Search This Blog

Thursday 24 November 2022

KIPAPATIO CHA NANI (2) - 5

 

     

     



     Chombezo : Kipapatio Cha Nani Season 2

    Sehemu Ya Tano (5)

     

    Ile kauli ikawafanya wote wageuke kuangali Milfat alikimbia mbio kumkimbilia kaka yake akamkumbatia Mwanaume ndani ya kombati za Kijeshi alishawasili maeneo hayo.

    Alimkumbatia Dada yake haliyakuwa akikaza macho kumuangalia Sylvester.

    “haya ni Magwanda ya Baba yako"

    Ninja Ice alizungumza hivyo huku akimpatia Madebe zile kombati za kijeshi

    “mbona zinaonekana bado ni mpya mkuu?"

    ”nilichokifanya ni kuzirudisha katika hali yake ya awali

    Utatumia mavazi haya ukiwa kambini wewe tayari ni Mwanajeshi uliyekwisha funzu mafunzo yote kule Israel

    Nami sina budi kukupatia uwezo wangu japo hapo mwanzo nilikufunza vyema ajabu ukaruhusu kutaitiwa na Wanadamu

    Kwa nini uliruhusu hicho kitu kitokee"

    ”nisamehe mwalimu nakuahidi sitoweza kufanya tena makosa"

    Ninja Ice akafanya kumsogelea Madebe na kuanza kumshambulia kwa ngumi za harakahara Madebe akawa anakwepa huku akizunguka kwa kasi vumbi lilitimka

    Ikawa piga nikupige Ghafla Ninja Ice alipigwa naile ngumi ya Super Punch iliyomfanya arushwe juu sema akajibidua na kujiweka sawa akapiga makofi

    ”hakika sasa uko fiti embu angalia pale"

    Madebe akakaza macho kuangalia

    Aliweza kuziona picha za watu wengi mwisho kabisa akaonyeshwa tukio la kuuwawa kwa Mzee wake hapo aliuma meno kwa hasira kumbe aliyemuuwa baba yake ni mwanamke

    ”kama ulivyoweza kujionea wewe mwenyewe hao ndio maadui wako

    Wacha mimi niende"

    Ninja Ice alizungumza hivyo akaanza kupiga hatua kadhaa kuondoka

    ”unaenda wapi sasa mwalimu?"

    ”narudi zangu kuzimu naenda kuishi huko yalipo makazi yangu kwa maana nikiendelea kuwepo duniani nitakuja kukiharibu kipawa changu

    Ni vyema nikaishi kuzimu kule hakuna vishawishi vya ajabu

    Kwaheri kijana nikutakie safari njema"

    Ninja Ice alizungumza hivyo na kupotea

    Ghafla Madebe akashtuka kumbe yote yalikuwa ni mawazo yake akikumbuka jinsi alivyoagana na Ninja Ice





    **********************

    ”unaenda wapi sasa mwalimu?"

    ”narudi zangu kuzimu naenda kuishi huko yalipo makazi yangu kwa maana nikiendelea kuwepo duniani nitakuja kukiharibu kipawa changu

    Ni vyema nikaishi kuzimu kule hakuna vishawishi vya ajabu

    Kwaheri kijana nikutakie safari njema"

    Ninja Ice alizungumza hivyo na kupotea

    Ghafla Madebe akashtuka kumbe yote yalikuwa ni mawazo yake akikumbuka jinsi alivyoagana na Ninja Ice



    Songa nayo

    Sasa



    ”kakaa, ulikuwa wapi siku zote? Kwanini ulituacha tukiteseka peke yetu angalia sasa tumempoteza Baba tumempoteza na Mdogo wetu Magoma hiiiiiiiii,,,khaaaaaahaa"

    Milfat alizungumza hivyo haliyakuwa akilia

    ”ohoo hatimae kijana wangu umeweza kurudi ukiwa salama salimini japo ujio wako umetukuta tukiwa na Simanzi kubwa sana ndani ya mioyo yetu baada kumpoteza kijana Magoma"

    Mkuu wa Majeshi alizungumza hivyo Madebe akakakamaa na kupiga saruti akaomba aongozwe kwenye chumba cha kuhifadhia maiti ili aweze kuangalia mwili wa Mdogo wake

    ”mmh hatimae mwamba wa miamba ameweza kutia timu na vile kawa Mwanajeshi mbona kutachimbika"

    Ispekta Seba alizungumza hivyo kumwambia Martin aliyekuwa kama vile haamini kumuona Madebe pale

    ”na kwasasa zile ishu za kumkamata na kumleta kituoni haitowezekana tena"

    ”kwanini isiwezekane?"

    “bila shaka unafahamu kila kitu kuhusu Mahakama za kijeshi sasa wewe jichanganye umkamate"

    Yalikuwa ni mazungumzo baina ya Ispekta Martin na Sebastian walishaanza kumjaji Madebe

    Kesho yake majira ya saa saba watu wengi walijazana nyumbani kwa Mama yake mkubwa Madebe maeneo ya Kawe Udoweni hakika kijana Magoma alionekana kweli ni mtu wa watu maana sio kwa umati uliojazana hapo.

    Watu wengi walilia juu ya vilio hivyo kulikuwa na gumzo kuhusu kurejea kwa Madebe vijana kwa wazee walikaa makundi kwa makundi kumjadiri

    ”oyaa unamuona Mwamba yule karudi"

    ”mwamba alikuwa zamani sio kwa sasa mi kila nikimuangalia namuona kawa mdebwedo tu!"

    ”unaongea nini wee matako tambuwa kitu kimoja Madebe alipelekwa na Jeshi sijui wapi huko kwenda kuongezewa mauwezo na sasa karudi bila shaka atakuwa Moto zaidi ya kipindi kile"

    ”sawa tusubiri na tuone"

    Kila mtu alizungumza lake

    Madebe alionekana kuwa bize kuzungumza na Ispekta Sebastian kuna mambo mengi alihitaji kufahamu hasa kuhusu swala zima la kifo cha Mzee wake mara akawasili Chinoge akiwa na marafiki zake

    Akaenda kukaa kwenye mkeka

    Milfat hakuwa na hali kabisa maana alilia mpaka kupoteza fahamu huwezi kudhania kama huyu binti kawa mwenye roho ya Kishetani tena ni Muuwaji asiekuwa na huruma kwa yoyote yule.

    ”kakaa, unamuona yule jamaa pale?"

    Mmoja kati ya marafiki zake Chinoge alinyoosha kidole kumuonyeshea Madebe aliyekuwa katega sikio kunong'onezwa kitu na Ispekta Sebastian

    Chinoge akamuangalia huyo jamaa

    ”yule ndiyo Madebe naye alipotea kama wewe sema yeye alipelekwa huko Uwarabuni kwaajili ya kujifunza maswala ya kijasusi"

    Chinoge akatikisa kichwa ishara ya kama vile kaweza kumuelewa rafiki yake

    Taratibu za mazishi ziliweza kufanyika mwili wa marehemu ukabebwa safari ya kuelekea makaburini ikaanza

    ”unajuwa nini Madebe kiukweli kabisa mdogo wako Magoma kifo chake kuna mtu ndiyo aliyesababisha"

    “kivipi yani?"

    “kuna siku tulikuwa tumekaa hapa maskani tukiwa hatuna hili wala lile Mara akaja Sylvester na kumuamrisha Magoma amfate nyumbani kwake sijui alitaka kwenda kumfanyia kitu. Maana Magoma alikuwa mnyonge sasa wakati wanaongozana Magoma akaamua kukimbia kuzihirisha kwamba hakuwa na niya nzuri juu ya Mdogo wako Sylvester alichomoa Bastola na kutishia kumshuti kitendo kilichozidi kumuongezea hofu Magoma,,,,

    ”inamaana alimkimbiza huku akiwa kamshikia silaha sio?"

    ”ndiyo kaka"

    Madebe alikunja ndita ni wiki moja ilishapita tokea mwili wa mdogo wake uzikwe ndipo akaamua kuelekea sehemu ambayo Mdogo wake alipata ajali alipofika maeneo ya mto Mbezi akakutana na White na ndiyo aliyeanza kumsimulia mwanzo mwisho

    “Sylvester umeniulia Mdogo wangu sasa ni zamu ya Mdogo wako shenzi kabisa nitakuja kumuua mbele ya macho yako"

    Madebe alizungumza hivyo huku akipandisha kilima kuelekea Nyumbani kwa kina Sylvester hakuwa na uhakika kama sehemu waliyokuwa wanaishi kina Steve zamani watakuwepo mpaka leo hii.

    ”Madebe mambo"

    Alishtuliwa na sauti ya bibie Agnes akimsalimia kama tunamkumbuka huyu binti aliwahi kuwa demu wake kabla ya yeye kuelekea Israel

    ”ohoo safi nambie mrembo"

    Madebe akasimama na kumchangamkia bibie Agnes aliyekuwa kabeba mtoto

    ”safi za kunitoroka jamani mpaka nazalishwa na warugaruga"

    ”nimekutoroka au nilienda mafunzoni ehee ushaolewa"

    ”niolewe wapi bado naendelea kudanga tu"

    ”khee inamaana umezalishwa pasipo ndoa?"

    ”ndoa hiyo itokee wapi huyu Mtoto mwenyewe nimempata kibahati mbaya tu!

    ”embu tuachane na hayo kuna kitu nataka nikuulize vipi

    Kina Steven bado wanaishi kule Udoweni?"

    ”mmh walishaama zamani sana kwa sasa wanaishi Lugalo niliwahi kuskia kwenye ile Nyumba mliyokuwa mkiishi nyinyi kipindi kilee"

    Agnes alijibu hivyo

    ”sawa nimeweza kukuelewa wacha Mimi nielekee Lugalo baadae nitakutafuta"

    Madebe alizungumza hivyo haliyakuwa akipiga hatua za haraka kuondoka

    ”sasa mbona mbiombio hiyo baadae tutaonana kwanjia ipi?"

    Agnes aliuliza

    Mwenzake wala hakumjibu

    ”mmh hii ndiyo hasara ya kuzalishwa bila ndoa unaona sasa kila Mwanaume ananiona kama vile takataka"

    Agnes alizungumza hivyo

    ********

    Tukija kuzimu siku hiyo kulikuwa na kikao kizito kikao ambacho kiliongozwa na Mzee mzima Nipe Nikupe viumbe vyote viliweza kukusanyika Milfat na Milongo nao pia walikuwepo

    “yule kiumbe ni nani? Na amewezaje kuingia hapa, ametokea wapi?"

    Yote yalikuwa ni maswali kutoka kwa Nipe Nikupe akiwauliza watu wake ambao hawakuwa na majibu yoyote yale juu ya kiumbe kile

    ”mbona mko kimya sasa inamaana hakuna mtu hata mmoja wenu mwenye kumfahamu?"

    Nipe Nikupe alizidi kung'aka Milfat akanyoosha kidole juu kuashilia kwamba kuna kitu anataka kuzungumza

    ”haya waweza kuzungumza"

    ”binafsi Mimi nilikuwa na ombi kutoka kwako"

    ”ombi gani hilo?"

    ”naomba unipe idhini ya kwenda kukaa duniani kwa mda wa miezi miwili pasipo Mimi kuja huku. Ndani ya miezi hiyo nitaweza kufanya upelelezi ili niweze kumfahamu yule kiumbe ni nani"

    “khakhakhakha Milfat embu acha kunichekesha hivi unadhani yule kiumbe katokea duniani mpaka ukatumie muda wote huo kwenda kumtafuta. Wewe sema kuwa unataka kuutumia huo muda kwaajili ya kujionesha ni mtu mwema sana mbele ya kaka yako aliyerejea unaweza kwenda ila tambua kitu kimoja siku yoyote ikitokea naye akaingia kwenye hesabu ya chakula chetu utakuwa huna budi kumuuwa"

    ”binafsi sitoweza kuruhusu hilo litokee kamwe nitapambana na yoyote yule atakae subutu kumsogelea Madebe nitamlinda popote pale aendapo"

    Milfat alizungumza hivyo kisha akatoweka akimuacha Nipe Nikupe akitikisa kichwa

    ************

    “nyie wote ni Wangese tu! Hakuna bwege yoyote atakaeweza kunizingua mamaee zenuu Mimi ndiyo mimii ukiskia mwingine ujuwee huyo ni fisii"

    Yote yalikuwa ni maneno ya Steven akizungumza kwa sauti ya kilevi

    Ilikuwa yapata majira ya saa nne Usiku ndani ya ukumbi wa Kawe Clabu Steven alikuwa amelewa chakali aliamua kuanzisha vurugu ya aina yake kwa baadhi ya wateja kitendo kilichosababisha Walinzi wa Clabu hiyo wambebe msobemsobe na kumtoa nnje

    ”kijana embu shika njia ewende nyumbani ukalale"

    Mmoja kati ya walinzi alitamka hivyo

    ”nani akalalee saa hizii unadhani Mimi ni Mtoto ehee? Mwenzako nishakuwa kama huamini ukubwaa wanguu wekaa takoo nikukojol..

    Mara tii,,

    Ngumi nzito ilitua usoni mwa Steven ni ngumi iliyotoka kwa yule Mlinzi Steven akadondoka chini nakuwa kimyaa

    “khaa Japhet umeuwa"

    Mlinzi mwingine akapaza sauti huku akisikilizia mapigo ya moyo ya Steven

    ”nimeuwa vipi kaka wakati nimemgusa tu kidogo"

    Japhet alizungumza huku na yeye akimuinamia Steven akafanya kumbeba na kuingia naye ndani baadhi ya watu wenye kumfahamu Steven wakabaki kujiuliza kitu gani alichoenda kufanyiwa kule nnje mbona amerudishwa ndani akiwa ajitambui haraka simu ikapigwa kwa Sylvester

    ”hata sijui kitu gani wamemfanyia maana walimtoa nnje huko si tukajua wanamrudisha nyumbani ajabu wamerudi nae akiwa ajitambui kabisa"

    Ok nakuja hapo sasa hivi"

    Sauti ya Sylvester iliweza kusikika hivyo muda kidogo akawasili Madebe akiwa kwenye mavazi ya kiraia akatafuta sehemu ya kukaa hakuna aliyeweza kumtambua kutokana na kichwani alivalia kofia ya Cowboy na miwani meusi

    ”nikusaidie nini kaka yangu?"

    Alipokaa tu! Muhudumu akawasili

    ”niletee Kilimanjaro ya baridi"

    Kinywaji kikaletwa na kumiminwa kwenye Glass wakati yule muhudumu anataka kuondoka akashikwa mkono

    ”tafadhari naomba niachie mkono wangu"

    Muhudumu alizungumza kwa ukali huku akiutoa mkono wake lakini Madebe akutaka kumuachia kitu ambacho kilimshangaza sana yule Mwanadada

    “hivi unafahamu Mimi ni nani?"

    “kama utaki kuulizwa kitu na mteja wako basi na hiki kinywaji silipii"

    “thubutu yako usilipe uwone kama utaweza kutoka humu"

    “nani aliyethubutu kumpiga Mdogo wangu? Nauliza tena nani aliyempiga mdogo wangu?"

    Sylvester naye alishawasili ndani ya Clabu hiyo kwanza alimtaka DJ azime mziki ndipo akapaza sauti kuuliza

    ”inamaana mmenda Depo kwaajili ya kuja kunipigia Mdogo wangu! Sio!"

    Ukumbi mzima ulikuwa kimya hakuna aliyeweza kujibu Japhet alikuwa kabana sehemu akitetemeka huwezi kuamini kama naye ni Mwanajeshi mwenye kutumainiwa hakika Sylvester aliogopeka akaurahumu mkono wake kwa kumpiga kijana yule

    ”nauliza kwa mara ya mwisho,,,

    “haina haja ya wewe kuuliza ya mwisho au ya mwanzo niliyempiga Nyani wako ni Mimi hapa"

    Watu wote walishtuka wakageuza nyuso zao kumuangalia mtu aliyetoa jibu hilo ni nani

    Madebe akasimama kutoka kwenye kiti akapiga hatua kadhaa kumsogelea Sylvester

    huku akivua kofia na Miwani

    ”khaa ni wewe?"

    Sylvester aliuliza kwa mshangao

    ”ndiyo ni Mimi unaogopa?

    ”hivi wewe kwanini unapenda kunichokonoa chokonoa kila wakati nitakuja nikuuwe kama nilivyomuua m..."

    Sylvester alizungumza kwa hasira akaishia kutaja herufu M pasipo kufahamu mwenzake alishaweza kumuelewa nini kamaanisha

    ”nakuchokonoa sababu umekula Mabungo unapata choo kigumu sana Mimi kama Daktari sina budi kukuchokonoa kwa vidole, unajinasibu umeniulia Mdogo wangu nawe

    Jiandae kufunga turubai"

    Madebe alizungumza hivyo huku akiingiza mkono kiunoni

    Ikawa kufumba na kufumbua kuachia teke moja zito lililotua kifuani mwa Sylvester akarushwa juu na kudondokea kwenye meza yenye vinywaji Masikini wee Steven kumbe alikuwa kapoteza fahamu ile Sauti ya kaka yake akiuliza ikamfanya atoke mbiombio kwenye Chumba alichokuwa akipatiwa huduma ya kwanza kufika nnje tu akakutana na Risasi nyingi zilizokita kifuani kwake

    Sylvester alipiga kelele

    ”Steeeve"

    Akafanya kujibidua ili aweze kwenda kumzuia Madebe asiendelee kummiminia Risasi mdogo wake akajikuta akirudishwa chini kwa maumivu makali ya Risasi iliyompata begani

    Madebe akachumpa na kutokomea gizani

    Steven roho ilishaacha mwili







    **********************

    Sylvester alipiga kelele

    ”Steeeve"

    Akafanya kujibidua ili aweze kwenda kumzuia Madebe asiendelee kummiminia Risasi mdogo wake akajikuta akirudishwa chini kwa maumivu makali ya Risasi iliyompata begani

    Madebe akachumpa na kutokomea gizani

    Steven roho ilishaacha mwili



    SONGA NAYO

    SASA



    Sylvester alilia kama Mtoto mdogo akajinyanyua pale alipokuwa kadondoka na kuusogelea mwili wa Mdogo wake uliokuwa umelala chini kwenye dimbwi la Damu

    ”Stevee,,Steven mdogo wangu embu fumbuwa macho yako ujaribu kuniangalia kaka yako. Kuanzia sasa wewe ni Komando hutakiwi kufa kizembe hivi. Hamkaa kakaa"

    Kwa kifupi Sylvester alidata alizidi kuzungumza huku akimtikisa Steven alipoona muda unazidi kwenda pasipo mdogo wake kufumbuwa macho ndipo akapata wazo la kumpeleka hospitali akambeba na kutoka naye Nnje hakuchelewa kupata usafiri, akamtaka Dereva awahishe Gari haraka kuelekea hospitali ya Lugalo ilikuwa yapata majira ya saa saba usiku kwa muda huo gari zilizoweza kuonekana ni chache sana

    Punde wakawasili hospitalini Gari ikazuiwa Getini Sylvester alitelemka kutoka kwenye Gari huku akiwa amefura kwa hasira

    ”wee mshenzi embu fungua Geti"

    Alitoa amri mlinzi hakutaka kujiuliza sana maana aliweza kumuona Sylvester akiwa ametapakaa damu mwili mzima

    Machela ikaletwa mwili wa Steven ukabebwa na kuingizwa wodini

    ”mkuu nawe unavuja damu nyingi sana kwenye jeraha lako"

    Mmoja kati ya Madaktari alizungumza hivyo

    ”hii damu si chochote kitu kwangu tafadhari nakuomba nenda kajiunge na wenzako kwaajili ya kuokoa maisha ya ndugu yangu"

    Sylvester alizungumza hivyo

    ”ndugu yako mbona alishafariki muda mrefu sana"

    ”what? Unasema nini?"

    ”ndiyo hivyo mkuu Steven ameshaiaga dunia hivi tuongeavyo mwili wake ushapelekwa chumba cha kuhifadhia maiti"

    ”hapana, hapana hiiiihiiiii,"

    Sylvester akapiga magoti chini huku akilia

    Taarifa za kuuwawa kwa kijana Steven kwa kupigwa risasi ndani ya ukumbi wa Kawe Clabu zilisambaa kama umeme watu wengi walisikitishwa juu ya tukio hilo la Kinyama

    Sylvester hakutaka kuzungumza kitu chochote juu ya tukio hilo alichokuwa anakihitaji yeye ni kumzika Mdogo wake kisha mambo mengine yafatie watu walioweza kushuhudia tukio hilo walipojaribu kuulizwa kuhusu Muuwaji ni nani kila mmoja akajibu hajui wengine wakadai waliondoka kabla ya tukio kufanyika Sylvester alishangazwa sana kutokana na majibu ya watu hao inamaana siku ile hawakuweza kumuona Madebe? Kitu gani wanaficha au kuogopa kwa nini hawataki kumtaja mtuhumiwa?"

    Ni maswali aliyojiuliza Sylvester wakati akiwa kwenye Viunga vya kanisa la Tank Bovu ulipofikishwa mwili wa Steven kwaajili ya misa ya kuagwa

    Baada ya hapo mwili ukapelekwa nyumbani kwao watu wengi walimiminika

    Madebe naye akafika msibani kutoa pole kwa wafiwa

    “wee mtoto wa malaya kitu gani kimekuleta hapa, tafadhari haraka sana nakuomba uwondoke"

    ”Sylvester mwanangu mbona unakuwa hivyo kumbuka kwenye misiba uwadui huwekwa pembeni"

    Mzee William alizungumza hivyo na kumtaka mwanae atulie kwanza maana mwili wake ulishaanza kuchemka kwa kasi

    ”naanzaje kutulia Baba wakati aliyemuuwa Steven ni huyu hapa Madebe"

    Watu wote wakabaki vinywa wazi

    Ispekta Martin akajongea pale bila shaka alishapata uhakika

    “kuanzia sasa Madebe upo chini ya ulinzi kutokana na kosa la mauwaji"

    Martin alizungumza hivyo akafanya kumshika mkono Madebe ili aweze kumfunga pingu likawa kosa kubwa sana kwake Madebe hakujari mkusanyiko wa watu tena ni msibani alichokifanya ni kumtandika ngumi nzito ya uso Ispekta Martin akapepesuka na kudondoka Chini kabla hajajiinua Madebe akabiduka Samasoti na kwenda kumkita teke la Shingo

    Martin alitoa mghuno wa maumivu na kucheuwa damu akapewa nafasi ya kusimama alijizoazoa na kukunja ngumi akatisha kurusha ngumi Mara akajikuta akipigwa ngumi nyingine iliyokita puani

    Ispekta Martin alipigwa kama mtoto

    “Madebe acha, inatosha sasa"

    Mkuu wa Majeshi alizungumza kwa ukali

    ”vijana mnaweza mkamchukuwa Madebe kwaajili ya kwenda kuhojiwa kwenye mahakama ya kijeshi"

    Mzee William alizungumza hivyo vijana wapatao wawili waliokuwa wamevalia suti nyeusi zilizowakaa vyema wakamuomba Madebe waweze kuongozana naye Madebe hakupinga wakapanda ndani ya Gari na kutoweka

    ”pole sana kijana bila shaka ulichokuwa unakitaka kwa Madebe umekipata"

    Ispekta Sebastian alizungumza hivyo kumwambia Martin aliyekuwa kachakazwa uso vibaya sana

    Damu zilikuwa zikimtoka juu ya jicho kuonyesha kapasuliwa

    ”kaniotea tu malaya yule ipo siku yake nitakuja kumuonyesha show ya kibabe mamae zake"

    Martin alizungumza kwa hasira mpaka kufikia hatua ya kutukana

    Siku tatu baadae kwenye Mahakama ya Kijeshi kesi ilianza kuunguruma juu ya Madebe kutuhumiwa kumuua Mtoto wa Mkuu wa Majeshi

    Madebe akakataa katakata kuwa yeye hakuhusika na tukio hilo akadai siku ya tukio yeye hakuwa ndani ya jiji la Dar es Salaam alienda Bagamoyo kwa babu yake mzaa mama.

    Ikabidi babu mtu aitwe akasema ndiyo Mjukuu wangu alikuja tokea majira ya saa nne asubuhi nikaelekea naye mashambani huko,

    Wakaitwa kina Japhet yani watu ambao walikuwepo siku ya tukio tena ni wanajeshi.

    ”kiukweli mimi siwezi kuongea uwongo nikiwa kama Mwanajeshi mtiifu niliyekula kiapo kuilinda na kuitetea nchi yangu siku ya Tukio Madebe hakuwepo maeneo yale"

    ”unazungumza kitu gani wee Binti wewe sindiyo uliyekuwa umeshikwa mkono na Madebe?"

    ”ndiyo nilishikwa mkono lakini aliyenishika hakuwa Madebe"

    ”umetumwa wewe shenz,,,

    ”kimya, kimya tunaomba wote mkae kimya"

    Hakimu akagonga meza Mashahidi wote wakadai muuwaji hakuwa Madebe

    Sylvester akauma meno kwa hasira

    Siku si nyingi kesi ikaisha huku Madebe akionekana hana hatiya.

    Wakati wanatoka kwenye chumba cha mahakama ya jeshi Sylvester alimfata Madebe na kumkunja

    “wee mshenzi unajifanya mjanja sio? Umeinunua mahakama ukawanunua mashahidi ipo siku yako nitakuja kukuuwa"

    Sylvester alitamka kauli hiyo kwa ghazabu

    “vijana embu mkamateni Sylvester mkamuweke ndani Mara moja"

    Ilikuwa ni amri kutoka kwa hakimu aliyekuwa akiendeesha hiyo kesi Sylvester alifanya kosa kubwa sana kumtishia maisha Madebe tena mbele ya mahakama kitendo bila kuchelewa akakamatwa japokuwa alileta ubishi kwa kutotaka kukubari yeye akamatwe

    Akafungwa pingu nakwenda kufungiwa kwenye chumba maarumu

    Mzee William hakuwa na la kufanya juu ya kijana wake.

    ****

    Bwana mkubwa Chinoge Chinogae siku hiyo alikuwa amekaa sehemu moja hivi akiwa peke yake. Alionekana akitafakari jambo

    ”ni yeye au kafanania? Kama ni yeye inamaana bado anaishi?"

    Chinoge alijiuliza hivyo bila shaka alikuwa akijiuliza kuhusu Nipe Nikupe akiwa anaendelea kutafakari Mara akapita Mwanadada mmoja hivi akiwa analia sauti ya kilio chake ikamfanya Chinoge amuangalie yule Dada

    Akafanya kupiga hatua kadhaa kumfatiria mtu ambaye hakuwa na hali juu ya kilio alipomfikia akamgusa begani

    “kitu gani kinachokuliza ewe dada yangu?’’

    Chinoge aliuliza hivyo kwa sauti ya upole. Yule mwanadada alimuangalia Chinoge kwa sekunde kadhaa kisha naye akauliza

    “unataka kufahamu kitu gani kinachoniliza? Hata ukiweza kufahamu sidhani kama utakuwa na msaada wowote juu yangu’’

    “inawezekana nikawa sina msaada kinguvu ila nikawa na msaada wa kimawazo tafadhari niambie kitu gani kinachokuliza?’’

    Chinoge akazidi kudadidisi yule dada kwanza akakaa chini ya mti wenye kivuli hakika alionekana kuwa amechoka sana Chinoge aliweza kubaini kitu licha ya dada yule kuchoka pia alikuwa na kiu cha maji alichokifanya ni kuelekea dukani akanunua maji na kumletea

    “ohoo asante Mungu ulijuwaje kama nina kiu?’’

    Kwanza alishukuru na kuuliza swali

    “niliweza kugundua hilo baada kulitupia macho koo lako nikaona linapanda na kushuka kama vile tetea”

    “mmmh”

    Yule dada akaghuna akagwida maji funda kadhaa alipoishusha chupa akabeuwa na kumuangalia Chinoge

    “kila niliyeweza kumueleza juu ya hili swala langu alinikimbia’’

    “kwanini?’’

    “sielewi kwanini ila utaweza kufahamu iwapo na wewe utanikimbia. Kwajina naitwa Linda ni mtoto pekee wa mzee Benard…….

    “wee malaya unafanya nini hapa? Nakuuliza wewe pusi nguchiro’’

    Ilikuwa ni sauti ya ukali ikiuliza hivyo sauti ambayo ilimfanya Linda anyamaze kuzungumza akabaki kumtumbulia macho yule jamaa aliyekuwa akiuliza ni pandikizi la baba mara pwaa Linda alishtukia akipigwa zinga la kofi

    “nisamehe Dani”

    Linda aliomba msamaha huku akinyanyuka na kutaka kukimbika kabla ajafanya hivyo alijikuta akidakwa na kuchotwa mtama akadondoka chini tiii Chinoge hakutaka kesi akawa anaondoka

    “kumbe hata wewe unanikimbia jamani tafadhari nisaidie ataniuwa huyu jamani’’

    Linda alipaza sauti yenye kuambatana na kilio kumwambia Chinoge watu walishajongea eneo hilo na kuanza kunong’onezana

    “hivi huyu Daniel atamnyanyasa na kumtesa mtoto wa watu mpaka lini jamani, mi mwenyewe nashangaa’’

    Sauti ya bibie Linda ikamfanya Chinoge arudi kwa kasi na kufikia kumsukumiza Daniel akapepesuka

    “khaa yani wee dogo unanisukumiza mimi kisa huyu Malaya sasa wacha nikufunze adabu”

    Daniel alizungumza hivyo akaingiza mkono kiunoni na kuchomoa kisu alimfata Chinoge na kunyoosha mkono ili kumchoma kisu cha tumbo Linda akawahi kukaa mbele ya Chinoge kisu kikakita tumboni mwake

    “Daniel unaniuwa mwanzo wangu wa furaha na ndiyo mwisho wangu wa maumivu. Daniel ulinitorosha nyumbani kwetu kijijini Kilwa kwa ahadi ya kwamba unanipenda utakuja kuishi nami kama mume na mke. Nimeishi nawe takribani miaka mitatu miaka yote hiyo ulikuwa ni mtu wa kunipiga na kuninyanyasa unyanyasaji ambao Mungu pekee ndiye anaejua ohoo nakufa mimi umenitoa nyumbani nikiwa mzima utanirudisha nikiwa maiti,,mmmmm’’

    Linda alizungumza hivyo huku akiwa kaushikilia mpini wa kisu kiukweli Daniel asingeweza kumchoma kisu Chinoge kijana ambaye ni hatari sana katika swala zima la upambanaji Chinoge akazunguka na kumtandika zinga la teke Daniel aliyekuwa kapigwa na bumbuwazi yani kile kitendo cha kumchoma kisu Linda hakukitegemea kabisa Chinoge akambeba bibie Linda akakimbia mbiombio pindi alipoteremka tu kilimani akapotea naye kama vile vumbi watu waliokuwa wakimfatiria kwa nyuma walishindwa kumuona





    **********************

    Linda alizungumza hivyo huku akiwa kaushikilia mpini wa kisu kiukweli Daniel asingeweza kumchoma kisu Chinoge kijana ambaye ni hatari sana katika swala zima la upambanaji Chinoge akazunguka na kumtandika zinga la teke Daniel aliyekuwa kapigwa na bumbuwazi yani kile kitendo cha kumchoma kisu Linda hakukitegemea kabisa Chinoge akambeba bibie Linda akakimbia mbiombio pindi alipoteremka tu kilimani akapotea naye kama vile vumbi watu waliokuwa wakimfatiria kwa nyuma walishindwa kumuona



    Songa nayo

    Sasa



    Chinoge baada kutoweka maeneo yale huku akiwa kambeba bibie Linda akaja kuibuka naye katikati ya msitu mmoja wapo uliopo pembezoni mwa Barabara ya Bagamoyo baada kuibuka maeneo hayo aliangaza macho yake kuangalia huku na kule kuangalia kama kuna mtu yoyote. akamshusha bibie kwa kumlaza chini halafu akapiga mruzi mara kuna mtoto wa Sokwe alioneka kuja mbio mbio huku mkononi mwake akiwa kabeba kibuyu bila shaka walioisoma KING OF THE GORILLAS wanaweza kufahamu kazi ya hiki kibuyu niipi. Yule Sokwe baada kumfikia Chinoge akanyoosha mkono ishara ya kumpatia kile kibuyu Mfalme wake Chinoge akakipokea

    “tafadhari fumbua mdomo wako ili uwe kunywa hii dawa ya uzima”

    Chinoge alizungumza hivyo kumtaka Linda aliyekuwa akipumua kwa shida sana akafumbua macho kumuangalia Chinoge kuna kitu alitaka kuzungumza ila alishindwa akabaki kuchezesha midomo funda kadhaa ziliweza kupita kinywani mwake akajikaza kumeza alipomeza tu dakika si nyingi mwili wake ulianza kuvabret sehemu yenye jeraha kulionyesha kufuka moshi Linda alitetemeka kama vile kagusishwa na waya wa umeme alipiga kelele

    “uwiiii mamaa weee nakufaa’’

    Chinoge alikaza mikono kumshikilia hakutaka kumuachia alifanya hivyo huku taratiibu akikichomoa kile kisu kutoka tumboni mwa bibie, kisu kilipotolewa tu lile jeraha likatoweka pakawa safi kabisa. Linda alikurupuka kama vile mtu aliyekurupushwa usingizini kutokana na ndoto ya kutisha

    “niko wapi hapa? Na wewe ni nani?’’

    Linda aliuliza hivyo huku akipiga hatua mbili tatu kukaa mbali na Chinoge aliyekuwa akitabasamu

    “nakuuliza wee nani”

    Linda akapaza sauti kuuliza tena

    “naitwa Hafidhi j Ikram ukipenda niite Chinoge Chinogae kuhusu swala la wewe umefikaje hapa embu jaribu kuvuta kumbukumbu zako za masaa yaliyopita nyuma’’

    Chinoge alizungumza hivyo na kumfanya bibie Linda afikirie kitu mara alianza kujikagua tumboni mwake�

    “khaa mbona sina jeraha si nilichomwa kisu mimi na Daniel jamani? Au nilishakufa huku ni kuzimu ehee?’’

    Linda aliuliza kwa pupa hakuweza kuamini kama kweli amepona tena lile jeraha limefutika kabisa halijaacha hata kovu�

    “huna budi sasa kuamini kuwa wewe ni umzima wa hafya kupitia dawa hii Imeweza kutibu malazi yako yote yaliyokuwa yakikusumbua kuanzia sasa wewe ni Linda mpya kabisa sio yule tena”

    Chinoge alizungumza hivyo huku akitabasamu Linda akafanya kumrukia Chinoge na kumkumbatia kwa furaha�

    “sijui hata nikushukuru vipi ewe kaka yangu hakika umeniokoa maana nilishamuona malaika mtoa roho kwa mbaali akinijia’’

    Linda alizungumza hivyo huku akimuangalia Mwanaume usoni kwa macho maregevu�

    “unaogopa kufa sio?’’�

    “hapana siogopi kufa’’�

    “ila?’’

    “ila naogopa kufa nikiwa na mazambi’’

    Linda akajibu huku akijaribu kuupeleka mdomo wake kwenye lipsi za Chinoge Mwanaume hakulemba akaudaka mdomo huo walianza kunyonyana ndimi zao kwa pupa bila shaka kitendo hiko kinaitwa kazi na dawa�

    “embu subiri kwanza’’

    Chinoge alimtaka bibie asubilie akamuangalia yule Sokwe aliyekuwa kaziba macho yake kwa viganja vya mikono�

    “kijana embu toa hiyo mikono machoni mwako”

    Sokwe akafanya hivyo alimuangalia mkuu wake huku akionekana kuwa ni mwenye aibu”

    “embu kamata hii halafu unaweza kwenda”

    Chinoge alizungumza hivyo na kumrudishia kile kibuyu Sokwe akatoweka kwa mtindo wa kupukutika kama vile vumbi hiyo ndiyo staili ya mfalme wao baada yule Sokwe kutoweka Chinoge akamgeukia bibie Linda mchezo ukaanza kushika hatamu kwani Chinoge� alikivamia kifua cha bibie na kuanza kumnyonya Chuchu zake�zilizosimama kwa hamu

    “aaaaah,,,,mmmmh’’

    mtoto wa watu aliishia�kughuna kwa utamu aliouhisi,tayari kidole kilishapita na�kuingia kwenye kipapatio kilicholowa muda mrefu,aliishusha�pedo yake pamoja na chupi yake aina ya bikini, alipoona atachelewa�akiivua pedo yote kwani walihitajika kuwa tayari hata kama atatokea mtu hapo wavae�haraka�Alichokifanya Chinoge aliishusha ile pedo mpaka maeneo ya magotini�kisha yeye akashusha suruali yake iliyokomea kwenye miguu yake�chini kabisa,makalio ya Linda yalijibinua vyema ambapo mwanaume aliyashika�na kuongeza kuyapanua kwa kutumia mikono yake ambapo alishika�kalio la kushoto na kulia kisha akafanya kama anagawanyisha mipira�miwili iliyokuwa sehemu moja�Kabla hajamwingiza dudu lake lililosimama alipitisha kidole na�kukiingiza kwenye kitobo cha haja kubwa mabaharia tunaita mpododo hakutumia kile kidole cha�matusi bali alimwingiza kidole gumba ambacho kilizama�chote�

    “mmmh’’

    Alishtuka Linda baada ya dole gumba kuingia ndani ya�mpododo wake uliokuwa unapumua kama mdomo unaochezacheza�Kidole gumba kikiwa kwenye mpododo, alichukua dudu lake na�kuliingiza taratibu kwenye kipapatio

    “mmmh,,aaaaah,,,,mmmh”

    Alilalamika Linda huku dudu hilo likizama kidole cha�Chinoge hakikutoka kwenye mpododo ndio kwanza alivyokuwa akipampu�akawa anakiingiza ndani zaidi na kufanya kama anausugua mpododo�huo bila kutoa kidole hicho nje kabisa�Kuna muda Linda alitaka kudondoka kabisa kwani utamu ulizidi halafu�dudu lilikuwa likiingia lote na kutoka huku likimkuna�vyema,mkono mmoja ulikua umeshika blauzi �maeneo ya mgongoni na kumvutia bibie kwa upande wake,hazikupita dakika�kadhaa mwanaume alimwaga kabisa uji wake ndani kabisa kwenye kipapatio

    *****

    Swala la kijana wake kukamatwa na kuwekwa mahabusu nikitu ambacho kilimuumiza sana kichwa mzee William alijaribu kuzungumza na mkuu wake wa Majeshi�

    “Zephania mbona kama naona tumeanza kugeukana wenyewe kwa wenyewe’’

    Mzee William alizungumza hivyo wakati wakiwa wamekaa sehemu moja hivi kuangalia jinsi vijana walivyokuwa wakijifua kimazoezi

    “kwanini unazungumza hivyo ewe ndugu yangu?’’

    “inamaana hujui nazungumzia kitu gani mkuu?’’

    “ndiyo sifahamu embu jaribu kuniweka wazi”

    “je unafahamu ya kwamba kijana wangu amekamatwa na kuwekwa ndani”

    “hilo swala mbona lilishafikishwa sehemu husika kinachosubiliwa kwasasa ni kijana wako kupandishwa kizimbani ili aweze kujibu shitaka lake la kutishia kuuwa mbele ya mahakama. Je unafahamu kama nikosa kisheria kumtishia mtu maisha?’’

    “ndiyo hayo yote nafahamu ila kijana wangu hakufanya vile kwa kukusudia bali ni hasira tu zile’’

    “kama ni hasira basi siku zote hasira hasara’’

    mkuu wa Majeshi alizungumza hivyo akapunga mkono hewani kumwita msimamizi wa mazoezi�

    “naamu mkuu’’

    “naomba umpeleke mkuu wako nyumbani kwa Mzee J Ikram”

    “sawa mkuu haina shida”

    “kwa bwana Ikram naenda kufanya nini sasa?’’

    mzee William akauliza

    “nenda kamuelezee tatizo lako ninaimani ataweza kukusaidia japo kimawazo”

    “sawa”

    Mzee William akafunga safari mpaka Mbezi Beach nyumbani kwa Mzee J Ikram ni baba mzazi wa Chinoge kwasasa yeye ni Mwanajeshi mstaafu watu wengi wenye matatizo mbalimbali hufika nyumbani kwake kwaajili ya kupata japo ushauri kama sio msaada wa kifeza siku hiyo mzee J Ikram alikuwa amekaa na kijana wake ambaye ni Chinoge wakizungumza hili na lile pia alikuwepo bwana mkubwa Madebe sijui naye alifika hapo kufanya nini

    “Hafidhi Mwanangu huyu unaemuona hapa mbele yako ni mtoto wa rafiki yangu kipenzi aitwaye Kitwana Mbwana ambaye kwasasa yeye ni marehemu Madebe kijana wangu huyu ndiyo Hafidhi niliyewahi kukwambia kipindi kile kuwa atakuja kuvaa Gwanda zangu, sema kwa bahati mbaya ndoto haikuwa kweli’’

    “nashkuru sana kwa kuweza kumfahamu’’

    “nami pia nashkuru’’

    Chinoge na Madebe wakashikana viganja vya mikono huku kila mmoja akitabasamu

    “baba inamaana huyu jamaa naye ni Mwanajeshi?’’

    “ndiyo japokuwa naye alikuwa hataki kujiunga na jeshi kama ulivyokuwa ukikataa wewe’’

    “sasa ilikuwaje mpaka akajiunga?’’

    “bila shaka atakujibu yeye mwenyewe’’

    Ndipo Madebe akaanza kusimulia kisa na mkasa mpaka kufikia hatua ya yeye kujiunga na jeshi pia hakuficha azma yake ya kutaka kufatiria kifo cha mzee wake ili siku moja aweze kuwatia nguvuni watuhumiwa wote na kuwafyekelea mbali

    “ohoo pole sana ndugu yangu inamaana mzee wako aliuwawa kwa kuchinjwa sio’’

    “ndiyo kaka”

    “kuanzia sasa nitakuwa nawe bega kwa bega”

    “hahahaha hapana ndugu yangu wewe utakiwi kujiingiza kwenye hili swala sihitaji nikupoteze kama nilivyompoteza Magoma”

    Madebe alizungumza hivyo kimya kidogo kilitanda ndipo mzee Ikram akauvunja ukimya ule kwa kusema�

    “Madebe wewe bado nikijana mdogo sana licha ya kuimalika kimapambano kwanza tambuwa watu unaotaka kupambana nao wana mtandao mkubwa sana wa kijasusi miongoni mwa watu hao kuna kundi liitwalo watu wasiojulikan… Mzee Ikram akakatisha mazungumzo baada ugeni mwingine kuwasili hapo alikuwa ni William na yule kijana wa mazoezi ikabidi kina Chinoge wanyanyuke Mzee William alishangazwa sana kumuona madebe pale akajiambia moyoni mwake huyu mshenzi kashaniwahi sidhani kama nitapata msaada wowote hapa.�mara simu yake ikawa inaita yani hata kukaa kwenye kiti hakuweza kukaa akaenda pembeni na kuipokea ile simu pasipo kuangalia mpigaji ni nani

    “habari yako bwana William’’

    “salama tu nani mwenzangu?’’

    “naitwa Nipe Nikupe ikiwa na maana ukinipa name nakupa’’

    “inamaana hilo jina ndilo ulilopewa na wazazi wako au?’’

    “sikia nikwambie kitu William huu sio muda muwafaka wa mimi na wewe kuulizana maswali tafadhari nakuomba haraka sana uje maeneo ya mtoni’’

    “mtoni nije kufanya nini hivi unafahamu unazungumza na nani?’’

    “sihitaji kufahamu kuhusu wewe ila ninachotaka ufahamu kuwa kijana wako nipo naye hapa embu msikie”

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo punde sauti ya Sylvester ikaweza kusikika�

    “baba ni mimi mwanao Sylvester’’�

    Mzee William akafanya kutoka mbiombio kueleke maeneo ya mtoni





    **********************

    “inamaana hilo jina ndilo ulilopewa na wazazi wako au?’’

    “sikia nikwambie kitu William huu sio muda muwafaka wa mimi na wewe kuulizana maswali tafadhari nakuomba haraka sana uje maeneo ya mtoni’’

    “mtoni nije kufanya nini hivi unafahamu unazungumza na nani?’’

    “sihitaji kufahamu kuhusu wewe ila ninachotaka ufahamu kuwa kijana wako nipo naye hapa embu msikie”

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo punde sauti ya Sylvester ikaweza kusikika

    “baba ni mimi mwanao Sylvester’’

    Mzee William akafanya kutoka mbiombio kueleke maeneo ya mtoni



    Songa nayo

    Sasa



    Mzee William alitembea ule Mwendo wa haraka haraka alipowasili maeneo ya Mtoni aliangaza macho yake kuangalia huku na kule. Binafsi kulikuwa na watu wengi sana hasa vijana wachimba mchanga pia kulikuwa na Watoto wakicheza cheza

    ”uko maeneo gani?"

    Mzee William aliuliza kupitia simu kwa maana haikuwa imekatwa

    ”angalia upande huu wa kushoto

    Utaona kuna Wakina mama wanateka maji"

    Sauti ya Nipe Nikupe ikasikika ikitoa maelekezo

    Mzee William akangaza macho kuangalia hiyo sehemu nikweli aliweza kuwaona Wakinamama wakichota maji kwenye visima vidogo vilivyochimbwa pembezoni mwa mto Mbezi akafanya kujongea mbele kidogo aliweza kumuona Sylvester akiwa na Mzee wa makamo

    ”ohoo Sylvester mwanangu umetokaje tokaje kule Mahabusu"

    ”nimeweza kutoka kupitia msaada wa huyu Mzee ni bingwa wa mabingwa katika swala zima la nguvu za Giza"

    Sylvester alijibu hivyo

    “ohoo asante sana Mzee mwenzangu kwa kazi nzuri uliyoweza kuifanya juu ya kumuokoa kijana wangu kutoka kwenye himaya ya watu wabaya"

    Mzee William alizungumza hivyo na kumpatia kiganja cha mkono Nipe Nikupe basi wakashikana

    “juu ya hilo wala usijari ni wajibu wangu kuwasaidia watu wenye matatizo kama nyinyi"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo

    “sasa Mzee si unaweza ukafanya nisiweze kuonekana kwenye macho ya Wanadamu?"

    Sylvester aliuliza

    “nakuona Mzee wangu ni jinsi gani ulivyokuwa umechanganyikiwa mpaka inafikia hatua ya kuzungumza peke yako"

    Walishtuliwa na sauti ya Madebe bila shaka naye alishaaga na alikuwa akipita maeneo hayo kuelekea anapoishi

    Nipe Nikupe akatoa ishara kwa Mzee William ishara ambayo iliweza kumjurisha kuwa pale walipo anaonekana yeye tu!

    Kwanza akatabasamu na kumsogelea Madebe

    ”ndiyo nimedata nishakuwa chizi juu ya kukamatwa kwa kijana wangu Sylvester au unadhani siumii ehee? Yote haya umeyataka wewe hapo. Umeniulia kijana wangu ukaona haitoshi ukainunua mahakama ya kijeshi. Juu ya haya yote kijana nakuapia haki ya Mungu sitoweza kukuacha hai

    Nitapambana nawe ili kuhakikisha naipata haki yangu"

    Mzee William alizungumza kwa kujiamini

    ”embu nyamaza. Unataka kuzungumzia haki hivi unaifahamu hiyo haki ikoje ni vyema ukakaa kimya kuliko kuanza kupwatuka bwatuka hovyo,,,

    Mara Madebe akashtukia akipigwa zinga la kofi na Sylvester hata ajakaa sawa akapigwa kingine hakuweza kumuona mtu ampigae ikabidi atumie nguvu za Giza Sylvester akashtukia akidakwa mkono ikimaanisha tayari kaonekana.

    ”kumbe ni wewe mshenzi Mtoto wa malaya"

    Madebe alizungumza kwa hasira akaachia ngumi moja nzito iliyotua tumboni mwa Sylvester akapepesuka kurudi nyuma Nipe Nikupe akamzuia na kumuweka pembeni

    Kuna kitu Nipe Nikupe alikitoa akafanya kukipuliza angani punde Madebe alianza kupiga kelele zenye kuashilia kwamba anapatwa na maumivu makali sana kile kitu kilikuwa kama Moshi wenye rangi ya blue na ndiyo uliomvamia Madebe na kuanza kumuazibu

    “hiyaaaaaaa,,,griiiiiii,,,ukhiiiiiii,,,khaaa"

    Madebe alipiga kelele zenye kuambatana na sauti yenye kuunguruma.

    Nipe Nikupe akapaa juu akatua chini kwa kasi na kumnyakuwa Madebe utasema mwewe anyakuapo kitu!

    Akatoweka nae Sylvester naye akatoweka huku akimuacha Mzee wake akiwa kashikwa na Taharuki maana mambo aliyoweza kuyaona kutoka kwa Nipe Nikupe ni hatari tupu!

    Akafanya kurudi kwa Mzee J Ikram

    Nipe Nikupe baada kumnyakuwa Madebe akaenda kumtupa kwenye viwanja vya Tanganyika Pekasi yani alimuachia kutoka juu mpaka chini vijana waliokuwa wakicheza Mpira walishtushwa sana kuona mtu akidondoka kutokea juu wengine walikimbia huku wengine wakiangaza macho ya juu kuangalia labda kuna Ndege au Helicopter iliyomdondosha mtu huyo walipojaribu kuuchunguza ule mwili ndipo wakabaini ni Madebe

    ”aisee ni Madebe huyu"

    ”ndiyo ni yeye mwamba"

    Wakafanya haraka kumbeba na kumuwahisha hospitali ya Shamba

    Aliweza kupokelewa akapatiwa huduma ya kwanza akapakizwa kwenye Ambulance safari ya kupelekwa hospitali ya Mwananyamala ikaanza

    ***********

    ”ngo!ngo!ngo"

    Sauti ya mlango kugongwa kwa nguvu ilimshtua bibie Milfat aliyekuwa kalala akajinyanyua kutoka kitandani na kuelekea Sebreni

    Alipofungua mlango akakutana na vijana wawili wakiwa wanatweta huku vijasho vikiwatoka

    ”Sister tumekuja kukuletea taarifa kuwa Madebe hali yake ni mbaya,,,

    Hata hawakumalizia kuzungumza Milfat akaubamiza mlango kwa hasira

    Kisha akapotea wale vijana wakabaki kushangaa inakuwaje mbona kafunga mlango inamaana hakupendezwa na hizi taarifa?

    Wakaona isiwe shida wacha waondoke

    Milfat alifunga safari mpaka kuzimu

    ”kwanini umemtendea mambo ya Kinyama ndugu yangu? Nauliza kwanini lakini?"

    Wakati anauliza hivyo akashtukia akiguswa begani alipogeuka kwanza alishangaa sana kumuona Sylvester akiwa maeneo yale

    ”bila shaka umeshtuka kwa kuniona! Si ndiyo ehee"

    Sylvester aliuliza huku akimzunguka bibie Milfat aliyekuwa akitweta kwa hasira akafanya kutoweka maeneo yale

    Taarifa za kijana Madebe kuokotwa maeneo ya Pekasi ziliweza kumfikia Mzee J Ikram akafanya haraka kuelekea hospitalini kuangalia hali ya Madebe

    ”kitu gani kilichomsibu kijana wangu? Mbona aliondoka nyumbani kwangu akiwa mzima wa hafya?"

    Mzee J Ikram alijiuliza maswali mengi sana pasipo kupata majibu mpaka anawasili maeneo ya Hospitalini aliweza kuonana na Milfat aliyekuwa kajiinamia kwenye benchi

    ”pole sana Binti"

    ”asante baba yangu hakika familia yetu inapitia matatizo makubwa sana sijui tumemkosea kitu gani muumba wetu!"

    Milfat alizungumza hivyo huku akijifuta machozi.

    ”hapana binti utakiwi kusema hivyo kwa maana kila kitu kitokeacho kina makusudio yake"

    ”hata kama baba makusudio gani hayo embu angalia tulimpoteza Mama kwa ajali ya Gari Mara Baba akachinjwa kama kuku nakama haitoshi wakamuua na Magoma kwa sasa wanataka kumchukuwa Madebe mwishoe wamalizie kwangu. Na huo ndiyo utakuwa ni mwisho wa familia ya Kitwana kuwepo hapa Duniani"

    Milfat alizungumza kwa hisia kali

    Mzee J Ikram akamkumbatia bibie na kumpatia faraja wakati amemkumbatia Mara Milfat alianza kuskia harufu ya damu harufu ambayo iliweza kumvutia akahitaji kuipata sema ilimpa wakati mgumu sana kufanya maamuzi ya kuichukuwa damu hiyo baada kugundua ni Damu ya Mzee J Ikram kwa wakati huo yuko naye hapo hospitalini

    Alijitahidi kupambana na hisia zake huku akijiambia tafuta mtu mwingine badara yake Hisia zikamkataa na kumwambia

    Hiyo ndiyo damu bora kupatikana kwa siku ya leo

    Baada Mzee J Ikram kufanya taratibu za kumuangalia mgonjwa akaweza kuzungumza na Daktari majira ya saa kumi na moja jioni akaaga na kurejea nyumbani kwake lakini ghafla tu! Akiwa maeneo ya Jkt kabla ya kuifikia round about ya Malingo Gari aliyokuwa akiendeesha yeye mwenye ilikata kona ya Ghafla na kwenda kukita kwenye nguzo ya Daraja Mzee J alitumia Mbinu za Kijeshi kwa kuchumpa kutoka kwenye gari akabaki kuning'inia kwenye Daraja wakati Gari ikiporomoka kwenda chini. Akiwa kashikilia vyema hiyo nguzo akajitutumua kujivuta ili aweze kurudi juu

    Mara alishtuka baada kukiona kiumbe cha ajabu kikimsogelea pale alipo Mzee J Ikram alitetemeka kwa uwoga ile tetemeka yake akajikuta akiachia pale alipokuwa kapashikilia naye akaporomoka kudondoka chini

    Alipiga kelele za kuomba msaada

    Kichwa chake kikakita kwenye jiwe kubwa Damu zilianza kumtoka kwa wingi yule kiumbe akatoa kitu kama kikombe hivi akawa anakinga zile damu kikombe kilipojaa akajiandaa kunywa wakati huo huo upepo mkali ulianza kuvuma yule kiumbe akasita kunywa ile Damu haraka akatoweka kutoweka kwake akaibuka Mzee mzima Ninja Ice huyu jamaa kukaa kuzimu hawezi na hatoweza kamwe

    Baada kuibuka pale alikaza macho kumuangalia Mzee J Ikram aliyekuwa kalala pale

    Akapiga hatua kadhaa kumsogelea kabla ya kumfikia Ninja Ice akashtukia akipigwa kikumbo kilichomfanya arudi nyuma

    Kuja kutahamaki yule kiumbe aliyempiga akatoweka na Mzee J

    Yani kilikuwa ni kitendo cha haraka mno kufanyika

    Kufumba na kufumbuwa Chinoge akaibuka

    ”yuko wapi Baba yangu"

    Chinoge alifikia kumuulizia Baba yake huku akifanya jitihada za kumtafuta chini ya lile Daraja alizunguka huku na kule asiweze kumuona

    ”nakuuliza kwa Mara ya mwisho yuko wapi Baba yangu?"

    Chinoge akapaza sauti kuuliza huku akiukaza mkono kwa kukunja ngumi

    Ninja Ice akanyoosha kidole kuonyeshea ile sehemu ambayo Mzee J Ikram alikuwa amelala

    Chinoge akaangalia hapo aliweza kuona kila kitu kuwa Mzee wake kapelekwa kuzimu

    ”bila shaka umeweza kujionea kila kitu!

    Pia kumbuka huu sio muda wa Mimi na wewe kuwekeana uhasama wakati Mimi ndiyo wewe na wewe ndiyo Mimi

    Kama tuliweza kuungana kipindi kile juu ya kumuangamiza huyu kiumbe aitwae Nipe Nikupe sijui ametumia mbinu ipi kurudi tena Duniani

    Tafadhari nakuomba tuungane juu ya hili ili tuweze kumteketeza huyu mshenzi"

    Ninja Ice alizungumza hivyo akanyoosha kiganja cha mkono ishara ya kutaka Amani iwepo baina yao

    Chinoge akamuangalia tu Ninja Ice halafu akasonya na kupotea huku akimuacha Ninja Ice akisikitika

    ”nakumbuka mbali sana tena sana siku ambayo Bibi alikuja kunipigia magoti na kuniomba niende Kilwa Kiwawa kwaajili ya kumsaidia kijana huyu. Sababu nampenda Bibi yangu hata siku moja sihitaji kuona akidondosha chozi kwaajili yangu kwa moyo mkunjufu nilikubari

    Nikaja kupambana vyema na Nipe Nikupe mwisho wa yote nilimshinda. Ajabu leo hii Hafidhi mdogo wangu wajna wangu ananiona Mimi kama kikaragosi nahitaji Amani naye mwenzangu hataki

    Wacha iwe ilivyo kila mmoja atapambana kwaajili yake. Ipo siku

    Bibi utalia mpaka machozi ya damu ukihitaji niende kumsaidia huyu mjukuu wako kamwe sitoenda"

    Ninja Ice alizungumza kwa hasira akapiga ngumi nzito kwenye nguzo moja wapo ya Daraja tetemeko lililotokea hapo ni balaa.

    Kisha naye akatoweka

    ********

    “muweke pale bila shaka yule mpuuzi atajaribu kutufatiria Milfat uzima wa kaka yako upo mikononi mwako"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo kumbe ni yeye ndiyo aliyemchukuwa Mzee J Ikram na kumpeleka kuzimu akamkabizi kwa mlinzi wake na kumtaka akamuweke sehemu

    ”kivipi mkuu?"

    Milfat akauliza baada kuambiwa kuwa uzima wa kaka yake upo mikononi mwake.

    “upo tayari kufanya chochote kwaajili ya kumgomboa kaka yako kwenye mikono ya kifo?

    ”ndiyo mkuu nipo tayari"

    ”embu pokea hiki kidude"

    Milfat akapokea kile kitu

    ”ehee cha nini hiki?"

    “hiyo ni moja kati ya Dawa yenye kuwanyong'onyesha na kuuwa nguvu za kijini kuna Binadamu mwenye nguvu za kijini atawasili hapa muda si mrefu

    Sasa cha kufanya sisi tunajificha huku wewe ukibakia hapa peke yako atakapofika tu Vua nguo zako zote yani ubaki kama ulivyozaliwa Nina hakika huyu mshenzi atapumbazika kutokana na umbile lako hapo utatumia kumpulizia hii Dawa machoni

    Ukishafanya hivyo tu

    Kaka yako atapona huku sisi tukimtia nguvuni adui yetu"

    “sawa mkuu nipo tayari au nivue kabisa"

    Milfat aliuliza huku akijiandaa kuvua mavazi yake

    “ohoo hapana usivue kwanza wakati wanazungumza Upepo kama kawa ukaanza kuvuma Nipe Nikupe na Watu wake wakatoweka

    Chinoge akaibuka

    Mwanaume alikuwa amefura kwa hasira si mchezo



    **********************

    hakika huyu mshenzi atapumbazika kutokana na umbile lako hapo utatumia kumpulizia hii Dawa machoni

    Ukishafanya hivyo tu

    Kaka yako atapona huku sisi tukimtia nguvuni adui yetu"

    “sawa mkuu nipo tayari au nivue kabisa"

    Milfat aliuliza huku akijiandaa kuvua mavazi yake

    “ohoo hapana usivue kwanza wakati wanazungumza Upepo kama kawa ukaanza kuvuma Nipe Nikupe na Watu wake wakatoweka

    Chinoge akaibuka

    Mwanaume alikuwa amefura kwa hasira si mchezo



    Songa nayo

    Sasa



    ”ohoo karibu sana bwana mkubwa sijui nikusaidie kitu gani?"

    Milfat alizungumza hivyo haliyakuwa akianza kuchojoa mavazi yake kitendo ambacho kilimfanya Chinoge apumbazike kwa muda mwishoe Milfat akabaki mtupu kama alivyozaliwa akapiga hatua kadhaa kumsogelea Chinoge

    ”leo nipo hapa kwaajili yako kipenzi Oh,,asss,,nataka unitie mpaka nilie ahaaaaa,,njoo baby"

    Milfat alizungumza huku akitoa mighuno ya kimahaba alishaweza kumfikia Chinoge akawa anamshika shika kwa kumpapasa

    ”baby,,ohoooo,,mmmmmmm,,ninyonye hapaa,,ohoo"

    Milfat akataka anyonye chuchu Chinoge akasahau kabisa kama ujio wake hapo nikwaajili ya kumfatiria Mzee wake na wala hakuweza kufahamu kama kawekewa mtego akaanza kuonyesha ushilikiano wa kumshikashika bibie Milfat aliyekuwa hataki kufanya makosa akiwa amesimama mbele ya Mwanaume wakijiandaa kukutanisha midomo yao akaitumia nafasi hiyo kuipuliza ile Dawa

    Chinoge alianza kutatarika akapiga chafya mfurulizo zenye kuambatana na kukohoa taratiibu alianza kunyong'onyea akadondoka chini nakuwa kimya sauti ya makofi iliweza kusikika kutoka kwa Nipe Nikupe yalikuwa ni makofi ya pongezi kutokana na kazi nzuri aliyoweza kuifanya bibie Milfat

    ”hongera sana binti yani kama vile unanawa"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo akamsogela Chinoge aliyekuwa kalala chini akamuinamia na kumvua ile Mask alipomvua tu! Nipe Nikupe alishtuka si kidogo

    ”vipi mkuu mbona kama unaogopa?"

    Milfat aliuliza wakati huo alishavaa mavazi yake

    ”ni yeye huyu au kafanania? Kama ni yeye inamaana miaka yote ile ajazeeka tu! wala kufariki?"

    Nipe Nikupe akaita vijana wake wawili na kuwataka wamchukuwe Chinoge nakwenda kumfungia kwenye chumba ambacho ndani yake kulikuwa na barafu yani nikama Jokofu

    ”mkuu mbona kama sikuelewi inamaana huyu Binadamu unafahamiana naye?"

    Milfat akazidi kuhoji ndipo Nipe Nikupe akaanza kumsimulia kisa na mkasa

    ”ohoo inawezekana vipi yeye akaendelea kuwa bado kijana Mdogo maana miaka uliyonitajia ni umri wa babu yangu mzaa baba"

    ”inawezekana akawa sio yeye bari ni vizazi vyao vitakuwa vinaendelea kwaajili ya kupambana na tawala zetu!

    Tusubili kwanza arudiwe na fahamu zake ili niweze kumuuliza maswali"

    ”sawa mkuu vipi sasa kuhusu kaka yangu?"

    ”kaka yako tayari ni mzima wa hafya waweza kwenda kumuangalia"

    Kitendo pasipo kuchelewa Milfat akatoweka

    ***********

    Hatimae wiki moja iliweza kukatika pasipo Hafidhi j Ikram na Baba yake kuonekana nyumbani kwao ndugu jamaa na marafiki walihaha huku na kule katika kuwatafuta simu zilipigwa kwa ndugu ambao wapo mikoani kuulizia huwenda wakawa huko kila mmoja akatoa majibu kuwa hawapo. Wakaamua kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi kama Mahospitali walishaenda. Wakatoa matangazo kwenye vyombo vya habari

    ”sijui watakuwa wapi jamani? Yani juzi tu mwanangu aliweza kurejea nyumbani baada kupotea takribani miaka mitano. Leo hii anakuja kutoweka pamoja na Baba yake"

    Mama yake Chinoge alizungumza hivyo kwa sauti yenye kuonyesha kukata tamaa

    Inavyosemekana mara ya mwisho Mzee J Ikram aliaga kuwa anaelekea hospitali ya Mwananyamala tokea siku hiyo hakuweza kurejea nyumbani kwake. Kama tunakumbuka vizuri Mzee J Ikram alipata ajali mbaya sana ya Gari ajabu ile ajali haikuweza kuonekana na Binadamu yoyote yule wa kawaida hata ile Gari ilipotezwa kimiujiza yote yalikuwa ni mambo ya Nipe Nikupe kiumbe ambaye anahitaji kuitawala Dunia na vyote vilivyomo ndani yake.

    Kama aliweza kuitawala Kilwa Kiwawa kabla ya utawala wake kuja kuvunjwa na Hafidhi j Ikram

    Siku hiyo bwana mkubwa Madebe alikuwa amekaa kwenye kibaraza cha Nyumba ya mama yake mkubwa ni sehemu ambayo ndiyo anaishi toka arudi kutoka Israel hakika alionekana kuwa ni mwingi wa mawazo

    ”kakaa"

    Sauti ya Milfat ndiyo iliyomfanya atoke mawazoni akamuangalia Dada yake

    ”vipi tena mbona hivyo?"

    Milfat aliuliza huku akikaa karibu na kaka yake

    ”wewe ni nani?"

    Lilikuwa ni swali kutoka kwa Madebe ni swali lenye kuonyesha mshangao kwa Milfat

    ”khaa unaniuliza mi ni nani?"

    Milfat akauliza akiwa kama haamini masikio yake kwakile alichoweza kukisikia

    ”nijibu kwanza wewe ni nani?"

    Madebe akaonyesha msisitizo kwa kuuliza tena

    ”ok Mimi ni Milfat Kitwana Mbwana na aliyopo pembeni yangu ni...

    Milfat akajibu kwa madoido huku akimshika kaka yake begani akakatishwa kuzungumza

    ”tafadhali usinishike wewe sio Milfat ninae mfahamu mimi"

    Madebe akang'aka na kuutoa mkono wa Dada yake

    ”una nini kwani mdogo wangu kitu gani kimekupata embu nambie"

    Milfat alishaanza kuchanganyikiwa alidhani mdogo wake Maralia itakuwa imempanda kichwani

    ”hakuna kitu chochote kilichoweza kunipata nakuomba kuanzia sasa ukae mbali nami.

    Wewe ni Shetani muuwaji mkubwa"

    Madebe alizungumza kwa hasira akanyanyuka na kuingia ndani

    Milfat akabaki kushika tama hakuweza kuamini kama yale maneno katamkiwa na Mdogo wake kipenzi akajiuliza amejuwaje kama Mimi ni Shetani? Naye akanyanyuka akajishauri aingie ndani au arudi nyumbani kwake. Mwisho akakata shauri wacha aelekee kwake njia nzima alikuwa akijiuliza hili na lile

    Pia aliweza kukumbuka kiapo alichoweza kula kule kuzimu ya kwamba kama itatokea siku ya siku mtu yoyote asiehusiana kwenye kikundi chao akamgundua kuwa yeye ni Shetani hana budi kumuuwa. Kibaya zaidi aliyemgundua ni Madebe

    ”hapana hapana siwezi kumuuwa ndugu yangu ni bora nife mimi ili yeye abaki"

    Milfat alijiwazia hivyo

    Wiki mbili baadae kuna watoto wawili walikuwa wakikatiza maeneo ya Mto Mbezi kuelekea shule ilikuwa yapata majira ya saa kumi na mbili alfajir mmoja kati ya wale Watoto alishtuka baada kuuona mwili wa mtu ukiwa unaelea kwenye maji

    ”Leyla Leyla embu angalia kule"

    Yule mtoto alipaza sauti kumwambia mwenzake

    ”wee nini bana yule itakuwa anaogelea"

    ”wee embu muangalie vizuri ni babu Ikiramu yule"

    Japokuwa walikuwa ni watoto wadogo wenye umri wakama miaka sita na misaba hivi lakini wakajipa ujasiri wa kuusogelea ule mwili.

    Ghafla mmoja akatimua mbio huku akipiga kelele za kuomba msaada

    ”jamanii Babu Ikiramu Babu Ikiramu anazama huku kwenye maji"

    Kelele za Mtoto yule ziliweza kusikiwa na watu wengi hasa vijana wenye kuchimba mchanga

    ”wee Leyla nini tena? Mbona makelele asubuhi yote hii"

    Lilikuwa ni swali kutoka kwa Mariam Dada yake Chinoge kwa wakati huo alikuwa anaelekea kisimani kuteka maji

    ”Babu Ikiramu yupo kule kwenye maji"

    Leyla akajibu haliyakuwa akihema Mariam akaitupa ndoo chini akakimbia mbiombio kuelekea mtoni

    Kwa wakati huo Mwili wa Mzee J Ikram ulishatolewa ndani ya maji na kulazwa pembeni

    ”jamanii baba yangu. Baba yanguu uwiiii,"

    Mariam alishafika mtoni kwanza hakuweza kuamini macho yake kama mtu aliyekuwa kalala chini ni Baba yake alianza kulia

    sekunde si nyingi Mkewe na wakina Khadija waliwasili sauti ya vilio ndiyo ikazidi kuongezeka

    ”kwani amefariki au?"

    ”mi hata sijui?"

    Yule jamaa aliyeuliza swali akafanya kuinamia mwili wa Mzee uliokuwa umepakatwa na Mkewe akasikilizia mapigo ya moyo

    ”khaa sasa baada kumuwahisha mtu hospitali nyie mnaanza kumlilia kwani mmeambiwa huyu ni Marehemu"

    Yule jamaa akahoji baada kugundua Mzee bado anahema mwili ukabebwa na kuwahishwa hospitali ya Lugalo

    ********

    Huku kuzimu hali haikuwa hali kabisa juu ya bwana mkubwa Chinoge kila dakika iliyokuwa ikisonga mbele kwake ilikuwa ni ya mateso

    Alipigwa na kutobolewa na vitu vyenye ncha kari

    Nipe Nikupe alikuwa na hasira naye sana.

    ”wee ni nani?"

    Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nipe Nikupe swali ambalo Milfat aliweza kulikumbuka juzi tu aliulizwa na kaka yake

    ”hutaki kujitaja kuwa wewe ni nani pasipo kufahamu kuwa majibu yako ndiyo uhai wako"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo akatoa moja kati ya nondo kutoka kwenye moto

    Nondo ilikuwa nyekundu unaweza kusema ni kaa la moto kumbe ni chuma

    ”wacha nikutofoe tofoe"

    Taratiibu akaipeleka ile nondo sehemu ya mbavu za kushoto

    Chinoge alipiga kelele

    ”hiyaaaa,,griiiiiii,,"

    Kelele zake zilifanya kuzimu kuanze kutetemeka

    ”Hafidhi wee Hafidhi uko wapi jamani"

    ”nipo huku bibi vipi kwani?"

    ”usiulize vipi tafadhali nakuomba ufanye haraka sana ukamuangalie mdogo wako huko alipo yupo kwenye matatizo"

    Bibi mtu alizungumza huku akihema

    ”bibi mdogo wangu yupi? Mbona mimi sijawahi kuwa na mdogo yoyote yule"

    Ninja Ice alizungumza hivyo

    Wakati huo huo kuna ugeni mzito uliweza kuwasili kwenye tawala hiyo alikuwa ni Malkia Kaisi na Ibnuwas

    “yule ni wa kwetu sisi maumivu yake ni yetu ya kwetu ni yake kiukweli huyu kiumbe aitwae Nipe Nikupe anataka kujiona yeye ni bora kuliko yoyote yule"

    Malkia Kaisi alizungumza hivyo akanyoosha kidole mbele

    Tv yenye kumuonyesha Chinoge akiteswa ikaibuka

    “hahahaha,,tehe!tehe!"

    Wakati wenzake wote wakiwa na huzuni Ninja Ice akawa anacheka

    ”kitu gani kinachokuchekesha ewe mjukuu wangu hivi huoni kama mdogo wako anavyoteseka?"

    Bibi mtu aliuliza

    ”hakuna cha mdogo wangu wala nini hiki kijamaa kinajiona ni kibabe sana alinitandika kule Israel sasa nasemaje yoyote atakaejaribu kwenda kumsaidia nitapambana naye kwanza huyu si jamii yetu"

    Ninja Ice aling'aka kwa hasira Mara ghafla wakashtuka baada kuwaona Masokwe wasiokuwa na idadi kamili wakiwa wameibuka kuzimu

    Nipe Nikupe alionekana kupambana Vyema na King Kong

    Swali la kujiuliza masokwe wameingia vipi kuzimu

    Hakuna aliyekuwa na majibu Ninja Ice akatoweka







    **********************

    ”hakuna cha mdogo wangu wala nini hiki kijamaa kinajiona ni kibabe sana alinitandika kule Israel sasa nasemaje yoyote atakaejaribu kwenda kumsaidia nitapambana naye kwanza huyu si jamii yetu"

    Ninja Ice aling'aka kwa hasira Mara ghafla wakashtuka baada kuwaona Masokwe wasiokuwa na idadi kamili wakiwa wameibuka kuzimu

    Nipe Nikupe alionekana kupambana Vyema na King Kong

    Swali la kujiuliza masokwe wameingia vipi kuzimu

    Hakuna aliyekuwa na majibu Ninja Ice akatoweka



    Songa nayo

    Sasa



    Kuzimu kulikuwa na patashika nguo kuchanika vumbi lilitimka moto uliwaka huku baadhi ya Majini wakionekana kupasuka vipande vipande. Jeshi la Masokwe walikuwa wamecharuka si mchezo

    Nipe Nikupe hakuwa ameliandaa vyema jeshi lake kwaajili ya uvamizi kama huo wa Ghafla.

    kitu ambacho kilimstaajabisha Nipe Nikupe na watu wake kuona kwamba ukimuuwa sokwe mmoja wanaibuka si chini ya watano

    King Kong kila akitupa jicho lake kumuangalia Chinoge aliyekuwa kafungiwa sehemu huku akionekana kutokujitambua ndipo hasira zilidi kumpanda Akaunguruma na kutema moto mzito.

    moto ambao ulisababisha Majini wengi kupukutika na kupoteza Maisha

    Nipe Nikupe aliruka juu akafanya kuzunguka kwa kasi ikawa kule kuzunguka kwake nikama vile alikuwa akijigawa ndani ya sekunde kadhaa Nipe Nikupe walikuwa takribani elfu tisini na kitu

    Shukhuri ilizidi kuwa nzito yani ikawa ukimuuwa Nipe Nikupe Mmoja nao wanaibuka si chini ya kumi

    Uwanja ukawa hautoshi

    King Kong alianza kushambuliwa nakila aina ya Silaha yani Nipe Nikupe kama sita hivi walikuwa wakimtupia makombola King Kong alizidi kujibu mapigo ghafla naye akafanya kitu kilichowashtuwa viumbe wote na kuwafanya wasitishe kupambana wakakodoa macho kumuangalia Chinoge aliyekuwa akitemewa ule moto na King Kong Masokwe wakabaki kujiuliza inamaana mkubwa wetu katugeuka au vipi? Mbona anamsambalatisha Mfalme wetu.

    Kitendo kile kikawa cha furaha kwa Nipe Nikupe kwanza alifurahi kuona mbaya wake akiteketezwa

    ”mimi ndiyo nyinyi na nyie ndiyo mimi Maumivu yenu ni ya kwangu na ya kwangu ni ya kwenu. Haya ni mapambano yetu wala sio yao nasi hatuna budi kupambana mpaka tone la mwisho ili kuhakikisha dunia ikibaki kuwa salama

    Nakopi nguvu zako kwako kama ikitokea siku nikapotezewa nguvu hizi

    Haliyakuwa wewe ukiwa bado upo hai basi huna budi kuja kunipatia uwezo wangu

    Vijana wangu wote hamna budi kupokea nguvu za giza

    Tutapambana kama Masuper hero popote pale tutaingia na kushambulia

    Yote yalikuwa ni maneno ya bwana mkubwa Chinoge wakati akiwa katikati ya Jangwa kulikuwa na uwanja mkubwa wenye tambalale. Masokwe takribani Milioni nakitu walikuwa wamepanga mistari huku wakiwa wameshika mikuki pamoja na ngao

    Utasema wapambanaji wa Spartacus nyuma kabisa alisimama King Kong huyu ni Sokwe mkubwa sana yani urefu wake ni sawa na Gorofa tatu unene wake nikama kontena mbili na ndiyo maana kwenye kimuhe muhe cha King of the Gorillas alizitungua Helicopter na Ndege za Kijeshi kwa kuziputa na kuzipiga ngumi huku akivinyanyua Vifaru na kuvitupilia mbali

    Chinoge akiwa kasimama mbele ya wanajeshi wake akanyoonya mikono juu Mawinguni umeta ulianza kushuka chini miale ilianza kuwaingia Masokwe walioanza kutatarika

    Muda kidogo hali ikatulia

    ”kwasasa mshakamilika popote pale mnaweza kufika mkisikia sauti hii

    Hiyaaaa,,griiiii hamtakuwa na muda wa kupoteza bali ni kufika haraka sana sehemu hiyo"

    Zote zilikuwa ni kumbukumbu akikumbuka mmoja kati ya Masokwe baada kuona mkubwa wao akiupuliza ule moto kwa wingi ndipo akafahamu mkuu wao anazinduliwa

    Akanyoosha mkuki juu na kupaza sauti

    ”mapambano yanaendeleaa wakati huohuo Chinoge akafutuka kutoka kwenye ile Minyororo aliyokuwa kafungiwa alitema cheche vibaraka wa Nipe Nikupe wenye kufanania naye wakapukutika wote

    Mara giza likatanda

    Majini walijaribu kutumia miili yao kama Mwanga kama tujuwavyo Majini wameumbwa kwa moto ajabu lile Giza halikuweza kutoweka maana lilidumu takribani dakika kumi Nipe Nikupe alitumia kila aina ya mbinu ili kurudisha Mwangaza lakini wapi kuja kushtuka alijikuta akishambuliwa kwa kasi alipigwa na Nyundo kila maeneo

    Nipe Nikupe alijaribu kujikinga lakini mtu aliyekuwa anampiga hakuwa anamuona ikamuwia vigumu kufahamu wapi Nyundo itatua akajikuta akipigwa za ugoko kichwani mdomoni

    Alipiga kelele za kuomba msaada kutoka kwa watu wake

    Mara mwanga ukarudi baada ujio wa Ninja Ice kuwasili maeneo hayo Nipe Nikupe alikuwa amelala chini atamaniki kutokana na kuumizwa vibaya sana

    Chinoge aligeuka na kumuangalia Ninja Ice aliyenyanyua mikono juu kama vile kawekwa chini ya ulinzi

    Chinoge alimuangalia Ninja Ice kwa muda kisha akamshiti akaangaza macho yake huku na kule si akamuona Milfat aliyekuwa kajificha sehemu

    Akamnyooshea nyundo na kuanza kumfata alipomfikia akamshika Shingoni na kumnyanyua juu yani alimning'iniza kama vile kuku kishingo

    ”tafadhali kijana nakuomba muachie huyo binti"

    Ninja Ice alimtaka Chinoge amuachie bibie

    ”wee Malaya ulitumwa sio?"

    Swali likajibiwa kwa Chinoge kupigwa kikumbo yani Ninja Ice alikuja kumvamia na kumpushi

    Chinoge akabimbilika alipokuja kusimama akairusha nyundo kumpiga Ninja Ice nyundo ikazuiwa kwa kudakwa taratiibu ilianza kumong'onyoka Nipe Nikupe akabaki kutoa macho asiweze kuamini kama huyu kiumbe mwingine aliyekuja ni hatari

    ”binti kimbia tafadhali kimbia"

    Ninja Ice akamtaka Milfat akimbie maana alishafahamu mziki unaotaka kuchezeka hapo hautoweza kuzimika hata kama Tanesko wakikata umeme.

    Wa kwanza kutoweka ni Nipe Nikupe pamoja na watu wake waliosalia wakafatia Masokwe maana Chinoge aliwaambia waondoke Milfat nae akatoweka Wakabaki wanaume wa kazi

    ”Hafidhi mdogo wangu hivi kwanini hutaki kukumbuka tulipotoka?"

    ”nakumbuka kila kitu kuhusu wewe nawe kwanini umemtetea adui yangu?"

    ”adui yako kivipi"

    Chinoge akajibu kwa kunyoosha kidole na kumtaka Ninja Ice aangalie ile sehemu

    ”ohoo pole sana kijana ila napenda ufahamu huyu binti anatumika tu! Wala sio akili zake"

    ”kumbe unafahamu anatumika sasa kwanini umekuja kuondoa kiza wakati nilikuwa katika hatua za kummaliza huyu Mshenzi?"

    ”ohoo kwanza samahani kwahilo Mimi sikuweza kufahamu nimekuja hapa kwaajili ya kukupatia msaada. Sasa wakati nakaribia kufika maeneo haya nikaona kuna Ukungu mzito sikuweza kufahamu kama umewekwa nawe"

    Ninja Ice akajibu

    Chinoge hakuzungumza kitu akanyoosha tena mkono kuonyeshea sehemu ambayo Mabaki ya Nyundo yalidondokea vitu vikaanza kujikusanya dakika si nyingi nyundo ikarudi mkononi mwake Ninja Ice alistaajabu sana

    Chinoge akatoweka

    ”aisee hapa kazi ninayo yani huyu bwana mdogo ananinyima raha kabisa"

    Ninja Ice alijiongelesha hivyo akatafuta sehemu na kukaa

    ********

    ”wee ni fala tu! Kama walivyo mafala wengine hivi unadhani kutumia kwako nguvu za Giza ndipo utaweza kupambana nami ehee?"

    ”tulia wewe ni Mtoto wa Mama tu! Kwanza siku zako za kuendelea kuishi hapa duniani zinahesabika"

    ”kama Mimi mtoto wa mama wewe ni mtoto wabibi kwanza jiangalie sana kijana siku zote Madebe sio mtu wa kutishw,,,,,

    Mara ghafla Sylvester akarusha ngumi Madebe akapanchi na kuachia kiwiko kilichotua kwenye paji la uso wa Sylvester wakashikana na kukunjana

    Mtaani watu walishajazana walipiga kelele za kushadadia huo ugomvi wakiwa wamekunjana wakashtushwa na sauti ya bibie Milfat akiomba msaada

    ”nisaidie jamani nakufaa mimi"

    Wakaachiana na kugeuza nyuso zao kumuangalia Milfat aliyekuwa anakuja mbiombio

    ”vipi tena dada nani anaetaka kukuuwa?"

    Madebe alimuwahi Dada yake na kumshika

    ”yule kulee"

    Milfat akajibu na kunyoosha kidole Mungu wangu kumbe Chinoge hakutaka kumuacha Milfat yani kamfatilia mpaka duniani

    Madebe akamuangalia huyo mtu kwanza alishtuka baada kumuona ni Hafidhi j Ikram

    Akamuweka Dada yake pembeni akapiga hatua kadhaa kumfata Chinoge huku akimuuliza

    ”inamaana kupotea kote kule kumbe ulienda kujiandaa kwaajili ya kuja kuniulia Dada yangu sio?

    Tafadhali nakuomba uwondoke kabla sijakuwashia moto?"

    Madebe alifoka kwa hasira

    ”tulia kwanza rafiki wacha niitumie hii nafasi nikuonyeshe Nina ujasiri kiasi gani! Mbele ya kenge kama hawa hakuna kuongea ni kuonyesha vitendo tu!"

    Sylvester alizungumza hivyo akamtaka Madebe akae pembeni ili yeye amshughurikie Chinoge

    Akamfata kwa kasi

    Alipomfikia akarusha ngumi mbili tatu

    Chinoge akazunguka kufumba na kufumbua akakata kichwa cha Sylvester akakipiga teke kama vile Mpira

    Kiwiliwili kikadondoka chini

    Watu waliokuwa wakishadadia ugomvi walishikwa na uwoga kila mmoja alikimbia na njia yake

    ”zamu yako sasa"

    Chinoge alitamka hivyo huku akichumpa





    **********************

    Sylvester alizungumza hivyo akamtaka Madebe akae pembeni ili yeye amshughurikie Chinoge

    Akamfata kwa kasi

    Alipomfikia akarusha ngumi mbili tatu

    Chinoge akazunguka kufumba na kufumbua akakata kichwa cha Sylvester akakipiga teke kama vile Mpira

    Kiwiliwili kikadondoka chini

    Watu waliokuwa wakishadadia ugomvi walishikwa na uwoga kila mmoja alikimbia na njia yake

    ”zamu yako sasa"

    Chinoge alitamka hivyo huku akichumpa



    Songa nayo

    Sasa



    Chinoge alimshika Madebe kwa kumkunja kisha akatoweka naye wakaja kuibukia Tanganyika Pekasi

    Kila mmoja alimuangalia mwenzake huku wakiwa wanahema

    ”upo tayari kufa kwaajili ya kumtetea yule malaya?"

    Chinoge aliuliza hakuweza kufahamu kama Milfat na Madebe ni ndugu japo katika kumbukumbu zake aliwahi kuwaona sehemu bila shaka ilikuwa kwenye msiba wa Magoma

    ”nani malaya"

    Madebe aliuliza maana swali aliloulizwa lilikuwa ni swali ambalo lilimchefuwa kwa kiasi kikubwa

    ”si yule binti aliyekuwa anakuita kak,,,

    Chinoge akajibu lakini hakuweza kumalizia kuzungumza kwani Madebe alishaanza kumshambulia kwa kasi ngumi nzito nzito zilirushwa mwanaume alikwepa na kupanchi

    Chinoge akarudi nyuma sentimita kadhaa akaikunja mikono kwa kuigusanisha kifuani alipokuja kuiachia upepo mkali ulivuma huku kitu kama tetemeko la Ardhi likianza kutokea

    ”tubu zambi zako kijana"

    Chinoge alizungumza hivyo Madebe naye akakaa staili ya Wushu vumbi lilitimka kwa kumzunguka yeye

    ”ohoo kumbe nawe ndiyo walewale sio?

    Chinoge aliuliza haliyakuwa akiwa kashamkaribia Madebe na kuanza kumshambulia kwa mateke na viwiko

    Madebe hakutaka kuzubaa alipambana kiume

    Muda wote Super Punch hakuitumia ni ngumi ambayo anapiga kwa kuvizia

    Milfat naye akawasili maeneo hayo na kuamua kujitosa ili aweze kumsaidia kaka yake

    Wakati anajiandaa kuingilia

    Akashtukia akipigwa nakitu kizito kilichotua kichwani mwake

    Mara akaanza kuona kizunguzungu akadondoka chini chali na kupoteza fahamu

    Kitu kilichompiga ilikuwa ni Nyundo Chinoge alishaiita dhana yake iliyokuja kwa kasi na kutua mkononi mwake.

    Madebe alishikwa na hasira baada kumuona Dada yake akidondoka chini nakuwa kimya akaitumia Super Punch ile inakaribia kutua mwilini kwa Chinoge ikakutana na Nyundo mtikisiko uliotokea hapo ni balaa

    Mkono wa Madebe ukawa kama vile umevunjika maana alipiga kelele za maumivu Chinoge akaitumia nafasi hiyo kumkaba roba alimkaba ile kisawasawa Madebe alifurukuta ili aweze kujitoa lakini wapi macho yalianza kumtoka pumzi ilikuwa inamuishia akaona huo ndiyo mwisho wake akafumba macho na kutulia kimya

    ”Hafidhi acha tafadhari nakuomba mjukuu wangu muachie huyo kijana"

    Ghafla tu bibi yake akaibuka na kumtaka amuachie Chinoge hakutaka kubisha akamuachia Madebe aliyedondoka chini kama Mzigo wakuni

    ”bibi unamuona yule Binti pale?"

    ”ndiyo nimemuona"

    ”alitaka kuniulia baba yangu nakama haitoshi akautumia mwili wake vibaya mpaka nikajikuta naingia kwenye mikono ya mtu mbaya aitwae Nipe Nikupe"

    ”msamehe tu! Kwa maana hajui alitendalo"

    Wakati mtu na bibi yake wakizungumza kumbe eneo hilo kulikuwa na watu wengi wamejazana wakiangalia Mpambano wa wanaume hao sema walistaajabu sana kuona wapambanaji wale wana vioja Ispekta Martin na mwenzake Sebastian nao walishawasili wakaziandaa silaha zao tayari tayari kwaajili ya kuwavamia

    Mlio wa risasi ndiyo ulioweza kuwashtua Chinoge na bibi yake wakaangalia sehemu ambayo sauti ilipotokea wakashtuka baada kuona polisi wapatao sita wakiwafata mbio mbio Chinoge akafanya haraka kupotea wakati bibi mtu akiwahi kumshika Milfat na kutoweka naye

    ”kuanzia sasa mpo chini ya ulinzi wekeni mikono yenu juu"

    Ispekta Martin alipaza sauti kutamka hivyo

    Madebe alikuwa amelala chini akionekana kutojitambua

    ”si nilikwambia Mimi kuwa huyu jamaa ni kiongozi wa Majambazi wenye kutumia nguvu za Giza kwenye mambo yao"

    Ispekta Martin alizungumza hivyo kumwambia Sebastian aliyetikisa kichwa ishara ya kutokubaliana naye kwakile anachokizungumza kwakuwa hali ya Madebe haikuwa nzuri kihafya akabebwa na kupelekwa hospitali

    Wakati wakiwa njiani kumpeleka Madebe hospitali ndipo Ispekta Martin akapigiwa simu na kupewa taarifa kuwa Sylvester ameuwawa kwa kuchinjwa

    ”what! Nani kamchinja?"

    ”ni Madebe huyo"

    Akajibiwa aliyefanya mauwaji hayo ni Madebe

    Ispekta Martin akakunja ndita akamuangalia madebe aliyekuwa kalala kwa kuegemezwa kwenye siti taratiibu akaichomoa Bastola yake

    ”haina haja ya wewe kufikishwa hospitali ni bora nikuuwe hapa hapa"

    Martin alizungumza hivyo akajiandaa kufyatua risasi kichwani kwa Madebe kabla ajaachia triga kuna kitu chenye ncha kali kilikuja kwa kasi kwa kupitia dirishani kile kitu kikaikata Bastola katikatika Gari ikafunga break

    Kuangalia mbele kulikuwa na kiumbe chenye kutisha hakuwa mwingine ni Ninja Ice

    Martin na wenzake kadhaa wakashuka kwenye gari

    ”nani wewe? Unatokea wapi? Unataka nini?"

    Mmoja kati ya maafande aliuliza hivyo Ninja Ice aliwafata kama vile kivuli kufumba na kufumbuwa maafate wote walianza kutetemeka wakapasuka vipande vipande Ninja Ice alishatembeza Nyembe zake kwenye miili yao akabaki Martin peke yake akajivika ujasiri wa kupambana yani alimrushia Ninja Ice ngumi kadhaa kabla ya kushikwa kichwa akanyanyuliwa juu kichwa kikabaki hewani wakati kiwiliwili kikidondoka chini

    Huo ndiyo ukawa mwisho wa ispekta Martin

    Kumbe Ispekta Sebastian yeye alibakia kule kule eneo la tukio hakuweza kuongozana na wenzake bila shaka ikawa ndiyo pona yake.

    Ninja Ice akaingia ndani ya Gari akamshika Madebe na kupotea naye

    Wakati Askari polisi wako bize kufatilia swala la Sylvester ndipo wanapokea taarifa kuwa wenzao takribani watatu wameuwawa.

    Ispekta Sebastian akafanya haraka kuelekea eneo la tukio hakuweza kuamini macho yake baada kuweza kuuwona mwili wa rafiki yake kipenzi ukiwa umetenganishwa na kichwa

    Muda kidogo vikosi vingine viliweza kuwasili miili ikabebwa mshukiwa mkuu wa mauwaji hayo ni Madebe

    “nilishawahi kuzungumzia kuhusu hili swala kuwa iwapo siku moja ikatokea Madebe akaweza kurudi nchini sisi sote tutapukutika na kurudi mavumbini. Kwa maana atahitaji kulipa kisasi juu ya kifo cha Baba yake.

    Haya sasa kaanza na Watoto wangu, yani kamchinja Sylvester kama kuku jamani hiiii"

    Mzee William alizungumza hivyo haliyakuwa machozi yakimtoka

    ”amefanya hivyo kwako tu! Ila akithubutu kuishambulia familia yangu nitakuja kumnywa supu"

    ”unazungumza kitu gani wewe inamaana wewe ni mwenye uwezo mkubwa Kunishinda Mimi sio?"

    ”hapana mkuu sijamaanisha hivyo"

    Ndani ya chumba maarumu cha siri kulikuwa na kikao kizito yote ilikuwa ni kumjadiri Madebe aliyeanza kuonekana tishio nchini baada kuwauwa watu takribani watano miongoni mwa watu hao akiwemo Sylvester na Ispekta Martin

    Watu wengi walishtushwa sana baada kupata taarifa za kifo cha Sylvester kijana mmoja wapo mwenye kuogopeka na kuheshimika

    Kibaya zaidi kifo chake ni chakikatiri mno

    ”duuh naskia na Ispekta Martin naye kachinjwa aisee"

    ”wee Agogo unasema?"

    ”nasema hivi yule Afande mnoko naye kadedishwa kama kuku"

    ”bora hata alivyokufa maana nilivyokuwa namchukia yule Afande Mungu mwenyewe ndiyo anajua tena naomba huko kuzimu akapigwe mirungu ya ugoko shenzi kabisa.

    Asilimia kubwa ya watu hawakuweza kusikitishwa kabisa juu ya kifo cha Martin wengine wakafanya sherehe

    ”na kile Kisilvester kilikuwa kinajiona sana kisa zile gwanda zake haya tuone sasa mbele ya Malaika mpiga mirungu atafanyaje senge kabisa lile jamaa"

    ”kwasasa tutaweza kupumua aisee maana tulikuwa hatukai maskani kwa raha"

    *********

    ”mwalimu"

    Ilikuwa nikauli ya kwanza kutamkwa na Madebe baada kuzinduka na kujikuta yupo sehemu tofauti akaangaza macho yake na kumuona Mwalimu wake ambae ni Ninja Ice

    ”ohoo hatimae kijana umeweza kuamka vipi unajiskiaje na hali?"

    Ninja Ice aliuliza kwa furaha

    ”najiskia vizuri Mwalimu hivi yule niliyekuwa nikipambana naye ni nani?"

    Madebe akajibu kisha akauliza swali

    ”yule ni mdogo wangu"

    ”khaa mwalimu inamaana baba yako ni yule Mzee J Ikram?"

    ”hapana undugu wetu Mimi na yule ni wa kiukoo kwa maana yeye ana wazazi wake nami nina wa kwangu japokuwa Wazazi wangu tayari washatangulia mbele ya haki.

    Kwa sasa wazizi wake ndiyo wangu"

    Ninja Ice akajibu kwa kutoa ufafanuzi

    ”mbona anaonekana ana uwezo mkubwa sana!"

    ”sio kama anaonekani kiukweli kabisa ana uwezo mkubwa"

    ”kama ni hivyo si atakuja kuniuwa"

    ”hawezi kufanya hivyo embu subiri nimwite ili niweze kukupatanisha naye"

    Ninja Ice alimtoa hofu Madebe akakunja mkono kuligusa shikio yani kama vile anazungumza na mtu kupitia simu

    Punde upepo ulianza kuvuma Chinoge akaibuka hakika Madebe aliogopa sana

    ”asante sana Brother kwa kuweza kunikamatia huyu panya"

    Chinoge alizungumza hivyo kwa kasi akawa anamfata Madebe





    **********************

    ”mbona anaonekana ana uwezo mkubwa sana!"

    ”sio kama anaonekani kiukweli kabisa ana uwezo mkubwa"

    ”kama ni hivyo si atakuja kuniuwa"

    ”hawezi kufanya hivyo embu subiri nimwite ili niweze kukupatanisha naye"

    Ninja Ice alimtoa hofu Madebe akakunja mkono kuligusa shikio yani kama vile anazungumza na mtu kupitia simu

    Punde upepo ulianza kuvuma Chinoge akaibuka hakika Madebe aliogopa sana

    ”asante sana Brother kwa kuweza kunikamatia huyu panya"

    Chinoge alizungumza hivyo kwa kasi akawa anamfata Madebe



    Songa nayo

    Sasa



    ”tulia kwanza bwana Mdogo"

    Ninja Ice akafanya kumzuia Chinoge na kumtaka atulie

    ”naanzaje kutulia Brother wakati aliyetaka kuniulia Baba yangu huyu naye ni mmoja wapo?"

    Chinoge akauliza haliyakuwa akimnyooshea kidole Madebe aliyeshangazwa sana baada kusikia akihusishwa kutaka kumuuwa Mzee J Ikram mtu ambaye ana mthamini na kumpenda kama vile Baba yake mzazi.

    ”tulia basi ili tuweze kuelewana kitu!"

    ”sawa haina shida wacha nitulie"

    Chinoge akakubali kutulia akaenda kukaa kwenye kiti ila alikaza macho kumuangalia Madebe

    ”Hafidhi mdogo wangu mrithi wangu tafadhari nakuomba unisikilize kwa umakini sana! Huyu kijana anahitaji msaad,,,

    ”kaka embu nyamaza kwanza unapotaka kuzungumzia kitu kiitwacho msaada huyu jamaa niliwahi kumwambia niungane naye ili niweze kumsaidia ajabu akakataa na kunitaka nijiweke pembeni"

    Chinoge alimkatisha kaka yake kuzungumza Ninja Ice alimuangalia Madebe akawa kama vile anamuuliza je kuna ukweli wowote kwakile akizungumzacho huyu?

    ”nikweli brother nilikataa ila sikuweza kufahamu kama naye ni mtu mwenye uwezo mkubwa katika maswala ya mapambano"

    Madebe akatikisa kichwa kuitikia kisha akajibu hivyo

    ”Madebe"

    Ninja Ice akaita

    ”naamu mwalimu"

    ”siku zote katika maisha usimzarau mtu usiemjua usiuchulie upole wake ukaamini kuwa yeye ni zaifu kiasi gani Binadamu wengi hupenda kujivika ngozi za Kondoo ili kuficha makucha yao kwa hilo naomba umsamehe nimekuita hapa kwaajili ya kuweza kukupatanisha na huyu kijana kwa maana hapo alipo ana matatizo makubwa"

    Ninja Ice alizungumza hivyo

    ”na vipi kuhusu yule malaya?"

    Chinoge akauliza

    ”hapo ndipo unapoanzaga kunikera yule haitwi Malaya ni Milfat bwana"

    Ninja Ice akapaza sauti kumkalipia Mdogo wake

    ”ohoo kumbe anaitwa Milfat ana jina zuri sana kama alivyo yeye mwenyewe lakini uzuri wake anautumia vibaya"

    Chinoge alizungumza hivyo

    ”zile sio akili zake bari ni Ushetani aliolishwa na Nipe Nikupe"

    Ninja Ice alizungumza hivyo

    ”sema kama nilivyoanza kukueleza hapo awali kuwa kijana yupo kwenye matatizo makubwa sana moja kati ya matatizo umemsababishia wewe hapo!"

    ”khaa kivipi yani?"

    Chinoge akauliza kwa mshangao

    ”wakati unafanya mauwaji kwa yule kijana ulijiwekea ukungu wa kutoweza kuonekana na macho ya kawaida sasa kilichotokea pale ni kuonekana kwa Madebe ndiyo muuwaji"

    ”hahahaha, inamaana kaka umeona kwa upande wangu tu! Na vipi kuhusu wewe ulipowatekeza wale Maafande si umemuongezea matatizo pia"

    Chinoge alicheka huku akizungumza

    ”khaa inamaana uliweza kuniona?"

    ”nilikuona yani kama ningekuwa ndiyo Afande ningeshakukamata kitambo tu!"

    Chinoge akajibu hivyo na kumfanya Madebe atabasamu

    "kwa sasa hatuna budi tumsafishe yani Mimi na wewe tukajioneshe mbele ya hadhara na kuutangazia uma kuwa sisi ndiyo tuliotenda Yale mauwaji"

    ”unaumwa wewe yani Mimi nikajitangaze ili kila kukicha nikimbizane na polisi ehee hili swala unatakiwa uwajibike nalo wewe kwa maana unaishi huku kuzimu"

    ”sawa haina shida nitaweza kufanya hivyo kuanzia sasa tugusanishe mikono yetu ishara ya kuungana"

    Ninja Ice alizungumza hivyo akanyoosha mkono kwa mbele Madebe naye akafanya hivyo kwa upande wa Chinoge alionekana kusitasita kufanya hivyo

    Mwishoe naye akaweka alipouweka tu! Ghafla mwanga mkali uliwaka mbele yao na kuwamulika

    Kuzimu kuliwaka bibi mtu alikenua meno kwa furaha taarifa za ndugu wawili kupatana nakuwa kitu kimoja ziliweza kusambaa kama umeme

    Chinoge aliweza kurejea nyumbani kwao walipojaribu kumuuliza alipotelea wapi? Akatoa sababu za hapa na pale Mzee J Ikram naye alishapona yeye alidai alipata ajali ya Gari maeneo ya Jkt akasombwa na maji ndipo wakamkuta akiwa anaelea mtoni

    Gari yake ikafatiriwa na kukutwa sehemu ikiwa nyang'anyang'a basi hakukuwa na mjadara tena

    Habari zilizokuwa zikivuma ni kuhusu kutafutwa kwa Madebe

    Jeshi la polisi wakishilikiana na Makomando maarumu kutoka jeshi la wananchi walizunguka usiku na mchana kumtafuta Mtuhumiwa namba moja wa mauwaji hayo ambae ni Madebe

    Siku moja Mzee William akiwa amelala mara ghafla akashtuka kutoka usingizini

    Na kujikuta akiwa kasimamiwa na Ninja Ice kiumbe cha kutisha kilichokuwa kikiwaka moto mwili mzima Mzee William alianza kutetemeka kwa uwoga huku akijaribu kupapasa chini ya Mto wa kulalia akaweza kuikamata Bastola yake vyema akamnyooshea Ninja Ice aliyekuwa katulia tu! Akimuangalia mzee anavyoneng'eneka

    ”nani wewe?"

    Mzee William aliuliza akafyatua risasi mfurulizo ajabu risasi zikawa zinapita ikawa kama vile anapiga kwenye Kivuli

    ”umemaliza?"

    Ninja Ice akauliza baada kumuona Mzee akibabaika pasipo kuendelea kufyatua risasi

    Akapiga hatua kumsogelea

    ”nisamehe bwana mkubwa usiniuwe nina familia Mimi inayonitegemea"

    Mzee William alianza kujitetea

    ”ujio wangu hapa sio kwaajili ya kukuua bari nahitaji unifanyie kazi moja tu! Ukiweza kuifanya hii kazi itakuwa ndiyo tiketi yako ya kuweza kubakia duniani iwapo utakwenda kinyume utakuja kujuta

    Kuanzia sasa unatakiwa umsafishe Madebe embu angalia pale!"

    Ninja Ice akanyoosha kidole kwenye tv kubwa iliyopo chumbani humo ikawaka na kuanza kuonyesha tukio la Madebe na Sylvester wakitupiana maneno mwishoe wakakunjana

    ”khaa inamaana Sylvester kumbe hakuuwawa na Madebe? Sasa yule aliyemuuwa kijana wangu ni nani?"

    Mzee William alishikwa na mshangao baada kuweza kuliona tukio la kijana wake akichinjwa na kiumbe kilichovalia mavazi ya Ninja Short kiukweli kabisa siku ya tukio Chinoge hakuvalia mavazi ya kininja Short huwenda Ninja Ice kaitengeneza hiyo video ili kuuficha uso wa mdogo wake

    “angalia naile"

    Ninja Ice akamtaka Mzee William aendelee kuangalia tv ndipo likaweza kuonekana tukio la yeye akifanya mauwaji

    ”bila shaka umeweza kujionea kila kitu! Embu kamata hii flash ndiyo yenye ushahidi wote!"

    Ninja Ice akampatia Mzee William kiflash kidogo hivi kisha akatoweka

    Kesho yake asubuhi na mapema Mzee William akaelekea makao makuu kupeleka ushahidi

    ”aisee inamaana huyu kiumbe amerudi tena kusababisha na kwanini anamsaidia Madebe"

    ”kiukweli hata Mimi sijui kwanini imekuwa hivi"

    ”napenda kuuliza swali hivi miongoni mwetu kuna mwenye kumuogopa huyu pimbi aitwae Madebe?"

    ”hakuna na haitowahi itokee tumuogope kenge blue"

    ”swala sio kumuogopa Madebe je miongoni mwenu kuna mwenye kumfahamu huyu kiumbe?"

    Mzee William aliuliza swali maana alishawaona wenzake wanaanza kuleta zarau

    ”kiumbe kiumbe ndiyo mdudu gani wewe yani na Ugenarali wako wote unakuja kutishwa na kiumbe chenye kufikirika"

    ”hahahaha ngo!ngo!ngo embu mwambie huyo"

    Mkuu wa Majeshi alicheka na kugonga gonga meza

    Mzee William akashika tama alipojishika tu

    Chumba kizima kilianza kutetemeka huku ukutani kukianza kuwaka moto.

    Wazee walishikwa na taharuki si ya kitoto Ninja Ice akaibuka kwa kupitia pale ukutani

    ”haya sasa kiumbe chenye kufikirika hiko hapo kimekuja ongeeni naye sasa"

    Mzee William alizungumza huku akiinama chini ya meza ili kuweza kujificha

    Mkuu wa Majeshi akawaamrisha wenzake kuchukuwa silaha walianza kummiminia Risasi kwa wingi ikawa kama jana yake usiku risasi zote zilipita na kuishia kuchimba ukutani.

    Sauti ya milio ya Risasi ndiyo iliyowashtuwa wanajeshi wengi ambao wapo kambini wapo waliodhani labda ni mazoezi lakini walijaribu kusikilizia vizuri ndipo wakaja kubaini Wakuu wao wamevamiwa

    Ninja Ice aliwaangalia tu wale wazee

    akafanya kupotea na kuibuka mbele ya mkuu wa Majeshi akamkaba na kumnyanyua juu kufumba na kufumbuwa akanyonga kama haitoshi mwili wake akaupoteza kwa kuupukutisha kama vumbi

    Akazunguka kwa kasi na kumdaka mwingine ni yule Mzee aliyekuwa anasema kiumbe kiumbe kitu gani aliposhikwa tu

    Mzee wa watu alianza kujikojorea naye akachinjwa Ninja Ice akatoka nnje ya mjengo kwa kufyatuka hicho kishindo kilichosikika ni balaa





    **********************

    Ninja Ice aliwaangalia tu wale wazee

    akafanya kupotea na kuibuka mbele ya mkuu wa Majeshi akamkaba na kumnyanyua juu kufumba na kufumbuwa akanyonga kama haitoshi mwili wake akaupoteza kwa kuupukutisha kama vumbi

    Akazunguka kwa kasi na kumdaka mwingine ni yule Mzee aliyekuwa anasema kiumbe kiumbe kitu gani aliposhikwa tu

    Mzee wa watu alianza kujikojorea naye akachinjwa Ninja Ice akatoka nnje ya mjengo kwa kufyatuka hicho kishindo kilichosikika ni balaa



    Songa nayo

    Sasa



    Ndani ya kambi kulikuwa na patashika nguo kuchanika Ninja Ice alipotokezea nnje akajikuta akitazamana na mitutu ya bunduki akafanya kuchumpa na kwenda juu kisha akatoweka. Wanajeshi walihaha huku nakule katika kumtafuta lakini hakuweza kuonekana

    “yuko wapi Jeneral?"

    Mmoja kati ya Makomando alipaza sauti kumuulizia mkuu wa majeshi maana ndani ya chumba hiko walionekana baadhi ya wakuu wengine huku mmoja kati yao akiwa kauwawa

    ”atakuwa kachukuliwa na yule kiumbe"

    Mzee William alijibu

    ”kitu gani kifanyike sasa juu ya kumtafuta mkuu wetu?"

    Mzee William akakuna kichwa kisha akajibu

    ”kwa sasa hatuna budi tutulie ili tuweze kuweka kila kitu sawa kwa maana hatuhitaji hili swala lifike kwa Muheshimiwa raisi tutaonekana ni Wadhaifu kwa kiasi kikubwa"

    ”sawa mkuu tumeweza kukuelewa na vipi kuhusu mwili wa Marehemu?"

    Kabla Mzee William ajajibu lile swali walishtuka baada kumuona mkuu wao akiingia ndani

    ”vipi mkuu ulikuwa wapi?"

    ”huu sio muda wa maswali na majibu ni muda wa kumsafisha na kumtetea Madebe"

    Mkuu wa majeshi alizungumza hivyo akamtaka Mzee William ampatie ile Flash naye akafanya hivyo

    Siku mbili baadae bwana mkubwa Madebe alianza kuonekana mtaani akidundika bila wasiwasi wowote ule kama ujuavyo katika maisha hata ufanye mambo mazuri kwa kiasi gani hutoweza kupendwa na watu wote bali wapo watakao kupenda na wapo watakao kuchukia Sasa wale wenye kumchukia Madebe wakaanza minong'ono ya chini kwa chini

    ”inawezekana vipi muuwaji aachiwe? Inamaana wanamuogopa au vipi?

    ”wewe inakusu kitu gani? Amekuulia ndugu yako au unaleta wivu wa kimama hapa"

    ”si umama wala nini kawaida ya muuwaji ni kukamatwa na kwenda kuhukumiwa mahakamani. Wewe unataka kumtetea Madebe kama nani bwana?"

    ”sio kama nani kama imekuuma chomoa ujambe kenge wewe"

    “ohoo kwa hiyo umeamua kunitukana sio?"

    ”sio kukutukana kama vipi si uwende wewe ukamkamate"

    Wale wasiompenda wakapaza sauti zao kutaka Madebe achukuliwe hatua kwa maana Sheria ni msumeno wakati wenye kumpenda na kumkubari wakamkingia kifua katika kumtetea wakidai Madebe hausiki kwenye hayo mauwaji. Kesi ikafika kwa Muheshimiwa raisi mkuu wa Majeshi akaitwa ndani ya Ikulu

    ”aisee inamaana huyu kiumbe amerudi tena kwenye huu utawala wangu wenye nguvu na kasi ya ajabu?"

    Muheshimiwa Raisi aliuliza baada kuonyeshwa ile video ikiwaonyesha Ninja Short na Ninja Ice wakifanya mauwaji

    ”ndiyo muheshimiwa"

    ”inamaana wapo wawili?"

    muheshimiwa Raisi akauliza maana mionekano ya Ninja Short na Ninja Ice ni tofauti

    ”ni mmoja huyo"

    Mkuu wa Majeshi akajibu muheshimiwa Raisi akaweka miwani yake sawa

    ”unaweza ukaenda ila hii flash naomba uniachie kwa muda"

    ”sawa mkuu haina shida"

    Baada mkuu wa majeshi kuondoka muheshimiwa Raisi akaivuta simu yake ya mezani akabofya namba kadhaa na kuiweka sikioni simu ilisikika ikiita mwishoe ikapokelewa

    ”haloo habari yako nani mwenzangu"

    ”Ni Jacob Ndevu hapa nazungumza"

    Raisi akajibu hivyo

    ”ohoo oho! Ni muheshimiwa Raisi?"

    Sauti ya upande wapili ilisikika ikiuliza hivyo kwa kubabaika

    ”ndiyo mwenyewe sasa naomba unisikile kwa umakini sana kijana"

    “ndiyo muheshimiwa"

    ”je unaikumbuka ile misheni ya Msako wa kwenda kuzimu?"

    ”ndiyo naikumbuka vyema sana na hapa nilipo napitia baadhi ya kurasa zake"

    ”khaa inamaana historia yake imetolewa kitabu?"

    ”ndiyo mkuu"

    ”Muandishi gani huyo kafanya hivyo?"

    ”anaitwa Hafidhi J Ikram"

    Muheshimiwa Raisi akashtuka baada kutajiwa jina la muwandishi aliyechapisha kitabu hicho

    ”vipi muheshimiwa mbona kimya?"

    Sauti ya upande wapili ikauliza baada kuona Raisi hazungumzi chochote kile tokea atajiwe jina la Muwandishi

    ”hamna kitu kijana inamaana huyu Muwandishi yupo kwenye mitandao ya kijamii?"

    “ndiyo yupo Facebook ukurasa wake unaitwa STORY ZA HAFIDHI"

    ”ohoo vizuri sana sasa naomba tuachane na hayo ili niweze kukuelezea kile ambacho kimenifanya nikupigie simu"

    ”sawa muheshimiwa"

    ”kwasasa nahitaji Askari Mitambo wenye nguvu na uwezo mkubwa kwenye utendaji kazi wakuweza kukabiliana na viumbe hatari watokao kwenye sayari nyingine"

    Raisi akazungumza hivyo kimya kidogo kikatanda

    ”Beka"

    Raisi akapaza sauti kuita Beka

    ”naamu mkuu"

    ”bila shaka umenisikia?"

    ”ndiyo unahitaji Askari wangapi? Wenye asili ya wapi?"

    ”wawe sita tu kuhusu utaifa wao si chochote kitu kwangu popote pale watakapotokea ni sawa kikubwa ninachokihitaji kutoka kwao ni Umakini katika kazi"

    ”sawa mkuu nipatie wiki moja na siku kadhaa nitaweza kulikamilisha hilo swala"

    ”nakutegemea kijana"

    Simu ikakatwa

    Miezi miwili iliweza kupita huku bwana mkubwa Madebe akizidi kuumiza vichwa vya wale wote wasiompenda

    Ndipo mwanadada aitwae Nailati muuwaji wa kutumainiwa kabisa aliyewahi kufanya mauwaji kwa kumuua Mzee Kitwana baba mzazi wa Madebe anapopigiwa simu na kutakiwa kufika haraka sana nchini kuna kazi moja nyeti sana.

    Nailat alishafanyiwa upasuaji wa kubadirisha muonekano wa Sura yake hata alivyoweza kuwasili ofisini kwa bwana William hakuweza kumtambua kama ni yeye mpaka alipoisikia sauti yake

    “hakika wewe ni professional yani sitaki kuamini kabisa kama ni yule binti machachari aliyetuondolea kidudu mtu mmoja hivi?"

    Mzee William alizungumza hivyo akamkaribisha Nailati aweze kukaa kwenye kiti

    ”huna budi kuamini Mzee wangu hii yote ni kutokana na Mimi kuwa Special Killed nakuwa sina budi kubadirika mara kwa mara"

    ”vizuri sana binti kwa Mara nyingine tena karibu nchini"

    ”asante pia nishakaribia vipi Sylvester yuko wapi? Maana ni muda kidogo namtafuta mitandaoni simuoni online?"

    Nailat akauliza swali ambalo liliufanya uso wa Mzee William usinyae na kupoteza furaha

    ”vipi tena mbona hivyo? Inamaana hukupenda mimi kumuulizia kijana wako?"

    Nailat akahoji

    Mzee William alimuangalia binti huyu wa Kisomali

    ”sio hivyo Nailat"

    ”kumbe nini sasa?"

    ”kwa sasa Sylvester hatuko naye tena duniani"

    ”Mungu wangu inamaana Sylvester amefariki dunia!? Amefariki kwa kuumwa vitani au vipi embu niweke wazi Mzee wangu"

    ”hakuumwa wala hakwenda vitani Sylvester kijana wangu ameuwawa kwa kuchinjwa"

    ”ohoo shit! Ni nani aliyemtendea huo unyama?"

    Jibu likajibiwa kwa Nailat kupatiwa picha ya Madebe akaiangalia kwa muda kisha akauliza

    ”wapi anapopatikana huyu mshenzi?"

    Ikabidi Mzee William ampatie ramani nzima

    Nailat hakuzungumza kitu akaichukuwa ile picha na kutoka nnje ya ofisi

    **********

    ”leo Shafih utacheza namba saba Omy namba tatu nyie wengine mtacheza kama tulipocheza na Ukwamani"

    Yote yalikuwa ni maelekezo kutoka kwa kocha wa Black Forest ni timu ya Mpira wa miguu iliyopo maeneo ya Mbezi Makazi mapya

    ”sawa mwalimu na vipi kuhusu Hafidhi?"

    ”huyo Hafidhi ndiyo nani kwani?"

    “ni jamaa yetu watoka kitambo sana yeye anacheza namba tisa au saba"

    ”tatizo Mimi simfahamu na sijawahi kumuona akicheza mpira nakama mjuavyo mechi iliyopo mbele yetu ni ngumu mno tusianze kuokota okota watu huko tukichukuliana kishkaji mwishoe tutolewe kwenye hii michuano"

    Kocha akatoa mtazamo wake kila mmoja akakubaliana naye ingawa vijana wengi walihitaji Hafidhi kwajina lingine Chinoge naye awepo kwenye kikosi chao

    Ilipotimia saa nane mchana vijana wa Black Forest walishajikusanya na kuelekea maeneo ya Mchangani timu waliyokuwa wakicheza nayo ni Gwanta ni timu ya mtaani kwao bwana mkubwa Madebe naye alikuwepo maeneo ya uwanjani akiwa kama Shabiki

    ”oyaa washkaji mnamuona yule jamaa anamwaga mafuta ya Nguruwe golini?"

    Mmoja kati ya vijana wa Gwanta akawaambia wenzake na kunyoosha kidole ikabidi vijana wawili wamfate

    ”oyaa wee jamaa mambo gani tena unafanya hapo?"

    “haiwahusu"

    Yule aliyekuwa akimwaga mafuta kwa kunyunyuzia golini akajibu hivyo vijana kutoka Gwanta

    hawakutaka Shari wakarudi kuendelea na mambo yao majira ya saa kumi kamili kipyenga kikapulizwa Mpira ulianza kwa kasi huku pande zote mbili zikishambuliana kwa kushtukiza

    ”aisee yule Tizo vipi yani yeye na kipa anakosa kweli?"

    ”ayaa kakosa tena yeye na goli kapaisha juu mamae"

    ”wee Morris vipi kaka mbona unambwela mbwela kama vipi toka nnje aingie Kibaunya"

    ”duuh yule kipa wa Black Forest nyoko anadaka kama Nyani"

    ”embu muangalie yule jamaa aliyevaa jenzi namba sita mgongoni"

    ”yuko wapi?"

    “yule kule"

    Yote yalikuwa ni makelele kutoka kwa mashabiki kila mmoja alizungumza lake dakika ya Ishilini Black Forest wakapata Goli la kwanza shangwe na vifijo vilisikika kutoka kwa mabinti waliokuja kuishangilia timu yao dakika si nyingi Shafih akaipatia timu yake Goli la pili mara wakaongezwa la tatu. Ndipo Gwanta wakaanzisha mzozo na kutaka wabadirishane Magoli kwa maana goli la wapinzani wao lina mambo ya mauzauza

    Refa akasema kipindi cha pili si bado

    Mzozo ulichukuwa takribani dakika kumi ndipo Mpira ukaendelea mpaka wanaenda mapumziko Gwanta 0-4 Black Forest

    ”oyaa mnamuona yule mshenzi anamwaga tena yale mafuta?"

    Mmoja kati yao akapaza sauti kuwaambia wenzie ndipo Madebe akachukuwa jukumu la kumfata kijana yule

    ”oyaa unamwaga mwaga huo uchafu wanini?"

    ”haikuhusu"

    Yule jamaa akajibu kama alivyowajibu wale wa mwanzo siku zote Madebe anajurikana kuwa hapendi zarau sasa kitendo cha kuambiwa kuwa haimuhusu kwake akachukulia kama tusi

    Akaupiga zinga la teke mkono ambao ulikuwa umeshika Chupa yenye mafuta ikatupiliwa mbali jamaa akavimba na kumsukumiza Madebe

    “wee Mseng* nini!"

    Jamaa akatoa tusi

    Akashtukia akipigwa ngumi mmoja nzito iliyomfanya adondoke chini

    ”oyaa Jeff anapigwa kule"

    Black Forest wakashtuana ijapokuwa wanamfahamu Madebe ni mziki mwingine ila wakajipa ujasiri wakwenda kumtetea mwenzao maana alikuwa anapigwa kama mtoto

    Madebe akawekwa mtu kati

    Gwanta walipotaka kuingilia akawataka wakae pembeni

    Sasa wakati Madebe akakaza macho kuwaangalia waliokuwa mbele yake

    Khadija akaja mbiombio na kutaka kumshika Madebe kwa nyuma kitendo bila kutarajia Madebe akazunguka na kuachia ngumi moja nzito iliyotua kichwani kwa Khadija

    Kitu kilisikika tiii mpaka mkono wa Madebe ulitetemeka

    Khadija akaenda msobemsobe na kudondoka chini puhuu watu wote walijishika vichwani wengine wakaziba midomo yao.

    Madebe akapigwa na bumbuwazi baada kumtambua Binti aliyempiga ni nani

    ********

    Hapa tunamuona bwana mkubwa Chinoge na Ninja Ice wakiwa wanatembea tembea sehemu

    ”dogo umeuona ule mnazi?"

    ”uko wapi?"

    “ule kulee"

    “ohoo nimeuona si unausemea ule wa Binti Bakari Manjawila?"

    ”ehee ndiyo ule ule sasa kwa pembeni yake pale kulikuwa na Muwembe wa ajabu sana yani embe zake zikiwa Mbichi zinakuwa tamu kama asali zikiiva sasa zinakuwa chachu kama ndimu"

    ”hahahaha kaka embu acha uwongo wako mi huo Muwembe naujua"

    “haya kama unaujua sema wewe ukoje sasa"

    “yani zikiwa mbichi tamu zikiiva utamu wake ni Mara tatu yake"

    ”haya mshindi wewe hii ndiyo Kilwa Kiwawa kuna mambo mengi sana yameweza kutokea ni kijiji chetu hiki hakika Nina kipenda sana"

    ”hata Mimi kaka naipenda sana Kilwa Kiwawa"

    Mtu na kaka yake wakiwa wanaendelea kuzungumza Mara mikono ya Chinoge ilianza kucheza cheza akakunja ngumi

    Ninja Ice akanyoosha kidole mbele yao tukio zima la uwanjani likaanza kuonekana

    ”kakaa"

    ”umeonaa?"

    ”ndiyo nimeona tafadhari nakuomba msamehe"

    ”nitaweza kumsamehe iwapo Dada yangu atakuwa mzima vinginevyo"

    Chinoge alizungumza kwa hasira kisha akatoweka

    Huku uwanjani sasa kina Shafih walimuinamia Khadija na kuanza kumpepea na kumwagia Maji

    ”ni jukumu lako kijana kumsaidia huyo binti vinginevyo sitoweza kukutetea kwa lolote kaka yake yupo njiani anakuja hapo"

    Sauti ya Ninja Ice ilipenya masikioni mwa Madebe aliyekuwa kajishika kichwa huku kakodoa macho kuwaangalia vijana waliokuwa wakimpepea Khadija

    ”kazimia huyu embu lete maji"

    Madebe akafanya haraka kwenda kumbeba Khadija japokuwa kina Shafih walimzuia wakidhani anataka kummalizia

    ”tafadhalini ndugu zangu naomba mnipe nafasi ya kumuwahisha binti hospitali"

    Madebe akazungumza hivyo na kuwafanya kina Shafih wakubaliane naye akambeba Mtoto wakike ile anamnyanyua tu upepo mkali ulianza kuvuma Madebe akaghuna

    “mmh"





    **********************

    ”kazimia huyu embu lete maji"

    Madebe akafanya haraka kwenda kumbeba Khadija japokuwa kina Shafih walimzuia wakidhani anataka kummalizia

    ”tafadhalini ndugu zangu naomba mnipe nafasi ya kumuwahisha binti hospitali"

    Madebe akazungumza hivyo na kuwafanya kina Shafih wakubaliane naye akambeba Mtoto wakike ile anamnyanyua tu upepo mkali ulianza kuvuma Madebe akaghuna

    “mmh"



    Songa nayo

    Sasa



    Upepo ulivuma kwa sekunde chache kisha ukapotea Madebe aliangaza macho huku na kule kuangalia ni wapi atakapotokezea Bwana mkubwa Chinoge? Wakati anashangaa shangaa ghafla Khadija akarudiwa na Fahamu zake

    alianza kupiga kelele za kumtaka Madebe amshushe

    “nishushee,nasema nishushe’’

    Madebe akafanya kumshusha japokuwa hakutaka kumuachia moja kwa moja akawa amemshika mkono Khadija akautoa mkono wake

    “nimesema niachie huko yani Madebe wewe wakunipiga mimi kweli? Wakati pale sikukushika kwa ubaya nilitaka nikusihi uwache ugomvi ili mchezo uendelee ajabu umenipiga poa haina shida ila utaona wee si unajivunia uwanajeshi wako. Kumbuka hata baba yangu alikuwa ni mwanajeshi pia’’

    Khadija alizungumza huku machozi yakimbubujika

    “nisamehe Dada yangu sikuwa nimezamilia kukupiga’’

    “ukuzamilia kitu gani? Wakati umenipiga pale ulitaka kuniuwa sindio ehee?’’

    “nani kakupiga? Mngese gani kakupiga mamae zake?’’

    Mariam naye alifika pale uwanjani na kumuona dada yake akilia akamfata na kumuuliza

    “si huyu hapa Madebe’’

    Khadija akamjibu na kumnyooshea kidole Madebe, aliyekuwa kasimama kiunyonge Mariam alimuangalia Madebe kwa kumshusha na kumpandisha halafu akatema mate chini

    “hii ndiyo hasara ya wanaume wa Dar wenye sampuri kama ya huyu kubwa jinga bichwa kubwa akili kisoda jimwili hilo kumbe mimavi badara utumie nguvu zako kusaka pesa ili dada yangu aweze kukukubari ajabu unatumia nguvu zako kumtaka kimapenzi. Kama akutaki ndiyo umpige hivi wewe Madebe wa wapi wewe. Unatuletea mambo ya Kingesengese kwa taarifa yak,,, mara paah Mariam akashtukia akipigwa kibao cha shavuni kumuangalia aliyempiga ni kaka yake yani Chinoge

    “nendeni nyumbani’’

    Chinoge alitamka kauli moja tu akiwata dada zake warejee nyumbani kati yao hakuna aliyebisha wakashika njia kuelekea nyumbani kwao Chinoge aliwasindikiza Dada zake kwa kuwaangalia kisha akamgeukia Madebe aliyakakaza macho kumuangalia kisha akapotezea na kumfata yule kijana aliyepigwa na Madebe

    “pole sana kaka’’

    Muda kidogo kukawa na mvutano baina ya timu zote mbili Gwanta wakitaka mechi ighailishwe wakati Black Forest wakisema haiwezekani kwa maana wao wanaongoza kwa goli nne bila itakuwaje ikighairishwa mvutano ulikuwa mkubwa ndipo Madebe akafanya maamuzi ya kiume kwa kusema ushindi wapewe Black Forest kwa maana wao ndiyo walioanzisha vurugu nikweli ushindi ukaenda kwa Black Forest wakarudi majumbani kwao kwa shangwe na vifijo wakati Chinoge anaingia nyumbani kwao akaweza kuwasikia dada zake wakiteta jambo

    “bola mimi ningezaliwa Mwanaume Wallahi ningekutetea kwa kupigana na yule pimbi’’

    Mariam alisikika akizungumza hivyo

    “wee naye embu tuliaga basi hivi unadhani kaka pale amemuogopa Madebe?’’

    “ndiyo kamuogopa wee huoni kanipiga mimi’’

    “kaka kakupiga sababu ya matusi yako yani wewe neno moja tusi umemtukania mpaka mama yake wakati unafahamu mama yake kafariki mda mrefu sana’’

    “hata kama bora kaka angekuwa Mwanamke tu ili mimi niwe wakiume’’

    “ndiyo uwe sasa’’

    “sema nina plani moja matata sana’’

    “plani ya nini tena?’’

    “unampata Ashirafu Atta?’’

    “unamsemea yule Myahudi wapale Kariakoo?’’

    Mara kimya kidogo kikatanda Mariam akawa anafikiria kitu mpaka Khadija akamshtua

    “wee vipi tena mbona umekaa kimya?’’

    “mwenzako najiuliza vitu vingi sana kichwani baada kumkumbuka kaka’’

    “umemkumbuka alivyokupiga kibao sio?’’

    “hapana sio hivyo hivi Dada unafahamu kama Kaka ni kiumbe hatari sana kwenye swala zima la upambanaji kama unakumbuka kipindi kile kwenye kile kisa cha King of the Gorillas nilivyo rubuniwa kimapenzi na Ibbu akanipeleka Oman kwa madai ya kwenda kutamburishwa ukweni matokeo yake nikatumikishwa kingono’’

    “ndiyo nakumbuka kila kitu sindio mpaka ukawa unatafutwa kutokana nakosa la kufanya kufanya mauwaji?’’

    “ndiyo hivyo sasa wakati namkumbuka Ashrafu kuwa ni mtu pekee atakaeweza kumuadabisha Madebe ndipo nikamkumbuka kiumbe hatari kabisa wakuitwa Chinoge niliyeweza kumshuhudia kwa macho yangu mawili akipambana na watu takribani hamsini na kuwafyekelea mbali mtu mwenyewe si mwengine ni kaka yetu Hafidhi j Ikram’’

    “naona kibao ulichopigwa kule kimeanza kukulevya mpaka unampatia misifa isio stahili’’

    “huamini au?’’

    “naanzaje kuamini kama nikweli angekuwa ni yeye si angepambana na Madebe pale’’

    “wee naye wawapi tambua kitu kimoja kaka hapendi kujionesha kuwa yeye ni nani na hii ni siri baina yangu mimi na wewe’’

    “sasa mbona ulisema kaka ni mdebwedo’’

    “si nilishasahau kila kitu’’

    Mara wakashtuka baada kuskia mlango wa chumbani kwao ukigongwa

    “nani?’’

    Khadija akauliza haliyakuwa akinyanyuka na kuusogelea mlango wala hakujibiwa zaidi ya mgongaji kukaa kimya alipoufungua ndiyo akashtuka zaidi baada kumuona kaka yako akiwa kasimama pale mlangoni kule kusimuliwa na Mariam alishaweza kuamini kuwa kaka yao sio mtu wa kawaida kama anavyoonekanika

    “vipi umzima ewe dada yangu?’’

    Chinoge aliuliza haliyakuwa akinyoosha mikono yake akamshika kichwani dada yake

    “mi mzima japokuwa kichwa bado kinaniuma’’

    Khadija akajibu hivyo sema alishangaa kuona kaka yake akimkazia macho kitu kama ubaridi ulianza kusambaa mwilini mwake muda kidogo akaachiwa

    “halafu wee pimbi mwenye miguu kama Bata mzinga kuna siku nitakuja kuukata huo ulimi wako ili iwe fundisho kwa watu wenye kutukana tukana hovyo kenge wewe’’

    Chinoge alizungumza hivyo huku akimuangalia Mariam

    “nisamehe bana kaka yangu’’

    Chinoge hakuzungumza kitu kingine akapiga hatua kuelekea chumbani kwake

    Kwa upande wa bwana mkubwa Madebe alirudi nyumbani kwao haliyakuwa akiwa na msongo wa mawazo alipoingia tu chumbani kwake alishangaa kumuona Ninja Ice akiwa amepozi kwenye sofa dogo lililopo chumbani humo akiangalia movie iitwayo Avenjars Ininity War moja kati ya movie kali kabisa iliyochezwa na masuper hero wengi

    “ohoo habari yako mwalimu umekuja saa ngap,,,

    Madebe wala hakumalizia kuzungumza akashtukia akipigwa vibao vya haraka haraka mashavuni mwake

    “kwanini unashindwa kuzingatia kile ambacho nilikufunza? Kitu gani hasa unachojivunia kijana inamaana tulifanya makosa kukuteuwa wewe unapigapiga watu hovyo nilishakuonya na kukukanya mara kibao usijaribu kuunyanyua mkono wako kumpiga Mtu asiekuwa na hatia yoyote ile imekuwaje sasa ukampiga mtoto wakike kama yule, hahahaha Madebe ujio wangu hapa nimekuja kuchukuwa kile ambacho nilikupatia’’

    Madebe alishtuka kuskia kuwa kipawa alichokabiziwa kinaondolewa akafanya haraka kupiga magoti

    “nisamehe mwalimu tambuwa sikufanya vile kwa kukusudia tafadhari nakuomba’’

    Madebe akiwa vilevile kapiga magoti Chinoge naye akaibuka kutokea ukutani

    “simama kijana ili tuweze kuifanya kazi iliyokuwa mbele yetu ni nzito sisi sikitu bila wewe na wewe sikitu bila sisi kiapo tulichokula ni cha jasho na damu Brother angalia pale’’

    Chinoge alizungumza hivyo na kunyoosha kidole ukutani

    Wakaweza kumuona Nipe Nikupe akiwa na mkubwa wa Majini aitwae Lusifa

    “tatizo lako wewe Nipe Nikupe nikutaka kumiliki kitu ambacho huna uwezo nacho nilikukabidhi Kilwa Kiwawa tu ikakushindwa ajabu unataka kuimiliki Dunia haliyakuwa kijiji hukukiweza’’

    Lusifa kiumbe kisichotabirika muonekano wake alizungumza kwa sauti yenye kutetemesha

    “nipe nafasi nyingine mkuu kwasasa nataka kuikata Dar es Salaam nzima sio Dunia tena’’

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo

    “vizuri sana kijana kama umeweza kujitambuwa sasa kwa maana mimi mwenyewe na ukubwa wangu wote niliokuwa nao uwezo wakuitawala Dunia sina kwa maana kuna viumbe waitwao Malaika ni wenye nguvu na uwezo mkubwa kupita sisi wao hawali wala hawanywi. Tuendelee kupambana na Wanadamu ili kuhakikisha mwisho wasiku tunaingia nao kwenye milango saba ya moto’’

    “sawa mkuu nimeweza kukuelewa kitu gani sasa kifanyike juu ya viumbe hawa wawili wenye kutusumbua?’’

    Lusifa akapiga Tarumbeta ikawa kufumba na kufumbuwa sauti nzito ya vigoma na vinanda kusikika Nipe Nikupe alipoangaza macho yake juu angani aliweza kuliona jeshi la majini wasiokuwa na idadi kamili wakijongea maeneo yale

    “nenda ukalipokee jeshi lako lenye nguvu na uwezo mkubwa’’

    Lusifa alitamka hivyo Nipe Nikupe akapaa juu

    Kufika katikati ya lile jeshi akatoa ishara ya kuelea upande wa kaskazini

    “ohoo shit inamaana anaenda kuivamia Mwanza?’’

    Ninja Ice aliuliza hivyo kisha akapotea Chinoge akamuangalia Madebe

    “twende kijana kazi ndiyo kwaanza imeanza’’

    Nao wakapotea





    **********************

    Lusifa akapiga Tarumbeta ikawa kufumba na kufumbuwa sauti nzito ya vigoma na vinanda kusikika Nipe Nikupe alipoangaza macho yake juu angani aliweza kuliona jeshi la majini wasiokuwa na idadi kamili wakijongea maeneo yale

    “nenda ukalipokee jeshi lako lenye nguvu na uwezo mkubwa’’

    Lusifa alitamka hivyo Nipe Nikupe akapaa juu

    Kufika katikati ya lile jeshi akatoa ishara ya kuelea upande wa kaskazini

    “ohoo shit inamaana anaenda kuivamia Mwanza?’’

    Ninja Ice aliuliza hivyo kisha akapotea Chinoge akamuangalia Madebe

    “twende kijana kazi ndiyo kwaanza imeanza’’

    Nao wakapotea



    Songa nayo

    Sasa



    Ndani ya jiji la Mwanza siku hiyo hali ilikuwa imetulia kwa kiasi fulani upepo mwanana wenye kuleta burudani ya aina yake ulivuma kutokea kusini kuelekea kaskazini. Kila mtu alionekana kuwa bize kusaka tonge la kila siku,

    ”oyaa wee Kapesha zungusha mchuma huo ukamwage zege kule"

    ”kule wapi mkuu?"

    ”kule kwa chini kaka fanya Fanya uwahi mida yenyewe mibovu hii. Unalemba lemba nini?"

    ”kule mbona nilishaenda kulimwaga la kutosha kama vipi muulize Jimmy"

    ”oyaa Jimmy"

    ”naamu mkuu nambie"

    ”vipi huko Zege limetosha?"

    ”ndiyo kaka"

    Yote yalikuwa ni mazungumzo kutoka kwa vijana wawili waliokuwa wakifanya kazi ya ujenzi ndani ya Godauni moja wapo lililopo pembezoni mwa mitaa ya Usagara mkoani Mwanza

    Hakukuwa na mjadara zaidi ya Kapesha kurudi sehemu aliyokuwa amekaa na kuendelea kuuchapa usingizi kwa maana jukumu lake la upelekaji wa zege alishalimaliza. Lakini yule msimamizi hakupendezwa kabisa kumuona Kapesha akiwa kajipumzisha

    Kila wakati akawa anamuangalia

    Wakati ujenzi unaendelea dakika kadhaa mbele Kapesha alishtuka na kupiga kelele na kuwataka wenzake wakimbie kwa maana kuna kitu cha hatari kinakuja mbele yao

    ”jamani, jamani tukimbieni kuna kitu kibaya kinatujia"

    Kapesha alizungumza hivyo haliyakuwa yeye akikimbia

    ”mkuu si unaona! Mi nilikwambia jamaa anavuta Bangi yule sasa pale alipo mibangi yake ishaanza kumchanganya akili na kumfanya awehuke"

    Mmoja kati ya mafundi ujenzi alimueleza hivyo yule msimamizi aliyekuwa akimshangaa Kapesha

    Hakuna hata mmoja kati yao aliyeweza kuamini kauli ya Kapesha ndiyo kwanza wakaendelea na kazi zao

    Mara ghafla wingu zito lilianza kutanda angani ni wingu ambalo liliifanya hali ya hewa ibadirike ghafla yani mchana uwonekane kama vile jioni

    ”inaonekana muda si mrefu vua itanyesha sasa fanyeni kwenda kuifunika ile sehemu ya Seruji"

    Msimamizi wa ujenzi akatoa maelekezo kwa baadhi ya vijana wakafanya haraka kwenda kuifunika kumbe hawakuweza kufahamu ya kwamba wingu lile limesababishwa na viumbe wa ajabu ambao tayari walishavamia maeneo hayo kwa wakati huo walikuwa juu angani wakipanga mikakati ya kuishambulia Mwanza na vitongoji vyake vyote.

    Nipe Nikupe alisimama mbele ya jeshi lake

    ”dunia sio yao wala sio yetu tulishapinga uumbwaji wao tulishajua ya kwamba Wanadamu watakuja kufanya mambo machafu na mabaya watamwaga damu. Ajabu Mwenyezi Mungu akasema ya kwamba anajua alifanyaro, Binadamu ni maadui zetu, wala sio marafiki zetu.

    Kwanini tusiwateketeze wote tusiache hata unywele mmoja. Si mmenisikia"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo huku akitembea tembea kulikagua jeshi lake

    ”ndiyo mkuu"

    Majini wote walipaza sauti kuitikia Nipe Nikupe alizidi kuhamasisha

    ”kumbukeni vita iliyopo mbele yetu si ya kitoto kwa maana kuna watu wenye nguvu na uwezo mkubwa watakuja kutaka kutuzuia nasi Hatuna budi kuziba mianya yote. Haya twendeni sasa tukasababishe"

    Nipe Nikupe akagawa vikundi

    Kuna wale walioelekea Sengerema Misungwi Magu na Ilemela

    Wakati wengine wakiifata Kwimba Ukerewe na Nyamagana, wale vijana waliokuwa wakiendelea na kazi kwenye lile Godauni ndiyo walikuwa wa kwanza kuvamiwa na kuteketezwa wote damu zilitapakaa kwa wingi

    Mitaa ya Usagara kukawa hakukaliki watu walikimbia huku na kule

    ”jamani tunakufa mazombie huku"

    Watu walipiga kelele za kuomba msaada

    Kasi waliyokuwa nayo viumbe hao ni hatari

    ”wee Asma vipi tena mbona umenipita mbiombio pasipo kunisalimia?"

    Lilikuwa ni swali kutoka kwa mwanamama mmoja hivi aliyekuwa kakaa kibarazani akimnyonyesha Mtoto wake mwenye umri wakama miezi sita yule Binti ikabidi asimame ijapokuwa alishampita yule mama

    ”mama Atukae fanya ukimbie angalia kulee"

    Asma alizungumza na kutimua mbio

    Mama Atukae akageuka kuangalia hakika alishtuka sana kwakile ambacho aliweza kukiona mbele ya macho yake

    ”Mungu wangu wee"

    Alitamka hivyo akanyanyuka kitete alichokuwa nacho kilimfanya ambebe Paka badara ya Mtoto wake ikabidi naye akimbilie uwelekeo ambao Asma kakimbilia

    ”khaaa katuachia kitoto nani atamla?"

    ”mimi hapa"

    Walikuwa ni majini wawili wakiulizana baada kufika sehemu ambayo yule Mama alikuwa amekaa na kumkuta mtoto mchanga akilia kwa sauti

    Yule aliyesema atamla yeye akamnyakuwa yule Mtoto na kumrusha juu kisha akaachama mdomo ili yule Mtoto adumbukie mdomoni

    Ghafla kuna kiumbe kilikuja kwa kasi na kumdaka yule Mtoto kisha taratiibu akashuka naye chini wale Majini wakabaki kushangaa hakuwa mwingine bali ni Chinoge Chinogae

    Mkono mmoja alikuwa kakamatia nyundo wakati mwingine kamshikilia mtoto

    Akainyoosha ile nyundo kuwaonyeshea wale majini halafu akafanya kuiachia nyundo ikachomoka kwa kasi na kuanza kuwashambulia wale viumbe walisambalatishwa na kugawanyika vipande vipande

    Upande wa Asma sasa alizidi kukimbia na kukatiza vichochoro na mitaa ya Nyamagana kila akiangalia nyuma aliona kama vile Mbingu inaporomoka Ardhi inatutumuka

    Alipiga kelele za kuomba msaada kufika mtaa wa Ngaza kuna kiumbe kikaibuka mbele yake na kumfanya asimame ikawa nyuma hakurudiki mbele hakuendeki

    Kiumbe kilichoshuka mbele yake ni Mzee mzima Nipe Nikupe

    Asma alibaki kutetemeka

    ”khakhakha, binti wapi unaenda? Je unafahamu kama huu ndio mwisho wa dunia binadamu wote mnatakiwa kufa ili sisi tuendelee kuishi"

    Nipe Nikupe alizungumza hivyo haliyakuwa akipiga hatua kumsogelea Asma aliyekuwa kachuchuma kwa kujikunyata

    Mara Nipe Nikupe akasita kumsogelea yule Binti baada kuhisi kitu akaangaza macho yake kuangalia juu alipoangalia tu akashtukia akipigwa na kitu kizito

    Kilichomfanya apeperushwa utasema naironi iliyokumbwa na upepo

    Wale majini wengine wakapigwa na bumbuwazi baada kuona mkuu wao akishambuliwa na kitu kisichoonekana Ninja Ice akaibuka

    alipoibuka tu akafanya kuweka mikono mdomoni akapiga mruzi mmoja mkali sana ikawa kufumba na kufumbua

    Jeshi la wanyama na wadudu wasiokuwa na idadi kamili waliibuka na kuanza kuwashambulia wale Majini ikawa patashika nguo kuchanika kwa upande wa

    Ninja Ice baada kuliita jeshi lake akaona wacha yeye amalizane na huyu fisadi hasidi asiekuwa na haya wala kujua vibaya ambaye ni Nipe Nikupe sijui alipigwa na kitu gani maana bado alionekana kuwa na mawenge Ninja Ice akajipinda na kujiachia akapita tumboni mwa Nipe Nikupe akatokezea mgongoni yani alifanya kama alivyo muangamiza Jandu

    Nipe Nikupe alitatalika mwishoe akapasuka vipande vipande

    Majini wote walianza kupukutika mmoja baada ya mwingine

    Giza likatoweka jua liliweza kurudi

    Hakika ilikuwa nikazi nyepesi sana kwao

    ”hatimae nimeweza kumuangamiza huyu kisokorokwinyo"

    Ninja Ice alizungumza hivyo

    ”nani uliyemuangamiza?"

    Chinoge akauliza

    ”si yule mshenzi wa kujiita Nipe Nikupe"

    Ninja Ice akajibu

    ”bado hujaweza kumuangamiza embu muangalie pale"

    Chinoge akanyoosha kidole nikweli Nipe Nikupe alionekana akiyeya tena akiwa mzima wa hafya

    ”aisee inamaana ile teknik niliyoweza kuitumia kwa Jandu ikamuangamiza inamaana mbele ya huyu mshenzi imeshindwa kabisa kufanya kazi?"

    Ninja Ice aliuliza kwa mshangao kwa maana yeye alidhani kashamuangamiza kumbe bado

    ”huyu mshenzi hawezi kufa na kutuacha sisi tukiwa hai kifo chake ndiyo kifo cha mmoja wetu"

    Chinoge akazungumza hivyo na kumfanya Ninja Ice ashangae sana

    ”unasema?"

    ”huu ndiyo ukweli kaka ili kumuangamiza Nipe Nikupe inatakiwa mmoja wetu Afe"

    Kauli ya Chinoge ilimshtua sana Ninja Ice akafanya kutoweka eneo hilo akafunga safari mpaka kwa bibi yake

    Wakati Ninja Ice akielekea kuzimu tukija upande mwingine yani makao makuu ya CIA maaskari mitambo wapatao sita walishaweza kuwasili nchini wakapelekwa moja kwa moja

    Makao makuu

    ”huyu anaitwa Bryan Been ameundwa kwa madini maarumu ana uwezo wa kuhimili

    Vishindo vyovyote, na huyu ni Becky Flair ni mmoja kati ya viumbe hatari"

    Kila kiumbe, kilitambulishwa Muheshimwa Raisi akawa anatikisa kichwa tu kukubaliana na utambulisho wa viumbe wale mwishoe akaaga na kuondoka huku nyuma akiacha maagizo kuwa kazi ianze





    **********************

    Wakati Ninja Ice akielekea kuzimu tukija upande mwingine yani makao makuu ya CIA maaskari mitambo wapatao sita walishaweza kuwasili nchini wakapelekwa moja kwa moja

    Makao makuu

    ”huyu anaitwa Bryan Been ameundwa kwa madini maarumu ana uwezo wa kuhimili

    Vishindo vyovyote, na huyu ni Becky Flair ni mmoja kati ya viumbe hatari"

    Kila kiumbe, kilitambulishwa Muheshimwa Raisi akawa anatikisa kichwa tu kukubaliana na utambulisho wa viumbe wale mwishoe akaaga na kuondoka huku nyuma akiacha maagizo kuwa kazi ianze



    Songa nayo

    Sasa



    ”itabidi kabla ya kuanza kuwapa majukumu hawa viumbe hatuna budi kuwafanyia majaribio"

    Mkuu wa kitengo wa CIA alizungumza hivyo kila mmoja alikubaliana naye mipango ikapangwa wapi pa kwenda kuwafanyia Majaribio. Wakachukuliwa Askari wawili tu na kupakizwa kwenye Gari safari ya kuwapeleka sehemu husika ikaanza waliochukuliwa ni Becky Flair na mwenzake Bryan Been ndani ya gari kulikuwa kimyaa hakuna aliyeweza kuzungumza kitu safari yao ikawapeleka moja kwa moja mpaka Buguruni sokoni kufika hapo Gari ikasimama na kupaki pembeni akashuka bibie Becky Flair peke yake aliposhuka gari ikaondoka ikimuacha bibie akiangaza macho yake kuangalia manzari ya eneo hilo

    Akapiga hatua kadhaa kuisogelea stendi ya daladala ziendazo Tabata Kimanga

    wakati anaisogelea moja kati ya Daladala ghafla kuna kijana alikuja kwa kasi na kuikwapua simu iliyokuwa mkononi mwa Bibie Becky Flair kijana alifanya kitendo cha haraka na kuanza kukimbia hata hakuweza kufika mbali akashtukia akidakwa na kukunjwa akafurukuta kujitoa mikononi mwa kiumbe huyo yeye alidhania ni binadamu wa kawaida.

    Becky Flair alikaza macho yake kumuangalia yule kijana

    ”oyoo mmemuona komando wakike yule dadeki kamshikilia jamaa kama vile kitoi mamae zake"

    ”komando wapi wewe wakati aliyemkunja ni teja tu hafya yenyewe mgogoro"

    ”wee unaongea nini wewe hata wewe anakukunja kama unabisha nenda kamchokoze uwone"

    Baadhi ya vijana wauza matunda walizungumza hivyo

    Becky Flair alimshikilia yule kibaka utasema anataka kummeza maana alivyomkazia macho ni balaa kwa wakati huo alikuwa amevaa miwani meusi

    ”wee Malaya niachie sasa simu yako si nishakurudishia"

    Yule kijana alizungumza haliyakuwa akifanya jitihada za kujinasua lakini wapi ilikuwa kama vile kabanwa na chuma. Na kweli huyo binti ni Roboti umati wa watu ulishaanza kujingoea karibu na pale

    ”oyaa wee Dada embu muachie mshkaji wetu"

    Mmoja kati ya wapiga debe alizungumza hivyo haliyakuwa akiushika mkono wa bibie uliokuwa umemkunja mwenzake. Likawa kosa kubwa sana Becky Flair akafanya kumuachia yule aliyemkunja na kumdaka aliyejifanya kimbelembele kutaka kumshika alipomdaka akamzungusha kichwa kisogo kikaangalia mbele

    Jamaa akadondoka chini roho ikaacha mwili

    ”jamanii muwaji, kauwa huku"

    Watu walipaza sauti kupiga kelele kulikuwa na Maafande waliokuwa wakiranda randa maeneo hayo kwa Maana Buguruni Sokoni inatazamani na kituo kikuu cha polisi.

    Zile kelele na ule wingi wa watu kujazana pale ikabidi Maafande wasogelee eneo lile

    Yule Kibaka baada kuachiwa ni vyema angekimbia kwa ujinga wake akaanza kushadadia

    ”wee malaya tu! Tulielewana Mimi na wewe kuwa utanikopesha penzi usiku kucha ajabu leo hii unanizukia maskani kuja kunizingua nitakuwasha makof,,

    Hakuweza kumalizia kuzungumza maana alishtuka baada kumuona mshikaji wake akinyongwa shingo

    Akaona ehee kumbe huyu binti hatanii ehee wacha yeye akimbie kabla ajapiga hatua zozote akashtukia kitu chenye ncha kari kikimpitia Shingoni mwake naye roho ikaacha mwili

    Polisi waliweza kushuhudia mauwaji hayo yani Becky Flair alikipitisha kisu shingoni mwa kijana yule

    ”wee Binti embu tupa hicho kisu chako chini na unyooshe mikono yako juu kuanzia sasa upo chini ya ulinzi"

    Mmoja kati ya Maafande alipaza sauti kuzungumza hivyo huku akimuelekezea Bastola bibie Becky

    kisu kikatupwa chini lakini hakunyoosha mikono juu alichokifanya binti yule ni kuvua miwani yake ya Jua

    Alipovua tu akakaza macho kuwaangalia wale Maafande ghafla miale yenye moto mkali ilitoka machoni mwake

    Kila Afande aliyemulikwa na miale ile alipasuka vipande vipande

    Maafande wakazidi kumiminika na kuanza kumshambulia kwa silaha nzito nzito

    Binti hakuteteleka ndiyo kwanza akawa anajibu mapigo ambayo yalizidi kuleta maafa kwa Maskari na baadhi ya raia wengi waliteketea

    Wakati yote yanafanyika makao makuu ya CIA walikuwa wakifatiria tukio zima kupitia tv kubwa iliyopo ukutani

    Tukija maeneo ya Mbezi Beach

    “jamani jamani mmeskia kama Buguruni kuna vita?"

    Mmoja kati ya Wamama alipaza sauti kuwatangazia majirani zake

    ”vita vya nini tena Panya rodi au Al Shababi?"

    Mama yake Chinoge aliuliza

    ”mi hata sijui mwenzangu maana baba Muhdini kanipigia simu hapa na kuniambia kuwa Buguruni kwasasa hakukaliki kuna kiumbe kinauwa kila mtu anaekatiza mbele yake"

    Mama Muhdini alijibu hivyo

    ”mmh jamani sasa huyo kiumbe katokea wapi tena na kwanini wanajeshi wasiende kumuangamiza?"

    Wakati wanaulizana hivyo kuna Helicopter za kijeshi kama mbili zikaonekana zikipita kwa kasi

    ”mmh bila shaka wanajeshi wanaenda kuifanya kazi yao"

    Mama Muhdin alizungumza hivyo

    ”mamaa, kaka Chinoge yuko wapi?"

    Khadija alikuja mbiombio kwa mama yake na kumuulizia kaka yake

    ”Chinoge ndiyo nani bwana?"

    ”si kaka Hafidhi!"

    ”nani kampa jina la Chinoge?"

    “mama bwana huu sio muda wa maswali na majibu niambie kaka yuko wapi? Maana Mariam naye nilimuagiza kupeleka vijora kwa mama Ally kule Buguruni rozana"

    Mama yake Chinoge akashtuka kuskia kuwa Binti yake kumbe kaenda Buguruni ukizingatia Rozana na Sokoni nikama pua na mdomo akajifunga kibwebwe kuingia ndani

    Huku Khadija akimfata kwa nyuma kufika Sebureni wakamkuta Chinoge akiangalia movie ya Venom

    Tv ikazimwa

    ”khaa mama vipi tena mbona umezima tv wakati movie imefikia patamu?"

    Chinoge aliuliza huku akionekana kuchukia

    ”sio kama nimezima hivi una taarifa yoyote kama Buguruni sokoni kuna Vita?"

    “khaa vitaa vimetokea wapi tena? Mbona nchi yetu ni yenye amani na utulivu?"

    ”mama Mariam washeni tv muangalie tukio zima linaloendelea huko Buguruni"

    Mama Muhdin alipaza sauti kupitia dirishani kuwataka wawashe TV

    ”stesheni gani sasa?"

    ”chanel ten na Itv"

    Khadija akafanya haraka kuwasha tv

    “Mungu wangu wee kumbe mtu mwenyewe ni mwanamke yani ameigeuza Buguruni kuwa kama Somalia"

    Mama Chinoge alizungumza hivyo bibi Becky Flair alionekana kutamba

    ”uwii yule si Mariam jamani jamani mtoto wangu"

    Wakati wanaendelea kuangalia ndipo wakaweza kumuona Mariam akiwa amejibanza sehemu kwa kujificha

    ”kakaa nenda kamuokoe mdogo wetu"

    Khadija alizungumza haliyakuwa machozi yakianza kumtoka

    “anaendaje sasa kumgomboa wakati maaskari wenyewe tu wameuwawa unataka kaka yako nae akauliwe? Eeh Mungu baba muumba wa mbingu na ardhi mpatie ulinzi wa kutosha binti yangu na watu wote

    waliopo maeneo hayo"

    Mama yake Chinoge alizungumza hivyo"

    *******

    ”kwanini sasa iwe hivyo?"

    ”ndivyo ilivyopangwa mjukuu wangu"

    ”nani sasa aliyepanga?"

    ”wakuu wetu"

    ”hakuna cha wakuu wala nini huo ni ujinga tu inamaana kumuangamiza yule mshenzi Nipe Nikupe mpaka mmoja wetu afe nikitu kisichowezekana kamwe. Mmemuaminisha ujinga mdogo wangu, sasa nitaifanya hii kazi Mimi mwenyewe kama kufa nitakufa Mimi"

    Ninja Ice alizungumza kwa hasira kile alichoambiwa na Chinoge mpaka yeye akafunga safari ya kwenda kuulizia kuzimu.

    ”ni Bora Chinoge ajitoe Sadaka huwenda atarudi tena akiwa kama mzimu kuliko kufa wewe ambaye hutoweza kurudi tena milele"

    Bibi mtu alizungumza hivyo

    ”na asiporudi je? Kwa maana watu wengi wanapoteza maisha hawarudi"

    Asiporudi ndiyo basi tutamtafuta Hafidhi mwingine"

    ”mwingine kivipi yani?"

    ”kakaa"

    Mara Ninja Ice akasikia akiitwa na Chinoge akageuka kuangalia pembeni hapa tunamuona Chinoge akiwa nyumbani kwao pale pale Sebuleni

    ”nini tena kijana mbona mama na Dada wanalia?"

    ”kuna tatizo kubwa limetokea duniani hivi tuongeavyo Dada Mariam yupo kwenye hatari ya kuwawa"

    ”kwanini usiende kumsaidia"

    ”tatizo jinsi ya kutoka hapa embu angalia mama alivyonishikilia anahofia akiniachia nitaenda kuangamia ukizingatia yeye afahamu chochote kuhusu Mimi"

    Mtu na kaka yake walizungumza kihisia zaidi Ninja Ice akapotea na kumuacha bibi yake akiwa ameduwaa

    Taarifa za kiumbe yule kuwa amefanya mauwaji pamoja na kuharibu mali na miundo mbinu iliyopo Buguruni

    Zilishamfikia Muheshimiwa Raisi akafanya kupiga simu kwa mkurugenzi wa kitengo cha CIA akaambiwa atulie kama vile ananyolewa Vuzi kwa maana akineng'eneka atakatwa korodani

    Tena alifokewa kama vile Mtoto mdogo

    ”sikia wewe mjinga mmoja usiekuwa naakili kuanzia sasa unatakiwa ukae kimya kuhusu hawa viumbe hawakuhusu wala nini na ukijaribu kufanya fyoko fyoko nitawaelekezea Ikulu sasa hivi"

    Mkuu wa kitengo alizungumza hivyo Muheshimiwa Raisi akakata simu kijasho kilimtoka kwanza kabisa aliujutia uwamuzi wake wa kutumia mamilioni ya pesa kwaajili ya kuagiza Masaibogi hao kitu kingine kwanini alimuamini mkuu wa kitengo kile wakati alishawahi kuwa mpinzani wake kwenye uchaguzi uliopita.

    Akaona ehee muda wa yeye kupinduliwa umefikia akapiga simu kwa mkuu wa Majeshi akamueleza kila kitu

    ”inamaana anataka kuwatumia Masaibogi kwa manufaa yake?"

    Mkuu wa majeshi aliuliza swali ambalo halikujibiwa zaidi ya kuambiwa afanye haraka kwenda kumdhibiti yule kiumbe Makomando takribani kumi wakaachiwa huku wengine wakiwa kwenye magari

    Wengine kwenye Helicopter miongoni mwa makomando hao bwana mkubwa Madebe naye hakukosa.

    Dakika si nyingi wakaweza kuwasili maeneo ya Buguruni hali waliyoikuta iliwatisha na kuwaogopesha Maduka na magali kibao yalionekana kuteketea kwa moto huku Moshi mzito ukifuka miili ya watu wengi ilikuwa imetapakaa kila kona

    Wakati muuwaji akiwa amekaa chini kwa kujipumzisha alionekana kutokuwa na wasiwasi wowote ule Buguruni iligeuka Gaza

    Becky Flair akiwa amekaa pale chini akashtuka baada vyuma vya moto kukita mwilini mwake na kudunda kwa maana mwili wake hauingii risasi

    Akanyanyuka na akakaza macho kuangalia sehemu ambayo risasi zilipokuwa zinatokea

    Mara wanajeshi walianza kupasuka vipande vipande huku helicopter moja wapo ikienda kujibamiza sokoni

    Hakika ile miale ilikuwa ni hatari sana

    Watu waliokuwa wakifatiria tukio hilo moja kwa moja kupitia televisheni zao waliona kama vile ni filamu itafika muda itaisha huku Buguruni ikiwa vilevile kama waionavyo pindi waendapo masokoni au wapitapo wawapo kwenye magari.

    Bwana mkubwa Madebe ndiyo mwanajeshi pekee aliyebakia kati ya wanajeshi kumi walioenda

    Tisa walishauwawa Madebe alichumpa na kujificha kwenye Gari moja wapo iliyokuwa ikiteketea kwa moto

    Mara akajitokeza huku akiwa amekamatia Bastola mbili mikononi mwake alianza kufyatua risasi haliyakuwa akipiga hatua za haraka kumfata Becky nae aliachia miale yake Madebe akawa anaikwepa alipomfikia akamkaba shingoni na kumvisha ile miwani ikawa kama kinga ya kuifanya ile miale isiweze kutoka

    Becky Flair akafutuka na kuutoa mkono wa Madebe shingoni mwake wakawa wanatazamana kila mmoja akakunja ngumi

    Mara kuna kitu kilikuja kwa kasi na kukita kifuani mwa Bibie alianza kusheki sheki utasema yupo Clabu anacheza mziki akapasuka vipande vipande

    Ninja Ice akaibuka

    ”kazi nzuri mwalimu"

    Madebe alizungumza kwa furaha

    Ninja Ice alisikitika sana tena sana

    Kuona watu wengi wamepoteza maisha akatamka

    ”kutaka kutuzuia sisi viumbe ambao tumejitolea kuilinda dunia. Lakini wanadamu hawahitaji sisi tufanye hivyo mpaka wanaamua kuandaa Vinyago ili tu waweze kutuzia

    Mngehitaji majario mngetuita nasi tungeitika kuliko kufanya majaribio kwa Wanadamu wasiokuwa na hatia kodi zao ndizo zilizotumika kumuandaa huyu kiumbe leo hii anatumwa kuja kuwaangamiza.

    Si mnahitaji kipimo cha uwezo wenu basi Nakuja huko huko"

    Ninja Ice alizungumza kwa ghadhabu kisha akapotea safari ya kuwafata Masaibogi waliobaki ikaanza





    ________________

    ”kazi nzuri mwalimu"

    Madebe alizungumza kwa furaha

    Ninja Ice alisikitika sana tena sana

    Kuona watu wengi wamepoteza maisha akatamka

    ”kutaka kutuzuia sisi viumbe ambao tumejitolea kuilinda dunia. Lakini wanadamu hawahitaji sisi tufanye hivyo mpaka wanaamua kuandaa Vinyago ili tu waweze kutuzia

    Mngehitaji majario mngetuita nasi tungeitika kuliko kufanya majaribio kwa Wanadamu wasiokuwa na hatia kodi zao ndizo zilizotumika kumuandaa huyu kiumbe leo hii anatumwa kuja kuwaangamiza.

    Si mnahitaji kipimo cha uwezo wenu basi Nakuja huko huko"

    Ninja Ice alizungumza kwa ghadhabu kisha akapotea safari ya kuwafata Masaibogi waliobaki ikaanza



    Songa nayo

    Sasa



    Wakati Ninja Ice akifunga safari kuwafatiria Masaibogi waliobakia Madebe alibakia pale eneo la tukio akawa anachunguza mabaki ya mwili wa bibie Becky Flair

    ”aisee inamaana huyu ni Universal Soldier?"

    Madebe alijiuliza hivyo baada kukiona kifaa fulani kilichopandikizwa kichwani mwa bibie

    Akakichomoa kile kifaa Mara ghafla kuna kitu kilikuja kwa kasi na kukita kwenye Bega lake la kushoto

    Madebe akalala chini akawa anasota huku akijaribu kuangalia ni wapi risasi hiyo ilipotokea

    Akajivuta mpaka kwenye Gari moja wapo

    Damu zilikuwa zikimtoka begani mwake akauma meno

    Bila shaka ni kutokana na maumivu yenye kuambatana na hasira

    Akasimama ili aweze kuangalia kwa mbele risasi nyingine ikaachiwa kama sio kuwahi kuinama basi kichwa chake kingefumuliwa

    Madebe akabaki kuhema hakuweza kufahamu nini afanye

    Akagusanisha viganja vya mikono yake alipogusanisha tu akapotea

    Kumbe aliyekuwa akipiga risasi ni Muuwaji wa kutumainiwa aitwae Nailat sasa kule kutoweka kwa Madebe ikawa shida kwake maana kila akimuangalia kwenye target hamuoni

    wakati anaendelea kuivuta lensi

    Mara naye akashtukia akiguswa kwa nyuma alipogeuka tu akakutana uso kwa uso na Madebe

    ”wee nani? Unataka kitu gani kutoka kwangu?"

    Madebe akauliza maswali mawili mfurulizo

    Akajibiwa kwa kupigwa teke moja zito lililotua kifuani mwake akarudishwa nyuma mita kadhaa kabla ajakaa sawa Nailat alichumpa na kumfata Madebe kwa kasi alianza kumshambulia

    Madebe alijitahidi kupanchi na kukwepa maana Binti alikuwa anarusha makonde na mateke kwa ustadi wa hali ya juu.

    Nailat wakati anashambulia Mara wote wakaacha kupigana baada upepo mkali kuanza kuvuma

    Madebe akajua kama sio ujio wa Ninja Ice huo basi ni Chinoge ajabu akaibuka bibie Milfat

    Madebe alishangaa sana Milfat baada kuibuka maeneo yale akamfata Nailat kwa kasi alipomkaribia kuna visu vilichomoza mikononi mwake,

    Alianza kumshambulia Nailat ambae hakuwa na uwezo wa kuzuia visu hivyo visiingie mwilini mwake.

    Akajikuta akichanwa chanwa na kutobolewa vibaya sana mwisho kisu kikapita shingoni mwake

    Ukawa ndiyo mwisho wa Nailat

    ”twenzetu"

    Milfat alitamka hivyo akamshika mkono kaka yake wakapotea

    **********

    Tukija kwa mkuu wa kitengo cha CIA ambae ndiyo aliyekabiziwa Masaibogi taarifa za ujio wa Ninja Ice alishazipata alichokifanya ni kuwafungulia Masaibogi wote akakusanya kikosi cha Makomando wa CIA

    ”bila shaka miongoni mwenu mmeweza kujionea kile ambacho kimetokea kwa Becky Flair kiukweli huyu kiumbe anaekuja kupambana nasi ni hatari kuliko hatari yoyote ile

    Nasi hatuna budi

    Kupambana nae"

    Mkuu wa kitengo alizungumza hivyo akapanga vikosi kwa kuvigawanya

    ”mkuu huyu mshenzi anaonekana kutokea upande wa kaskazini"

    Mmoja kati ya walinzi aliyekuwa kashika darubini alitoa taarifa kwa Mkuu wa kikosi baada kuona kuna kitu kikija kwa spidi ya kimbunga

    ”vizuri sana kijana sasa kuwa makini kumuangalia kila hatua atakayopiga"

    ”sawa mk,,mamaa yaaa,nakufaa"

    Mara tiii

    Yule mlinzi alipiga yowe sauti yake ikafatiwa na kishindo kizito

    Ninja Ice alishawasili na kufikia kumuangamiza mlinzi

    Akaangaza macho huku na kule akapiga hatua kadhaa

    ”wapi unaenda wee pimbi?"

    Ninja Ice akashtuliwa na sauti nzito ikiuliza hivyo akasimama na kugeuka kumuangalia mtu ambaye aliuliza hivyo alikuwa ni yule Mkuu wa Kitengo alionekana kujiamini sana sijui sababu ya Silaha aliyokuwa nayo

    ”ni vyema umejileta mwenyewe kwa maana tulikuwa tunakutafuta kwa muda mrefu sana si umeliona lile shimo pale"

    Mzee akazidi kubwabwaja na kunyoosha kidole kuonyesha shimo lililokuwa mita kadhaa kutoka hapo waliposimama Ninja Ice akaliangalia hilo shimo kisha akasema

    ”ohoo vizuri sana kama umeweza kujichimbia Kaburi lako wacha nikutangulize"

    Ninja Ice alizungumza hivyo kisha akazunguka na kuachia Nyembe Saibogi mmoja wapo hata alipotokea haijurikani akaja kuzizuia zile nyembe zikadunda mwilini mwake Ninja Ice akatabasamu,

    ”ohoo vizuri

    Ikawa kufumba na kufumbua Ninja Ice kujikuta akiwekwa mtu kati Mionzi mikali kutoka kwa Masaibogi ilianza kummulika mionzi ambayo ilimuumiza sana kichwa akajitahidi kuikotroo ili aweze kujinasua lakini wapi

    Kila sekunde iliyokuwa ikienda mbele ndivyo nguvu zake zikawa zinapungua. Ni mionzi iliyoandaliwa spesho kwaajili ya kuwazuia Viumbe kutoka sayari nyingine

    Hakika Ninja Ice alipatikana maana kila

    akijikakamua mionzi ndiyo inazidi kumuumiza alitamani kupiga mruzi ili kuliita jeshi lake

    Mdomo nao ukawa mzito kufunguka

    Mara Masaibogi watatu wakaacha kutoa ile Mionzi baada kuona kuna kiumbe kingine kikija kwa kasi kilipofika pale kikatua chini kwa kishindo

    ”ohoo vizuri sana tena sana kwa kuweza kunikamatia huyu pimbi"

    kiumbe mwenyewe hakuwa mwingine ni Nipe Nikupe wale Masaibogi wakataka kumshambulia na yeye maana sio jamii yao Mkuu wa kitengo akawataka wasifanye hivyo

    ”wee ni nani?"

    Mkuu wa kitengo alimtupia swali Nipe Nikupe kabla ajajibu wakashtukia wale Masaibogi wawili wakirushwa juu

    Ninja Ice alifuta kama vile bomu la Nyuklia akazunguka kama vile kishada Akaachia nyembe zilizotoka kwa wingi zikakita kwa Masaibogi wawili kwa kitendo cha haraka mno akawafata wale waliorushwa juu

    Na kutembeza nyembe miilini mwao

    Akatua chini

    Huku akifatiwa na milipuko ya Masaibogi wale wakipasuka vipande vipande

    Akakaza macho kumuangalia Nipe Nikupe na mkuu wa kitengo yule Saibogi mmoja aliyebakia kwake hakuona kama kuna tatizo

    Nipe Nikupe akajitosa kumsaidia Saibogi wakati mkuu wa kitengo akitafuta upenyo wa kukimbia maana aliona shukhuri ni nzito ikawa mmoja kwa wawili kibaya zaidi Nipe Nikupe kupigana hawezi zaidi ya kutumia uwezo wake wa kijini kila akirusha makombola Ninja Ice anazuia mwishoe Ninja Ice akafanya

    Kunyoosha mikono juu alipokuja kuishusha akapotea

    Nipe Nikupe na yule Saibogi walianza kushekisheki

    Saibogi akawa wa kwanza kupasuka akimuacha Nipe Nikupe akichezacheza akataka kupotea lakini wapi

    Ninja Ice akaibuka mbele yake

    ”kwa leo huna ujanja wowote ndugu yangu nikutakie safari njema huko uwendako"

    Ninja Ice alitamka hivyo

    “usiniuwe mwenzako nina familia mimi inanitegemeaa tafadhari niache Uhuru dunia bado naitamanii,,ihiiiiiiiii"

    Nipe Nikupe alilia mpaka akatia huruma alianza kuyeyuka kiungo kimoja badara ya kingine ukawa ndiyo mwisho wa maisha yake

    ”wee Mzee wapi unaenda?"

    Ninja Ice alimuuliza Mkuu wa Kitengo aliyekuwa anahenya henya haja kubwa na ndogo zilishagonga chupi.

    Ninja Ice akanyoosha kidole kulinyooshea jambia

    Likanyanyuka pasipo kushikiliwa akalielekeza kwa Mkuu wa kitengo likaenda kukita shingoni mwake naye akapoteza maisha

    Ninja Ice alijipongeza kwa kazi nzuri wakati anajiandaa kutoweka eneo hilo

    Mara kuna kitu cha moto kilikuja kwa kasi na kukita tumboni mwake yani mpaka akacheuwa damu nyeusii

    Siku zote Ninja Ice hakuna risasi inayoweza kupenya ndani ya mwili wake lakini hiyo ilipenya akawa anapepesuka risasi nyingine ikaja na kupenya sehemu ya moyo Ninja Ice akadondoka chini

    Taswila ya kuzaliwa kwake kukaa kwake kutambaa kwake utoto wake mpaka ujana wake

    Mambo mengi yaliweza kupita kwenye mboni ya macho yake Ninja Ice akafumba macho ukawa ndiyo mwisho wa maisha yake

    Sijui kiumbe gani kilimuangamiza

    Wingu zito lilitanda angani wanyama mwituni ndege angani samaki baharini

    Simanzi huzuni na majonzi vilitanda

    ”dadaa nini tena?"

    ”nakufaa Mimi kakaa"

    ”usiseme hivyo Dada huwezi kufa wacha nikuwahishe hospitali"

    “hapana kakaa"

    Yote yalikuwa ni mazungumzo baina ya Madebe na Milfat yani walivyowasili tu nyumbani kwao hali ya Milfat ilianza kubadirika ghafla

    ”kakaa,,

    Milfat aliita hivyo akageuza macho kuangalia juu kuonyesha kuwa roho ilishaacha mwili

    “Dadaaaaa,,ahaaaa hamkaa dada anguu,,uuu,,"

    Madebe alipiga kelele alilia kama mtoto kelele zake ziliwavuta Majirani

    Kama tunakumbuka vizuri Ninja Ice aliwahi kumwambia bibie Milfat kuwa mimi ndio wewe na wewe ndio mimi kwa maana kifo cha Ninja Ice ndiyo kifo cha Milfat

    *********

    Bwana mkubwa Chinoge wala hakuwa na habari kwa maana mama yake hakuhitaji kijana wake aende popote

    Kwanza walishkuru baada Mariam kurudi nyumbani

    ”mama mi naenda hapo tu kwakina Musa kuangalia movie"

    ”movie gani hiyo unayotaka kwenda kuangalia kwakina Musa? Itaje sasa ili nimuagize Dada yako akakununulie.

    Nilishakwambia mwanangu kuanzia sasa sitaki uwende sehemu yoyote ile Hafidhi uzazi wako ulinipa shida na tabu nusu ilikuwa nusu ya kufa Mimi

    Siku ambayo ulipotea nilikaa masiku na mawiki bila kula tambua nakupenda sana sihitaji

    Uniache tena"

    Mama yake Chinoge alizungumza kwa hisia mpaka kudondosha chozi ikabidi Chinoge amsogelee mama yake na kumkumbatia

    ”jamani kawe udoweni kuna msiba"

    Kuna binti alikuja kutoa taarifa nyumbani kwakina Chinoge

    “mmh msiba nani tena kafariki?"

    Khadija akauliza

    ”ni Milfat yule Dada yake Madebe"

    ”mungu wangu"

    Mama yake Chinoge alitamka hivyo hakika hakuweza kuamini kama Milfat amefariki

    Chinoge akawa wa kwanza kuwahi msibani ambapo alimkuta Madebe akiwa amekaa kwenye kiti akizungumza na baadhi ya watu waliofika hapo!

    Madebe akasimama na kwenda kumkumbatia Chinoge lakini kitu cha ajabu Chinoge alimsukumiza Madebe mpaka yeye mwenyewe akashangaa



    ________________

    ”jamani kawe udoweni kuna msiba"

    Kuna binti alikuja kutoa taarifa nyumbani kwakina Chinoge

    “mmh msiba nani tena kafariki?"

    Khadija akauliza

    ”ni Milfat yule Dada yake Madebe"

    ”mungu wangu"

    Mama yake Chinoge alitamka hivyo hakika hakuweza kuamini kama Milfat amefariki

    Chinoge akawa wa kwanza kuwahi msibani ambapo alimkuta Madebe akiwa amekaa kwenye kiti akizungumza na baadhi ya watu waliofika hapo!

    Madebe akasimama na kwenda kumkumbatia Chinoge lakini kitu cha ajabu Chinoge alimsukumiza Madebe mpaka yeye mwenyewe akashangaa



    Songa nayo

    Sasa



    Chinoge akafanya kupitiliza moja kwa moja hadi ndani wala hakujari kile kitendo chake cha kumsukumiza Madebe

    ”uko wapi mwili wa marehemu? Nauliza uko wapi mwili wa Milfat, nijibuni sasa"

    Chinoge alipaza sauti kuuliza hivyo watu wakabaki kumshangaa tu! Kuna mzee mmoja akaja kumkunja Chinoge na kuanza kumfokea

    ”wee kijana upo sawa kweli? Au mibangi yako unayo vutaga inakupeleka vibaya.

    Sasa nakuomba haraka sana utoke nnje, tokaa"

    Akamsukumiza ajabu yule mzee akapepesuka yeye na kudondoka chini

    Chinoge akawa anatoka nnje kufika mlangoni tu akapotea

    Kitendo ambacho kilimshtua na kumuogopesha sana yule Mzee maana alivyodondoka chini akawa anamsindikiza Chinoge kwa macho ni yeye pekee ndiyo aliyeweza kumuona

    ”jamani Jini"

    Yule Mzee alipiga kelele ambazo ziliwashtua

    Baazi ya watu kila mmoja alishikwa na taharuki waliokuwa wanalia walinyamaza kimya

    ”jini jamani jinii"

    ”wee Mzee vipi tena? Embu tuliza mawenge yako hapa jini jini yuko wapi huyo jini?"

    Madebe alimshika yule Mzee na kumtikisa ili kumuweka sawa maana alionekana kama kuchanganyikiwa

    ”jini si yule kijana aliyenisukumiza hapa wakati nilivyokuwa nimemkunja"

    Yule mzee alizungumza hivyo

    ”alikusukumiza au wewe ndio uliyemsukumiza? Madebe embu mpeleke huyu Mzee kule kibarazani akajipumzishe"

    Baba yake mkubwa Madebe alizungumza hivyo

    Madebe akamtaka yule Mzee aongozane naye kuelekea kibarazani

    ”hawa njiwa wangu leo sijui wamepatwa na kitu gani maana tokea niwafungulie asubuhi mpaka mida hii ya saa kumi alasiri sijawaona kwenda sehemu yoyote ile kusaka chakula nimewamwagia mtama na kunde nikawaita kwa mruzi hakuna hata njiwa mmoja aliyetua chini kuja kula chakula"

    Mmoja kati ya vijana alizungumza hivyo kumwambia mwenzake

    ”huwenda labda watakuwa na mdondo"

    Yule mwenzake akazungumza hivyo

    ”nilijua tu kama utaongea Ungese yani tokea lini njiwa wakaugua mdondo! Kwani umeambiwa kuku hawa?"

    ”kwani kuku na njiwa wanatofauti gani? Wote si jamii ya ndege fala wewe"

    ”nani fala?"

    ”oyaa nyie wakuda twenzetuni kitaa tukakifinye"

    ”wapi huko mkuu?"

    ”kule Udoweni"

    ”kuna harusi au?"

    ”harusi wapi? Wakati kuna msiba"

    Basi marafiki wale wakaongozana kuelekea msibani japokuwa wawili kati yao walishaanza kutukanana kitendo cha Mwenzao kuwaambia kuwa waende wakakifinye nikwenda kula Ubwabwa na ndio kawaida yao kuwe na msiba au sherehe wanachowaza wao si kingine ni kula tu

    Ukungu mzito ulikuwa umetanda majini milioni moja na kitu walionekana wamesimama swafu kwa swafu wengine walionekana wamebeba kitu kama kitanda kilichokuwa kimenakshiwa kwa Vito vya thamani

    Juu yake

    Ulikuwa umelazwa mwili wa Ninja Ice hakika ilikuwa ni siku ya huzuni na majonzi. Bibi mtu alilia Ibnuwas alilia Malkia Kaisi alilia Majini wote

    walilia yale machozi ya damu

    “bibi"

    ”abee mjuku wangu"

    ”kama itatokea siku nikapoteza haliyakuwa wewe ukiwa bado upo hai basi ninaomba mwili wangu uwekwe juu ya mrima ule sihitaji nifukiwe wala kuchomwa moto"

    ”mmh Hafidhi mjuku wangu kwanini unazungumza hivyo?"

    ”nazungumza hivi kwa sababu kila kiumbe nikama maiti mtarajiwa kwa upande wangu nimeona ni vyema kujiandalia sehemu nzuuri ya kupumzikia"

    ”hata kama sisi ni marehemu watarajiwa lakini hutakiwi kutamka hivyo kwa maana unaushtua moyo wangu, hivi itokee wewe ukatangulia mbele ya haki nani atakaeweza kunilinda na kunitetea?"

    Yote yalikuwa ni mawazo ya Bibi mtu akimuwaza mjukuu wake kipindi cha uhai wake aliwahi kumpatia wosia na sasa Mwili wa mjukuu wake ulikuwa umelala kitandani

    ”Hafidhi mjukuu wangu kwanini umeondoka mapema hivi embu fumbua macho yako simama bwana. Wewe ni Ninja Ice Ninja Short unakufaje kizembe namna hii jamani? huwezi kufa wewe unantania haaaaaaa,,

    Ibnuwas fanya basi kumuamsha mwanao ohooooo,,"

    Hakika bibi alilia na kuzungumza kwa uchungu muda kidogo upepo mkali ulianza kuvuma Majini wote walishtuka maana

    Haukuwa ni upepo wa kawaida

    Wakati wanatafakari na kujiuliza kunani,

    Kuna kiumbe kikaibuka nikiumbe ambacho kilikuwa ni kigeni machoni mwao ila kwetu sisi si kigeni ni Shorter Sniper

    ”nani wewe?"

    Malkia Kaisi akajitutumua kumuuliza

    Shorter Sniper wala hakujibu lile swala akawa anapiga hatua kadhaa kuusogelea mwili wa Ninja Ice kitu ambacho Bibi mtu hakutaka kukubaliana nacho akapaza sauti kuwataka walinzi wamzuie

    Kitendo bila kuchelewa walinzi wakafanya kuweka uzio Shorter Sniper aliwaangalia kwa zarau akajifanya kurudi kinyume nyume ghafla akafutuka kwa kasi na kuanza kuachia risasi mfurulizo yani bunduki yake sijui aliitolea wapi kwa maana alivyoibukia pale hakuonekana kuwa na silaha yoyote ile

    Majini walizidi kupukutika na kugeuka majivu Malkia Kaisi akawahi kwenda kumshika Bibi na kumtaka wakimbie Inbuwas alijitosa kupambana lakini mbele ya kiumbe huyo mwenye kupotea na kuibuka ni hatari yani sekunde anapigana sekunde anapotea

    Ikawawia vigumu kumdhibiti

    ”Kais mchukuwe mama na ukimbie nae"

    Inbuwas alipaza sauti lakini mama yake hakutaka kukimbia haliyakuwa mwili wa mjukuu wake ukibaki pale akajitosa kupambana alirusha kila aina ya makombola

    “wee mshenzi mbona una kimbiakimbia kama wewe mwanaume kweli simama upambane sasa"

    Bibi mtu alizungumza kwa hasira na ghadhabu

    ”ohoo unataka nisimame sio? Wacha sasa niwaonyeshe kazi"

    Kwa mara ya kwanza Shorter Sniper akajiweka sawa wakati anajiweka sawa upepo mwingine ulianza kuvuma

    Bwana Mkubwa Chinoge akaibuka kuibuka kwa Chinoge kukamfanya Shorter Sniper atoweke

    Chinoge alishangazwa sana na hali aliyoweza kuikuta eneo lile aliangaza macho yake kuangalia huku na kule

    ”bibi vipi tena mbona hivi mmeshambuliwa na nani?"

    Chinoge aliuliza haliyakuwa akiusogelea mwili wa kaka yake

    ”kakaa ni mimi wajna wako mdogo wako nimekuja fumbua macho uniangalie"

    Chinoge alizungumza haliyakuwa chozi likimdondoka

    ”ni nani aliyemtendea unyama huu kaka yangu? Nauliza tena ni nani?"

    Chinoge alipaza sauti kuuliza

    ”ni yule mshenzi uliyemkuta pale"

    Bibi mtu akajibu na kuonyeshea sehemu ambayo Sniper alikuwa amesimama

    “hakuna kumzika kaka mpaka pale nitakapomalizana na huyu mshenzi"

    Chinoge pasipo kuuliza anapatikana wapi sijui kaelekea wapi nae akapotea

    Ulikuwa ni mji wenye manzari yenye kupendeza sana pembezoni mwa mji huo kulikuwa na Bustani iliyopangiliwa vyema.

    Kwenye bustani moja wapo kulikuwa na watoto wadogo wakiimba na kucheza

    ”jamani baba yanguu yulee anarudi ehee anarudi anarudi ehee baba huyoo baba huyoo"

    Mmoja kati ya watoto wale alipaza sauti kwa kuimba huku akikimbia mbio mbio kumkimbilia Baba yake kumbe Shorter Sniper naye ana familia basi alimraki yule mtoto kwa kumbeba akazunguka nae na kumbusu mashavuni taarifa za kurejea kwake ziliwafanya watu wengi waache kazi walizokuwa wakizifanya wakakusanyika sehemu na kutoa heshima kwa kiumbe huyo

    Lakini Shorter Sniper alionekana kutokuwa sawa kisaikorojia maana kila muda alikuwa ana shituka

    ”vipi kijana mbona kama unaonekana haupo sawa?"

    Shorter Sniper akatikisa kichwa kukubari kuwa yupo sawa

    ”sasa kama upo sawa unatakiwa ukajipumzishe"

    Shorter akatikisa kichwa kukubaliana na lile swala la yeye kwenda jujipumzisha akasimama ile anageuka tu ili aingie Chumbani akashtuka baada upepo mkali kuanza kuvuma

    ”wote kimbieni nendeni mkajifiche Nahiri Mchukuwe mtoto fanyeni haraka mkajifiche ndani

    Mara ghafla kuna kitu kama kamba ilikuja kwa kasi na kumnyakuwa yule mtoto kuja kutahamaki Mtoto yupo mikononi mwa Chinoge yani aliitanguliza kamba ndipo akaibuka

    Majini wote walibaki macho kodo

    ”wee nani?"

    Malkia Nahiri alipaza sauti kuuliza

    ”kama hutaki kujitambulisha tafadhari nakuomba muachie mtoto wangu sasa hivi"

    Malkia Nahiri ambae ni Mke wa Shorter Sniper akawa anapiga hatua kumsogelea Chinoge aliyekuwa kafura kwa hasira mtoto naye alikukuruka ili aweze kujitoa mkononi mwa Chinoge

    ”kama kumalizana basi unatakiwa umalizane nami wala sio familia yangu"

    Shorter Sniper alizungumza hivyo na kumsihi Chinoge amuachie kwanza mtoto

    Alichokifanya mwanaume ni kunyoosha mkono juu nyundo yenye ujazo wa tani mia ikatua mkononi mwake

    Sekunde si nyingi akaichia iliruka kwa kasi na kwenda kukita kichwani mwa Jini mmoja wapo

    Shorter Sniper alipiga kelele kuita kakaa wakati huo yule kiumbe aliyepigwa na nyundo akimung'unyuka utasema udondo ulionyeshewa na vua





    ________________

    ”kama kumalizana basi unatakiwa umalizane nami wala sio familia yangu"

    Shorter Sniper alizungumza hivyo na kumsihi Chinoge amuachie kwanza mtoto

    Alichokifanya mwanaume ni kunyoosha mkono juu nyundo yenye ujazo wa tani mia ikatua mkononi mwake

    Sekunde si nyingi akaichia iliruka kwa kasi na kwenda kukita kichwani mwa Jini mmoja wapo

    Shorter Sniper alipiga kelele kuita kakaa wakati huo yule kiumbe aliyepigwa na nyundo akimung'unyuka utasema udondo ulionyeshewa na vua



    Songa nayo

    Sasa



    Shorter Sniper alipiga kelele huku akifyatua risasi mfurulizo kumuelekezea Chinoge, risasi kama mbili zikaenda kukita tumboni mwa yule mtoto Chinoge alimtumia kama ngao

    ”jamani mwanguu"

    Mama mtu alipiga kelele huku akikimbia mbiombio kumfata mwanae

    Shorter Sniper alikuwa kavurugwa si kidogo akajikuta akifanya kitu pasipo kutarajia zile kelele za mkewe ndizo zilizomfanya aache kufyatua risasi kuja kuangalia kampiga mtoto wake

    Chinoge akafanya kuurusha juu ule mwili wa mtoto kisha akakita mguu mmoja chini utasema anacheza wimbo wa Kanyaga upepo mkali ulivuma Majini walianza kupeperushwa huku na kule wakati Mke wa Shorter Sniper aliyekuwa anakuja mbio kumfata mwanae naye akajikuta akirushwa juu kilichokuwa kinatokea hapo kimbunga si kimbunga Sunami si Sunami

    Majini walipiga kelele za kuomba msaada maana kule kupeperushwa kwao

    Kulipelekea baadhi yao kupasuka vipande vipande yani upepo ulikuwa kama moto wa Volcano

    Shorter Snipe ndiyo kiumbe pekee aliyekuwa kasimama imara pasipo kutetereka alikaziana macho kuangaliana na Chinoge kila mmoja alionekana kumtamani mwenzie

    ”tafadhari nakuomba usiendelee kuwaangamiza watu wangu achaa"

    Shorter Sniper alipaza sauti kumtaka Chinoge asiendelee kuwaangamiza watu wake

    ”hahahaha unataka niache sio? Naweza nikafanya hivyo iwapo tutaweza kukubaliana kitu kimoja je unaweza kuurudisha uhai wa kaka yangu?"

    Chinoge alianza kucheka kisha akazungumza na kumuuliza swali

    ”ndiyo naweza nikafanya hivyo"

    Shorter Sniper akaitikia

    ”sawa"

    Chinoge akatamka hivyo Mara ule upepo ukatoweka hali ikatulia lakini kulikuwa na maafa si kidogo

    ”nifate"

    Shorter Sniper alimtaka Chinoge amfate walitembea kwa kasi ya kimbunga wakaja kutokezea sehemu moja hivi ya ajabu sana

    Yani mbele kulionekana kuwa na mwanga mkari ambao ukiuwangalia huwezi kuona mbele yake kunani

    ”tumekuja kufanya nini huku?"

    Chinoge akauliza

    ”nafsi ya kaka yako ipo huku umeiona ile miale ya kijani? Pale ndipo ilipohifadhiwa nafsi ya ndugu yako tunachotakiwa kukifanya kwa wakati huu ni wewe kwenda kuingiza mkono mmoja pale utakapoingiza kuna kitu cha ubaridi sana utakishika fanya kukivuta kisha tutaenda kumpulizia huo ubaridi kaka yako atarudi tena Duniani"

    Shorter Sniper akatoa maelekezo Chinoge pasipo kujiuliza mara mbili mbili akaisogelea ile sehemu na kuingiza mkono wa kushoto ambao kwake ndiyo wenye nguvu ajabu akashtukia akishikwa yeye na kiumbe kisichoonekana kukawa na purukushani ya vuta nikuvute Chinoge akazidiwa nguvu akadumbukia na kupotelea mule ndani

    Shorter Sniper alicheka sana tena sana

    ”hahahaha huhuhuhuhu"

    Halafu akatoweka

    Tukirudi huku kwa kina Ibnuwas walikuwa bado wakimsubiri Chinoge aweze kurejea siku zilizidi kusonga mbele

    ”Ibnuwas mwanangu nikitu gani kimemtokea Chinoge mbona arudi sasa?"

    Bibi mtu aliuliza

    ”kiukweli hata Mimi sielewi ewe mama yangu"

    Nao hawakuwa na budi kwenda kuhifadhi mwili wa marehemu sehemu husika

    Baada kumaliza taratibu zote za mazishi wakatawanyika kurudi makwao huo ndiyo ukawa mwisho wa Ninja Ice

    “jitahidi ule japo kidogo mama angu"

    ”Ibnuwas mwanangu naanzaje kula nawezaje kunywa tumewapoteza vijana wetu wote

    Niipi nguvu yetu?"

    ”sio hivyo mama kumbuka ile ni Tawala ya Subiani ni viumbe wenye nguvu sana wale"

    ”hata kama wanashika namba tatu kwa kuwa na tawala yenye nguvu lazima nifanye kitu! Nitakufa naye yule mshenzi"

    ”hapana usiseme hivyo"

    Ibnuwasi alimsihi mama yake asijaribu kufanya jambo lolote baya juu ya tawala ile ya Subiani

    **********

    Siku zilizidi kusonga mbele hatimae miaka miwili iliweza kutimia pasipo Chinoge kuonekana

    Nakumbuka Mimba yako ilipotunga tumboni mwangu wala sikuhisi kama nina mimba ila nilianza kuumwa homa za ajabu ajabu nilipoenda hospitali vipimo vikaonyesha nina Maralia ya wadudu wawili nikapewa dawa kumeza nikazitapika kuanzia hapo ikawa kila ninachokula au kunywa nakitapika hafya yangu ikazorota kila hospitali niliyopelekwa tatizo halikuonekana

    Mume wangu akashauliwa kunipeleka kwa Waganga wa kienyeji hili swala akalipinga kwa Maana Shirki ni zambi mbaya sana akaambiwa basi kwa Masheikhe ili niweze kufanyiwa kisomo cha Ruqiya

    Kisomo nikafanyiwa hakuna kilichoweza kubadirika mpaka siku moja nilipoenda hospitali moja iliyopo maeneo ya Salasala vipimo vikaonesha heti nina Ujauzito wa miezi sita

    Hakika tulishtuka sana inamaana hospitali takribani nne havikuonyesha kama mi ni Mjamzito

    Hafidhi mwanangu mimba ilinitesa sana

    Usiku sikuweza kulala kabisa

    Kwa huruma ya baba yako alitaka nikutoe ili kuunusuru uhai wangu, nikiwa kama mwanamke niejua nini thamani ya mtoto nilikuwa nipo radhi nife ili wewe uzaliwe

    Hafidhi ulikuja machoni mwangu ukanipa furaha ya muda ukaondoka ukaja na kuondoka. Na sasa umeondoka tena

    Naimani ipo siku utarudi"

    Yote yalikuwa ni maneno ya Mama yake Chinoge akizungumza kwa hisia haliyakuwa akiwa anaiangalia picha ya Mwanae familia nzima ilikuwepo hapo ilikuwa ni kawaida yao kila ukaribiapo Mwezi mtukufu wa Ramadhani familia hujumuika pamoja kufanya kisomo cha kuwakumbuka wapendwa wao waliotangulia mbele ya haki

    Hafidhi naye alijumuishwa kati ya Marehemu sijui kwanini maana lilitajwa jina lake Sheikhe akatia ubani na kumrehemu

    Bwana mkubwa Madebe naye alikuwepo kwa wakati huo alishakuwa Mkuu wa kikosi maarumu cha kivita

    Akafanikiwa kufunga ndoa na Khadija ambaye ni dadaake Chinoge

    ”mamaa usiongee hivyo mbona sisi watoto wako wengine tunakupenda tunakujari ingawa wote tunahuzunika kaka yetu hakukaa nasi kwa furaha na amani"

    Khadija alizungumza hivyo



    ”Khadija mwanangu hivi hujaskia kile ambacho nimezungumza?"

    ”nimeskia mama Hafidhi kaka yangu uko wapi wewe? Angalia mama analia baba analia nasi sote tunakulilia wew,,,

    ”Hafidhi j Ikram Allahumma qhufillau warhamu filljanna"

    Mara wakashtuliwa na sauti ya mtu akitamka maneno wote wakageuka kumuangalia huyo mtu alikuwa ni kijana wa kiarabu mwenye umri wakama miaka ishilini nakitu hivi

    Kama tunakumbuka huyu ndiyo Shorter Sniper mwenyewe awapo kwenye umbile la kibinadamu

    Shorter Sniper akajongea mpaka pale na kujipweteka kwenye mkeka

    Akachukuwa ubani na kuutia kwenye kichanja cha moto moshi mwingi ulifuka

    ”Sheikhe vipi mbona umesitisha kisomo ghafla?"

    ”kisomo gani kijana wakati tushamaliza kila kitu"

    Sheikhe akajibu

    Huku akinyanyuka akaaga na kuondoka

    ”wee Sheikhe"

    Shorter Sniper akapaza sauti kumwita Sheikhe akasimama na kumgeukia

    ”kama kisomo cha kumrehemu Hafidhi kimeisha basi njoo utie ubani nimekuja kwaajili ya kufunga ndoa na huyu binti"

    Shorter Sniper alizungumza hivyo akamshika bibie Khadija shavuni

    “ohoo wee kijana embu jaribu kuwa na heshima. Kwanza umetokea wapi? Nijibu haraka kabla sijakunasa makofi"

    Mzee Ikram alizungumza kwa ghadhabu maana yule kijana alionyesha dharau za waziwazi

    “sijaja kwaajili ya kujitambulisha kuwa mi nani? Sijui natokea wapi nilichojia hapa ni kutaka kufunga ndoa na Khadija basi

    Tena imekuwa vizuri tukaunganisha na hiki kisomo ili kuepuka gharama za ubani

    Sheikhe embu sogea basi hapa"

    Shorter Sniper alizungumza kwa kujiamini sana

    ”Khadija mwanangu kwani unamfahamu huyu kijana?"

    ”hapana Mama mi simfahamu ndiyo namuona leo"

    Ghafla Madebe akamkunja Shorter Sniper na kumkazia macho

    ”wee fala huko ulipotoka umetumwa sio? Sasa nenda kamwambie aliyekutuma kuwa familia uliyotaka kuijaribu haijaribiwi kabisa potea faster"

    Madebe alifoka na kumsukumiza Shorter Sniper wala hakuteteleka yani alipepesuka kidogo tu akajiweka sawa akapiga hatua kumfata Khadija alipomfikia akamshika kichwa kilikuwa ni kitendo cha haraka mno kumpiga denda

    Hakuna aliyeweza kuamini aisee

    Mke wa Mwanajeshi komando wa kutumainiwa mkewe kunyonywa mate mbele yake

    Madebe alivimba

    “kijana kimbiaa huyo umuonae si kiumbe cha kawaida ujio wake hapo nakwaajili yako"

    Ni miaka miwili imepita tokea sauti hii ipotee kwenye ngome ya masikio yake

    Kwa mara nyingine teena

    Madebe anaisikia sauti ya Ninja Ice ikimtaka akimbie

    ”mwalimu nakimbiaje wakati familia ipo kwenye hatari?"

    “wee kimbia tu! Hiyo familia hawezi kuifanya kitu chochote kwa maana Chinoge yupo njiani kuja hapo kimbia sasa"

    Madebe alianza kukimbia na kweli Shorter Sniper alimuachia bibie Khadija na kuanza kumkimbiza Madebe





    ________________

    “kijana kimbiaa huyo umuonae si kiumbe cha kawaida ujio wake hapo nakwaajili yako"

    Ni miaka miwili imepita tokea sauti hii ipotee kwenye ngome ya masikio yake

    Kwa mara nyingine teena

    Madebe anaisikia sauti ya Ninja Ice ikimtaka akimbie

    ”mwalimu nakimbiaje wakati familia ipo kwenye hatari?"

    “wee kimbia tu! Hiyo familia hawezi kuifanya kitu chochote kwa maana Chinoge yupo njiani kuja hapo kimbia sasa"

    Madebe alianza kukimbia na kweli Shorter Sniper alimuachia bibie Khadija na kuanza kumkimbiza Madebe



    SONGA NAYO

    SASA



    Madebe alikatiza baadhi ya mitaa na vichochoro

    Huku akiwa anahema kufika maeneo ya mto Mbezi ambao umeigawanyisha Kawe na Mbezi Beach katikakati ya mto huo kulikuwa na viroba ambavyo hutumiwa kupita juu yake kwa wale watu ambao hawataki kukanyaga maji

    Ukitaka kupita juu ya viroba hivyo sharti ulipie iwe shilingi mia moja au mia mbili

    Unatoa ndipo unapita

    Kwa kuwa Madebe alikuwa anakimbizwa na kiumbe cha ajabu kufika pale mtoni aliona akipita kwenye vile viroba itakula kwake akafanya kuchumpa na kuruka samasoti moja hatari sana akatua upande wa pili na kuendelea kukimbia

    ”kudadeki mmeona alichokifanya komando Madebe?"

    Jamaa anaekusanya pesa akapaza sauti kuwaambia wenzake

    "Duuh tumeona aisee ile inaitwa iga ufe mamae"

    Madebe alizidi kukimbia pasipo kuchoka wala hakutaka kuangalia nyuma kwa maana Shorter Sniper alikuwa kajivika ukungu wa kutoonekana kwenye macho ya watu wa kawaida. Madebe alionekana kama vile kuna sehemu anawahi wakati Madebe anaendelea kukimbia kufika maeneo ya Shule ya msingi Ukwamani ghafla akasimama baada kumuona Shorter Sniper akiwa mbele yake

    Akakatiza kushoto na kukimbilia kambini sehemu ambayo kipindi cha nyuma kulikuwa na vijumba vingi vya Wastaafu wa Serikalini kwa wakati huo vilishabomolewa na kuacha Uwanja ukiwa wazi

    Madebe wala hakuweza kufika mbali yani kule kukimbia kwake ilikuwa ni sawa na kucheza yani alishtukia akipigwa Ngumi moja nzito akapepesuka na kudondoka chini. Ni ngumi ambayo ilimfanya kama ashikwe na mawenge fulani yani alidebweda akanyanyuka huku akinesanesa utasema kazidiwa na kilevi.

    Hata uwangaliaji wake ulikuwa ni hafifu sana

    Shorter Sniper alishafahamu kuwa tayari kamnyong'onyesha Mbaya wake

    Akapiga hatua za taratiibu kumfata alipomkaribia akamshika shingoni kwa kumkaba akamshindilia ngumi nyingine ya uso iliyomfanya Madebe acheuwe damu

    Akiwa vile vile kamkaba akawa anamnyanyua juu

    ”wewe ni binadamu wa aina gani? Uliyekubari kushirikiana na viumbe wabaya kha!kha!kha! Sasa leo unakufilia mbali ili uwende ukaungane na wapumbavu wenzak....

    Kabla Shorter Sniper ajaendelea kuzungumza zaidi kuna kitu kizito kilikuja na kukita kwenye ule mkono uliokuwa umemshikilia Madebe mtetemeko uliompata baada kupigwa nakile kitu ulimfanya amuachie Madebe kwa kumrusha juu huku yeye akiushikilia mkono wake

    Akajiweka sawa kuinua uso wake kuangalia mbele hakuweza kuamini macho yake baada kumuona Chi chi Chinoge akiwa amevimba kwa hasira huku mkononi akiwa na Nyundo kubwa na ndiyo iliyokita mkononi mwake

    “khaa inamaana bado unaishi? Umewezaje kutoka kule? Wakati ile sehemu kila anaeingia mule hawezi kutoka

    Nijibu umewezaje kutoka weweee?"

    Shorter Sniper aliuliza maswali mfurulizo mwenzake wala hakumjibu ndiyo kwanza alikaza macho kumuangalia baada kuona ajibiwi Silaha zake zikachomoza mikononi mwake na kuanza kufyatua risasi kumpiga Chinoge

    Kuna Nyundo nyingine ilikuja kwa kasi na kuanza kuzunguka utasema feni iliyozidishiwa speed mpaka mwisho Nyundo ilizunguka mbele ya Chinoge yani ilikuwa kama ngao risasi zote zilikita kwenye ile nyundo zikawa zinarudi zilipotoka

    Wakati huo huo

    Kuna birauli ilionekana ikishuka kutoka juu mawinguni ile Birauli ikatua mikononi mwa Chinoge Shorter Sniper akabaki kutoa macho sasa kule kushangaa kwake akajikuta vitu vya moto vikipenya mwilini mwake zilikuwa nizile risasi zake mwenyewe

    Shorter Sniper akawa anatokwa na damu nyeusi tii

    Chinoge akalirusha juu lile Birauli kisha akaruka na yeye akalipiga zinga la Teke likawa linaenda kwa Shorter Sniper kwa kasi lilipomfika likafunguka Moshi mzito wenye rangi mchanganyiko yani Bluu si bluu kijani si kijani nyekundu si nyekundu yani ulikuwa hauweleweki ulianza kumshambulia Shorter Sniper alipiga kelele za maumivu huku akianza kubadirika kutoka jinsia hii kwenda jinsia nyingine Mara awe Gogisu sijui Figisu

    Akawa Nipe Nikupe Mara Milfat yani alijigeuza kila aina ya kiumbe

    ”khaa kijana inamaana na wewe umekuja huku kufanya nini?"

    ”nimekufata wewe kaka"

    ”umenifata Mimi je nani atailinda na kuipambania dunia?"

    ”unamaanisha nini kuuliza hivyo? Wakati Mimi nimekufata wewe ili tukaendeleze mapambano twende kaka"

    ”kha!kha!kha! Hafidhi mdogo wangu wajna naomba ufahamu kitu kimoja ya kwamba nilizaliwa nikiwa kama Jini Mtu nafsi ya ubinadamu ikatoweka baada ya Mimi kupoteza maisha nikawa naishi kwa kutegemea nafsi ya Kijini nayo imetoweka hakika sitoweza kurudi tena duniani wala kuzimu"

    ”kakaa mbona kama sikuelewi kwani hapa tulipo ni wapi?"

    ”huku ni akhera sehemu ambayo kila nafsi yenye kuonja umauti itakuja huku kusubiri siku ya kuhesabiwa huku hakuna mwenye nguvu wala uwezo zaidi ya yule aliyetuumba kwa tone la manii lenye mchanganyiko na pande la nyama"

    ”khaa sasa mbona mi sijafa inakuwaje nipo huku?"

    ”ndugu wewe umefosi kujileta ni sawa na yule Bibi aliyetaka kujifunza maneno ambayo Malaika hutamka wanapotaka kurudi Mbinguni

    Yule bibi alipoweza kutamka yale maneno akajikuta akipaa kuja mbinguni alipifika huku akageuzwa kuwa nyota"

    “sasa itakuwaje wakati Mimi nataka kurudi duniani"

    Ninja Ice hakuwa na jibu la kumpatia ndugu yake akanyanyuka na kuelekea sehemu nyingine

    Chinoge alijirahumu sana kwa kitendo chake cha kumuamini Shorter Sniper

    Basi hakuwa na budi kuungana na Ulimwengu wa Roho kulikuwa na Binadamu wenye nyuso za kutisha na kukata tamaa huku wakionekana kujutia kwa mambo mabaya waliyoweza kuyatenda

    Siku moja ya Akhera ni sawa na mwaka mmoja kwa maisha ya duniani so ilimuwia vigumu Chinoge kuwepo kule kila wakati akawa anamuuliza maswali Ninja Ice aliyeonekana kutokuwa na ufahamu wowote ule

    Siku mbili ziliweza kupita ndipo siku moja Chinoge akatumia ufahamu wake kutoroka yani ile sehemu ilipofunguka tu yeye akatoweka akimuacha Ninja Ice akimpungia mkono huku akitabasamu

    Yote yalikuwa ni mawazo ya Chinoge huku akimuangalia Shorter Sniper aliyekuwa akiteketea

    Madebe naye alibaki kushangaa tu!

    ”hiyo ndiyo Kipapatio cha Nani? Unakufa nacho mshenzi mkubwa wewe"

    Chinoge alizungumza kwa ghadhabu akaiachia ile nyundo nyingine ikaenda kumaliza mchezo kwa kumpasua Shorter Sniper vipande vipande

    Nyundo ikarudi mkononi mwake

    Akamgeukia Madebe alimuangalia huku akitabasamu

    ”hongera kijana nafsi ya kaka yangu itaishi mwilini mwako muhimu ni kwa wewe kujitambua kuwa ni nani?

    Unahitajika kufanya nini kwa wakati gani

    Kaka yangu hatorudi tena

    Nami sina budi kuikamata nafasi yake japokuwa nafsi yake ipo kwako

    Itunze iangalie familia yangu

    Chinoge alizungumza hivyo haliyakuwa akimsogelea Shemeji yake akamshika begani kitu cha ubaridi kilianza kusambaa mwilini mwa Madebe

    Yale maumivu aliyokuwa nayo yakatoweka

    Chinoge akapaa juu na kumpungia mkono wa kwaheri

    Madebe naye akafanya hivyo

    Siku mbili baadae kuna taarifa za Mauwaji ya kutisha ziliweza kusambaa kama umeme kuwa Mzee William kukutwa akiwa ameuwawa kikatiri kwa kushinjwa huku Muuwaji akiacha kikaratasi kidogo kilichoandikwa maandishi ya somekayo KIPAPATIO CHA NANI?

    wakati taratibu za mazishi zikifanyika huku wapelelezi wakiendelea na upelelezi mauwaji mengine yakatokea

    Mkuu wa Majeshi kukutwa akiwa kaning'inizwa juu ya panga boi iliyokuwa ikizunguka

    Hapo Wanajeshi wakajiweka tayari tayari kwa vita maana ilishafahamika kuwa nchi imevamiwa na watu wasiojulikana.

    Kikao cha dharula kikawekwa kila mmoja alizungumza lake juu ya mauwaji hayo mikakati ikawekwa

    Ulinzi mkari ukadumishwa maeneo ya mipakani

    Miezi miwili baadae bwana mkubwa Madebe akaapishwa kama mkuu wa Majeshi hakika alidondosha machozi akashika mic ili azungumze mawili matatu akainua uso wake kuangalia juu

    Akashtuka kidogo baada kuziona taswila za familia yake wakimpigia Saruti haliyakuwa wakitabasamu

    ”baba,mama leo hii mtoto wenu nimesimama mbele ya Muheshimi Raisi nikila kiapo cha utiifu juu ya kuilinda na kuipigania nchi yangu

    Milfat Dada yangu umeondoka na kuniacha haliyakuwa nikiwa mpweke ulipenda kaka yako niwe Mwanajeshi na leo nimekuwa General

    Magoma mdogo usilie futa machozi naimani siku moja nitakuja huko mlipo"

    Madebe alizungumza kwa hisia sana na kuwafanya baadhi ya watu wadondoshe machozi zile taswira zikatoweka Mara akaonekana Ninja Ice naye akimpigia Madebe Saruti

    Akaibuka Chinoge akiwa anamuonyeshea Madebe ishara ya bunduki hii ilimfanya Madebe acheke mpaka kuangua kilio kwa sauti

    Binafsi alitamani uwepo wao wote wangekuwepo pale ila ndio hivyo

    Wameondoka

    ”pole sana shemeji"

    Madebe alishtushwa na sauti ya kiume ikimpa pole alipimuangalia huyo mtu hakuwa mwingine ni Hashimu mume wa marehemu Milfat kumbe alishapatikana Mzee wake akampeleka huko Uwarabuni kwaajili ya kutibiwa

    Madebe akakumbatiana na Shemeji yake yule

    CHINOGE ALIAMUA KURUDI KWENYE ULIMWENGO WA ROHO JAPOKUWA HAKUWEZA KUINGIA AKAJIWEKEA NADHIRI KUWA KILA MUDA ATAKUWA ANAUZUNGUKA ULE MLANGO WA ROHO ILI KUWEZA KUMCHOMOA KAKA YAKE HAKUTAKA KURUDI TENA DUNIANI



    ****MWISHO****





     

0 comments:

Post a Comment

Blog