Search This Blog

Thursday 24 November 2022

RATIFA & MWAJUMA (2) - 2

 

     

     

     



     

    Chombezo : Ratifa Na Mwajuma Season 2

    Sehemu Ya Pili (2)

     

    Tulipoishia

    Jana

    “Jasmin embu nipatie pochi langu"

    Aliongea binti mmoja akapatiwa mkoba wake akaufungua ghafla akashtuka si kidogo

    Kiukweli humo ndani kulikuwa na filamu ya kushtuka tu

    “khaa! Jasmin mbona pesa zangu sizioni?"

    “unasemaje Zubeda?"

    “Shilling elfu hamsini zangu hazipo"

    “embu subiri niangalie kwenye pochi yangu isijekuwa tumechanganya mizigo

    Mtumee mbona na Mimi hamna kitu......

    SONGA NAYO

    SASA

    “Zubeda unasema kwelii,"

    “ndiyo maana yake embu angalia mwenyewe"

    Aliongea Zubeda na kumpatia kile kipochi Jasmin nae akapekuwa na kushindwa kuamini

    Wakaangalia chini na kugeuza shingo zao huku na kule. Wasiweze kuamini kama wote wameibiwa kweli mjini shule.

    “sasa Shost! Hapa ni kuangalia ni jinsi gani tunasepa kwani hatuna jinsi ya kusevu huu msala"

    “sasa itakuwaje au kama vipi tuache simu yako Bondi kisha tutakuja kuigomboa"

    “khaa yani niache simu yenye thamani kubwa hivi kisa elfu kumi na mbili tunazodaiwa kwanini tusiweke yako?"

    “basi powa nitaiyacha yangu"

    Waliongea mabinti wale na kusahau kabisa kama Mimi nipo pale nikiwasikiliza tu.

    “kwani nini shida mpaka mtake kuacha simu zenu?"

    “ohoo Mungu wangu kweli kuchanganyikiwa kubaya kumbe kuna mtu hapa. Kiukweli tumeibiwa pesa zetu"

    “mmeibiwa wapi?"

    “hata hatujui sijui kwenye Daladala au wakati tunaingia humu!"

    Alinijibu yule binti kwa sauti ya kubabaika kidogo kijasho kilikuwa kinamtoka na kuchuruzika kifuani kwake akawa akihema basi Mimi macho kodo kwenye kifua chake kilichobeba vichuguu fulani hivi.

    “ok! Basi msijali kwakuwa mimi nipo hapa hakuna kilicho haribika bili nitalipa Mimi,"

    Niliongea kwa kujiamini na kufanya mabinti wale wavute pumzi kwa ndani na kuzishusha

    “ops!!! Asante sana kaka hakika

    Mungu ana makusudio yake kutukutanisha sisi pamoja"

    “msijali kuweni na amani mnaweza kuongeza chochote kile"

    “hapana kwa upande wangu sina hata hamu ya chakula maana kupoteza elfu hamsini kwa usawa huu si kitu kidogo"

    “ondoa shaka hiyo pesa mbona ni kitu kidogo sana hivi unaitwa nani mrembo?"

    “Mmh!"

    Akaguna bila shaka aliweza kufahamu kuna kitu nahitaji kutoka kwake.

    “anaitwa Jasmin ukipenda muite Jami"

    “kakuuliza wewe au shobo tu huyu nae anaitwa Zubeda au Poyoyo"

    Nilibaki kutabasamu tu maana mabinti walikuwa na vituko si mchezo

    “kwanza nashkuru kwa kuweza kuwafahamu Mimi naitwa James Zingwe ni mcheza filamu maarufu kule nchini Uganda"

    Utambulisho wangu ukawafanya waangaliane kwa muda kisha wakaniangalia kwa sura zenye udadisi.

    “whaoo kumbe wewe ndiyo James? Basi mwenzako nilipokuona kwa Mara ya kwanza nikahisi nafananisha, yani mpaka nikamuuliza Zubeda"

    “hata Mimi nilishangaa inawezekana vipi Super star kama James aje nchini kimyakimya alafu aingie kwenye mgahawa kama huu wa kimasikini. Nikajisemea hapana sio yeye"

    “Ndiyo Mimi"

    “embu subiri nikuonyeshe kitu"

    Jasmini aliongea hivyo na kuitoa simu yake akaingia kwenye Gallery na kuchambua baadhi ya video ilikuwa ni moja kati ya filamu ya ngono niliyokuwa nikifanya na Mwanamke wa Kichina mpaka nikamtoa kinyesi

    “hakika wee James ni hatari umemfanya Dada wa watu ajinyee ha!haha!"

    Basi walianza kucheka ghafla tulishangaa baada kuona viti vikianza kurushwa upande ule wa kaunta huku kikundi cha watu wakipaza sauti kwa kupiga kelele

    “utarudisha pesa zetuu mamayo zako haiwezekani kila mteja asiwe na pesa nyokoo zakoo

    Ms***ge mkubwa wee

    Kama wewe ni chuma ulete sisi ndiyo chuma usilete oyaa wabebeni hao kuku"

    Kila mtu ndani ya mgahawa alikuwa kacharuka vitu vilitupwa hovyo.

    Dakika si nyingi polisi wakaingia na kutuliza ghasia zile nilimshika mkono Jasmin na kumwambia twenzetu.

    Sikumkumbuka tena Gogisu niliongozana na mabinti wale mpaka nnje tukiacha mzozo ndani ukiendelea

    “sasa hii ndiyo nini? Inawezekana vipi kila mtu aibiwe huyo mwizi katumia mbinu gani?"

    Zubeda aliuliza huku akiniangalia Mimi usoni

    “sasa mabinti wacha mi niwaache hapa shikeni hizi pesa sijui ni kiasi gani binafsi sinaga muda wa kuhesabu pesa kabisa"

    “ohoo Asante sana James vipi unaweza kutupatia na number ya simu"

    “kiukweli itakuwa ngumu kufanya hivyo kama hamtojali mnaweza kuniachia ya mmoja wenu kisha nitafanya kuwatafuta"

    Niliongea hivyo sababu sikuwa na simu hata kama nikitoa number nitoe ya nani?

    Wakati kichwani kwangu hakuna hata number moja niikumbukayo.

    “James Bond embu shika hii ndiyo number yangu"

    “utampaje number yako wakati wewe unazimaga simu usiku embu shika hii"

    Nikaona wasitake kubishana sana nikazipokea zote na kuagana nao

    Nilipiga hatua za haraka kuelekea stendi

    Mbele kidogo nikamuona Gogisu akiwa amekaa mbele ya Duka la nguo akifanya kama kuita mtu basi kila aliyepita mbele yake lazima aingie ndani ya duka hilo na kununua nguo

    Kama wakipita watu sita au saba wote wanaongozana kuingia ndani humo kudadeki kumbe Majinni noma sana. Nikampigia mruzi akageuka kutazama aliponiona akaja mbio

    “oyaa Gogisu"

    “ehee niambiye Bosi"

    “ulikuwa ukifanya nini pale dukani?"

    “nakusanya mapato"

    “mapato kivipi?"

    “yani kila mteja ninayemwita akija kuingia mule akinunua chochote kile. Basi pesa nachukuwa mimi"

    “Duhuu kweli wee noma hizo pesa ziko wapi

    Sasa?"

    “si hizi hapa"

    Nilibaki kukodoa macho tu baada Gogisu kunionyeshea kibunda cha pesa.

    “Dahaa hakika nakuaminia mwamba yani ukiwa na kiumbe kama wewe siwezi kufa njaa. Sema nini Gogi, itabidi siku moja unifundishe hayo maujanja"

    Niliongea na kuchukuwa zile

    Pesa kwani siku zote Majinni hawana shida na pesa

    Tukapanda ndani ya Daladala ya Kawe

    sema kila mmoja alikaa siti ya peke yake

    Gari ikaanza safari nikiwa nimetulia kimya nikiwaza mambo mengi sana

    Kufika maeneo ya Kisiwani Gogisu akashuka

    “vipi mbona unashukia hapa?"

    “kwani nikishukia hapa wewe inakuhusu nini?"

    Nilijibiwa kwa swali kutoka kwa mzee wa makamo

    Nilitaka kumwambia kuwa sikuulizi wewe namuuliza huyo hapo. Ikabidi ninyamaze kimya

    baada kugundua Gogisu hawamuoni. Nae hakujibu kitu akaondoka pasipo kudaiwa nauli,

    Kufika

    Kituo cha Mikocheni konda alianza kujisachi kwa kiwewe sana sio yeye tu hata

    Abilia wote walianza kujisachi utasema wameambizana kufanya hivyo.

    “jamani nimeibiwa pochi yangu mimii"

    “Dereva simamisha gari tumeibiwaa hihihihi"

    Watu walianza kuangua vilio Gari ilipofika

    Maringo ikasimama kila mmoja apigwe sachi

    hapo ndipo mapigo yangu ya moyo yakaanza kwenda kasi kwani nilijua Mimi ndiyo

    Abilia pekee niliyekuwa na

    Pesa itakuwaje kama nikikutwa nazo nikajisemea Gogisu umeniachia msala

    “Twendeni mpaka kituo cha polisi Kawe

    kisha tukatoe report bila shaka polisi wataifanya hiyo kazi kiukamilifu zaidi

    Nina hakika mwizi tunaye humu humu ndani ya gari"

    Aliongea kwa kupaza sauti

    “hakuna cha kwenda polisi wala nini sachi ifanyike hapa hapa mwizi akipatikana

    Apigwe kiberiti"

    Kila mmoja aliongea lake kijasho chembamba kikaanza kunitoka baada kuonyeshewa Mimi niwe wa kwanza kusachiwa nikijishika mfukoni

    Pesa ninazo kudadeki wallahi nilidata.

    Sema nilijikaza kiume maana Nina

    Uwezo wa kuwatandika watu wote hawa.

    Nikasogea na kuanza kusachiwa ajabu licha ya kusachiwa jamaa hakuona pesa zaidi ya

    Pakti za Kondomu

    “Duhuu wee jamaa unaonekana ni hatari sana unatembea na dhana kabisa"

    Aliongea yule jamaa aliyekuwa akipiga sachi kwa upande wa wanaume

    Wanawake walisachiwa na Mwanamke

    Mwenzao.

    Zoezi likaisha kwa waliosachi nao kusachiwa

    Pesa hamna

    “ukisikia zama za mwisho wa dunia ndiyo hizi haiwezekani tuibiwe kibwege namna hii!"

    Kila mmoja akabaki kushika tamaa hata dereva kaibiwa

    “au atakuwa yule babu aliyevaa mkoti mkubwa hivi?"

    “hata namkumbuka basi mwenzako hapa nilipo nafikilia jinsi ya kujibu maswali kwa Baba Hydra si unamjua mwanaume yule hana dogo. Atanifumua leo mpaka nitaje pesa ziko wapi!"

    “usijali Shost nitakutetea na istoshe Mume wangu yupo hapa ataongea nae"

    “basi nitashukuru kama itakuwa hivyo"

    Aliongea yule Dada huku machozi yakimtoka kwakweli nilimuonea huruma

    Nilishukia kitua cha Kanisani nikavuka barabara na kuianza safari ya kuelekea Mbezi

    Beach njia nzima nilikuwa nikijiuliza maswali

    Mpaka nafika mto Mbezi nikavuka na kuingia

    Mbezi Makazi mapya nilikatiza mitaa ya hapo

    Nikatokezea mitaa ya nyumbani

    “Mama Mpenduu"

    “abeee"

    “fanya haraka bwana twende ukamuone Mwajuma au mamaa Tiffa kwajinsi alivyopendeza"

    Nilisimama kwa muda nikisikiliza kauli ya

    Mabinti fulani waliovaa nguo sale sale sikuweza kumtambua hata mmoja.

    Labda ni wageni waliohamia mitaa hii

    Baada mimi kuondoka au ni vile vibinti ambavyo kipindi kile walikuwa bado hawajavunja ungo.

    Niliwaangalia kwa zamu

    Ndipo Mama Mpendu akatoka nilishikwa na kitete nikatamani kumfata ili nimuulize kuwa hiyo

    Harusi inafanyika wapi?

    Sema nikasita na kuamua kuwafata nyumanyuma

    “weweeeeee nakwambia leoo

    Nitawaonyesha mauno ya ajabu embu angalia kwanza kiuno hiki"

    “ndiyo ndiyo nakuaminia Lucy hainaga ushemeji tunakulagaa

    Mabinti wale walianza kukatika viuno

    Huku wakiimbiana na kupigiana makofi

    Sikuwa mbali nao.

    Niliendelea kuwaangalia wale mabinti kwa jinsi walivyokuwa wakiyakata mauno. Na kunifanya nishikwe na midadi ya kuwaza ngono niliwakazia macho huku nikijilamba midomo kutokana na uchu niliokuwa nao.

    “Jamani inatosha embu twenzetuni"

    “umeona mambo hayo mama Mpendu! Nakwambia leo watoto wa washawasha watakoma kuringa, sisi ndiyo funua Chupi babu wee"

    Waliongea mabinti wale na kutokemea katika kichochoro kimoja wapo. Nami nilikuwa nyuma yao utasema nimepewa kazi ya kuwafatilia

    Kufika sehemu nilisimama kwanza baada kusikia

    Sauti ya vigeregere nderemo kwa vifijo huku mziki mzito ukisikika.

    Nilisikia nyimbo inayopiga ikisema

    “Sema naooo sema naooo......

    Sikuweza kufahamu muimbaji wa nyimbo hiyo ni nani hapo ikawa kama vile wale mabinti

    Wamemwagiwa upupu walicheza kwa kukatika miuno pamoja na kujifunua nguo zao chupi zilionekana nnje nnje.

    Nilienda kukaa chini ya mti mmoja hivi. Kulikuwa na vijana kwa watoto wazee kwa wakubwa kama ujuavyo kwenye Sherehe hakukosi watu.

    “Samahanini vijana wangu nilikuwa naomba mkanisaidie kufunga lile turubai

    Pale"

    Nilimuangalia yule Mwanamke aliyekuwa akituomba tukamsaidie kufunga turubai. Jamani nilitamani hata kumrukia kwa kumkumbatia kwa furaha alikuwa ni Mama yangu mzazi

    “Hafidhi kijana embu zingatia masharti usitake kufanya hilo ambalo nafsi yako inakutaka kufanya. Angalia unaweza kumpoteza mama yako"

    Ilikuwa ni kauli ya Bibi akiniambia hivyo

    “oyaa brother twenzetu basi"

    Nilishtuliwa na sauti ya mmoja kati ya vijana akiniomba nielekee kumsaidia Mama.

    Nikainuka na kwenda kunyanyua turubai tukaonyeshwa sehemu ya kufunga tulifanya kazi kwa haraka

    “Umesikia Ommy ikifika mida ya jioni kama kawa nitamkamatia yule Maryam mpaka nimtie Dudu

    Kudadeki zake"

    “umeona mwanangu mwenyewe hiki kigodoro leo kinakesha mimi nitamkamatia

    Jamila mamaye zake leo achomoi

    Goli moja"

    Nilikuwa makini sana katika kuwasikiliza vijana hawa.......







    Tulipoishia

    Jana

    Nikainuka na kwenda kunyanyua turubai tukaonyeshwa sehemu ya kufunga tulifanya kazi kwa haraka

    “Umesikia Ommy ikifika mida ya jioni kama kawa nitamkamatia yule Maryam mpaka nimtie Dudu

    Kudadeki zake"

    “umeona mwanangu mwenyewe hiki kigodoro leo kinakesha mimi nitamkamatia

    Jamila mamaye zake leo achomoi

    Goli moja"

    Nilikuwa makini sana katika kuwasikiliza vijana hawa........

    SONGA NAYO

    SASA

    Kwa jinsi walivyokuwa wakipanga mipango yao

    “sasa Hamisi ule mchakato vipi?"

    “mchakato upi?"

    “si kuhusu huyu Mama"

    “ahaa nishakumbuka kitu mwamba sema nini kila kitu kitakuwa fresh usiku wa leo"

    “nakuaminia mwanangu mwenyewe sema nini tupe kwanza huo

    Mchongo"

    “Tulieni basi msitake nimwage mchele, penye kuku wengi. Embu twenzetuni maskani nikawape Ishu nzima jinsi itakavyokuwa"

    Waliongea vijana wale wapatao sita kisha wakaongozana kuelekea huko Maskani. Nami nilikuwa na shahuku kubwa sana ya kutaka kuifahamu hiyo mipango. Nikaona njia pekee ni kuwafata nikafanya hivyo.

    Niliwafatilia nyuma nyuma mpaka nilipowaona wakiingia kwenye mjumba ambao ulikuwa hujamaliziwa kujengwa.

    Nikazunguka upande mwingine kwa kujifanya kama vile nataka kukojoa nikatega sikio

    “sasa kuweni makini katika kunisikiliza. Kabla ya yote embu nipatie Msuba nipige pafu mbili kisha niteme ung'eng'e wote"

    “kamata hii kitu cha Arusha mwamba"

    Niliweza kuwasikia vyema, baada ya hapo ukimya ukatawala kidogo kuonyesha jamaa alikuwa akivuta Bange.

    “kwani Hamisi unataka kumzungumzia Mama yupi?"

    “dogo tulia kwanza mbona unakuwa na papala hivyo"

    “sio papala nataka kumfahamu tu!"

    “ni yule aliyekuja kutuomba tukamsaidie kufunga turubai kwa kifupi yule Mama nimetokea kumpenda. kila nikimtongoza ili anipe K hataki. Sasa kwa ushenzi leo nitamlewesha kisha tumpige mtungo, Malaya mkubwa yule!"

    Ndugu mpenzi msomaji embu chukulia kwa mfano ndiyo ni mama yako wewe akipangiwa kufanyiwa Mabaya na vijana wadogo ambao kwako ni kama wadogo zako tu. Kibaya zaidi akamtusi matusi makubwa makubwa ambayo hayafai kuandikika.

    Kwa upande wangu maumivu niliyokuwa nayo ni makubwa mno.

    “mnajua nini washkaji"

    “ehee sema dogo Hansi"

    “mimi kuna stori nilisimuliwa na Bi Mdashi kuwa yule Mama alikuwa na watoto wawili mmoja wakike ambaye ndiyo mkubwa. Mwingine wakiume ambaye ni Mdogo sasa huyu wakiume alikuwa ni

    Mtata yani Mbabe wa kitaa anapiga hatari alikuwa na uwezo mkubwa san.......

    “Hansi bila shaka unamzungumzia Hafidhi j Ikram"

    “ehee ndiyo huyo huyo"

    “ni kweli ulichosimuliwa kiufupi alikuwa akijiamini sana kipindi kile yupo na kina Brother Kaunda Akida na wengineo kibao kikundi chao kikaitwa Wabeba lawama hakika walitisha.

    Sema siku zote chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho. alipofariki Hafidhi tu. Ndiyo ukawa mwisho wa kikundi chao kwani yeye alikuwa kama nguzo!"

    “unataka kusema wewe ulikuwepo kipindi hiko?"

    “ndiyo Mimi na washkaji hawa hapa tulikuwepo sema tulikuwa bado madogo sana kama sikosei tupo shule ya msingi darasa la

    Tatu pale Kawe Ukwamani. Kama Hafidhi j Ikram mpaka leo angekuwa yupo hai

    Nina imani nyumba yao isingeuzwa

    Wala Mama yake asingeteseka kwa kiasi kile kapigwa kafungwa jela kisa kutetea kiwanja chake kama sio Mkwewe kumtoa na kumnunulia nyumba ile leo hii mama wa watu sijui ingekuwaje kudadeki inauma sana hii.

    Hamis......

    “nini mwamba mbona unalia"

    “achana na upuuzi wako unaotaka kuufanya kumbuka yule ni Mama yetu sisi kiukweli siwezi kuruhusu afanyiwe kitendo kama hiko"

    “wee wawapi mwamba? Mbona mimi mipango yako kibao tu naifanya mpaka unafanikiwa. Kama hutaki kimpango wako!"

    “Hamisi nitakuuwa"

    “niuwe sasa"

    “oyaa Kimwaga tuliza mzuka mwana. Inakuwaje mnaanza kuzozana,"

    “si huyu bwege nishamwambia afute mawazo yake. Ole wako umguse hata unywele wake

    Utajuta kuzaliwa bwege wee!"

    Aliongea kwa hasira huyo Kimwaga kisha akatoka nilimtazama huku nikitabasamu maana kanifurahisha sana baada kukumbuka fadhira.

    “sikia nikwambie kitu Mwamba wewe huo mpango wako ufute kabisa kwani hata mimi siko tayari kushiliki kwa chochote kile

    Embu fikilia Brother Kaunda na wengineo wakisikia juu ya huo unyama tunaotaka kumtendea mama wa rafiki yao kuna kupona kweli juu yetu?"

    Tafuta sampuri ya mademu wengine yule Mama achana naye"

    “sawa haina shida kwa kuwa mmeamua kunichomolea powa tu!"

    Aliongea Hamisi kisha wakatoka na kurudi kwenye kigodoro nikajisemea hata kama umeachana na Azma ya kumbaka mama yangu

    Lakini utalipa kutokana na kumtusi mama yangu ipo siku isiokuwa na jina nitakuonyesha thamani ya Mama ikoje.

    Nikarudi kwenye Kigodoro nilikuta umati wa watu umeongezeka huku kina Mama wakiwa kwenye pilikapilika za kupika nikaenda kukaa kwenye.

    Mkeka kimyaa kila muda nilikuwa nikimtupia jicho Mama aliyekuwa akihangaika mara aitwe huku mara kule

    “Mama Hafidhii,"

    “abeee"

    “embu njoo huku mpishi anahitaji hiriki"

    “Mwambie mama Salma"

    “wee Mama Salmaa"

    “abeee mama"

    “embu chukuwa huo mfuko wa viungo upeleke kule kwa mpishi"

    Nilimuangalia huyo Mama Salma jamani sikuweza kuamini macho yangu ni Dada Nasra eti anaitwa Mama Salma kweli miaka imeenda kwa kasi hivi. Akapita kalibu yangu akiwa kabeba ule mfuko

    Nilimuangalia mpaka mwenyewe akanishtukia.

    Nikiwa namuangalia Dada naye akaniangalia

    “James mambo vip!"

    Nilishtuka si kidogo utasema mtu aliyewahi kung'atwa na nyoka. Sasa akiguswa hata na ujani hushtuka kwa uwoga. Nilikuwa nimekaa nikajikuta nikisimama na kumuangalia huyo aliyekuwa akinisalimia kanijuaje?

    “embu punguza Presha kijana yani kitu kidogo tu unashituka kama vile umetekenywa kwenye Nyonga?"

    Mmh kumbe alikuwa ni Bibi katika umbile la kibinadamu yani mwingine kabisa nae kavaa sale kama za kina Mama wengine

    “powa tu umekuja kufanya nini katika maeneo haya?"

    Nilimuuliza swali pasipo kupepesa macho nilimkazia yeye

    “usiniangalie namna hiyo basi hapa nimekuja kwaajili ya ile ahadi yetu ya jana usiku kuwa nitakutafutia chumba. Si unaikumbuka?"

    “ndiyo naikumbuka sana tu"

    “Basi wacha nimfate yule mama pale nikaongee nae alafu nitakuita"

    “powa"

    Niliitikia pasipo kufahamu anaenda kuongea na Mama yupi akatembea kwa mwendo wa kuchezacheza na kufanya nicheke kwa sauti ya chini nikamuona akiongea na Mama dakika si nyingi akanipungia mkono ikiwa kama ishara ya kuniita nikaenda

    “haya Shogaangu huyu ndiyo kijana wangu niliyekwambiaga ile majuzi"

    “ahaa kumbe ndiyo huyu jamani ni kijana mzuri kwakweli unaitwa nani vilee?"

    “James"

    “ohoo jina lake zuri kwakweli"

    “James huyu ndiyo mama mwenye nyumba hii ambayo wewe utapanga sasa kutokana na leo kuwa na Shukhuri nahisi mpaka kesho atakuwa kwenye pilikapilika

    Itabidi tuje kesho kutw.

    “ahaa hapana bwana chumba anaweza kukiona leo leo hata akitaka kuamia anahamia tu"

    “mmh sasa atapitia wapi na pilikapilika zote hizi?"

    “si kule mlango wa uwani. Embu subiri kwanza

    Mama Salmaa!"

    “Abee"

    “embu njoo"

    Kweli usichokijua ni sawa na usiku wa Giza. Mpaka muda huo mama hakuweza kunitambua kama nilioko mbele yake ni mwanae kipenzi

    Hakika Majinni ni wenye vitimbi vizito kitimbi cha kwanza ni hiko kitendo cha Bibi wa Kijinni kujigeuza katika umbile la binadamu mwingine kingine ni kuiziba sura yangu. Pasipo kuvaa mask au sura ya bandia. Lakini sitambuliki. Mbona wale mabinti kule Kariakoo waliweza kunitambua kwa jina la James mcheza filamu za ngono

    “haya mama nimekuja"

    Alikuwa ni Dada akamuamkia kwanza bibi pamoja na kunisalimia mimi alafu akasema hivyo

    “nilikuwa nakuomba ukamuonyeshe kile chumba huyu kijana"

    “sawa nifate"

    “Samahani kaka yangu unaitwa nani?"

    “James"

    “Mmh!"

    “mbona kama unaguna jina langu baya au hujavutiwa nalo?"

    “hapana ni jina zuri tu sijaguna wala nini!"

    “kumbe je?"

    “embu tuachane na hayo chumba chenyewe ni hiki hapa kina umeme juu kuna feni kama ukionavyo"

    Nilikichunguza kile chumba kiumakini sana.

    Sio kama nilikuwa naweza kukikataa hapana.

    Chumba kilikuwa kizuri chini kuna Marumaru juu Gipsamu ukuta uliopendeza kwa rangi ya kuvutia.

    “nimekikubari hiki ndiyo chumba ambacho anatakiwa kuishi Super Ster James"

    Niliongea kimadaha kwa kuleta swagger kidogo mbele ya Dada yangu.

    “basi sawa hamna shida kama umevutiwa nacho unaweza kukamilisha malipo kisha utahamia siku yoyote ile uitakayo wewe"

    Tulitoka mpaka nnje

    Tukaenda kupeleka mrejesho Bibi akatoa kibunda cha pesa na kulipia kodi ya mwaka mzima chumba kwa mwezi ni Shilling elfu hamsini ikabidi. Atoe laki sita kamili

    “kwahiyo kijana utahamia lini?"

    “kwani leo siku gani?"

    “ni jumamosi"

    “basi nitahamia siku ya jumanne baada shukhuri kuisha"

    “basi hamna shida na karibu sana katika sherehe hii

    Ambayo namuozesha Mkwe wangu"

    “usijali nishakalibia"

    Baada hapo bibi aliniaga kwa kunisihi nizingatie Mashart pia akaniachia kiasi cha pesa kikubwa tu.

    Siku hiyo sikuweza kucheza mbali na maeneo hayo.

    Mpaka ulipoingia usiku Kigodoro kilinoga vibaya mno kulikuwa na ushindani wa Makundi ya vijana wa kileo

    Mziki ulizimwa zaidi ya mara mbili kutokana na vijana kupigana na kupasuliana chupa

    “Jamani jamani tafadhalini tunawaomba muwe wastaarabu, tupo hapa katika kufurahia ndoa ya binti yetu kila mmoja acheze kwa kujidai sio kuleta ugomvi.

    Jamani wanangu wajukuu zangu mniwie Radhi hatutaki vurugu"

    Mama aliongea kwa kutumia kipaza sauti kisha akasema Dj weka mziki

    wacha maneno

    “wee kaka mamb......

    “niniiii?"

    “nakusalimia mambo"

    “powa tu niambie Dada yangu"

    “nilikuwa naomba kampani yako nikacheze na wewe"

    Aliongea binti mmoja kashombe shombe hivi akanishika mkono tukaingia kati"

    Uhiii binti mbele mi nyuma akaanza kunikatikia askari wangu akaanza kututumka kwa hasira na kutamani kuchana Suruwali ili aweze kutoka. Kimuhemuhe na jasho vilinitoka binti akazidi kusugulisha Matako yake makubwa mbele ya sehemu zangu nyeti kama haitoshi akaishika mikono yangu na kuipitisha kwenye makapwa yake niyashike Maziwa yake chuchu mchongoko kitu saa sita

    Nilianza kuzitomasa na kumvutia hisia tayari nishamuingiza mtalimbo sasa ndiyo nampampu.

    Ghafla nilijikuta nashikwa kwa nyuma na kuvutwa kabla sijakaa sawa nilizibuliwa kichwa kilichonifanya nidondoke chini.

    “k***mako wee bwege yani unathubutu vipi kumbambia Demu wangu tena unamtomasa namna hiyo nyau wee sasa nitakuonyesha"

    Hata nilikuwa sijielewi elewi

    Akanipiga makofi mfurulizo yaliyo nipata usoni. Nikashindwa hata kuzuia alinipiga kama mtoto wake.

    Kwa mara nyingine tena mziki ukazimwa.

    “wako wapi hao walioanzisha fujo mamaye zao Wabeba Lawama tumefika"

    Nilisikia sauti nzito ya kikundi cha watu wakiuliza wakaingia kati. Dahaa ni washkaji zangu aisee Akida akaja kunikwida mimi kwa kuninyanyua huku kaunda akifikia kumnasa makofi yule aliyekuwa kanipiga Mimi akamtandika na ngumi.

    Akida baada kuniinua akajiandaa kunipiga kofi nilimzuia kwa kumdaka nikamsukumiza

    “khaa huyu bwege ana kusukumiza mwamba wangu embu pisha njia nimzimishe.

    Kaunda akaja wangu wangu akarusha ngumi nilikwepa nikahepa nikarudi nyuma kisha nikamzunguka na kumsukumiza

    Akaja Othmani akapiga mateke nilipanchi

    Lingine nikazuia kwa kugongesha mguu wake na wangu

    “Hafidhi acha usifanye hivyo waache wakupige tu"

    “sitakii"

    “utaki nini kijana embu kuwa mpole waache tu"

    “nishasema sitaki kama unaona raha kupigwa njoo ukae wewe"

    Nilipingana na kauli ya Bibi kunitaka eti nisizuie niwaachie wanipige tu. Wakati mwenzake naumia niliendea kucheza na Wabeba Lawama huku nikizunguka na kumfikia yule aliyenipiga nilimshika na kumtandika Kichwa huku nikimsindikiza na ngumi ambazo nilimng'oa meno yake ya mbele

    “James....Mwanangu unafanya nini embu acheni ugomvi hivi kwanini mnaninyanyasa hivi?"

    Au kwa sababu mwanangu kipenzi Hafidhi amefariki James nadhani humjui Hafidhi sababu wewe ni mgeni katika maeneo haya

    Tafadhali achen......

    Ghafla mama hakumalizia kuongea akadondoka chini puhuu

    Nilipiga kelelee kwa kuita

    “Mamaaaaa"

    Kila mtu akashtuka na kuniangalia mimi"







    Tulipoishia

    Jana

    “James....Mwanangu unafanya nini embu acheni ugomvi hivi kwanini mnaninyanyasa hivi?"

    Au kwa sababu mwanangu kipenzi Hafidhi amefariki James nadhani humjui Hafidhi sababu wewe ni mgeni katika maeneo haya

    Tafadhali achen......

    Ghafla mama hakumalizia kuongea akadondoka chini puhuu

    Nilipiga kelelee kwa kuita

    “Mamaaaaa"

    Kila mtu akashtuka na kuniangalia mimi"

    SONGA NAYO

    SASA

    Nilimuachia yule niliyekuwa nikimpiga nikatoka mbio kumkimbilia mama aliyekuwa kadondoka chini. Sikujali kuona jinsi gani watu walivyokuwa wakinishangaa

    “Kaunda nenda kalete ile Bajaji tumpeleke Mama hospitali. Nendaa,"

    Nilipaza sauti nikaichukuwa kanga ya mama mmoja na kuanza kumpepea Mama yangu. Kiukweli kuna mambo yenye kuvumilia lakini sio kumuona Mama yako akiteseka nilijitoa muhanga kwa kila kitu

    sikujali kama nimevunja masharti wala nini

    Majini kitu gani, hapa ni mama yangu kwanza kisha mengine yafatie

    “Nasraa embu lete maji kudadeki

    Mama Mpendu embu mshike mama yangu"

    Niliongea huku nikimkabidhi amshike kwa kumpakata nikaenda ndani kuchukuwa maji baada kuona Nasra akichelewa kuleta hayo maji wakati nateka

    Maji nikamkuta bibi kanisimamia mbele yangu akicheka mbavu hana

    Sikumjali nikateka maji ajabu wakati narudi nakuta watu wako bize kwenye kucheza mziki ikionyesha kuwa hakuna chochote kilichoweza kutokea

    Nikamuona Gogisu nae kakamatia jimama.

    Nikabaki kuangaza macho tu

    “vipi James ulikuwa unataka maji ya kunywa au?"

    “Niniiii?

    “nakuuliza ulikuwa unataka maji ya kunywa?"

    “sikusikii embu ongea kwa sautii!"

    “unatakaa maji ya kunywaaa"

    “hapana sitakiiii"

    “sasa hilo jagi umelichukuwa la niniii?"

    “naendaa choonii"

    “khaa hilo jagi la maji ya kunywa kwanza chooni kuna Maji na kopo wee nenda tu pale chooni!"

    Nilikuwa nikiongea na Dada Nasra akalichukuwa lile Jagi kiukweli nilidata nikabaki kujiuliza inakuwaje hii kitu. Inamaana nilikuwa naota au mbona hivi.

    Nikaenda kumshika mkono Gogisu akiwa kwenye umbo la kijana wa kiarabu

    “hivi wewe Gogisu unaakili kweli?"

    “embu niache nikabaishie nyama ya Binadamu"

    Nikamshika kwa kukaza mkono

    “uwiiiiiighrrrr. Sasa mkuu ndiyo kushikana gani unaniunguza bwana niachie basi"

    Alilalamika Gogisu huku akijitahidi kujitoa akashindwa

    “ukijibu maswali yangu vile nitakavyo

    Kuuliza basi nitakuachia ukikaidi nitakuunguza zaidi"

    “sawa mkuu nipo tayari kujibu kila kitu

    Legeza mkono basi"

    Nikamuachia kidogo akapumua na kuniangalia

    “hivi unaweza kuniambia kile kilichotokea katika dakika mbili zilizopita ni mchezo sio?"

    “Ndiyo mkuu ni moja kati ya mitihani uliyopewa tu"

    “mitihani kivipi?"

    “ilionekana kuwa wewe huwezi kujizuia pindi ukimuona mama yako akipatwa na tatizo utavunja kila kitu ndipo tukamtuma Binti

    Maimuna aje kuomba kucheza nawe

    Sokiro akaja kufanya vurugu tukatuma Majini wengine waliochukuwa sura za marafiki zako

    Bibi akavaa uhusika wa mama yako

    Tulifanya yote hayo ukitambua wewe tu si mtu mwingine yeyote hivyo ndivyo ilivyotokea ewe mkuu wangu"

    “kweli nyie nyoko mmenifanya nidate mjuwe

    Gogisu hakuongea zaidi akanichoropoka mikononi mwangu na kwenda kucheza mziki. Niku tahadhalishe tu kuwa Majinni tupo nao kila sehemu kuna Majinni wabaya na wazuri kawaida ya Majini wanapenda kujichanganya na binadamu hasa kwenye kumbi za disco

    Vigodoro sokoni na kwengineko

    Majinni wapo na wataendelea kuwepo mpaka siku ya mwisho wa dunia.

    Nilimuangalia Gogisu jinsi alivyokuwa akicheza na mwanamke yule kisha wakachukuana na kuondoka sikutaka umbea nikaenda kwenye kibarazani nikakaa usingizi ukanipitia

    Nilikuja kushtuka kesho yake Asubuhi nikajinyanyua na kujinyoosha kama ilivyo kawaida ya watu waamkao kutoka kulala

    “ohoo James mambo?"

    “powa tu Dada yangu naona kumekucha"

    “ndiyo Maana yake sasa nimekuandalia maji ya kuoga unaweza kwenda kuoga kisha unywe chai"

    “Dahaa nashkuru sana"

    Nilishukuru na kuelekea bafuni kuoga nilipotoka kuoga nikanywa chai nikatoka nnje katika kujumuika kwenye kazi za hapa na

    Pale kufika saa saba kamili sauti ya Vigeregere na nderemo zilisikika kwa wingi kuna Gari kama sita hivi zilikuja kupaki mbele ya nyumba hiyo.

    Kwanza nikaweka Shoka pembeni si nilikuwa nacharanga kuni, nikainua kichwa changu kuangalia kule kwenye yale Magari

    “James,"

    “Naamu Dadaa"

    “samahani kaka yangu embu njoo"

    Nilienda mbiombio kule ninapoitwa na Nasra

    “kwanza Samahani sana kaka yangu kwa kukuangaisha nilikuwa naomba ukanisaidie kutoa Sofa kwenye kile chumba.

    “bila samahani ewe Dada yangu twende tu. Niliongea huku moyo ukianza kunidunda kwa kasi niliweza kumuona binti Mrembo akiwa katika vazi la harusi.

    Alikuwa ni Mwajuma jamani jamani niliumia roho mke wangu ndiyo anaolewa kama ni mtihani basi ni tou much

    Bibi harusi na wapambe wake wakaingia ndani kwa kukaribishwa kwa nyimbo tamu tamu

    Nilipoingia ndani humo kwenye meza kulikuwa na picha yangu iliyowekwa ndani ya kioo nikaishika na kujifanya kuuliza

    “huyu ndiyo shemeji nini?"

    Dada alicheka kidogo mwishoe mchozi ukamtoka. Akaniambia

    “hapana huyo ni Mdogo wangu mpendwa anaitwa Hafidhi hakika nilikuwa nampenda sana sema ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi"

    Aliongea na kujifuta mchozi

    “dohoo pole sana Dada yangu hata hivyo usijali nitakufuta machozi nichukulie mimi kama ndiyo huyu"

    “James"

    “naamu"

    “kuna mapengo yanazibika lakini sio kwa Mzazi au ndugu uliweza kuishi nae tokea utotoni kwake kiukweli nita mmiss daima. Embu kwanza tutoe hili sofa tukipata nafasi tutaongea zaidi.

    Tukalibeba na kulitoa mpaka ukumbini sikutaka Dada yangu aumie ndiyo maana nilikaza misuri kwa kunyanyua peke yangu

    “James mbona unanyanyua peke yako?"

    “tulia mtoto wakike Baunsa nipo hapa embu fungua huo mlango" niliongea huku nikiuma meno maana Sofa lilikuwa zito kidogo akafungua Mlango nikalitoa nnje na kufikia kukaa nikajilaza kabisaa.

    “Mmh! Nilijua tu utachoka kama vipi nenda kajimwagie maji kwaajili ya kuondoa uchovu"

    Kiukweli Nasra alianza kuonyesha upendo siku hiyo tu mpaka Mimi mwenyewe nikashangaa

    “wee mwanamke"

    “abee mume wangu"

    “embu njoo ndani upesi"

    “James embu nisubiri nakuja sasa hivi"

    Aliniambia Nasra kisha akaingia ndani lakini nilijiuliza mbona yule jamaa kamwita Dada yangu kwa shari vile kuna usalama kweli huko ndani?

    Wakati najiuliza hivyo nilimuona yule Mwanaume akitoka ndani huku akisonya dakika mbili baadae akatoka Nasra

    Nilipomuangalia usoni niliona mabadiriko kwenye Shavu lake la kushoto kulikuwa na arama ya Mkono huku kumevilia damu kuonyesha katoka kupigwa muda si mrefu.

    “Vipi mbona unaniangalia hivyo?"

    “ahaa hamna kitu lakini Dada yangu upo sawa kweli?"

    Nilizuga na kumuuliza swali

    “ndiyo nipo sawa kwani vipi?"

    “nakuona upo tofauti kabla hujaitwa kuelekea humo ndani"

    “Dahaa wee acha tu kiukweli nina matatizo makubwa sana katika dunia hii

    Tuachane na yote si unaenda kuoga au vipi?"

    “matatizo gani tena ewe Dada yangu?"

    “James wewe ni mgeni kwakuwa umekuja kupanga ndani ya nyumba hii basi utajionea kila kitu usiwe na haraka"

    Nasra aliniambia na kurudi ndani akiangua kwikwi ya kilio niliumia sanaa.

    Kumbe ndivyo inavyokuwa katika familia Nguzo ikianguka waliobaki wanateseka. Nikajisemea washenzi wote siku zenu zinahisabika. Sasa mwamba nimerudi kwa Style nyingine yenye nguvu

    Zaidi.

    Harusi iliweza kupita huku nikiwa naendekea kuumia nilibahatika kumuona Binti yangu kipenzi Ratifa aliyekuwa kafanania na mama yake kipenzi

    Ambaye ni Mwajuma

    “oyaa Hostadhi ehee"

    “unasemaje kijana"

    “mimi sili pirau nahitaji wali mweupe asiweke mchuzi wala nyama atie maharage tu!"

    “Sasa mwamba mbona wewe sio

    Rasta alafu utaki kula nyama?"

    “sipendi tu kula nyama"

    “powa amanene hiyo sahani ya pirau nipasie mie basi"

    Nikampatia mshikaji mmoja Mimi nikaletewa chakula nikitakacho. Wakati nikiwa nakula nilimuona mwanangu Ratifa akipita na kuelekea dukani

    Nami nilinyanyuka na kumfata, nilimuona Akiwa kasimama Dukani sijui akinunua nini wakati anarudi nikamwita

    “pseee"

    Akageuka baada kumpigia mruzi akaangalia unapotokea nikamwita kwa ishara.

    Basi akaja

    “hujambo mtoto mzuri?"

    “sijambo mambo vipi?"

    “mmh baada kuniamkia unaniuliza mambo vipi wee mtoto huna adabu ehee?"

    “niambie shida yako maswala ya sijui niamkie sijui nini Mimi sijui"

    “Basi nenda mtoto mzuri mi nilitaka uniamkie tu Baba yako"

    “what wee mkaka unakichaa nini yani inawezekana vipi ukawa baba yangu wakati Baba yangu yupo London embu nipishe babu wee

    Pohoo!"

    Ratifa aliongea kwa kunishusha na kunipandisha akatema mate chini.

    “sikia nikwambie

    Mtoto mzuri mwambie mama yako kuwa hivi Hafidhi j Ikram anakutakia harusi nnjema

    Mwambie nimerudi ehee"

    Nilipaza sauti kumwambia hivyo kumbe kawaida ya Ratifa hupenda sana kure cord pindi akiongea na mtu asiemjua

    Alipofika mbele akasimama na kurudi mpaka pale nilipokuwa nimekaa

    “umesemaje vilee?"

    “Embu kaa hapa nikupe story kidogo"

    “unajuwa mi nimeagizwa na Shangazi

    Nitachelewa bwana"

    “kwahiyo hutaki story?"

    “haya nisimulie"

    Nilianza kumpa historia ya maisha yangu japo kwa ufupi

    Wakati naendelea

    Nilimuona Kaunda akija uwelekeo ule

    “wee Ratifa!"

    “Abee ba mkubwa"

    “unafanya nini katika eneo hili?"

    “nilikuwa nasikiliza hadithi kwa huyu kaka!"

    “Shatapu embu kwenda nyumbani haraka sana alafu wee mshikaji jiangalie yule Binti bado Mdogo ujuwe kitu kingine anasoma"

    “Sawa brother nilikuwa namtambia hadithi tu"

    Nilijieleza hivyo nae hakutaka kuongea sana akaondoka.

    Nami nikarudi kwenye Sherehe

    Harusi iliyofaana ikafanyika

    Maharusi wakaondoka. Siku ya Jumaanne niliweza kuamia rasmi ndani ya nyumba hiyo nikiwa kama mpangaji. Niliweza kufikisha wiki moja tokea niamie hapo kuna matukio mengi sana yenye kusikitisha na kustaajabisha niliyoweza kuyaona kupigwa kwa Dada yangu. Kufokewa kwa Mama yangu utasema ni mtoto Mdogo vile

    Tena na Mwanaume ambaye alikuwa ndiyo mume wa Nasra akitoka Asubuhi kurudi usiku akiwa amelewa bwii na kufikia kumgeuza ngoma Dada yangu

    Mama akiwa kama mzazi aliumia kupita kiasi akijaribu kumtetea mwanae anaishia kutukanwa na kupigwa

    “Hafidhi"

    “Abeee"

    “nyoko unaitikia Abee kwani nawe siku hizi umekuwa Mwajuma au Ratifa?"

    “unajuwa Bibi usinizinguwe mwenzako mpaka sasa nimechoka"

    “umechoka kuhusu nini?"

    “hivi unajisia raha kila siku Mama yangu anatukanwa sio kila siku Sister anapigwa

    Alafu nyie mnaniambia ohoo nisifanye chochote kama si Us***nge kumbe nini!"

    “wee mtoto wewe usitutukane basi"

    “nyie mabwege tu"

    “powa sie

    Mabwege mwenzako nimekuletea habari nzuri unaanza kunitusi sasa sikwambii ng'oo"

    “habari gani?"

    “Nishaghairi"

    “Bibi bwana niambie nitakuowa"

    “Kweli utaniowa lakini yangu imekomaa utasema kokwa ya Chikichi"

    “hahahahaha Bibi bwana sio mbaya nyundo ninayo haya niambie nikupige busu"

    “ni hivi........sasa upo huru kufanya chochote ukitakachoo"

    “Hureeeee unasema kweli Bibi"

    Hakika nilirukaruka kwa furaha na kumkumbatia Bibi

    Ghafla bibi akapotea





    Tulipoishia

    Jana

    “Kweli utaniowa lakini yangu imekomaa utasema kokwa ya Chikichi"

    “hahahahaha Bibi bwana sio mbaya nyundo ninayo haya niambie nikupige busu"

    “ni hivi........sasa upo huru kufanya chochote ukitakachoo"

    “Hureeeee unasema kweli Bibi"

    Hakika nilirukaruka kwa furaha na kumkumbatia Bibi

    Ghafla bibi akapotea

    SONGA NAYO

    SASA

    Nami nilikuja kushtuka na kujikuta nipo kitandani niliangaza macho kila upande wa chumba changu kisha nikainuka na kujinyoosha.

    Kulikuwa tayari kumekucha siku hiyo nilikenua meno utasema zuzu. Yote sababu ya kuwa huru katika kufanya chochote nikitakacho

    Nilipiga pushapu pamoja na kupasha viungo moto nilikumbushia enzi zangu za kipindi kile nilikuwa ni mtu wa kufanya mazoezi kila muda.

    Nikatoka ile nafungua mlango tu

    Nikapishana na Dada akitoka mbio chumbani kwake huku akiwa kajifunga kanga moja tu

    “uwiii mamaa, nakufaa hukuu"

    Alikimbia mpaka nnje akifatiwa na mumewe aliyekuwa kashika mkanda wa suruwali. Dahaa

    Dada hakuweza kufika mbali kwani yule jamaa alipomfikia akampiga zinga la mtama

    Kiukweli nilibaki kushuhudia tu Dada yangu akirushwa juu kimo cha mbuzi, niliziba uso wangu kwani kanga aliyokuwa kajifunga ilimtoka

    “niachie mwanangu, kama unataka kumuuwa tuuwe sote nilimsikia mama akiongea kwa sauti

    nikafumbua macho na kumuona yule jamaa akimsukumiza mama yangu aisee

    Damu ilianza kunichemka kwa kasi ajabu nikashindwa kunyanyua hata mdomo kukemea jambo lile

    Majirani wakajitokeza kuja kuamulia ugomvi ule

    Dada alishafunikwa nguo jamaa alizidi kutukana matusi makubwa makubwa na kusema atakuja kumuua Dada yangu. Kiukweli mtu na mwanae walilia mimi nikaenda kulilia ndani kwikwi ya hasira ikazidi kunipanda

    “NGO!NGO!NGO!

    Sauti ya mlango wangu kugongwa ikasikika nikajifuta machozi na kwenda kufungua mlango alikuwa ni Nasra

    “za hasubuhi kaka yangu"

    “safi tu sijui kwa upande wako"

    “mi mzima vipi mbona macho yamekuvimba hivyo ulikuwa unalia au?"

    “hapana ewe Dada yangu macho tu yananiuma"

    “pole sana vipi ushatumia dawa?"

    “bado maana yamenianza asubuhi hii"

    “basi nenda kwanza kaoge kisha ukanywe chai"

    “sawa nashkuru kwa kunijali"

    Dada akaondoka nilienda kuoga pamoja na kupata kifungua kinywa nikaingia chumbani kwangu

    Ghafla nikaisikia sauti ya Mwajuma ikitokea sebuleni nikatoka na kuelekea huko ni kweli alikuwa ni yeye

    “ehee Mama kaka mwenyewe ndiyo huyu!"

    Ratifa aliongea huku akinionyeshea

    Kidole kitendo kilichowafanya kila mmoja ageuke kuniangalia si Mama wala Nasra na Mwajuma wakaniangalia kwa umakini sana.

    Mwajuma akabofya kidude fulani nikaanza kusikika sauti yangu nikisimulia historia ya maisha yangu.

    “Kaka ni wewe hata siamini jamani hiiiiiiii haaaa!"

    Nasra aliuliza na kuanza kulia

    “Mama Dada Nasra siwezi kuwaficha tena mimi ndiyo kipenzi chenu Hafidhi j Ikram..

    Niliongea huku nikipiga magoti chini nilimuona mama akianza kuweweseka akasimama na kuja kunikumbatia niliadhani watanikimbia kwa kujua mi Zombie au Msukule, lakini haikuwa hivyo.

    “jamani mwanangu hatimae umerudi nyumbani baba ehee asante Mungu kwa kunijibia maombi yangu ni kweli mwanangu hakufaa haaaaaaahiiiiii"

    Mama alilia si yeye tu wote tulianza kulia milango ikafungwa kuepusha Majirani wambea

    Ndani ya masaa mawili ilikuwa ni vilio tu.

    Mwishoe niliwasimulia kila kitu sikutaka kuwaficha lolote kuwa nilitekwa na kupelekwa Uganda huko nikatumikishwa kucheza filamu za ngono kwa muda wa miaka kumi niliteseka sana.

    Ndipo nikaja kuchukuliwa na Majinni na kurudishwa Tanzania kipindi chote hiko nikiwa Uganda sikuwa na kumbukumbu zangu kabisa niliishi kama mfu.

    Nilimaliza kusimulia historia yangu. Vilio vikaanza upya

    tulilia wee mpaka ikatimia saa kumi jioni

    Ndio kidogo tukapata wasaa wa kupata chakula

    “Dahaa hakika mwanangu umeteseka sana umepitia njia nyingi za hatari itabidi kesho ukafanyiwe kisomo kwa Shekhe Yussuf

    Na atakuja hapa kupiga kisomo."

    Mama aliongea

    “Nasra mwambie huyu Bwege wako leo akizingua tu nitamchinja Mamaye zake"

    “kaka bwana wee achana naye mtu mwenyewe ni Mkuriya alafu ni Mwanajeshi utajitafutia matatizo bure!"

    “Mimi sijali cha Mkuriya wala cha kaunguliya

    Siogopi Mjeshi wala Mhabeshi subiri na uwone"

    Niliongea huku nikicheza na

    Ratifa

    “nikwambie kitu binti yangu!"

    “ehee niambie"

    “unajuwa jina lako limetokana na Mama yako wa kambo anaitwa Ratifa nilikuwa nampenda sana"

    “ohoo hata mama aliniambia

    Alafu Baba kesho nahitaji twende wote shuleni"

    “shuleni tena kufanya nini?"

    “Walimu na wanafunzi wenzangu wakakuone maana kila siku wananicheka kwa kusema sina baba. Wakati wao wanakuja na baba zao,"

    “basi usijali mwanangu mpendwa kwakuwa nipo hapa kila kitu kitakuwa sawa"

    Niliongea huku nikimuangalia Mwajuma kwa jicho la kiwiziwizi nilimuona kama ni mtu mwenye aibu fulani hivi.

    Kila tulipogongana macho yetu kwa kutizamana Mwajuma akaangalia chini.

    “vipi Mama Ratifa mumeo hajambo?"

    Nilimuuliza swali kiuchokozi tu

    “ndiyo hajambo sijui wewe?"

    “mimi niko njema hofu kwako mrembo"

    “Mama wacha mi niende tukijaaliwa kesho naweza kuja kukuona"

    “sawa Mwanangu"

    “Ratifa twende mwaya"

    “Aku mi siendi nitabaki hapa hapa na baba yangu wee nenda tu"

    “sasa utabaki vipi wakati kesho unahitajika kwenda shuleni embu twende bwana"

    “kesho siendi shule mpigie simu

    Sister Diana mwambie naumwa"

    Mwajuma hakuongea kitu akafungua mlango na kutoka zake nnje sikutaka kumuacha aondoke hivi hivi nami nikatoka na kumkimbilia

    “Mwajumaa"

    Nilimwita nae akageuka na kuniangalia

    Nilimfata kwa ukalibu zaidi nikafikia kumshika kiuno nikamvuta kifuani kwangu

    Nilihitaji Romance

    Nae akafanya kama kujitoa hivi katika sitaki nataka akanipiga vikofi vya kifuani na kuegemeza kichwa chake kwenye kifua changu kipana

    Alianza kuliaa.

    “Hiiiiiiiihaaaaaaa, Hafidhi kwanini lakini umenifanyia hivi? Umekubari vipi niolewe na mwanamke mwenzangu. Hafidhi hunipendi hunitakii mema katika maisha yangu.

    Kipindi chote hicho ulikuwa wapi? Mpaka leo hii nimeolewa ndiyo unajitokeza niachee, usinishike"

    Mwajuma aliongea huku akilia akajitoa kwa kutumia nguvu lakini akashindwa akapiga kelele.

    Kitendo kilichowafanya majirani wasogee eneo lile

    “wee Mkaka vipi mbona umemkamatia hivyo

    Mke wa mtu huyo!"

    “muachie basi kwani unamdai au ndiyo mwizi wa mwendo kasi?"

    Kila mmoja aliongea lake nikaona Mama akija eneo lile nikafanya kumpa ishara kuwa asisogee

    “wee Bwege mkubwa mshenzi wa tabia

    Pumbavu zako muachie huyo binti faster kabla sijakupasua!"

    Aliyeongea hivyo alikuwa ni Basha wake Nasra sijui mumewe mi sijui na nilikuwa namtamani muda tu.

    “wewe unaongea hivyo kama nani?"

    “sio kama nani embu muachi........

    Aliongea na kunyoosha mkono ili anishike kiukweli lilikuwa ni kosa kubwa sana

    Kwa ghafla nilimuachia Mwajuma kwa kumsukumiza kisha nilizunguka nikiwa tayari nishaudaka mkono wa yule jamaa nikamsukutua kiwiko cha

    Mdomo nikimuongezea na ngumi

    Aliyumba kwa kurudi nyuma sema nilimvuta sababu mkono wake nilikuwa sijauachia

    Nikampiga kiwiko cha utosi na kumsindikiza kwa ngumi double double.

    Akadondoka chini. Nikavua mkanda wa Suruwali nikaanza kumchapa nao nilimtandika tena kule kwenye kichuma

    Nikaupitisha shingoni na kumkaba. Akajitahidi kujitoa wapi akaishia kutoa mishuzi tu.

    Mama alikuja mbiombio na kunishika

    “James mwanangu basi inatosha muachie basi inatosha muache utakuja kumuua!"

    Mama aliongea huku akianza kulia ndipo nikamuachia huyu nyau kisha nilimuangalia kila mtu

    Nikaondoka zangu nikimuacha jamaa akiwa kalala chini akikohoa tu

    “si unajifanyaga mbabe wewe inuka sasa umfate kama hajakuuwa siku zote unaambiwa usimchokoze mtu usiemjua umeona matokeo yake

    Ulikuwa unajamba tu pyuu hilooo"

    Kuna Mzee mmoja aliongea na kufanya umati wa watu wacheke nikaingia ndani na kumkuta Mwajuma kajikunyata kwenye mwili wa Dada

    Sikuongea kitu nikaingia chumbani kwangu.

    Dakika si nyingi mlango wangu ukafunguliwa muingiaji alikuwa ni Mwajuma

    “hodiiiiii,"

    “hodi gani wakati ushaingia embu sogea hapa mchumba"

    Mwajuma akasogea akiwa bado ni mtu mwenye hofu.

    Akakaa mbali kidogo yani kwenye sofa dogo mimi nilikuwa nimekaa kitandani.

    Nikasimama na kwenda kufunga mlango nikamsogelea na kuushika uso wake

    Nikamfuta machozi yaliyokuwa yakitililika mashavuni mwake. Nikaupeleka mdomo wangu akafumba macho huku akiachama kinywa chake.

    Lips zetu zilipogusana tu Mwajuma akanipokea kwa pupa

    “mmmmmmmmm,,,,,ohoooooooo,,,,a

    haaaaaaaaa,,,,tulinyonyana midomo huku kidole changu cha kati kikiwa tayari kishapekenyua chupi yake na kuanza kukichezea kiarage chake kirefu kilichoanza kusimama kwa hamu

    Kidole tu kilipata shida kuingia ndani ya kipochi manyoya. Zipu ilionyesha haikupata mfunguaji kwa muda mrefu.

    Nilimuandaa vya kutosha mpaka mtoto akawa yuko ndembendembe kwa kufumba macho na kufumbua huku akijilamba midomo yake mipana

    “oshiiiiiiiiiiiuuuuuuuuu,,,,,ingiza,taratiiii

    iiiibu,,,,,ahaaaaa,,,,assess,,,,hapoooooo,,,

    Niliushika mtalimbo wangu na kuupaka mate kisha nikakilengesha kichwa na kuuchomeka kwenye kitumbua kilichobana.

    Mwajuma akazidi kujibinua makalio yake ili kunipa nafasi nimuingize vizuri. Lakini ilifika mahali Akashtuka kwa kujisogeza mbele kidogo kwani ilionekana Mtalimbo umegusa kuta yani mwisho. Hapo shughuli ikaanza,"aaaaaa

    aaaaaaaaaah,,oooooh,,

    aaaiiiiiiiiiiiissssssssssssss,,,aaaah,"

    Alilalamika kwa sauti ya chini huku akiyashika mashuka kama mtu amshikavyo mdeni wake ambaye anamzungusha kumlipa.

    Nilimbana ile kisawa sawa na kumsukumizia mizinga. Ya kipindi kilee kiasi kwamba hakuweza kabisa kutikisika, nilihakikisha namsugua kila kona. Kila mmoja alijisikia utamu sana tulibaki kulalamika kama vile Mambuzi. Mwajuma kila dakika iliyokuwa ikienda mbele ndiyo akaongeza kasi ya kuzungusha kiuno.

    Kuna muda niliuvuta mguu wake na kuupandisha juu kidogo hali iliyofanya kitumbua chake kipanuke kidogo na kuruhusu Mtalimbo kuingia wote kwa uhuru. Masikini weee Mwajuma alilalamika mpaka alitoa chozi kwa utamu sijui maumivu

    “aaaah,,aaaah,,uuuuh,,,

    aaah,,,,aaaiiiiisssssss,,,mmmmoooooh"

    Alizidi kupiga kelele za mautamu Safari hii kwa sauti kubwa nilimziba mdomo. huku akizungusha kiuno kwa kukirudisha nyuma ili Mtalimbo uzame wote kitumbua kilisha lainika vya kutosha nikazamisha mpaka mwisho.

    Vijasho vilitutoka. Swali la kujiuliza nakula mke wa mtu. Au namla mke wangu? Na kama si mke je kwanini asiwe Mke wangu wakati nilifunga nae ndoa na tukazaa Mtoto wa kike. Sikumpa talaka

    Huyo aliyemuoa katumia kigezo cha Mimi kufa. Sasa sijafanya nipo hai. Bila ubishi namtaka Mke wangu,

    Baada ya kipute kilifatia kipindi cha mapumziko.

    Nikatoka chumbani ili niende kujimwagia maji

    Nilimkuta yule jamaa akiwa amekaa sebuleni akila chakula kwa pembeni yake kulikuwa na kisu ile kuniona tu akakichukuwa na kunifata kwa kasi.

    Nilikimbia kwa kutoka nnje.

    “mamayo zako leo nakuchinja bwege wee simama sasa nikuonyeshe Malaya mkubwa!"

    Alibwabwaja maneno

    Huku akinifata. Nilipofika nnje nikasimama na kugeuka kumfata yeye

    Ajabu akaanza kupiga kelele akakitupa kisu na kuanza kukimbia hovyo

    “mamaaaa weee nakufaa nisaidieni akajibamiza kwenye nguzo ya umeme akadondoka chini na kuwa kimya.

    Watu walijazana usiku ule

    Ghafla wote tukashtuka........



    -

    Tulipoishia

    Jana

    Alibwabwaja maneno

    Huku akinifata. Nilipofika nnje nikasimama na kugeuka kumfata yeye

    Ajabu akaanza kupiga kelele akakitupa kisu na kuanza kukimbia hovyo

    “mamaaaa weee nakufaa uwiiiii nisaidieni akajibamiza kwenye nguzo ya mstimu akadondoka chini na kuwa kimya.

    Watu walijazana usiku ule

    Ghafla wote tukashtuka........

    SONGA NAYO

    SASA

    Kila mmoja alishtuka kutokana na kile ambacho alikitamka Mzee ambaye alimuinamia yule jamaa kwa kupima mapigo yake ya moyo. Na kumchunguza zaidi akasema

    “INNAALILLAH WAINNAA ILAYHI RAAJIUNA. Hakika kijana huyu hatunaye tena"

    Nilishindwa kuamini aisee mbona hata nilikuwa sijamgusa hata unywele wake

    Imekuwaje afariki ghafla vile?

    Nilijiuliza maswali chungu mzima pasipo kupata majibu. Vilio vilianza kusikika kutokea kwa baadhi ya Watu hasa Dada watu wakabaki kujiuliza kwani marehemu alikuwa kaona nini mpaka akimbie vile kwa uwoga na kujibamiza kwenye Mstimu?

    Kila mmoja hakuwa na jibu zaidi ya kusema

    Labda ni kutokana na kuvuta

    Bange kupita kiasi au pombe anazokunywa siku hiyo zilimzidi kiwango.

    Siku zote pombe sio chai. Embu fikilia mtu anavuta mibange na kushushia sijui gongo

    Mataputapu asichanganyikiwe mchezo!"

    Yalikuwa ni maneno ya majirani waliokuwa katika eneo la tukio.

    Mwili ukabebwa na kupakizwa kwenye gari safari ya kupelekwa hospitali kwaajili ya uchunguzi ikaanza nami niliongozana nao nikiwa kama shemeji au jirani.

    Tulifika hospitali ya Lugalo

    ilikuwa yapata majira ya saa tano usiku. Mwili ikaingizwa kwenye chumba cha uchunguzi, ndani ya usiku huohuo majibu yalikuja

    kuwa Marehemu kafariki kutokana na shinikizo la damu yani Moyo wake ulisimama ghafla

    yote sababu ya Maini yake na mapafu kuharibika kupita kiasi.

    Kila aliyepata majibu hayo ndipo akaweza kuamini kwa kile kilichomtokea jamaa yule mawaiza

    Tosha kwa wavutaji sigara tumbaku au bange. Tulirudi kutoka hospitali saa tisa usiku

    Nilimkuta Dada akiendelea kulia tu mpaka nilishangaa inamaana alikuwa akimpenda sana mumewe au kuna kitu kingine anacho kililia.

    Nilimfata nikamshika na kumkumbatia huku nikimbembeleza na kumwambia maneno ya faraja.

    “sio hivyo kaka yangu Mimi silii kisa kufa kwa huyu shetani nalia kisa wanangu"

    “wanao wamefanyaje? Na wako wapi?"

    “mi sijuiii mara ya mwisho aliwachukuwa marehemu baba yao.

    Akarudi akiwa peke yake mpaka hapo hakuniambia kawaacha wapi!"

    “wanao ni wangapi na majina yao?"

    “Salma na Swalehe"

    “basi usilie ewe Dada yangu kwakuwa nimerudi amini kila kitu kitakuwa sawa wanao utawapata tu nyamaza ehee mtoto mzuri"

    Nilimbembeleza na kuingia naye ndani.

    Kifo cha Shemeji kilivuta hisia za watu wengi sana umati wa watu walizidi kumiminika kwenye msiba huo

    Uliokuwa umewekwa nyumbani kwao Mbezi juu. Marafiki zake wakiwa ndani ya kombati zao za Jeshi nao walikuja

    Hatimae siku ya siku ikafika tukaenda katika makaburi yao ya kifamilia yaliyopo Kibada Mungu ailaze roho ya marehemu mahara pema peponi

    Ameen.

    “kaka uliniambia nisiwe na wasiwasi kuhusu watoto wangu sasa ishapita wiki tokea tuzike je umepapata fununu yeyote katika uchunguzi wako?"

    “hapana Dada yangu kiukweli bado nipo katika hatua za awali katika upelelezi wangu, na itabidi nimtumie Vanessa katika kufanikisha yote haya"

    “unataka kusema yule wifi Vanessa"

    “ehee ndiyo huyo huyo"

    “sijui kama ataweza kuonyesha ushirikiano wowote kwako"

    “kwani asioneshe?"

    “Mwanamke anajiona yule utasema aendi chooni kunya!"

    “hahahaha hiyo ni kwenu nyie sio kwa handsome kama Mimi sukari guru ya Warembo ataniambia kila kitu kwanza nipe number yake ya simu"

    “haya hii hapa ujuwe nakuaminia kaka yangu japokuwa siku hizi umebadirika tofauti na miaka ile ya nyuma ulikuwa mtukutu kama nini"

    “unajuwa nini Dada?"

    “ehee niambiye"

    “kipindi kile nilikuwa na akili za utoto sasa hivi nimekuwa mtu mzima kudogo so lazima kuna mambo yatabadirika kutokana na kupevuka kiakili"

    “hata Mimi naona yani umekuwa Mbaba huo."

    “wewe embu acha mambo yako

    Mbaba huo nimekuwa ukuta au? Hivi Nasra umeacha tabia yako ya kuunguza Bagia na kudokoa nyama?"

    “kaka ushaanza mambo yako mi sitaki bwana ndiyo maana nilikuibia flashback yako!"

    “what?"

    “kwani hujasikia nilikuibia Flash siku ilee kwenye msiba wa Baba Mdogo ulipokuja kuchukuwa shuka wakati unanifosi nikupe shuka ukadondosha

    Flashback nikaikota na kuificha kwenye sidiria

    Nikaenda kuiuza kwa Shafii"

    “Mungu wangu unataka kusema uliiuza?"

    “ndiyo sema nini kaka tuachane na hayo nitakulipa flash nyingine kama sikosei ile ilikuwa 4Gb"

    Unajuwa mpaka hapo nilichoka hoi kwanza nilikumbuka mbali sana kipindi Marehemu Sabrina aliponikabidhi hiyo flash na kuniambia ina siri nnzito sana kuhusu kifo cha Baba yangu, mwishoe flash ikanipotea katika mazingira ya kiutata tu.

    Kumbe sister aliiyokota na kwenda kuiuza. Dahaa

    kweli kikulacho kinguoni mwako

    “lakini kaka ile Flash bado ninayo mpaka leo"

    “Nasra unasemaa"

    “ndiyo ninayo embu nisubiri nikailete"

    Akaingia ndani sikutaka hata kusubiri nikamfata na kuingia chumbani kwake nilimkuta akipekuwa pekuwa begi lake.

    Sikuweza kuamini Aisee baada kukiona kidude kidogo tu ambacho niligaiwa na Shangazi Sabrina.

    “vipi unaikumbuka hii?"

    Nikampola na kutoka chumbani kwake nikaingia chumbani kwangu na kujifungia mlango kwa ndani. Nikachukuwa Laptop ambayo niliinunua siku si nyingi nikaichomeka flash na kuanza kusachi kulikuwa na Password. Nilijalibu zaidi ya mara mbili kukisia kuitoa ikafeli.

    “Gogisu....

    “naamu mkuu"

    “embu nitajie number za siri ya hii Flash"

    “subiri kama dakika mbili hivi"

    “sawa bosi fanya hivyo tupate mtindi"

    Nilimwambia hivyo Gogisu kimya kidogo kikatawala nikiwa naichezea simu yangu

    “Mkuu"

    “Ehee niambie kijana"

    “number ni 72DUXF"

    Nikabonyeza kama nilivyotajiwa nikabofya Inter kitu kikajiandika Donev

    “Asante sana kijana kitu kimekubari"

    “sawa Mkuu usikose basi kwenye huo mtindi"

    “tulia basi nipekuwe hapa"

    Niliingia kwenye mafaile nikaanza kupekuwa na kukuta picha za watu mbali mbali sikuweza kumfahamu hata mtu mmoja katika picha hizo. Nilizidi kupekuwa mwishoe nikaifuma Video.

    Hapo ndipo nilikaza macho

    Nilimuona marehemu Baba yangu akiingia kwenye nyumba moja hivi akiwa kaongozana na Mwanamke mweupe wawastani sijui mpemba au Muarabu.

    Wakaingia ndani ya nyumba hiyo

    Giza la dakika kama kumi likatawala ilinifanya nipeleke mbele. Mwishoe nilimuona Baba yangu akitoka ndani humo akiwa anayumba bila shaka atakuwa katoka kulewa

    Ndivyo nilivyojisemea akaingia ndani ya gari yake na kuondoka

    Ghafla akiwa ndani ya gari kuna mijamaa miwili ikaibuka kutokea siti ya nyuma mmoja alimkaba Baba yangu kwa kutumia kitambaa chenye sumu.

    Baba alizibwa mdomo na pua yake akajitahidi kufurukuta aweze kujitoa lakini wapi.

    Akazidiwa nguvu mwishoni akapoteza maisha

    “Gogisuu"

    “naamu mkuu vipi mtindi tayari?"

    “embu tulia dogo naomba unisaidie kuhusu hawa jamaa niweze kuziona sura zao maana hapa wamezificha kwa kuvaa vinyago"

    “subiri dakika moja je na hiyo sehemu iliyokuwa ikionyesha Giza niisafishe uweze kuona nini kilitokea hapo?"

    “ohoo itakuwa vizuri sana kijana kwani nilikuwa nataka kufahamu kitu gani kilimfanya Baba yangu akanywa pombe. Wakati alikuwa si mtu wa kutumia kilevi cha aina yeyote ile!"

    “Usiongee sana mkuu please wait.....

    Nilikuwa nikiongea na Gogisu kwa hisia tu kiukweli yeye hakuwepo chumbani humo.

    “Mkuu"

    “vipi?"

    “kila kitu tayari unaweza kuendelea usisahau ahadi yetu"

    Gogisu aliniambia sikumjibu kitu nilianza kuifatilia upya ile video kila nilipokuwa nikiendelea kuitazama nikawa nauma meno kwa hasira. Kumbe baba yangu hakunywa pombe bali aliwekewa Madawa kwenye kinywaji chake na mmoja kati ya wahudumu wa hoteli hiyo

    Kitu kingine gari yake ilikatwa break wakati yeye alipoingia tu ndani ya hoteli

    Nikataka kufahamu ni kitu gani kawakosea watu hawa mpaka wakaamua kumuondoa hapa duniani nilizidi kupekenyua mwishoe kumbe ni ishu ya madawa ya kulevya

    Mungu wangu. Sio kama baba alikuwa mtumiaji au muuzaji wa Madawa, la hasha

    Alikabidhiwa Briefcase na bosi wake wa kitasha aitwaye Bwana Suriya alimsisitizia sana alifikishe sehemu husika Baba akafanya kama alivyoagizwa. Sasa kwa bahati mbaya akiwa ndani ya Gari kuna kijana aliyekuwa na pikipiki akalikwapua lile Briefcase na kutoweka nalo

    Baba alijalibu kumfatilia akamkosa.

    Hakika baba yangu alishikwa na hofu sana kiufupi alichanganyikiwa hakuweza kufahamu apeleke jibu gani kwa bosi.

    Akapiga moyo konde na kujipa ujasiri wa kwenda kujieleza. Akarudi mpaka ofisini na kumuelezea Bosi wake.

    Bosi alishindwa kumuelewa kwa lolote lile, na kumtaka afanye juu chini mzigo upatikane vinginevyo cha moto atakiona.

    Baba yangu alianza kuishi kwa wasiwasi mwingi sana

    Alijaribu kwenda kutoa taarifa za kutishiwa usalama wa maisha yake. Kumbe polisi wenyewe ni walewale wala Rushwa.

    Siku moja baba akiwa katika pitapita yake ndipo alipoweza kumuona yule

    Mwizi akafurahi sana kwa kuona Mungu kajibu

    Maombi yake.

    Akutaka kumvamia hivi hivi alichokifanya ni kumfatilia mpaka anapoishi na kumnasa akamshushia kisago hevi

    Na kumuamrisha amtajie

    Briefcase lilipo. Kijana akaamua kumpeleka huko ndipo alipokifata kifo chake.

    Kijana alikuwa na Kicamera kidogo hivi hata alivyonaswa akaambiwa ampeleke sehemu hiyo. Kufika huko Baba akastaajabu kukutana na Bosi wake. Akapewa maneno ya uwongo akakubari kukaa nae meza moja wapate Vinywaji ndipo mchongo wa kumuua ukafanyika. Na kweli walifanikisha kila kitu.

    Suriya Bendra na wenzako saba wote mkiwa laiya kutoka India mtanibebea mbereko gani mtoto wa marehemu mpaka niwaelewe

    Kudadeki wote mtaenda kuzimu.

    Nanyie wabongo mliotumukishwa kwa namna moja au njingine katika kumuua Baba yangu mtalipa, pumbavu zenu nyiee"

    Nilijikuta Nikiongea peke yangu nikaipiga ngumi Laptop yenyewe Nilianza kulia kwa kwikwi hakika niliona kama lile tukio limetokea leo

    “Hafidhi baba kuna ninii? Embu fungua mlango basi"

    “hamna kitu ewe mama yanguu usiwe na wasiwasi namii ihiiii!"

    Nilimjibu kwa sauti ya kilio.

    “sasa mbona unalia funguwa uniambie nini kinakuliza Ehee Mungu baba embu saidia kijana wangu aondokane na mateso hayaa. Kila kukicha mwanangu tu kapotea miaka kumi tukijua kafariki kumbe yupo hai. Leo hii amerudi basi muacheniii,"

    Mama aliongea ghafla nikasikia

    Sauti ya kishindo kizito ikisika kutokea ukumbini

    Ikifwatiwa na sauti ya Nasra akiita Mamaaaa....

    Nilikurupuka na kutoka ndani mbio mbio

    Kufika ukumbini nilimkuta mama kalala chini

    Damu zikimtoka puani mdomoni na masikioni. Damu ilikuwa ikitoka kwa wingi

    Pale pale nikapotea.................







     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog