Search This Blog

Thursday 24 November 2022

SHANGA YA BIBI ILIVYONIPA UMAARUFU (2) - 1

 

     



     IMEANDIKWA NA : JACK AMAMBO



    *********************************************************************************

    Chombezo : Shanga Za Bibi Zilivyonipa Umaarufu Season 2

    Sehemu Ya Kwanza (1)

     

    YALIYOPITA SEASON 1........

    Kidawa,binti ambaye amepitia changamoto nyingi katika maisha yake ya kimapenzi.

    Alinyanyaswa,akatukanwa na kudharauliwa kwa kuwa tu hakuwa analolijua katika mapenzi!

    John,mwanaume aliyemtoa bikra yake na kisha kumdharau na kumdhihaki kwa maneno na vitendo ikiwemo ya kufanya mapenzi na mwanamke mwingine huku Kidawa akiwa anashuhudia, na si huyo tu bali James pia aliyekutana naye alipoingia chuo.

    Naye alipofanya naye mapenzi alipata kejeli nyingi na matusi mengi huku James akienda mbali hadi kumpaka matope mitandaoni,akisema Kidawa ni mwanamke mvivu tena gogo hasiyejua lolote katika mapenzi!!



    Naam!!!!Mungu amtupi mja wake,hatimaye kilio cha Kidawa kikageuka sherehe,machozi yake yakapata leso,huzuni yake ikafunikwa na tabasam pana!

    Safari ndefu ya Kidawa iliyompeleka mpaka Tanga kwa Bi Mwana ndiyo iliyomrejeshea tabasamu lake,Bibi yule alimfunda akafundika,akampa ujuzi unaostahili,zaidi akampa shanga ambayo imekuwa kama siraha ya Kidawa kidandani,Sasa ni mtamu kuliko asali Kidawa amegeuka almasi!



    Kidawa ambaye akili yake ilifungwa na kupewa nuksi na jini,jini ambaye alitokea kumpenda Kidawa na kumtia nuksi na kuishika nyota yake,sasa akaachiwa huru!

    Kidawa akawa kungwi!Kidawa akawa fundi wa mapenzi,ungepata bahati ya kumuona Kidawa akifanya mapenzi pengine ungemfananisha na yule mwimbaji aliyevuma zamani,ambaye licha ya kuwa na sauti nzuri iliyobembeleza haswa pia alijaliwa kiuno au kama tunavyopenda kuita nyonga laini kiasi kwamba akapewa jina la kiuno bila mfupa maarufu sana miaka ile kwa jina la Ray C!

    Kidawa akawa dawa,dawa ya wanaume wakware!Na vile alijaliwa umbo namba nane na nyuma alifungasha haswa,basi Kidawa alipata tabu kweli!!



    Ufundi na ukungwi alioupata ukubwani ukamlevya kiasi kwamba sasa akatamani kufanya mapenzi na kila mwanaume!

    Kidawa aliyejaliwa kila kitu sio pesa wala mali akawa anafanya mapenzi na wanaume kama anawakomoa bila kujua kile kitendo kilikuwa kinamuudhi jini Jabir ambaye licha ya kwamba hakuwa naye ila kila alichofanya alikiona!!



    Mambo mengi machafu aliyofanya Kidawa ndiyo yaliyochangia Jabir kurudi ili kumchukua Kidawa akaishi naye ujinini!akiamini huko Kidawa atatulia akiwa naye tofauti na duniani!!

    Ndipo tulipoishia Kidawa akachukuliwa na safari ikaanza ya kumpeleka Kidawa ujinini!!!



    Huku nyuma Jabir alimuacha mwenzie ambaye ni jini wa kike aitwaye Sabrat ili aishi kama Kidawa duniani!

    Je unahisi Sabrat ataweza kuvaa viatu vya Kidawa duniani?

    Na Je vipi Safari ya Kidawa kwenda ujinini itafanikiwa?na kama imefanikiwa Jabir atamtuliza Kidawa aliyezoea kufanya mapenzi kila siku na wanaume mbalimbali?



    ............SONGA NAYO..............



    Jua lilichomoza taratibu likilifunika giza lililotanda na kufanya usiku,sasa likaanza kutoweka taratibu mpaka giza likapotea kabisa nuru ikatawala ishara ya kwamba tayari imeingia siku nyingine tena!



    Ingelikuwa kwetu Mbagala au Tandale tungeskia jogoo zikiwika kutoka kila pande ya mitaa mbali mbali,mitaa ambayo jogoo ndiyo alam ya watoto kuamka na kujiandaa kwenda mashuleni na wazazi kuanza safari kwenda kuitafuta shibe ya siku mpya!!!

    Tofauti na mitaa hii mitaa ambayo ni ngumu kumuona mtu akikatiza ovyo barabarani,ni Mara chache mtu kumuona anatembea labda waswahili wanaokatiza mara chache,nikisema mara chache naomba uelewe ni Mara chache haswa na ukipita saa moja usiku lazima ukamatwe watakushuku wewe ni jambazi labda unawachorea ramani unataka kuiba!

    Mitaa hii kila mtu anatoka na gari lake na kila mtu ana maisha yake hakuna kufuatiliana,mitaa ambayo magonjwa kama Corona yanatamba kwa tabu sana sababu hayapati watu kabisa????.



    Nyumbani kwa Kidawa,Kidawa ambaye tunajua wazi kabisa kwamba amechukuliwa na Jabir akimpeleka ujinini ambako hatujajua kabisa kama wameshafika au bado!!

    Kitandani alionekana amelala binti mmoja ambaye kisura,umbo ni Kidawa Ila hakuwa Kidawa tena huyu alikuwa ni jini Sabrat,jini aliyeachwa na Jabir ili aishi kama Kidawa!!!

    Sabrat alitoa shuka lake akalitupia pembeni!!

    Hapo miguu yake ikaonekana tofauti na Kidawa wetu,Kidawa huyu alikuwa na kwato kama za ng'ombe!!

    Aliposhusha miguu yake chini ya sakafu lile lililofunikwa na vigae vya gharama sauti iliskika kama mtu aliyevaa viatu vyenye visigino virefu akitembea!

    "Ko!ko!ko!"

    Ndiyo sauti iliyosikika Sabrat alipotembea kukisogelea kioo(dressing table) sehemu iliyojaa manukato na vitu mbalimbali anavyostahili kuwa navyo mwanamke wa kisasa,vyote kwa ajili ya kujipamba!

    Alisimama mbele ya kioo akaiona sura aliyonayo sasa na umbo pia moyoni alikiri kuwa Kidawa ni mrembo!

    Akijaribu kujibadilisha na sura yake aliyozoeleka kama Sabrat,sura ya kishombe shombe lakini bado Kidawa alimfunika mbali na ushombe wake!

    "Huyu Kidawa ana balaa huyu!",alisema kisha akajirudisha kuwa Kidawa tena,akaanza kuukagua huu mwili mpya anaomiliki sasa ambao mwenyewe sasa amepelekwa ujinini.

    Aliangalia sura ya Kidawa kuanzia macho,maskio na hata nywele zake bazo zilikuwa nyingi kama mzungu akaishia kutabasamu tu!

    Ila alipofika kwenye pua kuna kitu hakukipenda akaguna,anapenda Sana kuweka heleni kwenye pua sasa Kidawa alikuwa hajatoboa ,akanyoosha mkono juu alipoushusha alikuwa ameshika sindano akajitoboa puani kisha akatabasamu!

    Ghafla simu ikaita,simu ya Kidawa ambayo Sasa anaeimiliki ni jini Sabrat.

    Alipoangalia jina la mpigaji liliandikwa 'Dady' ikiwa na maana ni baba yake Kidawa ndiye anapiga simu!

    Katika kujishauri apokee au aache na akipokea aongee nini simu ikaita tena!!Hakuipokea tena hadi ikakata.

    Ghafla akaskia mlango wa sebuleni unagongwa akavaa dela kisha akatoka hadi sebuleni!

    "nani?",aliita Kidawa(Sabrat)

    "Mimi baba yako fungua unalala hadi saivi!"

    Japokuwa ni jini ila hakujiandaa na ugeni ule ilikuwa ni ghafla Sana na katika kumbukumbu zake hakuna sehemu Kidawa aliwasliana na baba yake kuwa atakuja nyumbani asubuhi,hii ilimchanganya sana Sabrat akajiuliza afungue au hasifungue!!

    Akiwa anajiuliza mlango ukagongwa tena!

    "Ivi we Kidawa una nini mwanangu?fungua mlango nimeota ndoto mbaya sana juu yako ndiyo maana Niko hapa saivi?"







    Tulipoishia.....Jini Sabrat ambaye ndiye anaishi duniani kama Kidawa sasa,amepata ugeni ambao hakuutegemea kabisa,baba yake Kidawa kaja na yupo mlangoni anagonga mlango!!

    Songa nayo......

    Jini ni jini tu,Sabrat alijivika ujasiri akafungua mlango macho yake yakagongana uso kwa uso na baba Kidawa!!

    "Baba Karibu mbona mapema hivi?",aliuliza Kidawa feki!

    "Mwanangu uko salama?",aliuliza baba Kidawa huku anaingia ndani!

    "Mi mzima wa afya baba!"

    "Hapana, haiwezekani!"

    "Mbona sikuelewi baba!"

    "Ina maana huumwi hata kifogo?yani hujiskii hata mwili kuumwa?"

    "Baba mimi mzima wa afya kama unavyoniona!"

    "Ahsante Mungu maana kwa ndoto niliyoota aiseeh!"

    "Kwani umeotaje baba?"

    "Mmhh!mwanangu kwa kuwa umzima wa afya mi naomba tuyaache nisikupe wasiwasi wa bure,unajua binadamu muda mwingine tunaota ndoto mbaya labda pengine sababu ya uchovu au hizi filamu zetu tunazoangalia!"

    "Lakini baba ungenambia umeotaje?"

    "Usjali mimi natoka Ila ningependa wewe leo usiende popote ubaki hapa!"

    "Ila baba unanitisha ivyo!"

    "Hapana mwanangu hata ivyo unafanya kazi sana sio mbaya ukijipa likizo siku moja moja!"

    "Sawa baba nimekuelewa!"



    Baba Kidawa alisimama akafungua kibegi chake akatoa vibunda vitatu vya pesa ili ampe Kidawa!

    "Lakini baba mi najitegemea tayari nina biashara naingiza pesa pia baba!!"

    "Najua mwanangu lakini kama unavyojua wewe ni mtoto wetu wa pekee,unataka nani atumie pesa zetu?"

    "Baba laki.....!"

    "Hakuna cha lakini Kidawa,hizi pesa tulitafuta ili uje utumie wewe na wanao kama utabarikiwa kupata watoto,ila Mali zetu ni urithi wako!"

    "Mmh,aya sawa baba!"

    "Hiyo ni milioni therathini utaangalia uataongeza nini kwenye biashara zako au utanunua chochote utakacho!"

    "Aya ahsante baba!"

    "Mi naondoka Ila nisingependa leo utoke!"



    Baba Kidawa alitoka akapanda kwenye gari lake milinzi akamfungulia geti akaondoka zake!

    Huku Sabrat alibaki anatabasamu tu,akiamini ndiyo muda wake wa kula raha duniani ,hasa ukizingatia sura aliyoivaa ni sura ya mtu maarufu sana ndani na nje ya nchi!

    Aliinuka akaenda kwenye friji huko alikutana na nyama mbichi iliyoganda kwa baridi akaitoa akaiweka kwenye sahani kisha akaiweka mezani,akaicha pale akaingia bafuni kuoga alioga huku anazishika chuchu ambazo kwa Sasa anazimiliki yeye!

    Bado alikiri kwamba Kidawa ni mrembo hata uko ujinini anakopelekwa,wasipoangalia atawapa shida sana!

    Alipomaliza kuoga alianza kujipamba(tusichokijua ni kwamba huyu jini Sabrat alikuwa anamfuatilia kwa kila kitu Kidawa,hivyo anajua hata mafuta na marashi aliyopenda Kidawa)

    Alipomaliza alijifunga kanga tu kisha akatoka hadi mezani alikoacha ile nyama mbichi kwenye sahani!!

    Alichukua kisu na uma,huwezi amini alianza kuila ile nyama bila kupikwa wala kuchemsha!!

    Akiwa pale simu iliita alipoangalia aliona jina limeandikwa 'Kibamia 2' akatabasamu moyoni akijisemea!

    "Kidawa ana mambo huyu!",aliishika simu akaipokea huku mdomoni anatafuna nyama mbichi ya ng'ombe!

    "Haloo!",alisema Sabrat

    "Haloo,Kidawa!"

    "Yes niambie!"

    "Jamani Kidawa,mbona umenitenga ivyo tangu siku ile mpaka leo hutaki hata kujibu meseji zangu"

    "Sasa nikukumbuke kwa shoo gani na kibamia chako jamani????"

    "Kuhusu kibamia mi nimepata dawa saivi nina mashine kabisa ingia WhatsApp nikuonyeshe!"

    "Kweli!?????

    "Ndioooo,yani saivi ukinipa we mwenyewe utafurahi utasimulia!??

    "Naingia WhatsApp nitumie iyo bakora!"

    Sabrat aliingia whatsap akakuta tayari kashatumiwa picha ya bakora!

    "Duhh!uko fasta ushatuma?"

    "Nimekumiss ndiyo maana,nataka nikushikishe adabu ulinipa maneno ya shombo sana siku ile!"

    "Duh umepata wapi dawa ya kibamia!"????

    "Usiulize we si ulitaka mashine bhana"

    "Ok njoo home!"??????

    "Hayo ndo maneno nakuja saivi nachukua Uber chap!"????

    "Ok baby nakusubiri kidude kinawasha hatari!"



    Yule jamaa alionekana kuwa na mzuka sana na Kidawa!

    Ndani ya nusu saa tu tayari alikuwa ameshafika kwa Kidawa!

    Sabrat alimpokea akaingia wakakaa sebuleni!!

    "Unajua nini Kidawa!"

    "Sijui nambie!",alijibu Sabrat

    "Nataka uwe mkewangu!"

    "Usjali baba,mi nachotaka bakora tu,ukinichapa inavyotakiwa mbona utakuwa baba mwenye nyumba hii!na utaishi hapa kama mume wangu!"

    "Usjali Hilo tatizo saivi sina!"

    "Ebhu nione!",alisema Sabrat huku anafungua zipu ili amchomoe Athumani kipara!

    "Wow!kubwa kweli umenipatia ebhu ngoja niinyonye!!"

    Alisema Sabrat huku anaitia mdomoni akaanza kuimumunya kama big G!







    Sabrat aliishika bakora ya yule jamaa ambaye tunamjua kwa jina lake jinsi lilivyohifadhiwa kwenye simu ya Kidawa kama 'Kibamia 2'

    Alianza kuinyonya taratibu huku anampapasa yule jamaa ambaye alianza kuweweseka kwa utamu!

    Ulimi wa Sabrat ulikuwa wamoto sana, ulimfanya yule jamaa aingize mpira nyavuni mapema sana!

    "Aaaasshhhhh ooohh Kidawa ooosshhhh!!!!",aliweweseka akimwaga mbegu zake ambazo Sabrat alizimeza zote!"

    "Una mbegu tamu sana!"

    Aliongea Sabrat muda huo yule jamaa anahemea juu juu,ni wazi hakutegemea kuingia nyavuni mapema namna ile!

    Kanga aliyovaa Sabrat ilimchora haswa umbo la kibantu la binti Kidawa lilimfanya awe na mvuto mkali wa ngono!!

    "Wow!haijalala!!",alishangaa licha ya kumfanya akojoe bao lake mapema mdomoni mwake,bakora ya Kibamia 2 ilikuwa imesimama balaa!!

    "Italala vipi kitanda umetia maji?"

    "Mmhh!",aliguna Kidawa wetu wa sasa!

    "Nilikuambia leo tusipovunja chaga tunavunja viuno!!"

    "Hahahahaa!",alicheka Sabrat kisha akamshika mkono Kibamia 2,naye akainuka bakora yake ikiwa nje ya zipu inaning'inia!

    Alimuongoza mpaka chumbani walipofika akamsukumia kitandani akasimama akaanza kujishebedua kwa akiweka mapozi matamu ya kike ya kimapenzi!!

    Kanga nayo haikutaka kuwa kikwazo kwenye mechi hii kali inayoonyesha kila mmoja aliikamia haswa!!

    Ikadondoka chini bila kuguswa,Kidawa akabaki mtupu kama alivyozaliwa Ila kilichomchanganya Kibamia 2 ni kutokuziona shanga kiunoni mwa Kidawa aliyemzoea!

    Badala yake aliona kiuno kimepambwa na cheni nzuri inayong'aa,kwa kuwa yeye ni mtoto wa mjini haikumchukua dakika kujua ile ni cheni ya almasi tupu!udenda ukamtoka.

    Sabrat alishajua kwamba Kibamia 2 ameishaingia tamaa,akatabasamu tu kisha akapanda kitandani!

    Jicho alilirembua haswa,akamkalia juu kibamia 2 ambaye tayari alishaitupia mbali tisheti yake akabaki kifua wazi!!

    "Nishike kiuno Ally",kumbe jina halisi la huyu jamaa anaitwa Ally,usishangae Sabrat kalijuaje,huyu siyo mwenzetu!

    Ally akamshika kiuno akawa anampapasa Sabrat ambaye ana chupi tu chuchu zake ziko wazi zimesimama kama misumari ya kugongelea mabati!!!

    Sabrat aliinama akampa ulimi Ally wakaanza kubadilishana mate kwa hisia huku wamefumba macho!

    Mikono ya hali ilikuwa ni kama ya kipofu aliyedondosha miwani yake haikuacha kumpapasa Sabrat mwilini!

    Mikono ya Sabrat ilitulia sehemu moja tu,kwenye bakora ya Ally!

    Alikuwa anaichua taratibu kisha akautoa ulimi wake mdomoni akahamia sikioni ila kabla hajauingiza akaanza kumnong'oneza Ally huku anampumulia sikioni kisha anavuta hewa kwa kasi!

    "Ally..",alimuita kwa sauti ya chini,sauti ambayo ilivuta hisia kwa Ally ambaye alishindwa kuitika! Sabrat akaendelea na utundu wake!!

    "Ally hii bakora yako au umeazima jamaniiiiii inaonekana tamuuuuu,sipati picha itakapokuwa inagusa mashavu ya kitumbua changu oooshhhhh!!",ebhu vuta taswira unaambiwa maneno haya sikioni huku mtu anakuhemea na busu juu!!!

    Ally alilegea hadi nywele,Sabrat hakuwa kungwi ila alikuwa nguli kwenye sekta ya mapenzi,alijua afanye nini kumlegeza mwanaume akalegea!!

    "Ally mpenziii....itika Ally wangu jamani!"

    "Mmmh...mmh..hhh!!",Ally hakuwa na ujanja tena sauti yake ilimezwa na mahaba ya jini Sabrat ambaye yeye anamuona kama Kidawa!!!

    "Ally kitumbua changu leo cha moto halafu kinabana sana yani leo utaenjoy baba!!"

    Ally alijitutumua na yeye kuonyesha ujuzi wake,alianza kuzinyonya chuchu za Sabrat moja baada ya nyingine!!

    Sabrat alifumba macho yake kwa utamu hasa baada ya mkono wa Ally kuwa mtukutu ukaingia ndani ya chupi ukaanza kupima oil,ambapo si muda kitumbua kililowa tepetepe!

    Ally akainuka akamlaza Sabrat chali Kisha akamvua chupi yake akakutana na kitumbua kisafi ambacho kama kimenyolewa basi hakina hata siku mbili!

    Ally aliutoa ulimi wake akaanza kumlamba mapajani,hali iliyomfanya Sabrat afumbe macho kwa utamu!

    "Asiiiiiiiiiiihhhh....aaaaaaahhh!Ally!!!!"

    Alitoa sauti ya puani Sabrat!

    Ally alitaka pointi haswa,alikamia mechi,alijitoa kuonyesha ufundi wake wote ili amdatishe Kidawa!Angejua anayehangaika naye ni jini Wala hasingejisumbua!!!

    Alianza kukinyonya kisimi cha Sabrat ambaye alionekana kulegea.Utamu alioupata ulimfanya amshike Ally kichwa chake akawa kama anamgandamizia zaidi kwenye kisimi chake!!

    Baada ya maandalizi ya kama dakika arobaini Sabrat naye akiwa ameshakojoa goli lake moja,Sasa wakawa bila bila!

    Mechi ikaanza rasmi,Ally akaishika bakora yake kubwa iliyovimba kwa uchu!

    Akaanza kuisugua kwenye mashavu ya k ya Sabrat ambaye utamu ulimfikia kisogoni!

    "Weka Ally,weka inatosha utaniua babaanguuu aaashhhh!"

    Ally ambaye Sasa alivimba kichwa akaingiza akakutana na joto zuri linaloleta utamu haswa! Joto kama like unalipata kwenye k ya mama kijacho tu.Ndiyo vitumbua vyao vinakuwaga vya Moto halafu vitamuuuu!!!

    Kiuno cha Sabrat kilikuwa ni hatari nyingine tena,usipoangalia unaaibika mapemaaaa!!!!



    Sabrat ndiye alikuwa wa kwanza kukiona kilele akifuatiwa na Ally ambaye alipomaliza alilala pembeni yake huku anahema kwa kazi nzito!!

    "Tangu niyajue mapenzi sijawahi kuenjoy kama leo!",alisema Ally.

    "Si sababu ulikuwa kibamia sa kibamia utaenjoi vipi sasa na hata hakibani!"

    "Mmhh ila kweli aiseeh kibamia siyo!"

    "Hii ndiyo bakora sasa yani nimeiskia hadi moyoni!!!

    "Hahahahaaaaaa!!"



    Muda huo walikuwa wamejifunika shuka moja,sasa Sabrat akataka atoke kwenye shuka!

    Hakuamini alipoangalia ndani ya shuka ,miguu yake ilikuwa imeota manyoya kama ya mnyama na nyayo zake ziligeuka kwato!

    "Leo siku gani?",alimuuliza Ally.

    "Leo alhamisi!"

    "Duhh!ndiyo maana!"

    "Ndio maana nini??"

    "Nakuomba uende nyumbani Ally!!"

    "Heeeh!mbona mapema!!??"

    "Ally nielewe nenda nyumbani tutawasliana!

    "Lakini Kidawa si.........!!"

    "TOKA KWANGU ALLY!!!!",alipaza sauti Sabrat/Kidawa ,Ally akabaki ameduwaa hasiamini kama ni Kidawa ndiye anayemfukuza na wametoka kufanya mapenzi muda si mrefu!!!.

    .





    Tulipoishia...... Sabrat anayeishi kama Kidawa,baada ya kufanya mapenzi na Ally,mwanaume ambaye alikuwa mpenzi wa Kidawa aliona mabadiliko kwenye mwili wake,alianza kuota manyoya kama ya mnyama.

    Ally hakuweza kuyaona sababu yalianzia miguuni!

    Sabrat alishaelewa hiyo ni dalili ya nini na kivi kingetokea muda mfupi ujao!!!Ndiyo maana akaanza kumfukuza Ally!!!



    Songa nayo.....



    "Toka kwangu Ally!!",haikuwa masikhara,kwa macho yake alikiri kweli hakukuwa na mzaha!

    Alivaa nguo zake haraka akatoka chumbani tayari kwa kuondoka zake,huku akijilaumu pengine hakumpa mapenzi yanayostahili!!!



    Ally angechelewa kidogo tu pengine angeweza kushuhudia jinsi Sabrat anavyogeuka na kuwa jitu la ajabu!!

    Mwili wake ulituna ukawa mkubwa sana....ile sura ya Kidawa haikuwepo wala sura yake ya kishombe shombe haikuwepo Sabrat alikuwa mnyama wa ajabu ambaye hajawahi kuonekana duniani,usoni alikuwa na macho matatu!!!Mdomo wake ulikuwa mkubwa kama wa nyani na meno yake yakiwa nje kama mamba!!!

    Udenda ulikuwa unamtoka akaanza kuunguruma kama Simba!!!



    "Sabrat!Sabrat!",ghafla alitokea Jabir akiwa amebeba mbuzi mweupe hasiye na doa!

    Sabrat alipomuona tu yule mbuzi alimrukia meno yake yakatua shingoni akaanza kumnyonya damu yule mbuzi mpaka akakauka akawa mweusi kama ameungua na moto mkali kiasi kwamba hata nyama yake huwezi kula!!

    Muda wote Jabir alikuwa amekaa pembeni anashuhudia jinsi mbuzi anavyokaushwa bila mkaa!!!

    Sabrat bado alikuwa katika umbo lile lile la ajabu,ila alikuwa tofauti baada ya kumfyonza damu yule mbuzi!!

    Kidogo alitulia akawa anahema kwa kasi kama mgonjwa wa corona!

    Baada nusu saa alianza kubadilika taratibu sura yake ikarudi ile halisi ya kishombe acha ile ya Kidawa!

    Manyoya yakaanza kugeuka taratibu hadi miguu ikabadilika akawa Sabrat shombe shombe tena!

    Hapo Jabir aliinuka akamsogelea Sabrat!

    "Nisamehe Sabrar,nimechelewa kukuletea sadaka!!"



    TUSILOLIJUA NI KUWA

    Ili Sabrat aweze kumudu kuishi duniani kama Kidawa basi ni lazima kila siku ya Alhamisi aletewe kafara ya mnyama kama Mbuzi,ng'ombe na hata binadamu!

    Kwa hiyo anatakiwa apate damu halisi ya kitu kilicho hai kabla haijafika saa saba mchana siku ya alhamis!

    Na ndiyo maana Sabrat alipomuuliza Ally leo siku gani akamjibu alhamis,alibadilika akaanza kumfukuza akiwa na maana kwamba anaweza kubadilika akamnyonya damu Ally na huku alishaapa hawezi kuuwa binadamu!!



    **********



    "Jabir utaniletea matatizo kama kazi yako imekushinda mi naomba nirudi nyumbani!!"

    "No!Sabrat unajua nimeondoka huku Jana tu,nilikuwa Nina mambo mengi ya kufanya kule nyumbani na Kidawa!"

    "Lakini leo alhamis,ebhu vuta picha ningekuwa huko mabarabarani leo ingekuwaje?siningetafuna watu?"

    "Nisamehe Sabrat,haitojirudia!"

    "Nafanya kwa ajili yako Jabir,mi sifaidiki na chochote hapa sana nakitesa tu kitumbua changu,kuishi kama Kidawa ni ngumu!"

    "Najua Sabrat mi naondoka nahisi utapata mgeni muda si mrefu,ngoja mi miwahi nyumbani Kidawa atanuna!



    Jabir aliyeyuka kama upepo akapotea!

    Sabrat naye akabadilika na kurudi kuwa Kidawa tena,hapo ndipo akaona jinsi Ally alivyokisurubisha kitumbua chake,kilipewa dozi fupi kali ya maana halafu tamu kweli!!

    "Mmh!Ally duh!ntakuita tena hata sijakufaidi nilisahau leo ni Alhamis!"

    Alichukua simu yake kisha akatafuta namba iliyoandikwa 'kibamia 2',alipoipata kwanza akaibadilisha akaihifadhi kwa jina la "Ally Kiboko'.

    Alipomaliza akamtumia meseji....

    "Ally we Kiboko!"??

    "Mmhh!kwanini??",alijibu Ally.

    "Umenitia hadi maralia imepanda kichwani!!"????

    "???????? Kumbe ndo maana umenifukuza!"

    "Ndiyo baby usinune!"??

    "Navyokupenda mi naanzaje kukununia Kidawa!"

    "Nashukuru ila kwa utamu wa leo nahisi nimeanza kukupenda!"

    "Nashukuru Kidawa!!??????. "

    "Poa kesho uje turudie,tufanye masahihisho??????"

    "Mapema tu saivi uchoke wewe tu bunduki limejaa risasi halafu sio la kuseti kama gobole hii ni katamiti????"

    "Ok baby baadae ngoja nipumzike, naisubiri dozi ya kesho!"



    Haya ndiyo yalikuwa maisha ya jini Sabrat kuendeleleza pale alipoishia Kidawa!

    Ambaye sasa yuko ujinini huko katulizwa na Jabir!



    ************



    Siku moja baada ya pilika pilika za hapa na pale alipita dukani,duka moja kubwa sana pale Kinondoni maarufu kama 'Robby One Fashion'.

    Akiwa pale alishangaa kuna mtu anamshika bega huku alipogeuka alikutana na mwanaume ambaye aliwahi kumtesa Kidawa enzi zile,mwanaume aliyeikwangua bikra yake na kisha kumuonyesha dharau ya hali ya juu!!

    "Kidawa",aliita John huku anatabasamu.

    "John ni wewe!!!???",(kumbuka huyu ni Sabrat siyo Kidawa Ila Sabrat anamjua John sababu alikuwepo tangu zamani kwenye maisha ya Kidawa akimfuatilia kila hatua!!)

    "Ni mimi aiseeh siamini kama nimekuona,umekuwa maarufu nakuona tu kwenye magazeti na mitandao ya kijamii hongera umekuwa mtu mkubwa!!!"

    "Vipi bado unaendesha teksi?"

    "Ndiyo kazi yangu Kidawa,nimekuja tu kununua pamba si unajua mi mtu wa kwenda na wakati!"

    "Ok,hujabadilika tu John?"

    "Nishabadilika Kidawa yani saivi nikikupata ntatulia sana!"

    "Hahahahaaa!!chukua hii namba yangu utanitafuta,mi nina haraka sana tutaonana siku nyingine!!"

    "Nikupe lift Kidawa?"

    "Nimekuja na gari yangu John unahisi mi bado ni Kidawa yule?"

    Aliongea Kidawa huku anaondoka,nyuma aliacha gumzo jinsi alivyokuwa anatetemesha bambataa lake kubwa!

    John alibaki anameza mate mkononi alikuwa ameshika namba ya simu aliyopewa na Kidawa,kidogo akawa na matumaini!







    Sehemu ya 5

    Tulipoishia..... John mwanaume aliyemnyanyasa Kidawa enzi zile,sasa amekutana na Sabrat!

    Jini ambaye anaishi duniani kama Kidawa,unahisi nini kitatokea kea John!



    Songa nayo...

    John hakuamini kama ingekuwa rahisi namna ile,moyoni aliamini yale maneno wanayosemaga kwamba 'mwanamke ukimtoa bikra,yani ukiwa mwanaume wa kwanza kwake hawezi kukusahau!!!

    "Dah!Kidawa kumbe bado ananipenda!",alijisemea mwenyewe John!

    "Yani akija gheto safari hii namuambarutty kabisa hawezi kuwa na tako kubwa vile halafu tusilitumie mabaharia!!"

    John bado alikuwa hajabadilika kabisa!pamoja na yote aliyomfanyia Kidawa bado alitamani kumfanyia upuuzi zaidi!

    Lakini nyuma ya pazia hakujua huyu si Kidawa yule tena,huyu ni jini Sabrat anayeishi kama Kidawa duniani!!!



    **********"""""""""************



    Bado Jabiri alikuwa amenibeba kwenye mbawa zake safari ikiendelea.

    Safari yetu iliishia katikati ya bahari ndipo Jabir akatua kwenye mtumbwi uliokuwa unaelea katikati ya bahari ambao ndani yake hakukuwa na mtu wala kitu chochote!

    Nilishawahi kuskia na kusoma stori mbalimbali za majini!Na nilishaskia sana kuwa majini yanaishi baharini!

    Kitendo cha Jabir kutua na kufikia kwenye ule mtumbwi ule uliokuwa unaelea kilinifanya nitetemeke kwa hofu!

    "Jabir mbona tumefikia hapa?",nilimuuliza moyoni nikiwa na hofu kubwa ukizingatia kuwa mimi ni muoga sana wa maji, boti tu siwezi kupanda sembuse mtumbwi wa makasia!!!???

    "Hapa ndipo ilipo njia ya kwenda nyumbani mpenzi!"

    "Jabir hapa si kwenye maji jamani njia iko wapi?",nilimuuliza huku natetemeka sana!

    "Subiri utaona!"

    Nikiwa bado na taharuki, Jabir aliutoboa mtumbwi maji yakaanza kuingia ndani ya mtumbwi,ukaanza kujaa maji!

    "Jabir tunazamaaa!",nilipiga kelele Ila Jabir hakujali ndiyo kwanza anatabasamu!!

    Mapigo ya moyo yalienda kasi Sana,na maji yakawa yamekaribia kujaa hapo ndipo nikapata wazo pengine Jabir amenileta kuniua na sio kama alivyosema!

    Nilianza kusali sala zangu za mwisho mtumbwi ulimezwa na maji kwa hofu hadi mkojo ukanitoka mtu mzima nikajikojolea bahati nzuri kojo lenyewe likaenda na maji!

    Maji yalipomaliza kuumeza mtubwi Sasa yakaanza kutumeza na sisi!

    Jabir akanisogelea akanikumbatia muda huo maji yametima shingoni!!

    Katika hali ya kushangaza Yale maji yalivyofunika uso wangu sikuhisi chochote,nilipumua kama kawaida huku tukiendelea kuzama kwenda chini!

    Hali ile ilinishangaza sana,nikaamini kweli duniani kuna maajabu yani nazama na bado napumua!!!??

    Kidogo hapo nilitulia hofu ikapungua kwa kiasi kikubwa!!

    Ghafla tulitokelezea sehemu ambayo ni bustani huku maua yake yakiwa mazuri yaliyochanua vizuri!!

    Hatukuwa tena kwenye maji,Ila nilipoangalia juu niliona maji ambayo yanataka kufanana na mawingu!

    "Karibu Kidawa huku ni kwetu ujinini,karibu sana najua utapapenda tu!

    Kwa pembeni nilimuona farasi mweupe amesimama!

    "Gari letu lile pale litatupeleka mpaka nyumbani,unasubiriwa kwa hamu sana na ndugu zangu!"

    Sikuwahi kupanda farasi Ila sikuwa na namna,nilipanda na Jabir Safari ikaanza kwenda kwao ambako wanasema nasubiriwa kwa hamu!



    ***********""""""""************



    Sabrat baada ya kufika nyumbani aliweka mizigo yake ambayo sana alinunua nyama mbichi ya ng'ombe na mbuzi.

    Alivipaki kwenye jokofu kisha akaingia kuoga,alipomaliza alitoka akiwa uchi wa mnyama akajitupia kitandani!

    "John!!!",ndiyo sauti aliyotoa kisha akashusha pumzi ndefu!!!

    Akachukua simu yake akaandika namba za John ambazo sijui alizipata wapi,maana yeye ndiye aliyempa namba John ila John hakumpa namba!!!

    Simu iliita kisha ikapokelewa!

    "Haloo nani mwenzangu!"

    "Haloo ni mimi Kidawa mpenzi!"

    "Kidawa gani?"

    "Jamani umesahau na tumekutana super market muda si mrefu!!"

    "Nauliza sababu sikukupa namba Ila wewe ndiyo umenipa!"

    "Mi namba yako ninayo mbona!!"

    "Mmh!", aliguna John.

    "Nilikuwa nakuambia hivi leo mi ni mgeni wako John,nalala kwako leo!"

    "Kweli!!!??"

    "Ndiyo John kwani hutaki jamani?"

    "No!nilivyokumiss natamani uje hata saivi!?"

    "Sasa nakuja vipi na uko posta!"

    "Umejuaje kama niko posta!",alihamaki John!

    "John bhana,ulimwengu wa sayansi na teknolojia huu!!"

    "Mmmhh!sawa ila nilishahama Mbagala!"

    "Napajua unapoishi mpenzi,si hapo tu magomeni mikumi?"

    "Kidawa kwani unakuwaje mbona sikuelewi umejuaje naishi mikumi??"

    John alikata simu,alipata hofu baada ya kuona Kidawa anajua kila kitu kuhusu yeye!!

    Meseji ikaingia kwenye simu yake,ikitoka kwenye ile ile namba ya Kidawa,akaifungua!

    "NAKUJA KWAKO LEO NIMEMISS BAKORA YAKO JOHN WANGU!!"





     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog