Search This Blog

Thursday 24 November 2022

YOUNG PASTOR - 3

 

     

     



     

    Chombezo : Young Pastor

    Sehemu Ya Tatu (3)

     

    Mr Jacob ni kiongozi mkubwa wa dini, tena ana pesa chafu sana, lakini unaweza kujiuliza ni kwanini anamfuatilia mtoto wake, na wala hawalingani kwa lolote ispokuwa uwezo wa kiroho ndio tofauti,..

    Mr Jacob anamtumikia shetani,.. Na ikumbukwe kuwa shetani na mungu ni vitu viwili tofauti,.. Na adam anamtumikia mungu, siku zote shetani hana upendo na wana wa mungu, hivyo shetani kila kukicha anabuni mbinu mpya ya kumganya mwanadamu aingie upande wake, mana hapendi wawepo upande wa mungu…



    Wakati damu ya Yesu ikizidi kuwatakasa kondoo wa mchungaji adam, kumbe baba yake yupo nje na anataka kuhakikisha hawezi kumzidi kwa lolote, mana alimwagiza kisomo hiki, yeye kaenda kusoma kisomo anachokijua yeye bwana adam… Hivyo siku ya ibada kama leo siku ya Jumapili mr jacob alifika kwa siri katika kanisa la Eden Church… Baada ya kuona watu zaidi ya mianne wakiwa ndani ya kanisa hilo tena wengi wao ni waumini wake wa makanisa mbalimbali,…. Mr Jacob Alimpigia jehova ili kujua nini cha kufanya mana kijana anampanda kichwani,… Yaani ishu za kishetani hazina cha mtoto wa baba… Kikubwa uende sawa na maagizo….



    “hapana, bado hajaoa”

    “yeeeeees….. Hio ndio njia pekee iliobaki, na ikishindikana hio, basi mwache amtumikie mungu wake”

    Aliongea bwana jehova huku mr Jacob akiona mbona kama hio njia ni ngumu sana, mana katumia ubaba wake wote adam aoe lakini hajaoa, sasa leo anakuja kuskia kuwa kuto kuoa kwa adam ndio njia pekee ya kumfanya asionekane tena kuwa kama mchungaji…

    “kivipi sasa bwana jehova, mana sijakuelewa hapo”

    “fanya mpango awe jirani na mwanamke mzuri… Amshawishi kijana huyo… Yaani akigusa tu, basi.. Ile dhana yote ya haki katika mwili wake itatoka”

    “mmmmmhh sio kwa kijana wangu.. Nimelea mwenyewe huyu.. Sidhani kama alishawahi kuwa na mwanamke, kiufupi ni kwamba hajawahi na wala sikuwahi hata kumsikia kuwa ana mwanamke wa ajabu ajabu, zaidi ya kusikia tu kuwa ana mchumba wake na hata yenyewe tu anakaa nae mbali”

    “duuuuu, uyo kiboko… Ila sasa mwanaume ambaye hajawahi kufanya tendo la ndoa, ndio mzuri huyo… Changamkia hilo jambo na uwe makini”

    Aliongea bwana jehova, lakini swala hilo kwa bwana Jacob ni gumu, kwasababu alisha jaribu mara kadhaa

    “nitajaribu bwana kama itafaa”

    “nakutakia bahati njema”

    Mzee Jacob aliumiza kichwa atatumia njia gani, mana kama ni Catherine alishampa hio nafasi… Mr Jacob alimpigia Catherine, ambaye yupo humo ndani ya kanisa hilo hilo la adam…

    “njoo hapa nje”

    Aliongea mr jacob, na kweli Catherine hakuchelewa, alikwenda mpaka pale alipo mr Jacob,..

    “tumsifu yesu Kristo baba mchungaji”

    Alisalimia Catherine huku mchungaji jacob akipanda katika gari pamoja na Catherine,….

    “milele amina….. Vp, humo ndani kuna watu wangapi”

    Kumbe mzee jacob anapata taarifa zote kupitia kwa Catherine,…

    “mmmhhh baba, kule kuna watu zaidi ya 400, kiukweli anafanya vizuri kwa sasa”

    Sasa mzee anashangaa na Catherine anaipenda hali ya adam….

    “umefikia wapi kwa sasa”

    “kwa sasa sihitaji kwenda nae haraka kwasababu, mapenzi hayalazimishwi hivyo nataka niende nae taratibu”

    “hapana.. Unakosea… Nenda hata kwake,.. Kaa nae karibu mimi nataka mtoto wangu aoe, kaa nae karibu sana fanya juu chini wewe ni mschana mzuri.. Au nikupe pesa… Kuna dola za kimarekani milioni 10, ukifanikiwa nakupa hizo pesa”

    Catherine kusikia dola milioni 10 za kimarekani, ni mabilioni ya kitanzania,

    “lakini baba… Mchungaji ambae hajaoa Haruhusiwi kukaa na mwanamke ndani labda iwe ndugu”

    Aliongea Catherine, mana kweli Catherine anampenda sana adam, lakini nae anajua sheria na taratibu za dini, mchungaji ambae hajaona Haruhusiwi kuwa na mwanamke ndani, sema wachungaji wa karne hii wanakosea… Na sio lazima kila kitu kiwe kimeandikwa katika maandiko, kwani vingapi vimeandikwa na havitekelezwi, sasa Catherine yeye pia anajua maadili anayotakiwa kuwa nayo mchungaji ambaye hajaoa, lakini mr jacob akaliweka wazi kuwa

    “aaaaaa… Hivyo ni visheria tu na wala havizuru”

    “mmmnhhhh baba…. Unajua wewe ni kiongozi wa dini tena mkubwa.. Sasa najigunza nini kupitia hili”

    “Catherine basi wewe humpendi kijana wangu”

    “hapana baba, nampenda, ila sheria za dini ndizo zinazo nibana baba”

    “sasa mimi ndio nakwambia, hakuna lolote, ni vijisheria tu vya kumfanya mchungaji asije akawarudia kondoo wake, na ndio maana wakasisitizwa waoe, mana wakioa hata kondoo wa kike ataogopa kumsogelea mchungaji kwa maana ana mke… Hivyo kuoa kwa mchungaji ni ili asiwarudie kondoo wake wa kike… Haina maana kubwa”

    “kumbe ni hivyo”

    “haswaaaa… Mimi nimeanza injili toka hujazaliwa, kipindi nipo na baba yako”

    Aliongea mr Jacob kwa upotoshaji wa dini, mana alichokiongea sio sahihi ila ni njia ya kumfanya Catherine azidi kukaa karibu na adam,

    “mmmhh sawa baba, nitajaribu… Mana nampenda sana adam”

    “basi hio ni nafasi yako… Jitahidi akuoe… Fanya juu chini mfunge ndoa.. Nitakuzawadia dola milioni 10 za kimarekani”



    Maongezi yao yaliisha, wakati huo huku kanisani kulikuwa na upako mzito, yaani adam alikuwa akitoa ibada nzuri ambayo kila muumini ilimuingia katika moyo wake, tofauti na baba yake anapoongoza ibada huwa haiwangii waumini mana ndani yake kuna nguvu za shetani,…



    Baada ya maombi,… Sasa ni saa ya kupata elimu ya utiifu dhidi ya binadamu kwa ujumla…

    “heshima…. Heshima ni kitu cha bure katika hii dunia yetu.. Usitake kumdharau mtu kwasababu ya imani yake,…



    Naomba nitoe elimu kwa waumini wangu wa kweli.. Haleluyaaaaaaaaa”

    “aaaaaaameeeeeeeeeen”

    “bwana yesu asifiwe sana”

    “Ameeeeeeen”



    “nataka niweke heshima ya dini zetu ili tuheshimiane, mana kuna majina tunaitana juu ya Waislamu na Wakristo,… Kaka tafadhali sana njoo mbele”

    Adam alimwita kaka mmoja muumini wa kanisa lake, ambae ni mwinjilisti

    “tumsifu yesu Kristo, bwana alie hai”

    “milele amina”

    “eti.. Nataka nikuulize wewe mwenye imani kama yangu…. Ivi unapoomba na kusema PEPO TIKAA hua tumanaanisha nini”

    Aliongea adam huku waumini wakiwa makini sana, mana hapo adam anafundisha imani jinsi inavyotakiwa kuwa mana ukiwa na imani afu humpendi binadamu mwenzio basi imani yako ni bure

    “aaahhhh hua tunaposema pepo toka, wengine wanamaanisha Waislamu, kitu ambacho wachungaji hukosea”

    “ww unajua kwanini wanakosea”

    “kwasababu hawana elimu juu ya uongozi walio nao..”

    Aliongea kijana huyo kisha adam akawageukia waumini na kusema

    “angalikuwa yupo muislamu hapa tungemuuliza nae… Ila kwa ninavyojua mimi hua Waislamu nao hutuita sisi makafiri kama tunavyowaita pepo katika maombi yetu… Ila ni kwa wale wachungaji ambao wameivamia fani ya uchungaji, hawana kipawa wala wito.. Lakini hali hii sii sawa,… Huezi kumwita binadamu mwenzio pepo au kafiri,.. Ninyi wote mungu wenu ni mmoja, wote mnamwabudu mungu mmoja, kwanini shetani awavuruge… Hii yote ni njia ya shetani, ili nanyi mgombane…. Haya wewe bwana Joseph, tufanye wewe ni mwislam nami ni Mkristo,… Hebu niambie mimi ni kafiri”

    Adam alianza kutoa mifano mingi sana, ili waumini wa imani tofauti wasichukiane wala kuitana majina ya ajabu

    “mchu… Mchu..”

    “usiogope we niambie mimi ni kafiri… Usifanye mwislam sasa”

    “mchungaji adam wewe ni kafiri”

    “enheeee safi kabisa… Sasa nami nakuuliza… Ukafiri wangu ni upi”

    “wanavyodai wao ku”

    “ah ah.. Upo kama mwislam, hivyo jisemee wewe”



    tunavyodai sisi, ukafiri wenu ninyi hamsali kwa kusujudu, kama sisi… Na wengine tunasema kuwa kuna mnyama Haruhusiwi kuliwa nanyi mnakula”



    “safi sanaaaaaaaa…. Tumsifu Yesu Kristoooooo”

    “milele aminaaaaaaa”



    “ni kweli, hivyo ndivyo Waislamu wanavyotuona sisi ni makafiri…. Je nikuulize na wewe ukiwa kama mwislam…”

    “niulize”

    “mbona karibia waganga wooote wa kienyeji ni Waislamu, kwanini?… Na tunasema kuwa hata uchawi mwingi hutokea kwao na ndio mana tunawaita mapepo”



    “ni kweli, mchungaji na hio ni mbinu ya shetani kwa wale wasiojua…. Kwasababu huezi kumnyooshea mwenzio kidole ingali nafsi yako yenyewe inalia…”



    “safi kabisa…. Bwan yesu asifiweeee”

    “ameeeen”



    “alichoongea bwana Joseph ni sahihi kabisa… Kafiri ni mtu ambe hamwabudu mungu na anakwenda tofauti na maagizo ya Mungu, na ni shetani peke yake….. Na pepo ni huyo huyo shetani, ila sio binadamu mwenzio,.. Wewe unamnyooshea mwenzio kwa hili… Mbona wewe unafanya lile? Je pepo au kafiri ni nani… Usimhuku mwenzio ingali wewe mwenyewe hujui hukumu yako ni ipi.. Sisi sote dunia ni watoto wa baba mmoja, hivyo ukimwita mwenzio KAFIRI AU PEPO basi hata wewe ni hivyo hivyo, mana baba yetu ni mmoja, tuacheni kudharauliana.. Someni dini iwaingie vizuri ndipo muongeee……… Kwa mfano baadhi ya waislamu huweka mikutano kule mitaani, wenyewe wanaita mihadhara… Hua wakiweka mikutano mule,… Wakristo huenda pale ili wakabishane nani anajua dini na nani hupo sahihi katika dini yake, matokeo yake sisi wakristo tunashindwa kwasababu, hatufuatilii misingi ya imani ya pili… Kwa mfano yule muislamu anaetisha mhadhara pale,.. Yule anajua Biblia kuliko hata wewe muumini wangu… Sasa angalia, muislamu kama yule kaijuaje Biblia ambayo wewe unalala nayo kila siku lakini kwenye mabishano yao unashindwa… Ni kwamba ulishamdharau katika akili yako… Waswahili walisema.. Huezi mwangusha adui yako kama hujui akifanyacho… Mchunguze adui yako jua kila kitu chake kisha mdondoshe.. Lakini sisi tunapuuza hilo.. Afu unaitwa mchungaji wa makanisa zaidi ya 50, lakini ukienda kwenye mihadhara unashindwa.. Pata elimu ya Biblia kwanza… “



    “tumsifu Yesu Kristo”

    “ameeeeen”



    “juzi juzi hapa… Nilimsalimia mfanyakazi wangu kule mjini… Nina mfanyakazi mmoja ni mwislam… Nilimsalimia Asalam Aleykh…. Haaaa nakumbuka nilikuwa na waumini wangu wawili wapo hapa lakini siwataji… Walinishangaa sana kusikia nimetaamka salamu ya Kiislamu.. Na hio sio salamu ya Kiislamu, kama tulivyo izoea… Sasa wacha nijaribu tafsiri ya salamu hii iko hivi”



    “ASALAM ALEYKH (Amani iwe juu yako)….. Hapo hakuna neno muislamu hapo, hivyo hata Mkristo anaweza kuitumia….. Sasa tatizo liko kwa yule anaetikia salamu hio… Kama ni Mkristo ndio umesalimiwa hivyo na mwislam, basi itika hivi… WALEYKH (amani iwe juu yako na wewe) hapo hakuna neno muislamu, hivyo hata Mkristo anaweza kuitumia….. Lakini hio ni salam kwa wale wenye imani au dini tofauti,… Sasa tuangalie kuna tofauti gani wakisalimiana Waislamu wenyewe kwa wenyewe… Inakuwa hivi….. ASALAM ALEYKH (amani iwe juu yako)…. Hapo hakuna neno muislamu, sasa angalia huyu mwislamu mwenzie anaeitikia… WALEYKH MSALAM (amani iwe juu yako muislamu mwenzangu)…. Umeona tofauti ni kidogo ya hio MSALAM yaani (muislam)… Kwahio mkisalimiana watu wa dini tofauti kwa salamu hio.. Muitikiaji asiimalize yote, yaani asifike kwenye MSALAM… Hata kama ni muislamu asiitikie WALEYKH MSALAM,… Kwasababu aliomsalimia sio muislamu mwenzi.. Anatakiwa aishie WALEYKH… Na hata wewe Mkristo, itikia WALEYKH.. Hata zamani kabla yetu ndivyo walivyokuwa wakisalimiana, lakini Karne yetu tumekuja kujazwa imani iliochanganyikana na shetani, mpaka tunachukiana kiroho Waislamu kwa wakristo… Ila kiwazi wazi tupo pamoja, lakini kiroho tu ndio tupo tofauti…. Tupendane, sote tumetokana na baba mmoja… Ni matabaka tu haya, na mungu hapendi umnyooshe mwenzio kidole cha ubaya……. Mi naona leo niishie hapa… Wiki ijayo nitakuja na mada nyingine…. Naomba wale wa chain player tukutane saa 10 jioni…. Haleluyaaaaaaaaa”

    “aaaameeeeen”



    Mtumishi adam alimaliza ibada muda mrefu sana ila aliamua kutoa neno la hekima kwa waumini ili kujenga upendo dhini ya dini zetu… Mana kuna usemi wa ndani ndani kuitana majina ya ajabu… Sasa leo adam akaamua kuwapa elimu juu ya imani zetu……. Wakati hui ni saa sita za mchana adam akiwa anapanda gari yake kuelekea nyumbani kwake kupumzika kwa muda kisha arejee tena kanisani,… Ghafla eva na rafiki yake wini wamefika… Lakini wakati huo huo Catherine nae anataka kuingia katika gari, ikumbukwe kuwa Catherine kapewa kazi upyaaaaa,.. Lakini catherine alipoona gari ina watu, akasita kwenda mana yeye sio wa kugombania kama wale.. Yeye ni spesho, basi Catherine yeye alipanda gari yake, kisha na adam akaondoka zake… Aliwapeleka akina Eva kisha akarudi nyumbani kwake… Alikoga vyema kisha akaingia jikoni, mana leo Jessica dada yake hakufika japo bado ni mapema mno… Lakini akiwa anakata kata vitunguu, ghafla mlango uligongwa… Hakuwa na wasiwasi alikwenda kufungua mana ilikuwa ni mchana wa saa saba hivi,

    “waoooo sasa kwanini usiniite mtumishi”

    Adam alishangaa kumwona Catherine yupo hapo…

    “we Catherine, ina maana hujui sheria na taratibu za dini kwa mchungaji ambae hajaoa”

    Aliongea adam huku akiwa mkali sana juu ya Catherine kuja hapa…

    “hivyo ni visheria vyetu tu.. Wala havina madhara”

    “sitaki.. Naomba utoke nje Catherine”

    “sawa, lakini jua nakupenda baba mchungaji, nipe nafasi”

    “nimesema toka….”

    Lakini sasa cha ajabu, Catherine alianza kupandisha aketi yake taratibu, ili tu kumsumbua akili yake..

    “Catherine naomba utoke haraka sana”

    “sawa,.. Ila nina joto sana… Nipe nafasi ya kuoaga japo kidogo tu”

    “kaogee kwenu bwana”

    Adam alikuwa mkavu haswa, yaani Catherine ni msichana mzuri na aliobarikiwa maungo, lakini huezi amini adam hakumuona kabisa..

    “nioge hata tone la maji”

    Sasa mbaya zaidi ni kwamba adam hatakiwi kumsogelea kwa kumsukuma, yaani mchungaji ambaye hajaoa mwisho wa kumshika mwanamke ni kule kanisani tu, mbele za watu na ni wakati wa maombezi, ila tofauti na pale Haruhusiwi kumsogelea mwanamke…

    Sasa Catherine alikumbuka maneno ya mwisho ya mr jacob akisema kuwa



    “najua adam anaijua sana sheria na taratibu za mchungaji ambaye hajaoa… Na anazifuatilia sana… Ukiwa ndani kwake hawezi kukugusa, hata ukiingia chumbani kwake hatokugusa mana Haruhusiwi… Kuongea ataongea sana.. Lakini kukugusa hakugusi”

    “unasema kweli mchungaji”

    “haswaaaa…. Yaani utaamua hata kwenda popote ndani ya nyumba hio lakini hatokaa kukugusa,.. Ila kwa kuongea ataongea sana… Lakini kukugusa hawezi”



    Sasa Catherine alipokumbuka hivyo, alinyanyuka na kuelekea chumbani kwa adam… Na kweli adam alikuwa ni wa kuongea tu,

    “Catherine unanivunjia miko ya utumishi wangu, tafadhali sana naomba uende Catherine”

    Catherine hakutaka kusikia badala yake akaingia, adam hataki hata kuingia huko chumbani…



    Sasa adam akakaa katika sofa na kuwaza sana…. Sasa akakumbuka kuna siku alimkuta baba yake anaongea na simu kule nyumbani kwao, na ile simu alikuwa akiongea na baba yake Catherine ambaye ni mr yohana…. Sasa mr jacob kuna swali alimuuliza baba yake Catherine.. Sasa adam ndio anakumbuka siku ile baba yake akamuuliza mr Yohana kuwa….





    Katika maisha furaha ya ndoa na hata kwa familia zote kwa ujumla ni msichana akutwe na bikra yake.. Yaani toka kuzaliwa kwake hajaguswa na mwanaume yeyote yule,… Na mpaka sasa zipo familia ambazo zina uwezo kiasi fulani au ni wacha mungu sana, hua hawataki mtoto wao wa kiume aoe mwanamke ambaye tayari alishachezewa na wanaume wengi, mpaka sasa hizo familia zipo… Sana sana ni wale wacha mungu, haijalishi ni muislamu au Mkristo, hua wanapenda watoto wao kuoa wasichana mabikra na sii vinginevyo,…



    Pamoja na ubaya au ushetani wa mr jacob lakini pia katika swala la moto wake adam kutaka kuoa, pia hatki mtoto wake aoe mwanamke ambaye hana bikra,.. Licha ya kwamba hampendi mtoto wake katika roho ambayo ako nayo adam, mana hawa wana roho tofauti,.. Mmoja ana roho ya kishetani na imani yake kwa ujumla, na adam ana roho ya kimungu na wokovu ndani yake, na anapingana na shetani vilivyo… Sasa baba pamoja na ushetani wake lakini hataki adam aoe mwanamke aliochezewa…. Sasa siku ile ilikuwa hivi

    _________________________________

    “ondoa shaka, hapo watakutana, mana hata Catherine hana mchezo mchezo kabisa”



    Lakini mr Jacob kuna swali alimuuliza bwana Yohana kuhusu binti yake, na wakati huo huo adam ndio anakuja sebuleni kwa ajili ya chakula… Lakini adam aliposikia hilo swali alisita kuja sebuleni kwanza ili asikie vizuri, mana lilikuwa ni swali la siri… Na hata sisi wasomaji hatutakiwi kulijua…. Adam alisikiliza umakini mzee wake akimuuliza bwana yohana kuwa…..

    “lakini bwana Yohana, nadhani unajua taratibu na sheria za dini yatu.. Kuwa mtoto wa kike anatakiwa awe na uzito gani,.. Eee? Nadhani unanielewa, tusitake kuongea saana.. Hivyo una uhakika mtoto wako ana uzito (Bikra), mana sintopenda mtoto wangu aingie pabaya”

    Aliuliza bwana jacob huku mr yohana akijibu kwa kujiamini sana…

    “mr Jacob, mimi nimelea.. Na nalifahamu hilo na ndio mana nimemzibiti mapema ili asije kunitia aibu,.. Kila mwezi namuulizaga mama yake, anasema mtoto yupo sawa na mbona anajielewa sana… Kwa hilo ondoa shaka bwana Jacob”

    “nashukuru sana kwa kunidhibitishia hilo, mana sitotaka mtoto wangu aoe mschana ambae hana uzito, ni aibu kwangu”

    “ondoa shaka”

    “sawa… Tuwape tu nafasi yao… Tuwaachie wenyewe”

    “sawa mr Jacob, tutaonana kwenye kikao”

    Hapo ndio ilikuwa mwisho wa mazungumzo yao… Ilikuwa ni sehemu ya 7, kama Umesahau kajikumbushie…. Sasa hapo adam aliposikia, alitikisa kichwa kama vile mtu aliotaka kufanya jambo fulani..

    ___________________________________



    Hio ni kumbukumbu aliokuwa akikumbuka adam baada ya Catherine kuingia chumbani kwake,… Sasa ona akili ya adam, akili anayoifanya huenda ikasaidia lakini haijulikani…..

    “bwana yesu nilinde kwa hili”

    Adam aliomba kisha akauangalia ule mlango wa chumbani ambako Catherine kaingia,….

    “kumbe baba yangu hapendi nioe msichana ambaye hana bikra si ndio eeee?. Sasa dawa ni kuitoa bikra ya huyu mschana, ili kiherehere kimuishe, na najua baba akisikia Catherine hana bikra, hatotaka nimuoe…..”

    Adam alizima jiko alilokuwa kaliwasha kwa ajili ya kupika… Lakini sasa wazo analolitumia ni wazo ambalo hata mr jehova ndio kataka lifanyike, sasa haijulikani baada ya hapo itakiwaje…. Mana nia ya adam ni kutoa hicho kibikra cha Catherine ili baba yake aachane na mawazo ya adam kumuoa Catherine, kwasababu hana bikra…. Adam anampenda sana eva na wana miaka mingi hawajuani kimwili, leo umletee swaga za mschana wa kidigitali kama huyu atamueza wapi… Adam alisukuma mlango,.. Ila sasa adam mwenyewe nae ni muoga, hajawahi afu ukizingatia ni mtumishi wa mungu, yaani ile hofu ya Mungu na ile hofu ya uongozi alionao na heshima alionayo,.. Mbaya zaidi anaogopa kwakuwa hajawahi kufanya, yaani wamekutana wote mabikra….

    “mtumishi, nataka kwenda kuoga, naomba utoke nibadili nguo”

    Catherine alishangaa adam anavua shati, Catherine mwenyewe pia ni Mshamba mshamba wa mapenzi sema tu mavazi yake ndio yanamwonyesha kuwa kama mjanja sana lakini, ni bogazi sana kama alivyo adam,….

    “mtumishi unafanya nini”

    Aliongea Catherine huku akifumba macho na hapo alikuwa anamalizia kuvua gauni lake ili akaoge… Sasa adam kutupa macho kitandani, alifanikiwa kuona chupi ya Catherine, kumbe alitanguliza kuvua chupi.. Sasa adam hisia zikampanda, kana kwamba hapo alipo Catherine hana chupi, ni hilo gauni aliloshikilia tu

    Adam alijikaza kiume na uoga wake hivyo hivyo..

    “we si unanipenda.. Sasa Unaogopa nini”

    Aliongea adam huku akimsukumia kitandani

    “nooo mtumishi. Kweli nakuoendasana tena sana… Lakini naomba uniache kwa sasa mtumishi”

    “Catherine, hata mimi nakupenda… Sasa kwanini nitedeke hivi… Achana na eva hana lolote yule”

    Catherine kusikia hayo maneno, hakuamini maskio yake

    “unasema”

    “nakupenda cathe”

    Wakati huo adam anamshika Catherine mapaja yake, adam anatetemeka, mana hajawahi kufanya, yaani leo ndio anaaza… Na uzuri ni kwamba hata Catherine kweli ni bikra mana hata zile dalili za adam, hazijui… Na kama angalikuwa mwanamke mzoefu basi angemjua adam kuwa hajawahi kufanya…

    “adam, kama unanipenda, basi tuvumilie kesho tufunge ndoa… Mimi ni wako tu”

    “kesho mbali sana Catherine… Nimezidiwa eti”

    Wakati adam kabakiwa na boxer ya ndani, tena ilionekana kuwa ndogo kwa Zakaria wa adam kuvimba kwa hasira,.. Adam alianza kuyashika mapaja ya Catherine, huku akikataa kataa, lakini hisia za mwanamke bikra na mwanamke asie bikra ni tofauti kabisa… Mwanamke Bikra hisia zake zipo karibu sana,…

    “aa… A… Aa… Ad… Adam,… To… Toa mkono wako bwana”

    Sauti ya Catherine ilisha anza kubadirika kwa kiasi kikubwa mno,.. Alijikuta mpaka anaachia lile gauni liliokuwa kalishikilia kifuania mana alikuwa keshalifungua kila kitu kasolo kulivua tu… Macho ya Catherine yalionyesha dhahiri kuwa kakubali, na adam alivyo hampendi, wala hakutaka hata kumfanyia maandalizi, adam alilivuta gauli lile Catherine kakubali,… Adam kwa mara ya kwanza anaiona siri ya mwanamke,.. Hajawahi kuona live toka kuzaliwa kwake… Yaani hapo ndio mara ya kwanza…. Adam alimshika Catherine kiuno, kitendo cha kushikwa kiuno Catherine alilia milio hata adam haelewi ina maana gani,.. Catherine alikuwa kabana mapaja yake, adam alisukuma paja moja kwa kidole tu, mambo yakakaa sawa….. Adam anavua Boxer yake taratibu lakini Catherine hakutaka aivue mwenyewe, mana aliskiaga stori kuwa kila mtu anamvua mwenzie,… Sasa Catherine yeye hajui kama mwenzie wala hana mapenzi ya kweli, mana akimwambia hampendi kwa maneno hasikiii, sasa ngoja amwambie hampendi kwa vitendo labda atasikia…. Siri ya Catherine ilikuwa kama ya mtoto mdogo, na vile alivyo mweupe mmmhh, sasa Catherine anakuja kushangaa pasta adam alikuwa katunukiwa sehemu za haja ndogo,.. Yaani alipewa vitu vya uhakika..

    “haaaaaaaaaa adam mpenzi wangu… Ina mana yote hii inaingia kwangu au”

    Aliongea Catherine huku akisitisha zoezi la kuivua hio Boxer…

    “Catherine… Mbona ya kawaida tu”

    Aliongea adam huku akimalizia kuvua mwenyewe,….

    “Please utanianza na kichwa afu kesho tutaendelea mpaka katikati, afu keshokutwa utaingiza baba mchungaji”

    Catherine aliongea hivyo akidhani hata wengine hufanya hivyo, kumbe siku moja tu linaingia lote tena bila hata huruma…

    “aaaaaaa, vumilia Catherine, mbona ni dakika chache…”

    “sawa…lakini, niahidi kuwa utanioa.. Mana staki kuitia aibu familia yangu, ujue hapa unanitoa bikra yangu mtumishi”

    “jiamini,.. Wewe ndio mama mchungaji”

    Aliongea adam huku akipanua mapaja ya Catherine yalio meupeeee, kisha akaishika Zakaria yake vizuri na kuanza kuingiza kichwa taratibu.. Lakin ghafla Catherine aliruka na kusema

    “hapana hapana, mchungaji… Naomba ushike Biblia hii na uapie kama kweli utanioa, nikuachie bikra yangu… Shika baba mchungaji”

    Aliongea Catherine huku akimpa adam Biblia takatifu, kitabu cha mungu.. Sasa kwa mtu anaejua dini kuapia kitu cha uongo kwa kutumia kitabu cha mungu ni ngumu…

    “Catherine, basi sintoitoa bikra yako ili uamini nitakuoa… Nipe nichovye chovye juu tu”

    Aliongea adam, lakini Catherine akiangalia hio Zakaria ya adam, sio ya kuchovya chovya juu juu tu kama anavyodai yeye…

    “adam, nakupenda toka moyoni,.. Natamani uwe mume wangu,.. Bikra ni yako hii, kwanini usivumilie mana saa yoyote tutaoana mtumishi”

    Aliongea Catherine huku akilia, na ni jimama kubwa tu lakini anaogopa dudu,…

    “Catherine, nia ya kufanya kabla ya ndoa… Niijue radha ya viuno vyako… Je nikioa mke gogo hajui hata kukatika… Hapa ni kama nakufanyia intaviuu, ukishindwa na kiuno chako kizito basi teba”

    Aliongea adam kisha akamfuata taratibu na kulipanua paja tena… Catherine kakubali, tena kajisogeza karibu zidi

    “usiingize yote lakini baby please”

    “Usijali…”

    Adam alishika Zakaria tena na kuichomeka… Lakini Catherine karuka tena, na kusema

    “No, No, shika Biblia hii apia kuwa utanioa adam, tafadhali sana.. Shika na unihakikishie kwa kutumia kitabu cha mungu”









    Kweli bikra ni muhimu sana kwa mwanamke, sema wanashindwa kuelewa na kujikuta shetani anawapitia… Bikra ina heshima ndani ya ndoa, kwanza hata mahari atakayotozwa mwanaume ni kubwa na itawaridhisha wazazi na pia watakuwa na furaha kubwa na kupewa heshima ya malezi mema kwa kumuoza binti yao akiwa mzito kabisa,… Msichana anapokosa uzito hua ni furaha ya kawaida na hata mahari inawezwa kujadiliwa.. Ila mwanamke mwenye bikra.. Yaani mwanaume akiambia lete ng’ombe 3 au 4,wengine mpaka 5….na ikisemwa hio wakiamua haipunguzwi,.. Ila kama huna uzito (bikra) mahari inaweza kujadiliwa…. Saa mingine hata wazazi wanaweza kuwaacha tu mkaishi tu kwa kupendana,… Kikubwa tu utaambiwa mahari nyingine utatulipa taratibu,… Kuachilia ya kwamba mahari hailipagwi yote….



    Sasa huku kwa Catherine akiwa na adam ndani ya chumba kimoja, Adam hampendi Catherine, japo ni mzuri, ana umbo, na pia uzito anao, sema Catherine ana vitabia vya kimjini mjini sana,… Sasa huo ujio wa Catherine umesababisha adam mpaka leo hajamuoa mchumba wake wa miaka mingi,… Adam amekaa muda mrefu na eva lakini hajawahi kumuomba tunda lake hata siku moja

    Na hata alipotoka Nigeria, alikuwa na nia ya kuja kuoa lakini kakutana na vikwazo vingine toka kwa wazazi,.. Vimesababisha adam mpaka sasa hajaoa



    Sasa akili ya adam ni kwamba atoe ile bikra ya Catherine, ili ipunguze kiherehere kwa wazazi,… Na ni kwasababu siku hio alimsikia baba yake akisema hatotaka adam aoe mtoto ambae hana uzito (bikra)…



    “No, No, shika Biblia hii apia kuwa utanioa adam, tafadhali sana.. Shika na unihakikishie kwa kutumia kitabu cha mungu”

    Aliongea Catherine huku akimpatia adam Biblia ili aapie kweli atamuoa, ila adam anajua athari za kuapa kwa kitabu cha mungu, afu istoshe sote tunajua kuwa hatomuoa…

    “Catherine, basi tuache hili swala… Wacha nikushike shike tu”

    Catherine alishangaa sana, ni mwanaume wa dizaini gani anakutana na umbile la kike, afu anaacha na kuamua kushikana tu,.. Lakini kama tunavyojua mapenzi mengi huanza na msisimko, hata mkiwa kwenye gari mkianza na tabia ya kupeana mate tu basi hapo hapo mtazilaza siti za gari hilo…

    Catherine hakujua kama msisimko unaweza kumfanya akakubali kuiachia bikra yake bila kiapo chochote,…

    Midomo yao ilikutana, na kama unavyojua wote ni wageni wa tendo hilo hivyo hakuna mjanja hapo, hata akikosea mmoja hawezi kuona kosa la mwenzi wake, kifua cha Catherine kilichosimama wima, adam hakuwa akikipa nafasi, na vile hajui sehemu za kumsisimua mwanamke, hivyo akibahatisha sehemu moja ni hio hio mpaka ahakikishe analalama… Bikra ni bikra tu, na kwenye mapenzi hua hachelewi kabisa, tofauti na limwanamke liliozoea amsha dude..

    “adam.. Mbona kama nia yako n… Ni… Mmmhhh”

    Catherine aliona kabisa bidii aliokuwa akiifanya adam ni dhahiri kuwa anataka tunda, na wala sio kumshika na kumwacha kama alivyodai awali,…

    Catherine bila kupanuliwa mapaja, alijikuta anajiachia wazi kweupeee, na ule weupe wake, duuuuuuu…. Adam moyo wake ulifurahi mana kitu cha kwanza kaweza kumtolesha kibao kimoja kabla ya kumuingilia,.. Sasa anafurahi kama leo tu ndio anaanza keshamchosha mtu, je akioa huyo atakaemuoa atamfanyaje, adam hakutaka kuchelewa ili asije akapewa Biblia tena ili aapie,..



    Catherine hakujizuia wala kuruka kama mwanzo, mana tayari palisha lainika, ni kelele zake za utam ndizo zilizokuwa zikisikika… Adam alikuwa kaingiza kidogo tu kama Catherine alivyotaka isiingie yote, yaani achovye chovye tu juu juu… Adam alianza shughuli yake wakati huo hata haijaingia sana lakini Catherine anateseka sana, bila juhudi za mwanaume sidhani kama bikra inaweza kutoka,.. Lazima mtoto wa kike asumbue kwa kiasi fulani… Adam hakuchukuwa muda mana hajawahi kufanya miaka yake yote, sasa kafikia mshindo, adam alipiga kelele mana alijivuta na kujikamua kwa Catherine,…. Sasa Catherine yeye ndio hafai

    “mamaaaaaaaaaaaa…… Umeniumiza Uuuuuuuuuwiiiiiiii”

    Alipiga kelele mwanadada Catherine, na wakati huo adam keshasukumwa na Catherine pembeni,.. Aiseeeeee, Catherine haamini kama kweli bikra yake imetolewa… Mana alikuwa akitokwa na damu katika sehemu husika, hata dhakari ya adam ilikuwa ilikuwa na damu kwa kiasi kikubwa,… Lakini sasa dhakari ya adam haijalala kama zilivyo zingine, mana si ndio anaanza leo, hivyo bado ana mzuka..



    Wakati huo Catherine analia kwa maumivu ambayo anayahisi katika maungo yake,..

    “turudie basi”

    Kitendo cha adam kusema turudie,. Catherine alirusha kibao mpaka kwa adam….

    “paaaaaaaaaaaaaa”

    Mpaka Catherine mwenyewe alishangaa kawezaje kumrushia mkono adam… Ila bado alikuwa na hasira sana juu ya hilo,…

    “sasa unanipiga kibao cha nini”

    “yaani mi naumia afu bado unaniomba… Mwanaume katili sana wewe”

    Catherine alijikongoja mpaka bafuni, kisha akajisuuza kwa kuoga kabisa, wakati huo adam kaduaa kitandani huku akiwa kashika shavu lake,.. Hata dudu lililala kwa kile kibao,..

    “na amalize kuoga atoke, ananipigaje kibao”

    Aliongea adam huku akichukuwa nguo zake, na kuzipanga tayari tayari

    Adam alikwenda bafu lingine, mana jumba ni kubwa na lina mabafu kila chumba,… Kila mmoja Alimaliza kuoga lakini Catherine alikuwa akilia kwa maumivu, na wakati huo keshavaa nguo zake,…

    Adam alipoangalia saa ilikuwa ni saa kumi na moja ya jioni,… Kachelewa kanisani kukutana na vijana wa chain player,… Mana aliwaahidi kukutana saa kumi za jioni… Adam aliingia jikoni na kupika, ikumbukwe kuwa alistop kupika kwasababu Catherine aliingia chumbani kwake,.. Ni dhahiri kuwa Catherine alikusudia kuguswa na adam, coz huez ingia chumbani kwa mwanaume ambaye hajaoa na wewe hujaolewa, afu mbaya zaidi bado kuna sheria za dini juu ya mwanaume na hata mwanamke anazijua, sasa kwanini kashindwa kuziheshim… Sasa hata akilalama kosa ni lake,…



    Adam alimaliza kupika, ila hakumfukuza mana vile alivyosema, ilikuwa ni hasira za mwanzo tu… Ila kwa sasa zimepungua lakini kakasirika kwa kupigwa kibao na Catherine… Basi walikula wote lakini ni ile kununiana kimya kimya, huyu kachukia kutolewa bikra yake, na huyu kachukia kwa kupigwa kibao… Catherine alipo maliza kula, alipanda gari yake na kuondoka zake… Adam alibaki nyumbani kwake… Lakini hakutaka kubaki mana aliwaahidi vijana wa chain player kukutana nao ili kuchagua vijana watakao pokezana katika maombi ya chain player,…..



    Baada ya wiki moja kupita adam akiwa kanisani kwake, katika maombi ya siku za juma,… Na alikuwa na waumini wengi sana nyakati za jioni, na hata Catherine alikuwepo, kupona keshapona kitambo tu… Lakini adam alikuwa hajiskii vizuri hivyo alimkaribisha eva kufanya mahubiri kwa niaba yake, japo ukimuona ndivyo itakavyokuwa

    Kile kitendo kilimuuma sana Catherine kwa kupewa nafasi ya kuhubiri pale mazabauni, mana pale mazabauni hua hapapandwi na watu hivyo hivyo,… Baadhi ya waumini walifurahi sana kwasababu wanajua mahusiano ya adam na Eva,… Na ndio mke wake mtarajiwa….

    Adam anampenda sana eva, na licha ya kumpenda pia anaihudumia familia yao, mana baba yake eva alipoteza maisha akiwa mzee wa kanisa, tena alifia kwenye kanisa lao ndani akiwa anafanya ibada,… Sasa adam ndio akaamua kuihudumia familia yake na kabla ya baba yake kufa, adam na eva walikuwa katika mahusiano,… Yaani wametoka mbali mno, hivyo anampenda na anatamani kuwa mke wake….



    Baada ya ibada adam akiwa katika gari,….

    “hivi ni tabia gani umenionyesha hii”

    Aliongea Catherine kuwa kamwonyesha tabia gani ya kumpandisha eva katika mazabau ingali yeye ndie mchumba wake, mana keshampa bikra yake hivyo anatakiwa ampe heshima zaidi…

    “mimi nikajua utakuja na jambo la maana, kumbe hilo tu….”

    Aliongea adam tena kwa dharau sana

    “ina mana mtumishi, hujanisamehe tu vile nilivyokupiga kibao… Nisamehe mume wangu”

    “ati nini… Nikusamehe nani wako”

    “ina mana huna mpango na mimi”

    “sana tu”

    Alijibu adam tena bila hata kuogopa

    “kwanini lakini umenifanyia hivyo Adam, hivi heshima yako ipo wapi sasa”

    “nilikwambia Catherine, sikupendi na nilikuonyesha na mchumba wangu wa miaka mingi… Lakini hukutaka kusikia… Mtu keshakwambia hakupendi we shida yako nini”

    Adam leo aliamua kumwambia ukweli, kuwa katika kufanya nae, sio kuwa alimpenda… Catherine alikuwa akilia huku adam akiendelea kuongea

    “na nitawaambia wazazi wangu kuwa wewe sio bikra”

    “weeeeeeeeee naomba usifanye hivyo adam Please, nakupigia magoti baba mtumishi usije kunitangazia popote, nakupenda sana baba mtumishi… Tafadhali sana upokee moyo wangu”

    “nilikuja kwenu siku ile, tena nilikuja na eva, nikakwambia kabisa… Nina mchumba, tena mbele ya mama yako, lakini bado unanifuatilia na kutaka kuvunja hata uchumba wetu.. Mbaya zaidi unakiuka mpaka sheria na taratibu za mchungaji ambaye hajaoa,.. Ulikuwa na maana gani kuingia chumbani kwangu,… Catherine, naomba usinifuatilie tena tafadhali sana”

    Catherine alikasirika sana mpaka kuondoka hapo na kuingia kwenye gari yake,.. Alikuwa kakasirika sana hata gari aliiondoa kwa hasira,… Adam alimwangalia tu kwa macho jinsi anavyo potelea na gari yake

    “hapa sawa sasa, mtu ukimwambia kwa mdomo haelewi… Hapo ataelewa sasa”

    Aliongea adam huku nae akiwasha gari mana tayari mida ya jioni ya kurudi nyumbani na hata waumini pia vivyo hivyo,…



    Sasa huku barabarani, Catherine akiwa ndani ya gari,.. Alikuwa akimwangalia sana eva kupitia kioo cha mbele, yaani jinsi anavyoendesha gari, eva yupo mbele anatembea kwa miguu, maskini ya mungu kumbe mawazo ya Catherine ni tofauti kabisa,….

    “wewe ndio kipenzi cha adam si ndio??… Eti nilikwambia nina mchumba na mchumba ni eva…. Sasa tuone huyo eva atapona kwenye gari au laaa”

    Aliongea Catherine huku akianza kuendesha gari yake kwa spidi tena anaelekea kule kule alipo eva,… Kweli Catherine kazamiria kweli,.. Yaani hapa ni akili yake aio kama vile vya mwanzo…. Masikini eva bila kujua kuwa nyuma yake kuna gari inakuja tena kwa makusudi ya kumuua yeye..

    Spidi iliongezeka…. Na hatimaye kumfikia karibu ya eva,

    “Uuuuuuwiiiiiiiiiii mamaaaaa”







    Katika maisha ya mwanadamu lazima kuwepo na neno WIVU, hili neno kwenye mapenzi hua ni baya sana, kwani pale tunapoamua kulifanyia kazi, matokeo yake huja kuwa ni hasara katika maisha yatu,.. Hivyo kama unakuwa na wivu basi fanya kujibalansi mana ukizidi sana utamkera hata huyo unaempenda…



    Catherine anampenda sana mtumishi adam, lakini mtumishi nae ana mchumba wake tena wa muda mrefu sio kama yeye aliemjua juzi tu, na kupewa taarifa za kuolewa nae,.. Adam alimwambia kabisa Catherine kuwa ana mchumba wake na wanapenda sana, lakini Catherine hakutaka kusikia, ndipo adam akachukuwa jukumu la kuongea kwa vitendo,… Na baada ya kitendo adam alimwambia ukweli kuwa alimwambia kwa mdomo lakini hakusikia, sasa kaongea kwa vitendo,.. Sasa Catherine si kitu tena mana kapenda asipo pendwa….



    Baada ya kuambiwa ukweli Catherine alijikuta anapandwa na hasira, lakini mbele yake alimwona msababishi wa hasira zake,.. Alikuwa ni eva,.. Catherine aliona kwakuwa eva ndie kipenzi cha adam, sasa wacha amkomeshe kwa kumpamia na gari kwa makusudi,…. Catherine hakuwa akifanya utani mana kweli adam hapo ndipo roho yake ilipo, na ingelikuwa tayari keshamuoa, sema Catherine ndie alikuwa kikwazo…



    Masikini eva bila kujua kuwa nyuma yake kuna gari inakuja tena kwa makusudi ya kumuua yeye..

    Spidi iliongezeka…. Na hatimaye kumfikia karibu ya eva,



    Lakini kabla hajamgusa kwa gari, kwa bahati nzuri au mbaya, eva akakanyaga jiwe liliomfanya kuteleza na kuangukia upande wa kushoto…

    “Uuuuuuwiiiiiiiiiii mamaaaaa”



    Ni kelele za eva baada ya kudondoka chini, na wakati huo huo gari ya Catherine ndio inapita jirani na miguu yake,.. Yaani kama sio jiwe kumdondosha eva, basi sasa hivi yangelikuwa mengine,… Wakati eva kachafuka maji machafu ambayo alimwagiwa na Catherine kwa kutumia gari,…. Catherine kwa hasira ya kumkosa alitoa gari kwa spidi kali, watu walishangaa, yaani mtu umkose afu utoe gari, walimshangaa sana Catherine kwa kitendo ambacho amekifanya mbele ya waumini wenzie…

    “pole dada…. Amka twende”

    Alikuwa ni bite mdogo wake na eva, lakini wakati huo huo Adam anatokea

    “Jesus, nini kimekukuta eva”

    Adam aliongea huku akishuka katika gari kwa haraka na kumuwahi eva pale alipokuwa akiamshwa na bite..

    “alikuwa anamkwepa Catherine”

    Adam kuskia hivyo akajua tu Catherine lazima kafanya makusudi na sio bahati…. Japo kilichomdondosha sio gari ya Catherine, bali viliambatana… Yaani ile kakanyaga jiwe na kumpindua na gari nayo hio, hivyo hata kama uliona mwanzo mwisho huez jua kama ni jiwe, lazima ueme ni gari mana ni vitu vilivyo fatana…..



    Adam alimchukuwa eva na kumuweka katika gari yake, hakuja kachafuka au laa,… Wote walipanda katika gari, kisha Wakaondoka, lakini njia aliokuwa akielekea adam ni njia ya nyumbani kwake,…

    “mtumishi, mbona tunakwenda kwako”

    “eva, utaendaje nyumbani hivyo… Twende ukaoge”

    “hapana…. Mtumishi niwahishe tu nyumbani, Umesahau kuwa huhitajiki kuwa na mtu ndani kwako kwa wakati huu”

    “ni kweli…. Ila sawa wacha niwawahishe”

    Aliongea adam huku akirudisha gari nyuma, mana alishapituliza kuelekea kwake,….

    Wakati huo wapo watatu ndani ya gari hilo, Eva, Bite, na adam… Adam alifika mpaka nyumbani kwa akina eva,…

    “yesu wangu, heeeee, eva nini kimekukuta rafiki yangu”

    Alikuwa ni wini ndie alieongea hivyo kwa kumshangaa eva kwa jinsi alivyo chafuka,…

    “we acha tu wini.. Ni Catherine huyu”

    Adam aliingia ndani na kumsalimia mama mkwe,… Kisha aliaga na kuondoka zake,… Wini akiwa na eva ndani kwao, mama eva Alianza kulia mana anajua hio ni vita ya mapenzi ndio inayomtesa mtoto wake…

    “mwanangu pole sana mama…. Najua unapendwa, lakini wengi hawapendi kupendwa kwako mwanangu…. Lakini bwana yesu yukaribu nawe”

    Aliongea mama huyo huku akitokwa na mchozi ya uchungu…..

    “eva, usishindane na wenye pesa eva”

    Aliongea wini huku eva analia, yani kisa mwanaume ndio ananyanyasika kiasi hicho,…

    “hujauimia mwanangu”

    Aliongea mama bite, huku eva akionyesha mchubuko kidogo tu alio upata

    “adam anajua kuwa umechubuka”

    “hapana, sikutaka kumsumbua”

    “wacha nikutafutie dawa mwanangu”



    Ikiwa ni mida ya jioni hivi,.. Adam akiwa kapumzika nyumbani kwake,.. Wakati huo sasa adam anakumbuka siku ile alipokuwa na Catherine,… Sasa akili na Catherine inaanza kumjia mana anamkumbuka…. Yaani ni muda mfupi Catherine kafanya tukio, lakini adam alipokuwa kapumzika katika kitanda alianza kumkumbuka Catherine, siku ile wakiwa kitandani… Adam alishika simu yake kisha akaanza kulitafuta jina la Catherine katika orodha ya namba zilizopo katika simu yake.. Aliliona lakini akawa anasita kupiga,



    Sasa hajakaa vizuri, mara simu ikaita lakini ilikuwa namba ngeni,…

    “hallow… Tumsifu Yesu Kristo”

    Aliongea adam japo hajui aliopiga

    “milele amina…. Mtumishi naumwa na tumbo, niombeee”

    Adam alishangaa kuskia sauti ya kike, tena ikimwomba amuombee kwani hapo alipo anaumwa na tumbo… Kweli ukiwa na imani, unaweza kupona hata kwa kuombewa kwa simu,….

    “sasa weka simu yako katika tumbo na uifanye laudi spika”

    Adam hakutaka kumjua ni nani… Saa ngapi hajaanza kudondosha maombi.. Tupia maombi ya hali ya juu… Lakini ghafla, anasikia

    “pasta adam…. Inatosha, naomba nije uniombe huko…”

    “kwani we nani”

    “ni yule rafiki yake eva,.. Naitwa wini”

    “mmmhhh namba yangu umetoa wapi”

    “nitakwambia nikija”

    “uje wapi… We hujui kuwa sijaona”

    “pastaaaaa…. Kwani ambae hajaona… Hawezi kulala na mwanamke”

    “ndio, na ndivyo inavyotakiwa… Kama wataka nikuombee njoo kanisani kesho”

    “ina maana pasta… Wewe hunanihii”

    Wini alishajua kuwa adam keshapepesuka kwenye upande wa msimamo, mana aligundua wakati anamshusha eva pale kwao, alikuwa akimshika sana afu uume wake ulikuwa umesimama kwa mbali, hili tukio wini aliliona na kuona kuwa Adam keshamomonyoka msimamo..

    “naomba tuheshimiane tafadhali”

    Wini aliogopa kwa kiasi fulani.. Mana adam alikuwa na mkwara,…

    “ok unafanyeje hapo pasta… Samahani lakini”

    “unataka nini”

    “maombi”

    “njoo kanisani kesho”

    “pasta adam…. Mapepo yangu hua hayatoki kanisani sjui kwanini”

    “kwaio”

    “dakika moja tu…. Hapo kwako… Nitakuja kiusalama zaidi hakuna mtu atajua”

    Adam kweli sasa hivi kamomonyoka msimamo, yaani toka alipokutana na Catherine kimwili, mpaka sasa amekuwa mtu wa tofauti sana, yaani kile walichokuwa wakikitaka mr jehova na mr Jacob, ndio hicho sasa kimetokea…

    Adam aliangalia saa yake, ni saa 11 ya jioni… Ni muda wa dada yake kuja.. Lakini leo kama vile kachelewa…

    “na ukija staki ukae, baada ya maombi uondoke”

    Mpaka hapo sio sheria kwa mchungaji ambae hajaona kumwombea mtu ndani kwake, labda awe wakiume lakini sio wakike…



    Kweli wini alimtamani sana adam siku nyingi, sasa leo atakoma kuringa, bodaboda ilisimama mbele ta geti la adam, bonge la jumba la kifahari,… Afu kijana mdogo tu, japo ana ushirika na baba yake….

    Adam akiwa ndani ghafla kengele iligongwa, alikwenda kufungua kwakuwa hakuwa na wasiwasi na aliokuwa anakuja,… Wini ni mschana mrembo sana, na ana umbo la wastani,.. Ni kazuri mno…

    “karibu ndani”

    Aliongea adam huku akifunga geti,.. Lakini hali aliokuja nayo wini, ni hali ya kumtishia mwanaume yeyote yule rijali,…. Yaani alikuwa kavaa yale magau ya mistari kama punda milia, afu hua wakitembea wanayashika hapa mbele, sasa kama mwanamke ana chura.. Heeeee huyo kidume wa nyuma ataisoma namba… Unaweza potea hata njia…

    Sasa wini alifanya kusudi kabisa.. Wenzie wanavaa angalau na chupi ndani…. Lakini yeye kalivaa hivyohivyo, afu ana chura lainiii.. Na yale magauni yenyewe malainiiii.. Adam alikuwa akipepesa macho tu,



    Sasa kusudi za wini zilizidi… Alifika mahari kuna kama vijingazi vya kupanda, ili ufike kibarazani,… Sasa wini akajifanya kama kupandisha mguu hivi hawezi, mana alikuwa anapandisha mguu kisha anaushusha chini, sasa kile kitendo cha kushusha chini, na vile hana chupi… Adam alibaki kiduaaa, tu na vile ni mgeni wa mapenzi, yaani hapo tabu kwake….

    “kama huezi kupanda hapo bora urudi”

    Aliongea adam tena kwa kujikaza haswa, yaani uzuri ni kwamba shetani anamjia afu anaondoka… Sasa wini akaona mwanaume ni mgumu kama jiwe na akileta mchezo kweli anaweza kutolewa nje.. Wini alipitiliza mpaka ndani na kukaa katika sofa,… Adam alikuwa kavalia traki yake mana si yupo nyumbani tu,.. Alikwenda chumbani kwake na kuchukuwa vitabu vyake vya kufanyia maombi, yaani adam anajua kweli wini kaja kwa ajili ya maombi, na hata wini haamini kama kweli adam anakuja  na Biblia mkono….

    “ulisema unaumwa tumbo”

    “ndio, baba mtumishi”

    “yesu atakuponya… Piga magoti chini na ufumbe macho”

    Wini aifanya kama alivyoagizwa, kisha adam akafunua kitabu chake maalum kwa ajili ya maombi,… Kazi ilianza huku adam akiwa kashika kichwa cha wini, na hata adam pia kafumba macho nae huku akishusha maombi,… Kweli adam hakuwa na tamaa sana, ila ni shetani tu anakua kama anajaribu…. Maombi yalichukuwa kama robo saa hivi,… Sasa adam akafumbua macho ili kufunua ukurasa mwingine… Sasa ile kufumbua macho, alikutana na kifua cha wini kimetokeza nje,.. Kumbe wini alifanya makusudi tu.. Adam ikabidi afumbe macho tena na kuendeleza maombi, lakini ile hali ya kifua wazi, tayari imeshaingia kwenye ubongo wa adam.. Na ikishaingia kwenye ubongo inasafirishwa kwa damu mpaka kwenye dhakari ya adam….. Sasa ukumbuke wini alikuwa kapiga magoti, saaa ngapi hajaona traki ya pasta inanyanyuka,.. Sasa wini anashangaa kumbe pasta ana maumbile makubwa hivi… Wakati huo adam yeye anaomba lakini huku wini anaaangalia mashine…

    “Uuuuuuuuuwiiiiiiii….. Aaahhhh uuu… Oooooo aaajjhhhhhhhh… Ooooouuuuubbbbbbyyty… Uuuu”

    Mapepo yalianza kumuamka wini,.. Makelele ya hapa. Na pale…. Sasa hapo adam anajua.. Mapepo yanatoka,.. Wakati huo wini anamshika adam kila mahari kwa kumkaba kaba kama vile mtu mwenyewe mapepo kweli… Lakini sasa wini kila mahari anapashika kwa nguvu na kujikamua kama vile kweli ana mapepo, lakini sasa alifikia kushika mpaka kwenye dhakari ya adam, lakini alipashika kiustarabu… Sasa adam akajiuliza… Ni mapepo gani yanachagua sehemu za kushika kistarabu… Hapo ndipo adam akagundua hakukuwa na mapepo wala nini…

    “wini,… Siwezi kuamini, kumbe hupo Siriasi na maombi”

    Wini alimwangalia adam kisha akamwambia

    “ni kweli mtumishi adam…. Kweli sikua Siriasi na maombi”

    “sasa nini kilichokuleta”

    “hata mimi nakupenda mtumishi… Sio eva na Catherine tu,.. Karibia wasichana wa kanisa lako wote, kila mtu anatamani kuolewa na wewe… Sasa mimi ni nani nisiotamani… Baba mchungaji, nakupenda, na hapa nimefuata penzi lako…. Utanisamehe sana mana sikuja kimaombi”

    Sasa adam akijivuta kutoa jibu baya ili limkere wini,… Ghafla kengele ya geti inagongwa, adam alikatwa na tumbo kwa mshtuko….

    “dada yangu huyo anakuja… Umeona sasa ujinga wako wini… Leo sura yangu naiweka wapi sasa dada angu huyo”

    Lakini wini nae akashangaa huyo dada yake anakuja Kufanya nini saa hizi…

    “anakuja kufanya nini huku”

    “dada yangu kajitolea kunipikia na kunifanyia usafi wa nyumba mpaka nitakapo oa… Sasa ndio kaja kupika”

    “yesu wangu jamani adam kwanini usiniambie mchungaji”

    “twende huku chumbani… “

    Adam alimkokota wini mpaka chumbani kwake….

    “Sasa utajificha wapi hapa…. Ooohhh Yes njoo kwenye hili kabati la nguo”

    Kule ndani kuna yale makabati ya kujengea humo humo, sio kabati za mbao…

    “tupa huu mkoba wako kule… “

    Adam alichukuwa ule mkoba wa wini na kuutupa mvunguni huko.. Kisha akamfunika na suti suti,… Kisha akatoka nje kwenda kumfungulia dada yake, mana ni yeye tu…

    “karibu dada”

    “Ahsante, ulikua umepumzika mtumishi”

    “aaahhhh ndio… Na umenivurugia usingizi”

    “kwahio leo nikuache upumzike”

    “aaahhhh itakuwa vyema sana… Mana nimechoka afu nimekula muda sio mrefu”

    Adam aliongea kimkato mkato, mana ndani kuna mwanamke sasa dada yake akisema aingie… Itakuwa balaaa

    “basi wacha nipumki kidogo mana… Mana nyumbani kuna gubu”

    Sasa ni dada yake, hawezi kumkataza hivyo alifunga geti kisha akawa anamfuata dada yake kwa nyuma… Akili ya adam hapo haifanyi kazi kabisa…

    Lakini sasa ile dada kuingia ndani, kwanza akakutana na harufu ya mafuta ya kike, na mwanamke anaeingia ni yeye peke yake.. Alinusa nusa

    “vp dada, hujafanya usafi siku nyingi eee”

    Adam alijibalaguz mana keshajua dada kajua kuna harufu ya mafuta ya kike humo ndani…

    “ndio,… Natamani kuifanyia usafi wakati wowote”

    “aahhhh kwa leo dada pumzika”

    “ok… Nipatie maji ya kunywa basi… Au utakataa kwakuwa ni mchungaji”

    “aahhhh uchungaji wangu bila heshima si kitu… Na uchungaji ni kanisani, nyumbani heshima kama kawaida”

    Aliongea adam huku akimimina maji toka kwenye kabinet….

    “sawa bwana”

    Lakini ghafla, chumbani kwa adam kulitoa sauti za kudondoka kitu… Jessica alishtuka…. Na kutaka kwenda, ila kasita kwasababu ni chumbani kwa kaka yake….

    “kuna nini”

    “yatakuwa ni mapanya hayo… “

    “ina maana hii nyumba ina panya”

    “makubwa tuuuu… Panya kama paka”

    Aliongea adam lakini kama vile hajiamini na maneno yake,…..



    Sasa huku chumbani kumbe wini kachoka kukaa kwenye lile kabati, na wazo lake anajua dada yake adam keshaondoka… Sasa cha ajabu wini kavua nguo zake zote, afu akajifunga taulo la Adam,..

    “ngoja nimsapraizi kwa kuvaa taulo lake… “

    Baada ya wini kuvaa taulo tu, akawa anauendea mlango ili atoke kumsapraiz adam kwa mapigo ya mitego… Na wakati huo huku sebuleni bado wanajadili kuhusiana na hayo mapanya… Wini kafika kwenye mlango na kushika kitasa









    Adam Haruhusiwi kuishi au kuwa na mwanamke hapo ndani, ispokuwa ndugu zake pekee ndio wanaruhusiwa hata kulala hapo hapo, lakini msichana ambaye hana mahusiano naye kindugu, Haruhusiwi kuishi hapo na kama ni kusalimia, mwisho iwe getini ila sio kuingia mpaka ndani,… Hio ndio sheria na kanuni za wachungaji ambao hawajaoa, ila akioa ni ruksa kwa yeyote kuingia katika nyumba yake hata kulala ruksa, mana ana mke, hivyo hakuna hofu juu ya kondoo wake,…



    Dada yake adam aitwaye Jessica ndie aliechukuwa zamana ya kufanya usafi hapo na kumpikia kwa siku moja moja,… Lakini kabla ya dada yakw kufika hapo, kuna msichana aitwaye wini, alikuja kwa ajili ya maombezi, binafsi pia mchungaji ambaye hajaoa.. Yaani bachela, huruhusiwi kumuombea mwanamke ndani kwako, peke yenu… Labda wawe wengi lakini sio nyie wawili tu, hairuhusiwi, na adam anaifahamu vyema sheria hizo, lakini sasa adam alishaonja utamu wa mapenzi siku akiwa na Catherine, na haikua kusudio lake, yeye alitaka kumtoa uzito (bikra) yake ili ishindikane kumuoa Catherine, mana mwanamke ambaye hana bikra, adam Haruhusiwi kumuoa,… Hii ni kuepuka maneno ya watu kuwa pasta fulani kaoa malaya…. Na ndio mana mapasta wanatakiwa kuoa wanawake walio na heshima ili wasinyooshewe vidole na waumini,.. Mana hata yeye ni pasta wa pili baada ya mume, hivyo hatakiwi kuwa na sifa mbaya…..



    Sasa kitendo cha adam kumtoa bikra Catherine,.. Kumbe kilimfanya nae kunogewa na kuanza kukiuka zile sheria ambazo zinatakiwa kufuatwa, kama vile kumwombea muumini mmoja wa kike nyumbani kwako… Hio haitakiwi labda uwe umeshaoa,.. Yaani sheria zote hizi ni kwasababu hajaoa… Lakini akishaoa mana kila mmoja anajua pasta ana mke..



    Sasa Jessica alifika nyumbani hapo na wakati huo adam keshamficha wini ndani, mana ni kosa hata kwa mungu kukiuka sheria hizo,… Na Jessica anaijua dini vilivyo,..



    Wakati Jessica na adam wakiwa sebuleni, wanapiga stori, sasa kule chumbani wini kavua nguo zote na kuvalia taulo, ni yake ni kutoka sebuleni kumsapraizi adam… Mana wini ana umbo zuri, hivyo na hilo taulo lilivyo, duuuhhh… Wakati wote huo wini anajua dada yake adam keshaondoka mana adam hawezi kumwacha wakati wote ingali anajua ndani kuna mtu,… Wini alikwenda mpaka kwenye mlango na kushika kitasa cha mlango, lakini kabla hajakivuta, aliskia sauti….

    “basi nitakuja kesho…. Hawa panya wako sjui wameingia lini”

    Aliongea Jessica akiwa na adam, hapo ndipo wini akaacha kufungua mlango, mana dada yake adam bado yupo ila ndio kaaga anataka kuondoka….



    “basi dada, nikutakie safari njema, Nisalimie mama huko na wadogo zangu”

    Aliongea adam huku wakitoka nje

    “baba je”

    “aaahhh mchungaji naonana nae kila wakati”

    “sawa…. Nitakuja kesho mapema sana mana sijafanya usafi muda”

    “sawa dada, yesu akutumainie dada angu”

    “amen”

    Jessica alikuwa akiondoka lakini kama vile ana wasiwasi fulani hivi, mana harufu ya wanawake inajulikana na hata harufu ya kaka yake anaijua mana amemlea mwenyewe, sasa haelewi kama vile kuna kaharufu kapya mule ndani,… Jessica aliacha kudiskasi sana aliondoka zake.



    Adam katoka huko kwa hasira anakwenda chumbani kumtoa wini aondoke zake,… Yaani adam kuna wakati shetani anamzidi kuna wakati anapambana nae…. Sasa hapo hataki ujinga,… Kafungua mlango wa chumbani huku akisema…

    “we mwanamke tok…. Tok…. Toka… Toooook… To…. Tok… To… Tok.. Tokaaa. Us…. Tok.. Tok.. “

    Adam alijikuta hamalizi maneno kwa hali aliomkuta nayo wini,… Wini alikuwa kavua lile gauni lake,.. Kisha kajilaza kitandani afu kujifunika shuka jepesiiii, mlalo aliolala sasa ndio hatari ukilinganisha na umbo lake, adam alishikwa na kigugumizi,

    “kwa mwanaume rijali kama wewe, sidhani kama utaniacha…. Nami staki uniache mtumishi wangu”

    Adam haamini kama leo kaletewa utamu tena kwa mara nyingine, mana mara ya kwanza alikuwa na Catherine, na siku ile hakuridhika, Catherine alikataa tena alimpiga kibao,… Wini alikuwa kalalia tumbo (kifudifudi) afu mguu mmoja kaukunja, mwingine umenyooka, sasa adam macho yake yote ni kwenye wowowo,…. Wini alijaaliwa na mungu, traki ya adam haikuchelewa kuvutana,…. Winj aliona ile hali wakati huo adam kadua pale pale mlangoni,….

    “sasa unateseka nini adam… Njoo”

    Aliongea wini huku akishuka katika kitanda na shuka lake,….

    “adam… “

    Wini aliita huku akipeleka mkono wake katika nanii ya adam ambayo tayari ilishaonyesha hasira juu ya vita,

    Wini aliishika, kitendo cha kuishia tu alijikuta anafumba macho kwa ulaini wa nanii ya adam…

    ” siwezi kuamini kama utaniangalia tu”

    Aliongea wini huku akiingiza mkono ndani ya traki ya adam,… Na adam katulia yaani kama mtu alioshikwa na bumbuazi fulani hivi… Wini aliona adam bado ni mgeni katika haya mambo, alimvuta mpaka kitandani kisha akamvua traki yeye mwenyewe… Wini alianza kumnyonya mate adam, adam nae kapokea na mikono yake kuanza kushambulia mwili wa wini,… Wini kidogo alikuwa na minyama uzembe katika kiuno, ile minyama adam ndio iliokuwa ikimpa ashki za mapenzi na vile ilikuwa na mistari stari, duuuhhhh… Wini alijifanya yeye ni mjuaji kumbe adam na ugeni wake lakini sio haba… Mdomo ulikuwa wazi, mihemo mingi tena kwa spidi kali… Wini anakiona cha moto, haamini mshamba mshamba wa mapenzi kama adam leo anamtoa udenda,… Sasa leo rasmi adam ndio anaijua raha ya mapenzi, mana kwa Catherine alishindwa kuifaidi mana alikataa kwakua alikuwa na maumivu ya bikra, wini aliitafuta dhakari mwenyewe bila kutafutiwa, mana hali alio nayo sio ya maandalizi tena bali ni kuliwa tu

    “adam…. Nimeshaiva, niepue unile mtumishi wangu”

    Wini Aliongea huku macho yake kama vile mlevi wa divai,… Wini aliishika dhakari ya adam na kuiongoza kuna njia sahihi ya mapito, kaiweka mwenyewe lakini anaiogopa mana ikiingia yote ataumia,…



    Huku nyumbani kwa akina wini ikiwa mida imekwenda sana,.. Yapata saa mbili kwenda saa tatu hivi…. Alionekana Eva, mchumba wa adam akiwa nyumbani kwa akina wini…

    “tumsifu yesu Kristo mama”

    “milele amina.. Mwanangu… Rafiki yako yuko wapi”

    Mama aliitikia kisha akamuuliza eva kuwa mqenzie yupo wapi…

    “mimi ndio narudi chain player, sasa sijamuona ndio nimekuja kumuulizia kapatwa na nini mbona sijamuona”

    Sasa mama ndio anashangaa, mana anajua mtoto wake kaenda kanisani ile mida ya saa 11 za jioni… Mana kuna ibada ya muunganiko, inaitwa chain player… Wanaingia waumini kadhaa mpaka saa muda fulani, na kabla ya kumaliza wanaingia wengine, hivyo hivyo mpaka siku, au wiki, au mwezi uishe.. Mana hizi ibada zina urefu wake…

    “huyu mtoto ana nini, na kaenda wapi”

    Aliongea mama yake wini, huku akiwa na wasiwasi juu ya binti yake,..

    “sijui kaenda wapi, na nimempigia simu lakini hapokei”

    “jamani mwanangu”

    “wala usiwe na wasiwasi mama, itakuwa kaenda kanisa lingine”

    Eva alipo ongea hivyo kidogo mama akapunguza presha japo sio kweli, huezi kwenda kufanya ibada ya chain player kwenye kanisa lingine,..

    “lakini hii tabia ya kutofanya ibada kwa mtumishi adam kaitoa wapi… Ngoja aje”

    Eva alikwenda kumuulizia rafiki yake kipenzi, mana wanakwendaga ibadani wote sasa leo hamuoni mwenzie,… Basi eva aliondoka zake



    Tukija huku chumbani kwa adam, wakiwa wamelala kabisa, yaani, tena utafikiri ni kitu na mke wake, kumbe ni kitu na pasta wake,… Ghafla simu ya wini iliita, lakini mkoba wa wini ukumbuke upo uvunguni,.. Wakati adam anamficha wini, ule mkoba aliutupia uvunguni, sasa na simu ipo huko huko, wakati huo wini kalala kwa kuchoshwa na adam, ogopa mtu anae anza mapenzi hua hachoki mana kila kitu kwake ni kipya, sasa wini kapelekewa moto mkali mpaka akachoka na kudai pumziko, sasa kalala na simu yake inaita… Adam alishuka na kuinama pale uvunguni, simu ilikuwa inasumbua toka muda mrefu, sasa adam akakivuta kile kimkoba kwa hasira,… Kana kwamba hata kama kuna kitu cha kudondoka kinaweza kudondoka… Aliutoa mkoba ule na kutoa simu ya wini… Lakini alipoangalia mpigaji, ilikuwa ni naomba ya eva, adam anaijua namba ya eva… Sasa cha kufanya ni kumwamsha wini

    “wini… We wini”

    “abee baby”

    Wini aliitikia kama vile mpenzi wake, yaani ndio keshaganda hivyo…

    “simu yako inaita”

    Adam alijua anaepiga ni eva, na anajua eva na wini ni marafiki…

    “hallo eva? Shalom”

    “shalom wini… Upp wapi rafiki yangu, sijakuona chain player… Afu mama yako ana wasiwasi wewe sjui upo wapi jamani saa tatu hii”

    Wini ndio anastuka sasa kuskia ni saa tatu usiku, na haijawahi kutokea kukaa nje mpaka saa tatu za usiku.. Labda achelewe kanisani…

    “eva, umeshakwenda nyumbani kwetu”

    Aliuliza wini tena kwa wasiwasi mwingi tu

    “ndio, mana sijakuona kanisani”

    “yesu wangu jamani eeeeeva… Mimi nilitaka nidanganye nipo kwenu jamani”

    “basi Nisamehe, lakini sikujua… Sasa upo wapi wini jamani rafki yangu umezua tabia mbaya wewe”

    “amna eva… Nipo kwa rafiki yangu huku kuna Biblia tumekuja kuisoma”

    “rudi sasa jamani wini… Mama yako atakufa kwa presha kitoto chenyewe ni wewe tu”

    “sawa basi, kata simu basi niwahi kuja”

    Simu ilipokatwa tu wini hakutaka hata kupoteza muda, na hapo alikua uchi wa mnyama,…

    “kwaio ndio unaondoka”

    “ndio mtumishi, mama ana wasiwasi”

    “nipe basi hata cha mwisho”

    “noo ntakuja kesho mapema”

    “Weeeeee kuja kwako lazima ufanye mawasiliano na mimi mana dada kesho atawahi kuja kufanya usafi”

    “sawa mpenzi wangu… Naomba nikukisi basi”

    Wini aliinama na kumnyonya denda adam, kisha akachukuwa mkoba wake na kuondoka haraka haraka, mana muda umekwenda sana…



    “dada, wini kasema yupo wapi”

    Alikuwa ni bite mdogo wake eva, akiwa anamuuliza dada yake… Bite ni msichana mkubwa hakosi miaka 15 au 16…

    “kasema yupo kwa rafiki yake”

    “rafiki yake nani tena wakati rafiki yake ni wewe tu”

    “mimi hata sijui….”

    “dada,… Mchunguze kama keshaanza tabia mbaya acha nae dada, marafiki wa aina hii hawafai… Hebu ona saa tatu na robo hii msichana mno haonekani nyumbani kwenu”

    “sijui kama ana arafiki mwingine… “

    “dada angalia sana… Marafiki wakianza kuchelewa kwao achana nao, kwanza wewe sasa hivi ni mchumba wa mtu, kuwa na heshima usije ukamuiga wini dada angu”

    Aliongea bite kama kumshauri dada yake

    “usijali mdogo wangu”

    “najua dada yangu utaishi kwa wasiwasi kutokana yule tajiri”

    Aliongea bite kuhusu ukorofi wa Catherine… Kwa kitendo cha kumwagia maji machafu na kutaka kumgonga… Ila kwa walio ona, wanajua kabisa Catherine alizamiria kumgonga eva, ila eva kaokolewa na jiwe ambalo alilikanyaga na kumpindua, kwahio kama aio jiwe, saa hizi eva asingelikuwa eva tena..



    Huku kwa akina wini, mama yake akiwa kakaa hapo nje na wasiwasi juu ya mtoto wake, mara anamuona wini anakuja.. Wini aliogopa sana baada ya kumkuta mama yake yupo nje akimsubiria…

    “mwanangu wini, ulikuwa wapi mpaka saa hivi”

    Aliongea mama wini huku akimshika mtoto wake mkono

    “mama, nilikuwa kwa rafiki yangu Jackie”

    “kwanini hujaenda kanisani, yaani umeona kwenda kupoteza muda kwa rafiki yako ni sawa kuliko kwenda kanisani,.. Ivi wini mbona unabadirika kwa kasi namna hii mwanangu”

    “mama, pia tulikwenda kanisani baada ya kuona kuwa nitachelewa kuja kanisani kwetu”

    Mama kuskia hivyo, kidogo akapunguza hasira juu ya wini…

    “siku zingine uwe unatoa taarifa mapema”

    “sawa mama, Nisamehe kwa hilo”

    “haya nenda kaoge uje tule”

    Mama alimwambia mwanae hivyo huku wini akiwa haamini kama katoka salama kwenye mikono ya mama yake,… Lakini ile wini anapita tu, mama aliona makalio ya mtoto wake yanatikisika sana,… Na wanawake hua wanajuana wenyewe

    “wini”

    Mama aliita huku akimuangalia sana, yaani wini kasimama lakini bado kalio linatetemeka…

    Wini akasimama kwa uoga na asijue mama yake kamuitia nini… Mama yake wini ni mama wa Kiswahili ana mambo ya Kiswahili wacha mchezo

    “ngoja usigeuke, hapo hapo ulipo, mguu upande”

    Mama kaanza mambo ya kijeshi jeshi ya mguu pande mguu sawa na ana maana yakw kumwambia afanye hivyo…

    “mguu sawa”

    Mama aligundua kitu,.. Wini hakuvaa chupi, ni lile gauni tu na ndivyo alivyokwenda kwa adam hivyo hivyo..

    “utaniambia leo umetoka wapi na chupi umeiacha wapi…. “

    Mama aliongea hivyo huku akifunga mlango… Wini akajishika shika tako kama kujifanya ana chupi au hana.. Aligundua kweli hana chupi… Wakati huo mama wini ana hasira na mtoto wake, malezi yote aliompa mtoto wake wa pekee, afu leo anakuja nyumbani hana nguo ya ndani,. Yaani ni dhahiri kuwa anatoka kwa mwanaume….. Mama anapandisha mori wa kwao… Wini anajua mama akipandisha mori, patachimbika hapo, ilibidi wini aseme ukweli wote…

    “mama, subiri kwanza… Nitakwambia ukweli mama”

    Wini amekubali kusema ukweli, sasa ni ukweli gani,.. Na mama pia anamjua mtumishi adam, ana mchumba wake, leo wini aseme alikuwa kwa pasta adam… Inawezekana vipi

    “na ndio nautaka huo ukweli…. Kaa pale haraka sana…. Haya niambie umetoka wapi, na kwanini huna nguo ya ndani… Shetani mkubwa wewe”

    Aliongea mama kwa hasira…. Sasa wini anataka kusema ukweli kuwa alikuwa kwa adam.. Na ni hatari kwa adam pale siri itakapo vuja kuwa keshaanza kuwarudia kondoo wake











    Kwa karne hii ya sasa tulio nayo, wachungaji wengi hawafuati maadili ya dini, hata kama ana mke lakini baadhi yao utawakuta wana wanawake wa nje kwa siri, mana kwa kawaida ndoa za kikristo hua ni moja tu, tofauti na Waislamu wanaweza kuwa na ndoa nne… Lakini kwa wakristo ni ndoa moja tu, hivyo ukishaoa ujue ndio basi tena… Lakini bado kuna baadhi hawatekelezi sheria hizo ni dhambi pia kwa mungu kuzini kabla ya kuoa… Na ni dhambi mara dufu kuzini baada ya ndoa.. Una mke afu unazini nje,.. Adhabu yake ni kupigwa mawe hadi mauti kukufikia….



    Wini ni msichana alielelewa katika maadili, kwa mujibu wa mama yake anavyodai lakini kwa sisi wasomaji tunaona ni msichana mpenda starehe sana haswa na wanaume wazuri, au wenye uwezo… Na anajua kila kitu mpaka mitego ya kumtega mwanaume,…. Baada ya mama kuridhika na maneno ya mtoto wake kuwa katoka kwa rafiki yake Jackie, tena na wao walikuwa kanisani, mama akashusha hasira zake… Lakini wakati wini anaingia ndani mama aliona kitu katika mwili wa mtoto wake, mana wini alikuwa kavaa gauni fulani laini sana, kwa sasa mnayaita TENTEMENTE, afu mbaya zaidi wini alijaaliwa maumbile ya nyuma, hivyo mama ilikuwa ni rahisi kumjua mtoto wake kuwa hajavaa nguo ya ndani, na ni kweli mana mtikisiko wa kiungo cha nyuma ulipitiliza mipaka….



    “mama, kweli nilipotoka hapa nilikuwa na haraka sana baada ya Jackie kuniambia niwahi… Sasa nikajikuta nimeshavaa gauni.. Ila nilipokuwa kwenye dalala, ndio nikajikuta sina nguo ya ndani… Nisamehe mama angu sintorudia tena”

    Aliongea wini ukweli ambao ndio alisema atamwambia mama yake…

    “ni mwanamke gani wewe unasahau kuvaa nguo ya ndani,… Inamaana hata hisia tu kuwa hujavaa huzipati”

    “mama, ilikuwa ni haraka mama angu… Nisamehe”

    Wini alipiga mpaka magoti, mam anampenda sana mtoto wake na ndio huyo huyo kama dawa…

    “nenda kaoge huko, mjinga wewe… Na sitaki tena nikuone unarudi saa hizi, iwe mwanzo na mwisho.. Na siku ukichelewa mimi sio mama yako.. Mjinga wewe.. Toka apa”

    Mama alimsamehe mtoto wake lakini kwa kalipio kali sana,….



    Wini aliingia bafuni na kuanza kuoga,.. Wini alikuwa akijitazama maungo yake ya siri jinsi yalivyosuguliwa na mchungaji adam…

    “mwanaume yule hatari,… Pamoja na ushamba wake wa mapenzi lakini… Alichonifanya leo hata mjanja haoni ndani,.. Jackson wangu anajua mapenzi lakini huyu, ni zaidi… Ni mshamba lakini anajua kulima…”

    Aliongea wini huku akiendelea kujiosha katika maungo yake,…

    “sikuwahi kufika kileleni mara mbili, lakini leo nimefika…. Adam, sikuachi. Chagua kusuka au kunyoa… Eva, Catherine, au wini…. Na nitakupa utam mpaka unasahau hao… Lazima niwe mama mchungaji”

    Aliongea wini huku nae akijiweka latika orodha ya wanawake wanaowania kuolewa na adam,….



    Kesho yake,… Tukiwa katika nyumba moja hivi, ambapo tunamwona mama yake Catherine anaingia na kupokelewa kwa shangwe nyingi…

    “heeee mama Catherine, karibu ndani”

    Mama mwenzake alimkaribisha ndani, na kuketi katika sofa lainiii….

    “Ahsante, mama john.. Habari zenu huku”

    “salama tu,… Asifiwe bwana Yesu”

    “milele amina”

    “karibu mama Catherine”

    “Usijali mama John, hapa ni nyumbani”

    Walionekana ni watu waliofahamiana kwa muda mrefu sana…. Mama john alikaa chini na kuanza kumuuliza mama Catherine

    “mama Cathy…. Nimesikia Catherine anataka kuolewa na yule mtoto wa tajiri”

    Aliongea mama John tena kwa huzuni sana

    “ni kweli mama john… Lakini hilo swala niachie mimi… Mana hata huyo kijana hampendi mtoto wangu”

    “sawa mama Catherine.. Lakini John wangu yupo katika mawazo kila siku anamuomba Mungu amuoe mtoto wako,… Na mambo yalikwenda sawa, sasa kwanini Catherine kabadirika kiasi hiki”

    Aliongea mama john, ambae ndio mwenye mtoto aliokuwa anataka kumuoa Catherine, sasa kumbe huku nako mama Cathy anataka mtoto wake aolewe na John, mtoto wa huyu mama kwasababu ni rafiki yake wa kitambo,…. Kwahio kule baba ataka Catherine aolewe na adam kwasababu mr Yohana na mr jacob ni marafiki… Na huku tena mama john na mama Catherine ni marafiki hivyo Catherine anatakiwa aolewe na John,… Mtoto ni mmoja anagombaniwa, na mbaya zaidi sasa hivi hana bikra

    “mama Cathy, mimi nataka mtoto wangu aoe kwako.. Najua ulivyolelewa wewe, hata mtoto wako ni hivyo hivyo… Na hata alipokuwa na john alikuwa akionekana,.. Anakuja hapa na gari yake,… Ana heshima kwakweli”

    “uaijali mama John… Wewe niachie mimi hilo swala”

    Mara wakiwa katika maongezi, John mwenyewe alikuja, akiwa kashika vitabu vya mungu, anatoka kutangaza neno la mungu, ni kama mwinjilisti na hali ya maisha kwao sio maskini sana… Wanajiweza kiasi fulani

    “Shikamoo mama?”

    John alimsalimia mama Catherine, tena kwa heshima ya hali ya juu…

    “marahaba baba angu hujambo baba”

    “sijambo hali ya nyumbani vipi mama”

    “salama baba,… Naona unatoka kutangaza neno la Mungu”

    “ndio mama, ni wajibu wangu”

    “ni vizuri sana baba”

    Basi stori nyingi ziliendelea hapo waliongea mengi sana mpaka mama Cathy akaondoka zake…



    Tukija huku kwa baba yake adam akiwa na Catherine ndani ya gari,..

    “kwahio, kwa sasa adam kakiuka maadili ya uchungaji”

    “ndio baba, ila sikuhitaji chochote toka kwake… “

    Aliongea Catherine huku akimaanisha kwamba hakumpa penzi lake, lakini ukweli tunajua kuwa Catherine kwa sasa bikra hana…

    “nipe namba ya akaunt yako ya benki.. Umefanya vizuri sana…. Ila bado nataka uwe mkwe wangu”

    “lakini baba,… Adam hanipendi kwakweli… Nampenda adam.. Lakini adam hana mpango na mimi”

    “subiri, nitakupa njia nyingine ya kufanya, utalifanikisha hilo”

    “sawa baba”

    Catherine aliona kama ni bikra hana, sasa bora akachukue na ile pesa alio ahidiwa baada ya kumfanya adam kuingia katika kundi baya… Ila sasa jambo ni moja ila limekuwa na sehemu mbili.. Adam yeye alifanya kwa akili yake, ili kumkomoa Catherine kuwa hana bikra, ili asimuoe, lakini pia hapo hapo baba yake nae alimtuma Catherine akae sana karibu nae ili atengue ile miiko ya kiuchungaji, na ni kweli… Adam kafanikiwa kutoa bikra, na kwa mujibu wa sheria za familia, hawezi kumuoa kwasababu bikra inatolewa siku ya ndoa… Na kama ataolewa huyo huyo Catherine, basi adam ndio anatakiwa ataamke kuwa ni kweli yeye ndio alimtoa bikra… Lakini asipo tamka basi hakuna ndoa.. Hilo ndio zumuni la adam… Lakini hilo hilo zumuni lake ni faida kwa baba yake na mr jehova wa Nigeria,.. Mana wao wapo tofauti na adam…



    Adam akiwa kanisani kwake, lakini roho ilikuwa ikimsuta sana,… Hata anapohubiri waumini wake bado anajiona kama vile hana hadhi ya kusimama mbele ya uma na umuamini kama pasta, yaani hata nafsi yake inamsuta sana kutokana na kua mtu wa ajabu kabisa… Kanisa lake liliokuwa limejaa waumini wengi sana,.. Alifanya mahubiri makubwa sana,… Mapaka akamuita eva aweze kumsaidia mana kichwa kilikuwa kikimuuma, hata mungu hakupenda adam aendelee kutoa mahubiri mama kwa sasa hana tofauti na shetani, mana kakiuka maadili yote pasta ambae hajaoa….. Mchungaji adam alikwenda kuketi katika kiti ambacho kipo nje ya kanisa hilo kwenye gadeni fulani hivi,… Kweli kichwa kilikuwa kikimuuma… Lakini, alipoangalia mbele yake, aliona mschana mzuri akiingia chooni… Sasa dada yule alikuwa kabanwa na mkojo sana, kama tunavyojua wanawake hua wakiwa wanakaribia karibu na mlango wa choo, hua wanapandisha nguo zao.. Yaani anapandisha nguo kabla hajaingia chooni, sasa adam kuona mapaja ya yule dada… Huezi amini hata kichwa kilipona, adam alianza kuangalia huku na kule kama hakuna mtu anamwona,… Yaani hatari ya kuanza mapenzi na utu uzima ndio hii… Yaani unakuwa unapaparika kila unapoona mwanamke mzuri,… Adam aliamka pale alipokaa na kukimbilia chooni, tena choo cha kike,… Adam aliingia kabisa mpaka ndani ya vyoo, yaani kawa chizi wa mapenzi na yote hii ni kazi ya baba yake, kama sio Catherine kutumwa au kulazimishwa kuolewa na adam, yote haya yasingelitokea kwa adam,…



    “haaaaaa Mtumishi, kumbe ulikuwa hapa… Nimekupita hapa au”

    Dada huyo alijikuta anakosa hata kiwa na hasira, mana kisheria alitakiwa kuwa na hasira na hata kupiga kelele juu ya kumkuta adam akiwa ndani ya vyoo vya kike.. Lakini alikuwa mstaarabu, tena maskini kwa bumbuazi akajikuta hata nguo hajaishusha vizuri, mana vyoo ndani ni vidogo, hivyo ukimaliza haja unatoka kidogo tu kwa pembeni sehemu ya kunawia mikono, unajifunga vizuri kama ni kanga au ni gauni unajiweka sawa… Sasa mdada huyo alijikuta kashikilia sketi yake kwa mshangao wa kumkuta adam katika choo cha kike… Mtoto wa kike alikuwa na mipaja mikubwa, na macho ya adam yote yalikuwa yakitazama mapaja ya mschana huyo, saa ngapi hajainama na kuyashika shika….

    “pastaaaaaaaa”

    “unajua wewe ni binti mzuri… Nikiwa kama mchungaji ninaetafuta mke mwenye vigezo, mbona kama naviona kwako”

    Adam ni tajiri, na pia ana cheo katika dini na hana mke… Sasa mabinti kama hao wakitaamkiwa hivyo, vichwa ninawawaka moto,….

    “baba mtumishi, eva si mchumba wako”

    “bado hana vigezo ninavyo hitaji”

    Aliongea adam huku akimshika kiuno,

    “bwanaaaa mtumishi…. Apana.. Uuuuuuu…. “

    Adam alifikia hadi kumshika matiti msichana huyo,….

    “pole mrembo, unaitwa nani”

    “naitwa rose”

    “waoooooo…. Mama mchungaji rose”

    “lakini mchungaji”

    “lakini nini rose… Mbona mimi ni lika lako”

    Sasa rose alishangaa kumwona adam anafumgua zipu ya suruali yake,.. Yaani kasahau kama yupo chooni hapo alipo,

    “pasta,… Nooo.. Funga zipu yako… Uuuuuuuuuwiiiiiiii”

    Rose aliona dudu ya adam,.. Yaani adam keshachanganyikiwa na wanawake,…

    “kidogo tu”

    Rose alikuwa kajazia, yani mchina sio mchina.. Lilikuwa lipo vizuri… Rose alishtukia tu sketi inachukua mana alikuwa hajaifunga alipokuwa anatoka chooni,.. Adam kuona chupi ndio kapagawa kabisa,…

    “mtumishi, naomba uvute subra, nije kwako”

    “no, bwana nina hamu”

    Sasa huku nje kuna mama mtu mzima anakuja chooni kupata haja, afu adam ndio yupo kwenye korido ambayo imeunganisha vyoo vyote.. Maskini mama huyo alikuwa apidi kweli,… Mpaka akafika kwenye hio kordo,.. Saa hio adam anapekenyua chupi ya rose, hana habari kama kuna mtu anakuja, tena mama mtu mzima na heshima zake… Na adam ana heshimiwa na kila lika… Leo anakutwa chooni tena akiwa na mwanamke….. Rose alikuwa anakataa, lakini alijikuta anakubali,.. Mana kaambiwa anapiga kimoja tu… Adam aliipekenyua chupi ya rose, mpaka akaishusha kidogo,.. Wakati huo mama mtu mzima ndio anapanda ngazi ya kwanza kufika korodoni ili aingie chooni, na hapo korodoni ndipo walipo akina adam.. Sketi ya rose ipo chini,.. Kashawishiwa mpaka kakubali, sasa alikuwa anainama ilo adam afanye huduma zake…… Mungu wangu, mama anamalizia ngazi za kuingilia korodoni…







    Mama huyo aliokuwa kabanwa na haja ndogo, alikuwa na haraka sana ya kuingia chooni hapo, bila kujua kuna watu wanajiandaa kufanya yao,. Wakati mama huyo anamaliza ngazi ya mwisho kufika koridoni, rose alihisi mkanyago wa viatu hivyo haraka haraka akaipandisha chupi yake na kuurudishia uume wa adam kwenye suruali yake, mana adam alikuwa hataki hivyo rose Alitumia nguvu,… Lakini sketi bado iko chini, afu mama huyo ndio anaingia…

    “haaaaaaa mtumishi, ni wewe kweli”

    Alitahamaki mama huyo baada ya kumuona adam akiwa kashika kiuno cha rose na sketi yake ipo chini,… Haja ya mama huyo ilikata ghafla na kutoka mbio mbio, adam sasa ndio anajiskia ujinga sasa baada ya kukutwa,… Sasa adam akaona ngoja amuwahi yule mama kabla hajaanza kwenda kuyatapika kwa watu,… Lakini alipotoka nje hakujua mama huyo kapitia njia gani, mana ilikuwa ni mida ya watu wanaanza kutoka kanisani, sasa adam akaachana na swala la kumuangalia mama huyo akachepuka kwenda kukaa mahali ili asije onekana na mtu mwingine huko kwenye vyoo vya kike….



    Adam alikwenda kukaa mahali huku akijuta kwa kile alichokua akikifanya kule chooni, japo hajafanya mapenzi lakini ndio alikuwa kwenye harakati za kutaka mpenzi tena pale pale chooni… Rose alitoka na wala hakumfuata pale alipo man anajua tayari adam kesha chefukwa kwa fumanizi,….

    Sasa mama aliingia kanisani kule na kuchukuwa watoto wake wote mkuku mkuku, anatoka nao,… Na ilikuwa ibada inaendea mwisho watu wanatoka mmoja mmoja, sasa mama huyo aliona hilo sio kanisa, kama kiongozi wa kanisa mwenyewe ni wa aina ile je hilo kanisa litakuwaje, sasa waumini wengine walishangaa sana kuona muumini huyo akiwa na hasira huku akitoka mbio na watoto wake wakubwa tu, wakiume na wakike,… Baadhi ya waumini walimfuata na kutaka kujua nini sababu za kutoka mbio kanisani ingali ibada inakwenda kuisha sasa…

    “mama, jems… Hili sio kanisa mama… Mimi sitaki hata kulisikia”

    Aliongea mama Monica alio onekana mkali na mwenye hasira,

    “lakini mama Monica, tuna muda gani kwenye kanisa hili…”

    Wakati huo wanaongea hivyo, baadhi ya wamama watu wazima wanazidi kujaa ili kujua nini kimemsibu mwanamke mwenzao na kuondoka kwa kasi hivyo…

    “ni kweli mama jems, lakini hili kanisa halina ubaya, ila uongozi wake ndio mbaya”

    Wamama walishangaa, na hapo hakukuwa na mschana mana kila mschana akija hutimuliwa ili wasije kumtangazia mabaya mchungaji adam

    “una maanisha mtumishi adam ndio mbaya”

    Aliuliza mama jems huku mama monika akiitikia kwa msisitizo

    “ndio…”

    Lakini kabla hajasema ubaya wake, kuna mama mwengine alidakia

    “lakini mimi nilishawahi kusema, hili jukumu analopewa huyu mtoto ni zito mno,.. Angetakiwa angalau awe na miaka 30…. Haya wewe mama monica umeona nini”

    “kweli mama vero uliosema ni kweli,.. Huyu kijana ni mdogo…. Haifai kukabidhiwa kanisa…”

    “mama jems tuambie basi ila kama ni kudhurika tusidhurike wote”

    “mama jems….. Nilio yaona chooni,.. Mungu anajua na kama nawaongopea, mungu anihukumu kwa namna yeyote ile…. Sasa hivi hata robo saa haijapita nimemkuta mtumishi adam kule kwenye vyoo vya kike”

    Mama Monica aliishia hapo, sasa kitendo hicho tu cha adam kuwepo kwenye vyoo vya kike, wamama wengi walishangaa mana hata kama ni kupanga usafi hatakiwi apange yeye mana kuna wafanyakazi wa kanisa, na pia wapo waumini wanaojitolea kufanya usafi…

    “haaaaaaa. Sasa huko chooni… Ina maana ana tabia ya kuchungulia wanawake”

    Aliongea mama jems huku mama vero akidakia kuwa…

    “lazima atakuwa na tabia hio… Kweli hapa hatuna mchungaji.. Basi inaonekana kutuona sana sisi mama zake”

    Aliongea mama vero lakini mama Monica akamalizia maneno yake

    “Afadhali hata angelikuwa anatuchungulia, mana huenda ni tiba kwake…. Nimemkuta kashika… Yesu wangu mpaka naogopa kusema jamani”

    Sasa wamama wanazidi kujaa ili kujua nini….

    “yaani nimemkuta kashika kiuno cha binti mmoja, na alikuwa keshamvua nguo,… Yaani kama sio walikuwa wanaanza basi walikuwa wanamaliza… Mana nimeona binti anapandisha chupi yake… Kisha akamfunga zipu mchungaji adam…Hivyo ndivyo nilivyo ona jamani.. Sitaki hata kusogelea hili kanisa”

    “yesu wangu jamani…. Mbona ni laana hii. Tena chooni… Na hao walikuwa wanamaliza”

    Sasa hapo kila mwanamke kashika mdomo na kutahamaki, rose alishaona kwa mbali kikundi cha wanawake na yule mama aliowafumania ndio alikuwepo pale akitoa stori… Rose alijua tu heshima ya adam itashuka kwa kasi sana… Sasa wale wamama nao kuskia hivyo hakuna mtu aliotaka kubaki hapo, tena waliondoka na watoto wao bila kuaga, hivyo aliejua kajua na siejua abaki na kitokujua kwake,… Wakati huo adam hajui hili wala lile mana kakaa kando ya kanisa, kwenye miti miti huko, hivyo hajui kuwa kuna baadhi ya waumini wake wamesha anza kusambaratika,….



    Baada ya muda adam akiwa anaelekea katika gari yake tayari kwa kuondoka, na hapo waumini wengine walishaondoka ila sio wote wanajua hizo habari.. Rose alimfuata adam pale kabla hajaingia katika gari

    “mtumishi, mtumishi”

    Rose aliita, na adam alikuwa katika mawazo afu mbaya zaidi kasahau taswira ya yule mwanamke…

    “yes… Aahh sorry nilikuwa mbali kidogo kimawazo”

    “najua utakuwa mbali kimawazo…. Ila ile ishu imeshaanza kuvuja… Robo ya waumini wako wanajua ulichokifanya leo… Na waliondoka mapemaaaaa”

    “Unasemaje rose?”

    “Ndio hivyo…. Kwa sasa kuwa makini, mi mwenyewe najuta kwanini nilikubali kukuvulia chupi yangu”

    Aliongea rose lakini Adam alizidi kuumiza kichwa ivi hao waumini wakipotea itakuwaje….

    “ivi hii tabia nimeanzaje jamani… Mbona siielewi mimi”

    Aliongea adam huku akipiga gari yake teke kwenye tairi,… Yaani hajui ushetani huo umeanzaje katika mwili wake,….

    “mtumishi, mi naona suluhisho uoe tu”

    Aliongea rose kuwa anaona bora aoe

    “hilo ndio jambo la msingi”

    “mtumishi,… Naomba hio nafasi… Nitakutumikia kama mume wangu”

    Rose nae anajiingia kwenye orodha, yaani wanazidi kujaaa tu… Adam akaona sasa hio kali, aliingia kwenye gari bila hata kumjibu rose,..

    “mbona hunijibu… Utanipigia tuongee vizuri”

    “namba yako sina baba mtumishi”

    Aliongea hivyo Rose huku adam akitoa Bizness kadi na kumpa rose… Adam aliondoka zake…



    Lakini akiwa njiani, alipata ujumbe toka kwa wini,… Aliupuuzia ujumbe huo mana ulikuwa na mawazo sana na hakutaka asumbuliwe na mwanamke yeyote yule kwa wakati huo,.. Akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake alikutana na muaminifu wake mmoja wa kike.. Alipungia gari mkono kisha akaingia

    “tumsifu Yesu Kristo”

    “milele amina”

    “naitwa mercy, ni kondoo wako, sjui kama unanifaham”

    Alijitambulisha mdada huyo, mana kanisa lina watu wengi kuanzia mia tatu (300) sasa kuwajua wote ni ngumu, ila wote wanamjua pasta adam… Lakini sasa mercy alikuwa kavaa gauni fupi sana, hivyo alipokuwa anakaa kwenye gari, lile gauni lilipanda juu, mapaja yote wazi mpaka taiti ya mercy ikaoneka katika macho ya adam… Adam ugonjwa wake ni kuona nguo za ndani,… Adam aliitolea macho huku akisem

    “umevaa nguo nzuri, nimeipenda”

    Sasa mercy kumbe alikua hajajua kiwa taiti yake iko wazi lile gauni limepanda juu… Sasa kuja kuangalia, duuuu… Yaani kama sio taiti kuwepo basi hata utamu wake leo ungeonekana live..

    “ehehehehehehe… Ahsante”

    Mercy alijichekesha kisha akawa anavuta vuta kale kagauni kake ili angalau ifunike… Lakini pia hakufunika yote, ikabidi achukue mtandio ulio kwenye mkoba wake, kisha akajifunika kwenye mapaja..

    “mmmhhhh pasta adam kanipenda nini, mbona kantolea macho hivyo”

    Mercy alijiongelea kimoyo moyo huku akiangalia mbele kwa aibu ya kuonwa taiti yake ya ndani… Na mercy sio haba.. Toto rangai ya chokleti afu limejazia kiaina aina mzuri wa wastani, ila linavutia na umbo lake, kidume yeyote lazima atokwe na udenda,….

    “ila aio mbaya… Kwanza ni saizi yangu, na napenda mwanaume mwenye mzuka wa mapenzi,.. Pasta adam anao mana naona suruali yake imetuna tayari”

    Mercy aliongea huku akimwangalia adam kwa jicho la wizi mpaka akajua dhakari ya adam imesha anza kusumbua wahudumu wa ndani… Wakati huo adam anaendesha gari lakini nia yake aende akam bwage nyumbani kwake ajishindie…

    “Unaelekea wapi mama”

    Adam aliuliza kwa heshima ili asionekane kuwa tayari kwa sasa keshaharibikiwa…

    “naenda nyumbani kulala tu”

    Na mercy nae kazua uchokozi wa kusema anakwenda nyumbani kulala tu, kana kwamba hana kazi yeyote hivyo popote anaweza kwenda, na ana maana kusema hivyo, kwa mwanaume mwenye akili atajua tu

    “kwahio hata nikisema twende  nyumbani upo free”

    Aliongea adam huku akimkata jicho la chinichini,

    “lakini wewe si una masharti, kwasababu bado hujaoa”

    “hapana…. Kwani si kwenda kunisalimia tu”

    “sawa…. Ila nitaishia sebuleni tu”

    Mercy alizidi kuongea maneno ya mitego

    “hata pale sebuleni kuna kitanda wala Usijali”

    Mercy alishtuka kuskia hata pale sebuleni kuna kitanda…

    “una maana gani mtumishi”

    Adam hakutaka kusema kwa mdomo, mercy alishangaa gari imesimamishwa mahari, kisha adam akauvuta ule mtandio…

    “mercy una mapaja mkubwa… “

    “mtumishiiiiiiii…. Bwana usiutoe mtandio nitabaki uchi”

    “mimi ndio nautaka huo uchi”

    “haaaaaaaaaaa mtumishi wewe si una mchumba”

    “kwani mchumba kuachwa lazima talaka”

    Mercy kuskia hivyo, alihisi bahati ya kuolewa humdondokea yeye….

    “usiuvute wote, ona kidoo tu”

    Aliongea mercy kuwa adam asiuvute mtandio wote, anatakiwa aone kidogo tu… Saa ngapo adam hajarukia upande wa pili,… Kaanza kumshika shika mapaja yake, huku mercy akijitahidi kufunika mana kioo cha mbele sio cheusi (tinted) lakini vingine vyote vya pembeni ni vyeusi..

    “pastaaaaaaaaa, nimekubali twende kwako nitaingia mpaka chumbani”

    Aliongea mercy huku akiushika mkono wa adam uliokuwa unakwenda ndani zaidi kama vile mchimba madini…. Dhakari ya adam ilisimama mpaka ikawa inamuuma…



    Lakini akiwa hapo ghafla simu yake iliita, kuangalia alikuwa ni mfanyakazi wake kule kwenye kampuni yake….

    “hallo”

    “tumsifu yesu Kristo mtumishi wa mungu”

    “milele amina… Kuna nini”

    “kuna tatizo… Watu wa TRA wamekuja wanasema kuna mapato hayajalipwa”

    “aahhhh ok… Nakuja kuyamaliza hapo sasa hivi”

    “ok boss”

    Simu ilikata, hapo mzuka wote ukamuisha… Mana TRA ni noma ukileta mchezo wanakomba kampuni yote… Sasa hata dhakari ililala ghafla na mzuka ukaisha….

    “mercy, utanitafuta… Chukuwa namba zangu… Kuna dharura nimepata hapa sasa hivi”

    “bwana… Basi nipeleke kwako nikapumzike, ili ukirudi ukute chakula tayari”

    “hapana mercy… Nitakuita Usijali… Kule anakwenda dada yangu kunipikiaga, sasa ukikutana nae itakuwaje”

    “mmmhh sawa mpenzi wangu,.. Nakupenda baba mtumishi”

    Mercy tayari keshakua mpenzi wa pasta adam..

    Mercy alitaka kuupandisha mzuka wa adam tena… Alipokuwa anataka kushuka, aliivuta sketi yake… Mtaiti wote ukaonekana,.. Adam alichanganyikiwa… Na vile Mercy alikuwa na tako.. Daahhhh adam alitamani hata kujikojolea,… Mana mpaka chupi aliiona kwa mbali ile taiti ilionyesha…

    “mercy, please naomba unitafute”

    “sawa baby wangu….”

    “usisahau tafadhali”

    “nasahauje sasa kwa mfano… Siku zote ninavyokutamani sasa nimepata nafasi ulizani nitaichezea”

    “eeeti eeee”

    “sasa je”

    “mercy una tako, khaaaaa”

    “kwa ajili yako… Ushindwe kulitumia tu”

    Sasa mercy anavyozidi kuongea, adam anatamani hata ambinue hapo hapo ampakue….

    “hebu nenda tu mercy… Ila usikose”

    Mercedes au mercy, kwa makusudi aliipekenyua ile taiti na kumwonyesha adam chupi ya ndani… Adam alijinyonga nyonga kwa hamu,.. Mercy hapati picha pale atakapo kutana na adam kitandani…. Mana anapenda wanaume wenye mizuka kama adam… Na adam alikuwa na mzuka utafikiri ana mwaka… Kumbe jana tu alikuwa na wini….



    Basi Mercedes aliondoka zake,… Na mtoto ana mtako, kama sio kuvaa taiti na chupi… Basi mtetemo ungekuwa wa hatari sana, kwani hata alipokuwa anaondoka alikuwa akitetemesha utafikiri hajavaa nguo za ndani,…. Adam aliwasha gari na kuwahi kwenye kampuni yake, tena kampuni ambayo karithishwa na baba yake,… Ilo ajitegemee,…. Adam alifika katika ofisi zake na kukuta kundi la watu wa TRA, shirika la mapato Tanzania,…

    “aaahhh habari yako mheshimiwa”

    Alisalimia bwana mmoja huku adam akiitikia lakini hakusimama… Moja kwa moja mpaka kwa mhasibu wake

    “Jackson…. Vipi kuhusu hawa watu”

    Alimwambia mhasibu wake, ambae ndio anaejua maingizo na mahesabu ya kampuni na yeye ndio alitakiwa kupeleka mapato ya watu,…

    “Samahani boss, nilichelewa kidogo kuwasilisha fedha zao”

    “hebu njoo huku mapokezi”

    Adam alitoka na mhasibu wake kisha akamuita fetty

    “fetty, siku nyingine wakija watu wanaodai mapato yao… Kuhusu kampuni… Naomba uongee na mhasibu.. Sawa”

    “sawa boss”

    “aisee waheshimiwa, samahanini sana.. Nadhani ni kasoro kidogo ya kazi imetokea lakini kila kitu kipo sawa…… Jackson?”

    “yes boss”

    “maliza kila kitu na kazi iendelee sawa”

    “sawa boss”

    Adam alikasirika sana, yaani kamuacha mercy kule, anakuja huku, kumbe ni kitu kidogo tu….

    “pumbavu sana… Sasa nampataje tena mercy….”

    Aliongea adam mana namba yake hana, ila mercy ndio mwenye namba ya adam, hivyo hana budi kumsubiri apige…



    Basi adam alirudi zake nyumbani, geti lake hufunguka kwa rimote hivyo hakuna haja ya kuwa na mlinzi wa kufungua geti…. Aliingia mpaka ndani, lakini aliona viatu vya kike pale nje ya mlango wa kuingilia ndani.. Alikuwa ni dada yake… Adam alipaki gari lake kisha akawa anaingia ndani, lakini sasa alipofika hapo sebuleni, macho yake yalitua kwenye meza ndogo ya kioo,… Na dada yake ambaye ni Jessica, kakaa kwa pembeni, sasa adam kuangalia ile meza ya kioo… Aliikumbuka meseji aliotumiwa na wini mchana akiwa anatoka kanisani… Aliifungua ile mesuna kuisoma tena….. Laaaaa haulaaaaaaa, adam kachelewa kuijibu meseji hio







     

    Katika maisha huwa majuto ni mjukuu, na hutakiwi kupuuza kitu katika maisha yako yote, usiwe na dharau juu ya jambo fulani linalokuja mbele yako,…



    Adam akiwa yupo njiani kuja nyumbani, toka kanisani,… Simu yake iliingia meseji, kuangalia alikuwa ni wini ndie aliemtumia adam meseji kuwa….

    “Samahani mtumishi… Natamani kuja leo ila mama kanibana sana… Lakini kule chumbani kwako, nimedondosha chupi yangu ya rangi ya bluu bahari,.. Ilikuwa kwenye mkoba wangu,.. Nilipokuja kwako sikuwa nimeivaa, ila ilikuwa kwenye mkoba… Sasa nadhani vile ulivyourusha mkoba uvunguni, ndipo ilipotoka…. Naomba uwahi kabla dada yako hajakwenda kufanya usafi.. Nakupenda sana mtumishi wangu.. Mmmwaaaahhhh”



    Hio ndio meseji iliyotumwa na wini afu adam akaipuuzia… Na kuendelea na mambo yake…

    Sasa adam kafika huku nyumbani, kaikuta ile ile chupi aliotumiwa meseji na wini, tena Jessica kaitandika hapo makusudi, bonge la chupi,… Mana umbo la wini sio mchezo. Na hata ukiiangalia haiwezi kumuenea Jessica, ila adam alipoona vile akaanza maneno mengine tena.. Mana tayari yupo kwenye 18 za Jessica ambaye ni dada yake…



    “dada? Naona sasa tunavunjia heshima,… Yaani mpaka unaamua kunionyesha nguo yako ya ndani kweli… Una maana gani juu ya hili… Mimi staki tena uje kwangu staki.. Ni tabia gani unanionyesha mimi”

    Adam alijifanya kuwa mkali, na hio nguo hata ukiiangalia kwa macho haimuenei Jessica, mana Jessica alikuwa hana umbo kubwa….. Jessica alikasirika sana kwa maneno ya ndugu yake,….

    “adam sasa naona unakokwenda siko… Yaani ufanye ujinga wako badala ukubali uchafu ulio ufanya, afu unaniambia mimi nakuonyesha nguo ya ndani, ivi una akili wewe… Umeingiliwa na nini mdogo wangu… Mbona umekuwa wa ajabu hivyo… Hii kitu nimeikuta uvunguni mwa kitanda chako,.. Na hii kitu sio mpya hii… Imetumika hii, nina wasiwasi jana ulikuwa na mwanamke huku ndani”

    Adam alidakia juu kwa juu

    “weeeeeee ushindwe wewe…. Ishia hapo hapo mana sasa unanitusi… Nadhani unajua mimi sijaoa, nawezaje kuwa na mwanamke ingali najijua”

    “kwahio hii imetokea wapi”

    “nikuulize wewe… Tusivunjiane heshima dada angu tafadhali sana”

    “basi nyumba yako inahitaji maombezi,.. Kuna ushetani unacheza humu ndani..”

    “watakuwa majini mahaba hao wamesahau nguo zao”

    Aliongea adam na kumfanya Jessica kushangaa sana

    “jini mahaba??? Kwani jini mahaba wanaonekana kama binadamu”

    “ndio, usiku wa manane…. Toka nje zunguka nyuma ya nyumba… Utawaona”

    “kwa huku kwako au”

    “hata kule nyumbani pia ukitoka saa nane usiku utawaona, na wanavaa nguo kama sisi tu… Aiseee ata sijui chumbani kwangu wameingia saa ngapi”

    Adam alianza kumdanganya dada yake kuhusiana na jini mahaba, mana Jessica yeye hajui ishu za jini mahaba zinakuwaje na hata huyu adam mwenyewe hizo ishu hazijui vizuri, sema kasikia sikia tu…

    “eeee mungu wangu…. Sasa kwenye familia yetu jini mahaba wanafuata nini”

    Aliongea Jessica huku akiiangalia ile nguo

    “tena iweke kwenye mfuko mweusi kisha itupe pale kwenye dastibin, mana ikionekana hivyo watarudi kuichukuwa… Na nimesikia wakikukuta karibu nayo, wanakuua”

    Jessica kuskia hivyo, alitafuta mti na kuishika kwa mti, huku akiiweka kwenye m uko mweusi, kisha akatupa kwenye chombo cha takataka…. Wakati huo adam anapumua kwa nguvu mana kazi ya uongo sio ya mchezo mchezo,.. Alikaa katika sofa huku akiweka mkoba wake ambao una Biblia chungu nzima….

    “hakula tayari, mi naondoka zangu… Ila mchungaji, fanya maombi hao jina mahaba wasiendelee kuja”

    “Usijali… Nataka siku moja niwaite familia nzima… Mje hapa tufanye maombi, mana hatujaifanyia maombi hii nyumba”

    “sawa…. Tufanye Jumapili ijayo”

    “wala Usijali, ndani ya mwezi huu tu”

    “sawa, mi naenda”

    Jessica aliondoka huku adam akihakikisha kweli kaondoka,.. Alipoondoka alikimbilia kwenye dastbin na kuichukuwa ile chupi kisha akaihifadhi kwenye gari,…



     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog