Search This Blog

Thursday 24 November 2022

SIKU YA HUKUMU - 3

 

     

     



     

    Chombezo : Siku Ya Hukumu

    Sehemu Ya Tatu (3)

     



    Ndani ya jiji la

    Dar es salaam maeneo ya yombo vituka kulikuwa na big mechi kutoka kwa Wagonga nyundo fc vs Inama unipe fc, kudadeki sijui jina gani hili eti

    Inama unipe,

    Mpambano ulikuwa makari balaa ndani ya dakika ya ishirini Wagonga nyundo wakapigwa goal moja

    Kipute kikaendelea, kabla ya mshamuliaji hatari wa team ya Wagonga nyundo kufanyiwa madhambi katikati ya eneo la hatari ikawa penart.

    Kiroho safi ikapigwa na kusawazisha goal. Kivumbi kikaanza baada

    Inama unipe kushinda goal la pili

    Refa si akakataa kwa kusema off side

    Wee wakaanza kumzonga refa

    Ghafla bin vuu upepo ukaanza kuvuma vumbi likatimka kuja kutahamaki

    Ninja mask huyo hapo ukicheki uwanja umefurika watu

    Hakuna hata mmoja aliyekimbia

    Hakika wakajiamini umoja ni nguvu utengano ni udhaifu,

    Ninja mask akawekwa mtu kati dahaa



    Ninja mask hakuweza kuhofia chochote kile

    Kidume kinajiamini kama Mimi

    akajiandaa kuwasha moto wa kimbunga. Ukisikia kivumbi jasho na damu ndio hapo,,,,,"

    Mapambano yakaanza

    Ninja mask kwa kasi zaidi na speed ya ajabu alikuwa akipiga fataki za ajabu kwa kudank kwenye vichwa vya watu.

    Mtu anapigwa zinga la teke na kwenda kutua kwenye ukingo wa goal....

    Kiuno hana huyo

    Ninja mask baada kuona watu wabishi akaanza style za kuvunja mifupa (Bounce) akipiga moja au mbili

    anavunja watu wakabaki kulaliana tu ving'ora vya magari ya police vikasikika Ninja mask akapotea

    (S.W.A.T) nao hao ndio wanaingia kwa hali waliyo ikuta wakabaki kusikitika tu,



    Ndani ya jiji la Mwanza, maeneo ya

    Kirumba mtaa wa kilimahewa tunamuona Ikram akiwa na kijana mmoja mwenye asiri ya kama mpemba

    Wakishindana kupiga danadana,"



    “wewe nishakwambia uniwezi hata mje kumi hamlipi hizi danadana mimi noma!"

    Ikram akabaki kucheka tu na kusema



    “unabahati miguu inaniuma leo siko fiti kabisa ila siku nikiamka vizuri usiombe unaweza kusema Cristian Ronaldo na Messi cha mtoto tu,"



    yule kijana akacheka mpaka akalala chini kwa kicheko



    “Ha!ha!ha!....tehe...tehe!

    Duhuu hapo Ikram kaka umenifunga zinga la kamba yani Welbeck tu humuwezi utashindana na wafalme wa soka?"

    Ikram akamwambia



    “Ibrahimu kaka hivi hii Mwanza wewe ni mzaliwa wa hapa kabisa au?"

    Ibrahim akajibu,



    “ndio Mimi nimezaliwa hapa nimekulia hapa ukitaka nikutajie hii Mwanza yote nakutajia tu kwani vipi ndugu?"

    Ikram akamuangalia

    Ibrahim kuna kitu alitaka kumwambia ila akapotezea tu,



    “Ha!ha!ha!....tehe...tehe!

    Duhuu hapo Ikram kaka umenifunga zinga la kamba yani Welbeck tu humuwezi utashindana na wafalme wa soka?"

    Ikram akamwambia

    “Ibrahimu kaka hivi hii Mwanza wewe ni mzaliwa wa hapa kabisa au?"

    Ibrahim akajibu,

    “ndio Mimi nimezaliwa hapa nimekulia hapa ukitaka nikutajie hii Mwanza yote nakutajia tu kwani vipi ndugu?"

    Ikram akamuangalia

    Ibrahim kuna kitu alitaka kumwambia ila akapotezea tu,



    Songa nayo

    Sasa



    Binafsi Ikram alikuwa na kipawa cha kumsoma mtu haraka sana

    yani akikutizama tu anakuwa tayari keshatambua tabia yako.

    Kuna kitu alitaka kumwambia Ibrahim akasita baada kumjuwa hawezi kutunza siri.

    Basi baada kupigiana danadana kwa muda na kigiza nacho kinaingia,

    Wakarudi nyumbani wanapoishi, maeneo ya Kirimahewa ndipo alipofikia Ikram kwanza ilikuwa kama bahati

    tu kwake yani ile

    siku anashuka tu ndani ya Basi

    kutokea jijini Dar es salaam

    Akaweza kukutana na

    Ibrahim ambaye alikuwa

    muuza mahindi ya kuchoma.

    Baada salamu akamuuliza kama anaweza kumuelekeza nyumba za kulala wageni, kwakuwa Ibrahim alikuwa anaishi nyumbani kwao

    Na ukizingatia ghetto yuko peke yake akaona si mbaya kupiga dili na Ikram kwa kumwambia kama hatojali waende kuishi wote kwao,

    yeye anashida ya shilling Elfu hamsini tu,

    Ikram akaona bonge la zali hakutaka kubisha akampatia laki moja kuanzia siku hiyo wakaunda urafiki yani zaidi ya ndugu,

    Sema Ibrahim alikuwa na tabia moja tu ya kuja na Wanawake wa kila aina na akija nao

    Ikram alale nnje si unajuwa mtu chake

    Ikram kiroho safi akawa anatoa mkeka nnje na kulala mpaka Asubuhi,

    Siku hiyo baada kurudi kutoka uwanjani

    Ikram akamuuliza kitu

    Ibrahim,



    “hivi Kaka hii tabia utaiyacha lini?"

    Ibrahim akamtizama kwanza kisha akauliza,



    “tabia gani?"

    “usiulize tabia gani wakati unaijuwa bwana yani kila siku unakuja na Wanawake unaona sifa mwenyewe"

    Ibrahim akaweka utu pembeni na kusema



    “Ikram naomba ujieshimu ndugu kwanza hii nyumba kwani ya Baba yako au?".....wewe si umekuja hapa ukaomba nikuhifadhi humu?"



    “Sawa kaka hilo nalitambua fika yakwamba hii nyumba sio ya Baba yangu na wala sihusiki kwa chochote ila nakwambia ukweli tu!"

    Ibrahim akaja juu yani akamaindi kinoma kitendo cha ghafla

    Akampiga kofi

    la shavuni Ikram kama haitoshi akamuongeza tena huku akimtusi,



    “Shenzi zako,,,,fala wewe unataka kunifundisha maisha Mimi

    Ikram akashindwa kujitetea akazidi kupigwa makofi miteke mpaka wapangaji wakaingilia kati kuja kumuokoa Ikram asiendele kupigwa

    Siku zote usimzarau mtu

    usiemjuwa nahisi

    Ibrahim angemjuwa Ikram asingefanya kitendo kama hiko.



    “Wee Ibrahim mswalie Mtume mbona unampiga mwenzako kama mwizi?"

    Ibrahim akaingia ndani huku akizidi kutukana matusi mazito ya nguoni

    Akatoka na begi la

    Ikram akamtupia yani hakujali kama kapewa pesa juzijuzi tu,



    “umesikia wewe mtoto wa Malaya

    Mjinga kabisa nakupa dakika tano upotee ndani ya kitaa hiki hii ndio Mwanza ukizingua tunakuwasha boya wewe akataka kwenda kumpiga tena akazuiwa,

    Ikram hakuwa na jinsi

    tena akachukuwa begi

    lake akashika njia kuondoka usiku ule wa saa mbili hakujuwa anaenda wapi,

    Akiwa anatembea akasikia

    Sauti ya Msichana ikimuita



    “Wee kaka",,,,,,kaka!!!

    Ikram akasimama na kugeuka kumuangalia huyo anaemwita ni nani.

    Alikuwa binti mmoja hivi akiwa anakuja mbio, baada kufika akabaki kuhema kisha akasema



    “kwanza samahani sana kaka yangu na pole kwa yaliyokukuta!"



    “usijali Dada yangu unajuwa maisha ni changamoto na ukizingatia hivi ni vitu vya mpito tu"

    Yule msichana akamuuliza



    “kwahiyo sasa hivi unaelekea wapi?"



    “kusema kweli sijui naenda wapi ila kama nikipata mtu akanielekeza nyumba ya kulala wageni nitashukuru sana!"



    “ok basi usijali naweza kukupeleka kama hautojali?"



    Basi wakaongozana huku wakipiga story za hapa na pale Binti alikuwa na Tako si mchezo yani kila akipiga hatua kitu kinatingishika

    Akajitambulisha anaitwa Joyce

    ukipenda Wowowo, hakika mtoto na vile kajifunga kanga tu moja juu nyingine kiunoni

    Sijui kama ndani kavaa chupi,

    basi wakafika sehemu na kukutana na vijana flani hivi wa kihuni mmoja kati yao akataka kwenda kumshika makalio Joyce,

    Sema mwenzake akamzuia kwa kumwambia



    “oyaa kausha mwana umuoni yupo na basha wake?"

    Yule jamaa akavunga na kutulia

    tu,

    Ni bora alivyo tulia vinginevyo angeisoma number,



    “Sasa Kaka yangu nyumba ya kulala wageni ndio hii unaweza kwenda pale mapokezi ukafanya malipo utapatiwa chumba tu,"

    Joyce akataka kuondoka

    Ikram akamshika mkono na kumvutia kwake mtoto na mwili wote ule akajikuta anadondokea kifuani

    Na kubaki kupumua tu,

    Akainua sura yake kumtizama Ikram kisha kila mmoja akatabasamu



    “mmh! Kumbe wee kaka mtundu hivi yani sijawai kuona aisee"

    Joyce alikuwa anamwita Ikram kaka kwa sababu jina lake hakuwai kulisikia

    Basi wakaenda hadi mapokezi

    Kwa bahati nzuri vyumba vilikuwa havijajaa

    Ikram akapata chumba Number kumi na mbili, wakati

    wakati yule muhudumu wa

    mapokezi akiwa anaandika maelezo kila muda alikuwa akimkata jicho la matamanio

    Ikram mpaka Joyce akasema



    “Wee Amina yani baada kuandika vizuri unamtizama boyfriend wangu muone kwanza macho kama chura!"

    Ikram akatabasamu na kucheka

    Kisha wakachukuwa funguo na kwenda chumbani

    Kimbembe walipofika chumbani

    Ikram akabaki kuona aibu,

    Hakika katika maisha yake hakuwai kukutana kimwili na Mwanamke yeyote yule

    Joyce akaweza kugundua hilo ikabidi yeye ndio awe mwalimu watoto fumbeni macho.

    Kwanza wakaenda bafuni huko mtoto wakike akambeba

    Ikram mgongoni akamuogesha huku akishangaa

    Ikram kabarikiwa kitu cha maana,

    Baada kuogeshana akambeba kumrudisha ndani

    Kwa upande wa Amina akabaki kuumia roho tu na kujiapia

    piga uwa garagaza lazima ampate yule kijana.

    Baada Ikram kufikishwa

    Kitandani akashushwa mtoto wa

    Kike akachukuwa mafuta yaliyo kuwemo ndani ya chumba hiko na kuanza kumpaka

    Joyce akaishika koni na kuanza kuramba yani

    Ikram utamu aliokuwa akiusikia mpaka kisogoni akatamani hata kupaa.

    Akabaki kugugumia tu huku akichezesha miguu

    “ahaaahg,,,,asssss,,,,ohoooohaaaa

    Usiombe umpate Mwanamke anaejuwa kuinyonya koni unaweza hata

    Kujamba,

    Ikram akajikuta anakojoa uji wake mwepesi

    Joyce akazidi kumpeti peti yani akawa anashusha urimi wake mpaka kwenye viazi mahaba

    Kwakuwa Ikram alikuwa tayari kashaenda kimoja kitu kikalala kupitia utundu wa

    Joyce kitu kikasimama tena basi taratiibu mtoto wa kike akaja kwa juu na kuikalia

    ile koni ikatelezaa,,,,ohoooooooasssssss,,,,mmmmmmh,,,,ahaaaaaaa,,,,,Joyce akabaki kulalamika tu huku akizungusha kiuno kama feni

    Ikram akajiuliza kumbe duniani kuna vitu vitamu ehee"



    Ikram akajikuta anaingia ulimwengu mwingine mpya kabisa katika maisha yake,



    Ndani ya jiji la

    Dar es salaam tunamuona bibiye

    Shadia akiwa anahaha chumbani kwake kijasho kilikuwa kikimvuja huku akichungulia dirishani akaweza kushuhudia mipandikizi ya Baba akivamia ndani ya nyumba hiyo

    na kumtwanga Risasi ya kichwa

    Mlinzi house girl nae alikuwa anafua akatoka mbio na kwenda kujifungia chooni.

    Shadia akatoa simu yake

    na kumpigia Baba mkwe simu ikawa haipatikani.

    Akapiga kituo cha police na

    kuomba msaada, ghafla mlango wa chumbani kwake ukavunjwa kwa kupigwa bunduki aina ya Ak47

    Kisha akabebwa na kutupwa kitandani

    masikini

    Shadia hakuwa na uwezo wa kupambana na watu wale

    Akajitahidi kukuruka huku akipiga kelele akazibwa mdomo na kuambiwa awe kimya

    Kuonyesha kuwa wako Sirius hawatanii wakamchana na kisu sehemu ya kiganja cha mkono,

    Kisha wakaichana sketi yake na kuitoa chupi na kuitupa kule

    Ajabu ile chupi kabla haijatua chini ikadakwa na

    Ninja mask kaingia washikaji

    Wakapiga kwanza Risasi kwa kummiminia

    Ninja mask ajabu zikawa zinampita tu na kwenda kutua kwenye madirisha na

    ukutani kwa kasi ya kimbunga

    Ninja mask akacheza na kichwa cha mmoja wao

    Ikawa kiwiliwili kule kichwa huku damu zilimwagika si mchezo

    Ninja mask akachumpa na kutua kwa jamaa mwingine akatoka na moyo.

    Wale wengine wakaona ehee balaa kila mmoja akatimua mbio

    Huku Ninja mask akichumpa kupitia dirishani ile wanafika nnje tu

    Wanamkuta Ninja mask ametanda

    Getini dahaa na

    Police nao hao,







    Ninja mask ajabu zikawa zinampita tu na kwenda kutua kwenye madirisha na

    ukutani kwa kasi ya kimbunga

    Ninja mask akacheza na kichwa cha mmoja wao

    Ikawa kiwiliwili kule kichwa huku damu zilimwagika si mchezo

    Ninja mask akachumpa na kutua kwa jamaa mwingine akatoka na moyo.

    Wale wengine wakaona ehee balaa kila mmoja akatimua mbio

    Huku Ninja mask akichumpa kupitia dirishani ile wanafika nnje tu

    Wanamkuta Ninja mask ametanda

    Getini dahaa na

    Police nao hao,



    SONGA NAYO



    Baada kumuona Ninja mask yupo getini jambazi mmoja wapo akaitaji kuruka

    Fensi kitendo cha kupanda tu akajikuta anarushwa hewani

    baada kupigwa na short ya umeme

    alipotua chini kawa mweusii kama mkaa. Yule mwingine akaona ehee kifo hiki hapa mbele yake.

    Akapiga magoti kuomba msamaha,



    “tafadhali usiniuwe sie tumetumwa tu

    na bwana Renard kavishe"

    Ninja mask akamsogerea na kumshika shingoni, kisha kwa mkono mmoja akamnyanyua juu.

    yule jambazi japokuwa alikuwa pandikizi la jitu akabaki kuning'inia kama kuku kishingo tu,

    Mlio wa bastora ukasikika pahaa!,,,,,,

    Ninja mask akageuza shingo kutizama maafande washamzunguka huku akipewa Amri ya kumshusha yule mtu asimfanye chochote kibaya



    “Kuanzia sasa uko chini ya ulinzi

    Mshushe huyo mtu kisha unyooshe mikono juu fanya haraka!!!

    Ni kauli ya Afande mmoja hivi huku mitutu ikimuelekezea

    Ninja mask, kuonyesha kuwa police kwake ni chamtoto akamnyonga kwanza yule Jambazi, na kuwatupia akadanki na kupotea.

    Kama walimshindwa kipindi yupo hai

    watamuweza sasa kawa mzimu, hakika alifanya mauwaji ya kinyama sana yani miili ya wale Majambazi wawili haikutamanika yule aliyechinjwa na huyu aliyetolewa moyo.



    Mwanza

    Ndani ya nyumba ya Mzee mmbaga kulikuwa na kitimutimu vurugu mechi kutoka kwa wanakikundi cha kuwekeza pesa. Farida mmbaga alikuwa amekula pesa zote za kikundi

    Basi akashikwa na kuanza kupigwa na

    Wasichana kama sita hivi,



    “nakwambia leo pesa zetu utazinya tu yani sie tunajinyima kula kuvaa hata cream hatupaki kisa

    Tuwekeze kwenye kikundi

    wewe kwa Umalaya wako unaenda kuhonga kwa mabwana zako, mjinga mkubwa wewe!".

    Farida akapigwa hakuna aliyekuja kumgombelezea maana

    Mtiti wa Wasichana hao ni noma,

    Ghafla

    Samira kaingia na furushi lake

    la miogo, kitendo cha kuona

    Rafiki yake anapigwa wee akatua mzigo wake na kwenda kuwashikisha adabu mabinti wale,

    Samira apigi makofi bali ni ngumi tu akaingia kati akamshika mmoja wao na kumtia ngumi ya pua binti kule,

    Akatembeza kichapo hakuna aliyeweza kuamini hata Farida mwenyewe akabaki kung'aa macho tu

    Samira akatembeza kichapo cha maana Wasichana wote wakawa wapo chini wakiomba msamaha,



    “tusamehe Dada yetu haturudii tena"

    Samira akawauliza



    “mnamdai shilling ngapi?"

    Kwa sauti ya kubabaika mmoja wao akajibu,



    “hapana hatumdai tena

    tushamsamehe!"

    Mwenzake akampiga kofi na kumwambia,



    “hii wee vipi laki tatu nzima tumsamehe

    Dada yangu tunamdai laki tatu tu

    Tunaomba tusamehe akipata siku yoyote ile atatupa,

    Samira akaingia ndani kisha akatoka mkononi akiwa kashika kibunda cha pesa na kuwapa.



    “shikeni hizi laki tano hizo laki tatu za kwenu na laki mbili muende hospital siku zote usifanye jambo pasipo kufikilia.

    Sasa mnazani kitendo cha kumpiga ndio angepata pesa zenu?"



    “Samahani Dada tushaomba msamaha tusamehe tu!"

    Samira akawaambia



    “ok! mnaweza kwenda poteeni haraka sana mbele ya upeo wa macho yangu"

    Basi kila mmoja akanyanyuka kwa mwendo wa kuchechemea hao wakaongozana kurudi makwao

    huyu kajishika shavu mwengine kiuno yani kila mtu na maumivu yake.

    Chezea

    Samira msichana hatari sana,



    “hivi yule Mdada ni Mwanaume au Mwanamke?"

    Ni swali alilo uliza binti mmoja wapo kati ya waliopigwa,

    mwenzake akamkata jicho la hasira na kumsonya



    “Nyooo,,,,,lione kwanza sasa ndio unauliza nini yani nyoko,,,nyoko

    jinga kabisa wewe jitu zima hovyo"



    “Sasa ujinga wangu uko wapi wakati nimeuliza swali tu yule mdada ni jinsia gani?" Kwanza nyoko mwenyewe,,,,

    Wakataka kushikana ikabidi wenzao waingilie kati kuwaachanisha,



    “Wee Subira na Latifa embu acheni utoto kama kweli mnajuwa kupigana si mngepigana na yule Dada kule",,,,,,,,

    Arafu wewe Subira maswali yako ya kichoko uwache, yani unauliza yule Dada sijui jinsia gani si ushamtaja

    yule Dada kwahiyo tuseme Dada anakuwa jinsia gani?"......

    kwanza si kajifanya sijui Thethia Rothrock

    kesho tu

    nitamfunza adabu hii ndio Mwanza bwana

    Double target si wapo!".....

    Basi wakajikuta wanacheka tu,

    Double target ni kikundi cha vijana flani hivi wa kihuni binafsi ni moja kati ya makundi yanayo ogopeka ndani ya jiji hilo

    Kama unashida yeyote ile nenda maskani kwao sijui Mama kanipiga au Baba yani yeyote yule

    Sijui flani namdai hataki kunilipa

    Double target wanaingia kati

    Ni kikundi chenye member zaidi ya Hamsini na nne hivi,

    Wasichana wale wakapanga kuipeleka kesi yao huko,



    Hapa tunamuona

    Ikram akipata supu kwenye kibanda flani.



    hivi huku kila muda akibofya bofya simu yake kujibu message.

    akiwa bado anaendelea kunywa ghafla wakaingia vijana kama watano hivi na kwenda kukaa pembeni kidogo. Yani karibu nae mmoja kati yao akasema



    “oyaa Chuga yule demu sio wa kumchelewesha kabisa!"

    Chuga akasema



    “ndio maana yake kwanza tukifika tu atachezea makofi kama matatu hivi kisha nitaanza Mimi kumbaka maana mtoto anaonekana mtamu yule,"



    “Sasa hapo unataka kuzingua kichaa wangu ujuwe sie tumepewa mchongo tumfunze Adabu tu sio kwa style ya kubaka"



    “hii huyu vipi tena kama wewe utaki kubaka kimpango wako mie lazima nibofye pale"

    Yule jamaa akaitoa picha na kumuonyesha yule aliyepinga eti hakuna kubaka na kumwambia



    “embu kwanza mcheki mtoto jinsi alivyo wewe bonge la demu afu tumuache hivi hivi ujinga huu!"

    Baada kusema vile akairudisha picha mfukoni kwa bahati mbaya ikadondoka chini pasipo yeyote kujuwa

    Ikram akaweza kuiyona ile picha na mazungumzo ya wale jamaa akaweza kuyanasa,

    Akabaki kujiuliza tu,

    Kumbe mwanza kuna mambo ya kishenzi ehee yani watu wanatendewa vitendo vya kinyama hivi, wale washikaji baada kumaliza kunywa chai wakatoka zao,

    Ikram akaenda kuiyokota ile picha kuitizama akastuka

    yani moyo wake ukafanya pahaa

    Si Dada Samira huyu?"

    Ama kafanana nae tu akaona huo sio muda wa kujiuliza zaidi. Akatoka mbiombio na kuanza kuwafatilia wale Washikaji

    Mpaka wanaingia ndani ya Daladala nae akapanda na kubaki kuwachora huku akijiuliza kama atakuwa ni

    Samira kweli huku Mwanza kafata nini si kaaga anaenda Swaziland

    Hapana atakuwa sio yeye kafanania tu akataka kushuka

    Aachane nao ila nafsi ikamsuta kwa kumwambia ina maana mpaka awe Dada yako ndio utoe msaada hata huyo ni sawa na Dada yako msaidie.

    Ikram akaona majamaa wanashuka pale Pasiansi kona ya Bwiru nae

    Akashuka

    Vijana wale wakakutana na kikundi kingine ambao ni wenzao

    wakapeana tano.

    Kiongozi wao akasema



    “lete hiyo picha"

    Jamaa akajisachi mifukoni kisha akasema



    “ohoo! Shit!

    itakuwa nimeidondosha kwenye daladala dahaa"



    “powa hakuna kilicho aribika twenzetuni maana nimeongea na Subira muda huu kasema huyo Malaya yupo bombani twenzetuni!"

    Kikundi kile chenye watu zaidi ya kumi na sita wakiwa na siraha za jadi yani Chupa za soda za bia minyororo nondo panga visu na Nyembe dahaa mbona hatari hii,

    Kila kona wakipita watu wanafunga maduka Double target ni noma

    Baada kufika maeneo ambayo

    Waliambiwa watamkuta

    Samira ikawa kama zali ndio alikuwa kajitwisha ndoo ya maji

    Subira akawaonyesha yule pale aliyevaa gauni rangi ya pink.

    Kitendo bira kuchelewa mmoja kati yao akaenda kumpiga zinga la mtama

    Samira akajikuta anarushwa kimo cha mbuzi kabla hajakaa sawa akapigwa makofi ya haraka yani mfurulizo

    Kisha akashikwa nywele na kuvutwa mbele ya kiongozi dahaa

    Kumbuka nae ni mkali sema hapo kazidiwa ujanja tu na kujikuta hana jinsi

    Farida akabaki kulia tu huku akiomba watu wamsaidie rafiki yake

    Katika kuombaomba akamgusa Ikram



    “tafadhali kaka yangu msaidie rafiki yangu please nakuomba.

    Farida akabaki kulia tu

    Ikram akaweza kumtambua yule ni Dada yake wee usintanie

    Akatoka mbio kama umeme kisha akachumpa na kwenda kupiga double kick kitendo cha kutua Ninja suit

    Mbona patamu hapo"

    Upepo ukabaki kuvuma tu vumbi likatimka huku watu wakijizuia macho yao

    Ninja suit ndani ya jiji la Mwanza

    Ikram ndio mwenyewe dahaa

    Double target wakajipanga kupambana pasipo kujuwa hiki ni kiumbe hatari sana

    Alikuwa anapiga na kuvunja akaukamata mnyororo mmoja wapo na kuanza kuwachapa kama watoto vile.



    vijana wengine wakajikuta wanatimua mbio huku

    Ninja suit akizidi kuwapa maumivu na kuwatia ukilema wale ambao walitaka kupambana nae

    kuna jamaa mmoja akarusha chupa

    Ninja suit akaweza kuiyona na kuruka zinga la tiktaka na kuipiga teke ile chupa ikaenda kumpata

    Usoni yule aliyeirusha

    Samira nae akaja kuzinduka na kuanza kutembeza kichapo

    Watu waliokuwa wakishuhudia mpambano huo

    Wakabaki kushangilia tu,



    “ndio Ninja suit wakomeshe hao

    yani nakupenda bureee!!!

    Ilikuwa sauti ya Binti mmoja hivi akishangilia

    Double target kuingia choo kike,

    Ninja suit baada kuona tayari kawachaka vijana vya kutosha akapotea faster na

    Kumuacha Samira kwenye hali ya mshangao maana alitaka kumshukuru kwa msaada aliompa

    Kumbe mwenzake hataki shukurani wala nini

    Ndani ya kambi yani maskani kwa

    Double target member waliobakia walikuwa hawana hili wala lile kila mmoja alikuwa katika mambo yake.

    Huyu anapiga

    Pusha pu yule ananyanyua nondo

    Huyu anapiga basin beg

    wengine wapo arosto.

    Ghafla wakastuka baada kuwaona wenzao wawili wakija huku wanachechemea na damu zikiwatoka kabla hawajauliza nini.

    Ninja suit kaingia,







    Kumbe mwenzake hataki shukurani wala nini

    Ndani ya kambi yani maskani kwa

    Double target member waliobakia walikuwa hawana hili wala lile kila mmoja alikuwa katika mambo yake.

    Huyu anapiga

    Pusha pu yule ananyanyua nondo

    Huyu anapiga basin beg

    wengine wapo arosto.

    Ghafla wakastuka baada kuwaona wenzao wawili wakija huku wanachechemea na damu zikiwatoka kabla hawajauliza nini.

    Ninja suit kaingia,



    Songa nayo

    Sasa



    Hakika kikundi cha Double target wakajiamini ya kwamba wataweza kumtwanga

    Ninja suit kila mmoja akabeba siraha yake. Na kumzunguka,

    Ninja suit akatoa siraha zake ni star zile wanazo tumia Maninja kwa kitendo cha haraka akazunguka na kuzirusha zile star,

    Sijui zilikuwa ngapi tukabaki kuona tu Vijana wakipukutika kwa kudondoka chini,

    Ninja suit akaanza kuzichapa yani unapigwa moja tu ya korodani kama ujazimia basi utakufa kabisa

    Vijana nao wakajitahidi kujibu mapigo lakini wapi

    Ninja suit alikuwa akidank huku na kule,

    Muda mwingine akawa anapotea na kuibuka sehemu tofauti

    Double target wakachakazwa vibaya sana wengine wakapoteza maisha wengine tena wakajikuta wanapewa Vilema vya maisha

    huyu kakatwa vodole mwingine kiganja

    yani hatari tupu

    Mpaka kutolewa macho kwani Ninja suit alikuwa aangalii wapi anapiga yeye popote pale kwa kutumia style ya

    Finger kama vile tiger,

    Baada kuona hakuna aliyeweza kusimama tena akapotea.

    Ndani ya jiji la Mwanza ilikuwa vilio na majonzi kwa Wazazi walioweza kupoteza vijana wao, katika tukio zima wakabaki kumtupia laana

    Ninja suit huku wakiomba akamatwe nae auwawe tu.

    Kwa upande wa wananchi nao hawakuweza kuficha hisia zao kwa kusema

    Embu tumsikilize huyu anasemaje,



    “kwajina naitwa Husna saidi ni mkazi wa maeneo haya kwa Pansiasi kiukweli nina furaha sana sio Mimi tu wakazi wote wa maeneo haya tunafuraha kubwa sana kwa kuweza kupata mkombozi,

    maana tulikuwa tukimsikia tu kipindi alipokuwa huko jijini Dar es salaam tukawa tukiomba usiku na mchana aweze kuja na huku naamini Mungu kilio chetu amekisikia

    Ninja suit ndio dawa ya majangili wote tena tunamuomba aendelee kutumbua majipu yote!".....

    Weweee

    Hakika ilikuwa furaha kubwa sana kwa wakazi wa maeneo hayo,

    Jeshi la police wakaingia mtaa hadi mtaa nyumba hadi nyumba

    kumsaka Ninja suit, hawakuweza kuambulia chochote kile kwanza

    Ninja suit hana arama, watamjuwaje?.....baada kupita siku kama nne hivi tokea tukio lile litokee

    Ikram alikuwa katika mapenzi motomoto na bibiye Joyce yani utamwambia nini kuhusu

    Joyce akuelewe,"



    Usiku wa manane ndani ya nyumba moja kubwa hivi ya kifahari tunamuona mtu akiwa anaruka fensi kwa style ya kama Ninja hivi

    Baada kutua chini kimya kimya akanyata na kuelekea sehemu ambayo kuna dirisha la vioo mtu huyu nae alikuwa amevaa Kininja kwa tahadhali zaidi akafungua dirisha kiutaalamu kisha akazama ndani,"

    Ndani ya chumba kimoja hivi akaingia na kukichomoa kisu chake kidogo cha kukunja kwa mwendo uleule akakisogerea kitanda.



    Kwa kitendo cha haraka zaidi akamziba mdomo yule aliyelala kisha kisu kikakita sehemu za moyo mwa yule mtu,

    Akastuka kwa kutoa mimacho tu

    kisha akawa kimyaa,

    Muuwaji yule akapotea ndani ya nyumba ile.

    Ni kelele tu ndizo zilizo sikika ndani ya nyumba ile baada kukucha

    Asubuhi

    Mlinzi nae akastuka akatoka mbiombio kwenda ndani huku akiuliza

    “Mama nini?".....boss! kuna nini...baada kufika mlangoni mwa chumba cha boss wake akashindwa kuingia chumbani moja kwa moja akabaki kuuliza tu akiwa pale mlangoni,



    “boss! Vipi mbona makelele?"

    Sauti ya Mke wa boss ikasikika akisema



    “Mudy embu njoo uonee"

    Njoo basi"....

    Mudy akaingia chumbani mule na kukutana na hali ya sintofahamu

    Kwa kile alichoweza kukiona kitanda cha boss wake mishuka imetapakaa damu

    Mwili wa boss wake ukiwa umeuwawa dahaa,

    Simu ikapigwa kituo cha police,

    Wakafika haraka sana na kufanya uchunguzi ilibidi Mke ashikiliwe na kwenda kulala sero japokuwa alikuwa analia sana mpaka kufikia hatua ya kupoteza fahamu.

    Taarifa za kifo cha bwana Nyange mmoja kati ya wafanya biashara maarufu,

    Katika jiji la Mwanza ameuwawa chanzo cha kifo chake haijajulikana. Mpaka sasa jeshi la police wanamshikilia Mkewe kwa uchunguzi zaidi,



    Ikram akiwa yupo ndani ya chumba tena kitandani alikuwa na mawazo chungu mzima

    Kikubwa alikuwa anajiuliza

    kuhusu

    Samira kuwepo katika maeneo yale

    “Mwanza amekuja kufanya nini?...

    Na kwanini anaishi katika mazingira duni kama yale (Why?")

    akiwa anawaza ndipo Joyce akaingia na kwenda kumchumu

    “mwahaa,,,baby,,,,naona uko mwenyewe tu unawaza nini tena wakati Mimi nipo,

    kwa sauti nyororo Joyce akauliza hivyo,

    Ikram akatabasamu

    Kisha akamshika mpenzi wake mashavuni na

    kumwambia maneno matamu.



    “hapana baby ukiniona nawaza basi juwa nakuwaza wewe

    hakika penzi lako linanipa kiwewe

    nipende nikupende

    Wenye wivu nawakonde

    penzi letu tulilinde

    tuvumiliane hata tukila makande

    Baby usiniache mi nikonde".......

    Joyce akacheka na kumwambia



    “duhuu hapo baby umeuwa"

    Ghafla kikasikika kishindo kizito kikitokea nnje yani kama mtu kapigwa hivi Joyce akachungulia dirishani na kubaki na Mshangao tu,

    akasema



    “baby njoo uone?"

    Ikram nae akaenda kuangalia,

    Alikuwa

    Ibrahim kawekwa mtu kati na Vijana kama sita hivi wakimpiga kwa kumgombea kama vile mpira wa kona,

    Sijui kisa nini,

    Baba yake na ndugu zake wakajalibu kwenda kumtetea

    Mzee mkude akapigwa panga moja tu kwa kutumia ubapa na kumpata mgongoni akakaa pembeni mwenyewe

    Joyce akatoka nnje akiwa na

    Ikram

    Dada yake Ibrahim akaenda kumuomba Ikram amsaidie kaka yake

    kitendo kilicho washangaza wengi

    huyu si juzi kati tu hapa alipigwa makofi na

    Ibrahim kama vile mtoto mdogo atawezaje kwenda kuingia kwenye mziki ule

    Ikram hapendi kuonekana kama yeye anajuwa kupigana,

    Ukicheki mchizi wake ndio hivyo

    Anapigwa akapiga hatua kutaka kwenda kutoa msaada

    Joyce akamshika na kumwambia



    “please baby usiende watakuuwa wale"

    Ikram kuna sauti akaitoa huku akimkazia macho

    Joyce,



    “niachie"

    Joyce akajikuta anamuachia huku akiogopa maana hakuwai kumsikia mpenzi wake akitoa sauti kama ile.

    Baada kuachiwa tu

    Akaruka samasoti na kwenda kutua katikati ya wale majamaa

    hakutaka kuuliza zaidi ya kupiga style za Wushu

    Hakuna aliyeweza kuamini kama huyu ndio alipigwa makofi na

    Ibrahim kumbe anajuwa kupigana vibaya mno

    Joyce akabaki kushangilia tu,



    “ndiondio baby...piga mbwa hao,

    Ikram alikuwa anapiga zile za kudokoa yani anapanchi huku anapiga yule kuna jamaa mmoja akataka kumpiga panga la kichwa Ibrahim

    Ikram akalidaka akawa yeye kashika kwenye makali kwa kitendo cha faster akampiga ngumi ya Uso yule jamaa akaenda chini,

    Ikram ndani ya dakika saba tu Washikaji wote chali hakuna aliyeweza kunyanyuka

    Mzee mkude akaenda kuchukuwa bakora ya fagio yale ya ndani na kuja kuwatandika nayo,



    “shenzi zenu watoto wadogo tu mnakuja kunipa jambajamba

    Mzee mzima, washikaji wakatimua mbio kwa mwendo wa kujikongoja

    Ibrahim hakuweza kuamini, kama

    Ikram ndio kamsaidia kwa kuwapiga vijana wale tena peke yake

    Huku damu zikimtoka kwenye majeraha akapiga magoti chini kuomba msamaha

    Ndipo ukaja usemi usimzarau

    mtu usiemjuwa, anaweza siku akawa msaada kwako

    Wahida dada yake Ibrahim akabaki kumtolea macho ya

    Matamanio Ikram sio yeye tu

    Kila Mwanamke aliyekuwepo eneo ilo akatamani kuwa kimapenzi na

    Ikram,



    Dar es salaam

    katika kitengo maalumu cha wazee wa kazi yani (S.W.A.T)

    kulikuwa na kikao kizito kikubwa kikijadiliwa kuhusu

    Ninja suit bila kumsahau Ninja mask,



    “kwanza kabisa naweza kusema kitu kimoja tu hivi viumbe lazima vipatikane kwa hali na mali,

    Ninja suit ameonekana jijini Mwanza kwa taarifa tulizozipata,

    kesho Asubuhi kuna kamanda mpya anakuja kutoka nchini

    Brazil,

    anakuja kuongeza nguvu hapa nchini, na itabidi vikosi tuvigawe

    Wengine itabidi waende Mwanza,

    Wote wakaitikia sawa mkuu!"

    Kesho yake yapata kama saa nne

    Asubuhi ndani ya uwanja wa Mwalimu jurias kambarage nyerere

    Tunamuona Kidume cha shoka kikishuka ndani ya ndege AirAsia kutoka shilika la ndege nchini Brazil

    Hakuwa mwingine ni...

    Chanduka,,,

    Kama tunampata ndio Askari aliyetoka nchini Brazil kuja hapa nchini kutumbua majibu yaliyo shindikana,



    Kessy nae siku hiyo alikuwa na mmoja kati ya warembo kutoka Morogoro huyu binti alimpata kupitia group la

    Whatsapp, akaweza kumtongoza binti

    Akaja jijini Dar es salaam,,



    “ohoo karibu sana mrembo jisikie upo nyumbani"

    Kessy alikuwa anamkalibisha binti yule anaekwenda kwa jina la Ester

    hwakutaka kupoteza muda palepale wakashikana na kuanza kunyonyana denda

    Ohoooo,,,,assess,,,





    Kesho yake yapata kama saa nne

    Asubuhi ndani ya uwanja wa Mwalimu jurias kambarage nyerere

    Tunamuona Kidume cha shoka kikishuka ndani ya ndege AirAsia kutoka shilika la ndege nchini Brazil

    Hakuwa mwingine ni...

    Chanduka,,,

    Kama tunampata ndio Askari aliyetoka nchini Brazil kuja hapa nchini kutumbua majibu yaliyo shindikana,

    Kessy nae siku hiyo alikuwa na mmoja kati ya warembo kutoka Morogoro huyu binti alimpata kupitia group la

    Whatsapp, akaweza kumtongoza binti

    Akaja jijini Dar es salaam,,

    “ohoo karibu sana mrembo jisikie upo nyumbani"

    Kessy alikuwa anamkalibisha binti yule anaekwenda kwa jina la Ester

    hwakutaka kupoteza muda palepale wakashikana na kuanza kunyonyana denda

    Ohoooo,,,,assess,,,

    SONGA NAYO

    SASA



    Asiiiiiiiiiiii,,,,ohoooooo,,,,uwiiiiiiiiiihaaaa,,,,,yalaaaaa,,,,tamuuu,,,,ahaaaaa,,,uiiiiwiiiiii,,,,,Ester akabaki kugugumia kwa utamu utasema analia vile kumbe wala

    Kessy alikuwa anakichezea kiarage cha Binti huyo huku akilinyonya titi la kushoto.

    Ester akazidi kuwehuka na kujipanua zaidi,

    Kessy nae hakutaka kumuacha mrembo huyo kutoka mji kasoro bahari.

    Akazidi kumdatisha kwa kuchovya kidole chake kilianza kimoja mara viwili hatimae vitatu.

    Ester akabaki kujinyonganyonga tu mguu mmoja upo mashariki mwingine kaskazini, utasema yupo

    Reba, mtoto akaitaji mtarimbo

    Kessy nae hakutaka kufanya haraka yeye alichokihitaji

    Ester akojoe kwa kuchezewa na vidole tu. Akawa anakibinya kile kiarage huku akiisugua G-sport kwa juu kidole kingine kikicheza na mpododo,

    Ester akapiga ukelele huku mwili wake ukikakamaa kumbe ndio alikuwa anakojoa dahaa

    Basi akamwaga uji wake,

    Kessy ndipo akaichomeka mashine yake haikupata shida kuingia

    Maana kitumbua kilikuwa na utelezi wa kutosha tu, kitu hakikuzama chote taratibu

    Kessy akaanza kupampu huku akizungusha kiuno kushoto kulia,

    Ahaaaaaammmm,,,,ohooooo,,,,asssssssshaaaaa,,,,,uuuuuuuuwiiiii,,,,hapooooo,,,,usiiiiiiiingizeeee,,,,,ohoooo,,,,,,,mamaaaaaa,,,,

    Ester akabaki kujibinya kwa chini maana mtarimbo uligusa penyewe akaona panatosha,,,,,,

    Kessy akazidisha speed ikawa kama vile kiuno kimefungwa mota,,

    Ester akabaki kulalamika tu huku mchozi ukimtoka maana alihisi kitumbua kinawaka moto,,,.



    Maeneo ya posta

    town kwenye jengo moja hivi gorofa ya

    Tisa kulikuwa na kikao cha kumtamburisha mgeni kutoka Nchini Brazil nae si mwingine ni

    Chanduka, basi kiongozi wa kikao hiko akasimama na kusema,



    “Kwanza kabisa napenda kuwashukuru nyie nyote mlioweza kufika hapa, katika siku muhimu kama ya leo,

    Kikubwa zaidi mpaka tumekutana hapa ni kutaka kumtamburisha kwenu mtu ambaye kuna baazi yenu sio Mgeni machoni mwenu,

    Huyu ni Kamanda wetu kama mnakumbumbu nzuri miaka saba nyuma Alikuwa nani katika Nchi hii.

    Alipambana vikari sana,

    Sitaki nizungumze sana embu tumkaribishe Kamanda mwenyewe

    Chanduka!"

    Basi watu wakapiga makofi ya furaha ndipo

    Chanduka akasimama na kuweka suti yake vizuri na tai binafsi alipendeza sana tena yuko vilevile

    Japokuwa miaka Saba imepita tokea afanye mambo makubwa sana hapa Nchini akakohoa kwa kulainisha

    Kohoo kidogo na kusema



    “Habari zenu ndugu zanguni?"

    Watu wakaitikia kisha akaendelea kusema

    kwanza kabisa sina budi kusema nimefurahi sana kurudi tena ndani ya Nchi yangu,

    Furaha niliyonayo ni kubwa mno

    maana muheshimiwa Raisi

    ameweza kuutambua mchango wangu mkubwa nilioufanya miaka hiyo iliyopita

    Mpaka kufikia hatua ya kunipigia simu na kuniomba nije kulisaidia Jeshi la police juu ya kumkamata huyo

    Ninja mask naweza kusema ni kazi ndogo sana

    Kumnasa kiumbe kama huyo ninacho hitaji ni ushilikiano kutoka kwenu tu.

    Na kama tutakuwa pamoja katika hili Ninja mask tutamnasa,

    Shukrani kwenu sina la ziada,"

    Makofi yakasikika kila mmoja akaweza kusimama na kuchangia mawili matatu

    Hatimae kikao kikaisha kama hivyo.



    Tukirudi upande huu

    Ester maji yalikuwa yamemfika shingoni akajikuta anajinyea hakika

    Kessy alikuwa sio mtu ni mnyama hakuona kinyaa wala nini akazidi kumsugua mpaka akaweza kukojoa ndipo akajitoa mwilini mwa Binti yule, akiwa tayari sijui kazimia au kapoteza maisha. Maana alikuwa kimyaa

    Baada kuvuta pumzi

    Kessy akaubeba mwili wa Ester na kupotea nao ndani ya chumba kile, sijui anaenda nao wapi,



    Ndani ya jiji la Mwanza

    tunamuona Ikram akiwa na Wahida mtoto mrembo unywele mpaka mgongoni, weupe wa Asiri

    Si unajuwa tena vitoto vya kipemba mtoto ana macho ya kuita, akikutizama tu moyo unapwita.

    huku akiwa anakula pipi ya kijiti na kuiyangalia bahari kumbe walikuwa wameenda beach,

    Wahida kwa macho maregevu akamtizama Ikram kisha kichwa chake akakiegemeza kifuani mwa kidume,

    Ikram nae akabaki kuzichezea ripsi za midomo,

    Ghafla zikasikika kelele zikitokea ndani ya ukumbi uliokuwepo maeneo hayo

    Huku watu wakitoka mbio kwa kukimbizana huku na kule,

    Ikram na Wahida nao wakasimama na kutoka mbio baada kufika mbele kidogo, Ikram akamwambia Wahida amsubiri kwanza aende kucheki kuna nini. Akatoka mbio mpaka ndani ya ukumbi ule hakuweza kuamini kwa kile alichoweza kukiona baada kumuona Ninja akipambana na kikundi flani hivi

    Huku pembeni kulikuwa na mzee akiwa kalala chini bila shaka atakuwa amekufa,

    Mpambano ulikuwa mkari vibaya mno

    Chupa na viti vikarushwa yule Ninja alikuwa kakomaa yani anapiga ngumi

    hadi chupa akimshika mtu kichwa ananyonga

    Miili ikabaki kurundikana tu,

    Ninja yule akadanki kwa kupitia sehemu ya mbele na kukimbia

    Vijana wa kihuni nao wakamuunganishia kwa kumkimbiza,

    Akazidi kukimbia huku akiongeza kasi ghafla mbele yake

    Anamuona Ninja suit patamu hapo akajikuta anafunga break ya ghafla

    Na kubaki akihema tu, akajisemea wacha ajalibu Bahati yake apambane

    Akachumpa na kutua mbele ya

    Ninja suit mkono ukaanza

    yule Ninja alikuwa anapiga kisha anakimbia maana alishajuwa mziki wa Ninja suit hauwezi.

    Wakajikuta wanatokea sehemu moja hivi imezungushiwa ukuta yani wapo wawili tu kila mmoja akabaki kumsoma mwenzake,

    Ninja suit akaruka juu kuja kutua mkononi ana kile kitambaa cha juu chenye kuficha sura ya mtu yule. Hakuwa mwingine ni

    Samira

    Ninja suit baada kumuona yule mtu akadank kwenye ukuta na kupotea huku akimuacha Samira katika hali ya sintofahamu,

    Imekuwaje Ninja suit aondoke baada kuiyona sura yake"



    Samira akajikuta anachoka hoi na kukaa chini kabla ya kustushwa na sauti ya ving'ora vya magari ya police, huku wananchi wakipaza sauti

    “hamna kaingia humu

    Ndio niliwaona wakiruka huu ukuta,,,,watakuwa humu ndani tu!"

    Samira akaona akizubaa atanaswa na police

    Akavaa mask yake haraka na kuruka upande wa pili nae akapotea,

    kwa mara nyingine tena

    Mwanza inakumbwa na mauwaji ya kutisha baada mfanya biashara maarufu bwana Abdullkadiri kuwawa yeye pamoja na Walinzi wake wote,

    Kila mmoja akabaki kujiuliza kuna

    Nini wakati huohuo team

    Nzima ya (S.W.A.T) wanawasiri kutoka jijini Dar es salaam wakiwa pamoja na

    Chanduka basi wakafanya uchunguzi fulani hivi,

    Chanduka akabaki kuvuta picha ya tukio zima kama alikuwepo vile kisha akavua miwani yake na kusema,



    “hakika shukhuri ipo maana huyu aliyetenda mauwaji haya ni mtu hatari sana, embu twendeni

    Wakaenda mpaka ile sehemu ambayo watu walikuwa wanasema kaingia humu,

    Chanduka akadanki na kurukia upande wa pili kile kitendo kila mmoja kilimshangaza maana hakuna anayeweza kufanya kitu kama kile,



    “Duhuu huyu jamaa ni Commando ehee yani karuka kama nyani basi

    Ni noma sana"

    Alikuwa kijana mmoja hivi akimpa sifa kedekede Chanduka kwa kile alichokifanya huwezi kuamini Aisee!"

    Chanduka baada kutuwa kwa ndani akafanya uchunguzi na kutoka kupitia getini maana geti lilikuwa limefungwa kwa ndani.

    Kwenye godauni hilo,



    Ikram baada kutoka kule beach na kurudi mpaka anapoishi akaweza kuachana na bibiye Wahida

    Na kuingia chumbani kwake ambapo anaishi na Joyce kwa wakati huo hakuwepo sijui kaenda wapi?....

    Ikram akaketi kitandani picha nzima ya tukio kuhusu Dada yake akitenda mauwaji ikajengeka mbele ya

    upeo wa macho yake. Akabaki kujiuliza

    Kwanini Samira anauwa

    hakuweza kupata jibu zaidi ya kujiambia bila shaka kutakuwa na kitu nyuma ya panzia kitu ambacho yeye hawezi kukijuwa

    Na atafanya juu chini kufatilia kila hatua atakayo ipiga Dada yake.

    Ndipo akasikia mlango ukigongwa ishara mtu anabisha hodi,

    Akasimama kwenda kufungua

    Mmh! alikuwa Wahida basi akamsukumiza Ikram na kujikuta wanadondokea kitandani,.



    Ndani ya jiji la Dar es salaam

    maeneo ya mto msimbazi watu walikuwa wamejana na kuushangaa mwili wa Binti mmoja hivi ukiwa unaelea kwenye maji, ukimtizama vizuri ni yule

    Ester akiwa tayari ameshakufa

    Kessy nae alikuwepo maeneo hayo uatasema sio yeye vile katulia tu

    Anajifanya kuchangia mada,



    “dahaa masikini ya Mungu yani binti mzuri kama yule sijui kawakosea nini walimwengu mpaka wamemtendea kitendo cha kinyama kama hiki?"

    Ni kauli ya Mama mmoja huku mchozi ukimtoka kuna jamaa mmoja akasema



    “unajuwa vitu kama hivi vinachangiwa na hii mitandao ya kijamii yani unakuta Mwanamke anatongozwa nae anakubari kuja kuonana na huyo Mwanaume matokea yake

    ndio kama hivi!"

    Kessy akajifanya kusema



    “ndio huu ni ujinga kama Mwanaume kakutongoza na anania kweli na wewe mwambie aje nyumbani kwenu"

    Police nao wakaingia na kuutizama ule mwili kisha wakaondoka nao,



    Tukirudi

    Mwanza kulikuwa na shukhuri pevu kati ya Ikram na bibiye Wahida.

    Ikram aliupeleka ulimi wake uliokuwa na mate kidogo mpaka kwenye kitumbua kitamu cha binti mrembo Wahida na kuanza kukichezea kiarage na ulimi wake,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    shiiiiiiiiiiiiii ooooouhhhhh babiiiiiiiii

    iiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaa,,,,mtoto wa watu alilalamika na kumwaga bao lake lililoruka juu kabisa,,,,nyege zilimpanda hasa,alikuwa hajielewi kabisa.

    Basi Ikram aliufungulia huru Mtutu wake wa nguvu anaouaminia kwenye shughuli za mashambulizi kama hizo. Ulikuwa umedinda hasa mpaka mishipa ilijitokeza, hakuwa haba maumbile yake,alijaaliwa mtarimbo wa maana. Mkubwa na mnene kwa afya ya mwanamke

    ,,,babiiiiiii ingi,,,zaaaaaaa,,,,,aaaaaaaaaa

    aaaaaaaaaaaaaah,,,,mtoto alikuwa moto hasa,alichokifanya Ikram hakuchelewa,alimweka sawa na kuushika mtarimbo wake kile kichwa alikilengesha vyema kwenye kitumbua na kuanza kukandamiza taratibu ili mtarimbo uzame

    ,,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssss

    ssssssssssssssssss,,,aaaaaaaaa

    aaaaaaaah,,,,oooooshiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,,ali

    lalamika Wahida huku kitu kikizama taratibu kwenye Kitumbua chake, tena liliteleza vyema hasa,hapo ndipo alizidi kuchanganyikiwa,kwanza hakuamini kama anasuguliwa kwani ni muda mrefu sana umepita, na mzigo wa Ikram ulibana vyema kwenye kitumbua chake.

    Akajitahidi kuzungusha kiuno ili aweze kumpiku Joyce

    sijui kwa wakati huo alikuwa wapi,,,,,,







    mweka sawa na kuushika mtarimbo wake kile kichwa alikilengesha vyema kwenye kitumbua na kuanza kukandamiza taratibu ili mtarimbo uzame

    ,,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssss

    ssssssssssssssssss,,,aaaaaaaaa

    aaaaaaaah,,,,oooooshiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,,ali

    lalamika Wahida huku kitu kikizama taratibu kwenye Kitumbua chake, tena liliteleza vyema hasa,hapo ndipo alizidi kuchanganyikiwa,kwanza hakuamini kama anasuguliwa kwani ni muda mrefu sana umepita, na mzigo wa Ikram ulibana vyema kwenye kitumbua chake.

    Akajitahidi kuzungusha kiuno ili aweze kumpiku Joyce

    sijui kwa wakati huo alikuwa wapi,,,,,,



    SONGA NAYO

    SASA



    Taratibu nje ndani mchezo juu ya Kitanda ulimi wa Ikram ulikuwa kifuani mwa Wahida ukimnyonya Chuchu yake ya kulia na yakushoto kwa zamu. Hapo ndio alimchanganya hasa, utamu ulizidi mpaka akawa anamkumbatia kwa nguvu kiasi ambacho Ikram alikuwa akipampu kwa shida “aaaaaa

    aaaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiii

    ii,,,,amamamaaaaaaaaaaaa,,,,oo

    oousssssssssssssssssssssssss,,

    ,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,aliendelea kukolezwa na utamu Wahida ambapo Ikram aliongeza kasi kidogo.

    Binti alikuwa akipaza sauti pale ambapo alikaribia kumwaga, mpaka muda huo tayari alishamwaga bao mbili mfululizo, Ikram ni kama alikuwa anamwotea,aliunyanyua mguu wake na kuushikilia kwa juu ambapo aliendelea kumsugua kwa kasi mpaka akakojoa tena,,,,nakupendaaaaaaaaaaaaa babiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaa

    aaaaa yangu mzaziiiiiiiiiiiiiiiii uwiiiiiiiiiiiii

    iiiiiiii aaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,alilalamika hivyo wakati akimwaga bao lake la tatu

    Ikram sasa ndio akaanza kujikongoja akilitafuta bao lake,kwani alikuwa akimsugua huku mawazo yako sehemu nyingine,alicholinda ni uimara wa dudu lake tu, hakutaka kumwaga haraka,ila alipoona mtoto mwenyewe ameshakojoa mara nyingi. Naye aliona ni muda muafaka,ndani ya dakika kumi na tano,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    aaah,,,ooooooooooooghrrrrrrrrr

    rrrrr,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,alilalamika hivyo na kumwaga bao lake,hakuchomoa dudu lake,walibaki wakiangaliana huku kila mmoja kijasho kikimtoka.



    “Nakupenda Ikram" Alisema hivyo Wahida kwa sauti yenye kusinzia



    “nakupenda pia” alijibu Ikram,



    “we ulikuwa unampa raha Joyce tu!"



    “jamani sasa wewe haukuwepo sasa

    Ningefanyaje?"

    Wahida akabaki kumtizama Ikram tu hatimae wakaanza kunyonyana tena ndimi zao huku mtarimbo ukiwa bado ndani ya kitumbua ukadinda shukhuri ikaendelea,



    katika maeneo ya Pansians,,,kona ya bwiru kulikuwa na kijana mmoja hivi wa makamu akitafuta chumba

    Akiwa kaongozana na dalali

    wakafika sehemu na kuanza kuongea na Baba mwenye nyumba

    anaetafuta chumba hakuwa mwingine ni Chanduka

    Ni moja kati ya plan zake

    yani ni bora ujifanye mtu wa kawaida tu uweze kumsoma adui yako vizuri na nyumba ambayo ndio kapata chumba ni kwa Mzee Mmbaga,

    Basi wakaandikishiana mkataba

    akapewa masharti ya nyumba

    Ugovi ulevi wa kupindukia hautakiwi

    Na mambo mengineyo yenye kuuzi jamii iliyokuzunguka,

    Kesho yake tu Chanduka akaamia ndani ya nyumba hiyo hakuwa na vitu vingi vya ndani kiasi tu

    kama vijana wa kileo wanaoanza maisha ya kujitegemea.

    Samira aliweza kumuona mpangaji yule mpya ilikuwa Asubuhi moja hivi

    Wapangaji wamepenga foreni kwenda chooni,

    Chanduka nae akatoka ndani kwake akiwa kajifunga taulo tu. Baada kufika nnje ndipo akakutana na kioja

    ni kitu ambacho kilimkumbusha mbali sana kipindi ambacho yeye alikuwa mzoa takataka

    Anaishi Tandale kwa tumbo,

    Akabaki kutabasamu tu na kwenda pembeni kupiga kwanza mswaki.

    Kuna baazi ya Wanawake wakabaki kumshangaa na kumuangalia kwa matamanio

    Chanduka alikuwa na kifua kipana kilichojengeka vyema kutokana na mazoezi. Mikono imejazia kuonyesha ni jinsi gani ananyanyua vitu vizito,



    “Wee Farida kama zamu yako nenda basi Stumai keshatoka huko!"

    Alikuwa binti mmoja akimwambia Farida aliyekuwa busy kumtizama Chanduka,

    Ajabu akasema,



    “Zamu yangu wacha aingie huyu mkaka akitoka ndipo nitaingia Mimi!"

    Chanduka hakuweza kuamini kupewa nafasi ya kuingia kwanza yeye,

    Basi akaenda kujiswafi na kutoka kwenye ngazi ya choo wakati anashuka

    Farida ndio anapandisha sijui bahati mbaya au mitego tu. Mtoto wakike akajikuta anayumba na kutaka kudondoka

    Chanduka kwa kasi akamdaka na kumleta kifuani kwake,



    kila mmoja akabaki kusema whao!"

    maana ilikuwa kama burudani fulani hivi japokuwa kuna mabinti

    Walichukia kuona

    Farida kamuegemea kifuani

    Chanduka, basi akamuachia huku akimwambia



    “pole sana binti"

    Farida kwa sauti nyororo akaitikia

    “Asante sana kaka yangu!"

    Chanduka akaingia ndani kwake na kuanza kujiuliza maswali na kujijibu mwenyewe mwisho akacheka,

    Baada kuvaa mavazi yake akatoka kwenda kwenye mishemishe zake akiwa njiani alipishana na mtu kwa Bahati mbaya wakapigana kipushi,



    “Wee brother vipi wewe unatembea kama kipofu uoni au?"

    Chanduka kwa sauti ya upole akamuomba samahani yule kijana maana alikuwa tayali ameanza kuja juu. Tatizo kijana hakutaka kukubari msamaha wala nini

    si unajuwa vijana wakihuni tena kitu kidogo tu anataka umlipe usikute kakugonga makusudi. Si akamkunja

    Chanduka huku akimwambia amlipe shilling elfu kumi,

    Chanduka akaona wee usinitanie

    akampiga zinga la kofi mpaka jamaa akahisi kuchanganyikiwa maana alizunguka alipokuja kukaa sawa akatoka mbio,

    Na kumuacha Chanduka akicheka tu,



    Ndani ya jiji la Dar es salaam

    Kessy alikuwa anazidi kuchafua hali ya hewa S.W.A.T wakazidi kuzunguka kila maeneo ya jiji kumsaka wapi,

    hata kivuli chake hakikuweza kuonekana,

    basi kila siku watu wanakufa

    ikiwa chanzo hakijulikani

    kwanini watu wanauwawa hovyo hivi

    Si Mwanaume wala Mwanamke wote twende sijui ulimwengu umemkosea nini huyu muuwaji.

    Hakuna aliyeweza kufahamu siri iliyojificha nyuma ya panzia.

    Donny dead akatamani kuonana na huyo kamanda mpya aliyetoka huko Brazil aweze kuzungumza nae. Akapewa jibu ya kwamba jamaa yupo Mwanza hakuona shida

    Akafunga safari mpaka

    Mwanza na kufikia

    mtaa wa Pansiansi kona ya Bwiru

    kwa kutumia ramani aliyopewa akaweza kufika hadi anapoishi

    Chanduka na kumkuta anaosha vyombo baada kutoka kula chakula cha mchana hata

    Chanduka nae akabaki

    kustaajabu tu maana hakutegemea katika maisha yake kuweza kukutana na Donny dead maana enzi zake alikuwa mtu hatari sana basi

    kwa heshima kubwa Chanduka akampigia Saruti

    kwa kukakamaa kisha wakaingia ndani

    ilichukuwa kama nusu saa hivi wakizungumza mwishoe Donny dead akatoka ilikuwa kama Bahati mbaya au nzuri ile anatoka tu

    na Samira ndio anaingia chooni

    Samira akawa wa kwanza kumuona Babu yake akaingia chooni haraka na kuanza kuchungulia kwa nnje.



    Farida nae akatoka nnje huku akiita

    “wee Samira simu yako hii...

    Samira Mudy anapiga huku"

    Donny dead akatabasamu na kumwambia



    “sasa Binti si upokee tu umwambie mwenyewe yupo chooni,

    Ndipo Farida akaipokea na kumjibu mpigaji hivyo

    Chanduka ikabidi amsindikize

    Donny dead mpaka sehemu

    aliyopaki gari lake basi wakaagana.

    Samira nae akatoka chooni mbiombio na kuingia chumbani kwake huku akihema,

    Farida alikuwa akichart baada kumuona mwenzake katika hali ile ikabidi amuulize,



    “vipi tena shost mbona hivyo?"

    Samira hakujibu kitu akajipweteka kitandani na kutulia kimyaa,

    Ndani ya soko maeneo ya Bwiru kulikuwa na vurugu chanzo cha fujo ni kupigwa kwa mfanya biashara ndogondogo na Mwanajeshi kisa Dafu alilokatiwa maji yake sio matamu

    Kwa hasira yule Mwanajeshi akampiga nalo la uso

    Mfanyabiashara yule akadondoka chini huku akijishika uso wake

    Mwanajeshi kwa sifa akazidi kumpiga mateke ya mbavu usoni yani kila maeneo

    Wafanyabiashara wa soko

    lile wakaona ahaa tumechoka kuonewa na kumvamia yule Mjeda

    wakaanza kumpiga na kumchania gwanda zake. Yani walimchakaza vibaya mno

    Mjeshi akawa yupo hoi hajiwezi ghafla kuna gari mbili za kijeshi aina ya pick up zikatia team maeneo hayo

    Mbona wananchi waliomba pohoo

    Chanduka nae alikuwa hana hili wala lile akakatiza maeneo hayo akajikuta anapigwa zinga la mtama

    kama ujuavyo Wanajeshi kwa kutaka sifa, baada Chanduka kupigwa ule

    Mtama akaenda chini na kutulia kimya

    Maana hakutaka fujo

    Ghafla upepo ukaaza kuvuma ishara ya nini hiyo

    Ninja suit amekuja kutoa msaada kwa Wananchi Mwanajeshi mmoja alipigwa zinga la fataki na kwenda kutua kwenye mstimu kiuno sijui kama anacho

    wakajipanga kujibu mashambulizi

    Ikawa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu tu,

    Ninja suit alikuwa anapiga fataki za maana akadunda kwenye nguzo ya tangazo sijui la tigo na kuwapiga double kick Wanajeshi watatu kwa mpigo

    Ndani ya dakika kumi hakuna aliyeweza kuinuka

    Ninja suit akajiandaa kuondoka

    Ajabu akajikuta anayumba na kwenda kudondoka chini baada kupigwa mateke ya kushitukiza,

    hakwenda chini moja kwa moja akadanki kwenye baiskeli na kugeuka kumtizama huyo aliyempiga vile ni nani.

    Akaweza kumuona ni laiya mmoja hivi akiwa na mavazi yaliyochakaa

    Ninja suit akachumpa na kuja kutua mbele ya mtu yule,

    Ambaye ni Chanduka patamu hapo

    kwanza Ninja suit akamdharau yule mtu

    Basi zikaanza kupigwa huku watu wakibaki kushuhudia show ya bure kabisa

    Ninja suit akajikuta anachezea mikono ya kufa mtu kutoka kwa yule mtu

    hakika

    Chanduka alikuwa bado yuko fiti Vumbi likatimka vibanda vikavunjwa kutokana na mpambano ule

    Ninja suit akaenda chini na kushindwa kunyanyuka

    Chanduka akacheka na kusema



     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog