Search This Blog

Thursday 24 November 2022

NYETO NYETONI - 2

 

     

     



     

    Chombezo : Nyeto Nyetoni

    Sehemu Ya Pili (2)

     

     

    ”Ozzi ndiyo nani na umeingiaje humu ndani ya Gari wakati milango na madirisha vimefungwa?"

    “wala huna haja ya kuuliza yote hayo"

    Ghafla tena yule binti akatoweka

    Ducha akafikicha macho kama mara mbili

    ”vipi tena macho yanauma au?"

    Lilikuwa ni swali kutoka kwa Fetty aliyekwisha rejea akaweka vitu vizuri

    Ducha hakujibu lile swali muda kidogo wakawasili nyumbani kwa kina Fetty aisee kulikuwa na bonge la jumba la kifahari la gorofa tatu

    Lilikuwa limezungushiwa ukuta ndani yake kulikuwa na Swimming pool ya maana

    “karibu sana Ducha jiskie upo nyumbani huyu ni Mdogo wangu anaitwa Samiya na yule pale ni Mfanyakazi wangu aitwa Tabia

    Yule kule ni mjomba angu mzee Tamir jamani huyu ndiyo Ducha niliyewaambia kuwa nitamleta ili aje kuishi nasi hapa"

    Fetty alifanya utambulisho mfupi

    ”ohoo tunashkuru Sana kwa kuweza kumfahamu karibu sana mjukuu wangu"

    Mzee Tamir ndiyo mtu pekee aliyemchangamkia Ducha kwa kumkaribisha

    Akaonyeshwa chumba chake

    “huhuhuhuhu nishamchukuwa nahivi niongeavyo nawe nipo nae hapa"

    “wee usinambie"

    “subiri nimpe simu ili uongee naye Ducha embu njoo Mwanaidi anataka kuzungumza nawe"

    Ducha akaja mbio mbio na kuipokea ile simu

    ”nambie Sister"

    ”uko wapi?"

    “nipo Chamazi"

    “khaaa sasa unafanya nini huko?"

    “unauliza kitu gani sasa wakati wewe na Mama mmekubari mi nichukuliwe na Da Fetty ndiyo nimekuja kuishi naye huku"

    “wee wewee nani kamkubalia mi nilimzuga tu Mamaa heti Fetty kaja hapa kamchukua Ducha na kuondoka naye"

    ”tena Bora alivyomchukuwa ili nami kidogo nipumue nawe kama unataka nenda huko huko"

    Simu ikakatwa

    Ducha akamrudishia simu Fetty akaiweka sikioni

    “haya nambie wee kivuluge haloo wee Mwanaidi"

    Hakuweza kufahamu kama simu ilishakatwa akaingalia

    Na kuiweka pembeni kesho yake Ducha akajiandaa kuelekea Shuleni

    “Ducha embu subiri kwanza kuna kijana nimempigia simu anakuja sasa hivi na ndiyo atakuwa Dereva wako wa kukupeleka shuleni na kukurudisha nyumbani halafu ndani ya wiki hii nitakuhamisha ile shule ili nikakuandikishe INTERNATIONAL ACADEMY DIA ni shule nzuri sana"

    “Da Fetty"

    “abee"

    “je unahitaji niendelee kuishi hapa?"

    ”ndiyo Ducha"

    ”kama nikweli unanihitaji basi huna budi kufata matakwa yangu Mimi sihitaji kuendeshwa kwenye Gari binafsi usafiri wangu ni wa Daladala tu! Hizo gari binafsi kwangu si chochote kitu kwangu labda tuwe tunaenda sehemu mi nawe ndiyo nitapanda kitu kingine sihitaji kuhamishwa Shule

    Ufahamu au ufahuru ni akili ya mtu mbona Duniani Kuna matajili kibao ambao hawajasoma hizi International

    Embu nipatie nauli niwahi kituoni"

    “mmh Duchaa"

    ”wee nipe nauli ujuwe nachelewa shuleni"

    Fetty hakuwa na jinsi akatoa noti ya shiling elfu tano na kumpatia ajabu Ducha akaikataa

    “hii ni pesa kubwa Sana kwangu nipatie hiyo elfu moja"

    Ducha akaiputa ile elfu moja huyo akateremka ngazi kwenda chini Fetty akabaki kutabasamu tu!

    “oyaaa wakusoma wanatosha wee dogo mbishi embu shuka huko"

    Kama ujuavyo kuna baadhi ya makondana wana roho mbaya Sana kwa Wanafunzi utadhani wanapanda bule

    Makondakta hao hao mida ya mchana huwanyenyekea Wanafunzi kwazile mia mbili mbili zao Ducha alisikitika sana baada kumuona binti mwenye umri wakama miaka nane akisukumizwa na Kondakta binti yule akasimama na kujipangusa vumbi akakimbia mbio kwenda kugombania gari nyingine kawaida ya wakazi wa Mbagala kwenye kugombania Gari hawajari cha mgonjwa mzee mtoto wala kijana hakika hakuna utu kabisa

    Ducha akaenda kupanda gari ileile ambayo yule binti Alisukumizwa na ilikuwa imeshajaa nyomi

    “wee dogo shuka chini nifunge mlango"

    ”sishuki kama vipi shuka wewe tufunge"

    Ducha akazungumza kibabe konda akaona ahaa huyu dogo anazingua akamshika na kutaka kumsukimiza kila akimvuta Ducha avutiki Yani alivyoushikilia mlango wa Gari utasema sumaku na chuma

    “wee dogo mbona mbishi shuka ntakutia makonzi"

    “jaribu kunipiga uwone na sishuki Sasa tutabanana humu humu fala wewe"

    Watu ahaa Mtoto mdogo kamtukana konda tena konda mwenyewe wa Mbagala

    Konda akarusha mkono kwa niya ya kumpiga konzi sijui kibao Ducha akabonyea kwa chini mkono ukatua kwenye bati si akajikata maana alipiga kwa hasira alipiga kelele za maumivu

    Damu nyingi zilianza kumtoka mkononi

    “wee naye umezidi mambo ya kichoko mi siku zote nakwambiaga usiwe unabishana bishana na wanafunzi mia mbili nayo ni hela

    Au ukumbuki kipindi kile mtu mzima analipa mia mbili hamsini wakati mwanafunzi analipa hamsini? Ona sasa Mungu kakulaani mpaka umejiumiza oyaa Ovin chukuwa Gwanda twenzetu"

    Dereva alizungumza hivyo kama kumnanga Kondakta wake Gwanda akapewa kijana mwingine wakati huo Ducha alishatoweka sijui alipanda gari gani

    *********

    “inamaana kile kitoto kingine hakikuwepo pamoja nao?"

    ”ndiyo mkuu yeye hakuwepo"

    “vile mlivyovipiga nikama vidagaa Samaki mwenyewe ndiyo yule ambaye hamkumkuta"

    “kama vipi mkuu tupe idhini wahuni tukasababishe hadi nyumbani kwao"

    ”wala haina haja ya kunifata nyumbani Mwanaume nimekuja Sasa kwa wake zangu"

    Wote walishtushwa na sauti kari ya mtoto Mdogo akizungumza hivyo walipogeuza nyuso zao kumuangalia hakuwa mtoto bali alikuwa ni ni yule Mwalimu wake Ducha alikaza macho kuwaangalia wale vijana waliokuwa wamepigwa na Pumbuwazi

    ”dunia haiwezi kuwa sawa kama itaendelea kuwa na watu washenzi kama nyie. Tunatamani kuipa kisogo kila tukiwafikiria waliokuwa nyuma yetu basi tunashindwa kufanya hivyo. Hii ni sawa na mtembea peku mwiba ukamchoma akafanya jitihada za kuuchomoa unyayoni mwake. Naye akaurudisha pale pale alipoukanyaga ili mtu mwingine aje kupata maumivu kama yale aliyoyapata yeye.

    Kwa upande wetu hatupo hivyo tutaendelea kuwepo Duniani karne kwa karne ili kuhakikisha ya kwamba kila mshenzi anaezaliwa kwa tabiya za kishenzi anaenda kuzimu"

    Yule kiumbe alizungumza hivyo

    ”nyie mnasubilia kitu gani Sasa embu muangamizeni huyo mshenzi asituletee ngonjera zake hapa watu tumeshachafukwa"

    Bosi wao akatoa Amri vijana bila kusita wakamzunguka yule Kiumbe

    Walipomzunguka tu moshi mzito ulianza kufuka moshi ambao ulianza kuwalevya wale vijana wakaanza kupukutika kama vumbi

    Wote wakatoweka

    Bosi mtu alibaki kutumbua mimacho tu maana hakuweza kuamini macho yake

    “zamu yako Sasa kwenda kuzimu"

    Yule kiumbe alizungumza hivyo huku alikichumpa kufumba na kufumbua kiwiliwili cha yule bosi kikadondoka chini wakati kichwa chake kikibaki mkononi mwa kiumbe huyo hatari

    Sana







    ------------------

    Bosi wao akatoa Amri vijana bila kusita wakamzunguka yule Kiumbe

    Walipomzunguka tu moshi mzito ulianza kufuka moshi ambao ulianza kuwalevya wale vijana wakaanza kupukutika kama vumbi

    Wote wakatoweka

    Bosi mtu alibaki kutumbua mimacho tu maana hakuweza kuamini macho yake

    “zamu yako Sasa kwenda kuzimu"

    Yule kiumbe alizungumza hivyo huku alikichumpa kufumba na kufumbua kiwiliwili cha yule bosi kikadondoka chini wakati kichwa chake kikibaki mkononi mwa kiumbe huyo hatari

    Sana



    Songa nayo

    Sasa



    Yule Kiumbe akawa anakichunguza kile kichwa cha yule Bosi ikawa anakigeuza geuza mara kisogoni akifungue kinywa

    ”kuanzia Sasa upo chini ya ulinzi usijaribu kufanya ujanja waaina yoyote ule, haya tupa hiko kichwa chini na unyooshe mikono juu. Fanya upesi"

    Ghafla tu yule Kiumbe akiwa hana hili wala lile akashtuliwa na sauti ya Mwanaume akizungumza kwa ukali akafanya kutii amri ya kunyoosha mikono juu pasipo kukitupa kile kichwa chini.

    “tupa hiko kichwa chini husik... Mara puuh kichwa kikarushwa na kwenda kukita usoni mwa yule Mtu aliyekuwa akitoa amri aisee kumbe walikuwa ni Maafande takribani watano wote walikuwa wamezishikilia Bastola zao vyema kile kitendo cha mwenzao kurushiwa kichwa kikawafanya wafyatuwe risasi kwa fujo kumpiga yule Kiumbe alianza kujitawanya kama vile Moshi uliofunguliwa ndani ya chupa lakini maafande hawakuacha kumshambulia

    Mara na wao walianza kunyong'onyea silaha zikawaponyoka wakadondoka chini na kuwa kimya yule Kiumbe akatoweka

    Hapa tunamuona jamaa fulani akiwa pamoja na binti wakitembea ule mwendo wa haraka haraka sijui wanawahi wapi?

    “inamaana kile chumba umekipenda?"

    “hilo swali unatakiwa ulijibu wewe mwenyewe kwa maana wewe ndiyo mama wa nyumbani mi kazi yangu kutoa pesa tu!"

    ”kwa upande wangu nimepapenda"

    “basi sawa"

    Sasa kule kutembea kwao wakapita sehemu kulikuwa na mtoto ambaye ni Albino mwenye umri wa kama miaka miwili ajabu iliyotokea pale yule mtoto akadondoka chini puuh

    Mpaka wao wakashtuka ikabidi wasimame kumuangalia

    “embu achana na hiko kitoto kina mawenge"

    Yule binti alizungumza hivyo kumwambia mumewe

    “mmh Halima jamani mwanangu anataka umbebe"

    Mama wa mtoto yule alizungumza hivyo haliyakuwa akimnyanyua mwanae aliyekuwa kalala pale chini utadhani kazimia

    “yani Mume wangu hiki kitoto kila kikiniona kinanifanyia vituko mara anililie sijui ajidondoshe chini kama hivi utadhani nimempushi"

    “basi kama hivyo nitambeba Mimi"

    Yule jamaa alizungumza hivyo akambeba mtoto na kuelekea naye nyumbani kwao

    “jamani huko mnapoenda njia hakuna"

    “khee hakuna kivipi wakati Asubuhi hii tumepita"

    “imezibwa muda si mrefu kama hamuamini nyie nendeni mtajionea wenyewe"

    ”sasa kama wameziba sisi tutapita wapi?"

    ”pitieni kwenye ule mjumba kule yani mfanye kama mnaingia ndani na kutokezea mlango wapili"

    “yani tuingie kwenye ule mjumba?"

    ”ndiyo"

    Basi Halima na mumewe wakiwa na yule mtoto wakaamua kupita hiyo njia waliyoelekezwa

    Walipoingia kwenye ule mjumba ambao ndani yake ulikuwa kama vile Kariakoo Shimoni

    “mmh mume wangu mbona mi najionea mauzauza tu!"

    “mauzauza ya kitu gani embu tupitie huku"

    Jamaa akamshika mkono mkewe hata hawakuweza kutoka nnje ya mjumba ule ulionekana wa maajabu

    “mume wangu tukimbiee"

    Halima alipiga kelele kumtaka mumewe wakimbie wakawa wanakimbia mbiombio kila mmoja akapita njia yake kutoka nnje jamaa hamuoni mkewe kuangalia hivi kuna vijana takribani Sita wakiwa na mapanga wengine visu na mashoka wakimfata yeye.

    Hakuwa na jinsi zaidi ya kutimua mbio

    Wakati anakimbia yule mtoto aliyebebwa alikuwa anacheka tu!

    Hatua kadhaa mbele akasimama na kumshusha yule mtoto chini akavua shati na kubaki na Sigrend shati akalifunga kiunoni

    Wale vijana nao walishamfikia

    “nyie nikina nani? Na mnataka nini kutoka kwangu?"

    Jamaa akauliza kwa sauti ya kikakamavu

    “sisi wala hatuna haja na wewe shida yetu ni huyo mtoto kwa maana viungo vyake ni utajili tosha ili kuokoa maisha yako huna budi kutupisha"

    “sio kirahisi kama mnavyodhania"

    ”hahahaha inamaana unajifanya mjuaji sio oyaa Waziri mpige za chembe huyo"

    Waziri akamsogelea yule jamaa akanyoosha mkono kwa niya ya kumchoma kisu cha mbavu jamaa akazunguka na kuubana mkono wa Waziri miguuni mwake mara kooh akauvunja

    “mamuwee mkono wanguu"

    Waziri alipiga kelele za maumivu kilichofatia ni vijana kumvamia kwa pamoja

    Mwanaume alipambana vyema na vijana wale alikuwa anapiga ngumi na Mateke ya maana japokuwa naye alikuwa anapigwa na kuchanwa kwenye mikono

    Ndani ya dakika tano vijana wakawa hoi

    Jamaa akambeba yule mtoto ambaye ni Albino

    Na kuondoka naye

    ************

    Siku ya siku hiyo Ducha alikuwa amekaa Darasani akizungumza na Ally

    “nikuulize kitu Ducha?"

    “niulize"

    ”hivi kwanini hukwenda hospitali kuwaangalia kina Snop haliyakuwa sisi wenzako wote tumeenda ukizingatia wewe ndiyo rafiki yao kipenzi?"

    “nilikuwa rafiki yao ila kwasasa sio marafiki zangu tena. Tukija katika Swala la kwenda kuwaona kwanza Mimi si Daktari kusema nikienda pale ndiyo watapona"

    “sio hivyo Ducha kumbuka wale ni marafiki zako hata kama wamekukosea vipi! Japokuwa sisi sote tumeenda lakini muda wote Sudi alikuwa anakuulizia wewe tu! Kuonyesha ni jinsi gani wanakuthamini na kukupenda nawe waonyeshe upendo japo wakinafki"

    Ally alizungumza kwa hisia sana kumwambia Ducha

    “usilie basi inatosha leo nikitoka shule nitaenda moja kwa moja kuwaona kwani wamelazwa chumba kimoja?"

    ”ndiyo chumba kimoja vitanda tofauti"

    Ally akajibu na kujifuta machozi muda wa kutoka shule ulipotimia Ducha akaongoza njia moja kwa moja mpaka hospitalini

    “ohoo Mungu mkubwa hatimae ndugu yetu Ducha amekuja kutuona. Snop fumbua macho umuone kichaa wetu Duchani"

    Sudi alizungumza haliyakuwa machozi yakimbumbujika

    Ducha akatoa kitambaa na kumfuta machozi

    ”Sudi kwanini unalia inamaana hukupendezwa na ujio wangu hapa?"

    ”hapana Ducha mwenzako nalia sababu ya furaha ya kukuona"

    Ducha akatabasamu akaweka kidole kwenye lipsi zake za midomo ishara ya kumtaka Sudi anyamaze kuna kitu chenye kung'aa kilitoka mdomoni mwa Ducha na kwenda kumuingia Sudi machoni mara usingizi mzito ukampitia milango na madirisha ya vioo vikajifunga

    Ducha akamsogelea Snop aliyekuwa kawekewa mashine ya kumsaidia kupumua akaichomoa na kumuwekea mkono kichwani kuna vitu alivifanya kwa sekunde kadhaa akaenda kumshika Sudi akafanya kama alivyofanya kwa Snop dakika kadhaa akatoka nnje na kuondoka zake

    *******

    Hapa tunamuona bibie Mwanaidi akiwa kajilaza kitandani ile kihasara hasara huku simu mkononi alikuwa kaitumbulia macho Displai ambapo alikuwa akichati na Mwanaume kwa video call kupitia WhatsApp

    “ohooooo,,,,babii,,jamaniii,,basii,,nione,,mbo**

    Yako jamani nna nyege,"

    Jamaa yule akavua boxer

    “whaoo babiii una mguu wa mtoto jamanii nichomekee niukatikie,,,ahaaa,,'

    “nyonyaa,,babiii,,,ahaaa,,ipikiche,,kwenye maziwa,huku unainyonya,,,ahaaaa,,ossssss,,

    Hakika ulikuwa ni mzuka wa nyeto nyetoni Jamaa alionekana kulichezea Dudu lake huku Mwanaidi akikipikicha kisimi chake na kujitia vidole mara ajinyonye na kujiramba matiti

    Mighuno na sauti za kimahaba ndizo zilizosikika utasema wapo pamoja

    Tuachane na wazee wa nyeto turudi kwa Ducha kwa wakati huo alishapanda Daladala na kukaa kwenye siti

    “oyaa wee wakusoma simama hapo ili mtu mzima akae"

    Mmoja kati ya wapiga debe akapaza sauti kumtaka Ducha apishe siti

    “wee wakusoma"

    “unaongea na Mimi au?"

    Ducha akauliza swali ambalo liliwafanya watu wote waliopo ndani ya Gari wacheke

    “ndiyo naongea na wewe"

    “kama unaongea na Mimi basi hapa sisimami kwanza mi mwenyewe mtu mzima pia sio kipande"

    “wee dogo unasemaje?"

    “kama ulivyosikia kwani wee unasemaje?"

    Yule mpiga debe akataka kupanda ndani ya Gari ili akamfundishe adabu Ducha sema akasita kupanda baada kumuona Mwanajeshi akiingia ndani ya gari Ducha ndiyo akapata mbichwa huo na kuanza kumkoromea yule mpiga Debe

    ”njoo Sasa unipige hilooo umeniogopa na una bahati huyu Mwanajeshi kanizuia vinginevyo ningekushukia huko huko chini nikukate mitama mpaka uache kuvuta bangi. Muone kwanza minywele kama kichaka cha komborela

    Mdomo unanuka mpaka nnzi wanaopenda harufu mbaya wanakukimbia"

    Ducha aliongea sana

    mpaka mpiga Debe mwenyewe akawa anacheka tu!

    Gari ikaondoka pale kituoni wakawasili Chamazi Magengeni Ducha akashuka

    Aliposhuka tu mara akamuona yule Mtu ambaye wiki kadhaa zilizopita alionyeshwa nakina Sudi kuwa anaitwa mpaka Ducha akakimbia lakini safari hii alimfata na kwenda kumsimamia mbele yake

    “hivi wewe hunaga kazi ya kufanya?"

    “ninazo nyingi sana"

    “sasa kama unazo kitu gani kinakufanya unifatirie? Unataka kufa?"

    “hapana sihitaji kufa pia tambua siku zote mjumbe hauwawi Mimi Kwako nikama mjumbe tu!"

    “ohoo kumbe mjumbe wa nyumba kumi au?"

    “huu sio muda wakujibu maswali yako ila tambuwa

    Unaandaliwa kwaajili ya kuuwawa"

    “ninii?"

    “Ducha wewe ni mtoto wa haramu huna budi kufa"

    “unazungumza kitu gani wewe mbona kama sikuelewi"

    “familia nzima ya Mzee Duchani wamekaa kwa pamoja na kujadiri juu ya hili swala kuwa utapofikisha umri wa miaka kumi ndiyo utakuwa ni mwisho wako wa kuwepo hapa ulimwenguni hivi niongeavyo nawe Baba yako kashaanza kuitumikia adhabu yake kuzimu

    Kwa maana kautia aibu ukoo mzima wa Duchani kwa kosa la kuzaa na binadamu pasipo ndoa. Nao hawahitaji kuwa na mtoto wa haramu"

    Yule jamaa alizungumza hivyo Kisha akatoweka hakika Ducha alibaki njia panda kwanza akatafuta sehemu na kukaa

    “nikifisha miaka kumi nauwawa

    Mimi ni mtoto wa haramu inamaana sina haki ya kuwepo hapa Duniani?

    “haki unayo tena kubwa Sana hakuna mtoto anaezaliwa nnje ya ndoa kwa kupenda ni Nyege za wazazi ndizo zinasababisha yote haya

    Siku zote kwa Mungu hakuna kubwa

    Simama nikupeleke nyumbani"

    Ducha alishtuliwa na sauti ya mwalimu wake akizungumza hivyo akanyoosha mkono akanyanyuliwa hao wakaondoka

    “lakini mwalimu ukoo wa Mzee Duchani ni wenye nguvu Sana kupita koo zote za kijini"

    “khakhakha Ducha mimi ndiyo niliyekufanya uweze kujitambua mapema kuwa wewe ni nani? Na una uwezo gani japokuwa wao hawakutaka iwe hivyo je wao wanaifahamu nguvu ya Chinogae?"

    Ducha akashtuka kuskia neno Chinogae





    ------------------

    Ducha alishtuliwa na sauti ya mwalimu wake akizungumza hivyo akanyoosha mkono akanyanyuliwa hao wakaondoka

    “lakini mwalimu ukoo wa Mzee Duchani ni wenye nguvu Sana kupita koo zote za kijini"

    “khakhakha Ducha mimi ndiyo niliyekufanya uweze kujitambua mapema kuwa wewe ni nani? Na una uwezo gani japokuwa wao hawakutaka iwe hivyo je wao wanaifahamu nguvu ya Chinogae?"

    Ducha akashtuka kuskia neno Chinogae

    Je nini kitaendelea?"

    Haya kashkashi zinataka kuanza Mwalimu wa Ducha kamtaja Chinogae ni yeye au katumwa tu na huyo Chinogae mi na wewe hatujui



    Songa nayo

    Sasa



    “mwalimu unamaanisha nini kumtaja Chinogae inamaana wewe ndiyo Chinoge yule shujaa niliyewahi kumsoma kwenye kitabu cha Mashujaa"

    ”hapana sio mimi"

    “kama sio wewe je wewe unaitwa nani!"

    “naitwa Hadar"

    ”opsii nilidhani wewe ndiyo Chinoge maana nilivyomsoma kwenye kitabu hakika anatisha mno"

    Basi Hadar akuzungumza kitu mpaka wanawasili nnje ya geti la nyumba kubwa ya Bibie Fetty akaagana na Ducha

    “whaoo baba huyo hatimae karudi kutoka kutafuta"

    Fetty alimkaribisha Ducha kwa furaha akatanua mikono na kumkumbatia kitendo ambacho kilimuuzi na kumkasirisha Sana yule binti aitwae Samiya

    Alimuangalia Ducha kwa jicho kali

    Ducha aliweza kutambua hilo naye kwa makusudi ndiyo kwanza akajikumbata mwilini mwa bibie

    Wiki moja baadae Ducha alishaweza kufahamika kuanzia Chamazi Kisewe mpaka Mbande hii yote sababu ya utukutu wake Makondakta na Madereva walimfahamu vyema kuwa ni mmoja kati ya watoto wabishi kupita kiasi

    Siku moja Samiya alikuwa nnje akiendeesha Baiskeri wakati anaendelea kuendeesha mara ghafla kuna Gari aina ya Noah nyeusi ilikuja kwa kasi na kupaki mbele yake Ikashuka mipandikizi ya mibaba na kumbeba himahima wakampakiza kwenye gari na kutokomea naye Gizani japokua alipiga kelele ambazo zilimshtua Fetty aliyekuwa kajipumzisha pembezoni mwa Swimming pool akijisomea kitabu

    “Baraka wee Baraka"

    “naamu maadam"

    “embu nenda nnje huko kamuangalie Samiya kitu gani kimemkuta maana nimemsikia kama kapiga kelele!"

    Fetty alizungumza hivyo haliyakuwa na yeye akielekea getini

    Mlango wa Geti ulikuwa umesindikwa walipotoka nnje walishangaa kuiona Baiskeri ya Samiya ikiwa imelazwa chini wakati Samiya mwenyewe hayupo

    “wee Samiya Samiyaa"

    Fetty akapaza sauti kumwita mdogo wake walizunguka huku na kule kumtafuta lakini hawakuweza kumuona

    Fetty alichanganyikiwa kupita kiasi akaitoa simu yake na kumpigia sijui nani

    ”Assalamu Alaykum yaa Abii"

    “Waaleykum Ssalamu yaa Ibnaiya"

    “baba Samiya amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha"

    “Fatma mwanangu"

    “abee baba"

    “wala usiwe na shaka juu ya hilo swala"

    “khaa kwanini baba?"

    “huu sio muda wa kuniuliza maswali ambayo tayari wee mwenyewe una majibu yake tulia Binti yangu"

    ”inamanaa Bamdogo Ismail ndiyo atakuwa kakamirisha adhma yake ya kumteka Samiya kama alivyokula kiapo kipindi kile?"

    “bila shaka umeshapata jibu ndiyo maana nikataka utulie wala usiende kutoa taarifa za kupotea kwake kituo chochote cha polisi

    Ukifanya hivyo tutamkosa"

    ”sawa baba nimekuelewa"

    Simu ikakatwa Fetty akamtaka Baraka aingize ile Baiskeri ndani

    Upande mwingine tunamuona jamaa fulani akiwa amekaa na mzee mmoja wa makamo akizungumza naye jambo

    “kiukweli mzee wangu ndani ya ndoa yangu Kuna matatizo makubwa Yani mpaka inafikia muda natamani hata kujiuwa"

    “Astaqhafirullah Shabani wewe embu kwanza mlaani sheitwani imekuwaje tena mpaka unataka kufikia hatua hiyo?"

    “sijui hata nianzie wapi nimalizie wapi?"

    “anzia popote tu!"

    “nakumbuka ilikuwa ni tarehe 13/5/2007

    Nilijiandaa kwajili ya kwenda kuoga nikaingia Bafuni na kuanza kujimwagia maji ukafika wakati wa kujipaka sabuni nikajipaka mwili mzima

    Tatizo likanzia pale nilipoupaka uume wangu nikawa nausugua kama vile natoa taka

    Kadri nilivyokuwa nausugua nikawa nahisi raha za ajabu yani kama vile nimeingiza kwenye uchi wa Mwanamke nikapiga magoti kabisa nikaongeza kasi ya kuusugua Pasipo najiingiza kwenye kitanzi cha Nyeto Nyetoni muda kidogo nilijikuta nikimwaga manii kwa wingi sana tena ziliruka kama vile bomu la nyuklia.

    Tokea siku hiyo nikawa nanyetuka

    Nilianza kuwachukia wanawake kwani niliwaona si chochote kitu mbele ya Punyeto

    Niliwaona wapumbavu na wajinga wale wote waliokuwa wakielezea madhara ya punyeto chama cha

    Chaputa kikaniteka nikawa mtumwa nisiejitambua japokuwa kuna wanawake niliwatongoza kila aliyenikubari nilifanya naye nae mapenzi tena nilipiga zile show za kibabe nikawa nasifiwa kuwa nawafikisha kule watakapo,

    Mwanaume nilivimba bichwa nikazidisha kiwango cha kupiga Nyeto nikidhani ya kwamba ndiyo inayoniongezea nguvu za kuwasugua watoto Wakike

    Ukafika muda wa mimi kuhitaji kuoa maana nilihitaji kuwa na familia

    Mungu akajaalia nikaweza kufunga ndoa na Bi Sada

    Mwanzoni mwa ndoa yetu nilikuwa namkuna vyema mpaka yeye mwenyewe anaomba poo

    Ajabu siku moja tukiwa kwenye maandalizi Uume wangu uligoma kusimama nilijishangaa sana nikahisi labda nimerogwa. Mke wangu akatumia ujuzi wake wote aliofundwa unyagoni kunisisimua lakini wapi. Ndiyo kwanza kitu kilikuwa kimelala doro kwa kunywea na kurudi ndani ulikuwa mdogo pasipo kawaida

    Basi tukalala hivyo hivyo pasipo kufanya chochote kesho yake nilidamkia kwa mchepuko wangu Zawadi huko napo haikusimama

    Sikuweza kufahamu tatizo nikitu gani imani za kishirikina ndizo zilizotawala akilini mwangu.

    Siku baada ya siku mwili wangu ulianza kubadirika nikifanya kazi kidogo tu nahema kama vile Mbwa koko aliyetoka kukimbizwa nikawa ni mtu wa kusinzia sinzia kila wakati hasa nikipanda Daladala

    Miguu nayo ikawa inakosa balansi

    Licha ya yote hayo sikuacha kupiga Nyeto nikiangalia video za ngono uume wangu unasimama ngangari lakini mke wangu hata avue nguo hapo na kunipanulia mi hata sishtuki,,,

    “Astaqhafirullah Astaqhafirullah Astaqhafirullah hakika inasikitisha Sana tena Sana Shabani je unafahamu mpaka umeuwa mamilioni ya watoto pasipo wewe mwenyewe kujifahamu mpiga Nyeto hana tofauti na Mwanamke aliyetoa mimba wote ni wauwaji tu!

    Vijana wengi wanajiingiza katika vitendo hivi vya Kishetani pasipo kuwa na maarifa ya Akili

    Leo hii unatamani wa video kuliko yule harisia kweli?"

    “mi hata sijui mzee wangu mke wangu ananitusi na kunidharau akidai ameolewa na Mwanamke mwenzie kuna siku nilijilazimisha kumuingilia hata dakika moja haijafika nikakojoa tena vimkojo vyenyewe kidogo vyepesi

    Nadharirika mimi hiiiiii,,,haaaaaaaaa"

    “basi usilie Shabani nakuomba kitu kimoja leo utaporudi nyumbani kwako usiku wa manane amka tia udhu Kisha usali walau rakaa mbili

    Baada ya hapo piga goti chini Ongea na Mola wako umuombe msamaha lia kwa kujutia kesho nenda kanunue

    (UNGA WA HABAT SAUFA

    UNGA WA HABAT SAUDA

    UNGA WA KITUNGUU SAUMU

    UNGA WA BDALASINI YA INDIA

    WHITE VINEGER ROBO LITA

    ASALI MBICHI IWE YA NYUKI WAKUBWA AU WADOGO ZOTE NI SAWA)

    Ukishapata hivyo vitu changanya kwanza vya unga halafu mimina Asali koroga mpaka ichanganyike kisha Vinegar kiasi dawa isiwe nzito wala nyepesi Baada ya hapo utakuwa unakula

    Asubuhi vijiko viwili na jioni viwili

    Hii dawa itakufanya uwe na Sperm nyingi sana

    Itakufanya uwe imara kwenye tendo kama vile Simba dume"

    “ohoo nashkuru hakika sijakosea kuja kwako lakini ningeomba uniandalie wewe ili kesho niifate"

    “kiukweli kwasasa Sina mda labda nikupe namba ya huyu kijana ambaye ndiyo aliyenipatia huu Muongozo wa Dawa japokuwa mimi tatizo langu sio sababu ya Punyeto ni kutokana na utuuzima wangu huu kuandamwa na maradhi nyemelezi kama Presha kisukari na mengineyo ndipo akanielekeza hii Dawa ni hatari sana yani Sasa hivi Bibi yako anajipepea na feni

    Nampa mitwango ya maana"

    ”hahahahaha wacha wee embu nipatie basi namba yake"

    ”ni 0673934999 uandae kama elfu ishilini na tano"

    ”ahaa hiyo mbona haina shida hata ingekuwa milioni muhimu haliyangu irudi niwe mzima kama zamani"

    Basi Shabani akaagana na yule mzee akaondoka pale haliyakuwa kafarijika kwa kiasi chake

    *******

    Oyaa nyie kenge nasema wote kimya"

    Snop alipaza sauti kuwataka wanafunzi wenzake wote wakae kimya maana Darasani kulikuwa na kelele si mchezo ajabu hakuna hata mmoja aliyetaka kutii amri yake ndiyo kwanza kelele zikazidi. Akapanda juu ya Dawati

    ”nyie Mbwa hamsikii nimesema nyamazeni"

    Hapo kidogo wakanyamaza kasoro mwanafunzi mmoja tu ambaye ni Ally yeye hakutaka kunyamaza

    “bilinge bayoyo bilingee bayoyoo tunamuomba Dada Snop tumuone malingo yake bingiri bingiri mpaka chini,"

    “wee fala nani Dada? Ntakuzibua ujuwe ohoo"

    “umzibuwe nani wee kiande"

    ”ohoo naona umeshaanza kuota mapembe ehee ile sikuile Sudi alivyokupiga hukutosheka si ndiyo ehee?"

    “Sudi alinipiga au aliniotea mwambie ajaribu tena aone nitawatandika wote"

    ”hii ndiyo shida ya watoto wadogo kuwavutisha bangi mapema Ducha si unamuona Ally ananipandishia kibesi?"

    ”sasa unamwambie Ducha ndiyo polisi au babaako wee kama unajiamini twende nnje tukaonyeshane umwamba"

    Snop akavua Shati na kubaki tumbo wazi Ally naye akafanya hivyo hao wakaongozana kutoka nnje kufika mlangoni wanakutana na mwalimu wa hisabati aitwae Mwalimu Kimbindu

    “haya haya nyie Panya mnaenda wapi mkiwa vifua wazi?"

    “tunaenda nnje kupungo upepo maana darasani kuna joto kama nini"

    Ally akajibu

    ”inamaana wenzeenu woote hawaoni joto nyie tu! Ndiyo mnaona ehee haya rudini Darasani"

    Wakafanya haraka kurudi Darasani

    Muda wa mapumziko ulipofika wakataftana na kupelekana uwanja wa mpira

    Snop akakunja ngumi na kujiweka tayari tayari kupigana

    Ally akarusha teke ambalo lilitua usoni mwa Snop

    Akadondoka chini akajiinua huku akiwa amefura kwa hasira akarusha na yeye teke lilimpaka Ally tumboni

    ”nyie nyie Mwalimu yulee anakuja"

    Kuskia neno mwalimu Kasian ikabidi waachiane kila mmoja akakimbia kimpango wake

    Muda wa kutoka ulipofika wala hawakuzinguana sijui walijisahau au vipi

    Ducha alirejea nyumbani anapoishi Chamazi kufika pale Getini akasimama akakaza macho yake kuangalia sehemu ambayo Samiya alikamatwa aliweza kujionea kila kitu japokuwa tukio lilitokea masaa kadhaa yaliyopita nyuma

    ”nimefunzwa kutokulipa ubaya kwa mabaya Samiya nafahamu kuwa unanichukia kwa sababu Mimi ni mtu mweusi

    Unaniona kama vile nyani huku wewe Ukijiona Bora sababu ya weupe wako

    Wacha nikusaidie nikiamini siku moja utajifunza"

    Ducha alizungumza hivyo akataka kutoweka ila akasita baada kushituliwa na sauti ya Mwalimu wake ambaye ni Hadar

    “Ducha wapi tena unataka kwenda?"

    “naenda kumsaidia Samiya"

    “si kazi yako kijana"

    ”kama si kazi yangu kumbe ya nani?"

    “Ducha tambua kitu kimoja kuwa wewe bado hujakoma mpaka kufikia hatua ya kujibebesha majukumu mazito kama haya"

    ”khaa mazito kivipi mwalimu mi si naenda kupambana na Binadamu"

    ”hapana aliyemteka huyu binti anaulizi mkubwa wa Majini kama vile alivyokuwa Nabii Suleiman acha mi niende nikakuletee huyo Samiya"

    Hadar alizungumza hivyo kisha akatoweka

    Ducha akabinya kengere ya Getini muda kidogo mlango ukafunguliwa akaingia ndani

    Bwana mkubwa Hadar alisafiri kama vile upepo ndani ya Dakika chache alishawasili sehemu ambayo Samiya alikuwa kahifadhiwa

    Akawa anapiga mahesabu wapi pa kuingilia

    “Hadar"

    Akiwa kwenye kupiga mahesabu akashtuliwa na sauti ikimwita

    ”khaa inamaana umeshatoka Gerezani si ulikuwa umefungwa wew, oghooooo,,,gruuuuuu"

    Hadar wala hakumalizia kuzungumza zaidi ya kuunguruma kama vile radi baada kupigwa na kitu chenye ncha kali kilichopenya sehemu ya moyo wake

    Akajishika ile sehemu ikaanza kujifunga

    “Duchani unanipiga mimi unataka kuniuwa sio ujui kama Mimi ndiyo namlinda na kumtetea kijana wako!"

    Hadar alizungumza hivyo huku akimsogelea Duchani hata hakumfikia kuna kamba nyembamba ilikuja kwa nyuma na kupita kichwani mwa Hadar ikakaza shingoni

    Akawa anavutwa kwa nyuma alijitahidi kuitoa lakini Wapi

    Ile kamba ikawa inaikwangua shingo yake Hadar alipiga kelele za maumivu yaliyoambatana na hasira

    Wakati anashuurika kuitoa kamba ile

    Duchani akaitumia nafasi hiyo kumtupia zile silaha.

    Hadar akapiga goti

    Chini

    “mnaniuwa mimi ohoo"

    Akapasuka vipande vipande

    Huo ndiyo ukawa mwisho wa maisha yake ndiyo maana alimtaka Ducha asiende akifahamu ni sehemu hatari sana yeye alienda kama kujitoa muhanga





    ------------------

    Hadar alizungumza hivyo huku akimsogelea Duchani hata hakumfikia kuna kamba nyembamba ilikuja kwa nyuma na kupita kichwani mwa Hadar ikakaza shingoni

    Akawa anavutwa kwa nyuma alijitahidi kuitoa lakini Wapi

    Ile kamba ikawa inaikwangua shingo yake Hadar alipiga kelele za maumivu yaliyoambatana na hasira

    Wakati anashuurika kuitoa kamba ile

    Duchani akaitumia nafasi hiyo kumtupia zile silaha.

    Hadar akapiga goti

    Chini

    “mnaniuwa mimi ohoo"

    Akapasuka vipande vipande

    Huo ndiyo ukawa mwisho wa maisha yake ndiyo maana alimtaka Ducha asiende akifahamu ni sehemu hatari sana yeye alienda kama kujitoa muhanga



    Songa nayo

    Sasa



    “hatimae tumeweza kumalizana na huyu Kidudu mtu aliyekuwa akijitia kimbelembele Sasa kilichobakia mbele yetu ni kumvutia pumzi yule Mwanaharamu"

    Alizungumza hivyo mmoja kati ya viumbe aliyeshirikiana na Duchani kumuangamiza Hadar

    “nenda Hadar nenda wasalimie huko uwendako

    Kama utafanikiwa kukutana na Ninja Ice mwambie Dunia kwasasa si salama tena. Imejaa mambo ya kishenzi na uzandiki

    Usisahau kumueleza ametuacha haliyakuwa tukiwa wanyonge, tunanyanyisika tumekuwa wapole juu ya tawala zingine.

    Hadar ulituahidi ya kwamba utatulinda na kututetea, nasi tulikuamini na ndiyo maana tukakupa jukumu la kwenda kuwa karibu na yule Mtoto ambaye uzao wake nikama Ninja Ice. Japokuwa tulifahamu Ducha si ukoo wetu

    Nawe ukakubari

    Hadar mjukuu wangu pumzika kwa amani"

    Bibi yake Ninja Ice alizungumza kwa hisia sana wakati huo mwili wa Hadar ulikuwa umelazwa juu kwa kuzungushiwa kuni,

    “mamaa"

    ”abee mwanangu"

    “nini sasa hiki? Mara ngapi mama nilikueleza kuwa Hadar hatakiwi kuwa kwenye ishu kama hizi nikakutaka umuonye na umkanye aache kujihusisha kabisa nakile kitoto

    Ambacho si damu yetu ile, lakini hukutaka kunisikiliza matokeo yake leo hii tumempoteza kijana wetu kwa jambo la kipumbavu kama hili"

    “Ibnuwas embu kaa kimya

    Hivi unaijua thamani ya yule Mtoto? Yule ndiyo Ninja Ice kwa maana yule wetu hawezi kurejea tena, umesahau uzawa wake Hafidhi j Ikram si alikuwa nusu mtu nusu jini mwanzoni hakuwa anajitambua kuwa yeye ni nani?

    Mpaka pale tulipomchukuwa na kuanza kumfundisha ndipo akaja kuwa Kiumbe hatari asieshikika. Na ndivyo tunavyotaka kufanya kwa Ducha yeye ndiyo kimbilio letu na yeye ndiyo tegemeo letu"

    Bibi mtu alizungumza hivyo kumwambia Ibnuwas

    “lakini mama huoni kama

    Ducha Duchani atakuja kutugeuka?"

    ”hatoweza kufanya hivyo kamwe kwa maana Ducha atakuwa adui mkubwa wa familia yake na koo zinginezo atatupenda sisi na kututetea ndiyo maana alishaanza kumpenda na kumuheshimu Hadar sipati picha kama atakuja kutambua kuwa mwalimu wake kauwawa tena aliyemuua ni Baba yake sijui itakuwaje"

    “na vipi kuhusu Chinoge?"

    “mmh huyo mtu hata tusimtegemee nakumbuka nilimfata zaidi ya mara nne kumuelezea matatizo tuliyokuwa nayo

    Akadai ya kwamba kwa sasa yeye hana kipawa chochote kile chakuweza kupambana na viumbe hatari"

    ”khaa imekuwaje tena mpaka ikawa hivyo"

    “Ibnuwas kumbuka yule amezaliwa akiwa binadamu kamili ni tofauti na Ninja Ice au huyu Ducha

    Kipawa alichokuwa nacho na kumfanya awe kiumbe hatari ni baada ya kunywa maji ambayo ndani yake yalikuwa na ushetani

    Sasa ule ushetani kajivua kwasasa kawa ni mtu wa kawaida tu!

    Anaishi huko Kibaha Mikongeni"

    “sasa kwanini kafanya hivyo wakati alikuwa na uwezo mkubwa mpaka wa kushindana na Ninja Ice na akamshinda"

    ”ni upendo tu aliokuwa nao juu ya kaka yake unajua kifo cha Ninja Ice hakuna mtu aliyeathirika kisaikorojia kama. Chinoge na ndiyo maana alikaa pale kwenye mlango wa Ulimwengu wa roho takribani miaka minne akisubilia mlango ufunguke ili aingie kwenda kumtoa Ninja Ice kitu ambacho hakikuwezekana kamwe ndipo akaamua kurejea Duniani huku akiuvua ule ushetani na kuuwacha huku huku kuzimu ushetani ambao ulizunguka huku na kule kumtafuta mtu wa kumvaa sijui hata ulipotelea wapi?"

    Mtu na Mama yake waliendelea kuzungumza pale

    *********

    Ni miaka takribani mitano imepita tokea kisanga kile cha KIPAPATIO CHA NANI? Kifikie tamati kwa mara nyingine tena tunamuona bwana mkubwa Chinoge akiwa shambani akipalipilia mahindi kijasho kilikuwa kinamvuja maana lilikuwa ni Jua la utosi pembeni kulikuwa na kidumu cha maji

    “hivi ndivyo ulivyoamua kufanya sio?"

    Wakati anaendelea kupalilia akashtuliwa na sauti ambayo haikuwa ngeni masikioni mwake akageuka huku na kule kumuangalia huyo mtu lakini hakuweza kumuona akahisi labda ni hisia zake tu!

    Akaendelea na kazi zake muda kidogo akaweka jembe begani akabeba nakile kidumu huyo akarejea nyumbani

    “mmh mara hii umeshamaliza?"

    ”ndiyo Bibi"

    ”hakika mjukuu wangu Hafidhi wewe ni Mwanaume wa shoka sasa fanya ule halafu upumzike baadae upeleke vile viazi kwa Mathias"

    “sawa bibi haina shida vipi bi Fatuma naye kaenda wapi?"

    “huyo naye utamuweza na mitumbaku yake yani

    kaamka Alfajir kafata Tumbaku Kibaha kwa Mfipa"

    “duuh kaenda kwa miguu"

    ”ndiyo"

    “yani kutoka huku Mikongeni mpaka kwa Kibaha kwa Mathias shukhuri nzito ajabu yeye anaunganisha mpaka kwa Mfipa na vile mguuni ana Donda sugu

    ”yani Bibi yako anajari Tumbaku kuliko kitu kingine chochote yani yuko radhi asile siku nzima ili mradi tu apate tumbaku"

    “bila shaka kashakuwa teja ehee?"

    ”mmh teja ndiyo kitu gani?"

    ”kama hujui basi acha kwanza nikajipumzishe maana hapa nilipo nimechoka hatari"

    Chinoge alizungumza hivyo akangia ndani

    Nyumba yao ilikuwa ni ya Udongo juu imeezekwa kwa nyasi

    **********

    ”vipi tena mdogo wangu mbona hutulii sehemu moja?"

    Fetty alimuuliza Ducha aliyekuwa anatembea tembea pale kwenye korido Yani mara aende huku mara arudi

    Yani ilikuwa kama vile mbili haikai moja haisimami

    ”ahaa hamna kitu Sister mi najifanyia tu mazoezi ya kutembea"

    Ducha akajibu hivyo

    ”si uwende chumba cha mazoezi kuna vifaa kibao kule"

    ”hapana haya mazoezi hayahitaji vifaa au kama vipi subiri nikatembee tembee huko nnje"

    Ducha alizungumza hivyo akashuka chini na kutoka nnje kabisa ya Geti alipotoka nnje tu! Akapotea

    Alisafiri kwa kasi akaja kuibukia sehemu ambayo siku zote anakutana na mwalimu wake kufika pale aliangaza macho yake kuangalia kila pembe ya eneo lile

    ”mwalimu, uko wapi wewe?"

    “nipo hapa Ducha umekuja kufanya nini huku?"

    Ajabu hapa tunamuona Hadar akiwa mzima kihafya

    “mwalimu ni wewe?"

    “ndiyo ni Mimi kwani kuna Hadar mwingine zaidi yangu mpaka unauliza hivyo?"

    “hapana hakuna mwingine ila ninayemfahamu Mimi mbona ameshafariki"

    Yule kiumbe ambaye ni Hadar alishtuka kuskia vile

    ”khaa Ducha embu acha Utani mimi

    Mbona mzima unamzungumzia Hadar yupi aliyepoteza maisha?"

    ”ni mwalimu wangu"

    Ducha akajibu hivyo yule Kiumbe akanyoosha mkono na kumtaka Ducha amshike

    Ducha naye pasipo kufahamu lengo la kiumbe huyo aliyejivika taswila ya Mwalimu wake akafanya kumshika alipomshika tu akajikuta akiondolewa uwezo wote wa kijini.

    Ducha alipiga kelele za kuomba msaada huku akijaribu kujinasua mikononi mwa kiumbe huyo

    Aliyekaza macho kumuangalia Ducha uwezo ulikuwa ukiondolewa kwa macho tu kuna vitu vilikuwa vinatoka mwilini mwa Ducha na kuingia kwa yule Kiumbe

    Dakika si nyingi Ducha akajikuta akinyong'onyea na kupoteza fahamu

    Alikuja kurejewa na fahamu zake na kujikuta akiwa kitandani alikaa pale kitandani akiwaza na kuwazua

    ”inamaana kilichonitokea ni ndoto au vipi?"

    Ducha alijiuliza hivyo akiwa amekaa kitako pale kitandani





    ------------------

    Ducha naye pasipo kufahamu lengo la kiumbe huyo aliyejivika taswila ya Mwalimu wake akafanya kumshika alipomshika tu akajikuta akiondolewa uwezo wote wa kijini.

    Ducha alipiga kelele za kuomba msaada huku akijaribu kujinasua mikononi mwa kiumbe huyo

    Aliyekaza macho kumuangalia Ducha uwezo ulikuwa ukiondolewa kwa macho tu kuna vitu vilikuwa vinatoka mwilini mwa Ducha na kuingia kwa yule Kiumbe

    Dakika si nyingi Ducha akajikuta akinyong'onyea na kupoteza fahamu

    Alikuja kurejewa na fahamu zake na kujikuta akiwa kitandani alikaa pale kitandani akiwaza na kuwazua

    ”inamaana kilichonitokea ni ndoto au vipi?"

    Ducha alijiuliza hivyo akiwa amekaa kitako pale kitandani



    Songa nayo

    Sasa



    Ducha alikaa pale kitandani kwa muda kidogo akiitafakari ile ndoto kama ina ukweli wowote ndani yake akajichunguza mwilini na kujiona yuko sawa bin sawia,

    Mara akasikia mlango wa chumba chake ukigongwa ikimaanisha Kuna mtu anabisha hodi akajinyanyua kiuvivu pasipo kuuliza kuwa anaebisha hodi ni nani akaufungua mlango

    “yani wee mtoto muda wote huo mi nabisha hodi wee umenikalia kimya hivi unafikilia hii nyumba ya baba yako ehee? Kumbuka umeletwa hapa kama mtoto yatima tu!"

    Alizungumza kwa pupa yule binti ambaye ni Mfanyakazi za ndani

    “umemaliza kuropoka?"

    Ducha akauliza swali

    Ajabu yule binti akanyanyua mkono wake na kumpiga Ducha kibao cha shavuni kwa mara ya kwanza Ducha aliyasikia maumivu ya kupigwa

    ”yani unaniuliza maswala ya kijinga jinga mimi

    Pumbavu zako embu pisha huko"

    Yule binti alizungumza kwa ghadhabu akamsumiza Ducha kwa kumpushi akaingia mpaka chumbani akakusanya baadhi ya nguo huyo akatoka zake nnje Ducha akaenda kukaa sebreni haliyakuwa akiwa mnyonge isivyo kawaida

    Akajipweteka sofani na kuchukuwa Rimont akawasha tv

    ”halafu wewe ndiyo unaetumalizia umeme humu ndani kila muda kuangalia tv tu shenzi zako"

    Yule Binti alikuja mbio Sebreni huku akizungumza hivyo akachukuwa rimont na kuzima tv

    Akamshika mkono Ducha na kumtaka akafue nguo na kuosha vyombo kwa wakati huo Fetty na yule mzee hawakuwepo

    Nyumba nzima alibaki House girl na Ducha pamoja na mlinzi aitwae Baraka

    Kule kumshika mkono akawa anamfinyafinya

    Akamkokota mpaka nnje ya nyumba na kumsukumizia kwenye vyombo vichafu

    ”osha kwanza hivyo vyombo vyote ukimaliza hapo utaenda kufua zile nguo pale"

    “vyombo sioshi na kufua sifui"

    Ducha akajibu kibabe ghafla alianza kupigwa makofi akajaribu kuvimba ili apambane nae lakini wapi!

    Ducha alijikuta akipigwa kama mtoto kwa mzazi wake

    “utaosha vyombo au huoshi?"

    “nitaosha basi nisamehe sirudii tena kukujeulia"

    Ducha alilia kutokana na kipigo kile kwa mara ya kwanza Ducha Duchani alidondosha chozi mpaka yeye mwenyewe alijishangaa kwanini imekuwa hivyo

    Akashika kosheo na sabuni alianza kuosha vyombo

    Baadae alifua japokuwa kulikuwa na mashine za kufulia lakini yule binti alimtaka afue kwa mikono

    Ducha aliweza kufanya yote majira ya Saa nane mchana Fetty alirejea na kumkuta Ducha akiwa kalala

    “Ducha mdogo wangu vipi mbona umelala mpaka saa hizi unaumwa au?"

    Fetty alimuuliza Ducha hivyo haliyakuwa akimgusagusa kichwani na shingoni ili kulipima joto la mwili

    ”hapana siumwi wala nini!"

    ”sasa kama huumwi mbona umelala mpaka saa hizi?"

    “kwani kulala mpaka mida hii ni zambi au? Mbona nyumbani kwetu sikuwa na mipaka ya kulala"

    Ducha aliuliza kwa kupaniki kitu ambacho kilimshangaza Sana Fetty

    ”ohoo basi mdogo wangu yaishe mi nilikuwa nakuuliza tu maana sio kawaida yako tokea ufike hapa

    Nisamehe mimi my brother"

    Fetty alizungumza kwa sauti ya upole

    ”usijari"

    “asante Sana kaka yangu halafu leo nimekuletea zawadi nzuuri nikama Sampraizi kwako embu twende ukaione"

    Fetty alizungumza kwa furaha akamshika mkono Ducha kama kumsaidia kunyanyuka

    “khaa umefanyaje? Kitu gani kimekutokea mdogo wangu mbona uko hivi?

    Nani kakuumiza? Nijibu sasa"

    Fetty alishtuka baada kumuona Ducha akiwa na kidonda mguuni kidonda ambacho kilimfanya Ducha ashindwe kusimama vyema

    “nimeumia tu kutokana na michezo yangu ya kurukaruka huko nnje Wala usiwe na Shaka"

    Ducha akajibu hivyo haliyakuwa tunafahamu alipigwa na yule binti

    “wee Sakina"

    “abee Dada"

    “embu njoo huku haraka Sana"

    Fetty alipaza sauti kumwita yule binti kumbe anaitwa Sakina

    “kitu gani kimemtokea mtoto?"

    Alipofika tu akapokelewa na swali liloambatana na kofi la shavuni mpaka akawa anaona mawenge wenge

    “nakuuliza kwa mara ya mwisho kitu gani kimemtokea Ducha?"

    “mi sijui"

    “ujui ehee yani mtoto anatoka nnje huko mpaka anaumia nyie mpo tu mmekaa tu humu ndani hamjui kama mmeachiwa mtoto? Embu nenda kamwite Baraka huko"

    Sakina akatoka nnje akiwa juu gorofani akapaza sauti kumwita Baraka aliyekuwa amekaa ndani ya kijumba chake cha ulinzi

    “nini wewee?"

    Baraka aliuliza huku akinyanyua mkono wake kumnyooshea Sakina

    ”unaitwa huku na Madame"

    Baraka akatoka mbio na kupandisha ngazi kwenda juu

    Alipofika kwa Fetty swali la kwanza alipokelewa na makofi kama mawili akajishika shavuni

    ”kitu gani kimemtokea Ducha?

    Ndipo akaulizwa swali

    “mi mi, mi hata sijui hiii kwani kafanyaje"

    Baraka alijibu kwa kubabaika hakika Fetty alikuwa amechafukwa

    “inamaana wote hamjui sio? Naomba mnifate"

    Fetty akawataka wamfate wakamfata haliyakuwa wakiwa na hali ya uwoga

    wakaingia kwenye chumba kimoja wapo hivi ndani ya chumba hicho kulikuwa na Tv kubwa za flat zipatazo mbili

    Zilizowekwa ukutani

    Walipoingia Fetty akafunga mlango hapo uwoga ndiyo ukawazidia mara dufu

    “Baraka unakikumbuka hiki chumba?"

    “ndiyo bosi"

    “je na wewe unakifahamu?"

    ”hapana Madame"

    “ok Sasa nataka muone kile ambacho kimemtokea Ducha ili siku nyingine muweze kuwa nae makini hiki ni chumba cha Kotrola yani kamera zote zinazoizunguka nyumba hii matukio yake unayapata ndani ya chumba hiki

    Baraka si unamkumbuka yule Hamisa binti ambae aliyeniwekea Sumu kwenye juisi?"

    ”ndiyo namkumbuka"

    “basi niliweza kuubaini umafia wake kupitia chumba hiki Yani kabla sijainywa ile juisi nilikuja kuitazama Kamera ya jikoni"

    Fetty akachukuwa Rimont akawasha moja kati ya tv zile kuna matukio mengi yaliweza kuonekana mpaka kutekwa kwa Samiya waliweza kuona

    Fetty akapeleka mbele kisha akaplay tukio la siku ya leo

    Ikaonekana Sakina akibisha hodi mlangoni kwa Ducha

    waliangalia kila sekunde iliyokuwa inaenda mbele Fetty mwili ulikuwa unamchemka kwa hasira

    “khaa! Sakina kumbe ni wewe ndiyo umempiga mtoto kiasi hiki?

    Amekukosea kitu gani!?"

    Baraka alimuuliza Sakina kwa mshangao

    “wee pusi nyang'au muuwaji mkubwa wewe sali sala zako za mwisho nakuuwa leo"

    Walishtuliwa na sauti ya Fetty akizungumza kwa hasira walipomuangalia

    Wakashtuka nusu haja ndogo ziwatoke Fetty alikuwa kakamatia Bastola iliyofungwa kiwambo cha kuzuia sauti

    Sakina akapiga magoti huku mikojo ikianza kumchuruzika

    Hakika kifo kisikie kwa mwenzako tu!

    “nisamehe Dada yangu"

    “shatapu! Funga bakuri lako mpumbavu mkubwa nikusamehe kitu gani? Hakuna kitu ambacho nachukia hapa duniani kama kuona watu wenye roho mbaya kama wewe.

    Hivi unaijua thamani ya yule mtoto

    Mpaka unafikia hatua ya kumwambia anamaliza umeme kwa kuangalia tv.

    Wewe unanipigia magoti Mimi wakati Mimi nampigia magoti yule

    Hakuna kitu ninachokithamini hapa Duniani kama ninavyo mthamini Ducha"

    Fetty alizidi kufoka kwa hasira kuonyesha msisitizo akafyatua risasi mbili zilizompitia Sakina pembeni

    Baraka naye alijikuta akipiga magoti huku akitetemeka

    “nisamehe Dada yangu sijafanya hivi kwa kupenda bali nilisurutishwa na Samiya"

    ”unasemaje wewe yani unataka kumsingizia mdogo wangu juu ya huu upuuzi wako?"

    “sio kama nataka kumsingizia nikweli kabisa"

    Sakina alizungumza hivyo mwishoe akataja sehemu aliyokuwa anakaa na Samiya na kupanga mipango yao

    Fetty akashika Rimont na kuiwasha ile tv nyingine

    “sikia nikwambie kitu Da Sakina kiukweli kabisa kile kingedere alichokileta Da Fetty humu ndani sikipendi kama nini"

    “kwanini humpendi wakati naye ni binadamu kama wewe"

    “wee koma usitake kunifananisha na watu weusi ambao wametokana na Nyani"

    “mmh Samiya utakiwi kusema hivyo mdogo wangu kumbuka Mungu hakukosea katika uumbaji Mbona mi nimtu mweusi pia japokuwa nataka nijichubuwe niwe mweupe kama nyie Wahindi"

    “ehee tena umenikumbusha Mamdogo Shilpa ana cremu hizo ukipakaa wiki moja tu unakuwa mweupe wa Kung'aa"

    “ehee hizo ndiyo nazitaka ntazipataje Sasa?"

    “kuhusu kuzipata Wala usiwe na shida

    Ninachokihitaji kutoka kwako ni kuhusu kukitesa kile Kingedere

    Mpaka kiondoke hapa nyumbani na ikibidi hata kukiua wee kiuwe tu!

    Ghafla Fetty akaimiminia Risasi mfurulizo ile tv na kuipasua vipande vipande halafu akamgeukia Sakina

    “madame huu sio muda wakupaniki kiasi hiki kinachohitajika hapa ni kumpigia Simu Daktari aje kuingalia hali ya mtoto ikoje"

    Baraka alizungumza hivyo ikawa kama vile kamzindua Fetty kutoka usingizini maana alichukuwa funguo na kufungua mlango akatoka mbio mbio kuelekea chumbani kwa Ducha ajabu hakuweza kumkuta

    “Ducha wee Ducha uko wapi mdogo wangu?"

    Fetty aliita huku akiendelea kumtafuta alielekea mpaka chooni uwani kibarazani

    “Madame"

    Akiwa katika harakati za kumtafuta mara akasikia anaitwa na Baraka

    “vipi umemuona?"

    Fetty aliuliza huku akiikodolea macho karatasi iliyokuwa imeshikwa na Baraka akaipokea na kuiangalia

    “Fatma Dada yangu nafahamu fika kuwa unanipenda sana tena Sana hata Mimi nakupenda pia nasiku zote namuomba Mwenyezi Mungu audumishe upendo wetu

    Dada mimi nimeamua kurudi nyumbani ili nikaendelee kuishi na Nyani wenzangu

    Sihitaji ugombane na watu wako wa karibu kwa sababu yangu

    Juu ya upendo wako kwangu ninachokuomba usimfukuze Sakina kwani hajui alitendalo

    Nisamehe,,,,

    “hiiiihiiiihiii"

    Fetty alipiga goti huku akilia

    “vipi Madame?"

    Baraka akauliza hivyo

    “nenda kafungue Geti"

    Fetty akashuka chini na kuingia ndani ya Gari akatoka kwa spidi yote

    Alipotoka nnje ya nyumba akawauliza Madereva bodaboda waliokuwa kando kando ya mitaa hiyo kama walimuona Ducha

    “ahaa Yule dogo mtukutu amekuja hapa mida si mirefu akakodi Bodaboda na kumtaka Imma ampeleke kwa Muarabu"

    Mmoja kati ya Madereva bodaboda akajibu Fetty hakutaka kupoteza muda ni kumfata Ducha nyumbani kwao

    Hapa tunamuona Mwanaidi na mama yake wakiwa wamekaa kibarazani wakicheza karata kwa Pembeni alikuwepo Chande na baba yake Ducha wakipanga baadhi ya vitu

    Wakiwa wamekaa pale mara kwa mbaali wakaweza kumuona Ducha akiwa juu ya bodaboda

    “mama mamaa mwenye nyumba yulee anakuja"

    Mwanaidi alizungumza hivyo akimaanisha mwenye nyumba ni Ducha bodaboda ilipofika pale Ducha akashuka kwa kudondoka kitu ambacho kiliwashtua sema yule Dereva bodaboda akawahi kumshika

    “vipi tena mwanangu kitu gani kimekutokea umepata ajari?"

    Mamaake Ducha aliuliza

    Ikabidi Dereva bodaboda aelezee jinsi alivyompokea na kumleta pale

    Wakati anaendelea kuelezea na Fetty naye ndiyo anawasili aliposhuka kwenye Gari

    Mwanaidi alimkata jicho baya sana rafiki yake





    ------------------

    “mama mamaa mwenye nyumba yulee anakuja"

    Mwanaidi alizungumza hivyo akimaanisha mwenye nyumba ni Ducha bodaboda ilipofika pale Ducha akashuka kwa kudondoka kitu ambacho kiliwashtua sema yule Dereva bodaboda akawahi kumshika

    “vipi tena mwanangu kitu gani kimekutokea umepata ajari?"

    Mamaake Ducha aliuliza

    Ikabidi Dereva bodaboda aelezee jinsi alivyompokea na kumleta pale

    Wakati anaendelea kuelezea na Fetty naye ndiyo anawasili aliposhuka kwenye Gari

    Mwanaidi alimkata jicho baya sana rafiki yake



    Songa nayo

    Sasa



    “hivi ndivyo ulivyotaka ehee? Yani umemchukuwa hapa mdogo wangu akiwa mzima wa hafya ajabu unamrudisha akiwa ameumia"

    Mwanaidi alizungumza kwa jazba

    “sasa Dada unamfokea mwenzio kwani yeye ndiyo aliyeniumiza?"

    ”haijarishi kama umejiumiza au umeumizwa lazima nimwambie ukweli"

    ”sasa ukweli gani unamwambia si ukaushe"

    “Ducha mdogo wangu nimekufata ili nikupeleke hospitali"

    Fetty alizungumza hivyo kwa upole

    Ducha akamtaka Chande ampandishe kwenye gari akabebwa na kupandishwa akapanda Mwanaidi na mama yao.

    “Ducha mwanangu ilikuwaje kuwaje kwani mpaka ukaumia kiasi hiki?"

    “niliruka kutoka juu ya Gorofa mpaka chini"

    Ducha akajibu uwongo hakutaka kuelezea ukweli maana aliweza kufahamu kuwa

    Mwanaidi anaweza kumchukia shogaake na urafiki wao ukavunjika naye hakutaka iwe hivyo

    “oyaa Sudi unampata yule kishtobe wasiku ile?"

    ”unamzungumzia yule tuliempiga mtungo mbele na nyuma"

    ”ehee huyo huyo"

    ”anasemaje Sasa?

    “heti anadai ana mimba yetu"

    ”niniii!?

    “ujaskia au?"

    “nimeskia"

    “sasa kama umeskia unauliza nini ya nini?"

    ”hivi wewe kwaakili yako sisi watoto wadogo tunawezaje kumtia mwanamke mimba, na istoshe mi sikuile nilimla nyuma tu mbele sikupagusa kabisa"

    “unamaanisha nini kusema hivyo?"

    “namaanisha hivi hiyo mimba ni ya kwako"

    “wee fala nini"

    ”ndiyo mi fala ila jiandae kuitwa baba"

    Sudi alizungumza huku akitabasamu huyo akaondoka zake

    Snop alipaki pale akiwaza na kuwazua

    “inamaana siku si nyingi nitaitwa baba? Yani mtoto anapata mtoto sijui nitoroke niende zangu Mlandizi kwa bibi nikajichimbie huko halafu usikute yule Malaya katombeka na mijitu mikubwa huko na kumvimbisha tumbo anakuja kutubambikia sisi

    Mamae zake"

    Snop alizungumza hivyo naye akanyanyuka na kuelekea nyumbani kwao

    Hapa tunamuona Ducha akiwa anakimbizwa na viumbe wenye kutisha vibaya mno

    Ducha alikimbia huku akipiga kelele za kuomba msaada pasipo mafanikio yoyote kila aliyemuomba msaada alimkimbia na kujifungia ndani Ducha alibaki kuhaha huku na kule

    ”jamani nisaidieni nakufa Mimi"

    Ni sauti iliyosikika kutoka kwa Ducha akiomba msaada watu ndiyo kwanza walifunga madirisha na milango

    “Dadaa nifungulie mlango kwanini hamnitaki Mama nifungulie mlango mwanao"

    “Ducha mwanangu wee nenda nao tu! Hiyo ndiyo familia yako"

    “hapana mamaa siwezi kwenda nao nifungulie mlango ili niweze kuingia ndani Mwanaidi dadaangu mbona waniacha mdogo wako nnje wataniuwa wale"

    Ducha alizidi kupiga kelele huku akiusukuma mlango na kuupigapiga makofi

    Wale viumbe walikuwa wanakuja taratiibu kama vile Mazombie.

    “khakhakha,, ile siku iliyokuwa ikisubiliwa kwa hamu sana hatimae leo hii imewadia

    Ducha wewe ni wa kwetu sisi ni chakula chetu cha leo kamata huyo"

    Mmoja kati ya wale viumbe alizungumza hivyo kwa sauti yenye kutetemesha kitendo pasipo kuchelewa Ducha akashikwa ile kisawasawa akalazwa chini jambia likainuliwa juu kwaajili ya kukata kichwa chake

    Jambia likashushwa kwa kasi kukikata kichwa cha Ducha

    Ghafla Ducha alishtuka kutoka usingizini huku akipiga kelele kumbe ilikuwa ni ndoto

    “mama weee nakufaa"

    Kelele zake ziliwashtua wote waliokuwa wamelala wakaja mbiombio mpaka chumbani kwake

    “Ducha mwanangu nini tena? Umeona kitu gani? Tafadhari tuambie"

    Mama yake alimuuliza maswali mfurulizo huku akimshikashika usoni

    Ducha hakuweza kujibu swali la mama yake alibaki kuweweseka tu Kama vile mgonjwa wa Degedege kijasho kilikuwa kinamvuja

    “Ducha mdogo wangu tuambie umeona kitu gani?"

    Mwanaidi naye akauliza

    ”Dadaa naomba kesho unipeleke Kibaha kwa Bibi"

    Ducha hakujibu lile swali zaidi ya kutamka hivyo

    ”mmh Kibaha tena na hali hiyo uliyokuwa nayo! Subiri Kwanza upone ndipo nikupeleke"

    ”kwasasa sihitaji kuwa hapa wee kama hutaki Basi nitamuomba Mamdogo Aisha anipeleke"

    ”sio kama staki mdogo wangu embu angalia hali ya mguu wako utawezaje kutembea kutoka pale kwa Mathias mpaka Bungu wee mwenyewe si unaujua umbali wake"

    “si naskia kipindi hiki Kuna Bodaboda"

    ”mmh Bodaboda tena ziwe pale kwa Mathias?"

    ”ndiyo kutoka pale kwa Mathias mpaka Mikongeni ni shilingi elfu mbili kwa pale Bungu sijajua ila nahisi itakuwa elfu moja na mia tano"

    Baba yao akajibu swali la Mwanaidi

    ”ohoo basi kama ni hivyo kesho Asubuhi na mapema tu nitakupeleka si unaenda kusalimia?"

    ”hapana nahitaji kwenda kukaa kule mpaka pale mguu wangu utakapokuwa sawa"

    Ducha akajibu hivyo

    *********

    Hapa tunamuona bwana mkubwa Chinoge akiwa Kibaha kwa Mathias akipanga mafungu ya viazi vitamu kwenye kiroba alichokuwa kakitandika chini kulikuwa na wafanyabiashara wengi waliotokea maeneo ya Mikongeni na Bungu pamoja na baadhi ya vijiji vinginevyo biashara zilikuwa nyingi Kama vile Mihogo machungwa mafenesi nakadharika

    ”habari ya saa hizi?"

    Chinoge akiwa bize kupanga mafungu akashtuliwa na sauti ya mtoto wakike akisalimia akanyanyua macho yake kumuangalia

    ”ohoo safi tu! Karibu sana bosi"

    “hasante ehee unauzaje viazi?"

    “hivyo hapo fungu moja mia tano hivi huku elfu moja"

    Chinoge akajibu huku akionyesha kwa ishara

    “basi haina shida niwekee mafungu sita ya elfu moja moja"

    Yule binti alizungumza hivyo huku akifungua kipochi chake akatoa noti ya shilingi elfu kumi na kumkabidhi Chinoge

    akaipokea ile hela na kuiweka mfukoni

    ”vipi utaweza kuvibeba wee mwenyewe kweli?"

    Chinoge aliuliza haliyakuwa akiunyanyua mfuko uliokuwa umejaa viazi

    ”ohoo Mungu wangu kumbe ni vizito tafadhari nisaidie nikavipakize kwenye Gari"

    Yule binti alizungumza hivyo wakati Chinoge anaunyanyua ule mfuko Kuna Jamaa mbavu nene bila shaka ni mnyanyua vyuma alikuja kwa kasi na kuupiga teke ule mfuko Viazi vikaruka huku na kule

    Watu wote walishtuka na Kutoa macho pima

    “wee fala nani aliyekupa ruksa ya kufanya biashara na mteja wangu? Nijibu kabra sijakuzibua kum** kibuyu wewe"

    Yule jamaa alifoka kwa hasira huku akiwa kamkunja Chinoge

    Hakuna mtu hata mmoja aliyethubutu kumtetea au kuamulia

    “wee Dickson vipi kwani? Inamaana kila wiki ninavyokuja kwako kununua viazi ndiyo umejiwekea hesabu kuwa Mimi ni mteja wa peke yako sio?"

    ”ndiyo maana yake"

    Dickson akajibu kibabe

    ”basi muachie kwanza mkaka wa watu"

    Dickson akafanya kumuachia kwa kumsukumiza Chinoge akadondoka chini

    “naomba unisikilize kwa umakini sana wee fala kama unahitaji kuwa huru kufanya biashara katika eneo hili huna budi kufata masharti yangu vinginevyo hili eneo utakuja kuliona chungu"

    Dickson alitoa angalizo

    Yule binti alichukia kishenzi kuona unyanyasaji ule akaamua kuondoka

    “Vicky njoo uchukuwe viazi hivi hapa kwangu usikasirike bwana"

    Dickson akawa anamkimbilia bibie yule aitwae Vicky

    Chinoge nae akajisachi mfukoni na kuitoa ile pesa aliona ni bora akairudisha kwa mwenyewe maana viazi hakuchukuwa

    “Sister hela yako hii"

    Chinoge alizungumza hivyo huku akinyoosha mkono kutaka kumpatia ile pesa Vicky

    “hapana kaka yangu hiyo pesa ni yako. Na hata chenji usinirudishie kwa sababu nimeharibu utaratibu mzima wa biashara yako"

    “hakuna cha utaratibu Wala nini huyu ni fala tu!"

    Dickson alizungumza kwa jazba na kuiputa ile pesa ikadondoka chini akafanya haraka kuiokota na kuiweka mfukoni Kama haitoshi akaenda kukusanya viazi vyote vya Chinoge akaenda kuvirundika kwake

    “ahaa Mbavu huo ni uwonevu sasa babaangu"

    Kuna mama mmoja alizungumza hivyo kumbe ukiachana na jina la Dickson pia anajulikana Kama mbavu.

    ”tena wee mama funga bakuri lako Mwanga nini"

    Dickson akamtaka yule mama akae kimya

    Chinoge hakuwa na namna zaidi ya kushika njia kurudi nyumbani

    Alitembea huku mikono kaiweka nyuma

    Akiwa anatembea mara akaskia honi ya Gari yeye wala hakushtuka kwa maana alikuwa anatembea pembezoni mwa Barabara hiyo ya vumbi

    Honi ikasikika tena safari hii ikamfanya asimame na kugeuka

    Gari ikaja kupaki pembeni akashuka bibie Vicky

    “samahani kwa yote yaliyotokea naomba upokee hiki kiasi kidogo cha pesa"

    Vicky alizungumza hivyo huku akinyoosha mkono kumpatia Chinoge kibunda cha pesa

    “khaa pesa zote hizi unanipatia Mimi za kazi gani Sister?"

    Chinoge alishangazwa Sana na wingi wa pesa zile ajabu bibie anasema ni kiasi kidogo

    ”pokea bwana hizi nikama laki nne na nusu sio nyingi wala nini

    Pokea basi"

    Vicky alizungumza kwa bashasha Chinoge akazipokea

    ”samahani kama hutojari heti unaitwa nani?"

    ”naitwa Hafidhi"

    ”ohoo unajina zuri sana mi naitwa Vicky naishi kulee picha ya Ndege vipi wewe unaishi wapi?"

    “kwanza nashkuru Sana kwa kuweza kukufahamu mi naishi Mikongeni"

    “khaa inamaana unatembea kwa miguu mpaka Mikongeni?"

    ”ndiyo au ulitaka nitembee kwa mikono?"

    ”hahahaha hapana bwana sio hivyo"

    ”kumbe nini?"

    “nimeshangazwa sana na Umbali uliopo kati ya Mikongeni na kwa

    Mathias, yani mtu unatembea mpaka unahisi miguu inarudi tumboni"

    “hahaha bibie hiyo ni kwako"

    ”basi panda kwenye gari nikusogeze japo hapo Bungu"

    ”hapana Dada yangu wee unaweza ukaenda tu! Mi nitatembea mdogo mdogo mpaka nitafika"

    ”mmh halafu usiniite Dada kwa maana jina langu ushaweza kulifahamu"

    ”sawa Dad, ohoo sorry Vicky"

    Chinoge alizungumza kwa kubabaika kidogo na kumfanya Vicky atabasamu

    ”basi tutaonana siku nyingine tukijaaliwa uzima"

    Vicky alizungumza hivyo akarudi zake ndani ya gari huyo akatoweka Chinoge naye aliendelea na safari yake

    Alipowasili nyumbani kwao alimkuta Bibi yake akiwa anakata Fenesi

    ”khee hakika leo biashara imekuwa nzuri mbona umerejea mapema hivi?"

    Bibi mtu aliuliza

    “biashara imekuwa nzuri wapi wakati kuna mjinga kule sokoni kazingua"

    Chinoge alizungumza kwa hasira mpaka Bibi yake akashangaa

    “khee imekuwaje tena?"

    Ikabidi Chinoge amsimulie Bibi yake kila kitu kilichotokea kule Sokoni

    ”yule mtoto ni mshenzi wa tabia yani anajiona yeye ndiyo yeye

    Nyambafu zake Sasa na kesho naenda mwenyewe akineng'eneka tu nitamuwashia moto simuogopi na minyama yake ile hata kwenye Sambusa zipo.

    Pole Sana mjukuu wangu"

    Bibi mtu alibwabwaja pale

    Chinoge akatoa kiasi kile cha pesa na kumpatia Bibi yake

    ”khee na hizi pesa zote umezitolea wapi?"

    ”nilipatiwa na yule binti aliyesababisha songombingo lililotokea"

    ”ohoo basi Mungu ni mkubwa sasa hapa itabidi wewe uchukuwe hizi Mimi nibaki na hizi"

    ”hapana Bibi wee chukuwa tu zote"

    “Hafidhi bwana embu pokea hizi pesa ujuwe wee ni mtoto wa kiume lazima uwe na chochote kitu mfukoni ili warembo waweze kukupa tamutamu"

    “hahahaha sawa bibi"

    Chinoge alicheka akapokea kile kiasi cha pesa na kuingia zake ndani





    ------------------

    akineng'eneka tu nitamuwashia moto simuogopi na minyama yake ile hata kwenye Sambusa zipo.

    Pole Sana mjukuu wangu"

    Bibi mtu alibwabwaja pale

    Chinoge akatoa kiasi kile cha pesa na kumpatia Bibi yake

    ”khee na hizi pesa zote umezitolea wapi?"

    ”nilipatiwa na yule binti aliyesababisha songombingo lililotokea"

    ”ohoo basi Mungu ni mkubwa sasa hapa itabidi wewe uchukuwe hizi Mimi nibaki na hizi"

    ”hapana Bibi wee chukuwa tu zote"

    “Hafidhi bwana embu pokea hizi pesa ujuwe wee ni mtoto wa kiume lazima uwe na chochote kitu mfukoni ili warembo waweze kukupa tamutamu"

    “hahahaha sawa bibi"

    Chinoge alicheka akapokea kile kiasi cha pesa na kuingia zake ndani



    Songa nayo

    Sasa



    Yapata majira ya saa tano asubuhi Ducha na Mwanaidi waliweza kuwasili Kibaha wakafanya taratibu za kukodi Bodaboda

    Iliyowapeleka mpaka Bungu wakapokelewa na Bibi yao mzaa mama yao.

    “ohoo karibu sana mume wangu Ducha hakika Sasa hivi umekuwa mbaba huyo tofauti na kipindi kile nilivyokuja kukuona huko Daresalama ukiwa angali mchanga"

    Bibi yao alizungumza hivyo

    “bibi bwana sio Daresalama sema Dar es Salaam"

    Mwanaidi alimsahihisha Bibi yake

    “hiyo Daresalama mnaijua nyie sisi wenzenu tunaita Daresalama"

    ”sasa hapo ndiyo umetofautisha kitu gani?"

    ”wee naye si utuliege kaah

    Ehee vipi tena na huu mguu umefanyaje?"

    Bibi mtu akapotezea swali la Mwanaidi akaulizia kuhusu hali ya mguu wa Ducha kwakuwa ulikuwa umefungwa bandeji.

    “bibi mjukuu wako naye siku hizi anajifanya ni Spider Man anaruka kutoka juu ya Gorofa mpaka chini matokeo yake ndiyo hayo"

    “khee hivi huyo Chipaida anaakili kweli mpaka anawafundisha watoto michezo ya hatari?"

    “bibi bwana sio Chipaida ni Spider kwanza yeye ni mzungu anacheza filamu huko Marekani"

    ”ohoo kumbe anagelezea kwa kuangalia kwenye video?"

    ”ndiyo"

    “basi pole mume wangu kwakuwa umekuja hapa kwa mkeo basi ondoa shaka nitakutibia kwa dawa za miti shamba siku si nyingi utaweza kupona"

    Muda wote Ducha alikuwa kimya hata kumsalimia Bibi yake hakumsalimia alikuwa bize kulishangaa eneo hilo la Bungu nyumba ya Bibi yake ilikuwa pembezoni kidogo mwa msikiti

    “bibi Mimi hata sio mkaaji ujio wangu hapa ni kumsindikiza tu Ducha"

    ”khee wee Mwanaidi yani mara hii tu unataka kuondoka? Hivi wee mtoto mbona hupendi kukaa na Mimi walau kwa siku moja!?"

    ”sio hivyo Bibi"

    ”sio hivyo kumbe nini?"

    ”kuna kazi nafatiria kule maeneo ya Posta kibaya zaidi natakiwa saa nane mchana niwahi kufika"

    “sawa unaweza kwenda na vipi kuja kumfata Ducha si anasoma huyu?"

    ”Ducha nitamfata wiki mbili zijazo kwa maana kesho kutwa wanafunga shule si unajua likizo kubwa hii ya mwezi wa kumi na mbili!"

    “ohoo kumbe wanafunga shule?"

    ”ndiyo Bibi"

    “basi acha nikuandalie zawadi za kuwapelekea Wazazi wako"

    Bibi mtu akaita baadhi ya watoto waliokuwa wakicheza cheza pale na kuwaomba wamkamatie Jogoo nao walianza kumkimbiza jogoo yule

    Muda kidogo kila kitu kilishaandaliwa Mwanaidi akaaga na kupanda kwenye Bodaboda safari ya kuelekea kwa Mathias ikaanza, wakiwa njiani yule Dereva Bodaboda alianza kumtamani kimapenzi bibie Mwanaidi

    “samahani Dada yangu hivi unaitwa nani?"

    “mmh naitwa Mwanaidi"

    “opsii hakika una jina zuri Sana Kama ulivyo wee mwenyewe kwanza nisizunguke sana kwajina naitwa Tizo kiukweli bibie nimetokea kukupenda"

    “kunipenda kivipi yani?"

    ”mkubwa wewe inamaana ujaelewa tu!?"

    ”ndiyo sijaelewa maana Kuna kupenda kwa aina nyingi"

    “basi nimekupenda kimapenzi yani nahitaji uwe wangu niwe wako"

    “mmh nilijua tu maana nyie Bodaboda ni vitombi Kama nini halafu wee mkaka unachekesha hivi ukijiangalia wewe kwajinsi ulivyo halafu ukiniangalia na Mimi tunaendana kweli?"

    Mwanaidi alizungumza kwa dharau

    “kwanini tusiandane usimjaji mtu kutokana na muonekano wake iwe kimavazi au kimwili

    Kiukweli mi nakupenda nipo tayari kukupa chochote ukitakacho bibie"

    “ohoo kumbe chochote ehee haya nipatie laki mbili"

    Mwanaidi alizungumza hivyo huku akitoa ishara kwa kuchezesha vidole Dereva Bodaboda akajisachi mfukoni na kutoa wallet iliyokuwa imetuna

    Mwanaidi akabaki kuikodolea macho ile Wallet

    “hizi hapa bibie sema kingine mi nipo kwaajili yako"

    “kwasasa Sina cha kusema si una simu?"

    “ndiyo hii hapa"

    Basi Mwanaidi akaipokea ile simu akabonyeza vitufe kadhaa na kumrudishia

    “hiyo ndiyo namba yangu wee muda wowote ukijiskia kupiga piga tu! Mi nipo free"

    ”sawa kipenzi"

    Muda huo walikuwa wamepaki pembeni baada ya kuelewana wakakumbatiana na kugusanisha ndimi zao wakabadirishana mate kwa muda wakapanda kwenye pikipiki safari ikaendelea

    “baby kwanini tusiende sehemu tukamalize mchezo maana kumbatio lako tu limenisisimua mpaka Dudu langu halitaki kutulia"

    “mmh embu kuwa na Subra bwana yani ndiyo kwanza tumeonana leo na leoleo ukanigonge kweli? Kama vile umenunua malaya au wataka kunichezea tu!?"

    “hapana sio hivyo baby"

    “basi kuwa mpole"

    Wakafika stendi Mwanaidi akapanda kwenye Daladala huyo akaondoka zake

    Jamaa kwanza alikimbilia sehemu kulikuwa na choo akajifungia kwa ndani na kulitoa Dudu lake lililokuwa limevimba ile kinomanoma

    Akalipaka mate na kumvutia hisia Mwanaidi taratiibu alianza kulisugua kadri muda ulivyokuwa unaenda mbele kasi ikaongezeka ulikuwa ni mchezo wa Nyeto Nyetoni

    Kijasho kilimtoka aliweweseka dakika si nyingi akamwaga akajisafisha na kutoka nnje akiwa mwepesi

    “Hafidhi mjukuu wangu Mimi leo naenda kushinda kwa Mathias kuuza hivi viazi

    Na Bibi yako Fatuma anaenda kulinda mpunga kule Shamba kwa hiyo nakuomba kuwa makini Sana hapa"

    “sawa bibi haina shida"

    Ilikuwa yapata majira ya saa kumi na mbili Alfajir Bibi zake wakadamka mmoja kwenda kuuza viazi mwingine kuagua mpunga shamba

    “Hafidhi mambo?"

    “poa tu nambie"

    ”sina hata cha Kukwambia zaidi ya kukuomba mapera"

    “sawa nenda tu kachume"

    Basi yule binti akachukuwa mti na kuanza kutungua mapela Chinoge naye alikuwa bize kuendelea na mambo yake.

    Tukija huku Kibaha kwa Mathias Bibi yake alishawasili na kupanga biashara yake pale

    Dickson alikuwa anamuangalia kwa jicho baya muda kidogo Bibi mtu akaaga kwa maana viazi vyote alivyokuja navyo vilishaisha

    “haya jamani kwa herini tutaonana kesho Mungu akitujaalia"

    “wee Bibi mwanga tu! Tena mchawi mkubwa yani umefika hapa sisi wote umetukuta ajabu wewe umeuza na kumaliza vyote"

    Dickson alijikuta akizungumza hivyo kwa hasira

    “unasemaje wewe Mchawi mwenzangu si tunawangaga wote kule ndiyo maana ukanijua. Sasa subiri nikupashe upashuke

    Mimi hata sikuogopi kijuso wewe mwenye mapumbu kama kende za nyani mzee

    Jimwili hilo kidudu Kama mbegu ya upupu

    Uso umekukongoroka utasema umemwagiwa uji wa hitima

    Tena ukome ukomae upate mimba uzae

    Mshenzi mkubwa wewe, kwanza mtu mwenyewe hapo ulipo ushajifia mda tu! Wataka nikupige nipate madakesi bure

    Umeacha kuwaita wachawi Wazazi wako huko unakuja kukurupukia watu usio wajua

    Jiangalie sana kijana Utakuja kufa siku si zako pumbavu wewe kwanza sihitaji kuzungumza Sana wacha mengine niweke akiba ya kesho siku zote ukilitibua vuzi uwe na kucha za kulikuna

    Mbwa koko wee usiejua kubweka"

    Yale maneno yalimchoma na kumuumiza sana Dickson akasimama kwa ghadhabu na kumfata Bibi yule pasipo kujiuliza mala mbili akamsukumiza Bibi wa watu akadondoka chini puuh

    “naona unabwabwaja Sana maneno ili kufurahisha umati wa watu ehee Sasa subiri nikufunze adabu mchawi mkubwa wewe"

    Dickson alizungumza hivyo huku akimtandika makofi

    “wee nipige tu! Ila sitoacha kukueleza ukweli"

    Bibi yake Chinoge alizungumza haliyakuwa akianza kulia

    “wee Dick kwanini unamfanyia hivyo Bibi wa watu jamani huyo ni sawa na Bibi yako au mama yako"

    ”bila shaka huyu mtoto bangi zake zinampeleka pabaya embu muoneni anavyo mdharirisha mzee wa watu jamani"

    Kila mtu aliyekuwa pale alizungumza lake baadhi ya watu wakawa wanashangilia na kumpa sifa Dickson kuwa ampige mpaka amuuwe kwani yule Bibi anajulikana ni mchawi

    Dickson naye akavimba bichwa alimbeba nakwenda kumtupia kwenye mimaji michafu hakika ilikuwa ni Fedheha kubwa Sana kutendewa kwa mtu mzima Kama yeye.

    “Hafidhii,,wee Hafidhi uko wapi wewe?"

    Alikuwa ni yule jamaa aliyemtongoza Mwanaidi na kumpeleka stendi akipaza sauti kumwita Chinoge

    “nini wee Tizo mi nipo huku shambani"

    “njoo kaka mwenzako kuna taarifa mbaya imenifikia"

    Chinoge akamfata mbio mbio

    “ehee taarifa gani tena ndugu?"

    “nimepigiwa simu Sasa hivi na Saidi kuwa Bi Fatma anapigwa huko"

    ”niniii!?"

    Chinoge aliuliza kwa hamaki kwakuwa Tizo alikuwa kashika funguo ya Pikipiki Chinoge akafanya kuipora ilipotua mkononi mwake akawahi kupanda ile Pikipiki kasi aliyoondoka nayo ni balaa

    Tizo alibaki kushika mikono kichwani

    Kufika Bungu almanusura amgonge Ducha aliyekuwa akivuka barabara kwa mwendo wa kuchechemea sema Ducha aliwahi kuchumpa kwa kujitupa pembeni

    “wee jamaa ni fala tu Kama walivyo mafala wengine ole wako ungenigonga ungenizaa leo"

    Ducha alipaza sauti kumwambia Chinoge mwenzake wala hakumsikia kwa maana alishafika mbali Sana

    Licha ya kuzidisha spidi mpaka mwisho kwake aliona Kama vile Pikipiki ile haitembei alitamani angekuwa na uwezo wake wa kuzimu ingemchukuwa sekunde chache sana kuwasili eneo la tukio

    “kunywa haya maji mchawi mkubwa wewe si uliona sifa kwa maneno yako ya shombo pale"

    “siwezi kunywa kama vipi niuwe tu!"

    ”ndiyo nakuuwa leo"

    Wakati huo huo muungurumo wa Pikipiki ulisikika watu kuangalia hivi wanaiona Pikipiki ikija kwa kasi kufika pale bwana mkubwa Chinoge alichumpa kutoka juu ya Pikipiki akatua chini kwa kubiduka Sarakasi

    “wewe jana nilikustahi ili kulinda heshima yako lakini Kwahiki ulichomtendea bibi yangu leo

    Utalipa kwa maumivu makali Sana"

    Chinoge alizungumza kwa hasira huku akipiga hatua za haraka kumfata Dickson

    “hahahahaha embu mchekeni huyu fal,,,,

    Dickson alicheka kwa dharau na kutamka hivyo lakini hata hakumalizia kuzungumza alishtukia akizibuliwa ngumi moja tu ya maana iliyomfanya adondoke chini pasipo kupenda

    “haya nyanyuka

    Mtoto mzuri uje kucheza kwa baba yako"

    Chinoge alimtaka Dickson asimame naye akasimama na kurusha ngumi

    Mbili nzito Chinoge akakwepa huku akiachia ngumi nyingine iliyoambatana na kiwiko vyote vilitua usoni

    Kwa mara nyingine Dickson akadondoka chini

    Akasimama tena ikawa ni balaa Sasa alipigwa ngumi za haraka haraka

    Zilizopenya vyema mwilini mwake

    Kuna washkaji zake watatu wakaja kuingilia

    “duuh kumbe ule msemo usemao usimchokoze mtu usiemjua unamaana yake ehee?"

    “ndiyo tena maana kubwa si unaona kinachomtokea Dickson na panya wenzake"

    ”piga hao uwa kabisa washenzi wakubwa"

    Watu walipaza sauti kushangilia Chinoge akawa anapiga na kuvunja mikono

    Bibi yake Chinoge alienda kuokota zinga la fimbo na kuanza kumtandika nalo Dickson aliyekuwa kalala chini kwa kuugulia maumivu ya kipigo

    Dickson akaidaka ile fimbo na kuivuta Bibi mtu si akajaa akakutana na ngumi nzito ya Uso akapiga kelele za nakufaa Chinoge si alikuwa anapambana na wale wengine akabiduka Sarakasi akakita mguuni mwa Dickson na kumvunja mguu mpaka mfupa ulitokezea nnje

    Kama haitoshi akaukita na mkono nao ukavunjwa Dickson alipiga yowe moja tu la uchungu mara akawa kimya

    Chinoge alikuwa amechafukwa si kidogo akataka kummalizia kabisa kwa kumnyonga shingo ilibidi Bibi yake amzuie na kumtaka waondoke haraka Sana eneo lile

    “nyie wote mliojazana hapa ni Mbwa tu! Hivi kuna yoyote kati yenu anaejihisabia kuwa yupo kwenye kundi la Wanadamu"

    “wee kijana embu acha matusi yako ya rejareja na uweke mikono yako juu kuanzia Sasa upo chini ya ulinzi"

    Chinoge akashtuliwa na sauti kali ikimuamrisha hivyo kumbe polisi walishawasili pale sijui hata walitokea wapi

    Chinoge akatii amri akakamatwa na kufungwa pingu.





    ------------------

    mguuni mwa Dickson na kumvunja mguu mpaka mfupa ulitokezea nnje

    Kama haitoshi akaukita na mkono nao ukavunjwa Dickson alipiga yowe moja tu la uchungu mara akawa kimya

    Chinoge alikuwa amechafukwa si kidogo akataka kummalizia kabisa kwa kumnyonga shingo ilibidi Bibi yake amzuie na kumtaka waondoke haraka Sana eneo lile

    “nyie wote mliojazana hapa ni Mbwa tu! Hivi kuna yoyote kati yenu anaejihisabia kuwa yupo kwenye kundi la Wanadamu"

    “wee kijana embu acha matusi yako ya rejareja na uweke mikono yako juu kuanzia Sasa upo chini ya ulinzi"

    Chinoge akashtuliwa na sauti kali ikimuamrisha hivyo kumbe polisi walishawasili pale sijui hata walitokea wapi

    Chinoge akatii amri akakamatwa na kufungwa pingu.



    Songa nayo

    Sasa



    “sasa huyu mnamkamatia kitu gani? Tafadhalini naomba muachieni mjukuu wangu"

    Bibi yake Chinoge alianza kuwalalamikia maafande ili mjukuu wake asiweze kukamatwa wananchi nao hawakutaka kukubari kuona mtu aliyeweza kuwatetea pale sokoni ndiyo anaye kamatwa

    “huyu mbona hana kosa lolote jamani wenye makosa ni hawa hapa ndiyo wenye kustahiri kukamatwa"

    “ndiyo huyu kijana kwetu sisi nikama mtetezi wakamateni hawa majangiri"

    kulikuwa na purukushani za hapa na pale baina ya Wananchi na maafande lakini Maafande wakaweka kigingi mwishoe Chinoge akapakizwa kwenye Difender Bibi yake naye akapanda

    ”wee Bibi unataka kwenda wapi? Embu shuka chini"

    Mmoja kati ya maafande alipaza sauti kumtaka Bibi yake Chinoge ashuke ndani ya Gari

    ”naanzaje kushuka? Wakati nataka kwenda kufahamu kuwa mjukuu wangu anapelekwa kituo gani!"

    ”tunampeleka kituo cha kati haya shuka"

    Ikabidi Bibi mtu ashuke pasipo kupenda kina Dickson nao wakapakizwa kwenye Gari ya Wagonjwa na kuwahishwa hospitali ya Tumbi

    Siku mbili ziliweza kupita bwana mkubwa Chinoge akiwa bado yupo Selo siku hiyo Bibi zake wote wawili walienda kumuona na kupata nafasi ya kuzungumza naye

    “bibi kitu gani sasa kinachokuliza?"

    “Hafidhi mjukuu wangu nalia kwa sababu ya kuona haki yako inataka kupotea heti wanadai wewe ni Jambazi muuwaji ulifika pale sokoni kwaajili ya kumuibia Dickson kibaya zaidi siku ya kusomewa mashtaka yako wameandaliwa mashahidi wa Uwongo ili kuja kukukandamiza"

    “ha!ha!ha!ha!

    Inamaana Mimi nilifika pale kuiba viazi? Au visenti vya wauza viazi? Mbona kama sielewi"

    Chinoge akacheka na kuuliza hivyo

    “mi mwenyewe hata sijui"

    Basi Chinoge alizungumza na Bibi zake pale muda wakaaga na kurejea nyumbani kwao haliyakuwa wakiwa na majonzi makubwa sana siku kadhaa mbele bibie Vicky akaingilia ile kesi

    “kwanza nimefurahishwa Sana kwa yule mshenzi kudundwa hakika Mjukuu wako ameleta heshima maana ile juzi nilivyoenda pale Sokoni nilishangazwa sana kuona wafanyabiashara wakinichangamkia na kuniita kwenye bidhaa zao. Mpaka nikajiuliza inamaana Dickson kawaruhusu kujidai au vipi? Nilipojaribu kumuuliza Dada mmoja pale ndipo akanihadithia kila kitu"

    Vicky alizungumza huku akitabasamu baada kufika kituo cha polisi ambacho kinamshikilia Chinoge akakutana na Bibi zake Chinoge

    “ndiyo hivyo mjukuu wangu licha ya mwenzako kufanya yote hayo lakini Polisi hawataki kumuachia"

    “wala usijari bibi yangu kwakuwa mi nipo hapa hakuna kitakacho haribika atatoka leo leo. Subiri kwanza nikazungumze na mkuu wa kituo"

    Vicky alizungumza hivyo

    “wee unadhani mi nakuogopa ehee? Kisa umetoka mjini kwa taarifa yako sikuogopi wala nini?"

    Hapa tunamuona mmoja kati ya watoto akikoromeana na Ducha

    “kwa hiyo unasemaje Sasa?"

    Ducha akauliza kibabe

    wakaanza kusukumizana Ghafla Ducha akapigwa kichwa akapepesuka na kudondoka chini Yule mtoto akamjia kwa juu na kuanza kumrushia ngumi za maana

    Kuna watoto walikuwa wakimshangilia mwenzao

    Walipoona Ducha kazidiwa kwa kipigo wakafanya kumtoa mwenzao

    “oyaa Athuman inatosha muachie"

    “wee mjinga una bahati kudadeki zako leo ningekung'oa meno Mimi ndio Arnold Shwarzenegger"

    Athuman alijitapa Ducha akanyanyuka taratiibu kwa mwendo wa kuchechemea akashika njia kurudi kwa Bibi yake

    Uso ulimvimba kwa manundu Kama mawili

    “vipi tena mjukuu wangu mbona una manundu usoni umefanyaje?"

    Bibi yake Ducha alimuuliza mjukuu wake aliyekuwa akilengwalengwa na machozi

    “mjukuu wako kapigwa na Athuman"

    Kuna watoto wengine walikuwa wanapita pale ndiyo wakamjibu hivyo

    “yani hiki kitoto toka kianze kufundishwa ngumi na kaka zake Basi mkono wake umekuwa mwepesi kuwapiga wenzie Bora tu mjukuu wangu nimrudishe mjini"

    Bibi yake Ducha alizungumza hivyo

    Ducha akaingia ndani akapanda juu ya kitanda akakaa kitako

    “mwalimu uko wapi wewe mbona umeniacha peke yangu nadharirika nateseka, sina tena ule uwezo wangu

    Mwalimu inamaana hivi nilivyo ndiyo nasubilia siku yangu ya kuchinjwa"

    “Ducha, Duchaa mjukuu wangu embu njoo"

    Akiwa anaendelea kuzungumza kwa hisia akaskia Bibi yake akimwita akajua bila shaka anaitwa ili aagizwe kwenda Dukani ila hakutaka kutoka kutokana na aibu ya yale manundu aliyokuwa nayo

    “Ducha mjukuu wangu embu niletee maji ya kunywa"

    Bibi yake akasikika akiomba apelekewe maji Ducha akachukuwa birauli na kuteka maji kwenye mtungi akatoka nnje sema alishtuka kidogo baada kuona pale nnje kuna ugeni

    Alikuwepo bibie Vicky Chinoge na Bibi zake Chinoge pembeni kulikuwa na gari imepaki

    “hasante Sana kijana kwa maji vipi mbona Kama usoni umevimba umeng'atwa na nyuki?"

    Chinoge alizungumza hivyo akauliza na swali baada kunywa yale maji

    “ang'atwe na nyuki wapi Kuna mtoto mmoja hivi

    Anaishi kule miembeni yani hiki kitoto naskia kinafundishwa ngumi na kaka zake wacheza masumbwi huko Kibaha picha ya Ndege

    Sasa hiki kitoto kutwa kucha anawaonea wenzie

    Mjukuu wangu ndiyo kwanza katokea mjini juzi tu kuja kuniona ajabu leo hii kampiga

    Ehee tena mtoto mwenyewe yulee"

    Bibi yake Ducha alizungumza hivyo akanyoosha mkono kumnyooshea Athuman aliyekuwa anakatiza barabarani

    Ducha alivyomuona Athuman aliingiwa na hofu sana ile hali Chinoge aliweza kuitambua akamshika Ducha mabegani na kumuinamia

    “hutakiwi kuwa muoga jiamini kuwa unaweza kaza macho yako niangalie usipepese kope zako

    Hakika utaweza Bibi nikabidhi huyu kijana nikakae wala wiki moja

    Nitamfunza nini maana ya kujiamini"

    Chinoge alizungumza haliyakuwa akimtikisatikisa Ducha mabegani

    (HAPA NAWEZA KUSEMA WAARABU WA PEMBA HUJUANA KWA VIREMBA KWA NINI CHINOGE ANAMTAKA DUCHA JE WATOTO WENGINE HAJAWAONA?)

    “Sawa haina shida unaweza ukaenda naye kwa maana amekuja kwangu kwaajili ya likizo hata hivyo ana tatizo la mguu aliumia kipindi akiwa huko Daresalama"

    Bibi yake Ducha alikubari Ducha achukuliwe

    ”bibi Mimi siwezi kwenda sehemu mbali na hapa kwanza hawa ni wakina nani?"

    Ducha akakataa kuwa hawezi kuondoka pale

    “Ducha mjukuu wangu hawa nikama Bibi zako na huyu kijana nikama kaka yako kuhusu huyu binti ndiyo simjui"

    “kama ni ndugu zetu mbona Mimi siwafahamu?"

    “ehee Sijapata naona hapa mjukuu wako anataka kutuletea ngonjera kama vile tumemlazimisha kumchukuwa,

    Sisi tulipita hapa mara moja kuomba maji ya kunywa wacha tuendelee na safari yetu"

    Bibi yake Chinoge alizungumza hivyo

    “kwanza imekuwaje tena mpaka ametoka?"

    Bibi yake Ducha aitwae Sijapata akauliza swali

    “ametoka kupitia msaada wa huyu binti si unajua siku zote pesa inaongea"

    ”ndiyo nafahamu na vipi wale wahuni aliowapiga?"

    ”yule Dickchooni sijui nini bado yupo Moi huko wenzake nao ndiyo hivyo wanatembelea magongo"

    ”hakika aliwafundisha adabu Ducha mjukuu wangu kubari kwenda na kaka yako akakufundishe kupigana ili usiweze kuonewa na wajingawajinga Kama hawa kina Athumani"

    “kwani huyu jamaa anajua kupigana?"

    ”ndiyo juzi tu kapigana na watu kumi wote kawapiga"

    “duuh watu kumi kwa mmoja!?"

    ”ndiyo"

    “basi naenda naye"

    Ducha akakubari

    *********

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog