Search This Blog

Thursday 24 November 2022

MKE JEURI - 5

 

     

     

    Chombezo : Mke Jeuri

    Sehemu Ya Tano (5)

     

    "ina maana nikae nyumbani kama wewe si ndio eee"

    "ina maana hii sherehe ya mtoto wetu haikuusu"

    "mtoto wenu na nani"

    "jamani, kwaio mimi nimejitia mimba mwenyewe si ndio"

    "jiulize mwenyewe usiniulize mimi"

    "sasa hutoki hapa, na ninapiga simu kwa baba mkwe"

    Sheby kiskia simu inapigwa ikabidi awe mpole, mana baba yake sheby akiskia mwai katutuluguswa na sheby, kinachofata kwa sheby ni kufokewa bila sababu za msingi... Hivyo sheby akawa mpoleee,...



    Watu walizidi kuingia katika jumba hilo lenye uwanja mkubwa sana,... Mwai alikuwa akikaribisha wageni, chakula chenyewe hakipikiwi hapo chakula kinaletwa spesho kwa ajili ya watu kula... Sheby kwakuwa kazuiwa kwenda kazini hivyo alitoka kidogo nje, wakati huo inaendea mchana, na jukwaa linapambwa, na hio yote ni sifa ya mke wake, sasa kama mimba tu ni hivi, je akizaliwa itakuwaje??... Watu walizidi kumiminika kutoka sehemu mbali mbali walizoalikwa kwa sherehe hio, wengine walibeba zawadi nyingi sana, kama unavyojua mambo ya mjini ni kujishebedua tu... Wakati huo wamama wa uswahilini walikiwa wakicheza muziki taratibu kabisa.... Sasa sheby kutembea kwake alifika mpaka barabarani, alikutana na vilema wengi sana, mana toka ahamie kwenye huo mtaa hajawahi kuuzunguukia na kujua hata majirani, yeye na gari gari na yeye..... Vaa yake tu iliwajulisha wale vilema kiwa huyu ni mtu mwenye wadhifa fulani katika hii dunia....

    "seidia ndugu yangu"

    Aliongea maskini mmoja aliokuwa hana hata vidole,... Sheby ana huruma sana na watu hao, akiangalia wamama wenye watoto juani,.. Watoto wanalia kwa jua kali

    "kwanini msitafuta mahali kwenye kivuli"

    Aliongea sheby huku akiwa kainama ili kwenda sambamba na wao,..

    "baba, sasa tukikaa kwenye kivuli, nani atatuseidia"

    Sheby alitamani hata kulia mana kila kilema hapo ana matatizo yake,..... "Hakuna shida, nitawaseidia ila kwanza mkapate chakula kwanza"

    "wapi baba"

    "hapo nyumbani kwangu kuna sherehe, na kuna chakula kingi tu kwanini msiende kula"

    "ni mbali?"

    "wala, ni hapo tu"

    Ghafla kuna wengine wakatoa kauli ya kwamba

    "na sisi vipofu tutapajuaje baba, tuna njaa"

    Aliongea mwanamke mmoja wa makamo, sheby alishindwa kuvumilia, vimachozi vilimtoka kwa kiasi fulani..

    "ninyi ambao mnaona mtawaseidia wenzenu kuwashika hata mikono sawa,... Afu mimi nakwenda huku juu nikirudi mmeshakula nawapa pesa kila mmoja pesa yake sawa"

    "sawa kijana Tunashukuru sana baba"

    Waliongea hivyo huku wakitaka kujiandaa kwenda kula katika nyumba ya sheby ambako kuna sherehe ya kukua kwa mimba ya mwai,.. Sasa ile sheby anataka kuondoka aliona gari ya saidi ikiwa inakuja huku alipo sheby,...

    "huyu saidi kaambiwa na nani kiwa nina sherehe huku kwangu"

    Aliongea hivyo huku akiwa karibu na wale omba omba.... Sasa wale omba omba walipoona gari wakaamka na kuanza kuomba, vipofu nao waliomba kwa kusikia sauti ya gari,.. Vilema walijikongoja mpaka kwenye gari, lakini sasa cha ajabu na cha kishangaza sheby alishangaa kuona vioo vya gari vinafungwa kabla hajafika eneo la omba omba... Sheby alikasirika sana yaani saidi leo ni wa kufunga vioo vya gari..... Lakini sasa kadri gari inavyozidi kusogea sheby ndio anazidi kumuona dereva.... Laaa haulaaa kumbe hakuwa saidi,.. Dereva alikuwa ni zaituni, sheby haamini macho yake leo anamuona zaituni, mana ni miezi miwili hajawahi kumuona ila leo anamuona tena akiwa na gari ya saidi... Sasa zai kutahamaki mbele anamuona sheby kasimama mbele ya omba omba, tena akiwa kavalia mavazi yake ya kitajiri.....

    "haaaaaaaaaaaa.... Huyu ni sheby au macho yangu"

    Aliongea zai na kushika breki ya ghafla,.... Zai yeye aliambiwa tu kiwa sheby ni tajiri mkubwa, lakini hajawahi kumuona kwa macho yake akiwa kwenye hali hio, sasa leo ndio anamuona live bila chenga... Yeye sheby hajashtuka kumuona zai,... Sasa zai aliposhika breki, omba omba nao wakajua kasimama kwa ajili yao,.. Sasa wakalizunguka gari ya zaituni na kuanza kuomba, lakini zai macho yake yalikuwa kwa sheby tu... Sheby yeye alikuwa anatabasamu tu muda wote toka alipomuona zaituni..

    "ivi huyu ndio yule muuza viazi kweli??? Siamini macho yangu.... Sasa nitamwambia nini sheby mimi... Naona hata aibu kushuka kwenye gari..."

    Zaituni alitamani kuondoka lakini alishindwa kwasababu mbele kulikuwa na omba omba.... Alipiga honi ili watoke lakini wapi, yaani walikuwa kama wametumwa vile

    "piiiiiiiii piiiiiiiii... Piiiiiiiii..... Piiiiiiii"

    Omba omba waliokaa mbele walikuwa ni wale viziwi na mabubu kabisaa, hivyo hawakiwa wakiisikia honi... Waliosikia honi waliondoka lakini ambao hawajasikia waliendelea kukaa mbele ya gari kwa kidhani kuwa boss huyo angeshuka na kuwapatia chochote kitakachokidhi mahitaji yao ya kimaisha....

    Huezi amini kijana sheby alikuwa analia kabisa... Hali aliomkuta nayo zai, leo ni mtu wa kupiga honi ili omba omba waondoke,.... Na hoa masikini walijua gari imesimama kwa ajilo yao kumbe ilisimama kwa ajili ya sheby.... Sasa zai baada ya kuona kuna ambao hawaondoki mbele ya gari yake.... Zaituni aliamua ku









    Wakati huo huku nyumbani kwa sheby sherehe zilikuwa zikizidi kupamba moto,... Watu walikuwa wanazidi kumiminika tena watoto wa kitajiri walikuwa ni wengi mno,... Mana mke wa sheby ni mtu anaependa sifa sifa sana hivyo hata waalikwa wake ni watu wenye uwezo na wanaoweza kutoa mchango fulani juu ya sherehe hizo.... Siku ya leo akina rose na mary nao walifanikiwa kufika katika sherehe hizo japo wao walikosa kwenye harusi lakini kwenye sherehe hawakuwa nyuma kabisa,... Mana leo kampuni ya akina sheby imefungwa kwa siku hio mana wazazi wote wapo kwenye sherehe, wamama wakwe nao wapo ndani ya nyumba, uzuri wa nyumba za kitajiri zina nafasi kubwa sana inayoweza kuingiza hata watu 100 mpaka 200,...yaani ni sehemu kubwa kiujumla na imefanikiwa kuingiza waalikwa karibia wote..

    "we mumeo yupo wapi"

    Aliuliza mama mkwe ambae ni mama yake mwai,

    "katoka tu sjui kaelekea wapi"

    "au kaenda kazini"

    "no, katoka na track na sendo yaani ni kama mtu aliokuwa anaangalia madhingira"

    "mumeo nae aahh, sasa wageni ndio hao"



    Wakati huo huku barabarani tunamwona sheby akiwa na omba omba wake,... Muda huo zai yupo ndani ya gari akiwa anapiga honi ili kiwaondoa omba omba wale... Na hao masikini walijua gari imesimama kwa ajilo yao kumbe ilisimama kwa ajili ya sheby.... Sasa zai baada ya kuona kuna ambao hawaondoki mbele ya gari yake.... Zaituni aliamua kushuka kwenye gari, kila maskini aliongea maneno yake

    "saidia dada,.... Seidia mama.... Mama tuseidie maskini"

    Huezi amini zai kabadirika kwa kiasi kikubwa sana,.. Na hajui kama alishayapitia maisha hayo,..

    "sina jamani heeee.... Kwani kutoa lazima nyie vipi??... Ebu sogeeni uko"

    Sheby kuskia hivyo roho ilimuuma sana, haamini kama zai ndio anaetoa maneno yote hayo....

    "zai... Zai... Ivi ni wewe zai ninaekujua au mnafanana tu"

    "najua nilipotoka lakini sina"

    "siamini kama ni wewe... Ivi kumbe nilikuwa nioe shetani kiasi hiki"

    Sheby aliingea kwa hasira huku akiwa kasimama vile vile bila hata ya kumsogelea zai...

    "tuanchane na hayo, nina maongezi na wewe"

    Aliongea zaituni huku akimtaka sheby apande kwenye gari waondoke, sheby aliwaangalia sana wale binaadamu waliokuwa wanaomba pesa za kujikimu maisha yao

    "kwahio umekosa hata elfu 20 ya kuwapa hawa watu"

    "sasa kama sina mie nifanyeje, au nivue nguo wanifanye ili waridhike"

    "sijakwambia uvue nguo... "

    "ok nimekuelewa, i Know unapenda kuseidia watu na ndio mana hata mimi ni mmoja kati ya watu uliowaseidia, ila naomba tuongee kwenye gari"

    Sheby hakutaka kukataa kuingia kwenye gari, mana hata yeye ana maswali ya kumuuliza kwanini aandike ujumbe wake na kuuweka kwenye cd...

    Sheby alipanda kwenye gari hilo huku akitoa shingo na kusema

    "sasa nyie nendeni mkale kwanza pale kwangu kisha nitakuja kiwatoa kibingwa"

    "sawa sawa mkuu... Ila kama huyo ni mke hafai"

    Maneno hayo yalimfanya zaituni atake kushuka na kuwatukana,...

    "tulia basi hasira za nini?... Au wamekosea waliposema hivyo"

    "sheby, naomba tueshimiane na hawa omba omba wako"

    "wewe mbona ulikuwa omba omba, ivi hujui kuwa ulikuwa unaudhi watu"

    Zaituni aliondoa gari eneo hilo lakini alikuwa na hasira sana.... Walikwenda umbali wa kama kilometa tatu hivi kwenye uwanja wa mpira, kisha zaituni akasimamisha gari na kutoka nje, na sheby nae akatoka nje...

    "mimi sina maneno mengi na wewe... Ila nilitaka kujua tu kwanini ulikuwa na nia ya kunioa na wakati una mke"

    Aliongea zaituni huku akiwa na mapozi ya ajabu ajabu.. Yaani ndani ya miezi miwili tu zai kawa mwanamke wa tofauti sana....

    "mwanamke nilienae nilichaguliwa na wazazi wangu,... Kiufupi ni kwamba sikumpenda na simpendi mpaka leo... Nia yangu ni kuoa mwingine ninaempenda katika maisha hayo... Lakini kutokana na wasichana wa siku hizi mlivyo na akili mbovu,... Mnashindwa kujua ni mwanaume yupi mwenye uwezo wa kukuoa wewe... Kwa miaka ya hivi karibu wasichana wengi walibadirika na kupenda kuolewa na wanaume wachapa kazi, yaani ajulikane tu ana uwezo wa kuacha kodi ya meza.. Lakini wasichana wa sasa hivi, mnapenda pesa sana.... Tamaa ndio imekuponza zai.. Na ndio mana nikawaza kufanya hivyo, kuuza viazi ili ujue kuwa nafaa au sifai.. Na vile vile nikamtuma shadi akuchombeze kama utakubaliana na akili yake... Kumbe kweli,.. Unashindwa kumpenda mwanaume anaefanya kazi, ati unaangalia yule alievaa kiatu cha bei ghali... Sasa wewe utakula viatu huko ndani... Zai... Binafsi nilikupenda sana.. Milioni 10 ziliisha juu ya macho yako.. Lakini vyote hivyo huvijui, ulishindwa kufikiria muuza viazi kama huyu kapatia wapi pesa ya kumpeleka mtu nje na kumtibu kisha kumrudisha... Umeshindwa kujiuliza kabisa yani... Ukakubali kufata akili ya shadi, na shadi sio kuwa alikuwa malaya, bali alikuwa spesho kwa kukushawishi wewe, ili nijue mke bora tukiwa katika shida... Kiukweli mpaka sasa bado natafuta mke na sikati tamaa ila sintouza viazi tena... Ila sina hasira saaana, kwasababu anaekuoa ni mfanyakazi wangu, hivyo wacha nifanye kama nimemsaidia tu... Lakini ndani ya miezi hio miwili umebadirika sana zaituni... Badirika sana tu"



    Sheby aliongea bila hata ya kumeza mate,... Aliongea mengi sana juu maisha alioyataka kuishi na zaituni.. Wakati huo mtoto wa kike kakaa kimya huku machozi yakimlenga lenga,...

    "lakini sheby, ulichokifanya wewe sio kizuri, japo kimekuseidia, kwa njia hio hutopata mke kwa karne ya sasa wasichana wengi wanaangalia pesa.. Na kama sio huo mchezo wako wa kuuza viazi, basi nami ningelikuwa mmoja kati ya wake zako..."

    "mimi sina kosa... Shida yangu ni kupata jiko bora"

    Sheby alikuwa akiongea huku akitabasamu tu, ila wakati huo zai machozi yalikuwa yakimtoka mfululizo...

    "ok... Kisicho riziki hakiliki... Ila nakushukuru kwa yote ulioyafanya juu yangu, pamoja na familia yangu... Nakushukuru sana tena sana... Ila kwa kupata mke kwa staili hio hutopata kiukweli.. Jaribu njia nyingine"

    Aliongea hivyo zai huku akitamani kulia kwa sauti kubwa........





    Kiukweli wanawake wa sasa hivi wamebarikiwa kupewa sura nzuri... Maumbo mazuri,.. Wanavutia vizuri, lakini wamekosewa kupewa staha ile ya kimwanamke... Miaka inazidi kwenda huolewi, unamlaumu mwenyezi Mungu kwanini huolewi,... Hutoolewa kwasababu unataka mwanaume mwenye gari na nyumba nzuri ya kitajiri.. Au mwanaume mwenye uwezo.... Ukiona mwanaume kavaa nguo za gharama kubwa basi unaona pale ndipo penye pesa kumbe mwenzio kaazima au kajipiga kanunua ili akupate kiulaini, mana keshajua unapenda pesa, hivyo nasi tukaa spesho kipesa pesa, tunajipiga tunapata pamba ili tukupate kiulaini mana si unapenda wanaume wasafi wenye pesa, lajini kutafuta hawajui.. Unaenda kuchezewaaaaa, baadae ndio unagundua kumbe mwanaume hana hata hela.. Mnaachana,.. Mkishaachana mwenzio anatafuta mpenda hela mwingine, na watafuta mpenda hela mwingine,... Mnajikuta manachezeana tu... Sasa umri unapoona unazidi kwenda ndio unakumbuka kuolewa hapo una miaka 28 - 30 - 35, eti ndio unakumbuka kuolewa.. Na hapo sasa hakuna kijana mwenye miaka 35 kwenda mbele ambae hajaoa, na hata kama kaoa we bado unakuwa mchepuko tu.... Kiukweli wasichana wa siku hizi wanachezewa sana tena, na mtaishia hivyo hivyo... Mana hata sisi wavulana mmetuzoesha kupenda pesa, hata ukiwa unanipenda kwa dhati mimi nakua sijui mana asilimia kubwa manapenda pesa....



    NAOMBA KUTOA USHAURI KWENU KWA WALE MNAOPENDA KUOLEWA



    Ushauri wangu ni hivi..... Usitake kuhangaisha kiuno chako buure kukichosha kipapuch chako... Angalia mwanaume wa kukuoa ana vigezo gani.... Vigezo unavyotakiwa kumuangalia kama atafaa kuwa mumeo...



    1)...awe na kazi ya kudumu, haijarishi inaingiza kiasi gani.. Hata kama anaingiza 1000 kwa siku, bado una nafasi ya kuishi nae, mana mnazitafuta mkiwa mafukara wote



    2)....awe ana uwezo wa kukulisha milo mitatu... Nadhani akiwa na kazi ataweza



    3)...anaependa kazi, mchapakazi.. Asie mvivu kutafuta pesa...



    4)...usiangalie mavazi, mavazi yanadanganya katika maisha... UMARIDADI HUFICHA UMASIKINI sasa umeona mtu katia jinzi ya elfu 50 ukaona huyo ndio kidume, kumbe utashinda njaa mwenzio ananunua nguo kali kila siku, utafikiri mpiga show...



    5)... Kingine na cha mwisho... Usipende mwanaume aliokwisha tafuta pesa zake, mana naye ana tabu yake katika ndoa.. Mana umemkuta na nyumba yake, umemkuta na gari yake, umemkuta na miradi yake... Mwanaume kama huyo usione tu anakufaa, utakuja kujuta na kuona bora ungeolewa na masikini mzitafute wote... Lakini umemkuta Kidume kakamilisha kila kitu, wewe ni kuingia na kuzaa tu.. Afu baada unaachwa eti unataka mali pasu kwa pasu... Na wakati ulizikuta zote.. Akili zenu mbofu mnashindwa kufikiri kwa ukaribu... Mpende fukara wako umwambie ukweli, usimpe papuchi yako mpaka mkatambulishane au muoane kabisa.. Na akikuacha kwasababu hujampa papuchi yako, basi jua huyo hakuwa akikupenda, alikuwa akuinje kisha akuache... Je? Mtaweza kukaza papuchi isiliwe??... Hamuezi ng'oooo

    Kikubwa ni kutafuta mwanaume ulimpenda na akupende mtafute pesa mkiwa wote ni mafukara, lakini mmoja akiwa tajiri kuna tabu zitakuwepo ndani ya ndoa... Utajuta kuolewa na tajiri...



    Sasa wakati huo sheby akiwa kasimama na zaituni... Na zai alikuwa akilia mana alikuwa awe mume wake lakini kwa tamaa alijikuta anamsahau na kutokumbuka msaada aliompa...

    "binafsi mimi nakutakia maisha mema na saidi wako... Ila kuwa makini sana, kama saidi nae utamchezea utakuwa kama dada yako Zainabu"

    Aliongea kijana sheby kisha huyoo akaondoka zake.. Hata lile swala la kwanini aliandika ujumbe hakutaka kumuuliza, mana zaituni alikuwa akilia sana.. Na lawama zote alimshakizia shadi, mana ndio aliomshawishi kuingia kwenye ujinga na kumsahau sheby......  Zaituni aliingia katika gari huku akifuta machozi ya uchungu.... Sheby yeye alichukuwa toyo impeleke nyumbani mana walikuja umbali wa kilometa tatu hivi... Sheby alikuwa akiwahi kule nyumbani ili kuiwahi sherehe japo hapendi kuwepo kwenye sherehe hio...



    Baada ya dakika kadhaa sheby anakaribia nyumbani kwake, alishangaa kuona wale omba omba wanatolewa nje ya geti tena walikiwa wakifukuzwa haswa.... Sheby alitoa macho kwa kitendo kile kilivyokuwa kikiendelea pale getini kwake.. Kijana alishuka kwenye pikipiki na kwenda mpaka getini kwake, na kukuta baadhi ya vipofu waliokuwa wakisukumwa na wengine wasioweza kutembea walitolewa kama maji taka.....

    "heee hawa nao walialikwa na nani hawa laana kum"







    Kijana akiwa katika toyo kwa mbaali aliweza kushuhudia wale watu ambao ni omba omba na wana matatizo yao tofauti tofauti katika miili yao,.. Kutokana na huruma za kijana huyo watu wale waliweza kuelekezwa sehemu ya kula baada ya wao kudai wana njaa kwa wakati huo, kijana huyo aliwaamuru waende nyumbani kwake kuna sherehe ya mkewe kwa kukuza ujauzito wake, watu wale walikubaliana na kauli ya kijana huyo na wao kufunga safari na pia aliwaahidi kuwa naye yupo nyuma yao, lakini kwa bahati mbaya alikutana na zai, mchumba wake mtarajiwa.. Walichukuana na zai na kuwaacha wale watu wakienda wenyewe kule... Sasa wakati anarudi akiwa katika usafiri wa pikipiki alishangaa kuona wale watu walikuwa wakifukuzwa tena wengine walikuwa wakipigwa virungu na mlinzi,... Sheby alitamani kuruka kutoka juu ya pikipiki lakini hakuweza mpaka pale aliposhushwa kwa utaratibu mzuri..

    Baada ya kushuka kwenye pikipiki alikwenda mpaka getini kwake, na kukuta baadhi ya vipofu waliokuwa wakisukumwa na wengine wasioweza kutembea walitolewa kama maji taka.....

    "heee hawa nao walialikwa na nani hawa laana kum"

    Ilitoka sauti kwa ndani ya nyumba ya sheby, na wakati huo sheby alitamani sana kuiona hio sura ya huyo mtu alio ongea ujinga huo...

    "we, ebu acha kupiga hawa watu"

    Aliongea sheby huku akifungua geti ili amwone yule aliosema hawa watu ni laana kum,..... Laaa Haulaaa sheby alishindwa kusema lolote baada ya kukuta alioongea hivyo alikuwa ni mama mkwe wake, yaani mama yake na mwai

    "shkamoo mama"

    "Marahaba,... Mbona huku ndani huonekani baba"

    Aliongea mama mkwe huku akimtaka aachane na hawa watu aingie ndani,..

    "nipo mama na nakuja sasa hivi"

    Ndani akina rose na mary wapo wote katika sherehe ya rafiki yao, na hawajui kama sheby huyo boss wao ndio mwenye huyo mke.... Lakini huezi amini kutolewa kwa vipofu wale kulimfanya kijana huyo aache kuingia ndani na kuanza kudili na wale watu

    "baba achana na hao watu watakusumbua tu"

    "mama... Mimi ni mtu wa watu, naomba nikawapatie chakula hotelini, mana ninyi mko tayari kumwaga chalula kuliko kuwapa watu hawa"

    "sio hivyo baba... Lakini si unajua waalikwa wenu walivyo wa heshma, hivyo tusingeweza kuwaruhusu hawa waingie"

    Aliongea mama huyo na kumfanya sheby kutomsikiliza kwa lolote,

    "Twendeni ndugu zangu, wamekataa na chakula chao"

    Sheby aliondoka na watu wake mpaka kwenye hoteli moja hivi

    "he he he he wale wanaenda wapi wale wazuieni"

    Aliongea mmoja kati ya wahudumu waliopo katika hoteli hio,...

    "weeeeee, weka rungu lako pembeni we mshenzi nini... Ivi nyie, hawa sio binaadamu hawa, hawa ni mambwa kwani???... Nawauliza hawa sio watuuuuuuuu"

    Watu wote kimya,...

    "lakini ndugu"

    "hakuna cha ndugu hapa.... Kwa mfano ni wewe afu ndio unatengwa kiasi hiki utajiskia vipi, na hapo ulipo tu ni muhudumu je ungekuwa tajiri ungelikuwaje wewe... Mimi nalipia bili yao yote waache wale wanavyotaka... Wape makuku kuku kila kitu wanachotaka nitalipa mimi"

    Watu wote kimya, wahudumu walianza kuchangamka na kuweka viti vizuri,.. Walikaa sehemu moja wao na kijana sheby,.. Kila mteja akija anashangaa jamaa kakaa na hawa omba omba wenye matatizo tofauti tofauti katika miili yao,.. Wengine walemavu wa miguu wengine hawana macho ni vipofu wengine hawana hata vidole, yaani ilikuwa ni huruma iliojitosheleza kiukwe, lakini tunashangaa sana baadhi ya watu kutowajali watu kama hawa,.... Ukumbuke leo wewe ni mzima lakini huijui kesho yako itakuwaje, mpende binadamu mwenzio, kama huna huna tu na Mwenyezi Mungu anajua huna... Lakini sio kuwachukia na kuwaona kituko,... KABLA HUJAFA HUJAUMBIKA sasa kwanini leo umuone kilema au kipofu kama taka taka kwako.......

    Hoteli hio ilikuwa na ukimya wa halo ya juu sana mana kila tajiri akitaka kuingia anasita kutokana na watu waliokuwa wanakula pale,... Walichukuwa lisaa lizima mana kuna wengine walikuwa wanakula kwa hisia, hususan vipofu,... Baada ya lisaa limoja kupita walimaliza na kila mmoja alishiba haswa kwa siku hio

    "ndio, hata siku moja moja na wao waonje radha ya maisha, sio wasikie harufu tu"

    Aliongea sheby na kuwafanya baadhi ya watu wacheke kwa maneno yake

    "haya we muhudumu nadaiwa shilingi ngapi"

    "yule kala kuku mzima na yule kala ku... "

    "ah ah ah... Sikusema utaje walichokula, waote najua wamekula makuku mazima mazima na misoseji kibao... Mimi nataka gharama tu achana na vitu walivyokula"

    "ni laki moja na nusu"

    "enheeee hapo sawa sasa... Pesa kidogo tu unataka kuliiia"

    Sheby alitoa waleti na kulipia bili ya chakula cha watu hao wapatao 20, waliokuwa wakiomba sehemu moja mana kila mmoja na riziki yake....



    Walitoka pale taaratibu mpaka pale kwenye eneo lao wanaloombea pesa

    "jamani ndugu zangu si mumeshima au kuna mtu ana njaa turudi tena"

    "hapana baba, tunakushukuru"

    Maskini ya mungu sheby aliwaahidi kuwapa pesa, baada ya kula, lakini wenyewe walisahau kutokana na hisani ya kupata mlo mmoja tu uliowafanya kujijua kuwa na wao wana uwezo wa kula makuku kama wao

    "sasa nataka niwapati hata elfu kumi kumi kila mmoja, mana bize yangu mimi aipiti hapa kila siku"

    Aliongea hivyo kijana sheby huku akitoa noti ya elfu kumi na kumkabidhi kila mmoja note yake,.. Ili gharimu kiasi cha laki mbili lakini sheby hajali kutoa mana nao ni binaadamu.... Laki mbili jumlisha laki moja na nusu... Ni upendo wa hali ya juu, kijana sheby anataka kuvunja ule usemi usemao TAJIRI NI VIGUMU KUINGIA KWENYE TUNDU LA SINDANO neno hilo likiwa na maana kubwa sana katika dunia hiiiiii.....

    "jamani ndugu zangu tutaonana siku nyingine"

    Aliongea kijana sheby huku akipiga hatua na kuondoka zake....







     





    Wakati huo huku nyumbani kwake sherehe imekwisha na tayari watu walikuwa wakiondoka,... Wale watu wa jirani ndio waliobakia kwa ajili ya kufanya fanya usafi, wakati huo akina rose ndio wanapanda gari la mwai, na mwai ndio aliokuwa dereva wa gari hio, anawapeleka rafiki zake,..... Sasa wakiwa barabarani walipishana na sheby bila kumjua, lakini mwai yeye kamuona mume wake...

    "baba tifa huyo apo"

    Aliwaonyesha rafiki zake lakini hawajaona kwasabu alionyesha gari ikiwa ndio inampita,..

    "yupo wapi"

    "aaahhhh keshapita.... But msijali mtakuja kumuona tu"

    Aliongea mwai kitendo kilichowashangaza akina rose,...

    "lakini dada mwai, now nakuona kama umepunguza ukali juu yake"

    Aliuliza mary huku wakitamani jibu toka kwa mwai

    "ni kweli mary... Yaani toka siku ile nimelala nae Kimapenzi,.. Kiukweli nilianza kumueshim kidogo kutoka pale, na nilitamani nilale nae kila siku lakini sasa hataki"

    "si utimie ile njia ya mganga"

    "kule kwa mganga nilikwenda, lakini akasema nilikosea mana nilitaka dawa ya siku moja.. Nami sikutaka kuendelea na sheby kwasababu simpendi,.. Lakini utamu wake, rose we ni mkubwa mwenzangu, kiukwe kale katoto ni katamu kwenye mapenzi... Sijapata picha.. Na licha ya hivyo mpaka sasa nafsi inanisuta niitoe hii mimba mana nitakuwa namuonea mume wangu"

    Akina rose walishangaa sana kuskia kauli ya mwai,...

    "kwahio unataka kusema kwa sasa unamjali"

    "nilikuwa staki kupika lakini sasa hivi napika nyumbani na yeye pia anakula japo kishingo upande tu"

    "kambembeleze mganga"

    "rose, Mganga kasema mizimu imegoma mana siku ile nilitaka dawa ya siku moja tu, tena nikaulizwa mara mbili mbili unataka dawa ya siku ngapi nikakazania dawa ya siku moja mana sikua nataka kufanya mapenzi na sheby wa siku zote, ila kwa utamu nilioupata... Waaalahi vile natamani hata leo nikirudi nimpe anifurahi mie mkewe"

    "Heheheeeeeeeee haaaalooooo.... Eti leo ndio. Unajua umuhimu wa mume.. Ulimchezea mwenyewe"

    "lakini sio mimi tu rose.. Hata yeye hakuwa akinipenda na hata mimi sikuwa nikimpenda... Na hata hii mimba natamani niitoe eti"

    "we... Weee... We... Mwai usijaribu huo ujinga, hii mimba imeshakuwa kubwa, ukiitoa tu utakufa wewe,.. Jikaze uzae mtoto mpe baba yake wa kweli, we rudi kwa mumeo"

    "heeeeeeeee... Na familia yake itanichukulia vipi mtoto sio wao"

    "hapo kazi unayo, na hio ndio kero ya kuoana bila kupendana"

    Rose aliongea hivyo huku wakikaribia kufika nyumbani,....



    Sasa huku nyumbani sheby anarudi anakuta watu wamesha sambaratika kila mtu kwao waliobakia ni wachache tu,...

    Sheby kaingia na kumkuta mlinzi pale ndani

    "ivi nani alikupa ruksa ya kuwatimua wale watu"

    "ni boss ndio kasema niwatoe, na wakikataa niwapige virungu"

    "nawe ukawa unawatandika haswa si ndio eee"

    "ni amli kutoka kwa boss"

    "Oooohhhh sawa, ni kutoka kwa boss eee"

    Sheby aliachana na mlinzi kisha akaingia zake ndani, wala hakutaka kujua watu waliobaki katika jukwaa ambao ni watu wa karibu tu,..

    "baba mkwe"

    Aliita mama yake mwai na kumfanya sheby atoke,

    "naam mama"

    "wale watu wapo wapi,... Chakula kimebaki kinataka kumwagwa... Waite waje wale.. Chakula Kile pale chini kinadorola na nzi tu"





    Kiukweli kuna watu wanashindwa kujali watu wengine ambao wana shida kuliko wao,.. Kuna ile kauli isemayo kuwa.. ALIESHIBA HAMKUMBUKI MWENYE NJAA ni usemi wa kweli na ulitukuzwa haswa, siwezi kuamini kwamba hata vilema nao mnawanyanyasa kiasi hiki,.. Kijana aliokuwa na huruma aliweza kuwaonea huruma omba omba waliokuwemo eneo hilo,... Watu hao walipewa mualiko kutoka kwa kijana sheby, lakini mbaya zaidi ni kwamba watu hao waliweza kufukuzwa kama mbwa kwamba hawastahili kuingia katika sherehe hizo mana wengi walikuwa vipofu wengine vilema wa miguu, wengine walikuwa hawana hata vidole.... Walinzi wa jirani wakishirikiana na wa nyumba husika pamoja na mama mkwe na wengine walifanikiwa kuwatoa watu hao kitokana na kwamba waalikwa walioalikwa katika sherehe hio ni wale wenye fedha kama wao,.. Kijana alipokuta hali hio hakutaka kubishana nao, aliwachukuwa watu wake na kuwapeleka katika hoteli ya gharama na kuwapa chakula kama alivyotaka...



    Sasa kijana sheby baada ya kufanya hayo alirudi nyumbani.. Lakini ile anaingia tu anakutana na mama mkwe wake mlangoni

    "baba mkwe"

    Aliita mama yake mwai na kumfanya sheby atoke,

    "naam mama"

    "wale watu wapo wapi,... Chakula kimebaki kinataka kumwagwa... Waite waje wale.. Chakula Kile pale chini kinadorola na nzi tu"

    Sheby alishikwa na hasira za ghafla huku akiwa kakunja sura,...

    "wameshakula"

    Sheby alijikaza kujibu vizuri japo ndani yake alikuwa na hasira sana

    "lakini chakula kipo baba"

    "ivi nikuulize mama"

    "uliza tu baba"

    "ivi wale ni watu au ni wanyama"

    "kwanini uulize hivyo baba"

    "ukinijibu ndio tutakwenda sawa"

    "aahh ndio wale ni watu pia"

    "sasa kwanini mumewafukuza... Au wale hawakustahili kula..... Haya tayari wameshakula na wameshiba vizuri tu... Mwageni hicho chakula kama mlivyotaka kumwaga"

    Sheby aliongea hivyo kisha akaingia ndani, mama mkwe kabaki hapo nje kashika safria yake...



    Tukija huku kwa akina rose baada ya kufika nyumbani, Mwai alitaka kupelekwa tena kwa mganga...

    "we si ulisema imeenda wewe"

    "ndio.... Ila huenda ukiongea nae atakubali"

    "kama alikukataa basi... Mana siku ile hata mimi nakumbuka uliulizwa mara mbili mbili unataka dawa ya siku ngapi ukasema wataka ya siku moja... Sasa tufanyeje... Basi imekwisha hio"

    "rose usiseme hivyo"

    "haya twende basi ili usinione mbaya"

    Rose aliamua kusema hivyo kwa hasira mana ni usumbufu wa hali ya juu kwao,... Walipanda gari kisha hao wakaenda kwa mganga ikiwa bado ni mapemba sana....

    "karibuni, karibuni, karibuni"

    Ni sauti ya mganga aliokuwa anawaita wageni wake.... Rose na mwai waliingia hapo ndani na kuketi katika mikeka

    "mumerudi tena"

    Aliongea mganga huku akiongeza mbwembwe zake za uganga....

    "ndio babu.. Tuseidie tena ile dawa"

    "mama... Nilikwambia haiwezekani, yaani mizimu imefunga milango juu yako Mana ulitaka ya siku moja tu"

    "kwahio hakuna njia nyingine mganga"

    "kiukweli hakuna.. Na sio kwangu tu, hata ukienda kwa mwingine haiwezekani, labda udanganywe tu"

    Mganga aliongea hivyo huku akikusanya mikoba yake..



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA



    Tukija huku ofisini kwa kijana sheby, akiwa anaendelea na kazi yake ya kufuatilia mafaili ya kampuni yao..

    "boss, boss mambo vp boss"

    Alikuwa ni saidi akija kwa mbwembwe na furaha nyingi sana

    "poa nambie"

    "safi tu... Ebwana jana naskia kwako kulikuwa na kasherehe kadogo hivi"

    "yes... Aaahhh si unajua wanawake hawa bwana kwa sherehe hawajambo"

    "kiukweli na mimi nataka nioe, nami nile raha kama wewe"

    Sheby alikuwa anajua mke anaemuoa ila hajui kama alikuwa demu wa sheby, japp sheby hajawahi kulala na zaituni Kimapenz...

    "hivi Kwa mfano mkeo kawa kipofu inakuwaje"

    "aaaaahhhhh bosiiiii? mbona unaniombea mabaya tena"

    "amnaaa... Mi nakuuliza tu yani kwa mfano tu"

    "sasa nitaoaje mwanamke kipofu boss"

    "kwaio utamuacha kama akiwa kipofu"

    "lazima nifanye hivyo, mana nitaishi nae vipi sasa"

    Sheby alicheka ndani kwa ndani bila saidi kujua, mana zai anaetaka kumuoa alikuwa kipofu....

    "lakini si umempenda kuwa mkeo"

    "ndio tena nampenda sana yule mtoto... Nampenda mnoooo"

    Ghafla mlango wa kuingia mlango wa kuingilia huku ofisini kwa sheby uligongwa kuashiria kuna mgeni

    "karibu"

    Aliongea sheby huku mlango ukifunguliwa....

    "saidi una mgeni wako huku nje"

    Alikuwa ni Secretary ndie alieingia na kumtaka saidi atoke kwa ajili ya mgeni wake,... Alipotoka tu saidi, rose nae huyo kaja na documents fulani hivi....

    "boss mambo"

    "poa"

    Rose alitupa zile documents mezani kisha akamrukia sheby.... Kumbe miezi miwili iliyopita rose alifanikiwa kumteka sheby kimapenzi, na mpaka sasa hivi tayari keshakuwa mpenzi wake kama mchepuko wake.... Kilichokuwa kikisikika hapo ni midomo yao iliokuwa ikivutana kwa ndimi zao...

    "mmmhhh.... Uhhhhhhnnnnn"

    Rose alikuwa akikibinua kiuno chake na kalio lake lainiii liliomsisimua, sheby nae kwa hamu hakujali kama hapo walipo palikuwa ni ofisini,... Zakaria wa sheby kaanza kuleta tabu ndani ya boxer

    "baby, unanigusa na nini"

    Aliongea rose huku hisia za mapenzi zikiwa zimemjaa katika kifua chake,.. Na sheby na hivyo hivyo, na ndio maana hakuna aliekumbuka kuwa hapo ni ofisini panahitaji heshima,.. Rose ni mtoto wa mjini anajua ni jinsi gani ataweza kumhendo mtoto wa tajiri kama huyu, ulimi wa rose ulikuwa ukisambaa kila kona ya mwili wa sheby,... Yaani kijana wa watu alikuwa kulala sio kulala, kusinzia sio kusinzia... Kifupi alikuwa akipata raha ya kipekeee mno,.. Rose alijaaliwa kaumbo ka uchokozi.. Lakini mary ni zaidi, mary sura anayo umbo analo... Na hata rose analijua hilo... Kiti cha sheby kilikiwa ni cha kulala, sijui rose aligusa wapi kile kiti kikawa kama kitanda, japokuwa hapo hapo ofisini kuna chumba cha kupumzikia kama ukijiskia kupumzika.. Rose alivaa kimini sketi cha suti.. Sheby alishangaa chupi ya rose ipo mezani.. Kitendo cha kuona chupi tu kimekuwa kero kwa sheby... Aliingiza mkono na kugundua rose hakuwa hata na chupi.. Hajakaa vizuri mara koti la suti linatolewa, bado wamesahau kiwa hapo walipo ni ofisini na hao ni mfanyakazi kwa boss...







     





    Sasa huku kwenye ofisi ya akina rose kuna madocuments yameletwa yakatiliwe saini na mzee, ambae ni baba yake na sheby,... Mary aliamka na kwenda ofisini kwa mzee rashidi na kumpatia files hizo..

    "boss kina yule mteja kutoka UN ameleta zile documents za pesa tulizokuwa tunamdai"

    "aaahhhh mr Rajabu"

    "ndio boss"

    "ivi tulikuwa tunamdai kiasi gani"

    "aahh hapa imeandikwa milioni mia moja na hamsini (Milioni 150)"

    "aaahhh mary... Mimi nilishasema pesa ndogo ndogo kama hizo mpatie Sharbiny afatilie... Mimi nileteeni wale wenye kuanzia milioni 500 kwenda mbele sio milioni 100"

    "Samahani boss... Nilijua boss sheby atakuwa bize, mana alipelekewa kazi na rose muda sio mrefu"

    "mpelekee atajua aanze ipi amalize ipi"

    Kitendo cha mary kuambiwa apeleke documents za benki kule ofisini kwa sheby kwake ilikuwa ni furaha sana katima moyo wake....

    "leo lazima nionyeshe hisia zangu kwake"

    Aliongea Mary huku akiruka ruka kwa furaha ya hali ya juu,... Mary alishusha sketi yake vizuri mana haitaji kumtaga kwa lolote lile, ispokuwa ampende mwenyewe na sio kumtamani kimapenzi... Mary akiwa kafika mlangoni moyo ukiwa unamwenda mbio kwa furaha ya kuja kwa sheby akiwa peke yake, mana kawaida anaepeleka documents ni rose, sasa muda huo rose alikuwa hayupo, hivyo mary akachukiwa nafasi hio, sasa ndio mana anajiskia raha sana....

    "sheby naomba unielewe hata kwa macho yangu tu"

    Mary aliongea hivyo huku akikiminya kitasa cha mlango,.. Tena kwa wenge aliokuwa nalo la kukutana na sheby, hata hodi hakupiga kwa furaha alionayo kwa siku ya leo









    Wakiwa katika moja ya mapenzi mazito baina ya sheby na rose, na wakati huo wametoka pale ofisini wameingia kwenye chumba cha kupumzikia, yaani hata kule kwa baba yake sheby pia ofisini kwake ni dabo rum, yaani ni vyumba viwili, cha kwanza cha kazi cha pili ni cha kupumzikia pale mtu anapochoka na hakuna kazi,... Sasa huko ndani rose alikuwa mweupeee hana hata chembe ya nguo, shwby ndio kabisa yani Usiseme na zakaria yake ilikuwa imesimama wima, rose ni mtoto wa mjini aliishika na kuanza kuimba kilugha chao... Unajua kuimba kilugha wewe?... Sasa rose wakati akiwa anaimba juu ya mic ya sheby.. Walistuka kuskia mlango umefunguliwa kwa nguvu zote na mtu kuingia ndani,....

    "itakuwa ni baridi baby"

    Aliongea rose huku akiendelea kuinyonya zakaria ya sheby....



    Sasa kumbe huku aliofungua alikuwa ni mary, mkononi alikuwa kashika documents za banko ili sheby afatilie hio pesa.....

    Sasa mary kufika hajakuta mtu,.. Sasa akawa anageuka ili arudi ofisini kwake afu atazileta kwa wakati mwingine, lakini sasa ile anafanikiwa tu kugeuka, mary alibahatika kuiona chupi ya rose, kumbe waliiacha pale mezani,...

    Documents zote zilimdondoka mary na kufanya sheby ashtuke tena

    "baby una presha ya nini lakini"

    "nahisi kuna kitu"

    "hakuna kitu baby"

    Rose alizidi kumpotezea sheby asiwe na wasiwasi wowote kuhusu pale ofisini,... Sasa huku mary alipoiona ile chupi aliijua ni chupi ya rose na istoshe alisikia visauti sauti huko ndani... Mary kwa hasira aliokota documents zake na kuondoka... Lakini alipofika kwenye kordo fulani hivi alimwona baba yake sheby anakuja katika ofisi ya sheby... Huezi amini mary kaumia sana moyoni mwake lakini karudi ofisini na kuichukuwa ile chupi ya rose ili baba yake sheby asije kuiona, mana rafiki yake angefukuzwa kazi, kwa kitendo hicho, sasa ile anatoka tu akakutana na boss mlangoni

    "boss,.. Boss sheby katoka"

    "aaahhh hayupo"

    "ndio... Nilimuona katoka boss"

    "aahhhh ok basi akija umwambie nimetoka kidogo sawa"

    "sawa boss"

    Baba yake sheby aliondoka zake na kupotelea zake.. Na mary nae hakutaka kubaki....



    BAADA YA NUSU SAA KUPITA







     





    Sheby alionekana kutaka penzi tena yaani hapo sijui ni raundi ya ngapi.. Rose alikuwa hataki tena kwasababu keshachoka afu mbaya zaidi ni ofisini hivyo rose alitaka kumtoa hamu tu, sasa sheby kanogewa anataka tena,..

    "please sheby, kumbuka ofisi zipo wenyewe eti Please"

    "sasa kwanini unionjeshe lakini"

    "nitakupa tukitoka, please nielewe baby"

    "ok poa"

    Rose na sheby walianza kuvaa nguo zao lakini kwa upande wa rose nguo moja haionekani,...

    "baby chupi yangu ipo wapi"

    Aliuloza rose huku akiwa na wasiwasi juu ya nguo hio kitoonekana

    "si uliiacha kule mezani wewe"

    "oooohhh yes, nimekumbuka baby"

    Basi rose alitoka kwa furaha mpaka pale mezani lakini bado hakuiona

    "boss, mbona siioni"

    Aliongea rose huku wasiwasi ukirudi tena kwa mara nyingine....

    "khaaaa we si uliiweka hapa.... Aaahhh mimi ndio mana spendi kufanya mapenzi ofisini ona sasa ishakuwa tabu hiii"

    "lakini boss chupi ilikuwa hapa"

    "lakini mi nilikwambia tukiwa ofisini achana na mapenzi, ona sasa kilichotokea"

    "nisamehe boss"

    "sasa hata nikikusamehe haijalishi kitu, bado nguo haionekani"

    Rose alitoka mbio mbio mpaka ofisini kwake na kumkuta mary kajiinamia kwenye meza yake,..

    "mary... Mary.... We mary mambo"

    Rose kwa wenge alilokuwa nalo alijikuta anamsalimia tena mary na wakati wamekuja wote na walikuwa wote muda sio mrefu...

    "eti uenda ofisini kwa boss sheby"

    "niende kufanya nini na wakati mpeleka documents ni wewe"

    "ok.. Hakuna documents zingine za kupeleka"

    Rose hakutaka kumwambia Mary kile kilichotokea na anachokitafuta...

    "nilizipeleka kwa boss mkubwa, na alizipeleka kwa mtoto wake"

    Rose alishtuka almanusura azimie

    "ati unasemaje mary"

    "kwani boss mkubwa hatakiwi kuingia kwa boss mdogo"

    "aahhh ok... Ni sawa hakuna shida"

    "kwani kuna nini"

    "ah ah hakuna kitu"

    Rose alikaa kimya na wakati huo hana chupi kavaa sketi tu basi...

    "sasa si ukae..."

    Mary alikuwa anajua rose anaogopa kuwa huenda hio chupi kaichukuwa baba yake sheby na ndio kizibiti cha kuachishwa kazi... "

    "we mary hizi documents vipi zinaenda wapi"

    Rose aliziona zile documents zilizoletwa kutoka Bank za kwenda kuchukua pesa zao za kusafirisha bidhaa za serikali,...

    "zinakwenda kwa sheby"

    "sasa mbona husemi we mary"

    "lakini si umekuja sasa hivi tu"

    "ok sawa... Ngoja nizipeleke"

    Sasa rose ile anatoka tu mary kamuangalia kwa nyuma, rose alikuwa anatetemesha makalio mana hakuwa na chupi...

    "we rose we"

    "abeee"

    "afu leo hujavaa chupi wewe"

    Mary alikuwa akiongea tu lakini roho ilikuwa ikimuuma mno....

    "amna nimevaa sema haijanibana tu"

    Yaani angalijua kuwa hio chupi anayo mary wala asingeendelea kumdanganya...

    "haya nenda"

    Rose aliondoka lakini mary aliendelea kulia kisiri siri yaani mtu ampendae leo kasex na rafiki yake..

    "rose rose rafiki yangu.. Nakutuma uniseidie kumbe nawe unampenda why lakini"

    Mary aliongea mwenyewe baada ya rose kuondoka

    Rose alipofika ofisini alikimbilia kwa sheby,...

    "boss, huezi amini chupi sijaiona.. Na mbaya zaidi mary kanambia eti baba yako alikuja huku"

    "Whatt??"

    "ndio"

    "lakini saa ile mimi nilikwambia, ofisini kuna mtu lakini wewe ukazidi kubisha tu, sasa ona sasa chupi haipo"

    "lakini mi siamini kama baba yako ndio kaichukuwa kwa ajili ya kidhibiti cha kuniachisha kazi"

    "ata sijui"

    Ghafla rose kapiga magoti chini na kumuomba sheby msamaha, mana sheby nae alikuwa hana hata raha, baada ya kusikia baba yake alikuja hapa ofisini kwake...

    "boss, Nisamee kwa hilo... Naomba niendelee na kazi"

    "kwani nimekufukuza?"

    "baba yako hatoniacha kwakweli"

    "aahhhh mi sijui... We utakaa tu nyumbani, umefanya ujinga sana, umekuja ya nini lakini"

    "nisamehe boss wangu... Ni hamu tu"

    "toka bwana... Ushaniletea balaa hapa"

    Sheby aliamka na kwenda ofisini kwa baba yake na kumwacha rose akilia pale chini... Sheby alipofika ofisini hapo hakumkuta baba yake,... Sheby alianza kupekuwa kwenye makabati huko kila mahari, fungua droo zote changua kila kona lakini hakuiona,.. Lakini sasa katika kupekuwa pekuwa vizuri alifanikiwa kuona picha moja ambayo baba yake sheby na baba yake mwanaheri wakiwa wamesimama pamoja,... Lakini baba yake sheby alionekana kutokuwa na chochote, yaani alikuwa na hali mbaya ya kimaisha... Ila baba yake mwai alionekana kuwa na hali nzuri ya kimaisha, yaani alikuwa kama boss boss hivi... Ila baba yake sheby alikuwa choka mbaya, tena hata viatu vyake vilikuwa vimeisha upande mmoja... Sheby alishangaa sana kuona kuwa kumbe baba yake mwai na baba yake walikuwa marafiki sana miaka ya huko nyuma... Lakini mbona ni choka mbaya hivi... Sheby alijikuta anapata Stress zingine tofauti na stress iliomleta.. Sheby aliichukuwa ile picha na kuingia nayo kule ofisini kwake... Alimkuta rose bado analia lia pale ndani...

    "we bado hujatoka tu"

    "yaani sijui nifanye nini mimi"

    "nenda ofisini kwako.. Afu huu ujinga siutaki tena, yaani kaa mbali na mimi"

    "boss Usiseme hivyo, kama ni mapenzi ndani ya ofisini kweli staki tena, ila kukuacha siwezi sheby Please"

    "ondoka bwana aaah"

    "ok... But documents hizo hapo ni za kufatilia benki"

    Rose alikabidhi documents kisha akaondoka



    BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA



    Na sasa ni mida ya jioni muda wa kutoka kwenda majumbani mwao,..

    "mary jamami nitakwenda vipi nyumbani"

    "sa unaniuliza mimi"

    "lakini mbona una chuki juu yangu mary"

    "ivi nikuulize Kitu"

    "nini sasa"

    "ivi sheby nampenda mimi au wewe"

    "lakini mary"

    "hakuna cha lakini... We ni mtu wa aina gani, tumefanya mangapi mimi na wewe, leo nakuomba uniseidie kuwa na sheby kumbe nawe unampenda, kwanza we mkubwa wala hulingani nae unamuonea tafuta wakubwa wenzio"

    Mary alikuwa akiongea huku akitaka hata kulia...

    "nilikuamini kama dada yangu, kuwa kama mshenga mi nampenda sheby na sio kumtamani kama ulivyotamani wawe,.. Bila mimi kujitoa siku ile tusingepata kazi,.. Au mbona wewe uliachia msala wote.. Lakini kwakuwa mtoto wa watu hana tabia mbaya aliniacha na kujikuta anachukuwa jukumu la kutufundisha kazi... Leo nimempenda mimi afu unaenda kulala nae wewe... Mungu anakuona kwa hilo rose"

    "mary... Kwani mi nimelala na sheby"

    "fara wewe, usilete usenge wako apa... Na nitahama hata kama chumba unalipia wewe nina uwezo wa kulipia chumba hata mimi... Nitalala hata kwenye godoro lakini siwezi tena kuishi na mtu kama wewe"

    Mary alikasirika sana mpaka kufikia hatua ya kutengana na rafiki yake... Lakini wakiwa wanaendelea kutupiana maneno ghafla maadam alikuja, mana kwenye hio kampuni kuna mama mtu mzima ambae anawaweka wafanyakazi wa kike sawa kwa ajili ya wageni, hivyo wanamwita maadam,...

    "nyie tatizo ni nini.... "

    Waliulizwa lakini hakuna aliokuwa akijibu zaidi ya wote kusema hakuna kitu

    "hakuna kitu maadam"

    "ok kuna tatizo limetokea kwenye kampuni hiii... Tunaomba mtoke nje"

    "tatizo gani tena maadam"

    "utalijua nje.. Nyie tokeni pale mkakagulowe... Kuna wizi umetokea humu ndani"

    "sawa maadam, ngoja tuchukuwe mabegi yetu"

    Maadam alipita kwenda kwenye ofisi zingine ili kuwapa taarifa juu ya wizi uliotokea hivi punde.... Sasa akina rose na mary kufika nje walikuta watu wanasachiwa kila kona,.. Yaani hakukuwa na mtu aliotoka bila kusachiwa...

    "kabla hujafika sehemu husika ya kukaguliwa, kwanza unaweka mkoba wako hapa vitu vyako vyote vitolewe hadharani ili kuukagua mkoba"

    Aliongea baba yake sheby, huku wafanyakazi wakianza kuweka mkoba pale mmoja baada ya mwingine... Sasa mary presha juu mana kwenye mkoba wake kuna chupi ya rose, afu sasa rose nae presha juu kwasababu endapo atagundulika hana chupi ni kosa kubwa sana katika kampuni hio mana ni kampuni yenye maadili hivyo hutakiw kuja kihuni... Na kama ni mwanamke anasachiwa na mwanamke mwenzie, na kama ni dume basi anasachiwa na dume mwenzie, na mtu wa kusachi hatakiwi kuficha kitu pale palipo na tatizo... Hofu ya wawilo hawa ni kuhusu hio nguo ya ndani, mana wataulizwa ofisini walikuwa wanafanya nini... Mbona mmoja hana chupi na mmoja chupi ipo kwenye mkoba, kwahio kuna kitu walikuwa wakikifanya... Sasa ni zamu ya mary mkoba wake kusachi.. Mama aliushika ule mkoba wa mary na kumwaga vitu vyote pale chini....

    "haaaaaaaaaaaaaaa"

    Kila mtu alishangaa na kushika mdomo, hata boss haamini kwa kile walichokiona... Lakini sasa mbaya zaidi ni kwamba hata mary mwenye mkoba wake nae kashangaa, kana kwamba kitu kilichoonekana hata yeye hakijui,... Ilionekana ni tofauti na kile alichokidhania yeye....







    Sasa kabla hatujaendelea na hapo ilipoishia, tuanzie pale walipokuwa wakigombana baina ya rose na mary ndipo wakakatishwa ugomvi wao na maadam...







     





    "nyie tatizo ni nini.... "

    Waliulizwa lakini hakuna aliokuwa akijibu zaidi ya wote kusema hakuna kitu

    "hakuna kitu maadam"

    "ok kuna tatizo limetokea kwenye kampuni hiii... Tunaomba mtoke nje"

    "tatizo gani tena maadam"

    "utalijua nje.. Nyie tokeni pale mkakaguliwe... Kuna wizi umetokea humu ndani"

    "sawa maadam, ngoja tuchukuwe mabegi yetu"

    Aliongea rose huku akilifuata begi lake la kwapani,.. Lakini mary akiwa bado ana hasira na rose alikuwa mahari fulani kajiinamia kwenye meza... Sasa huyu rose wazo moja la kijinga lilimjia,...

    "kwenye huu ukaguzi najua tutasachiwa na maadam suzy, sasa najua lazima anikute sina chupi, nalo ni kosa... Sasa bora wote tukitwe na makosa kuliko nikutwe mwenyewe"

    Aliongea rose kimoyomoyo kisha akachukuwa kitu fulani kutoka kwenye begi lake na kukiweka kwenye begi la mary, ili tu wakutwe wote wana makosa, ila kitu alichoweka hakikujulikana ni kitu gani mana kilienea katika kiganja cha mkono wake... Wakati bado wanajishika shika pale mara maadam alirudi tena na kuwakuta bado wanazubaa zubaa tu,

    "nyie bado hamjatoka tu"

    "tunakuja maada, sema kuda documents nilikuwa nazisevu hapa kwenye kompyuta"

    "hebu changamkeni nataka kuondoka.. Kule sasa wanasachiwa wanaume sasa inafuata zamu yenu wanawake"

    "maadam tunakuja usijali"

    Mwanamke wa watu aliondoka zake kuelekea nje... Lakini sasa mary aliona kuliko rafiki yake akajulikane hana chupi, ni bora ampe mana nia yake alikuwa asimpe ili aumie kwa mawazo kiwa huenda nguo yake imechukuliwa na baba yake sheby,..

    "shika takataka yako.. Mschiuuuu... Haya kataa tena hujafanya nae"

    Rose hana la kusema zaidi ya kuchukuwa chupi yake na kuivaa...

    "lakini kwanini ukae na chupi yangu muda wote huo"

    Kabla mary hajajibu maadam kaita tena, hivyo wakatoka mbio mbio, lakini huku nyuma rose alitamani atoe kile kitu kwenye mkoba wa mary ikashindika... Rose anataka kumuita mary lakini maadam alikuwa anaona hivyo ikabidi aache tu,... Mpaka walipofikia eneo la kusachiwa mabegi yao, linaanza begi kisha unafata wewe mwenye begi unasachiwa kila kona ya mwili wako, japo hakijulikani kitu kilichoibiwa humo ndani.... Kwenye hii kampuni ni kampuni yenye heshima kubwa sana, hivyo mfanyakazi wa kike haruhusiwi kuja na nguo za mitego, mfano ukutwe huna chupi, utaeleza kwanini hujavaa hio nguo, na ndio maana kukawekwa maadam mtu mzima ili kuwaweka sawa wafanyakazi wa kike, na wafanyakazi wa kiume haruhusiwi kuja ukiwa umepiga kata K... Haruhusiwi kuvaa kihuni...

    Sasa baada ya wafanyakazi wa kiume kuisha walifuata wafanyakazi wa kike, rose alikiwa na wasiwasi mkubwa mana anakijua kitu alichokifanya kwa rafiki yake,... Ila mary yeye hana wasiwasi wowote kwasababu anajua chupi keshampa mwenyewe... Maskini ya mungu zamu ya mary ilifiki likachukuliwa begi lake na kumwagwa vitu chini ilivyofanyika kwa wengine....

    "haaaaaaaaaaaaaaa"

    Kila mtu alishangaa na kushika mdomo, hata boss haamini kwa kile walichokiona... Lakini sasa mbaya zaidi ni kwamba hata mary mwenye mkoba wake nae kashangaa, kana kwamba kitu kilichoonekana hata yeye hakijui,... Sheby alikuwa akiongea na simu lakini aliposikia zile sauti za haaaaaaaa ikabidi ageuke na kuangalia... Nae aliona kila kitu, maskini ya mungu mary alikuwa akimwangalia sheby huku akitikisa kichwa... Lakini ghafla boss mkubwa alipiga makofi, sekunde hio hio wafanyakazi nao wakapokea kupiga makofi kama boss wao alivyofanya...

    "kiukweli sio tabia nzuri kwa kampuni yetu, lakini ameonyesha ni jinsi gani anajilinda na afya yake... Ni vizuri sana kwa kitembea na kinga... Hongera sana mwanangu"

    Lakini mbali na kupewa sifa na baba yake sheby, bado sheby akiwa yupo pembeni katulia tu,... Rose anajikuta anampa sifa kubwa mary, lakini mary alijua kajenga sehemu fulani, ila kabomoa sehemu kubwa ya moyo wa mtu, kitendo cha sheby kuona pakiti ya kondom iliotoka kwenye kibegi cha mary ni dhahiri kuwa upendo kuupata pale ni ngumu, mana mtoto wa kike kukutwa na kondom ni jambo baya sana japp unajilinda lakini inaleta sifa ya umalaya, kana kwamba popote utakapokutana na mwanaume papo hapo unafanya yako, yaani inaashiria umalaya wa hali ya juu sana, ila ni umalaya wa kujilinda.....

    "boss, tumesachi kila mmoja lakini hakuna aliokutwa na chochote cha ofisini"

    Aliongea maadam ambae ndio msemaji mkuu wa wanawake katika kampuni hio

    "sasa nani kaingia ofisini kwangu na kuchangua changua"

    Sasa sheby kusikia kuwa nani kaingia ofisini kwa mzee, ndio akakumbuka kuwa mbona yeye ndio alioingia na kwenda kuvuruga kule ndani pale alipokuwa akitafuta chupi kama baba yake aliichukuwa, ndipo sheby akakuta picha ya baba yake mwai na baba yake wakiwa wamepiga pamoja, ila ni picha ya zamani sana...

    "sasa mzew wangu, unahangaisha watu bure, kwanini usingesema nani kaingia ofisini kwako"

    Aliongea sheby huku akimsogelea baba yake,

    "kwani nilikwambia ni wewe"

    "ndio ni mimi ndio nimeingia ofisini kwako, kuna documents ya zamani sana nilikuwa naitafuta... Sasa nilipoipata nikawahi kwenda kuisevu kwenye kompyuta yangu, na hapo ndipo nilipo sahau kuja kurudishia vizuri mafaili yako.. Ila mimi ndio nilioingia ofisini kwako"

    "sasa kwanini usingelisema mpaka tunasumbua watu.. Toto jinga sana wewe..... Mama naomba ukanipangie yale mafaili kule ofisini kwangu"

    Aliteuliwa mary aende kupanga yale mafaili ambayo sheby kayavuruga kwa kutafuta documents,...

    "jamani naomba mnisamehe kwa usumbufu uliojitokeza"

    Mzee Rashidy aliomba msamaha kwa wafanyakazi wake, kisha staff bus likawachukua wale wasio na usafiri na kuwapeleka majumbani mwao, mana kuna wale wenye usafiri na wale wasio na usafiri,... Kila mmoja aliondoka zake, hata rose alimsubiri mary mpaka kachoka ikabidi aondoke zake, wakati huo sheby nae kuna kazi alikuwa akimalizia ofisini kwake,.. Hivyo walibakia wawili tu kampuni nzima.. Nje ni mlinzi tu ndio kabakia... Sheby alimaliza kazi aliokuwa anaimalizia kisha kazima kompyuta yake kisha akafunga mlango wa ofisi yake,.. Sheby alishasahau kuwa ndani kuna mtu anaendelea kupanga mafaili,.. Saa ngapi hajafunga mlango na kwenda kwenye gari yake,.. Sasa mary yeye kashtuliwa na start ya gari iliokuwa ikiondoka....

    Alipochungulia dirishani aligundua sheby ndio anaondoka hivyo... Ikabidi ampigie simu mana akiita sauti haitofika kutokana na vioo vya kuzuia sauti kuwekwa, mana ni jengo la vioo tupu, hivyo hata upige kelele vipi husikiki... Wakati huo yapata mida ya saa moja hivi jioni kagiza ndio hako kameanza... Mary kupiga simu ya sheby haipatikani,... Na sheby wakati huo ndio kwanza haelewi hili wala lile, anashika simu yake na kuiwasha, wakati alishapigiwa kama mara mbili hivi hakupatikana,.. Mary akawa anamtafuta mtu mwingine, akampigia maadam,.. Simu ya maadam iliita kisha ikapokelewa

    "haloo madame suzy"

    "ee habari yakl mary"

    "salama... Sasa naomba uje na ufunguo madame.. Sheby kanifungia huku ndani"

    "whatt... Kakufungia kwa lipi... Umemfanya nini mpaka akufungie"

    "no, hajui kama mi nipo ndani"

    "sasa si umpigie"

    "nimepiga hapatikani"

    "mungu wangu... Kuna namba yake ya siri sana hataki ujulikane, sasa sjui itakuwaje, na hio ndil anapatikana muda wote"

    "please madame nisaidie, mana ndio anatoka getini sasa hivi"

    "ngoja nimpigie basi"

    "sawa"

    Madame aliitafuta hio namba ambayo ndio namba anayopatika kila siku mana hio ya kwaida imezidi usumbufu hivyo akiizima anabakiza ile ya kifamilia tu..

    "haloo boss"

    "yes madame"

    "mbona umemsahau mary kule ndani"

    "Aaaaiiiiiiiiiiiiiiii shit.. Nilikuwa Nimesahau kabisaaaa.. Ok wacha nimrudie"

    Sheby alikuwa keshaingia kwenye highway Road hivyo itabidi azunguke kwanza ndio arudi kule, mana hawezi kugeuza papo kwa papo, kutokana na wingi wa magari yaliopo nyuma yake, kitendo cha kwenda kugeuzia huko muda ulizidi kwenda mpaka ikafika saa moja na nusu usiku...

    "piii piiii"

    Ni sauti ya honi iliokuwa ikipiga ili mlinzi afungue geti... Haraka haraka geti likafunguliwa na sheby kaingia ndani... Haraka haraka kachukuwa funguo na kwenda kufungua mlango wa ofisi.... Aliwasha taa zote mana kulikuwa kiza sana...

    "mary.... Mary"

    "abeee boss"

    Aliitikia mary lakini ni kwa sauti ya chini sana

    "upo wapi"

    "nipo huku boss"

    Sheby aliingia mpaka ofisini kwa baba yake ndipo alipomkuta mary kajikunyata kwa baridi, mana jumba zima limezungukwa na Air Condition (AC) zinazofanya kazi muda wote....

    "amka twende sasa"

    Mary alikuwa kamaliza kupanga vitu alivyoagizwa sema kachelewa kutoka kwasababu alifungiwa,.. Sheby alimnyanyua mary, lakini mary nae alikuwa na mitego yake, kachoka kutuma mtu afu ageukwe, nae akaanza kuringa ringa kama mtoto, na ule uzuri wa sura yake, umbo lake jinsi alivyo laini,.. Mary aligoma kwenda na kujifanya anaskia baridi sanaaa,..

    "nini sasa mary"

    "nashindwa kitembea... Haya ma AC yenu yana baridi sana"

    Sheby aliona mary anamchelewesha tu, alimkusanya na kumbeba... Sasa mary ndio kajifanya na usingizi kabisaa.. Kufika nje sheby kafungua mlango wa gari na kumweka kwenye siti za nyuma,... Kisha akatoka kwenda kufunga milango ya ofisini.. Alipomaliza alikuja na kuingia kwenye gari, uzuri ni kwamba wanapoishi anapajua hivyo hapo ni kumpeleka tu... Sasa sheby ikabidi apige jicho vizuri kwa nyuma ili akiendesha gari asije kudondoka mana hapo alipo kajikunja sana kwa baridi... Lakini sasa ile sheby kupiga jicho nyuma, kakutana na paja lilionona haswa, akapanda na paja hilo hilo mpaka alipokutana na chupi ya pinki... Balaa la Sheby ni kuona hio nguo, yaani hio ndio shida yake kuu... Sheby akatikisa kichwa ili kujitoa ufahamu, akamfunika vizuri lakini bado akili inawaza tu kumfinya... Alipiga moyo konde, aliwasha gari kisha huyooo.. Mpaka kwao rose katoka nje baada ya kusikia muungurumo wa gari,...

    "ebu mchukiwe rafiki yako"

    Rose alitoka na kumshika mkono, kiukweli mary alikuwa wabaridi sana kutoka AC ya kule ndani

    "mbona ana baridi hivi"

    "nilisahau nikajikuta nimemfungia kule ndani"

    "mungu wangu sasa si ataugua huyu"

    Rose alimkokota rafiki yake mpaka ndani kisha akarudi kwa sheby...

    "boy nina maongezi na wewe"

    Aliongea rose huku akimsogele kijana huyo.......... Dakika chache mbele sheby alitoa gari na kurudi nyumbani kwake, hata mke wake sikuhizi hakasiriki hovyo wala hamkasirikii mumewe, anampokea kwa shangwe sana... Lakini leo alishangaa mkewe kawa kimya afu mbaya zaidi alikuwa akimwangalia,..

    "haya niambie.. Naona makiss ya mdomoni na mashavuni hayajakutosha,.. Ila ukaona uje unidhibitishie kwa kupigwa mabusu mpaka kwenye mashati"

    Sasa sheby kuangalia kwenye kifua chake katika shati, laaaaa haulaaaaa shati limejaa rangi ya mdomo, (lipstick)







    Sasa kabla hatujaanzia hapo naomba tuanze nyuma kidogo wakati amemmbeba mary,... Mary akiwa kule ndani alijipara mdomo yaani alijipaka rqngi za mdomoni huku akisema

    "kama nitashindwa kukuambia basi we gundua upendo wangu kwa rangi"

    Aliongea hivyo mary kisha akajifanya kulegea lege lege... Sheby alipokuja aligundua mary aliathiliwa na air condition za humo ndani hivyo kakosa nguvu ya kutembea,.. Na hapo ndipo sheby alipochukuwa jukumu la kumbeba mpaka kwenye gari, sasa hicho kitendo cha kubebwa hapo ndipo alipompaka sheby rangi ya mdomo katika kifua chake, tena vile sheby akitembea huku mary alikuwa akimkiss kijana huyo katika kifua chake, bila kujua hio ni hatari sana katika ndoa yake... Kijana yalimpakia mary vizuri kisha akaondoka zake, alipofika nyumbani kwao rose alitoka na kuja kumpokea rafiki yake, japo wana kabifu ka kimapenzi wenyewe ni siri yao... Rose alimpeleka mary ndani kumlaza lakini ukumbuke kuwa mary hakuchoka kivile bali aliweza kuongea na kutembea pia, lakini kulegea kule alifanya makusudi kwa yule ampendae... Lakini kabla sheby hajaondoka rose alimwita sheby

    "Boy, nina maongezi na wewe"

    Aliongea rose baada ya kumpeleka mary ndani, lakini mary yeye hakulala aliamka na kuchungulia dirishani, kana kwamba wivu ulikuwa ukimsumbua mtoto wa kike... Sasa ukumbuke sehemu iliopita hatukujua walichoongea hawa watu wawili, na dhumuni la kuianzia stori huku nyuma kabisa, ni ili tuyajue yale maongezi baina ya rose na sheby..

    "unajua nachelewa"

    Aliongea kijana huyo huku akiangalia saa yake ya mkononi,

    "i Know, but nipe dakika tano tu"

    Rose alisogea karibu na sheby, lakini sasa rose kuangalia vizuri kifuani kwa sheby aligundua shati lake lilichafuliwa na makiss ya mary,.. Rose akajua basi mary keshamaliza kila kitu, kama mpaka mabusu wamepigana basi keshamaliza kazi yake... Lakini rose alipoangalia vizuri, makiss yenyewe yalionekana kama kuiba iba hivi ndipo alipogundua kuwa bado hajafanya lolote lile...

    "boss.... Kwanza kabisa naomba unisamehe mimi, sisi ni wafanyakazi wako, lakini kibaya zaidi ni kwamba wote tumejikuta tukikupenda weww peke yako... Mpaka sasa hivi hapo ndani hapatokalika tena, mary anataka kuhama kwa kile nilichomfanyia"

    Aliongea rose huku akiwa anafikicha vidole vyake kana kwamba anaanza kumseidia mary

    "sasa kwanini umfanyie mwenzio kitu ambacho hapendi"

    "kitu ambacho hapendi, ni kufanya mapenzi na wewe"

    "Ati nini"

    Wakati huo mary anasikiliza kupitia dirishani,

    "kiukweli Mary alikuwa akinituma mimi kama dada yake kwako kukudhihirishia kuwa anakupenda, lakini badala yake nikawa naitumia nafasi hio kujielezea badala yake... Nakumbuka hata siku ile mary alilazimika kwenda bafuni kuoga ili kunipa nafasi ya mimi na wewe nikuelezee ni jinsi gani anakupenda... Lakini nikawa najitengenezea mimi kwa tamaa zangu za mwili"

    "kwaio point ni ipi"

    Aliongea kijana huyo huku akitaka kuondoka mana hakuna kilichokuwa kikimuingia akilini,

    "najua nimeshaharibu sana, na mpaka sasa hatuna raha tena baada kugundua tumefanya mapenzi mimi na wewe... Na hata ile chupi yangu yeye ndio alichukuwa"

    "kwasababu gani afanye hivyo"

    "aliniambia kuwa alileta documents fulani, ndipo akakuta nguo yangu juu ya meza, anavyosema yeye aliondoka lakini kufika mbele akakutana na baba yako anakuja ofisini kwako,.. Ikabidi arudi mbio na kuichukuwa ile nguo ili baba yako asije kuiona... Hivyo ndivyo ilivyokuwa na kwa kitendo hicho tu nimegundua mary ananipenda sana na hakutaka nifukuzwe kazi japo niliekuwa nafanya nae mapenzi ni mtu anaempenda kwa dhati.... Boss, ndio maana nikatanguliza Samahani, kwasababu tumejikuta tunakupenda tu, ila najijua mimi ni tamaa zangu tu, lakini mary, anakupenda kutoka moyoni... Mfikirie tu, kama ni mimi niache mana ilikuwa ni nafasi yake"

    Rose alimaliza kuongea kihivyo huku akitaka kuondoka

    "mshanifanya mi malaya eee?.. Yeye leo si kafanya na mtu ofisini"

    Rose kashangaa kuskia mary alikuwa na mtu kazini,.. Hata mary nae akawa makini kuskia hapo

    "alikuwa na mpenzi ndani"

    Aliuliza rose huku akiwa katoa macho

    "ina maana we hujaona kondom zile"

    Rose kuskia hivyo akapumua kwa nguvu, mana alikuwa anamjengea rafiki yake japo keshaharibu lakini ivo ivo tu

    "afu boss Samahani, sijakuelezea kuhusu zile kondom... Zile mimi ndio niliziweka tukiwa ndani ili tukutwe na hatia wote, kwasababu muda nilioweka zile kondom kwenye begi lake, alikuwa bado hajanipa chupi, hivyo nikajua nikikutwa sina chupi nitafukuzwa kazi, sasa nikaona tuingie wote nitoke peke yangu haiwezekani ndipo nikamuekea kondom kwenye begi lake... Lakini Nilitamani kuzitoa baada ya kunipa nguo yangu ila nilikosa nafasi hiyo, nikaacha tu ndio akakutwa nazo"

    Sheby aliona ni kama anaimba tu, aliingia kwenye gari yake kisha huyoo kaondoka zake, rose kaingia ndani na kumpa taarifa mary

    "haya sasa kazi yako nimeshamaliza"

    Aliongea rose huku akikaa kitandani

    "sina shida"

    Mary alijibu kwa nyodo kali, na anajua kweli kamwambia, lakini haiseidii kitu mana hata akimkubali, atakuwa keshatembea na shemeji yake,...





    "sasa mbona unakusanya nguo jamani"

    "niache niondoke zangu... Kisa unalipa chumba wewe ndio uninyanya kwenye mapenzi"

    "mary jamani, nimeshasema yote"

    "sina shida na ukuadi wako.. Naondoka"

    "mary please kumbuka tumetoka mbali eti"

    "staki kujua"

    Mary kweli alikuwa akikusanya mabegi yake tayari kwa kuondoka,.. Rose alichukuwa simu na kumpigia rafiki yao mkubwa ambae ni mwai

    "halooo shost mwai"

    "vp saa hizi"

    "mary anataka kuondoka jamani eti kisa nimeshindwa kumtongozea boss wetu"

    "ivi nyie mna akili nyie... Ebu mpe simu niongee nae"

    Mary alipewa simu na rose, hakusita kuichukuwa mana mwai ndio rafiki aliewapokea hapa mjini

    "we mary, unakwenda wapi usiku huu.. Utakuja ubakwe bure na kibikra chako kiozee mbele, tuliza miguu hapo"

    "siwezi kuishi na hasidi mimi"

    "ebu ngoja kwanza, naomba kesho Jumapili mje nyumbani kwangu tulizungumze vizuri"

    "sawa lakini staki kukaa kwake tena"

    "mary nisikilize mimi kama dada yako.. Usinidharau.. Kama ni huyo mwanaume hata mimi naweza kukuseidia"

    "ok sawa... Lakini naomba mwisho wa kuishi na huyu mtu iwe leo, kesho natafuta chumba changu"

    "sawa hakuna shida"



    Wakati mwai anaongea na simu ghafla honi ya gari inapigwa hapo getini, kana kwamba sheby ndio alikuwa anaingia kwa wakati huo,

    "sawa basi kesho muje wote"

    Mwai alikata simu kisha kasimama mlangoni ili kumpokea mume wake, siku hizi habebi bebi vipocho pocho vingi mana si anapika, mwanzo alikuwa akibeba kwasababu kulikuwa hakupikwi,... Sasa mwai kabaki mdomo wazi baada ya kuona shati la mume wake limejaa rangi ya mdomo

    "haya niambie.. Naona makiss ya mdomoni na mashavuni hayajakutosha,.. Ila ukaona uje unidhibitishie kwa kupigwa mabusu mpaka kwenye mashati"

    Sheby kucheki Ayaaaaaa... Kweli imekaa mabusu sio mabusu.. Lakini sasa huyu ni mtoto wa kiume na anajua kuikwepa mitego kama hio

    "ayaaaaaaa ina maana yule bibi kizee anapakaga huu ujinga"

    Aliongea hivyo huku mwai akiuliza kuwa

    "ina maana siku hizi unatembea na watu wazima"

    Sasa sheby kuskia hivyo nae Kukasirika na kusema

    "kwani ata wewe ni lika langu, si mtu mzima kabisa wewe, muone vile"

    Mwai roho ilimuuma mana kwa sasa ana vichembe chembe vya upendo kwa mumewe...

    Sheby alimsukuma na kuingia zake ndani,

    "lakini bado nina haki ya kujua huu upumbavu wa kwenye shati umeutoa wapi, laa sivyo hapalaliki hapa"

    Mwai kaamua sasa mana kupenda penda kijinga imekuwa kero..

    "kuna bibi aligongwa na gari ndio nikamseidia, ndio maana mwanzo nikasema ina maana mpaka bibi kizee anapa huo ujinga.. Umeridhika"

    "basi nenda zako kalale uko"

    Sheby aliingia chumbani kwake na kulala bila hata ya kuvua viatu kwa kuchoka...



    Kesho yake ikiwa ni siku ya Jumapili sheby akiwa katika gari kuelekea kwa akina zai,... Leo kwa mara ya kwanza toka waachane na zai ndio anakanyaga kwao,... Lakini sasa ile anakata tu kona ya kuingilia kwenye boma ya akina zai, aliona gari ya saidi kwa mbali, sheby alitamani kukata na kurudi lakini hapakuwa na nafasi ya kugeuzia, ni mpaka ufike pale ndipo ugeuze,.. Saidi akiwa ndani na mke wake mtarajiwa alisikia sauti ya gari ya boss wake,...

    "heeeeeeeee kwa mfano boss kapajuaje hapa"

    Saidi aliongea kimoyomoyo huku akiwaza boss wake kapajuaje hapo, mana anakumbuka alimwomba gari tu sasa vipi leo kaja,.. Ukumbuke saifi hajui kama sheby na zaituni walikuwa ni wachumba waliokuwa wakisubiri ndoa...

    "karibu baba"

    Mama zai alimkaribisha, wakati huo ndani zaituni anaogopa kuwa saidi akijua kuwa mimi nilishawahi kuwa mpenzi wa boss wake, atamuacha na mwishowe atakuwa kakosa bara na pwani,...

    "Ahsante mama shkamoo"

    "Marahaba ujambo baba"

    "sijambo mama angu"

    Sheby kaingia mpaka ndani na kuwakuta zai na saidi wamekaa kochi moja ili kuonyesha upendo wa hali ya juu,...

    "za saa izi jamani"

    Sheby alitoa salamu kwa wawili hao,

    "safi tu boss, vp umejuaje kuwa nipo huku"

    "aaahhh nimekuja kumsalimia mama hapa"

    "aaahhh kumbe unafahamiana na hii familia"

    "ndio, tena kwa kiasi kikubwa sana"

    "aaaaahh duuu nimeshangaa kuskia upo hapa na sijawahi kukuleta"

    "ahahahaha mi mbona mwenyeji hapa"

    Lakini sasa mama ni mtu mzima alishaanza kuona kitakachotokea mbele baada ya saidi kujua boss wake alishapita hapo... Mama alimwangalia sheby kisha akatikisa kichwa, kana kwamba kama sheby kuna kitu alitaka kufanya asifanye tena, mana ataharibu uchumba wa mtoto wake... Sasa kwakua sheby yeye hana nia ya kuharibu hivyo alimsikiliza mama kisha akajifanya kamfuata Zainabu mana kuna zainabu na zaituni...

    "aaahhh zainabu yupo wapi"

    Zaituni alishangaa kumsikia sheby anamuulizia ndugu yake, na sheby anajua fika kuwa zainabu ni malaya wa kutupwa

    "yupo nje hapa baba"

    Mama alitoka na sheby kisha akawa anamwangalia zainabu... Kwa bahati nzuri hakuwepo mana ilikuwa ni gia ya kutokea pale ndani.. Mama hakutaka kuuliza kilichotokea baina yao na zaituni, mana kitendo cha zaituni kuleta mwanaume mwingine ni dhahiri kuwa alishindwa kuvumilia hali ya kijana huyo... Sheby aliwasha gari yake bila hata ya kuaga kule ndani....



    Ikiwa ni mida ya jioni huku nyumbani kwa kijana sheby kulikuwa na ugeni wa wasichana wawili... Mary na rose

    "karibuni jamani mashost zangu"

    Mwai aliwakaribisha wageni zake, kama unakumbuka aliwaalika waje wale chakula cha jioni,.. Wakati huo kijana sheby yupo njiani kuelekea nyumbani kwake, asijue hili wala lile huko nyumbani kwake

    "jamani nimewamis nyie, toka siku ileee ya sherehe mpaka leo"

    "mmmhh mbona sie tupo, sema bize"

    "bize ya hao wachumba zenu mnaowagombea kila siku.. Oleweni mtulie kama mimi mwenzenu"

    "enheee hapo mwai umeongea kitu, ebu mwambie mary, nimemuomba msamaha mimi lakini hataki kusikia sijui ana nini huyu"

    "lakini nawe rose, kwanini utembee na mtu wa watu eee, Kama we umejua anampenda kwanini usimfanyie mpango yeye"

    "lakini mwai si unajua shetani tu"

    "kwahio huyo mtu mnafanya nae kazi ofisini kwenu"

    "ndio tena ni boss wetu mdogo mdogo hivi"

    Waliongea bila hata ya kumeza mate, kama unavyojua mashostito wanapokutana mahali, na wakati huo kijana sheby yupo mlangoni tayari kiganja chake kimetua kwenye honi

    "piii, piiii"

    Mlinzi kama kawaida yake kuchakalika kwa hapa na pale kutokana na kazi yake

    "mmeo nini huyo"

    Aliuliza rose huku kama wanaogopa ogopa hivi mana kwenda kubwata umbea kwenye nyumba za watu ni kitendo kibaya sana tena kwa sisi wanaume hua hatukipendi kabisa yani, mwanamke utoke kwako uje huku kuleta umbea tu, ndio uharibifu wa ndoa sema hawajui tu wenyewe.. Sasa kama kawaida ya mke wa sheby kukaa mlangoni ili tu ampokee na maneno,

    "leo hujaleta hata chochote, yaani mwanaume wewe"

    Mwanaheri aliongea hivyo huku sheby akishuka kwenye gari na msunyo mkubwaaa,...

    "nipishe mimi"

    "lakini si nimekuuliza tu"

    "unaniuliza mie baba ako"

    "Wwhaaaaaat"

    Sasa mwai anasema What, sheby nae ndio anawaona akina mary...

    "ooohhh leo kuna ugeni leo"

    Sasa mary na rose ndio wanashangaa, ina maana kumbe rafiki yao ndio kaolewa na boss wao,. Sasa mwai nae anataka kutambulisha anakuta watu wanajuana siku nyingi tu,.. Mwai anashanga hawa wakina rose na mume wake wamejuana wapi...

    "nyi... Nyie... Nyie mnajuana"

    Mwai au mke wa sheby Aliuliza, na sheby pale pale akajibu kwa uchangamfu wa hali ya juu..

    "ndio... Ni wafanyakazi wenzangu hawa.. Sasa kwanini umekuja usiku jamani"

    Sasa sheby yeye anajua katembelewa yeye,...

    "rose na mary, anachokisema mme wangu ni kweli mnafanya nae kazi"

    "ndio.. Tena ni boss wetu huyu"

    Sasa mwai kuskia hivyo akagundua jambo

    "ina maana siku zoote hizo kumbe mnamgombania mume wangu rose??... Hapana kitaeleweka tu hapa"

    Mwai alianza kufunga kanga kiunoni, wakati huo sheby nae anashngaa kumbe mkewe na akina rose wanajuana.....









    Kwanza kabla ya yote naomba nitoe stori fupi ya hawa marafiki watatu walifikaje fikaje jijini Arusha



    Hakuna kitu kibaya kama marafiki kuibiana wanaume, hata kwa wewe mtoto wa kike ambae una rafiki yako kipenzi, ebu jaribu kuwa karibu na mpenzi wake, mi nakuambia lazima urafiki ufe au utetereke,... Kwa akina rose na mwai ni marafiki wa muda mrefu sana tena wakiwa wanapendana mno,.. Mwai na familia yake walikuwa wakiishi jijini Dar es Salaam sema ule uhamishwaji wa kikazi ndio uliowafanya waje kuishi arusha, na hapo ndipo wakakutana na familia ya akina sheby,... Marafiki zake walitamani sana kuja kuishi na rafiki yao huku jijini Arusha, lakini wao hawakuwa na ndugu hata wa kufikia, lakini kwakuwa mwai kwao walikuwa wakijiweza kimaisha aliweza kuwaita rafiki zake hao na kuwapangishia chumba kila kitu wakawa wanaishi juu ya mwai... Sio chakula sio mavazi, kiukweli ni urafiki wa hali ya juu mno ambao sidhani kama upo kiukweli,... Kama jinsi ilivyo tunajua akina rose walitafuta kazi na hatmae kupata, lakini mbali na kazi walitokea kumpenda boss wao, bila kujua boss huyo huyo ndio mume wa rafiki yao mkubwa aliowaita hapa jijini, na leo mke wa mtu ndio anagundua kumbe rafiki zake ndio wanaomuibia mume wake



    "rose na mary, anachokisema mme wangu ni kweli mnafanya nae kazi"

    "ndio.. Tena ni boss wetu huyu"

    Sasa mwai kuskia hivyo akagundua jambo

    "ina maana siku zoote hizo kumbe mnamgombania mume wangu rose??... Hapana kitaeleweka tu hapa"

    Mwai akiwa anafunga kanga katika kiuno, mana kwa sasa kama unakumbuka anampenda sheby kwa mapenzi ya siku moja tu.. Na wakati alikuwa hampendi kupita kiasi lakini leo anamjali mno...

    "ngojaaa ngojaaa.... Yaani mimi na akili yangu nitembee na hivi vikaragosi, wasichana ambao sio hadhi yangu... Ebu jieshim wewe, siwezi kutembea na watu taipu yako"

    Sheby aliongea utumbo utumbo lakini ni moja kati ya utetezi juu ya ugomvi uliotaka kuzuka kwa wakati huo



    "sasa kwani huko ofisini boss ni nani? Si wewe na akitoka wewe ni baba yako haya nani mwingine"

    "saidi... Jamali wote hao ni maboss kwenye kampuni yetu"

    Sheby alizidi kuongeza idadi ya maboss katika kampuni yao ili tu wasichana hao wasikutwe na dhuruba ya ugomvi wa mkewe....

    "eti mary anayosema ni ya kweli"

    "ndio dada mwai... Sisi hatumgombanii huyu"

    Ni maneno ya ujinga tu alioyaongea sheby lakini yamekuja kuonekana ni kweli hawakuwa na uhusiano na sheby, ila ni maneno tu ukweli ndio huo, mana hao wakina Saidi na jamali wote ni wafanyakazi wadogo sana, lakini mkewe kaamini kuwa ni kweli.....

    "aahhh basi tusameheane jamani... Nadhani mnajua uchungu wa mume"

    Aliongea mwai, na wakati huo sheby keshaingia zake ndani anaoga.... Hata akina rose hawakuwa na hamu ya kukaa eneo hilo tena.... Waliaga na mwai aliwasindikiza kwa gari yake yeye mwenyewe kisha akarudi nyumbani kwake.... Aliporudi kakaa kwenye kioo anajipaka wanja malipustiki, yaani na usiku huo yeye ni kujipaka tu wala hajui kuwa ana mume au vipi, kitumbo chake kilikuwa ni kikubwa haswa mana tayari ni miezi kama 6 hivi....



    Tukija huku kwa akina rose usiku huo huo baada ya kufikishwa nyumbani kwao,.. Kila mmoja alikiwa akishangaa

    "we rose, ina mana kumbe boss sheby kamuoa mwai? Au naota jamani"

    "hilo swali mwenyewe nataka kukuuliza, mana siamini amini"

    "kumbe mwai alikuwa anatupigia story ya mume wake alivyo mume bwege mjinga mjinga tuu zoba zoba, kumbe ni boss sheby"

    "mi mwenzio nimechoka yaani we acha tu"

    "sasa huo uzoba wake ni upi.... Kweli mwai haipendi ndoa yake"

    Walikuwa wakiongea na kujikuta wanasahau yakwao kuwa wana ugomvi,...

    "haya sasa mary, huyo ni shemu wako, bado unaendelea kumpenda"

    Rose alimuuliza mary kuwa bado anaendelea kumpenda, mana keshajua ni mume wa rafiki yake...

    "mimi najua hawapendani... Sheby nampenda kutoka moyoni"

    "we mary wewe, lakini si unamjua mwai alivyo mkorofi"

    "mapenzi rose... Yaani toka siku ile ananishika mapaja, mpaka leo nahisi mkono wake upo mwilini mwangu,.. Sheby ni mwanaume wa tofauti sana mi sijui ata nifanyeje"



    Siku iliofuata sheby akiwa ofisini kwake akiendelea na majukumu yake ya kikazi, ghafla Saidi kaingia...

    "za saa izi boss"

    "safi tu vp"

    "fresh... Ebwana jana ulikuja kwa mama mkwe pale nikasema nawe ulitaka jiko nini pale"

    "aaahhh amna, yule namfahamu mno hivyo nilikwenda kumjulia hali"

    "kwani alikuwa anaumwa"

    "ana mtoto ambae ni kipofu, sasa nilikwenda kumjulia hali"

    Sheby aliongea kama mafumbo hivi lakini kipofu ni huyo huyo mke wa saidi, sema sheby hapendi kuharibu uhusiano wao, mana ni kumkosa keshamkosa...

    "mbona sisi hatujamuona na hata zaituni hajaniambia kama ana ndugu mgonjwa wa macho"

    "hawezi kukuambia.. Ila usimuulize na ipo siku nitakuambia tu"

    "mmmmhhh haya bwana... Ila sina hata wiki moja nafunga ndoa"

    "wacha weee.. Aaahh ama kweli saidi umependa sio utani, utaki mchezo"

    "nimechoka kuwa bachelor kaka.. Wacha nioe mtoto zai"

    Sheby kuskia hivyo roho inamuuma sana, maana ndio alikuwa awe mkewe,...

    "vp boss mbona umebadirika ghafla"

    "aahhh tuyaache hayo... Nicheki baadae"

    Sheby roho ilimuuma pale aliposikia mchumba wake ndio ataolewa hivi karibuni



    BAADA YA MIEZI MITATU KUPITA







     





    Baada ya miezi mitatu kupita, ikiwa ni siku nyingine tena,... Sheby akiwa zake ofisini akiendelea na kazi za hapa na pale, ghafla simu yake inaita, kuangalia jina alikuwa ni mke wake

    "heeeee lina nini tena hili"

    Aliongea sheby huku akitaka kusita kuipokea,

    "haloooo"

    "Eeeeh samahani sjui naongea na mume wa mwai"

    Ilikuwa ni sauti ya kike ilioongea kwa kutumia simu ya mwai

    "ndio Kwani we nani"

    "mimi ni daktari... Na mkeo kajifungua watoto mapacha"

    "ooohhh mpe hongera zake"

    Hata daktari alishangaa sana kuona mume analipokea jambo zuri kama hilo lakini haonekani kufurahi hata kidogo...

    "ok sio mbaya ungefika hospitali"

    "nipo bize nitakuja baadae au kama vipi tutakutana nyumbani"

    Sheby alikata simu kisha akaendelea na kazi,... Unajua uzuri ni kwamba sheby anajua fika ile haikuwa mimba yake, sema kwa ajili ya familia yake kutaka kuishi na mke wa aina hio ndio maana muda wote kawa kimya lakini anajua kiwa mkewe alibeba mimba ya mtu mwingine na sio mume wake....



    Ghafla aliingia saidi na kumshtua sana boss wake, mana alikuwa katika dimbwi la mawazo mazito sana

    "boss vp mbona kama una mawazo hivi"

    "aaahhh we acha tu, mke wangu kajifungua"

    "weweeeeeee hongera sana... Ila mbona ni habari nzuri afu huna raha"

    "aaahhh ni mambo ya kikazi tu"

    "aahhh basi nami mke wangu katoka kupima.. Anayo"

    "wacha bwana... Miezi mitatu mkeo ana mimba"

    "aahhhh chezea vijana wewe"

    "duuuu hongera sana saidi"

    Aliongea sheby kuskia mke wa saidi ana ujauzito,...

    "Ahsante sana boss, hata mimi nina furaha sana juu ya hilo"

    "ila umpende... Hakikisha unampenda, isije ikatokea kama ilivyotokea kwangu"

    "kwako.... Kumbe hata wewe shem alikusumbua sana"

    "zaituni wako huyo"

    "zaituni wangu kafanyaje boss"

    "sikiliza nikuambie saidi.... Huyu mkeo alikuwa awe mke wangu mimi.. Lakini kwa tamaa zake akajikuta kashawishika na kuingia mtaani, tena nia yake yeye alikuwa ajiuze, lakini kwa bahati nzuri ukakutana nae wewe na ukaweka nia ya kumuoa na umeshamuoa"

    "unajua boss mi bado sijakuelewa ujue.....ina maana wewe na zaituni huyu mke wangu mnajuana"

    "haswaaa tena mi nilianza nae toka akiwa kipofu"

    "whaaaaat, yaani zaituni huyu huyu alikuwa kipofu"

    "ndio.. Lakini mimi nilimpenda hivyo, na upofu wake tena akiwa barabarani anaomba omba... Nikampenda na kuanza kuishi nae,... Na ndio mana kuna siku nilikuuliza ivi kwa mfano anakuwa kipofu ungefanyeje.. Ukajibu huezi kuishi nae"

    "aaahhh boss.... Mbona stori nzuri afu sijui kama unamlenga mke wangu tu au"

    "sikiliza saidi, kitu kilichomkimbiza zaituni katika himaya yangu ni uhaba wa maisha... Baada ya mimi kumkuta ni kipofu nikajifanya nimekopa pesa,.. Unakumbuka ile safari yangu ya india"

    "ndio nakumbuka sana tu, si ile ulioenda mpaka dubai"

    "ndio.... Sasa kwenye ile safari nilikuwa nae, akatibiwa vizuri kabisa mpaka akapona,.. Nikaona ili nijue kama kweli ananipenda, nikawa toka siku hio najifanya maskini wa kutupwa... Tena ilifikia hatua nakodisha mkokoteni uliojaa viazi ili ajue kazi yangu ni ya kuuza viazi.. Tena hata nyumba niliopanga ilikuwa ni mbavu za mbwa... Zaituni huyu nimeishi nae kwenye mbavu za mbwa ili ajue mie masikini... Nikaona hio nayo haitoshi nikamtumia mwanamke mmoja hivi amshawishi kuwa na tamaa ili nione ana tamaa... Kama unamjua rafiki yake huyu anaitwa shadi.... Huyo ndio niliompa kazi ya kumfanya ashawishike"

    "bosiiiiiiii hivi unayoyasema ni ya kweli"

    "si unamjua shadi wewe"

    "ndio shemeji yule"

    "muulize sasa full story atakupa... Na ndio mana nakuambia mpende mtoto wa watu"

    "mungu wangu yaani siamini jamani.. Ama kweli hawa wanawake kweli pasua kichwa... Lakini boss huoni wewe ndio sababu mpaka akashawishika"

    "kivipi"

    "sasa mitego yote hio mungu wangu"

    "kwa mwanamke mwenye akili, asingeweza kusubutu kufanya ujinga kama huo... Tena akikumbuka alikuwa kipofu na leo kaona kwa ajili ya huyu mwanaume, yaani asingetakiwa kufanya hivyo alitakiwa akumbuke alikuwaje... Lakini ndio hivyo bwana"

    "kwahio wewe ulikuwa muuza viazi"

    "kabisa.. Ili nisije kupendwa kwa ajili ya pesa zangu... Na unakumbuka siku ile nilikuja kwao nikakukuta"

    "eeeeee siku ile ndio naikumbuka"

    "nilikuja kumpa mama ukweli wa mtoto wake, lakini mama akatikisa kichwa kuwa nisiseme mbele yako ili mtoto wake asikose bara na pwani... Nyumba ile walikuwa wanadaiwa kodi chungu nzima.. Lakini nikapambana mpaka nikainunua kabisa.. Ebu angali ni jinsi gani roho isiniume saidi.. Lakini moyo wangu ulitulia baada ya kusikia ni wewe ndio unaoa.. Nikaona hakuna shida yote maisha tu"

    Sasa katikati ya maongezi yao ghafla simu ya sheby ikaita, kuangalia namba ilikuwa ni ile ya mke wake...

    "haloo, jamani nipo bize jamani naombeni dakika chache"

    Aliongea sheby huku akipiga meza kwa hasira

    "samahani baba... Mkeo analeta fujo huku hataki watoto wake"

    "hataki watoto wake... Kwanini asiwatake.. Au kawa chizi"

    "hapana.... Hawataki kwasababu watoto hao hawako sawa"

    Sheby alishangaa kuskia watoto hao hawako sawa

    "watoto hawako sawa kivipi dokta?"

    Sheby aliuliza huku akiwa mpole kwa kusubiri majibu toka kwa dokta huyo









    Unajua wahenga walisema kuwa, hesabu ni mbinguni na malipo ni hapa hapa duniani... Wengine walisema kabla hujafa hujaumbika... Nami nikasema usitukane mamba kabla hujavuka mto...  Kijana sheby akiwa ofisini kwake wanapiga story za hapa na pale na rafiki au mfanyakazi wake aitwae saidi, ghafla simu yake inaita na kuipokea bila kusita,... Kijana alipokea taarifa tofauti na alizotarajia katika maskio yake,...

    "watoto hawako sawa kivipi dokta"

    Sheby aliuliza baada ya kuambiwa kuwa watoto hawako sawa



    Wakati huo hata saidi pia alikuwa skio juu ili kuweza kuskia umbea huo

    "kiukweli mi naona ungekuja tu hospitali, mana havielezeki kabisa"

    "ok nakuja sasa hivi.. Ni wodi namba ngapi"

    "njoo huku leba.. Utaelekezwa alipo mkeo"

    Sheby alikata simu ghafla na kukusanya baadhi ya vitu vyake hapo ofisini kisha huyo akawa anaondoka bila hata ya kuaga,...

    "boss kwani kuna nini"

    "hakuna kitu"

    Unajua siku zote kijana huyu hua hapendi mambo yake ya ndani kujulikana,

    "basi wacha nikupeleke mana hii spidi utakuja kupata ajali boss"

    Sheby aliona sio mbaya kama ataenda nae,... Basi saidi alikuwa dereva kwenye gari ya boss wake,...

    "kwani dokta kasema watoto wakoje"

    "hajaniambia, na kasema nifike nijionee hivyo sijui alimaanisha nini"

    "aahhhh itakuwa ni sapraise hio... Lazima kuna kitu kizuri boss"

    Ghafla simu yake inaita, kuangalia jina alikuwa ni mama yake..

    "haloo mamy"

    "eeehhh ivi una habari gani wewe"

    "habari???.... Kwani kuna habari gani"

    "mkeo kajifungua kituko kule hospitalini"

    "kituko ni kitu gani mama... Mbona mnanichanganya sasa"

    "upo wapi"

    "ndio naelekea huko sasa hivi"

    "hebu wahi utanikuta hapa... Nipo na baba yake baba yako pia yupo hapa"

    Mama sheby aliongea hivyo kisha akakata simu, sheby alizidi kuogopa kila anaposikia habari hizo....



    Dakika chache wakawa wameshafika hospitalini,... Mara moja wakawa wanaelekea katika kitengo cha wazazi (leba)... Lakini kabla hawajaingia kwanza wakapokelewa na mama yake mwai

    "yaani mume mno hujui kinachoendelea kuhusu mkeo"

    Sheby kwa jinsi alivyo hampendi mkewe alimjibu mama mkwe kitu kikali mno

    "nani??.. Mke??.. Ivi katika wake wa kuoa mwanao nae yumo"

    "ati unasemaje wewe??"

    Sheby hakitaka kuongea mengi aliingia mpaka ndani huku saidi akifuata kwa nyuma,... Ghafla anakutana na mama yake huku baba akiwa kakaa mahali katulia na mzee mwenzie

    "mama vp..."

    "ina maana hujui kama leo mkeo anajifungua"

    "hilo nalijua, lakini siwezi kuacha kazi zangu nije nimuangalie anavyojifungua huku"

    "haya nenda kaone watoto wako"

    Sheby akaingia katika wodi ambayo mkewe kalazwa baada ya kuchomwa sindano ya usingizi, mana alikuwa analeta fujo hapo wodini...

    "mbona kalala, na niliskia analeta fujo"

    "ndio, tena kaharibu vitu vya watu humu ndani"

    "kisa nini"

    "watoto"

    "wako wapi hao watoto"

    Mama kamwonyesha mwanae hao watoto.... Sheby kuwaangalia vizuri walikuwa wazuri, sema walizaliwa vilema wote,... Sheby aliangalia mmoja baada ya mwingine,.. Aligundua mmoja alikuwa hana mikono kabisa, alafu mwingine na mwingine alikiwa ni mkubwa wa kichwa afu ni kipofu pia...

    "sasa kwani wana tatizo gani hawa.. Si ugonjwa tu huu, na unatibika"

    "we mtoto mjinga sana wewe... Hawa watoto ni wako"

    "najua, lakini bado sijaona tofauti kuubwa mpaka mseme mke wangu kajifungua kituko"

    "sa we waona ni sahihi"

    Sasa wakiwa wanaendelea kuongea mama yake mwai kuna maneno kayasikia vizuri kutoka kwa mama yake sheby

    "mama sheby, eti umesema hawa watoto sio wake??.. Kwani mume wa mtoto wangu ni nani"

    "sikiliza we mama mwai.... Familia yetu imechoka kuishi na mtoto wako,.. Mimba aliobeba mwanao haikuwa ya mtoto wangu"

    "nakuambia hivi mizigo yenu hio"

    "weeeeeee kwani kazaa mwangu ishia hapo hapo... Mmeshindwa kumlea mtoto wenu vizuri mnakuja kusema nini"

    Wamama hao walikuwa wakitupiana maneno ya hapa na pale kwa kile kilichotokea,..



    Ghafla mwai kazinduka baada ya dawa aliopewa ya kulala kuisha nguvu...

    "mamaaaaa.... Mama nimebadilishiwa watoto mama"

    Kila mtu alishangaa kuskia hivyo... Kuwa mwai kabadirishiwa watoto..

    "wala... Anachoongea ni uongo... Hawa watoto ni wakwake"

    Aliongea sheby baada ya kusikia mwai anawakataa watoto hao,...

    "malipo ni hapa hapa duniani... Nisikilize mama mkwe... Hii mimba haikuwa yakwangu japo mimi ndio mumewe, mimi nilijua hio mimba sio yangu na ndio maana sitishiki kuwaona hao watoto... Kwanza mtoto wenu mlinilazimisha nimuoe wala sio idhini yangu kuoa mtu mzima kiasi hiki...... Mzeee... Kama ni laana mniachie tu nasema hivi mke kwa sasa sitaki... Nyie ndio mlisababisha nioe nasema hivi sitaki mke wa aina hiii"

    Sheby leo hakutaka kuogopa kabisa yaani kamwambia mpaka baba yake kama ni laa amwachie tu...

    "Weeeee hawa watoto baba yao nani kama we ukimwacha mama yake"

    Aliuliza mama yake mwai huku akitaka kumzuia sheby asiondoke...







     





    "muulize mtoto wako... Aliompa mimba ni nani... Afu akisha kili, hao watoto nitawalea mimi kama baba.. Lakini aseme ukweli hawa watoto baba yake nani"

    Wakati huo mwai analia tu hana la kusema juu ya hilo

    "we mwai sema ukweli tujue"

    Kabla mwai hajaanza kusema ghafla kuna sauti ilitokea kwa nyuma...

    "mimi nitasema ukweli wote"

    Kila mtu aligeuka, japo wengine hawamjui na wapo wanaomjua mtu huyo....

    Alikuwa ni mary akiwa na rose...

    "ni akina nani hawa"

    Aliuliza mama yake sheby huku akiwaangalia

    "ni rafiki zake na huyo mwai"

    "sasa hawa wanaujua ukweli gani hawa"

    "mi sijui"

    Akina rose na mary kumbe walisikia yote yaliokuwa yakiongelewa hapo wodini, na wanajua kila kitu kwasababu mwai alikuwa akiwaambia ukweli wa ndoa yake, kuwa hata hio mimba sio ya mume wake

    "ni kweli hio mimba haikuwa ya huyu kijana...."

    Aliongea Rose na kuwaacha kila mmoja mdomo wazi,...

    "we umejuaje"

    "huyu ni rafiki yetu... Hatufichi kitu chochote katika ndoa yake... Siku ana mimba sisi ndio wa kwanza kujua, na alituomba ushauri mana mimba hio kaipata ndani ya ndoa yake na mbaya zaidi hajawahi kulala na mumewe toka wafunge ndoa... Mimi nikampa ushauri akaenda kwa mganga ili alale na huyu mume wake mana alikuwa hataki... Mwai Alifanikiwa kulala na sheby kwa njia za uganga, lakini wakati huo tayari ana mimba ya jemsi"

    "jemsi??... Jemsi ndio nani tena"

    Mama mwai aliuliza

    "jemsi ni mpenzi wake kabla hajaolewa na waliendelea na mapenzi yao mpaka alivyoolewa"

    Mama mwai alishangaa sana kuskia hivyo... Ghafla wazee nao wakaitana pembeni



    "bwana Mohamed.... Mimi nadhani mpaka hapo inatosha.. Nimekuseidia sana, kijana wangu kateseka sana, hata mimi sio kuwa nilikuwa napenda mtoto wangu aoe mtoto wako,.. Sema nilikuseidia uondoe hio aibu yako ya kuwa na mtoto asio olewa,.. Umeniseidia sana katika maisha yangu mpaka sasa nimekuwa tajiri mkubwa, ni kwasababu yako wewe... Nami nikaona nimlazimishe mtoto wangu amuoe binti yako ili kukuondolea aibu ya kukaa na binti mkubwa kiasi kile ambae haolewi... Sasa naomba tuishie hapa bwana Mohamed... Umeshindwa kumlea mtoto wako vyema mpaka sasa anagwaya hana wa kumuoa.... Naomba ndoa yao iishie hapa hapa hospitalini.. Mwanangu kateseka sana, kamaliza pesa nyingi sana kwa ajili ya mtoto wako, sasa nasema basi"



    Baba yake sheby loe kaamua, na siri imeshajulikana kumbe waliozeshana kisa waliseidiana huko nyuma katika maisha yao,..

    "sawa mzee rashidi... Lakini hili swala la hawa watoto linakuwaje... Kwasababu naona imekuja aibu nyingine mpya"

    "wewe si umesikia yule binti alivyosema pale... Kuwa mtoto wako ana mwanaume mwingine tofauti na mumewe, na mtoto wako kamwendea mwanangu kwa mganga ili amsingizie hio mimba"

    "jamani hawa watoto mbona wana balaa hivi... Mi nadhani huyu sio mtoto wangu mimi huyu"

    "malezi baba.... Mumemlea vibaya mtoto wenu"

    Mzee Rashidy ambae ni baba yake sheby,.. Alirudi kule wodini baada ya kuongea na mzee mwenzie... Alipofika wodini alikuta mzozo mkubwa sana baina ya mke wake na mke wa mzee Mohamed...



    "eeeee ebu sikilizeni nyinyi wanawake.... Mwamuzi mkuu ni kijana mwenye mke, aamue vipi kuhusu hao watoto... Mana tayari ni binaadamu hao sioni haja ya kugombana"

    Aliongea baba yake sheby, baada ya kuona wamama wamechafukwa na kila mtu anataka usahihi kwa mtoto wake, mana mama yake sheby yeye hataki ndoa iendeleee mana hakuipenda toka mwanzo, hivyo mpaka sasa familia ya akina sheby imepata chanzo cha kuikataa ndoa hio...

    "sikilizeni wazee wangu... Hapa mimi namueshim kila mmoja aliopo hapa.... Suluhisho la hawa watoto,.. Mimi nipo tayari kuwalea, nipo tayari kuwatibu nchi yeyote ile mpaka wapone, kuhusu huyu kilema huyu.. Hata viungo vya bandia atapewa.. Na huyo kipofu japo kazaliwa na hali hio lakini tutajaribu kuznguka dunia kama atapona, ila kuhusu malezi yao niachieni mimi... Na nitayafanya hayo yote kama mama yao atawakubali.. Na pia nitayafanya hayo yote ila huyu sio mke wangu tena..aishi kwao na watoto wake, mimi nitawalea kwa kila kitu.. Mana kwa roho za sasa hivi hata baba yao haqezi wakubali... Sasa hivi tumetawaliwa na roho za kinyama... Ila ulemavu wa hawa watoto umesababishwa na nyinyi wenyewe"



    Maneno ya kijana sheby yaliwapa imani kila mmoja na kujiona ana makosa, yaani licha ya watoto ni vilema lakini kazidi kuwapenda na kuwalipia kila kitu katika maisha yao

    "sisi tulisababisha kivipi... Mbona unataka kututusi we kijana"

    "unakumbuka siku ile mnawafukuza vilema wa watu mlangoni kisa sherehe yenu ya kitajiri.. Wewe ulikuwa kipau mbele kuwafukuza wale vilema... Mwanao huyo ndio yuko pale kwenye jukwaa anapiga tu kelele watolewe,.. Kisa ni pesa zenu, tena kwenye nyumba yangu.. Ivi ni jinsi gani mlimchukiza mungu.."

    "alaaaaaa ivi ilikuwa hivyo"

    Baba yake mwai nae anashangaa kuskia hivyo,....

    "we mama mwai, ni ya kweli anayoongea huyu kijana"

    "lakini ile sherehe ilikuwa ni ya kitajiri baba mwai, sasa wale wangetia aibu"

    Mzee huyo hakutaka kuendelea kukaa hapo, aliondoka zake... Mara baba yake sheby kamuita mtoto wake

    "sikiliza baba... Wacha mimi niwahi kazini wewe maliza mipango yote hapa ila sitaki tena ndoa iendelee, na kuanzia leo tafuta mwanamke umpendae mwanangu... Ile nilifanya hisani tu kwa bwana Mohamed lakini nilikuwa naumia kukuona unateseka vile"

    "usijali mzee yote yatakwisha"



    Basi kijana sheby alirudi pale wodini na kumaliza kila kitu, aliwachukuwa na kuwapeleka nyumbani kwao kabisa, kisha huyo akawa anarudi zake kazini akiwa na saidi pamoja na akina rose

    "boss.... Kumbe ulikuwa na tatizo kubwa la kifamilia na ulikuwa kimya tu"

    Aliongea saidi huku akiwa anaendesha gari

    "saidi.. Katika dini yangu ya Kiislamu hua hairuhusu mwanandoa yeyote kutoa siri ya kifamilia... Na ndio mana nilikuwa msiri sana"

    "kumbe ndio mana kila mara ulikuwa na mawazo kazini"

    "aahhh yote ni maisha tu.. Na kikubwa ni kwamba nashukuru kila mtu keshalijua hili"

    Sheby na wafanyakazi wake walifika kazini na kuendelea na kazi, ikiwa ni bado mapema sana....

    "enheee tuendelee na maongezi yetu boss"

    Alikuwa ni saidi akiwa na boss wake ofisini,

    "ivi tulikuwa tunapiga story gani vile"

    "ahahahah mambo ya wake"

    "aahhh tuachane nayo hio mada... "

    Sasa wakiwa bado wanaendelea na stori, ghafla simu ya sheby ikaingia meseji, akatoa simu mfukoni kisha akaifungua ile meseji, ilikuwa inatoka kwa mke wake...

    "sheby mume wangu... Siwezi kuishi na hawa watoto... Ni aibu kubwa sana nimeona bora nife nao pamoja, ni watoto wangu wacha nife nao.. Usikose kuja kutuzika"

    Heee sheby alitoa macho baada ya kusoma hio meseji...

    Mara moja alimpigia simu,... Lakini simu iliita mpaka ikakata. Akarudia tena kwa bahati nzuri ikapokelewa

    "halooo mwai, unataka kufanya nini"

    "ndio hivyo... Siko tayari kulea vilema... Naomba uchague moja.. Niwapeleke hawa watoto kwa baba yao, afu nirudi tuendeleee kuishi kama kawaida... Au nife na watoto wangu uje kutuzika tu"









    Kijana sheby alishtuka sana kuskia hivyo, na pia alihisi labda ni utani wa mwai, na asingeweza kufanya hivyo katika maisha yake hivyo hata sheby kushtuka kwake ni kwamba anamjua mwai kwa jinsi anavyo yapenda maisha ya kidunia, ni ngumu kufa na wale watoto

    "wewe mwai wewe usifanye hivyo.. Na duka lako la lipstick utamwachia nani"

    "sheby mume wangu, naomba usilichukulie jambo hili kuwa mzaha, mimi sipo tayari kulea watoto wa aina hii... Mimi nimekamilika itakuwaje marafiki wa familia yangu wakigundua mimi nimezaa vilema"

    "lakini ni watoto wako hao.. Muite baba yao mkae chini myajenge, na kama hana uwezo wa kuwatibia au kuwalea, mimi nitawalea hao watoto, kikubwa tu akubali"

    "na akikubali mimi narudi kwenye ndoa yangu,.. Mimi bado ni mke wa mtu"

    "kama nitakuwa na akili finyu we rudi, lakini kama akili zangu ni timamu, basi kuendelea na wewe kuwa mke wangu sahau"

    Sheby aliongea hivyo kisha akakata simu,...



    Wakati huo sasa huku kwa mwai baada ya sheby kukata simu, mwai katafuta jina la jemsi na kumpigia, mana anajua hawezi kuruhusiwa kutoka na hali ya uzazi aliokuwa nayo, alimpata jemsi mwenye hao watoto kisha akawa anaongea nae kupitia simu

    "baby... Hivi una taarifa gani wewe"

    "taarifa.... Sina taarifa yeyote ile"

    "beibeee... Una watoto wawili mapacha"

    "Weeeeeee, acha utani baby"

    "heeee njoo home uwaone"

    "heeeee nije kwenu? Na wazazi wako watanionaje"

    "heeeee jemsi, ama kweli wewe huna taarifa,.. Mimi nimeshaachana na yule bwege, na sasa hivi wazazi wangu wanajua kuwa baba wa watoto ni wewe,.. Na licha ya hivyo wenyewe wanatamani wakuone"

    "weweeeeee mwai acha utani lakini"

    "we njooo... Tena njoo sasa hivi"

    "sawa basi nakuja"

    "ok poa... Usije ukaacha kuja mana hawa watoto wakikuwa afu wazazi wangu hawakujui hutokaa kuwaona na usijijue kama una watoto kwangu"

    "nakuja mama watoto wangu"

    Jemsi alifurahi sana kuskia mpenzi wake kajifungua watoto mapacha,.. Sasa kumbe mwai kacheza tu kamchezo cha kumuita aje amshikishe watoto wake,

    "mama... Yule mshenzi anakuja, naomba akiingia tu milango ifungwe apewe watoto wake"

    Aliongea mwai huku akiwa na watoto wake tena kawafunga vizuuuri kabisa wanaonekana sura tu, hivyo hata jemsi akija hawezi kujua chochote kile juu ya watoto hao

    "ivi mwai mwanangu, we ulizani ni rahisi mtoto wa kiume kukaa na watoto wadogo kiasi hiki"

    "mama atajua mwenyewe huko... Mimi akija hapa nampa watoto awabembeleze huku tukitoka nje, akitoka tu tufunge geti"

    "hapana, kwa hali hii hawa watoto hawatokuwa... Kiukweli hata mimi roho ya imani imenijia, na najuta ni kwanini nilowafukuza wale vilema siku ile... Kweli waswahili walisema usitukane mamba ingali hujauvuka mto,.. Tuliwafukuza wale vilema ingali we una mimba..."

    "lakini mama, ile sherehe ilikuwa haiwahusu, walifuata nini na ile sherehe ni watu wenye hadhi yetu, mimi bado sijaona kosa lolote lile"

    "ivi unajua kuwa sheby mume wako ndio aliwaleta wale watu"

    "ati nini"

    "tena baada ya kuwafukuza yeye aliwapeleka hotelini na kuwapa mikuku"

    "lakini yeye kawatoa wapi"

    "si huko barabarani"



    Baada ya siku hio kupita, leo ni siku nyingine tena, kijana sheby akiwa nyumbani kwao na wazazi wake wakiwa wanashauriana jambo fulani,

    "kiukweli mwanangu nakupa pole sana kwa yaliokukuta ndani ya ndoa yako, nisamehe sana baba"

    "lakini baba, kwanini ulifanya hivyo na kunifanya nikose raha siku zote hizo"



    "mwanangu sheby.... Huijui siri kubwa ya maisha yangu ila leo wacha nikuambie ili ujue sababu ya kukulazimisha umuoe binti wa Mohamed,... kabla hujazaliwa wewe mimi nilikuwa maskini wa kutupwa,.. Nikiwa na mama yako huyu, na dada yako huyu akiwa kadogo sana,... Mtoto anahitaji kula, mimi sina kazi wala kibarua chochote nilichokuwa nategemea,.. Nilikuwa natamani nipate hata kazi ya kulipwa elfu hamsini kwa mwezi, lakini pia nilikosa ningelipata wapi,.. Miaka hio niliadhilika sana baba yako nikiwa katika jiji hili hili la Arusha... Kwa bahati nzuri bwana Mohamed alihamishwa kikazi kutoka jijini Dar es Salaam kuja arusha,.. Na kazi aliokuwa akifanya ni kazi ya heshima na alikuwa akilipwa kiasi kikubwa cha fedha, mimi nilikuwa simjui hata chembe, lakini siku anahamishwa mimi ndio nilikuwa pale stendi nikizurura tu... Ndio nikapata kazi ya kumbebea vitu vyake vya ndani vyote na mkokoteni,.. Na hapo ni mtu mzima haswa... Yule bwana alinipatia kiasi cha elfu 50, baada ya kumaliza kazi yake,.. Pesa niliotamani kulipwa kwa mwezi leo nimeipata kwa masaa... Kipindi hicho kupata elfu 50 ni kazi na pia ilikuwa kubwa sana,.. Hapo ndipo nilipojua kuna matajiri duniani,.. Lakini bwana Mohamed hakuishia hapo alipenda hata kuja kumtembelea mana mimi ndio nilikuwa mwenyeji wake niliemseidia vitu vyake,.... Nakumbuka kuna siku nilikutana nae njiani akiwa na gari yake, ndani kuna mtoto wake wa kike na mkewe,.. Wakati huo wewe hujulikani utatungwa lini, nilikuwa na mtoto mmoja tu ambae ni huyu dada yako rehema,.. Bwana Mohamed alinipa lifti mpaka nyumbani kwake, nilipofika tu kwake kanikaribisha vizuri hata kuingia nilikuwa Naogopa sana mana alikuwa akifanya kazi serikalini ni mtu mkubwa sana... Kwakua mimi nilikuwa na shida na kazi, aliniambia nimtafutie kijana wa kutengeneza gadeni hapo nyumbani kwake,.. Sikuweza kufanya hivyo badala yake nikaitaka mimi ile kazi mana hata mimi nilikuwa nina shida.. Nakumbuka bwana Mohamed aliniambia hii kazi ni ya vijana wadogo, sio sisi watu wazima.. Subiri mimi nitakufanyia mpango kwenye kampuni yetu ya kifamilia ufanye kazi... Kiukweli nilishukuru sana kwa hisani alioifanya,.. Kweli nilimtafuta yule kijana wa gadeni, kisha baada ya wiki nikapelekwa kwenye kampuni yao, mana hata wao walikuwa na pesa kwenye familia yao..... Sasa kwakuwa nilipelekwa na boss mkubwa, yaani kwenye hio kampuni bwana Mohamed ndio mkubwa wao... Nilipewa nafasi ya juu sana kwasababu nililetwa na mkubwa wao.. Nililipwa kiasi cha shilingi laki tatu kwa mwezi, ambapo kwa malipo ya sasa ni kama milioni 3 za kitanzania,... Japo humo humo kina wanaolipwa zaidi ya hio yangu.. Lakini lakini tatu kwangu nilikiona ni kipato kikubwa sana.. Na hapo ndipo safari yangu ya maisha mazuri ikaanzia hapo.. Kila nikihitaji mkopo wa laki tano ambayo ni kama milioni tano kwa sasa, bwana Mohamed alikuwa akiniongezea laki tano nyingine,.. Jumla ninakuwa na milioni moja ambapo kwa sasa ni sawa na millioni kumi za kitanzania.... Hapo ndipo nami nikaacha kubweteka, nikawa bahali ili na mimi niwe kama yeye.... Nakumbuka siku namwambia mafanikio yangu, alifurahi sana, nilipomwambia nami naandaa kampuni yangu ya usafirishaji... Alifurahi sana tena akaniuliza katika kampuni yako kuna kitu kimepungua.. Nikamjibu hapana... Kiukweli mzee mwenzangu alinipenda sana.... Na sikuwa na cha kumlipa chochote zaidi ya kutoa shukrani zangu kwake..

    Ndipo juzi hapa sasa ndio kanijia na kutaka wewe umuoe binti yake, na aliniomba kwamba nimtolee aibu mana wazee wenzake wote wameozesha mabinti zao, lakini wakwake haolewi kwa tabia za mtoto wake,.. Aliniambia kabisa tabia za mtoto wake ni mbaya sio za kupata mume kabisa, hivyo kaniomba kama mzee mwenzie nitumie sauti ya ubaba naye atumie sauti ya ubaba ili muoane wewe na mtoto wake.. Nikikumbuka fadhila alizonifanyia miaka hio, kiukweli sikuwa na pingamizi juu ya hilo japo moyo ulikuwa ukiniuma kwa hilo.. Lakini nikaona wacha nilipe fadhila alizonifanyia huyu bwana.... Ndipo mkaoana kwa lazima na kuishi kwa lazima...... Hivyo ndivyo ilivyokuwa mwanangu nisamehe, ubusara wangu ndio uliokutesa mwanangu.. Nisamehe sana baba yako..."







     





    Mzew Rashidy aliongea mengi sana mpaka kila mmoja alichoka, lakini mama anayajua hayo yote, lakini sheby yeye hayajui mana pesa kazikuta hivyo hajui mateso alioyapitia baba yake.... Sasa sheby ndio kujumlisha na ile picha alioiona kule kwenye kabati la baba yake siku ile... Walipiga picha pamoja lakini baba yake alionekana kuchoka sana yaani alikuwa hana mbele wala nyuma, kumbe hivyo ndivyo ilivyokuwa...

    "sasa wazee mimi ngoja nitoke kidogo mana kichwa hakijakaa sawa"

    Sheby aliaga kihivyo lakini mama yake alimzuia

    "wewe... Sasa hebu tuambie una mchumba, mana hatutaki tena uzoee maisha ya kibachela"

    "ndio ninae"

    Aliposema tu anae, baba kadakia

    "sasa kama unae unasubiri nini, au huna pesa za kutosha baba"

    "lazima nimwangalie tabia yake kwanza"

    "ina mana humjui"

    "namjua.. Na hata wewe unamjua ila humjui"

    "mmmhhh sawa lakini mimi nisingetaka uishi bila mtu kwa sasa"



    Basi kijana sheby alitoka hapo mpaka ofisini kwake....

    "saidi vp"

    "aaahh poa boss... Hujaonekana toka asubuhi hapa"

    "aahhhh si unajua pilika pilika hizi"

    "enhee niambie"

    "ebu washa gari tukatulie mahali kwanza turefresh mind kidogo"

    Saidi anavyopenda kutoka na boss, haikuchukuwa hata dakika gari imeshawashwa mpaka kwenye restaurant moja hivi hapo jijini na kuagiza vibaiti vidogo vidogo.... Sasa wakiwa wanaendelea kula ghafla shadi akatokea maeneo hayo, lakini hakuwaona ila saidi ndio kamuona shadi,... Sasa saidi kwa akili yake akajua sheby alimdanganya ile ishu ya yeye kiwa na mahusiano na mke wake ambae ni zaituni, hivyo akamwonyesha sheby kama anamjua shadi, mana kama hamjui basi ni mwongo lakini kama anamjua basi ni kweli...

    "boss, unamjua yule dada"

    Sheby kumwangalia vizuri alimjua ni shadi, rafiki yake na zaituni

    "ina maana hata wewe humjui mshenga wako"

    Aliongea kijana sheby huku akimwangalia saidi

    "una maana gani kusema mshenga"

    "we ulifikiri bila huyu ungempata zai"

    Saidi hapo ndio kajua kweli boss wake hakumdanganya hata kidogo

    "kweli boss leo ndio naamini kweli zaituni alikuwa mpenzi wako... Siamini kama nimeoa mtu uliekuwa nae Kimapenzi"

    "kwanza zaituni sijawahi kumwingilia kimapenzi, japo nilikuwa namwogesha mwenyewe lakini sijawahi"

    "acha kunidanganya boss, yaani uogeshe mwanamke mtu mzima na wewe ni kidume rijali afu uniambie hujalala nae"

    "ndio.... Zaituni alikuwa kipofu, na niliapa kutokumgusa mpaka nitakapomuoa"

    "aahhhhh kweli sijaona mwanaume kama wewe aiseee......... Shadi... We shadi"

    Saidi alimwita shadi aliokuwa kaketi meza ya jirani

    "haaaaaaa saidi kumbe upo hapa"

    Shadi alikuwa bado hajamuona sheby mana alikuwa kajiinamia kwenye meza, hivyo hakufanikiwa kumwona sura, ila anajua saidi yupo na rafiki yake...

    "mambo shem"

    Alisalimia shadi huku akimpa mkono saidi..

    "safi tu hali yako mtoto mzuri"

    "waapi mzuri mkeo..... Mwaya kaka mambo"

    Shadi alimsalimia sheby huku akinyoosha mkono wake lainiii... Sheby akainua kichwa na kuupokea mkono, lakini shadi alipomwona kumbe ni sheby alirudisha mkono na kuanza kuongea

    "kumbe ni wewe.... Yaani siamini kama kweli kuna wanaume makatili kiasi hiki"

    "shem vp tena, mbona umebadirika ghafla"

    Aliuliza saidi huku akimsihi akae

    "huyu ndie alienipa kazi yake ya kumshawishi zai awe malaya ili ajue kama anampenda,... Mimi nilifanya juu chini ile kazi iende sawa mana hata mimi nilikuwa nampenda huyu kijana kutokana na uchapakazi wake, lakini kumbe nae ni tajiri alitudanganya wote,.. Nikaimaliza kazi yake vizuri,.. Nikamwambia sheby mimi nakupenda na hali yako hio hio ya kuuza viazi, lakini akasema ngoja nifikirie mana alikuwa ana mawazo juu ya kumkosa zai... Nikaona wacha nimuache hizi siku mbili tatu... Heeeeeeee, kwani toka siku hio nilimuona.. Mpaka nikajikuta nayatamani maisha anayoishi zaituni, nami nikaingia huko huko aliko zai.. Roho inaniuma sana, nimemfanyia mwenzangu ukuadi mpaka kaolewa afu mimi nimebaki nahaha na wanaume tu.. Yaani namlaani sana huyu mtu"



    Shadi aliongea mengi sana lakini sheby alimtuliza...

    "Samahani sana kwa hilo shadi... Lakini hata mimi nilikutafuta sana, kila nikikupigia naambiwa simu inatumika... Nikaona wacha nikuache utanitafuta kama ulivyonitafuta mwanzo na kuniambia unanipenda,.. Ni bahati mbaya tu, naamini utapata mume bora"

    "sio rahisi sheby... Mimi nilikupenda wewe na ndio maana nikafanya juu chini zaituni awe malaya ili uwe na mimi... Lakini kumbe malipo yangu ni hapa hapa duniani"

    "pole sana... Ila kama unaendelea na kazi hio naomba uache.. Nitakupa mtaji ufanye biashara, achana na hio kazi"

    Shadi kuskia mtaji kidogo hasira zikamtua....

    "lakini boss, kweli ulichokifanya kwa zai sio kizuri... Mimi naamini zaituni angelikuwa mke wako sema tu hukumfanyia fea"

    "aahhhh saidi tuyaache hayo... Mi naona tuondoke hapa"



    Baada ya wiki mbili kupita, sheby akiwa nyumbani kwake anapoteza muda kwa kumwagilia mauwa katika bustani yake... Ghafla mlango ulisukumwa na mtu kuingia...

    "we vp, umefukuzwa huko kwenu"

    Aliongea sheby huku akimsogelea, na hakuwa mwingine bali alikuwa ni mwai,..

    "Si nimerudi kwa mume wangu"

    "heeeeeeee ehehehehe halooooo.... Ahhh umeacha nimecheka kicheko cha kike kwa ujinga wako... Kwanza kabla ya yote watoto wakuwapi mana sijawahi hata kusikia matumizi wiki ya tatu hii sasa inaisha"

    "watoto kawachukuwa baba yao"

    "una uhakika kawakubali"

    "ndio"

    "ok sawa... Vp una njaa upikiwe"

    "nikapike mwenyewe au nipikiwe"

    "heeeeeeeee ivi kumbe hujui... Aahhhh nakumbuka kadi ziliisha hukupewa kadi wewe... Kiukweli nina siku ya nne sasa toka nioe"

    "whaaaat... "

    "ohoooo.... Unashngaa tena... Mimi nimeshaoa... We mama chidi"

    Sheby alimwita mkewe atoke ili aamini kweli kaoa.... Laaaaa Haulaaa mwai kabaki mdomo wazi kwa mke aliomuona....

    "mary.... Yaani umethubutu kuolewa na mume wangu mary"

    "Eh eh samahani we mwanamke... Naitwa hadija bibie... Mimi sio mary.. Mary bado hajaolewa, naitwa hadija.. Mwanamke ninaejua thamani ya ndoa.. Wanawake wenzio wanaitafuta ndoa kwa udi na uvumba we waichezea nyoooo..... Wanaume wenyewe wa kuoa wako wapi?? Leo upate afu uchezeee... Eti zoba, zoba kwako, kwangu mume huyu"



    Mary  au hadija kwa jina ndoa aliongea kwa nyodo kali kumlingishia rafiki yake kipenzi kuwa sasa ni mume wa mtu

    "mary yaani unanifanyia hivi kweli.. Mimi... Nani kawaleta kwenye huu mji"

    "i Know ni wewe, lakini umeichezea ndoa mwenyewe... Wanaume wachache dunia hii... Umempata afu wamchezea loooo unalo ilo"

    Ghafla mlango ukasukumwa na mtu mwingine kaingia, alikuwa ni rose...

    "habari zenu jamani... Poleni kwa maumivu ya kupoteza ndoa wengine poleni kwa furaha ya kupata ndoa... We bibie mpoteza ndoa.. Unasubiriwa na askari hapo nje.. Naskia umeuwa"

    "kauwa??"

    Sheby kashangaa kuskia mwai kauwa

    "ndio.... Vile vitoto kaviua"

    "astakafilu lah jamani mwai.... Haya kisa ni nini"

    "lakini hayupo peke yake.... Yupo na jemsi wake, wapo nae hapo nje kajaa pingu ngwi"

    Rose alikuwa akiongea kwa mbwembwe nyingi sana mana maisha ni yao kwa sasa...

    "rose kwanini hamkumbuki fadhila zangu lakini"

    "heeeee we mfungwa vipi, ebu nenda uko... Umeyachezea mwenyewe sasa kayachezee mavi huko gerezani"

    Rose alikuwa akitoa maneno shombo.. Ghafla geti likagongwa,.. Alikuwa ni askari

    "afande, mwanamke mwenyewe ni huyu hapa"

    "kamata huyo atatoa maelezo kituoni"

    Sheby alitaka kuingilia kati anagalao kumtetea mwai, lakink alizuiwa na rose

    "shem.. Hii kesi haikuhusu.. Tulia uifurahie ndoa yako..... Hadija mdogo wangu, nakuomba sana itunze ndoa yako mama... Ukiachwa utajiju... Mpaka sasa mimi mwenzio tayari nina mchumba na dini nabadirisha na mimi... Nami ndani ya ndoa mama.. Staki utani"

    "unaolewa lini dada rose"

    "wiki hizi hizi..."

    Sheby akaingilia kati juu ya swala hilo

    "mmeo anajiweza kuusu harusi... Mana kama hajiwezi niigharamikie mimi hio ndoa yenu"

    "kiukweli shem hata yeye kashiba.. Sio mbaya na nadhani unamfahamu"

    "ni nani huyo"

    "jamali"

    "heeeeeeeee na yule bwege nae anaoa"

    Jamali ni mfanyakazi wake, ambae wanafanya nae kazi kampuni moja, nae kumbe kamuona rose kuwa kama mkewe...

    "hadija... Binafsi kwa mimi namuomba mungu anifanye nitulie kwenye ndoa yangu.. Sasa hivi sitaki starehe yeyote, sasa nafuata njia zako hadija... Sasa nimeamua kutulia, naomba tutulie hadija... Dunia hii haina wanaume.. Ukimpata mama tulia mlee watoto....... Shem"

    Rose alimwita sheby

    "ndio shem"

    "nilikuja kuwatembelea tu.. Na kuwaonyesha hawa askari sehemu alipokimbilia mwai... Wacha nirudi si mnajua leo wikiende mume wangu yupo nyumbani... Naombeni niende"

    Rose kabadirika sana kutoka kwenye maisha ya kidigitali mpaka kwenye maisha ya kidini, huezi amini rose sasa ni mtu wa hijabu hataki tena mambo ya sherehe....

    "rose... Binafsi hata sisi tunakuombea ndoa njema... Nasi hatukuzuii mana unakwenda kuwa mke wa mtu"

    "nashukuru sana... Nanyi muishi kwa amani"

    Rose aliondoka zake tena alikuja na gari ya mchumba wake ambae ni jamali.... Sheby kamuoa mary tena unaambiwa siku ya ndoa hata mary alikuwa hajui, kaenda kiburuzwa tu ofisini mpaka ukumbini na kukutana na shela la harusi.. Unaamniwa baada ya ndoa mary alizimia, mana alihisi ni ndoto kwake....

    "ivi umepika wewe umekuja kuskiza umbea tu hapa nje"

    Aliongea sheby kwa kumwambia mkewe

    "heeeeeee mume wangu.. Chakula karibia kinapoa sasa"

    "wacha bwana"

    Sheby alimbeba mkewe mpaka ndani katika meza ya chakula...



    MWISHO..........

     

0 comments:

Post a Comment

Blog