Search This Blog

Thursday 24 November 2022

SIKU YA HUKUMU - 2

 

     

     



     

    Chombezo : Siku Ya Hukumu

    Sehemu Ya Pili (2)

     

    Wakati yote hayo yanatenda huko bafuni upande huu tunamuona Mkuliya akiwa ananunua kisu tena akampa mnoaji amnolee kiwe kikali zaidi.

    Baada kupewa kisu chake akatoka kurudi nyumbani kwake njia nzima akawa anaongea peke yake

    “kudadeki zake huyu Malaya ole wake nimkute nyumbani, nitamchinja kisha nimle nyama

    Pumbavu zake!,,,,yani kitu gani anakosa kwangu mpaka aende kutembea na yule muuza urembo.

    Subiri ataona labda asirudi nyumbani.

    Akafika nyumbani kwake ajabu akakuta sebure nzima imejaa maji akastaajabu sana na kujikuta akienda bafuni mbio. Laa haula hakuweza kuamini kwa kile alichoweza kukiona yani damu nzito imetapakaa bafuni mule, huku mwili wa Mkewe ukiwa umelala chini uchi wa mnyama tena kachinjwa vibaya sana hakika

    Kessy karudi kutoa

    Hukumu sijui kwa nini anafanya hivi.

    Mkuliya akaenda kuushika mwili wa mkewe huku akilia, unajuwa alidata sana na kujikuta akitoka nnje huku akipiga kelele



    “jamanii nimeuwaa...nimeuwa Mimi.!!!,,,kuna baazi ya vijana na watu wazima wakaingia ndani ya nyumba ile, walichokiona dahaa, wakashikwa na hasira kwa unyama alioutenda Mwanaume yule basi wakamshambulia kwa kipigo mpaka kumuuwa.

    Kamanda

    Freddy akaweza kuzipata habari hizo akafika haraka sana eneo la tukio

    Kwanza akauliza kwanini wananchi wamejichukulia sheria mikononi mwao,,,!



    Hakuna aliyejibu kitu na siku zote inakuwa ni vigumu sana

    kufahamu yupi kashiriki katika mauwaji yale. Maana wananchi ni wengi,

    Basi uchunguzi ukafanyika miili ikachukuliwa kupelekwa hospital kwa ajili ya uchunguzi zaidi.



    Ikram akiwa yupo chumbani kwake, alikuwa yuko busy kuchart na

    Bibiye

    Samira aliweza kuchart nae usiku kucha kwenye group lao la watu wawili tu,

    Kwa upande wa Samira nae hivyohivyo hakika kitanda alikiona kama kina miba akatamani Ikram angekuwepo aweze kulala juu ya kifua chake

    Romance aliyopigwa jana yake mchana lilimchanganya Mtoto wakike

    hakuwai kutokea kumpenda Mwanaume hata siku moja, basi akatoka na kwenda sebureni huku akicheza kwa kuzunguka kwa madoido akajipweteka kwenye sofa mara anyanyuke aende kukaa kwenye meza Mtoto wa kike alikuwa kachanganywa kimapenzi.

    Hatimae usiku ukapita siku hiyo

    Ikram akiwa anakunya chai sebureni huku simu yake ikiwa pembeni Baba yake mkubwa akaichukuwa huku

    akiisifia kwa kusema,



    “Eee bwanaee,,,,mtambo kutoka Japan huu embu nitolee pattern kwanza!"

    Ikram akaitoa kwa kumuonyesha kama ikikaa tena atoe mwenyewe.

    Basi Freddy akaanza kuipekuwa ile simu akaingia whatsapp na kuona group lina member wawili tu.

    Limeandikwa True Love basi akalifungua na kuanza kuzisoma charting, akatabasamu kwa maneno ya kimapenzi aliyokuwa akipewa huyo binti kwa jina alikuwa akitajwa Queen kama alivyo seviwa. Ghafla akastuka baada kufika sehemu Ikram

    alimuomba yule binti aweze kumtumia picha.

    Mshituko wake hata ulipelekea mpaka kikombe cha chai kimwagikie ajabu hakujali kama kaungua au vipi.

    Akamuuliza Ikram huku akimuonyesha picha moja wapo kwenye simu,



    “Ikram huyu binti umeanza nae mazoea tokea lini?"

    Ikram akajibu bila wasiwasi wowote ule huku akitabasamu.



    “huyo Mrembo nimekutana nae kwenye mtandao wa Facebook tukatokea kupendana binafsi ndiye atakayekuwa ni

    Mama watoto wangu hapo baadae kama Mungu akijaalia mipango yetu ikaenda sawa",,,,,,,,,,

    Freddy akacheka sana tena sana huku akisema



    “Ha!ha!ha!.....ohoo shit! nilikwambia mimi Shadia ukabisha sasa umeonaa,,,,

    Freddy akatoka nnje

    Kisha muungurumo wa pikipiki ukasikika,

    Ikram nae akatoka nnje na kurudi ndani huku akisema



    “Ahaa mambo gani tena haya Baba mkubwa kaondoka na simu yangu kudadeki,,,,,"

    Babu yake akamtuliza kwa kumwambia

    “Labda itakuwa kajisahau tu wee mwenyewe si umeona hapa chai ya moto imemwagikia hata hakustuka tatizo Baba yako mambo mengi sana!"

    Ikram hata hamu ya kuendelea kunywa chai hakuwa nayo tena...."

    Safari ya Freddy ikampeleka moja kwa moja mpaka maeneo ya Tangi bovu mbezi kwenye super market moja hivi, akashuka haraka haraka na kupandisha ngazi kwenda juu akaingia kwenye ofisi moja hivi, na kukutana na

    Mwanadada mrembo wa haja.

    Aliyejitanda mtandio kichwani na vazi lililoweza kustiri maungo yake vyema.



    Baada kumuona Freddy kaingia ndani ya ofisi hiyo basi akainuka kwanye kiti

    na kutanua mikono yake huku akisema

    “Waoo,,,,,"mume huyo!!!.

    Wakakumbatiana na kupigana mabusu kisha wakaachiana na kukaa kwenye viti.



    “vipi tena Baba watoto naona umeamua kunifanyia bonge la surprise

    Sijui ulitaka Kunifumania au?"

    Freddy akatabasamu na kusema



    “Dahaa wee acha tu Shadia binafsi imekuwa majanga si kidogo,

    Shadia ukipenda muite Mama

    Samira akuelewa Freddy anamaanisha nini kusema vile akauliza



    “vipi tena unasema majanga ni yapi tena hayo?"

    Freddy akamkabizi simu huku akimwambia embu soma hizo text

    Whatsapp!"

    Shadia akaichukuwa simu na kuanza kupitia zile sms akafika sehemu ya picha

    Akasema “ohoo shit! inamaana huyu kenge kashaanza kujiingiza kwenye swala zima la Mapenzi sio?......

    Pumbavu zake!"



    “ni bora angekuwa na mahusiano na mtu mwingine sio kaka yake hiyo simu ni ya Ikram,"

    Shadia akajikuta anauliza kwa mshangao



    “unasemaa!!!....



    “ndio hivyo kumbuka nilikwambia haina haja ya kuwaficha tuwaweke wazi ukabisha sasa matokeo yake ndio haya.



    “kwani wameonana vipi?"

    Freddy akamjibu,



    “huu sio muda wa kuulizana maswali yasiokuwa na kichwa wala miguu embu kwa mfano ikatokea Mimi na wewe tukafa ghafla. Wale watoto si watakuja kuowana maana

    Siri hii tunaitambua Mimi na wewe tu!"

    Shadia akabaki kukuna kichwa

    kisha akabofya simu yake na kuiweka sikioni

    Ukimya kidogo ukatanda, kabla ya kuongea

    “ehee hallo...marhabaa hujambo, siupo nyumbani ehee,,,sasa nisubiri nakuja sasa hivi.

    Akakata simu na kumgeukia Freddy

    Huku akisema



    “twende kwanza nyumbani maana nahitaji kesho Asubuhi na mapema

    tu Samira aende nchini France akakae huko!"



    “hivi unafikilia nini yani unaona hilo ndio litakuwa suruhisho kabisa la hawa watoto kutoonana kumbuka, sasa hivi mitandao ya kijamii

    Imetawala kila pembe ya dunia, popote pale wataweza kuwasiliana.

    Shadia akaguna maana alijuwa ni kweli

    Akauliza



    “sasa unataka tufanyaje maana tukizubaa hawa watoto wanaweza kukutana kimwili.



    Wakati wazazi wakipanga jinsi ya kuwaachanisha hawa Watoto kumbe Ikram baada kuona Baba yake mkubwa kaondoka na simu yake.

    Alichokifanya ni kuchukuwa simu ya Babu yake, kwakuwa number ya Samira alikuwa nayo kichwani.

    Basi akampigia simu ikaita muda mrefu pasipo kupokelewa ikakata kidume kikapiga tena.

    Hatimae simu ikapokelewa Ikram hakutaka kuongea sana zaidi ya kumuomba bibiye wakutane tu

    Mtoto wakike akajikwatua kisha akatoka ndani ya ukumbi wa Mango garden.

    Ndipo walipokutanania kwanza wakakumbatiana na kukutanisha ndimi zao

    Osss!,,,ahaaa

    Samira akajiachia vibaya mno ndipo simu yake ikaita akaipokea

    Na kusema.



    “baby natakiwa kurudi nyumbani haraka sana maana Mama kaniambia anikute, afu baby mbona umetumia number ngeni vipi tena?"



    “ahaa Siunajuwa tena wazee wetu hawa kupenda nao kuuza sura basi Baba mkubwa ndio kaondoka na siku yangu!"

    Binafsi walipendezana kila kitu ukiwaona unaweza kusema

    Handsome & beautiful maana dahaa





    Hatimae simu ikapokelewa Ikram hakutaka kuongea sana zaidi ya kumuomba bibiye wakutane tu

    Mtoto wakike akajikwatua kisha akatoka ndani ya ukumbi wa Mango garden.

    Ndipo walipokutanania kwanza wakakumbatiana na kukutanisha ndimi zao

    Osss!,,,ahaaa

    Samira akajiachia vibaya mno ndipo simu yake ikaita akaipokea

    Na kusema.

    “baby natakiwa kurudi nyumbani haraka sana maana Mama kaniambia anikute, afu baby mbona umetumia number ngeni vipi tena?"

    “ahaa Siunajuwa tena wazee wetu hawa kupenda nao kuuza sura basi Baba mkubwa ndio kaondoka na simu yangu!"

    Binafsi walipendezana kila kitu ukiwaona unaweza kusema

    Handsome & beautiful maana dahaa.



    Songa nayo

    Sasa



    Samira akafanya haraka kurudi nyumbani kwao huku akimuacha Ikram nae akiondoka.

    Ndani ya daladala Ikram akabaki kujiuliza Maswali tu, “hivi kwanini Ba mkubwa kaondoka na simu yangu kunanini kwani amekiona mule?,,,au zile picha za Samira mpaka akaniuliza huyu nani!"

    Mswali yalikuwa mengi akastuka baada kusikia sauti tamu ya binti ikimwambia

    “samahani kaka yangu unaweza kusogea huko nikae!"

    Ikram ikabidi asogee upande wa dirishani

    Na kutulia kimyaa yule binti kwa jicho la kiwiziwizi akawa akimtizama

    Ikram wakati mwenzake anamawazo yake chungu nzima kichwani.

    “kaka yangu samahani kidogo kuna kitu naitaji kukuomba unisaidie kama hutojali!"

    Ikram akamtizama yule

    Binti na kumuuliza

    “jambo gani hilo?"

    Binti akamjibu



    “unajuwa kuna watu sijui wakoje yani binafsi nashindwa kuwaelewa kabisa yani kuna Mkaka mmoja hivi nimempangisha nyumba

    Ajabu hataki kulipa hela ya umeme wala ya kodi, jamaa ni mjeuri mbishi nyumba yangu mwenyewe ananiletea kiburi,

    Binti akaanza kudondosha mchozi,

    Ikram ilibidi akae vizuri maana alifahamu kweli Binti anamatatizo makubwa,

    Akatoa kitambaa chake na kumfuta huku akimuuliza



    “sasa kwanini usiende kuriport kituo cha police?"

    Binti akamtizama Ikram kwa muda kidogo na kusema



    “police nimeenda hakuna chochote walicho kifanya mpaka sasa hivi Jamaa anadunda tu ndani ya nyumba yangu!"

    Ikram akabaki kushangaa

    Khaa! na kumuuliza,



    “sasa bibiye ni msaada upi unaoutaka kutoka kwangu wakati police tu wameshindwa kumtoa huyo mtu je mie nitakusaidia vipi?"

    Binti akasema,



    “sio hivyo Kaka yangu nisaidia hata kwenda kumtisha tu, anaweza akatishika!"



    “Na asipotishika je?"

    Binti hakujibu kitu akabaki kimya tu.

    Ndipo Ikram akamuuliza kitu kingine



    “hiyo nyumba yako ipo maeneo gani?"

    Binti akajibu haraka



    “ipo Tabata ya Ubaya ubaya

    Ikram akaitoa simu yake huku akisema



    “ok! subiri nikuitie Mzee wa kazi"

    Akabofya number kazaa kisha akaweka simu sikioni ikawa inaita

    Mwishoe ikapokelewa akaongea.



    “Hallo...ba mkubwa upo wapi kwa sasa,,,akasikilizia jibu upande wa pili na kusema

    Ahaa hapana sio kuhusu hiyo simu kuna tatizo huku limetokea Baba",,,,

    Baada kuulizwa tatizo gani. Akajibu

    Kuna binti mmoja nimekutana nae kwenye Daladala ana tatizo binafsi tu,

    Akaambiwa kitu, na kukata simu huku akimtizama yule binti na

    kumwambia

    “kusema kweli Dada yangu huyu jamaa niliyeongea nae ni Baba yangu mkubwa kiufupi ni Mjeshi yani ni S.W.A.T mwenye kujitegemea

    Aingiliani na yeyote yule sasa kwasasa yuko busy.

    Na majukumu fulani hivi kwahiyo kasema mpaka kesho ndio umtafute

    So kama vipi wacha niende mimi nikatesti Zali"...

    Binti akashukuru huku akisema



    “Konda msaada camp hapo basi wakashuka na kuvuka Barabara.



    Tukija pande hizi tunamuona Kessy akiwa katika mawindo yake hasa Facebook akikuta watu wamepost sijui weka number nikupeleke group whatsapp nae anaweka ya kwake ukimuadd tu andika umeumia,

    Anakuja kwa njia nyingi kama Mwanamke au Mwanaume kila kukicha vijana wengi hasa wenye kutongoza Mademu hovyo kwenye mitandao wakajikuta wakigeuzwa na kuliwa viboga. Kessy

    Ukiona mtu ajamuuwa baada kufanya nae mapenzi basi kalizika nae,

    Katika kupitia walii na friends wake akaja kunasa kwenye jina la

    Samira da Queen, hakika alipagawa kwa uzuri wa huyo Binti na kujikuta akimtumia messeg yenye ujumbe mzuri,

    Kwa upande wa

    Samira.



    wakati anaingia nyumbani kwao baada kuachana na

    Ikram kule simu yake ikaingia text ya fb akasimama kwanza na kuifungua ile text ili aweze kuisoma

    Mtumaji wa ile sms alisomeka kama Abasi shaweji

    Samira akatabasamu na kujikuta akimjibu

    Thank you,

    Basi baada kuja jibu lile

    Kessy akafurahi vibaya mno na kujisemea yes! keshanasa huyo!"

    Pande hizi Ikram na yule Binti wakawa tayari washafika maeneo ya Tabata ubayaubaya,

    Kwanza ndani ya nyumba hiyo wakapokelewa na sauti ya makelele yani mziki umefunguliwa sauti mpaka mwisho,,,ukitizama kibarazani kuna miuchafu yani hadi condomu zilizo kuwa tayari zishatumika dahaa

    Ikram akaziba pua na kumpa ishara Binti yule agonge mlango huku yeye akikaa pembeni. Binti akabisha hodi

    Ndipo pandikizi la jitu likatokea na kusimama mlangoni

    Kisha akapaza sauti kwa kusema



    “oyaa Tonny zima mziki mara moja huyu Malaya ameshakuja na leo lazima nimkamuwe.

    Yule Binti akaanza kuongea huku akilia



    “hivi nyie watu wa aina gani kwani nishasema sitaki kuongeza mkataba na watu kama nyie, majambazi wakubwa,

    Kitendo cha kutamka majambazi

    Ghafla binti akawashwa zinga la kofi na kujikuta akiyumba akaporomoka kutoka kule juu ya kibaraza mpaka chini

    Ikram akasema

    Kudadeki",,,,,,,

    Akaruka kama nyau kufumba na kufumbua yule jamaa akajikuta anapiga yowe zito la uchungu baada kupigwa sijui ngumi au teke kwenye sehemu za siri kitendo cha kuinama akafumuliwa kifuti cha Uso

    sidhani kama meno ya mbele atakuwa nayo kumbe mwenzake alikuwa yupo chumbani Anafanya mapenzi Ikram kama haitoshi akaushika mkono

    Wa yule jamaa na kuuvunja

    binafsi Binti hakuamini kwa kile anacho kiona Ikram akaingia ndani kwa kuupiga teke mlango

    Tonny akiwa juu ya kifua cha Binti mmoja hivi akastuka kabla hajafanya chochote akajikuta anapigwa zinga la teke akayumba na kudondokea kwaenye friji Ikram akaja kwa juu na kuanza kumchakaza ngumi za uso yani Double double Tonny akajitahidi kukinga mikono akashindwa. Chezea

    Ikram ni shiida tupu,

    Ndani ya dakika kama kumi hivi Mwanaume kamaliza kazi pongezi za pekee ziende kwake

    Ikram Wananchi walifurahi na kusema

    Hakika vilio vyetu vimesikika maana tulikuwa hatuna Amani kabisa.

    Binti nae akamkumbatia Ikram huku akijitamburisha anaitwa Rose...."

    Ikram akaaga huku akimuachia number ya simu Bibiye Rose



    Samira akiwa chumbani kwake akazidi kupokea sms tamu kutoka kwa Abasi kumbe ni Kessy

    Akabaki kutabasamu tu na kujisemea

    Subiri nikurengeshe kwa boyfriend wangu Ikram akupe dawa utakoma mwenyewe

    Mie tayari nishapenda siwezi kupenda mwingine wakati nina moyo mmoja tu.

    Akiwa anaendelea kuchart ndipo mlango wake ukabishwa hodi akaitikia pita tu,

    Akaingia Mama yake basi akaifunga laptop yake faster na kwenda kumkumbatia Mama yake,



    “whao Mama huyoo,,,"

    Basi wakakumbatiana kwa furaha na kukaa kitandani



    “ehee vipi tena Mama kwanza umenistua baada kunipigia simu ukaniuliza niko wapi kwani ulizani nitakuwa wapi mida hii?"

    Shadia akamtizama mwanae wa pekee maana baada

    Kessy kufa hakutaka Mwanaume mwingine tena

    Akawa bachera tu mpaka samira anatimiza umri wa miaka kumi na sita hana mdogo wake,

    Baada kumtizama mwanae kwa muda ndipo akamwambia,



    “Samira mwanangu binafsi naomba kwanza unisamehe Mimi mama yako"

    Samira akashangaa na kuuliza,



    “Mama nikusamehe kwa kosa gani hasa ewe Mama yangu?"

    Ndipo Shadia akaanza kumpa full story mwanae kisha akamuonyesha picha za Ikram kwenye simu kwa kumwambia huyu ndio Kaka yako mwanangu"

    Samira akacheka mwishoe akalia akacheka tena



    “ha!ha!ha!ha!.....hihihihi....tehe!tehe!

    Hakika hakuamini akajikuta ananyanyuka na kutoka nnje mbio akapita sebureni akiwa analia na kumkuta Baba yake mkubwa

    hakumjali akatoka nnje kabisa ya geti

    Na kuipungia mkono bodaboda akapanda huku akimwambia dereva ampeleke Coco beach,

    Shadia nae akatoka mbio na kumwambia

    Freddy kuwa ameshamueleza ukweli wote



    “sasa atakuwa anaenda wapi?

    Shadia akajibu



    “hata sijui embu tumfate mtoto maana anaonekana kama kachanganyikiwa hivi!"

    Basi nao wakatoka mbiombio mpaka nnje ya geti, wakaangalia kulia na kushoto kisha wakamuuliza kijana mmoja hivi mchoma mahindi akawapa jibu kuwa kaondoka na bodaboda Freddy akaingia ndani geti likafunguliwa akatoka na gari

    Safari ya kumfatilia Samira ikaanza

    Kufika Chama kuna foreni dahaa,"

    Samira njia nzima akabaki kulia na kusema hapana ni uwongo huu

    Ikram sio Kaka yake ni mpenzi wake akafikishwa coco beach dereva akamuuliza



    “Dada unatatizo gani kwani?"

    Samira hakujibu kitu zaidi ya kumlipa pesa yake na kuondoka eneo lile akaenda kukaa sehemu moja hivi akiwa peke yake mawazo tele kichwani ghafla akahisi kuguswa begani

    Akageuka kumtizama ni nani huyo aliyemshika

    Hakuwa mwingine ni

    Kessy dahaaa"









    Samira njia nzima akabaki kulia na kusema hapana ni uwongo huu

    Ikram sio Kaka yake ni mpenzi wake akafikishwa coco beach dereva akamuuliza

    “Dada unatatizo gani kwani?"

    Samira hakujibu kitu zaidi ya kumlipa pesa yake na kuondoka eneo lile akaenda kukaa sehemu moja hivi akiwa peke yake mawazo tele kichwani ghafla akahisi kuguswa begani

    Akageuka kumtizama ni nani huyo aliyemshika

    Hakuwa mwingine ni

    Kessy dahaaa"



    Songa nayo

    Sasa



    Samira akashituka baada macho yake kugongana ana kwa ana na yule mtu

    aliyemgusa begani.

    Akabaki kumtazama tu pasipo

    kuongea chochote kile, ndipo Kessy akavunja ukimya kwa kumsarimia



    “mambo vipi mrembo naona umekaa peke yako unaonekana una mawazo tele kichwani nini shida?"

    Samira hakujibu kitu akabaki kumtizama tu yule mtu akajiuliza moyoni mwake,



    “huyu si ndio Abasi shaweji yule kijana niliyekuwa nikichart nae leo hii Facebook, amefikaje maeneo haya?....na amejuwaje kama mimi niko hapa?"

    Hakika maswali yake yakakosa majibu na kujikuta macho yake

    Akiyaelekeza kuiyangalia Bahari.

    Kessy hakutaka kushindwa kitu akazidi kumchombeza tu kwa maneno

    matamu,



    “Binti nafahamu ya kwamba unajiuliza na kushangaa nimefikaje hapa kwa kifupi tu, nilikuwa kulee na washikaji zangu tukishort video ya wimbo wangu mpya unaokwenda kwa jina la Never never,

    Ndipo sikuamini macho yangu

    Baada kukuona ukishuka kwenye bodaboda!"

    Samira akauliza kwa mshangao



    “whao!,,,,kumbe wewe ni msanii?"

    Kessy akaona ehee hapa ndio penyewe akaitikia

    “ndio Mimi ni msanii yani nishafanya korabo na wasanii kibao tu kutoka East Africa yani kina davido p-square

    Yani wengi tu!"

    Samira akazidi kudata kwa kuuliza



    “Kwahiyo ile nyimbo ya Never never unaitolea video sio sasa unaonaje na mie nikatokea kwenye iyo Video?"

    Kessy akasema



    “hamna shida maana hata Mimi nilikuwa nasaka mrembo kama wewe je utaweza kucheza na yani kukatika viuno?"



    “yeah naweza sana tu"

    Samira akanyanyuka na kuanza kucheza huku akikatika miuno yani kiuno hakina mfupa,

    Kessy akabaki kujiramba tu, mawazo yakampeleka mbali yani tayari ameshamvua kila kitu

    Samira anamkatikia juu yake

    Hakika hakuweza kujuwa wala kufahamu kama ni mwanae,

    Samira akamstua kutoka kwenye mawazo yake ya Kishetani kwa kumgusa usoni huku akimwambia



    “umeona mambo hayo mi noma bwana"

    Kessy akatikisa kichwa yani kumkubari kisha akapiga mruzi kufumba na kufumbua vijana wakiwa na vifaa vya kushort video yani Camera zenye ubora kama zile za Good father

    wakaja sijui hata wametokea wapi.

    Kessy akasema jamani



    “oyii jamani nadhani imekuwa kama bahati vile kuweza kumpata mrembo mwenye kila sifa tulizokuwa tunazitaka kwenye wimbo wetu huu, kwahiyo hakuna kilicho aribika Shorting ianze,

    Basi maandalizi ya video yakaanza ghafla

    Samira akashikwa mkono huku akivutwa

    Kessy akamtizama mtu anayeondoka na Samira

    Kwanza akastuka kisha akachenji sura faster,"

    Samira nae akawa hataki kuondoka



    “Mama nimesema sitaki siwezi kurudi nyumbani yani kijana niliyetokea kumpenda haiwezekani awe Kaka yangu!"

    Kessy ikabidi awafate pale waliposimama mtu na Mama yake wakibishana, kumbuka kashachenji sura akauliza



    “vipi kwani Dada mbona mabishano tu hapa tatizo nini?"

    Shadia akamsimulia japo kwa ufupi

    Kessy ndipo akatambua huyu ni mwanae dahaa,

    Kwa kutumia Magic power akamgusa Samira kichwani yani aweze kumuona

    Ikram kama kaka yake tu,

    Baada kuguswa kichwani ndipo

    Samira akaongoza njia mwenyewe kuifata gari

    Kessy akaweza kumuona Kaka yake

    akiwa kabaki kwenye gari akapiga mruzi sijui produced directe

    Mpiga makeup wote wakapotea kumbe mizimu tu nae akasepa,



    Kessy baada kutoka kule Coco beach

    hakika kichwa kilimuuma sana, akabaki kujiuliza ingekuwaje yeye angefanya mapenzi na Binti yake

    Hakika ndio ungekuwa mwisho wake wa kuwepo tena duniani yani angerudi kuzimu akiwa vumbi tu yani ingekuwa Aibu kubwa sana kwake.

    Kwa upande wa

    Samira baada kufika nyumbani kwako cha kwanza ni kumblock

    Ikram kisha akaivunja line ya simu sijui

    Kessy alimfanyia nini kichwani kwake ila ndio hivyo!"

    Masaa Siku wiki hatimae mwezi ukaweza kukatika,

    Pasipo Ikram kupata hata sms moja kutoka kwa

    Samira binti aliyetokea kuuteka moyo wake, akabaki kujiuliza maswali mengi sana

    Ni kipi alichomkosea mpenzi wake akipiga simu haipatikani

    whatsapp hayupo Fb haonekani

    Akafunga safari mpaka mikocheni ndani ya nyumba ile akapewa jibu nyumba imeuzwa

    Akajaribu kuuliza wenyewe wamehamia wapi?"

    Akajibiwa hawajui,

    Ikram akachoka vibaya mno



    “hivi mbona haya yote yametokea baada Baba mkubwa kuichukuwa simu yangu ile siku ile?,,,,,bira shaka kutakuwa kuna kitu hapa maana haiwezekani ghafla tu kitokee kitu kama hiki"

    Subiri leo Baba akija nimchimbe.

    Lugome nae akaweza kupona na kuruhusiwa kutoka hospital

    Ikram akafurahi sana kumuona ndugu yake

    Hata Lugome nae hakuamini kama ile ndio familia yake kwa mara ya kwanza anaita Babu bibi na mjomba

    Akatamani kitu kimoja tu kuita Baba.

    Basi maisha yakazidi kusonga huku watu wakizidi kupotea katika mazingira ya kutatanisha vifo vikizidi kuongezeka pia ndipo anakuja kuibuka

    Ninja suit

    yani ni ninja mwenye kupiga suit kiumbe hatari kabisa kwa mara ya kwanza kuonekana ni katika super Market,

    Maeneo ya ubungo plaza, baada majambazi kuvamia eneo hilo

    Hakika aliwachakaza vibaya mno sema

    Ninja huyu ni muuwaji yani anauwa tu

    Hawezi kumuacha mtu akiwa hai,

    Kila kona ya jiji habari ikawa Ninja suit,

    Katika kijiwe flani hivi cha kahawa kulikuwa na mjadara mkubwa tu

    Kama ujuavyo tena

    kwenye mkusanyiko wawatu hakukosi mada,



    “wewe yule Ninja anaevaa suti ni hatari vibaya mno kwanza yule atakuwa ni mmoja kutoka kitengo maarumu cha Kessy baada kutoka kule Coco beach

    hakika kichwa kilimuuma sana, akabaki kujiuliza ingekuwaje yeye angefanya mapenzi na Binti yake

    Hakika ndio ungekuwa mwisho wake wa kuwepo tena duniani yani angerudi kuzimu akiwa vumbi tu yani ingekuwa Aibu kubwa sana kwake.

    Kwa upande wa

    Samira baada kufika nyumbani kwako cha kwanza ni kumblock

    Ikram kisha akaivunja line ya simu sijui

    Kessy alimfanyia nini kichwani kwake ila ndio hivyo!"

    Masaa Siku wiki hatimae mwezi ukaweza kukatika,

    Pasipo Ikram kupata hata sms moja kutoka kwa

    Samira binti aliyetokea kuuteka moyo wake, akabaki kujiuliza maswali mengi sana

    Ni kipi alichomkosea mpenzi wake akipiga simu haipatikani

    whatsapp hayupo Fb haonekani

    Akafunga safari mpaka mikocheni ndani ya nyumba ile akapewa jibu nyumba imeuzwa

    Akajaribu kuuliza wenyewe wamehamia wapi?"

    Akajibiwa hawajui,

    Ikram akachoka vibaya mno



    “hivi mbona haya yote yametokea baada Baba mkubwa kuichukuwa simu yangu ile siku ile?,,,,,bira shaka kutakuwa kuna kitu hapa maana haiwezekani ghafla tu kitokee kitu kama hiki"

    Subiri leo Baba akija nimchimbe.

    Lugome nae akaweza kupona na kuruhusiwa kutoka hospital

    Ikram akafurahi sana kumuona ndugu yake

    Hata Lugome nae hakuamini kama ile ndio familia yake kwa mara ya kwanza anaita Babu bibi na mjomba

    Akatamani kitu kimoja tu kuita Baba.

    Basi maisha yakazidi kusonga huku watu wakizidi kupotea katika mazingira ya kutatanisha vifo vikizidi kuongezeka pia ndipo anakuja kuibuka

    Ninja suit

    yani ni ninja mwenye kupiga suit kiumbe hatari kabisa kwa mara ya kwanza kuonekana ni katika super Market,

    Maeneo ya ubungo plaza, baada majambazi kuvamia eneo hilo

    Hakika aliwachakaza vibaya mno sema

    Ninja huyu ni muuwaji yani anauwa tu

    Hawezi kumuacha mtu akiwa hai,

    Kila kona ya jiji habari ikawa Ninja suit,

    Katika kijiwe flani hivi cha kahawa kulikuwa na mjadara mkubwa tu

    Kama ujuavyo tena

    kwenye mkusanyiko wawatu hakukosi mada,



    “wewe yule Ninja anaevaa suti ni hatari vibaya mno kwanza yule atakuwa ni mmoja kutoka kitengo maarumu cha

    Kessy baada kutoka kule Coco beach

    hakika kichwa kilimuuma sana, akabaki kujiuliza ingekuwaje yeye angefanya mapenzi na Binti yake

    Hakika ndio ungekuwa mwisho wake wa kuwepo tena duniani yani angerudi kuzimu akiwa vumbi tu yani ingekuwa Aibu kubwa sana kwake.

    Kwa upande wa

    Samira baada kufika nyumbani kwako cha kwanza ni kumblock

    Ikram kisha akaivunja line ya simu sijui

    Kessy alimfanyia nini kichwani kwake ila ndio hivyo!"

    Masaa Siku wiki hatimae mwezi ukaweza kukatika,

    Pasipo Ikram kupata hata sms moja kutoka kwa

    Samira binti aliyetokea kuuteka moyo wake, akabaki kujiuliza maswali mengi sana

    Ni kipi alichomkosea mpenzi wake akipiga simu haipatikani

    whatsapp hayupo Fb haonekani

    Akafunga safari mpaka mikocheni ndani ya nyumba ile akapewa jibu nyumba imeuzwa

    Akajaribu kuuliza wenyewe wamehamia wapi?"

    Akajibiwa hawajui,

    Ikram akachoka vibaya mno



    “hivi mbona haya yote yametokea baada Baba mkubwa kuichukuwa simu yangu ile siku ile?,,,,,bira shaka kutakuwa kuna kitu hapa maana haiwezekani ghafla tu kitokee kitu kama hiki"

    Subiri leo Baba akija nimchimbe.

    Lugome nae akaweza kupona na kuruhusiwa kutoka hospital

    Ikram akafurahi sana kumuona ndugu yake

    Hata Lugome nae hakuamini kama ile ndio familia yake kwa mara ya kwanza anaita Babu bibi na mjomba

    Akatamani kitu kimoja tu kuita Baba.

    Basi maisha yakazidi kusonga huku watu wakizidi kupotea katika mazingira ya kutatanisha vifo vikizidi kuongezeka pia ndipo anakuja kuibuka

    Ninja suit

    yani ni ninja mwenye kupiga suit kiumbe hatari kabisa kwa mara ya kwanza kuonekana ni katika super Market,

    Maeneo ya ubungo plaza, baada majambazi kuvamia eneo hilo

    Hakika aliwachakaza vibaya mno sema

    Ninja huyu ni muuwaji yani anauwa tu

    Hawezi kumuacha mtu akiwa hai,

    Kila kona ya jiji habari ikawa Ninja suit,

    Katika kijiwe flani hivi cha kahawa kulikuwa na mjadara mkubwa tu

    Kama ujuavyo tena

    kwenye mkusanyiko wawatu hakukosi mada,



    “wewe yule Ninja anaevaa suti ni hatari vibaya mno kwanza yule atakuwa ni mmoja kutoka kitengo maarumu cha Tanzania Intelligence Security Servise(TISS) kwa kiswahili wanajulikana kama Idara ya Usalama wa taifa!"



    “ahaa usitake kumfananisha na vilaza hao yule atakuwa ni

    (S.W.A.T) tu

    Maana anapiga na kuvunja kabisa nahisi kama tungekuwa na watu kama wale watatu tu ujambazi ungepungua kama sio kwisha kabisa",,,,,

    Katika kijiwe hiko cha kahawa

    Kessy nae alikuwepo muda wote hakuchangia neno lolote lile akabaki kimya tu akinywa kahawa,

    Kisha akauliza swali,



    “hivi jamani naona mada kubwa kabisa ni sijui Ninja suit kwani ndio nani huyo ninja?"

    Muuza kahawa akamjibu



    “yani brother hivi upo nchi gani wewe huyo Ninja suit ndio habari ya mjini kwa wajinga wajinga wote hapa nchini yani kuanzia Majambazi vibaka machangudoa sijui Mateja jamaa wote anafinya

    Huyo ni nyoko mbaba!"

    Kessy akasema



    “Nakumbuka miaka kazaa nyuma kuna kiumbe kiliibuka na kujiita Ninja mask mnakumbuka?"

    Kila mmoja akaitikia kwa kusema



    “Ehee tunampata huyo Ninja mask nae alikuwa noma sema akafa kifo cha kizembe yani Ukimwi alikuwa anapenda ngono utasema Spartacus!"

    Vijana wakacheka na kuulizana



    “hivi kwa mfano yani Ninja mask angekuwepo kisha akapewa kazi ya kumkamata Ninja suit itakuwaje hapo?"

    Jamaa mmoja akajibu



    “yani hapo ndipo pabayaa sidhani kama Ninja mask angeuweza mziki wa Ninja suit"

    Kessy akatabasamu tu kisha akaondoka eneo hilo

    huku akiacha mjadara ukiendelea.



    Tukija pande hizi tunamuona

    Ikram akiwa na Saguda wakipiga tizi la kufa mtu Ikram alikuwa kama

    Master akimfundisha ndugu yake jinsi ya kupambana

    Gafla bin vuu wakasikia kelele zikitokea ndani,

    Yani vilio wakaingia ndani mbiombio

    Na kukuta kuanzia babu

    Bibi na shangazi zake wakilia

    Ikram akatupia jicho TV hakuweza kuamini hata yeye kwa kile alichoweza kukiona

    Miguu ikamnyong'onyea na kujikuta akikaa chini,

    Inna lillah wainna illahi rajiun

    Hakika kwake tutarejea

    Freddy kamanda wa kuaminika kabisa alikuwa amepata ajari mbaya sana ya gari akiwa katika harakati za kumkimbiza Ninja suit....na kupoteza maisha hapohapo

    Hata kauli ya mwisho hakuweza kuitamka,"



    Je nini kitaendelea?







    Yani vilio wakaingia ndani mbiombio

    Na kukuta kuanzia babu

    Bibi na shangazi zake wakilia

    Ikram akatupia jicho TV hakuweza kuamini hata yeye kwa kile alichoweza kukiona

    Miguu ikamnyong'onyea na kujikuta akikaa chini,

    Inna lillah wainna illahi rajiun

    Hakika kwake tutarejea

    Freddy kamanda wa kuaminika kabisa alikuwa amepata ajari mbaya sana ya gari akiwa katika harakati za kumkimbiza Ninja suit....na kupoteza maisha hapohapo

    Hata kauli ya mwisho hakuweza kuitamka,"



    Songa nayo

    Sasa



    Hakika lilikuwa pigo kubwa sana si kwa familia tu bali taifa zima kwa ujumla. Yani kuondokewa na Kamanda wa kutumainiwa kama

    Freddy yani ndio kwaanza alikuwa anaanza majukumu yake.

    Ghafla nuru yake ikazima

    Watu walimiminika nyumbani kwao kwenye Mazishi yake wakuu wa majeshi yani vitengo mbalimbali

    Donny dead alilia mpaka akakaukiwa na sauti

    yani kazaa nyuma aliweza kumpoteza Mwanae mpendwa yani Kessy

    leo hii tena anampoteza Mwanae wa Kwanza tena ndio tegemeo lake la pekee

    Kwa upande wa Mkewe alizimia zaidi ya Mara tatu mpaka mwili wa marehemu unaswaliwa hakuwa na fahamu zake

    Ikram uchungu aliokuwa nao ndio usimpimie hata kidogo

    Hatimae mwili wa Marehemu ukapelekwa uwanja wa Taifa kwa ajili ya kufanyiwa heshima za mwisho.

    Kwa upande wa

    Samira na Mama yake walikuwepo hapo msibani walilia sana

    Shadia nae akapoteza fahamu

    yani Husna Ashura Amina

    kila mmoja alilia kimpango wake

    Ikram akajikaza kiume sema akashangaa kumuona

    Samira kwenye msiba ule tena akilia kwa uchungu huku akimtaja Baba

    Akajiuliza ina maana Samira ni mtoto wa Baba yake mkubwa au?.....

    Hakuweza kupata jibu,

    Baada mazishi kupita watu kutawanyika ndipo familia ikabaki na kupanga hili na lile Mama yake Kessy akiwa amepatwa na Stirock yani mshituko

    Baazi ya viungo vikawa vimepooza kabisa akabaki kama Zezeta.

    Mzee mfamau akiwa kama ndio kichwa cha Familia akasimama kuzungumza kwa kusema,



    “Inna lillahi wainna ilahi rajiun,

    Yani mbele yake nyuma yetu hakika kwake sote tutarejea. Kwanza kabisa naomba niseme kitu kimoja mara nyingi unapokuwa huna mtoto watu watasema ukifa hutoweza kuacha jina ukipata mtoto unafurahi kuweka heshima kwa kuitwa Baba, baadae unakuja Kuumia pindi utakapo mpoteza huyo mtoto,

    Ndipo unajiuliza kifo ni nini kwanini tusife sisi wazee tuliokuwa tayari tumekula chumvi nyingi"

    Vijana wangu wameondoka wakiwa bado wadogo sana"

    Baada kusema vile alishindwa kujizuia machozi yasimtoke kwikwi ya kilio ikamshika na kuendelea kusema



    “Vijana wa sasa hawataki kufanya kazi yeyote ile kwa kutegemea urithi kutoka kwa Wazazi wao. Pasipo kutambua kifo hakina mwenyewe

    Yani unakaa ukimuwazia Baba yako kufa kisha urithi nyumba mashamba au magari na kampuni,

    Huo ni ufinyu wa mawazo kabisa

    Naomba nimalizie kwa kusema

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahara pema peponi

    Ameen,,,,

    Kama kuna mtu yeyote yule anaitaji kuzungumza basi asimame aje hapa mbele!"

    Samira akasimama hakuna aliyeweza kumfahamu zaidi ya

    Ikram tu kila mmoja akawa makini kusikiliza kile ambacho anataka kuongea Binti yule hasa Ikram

    Samira akaanza kusema



    “Kwa jina naitwa Samira kassim mfamau,

    Kila mmoja akastuka, Kassim Mfamau si Kessy

    “Kwa hakika Baba mkubwa amekufa na siri nzito sana ndani ya moyo wake siri ambayo nahisi itamtesa huko alipo nikaona si vyema kusema ukweli tu ili aweze kupumzika kwa amani.

    Mimi ni mmoja kati ya familia hii

    Mama yangu yule pale,

    Samira akaangua kilio ilibidi

    Amina aje kumshika na kumbembeleza

    Shadia nae akaja kutoa ushuhuda wake na kusema

    kwanini hakutaka Samira

    Ajulikane kwenye familia hii,

    Ikram hakuweza kuamini hata kidogo akaona kama maigizo tu,

    Yani binti aliyetokea kumpenda awe Dada yake dahaa,"

    Wakati yote yanaongelewa hapo

    Kessy alikuwepo,

    Siku ya kusomwa arobaini ya Marehemu ikapangwa

    Kessy kimiujiza akaenda kumgusa Mama yake na kumuondolea ule ugonjwa wa Kupooza

    Kila mmoja akashangaa

    lakini ndio hivyo tena

    Samira akaomba aishi hapo kwa ajili ya kuwa karibu zaidi na Babu na Bibi yake.



    Kiumbe cha ajabu sijui Bounce

    Ninja suit akazidi kuwapa jamba jamba jeshi la police nchini.

    Aliweza kuvamia vijiwe vya mateja na kufanya mauwaji ya kutisha yeye kwa kifupi hakamati anauwa tu,

    sasa Machangudoa wakashindwa kujitokeza kwenda viwanja wakihofia kuuwawa

    Baada kupita kama miezi kama mitatu hivi kamanda mstahafu yani

    Donny dead akaitajika haraka sana kwenda Ikulu muheshimiwa Raisi bwana Bernard zombe akimuhitaji,

    Donny dead akatii amri akafika haraka sana Ikulu

    Kiliwekwa kikao takribani masaa manne huku Donny dead akiombwa kurudi tena kazini. Maana nchi haiko tayari kuingia ghalama kubwa

    kuitaji (S.W.A.T) kutoka nnje ya nchi kwanza ni aibu kwa taifa

    Donny dead akasema umri wake umeshaenda sana hawezi kuifanya kazi hiyo.

    Akaahidiwa kiasi kikubwa sana cha pesa ndipo akakubari kurudi vitani tena,

    Ndani ya viwanja vya Dege beach pande za Bagamoyo

    kulikuwa na zinga la pati vijana wakisheherekea

    Siku ya Valentine day yani siku ya wapendanao

    Siku ambayo inafanyika kila tarehe 14 mwezi wa pili,

    Miongoni mwa Vijana alikuwepo

    Ikram Samira

    Mage na Saguda....

    Nao wamekuja pande hizo kula bata

    Mage rafiki kipenzi wa Samira akatoka kidogo kwenda kununua sijui juice au nini

    Ghafla akajikuta anakabwa na kuzibwa mdomo akajitahidi kujitoa kwenye mikono ya yule mtu aliyemkaba akashindwa kuna mtoto

    Mdogo tu akaona tukio lile akatoka mbio na kwenda kumgusa

    Ikram kabla ajauliza nini mtoto akaonyeshwa wakati huo

    vijana wa Kihuni kama wanne hivi wamembeba Mage

    Samira

    Ikram wakasema wee usintanie wakatoka mbio kumuwai

    Mage kitendo cha kukaribia tu kule wakastukia kijana mmoja mmoja akirushwa hewani

    Wakastuka na kutaka kufahamu kumbe Mage anajiweza khaa!

    Ajabu wakamkuta Mage yupo

    Mikononi mwa kiumbe wa ajabu

    Sijui kiumbe gani huyu,

    Saguda nae akaja kichwakichwa akafumuliwa zinga la teke na kujikuta anaenda kudondokea huko

    Akacheuwa damu kile kiumbe sijui kikoje mbele ya macho ya kina

    Ikram kikapotea tena

    Na kumuacha Mage na kiujumbe fulani

    Ikram akaiyokota kile kikaratasi na kukisoma

    Akakuta neno

    NINJA MASK.



    Ikram hakuweza kuelewa neno Ninja mask linamaanisha nini

    wakafanya haraka kwenda kumbeba

    Saguda kisha wakaondoka haraka

    maeneo yale,

    Ndani ya gari

    Samira ndio alikuwa dereva akabaki kuuliza maswali tu,

    “Duhuu hivi kile kiumbe cha aina gani kwani yani kimepotea kama vumbi!"

    Mage akajibu



    “yule ndio Ninja suit popote pale kwenye tatizo anatokea na kutoa msaada

    maana wale wahuni walikuwa wanataka kunibaka

    ndio akatokea yeye hakika ni mkombozi anacho kosea ni kuuwa tu!"

    Ikram, hakuweza kuchangia chochote kile akabaki kimya tu,

    Mpaka wanafika nyumbani kwao

    Ikram akaenda kumuuliza babu yake kuhusu

    Ninja mask

    Kwanza Donny dead akastuka na kuuliza hizo habari za

    Ninja mask kazipata wapi?....

    Ikram akamwita Samira na kumwambia

    “embu mwambie Babu huyo Ninja mask tumemuona wapi leo?"

    Samira akaelezea mwanzo mpaka mwisho.



    “Donny dead akavuta pumzi kwa ndani kisha akazishush

    “oopsii,,,,"

    Huyu Ninja suit ni nani nahuyo

    Ninja mask ni nani mbona majanga tena bora Kessy na

    Freddy wangekuwa wapo hai

    Wangenisaidia kuhusu kazi hii nzito dahaa

    Nimebaki peke yangu yani

    Sina msaada wowote ule,

    Maisha yakazidi kusonga huku habari za kuonekana Ninja mask zikizagaa kila kona ya jiji tokea Ninja mask aibuke

    Ninja suit akapotea,

    Wapo waliosema Ninja suit kauogopa Mziki wa Ninja mask.

    Wengine wakasema Ninja mask

    Na Ninja suit ni kiumbe mmoja tu.

    Donny dead akafanya kazi usiku na mchana kumsaka

    Ninja mask pasipo kumuona.

    Hata unyayo wake.



    Ndani ya ukumbi wa Madison square kulikuwa na tarent show

    ya kusaka vipaji vya wanamuziki chipukizi wakati vijana walipanda stejini kuonyesha vipaji vyao wakati huo ndani ya vyoo vya Wanawake kulikuwa na Show nyingine kabisa

    Kutoka kwa Binti anaekwenda kwa jina la Mwamvita alikuwa amekunjwa kwenye sink

    akipewa.dozi na kijana mmoja

    hivi,

    Kessy nae akaingia ndani ya ukumbi huo bila kumsahau

    Ikram na Saguda

    Kessy hisia zake zikamtuma

    Kama kuna kitu kinatendeka ndani ya vyoo akaenda

    Ghafla Mwamvita akahisi

    Vitu tofauti kutoka kwa mpenzi wake,







    Ndani ya ukumbi wa Madison square kulikuwa na tarent show

    ya kusaka vipaji vya wanamuziki chipukizi wakati vijana walipanda stejini kuonyesha vipaji vyao wakati huo ndani ya vyoo vya Wanawake kulikuwa na Show nyingine kabisa

    Kutoka kwa Binti anaekwenda kwa jina la Mwamvita alikuwa amekunjwa kwenye sink

    akipewa.dozi na kijana mmoja

    hivi,

    Kessy nae akaingia ndani ya ukumbi huo bila kumsahau

    Ikram na Saguda

    Kessy hisia zake zikamtuma

    Kama kuna kitu kinatendeka ndani ya vyoo akaenda

    Ghafla Mwamvita akahisi

    Vitu tofauti kutoka kwa mpenzi wake,



    Songa nayo

    Sasa



    Mwamvita akashindwa kuvumilia hali ile akajinyanyua kutoka kwenye

    Style ya chuma mboga.

    Ajabu akazidi kukandamizwa tu,

    Ahaaaaaa,,,,,babiiiiii,,,,naumiaaa,,,,opsii,,,ohoooooo,,,,,shabiiiii,,,,,basi bwanaa,,,

    Kumbe hakuweza kufahamu ya kwamba huyo sio tena Shaby

    Yani mpenzi wake aliyekuwa akila nae raha utamu, ndani ya choo hiko.

    Mtoto wakike akazidi kukatika viuno huku akifatisha midundo ya mziki

    iliyoweza kusikika vyema kutokea kule Stejini.

    Mwamvita akajitutua aweze kuinuka wapi ikawa kama vile anamwambia Sheby azidi kumpampu kwa nguvu,

    Binti speed ya kuzungusha kiuno ikapungua hatimae akawa kimya

    Damu zikaanza kumtoka

    Mdomoni puani na masikioni.

    Macho yakamtoka, ndipo

    Kessy akatoka ndani ya mwili wa Sheby na kuondoka eneo lile haraka sana.

    Sheby akashituka vibaya mno yani kama vile alikuwa katika usingizi mzito sana.

    Akabaki kumwita tu mpenzi wake huku akimtikisa,



    “Mwamvita mpenzi nini kimekutokea!",,,,,tafadhali amkaa,,

    Mwavitaa!!!,,,hakika Sheby alidata vibaya mno, kulikuwa na Wasichana nao walikuwa wanaingia chooni na kukutana na hali hiyo

    Wakatoka nnje mbiombio uku wakipiga makelele

    Kitendo bila kuchelewa watu wakajazana mule chooni

    Vijana wakamchomoa Sheby na kuanza kumpiga

    Bahati nzuri nae alikuwa na kikundi chake Sakaingilia kati kumuokoa mwenzao ndani ya ukumbi ikawa patashika

    Baina ya vijana wale wanaojiita Wamadili camp kutoka Tabata chang'ombe.

    Chupa zilirushwa huku na kule ikikupata ndio zawadi yako hiyo,

    Ikram yeye hakutaka shida wala nini akaenda chooni

    Kuangalia kilichotokea. Ghafla bin vuu katikati ya vurugu

    Ninja suit akaibuka na kuanza kushusha kichapo ukumbi mzima ilibidi vijana wote waungane waache tofauti zao kwa ajili ya kumzibiti

    Ninja suit ilikuwa kama vile kutwanga maji kwenye kinu Ninja suit alikuwa hashikiki kwa chochote kile.

    Vijana walipigwa vibaya sana. Ninja suit ni Jinniasi yani anadaki na ukuta kisha anapiga zile free kick za ajabu

    Ndani ya dakika kama kumi hivi hakuna aliyeweza kunyanyuka police nao

    Ndio wanaingia

    Ninja suit faster akapotea, kwa upande wa chooni tunamuona Ikram na Saguda wakiubeba mwili wa Marehemu

    Mwamvita na kutoka nao mule chooni,

    Police baada kuvamia ndani ya ukumbi ule wakashikwa na mshangao

    Kwa kile walichoweza kukiona maana ilikuwa balaa tupu

    Damu zimetapakaa kila kona.

    Huku miili ya vijana ikiwa imelaliana hovyo,

    Wengine tayari wamekufa,

    Ninja suit kashafanya yake ndio kauli iliyosikika kutoka kwa baazi ya Wasichana.



    Donny dead akapokea taarifa ya kwamba kuna tatizo kubwa sana limetokea maeneo ya Tabata kwenye ukumbi wa Madison's square,

    Akafanya kufika haraka sana eneo la tukio,

    Na kukuta miili ikipakizwa kwenye gari

    Tayari kwa safari ya kupelekwa Hospital wengine Monchwali.

    Donny dead akaingia hadi sehemu ya tukio na kufanya uchunguzi wake,

    Baadae akatoka akaweza kuwahoji

    Wasichana kama wawili hivi

    Kisha akaondoka eneo hilo

    Tetesi zikaanza kuzagaa ya kwamba

    Ninja mask amerudi tena kila mtu akasema lake

    sijui kaonekana katikati ya jiji

    Sijui tegeta na Sinza

    Donny dead akabaki kujiuliza maswali tu pasipo kupata

    “hivi huyu Ninja suit ndio nani?....na huyu Ninja suit je?....bila shaka atakuwa ni mtu mmoja tu....sasa ni nani mpaka ageze mambo ya

    Kessy",,,,,

    Akiwa anazidi kujiuliza maswali ndipo akaja Ikram na kumuuliza

    Babu yake nini anawaza.



    “babu nakuona umekaa peke yako unatunga tu sheria basi nasie utushilikishe kwenye mipango hiyo!"

    Donny dead akatabasamu

    Na kumwambia mjukuu wake



    “Ikram kumbuka wewe bado ni kijana mdogo sana huwezi kushilikishwa kwenye hatari kama hizi mwanangu, maana Baba yako mkubwa kama ulivyoona kafa mapema"



    “Ndio Babu hilo nafahamu kwanza ukizingatia umri wako ushaenda sana huwezi kukimbizana na mikiki mikiki kama hii nichukuwe Mimi niwe kivuli chako babu!"



    “Sawa nimekuelewa kuanzia sasa utakuwa siraha yangu ya akiba au sio?"

    Ikram akafurahi sana

    na kumkumbatia Babu yake na kumshukuru kwa kukubari kuwa nae japo ni kama kivuli tu,



    “Shukrani sana babu yangu nilijuwa nawe utanikataa kama vile Baba mkubwa!"

    Donny dead akamwambia asihofu kazi ianze sasa,

    Ninja mask ikawa ndio homa ya jiji

    Ninja suit ikawa ndio jipu la wazembe wote,

    Serikali ilikaa chini na kupanga mipango mazubuti kabisa

    Baada kuona Donny dead hana msaada wowote ule

    Kikosi maalumu kutoka kitengo cha S.W.A.T kikaingia kazini kwa kazi moja tu kuwanasa hao viumbe

    Kumbuke kama itatokea vurugu sehemu yeyote ile

    kikosi cha kwanza kwenda kutuliza

    Ghasia zile ni police

    wakishindwa kinakuja Ffu yani fanya fujo uone.

    Wakishindwa ndipo wanakuja Wanajeshi yani vikosi vyote vikishindwa wanakuja wazee wa Kazi yani (S.W.A.T) kudadeki wanafinya kata funua hawa Mwanajeshi mwenyewe anaomba poho kwa hawa jamaa

    Kikosi cha mwisho tena wana kibari hadi cha kuuwa ni

    Wazee wa Suti usalama wa taifa hawa jamaa ndio nyoko ukitaka kuwafahamu vizuri kamguse

    Magu yani wapo kama hawapo vile

    Wako faster zaidi

    Kasi mno...

    Kitendo cha kukabiziwa kazi watu wengine Ikram hakukipenda hata kidogo akapanga kufanya kitu.



    Tukija kwa muuwaji wa kutisha

    kabisa yani Kessy alikuwa yupo maeneo ya Tabata magengeni kwenye kibanda cha Mama ntilie sijui mzimu gani huu unakula kwa huyu

    Kessy anagonga msosi kama kawaida

    Wakati mizimu zao nyama mbichi za binaadam na Damu

    Akiwa anakula ndipo akaingia babu mmoja hivi kilema yani mguu mmoja hana jicho moja ni chongo akaja kwa mwendo wa kujikongoja akakaa kwenye benchi

    Ghafla kuna kijana mmoja akapiga zinga la kofi yule mzee huku akimtusi



    “wee fala nini sehemu zote ujaziona mpaka uje kukaa hapa

    Pumbavu zako,"

    Akamuongeza kofi lingine mzee wawatu akaenda chini

    Hakika ulikuwa ni uonevu tu.

    Mama ntilie kwa sauti ya Huruma akasema,



    “wee Amidu kijana wangu muogope Mungu wako huyo mzee ni sawa na Babu yako,"

    Amidu kwa hasira akamuonyeshea kidole yula Mama ntilie huku akimwambie



    “wee tena ishia hapohapo usiongee kitu chochote kile yani Mimi niwe na Babu kama huyu Wallahi

    naukataa ukoo wote, yule Babu akajikuta anasema tu



    “Astaqhafilullahi akajizoazoa pale chini na kwenda kukaa kwenye benchi lingine sema karibu na

    Kessy kiumbe hatari kabisa

    Wakati yote anafanyiwa yule babu sio kama hakuona aliona akajifanya yuko busy kula kisha akamuuliza yule

    Mzee huku akimpa pole.



    “pole sana Babu yangu"

    yule Babu akaitikia



    “Hasante sana kupitia jicho lake moja mchozi ukawa unamtoka,

    Kessy akageuka kumuangalia yule kijana ayupo ameshaondoka nae akatoka nnje ya kibanda haraka sana akatizama kushoto na kulia

    Akamuona yule kijana anavuka barabara akiwa na wenzake wanacheka mbavu hawana"



    “Yani Amidu wee noma yani umekata kisha ukafunua dahaa aminia sana"

    Kwa kasi ya kimbunga Ninja mask yupo mbele yao hakuna aliyetegemea kile akionacho,

    Amidu wenzake wakakimbia yeye akajifanya kutaka kupigana

    ikawa ni kosa yani alichakazwa visu kila maeneo ya mwili wake kisha akachinjwa watu kibao wakaweza kushuhudia tukio lile wenye simu za Smart wakajichukulia picha na video ajabu kuangalia hizo video na picha Ninja mask hajatokea. Yani ilionekana

    Amidu akijiuwa mwenyewe kwa kujichinja dahaa,

    (S.W.A.T) wanafika

    Ninja mask keshasepa zamaani.



    Samira msichana hatari sana huyu siku zote alikuwa na kisasi

    Moyoni mwake hakuna aliyeweza kufahamu siri hii nzito kabisa kama Samira alishawai kubakwa yeye pamoja na Mama yake yeye akiwa ndio kwanza na umri wa mika nane tu.

    Vote ilitokea baada mfanya biashara maarufu hapa nchini bwana George Foster kumtaka kimapenzi Bibiye

    Shadia ikawa ngumu kwa

    Shadia kukubari ndipo wakatumiwa kikosi kilicho wavamia nyumbani kwao usiku wa Saa mbili na kufanyiwa unyama huo

    Shadia kwa macho yake alishuhudia mwanae akibakwa hakika

    Samira alishikwa na kitu kama ugonjwa wa degedege hivi mwezi mzima

    Alishindwa kuongea

    Mpaka akapelekwa nchini

    Ukraine huko akakaa

    Mpaka akatimiza umri wa miaka kumi na tatu akarudi tena Tanzania na kufikia kutambulishwa kwa

    Baba yake mkubwa yani marehemu

    Freeddy,

    kibaya zaidi wakamficha

    Kwa upande wa bwana George Foster licha ya kutenda unyama ule

    hakuacha kumfatilia Shadia

    hakika alitamani Kessy angekuwepo

    binafsi huyu kibopa asingeendelea kuishi,

    Kama unakumbuka

    Season one katika ile Nipe yote

    Kessy alimuuwa hadi Baba mkwe wake kisa kwa tabia zake za

    kishenzi,

    Samira akazidi kusuka mipango

    Na kupata plani A akitaka kazi yake ikamilike aondoke hapo kwa Babu yake.



    Akaona njia pekee ni kuaga yani anakwenda nchini Swaziland kumtembelea rafiki yake kipenzi

    Catherine atakaa huko takribani miezi kama sita hivi.

    Katika mahesabu yake

    Alijuwa kabisa ndani ya miezi hiyo kazi itakuwa imekwisha kabisa.

    Wakati yeye anapanga hivyo

    Ikram nae anapanga vitu vyake kwanza kabisa alitaka kuirudisha

    heshima iliyo potea cha kwanza ni kuwafunza adabu hao

    (S.W.A.T) cha pili ni kumnasa

    Ninja mask au

    Ninja suit kivyovyote vile akaona kazi itakuwa ngumu kama ataendelea

    Kuishi hapo nyumbani kwao

    Akapanga kuaga ya kwamba anataka kusafiri kwenda Japan

    kumbe ataenda kujichimbia katika jiji la mwanza

    Kwa atako utaka yeye kisha aifanye hiyo kazi,,,,"

    Akaitaji msaidizi

    Kwanza kabisa akamfikilia

    Samira akaona hapana huyu mtoto wa kike atatoa siri kabla mambo bado

    Akaona mtu sahihi ni

    Saguda baada kufikilia sana.

    Akaona hapana

    Saguda kimapambano hayuko sawa kabisa,"



    Ninja mask yani Kessy

    Baada kufanya mauwaji kule Tabata magengeni zikiwa zimepita siku kama tatu hivi.

    kwa upande wake nae alikuwa na mawazo mazito sana sijui anawaza nini embu tumsikie anachokisema,



    “Ninja suit ni nani wewe?,,,,,,je wewe ni bora kushinda mimi....unaweza kupambana na Mimi?,,,,,jibu kama ndio tupange tukutane basi kisha tumalize ubishi,,,"





    Ninja mask yani Kessy

    Baada kufanya mauwaji kule Tabata magengeni zikiwa zimepita siku kama tatu hivi.

    kwa upande wake nae alikuwa na mawazo mazito sana sijui anawaza nini embu tumsikie anachokisema,

    “Ninja suit ni nani wewe?,,,,,,je wewe ni bora kushinda mimi....unaweza kupambana na Mimi?,,,,,jibu kama ndio tupange tukutane basi kisha tumalize ubishi,,,"



    Songa nayo

    Sasa



    Kessy alijikuta akijiuliza maswali chungu mzima, hakuweza kupata jibu

    hakika Ninja suit alimnyima usingizi.

    Katika mawazo yake akapanga kutumia kitu kinaitwa

    Pawns, yani kumtega Ninja suit popote atakapo tokea na yeye awepo.

    Akajiambia kama Ninja suit atakuwa mkari zaidi yake atamuomba waunde team moja ya kibabe kisha waiteke Dunia.

    Ikram akafanya kama alivyo panga

    baada kupita kama wiki hivi siku hiyo alikuwa amekaa sebureni na

    familia yake yote ndipo akaanza kusema,



    “Babu bibi na wengineo wote

    Mliokuwa hapa binafsi naitaji kuwaaga katika siku hii ya leo

    Maana kesho natakiwa kurudi nchini Japan kuendelea na masomo!"

    Kila mmoja akashituka

    na kumtazama mwenzie Babu yake akamuuliza,



    “Ikram baba mbona imekuwa safari ya ghafla hivo yani

    hata majibu yenyewe hatujayapata unataka kurudi Japan?"

    Husna nae akasema kwa kumwambia mwanae



    “Ikram mwanangu kwanza kuhusu kuendelea form five kuna shule nzuri tu nimekutafutia mwanangu

    Sitaki tena uende nnje ya nchi kwanza ukafanye nini?,,,,,kule ulienda kwa muda tu kutokana na utukutu wako ulipokuwa mdogo!"

    Samira nae akachangia mada kwa kusema



    “mie binafsi naona si vibaya Kaka yangu mkamruhusu

    aweze kwenda kuendelea na masomo yake huko alipoanzia

    maana kumpeleka

    shule nyingine ni kuchanganya mada tu!"

    Ikram akatabasamu baada kuona Dada yake kaongea pont!,,,,,,,

    Hatimae akakubaliwa ila akaambiwa asubiri kama wiki moja hivi taratibu za safari ziandaliwe.

    Ikram hakubisha akaanza kuondoka

    Samira kwa upande wake haikuwa ngumu sana

    Kwanza aliongea na huyo rafiki yake wa huko Swaziland,

    Kisha akazungumza na Mama yake safari ikaandaliwa akasindikizwa mpaka uwanja wa ndege.

    Akacheza zinga la mchezo ndani ya ndege hakuingia akapitia njia anazo zijuwa yeye na kupotea eneo lile ndege mpaka inapaa angani

    Shadia akabaki kuipungia mkono akijuwa kabisa mwanae kipenzi yupo mule.

    Samira baada kuakikisha Mama yake na shangazi zake wameondoka tayari akatoka sehemu aliyo jificha kisha akaingia ndani ya Tax na kumwambia dereva ampeleke Ubungo,"



    Baada kupita kama siku mbili hivi tokea

    Samira asafiri,

    Ikram nae akawa yupo tayari

    kwa ajili ya safari kwanza kabisa hakupenda mtu yeyote amsindikize hadi uwanja wa ndege,

    Sema Saguda akang'ang'ania kwenda nae.

    Ikram hakuwa na jinsi zaidi ya kukubari amsindikize tu. Kufika uwanja wa ndege Ikram nae akacheza mchezo anaoujuwa yeye na kusepa

    Baadae kidogo tunamuona akiwa ndani ya Tax akielekea Ubungo,



    Kessy ukipenda muite Ninja mask siku hiyo ndani ya nyumba alikuwa na Binti mmoja hivi kati ya Mabinti wale waliokuwa wakisukana

    siku kazaa zilizopita nyuma, si mwingine ni

    Roida,,,,basi mtoto wakike akabaki kurembua macho tu mkononi akiwa ameshika Glass yenye mvinyo

    akapiga funda mbili tatu tu,

    hatimae mtoto akawa ndembendembe,

    Akajimanua mwenyewe huku akimwita

    Kessy



    (Come on baby)ahaaaaa,,,,issssssss,,,ohaaaaaassss,,,

    Roida akabaki kujinyonga nyoka kwa kujiramba na kujitia vidole kwenye kitumbua chake kumbe chupi ishavuliwa kitambo tu.

    Kessy kwa mwendo wa sitaki nataka akamsogerea na kumshika kichwa kisha akampa nafasi mtoto anyonye muwa.

    Roida akajipinda na kuushika

    muwa kwa mikono

    miwili na kuanza kuramba mpaka kwenye kifundo hakika lips zake zilitanuka maana Muwa ulikuwa mnene sana.

    Opsiiiiiii,,,aiiiiiiiiiiii,,,,ahaaaaa,,,hapoooooo,,,,basiiiiiiii,,,,

    Roida akawa analalamika huku akikipeleka kiuno chake mbele baada muwa kuchomwekwa sehemu husika....

    Kessy alianza mwendo wa taratibu kumsugua kila sekunde speed ikaongezeka

    Hatimae Roida akajikuta anaomba poho kwa kusema



    “ahaaa,,,,basiiiii,,,,uwiiiiii,,,chomoaaaaaaaaa,,,,ohooooooo,,,,,akaitaji kujitoa kwa nguvu akashindwa kwanza

    Kessy alikuwa Kidume shababi kingine sio Binaadamu yeye ni Mzimu,"

    Roida akahisi kitu kimepenya mpaka ndani ya utumbo kama marehemu Mwamvita kule chooni ndio yaliyomkuta

    Roida akapoteza maisha.



    Ndani ya jiji la Mwanza maeneo ya Ilemela mtaa wa pasiansi au kona ya bwiru, tunamuona bibiye

    Samira akiwa anaingia kwenye duka moja wapo

    Akanunua mahitaji kazaa kisha akatoka yani ukimuona jinsi alivyo vaa huwezi kufikilia kama ni yeye, yani katinga gauni refu aina ya dera limechanika kwa begani hivi, chini akajifunga kanga

    Nayo imechoka balaa

    Kandambili moja imekatika upande wa kushoto.

    Basi akakatiza vichochoro baazi tu,

    Na kuingia kwenye nyumba moja wapo

    Katika nyumba moja hivi chakavu ya Mzee mbaga ndipo

    Samira alipofikia na kupanga chumba

    Ndani ya nyumba hiyo

    Kuna kabinti cha Baba mwenye nyumba anaitwa Farida mbaga kibinti kishombe shombe hivi kinakunywa Gongo Samira ndio akawa.

    Rafiki yake kipenzi. Kwakuwa

    ndio alikuwa mwenyeji wa Mkoa huo,

    Akaona kupitia

    Farida ataweza kuwanasa tu wabaya wake wote,

    Ndani ya chumba alichopanga

    Samira mmh!,,, aibu tupu

    yani hakuna kitanda wala godoro zaidi ya mkeka tu na jiko la mchina ndoo mbili ndogo za maji ya kunywa sijui kikombe kimoja na visufuria vitatu vidogo. Hakika Samira mtoto wa kishua kumbuka utajili wote wa marehemu

    Babu yake mzaa Mama kapewa yeye,

    Wana makampuni

    Magari yasiyo hisabika

    Ukiingia ndani ya chumba chake kule

    Mikocheni utatamani usitoke yani full burudani leo hii wa kuja kuishi uswazi dahaa kweli moyo

    sio chuma mengine yanauma

    Samira ndani ya moyo wake alikuwa na uchungu balaa mno ndio maana

    Ikram alipo mtaka kimapenzi akamuandalia watu wakampige.

     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog