Search This Blog

Thursday 24 November 2022

RATIFA & MWAJUMA - 4

 

     

     

     

    Chombezo : Ratifa Na Mwajuma Season 1

    Sehemu Ya Nne (4)

     

    Damu nyingi ziliruka juu

    Nikamsogelea bibiye aliyekuwa akitetemeka nikamshika shingoni nikamtekenya mishipa ya fahamu akazimia nikambeba na kupotea nae.

    Nilimpeleka hadi Stendi ya Bukoba yani nilifanya mambo kwa dakika kadhaa tu nipo Stendi kuu ya Bukoba usiku ule

    Watu wengi walikuwa wamelala pale Stendi.

    Kusubilia usafiri wa Alfajir.

    Nikamlaza bibiye na nikamfunika na shuka pamoja na kumuachia kiasi cha pesa

    Usiulize nimezitoa wapi. Mimi ndio chuma Urete wa mwendo kasi nabeba hadi chupi

    Kimiujiza tu naweza kukuvuwa chupi bila wewe kujitambua.

    Nikambusu kwenye paji lake la uso kisha nikapotea

    Ukiwa na Bibi kama Bibi yangu mwenye miujuzi yakila aina huwezi kufa njaa

    Niliangalia saa ni saa kumi nikaona wacha nirudi Selo nilijiuliza mbona Bibi leo hajaja

    Kitu gani kimemkuta nilishafika kituoni na kuingia Selo sikuwa na maumivu wala arama ya aina yeyote kutokana na kile kipigo nilichopigwa na

    Maafande nikaona wakiniona hivi watashtuka nikajibamiza ukutani pamoja na kujingata ulimi

    Hayo maumivu yake asikwambie mtu.

    Hatimae Asubuhi ikafika

    Lokapu ikafunguliwa nikaambiwa nitoke nnje. Nikatii amri sikuweza kuamini kumuona Mwajuma pale kwanza kafahamu vipi kama mimi Niko pale

    “whaoo my love"

    Akanikumbatia kwa furaha, kiukweli nilianza kumchukia kutokana na kitendo alichomtendea mwenzake,

    “sasa Afande Mjuzi fanya kila kitu kiwe sawa kama litatokea tatizo lolote nipigie simu"

    “sawa Mamaa"

    “Aii baby jamani ndio wamekuumiza namna hii

    Mjuzi imekuwaje mkampiga kiasi hiki?"

    “sio mimi Mama wakati huyo kijana anafikishwa hapa ile jana mimi sikuwepo,"

    “hakuna cha ulikuwepo wala hukuwepo waambie hao mabwege wakome.

    Baby embu twenzetu kwanza hospitali,"

    Kweli siku zote pesa ipo juu ya

    Sheria yani Mwajuma anawawakia maafande kama vile watoto wake tena mijitu mizima ni sawa na Baba yake.

    Akanishika mkono tukatoka nnje ya kituo na kuingia ndani ya Gari

    “Mwajuma"

    “Abee"

    “kwanini umemteka Ratifa?"

    Uvumulivu ukanishinda nilimkazia macho na kumuuliza hivyo

    Akashtuka na kuanza kubabaika.

    Je nini kitaendelea?"







    Nilimuangalia Mwajuma kwa jinsi anavyo

    babaika kutokana na swali langu.

    “hapana baby siwezi kufanya kitu kama hiko, kwanza nitaanzaje? Wakati sina uwezo

    wowote ule,"

    Mwajuma akajitetea kwa kuongea uwongo

    wakati mwenzie nafahamu kila kitu,

    “sawa tuachane na hayo twende nyumbani"

    “Baby si tunaenda hospital kwanza!"

    “sihitaji kwenda hospital tafadhali nipeleke nyumbani"

    Niliongea kwa sauti ya ukali. Mpaka Mwajuma akashangaa

    Safari ya kuelekea nyumbani ikaanza ndani ya gari kila mmoja alikuwa kimya. Bila shaka Mwajuma alikuwa akifikilia nani kaniambia kuhusu swala la kupotea kwa Ratifa, na imekuwaje nimuulize vile.

    “Baby unajuwa mpaka sasa umeniacha njia panda mwenzako

    nimefiwa na

    Ankor wangu leo hii unaniambia swala kama hilo.

    Unanichanganya ujuwe!"

    Mwajuma akavunja ukimya na kuniambia hivyo. Nilimuangalia na kutikisa kichwa tu

    nikanyamaza kimya

    Mpaka tunafika nyumbani nikashuka kwenye gari na kuzunguka uwani nilikuta milango ya nyumba yote imefungwa,

    “Embu naomba simu yako"

    Nilimuomba simu Mwajuma ili niweze kumpigia Mama, basi akanipatia nikabofya number kadhaa na kuisikilizia kama inaita

    Simu ikawa inaita lakini haikupokelewa

    Mpaka ikakata nikapiga tena hali ikawa ni hiyo hiyo.

    Nikampigia Nasra hakuchelewa kupokea

    “halloo Dada"

    “Khaa mdogo wangu uko wapi?"

    Nilimsikia Nasra akiniuliza.

    “nipo nyumbani kwani nyie mpo wapi?"

    “tupo kituo cha polisi huku

    Chang'ombe tokea jana tunakutafuta Kaka, embu ongea na mama huyu hapa.

    “Hafidhi mwanangu ni wewe?"

    “ndio Mimi ewe mama yangu"

    “uko wapi sasa? Mama yako nakutafuta kutwa kuchwa baba"

    “nipo Nyumbani nimekuta milango yote mmefunga,"

    “Asante Mungu kwa kusikia kilio changu hatimae mwanangu karudi nyumbani,"

    “Mama"

    “Abee mwanangu"

    “sasa funguo mmeziweka wapi?"

    “angalia hapo chini ya kopo la mpilipili baba"

    Baada mama kunijibu nikampa ishara Mwajuma akaangalie

    Funguo

    Kweli aliweza kuziona akafunguwa Mlango tukaingia ndani,

    Nikafikia kujipweteka kwenye Sofa

    Nikimuacha Mwajuma akiandaa maji ya moto nikiwa nimekaa mawazo yakaanza kunisonga niliwaza mambo mengi sana

    Nilikumbuka

    Dhamana niliyokuwa nayo juu ya kuwatetea wanyonge wote.

    “Baby maji tayari"

    Sauti ya Mwajuma akinigutusha kutoka kwenye dimbwi zito la mawazo.

    Nikamtazama na kuinuka tukatazamana kwa muda kidogo

    Nikataka kutoka nnje

    akanishika mkono

    “sasa huko unaenda wapi? Embu twende chumbani"

    “khaa chumbani tena kufanya nini tena?"

    "Nikakukande na maji ya moto kisha nikupake dawa,"

    “mmh sasa

    Mimaji si itasambaa kwenye kitanda?"

    “Baby"

    Kwa sauti ya kudeka Mwajuma akaniita na kunivutia chumbani mtoto anapenda kwichikwichi huyo

    Ndio maana akataka kumuua mwenzake kisa hii kitu.

    Tuliingia chumbani tiba ikaanza ikafatia tiba ya kiutu uzima.

    Kiukweli sijui kichwani kwangu Nina nini mimi nilisahau kila kitu.

    Kuhusu ubaya wa

    Mwajuma nilikifakamia kile kidude mautamu.

    Kila mmoja akatosheka juu ya mwenzake bibiye akaaga na kuondoka nilijilaza kitandani kwa uchomvu sikuwa na maumivu ya aina yeyote niliziacha Arama za manundu na baadhi ya vidonda

    Kama ushahidi fulani

    Sikumbuki

    Mama na Dada walirudi mda gani kwani nilikuwa nimepitiwa na usingizi,

    Hata mlango sikukumbuka kufunga so Mwajuma

    alipotoka akaniacha kitandani

    Mama akaingia chumbani kwangu na kuniangalia akakaa pembeni yangu na kunipapasa usoni ni

    Upendo wa mama kwa mwanae.

    “Sina budi kumshukuru Mwenyezi mungu kwa kuweza kukuona mwanangu ukiwa umzima wa hafya japokuwa hawa washenzi wamekuumiza

    Mungu atakulipia siku zote Masikini hana sauti mbele ya tajili.

    Leo nimepigwa kibao na mmoja kati ya maafande pale kituo cha Buguruni

    Bila sababu yeyote.

    Hafidhi mwanangu mama yako nimetishiwa maisha na yule

    Afande kisa kwenda kukuulizia kwa Mara ya pili hiiiiiiiii,"

    Niliuma meno kwa hasira maneno ya Mama yaliuchoma moyo wangu.

    Mama alizidi kuongea yeye akifahamu yakwamba nimelala wala sisikii chochote.

    Baada kuongea huku machozi yakimtoka na kunidondokea mkononi mwangu

    Mama akanifunika shuka vizuri akazima taa na kutoka.

    Alipotoka tu nikasimama na kukaa kitako nikalitazama chozi la Mama yangu pale mkononi

    Lilikuwa bado halijakauka nikainuka na kwenda kufunga mlango kwa ndani nikajiweka sawa na kupotea.

    Ndio kwanza ilikuwa saa nne Usiku niliingia mitaa ya Keko kumfatilia mbaya wangu hakuna kitu kibaya kama kushuhudia mama yako mzazi akipigwa Mimi sijashuhudia sema kupitia

    Mambo ya Bibi niliona kila kitu mpaka kufahamu huyo Bwege nitampatia wapi.

    Ndio nikaibuka

    Keko, nilitembea kwa mwendo wa kawaida sana niliingia kichochoro hiki na kutokea kichochoro kingine nikafika sehemu husika

    Nikasimama na kuzunguka nyuma ya choo niliweza kumuona Afande mwenyewe ni

    Binti mwenye umri kama Dada Nasra kupitia Uafande wake kampiga

    Mama nikamtazama alikuwa katoka kuoga sasa yupo kwenye jiwe akisugua miguu.

    Nilijiuliza nimfanye nini huyu Binti

    Nimkate mkono? Au nimbake mpaka apate mimba au nimteke kisha nimfunge juu sehemu nimuache akiwa uchi wa mnyama.

    Nilifikilia mambo mengi mpaka nikashuhudia akiingia ndani

    “sasa shost

    Latifa shemeji yako bado anaendelea kunisumbua tu,"

    Kuna binti alitokea ndani ya nyumba hiyo na kukutana na yule Afande kumbe anaitwa

    Latifa na kumwambia hivyo.

    “Bado tu anang'ang'ania kuruka ukuta?"

    “Ndio jana alitaka kunibaka kabisa sema kwa Bahati nzuri mama mwenye nyumba na

    Wapangaji wengine wakaja kuamulia maana kama sio kupiga kelele leo hii angeshavunja kabati"

    Niliwasikiliza kwa umakini nikajiuliza huyo mumewe imekuwaje mpaka anataka kuvunja Kabati bovu au baya

    Kama vipi si amwite fundi aliweke sawa.

    Yani kabati tu inafikia hatua ya kutaka kumbaka mkeo,

    “Sasa Angel

    Mimi juzi na jana nilikuwa bize kufatilia kesi moja hivi

    Sasa kama kesho kutwa nitakuwa vizuri nitaanza kudili na huyo

    Mumeo bwege sana wacha nikapumzike"

    Wakatakiana usiku mwema kila mmoja akaondoka zake.

    Nilinyata na kusimama pembeni ya mlango nikaongea maneno yangu nikazama chumbani nilipoingia tu.

    Niliganda kama sanamu na kubaki kutumbua macho

    Kwakile ambacho niliweza kukiona kwa

    Afande Latifa alikuwa yupo uchi wa mnyama mtoto kanona kila idara

    Alikuwa na hipsi na makalio yaliobinuka vyema chuchu saa sita, akaniacha hoi zaidi kwajinsi alivyokuwa akitembea mule chumbani kwake Mara ajitazame kwenye kioo

    Akakaa kwenye kiti na kuchukuwa rosheni

    Aweze kujipaka jamani jamani nyie wanawake mna mambo ya ajabu pindi mkitoka kuoga kumbe viumbe tusivyo viona kwa macho ya kawaida wanafaidi kwa macho ehee

    Udenda ulinitoka Isee.

    Hiyo kujipaka sasa akajipanua kwa kubinua makalio akayashika na

    kuyaminyaminya makalio yake laini

    Sijayashika nasema tu.

    Kilikuwa ni kitendo cha raha sana

    makalio ya Latifa

    yalikuwa wazi kabisa,Tundu mbili zilionekana vyema

    Basi alikishusha kidole chake

    mpaka kwenye kitumbua na kukingiza ndani kabisa kisha kukisugua kitumbua ,“aaaaaaah.,,,,,mmmmmmm

    mmhaaaaaaah,,,ssssssssss"

    Nilibana miguu kisha nikatoka nnje na kuanza kujiuliza upya nikapata wazo nijioneshe basi nikajivuwa ule muonekano wa kutoonekana na kubisha hodi mlangoni kwa Afande Latifa

    Kama Samson na miguvu yake yote akarubuniwa na Delilah

    Mpaka akakatwa zile nywele. Adam na uwezo wake akarubuniwa na Bi Hawa akala tunda la mti ambao aliambiwa asiusogelee itakuwa mimi wacha nimsuguwe kisha nimpe Adhabu yake,

    “Ohoooo,,,,nani wewe?"

    Kwa sauti ya kuzidiwa kutokana na kile alichokuwa akijifanyia akauliza.

    “Mimi hapa"

    “wewe nani hauna jina au?"

    Aliuliza huku nikisikia kitasa cha mlango kikiguswa akafunguwa mlango na kukutanisha macho yetu wakati huo alikuwa kajifunga kanga.





    “Mambo,"

    “powa nikusaidie nini kijana?"

    “nimekuja kufungua kesi kuna Jamaa kanitishia maisha,"

    “ha!ha!ha!ha! Yani nyie watu kweli mna tabu yani usiku wote huu unakuja kuleta kesi nyumbani kwangu

    Ujui kwamba sasa hivi ni muda wa kujenga familia. Kitu kingine nikwambie kijana hiki sio kituo cha polisi kusema kila kesi

    Mje kushtaki hapa!"

    Aliongea Afande Latifa akiwa kasimama mlangoni huku nido zake zikitingishika kimtindo.

    “Hafidhi unataka kufanya nini wee mtoto? acha kufikilia mambo ya kijinga embu mlaani Sheitwani aliyopo kwenye mishipa ya

    Damu yako!"

    Nilimsikia Bibi akiongea kwa sauti ya ukali, sema nilikuwa

    Bize kumtazama Afande Latifa binti ambaye katokea kuiteka nafsi yangu.

    “basi ingia ndani niweze kufungua kesi na huyo bwege nitamsweka

    Selo usiku huuhuu,"

    Latifa akaniambia na kunishika mkono kunivutia

    Chumbani niliingia kwa mwendo wa sitaki nataka.

    “Ingia bwana mbona kama unaogopa?"

    “ndio naogopa kupigwa na Mumeo,"

    “Mmh sina mume bwana wee ingia tu!"

    Basi nikaingia na kwenda kujipweteka kwenye Sofa dogo lililomo chumbani humo,

    “Hafidhi nakuonya kwa Mara ya mwisho Fanya kazi iliyokutoa nyumbani kwenu mpaka ukaja hapa achana na Uzinifu uasherant kijana utakuja kufa mapema. Kabla kazi tuliyokupa hujaikamilisha. Hicho kidude unachokitamani wewe ni sumu kwa maendeleo yako, acha kabisa!"

    Bibi akazidi kuongea bila shaka aliweza kufahamu hata bibiye kavutiwa nami na kuniingiza chumbani kwake anataka kusuguliwa tu.

    Nikanyanyuka na kuongea kimoyomoyo

    “sasa Bibi nakuachia huyu binti umpatie

    Adhabu stahiki"

    ”Usijali wee nenda kwenye majukumu mengine sema zingatia ushauri wangu

    Achana na uzinifu"

    “Vipi mbona umesimama?"

    Afande Latifa akaniuliza huku akiwa kashika Daftari na Peni

    Ghafla akaanza kupiga kelele

    “yalaa!"

    Uwiiiiiiiiiii nakufaa,jamani nisaidieni

    Yalaa!!! Nilishtuka maana nilikuwa sioni chochote zaidi ya kumuona akitapatapa na kujishika maungoni sauti ya Bakora zilisikika taa,pahaa,tahaa. Nikajivika muonekano wa kutoonekana. Ndipo nikashuhudia jitu moja la kutisha yani huo

    Mwili wake umeoza kila sehemu na kutoa harufu mbaya

    Kuanzia Jicho, Pua, Sikio, kila kiungo anacho kimoja ana mikucha mikubwa utasema

    Reki nae akanitazama ndipo nikaogopa zaidi

    Sema nilijikaza kumtazama. Si akanipulizia moto

    Mwanaume nikachumpa na kutoka mbio hadi nnje.

    Nilipofika nnje nikawa nahema kwa hofu, jasho likinitoka kwa wingi utasema nimetoka kuoga

    Nilibaki nikikikodolea macho chumba kile huku sauti ya Afande Latifa akilia na kuomba msaada kwa majirani. Lakini hakuna hata mtu mmoja aliyeweza kujitokeza kilio chake kikanifanya niingiwe na roho ya huruma nikahitaji kwenda kumsaidia.

    Sema nafsi ikasita kufanya hivyo

    “hivi huyu kiumbe wa aina gani? Katokea wapi? Na kwanini alitaka kuniua?"

    Nilijiuliza maswali kisha nikajisemea wacha nikapambane nae kama yeye anatema moto Mimi nitatema maji.

    “Hafidhi mpaka muda huu unafanya kitu gani katika eneo hili embu nenda nyumbani haraka sana,"

    Bibi akanitokea mbele yangu na kuniambia hivyo

    “sasa Bibi unataka Mimi niondoke kwanza nijibu maswali yangu kile kiumbe ni nani?

    Na kwanini alitaka kuniua?"

    “Kijana embu nenda kwanza nyumbani huu sio muda wa maskhara wala kuulizana maswali,"

    “siwezi kwenda nyumbani mpaka unipatie majibu yangu vinginevyo najitoa kwenye mambo yako!"

    Niliongea na kumkazia macho mpaka Bibi akaogopa.

    “Hapana mjukuu wangu usifikie hatua hiyo labda nikuweke wazi kuwa yule anaitwa

    Gogisu, ni mmoja kati ya viumbe hatari sana kuwahi kutokea katika himaya ya Majinni.

    Ni kiumbe mwenye kuogopeka kwa Majinni wote.

    “Basi inatosha!"

    Nilimkatisha bibi asiendelee kunisimulia sifa za huyo kiumbe

    “Lakini Hafidhi,"

    Nikapotea mbele ya upeo wa macho yake

    sikutaka kusikia chochote kutoka kwa huyo Gogisu nikaibukia chumbani kwangu nikapanda kitandani na kujilaza

    “Hafidhi mjukuu wangu tafadhali tusamehe, tambuwa wewe ndio kiongozi wetu

    Sasa ukitutenga nani atatuongoza.

    Ndio Gogisu kakukosea tunaomba msamaha sisi si chochote si lolote bila wewe,"

    Bibi alinifata na kuongea huku akilia alifahamu nimechukia lakini maneno yake

    Yalinishangaza nikakaa kitako pale kitandani

    “Bibi umesema Mimi nani?"

    “ni kiongozi wetu mkuu wetu kiukweli tunakupenda na kukuheshimu kupita kiasi tupo tayari kukufanyia jambo lolote ili Mkuu wetu uweze kufurahi"

    Bibi aliniambia huku akitabasamu

    “unataka kusema Mimi ni mkuu wa

    Wachawi sio?"

    “Hapana sisi sio Wachawi bali tunapambana na

    Wachawi viumbe wabaya vinginevyo

    Tambua sisi tunaongozwa na Majinni.

    Na wamekuteuwa wewe kutokana na

    Spanach yako kuonekana ni yenye nguvu wakanitumia Mimi niweze kukushawishi

    Ujiunge nao wewe ni hadhina iliyokuwa imejificha walikuwa wakiitafuta tokea miaka elfu nyuma, hatimae wameweza kuipata,"

    Bibi alinipa maelezo ahaa kumbe Mimi sio

    Mchawi bali naongoza Majinni

    Ndio maana sijawai kufanya tabia za kichawi.

    Tuliongea mambo mengi sana mpaka usingizi ulipokuja kunipitia nikalala.

    Kesho yake Asubuhi na mapema nikaenda Beach

    Kufanya mazoezi

    Nikiwa katika zoezi la kupiga pushap

    Niliweza kumuona Binti mrembo akiwa ndani ya maji akiniita kwa ishara ya mkono.

    Nilimuangalia kwa muda kidogo

    Nikanyanyuka na kuanza kupiga hatua za kumfata lakini kabla miguu yangu haijagusa maji

    Nikashtukia nikivutwa mkono kwa nyuma

    “Whao baby yani hata siamini"

    Alikuwa ni Mwajuma eti nae kaja Beach kufanya mazoezi

    “ahaa sasa ndio mambo gani ya kushtuana"

    Niling'aka kwa hasira huku nikigeuka kumtazama yule mrembo aliyekuwa akiniita ajabu sikuweza kumuona niliangalia huku na kule hayupo

    “I'm sorry my baby

    Nilikuona ukiwa unataka kuingia katika maji wakati uliwahi kuniambia kuogelea huwezi

    Nikawahi kukuvuta"

    “aliyekwambia Mimi nataka kuogelea nani?

    Wakati mwenzako nilikuwa naenda kunawa tu,"

    “Duhuu baby kweli wewe ni kidume cha shoka jana ulikuwa hoi baada kutoka kituo cha polisi leo hii uko fiti kama chuma cha Pua,"

    Basi tukaenda kuendelea kufanya mazoezi Mimi nikawa mwalimu juu ya bibiye Mwajuma nilimpigisha tizi mpaka wakati wa kurudi nyumbani kutembea alikuwa hawezi. Yani hiyo tembea yake utasema katoka kutolewa Bikra.

    “ahaa Kaka huyoo"

    Nasra akaja mbio kunikumbatia.

    Mama nae akatoka ndani mbio kuja kunikumbatia

    “Whao baba huyo hakika nimepata mtoto mkakamavu sijawai ona.

    Yani kuumia kote leo

    Mwanaume umekaza hahahaha,"

    Basi tuliangua vicheko

    Na kuingia ndani sema niliweza kumuona

    Mama akimuangalia

    Mwajuma kwa jicho kali yani alitamani hata kumshika na kumtia kinywani aweze kummeza.

    “mama mbona Ratifa sijamuona maana tokea siku ile aliyokuja kuniona

    Hospitali mpaka leo sijamtia machoni?"

    Niliuliza swali la mtego nikitaka kufahamu nitajibiwa nini

    “Atakuwa kaenda nyumbani kwao Bukoba"

    Nasra akajibu nilimuangalia na kuinuka nikaingia chumbani kwangu

    Si nikamkuta

    Gogisu

    Kajilaza kitandani kwangu akiwa na ule Mwili wa Afande Latifa

    Nilishtuka na kutamani kupiga kelele

    Akainuka na kupiga magoti mbele yangu.





    Nikashika kitasa cha mlango niweze kutoka nnje lakini Mlango ukagoma kufunguka. Nikapiga kelele sauti nayo haikutoka. Mwanaume nilidata aisee yani hadi

    Nikahisi haja

    Ndogo na kubwa zikibisha hodi,

    “Samahani sana mkuu kwa kukushtua usiniogope, Mimi ni mtumwa wako nimekuja kukuomba samahani kutokana na kosa la usiku wa

    Jana!"

    Gogisu akaanza kuongea hivyo, Mungu wangu hiyo sauti yake ilikuwa ni nzito utasema speaker za studio ya

    Master J nyumba nzima ilitetemeka niliyumba sema nikawai

    Kujishikiza kwenye kitasa cha Mlango

    “Sawa nimekusamehe basi nenda kijana!"

    Nilijikaza na kumwambia hivyo

    Akapotea na ule mwili wa Afande Latifa

    hapo kidogo nilipumua na kukaa kitandani. Nilijishika kichwa na kufikilia majukumu mazito yaliyokuwepo mbele yangu,

    “Hafidhi,,"

    Nilimsikia mama akiniita

    “Naam mama"

    “embu njoo huku uwani kuna simu yako"

    Basi nilitoka na kwenda uwani

    Nilipofika mama akanipatia simu yake iliyokuwa tayari ishapokelewa nikaiweka sikioni

    “Halloo"

    “Whao Hafidhi my baby mambo vipi?"

    Nilishtuka baada kuisikia sauti ya Sharifa binti ambaye nilikutana nae kwenye Buss

    wakati naelekea Kilwa kiwawa

    “Powa niambie za huko?"

    “huku safi tu sema Mimi kwasasa nipo Kimara mwisho nimerudi tokea juzi.

    Sasa naomba ufanye juu chini tuonane leo hii,"

    “kiukweli leo sitoweza kutoka nyumbani maana mwenzako naumwa"

    “mmh! Pole sana baby tatizo hasa ni nini?"

    “Maralia na kifua"

    “dohoo pole baby, basi nipatie maelekezo jinsi ya kufika hapo nyumbani kwenu ili nije kukuona kipenzi changu maana hapa nilipo sina raha kabisa!"

    Sharifa aliongea hivyo lakini sikutaka Apafahamu nyumbani so nikamdanganya kwa kumwambia

    kwasasa sipo nyumbani nipo Kibada kwa Mjomba. Nae akakubaliana na uwongo wangu kwa kusema

    Sawa basi tufanye siku nyingine.

    Nilikata simu na kuvuta pumzi nzito kwa ndani kisha nilizishusha

    “ehee huyo binti ni nani tena?"

    Mama akaniuliza huku akiipokea simu yake

    “Ni binti ambaye nilikutana nae Kilwa tukajenga urafiki kwa kipindi kifupi sana

    tulizoeana.

    Sasa siku ambayo naondoka akaniomba number ya simu ndio nikampatia ya kwako maana Mimi sikuwa na simu!"

    Nilitoa maelezo kwa mama japokuwa nilimficha kuwa ni mkwewe,

    Nikarudi chumbani na kutulia kimyaa kabla mlango wangu kubishwa hodi nikamkaribisha huyo mtu hakuwa ni mmoja kilikuwa ni kikosi cha watu sita

    Kaunda, Akida, na wengineo bila kumsahau Othaman

    “tunakuona mkali wetu umetulia

    Mwenyewe

    kama vile sio wewe,"

    Kaunda akaanza kuongea na kunipa tano

    “sasa Mwamba sisi tumekuja kukuona baada kupata taarifa kuwa umerudi nyumbani hakika masela wako tunamshukuru sana

    Mungu,"

    Akida akaongea kwa niaba ya wenzake basi tulitoka chumbani na kwenda kukaa nnje

    siku hiyo ilikuwa full vicheko huku tukitaniana matani ya

    Hapa na pale

    Chakula kikapikwa tukala. Nikaongozana na washkaji mpaka

    Maskani

    “oyoo hatimae Mwamba karudi kundini karibu sana kaka"

    Alikuwa ni King'oso tukapeana mikono na kukumbatiana kwa furaha

    “vipi kesi yako imeisha au vipi?"

    Nilimuuliza swali King'oso nikitaka kufahamu kesi yake imefikia wapi.

    Ghafla akaingiwa na huzuni akasinyaa ghafla na kuniambia

    “Kaka wee acha tu maana dahaa"

    “imekuwaje kwani?"

    “Sikia nikwambie kitu mwamba huyu mwenzako hapa alipo ameshadata kwani

    Kesi ishapelekwa Mahakamani bila shaka yule Muhindi anataka kumfunga"

    Othman akanipatia maelezo wakati

    King'oso kajiinamia tu.

    Nikamshika begani na kumwambia

    “kuhusu hilo tatizo wala usijali nitakusaidia kaka,"

    Akatikisa kichwa kuitikia nami

    “kuna Wakili nitaenda kuongea nae aweze kuisimamia hii kesi yako, au ushampata Wakili?"

    “Hapana ndugu sina hata shahidi mmoja wachilia mbali kumpata Wakili, hiiiiiii mwenzenu naenda kuozea Jela nitafanya nini Mimi,"

    King'oso akaanza kulia hakika alitia huruma sana.

    Nilitumia muda mwingi kumtoa hofu huku nikimuahidi awezi kwenda Jela lazima ashinde kesi. Baada kuongea kwa kitambo kidogo nikaaga na kuondoka.

    “Hafidhi mambo"

    “powa tu niambie Marry"

    “fresh tu nakuona siku hizi umenenepa shavu dodo bila shaka

    mambo yako si mchezo"

    “nimenenepa wapi?

    wakati ndio kwanza nazidi kukonda"

    Niliikana kauli ya bibiye Merry kusema nimenenepa

    “Sema nini Hafidhi mwenzako nina matatizo"

    “Matatizo tena ehee matatizo gani?"

    “si unampata Mgeta?"

    “Mgeta,,,,,"

    Nilivuta kumbukumbu nimkumbuke mtu mwenye jina hilo mwishoe nikamkumbuka

    “ahaaa nishampata. Si yule muuza chipsi wakule bondeni?"

    “ehee ndio huyo huyo"

    “kafanyaje?"

    “si unafahamu kama ni Mwanaume wangu?"

    “yeah nafahamu kitambo tu kisa Chips kuku kwa kutumia hivyo vitu akakunasa mtoto mzuri"

    “Hahahaha, Hafidhi bwana embu tuachane na hayo nikwambie kuhusu matatizo yangu. Kiukweli yule Mwanaume hana roho ya kibinadamu kabisa"

    “kivipi mpaka useme hivyo?"

    “Wakati tukiwa katika mahusiano aliweza kunipa Mimba akanishawishi kutoa nilikataa akafanya kila njia. Kila mbinu aweze kuitoa,

    Siku ya siku akafanikiwa baada kuniwekea kidonge cha usingizi kwenye kinywaji nikapitiwa na usingizi nikaja kushtuka nipo kitandani huku nikiwa na maumivu makali sana katika sehemu zangu za siri

    Nikaja kufahamu mwanangu kashatolewa nililia sana tena sana

    Nikataka kwenda kumshitaki. Nikashindwa kufanya hivyo kutokana na upendo wangu kwa Mwanaume yule.

    Nikaendelea na mahusiano huku nikiwa bado na machungu moyoni mwangu. Kuna siku akaniambia yeye hataki mtoto katika maisha yake.

    Nikamwambia basi tuwe tunatumia Condomu akakataa kwa kusema hawezi kula pipi ikiwa kwenye maganda yake.

    Kama vipi nimpe nyuma kwani nitakuwa sipati Mimba nilipingana nae kuna siku alitumia nguvu akanibaka sasa kile kitendo cha kunibaka nikajikuta nabeba

    Mimba nyingine nilipojalibu kumueleza

    Akaniambia nitoe lasivyo ataniuwa,

    Hafidhi embu niangalie mwili wangu nilivyokonda mwenzako naishi kwa wasiwasi,"

    Nilimsikiliza bibiye jinsi alivyokuwa akinielezea huku akilia.

    “Marry"

    “Abee"

    “si una ndugu wewe je umewaeleza kuhusu hilo tatizo? kama umewaeleza wanasemaje? Kwanini usiende kutoa taarifa kwenye vyombo vya Sheria acha upumbavu nenda kamshitaki!"

    Niliongea kwa hasira na kugeuka niondoke kwani alishanitia kichefuchefu kwa tukio la Kwanza kang'ang'ania kuwa nae eti kisa kampenda unampenda muuaji.

    “Tafadhali Hafidhi usimwambie mtu yeyote yule please nakuomba iwe siri yako"

    “kweli wewe ni mjinga yani unataka iwe siri tena sasa sikia hili

    Swala nalipeleka Polisi"

    “No,no, usifanye hivyo"

    “kwanini hutaki nifanye hivyo?

    “huko kote nimeenda anakamatwa leo kesho anaachiwa mwishoe naambulia kipigo tu na kanionya siku nyingine akifungwa Pingu na kupelekwa kituoni akitoka ataniuwa"

    “Dahaa kweli majanga sasa yule si muuza chipsi tu anapata wapi jeuli ya kuikamata Sheria?"

    “Kaka yake ni Zungu la unga wateja wengi wanakuja kuchukuwa madawa ya kulevya kupitia ile biashara ya chipsi

    Usione wateja wengi wanajazana pale kuna siri nnzito nyuma ya panzia"

    Marry baada kuongea akaondoka mbio.

    Mpaka mimi mwenyewe nilishangaa nikamwita “Marry!!! Wee Marry,"

    Hakuitikia nikaangalia nyuma yangu si nikamuona

    Mgeta mkononi kashika kisu akapiga hatua kunifata

    “ulikuwa ukifanya nini hapa na demu wangu?"

    Bila kunitolea salamu Mwanaume povu likamtoka na kuniuliza

    “tulikuwa tukipiga story tu si unafahamu Mimi na Marry ni marafiki toka utotoni"

    Nilimjibu kwa sauti ya upole

    “Kwenda zako eti marafiki toka utotoni sasa nakuonya kaa mbali na Demu wangu vinginevyo nitakutumbua makalio hayo!"

    Jamaa akanichimba biti na kuondoka zake nilimsindikiza kwa macho mpaka alipoishia nami nikashika njia kurudi zangu nyumbani.

    Nilifika nyumbani nikiwa na hasira si kidogo nilitamani usiku ufike faster niingie kazini kwanza nidili na huyu

    Mgeta kisha huyo Muhindi kila mmoja ataisoma number kwa wakati wake na kutia akili.

    “hivi Mama simu yangu iko wapi?"

    Niliikumbuka simu yangu nikatoka chumbani na kwenda nnje kumuuliza Mama

    “simu si aliichukuwa Ratifa kule hospitali"

    “what?"

    “ndio hivyo na bila shaka atakuwa kaenda nayo kwao"

    Nasra akanijibu nikainama na kuichukuwa simu ya Mama nikaingia ndani

    “wee mtoto simu haina salio hiyo kuna ya kubipu tu"

    Mama akanisindikiza kwa Maneno"

    Nikambipu kwanza

    Mwajuma hakukawia akapiga

    “Hallo mama shikamoo"

    “embu acha mambo yako hapa unaongea na Kidume cha shoka"

    “I'm sorry baby nilijuwa naongea na Mama haya niambie baba watoto"

    “je unaweza kunirushia salio la elfu moja nataka nimpigie

    Ratifa?"

    Niliongea kwa kujiamini lakini Mwajuma akawa kimya na kukata simu nikambipu hakupiga mwishoe akazima simu.

    Wabongo tatizo letu wivu ndio maana hatuendelei

    Nikambipu Kaunda akapiga basi nilipomwambia tu akanitumia

    Nikamuendea hewani

    Kareena Kapoor yani bibiye

    Ratifa simu yake iliita kwa sekunde mbili tatu ikapokelewa

    “Assalamu alaykum yaa Ummy"

    Sauti tamu yenye kumtoa nyoka hata wa kibisa pangoni ikapenya kwenye ngome ya masikio yangu.





    Assalamu Alaykum yaa Ummy,"

    Sauti tamu yenye kumtoa Nyoka pangoni hata awe wa kibisa ilipenya vyema kwenye ngome ya masikio yangu"

    Akimsalimia mama

    “Waaleykum Ssalamu

    yaa Ibnaiya"

    “ha!ha!ha!ha!

    Baby bwana kwani wewe ndio Mama?

    Kwanza vipi hali yako my dear"

    “mi mzima sijui wewe kipochi manyoya changu uko wapi kwasasa?"

    “hahaha kwanza usiniite hivyo sitaki mi sio kipochi manyoya.

    Mwenzako nipo nyumbani.

    Ratifa akakataa kuitwa hivyo na kunijibu

    “Khaa kumbe baby umeondoka?"

    “sijui hata nimefikaje maana nakumbuka,, ahaa tuachane na hayo vipi umzima kabisa baby maana Mara ya mwisho nilikuacha hospitali",

    “mi mzima bukher wa hafya hofu kwako tu,"

    “basi nashukuru kwa kuweza kuisikia sauti yako kiukweli natambua nimekuacha umpweke sana tena nilikuacha ukiwa kitandani unaumwa

    Baby I'm sorry

    Mwenzako hata sijielewi nani kanileta huku sema nimejikuta Nina mihera kibao juzi na jana nilimpigia simu Mama vipi alikufikishia salamu zangu?"

    “ndio ndio aliniambia"

    Nilijikuta naitikia wakati Mama hakuniambia chochote kuhusu Ratifa

    “basi baby wiki ijayo nitakuja huko nakuomba tafuta nyumba nzuri tuweze kupanga ikibidi tufunge ndoa haraka iwezekanavyo"

    Ratifa aliongea kwa kujiamini,

    “sawa baby hiyo ishu ya kutafuta chumba nitaianza kesho kutwa Allah akijaalia,"

    “sio Chumba bwana nimekwambia nyumba nzima"

    “nyumba tena?"

    “ehee"

    “hizo pesa zote umezitolea wapi baby mpaka utake kupanga nyumba nzima. Hivi ubafahamu utakuwa ni ubadhilifu tu wa pesa

    Sasa mimi natafuta chumba tu,"

    Nikakata simu hata kilichonifanya nikate simu sikijui nikairudisha kwa mwenyewe wakati nilitaka kumuuliza simu yangu kama anayo au. Hatimae usiku ukaingia yapata majira ya saa mbili

    Kama familia tulikuwa tupo sebuleni tukipata chakula cha usiku huku macho yetu kodo kwenye TV

    “Habari za wakati huu ndugu wapenzi watazamaji wa ITV tuanze na habari za kitaifa

    Mmoja kati ya maofisa wa jeshi la polisi hapa nchi anaefahamika kwajina la

    Afande Latifa ameuwawa kinyama kwa kutenganishwa viungo vyake vyote,

    Inasadikika Afande Latifa enzi za uhai wake alikuwa na maadui wengi kutokana na tabia yake ya ubabe yani alitumia mabavu ya cheo chake tofauti na sheria inavyomtaka

    Afande Latifa mwili wake umekutwa chumbani kwake kwa habari zaidi tujiunge na Yona Fundi anaripot

    Moja kwa moja kutoka eneo la tukio"

    “Mungu wangu wee Nasra mwanangu huyu si ndio yule Afande aliyenipiga makofi ile jana. Kweli nimeamini malipo ni hapa hapa duniani. Lakini waliomtendea hivi binti wa watu Mungu awalaani,"

    Mama aliongea Mara malipo Mara walaaniwe wakati tukiwa bize nikahisi kitu si chakawaida kipo karibu yangu.

    Nikaongea lugha yangu nikashtuka lakini niliizuia hofu yangu ili nisiweze kukishtua kile kitu

    Kilikuwa ni kikundi cha

    Wachawi kama watatu hivi, nilistaajabu baada kuwatambua baadhi ya wale Wachawi alikuwepo baba

    Mdogo na shangazi yani mdogo wake Baba na

    Dada yake nilijiuliza yani saa mbili yote hii wamekuja kutuwangia kumbe kuongea kote kule sijui Mama mchawi mpaka ikafikia hatua ya Mama yangu kutengwa na Familia nzima kumbe wao ndio

    Wachawi sasa nitawaonyesha show ya kibabe.

    Shangazi akaivuta sahani ya chakula cha Mama na kutia vitu fulani yani akachukuwa kiwembe na kunyoa vinyweleo vya kwapani

    Akajifunua na kunyoa

    M****z kisha akatia kwenye sahani ya chakula ngoja niwaambie kitu kuhusu

    Wachawi

    *********

    Mchawi au Wachawi wanakila aina ya vitimbi lakini wanaongozwa na Majini kuna aina 410

    Za Uchawi

    Uchawi huu ni miongoni mwa aina za uchawi uliosambaa Africa na Dunia nzima kwa ujumla.

    Uchawi huu anaoutumia

    Shangazi ni miongoni mwa uchawi ambao watu wake huutengeneza kwa kutumia miti miwili ambayo ni HANJARI NA FAIJALI.

    Mchawi huchukua miti hii miwili baada ya kuwa ameshakusudia kuutengeneza uchawi huu na kisha anaichanganya pamoja na kuanza kuisemea maneno ya kishirikina na kuapia

    na mabwana zake wa kishetani ambao ndiyo nyenzo kubwa katika kufanikisha uchawi wa aina yoyote ukamilike na kumuathiri mlengwa.

    Baada ya kumaliza kuisemea miti hiyo maneno hayo ambayo si vyema kuyaandika, ghafla utaanza kutoka moshi mzito mweusi kwenye ile miti na hapo mchawi huvua nguo zake na kubakia kama alivyozaliwa na huamuru moshi ule umkinge na kumficha,ndipo moshi ule humvaa mchawi huyo na kuanzia hapo sasa anakuwa hawezi kuonekana kwa macho ya kawaida.

    Hao ndio Wachawi wana style nyingi

    sana kama vile kukujia usiku ukiwa umelala na kufanya mapenzi nawe sasa

    Mwanaume ukiota unaliwa kiboga shituka mwamba utakuwa unaliwa kweli

    Nitaongelea zaidi hapo baadae

    *************

    Basi wakajicheketua pale wakifahamu siwaoni kumbe nilikuwa nawachora tu.

    Baada kumaliza vitimbi vyao wakasimama pembeni wakimsubilia mama ale kile chakula

    Nikafanya kitu nikaichukuwa sahani ya mama na kumpa ya kwangu.

    “ahaa Mama muone kaka"

    “kafanyaje?"

    Mama akauliza maana alikuwa bize kuangalia TV

    “si kachukuwa chakula chako"

    “Mmh"

    Mama akaghuna na kuendelea kuangalia TV

    “Acha umbea lione bichwa kama kama Tikiti maji"

    Nilimwambia Dada na kumfinya shavuni nilimuona Shangazi akicheka sema alikuwa na hofu fulani hivi si unafahamu damu nzito kuliko maji

    “embu vitoe hivyo vitu kabla huyo mtoto hajala"

    Baba mdogo alimwambia yule Mchawi mwingine ambaye sikuweza kumtambua kwa sura

    Nikafinya tonge akaniputa likaenda chini

    “mama si unamuona mwanao ehee yani anafinyata tonge na kulirusha juu angalia sasa kamwaga chakula chini"

    “Nasra"

    “Abee mama"

    Embu nenda kachukuwe fagio ufagie si unafahamu vituko vya Mdogo wako"

    Kiukweli mama alikuwa akiongea kwa sauti ya chini sana mpaka nikashangaa

    “Mama"

    “Abee Mwanangu"

    “mbona umekuwa mnyonge ghafla unaumwa au?"

    Ajabu hakujibu kitu akainuka na kuingia chumbani kwake

    Shangazi na Baba mdogo wakamfata nami nikamfata lazima nimlinde mama yangu kwa gharama yeyote ile.

    “Hafidhi mwanangu. Nenda kaendelee kula kisha ukalale mama yako nimesikitishwa sana na kifo cha

    Afande yule, hakustahili kuadhibiwa vile,"

    “sasa mama ndio ushindwe kula kisa yule bwege ahaa mambo gani haya!"

    Niliongea kwa hasira na kutoka chumbani kwa Mama nikaubamiza mlango nikaingia chumbani kwangu dakika chache baadae nilimsikia

    Mama akiugulia maumivu ya tumbo.

    “Uwiiiii nakufaa, uuuuuuuuh,"

    Nilitoka mbio chumbani kwangu nilipoingia chumbani kwa Mama sikuweza kuamini Aisee mama alikuwa kadondoka chini huku damu zikimtoka kwa kwa wingi. Aliponiona nimeingia akanyoosha mkono kuniita

    “Tafadhali mwanangu nisaidie nakufaa miee"

    Nikaona nikifanya mchezo naweza kumpoteza Mama wakati huo

    Shangazi alikuwa kamkalia mama tumboni akifanya kama kunyongorota kitu mikononi mwake basi kila akinyonga mama ndio analia zaidi nikatoka tena na kuingia chumbani kwangu

    “Gogisuuuuuu!!!

    Nilipiga kelele kumwita Gogisu kiumbe hatari kufumba na kufumbua huyo hapo chumbani kwangu

    “Nenda kamsaidie mama yangu sema usiuwe mtu yeyote katoe msaada tu"

    “Sawa mkuu

    Gogisu akapotea nikasikia kelele za vilio safari hii vikitokea kwa Shangazi na wenzake

    Gogisu alikuwa akitembeza bakora

    Nami sikuwa na jinsi kuingia kazini niliibuka ofisini kwa

    Mgeta sikumkuta nikamfata kwake

    “nimekwambia bong'oa embu shikilia hiyo meza,"

    “lakini baby utaniumiza mwenzako sijawai kufanywa huko nionee huruma!"

    “sikia nikwambie kitu wee Malaya hivi unafahamu umepewa tundu mbili za kazi gani

    Basi ni hivi moja ikixpaya nyingine itumike

    Weka nijilie vyangu"

    Nilikuwa nimetega sikio nikisikiliza jinsi huyu Shetani akitaka kumtendea unyama mtoto wa watu sikutaka kuchelewa nikavamia ndani ya chumba nilipoingia tu kila mmoja akashtuka

    Mgeta alikuwa kashajianda kumingilia bibiye Marry njia isiokuwa halali

    Alikuwa akimpaka sijui mafuta maana kikopo kilimponyoka mkononi na kubaki kubabaika

    “Nani wewe?"

    “mimi ni Malaika mtoa roho na nimekuja hapa kwa kazi moja tu nikupeleke kuzimu

    Niliongea kwa kujiamini nikachumpa na kumtandika teke la kifua

    Kwakuwa alikuwa uchi wa mnyama nikachomoa kisu na kukumbushia kile nilichomtendea

    Marehemu Mbwana si kingine ni

    Ngaliba nikaikata Ndudu yote damu ziliruka huku na kule nikamsogelea bibiye

    Marry aliyekuwa akipiga kelele kama mwehu.

    Nikamshika na kumpiga taifongo ya shingo

    Akapoteza fahamu kisha Mwanaume nikasema kimtindo wa kutoonekana nilikuta watu kibao wamejazana pale nnje

    “Mi nashangaa tumekuja kujazana bure wakati hizi kelele kila siku zinasikika,"

    “hapana usiseme hivyo kelele za leo

    Zimekuwa tou much

    Bila shaka binti leo kazidiwa sasa tusipofanya kitu

    tusije kesho kuibukia msibani"

    Kila mtu aliongea lake na kufikia hatua ya kuvunja mlango kama kuita waliita sana lakini

    Wanamsikia Mgeta akigugumia kwa

    Maumivu tu.

    Nikaenda kukaa kwenye nyumba moja Jirani na eneo hilo nikiangalia jinsi mlango ukivunjwa ghafla

    Gogisu akaja kutua mbele yangu

    “Mkuu kazi uliyonituma nishaimaliza

    Je kuna nyingine?"

    Nilitabasamu na kumwambia

    “vizuri sana kijana sasa nakupa kazi hii nenda kamwambie Bwana

    Shankar Chandra

    Aachane kabisa na kesi ya pikipiki vinginevyo kichwa chake halali yetu ukishatoka hapo unaweza kwenda kijana!"

    Akapotea yani Gogisu alikuwa yupo shapu

    Balaa nami nikarudi nyumbani nikapitia chumbani kwa mama nilimkuta kalala kimyaa.

    Nikamshika kwenye paji la uso na kumbusu nikaenda chumbani kwangu kulala.

    Kesho yake

    Asubuhi taarifa za kijana Mgeta kuvamiwa akiwa nyumbani kwake mtu au watu wenye kuamini imani za kishilikina sasa hivi

    Ndudu au sehemu za siri ni dili kilichopelekea kifo cha Mbwana ndicho kilichomtokea

    Mgeta nae kaondolewa Ndudu yote

    Si bora angekufa tu maana akiendelea kuwa hai atakuwa Shoga

    Kikojoleo hana. Taarifa zilisambaa kwa kasi ya kimbunga kila mmoja aliongea lake

    “Hafidhi mwanangu nakuomba jiangalie sana

    Sasa hivi mtaa umeingiliwa na Jinamizi

    anachukuwa hiyo mizigo yenu kwaajili ya

    Kupata utajili

    Nakuombea mwanangu kuwa macho,"

    Mama alijalibu kuniambia pasipo kufahamu Mimi ndio mkataji mwenyewe.

    Sasa swali la kujiuliza

    Sijawai kuondoka na kiungo hiko si cha Mbwana wala Mgeta je nani anazichukuwa?

    Nikajiuliza nisiweze kupata majibu nilitaka nimwite Gogisu

    Nimuulize sema muda haukuniruhusu kufanya

    hivyo.







    Nilienda chooni kujisaidia kisha nikatoka na kukaa kwenye jiwe nikapiga mswaki.

    “Hafidhi mwanangu"

    “naam Mama"

    “ukimaliza kupiga mswaki chai ipo hapo kabatini Mimi natoka kidogo"

    “unaenda wapi?"

    “kutafuta buzi hahahaha,"

    Mama alinijibu huku akicheka na kuondoka nikamsindikiza kwa macho na kujisemea haya katafute huyo

    Baba wa kambo sasa siku akizingua nitampa chai. Nikaendelea kupiga Mswaki nilipomaliza nikaingia ndani

    “Nasraa,"

    Nilianza kumwita Dada lakini kukawa kimyaa hakuitikia nikaingia chumbani kwake kwakuwa Mlango ulikuwa wazi sikumuona, nikatoka na kuangaza macho huku na kule

    Nikasikia mtu akibisha hodi huku akiita

    “Hafidhi kaka,"

    “naamu"

    “embu njoo mwamba"

    Sauti niliweza kuotambua ya Kaunda nikafungua Mlango na kutoka nnje

    “mambo vipi niambie ndugu!"

    “Fresh tu sema unajuwa nini mwanangu mwenyewe

    mida hii tukiwa tumekaa pale kwa Mama Mpendu tukinywa supu ehee basi kapita Shankar Chandra akiwa kaongozana na Askari watatu mikononi wamekamatia Mitutu,"

    “Duhuu itakuwa wanaenda kwakina King'oso nini?"

    “bila shaka itakuwa hivyo maana njia nnzima yule Muhindi alikuwa akifoka tu,"

    “embu nisubili"

    Nikaingia ndani nikavaa viatu na kutoka nnje nikafunga Mlango na kumwambia Kaunda twenzetu.

    Tulitembea mbiombio

    “Wee Ngoso"

    “Naamu bosi wangu"

    “Sasa Mimi kuja hapa ongea nawe

    Anzia sasa taki kesi nawe"

    Aliongea bwana

    Shankar kwa

    Rafuzi ya kihindi. King'oso na wale polisi wakashindwa kuamini kutokana na kile alichokiongea Shankar

    “Sasa mzee unamaanisha nini kusema hivyo

    wakati ulipokuja kule kituoni ulisema

    tuje kumkamata huyu kijana!"

    “Pana Mimi sema hivyo nyie ita hapa taka shuudia Mimi anzia leo futa

    kesi taki kabisa sumbufu na huyu kijana

    Ngoso umesikia Veve!"

    “Ndio Bosi nashukuru sana kusikia hivyo

    Mungu akubariki hatimae ukweli umejulikana hiiiii,,"

    King'oso aliongea huku machozi yakimtoka

    “Hapana lia sasa kesho kuja nyumbani

    Kupa Honda veve endelea na kasi

    sawa Ngoso?"

    Basi wakapeana mikono na kuagana niliweza kushuhudia wale polisi wamechukia kishenzi kwa kukunja sura zao utasema wapo chooni wakinya kokoto.

    King'oso akaja mbio kunikumbatia huku akisema

    “Asante sana rafiki yangu hakika

    maneno yako yamekuwa sumu asante kaka!"

    “Usijali Ngoso"

    tukaanza kucheka baada mimi kuita jina lake kama anavyolitamka bwana

    Shankar.

    “Uchilie Ngoso mimi futa kesi

    Kupa veve honda ha!ha!ha!"

    Ikabidi King'oso anikimbize maana nazidi kuwavunja mbavu kwa kicheko

    Nilirudi nyumbani nikiwa na furaha baada kugundua

    Gogisu kaifanya kazi vyema nikaingia ndani

    nilikunywa chai nikawa nimetulia sebuleni kwani siku hiyo sikuwa na sehemu ya kwenda

    Nilitamani ningekuwa na simu yangu niweze kuchart lakini sikuwa nayo.

    Nikiwa nimekaa pale sebuleni nikapitiwa na usingizi

    “Sikia nikwambie kitu wewe Malaya hunijui sikujui

    embu achana na Mimi"

    “Malaya mama yako aliyekuzaa kwenye

    Mnanda kwanza potea faster kabla sijakukamua mavi!"

    “unikamue au tukamuane kwanza shika adabu yako

    Ukitaka nikunyofoe kichwa rudia tena kutamka upumbavu wako"

    Mwanaume nilibaki kukodoa macho kuangalia timbwili la Mwajuma na Sharifa baada Sharifa kunitafuta sana pamoja na kuulizia sehemu ninayoishi. Sikutaka kumtajia sasa siku hiyo akanikuta Mikadi Beach akaja kuanzisha ugomvi. Ugomvi ulikuwa mkubwa ukicheki wote walikuwa ni watata

    Ratifa hakuwepo wakati nashangaa kila

    Mmoja akaingiza mkono kwenye kimkoba chake na kutoa Bastola. Mungu wangu nilibaki kujishika kichwa huku nikiwaangalia kwa zamu. Walikuwa wamenyoosheana

    Bastola mabinti walikuwa hawatani

    Ghafla wakanigeukia Mimi na kuninyooshea zile silaha Zao

    “sali sala zako za mwisho mwanaizaya mkubwa wee hii ndio zawadi ya fisadi wa mapenzi.

    Umeturubuni vya kutosha ukatudanganya

    siku zotu hakuna binti anaekubali kushare

    Mapenzi katika mahusiano.

    Labda iwe ni ndoa"

    Sharifa aliongea huku kanikazia macho

    Kisha wakaangaliana na kupeana ishara ya kuniua

    Vyuma vya moto vikaachiwa ajabu

    Ratifa sijui alitokea wapi? Maana alikuja mbio na kukaa mbele yangu huku risasi zikipenya kwenye mwili wake,

    Nilipiga kelele kwa kumwita

    Ratifaaa!!!

    Nikashtuka na kujikuta nimelala kwenye sofa pale sebuleni hakika ilikuwa ni ndoto ya kutisha kwa upande wangu.

    Kijasho chembamba kilinivuja nilifikilia nini

    Maana ya hii Ndoto?

    Sikuweza kupata majibu nikajinyanyua kiuchovu nikaenda kuoga.

    Nikaenda uwanjani kuwacheki washkaji wakifanya mazoezi.

    Nilifika na kuwakuta wakipasha viungo moto, kiukweli

    Kipindi cha nyuma nilikuwa napenda sana kucheza mpira hakuna siku iliyoweza kunipita bila kuja mazoezini nikawa mmoja kati ya

    Wachezaji muhimu wa team ya Yakuza Fc

    Alipofariki baba nikaacha kucheza mpira na kugeukia masomo.

    Nikawa na utaratibu Wangu wa kufanya mazoezi kila siku Asubuhi naenda

    Beach kupasha

    Baada washkaji kupasha wakapanga mistari kuitana

    “oyaa Shafii ita basi"

    “Kaunda

    Suma na Hafidhi j"

    Akaita hivyo kila mmoja akageuka na kuangalia nilipokuwa nimekaa.

    “kwani Hafidhi amekwambia anacheza?"

    “wewe chaguwa watu wako Mimi nishamwita hivyo"

    Wakaendelea kuitana nikaona wacha nikumbushie enzi nikavua Suruwali nikabaki na Bukta

    Mpira ukaanza ni mazoezi tu lakini tulikamiana utasema mechi hata hiyo mechi hatukazi

    Kama kwenye mazoezi

    Yani mpaka tunafikia hatua ya kuumizana.

    “Hafidhi huku, piga mbele hiyoo,

    Nikapiga vyenga mbili tatu na kutoa pasi

    Ghafla jamaa anaekwenda kwa jina la Agogo akaja kwa nyuma na kunikwatua nikadondoka chini

    Bahati mbaya nilidondokea

    Mkono ukateguka kohoo,

    Kaunda alishtuka na kuja kuniwahi mpira ukasimama

    Nilikuwa nipo chini naugulia maumivu.

    “sasa huu uchezaji gani wa k**ge?"

    “ahaa m**ge mwenyewe wee fala nini!"

    Agogo akamtukana Kaunda wakataka kupigana ikabidi kina Akida waingilie kati kuamulia

    “Agogo acha ubwege wewe huwoni kama umemuumiza mshikaji"

    “ndio nishamuumiza kwanza huyo ni mtoto wa mama tu kafata nini uwanjani?"

    Amini usiamini hasira zikanishika nikainuka na kumfata

    Agogo mkono si ulikuwa umeteuka nikaugosha tu.

    Nilipomfikia nilimtandika zinga ya ngumi akafanya kupanch

    Nani aliyekwambia unaweza kuzuia

    Treni kwa kuweka Bajaji mbele.

    Ngumi ilipokita kwenye mikono yake nikamteuwa akadondoka chini kama mzigo nikajiandaa kumfumua zinga la shuti

    Washkaji wakaja kunishika na kunisihi niachane nae kwani ndiyo kawaida yake kuwa hivyo. Sababu tu anacheza karate. Nami mara nyingi sipendi dharau nikarudi zangu nyumbani

    “afadhali umerudi maana huyu mtu wako alikuwa ananisumbua hatari,"

    Mama aliponiona akaniambia hivyo

    “mtu gani tena?"

    “si Mwajuma embu shika simu uwongee nae"

    Nikaichukuwa simu na kuiweka sikioni

    “Halloo baby"

    “Hafidhi"

    Mwajuma alianza kuita jina langu pia nilimsikia kama vile analia.





    Nilijiuliza masikio yangu au ni kweli Mwajuma analia “Baby mbona upo kimya?

    Nilimuuliza lakini hakujibu kitu zaidi ya kusikia sauti ya kwikwi ndipo nikapata uhakika Mwajuma analia

    “Baby unalia nini? Mbona huongei?"

    Nilizidi kumuuliza maswali mwenzangu akabaki kimya nikakata simu na kuchukuwa uwamuzi

    wakwenda nyumbani kwao. Nikatoka na kuelekea huko njia nzima nilikuwa nikijiuliza

    Maswali chungu nzima nisiweze kupata

    Majibu

    Mama kasema mchana kutwa Mwajuma alikuwa akimsumbua kwa kupiga simu akitaka kuongea nami sasa mbona nilipopokea simu hakuongea kitu?

    Nini shida nini tatizo?"

    Nikafika nyumbani kwakina Mwajuma nikabofya kengere iliyopo nnje ya Geti

    Sekunde si nyingi mlinzi akaja kufungua geti

    “Mambo vipi kaka!"

    “powa tu kijana mishe niaje kitaa?"

    “Ahaa fresh tu kaka sasa nilikuwa namuulizia bibiye

    Mwajuma sijui nimemkuta?"

    Nilimuuliza swali yule Mlinzi ambaye tulikuwa tukifahamiana kutokana na kuishi mtaa mmoja.

    Akaniangalia kwa dakika kama mbili hivi akageuza kichwa chake kuangalia ndani Mara akaniangalia Mimi na kunipa ishara kuwa nisogee kalibu yake.

    Nikamsogelea

    “sikia nikwambie kitu dogo

    Mwajuma ndio yupo ndani lakini kafungiwa chumbani kwake, maana

    Baba yake ndio karudi leo kutoka Finland

    sasa Mama mtu kamueleza kila kitu kuhusu wewe sijui ulimtukana na kumtishia maisha.

    Sasa mzee kapaniki asira zake kaanzia kwa

    Mwanae kamkung'uta vibaya mno.

    Hivi nikwambiavyo Unasakwa wewe yani imekuwa vizuri nimekupa taarifa mapema

    Jiandae kukimbia kijijini vinginevyo utakufa,

    “Mathias!"

    Kabla hajaendelea kunisimulia zaidi tukasikia sauti ya Mama yake Mwajuma akimwita yule

    Mlinzi akakulupuka kwa kufunga geti na kuingia ndani huku akiitikia

    “Naamu mama"

    Pale pale nikaongea maneno ya kutoonekana

    nikaingia ndani pasipo kufungua geti.

    Nilikuwa nipo nyuma ya Matiath akielekea kule alipokuwa akiitwa tukaingia mpaka

    Sebuleni

    “Kule nnje ulikuwa ukiongea na nani?"

    Lilikuwa swali la kwanza kuulizwa baada kuingia mule ndani. Mathias akashindwa kujibu kwa haraka

    “nakuuliza wewe mwenye uso mkavu kama

    Kikwapa cha bibi yako!"

    Hakika Mama yake Mwajuma alikuwa na nyodo usimpimie yote sababu ya utajili wa mumewe

    “nilikuwa nikiongea na kijana mmoja hivi alikuwa akitafuta kazi,"

    Mathias akajibu hivyo

    “sasa sikia nikwambie kitu Hafidhi si unamfahamu?"

    “ehee si yule Handsome boy"

    “Nyoo aliyekwambia yule handsome nani mtu ana

    sura mbaya utasema kazaliwa

    siku ya Mazombie, sasa kama ikitokea ukamuona kaja kumuulizia Mwajuma wewe mwambie

    Mwajuma yupo ndani tena mruhusu aingie ndani akishaingia tu ndio mwisho wake

    Nitamchimbia kaburi huko nyuma ya ukuta nitamzika kimya kimya wee kenge nakuonya ole wako uitoe siri hii basi siku hiyo utakuwa kitoweo cha Mbwa wangu haya nenda kaendelee na kazi!"

    Mwanamke huyu aliongea kwa sauti ya kijasili sana.

    Pasipo kufahamu mimi nipo hapo

    Mathias akatoka Mimi nikabaki kumtazama huyu wakala wa Shetani nilimtamani kishenzi

    Akaichukuwa simu yake na kumpigia sijui nani

    “Hiyo kazi ifanyike kesho Asubuhi saa mbili

    na mapema sana nyinyi mkifika pale hakuna kuuliza cha kutoa vitu wala nini

    Bomoeni tu kile kibanda kuhusu kesi

    Nitaibeba mimi, wananchi kitu gani nyie fanyeni kazi

    Nitasema kiwanja ni cha kwangu

    Nimeuziwa na Marehemu mumewe, kutokana na jeuri ya huyu kijana kutembea na binti

    yangu nitampoteza yeye na familia yake katika

    Dunia hii ili iwe fundisho kwa wajinga wengine wenye tabia kama hizi,"

    Nilimsikiliza kisha nikatoka nikiwa na hasira

    Nilipofika nnje nilienda kibanda cha

    TTCL nikaweka Kadi na kumpigia simu yake ikaita

    “Ha!ha!ha!ha!ha!"

    Nilianza kucheka kwa dharau mpaka yeye mwenyewe akashtuka na kuuliza

    “wewe nani mbona wacheka?"

    “Sikia nikwambie kitu mama mkwe kwanza kabisa tambua kuwa unataka kupambana na

    Moto wakati wewe ni nyasi zilizo kavu nitakuteketeza kingine huna uwezo wa kubomoa nyumba yetu usijiulize nimefahamu vipi.

    Subiri na uwone Nyoko zako"

    Nikakata simu mpaka hapo nahisi nilimuacha njia panda akijiuliza nimejuaje?

    Nikarudi nyumbani nikingojea muda nimwite

    Gogisu nimpe majukumu ya kazi huku Mimi

    Nikidili na maswala mengine.

    “Hafidhi mwanangu kesho Mwenyezi Mungu akitujaalia uzima nitakuagiza

    Kibaha kwa Mjombaako uwende ukachukuwe

    Dawa!"

    Mama alianza kuniambia hivyo wakati tukiwa tunakula chakula cha usiku

    “Dawa ya nini?"

    “kwani hujasikia kwamba Shangazi yako na Baba yako mdogo wanaumwa?"

    “sijasikia nawala sihitaji kusikia kama dawa yenyewe kwaajili yahawa

    Shetani mi siendi!"

    Nilikataa na kuinuka sikuwa na haja ya kuendelea kula japokuwa nilikuwa bado sijatosheka

    “Hafidhi basi nisamehe baba yangu embu njoo ule bwana nafahamu jinsi gani unawachukia kutokana na matendo mabaya waliotutendea

    Basi nitaenda mwenyewe.

    Njoo ukae mwanangu"

    Mama aliongea kwa sauti ya huruma

    nikarudi kukaa na kumwambia

    “kwa heshima yako ewe Mama yangu basi nitaenda,"

    Tukaendelea kula huku mama akitutambia

    Hadithi za hapa na pale muda wa kulala ukafika.

    Kwangu ndio muda wa kazi

    milango ikafungwa, nikaingia chumbani kwangu na kuzima taa nikatulia kitandani kimyaa nikihesabu

    Dakika utasema nasubilia mwaka mpya nikapige

    Baruti zangu.

    “Gogisu, Gogisu"

    Nilianza kuita kwa sauti ya kunong'ona ajabu alisikia na akaja nilishtuka ujuwe nikabaki kumtazama tu

    “Umeniita mkuu?"

    Akaniuliza huku akifuka moshi macho yanawaka moto

    “sasa mbona umekuja kimyakimya kwa style ya kutishana bwana?"

    “nimesikia ukiniita kimyakimya kuhusu kukutisha nisamehe Bosi wangu siku nyingine sitokuja hivi,"

    Gogisu akaongea na kuinamisha kichwa chake

    chini

    “ok! Naomba unifate"

    Nilimwambia hivyo huku nikitangulia kutoka nilienda nae mpaka ufukwe wa Bahari nikatafuta sehemu nikakaa,

    “sasa Mkubwa nimekuleta hapa niweze kukuomba msaada je uko tayari kunisaidia?"

    “Hapana usiniite Mkubwa wala huna haja ya kuniomba msaada mimi ni kijakazi wako nipe kazi nitaifanya haraka iwezekanavyo!"

    “ohoo basi kama hivyo ni vizuri sana si umesema wewe ni kijakazi wangu ehee?

    “Ndio mkuu"

    “nikikutuma chochote kile unaenda kukifanya si ndio ehee?"

    “ndio mkuu?"

    “kwa mfano nikikuagiza ukamlete Wema Sepetu

    au Jaclin Wolper Nick Minaj

    Biyonce Katrina Qaif

    unaweza kuniletea?"

    “Ndio mkuu hakuna kinachoshindikana chini ya Jua nipo hapa kusikiliza maagizo yako,"

    “unamaanisha Demu yeyote nikimtaka utaniletea?"

    “Ndio"

    “kweli kabisa?"

    “ndiiio"

    “ok! Sasa kaniletee Janeth!"

    “Janeth yupi mkuu manaa wenye majina hayo wapo wengi?"

    “kuna Demu nililala nae baada kukutana kule

    Sinza bahati mbaya wewe hukuwepo"

    “Kumbe huyo nishampata mkuu sasa nimlete hapa au?"

    “utamletaje hapa nimkute chumbani

    Kwangu"

    Kufumba na kufumbua Gogisu akapotea

    “hivi nikweli anaweza kumleta Mwanamke ambaye namuhitaji? Sasa kama hivyo si ningemuagiza aniletee Wema Sepetu maana haka

    kademu nakatamani muda mrefu tu tatizo

    Mimi sio super star kama kina

    Mr.blue au Idriss

    hivi mbona nimebadilisha mchongo wa kazi baada kupanga ishu za maana naagiza Mademu

    “mkuu tayari nishamleta"

    Gogisu akanishtua kutoka kwenye dimbwi la

    mawazo.

    “ni kweli au unantania?"

    Nilimuuliza huku nikisimama.

    Nae akaniangalia na kutabasamu hilo

    tabasamu lake utasema mtu kameza kokwa la

    Embe sasa yupo chooni akijikwinya liweze kutoka

    “Kweli mkuu"

    "Gogisu"

    "Rabeka mkuu"

    “ndani ya usiku huu kuna kazi moja nzito sana kuna Mwanamama mmoja anajisifia kutokana na utajili wake anataka kuibomoa nyumba yetu

    Pia kanitishia maisha, hivi tufanye jambo gani

    Tuweze kumdhibiti huyu nyau?"

    Nilimuelezea Gogisu japo kwa ufupi tu

    Akafikilia na kuniambia

    “hiyo ni kazi ndogo tu mkuu niachie kila kitu

    Kesho utapata majibu, si ulimuona yule

    Muhindi alipokuja kufuta kesi ehee?"

    “ndio ndugu nilimuona ulimfanyaje kwani?"

    “Ha!ha!ha!ha! Ni mambo madogo tu

    nilimfata kwa style ya Popo Bawa

    nikamuingilia na kumpa sharti akitaka nisirudi tena afute kesi zote alizowafungulia watu

    Pasipo sababu vinginevyo kila siku nitakuja

    kumla"

    “Duhuu Gogisu kweli wee noma

    Sema nini usiwaingilie wakwe zangu tafuta

    Plani nyingine bwana"

    “hahahaha sawa mkuu!"

    Gogisu akapotea sikuwa na jinsi ni kurudi nyumbani nilipofika Chumbani kwangu sikuweza kuamini

    Aisee bibiye Janeth alikuwa kakaa kitandani kwa kujiinamia

    “Janeth"

    Niliita kwa sauti ya chini sana nae akainua kichwa chake na kuniangalia akainuka na kuja

    kunikumbatia jamani jamani kweli

    Duniani kuna mambo.





    Janeth alianza kulia kwa sauti ya chini nilioisikia Mimi na yeye tu

    “tafadhali usilie embu kaa kitandani tuweze kuongea"

    Nilimwambia kwa kumnong'oneza kwenye sikio lake la kushoto sababu tulikuwa tumekumbatiana. Basi akakaa kitandani na kuniangalia usoni

    “Baby kwanza nieleze umefikaje humu ndani kwangu?"

    Nilimuuliza nikitaka kufahamu Gogisu katumia mbinu gani kumleta huyu binti.

    “Leo nilikuwa viwanja pale Mwenge ndipo akatokea

    Shoga yangu Hidaya na kuniambia

    Eti umemuagiza ndani ya usiku huu unanihitaji. Nikamuuliza umeonana nae wapi?

    Akajibu eti umepiga simu basi nikachukuwa tax mpaka hapa nikiwa na Hidaya tukaingia kwa kunyata kisha yeye akatoka ndipo nakuona

    Wewe ukiingia vipi baby umenimiss

    Ehee?"

    “sana tu lakini Janeth si nilisikia ulinaswa na polisi kisa Mimi imekuwaje uwe ulaiyani?"

    “Mama kubwa alikuja kunitoa Jana

    Asubuhi usiku tu nikaingia kazini nilikutafuta

    Kishenzi yani Mwanaume wewe nimetokea kukupenda bure sijawahi kusuguliwa

    Nikakidhi haja zangu zote kama ulivyo nisugua wewe nilijihisi kipele kimepata mkunaji.

    Baby nakuomba niowe nipo tayali kuachana nakila kitu niwe mama wa nyumbani nikuzalie watoto,"

    Janeth aliongea kwa hisia na kuegemeza kichwa chake kifuani kwangu. Mtoto kazimikia mchimba mashimo mpaka mgodi uteme

    “Kwanza pole sana kutokana na tatizo nililo kusababishia kuhusu swala la

    Kukuoa usijali sasa kuanzia leo sitaki kusikia ukijiuza tulia nyumbani kwenu anzisha biashara ndogo ndogo hata ya kutembeza matunda

    ukiwa na shida yeyote nicheki

    Kwa number 0675082390 nitakusaidia,"

    Nilimwambia hivyo

    Basi mtoto wakike akanipa mdomo tukaanza kunyonyana ndimi zetu

    “asssssss,,,,,,ahaaaaaaaaammmm

    m,,,,,,ohoooooooooooasssss"

    Janeth alianza kugugumia kwa utamu baada kidole changu kugusa kwenye

    Kitumbua chake kilichokuwa ndani ya taiti nyepesi nikafanya kukiingiza hadi ndani mtoto wakike akawa anakikatikia

    Huku akijinyonga nyonga. Nilicheza nae Disco Dance

    mpaka tukawa hoi kitandani tumelaliana kama vile migunia ya mkaa.

    Nilikuja kushituka kutoka usingizini majira ya saa kumi na moja alfajir nikaangalia pembeni yangu na kumuona Janeth akiwa anakoroma tu

    “Baby,baby,"

    Nilianza kumtikisa huku nikimwita kwa sauti ya chini

    “Abee"

    Akafumbua macho japo kiuvivu kutokana na uchovu wa kipute kisichokuwa na refa

    “Hamka basi tuondoke maana tukichelewa mama anaweza kuamka akikuona itakuwa soo"

    “soo yanini bwana si utanitambulisha kama Mimi mkwewe niache nilale mwenzako nimechoka

    Bwana!"

    Siku zote Wanawake ndivyo walivyo kazi yao ubishi ilibidi nitumie kama dakika sita kumbembeleza

    Bibiye tuondoke huku nikimwambia

    Baba ni mkali hapendi kuona nikileta

    Mwanamke ndani ya nyumba yake mpaka nioe.

    Hapo kidogo akanielewa akavaa nguo zake tukatoka nilimsindikiza mpaka nyumbani

    Kwao tukaagana huku nikimpatia kiasi cha pesa

    Shilling laki mbili na nusu kama

    Mtaji akanishukuru nikarudi nyumbani kwa

    Speed zangu sikumbuki ilikuwa ni

    Saa ngapi Asubuhi nilikulupushwa na sauti ya mama akilia huku akinitaka nitoke nnje nisije nikauliwa kwa kupolomoshewa nyumba.

    nikatoka mpaka ukumbini Mama ile kuniona nimetoka tu akanishika mkono na

    Kunivuta nnje.

    Sikuweza kuamini aisee kulikuwa na gari aina ya kijiko imepaki pembeni ya nyumba yetu

    Watu walikuwa wamejazana huku kila mtu akiongea lake.

    “hivi huyu Gogisu hakuweza kuifanya hii kazi au?

    Nilianza kujiuliza maswali

    “Basi subirini watoe vitu jamani"

    Mama Mpendu alipaza sauti kuongea hivyo basi kina Kaunda wakaingia ndani waweze kutoa vitu

    wakati nikiwa nashangaa shangaa nikamuona Gogisu akipanda ndani ya Kijiko akaiwasha

    Dereva na Polisi waliopewa rushwa kuja kusimamia zoezi lile wakahitaji kumzuia

    “wee kijana shuka ndani ya gari hiyo simamisha

    Nakwambia lasivyo nitakutwanga risasi

    Polisi mmoja aliongea na kwenda kukaa mbele asigongwe kwa nini

    Katapira hii yanye matairi ya

    Mnyororo yule Afande alikatwakatwa vipande

    Gogisu akaipeleka ile katapira mpaka nyumbani

    Kwa kina Mwajuma amini usiamini alianza kubomoa ukuta akafyeka kibanda cha

    Mlinzi na kuisogelea nyumba kubwa

    Baba yake Mwajuma akatoka ndani na

    Bastola ndio kwanza Gogisu akatabasamu

    Na kuingia kwenye nyumba kubwa.

    Nilimtazama Gogisu akanipa ishara kuwa bibiye tayari kamuondoa ndani ya nyumba hiyo.

    Akaanza kubomoa pasipo kujali thamani ya vitu vilivyopo ndani watu waliona kama muujiza au ndoto tunayoota mtaa mzima.

    Wazazi wa Mwajuma walidata si kidogo,

    “wee kijana subiri nikamtoe binti yangu

    ndio uendelee kubomoa!"

    Mama yake Mwajuma aliongea huku akihitaji kuingia ndani lakini Gogisu hakumpa nafasi hiyo ndio kwanza akadondosha ukuta pale mlangoni

    nakwambia ilikuwa patashika

    Nguo kuchanika polisi walizidi kumiminika

    Wakapiga mabomu ya machozi ili

    Wananchi wakae mbali na eneo hilo

    huku wakifyatua risasi nyingi kumpiga Gogisu mwenzao alikuwa akicheka tu na kuendelea na kazi ndani ya dakika kumi sehemu yote kulikuwa na

    kifusi tu cha mabati nondo mbao

    Nyaya nyavu tofari na vitu vya ndani vikiwa vimekandamizwa na kifusi kizito.

    Nilimuona Baba mkwe akija upande ambao sisi tulikuwa tumesimama alipotukalibia akachomoa

    Bastola na kufyatua risasi iliyotua kifuani mwa

    Mama, kilikuwa ni kitendo cha haraka sana

    Mama alidondoka chini

    “Mama!!!

    Nilipiga kelele kumwita mama nikaenda kumshika

    “Mamaaa,"

    Nasra nae akapiga kelele huku tukiwa tumemshika

    “ha!ha!ha!ha! Kumbe nyinyi ndio vifaranga vyake ehee? Wewe nyau swali swala yako ya mwisho nakuua Leo!"

    Baba mkwe mwenye roho ya kishetani aliniambia hivyo huku kanikazia macho na kuninyooshea Bastola usawa wa kichwa changu

    “sina haja ya kuswali ila nitaswaliwa

    Bora nife Mimi lakini akifa mama yangu utakuja kujuta katika maisha yako yote mpumbavu mkubwa wee!!!

    Niliongea huku nikitetemeka kwa hasira nilitamani niwashe moto huyu mzee nimnywe supu.

    Si akaachia risasi lakini kabla risasi ile haijanifikia kuna mtu alikuja kukaa mbele yangu kwa

    Kunikinga risasi ikatua tumboni mwake

    “Mwajumaa!!!

    Mama yake alipiga kelele huku akija mbio kumuwahi mwanae wakati Baba yake asiweze kuamini kama kampiga binti yake risasi ya tumbo

    Bastola ikamtoka mikononi mwake na kutaka kuja kumshika mwanae

    “Tafadhali msinisogelee sitaki mnishike

    nyinyi ni wazazi waaina gani mnatesa binadamu wenzenu kisa utajili mliokuwa nao

    Embu angalia mbele ya polisi

    Wanaolinda usalama wa wananchi na mari zao

    Mtu anapigwa risasi mbele yenu mnatazama tu kisa mmehongwa pesa

    Za kujaza matumbo yenu mnaacha

    Wananchi wakiteseka Baba unaniua mwanao.

    Hafidhi mpenzi nakuomba msamehe

    Baba yangu,,"

    Mwajuma aliongea mwishoe akawa kimya

    Nilidata si kidogo huku Mama huku

    Mpenzi wote wanahitaji msaada wangu

    Mwajuma alibebwa na baba yake sijui alikuwa amekufa au laa.

    Nami nilimbeba mama wote tulikutana ndani ya hospitali moja ya Lugalo je

    nani aanze kutibiwa.

    Kwakuwa Mwajuma ndio alikuwa wa kwanza kufikishwa akaingizwa wodini

    huku Mama nae akiingizwa wodi nyingine. Nilimuangalia baba mkwe kwa hasira

    Nikajiuliza hivi ikitokea Mama au Mwajuma mmoja wapo akifa au wakifa

    Wote nitamfanya nini huyu kenge.

    Nilibaki kujiuliza maswali huku nikiendelea kumtazama jinsi anavyo hangaika Mara asimame Mara akae sijui atoe simu.

    “Shaibu namtaka mwanangu"

    Mkewe alikuwa akilia na kumtikisa akimtaka mwanae

    “Mke wangu tulia basi"

    Niliwaangalia na kutamani niwafate niwakate makofi sema Akida na Othman walikuwa wamenishika nisifanye kitu, nikiwa nimekaa hapo Mara nikamuona Gogisu akitokea wodini na kuelekea chooni akanipa ishara ya kuniita. Nikanyanyuka na kumfata, japokuwa

    Masela walitaka kuongozana nami kwa kuhofia naweza kuanzisha fujo kwa wazazi wa Mwajuma niliwatoa wasiwasi wasijali hakuna chochote kibaya kitakachotokea. Nikapiga hatua kuelekea chooni nikapita mbele ya Wakwe waliniona wakabaki kunitazama tu niliingia chooni na kumkuta Gogisu akiningojea kwa hamu

    “Vipi kijana niambie!"

    Nilianza kumwambia hivyo

    “kiukweli mkuu Mama yako na huyu Binti zile risasi hazikuweza kuwapata kwani niliwahi kuzizuia kabla!"

    Gogisu aliniambia hivyo na kunifanya nishangae

    “Gogisu unasemaje?"

    “kama ulivyosikia mkuu wangu"

    “Gogisu usitake kunipaka mafuta kwa mgongo wa chupa Mimi nimeona kwa macho yangu risasi ikiwa mwilini kwa Mama nahata Mwajuma alikuwa akitoka damu tumboni iweje useme eti umezizuia?"

    “yale majeraha ni yakutengeneza tu na kuwapa maumivu ya muda kiukweli hakuna aliyeumia pale kama huamini embu kamata hizi kisha kamuangalie Mama kule Wodini ni mzima kabisa hana hata arama ya kovu!"

    Gogisu aliniambia na kunipatia risasi mbili kuwa ndizo zilizotoka kwenye

    Bastola ya baba mkwe nilitoka chooni nikiwa nacheka mpaka kina

    Meja wakahisi nimechanganyikiwa nini.

    “Hahahaha kweli usilolijuwa ni sawa na usiku wa Giza waleleelee oyoooo piga keleleee,"

    Wakwe wakatizamana na kuniangalia Mimi

    “wee mzee embu kamata mavi yako"

    Nikamtupia zile risasi baba mkwe akatoa macho Pima kuziangalia kisha akaniangalia mimi





     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog