilimfanya anyooshe mkono ghafla alishtuka kwa alichokiona mbele yake

    ”ohoo shit!"

    Alitamka hivyo huku akipotea kama vumbi kile kitendo cha kupotea Madebe aliweza kukiona akabaki kutabasamu



    Songa nayo

    Sasa



    ”vipi tena mwenzetu mbona macho kodo kuangalia kule halafu unatabasamu?"

    Wahida aliuliza

    ”mmh wala hamna kitu"

    Madebe alighuna na kujibu hivyo

    ”hamna kitu wapi? Wakati muda tu nilikuona ukimuangalia Hafidhi pale kisha ukakenua meno tu!"

    Wahida akazidi udadisi sijui na yeye aliweza kuona jinsi Ninja Ice alivyotoweka

    ”wee naye umezidi umbeya kama vile Mwanamke wa kibongo jamani!"

    Madebe alizungumza kiutani huku akiupeleka mkono wake akafanya kulipapasa tumbo la bibie

    ”mmh baby nini bwana embu muache mtoto alale huko"

    Wahida alizungumza kwa kudeka basi wakakumbatiana na kukutanisha ndimi zao

    ,,,aaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaasssssssssssssssssss,"

    Wahida alideka kwa kilio cha mahaba

    ”bila shaka hiyo ndiyo kazi mliokabidhiwa ehee?"

    Mara walishtushwa na sauti ya Bibie Dayna akiwauliza hivyo ilibidi waachiane

    ”endeleeni tu!"

    Dayna aliwaambia hivyo kisha huyo akaondoka zake

    ”ni wivu tu!"

    Madebe alitamka hivyo na kumfanya Wahida acheke

    “Twenzetu ndani basi"

    Wahida alimtaka waelekee ndani wakashikana mikono na kuelekea chumbani walipoingia tu

    Wahida alifanya kumvuta Madebe na kuanza kumvua shati na vesti yake alipomaliza hapo alipiga magoti kama mtumwa anayetaka kuomba msamaha baada ya kufanya kosa, kumbe Wahida ndani ya gauni lake jepesi alivalia chupi pekee tena ile bikini, basi mtoto taratibu alijivua gauni lake na kubaki na bikini tu, mapaja yake manono sasa! Yaliyonona yalioneka vyema

    bila chenga, hapo kiunoni, kitovu kizuri kilichoingia ndani,rangi adimu aliyonayo vyote hivyo vilimfanya Madebe ajione kama yuko ndotoni, maana kummiliki Mrembo mwenye Asili ya Kiarabu ni nadra sana kwa watu weusi kama yeye Wahida

    Alipomaliza kuvua gauni lote na kulitupa pembeni, alitembea kwa magoti na kuingia katikati ya mapaja ya Madebe taratibu bila pupa alimfungua mkanda na kuishusha suruali,alipoivuta tu na kufika magotini, alijifanya ameshtuka jambo

    “aaaah!,jamani hili dudu kila siku linazidi kuwa kubwa"

    Wahida alizungumza hivyo huku akimalizia kuishusha ile suruali mpaka chini kabisa, alipoivua yote, sasa akawa anahema kuliangalia Dudu lilivyotuna kwenye boksa tena lilikuwa kama linapumua vile ndani ya boksa.

    Alilegeza mdomo mtoto wa kike na kujaza mate ya kutosha, aliusogeza mdomo wake mpaka kwenye mtuno huo wa Dudu, mtuno wenyewe ulionyesha Dudu limeelekea kushoto,basi alitoa ulimi wake na kuanza kulifuatisha mpaka kwenye kichwa

    “aaaaaaaaaaaah,"

    Madebe alighuna ambapo mtoto alikiingiza kile kichwa mdomoni kikiwa vilevile ndani ya boksa akawa anafanya kama anakipumulia ile hewa ya joto la mdomoni, Mwanaume alijihis raha mpaka kuinua sura yake juu kwa utamu

    Taratibu alianza kuivua boksa yake mpaka chini kabisa, dudu liliachwa huru sasa likinesanesa, halikuwa imara sana Wahida akaanza kazi ya kulifanya liwe imara ili miguso mnato ianze,aliutoa ulimi wake nje kama nyoka vile,alikuwa akicheza juu chini haraka haraka,alipokigusa kichwa cha dudu kwa staili hiyo, Madebe alianza kuguna tu kwa utamu

    “aaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,ssssssssssssssssss,,aaaaaaaaaaaaaaaaa"

    Alilalamika Madebe huku dudu lake likishughulikiwa kile kichwa alipoona Mwanaume anapagawa,aliliingiza lote mdomoni,alilizungusha na kulitekenya na ulimi wake hasa kwenye kichwa kile, Madebe mwenyewe alishindwa hata kukaa vizuri kwenye kochi.

    Mikono yake laini Wahida aliipeleka mpaka kwenye kende na kuanza kuzitomasatomasa,nyege zilimpanda Madebe mpaka akachanganyikiwa kabisa,dudu lilidinda vyema kiasi kwamba hata kurudi chini halikurudi,lilinesa lakini juu kwa juu.Hapo tena

    Madebe alimshika bibie uso kama anataka kumpiga kisha akaanza kumnyonya denda huku akimwinua taratibu.

    Dudu la Madebe lilisimama hasa kama kitwangio cha kinu kidogo kilichochomekwa ardhini. Alimshika kiuno Wahida na kumvutia upande wake, mtoto naye alijilegeza hasa, Mwanaume aliivuta ile bikini na kuikata mikanda yake kisha kuitupa kule,aliyavamiwa matako laini ya Mtoto wakidosi na kuanza kuyaminyaminya kama anachagua nyanya sokoni

    ”aaaaaaaaaaaah,,,bebi

    iiiiiiiii aaaaaaaaaaah,,fuck,,asssssssss,,"

    Alilalamika Wahida ambapo ni kama alikuwa akimpandisha mizuka Madebe

    Bila ya kuambiwa Binti mwenyewe,alijipanua mapaja na kujiandaa kukalia dudu lililosimama hasa, Madebe aliliandaa lile dole la kati ambalo wengi huliita la matusi kisha akalipenyeza kwenye Kipapatio kisichokuwa na upele hata mmoja cheupee akaanza kumtekenya kiarage chake kilichosimama

    “aaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,nitombeeeeeeeee,,

    aaaaa,,aaaaaaaaaashiiiiiii,,,oooooooouuuuuh,eeeuuuuuuuuuwii"

    Alilalamika Wahida kwa utamu mpaka alitia nyege tena.Basi Madebe alipokuwa akimchezea kiarage chake,akawa anakishusha kidole chake chini taratibu huku akijua chini kuna Dudu lililosimama, vyema naye Wahida alikuwa akikifuata kidole taratibu alihisi utamu alipokuwa akitenywa kiarage chake,ilifika muda alishtuka na kupiga yowe la utamu,pale Dudu lilipogusa mashavu ya kipapatio "aaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiii,,,taratibu mpenziiiiiiiii,,,

    *******

    “wee Gerald, Gerald"

    Milfat aliita zaidi ya mara mbili lakini hakuweza kuitikiwa

    ”mmh inamaana hanisikii au vipi?"

    Milfat alijiuliza hivyo huku akinyanyuka kutoka kwenye kiti akapiga hatua kadhaa kuingia ndani alipowasili sebureni tu! Mara akajihisi kushikwa na kizunguzungu cha ghafla kitabu kikamponyoka na kudondoka chini akajishika kichwani huku akipepesuka akawa anaita

    ”Gerald, Gerald, uko wapi wewe?

    Mara puuh akadondokea kwenye sofa

    Kumbe yule kiumbe alikuwa kajibanza nyuma ya mlango Milfat alipoingia ndani yeye akafanya kumpulizia kitu! Baada Milfat kupitiwa na usingizi mzito yule Kiumbe akawa anajiandaa kumuingilia kawaida ya Majini watakapo kufanya mapenzi na Wanadamu hawana haja ya kukuvua nguo huingia kwenye mishipa ya Damu tu

    Wanakufanya vile wanavyotaka wao

    Wewe utakuwa unaota ndoto ukifanya mapenzi na watu tofauti

    Yule kiumbe udenda ulianza kumtoka yani kuuona upaja tu wa Milfat ye hoi

    Dudu lake kubwa zaidi ya Punda lilisimama ile kisawasawa akapiga hatua mbili tatu kumsogelea Milfat aliyekuwa ajitambui mara akasita kumsogelea na kurudi nyuma

    Kilichomfanya asite ni ujio wa Ninja Ice aliyeibuka ghafla tena akitokea mwilini mwa Milfat

    “nani wewe"

    Yule kiumbe aliuliza

    ”umetumwa sio sasa kama umetumwa nenda kamwambie huyo aliyekutuma ya kwamba kazi imebuma vinginevyo utakiona cha mtema kuni"

    Ninja Ice alizungumza kwa kujiamini

    ”nakuuliza tena nani wewe?"

    Jibu likajibiwa kwa Ninja Ice kuachia nyembe zake zilizoenda kukita mwili mwa yule kiumbe alipiga kelele kwa maumivu mwili wake ulianza kuteketea utasema Binadamu aliyemwagiwa Tindikari. Akapasuka vipande vipande

    Ninja Ice akafanya kuvipuliza vile viungo vya yule kiumbe vikapotea vyote kisha Mwanaume akanyoosha kidole kuelekezea ukutani punde aliweza kuonekana kijana Hashimu akiwa amekondeana na kukongoroka vibaya sana Ninja Ice akatikisa kichwa kwa masikitiko akafanya

    Kujirudi akaingia kwenye mwili wa Milfat sekunde si nyingi Bibie akazinduka kutoka kwenye usingizi mzito kama tunakumbuka Ninja Ice aliwahi kumwambia Milfat mimi ndiyo wewe na wewe ndiyo mimi

    ”mmh"

    Milfat akaghuna baada kuzinduka na kujikuta akiwa yupo Sebureni

    ”Gerald"

    Akapaza sauti kumwita Gerald aliyekuja mbiombio kutokea jikoni huku kabeba jagi la Juisi





    **********************

    akanyoosha kidole kuelekezea ukutani punde aliweza kuonekana kijana Hashimu akiwa amekondeana na kukongoroka vibaya sana Ninja Ice akatikisa kichwa kwa masikitiko akafanya

    Kujirudi akaingia kwenye mwili wa Milfat sekunde si nyingi Bibie akazinduka kutoka kwenye usingizi mzito kama tunakumbuka Ninja Ice aliwahi kumwambia Milfat mimi ndiyo wewe na wewe ndiyo mimi

    ”mmh"

    Milfat akaghuna baada kuzinduka na kujikuta akiwa yupo Sebureni

    ”Gerald"

    Akapaza sauti kumwita Gerald aliyekuja mbiombio kutokea jikoni huku kabeba jagi la Juisi



    Songa nayo

    Sasa



    ”khee mara hii juisi ishakuwa tayari!?"

    Milfat aliuliza kwa mshangao huku akinyoosha mkono kulipokea Jagi

    ”ndiyo Madame kawaida yangu mimi siku zote nipo shapu tena ile faster zaidi"

    Gerald alizungumza kwa kujinadi akaweka Glass mezani

    ”hivi Madame vipi kuhusu swala la kumfatilia mumeo kipenzi maana sioni juhudi zozote zikifanyika juu ya upatikanaji wake?"

    Gerald aliuliza swali

    kwanza Milfat alimimina Juisi kwenye Glass akanywa funda mbili tatu na kuitua Glass mezani akamuangalia Gerald aliyekuwa kasimama wima kitambaa mkononi

    ”kwani wewe wasiwasi wako nini hasa?

    Milfat akauliza swali pasipo kujibu kile alichoulizwa

    ”mmmh mimi sina wasiwasi wowote ule. Bali nimeuliza tu!

    ”basi ni vyema kama hauna wasiwasi kama pesa unapata kula unakula tena kuanzia sasa nataka kukuongezea mshahara wako mara mbili zaidi ya huu"

    Milfat alizungumza kwa kutabasamu

    ”whaoo unasema kweli Madame?"

    ”ndiyo au huamini? Kama huamini basi nisubiri hapo nakuja sasa hivi"

    Milfat akanyanyuka na kuelekea chumbani kwake punde akatoka mkononi akiwa kabeba Bahasha ndogo iliyotuna

    Akamkabidhi Gerald

    “embu kamata hii hiko ni kiasi cha pesa kama sikosei ni milioni moja na nusu nimeamua kukupatia kama shukrani yangu kwako kwa kuweza kuwa nami bega kwa bega katika kunilinda.

    Pia ningependa kukupatia likizo ya wiki moja uwende nyumbani ukafurahi na familia yako"

    Milfat alizidi kumdatisha Gerald aliyekenua meno yote nnje kutokana na furaha ya kupitiliza

    ”Asante sana Madame Mungu akubariki sana"

    Gerald akafanya kujiandaa na kuondoka zake pindi Gerald alipoondoka tu Milfat naye akapotea kwa kuyeyuka kama vile Moshi uliokumbwa na upepo.

    ”Ngriii,,Ngrii,,Ngrii"

    Mlio mkari wa sauti ya simu ya mezani ulisikika ukilia muda kidogo simu ile ikapokelewa

    ”Assalamu Alaykum"

    Sauti ya upande wapili ilisikika ikisalimia

    ”kwa sasa sina haja ya kuitikia salamu ya kipumbavu tena kutoka kwa mpumbavu kama wewe"

    Sheikhe Milongo alizungumza kwa ukali

    ”unamaanisha nini kuzungumza hivyo ewe ndugu yangu?"

    ”sikia nikwambie kitu Abraham bila shaka wewe haunijui vizuri mimi. Kitu kama ulikuwa hautaki ni vyema ungeniambia kuwa staki.

    Mi nisingeweza kukulazimisha isipokuwa wewe mwenyewe ukaomba muda wa kufikilia mwishoe ukanipa jibu kwamba umekubaliana nami. Ajabu leo hii unamtuma kiumbe mwengine kwenda kumuangamiza kijana wangu kweli!"

    ”mbona sikuelewi unazungumza nini wewe?"

    ”unajifanya unielewi si ndiyo ehee? Sasa kwa taarifa yako damu yako ni halali yangu"

    Simu ikakatwa mara ikaanza kuita tena Sheikhe Milongo akaipokea

    ”khaa,,khaa,,khaa,,kha"

    Sauti ya upande wapili ikasikika ikitoa kicheko cha ajabu kicheko ambacho ni kama mabati mabovu yenye kugongana sababu ya upepo au kama mtu ana kwangua sufuria yenye ukoko

    Sheikhe Milongo alianza kutetemeka sijui kwa uwoga au hasira

    “ni wewe?"

    Sheikhe Milongo aliuliza bila shaka sauti ile alishaweza kuifahamu

    ”wewe ni Sheikhe au ni Mshirikina"

    Sauti ile ikauliza swali safari hii ilikuwa ya kuunguruma

    “mimi ni Sheikhe kwa maana nasoma Qur'an, pia ni Imamu mkuu pale Masjid Muembeni"

    Sheikhe Milongo akajibu

    ”embu acha unafki wako wewe unataka kuuficha uwovu wako kupitia Mwamvuli wa kiucha Mungu sio?"

    ”hata nikijionyesha kwani wewe inakuhusu nini?"

    Sheikhe Milongo akauliza kwa kujiamini

    ”sikia nikwambie kitu Milongo nguvu ulizokuwa nazo kwa upande wangu si chochote si lolote

    Mara chumba kizima kilianza kutetemeka Sheikhe Milongo alishikwa na maruweruwe

    Mara akashtukia akishikwa shingoni na kunyanyuliwa juu kwa juu alibaki kutoa macho na kupapatika utasema sisimizi kwenye kikaango cha moto.

    ”ahaaaa,,okhoo,,nisamehe,,mkuu,,"

    Yule kiumbe hakuwa mwingine bali ni Nipe Nikupe sijui wapi alipotokea?

    Baada kumning'iniza Sheikhe Milongo kwa muda akamuachia na kubwaga chini kisha yeye akaenda kukaa kwenye kiti

    Sheikhe Milongo alijishika shingoni huku akijaribu kuvuta pumzi kwa kukohoa maana kule kukabwa alishamuona Malaika mtoa roho akijongea kama sio kuachiwa sijui ingekuwaje

    ”khaa,,khaa,, Milongo"

    Nipe Nikupe alicheka kicheko chake kibaya na kumwita Milongo

    ”naamu mkuu"

    “bila shaka umeshtushwa sana juu ya ujio wangu hapa! Ni miaka mingi imepita tokea nihitaji kuutengeneza utawala wangu

    Kwenye kijiji kimoja wapo kiitwacho Kilwa Kiwawa niliweza kufanikisha baadhi ya mambo nikiwa katika hatua za mwisho kumalizia vitu kadhaa mara kikaja kuibuka Kidudu Mtu kimoja hivi sijui kinajiita nani?

    Naweza kusema ni kakijana Kadogo sana kiumri lakini ni katata hako maana alinisumbuwa vibaya mno. Nilipelekeshana naye huku na kule mwishoe akanishinda naweza kusema ni kwa sasababu ya uzembe wangu ndiyo uliopelekea mimi kushindwa na Kibinadamu kile kilichopatiwa nguvu kutoka kuzimu"

    Nipe Nikupe alizungumza kwa hasira na kumfanya Sheikhe Milongo ashangae

    ”inamaana mkuu Mwanadamu ndiyo aliyekushinda?"

    ”ndiyo kalinishinda mpaka ikasadikika mimi nimeshafariki kumbe baada kuzungushana na kale katoto nikatumia ujanja wa Nyani yani nilifanya kuutengeneza mwili wangu feki nikauwacha upambane wakati mimi nikikimbilia Ozonia nikajichimbia huko kwa muda naweza kusema kale kabinadamu ni nyoko"

    ”pole sana mkuu"

    ”kwa sasa usinipe pole kwa maana nimerudi tena. nahitaji kutengeneza jeshi kubwa lisiloweza kushindikana, nitakusanya Wanadamu Majini Wanyama na Mimea pindi jeshi litakapoweza kukamilika tutaanza kuwasha moto ndani ya jiji la Dar es Salaam"

    ”kuanzia sasa mimi ni mmoja kati ya wanajeshi wako watiifu kabisa"

    Sheikhe Milongo alizungumza hivyo na kumfanya Nipe Nikupe ampigie makofi akanyoosha kidole na kumuelekezea Milongo alijikuta yupo sehemu ngeni kabisa

    Mbele yake kulikuwa na Bonge la jitu lenye kutisha

    “karibu kwenye utawala mpya ewe Milongoo, hakika tumefurahishwa nawe kwa kuweza kujiunga nasi, tukiwa na imani tutaweza kupata wafuwasi wengi sana kupitia wewe. Nasi hatuna budi kukupatia Uwezo wa kutibu maradhi mbali mbali.

    Embu angalia kushoto kwako na kuliani kwako"

    Milongo akafanya hivyo alishtuka sana baada kuweza kuona Majini takribani elfu mbili wakiwa wamepangana kwenye mistari yenye kunyooka,

    ”bila shaka umeweza kuwaona sasa hao wote wapo chini yako ni heshima iliyoje juu yako ewe Milongo tunachokuomba usitusaliti kwani kufanya hivyo ni sawasawa na kujiwekea msumeno shingoni mwako kisha ukauchikicha

    Tunachohitaji kutoka kwako ni kuhakikisha kila wiki unaunganisha wanachama wapya si chini ya watano

    ”sawa mkuu nitafanya hivyo"

    Mzee Milongo aliitikia huku akiwa katika hali ya uwoga

    ”bila shaka tumeweza kuelewana"

    Yule kiumbe alizungumza hivyo ikawa kufumba na kufumbua Mzee Milongo kujikuta akiwa ndani ya chumba chake jasho jingi lilimtoka mwili ulimtetemeka japokuwa yeye ana uwezo wa kuongea na majini kwa muonekano wa yule kiumbe kulimtisha na kumuogopesha hakuweza kumfahamu ni nani yule. Akaangaza macho huku na kule katika kukikagua chumba chake alifanya hivyo kama vile ni mara yake ya kwanza kuingia humo

    *********

    ”oyaa weka denda msokoto unaisha huo"

    Ilikuwa ni kauli kutoka kwa kijana mmoja akimwambia mwenzie aliyekuwa akivuta Bange

    Akafanya kutema mate na kuipaka kwa mbele kisha akaendelea kuipuliza wakati wanaendelea kupiga stori za hapa na pale ghafla tu upepo mkari ulianza kuvuma kitu ambacho kiliwafanya wale vijana wajiulize kuna kimbunga au vipi?

    Mara alionekana bibie Milfat akijongea maeneo yale kila alivyokuwa anakaribia eneo lile ndivyo upepo ulizidi kuwa mkari vijana walishikwa na kiwewe maana kule kustahamili kusimama au kukaa kuliwashinda ilibidi washikana mikono huku wengine wakishikilia Vyuma

    Alipowafikia tu! Upepo ukatoweka vijana walibaki kuhema kwa shida

    ”ahaaa,,wee Malaya ndiyo uliyekuja na huu upepo sio?"

    Kijana mmoja akauliza

    ”oyaa masela tutambaeni faster maana huyu Malaya atakuwa ni mchawi"

    ”mchawi kitu gani kwani kama vipi tumsauleni kisha tujisevie si kajileta mwenyewe"

    Wale vijana walizungumza hivyo wakafanya kumsogelea Milfat alikuwa kasimama kama vile sanamu alikaza macho yake kuwaangalia wahuni wale

    Mmoja kati yao si akajifanya kimbelembele kwa kunyoosha mkono ili amshike Milfat kifuani ghafla alijikuta akidakwa akavutwa na kung'olewa mkono alipiga kelele za maumivu huku akidondoka chini damu zilimtoka kwa wingi

    Milfat alianza kutembeza kichapo kwa wahuni wale hakuwa tena Milfat yule binti chaupole Maana alimshika kichwa mmoja wao na kufanya kukizungusha huku mwingine akimsokomeza ule mkono mdomoni akauvuta kwa kuupeleka upande wa kushoto akamchanachana mashavu

    Damu nyingi zilitapakaa ubongo uliruka huku na kule Milfat alitapakaa damu kama vile yupo machinjioni

    Baadhi ya watu walioweza kushuhudia Mauwaji Yale ya kinyama walipiga simu polisi

    *********

    ”safii, wauwee"

    Ninja Ice alizungumza hivyo kumbe wakati Milfat akipambana na wale vijana yeye alikuwa kakaa sehemu akishuhudia kila kitu kupitia TV ya kijini

    ”wee vipi tena mbona unaongea peke yako hapo?"

    Alishtushwa na sauti ya Sasha akimuuliza kudadeki kumbe alisharejea Israel akafanya haraka kuiondoa ile tv na kujikausha kama vile sio yeye

    “kuna kitu nilikuwa naangalia kwenye simu ndiyo kimenifanya niongee na kucheka peke yangu!

    Ninja Ice akajibu hivyo

    ”mmh kitu gani hiko embu na mimi nikione!"

    Sasha akaomba naye kuona akakaa chini

    ”haya lete tuone basi sasa mbona unaficha ficha bana?"

    ”tatizo lako ukiona utaota ujuwe hivi vitu huwa haviangaliwi na Watoto wadogo"

    Ninja Ice alizungumza hivyo huku akijaribu kuuficha mkono wake

    “nani mtoto sasa embu lete nione huko, khaa kumbe unaangalia watu wakitomban** Mungu wangu wee"

    Sasha alizungumza hivyo baada kuonyeshwa video ya ngono iliyokuwa ikiendelea kwenye simu

    ”si nilikwambia mimi ukiona utaota si unaona sasa ushaanza uwog,,,

    Ghafla Sasha alimziba mdomo Ninja Ice na kumtaka anyamaze akaupeleka mkono wake mpaka kwenye zipu ya suruwali hapo alikutana na Dudu likiwa limedinda ile kisawasawa akaanza kulipapasa





    **********************

    ”mmh kitu gani hiko embu na mimi nikione!"

    Sasha akaomba naye kuona akakaa chini

    ”haya lete tuone basi sasa mbona unaficha ficha bana?"

    ”tatizo lako ukiona utaota ujuwe hivi vitu huwa haviangaliwi na Watoto wadogo"

    Ninja Ice alizungumza hivyo huku akijaribu kuuficha mkono wake

    “nani mtoto sasa embu lete nione huko, khaa kumbe unaangalia watu wakitomban** Mungu wangu wee"

    Sasha alizungumza hivyo baada kuonyeshwa video ya ngono iliyokuwa ikiendelea kwenye simu

    ”si nilikwambia mimi ukiona utaota si unaona sasa ushaanza uwog,,,

    Ghafla Sasha alimziba mdomo Ninja Ice na kumtaka anyamaze akaupeleka mkono wake mpaka kwenye zipu ya suruwali hapo alikutana na Dudu likiwa limedinda ile kisawasawa akaanza kulipapasa



    Songa nayo

    Sasa



    ”aaaah,,,aaaaaaaah,,, ,,,whaaooo!,dah! Zinga la Dudu jamani leo nataka unitie mpaka nijikojolee"

    Sasha alizungumza hivyo

    ”inaonekana una nyege sana ehee?"

    Ninja Ice aliuliza kwa sauti yenye kubembeleza

    “ndiyo,nna nyege balaa,,nataka unitombe mpaka nilie"

    Sasha akajibu

    ”usijali baby hapa ndipo penyewe"

    Ninja Ice aliongea hivyo kwa sauti ya malavidavi, taratibu Sasha aliinua macho yake yaliyolegea kama amekula Kungu na kumwangalia Ninja Ice kisha akaubana mdomo wake wa chini na kuurudisha mkono wa kulia mpaka kwenye zipu kumbe kitambo Mwanaume alishadindisha,

    basi akawa anaufuatisha ule mtuno wa Dudu taratibu,ni kama shoti ya umeme ilikuwa inampitia Ninja Ice ”mmmmh,,aaaaaaaa"

    alighuna hivyo huku akitaka kama kufumba macho

    Sasha Taratiibu akawa anaifungua zipu ya suruali ajabu

    Ninja Ice akaushika ule mkono na kumtaka Sasha asiendelee kufanya hivyo

    ”ahaaaa,, nini tena babii, niachie niishike jamani,,ohoo"

    Sasha alizungumza huku aking'ang'ania kuingiza mkono kwenye boksa ya Mwanaume kuonyesha ni jinsi gani kazidiwa na nyege

    Ninja Ice akakaza kumzuia

    ”ohoo hapana mkuu kiukweli sipo tayari kulala na wewe"

    Ninja Ice alizungumza hivyo kisha akajitoa maungoni mwa Bibie taratiibu akapiga hatua kadhaa za kuondoka

    ”khaa wee Hafidhi nini sasa hii mbona unanifanyia hivyo jamani? Unaniachaje katika hali kama hii jamani"

    Sasha alizungumza huku akijaribu kumfata Ninja Ice kwa nyuma

    ”tambua kitu kimoja wewe ni mkuu wangu wa kazi sasa kama itatokea siku moja nikalala nawe huoni kama heshima yako juu yangu itashuka mkuu?"

    Ninja Ice alijaribu kutoa utetezi

    ”mmh hilo mi sitojari kwakuwa nishaamua mwenyewe kukupenda kwanza naomba utambue kitu kimoja Hafidhi ukiona nafanya hivi kwako basi tambuwa nimetokea kukupenda kiukweli katika maisha yangu nililala na Mwanaume mmoja tu! Huyu ndiyo aliyenitoa usichana wangu. Nikatokea kumpenda na kumthamini kupita kiasi. Licha ya kumuonyesha upendo mwisho wa siku akaja kunisariti kwa kutembea na rafiki yangu kibaya zaidi niliwafumania wakifanya mapenzi kwenye Chumba changu tena juu ya kitanda changu hakika niliumia sana moyo. Tokea siku hiyo nilitokea kuwachukia wanaume nikaamua kujiingiza kwenye swala zima la Usagaji"

    ”unasagwa au unawasaga?"

    Ninja Ice aliuliza maana maelezo ya Sasha yalimshitua kidogo

    ”nawasaga yani mimi ndiyo mwanaume

    Tafadhari nakuomba nitunzie hii siri kwa maana huu mchezo sijawahi kuufanya ndani ya kambi hii

    sihitaji Dayna aweze kufahamu kama mimi ni msagaji binafsi anawachukia sana watu wa namna hiyo. Pia naomba unisaidie niondokane na hili janga"

    Sasha alizungumza hivyo

    ”mmh sawa nimeweza kukuelewa kwa sasa unatakiwa kuwa na subra binafsi sitoweza kuzini nawe nitakuoa bibie ili uweze kuiepuka zinaa"

    ”whao inamaana utanioa niwe mkeo uwe mume wangu?"

    Sasha alifurahi sana kuskia vile

    ”ndiyo maana yake"

    Basi wakakumbatiana na kubadirishana mate.

    Bwana mkubwa Madebe na bibie Wahida tayari walishajiandaa na safari ya kuelekea Misri kwaajili ya kwenda kuifanya kazi waliyokabidhiwa

    Ndani ya nusu saa baadae walishakuwa juu angani ndani ya Helicopter

    ”mmh"

    Wahida alighuna baada kumuangalia kipenzi chake kwa muda

    ”nini tena?"

    Madebe akauliza

    “wala hamna kitu"

    ”mmh sawa"

    Muda kidogo rubani aliwapa taarifa kuwa wajiandae kuzifunga vyema Parachuti zao kwa maana sehemu husika haipo mbali na hapo nao wakafanya hivyo nikweli sehemu waliyotakiwa kushuka kwa kuruka haikuwa mbali walipowasili tu Wahida akafanya kumshika mkono kipenzi chake wote wakachumpa kwenda chini na kuiacha helicopter ikirudi ilipotoka waliambaa juu kwa juu mwishoe wakatua chini

    ********

    “Nini hiki!?"

    Mkuu wa kituo cha polisi Kawe bwana Mwita aliuliza kwa hamaki baada kuiona miili ya vijana wale wa kijiweni wameuwawa kikatiri sana, hakika ilitisha kuiangalia

    Ispekta Sebastian hakuwa na jibu la kumpatia mkuu wake zaidi ya kutikisa kichwa

    ”juzi juzi tu hapa kuna kijana mmoja ameuwawa kila siku nawaambia msikaekae hovyo maofisini na kuotesha vitambi wakati Mabosi wanaotulipa Pesa za kuotesha hivyo vitambi Wanauwawa huku embu angalia yule kijana alivyonyofolewa Ulimi katolewa na macho"

    Bwana Mwita alizidi kufoka na kumtaka Ispekta Martin aingalie hiyo maiti

    Muda kidogo miili yote ilikusanywa na kupakizwa kwenye Gari safari ya kupelekwa hospitali kwaajili ya kuhifadhiwa ikaanza

    “hahahahaha"

    Wakiwa ndani ya Gari Ispekta Sebastian alianza kucheka

    ”wee naye nini tena?"

    Ispekta Martin aliuliza

    ”hahahahaha unajua nini Martin!"

    ”ehee nambie mkuu"

    ”mwenzako sicheki kwa mazuri bali nacheka baada kumkumbuka Madebe"

    ”umemkumbuka kwa lipi hasa mpaka ucheke?"

    ”nimemkumbuka kutokana na utukutu wake hakika alituhenyesha sana yule kijana tena alipandisha sauti mbele ya Bwana Mwita ukichukulia yeye sio Afande ajabu sisi na maujuzi yetu tunafokewa kama Watoto wadogo"

    Ispekta Sebastian alizungumza hivyo

    ”nikweli kaka hakika tunaonekana hatuna heshima yoyote ile juu ya kazi yetu. Tumekuwa ni watu wa kupelekeshwa pelekeshwa kama vile Watoto sema nini ndugu mimi nipo katika harakati za kuomba uhamisho kiukweli Mwita hafai kuwa mkuu wa kituo embu angalia swala hili la Mauwaji ya kutisha anatushupalia sisi kama vile tupo peke yetu!"

    Ispekta Martin alizungumza hivyo wakati safari inaendelea kufika maeneo ya Kawe Ukwamani kama unataka kuelekea Mwenge kuna gari ilikuja kwa kasi kutokea upande ule wa Tegeta sijui Dereva wa Gari ile hakuona kama kuna taa nyekundu imewaka ikimtaka asimame yeye akapitiliza kitendo kilicholeta tafrani kwa muda ule maana Gari yake ilienda kukita ubavuni mwa Gari iliyopakiza miili ya wale vijana sauti ya kishindo kizito iliweza kusikika huku ile Gari yenye Maiti ikibimbilika kwenye kirima cha kutokea Tegeta

    Yani ilibimbilika kama Mara tatu ilipokuja kutulia moto mkubwa ulianza kuwaka ikawa ni taharuki isiokuwa na kifani

    Ispekta Martin na mwenzake Sebastian walishuka kwenye Gari waliyokuwa wamepanda walianza kufanya jitihada za kuwaokoa wenzao waliokuwa wamepanda kwenye ile Gari iliyokuwa ikiteketea kwa moto. Jitihada zao hazikuweza kusaidia chochote maana moto ulikuwa mkubwa hakuna aliyeweza kusogea

    ”fanya ukamuangalie yule Mshenzi aliyesababisha hii ajali"

    Ispekta Seba alitoa maelekezo kwa Martin aliyefanya haraka kulisogelea hilo Gari wakati huo lilishazungukwa na Wananchi

    ”wee mshenzi embu fungua mlango"

    Ispekta Martin alitoa amri baada kulifikia Gari vioo vya Gari hiyo vyote ni Tinted kasoro cha mbele tu!

    Ambacho kiliweza kuonyesha kuwa Dereva wa Gari hiyo ni Mzee wa makamo.

    ”tafadhari Mzee wangu nakuomba ufungue mlango mwenyewe huna budi kutii amri kutoka kwa Jeshi la polisi"

    Martin alizungumza huku akionyesha kitambulisho chake kupitia kioo cha mbele sijui kama Sauti yake iliweza kusikiwa na Mzee yule

    Mara ghafla yule Mzee akawasha Gari kwa kasi aliirudisha nyuma hapo akasababisha mauwaji mengine kwa kuwagonga baadhi ya Watu waliokuwa wamekaa nyuma ya ile Gari akaipeleka mbele na kumzoa Ispekta Martin akarushwa juu na kutupwa pembeni Gari ikatoweka

    Ispekta Sebastian alishangazwa sana juu ya jambo lile akaona usintanie akaiwahi Machine Gun

    ”lete funguo kijana"

    Ispekta Seba alitoa amri kwa Dereva Bodaboda mmoja aliyefika hapo kushuhudia ajali hiyo

    Mwenyewe akatoa funguo

    Kasi aliyoondoka nayo Sebastian ni balaa alitaka kuhakikisha anafanya juu chini ili aweze kumtia nguvuni mwaharamu yule

    Licha ya kuendeesha pikipiki ile kwa spidi zote mpaka anaipita Makongo hakuweza kuliona lile Gari akazidi kusonga mbele kufika Mwenge akasimama akapunga mkono kumwita Askari wa usalama barabarani uzuri zaidi Ispekta Sebastian alivalia kombati za kazi tofauti na Martin aliyevalia kiraia

    ”heshima yako mkuu"

    Yule Askari akapiga saruti na kutamka hivyo

    "vipi kuna gani aina Pickup yenye rangi ya kahawia namba za usajiri 345TZ imekatiza maeneo haya!?"

    Ispekta Sebastian aliuliza

    ”hapana mkuu mi nipo hapa tokea saa nane mchana mpaka muda huu hakuna Pickup yenye namba hizo iliyoweza kukatiza maeneo haya"

    ”aisee sasa huyu mshenzi atakuwa kaelekea wapi? Inamaana atakuwa kakatiza maeneo ya Lugalo!"

    Ispekta Seba alijiuliza hivyo

    ”vipi mkuu kwani kuna tatizo?"

    ”ndiyo kaka kuna ajali mbaya kasababisha huyu mshenzi kisha akakimbia"

    ”wapi huko?"

    ”pale njia panda ya Kawe"

    Ispekta Seba alijibu akafanya kugeuza na kurudi alipotoka

    **********

    Kha!kha!kha!kha!

    Safi sana Milongo hakika hatukufanya makosa kukuchaguwa wewe binafsi umeweza kuifanya kazi kama vile ilivyopangwa sasa basi kuna Binadamu mwingine tunahitaji uungane naye katika operesheni hii ya kuhakikisha tunakusanya jeshi lenye nguvu

    Huyu ni binti mwenye kipawa na nguvu za ajabu sana na yeye ndiye aliyefanya Mauwaji ya watu ambao miili yao ilikuwa ikipelekwa Monchwali. Na sisi hatukutaka ifike huko ndiyo sababu ya kukuagiza wewe ukazuie ule msafara"

    Ilikuwa ni Sauti yenye kuunguruma na kutetemesha kutoka kwa Nipe Nikupe akizungumza hivyo Milongo akabaki kutikisa kichwa tu!

    ”binadamu mwenyewe si mwingine ni yule binti pale embu muangalie"

    Milongo akainua macho yake kuangalia kwenye TV ya asili ghafla alishtuka baada kumuona Milfat

    ”vipi mbona kama umeshtuka?"

    Nipe Nikupe aliweza kuibaini hiyo hali ikabidi amuulize

    ”hamna kitu mkuu!"

    ”sawa kama hamna kitu ila tambuwa kitu kimoja mimi Nina uwezo wa kufahamu yote yaliyopo mbele yako na vile akili yako nini inawaza"

    ”khaa kwani wewe ni Mungu?"

    ”hapana mimi sio Mungu ila kuna mfumo maarumu nimejiwekea ukitaka kuamini hili subiri nikufafanulie"

    Nipe Nikupe alianza kutoa ufafanuzi wakila kitu mpaka Mzee Abraham alipokubaliana naye kuhusu Milfat alale na jini

    ”khaa yote haya umeyajuaje mkuu?"

    Milongo aliuliza

    ”kwa sasa tuachane na hayo embu kamata hii kitu"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo na kumpatia Milongo kichupa kidogo chenye Dawa ndani yake

    ”nini hii mkuu?"

    ”hiyo ni Kipapatio cha Nani?"

    “khaa unamaanisha nini kutaja kipapatio?"

    ”hiyo nikama Anti virus iliyokusanywa mifupa ya vipapatio vyakila aina

    Mwishoe vikachukuliwa Viarage vya wanawake waliokeketwa vyote kwa pamoja vilikaushwa na kutwanga unaposema kipapatio cha Kuku Bata Kanga Mbuni kwa binadamu wenyewe wana majina mengi utasikia kitumbua kipochi manyoya sijui papa. Sasa kutokana na mchanganyo huo likapatikana neno Kipapatio cha Nani? Bila shaka umeweza kunielewa"

    ”ndiyo mkuu je kazi ya hii Kipapatio niipi?"

    Kazi yake ni moja tu ni kuhakikisha Dunia inakuwa yetu sasa cha kufanya kila mteja atakekuja kwako kutibiwa hakikisha unampaka kwenye paji lake la uso

    Ukishampaka tu! Kuanzia yeye na ukoo wake wote ni wa kwetu sisi! Waweza kwenda kuianza hiyo kazi wacha mimi nikamrubuni huyu Binti aweze kujiunga nasi"

    Nipe Nikupe alizungumza kwa kirefu kidogo kisha akatoweka huku akimuacha Milongo akitabasamu akajisemea nitawapaka wengi sana

    Tena nitatangaza natibu magonjwa yote bule kabisa





    **********************

    atakae kuja kwako kutibiwa hakikisha unampaka kwenye paji lake la uso

    Ukishampaka tu! Kuanzia yeye na ukoo wake wote ni wa kwetu sisi! Waweza kwenda kuianza hiyo kazi wacha mimi nikamrubuni huyu Binti aweze kujiunga nasi"

    Nipe Nikupe alizungumza kwa kirefu kidogo kisha akatoweka huku akimuacha Milongo akitabasamu akajisemea nitawapaka wengi sana

    Tena nitatangaza natibu magonjwa yote bule kabisa



    Songa nayo



    Bibie Milfat siku hiyo alikuwa yuko bize kufanya usafi ndani ya Nyumba yake pamoja na maeneo ya nnje yani alifagia alipiga deki akafuta vumbi madirishaji akatoa nguo chafu nnje

    Alikatakata majani na kumwagilia mauwa yani aliweza kuzimudu kazi zote hizo pasipo kuchoka akiwa bado kuendelea na kazi Mara akaskia sauti ya kengere ya getini ikilia.

    Kwa kuwa mlinzi wa Getini hakuwepo basi akafanya kwenda kumuangalia huyo mgongaji ni nani.

    ”Assalamu Alaykum ewe binti yangu"

    Alisalimia yule mgongaji baada mlango wa geti kufunguliwa

    “waaleykum Ssalamu ewe Sheikhe wangu karibu ndani"

    Milfat aliitikia na kumkaribisha yule mgeni alikuwa ni Mzee wa makamu aliyevalia kanzu nyeupe na kikoi cheusi kichwani alivalia barakashia hakika alionekana kupendeza sana mkono wa kushoto alikuwa kashikilia mkongojo pia alikuwa na kimfuko cheupe ndani yake yalionekana Maepo

    ”ohoo ni miaka mingi kidogo imepita tokea niingie ndani ya Nyumba hii"

    Alizungumza Mzee yule baada kuingia ndani na kukaa kwenye sofa kubwa la watu watatu

    “ni kweli Sheikhe imepita miaka mitatu sasa tokea ulivyokuja kipindi kile kutia Baraka za nyumba hii kwa kusoma kisomo maarumu. Ehee vipi kina Hostadhi Rajabu bado wapo?"

    Milfat alizungumza hivyo na kuuliza kitu

    “wapo wamejaa tele au ukupata taarifa kama Rajabu ameoa

    ”nizipatie wapi? Kwa maana mimi muda wote nafungiwa ndani kama vile mwali"

    Milfat akajibu

    ”basi ndiyo hivyo Rajabu ameshaoa"

    ”basi vizuri naona umepitia sokoni kuwachukulia matunda wakezo?"

    ”ohoo nilitaka kusahau bwana hizi ni zawadi zako nimekuletea wewe"

    Sheikhe Kidevu alizungumza hivyo na kumpatia ule mfuko Milfat akaupokea na kutoa shukrani Stori ziliendelea wakati Milfat akiwa jikoni akiandaa chakula kumbe yule mgeni hakuwa Sheikhe Kidevu bali ni Mzee mzima Nipe Nikupe alianza kujibadirisha Mara awe Magoma sijui marehemu Mzee Kitwana alijibadirisha kila aina ya mtu mpaka umbile la Milfat mwenyewe mwishoe akajirudi na kuwa vilevile Sheikhe Kidevu hakika alicheka sana kicheko ambacho kilimshtua Milfat aliyekuwa jikoni

    Muda kidogo akatoka na hotpot akaliweka mezani aliandaa kila kitu

    ”mmh naona siku hizi umeacha ule ulaji wako"

    Milfat alizungumza hivyo baada kuona mgeni wake akilifinyata Tonge ni swali ambalo lilimshtua kidogo Nipe Nikupe kilikuwa ni kitendo cha haraka sana kwa yeye kuchekecha akili akapata jibu la kumpatia

    ”ohoo kumbe bado unaukumbuka ule uraji wangu wa kipindi kile"

    ”ndiyo nakumbuka siku moja tukiwa Madrasa uliwahi kutuambia pindi tumegapo chakula tuhakikishe hatufinyati ili kuepusha kutokugusa katikati ya kiganja

    Ikiwa na maana kuna sumu ajabu leo hii nakuona wewe ukifinyata tonge"

    Milfat alizungumza hivyo sijui kwanini uwezo aliokuwa nao ulishindwa kutambua kwamba kiumbe kilichopo mbele yake sio Sheikhe Kidevu

    ”ahahahaha yale ni mambo ya Kishia nilishaachana nayo ohoo tafadhari hayo matunda usiyaoshe"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo huku akipaza sauti kumtaka Milfat asioshe yale Maepo

    ”khaa kwanini sasa nisiyaoshe wakati nataka nile au ulishayaosha huko utokapo?"

    Milfat aliuliza

    ”ndiyo niliyaosha kwa maji yaliyosomewa kisomo cha Ruqiya"

    ”whaoo basi wacha nile"

    Wakati Milfat akijiandaa kula mara kuna sauti iliweza kusikika kwenye ngome ya masikio yake ikimtaka asile hilo tunda

    ”tafadhari usile acha"

    Sauti nyingine ikasikika ikimtaka ale

    ”kula wala usiogope"

    Milfat alijikuta akipata hamasa ya kulila lile tunda kutokana naile sauti ya pili

    Alipolitafuna na kumeza ile sauti ya kwanza ikasikika ikimwambia

    ”tayari tushakupoteza"

    **********

    Kitu cha ajabu kiliweza kumkumba Ninja Ice kwanza alipatwa na maumivu makari sana moyoni mwake maumivu ambayo yalimpelekea mpaka kutapika Damu ngozi ya mwili wake ilianza kubadirika rangi kutoka ile ya maji ya kunde mpaka kuwa ya kijani alibaki kuugulia maumivu kwa kushikilia sehemu ya moyo aliuma meno na kujipigapiga kifuani kila sekunde iliyokuwa ikisonga mbele ndivyo hali ilizidi kuwa mbaya kwa upande wake akaona kama ataendelea kubakia hapo kambini anaweza akafa pasipo kupata msaada wowote ule muonekano wake ulibadirika ghafla tu nakuwa kiumbe chenye kutisha

    Akafunga safari mpaka kuzimu na kufikia kwa bibi yake aliyeshtuka baada kumuona mjukuu wake akiwa katika hali mbaya

    Bibi mtu alipiga kelele zilizoweza kuwashtuwa kina Ibnuwas na Malkia Kaisi japokuwa walikuwa mbali na tawala zile lakini ile sauti iliweza kuwafikia nao wakafunga safari mpaka huko ili waweze kufahamu kunani kila mmoja alishtushwa baada kumuona Ninja Ice akiwa vile japokuwa inafahamika Ninja Ice ni kijana mtukutu mjeuri kila muda anawakoromea wakubwa zake. Lakini bado wanampenda hawakuweza kufahamu nini kimemtokea mpaka pale Kuhani mkuu wa tawala zote alipofika na kutoa ufafanuzi

    ”kwanza kabisa ningeomba kila mmoja wenu awe mstahamilivu juu ya hili swala la kijana wetu

    Hafidhi j Ikram aliamua kuwekeza nusu ya nguvu zake kwa huyu Binti"

    Kuhani alizungumza hivyo akamuonyesha Milfat kwenye tv zao kisha akaendelea kuzungumza

    ”hakuweza kufahamu kama anafanya makosa makubwa sana kuwekeza nguvu hizo siku zote tunafahamu Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana muda wowote huweza kurubuniwa kuna mifano mingi juu ya hili swala mfano Ibirisi alipoenda kumrubuni Bibie Hawa na kumtaka ale lile tunda mwishoe akamlazimisha Mumewe nae ale pia Delilah kwa Samson na wengineo wengi. Sasa baada Hafidhi kuwekeza nguvu zake kwa Mwanamke yule ndipo upande wa Maadui zetu wakaitumia nafasi hii nyeti kabisa kupenyeza Sumu iitwayo Kipapatio cha Nani? kwa kumrisha tunda lenye hiyo sumu kwasasa Binti tayari yuko upande wao wakati Hafidhi akitarajiwa kupoteza maisha muda wowote kuanzia sasa. Furaha yao kilio kwetu. Hata hivyo hatujachelewa tunauwezo mkubwa wa kumuokoa kijana wetu kupitia huyu hapa"

    Kila mmoja alibaki kimya wakimsikiliza Kuhani aliyeonyesha picha ya Chinoge

    ”tukiweza kumpata huyu kijana ndiye atakaebeba jukumu hili zito la kwenda kuitafuta Dawa itakayoweza kumponya Hafidhi"

    ”inamaana miongoni mwetu hakuna mtu mwenye uwezo wa kuifanya hiyo kazi mpaka apatikane huyo binadamu"

    Ibnuwas aliuliza swali

    ”sijasema kama hatuna uwezo huo bari tunaenda kimipango zaidi adui wa Nipe Nikupe ni Chinoge sasa iwapo Nipe Nikupe akipata taarifa kuwa mbaya wake bado yupo hai ataachana na mipango yake yote aliyokuwa akiiandaa"

    ”khaa inamaana Nipe Nikupe bado anaishi?"

    Bibi mtu aliuliza swali kwa mshangao

    “ndiyo bado anaishi"

    Kuhani akajibu

    “mmh sasa kama ni hivyo hatuna budi kumtafuta Hafidhi mdogo japokuwa itatuwivia vigumu kwasisi kumpata"

    ”unamaanisha nini kusema hivyo?"

    Kuhani akauliza baada kuskia ni vigumu kumpata Chinoge

    ”mimi naonelea tuangalie namna nyingine ya kumsaidia huyu mwenzetu kuliko kuanza kujadiri swala la kumpata Chinoge"

    Malkia Kaisi akachangia hoja

    Kiukweli kabisa kumpata Chinoge nikitu kisichowezekana kamwe kwa maana yeye alikuwa kama mpita njia tu!

    Kuhani akafanya kumsogelea Ninja Ice akanyoosha mkono kabra ajamgusa akashtukia akipigwa na kitu kizito kilichomfanya atupwe mbali na pale Majini wote walikaa tayari tayari kwaajili ya kupambana na hicho kiumbe kilichofanya tukio hilo

    Alikuwa ni yule binti aliyempatia Hafidhi kipawa cha Uninja Ice alitembea kwa mwendo wakama anapaa hivi

    Si Ibnuwas Bibi wala Malkia Kaisi aliyeweza kuthubutu japo kudadisi chochote juu ya kiumbe yule aliyeonekana kujiamini kupita kiasi

    Akafikia kumshika Ninja Ice kwenye paji lake la uso

    Taratiibu Ninja Ice alianza kujirudi kwenye umbile lake la kawaida dakika si nyingi akawa sawa sawia

    Ninja Ice alishtuka kama vile alikuwa kalala usingizi mzito akatamka neno moja tu kuwa

    ”Milfat damu yako ni halali yangu kisha akapotea akimuacha yule kiumbe nakina Ibnuwas wakiwa wameduwaa

    *******

    Ndani ya jiji la Dar es Salaam na viunga vyake hali haikuwa hali kabisa kila kukicha Watu walipotea katika mazingira ya kutatanisha huku wengine wakikutwa wameuwawa kikatiri

    Vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii viliweza kutangaza juu ya kupotea kwa Watoto takribani hamsini na mbili Waliokuwa wakisoma shule ya msingi Mbagala maji Matitu vilio vilitanda kwakila mzazi wa watoto hao wakati wakazi wa Mbagala wakiwa wameshikwa na taharuki tukio lingine likatokea maeneo ya Tabata Riwiti

    Baada ya miili ya wanafunzi wapatao sabini kukutwa imelaliana ndani ya Darasa moja wanafunzi hao walikuwa wameuwawa kikatiri

    Simanzi iliweza kutanda kila kona ya jiji Wazazi wakawa na mashaka juu ya kuwaachia watoto wao kwenda Shule wakaona bora Watoto kubaki nyumbani

    Mkuu wa Mkoa bwana Mpambano aliweza kuitwa Ikulu na kutakiwa aeleze kwakina nikitu gani kilicholikumba jiji lake inamaana Jeshi la polisi halifanyi kazi vile inavyotakiwa ndani ya kikao hicho pia alikuwepo Bwana Shaha ambaye ni Kamanda wa jeshi la polisi





    **********************

    wanafunzi hao walikuwa wameuwawa kikatiri

    Simanzi iliweza kutanda kila kona ya jiji Wazazi wakawa na mashaka juu ya kuwaachia watoto wao kwenda Shule wakaona bora Watoto kubaki nyumbani

    Mkuu wa Mkoa bwana Mpambano aliweza kuitwa Ikulu na kutakiwa aeleze kwakina nikitu gani kilicholikumba jiji lake inamaana Jeshi la polisi halifanyi kazi vile inavyotakiwa ndani ya kikao hicho pia alikuwepo Bwana Shaha ambaye ni Kamanda wa jeshi la polisi



    Songa nayo

    Sasa



    Hakuna aliyekuwa na jibu la kuweza kumpatia Muheshimiwa Raisi wote walibaki kimya

    “hivi mnakumbuka wakati wa kampeni niliwaahidi kitu gani Wananchi? Niliwaahidi kuwapigania katika swala zima la kiuchumi binafsi naweza kusema nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa pili niliwaahidi kuwalinda na kuwatetea katika Maisha yao kutokana na Majangiri wavamizi na ndiyo Maana nilikuagiza uanzishe operesheni ya kamata kamata kwa Wazurulaji wote ikiwa na maana miongoni mwa hao watu wapo Majambazi Vibaka na wengineo wengi wenye kufanya vitendo viovu. Je unaweza kuniambia lile zoezi limefikia hatua ipi mpaka leo?

    Bila shaka huna majibu kamili ya kunipatia. Kumbuka ndani ya utawala wangu sitaki watu wazembe wazembe kama unajiona huwezi kazi ni vyema ukajiweka pembeni kuliko kufanya mambo ya hovyo. Mwisho wa siku utawala wetu ukachukuliwa na Upinzani kila siku mamia ya Watanzania wanauwawa halafu wakipaza sauti kuiraumu Serikali mnawatishia kuwafunga ndiyo wanaweza wakakaa kimya huku wakiomba siku ya uchaguzi iwadie kwa haraka ili waweze kukipa Uwongozi Chama kingine bila shaka wao wakipewa Madaraka hawatoweza kufanya makosa kama tuliyowahi kuyafanya sisi. Wakiamini ya kwamba na wao wataondolewa. Binafsi sihitaji hiki kitu kitokee ili wazee wangu waliopita waanze kuninyooshea Vidole wakidai mimi ndiyo nimekiteketeza Chama tawala. Sasa basi kuanzia sasa Usalama wa Nchi uimalishwe masaa ishilini na nne

    Hakikisha vijana wakazi hawakai mbali na maeneo ya miji Mashuleni Mahospitalini yani kila kona"

    Muheshimiwa Raisi alizungumza huku akigonga gonga meza ili kuonyesha msisitizo zaidi

    ”sawa mkuu nimeweza kukupata nitaianza hiyo kazi kuanzia sasa"

    Kamanda wa Jeshi la polisi aliitikia

    ”hivi wewe Mpambano mbona unafanya mambo ya ajabu ajabu yasioendana na hadhi ya cheo nilichokupatia? Naskia kila siku wakazi wa Mkoa wako wakilalamika mitandaoni na kwenye Vyombo vya habari sijui ulitangaza kuwapima tezi dume nyumba hadi nyumba tena kilazima kicheo nilichokupa ni kidogo sana lakini umeshaanza Ubabe mbele ya Mabosi wako kumbuka unaotaka kwenda kuwashika matako na kupitisha vidole vyako kwenye nyeti zao ndiyo wanaokulipa wewe Mshahara na kukufanya unenepeane! Sasa ukiwazaririsha unadhani wata thubutu vipi kunipigia kura tena ili nikuteuwe wewe ukawatie Midole. Chuki na hasira zao zote wataelekeza kwangu tafadhari nakuomba hilo jambo unalotaka kulifanya uachane nalo Mara moja. Kitu kingine Umeanzisha mjadara sijui wa kuwatetea Wanawake wanaoahidiwa ndoa mwisho wasiku wanaishiwa kuchezewa na kukimbiwa. Kabla ujawatetea hao Wanawake je ulishakaa chini ukajiuliza vipi kuhusu Wanaume wanaotapeliwa na Wanawake unakuta binti anasomeshwa anatafutiwa kazi na mpenzi wake ajabu akifanikiwa anaanza dharau kwa aliyemuezesha anaenda kuolewa na Mwanaume mwingine. Unapotaka kufanya jambo zingatia usawa kwa wote usiegemee kwa Wamama tu!

    Kura za Wamama tutazipata je na vipi tukizikosa za Wanaume ambao ndiyo wengi wenye kuja kwenye vituo vya upigaji kura. Au mwenzetu una trick ya kujipatia wa kukutuliza nafsi kupitia mpango wako?"

    Muheshimiwa Raisi alizidi kuzungumza safari hii alimgeukia mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam bwana Mpambano wengi hupenda kumuita Mr Misifa maana kitu kidogo anaenda kwenye vyombo vya habari

    ”mamaa,,hiiiiii,,mama"

    “wee nini tena?"

    ”yulee"

    ”nani?"

    Alikuwa ni Mtoto Mdogo mwenye umri wakama miaka mitano hivi akilia kwa sauti huku akinyoosha kidole kumuonyeshea Mama yake kiumbe kilichokuwa kimesimama mita kadhaa mbele ajabu yule Mama hakuweza kukiona kiumbe kile chenye kutisha na kuogopesha.

    Yule kiumbe alikuwa amesimama haliyakuwa amekaza macho kumuangalia yule mtoto.

    Macho yake yalikuwa yakichuruzika machozi ya damu upande wa kushoto mwa paji lake la uso hakukuwa na ngozi wala nyama yani kulionekana fuvu

    Wakati upande wakulia kulikuwa kumeoza wadudu wadogo wadogo walionekana kutoka na kuingia mwilini mwake hakika alitisha si kidogo

    ”mamaa,,anakujaa,huyooo,,kuniuaaa,

    Mtoto alizidi kupiga kelele na kumkumbatia mama yake

    Baba wa Mtoto yule alikuwa chumbani kelele za mtoto wake zikamfanya atoke nnje mbiombio huku akipaza sauti kuuliza

    ”wee mama Junior kitu gani unamfanyia mtoto?"

    ”mi sijamfanya kitu chochote"

    “inamaana anapiga kelele bila sababu!"

    ”kiukweli mi hata sijui maana anapiga kelele huku ananionyeshea kitu ambacho sikioni!"

    Mumewe akaangaza macho yake huku na kule kuangalia kama kuna kitu chochote kinamtisha kijana wake naye hakuweza kuona chochote zaidi ya kuku bata waliokuwa wakizura tu pale kibarazani

    ”muingize Mtoto ndani"

    Baba mtu alizungumza hivyo maana alishahisi hali ya hatari

    Mama Junior akafanya haraka kuingia ndani ile anaingia tu huku nyuma sauti nzito kutoka kwa mumewe iliweza kusikika

    ”mamaa wee nakufaa"

    Akamuacha Junior ndani alipotoka nnje hakuweza kuamini macho yake baada kumuona mumewe kipenzi akiwa kalala chini huku sehemu ya tumboni kukiwa kumefumuliwa vibaya sana.

    Miutumbo sijui minini vyote vilitolewa nnje tumbo likabaki wazi.

    akapiga kelele kuita majirani kelele ambazo zilifatiwa na kelele za Junior akilia

    ”majiraniii mume wangu jamaniii,,"

    “babaa nakufaa,,"

    Kelele za Junior zikamfanya arudi tena ndani ajabu Junior hakuwepo hakika alidata alianza kumtafuta Mara uvunguni kabatini wakati huo nnje watu walishajazana na kuanza kuuliza maswali kila mmoja akawa anazungumza lake

    Mara wakashtushwa na sauti ya Mama Junior ikitokea chumbani baadhi ya majirani wakafanya haraka kuingia chumbani nao walipoingia walianza kupiga kelele za kuomba msaada

    ”jamani tunakufaa huku tusaidieni"

    Wakafanya kuingia takribani watu sita maana wale wa mwanzo walikuwa watatu.

    Dakika si nyingi wale watu sita walirudishwa kwa kurushwa vichwa vyao nnje hapo sasa hakuna Mwananchi hata mmoja aliyetaka kubaki kila mmoja alitimua mbio

    Jiji la Dar es Salaamu kulikuwa na hekaheka ya kufa mtu watu waliishi kwa wasiwasi utasema kipindi cha hofu ya Wanaume kuogopa kuingiliwa kimwili na Popo Bawa ikafikia hatua Wanaume kujipaka mafuta ya Nguruwe au kulala nnje yote nikatika kumuepuka kiumbe huyo

    Sasa Dar es Salaam imevamiwa na chinjachinja asiejurikana.

    Yapata majira ya saa saba usiku ndani ya Nyumba moja wapo iliyopo maeneo ya Mwananyamala Komakoma kuna mwanadada alikurupuka kutoka usingizini na kuanza kumuamsha mumewe “mume wangu, wee Shaibu,,"

    ”nini bwana"

    Shaibu aliuliza haliyakuwa akipiga miayo

    ”embu hamka bwana"

    “nishaamka mbona"

    “mi nataka kabichi"

    ”khaa kabichi usiku huu la nini sasa?"

    “nimesema nataka kabichi"

    “kama una njaa si uwende jikoni kuna chakula cha kutosha"

    ”hivi unanisikia au? Nimesema nataka kabichi

    “vimimba vingine bwana jau tupu yani tunakurupushana usiku usiku heti nataka kabichi"

    Alizungumza hivyo Shaibu huku akitelemka kutoka kitandani akavaa suruwali yake na vest akatoka mpaka Sebreni akapiga hatua kadhaa kulisogelea jokofu alijaribu kuangalia kama kuna Kabichi lolote limebakia

    Akaona hamna kitu akaelekea jikoni huko napo hola akarudi chumbani

    “baby kwa usiku huu naomba tulale ili kesho pakikucha nitakuletea Makabichi gunia zima"

    Alizungumza hivyo Shaibu

    “staki cha kesho wala cha pakikucha nataka kabichi sasa hivi"

    “sasa usiku huu nitalitolea wapi na ukiangalia Magenge kitaani yamefungwa mbona unataka kuniletea Gubu tena!"

    Licha ya Shaibu kujaribu kumuelewesha mkewe mwenzake hakutaka hata kumuelewa kitendo kilichomfanya Shaibu aamuwe kutoka nnje ya nyumba akatembea kukatiza vichochoro kadhaa akaweza kuwasili kwenye Nyumba moja wapo akabisha hodi

    Muda kidogo mlango ukafunguliwa na Mzee wa makamo hivi aliyekuwa kajifunga msuri

    “shikamoo Mzee wangu"

    Shaibu alimuamkia Mzee yule

    “marhabaa kijana vipi mbona usiku usiku kwema huko utokako?"

    Yule Mzee aliuliza huku akionekana kama haamini macho yake kumuona Shaibu hapo

    “nilikuwa nahitaji kabichi Mzee wangu"

    “khaa unahitaji kabichi usiku huu?"

    ”mke wangu ndiyo anahitaji si unajua ni mama kijacho basi ananisumbuwa hatari"

    ”ohoo pole sana kijana wangu mimba zingine ndivyo zilivyo ushishangae siku akitaka tako"

    Alizungumza hivyo yule Mzee na kuongezea utani

    Shaibu akatabasamu

    “asante sana mzee wangu hakika umenisaidia sana maana niliwaza kama nikikosa kwako nichukuwe Gari nianze safari ya kuelekea Kariakoo"

    Shaibu alizungumza hivyo na kumpatia yule Mzee noti ya shilling Elfu kumi

    ”subiri nikuletee chenji mkuu"

    “ahaa kuhusu chenji wewe baki nayo pia pole kwa usumbufu"

    Shaibu alikataa kuchukuwa chenji akafanya kuondoka alipofika nyumbani kwake alimkuta mkewe akiwa amekaa kibarazani

    ”khaa Mke wangu yani umekaa nnje peke yako usiku huu inamaana uogopi?"

    “niogope kitu gani sasa? Embu lete nilichokuagiza

    Mkewe alizungumza hivyo na kuuputa ule mfuko wenye Makabichi makubwa mawili akaingia zake ndani akafanya kulikata moja kwa mtindo wa vipande vinne na kuanza kula ulaji wake sasa ulikuwa wa ajabu unaweza kusema Ng'ombe kwa jinsi alivyokuwa akitafuna

    ”mume wangu"

    ”naamu"

    “embu njoo kuna kitu nataka nikunong'oneze"

    Shaibu akamsogelea mkewe sema alisita kidogo kumsogezea sikio mkewe mpaka alipomuuliza

    ”si uniulize kwa sauti tu kwa maana humu ndani tupo wenyewe"

    ”mmh wee nae hivi hujui kama nyakati za usiku sauti inapaa embu sogea hapa nikunong'oneze kitu"

    Shaibu akainama ajabu mkewe alianza kutokwa na mimeno mirefu kwakuwa Shaibu alishatega sikio ghafla tu akajikuta aking'atwa shingoni na kuanza kunyonywa damu.

    Alijitahidi kujitoa mikononi mwa mkewe lakini hakuweza akabaki kukuruka na kupiga kelele za kuomba msaada

    Mwishoe akawa kimya kuonyesha kwamba roho ilishaacha mwili

    **********

    Ninja Ice baada kupata uzima wa ghafla na kutoweka pale kuzimu akafunga safari iliyomrudisha tena kule kambini nchini Israel tofauti na matarajio ya wengi kuwa atamfata bibie Milfat hapa tunamuona Ninja Ice akiwa na bibie Dayna wakifanya fighting za hatari Dayna alichumpa huku akizunguka kwa kasi katika kumshambulia Ninja Ice aliyekuwa akipanchi na kukwepa bila kusahau kumpatia maelekezo jinsi ya kuzitumia tekniki vyema Dayna akawa kama mwanafunzi

    Sasha naye hakuwa mbali na eneo hilo naye alikuwa akimfundisha Agnes

    “mmh Dada mbona kila muda unawaangalia wale au unaibia staili nini?"

    Agnes aliuliza swali baada kuona Mwalimu wake kila mara jicho kwakina Dayna

    ”hamna bana"

    ”kumbe je?"

    “tuachane na hayo nyoosha mguu wa kushoto ehee fanya kama unataka kujampu yani unafanya hivi"

    Sasha alitoa maelekezo kwa kuonyesha kivitendo basi mazoezi yaliweza kuendelea

    Tukija upande wakina Madebe baada kushushwa na ile Helicopter waliambaa na msitu hatimae wakatokezea sehemu moja hivi ambapo kulikuwa na mtu maarumu aliyeandaliwa kwaajili yao wakapakizwa kwenye Gari na kupelekwa pembezoni mwa mji kwa kifupi bibie Sasha alikuwa na Magenge ya kijasusi kila kona ya dunia

    Nchi kibao aliwekeza watu wake ndiyo maana wanapoteuliwa watu wakwenda kuifanya kazi fulani basi huko wanapoenda lazima wakutane na wenyeji wa maeneo hayo

    ”Assalamu Alaykum yaa Ukhty Wahda"

    Alisalimia hivyo mmoja kati ya watu

    ”Waaleykum Ssalamu yaa Akhii"

    Wahida akaitikia basi taratibu nyingine zikafatia wakapatiwa ramani nzima ya mjengo huo wa Kifalme uliopo pembezoni kidogo mwa mji wa Misri

    “baby nipe basi kimoja cha faster mwenzako najiskia kuwashwa huku,,ashiiiiiiiiii,,ohoo"

    Wahida alianza uchokozi wakati wakiwa wamesimama sehemu moja hivi

    ”embu tulia bwana si unajua kitu tulichoagizwa kukifata huku pia unakumbuka kauri ya Dayna"

    Madebe alianza kukataa

    ”kazi yenyewe si mpaka kesho kutwa mi nataka bwana"

    Wahida alizidi kuleta vishawishi siku zote hakuna mkate mgumu mbele ya chai ndivyo Madebe alivyolainika

    basi mkono wa Madebe uliteremka mpaka kiunoni kisha vidole vyake vikawa kama vinamkuna bibie kuzunguka kiuno alikuwa na kucha fulani za wastani ambazo alizitumia kumkwangulia mtoto mzuri mpaka kwenye matako yake malaini aliingiza vidole mpaka kwenye ule mfereji akimkaruza taratibu bila kumuumiza

    “aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,sssssssssssssssss,,"

    Wahida alilalamika kwa utamu tena kwa sauti ndogo sana

    Kwa kuwa walikuwa wamesimama Mlangoni pale basi Madebe akafanya kumbeba mtoto wakike na kusogea naye kwenye kona fulani Wahida alijisikia raha alivyobebwa kama mtoto. Alipofikishwa kwenye kona hiyo iliyokaa kimaangamizi,alifungua zipu na kuishusha suruwali mpaka miguuni bwana dudu lilibaki likinesanesa kwa utamu ambapo Wahida alipotaka kulishughulikia, Madebe alimkataza kisaikolojia sio ile ya waziwazi,kisha akamnyanyua mpaka usawa wa mabegani, alimpeleka kwenye ukuta na kumbana hapo,akaanza kumnyonya juu juu, aisee Wahida alihisi utamu kwajinsi alivyowekwa usawa wa kichwa cha mtu kisha kunyonywa kipapatio alijihisi kama anapaa

    “aaaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,ooooooooooh,,ssssssssssssssssss"

    Alilalamika mtoto wa kike kwa sauti ya kujichunga ili wasisikike na wenyeji wao

    Alimshusha chini,ambapo dudu lake lilishatoa ule ute wa utayari, vilevile hakumweka chini kabisa,alimweka usawa wa kiuno,alimshikilia vyema na kumkandamizia ukutani kisha taratibu alimwingiza dudu lake, Wahida alianza kuzungusha kiuno mara baada ya kichwa tu kugusa mashavu ya kipapatio dudu taratibu lilizama

    “aaaaaaaaashiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaa"

    Mara ghafla wakashtuka baada kitu kama Bomu kurushwa na kutua pembeni yao kuja kutahamaki kitu kikaripuka Moshi mzito ulitanda

    Kila mmoja alinyong'onyea na kudondoka chini sijui walipoteza maisha au vipi





    **********************

    ute wa utayari, vilevile hakumweka chini kabisa,alimweka usawa wa kiuno,alimshikilia vyema na kumkandamizia ukutani kisha taratibu alimwingiza dudu lake, Wahida alianza kuzungusha kiuno mara baada ya kichwa tu kugusa mashavu ya kipapatio dudu taratibu lilizama

    “aaaaaaaaashiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaa"

    Mara ghafla wakashtuka baada kitu kama Bomu kurushwa na kutua pembeni yao kuja kutahamaki kitu kikaripuka Moshi mzito ulitanda

    Kila mmoja alinyong'onyea na kudondoka chini sijui walipoteza maisha au vipi



    Songa nayo

    Sasa



    Ziliweza kupita takribani Dakika tano tokea kile kibomu kulipuke na kuwaacha Madebe na mpenzi wake wake wakiwa hawajitambui kuna njemba zipatazo nne zikaingia walionekana kuwa ni mipandikizi ya Mibaba wakiwa wamevalia kombati za kijeshi huku wakificha sura zao kwa vitambaa vyeusi

    Wakafanya haraka kuwabeba wote wawili wakatokea mlango wa nyuma yani kilikuwa ni kitendo cha haraka mno kutoweka nao.

    “mkuu mbona watu wenyewe hawapo?"

    Mmoja kati ya vijana aliyeagizwa kwenda kuwaita kina Madebe kwaajili ya kuja kupata chakula cha usiku aliuliza hivyo

    ”wee inamaana chumbani kwao hawapo?"

    ”ndiyo mkuu"

    ”sasa watakuwa wameelekea wapi? Embu nenda kawaangalie kule bustanini huwenda wakawa huko kupunga upepo"

    Yule kijana akaelekea hiyo sehemu hakukawia kurudi na jibu alilotoa ni kwamba kule napo

    hawapo

    Ikabidi yule kiongozi asimame na kumtaka kijana amfate walitembea kwa Mwendo wa tahadhari mpaka kilipo chumba ambacho mchana wa siku hiyo walikabiziwa kina Wahida

    kijana akashika kitasa kisha akapewa ishara ya kufungua mlango bastola zao tayari zilishakuwa mikononi.

    Walianza kukikagua kile chumba kwa umakini mkubwa

    ”mbona inaonyesha kama hiki chumba hakikuingiliwa na mtu yoyote tokea tuwakabizi wageni wetu?"

    kijana aliuliza hivyo kitendo kilichomfanya Kiongozi wake aghune

    “mmh"

    Akafanya kuitoa simu yake na kubofya namba kadhaa Mara sauti ya simu ikiita iliweza kusikika kwenye ngome za masikio yao wakafanya haraka kutoka nnje ya chumba kile kitu cha kwanza walichoweza kukiona ni chupi ya bibie Wahida

    “nini hii?"

    Yule kijana aliuliza huku akiiokota hiyo chupi akafanya kuinusa wakati Kiongozi wake alikuwa kashika mkoba ambao ndani yake kulikuwa na simu ikiita

    ”khaa mkuu embu ona kile"

    Kijana alipaza sauti kumuonyesha kitu mkuu wake

    ”ohoo shit! Itakuwa wametekwa baada kutupiwa Bomu lenye sumu ya Antitub

    Mara simu yake ikaanza kuita akaipokea

    ”halooo"

    ”hahahahaha Razaq"

    Sauti ya upande wapili ilisikika ikicheka kwa dharau na kutaja neno Razaq

    ”unacheka kitu gani wee Nyang'au?"

    ”nakucheka wewe hapo kibaraka wa Sasha mwanaume mzima unatumikishwa na Mtoto wakike sasa nakutuma nenda ukamwambie huyo kahaba wako wakike kuwa watu wake ninao mimi.

    Afanye juu chini kuniletea kile ambacho niliwai kumwambia aniletee kama atakaidi tena kufanya hivyo vichwa vya watu wake ni harali yangu.

    “kwanini wewe mwenyewe usimfikishie hizo taarifa mpaka uzipitishie kwangu binafsi siwezi na sitoweza kumwambia lolote binti yule bari nitakachokifanya kuanzia sasa ni kupambana nawe pusi mkubwa wewe"

    ”hahahaha Razaq wewe huna ujanja wa kupambana nami kamwe kama nimeweza kuingia ndani ya kambi yako nikaweza kuwachukuwa hawa watu tena mchana kweupe pasipo wewe mwenyewe kufahamu unawezaje kupambana nami

    Pia tambua watu uliokuwa nao nusu ya watu hao ni watu wangu. Na ndiyo walioifanya hii kaz.....

    Mzee Razaq akakata simu hakutaka kuendelea kuzungumza na huyo mtu kijasho kilianza kumchuruzika

    Huku mikono ikimtetemeka akasachi kwenye majina na kulipata jina alilolisevu neno Madame akapiga na kuiweka simu sikioni

    Razaq hakuwa na jinsi kumpigia bibie Sasha akamueleza kile ambacho aliambiwa na Mustafa

    ”ohoo shit!"

    Sauti ya sasa ilisikika ikitamka hivyo sauti ambayo ilifatiwa na kishindo kizito kilichomshtua Razaq bila shaka bibie alipiga ngumi ukutani ilionekana ni jinsi gani Sasha kachukia kutokana na taarifa zile

    ”bila shaka huu ni mpango wako Razaq maana hainingii akili kabisa"

    Sasha akazungumza hivyo

    ”hapana mkuu mimi sihusiki na chochote kile"

    Razaq akakataa

    ”sasa kama huusiki Mustafa amewezaje kupata ujasiri wakuvamia ngome yako kisha akatoweka na watu wangu?"

    “kiukweli mkuu mimi hata sijui kwa maana niliweza kuwapokea nikawaleta mpaka hapa tuliweza kupata chakula cha mchana nikiwa nao pamoja wakaomba kwenda kujipumzisha

    Sasa ilipofika majira ya saa mbili usiku nikamuagiza Abdully aende kuwaita ili tuweze kujumuika nasi kwaajili ya chakula cha usiku ajabu watu hawapo katika kuwatafuta ndipo nikapigiwa simu na Mustafa"

    Razaq alijieleza kwa kirefu kidogo

    “sawa nimeweza kukuelewa"

    Simu ikakatwa Razaq akavuta pumzi na kuzishusha

    Japokuwa usiku huo bibie Sasha alikuwa amelala lakini usingizi ulikata tokea apigiwe simu na kupokea taarifa zile akafanya kuvalia Kombati zake

    Akatoka nnje

    Akapiga hatua kuelekea ofisini kwake sema alishtuka baada kumkuta Ninja Ice akiwa amekaa kwenye kiti akisoma kitabu kimoja wapo chenye kuzungumzia mbinu za kijasusi

    ”ohoo baby kumbe ujaenda kulala tu?"

    Sasha aliuliza hivyo huku akivuta kiti na kukaa Ninja Ice akakiweka kile kitabu pembeni

    “mmh vipi na wewe mbona umeamka usiku usiku nakuja huku?"

    Ninja Ice akauliza

    ”kuna zarula kidogo imetokea"

    ”zarula ipi hiyo?"

    Ninja Ice aliuliza huku akikaza macho kumuangalia Sasha akafanya kumskani akaweza kumuona akiwa anazungumza na simu

    “wee vipi tena mbona waniangalia hivyo?"

    Sasha aliuliza baada kuona kakaziwa macho.

    ”mmh wala hamna kitu mkuu kumbe kina M...

    Ninja Ice alijibaraguza akataka kusema kile alichokiona lakini akasita kama angesema kuhusu kutekwa kwa kina Madebe bila shaka Sasha akiangaza kumuuliza maswali na kumtilia mashaka.

    “ok sasa nimepokea taarifa kuhusu kutekwa kwa kina Madebe"

    Ninja Ice akajifanya kushituka

    “what? Inamaana wametekwa?"

    ”ndiyo wametekwa na Mwanaume ambaye niliwahi kukusimulia habari zake kuwa ndiye aliyenitoa usichana wangu"

    Ninja Ice akakunja ndita baada kusikia aliyetenda kitendo hiko ni yule aliyemuumiza bibie kwenye swala la Mapenzi

    Sasha akasimama na kuisogelea droo akaifungua na kutoa Bastola akaikagua kama ina risasi au laa baada kuiona iko safi akaifutika kiunoni

    “unaenda wapi sasa?"

    Ninja Ice aliuliza baada kumuona bibie akitoka nnje

    ”ndani ya usiku huu sina budi kuelekea huko kwaajili ya kwenda kuwagomboa

    Vijana wangu tafadhari nakuomba hii taarifa isimfikie Dayna kama atakuuliza kuhusu Mimi mwambie nimeelekea Pakistan yeye mwenyewe ataweza kufahamu kitu gani nimekifata"

    Sasha alizungumza hivyo akashika kitasa cha mlango na kutoka nnje

    Ninja Ice akatikisa kichwa

    **********

    ”nakumbuka usiku wa jana Shaibu alikuja nyumbani kwangu na kuhitaji nimpatie Kabichi akidai mkewe ndiyo mwenye uhitaji. Akanipatia kiasi cha shilling Elfu kumi niliweza kuagana naye Masikini wee leo hii napokea taarifa za kusikitisha juu ya kifo chake. Kweli Mungu si Athumani

    Alizungumza yule Mzee aliyempatia kabichi Shaibu usiku wa jana

    “ndiyo hivyo Mzee wangu kifo hakina hodi yani huja ghafla tu kibaya zaidi kifo chake ni chakinyama mno"

    ”daah yani wee acha tu!"

    Kila mmoja alizungumza lake juu ya mauwaji ya kikatiri yaliyoweza kufanyika ndani ya Nyumba hiyo iliyopo maeneo ya Mwananyamala kama tunakumbuka Shaibu alinyonywa damu na mkewe ajabu mkewe nae alikutwa akiwa amepasuliwa tumbo huku Mtoto aliyopo tumboni akiwa haonekani inamaana wauwaji wametoweka nae.

    Bibie Belinda bado alikuwa katika harakati za kumfatiria Madebe alishafunga safari na kuwasili nchini Israeli alitembea na picha ya Madebe kila kona ya nchi hiyo licha ya kufanya jitihada za hapa na pale katika kumtafuta lakini hakuweza kumpata maana kila amuulizae na kumuonyeshea ile picha jibu aliloambulia hapana simfahamu wala sijawahi kumuona akaamua kurudi Tanzania alipotua nchini tu safari yake ikampeleka kwa Milfat ili aweze kumuuliz vizuri je nikweli Madebe alipelekwa Israel au wapi? Hakuweza kufahamu kama Milfat kwasasa kawa mnyama hana tena Ubinadamu

    Alipowasili maeneo hayo alipokelewa kwa bashasha kubwa sana na wifi yake wakaingia ndani wakiwa ndani Milfat akaanza kubadirika nakuwa kiumbe cha ajabu Belinda alishtuka sana kumuona wifi yake akiwa katika hali kama ile ya kutisha huku akiweweseka Belinda akafanya haraka kuitoa ile Cheni aliyokabiziwa na mchungaji Patrick na kumnyooshea Milfat mwanga mkari ulitoka kwenye ile cheni na kummulika Milfat aliyeanza kutatarika alipiga kelele za kuomba msaada kwa maan ule mwanga ulikuwa ukimuumiza Belinda aliishikilia vyema Cheni yake ghafla kuna kitu chenye ncha Kali kilikuja kwa kasi na kukita mkononi mwa Belinda kiganja cha mkono ulioshika ile Cheni ukakatika na kudondoka chini

    Belinda alipiga kelele za Maumivu

    Kabla ya kuvamiwa na viumbe wa ajabu walioanza kumgombea kwa kumnyonya damu kile kitu kilirushwa na Mzee mzima Nipe Nikupe

    “pumbavu zako wewe unataka kutuumizia Binti yetu kwa nguvu za kishetani sio! Embu kufilia mbali huko"

    Nipe Nikupe alitamka hivyo akanyoosha mkono vile viumbe vikafanya haraka kuwachia mwili wa Belinda uliokuwa umetapaka majeraha kutokana na kung'atwa na vile viumbe vilivyokuwa vikimnyonya damu

    Kitu kama miale ya moto ilitoka mkononi mwa Nipe Nikupe miale ambayo ilimpoteza Belinda kwa kumpasua vipande vipande

    Baada kufanya vile kwa Belinda akamsogelea Milfat aliyekuwa kalala chini akiugulia maumivu

    Akamshika kichwani wakapotea





    **********************

    Nipe Nikupe alitamka hivyo akanyoosha mkono vile viumbe vikafanya haraka kuwachia mwili wa Belinda uliokuwa umetapaka majeraha kutokana na kung'atwa na vile viumbe vilivyokuwa vikimnyonya damu

    Kitu kama miale ya moto ilitoka mkononi mwa Nipe Nikupe miale ambayo ilimpoteza Belinda kwa kumpasua vipande vipande

    Baada kufanya vile kwa Belinda akamsogelea Milfat aliyekuwa kalala chini akiugulia maumivu

    Akamshika kichwani wakapotea



    Songa nayo

    Sasa



    “pole sana binti kutokana na maswahibu yaliyoweza kukupata kutoka kwa Wanadamu"

    Nipe Nikupe alitoa pole kwa Milfat

    ”asante mkuu lakini ningependa kufahamu nikitu gani amekitumia yule mtu mpaka nguvu zangu zikashindwa kufanya kazi juu yake?"

    Milfat aliitikia kisha akauliza swali

    ”ni Pazret ile"

    ”Pazret ndiyo nini sasa?"

    “ni moja kati ya kinga za kishetani kutoka kwa mkuu wa wakuu aitwae Lusifa"

    ”ohoo inamaana kuna mkuu zaidi yako?"

    Ni swali ambalo Nipe Nikupe kwa wakati huo hakuwa tayari kulijibu kwa maana alitaka kuwaaminisha viumbe wote wenye kuongozwa na yeye kuwa hakuna mkuu wa wakuu zaidi yake.

    ”tafadhari nijibu kwa usahihi je kuna mkuu zaidi yako?"

    Milfat akauliza kwa msisitizo

    ”hapana hakuna aliye juu zaidi yangu?"

    Nipe Nikupe akajibu

    “sasa mbona ulisema kuna Lusifa ni nani huyo? Na yuko wapi? Je naweza kuonana naye ili na Mimi anipatie nguvu kama zile?"

    Milfat akazidi kudadisi

    “Milfat inamaana huniamini?"

    ”nakuamini mkuu"

    ”basi kama una niamini ni vyema tukaachana na habari za Lusifa"

    “sawa mkuu nimeweza kukuelewa je leo hakuna kazi?"

    ”kazi zipo nyingi sana tena sana embu angalia pale"

    Milfat akakaza macho kuangalia kwenye tv kubwa ya ujinini

    ”angalia kwa umakini hapo kila picha utakayoiona inapita mbele yako basi tambua ndiyo wanao hitajika kuwa chakula cha leo kuzimu"

    Nipe Nikupe alitamka hivyo na kumfanya Milfat atabasamu maana ni kazi ambayo tayari kashazoea kuifanya wakati anaendelea kuziangalia picha za marehemu watarajiwa Mara akashtuka baada kuiona picha ya Magoma ikipita

    ”hapana, hapana, hapana"

    Milfat aling'aka na kutamka hivyo kitendo kilichomshtua pia Nipe Nikupe

    ”vipi tena?"

    ”sio vipi kaka yangu Mimi hawezi kuwa chakula cha kuzimu kamwe"

    ”unazungumza kitu gani wewe? tambua kitu kimoja Milfat wewe si jamii ya Wanadamu kuanzia sasa Mimi ndiyo Baba yako yule pale unaweza ukamuita mama na wale pale ni kaka Dada zako"

    ”hata kama kiukweli kabisa sipo tayari kumpoteza Magoma kama nilivyompoteza Madebe tafadhari huyo mtu mtoe kwenye hiyo hesabu"

    Milfat alizungumza huku akianza kulia kumbe roho ya ubinamu bado anayo

    ”hesabu ilivyopangwa ndivyo itakavyokuwa Nyaume"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo akapaza sauti kumwita Nyaume ikawa ni kufumba na kufumbua kiumbe chenye kutisha kuibuka pale

    “naamu mkuu"

    ”embu ziangalie hizo picha kwa umakini kisha nenda kaifanye hiyo kazi kwa haraka zaidi"

    Nyaume alitumia kama sekunde ishilini akatoa jibu kuwa tayari kaziangalia kisha akapotea

    Milfat alilia hakika hakuwa na uwezo wa kuzuia jambo hilo

    ”uchungu utakaoupata wewe juu ya kifo cha ndugu yako ndiyo uchungu walioupata Wanadamu ambao uliwaulia ndugu zao siku zote unaambiwa muosha huoshwa. Usilie ehee"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo

    Milfat alibaki kujiinamia huku machozi yaki mdondoka

    Hapa tunamuona kijana Magoma akiwa amekaa pembezoni mwa mto Mbezi alionekana kuwa bize sana kuyaangalia maji yaliyokuwa yakitiririka kutokea mto Mbezi na kuelekea Baharini

    ”oyaa mwana vipi!"

    Alishtuliwa na sauti ya jamaa mbeba mchanga wa maeneo hayo aitwae White

    ”ohoo safi tu ndugu yangu nambie"

    ”nikwambie kitu gani ndugu yangu zaidi ya kutaka msokoto mmoja"

    Alizungumza White huku akitoa ishara asokotewe Bangi

    Magoma akavuta kimkoba chake alichokuwa kakifutika kwenye majani akatoa msokoto mmoja na kuanza kuusokota

    ”unajua nini White"

    ”ehee nambie kichaa wangu"

    ”kiukweli maisha yamenipiga kishenzi"

    ”kivipi yani?"

    “yani namaanisha ndani ya dunia hii sina furaha wala amani nimempoteza Mama Baba hatimae na Kaka na ukiangalia kuhusu Sister yupo kwenye manyanyaso jamaa aliyemuoa ni Mbabe kichizi yani kuna siku nilizinguana naye so akanichimba biti kuwa nyumbani kwake nisikanyage"

    Magoma alizungumza hivyo

    ”pole sana mshikaji wangu ila napenda utambuwe kitu kimoja kila jambo linalotokea basi Mungu ana makusudio yake Matatizo yako huwenda yakawa ni madogo kwa mwengine cha umuhimu ni kupiga moyo konde Mungu yupo pamoja nawe"

    Wakati wanaongea Mara akawasili Sylvester akiwa ndani ya kombati zake za Kijeshi

    Magoma aliogopa sana baada kumuona Sylvester pale

    ”shikamoo kaka mkubwa"

    White alitoa salamu japokuwa kiumri kwa Sylvester yeye ni mkubwa ila alimuamkia tu

    Sylvester alikaza macho yake kumuangalia Magoma yani ile salamu kama vile hakuweza kuisikia

    ”ni juzi tu nimerudi kutoka kwenye matibabu nikafikia kukutafuta wewe. Kila kona nakuulizia naambiwa umehama kitaa tafadhari naomba tuongozane pamoja mpaka kwangu"

    Sylvester alitamka hivyo mara ikasikika sauti nyingine

    ”oyoo Brother White upo kaka"

    wote wakageuka kumuangalia huyo aliyetamka hivyo ni nani hakuwa mwingine bali ni Chinoge Chinogae aisee alishawasili nchini na hiyo ndiyo mitaa ya nyumbani kwao kama tunaikumbuka vyema KING OF THE GORILLAS Hafidhi j Ikram alisafirishwa na Bahari mpaka kwenye kisiwa kimoja wapo kiitwacho Chinoge kutokana na umahiri wake ndipo akapewa jina la Chinoge Chinogae

    White hakuweza kuamini macho yake kwa kuweza kumuona Chinoge maeneo yale

    ”khaa kaka! Ni wewe au mzimu?"

    “ndiyo ni mimi"

    White akaenda kumkumbatia

    “kaka ilisadikika ya kwamba umepoteza maisha"

    Wakati wamekumbatiana Chinoge alikaza macho kumuangalia Sylvester aliyekuwa bize kuzungumza na Magoma

    ************

    bibie Sasha naye alishaweza kuwasili nchini Misri yalipo makazi ya bwana mkubwa Mustafa kabla ya kuingia ndani ya mjengo huo ilitakiwa kwanza asachiwe na ndipo aweze kuruhusiwa kuingia ndani ya kambi matata iliyokuwa imejizatiti vyema

    Akanyoosha mikono juu mtambo maarumu ukapitishwa mwilini mwake mwishoe ikaonekana hana silaha yoyote ile akaongozwa njia mpaka sehemu aliyopo Mustafa

    ”whaoo hatimae kipenzi changu wa enzi umekuja"

    Mustafa alizungumza kwa furaha huku akitanua mikono kutaka kumkumbatia bibie Sasha naye akafanya kujirahisi ghafla Mustafa alijikuta akizungushwa na kukabwa roba akawekewa Bastola kichwani yani ilikuwa ni Silaha yake mwenyewe aliyokuwa kaifutika kiunoni

    ”mtoto wa malaya wewe unadiriki vipi kutaka kucheza nami

    Sasha alizungumza hivyo huku akitoa amri kwa walinzi wa Mustafa kuweka silaha zao chini japokuwa Mustafa alikuwa amekabwa na kuwekewa bastola kichwani ajabu akawa anacheka kile kicheko cha kifedhuri.

    “ha!ha!ha!ha! Ghafla naye akajizungusha na kujitoa kwenye ile roba akabiduka sarakasi za kinyume nyume alipokuja kukaa sawa akajipangusa kama vile mwilini alikuwa na vumbi au uchafu halafu akaghosha vidole kuna wanadada wawili wakawa wanamfata Sasha kwa kasi ile anajiandaa kufyatua risasi akajikuta akipigwa teke moja zito lililotua mkononi Bastola ikamponyoka akasindikizwa na teke la kifua lililompeleka chini pasipo kupenda

    Akajibidua na kukunja ngumi wale Wanadada wakamzunguka Sasha na kuanza kumshambulia kwa pamoja ikawa huku anapiga kwa kutumia mateke mwingine ngumi Sasha alionyesha umahiri mkubwa kwa kujibu mashambulizi

    Ikawa anapanchi za chini na kujibu mapigo kwa juu akipanchi juu anajibu chini

    Baada kuona wale mabinti wameweza kuzibitiwa alichokifanya Mustafa ni kuiokota ile Bastola na kumshuti Bibie Sasha risasi ilienda moja kwa moja na kumpata begani

    Sasha alipiga kelele na kuachia zinga la tusi kwa Mustafa

    ”uwiiiii mamae zako mseng* wee"

    ”ha!ha!ha!ha! Unanitukania mama yangu sio? Sasa subiri niufunge huo mdomo wako Malaya mkubwa wewe"

    Mustafa alizungumza hivyo baada kuchukizwa kutokana na tusi lile

    Madebe alikuwa amefungiwa kwenye chuma kwa kuning'inizwa sasa kile kitendo cha Sasha kupigwa Risasi kilimchukiza akajitutumua ili aweze kukata ile minyororo aliyofungiwa Mustafa akafyatua risasi nyingine kumuelekezea Madebe kitu kikakita kwenye chuma na kumfanya Madebe atulize wenge

    “nyamaza kenge blue wewe pumbavu zako"

    Mustafa alizungumza hivyo akimtaka Madebe atulie

    Mara sauti kubwa ya kishindo ilisikika ikitokea upande wa Geti kubwa la kuingilia Magari

    Walipoangalia kunani waliona walinzi wakijirusha huku na kule ili kuikwepa Gari iliyovamia maeneo hayo na kulifumua Geti

    Gari ile iliingia mpaka ndani na kuwakumba baadhi ya walinzi huku wengine wakiishambulia kwa Risasi kuja kutahamaki Ninja Ice akaibuka kutoka kwenye ile Gari huku naye akifyatua Risasi mfurulizo kwa mtindo wa kuzunguka

    Walinzi walipangaranyika vibaya kwa kuchabangwa na zile risasi zilizokuwa zikitoka kwa fujo hakika Silaha aliyokuwa nayo Ninja Ice ni balaa

    Mustafa akaona usintanie akanyoosha mkono ili ammalize Sasha

    Kabla ya kuachia trigger akashtukia kitu chenye ncha Kali kikikita tumboni mwake

    “ghaaa,khooo,"

    Alitamka hivyo wakati Bastola ikimponyoka na kudondoka chini Sasha akafanya kubimbilika na kuiokota kitendo pasipo kuchelewa alianza kumimina risasi nyingi mwilini mwa Mustafa

    “kufilia mbali Mtoto wa Malaya wewe mshenzi wa tabia"

    ”inatosha mamaa"

    Ninja Ice akaja kumzuia kumbe kile kisu alikirusha yeye





    **********************

    Mustafa akaona usintanie akanyoosha mkono ili ammalize Sasha

    Kabla ya kuachia trigger akashtukia kitu chenye ncha Kali kikikita tumboni mwake

    “ghaaa,khooo,"

    Alitamka hivyo wakati Bastola ikimponyoka na kudondoka chini Sasha akafanya kubimbilika na kuiokota kitendo pasipo kuchelewa alianza kumimina risasi nyingi mwilini mwa Mustafa

    “kufilia mbali Mtoto wa Malaya wewe mshenzi wa tabia"

    ”inatosha mamaa"

    Ninja Ice akaja kumzuia kumbe kile kisu alikirusha yeye



    Songa nayo

    Sasa



    Sasha alionekana kumshangaa sana Ninja Ice amefikaje fikaje eneo lile

    Maana kutoka Israel mpaka Misri kuna umbali mkubwa sana. Sema hakutaka kujiuliza sana wakafanya haraka kuwafungulia kina Madebe wakaingia ndani ya Gari na kutoweka

    “Dada, dadaa"

    Agnes alipaza sauti kumwita Dayna aliyekuwa bize kutoa maelekezo kwa wafanyakazi jinsi ya kupangilia mizigo iliyoingia kwa wakati huo Dayna akageuka na kutikisa kichwa akapiga hatua za haraka kufata Mdogo wake

    ”vipi tena?"

    ”Sister Sasha hayupo!"

    ”umeenda kumuangalia ofisini kwake?"

    ”ndiyo mpaka chumbani kwake hayupo"

    ”embu nenda kamuangalie kule bwawani"

    Dayna akanyoosha kidole kumuonyeshea Mdogo wake

    ”hata kule nimeenda ayupo bana"

    Agnes alizungumza na kupigapiga miguu chini

    Dayna akaitoa simu yake akabofya bofya na kuiweka sikioni

    Simu ikawa inaita

    ”halloo"

    ”ehee nambie Dayna"

    ”uko wapi wewe? Maana mwanafunzi wako anakutafuta kila kona huonekani"

    “nipo Pakistan"

    “what!? Mbona umeondoka bila taarifa Sasha"

    ”sasa kitu gani kinakushangaza mdogo wangu kwani ni mara yangu ya kwanza mimi kuondoka bila kukutaarifu"

    ”hapana ila hii taarifa naona kama imenishtua kwa kiasi fulani"

    “mmh basi usiwaze hata hivyo nipo njiani narudi"

    ”sawa nikutakie safari njema uweze kurudi salama"

    Simu ikakatwa punde simu ya Dayna ikaanza kuita akaangalia mpigaji jina limetokea Big Bosi kwanza akaghuna na kuipokea

    “Dayna tafadhari nakuomba mwambie Sasha apokee simu yangu"

    ”inamaana umempigia simu hakupokea?"

    ”ndiyo maana yake kila nikipiga badara ya kupokea yeye anakata

    ”khaa sasa kwanini anakufanyia hivyo?"

    ”nilipata taarifa juzi usiku kuwa vijana aliowatuma kwenda kuifanya kazi yangu wamenaswa na kikundi kingine

    Na ndiyo walionijurisha. Kuhusu hilo swala sasa jana usiku yeye mwenyewe alinipigia simu na kuniambia kazi imefeli na hivi aongeavyo nami yupo njiani kuelekea Misri kwaajili ya kuwakomboa watu wake. Akakata simu sasa kila nikimpigia ili niweze kufahamu kafikia wapi juu ya uwokozi au kimaelewano na hao watu apokei simu.

    Mpaka nahisi mnataka kunifanyia usanii tu!"

    ”ohoo pole sana mkuu kiukweli Mimi sina taarifa zozote juu ya hilo jambo ila kuanzia sasa wacha nilifatilie"

    ”sawa tafadhari nawe usiniangushe"

    Simu ilipokatwa Dayna akamuendea hewani Sasha

    “kwanini unanificha? Unaajenda gani ya siri wewe?"

    Simu ilipopokelewa Dayna alianza kuuliza maswali hata akujibiwa simu ikakatwa hata alipopiga tena ikawa haipatikani

    ”ohoo Shit! Hivi kwanini Sasha anapenda kujiweka kimbelembele kufanya kazi za hatari pasipo kutaka kunishirikisha mimi? Pumbavu zake huyu anataka kufa"

    Dayna alilaani akaelekea ofisini kwa Sasha ili aweze kupekuwa huwenda ataweza kung'amua chochote kitu Mara akakumbuka chumba cha kotrola zilipo video zenye kunasa matukio yote yanayotokea maeneo ya mjengo huo

    Akafanya haraka kwenda kuangalia

    Alipoingia tu aliwakuta wafanyakazi wakiwa bize na kuwajibika walipomuona mkuu wao akiingia

    Wakabaki kumuangalia

    ”habari zenu"

    Dayna alisalimia

    ”salama tu mkuu karibu"

    Wakaitikia kwa pamoja binti mmoja akamkaribisha Dayna akae kwenye kiti

    ”tafadhari Zamda naomba uniangalizie matukio ya Camera namba tatu hasa kilichotokea usiku wa jana"

    Binti aitwae Zamda akaiweka sawa Laptop na kuanza kutafuta vitu muda kidogo alionekana Sasha akitoka chumbani kwake

    “ohoo shit! Inamaana kina Madebe wametekwa na Mustafa hivi huyu mshenzi anatutakia kitu gani sisi?

    Basi inatosha Dayna alizungumza hivyo alishaweza kujirizisha.

    *******

    Chinoge alikaza macho kumuangalia Sylvester

    “sasa brother White wacha mimi nifike nyumbani"

    Chinoge alizungumza hivyo watu wengi walionekana kumshangaa hakika alikuwa amebadirika kwa kiasi kikubwa alipotea takribani miaka sita na sasa amerudi nyumbani

    Jinsi alivyopokelewa nyumbani kwao itafute KING OF THE GORILLAS

    Baada Chinoge kuachana na White pale Magoma akamwita White na kumkabidhi msokoto wake wa Bange kisha akanyanyuka

    ”nipo tayari sasa brother tunaweza kwenda"

    Magoma alizungumza kwa sauti ya unyonge wakaongozana kuelekea nyumbani kwa Sylvester maeneo ya Udoweni

    wakati wanaendelea na safari ghafla tu! Magoma akaanza kukimbia huku akipiga kelele za kuomba msaada kitendo kilichomshtua sana Sylvester akapaza sauti kumtaka Magoma asimame huku akitishia kama hatoweza kutii amri basi atamshuti. Magoma hakuwa tayari kusimama ndiyo kwanza akazidi kukimbia Sylvester akaona njia pekee ya kumkamata ni kumkimbiza pia alifahamu Magoma hana pumzi za kuweza kukimbizana naye nikweli Magoma hakuwa na pumzi kutokana na mapafu yake kuathiriwa na Moshi mwingi wa Sigara alizokuwa anavuta yani kwa siku si chini ya Misokoto mitano anapuliza

    Sema Magoma alijikaza kupandisha mrima kuelekea kwa Ronda akaweza kuifikia barabara inayotokea Ruveti kuelekea Renbow ile anavuka tu Ghafla bin vuu kuna pikipiki ilikuja kwa kasi ilikuwa inatokea Ruveti ikaja kumzoa na kumtupa kuna Gari nayo ilikuwa inatokea kwa Mpelembe ikampitia kifuani hakika ilikuwa ni ajali yenye kutisha na kuogopesha

    Dereva wa Gari akakimbia akimuacha Dereva bodaboda akiwa ameduwaa kwa kuuangalia mwili wa Magoma uliokuwa ukivuja damu kwa wingi.

    Sylvester naye akabaki kutoa mimacho tu kama vile Mjusi Kenge umati wa watu ulishajazana eneo la tukio kila mmoja aliongea lake Sylvester akaondoka

    ”hiiiiiii,,,jamaniii,,hiiiii"

    Kulikuwa na binti mmoja hivi akilia kwa sauti huku akikatiza kibarazani mwa Nyumba ya kina Chinoge kwa wakati huo kulikuwa na furaha isiokuwa na kifani kwa kurudi Chinoge ndugu jamaa na marafiki walijazana kila mmoja alitaka kufahamu alikuwa wapi kipindi chote hiko?

    ”mi nilijuwa tu mchizi utakuja kuzamia ili kwenda South"

    Alizungumza mmoja kati ya Marafiki zake ile sauti ya binti akilia ikawashtua

    “wee Zakia vipi tena? Mbona kilio?"

    Khadija ambaye ni Dada yake Chinoge akamuuliza

    “hiiiiiiii,,,Magoma"

    ”kafanyaje tena Magoma"

    ”kagongwa na gari"

    ”Mungu wangu wee jamani Magoma wangu yuko wapi?"

    Khadija naye akaangua kilio sijui hata alijibiwa sehemu aliyogongwa Magoma akatimua mbio kuelekea Ruvet masikini wee hakuweza kuamini baada kuuona mwili wa Magoma ukiwa nyang'a nyang'a maana utumbo ulitoka nnje watu walikuwa wameuzunguka

    Khadija alinyong'onyea Mara trii akadondoka chini chali na kupoteza fahamu

    “mama Khadija binti yako kadondoka kule"

    Kuna binti alikuja mbio mbio nyumbani kwakina Chinoge kutoa taarifa

    Nyumba nzima wakatoka kasoro Chinoge maana alikuwa kachoka si kidogo alihitaji kupata walau muda wa kupumzika sema akaona akaa wacha na yeye akaangalie kitu gani kilichomsibu Dada yake

    ***********

    Dayna hakuweza kukaa kwa raha kila muda macho getini kuangalia kama Sasha anarudi au laa Makomando wa kutumainiwa takribani watatu walitumwa kwenda kumfalia mkuu wao.

    Yapata majira ya saa kumi na moja jioni

    Ndipo Sasha akawasili Dayna alienda kumkumbatia ila aliweza kubaini mwenzake ana jeraha la risasi upande wa begani japokuwa alitaka kumficha

    ”unaona sasa wamekuumiza hivi kwanini hukuniambia ili twende wote jamani?"

    Dayna alianza udadisi

    ”tafadhari kwa hilo naomba unisamehe"

    Sasha aliomba msamaha

    Akapiga hatua kuelekea chumbani kwake akashtuliwa na sauti ya Ninja Ice akimwita

    “mkuu"

    Akageuka kumuangalia Ninja Ice alikuwa kashika mkoba

    ”nini hiko?"

    Sasha aliuliza angali akiwa kasimama

    ”ni zawadi yako"

    “embu itoe niione"

    ”unatakiwa uitoe wewe mwenyewe hii nikama Sapraizi kwako"

    Sasha akatabasamu na kumfata Ninja Ice akaupokea ule mkoba alipoufungua aisee alibaki na mshangao kwa alichokiona ilikuwa niile kofia ya Kifalme

    Alimuangalia Ninja Ice mara mbili mbili kawezaje kuipata ile kitu akiwa peke yake na hiyo sehemu kaijuaje kwa maana ilihitajika ramani maarumu hakika alistaajabisha

    Sasha akamkumbatia Ninja Ice

    “nimekupatia hiyo zawadi ikiwa kama ishara ya Mimi kuagana nawe?"

    Ninja Ice alizungumza hivyo

    “unaenda wapi sasa?"

    ”Tanzania"

    Madebe akashtuka baada kusikia ikitajwa Tanzania

    ”tafadhari mkuu nichukuwe na Mimi twende wote huko ni nyumbani kwetu"

    Madebe alitamka hivyo

    ”inamaana unataka kuniacha peke yangu? Je unakumbuka uliniahidi jambo gani?"

    Sasha aliuliza hivyo

    ”hapana kipenzi sio kama nakuacha bari naenda kuifanya kazi moja hivi nyeti sana nitakapoweza kuikamilisha hiyo kazi nitakuja kujumuika nawe"

    Ninja Ice akajibu

    Wakiwa wamekumbatiana Mara kuna Gari ikawasili ni gari iliyomleta bibi Najma sijui alienda wapi mpaka Sasha akataka kujimilikisha Ninja Ice Wahida alimkumbatia Pacha wake akatoa salamu kwa wakuu wake sema alishangaa kuona Ninja Ice hana furaha yoyote juu yake sema huo haukuwa muda wa yeye kuuliza zaidi ya kukabidhi kile ambacho aliagizwa kwenda kukifanya huko atokako

    Siku mbili baadae Ninja Ice na Madebe wakaianza safari ya kurejea Tanzania

    ”tafadhari kipenzi changu huko uwendapo usije ukanisahau tambua nina Mtoto wako tumboni"

    Wahida alizungumza hivyo

    “usijari kipenzi nitarudi kwaajili yako"

    ”wee jamaa fanya faster tusepe"

    Ninja Ice alipaza sauti kumtaka Madebe aachane na kudendeka

    Madebe akakimbia mbio alipomfikia Ninja Ice akageuka na kupunga mkono

    Sasha Dayna Najma Wahida na wafanyakazi wote wakapunga mikono ya kuwatakia safari njema







    **********************

    tafadhari kipenzi changu huko uwendapo usije ukanisahau tambua nina Mtoto wako tumboni"

    Wahida alizungumza hivyo

    “usijari kipenzi nitarudi kwaajili yako"

    ”wee jamaa fanya faster tusepe"

    Ninja Ice alipaza sauti kumtaka Madebe aachane na kudendeka

    Madebe akakimbia mbio alipomfikia Ninja Ice akageuka na kupunga mkono

    Sasha Dayna Najma Wahida na wafanyakazi wote wakapunga mikono ya kuwatakia safari njema



    Songa nayo

    Sasa



    “hata siamini kama leo hii narudi kwenye nchi niliyozaliwa nchi ambayo watu wake waliamua kunitoa Mimi swadaka juu ya yote bado naipenda Nchi yangu Tanzania na sasa narudi nyumbani"

    Madebe alizungumza kwa hisia kari kisha akauma meno akakaza macho kumuangalia Ninja Ice aliyekuwa kasinzia kwa kuegemea siti ya gari

    “hiki ni kisasi changu wala sio chako. Nitahakikisha wahusika wote nawafyekelea mbali"

    Bwana mkubwa Madebe alizidi kuzungumza

    ”kijana embu lala huu sio muda wa kuwaza kulipa kisasi tusije tukapata ajali bure"

    Ninja Ice akafumbua macho na kuzungumza hivyo

    Dereva waile gari akabaki kutabasamu

    Safari ilizidi kusonga mbele huku kila mmoja akiwa kimya Mara yule Dereva akauvunja ukimya ule

    ”siku zote kisasi huzaa chuki na chuki huzaa kisasi, ikiwa na maana unapotaka kulipa kisasi tambua nawe utakuja kulipiziwa kisasi"

    “mmh"

    Madebe akaghuna

    ”usighune kijana naomba unisikilize kwa umakini sana kisasi sio kitu kizuri ndiyo maana Vitabu vitakatifu vinakataza juu ya hilo jambo.

    Mfano ni mdogo tu wewe unataka kulipa kisasi kwa watu walioweza kukutendea mabaya kama niliwahi kuskia kule kambini kuwa wamekuulia Baba yako, sasa ndani ya moyo wako kuna donge zito la moto lenye kuuchoma na kukuumiza vikari

    Kama nilivyoweza kukusikia ukizungumza ukilipa kisasi kwa kuwauwa waliokuulia Baba yako basi fahamu kutakuwa na watoto wao aiza wajukuu zao ambao nao watahitaji kulipa kisasi juu ya wazazi wao

    Kitakachotokea hapa ni ule mlolongo mrefu vizazi kwa vizazi"

    ”nikweli usemacho bwana Zuberi ila tambua kitu kimoja kila zama na zama zake wacha kijana atekeleze kile ambacho moyo wake unaahitaji kufanya"

    Ninja Ice alizungumza hivyo Mara simu ya Bwana Zuberi ikawa inaita akaichukuwa na kuipokea

    ”haloo"

    ”kwa sasa uko wapi?"

    ”nipo njiani kuelekea uwanja wa Ndege"

    ”unaenda kufanya kitu gani huko? Wakati jana usiku tulipanga tukutanie Ein Bokek sasa imekuwaje tena unaenda uko?"

    “sio hivyo Zurekha"

    ”kumbe kitu gani Zube mume wangu?"

    “kuna watu nimeambiwa niwasindikize uwanja wa ndege nikitoka huko nitakupitia bibie"

    ”sawa haina shida baba watoto leo nataka ile michezo ya kubofya bofya"

    ”haya mama Watoto leo mapema tu"

    Simu ikakatwa

    “ehee niliishia wapi vilee?"

    Baada kukata simu bwana Zuberi akauliza

    ”sio uliishia wapi mi ningeomba utuache hapo mbele kidogo pembeni ya ule mjengo pale"

    Ninja Ice alizungumza hivyo

    ”sasa mbona wataka kushukia njiani wakati bado hatujafika sehemu husika?"

    ”kuhusu hilo wala usijari ndugu wee tuache hapo ili wewe upate nafasi ya kuelekea kwa Shemeji au hutaki kumuwahi?"

    ”sio kama sitaki bali nahofia nisije kuwaacha njiani taarifa zikaja mfikia Sasha nikaja kuazibiwa Mimi"

    Bwana Zuberi alizungumza hivyo huku akipunguza Mwendo wa gari akawasha indiketa na kuipaki gari pembeni kina Madebe wakashuka wakiwa na mabegi yao

    “sasa mnashukia hapa kwa minajili ipi hasa?"

    ”embu kamata hiki kiasi cha pesa ili uweze kutumia kwasiku ya leo ukiwa na Shemu letu kuhusu swala la sisi kushukia hapa kwanza kabisa tunahitaji kununua baadhi ya mahitaji kisha tutakodi tax ituwahishe Uwanjani"

    Ninja Ice alizungumza hivyo huku akimpatia kibunda cha pesa bwana Zuberi aliyekuwa kazitolea macho zile pesa kwamaana kwake zilikuwa ni pesa nyingi sana ni sawa na mshahara wake wa mwaka ajabu anaambiwa zitamfaa kwa leo huku mikono ikimtetemeka akazipokea

    ”mbona kama unatetemeka mkuu?"

    Madebe akauliza

    ”hizi pesa ni nyingi sana kwa nchi yetu"

    ”oyaa kijana tunaweza kwenda sasa"

    Ninja Ice alimwambia hivyo Madebe wakabeba mabegi yao wakatembea hatua kadhaa mbele ikawa kufumba na kufumbuwa wakapotea. Kiukweli kabisa hawakutaka kujichosha kwa safari ya Ndege wakati Ninja Ice ana usafiri wake spesho wa haraka zaidi

    Bwana Zuberi hakuweza kukiona kile kitendo

    *********

    Maeneo ya kwa Mboma watu walikuwa wamejazana kuuwangalia mwili wa kijana Magoma uliokuwa umelala kwa wakati huo ulishafunikwa na shuka polisi walishawasili Ispekta Seba alisikitika sana baada kugundua kijana aliyefariki ni Magoma

    ”oyaa Sele yule si Hafidhi j Ikram?"

    ”mmh yuko wapi?"

    “yule pale kavaa Tisheti nyeusi"

    Ikabidi Sele ageuke na kumuangalia huyo Hafidhi

    ”khaa ni yeye aisee"

    Sele alizungumza hivyo akapiga hatua za haraka kumfata

    Chinoge alipowasili maeneo yale akawa anashangaa shangaa tu asiweze kuelewa kunani pale

    ”khaa Hafidhi kaka ni wewe"

    Akashtuliwa na sauti ya Sele

    ”ohoo Sele Gwau kichaa wangu vipi mambo?"

    “safi tu kaka ulipotelea wapi wewe? Maana kitambo sana aisee"

    ”nilizamia meli moja hivi kule bandarini kuja kutahamaki nikajikuta nipo South"

    ”duuh wacha wee sema nini ndugu unauwona mwili wa marehemu uliolala pale chini"

    “ndiyo kaka"

    “kiukweli yule jamaa alikuwa ni mtu wa watu yani masela wote wachimba mchanga wanamfahamu kwa wema wake yani ukiwa na shid....

    “embu subiri kwanza"

    Chinoge akamkatisha Sele asiendelee kuzungumza akapiga hatua kuusogelea ule mwili

    Ispekta Martin akawahi kumzuia na kumtaka akae mbali na eneo lile

    Sasa kile kitendo cha kuzuiwa kwake aliona kama dharau fulani hivi akafanya kumsukumiza Ispekta Martin aliyepepesuka watu wakabaki ahaa

    Martin naye akaona kijana usinitanie yani unathubutu kunisukumiza Mimi Afisa wa jeshi la polisi

    Akataka kumfata Ispekta Seba akamzuia

    ”embu tulia kwanza huwenda akawa ndugu yake"

    ”hata kama ni ndugu yake anadiriki vipi kunisukumiza kibaya zaidi mbele za watu!"

    ”ndiyo maana nikakutaka utulie tulia basi"

    Ispekta Martin akakubari kutulia

    Chinoge akaishika ile shuka aliyofunikwa Magoma taratiibu akaifunua ghafla akashtuka na kuufunika ule mwili

    ”vipi kijana mbona kama umeshtuka umeona kitu gani"

    Ispekta Seba alimuuliza

    Chinoge hakutaka kujibu alichokifanya ni kukimbia mbio kuelekea maeneo ya bondeni kitu ambacho kiliwashangaza watu wengi

    “Hafidhi mwanangu umeona kitu gani mbona hivyo jamani?"

    Mama yake alimuuliza huku akijaribu kumkimbilia

    Chinoge alikimbia moja kwa moja mpaka nyumbani kwao akaingia chumbani kwake na kufunga mlango kwa ndani alipoufunga tu akapotea

    Tukija kwenye utawala wa Mzee mzima Nipe Nikupe kulikuwa na furaha ya aina yake viumbe vilikula na kusaza siku hiyo kulikuwa na nyama nyingi sana pamoja na damu zilizojazwa kwenye mitungi maarumu

    “ha!ha!ha!ha! Kuleni kuleni vijana khakhakhakha,, Milfat binti yangu usilie wala usiuzunike njoo mamaa tujumuike pamoja"

    Nipe Nikupe alizungumza kwa furaha wakati Milfat alikuwa kajiinamia akilia

    Wakiwa katikati ya Sherehe ghafla bin vuu Chinoge akaibuka akiwa kwenye umbo la Ninja Shoti

    Mshtuko aliupata Nipe Nikupe ni mara mia ya mtu anaeshtuliwa kwa shoti ya Umeme

    ”nani wewe"

    Nyaume akauliza huku akipiga hatua kumsogelea Ninja Shoti alikaza macho kumuangalia Nipe Nikupe kama vile wale viumbe wengine awaoni Nyaume akanyoosha mkono ili amshike Ninja Shoti likawa kosa kubwa kwake

    Ninja Shoti alifutuka na kukata kichwa cha Nyaume

    “wee ninani we ninaniiii,,,,"

    Nipe Nikupe alipaza sauti kuuliza

    Akajibiwa kwa kupigwa na kitu kizito kilichotua mdomoni mwake alighughumia kwa maumivu ilikuwa ni Nyundo ya moto

    “oghooooo,,griiiiiiiyaa"

    Ninja Shoti akatoweka Nipe Nikupe alishtuka tena yani ujio wa kiumbe yule ulimshtua kuondoka kwake kumemshtua pia hata hamu ya kula zile nyama hawakuwa nayo

    Wakabaki kuulizana tu

    Nani yule? Katokea wapi?"

    Milfat alicheka naye akapotea

    “Hafidhi mwanangu embu fungua mlango uniambie umeona kitu gani juu yaile maiti"

    Mama Hafidhi alizungumza hivyo kumsihi mwanae afunguwe mlango pasipo kufahamu kijana wake katumia njia hiyo kwa safari maarumu

    Mara mlango ukafunguliwa Mama Hafidhi na baadhi ya majirani wakaingia mpaka chumbani Chinoge akajifanya kujiinamia

    Mwili wa Magoma ulishachukuliwa na kwenda kuhifadhiwa hospitali ya Lugalo

    Milfat alifika ndani ya hospitali hiyo akiwa analia si kidogo

    Kulikuwa na watu wengi sana hapo

    Alikuwepo Sylvester Mkuu wa Majeshi bila kusahau kina Martin

    Ispekta Seba alikuwa na kazi nzito ya kumbembeleza Milfat

    Ghafla Sylvester macho yakamtoka pima akakaza macho kuangalia sehemu

    hakuweza kuamini macho yake akajikuta akitamka

    “Madebee"

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog