Search This Blog

Thursday 24 November 2022

SHANGA ZA BIBI ZILIVYONIPA UMAARUFU - 5

 http://pseudepigraphas.blogspot.com/2020/06/shanga-za-bibi-zilivyonipa-umaarufu.html


Chombezo : Shanga Za Bibi Zilivyonipa Umaarufu 

Sehemu Ya Tano (5)



Japo kulikuwa na AC ila kijasho kilinitoka nikasimama nikamkumbatia Jenny huku nalia.

"Pole rafiki yangu umepambana sana Hadi kufikia hapo ulipo sasa,kila mtu alikudharau sasa kila mtu atakuheshimu!"

Aliongea Jenny naye machozi yalimtoka siku hii nilipokea simu kutoka kwa mama!

"Hongera mwanangu!"

"Ahsante mama",nilijibu huku nalia.

"Usilie mwanangu,niko na baba yako tunafikiria namna tunavyoweza kusapoti hiki ulichoanzisha!"

"Nashukuru mama!"

Niliongea na mama kisha nikaiweka simu pembeni,sikutaka kuingia Instagram ili niangalie alichonitumia waziri.

Nilipumzika kwanza nikavuta pumzi ndefu nikafakari maisha yangu yaliyopita kuanzia kwa John misukosuko aliyopitia na James alivyonitesa chuoni nilitabasamu tu nikiamini huzuni yako ni tabasamu la kesho!

Niliinuka nikaenda kuoga bafu la ndani kwa ndani,niliziangalia shanga zangu zilizotulia kiunoni kwangu nikatabasam, nikatoka nikamkuta Jenny anabishana na watu mlangoni,

"Jenny vipi?"

"Waandishi Kidawa!"

"Wanataka nini?"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

"Wanataka interview!"

"Waambie siyo leo!"

Niliwakatalia waandishi sikutaka kuongea nao chochote mpaka nitoke kwa Waziri niskie kwanza ntaambiwa nini?

Niliingia Instagram nikakuta Waziri kanitumia namba nikazichukua nikapiga ikaita mara moja tu ikapokelewa!

"Haloo Mheshimiwa"

"Samahani nani mwenzangu!"

"Mimi naitwa Kidawa yule wa.....!"

"Subiri!"

Alinikatisha akakata simu kisha baada ya dakika tano ile namba ilinipigia nikapokea haraka huku mikono inatetemeka!

"Haloo unaongea na Waziri!"

"Haloo shikamoo mheshimiwa Mimi ni Kidawa!"

"Okay!marahaba mwanangu nimependa Sana kazi yako!"

"Ahsante sana Mheshimiwa!"

"Heeh!Sasa nadhani ungefika kwenye ofisi zetu ziko Dar ntamtuma dereva aje akuchukue ntampa namba zake muwasiliane!"

"Sawa nashukuru sana!"

"Sawa kazi njema!"

"Nashukuru sana!"

Moyoni nilijawa na furaha,uso wangu ulijawa na tabasamu pana!

Nilipokea simu nyingi sana kutoka kwa watu mbali mbali hadi meseji za wabunifu mbalimbali wakitaka wafanye kazi na mimi!

Niliwasiliana na dereva aliyetumwa kunichukua akafika muda huo nilishajiandaa nimevaa gauni langu nililoshona kwa shuka la kimasai lililonikaa vizuri mwilini kiasi cha kunifanya nionekana msichana halisi wa kitanzania.

Hatimaye Safari ikaanza kuelekea kwenye ofisi ya waziri!!!




Tulipoishia......Kidawa kapata wito wa Waziri na anaelekea huko tayari yuko njiani,je atafanikiwa kuonana na Waziri!

Songa nayo....


Njiani nilikuwa na mawazo mengi sana,sawa nilikuwa naenda kwa waziri lakini sikujua naenda kuongea nini!!

Ila nilipiga moyo konde,japo mapigo ya moyo yalidunda sana kijasho chembamba kinanitoka!

Safari itupeleka masaki nje ya jengo moja zuri la kifahari!

Likaingia mpaka ndani kisha dereva akashuka akaja akanifungulia mlango wa gari akaanza kuniongoza mpaka ofisini,ambapo tulianzia kwenye mapokezi tukamkuta mdada mmoja akiwa bize na kompyuta yake!

Cha ajabu aliponiona alishtuka mpaka nikashangaa!

"Kidawaaaaaaa!karibuuuu!!!",alisimama akanikumbatia kisha akachukua simu yake tukapiga selfie kisha tukabaki tunapiga stori kipindi hicho Waziri kaenda kupewa taarifa kwamba nimefika!

"Kumbe mbali na picha we ni mrembo sana,umebarikiwa sana jamani watu wengi wanajiulizaga kuhusu umbo lako wanadhani unaedit but leo ntapost niwaambie kuwa ni halisi!"

"Hahahahahaaaa!",nilicheka Kisha akaniambia.

"Naitwa Jovina huwezi amini nilivyokuta Waziri kakupost kuwa leo utakuja ofisini sijanywa hata chai muda wote nilikuwa naangalia mlangoni kuona utaingia sangapi?"

"Nafurahi kukufahamu pia Jovina hata wewe ni mrembo sana!"

Tulipiga stori na Jovina kidogo nikawa na amani moyoni mapokez waliyonipa yalisaidia kuondoa hofu yangu kwa kiasi kikubwa sana!

Muda si mrefu nikafuatwa kuwa nahitajika ofisini kwa Waziri nikaingia ofisini!

Macho yangu yakagongana moja kwa moja na Waziri ambaye alinipokea kwa ucheshi na tabasam pana!

"Karibu Kidawa,Karibu sana mwanangu!"

"Ahsante mheshimiwa!"

Nilimsalimia kwa heshima zote na goti chini nikapiga kama mdada wa vijijini sitimbi huko??.

Nilikaa ndipo mheshimiwa akaanza kunipa maneno sasa!

"Aahhm Kidawa,kama nilivyokwambia,sisi kama Wizara tumependa sana kazi zako na jinsi ulivyojitoa kwa kuonyesha umma kwamba,siyo lazima kujipamba kwa mapambo ya kutoka nchi za watu kama uarabuni,china,marekani na kadhalika!

Umekuwa mfano mkubwa sana kwa nchi,navyoongea na wewe saivi kuna watanzania wapo wamehamasika na wanatumia vitu vyetu vya asili kama mapambo!"

"Kwa hiyo sisi kama Wizara ya maliasili na utalii tumeamua kukutumia na vile vile kukuongezea nguvu ili Sasa usitangaze tu mavazi tunataka uwe balozi wetu wa kuhamisha utamaduni wa mtanzania na vilevile utalii wa ndani.

Watanzania ni wavivu sana kufanya utalii wa ndani,wanasubiri wazungu watoke huko ndiyo waje watalii,huwezi kuamini kuna watu wako Arusha na moshi lakini hawajawahi hata kupanda mlima kilimanjaro!Sasa sijui uko tayari kwa hili?"

"Ndiyo niko tayari mheshimiwa!",nilijibu bila kupepesa macho ningeanzaje kukataa?

"Sawa nahisi sasa tukutane hapa jioni kwa ajili ya kusaini mkataba wetu na ningependa uje na mwanasheria na wazazi pia kama wapo!"

Tulipomaliza nilitoka nikaaga dereva akanirudisha mpaka nilipopanga nikamkuta Jenny anaruka ruka mitandaoni!

"Naona unaperuzi shogaangu!"

"Napitia akaunti yako hapa nakwambia komenti zinamiminika hatari,wengi wanasifu Ila kuna wengine wanaponda hatari!"

"Achana nao bhana,msafara wa mamba na kenge wamo!"

"Hivi unajua kama saivi umefikisha followers milioni moja?"

"Whaaaaaat!!"

"Ndiyo ivyo best!"

"Si walikuwa laki nne asubuhi?"

"Ndiyo na akaunti yako iko verified!"

Nilikaa nikavuta pumzi ndefu Kisha nikaishusha!Nilichukua simu yangu nikampigia mama na baba ambao niliwapa taarifa kuwa wanahitajika ofisini kwa ajili ya kunisimamia kwenye mkataba wangu wa ubalozi!Nikawaomba waje na mwanasheria ambapo walisema watakuja na mjomba!

Kisha nikaingia mitandaoni,nikakutana na Mambo mengi ya kushangaza watu walikuwa wameongezea mara mbili zaidi tena ndani ya siku moja!komenti zilikuwa nyingi,na likes zakutosha,kurasa nyingi za udaku zilinipost huku wengine wakinikashifu na wengine wakinisifia,wengine walizusha skendo za ajabu wakisema eti mimi ni mchepuko wa waziri, wengine Freemasons na kadhalika!


Jioni ilifika kama ilivyowada dereva alinifuata mpaka ofisini ambako tuliwakuta mama na baba walishafika wakiwa na mwanasheria!

Baba alinifuata akanikumbatia kisha akaniambia!

"Umepambana peke yako mwanangu,sijawahi kukuuliza hata unapenda nini?Nisamehe mimi na mama yako ila tumefurahia sana mafanikio yako Kidawa!"

"Usjali baba na mama nawapenda sana!",tulikumbatiana watatu,waandishi wa habari nao hawakuwa mbali walipiga picha nyingi sana!

Tukaingia ndani tukafanya kila kitu,tukasaini mkataba nikawa balozi wa kuutangaza utalii wa ndani na utamaduni wa mtanzania!

Mkataba wenye thamani ya milioni mia moja pia nikapewa nyumba masaki na gari ya kutembelea mbele ya waandishi wa habari wakishuhudia.

Baada ya hapo nilikabidhiwa funguo yangu ya gari na Kisha nikapelekwa masaki nikakabidhiwa nyumba yangu tayari nikaingia kazini!


************


Kuanzia hapo maisha yangu yalibadilika nikawa sio Kidawa yule tena,nikaanza kuishi maisha ya ustaa ambayo yalinibana kufanya Mambo mengi sana

Mambo yalikuwa mengi sasa,dili ziliongezeka umaarufu uliongezeka nikawa Karibu na watu wakubwa wasanii wakubwa kina Jack wolper Wema Sepetu na kadhalika!

Usumbufu ulipungua sana wanaume waliniogopa,sikutongozwa kama zamani tena hiyo iliniumiza kwani ukiachana na hayo yote nilikuwa na nyege kama binadamu wengine!!

Hiyo ilisababisha niangukie kwenye penzi la jamaa mmoja ambaye ndiye alikabidhiwa mambo yote na Waziri kunipa maagizo na nini cha kufanya ili kuutangaza zaidi utamaduni!

Nakumbuka siku moja aliniita ofisini kuwa kuna mambo ya kuongea,nami siku sita nikawasha gari yangu mpaka ofisini!http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Nikaingia ndani ya ofisi yake,nikamkuta amekaa kwenye kiti akanikaribisha kwa uchangamfu kuliko siku zote!

"Ahsante mheshimiwa!"

"Niite tu Ismail mi na wewe wote ni waheshimiwa!"

"Sawa Ismail nimekaribia!"

"Hivi zile shanga zako unatengenezea wapi?"

Swali lake lilinisisimua sana ,nikaangalia chini kwa aibu!

"Mbona unainama chini?hujategemea swali langu eeh!"

Aliongea akinyanyuka kutoka kwenye kiti chake akaja kukaa kwenye viti vya kawaida Karibu kabisa na mimi akashusha mkono wake kwenye paja langu nikautoa haraka!

"Ismail unafanya nini?"

Niliinua macho yangu yakagongana na ya Ismail nikashusha yangu chini,ningeanzaje kuwa na ujasiri wa kumuangalia na nina miezi mitatu sijakutana na mashine hadi huku chini kunataka kuziba Sasa!

Ni kama aliniona mi ni dhaifu tayari akapitisha mkono wake kiunoni halafu akaanza kuzigusa shanga zangu,sijui kwa nini nilijikuta nashindwa kumzuia?

Alienda mbali sasa akaanza kupapasa chuchu zangu hapo nikatoa kisauti cha sitaki nataka!

"Suma acha bhanaaaaa mi stakiiiiii!"

Sijui aliziba maskio au ni nini nilishitukia ulimi unagonga hodi mdomoni juu ya lipsi zangu na Mimi ni nani hata nisiukaribishe??????

Tulianza kubadilishana mate,sikutaka kuonyesha ukali wangu nilimuacha ajisifu hasije nipigia kelele ofisini mie!

Alinilegeza nikakubali kulegea ,ndani ya dakika kumi tayari akawa ameshalipandisha gauni langu juu!

Akaishusha chupi yangu kisha akaniinamisha nikashika meza akatia mate kwenye bakora yake kisha akailengesha pangoni!Ilikuwa bakora kubwa iliyovimba ndefu imedinda ikapinda kidogo kwenda juu!!




Tulipoishia...... Boss kamuita Kidawa ofisini lakini kinachotokea anamuonyesha kuwa anamtaka na Kidawa kutokana na kuwa na nyege za muda mrefu anajikuta tayari kashavuliwa chupi bastola inabisha hodi kwenye ikulu yake!

Songa nayo.....


Niliiskia bakora yake ikinigusa gusa bambataa langu nikakumbuka kuna kitu kinaweza kutugharimu!

"Kafunge mlango!",nilisema Kisha Suma akaenda mlangoni kuufunga mlango nilikuwa na nyege sana miezi mitatu kwa mimi niliyezoea kubadili wanaume kila wiki ilikuwa ni kama miaka mitatu imepita.

Kisimi kilisimama na chuchu zilisimama zikawa ngumu kama nini!

Suma alirudi tena nami nikajua ndiyo muda wangu wa kuliwa,Kidawa nikainama kuishika meza vizuri na miguu nikaipanua nyuma ikabaki yote!

"Kazi kwako ushindwe mwenyewe!"nilijisemea mwenyewe moyoni!

Suma alikuwa mwanaume kweli,alikuwa amejazia kote hadi bakora yake ilikuwa siyo ya kitoto ikiingia lazima uvute pumzi!

Nilijiandaa kumpokea nyoka wa Suma pangoni,kichwa chake kilinigusa mashavu ya kitumbua changu na kabla hajaingiza akaanza kuisugua kwa juu nikahisi utamu usioelezeka!

Taratibu nyoka akazama pangoni akakutana na joto lililomfanya Suma asisimkwe akatoa kauli

"Ya moto!inabana balaa ooohhhsshh!"

Nami pia nikamjibu kwa sauti ya puani.

"Ndefu,inachoma balaa!"

Kazi ikaanza nikaanza kunyonga kiuno changu taratibu tu sikutaka kumfanyia makeke Suma.

Sikutaka nimpe yote leo Ila alinitibua alipoanza kuzichezea shanga zangu,hajui nikiguswa hapo huwa napoteza akili nakuwa chizi natombana kama mbwa!!

"Aaasshhhhh!!!usiniguse hapooo!!!aahaaah aahh aaah aaahhghhhhh!"

Nilimkataza Suma hasiguse shanga zangu Ila akaona kama ananipatia sana eti akaongeza kuchezea shanga zangu huku ananitia tena bila huruma ananiingizia bakora yote ile kubwa iliyodinda hadi ikapindia juu!

Akawa anaingiza yote breki ikawa pumbu zake nilifumba macho kwa utamu nikajisemea moyoni...

"Unamtaka Kidawa anakuja Sasa!"

Hapo hapo nikaupindua mchezo,waswahili wanasema nikapindua meza.

Nikajibua zaidi kiuno changu ili nipate balansi ya kukata nyonga!

Nikaanza viuno feni yani akitwanga mi napepeta,akipepeta Mimi nachekecha!

Alijifanya mjanja nikikata kulia anabania kushoto na nikikatia kushoto nikaona isiwe nikaichomoa bakora yake nikamkalisha kwenye kiti alafu nikampa mgongo nikainama nikaichomeka kisha nikaanza kukatika kama nakuna nazi sasa!

Suma akaanza kuupata utamu kolea akawa ameshika kiuno changu anachezea shanga zangu nikahisi madudu yamependa kichwani viuno vikaongezeka!

Suma akaanza kutangaza ushindi na Mimi nikawaskia wazee wa raha rahani wanakuja nikasimamisha kiuno Kisha nikamwambia Suma!

"Kata baba zamu yako kata uwalete wazungu wakatalii mbugani huko!"

Suma hakulemba akazungusha kiuno chake utamu ukakolea pande zote Sasa tukaungana ikawa nikilia AAAAAAAHHH Suma analia EEEEEEHHH ukawa mchezo wa kupokezana!

Suma akawatupa wazungu wake nami nikafika kileleni nikatulia kwanza wazungu w Suma waingie vizuri kisha nikawafinyia kwa ndani mboo ikatoka safiiiiiii haikuwa hata na haja ya kumfuta kwa kitambaa!

"We Kidawa!"aliniongelesha muda huo naangalia kitambaa kwenye mkoba wangu nijifute si unajua ni matamu akiwa nayo huko Ila yakishatoka duh!

"Abee!"

"Mbona we mtamu hivi!"

"Mheshimiwa mbona hata sijakupa inavyotakiwa!"

Muda huo nimeinama najifuta ghafla mlango ukagongwa kwa nguvu!

"Ngo!,ngo!ngo!!!!

Suma aliamka chini akaivuta suruali yake haraka akaivaa akaweka vizuri tai yake,nami nikasimama nikaokota chupi yangu nikaiweka kwenye pochi Kisha nikakaa kwenye kiti nikatulia!

Suma akaenda mlangoni akafungua mlango akawa kama anatoka nje ivi ili kupotezea kama mlango umefungwa!

Aliyekuwa anagonga mlango akaingia ndani akiwa amebeba mafaili akayaweka mezani Kisha akaniangalia machoni nikayakwepesha macho yangu!

Sikutata anione machoni,maana kivyovyote vile nilijua tu lazima yatakuwa mekundu siyo kwa sebene lile fupi tamu la Suma kwa kweli nilimpenda bure huyu baba!

Alitoka Kisha Suma alirudi ndani akafika akanibusu muda huo aibu ishakwisha,Sasa mtu kashanikwangua tumekwanguana bado nimuonee aibu ya nini?

Alikaa kwenye kiti chake akionyesha tabasamu pana kisha akaniambia!

"Nimeenjoy japo shoo fupi Ila tamu uko vizuri Kidawa shanga zako zinasisimua sana!"

"Asante nawe pia uko vizuri!"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

"Hahahahaaa!si sana Kidawa!"

"Mmmh!Hilo bakora kama umechanjia halafu bila huruma unaliingiza lote ,sijui una mpango nisizae!"

"Hahahahaaa!basi nisamehe!",aliongea huku ananipapasa mkono wangu!

"Sawa!"

"Sitoingiza yote baby ntakuwa naingiza kidogo!"

"Utaingiza tu yote baba sasa uingize nusu hiyo nyingine umwachie nani?"

Nilijikuta nimezama ghafla kwa Suma na hata sikujua kwanini Ila nilimpenda tu na bakora yake tamu!!

Tuliagana Wala hakukuwa na chochote kile Suma aliniita akanitie tu alifanikiwa,nilitoka nikiwa naangalia chini nikafika kwenye gari langu nikaingia kisha nikafunga mlango nikashusha kiti nikajiegemeza huku nafikiria imekuaje kuaje nimejirahisisha hivyo kwa Suma!

Sikupata jibu kumbuka hapo nilikuwa sijavaa chupi yangu nilitoa kwenye pochi nikanyanyua gauni langu nikavaa chupi yangu kisha nikawasha gari nikaondoka!

Ukawa ndiyo mchezo wangu na Suma sasa ingawa haikuwa wazi Ila tulikutana kwa kificho kwenye gesti bubu na tukamaliza hamu zetu bila shida!

Suma alikolea kwangu na mimi nilikolea kwake kiufupi tulinogeshana!

Siku moja nikiwa nimekaa zangu kwangu masaki naangalia filamu zetu za kibongo nilipokea meseji kutoka kwenye namba ngeni iliandikwa hivi!!!

"WE MALAYA ACHANA NA MUME WANGU NTAKUFANYA KITU KIBAYA SANA UNAJIKUTA K*MA YAKO YA DHAHABU SIYO NTAKUTIA NA KISU MKOME SUMA WANGU!"

Nilishtuka nikaweka simu chini,nilikuwa na maswali mengi nikijiuliza ina maana Suma ni mume wa mtu!

Nikiwa najiuliza simu iliita nikaangalia ni namba iliyonipigia simu!

Nikawa najiuliza nipokee au niache?




Tulipoishia .......Kidawa anatumia meseji inayomtaka kukaa mbali na Suma ambaye ndiye mwanaume anayempenda kwa Sasa unahisi atafanya nini?

Songa nayo......


Niliangalia namba inayonipigia nikakuta ni ya huyo mwanamke aliyetoka kunitumia meseji akinitaka niachane na Suma!

Niliipokea sikuwa na haja ya kuogopa nilijiamini kuwa mimi ni mtu mkubwa sana nisingeweza kutishiwa nyau nikakimbia..

"We mwanamke nadhani umepata ujumbe wangu mume anauma sana kama unajipenda kaa mbali na mume wangu!"

"Dada salamu kwanza basi!"

"Salamu ili iweje?nadhani ujumbe umeupata Suma ni mume wangu muache kuwa karibu naye ni kuhatarisha maisha yako!

Aliongea kisha akakata simu,sikutaka kumsikiliza ningewezaje kuliacha penzi tamu la Suma?

Mwanaume anayenikuna kunapowasha,anayenitibia maradhi ya moyo wangu,bakora yake inafika panapotakiwa tena mpaka inapitiliza?

Nisingeweza kufanya ujinga kama huo ndiyo kwanza niliongeza mapenzi kwa Suma,nilipogundua kuwa tupo wawili kumbe tunashindana japo mpaka hapo nishamzidi kete!

Wala sikumuuliza Suma nilibaki nalo moyoni,sikuonyesha mabadiliko mi niliongeza mapenzi kwa Suma ambaye nilimpenda sana!

Yule mwanamke aliendelea kunitumia meseji kwa wingi akiendelea kunikanya wala sikujali ndiyo kwanza nilimblock hasinipate kabisa!

Kwa Suma sikufuata pesa Ila mapenzi yake,ufundi wake kwenye uwanja wa fundi seremala ndio ulinipagawisha nilikuwa tukikutana panachimbika haswa!Bakora zinatembea na viuno vinakatwa mabao kama yote sasa naanzaje kumpoteza kidume kama huyu na wakati vidume wachache saivi mpaka wapake vumbi la kongo?


**********


Masomo yangu yaliendelea na sikuwa nikifanya vibaya ,nilisoma nikiwa naogopa pia mtu maarafu kama mimi kufeli ni aibu sana!

Mara chache nilisafiri kama kwenda mbugani na sehemu zingine zenye utalii au utamaduni huko nilipiga picha na nikawa nazipost kwenye akaunti yangu ambayo Sasa ilikuwa na watu milioni tatu!

Maisha yangu tayari yalibadilika Sana tu,kuwa supastaa siyo mchezo unakuwa kioo cha jamii hitakiwi kuwa na skendo!

Nilifungua sehemu ambayo pale nilikuwa nauza vitu vya asili kama vinyago ,kacha,shanga michoro ya kale nikaalika watu waliokuwa wanafanya hizo kazi za uchoraji ma Mambo mengine!

Nikawa nawauzia watu mbali mbali hasa watalii mbalimbali!

Pesa iliingia kila siku na umaarufu ukazidi kufana,yote sababu ya shanga zangu nilizovaa,shanga za Bi Mwana mwanamke aliyejitoa uhai wake kwa kuvunja mwiko aliojiwekea akanitibu ili nipate furaha!

Nilimaliza chuo huku uhusiano wangu na Suma ukazidi kumea kiasi tukapunguza usiri ukawa unatambulika kwa baadhi ya watu!

Ndipo siku moja nilikuwana Suma chumbani tumemaliza kula chakula cha moyo!

"Ahsante mpenzi unanipatia sana!"

"Nawe pia huishi utamu mpenzi!"

"Ila mpenzi kuna kitu kinanikwaza sana sana!"

"Nambie kipenzi!"

"Suma kumbe umeoa?"

Nilivyoongea hivyo alishtuka akaniangalia kwa macho yakiyojaa mshangao wa hali ya juu!

"Usiniangalie ivyo sasa nini hatma ya mapenzi yangu kwako,tunaenda wapi?tunatoka wapi?

Niliongea kwa uchungu sana hadi nikawa natetemeka ,nilimpenda Suma sikuwa tayari kumpoteza!

"Kidawa!",aliniita kwa sauti ya chini yenye kubembeleza wala sikumuitikia zaidi nilitega sikio niskie anataka kuniambia nini?

"Ni kweli nimeoa tena nina miaka mitano kwenye ndoa yangu lakini niko tayari nikuoe dini inaruhusu!"

"Suma unanichukuliaje?unadhani jamii itanielewa?na umaarufu huu niwe mke wa pili!?

Niliamka nikasogea dirishani nikasimama huku nimejistiri na shuka ndani sikuwa nimevaa chochote!

Sikulia,hapana marehemu Bi Sandra alishanikataza kulilia mapenzi,alisema mapenzi yanatakiwa yanililie mimi sio mimi nililie mapenzi!

Suma alikuja nyuma yangu akanikumbatia akinishika kiuno changu akazigusa shanga zangu,alishajua udhaifu wangu nguvu ziliniisha shuka likaanguka chini !

Suma alikuwa uchi bakora yake ndefu tamu ninayoipenda ilikuwa imesimama inanigusa matakoni nilihisi nyege zinapanda nikaanza kuhema kwa sauti ndogo kama vile mtu aliyekosa pumzi!

Mapenzi ya Suma yalinifunika,japo naye nilimshika haswa akashikika!

Ulimi wa suma ulikuwa ni kama nyoka anayetambaa mwilini mwangu!

Bado alisimama kwa nyuma yangu akinilamba mgongoni mpaka nyuma ya shingo yangu sehemu ambayo ikiguswa lazima ukunje shingo tu!

Nami sikubweteka nilipekeka mikono nyuma nikamshika nyoka wake nikaanza kumpapasa taratibu nilishuka hadi nazigusa pumbu zake!

Maswali ya kuoa yalipotea kama upepo sikuwa nguvu hizo tena!

Nilichokuwa nataka kipindi hicho ni kumuona nyoka pangoni ndiyo mengine yafuate!!

Niligeuka nikampa mate Suma Kisha nikainama nikashika bakora yake nikaimeza nikaanza kuilamba kama nanyonya ukwaju wa bakhresa!

"Ooohhssshyesssaaahhh...oooosshhhhohjjj"

Alitoa kelele wala sikujali niliendelea kumnyonya bakora yake huku najipapasa chuchu zangu kitendo kilichomfanya Suma apandishe mizuka ya kweli!

Suma alininyanyua akanibeba akaniweka kwenye kiti Kisha akauzamisha ulimi wake kuonja chumvi kama imetosha!

Baada ya kuonja chumvi na kuona iko sawa na Kidawa nimelegea sijiwezi akaninyanyua miguu yangu akaishikilia mikono yangu nikaibana shingoni kwake Kisha akaichomeka bakora jamani hii staili tamu ukikutana na mwanaume mwenye stamina!

Nilipokea kipigo kikubwa kizito nami nikampa penzi tamu Moto moto!.

Tulipomaliza tulioga Kisha Suma akaniaga anaondoka Wala sikumuuliza tena nilibaki na tabasamu tu moyoni kwa kazi nzito aliyoifanya!


************


Nilirudi ndani nikapumzika usingizi ukanipitia nilishtuka baada ya kuskia sauti nzito yenye mamlaka ikiniamsha!

"Amka we malayaaaa!!"

Nilishtuka nikakutana na watu wanne walioshika bastola na wamefunika nyuso zao hawaonekani!

Niliogopa nikaanza kutetemeka nilitaka kupiga kelele nikashindwa nikabaki natetemeka!

"Jamani nimefanya ni.....",sikumalizia kauli nilipigwa na kitu kizito kichwani nikaona giza linafunika mboni zangu sikujua kilichoendelea!


http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



Tulipoishia....... Kidawa ametekwa na watu wasiojulikana,je ni nani kamteka?wamempeleka wapi?

Songa nayo......


Nilikuja kushtuka nikiwa kwenye chumba ambacho kilikuwa kitupu kabisa,nimefungwa kamba miguuni na mikononi mdomo umezibwa kwa gundi ili nisiweze kutoa sauti!

Nilikuwa chini sakafuni sikuweza hata kujigeuza nilibaki vile vile huku najitahidi kutoa sauti ambayo ilinisaliti haikutoka nikaishia kuumia tu.

Bado nilijiuliza kosa la mimi kuwa pale ni nini?sikupata jibu kabisa!

Machozi yalinitoka kama maji,katika maisha yangu sikuwahi kuwaza kuwa kuna siku nitakuja kutekwa niliona ni maisha ya kwenye filamu huko sasa Kidawa nilikuwa nimetekwa na nisingeweza kujiokoa kwa inavyoonekana ni kusali tu kujua hatima ya kutekwa ni nini kufa au kupona

Usingizi ulinipitia nikalala pale sakafuni mikono iliuma sababu ya kufungwa na kamba kwa muda mrefu hata miguu pia!

Nilishtuka ghafla baada ya kumwagiwa maji ya baridi yaliyonitoa usingizini na ile sakafu nilitetemeka kwa baridi na hofu!

Bado sikumuona mtu aliyenimwagia maji maana ilikuwa tayari ni usiku,ghafla iliwashwa taa kali chumba kikawa cheupe hadi ikabidi niyafumbe kwanza macho yangu!!

Nilipofungua mbele yangu alikuwa amesimama mwanamke mmoja na wanaume wanne waliojazia!

Mwanamke yule alikuwa ananiangalia kwa hasira hadi nikawa najiuliza mbona kama ana hasira kama nilishawahi kumkosea lakini sijawahi kukutana nae!!!!

"Mleteeni kiti!",aliamrisha yule mwanamke.

Mmoja akatoka nje akarudi na kiti

"Mfungueni mikono akae hapo kwenye kiti!"

Wakanifungua muda huo nilikuwa nimelegea hadi jicho,nilikuwa nina njaa maana wameniteka ndiyo nimetoka kusex nikalala sijala chochote!

"Naitwa Mrs Ismail Lango!"

Moto wangu ulilia paaa!Nilihisi kifo mbele yangu kumbe nimetekwa na mke wa Suma!!!Nilianza kutetemeka hapo ndipo nikaanza kuuona uchungu wa mke wa mtu na mume wa mtu!

"Nambie mrembo,nakubali unanizidi kila kitu sura,umbo na hata umaarufu lakini bado si sababu ya kutembea na mume wangu!"

Nilinyamaza kimya nilijua kuongea ni kumuongezea hasira,hivyo nilikaa kimya tu akaendelea!

"Uko kwenye himaya yangu,hivyo vitu unavyoringia sijui sura naweza nikaikata kata saivi na hilo umbo nikalikata kata au nikakuua hapa nani atajua?"

"Nimekupigia simu nikakutumia meseji lakini hukunielewa,Suma ana nini umng'ang'anie mi namng'ang'ania sababu ni mume wangu wewe je?"

"Nampenda na ananipenda amesema atanioa niwe mke mwenza...!"..

"Kimyaaaaa!",yani we Malaya uwe mke mwenzangu?unadhani sijui stori zako?kujiuza insta na shanga zako za mia mbili mia mbili!".

Alinichefua kunitukania Shanga zangu wakati ndizo zimenipa maisha na umaarufu ,nilikasirika Ila sikuwa wa jinsi!!!.

"Mvueni nguo!"

Wale jamaa walikuja wakanivua nguo zangu zote nikapaki na shanga tu kiunoni kisha wakanikaliza kwenye kiti!

"Maskini,hilo umbo lako ndiyo umeona umdanganye mume wangu siku hizi hanit*mbi vizuri mbegu zote anakumwagia wewe malaya!".

Alisimama akanipiga kofi nikaanguka chini na kumbuka sakafu Ina maji Wale jamaa wakaninyanyua tena wakanikalisha kwenye kiti!

"Una nyege sana??niwape vijana wangu wakutie bakora?"

"Sasa utalala humu hadi ukome utakula,utakunywa kwa shida!mpaka upate adabu!

Natamani nikuue Ila hautaumia kama nilivyoumia mwaka mzima unabanjuka na mume wangu!

Aliondoka akaniacha mle ndani ambamo nililala chini sakafuni!

Usiku wakati nimelala niliskia mtu ananipapasa nikashtuka akawasha taa nikakutana na mmoja kati ya wale walinzi amevua suruali yake mkononi kashika kisu chake akaweka kidole mdomoni akanipa ishara ya kunyamaza!

"Ssshhhhhiiiiiiiiiiiiii!"

Niliogopa sana kiasi kwamba sikuwa na ubishi alisogea akapiga magoti akanigeuza akapanua miguu yake akatema mate akashika bastola yake akailengesha kwenye ikulu yangu ambayo haijaandaliwa kumpokea mgeni yule ambaye alishafika mlangoni!

Niliona hapa nabakwa na kuliko kubakwa Bora nifanye kwa hiyari yangu maana bakora ya huyu jamaa ya kawaida tu,nilifumba macho nikazivuta hisia Niko na Suma ananyonya kitumbua changu!

Mashine ya yule jamaa ulipofika tu mlangoni kitumbua changu kikamwaga mafuta ikateleza jambo ambalo hakulitarajia huyu baharia alikutana viuno vya Kidawa ambavyo vilimuongezea hamu akajikuta amemwaga bao lake!

Kitendo kile kilimfurahisha yule jamaa akanifungua mikono yangu na mdomo wangu akaanza kulitafuta bao la pili nalo hakukawia sana akamwaga.

Sikujua kuwa ni mzunguko ningefanyaje Sasa!alipomaliza huyo akaingia mwingine ambaye alipiga bao moja Kisha wa tatu yeye naye akapiga bao moja.

Ila kilichonishangaza ni huyu jamaa wa nne,yeye alikuwa akija kuingiza mboo yake inanywea kabisa,sijui ni nini Ila ilikuwa ivyo Karibu kila akijaribu kunitia tu inasinyaa!!


**********


Taarifa za kupotea kwangu zilianza kusambaa,vituo mbali mbali vikaanza kutangaza,walionipenda wakanipost mitandaoni na wasionipenda pia!

Ilikuwa habari kubwa sana iliyokuwa gumzo Tanzania!

Serikali ilitoa ahadi atakayenipata atapewa zawadi!

Katika vitu sikujua ni kuwa ndani kwangu kulikuwa na CCTV camera zilizokuwa zinarekodi mambo yote hasa sebuleni!

Waziri waliagiza watu wakaenda wakachukua matukio yote mwanzo hadi mwisho wakaona jinsi nilivyotekwa na watu wanne waliovaa nguo zilizofunikwa kwa miili yao kwa asilimia kubwa!

Jibu tayari likawa limepatikana tayari na haikuwa siri tena kila kitu kilikuwa wazi kuhusu mimi na Suma maana hata video ilimuonyesha Suma alipotoka tu ndani kwangu haikupita hata saa nikavamiwa nikatekwa!

Hakuwa akijua chochote maskini hata alipoojiwa alikuwa haelewi zaidi alikiri tu mimi ni mpenzi wake basi!! Hakujua nyuma ya pazia kuwa mke wake ndiye mkandarasi wa kila kitu!

Hatimaye ilikatika wiki bila ya mimi kuonekana,watu walikata tamaa,wazazi walilia huku wakitangaza dau kwa atakayenipata lakini bado sikupatikana!

Kila mtu aliongea lake kuhusu kupotea kwangu wengine wakadiriki hadi kuingiza uchawi kwenye upoteaji wangu,wengine wakasema nilikuwa free masons hivyo wamenichukua kafara!

Hawakujua ni nini kinaendelea japo vyombo vya usalama vilijitahidi sana kufanya uchunguzi lakini bado!




Tulipoishia.......Kidawa katekwa na dau nono limetangazwa kwa yoyote atakayechangia kupatikana kwake...

Songa nayo...


Hawa jamaa walinigeuza mke wao,kitumbua changu kilipata tabu jamani,ilikuwa mtu anatoka huko tu na hamu zake anakuja ananipapasa kidogo ananitia.Ningefanya nini unadhani?si bora hivi kuliko kufa !

Ukizingatia wananijua mi ni mtu maarufu,ebhu vuta taswira mtu kamteka Wema Sepetu halafu kavuliwa nguo zote unamuona kabisa kitumbua cha wema kileeee!utaachaje kukitafuna!

Mtu mmoja tu ambaye hakunifaidi ni yule wa nne yeye alikuwa anakuja imesimama Ila akibisha hodi tu inanywea!Inasinyaa sasa ataingizaje inabidi ale kwa macho tu!

Mke wa Suma alikuwa anakuja Mara chache sana kuja kuniona mateso wanayonipa!na walikuwa wananipiga pia muda wakiamua!

Alikuwa akija wanakuwa serious wananifunga kisha mateso yanaendelea,akiondoka wananifungua wananipa chakula vizuri tu na maji ya kuoga kama kawaida naosha kitumbua changu vizuri wanakipandia!!

Ilipita wiki niko kule,hali ya kuliwa na vidume watatu Karibu kila siku nilianza kuizoea kabisa nikawa naenjoy sasa kwa utamu maana bakora tatu lazima uridhike sema sasa shughuli unayo ni kila siku!!

Wiki ya tatu iliisha nikiwa mle ndani natembezewa bakora kama kawaida hadi sasa nikawa nimeathirika kisaikolojia yani siku wasiponitia silali napata tabu kitumbua kinawasha balaa!!

Nashukuru hamna hata mmoja aliyewaza kuyanyoosha malinda yangu sijui ningekuwa mgeni wa nani mimi kutolewa bikra ya tigo pesa naskia inauma hatari!

Mwezi ulikatika nilikosa matumaini,nikajua Sasa Yale ndiyo maisha yangu,kila siku kuchezea bakora za mabaharia!!!

Siku moja usiku nikiwa nimelala niliota ndoto nikamuona Jabir wangu! nadhani mnamjua.

Niliota nikiwa kwenye kile kile chumba nachootaga nikiwa na Jabir.Ila tofauti na siku zingine nilikuwa nimefungwa mikono na miguu niko uchi kitumbua changu kinavuja damu kama vile nimetoka kubakwa!

Jabir alisimama akaniangalia kwa macho yaliyojaa huruma sana kisha akanyoosha mkono wake kamba zile zikakatika pale pale!Kisha akanipa kanga nikajifunga baada ya hapo akaniambia.

"KIMBIAAAAAAAAA!!!"

Nilishtuka kutoka usingizini nikajikuta bado nimelala kwenye sakafu nikainuka nikiwa uchi pembeni kulikuwa na kanga ambayo sikujua kaileta nani?

Akili ikanituma niiokote ile kanga nikafanya ivyo kisha nikajifunga nikaanza kupiga hatua kutoka nje!

Hakukuwa na mtu ndani zaidi yangu,mara chache huwa wanafanya ivyo,wananifungia kwa nje wanaenda kufanya ujambazi wao!

Ila siku ile ilikuwa bahati nilipoushika ukakubali nikatabasamu ila nilipoufungua mlango nikatoka nje nilimuona mwanaume amekaa kwenye gogo moja amenipa mgongo,kavaa kanzu nyeupe inayong'aa Sana niliogopa nikataka kurudi ndani akaniambia.

"Usiogope mimi ni Jabir,nimechoka kuja ndotoni leo nimekuja kukuokoa!"

Nilitetemeka sana kiasi kwamba nilihisi mkojo unapita maana nilishamzoea Jabir anakujaga ndotoni sasa siku ile alinifuata laivu macho kwa macho,jini ni jini tu weee!

Aliamka akanisogelea akanishika mkono akaniambia.

"Wako njiani wanarudi hatuna muda wa kupoteza twende!"

Tulianza kukimbia kuelekea mistuni,kitu ambacho sikukijua ni kuwa ile nyumba ilikuwa porini yaani imezungukwa na pori!!!!

Tulifika sehemu chini ya mti mkubwa tukasimama Jabir akaniangalia nilikuwa nimechoka halafu nahema sana tofauti na yeye alikuwa anatabasamu tu!

"Simama hapa!",aliniambia nikasimama kwenye ule mti mkubwa kisha akanisogelea karibu akanikumbatia,sijui nini kilitokea Ila nilijikuta niko pembezoni mwa bahari ya hindi ndani ya muda mchache tu yaani kufumba na kufumbua!

Jabir aliniangalia machoni kisha akaniambia

"Bi Mwana alinitenganisha na wewe!",sikushtuka sana sababu najua majini wana uwezo mkubwa sana, akaendelea.....

"Nilipanga nikuoe na ungechagua wewe tuishi wapi?Ila Bi Mwana akakupa dawa ambayo hainiruhusu kufanya mapenzi na wewe maana nitayeyuka kama maji!Ila hiyo hainizuii kukupenda bado nakupenda na sitoacha kukusaidia pale inapotokea naona msaada wangu kwako unahitajika!"

"Samahani nimechelewa sana kuja nilikuwa nina majukumu mengi kusimamia ndoa ya dada yangu aliyefunga ndoa na binadamu kama wewe,sijui kwanini ulinifukuza!ningeweza kukupa mali kuliko unazomiliki sasa!"

Nilikaa kimya nikimskiliza Jabir ambaye aliongea kwa uchungu mkubwa!

"Kingine mimi ndiye niliyezuia ile bakora ya yule jambazi wa nne,unajua kwanini??sababu ameathirika na sikutaka na wewe kwako ikutokee!Naanzaje kumuacha mwanamke nayempenda apate magonjwa kama hayo huku naangalia!!!!

Machozi yalinitoka nikashindwa kuyazuia,nililia kwa sauti hadi kamasi zikanitoka kwa uchungu!

Kumbe yule jambazi wa nne aliyekuwa anataka kunitia bakora yake inasinyaa ni muathirika!

Nilimsogelea kumkumbatia Jabir nikamkumbatia huku machozi yananitoka kwa wingi nilihisi kumkosea Jabir ningesaidiwa na nani mimi kule porini kama siyo Jabir kunitoa kule.

"I'm sorry Jabir"

"Usilie najua nami nilikukosea kukuwekea nuksi kila mwanaume unayekutana naye akuone mchungu kuliko nyongo wala shubiri!"

"Ulikuwa sawa Jabir!Pengine ningebaki na nuksi yangu nisingetekwa!"

"Nimefanya kazi kubwa kuoga dawa ili walau niweze kukushika mkono,yule Bibi angekuwa hai ningemfuata anisaidie kutoa hii dawa mwilini mwangu umeniweza Kidawa!"

Jabir alisogea pembeni kisha akaniambia...

"Nenda Kidawa hapa ni Coco Beach sogea mbele tu hapo utapata bodaboda angalia kwenye kanga yako kuna pesa ya nauli nimekufungia mi narudi kwetu ntaishi nikitafuta dawa ya kutengua dawa za Bi Mwana naamini siku moja ntashare na wewe kitanda kimoja!"

Nilimuona Jabir anatembea anaingia baharini macho yake yanatoka machozi ya damu,alitembea hadi akazama baharini kichwa kikaishia akatokomea!

Sikuwa na jinsi nilitembea na kanga yangu moja ndani sikuvaa hata chupi,sikuwa na cha kuogopa!Nilitembea kwenye kiza mpaka nikakutana na boda boda ambaye alisimama akanishangaa kwa nilivyochaa!

Kwa jinsi nilivyokuwa isingekuwa rahisi kwa mtu kunitambua,sikuongea nilifungua pindo la kanga nikatoa kulikuwa na pesa kama elfu thelathini nikampa zote boda boda nikamwambia..

"Nipeleke Kigamboni!"

Hakuniuliza maswali mengi Safari ikaanza kutoka Coco Beach mpaka Kigamboni!

"Sister kwani unatoka wapi?"

"Kaka nipeleke nyumbani!"

Bodaboda alinyamaza akaendelea kuendesha boda yake,akipita barabarani Ila kilichonishangaza alikata kona nikaona mbele kuna kituo cha polisi!

"We Kaka unafanya nini?"

Nilimuuliza hakunijibu chochote,nilitamani kuruka nikimbie lakini nikashindwa aliingiza bodaboda kituoni Kisha akashuka nami nikashuka muda huo natetemeka hatari!



http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



Tulipoishia......Kidawa anamwona jini Jabir akiwa anaondoka zake baada ya kumuokoa.Kidawa na yeye akiwa na kanga moja peke yake anaanza kuelekea barabarani anakutana na boda boda anampa pesa ili ampeleke Kigamboni ambako ndiko kwao kwa baba na mama,lakini boda boda yule bila anaingia kituo cha polisi anasimama.

Songa nayo.......


Bodaboda alishuka na mimi nikashuka kwenye bodaboda!nikiwa natetemeka sana kwa hofu!

"Nimekuuliza wewe ni nani unatoka wapi?hutaki kunijibu sasa twende ukawaeleze polisi!",alifoka yule boda boda hadi nikaogopa kisha akanishika mkono tukaanza kuingia kituoni!Sikuwa na jinsi nikiwa peku peku na kanga yangu moja nikafika kituoni!

"Nyie vipi?",aliuliza afande mmoja!baada ya kuona mazingira yetu!

Ndipo yule bodaboda akaanza kuwaelezea jinsi alivyokutana na mimi,alikuwa na wasiwasi huenda mimi ndiyo wale wanaoshirikiana na majambazi kuteka bodaboda!Baada ya maelezo niliskia sauti ya yule askari akiniamrisha!

"KAA CHINI!KAA CHINI!ITAKUWA NDIYO HUYU ANAYEUA WATU COCO BEACH,WEWE NDIYE TULIKUWA TUNAKUTAFUTA!"

"Ndiye huyuuu!",alidakia afande mwingine pembeni!

Nilikaa chini nikitetemeka sana,sikujua hatma yangu machozi yalinitoka nilijiuliza kwa nini napitia magumu kiasi kile!

Moyo wangu ulilia paah!!nilipoinua macho nikatazama ukutani niliona picha yangu niliyopiga kitambo ikiwa imechapishwa ikabandikwa ukutani huku ikiwa na maandishi makubwa yaliyosomeka hovi ....

'ANATAFUTWA ATAKAYEMPATA AU KUJUA TAARIFA ZA WAPI ALIPO ATAPATA ZAWADI NONO!'

Kidogo nilifarijika nikawa nalisoma lile bango mara mbili mbili,kitendo kilichomfanya afande mmoja wa kike aniangalie nachokiangalia,muda huo tayari yule bodaboda kashaondoka.

Alipoona naangalia ile picha akanisogelea Karibu akaninyanyua uso wangu kisha kwa sauti kubwa akasema.

"KIDAWA NI WEWE??"

Sikumjibu kitu Ila wale maaskari walikuja wakaanza kunizunguka wakitaka kuona kama kweli ni mimi Kidawa nimepatikana!

"Ndio yeye mpigie mkuu wa mkoa!!"

Aliamrisha ambapo mkuu wa mkoa alipigiwa simu akapewa taarifa kuwa nimepatikana!!!

Muda huo yule afande wa kike akaniongezea kitenge kimoja nikajifunika wakanipa kiti nikakaa.

Kuanzia hapo walinijali kama mfalme sikujua kwanini nastahili yote yale, punde walifika waandishi wa habari sijui walitokea wapi Ila walikuja wakaanza kunipiga picha wakitaka mahojiano na mimi lakini nilikataa kuzungumza chochote!

Msafara wa mkuu wa mkoa ulifika ukiwa na Mheshimiwa Waziri wa Maliasili na Utalii mkuu wangu wa kazi.

Picha ziliendelea kupigwa ndipo nilipochukuliwa hadi hospitali nikapimwa sikuonekana na tatizo lolote!

Wazazi walikuja wakanichukua mpaka nyumbani,Waziri akaagiza nipewe walinzi wanne watakaolinda nyumbani kwetu mpaka ntakapokuwa sawa!

Wazazi,serikali na hata marafiki waliniuliza ni wapi nilipokuwa!jibu langu lilikuwa ni moja tu "SIJUI".

Unajua kwanini nilisema vile?unadhani ningeanzaje kusema eti nilitekwa kisa nilikuwa natembea na mume wa mtu,ingekuwa ni skendo ambayo ingenishusha thamani pengine hata ningenyang'anywa ubalozi wangu wa Utalii na wizara husika!

Kutekwa ilikuwa ni kama kiki mpya kwangu,wafuasi mitandaoni waliongezeka na umaarufu ukazidi maradufu!

Nilizidi kupata mikataba minono ambapo kama kawaida nilianza kufuatwa na wasanii na maproduza wakubwa wa muziki wakinitaka niimbe eti kwa umaarufu nilio nao ningeweza kupata pesa nyingi!

Katika maisha yangu sipendi kufanya kitu ili nipate pesa,huwa nafanya kitu ninachokipenda bila kulenga pesa,hata hizi shanga nilizipenda nikafanya kwa mapenzi yangu tu,nashukuru upendo wangu juu ya shanga umegeuka pesa!

Hivyo nisingeweza kukubali hata kidogo niache kitu ninachokipenda nifanye muziki nilikataa!

Kitu chochote kama unakipenda fanya kwa mapenzi usifanye ili upate pesa,pesa zitakuja baadae ba hata zisipokuja huwezi jutia kwa sababu ulifanya jambo unalolipenda hivyo pesa hujapata Ila muhimu moyo wako una amani!

Nilipambana kutangaza duka langu ambalo niliuzia sana wazungu kwa asilimia kubwa!


*********


Niliamua kumpotezea Suma maana tayari kashaniletea matatizo ya kutekwa,hivyo nilikaa mbali na yeye kujiepusha na Shari la mkewe!

Ngoja nikwambie kitu hamna kitu kibaya kama kuwa na maadui wengi,huwezi kuishi kwa amani sababu huwezi jua kesho anaamka anawaza akufanye nini!

Mimi nilikuwa nimelala Sina hili Wala lile nikatekwa kisa tu uadui na mke wa mtu!

Ivyo tumia muda mwingi kujenga marafiki wapya kuliko maadui.

Kadri unavyozidi kutengeneza maadui ndivyo unajiweka kwenye hatari,maadui ni kukisogelea kifo!Tena unajichimbia kaburi lako mwenyewe!!!

"Halooo Nani?"

"Ni mimi Suma!"

"What!!!!!Suma!!!umepata wapi namba yangu?"

"Kidawa I miss you!"

"Wee!weeh'wee!!!nikome tena unikome kabisa nilikata simu nikamblock kabisa!

Moyoni nilimpenda sana Suma Ila sikuwa na namna mke wake alikuwa ni kikwazo kati yetu ningewezaje kuendelea m,siwezi nayapenda maisha yangu zaidi kuliko yeye!Nilichagua kuishi kuliko penzi lake!

Kwenye maisha kuna wakati binadamu inabidi utoe maamuzi magumu ili uishi!

Suma hakuacha kunitafuta alibadilisha namba kila leo, hakukata tamaa alipigania mapenzi yake laiti angejua kilicho nyuma ya pazia!

Alinisumbua mpaka kuna muda nilijikuta nataka nimsamehe tuendelee!




Tulipoishia...... Suma hajui yote ambayo mke wake alimfanyia Kidawa,bado anamsumbua Kidawa akitaka kuendelea naye Kimapenzi!

Songa nayo....


Kile kitendo cha kufanya mapenzi kila siku na wanaume watatu walionigeuza kama mke wao kipindi wameniteka kilinifanya niugulie ugonjwa wa nyege,kidude kiliwasha hasa,upele ukataka mkunaji.

Kusema kweli maji yalizidi unga,na mnanijua Kidawa nikiwaga ivi hata maji moto hayawezi kupoza mashetani yangu!

Nilisharudi nyumbani kwangu maana nilipewa ulinzi mzuri nyumbani kwangu,hivyo nilikuwa na amani kidogo sikuogopa kuvamiwa.

Nakumbuka siku moja niliamka kidude kimechafukwa balaa,yani nilifanya vyote lakini bado nilikua na kiu ya bakora ile mbaya!

Yaani kila nilichofanya kilidunda nikaona isiwe tabu nikatoka nje nikiwa na kanga yangu moja iliyonikaa na kunichora umbo langu namba nane huku zigo langu likiwa huru bila chuli wala nini!

Nilitoka nikitembea kwa mwendo wa taratibu kabisa sikuongea wala kuimba Ila wowowo langu lilitengeneza biti na kuimba lenyewe!

Lilikuwa linaimba ule wimbo wa zamani kipindi kile mwanamke akipita anatibgisha tu utaskia hamsini ,hamsini mia ,hamsini hamsini mia!!!

Nilijipitisha mlango wa nyuma ambapo kuna mlinzi mmoja wawili walikuwa mlango wa mbele kwenye geti kubwa!

Nilimpita nikaenda bombani nikachukua ndoo nikaanza kumwagilia maua.

Sasa vile nilikuwa nainama kumwagilia maji nilimuona tu vile mlinzi anameza mate nikaona isiwe tabu nikamsogelea mpaka alipokaa nikasimama mbele yake nikamwangalia kwa macho yanayosema!

"Niguse basi!"

Mlinzi alibaki ananiangalia tu akasimama akiweweseka si unajua mimi ndiyo boss tena lazima ashtuke!

"Mbona unasimama!",nilimuuliza kwa sauti ya chini!

"Hapana boss!",alinijibu kwa sauti ya chini hadi nikachukia!

"Shhhhhhiiiiiiiiihh!taratibu mpaka waskie!",niliongea kisha nikaweka pozi za uso niking'ata lipsi(makungwi wanaelewa????)

Nilipitisha mkono nikaushika mkanda wake wa suruali nikamvutia kwangu maskini akasogea huku anaweweseka!

"Unapenda tembele au mchicha?",nilimnong'oneza sikioni yule mkaka akafumba macho kwa hisia!

"Nakula zote!",alinijibu.

"Ivi ukipewa mbwa umkimbize mbuzi aliyegoma utakubali!"

"Ndiii...ndio boss!"

"Twende basi tukamkimbize kuna mbuzi kagoma huku!"

Niliongea nikimvuta mkono kuingia ndani nikaingia naye mpaka chumbani Kisha nikafunga mlango!

Kanga yangu kama ilijua,nayo ikadondoka chini ikaniacha mtupu Kidawa na shanga zangu!

Nilisimama nimpime huyu mlinzi kama no boya au mjanja,sababu kwa mwanaume anaaejielewa hapo tayari kashajua nataka nini?

Yule mlinzi aliniangalia kisha akatabasamu akatupa kirungu chake chini akanisogelea akanikumbatia akinibania mlangoni,http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Damu yangu ikachemka haswa,yule jamaa hakuwa zoba kama nilivyofikiri alijua mambo kweli.

Alinibana ukutani ulimi wake ukatua shingoni kwangu akaanza kuninyonya kwa nguvu kama zombi au kama anaweka love bite!

Nilifumba macho alipoamia sikioni akaanza kunihemea ndani na akawa kama anavuta pumzi kisha anaiachia sikioni ,nilisisimka nikaanza kuhisi naanza kulowa!

Hakuishia hapo alipitisha mkono wake akaanza kupima oil muda huo ulimi wake umemeza chuchu yangu inapata tabu kweli kwa ulimi wake wa moto!

Kisha akashuka akaanza kunyonya kitovu changu mmhh alikuwa na kasi kiasi kwamba nilijikuta mamruhusu afanye yake yangu nikayaweka pembeni!

Kama haitoshi akaanza kutafuta mbavu zangu yani kama anazingata Ila anatelezesha meno.

Hapa uzalendo ulinishinda nikajikuta nakatikia kidole kinachopima oil huku pangoni!

"Asiiiiihhhh...aaahhshh..oooh..baby....aassshhhh!"

Acheni jamani mtu ukishikwa panaposhikika ni lazima utasema tu hata kama ni dharula mmekutana ghafla mechi siyo rasmi utamuita tu baby au hata mume kabisa kuna mafundi bhana!

Kama haitoshi akahamia makwapani bila kinyaa akapitisha ulimi wake uliozidi kunitekenya na kuninyegesha Kidawa!

Kitumbua kilicheua kikatapika ute mzito unaoteleza moyoni nikajua kumekucha sasa!

Alizichezea shanga zangu kwa ulimi kiasi mpaka nikamwaga bao langu zito saafiii!!!

Kifua chake kilikuwa kimejengeka kwa mazoezi hatari mpaka nikajua leo uko mechini atanivunja kiuno!

Baada ya pilika zake kuninyegesha na kunilowesha kutimia Kidawa nikaanza pilika zangu Sasa na mimi kutesa kwa zamu!

Kwanza nilianza kupima maji nayaweza?sio unaenda kuzamia maji shingo nani kasema?

Niliimvua shati aliyovaa kisha nikaanza kumvua suruali yake ikaanguka chini,sikuishia hapo nikaitoa boksa yake nikakutana na dude,nielewe ni dude sio kidude!!

"Wow!!!ndefu nene aaashhiii!!"

Nilisema Kisha nikainama nikapiga magoti nikaanza kuilamba huku kisimi kinacheza cheza kwa nyege!

Kwa jinsi nilivyokuwa na nyege sikutaka hata mambo mengi niliinama Sasa kuzichuma zile tembele!

Baby wangu wa dharura akalishika dude lake akaliingiza pangoni taratibu sana likaingia mpka nikahisi limefika nikazuia!

"Basiiiiii!!usiweke lote dude lako kubwa!!!"

Baada ya kujisalimisha nikaanza kukatika taratibu sana kwa hisia kali!huku nimeyafumba macho!

Alichoharibu huyu jamaa ni kuanza kunishika kiunoni kama haitoshi akaanza kuchezea shanga zangu,sijuagi mpaka leo hizi shanga Bi Mwana aliweka nini yani zikiguswa tu mashetani yangu yanaamka!

Ilichezwa mechi kali ya aina yake ambayo haikuwa na refa Wala mshika kibendera!

Kila mtu alicheza faulo ambazo zilimpa ushindi mpaka mechi inaisha kila mtu alikuwa anavuja jasho kwa utamu tuliopeana!

"Ahsante sana sikujua una bakora tamu kiasi hiki baby!"

"Mmh!boss na wewe icho kiuno kama feni kidogo niumbuke!"

Kidogo hapo nilipoa kitumbua kikapata mlaji,kipele kikiwasha tu namtoa mlinzi getini namleta chumbani tunacheza mechi!


Siku moja nilikuwa na nyege balaa,nimeamka asubuhi asubuhi na muwasho wangu,haraka nikaenda getini cha ajabu nikamkuta mlinzi mwingine!

"Za saizi boss!"

"Salama Dullah yuko wapi?"

"Simjui boss,mi ndo nmeletwa leo hapa!"

"Namaanisha mlinzi aliyekuwa hapa!"

"Kama ndiyo huyo kahamishwa kapelekwa Tanga!"

Nilitoka kwa hasira nikarudi ndani niliumia Sana moyoni,nilikuwa nishaanza kumpenda japo sijawahi kumwambia,kibaya hata namba zake sikuwahi kumuomba nilimtumia kama chombo cha starehe!





Tulipoishia........ Mlinzi wa Kidawa aliyemgeuza mpenzi wake wa siri amehamishwa kikazi Tanga,.....

Songa nayo.....


Maisha yale yakusindikizwa kila sehemu yalinishinda,niliandika barua nikiomba kuondolewa walinzi kwani muda ushapita na istoshe Suma nilishampotezea ivyo mke wake hawezi nifuata tena!

Waziri aliniita ofisini nikaenda,akanishauri nibadilishe maamuzi yangu Ila nikakataa.

Nilirudi nyumbani nikakuta walinzi wameshaondoka zao,nikaona kweli Waziri yupo serious nikatafuta namba ya boss wa kampuni moja maarufu sana ya ulinzi.

Siku hiyo hiyo nikapata mlinzi mmoja wa getini ambaye huyu sasa nitakuwa namlipa mimi!

Ile hali ya kulindwa lindwa ilifanya mpaka marafiki zangu wasinitembelee,nilichofanya nikaanza kuwajulisha shoga zangu kuwa walinzi wameondoka!


Kesho yake Jenny alikuja na begi lake kabisa kwangu,

"Shoga karibu nimekumiss hatari!"

"Mimi Je?nilikumiss sana kiasi kwamba nilitaka nije usiku niwaue kabisa walinzi wako!"

"Unavyoongea kishujaa kama unaweza hata kuua mende!"

"Hahahahaaa!!"


Huo ukawa mwanzo wa maisha yangu mengine ambayo sasa yalikuwa na uhuru mkubwa!!!

Jenny alikuja na tabia zingine ambazo sijui hata yeye alizitoa wapi?

Alikuwa mlevi sana na mtu wa kupenda sana kutoka kwenda sehemu za starehe Karibu kila siku!

Siku moja nilirudi mapema kutoka kazini,nikaingia ndani nikavua nguo zangu kisha nikarudi sebuleni.

Sikumuona Jenny hivyo nikaenda chumbani kwake,nilipofika nikafungua mlango sikuamini nilichokiona!!


Jenny alikuwa uchi kainamishwa nyuma yake bora angekuwepo mwanaume anamshindua!!

Ilikuwa ni kitu ambacho sikukitegemea kabisa.Yule mwanamke alikuwa amevaa chupi iliyokuwa na bakora ya bandia akawa anamtia nayo!!!

Jenny alitoa milio ya ajabu kuonyesha eti anakunwa panapostahili.

Kwangu ile ilikuwa ni laana nisingeweza kufanya vile nilihisi kinyaa nikatoka zangu nikiubamiza mlango kwa nguvu wakashtuka nikaenda zangu chumbani kwangu,Jenny alinichefua sana!!

Baada ya nusu saa aliingia Jenny huku akiwa na aibu sana usoni!Nilimuangalia kwa hasira nikamuuliza!

"Mumeo yuko wapi?"

Swali langu lilionekana kumshtusha sana,akaanza kujikanyaga bila jibu!

"Kusanya kilicho kwako toka kwangu!"

"Kidawa nisame....!"

"Kusanya kilicho chako ondoka kwangu,umekosa nini mboo kibao mnakuja kunitia laana nyumbani kwangu?"

"Lakini ki......!"

"Hakuna cja lakini,nikitoka nisikuone!!!"

"Nisam.....!"

"Toka chumbani kwangu!",nilipaza sauti hadi Jenny akatetemeka kwa hofu!"

Alitoka akachukua begi lake na kila lililomuhusu akaondoka zake.Sikuwa na huruma naye kabisa!!


*************


Nilianza kuishi maisha yangu mapya peke yangu,sikuwa na mpenzi Kidude kiliwasha sana kiasi kwamba ikafikia hatua hadi nashindwa kulala kabisa!Nilikuwa na pepo sio bure!!

Kama unavyojua utajizuia leo kesho kidude kitaamsha tena maruhani!

Nilivumilia mwisho uzalendo ukanishinda na vile nilikuwa bize na kazi zangu za utalii sikuwa na muda wa kutoka,pia mimi ni maarufu ivyo siwezi kwenda kujianika tu bar au club bila sababu ya msingi!

Nilianza kuingia kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram kulikuwa na wanaume wengi waliokuwa wamenitumia meseji za kunitaka kimapenzi!

Nikaanza kuchagua mmoja baada ya mwingine!

Lakini safari hii bahati mbaya ilikuwa kwangu,kila mwanaume niliyekutana nae kama siyo kibamia basi ni bao moja chali!

Hali hiyo ilinifanya nibadilishe wanaume kwa kasi ili kumpata atakaeniridhisha kitandani maana Kidawa nimezoea shoo za kibabe sasa ukija na bao la kuku dah!nakuwa sikuelewi kwa kweli!

Ndani ya mwezi mmoja nilijikuta nakutana na wanaume Karibu 15 na kati yao wote walikuwa hawaniridhishi kabisa kitandani!

Nilikonda kwa mawazo,nikayumba Sana maana bakora nayo inasaidia kukuweka sawa kimawazo hasa kwa sisi tuliozoea kwa wiki hata mara tano au hata kila siku!

Nakumbuka siku moja nilikutana na mwanaume ambaye nilipofika naye ndani nilikubali mashine yake ilikuwa poa sana!

Alipovua nilipoiona tu mate yalinidondoka kitumbua kikalowa kwa nyege zisizo na idadi.

Ilikuwa bakora tamu sana kwa kuiona tu ilisimama haswa!

Tatizo lilikuja baada ya kupeana maandalizi ya hapa na pale tuliamua kula raha sasa,nikajilaza Kidawa mguu bara mguu pwani.

Ila yule jamaa alipojaribu kuingiza tu ikawa inalegea inasinyaa kabisa!

Ila akitoa inasimama akifikisha tu kwenye mashavu ya kitumbua changu inasinyaa!!

"Kwani una matatizo gani?",nilimuuliza maana nilikuwa na hamu balaa!!

"Sijui!"

Huwezi amini yule jamaa aliondoka na utamu wake huku nauangalia uleee nikabaki na nyege zangu nilihisi upweke nilitamani hadi kulia!


**********


Siku hiyo ilikuwa ngumu sana kwangu,najua wanawake mnajua mtu akikunyegesha halafu akakuacha njiani!

Nilioga mara tatu,kidogo nilitulia na usingizi ukaja sasa!

Nililala usiku nikasinzia ndipo nilipoota ndoto kama ile niliyokuwa naiota zamani!

Chumba kama kile kile nilichokuwa nakiota zamani,maradhi yale yale.

Nilikuwa nimelala juu ya kitanda kikubwa kizuri kilichopambwa na nakshi za kipwani pwani!

Ghafla alitokea Jabir alikuwa amependeza sana tofauti na alivyokuwa anakuja zamani,Kama kawaida yake hakuisha kutabasamu Ila siku hii lilizidi maradufu.

Alisogea kisha akakaa pembeni yangu muda wote nilikuwa namuangalia kwa matamanio!

"Kidawa!",aliniita kwa sauti yake tamu yenye kusisimia

"Abeeh!"

"Nina furaha sana leo!"

"Kwanini Jabir!"

"Nimefanikiwa kupata dawa sasa naweza kukugusa na kufanya mapenzi na wewe!"


Nilishtuka nikajua Jabir anaweza akanitupia tena ile nuksi niliyotolewa na Bi Mwana!

Jabir ni kama alikuwa mawazoni mwangu aliniangalia kisha akacheka kwa sauti.

"Hahahahaaaa!punguza hofu Kidawa maana nimekuja jumla jumla!"

Hapa kuna watu wanakusubiri kwetu ujinini naondoka na wewe leo!

"Jabirrrrr!!!unanipeleka wapi?"

"Kaka zangu wameoa na dada zangu wameolewa ni zamu yangu sasa tunaenda kufunga ndoa!"

"Mbona ghafla hujanitaarifu!!"

"Umeniudhi sana,juzi tu kidogo ulale na mwanaume aliyeathirika nikazuia,nikuache duniani uendelee kufanya ujinga wako,utaishi ujinini kama mkewangu wa ndoa!"

"Jabir basi ngoja nikamuage baba na mama yangu!"

"Huwezi kufanya ivyo nimemtuma jini Sabrat kuanzia kesho ataishi kama wewe duniani,yani atavaa sura na kila kitu chako,hivyo hata ndugu zako hawatojua kama umepotea!"

Nililia nikitamani Jabir anisamehe nirudi duniani lakini hakufanya ivyo!!

"Jabir naomba uniache duniani"

"Umeshachelewa Kidawa aliyekupa Shanga hakukwambia uje uwe malaya ubadilishe wanaume kama daladala za Kariakoo!Nadhani huko aliko anajuta kukupa Shanga zake!"

Jabir alisimama mbele yangu akanishika mikono Kisha akanikumbatia akaniambia!

"Ndiyo tunaanza safari Kidawa!"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Machozi yalinitoka nikalia kwa uchungu sana,sikutaka jabir anipeleke ujinini.

Ghafla ulitokea upepo kama wa kimbunga ukatuchua tukaanza kupaa angani.

Tukiwa angani Jabir alijigeuza na kuwa yale mandege makubwa yenye umbo la ?? dragon mi nikawa mgongoni kwake safari ya kwenda ujinini ikiendelea!!!



SIMULIZI HII ITAENDELEA TENA ,JIANDAE KWA SEASON YA PILI KUONA MAISHA YA KIDAWA UJININI NA JINI SABRAT ALIYEVAA SURA YA KIDAWA KUJA KUISHI DUNIANI KAMA KIDAWA!


..........................MWISHO........................

0 comments:

Post a Comment

Blog