Search This Blog

Thursday 24 November 2022

LEYLA ! (BINTI BIKRA) - 4

 

     

     



     

    Chombezo : Leyla ! (Binti Bikra)

    Sehemu Ya Nne (4)

     



    Nilishindwa kujua ni muda gani mimi niliivaa pete ile, na mbona sikumbuki, nikiwa katika mawazo hayo nilinyanyua uso wangu kuangalia juu ya dari, hapo ndipo nilipofunguka akili yangu baada ya kuuona ule moshi mzito uliokua ukinitokea mara kwa mara, watu walianza kukohoa mule ndani mfululizo, huku wengine wakianza kudondoka chini.

    Mara ghafla nilimsikia mama mudi akipandisha mashetani yake na kupiga keleke kuwa alikua akiniona na kuninyooshea kidole.

    "We mtoto mchawi sana wewe.. janani Leyla yule pale amekaa chini.. niacheni nikamfundishe adabu ili ajue kama nyumba hii haiwezi.. niacheni nasema niacheni.. mimi mwenyewe kwetu nimeaga vilevile..!" Alipiga kelele mama mudi huku akiwa ameshikwa na baadhi ya watu ambao walidhani mama mudi alikua amechanganyikiwa kwa tukio lile lililotokea katika nyumba yake, wao hawakuweza kuniona, ila mama mudi alinitolea macho kwa hasira kweli.



    Mara ghafla umeme ukazimika, nikahisi ukimya mkubwa sana ukiwa umetawala mule ndani, yaani kulikua kiza sana mpaka nikaogopa, nilisimama na kutaka kuondoka lakini nikazuiliwa na mtu ambae sikuweza kumuona.

    "Uwe na amani Leyla.. hakuna kiumbe atakaeweza kukugusa nikiwa nipo kwa ajili yako. Imebidi nikuvalishe pete bila wewe kuridhia ili niweze kuokoa maisha yako, sasa uamuzi ni wako uendelee kuivaa unikaribishe katika maisha yako, au uivue uishi maisha yako uyapendayo..!" Nilisikia sauti ile ikisema kwa nguvu bila kumuona mtu huyo, mara ghafla umeme ukawaka na kuwashuhudia watu wote mule ndani wakiwa wanaamka kama vile walikua wamelala kwa muda mrefu.



    Jamani.. hii kwangu ilikua ni kama miujiza, basi wale watu baada ya kuamka tu wala hawakuweza kuendelea na zoezi la kunitafuta mule ndani, bali waliichukua maiti yao na kutokanayo hadi nje, ila mama mudi yeye ndio alikua akinipita kuelekea nje huku akiniangalia kama vile akikua akiniogopa sana tofauti na mwanzo alivyokua akijisifu.

    Ni ukweli usiofichika, nilipokua nimeivaa pete ile, hata moyo wangu nao niliuona kubadilika na kuikubali hali ya kuishi na jini yule.

    Basi nilikaa pale kwenye kochi kwa muda mrefu huku nikijaribu kuyatafakari yale maneno ya yule jini.

    "Siivui hii pete tena..!" Nilijikuta nikisema kwa ujasiri mkubwa sana, kisha nikasimama kusema wacha nikaanze maisha sehemu nyengine.



    Nilitoka nje majira ya saa6 usiku, ambapo hali ilikua imetulia sana, nilianza kutembea kuelekea stendi ili nikachukue taxi inipeleke Arusha nilipanga nikafanye biashara katika mkoa huo kwani kulichangamka sana kibiashara.

    Nikiwa njiani kwenye kichochoro kimoja, nilishtuka nikizungukwa na vijana wanne.

    "We kahaba sikia, hiyo pochi iweke chini na ukimbie bila kugeuka nyuma..!" Alisema kijana mmoja ambae alikua ameshika panga mkononi.

    Hee.. mwenzangu.. uhai mtamu bwana hata kama nimeandamwa na majanga kiasi gani, lakini baraka ya kuwa hai kwangu ni kubwa sana, basi wala sikuwa mbishi niliwaachia pochi yangu na kuondoka kuwahi stendi.



    Nilipofika stendi, niliingia kwenye taxi na kumwambia dereva anipeleke arusha ambapo alisema gharama yake kwa usiku ule ni shilingi laki moja.

    "Sawa twende haina shida.. nitakupa..!" Niliingia kwenye gari na kumwambia dereva twende nitampa pesa yake, kiukweli hata sijui ujasiri ule niliupata wapi, kwamaana pochi langu lenye pesa niliwakabidhi wale vibaka, sasa hata sijui laki moja hii nitaitolea wapi..

    Baada ya kutembea kwa umbali mrefu tulifika sehemu moja ambapo barabara nzima ilikua kimya, ghafla dereva alifunga breki na kusema kuwa anahitaji nimpe pesa yake kwanza..

    "Sista samahani nilisahau kukupa utaratibu wa kazi zetu, naomba unipe pesa yangu kwanza halafu ndio safari iendelee..!" Aliongea kaka huyo huku akiwa amenikazia macho.

    "Nitakupa bwana we kaka hemu punguza mapepe.. we umeona shepu ya wizi hii..!" Mwenzenu nilijibu kwa kujiamini kabisa huku nikimrembushia macho yule dereva.

    Sijui hata nini kilimpata yule dereva, akajikuta akiingiza gia, na kuendelea na safari bila kusema neno.

    Tulitembea hadi tukaingia mkoa wa KILIMANJARO, ambapo dereva aliingiza gari sheli na kuniomba nusu ya pesa zake ili akaweke mafuta, hapo ndipo nilipochoka.

    " Kwani wewe hauna bwana..!" Nilijikuta nikiropoka bila kumuangalia yule dereva usoni.

    Hee... Eti yule dereva nae akaweka mafuya kwa pesa zake na kurudi ndani ya gari na safari ikaendelea.



    Tulifika mkoani Arusha majira ya saa11 alfajiri, ambapo dereva alisimamisha gari maeneo ya USA RIVA, na kusema.

    "Naomba pesa zangu dada, sasa hivi tutaingia Arusha mjini..!" Alisema maneno hayo huku akinikodolea macho yake.

    "Kwani malipo yako lazima iwe pesa jamani..!" Niliongea huku nikimrembushia macho, kisha nikamshika kichwa chake na kumpiga busu moja matata sana mdomoni mwake.

    "Unajua dada hii ni biashara.. aaaaahh.. ooohh... Shiiit. ... " Aliongea maneno yake lakini kabla hajamaliza nilishamshika kwenye uume wake na kuanza kuunyonya..





    "Yeah.. yes.. oooh.. shiiit..!" Aliendelea kupiga kelele za mahaba yule dereva huku akinishika kichwa changu kwa utamu.

    Niliongeza spidi ya kumnyonya uume wake yule dreva huku nikimbinyabinya kifurushi cha korodani zake kiustadi kabisa..

    "Ooh.. yeees.. naf.. iikaa... Bebii..!" Alipiga kekele yule dereva huku akikojoa.

    Alipofika kileleni alikuja kukaa juu ya mapaja yangu na kukikunjua kiti nilichokalia mimi na kuwa kama kitanda, kisha akaanza kunichezea kimahaba.



    Alianza kwa kunivua nguo taratibu huku akinitomasatomasa matiti yangu, baada ya kumaliza kunivua nguo zote akaanza kuninyonya maziwa yangu taratibu huku akini papasa mapaja yangu laini.

    Hee.. mwenzangu.. zile nyege mshindo si ndio zikaanza kunipanda tena..

    Basi nyege zilinijaa hadi nikajikuta nikijitia vidole kwenye uke wangu kupima kama oil imeshajaa ili huyu dereva aingize mashine.



    Basi niliushika ule uume wa dereva kwa lengo la kuuingiza kwenye kitumbua changu, maana nyege ziliniijaa haswaa.

    Looh.. hii sasa hatari, eti ule uume wa yule dereva nilivyoushika tu ulikatika palepale na kudondoka chini huku damu nyingi zikitoka na kunichafua mimi pale nilipo..

    Yule dereva alipiga kelele huku akinikaba shingoni kuwa nimemuua hivyo lazima nife nae.

    Aliendelea kunikaba huku nikiwa nimeanza kukosa pumzi na kujikuta nikikohoa kwa kutapatapa, lakini yule dereva aliishiwa nguvu na kudondoka juu yangu na kufa palepale.



    Nilivaa nguo zangu na kutoka mule ndani ya gari huku nikiwa nahema juujuu. Nilikimbia hadi nikafika eneo moja ambalo kidogo kulikua kunaonekana kama ni stendi, ambapo kwa pembeni nilikiona kibao cha gest.

    Niliingia hadi ndani ya gest ile na kufanikiwa kupata chumba huku nikikabidhiwa funguo ya chumba kike.

    "Bado hujanilipa dada..!" Alisema yule dada ambae ni mhudumu wa pale gest.

    "Ngoja nikajimwagie maji, nakuja kukulipa..!" Yaani sijui nilikua najiamini nini kusema vile, ilihali hata mbuni kipande mfukoni sina..



    Niliingia ndani ya chumba changu ambacho kilikua ni master, yaani kilikua na choo mulemule, kisha nikaoga na kurudi kitandani kwangu.

    Lakini kabla sijafika katika kitanda changu, nilinyanyua macho na kuangalia mbele yangu.

    Mh.. mwenzenu sikuweza kuamini kile nikichokiona, nililiona lile pochi langu nililoporwa Tanga na wale vibaka, sikutaka kujua lilifikaje kwani ile hali nilishaanza kuizoea, basi nilikwenda kulifungua ili kuhakikisha kama vitu vyangu vilikua vipo sawa au laa..

    Hee.. jamani haya yalikua ni maajabu tena, eti nilipofungua pochi langu nilikuta limejaa fedha nyingi sanaa, kiasi kwamba hata kulinyanyua nilishindwa.

    "Huwezi kuzimaliza pesa hizo Leyla.. utatumia hadi utaziacha... Nakupa siku tatu uniambie kuwa upo tayari kuwa na mimi au laa, kwa maana nimeshakulinda vya kutosha sasa..!" Nilisikia sauti ambayo sikuweza kumuona mtu aliyekuwa akisema maneno hayo, ila sauti yake pia tayari nilishaanza kuizoea.



    Basi nilichukua elf10 na kutoka nje kwenda pale mapokezi kumlipa yule dada pesa yake ya gest, lakini sikumkuta pale nje alikua ameingia katika chumba chake, nilianza kusogea ili nikagonge mlango wake, lakini kabala sijafika mlangoni nikasikia sauti za watu wakicheka kwa mahaba..

    "Bwana.. ingiza hilo tango.. mwenzio ninahamu kweli, wanaume wenyewe sikuhizi wamekua ni vibamia hata hawanifikishi..!" Nilimsikia yule dada wa mapokezi akizungumza maneno yale, ambapo awali sikuyaelewa.

    Basi niliona ngoja nisiwasumbue pengine ni mtu na mpenzi wake kwa wakati ule wanapeana mautamu.



    Nilirudi ndani kwangu na kulala, nakumbuka nilikuja kuamka saa4 asubuhi, ambapo yule dada alikuja kunigongea kuhitaji pesa yake alikua akihitaji kufunga hesabu za jana.

    "Nakuletea asaivi.. nakuja" nilimjibu na kufunga mlango wangu.

    Kisha nikaenda kuchukua pochi na kutoa elfu30 na kwenda kumpa yule dada pale mapokezi, nikamwambia kuwa zile ni pesa za siku3.

    Wakati natoka kurudi chumbani kwangu, nilishtuka kumuona msichana mwengine wa makamo tu akiwa anatoka katika kile chumba cha yule mhudumu, hapo nilijiuliza maswali kuhusu kile nilichokisikia usiku wa jana yake.



    "Ya ngoswe muachie ngoswe, hayanihusu.." Nilijikuta nikijisemea kimoyomoyo na kuanza kutembea kurudi ndani kwangu, lakini kabla sijafika mbali, nilisikia kitu kwenye taarifa ya habari kupitia redio ya pale mapokezi.

    Habari ile ilikua ikizungumzia juu ya vifo vya vijana wanne ambao wamekutwa wamekufa wakiwa uchi wa mnyama maeneo ya Tanga mjini huku uume wa kila mmoja ukiwa umekatwa, lakini pia vifo hivyo vinafananishwa na kifo cha dereva taxi mmoja ambae naye amekutwa amefariki ndani ya gari yake huku pia uume wake ukiwa umekatwa, kifo ambacho kilitokea mkoani Arusha maeneo ya Usariva.

    Taarifa ile ilizidi kuelezea pia kuhusu ulinzi ambao sasa utakaoimarishwa na jeshi la polisi kuhusu muuaji huyo ambae inadaiwa kuwa ni mwanamke..



    Siku hiyo niliona ni bora nijifungie ndani tu niweke sawa mipango yangu.

    Kulikua kimya sana kwani wateja wote walishatoka na kupisha vyumba vya gesti vifanyiwe usafi.

    Yule dada wa pale mapokezi alikuja kuingia katika chumba kilichokua karibu kabisa na chumba changu na kuanza kufanya usafi, mara kidogo alifika yule msichana mwengine niliemuona chumbani kwake na kuingia mule ndani bila kujua kama chumba changu sikufunga mlango na nilikua nikiona kila kitu.

    Hee.. jamani eti yule msichana alimfuata yule binti wa mapokezi ambae aliyekua akifanya usafi na kumvutia hadi kitandani na kumlaza huku akimvua nguo zake.

    "Mimi nakwambia mwenzio ninanyege we unajifanya unafanya usafi.." Aliongea binti yule huku akianza kumchezea yule mwenzake.

    "Bwana ngoja basi twende chumbani kwetu... Ooh... Yees.. shiiit... Ooooh.. my... Goood..!" Alikua akijitetea yule binti wa mapokezi lakini alishindwa kuendelea na kujikuta akianza kulia kwa mahaba baada ya yule mwenzake kuanza kumnyonya kisimi chake..

    "Ooohh... Sssshhhhii..t.. ooooppps... Cooomm.. oonn.. beeee..bbby..!" Alizidi kupiga kelele yule binti wa mapokezi huku akizidi kukatika viuono baada ya yule mwenzake kumnyonya huku akiwa anamuingiza vidole vya mku***ni.



    Looh.. jamani.. hata sijui ilikuaje nikajikuta nikisimama na kutoka chumbani kwangu na kwenda kusimama katika mlango wa chumba kile walipokua, nilijishangaa nyege zikinipanda hatari, na kilichonivutia zaidi ni kumuona yule binti wa mapokezi alivyokua fundi wa kukatika viuno huku miguu akiwa ameinyoosha juu karibu na kugusa katika henga za neti za kitanda kile, alizungusha kiuno chake kilichojaa shanga hata sikumbuki idadi ya shanga zile, kiukweli alikua mtundu mno...





    Basi niliendelea kusimama pale huku nikiwa kimya nikiangalia ile filamu ya bure huku nami nikianza kujichua mwenyewe taratibu kwa kukiingiza kidole changu ukeni huku nikianza kuhisi utamu..

    "Oooh.. shiiit.." nilishtushwa na miguno ya yule binti wa mapokezi ambapo nilipomuangalia nikamshuhudia akiwa amewekwa mkao wa kuchuma tembele, huku yule msichana mwengine akimuingiza ulimi na kuanza kumnyonya hadi sehemu ya haja kubwa.

    "Uuuwiiii... Yeeeees... Ooooopppsss.. shhhiit.. oooh.. com.. ooonnn.. hapo.. hapo... We.. msen**e unanipatia.. !" Alipiga kelele za utamu yule binti huku akikatika haswaa..



    Loh.. kiukweli yule binti, alikua amenishinda tabia..

    Yaani alikua anakatika kama feni bovu, huku akipiga kelele za mahaba zilizopelekea nami kukaa chini na kuendelea kujisugua huku mzuka ukizidi kunipanda na kujikuta nikianza kujigunisha kwa mahaba.

    "Mmmhh.. yeahhh.." Hee mwenzangu nyege kitu kingine bwana..

    Unaambiwa nilipiga kelele za utamu kwa nguvu na kujikuta nikiwashtua wale mabinti pale kitandani.



    "Hee.. mwenzetu vipi tena..!" Aliniuliza yule binti aliyekua akimnyonya mwenzake.

    Badala ya kujibu, nilijikuta nikijichuachua katika uke wangu huku yule binti akiniangalia tu.

    Alipoona nimekaa kimya kwa muda mrefu, alinifuata pale nilipo na kuanza kuninyonya ukeni kwangu huku akiniingiza kidole chake cha mwisho katika sehemu zangu za haja kubwa.

    " oooh.. yeeess..! yeah.. uuuwii..!" jamani mwenzenu nilipiga kelele za utamu hadi nikaanza kukojoa, yaani huyu binti alikua anajua haswa kunikuna.



    baada ya kuhakikisha kuwa tayari nimeshakojoa, alisimama na kumfuata yule binti wa mapokezi na kumlaza staili ya kifo cha mende, kisha akaanza kumuingiza tango bichi likiwa limevalishwa kondomu.

    hee.. yule binti wa mapokezi kumbe alikua akiipenda michezo ile hatari..

    unaambiwa alikatika huku akiwa analia machozi kwa utamu aliokua akiupata.

    "Yees.. bebi.. nakaribia kufi..ka.. ongeza spidi.. uuwwii.. oooh.. shiiut.. mbona unachomoa.. acha useng**e.. !" yule binti alijikuta akipiga kelele huku akimtukana mwenzake baada ya kulichomoa lile tango kwa bahati mbaya.



    Baada ya kumaliza haja zetu, ndio tukaanza kutambuana, ambapo nilijitambulisha kwa jina la Mariamu.

    yule binti aliyekua akitusaga alijitambulisha kwa jina la Shakira, na yule binti wa mapokezi yeye nilimtambua kwa jina la Hamisa.



    basi tulitakiwa tumlipe yule Shakira elfu30 kwa huduma yake.

    tukawa marafiki tulioshibana haswaa, nikawa nawasaidia fedha za matumizi madogomadogo, tunatoka kwenda club na kujirusha hatari.

    kubwa zaidi nilimwambia Shakira mimi anatakiwa aninyonye tu, lakini asiniingize lile tango lake, kwani mwenzake nilikua ni bikra..



    siku moja majira ya saa12 jioni tulienda kutembea maeneo ya MAJI YA CHAI, kulikua na birthday ya shoga yake Shakira, tulikula na kunywa hadi kushindwa kutembea, ikabidi tuchukue chumba katika gest ya pale jirani, Hamisa yeye alirudi mjini kwani yeye ndio mhudumu wa gest yao.

    basi mimi na shakira tulichukua chumba kimoja, ilipofika mida ya saa6 usiku tulishtuka kuona mlango wetu ukiwa unagongwa.

    nilishangaa kumuona shakira akienda kufungua bila ya kuuliza ni nani aliyekua akigonga.

    hee.. mwenzangu, nilishtuka kuona shakira akiwa karibisha ndani wanaume watatu walioshiba kwelikweli..

    "karibuni jose.. huyu hapa anaitwa Mariamu, ndio mtu niliyekuhadithia kuwa ni bikra.. sasa kabla hamjaanza kazi nipeni changu niondoke..!" Alisema maneno hayo Shakira huku akiwa ananiangalia usoni bila kuona aibu..

    Hee.. kumbe shakira alikua ameniuza bila mimi kujua.

    nilimshuhudia shakira akipokea kitita cha pesa ambazo hata sikuzijua idadi yake na kutoka nje.



    wale mababa waliufunga mlango na kuanza kunivua nguo huku wakionekana kuwa na uchu hatarii.

    kama kawaida yangu, nikawaambia haina haja ya kunibaka, huvyo tuanze kuchezeana kwanza halafu ndio tuanze mechi, ambapo kidogo walinielewa.

    basi nilinza na wawili michezo ya mahaba, mmoja nilikua nauchezea uume wake kwa mikono yangu, mwengine nilikua nikiunyonya uume wake kwa mdomo wangu..

    hee yule mtu mwengine aliyebakia eti yeye alikuja na kuanza kuninyonya ukeni kwangu huku akiniingiza vidole vya mkun**du**ni..

    "Oooh.. shiiit..!" nilipiga kelele kubwa baada ya yule aliyekua akininyonya kisimi changu kupeleka kidole chake cha kati kwa nguvu katika kisimi changu na kusababisha nijisikie maumivu makali mno..



    Hapo nilishindwa kuvumilia na kuchomoka kwa spidi huku nikifoka kwa hasira.

    "Haraka ya nini mpaka tunaumizana..!"

    Hee.. mwenzangu.. yaani ndio kama nilikua nimejipalilia makaa ya moto, unaambiwa wale watu walinifuata na kunishika vyema kabisa huku wakinilaza chini, mmoja wao alikua akijiandaa na kuchomoa mashine yake na kinisogelea tayari kwa kunibaka..



    lakini kabla hajaniingiza, alipiga kelele za kuomba msaada huku akiwa anajikuna kila sehemu ya mwili wake, mara na wale wengine pia walianza kujikuna huku wakipiga kelele za kuniomba msamaha, ghalfa nikawaona wakianza kutokwa na damu katika miili yao, ambayo ilikua ikiashiria kua walikua wakichapwa na mtu wasiomuona.



    Nilisimama na kuanza kuvaa nguo zangu haraka haraka na kufungua mlango kwa lengo la kutaka kutoka nje, lakini kabla sijafika ghafla ikasikika sauti kubwa ya ajabu iliyopelekea wote mule ndani tukapoteza fahamu..



    Nilikuja kuzinduka ilikua tayari kushakucha, ila ajabu eti nilijikuta naamka kitandani..







    Nilisimama na kwenda chooni kujisaidia, kisha nikarudi tena kitandani kulala kwani usingizi ulikua bado haujaniisha.

    Lakini kama baada ya nusu saa hivi kupita tangu nirudi kulala kwa mara ya pili, nilishtushwa na kelele zilizokua zikipigwa nje, basi nami nikatoka ili niende nikajionee nini kilichokua kikiendelea.

    Hee.. mwenzangu, nilishangaa kuona pale mapokezi kumejaa watu wengi kwelikweli, nilishindwa kujua ni nini kilichokua kimetokea.

    wakati nazidi kuelekea mbele nikashangaa kuona askari polisi wanne wakitokea chumbani kwa Hamisa yule dada wa mapokezi huku askari wawili wakiwa wamemfunga pingu dada huyo na askari wawili wengine wakiwa wameubeba mwili wa msichana mwengine ambae ilisemekana alikua amekufa akiwa kitandani mwa yule Hamisa binti wa mapokezi, hivyo alichukuliwa ili kuisaidia polisi.



    Jioni ya siku hiyo alikuja mzee mmoja na kujitambulisha kuwa yeye ndio mmiliki wa gesti ile, hivyo alikuja kuifunga gesti ile kwa muda kutokana na nuksi iliyojitokeza asubuhi ya siku ile.

    wateja wote waliondoka, na mimi nilikua wa mwisho kutoka, niliingia ndani na kukusanya vitu vyangu tayari kwa kuondoka kwenda kutafuta gesti nyengine, lakini nilipofika mlangoni nikapata wazo ambalo sijui lilitokea wapi.

    "Mzee samahani nakuomba mara moja.." Nilimwita yule mzee nikiwa nimesimama katika mlango wa chumba changu, ambapo yule mzee alikuja hadi pale nilipo.

    "Mimi nililipa pesa za mwezi mzima kuishi humu sasa itakuaje na ndio kwanza nimetimiza siku15 tu..!" Nilmuuliza yule mzee huku nikimuangalia usoni.

    " Kiukweli, hata mimi nilikua sitaki wewe uondoke humu ndani, nitakuacha basi umalizie huo muda wako halafu utaondoka sawa..!" Alimaliza kutoa maelekezo yule mzee.



    Nilirudisha vitu ndani na kujifungia tayari kwa kulala, nilivua nguo zote na kuvaa taulo nikiwa nataka nikaoge kwanza, lakini kabla sijaingia chooni ghafla mlango wangu ulikua ukigongwa, nilikwenda kuufungua na kumkuta yule mzee akiwa ananitumbulia mimacho tu bila kusema kitu chochote.

    "Karibu..!" Nilijikuta nikimkaribisha ndani yule mzee.

    "Nilikuja kukuuliza kama utaweza kulala peke yako katika jumba hili, au nikuletee kijana wa kukulinda..?" Aliuliza mzee yule huku akizidi kunitazama kwa kuibiaibia.

    "Mimi nitalala tu wala usijali, ila mlinzi umlete ili akulindie mali zako..!" Nilimjibu..

    Hee.. huyu mzee nae alikua na vituko kweli, eti alisema anataka yeye anilinde mimi..

    Niliingia chooni na kuoga nikimuacha yule mzee pale kwenye sofa la chumbani, nilipotoka bado yule mzee alikua yupo kakaa tu.

    Mh.. leo mbona makubwa..! eti yule mzee alinifuata na kutaka kunifuta maji mwilini mwangu.

    " Hapana mzee wangu nakuheshimu sana naomba uende tu..!" Nilimfukuza.

    lakini ndio kama nilikua najichongea, unaambiwa yule mzee alinisukumia kitandani na kunivua lile taulo langu, kisha akawahi kukaa kwa juu yangu na kunipapasa mwilini mwangu, looh.. jamani huyu mzee utadhani alikua anaujua udhaifu wangu ulikua wapi..

    unaambiwa aliingiza ulimi wake katika tundu za masikioni mwangu na kunifanya nijisikie shoti ya ajabu, aaah.. mwenzangu ghafla zikanijia zile nyege zangu za ajabu.



    yule mzee aliendelea kunichezea hadi nikahisi nachanganyikiwa, unaambiwa alikua akininyonya kitovu changu kiustadi wa hali ya juu mpaka nikawa nahisi kama haja kubwa inataka kutoka, jamani ilikua raha sana..

    "Mh.. ooh.. yeah.. yeees..!" Nilikua nikipiga kelele za mahaba baada ya yule mzee kuanza kuninyonya kisimi changu.

    Hee.. haya leo yalikua mapya kwangu, kweli tembea uone..

    unaambiwa huyu mzee alikua ananifanyia utundu balaa, alikua akininyonya kisimi changu huku akinisugusugua kwenye mashavu ya uke wangu, ilikua ni raha ya ajabu sikuwahi kuipata.

    "Oooh... shiiit... oooh ... yeeees... naf... kaaa.. bebi.. ooh.. my.. God..!" Nilipiga kelele za kufika kileleni huku nikimkandamiza babu wa watu katika kisimi changu ili asikitoe kichwa chake pale.. kweli nyege ni kitu kibaya sana, eti mzee kama yule naye nilimwita bebi wakati nafika kileleni.. loh..

    Basi baada ya kufika tu, ghafla nikasikia harufu ya karafuu iliyochanganyika na marashi, mara nikamuona yule mzee anaanguka chini huku damu zikimtoka puani na masikioni, nayeye pia akafariki.



    Aaah.. hapa pia hapalaliki.. nilivaa nguo zangu na kuchukua pochi langu tayari kwa kutoka nje, lakini nilipoangalia mbele pale mapokezi, looh.. sikuweza kuamini kile nilichokiona, niliwaona askari polisi wanne wakiwa wananiangalia mimi, nilitaka nirudi ndani kwanza nijipange upya lakini nilishachelewa, kwani walinisogelea karibu na kuanza kuniuliza.

    " Wewe ndio mariam?" Aliuliza mmoja wao.

    "Ndio..!" Niliitikia bila kujiamini.

    "Unamfahamu hamisa..? unamfahamu shakira..?" aliniuliza maswali mfululizo, kabla sijajibu akaendelea kwa kusema..

    " Kwa ufupi Unahitajika kituo cha polisi kukamilisha uchunguzi, tulifika hapa muda mrefu kidogo ila tulikuacha umalize ulichokua ukikifanya ili tusikuharibie starehe yako, sasa mwambie kabisa shemeji kuwa tunakuchukua mara moja..!" Aliongea maneno yale yule askari ambapo hofu ilinizidi na kujikuta nikitaka kukimbia.

    " Hee.. afande hizi ni damu au rangi..?" Aliuliza askari mwengine baada ya kuona damu zikipenya chini ya mlango wa chumba changu..





    "Mh..! we dada ni nini hichi..?" Yule askari aliniuliza huku akimulika pale chini kwa kutumia msaada wa mwanga wa simu yake.

    Looh.. kweli leo ni kuumbuka..

    " Afande hii ni damu tena ya mtu, si unaona haya madonge yake..!" Alithibitisha yule askari huku akiniangalia usoni kwa hamaki.

    "wewe umefanya nini humu ndani..? na ulikua unaenda wapi usiku huu mshenzi wewe..?" Aliniuliza yule askari huku akinipiga kofi zito la usoni na kunidondosha hadi chini.

    unaambiwa haikuishia hapo, askari mwengine alininyanyua na kuniingiza ndani ili wakajiridhishe juu ya damu zile.

    Mungu wangu, tulipofika ndani sikuamini kwa kile nilicho kiona, eti kichwa cha yule mzee kilikua kimetenganishwa na kiwiliwili chake, huku uume wa yule mzee ukiwa umekatwa na kuwekwa pembeni.

    yule askari mkuu aliniangalia usoni na kunipiga teke la tumboni lililoniachia maumivu makali na kunidondosha hadi chini kabisa.

    " Halafu afande, naona huyu ndio muuwaji wa kule gesti ya MAJI YA CHAI kwenye maiti tatu za wale wanaume wa jana, maana vifo vyao vinafanana na huyu mzee..!" yule askari mwengine alizidi kushindilia msumari wa moto.



    Basi walinifunga pingu na kunitoa hadi nje na kuniingiza kwenye gari lao, safari ya kwenda kituoni ikaanza.

    Njiani nilianza kupiga hesabu ya maiti nilizo zisababishia vifo, kiukweli sikuipata idadi kamili kwani zilikua ni nyingi mno, hapo nikagundua kuwa mwisho wa maisha yangu ulikua umefika kwani nilikua nimepigwa haswaa, damu nyingi zilinijaa mwilini mwangu.

    Tukiwa kama umbali wa mita kadhaa tangu tuanze safari ya kuelekea polisi, mwenyewe nikiwa mawazoni, ghafla gari ile ilisimama na kuzimika bila kutarajia.

    " Nini hicho..?" Aliuliza yule askari mkuu.

    " Nashangaa hata mimi..!" Alisema yule askari ambae ndio aliyekua dereva kwa wakati huo huku akiwa anafungua mlango na kutoka nje ya gari hiyo.

    Alikwenda hadi mbele ya gari hiyo na kuifungua ili kuangalia tatizo lilikua wapi, baada ya muda alirudi ndani akiwa amechoka hoi.

    " Afande naona hapa tutakesha sana, tatizo hili ni kubwa mno, wapigie simu makao makuu watuletee gari nyengine.." Alitoa maelezo yule askari dereva.

    Basi yule askari mkuu alipiga simu na kuomba msaada wa gari nyengine.



    Tulikaa mule ndani ya gari zaidi ya masaa mawili bila kuja kwa msaada wa hilo gari lengine, ilimbidi yule askari mkuu apige simu tena kule makao makuu, ambapo aliambiwa gari ilishatoka muda mrefu sana uliopita na kwa sasa ilitakiwa iwe imeshafika.

    kidogo wale askari walipata mashaka, mwisho ilimbidi yule askari mkuu apige simu tena makao makuu kuomba namba za dereva aliyekabidhiwa gari.

    Lakini nayo haikusaidia kupata majibu, kwani simu iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa.

    " Mmh..!" Yule askari mkuu alijikuta akiguna tu na kushindwa kujua nini cha kufanya.

    Lakini kwa bahatti nzuri ilipita pikipiki katika eneo lile la barabara, ambapo yule askar dereva aliomba lifti ili akafatilie hilo gari jengine lililotumwa.

    Hee..! Hii haikua kawaida kabisa, kwani baada ya yule askari kupanda kwenye ile pikipiki na kuondoka, hawakufika mbali tuliwashuhudia wakidondoka na pikipiki hiyo hadi chini, walishuka askari wote mule ndani ya gari na kunifungia milango, walikwenda kuishuhudia ile ajali ya pikipiki ambapo tayari yule askari pamoja na dereva wa pikipiki ile walishakufa.

    Kwahakika ilikua ni siku mbaya sana.



    Yule askari mkuu alizidi kuchanfanyikiwa, akaona sasa hapa kuna kitu hakipo sawa, akaona ni bora tuanze kutembea kwa miguu kuelekea kituoni, akikuja askari mmoja kunifungulia mule kwenye gari na kuanza kuniongoza.

    Kiukweli wale askari wengine walishaanza kuniogopa, ila yule mkuu wao tu ndio alikua akijiamini sana, tayari mmoja wao alishapungua.

    basi tulitembea barabarani kukiwa kiza sana.



    Tulifika eneo moja lenye kiza zaidi, tulishtuka kuona kuna mwangaza wa taa ukiwaka unatokea porini pembeni kidogo mwa barabara ile tuliyokua tukitembea nayo.

    Tulipozidi kusonga mbele tulianza kusikia sauti ya muungurumo wa gari ukiwa unatokea kule kwenye ule mwangaza wa taa iliyokua porini, hapo ilimbidi askari mmoja awahi kwenda kuangalia ni nini kilichokua kimetokea katika eneo lile, sisi tulibakia tumesimama pale barabarani, yaani mimi, yule mkuu wa askari pamoja na askari mmoja.

    " Duuh.. kumbe ni saa tisa saizi..!" Yule mkuu wa askari alishtuka baada ya kuangalia simu yake na kugundua kuwa kumbe muda ulikua umeenda sana.

    " Mama wee..! Nakuf...!" Hee.

    mwenzangu.. tulishtushwa na sauti ya yule askari aliyekwenda kule porini kuangalia nini kilichokua kimetokea.

    Basi yule mkuu wa askari sijui alikua anajiamini nini, eti alituamuru wote sisi tuelekee kule porini tukaone nini kilichokua kimetokea.

    " Hapana afande, kumbuka mwanzo tulikua wanne, na sasa tumebaki mimi na wewe tu, tafadhali mkuu badilisha maamuzi yako, huyu mwanamke sio mtu wa kawaida huyu..!" Yule askari mwengine aliyebaki alikua akiongea huku akitetemeka.

    " Hii ni amri.. lazima tujue ni nini kilichotokea ili tupeleke taarifa iliyokua kamili..!" Alisisitiza yule askari mkuu huku akinisukuma mimi kwa mbele eti niongoze msafara kuelekea kule porini kulipokua na mwangaza wa taa pamoja na sauti ya muungurumo wa gari..



    Moyo wangu ulikua ukienda mbio sana, sijui hata ilikuaje lakini nikajipa imani nitakua salama tu, basi niliongoza njia hadi tulifanikiwa kuliona gari aina ya Land rover iliyokua imechorwa nembo ya polisi, gari hiyo ilikua imegonga mti mkubwa na kushindwa kutembea lakini ilikua bado haijazimika.



    Daah.. ilikua ni ajali mbaya sana, kwani dereva wa gari ile naye alikua ni askari ambaye alikua amebanwa na usukani wa gari ile na kumpelekea kufa palepale.

    Hee.. tulipopiga jicho pembeni ya gari hiyo, tuliweza kumuona yule askari aliyetumwa mwanzo akiwa amekufa kifo kibaya sana, kichwa chake tulikiona kimening'inizwa kwenye kioo cha saiti mira ya gari hiyo, lakini kiwiliwili chake hakikuwepo.

    Hapo sikutaka tena kuisubiri amri ya yule mkuu wa askari tena, niligeuka nyuma na kutaka kutimua mbio maana hali hii ilitisha sana.



    Hee.. nilishangaa sana nilipogeuka nyuma nilijikuta nipo peke yangu katika eneo lile, kumbe wenzangu walishaanza kutimua mbio zamani sana, kwa mbali nilimuona mkuu wa kituo ndio alikua anamalizia kuinuka baada ya kudondoka wakati anakimbia, sasa sijui alikua anataka apeleke ripoti gani tena huko polisi, maana mimi ndio mtuhumiwa mwenyewe wameniacha nyuma tena mbali sana.

    Jamani kumbe yule mkuu wa kituo alijaaliwa miguu mirefu kweli, unaambiwa nilipotokeza barabarani nilimshuhudia akimpita yule askari wake na yeye kushika nafasi ya mbele kwenye mbio hizi, wakati huo mimi pia nikiwa nafasi ya tatu nikiwa nawafata wao.



    Kadri nilivyozidi kuwakaribia ndio wenzangu walivyozidi kuongeza mwendo, eti kumbe walikua wakiniogopa, basi nikajikuta nakimbia huku nacheka, kama mazuri vile..





    Hee.. mwenzangu.. pumzi zilinishia na kushindwa kuwapata kabisa, niliona ni bora nitembee tu.

    Nilifika sehemu moja ambayo ilionekana ni kama kituo cha basi, ila kwakua ilikua ni usiku hapakua na watu wengine zaidi ya mlinzi wa maeneo yale.

    "Nahitaji kuelekea Moshi, wapi nitapata gari..?" Nilimuuliza yule mlinzi ambae alikua akiniangalia kwa wasiwasi sana.

    " Basi la moshi litapita hapa saa mbili asubuhi..!" Alinijibu yule mlinzi huku akizidi kuniangalia.

    " Naweza kukaa hapa kulisubiria..?" Nilimuuliza yule mlinzi tena.

    " Sawa lakini mbona umechafuka sana..?" Nayeye alinijibu na kuniuliza pia.

    "Kuna mambo tu ya kidunia yamenipata, ila usijali sana..!" Nilimjibu kwa ufupi tu.

    "Basi njoo huku ndani upumzike kwanza, kukikucha ntakuamsha.!" alisema yule mlinzi huku akinifungulia kichumba kidogo ambacho watu huwa wanatumia kwa kukatia tiketi za mabasi.



    Basi niliingia mule ndani na kujilaza kwenye benchi la kukalia, yule mlinzi alitoka na kuniacha peke yangu.

    Nikawa natafakari juu ya hatma ya maisha yangu, nilikumbuka matukio mengi sana ambayo nilioyapitia, mwisho nikajikuta nikitabasamu na kucheka bila kificho baada ya kukumbuka tukio la wale askari kunikimbia mhalifu wao.

    " Naona umefurahi sana..!" Nilishtushwa na sauti ya mtu ambae sikumuona, ila sauti nilishaijua..

    " Mbona unanitesa sana.. naomba uniache na maisha yangu niwe huru..!" Nilimwambia mtu yule bila kumuona.

    Lakini ghafla mtu yule alijitokeza mbele yangu, huku akiwa amesimama na kuniamuru kuwa nifumbe macho.

    Kweli, nilifumba macho na nilipofumbua nilijikuta nipo kule kule juu kwenye jabali ambalo chini limezungukwa na maji ya bahari.

    nilpogeuka kwa pembeni nikamuona mtu yule alikua amekaa pia akiniangalia kwa muda mrefu.



    " Hapa si unapakumbuka Leyla..!" Aliniuliza mtu yule.

    " Ndio..!" Nilijibu kwa hasira kidogo huku nikijisikia kutaka kulia kwa hasira juu ya vituko ambavyo nafanyiwa kila siku.

    " Leyla.. laiti kama usingekua umeivaa hiyo pete yangu, wewe sasa hivi ungekua tayari umeshakufa..!" Alisema mtu yule ambapo sikumuacha amalizie nilimkatisha na kuanza kumpa vipande vyake bila kumuogopa.

    " Acha unafki.. si bora uniuwe tu.. kuliko kunidhalilisha kila siku, sina hata raha ya maisha.. nilisha kwambia kuwa sikutaki..!" Niliongea kwa hasira huku machozi yakinitoka.

    kwa hakika ni ukweli usiofichika kuwa nilikua naumia sana na hali hii, kweli kupitia ile pete aliyonipa nilikua napata kila kitu nilichokihitaji, lakini sikua na furaha ya maisha, nitakua mkimbizi mpaka lini..



    Mara ghafla ukaja upepo mkali sana huku yule mtu akipiga kelele na kupotea palepale.

    "We dada hemu amka gari imeshakuja..!" Nilishtushwa na sauti ya yule mlinzi alipokua akiniamsha na kugundua kuwa kumbe kulikua kumeshakucha na tayari gari ya kuelekea moshi ilishafika.

    "Halafu mbona asaivi unaonekana umekua msafi sana tofauti na ulivyokuja..?" Aliniuliza yule mlinzi, lakini kabla sijamjibu akaniuliza swali jengine.

    " Hee na huo mkoba pia ni wako au..?" alikua mdadisi kwelikweli.

    Basi kama kawaida yangu, niliuvuta ule mkoba na kuufungua na kutoa noti kumi za shilingi elfu kumikumi, kisha nikamkabidhi yule mlinzi kisha nikamuuliza.

    " Kuna haja ya kujibu maswali yako..!" Aliishia kinitumbulia mijicho tuu na kubaki kimya..



    Kiukweli, pete niliyoachiwa na yule jini ilinisaidia sana, ila tatizo moyo wangu wala haukupenda kuolewa na jini, basi nilikata tiketi na kuingia kwenye gari ya kwenda moshi ambapo huko nilielekezwa kuna mtaalamu wa kutoa majini kwa kutumia tiba asilia.



    Tulifika moshi saa5 asubuhi, ambapo nilipata chumba katika gesti moja iliyopo maeneo ya MAJENGO karibu kabisa na shule ya msingi ya Mwalimu Nyerere.

    Usiku wa siku hiyo nilimuuliza yule kijana wa mapokezi kama alikua akimfahamu mganga aliyeitwa SHUMA ambapo alinielekeza, hivyo nilipanga kwenda huko siku iliyofuatia.

    "Hapa nitapata wapi viazi vikavu na mishikaki..?" Nilimuuliza Jose, kijana wa pale mapokezi katika gesti niliyofikia.

    " Nipe pesa nikakuchukulie ni hapo nyuma tu..!" Alijibu Jose.

    Basi nilimpa pesa Jose na mimi nikaingia ndani kwangu, ambapo nilienda moja kwa moja hadi chooni kuoga kabisa ili chakula kikija nile tu na kulala.

    Nikiwa chooni nilimsikia Jose akiita.

    " Pita Jose niwekee hapo mezani mimi nakoga..!" Nilisema hivyo kuwambia Jose ambapo naye aliingia na kutoka.



    Baada ya kutoka chooni nikiwa nimejifunga taulo tu, nilikwenda moja kwa moja hadi mezani na kuanza kula, lakini kabla sijamaliza ghafla Jose aliingia ndani kwangu tena bila kupiga hodi.

    " Aaah.. nilijua bado upo chooni, nilikua nimejisahau niliondoka na chenji yako..!" Alisema Jose huku akiwa ananitazama kwenye mapaja yangu.

    " Karibu pita tu uje kula na wewe..!" Nilimkaribisha.

    Hee.. jamani Jose nyie..

    Eti unaambiwa alikuja kula kweli..

    tena akawa ananifuta tomato iliyokua imedondokea katika paja langu, loh..! hali ikabadilika sasa..

    Jose.. nyie acheni tu, yaani sijui aliujua udhaifu wangu.. unaambiwa aliweka chipsi moja mdomoni mwake kisha akanisogelea na kunilisha kwa kutumia mdomo wake, hapo hakubanduka mpaka nikampa lita kadhaa za juisi ya mate yangu.

    Hee.. hatukuishia hapo, tuliacha kula bila kunawa na kuelekea kitandani huku tayari minyege yangu ilishanipanda, nikawa nahema juujuu kwa kuona kuchelewa tu.



    Taratibu Jose alianza kwa kuninyonya mate huku akinipapasa mwilini mwangu, looh.. nyege zilinipanda maradufu na kujikuta nikimfinyafinya Jose kwa utamu ninaoupata, Jose alihamia kifuani kwangu na kuingiza mdomo wake katika ziwa la upande wangu wa kushoto, huku akifanya kama anaking'atang'ata kile kichuchu cha ziwa..

    "Yees.. Ooh..! Josee.. Unawe..za.. baba..!" Nilijikuta nikimsifia Jose bila kupenda..





    Taratibu nyege zilizidi kuongezeka mwilini mwangu na kuona kama vile Jose alikua akinichelewesha tu kuninyonyanyonya.

    Jose alikuja kuhamia kwenye kinena changu na kuanza kuninyonya huku akinisugua kwenye mashavu ya ukeni kwangu..

    "Oooh.. Yees.. Ooh.. my God.. ndi..o nafi..ka.. Josee... bebiii...!" Jamani kufika raha nyinyi.. Unaambiwa nilipiga kelele za nguvu huku nikiwa nimekikumbatia kichwa cha Jose kwa utamu.

    Hee mwenzangu, huyu Jose sijui alikua amechanjia.. eti baada ya mimi kufika, akaka kwa juu yangu na kuutoa uume wake mkubwa kwelikweli na kutaka kuuingiza katika kinena changu.

    Aaah.. wapi.. Bahati haikua upande wake pia, ghafla nikamuona akidondoka mzima na kunidondokea mimi mwilini mwangu, nilipomuangalia vizuri nikagundua kuwa kilikua kimebakia kiwiliwili tu huku nisijue kichwa cha jose kilikua kimeenda wapi.



    Sikuogopa hata kidogo, kwani nilishaizoea hali ile, basi nilikwenda chooni kuoga ili kuondoa zile damu, nilipokua najipaka sabuni ghafla nikahisi kama vile kuna mtu alikua akinipapasa katika mwili wangu, ghafla nikaanza kusikia raha ya ajabu kuliko raha zote nilizowahi kuzisikia, looh... Unaambiwa nilinawa uso haraka haraka ili nimuone mtu yule aliyekua akinipapasa kwa raha kama vile, mh.. kumbe alikua ni yule jini wangu, kwa mara ya kwanza niliufurahia ujio wake, kwani alikua akinipa raha kila anaponigusa.

    Aliniongezea hamu ya kutaka kufanya mapenzi na yeye pale alipoingiza kidole chake ukeni mwangu, jamani mwenzenu nilisikia raha sana..

    Nilipiga kelele za mahaba mpaka nikakojoa.



    Baadae akaniogesha kisha akanibeba na kunirudisha kitandani kwangu, hee eti ile maiti ya Jose sikuiona tena pale kitandani, wala sikuona damu zake, yaani chumba changu kilikua kisafi na kilikua kikinukia marashi na manukato mbalimbali, jini wangu akanipaka mafuta ya karafuu hata sijui aliyatolea wapi, akanifanyia masaji kisha akanilaza kichalichali tayari kwa kuniingilia kimwili, yaani mwenzenu hata sijui ilikuaje, yaani wakati haya yote yakiendelea mimi nilikua najielewa vizuri tu, ila ule utamu niliokua nikiusikia ndio ulionifanya nizidi kutoa ushirikiano wa kutosha, unaambiwa yule jini alininyonya kisimi changu zaidi ya binadamu wa kawaida.

    "Yees.. sweaty.. oooh..!" Nilipiga kelele za mahaba na kumwita yule jini majina yote ya mahaba, kiukweli nilikojoa zaidi ya mara tatu kwa kunyonywa tu na yule jini, hadi hamu ya kufanya mapenzi yote ilinipotea na kujikuta nikipitiwa na usingizi mzito.



    Nilikuja kuamka ilikua tayari ni asubuhi na kilichokua kimeniamsha ni sauti ya watu waliokua wakiongea kutokea pale mapokezi, zilikua ni kelele za watu wengi sana.

    Basi nilifungua mlango na kutoka nje ili na mimi nijionee ni nini kilichokua kikiendelea katika eneo lile.

    Daah.. Kumbe ilikua ni mwili wa yule Jose kijana wa mapokezi, amekutwa amekufa kitandani kwake huku kichwa chake kikiwa kimekatwa na kutundikwa juu ya feni iliyopo pale maokezi.

    Basi baada ya kujionea hivyo nilirudi ndani na kujifungia huku nikianza kutafakari maisha yangu tangu mwanzo hadi hapo nilipofikia.



    Nilianza kwa kuwakumbuka wazazi wangu jinsi walivyokufa, nikamkumbuka makame wa Zanzibar, nilikumbuka kwenye boti wakati naelekea Dar es salaam kwa mara ya kwanza na kupokelewa na mama lishe ambae nae alisababisha nikutane na mwanaume niliyempenda na kumpoteza Mudi wangu, niliikumbuka safari ya Oman, mwisho kabisa nikajikuta nikitabasamu huku machozi yakinitoka baada ya kuwakumbuka wale askari waliokua wakinikimbia mtuhumiwa wao.

    Hapo ndio ulikua mwisho wa mawazo yangu.



    Nilijichukia sana, kwanini nimekua chanzo cha kuwauwa binadamu wenzangu, mwisho kabisa niliona sasa inatosha, ni bora nife tu kuliko kukubali kudhalilika kiasi kile, kila siku ni mimi tu ndio mtu wa matukio ya ajabu ajabu.

    "Wacha nife tu.. nadhani hii ndio hatma yangu..!" Niliongea maneno hayo huku nikiwa naivua ile pete ya yule jini anayenipenda.

    Nilipoivua tu ile pete na kuiweka juu ya kitanda, ghafla nikajikuta kichwa kinaniuma, mara ghafla nikawaona watu wengi sana wakiwa wapo makaburini wanazika.

    "We Leyla unafanya nini..!" Ilikua ni sauti ya yule jini anayenipenda alikuja pale ndani haraka na kunivalisha ile pete bila kupenda, ambapo kichwa kiliacha kuuma na akili yangu ikarudi kama kawaida.

    "Kuna viumbe wengi sana wanakutamani, ila walikua wanashindwa kukupata kwakua ulikua umevaa hiyo pete yangu, ulipoivua wakataka kwanza wakuzike ukiwa hai, halafu ndio wakutumie.. Tafadhali Leyla hemu nipe nafasi kwanza niyasafishe maisha yako..!" Aliongea jini yule huku nikiwa natetemeka kwa uwoga, nikweli nilikua nataka kufa ili nami nikapumzike lakini sio kifo cha namna ile, loh..yaani nizikwe mzima mzima kwanza.. Mh.. Hali hii ilinitisha sana.

     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog