Search This Blog

Thursday 24 November 2022

SHANGA YA BIBI ILIVYONIPA UMAARUFU (2) - 5

 

     



     

    Chombezo : Shanga Za Bibi Zilivyonipa Umaarufu Season 2

    Sehemu Ya 

     

    "Simtaki malaya yule nimemfumania na wanaume watatu!"

    "Weeeehh!!watatuuuu!!!??",alihamaki Sabrat!

    "Ndiyo yani wamemfanya mpaka kalala hajielewi kitumbua kimeloa chapa chapa!"

    "Aiseeh iyo Kali!"

    Sabrat mchoraji wa kila kitu,alijifanya haelewi chochote!

    Alijua kumuadaa Suma ambaye angejua nyuma ya pazia Sabrat ndiye aliyefanya vile sababu ya bifu kati yake na mkewe!!

    Waliongea wakafikia muafaka,ambapo moja kwa moja Suma alisema anaenda kutoa talaka kwa mkewe!!!

    Siku hiyo Suma hakurudi kwake alilala kwa Sabrat mpaka asubuhi!

    Muda mwingi waliutumia kufanya mapenzi kuliko kulala!

    Mpaka kunakucha Suma bado alikuwa anamalizia cha asubuhi!

    Waliamka asubuhi wakiwa wamechoka Sana!

    Sabrat akaingia jikoni,akaenda kuchemsha supu ambako huko alitafuna nyama yake mbichi kabisa akashiba!

    Supu ilipoiva alimtengea na chai Suma na mkate yeye akaenda zake chumbani akidai kashakula tayari jikoni!

    Suma alikunywa supu kisha akajiandaa akatoka kwenda kazini!



    **********""""”"**********



    Farid alinitembeza bustanini akinionyesha matunda mbali mbali!

    Maajabu yapo jamani yani natembea kwenye ndani ya maji kama nipo duniani nilihisi ni miujiza ambayo mtu ukimwambia ataona ni hadithi za kufikirika!

    Baada ya kutembea na kula matunda ya kutosha tulirudi nje ya bustani!

    "Ahsante Farid,nimefurahi sana nimetamani hata niishi huko huko!"

    "Hahahahaaaaaa!Karibu kwetu kumejaa upendo na amani,sisi jamii yetu hatunaga makuu kabisa!"

    "Ahsante Farid,Ila nina ombi moja!"

    "Nambie usjali Kidawa!"

    "Naomba unipeleke duniani Farid!"

    "Hilo tu?"

    "Ndiyo Farid ila unipeleke Mimi na Zahra!"

    "Msijali ntawapeleka hata mkitakaleo nawapeleka!"



    Sikutegemea ingekuwa rahisi namna hiyo kwa Farid kunikubalia ombi langu!

    Nilimkumbatia Farid kwa furaha macho yetu yakakutana yakaleta hisia fulani hivi za mapenzi!

    Kila mmoja alimwangalia mwenzie kwa hisia kali sana!Hapo ndipo nikajua tayari tumeshaanza kupendana na Farid!

    Nilijitoa haraka yasije yakatokea ya kutokea maana najijua Kidawa,nikikamatika natowaga bila chenji!

    "Farid!"

    "Naam, Kidawa!"

    "Naomba niende tumekaa sana leo!"

    "Sawa Kidawa siku ukiwa tayari nambie nikupeleke duniani!".

    Niliagana na Farid kisha nikarudi zangu nyumbani nikiwa na furaha nikiamini Sasa naenda kupata msaada wa kunitoa huku gerezani!

    Furaha yangu iliyeyuka nilipofika nyumbani!Nikikumbuka ile kauli ya shemeji aliyosema kuwa atarudi nilikosa amani kabisa!

    Siku hiyo sikutaka kushinda chumbani kabisa,nilitoka zangu nikaenda kukaa sehemu ambayo kulikuwa na mawifi zangu!

    Kwanza nilimtafuta Zahra,nikamkuta akiwa bize na mambo yake ya kijini!

    "WiFi!",nilimuita

    "Abeee wifi!"

    "Mmhh!wifi sio kwa kunisusa ivyo!"

    "Acha tu wifi nilikuwa nina mambo ya kufanya!"

    "Sawa usijali Ila nina habari njema wifi!"

    "Habari gani wifi!"

    "Nimeonana na Farid"

    "Hahahahaaa!najua wifi,najua hadi kama kakubali kutupeleka!"

    "Mnanitisha bhana na ujini wenu wifi sa umejuaje!"

    "Hahahaha!ushasema mimi ni jini kwa hiyo pigia mstali!"

    "Mstali huo kwiyo!"

    "Hahahahaaa!",basi tulicheka na wifi tukaendelea kupiga stori za hapa na pale!!

    Zahra alionyesha kufurahi zaidi kupata msaada wa kumpeleka duniani!

    "Ivi huyo mwanaume alikupa nini?mbona kama unamkubali sana!"

    "Acha tu wifi,yule mtoto mtamu balaa,bakora yake haina mfano wake!"

    "Siamini kama amekudatisha kiasi hicho!"

    "Mmhh!!nawe vipi unamkimbia Kaka yangu au hajiwezi nini??"

    "Hapana nimemiss duniani,huku naona kama niko gerezani!"







    Kidawa na Zahra wamefika kwenye njia ya kuwapeleka duniani,Ila Farid anakataa kufungua mpaka wakubali kufanya nao mapenzi!



    Songa nayo.......



    Nilishindwa kuvua nguo zangu,nikabaki nimeduwaa!

    Kichwani nilibaki na maswali sa tutawezaje kufanya mapenzi na huku chini sioni bakora wana magamba ya Samaki!.

    "Farid sa tutafanyaje na hayo magamba!"

    Niliposema tu ivyo,Farid alijibadilisha na kuwa kama binadamu na mwenzie pia!

    Kidawa nilikosa sababu,nikajua tu hata iweje pale lazima tuliwe!

    Nilipomwangalia mwenzangu tayari alikuwa ameinamishwa anashughulikiwa!!!

    Sikuwa na jinsi nilimfuata Farid nikamkumbatia tukaanza kudendeka!!

    Nguo tulizitupilia mbali tukazama penzini!

    Mikiki mizito ya shemeji ilinifanya nikawa sugu!kiasi kwamba hata bakora ya Farid na mikiki yake ya kitoto sikuona hata raha yoyote!

    Niliamua tu kumpa amalize basi,Ila mimi hakuniweza kabisa!!

    Zahra na mwenzie walimaliza wakawa wanatusubiri na sisi tumalize,Farid alimaliza kanimwagia madude yake nikayafuta nikavaa nguo kisha tukasubiri kufunguliwa lango la kuingilia duniani!

    "Mlango wa kwenda duniani ni huu ukungu mnaouona,mkiingia hapa mnatokea Zanzibar!"

    "Kwa hiyo nyie mnaishia hapa ",nilimuuliza Farid.

    "Ndio tunaishia hapa!"

    "Kwa hiyo tunafanyaje sasa tuondoke!"

    "Ingieni kwenye huo ukungu!"

    Tulishikana mikono na Zahra kisha tukaanza kutembea kuingia kwenye ule ukungu!

    Tulipoishia tu ulikuja upepo mkali sana ukatuchukua ghafla tu kama kimbunga!

    Tuliskia kizunguzungu hadi mi nikazimia!Mwenzangu labda sababu yeye ni jini alikuwa kawaida tu!

    "Wifi! wifi! amka!"

    Zahra aliniamsha nikajikuta tupo ufukweni !

    "WiFi hapa ni wapi?"

    "Hapa ni Zanzibar!"

    Niliinuka nikajikung'uta vumbi kisha nikakaa chini kwanza maana tumefika huku usiku kabisa!

    "Wifi mbona huku ni usiku na kule tumetoka mchana!"

    "Hahahaha,masaa ya huku na kule hayafanani wifi"

    "Kwani saivi itakuwa sangapi?"

    "Karibu kunakucha!"

    "Sasa wifi tunaondokaje huku?"

    "Kwanini wifi!"

    "Nauli!!"

    "Hahahahaaaa!", Zahra alicheka kisha akanyoosha mkono wake juu!

    Alipoushusha alikuwa ameshika burungutu la pesa!

    "Eeh!wifi kumbe na wewe humo?"

    "Usjali mambo madogo haya!"

    Zahra alinipa zile pesa zote kisha akaniambia!

    "Hiyo ni milioni moja,utatumia mimi nakuacha nataka nimuwahi mpenzi wangu kabla hajaamka kwenda mihangaikoni!"

    "Kwa hiyo unaniachaje achaje wifi?"

    "Hela hizo hapo tumia kusafiri utapata boti ya muda wowote utakaopenda!!Ila usisahau saivi Jabir anakutafuta kuna mafuta nimekupaka mwilini kwa hiyo yataisha nguvu baada ya siku tatu.

    Hakikisha kabla hayajaisha nguvu umempata mganga wa kumfukuza Jabir la sivyo atakurudisha ujinini!"

    "Kwaheri wifi!nitakuwa nakuja kukusalimia mimi sirudi tena kuishi ujinini labda kusalimia tu na mume wangu!"

    Zahra alitoweka akaniacha nimekaa pale chini!

    Nilikuwa nimevaa baibui na ushungi kichwani,chini nilivaa ndala za kimasai!

    Niliinuka bila kupoteza muda nikaanza kutembea kuitafuta barabara,bahati nzuri nilipata piki piki iliyonipeleka mpaka bandarini,nikapata boti.

    Hatimaye nilifika dar,nilijua wazi kuwa mimi ni maarufu na kuna jini anaishi huku kama mimi hivyo sikutaka kuleta taharuki,nilijifunika uso wangu usionekane!

    Nilitafuta hotel nzuri nikalipia nikajifungia kwanza sikutoka nje.

    Mawazo yalikuwa mengi hasa nikifkria Jabir anaweza kunirudisha ujinini!



    ********"""""*********



    Mke wa Suma baada ya kujua mumewe ametekwa na jini anayeishi duniani kama Kidawa,alidhamiria kupambana ili amuokoe mumewe!

    "Kwa hiyo tunafanyaje mganga?"

    "Kwanza inatakiwa tumpate Kidawa halisi,tumrudishe azindikwe arudi kuishi kama zamani!"

    "Sasa mganga tunampataje na yuko ujinini?"

    Hapo mganga alinyamaza akaanza kufanya manyanga yake!!!

    Alipomaliza alifumbua macho akamwambia.

    "Kazi imekuwa rahisi sana hahahahaaa!"

    "Kivipi Babu?"

    "Kidawa katoroka ujinini,katoroshwa na nguva saivi yupo dar kwenye hotel moja ivi inaitwa Shelaton iko daresalama!"

    "Kwa hiyo mganga tunafanyaje?"

    "Tunamfuata huko huko,lipia usafiri hapa turuke mababu watusafirishe!"

    "Babu tunasafiri na ungo?"

    "Lipia usafiri acha maswali!"

    "Shingapi babu!"

    "Weka noti moja nyekundu na moja ya bluu!"

    Mke wa Suma alielewa ni elfu kumi na tano akaweka kisha mganga akamwambia asimame!

    Aliposimama alimsogelea akampaka dawa nyeusi kwenye paji la uso kisha akamshika mkono wa kushoto akampa kitu cheusi!

    Akaanza kuongea lugha ambayo haieleweki Ila baada ya dakika chache ulikuja upepo mkali ukawachukua ghafla wakapotea!





    Tulipoishia........

    Kidawa na Zahra wamefika kwenye njia ya kuwapeleka duniani,Ila Farid anakataa kufungua mpaka wakubali kufanya nao mapenzi!



    Songa nayo.......



    Nilishindwa kuvua nguo zangu,nikabaki nimeduwaa!

    Kichwani nilibaki na maswali sa tutawezaje kufanya mapenzi na huku chini sioni bakora wana magamba ya Samaki!.

    "Farid sa tutafanyaje na hayo magamba!"

    Niliposema tu ivyo,Farid alijibadilisha na kuwa kama binadamu na mwenzie pia!

    Kidawa nilikosa sababu,nikajua tu hata iweje pale lazima tuliwe!

    Nilipomwangalia mwenzangu tayari alikuwa ameinamishwa anashughulikiwa!!!

    Sikuwa na jinsi nilimfuata Farid nikamkumbatia tukaanza kudendeka!!

    Nguo tulizitupilia mbali tukazama penzini!

    Mikiki mizito ya shemeji ilinifanya nikawa sugu!kiasi kwamba hata bakora ya Farid na mikiki yake ya kitoto sikuona hata raha yoyote!

    Niliamua tu kumpa amalize basi,Ila mimi hakuniweza kabisa!!

    Zahra na mwenzie walimaliza wakawa wanatusubiri na sisi tumalize,Farid alimaliza kanimwagia madude yake nikayafuta nikavaa nguo kisha tukasubiri kufunguliwa lango la kuingilia duniani!

    "Mlango wa kwenda duniani ni huu ukungu mnaouona,mkiingia hapa mnatokea Zanzibar!"

    "Kwa hiyo nyie mnaishia hapa ",nilimuuliza Farid.

    "Ndio tunaishia hapa!"

    "Kwa hiyo tunafanyaje sasa tuondoke!"

    "Ingieni kwenye huo ukungu!"

    Tulishikana mikono na Zahra kisha tukaanza kutembea kuingia kwenye ule ukungu!

    Tulipoishia tu ulikuja upepo mkali sana ukatuchukua ghafla tu kama kimbunga!

    Tuliskia kizunguzungu hadi mi nikazimia!Mwenzangu labda sababu yeye ni jini alikuwa kawaida tu!

    "Wifi! wifi! amka!"

    Zahra aliniamsha nikajikuta tupo ufukweni !

    "WiFi hapa ni wapi?"

    "Hapa ni Zanzibar!"

    Niliinuka nikajikung'uta vumbi kisha nikakaa chini kwanza maana tumefika huku usiku kabisa!

    "Wifi mbona huku ni usiku na kule tumetoka mchana!"

    "Hahahaha,masaa ya huku na kule hayafanani wifi"

    "Kwani saivi itakuwa sangapi?"

    "Karibu kunakucha!"

    "Sasa wifi tunaondokaje huku?"

    "Kwanini wifi!"

    "Nauli!!"

    "Hahahahaaaa!", Zahra alicheka kisha akanyoosha mkono wake juu!

    Alipoushusha alikuwa ameshika burungutu la pesa!

    "Eeh!wifi kumbe na wewe humo?"

    "Usjali mambo madogo haya!"

    Zahra alinipa zile pesa zote kisha akaniambia!

    "Hiyo ni milioni moja,utatumia mimi nakuacha nataka nimuwahi mpenzi wangu kabla hajaamka kwenda mihangaikoni!"

    "Kwa hiyo unaniachaje achaje wifi?"

    "Hela hizo hapo tumia kusafiri utapata boti ya muda wowote utakaopenda!!Ila usisahau saivi Jabir anakutafuta kuna mafuta nimekupaka mwilini kwa hiyo yataisha nguvu baada ya siku tatu.

    Hakikisha kabla hayajaisha nguvu umempata mganga wa kumfukuza Jabir la sivyo atakurudisha ujinini!"

    "Kwaheri wifi!nitakuwa nakuja kukusalimia mimi sirudi tena kuishi ujinini labda kusalimia tu na mume wangu!"

    Zahra alitoweka akaniacha nimekaa pale chini!

    Nilikuwa nimevaa baibui na ushungi kichwani,chini nilivaa ndala za kimasai!

    Niliinuka bila kupoteza muda nikaanza kutembea kuitafuta barabara,bahati nzuri nilipata piki piki iliyonipeleka mpaka bandarini,nikapata boti.

    Hatimaye nilifika dar,nilijua wazi kuwa mimi ni maarufu na kuna jini anaishi huku kama mimi hivyo sikutaka kuleta taharuki,nilijifunika uso wangu usionekane!

    Nilitafuta hotel nzuri nikalipia nikajifungia kwanza sikutoka nje.

    Mawazo yalikuwa mengi hasa nikifkria Jabir anaweza kunirudisha ujinini!



    ********"""""*********



    Mke wa Suma baada ya kujua mumewe ametekwa na jini anayeishi duniani kama Kidawa,alidhamiria kupambana ili amuokoe mumewe!

    "Kwa hiyo tunafanyaje mganga?"

    "Kwanza inatakiwa tumpate Kidawa halisi,tumrudishe azindikwe arudi kuishi kama zamani!"

    "Sasa mganga tunampataje na yuko ujinini?"

    Hapo mganga alinyamaza akaanza kufanya manyanga yake!!!

    Alipomaliza alifumbua macho akamwambia.

    "Kazi imekuwa rahisi sana hahahahaaa!"

    "Kivipi Babu?"

    "Kidawa katoroka ujinini,katoroshwa na nguva saivi yupo dar kwenye hotel moja ivi inaitwa Shelaton iko daresalama!"

    "Kwa hiyo mganga tunafanyaje?"

    "Tunamfuata huko huko,lipia usafiri hapa turuke mababu watusafirishe!"

    "Babu tunasafiri na ungo?"

    "Lipia usafiri acha maswali!"

    "Shingapi babu!"

    "Weka noti moja nyekundu na moja ya bluu!"

    Mke wa Suma alielewa ni elfu kumi na tano akaweka kisha mganga akamwambia asimame!

    Aliposimama alimsogelea akampaka dawa nyeusi kwenye paji la uso kisha akamshika mkono wa kushoto akampa kitu cheusi!

    Akaanza kuongea lugha ambayo haieleweki Ila baada ya dakika chache ulikuja upepo mkali ukawachukua ghafla wakapotea!



    Tulipoishia......Sabrat ameingiwa na tamaa,anataka kubaki duniani,je Jabir atamruhusu?



    Songa nayo.....



    "Sabrat siwezi kumuacha uishi duniani!"

    "Unamaanisha nini jabir?"

    "Nikikuacha huku utafanya fujo,istoshe stakuwa nikikuletea kafara kila alhamis sababu wa kunifanya nifanye ivyo hayupo!"

    "Kwa hiyo Jabir umekata tamaa?unamaanisha nini kusema hayupo Kidawa ni mkeo wa ndoa!"

    "Hujui tu wameenda kwa mtu wa aina gani kunizuia nisiwe Karibu nae!Nikimsogelea hata kidogo ntaungua kama karatasi!"

    "Sawa wewe umekata tamaa,mimi je?"

    "Unamaanisha nini sabrat?"

    "Namaanisha kuna mtu nampenda!"

    "Nani?Suma?!"

    "Ndiyo,nampenda siwezi kumuacha!"

    "Umechelewa Sabrat,Suma hutomgusa tena kwani mkandarasi wa yote haya ni mke wa Suma!Na ni wewe umesababisha bila kutembea na mume wake hadi ukafanya waachane hasingefanya hivi,pengine mimi ningeweza kumrudisha Kidawa nyumbani na wewe ungeendelea kuishi kama kawaida!"

    "Haiwezekaniiiiii!!Suma ni wanguuuu!!!"

    Alipaza sauti Sabrat huku machozi ya damu yakimtoka!

    "Kuwa mpole Sabrat,na kumbuka kuwa Suma anampenda Kidawa siyo wewe!!!"

    "Hata kama!sirudi ujinini mimi!"

    "Hakuna namna tena inabid urudi nyumban!

    "Sirudi!!"

    Alisema Sabrat kisha akakata minyororo akafanya timbwili kikatokea kimbunga kikali sana!!

    Jabir na nguvu zake aliziwa ujanja,Sabrat akawaponyoka akapotelea mbali!

    Jabir alibaki na maskitiko hakiamini ulimwengu hautakuwa salama kabisa sababu ya Sabrat!



    ********""""""********



    Mke wa Suma alikuwa njiani anarudi akiwa na furaha moyoni kwa kushinda vita kali ya kupambana na majini!

    Tayari kamwekea kinga mume wake na yeye mwenyewe!

    Ili kujaribu kama mumewe amenasuka akamtumia meseji!

    "Nakupenda mume wangu!"

    Hazikupita hata dakika mbili Suma naye akatuma meseji!

    "Nakupenda pia mkewangu,njoo nyumbani nimekumiss sana,njoo unipikie kile chakula nachokipenda!"

    "WOW!",alishtuka mke wa Suma hasiamini kama ni mume wake ndiye katuma ujumbe ule!

    "Dahh!afadhali yani ningelegea kidogo ningempoteza mume wangu dahhh!



    ******""""""*******

    Suma alikuwa kazini,lakini ghafla alijikuta anamkumbuka Sana mkewe .

    Alimkumbuka kiasi kwamba akaanza kujiona mkosefu mbele yake,kitendo chake cha kuchepuka alikuwa anakiona cha kawaida,lakini sasa aliuona ukubwa wa dhambi yake!

    "Ila nimemkosea sana mke wangu!napaswa kumuomba msamaha!"

    "Lakini naanzaje anzaje? Na talaka nilishampa?"

    Mawazo yalikuwa ni mengi sana,kazi haazikwenda sawa kabisa!

    Mawazo yale hata yeye yalimshangaza sana,kumkumbuka mkewe namna ile ilikuwa zamani Sana!

    Enzi zile za yale mapenzi ya kuonana kwenye glasi.

    Yale mapenzi ya kushindwa mpaka kula usipomuona.

    Picha ilimvuta ikamkumbusha zamani enzi zile anakutana na mkewe,kabla ya kuitwa mama fulani.

    Kipindi kile anaitwa Aisha,alikuwa Aisha kweli,alitingisha kila kona ya mtaa.

    Akakumbuka alivyopata tabu kumpata,ilimchukua miezi sita mpaka kumpata!

    Licha ya uzuri wa sura na umbo lake la kuvutia,Suma alimkuta Aisha na bikra yake!

    Alijilaumu sana kwa mabaya aliyomfanyia!

    "Kwanini nafanya hivi?Ina maana mkewangu siyo mtamu tena?hapana siyo kweli!!Au uzuri wake umeisha?hapana siyo kweli!!

    "Ivi watoto wangu wakijua nayomfanyia mama yao siwatanichukia sana?"

    Suma alijiuliza maswali na kuyajibu mwenyewe!

    Akiwa katika mawazo iliingia meseji kwenye simu yake,hakuamini alichokiona.

    Kwake ilikuwa ni kama kitu alichokuwa anakisubiri kutoka kwa mkewe!

    "NAKUPENDA MUME WANGU!"

    Alijikuta anaruka kwa furaha kama kashinda milioni za biko au tatu mzuka!

    Siku hiyo alitoka kazini mapema akapita super market uko akanunua vitu mbali mbali,akiamini hiyo ni siku mpya kwao,kama ni mapenzi basi wamejivua gamba!

    Alinunua na zawadi nzuri kama chupi na sindiria(jamani hivi vichupi kama zawadi wadada wanavipendaga sijui kwanini)

    Alipomaliza aliviingiza kwenye gari lake akapanda!

    Alipokaa tu kwenye kiti kabla hata hajawasha taa,alihisi kama kuna mtu nyuma yake!

    Alipogeuka alimuona mwanamke mzuri mwenye sura ya kihindi akiwa amevaa mavazi mekundu,alikuwa mrembo haswa!!!

    Alishtuka akataka kushuka kwenye gari lakini milango haikufunguka!







    Tulipoishia....... Suma kaamua kuachana na michepuko arudishe mapenzi yote kwa mkewe!Lakini akiwa super market amemaliza kununua mahitaji yake na zawadi za mke wake!

    Alipopanda gari alishtuka kumuona mwanamke nyuma ya gari lake,ambaye hajawahi kumuona popote!



    Songa nayo........



    "Usiogope mpenzi mimi ni mpenzi wako!"

    Ilikuwa ngumu sana Suma kumuelewa ukizingatia kuwa Sabrat sasa hawezi kujivika tena sura ya Kidawa!

    Kulingana na stori alizowahi kusikia hakupata tabu kujua kuwa yule siyo mtu wa kawaida!

    "Wewe ni nani?"

    "Mimi ni Sabrat!"

    "Si...sikujui!"

    Sabrat alipoona Suma hamuelewi akasogea hili amshike ila alipomgusa alihisi kama shoti ya umeme akautoa mkono wake!

    Alihisi maumivu makali kama mwili unaungua alipiga kelele akapotea.

    Suma alibaki njia panda,alijiuliza imekuwaje yule mwanamke alalamike kwa maumivu alipomgusa!

    Aliwasha gari lake akaondoka kwa kasi kuelekea nyumbani!



    ********"""""*********



    Nilikaa hotelini siku mbili,siku ya tatu niliondoka mapema asubuhi nikakodi bajaji iliyonipeleka mpaka kwangu!

    Nilipofika niligonga geti mlinzi akafungua!

    "Heeeeee!bossssssss!!"

    "Vipi mbona unashangaa!"

    "Boss tangu siku umeingia ndani sijakuona ukitoka,sasa najiuliza umetokaje hapa na umepitia wapi?"

    "Ina maana we huendagi hata kula muda wote uko getini!"

    Mlinzi alishangaa sana alihisi ni miujiza kabisa!



    Niliingia ndani,mazingira niliyoyakuta yalinitisha,viti vilikuwa vimejaa vumbi sana hadi nikajiuliza!

    "Ina maana hawa majini hawafanyi usafi!"

    Niliingia chumbani huko niliikuta simu pale pale kama nilivyoiacha!

    Lakini ilikuwa imezima chaji,niliichukua nikaiweka chaji Kisha nikaiwasha!!

    Nilikutana na meseji kama mia tatu na simu zilizopigwa kama mia mbili!

    Yani kwa mazingira yalivyokuwa ni kama vile hakukuwa na mtu anaishi mle ndani!

    Nilianza kufanya usafi akiondoa mapazia yaliyochakaa kwa vumbi!

    Sikutaka kujiangaisha nikaingia mtandaoni nikatafuta wauzaji wa mapazia nikawaagiza na mashuka nikachagua wakaniletea mpaka nyumbani!

    Nilitoka nikaangalia magari yake nikamwambia mlinzi ayaoshe!

    Nikiwa namalizia kufanya usafi simu ikaingia nilipoangalia ni waziri ananipigia .

    Mapigo ya moyo yalienda kasi sana,kwani kati ya simu nilizokuta zimepigwa bila kupokelewa za waziri ni kama hamsini ivi!!!

    "Haloo mheshimiwa shikamoo!"

    "Kidawa!unataka kazi au umechoka Sasa una Mambo yako tusitishe mkataba?"

    "Hapana mheshimi.....!"

    "Hapana nini?una miezi nane sasa hujakanyaga kazini tena bila taarifa,unajiamulia tu simu hupokei umekuaje wewe?"

    Kidawa nilishtuka sana kuskia miezi nane sijafika kazini,ndipo nikajua kumbe nimekaa ujinini miezi nane!

    "Mheshimiwa nili.........!"

    "Naomba kesho uje ofisini!"

    Waziri alikata simu akionyesha kuchukia sana!

    Akili yangu ilifunguka ndipo nikajua kumbe sikuwa duniani miezi nane!

    "Ina maana nilikuwa ujinini miezi nane?Ina maana kama waziri analalamika hivi Ina maana kwa wazazi wangu itakuaje?"

    Nilichukua simu nikapiga simu kwa mama ikaita ikapokelewa!

    "We mtoto wewe!leo ndiyo umetukumbuka??kila siku tunapiga simu uko bize hata kutembelea hutaki na tukija hatukupati simu hupokei au kina kitu tumekukosea wazazi wako?"

    "Hapana mama mnisamehe mambo mengi tu!"

    "Naomba kesho uje nyumbani asubuhi!!"

    Mama alikata simu akionyesha kukasirika pia Sana!

    "Ivi sasa huyu jini alikuwa anaishije,mbona kama vile alikuwa hayupo tu au Jabir alinidanganya?"

    Kilichotokea ni kama vile maisha ya Sabrat duniani kama mimi yalifutwa kabisa!

    Maana tunakumbuka Sabrat alikuwa anaishi kama mimi na alishaonana na baba na waziri pia hadi akaonana na Suma ofisini!

    Maana kama ingekuwepo watu wasingekuwa wananilaumu ivi,kumbukumbu zote zilifutwa isipokuwa kwa mlinzi tu!

    Nilianza upya harakati zangu nikiweka mambo yangu sawa!

    Kwanza nilijiangalia kwenye kioo nikagundua,kwa miezi nane niliokaa ujinini sijapungua kitu,umbo langu ndiyo Kwanza lilinona haswa!!

    Sikunenepa ovyo jamani ,huu unene ulikuja na makusudi jamani,eti ukanijaza wowowo langu ukanianichia kiuno changu kidogo kama katuni ya Cinderella!

    Nilitafuta mpiga picha nikatafuta mazingira mazuri kule nikapiga picha japokuwa sikuwa na shanga Ila picha zilinoga haswa!!

    Akaunti zangu mitandaoni zikashika kasi tena Kidawa nikaiteka insta!

    Kama kawaida maombi yakaanza kumiminika,watu wakiomba nafasi.

    Wengine waliomba japo nifanye nao mapenzi usiku mmoja tu wakiniahidi kunipa hadi milioni kumi!!!

    Pesa nilikuwa nazo,pesa kwangu sio tatizo,tatizo ni hizi nyege jamani!!!!







    SABRAT & JABIR

    Sabrat alikasirika sana,kitendo cha kumgusa Suma akapigwa na shoti kilimuuma sana!

    Moyoni aliapa kutomuacha salama mke wa Suma!

    Alianza kumtafuta kwa udi na uvumba,tatizo hakuwa akimuona kabisa!

    Jabir alimtafuta sana Sabrat aliyekuwa anawakimbia kila alipowaona!

    Hatimaye walimuona,wakagundua Sabrat anaishi juu ya mti!

    Wakamuwinda hatimaye wakamkamata wakamrudisha ujinini,kule walimfungia kwenye gereza la majini watukutu!

    Jabir aliamua kukata tamaa na Kidawa,akiamini hatoweza kuwa naye tena!

    Ila moyoni alimchukia sana Kaka yake akiamini yeye ndiyo chanzo cha Kidawa kuondoka sababu ya kuingiliwa kila siku!

    "Wewe ndiyo umesababisha mke wangu aondoke!"

    "Na wewe ulisababisha nikamuacha mkewangu!"

    Walikuwa wanatambiana kila kukicha hatimaye wakaamua kuoa majini wenzao!

    Waliamua kuheshimiana hakuna aliyekula tamu ya mwenzie!Wakaamua kuishi kama ndugu wanaopendana Sana!!!



    SUMA NA MKEWE



    Mapenzi yao ni kama yalikuwa yamezaliwa upya!

    Walipendana kama watoto mapacha na kufuatana kama kumbi kumbi!

    Maisha yao yaligeuka na kuwa yenye furaha!

    Suma aliamua kuwa mtu wa dini sana tena swala tano kabisa!

    Mambo ya dunia na warembo wake aliamua kuyatupilia mbali,macho yake yakazibwa na pazia hata hasimuone mwanamke mrembo zaidi ya mke wake!

    Mke wa Suma naye alimuonyesha mapenzi mazito mume wake!

    Maisha yao yakafunikwa na tabasamu pana!



    *********"""""**********



    Kwangu mimi maisha yangu hayakubadilika sana!Sasa yatabadilikaje na nyege zipo kila siku!

    Nilijitahidi tu kujizuia na kutokuchanganya wanaume kama zamani!

    Isipokuwa mwanaume naye usipomchanganya anakuchanganya yeye japo ndiyo nachoka mimi!



    Japo nimepitia maisha mengi magumu na yaliyojaa maumivu na changamoto nyingi!

    Bado sijakata tamaa, bado namsubiri mwanaume wa maisha yangu!

    Kama mwanamke natamani kuwa na familia nami niwe nampikia mume wangu!

    Lakini Kidawa sijui nachota ya mchele,wakija ndege wanadonoa na kuondoka!

    Hii inaniumiza lakini navumilia,naamini ipo siku ntampata wangu wa kweli!!

    Kwa sasa niacheni niruke ruke kama ndege aliyekosa makazi!

    Ntafanyaje kama fungu langu ni la kukosa?

    Ngoja nikwambie kitu,unajua sisi wanawake au wanaume waliofanikiwa kimaisha huwa tuna dhana moja tu!

    Sio kwamba hatutongozwi,tunatongozwa sana Ila tatizo tunaamini kuwa kila anayekutongoza anataka mali zako!

    Na hii ni kwa sababu ni ngumu kumjua mwenye mapenzi ya kweli ukiwa na hela!

    Kwani asilimia tisini kama sio mia watakuja wakitaka pesa zako tu!

    Ndiyo maana majimama yanalea vitoto tu mtaani yakiwa yanajua ni ngumu kupata mwenye mapenzi ya kweli!

    Kwa hiyo anapokuwa na kibenteni anajua sawa kile kibenteni kinamtumia Ila na yeye anakitumia kwa hiyo wanatumiana!??????

    Kubadilisha wanaume nimeacha ila ukinizingua kwanini nisikubadilishe????.

    Inabadilishwa figo sembuse wewe nyau tu!??????.

    Hela zangu nimetafuta kwa tabu staki stress!



    Jamani! jamani!msiogope mapenzi ya kweli yapo!Tena yapo simnamuona Suma alivyonipendaga japo ni mchepuko?

    *************

    Maisha yangu yalisonga Ila kilichoniumiza sana ni shanga zangu,ziliniuma sana!

    Siyo kwamba nilikua gogo Ila nilikuwa nazipenda,na pia zinanikumbusha safari ndefu na mambo niliyopitia hadi kufika kuwa kungwi!

    Sikujua nitaipata wapi maana hata Jabir hakunitokea tena!

    Sikuwa na wa kumuuliza zaidi nilibaki na msongo wa mawazo tu,kila shanga nilizonunua nilihisi hazinipendezi kama SHANGA YA BI MWANA!!



    Kama muujiza siku moja nikiwa nafagia uvunguni,ghafla nikaiona shanga niliitoa haraka,sikuamini ilikuwa ni SHANGA YA BIBI ILIYONIPA UMAARUFU!!!

    Nilipiga kelele kama chizi,kama vile mwanafunzi anayehisi ana mimba halafu ghafla akaziona siku zake!

    Nilivaa shanga nikasogea kwenye kioo,kiukweli ilinipendeza sana nikajikuta nimesema kwa sauti!!

    "PIGA KELELE KWA SHANGA AKEEE!!!"



    **************MwishO******************

     

     

0 comments:

Post a Comment

Blog