Search This Blog

Thursday 24 November 2022

WAPANGAJI WENZANGU - 4

 

     

     



     

    Chombezo : Wapangaji Wenzangu

    Sehemu Ya Nne (4)

     



    "hahahhahahahahahaaahh..... Kijana kumbe muoga sana wewe.... Hakuna lolote mwanangu kuwa na amani"

    Aliongea mzee zuberi huku Swalehe akishusha pumzi yake,

    "aahhh Afadhali mzee, mana ninavyo ogopa wanafunzi mzee wangu.. We acha tu"

    "mwanangu, endelea kuwaogopa hivyo hivyo... Mana maisha yako yote yataishia jela"

    "ndio mzee wangu.. Haya vipi kwema lakini mzee"

    Aliuliza Swalehe baada ya kujua mzee alimtania kidogo

    "aahh huku sio Kwema saana, mana nina ombi juu moja nataka nikuombe"

    "ombi gani tena mzee... Ongea tu.. Hakuna shida"

    "kijana wangu... Tumejiwa na mgeni hapa.. Ni mtoto wa kike,.. Nilikuwa naomba hifadhi yako mwanangu... Mpaka ukirudi atakua keshapata sehemu ya kuishi"

    Aliongea mzee huyo tena kwa busara ya hali ya juu mno, kama unavyo jua busara za wazee...

    "mmmhhh mzee, lakini kwenye mkataba wetu hauko hivyo... Nawezaje kulaza mtu ambaye simjui kwenye chumba changu"

    Aliongea Swalehe huku mzee akiutumia ukubwa wake

    "ni kweli kijana wangu... Ninacho kifanya kipo nje ya makubaliano ya mkataba wetu.. Lakini hili ni ombi, na ninakuomba kama baba yako"

    Mzee kaanza kutoa maneno ya kumtisha Swalehe ile kiutu uzima ile

    "mmhhhhh mzee... Sasa nikikuta vitu vyangu havipo sawa?"

    "utanishtaki mimi... Na hata nikifungua nitafungua kisheria, balozi wa mtaa atakuwepo, na mwenyekiti pia atakuwepo, pia na mashahidi.. Ili ukikuta kitu pungufu, nishtaki mimi"

    Aliongea mzee huyo huku Swalehe akicheka....

    "hahaha... Mzee, ujue ni kesi hio..."

    "ondoa shaka mwanangu, nitapambana nayo mimi"

    "lakini pia mzee, mimi sintachelewa kurudi... Nina wiki mbili tu huku"

    Aliongea Swalehe, kana kwamba anajua usmati wa chumba chake, anajua vitu vyake vina gharama kubwa, hivyo yeye kama yeye tu hapendi kuishi na mtu.. Leo amwache mtu afu yeye yupo mbali..

    "usijali... Wiki mbili nyingi sana... Wiki moja tu msichana kapata kazi"

    "ok... Ufunguo wa hakiba si unao"

    "ndio.. Hilo ondoa shaka... Huna nina funguo za hakiba"

    Aliongea mzee huyo, mana kila kitasa cha mlango hua na funguo zaidi ya tatu,.. Hivyo mpangaji anaweza kupewa zote tatu... Lakini kuna mwingine anakataa zote tatu, ili ikipotea anarudi kwa baba mwenye nyumba na kumpatia nyingine, na kuna wengine wanapewa moja tu bila kujua.. Hivyo Swalehe yeye alikataa kupokea funguo zote tatu, mana kazi yake ilivyo kuna siku itapotea afu itakuwa mambo ya kuvunja vitasa....

    "sawa.... Ila, anaeishi humo... Tafadhali sana.. Alale tu, yaani asiguse kitu, alale tu.. Na akiamka afunge mlango yaani yeye iwe usiku tu"

    "sawa kijana wangu... Nitamwambia"

    "ok sawa mzee, usiku mwema"

    "nawe pia baba"

    "sawa"

    Basi simu ilikata.. Na wakati huo Swalehe na fundi wake anaelekea kambini kwao...



    "jamani, nadhani nanyi mumesikia wenyewe.... Na wewe binti umesikia mwenyewe masharti yaliotoka... Ulale tu na usiguse kitu cha mtu"

    "sawa baba, nimekuelewa.. Na nakushukuru sana baba"

    Aliongea farida tena huku akipiga magoti,...

    "hakuna shida binti yangu..... Sasa wacha niwaite viongozi wa mtaa, ili tulimalize hili jambo sasa hivi"

    Aliongea mzee huyo huku akitoka kwenda kuita wazee wa mtaa....



    Sasa huku babati, Swalehe akiwa na fundi wake wakirudi kambini kwao, taratibu wakitokea saiti...

    "mzee anataka nini uyo"

    Aliuliza fundi wake

    "aahhh... Watu wamajichangaa wameingia studio wakasema USIJE MJINI, haya sasa yeye kaja hana pakulala... Na maisha ya mjini ni chumba kimoja..... Mzee kaniomba hifadhi"

    Aliongea Swalehe huku fundi akisema

    "sasa kwanini ukubali nawewe"

    "Nimekubali kwakua kuna leo na kesho... Yule ni baba mwenye nyumba... Leo naweza kulipa kodi,.. Kesho siwezi... Hii hisani nilio ifanya, inaweza kunisaidia baadae"

    "lakini sio kirahisi hivyo"

    "kwahio ulitaka nikae siku ngapi ili niwakubalie"

    "ungekaa hata wiki ndio ukubali"

    "hahahahahahaha unajua fundi, wewe ukichoka hua huna point,.. Kuna jambo la kukubaliwa ndani ya wiki, mfano kutongozwa vile"

    "heee ina maana mimi natongozwa"

    "hapana bwanaaa... Namaanisha mwanamke ukimtongoza si lazima akuambie nitakujibu... Afu utashanga wiki mwezi unakatika bila majibu... Lakini sasa huyu hana pa kulala.. Utamfikiriaje wiki sasa na wakati shida yake ni lazima itatuliwe leo hii"

    "sasa ngoja wakavuruge kule... Na vitu vyako vyenyewe ni vile vya kichina"

    Aliongea fundi huku wakiongea kama utani tu, mana kwa saaa Swalehe nae ni fundi.. Na analipwa elfu 20 kila siku... Na fundi wake elfu 30 kila siku.. Yaani mpaka wamalize hilo jengo,.. Ni mtu na hela, zake sasa....

    "sasa swai.... Twenzetu basi tukacheki watoto wa kimbulu"

    "wapi tena"

    "we vipi wewe.. Changamka, hata hujui sehemu za watoto"

    "mi sijui"

    "disko"

    "aahhh huko we nenda tu mwenyewe"

    "acha ushamba we mtoto wa kisambaa... Mapenzi yalizaliwa kwenu afu hutaki, ujinga uoo"

    Aliongea fundi huku swai akikataa

    "fundi, wewe nenda tu... Wanawake hawana shida.. Ila nikiwaendekeza nitashindwa kufanya la maana hapa duniani,.. Nitajikuta natoa pesa bila kujielewa... Sitaki kukumbwa na shetani la wanawake, bora nikumbwe na shetani la ulevi wa pombe, mana nikinunua bapa yangu moja ya elfu nane... Ndio imetoka hio... Lakini demu.. Umpe chips kuku, umpe hela ya kulala nae.. Ulipie chumba.. Umpe nauli.. Huo ni ujinga mimi sifanyi... Fundi we nenda tu"

    "mademu wa huku hawana gharama.. Elfu ishirini tu umelala nae"

    "hio elfu ishirini, mtumie mkeo mwambie kanunue kitenge.. Uone shukrani zake... Mimi staki uo ujinga"

    Swalehe alisimama kwenye msimamo wake, hataki kwenda disko kutafuta mademu...

    "mmmhhh sasa kama huendi nami ya nini niende.. Twende zetu kupumzika tu"

    Fundi nae kagoma kwenda mana hana kampani



    Sasa huku nyumbani, wakiwa ndio wameshaona chumba cha kijana hivyo farida karuhusiwa kulala humo ndani, mana viongozi wa mtaa wamesha ona vitu vilivyopo, hivyo Swalehe akikuta vipo tofauti... Ataweza kushtaki popote na akalipwa

    "mmmhhh dada, kile kitanda mimi silali"

    Aliongea farida, na wakati huo alikuwa anakula mana tayari ni saa mbili za usiku

    "kwanini sasa"

    "mmmhhh dada, kitanda cha kifalme kabisa kile"

    "wewe farida acha ushamba wako uo"

    "kweli dada... Mimi naogopa kulala kwenye kile kitanda"

    "wewe lala tu... Ukiamka unatandika vizuri, na mashuka yake ufue"

    "aahhhh mimi nitalala chini dada"

    "farida?"

    "abee dada"

    "ushamba siutaki ujue... Wewe lala tu, si tayari umekubaliwa"

    Lakini wakiwa wanaongea, ghafla kwa nje, geti lilifunguliwa kwa nguvu kisha mtu akaingia





    Katika maisha ya ndoa hua ni magumu sana pale mume awapo mlevi, lakini wapo wanawake wengine husema ni Afadhali mume mlevi kuliko yule mwenye akili zake,.. Mana gubu la mwanaume mwenye akili zake ni Afadhali ya mlevi,.. Kwasababu mlevi ni wakati wa kulewa ndio hua na Gubu, sasa huyu mwenye akili zake ni kila wakati anaweza kumpa shida mkewe....



    Wakati farida na dada yake Semeni wakipiga stori za hapa na pale huku wakipata chakula cha usiku, ikiwa ni saa tatu na madakika hivi,... Walisikia mlango ukisukumwa kwanguvu na kufungwa vivyo hivyo,...

    "we mama abu njoo umchukue mumeo kaanguka hapa getini"

    Aliongea mpangaji mmoja, kana kwamba mtu aliofunga geti kwanguvu ni mume wa Semeni, na wakati huo alikuwa kalewa chakali hafai...

    "farida mdogo wangu... Beba chakula chako kalie kule unapolala... Mana shemeji yako ni mkorofi sana.. Na hapa nakuja kupigwa vibao mpaka nikome.. We nenda tu"

    Aliongea Semeni kana kwamba anamfahamu vyema mume wake kuwa kila akija hua ni mgomvi sana juu yake,.. Haachagi pesa ya kula lakini akirudi anauliza chakula...

    "lakini dada, mi nataka nimsalimie shemeji"

    "farida, kwa sasa huto elewana nae, yaani hata wewe Anaweza kukupiga.. We nenda tu mdogo wangu"

    Aliongea Semeni tena kwa msisitizo mkubwa... Kisha farida akafuata maneno ya dada yake,.. Semeni alitoka nje na kuanza kumburuza mume wake waingie ndani,.. Mana kuna siku anafika mwenyewe nyumbe, na kuna siku analetwa na walevi wenzake.... Kiukweli ilikuwa ni tabu kwa Semeni, mana yeye ndie anae teseka na mwanaume huyo, na hata wapangaji wenzake wamesha mzoea mume wa Semeni.... Alimuingiza mpaka ndani,...

    "Niachie mshenzi wewe"

    Aliongea jamaa huyo huku akiachiwa na kudondoka chini...

    "yaani unanisukuma"

    Aliongea baada ya kuachiwa, na hua ndio fisa vyake huanza...

    "lakini mume wangu.. Mimi nilikuwa nimekushika, wewe ukanitoa mkono nikuachie.. Sasa umedondoka unaniambia nimekusukuma"

    Aliongea Semeni baada ya mumewe kuja juu,...

    "taaaaaaaaaaaaasssssssss (kibao)... We mwanamke unanijinu mimi hivyo wewe"

    Aliongea jamaa huyo au baba abu, huku akimpiga mkewe kibao, yote hayo Semeni anayajua kuwa kila mumewe arudipo kazini huja akiwa mlevi chakali na kuanzisha ugomvi..

    "sasa nina kosa gani mume wangu"

    "mshenzi wewe... Taaaaaaaaaaaaasssssssss"

    Mama abu alichezea makofi kadhaa na kuanza kulia, hata wapangaji wanajua kabisa baba abu akija, hua ni kero kwa mama abu..

    "niwekee chakula mimi"

    Aliongea jamaa huyo huku akitetemeka kwa njaa, na hapo hakuacha pesa, hivyo matumizi yaliopo ni yale ambayo mke kajibana bana ndio kapika... Na mama abu nia yake wale chakula wamalize kisha waoshe vyombo, afu akija anamwambia hawajapika, lakini kwa bahati mbaya amekutwa wanakula,.. Hivyo kile kiasi alichobakiza ilibidi kumpa na yeye hakula sana...

    "chakula kidogo hivi unamuekea nani"

    Aliongea baba abu huku mke akiwa analia mana alichezea makofi ya kutosha

    "lakini baba abu, kumbuka ni wiki sasa huachi pesa ya kula.. Sisi tutaishi vipi.. Huo unga wenyewe nimekopa robo tu ili mtoto ale.. Sasa mimi nifanyeje"

    "sitaki maneno... Taaaaasss"

    Yalikuwa ni mateso kwa mwana dada huyo, kwani hakua na raha kabisa na ndoa yake, yaani yeye na makofi kila ifikapo usiku....



    Kesho yake Mr JOMO anatoka kwenda kazini, wakati huo pombe zimeisha kichwani mwake,...

    "mume wangu... Leo hatuna pesa ya kula.. Tuachie"

    Aliongea Semeni, huku baba abu au jomo akitoa pesa kidogo

    "hii hapa"

    "baba abu, elfu mbili? Hakuna unga, hakuna chochote kile... Jioni ukija unataka kula... Tunaishi vipi"

    Aliongea mama abu tena kwa upole sana huku akiwa kambeba mtoto wake

    "pesa nyingi zanini,.. Mnauza hoteli humu ndani"

    Aliongea bwana jomo, huku akiondoka zake,.. Lakini kabla hajafika mbali farida alitokea getini, mana alikuwa akatoka kwenda kumwaga maji ya kuoshea vyombo,

    "Shikamoo shemeji"

    farida alimsalimia jomo, huku jomo akitabasamu na kuitikia

    "marahabaa.. Farida, umekuja lini"

    "jana"

    "waooo, umekua kweli yani"

    Aliongea jomo lakini Semeni roho ilikuwa ikimuuma mana maneno hayo yanaashiria tamaa fulani hivi..

    "eheheh"

    Farida alicheka tu, mana ni shemeji yake...

    "haya basi mchana mwema"

    Aliaga jomo na hapo hajui fatigue analala wapi,....

    "haya shemeji"

    Farida ni bonge la toto, yaani ni mrembo aliokosa matunzo, rangi yake ya asili, umbo ndio usiseme, yaani mungu kampendelea kupita kiasi,... Na jinsi nguo zake jinsi zilivyo choka yaani ndio zimemtoa ile mbaya



    "huyu mwanamke mshenzi kweli, yaani anajua hali yetu ilivyo mbaya, analeta watu tu... Ujinga huu"

    Aliongea jomo huku akiendelea na safari kana kwamba hajaupenda ujio wa shemeji yake,.. Mana hali ya maisha yao sio nzuri... Mana jomo anafanya kazi za kupiga debe stendi kuu Arusha, na analipwa vizuri tu, kwa siku hakosi elfu 20 mpaka 30...lakini pesa zake huishia kwenye mabaa na wanawake tu.. Afu nyumbani familia inaumia njaa...



    "dada, mbona shemeji kaisha hivyo"

    Aliuliza farida huku dada akimjibu kuwa

    "farida mdogo wangu... Omba mungu katika maisha yako yote, usipate mume mlevi... Pata mwanaume yeyote hata kama ni masikini lakini asiwe mlevi, Kiukweli dada yako nateseka sana.. Humu ndani hatuna kitu, leo anaacha elfu mbili"

    Aliongea Semeni huku akilia, wakati huo wapo ndani...

    "dada.. Sasa unalia nini? Haya ni maisha tu"

    "farida mdogo wangu, bado hujajua maisha mdogo wangu.. Ogopa kuolewa na mtu mwenye tabia za starehe"

    Semeni alikuwa akimsihi mdogo wake kuwa asichague wanaume, mwanaume yeyote anafaa Ilimradi awe na upendo kwake...



    BAADA YA WIKI KADHAA KUPITA



    Maisha yalikuwa ni ya kawaida sana.. Familia ya jomo ilikua ikiumia kwa njaa, na ilikuwa ni mchana, masikini wote watatu walikua wakipiga miyayo ya njaa... Farida, abu mtoto wa miala miwili, na mama yao... Walikuwa wakinywa maji tu kwani hakiba aliokua nayo imekwisha, mume anachezea pesa vilabuni na kwenye kumbi za wanawake....

    "dada... Tukakope hata robo ya unga kwa mangi"

    Aliongea farida akimaanisha wakakope unga dukani

    "farida mdogo wangu... Huyo mangi anatudai mpaka basi,... Karibia elfu kumi na tano, shemeji yako namwambia akalipe, hataki anasema eti nikalipe mimi nilio kopa"

    "haaaaa... Ila dada... Ina maana shemeji alikua hivi au?"

    "hapana farida... Jomo wakati nakutana nae alikuwa hana tabia hii.. Na siwezi kujua labda nilikua sijui tu"

    Aliongea Semeni huku wakiwa na njaa...

    "mama njaaa"

    Abu alianza kulia kwa njaaa... Hata mama yake alianza kulia mana hawana kitu, hata simu yake yenyewe kaiweka bondi kwa kukopa vitu... Mama anabidi kwenda hata mashine kuomba unga....



    Usiku ni hivyo hivyo... Mwanaume akija kalewa na anataka chakula,... Semeni alishindwa maisha ya mume wake, hivyo lolote liwalo na liwe

    "baba abu, naomba talaka zangu... Siwezi kufa njaa na mwanangu ingali unafanya kazi kwa ajili yetu... Nipe talaka zangu niondoke.. Kwetu sijaua"

    Aliongea Semeni tena huku akilia, kwa wakati huo Farida alishakwenda kulala,

    "leo una kiburi ee"

    Aliongea jomo huku akiwa kajilaza kwenye kochi kwa ulevi, na hapo ananuka pombe ingali familia imeshinda njaa,...

    "nimechoka kushinda njaa na mwanangu"

    "wewe kila siku wataka pesa umekua benki wewe"

    "nimesema nipe talaka zangu... Kwetu sijaua mimi"

    Aliongea Semeni tena wakati huo anamtingisha,.... Semeni alichezea vibao vingi sana ambavyo jomo kavitupia kwenye mashavu ya Semeni,...

    "na kuanzia leo, siachi hata mia... Mfe na hio njaa.. Pumbavu nyie"

    "na usiache.. Kwani wiki yote hii ilio isha uliacha nini"

    Semeni nae aliona ukimya ukizidi ni mno, nae aliamsha mdomo japo anazidi kudanya kosa lakini ni bora kuwa na pengo kuliko jino bovu...



    Kesho yake mambo ni yale yale ya kupiga miyayo, mana mama abu kaliamsha dude, yaani ndio kaharibu kabisaaaaa.... Yaani kama ni gari basi kaliharibu kabisa na halifai,..

    "sasa dada.. Kama jana mmegombana sasa itakuwaje"

    Aliongea farida, na wakati huo umemw wenyewe wamesha katiwa kwasababu hawakulipa bili ya umeme, mume akiambiwa ishu za nyumba yeye hataki kulipa... Kizuri zaidi ni kwamba hawadaiwi kodi ya nyumba,...

    "mungu mwenyewe ndio anajua maisha yetu, kama wiki nzima imeishia haachi pesa.. Mpaka nikatumia hakiba yangu nayo imeisha, we ulizani kuna haja ya kubembelezana tena... Hapa mimi namhofia mwanangu, akiamka hapo atataka kula"

    Aliongea Semeni, tena killa akiongea haachi kulia

    "dada sasa unalia nini..."

    "farida? Nakuomb sana... Kosea vyote lakini usikosee kuolewa mdogo wangu... Ndoa ni mateso makubwa kama hamjapendana... Kiukweli nateseka sana"

    "pole sana dada...... Haya abu huyu kaamka"

    Aliongea farida na wakati huo mtoto ndio kaamka,.. Mana alipo amka asubuhi alipewa uji, sasa kaamka mchana anataka kula.. Malaika asiokuwa na hatia naye anateseka njaa kwa uzembe wa baba... Jamani wanaume tujieleweni jamani... Kama humpendi mwanamke wa watu, yanini ukamuoe,.. Yaani umtese.. Wanawake wengi sana huvumilia mengi mno katika ndoa zao...

    "mama njaaa..."

    Alilia mtoto huyo, lakini farida kuna kitu kakumbuka katika...

    "mwanangu... Lala ukiamka utakuta chakula baba angu"

    Aliongea mama abu kama vile kumbembeleza ili aendelee kulala mana hapo ndani hakuna chochote kile,...

    "farida,... Kule unapolala.. Hakuna hata kiunga kidogo, tumkorogee hata abu uji"

    Aliongea Semeni lakini wakati hata farida kumbe alikuwa akiwaza jambo hilo hilo....

    "dada.. Kule ndani kuna kila kitu.. Yaani kuna kila kitu... Lakini sasa dada, vitu vya watu tumekabidhiwa kisheria"

    "mdogo wangu... Mimi nitalibeba jukumu hilo... Nipo tayari hata kumlipa kimwili huyo kijana..."

    "heeee dadaaa... Si kuisaliti ndoa yako sasa jamani dada"

    "nitafanyeje sasa... We kalete hata kikombe cha unga tu... Tumkorogee abu uji"

    Aliongea Semeni huku farida akitekeleza jambo....



    BAADA YA WIKI TATU KUPITA



    kuanzia siku ile, mpaka leo bado wanatumia chakula cha Swalehe,.. Yaani kuanzia mafuta, mchele, unga, na kila kitu cha kula kilichopo humo ndani,... Na dada mtu kajitolea kulala na Swalehe pale atakapo dai chakula chake,... Mchele uliokua kilo 50 leo umebaki kilo 20, unga uliokua kilo 50 sasa umebaki kilo 10... Kidumu cha mafuta ya kula lita tano, sasa kumebaki lita moja na nusu... Mafuta ya taa ndio hakuna kabisa, wamemaliza... Kitu ambacho hawaja tumia ni jiko la gesi, mana wanaogopa kulitumia... Basi chakula cha Swalehe kiliwasukuma, na siku baba yao akiamka vizuri anaacha hela, hivyo chakula cha Swalehe kinaachwa, siku baba asipo acha hela, chakula cha swai hushambuliwa... Na hayo ndio maisha yao kwa sasa...



    Kwa upande wa Zahra aliokua akinuna kwa kitendo cha farida kupewa nafasi ya kulala kwenye chumba cha swai, mana alitamani sana angalikua yeye... Na mpaka sasa ni mwezi umeisha toka farida kuja mjini, na kazi mpaka leo hajapata, japo dada yake anahangaika kutafuta kazi za ndani ili mdogo wake apate kipato na baadae ajipangishie chumba chake...



    Siku ya leo baba Saidi au mume wa fatuma alikua akirejea toka safarini,.. Ilikua ni furaha kwa fatuma au mama Saidi,.. Mana mumewe alichukua miezi sita akiwa Congo kikazi... Sasa leo karudi,... Lakini sasa Zahra hajapenda kwasababu shemeji akirudi hua Zahra analala na mtoto huyo, yaani kale kakitanda kadogo kale ka mtoto, hua anajibana nae kitu ambacho hatakagi.. Mana mtoto Saidi anajikojolea, sasa na udogo wa kitanda ni lazima mikojo imjae na yeye....

    "haaaaaaa shem habari yako"

    BARIKI au baba Saidi alimsalimia Zahra ambaye ni shemeji yake mpendwa

    "safi shem, shikamoo"

    "marahaba shem... Dahh umekua kweli yani.. Sijakuacha hivi shem"

    "hehehe"

    "kweli, kabisa shem, yaani umekua mdada mkubwa"

    "Ahsante shem,..."

    Basi ilikua ni furaha kubwa kwao mana baba karudi,...



    Ilipofika jioni Zahra alimvuta dada yake pembeni,...

    "nini we Zahra"

    Aliuliza Fatuma huku Zahra akisema kua

    "dada.. Mimi siwezi kulala na saidi"

    Aliongea Zahra lakini wakati huo anawaza akalale na farida kule kwa Swalehe,...

    "sasa utalala wapi? Basi lala kwenye sofa"

    "dadaaaa.. Yaani mimi nilale kwenye sofa"

    "sasa we watakaje sasa"

    "mi nataka nilale kwa Swalehe"

    "Heeeee, we Zahra... Yule msichana analala kisheria pale ujue... Leo ukalae uje uniletee majanga mimi"

    "sitaki,..."

    "sasa hutaki vipi..."

    "niombee kwa dada yake farida"

    "mmmhhhh yeye mwenyewe alishawahi kuniomba kuhusu huyo huyo farida nikamnyima"

    "we jaribu tuuu"

    Fatuma anampenda sana mdogo wake, na hua anapenda kufanya kile akipendacho Zahra.... Dada kweli kajikaza mpaka kwa mwanamke mwenzie,



    "unajua mama saidi... Haya maisha ni mzunguko.. Leo nimezunguka mimi lakini na kesho utazunguka wewe... Unakumbuka ulininyima mimi mdogo wangu kupata nafasi ya kulala hata kwa siku mbili"

    Aliongea Semeni kama vile kumkumbushia jinsi alivyo mnyima na yeye

    "sawa... Lakini kweli sikua na nafasi, si unaona leo mume wangu kaingia sasa nafasi hakuna"

    Aliongea fatuma tena kwa unyonge mkubwa

    "sikia mama saidi... Kama ni hivyo nenda kwa mwenyekiti, ili nae ajue kuwa kwenye hicho chumba wapo wawili"

    Aliongea Semeni huku mama saidi akiwa mnyonge sana,

    "mmmhhh mama abu, nikimfuata mwenyekiti hatokubali... Nisaidie tu kwani mume wangu hamalizagi hata wiki kasafiri tena"

    "sasa mimi nifanyeje... Alale kwenye masofa.. Si una masofa wewe"

    "mama abu, nipe msaada wako... Nisaidie jamani"

    Mama said alilalamika sana, na hua mama abu sio mtu wa kulipiza mabaya....

    "wewe ni mwanamke mwenzangu, na sitaki kulipiza baya kwa ubaya... Ila si unajua hicho ni chumba cha watu... Na mwenyewe anaweza kuja wakati wowote... Kingine ni kwamba.. Farida kalala hapo kisheria, Haruhusiwi kugusa kitu chochote kile... Na mdogo wako huyu namjua.. Mcharuko kama nini... Hivyo mwambie kabisa atafungwa mtu humo"

    Aliongea Semeni huku mama said akimgeukia mdogo wake na kumwambia...

    "unasikia wewe, usiguse vitu vya watu huko ndani"

    Aliongea fatuma huku Zahra akikubali kwa kutikisa kichwa...

    "Ahsante mama abu... Najua ni wiki hii tu, mume wangu atasafiri tena"

    "sawa,.. Ila ni usiku tu.. Mana hata farida akiamka anafunga mlango wa watu na kushinda huku kwangu"

    "sawa hakuna shida"

    Basi mambo yalikwenda sawa, Zahra alikubaliwa kulala na farida....



    Ilifika mida ya kulala, wakati huo farida keshalala zake lakini Zahra bado hajafika, mana alikuwa akiangalia kipindi fulani kwenye tv,.. Hivyo baada ya kuangalia alikwenda kugonga, na farida anafahamu kuwa kuna mtu atakua nae hapo chumbani.. Farida aliamka na kwenda kufungua mlango

    "mambo"

    Zahra alimsalimia farida kisha akaingia ndani

    "poa karibu"

    "Ahsante... Ulizani mi mgeni humu.. Mi mwenyeweji kuliko wewe"

    Aliongea Zahra tena kwa dharau lakini farida yeye hakua na hasira

    "sawa hakuna shida"

    Alijibu farida huku akilala zake mwisho wa kitanda kabisa... Na chumba kweli kilikua hakijaguswa, tena kisafiii, mana farida alikua akifanya usafi kila siku... Swalehe alikua na nguo chafu, farida alizifua mana sabuni ipo... Basi farida alilala zake lakini Zahra alianza chokochoko

    "naona umejiachiiiiiia kwenye kitanda cha mpenzi wangu"





    Katika swala zima la mapenzi kuna kitu kinaitwa wivu, lakini kitu hiki kimezidi sana katika upande wa wanawake... Zahra alijihisi kua na wivu kwa mwanamke mwenzie ambaye hamjui hata huyo swai mwenyewe, lakini Zahra kahisi kua na wivu kwa kitendo cha Farida kulala katika kitanda cha swai,....



    "naona umejiachiiiiiia kwenye kitanda cha mpenzi wangu"

    Aliongea Zahra, lakini farida ni msichana mkimya mpole sana na pia anaipenda dini yake mana anakwendaga kuswali toka kuja kwake hapa,..

    "si naongea na wewe.... Au unajiona mzuri saaaana"

    Aliendelea kuongea Zahra baada ya ukimya wa farida kutawala ndani hapo,.....

    "naomba nilale tafadhali dada... Nawe lala, usiku huu"

    Aliongea farida tena kwa upole wa hali ya juu, kana kwamba yeye hana haja na ugomvi wake,...

    "huezi kunifundisha kulala... Umekuja mjini umenikuta kwahio naomba utulie"

    Aliongea Zahra kana kwamba kuna shari anaitafuta, lakini farida yeye kimyaa tena ndio kwanza kavuta shuka..... Zahra baada ya kuona hajibiwi alianza kuwasha tv, kitu ambacho farida aliamua kuongea

    "we Zahra, kwanini unagusa gusa vitu vya watu.. Mimi nimeambiwa nisifanye chochote kile.. Kwanini sasa unagusa vitu vya watu"

    Aliongea farida huku Zahra akigeuka na kusema

    "heeeee wewe unanikataza ukiwa kama nani kwenye hiki chumba"

    Aliongea Zahra huku akimfuata farida kan kwamba alikua akihitaji ugomvi, lakini Zahra hakutaka kujibizana tena zaidi ya kumruhusu tu

    "nilikuambia tu dada angu.. Endelea"

    Aliongea farida huku akizidi kujifunika shuka,... Zahra akasunya kisha akarudi kwenye TV na kuendelea na mambo yake,....



    Siku zilizidi kwenda na saa ni mwezi sasa toka Zahra aanze kulala kwa Swalehe, na shemeji yake keshaondokaga muda mrefu kurudi Congo, lakini Zahra hakutaka kutoka kwa Swalehe,... Katika chumba hicho, unga, mchele, mafuta akina farida na dada yake ndio wamemaliza lakini walikua na hofu juu ya swala hilo, japo Semeni alisema kua yupo tayari kulala na Swalehe kama kumlipa vyakula vyake, mana hata akisema amlipe atamlipa na nini, kama hela ya kula tu hawaachiwi...



    Sasa mbaya zaidi, Zahra anakuja kupikia kwa Swalehe, yaani lile jiko la gesi Zahra anakuja kupikia kwa swai,.. Dada yake farida Aliongea mpaka akatamani kusema kwa baba mwenye nyumba na mwenyekiti wake, lakini alishindwa mana ataweka uhasama kwa majirani, na yeye ni mtu wa kulia njaa kila wakati kutokana na mume wake kuto ijali familia yake,... Hivyo shida zake ndizo zinazo mueka pabaya..



    Tukija huku Babati kwa Swalehe,... Akiwa na fundi wake wanaangalia jengo ambalo wamesha limaliza kulijenga na hapo kumebaki usafi tu watu wahamie..

    "kametoka ee"

    Aliongea fundi kama kumuuliza swai kua hio nyumba imekaa vizuri mno

    "kasitoke kana nini?... Hapa boss aje tu atupe mkwanja wetu mambo yaende sawa"

    Aliongea Swalehe, lakini muda huo huo tajiri anakuja na gari yake aina ya VX....

    "ooohhh mafundi habari yenu bwana"

    Alisalimia tajiri huyo huku wakizunguka nyumb, mana akina Swalehe wao wamekabidhiwa huo mjengo na ukiisha wao ndio watalipwa, ila mafundi wengine walisha lipwa na hawa akina swai... Hivyo malipo waliyo walipa wale wengine, watalipwa na huyu boss..



    Boss huyo alilizunguka jengo lake na kufurahi kwa ubora wa jengo lake...

    "ndio maana nikawapa kazi nyie... Najua ni mafundi wa uhakika..."

    "ni kweli boss"

    "najua mmezimisi familia zenu..."

    Aliongea boss huyo huku akiwa kashika kiuno...

    "aahhh sana bosa, karibu miezi mitano kasoro..."

    "ahahahahahah.. Sasa sitaki tupige hesabu... Kwa kazi nzuri mlio ifanya... Nyie twendeni benki moja kwa moja, na nitawapeleka mimi mpaka mjini Arusha"

    "Ahsante sana boss"



    Basi Swalehe na fundi wake walipanda kwenye gari moja kwa moja mpaka benki,... Walishangaa wanakabidhiwa kibegi kidogo sana ambacho kimejaa pesa....

    "sasa nadhani niwape lift mpaka mjini"

    Aliongea boss huyo kwakua naye anakwenda Arusha hivyo haikua mbaya kuondoka nao,..



    Mida ya jioni kama saa 12 hivi ndio walikua wanaingia mjini Arusha,.. Boss huyo aliwaacha mason (mafundi ujenzi) hao sehemu ilioitwa friends corner, mpaka hapo hawajui wamepewa kiasi gani cha pesa...

    "sasa skia swai.... Twende nyumbani kwangu tukajipigie hesabu zetu"

    Aliongea fundi jafe, huku Swalehe akikubali,. Mana ni fundi wake na hatakiwi kumbishia... Wakati huo inakwenda saa moja usiku..



    Walifika nyumbani kwa fundi, mke wa fundi aliwaandalia chai kama kupasha tumbo,. Kisha wakamwaga pesa mezani...

    "swai? Hapa hata tukikuta milioni nne, sio mbaya... Mana kula kulala ilikua ni kwake... Hivyo ni safi sana"

    "eti eeee..."

    Basi walikua wakianza kupiga hesabu, kama unavyojua pesa za benki zilivyo nyooka...

    "heeee, milioni saba,..."

    Aliongea fundi kama mshangao, kana kwamba tajiri huyo aliifurahia kazi yao hivyo aliwalipa pesa nzuri kuliko walivyo dhani wao.....

    "sasa swai, mimi staki kujiweka kwenye swala la kwasababu mimi ni fundi, najua wote tulisimama kama mafundi... Na kuanzia leo wewe sio Saidi fundi... Na hapa tunakwenda sawa kwa sawa... Sina tabia ya kumzulumu mtu...."

    "nitashukuru sana broo,.. Yaani nakwenda kuoa broo"

    Aliongea Swalehe kitu ambacho kilizidi kumfurahisha fundi jafe, kuskia Swalehe anataka koa na hataki kuchelewa kabisa kwenye swala kama hili

    "katika point zote ulizo ongea... Mdogo wangu hapo umeongea point moja nzuri sana"

    "ni kweli kaka... Kwasababu kwa jinsi ninavyokwenda hivi.. Nahisi kupata mafanikio, hivyo nahitaji kupata mafanikio nikiwa na mwenzangu"

    "kula tano dogo langu.. Nisikucheleweshe... Kula milioni tatu na nusu, na mimi zangu milioni tatu na nusu.... Hii ni faida ya kuka miezi mitano kwa wambulu"

    "heheheheh.. Sasa broo.. Mimi sihitaji kuchelewa, kama unavyojua usiku huu"

    "ni kweli kabisa... Na hali hii.."

    "ni kweli... Hebu kama una dereva bodaboda muite hapa aje anichukue"

    Aliongea Swalehe ili toyo ije kumchukua hapo kwa fundi wake... Wakati huo kabeba begi lake la nguo ambapo ndani yake kuna pesa milioni tatu na nusu alizo kwenda kuzifanyia kazi mjini Babati.....



    Sasa tukija huku kwa akina Zahra na farida,.. Ugomvi kila siku hauishi mana Zahra anataka kumaliza gesi ya watu, na farida anakataa kwasababu yeye anaishi hapo kisheria,... Na swai hakutoa taarifa kama leo ndio anakuja,... Zahra akiwa anakorogea uji wa ugali hapo hapo ndani kwa Swalehe, na ugali ukiiva anakwenda kula kwao... Farida na dada yake njaa inawarudia pale pale mana walikua wakitegemea chakula cha swai, sasa kimeisha, na wao ndio wamemaliza..... Ila dada yake farida ana malipo kwa swai juu ya kumaliza chakula chake,... Zahra alimaliza kupika kisha akatoka na chakula chake... Yani kupika kwa swai kula kwao.... Na akishamaliza kupika anatoka kisha farida anaingia ili alale zake, na hapo ni saa mbili kasoro usiku....



    Swai ndio anaingia kwenye geti akiwa kachoka kweli,... Sasa ile anaingia ndio anakumbuka kua kumbe kuna mtu aliokua akiishi humo ndani kwake,... Na mbaya zaidi kachelewa kutoa taarifa... Swai aligonga mlango mana anajua kuna mtu,.. Farida ndie aliekuwa ndani,. Alikuja kufungua mlango na anajua ni Zahra ndio anakuja kulala... Hivyo kafungua kisha karudi kulala bila kijua nani kagonga..... Basi swai kasukuma mlango na kuingia,... Heee farida kuangalia ni mwanaume ndio anaingia,.. Mmhh alishuka kitandani haraka na alikua kavalia upande wa kanga,...

    "Shikamoo"

    Farida alisalimia kwa uoga japo hamjui ni nani lakini kwakua swai alikua akiweka begi chini huku akiangalia mazingira ya chumba chake... Ndipo farida akajua huyo ndio Swalehe mwenye hicho chumba

    "poa habari yako"

    "safi tu"

    Wakati huo farida kapiga magoti kabisa, mana ni makosa makubwa ambayo yamefanyika humo ndani, na mengine yamefanywa na Zahra..... Swalehe kuangalia kwenye kitanda, kaona vyupi vyupi....

    "Samahani dada, sikueweza kutoa taarifa mapema.... Nadhani wewe ndio nilie ambiwa unalala hapa"

    "ndio kaka"

    "ok mimi ndio Swalehe.. Ila samahani kwa kuto toa taarifa... Nimerudi sasa"

    Farida alianza kulia kisiri siri mana hajui kuanzia hapo atalala wapi, ni bora ya Zahra, yeye shemeji yake alisha ondoka lakini akaendelea kubaki kulala kwa swai.. Sasa farida kazi ni kwake..

    "sawa kaka.... Wacha nikabadili nguo ili nije nichukue kila kilicho changu"

    "sawa...."

    Aliongea farida kisha akachukua gauni lake na kutoka,... Lakini Swalehe akamwambia...

    "unaweza ukabadili tu hapa hapa.. Mana mimi nakwenda kuoga... Ili nikirudi kuoga, nikute tayari umesha toa kila kitu"

    Aliongea Swalehe lakini sio kwa hasira, japo kaona kuna matumizi ya vitu humo ndani lakini hakutaka kumgombeza mtu... Swalehe alitoka na kwenda bafuni, wakati huo na farida nae alikimbilia kwa dada yake mbio mbio....



    "dada?..... Dada?"

    "nini wewe farida"

    "mwenye nyumba karudi"

    "ati nini"

    "ndio... Sasa hivi kaenda kuoga na kasema akirudi akute nimeshatoa vitu vyangu"

    Aliongea farida huku analia mno...

    "mungu wangu.. Kwanini hajatoa taarifa,.. Sasa utalala wapi farida jamani jamani jamani"

    "dada... Unawaza kulala... Na vyakula vya watu tulivyo tumia"

    "ni kweli farida, lakini.... Ooohhh yes, nimepata wazo"

    Semeni au mama abu amepata wazo ambalo huenda likawasaidia,..

    "wazo gani dada"

    "hebu kaa hapa"

    Farida alikaa kwenye kitanda akiwa na kale kale kaupande ka kanga...  Sasa Semeni akaanza kumshika mdogo wake paja huku akisema

    "farida mdogo wangu.... Samahani kwa nitakalo kwambia.... Wewe ni msichana mzuri, mungu kakupendelea uzuri, umbo na hata heshima pia unayo.. Ni mwanamke mwenye sifa zote... Kiukweli hakuna mwanaume ambaye tashindwa kukutamani wewe... Farida, kwanini usijishaue mbele yake.. Jaribu kujipendekeza,.. Yule ni mtoto wa kiume na hajao bado.. Jikwatue kwatue na ukilala nae mara moja tu.. Umeshapata tiketi ya kulala kwenye kile chumba"



    Aliongea Semeni kama vile anamkuadia mdogo wake

    "haaaaaaaa dada, hivi ni wewe unaniambia hivyo?... Hapana dada.. Mimi sikulelewa hivyo,.. Kiukweli siwezi"

    "farida... Sasa hebu jiulize, tutaishi vipi kwenye hii nyumba... Wacha shemeji yako arudi tumuombe nauli urudi kijijini, mana hakuna jinsi"

    "dada, kama nauli ipo, nipo tayari kurudi lakini sio kufanya hio tabia dada, siwezi. Siwezi kabisa dada"

    "sawa... Ila Samahani farida, haikua kwa ubaya... Na haya ndio maisha ya mjini,... Usione wasichana wenzako huko kila mtu yupo kwao... Wengine wanaishi kwa wapenzi wao tu"

    "dada siwezi... Wacha nikachukue nguo zangu... Nitajibana hapa hapa kwenye kochi"

    Aliongea farida na wakati huo alikua analia...

    "farida mdogo wangu... Ujue swai hana mke ujue"

    "hana mke na Zahra je... Zaru kila siku anamuota tu usiku"

    "wala hata sio mpenzi wake.. Walikua wakigombana kila siku humu ndani, mpaka zaru akawa anaanika chupi zake mlangoni kwa swai... We jaribu bahati yako"

    "sitaki dada.... Dada, naswali swala zote tano, nawezaje kwenda kumbinukia mwanaume... Dada, sitaki, Sitaki.. Kama ni kufungwa kwa kula vyakula vya watu sawa"

    "alafu, hajaona tofauti kweli"

    "kaona.... Tena kakasirika sana dada... Mi naogopa hata kurudi"



    Sasa huku bafuni, Swalehe ile anatoka tu kakutana na Zahra..

    "heeeee swai... Umekuja saa ngapi"

    Aliuliza zaru huku swai akiwa na taulo tu...

    "muda sio mrefu"

    Zahra alimrukia swai na kuanza kumnyonya denda hapo hapo nje ya bafu, sema hakukua na mtu aliekua nje,..

    "swai.. Leo lazima nilale kwako"

    "na vile nina hamu... We njoo tu"

    Aliongea swai mana kama unakumbuka zaru alikoswa koswa kuliwa na swai, kukawa na vikwazo vya hapa na pale...

    "ila... Naomba umfukuze yule mwanamke... Hivi kwanza umeona uchafu alio ufanya ndani kwako... Katumia unga, mchele, mafuta na gesi yako katumia.... Na vyote vimeisha, tena alitaka kuvaa na tisheti zako zile mpya"

    "unasemaje zaru"

    "sasa mimi ndio nakuambia... Afu ni mchafu mpaka basi... We angali michupi yake kaiweka kwenye kitanda pale imechanikaa hajui hata kufua nguo zake... Afu anajamba huyo, kwanza kwsho nataka nikifanyie usafi kile chumba.... Mtoe mtoe.. Hafai, kakuharibia chumba"

    Aliongea Zahra huku Swalehe akizidi kukasirika mno

    "sasa nisipo mtoa nitalala wapi... Lazima atoke"

    "sawa... Swai... Niahidi ni lini utanioa, nahitaji kua na mume, tuyatafute maisha wote,... Swai.. Nitatulia, machepele yangu yote nimeacha... Sasa wewe ni mume wangu.... Niambie, utanioa lini"





    Hakika kwa sasa hakuna mwanamke ambaye hataki kuolewa, kila mwanamke kwa sasa anatamani kuolewa naye aishi katika nyumba yake yeye na mume wake, lakini hawawapati wanaume wa kuwaoa na sababu nyingi hupelekea kuto olewa kwa tabia zao,... Mwanaume hua ni mchaguzi sana katika kuoa,... Wewe fikiria mwanaume ni mlevi lakini haikuwahi kutokea kaenda kuoa baa, lazima na yeye atafute mke mwenye kukidhi vigezo ambavyo mlevi huyo anavitaka... Hivyo wanawake mnatakiwa kujionyesha na kuishi katika hali kuolewa.... Usiseme huolewi, acha tabia ulionayo jiweke kiheshima wanaume tukuone kuwa unafaa kuwa mke bora, na sio bora mke



    Zahra ni mwanamke alietamani sana kuolewa, mana kachoka kuishi na dada yake, lakini Wahenga walisema ya kwamba USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA ikiwa na maana kwamba, wakati Zahra anasumbuliwa na Swalehe ambaye alikua na nia njema kwake,.. Lakini Zahra alimtolea nje Swalehe kwakua alikua na mpenzi wake aitwaye ayub aliohisi kua ni tajiri, kumbe alidanganywa na kutumika kimapenzi, hivyo kwa uongo alio ufanya ayub, Zahra hakutamani kuwa nae tena.. Hivyo kuanzia siku hio akaona yule mwenye nia ya kumuoa ana Afadhali hivyo akaanza kumsumbua Swalehe



    "sawa... Swai... Niahidi ni lini utanioa, nahitaji kua na mume, tuyatafute maisha wote,... Swai.. Nitatulia, machepele yangu yote nimeacha... Sasa wewe ni mume wangu.... Niambie, utanioa lini"



    Aliongea Zahra huku akiwa kamshika swai kiuno, kana kwamba hata swai kapunguza hasira zidi ya Zahra...

    "Usijali, nitakwambia"

    Alijibu Swalehe huku Zahra akisema kua

    "sawa, nitasubiri tu... Lakini ujue mama ananijua... Please swai, nataka kua mkeo"

    Aliongea Zahra na ni mzuri, lakini kwa farida haoni ndani... Sema rangi tu ndio tofauti, lakini hamkuti kwa sura, sio kwa umbo, na hata heshima pia hamkuti,...



    "Usijali zaru... Wacha nikapumzike kwanza"

    "sawa lakini si umesema leo utalala na mimi"

    "ndio lakini nitaangalia uchovu, coz kama nimechoka nitalala tu na wewe bila kufanya chochote"

    "sawa... Mimi hata kuja kulala nitakuja, ukitaka kunila we nile tu, ukijiskia kulala utalala tu"

    Aliongea Zahra huku wakiondoka hapo bafuni, swai kaingia chumbani kwake, na zaru kaingia chumbani kwao



    Sasa huku kwa akina Semeni na mdogo wake farida....

    "dada, hivi nikiwa kama mwanamke na heshima zangu, nawezaje kuzungusha kwa mwanaume... Dada.. Mimi siwezi"

    Aliongea farida baada ya dada yake kumlazimisha kwenye kujibebisha kwa swai,.. Mana anajua swai ni mtoto wa kiume na hana mke, hivyo lazima adondoshe udenda wa nguvu

    "farida mdogo wangu, nakupenda sana na sipendi kukuona ukiwa unafanya hivyo, lakini sasa umekuja mjini kutafuta maisha, kwa bahati mbaya dada yako hali yangu sio nzuri kimaisha,... Sipendi ufanye hivyo.. We jaribu tu"

    "dada siwezi, na sitaki kifanya hivyo.. Kama shemeji atanitamani potelea mbali, lakini nitalala hapa hapa kwenye makochi"

    "farida?? Ina maana mume wangu akutamani si ndio"

    "dada... Sina maana kua nimkubalie"

    "sasa skia.. Ukileta mchezo, nitakopa pesa mahali popote... Urudi kijijini.. Najua baba abu ananitesa sana lakini bado nampenda, ni mume wangu tayari"

    Aliongea Semeni huku farida akiwa kimya...

    "na kama unataka kujaribu... Naskia huyo kijana ugonjwa wake ni kuona nguo za ndani... Skia sasa.. Vaa chupi nyeupe.. Afu vaa huu mtandio mweusi"

    Aliongea Semeni lakini farida alikaa kimya tu...



    Sasa huku kwa Swalehe, akiwa zake anapaka mafuta baada ya kutoka kuoga,... Alipomaliza ali washa kompyuta yake kisha akaanza kucheza magemu, na hapo anamsubiri huyo msichana aje achukue nguo zake,... Mana hawezi kulala afu akaja kugongewa mlango itakua ni usumbufu, hivyo ni vyema kumsubiri....



    Haikupita muda kweli mlango uligongwa,... Swai akanyanyuka na kwenda kufungua,... Alikua ni farida, na kakubali alichokisema dada yake.. Farida alikua kavalia mtandio mweusi na ndani alikua na chupi nyekundu, lakini mkononi kashikilia chupi nyupe,..

    "Samahani kaka kwa kukuchelewesha"

    Aliongea farida huku akiingia na kukaa katika kitanda

    "Usijali, nami nilikua Nakusubiri"

    Aliongea Swalehe huku akiendelea kucheza gemu lake,.. Sasa farida hajui hata jinsi ya kumteka mwanaume, yaani hajui aanzie wapi.. Lakini ghafla akaanza kuivua ile nguo nyekundu, kamaliza kuivua kisha akaitupia kitandani.. Swalehe kaona mchupi umetupiwa kitandani... Akajikaza tu kisabuni ili farida asijue hisia zake ziko wapi.. Wakati keshajuzwa na dada yake... Sasa baada ya kuvua ile nyekundu, akavaa ile nyeupe, sasa kama unavyojua manjonjo ya kuvaa chupi yalivyo.. Lazima kuna sauti utazisikia zile za Ta ta ta ta ta... Kama vile anaitengenezea hivi kiunoni mwake.. Basi zile sauti tu Swalehe alianza kuhamasika kimapenzi, mbaya zaidi Swalehe toka alale na mama Mwajuma, hakuwahi kulala na mwanamke yeyote yule... Kwani hata kule Babati alikua hataki kabisa kwenda disko,... Hivyo ana zaidi ya miezi mitano hamjui mwanamke... Baada ya kuvaa akamsogelea Swalehe pale alipo,...

    "Samahani kaka.. Naomba hizo chupi zangu hapo"

    Aliongea farida, mana hizo nguo zipo kwenye tendegu la kitanda na ni jirani na alipo Swalehe, mana naye kakaa kitandani...

    "eeehh"

    Swalehe aliguna kidogo huku akimwangalia

    "samahani lakini... Ni kwa sababu upo karibu nazo"

    "aahh chukua tu mwenyewe"

    Aliongea Swalehe kisha akaamka pale ili ampishe achukue nguo zake.. Farida alihisi kufeli, mana alitaka Swalehe ashike zile nguo kwa mikono yake, ili apagawe zaidi.. Lakini swai kalikwepa hilo jambo.. Hivyi farida akazichukua mwenyewe na kuanza kuzipanga kama vile ndio anapangilia mizigo yake aondoke...



    Wakati huo Swalehe anaendelea kucheza zake gemu,..

    "kaka?"

    Aliita farida kisha akapiga magoti chini, na wakati huo kashika nguo moja mara aikunjue mara aikunje, yaani ilimradi kumtia nyeg** Swalehe,

    "unapiga magoti ya nini sasa"

    "naomba utusamehe mimi nandada yangu... Mimi ndio niliomaliza vyakula vyako... Na ni shida tu... Tunaomba utusamehe...na pia ge"

    Aliongea farida na kutaka kuongeza kuwa na pia gesi sio wao waliotumia ila ni Zahra, lakini alipotaka kuongea, Swalehe alimkatiza

    "basi basi... Najua ni wewe mana wewe ndio uliokua unaishi humu"

    Aliongea Swalehe kana kwamba mpaka sasa swai hajui kua hata Zahra alilala humu kwa muda sana..

    "Ahsante sana kaka"

    "sawa, we amka tu ujiandae"

    Basi swai aliendelea na mambo yake, sasa farida haoni njia ya kufanya,.. Akachukua mabegi yake na kuanza kupanga nguo zake, wakati huo anainama inama mbele ya swai,.. Na swai mwenyewe alikua akiangalia kwa jicho la wizi...

    "mmmhhhhh huyu mtoto kavaa mtandio na chupi tu... Mungu wangu"

    Aliongea Swalehe katika moyo wake, huku akiibia kumuangalia, ni bonge la Toto sio mchezo,... Sasa swai alicheza gemu mpaka akapitiwa na usingizi, mana kachoka na hata kucheza hilo gemu alikua akijilazimisha tu ili farida akusanye vitu vyake... Sasa kacheza mpaka akajiangausha kwenye kitanda na usingizi kumpitia... Wakati huo farida bado anajifanya kukunja nguo zake tena alikua akikunja taaratibu... Sasa farida anaona tu kompyuta inafanya kazi wenyewe na mtu kajilaza... Alipokwenda kumuangalia, duuuu kitaambo sana keshalala... Sasa farida hajui kuzima kompyuta.. Akaenda yu kuchomoa waya kule ukutani vikazimika vyote... Nguo alizokua anakunja kaziacha na kuziweka huko, naye akajibwaga kitandani mana usingizi ulimzidi.. Hivyo hata Swalehe akiamka usiku hawezi kumtoa.... Lakini farida yeye alikua akilala kwa machale, kwani kila wakati alikua akishtuka na kumkuta Swalehe akiwa kalala vile vile miguu chini... Farida alimueka Swalehe vizuri kisha akamfunika na shuka... Sasa mbaya au nzuri zaidi farida akajisogeza jirani na Swalehe, tena kwa matumizi ya shuka moja....



    Usiku saa nane dada mtu halali, yupo na mume wake ndani lakini mawazo yake yapo kwa mdogo wake, anampenda sana mdogo wake na hatamani afanye hayo mambo,... Semeni alikua macho nyakati za usiku na anajua tu ni lazima mdogo wake saa hizi anaichezea mashine ya mwanaume huyo, kumbe walaa watu wamelala zao,... Tena Semeni alikua akilia kwa kisiri siri, wakati huo baba abu kalala zake fofofo kwa ulevi, Semeni alitoka nje kwenda kujisaidia, boma lilikua limetulia mno,

    "farida mdogo wangu,... Utanisamehe sana... Sipendi uwe na tabia hio... Ni shida tu"

    Aliongea Semeni huku akirudi zake ndani baada ya kujisaidia....



    Saa kumi na mo kamkili,.. Alamu ya Swalehe inalia.. Hio ni alamu aliokua akiitumia kule babati kwa ajili ya kujiandaa na kazi... Sasa hakuitoa mpaka ikaja kumharibia usingizi akiwa kwake,.... Alikurupuka na kuizima kwa hasira,... Sasa baada ya kuizima alijihisi kulala na mtu.. Tena mbaya zaidi kashikwa kiuno,.. Akakurupuka na kwenda kuwasha taa,

    Laaaaaa haulaaaaaa... Farida kajiachia tena ule mtandio umetoka, sasa swai anamuona farida... Sasa hapo farida haijulikani kama alikua macho au kalala kweli, mana hio staili aliolala... Ilikua ni hatari, yaani kalalia gumbo kisha mguu mmoja kaukunja flani hivi, sasa na hio chupi na hilo umbo, Swalehe alishika tu nanii yake mana ilikua inauma kwa kusimama.. Swalehe aliangalia waya wa kompyuta umetolewa na sio kawaida yake.. Alijua kua alipitiwa na usingizi,.. Akiangalia nguo za farida anaona kaacha kupanga nguo... Alipanda pale kitandani na kutaka kumuamsha... Lakini akaona sio vizuri kumwamsha mtu..

    "ina maana huyu dada hana pakulala?.... Ila huenda ni makosa yangu kuja bila taarifa, mana kama ningelitoa taarifa mapema, angepata pa kulala"

    Swalehe alijiongelea katika moyo wake kana kwamba labda msichana huyo kakosa pakulala kwasababu hakupewa taarifa mapema kua Swalehe anakuja, hivyo akakosa pakulala... Sasa swai alimuacha alale, lakini kumbe farida yeye hakua kalala wala nini,... Swai akajilaza tena bila shuka,... Farida alifungua macho na kuona Swalehe kajikunyata pembezoni mwa kitanda....



    Farida akauchukua ule mtandio wake taaratibu kisha akautupia mvunguni, wakati huo swai hajui kama farida hajalala,... Mara farida kakurupuka vile vile akiwa na chupi,...

    "kaka, nipelekea msalani"

    Aliongea farida, sasa swai kuamka anamkuta farida yupo na nguo ya ndani pekee....

    "mungu wangu.. Hebu vaa nguo bwana.. Kwanza umelalaje kwangu"

    Aliongea Swalehe huku akitaka kumfunika farida..

    "hapana.. Mi naskia joto, afu mtandio wangu siuoni"

    Aliongea farida huku akiruka ruka kwa kubanwa na mkojo... Sasa hio kuruka ruka sasa ndio hatari zaidi.. Hebu vuta picha mwanamke yeyote unayemjua ana umbo zuri afu awe kavaa chupi tu,.. Afu aruke ruke,.. Vuta picha kule nyuma kutakuaje kwa mtikisiko....

    "vaa nguo kwanza"

    Swalehe alijikuta hasira zinapungua..

    "joto mi siwezi.. Twende nipelekea mi naogopa"

    Aliongea farida huku Swalehe akiamka kumpeleka lakini sasa farida mbele swai nyuma, na wakati huo bukta ya Swalehe imetuna kwa mbele, kana kwamba uume umemsimama kwa hamu... Sasa makusudi ya farida utayapenda, anatembea kidogo afu anajifanya kama kuna kitu kaona mbele, sasa anarudi nyuma ili tu amguse swai na tako lake, na vile ana chupi tu.. Mbona atabakwa... Sasa ikawa ndio mchezo kwake, anakwenda mbele afu anarudi nyuma, na kila akirudi tako lake linagusa kwenye zakhari ya Swalehe,... Walifika chooni farida kaingia na kukojoa kisha akatoka.. Swalehe nae alihisi haja ndogo.. Akaingia na kukojoa.. Heee saa ngapi farida hajaingia kukuru kukuru mpaka ndani...

    "kaka nimeona kama mtu huko nje"

    "we dada vipi aisee..."

    "samahani, naogopa"

    Sasa mkojo wa Swalehe ukakata,... Afu sasa na ule mshangao wa huyo dada kuingia chooni akajikuta hata dudu hajalirudisha kwenye bukta... Saa ngapi farida hajaona... Mpaka farida akaona aibu na kukaa nyuma ya mgongo wa Swalehe huku akiwa kashika kiuno,..

    "kaka, mimi stoki... We malizia tutoke wote"

    Aliongea farida, lakini swai alikasirika mno, hata mkojo ulikata kabisa yani..

    "toka uko"

    Aliongea Swalehe tena kwa hasira, huku farida akiwa mbele... Na hapo hata kwenye kifua hakua na kitu, ila kajiwekea mikono ili swai asione chuchu zake... Sasa kwenye kutoka farida alikimbilia ndani, hakutaka kutembea nae... Swai akarudi chooni kumalizia mkojo wake...



    Sasa huku ndani, farida kajilaza tako juu,...

    "ni mwanaume mzuri,.. Licha ya kutaka kulala kwake kwa shida zangu... Pia nimetokea kumpenda ghafla tu... Hakika asubuhi hii, sifanyi makosa.. Kama ataniona malaya potelea mbali, ila sitaki kuipoteza nafasi ya mwisho"

    Aliongea farida huku akiwa kajilaza na wakati huo inakwenda saa kumi na moja na nusu za alfajiri..... Ghafla Swalehe kaingia, duuuuu kakuta farida kajilaza mtindo mbaya,.. Swai anaogopa mana ndio kamkuta tu humo ndani... Sasa swai usingizi tena hana, sasa akawa anaunganisha waya zake tena acheze gemu.. Farida akajua hapa akiwasha tu hio kompyuta, nafasi tena hakuna.... Farida kaamka na kwenda kuchomoa zile waya pale ukutani,

    "una nini wewe"

    Aliongea swai, sasa swai hakuwahi kuona chuchu za farida, sasa farida akaziachia makusudi... Vitu vumesimama kama mwiba... Sasa Swalehe kabaki kuvishangaa vile vichuchu,... Farida akaamka pale chini kisha akamshika swai kiuno,.. Kumbe farida alianza kulia kisha akamuegemea swai mgongoni... Sasa swai anashangaa maji maji kutiririka kwenye mgongo wake,.. Saa ngapi hajaamka ili ajue nini kinatiririka mgongoni kwake... Ile anageuka tu,.. Swalehe kakutana na mdomo mlainiii,.. Farida hakuchelewa, kamuawahi kumnyonya denda,.. Swai kashikwa na butwaa,... Farida ni mshamba wa mapenzi hajui hata kunyonya denda, Swalehe alishangaa mkono wake unapelekwa kwenye chupi, yaani avue chupi.... Wakati huo Swalehe tayari keshalegea naye anakula denda huku akiwekewa mguu kwenye uume wake kwa utamu wa denda,... Sasa kumbe farida pumzi yake ni ndogo,... Ile anatoa tu mdomo wake, kakajikuta kanazidiwa na pumzi... Sasa akawa anahema na mdomo... Swalehe akambeba mpaka kitandani na kumbwaga.... Hata yeye ni mwanaume bwana,... Mitego yote hio kairuka lakini kaja kuingia kwenye mtego mdogo tu...









    Kiukweli mwanamke akiamua kulala na wewe, hata ufanye nini, ni lazima ulale nae.. Atafanya lolote lile mpaka ukubali hali yake...



    Swalehe aliokua mgumu kwa mitego ya mtoto wa watu ambaye ni farida.. Lakini kaja kulainika na sasa wamepelekana kitandani...



    Swalehe alianza kusolola mwili wa farida,... Mtoto alinyonywa kila kona ya mwili wake,... Chupi aliovaa haifai tena kwa matumizi ya kuvaa... Mana ilikua imeloa chapa chapa,... Swai akaivuta na kutupa pembeni,.. Farida na ukubwa wake wote ana kitu kidogo mpaka raha,... Basi swai alipoivua chupi ya farida, nae akavua bukta yake, na kuanza kuingiza zakhari yake

    "uuuuuuuuu"

    Zilikua ni sauti za mlio baada ya swai kuingiza kichwa tu... Lakini kila swai akiingiza dudu, farida alikua akiruka mpaka inachomoa... Uzuri zaidi ni hio sehemu iliokuwa imebana mpaka raha..

    "we dada una nini"

    Aliuliza swai, baada ya kuona kuna tabu fulani hivi

    "kaka... Mi nimefanya mara moja tu.. Na ni kwa sabahu ya uhai wa mama angu"

    Aliongea farida kua kama sio kutetea uhai wa mama yake, mpaka lei angelikua na bikra yake...

    "mama yako alifanyaje"

    "ni stori ndefu sana... Nitakwambia"

    Aliongea farida, huku swai akamsogeza vizuri kisha akamueka sawa..

    "uuuuuhhhhh"

    Alilia tena farida, Kiukweli siri yake ilikua ni ndogo sana...

    "vumilia jamani"

    "vinauma"

    Alijibu farida huku swai akijaribu kwa mara nyingine tena...

    "mamaaaaaa.... Basi basi"

    Alilia farida lakini tayari dudu lipo katikati... Farida alianza kudondosha machozi, lakini swai hakujali hilo,.. Alikua anamtengeneza vyema.... Mana ukiwa na huruma na nyani, utavuna mabua...





    Saa mbili asubuhi, farida ndio wa Kwanza kuamka.... Alimfunika swai ili alale vizuri, mana kachoka kwa shughuli ya muda mchache uliopita, farida alijichungulia na kujua kweli leo kashughulikiwa vilivyo... Hata yeye alitabasam kwa furaha... Basi akiwa kama mwanamke ndani ya nyumba aliamka na kibandika maji ya kuoga,.. Kwa bahati tu gesi ilikuepo kidogo... Sasa hajui atampikia nini... Farida aliona pesa mezani, hakuona haya kuchukua elfu tano kisha akatoka nje akiwa kavalia vizuri tu.. Alikwenda kununua chapati na supu ya litosha, mana hapo ndani hapakua na kitu cha kupika... Kaanda kila kitu mezani na maji kapeleka bafuni yaani kama mke,... Sasa hawa watu bado hawajuani kwa majina..

    "we kaka..."

    Farida aliita lakini akajishtukia anamuitaje kaka wakati keshalala nae, tena kabutuliwa kweli... Sasa naogopa amuite mpenzi au?... Alikosa jibu mana hata jina lake halijui,... Sasa akawa anamtingisha tu

    Mara swai kaamka...

    "Samahani... Maji ya kuoga tayari"

    Aliongea farida huku swai akiamka kwa kuchoka sana.... Sasa farida alizidi kujiongeza, baada ya kuona Swalehe yupo uchi kabisa, aliandaa taulo akisimama tu anamvalisha taulo ili aende bafuni,... Kweli ikawa hivyo swai haamini kama vile ana mke, kumbe ni kimdada cha watu tu kimejiongeza...

    "mambo"

    Swalehe alimsalimia farida huku farida nae akiitikia kwa aibu

    "poa..... Pole kwa kazi ya asubuhi"

    "Ahsante, pole nawewe"

    "Ahsante... Maji tayari nimepeleka bafuni"

    "sawa"

    Alikubali Swalehe huku akiwa anatoka, lakini ghafla akazuiwa na farida...

    "Samahani, unajua sikujui jina lako.. Nashindwa jinsi ya kukuita... Na siwezi kukuita kaka tena kwasababu tayari umeshalala na mimi"

    Aliongea farida kisha huku akiona ona aibu fulani hivi

    "naitwa Swalehe"

    "mmhhh Ahsante kwa kujua jina lako.. Nami naitwa farida"

    "Nashukuru sana pia"

    Basi swai alikwenda zake bafuni kuoga maji moto,... Pale pale farida akakimbilia kwa dada yake....



    Wakati huo Semeni alikua na mawazo sana...

    "Shikamoo dada"

    Farida alimsalimia dada yake...

    "ooohh farida mdogo wangu... Marahaba... Hebu niambie nini kimekukuta huko"

    "dada... Nimefanikiwa kulala nae"

    "umheshim sasa"

    "dada, licha ya kuniambia nilale nae... Pia nimempenda"

    "mmmhhh haya mwaya... Vp kaenda kazini"

    "hapana.. Ndio kaenda kuoga"

    "mmmhh kachelewa eee"

    "ndio"

    "sasa we nenda akitoka akukute..."

    Dada yake alifurahi japo hakupenda kumlazimisha akalale na swai...



    Swalehe alitoka bafuni,... Alikutana na msosi mzito wa hali ya juu... Tena supu safi kabisa.. Michapati ya mayai... Farida alikua ni mshamba mshamba hivi, lakini ushamba wake ulimpendeza Swalehe....

    "kaoge na wewe uje tule"

    "hapana.. Kula tu"

    "we kaoge uje tule"

    Basi farida nae akachukua maji kisha akabandika yapate moto kisha baada ya muda akaenda kuoga...



    Sasa swai kuangalia mezani, anaona kama pesa zake zimeguswa,... Japo sio zile nyingi.. Mana zile nyingi kazificha mbali kweli, ila hizo ni zile za karibu.. Wengi tunaita pesa za mfuko wa shati.. Sasa swai aliziweka pale mezani kama elfu hamsini hivi.. Lakini alikuta zimegusa na pembeni yake kuna chenchi... Akajiuliza lakini alikuja kupata jibu baada ya kukumbuka huo msosi hapo mezani,.

    "ooohhh kumbe kachukua hapa"

    Alijisemea swai huku akimpigia simu fundi wake,...

    "eeh hallo fundi"

    "aahh swai habari yako"

    "aah safi tu fundi, shkamoo"

    "Marahaba vipi hali bwana"

    "freshi tu.. Vipi fundi, upo kazini nini mana leo nimeamka na uchovu kweli yani"

    "aaahh kazini tutakwenda kesho.. Kuna kijumba tukakipige rangi pale mjini.. Ila leo tupumzike tu..."

    Aliongea fundi huyo huku swai akiona Afadhali ata kasema leo mapumziko

    "sawa, mana hata mimi nimeamka muda sio mrefu"

    "mimi bado kabisa, tena wewe ndio umenikurupusha usingizini"

    "aahh basi pole fundi... Endelea kupumzika"

    "basi poa.. Tutaonana kesho"

    "sawa fundi"

    Basi simu ilikatika na hapo hapo farida akaingia,.. Kwa wakati huo wapangaji wengi wamekwenda makazini, na hata Zahra pia kaenda dukani kwao... Yaani hapo ni wapangaji wachache sana tena haswa haswa wake za watu ndio wapo nyumbani...



    Farida alianza kuvaa nguo zake mbele ya Swalehe, tena bila uoga wowote ule,.... Baada ya hapo walikaa mezani na kula,.. Farida hakutaka kujivunga mana akijivunga na dada yake kule anapiga miyayo tu, mana shemeji yake katoka hakuacha kitu... Aibu ya farida aliipenda sana swai,. Kwa mitego ya farida, swai kasahau kua kitanda chake kinatakiwa kilaliwe na mke wake tu, sasa kajikuta kafanya mapenzi na mtu ambaye sio mke wake... Walimaliza kula ikiwa ni saa tatu za asubuhi... Swai alivaa zake kisha akafungua Mtungi wa gesi...

    "sasa,... Kipi kimeisha hapa nikakilete"

    Aliuliza Swalehe mana farida ndie aliekua anaishi humu hivyo anajua kipi hakuna kipi kipo



    Farida haamini kwa kuulizwa kama mke wa mtu,... Alibaki kutabasamu nfani kwa ndani... Na hapo Swalehe anampa nafasi kwakua hana pakuishi,.. Lakini sio kua anamchukulia kama mke...

    "unga.. Mchele, mafuta ya kula.. Hata chumvi na sukari... Kama vitu vyote vya kula vimeisha... Ila Nisamehe mimi"

    Aliongea farida tena kapiga magoti chini mana wao ndio walivitumia hivyo vitu...

    "wala huna haja ya kuomba msamaha... Tena ni vyema mlivitumia kwasababu vingeharibika"

    "Ahsante sana kwa ukarimu wako"

    Alishukuru farida huku swai akisema

    "sasa, mimi nitakwenda kuleta gesi.. Mchele, na unga... Hivyo vingine utakwenda mwenyewe sokoni, si sawa"

    Aliongea Swalehe huku farida akishusha machozi, yaani haamini kama leo anakua kama mke wa mtu, japo swai yeye hana wazo lolote kwa farida,..

    "sawa, nitakwenda"



    Baada ya masaa kadhaa, Swalehe alirudi akiwa na gesi mchele na unga. Akaunganisha kila kitu kisha akampa farida elfu hamsini...

    "kachukue kila unachoona hakuna hapa ndani mana wewe ndio unajua,.. Ukitoka ufunge mi naenda kwa masela zangu..."

    Farida haamini, yaani ni kama ndoto kwake,..

    "sawa mume..... Samahani kaka"

    Farida alijikuta ameita mume, yaani kafurahi mpaka kahisi ni mume wake, japo kweli anampenda mpaka basi..



    Swai alitoka zake... Alipofika nje, alikutana na baba mwenye nyumba

    "aahh mzee shkamoo"

    "Marahaba kijana... Vipi umerudi lini"

    "jana usiku mzee"

    "mbona hujasema sasa tuje kukukabidhi chumba chako"

    "aahhh Kiukweli mnisamehe kwa hilo, kwasababu nilirudi usiku afu nilikua nimechoka sana mzee"

    "pole sana kijana.. Lakini vipi ulikuta vitu vyako salama"

    "ndio.. Hakuna kilicho haribika kiukweli"

    "basi vizuri sana... Mana nilikua nakuja hivi kusalimia wapangaji wangu"

    "hakuna shida mzee karibu sana"

    "haya Ahsante sana"

    Swalehe aliondoka zake kisha mzee huyo akaingia kwenye boma yake kusalimia wapangaji wake....



    Farida alikwenda kwa dada yake ili waende wote sokoni, basi ikawa hivyo yeye na dada yake wakaenda sokoni



    BAADA YA MASAA KUMI NA MBILI KUPITA



    ikiwa ni saa mbili hivi swai ndio alikua anarudi zake misele toka asubuhi,... Sasa ile anataka kuingia kwenye geti mara Zahra katokea kwa nyuma nae anatoka zake dukani

    "swai...swai mpenzi wangu"

    Aliita Zahra kisha swai akasimama.. Na hapo ni nje ya geti,..

    "niambie"

    "safi.. Hivi jana ilikuaje, mana nimejikuta nimeshikwa na usingizi mpaka sijaja kwako... Hebu niambie yule mwehu umemtoa"

    "mwehu?? Mwehu gani"

    "si yule msichana aliokua akilala kwako"

    Aliongea Zahra kua mwehu ni farida

    "Kiukweli sijamtoa"

    "haaaaaaa.. Kwahio ulilala nae"

    "ndio"

    "swai... Kwanini unanitesa hivyo.. Yaani unalala na mtu mshamba vile, hajui hata kuoga... Kwanini lakini unanitesa?? Niambie kama hunipendi"

    Aliongea Zahra huku akilia sana na hapo anatoka dukani kununua vitu vya kupika...

    "Zahra... Kiukweli labda uniache tu kwa sasa... Yule msichana wa watu ana kosa gani... Msichana wa watu hana pakulala.... Mwache"

    "nimeshajua hunipendi swai... Niambie tu usije ukanichezea"



    Sasa huku ndani kwa swai... Maskini farida alikua anapika chakula, hajazoea jiko la gesi lakini akiwa kama mwanamke alijitahidi ilimradi chakula kiive,.. Ukumbuke hakua akilitumia hilo jiko, hivyo alikua akiona kwa Zahra, mana ndio alikua analitumia... Sasa akiwa anasonga ugali, mara mlango ulisukumwa, kitu cha Kwanza kuona,... Kaona mabakuli ya chakula... Mara kaingia mama Mwajuma

    "heeeeee... Unapika"

    Aliongea mama Mwajuma, sasa farida anashangaa mbona mama Mwajuma analeta chakula humu.. Mana hajui kama mama Mwajuma ana Taurati ya kumletea Swalehe chakula...

    "Shikamoo"

    "sina shida na shkamoo yako.... Mschiuuuuuuu.... Ina maana kupewa hifadhi tu ndio pamekua kwako sio?? Mbona nyie wasichana ni wamalaya sana nyie... Sasa kwa taarifa yako, mimi ndio namlisha huyu kijana kila akirudi... Na chakula chake hiki hapa.. Sasa naomba ubebe safuria yako ukampikie huko kwa dada yako na sio hapa kwake... Utoke usintumbulie macho mimi"

    "lakini mama"

    "weeeee weeeee weeee weee, ukome na mdomo wako huo... Sina mtoto malaya mimi... Yaani kupewa hifadhi tu, umeganda.... Mwenyewe karudi beba virago vyako na uende.... Nasema zima hilo jiko"

    Aliongea mama Mwajuma kisha akaenda pale jikoni na kuzima jiko...

    "haya beba msufuria wako uende... Kwanza kijana wangu halagi ugali"

    Aliongea mama Mwajuma,.. Sasa farida anaogopa kumbishia mana anahisi ni ndugu yake Swalehe, sasa anaogopa asije kubishana na wakwe bure... Huezi amini farida aliona ule ugali utaharibika hivyo alibeba ile safuria ili awahi kwenda kuibandika kwa dada yake... Na wakati huo alikua analia.... Sasa ile anatoka tu, kakutana na Swalehe hapo nje ya mlango akiwa ndio anatoka....

    "we farida... Unakwenda wapi sasa"

    "ndugu yako kanifukuza"

    "ndugu yangu??... Ndugu yangu nani"

    "yupo huko ndani... Sijui ni mama yako mdogo sjui ni shangazi yako..."

    Sasa farida aliposema hivyo, Swalehe akajua huyo ni mama Mwajuma ndio kaanza visa...

    "rudisha hio safuria ndani"

    Aliongea Swalehe kisha farida akarudi tena kwa kutangulia... Kisha swai anafuata nyuma..

    "wewe, unarudi kufanya nini tena huku"

    Aliongea mama Mwajuma, bila kujua na swai yupo nyuma yake... Swai leo kaamua liwalo na liwe kwa jimama hilo...

    Farida alibandika safuria jikoni kisha akawasha jiko...

    "we mtoto hivi wewe ni kiburi sana ee"

    Mama Mwajuma alikwenda tena kuzima jiko... Swalehe akaingia na kuliwasha tena,... Safari hii kawasha Swalehe....









     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog