Search This Blog

Thursday 24 November 2022

RATIFA & MWAJUMA (2) - 5

 

     

     

     



     

    Chombezo : Ratifa Na Mwajuma Season 2

    Sehemu Ya Tano (5)

     

    Kitendo cha kuita tu umeme ukakatika nyumba nzima ikaanza kutikisika mpaka Hafidhi mwenyewe akaingiwa na hofu.

    Upepo ulianza kuvuma na kupenya ndani ya chumba kile kulikuwa na giza totoro yani kila kitu chenye kuonyesha mwangaza kilizima kwa ujio wa huyo kiumbe aitwaye Jango mikono yake yenye kucha ndefu mfano wa Reki ilionekana ikichana ukuta. Yani amekuja kwa mbwembwe za hali ya juu Hafidhi akazidi kuogopa na kutaka kukimbia.

    “usiniogope mkuu, nimekujaa kusikiliza wito ambao niliutamani kwa muda mrefu mnoo’’

    Aliongea Jango sauti yake ilifanya mabati tu yatatarike kwa kugongana na kuleta tafrani ya kelele.

    “tulia Jango sasa mbona umekuja kwa style ya kutishana hivi huoni kama ni hatari?’’ “samahani sana mkuu sema huna budi kunizoea tu!’’

    “sawa ila sijapendezwa na ujio wa namna hiyo kwa style hii siku nyingine nitaogopa kukwita’’ Hafidhi akaongea kwa sauti ya unyonge

    “basi nitabadilika kwa namna nyingine”

    “ok! Ni vizuri ufanye mabadiliko sasa tusipoteze muda nimekwita hapa kwaajili ya kazi moja tu unitafutie huyu Hafidhi j Ikram kisha ulete taarifa wapi kaelekea kwa sasa na anaishi sehemu gani?’’ “sawa mkuu nitafanya hivyo’’ Jango akaitikia na kupotea alipoondoka tu umeme ukawaka hali ikatulia na kuwa shwari yani ujio wake akazima umeme mji mzima. Shikaka baada kuondoka na watu wake pale akasafiri na kuwapeleka Kilwa Kiwawa kama kawaida yake huko alikaa nao na kuwaambia hali harisi. Jinsi ilivyo Katikati ya msitu wakajenga kijumba cha udongo chenye vyumba viwili iliwachukuwa siku mbili tu kukamilisha ujenzi. Kwakuwa yeye ni Ninja short akaweka na umeme anafahamu mwenyewe katengeneza vipi kila walichokihitaji kina Nasra wakapatiwa. Mafunzo yakaendelea kwa kasi hakuna kutamaniana kimapenzi ndiyo maana chumba kimoja analala Shikaka mwenyewe kingine Ratifa na Nasra siku zikazidi kusonga mbele huku mabinti wakizidi kuwa wakali katika style za mapambano. Walifunzwa mpaka Uyakuza kwa kutumia Mapanga mpaka stance ya kupotea mfano wa Ninja style ambayo Yasri hapendi kuitumia sijui hakufundishwa au vipi?

    “jamani naona niwasilishe malalamiko yangu kwa mwenyekiti wa kijiji. Sababu hili swala lishafikishwa kwake takribani wiki ya tatu, yeye kalifumbia macho kuwa kule Msitu wa Ngalipa kuna watu wamevamia na kuweka makazi pasipo kufata sheria za kijiji’’ Aliongea mzee mmoja kwa niaba ya Wanakijiji wenzake waliokusanyika siku hiyo kwa Mwenyekiti wao.

    “kama wamekuonga chochote kitu si useme tu sio kulikalia kimya hili jambo wanakijiji tume wavumilia kwa muda mrefu tu lakini sasa tumewachoka waondoke”

    “ehee ndiyo ndiyo mwambie huyo Mama Mwangale kama kahongwa si aseme tu!’’

    “tena kibaya zaidi kule kuna vibinti hivi viwili siwezi kusema vibaya ni wazuri ndiyo lakini uzuri wao wanautumia vibaya kwa kutunyari sisi wakija kisimani wanabetua midomo hao utasema M**ndu wangu wakati nakunya”

    Aliongea Mama Mwangale na kufanya watu wacheke yeye hata hakujali kama katukana.

    “sawa nimeweza kuwasikia sasa mnaonaje tuongozane pamoja kisha twende huko tukawatimue kwa pamoja?’’

    Mwenyekiti akasimama na kuuliza, “hapo ndipo nakupendea mzee wewe hunaga maneno ya kwenye Kanga sijui Ndefu tamu Fupi inatekenya twende vijana”

    Mama Mwangale alizidi kubwabwaja tu ni Mama ambaye anafahamika kijiji kizima kutokana na uwongeaji wake. Hanaga staha popote anatukana basi wakashika njia na kuelekea huku.

    “yule si Hafidhi mjukuu wa Binti Bakari au macho yangu yanaona ndivyo sivyo?’’

    Alijiuliza Mama Mwangale wakati wanakalibia eneo hilo baadhi ya wazee walipomuona tu wakamfahamu kwani alijiweka katika uharisia wa Hafidhi mdogo lakini kina Ratifa wakimtazama wanamuona Shikaka japo wanamwita Hafidhi

    “karibuni sana wazee wangu baba zangu vijana wenzangu”

    Hafidhi akawachangamkia kwa kuwakaribisha, mikeka ikatolewa na kutandikwa walikuja kwa shari lakini wakawa wapole

    “sasa ndiyo nini kuja kujichimbia huku utasema ushuzi wa kwapa"

    Mama Mwangale akaanza maneno yake.

    “mama nimeona kule kijijini kila sehemu mtu kajenga nikajiuliza mimi nitajenga wapi? Ndio nikaamua kuja kukaa huku mshambani’’

    Hafidhi akajitetea

    “eti mashambani umekuwa mapumbu au? Mtoto mbaya wewe kwanza haya Majina ya Hafidhi yana laana kubwa sijui kwanini?’’

    Kila Mama Mwangale akiongea basi watu walicheka mbavu hawana maana uwongeaji wa Mama huyo hata Wazaramo hawaongei hivyo. “Mzee Mkalipa si unamkumbuka yule Hafidhi mwingine hadi akasema atakuja kumoa mwanao?’’ “ehee! Namkumbuka vizuri sana si yule mjukuu wa Binti Manjawira?’’

    “ehee ndiyo huyo huyo nae mbaya yulee kwa kupenda mbanio vya kwenye chupi, basi siku moja nilikutana nae kulee kisimani. Akiwa kaongozana na kijana mmoja hivi nikamuuliza hivi wewe Yule Binti wa Mkalipa utamuoa lini? Akanijibu eti anataka kunioa mimi nyoko zake nikamwambia wee shika adabu yako kisa cha kutaka kuniuwa na hilo dudu kama mguu wa tembo nini? Kwanza hapa nilipo nimekongoroka kidole cha mwisho tu nikiguswa nacho nalia,” watu wakazidi kucheka Nasra na Ratifa nao mbavu hawana maana huyu mama kawa tou much kwa maneno.

    “sasa jamani mi naona bora tuondoke maana rengo tulilojia hapa ni kutaka kufahamu nani kavamia eneo hili! Madamu wote tumeweza kujione ni kijana wetu mjuku wetu. Na hili eneo la ukoo wao hatuna jinsi kuondoka”

    aliongea Mwenyekiti

    “sawa Baba tumekusikia na kukuelewa nyie nendeni tu mimi hapa ndiyo nishafika”

    Mama Mwangale akadakia. Hafidhi akutaka waondoke hivihivi akawapa kiasi cha pesa shilling laki tatu akakabidhiwa Mwenyekiti kila mtu alifurahi

    “Asante sana kijana Mungu akubariki na kukuzidishia Baraka” “ndiyo Baraka keshapata kifuatacho nipatiwe change mapema”

    “sasa tutagawanaje hapa wakati tunatakiwa twende kule kijijini tupate mahesabu vizuri”

    “wee Baba tafadhali mimi na mahesabu wapi na wapi shule yenyewe nimekimbia vidudu embu nipee”

    Kwakuwa Mwenyekiti alitambua Mama Mwangale ni mshari akampa elfu kumi ndipo akatulia wao wakaaga na kuondoka

    “halafu mwambieni hilo Zee kuwa atafute mke wa kumpikia leo mimi sirudi nyumbani ehee!’’ Akapaza sauti kuwaambia lakini hakuna hata mtu mmoja aliyemuitikia. Wakati Mwenyekiti akiwa kaongozana na Wanakijiji wake njia nzima walikuwa wakicheka na kuongea kwa furaha ghafla wakasikia sauti ya mtu akipiga kelele “jamaniiii nakufaaa msaada jamaniii,’’





    Kwakuwa Mwenyekiti alitambua Mama Mwangale ni mshari akampa elfu kumi ndipo akatulia wao wakaaga na kuondoka

    “halafu mwambieni hilo Zee kuwa atafute mke wa kumpikia leo mimi sirudi nyumbani ehee!’’ Akapaza sauti kuwaambia lakini hakuna hata mtu mmoja aliyemuitikia. Wakati Mwenyekiti akiwa kaongozana na Wanakijiji wake njia nzima walikuwa wakicheka na kuongea kwa furaha ghafla wakasikia sauti ya mtu akipiga kelele “jamaniiii nakufaaa msaada jamaniii,’’

    SONGA NAYO

    SASA

    Sauti ile ikazidi kusikika ikiomba msaada. Nao wakazidi kuifatilia wakiwa tayari tayari wameshikilia Silaha zao. Mbele kidogo wakaweza kumuona Mwanamama aliyekuwa kalala chini huku akigaagaa na kupiga kelele “tafadhali usiniuwe mimi nisamehee, jamanii msaada” Kila mmoja akaangalia huku na kule na kujiuliza huyu Mwanamke vipi ni kichaa au? Sasa pale anamwambia nani asimuuwe. Lakini haukuwa muda wa maswali wala majibu, walichokifanya ni kumfata kitendo cha kumkalibia ndiyo wakashtuka zaidi baada kumgundua Mtu yule kuwa ni Fulani pia alikuwa na Jeraha kubwa sana upande wa ziwa lake la kushoto. Jeraha ambalo ilionyesha kama vile kamwagiwa na maji ya moto. “Rehema kitu gani kimekupata ewe binti yangu?’’

    Aliuliza Mwenyekiti na kuvua shati lake kisha akaifunika ile sehemu yenye kidonda Rehema hakuwa na Jibu zaidi ya kupepesa macho yake “Athumani nenda kule Mashambani ukampe taarifa Hafidhi kuwa Mama yake huku kakutwa na tatizo kubwa”

    Aliagizwa kijana mmoja nae pasipo kuuliza chochote akatoka mbio.

    “sasa itabidi tumuwahishe hospitali’’

    Mwenyekiti akaongea hivyo Rehema akabebwa na kupelekwa katika hospitali ya Kilwa Kivinje.

    “kaka, kaka,,,’’ Athumani alipaza sauti kuita baada kufika sehemu ambayo aliagizwa aende kutoa taarifa.

    “wee nini tena? Mbona unahema hivyo kama vile umemaliza kupanda mrima kitonga? Mama Mwangale alikuwa ni mtu wa kwanza kumuona Athumani akija hapo huku akiita

    Athumani akajibu

    “Mama kule kapatwa na tatizo!’’

    “mama yako ehee kapatwa na tatizo gani?’’

    “sio Mama yangu ni Mama yake Hafidhi, yani Bi Rehema”

    kauli hii aliweza kuisikia Nasra na Ratifa wakasogea karibu kutaka kusikia Shikaka nae akaja mbio akamshika Athumani na kumuuliza

    “unasema ni mama yangu! Ni mama yupi huyo?’’

    “si Mama yako alikuja kutoka mjini wiki mbili zilizopita”

    Athumani akajibu basi hakukuwa na mjadara tena zaidi ya wao kuongozana na kuelekea huko. Njia nzima Nasra alikuwa akijiuliza maswali pasipo kupata majibu “inamaana Mama alikuja huku Kilwa? Hapana atakuwa sio yeye itakuwa ni Mama mkwe wangu tu ndiyo maana katajwa mama yake Hafidhi. Sio mama Nasra? Sasa itakuwaje kama akiwa ni mama yangu?’’ Wakafika eneo la tukio wakakuta kweupe hakuna mtu wakaelekea kijijini na kupewa majibu kuwa Mgonjwa kapelekwa hospitali ya Kilwa Kivinje wakaenda huko hayupo. Kwani mgonjwa hali yake ilizidi kuwa mbaya ikabidi ahamishiwe hospitali ya Kilwa Masoko. Tukirudi jijini Dar es Salaam nyumani kwa bibiye Mariam siku hiyo kulikuwa na mzozo mkubwa baina yake na mumewe kipenzi “nishakwambia niachee”

    “kukuacha siwezi wewe ni mke wangu mimi na itaendelea kuwa hivyo mpaka kufa kwetu”

    Aliongea mumewe “ eti kukuacha siwezi sasa subiri nikwambie kitu kimoja kuwa utake usitake talaka utatoa tu!’’

    Mariam aliongea akiwa kakunja uso kuonyesha kuwa hatanii akaitoa Bastola yake na kumnyooshea Mumewe

    “sasa Halfani chagua moja kwenda kuzimu au kuandika talaka?’’

    “Ahaa! Mke wangu mbona umefikia hatua hiyo please usifanye hivyo’’

    Aliongea Halfani huku akimsogelea bibiye

    “simama hapohapo vinginevyo nitakutwang….. Ghafla kabla bibiye hajamalizia kuongea Mwanaume alishamfikia kwa kasi akabetuka na kuipiga teke ile Bastola bibiye ikamponyoka na kuruka juu palepale Mariam akashikwa kichwa na kunyongwa. Kisha Mwanaume akaidaka ile Bastola. Kudadeki Mariam hakuwa na pumzi tena roho ilikuwa ishaacha mwili kiutani utani tu kauliwa na mumewe. Ni kifo ambacho kiliwahi kumkuta bibiye Yusra katika season yetu ya Mtaa wa Tatu. Baada Mwanaume kufanya mauwaji kwa mkewe akambeba na kumpeleka stoo kisha akautia ule mwili kwenye gunia na kutoka nao nnje wakati huo kulikuwa hakuna mtu yeyote hapo nyumbani kwao kwani watoto wao wapo kwa Bibi yao mzaa Mama. Akafungua buti ya gari na kuuwingiza ule mwili kabla hajafunga akasikia sauti nyuma yake ikimwambia embu subiri. Akageuka kumtazama huyo mtu kumbe ni mlinzi wa getini

    “wewe Jacko unaniambia nisubiri wewe kama nani? Na kwanini unaniambia hivyo?’’

    Aliuliza Halfani huku kakunja ndita

    “nimeona kitu ambacho unakipakia humo ni kama mwili wa Binadam…

    Jacko akajiroga kuongea hivyo pale pale nae akajikuta akipigwa zinga la teke akarushwa hewani na kudondoka chini. Akataka kuinuka akashindwa baada kichwa chake kukanyangwa Halfani akawa anamsigina pale chini, Sauti ya Mtu akibisha hodi ndiyo ikamshtua Halfani huku mlinzi akipaza sauti kwa kupiga Kelele

    “jamani msaad…. Akafumuliwa teke la mdomo kule Mtu ambaye alikuwa akibisha hodi baada kuona geti limefungwa huku kelele za mtu zikisika akiomba msaada akaamua kuchompu kwa kuruka ukuta akaingia ndani. Alikuwa ni Hafidhi j Ikram akakutana uso kwa uso na Halfani “bora ungeondoka bwana mdogo kuliko kujaribu kuingia humu na kujitafutia kifo chako”

    Aliongea Halfani huku akimfata.

    “unaongea nini Shemeji mbona sikuelewi?’’

    Hafidhi akauliza na kuanza kujihami ajabu Halfani akadunda na kuruka ukuta ikimaanisha kakimbia. Hafidhi akiangalia kushoto anamuona Mlinzi akiwa kala chini damu zikimtoka lakini alionekana yu mzima akamfata na kumshika “Kakaa mimi wala usinijali nenda kamuangalie Madamu kawekwa kwenye buti ya gari kulee”

    Jacko aliongea na kumuonyeshea Hafidhi gari ambayo buti yake ilikuwa ipo wazi. Basi akaenda kutazama na kukuta Gunia ambalo lilionyesha ndani yake kuna kitu, akalishika na kulifungua. Aisee hakuweza kuamini macho yake baada kumuona bibiye Mariam akiwa tayari ameuwawa. Alianza kulia na kumtoa mule kwenye gunia. Ghafla sauti ya kishindo kizito ilisikika huku mlinzi akirushwa hewani na kuanguka chini nae akawa kimya kikosi cha FBI kikongozwa na Halfani wakavamia baada kuvunja geti sijui kwa bomu au nini? Walipoingia tu wakafikia kumshambulia Hafidhi kwa virungu vyenye shoti ya umeme, walimpiga hovyo hovyo pasipo kujali sehemu gani haistahiri kupigwa mwishoe akapoteza fahamu. Wakambeba na kumpakiza kwenye gari yao aina ya Range Rover wakaondoka nae.

    “baby mi sitaki bwana”

    “utaki nini?’’

    “kukupa”

    “utanipa tu!’’

    aliongea Yasri huku akimtekenya tekenya mkewe basi ikawa mtekenyo tu kisha wakakutanisha ndimi zao

    “ohooooo,,,,,assssssssss,,,,ahaaaaaaa,,opsiiiiiii,’’ Fatma alianza kutoa sauti ya vilio huku akiushika mtalimbo wa mumewe na kuubugia kinywani mwake, na kuanza kuunyonya wakati huo hakuna hata mmoja aliyekuwa na nguo washavuana kitambo tu, Fatma aliushika mtalimbo vyema na kuzidi kuliingiza lote mdomoni ambapo midomo yake ililibana vyema na kumfanya Yasri wa watu kumwaga hapo hapo “aaaaaaaaaaaaah

    ,,,,,aaaaah,,’’

    Aligugumia Yasri hata kabla hajaingiza mtalimbo wake kwenye kitumbua cha mkewe ,basi Fatma ndiye aliyechagua mtindo wa kukaa ambapo alimlaza chali mumewe kisha akaja kumkalia kwa juu na kuanza kujisugulisha, bibiye aliyajua mambo haswa, alizungusha kiuno huku akiukuna mtutu wa mumewe ipasavyo,wakati anazungusha kiuno mikono yake miwili ilikuwa kwenye Chuchu mbili akiziminyaminya na kuzivuta kimahaba. Yasri alikuwa akijisikia raha mpaka akajisahau kuwa anatakiwa kupampu. Kiuno kilizunguka kiufundi huku makalio yake yakimgusa gusa mumewe kwenye mapaja yake mpaka kwenye viazi mahaba vyake,

    “aaaaaaaaaah,,,aaaisssssssshhhhhhhh,,,,oooooh,,,aaaaaaaah,’’

    Fatma alilia hivyo huku akizidisha kuzungusha kiuno chake kwa kasi kumbe mtoto wa watu alikuwa ndio anakojoa. Tukija Kilwa Masoko katika hospitali ambayo Mama yake Hafidhi aliweza kufikishwa,

    “jamani Mama yanguu, mamaa ni kitu gani kimekutokea?’’

    Nasra alianza kulia baada kufika hapo na kumuona Mama yake. “Ratifa mwanangu ni wewe?’’

    Aliuliza mama Hafidhi kwa sauti yenye kuonyesha kukata tama,

    “ndiyo ni mimi ewe Mama yangu,

    “embu sogea hapa niweze kukuona kwa mara ya mwisho mwanangu!’’

    Ratifa akasogea Nasra alikuwa hashikiki kwa kilio ikabidi atolewe nnje.

    “Ratifa mwanangu kwanza kabla ya yote naomba unisamehe mimi’’

    “hapana Mama nikusamehe kwa lipi wakati hujanikosea lolote’’

    “Ratifa msamehe mwenzako kwa niaba yake namuombea msamaha”

    “sawa Mama nimesha msamehe’’

    baada Ratifa kukubari msamaha pale pale Mama yake Hafidhi akageuza macho na kuangalia juu kuonyesha kuwa roho ilishaacha mwili Dahaa! Ratifa alilia kwa sauti huku akiita mamaa. Madaktari wakaingia na kumuomba akae pembeni kwaajili ya kuchukuwa vipimo , wakampima mwishoe kumfunika na shuka Inna lillahi Wainna Illah Rajiun.

    “baby tulia kwanza tuangalie hali ya Mama siku zote kulia sio suruhisho la kupata suruhisho nyamaza ehee!’’ Shikaka aliongea hivyo “jamani Mamaa” Ratifa akatoka wodini mbio huku akilia kitendo kilichowafanya kina Shikaka wamkimbilie na kumuuliza. Nao wakaambiwa ukweli Nasra akapoteza fahamu ikabidi apatiwe huduma ya kwanza huku taratibu zingine zikiendelea hata aliporudiwa na fahamu zake akawa ni mtu wa kulia tu akimtaka mama yake simu ikapigwa jijini Dar es Salaam huko napo kulikuwa na habari mbaya juu ya Bwana mkubwa Hafidhi kusemekana kahusika katika mauwaji ya Undercover Agent bibiye Mariam. Ndipo bwana mkubwa Shikaka anasema “wacha nikamlete Hafidhi hapa aweze kumzika Mama yake kisha nitafyeka washenzi wote hii kesi sasa ipo mikononi mwangu. Pale pale akapotea na kumuacha Nasra na Ratifa wakitumbua macho tu. Ninja Shoti alisafiri kwa kasi ileile na kuingia jijini Dar es Salaam, Nyumbani kwa wazazi wa bibiye Mariam kulikuwa na vilio watu walilia hasa watoto wake huku Yasri akionekana amekaa kwenye kiti ni mwingi wa Mawazo akashtuka baada kuona upepo ukivuma kwa kasi watu wakaanza kuulizana kunani Ninja Shoti akaibuka mwili mzima ukiwaka moto huku kashikilia Jambia akaangalia huku na kule Bwana Halfani kujifanya kidume akaingiza mkono kiunoni na kuitoa Bastola yake……





    -----------------

    wazazi wa bibiye Mariam kulikuwa na vilio watu walilia hasa watoto wake huku Yasri akionekana amekaa kwenye kiti ni mwingi wa Mawazo akashtuka baada kuona upepo ukivuma kwa kasi watu wakaanza kuulizana kunani Ninja Shoti akaibuka mwili mzima ukiwaka moto huku kashikilia Jambia akaangalia huku na kule Bwana Halfani kujifanya kidume akaingiza mkono kiunoni na kuitoa Bastola yake…

    SONGA NAYO

    SASA

    Wakati Halfani akiichomoa bastola yake, Ninja shoti alikuwa kasimama tu. Akiangaza macho yake kumuangalia kila mtu. Waliokuwa wakilia wakanyamaza kimyaa utasema wamezibwa midomo, Ninja Shoti alitembea hatua mbili tatu mbele kisha akapotea na kuacha hali ya sintofahamu. Vilio vilianza upya huku Halfani akiirudisha silaha yake pale kiunoni maana alikuwa kashaichomoa.

    Akatoa simu yake na kumpigia sijui nani

    “ndiyo huwezi kuamini aisee huyu mpuuzi amerudi’’

    “unasema kweli Brother au matani tu!’’

    “matani wapi ni ukweli mtupu jamaa katokezea hapa msibani kisha akapotea”

    “ahaa Halfani embu achaga maskhara yako”

    “kama unaona ni utani sawa ila kaa ukijuwa kuwa Ninja Shoti karudi pumbavu zako!’’

    Aliing’aka Halfani na kukata simu huku akiachia zinga la msonyo, kijasho kilikuwa kikimvujaa. Yasri alikuwa kakaa pale pale kwenye kiti akiangalia tu alipokuja Master wake mpaka alipoondoka yeye akabaki kimya.

    *********

    “wee bwege tu unawezaje kumiliki demu mkali kama yule”

    Aliongea mmoja kati ya vijana

    “embu mwambie huyo mtoto wa mama tu kijanaume chenyewe kimbilimbi ataniwezea wapi mtoto wa Kidigo kidudu kidogo mpaka nikikohoa kinachomoka kuingiza tena mpaka umbusti sikitaki mie cha nini”

    Kilikuwa ni kikundi cha vijana wakike kwa wakiume wakiwa wanamtupia maneno ya kijeri na vijembe kijana mmoja hivi aliyekuwa akilia kutokana na fedheha aliyokuwa akiipata mbele ya marafiki zake. Nao wakazidi kumnanga

    “jamani lakini sio vizuri kumwambia mwenzenu maneno kama hayo”

    “bwana ehee kama ana kibamia nisiseme”

    “kisa umeachana nae ndiyo utoe siri za ndani wakati kipindi kile tulikuwa tukikusikia ukilia kwa utamu”

    “eti nilikuwa nikilia yani nilie kisa kibamia ambacho kinaishia kugusa mashavu ya kitumbua tu. Mwanamke sijui hata nini maana ya utamu wa mapenzi aende zake huko” Aliongea binti yule kwa dharau,

    “Petronia tafadhali usinifanyie hivyo mwenzako, ndiyo nakubari nina kasoro ya kimaumbile lakini usiniache kuwa na hali hii sikuomba ndivyo nilivyoumbwa,’’

    Kwa sauti ya kilio aliongea kijana yule machozi yakimtoka, kiukweli hakuna kitu kibaya katika mapenzi kama kutamkiwa kuwa sikutaki. Sikupendi, kuanzia leo mimi na wewe basi. Inauma sana

    “sikia nikwambie kitu Shoga kwanza siwezi kukuita mwanaume kwa kidudu chako hiko kama kidole cha mwisho, unataka nisikuache kwa lipi kama kuunga ushoga tucheze rede sawa lakini sio kuwa wapenzi. Hivyo ni sawa na kusagana tu” aliongea kwa madaha bibiye Petronia,

    “sikia Seiph kama vipi kachukuwe kisu nikupunguzie mzigo huu”

    Hakika yalikuwa ni maneno ya dharau sana kwa kijana huyo aitwaye Seiph akaondoka eneo hilo huku akisindikizwa na sauti ya vicheko na kumzomea marafiki zake wale alikimbia kueleke sehemu ambayo kuna makorongo alipofika hapo akakaa chini na kuitazama bahari.

    “Dunia ni mzunguko kuna leo na kesho, hakuna mwenye uhakika wa kuiona kesho. Watu wanasema katika ulimwengo huu kuwa Wanawake ni wengi kuliko Wanaume,’’ Aliongea maneno hayo Seiph kisha akainuka na kujifuta machozi akageuza kurudi alipotoka anajuwa mwenyewe katika maneno hayo kamaanisha nini. Wakati anarudi ghafla akashtukia akikabwa na kupigwa mtama aliruka juu kimo cha mbuzi na kudondoka chini akaanza kushambuliwa kwa kipigo cha Mbwa mwizi. Akapiga kelele kuomba msaada kwa marafiki zake waliokuwa mbali na eneo hilo, lakini hawakusikia. Akapigwa mpaka akaanza kuona nyotanyota mwishoe akapoteza fahamu, kiukweli wapo baadhi ya watu walioweza kuona tukio lile lakini wakashindwa kutoa msaada.

    “Jamani Seiph anapigwa kulee!’’

    alikuwa ni Petronia sijui katokea wapi akaja mbiombio kuwaambia wenzake kuwa Seiphu anapigwa wote wakakurupuka na kuelekea eneo hilo na kumkuta mwenzao akiwa kalala chini damu zikimtoka

    “Seiph kaka,,,’’

    Aliita mmoja kati yao, wasichana walianza kulia kila mmoja alisahau kile kitendo kilichotokea dakika chache zilizopita nyuma. Wakambeba na kuondoka nae bila shaka ilikuwa ni safari ya kumuwahisha hospitali.

    ********

    Ndani ya chumba kimoja wapo hivi kulikuwa na Mwanaume mwenye mwili mkubwa mfano wa kile kiumbe cha ajabu aitwaye Hulk akiwa kashika mjeredi akimchapa nao kijana Hafidhi j Ikram aliyekuwa kafungwa kwenye chuma alikuwa akining’inia kichwa chini miguu juu damu zilikuwa zikimtoka na kudondoka chini, jitu lile lilionekana halina huruma hata kidogo. Alikuwa akimchapa kwa nguvu wakati akiendelea kutoa adhabu akashtukia ule mjeredi ukidakwa kwa nyuma. Akageuka kutazama na kukutana na namba chafu akiwa kaushikilia ule mjeredi, lile jitu likauvuta kwa nguvu, Ninja Shoti akafanya kuzunguka tu na kuukata huku akidunda silaha yake makini ilienda kukita shingoni mwa lile jitu kisha akatua akiwa tayari katenganisha kichwa na kiwiliwili, akamfungulia Hafidhi na kumlaza chini akanyoosha mkono wake na kuanza kumpatia tiba ya Kijini, pale pale Majeraha yakaanza kujiunga maumivu yakaondoka Hafidhi alikurupuka na kusimama wima macho kayatoa pima utasema kaota ndoto mbaya ndiyo kashtuka hivyo. Wakabaki kuangaliana tu “tulia bwana mdogo usijaribu kutaka kufanya lolote ujio wangu hapa nimekuja kukupa taarifa juu ya msiba”

    Aliongea Shikaka na kumeza funda la mate,

    “hapana sijamuua mimi sihusiki kwa chochote kile’’

    Hafidhi aliongea kwa kwa sauti ya kitetemeshi,

    “ndiyo hata mimi nafahamu kuhusu hilo embu njoo ukae hapa tuweze kuongea vizuri” Shikaka akamwambia kwa sauti ya upole kidogo. Hafidhi akasogea kwa mwendo wa kusitasita na kwenda kukaa pale “sikia nikwambie kitu Wajina siku zote unapopewa cheo cha kuongoza Majini hutakiwi kuwa mzembe kama ulivyokuwa wewe kama uliweza kumuangamiza Lusifa unashindwaje kupambana na hivi vidagaa mpaka wanafikia hatua ya kukushika. Unapigwa kama teja, sasa basi unahitajika uelekee Kilwa Kiwawa ukamzike Mama yak,,,,,

    “hapana Brother unamaanisha nini kuniambia hivyo? Mama yangu hajafa ni mzima wa hafya’’ Aliongea Hafidhi, “ndiyo unaweza usiamini lakini ukweli ndiyo huo kuwa Mama hatunae tena”

    Hafidhi alianza kulia ikawa ni kazi ya Shikaka kumbembeleza mpaka alipokuja kunyamaza kisha akasema “nitawasha moto’’ palepale nae akapotea na kumuacha Shikaka asiweze kuamini kwa kile kitendo alichokifanya Hafidhi kisha akatabasamu na kujisemea sasa kumekucha nae akapotea. Kilwa kiwawa katika nyumba ya Binti Manjawira kulikuwa na mkusanyiko wa kikundi cha watu wapo waliokuwa wakilia wengine walikuwa wakiongea na kucheka ilimradi tu penye wengi kuna mengi. Ulikuwa ni msiba wa Mama yake Hafidhi bibiye Nasra alilia mpaka akapoteza fahamu hata alipokuja kuzinduka akalia wee na kuzimia tena, wanakijiji walikusanyika kwa wingi. Kwani ukoo wa Binti Manjawira ni ukoo unaofahamika kwa kiasi kikubwa achilia mbali pale kijijini mpaka vijiji vya jirani walimtambua Manjawira ni nani? Hafidhi j Ikram nae alikuwa kashafika hapo msibani bila kumsahau Shikaka wote walikuwepo, taratibu zote ziliweza kufanyika mwili wa marehemu ukaenda kuzikwa kwenye makaburi ya kifamilia. Baada siku nne kupita tokea marehemu azikwe na kufanyiwa kisomo cha kutimiza siku tatu, siku hiyo familia nzima ya Manjawira ilikuwa imekusanyika pamoja na kuweza kuongea mawili matatu. Binti Manjawira mwenyewe kafariki kitambo sana kama tunakumbuka ndiyo yule bibi aliyesemekana kumtokea Hafidhi kwenye ndoto. Lakini mwisho wa siku bibi alikataa na kusema kuwa yeye hausiki kwa lolote. Basi hapo walikuwepo mabibi wadogo sijui mama wadogo kwa wakubwa, pia upande wa Mababu na wajomba na mababa walikuwepo bila kusahau vitukuu virembwe na vijembwe. Hakika familia ilikuwa kubwa sana tena sana,

    “Kwanza sina budi kuwashukuruni, kiukweli katika mioyo yetu tumebaki kuwa na majonzi makubwa sana, baada kuondokewa na Mama yetu, binti yetu. Rehema binti Manjawira kwanza kifo chake kimekuwa ni cha ghafla mno. Sisi tukiwa kama familia lazima tukae tufikiri kisha tuchunguze kwani marehemu amekutwa na Jeraha kubwa sana la moto kwenye upande wa moyo wake. Wakati alitoka hapa nyumbani na kuaga kuwa anaenda kuangalia shamba lake la minazi akiwa mzima wa hafya,

    “Babu embu nyamaza kwanza nipishe mimi niongee’’

    Shikaka akadakia na kufanya watu wote wageuze shingo zao kumuangalia yeye. Kiukweli Shikaka na familia hiyo wana undugu kwa kiasi Fulani lakini sio sana yani tuseme kama ukabira tu. Mwanaume akasogea na kwenda kusimama pale mbele kisha akaanza kuongea.

    “kutokana na kile ambacho Babu ameweza kukizungumza hapa, binafsi mimi naona sio vyema kuanza kutangaza vita pasipo kutambua kuwa maadui tupo nao ndani ya kikosi chetu. Sasa basi mimi ningeomba tumsake mwizi kimyakimya mpaka kieleweke au sio ndugu zanguni?"

    Watu wote wakaitikia ndiyoo,

    Ghafla wingu zito likatanda angani upepo mkali ukaanza kuvuma kila mmoja akainua kichwa chake na kuangalia juu ya anga

    Pale pale baadhi ya watu walipatwa na mshituko

    Mkubwa juu kulikuwa na kiumbe cha kutisha

    Kila sehemu ya mwili wake. Ana

    Macho mikono yake isiokuwa na

    Idadi alitanda pale juu.

    “Kha!kha!kha! Bila shaka mnaogopa ehe!

    Msiogopee watu wangu hakika mkuu wenu wa kijiji nimeweza kurudi tena.

    Mimi ndiye niliyeweza kumuangamiza ndugu yenu

    Baada kuvunja masharti ya kijiji

    Kakojolea Shambani kwangu!

    Nipe Nikupe nimeruudi.."

    Aliongea kiumbe yule kabla ya kupotea na kuacha watu wakiangaliana kwa hofu

    Je nini kitaendelea?"





    -----------------

    “Kha!kha!kha! Bila shaka mnaogopa ehe!

    Msiogopee watu wangu hakika mkuu wenu wa kijiji nimeweza kurudi tena.

    Mimi ndiye niliyeweza kumuangamiza ndugu yenu

    Baada kuvunja masharti ya kijiji

    Kakojolea Shambani kwangu!

    Nipe Nikupe nimeruudi.."

    Aliongea kiumbe yule kabla ya kupotea na kuacha watu wakiangaliana tu.

    SONGA NAYO

    SASA

    Kutokea kwa kiumbe kile katika kijiji kile kulileta taflani kubwa sana kila mtu alishikwa na hofu kutokana na kuweza kukifahamu vyema kiumbe kile. Kwani historia inasema Nipe Nikupe alikuwepo hapo kale. Yani miaka hamsini iliyopita akatikisa sana kutokana na sheria zake. Mwisho wa siku akaweza kupotea asijulikane wapi kaelekea. Watu wakafahamu kuwa ameshakufa, na hatoweza kuonekana tena mashamba yake yakauzwa, watu wakaishi kwa amani na furaha tele, iweje leo hii aonekane? Kila mmoja alijiuliza swali hilo pasipo kupata jibu watu walitoka kwenye majumba yao na kukusanyika kwenye uwanja wa shule ya Msingi Kilwa Kiwawa. Mwenyekiti wa kijiji akapanda juu ya meza ikiwa kama vile ni jukwaa na kuongea na Wanakijiji wake. “nadhani kila mmoja wetu ameanza kushikwa na hofu kuu juu yakile ambacho tumeweza kukishuhudia kwa wakati huu. Kuna ambao wameweza kujionea kwa macho yao, wengine kusimuliwa kiukweli kabisa hiki kiumbe kilikuwepo kipindi hiko ambacho mimi nilikuwa bado sijazaliwa bali nilisimuliwa habari zake na marehemu bibi yangu. Nipe Nikupe si kiumbe cha mchezo mchezo. Nimewaita hapa ili niweze kuwaambia kuwa tuishi kwa kuzingatia sheria. Wazinifu waache kuzini, wezi waache kuiba, walevi muache kunywa pombe, na mengineyo mabaya tu yenye kumchukiza Muumba wetu. Nipe Nikupe hataki kijiji kitende Zambi ya aina yeyote ile ukikaidi amri yake anakuua!’’ Aliongea Mwenyekiti huku watu wote wakiwa kimyaa kumsikiliza yeye,

    “ahaa wee Mzee unazingua bwana huyo nipe sijui ninyime yeye kama nani katika dunia hii? Watu tuache kula ujana kisa kimburushuti mmoja tu. Mimi nitadinya mademu kama kawaida na pombe nitakunywa kudadeki! Asitake kuleta mambo ya kiboya”

    Aling’aka kijana mmoja na kujisachi mfukoni akatoa kifuko cha kiroba na kugwida “ndiyo ndiyo mwambie huyo mshamba tu sisi ndiyo wazee wa ngada kijiji kizima wanatusoma hatuwezi kutishwa na Uchawi sijui Majini tunang’ata tu”

    Mwingine nae akadakia na kumuunga mkono mwenzake aliyekuwa akinywa pombe tena hadharani kumaanisha haogopi chochote, wakati kainua kichwa chake juu akiendelea kugwida kiroba chake ghafla akapiga kelele na kujishika shingoni yani kama anajikaba hivi damu zikaanza kuchuruzika kwa wingi kupitia mdomoni masikioni puani na machoni. Watu wakaanza kukimbizana kwa hofu na kwenda kujifungia majumbani mwao, kijana akazidi kujishika shingoni na kudondoka chini ikawa kwisha habari yake, wiki mbili baadae katika stendi ya kijiji hiko kulikuwa na watu wakisafiri kutoka kijijini na kuja mjini miongoni mwa watu hao alikuwepo Shikaka,

    “sasa mdogo wangu wacha mimi niende Katika jiji la Bashite nikafanye yangu, kama ulivyoweza kusema wewe mwenyewe huyu Mjusi anaejiita Nipe Nikupe nikuachie utaweza kumuangamiza basi fanya hivyo”

    Aliongea Shikaka huku akimshika kiuno bibiye Nasra mbele ya kaka yake, nae Nasra akajiachia tu.

    “usijari mwamba huyu kiumbe nampa siku chache sana nitamuangamiza hawezi kufanya watu wa kijiji chetu waishi kwa kujificha namna hii’’

    Aliongea Hafidhi nae akafanya kumshika mkono bibiye Ratifa akamvutia karibu yake na kukamatia kiuno kitendo kilichowafanya wote wacheke,

    “huyu nae kwa kugeza utasema mchina na vitu feki,’’

    Nasra akasema hivyo na kumng’ong’a kaka yake, wakati wakiwa hapo stendi ndipo akaja Mama kupayuka mwenye maneno mengi yasiokuwa na ponti hata moja si mwingine ni Mama Mwangale

    “ehee!

    Afadhali nimeweza kukuona mwanaume wewe mwenye kichwa kama pumbu ya mzee Mtogondo. Yani mtoto mbaya wewe kwanza hujambo?’’

    “unaongea na mimi au?’’

    Hafidhi akauliza

    “embu na wewe kwenda zako mimi naongea na huyu mtoto mnafiki sana kwanza nasikia siku hizi anajiita Minja Soti sijui chuti akhaa! Hata sijui hivi ndiyo nini kumdanganya binti wa watu kuwa utamuoa ukamfirigisa wee kwenye vichaka mara maporini Fatuma alikaa kila mikao akijua kapata mume kumbe mchezeaji tu. Ukaona haitoshi ukamfata Zaituni mara unitake mimi mtoto mbaya wewe kwa kupenda vipapatio,’’ Si Shikaka wala Hafidhi aliyeongea neno wakabaki kimyaa kumsikiliza tu kawaida ya Mama huyu akianza kuongea unatakiwa ukae kimyaa kumsikiliza tu. Ukiongea neno moja yeye ataongea maneno mia kidogo, basi akaongea weee “Mama Mwangale my baby wacha mi nikuache maana usafiri ushafika embu kamata hii kichuna wangu’’ Shikaka akaongea na kutoa waleti akachomoa wekundu wa msimbazi kama watano na kumpatia “whaoo mambo si ndiyo hayo’’ alifurahi Mama Mwangale na kumkumbatia Shikaka kwakuwa Basi lilikuwalishafika wakapanda na kuondoka waliondoka ni Shikaka na kipenzi chake Nasra huku Hafidhi akibaki kijijini yeye na Ratifa.

    **********

    Hivi huyu kiumbe katokea wapi? Mbona sikuwahi kumuona wala kumsikia hata siku moja. Mbona anatisha namna ile. Eti anajiita Nipe Nikupe

    sasa anataka apewe nini. Na atoe kitu gani?

    Hakika huyu kiumbe anaonekana ni Mkosefu wa tabia,

    “baby...embu angalia kulee"

    Yote yalikuwa ni mawazo ya bwana mkubwa

    Shikaka kabla ya kushtuliwa na sauti ya kipenzi chake bibiye Nasra akimtaka aangalie sijui kitu gani.

    “nini kwani?"

    “Nawe umezidi kusinzia mpaka Tembo mwenyewe tumempita"

    Nasra akaongea na kuegemeza kichwa chake kifuani kwa bwana mkubwa,

    “Akha! Sasa baby kwani Mimi sijawahi kuona Tembo?"

    “ndiyo hujawahi"

    “embu angalia kulee"

    Nasra akainua kichwa chake na kuangalia dirishani kisha akauliza

    “Nini?"

    “nawe umezidi kulala mpaka Chui mwenyewe tumempita!"

    “baby sasa huo ni uwongo"

    “uwongo kivipi wakati ni kweli"

    Basi ilikuwa ni mwendo wa matani tu mpaka

    Bibiye akapitiwa na usingizi

    *********

    “Mama hivi baba yangu yuko wapi? Kila siku nikikuuliza unasema yupo nnje ya Nchi kipindi chote hiko anafanya kitu gani. Mama natamani siku moja Baba yangu arudi nyumbani niweze kumueleza ni jinsi gani mwanae nanyanyasika. Naumia nateseka,

    Kwa kiasi kikubwa tu.

    Mama mwambie Baba kuwa mwanae nimechoka kusubiri kila muda nimekuwa ni mtu mwenye kujipa matumaini tu, labda nitamuona kesho au kesho kutwa. Lakini siku haifiki, mwambie Arudi japo kwa Mara moja tu!"

    Aliongea kijana Seiph akiwa kakaa kitandani

    Baada kurejewa na fahamu zake

    “sio hivyo mwanangu Baba yako yupo"

    “kwani nimekataa kuwa hayupo ninachotaka Mimi ni kumuona tu basi"

    Aliongea Seiph kiukweli alionekana ni kijana ambaye kakata tamaa ya maisha, hakuwa na furaha hata chembe. Basi bibiye Beatrice kama tunamkumbuka kwenye kitimtimu cha Mtaa wa Tatu

    Alizaa watoto mapacha mmoja wakike aitwaye Rehema na mwingine wakiume ndiyo huyu

    Seiph ni watoto wa bwana mkubwa Hafidhi j Ikram ukipenda muite Shikaka

    Akafanya kumbembeleza mwanae na kumpatia maneno ya faraja asije akajihisi ni Mkiwa kisa kukosa Baba,

    Siku ya Siku akaweza kuruhusiwa kutoka hospitali.

    Akarudi nyumbani kwao maeneo ya

    Yombo Vituka sehemu ambayo Beatrice alikuwa akiishi na Mumewe mpendwa bwana

    John Kombo,

    “karibu sana mwanangu kwanza pole sana, kumbuka hii dunia imejaa viumbe wakila aina kuna watu na viatu,"

    Alianza kuongea bwana John Kombo baada kumuona Mtoto wake wa kufikia akiwa na

    Bandeji kichwani na mkononi huku akitembea kwa mwendo wa kuchechemea. Alisikitika sana sema hakuwa na lakufanya. Zaidi ya kuongea hivyo tu.

    Seiph alionekana ni kijana ambaye

    Amekata tamaa ya maisha. Ukibahatika tu kumuangalia kwa Mara ya kwanza jinsi alivyokuwa ni mnyonge kwa kiasi chake.

    “Shikamoo ewe Baba yangu"

    Seiph alisalimia huku akikaa vizuri pale kwenye sofa.

    Hata sauti yake ilikuwa ni ya upole sana.

    “Marhabaa vipi unajisikiaje na hali?"

    “kidogo sijambo nahisi maumivu kwenye

    Bega la kushoto tu!"

    “Basi usijari hakika Mungu ni mwema atatenda muujiza wake uweze kupona kwa haraka. Kisha urudi shuleni mpendwa wangu"

    Aliongea bwana John Kombo

    “Asante sana Baba pia nashukuru sana kwa maneno yako yenye kunifanya niingiwe na imani kubwa katika maisha yangu.

    Baba"

    Seiph aliongea kauli hiyo kisha akamwita Baba yake

    “Naamu mwanangu"

    Nae akaitikia huku akijiweka sawa na kumtazama kijana wake.

    Kimya cha dakika kama tatu hivi kikapita pasipo Seiph kuongea lolote ingawa alionekana kuna kitu anahitaji kuongea. Sema kwa wakati ule

    Mdomo ulikuwa ni mzito kufunguka, ikabidi

    Bwana John Kombo anyanyuke pale alipokuwa amekaa na kumsogelea kwa ukaribu zaidi

    “Vipi kijana wangu mbona umeniita Alafu tena umekaa kimya nini tatizo?"

    “Babaa"

    Seiph akaita tena

    “Naaaamu"

    Mzee akafanya kuvuta maneno kuonyesha kuwa

    Kaitikia

    “nini maana ya kibamia?"

    Seiph akauliza hivyo, ni swali ambaro John Kombo hakulielewa vizuri ikabidi aulize kwanza

    “Umeuliza nini?"

    “nini Maana ya kibamia sijui kimbirimbi

    Petronia kaniacha na kunikashifu kisa nina kibamia

    Petronia huyu huyu ndiyo aliyenitumia watu

    Wanipige kisa akiogopa nitamganda na kumuharibia penzi lake.

    Nauliza nini maana ya kibamia nijibu ewe Baba yangu"

    Mpaka hapo John Kombo kijasho kilimtoka maana swali lilihitaji maelezo mapana kidogo. Ikabidi atumie utuuzima wake, kumuwelewesha

    Kijana nini maana ya kibamia.

    “Sikia nikwambie kitu kijana wangu

    Mungu kaumba kila kiumbe kutokana na makusudio

    Yake Kibamia ni kile kitendo cha Mwanaume kuwa na maumbile madogo yani nyeti zake

    Mfano wa mtoto Mdogo au hiki kidole cha mwisho

    Isimame ilale hiko hivyo hivyo tu.

    Ndiyo kinaitwa Kibamia.

    Kuhusu swala la huyo binti kukuacha kisa una kibamia si kweli. Kuna Wanaume wangapi wenye

    Wenye mitalimbo mikubwa lakini minyoka ya kibisa haifanyi kazi.

    Wengine hata kuitumia hawajui

    Kuna Wanaume wangapi wana vipisi vya Sigara

    Lakini wanapiganiwa na Wanawake kila kukicha kisa wanafahamu jinsi ya kumkojoza mwanamke,

    NGO!NGO!NGO!

    Wakati bwana John Kombo akiendelea kumfafanulia kijana wake sauti ya mlango ukibishwa hodi ikasikika ikabidi John Kombo anyanyuke na kwenda kufunguwe

    Mgongaji hakuwa mwingine ni

    Shikaka.....





    -----------------

    Lakini wanapiganiwa na Wanawake kila kukicha kisa wanafahamu jinsi ya kumkojoza mwanamke,

    NGO!NGO!NGO!

    Wakati bwana John Kombo akiendelea kumfafanulia kijana wake sauti ya mlango ukibishwa hodi ikasikika ikabidi John Kombo anyanyuke na kwenda kufunguwe

    Mgongaji hakuwa mwingine ni

    Shikaka.

    SONGA NAYO

    SASA

    “Assalam Alaykumu” Shikaka akasalimia kama kawaida yake hiyo ndiyo salamu yake kuamkia kwake hapana kabisa “Marhabaa nikusaidie nini kijana?’’

    John Kombo akaitikia salamu maana yeye salamu za Kiislamu hazifahamu kabisa kwahiyo akachukulia kaamkiwa tu akauliza na swali.

    “nilikuwa namuhitaji Rehema”

    “unamuhitaji Rehema wewe ni kama nani yake?’’

    John Kombo akaonekana kukunja ndita macho yakawa mekundu kiukweli hapendi masikhara kabisa na watoto wake japokuwa sio wa kuwazaa lakini anawajari kama mboni ya jicho lake. “nimeagizwa na Ashura kuja kumchukulia kitabu chake cha Civics” Shikaka akajibu kwa sauti ya upole tu, “huyo Ashura kashindwa nini kuja kufata yeye mwenyewe mpaka akuagize wewe au ndiyo kuwadi wako?’’ “Mmh mume wangu sasa hayo maswali tena yamekuwa tou much utasema mtu kaja Cetre kwa mahojiano ya kuuza Ngada embu mkaribishe huyo kijana”

    Sauti ya bibiye Beatrice ikasikika ikisema hivyo

    “unajua mke wangu vijana kama hawa lazima tuwe nao makini, anaweza kusema kafata kitabu kumbe ana lake jambo”

    Aliongea bwana John Kombo huku akimpisha Shikaka apite alipoingia tu Beatrice mwili ulimsisimka si kidogo, na kuhisi kama vile kapigwa shoti baada kumuona kijana yule. Shikaka akaenda kukaa kwenye sofa kwa heshima na taadhima kubwa. “haya kamwite huyo Rehema tena mwambie aje na kitabu cha watu! Kwanza si juzi tu mimi nilimpa pesa akanunue vitabu inakuwaje tena kaomba cha mwenzake?’’

    aliuliza bwana John lakini swali lake hakuna aliyeweza kumjibu maana mkewe alishaingia chumbani. Kwenda kumwita Rehema

    “mbona mwili umenisisimka vile baada kumuona huyu mtu? Ni nani huyu? Mbona kama hisia za kimapenzi zimeniingia ghafla hivi ohoo Shetani ushindwe na uregee siwezi kuisaliti ndoa yangu kamwe” Alijiwazia bibiye Beatrice na kuingia chumbani kwa binti yake

    “wee bichwa kutwa kucha wewe na whatsap tu kazi kukenua mimeno kwa kucheka peke yako kama vile Nsyuka, unaitwa huko na Baba yako’’

    Aliongea Beatrice kumwambia binti yake aliyekuwa kajilaza kitandani mtoto alikuwa ndembendembe ana zinga la tako utasema mama yake chuchu konzi, hakika ana stahili kila sifa ya kuitwa mrembo wa kimataifa sio taifa “ananiitia nini bwana?’’

    Kwa sauti ya kudeka Rehema akauliza “kuna kijana k

    aja kuchukuwa kitabu cha Civics kasema kaagizwa na Ashura” “ahaa Kitabu mbona nilimpa Saida tokea juzi subiri nimjibu Ashura hapa ndiyo nacharti nae” “alafu kaka yako karudi kutoka hospitali” “whaoo mamy unasema kweli kaka karudi!’’

    basi akaiweka simu pembeni na kuivua ile kanga yani hadi mama yake akalimezea mate umbo la Binti yake maana si kwa bodi hii, “hakika mwanaume atakaye kuoa binti yangu nina hakika atakufaidi sana’’ “atanifaidi nini?”” Rehema akauliza huku akivaa gauni lake aina ya Dera akavaa na suruwali ya kitambaa kisha akatoka kuelekea sebuleni “hiyo ndiyo maana ya Kibamia, kwahiyo usijisikie vibaya hata kidogo, muhimu tu unasimamisha na kuweza kumfikisha mwanamke kule anapopataka hivi hujawahi kusikia kidole tu kinamkojoza Mwanamke sembuse kibamia kinatoa risasi kama bunduki ya John Rambo katika Fist Blood au Chuck Nnurs katika Derta Force,’’ bwana John akazidi kutoa darasa pasipo kumuhofia mgeni wake kwanza alimuona ni kijana mkubwa tu pia wote waliopo pale ni Wanaume yanini kuficha,

    “kiukweli mzee wangu umenifurahisha sana tena sana unajua katika maisha watu wengi wanaishi pasipo kujikubari wao kwanza utasikia tu mimi namkubari Kiba sijui Mondi au Roma Ronaldo na Messi pasipo kufamu cha kwanza jikubari wewe kwanza na Mungu wako pili Wazazi wako. Hayo ya kumkubari binadamu mwenzio asiyejua kula yako vaa yako wala kuumwa kwako ni ujinga mtupu! Mtu analia kisa kaachwa na mpenzi wake ajabu kwenye msiba wa Mama yake hakudondosha hata tone moja la chozi kama si unafki kumbe nini? Haya ndiyo madhara ya kukubari vitu vya kijinga. Kuhusu swala la kibamia sijui tango ni matokeo yake Mwenyezi Mungu wala sikuomba niwe hivyo so pole sana mwamba,” Shikaka aliongea hivyo kwa hisia kali sana huku moyoni mwake akiwaza ndivyo sivyo,

    “whaoo Kaka huyoo” “wewee mtoto usimrukie mwenzio hivyo utamtonesha vidonda”

    Rehema

    alivyotokezea tu sebuleni akaenda mbio kumkumbatia kaka yake ilibidi Shikaka apaze sauti kumwambia hivyo. “unadhani mimi sina akili kama wewe ehee mpaka nimuumize pacha wangu?’’ Rehema akauliza na kufanya wote wacheke “vipi hicho kitabu umekuja nacho maana mwenzako kafata kitabu?’’

    Bwana John akauliza kabla Rehema hajajibu Seiph akaomba kupelekwa chooni ikabidi Shikaka amshike mkono na kumsindikiza kwani hakujiweza kwa kutembea,

    “wee mtoto si ututamburishe tu kama huyu ndiyo mkwe wetu. Maana niliona kama vile mmekonyezana?’’ Beatrice akauliza kiutani tu,

    “hapana bwana kwanza huyu kijana mimi hata simfahamu ila ni rafiki yake ni Saida na Ashura tu. Mimi sijawahi kuwa na mazoea nae”

    Rehema akajibu

    “sasa hiyo sauti yako ya puani unamuongelea nani? Ujuwe wee mtoto muda mwingine una makusudi tu!’’

    Beatrice akauliza

    “Mke wangu bwana embu achaga mambo yako ya kumnyima mtoto uhuru wa kuongea hapa si yupo na wazazi wake hata akiongea sauti ya kisogoni ni juu yake jimwaye mamaa” Bwana John akamtetea binti yake, Beatrice akanyanyuka na kuelekea sijui jikoni au chumbani wakati anatembea ghafla akashikwa mkono na kuvutwa kwenye kona moja ya nyumba hiyo. Bibiye akapepesuka na kwenda kujaa kwenye kifua kipana cha mazoezi kitendo bila kuchelewa akadakwa mdomo na kuanza kuliwa denda ajabu nae akajiachia na kuonyesha ushirikiano wa hali ya juu. Bila hata ya kuremba,wakazidi kunyonyana Denda huku Beatrice akilegeza macho yake na kujiachi akifuani kwa Shikaka ambaye mtalimbo wake tayari ulishaanza kusumbua kwenye suruali,ik awa kama ndiye amewekwa ukutani,alimshikashika makalio yake kwa kuingiza mikono yake ndani ya gauni na kukutana na nyama kabisa ya makalio yake laini

    Kisha mikono iliingia katikati ya makalio ya na kuanza kuyapenyua makalio hayo na kuyarudisha taratibu huku wakati mwingine akiyapandisha juu na kuyashusha chini, ilikuwa ni utamu hasa, kwani msisimko huo aliupata vyema bibiye

    Mkono wake wa Kushoto aliteua dole lile la kati lililopewa jina la kashfa kuwa ni dole la matusi,kisha taratibu akaliingiza kwenye kitumbua,alimsugua kwa kukiingiza kidole hicho na kutoa ambapo kadri alivyokuwa anendelea aliweza kuviingiza hata vidole viwili kwa pamoja

    “aaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaah,,,,sssssssssssss,

    ,,,aaaaaaaaaaa,,,shhhhhhhhhhhhh,,,aaaaaah,,’ alilalamika Beatrice huku akihema na kushindwa kunyonyana denda vyema

    Baada ya dole kutengeneza njia, alichofanya Shikaka ni kumuinamisha bibiye na kupandisha gauni lake makalio yake manono yalionekana vyema na kumtoa undenda bwana mkubwa aliyesimama kwa nyuma yake na kuyashikashika,

    bikini aliyoivaa aliisogeza pembeni na kuacha kitumbua hicho kikiwa wazi.

    Aliishusha suruali yake mpaka chini na kuchomoa mtalimbo wake uliosimama wima huku likichezacheza kushangalia kuingia mahala pake,basi taratibu alilielekezea kwenye kipochi manyoya na kuanza kukingiza kichwa chake “mmmmh,,”

    Aliguna bibiye kwani kitu kilipogusa tu mashavu ya kitumbua Beatrice akahisi zama zilee katika Mtaa wa Tatu Shikaka nae afanya michezo yake ya disco dance ambapo taratibu mtalimbo ulikuwa unazama huku ukiwa umebanwa vyema hadi raha. Mikono yake miwli ndio ilimshikilia makalio yake wakati anaingiza mtalimbo wake,,,

    “Sitakiiiiiii,,,,,,assssss,,,,ohoooooo,,,,ahaaaaaa,,, Beatrice alilalamika na kufanya kuyarudisha makalio yake nyuma mtalimbo ukaingia wote bila kusitasita, basi alianza kumsugua bibiye huku akiwa amemshika makalio yake laini. Kitu kilizama na kutoka kwa kasi ambapo Beatrice alijisikia rah asana mpaka kisogoni utamu kunoga. Alijitahidi kuzungusha kiuno kukatikia Mtalimbo.

    “Mama”

    ni sauti iliyomshitua na kumgutusha bibiye Beatrice kumbe yote yalikuwa ni mawazo yake tu kuwa alikuwa akisuguliwa na Shikaka kijana ambaye kaja hapo kwaajili ya kuchukuwa kitabu

    “Abee vipi ushamaliza kujisaidia?’’

    Beatrice alijibaraguza kwa kuuliza na kujiweka sawa akaenda mbio huko alipoitwa na mwanae.

    “ndiyo kamaliza tatizo chooni maji hakuna Mama!’’

    Shikaka akamjibia kwani Seiph alinyamaza kimya baada kumwita Mama yake. Basi Beatrice akatoka akiwa kabeba ndoo ndogo ya maji, akampatia Shikaka ambaye akaipitisha ile ndoo kwenye upenyo mdogo wa mlango Beatrice alibaki kujilamba midomo tu. Kila akimuangalia Shikaka hammalizi kwakweli alikuwa yuko hoi taabani sijui kwa nini? Seiph akatoka chooni na kurudi sebuleni Shikaka nae akaaga lakini akiwa mwingi wa mawazo, “Rehema si umsindikize mwenzako”

    “hivi mume wangu ulishawahi kuona wapi Rehema akamsindikiza mgeni? Yeye kutwa kucha akili yake inawaza whatsapp tu, embu wacha nimsindikize mimi huwenda siku moja akaja kuwa Mkwe wangu,” Aliongea Beatrice na kuinuka,

    “mama nae haya msindikizege” Rehema akaongea sijui kilugha au nini eti Msindikizege Shikaka akatoka akiwa kaongozana na Beatrice wakawa wakiongea hili na lile pamoja na kuulizana habari za hapa na pale, “Mama unaweza kuniambia kijana wako kapatwa na tatizo gani?’’

    Siku zote Shikaka hupenda sana kujishusha, akamwita Beatrice Mama

    “mmh! Kwanza usiniite mama maana sijafikia rika la kuwa na watoto wakubwa kama wewe. Kiukweli kijana wangu ana matatizo makubwa sana, wiki mbili zilizopita nyuma alivamiwa na kikundi cha watu wasiojurikana wakampiga mpaka akapoteza fahamu. Si mara ya kwanza kufanyiwa vitendo kama hivi yote sababu ya unyonge wake. Istoshe hana nguvu ya kupambana hata na kuku. Seiph mwanangu anaitwa sijui kibamia anachekwa na kupigwa masingi,’’ Beatrice aliongea na kuanza kulia

    “pole sana Mama yangu dahaa kiukweli inauma sana hii na siku zote chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho, Beatrice embu fumba macho mpenzi” Shikaka aliongea kwa hisia mwishoni akamwita bibiye kwa jina lake mpaka Beatrice mwenyewe akastaajabu,

    “wewee umelijuaje jina langu?’’

    bibiye akauliza kwa kutahamaki

    “fumba macho kwanza kisha nitakupa jibu, usifumbuwe mpaka nikwambie,’’

    “sitaki nijibu hivi hivi unataka nifumbe macho kisha uniteke?’’ “basi kama hutaki namie sikwambii’’ “nijibu bwana!’’ “nawewe fumba macho”

    Ikabidi bibiye afumbe macho japo kiuwongo na ukweli,

    “fumba vizuri sasa mbona jicho moja unaona?’’

    “wewe nae kwani hujui kama hii ni style ya kisungura!’’

    Beatrice nae akauliza na kufumba macho kiukweli. Dakika kama mbili zikapita ndipo akaambiwa afumbuwe kitendo cha kufumbua tu akaanza kutetemeka…….







    “fumba macho kwanza kisha nitakupa jibu, usifumbuwe mpaka nikwambie,’’

    “sitaki nijibu hivi hivi unataka nifumbe macho kisha uniteke?’’ “basi kama hutaki namie sikwambii’’ “nijibu bwana!’’ “nawewe fumba macho”

    Ikabidi bibiye afumbe macho japo kiuwongo na ukweli,

    “fumba vizuri sasa mbona jicho moja unaona?’’

    “wewe nae kwani hujui kama hii ni style ya kisungura!’’

    Beatrice nae akauliza na kufumba macho kiukweli. Dakika kama mbili zikapita ndipo akaambiwa afumbuwe kitendo cha kufumbua tu akaanza kutetemeka…….

    SONGA NAYO

    SASA

    “Unanikumbuka mpenzi?’’

    wakati bibiye Beatrice akiwa anatetemeka Shikaka aliyekuwa kasimama mbele yake akauliza swali. Sema hakuwa ni Shikaka yule mwenye muonekano wa Kipemba. Huyu alikuwa ni Shikaka ambaye mwene muonekano wa Hafidhi j Ikram wa Mtaa wa Tatu na hilo ndiyo umbo lake kamili. Ndiyo maana bibiye akashikwa na kitete cha ghafla.

    “je unanikumbuka mpenzi?’’

    akarudia kuuliza tena,

    “n,nnn,,ndiyoo”

    Aliitikia Beatrice kwa sauti ya kukatakata,

    “ok! Basi ni vyema kama umeweza kunikumbuka, sasa basi mwambie Seiph asiogope kwa chochote kile nimerudi kwaajili yake,’’

    Shikaka baada kuongea maneno hayo akapotea na kumuacha bibiye kaduwaa tu.

    Kilwa Kiwawa

    “baby embu njoo ndani nikwambie kitu”

    ilikuwa ni sauti ya Hafidhi j Ikram akimwita kipenzi chake Ratifa aliyekuwa jikoni akipika. Ratifa akaingia ndani na kwenda kukaa karibu yake

    “haya niambie” Ratifa akaongea huku akimtazama Hafidhi usoni Mwanaume pasipo kuongea chochote akauleta uso wake kwa bibiye nae akafahamu nini anataka mwenzake akafumba macho na kukutanisha ndimi zao na kuanza kunyonyana denda. Miguno ya kimahaba ikaanza kusikika huku wakichojoana mavazi yao. Wakati wakiwa katikati ya kupeana burudani ghafla upepo mkali ukaanza kuvuma. Upepo ambao ulipenya mpaka ndani ya chumba walichokuwa wao, wakashtuka na kuachiana kila mmoja akamuangalia mwenzie “baby kimenuka huyu mshenzi bila shaka kafika”

    Hafidhi aliongea huku akivaa mavazi yake harakaharaka ,

    “ni nani huyo tena?’’

    bibiye akauliza huku akiwa na hofu Fulani, pasipo kumjibu mwanaume akatoka nnje kufika mlangoni tu akashtukia akipigwa zinga la kibao cha kifuani kama vile afanyavyo yule mwana mieleka aitwaye Big Show, kibao ambacho kilimrusha juu na kwenda kujibamiza kwenye kenchi ya nyumba hiyo akatua chini kwa kishindo na kuwa kimya kisha kiumbe kikaingia ndani kwa kasi na kumbeba bibiye Ratifa akapotea nae. kesho yake Asubuhi na mapema taarifa zilianza kutangazwa kijijini pale juu ya kijana ambaye amekutwa kisimani akiwa hajitambui ni kijana ambaye katokea mjini alikuja kijijini kwaajili ya mazishi ya Mama yake, Kijana mwenyewe hakuwa mwingine Ni hafidhi j Ikram kumbe baada kuvamiwa na Nipe Nikupe na kupigwa akaenda kutupwa huko kisimani mpaka akaokotwa na Wanakijiji, alipelekwa hospitali kwaajili ya matibabu, Taarifa zilifika mpaka mjini kwa Dada yake akafunga safari akiwa kaambatana na Mwajuma pamoja na Mzee wa kazi Shikaka mwenyewe, wakati wakiwa safarini kutokea mjini kufika maeneo ya Mto Rufiji Gari waliokuwa wamepanda ikaanza kuleta tafrani ilikuwa ikiyumba huku na kule Dereva akajitahidi kuikodro ili aweze kuiweka sawa lakini ikaonekana kumshinda watu wakaanza kupiga kelele za tunakufa ee Mungu tuokoee, Shikaka aliyekuwa kakaa kwenye siti ya Dirishani akapotea na kutokezea kwa nnje yani mbele ya gari akasimama na kunyoosha mkono wake juu kumbe juu ya Basi kulikuwa na Nipe Nikupe amekaa na kuifanya Garii itembee ndivyo sivyo. Kitu kama shoti ya umeme ilimpiga sehemu ya mbavu akashtuka na kupaa angani Ninja Shoti akamfata sasa ikawa ni mkimbizano baina ya viumbe hao. Nia na Madhumuni ya Nipe Nikupe ilikuwa ni kusababisha ajali katika Basi hilo ili wale wanaotoka jijini Dar es salaam kuja kumuangalia Hafidhi j Ikram washindwe kufika, pasipo kufahamu kuwa miongoni mwa watu hao yupo kiumbe asie jaribiwa hata kidogo ukibipu tu nae anapiga huyo ndiyo Shikaka . katika kukimbizana kwao Nipe Nikupe akaenda kutua katikati ya msitu mmoja hivi na kuanza kupumua kwa kasi. Ule upumuaji wake ulikuwa kama anapuliza tarumbeta, upepo mkali ukawa ukivuma katika maeneo hayo na kumfanya Ninja Shot akinge mikono yake kwa kuuzuia, kisha akazunguka kwa kasi na kujiachia mfano wa mshale uliokuwa kwenye upinde alienda kwa kasi na kumvamia Nipe Nikupe aliyekuwa akizidi kupuliza upepo, akashtukia akikumbwa na kitu kizito na kutupwa mbali na pale. Hakika alistaajabu sana kwakile kilichoweza kumtokea, lakini muda huo ulikuwa ni muda wa kupambana tu aweze kuiokoa nafsi yake. Akajipanga kujibu mashamburizi, kwanza akafanya kama kupotea hivi kitendo ambacho kilimfanya bwana mkubwa Shikaka asikitike nae akapotea sekunde mbili baada kupotea sauti nzito ya Nipe Nikupe akilia kwa maumivu ikaweza kusikika mwishoe kukawa kimya taswira ikaanza kujionesha kuwa Nipe Nikupe akiwa kasimama huku Shikaka akiibuka kwa kufutuka kutokea mwilini mwa Nipe Nikupe na kumgawanyisha viungo vyake, Ukawa ni mwisho wa Nipe Nikupe kama ataweza kurudi tena basi akajipange au asubirie siku ambayo Shikaka amekufa

    “shenzi zake alidhani mimi ni yule dogo!’’

    aliongea maneno hayo Shikaka na kupotea, wiki moja baadae Hafidhi j Ikram aliweza kupona na kuruhusiwa kutoka hospitali siku hiyo hiyo akahitaji kuingia kazini katika harakati za kumtafuta bibiye Ratifa, jibu alilopatiwa na Shikaka ni kwamba binti karudishwa tena kuzimu, na hawezi kurudi tena duniani. Hafidhi akashangaa akauliza amerudishwa kuzimu kivipi? Ikabidi Shikaka ampe Habari kamili kuwa binti alishakufa miaka kumi na tatu nyuma, sema kupitia utawala wa Majini ukamrudisha kwa njia nyingine ili kukupumbaza akili kuwa hakufa. Embu jiulize Binadamu wangapi wamekufa mpaka leo hawajarudi hata kwa sauti tu. Baba yako yuko wapi na ndugu zako wengineo, kiukweli mtu akifa kurudi tena duniani sahau mpaka siku ya Kiama tu, nguvu pekee zinazo tumika kurudisha wafu ni za Kijini Ratifa hakuwa binadamu wa kawaida, achana na maswala hayo sasa tuingie kitaa kuwasha moto kwa wabaya wetu sote hakuna kuacha kitu’’

    mpaka hapo Hafidhi aliweza kuelewa hakutaka kuuliza kitu akapeana mikono na Shikaka na kupotea kwa pamoja,

    “baby kumbe Ratifa alikuwa ni Jini?’’

    bibiye Nasra akauliza swali huku akiwa kaegemeza kicha chake kifuani kwa Shikaka wakiwa wamekaa hapo sebuleni,

    “ndiyo hivyo kwani mlikuwa hamjui kama mnaishi pamoja na Jini?’’

    “aku mbona hakufanania kama ni Jini mpaka ukatuchukuwa tukaenda wote Kilwa nikafanya nae mazoezi tulioga pamoja na kula’’

    “ndiyo hivyo subiri nikwambie kitu my kuhusu Majini na vitimbi vyao, siku zote viumbe hawa wanauwezo wa kujibadirisha katika umbile lolote walitakalo wao, aidha kwa kupitia miili ya binadamu ambao walishafariki muda mrefu ama wanyama ndege na vinginevyo. Akishajibadirisha anakuja kwa mtu amtakaye iwe kwa ubaya au uzuri yote hayo inategemea na huyo Jini. Ndiyo maana tunakula nao kuongea nao kufanya nao kazi, ila Jini atabaki kuwa Jini tu!’’

    alitoa ufafanuzi Shikaka

    “baby mwenzako mpaka naogopa, kwanza umefahamu vipi yote hayo?’’

    “nimefahamu yote haya sababu ya kupenda sana kufatilia historia za viumbe hawa, Shikaka akajibu na kumtekenya kipenzi chake

    “mi sitaki bwana ahaaaaaaa,,,,,,asssssss,,,babi

    iiiii,,,,,,twende chumbani,’’ Nasra alilalamika na kubebwa wakaelekea chumbani, huko mpunyenye ukaanza kuchezwa. Tukija nyumbani kwa bwana Halfani siku hiyo alikuwa amejipumzisha nyumbani kwake, huku akitafakali hili na lile ghafla akashituka baada kuona kuna kiumbe kimemsimamia mbele yake. Kwanza akafikicha macho maana alijiona kama vile ana mawenge tu, lakini kile kiumbe kilikuwa bado kipo mbele yake, hofu ikamshika na kujivika roho ya kijasili akasimama na kuitoa Bastola yake

    “nani wewe? Na umeingiaje ndani ya nyumba yangu angali milango yote nimefunga?’’

    aliuliza kwa jaziba huku kaishikilia Silaha yake vyema na kumnyooshea yule kiumbe, licha ya kuuliza hivyo hakujibiwa kitu kiumbe kile kilionekana kutisha si mchezo aliganda kama sanamu ikabidi Halfani aanze kurudi nyuma kwa hofu ukimya wa yule kiumbe ulimtisha, akafungua mlango na kutoka nnje mbio. Na kuelekea Getini wakati anafika getini na kufungua ili atoke ghafla akashtukia akipigwa teke. Lililomfanya apepesuka na kurudi ndani Shikaka akaingia na kufunga geti, Halfani akajiweka sawa wakati huohuo Hafidhi j Ikram alikuwa akitoka ndani mule bila shaka yeye ndiyo aliyekuwa kajigeuza na kuwa kiumbe cha ajabu

    “vipi nikuachie au nimfinye?’’

    Shikaka akauliza

    “niachie tu niweze kuoshea nyota yangu’’

    Hafidhi akajibu na kumfata Halfani aliyekuwa akicheka yote sababu ya dharau pasipo kufahamu hivi viumbe ni hatari tupu Hafidhi akachumpa na kwenda kukita mwilini mwa Halfani kilikuwa ni kitendo cha kufumba na kufumbua tu Halfani kushikilia sehemu ya tumboni huku akianza kucheuwa damu alipojaribu kuachia ile sehemu utumbo sijui bandama na madude gani vikachoropoka na kutoka nnje. Akapiga kelele na kudondoka chini ikawa kwisha habari yake wanaume wakapotea, wiki mbili baadae mauwaji yakazidi kuongezeka huku sababu ya watu hao kuwawa isiweze kufahamika nini chanzo. Polisi walijitahidi kufanya upelelezi wa kina lakini hawakuweza kuambulia kitu. Polisi haohao walikutwa wameuwawa kikatiri sana, watu wakarudi katika zama za kuishi kwa hofu. Tena ilikuwa hofu kuu kila leo watu walitekwa na kupotezwa kwenye mazingira ya utata. Tukiachana na hayo kijana Seiph akaanza kuwa na tabia ya kibabe hapo shuleni kwao yoyote aliyekuwa akimsema vibaya alichezea vitasa kutoka kwake tabia hii iliwashangaza watu wengi sana na kujiuliza Seiph uwezo wa kupambana mpaka na watu kumi akaweza kuwashinda wote kautolea wapi? Seiph huyuhuyu aliyekuwa bwege zoba taira leo hii anaogopeka kila kona ya jiji, “nikwambie kitu Rose” “ehee Niambie shosti maana wewe huishiwagi maneno” “si unakumbuka kipindi kilee tulivyoenda kule Badeko?’’

    “ndiyo nakumbuka si mpaka Petronia akambwaga Bwana ake kisa ana kibamia”

    “ehee kumbe una kumbukumbu sasa kwa taarifa yako yule Petronia ni Mchawi”

    “wee! Usiniambie”

    “ndiyo nishakwambia hivyo na ukae ukijua kuwa yule binti hafai kabisa yani siku ile kusema sijui Seiph ana kibamia sijui nini kumbe uwongo mtupu” “hee! Wee Getu kwanini sasa useme uwongo wakati marafiki zake kibao wanasema ni kweli jamaa ana kipisi tu!’’ “unajua Rose wewe hujui tu na utakaa hivyohivyo hujui niulize mimi suruba niliyoipata kwa Seiph mpaka mishuzi ikanitoka kwa taarifa yako Seiph ana zinga la Dudu kama mguu wa mtoto, kama huamini kajaribu kujitongozesha uwone mziki wake”

    “aku mwenzangu mimi walaa sina shida na vibamia asije akaniacha na nyege bure nikashindwa kumpata wa kuzitoa” wakati marafiki hao wakiwa wamekaa juu ya kibaraza kimoja cha nyumba wakipeana michapo ndipo wakamuona Seiph akikatiza mbele yao





    -----------------

    “Aku mwenzangu mimi walaa sina shida na vibamia asije akaniacha na nyege bure nikashindwa kumpata wa kuzitoa” wakati marafiki hao wakiwa wamekaa juu ya kibaraza kimoja cha nyumba wakipeana michapo ndipo wakamuona Seiph akikatiza mbele yao

    SONGA NAYO

    SASA

    “Ehee! Seiph mwenyewe yulee vipi nikuitie au?"

    Getu akauliza

    “mwite tuone alafu nasikia siku hizi kawa mbabe huyo"

    “Seiph!!!

    Alipaza sauti bibiye Getruda kwa kumwita Seiph ambaye nae aliweza kusikia. Pasipo kuitikia akaja moja kwa moja mpaka hapo

    “Mambo zenu?"

    “safi tu tuambie handsome wetu"

    “ahaa handsome nitakuwa Mimi bwana embu niambie bibiye Getu,"

    “Mimi sina hata cha kukuambia ila Rose ana shida na wewe"

    Getruda akajieleza kitendo kilichomfanya Seiph amuangalie kwanza huyo Rose

    “haya niambie Msambwanda una shida gani?"

    “Mmh! Hilo jina eti Msambwanda unamaanisha nini kuniita hivyo?"

    Rose akauliza pasipo kujibu swali aliloulizwa na Seiph.

    “Msambwanda maana yake ni makalio makubwa hips zilizonona yani upo kimahaba zaidi"

    “Mmh hayo makalio yenyewe niyatolee wapi? Hizo hips zenyewe kama vimbavu vya kuku

    Sema nini Seiph mwenzako nilikuwa nahitaji fundi

    Tv"

    Aliongea hivyo Rose huku akifahamu fundi mwenyewe ni Seiph kwani ni kijana ambaye anafahamika sana kitaa hicho kwa utaalamu wake wa kutengeneza vifaa vya umeme. Kama vile feni radio DVD na vinginevyo,

    “ehee! Hiyo TV yako ina tatizo gani?"

    “kwakweli hata sijui ila nikiwasha inawaka naangalia kama dakika tano au tatu hivi inajizima yenyewe

    Kuwaka mpaka niiwashe tena zikitimia tu hizo

    Dakika inazima"

    Akatoa maelezo bibiye Rose

    “ok! Kuhusu hilo tatizo nishalipata sasa subiri niende nyumbani kufata vifaa vya ufundi kisha nitakuja kuicheki"

    Aliongea Seiph huku akiondoka.

    “wewe nae kwanza hiyo TV unayo?"

    “ndiyo ninayo"

    “iko wapi?"

    “si hiyo hapo Sebuleni au hujawahi kuiona?"

    “sasa hiyo TV mbona ni nzima"

    “wewe swala hilo halikuhusu maadamu fundi kakubari kuja kuitengeneza muache aje

    Kutengeneza Msambwanda kama alivyosema mwenyewe. Si unauona huu"

    Aliongea Rose na kutingisha makalio yake.

    “sawa shosti nimeona mbona leo

    Seiph atajifaidia tu!"

    “ndiyo hivyo kama kweli ana kisu kikali atafaidi ila akiwa na kisu butu ataishia kujilamba"

    Waliongea marafiki hao kisha wakaagana

    **********

    “Utaeleza kwanini ulisababisha kifo cha binti yangu"

    “Nisamehe bwana mkubwa kwanza mbona sifahamu chochote kuhusu swala la mauwaji. Sikuwahi kuuwa mimi"

    “najua ndiyo hujui ila, je unamfahamu Yusra?"

    “ndiyo namfahamu"

    “alikuwa ni nani yako?"

    “mpenzi wangu ila niliachana nae kabla kifo hakijamkuta"

    “Je unafahamu ni kitu gani kilichosababisha kifo chake?"

    “sijui ila nasikia tu alijinyonga"

    “Vizuri sana kijana kwa kusema kuwa hujui sababu wakati unafahamu nini chanzo.

    Sasa basi sina muda wa kupoteza sali sala yako ya mwisho. Kabla sijakupeleka huko alipo Yusra"

    Ghafla sauti nzito ikasikika huku aliyepiga kelele hizo akishtuka kutoka usingizini na kujishika shingoni. Kumbe yote ilikuwa ni ndoto tu! Aliyokuwa akiota mtu huyo. Alibaki akihema kwa kasi, kijasho kilimvuja na kubaki kuifikiria hiyo

    Ndoto yule kiumbe ni nani? Na kwanini atake kunichinja namna ile. Bila shaka hii ni ndoto tu kama zilivyo ndoto zingine

    “Ibrahim mwanangu"

    “naamu Mama"

    “vipi mbona umepiga kelele nzito hivyo kuna nini mwanangu embu fungua mlango"

    “ni ndoto tu ewe Mama yangu wala usijali"

    “ndoto gani tena za mchana wote huu

    Embu kwanza fungua mlango"

    Ikabidi Ibra afunguwe mlango Mama yake akaingia akiwa kaongozana na Waschana kama wawili hivi.

    “haya niambie hiyo ndoto inahusu nini?

    Maana hapa mtaani kuna watu ni Wachawi isijekuwa washaanza mambo yao mchana mchana"

    Aliongea Mama yake Ibra na kumuangalia mwanae kiumakini sana.

    Ibra nae akafikiria kwa muda kidogo ndipo akaongea

    “kiukweli Mama yangu hii ndoto inamaana kubwa sana juu ya mustakabari mzima wa maisha yangu. Ndoto hii ni moja kati ya malipo

    Ninayotakiwa kulipwa kutokana na matendo

    Mabaya niliyomtendea Yusra.

    Mama kifo changu kipo njiani, Mama mwanao nakufa Mimi"

    Aliongea Ibra huku akianza kulia ni kitu ambacho kilimshangaza sana Mama yake na wale mabinti wawili

    “Kaka Ibra embu acha kujichulia bwana wewe tuambie nini kilichokufanya ushituke na kupiga kelele namna hiyo?"

    Aliuliza mmoja kati ya wale mabinti

    “Arafa Dada yangu kama unamkumbuka wifi yako

    Yusra yule ambaye kuna siku nilimpiga na kumtimua hapa nyumbani kisa alidai ana

    Mimba yangu"

    “ahaa! Unamzungumzia yule malaya"

    “usimwite hivyo Dada mwenzako nakufa Mimi sina muda wa kuishi tena"

    “kwahiyo Kaka nawe unataka kujinyonga kama yule Malaya au? Kwanza ukifanya hivyo utakuwa mwehu kabisa"

    Alichangia binti mwingine kwa kumwambia hivyo

    Ibra ikabidi Ibra awasimulie kuhusu hiyo ndoto

    “Mtumee unataka kusema yule Binti baba yake ni huyu Ninja Shoti?"

    “ndiyo Mama embu fikiria nitakimbilia wapi Mimi"

    Kila mmoja akaanza kulia hakika kitendo cha kusikia Yusra ni binti wa Ninja Shot

    Inatisha.

    “Ibra mwanangu umejuaje yote hayo? Hapana yule binti haiwezekani akawa ni mtoto wa kiumbe kile cha ajabu"

    Alikataa mama yake Ibra

    “Mama ukubari ukatae Yusra Baba yake ni Hafidhi j Ikram"

    “kivipi sasa?"

    Arafa akauliza kwa kung'aka

    Ibra akasimulia tena siku ambayo alianzisha mahusiano ya kimapenzi na bibiye Yusra kuna siku aliwahi kumpiga mwishoe Yusra alisema ipo siku Baba yake atakuja kumlipia kwa yote mabaya yanayomtokea. Akamuuliza kuhusu huyo

    Baba yake ni nani? Yusra akamtaja Hafidhi j Ikram kitendo kilichomfanya Ibra acheke kwa dharau kwani hakutaka kuamini kama Yusra anaweza kuwa na Baba kama huyo.

    Yusra alipitia matukio mengi sana yenye kustaajabisha alishawahi kubakwa na Wanaume kama wanne siku ambayo alikuwa akitoka kwenye Kitchen part ya shogaake

    Hakika alilia sana, yote kwa yote Mama yake ambaye ni bibiye Mariam akashindwa kufatilia swala likaishia polisi tu. Kwa wanaume hao kukamatwa na kuachiwa huru

    Na haijulikani hiyo Mimba ni ya Ibra au ya wale Wabakaji kwani taarifa za kubakwa hata Ibra aliambiwa ndiyo maana akaikataa Mimba ya Yusra. Siku aliyoambiwa akampiga sana na kumtimua

    “sasa kama hivyo itabidi twende kwa Mganga"

    Alishauri Arafa kauli ambayo kila mmoja akamuangalia yeye.

    “kwa Mganga tena twende kufanya nini?"

    “hivi unafahamu kama Ninja Shoti si kiumbe wa kawaida? Embu fikiria binadamu gani mwenye kuweza kufanya mambo yote haya

    Pasipo kushikwa na jeshi la polisi. Ukiona hivyo ujuwe yule ni Jini Mimi nashauri twendeni kwa Mganga ili aweze kukupa kinga,"

    Aliongea Arafa

    “Sawa twenzetu maana hapa nilipo sina dhamana ya maisha"

    Basi kila mmoja akajiandaa na kutoka wakafunga milango na kuianza safari ya kuelekea kwa Mganga.

    Sijui kama Ninja Shoti anazuilika kwa mambo hayo.

    Wakati wanatoka njiani waliweza kupishana na Seiph akiwa kabeba Begi akasalimiana nao.

    Walipopishana tu Seiph akasimama na kugeuka akawatazama kwa muda kidogo kisha akasema

    “Ibrahim hakika maisha yako

    Yapo mikononi mwangu kabla sijakuua itabidi nitembee na Dada zako ulimtenda visivyo Yusra hakuwa na hatia yoyote ile.

    Baada kuongea hivyo akaendelea na safari yake kumbe Seiph nae anatembea na kisasi juu ya Dada yake.

    Tukija kwa bibiye Rose baada kuagana na Getruda akaingia ndani mpaka Sebuleni na kuisogelea TV

    Akaiangalia na kuelekea chumbani

    Huko akavua mavazi yake yote. Dosalalee

    Hakika bibiye alikuwa kabarikiwa kila idara. Kipochi kilichotuna utasema kitumbua cha shilling

    Mia mbili. Kisafi kisichokuwa na nyasi hata moja,

    Chuchu zake zilisimama dede utasema

    Kifuu cha nazi, binafsi alitamanisha kila maeneo

    Akachukuwa upande wa kanga na kujifunga kisha akatoka na kuelekea Bafuni

    Akiwa huko akasikia mlango ukigongwa. Akajisemea

    Bila shaka kidume cha shoka kimefika mmh eti wa shoka isijekuwa Getu anataka kuniingiza chaka nikutane na Kibamia?

    Akatoka akiwa kajifunga ile kanga iliyorowana na maji chapachapa

    “nani mwenzangu?"

    Akauliza kabla ya kufungua mlango.

    “fundi hapa"

    Sauti ya Seiph ikasikika ikijibu pasipo kuchelewa bibiye akafungua mlango na kumpisha Fundi aingie

    kwanza Mwanaume alipoingia mwili ukamsimka

    Baada kumuona bibiye Rose akiwa katika hali ile.

    “Tv yenyewe ndiyo hii au?"

    Aliuliza Seiph kwa sauti ya kubabaika maana alishaanza kuwa katika wakati mgumu.

    “ndiyo"

    Akaitikia Rose huku akijing'ata kucha na kurembua macho yake kama goroli. Seiph akaiwasha kwanza ile TV na kuiangalia Ghafla akahisi mikono laini ikimtambaa kwa kumshikashika maungoni mwake.

    Akasisimka si kidogo akafanya kugeuka

    Na kukutana na sura chokozi ya bibiye

    Rose

    “Seiph naomba unisikilize japo kwa muda mchache tu. Kwakweli mwenzako nimetokea kukupenda sijui tuseme ni Shetani au pepo mchafu ndiyo kasababisha yote haya.

    Usinione kama vile ni Mwanamke Malaya hapana sipo hivyo,,,, hata hakumalizia kuongea akadakwa mdomo na kuanza kunyonyana denda kwa pupa

    Seiph alimvamia Rose na kuanza kuzinyonya Chuchu zake zilizosimama kwa hamu.

    “mmh,,aaaah,,,aaaah,,, hakujali kelele hizo za malalamiko ya kimahaba ambapo aliendelea na zoezi lake la kuzinyonya mpaka alipoona mtoto wa watu anaanza kuweuka maneno yasiyo na Mpangilio

    alishuka chini zaidi ambapo safari yake alipofika kwenye kiuno alikizunguka huku akikinyonya na kuking'atang'ata na meno yake. Alipata msisimko wa ajabu sana ambapo alizidisha kuweuka kwa maraha

    Lakini shughuli ilikuja kupata mshereheshaji pale ambapo Seiph alipompanua mapaja na kuanza kumnyonya kitumbua chake kilichokuwa kimeshaanza kulowa,hakujali hilo. Aliingiza ulimi wake na kuanza kumnyonya kitumbua huku akikazana kukisugua kile kiarage chake. “aaaah,

    ,,,ooooh,,oooh,

    ,oouuh,,mmmh,,aaaissssssss,,"

    Alilalamika Rose huku akihisi mashetani yamempanda kwa utamu alioupata

    Mizuka ilimpanda na kumweka mkao wa kumsugua. Alianza kwa kujilaza yeye chali kwanza kisha Rose akaja kwa juu yake,kwa mbwembwe alizokuwa nazo Bibiye alipoushika Mtalimbo ambao ulimshangaza kutokana na ukubwa wake. Akawa anaukalia kwa kusitasita. Walishapelekana chumbani kwa bibiye Rose. Alilichomeka kwenye kitumbua chake na kuliacha liingie taratiiibu ambapo yeye alikuwa analikalia huku akitoa miguno kama anakula muwa.

    Kwa mwendo wa taratibu mtalimbo Ukaanza kuzama kwenye kitumbua cha

    kwa upande wake Seiph alitulia kama hayupo kitandani,kazi ikawa kwa Rose aliyekuwa anatakiwa aumiliki uwanja kwa kujiamini hasa,lakini hivyo ndivyo ilivyotokea

    hakukubali kuzidiwa kete. Alikizungusha kiuno chake huku akikishusha na kukipandisha juu chini,chini juu,alihakikisha anakikuna kichwa cha mtalimbo ipasavyo

    “mmmh

    ,,,aaah,,,mmssssss,,,aaaa"

    Alizidi kulalamika bibiye huku

    Mtalimbo ukizama na kutoka alilalamika kwa utamu usipime,alikuwa akitoa miguno mpaka raha

    Baada ya dakika arobaini na tano ndio Seph alimwaga bao lake huku akijisikia raha sana kwani walibadilisha mitindo kitandani hapo mpaka Rose akajikuta ananyoosha mikono juu,alidai amechoka sana.

    Seiph hakuwa na muda wa kupumzika akanyanyuka na kumbusu bibiye kwenye rips zake

    Kisha akavaa nguo zake

    “sasa baby unaenda wapi?"

    Rose akauliza kwa sauti yenye kutawalia na kama kausingizi fulani yani hapo alikuwa kachoka hoi

    Kabla Seiph hajajibu wakasikia

    Mlango wa sebuleni ukigongwa kwa nguvu

    “wee Malaya embu fungua mlango

    Halaka sana!"

    Aliongea kwa sauti ya ukali huyo mgongaji na kumfanya kila mmoja Ashtuke.

    Seiph akatoka mbiombio mpaka Sebuleni na kuishika Tv akawa anaifungua huku

    Rose nae akijiweka sawa akaenda kufungua

    Mlango.....





    “wee Malaya embu fungua mlango

    Halaka sana!"

    Aliongea kwa sauti ya ukali huyo mgongaji na kumfanya kila mmoja Ashtuke.

    Seiph akatoka mbiombio mpaka Sebuleni na kuishika Tv akawa anaifungua huku

    Rose nae akijiweka sawa akaenda kufungua

    Mlango.

    SONGA NAYO

    SASA

    Kitendo cha Rose kufungua mlango tu akajikuta akisukumizwa na kupepesuka kwa kurudi ndani akadondoka chini puhuu,

    Seiph aliweza kushuhudia kile kitendo sema akajikausha kimyaa na kujifanya akiendelea na kazi yake. Ndipo akaingia kijana mmoja hivi akiwa kaongozana na wenzake

    Sita jumla yeye mwenyewe alikuwa wa saba.

    Watu hao walionekana kuwa na miili mikubwa si mchezo.

    Baada kuingia wakafunga mlango huku yule

    Mwanaume aliyemsukumiza bibiye Rose akipitiliza moja kwa moja mpaka Chumbani.

    Wakati wale wenzake wakikaa kwenye Masofa yalipo pale Sitting room,

    “Fundi!!! Nakuona fundi uko bize mwenyewe"

    Aliongea kwa sauti ya dharau yule bwana baada kutoka kule chumbani

    Seiph akabaki kimyaa na kuendelea kupima baadhi ya vifaa kiukweli TV haikuwa mbovu ni nzima.

    “wewe Malaya embu sogea hapa"

    Aliitwa bibiye Rose aliyekuwa kasimama tu kama vile zezeta

    Akasogea pale alipoitwa alipofika tu jamaa akamshika mkono na kwenda nae chumbani.

    Huko sauti ya kilio ikasikika kuonyesha anapigwa.

    Seipha akaiweka Saketi ya Tv pembeni na kunyanyuka

    “ahaa! Fundi unataka kwenda wapi tena? Kwani ushamaliza kutengeneza?"

    Aliuliza mmoja kati ya zile mbavu

    “naenda kuchukuwa Solda Waya

    nimeusahau nyumbani"

    Seiph akajibu binafsi alitaka kutoka ndani ya nyumba hiyo kwani alishafahamu mambo yatakuwa sio mambo.

    Ghafla wakati akiwa kasimama akashtukia akipuliziwa kitu kama pafyumu au dawa ya Mmbu

    Pale pale akaanza kuona chumba kama vile kinazunguka akabaki kuyumba tu

    Mlango ukafunguliwa akatolewa nnje, nae alipotoka tu nnje akaanza kukimbia kwa kasi huku

    Wale watu wakimkimbiza na kumpigia kelele za mwizi. Seiph akazidi kukimbia huku akikoswa koswa kupigwa na vitu vizito

    Dawa aliyopuliziwa ikazidi kufanya kazi

    Na kumfanya ashindwe kuona kabisa akakimbilia sehemu ambayo hakuna mtu hata mmoja mwenye kumfahamu Akashtukia akipigwa zinga la mtama huku akishushiwa kipigo cha kufa mtu

    Mwenye jiwe mwenye nondo yani alipigwa mpaka akawa hatamaniki ila alisema kauli mmoja tu

    “Mtalipa hivi kidogo"

    Ni kauli iliyowashangaza sana watu wa maeneo hayo huyu mwizi wa aina gani mbona

    Anaongea hivi.

    Wakapandisha mori na kuzidi kumpiga

    Upepo ulianza kuvuma kwa kasi ya ajabu

    Watu wakahisi kimbunga kinatokea

    Kila mmoja akaziba uso wake kujizuia na vumbi lililokuwa linatimka kwa wingi.

    Ninja Shot! Akaibuka upepo ukaacha kuvuma

    Kila mtu akashtuka kumbuka Ninja

    Shoti ni kipenzi cha watu. Watu wakakaa pembeni kuona huyu kiumbe kafata nini katika maeneo hayo

    Ninja Shoti akasogea mpaka alipokuwa kalala Seiph hajiwezi kwa chochote damu nyingi zilikuwa zikimtoka. Alipomfikia akamshika kichwani kisha akasema

    “iwapo huyu kijana akifa itabidi kila mmoja wenu ale nyama yake, kufanya hivyo itakuwa ni bora kwenu nyinyi kuliko mwili wake kufukiwa.

    Mnafahamu kwanini nasema hivyo

    Huyu sio mwizi bali kasingiziwa

    Sasa basi jukumu la kuokoa uhai wa huyu kijana lipo mikononi mwenu. Mimi naenda ole wenu

    Afe mtanitambua vizuri Mimi ni nani?"

    Ninja Shot! Akachimba mkwala kisha akapotea na kuacha Wananchi wameshikwa na taharuki

    Walichokifanya ni kumbeba Seiph na kufanya haraka kumuwahisha Hospitali

    Kwa wakati huo kijana hakuwa na maumivu ya aina yoyote kwani kule kushikwa kichwani

    Aliondolewa maumivu yote

    Yakabaki majeraha tu, yani alikuwa kama vile kapigwa ganzi.

    Kwa upande wa bibiye Rose alizidi kupigwa makofi na jamaa yake akapiga kelele za kuomba msaada

    “jamani nisaidieni ananiuwa hukuu, nisamehee"

    “unataka nikusamehe sio? Malaya mkubwa wewe yani nakuhudumia kwakila kitu kuanzia kula kuvaa mpaka nakusomesha hivi unafahamu

    Pesa zote hizo nazitolea wapi?"

    “nisamehe Fred"

    Rose akujibu kitu zaidi ya kuomba msamaha

    Fred akatoka chumbani na kuelekea Sitting room si akamkuta bwana mkubwa Shikaka akiwa amekaa akiangalia Tv

    “nani wewe? Na umeingiaje ndani ya nyumba yangu?"

    Aliuliza kwa hamaki huku akimsogelea ile anamkaribia tu akajikuta akipigwa teke moja takatifu akarushwa hewani kimo cha Mbuzi na kwenda kujibamiza kwenye ile Tv

    Ikavunjika pamoja na kutoa Shoti

    Bibiye Rose akatoka ndani mbiombio kufika pale akashtuka na kubaki kutetemeka

    “Binti piga simu polisi"

    Aliongea hivyo Shikaka akiwa Tayari kwenye mavazi yake. Rose akabaki vilevile yani kaganda kama Sanamu Shikaka nae hakutaka hii kesi

    iwe ya huyu Binti kwani anaweza kusepa mwishoe polisi wakafika hapo na kumkamata

    Bibiye alichokufanya ni kumsogelea Fred

    Aliyekuwa kalala pale chini huku damu nyingi zikimtoka shingo yake ilikuwa imekatwa na kipande cha kioo.

    Akamsachi mfukoni na kuitoa simu

    Ilikuwa na Pattern ajabu Shikaka akazitoa hakika yeye ni Jiniasi wa ukweli.

    “ongea nao waambie Ninja Shot! Kafika hapa"

    Shikaka alimwambia hivyo bibiye Rose nae huku mikono ikimtetemeka akaipokea hiyo simu na kuangua kilio badala ya kuongea. Shikaka akatabasamu tu na kwenda kukaa kwenye

    Sofa kiukweli hakuwa na wasiwasi waaina yoyote ile.

    “Haloo binti nini tatizo? Mbona unalia tu ongea basi"

    Sauti ya upande wa pili ikasikika ikiuliza

    Ndipo bibiye akajikaza na kutamka neno.

    Kuwa kavamiwa na Majambazi, kisha akakata simu na kubaki kuduwaa tu!

    “embu njoo hapa ukae ili tuweze kuwasubiri hao

    Vibaraka wa Bashite tuone uwezo wao.

    Kwanza si umewapigia simu saa hizi. Basi kufika hapa itachukuwa takribani masaa mawili au nusu saa. Bora ungewaambia kuna maandamano huku

    Sasa hivi wangefika!"

    Aliongea Shikaka akiwa katika mavazi yake ya kilaiya tu!

    Rose huku akiendelea kutetemeka kwa uwoga wa hali ya juu akaenda kukaa kwenye Sofa lingine.

    *******

    Mama yake Ibrahim aliweza kuwasili kwa Mganga akiwa kaongozana na wanaye. Walikuta kuna bonge la foreni

    “duhuu mbona kuna msongamano wa watu namna hii?"

    Aliuliza Ibra kuonyesha jinsi gani kashangazwa na hali hiyo

    “ukiona hivyo basi ujuwe yakwamba huyu

    Mganga anaaminika sana katika tiba zake.

    Ndiyo maana watu wanaitana tu!"

    Akajibu bibiye Arafa walikaa pale wee mwishowe ikafika zamu yao. Wakaingia ndani

    “Hahahaha naona mmekuja na maiti inayotembea"

    Wote wakashtuka kutokana na ile kauli ya Mganga

    “hee! Babu unamaanisha nini kutuambia hivyo?"

    Arafa akauliza kwa hamaki

    “najuwa mlikuwa hamjui wala kufahamu kuwa huyu kijana Tayari ni Marehemu"

    Mganga akaongea na kuushika usinga wake akafanya kama kufukuza fukuza Nzi

    kisha akauweka kwenye kibuyu akapiga chafya na kuanza kuzungumza sijui Kiluga gani

    “Uchaa, sawa nimekusikia mkuu ndawilee nitawasaidia hahahaha

    Nyoosha mkono, nyoosha"

    Mganga alianza kufanya mambo yake na kumtaka Ibra anyooshe mkono huku mkono ukimtetemeka akafanya hivyo

    Mganga akaushika ule mkono na kuangalia kwa umakini sana kisha akasema umepona

    Sema kabla ya kupona kwako kuna masharti

    Matatu tu lazima uyatekeleze vinginevyo

    Utakufa kabla ya siku mbili"

    Aliongea Mganga huku akihema na kupandisha mabega juu

    “niii--ni-masharti yapi hayo

    Babu?"

    Kwa sauti ya kukatakata akauliza Ibra

    “je upo Tayari?"

    Akauliza Mganga na kuzidi kumtisha kijana wa watu

    “ndiyoo nipo tayari"

    Ibra akaitikia kwa kujikaza tu hata hivyo alikuwa na hofu kubwa sana.

    “kama kweli upo Tayari sasa basi naomba unisikilize kwa umakini sana

    Sharti la kwanza nahitaji vinyweleo vya kwapani za Marehemu Yusra!"

    “khaa! Babu mbona sharti la kwanza n....

    “tulia kijana ili niweze kumaliza mazungumzo yangu kisha ndiyo uwongee. Sharti la

    Pili uniletee ubongo wa mtoto mchanga

    Mwisho kabisa unatakiwa kulala na maiti kwa muda wa siku tatu"

    Mganga akamaliza kutoa masharti kiukweli ni magumu sana bora hata hilo

    La kulala na maiti au kupata ubongo wa mtoto mchanga. Ibra akafikiria na kuinuka kisha akatoka nnje huku akisonya na kusema

    “mambo gani haya ya kibwege siwezi kufanya sharti hata moja kama kufa wacha nife

    Akatoka nnje ghafla akarudi ndani mbio huku

    akipiga kelele

    Alipofika ndani akaenda kumkumbatia Mama yake

    “si mnaona kijana kwajinsi anavyo wehuka!"

    “nini tena mwanangu?"

    Mama Ibra akauliza huku naye akitweta kwa hofu

    “Anakuja kuniua!"

    Ibra akasema hivyo na kuzidi kumkumbatia mama yake. Mganga akanyanyuka akiwa kashika manyanga yake alianza kuyatikisa huku akiimba kwa sauti kubwa.

    “sasa mnaweza kwenda"

    Mganga akawaambia hivyo baada kunyamaza kuimba na kupiga Manyanga,

    “sasa tutaenda vipi wakati bado hatujaweza kufahamu kuhusu Mustakabari wa mwanangu?"

    Mama Ibra akauliza

    “Kuhusu hilo jambo wala msijali huyu

    Binti atabaki kwaajili ya kuchukuwa baadhi ya maelekezo kisha atakuja kuwapa taarifa zote"

    Aliongea Mganga huku akimnyooshea Usinga bibiye Arafa mpaka hapo hakuna aliyekuwa na maswali zaidi ya kutoa sadaka. Wakaondoka na kumuacha Arafa ambaye alionekana kufahamiana vyema na huyo Babu

    “sasa vipi mchumba mwenzako nahitaji

    Kiduchu tu!"

    “mmh wewe naye sio kwa muda huu bwana kwanza huoni kama kuna wateja kibao wanakusubiria huko nnje?"

    “kuhusu hilo wala usitie shaka wewe tangulia tu

    Chumbani"

    Mganga akaongea kwa sauti ya chini sana Arafa akanyanyuka na kuelekea huko chumbani

    ********

    Polisi waliweza kuwasili eneo la tukio baada kupita kama dakika 45 hivi tokea wapigiwe simu

    Gari waliokuja nayo aina ya Range Rover ikafunga break kwa kasi huku Askari hao wakiruka na kuizunguka nyumba hiyo

    Kisha wawili kati yao wakausogelea mlango wa nyumba hiyo. Huku wakiwa na tahadhari ya hali ya juu sana.

    Kitendo cha kuukalibia ule mlango na kutaka kushika kitasa ghafla wakajikuta wakipigwa kikumbo kizito na kurushwa juu na kutua chini.

    Mwili wa Fred ulitupwa Ninja Shoti akaibuka kutokea ndani humo yani alifanya kwanza kuutanguliza mwili wa huyo jamaa ikiwa kama Salamu tu!

    Kisha naye akatoka

    Askari wakabaki kukodoa macho tu kwa kumtazama kiumbe huyo mpaka akapotea kwenye upeo wa macho yao. Hakuna aliye thubutu hata kufyatua risasi

    ********

    Tukija kwa Hafidhi j Ikram baada kumuangamiza Bwana mkubwa Halfani siku hiyo alikuwa amekaa chumbani kwake akiwaza hili na lile.

    Hakika alikuwa na mawazo mengi sana hasa kuhusu swala zima la yeye kuachana na kila kitu!

    Alihitaji kumrudia Mwenyezi Mungu ili aweze kuishi kwa Amani na furaha akiwa na familia yake.

    Kwani aliweza kufahamu kama kesi ipo mikononi mwa Hafidhi j Ikram yani wajina wake

    Basi kila kitu kitakwisha.

    “baby chakula Tayari"

    Akashtuliwa na sauti ya bibiye Mwajuma ikimwambia hivyo

    “nimeshiba"

    “mmh! Baby si ulisema unasikia njaa ukaniambia nikakuandalie chakula? Sasa iweje tena

    useme umeshiba embu twende tukale bwana!"

    Mwajuma aliongea na kumshika mkono kipenzi chake

    Hafidhi hakuwa na budi kwenda tu japokuwa hakuwa na hamu ya kula. Wakati wanatoka na kufika sebuleni Mwajuma akashangaa kumuona Shikaka akiwa kakaa pale kwenye sofa akila chakula

    “khaa! Shemu umeingiaje humu ndani?

    Wakati milango yote imefungwa?"

    Shikaka wala hakujibu lile swali akaendelea kula.

    Hafidhi naye akamtaka Mkewe akae kimya

    Basi Mwajuma akafanya hivyo akampakulia chakula mumewe na kumnawisha

    “Hafidhi"

    Shikaka akaita kwa sauti yenye kuunguruma mpaka Mwajuma akashtuka na kuogopa

    “Naamu kaka!"

    Hafidhi akaitikia pasipo kutokuwa na hofu ya aina yeyote ile.

    “siku ya leo ndiyo itakuwa ni siku yakila kitu

    Kuisha. Nitachinja kila mtu!

    Na kuikamilisha hii kazi baada hapo nahitaji

    Nitubu dhambi zangu niswali swala tano na kumtukuza muumba wangu. Pia nahitaji uniozeshe Dada yako ili niondokane na maisha ya Uzinifu

    Kwani nimefanya mambo mengi sana ya Ajabu

    Yenye kumchukiza Mwenyezi

    Mungu. Yote kwa yote nitatubu

    Nina imani nitasamehewa tu!"

    Aliongea Shikaka kwa hisia kubwa sana ni kweli amefanya matukio mengi sana yenye kuogopesha na kustaajabisha sasa

    Ameona huu ni muda muafaka wa yeye kuachana na kila kitu.

    “sawa Kaka nimeweza kukusikia hata Mimi nilikuwa na mawazo kama yako, ila ningeomba kitu kimoja tu kutoka kwako"

    “kitu gani hiko?"

    “naomba nishiriki nawe katika hiyo

    Misheni ya mwisho ili

    Tufunge panzia tukiwa pamoja"

    Shikaka kwanza akafikiria kwa muda kisha akasema

    “Sawa haina shida pia unaweza kualika

    Marafiki zako wale wawili ili tugawane majukumu

    Bila shaka dunia leo itaingia kwenye Giza,

    Giza ambalo itabaki kuwa historia katika maisha yetu yaliyobaki"

    Shikaka akakubari ombi la kujiunga na

    Hafidhi katika Misheni final

    Mwajuma alibaki kimyaa akiwasikiliza tu.

    Je nini kitaendelea?"







    -----------------“Sawa haina shida pia unaweza kualika

    Marafiki zako wale wawili ili tugawane majukumu

    Bila shaka dunia leo itaingia kwenye Giza,

    Giza ambalo itabaki kuwa historia katika maisha yetu yaliyobaki"

    Shikaka akakubari ombi la kujiunga na

    Hafidhi katika Misheni final

    Mwajuma alibaki kimyaa akiwasikiliza tu.



    SONGA NAYO

    SASA



    Yapata majira ya saa kumi Alasir ndani ya uwanja wa Chamanzi uliopo Mbagala kulikuwa na mechi ya mpira wa miguu baina ya

    Azam fc na Simba sc hakika ilikuwa ni bonge la mechi. Hasa ukizingatia timu hizo

    Zina upinzani kwa kiasi kikubwa, wakati mpira ukiendelea huku Mashabiki wakipaza sauti zao kwa kushangilia miongoni mwa watu

    Waliopo hapo uwanjani pia alikuwepo kijana mmoja hivi. Kama unamkumbuka vizuri aliwahi kumpiga na kumtesa Hafidhi kipindi kile alipopoteza kumbukumbu zake.

    Na inavyosemekana ndiyo aliyeuza Nyumba yao.

    “wewee piga mikia hao

    Wamatopeni wazee wa maandamano. Pigaa

    Mama mkanye mwanao asiandamane!!!

    Alipaza sauti kijana huyo baada mshambuliaji wa team ya Azam kufanyiwa fauro iliyosababisha iwe ni penati. Wachezaji wa Simba hawakuwa Tayari kukubari wakamzonga Muamuzi wa mchezo

    Kitendo kilicho sababisha

    Refa atoe kadi nyekundu kwa beki wa Simba

    Aitwaye Abdu Banda

    Penati ikapigwa na John Boko akapata. Hakika zilikuwa ni shamrashamra na ndelemo

    Kuanzia wachezaji benchi la ufundi na mashabiki kwa ujumla

    “Ndiyoo.....

    Akapaza sauti yule kijana lakini Ghafla akashitukia akishikwa furana yake kwa kukunjwa.

    Akageuka kumtazama ni nani kathubutu kumkunja akakutana uso kwa uso na Ninja Shoti akiwa kwenye kombati zake za kazi jamaa akaanza kutetemeka na kuanza kulia

    “hihihihihihi nisamehe sishangilii tena Azam nitahamia Simba, usiniuwe tafadhali"

    “oyaa Mudy embu muangalie Gaimba kule"

    “achana nae kashaanza vituko vyake"

    Kiukweli Ninja Shoti hakuweza kuonekana kabisa zaidi ya Gaimba ambaye ndiyo muhusika aliyefatwa hapo.

    Wenzake walimshangaa baada kumuona mwenzao akilia na kuongea maneno ya ajabu sekunde si nyingi Damu zilianza kuchuruzika kwenye shingo yake.

    Kuonyesha Tayari kachinjwa watu waliokuwa wamekaa karibu yake wakainuka na kusogea mbali

    Polisi waliweza kuona jinsi Gaimba alivyokuwa akipapatika na kudondoka chini

    Alipodondoka tu akaangusha kikaratasi

    Ambacho kilisomeka mwanzo wa ubaya mwisho wake ni aibu.

    Ninja Shoti nilikuwepo!

    Kila mtu akashtuka licha ya kutokea mauwaji hayo

    Hayakuweza kuasiri chochote kule Uwanjani

    Mpira ukaendelea kama kawaida.

    Baada Shikaka kufanya mauwaji hayo

    Akajisemea pigeni magoti msali. Kwani huwezi kufahamu saa wala dakika nitakufikia siku gani

    ******

    Tukija kwa Mganga baada kumwambia bibiye Arafa atangulie chumbani akamsindikiza kwa macho tu!

    Huku akijilamba midomo kwajinsi Mtoto alivyojaaliwa kuwa na makalio makubwa. Akamwita msaidizi wake na kumwambia

    Awasikilize wateja waliobakia kwani yeye anaenda kutoa tiba huko Chumbani.

    Msaidizi akakenua meno tu. Kabla yule Mganga ajaelekea huko chumbani akaingia Shikaka

    “wewe nani kakupa idhini ya kuingia humu ndani?

    Wakati kuna taratibu maarumu zinatakiwa zifatwe kabla ya kuingia Shenzi kabisa nitakugeuza kuku sasa hivi!"

    Mganga aliongea kwa hasira lakini Shikaka akatabasamu tu na kumsogelea yule Babu

    “sikia nikwambie kitu mzee Mimi siku zote siwezi kuishi kwa kufata sheria za Wanadamu bali ni za yule muumba wa mbingu na ardhi

    Kwahiyo usitake kunitisha,

    Hivi unafahamu Mimi ni nani? Bila shaka ushaweza kunifahamu sasa basi kuwa mpole juu yangu"

    Shikaka aliongea na kumtaka Mganga wakae chini

    “sina haja yakutaka kukufahamu kuwa wewe ni nani. Kwakuwa unajifanya mjuaji

    Subiri sasa nikuonyeshe"

    Aliongea Mganga na kuchukuwa Usinga wake alipoushika tu ule usinga upepo ukaanza kuvuma kwa kasi yani ulizidi kuvuma huku Mganga na msaidizi wake wakitupwa utasema kuna kitu kimewasukumiza wakaenda kujibamiza Ukutani na kuwa kimyaa, Ninja Shot! Alikuwa Tayari katika kombati zake akamuangalia yule Mganga kisha akanyoosha kidole chake kuelekezea kikapu chenye madude ya Kiganga ghafla yakaanza kuwaka moto

    Baada kufanya hivyo akaelekea kwenye Chumba ambacho bibiye Arafa alikuwa kaelekea.

    Arafa naye baada kuingia chumbani humo

    Akajisaula kila kitu na kubaki mtupu kisha akajilaza kifudifudi na kuacha makalio yake yameumuka kwa juu utasema sikonsi

    “Ohoo! Baby njoo mwenzako nawashwa"

    Aliongea Arafa baada kusikia mlango ukifunguliwa pasipo kumtazama huyo aliyefungua mlango ni nani.

    “binti unaweza ukavaa mavazi yako haraka sana kisha tuweze kuongea"

    Arafa alishtuka si kidogo baada kuisikia sauti hiyo

    Akageuka na kujikuta akikodoa macho

    “usiniogope bibiye Mimi ni mmoja kati ya watu wema tu!"

    Aliongea Ninja Shoti na kwenda kukaa kwenye sofa

    Arafa akajifunika shuka kustiri maungo yake.

    “nisikuogopeshe sana binti

    Ila nimekuja hapa kwaajili ya kukupa sharti

    Moja tu kama ukikubaliana nami basi Kaka yako atakuwa huru"

    “ndiyo nipo Tayari kufata hilo sharti"

    “tambua kitu kimoja wewe ni mmoja kati ya mabinti warembo sana niliowahi kuwaona katika dunia hii

    Lakini urembo wake unautumia vibaya kwa kugawa utamu wako kwaajili ya mambo ya kipumbavu kama haya! Embu nikuulize kitu

    Unaamini vipi kama huyu mzee angeweza kunizuia Mimi kiumbe ambaye nimeshindikana kwa kila mtu. Nisiongee sana mimi nahitaji uwe mkwe wangu je umekubari?"

    “ndiyo nimekubari lakini niwe mkweo kivipi?"

    “ok! Kwakuwa Tayari ushakubari haina haja ya wewe kuuliza maswali nenda nyumbani kwenu

    Mwambie kaka yako kuwa yupo huru na ajiandae kuipokea posa ya kijana wangu!"

    Shikaka aliongea hivyo na kutoka nnje

    Alipotoka tu Watu wote wakatimua mbio kwa uwoga.

    Naye akapotea na kuacha hali ya sintofahamu.

    Taarifa zilianza kusambaa kwa kasi sana kuhusu Ninja Shoti kufanya mauwaji kwa baadhi ya

    Laiya huku sababu ya yeye kufanya hivyo

    Isiweze kufahamika nini chanzo.

    Jeshi la polisi wakawa kimyaa utasema hizo habari hawaja zisikia,

    Hafidhi j Ikram aliweza kuwaita marafiki zake wapya ambao ni Jango na Jungo

    Waliweza kufika na kuhitaji kupatiwa maelekezo

    “Kiukweli sikuwahi kufanya kazi hata moja nikiwa pamoja nanyi

    lakini leo hii nimeweza kuwaita hapa kwaajili ya kazi moja tu! Ni kazi ambayo ndiyo itakuwa ya

    Mwanzo na mwisho ya kukutana Mimi na nyie"

    Aliongea Hafidhi na kumtazama Shikaka

    Aliyekuwa kakaa kimya akimsikiliza tu!"

    “Sawa mkuu tumeweza kukupata wewe tupe majukumu tu!"

    Aliongea Jungo sijui Jango

    “kuhusu majukumu ya kazi nitatoa mimi japokuwa sijawahi

    kufanya kazi kwa kusaidiwa. Sasa basi hapa kuna kazi mbili tu! Moja itakuwa hapahapa Nchini nyingine kule Pakistan, akhaa! Kule Iran

    sasa basi kazi ya Iran ni hii"

    Aliongea Shikaka na kunyoosha mkono mbele

    Ikatokea TV kubwa tu inayonesha

    Matukio yaliyopita huko Iran

    Juu ya Ikram kupigwa risasi kila mmoja akaangalia kwa umakini sana kisha ikazimwa

    “Nadhani bila shaka mmeweza kujionea

    Sasa basi nahitaji wale watu, jua la kesho wasiweze kuliona,"

    Alitoa maelekezo na kumgeukia Hafidhi.

    Kufumba na kufumbua mmoja kati ya wale viumbe akapotea huku akiacha ujumbe kuwa

    Damu yao inanitosha peke yangu.

    Shikaka akatabasamu tu!

    Na kumuangalia yule aliyebaki

    “Wewe itabidi uwende kwa watu hawa.

    Ambao ni washenzi wa tabia walimbaka binti

    Yangu, baada hapo ukaichome moto ile nyumba iliyojengwa kwenye kiwanja cha mkuu

    Wako!"

    “sawa mkuu aliitikia huyo kiumbe naye akapotea kwani picha za watu hao si kaonyeshwa.

    Ni kesho yake asubuhi na mapema habari zikarindima juu ya mauwaji yaliyoweza kufanyika Nchini Iran baada muuaji asiweza kufahamika kuvamia kambi ya wapambanaji wa madawa ya Kulevya akauwa watu wote

    Na kuichoma moto kambi nzima

    Inasadikika ni Kikundi cha Boko haramu kwani

    Wiki mbili zilizopita nyuma mwenzao mmoja alikamatwa uwanja wa ndege

    Akiwa na pakti za Madawa hayo.

    Kumbe walaa sio Boko haramu ni Jungo ndiyo kafanya yote hayo

    Wakati habari hiyo ikisambaa huku Nchini Tanzania hali ilikuwa tete juu ya matukio yaliyoweza kutokea usiku wa jana.

    Watu kumi na saba wameuwawa katika maeneo tofauti huku Baadhi ya nyumba zikiwaka moto na kuteketea kabisa. Jeshi la polisi wakatoka mafichoni na kuhitaji kumsaka Ninja Shoti popote alipo. Kama kumvumilia washamvumilia sana wacha

    Wapambane naye tu!

    Wakati wao wanamtafuta Ninja Shoti mwenzao

    Alikuwa yupo

    Msikitini akitia Udhu.

    “naona sasa kila kitu kimeweza kuisha, hakika usiku wa Jana tuliifanya misheni yetu

    Vyema hata hivy...."

    Shikaka aliongea kumwambia Hafidhi lakini hakuweza kuendelea kuongea baada muadhini alipoanza kuadhini,

    Akakaa kimya mpaka adhana ilipoishia kisha wakaingia msikitini na kuswali

    Rakaa mbili za sunna."

    Kiukweli waliamua kuachana na kila kitu huku

    Hafidhi j Ikram akijiweka mbali na upande wa Majini akaishika dini kisawasawa kwa kusoma Quraan pamoja na kufunga kila siku ya Jumatatu na Alhamisi.

    Shikaka aliweza kufunga ndoa na bibiye Nasra sema Hafidhi hakutaka kuishi mbali na Dada yake

    Akamuomba Shikaka waweze kuishi pamoja.

    Seiph naye alipeleka barua ya posa

    Kwakina Ibra akitaka kumuoa bibiye Arafa posa ikakubaliwa pamoja na kutajwa kiasi cha

    Mahali. Ikatolewa bila shida maandalizi

    Ya harusi yakaanza kufanyika huku

    Seiph akiwa karibu zaidi na mkewe bibiye

    Arafa

    Zikiwa zimebaki siku mbili kwaajili ya harusi hiyo

    Kuna tukio la kustaajabisha

    Sana liliweza kutokea nyumbani kwakina

    Arafa baada kufanyika mauaji

    Ya kinyama kwa familia nzima yani kuanzia Mama Mdogo wake Arafa pamoja na Ibra

    Wote watatu walikuwa wamechinjwa

    Kwa kutenganishwa vichwa vyao na kiwiliwili

    Kule.

    Arafa aliposhuhudia miili ile alinyong'onyea na kupoteza fahamu.

    Ndani ya Yombo kulikuwa na vilio kila kona

    Kupitia kwa ndugu jamaa na marafiki

    hakika kila mtu aliongea lake tu!

    Wapo waliosema Ninja Shot! Huyoo

    Anazidi kufanya yake huku Serikali ikimchekea tu!

    Kiukweli huyu sio yule kiumbe tuliyekuwa tukimfahamu sisi mtetezi wa watu. Huyu

    wasasa ni shetani muuaji wa wanyonge.

    Kila mtu alilaani vikali sana juu ya mauwaji hayo.

    Wakati Yombo kukiwa na vilio

    Huku Mbezi Beach nyumbani kwakina

    Hafidhi kulikuwa na kisomo naweza kusema ni

    Hitima kwaajili ya kumuombea Marehemu Mama yake, kulikuwa na watu wengi sana walioweza kufika au kualikwa kwenye kisomo hicho

    Alikuwepo Yasri na mkewe bibiye Fatma

    Pia kikosi kizima cha Wabeba Lawama

    Bila kumsahau Shikaka mwenyewe

    Kisomo kilianza mida ya saa saba na nusu mchana baada watu kutoka Msikitini kuswali

    Wakati kisomo kikiendelea ghafla wingu zito lilitanda angani kuashiria muda si Mrefu vua inaweza kuanza kunyesha lakini hakuna aliyejari juu ya hali

    Hiyo kwani kulikuwa na Maturubai ya kisasa zaidi

    Yamefungwa, kisomo kikaendelea

    Wakati huo bibiye Mwajuma alikuwa sijui anaelekea Dukani au vipi Ghafla kitu kama kijinga cha moto kilikuja kwa kasi kutokea juu Angani kikaenda kukita tumboni kwa Mwajuma na kutokezea mgongoni

    Watu wote walishtuka

    Mpaka Mashekhe waliacha kusoma

    “Mwajumaa!!!

    Hafidhi alipiga kelele kumwita mkewe na kumkimbilia kabla hajamfikia kuna kiumbe kilikuja kwa kasi na kumnyakuwa Hafidhi akapaa naye juu.

    Yani alifanya kama vile Mwewe anyakuapo kitoweo.

    Hakika tukio lililotea hapo si la

    Nchi hii

    Shikaka akajitutumua niya yake

    Abadirike ajabu akabaki kuwa vilevile

    Akazidi kujitutumua wapi

    Hakuna cha Ninja Shoti wala Ninja Skauti

    Mwajuma akadondoka chini na kupoteza Maisha

    “Wifii!!!

    Nasra alipaza sauti kumwita wifi yake

    Aliyekuwa kalala chini huku sehemu ya tumbo lake

    Kukiwa wazi.

    “Baby nenda kamsaidie Kaka yangu"

    Nasra aliongea huku analia

    “siwezi kufanya hivyo"

    “kwanini huwezi embu nenda bwana"

    Upepo ukaanza kuvuma kwa kasi kisha kikatokea kiumbe mfano wa Ninja Shoti sema huyu

    Alikuwa wa kike

    Watu wakazidi kushikwa na kitete

    “Ha!ha!ha!ha! Alianza kucheka kwa sauti kubwa yule kiumbe sauti yake ilikuwa Kali

    Mfano wa honi ya treni akacheka kwa muda

    Mpaka watu wakaanza kutokwa na damu

    Kwenye masikio yao

    Yani kule kujiziba hakukusaidia kitu

    Kisha akanyamaza na kuleta auheni kwa watu hao.

    Shikaka wala hakuziba masikio wala kutokwa na damu yeye aliwahi kumzima Mkewe

    “Sikia nikwambie kitu Mama nina haki ya kukwita mama, yote kwa sababu umeolewa na Baba yangu!"

    Baada kuongea hivyo yule

    Kiumbe akaivua Maski Yasri akashtuka na kuita Yusraa!"

    “Bila shaka Baba Mdogo umeweza kunikumbuka Mimi mwanao sasa basi nimerudi

    Kwaajili ya kisasi na kisasi changu kwa

    Wanaume wote wa Dunia hii mateso mliyoweza kunipatia hakika hamstahili tena kuwepo

    Hapa Duniani"

    Aliongea Yusra na kupotea huku akisindikizwa na kicheko........



    ****MWISHO******



     

     

0 comments:

Post a Comment

Blog