Search This Blog

Thursday 24 November 2022

PENZI NI HAKI YANGU - 3

 

     

     

     

    Chombezo : Penzi Ni Haki Yangu

    Sehemu Ya Tatu (3)

     

     

    “jamani nini tena hiko?"

    Kila mmoja akaanza kujiuliza maswali pasipo kupata jibu. Upepo ukavuma kama dakika tatu hivi kisha ukatulia na kuwa kimyaa majamaa yaka tazamana na kucheka kwa dharau “ha!ha!ha!ha! Kumbe sisi waoga ehee yani upepo kidogo tumeshtuka

    Dadeki embu rusha mpira huo"

    Yani mtoto wa binadamu mwenzao wanaita mpira

    Mtoto akarushwa juu lakini kabla yule aliyerushiwa hajamdaka kuna kiumbe kilikuja kwa kasi na kumdaka yeye

    Akazunguka na kumfunga yule mtoto mgongoni mbereko sijui kaitolea wapi. Alikuwa ni Ninja short baada kupotea takribani miaka

    Mitano sasa amerudi tena “wee nani? Unataka nini ndani ya hii Pampuch?"

    Mmoja kati yao akauliza swali lakini akajibiwa na kisu kidogo kilichorushwa na kwenda kukita kwenye mdomo wake Mwanaume akachana taya za yule jamaa. Huku kisu kile kikizunguka na kwenda kucheza na shingo za wengine wawili,

    Hafidhi alikuwa kachukizwa na ule unyama wa kufanywa mpira kitoto kile ambaye ni malaika wa Mungu japokuwa alikuwa analia kusema anaumia majamaa hayakujali. Sasa wataisoma number

    ndani ya mjengo huo kulikuwa na watu wengi sana wapatao mia

    wakiwa kwenye vyumba tofauti tofauti

    sasa Mwanaume akaanza kuchinja wale wa mwanzo yote Asia alibaki kushuhudia tu huku akitetemeka akifahamu muda si mrefu kifo chake kitafata.

    Wanaume wa shoka wakajipanga na kumvamia lilikuwa ni kosa kubwa sana. Yani alikuwa anazunguka kwa kasi huku akitembeza visu

    Mfano wa Danny Trejo kwenye

    Desperado watu walichinjwa kisha akaichukuwa moja kati ya pikipiki na kumwambia bibiye panda twenzetu.

    Asia akawa anaogopa akitizama mwanae yupo mgongoni mwa jamaa atamuachaje aende nae. Hakuwa na jinsi ni kupanda tu,

    Hafidhi akaondoka eneo hilo kwa speed ya ajabu,

    Wakazi wa maeneo ya Pampuch wakatoka majumbani mwao baada kusikia vilio vikitokea ndani ya mjengo huo, kila mmoja hakuweza kuamini baada kukuta miili ya watu wamelaliana

    wakiwa tayari marehemu Damu zikiwatoka sehemu zao za shingo, “Nilishawai kusema Mimi ipo siku serikali itatuma mtu mfano wa

    Scorpion aje kuwatoboa macho watu wakabisha, sasa mnaona huyu ni zaidi ya Scorpion ameondoka na roho za watu",,,,

    Kuna binti mmoja aliongea hivyo kuwaambia wenzake

    Polisi wakafika eneo la tukio baada kupigiwa simu na kukuta hali ya kutisha mfano wa Sudan

    Habari zikatangazwa kila kona huku baadhi ya watu wakitaka kufahamu mambo mengi yaliyokuwa yakitendeka ndani ya mjengo huo.

    Undercover agent bibiye Mona Lisa akaweza kufika wakafanya uchunguzi chumba hadi chumba

    Gorofa hadi gorofa na kugundua mambo mengi ya ajabu kwanza tukiachana na biashara ya uuzaji wa madawa ya kulevya sijui bange wanawake kuuza miili yao. Pia kulikuwa na biashara ya viungo vya binadamu kama vile ngozi

    Figo ini mafuvu ya kichwa kwa wale watu wenye viubalaza. Kila mwananchi aliyeweza kuzipata taarifa hizo akashtuka na kubaki kushangaa.

    Yasri aliweza kuzipata habari hizi akiwa amekaa kwenye moja kati ya baa zilizopo maeneo ya Tip top

    pale Manzese akaikodolea macho TV ambayo ilikuwa ikitangaza taarifa ya habari huku akishushia funda la bia.

    Binafsi Yasri hakuwai kunywa pombe lakini kutokana na maisha kumchanganya huku akiona kama dunia imemtenga akaona kuondoka mawazo hana jinsi awe mnywaji wa pombe,

    akamshukuru sana Master wake kwa kumpa miujuzi mpaka kufanikiwa kuingia Bank mchana kweupe akakwapua mamillion ya Pesa kisha kuna mabwege wamejichotea kiulaini tu.

    Yani katika million mia mbili hamsini wamenipatia million kumi tu, dadeki Princess utakufa kifo kibaya sana". Yasri akazidi kuwaza huku akiendelea kugwida kinywaji chake

    Chupa kibao zilikuwa zimemzunguka

    Mabinti waliomo ndani ya baa hiyo hawakucheza mbali wakajalibu kujipitisha walau mmoja wao aitwe pasipo kufahamu mwenzao Kavulugwa.

    Baada kugida pombe vya kutosha akainuka kutoka kwenye kiti, kwa mwendo wa kuyumba akaelekea chooni. Huku nyuma kuna vijana kama watatu wakaangaliana na kupeana ishara fulani kisha nawao wakaelekea chooni

    Yasri akiwa bwii akaifungua zipu yake na kupunguza baadhi ya chupa alizogwida kuna njemba zikaingia chooni mule mmoja akaja kwa kasi na kumkaba roba huku akitoa amri

    “tulia hivyo hivyo toa kila ulichokuwa nacho mfukoni vinginevyo roho yako ni halali yetu",,,

    Yasri akakumbuka kauli ya Master wake ambaye ni Hafidhi alipomwambia hawa uwaonao ni sawa na vifaranga vya kuku tu, ndiyo sehemu nzuri ya kupima uwezo wako kabla ya kukutana na mijogoo yenyewe wafinye"

    Baada kukumbuka vile akafutuka kwa kasi na kujitoa mikononi mwa yule jamaa akadunda kwenye sink huku akiachia mateke ya ajabu ndani ya dakika tano washkaji wapo kimyaa wamelaliana chini

    Akawasachi na kuchukuwa Wallet zao pamoja na simu zao akatoa Line na kuzitupa pale pale

    kisha akatoka chooni utasema sio yeye,

    Hakika anatisha, akaisogelea kaunta na kulipia akaenda kubeba. Bia zilizobaki na kusogea nazo kwenye meza ambayo kulikuwa na mabinti wamekaa

    “nimewaletea zawadi hizi watoto wazuri kunyweni mpaka mtambae"

    Yasri akaongea kwa sauti ya kilevi baada kuwapatia huku akiwambia zingine wakafate kule kaunta yeye akaondoka zake,

    “Tafadhali kaka yangu usiniuwe nina mtoto mdogo ndio kwanza ana umri wa miezi sita Mimi ndio kila kitu kwake,"

    Asia baada kufikishwa sehemu moja hivi sijui ndani ya Godauni au wapi akapiga magoti chini kumuomba Ninja short asiweze kumdhuru,

    Hafidhi akaivua mask yake na kutabasamu

    “Asia my sister hutakiwi kunipigia magoti embu simama mshike mwanao

    Mpe nyonyo anyonye" Yani binti hakuweza kuamini aisee baada kuiona sura ya yule mtu akamkumbuka vyema mchana wa leo alimuona wapi.

    “wee nani?"

    Binti akauliza huku akimpokea mwanae na kumpa nyonyo lakini maziwa yalikuwa hayatoki yote sababu ya kukosa chakula kutwa kucha

    Akampa nyonyo lingine hali ikawa ni ileile

    Hafidhi alipomtazama vizuri yule binti

    Chini ya tumbo kafunga jiwe

    “hili jiwe la nini tena?" Akamuuliza

    “nazuia njaa ewe kaka yangu sijala tokea jana usiku nahangaika kidogo nikipatacho nampatia mwanangu ambaye ndio ndugu pakee niliyebakia nae,"

    Asia akaongea kwa shida yote sababu ya njaa mtoto nae analia,

    “embu nisubiri hapa niende kufata chakula"

    Hafidhi akapanda pikipiki na kuondoka ile anafika nnje ya lile Godauni akapotea

    Hata dakika tano bado akarudi na kuipaki pikipiki

    Akashuka akiwa na mfuko akaanza kutoa vyakula

    Kulikuwa na chips mayai nyama ya kuku soseji

    Na ubwabwa kwa maharage wenye mchuzi wa nyama ya Ng'ombe

    Asia udenda ukamtoka akatoa na pakti la maziwa “haya maji haya hapa embu mlete mtoto nimnyweshe Maziwa"

    Hafidhi akaongea huku akiifungua chupa zile zenye chuchu akamimina maziwa ndani yake

    Yani mtoto kuwekewa tu ile chuchu mdomoni akaanza kunyonya kwa fujo kuonyesha jinsi gani alikuwa na njaa. Hata mama yake akakifakamia

    Chakula yani alikula huku chips huku tonge la ubwabwa.



    Hafidhi akabaki kusikitika tu, baada kula na kushia na maji Asia akamshukuru sana Hafidhi

    “haya nyanyuka twende nikakutafutie sehemu nzuri ya kulala," Asia hakujiuliza sana yani aliona kama vile Mungu kamshushia muokozi wa maisha yake

    Ndani ya hoteli moja yenye hadhi ya juu iliyopo katikati ya jiji bibiye Asia alikuwa bafuni akioga huku akifikilia mambo mengi kichwani kwake

    Wakati yeye akiwa bafuni Hafidhi alikuwa akimuogesha yule mtoto baada kumaliza akamfuta kwa tauro na kwenda kumlaza kitandani kilikuwa ni chumba kizuri spesho kwaajili ya watu matajili

    Akampaka poda na kuibonyeza neti ikashuka yenyewe.

    Asia nae akatoka bafuni

    “sasa Sister wacha mi niende Allah akijaalia kesho asubuhi nitakuja kuwaona"

    Hafidhi akajiandaa kutoka lakini kabla hajagusa kitasa cha mlango akasikia bibiye akimwita

    “kaka"

    Akageuka kumtazama,

    “ehee kipi unataka kuniambia sister?"

    “wewe ni nani? Na kwanini unanifanyia yote haya?

    Unataka nini kutoka kwangu?"

    Asia akajikuta akiuliza maswali matatu kwa mpigo

    Hafidhi akapiga hatua kumfata mpaka Asia akaanza kuogopa na kurudi nyuma kwa uwoga.

    Lakini alikuwa tayari ameshamfikia akamshika begani na kumwambia

    “usiogope, Mimi ni mtu mzuri kwako naitwa Hafidhi j Ikram," Yani kutajiwa jina tu bibiye akashtuka

    Na kuuliza kwa kitete

    “wew----weeee ndioo---yule was mtaa watatu?"

    “ndio Mimi mamaa nipo hapa kusikiliza matatizo yako usiogope" baada kuongea hivyo Hafidhi akatoka

    Huku nyuma Asia akainuka na kuanza kushangilia huku akisema

    “weweee hatimae Mungu kasikia kilio changu leo hii kaniletea huyu Mwamba asiepigika wala kushikika

    Sasa niandike arama ya ushindi

    Bingo",,,,,, akapanda kitandani akiwa na furaha ya ajabu hakutaka kujiuliza kuhusu Hafidhi gerezani katokaje



    Yasri akiwa ndani ya chumba chake alichopanga maeneo ya Manzese baada kuondoka

    kule Guest alikuwa yupo kitandani yapata majira ya saa nane usiku bado yupo macho licha ya kunywa pombe akiona ndio suruhisho pekee la kuondoa msongo wa mawazo. Lakini ikashindikana

    Ndio kwanza mawazo yakazidi kumsonga.

    Akiwa ametulia kitandani kimya ni kitanda na godoro alivyonunua mchana wa siku hiyo, akahisi kama kitasa cha mlango wake kikitikiswa

    Akajiuliza “nani tena huyu au ndio vibaka wa maeneo haya sasa subiri hapa wameingia choo cha kike"

    Akanyanyuka taratiibu na kupiga hatua za kunyata pasipo kuwasha taa na kujificha nyuma ya mlango,

    Mara mlango ukafunguliwa aliyefungua mlango akaingia nae akinyata kukisogelea kitanda

    Yasri akajiandaa na kuachia teke

    Lakini kabla halijampata yule mtu akajikuta mguu wake ukidakwa akatupwa kitandani,

    Mwanaume akachompu na kuja kwa speed lakini kila akipiga mwenzake anazitoa tu,

    Yasri ujanja ukamuishia baada kupigwa ngumi ya mdomo akahisi harufu ya damu ikimaanisha

    Zinamtoka puani

    Yule kiumbe akawasha taa na kumfanya Yasri atoe macho pima asiweze kuamini kile akionacho mbele ya upeo wa macho yake",,,,,





    Yasri hakuweza kuamini na kujikuta akiita

    “Master,,,,Mwalimu" ni kweli alikuwa ni mwalimu wake muokozi wake ambaye ni Hafidhi j Ikram nae akamtazama mwanafunzi wake usoni kisha akaenda kukaa kitandani pasipo kuongea

    Lolote kisha wakaanza kucheka

    “ha!ha!ha!ha!ha! Tehe!tehe!tehe! Yani walicheka wee Mara wakanyamaza na kutizamana tena kisha wakaendelea kucheka

    “hahahahahaha" Unaweza kusema wamekuwa vichaa kumbe ni moja kati ya style yao,

    “Brother umejuwaje kama nipo maeneo haya?"

    Yasri akaacha kucheka na kumuuliza swali

    “kabla sijakujibu naomba ukapige mswaki kisha naomba ukaoge kwani harufu ya pombe sipendi kuisikia kabisa, Yasri kumbe unakunywa pombe nini shida nini tatizo kijana?"

    Yasri akujibu kitu hakupenda kumuona Mwalimu wake akiwa kachukia ukifikilia ni kama ndugu pekee aliyebakia katika maisha yake

    Baada kuona dunia imemtenga akainuka na kuchukuwa maji ambayo aliyakuta pale nnje kwani yeye hakuwa na ndoo hata moja

    Akaenda kuoga pamoja na kupiga mswaki akarudi chumbani kwake hakuweza kumkuta mwalimu wake

    Akatoka nnje kumtafuta hayupo akazunguka huku na kule hayupo, akarudi zake ndani

    Wakati anataka kupanda kitandani akaiona barua

    Akaichukuwa na kuitupia macho ilikuwa imeandikwa hivi.

    (YASRI MDOGO WANGU KWANZA SAMAHANI SANA TENA SANA NAFAHAMU UMECHANGANYIKIWA BAADA KUKUTA PESA ZAKO ZIMECHUKULIWA.

    BINAFSI MIMI NDIO NILIEZICHUKUWA

    KWANI KILA HATUA UNAYOPIGA MIMI NIPO NYUMA YAKO, YOTE KATIKA KUHAKIKISHA NAKUSAIDIA PALE UTAKAPOKUMBANA NA UGUMU WA KAZI YAKO, NIMESHINDWA KUKAA CHUMBANI KWAKO KUTOKANA NA HARUFU YA POMBE KUENDELEA KUWEPO. TAFADHALI ACHA POMBE

    UKIHITAJI PESA NIAMBIE NUMBER YANGU NI 0675082390 NIPIGIE TU

    PIA NAKUOMBA KESHO ASUBUHI UJE PALE NAMANGA KUNA MTU NATAKA NIKUKUTANISHE NAE WAKO HAFIDHI J IKRAM BYE)

    Barua ikaisha hivyo na kumfanya Yasri acheke si kidogo,

    “hahahahaha kumbe kila nikinyanyua unyayo wangu Mwalimu nawe unakanyaga hapo hakika wewe ni nyoko sijawai kuona mtu professional kama wewe

    Dahaa masikini ya Mungu kumbe nilitaka kumuuwa Mtoto wa watu bure tu. Itabidi kesho nikamuone ikibidi nije nimlete hapa tupeane raha,"

    Yasri akajibwaga kitandani usingizi ukampitia

    “Mama Zahra nani kachukuwa maji yangu?"

    Ni asubuhi na mapema watu walikuwa ndio wanadamka, kuna mrembo akiwa kajifunga kanga moja akapaza sauti kuulizia maji yake

    “mi sijui"

    “sasa nani kachukuwa nyumba nzima nyoko zenu mafala tu sasa leo aliyechukuwa maji yangu

    Atanitambua mimi ndio

    Mwanahamisi mwenye homoni za Hamisi

    mtoto wa Kidigo",, binti akaanza kubwata kwa sauti kubwa, nyumba nzima pamoja na majirani waliweza kumsikia. Lakini hakuna hata mtu mmoja alienda kumwambia Aache matusi

    Kila mmoja alimfahamu ni binti wa mama mwenye nyumba hiyo anapenda shari kuliko kula

    Ukimtibua atakujazia nzi

    Hata kama huna kinyesi kingine amejiunga kwenye camp la vijana wakihuni. Ni kikundi hatari sana.

    Zile kelele zikamfanya Yasri atoke nnje na kumsogelea Mwanahamisi

    “samahani Dada yangu mbona unapiga kelele hovyo

    Kama tatizo ni maji Mimi ndio niliechukuwa wacha nikakutekee kwani bomba liko wapi katika maeneo haya?"

    Yasri akaongea kwa sauti ya upole na kuchukuwa ile ndoo aliyotumia maji yake

    Wakati anaongea ghafla Mwanahamisi akawa mpole huku akiwa kama mtu aliyepigwa na bumbuwazi asiweze kuamini macho yake,

    Ikabidi Yasri amshike begani kwa kumtikisa

    “bibiye eti bombani wapi?"

    Binti akashtuka kwa sauti ya kubabaika akatamka

    “huk----uuu ahaa ku----lee, au basi acha tu nitanda kuteka mwenyewe",, Mpaka hapo mtoto wakike alikuwa kafa kaoza

    Utamwambia nini juu ya aliyoko mbele yake

    Yasri akampatia ile ndoo “Mtoto mrembo kama wewe ukicheka una mwanya una dimpo

    Yani wee acha tu unaitwa nani?"

    Yasri akaanza Kuchombeza na kumfanya

    Mwanahamisi ajizibe sura yake akakimbilia ndani huku akitabasamu, naweza kusema kama angekuwa

    Shahrkhani song lishaanza

    “ajabu hii yani leo Mwanahamisi kawa mpole kwa yule mkaka,"

    “ndio maana yake kila ndege na mti wake uskute mtoto wakike ndio katua pale,

    “Umeona ehee maana angekuwa mtu mwingine pale angeyakoga matusi mpaka ajute kumfahamu"

    Walikuwa ni baadhi ya wapangaji wa nyumba hiyo wakiulizana na kuzungumzia

    kuhusu Mwanahamisi kuwa vile. Yasri baada kuona mtoto kitu nyuma wazile yani tembea yake utasema mzigo unataka kudondoka akatabasamu na kurudi chumbani kwake

    Akaikumbuka ile barua akafunua shuka ya kitanda na kuitoa akaanza kuisoma upya

    Akasogea mpaka ilipo suruwali yake na kutoa simu za smartphone kama tatu. Ni zile alizowachukulia washkaji usiku wa jana,

    Akaichagua moja na kujisemea

    “sasa itabidi nianze kuitumia hii lakini si itakuwa na pattern au password. Nitaenda kuiflash,"

    Yasri akajiongelesha mwenyewe na kujiandaa kutoka.

    Katika hospitali ya Aghakani kulikuwa na hali ya mshangao kuanzia kwa ndugu jamaa na marafiki hadi Madaktari kila mmoja akapigwa na bumbuwazi juu ya bibiye Mariam yani asubuhi ile

    Aliamka kutoka kwenye usingizi mzito akiwa katika hali mbaya eti leo hii yupo katika eneo la bustani akifanya mazoezi.

    Ajabu hii yani alikuwa akikimbia kupiga pushap

    Kuruka kichura chura

    Hata bibiye Mona Lisa alipofika akashangaa akanyoosha mikono juu kumshukuru Mungu kwa muujiza aliotenda. Tukumbuke

    Hafidhi ndio kamfanyia yote hayo

    “yani siamini kabisa kama ndio wewe au mzimu"

    “huamini nini sasa tambua Mimi ni mtu wa mazoezi kila dakika nipatapo ajali kama hizi

    Haraka napona wee mwenyewe si unaona,"

    Mariam huku akitabasamu alimjibu Mona Lisa,

    Baada kufanya mazoezi akarudi akaingia ndani ya gari na kuondoka huku nyuma akiacha hali ya sintofahamu

    “imewezekana vipi mgonjwa kafikishwa hapa juzi tu akiwa hoi taabani kavunjika mguu na mkono

    huku sehemu ya kichwa kukiwa na jeraha kubwa tu

    Mpaka kufikia kulazwa chumba cha ICU

    Leo hii anaamka akiwa mzima kweli huu ni muujiza,"

    Daktari mkuu wa hospital hiyo aliongea mbele ya Watu wengine,

    “vipi Dada kazi zinakwendaje?"

    Wakiwa ndani ya gari Mariam akamuuliza Mona Lisa

    “yani hapa nashukuru Mungu Dada yangu umeweza kupona. Yani nilijuwa nawewe unanikimbia kama kina Vivian kuhusu kazi naweza kusema

    Zimezidi kuwa nzito mpaka najiuliza kwanini nimerudi tena kazini wakati nilishatangaza kustaafu," “usiongee hivyo Dada sasa kama wewe ukiachana na hii kazi Mimi nitawezaje kuifanya peke yangu

    Embu nipatie maelezo kuhusu huo ugumu wa kazi"

    “Maelezo yote yapo kwenye hizi Document unaweza kuzipitia tu"

    Mona akatoa baadhi ya karatasi na kumkabidhi Mariam ukimya kidogo ukatawala

    “mmh!" Mariam akaguna baada kuipitia

    Document moja

    “vipi mbona unaguna tena?"

    “nashangaa kuhusu haya matukio yani mtu kapigwa risasi akiwa anarejea nyumbani kwake.

    Kubwa kabisa kuhusu tukio la Pampuch

    ni kiumbe gani alitokea kabla nyie hamjafika?"

    Mariam akaongea na kuuliza swali.

    “Binafsi siwezi kufahamu ni kiumbe gani lakini inasemekana alikuwa kavaa Kininja mwili wake wote ulikuwa ukitembelewa na short ya Umeme

    Sasa hapa napata wasiwasi na uwepo wa Hafidhi kule Gerezani usikute anatoka kwa siri anakuja kufanya mambo yake kisha anarudi,"

    Mona Lisa akaongea kile ambacho nafsi yake ilichofikilia,

    Akasimamisha gari na kupiga honi geti kubwa likafunguliwa na kuingiza gari ndani

    “mamaa huyoo"https://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Alikuwa ni Yusra baada kumuona mama yake akamkimbilia na kumkumbatia kwa furaha

    Ikram alionekana kasimama pembeni akiwaangalia tu,

    “Ikram mwanangu vipi mbona umesimama tu hapo embu njoo mtoto mzuri ehee"

    Ikabidi Mariam amwite na kujaribu kumchangamsha maana alifahamu Ikram muda mwingi anakuwa ni mtu wa majonzi juu ya kifo cha Mama yake.

    Basi wakaongozana kwenda ndani na kumkuta

    Mama wawili yani bibiye Beatrice akiwa amekaa sebleni akinywa chai

    “Whaoo mke mwenza huyoo vipi mbona umepona ghafla hivi?"

    Beatrice akauliza huku akimkagua mke mwenzie. Tukumbuke Beatrice hajaolewa bado sema alizaa na Hafidhi watoto mapacha wakike na wakiume

    hapa namzungumzia Sheila na Seiph

    ndio watoto mapacha ni wakubwa kiumri

    Yani Ikram na Yusra wamezidiwa mwaka mmoja

    “hata mimi mwenyewe nashangaa hakika ni miujiza eti.

    Basi furaha ilikuwa kubwa wakajumuika kunywa chai.

    Yasri baada kufika maeneo ya Namanga

    Akashuka akaitoa simu yake na kupiga ile number akaambiwa asubiri hapohapo

    Dakika si nyingi Hafidhi akafika akiwa na pikipiki ambayo aliikwapua kule Pampuch

    Na kumwambia Yasri apande wakaenda hadi

    Posta na kupaki mbele ya Hoteli moja ya kifahali

    Kisha wakashuka na kuingia ndani ya mjengo huo

    “bila shaka ni zile pesa zangu brother anatanua tu"

    Yalikuwa ni mawazo ya Yasri akuwaza hivyo

    Wakaelekea hadi mapokezi

    Baada maelezo mafupi kutoka kwa Dada wa mapokezi wakaingia kwenye Rift kupandisha juu,

    Wakiwa kwenye lift kuna Wazee wa suti kama sita hivi na wao wakaingia ilikuwa ni mijibaba

    Mziki mnene wote wametinga miwani myeusi

    Kila mmoja akamsoma mwenzake

    Hafidhi na Yasri walikuwa wapo nyuma ya wale jamaa kwanza wakatizamana na kupeana Ishara

    Tuwashe moto mwamba

    wakati huo wale watu walikuwa wanaingiza mikono kwenye makoti yao,

    Patamu hapo





    Hafidhi alikuwa yupo makini sana katika kuwasoma wale watu, huku Yasri nae akijiandaa kukabiliana na chochote,

    Lift ikasimama huku wale majamaa yakitoka na kugeuza sura zao kuwatazama kina Hafidhi mpaka milango ya Lift ilipofunga,

    “opsii dohoo afadhali wameondoka"

    Yasri akashusha pumzi nzito na kutamka hivyo

    Hafidhi akatabasamu tu

    “kijana embu acha uwoga" akamwambia na kumpigapiga begani

    Wakashuka kwenye Lift na kupiga hatua kadhaa kukisogelea chumba number tisini na mbili

    Hafidhi akatoa kadi na kuingiza sehemu ya ule mlango na kusubilia

    Sekunde si nyingi Asia akaja kufungua mlango

    Wakaingia ndani “whao mtoto mzuri umeshaamka tayari",,,, ilikuwa ni kauli ya Hafidhi akimwambia yule mtoto mchanga akainama pale kitandani na kumbeba akaanza kumrusharusha huku akimgeuza ni kawaida kwa watoto wadogo kufanyiwa hivyo pindi waamkapo asubuhi.

    Yasri alikuwa ametulia kimya kwenye sofa

    Huku kichwani kwake akiwaza vitu fulani,

    “kwanini Master kanileta ndani ya chumba hiki?

    Huyu binti ni nani yake?"

    Ni maswali yaliyopita ndani ya kichwa chake pasipo kupata majibu,

    “sasa bibiye jiandae basi twende tukapate kifunguwa kinywa kisha mambo mengine yafatie"

    Hafidhi akamwambia bibiye Asia

    Basi akaingia bafuni akatoka akiwa tayari kabadirisha mavazi kiukweli alipendeza

    “whaoo umependeza si mchezo"

    Hafidhi akaanza kumsifia Asia akacheka tu wakati wanatoka ghafla milio ya Risasi ikasikika na kuwafanya warudi ndani ya chumba

    Asia akaanza kutetemeka kwa uwoga baada kusikia milio ya Risasi

    “Tulia bibiye usiogope tulia ehee. Yasri naomba umuangalie binti Mimi natoka kidogo, nitarudi muda si mrefu,"

    Hafidhi akajitahidi kumtuliza Asia na kumkalisha kitandani na kumuomba Yasri amchunge bibiye kisha yeye akatoka “sasa Brother unaenda wapi?"

    Yasri akauliza sema hakuweza kujibiwa kitu

    Mwanaume akatoka nnje ya chumba ile anatoka tu akachenji mavazi ikawa kila hatua anayopiga anasindikizwa na upepo mzito

    Akawa kama Kivuli hivi kikitembea kwa kasi. Sijui ilikuwa ni Gorofa ya ngapi kulikuwa na purukushani za hapa na pale baina ya wale wazee wa suti na

    Vijana wengine kama wawili

    Kila mmoja akiwa na Bastola wakitupiana Risasi unaweza kusema wapo kwenye kuekti movie ya Action shooter.

    Kijana mmoja akapigwa risasi ya kichwa huku mwenzake akishuhudia macho yakamtoka na kupaza sauti kuita “Davidiiiii"

    Akajisahau kama yupo kwenye mapambano akatoka mbio kumkimbilia mwenzake

    Ikawa ndio nafasi nzuri

    Kwa wazee wa Suti kumaliza mchezo kijana akapigwa Risasi ya mguu huku nyingine ikitua begani Kijana akadondoka chini. Akabaki kutambaa kuusogelea mwili wa mwenzake

    Damu nyingi zikimvuja

    “David!!! Kaka usife please inuka"

    Kijana akazidi kutambaa huku akiongea hivyo,

    “oyaa Saguaro nenda kamalize kazi" mmoja kati ya Wazee wa Suti alimwambia mwenzake kitendo

    bila kuchelewa Saguaro akatoka sehemu ambayo alikuwa kajificha na kumfata yule kijana

    Ghafla kikatokea kitu ambacho hakuna aliyetarajia

    Baada Saguaro kurushwa hewani na kurudishwa alipotoka akiwa hana kichwa

    Wenzake wakashtuka na kufyatua Risasi kwa fujo kuelekezea ile sehemu

    Zikapita kama dakika tano kukawa kimyaa wakatizamana “Pasco embu nenda kaangalie"

    Akaamrishwa mwingine basi kwa mwendo wa kunyata Pascal akaelekea huko

    Ghafla akasikika akilia kwa uchungu

    “Mamuwee, nakufaa kikarudishwa kichwa chake

    kikadunda chini utasema mpira mpaka hapo

    Wazee wa Suti kila mmoja akashikwa na kitete wakaenda wote huku wakiendelea kuvurumisha Risasi lakini upepo ukazidi kuvuma kwa kuwafata wao kitendo kilichowafanya Bastola zao ziponyokea na kutupwa mbali wakabaki mikono mitupu.

    Kuja kutahamaki Mbele yao kuna kiumbe kimesimama

    “Nani wewe?"

    Wote kwa pamoja wakajikuta wakiuliza,

    Ninja Short hakuwa na jibu akawaita kwa ishara ya kidole cha Shahada, ukaanza kutembezwa mkono wa maana kiukweli Wazee wa Suti walikuwa wako

    vizuri katika Mashowart Artist

    wakitumia style ya Taikondo

    Ninja Short akawa akipanchi huku na kule Vijana nao wakachumpa kwa kudunda kwenye ukuta binafsi utaipenda hii

    Ninja short akapotea na kuwaacha Wazee wa Suti wamechoka hoi huku wasiweze kufahamu mbaya wao kaelekea wapi. Kumbe kupotea kwake

    Alishawaona kina

    Mariam wakipandisha ngazi kuja juu

    Milio ya Risasi ikasikika huku vijana wale wakidondoka chini

    Alikuwa ni bibiye Mona Lisa akiachia

    Risasi wakafika mpaka pale na kukuta miili imelaliana tu.

    “Yasri" Alikuwa ni Hafidhi akimwita Yasri aweze kumfungulia mlango

    Yasri akaja kufungua mlango nae akaingia ndani faster akaelekea bafuni akavua T-shirt yake

    Dahaa alikuwa kachanwa na kisu

    akakenua meno macho yakaanza kuwaka moto ile sehemu yenye jeraha ikajiunga na kuwa safi

    Akajirudi katika hali yake.

    Akatoka bafuni na kuwaambia

    “Yasri mbebe mtoto twenzetuni" kitendo bila kuchelewa wakatoka.

    Wakafika kwenye Lift wakasimama kila mmoja akiangalia huku na kule

    “Jamani tushuke kwa ngazi haina haja ya kupanda

    Lift,"

    Hafidhi akaongea hivyo huku akiondoka

    Yasri akiwa kambeba mtoto

    Akamtazama Asia na kumwambia kwa ishara ya kichwa twenzetu, wakamkimbilia Hafidhi

    yani ile wanaondoka tu Lift ikasimama milango ikafunguka akatokea bibiye

    Mariam na mwenzake Mona Lisa mikononi wakiwa na Bastola hakika walionekana kuwa makini sana

    Wakapiga hatua za minyato kukisogelea chumba ambacho muda si mrefu

    Hafidhi na wenzake walitoka.

    Mona Lisa akakitoa kikadi fulani hivi akaingiza kwenye mlango na kuvamia ndani.

    Wakakuta chumba kitupu wakatafuta mpaka bafuni hakuna mtu,

    “ohoo shit! Atakuwa ameshaondoka

    Kudadeki zake,"

    Mariam akaongea kwa hasira na kukaa kitandani,

    “nawaomba mjiamini msionyeshe

    Uwoga wa aina yoyote ile," Hafidhi alimwambia Asia huku wakishuka ngazi kwa kasi

    Asia alionekana kuchoki sijui sababu ya njaa au uwoga maana mpaka inatimia saa tano Asubuhi hakuweza kupata kifungua kinywa

    Hafidhi aliweza kutambua hilo. Kwakuwa yeye ni Kommando akambeba bibiye na kuzidi kushuka

    Ngazi.

    “embu subiri kwanza"

    Kufika sehemu Hafidhi akamshusha bibiye na kumtaka Yasri asimame kuangalia chini

    Mungu wangu polisi walikuwa wametanda kila kona

    “Bibiye tafadhali nakuomba fumba macho"

    Hafidhi akaongea hivyo

    Asia hakuweza kuuliza wala kukataa akafumba

    Yasri akamtazama Master wake na kushikana mikono kufumba na kufumbua

    Wakapotea,

    “Siwezi kuamini kabisa kama Hafidhi alikuwemo ndani ya hoteli hii,"

    “hata Mimi siamini embu tufanye kitu kimoja tuwahi kule Gerezani huwenda akawa ni yeye iwapo hatukumkuta kama tukimkuta

    Basi atakuwa ni mtu mwingine tofauti maana

    Wabongo tunapenda kuiga mambo,

    yasiokuwa na faida kwetu",,,,

    Mona Lisa akaongea hivyo basi wakatoka mbiombio na kuingia kwenye Lift

    Wawahi Segerea “Vipi mbona Undercover agenthttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Wanatoka mbio vile kunani tena?"

    Muhudumu wa hoteli hiyo akauliza swali baada kuwaona kina Mariam wakipita mbio, hakuna aliyemjibu.

    “Itabidi uchochee moto kwa kasi tumuwahi kabla yeye hajafika. Na tukifika pale tusitake kusubilia maelezo tuingie ndani tu,"

    Mariam aliongea huku akihema

    Kumbe wakati wao wanatoka na kuelekea Segerea

    Hafidhi hakuwa mbali na maeneo hayo alikuwa kwenye Mgahawa akipata kifungua kinywa

    “yani hata sielewielewi kwani tumetokaje mule hotelini?"

    Asia akauliza swali, “si tulikuwa tunashuka ngazi kufika pale kati nikakwambia fumba macho

    Pale mbele kuna Nyau maana nilifahamu wewe unaogopa nyau bila shaka unaweza kupiga kelele

    Tukaruka kupitia dirishani",,,,

    Hafidhi akamuelewesha japo ni uwongo mtupu

    “Mungu wangu yani mliruka ukiwa umenibeba Mimi?"

    “ndio maana yake"

    “pole sana kaka hujaumia kweli mguu"

    “walaa sijaumia sasa tuachane na hayo Asia huyu umuonae mbele yako ni kijana wangu

    Anaitwa Yasri, ndio mtu pekee utakayeweza kuwa karibu nae kwani historia ya maisha yake

    Haitofautiani sana na yako.

    Yasri"

    “naam brother"

    “huyu binti anaitwa Asia japokuwa sitaji majina ya Baba zenu ila mtatambulishana wenyewe

    Huyu binti ana matatizo makubwa sana

    Asia embu tusimulie,"

    Basi Asia akaanza kusimulia kuanzia kuzaliwa kwake.

    Maisha yalikuwa ni yenye furaha amani na upendo baba yake akiwa ni

    Muhasibu katika wizara moja serikalini huku mama yake akiwa anamiliki

    Vituo vya mafuta kama sita vitatu vipo jijini

    Dar es salaam viwili katika jiji la Mwanza kimoja mkoani Arusha

    Pia alimiliki Daladala na Mabasi makubwa yasiokuwa na idadi huku

    Akiwa muweka hadhina kwenye bank

    Ya NCF tawe lake lililopo pale Posta

    Maisha yatake nini kwake, kila kukicha ndugu jamaa na marafiki walijazana nyumbani kwao kuhitaji misaada

    Wazazi wangu hawakuwa na choyo waliweza kumsaidia kila mtu wenye kutaka ajila mama aliwapatia wenye kutaka chakula wakalishwa.

    Wenye kutaka pesa japo kwa mkopo

    Walipatiwa na kuambiwa wasirejeshe kwani wamepatiwa tu wala si mkopo

    Kumbe siku zote shukrani ya Punda ni mateke

    Kuna baadhi ya ndugu wakawaandalia kifo wazazi wangu pasipo wao wenyewe kutambua,

    Wakati huo nilikuwa tayari nishavunja ungo

    “Mungu wangu ulivunja ungo kisa nini hasa?"

    Au ulitaka ununuliwe mpya nini",,,

    Yasri akadakia na kuuliza Mara khoo, akapigwa konzi na Hafidhi na kuambiwa

    “embu tulia wewe mbona ulivunja pakacha hatuulizi"

    Basi wakacheka, mpaka kitoto nacho kikakenua meno kuonyesha nae anacheka

    “kitoto kizuri sana hivi umempa jina gani?"

    “Anaitwa Mwinyi"

    “ohoo Mwinyi yule Rais wa awamu ya pili ni mzee ambaye hataki matatizo na watu sijawai kumsikia akiongea pumba kama ilivyo hii mizee

    Mibichwa yao kama

    Tikiti maji haiwezekani uwaite Watanzania Marofa wakati kubwa la Marofa ni wewe hapo"

    Yani ilikuwa full vicheko Asia akaendelea

    Kusimua mpaka kufikia hapo kila mmoja akaingiwa na huzuni Yasri akashindwa kuzuia mchozi usimtoke

    Asia alisimulia jinsi gani wazazi wake walivyouwawa kikatili baada gari kukatwa break

    Huku yeye akibakwa na binamu yake

    Kisha akatekwa na kupelekwa polini huko akafanyiwa kila aina ya unyama

    “please siwezi kuendelea kila nikikumbuka moyo wangu unaumia"

    “basi usiendelee inatosha

    Sasa Yasri kijana wangu kama ulivyoweza kumsikia mwenyewe

    Naomba kamata hiki kiasi cha pesa

    Nenda kamtafutie chumba pamoja na kumnunulia vitu vya ndani hakikisha kila kitu kinajitosheleza mtafutie chumba kizuri

    Sawa kijana"

    “sawa mkuu" Yasri akaitikia na kuupokea mfuko wenye rangi ya kaki ndani yake kuna kiasi cha pesa

    Wakaagana Hafidhi akapanda pikipiki na kuondoka Huku Yasri akikodi bajaji.

    Ndani ya bajaji kulikuwa kimyaa kila mmoja akifikilia lake,

    “kwahiyo kaka umesema Kinondoni Mkwajuni ehee?"

    Dereva bajaji akauvunja ukimya kwa kuuliza

    “Yeah ukifika pale Mkwajuni kunja kulia kama unaenda kule kwa Mzee Ndigo si unampata yule

    Mzee muuza kahawa?"

    Yasri akatoa maelekezo huku jamaa akitikisa kichwa kuashilia ndio anampata.

    Wakaweza kufika Mkwajuni bajaji ikapaki nnje ya ile Guest bubu

    Yasri akashuka na kuwaomba wamngojee akaingia ndani hakuchelewa akatoka akiwa kaongozana na kijana mmoja hivi wote wakapanda bajaji

    Huku yule kijana akitoa maelekezo wapi wanaelekea kwa wakati huo.

    “lakini brother maelewano yetu ilikuwa ni kufikishana pale sasa mbona mtu kaongezeka na

    Safari nyingine imeanza ndugu,"

    Dereva bajaji akaanza kulalamika

    “usijali ndugu utasema tu nikuongeze kiasi gani

    Si unamuona huyu shemeji yako kafukuzwa nyumbani kwao ndio nimekuja kumtafutia

    Chumba,"

    Yasri akaongea hivyo, lakini

    Ghafla bibiye Asia akapiga kelele

    “jamani mwiziiii"

    Mwiziii kwakuwa bajaji ilikuwa katika mwendo mdogo kwenye ile Barabara ya vumbi yenye mashimo mashimo kuna kibaka akaja kuukwapua ule mfuko rangi ya kaki

    Wenye Mihela, Yasri akaruka kutoka kwenye bajaji kama Nyau tukumbuke kacheza sana

    Mchakamchaka na wanyama wakali kama vile Chui, Simba na wengineo.







    Ndani ya mitaa ya Kinondoni kulikuwa na mkimbizano baina ya Kibaka na Yasri kila mmoja alionekana ana pumzi za kutosha huku akiifahamu vyema mitaa hiyo. Wakati dereva bajaji

    Na yule kijana wakija kwa nyuma

    Asia kabaki kwenye bajaji na mwanae

    Baada kukimbia kwa muda kibaka akaingiza mkono kiunoni na kuchomoa

    Kisu akasimama kwa kujiamini maana alitambua fika anakimbizwa na mtu mmoja. Na kweli kwani dereva bajaji akaishia njiani alikuwa kachoka hoi akamtaka yule kijana warudi walipotoka

    Yasri akiwa na speed ileile akatokezea mbele ya yule Mwizi nae akasimama akakunja mikono ya T-shirt japokuwa ilikuwa sio mirefu

    Akapiga hatua kumzogelea jamaa baada kuona Yasri anakuja, nae akamfata akafanya kunyoosha ule mkono ulioshika kisu nia yake amchome nacho.

    Yasri akakwepa kwa kuzunguka na kumtandika kipepsi cha shavuni

    Jamaa akapepesuka akiwa bado kashikilia kisu na ule mfuko Yasri akadunda na kuja kumtandika teke la kifua mpaka jamaa akacheuwa damu huku vitu vikimtoka mikononi mwake

    Akadondoka chini chali akabaki kugugumia kwa maumivu, Yasri akaufata ule mfuko na kuokota akaufungua na kuingiza mkono

    Kwenye mfuko akachomoa noti mbili za shilling elfu kumi akamuinamia yule mwizi na kumwambia

    “Brother jali maisha yako, usifanye kitu usichokuwa na uwezo nacho nimeamua nikukimbize kimya kimya ili usije ukauwawa na Wananchi wenye hasira kali. Sasa basi shika hizi pesa acha wizi tafuta kazi ya kufanya,"

    Baada mwanaume kuongea hivyo akamtupia usoni kile kiasi cha pesa kisha yeye akaondoka zake

    Na kumuacha jamaa asiweze kuamini.

    “Duhuu embu tuwahi kaka mwenzako nimeacha hadi funguo kwenye bajaji,"

    Dereva bajaji aliongea huku akitetemeka

    Ukicheki njia ya kurudia kaisahau anamtegemea yule kijana amuongoze

    “ondoa wasiwasi ndugu Bajaji tutaikuta pale pale ulipoiacha Shemeji yako hawezi kuendeesha,"

    Ilikuwa ni kauli ya Yasri akimwambia dereva bajaji baada kumkuta akimshawishi kijana wafanye haraka kurudi kule walipotoka.

    Hapo kidogo presha ikatulia baada kumuona mwenyeji wake.

    “kwanza huyu jamaa nani yako mbona anaonekana kama gaidi hivi?"

    “huyu ni Dalali wa nyumba vyumba sijui na viwanja kwani kafanyaje mpaka umemuona kama gaidi?"

    “akhaa! Huyu mtu hafai kabisa

    Namwambia mwanangu nimesahau funguo kwenye bajaji tuwahi turudi

    Ajabu mwenzangu ndio kwanza kaja kwa muuza mahindi na kutaka achomewe

    Jipya wakati kuna mahindi kibao yashachomwa

    Kama si Ugaidi kitu gani",,,,

    Dalali wa vyumba akabaki kucheka tu,

    “sasa unacheka nini nitakutwanga Ohoo"

    Dereva bajaji akatishia kumpiga ngumi

    yule Dalali mpaka wanafika ilipokuwa bajaji

    Wakamkuta Asia akimbadilishia

    Pampasi mwanae baada kujisaidia nae alipowaona wanarudi akatabasamu

    “mmefanikiwa kumpata kweli nyie vidume,"

    “vidume wapi baada kuondoka nahuo mchuma huyu boya si kakuachia funguo kabisa"

    Dalali akaongea kiutani

    Basi wakapanda safari ikaendelea mpaka kufika mitaa fulani hivi wakashuka na kuingia kwenye nyumba moja wakatoka baada

    Asia kutolizishwa na nyumba hiyo

    Ikawa wanazunguka wee mpaka ikatimia saa kumi Arasili ndipo wakafanikiwa kupata chumba bahati nzuri

    Mtaa wa pili kulikuwa na fundi Seremala wakanunua kitanda cha kisasa na godoro lake

    Yasri akalipana na kila mtu kuanzia Dereva bajaji

    Dalali mpaka mwenye nyumba

    Akaondoka na bajaji kuelekea town kununua baadhi ya vitu wakati huo kigiza ndio kinaingia.

    “Opsii kaka Hafidhi j Ikram kwanini unanitendea yote haya unatumia pesa zako nyingi kunistiri

    Mimi hakika sina cha kukulipa zaidi ya kusema shukrani sana,"

    Asia akiwa amekaa kitandani akaanza kuwaza huku mtoto wake akiwa kalala na kumfunikia kile kichandarua kidogo.

    “Mmh!"

    “Mbona unaguna tena?"

    Alikuwa Mona Lisa akimuuliza Mariam

    “huyu Hafidhi ni Nyoko umeona jinsi alivyokuwa akitucheka kule gerezani

    sisi tunamuuliza vingine yeye anajibu mengine

    Sijui yukoje mi nitamtwanga Risasi kulekule gerezani,"

    Mariam akaongea kwa hasira binafsi Hafidhi wakule gerezani alimvuruga si kidogo,

    “Mariam please usifikie hatua hiyo

    Tambua yule ni mume wako baba wa watoto wako

    Labda nikwambie kitu

    Hafidhi hawezi kutoka jela na kuja kufanya matukio ya ajabu kama haya

    Cha umuhimu tufanye uchunguzi tuweze kumbaini ni nani anatuchezea shele.

    Wakaagana na kutakiana usiku mwema

    Huku Mariam akielekea Mbezi beach kwa wakwe zake maana ndipo anapoishi.

    Ndani ya usiku huo kwenye chumba cha Yasri kulisikika vilio na sononeko miguno ya kimahaba

    Kulikuwa na mechi ya kikubwa baina ya Yasri na bibiye Mwanahamisi yani kuonana Asubuhi tu usiku nipe kipapatio,

    Basi kama kawaida mwendo wa Disco dance bibiye akazidi kupiga yowe la utamu kwani mdomo ulikuwa kwenye shingo yake ukiendelea kumnyonya na kumsisimua “wweee,,eeeeee,,,,,,

    Nibebeeeee,,,,,,aaaaah,,,nipeee,

    ,,eee,,,,rahaaaaaa, yani bibiye hakujielewa kabisa aliongea hivyo kimahaba utamu aliouhisi hasa pale kichwa cha mtalimbo ulipokuwa unasugua kiarage chake mpwito.

    Yasri kama alijua nyege za mtoto huyo kwamba ziko kwenye Chuchu zake,Akauhamishia ulimi kabisa kwenye Chuchu za bibiye, ulimi ulipozigusa Chuchu “aaaaaa

    aaassssssssssssssss

    ssss," mtoto alitoa sauti hiyo ya kichokozi ambapo alikibinua kifua chake ili Chuchu zinyonywe vyema

    Kiuno cha Mwanahamisi kilikuwa kinazunguka kukatikia kichwa cha Mtalimbo ambapo Bibiye alipotaka kuuwingiza wote, Yasri akaupeleka juu kidogo, “Ingizaaaaaaa,,,,,,aa

    aaaah,,,,weeeeeee,,,,,,mtaaaaaamuuu,,,, Aliotea moja Bibiye alipokipeleka kiuno chake juu na kufanikiwa kuunasa Mtalimbo vyema Ukaingia wote kwa kuteleza kwenye kitumbua chake “aaaaaa

    aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,nisugueeeee,,,,,m­mmh,,,"

    Sio mbali na maeneo ambayo kijana Yasri alikuwa kapanga zilisikika kelele za Mwanamke akilia na kuomba msaada

    “jamani msaada

    Nisaidieni nakufa!!! Wanataka kuniuwa jamani"

    Mwanamama yule alionekana akikimbia hovyo kila aliyemfata hakuonekana kujali

    Hatimae wale watu waliokuwa wakimkimbiza wakaweza kumfikia na kumshushia kipigo

    Wakambaka kwa zamu tena ilikuwa hadharani

    Ndani ya usiku ule nani ataonahttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Ni kelele ambazo Yasri aliweza kuzisikia

    Lakini akashindwa kutoka baada

    Mwanahamisi kumwambia huyo ni chizi kila siku akilewa tu anaaza kukela watu,"

    Biringe bayoyo ikaendelea wakati huku nnje

    Mama yule akifanyiwa Unyama mpaka kupelekea kifo chake

    Vijana wale wakiwa na mapanga wakaishia zao",

    Mwili ukiachwa palepale

    utasema mzoga wa panya ukanyeshewa na vua

    huku mbwa wenye njaa wakijipatia

    Mnofu wa nyama juu ya maiti ile, inasikitisha sana hii

    Asubuhi na mapema

    Mwanahamisi akamuandalia kipenzi chake maji ya kuoga “jamani njooni muone huku uwiii Dada yangu jamani wamemuuwa,"

    Ni kelele ambazo zilimfanya Yasri atoke mbio kwenda kutazama kunani tena

    Akakuta umati wawatu umejazana huku kukiwa na mwili wa Mwanamke

    Umelala ukiwa hautamaniki ilionyesha alikatwakatwa mapanga baada kubakwa

    Yasri akausogelea ule mwili

    Huku kukiwa na mtoto mdogo mwenye umri wa miaka kama tisa hivi akilia na kuita “Mamaa

    Hamka mamaa!!!

    Mamaa twende nyumbani"

    Yasri akaingiwa na uchungu sio ule wakwenda Reba huu ni hasira akamshika yule mtoto

    Huku Mwanahamisi akija kumshika kwa kumwambia

    “mpenzi embu achana nae huyo mtoto wa

    Malaya afadhali amekuf,,,,,,kabla hajaongea zaidi

    Akashtukia akipigwa zinga la kofi

    Alikuwa ni Yasri kama haitoshi akamuongeza

    Lingine na kumshika shingoni

    Mwanaume akakaza Face wakati bibiye akitetemeka

    “huyu ndio chizi uliosema?

    Huyu ndio Malaya aliyekufa? Nakuuliza wewe nijibu faster,"

    Akamsukumiza chini wakati huo polisi wanaingia

    Yasri akaondoka zake

    Binafsi Yasri hakuna watu asiowapenda kama polisi yani anawachukia vibaya mno.

    Akawakata jicho huku akiondoka

    Akaingia chumbani kwake, sekunde si nyingi akaondoka.

    “Sister yule bwege ni nani yako?"

    Mmoja kati ya Vijana wa kihuni alikuja kumuuliza

    bibiye Mwanahamisi

    “haikuhusu unataka kumfahamu ili iweje?"

    Ndio jibu alilopewa

    “sio hivyo Dada yetu yule bwege kakudhalilisha mbele ya Kadamnasi ya watu,"

    “Achaneni nae please msiingilie mambo yangu binafsi,"

    “tutamuachaje bwana wakati kakupiga"

    “Nishasema achaneni nae full stop,"

    Mwanahamisi akang'aka na kuondoka zake

    Akiwaacha wale vijana wameshikwa na mshangao maana wanavyomfahamu

    hata kama angekuwa bwana yake

    Angeshamfanyizia.

    Yasri baada kutoka kwake safari yake ikampeleka moja kwa moja mpaka kwa

    Asia ukipenda muite Mama Mwinyi

    Akabisha hodi na kufunguliwa mlango ile kuingia tu

    Akashtuka na kujikuta akiganda pale

    Mlangoni utasema sanamu





    Kilichomshtua na kumshangaza Yasri ni kitendo cha kumuona Hafidhi akiwa ndani mule

    Akicheza na mtoto pale kitandani. Akajiuliza

    huyu Mwamba kafikaje huku?

    Nani kamuelekeza wakati tuliachana nae kule Ubungo?"

    “Kaka mbona huingii ndani umesimama tu hapo"

    Sauti ya Asia ikamshtua baada kuulizwa basi akaenda kukaa kitandani

    maana kulikuwa hakuna sofa wala

    Viti au kisturi, muda wote Hafidhi alikuwa bize akicheza na Mwinyi

    “sema baba, mmaa mzomee huyoo,"

    Yasri akamuangalia Hafidhi Mara mbilimbili pasipo kummaliza,

    “vipi Kaka mbona tokea unaingia humu ndani muda wote unaniangalia tu, nimekuwa mgeni machoni mwako nini?"

    Hafidhi akauliza swali.

    “Ha--pana broth,,,,er kuna kitu najiuliza juu yako"

    Yasri kidogo akababaika kujibu,

    “Nafahamu kile ambacho unajiuliza bila shaka unataka kufahamu nimepajuaje

    Huku. Jibu kamili atakujibu Asia maana nikiongea mimi utaniona muongo,

    Eti Mama Mwinyi nimefikaje hapa kwako?"

    “si nilikupigia simu ile jana usiku nikakuomba uje"

    Asia akajibu hapo kidogo Yasri akashusha pumzi na kuanza kuwasimulia kile ambacho kilitokea maeneo anayoishi yeye.

    “Duhuu poleni sana unataka kusema kelele ulizisikia ukashindwa kutoka kisa Mwanamke ambaye ulikuwa umelala nae?"

    “ndio kaka binafsi sikutambua kama ananidanganya mi nikajikuta natulia tu kumbe huku nnje mtu anauwawa"

    “Yasri mara ngapi nilikwambia fata kile ambacho nafsi yako inakutuma usifate matamanio ya mtu,

    Ujinga wako ndio umesababisha

    Mama wawatu afe.

    Embu twende kwenye huo msiba"

    Hafidhi alionekana kuchukizwa na taarifa hizo akajisemea moyoni mwake

    Lazima wafe malipo ni hapahapa duniani.

    Katika jengo la

    N.T.C liliopo jijini Dar es salaam siku hiyo kulikuwa na kikao kizito, ni kikao ambacho kilianza majira ya saa moja Asubuhi mpaka inatimia saa nne asubuhi muafaka wa kikao hicho ulikuwa bado

    Haujapatikana

    Kikubwa kilichokuwa kikijadiliwa hapo ni kuhusu kutafutwa Undercover agent ambaye atakuja kuongeza nguvu baina ya Agent responsible wale wawili.

    Wapo waliosema serikali haina haja ya kuongeza mtu iwapo wale wawili wanatosha kuifanya hiyo kazi.

    Wengine wakasema unaonaje Tukamtoa Hafidhi j Ikram tukae nae chini tuweze kukubaliana nae aifanye hii kazi baada kuimaliza tumuachie huru.

    Yakaonekana ni mawazo ya mgando tu, swali likaja hivi kama anahitajika Undercover mwingine je ni nani.

    Majibu yakaja aitwe Chanduka kwani anakumbukwa vyema kwa utendaji wa kazi kwanza yuko faster yupo makini mno. Lakini wengine wakapinga vikali na kusema Chanduka hawezi kuhimili

    Mikikimikiki kama hii kutokana na umri kumtupa mkono kwani mpaka sasa ana miaka

    48 Atawezaje kupambana na kijana mdogo kama Hafidhi j Ikram

    kama mnakumbuka Tulimwita Chanduka katika awamu ya pili kuja kupambana na Ninja Mask

    sijui Ninja Suit mara ngapi akachemka kama isingekuwa Ninja Suit leo hii tungeandika

    R.I.P Chanduka, mimi naona tusimwite muacheni apumzike na familia yake,"

    Alikuwa ni mmoja kati ya viongozi akipinga vikali swala la kuitwa Chanduka,

    “Sawa tumeweza kukusikia bwana Janja.

    lakini tunahitaji majibu kutoka kwa wahusika

    Kwanza hawa Maagent kama watakubali aongezeke mtu au vipi wakikubari tutaongea na Chanduka mwenyewe katika umri aliokuwa nao

    Ndio anakuwa mtu wa kazi zaidi

    Labda abweteke tu. Kwa kutofanya mazoezihttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Lakini nina imani Chanduka ni mwamba usiovunjika,"

    Kila mmoja alikuwa na mawazo yake, wakati kikao kikiendelea upande mwingine tunawaona

    2Sisters madada wawili hapa tunamzungumzia

    Bibiye Mariam na Mona Lisa wakiwa ndani ya hospitali ya Mwananyamala

    wakimuhoji maswali mawili matatu yule

    kijana ambaye aliokolewa na Ninja Short katika mapambano ya kurushiana risasi mpaka mwenzake akapigwa risasi ya kichwa na wazee wa Suti

    “Unataka kusema huyo kiumbe akitembea upepo unavuma sio?"

    “ehee ndio hivyo upepo mzito unamzunguka

    yeye istoshe mwili wake wote

    Unawakawaka shoti yani inamzunguka"

    Kijana akajibu huku akitaja muonekano wa huyo kiumbe. Mariam akavuta kumbukumbu zake nyuma na kukumbuka baadhi ya matukio ambayo

    Alikutana na kiumbe huyo,

    Alimkumbuka vyema Hafidhi j Ikram ndio kiumbe pekee mwenye muonekano huo,

    Sasa kama yupo Jela huyu mwingine ni nani?

    Akakuna kichwa kujiuliza asiweze kupata majibu.

    Mona Lisa nae akawaza

    kama hivyo kisha wakaaga na kuondoka zao

    wakati wanatoka nnje ya hospitali

    Na kuingia kwenye gari Mariam akashtuka na kumtaka mwenzake asimamishe gari.

    “nini tena?"

    Mona Lisa akauliza

    “nimemuona Hafidhi"

    “what?"

    “ndio nimemuona akipaki ile pikipiki akashuka na kuingia ndani ya hospitali". Kitendo bila kuchelewa wakashuka na kuziandaa Silaha zao wakajigawa

    Mariam akienda kule mlango wa mbele huku

    Mona akizunguka upande wa nyuma

    wakavamia ndani ya hospitali

    Lakini hawakutaka kujionesha kuhofia kuwashtua Madaktari na wagonjwa

    wakati Mona Lisa akitokezea upande wa chooni akaweza kumuona Hafidhi live bila chenga

    akimnyonga mmoja kati ya Madaktari

    Akataka kupiga risasi juu akasita akapaza sauti

    “upo chini ya ulinzi mikono juu",,,,,

    Mwenzake ndio kwanza akaondoka na kutoka nnje akapanda kwenye pikipiki yake

    Taratiibu akaondoka, Mona hakutaka kumuacha

    akaingia kwenye gari na kuizungusha akaindoa kwa speed zote

    Mpaka watu waliokuwa maeneo hayo ya hospitali wakabaki kushangaa hata

    Ambulance ile gari ya wagonjwa ikitaka kuondoka aiwi katika kasi ile akawasha king'ora cha polisi

    Alivyoingia tu barabara kuu akaweza kumuona Hafidhi ndio anaishia kwenye kona

    Akielekea Komakoma

    Akachochea moto zaidi, simu yake ikawa inaita akaichukuwa na kuipokea

    “Halloo"

    Sauti upande wa pili ikauliza uko wapi? Mbona umeniacha hapa hospitali?"

    “sikuwa na jinsi Mariam kiukweli nimemuona Hafidhi ni yeye kabisa"

    “what! Unataka kusema ni yeye kabisa?"

    Mariam akauliza kwa mshangao, lakini kabla hajajibiwa bibiye Mona Lisa akapiga kelele

    Baada gari yake kukutana uso kwa uso na Daladala

    Akajalibu kuikwepa. Lakini ikashindikana na kujikuta akigongana nayo,

    Gari ya bibiye ikapiga mueleka na kubibimbilika zaidi ya Mara tatu ikatulia kimya juu pakiwa chini

    Chini ndio juu huku moto ukiwaka

    Sehemu ya kuhifadhia mafuta ikivuja,

    Mona Lisa alionekana akivuja damu lakini alikuwa ni mzima akajitahidi kujivuta aweze kujitoa

    Ikashindikana akicheki moto ndio unazidi kutanda muda si mrefu

    Gari inaweza kulipuka akapiga kelele kuomba msaada. Ghafla alimuona kiumbe ambacho alikuwa akikimbizana nae akija kwa kasi

    Yani ile kukalibia tu pale moto ukazimika ulikuwa ni upepo tu, wenye kuambatana na vumbi zito.

    Akamtoa bibiye na kumuweka pembeni

    Na kutaka kuondoka wakati

    Anageuka akasikia katahaa bibiye Mona Lisa akiwa kaishikilia Vyema Bastola yake akamuweka chini ya ulinzi “please usijalibu kufanya jambo lolote naweza kukutwanga risasi embu geuka na uvuwe hiyo

    Maski yako!"

    Mona Lisa akatoa amri akiwa yupo Serious,

    Ajabu mwenzake hakugeuka wala nini, ndio kwanza akaondoka akashindwa kufanya lolote

    Akakaa chini na kuanza kulia,

    Je nini kitaendelea?"

    Kwanini Hafidhi kajionesha mbele ya Mabinti hawa







    Kilichomliza bibiye Mona ni kile kitendo cha kumuona mbaya wake ndio aliyemsaidia kisha akashindwa kufanya

    Chochote juu yake. Wakati huo watu wamejazana wakiulizana hili na lile, bibiye Mariam nae ndio anaingia akatoka mbio kumkimbilia

    Mwenzake kabla ya kumfikia akamuona akilala chini

    “Monaa!"

    Akapaza sauti kumwita na kwenda kumshika akamuinua kwa kumuweka mapajani mwake huku akimwita “Monaa, please fumbua macho"

    Wakati huo polisi na vikosi vya kutoa huduma ya kwanza washafika eneo hilo, ndani ya daladala

    Kulikuwa na maiti ya watu sita abilia watano

    Akiwemo na dereva huku majeruhi wakiwemo Tisa

    Bibiye Mona Lisa nae akapatiwa msaada wa haraka kuwahishwa hospitali.

    Ikawa ni zamu ya Mariam kumlilia mwenzake asife kwani atabaki na nani yani alilia

    Akiwa ndani ya Gari la wagonjwa mpaka wanafika Muhimbili analia tu, Mona Lisa usoni alikuwa kawekewa mashine ya Oxygen aweze kupumulia

    “binti itabidi usubilie hapa"

    Daktari alimzuia Mariam asiweze kuingia hadi wodini

    Mariam akaenda kukaa kwenye bench

    Akiendelea kulia kulikuwa hakuna wa kumbembeleza. Wakati kajiinamia akilia akahisi kuna mtu kamshika mabegani

    Akainua macho yake kumtazama akakutana na sura ngeni kabisa, ya kijana handsome,

    “Tafadhali Dada yangu usilie, tambua kuumwa au kupata ajali sio mwisho wa maisha

    kulia kwako unaweza kumuweka katika wakati mgumu sana mgonjwa wako. Kumlilia mgonjwa

    ni sawa na Kumchuria yani kumtakia kifo, mgonjwa haliliwi muombee Dua kwa imani ya dini

    yako huwenda Mwenyezi Mungu akampatia nafuu akapona kabisa,"

    Kijana mwenyewe hakuwa mwingine ni

    Yasri baada kuongea hivyo akaaga na kuondoka akimuacha Mariam akijifuta machozi hakika kijana aliongea maneno yenye hekima sana akabaki kumsindikiza kwa macho tu

    Na kutamani kumwita sema mdomo ulikuwa mzito kufunguka.

    “vipi umeweza kumnyamazisha?"

    “ndio Brother yani ile katulia kimyaa ananiangalia tu utasema nimekuwa Shekhe au Padri"

    “vizuri sana kijana sasa tunaweza kwenda huko kwenye msiba,"

    Kumbe kitendo cha Yasri kwenda kumnyamazisha bibiye alikuwa kaagizwa na Hafidhi.

    Wakapanda kwenye pikipiki na kuondoka zao.

    Taarifa za Undercover mwingine kupata ajali akiwa maeneo ya Mwananyamala ziliwashtua watu wengi sana na kubaki kujiuliza maswali

    Chungu nzima, wasiweze kupata majibu yake

    Hapo ndipo umuhimu wa kutafutwa mwamba ukaonekana baadhi ya

    Wananchi wakasema kama kweli Serikali wanaakili basi wamtoe Jela Hafidhi j Ikram kisha wampe hiyo kazi. Wengine wakasema kwanini asiletwe

    Chanduka kwani bado anakumbukwa kwa kuifanya kazi yake vyema katika awamu mbili zilizopita.

    Kwani yule kijana mdogo aliyekuwa akijiita Ninja suit yuko wapi?

    Wananchi kila mmoja akaongea lake na kusema

    Siku zote mtoto wakike kazi yake ni kumpikia mumewe, basi ndio maana wanapukutika kama kuku mwenye mdondo

    Embu fikilia kipindi Hafidhi yupo ulaiyani si akawapa mimba na kuwaweka ndani

    huku mwingine akifa. Binafsi kama Hafidhi angekuwa muuwaji angeshawauwa kitambo tu

    Hapa atafutwe Ninja Suit ni kijana hatari sana yule,"

    Yote yalikuwa ni mawazo ya Wananchi juu ya Ninja Suit.

    Embu tuangalie upande mwingine Kijana Ikram ukipenda muite Ninja suit

    baada kukinukisha katika Siku ya Hukumu na kufikia hatua ya kuutokomeza mzimu wa Baba yake ambaye ni Kessy au Ninja Mask, pia akampoteza Dada yake kipenzi aitwae Samira

    kuanzia hapo Ikram hakutaka kujishugurisha

    na jambo lolote lile kuhusu maswala ya kupambana akahitaji kusoma zaidi

    Basi kwakuwa Chanduka alikuwa kamuowa bibiye Ashura ni shangazi wa Ikram

    wakaenda kuishi nchini Brazil pamoja na Ikram

    Taarifa za Hafidhi j Ikram kusumbua nchini

    Aliweza kuzipata akajisemea watajuana wenyewe, hata Chanduka hakutaka kuingilia kwa madai

    Hafidhi ni mdogo wake muache afanye kile ambacho akili yake imemtuma, japokuwa hilo

    Swala Ashura hakulipenda kila siku akawa akimshawishi mumewe

    Waende nchini Tanzania kwenda kumzuia Hafidhi,

    Ikawa habari ni hiyo tu mpaka siku waliposikia

    Hafidhi j Ikram kajisalimisha kwenye mikono ya sheria. Ndio ukawa mwisho wa Ashura kumshawishi mumewe kuja Tanzania.

    Hafidhi na Yasri waliweza kufika msibani na kukuta watu ni wachache mno

    Basi wakaenda kukaa kwenye mkeka, yule mtoto ambaye Asubuhi yake alikuwa akilia pembeni ya mwili wa marehemu alipomuona Yasri amefika akaenda mbio huku akilia

    “hiiiiiiiiiiii,,,,Ankor mama yangu!"

    Yasri akatanua mikono yake na kumkumbatia huku akimwambia

    “basi usilie nyamaza Ankor mama ataamka usilie ehee"

    Watu wale wachache waliopo msibani wakageuza nyuso zao kumtazama Yasri.

    Kuna mzee mmoja kikongwe akainuka kwa kusaidia na mkongojo wake kiuno chenyewe kimepinda akajikongoja mpaka pale walipokaa kina Yasri

    Akahitaji kukaa Hafidhi akawai kumshika maana alikuwa anataka kudondoka,

    “Asante sana mjukuu wangu,". Babu akashukuru huku akijiweka sawa pale kwenye mkeka, kisha akaanza kusema japokuwa sauti yake ilikuwa ya chini sana.

    “Samahanini vijana wangu, kama nitakuwa nimewakela kwa haya nitakayo

    yasema mbele yenu. Kiukweli

    Majirani wamenisusia huu msiba wa binti yangu, kwa kuniita Mimi ni mchawi, sijui sababu ya uzee wangu au Macho yangu nimepigwa na kutukanwa kila nionekapo mtaani nikitembea. Leo hii nahofia hata kutoka nnje, kwa kuogopa kuuwawa na vijana wa mtaa huu sijui kama nyie ni miongoni mwao,

    Tafadhalini vijana Mimi sio mchawi sijawai kujihusisha na hayo mambo kabisa

    Nahaapia Wallah tena waambieni wenzenu

    Wanipe walau siku mbili niweze kwenda kuchimba kaburi la Mwanangu, maana kila mtu kanisusia Mimi

    Wengine wanahitaji pesa kwaajili ya kuchimba kaburi

    Nami pesa sina Embu angalieni hili

    Daftari la Rambirambi hakuna hata mtu mmoja

    aliyejitolea sentano.

    Wameniulia binti yangu bure basi waje tumzike

    sijui huyu mtoto ataishi kwenye mazingira gani?

    Hihihihihihi!"

    Yani Babu aliongea kwa hisia kali mpaka Hafidhi mchozi ukamtoka.

    “hapana Babu usilie binafsi sisi sio miongoni mwa hao vijana, sisi tumetokea

    Kitunda kuna ndugu yetu tulikuja kumtembelea ndio tukaona hili Turubai tukataka kufahamu

    kuna nini hapa,"

    “ohops!https://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Alhamdulillah kama nyie si miongoni mwao"

    Babu akashukuru baada kusikia kauli ya

    Yasri, “sasa Babu sisi tupo tayari kujitolea kuusimamia huu msiba mwanzo mwisho tunachohitaji kutoka kwako ni

    Muongozo tu ili tuweze kutekeleza,"

    Yasri akazungumza wakati Hafidhi alikuwa kimya hakuongea kitu akanyanyuka na kuulizia choo kilipo

    Akaonyeshewa na kuelekea huko,

    “oyaa Mwamba nasikia jana usiku yule Malaya kafanyiwa kitu mbaya sio?"

    “ndio maana yake watu wamepiga mtungo kisha wakamaliza kazi, sasa huo Ukimwi apeleke huko

    Kuzimu"

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog