Search This Blog

Thursday 24 November 2022

THE DOM - 3

 

     

     



     

    Chombezo : The Dom

    Sehemu Ya Tatu (3)

     



    Sasa huku kwa mama sheby akiwa na sahi, mama alitokwa na machozi baada ya kusikia sauti ya sahi, yaani sahi na sheby wamefanana sauti mpaka vitendo, yaani kasoro sura tu ndio tofauti, lakini laiti kama sura nazo zingeendana hata kidogo tu, ni lazima General aseme ni mtoto wake

    "mama, sasa unalia nini"

    Aliuliza sahi kwa heshima tu mana ni mama warafiki yake na hata yeye ni kama kalelewa na mama huyo mana saa zingine wanalala huko huko

    "kijana angu, umenirudisha katika machungu ya kumpoteza mtoto wangu... Yaani mumefanana sauti kuliko kitu chochote kile"

    Aliongea mama huyu, huku sahi nae akitokwa na machozi, sasa swali ni hivi, je? Familia ya akina sahi ni ipi, na mbona familia ya akina mr Nyange inamhisi kuwa kama mtoto wake,...

    "shkamoo mama"

    Alisalimia Joseph huku akimtaka sahi waondoke

    "marahaba Joseph, hujambo mwanangu"

    "sijambo"

    "sahi twende bwana"

    aliongea sahi huku kweli sahi akiachana na mama huyo kisha kufuata kazi iliomleta mjini



    Airport kama kawaida mzigo ukiwa bado haujafika, hivyo lazima wachukiwe times ya kuusubiria mzigo huo,.. Walikaa takribani robo saa kisha wanaliona lihelikopta la jeshi likiwa linataka kutua Airport, wakati huo sahi ana ile dom feki, na hio helikopta ina dom original, hivyo ni kitendo cha kufanya mabadilishano tu kila mtu apite na kazi zake,...

    "chukuwa na hii CD ni programu yake"

    Sahi aliwapa na cd inayosemekana ni programu ya hio dom original, na wao waliamini kweli hio ni original, mana feki na original hawawezi kujua na hata sahi mwenyewe hapo hajui dom original ilivyo mana zote zimefanana... Sasa baada ya makabiziano sahi haamini kama kweli anamiliki dom original, na hio alio wapa ni dom feki, sasa Joseph anapiga simu kwa mkuu wake

    "mkuu, kazi yako ulionituma nimeshaimaliza"

    "safi sana... Ngoja ije kisha tumpigie yule mzungu"

    "sawa... Natumaini pesa nono"

    Sasa hapo kila mmoja akawa na furaha tena yakiwa ni majira ya jioni hivi, Joseph na sahi tayari ni marafiki wazuri, mana wamefanya jambo zuri sana kwa ushirikiano,...



    Sasa katika kurudi, Joseph na sahi waliona wapitie sehemu fulani kupata moja moto moja baridi, sahi hua hatumiagi vinywaji vya kemikali, huq anatumia juice,.... Basi walipofika kila mmoja aliagiza kile akipendacho na kuanza kujiburudisha wakati huo watembea walikuwa wakipita kila mahala wakitaka wanaume..

    "sahi, unaonaje tukaenda shiva"

    "ati nini"

    "twende zetu shiva tikajibebee watoto"

    "aisee yaani afisa mzima uende ukanunue mwanamke danguro"

    "acha ushamba wewe, sasa tabu ya lutongoza ya nini"

    "tena wewe ni mtoto wa raisi GU, leo uende shiva jamaa angu... Twende zetu nyumbani bwana"

    "acha zako sahi, wewe ni mwanaume rijali, kwanini ziishie kiunoni tu... Utakufa nazo.. Kule kuna warembo clasic, kuna watoto sio mchezo twende ukajionee"

    Aliongea Joseph ambae yeye keshazoea tabia hio ya kununua wanawake shiva,... Wakati huo sahi na kirasketi chake (kibegi) alichowekea ile dom original,.. Na anayo bado hapo alipo sema uzuruni kwamba sahi sio mlevi hivyo kupotea kwa dom ni ngumu,...



    Baada ya kushawishiwa sana sahi na Joseph kweli walisogea mahala husika yaani shivaz amako ndipo wasichana hujiuza kwa bei tofauti tofauti, wakati huo yapata majira ya saa moja za usiku, ukumhuke pale kwenye baa walipokuwa wanakunywa, walitumia muda mwingi sana kuwepo pale hivyo huku shivaz walifika times za saa moja za jioni japo kila mmoja kuwa na usafiri wake,...







     





    Kama tunavyo wajua madada wanaojiuza wakiona magari tu yakipaki maeneo yao basi wanajua ni wateja, hivyo kuwakimbilia, lakini sahi yeye alikuwa ni mgeni kwenye tabia hii, hajui aanze vipi japo wanajileta wenyewe ni yeye tu kuchagua,

    "kaka, ona kitu mnato kaka... Kaka nichukue mimi sina ghara kubwa sana"

    Walikuwa wakijinadi wadada hao ili wapate kipato cha kuwakidhi mahitaji yao,... Sahi kila mschana aliomtazama alikuwa na uzuri wa kipekee, yaani haamini kama watoto wazuti namna hii wanakuja kufanya ufuska kama huu,... Sahi alishindwa amchukuwe yupi, wakati huo Joseph alikuwa akiwatomasa makalio, yaani yeye anachagua kwa kuwaminya makalio yao, eti anaangalia kama kuna mwenye kalio la kichina, mana kalio la kichina ni gumu...

    Joseph alizungukwa na wasichana wengi huku wakisema

    "kila siku nakuonye unaniminya minya tu afu unaniacha"

    Aliongea dada mmoja aliekuwa akikaguliwa na Joseph kila siku lakini hamchukui, wakati huo sahi kaachana na wale wasichana wengine, sasa kabaki kumwangalia Joseph anavyo gombaniwa na wasichana hao, binafsi alihisi kucheka tu, mana anawaonea huruma wadada hao na anaamini kweli hawakuwa wakitaka kuifanya kazi hio ispokuwa shida ya kimaisha ndio chanzo cha kazi hio kuzaliwa, tena haswa kwa ukosefu wa ajira kwa wingi,..

    "hili swala ni la kumfikishia raisi GU, hawa ni watu wa kuwasaidia hawa"

    Sasa sahi akiwa anaendelea kujiuliza na wakayi huo hakuwa na mschana hata mmoja, wote walishamuacha mana amekaa kama mshamba mshamba hajui hata kuchagua....

    Sasa alishtuliwa na sauti nzuuri, iliokuwa nyuma yake......

    "shkamoo"

    Ilikuwa ni sauti ya kike nzuri mno, kwanza kitendo cha kusalimiwa SHIKAMOO katika eneo hilo, ni sawa na kuokota embe dodo katika shamba la minazi... Sasa sahi anageuka na kuangalia nani katoa salamu ya aina hio,... Laaaaaa haulaaa alikuwa ni mschana mzuri tena mpole kupita kiasi,.. Hata sahi haamini kama na uzuri wote huu kakosa mwanaume wa kummiliki kimapenzi,...

    "safi tu hali yako dada"

    Sahi alijibu, lakini dada alionekana kuangalia huku na kule kana kwamba anaogopa mno na alionekana kuwa mgeni wa jambo hilo, mana hata zile mbwembwe za KAKA ONA KITU MNATO, sijui KAKA MI YANGU HAINA MAJI... Mara ooohhh KAKA JAMANI MIMI NAHIMILI USIKU KUCHA... Huyu alikuwa hana bali alikuwa kama vile anaogopa... Tena alikuwa kaumbika kuliko hata wale alio waona awali waliokuja kumzunguka, kisura chake jamani mtoto alikuwa mzuri....

    "Samahani, nikusaidie nini dada angu"

    Aliongea sahi huku akimuangalia jinsi anavyo hangaika kulishusha lile gauni alilovaa lililoishia mapajani, sasa anaona aibu kwa jinsi lilivyo fupi,... Mtoto wa kike alikuwa akiona aibu mno, zake ni kung'ata vidole tu

    Sahi alijua nae ni mmoja wao,... Huyo hakumchelewesha

    "twende basi"

    Aliongea sahi tena kwa kujikaza mno,

    Na dada kweli alikubali mana ndio kazi yake sema alionekana mgeni katika kazi hio,... Wakati huo Joseph hata hajulikani kaingilia mlango gani na kaenda na wasichana wangapi...



    Chumbani dada kawa mgumu kuvua nguo,...



    Lakini Baada ya masaa matatu kupita, dada huyo akiwa analia lia kitandani mwenyewe, wakati huo sahi ndio ananyanyuka kwenda kuoga,... Sasa huku chumbani, yule dada hakutaka kumsubiri sahi, lakini haijulikani kama kalipwa au laa,... Kwanza alichukuwa suruali ya sahi na kuisachi vizuri.. Kachukuwa waleti kisha kaangalia... Kakutana na vitambulisho vya uanajeshi.. Kaweka suruali pembeni kisha mana kakosa cha kuchukuwa mana hajazoea kuiba, lakini wakati huo dada alikuwa akichechemea, sasa hatujui kioi kimemkuta dada huyo mana hapo alikuwa na hasira ya hali ya juu,...

    Sasa alipoangalia kwenye ile misumari ya mlangoni ya kuwekea vitu kama shati au suruali, na vingine vingi, sasa kwenye huo mlango kuna kile kibegi ambacho kina dom original, saa ngapi hajakichukuwa na kukisachi... Aliikuta dom original ikiwa imejaa katika kibegi hicho.. Kulikuwa na vitu vingi sana, ikiwemo laptop, na External hard drive na pia kulikuwepo na internal hard drive, na hio dom original, sasa dom na internal hard drive vinafanana na pia vinaendana kwa ukubwa.. Japo dom kubwa kidogo,...

    "hii kubwa kubwa hii.. Itakuwa ina bei kubwa kidogo, wacha niondoke na hii kubwa"

    Aliongea yule dada huku akiichukuwa dom Originally







    Sasa tuanzie wakiwa wanaingia chumbani, mana tuliirusha katika kipande kilichopita... Sasa hapa twende sambamba toka wakiwa bafo hawajaingia katika gesti...



    Sahi alimchukua dada huyo kwa nia ya kwenda kustarehe nae kimapenzi, na yote haya ni kutokana na ushauri aliopewa na Joseph,.. Kama kawaida parlipo na danguto hapakosi nyumba za kulala wageni, licha ya kuwa hawa nao wana mahala pao ambapo mkielewana vizuri basi mtakwenda huko ila kama mwanaume hutaki basi utachukuwa chumba katika hoteli ndogo ndogo zilizopo katika eneo hilo



    Mpaka ndani sahi anafungua mlango wa chumbani na kuingia, lakini dada huyo alikuwa ni muoga sana, tena alionekana ni mgeni katika hii kazi, lakini hata sahi alionekana tu kutokuwa na ile shauku ya kufanya kitu fulani na mwanamke huyo,... Sahi kuvua nguo zake na kuziweka katika meza, wakati huo rasketi au kibegi cha sahi kimetungikwa katika misumari ya mlangoni pale kikiwa iina vitu vingi sana ndani yake ikiwemo dom Original, sahi alibakiwa na boxer lakini dada huyo alikuwa bafo anamshangaa sahi,

    "mbona hata hujiandai"

    Aliongea sahi baada ya kumwona anazidi kushangaa badala ya kujiandaa watu wale waondoke,...

    Mdada alikuwa akijivuta sana katika swala la kujiandaa, sahi kamvamia pale pale kitandani alipokaa kisha akamuuliza

    "unaitwa nani"

    Sahi aliuliza jina la dada huyo mana hajawahi kuona changudoa wa aina hio japo sahi sio tabia yake ya kununua wanawake lakini anajua fika machangudoa hawawagi hivi

    "naitwa sauda"

    Mtoto wa kike alijibu bara bara kabisa, wakati huo boxer ya sahi ilishaanza kijenga kibanda kutokana na mipaja ya sauda ilivyo mizuri,... Laaa haulaaa, sahi alianza kumfunua gauni lile lililokuwa fupi kabala ya kufunuliwa, sauda alikuwa akitetemeka sana kwa hali ile, sahi alipo pandisha gauni lile alifanikiwa kuina vazi la chupi ya kijani,... Yaani sahi mpaka alisisimkwa na mwili, afu ukizingatia toka arudi toka korea hajawahi kuwa na mwanamke, sasa sahi hamu ya mapenzi imeluja upya baada ya kuona vazi lile.... Hakumchelewesha wala nini, tuliona kigauni kikirukia upande wa pili huku sauda akiwa tayati kuvua chupi, lakini alikuwa akisita kufanya hivyo,.. Yaani chupi ilifanya kimbana kutokana na umbo lake kuwa kubwa, kana kwamba hata hilo vazi halikuwa saizi yake, ni kama kalilazimisha tu kulitia mwilini



    Sahi aliivua boxer yote baada ya kuona Zakaria wake anateseka kujibana bana wakati wa kusimama.. Sauda kuona zakaria ya sahi alitamaki na kushika mdomo, huku akiizuia chupi yake isivuliwe...

    "kaka, tafadhali sana sintokuweza"

    Aliongea sauda huku akijisogeza kando kabisa na sahi...

    Sahi alimvuta na kuivua ile chupi kwa nguvu mpaka ikavulika, lakini ni kwa mbinde sana.... Sasa sahi alibaki akiiangalia nanii ya sauda kwa jinsi ilivyo amaizing flani hivi, sahi hakusita kukishika shika kinanii cha sauda,... Yaani nani utafikiri haijaguswa..

    "machangudoa mna mbinu nyie, yaani kitu utafikiri bikra, kumbe manjonjo yenu tu"

    Aliongea sahi huku sauda akijibu kiwa

    "samahani kaka, weww ndio mwanaume wa kwanza kuiona nanii yangu, na licha ya kuiona, hata kuitumia pia"

    "aahhh ustake kunidanganya, wacha nikubabadue nikuoe pesa uondoke"

    "kama kweli wewe unaijua bikra ilivyo, basi nakupata ruksa unichunguze unavyotaka"

    Aliongea sauda ili kujipa ubora zaidi, mana ukipata changudoa mwenye sifa hizo hata pesa yake ni kubwa zaidi hivyo sahi aliona sauda ni kama anapalilia kibarua chake... Sahi alimsukuma sauda kitandani kisha akaanza kumnyonya mdomo, chuchu za sauda, zilikuwa kama sindano kwa sahi, mana kila akizigusa chuchu hizo sahi alikuwa akirudi nyima kutokana na ukali wa chuchu hizo... Zakaria ya sahi ilikuwa ikitafuta sehemu yake husika wakati huo sauda kabana mapaja huku zakaria ikimtekenya katika mapaja yake mapaka akalainika, sauda alilainika hata mlenda ulisingiziwa..



    Kiulainiii sahi anaichukuwa zakaria yake na kuanza kuiweka sehemu husika,... Yaani sauda hakuwa hata na tone la jani, ya hapaonekani kama pamefyekwa majani, afu mbaya zaidi kitumbua kilivimba kwa ubora wake,... Kweli sauda hata akisema ni bikra ni kweli, kwani hata sehemu husika ya kuwekea zakaria ilikuwa ndogo sana, ukizingatia na sahi kujaaliwa na mwenyezi mungu, ndio kabisaa kama anamuumiza mtoto wa watu...



    Sahi kila akijaribu wapi,... Zakaria inashindwa kubisha hodi, na wakati huo sauda anasumbua kupita maelezo, mana anasema anajiskia maumivu makali wakati wa sahi kuingia,... Kilio cha maumivu kilisikika lakini mwanaume hutakiwi kujali kilio cha mwanamke wakati wa kufanya mapenzi,....







     





    Robo saa mbele, tulishangaa kuina mtapakao wa damu katika mashuka ya gesti,.. Wakati huo sauda alikuwa akilia kwa pembeni huku akiwa kabana mapaja yake,.. Sahi alipofunua paja moja,... Duuu mtoto alitokwa na damu nyingi sana, alimchukuwa na kuingia nae bafuni, alikaosha vizuri sana kisha akakaleta kitandani tena...

    "jamani we kaka, unataka urudie tena"

    Aliuliza sauda mana sahi alikaa mkao wa kutaka tena

    "kimoja tu jamani"

    Alijibu sahi, huku nanii yake ikiwa dede kama mbwa mwitu,...

    "hapana kaka angu, nipo tayari hata usinipe pesa... Lakini siwezi kurudia, naskia maumivu makali mno kaka angu,.. Hata pesa yako siitaki naomba nilale tu mpaka kesho"

    Aliongea dada huyo, na wakati huo sahi yeye bado hajaoga,.. Akaona wacha amuache ili aamke nae asubuhi.... Sahi alijibwaga kitandani na kuuvuta usingizi



    Saa 11 sahi anaamshwa na mlio wa simu, kuangalia mpigaji alikuwa ni Joseph,

    "haloo Joseph habari yako"

    "safi tu wapi hio"

    "nipo hapa chaki gest"

    "ok ni time ya kuondoka hii sio mpaka kazini wajue tulikuwa nje ya nyumba zetu"

    "ok poa wewe upo wapi"

    "nimeshatoka nipo katika gari nakusubiria wewe"

    Sahi kusikia hivyo alitupa simu na kuwahi bafuni, hata kile kimoja cha mwisho hakukitaka tena...



    Sasa wakati sahi anakimbia kuoga, huku nyuma kumbe sauda hakulala fofofo,...

    "huyu mkaka sijampa mzunguko wa pili, huenda asinipe pesa yangu... Kwanini nisichukue na kuondoka"

    Aliingea sauda huku akiamka na kuvaa nguo zake vizuri kisha akatungua suruali iliopo juu ya mlango,... Alikutana na walet iliovimba, alipofungua katika walet hio alikutana na kadi nyingi sana za benki, hata pesa alizonazo sahi hazikuwa nyingi yaani hata elfu 50 haziwezi kufika.. Maana yake ni kwamba sahi yeye hutegemea kadi kumpa mahitaji yote

    "mbona hana pesa sasa, ina maana alitaka kunirusha"

    Aliongea sauda huku akizidi kuipekuwa,... Lakini alipozidi kupekuwa walet hio, alikutana kitambulisho cha TSS na cha JESHI lakini vyote ni vya kiuanafunzi ila sauda yeye hajui, alipoona mtu kavaa kijeshi tu akajua huyu anaweza pia kumkamata... Mana hakuna serikali inasapoti swala la uchangudoa katika nchi yake,



    Sauda alirudisha waleti na suruali ilipokuwa kisha akataka kuondoka, lakini kabla hajaondoka alisita na kusema kuwa...

    "hii kazi siitaki tena... Leo ndio mara ya kwanza na leo ndio mara ya mwisho.... Lazima nitafute kitu cha kuuza kikanisaidie maisha huko mtaani"

    Aliongea sauda mwanamke mpole, na mzuri kupitiliza,.. Sauda aliuona mkoba wa sahi, aliuchukuwa na kuanza kuusachi.. Humo ndani palikuwa na laptop na External Hard drive na Internal hard drive, bila kusahau dom original ikiwa ndani yake,...

    "hivi vitakuwa vitu vya Komputa hivi"

    Alijisemea sauda huku akizidi kuchagua chenye pesa zaidi kuliko vyote,...

    "hiki kikubwa kitakuwa na pesa nyingi sana"

    Aliona dom ndio kifaa cha kompyuta chenye pesa nyingi sana hivyo hakusita kukichukuwa,....



    Sahi anatoka bafuni lakini alishangaa hamuoni mwanamke, alijua labda kaenda mapokezi kuagiza supu... Basi sahi alivaa nguo zake kisha akachukuwa simu yake na mkoba wake akautia begani, wazo lake ni akutane na sauda akamlipe pesa yake, mana hapo hana keshi na ni kweli hakuwa na keshi na ndio mana sauda akatafuta njia mbadala ili apate pesa nyingi zaidi zitakazo weza kumpa mtaji wa kutosha ili aache hio kazi mana hakuipenda na ni mara yake ya kwanza kufanya hivyo.... Lakini sahi kila akipiga hatua hamuoni sauda, alipofika mapokezi alimuulizia lakini kaambiwa katoka muda sio mrefu,.. Hajakaa vizuri mara anaitwa na Joseph



    "oyaa twende wewe"

    Alikuwa ni Joseph ndie alie muita sahi, na hapo kila mtu na gari yake,

    "asew kuna dem kasepa bila kumpa pesa eti ndio namwangalia hapa nimlipe"

    "hio bahati yako acha ubwege... Mi mwenyewe natamani hata nisiwalipe"

    "hapana... Kwasababu ni maelewano sioni haja ya kutokumlipa ujura wake"

    "kwahio unamtafuta si ndio"

    "natamnwsana jambo kama hilo"

    "acha ujinga bwana sahi twende zetu"

    Sahi kama vile alichezwa na machale lakini hakujua nini sababu ya machale hayo... Basi Joseph aliwasha gari yake huku sahi akifuatia kwa nyuma, lakini sahi hajapenda kutompa pesa dada yule, yaani roho inamuuma mno kutompa pesa sauda, tena mtoto alikuwa mzuri kiasi kile...

    Sahi alichukuwa simu yake na kumpigia Joseph mana yupo mbele yake,...

    "aisee ngoja niingie home nikabadili nguo"

    Aliongea sahi huku akiwasha taa ya kuingilia kushoto, sasa Joseph hajui nyumbani kwa sahi kule maeneo ya ostabei, Joseph alishangaa kumuona jamaa yake anaingia kwenye jengo la kitajir kiasi hicho.. Joseph ni mtoto wa rais, lakini sasa alimshangaa sahi kumbe ana mjengo mkubwa kiasi hicho... Joseph alisimama pembeni huku akimuuliza kwa sauti kubwa

    "aahhhh kumbe jamaa angu una mjengo mkali namna hio"

    "aahhhh si kwa dingi angu... Mjengo mkali niutolee wapi, hapa ndio home bwana"

    Aliongea sahi huku geti likifunguka lenyewe bila ya mtu kuligusa,.. Sahi hakutaka kumkaribisha Joseph mana anajua upelelezi wake hauhitaji mbwembwe nyingi, sahi alipofika ndani aliutupia tu ule mkoba katika katika begi maalum la kuwekea vifaa vyake, yaani aliweka na begi lake huko huko,... Kisha akavaa nguo zake safi mana alishaoga kule gest....



    Dakika chache mbele sahi anatoka tena na gari lingine,... Joseph alizidi kushngaa huyu jamaa ni mtoto wa nani,... Alishindwa kumwelewa ni mtoto wa nani mbona anabadilisha magari kiasi hiki tena yenye namba za serikali,.. Joseph aliona hio nayo ni moja ya kazi yake ya kumpeleleza mtu huyo,...basi waliondoka eneo hilo kila mtu akiwa na gari yake, mpaka wakafika kazini, na mpaka hapo sahi hajui kama kuna kitu kaibiwa...



    Sasa huku kwa sauda akiwa ndio anakaribishwa na marafiki zake ndani, kumbe sauda wanakaa watu wasiopungua saba katika chumba kimoja, na wote kazi yao ni moja kila mtu akatafute chochote anschojua ilo alete,....

    "bi shot uyooo anarudi kazini"

    Waliongea rafiki zake na kumpigia makogi,....

    "Afadhali hata umerudi mwenzetu... Mana sisi jana hatujapata hata mwanaume wa dawa... Jana wake zao wamewabana waume zao ndani"

    Ghafla wanashangaa kifaa kimetupiwa mezani,.. Ilikuwa ni dom,

    "sasa ndio nini hii"

    Aliongea dada mmoja huku wakikiangalia

    "mwenzangu we.... Hata mimi sijapata kitu... Hiki ndicho nilichokiiba kwa huyo mkaka... Na kazi hii sitaki tena"

    "heeeeeee... Sasa utakaaje hapa kama hutaki kazi"

    "nashangaa anajishauwa tu apa, toka juzi unakula nguvu zetu.... Haya chukuwa jichuma lako ukaliuze na utuleteee pesa hapa, sio tukuleee tu we sio mtoto wetu Bwana"

    Aliongea member wa kundi hilo huku akimtupia ile dom aende akaiuze alete pesa.... Laiti wangelijua kuwa hicho ni kifaa kinacho tafutwa na serikali, wasingekitupa hicho... Na bei yake ni mabilioni ya fedha,...

    "sasa nikakiuze shilingi ngapi"

    "wewe ulioiba ndio unajua thamani yake.... We tuletee hata elfu 20 tupate ya kula leo"







    Ama kweli usilo lijua ni usiku wa giza, ikiwa na maana ya kwamba... Kama hujui kitu basi utateseka sana mpaka kukijua maana yake,... Kwa mfano dom ina thamani ya shilingi bilioni 500 yaani hawa wote wakiipata hio pesa ni utajiri mkubwa kwao, lakini masikini ya mungu hawajui thamani ya kifaa hicho, hivyo wao wakidhani ni kifaa cha kompyuta kinachiitwa hard drive, yaani ni memory card ya kompyuta au kitu cha kuhifadhia mafile kadha wa kadha,...



    Sauda ni Mschana mgeni katika kazi hio na mwanaume wake wa kwanza ni sahi, hakujua kazi hio ina ugumu kiasi gani hivyo hakutaka kuendelea tena na kazi ya uchangudoa badala yake kaamua kuiba ili akajiendeleze na chochote katika maisha,...



    "sasa nikakiuze shilingi ngapi"

    "wewe ulioiba ndio unajua thamani yake.... We tuletee hata elfu 20 tupate ya kula leo"

    Aliongea dada mmoja ambae wanaishi wote katika chumba kimoja

    "heeee, mi nataka nianzishe biashara wala staki kuendelea na hii kazi"

    Aliongea sauda huku akikiangalia kile kifaa ambacho ndio dom Original kabisa, yaani kifaa kinachotafutwa na serikali kwa udi na uvumba...

    "heheheheheeee haaaloooo.... Eti mi nataka nianzishe biashara... Weeeee na ukifanya hivyo uhame hapa kwenye hiki chumba"

    Aliongea dada mmoja ambae ndio mkubwa wa kikosi hicho

    "lakini dada Leah, mimi nitachangia kama kawaida pale nitakapokuwa na kibiashara kangu"

    "ok.. Na ukishindwa kuchangia"

    "sina budi kuondoka hapa"

    "sawa.... Na huyo mwanaume ilikuwaje"

    "ata staki tena, kwanza kaniumiza... Nilipoangalia pochi yake imejaa kadi tuuu, haina hata hela za kutosha nimeona buku buku tu"

    "umeanza kazi vibaya sauda... Tena we una gundu wewe, sisi wenzio siku za kwanza kwanza ni elfu 50-50 tu"

    Aliongea Leah huku kama vile wanamsuta, yaani laiti wangelijua sauda kaja na utajiri wa hali ya juu..



    Tukija huku katika kitengo cha TSS ambako sahi ndiko anapo yapatia mafunzo yake,... Mafunzo yaliendelea vizuri sana, na sahi alikuwa ni muelewa mwenye kichwa chepesi mno.. Lakini ikumbukwe kuwa sahi anajua kila kitu, sema kaambiwa ajifanye hajui...



    Masaa kadhaa mbele huku mjini jijini Dar es, alionekana sauda akiwa na mkoba wake alioifichia ile dom, alizunguuka nayo mno... Na yeye anajua klni kifaa cha kompyuta hivyo hata anapoingia anajua fika kuwa hicho ni kifaa cha kompyuta,... Hivyo habahatishi kwa ofisi anazoingia, lakini kila anapoingia anaambiwa hicho hakikai kwenye kompyuta, maana yake ni kwamba hata hao watu hawajui ni kifaa gani... Mana hakiendani na hard drive, japo maumbo ni sawa lakini option zake ni za kitofauti sana,

    Sauda alichoka mana kazunguka kutwa nzima pasina mafanikio yeyote yale,.. Sasa akiwa anarudi zake nyumbani mana kachoka kweli kweli, afu hio dom ina kauzito fulani katika mkoba wake,.. Sasa hasira ukijumlisha na kuchoka, hapo utapata hasara tupu.. Saa ngapi sauda asiitoe ile dom na kuitupa dampo, mana haikuwa na faida kwake, kazunguka kila kona, mana kila anaempelekea anasema hakifai na hawajui kinakaa katika kompyuta gani,... Dom ipo dampo, kitu chenye thamani kubwa leo kinaishi dampo.. Sauda aliondoka zake tena kwa hasira mno, huku akisema kuwa

    "kama vp nirudi zangu kijijini, siwezi kuuza mwili wangu"

    Aliongea huku akipiga hatua za taratibu sana kwa kuchoka..



    Sasa huku TSS sahi anasikia sauti katika kile kinasa sauti cha skioni

    "GU hapa Naongea"

    "yes, mkuu hali yako"

    "salama tu... Sasa hio dom si uilete"

    "mkuu, bado sijaipata"

    "jana si ulisema unakwenda kuipata"

    "hapana mkuu, sijafanikiwa"

    "zimebaki wiki mbili kazi yako kuisha"

    "nitajitahidi mzee GU"

    Maongezi yaliishia hapo huku sahi akicheka sana kama vile kumdharau guu,

    "hahahahahahaha.... Eti lete hio dom, anachekesha kweli huyu... Kwani mimi staki pesa"

    Aliongea sahi huku akiendelea kuchapisha ramani zake kwa siri sana akiwa katika kitengo cha TSS na kazi zilikuwa zikimwendea vizuri ila hajui kama dom ilishaibiwa tena mbaya zaidi imetupwa dampo...



    Baada ya wiki moja kuisha, sahi akiwa kambini, mana hio ilikuwa ni wiki ya mjini TSS... Na sasa yupo TMA, akiwa chumbani kwake na laptop yake alikuwa akiseti mambo yake ya satalaiti katika kambi hio,.. Lakini akiwa hapo mara General aliingia tena bila hata ya hodi,

    "karibu mkuu"

    Aliongea sahi huku akipiga saluti kwa mkubwa wake,

    "unafanya nini hapa"

    "aahhh nilikuwa nacheza cheza gemu hapa kidogo"

    Aliongea sahi na ni kweli kwenye skrini yake kuna gemu lilikuwa likionekana...

    "sasa, keshokutwa yule mzungu anakuja kuichukuwa ile dom... Hivyo utapaswa nawe uwepo ili kuisindikiza"

    "lakini mkuu... Kwanini usitume vijana wengine"

    "we pumbavu, kwahio umeshaona ni bidhaa ya kitunguu kila mtu apeleke si ndio"

    "ok, lakini nawe si utakuwepo"

    "tutakuwa kama watu watano hivi"

    "sawa tutakwenda"







     





    "halafu kingine, kenya wameamsha timbwili timbwili la kutaka silaha zao, sasa tunafanyaje"

    "waache waje"

    Sahi aliongea tu bila kufikiria, kitendo kilichomuuzi sana general,

    "leo naona hupo sawa si kweli"

    "nipo sawa mkuu... Kwani we ulitaka tufanyeje"

    "tuwatumie mzigo wao"

    "hapa hapatoki silaha aina yeyote ile.. Waache waje"

    "ili tutumbuliwe si ndio"

    "sina maana hio"

    General aliondoka kwa hasira sana na anajua kumuunganisha kijana kama huyu katika kazi yake, na hawezi kumfokea sana kwasababu tayari keshajua siri nzito waliokuwa wakiifanya miaka yote, hivyo hawezi kumfanya lolote...



    Sasa usiku mmoja sahi akiwa kalala, alisikia kukuru kukuru nje huko, akiwa kama kamanda hakutaka kulimezea mate, alitoka na kuchungulia... Aliona kalandinga la jeshi likisukumwa taratibu kabisa kuelekea msituni... Sasa sahi akajiuliza hili kalandinga linapelekwa wapi, lakini hakupata jibu, ikiwa ni usiku sana wa saa saba kwenda saa nane,... Sahi alilirekodi lile tukio kwa kutumia saa yake ya mkononi, na leo hakutaka kuwafuatilia, sahi alirudi zake ndani na kulala,...



    Kesho yake mida ya saa nne, General na makamanda kadhaa wakiwa wamevalia suti zao, na hapo hakuna alievaa nguo za kijeshi,... Na hata gari zilizoandaliwa hazikuwa za kijeshi bali ni gari binafsi tu zenye usajili wa kawaida tu,... Lakini General alishangaa sana kutokumuona sahi katika maandalizi hayo,

    "kamanda kiku"

    "yes mkuu"

    "ina maana salehe hajapata taarifa ya leo"

    "nimemwambia mkuu, lakini hakunijibu kitu"

    General aliamua kwenda katika chumba chake na kumkuta sahi akiwa anatumia laptop yake kwa mambo yake,...

    "ujambo"

    "sijapo mkuu karibu"

    "sante... Vipi wewe, juzi si nilikwambia twende wote kuikabishi dom kwa mnunuzi"

    Aliongea general huku akivua kamiwani chake,..

    "mbona misheni ya jana hukuniambia"

    General alishtuka kuskia mbona misheni ya jana hawakumshtua....

    "unajua mimi ni General wa muda mrefu sana hapa kambini, na pia sitaki serikali yangu ijue udhaifu wangu ama kile ninachokifanya... Majangili wa kikenye wangelifika hapa na kuanzisha vita, ningeulizwa vita ilisababishwa na nini... Ningemjibu nini mheshimiwa raisi, hivyo jana niliwapelekea silaha zao, na sasa mambo ni shwari"

    "ok, kwa sasa sijiskii vizuri mnaweza kwenda"

    Aliingea sahi huku akikaa katika kitanda,...

    "ok... Nimekuelewa, wacha tuiwasilishe dom kwa mteja wetu... Na gawio lako lipo pale pale"

    Aliongea general lakini sahi kwa ujeuri hakumjibu kitu mpaka general akaondoka,... Lakini General hana imani na huyu kijana kabisa, licha ya kumuunga katika kikundi cha siri... General alimwita mwaju na kumpa kazi yake ile ile, ili ajue huyu mtu ni nani, mana bado ana mashaka nae, na alimuunga ili aropoke vyote lakini sahi mkimya hakutoa hata neno la kazi yake...



    Sahi akiwa yupo ndani anaangalia skrini ya laptop inayoonyesha dashboard ya gari alilopanda general, sasa kumbe general amewekewa kamera katika kipini cha tai yake, yaani kile kipini cha tai kina kamera maalum.. Sasa kwa wakati huo General alikuwa ndani ya gari, na ile kamera ilikuwa ikionyesha dashboard ya gari, mana kidani kipo kifuani.... Kwahio kila wanapoenda sahi anaona kupitia laptop yake...



    Mara ghafla mwaju kaja, sahi akafunika haraka haraka kisha akawasha gemu, na huu ndio mchezo anaoufanya yaani akija mtu yeye anawasha gemu,...

    "mambo sahi"

    "safi tu"

    "afu leo mbona kama sijakuona mazoezini"

    "mimi ndio sijakuona... Kwani yule aliodondoka kwenye mti ni nani asubuhi ile kama sikuwa mimi"

    Aliongea sahi huku akicheza gemu,.. Sasa mtoto mwaju kumbe alivaa nguo ya ajabu sana, iliomfanya sahi kushindwa hata kucheza gemu,... Joto lilimpanda sahi na kujikuta anapunguza nguo bila kupenda

    "heeee mbona unavua nguo jamani"

    Aliongea mwaju huku akijifanya anaogopa... Kifua cha sahi kilimvutia sana mwaju na kujikuta anamwangalia tu... Mwaju nae hisia za mapenzi zilimjia na kujikuta anasogea karibu ya sahi

    "nini mwaju"

    "najua sote ni makamanda, lakini hisia hazina ukamanda...."

    Mwaju aliongea kimafumbo, na sahi alimwelewa vizuri sana...

    "kwahio"

    Mwaju hakujibu kitu,.... Kumbe mwaju alimpenda sahi toka muda mrefu sana sema alikuwa anatafuta njia ya kufanya, hivyo hata kile kitendo cha kupewa nafasi ya kuja usiku kwa sahi, alikifurahia sana mana ni moja ya nafasi nzuri kwake,.

    Mwaju alianza kumshika sahi, na sahi nae ni mtoto wa kiume hivyo vitu kama hivyo kwake, ni kawaida tu na uzuri anajua kuwa dom keshaipata hivyo haoni sababu ya kuto kuinjoi na wanawake,... Sahi alijibu mapigo ya mwaju,... Dakika 5 mbele mwaju alikuwa mtupu, yaani kajiachia kwa sahi, ila wakati huo sahi ndio anamalizia boxer yake.... Mara ghafla mwaju katoa jicho, tena likiwa limeambatana na mshangao... Kana kwamba kuna kitu kaona katika mwili wa sahi...

    "sheby....."

    Aliita mwaka aju, ila hilo ni jina la mtu mwingine lakini kamuita sahi,..

    "una nini wewe... jina gani unaniita hilo"

    "siamini kama kweli ni wewe.... "

    "ati nini???"

    Sasa mwaju kuna kitu kaona..... Sasa mwaju anakumbuka miaka mitatu iliyopita akiwa na sheby kitandani....







    Kuna viashiria vingi sana vinavyofanya kijana huyu kufananishwa na mtoto wa General ambae alifariki hapa hapa jeshini kutokana na uzembe wa waandaaji wa mazoezi, waliokusanya mabomu ya mazoezi huku wakikusanya na yale ya ukweli, hivyo katika hali ya mazoezi kijana huyo alipoteza maisha papo hapo kambini,... Lakini kijana huyo alikuwa na mpenzi aitwae mwajuma, na kwakuwa alikuwa mtoto wa General hivyo hata alipokutwa na mwanamke ndani ya kambi alikuwa haulizwi chochote mana baba yake ni General, hivyo akiwa kambini alikuwa na mpenzi mpenzi wake tena walikuwa wakishiriki kama kawaida,..... Sasa hapa mwaju anakumbuka siku ya kwanza wanafanya mapenzi na sheby ambae ndio mtoto wa General,



    Wakati sheby akiwa kalala chali huku mwaju akiimba nyimbo isiojulikana, au kama huelewi basi wacha tuseme alikuwa akinyonya lolpop, wakati huo sheby ananiskia raha sana, lakini katika ufundi wa mwaju kuisololola solola huku na huku kuigeuza geuza, alikutana na alama iliopo pembezoni mwa uume wa sheby, lilikuwa ni kovu tu, ila kidonda shapona,... Na ni alama kubwa tu iliomtisha sana mwajuma

    "baby, hii alama hapa uliipataje"

    Alimuuliza mpenzi wake kuhusiana na alama hio,..

    "aahh dokta alio nitahilisha alikuwa mzembe kiasi fulani.. Hivyo akasababusha baadhi ya vifaa vyake kudondokea hapo wakati natahiliwa"

    "jamaniiiiii huyu dokta, sasa angekuumiza je?... Yaani dokta wengine jamanj sijui wapoje"

    "sasa unasema kama angeniumiza je? Na wakati alishaniumiza.. "

    " pole sheby wangu... Yaani hata nikipagusa nahisi unaumia eti eee"

    "amana bwana ni kovu tu ilo"

    "au baby umeng'atwa na mwanamke alivyokuwa akiinyonya"

    "wala mi sikuwahi kuwa na demu kabla ya kuja kambini"

    "ukweli??"

    "ndio, tena sana tu"

    "kwahio unataka kuniambia mimi ndio nimekubikiri jamani sheby"

    "sasa je"

    "eee mungu Ahsante... Kiukweli siamini kama nami leo nimetoa mtu bikra"

    "umeona eee... Mi mpya wewe, yaani ndio kwanza unaanza"



    Mwaju alimaliza kukumbuka miaka mitatu iliopita tena akiwa papo hapo kambini ila ni chumba kingine kabisa..

    Sasa mwaju haamini kama ile alama hata huyu kijana anayo na ipo vile vile,

    "niambie ukweli, wewe ni sheby wangu, Please naomba uniambie ukweli"

    Aliongea mwaju huku akitamani kuambiwa ukweli kuwa huyu ni nani mana vingi sana vinaashiria kuwa yeye kasoro sura tu ndio inayowasumbua watu,...

    "ivi ninyi, kila siku ni kunifananisha tuu kwanini"

    "hapana... Leo hata useme nini, lakini wewe ni sheby ambae nakufahamu tena ni mpenzi wangu... Yaani kataa kubali wewe ni sheby"

    "bwana wewe kama ni hivyo toka zako sawa... Sijakuita hapa sawa, nyanyuka na ukwende"

    Aliongea sahi, tena kwa hasira ya hali ya juu mno,

    "kwahio kukufananisha ndio imekuwa tabu jamani sahi"

    Mwaju alikuwa mpole baada ya kuona sahi kawa mkali zidi yake,..

    "naona mnanilazimisha kuwa kama huyo mtu wenu"

    "basi jamani.. Nisamehe"

    Mwaju aliona ni bora awe mpole mana kapewa kazi ya upelelezi ya kumpeleleza mpelelezi makini,.. Sahi aliachana na swala hilo kisha wakaingia katuka mapenz mazito, mwaju alikuwa ni mschana mzuri sana na hatujui ni kwanini aliamua kujiunga na jeshi la polisi,...

    "sahi, nakupenda, nqtamani uje kuwa mme wangu"

    "kumbe?"

    "ndio,.. "

    Wakati waki yaongea hayo mwaju yupo juu ya kifua cha sahi na wote walikuwa kama walivyozaliwa,...

    "mmmmhh mwaju huna hata jani la dawa"

    Aliongea sahi baada ya kuona uwanja wa mwaju umeng'aa, mweupeee,..

    "kwanini ukute majani sasa.... "

    "mwaju una mmmhh ndogo ee"

    " Kiukweli toka mpenzi wangu shwby afariki dunia, mpaka leo sijui mwanaume yan"

    "pole sana mamy"

    Mambo yalizidi kunoga raha juu kwa juu utamu juu ya utamu, mpaka sahi kasahau kufanya kazi,.. Mana alikuwa na kazi ya kuangalia General anakwenda wapi na anamuuzia nani hio dom,... Alibonyeza katika kompyuta yake ikatokea skrini iliokuwa ikionyesha bado wapo katika gari, swala hili mwaju aliliona, na alijua kabisa hilo gari ni la General, mana mbele ya dashboard kulikuwa na kofia ya General hivyo mwaju aliiona kofia ile, na hapo ndipo alipojua kuwa General kawekewa kamera katika kibanio cha tai...

    "hio ni nini"

    Mwaju alijifanya kuuliza lakini sahi hakumjibu kitu, badala yake akamgeuza mtoto wa kike kisha akamueka sawa,... Maskini mwaju kweli ana muda hajui manaume, kwani sahi alikuwa akiilazimisha sana zakaria yake,... Mwaju alikuwa akijiskia utamu wa hali ya juu







     





    Masaa manne baadae, kila mtu akiwa hoi, mwaju akiwa juu ya mgongo wa sahi huku usingizi ukimjia taratibu, wakati huo sasa kwenye kamera inamuonyesha General anapeana mkono na mzungu mmoja hivi,.. Na mwaju pia alikuwa anaona sema alikuwa kama anasinzia hivi, na wakati huo mwaju hakuwa hata na nguo...

    "baby, nivalishe nguo nilale"

    Aliongea mwaju, na wakati huo hata yeye anaona kila kitu katika skrini,.. Sahi anayajua mapenzi, alinyanyuka na kuchunkuwa nguo ya ndani kisha akamvalisha huku wakitekenyana kwa furaha,...

    Sahi alipoona dom inakabidhiwa kwa mzungu, ikabidi atulie kwanza

    "baby, najua huyo mi General... Kwanini huniambii"

    "usijali utajua tu"

    Mapenzi yanakuja kuharibu kazi, mana swala la upelelezi ni jambo la siri lakini ukiwa na mpenzi unaharibu kazi yako kama usipokuwa makini...

    "sawa baby... Basi mi nalala naskia usingizi"

    "ok poa"

    Mwaju baada ya kuvishwa nguo ya ndani na sahi, aliona bora alale, na wakati huo wanafunzi wapo katika vyumba vyao, tena kulikuwa na kamvua kwa mbaali sana...



    Sasa mwaju kapata jambo la kuongea kwa General, mana nae kapewa kazi ya kumpeleleza sahi, japo ni mtu ambae yupo katika kundi lake lakini bado hamuamini,...

    "huyu mtu atakuwa ni mpelelezi huyu, mbona anamrekodi general"

    Mwaju alijiuliza kimoyomoyo huku akivuta usingizi wake....



    Huku TSS Joseph akiwa katika shughuli zake za kwaida pale ofisini kwake, ukumbuke Joseph nae ni General katika kitengo cha TSS, na ni kitengo alichopewa na baba yake mzee GU,.. Lakini pia ana mkuu wake, ambae ndio generally mkuuu kuliko yeye,.. Yaani Joseph yupo chini ya General mkuu, ila sio yule General wa majeshi,... Au Tunaweza kuwaita afisa mkuu wa TSS,

    "yes mr nyange"

    Aliongea Joseph wakati akiongwa na simu ya General Nyange,

    "nipo mpakani mwa kenya hapa nachukuwa bilioni 500"

    "sawa...ni vizuri zaidi, na yule kijana unae"

    "hapana... Unajua kuna siku alizuia silaha na aliwaua wale wateja,... Sasa kikundi chao kikawa kinataka silaha zao na watu wao... Yule kijana alikuwa hataki, sasa kama unavyojua mimi sitaki nchi ijue mambo yangu,.. Jana nimezitoa silaha walizotaka wale watu ili mzozo uishe mana sikuhitaji mapigano"

    "lakini kwanini umemuamini kwa haraka katika kazi zetu"

    "hapana, sio kuwa nimemuamini kwa haraka, bali aliigundua bishara tuliokuwa tunaifanya, hivyo tukaona bora tuwe nae ili apige kimya"

    "sasa kajuaje kama wewe ni muuza silaha"

    "kuna siku tulikuwa porini tunapakia... Kumbe alitoroka bwenini na kuja porini hapo ndipo alipojua"

    "basi huyo atakuwa sio mtu mzuri... Afu sijakuambia kitu, huyu kijana ana mjengo wa kifahari... Ana magari mawili ya kiserikali"

    "ati nini"

    "nyumba yake ni ya kifahari yaani sijapata kuona, nami nilijiuliza huyu ni mwanafunzi gani huyu ana maisha makubwa kiasi hiki"

    "lakini JJ, huyo si mtoto wa mtumishi wa BOT, sasa atashindwaje kuwa na vitu kama hivyo"

    "ni sawa, lakini yapaswa kumjua zaidi"

    "ebu chukuwa kikosi chako fatilia hio nyumba"

    "sawa mkuu"

    Joseph ni msaliti wa nchi na tulishamjua muda mrefu sana



    Mpakani mwa Kenya General akiwa ndio anaipokea pesa taslimu shilingi bilioni 500, zikiwa katika begi kubwa la kuwekea nguo,... Na yote hayo sahi alikuwa akiyaona live bila chenga,...



    Sasa huku Ikulu kwa rais,.. Anashangaa sikrini yake yenye kamera katika nyumba ya sahi, inaonyesha,... Lakini alipoangalia vizuri alishangaa kumwona mtoto wake ndio kiongozi wa wapelelezi... Mana raisi anakijua hiki kitengo, ni kitengo maalumu cha siri sana, sasa leo mtoto wake anavamia katika nyumba ya kijana aliompa kazi ya kutafuta dom,... Na rais hataki mtoto wake ajue kama anamtumia sahi kama mpelelezi mkuu nchini, na wakati huo sahi yupo kambini.... Joseph ni mpelelezi aliosomea nchini hivyo ana utaalamu wa hali ya juu,... Kwanza alishangaa kuona jumba hilo kuzungukwa na kamera kila kona, Joseph alichukuwa laptop yake kisha akachukuwa number ya kamera moja wapo, ili azime, lakini alishangaa hazizimiki hata moja...

    Sasa GU anatamani kumpigia simu mtoto wake kuwa atoke katika nyumba hio, lakini sasa hatakiwi kujua kama rais na sahi wana ukaribu mzuri sana.... Mzee GU hakutaka nyumba hio isachiwe....



    Ghafla simu ya Joseph inaita, kuangalia jina liliseviwa BABA... Maana yake ni rais ndie aliekuwa akimoigia, na wakati huo wanafanya mbinu za kufungua mlango....

    "hello mr President"

    Joseph alikuwa na utani sana na baba yake, pale wanapoongea kwa simu,...

    "unaweza ukaniambia ruksa ya kuingia hapo ulipewa na nani"

    Joseph alishtuka kuskia hivyo, tena alitoa macho huku akijua kuwa tayari keshakuwa JIPU.....





    Jumba hilo lilijengwa maalum kwa ajili ya sahi, yaani sahi akiwa yupo nchini Korea, huku Tanzania anajengewa jumba lake spesho kwa ajili ya kazi yake ya upelelezi,... Licha ya akina Joseph kwenda kuipeleleza nyumba hio, lakini wasingeweza kuingia katika chumba cha sahi, mana mlango uliopo katika chumba hicho hauwezi kuuona mana umefanywa kama ukuta, hivyo unaweza kuona ni muunganiko wa ukuta lakini kumbe papo hapo ndipo mlango ufike, na ili ufunguke kina mahali unagusa ndipo ufunguke, hivyo hata akina Joseph wangeliingia wasingefanikiwa chochote, mana vyumba vingine havina vitu zaidi ya vitanda na meza tu...



    Sasa Joseph na watu wake wakiwa katika nyumba hio, na ukumbuke kuwa nyumba hio ina kamera kila kona, na system ya kamera hizo zimeunganishwa mpaka Ikulu katika ofisi ya rais, na licha ya ofisi ya rais pia sahi ameiunganisha katika laptop yake, sema kwa wakati huo alikuwa akiangalia kamera inayorekodi tukio la General wakati akiwa anauza dom kwa gharama ya shilingi bilioni 500, na hio sio bei ya hio dom, bali inazidi mara 10 hapo... Lakini kwakuwa hawataki iwapotee mikononi mwao hivyo waliamua kuuza kwa bilioni 500, unajua kitu cha kuiba hakina bei sahihi, tena kinauzwa kwa hasara mno....



    Sasa mzee GU kaamua kumpigia mtoto wake simu ili asiingie katika jumba hilo

    "hallo mr President"

    "unaweza kuniambia ruksa ya kuingia hapo ulipewa na nani"

    Joseph alishangaa, ina maana baba yake anaona kila kitu...

    "ni nyumba tulio ihisi vibaya hivyo ni lazima ikaguliwe"

    "kwa amri ya nani"

    "kwa amri ya kitengo cha TSS"

    "haraka na muondoke eneo hilo"

    Sasa Joseph hua hamuogopi baba yake yaani kutii amri yake ni ngumu sana hivyo aliikataa amri ya baba yake na kuingia ndani

    "jamani, tu ingieni mpaka tujue kila kinachoendelea"

    Aliongea Joseph huku akiwaamuru vijana aliowazidi cheo, yaani walio chini yake...



    Mr GU kuona mtoto kakiuka amri yake, alipiga simu kwa sahi....

    "GU"

    Sahi kusikia neno GU alijua ni President GU, alimwangalia mwajua kama vile kalala, kisha akaipokea simu ya mr GU,

    "yes mkuu"

    Lakini kumbe mwaju hakulala, yaani alikuwa kama anamchezea akili sahi, na ndio mana sahi aliambiwa asipendelee kuwa na mwanamke wakati wa kazi zake...

    "huoni kinachoendelea katika nyumba yako"

    Aliongea raisi GU huku sahi akishtuka na kutafuta system ya nyumba yake,

    "kuna nini mkuu"

    "TSS wamevamia"

    Kweli sahi kuangalia anaona watu wakiwa wanasachi kila chumba, na mlango wa kwanza hajui wamefungua vipi, na wakati unakwenda kwa finger print...

    "wamefunguaje huu mlango"

    Sahi alimuuliza mheshimiwa lakini nae pia hajui, mana TSS ni kitengo makini sana sema rushwa imetawala katika serikali yetu,..

    Sasa sahi anamuona Joseph akiwa anatafuta chumba cha sahi, ukumbuke kwamba chumba cha sahi ni cha utofauti sana, mlango wake hauonekani, sasa hapo Joseph ndipo anapo changanyikiwa kwa kukosa chochote katika jumba hilo,... TSS walikata tamaa sasa wakawa wanatoka kiunyonge sana, mana hawakupata lolote litakalo wasaidia kumjua sahi ni nani,... Lakini sasa Joseph aliookuwa anatoka, kwa bahati nzuri akagusa ile sehemu ambayo ikiguswa mlango hufunguka,. Kwanza walikaa atesheni mana walijua kuna mtu kafungua, walishangaa sana mlango uliofanana na ukuta,... Sasa hapo umefunguka lakini kuna mlango wa ndani yake huo ni mpaka finger print,... Yaani huezi amini Joseph alikuwa kavaa nailoni fulani katika kiganja chake na hio inasadikika kuwa ni finger print za sahi sasa sijui walizipata vipi... Ukiwa na finger hizo popote kwenye mlango wa mtu husika unafungua bila shida.... Joseph ndani ya chumba cha sahi, alishangaa kuona kuna vitu vya hatari sana hasa mambo ya upelelezi... Joseph hapo ndipo mahali alipo pataka, sasa ukumbuke katika chumba cha sahi hakuna kamera hivyo hata sahi mwenyewe hawezi kuona mana kamera ya chumba hicho ilitolewa hivyo hatoweza kuona kinachoendelea..

    Joseph aliona kila kitu, lakini sasa alipoangalia kwa juu akaona kile kibegi ambacho kuna siku alimwona nacho akiwa kakibebea dom original, alipoangalia ndani ya kibegi hicho aliona hard drive tu basi, lakini dom haikuwepo,.. Ukumbuke kuwa dom iliibiwaga na changudoa hivyo mpaka sasa sahi hajui kama dom iliiniwaga mana anaamini ipo mule katika kibegi chake,... Joseph aliachana na kibegi kile baada ya kuona vitabu vingi sana vikiwemo vitabu vya kijeshi vya korea na vitabu vya shule ya upelelezi nchini korea...

    Alipoangalia vitabu hivyo, ndani yake kulikuwa na picha zikimuonyesha akiwa jeshini, Joseph alizidi kupekua na kukuta picha akiwa anatunukiwa shahada ya uwanafunzi bora wa Afrika mana hakuwa yeye tu katika jeshi hilo na hakuenda kwa ajili ya kazi, bali alikwenda kusomea ujeshi tu kisha arudi nchini kwake, mana kila nchi inatengeneza jeshi lake sasa kama kuna muafrika basi ujue amekwenda kuchukuwa mafunzo ya kijeshi ila sio kuitumikia nchi hio... Sasa Joseph alipozidi kufunua kurasa alikutana na picha ya mama yake sheby, yaani mke wa General,..

    Joseph alishangaa sana kuona picha ya mama wa rafiki yake sheby ikiwa ipo katika mazingira ya kijana huyu,..



    Sasa huku mzee anasikia sauti ya sahi ikisema

    "ni mtoto wako, unashindwaje kumzuia"

    "tatizo yupo ndani ya kazi yake sasa hata nikimzuia atatuhisi na istoshe tayari keshajua kuwa nami naiona nyumba yako"

    "ivi unajua kuwa mtoto wako nae ni jipu"

    Aliongea sahi wakati huo mwaju nae yupo karibu anasikia kila kitu,

    "unasemaje???... Ana kosa gani"

    "nae anahusika na wizi wa dom"

    "what, hio taarifa uliipata muda gani"

    "nina wiki moja niko nayo"

    "kwanini hujaniambia"

    "nilikuwa nalifanyia upelelezi kwanza"

    "basi... Lazima nilifanyie kazi, wacha niandae sindano"

    Mzee GU aliongea hayo mana ni mzee wa majipu, kukutumbua hua hachukui muda mrefu, ni dakika tu tayari umeshakuwa jipu







     





    Sasa huku kambini General ndio anarudi akiwa kabeba begi kubwa liliojaa pesa,... Magari kama mawili yalio ongozana, gari moja general ndani gari ya pili ni watu wanaoshirikiana nae, yaani baadhi ya makamanda wake wanaomsikiliza.. Mwaju alipo hisi General kafika kambini, aliomba kutoka zake nje mana viongozi hawataki wanawake au wanaume kuwa na wanawake kwasababu watakuwa dhaifu katika mazoezi pindi watakapo endekeza mapenzi,.. Sahi hajui kama mwaju alitumwa na sijui ni kwanini sahi kamuamini mwaju kwa haraka kiasi hicho, ama kweli wanawake ni watu hatari sana katika upande wa kazi, sasa sahi anataka kuchepuka hapo kambini ili kuwahi jijini Dar es Salaam, na usafiri wake ni wa ndege ili kuwahi katika nyumba yake,... Sasa akiwa ndani anajiandaa kwenda, wakati huo mwaju anamwaga siri zote alizozipata katika chumba cha sahi, alimwambia kila kitu kuwa alirekodiwa hio safari yake

    "mkuu,.. Kwanza nahisi huyu ni mtoto wako... Kwasababu sasa hivi nimetoka kushiriki nae, ni mtoto wako kabisa kasoro hio sura ndio havifanani.... Afu kingine, hii safari yako unayotoka sasa hivi, tulikuwa tunakuona kupitia laptop yake... Afu nilisikia akiongea na mtu lakini hakuwa akitumia simu ya kawaida... Huyu kijana ni mpelelezi"

    Mwaju aliongea kila kitu, lakini General alicheka sana huku akimshukuru mwaju kwa kazi alio ifanya, pale pale alipewa kitita cha pesa kisichojulikana, yaani hata kukificha alishindwa,.. Mwaju alitoka hapo na kwenda katika chumba chake kuzihifadhi... Wakati huo sahi anajiandaa ili atoke kuelekea jijini Dar es Salaam, yaani kama liwalo na liwe, na kama ni kujulikana wacha ajulikane tu... Ghafla General anapokea simu yoka kwa Joseph

    "halo JJ habari yako"

    "safi mkuu.... Aisee mkuu tumeumia tayari"

    "kwanini"

    "huyu mtu ni mpelelezi, na istoshe ni mwanajeshi mwenye taji la uwanajeshi bora Afrika Mashariki kwa wale waliokwenda kuchukua mafunzo nje ya nchi"

    "ina maana huyu kijana ni mwanajeshi"

    "sio mwanajeshi tu, bali ni mwanajeshi bora Afrika na mpelelezi mwenye kiwango cha hali ya juu mno, mana kuna vitabu hapa naviona ni vitabu hatari sana,... Huyu mtu sio wa kawaida eti"

    "umefanikiwa kuingia nyumbani kwake"

    "ndio, nipo hapa ndani kwa sasa"

    Sasa General alipoangalia nje anamuona sahi kwa mbali akiwa kabeba begi....

    "hebu ngoja kwanza naona anatoka"

    "sikiliza kwanza mkuu... Afu sasa mbaya zaidi, anashirikiana na baba"

    "Whaaaaat..... Unasemaje Joseph"

    "anashirikiana na mr President GU

    "mungu wangu.... Hebu subiri naona anatoka kambini"

    "mzuie, yaani hapo ataondoka na siri zetu nyingi na bila hivyo tumekwisha"

    Simu ilikatwa huku Joseph anazidi kupekua huko ndani, yaani mpaka aone vingine, kumbe walikuwa wakishirikiana na mtu ambae anamilikiwa na raisi,..



    Sasa sahi bila kujua anatoka kambini tena wakati huo keshajipanga, na hua anatoka wiki yake ya kambini ikiisha anaruhusiwa kutoka kwa mujibu wa sheria kwa upande wake yeye,.. Lakini sasa wiki yake bado haijaisha

    Sahi alishangaa anazingilwa katika geti kuu,... Alishangaa makamanda wakubwa tena wa shoka wakiwa wanajitokeza kila kona, sahi akiangalia nyuma yake kuna makamanda wasiopungua 10, akiangalia mbele kuna makamanda wasiopungua 10, kushona na kulia ni hivyo hivyo, mana hapo ni kambini makamanda ni wa kumwaga.... Sahi alikuwa amebeba kibegi chake mgongoni, aliwaangalia makamanda zaidi ya 50 wakiwa wamemzunguka.. Hajakaa sawa mara General Nyange katokea huku akisema

    "sijawahi kuona mtoto anaempeleleza baba yake"

    Aliongea general akizani kuwa ni mtoto wake

    "ulizani kwa maneno hayo utaachwa"

    "haijalishi... Lakini nami sintokuacha hai hata kama unasemekana ni mtoto wangu,.."

    Sasa generally akiwa anaendelea kuongea mara simu yake inaita... Kuangalia jina alishtuka sana,...

    "hallo boss"

    Aliongea general huku akiiskiliza kwa makini sauti hio

    "kwanini umeniuzia Discate feki... Unataka kuanzisha vita na mimi..."

    Aliongea yule mzungu aliouziwa dom masaa machache yaliopita,..

    "unasemaje boss"

    "dom ulionipa ni feki haisapoti kwenye mashine yangu... Sasa nakupa masaa sita, nisipoipata hio original dom, shingo yako ni halali yangu, washenzi wakubwa nyie"

    "basi boss, niongezee masaa sita mengine"

    "kesho saa sita dom nisipoipata, weka tayari shindo yako... Pumbavu sana, bilioni 500 unanipa dom feki??"

    General kwa hasira alikata simu kisha akamuangalia sahi kwa hasira, huku akimfuata pale alipo..... Kambi haijamjua sahi vizuri kuwa ni nani na ana uwezo gani.....







    Sasa kila kona pamechafuka sahi anakwenda kujulikana na yote hayo ni kuwa karibu na wanawake wasio na maana, sahi alioona nyumba yake ikiwa inasachiwa na kitengo cha TSS, ambacho hata yeye yupo kama mwanafunzi, lakini pia kumsachi huko kulitokana na kumuhisi mtu huyo kutokana na vitu anavyotumia, kwanza ana gari zenye usajili wa kiserikali, ana jumba kubwa hata rais hana,... Afu mbaya zaidi ni mwanafunzi tu wa upelelezi na ujeshi,

    Sasa leo wanamtolea uvivu kijana sahi, lakini wote hawakuwa wakimjua



    Sahi akiwa kazungukwa na wanajeshi wenye viwango vya hali ya juu, yaani sio wale wanafunzi anaosoma nao, bali ni wale walimu waliokuwa wakiwafundisha kila siku, sahi aliwaangalia sana makamanda hao, sijui hata alifikiria nini katika kichwa chake,.. Mana alionekana kunyoosha mikono juu kana kwamba kakubali kukamatwa kama wanavyotaka wao... Hata General alishangaa kuona sahi kasaliti amri mara moja na kunyoosha mikono juu,.. Sahi alikamatwa na kuchukuliwa kila kitu chake kisha akaingizwa katika sero za kijeshi,...



    Begi lake lililokuwa na vitu vingi ikiwemo laptop yake na viwaya waya vyake vya kazi, bila kusahau internal drive, simu yake ya mkononi vyote vikiwa vipo mezani vikaanza kukaguliwa na mpelelezi wa kijeshi,.. Lakini kila wanachokifungua kinaandika NO FILES simu na laptop vyote vinaandika no files, maana yake ni kwamba kila kitu kilifutwa hakuna kitu chochote katika vyombo vya sahi... Sasa General akakumbuka kuna siku walifanikiwa kumhoji yule gaidi ambae alipona katika wale waliouawa na sahi kule porini, yule ambae alikuwa haongei, alikumbuka mtu yule alimwambia kuwa mtu aliotuvamia alikuwa kavaa saa mkononi ambayo saa hio inapiga picha,. Generally alitoka mbio na kwenda kwenye sero za kijeshi, na kuhakikisha anaichukuwa sa hio,.. Sasa General ile anafika sero, anakuta sahi anaongea na simu lakini hakuona simu aliokuwa akiongea nayo,

    "BB hapa Naongea"

    Aliongea sahi na wakati huo hajui kama General keshafika eneo hilo

    "sema umeshapa dom"

    "hapana, wamenikamata hapa"

    "nini????, kwanini wamefanya hivyo'"

    "nina ushahidi wa siri zao za kijeshi"

    "kwanini hujaniambia kabla"

    "samahani mkuu,... Ninayo rekodi hapa katika saa yangu"

    "hakikisha unakuja nayo... Na istoshe pia nakuja huko"

    Sasa General anajiuliza hio simu anayo ongea nayo ni ipi, mana hakuwa kashika simu wala nini lakini alikuwa akiongea,...

    General aliingia na watu kama wanne hivi na kumnyang'anya sa hio ambayo punde tu alikuwa akiitolea habari kwa Mheshimiwa raisi,. Sasa ile saa tegemezi yenye ushahidi nayo imechukuliwa, na hawakutaka kuondoka bila kumkagua, kwasababu anaongea na mtu lakini hawaoni simu,.. Sahi alikaguliwa katika masikio yote hakukuwa na chochote kile, General akajua huyu mtu alikuwa anatutega tu,

    "niambie dom original umeiweka wapi"

    General Alimuuliza sahi mana hata hio feki yeye ndie alikuwa nayo, na walimpa yakwao kisha akawapa feki ambayo ilikuwa na codes zake,...

    "ipo nyumbani, ila hio niliowapa ndio original, sema huyo mteja wenu ndio anawachezea akili"

    Aliongea sahi tena bila kuogopa mana anajua njia zote za kujitetea,

    "unajua utatoka ukiwa maiti kijana"

    "ni sawa pia"

    General alichukuwa simu yake na kumpigia Joseph,

    "Halo Joseph"

    "yes mkuu"

    "tafuta dom... Hakikisha unaipata dom"

    "mkuu.. Dom si umeshaipokea toka juzi na leo umeiuza"

    "kasema ile ni feki"

    "Whaaat"

    "ndio... "

    "lakini mkuu, hapa katika chumba chake nimetafuta kila kona sijaona hio dom"

    "hapana, kwani si ulimuona nayo akiingia hapo"

    "ni sawa, lakini hakuna mkuu"

    "Oooohh shit, basi lazima aseme dom iko wapi"

    Sasa sahi nae ndio anashangaa kusikia kuwa Joseph kaikosa dom kwenye chumba chake,...

    "amesema dom hakuna"

    Sahi alijikuta anamuuliza general kuhusu hio dom,

    "utaitafuta tu hio dom, pumbavu... Shika saa hii kagua"

    General alimpa kijana wake ile saa aikague, wakati huo wanatoka kuelekea ofisini kwao kuikagua hio saa lakini sahi hakuwa na wasiwasi na hilo, mana keshambiwa raisi anakuja....



    Huku nyumbani kwa sahi, Joseph kuna kitabu chenye mambo ya operesheni za kibinadamu, hakutaka kukiacha alikichukuwa japo hajakijua kina maana gani,.. TSS waliondoka katika nyumba ya sahi, wakati huo raisi anaangalia jinsi mtoto wake alivyokuwa akitoka katika jumba hilo, mana Joseph alijaribu kuzima kamera wakazishindwa hivyo wakakubali kuonekana na yeyote anaetaka kuwaona,... Sasa rais anamwona mtoto wake akiwa ndio mkuu wa kikosi anacho kiongoza kwa siku hio... Joseph alitoka na kupotelea kabisa, wakati huo rais anatoka Ikulu na kuchukuwa private jet inayompeleka mpaka TMA kambini,





     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog