Search This Blog

Thursday 24 November 2022

SIKU YA HUKUMU - 4

 

     

     



     

    Chombezo : Siku Ya Hukumu

    Sehemu Ya Nne (4)

     

    “Kidudu kidogo sana wewe unataka kuusumbua ulimwengu hakika lao umenasa, ile anainama tu aende kumuinua pale chini

    Akajikuta anasukutuliwa konzi moja tu la kidevu sio ngumi ni konzi.

    Ninja suit akainuka kwa style ya kipekee kabisa na kujiweka sawa kwa ajili

    ya mpambano,

    Chanduka nae akaona ahaa kumbe

    Nae akaweka Stance

    mkono ukaendelea

    Basi ikawa zamu ya Chanduka kupigwa kama mtoto

    Ninja suit katika ubora wake

    Alikuwa akipiga zile za Drunken monkey. pamoja na Wushu,

    wakati Chanduka

    anapiga za Kapwera kutoka kule Brazil.

    Chanduka akadebweda na kuwa hoi

    Ninja suit akamshika

    Chanduka kichwa kwa nia moja tu amnyonge kabla ajafanya hivyo

    Akastukia anapigwa teke

    na kwenda pembeni kumuangalia aliempiga ni Samira

    kumbuka huyu ni Dada yake basi

    Samira akaenda kumshika

    Chanduka wakati huo ajitambui kabisa

    Kitendo cha

    Samira kumshika

    Chanduka vile yani kama mpenzi wake hivi

    Ninja suit akapotea na

    Kuacha shangwe kwa wananchi

    Chanduka na majeruhi wengineo wakapelekwa hospitali

    Dahaa kweli kutesa kwa zamu

    Chanduka zamu yako imeisha sijui umefata nini Nchini

    Mtoto anakuvunjia heshima







    na kwenda pembeni kumuangalia aliempiga ni Samira

    kumbuka huyu ni Dada yake basi

    Samira akaenda kumshika

    Chanduka wakati huo ajitambui kabisa

    Kitendo cha

    Samira kumshika

    Chanduka vile yani kama mpenzi wake hivi

    Ninja suit akapotea na

    Kuacha shangwe kwa wananchi

    Chanduka na majeruhi wengineo wakapelekwa hospitali

    Dahaa kweli kutesa kwa zamu

    Chanduka zamu yako imeisha sijui umefata nini Nchini

    Mtoto anakuvunjia heshima.



    SONGA NAYO

    SASA



    Ndani ya Hospital ya Bugando jijini

    Mwanza ndipo walipofikishwa majeruhi wote wa vurugu zile

    zilizotokea pale sokoni maeneo ya

    Pansiansi, miongoni mwao akiwemo

    Chanduka, kwa wakati huo akiwa karibu na bibiye

    Samira na Farida kama waangalizi wake,

    Binafsi Chanduka hakutaka

    kuamini yani na ukomando wake wote

    kapigwa kama mtoto na kiumbe kile yani

    Ninja suit akabaki kusikitika tu.

    Samira akampa pole na kumuuliza



    “Kwanza pole sana kaka yangu kwani ilikuwaje mpaka Ninja suit akakupiga namna hii?"

    Chanduka ikabidi atunge uwongo kwa kujibu,



    “sijui hata nisemeje yani kwa kifupi nilikuwa nimeenda pale kununua tikiti maji, ajabu Wanajeshi wakavamia na kuanza kupiga kila mtu.

    wakati kipondo kikiendelea juu yetu

    Ghafla akaingia Ninja mask dahaa na kuanza kutembeza kichapo kwa Wanajeshi.

    Kwakuwa kuna zawadi nono imetangazwa kwa yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa

    Ninja suit nikauvaa mkenge kwa kujalibu kupigana nae, kilicho nikuta ndio hiki!"

    Samira akatabasamu na kumwambia



    “mmh! kumbe ulimchokoza mwenyewe yule kiumbe hafai kabisa kingine

    kuuwa kwake ni kitu kidogo sana yani pale kama nisingetokea Mimi angekuvunja shingo"

    Chanduka akasema



    “wee,,,thubutu asingeweza abadani kwanza hii shingo ya chuma"

    Samira na Farida wakabaki kucheka tu,



    Ikram akiwa amekaa ndani kwenye sofa kwa upande wake nae alikuwa na mawazo si kidogo.

    Hivi yule mtu ni nani....mbona anaonekana ni mkali wa mapigo ya Mashowart?....

    Samira anajuwana vipi na yule mtu ni mpenzi wake au,,,,,inamaana

    kaaga anakwenda Nchini Swaziland,

    kumbe aje kuishi na bwana huku,,,sasa mbona anauwa dahaa"

    Ikram akajikuta anapiga ngumi meza iliyoko mbele yake mpaka akavunja kioo.

    Joyce alikuwa ukumbini anapika sauti ya Kioo ikivunjika akaisikia akaja mbio ndani na kukuta meza yake imevunjwa akamtizama Ikram mkononi anatoka damu,

    Basi akafanya haraka kumtibia mpenzi wake kwa kusafisha jeraha na kumpaka dawa akamfunga bandegi. Na kuzoa vile Vyupa na kwenda kuvitupa,



    Ninja mask taarifa za kuonekana Ninja suit ndani ya jiji la Mwanza akazipata akabaki kucheka tu huku akisema

    “huyu mwehu kahama mji sio baada kusikia mzee wa kazi nimerudi

    Kudadeki zake namfata hukohuko!"

    Kessy akafunga safari mpaka ndani ya jiji hilo na kufikia.



    hotelini siku hiyohiyo aliyopata chumba akaweza kupata Binti mmoja hivi ambaye ni muhudumu wa Hoteli hiyo

    iliyopo Bwiru.

    Binti akajuwa mwenyewe kapata buzi la kulichuna usiku huo kumbe kapatikana yeye.

    Ndani ya chumba

    vidole vya Kessy vikapita mpaka ndani ya Blauzi ya binti. Huyo yani vilipita mpaka kwenye Chuchu ndogo za Binti, zilizochomoza kama miiba hapo kifuani,,,,aaaa

    aaaaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaah,,,

    mmmmmmmmmmmh,,,alilalamika Binti ambapo alimbinulia Kessy kifua chake ili akishike vyema,lakini kwa jinsi Chuchu hizo zilivyokuwa nzuri,Kessy aliona si vyema kuzishika na vidole vyake vilivyozoea kazi za mauwaji tu.

    Basi akamuweka kwanza kwenye kochi kisha akamvua blauzi yake na kumwacha akiwa wazi kifuani,Chuchu zake ndogo. Zilizosimama zilivamiwa na ulimi wa Kessy na kuanza kunyonywa kikamilifu,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    aaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiissssssssssssss,,,aa

    aaaaaaaaaaaa,,ssssssssssssss,,

    aaaaaaaaaah,,alilalamika kwa utamu, binti huku akibana meno yake na kupanua lipsi zake laini,ulimi wake ulipokuwa unazisugua Chuchu hizo kwa mbele kabisa kule kwenye utamu,, akawa tayari kapapekenyua kwa kidole, binti akabaki kuhema juu juu tu

    Maana huku ananyonywa chuchu

    Nahuku anachezewa kiarage chake

    Assess,,,,ohooooops!!!!,,,,,ahaaaaaaa

    Duuuuuuuuu,,,uahaaaaa,,,,

    Binti akajikuta anaomba dudu,

    Kessy akamnyanyua pale kwenye kochi na kwenda nae bafuni.

    Ndani ya bafu

    Kessy alikuwa anamsugua binti wawatu kwanza ilikuwa mwendo wa taratibu Binti akaomba kasi iongezeke kilichotokea akajuta kuzaliwa,



    “Hivi Ashura mdogo wangu unataka kusema

    Abdully huyu ninae mfahamu mimi alikuwa kama ndugu kwa kaka

    Kessy nawe akawa boyfriend wako ndio akaikana mimba yake?"



    “ndio Dada yani akanitimua kama anijui vile tena kwa kunipiga kama mbwa"

    Yalikuwa mazungumzo kati ya Amina na Ashura Dada zake Kessy,



    “unajuwa nini mdogo wangu

    Abdully kasahau yote yale aliyokuwa akifanya na marehemu kaka yetu

    Nahisi laiti kama angekuwa hai mpaka leo hii Abdully asingekuwa na ubavu wa kufanya upumbavu kama huu".......

    Wakati wanaongea yote hayo

    kumbe

    Saguda alikuwa kabana sehemu akiwasikiliza tu. Ndipo akatambua

    Ahaa kumbe Baba yake mtu fulani tena mara nyingi hua anakutana nae.

    Akaona subiri,



    “lakini Dada sitaki mwanangu atambuwe kabisa kama Baba yake ni nani maana kwa unyama alionitendea hastahili tena kuitwa Baba wa Mwanangu!"

    Ashura akaanza kulia ilibidi Amina ambembeleze mdogo wake,

    jamani Wanaume some time tunakuwa wabaya,,,,,,,"



    Ikram baada kupata habari ya kwamba S.W.A.T wapo ndani ya jijini Mwanza kumsaka Ninja suit akacheka

    sana na kujisemea wamejileta,

    Chanduka nae akaweza kuruhusiwa kutoka hospitali cha kwanza akatafuta Gym kwa ajili ya mazoezi ya kujiweka fiti wakati huohuo police wanapokea simu kuna msichana amekutwa ameuwawa

    Kwenye hoteli

    moja hivi pande za bwiru police wakafika na kufanya uchunguzi wao na kuondoka na mwili wa marehemu,

    Chanduka hizo taarifa alizipata akajuwa muhusika wa mauwaji hayo ni

    Ninja suit kwanini anauwa?"

    ni swali alilo jiuliza Chanduka pasipo kupata jibu.



    Kevin kijana mmoja hivi mwenye kujipenda yani kuanzia mavazi mpaka usafi wa mwili

    kwa mwendo wa kitozi alikuwa akikatiza maeneo ya Pansiansi

    Karibu na kwa Mzee mmbaga kila anapopiga hatua basi anajifuta yani usharo umepitiliza zaidi

    Wakati huo

    Samira alikuwa anafagia.

    “oyaa binti kishitobe mambo gani tena haya tunachafuana namna hii?"

    Kevin aliuliza hivyo baada Samira kufagia na kutimua vumbi,

    Kwa sauti ya upole akamuomba samahani.



    “Samahani sana kaka yangu nilikuwa sijakuona kama unakatiza njia hii!"

    Kevin akasonya kwa dharau na kuendelea na safari yake,

    Samira akabaki kumtizama tu akainua sura yake juu kama kuna kitu anakiwaza hivi ghafala akautupa ufagio chini na kukimbilia chumbani kwake akatoka faster, na kumkimbilia

    Kevin sijui amekumbuka kitu gani hatua kadhaa mbele akamuona Kevin akipeana salamu na jamaa zake kisha huyo akaendelea na safari yake.

    Akazidi kumfatilia mpaka wakafika sehemu

    Samira akaangalia kushoto na kulia hakuna mtu akapiga mruzi. Kumshitua Kevin nae akageuka baada kuusikia mruzi ule

    “Whao wewe si yule binti uliyenitimulia vumbi kule men?"

    Samira akatikisa kichwa kuitikia tu, kisha akasema



    “bira shaka ndio mimi"

    Kevin kwa dharau akauliza



    “Kwahiyo nikusaidie nini men mbona umenifata mpaka huku men...unataka kuniramba babu?"

    Samira akamjibu kwa hasira zaidi,



    “nazani unakumbuka sana tena sana kitendo cha kinyama ulicho nifanyia angali nikiwa mdogo wewe na mbwa wenzako wawili kati yenu.

    Nishaenda kuwapeleka mbinguni kwa Baba muumba sasa ni zamu yako,"



    “mbona sikuelewi men unamaanisha nini kusema hivyo men?"

    Samira akachumpa huku akiwa tayari kakichomoa kisu alichokificha kiunoni kitendo cha kutua tu kisu kikakita kwenye tumbo la

    Kevin akapiga yowe la maumivu

    Akapigwa visu kama vitatu hivi. Kuna jamaa alikuwa akipita na baiskeli yake akaweza kuona tukio hilo

    Akapaza sauti kwa kupiga kelele



    “Jamani kuna mauwaji hukuu".......jamani,,,kabla hajasema kauli nyingine akapigwa na kitu kizito kichwani nae chali,

    Samira alikuwa kamtwanga na jiwe la kichwa yule mmbea

    Baada apo akatafuta njia ya kusepa

    ile anageuka tu akastukia tihii

    Akaona kizunguzungu sijui kichina china na kupoteza fahamu,

    Wananchi walijana eneo lile huku miili mitatu ikiwa imelala yani

    Kevin yule mpita njia na

    Samira nae akiwa anajindaa kukimbia akapigwa na kitu kizito na mmoja wa wananchi



    “oyaa dawa ya moto ni moto tu

    Huyu binti ndio muuwaji tumtie moto"



    “wewe umeona wapi mrembo kama huyo anatiwa moto huyo dawa ni kumtia mimba tu,

    Ukawa mzozo mkubwa hawa wanataka kumtia moto wengine mimba

    wengine apelekwe kituo cha police

    Sheria ichukuwe mkondo wake,

    Ghafla upepo ukaanza kuvuma na

    Chanduka nae anakuja mbiombio akiwa na Farida

    Taarifa za Samira kukutwa akiwa ameuwa na kukamatwa na Wananchi walizipata,

    Ninja mask nae akaibuka

    Kila mmoja akabaki kushangaa hiki kiumbe gani tena.

    Akiwa kasimama mbele ya Wananchi akatoa kauli moja tu



    “Muachieni huyo binti

    Haraka sana!"

    Kuna jamaa akaleta shobo kujibu,



    “Wewe kama nani mpaka unasema tumuachie?,,,,,,

    Akajibiwa kwa kutupiwa kitu kama wembe hivi ukaenda kukita tumboni kwa yule kimbelembele basi tumbo likabasti yani miutumbo sijui maini

    Vikatoka nnje wee nani abaki

    Kila mmoja akatafuta njia yake na kukimbia.

    Ninja mask akapiga hatua na kumfata

    Samira pale alipolala hajitambui kabisa

    Akamshika na kumbeba akataka kuondoka nae anasikia sauti



    “kuanzia sasa upo chini ya ulinzi mueke huyo Binti chini!"

    Ninja mask akageuka na kumtizama huyo police sijui S.W.A.T akamuona kashika bastora

    Akafanya kama anamuweka samira chini kisha akachumpa

    na kwenda kumpiga zinga la teke

    kumbe alikuwa

    Chanduka ndani ya mitihani mizito

    Baada kupigwa lile teke akadank na kujizuia asiende chini

    Nae akachumpa na kuja kumpiga Ninja mask Double kick

    Ikawa piga nikupige

    Ninja mask akajiuliza huyu nani mbona anaweza kupambana na mimi

    Ikawa first two first

    Vidume kila mmoja yuko fiti ghafla upepo ukavuma mpaka wao wenyewe wakaacha kupigana na kubaki kushangaa

    Ninja suit nae huyo apo mbele yao



    Chanduka ndani ya mitihani mizito

    Baada kupigwa lile teke akadank na kujizuia asiende chini

    Nae akachumpa na kuja kumpiga Ninja mask Double kick

    Ikawa piga nikupige

    Ninja mask akajiuliza huyu nani mbona anaweza kupambana na mimi

    Ikawa first two first

    Vidume kila mmoja yuko fiti ghafla upepo ukavuma mpaka wao wenyewe wakaacha kupigana na kubaki kushangaa

    Ninja suit nae huyo apo mbele yao"....



    SONGA NAYO

    SASA



    Ninja suit baada kufika maeneo yale hakutaka kujiuliza sana akapiga hatua kuufata mwili wa

    Samira kabla hajaufikia,

    Ninja mask akaruka hewani kwenda kumzuia Ninja suit asiweze kumshika Samira

    Kwa kitendo cha haraka zaidi Ninja suit nae akadanki na kwenda kumtandika zinga la teke

    Ninja mask akajikuta anarushwa kulekule juu.

    Hapana chezea moto wa viumbe hawa, ni hatari tupu,

    Ninja suit akambeba Samira na kupotea nae ngoma ikabaki kwa

    Chanduka na Ninja mask, kila mmoja akabaki kumtizama mwenzie,

    Sema Ninja mask

    alikuwa kajishika kifuani kuonesha ni jinsi gani anaugulia maumivu ya lile teke alilo pigwa na Ninja suit.

    Nae akapotea

    Chanduka akabaki peke ajui hata afanye nini kama Samira ndio kachukuliwa sijui anapelekwa wapi"......

    Kumbe Chanduka aliweza kuachana na maswala ya mizimu muda tu,

    tokea astahafu jeshi

    kwa sasa anatumia nguvu zake

    binafsi style ya kupotea bado anayo

    Sema hakutaka kufanya hivyo

    Mpaka police wakafika na kuondoka na miili ya marehemu,



    “ayaaa,,,,,,,"hahahaha,,,,Ohio...shit!"

    Shenzi kabisa pumbavu,," yani mimi wakupigwa na mshamba kama yule?,,,Kudadeki Ninja suit

    Mshezi wewe utalipa hii!!!,,,,,

    Ninja mask hakuweza kuamini yani kapigwa teke mpaka anacheuwa damu,

    akabaki kupiga kelele tu,

    Akiwa ndani ya msitu mmoja hivi. Yani sauti yake mpaka wanyama ndege wakaogopa na kukimbia

    Akaweza kubadilika na kuwa kiumbe mmoja wa ajabu yani anatisha vibaya mno.

    Ninja suit baada kupotea maeneo yale moja kwa moja akaibukia chumbani kwake akiwa na mwili wa Samira

    Akamlaza kitandani

    Huku yeye akichenji mavazi kuna maneno fulani hivi akiyatamka ndio anakuwa Ninja suit kisha anajivua

    kwa kuongea maneno mengine.

    Akatoka nnje na kukutana na Joyce anatoka kuoga



    “baby mbona hivyo ulikuwa wapi?"

    Ikram hakujibu kitu akatoka nnje sijui anaenda wapi. Joyce nae akaingia chumbani kwanza akastuka baada kumuona mtu kalala kitandani kwake tena ni Mwanamke wivu wa mapenzi ukamshika na kufikilia Ikram kamsariti

    Akafungua kabati na kutoa kisu

    Nia yake amuuwe yule binti

    aliyelala pale kitandani.



    Huku akiwa anatetemeka akamsogelea

    na kumtizama vizuri

    Kisha akakiandaa kisu chake kwa kukiinua juu,

    ile anajindaa kumchoma tu,

    Ghafla mkono ukadakwa na kumbe Samira alikuwa tayari amezinduka.

    kwa haraka zaidi Joyce akapinduliwa na kupigwa teke akaenda msobe msobe hadi chini ya sakafu

    Samira akabiduka kutoka pale kitandani na kutua chini. Kisu tayari kipo mkononi Joyce hakuwa na ujanja tena akabaki kurudi nyuma kwa uwoga

    Akashindwa hata kupiga kelele ya kuomba msaada,

    Samira akamuinamia Joyce pale chini na kuishika shingo yake

    Akamkazia macho na kumuuliza



    “wewe ni nani?

    Joyce kwa sauti ya kubabaika yenye kutawaliwa na uwoga akajibu,



    “na...naaa itwa..Jois..

    Yani akashindwa kutaja hata jina lake vizuri kigugumizi kilimshika,

    Samira kwa sauti ya ukali zaidi akamuuliza tena.



    “humu chumbani kwako nimefikaje?"

    Joyce akashindwa kujibu ila kuna mtu akajibu tena sauti ya kiume



    “humu ndani nimekuleta mie?

    Samira akageuka kwanza akastuka baada kumuona huyo mtu aliyejibu hivyo. Kwanza hakutaka kuamini kabisa, kama yule anayemuona mbele yake ni Kaka yake.

    Akajikuta anakaa pembeni huku kisu akikidondosha chini.

    Joyce akatumia nafasi hiyo kukiokota kisu na kutaka kumchoma nacho

    Samira, ambaye alikuwa ameduwaa tu,

    Ikram kwa kasi zaidi akaenda kukizuia japokuwa alikidaka kwenye makali.

    Na kumkata kiganjani,

    Joyce akastuka pia

    Baada Samira kumwita Ikram Kaka



    “kaka ni wewe kweli?"

    “ndio Mimi Dada yangu"

    “huku Mwanza umekuja kufanya nini?"

    “nikuulize wewe huku umefata nini maana uliaga unaenda Swaziland ajabu upo Mwanza"

    Ikabidi Joyce apishe mazungumzo kati ya ndugu hawa wawili,

    Samira hakuwa na jinsi zaidi ya kumwambia ukweli wote Kaka yake,

    Hakika Ikram akasikitika sana, na kumpa pole Dada yake kisha akamwambia.



    “Pole sana Dada yangu kumbe sikuweza kufahamu kwa nini unauwa siku ya kwanza nilikuona kule Beach"

    Samira akashangaa na kuuliza



    “khaa uliniona kule Beach kivipi yani mbona sikuelewi hapo?"

    Ikram akacheka ghafla akabadirika na kuwa Ninja suit.

    Samira akashituka zaidi na kutaka kukimbia Ikram akajirudi na kumwambia



    “usiogope Dada yangu nadhani ujaweza kufahamu Mimi ni nani kumbuka hii iwe ni siri yako tu.

    Na kuhusu hao watu nikabizi Doc comment zao, nitazifanyia kazi

    Wewe rudi nyumbani ukakae na wazazi.

    Nadhani umenisikia!"

    Samira akatikisa kichwa na kuuliza



    “Kaka kama wewe ni Ninja suit kwanini umemuuwa Baba mkubwa?"



    “Hapana Baba mkubwa sijamuuwa nakumbuka kuna siku Majambazi walivamia pale kijitonyama kwenye hotel moja hivi

    Kama ujuavyo Mimi nipo kwa ajili ya kutetea watu wanyonge na mali zao na siku zote watu washenzi. Siwezi kuwaacha wazima ni kuwachinja tu, basi nikafika pale kufanya yangu

    Kabla sijaondoka ndipo police nao wakaingia wakiwa na Baba mkubwa nikapora Pikipiki na kukimbia nayo

    huku nyuma nikikimbiza na Magari ya police kufika maeneo ya Ubungo

    Ndipo ikatokea ajali mbaya sana.



    Hakika sikuweza kufahamu kama ile Ajari imemtokea Baba,

    Baada kusema hivyo

    Ikram mchozi ukamtoka basi ndugu wale wakakumbatiana huku kila mmoja akimbembeleza mwenzie,

    Joyce muda wote alikuwa nnje tu tena mbali na hapo

    Kwenye akili yake alikuwa anajutia kitendo cha kutaka kumuuwa wifi yake pasipo kujuwa.

    Yeye alijuwa ni mpenzi wa bwanaake,

    huku ndani

    Samira akasema



    “Sawa Kaka yangu wacha Mimi nirudi nyumbani lakini sijui nitaondoka kwa njia ipi maana tayari nishaonekana nikifanya mauwaji",,,,,



    “kuhusu swala la wewe kuondoka usijali kabisa ndani ya Usiku wa leo utaondoka kurudi nyumbani na hakuna atakayeweza kukushika,

    Umenisikia my sister?"



    Ndio my brother kunzia sasa kila kitu nakiacha mikononi mwako bira shaka huwezi kuniangusha!"

    Ikram akaita,



    “My baby......sauti ya Joyce akiitika ikasikika akaja mbiombio ndani"



    “ehee niambie my sweat"

    Ikram akafanya utamburisho mfupi tu na kumwambia ya kwamba wifi yako utakuwa nae hapa mpaka Usiku ndipo atakapoondoka,"



    Kessy akiwa bado katika umbile la kutisha yani kama mnyama aina ya Godzilla akaingia katikati ya jiji na kuanza kufanya mauwaji ya haraiki yote ni hasira za kupigwa lile teke.

    Yani alikuwa anafinya watu kwa kuwakamata na kuwanyonga

    Police wakafika na na kuanza kukishambulia kiumbe kile kwa siraha nzitonzito Mwanza mjini ikawa balaa tu.

    Majengo yakadondosha na kugawanyika kutokana na makombora

    Kiumbe kile cha ajabu risasi zilikuwa hazipiti kwenye mwili wake yani zinadunda,

    Ikabidi Jeshi watumie makombora.

    Vyuma vilipigwa huku Kessy akizidi kuwafinya tu,

    Chanduka nae akafika na kujalibu kupambana nae

    Eti apigane nae kitendo cha kumsogelea tu akapigwa zinga la Kofi akarusha hewani na kabla ya kutua akachapwa na mkia na kwenda kudondoka juu ya gari. Na kuwa kimyaa,

    Chezea Kessy

    S.W.A.T nao wakafika na kuanza mashamburizi, kiumbe kikazidi kusimama imara kwa kujibu mapigo

    ghafla akapotea na kuacha maafa makubwa sana,

    Maeneo yale

    Chanduka sijui alikuwa kapoteza fahamu au kafa mi sijui,



    Ndani ya chumba Ikram alikuwa anacheza PlayStation 3 yeye na Dada yake huku wakifurahi,

    Hawakuwa na taarifa yeyote kwa kile kinachotokea huko mjini inawezekana Ninja suit alikuwa anajuwa hakutaka kwenda tu,



    “hilooo goal.....tatu moja hiyoo"

    Ikram alikuwa anamtambia

    Dada yake kwa kumfunga goal tatu.



    “Ahaa Kaka bwana team yako mbona wana speed wakati wangu hawana"

    Ikram acheka na kumjibu



    “tatizo umechagua team ya wachumba yani Chelsea mchezaji mwenye speed hapo ni Hazard na Drogba tu

    Oky chagua Arsenal,"



    “Sitaki Arsenal naitaka team anayochezea Messi"

    Ikram akaichukuwa paid ya Samira

    Na kumchagulia Barcelona,

    Ghafla sauti ya vilio ikasikika ikitokea chumba kimoja wapo wakashituka na kuacha kuacha paid chini wakatoka

    Nnjee Ikram akamzuia Samira kwa kumwambia

    Wewe rudi ndani!"

    Samira hakuwa mbishi akarudi chumbani huku masikio yake yakiwa makini kusikiliza kuna nini,



    Sauti ya vilio ikazidi kuongezeka Nyumba hadi nyumba

    hakika kulikuwa na msiba mzito wenye kusikitisha,

    Watu walilia na kusaga meno katika tukio lile la kule Mwanza mjini.

    Kuna watu waliweza kupoteza ndugu zao

    “Mama yangu Mimi,,,,,"ahaaaa,,,jamaniii...hakika alikuwa binti mmoja akimlilia Mama yake kwani alikuwa mmoja kati ya watu waliopoteza maisha.

    “hapanaaa,,,,"sasa Mume wangu utakufaje namna hii,,,,,wakati Asubuhi uliniaga utarudi mapema,,uwiiiiii....ahaaaa,,,

    Yani watu hawakuweza kujuwa wambembeleze yupi wamuache yupi

    Maana vilio kila kona,

    Kessy aliacha maafa.

    Tu kwa familia za watu vikosi vya kijeshi vikazidi kuongezeka kutoka jijini

    Dar es salaam kuja kuongeza nguvu,

    Wakati huo kiumbe hakijulikani kimeenda wapi?,,,,,,,



    “hivi hiki kiumbe cha aina gani?"

    “mie hata sijui maana inaonekana kama vile zama za mwisho wa dunia umefika"



    “inawezekana ikawa kweli kwasababu haya mambo tulizoea kuyaona kwenye movie tu za Wazungu ajabu leo imekuwa live tena

    Africa!"

    Yalikuwa mazungumzo kati ya vijana wawili waliofika eneo la tukio na kujionea mambo jinsi yalivyokuwa,"



    “unajuwa nini Robert, kwa mwendo huu kama Serikal haitofanya jitihada zozote zile za kutafuta Makommando wa kuweza kumteketeza huyu kiumbe nina hakika tutakufa wote,



    “ndio maana yake kwanza mie kesho tu naenda South nitakaa huko mpaka nisikie huku mambo yamekuwa shwari"



    “Msiogope vijana binafsi hili tatizo ni dogo sana naimani Serikali itasuka mipango thabiti kuweza kukinasa hiko kiumbe"

    Alikuwa Kessy baada kuwakuta vijana wanazungumzia swala zima la tukio nae akachangia mada.



    “ndio Serikali haiwezi kuliacha hili swala hivihivi tungoje na tuone.

    kila mwananchi akaongea lake kutokana na majanga yale,

    Ikram nae alifika eneo la tukio

    Huku kamanda wetu

    Chanduka akiwa chumba cha

    ICU you kwani mapigo yake ya moyo yalikuwa yanapiga kwa mbali sana,"

    Madoctor wakajitahidi kuyashitua mapigo yake ya moyo namna wawezavyo kuokoa maisha ya Kamanda wetu

    Hakika anakutana na wakati mgumu sana japokuwa alisema ni kazi ndogo

    Alitukana mamba kabla ya kuvuka mto

    Baada kufika usiku jiji zima kulikuwa kimyaa Ikram akatumia njia hiyo

    kumtorosha Samira

    Hatimae Samira akaondoka. Na kuiyacha kazi ya kuwasaka wabaya wake mikononi kwa Kaka yake,

    Ikram akiwa stendi baada kuuona busy alilopanda Samira linaondoka akageuka na kusema

    Mmoja mmoja mtaenda kuzimu

    Kudadeki,







    Alitukana mamba kabla ya kuvuka mto

    Baada kufika usiku jiji zima kulikuwa kimyaa Ikram akatumia njia hiyo

    kumtorosha Samira

    Hatimae Samira akaondoka. Na kuiyacha kazi ya kuwasaka wabaya wake mikononi kwa Kaka yake,

    Ikram akiwa stendi baada kuuona busy alilopanda Samira linaondoka akageuka na kusema

    Mmoja mmoja mtaenda kuzimu

    Kudadeki,



    SONGA NAYO

    SASA.



    Mwanza nzima ikagubikwa na msiba mzito sana yani zaidi ya watu Hamsini na sita walikuwa wamepoteza maisha wakiwemo Wanajeshi saba, Wanafunzi kumi na tano,

    Police kumi na moja wengineo ni laiya tu wa kawaida muheshimiwa Raisi nae aliweza kufika maana alikuwa zialani nchini Sweden,

    baada kupokea taarifa hizo za kushitusha usiku huohuo akakwea pipa kurudi nchini kwake,

    Ndani ya wiki moja nchi ilikuwa kimyaa kwa msiba ule maana kuna makomando wa kutumainiwa nao walipoteza maisha,

    Muheshimiwa Rais bwana

    David bwanga akiwa ndani ya ofisi yake akaomba aitiwe haraka Kamanda mstahafu yani Donny dead.

    Baada kufika akaanza kumfokea



    “unafanya nini wewe nchi inaangamia hii wakati wewe upo bwana!"

    Donny dead akajitetea kwa kusema,



    “muheshimiwa hii kazi haipo mikononi mwangu bwana kazi washakabiziwa kikosi kingine"

    Muheshimiwa Raisi akashangaa na kusema



    “wachilia mbali mambo yako wewe Mimi si nimekukabizi kazi hii na ukasain mkataba hapahapa ofisini, inakuwaje tena useme hii kazi ipo mikononi mwa watu wengine

    Kwanza ni watu gani hao?"

    Donny dead hakuweza kujibu kitu, kwanza ajibu nini maana yeye kapokea taarifa tu

    Kazi ipo mikononi mwa kitengo maalumu cha

    S.W.A.T mpaka akaletwa kamanda mpya aliyekuwa akiishi nchini Brazil.

    Inakuwaje tena Muheshimiwa aseme kazi ipo mikononi mwake,

    Akajisemea ahaa,,,,kumbe hawa watoto wamemshika sharubu sio,

    Ndipo akamjibu muheshimiwa kwa kusema



    “Kwanza nisamehe Mimi muheshimiwa nazani kazi itafanyika hakuna kitakacho alibika"

    Kisha akatoka ndani ya chumba hiko akiwa ndani ya gari,

    Kurudi nyumbani kwake alikuwa anawaza na kuwazua kwanza kabisa akawakumbuka Macommando wenzake kipindi wapo kule nchini Iraq na Afghanistan kwenye operation nzima ya kupambana na Magaidi

    akaitaji kuita team yake japokuwa ni muda mrefu sana umepita

    tokea tukio la kustahafu kwao kingine mmoja kati yao Amekufa,

    Akaona sio mbaya pengo la marehemu azibe mjukuu wake yani

    Ikram, baada kufika nyumbani kwake akafanya kuwasiriana kwa njia ya mtandao kwa bahati nzuri akaweza kuwapata wote mmoja alikuwa laiya kutoka nchini Urusi mwingine ni kutoka Japan,

    Baada ya kuwapata hao akawasiliana na Nakata yani ndipo alipoenda Ikram

    Ajabu akajibiwa ndio yupo huku, akaomba aongee nae akajibiwa yupo shule,

    Angalia mchezo uliochezwa hapo utaupenda Ikram

    sijui kafanya vipi nahisi aliweza kuwasiliana na Nakata na kumwambia kila kitu akijuwa ipo siku atauliziwa tu.



    Kessy kwa upande wake hakuweza kuwa na amani kabisa shida yake kubwa ni Ninja suit

    Akiwa ndani ya msitu ule alikuwa anaongea na mizimu wenzake,



    “naomba mnitajie Ninja suit atakuwa wapi kwa sasa?"

    Mzimu mmoja ukajibu



    “hatuwezi kujuwa boss maana ni kiumbe hatali kuliko sisi"

    Kessy kwa hasira akamfata yule mzimu kisha akamtoboa kwa kuuwingiza mkono kwenye sehemu ya moyo na kuutoa ule Mzimu ukavabret kama Nokia ya tochi ukapotea ndio ilikuwa kufa kwake hivyo,



    “Shenzi...kabisa nani kasema yeye ni bora kuliko sisi..nani kasemaa!!!.....

    Kessy akapiga kelele hakutaka kusikia kitu kama hiko eti Ninja suit ni bora ujinga huu,



    Ni usiku tulivu ndani ya uwanja wa ccm kirumba Kulikuwa na

    Tarent Show,

    yani baada kupita mwenzi mmoja wa majonzi vijana kutoka jiji hilo wakaangusha zinga la pati

    Wasanii kibao kama vile Nako2Nako soldier

    Young kille

    Mr.blue Juma nature

    Snura Shilole na wengineo wengi tu hakika Mwanza ilipendeza miongoni mwa waliokuja ni pamoja na Ikram

    akiwa beneti na Joyce na bibiye Wahida

    Wakatafuta sehemu nzuri waweze kukaa

    na kuangalia show jinsi inavyokwenda

    Kuna messeg ikaingia kwenye simu

    ya Ikram akaitoa na kuitizama

    ilikuwa inatoka kwa

    Wahida

    isemayo sasa baby mi natangulia

    utanikuta kule nyuma ya mahema,

    Ikram akajibu

    Oky"



    Wahida akaaga anakwenda chooni,

    Joyce akamwambia ajichunge maana vijana wa kihuni ni wengi na vile alivyo vaa mbona mtihani,



    “usijali shost wacha mi niende Wahida akaondoka wakabaki wapenda nao

    Wakati huo stejini yupo mzee mzima Fid Q na nyimbo yake ya Mwanza mwanza,

    Ikram akamwambia kitu Joyce,



    “baby naona mwenzako anazidi kuchelewa kurudi wacha nikamcheki"

    Joyce akamuitikia tu,

    “sawa baby"

    Ikram akamkiss kwanza kisha huyoo akatokomea zake gizani,



    “wee uko wapi kwani?

    “niko nyuma huku ya Mahema"

    “mbona sikuoni wakati Mimi nishafika pande hizi?"

    “mmh subiri nakuja nishakuona hapo!"

    Ikram akakata simu na kumsubiri

    Wahida ndipo akashikwa mkono akageuka kumuangalia alikuwa ni Wahida huku akitabasamu.



    “sasa twende basi tukafanye haraka haraka bby",,,,,

    Ikram ikabidi amfate Wahida mpaka nyuma ya vyoo hivyo hakuna aliyetaka kumchelewesha mwenzake zaidi ya kuanza kunyonyana denda huku Wahida akiwa anaishusha chupi yake

    Ikram akaifungua zipu yake,

    Kabla hajaingiza kwenye ikulu ya bibiye wakastuka baada kusikia

    Sauti ya mtu ikiuliza,

    tena Mwanaume,



    “naona vijana mmekosa vyumba mpaka mkaamua kuja kustareheshana huku,

    yani guest zote hizi tatizo nini kwani hamuna pesa au?,,,,,

    Hakuna aliyejibu kitu maana kila mmoja alikuwa amekatwa stimu,

    Alikuwa ni Kessy akiuliza hivyo pasipo kufahamu huyo kijana wa mbele yake ndio Ninja suit anayemtafuta,"

    Wahida akajibu kwa hasira



    “kwani tufanye chumbani chooni wewe inakuhusu nini Mwanaume mzima kazi kukalia umbea tu,

    Embu tupishe tuendelee na mambo yetu sie!"

    Kessy akacheka kwa dharau

    Na kusema



    “kumbe binti unajuwa kuchonga ehee kisa upo na kibwana chako hapo sasa hapa siondoki,

    Kessy kwa jeuli akaenda kukaa pembeni huku akisema haya fanyeni mie niwe naangalia video"

    Wahida akaenda kwa nia ya kumpiga Ikram akamshika mkono kwa kumzuia



    “baby achana nae mjinga huyu kwanza ajielewi huyo twenzetu"

    Kessy mpenda shari zaidi akaenda kumshika mkono Wahida kisha akamsukumiza

    Ikram akaenda chini kumbuka Baba na mwana hawa hawajuani

    Ajabu mbona Kessy kwenye msiba wa Freddy alikuwepo kama mzimu ina maana hakumuona Ikram!"



    “wewe binti shenzi zako si unataka kusuguliwa basi twende huku nikakusuguwe mpaka

    Kitumbua chako kiwake moto ,,,,mamaye zako"

    Kessy alikuwa anatukana na kumvuta Bibiye Wahida kinguvu

    Ikram akajinyanyua pale chini na kwenda kuomba msaada kwa walinzi

    yani Mabaunsa wa pale uwanjani,



    “yuko wapi huyo boya aliemchukuwa demu wako dogo?"

    ni kauli ya Baunsa mmoja akimuuliza

    Ikram nae akaonyesha



    “yule kule kwenye ukuta ndio anaondoka nae,

    Mabaunsa wakicheki ni kweli binti anavutwa kinguvu basi wakaenda mbio kumfata. Kitendo cha kumfikia tu

    kila mmoja akarushwa hewani ghafla yule jamaa akabadirika na kuwa

    Ninja mask

    Ikram akabaki kushangaa tu mabaunsa walichezea kichapo vibaya mno

    Ninja mask hana huruma hata kidogo Joyce akawai kwenda kumshika Wahida na kutaka kukimbia nae akadakwa na kunyongwa mbele ya macho ya Ikram yani Mpenzi wake anauwawa kizembe vile

    Ikram akataka kuchenji mavazi

    Nafsi ikawa inamwambia usifanye hivyo kila mtu atajuwa wewe ni nani!"

    Show ikawa sio show tena watu

    walikimbizana kuokoa nafsi zao

    Ikram akachumpa na kwenda kumshika Wahida nae akataka kujaribu bahati yake.

    Akajikuta anashikwa na kunyanyuliwa juu kwa mkono mmoja na kutaka kunyongwa,

    Ghafla ilipigwa zinga la fataki moja tu

    Ninja mask akayumba na kumuachia Ikram adondoke chini

    Sijui mzimu au vipi maana alikuwa ICU

    Chanduka akiwa katika mavazi ya kikommando zaidi ameshafika

    angalia show utaipenda hii,

    Ninja mask akajipanga kupambana maana ile fataki ilimuingia mpaka kumoyo.



    kama kawaida wakikutana mafahari wawili ni balaa

    Chanduka alikuwa anaruka huku na kule katika kuyakwepa makombora ya Ninja mask, nae alikuwa anapiga zile za kuchanganya yani mateke ya

    Double double.

    Chanduka akazidi kupanchi huku

    nae akijibu mapigo ya fighting the first

    Ikram akiwa pale chini amejishika shingoni huku anakohoa tu,

    Maana alikabwa vibaya sana, akanyanyuka na kukimbilia nyuma ya vyoo.

    Mpambano kati ya majemedari hawa ulikuwa mkali kabla ya

    Chanduka kutemewa kitu kama maji hivi na kujikuta akipoteza uwezo wa kuona, akajitahidi kupapasa

    na kuishia kupigwa kama

    Mtoto vile. Ninja mask akabaki kucheka tu kwani mpinzani wake kaweza kumdhibiti,

    Chanduka akiwa chini anasota akaitaji kutumia stance za hisia zaidi

    yani kama vile kipofu,

    Akajinyanyua na kuja upyaa kabla ya kusikia upepo ukivuma akajuwa tu

    Bwana mkubwa anakuja

    Ninja mask akiwa anajiandaa kumpiga,

    kumpiga kumsinya Chanduka pale chini nae akasita baada kuona upepo ukivuma

    Na kuangaza macho mbele akijuwa Adui yake mkubwa amefika ghafla akajikuta anazolewa kama vile kapigwa na pembe ya Ng'ombe akarushwa mbali na pale dahaa

    Hakuna kitu kibaya kama kupigwa mapigo ya kushitukiza inauma na kukela, vibaya mno Ninja mask

    Akandoka chini kama mzigo puhuu".....

    Maumivu aliyokuwa nayo wee acha tu,

    Akacheki mbele yake

    Ninja suit yupo hatua kadhaa tu

    tena yuko fiti vibaya mno,

    Akacheka na kusema.....



    “vizuri sana umejileta maana nilikuwa nakusaka usiku na mchana sikupati sasa leo hii tumalize ubish,,,,,,aghaaa,,

    Akashindwa kumalizia kuongea baada kupigwa na kitu kizito mdomoni sijui jiwe au nini"......?

    Akayumba tena kabla hajakaa sawa

    Ninja suit akadunda na kuja kumtandika mateke ya double kick

    Mpaka hapo akili ikawa imevurugika tuseme Network

    Ninja mask akapotea hakika

    Ninja suit alikuwa na hasira kutokana na kifo cha mpenzi wake,

    Baada kumuona Ninja mask kapotea akageuza shingo kumtizama

    Chanduka wakati huo macho ndio yanaanza kuona kidogo







    Akayumba tena kabla hajakaa sawa

    Ninja suit akadunda na kuja kumtandika mateke ya double kick

    Mpaka hapo akili ikawa imevurugika tuseme Network

    Ninja mask akapotea hakika

    Ninja suit alikuwa na hasira kutokana na kifo cha mpenzi wake,

    Baada kumuona Ninja mask kapotea akageuza shingo kumtizama

    Chanduka wakati huo macho ndio yanaanza kuona kidogo.



    SONGA NAYO

    SASA



    Ninja suit hakuwa na shida na Chanduka akapiga hatua kuufata mwili wa mpenzi wake. Akaubeba na kupotea nao,

    Chanduka mpaka anakuja kuona vizuri kuangalia hivi haoni mtu zaidi ya miili ya watu waliokufa. Hakika alichoka hoi na kukaa chini huku vikosi vya wazee wa kuchelewa vikifika yani

    S.W.A.T na kumkuta kamanda wao akiwa amekaa tu. Basi wakafanya msako wa hapa na pale pasipo kuambulia chochote kile,

    Binafsi Chanduka akaona kama asipoweza kufanya kitu ipo siku atakuja kuangukia pabaya,

    akajuwa bira shaka kiumbe anacho pambana naye si kiumbe cha kawaida ni Jinni,

    Basi kesho yake Asubuhi

    Mwanza ikagubikwa na msiba mwengine mkubwa watu takribani sita walikuwa wamepoteza maisha.

    Wananchi wakabaki kulia tu huku wakiilaumu Serikali kwa kufanya uzembe wote huu,

    Kila mmoja aliweza kusema lake



    “Sasa kama nchi ina vitengo vingi tu kuna Wanajeshi wa kila aina Yani FBI, S.W.A.T, USALAMA WA TAIFA, J.W.T.Z,

    FFU. na wengineo kibao tu inakuwaje wanaacha matatizo kama haya yanaikumba nchi yetu kila kukicha

    Muheshimiwa Raisi hili nalo jipu,"



    “Mimi nafikilia nchi hakuna cha Jeshi wala Kitengo cha kuweza kufanya kazi kama hii Kwanza sijui hao J.W.T.Z tunashinda nao vijiweni kunywa kahawa na kashata huku tukicheza bao au Draft wanazidi kutoka vitambi kwa kula ugari wa bure tu na kujaza vyoo!"



    “Hapo umeongea kweli ndugu juzijuzi tu hapa pale kijiweni tukapewa taarifa kwenye duka la mpemba bwana Azizi majambazi wamevamia.

    Tena pale kijiweni kulikuwa na Wanajeshi watatu ndani ya Kombati zao Baada kwenda kutoa msaada mmoja akasema. Eti hiyo kazi ya police sio wao"



    “Umeona ujinga wao ehee ndio maana Wananchi tunakufa kizembe sana hatuna ulinzi na Maisha yetu.

    Kwa hali hii tutakufa kama Kuku wa mdondo"

    Kilikuwa kipindi cha television moja hivi kikirusha hewani maoni ya wakazi wa jiji la Mwanza kuhusu janga zima la Watu kupoteza maisha kizembe

    Donny dead alikuwa yupo chumbani kwake akiangalia

    kipindi hiko na kuweza kusema kitu kimoja

    “Jeshi lilikuwa enzi zetu bwana tulipoenda kumng'oa Nduli Iddi amin Dada

    Sio sasa hivi jeshi masharobalo

    Wengi mpaka Kombati anafanyia utozi"

    Baada taarifa ile kuisha akazima TV na kutoka zake nnje ukumbini akakutana na mjukuu wake

    Samira kama ujuavyo matani ya babu na mjukuu,



    “vipi Mama watoto ushanipikia mseto wa choroko?"

    Mzee mfamau alimuuliza hivyo mjukuu wake huku akimshika begani,

    Samira kwa sauti ya kudeka akaitikia



    “ndio Mume wangu tayari pale nimeupalilia tu kitu kikitoka pale ukila unaweza kujikata vidole kwa kujing'ata!"

    Wote kwa pamoja wakacheka na kwenda kukaa kwenye sofa pale sebuleni,

    Samira akauliza kitu,



    “Hivi Babu iwapo siku ikatokea ukaweza kumkamata Ninja suit utamfanya kitu gani?"

    Nae akajibu huku akitabasamu



    “Kwanza kabisa nitamkata kiganja cha mkono niinyonye damu yake kisha nitamchuna ngozi ya shavuni,

    Yani ajuwe ni jinsi gani nina hasira nae baada kusababisha kifo cha Mwanangu Freddy sitoweza kuwa na huruma nae Abadani,"

    Samira mpaka akaogopa kwa jinsi Babu yake anavyo zungumza kwa hasira vibaya mno.

    Samira hakutaka kuuliza kitu kingine tena zaidi ya kwenda chumbani kwake.

    Babu yake akamdaka mkono na

    Kumuuliza



    “Vipi tena mbona kama umekasirika baaada kukujibu hivi?",,,,,,,

    Mama watoto naomba tuambiane ukweli isijekuwa Ninja suit ukawa wewe au Kaka yako, maana mtoto wa nyoka ni nyoka tu!"

    Samira akacheka huku akiuficha uso wake na kusema



    “Babu bwana kwanini umehisi Mimi au Kaka ndio Ninja suit

    Wakati hatujui hata kupigana!"



    “Wee usiseme hivyo kabisa marehemu Baba yenu alikuwa hivyo hivyo akanichezesha rede Mimi

    Akanipa maumivu kila wakati tena kipindi kile nilikuwa nipo kwenye lever

    Yani kamili Jeshi

    Nikajikuta napigishwa kwata kama mtoto mdogo kwa kupigwa tena na Mwanangu mwenyewe!"

    Samira akabaki kushangaa ikabidi akae vizuri kwenye sofa karibu na babu yake akauliza,



    “Sasa babu inamaana Baba alikuwa anakupiga kwani hakujuwa kama wewe ni baba yake?"



    “ndio hakujuwa maana nilikuwa navaa mask sema kipindi hiki wakati wa kumtafuta Ninja suit sivai Mask kuepuka kupewa maumivu,

    Kama ukiwa wewe au kaka yako mnionee huruma babu yenu khaa!"

    Samira akacheka mbavu hana



    “tehe!tehe!tehe!.....Babu bwana kumbe unaogopa ehee?"

    Mzee mfamau akujibu kitu zaidi ya kusema

    “Embu kamwambie Mke mwenzio aandae chakula"

    Samira akainuka huku akiita



    “Bibi......."bibi!!!....

    Sauti ya kuitikiwa ikasikika...



    Ndani ya uwanja wa ndege maeneo ya Kipawa jijini Dar es salaam tunamuona

    Chanduka akiwa anakwea pipa na kuondoka hapa nchini siwezi kujuwa kazi imemshinda au vipi"......tunamuona tu anaondoka,

    Ikram nae hakuwa na furaha kabisa tokea kifo cha kipenzi chake kitokee akapoteza uchangamfu hakika alitokea kumpenda sana

    Joyce yani akabaki kujilaumu kwa kushindwa kumlinda.

    Wahida akatumia nafasi hiyo kuwa karibu nae na kumfariji kwa kumpa maneno matamu

    ya hapa na pale, baada mazishi kupita ndugu wa marehemu wakaja kusomba vitu vya ndani na kukiacha chumba kitupu

    Ikram akabaki kuizuia picha tu iliyoko kwenye fremu. Japokuwa Wahida hakukipenda kitendo hiko, cha

    Ikram kung'ang'ania picha ya mtu ambaye tayari ameshakufa,

    Ndugu hawakuwa na jinsi zaidi ya kumuachia

    Ikram alikuwa na pesa bwana siku hiyohiyo akanunua thamani zote za ndani na kulipa kodi ya Mwaka mzima,

    Mrithi wa Joyce akawa

    Wahida maana tokea Joyce akiwa hai walikuwa wanakutana kimwili kwa kujiiba iba sasa wapo huru.

    Kessy mzee wa kufulia naweza kumwita hivyo maana mara ya pili anachemka kwa Ninja suit,



    “ha!ha!ha!ha! Shenzi kabisa hii pumbavu zake kaniotea tena jinga kabisa.....m****nge....pumbavuuu,,,,

    Akazidi kutukana maana hakuamini kama Ninja suit kaweza kumpiga mpaka kakimbia akiwa ndani ya msitu akiifanya kama ndio kambi yake Nyani nao wakawa wanamcheka hakika ikawa full vicheko

    Kuna mizimu mingine ikajiunga katika vicheko vile. Sauti zikaweza kusikika mpaka kwa wapita njia na kuanza kuulizana

    Polini kunanini jamani?"

    hakuna aliyeweza kuwa na jibu sahihi

    na kubaki njia panda,

    Baada kupita kama miezi miwili hivi Donny dead akiwa tayari ameweza kukamilisha team yake ya wale Macommando wawili kutoka nnje ya Nchi mmoja akiwa laiya kutoka Japan mwingine Urusi.

    Walikuwa katika harakati za kumsaka Ninja suit popote alipo,

    Bwana Razaro ngoma ni mmoja kati

    ya wafanyabiashara wakubwa tu katika jiji la Arusha kule ngale naro

    Alikuja ndani ya jiji la Mwanza kuonana na mfanyabiashara mwenzake.

    Bwana Roman empire

    Kwa ajili ya kujadili biashara zao

    katikati ya jiji tunamuona Kessy akiwa ndani ya bajaji

    kwa mbali kidogo tunamuona bibiye Wahida akiwa amesimama nnje super market moja hivi.

    Kwa upande mwingine kulikuwa na kamgahawa kamoja hivi hapo walikuwepo Wazee wazima hapa namzungumzia Donny dead na team yake wakipata Runch ya mchana,

    mbele ya Super market ile kuna gari kama tatu zinapaki kisha wanashuka vijana kama watatu hivi, wakiwa wametinga suit nyeusi zilizo wakaa vyema. Mmoja kati yao anaenda kufungua mlango wa gari, iliyokuwa katikati, akashuka bwana Razaro na kuingia ndani ya super market hiyo,

    Akiwa anaingia ndipo kwa bahati mbaya au Makusuti wakapigana kikumbo na Ikram akiwa anatoka ndani humo.

    Ikram mfuko ukamdondoka na kwenda chini, sijui jeuli ya pesa au vipi,

    Kwani mlinzi mmoja akaupiga teke ule mfuko ukaenda Katua barabarani

    na kugongwa na gari, kitendo kile

    Kessy na Donny dead waliweza kukiona kwa mbali kitendo hiko.

    Donny dead akabaki kusikitika tu,

    Ikram hakutaka shida akarudi tena ndani ya super market

    Kilichotokea humo ni kuonekana wale walinzi wakirushwa nnje kupitia kwenye milango ya vioo

    Ghafla binivuu Ninja suit akaibuka kutoka mule ndani akiwa kamshika bwana Razaro kwa kumburuza hapo ndipo pabaya

    Kessy akiwa ndani ya Bajaji ile nae akafutuka na kuwa Ninja mask si kamuona mbaya wake

    Wahida nae akiwa ajui Ikram atakuwa wapi?.........

    Donny dead hakuweza kuamini macho yake kiumbe ambacho aliweza kukutana nacho miaka kumi na saba nyuma leo hii anakiona tena, wakati alikuwa si mwanae tena amekufa sasa huyu nani tena,

    Katika mawazo yake alijuwa Ninja suit na Ninja mask ni mtu mmoja kumbe ni watu wawili tofauti,

    Bwana Yanzuk FBI kutoka Japan akaitoa siraha yake,

    Donny dead akamzuia kwa kumwambia

    “subiri tuwasome hawa viumbe"

    Ninja suit akambamiza kwenye Vioo vya gari na kumtupa barabarani bwana Razaro kwisha habari yake

    Ninja suit akiwa bado hajamuona adui yake akajikuta anapigwa zile double kick za kifua na kwenda chini

    Kwa kasi ya ajabu akajinyanyua na kuzunguka kama feni upepo ukaanza kuvuma kila anavyo zunguka na upepo ukazidi Mwishoe vumbi likatimka vibaya mno

    Ninja mask akabaki kushangaa tu.

    “Hivi huyu anafanya nini kwani"

    Ninja mask akajiuliza hivyo"

    Ninja suit akatulia na kucheka kisha akadank na kwenda kutua sehemu nzuri zaidi.

    Ninja mask nae akamfata angalia Vidume sasa wakaanza kuzichapa mokono wa ajabu Ninja suit alipigwa zinga la konde la uso akayumba huku na yeye akiachia teke na kwenda kutua Usoni mwa Ninja mask.



    hakika ilikuwa balaa baina ya viumbe hawa kila mmoja akiwa chini na kuvuta pumzi,

    Ninja mask akabaki kumtizama adui yake kisha wakainuka kwa pamoja na kuanza kuzichapa

    Ninja mask akatema yale maji yake

    Ajabu mwenzake akakwepa maana si alishawai kumuona akifanya hivyo kwa

    Chanduka baada kukwepa akadanki kwa kufanya kama anakimbia vile

    Kitendo cha Ninja mask kumfata akajikuta anapigwa sijui tiktaka ile au nini

    Ninja mask akaenda chini huku kidume kikipotea na kumuacha jamaa na maumivu kabla hajakaa sawa

    Chuma cha moto kikaweza kugonga kwenye gari na kutokea mlipuko

    wa ajabu kumbe FBI bwana Yanzuk

    Alifyatua risasi kwa nia ya kumtwanga

    Ninja mask ikaenda kutua kwenye gari upande wa kuwekea mafuta na kusababisha mlipuko,

    Ninja mask akarushwa hewani na kutua katikati ya barabara

    Kabla hajakaa sawa gari aina ya Scania ikaja kumgonga"........

    Majanga juu ya majanga,,,,,Kidume bado kizima kabisa akafutuka kutoka chini ya uvungu wa Scania ile kilichomtokea dereva

    ni makubwa mno.

    Wahida nae baada kumtafuta mpenzi wake ndani ya ile Super market akamkuta yupo chini amelala hajiwezi basi akaenda kumnyanyua na kuondoka zao

    Ninja mask nae akasepa na ile Scania ndani ya jiji ikawa mkimbize mkimbize tu magari ya police FBI

    Na kikosi cha S.W.A.T

    ilikuwa pisha njia yani mkanyage mkanyage huyo kwenye mitaa,









    Majanga juu ya majanga,,,,,Kidume bado kizima kabisa akafutuka kutoka chini ya uvungu wa Scania ile kilichomtokea dereva

    ni makubwa mno.

    Wahida nae baada kumtafuta mpenzi wake ndani ya ile Super market akamkuta yupo chini amelala hajiwezi basi akaenda kumnyanyua na kuondoka zao

    Ninja mask nae akasepa na ile Scania ndani ya jiji ikawa mkimbize mkimbize tu magari ya police FBI

    Na kikosi cha S.W.A.T

    ilikuwa pisha njia yani mkanyage mkanyage huyo kwenye mitaa,



    SONGA NAYO

    SASA



    Mshike mshike kivumbi balaa ndani ya jiji la Mwanza,

    Kessy akiwa ndani ya gari aina ya Scania akazidi Kuwakimbia police na FBI, akawa anagonga na kukanyaga biashara za watu. Watu wakabaki kulia na kusaga meno

    Kama ndio kilema tena huwezi

    kukimbia anakugonga tu

    Donny dead kwa speed zote akachochea moto wa Kisuzu Jan.

    Na kuweza kuifikia ile Scania na kuanza kupigana vikumbo,

    Ninja mask akabaki kucheka tu

    Ghafla kitu kama Bomu kilisikika kikibutuka

    Huku ile gari waliyopanda kina Donny dead ikirushwa hewani na kutupwa chini ikabiringika Mara tatu

    Kisha ikalipuka tena mlipuko mkubwa sana. Ninja mask akazidi kucheka

    Pasipo kufahamu yule ni

    Baba yake,

    Police nao wakashindwa kuendelea kuikimbiza ile gari

    Baada Kisuzu Jan kupata ajali kilikuwa kimetanda barabarani

    Hakuna pa kupita

    ilikuwa ajari mbaya sana kutokea kwa

    FBI wote watatu waliweza kupoteza maisha katika ajali hiyo,

    (R.I.P) Donny dead na wenzake ikawa ni pigo kubwa sana kwa familia zao na taifa kwa ujumla.

    Ikram taarifa za kifo cha babu yake aliweza kuzipata siku hiyohiyo akapanda gari na kurudi jijini Dar es salaam ndani ya moyo wake akiwa na uchungu wa ajabu.

    Ninja mask nae akabaki kujilaumu tu

    Ndio yeye ni mzimu inakuwaje aweze kusababisha kifo cha Baba yake

    Miili ya FBI wale wengine ikabidi isafirishwe kupelekwa nchi zao huku mwili wa

    Donny dead ukiagwa katika uwanja wa taifa,

    Mamia ya watu walilia mpaka kufikia hatua wengine wakazimia kabisa

    Donny dead alikuwa kipenzi cha watu

    Huwezi kuamini

    Chanduka nae alikuwa amekuja kwenye msiba huo maana ndani ya wiki

    Moja iliyopita aliondoka

    Muheshimiwa Raisi akaongea machache kisha juu ya

    Steji akapanda Ikram akiwa na machache ya kusema

    Uwanja mzima ukabaki kuwa kimya,

    Ikram akashika kipaza sauti vizuri na kukohoa kidogo na kusema



    “Kwanza natoa shikamoo kwa wakubwa zangu wote,

    Wadogo wenzangu mambo vipi?.....

    Najuwa tupo hapa kwa ajili ya jambo moja tu,

    Kumuaga kamanda wetu yani Babu yangu.

    Kila mmoja ana majonzi ndani ya moyo wake sasa basi nasema kitu kimoja huu ni mwanzo tu

    Ninja mask popote ulipo nitakusaka nitaakikisha nalipa kisasi

    kitendo cha kutamka kauli ile tu

    Upepo mkubwa ukaanza kuvuma kila mmoja akabaki kuhofia na kujaindaa kumlinda muheshimiwa Raisi maana ndio anakuwa wa kwanza kuchungwa kuliko watu wengine,

    Ninja mask akaibuka, watu wakabaki Ahaaaa,,,,,kiumbe huyo apo,



    Ninja mask hakutaka kujiuliza sana akalifata jeneza lenye mwili wa Baba yake na kutaka kulishika

    Akajikuta anapigwa teke na kuyumba kwa kurudi nyuma,

    Alikuwa Chanduka kaja kivingine yani mwepesi zaidi kila mtu akabaki kuangalia show ile ya kibabe.

    Ninja mask akajipangusa na kuruka juu kama kishada

    Chanduka nae akaenda na kumtandika tiktaka ya ajabu,

    Ninja mask akarudi chini kwa kuanguka chini puhuu akapotea

    Kwa kuzama chini ya Aridhi

    Watu wakabaki kushanga na kubaki kutoa macho pima wakijuwa kiumbe kile kitaibuka popote pale lakini haikuwa hivyo,

    Pongezi na heshima pekee ziende kwa

    Kamanda aliyeifanya kazi ile tena kwa haraka zaidi.

    Ikram nae alikuwa na mzuka

    wa ajabu na kuhitaji kwenda kuwasha moto, sema

    Samira akamshika na kumsihi asifanye hivyo.

    Makofi ya pongezi kutoka kwa Wananchi wote ndugu jamaa na marafiki mpaka muheshimiwa Raisi alitoa pongezi zake

    Kwa Chanduka na kuona ehee kumbe nchi ina kidume cha shoka sasa tatizo nini mpaka hiki kiumbe kinatamba namna hii"......

    Basi msiba ukaendelea

    Hatimae

    Donny dead akazikwa kwa heshima zote,

    Ikram akaitaji kuongea kitu na

    Chanduka basi akatafuta nafasi nzuri siku ambayo

    Chanduka alikuja nyumbani kwao kuwatembelea



    “pole sana kijana najuwa ni jinsi gani unavyojisikia uchungu baada kufiwa na babu yako"

    Chanduka alimwambia

    Ikram wakiwa wamekaa sebuleni,



    “Shukrani sana Kamanda binafsi sina jinsi ya kusema kazi yake Allah (s.w.t) haina makosa mbele yake nyuma yetu

    Chanduka akatabasamu baada

    Ikram kutamka maneno yale

    Na kusema,



    “hakika unaonekana kijana muelevu sana ni kweli kila nafsi itaonja umauti kupitia njia tofauti!"

    Ikram nae akatikisa kichwa kukubaliana na usemi wa Chanduka

    kwa kuunga mkono yale maneno



    “ndio kila nafsi itaonja umauti sema kifo cha Babu hakina tofauti na cha Baba mkubwa kwani nae amefariki hivihivi katika ajali ya gari

    Akiwa kwenye harakati za kumkimbiza

    Ninja suit,

    kwa sasa familia haina tena kiongozi wa kuweza kutusimamia!"

    Chanduka akamgusa Ikram begani

    Na kumwambia,



    “usijali kijana Mimi nipo kuanzia leo hii naamia hapa nitakuwa kama baba yako!"

    Ikram hakuweza kuamini yale maneno akauliza Mara mbilimbili



    “Kamanda unasema?"

    Nae akamjibu'

    “ndio hivyo nitakuwa hapa kuwalinda nyinyi"

    Ikram akamkumbatia Chanduka huku akisema thank you"

    Akauliza



    “Kwahiyo kamanda ukiwa hapa utaweza kunifundisha Mashowart artist?"

    Kabla ya kumjibu

    Nae akaulizwa swali



    “unataka nikufunze Mashowart artist

    Kwa ajili gani hasa kijana?"

    Ikram akajibu,



    “Kwanza kabisa nataka kujiweka fiti kimwili na akili kingine naitaji kujilenda Mimi mwenyewe pamoja na kuwalinda watu na mali zao!"

    Chanduka akapiga makofi ya pongezi na kusema



    “Safi sana kijana umeongea maneno yenye ponti

    Nitakufunza kuanzia wiki ijayo jiandae usije ukakimbia ohoo!"

    Ikram akasema



    “hapana siwezi kukimbia kuanzia leo wewe ni Master wangu!"

    Chanduka hakuweza kufahamu kabisa kama huyo anayeongea nae

    Ni kiumbe hatari tupu eti amfundishe

    Mashowart Artist,

    wakiwa wanaongea hili na lile ndipo akaingia Samira na kwenda kukaa kwenye sofa karibu na

    Ikram

    Kitendo cha macho yao kugongana tu kila mmoja akashituka yani

    Chanduka na Samira

    Ikram kuhusu swala hilo hakushangaa

    Chanduka akauliza



    “We..we..si Samira wewe

    Au macho yangu?"

    Ikram akamjibu kwa kuuliza pia



    “Ndio anaitwa Samira ni Dada yangu kwani unamfahamu au?"

    Chanduka kwa sauti ya kubabaika akajibu"



    “ndio namfahamu nishawai kuwa nae kule mwanza wakati anasema hivyo.



    Samira akamuonyeshea ishara ya kuweka kidole chake mdomoni yani anyamaze baada Bibi yake

    Na shangaze zake kufika hapo sebuleni.

    Chanduka nae akavunga kwani alikuwa keshaelewa kitu,



    “naona Kamanda umekaa na vijana wako"

    Yalikuwa maneno ya Bibi yao Ikram na Samira huku akikaa kwenye sofa,

    Chanduka akaitikia



    “ndio Mama yangu unajuwa kwenye wakati mgumu kama huu inakuwa vizuri zaidi kukaa karibu na vijana kama hawa uweze kuwajenga kisaikorojia"



    “Ni kweli kabisa usemacho kama ulivyoweza kumsikia

    Ikram kule alivyosema eti atakuja kulipa kisasi sijui kwa

    Nguvu gani alizokuwa nazo. Kile kiumbe kinatisha balaa!"

    Ikram akabaki kutabasamu tu, huku akijisemea moyoni mwake

    kitu usicho kijua ni sawa na usiku wa giza. Basi wakaongea na kujadili hili na lile

    Chanduka akapewa chumba

    kimoja wapo ndani ya nyumba hiyo maana alitaka kuwa karibu na familia hiyo.

    kwa ajili ya kuwasaidia mambo ya hapa na pale.

    Ni mwezi mmoja sasa umepita pasipo

    Kessy kuonekana na sijui atakuwa kaenda wapi"........

    Ikram na

    Samira nao walikuwa tayari washaanza kufundishwa Mashowart Artists

    na Master Chanduka,



    Hakika mazoezi yalikuwa makali sana

    kutwa mara mbili Asubuhi na jioni

    Ikram akajifanya ajui chochote kile kwa kuanza mazoezi ya viungo mpaka wakaja kwenye Stance one

    Hadi four. ilikuwa siku ya J.pili

    Ndani ya ukumbi wa Dar west in park kulikuwa na talent show

    ya kusaka vipaji mshindi ataweza kwenda kurecordi nyimbo yake bure.

    Ukumbi ulikuwa umefurika watu si mchezo

    Miongoni mwa waliokuja kwenye show hiyo ni

    Chanduka pamoja na Familia nzima

    ya Mzee mfamau,

    wamekuja kupoteza mawazo tu,

    Show ikaanza kwa vijana kupanda stejini na kuonyesha vipaji vyao

    hakika ilikuwa burudani babukubwa

    Mara MC ambaye alikuwa Swebe

    akatangaza jina la mshiliki anaefatia



    “Mabibi na mabwana naona mambo yanazidi kuwa mazuri zaidi kwa vijana wetu, tusipoteze muda

    Mshiliki anaefatia ni

    Ninja suit,,,,watu wote wakashituka na kutaka kukimbia

    Chanduka nae akawa amekaa tayari tayari kukabiliana na adui yake MC

    akazidi kuita

    “Ninja suit popote ulipo ajabu ni Ikram ndio akaenda kuipokea ile MIC,,,

    Chanduka akashusha pumzi na kusema dahaa

    “mbona huyu mtoto amewapa.watu jambajamba si mchezo

    Ikram baada kuipokea.MIC akaipuliza beat likaanza embu tumsikie.

    “Ohooo,,,,,nasimama kama vile suit,,,,

    Mbele,,,,,yenu,,,,napaza,,,,sauti,,,,,

    Wajinga,,,,wajinga,,,,nawachimba bit,,,

    Wacha,,,nipige,,japo,,,,,saruti,,,,

    Watu walipiga makofi

    “wewe heshima kwako kaka wewe.noma"



    Embu tuendelee kumsikiliza zaidi

    “Uuuuu,,,,naweza,,,kusema,,,

    Nabado,,,,nimeweza,,,kusimama

    Ninja suit,,,bado,,,tunakuhitaji,,

    Zaidi,,,ya maitaji,,,,

    Oyooohiiii,,,,moyooo,,,,wa yule binti umekuchaguwaa,,,,,

    Ninja suit,,,ajabu umemkimbia,,,,

    Umemuacha,,,,,peke yake,,,,analiaaa,,,

    Hakika ilikuwa nyimbo nzuri sana kuisikiliza kwanza

    Ikram anasauti tamu yenye kupendeza

    Ni nyimbo ambayo ikaacha maswali mengi kwenye vichwa vya watu,

    Chanduka ndio kabisa akabaki kujiuliza

    Inakuwaje huyu

    Mtoto aimbe nyimbo nzuri ya kumtukuza Ninja suit

    Na nibinti gani huyo aliyetokea kumpenda Ninja suit mpaka akakimbiwa. Akaona majibu yote atayapata pindi

    Ikram akishuka stejini, basi ilikuwa Shangwe na vigeregere

    Kwa Ikram baada kumaliza kuimba basi Visichana vikaanza kumzonga na kuitaji kupiga nae picha

    au kumtuza pesa wengine

    Wakafikia hatua ya kutaka number za simu,

    Ikram akajiona kama tayari amekuwa bonge la super star,



    “Ikram mwanangu unaweza kuniambia ni kitu gani kilicho kufanya mpaka ukamtungia nyimbo ile Ninja suit?"

    Lilikuwa swali kutoka kwa

    Chanduka baada kurudi nyumbani kutoka kule

    Dar west.

    Ikram akajibu



    “unajuwa Nini Master binafsi nimeweza kugundua ya kwamba

    Ninja suit si mtu mbaya japokuwa anahusika kwa namna moja ama nyingine juu ya kifo cha Baba mkubwa

    siwezi kumchukia

    Hakika nitampenda daima.



    “dahaa ongera sana Kijana kwa nyimbo nzuri kama ile nahisi Ninja suit

    siku akiweza kuisikia

    Anaweza kukupatia zawadi!"

    Ikram akacheka na kutabasamu tu,

    Ukimya wa muda mrefu kidogo

    Serikali na wananchi wakabaki kujiuliza

    Miezi sita sasa imepita hakuna Habari za Ninja suit wala Ninja mask

    nini tatizo watakuwa wapi hawa au wamekufa nini".......yalikuwa maswali yaliyo kosa majibu

    Kupotea kwa viumbe hawa ikabaki kuwa kitendawili kilichokosa jibu.

    Ikram nae akiwa pharmacy,



    “karibu sana kaka yangu nikusaidie nini?"

    Ikram baada kujibu akabaki kukuna kichwa huku akivuta kumbukumbu

    kumbe dawa aliyoagizwa ameshaisahau. Yule binti akamtizama usoni Ikram kisha

    akaanza kucheka alicheka mpaka Ikram akachukia, na kutaka kutoka mule ndani ya duka,



    “kama umesahau jina la dawa kaka yangu si umpigie simu huyo aliyekuagiza tu umuulize,

    Mwambie nishafika hapa pharmacy!"

    Ikram akadakia



    “Ehee nimekumbuka nipe hiyo pharmacy nusu dozi.

    Dada wawatu hapo ndipo akacheka mpaka ushuzi ukamtoka Ikram akatoka nnje nae akicheka maana kabugi kusema pharmacy wakati ni Duka la madawa,



    “wee kaka embu njoo"

    Ikram akarudi na kuuliza unasemaje?"

    Yule binti akampa simu na kumwambia haya mpigie aliyekuagiza!"

    Ikram akabofya number fulani na kuweka simu sikioni.

    Simu ikaita na kupokelewa



    “hallo...bibi umesema dawa gani vile?"

    Akatajiwa na kumwambia yule binti

    “kumbe plutonium"

    Basi akapatiwa na kutoka zake njia nzima anacheka yani na elimu yangu yote hii nashindwa kukumbuka dawa kweli

    Ghafla akajikuta anapigwa kikumbo na kurushwa pembeni baada kugongwa na pikipiki,

    Ajabu dereva pikipiki hakusimama akakimbia,

    Kuna baadhi ya watu wakaenda kumtizama

    Ikram pale chini waweze kumsaidia kama kumpeleka hospital

    basi wampeleke ajabu hakuweza kuumia hata kidogo akajinyanyua na kuendelea na safari yake,

    Ashura binafsi kwa upande wake alitokea kumpenda Chanduka tokea siku ya kwanza alipoweza kumuona akaitaji aweze kuwa Baba wawatoto wake tatizo hakuweza kujuwa ataanzaje anzaje kumuingia,

    Kwa upande wa

    Chanduka hakutaka kusikia kitu

    kinachoitwa mapenzi maana aliyoyafanya kipindi cha nyuma yanatosha ukizingatia ana Wake wawili yani

    Bibiye Salma na Husnaty

    wote anaishi nao nchini Brazil kwa upande wawatoto hawana idadi

    Atake nini tena,





    hakuweza kujuwa ataanzaje anzaje kumuingia,

    Kwa upande wa

    Chanduka hakutaka kusikia kitu

    kinachoitwa mapenzi maana aliyoyafanya kipindi cha nyuma yanatosha ukizingatia ana Wake wawili yani

    Bibiye Salma na Husnaty

    wote anaishi nao nchini Brazil kwa upande wawatoto hawana idadi

    Atake nini tena,



    SONGA NAYO

    SASA



    Chanduka hakuweza kufikilia au kuja kuwaza hata siku moja itakuja kutokea

    Ashura anaweza kumtamkia swala kama hilo,

    Ashura kwa macho maregevu akamsogelea Chanduka na kumshika kiunoni huku akisema



    “Chanduka please nikubalie mwenzako najuwa unaweza kufikilia Mimi kama vile mwanamke Malaya

    hapana mimi siko hivyo nafsi yangu imenituma nikwambie maneno haya

    nakupenda

    kupita maelezo!",,,,,,

    Chanduka hakuwa na neno nae akamshika kiuno na kukutanisha ndimi zao denda likaanza kutawala,

    Miguno ya utamu raha

    Ikaanza kusikika baina yao, mmmmassss,,,opsiiiiiii,,,,mtoto wakike akaunyanyua mguu wake mmoja na kuupachika kiunoni mwa Chanduka

    utasema wanacheza blues,

    Chanduka akazivamia chuchu zilizo simama Dede kama binti kigori kumbe ameshanyonyesha,

    Assssssss,,,,,ohoooo,,,,ahaaaa,,,

    Shukhuri ilikuwa pevu kila mmoja alikuwa na usongo na mwenzie

    Hapo sasa

    Ikram amwite Chanduka mjomba tu,

    Ndani ya ukumbi wa Dar west ikiwa wiki nyingine tena na ilikuwa shindano la mwisho kabla majaji hawajatangaza mshindi,

    kila kijana alijiandaa kuonyesha show babukubwa

    Ikram ikafika zamu yake embu tumsikilize leo anakitu gani kipya kabla DJ ajaachia bit

    Ikram akasema subiri na kuomba awekewe nyimbo ya Neyo inayoitwa Miss independent,

    Kitu kikawekwa

    Ikram akaanza kusheki kama vile Chris blown, au Neyo mwenye kila mmoja akabaki kupigwa na bumbuwazi

    Samira nae hakuweza kuamini kumuona kaka yake kumbe mkali kila kona duhuu

    Ukumbi mzima ukalipuka kwa shangwe na vifijo kumshangilia Ikram

    Maana anajuwa mpaka anaboa yani,

    Baada kumaliza kusheki bit likawekwa



    “Ohoooo,,,,,sio siri mtoto nakuzimiaa,,,,

    Nikapanga,,,,,Wahida,,,,nitakuowaa,,,,,

    Nilikupenda,,,,Wahida,,,hukunipendaa,,,

    Nikiwa nawe,,,,Wahida,,,,unanifagilia,,,

    Ukiwa peke yako,,,,Wahida,,,,unanikandia,,,,penzi letu liko wapi liko vipi,,,,,,"

    Watu weweeee!",,,,,,unajuwaa

    Haikuwa ajabu Ikram kutangazwa mshindi yani ilikuwa kama ndoto kwake maana hakufikilia katika maisha yake kama ipo siku atakuja kuwa Mwanamuziki akajiambia moyoni mwake

    Ndoto yake ni kuitangaza nchi yake Tanzania

    Kimataifa zaidi, ilikuwa furaha kubwa sana kwa ushindi alioweza kuupata Ikram

    Usiku huo hakuweza kulala hata kidogo alikesha akiandika mistari

    Mwanaume akaumiza kichwa

    na kuandika bonge la nyimbo.

    Asubuhi ndipo akapitiwa na usingizi.

    Serikali iliweza kukaa na

    kuanza kujadili kupotea kwa Ninja mask na

    Ninja suit sijui wamekufa au

    wanavuta pumzi huko walipo hakuna aliyeweza kujuwa wala kufahamu

    Miezi sita sasa imepita tokea

    FBI wa kutumainiwa

    Azikwe yani Donny dead, kuna watu wakasema

    Labda wale viumbe walikuwa na

    Kisasi na Donny dead na kuitaji kummaliza kwahiyo amekufa,

    na wao wameona hawana kazi tena na kujiondokea zao. Maana kazi iliyowaleta ishaisha.

    Chanduka na Ashura hakika penzi lao likawa motomoto mwanzoni walifanya kwa siri lakini kadri siku zilivyozidi kwenda mbele

    Ikawa sio siri tena Ashura akafutwa machozi

    Ikram na Samira wakamwita Chanduka

    Ankor,

    “hivi kaka unakumbuka nilikupa kazi gani?"

    “ndio nakumbuka sana tu"

    “sasa kama unaikumbuka mbona umekuwa kimya sana",,,,,,,kama kazi imekushinda niambie niifanye mwenyewe!"

    “sikia nikwambie kitu Dada

    Mmoja kati yao nishamuuwa kulekule jijini Mwanza baada kukutana nae ndani ya super market hao wengine ndio nawasaka kimyakimya

    Afu tambua kitu kimoja.

    Ankor ni FBI huyu kwahiyo tunatakiwa tufanye mipango taratiibu!"

    Yalikuwa mazungumzo kati ya Samira na Ikram

    Wakiulizana kuhusu

    Ishu ya Ikram kupokea faile

    la mauwaji ya watuhumiwa wa ubakaji,



    Katika eneo moja hivi kulikuwa na moshi mzito tena mweusii

    Ukisambaa huku na kule na kusababisha

    Sehemu yote kutawaliwa na kiza kitupu.

    Sauti za watu wakiongea ndizo zilizo sikika eneo lile,

    “Hahahaha",,,,,,hahahaha,,,ni muda sasa umepita tokea kifo cha Baba yangu kitokee, nishalia sana nimeuzunika sana,

    Sasa basi ni muda wakurudi tena duniani kwenda kuwashika wanaadamu niweze kutoa hukumu yangu kwao,

    nitauwa kila Mwanamke",,,,,,,,

    Kessy aliongea maneno hayo kwa uchungu sana,

    Sauti ya kiumbe mwingine ikiuliza

    “mkuu kwanini unataka kuwauwa Wanawake tu"

    Akajibiwa swali lake kwa kuambiwa



    “Wanawake ni mashetani au tuseme zaidi ya Shetani wanawake ni nyoka hawafai kuishi katika jamii kabisa

    Kifo changu mimi kimesababishwa na Wanawake",,,,,,wamenileta huku kuzimu basi lazima na wao waje huku wakione cha mtema kuni pumbavu

    Zao",,,,,,,,,,

    Siku ya hukumu yangu bado haijafika ikifika nitaadhibiwa tu

    wacha nilipe kisasi kwanza.

    Wangapi wapo tayari kuungana nami kwenda kuwateketeza wanaadamu,

    “ni Mimi hapa mkuu"

    Sauti nzuri ikasikika kutoka kwa binti mzuri na mrembo japokuwa alikuwa Mzimu uzuri wa Sura yake na umbo lake ulionekana vyema hakuwa mwingine ni Nusraty kwa mwendo wa madoido akasogea mpaka eneo lile yani kila anapopiga hatua moshi wenyewe unamkimbia na kuiyacha sehemu nyeupe.

    Kessy akabaki kuduwaa tu na kujiuliza

    Huyu katokea wapi tena mbona mrembo hivi" baada kumfikia

    Nusraty akamshika kifuani

    Kessy na kumbusu shavuni mpaka hapo

    Kessy yupo hoi sauti nyingine nzito tena ya ajabu ikasikika



    “niko hapa boss!,,,,,niko tayari kuungana nawe katika safari hii nzito ya kwenda kuwaangamiza wanadamu",,,,,,

    Hakuwa mwingine ni Hafidhi j ikram,

    mkubwa baada kufa kwenye Mtaa watatu akaja kwenye Nipe nikupe

    Safari hii karudi katika Siku ya hukumu patamu hapo

    Kwa speed ya ajabu akachumpa yani mwepesi zaidi na kuja

    kusimama mbele ya Kessy,,,,kuna binti mwingine wa Ajabu huyu hajawai kuonekana kiumbe kama yeye hapo Kuzimu alikuwa ni Sada kutoka kwenye Mzimu wa Dada mbona balaa jumla

    Viumbe hatari kupita hata moto wa petroleum, walikuwa wamejikusanya na kuwa kitu kimoja

    Kessy alikuwa amekusanya jeshi

    Usimpimie, kabisa

     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog