Search This Blog

Thursday 24 November 2022

PENZI NI HAKI YANGU - 5

 

     

     

     

    Chombezo : Penzi Ni Haki Yangu

    Sehemu Ya Tano (5)

     





    Kauli ya Chanduka kusema wacha moto uwake ilimshangaza sana bibiye Mariam.

    Huku Chanduka nae akishangazwa na kumuona bibiye kaingia ofisini kwake. Japokuwa sio jambo la kushangaza lakini Chandu alishangaa

    “vipi tayari amekamatwa?"

    “ah, ahaa, hapana"

    Mariam akajibu kwa sauti ya kubabaika kidogo milio ya

    Risasi ikasikika kwa nnje kila mmoja akakimbilia dirishani na kuchungulia nnje.

    Waliweza kumuona bibiye

    Mona Lisa akiwa anafyatua risasi kwa fujo kumlenga

    Hafidhi aliyekuwa akichumpa kuzikwepa akakibetua kiti

    Cha plastic na kukipiga teke kilienda kutua mikononi mwa bibiye Mona Bastola ikatupwa kule mwanaume alikuwa yupo moto si mchezo.

    Chanduka na Mariam wakashuka kwa kutumia kamba maana waliona

    Lift au ngazi ni michosho sasa ikawa mtu tatu kwa mmoja

    Kiukweli Chanduka na bibiye Mariam hawakuwa Sirius katika kupambana yani walikuwa wakipiga kwa kuvizia,

    Hafidhi alikuwa bado kujivika mavazi yake ya kazi nae akafanya kama kuwatania tu.

    Ulitembezwa mkono kwa style za pekee ndani ya Dakika kumi kila mmoja hoi

    Mwanaume akapotea na kumuacha Chanduka akicheka mbavu hana

    “Ha!ha!ha!ha!ha!"

    Kila mmoja alishangwaza na kicheko cha mkuu wao.

    “sasa mkuu unacheka nini?"

    Mona akauliza huku akijifuta damu zilizokuwa zikimtoka mdomoni kwani yeye na maofisa wengine ndio walikuwa Sirius katika mapambano na kuishia kuambulia

    Maumivu ya maana.

    “Nacheka kwasababu nimeyavulia nguo maji ya moto aisee sijakumbuka kuya pooza.

    Basi nao wakacheka baada kuelewa nini anamaanisha mkuu wao. Polisi waliweza kufika eneo hilo na kuhitaji kutoa msaada na kukuta kila kitu kimekwisha.

    Waandishi wa habari wakiongozwa na Jackson

    King'soka waliweza kumuhoji mawili matatu bwana mkubwa Chanduka nae akaonyesha ushilikiano kwa kusema

    “kipindi cha miaka minne iliyopita nyuma leo hii inaanza kujirudia tena

    Tena safari hii ikiwa na kasi ya kimbunga

    Mafisadi wanyanyasaji matapeli vibaka

    Wote jiandae moto utawaka

    Wacha moto uwake, ha!ha!ha!ha!

    Baada kuongea hivyo Chanduka akacheka ndio

    Style yake mpya hiyo anapenda kucheka hata sehemu ambayo haistahiri kufanya hivyo

    Maneno yake yalikuwa kama mafumbo hakuna hata mmoja aliyeweza kuelewa.

    Nini anamaanisha ikabidi Muandishi King'soka amuulize

    “unamaanisha nini kuongea hivyo kamanda?"

    “unataka kufahamu sasa ni hivi mwenye macho na aone. Mwenye masikio na asikie

    Hatimae Hafidhi j Ikram leo hii katoroka Jela,

    Ha!ha!ha!ha!"

    Chanduka alimaliza kuongea kwa kicheko si

    Waandishi wa habari wala Polisi waliofika hapo hakuna aliyeweza kuamini ilibidi waeleke

    Gereza la Segerea huko ndipo wakapata majibu kamili Mwanaume katoweka kwa kuvunja geti.

    Taarifa ya habari saa mbili usiku ikatangaza juu ya tukio hilo la kushtusha.

    Wananchi walifurahi huku

    Baadhi ya matajili wakishikwa na matumbo ya kuhara.

    “Sasa huyu jamaa katoroka mbona majanga

    Aisee mwaka huu kama kufa tutakufa wengi wacha usiku wa leo nitubu dhambi zangu mapema kesho nianze kuingia msikitini.

    Maana huwezi juwa sekunde dakika au saa atakayo

    kujia huyu kibaraka wa mtoa roho!"

    Aliongea mmoja kati ya vijana wa Mzee Hossam Mbonde mkuu wa Majeshi wakati huo

    walikuwa katika kikao kizito kwenye moja kati ya nyumba za Mzee huyo.

    “Kijana embu acha uwoga siku zote jiamini

    yani umeenda Depo ukaenda kupigana vita

    huko Rwanda leo hii umuhofie kidudu mtu kama huyu. Siku akiingia kwenye anga

    Zangu ndipo atakapokuja kusimulia

    Sijawa Mkuu wa Majeshi kimchezo mchezo!"

    “Ndio mkuu tunakuaminia

    Baba"

    Basi vijana wake wakamsifia mkuu wao pasipo kutambua anatukana Mamba kabla ya kuvuka Mto.

    Simu yake ikawa inaita kila mmoja akanyamaza kimya

    Hossam Mbonde akaipokea hiyo simu

    “halloo"

    “Halloo mzee"

    “ehee niambie kijana naongea na nani?"

    “sina haja ya kukutajia Mimi ni nani labda nikwambie kwa kifupi tu uhai wa Binti yako

    Fatma upo mikononi mwangu kuzihirisha hilo

    embu isikie sauti yake kwa Mara ya mwisho,"

    ilisikika sauti ya kibabe ikiongea hivyo

    Mara akasikika bibiye Fatma akiongea kwa kilio

    “halloo baba mwanao nakufa hukuu

    Please nisaidie!"

    Mzee Hossam alidata na kusimama wima kijasho kilimtoka

    “Bila shaka umeweza kuisikia vyema sauti ya mwanao"

    “hivi kijana unafahamu unaongea na nani?

    Nina uwezo wa kukufikia mara moja hapo ulipo,"

    “sikia Mzee tusianze kutishana sijui nani wakati wewe ni nyani tu sasa

    Tunahitaji kiasi cha pesa yani shilling

    million stini tu ili tuweze kumuachia huru Binti yako vinginevyo utaletewa kichwa tu!"

    Simu ikakatwa pasipo kuelekezwa hizo pesa

    zipelekwe wapi.

    “halloo,halloo"

    Mzee akazidi kuongea akaingalia simu kumbe ishakatwa akapiga haipatikani, akatoka nnje ya mjengo huo uliopo maeneo ya

    Sinza huku nyuma akifatwa na vijana wake.

    “haraka sana kimbiza gari tuelekee

    Mlimani City!"

    Alitoa amri hiyo safari ya kuelekea

    Mlimani City ikaanza. Alipofika tu maeneo hayo akashuka na kuingia ndani ya mjengo

    alienda moja kwa moja mpaka sehemu ambayo mitandao ya Simu ikitoa huduma kwa

    Wateja wake kulikuwa na

    Vodacom. Tigo. Airtel. Harotel

    Zantel akaitafuta moja ya kampuni hizo na kuingia ndani. Japokuwa kulikuwa na foleni na kama ujuavyo sio kila mtu mwenye kuweza kumfahamu mkuu wa

    Majeshi ni watu wachache sana wenye kumfahamu

    wengi wanalisikia tu jina lake.

    Basi alipoingia humo na kwakuwa alikuwa kavaa kilaiya akapanga foleni kama wateja wengine.

    Akiwa kwenye foleni

    Kuna mzee wa makamo aliingia kwanza alishtuka na kupiga,

    Kumfata alipomfikia akamshika begani

    Hossam Mbonde akageuka kumtazama aliyemgusa

    “Kha! Mkuu ni wewe?"

    Yule mtu akajikuta akiongea hivyo

    Hossam akafanya ishara ya kuweka kidole chake cha kati mdomoni akimtaka anyamaze

    Basi wakaongozana hadi ndani ya chumba kimoja hivi kumbe yule jamaa alikuwa ni Mkurugezi wa kitengo hiko.

    **************

    Kiumbe kile kilichoibuka kutokea

    Maburini

    kilikuwa ni kiumbe cha kutisha si mchezo

    kilisafiri kwa speed tena umbali mrefu kidogo

    Hatimae kikatokea

    Maeneo ya Gongo la Mboto kikatua juu ya nyumba moja mfano wa ndege aina ya Njiwa.

    Kikaangaza macho huku na kule macho yake tu yalikuwa yanawaka moto hiyo

    Miale yake ikikumulika tu

    Mwili mzima utaanza kumomonyoka sijui

    Amekuja duniani kufanya nini

    kisha akaingia ndani ya kibanda ambacho kilikuwa na Njiwa wengi sana.

    Kesho yake

    Asubuhi ndani ya mtaa huo kwenye nyumba ambayo

    Jana yake usiku tuliweza kushuhudia kile kiumbe cha ajabu kikitua ndio

    kulikuwa na vilio

    kuonyesha maeneo hayo kuna

    Msiba

    “hiiiiiiiiiii Masudi kaka yangu mbona umetuacha ghafla hivi, ulisema leo

    Utaniletea wifi yangu nimuone kaka embu fumbua macho bwana hamkaa!"

    Ilisikika sauti ya binti akilia kwa uchungu huku akiutikisa mwili wa kijana uliokuwa umelala kitandani

    Majirani walikuwa na kazi ya kuwatuliza wafiwa

    huyu alimbembeleza huyu na yule akambembeleza huyu,

    Mwili wa marehemu ukachukuliwa kupelekwa hospitali kwaajili ya vipimo.

    “Dahaa kweli kifo hakina huruma yani mshikaji jana usiku alikuwa mzima kabisa.

    Tukaenda nae Mbegala kule Dar Live kuitazama Jahazi Modern Taarab

    Akapata jimama la Kitanga

    tukarudi tukiwa fresh leo hii kavuta ghafla,"

    “ndio hivyo kaka tumezaliwa na tutakufa. Mwenzake akamjibu.

    ********

    Hivi huyu Mwanaume mbona kanidanganya si alisema usiku wa juzi atakuja nijiandae sasa mbona hakutokea,"

    Bibiye Mariam alikuwa akijiuliza kuhusu Mumewe kutokutokea wakati aliahidi nae akajianda kusuguliwa akaishia kujichezea tu kiukweli bibiye ana ugwadu si kidogo sema hakuwahi kufikilia kuchepuka hata siku moja.

    **************

    Tukija kwa bwana Ophio ambaye ndio mkuu wa Gereza la Segerea siku hiyo alikuwa na mengi ya kuongea Akaitisha kikao Cha baadhi ya Wakuu wenzake katika Serikali bila kusahau Waandishi wa Habari.

    Akasema kitendo cha Hafidhi kutoroka kimechangiwa na baadhi ya Watu waliokuwa wakija kumuona.

    Leo hii nitawataja hao watu pamoja na kuonyesha Video ambazo Camera zetu tulizozitegesha kwenye chumba ambacho ni kama makutanio baina ya Mfungwa na mtu wake zimeweza kunasa kila kitu,"

    Wakati kikao hicho kikiendelea ghafla ndani ya ukumbi huo kikaingia kiumbe wa ajabu mfano wa Mjusi Kenge huyu alikuwa ni mkubwa utaseme

    Gari aina ya

    Tax alikuwa akifuka moshi na kuunguruma kwa sauti Kali na nzito mpaka jengo hilo

    Likatikisika huku

    Nnje Barabara ilianza kuachia nyufa





    Moshi mzito na mweusi ulianza kutokea ndani ya Jengo hilo mara moto ulianza kuwaka watu walikimbizana huku na kule waliofanikiwa kutoka basi ndio ilikuwa salama yao.

    Waliobakia ndani walipoteza maisha akiwemo Mkuu wa Gereza bwana Ophio

    hakuweza kutoka

    Kikosi cha uokoaji wakiongozana na Askari polisi waliweza kufuka na kufanya jitihada za kuuzima moto huo.

    Muandishi wa habari kijana King'soka kiukweli alikuwa ni miongoni kati ya watu waliofanikiwa kutoka kwenye tukio hilo la kutisha. Alikuwa kaegemea gari yake

    Huku akihema kwa kasi

    “Vipi bwana mkubwa nini kilichotokea?"

    alikuwa ni Muandishi mwenzake ambaye alifika baada kusikia kuna Nyumba yenye

    Gorofa takribani saba inateketea kwa moto.

    Kabla ya kujibiwa sauti ya kishindo kizito ikasikika nyuma yake

    Akageuka Mungu wangu hakuweza kuamini kwakile

    Akionacho mbele ya upeo wa macho yake Kiumbe wa ajabu alikuwa kaibuka ndani ya mjengo huo

    Akapaa angani

    na kupotea.

    Watu walianza kujazana katika eneo hilo polisi nao wakazidi kumiminika na kufanya kazi ya ziada kuwatawanya watu wasiweze kusogelea maeneo hayo. Lakini wananchi walikuwa wabishi kusikia ndio kwanza wakasogea

    Ni tukio ambaro liliweza kurushwa moja kwa moja kwenye vituo vya Television nchi nzima wakashuhudia wenye ndugu ambao walikuwa wakifanya kazi maeneo hayo wakafunga safari

    Kuelekea huko wakitaka kufahamu

    Je ndugu zao ni wazima au laa.

    Chanduka nae akafika akiwa kaongozana na bibiye Mona

    “habari yako kijana,"

    “Safi tu shikamoo"

    “marhabaa je unaweza kuniambia kitu gani kimesababisha yote haya?"

    “Kiukweli sijui hata nikuelezee vipi kaka yangu maana naona kama vile ndoto au natizama movie za Hollywood kwajinsi nilichoweza kukishuhudia leo hii tena katika nchi kama hii. Kwakweli mwisho wa dunia umewadia

    Mungu anatuma viumbe vyake kuja kutukumbusha.

    Kiukweli kaka Mimi ni fundi viatu katika eneo hili Niko hapa takribani miaka mitano sasa.

    Wakati nikiwa nimekaa pale napiga Kiwi kiatu cha mteja wangu

    Ghafla nikaona kuna kitu kikitua chini kwa kishindo kisha kikaingia ndani. Kwanza nilifikicha macho nisiweze kuamini macho yangu au Bange niliyovuta leo haikutolewa mbegu nikashindwa kumwambia mtu yeyote nisije kuonekana chizi. Nikahitaji kuakikisha je kile nilichokiona ni kweli au hisia zangu zinanipeleka sivyo.

    Nikanyata mpaka ndani ndipo nikapata uwakika baada kukiona kile kiumbe cha kutisha mfano wake sijawai kuona katika movie yeyote ile Zombie si Vampire wala si Jinni akaanza kufutuka na kuwa Zinga la mnyama mwili mzima ukiwaka moto. Huyoo nyuma yako!!!

    Jamaa akasimulia na kupiga kelele kitendo bila kuchelewa Chanduka akachumpa kwa kulala chini kitu kama kijinga cha moto kikampitia kwa kasi na kwenda kutua kwa fundi viatu

    Akatawanywa viungo vyote ni kweli kiumbe kilikuwa kimerudi

    Sijui anamfahamu vipi Chanduka.

    Maana alipofika tu akamtupia kombora kama sio fundi viatu Sijui hali ingekuwaje kwa Chandu, bibiye Mona akaitoa Bastola yake na kuachia risasi kukipiga kile kiumbe mfano wa Mjusi Kenge lakini risasi zilidunda.

    “Monaa, kimbia!"

    Chanduka akapaza sauti kumwambia Mona akimbie kwani kiumbe kilikuwa kikimjia kwa kasi lakini Mona ndio kwanza akazidi kuwasha moto kuja kutahamaki kiumbe kishamfikia kalibu yake akapuliziwa moto

    Huwezi kuamini Undercover agent

    Bibiye Mona alikuwa akiteketea kwa moto alipiga kelele kuomba msaada lakini

    Msaada utoke wapi kiumbe kinatema moto kila sehemu.

    Chanduka nae akashindwa kusogea akabaki kushuhudia kwa macho tu jinsi bibiye akitapatapa na kudondoka chini kiumbe kikapotea.

    Na kuacha pigo zito kwa jeshi la polisi na baadhi ya wananchi waliopoteza ndugu zao katika tukio hilo.

    ************

    Tukija kwa bwana mkubwa Hafidhi j Ikram tunamuona akiwa na Yasri na bibiye Fatma wamekaa sebuleni wakipanga hili na lile

    “unajuwa shemu ile juzi umenifurahisha sana"

    “nimekufurahisha kwa lipi?"

    “si ulivyokuwa ukiongea na Baba yako ukaigiza sauti ya kulia utasema umetekwa kweli vile hakika wee noma siku nitafanya mipango nikupeleke Korea ukacheze movie nakina Lee Min Hoo yule mkali wa City Hunter"

    “Ha!ha!ha! Shemu bwana embu acha kunichekesha kwanza kikorea chenyewe sikijui nitacheza vipi kingine wale wenzetu kwenye Movie zao hawahitaji ngozi nyeusi wanacheza wao kama wao"

    “kuhusu hilo wala usijali Jumong ni mshkaji wangu nitachonga nae tu"

    “mmh! Lakini kaka kwanini usimpeleke Bongo movie?"

    Yasri akaguna na kuuliza swali,

    “Bongo movie washamba tu uliona wapi Jambazi anavamia sehemu kufika mlangoni akavuwa viatu?"

    “sijawahi kuona aisee wapi hiyo kaka?"

    “si bongo movie hao"

    “hahahahaha"

    Basi wakacheka

    “Lakini shemu mbona hukumwambia Baba hizo pesa azipeleke wapi?"

    “Mungu wangu nilisahau Aisee hata hivyo hatuna shida na visenti vyake embu Yasri washa Television tuangalie Dunia inasemaje huko nnje,"

    Tv ikawasha hakuna aliyeweza kuamini baada kukutana na habari ya kushtusha

    Kila mmoja akakodolea macho kuangalia kwenye kioo cha Television

    “kaka nini hii?"

    Yasri akauliza lakini hakujibiwa akageuza macho yake kumuangalia Hafidhi hayupo.

    “baby shemeji yako kaenda kuuza sura"

    Ikabidi Fatma nae ageuke kutazama akaishia kutabasamu.

    ***********

    Tukija kwa bwana Hossam baada kutoka kule Mlimani city akapatiwa majibu kuwa line hiyo imesajiliwa tarehe 4 October mwaka huu mtumiaji wa number hiyo ni Fatma Hossam alipiga simu akiwa visiwani Zanzibar,"

    hayo ndio maelezo aliyokuwa kayapata akaumiza kichwa kwa kujiuliza inamaana mtekaji kasajili line kwa kutumia Kitambulisho cha binti yangu. Akaita vijana wa kuaminika kutoka kitengo maarumu cha Jeshi ni Vijana ambao wapo spesho kwaajili ya kazi zilizo

    Shindikana wakapewa mchongo mzima na kuambiwa Zanzibar ni kisiwa kidogo sana kama kweli Binti yake atakuwa kafichwa huko atapatikana tu.

    Fanyeni uchunguzi wakina muweze kufahamu kila kitu.

    Wakati akitoa maelezo kwa Vijana wake simu ikaanza kuita kuangalia mpigaji number ngeni akaipokea, ghafla akashtuka na kukata simu

    “Vijana basi haina haja yakwenda huko Zanzibar embu nifateni kwa siri sana,"

    Akachukuwa koti kubwa jeusi akavaa kisha akavuta Droo na kutoa Bunduki zake ndogo na kuzisunda kwenye koti

    “haya twendeni"

    Safari ikaanza lakini walipotoka nnje tu

    Vijana wakaelekea njia nyingine na kumuacha mkuu wao akiwa kaongozana na mlinzi mmoja tu.

    Safari yake ikampeleka mpaka Bunju akashuka kwenye geri akamuomba kijana wake amsubirie akapiga hatua kadhaa kuifata moja kati ya nyumba iliyopo maeneo hayo, akashika kitasa cha mlango pasipo kubisha hodi akaingia ndani. Kilichoendelea humo anakijuwa mwenyewe sijui alienda kuonana na nani.

    Ndani ya msitu mmoja hivi kulikuwa na kimuhemuhe cha viumbe waajabu wakipigana miti ilidondoka hovyo moto uliwaka majani yalitimka yalikuwa ni mapambano baina yakile kiumbe na

    Ninja suit sijui Ninja suit katokea wapi? Na hiki kiumbe alikutana nae vipi?

    Kiumbe kilizidi kutema moto huku akitumia mkia wake Mrefu wenye ncha kali mfano wa Jambia.

    Ninja suit alikuwa akikwepa kwa kuruka huku na kule pamoja na kumdonyoa za chembe Mara apite uvunguni Mara juu ya kiumbe ilimradi amsumbuwe

    Kiumbe kikaunguruma kwa hasira na kujibadirisha umbo kutoka katika Mjusi Kenge mpaka Mnyama aina ya Dragon

    Akajivilingisha kwa kukusanya zinga la Gogo na kumtupia Ninja suit akazunguka na kudank juu ya lile Gogo na kuachia mateke ya kifua

    Kiumbe kikayumba na kupotea. Ninja suit akapiga Bomu la Kininja ili aweze kumfata lakini alikuwa amechelewa kiumbe kishasepa.

    “ohoo Shit! Bahati yako umekimbia lakini ipo siku nitakuangamiza bwege wee!"

    Ninja suit au Ikram nae akapotea ile anapotea tu Ninja short nae akaibuka eneo hilo alikuta msitu umeharibika vibaya utasema kulikuwa majalibio ya Bomu la nyuklia akaangalia na kuona matone ya damu akasogea na kuishika ile damu.

    Huyu mwingine aliyekuwa akipambana na hiki kiumbe ni nani?

    Akajiuliza na kuvuta kumbukumbu zake nyuma hakuweza kumpata.

    “Jamani, msitu wetu unateketea kwa moto kule,"

    Wanakijiji wa Matombo mkoani Morogoro wakapaza sauti kuitana basi walikusanyika na kuelekea huko msituni

    “Aliyechoma moto ni yule kulee!"

    Mmoja kati ya Wanakijiji si akamuona Hafidhi akiwa anatoka katikati ya Msitu akapiga kelele kuwaambia wenzake wasianze kumkimbiza nini.

    Hafidhi alikuwa kajivuwa ule Uninja wake na kuwa mtu wakawaida tu.

    Basi alikimbilia kijijini na kuingia kwenye kichaka

    Akajificha kimyaa kikundi cha Wanakijiji wakapita vuuu,

    Baada kuona wamepita akainuka lakini kabla ya kufanya hivyo akasikia hatua za mtu akija maeneo hayo akainama na kujificha tena.

    Akachungulia mapigo yake ya moyo yakaanza kudunda kwa kasi.







    Mwanaume akabaki kukodolea macho hakuweza kuamini kwakile akionacho

    Kulikuwa na binti kavalia Kanga kwa mtindo wa kujifunga rubega alikuwa kachuchuma kwenye kichaka akijisaidia

    Sijui haja kubwa au ndogo.

    Mtoto akaachia ushuzi puhuu, hahahahaha

    Akacheka akifahamu hapo kichakani yupo peke yake

    basi akajiingiza kidole kwenye kitumbua chake kinono na kuanza kukikatikia

    “aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,hiiiiiiiiiiiii­iooooouhhh

    Binti akafumba macho na kusikilizia utamu wa kidole chake huku akitoa mighuno.

    Hakuweza kufahamu kama pembeni yake

    kuna Simba mwenye njaa na vitumbua yeye anakichezea kwa kidole,

    Hafidhi uzarendo ukamshinda na kuamua kumshtua yule Binti

    “Dada unafanya nini hapo?"

    Binti alishtuka si kidoge sema akashindwa kupiga kelele na kubaki kubabaika tu.

    “Samahani binti kwa kukushtua mpaka nimekukatisha kwenye starehe yako sasa unaonaje nikikusaidia!"

    Hafidhi aliongea kwa sauti ya upole na kumshika binti mabegani

    “Aku mi sitaki bwana nitafanyaje hiki kitu na mtu ambaye simfahamu. Na istoshe wewe s- ndio ulie-choma msitu?

    Ulikuwa unakimbizwa!"

    Binti aliongea kwa sauti ya kitetemeshi yenye kutawaliwa na uwoga,

    “hapana sio mimi"

    “kwanza wewe nani na unatokea kijiji gani?"

    “Naitwa Erick natokea kijiji cha Msavu"

    “ohoo kumbe ni mwenyeji wa mkoa wa Morogoro ehee?"

    “ndio maana yake"

    Baada mwanaume kutoa jibu binti akajiachia na kumuachia nafasi Hafidhi afanye yake.

    walikutanisha midomo yao na kuanza kunyonyana ndimi kwa hisia.

    Hafidhi aliuchukua mkono wa Binti na kumshikisha mtalimbo wake kumuonyesha jinsi ulivyo simama kama chuma cha Pua

    Binti

    baada ya kuushika Mtalimbo alipigwa na butwaa

    “Mbona kubwa hivi?"

    Akauliza huku akiendelea kuupapasa

    Mwanaume akafanya kumvuta sura yake na kuendelea kumnyonya denda

    mkono wa kulia tayari ulishaingia katikati ya mapaja na kuanza kumsugua kiarage

    chake kirefu kama Mwanamke wa Kisukuma kitu kilidinda na kusimama utasema kidole cha

    Mwisho usiombe ukutane na Mwanamke wa dizaini hii unaweza kuhonga hata nyumba ya urithi.

    “aaah,,aaaasssss,,,aaaah,,aaaaaah,,mm

    mmh,"

    Alilalamika Binti wa watu huku asiamini kama ni kweli amemruhusu Mwanaume huyo kumtawala kiasi hiko

    Basi binti

    Alilazwa chali binti

    ambaye alikuwa amelegea kwa kiasi chake

    Akamfungua ile kanga Binti akabaki uchi kabisa na kufanya dodo zake kuonekana wazi.

    Alizivamia na kuanza kuzinyonya na ulimi wake.

    “aaah,,,,aaaaauwiiii­iii,,,,,aaaissssss,,,,mmmmh"

    Alilalamika bibiye Hafidhi akaushika Mtalimbo wake na

    Kuwingiza ndani ya kitumbua ukazama mpaka ndani kwenye kitumbua cha Binti huyo aliyeonekana mwoga kupita wakati alikuwa akijchuwa so sijui uwoga wake sababu ya kuona kitu kikubwa kama mguu wa mtoto au vipi. Akaanza kupampu taratiibu.

    "aaaaah,,,aaaaaah,,,­oooohaaasssss,,,aaahmmmm,,mmmh!"

    Alilalamika Binti akiwa kafumba macho huku akikatika kwa mwendo wa usiingize yote.Binti ambaye kitumbua chake kililibana haswa Hafidhi alipojaribu kuuzamisha Mtalimbo wake uwingie wote

    “aaah,ooooohmmmm

    aaaaaah,,,aaaaaaaaaaaaaaaa

    ,,,mmmmh,uwiiiiiiuuu!"

    Binti akapiga ukelele ilibidi Hafidhi amzibe mdomo na kuendelea kumpampu kwa speed

    *********

    Tukija jijini Dar es salaam tunamuona kijana Yasri akiwa anaingia Super market

    Hakukawia sana kutoka akaweka mfuko wake sawa kwenye usafiri wake aliokuja nao wa Pikipiki na kuiwasha

    “oyaa mbona yule jamaa kama namfanisha?"

    “jamaa yupi?"

    “yule aliyevaa jacket jeusi mwenye pikipiki,"

    “ebwana ndio mwenyewe"

    Jamaa aliyeambiwa baada kumuangalia huyo mtu akajikuta akitamka ndio mwenyewe, akaitoa simu yake na kumpigia sijui nani sema alisikika akiongea

    “Ehee bila shaka ndio yeye mkuu powa nitafanya hivyo"

    Akakata simu wakaendelea kumtazama Yasri maana ndio mlengwa wao.

    Yasri nae hakuwa na hili wala lile akawasha

    Pikipiki yake na kuondoka huku nyuma akawa akifatiliwa na vijana wawili.

    Yasri akaingia maeneo ya Tazara akakunja kuifata Barabara ya

    Train kufika sehemu moja hivi akapotea mbele ya upeo wa macho ya wale jamaa

    “Ebwana huyu bwege kaingilia wapi tena?"

    Vijana wale walianza kuulizana na kupaki gari yao pembeni wakashuka maana njia aliyopitia Yasri

    Gari haiwezi kupita wakatembea mpaka kwenye kichochoro Fulani hawakuweza kuamini macho yao baada kuiona Pikipiki ya Yasri ikiwa imepaki mbele ya nyumba moja chakavu

    Wakaongozana kuifata ghafla kishindo kizito kilisikika nyuma yao kugeuka wanakutana uso kwa uso na Yasri si wakataka kujitetea

    Mwanaume ilimchukuwa dakika mbili kuvunja shingo za vijana wale.

    Kumbe mapema tu alishtukia mchezo kama anafatiliwa mi nilitaka kushangaa wanted kama yeye atatembeaje macho juu.

    Baada hapo akapiga sachi kwenye mifuko ya jamaa na kuchukuwa kila kitu chao

    kuanzia simu sijui wallet alifanya yote hayo bila wasiwasi tena mchana kweupe

    Akapanda pikipiki yake na kupotea.

    “Mbona Mussa apokei simu imekuwaje tena?"

    “usikute dogo kaanza dharau maana Mimi mwenyewe juzi nilimpigia simu iliita wee lakini hakupokea,"

    “sasa kama anataka kufanya ujinga kama huo sio kwenye ishu kama hizi,"

    Alikuwa ni Azizi akiwa ndani ya gari akijitahidi kumpigia simu huyo Mussa

    Lakini simu haikupokelewa akapiga ngumi usukani wa Gari

    “ohoo shit!"

    “Mkuu embu angalia kushoto kwako sio Gari ya Mussa ile?"https://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Kijana ambaye alikuwa sambamba na Azizi akamuuliza, Azizi akaangalia na kusema ndio yenyewe akazungusha usukukani na kwenda kupaki nyuma ya hiyo gari wakashuka na kuisogelea

    lakini wakaona umati wa watu ukielekea maeneo ya

    Relini huku wakisema kuna vijana wawili

    Wamekutwa wameuwawa, ikabidi nae atake kwenda kushuhudia

    “Kiboma embu twende tukaangalie isijekuwa ni wao"

    Wakatembea kwa hatua za haraka si

    Azizi wala Kiboma aliyeweza kuamini

    Aisee Mussa na mwanzake walikuwa wamelala chini pumzi hawana.

    Hawakutaka ushahidi wakaondoka

    “Hivi huyu Yasri anajiamini nini mpaka kufikia hatua ya kuuwa vijana wangu? Ameutolea wapi

    Ujasiri wa namna hii nani kamfundisha

    mapambano?

    Aliwezaje kuteketeza Wanajeshi watatu kule kwa Baba mkwe bila shaka kuna mtu

    nyuma yake anaemsaidia kutenda yote haya je ni nani?"

    Azizi alijiuliza maswali mengi sana kichwani kwake na kupiga kelele kifo cha vijana wake kilimuuma si kidogo,

    “lakini mkuu si umesikia kuwa yule Muuaji wa kutisha Hafidhi j Ikram ametoroka Gerezani.

    Mimi nina wasiwasi huyu mtu atakuwa nyuma ya Yasri"

    “Kiboma acha kuongea upumbavu je una uhakika na ukisemacho?"

    Azizi akang'aka na kuuliza swali

    “sina uhakika bosi wangu sema nimehisia tu"

    “Basi usipende kuhisia vitu vya kipumbavu hivi unafikilia Hafidhi akiwa nyuma ya huyu

    Bwege nani ataweza kumdhibiti si tutakufa wote, nakumbuka jana nilienda kumuona

    Mr.Chanduka ofisini kwake nikakuta taarifa kuwa ofisi imefungwa kwa

    Muda kupisha matengenezo kutokana na mifumo kuharibika baada Hafidhi kuvamia maeneo yale.

    Kiukweli huyu mtu anatisha asikwambie mtu

    Sijui nguvu hizi kazitolea wapi maana dahaa

    Hakunaga kama yeye,,"

    Azizi aliongea kumzungumzia Mwamba pasipo kufahamu Uwezo wa Hafidhi ni kutokana na kuchanganya Style nyingi zaidi kutoka kwa

    Walimu watano waliobobea katika nyanja nzima ya mapigano pia yeye nusu Binadamu nusu Jinni so akichanganya uwezo aliokuwa nao nani wa kumshika.

    Hili swala hakuna anaefahamu mpaka sasa Hafidhi ni binadamu wa aina gani

    Laiti wangefahamu kama ni Jinni leo hii wangeletwa wataalamu wenye uwezo wa kupambana na Majinni. Lakini ndio hivyo tena wacha moto uwake,

    Bwana Hossam alikuwa ni mtu wa kuzurula tu mara aingie mji huu atokee mji mwingine kumbe alienda kuonana na mmoja kati ya Wapelelezi wake wa siri akapewa taarifa kuwa bibiye Fatma kahifadhiwa maeneo ya Kibamba, akaonyeshewa na picha alipotoka hapo akapigiwa simu kuwa anahitajika Jeshini kuna tukio la kutisha limetokea maeneo ya mipakani. Akiwa kama mkuu wa Majeshi lazima akatoe

    Maelekezo kwa wasaidizi wake, akakuna kichwa akaita vijana wake wa kazi na kuwapa maelezo Sasa waelekee Kibamba sio Zanzibar tena

    Baada kutoa maelekezo akaingia ndani ya gari na kuelekea Kambini.

    ***********

    Kifo cha bibiye Mona kilivuta hisia za watu wengi sana alikuwa ni

    Undercover wa tatu kupoteza maisha tena wote wakiwa kitengo kimoja ni Mabinti wadogo waliokuwa na matarajio makubwa hapo mbeleni

    Lakini ndoto zao zimezimika ghafla kama Mshumaa uliokwisha.

    Mwili wake ulikuwa bado umehifadhiwa katika hospital ya

    Mwananyamala ukisubilia kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele.

    Haukufaa kuagwa kama zilivyo imani za dini ya Kikristo mwili lazima uwage

    Sasa mwili wa Marehemu ulikuwa umeharibika vibaya sana kwa kuungua na moto.

    “haiwezekani nasema haiwezekani mnikimbie kwa njia hii

    Mamaaweee,hiiiiiii, Mungu kwanini umewachukuwa wenzangu na kuniacha peke yangu? Hiiiiiihaaa

    Niacheni nasema mniacheee!!!

    Hapo msibani bibiye Mariam alikuwa hashikiki kwa kilio na kufikia hatua ya kukufuru Mungu kwa kutaka kujiua

    Ikabidi kina mama wafanye jitihada za kumbembeleza ikashindikana kumtuliza, Mariam akashika kisu na kutaka kujichoma

    Nacho kila mtu akabaki kutoa

    Macho asiweze kuamini kile ambacho bibiye anataka kujitendea.







    Mariam akainua kisu juu na kutaka kujichoma nacho kwenye moyo lakini kabla hakijatua mwilini mwake Chanduka akawai kumdaka mkono

    na kumtaka asifanye hivyo.

    “niachie nasema, niachee!"

    Mariam alipiga kelele na kuzunguka ghafla Chanduka akajikuta akikatwa begani na kusukumizwa akarudi nyuma huku damu zikimtoka.

    Bibiye ni kweli alikuwa kadhamilia kujiua akainua tena kisu juu ajikite nacho kwa Mara nyingine kikadakwa huku aliyekidaka akimuwasha kofi la shavuni bibiye

    Mariam akayumba na kudondoka chini huku kisu kikibaki mkononi mwa Bwana mkubwa

    Hafidhi.

    “ni upumbavu waaina gani unataka kuufanya Agent kama wewe ushawahi kuiona Movie moja inaitwa

    Predator watu wangapi waliingia msituni kwenda kupambana na maharamia. Pasipo kufahamu ndani ya msitu ule kuna kiumbe cha ajabu

    Akaanza kuuliwa mmoja mmoja akabaki mtu mmoja tu huku yule mateka wakike akikimbia kwenda kutafuta msaada

    Anord Schwarzenegger mbona hakujiua? Mwanaume alisimama imara akapambana kwa uwezo wake wote na kufanikiwa kukiteketeza kiumbe kile cha

    ajabu. Sasa inakuwaje wewe ukate tamaa mapema hivyo? Wakati pembeni yako yupo

    Mr.Chandu pia nipo Mimi usifanye hivyo baby ukijiua watoto watabaki na nani?"

    Hafidhi aliongea kwa hisia na kutolea mfano movie ya Predator, kumbe alipoonekana hapo tu vikosi vya Maagent wakajipanga kumzibithi

    “kwanza poleni sana wafiwa Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake Lihimidiwe

    Ameen,"

    Hafidhi alitoa pole na kupiga hatua kulifata Daftari la michango ya rambirambi akalifunua na kuandika jina lake na kiasi cha pesa

    Akajisachi mfukoni na kuchomoa kibunda cha pesa hakuhesabu akakiweka chote

    Akaingia ndani kwenda kuwapa pole wafiwa vikosi wakajiweka tayari tayari akitoka tu wamnase

    “siku zote huwezi kumtega Mamba baharini wakati unafahamu sio sehemu yake ya kuishi

    Hafidhi kaingia kama gia tu lakini ameshaondoka zamani,"

    Mariam alitoa maelekezo kwa Chanduka na wenzake wakavamia ndani na kupewa majibu kapitia

    Mlango huo wakamtafuta kila kona mtu hayupo hakika huyu mtu anajiamini yani katokea mbele ya Umati wa Maofisa wa Jeshi la polisi akiwa hana wasiwasi wowote ule

    Kisha akaondoka bila kuguswa kweli huyu jamaa ni hatali tupu.

    Basi Chanduka akatibiwa jeraha lake

    Mariam akaomba msamaha kwa mkuu wake kutokana na kitendo cha aibu alichokionesha

    Pale msibani. Mwili wa marehemu ukaenda kuzikwa kwenye makaburi

    Ya Ruveti yaliyopo

    Mbezi beach sehemu ambayo ndugu wa marehemu ndipo wanaishi kalibu na eneo hilo,

    Vijana walioagizwa kuelekea

    sehemu ambayo inasemekana binti yake alionekana.

    Vijana walifika mpaka maeneo ya

    Kibamba wakajigawa kila mmoja akaingia

    kona yake na kuanza kumtafuta huku na kule.

    Msako ulikuwa nyumba hadi chumba mpaka Binti apatikane

    “Mama, mama"

    “hivi wewe mtoto si nimekwambia uwende Madrasa sasa umerudi kufanya nini?"

    “kuna watu wawili nimekutana nao pale uchochoroni

    Wanamtafuta yule Dada wa chumba kile,"

    “Mungu wangu wapoje hao watu?"

    “ni Wanaume wana miili mikubwa kama John Cena"

    Yalikuwa mazungumzo baina ya Mama na mwanae

    Kosa walilofanya vijana wale ni kuonyesha picha ya bibiye Fatma kwa kila mtu katika onyesha onyesha yao wakakutana na huyo

    Mtoto wakamuuliza pamoja na kumuonyeshea picha. Dogo akajibu hamfamu,

    Baada kuachana nao akakimbia mbio nyumbani kwao na kutoa taarifa kumbe

    Fatma nae hakuwa mbali alikuwa yupo chooni akaweza kusikia kila kitu. Akafahamu bila shaka atakuwa ni Baba yake ndio kaagiza vijana atafutwe kila kona, akatoka chooni na kuingia chumbani kwake hakukawia kutoka

    “Faudhia,"

    “abee Mama Chichi"

    “embu njoo umsikie Chichi huku,"

    Basi Faudhia ambaye ndio bibiye Fatma sijui kabadirisha jina au vipi akaja mbio wakati alishasikia kila kitu.

    “ehee Chichi unasemaje Mdogo wangu?"

    Fatma aliuliza huku akimshika begani yule mtoto aliyekuja kutoa taarifa.

    “Da Faudhia kimbia kwanza kuna watu wanakutafuta wewe sijui Askari wale?"

    Chichi aliongea na kujiuliza bibiye akaitoa simu yake na kumpigia sijui Yasri au Hafidhi binafsi anafahamu mwenyewe alisikika akisema

    “Ndio nasikia wapo mtaani hapa wakitembea na picha yangu.

    Sawa nakusubiria uwahi basi,"

    Baada kuongea na simu akashitukia geti

    watu kama sita wakiingia mpaka uwani na kusimama mbele yake,

    “hatimae wee nyau leo tumeweza kukunasa, yani sisi tunashindwa kula wala kulala kwaajili ya kukutafuta wewe. Kumbe mwenzetu unakula bata kwa raha zako ehee sasa kuanzia mida hii

    Utajuta kuzaliwa. Oyii vijana mbebeni bibiye huyo!"

    Aliongea kwa hasira kiongozi wa msafala na kitendo bila kuchelewa bibiye akashikwa

    “Niachienii, nasema niacheni msinishike sitaki kwenda niachieniiii",,,,,

    Bibiye alipiga kelele huku akiomba. aachiwe

    Wakambeba ile wanageuka ili waondoke nae kwenye kizingiti cha Mlango kuna number chafu imekaa alikuwa ni Hafidhi j Ikram akiwa ananoa kisu chake kidogo tu.

    “wee Malaya embu pisha hapo mlangoni sisi tupite na mtu wetu!"

    “tatizo sio kupita tatizo linakuja hivi nyinyi ni

    Wezi na siku zote dawa ya mwizi ni kuchomwa moto. Sema mimi naweza kusamehe maisha yenu iwapo mtamuachia huyo binti,"

    Hafidhi aliongea kwa sauti ya upole tu,

    “Wewe ustake kututisha hivi unafahamu sisi ni nani muulize huyu binti akupe

    Majibu"

    Aliongea kwa kujiamini huyo kiongozi wao"

    “sawa mnaweza kupita je mshatubu

    Dhambi zenu?"

    Hafidhi aliuliza na kufunga kitambaa usoni hakutaka kuongea sana akainuka na kukiachia teke kwa kasi ya ajabu na kupita kwenye

    Shingo ya jamaa mmoja wapo akajishika shingoni huku damu nyingi ikimtoka kumbe kiatu chake kuna kitu kama msumari.

    “Embu mpigeni huyoo!"

    Aliongea kiongozi wao kivumbi jasho kitimka uwani hapo

    Hafidhi alichumpa nakwenda kuwatandika mateke

    vijana wawili wakarushwa hewani na kudondoka chini puhuu mwingine alikuwa akitaka kuchomoa

    Bastola ile kaishika atake kuitoa akadakwa mkono na kupigwa kifuti cha utosi.

    “Mamuweee nakufaa mama mkono wangu ni kelele na vishindo ndizo zilizoweza kusikika.

    Watu walianza kujazana maeneo hayo wakitaka kufahamu kunani. Dakika si nyingi Vijana wakatoka mbio Wananchi nao wakawaungia kwa kuita

    kuita kelele za wezi

    “Jamani wezii,,,"

    “kamata wezi haoo. Ikawa ni kuwakimbiza tu

    Wananchi bila kufahamu kama hao si wezi bali ni Wanajeshi waliokamilika mpaka kuitwa Makomando sema walikutana na chuma cha pua tu

    Ndio maana wakaamua kukimbia.

    Katika kuwakimbiza wakafika sehemu

    Makomando wakasimama na kufumba macho waliongea maneno yao ya kishujaa. Kufumba na kufumbua silaha zikaanza kurushwa

    Wanaume walikuwa wakizikwepa

    Kwa style ya kivita zaidi kisha wakashikana na kudunda wakatua karibu ya Wananchi kilichowatokea wakazi wa Kibamba hawatosahau mpaka kufa kwao. Walitembezewa kichapo

    watu walipasuka midomo na pua

    huku wengine wakivunjwa miguu, Yasri nae alikuwa akipita maeneo hayo na kukuta watu wakichapwa kwa mikanda na kupigwa Mabuti ya maana

    Sema hakutaka kujiingiza kwenye kesi isiomuhusu wakati yeye ndio sababu ya hao

    Wajeda kufika maeneo hayo nakwambia kikosi cha

    Wanajeshi waliongezeka baada kupigiwa simu

    Wakatokea kwenye kambi ya

    Gongo la Mboto, baada kuongezeka wakaelekea mpaka nyumba ambayo walikimbia baada kufinywa kufika humo hakuna cha

    Fatma wala Hafidhi wenzao washakimbia zamani wakajitahidi kuwatafuta lakini wapi. Walichofanya ni kukishikilia chumba kwa muda tu

    wakifahamu Bila shaka ipo siku watakuja

    kufata vitu vyao vya ndani au

    kulala.

    Ulinzi ukawekwa vya kutosha.

    **************

    Yapata majira ya saa tatu usiku katika kichochoro kimoja wapo tunamuona mtu mmoja akiwa anatembea huku akiyumba huku na kule binafsi alikuwa ni mlevi. Mtu huyo ambaye sura yake haikuweza kuonekana kwa urahisi kutokana na aina ya kofia ya Pama aliovaa.

    aliishusha kwa chini,

    alizidi kukatiza mitaa na kuingia kwenye vichochoro pasipo kuhofia lolote.

    Alionekana ni mwenyeji wa maeneo hayo na nikawaida yake kufanya kitu kama hiko.

    Akiwa anazidi kusonga mbele akapita kwenye kichochoro kimoja

    Mara ghafla akasikia sauti za Mwanamke akilalamika. Mwanaume yule damu ikamsisimka na kusimama akajongea kwenye Dirisha aweze kupiga chabo

    “Azizi mi sitaki,,,,sitakiiiassssssss,,,,Smaiya alikuwa akilalamika kwa kuonyesha hilo jambo kalazimishwa kulifanya tu. Sema hakuwa na jinsi aonyeshe ushilikiano lasivyo anaweza kufa

    Azizi alikuwa akimbaka Smaiya kama tunakumbuka aliwahi kuwa mpenzi wake tokea kipindi wakiwa wadogo. Azizi alifanya yote hayo kupooza machungu. Kwa kuvurugika ndoa yake. Kwa hasira

    aliivua chupi ya Binti kwa fujo na kuitupa chini, tayari mdomo wake ukiwa kwenye Chuchu ulifika na kuanza kuzinyonya

    “aah,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaasss

    sssssssssss!"

    Alilalamika Binti ambaye wakati ananyonywa Chuchu alijipanua mapaja yake na kumpa nafasi Azizi ya kuingia zaidi katikati hapo ya mapaja yake

    Azizi nae alishuka mpaka kwenye kipochi manyoya kwa utamu wa

    Malavidavi na kuanza kukinyonya kiarage mpwito kilichokuwa kinachezacheza kama kipo kwenye tetemeko kabla hajaingiza ulimi na kuanza kucheza na kiarage

    ,kwanza alianza kwa kukipigapiga na ulimi wake ambapo wakati anaushusha chini ndio alikuwa akikipigapiga,,

    “aaaah,,,,aaaissssss­ssss,,,,ooo,aaaaahmmmmmh",alizidi kutoa miguno ya kimahaba aliyekuwa amemkumbatia huwezi kuamini kama ukiambiwa kashikiwa Bastola mpaka anaonesha ushilikiano wote huo Smaiya akakishika kichwa cha Azizi na kufanya kukikandamiza kwenye mapaja alizidi kulalamika wakati ulimi ukiwa unamsugua vyema kitumbua chake kilichokuwa kimelowa hasa.

    “aaaah,,oooh,, babaaaa,,,,,aaah,,,a­limwita mwenyewe kwani alijihisi yuko dunia nyingine.

    Huku nnje hali ilianza kuwa mbaya kwa chapombe yule kwani alikuwa akijishika sehemu zake Nyeti na kuanza kujichukuwa huku akiendelea kula kwa macho.

    Ghafla mlio wa risasi ukasikika ukitokea chumbani mulehttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Na kufanya Mlevi yule aanguke chini kwa kishindo akajizoazoa na kuhitaji kukimbia

    Lakini kishindo chake kiliweza kumshitua

    Azizi aliyekuwa tayari kaumwaga ubongo wa Smaiya.

    Chapombe alizidi kukimbia huku nyuma akifatwa na Azizi mwenyewe akiwa na vijana wake kama

    Wawili kuna sehemu moja Chapombe alikaa katika target

    Bastola ikaandaliwa lakini kabla hajafyatua risasi jamaa akakunja kona





    Kitendo cha yule chapombe kukunja kona ndiyo ilikuwa kunusurika kwake.

    Azizi hakutaka kukata tamaa akazidi kumfatilia,

    Ikawa ni mtafutano katika vichochoro baada yule

    Chapombe kupotea katika mazingira ya kutatanisha

    na kumuacha Azizi asiweze kufahamu mbaya wake kaingilia wapi. Akaangaza macho huku na kule

    mwishoe akarudi nyuma na kuondoka.

    Kesho yake Asubuhi taarifa ya habari ikatangazwa juu ya mauwaji yaliyofanyika huko

    Tandika baada binti mwenye umri wa miaka Ishillini kupigwa risasi ya kichwa.

    Chanduka aliweza kufika eneo la tukio akiwa kaongozana na Mariam baada kufanya uchunguzi wa awali wakaondoka,

    Wakati huohuo Mzee Hossam

    Mbonde alikuwa amekaa ofisini kwake akiwa kajiinamia bila shaka akiwaza hili na lile. Hasa kuhusu swala la kupotea kwa mwanae.

    Kilichomchanganya zaidi ni kuambiwa kuwa mwanae yupo mikononi mwa

    Hafidhi j Ikram, hakujua afanye nini juu ya kumkomboa binti yake kwenye mikono ya Muuaji hatari kama huyo. Ndipo akaamua kufanya maamuzi magumu ni kuiteka familia yake kwa gharama yeyote ile, aliweza kufahamu kumteka

    Undercover agent si kazi ndogo hata kama atatumia Wanajeshi wa kutumainiwa akaona njia pekee ni kujenga ukaribu na binti huyo

    Kisha amleweshe na kumteka. Bila kuchelewa akaanza harakati za hapa na pale.

    “Hivi kaka vipi kuhusu ile plan ya Asia?"

    “Dahaa umeniuliza swali la maana sana Mdogo wangu kiukweli kazi bado haijaisha maana kanitajia Vifaranga. Kuku wenyewe bado, kitu kingine hata wewe itabidi uanze na watu wako,

    Hafidhi alitoa maelezo baada kuulizwa swali na Yasri,

    “Basi powa wacha mimi niende kwa Asia nikachukuwe List kisha tuangalie nini cha kufanya,"

    “poa fanya hivyo Mwamba ila jiangalie huko uwendako maana wewe ni Wanted zaidi ya Gaidi!"

    “usijali Kaka nitajichunga tu"

    Wakaagana huku Hafidhi akibaki na Shemeji yake wakipiga stori,

    Yasri akiwa ndani ya Daladala aliweza kusikia taarifa za Mwanamke aliyepigwa risasi ya kichwa baada kubakwa, kila mtu aliongea lake juu ya mkasa huo.

    Pasipo kufahamu kuna siri nzito nyuma ya panzia

    ************

    Kiumbe cha ajabu kilichoibuka kule Makaburini alikuwa bado akirandaranda juu ya anga katika jiji la

    Dar es Salaam ni kiumbe ambaye mpaka sasa jina lake na sehemu atokayo haijafahamika

    Kiumbe huyo alikuwa akija kwa kasi ya ajabu pindi tu macho yake yalipoweza kuiona

    Gari ndogo aina ya Range Rover yenye rangi nyeusi

    “Mzee naona kama kuna kiumbe anatufata kwa nyuma"

    Aliongea Dereva wa ile gari kumwambia Chanduka huku bibiye Mariam akiingiza mkono kiunoni mwake na kuichomoa Bastola

    “ongeza speed!"

    Chanduka akaamrisha speed ya gari iongezwe baada kukiona kiumbe kile kupitia kioo cha Sait Mira mwendo ukaongezeka huku kiumbe nae akizidisha

    Kasi ya kuosegelea gari ile kufumba na kufumbua Range Rover ikapiga mueleka na kubimbilika

    baada tairi ya mbele kupasuka

    Ilibiringika kama mara tatu na kutulia kimyaa huku wananchi wakijishika vichwa

    Vibaka nao wakaitumia nafasi hiyo kuchangamkia tenda kujifanya wanasaidia kumbe

    wanaiba kama vile simu pesa

    Na vinginevyo wakasogea ghafla wakaanza kuwaka moto kumbe kile kiumbe alikuwa yupo juu akitega mingo yeyote atakayetoka kwenye Gari au kusogea eneo lile anamtemea moto. Vibaka na wale vimbelembele walikoma

    hakika ulikuwa ni moto mkali sana sekunde tu

    watu washakuwa wafu weusi utasema mkaa

    Polisi waliojaribu kusogea nao kiliwakuta kama kilichowakuta Vibaka hao, moto uliwaka

    wakati kiumbe akiwa bize kuwasha moto Chanduka akajivuta na kutoka ndani ya gari huku

    Bibiye Mariam alikuwa kabanwa na kiti

    Ukiangalia mafuta yalianza kudondoka. Chanduka akajikaza na kuikamatia Bastola yake vyema akamimina Risasi nyingi kwa yule kiumbe, mwenzake ndio kwanza akazidi kufanya maafa kwa kupuliza moto,

    Shukhuri ilikuwa pevu baina yao Upepo ulianza kuvuma kwa kasi katika eneo lile na kufanya vitu vipeperushwe huku na kule

    Moto ukazimika ghafla kikaibuka kiumbe kingine akiwa na Pikipiki bila shaka kiumbe huyu alikuwa ni wakike kutokana na Kifua chake kuonekana kumetuna vichuguu fulani hivi

    Akachumpa na ile Pikipiki na kwenda kutua kwenye mwili wa kiumbe yule alizunguka kama panga boi

    Kitendo cha kutua chini alishamgawanya viungo kile kiumbe kisha akapotea.

    Yakabaki mabaki ya mwili wa kiumbe kile yani kichwa sijui mikono na viwiliwili vingine kweli kuna Mbabe na wababe usichokiweza wewe na kukupa shida kwa mwenzako ni kitu kidogo tu.

    Ndivyo ilivyokuwa kwa kiumbe kile kufa kizembe japokuwa Chanduka alikuwa hamuwezi mpaka akashindwa kumsaidia Bibiye Mona

    Asiuwawe na kile kiumbe. Taarifa zilitangazwa juu ya kuangamizwa kwa kiumbe cha ajabu

    Aliyeifanya kazi hiyo ni Mr. Chandu heshima za pekee ziende kwake, mwanaume akavimba bichwa

    ************

    Tukija nchini Kenya katika maeneo ya Bandari majira ya saa saba usiku kulikuwa na uvamizi umefanyika baada kikosi kilichotumwa sijui kutokea Nchi gani walikuwa watu wapatao kumi hivi katika mavazi ya Kininja wakaanza kuuwa mlinzi mmoja mmoja na kutega mabomu kisha

    wakaacha ujumbe na kitambaa cha bendera ya Tanzania, wakasepa

    wakati wao wanaondoka kuna kiumbe kilikuja na kuuchukuwa ujumbe na ile Bendera akaweka nyingine Mabomu yote akayategua.

    Kesho yake asubuhi taarifa zilitangazwa juu ya Nchi ya Uganda kuivamia Bandari ya Kenya na kutaka kuilipua kwa Bahati nzuri Mungu alikuwa upande wao mabomu yameshindwa kufanya kazi

    Sasa tutajibu mashamburizi si wametuanza

    “sasa ndio mmefanya nini nyie ngedere?

    Badala ya kuichonganisha Tanzania na Kenya juu ya kuigombea ile Bandari ajabu mmeacha kila kitu chetu. Huu ni upuuzi mkubwa Nduli embu kamata hawa kachinje kiwe chakula cha

    Mbwa!"

    Alikuwa na Kanari wa Jeshi bwana Folbano yeye ndio aliyepanga mpango mzima kuhakikisha kuwa nchi mbili hizi zinaingia kwenye Vita hata kama

    Waligawana vitu hivyo kuwa Tanzania wabaki na mrima Kilimanjaro huku Kenya wakibaki na Bandari. Pasipo kufahamu nchi ya Tanzania kuna

    Ninja Short na Ninja Suit wanaipenda nchi yao na kuilinda kwa gharama yeyote ile

    Sasa haijulikani aliyebadirisha ni yupi maana kilikuwa ni kitendo cha haraka mno.

    Sasa Uganda mtajibeba kama Tanzania iliwatwanga kipindi hicho sasa jalibuni kwa Wakenya

    “Kaka ile List hii hapa"

    “ok vyema sana kijana sasa itabidi tuanze na huyu mtu"

    “huyu si Diwani wa manispaa ya Temeke?"

    “Udiwani wake ataenda kuufanyia kuzimu subiri nimpeleke"

    Hafidhi aliongea na kupotea Chumbani mule akimuacha Yasri akiweka arama ya X kwenye jina la Diwani yule akawasha TV akitegemea muda si mrefu habari zitatangazwa juu ya Mauwaji hayo.

    Hafidhi j Ikram baada kutoka pale

    akaibukia Kinondoni na kupiga hatua

    wakati huo Tunamuona Ikram nae akitoka kwenye Duka moja na kupigana kipushi na Mzee wa makamu.

    “Samahani mzee wang,,, kibao

    Ikram kabla hajamalizia kuitamka samahani akapigwa kibao na yule mzee

    “Shenzi zako mtoto wa Malaya unatembea macho juu juu kama vile mama yako alivyokuwa akijiuza"

    Mzee alimtukana kijana wawatu matusi mazito

    wakati yeye ndiyo mwenye kosa

    “Unaliona hili koti?"

    Kabla ya kujibiwa mbele yao akaibuka Ninja Short akiwa kwenye mavazi ya kazi.

    Mzee alianza kutetemeka na kupiga kelele

    “walinzii mzuieni huyoo"

    Haikuchukuwa sekunde hata mbili Walinzi wote chali. Mzee akabaki kuweweseka

    huku akirudi nyuma

    Ikram alitaka kuchenji mavazi ili amsaidie sema akikumbuka Dharau za yule mzee na kule kumtukania mama yake akashiti.

    Akabaki kushuhudia mzee yule akivunjwa shingo

    Ninja Short akamtazama Ikram kisha akamwambia

    “Ninja Suit tutaonana siku nyingine ndugu"

    Inamaana alishamfahamu ni kitendo kilichomshtua sana Ikram na kubaki kujiuliza huyu

    kiumbe kanifahamu vipi?

    Ving'ora vya magari ya polisi ndivyo vikamgutusha na kuondoka haraka sana maeneo yale.

    Kilikuwa ni kifo cha ghalfa kwa diwani huyo ukizingatia siku hiyo alikuwa na kikao na watu wakata yake Wananchi wakapamba sehemu ya mkutano mwishoe wanapokea taarifa kuwa

    Diwani wao kauwawa na mtu asiyejulikana

    hakukuwa na ushahidi wowote basi siku ikaisha kama hivyo

    Kesho yake sijui ilikuwa ni zamu ya nani?

    ndani ya viwanja vya Mbagala kuu tunamuona Hafidhi akiwa maeneo hayo,

    aliingia mitaa kadhaa na kutokezea msikitini akaenda kukaa mbali kidogo na msikiti huku macho yake yakiwa makini kuangalia mwenye kuingia na kutoka. Ulikuwa ni muda wa swalat Dhuhuri

    akakaa mpaka watu wakatoka msikitini

    Akanyanyuka na kumfata mzee mmoja wakipemba

    kitendo bila kuchelewa akakipitisha kisu chake kidogo kwenye shingo ya yule

    Mzee akapotea.

    Vifo vilizidi kuongezeka kwa kasi na kufanya watu waanze kuishi kwa mashaka kama miaka sita nyuma iliyopita. Safari hii viliibuka kwa kasi watu walifahamu uwepo wa Chanduka nchini kila kitu kitakuwa sawa kumbe sivyo

    Ndio kwanza watu wanachinjwa mbele yake,

    Ikram alichukizwa na kitendo cha watu kuwawa kinyama hata kama ni wenye makosa

    Nae akajitosa kumsaka muuwaji.

    Katika mitaa ya Temeke tunamuona Yasri akiwa na Pikipiki akaipaki sehemu na kuvua Element na kupiga hatua kuelekea Dukani akanunua Vocha sasa wakati anaikwangua kuna kibaka akaja na kuikwapua simu, hakupiga kelele za Mwizi kama kawaida yake kimbiza mwizi kimya kimya

    Katika kumkimbiza

    Kufika sehemu yule Kibaka akasimama na kuanza kucheka

    “Hahahahahaha"





    Yasri alichukulia kitendo cha yule jamaa kumcheka ni kama dharau fulani hivi. Mwanaume akadunda na kwenda kumtandika teke la kifua, yule kibaka akapepesuka na kuanguka chini. Lakini wakati huohuo kuna kiumbe alikuja kwa kasi ya ajabu na kumvamia Yasri ikawa piga nikupige.

    Hakika kiumbe kile alikuwa ni mkali katika

    Mapigo ya Shifting alikuwa akipiga huku akizunguka na kufanya vazi lake aina ya Johoo ile minguo wanaovaa Mawakili au Hakimu. Ipepee na kumfunika Yasri usoni kitendo ambacho kilimfanya ashindwe kupambana vizuri akajikuta akianza kuchanwa na kitu chenye ncha kali,

    Damu zilianza kumtoka kile kiumbe alikuwa kavaa kinyago kuificha sura yake. Asiweze kujulikana kuwa yeye ni nani,

    Yasri akiwa kainama chini huku kashikilia sehemu yenye jeraha kuzuia damu isitokea

    Akakitwa na kisu cha mgongo kikazama huku kikizungusha ndani ya mwili wake na kuchomolewa kisha kile kiumbe akaivua ile Mask huwezi kuamini aisee alikuwa ni Azizi sijui kajifunzia wapi mapigo kama hayo. Mpaka kaweza kumdhibiti Yasri

    “Azizi ni wewe?"

    Yasri akauliza huku damu zikimtoka mdomoni. Ni muda mrefu umepita tokea miaka ile ya nyuma marafiki hawa wakubwa tokea utotoni

    Urafiki wao ulikuwa zaidi ya ndugu. Wakaja kutengana baada Baba yake Azizi kupata uhamisho wa kikazi leo hii wanakutana katika Uadui mkubwa kisa Mwanamke mmoja anataka kumuua

    Mwenzie.

    “ndiyo mama Nigger bila shaka utakuwa ukijiuliza

    Nimefahamu vipi kuwa upo hai. Sasa basi tusipoteze muda naomba unitajie Mke wangu Fatma yuko wapi?"

    “Hahahahaha, Azizi embu acha ujinga wako hivi umesahau kuwa Fatma ni Shemeji yako?

    Wewe si ulimchukuwa Smaiya inamaana umesahau sio?"

    “Shatapu, usirudie tena kuzungumza upuuzi kama huo Smaiya alikuwa ni kama chombo cha starehe tu. Sikuwa na marengo naye namtaka Fatma vinginevyo nitakuchinja sasa hivi!"

    “umechelewa Rafiki sasa naomba utangulie kuzimu nenda ukaandae Ghetto letu ipo siku tutaungana tena pamoja,"

    Aliongea hivyo Yasri huku akizunguka kwa kasi

    Azizi nae akafanya hivyo lakini kama alivyoambiwa umechelewa basi ndivyo ilivyokuwa baada kichwa kuacha kiwiliwili na kudondoka chini. Ni moja kati ya Stance hatari sana aliyoitumia Yasri kumuangamiza Rafiki mnafiki.

    Akajifuta damu na kujiandaa kuondoka ghafla Ninja suit akaibuka mbele yake, kabla hajauliza

    Wee nani akapigwa mateke ya haraka haraka na kutupwa kule.

    Ninja Suit akachomoa Silaha zake na kumsogelea Yasri aliyekuwa kalala pale chini akajiandaa kumchinja, kabla kitu hakijatua

    Kwenye shingo ya Yasri upepo ukaanza kuvuma na kumfanya Ninja Suit asitishe kwanza zoezi lake.

    Huku Yasri akifahamu Master wake anakuja

    Pikipiki nyeusi ikaibuka maeneo hayo huku dereva akiwa Mwanadada matata aliyemsaidia Chanduka kule kwa kukiangamiza kile kiumbe cha ajabu

    Akaipaki pikipiki yake na kushuka akapiga hatua kumfata Ninja Suit, nae akamfata kitendo cha kukalibiana tu ukaanza mkono. Cha ajabu

    Ninja suit alikuwa cha mtoto juu ya kiumbe hicho kila akipiga kiumbe kinapachi na kuzipangusa utasema hataki kuchafuliwa

    Kisu kikapenya kwenye bega lake la kushoto na kuchanwa mgongoni. Ninja Suit akayumba huku Damu nyingi zikimtoka na kudondoka chini,

    Kiumbe kikaruka juu na kuja kutua kwenye miguu ya Ninja Suit kitu kikasikika kikilia kwaaaaa

    Mifupa ya miguu yote miwili ilivunjwa. Ninja Suit alikuwa anatia huruma asikwambie mtu Aiseee kila chenye mwanzo hakikosi mwisho. Kila mbabe ana mbabe wake

    Alichokifanya Ninja Suit ni kupiga Bomu akapotea. Kile kiumbe kilivimba kwa hasira na kumgeukia Yasri aliyekuwa kaegemea ukuta

    Akaanza kumfata alipomfikia akamshika shingoni na kumnyanyua juu akamninginiza utasema kifaranga cha kuku

    Hakika kiumbe kilikuwa na nguvu si mchezo,

    Yasri akabaki kuning'inia tu huku akichezesha miguu kuonyesha kuwa anakata roho

    Ghafla mlio wa risasi ukasikika pahaa

    Chanduka na Mariam pamoja na kitengo kizima cha FBI walikuwa washafika baada kupigiwa simu

    na baadhi ya majirani walioweza kushuhudia mtiti huo wakafahamu hili swala ni zito sio la kuita polisi ndio maana FBI walikuwa wa kwanza kufika wakifatiwa na polisi

    Chanduka ndio aliyefyatua risasi kwa kupiga juu kiumbe kikageuka na kumbwaga Yasri chini

    Kisha akadunda na kwenda kutua mbele ya Chanduka akazunguka na kuachia mateke, Chandu nae akaruka kwa kurudi nyuma yani kama kumkwepa hivi. FBI wakahitaji kumshika

    Kiumbe alikuwa akipiga na kunyonga kwa kutumia kisu chake kidogo alikuwa anatoboa popote pale kwenye miili ya Askari hao

    Mariam akachumpa mfano wa kama anataka kuogelea kwenye Swimming pool. Akatua mbele ya kiumbe huyo.

    Kivumbi na jasho vumbi lilitimka maeneo hayo huku Wananchi wakikaa mbali na eneo hilo

    Yasri akaona kama akiendelea kuzubaa basi atakufa

    Akajitahidi kusota ili aweze kujiokoa lakini hakuwa na uwezo huo akaanza kuita Master,,,,master

    ******************

    “Shemeji mi sitaki bwana"

    “utaki nini si umeniruhusu mwenyewe nikutanie"

    “sasa ndiyo uniite kichwa cha panzi"

    “ha!ha!ha!ha! Kumbe ulitaka nikuite fidodido"

    “shemeji shemeji"

    Yalikuwa ni matani ya hapa na pale baina ya Hafidhi na bibiye Fatma huku wakiwa wanacheza karata

    “Ahaa mbona seti halijatoka?"

    “lishatoka muda tu wewe si ulitoa Dume la shupa Mimi nikatoa seti"

    “ahaa Shemeji uwongo huo umeogopa nitakuowa huyoo"

    Basi furaha iliyoje baina ya watu hao

    “Yasri"

    “Yasri kafanyaje tena wakati kasema anaenda Temeke?"

    “namsikia kama ananiita hivi"

    “Mmh! Wewe nae ushaanza mambo yako hiyo sauti ya mdogo wako imekukaa mpaka kuna muda unahisi anakwita embu changa karata hizo tucheze usiondoke bwana!"

    Fatma aliongea kwa sauti ya kudeka na kumlalia shemeji yake mapajani,

    Hafidhi akawa akizichezea nywele za bibiye Fatma

    ***************

    Ni kweli Yasri alikuwa akimwita Master wake huku akiwa kalala pale chini akaanza kuongea

    “Baba, Mama pamoja na kaka Hafidhi naomba mnisamehe nipo chini ya miguu yenu. Kiukweli nimekutana na ugumu kwa kiasi kikubwa katika kukamilisha kile ambacho nilijiapia

    My Vengeance kisasi changu kimenishinda. Leo hii nakufa kifo cha fedheha nikiwa bado hata sijapiga hatua moja mbele katika kukamirisha kisasi hiki

    Nisameheni,,,,

    Chanduka akadunda na kwenda kumtandika mateke yule kiumbe aliyekuwa kamkaba Mariam akaishia kudunda kwenye mwili wa kiumbe kile

    Mariam alikuwa akitokwa na damu puani na mdomoni akafurukuta aweze kujitoa lakini wapi.

    Kitu kilitaiti si mchezo,

    Miili ya FBI ilikuwa imelaliana hovyo wakiwa hawana tena uhai akabaki Chanduka na Mariam aliyekuwa kakabwa, nae pumzi ilikuwa inakaribia kuacha mwili

    Ving'ora vya magari ya polisi vilisikika

    kwa fujo, Mariam akatupwa kule kisha kiumbe kikakwea pikipiki yake na kupotea, hakika ilikuwa balaa juu ya balaa,

    Ambulance nazo zilifika kwaajili ya kutoa msaada kwa majeruhi. Yasri akabebwa na kupakizwa kwenye gari Safari ya kuwahishwa hospitali ikaanza. Chanduka akabaki pale pale kijasho kikimtoka asiweze kuamini kwakile kilichotokea akajisemea hakuwahi kukutana na kazi nzito na ngumu kama hii, akaingia ndani ya Gari na kuondoka

    **************

    Ninja Suit baada kupotea maeneo yale akaibuka chumbani kwake akiwa hoi bin taabani

    Akapiga kelele kumwita mama yake aliyekuwa amekaa nnje na baadhi ya Majirani kelele za mwanae zilimshtua akainuka na kwenda ndani mbio pindi alipoingia tu nae akasikika akilia

    “Jamani jamani mwanangu nani nini kimekutokeaaa hiiiiiii,"

    Majirani nao wakataka kufahamu kunani tena wakaongozana kuingia ndani na kumkuta Ikram akiwa kaachama mdomo na kuacha macho wazi kuonyesha kuwa roho ishaacha mwili

    Inna lillahi Wainna ilahi Rajiuni kiutani utani Ikram alikuwa ameiaga dunia

    R.I.P kwa Ninja Suit utakumbukwa kwa mazuri uliyoyatenda katika nchi hii hasa kwenye Mtanange wa Siku ya Hukumu,

    Wingu zito lilitanda kwa wakazi wa maeneo ya Tabata bima jijini Dar as Salaam mioyo ikaingiwa na simanzi bibiye Husna akapoteza fahamu kutokana na kupata mshituko juu ya kifo cha mwanae kauli ya mwisho ilikuwa ni sauti tu ya Ikram akiita Mamaa.

    Aliyechanganyikiwa zaidi alikuwa ni

    Chanduka hakuweza kuamini Aisee akabaki kujiuliza maswali yasiokuwa na majibu nani kasababisha kifo cha Ankor wake? Akamfikilia Hafidhi na kuona ndio muhusika mkuu kwani hakuna kiumbe chenye

    Uwezo wa kupambana na Ninja Suit zaidi ya Hafidhi akajiapia kufa au kupona lazima amteketeze

    Hafidhi kwa namna yeyote ile.

    Alimkumbuka Ikram kwa mambo mengi tu

    Sema ndiyo hivyo Kila nafsi itaonja umauti kila mmoja kwa njia yake au kwa kufanana.

    “Shemeji embu njoo uwone huku!"

    “nije kuona nini?"

    “kuna Msiba"

    Hafidhi akatoka mbiombio Bafuni akiwa na mapovu mwilini akaisogelea television utasema aoni vile

    Ghafla akaipiga ngumu na kusema

    Shit! Akapotea akimuacha

    Fatma kakodoa macho tu tv ishavunjwa





    Fatma akawahi kwenda kuzima kwenye socket maana tv ilikuwa ikitoa cheche.

    “yani kuona taarifa za msiba tu ndiyo avunje tv. Sijui nitaangalia wapi season ya Udaan ahaa,"

    Fatma aliongea kwa masikitiko hakuweza kufahamu kuwa ile habari imemshtua kwa kiasi kikubwa Bwana mkubwa mpaka kufikia hatua ya kuipiga

    Ngumi tv.

    Akaichukuwa simu yake na kubofyabofya kisha akaiweka sikioni,

    “Haloo Yasri kipenzi changu uko wapi?"

    “samahani Dada yangu mimi sio Yasri, ni Doctor Hawazi mwenye simu hii yupo hoi taabani"

    “what?"

    “ndiyo hivyo binti hapa tulikuwa katika hatihati za kuwatafuta sema ikatuwia vigumu kutokana na simu yake kuwa na Pattern line nayo ina password"

    “nakuja sasa hivi Doctor kwani yupo hospitali gani?"

    “Aghakan"

    Fatma akakata simu na kujiandaa kwaajili ya safari kwenye akili yake alifahamu bila shaka mpenzi wake

    Kapata ajali ya Pikipiki.

    ***********

    Bwana mkubwa baada kuiona taarifa ile na kupotea akaibukia kwenye Msiba akatembea na kupita kwenye mkusanyiko wa watu huku akiangaza macho yake kwakila mtu mwishoe akamuona Chanduka basi akamfata

    “Assalamu Alaykumu!"

    Chanduka kwanza hakuitikia ile salamu alimuangalia kwa kumkazia macho.

    “pole sana Mr je unaweza kuniambia nini kilichosababisha kifo cha Ikram?"

    Hafidhi baada kuona salamu yake haitikiwi akauliza swali.

    Hata hivyo Chanduka hakujibu kwani aliona kama vile jamaa kaja kumdhihaki wakati kila kitu anakifahamu.

    Hafidhi akaona kumbe jamaa ataki kuongea chochote akaangaza macho kisha akamgeukia Chanduka

    “Mke wangu yuko wapi?"

    “Sikia nikwambie kitu bwana Mdogo usitake kunifanya mimi fala kwa kuniuliza maswali yako ya kijingakijinga, wewe si ndiyo umemuua

    Ninja Suit? Unauliza kitu gani tena. Mara hii mkeo unataka kufahamu kuhusu mkeo

    Nae yupo katika hatua za mwisho kuiaga dunia,"

    Chanduka alianza kuongea kwa sauti na kumkunja Hafidhi, watu wote waliopo msibani

    Wakageuza macho yao kuwaangalia wao. Huku waandishi wa habari wakipiga picha

    “Mr unaongea nini wewe? Mbona sikuelewi Mimi ndiyo nimemuua Ikram kivipi kwa uwadui gani hasa. Nijibu mke wangu yuko wapi?"

    Hafidhi nae akamkunja Mr. Chandu wakawa wamekunjana na kuangaliana

    “Acheni kuzozana kwenye msiba wa mwanangu hiiiii"

    Bibiye Husna alikuja mbio na kupaza sauti huku akilia baada kuongea hivyo. Mama wa watu akaanza kuyumba wote wakaachiana na kuwahi kwenda kumshika mama yake Ikram

    “Hafidhi"

    “Naam mama"

    “mwenzako kabla hajafa kaniachia ujumbe huu, kaomba usimame imara katika kipindi hiki kigumu Chanduka baba"

    “Ndiyo Dada nipo hapa"

    “Ankor wako Ikram alikuwa na ombi moja tu kwako amesema kuwa huko aendako awezi kuwa na furaha ya aina yeyote ile, mpaka siku ambayo akisikia wewe na Hafidhi mmeungana na kuwa kitu kimoja tafadhali

    Fanya kitu juu ya Ankor wako"

    Chanduka hakujibu kitu ndio kwanza machozi yalikuwa yakimtoka

    Hafidhi akaufungua ule ujumbe na kuanza kuusoma

    (HAKIKA YA MAISHA NI SAFARI NDEFU SANA, KUNA KUZALIWA NA KUFA VITU HIVI VIWILI HAVIEPUKIKI KWA KIUMBE CHOCHOTE KILE

    NDIVYO ILIVYOKUWA KWANGU BROTHER NIMEANDIKA UJUMBE HUU NIKIWA MZIMA WA HAFYA KABISA NIKITAKA KUFAHAMU KWANINI UNAUWA? EMBU KUMBUKA WEWE UNA

    MAKOSA MANGAPI UMEMKOSEA MUUMBA WAKO MBONA HUJAFA MPAKA LEO?

    TAMBUA KITU KIMOJA WA KUHUKUMU SIO SISI BALI NI MWENYEZI MUNGU HATA MIMI SIKATAI KUWA SIJAWAHI KUFANYA MAUWAJI NILIFANYA SANA NILIKESHA USIKU NA KUTUBU ZAMBI ZANGU.

    KAKA ACHA KUUWA KAMATA WENYE MAKOSA PELEKA KWENYE VYOMBO VYA SHERIA

    HUKO WATAPATA HUKUMU STAHIKI

    KAMA IKITOKEA SIKU NIKIF.........

    Barua ilikuwa imetapakaa damu haikuweza kufika mwisho kuonyesha kuwa muandikaji alikuwa katika hali mbaya sana akashindwa kumalizia kuandika

    Hafidhi akapotea pale pale na kuacha watu wameduwaa tu.

    Maana si kwa kupotea kule utasema Jinni.

    Ziliweza kupita siku tatu tokea Ikram au Ninja Suit afariki na kuzikwa kwa heshima zote.

    Siku hiyo Hafidhi alikuwa yupo pembeni ya kitanda cha bibiye Mariam akiongea nae

    “pole sana mpenzi"

    “asante sana hivi baby mbona hukuja kutusaidia?"

    “kiukweli sikuwa na taarifa zozote juu ya jambo hilo"

    “Mariam kikosi kishafika kuja kumchukuwa yule kijana!"

    “Kijana gani?"

    “Anaitwa Yasri ni kijana ambaye alihukumiwa kunyongwa sasa haijulikani alifanya ujanja gani akaweza kutoroka Gerezani tena ilikuwa ni siku yake ya hukumu"

    Chanduka akatoa maelezo kwa Hafidhi wakati mwenzie anafahamu mwanzo mwisho na huyo Yasri ni kijana wake sema hakutaka kujionesha tu,

    “Iseee inamaana alitoroka sio?"

    “ndiyo hivyo"

    Chanduka akatoka nnje ya wodi na kuwapa Amri vijana wamfate.

    Yasri alikuwa amekaa kitandani huku mkono wake mmoja ukiwa umefungwa pingu.

    Hakuwa amepona ni siku tatu tu tokea afikishwe katika hospitali hiyo akiwa hajitambui.

    Machozi yalianza kumtoka alikumbuka jana yake alipotembelewa na bwana Hossam

    Akamchukuwa binti yake huku akimuahidi kumpoteza katika uso wa dunia hii kama

    Askari magereza wameshindwa kufanya hivyo Mimi nitakuuwa.

    Akakumbuka kidudu mtu nae tayari ameenda kuzimu yani Azizi aliyekuwa kimberembere kutaka kumuoa bibiye Fatma

    Pia akabaki akajiuliza kuhusu Master wake mpaka sasa atakuwa wapi?

    Inamaana hajapata taarifa yoyote. Kuhusu yeye. Wakati akiwa kajiinamia akiwaza hili na lile. Ndipo mlango ukafunguliwa akainua kichwa chake kutazama ni Askari Akashtuka si kidogo kitendo bila kuchelewa akafunguliwa ile pingu pamoja na kutakiwa kubadirisha

    Mavazi.

    Kisha akachukuliwa na kutoka nae.

    Hafidhi aliona kila kitu sema akashindwa kufanya chochote mpaka Yasri anapakizwa ndani ya gari

    Akamuona na Chanduka akipanda Pikipiki kuifatilia gari kwa nyuma.

    “baby naomba maji"

    Sauti ya mkewe akiomba maji ndio ikamfanya ageuke sababu alikuwa akiangalia dirishani. Basi akainuka na kwenda Kuchukuwa maji

    Na kumpatia.

    Wakati safari ya kumpeleka Yasri ikizidi kusonga mbele wakiwa maeneo barabara ya Samora Avenue

    Chanduka alishtuka baada kuona yule kiumbe akiwa amesimama juu ya gari. Akapiga kelele kumtaka dereva wa gari aweze kusimama. Nae aliweza kuisikia amri hiyo akafunga break

    Kumbe lilikuwa kosa kubwa kiumbe kikadunda na kuchumpa akaingia ndani ya Gari kilichoendelea humo ni chinjachinja Askari wote akamtupa Yasri nnje ya Gari. Sijui kamkosea nini kijana wa watu.

    Chanduka alikuwa kajiweka tayari tayari akaanza kufyatua risasi. Kiumbe ndio kwanza alikuwa akizikwepa na kumfata Chanduka, akazidi kupiga risasi kuja kutahamaki

    Bastola haina kitu. Na kiumbe kashafika karibu yake.

    Hakuwa na jinsi ni kupambana tu.

    Alirusha makonde ya maana yaliyompata yule kiumbe Usoni kikarudi nyuma na kujiweka sawa akawa anakuja kwa kasi

    Na kukita kifuani mwa Chanduka akarushwa juu na kwenda kujibamiza kwenye Gari. Dahaa hakika kiumbe ni hatari tupu

    Chanduka baada kubamizwa kwenye gari akasimama na kukunja ngumi

    Akimtaka yule kiumbe amfate

    Wakati huo huo upepo mkali mfano wa kimbunga ukaanza kuvuma Ninja Short akatokea

    Sio siri Yasri aliyekuwa kalala chini alifurahi baada kumuona Master wake amekuja ujio wa Ninja Short ukamfanya yule kiumbe apotee,

    Ninja Short akamsogelea Yasri akamshika na kupotea nae

    Chanduka akabaki mwenyewe na miili ya Askari wale.

    “Yasri Mdogo wangu kiukweli hii kazi imekushinda. Tulia kijana kila kitu niachie Mimi,"

    Hafidhi aliongea baada kumfikisha Yasri katika nyumba wanaokaa

    “Sawa kaka lakini nipiganie kuhusu penzi langu"

    “Penzi gani ndugu?"

    “Nampenda Fatma"

    “kuhusu hilo usijali wewe tulia kila kitu kitakuwa sawa"

    Hafidhi baada kuongea na kumtaka atulie

    Akaelekea Temeke Akiwa maeneo hayo akapiga hatua mpaka kwenye duka moja hivi.

    “Mambo vipi brother?"

    “fresh tu ndugu"

    “nipatie maji ya baridi"

    “haya madogo au?"

    “hayo hapo ya liter moja kaka"

    Hafidhi alipofika dukani akahitaji kununua maji basi akapatiwa na kulipia

    “naitazama dunia kwa matumaini yenye kukatisha tamaa. Nchi yangu Tanzania ina ninyanyapaa, laiti ningekuwa ndege ningepaa, kuliko kubaki hivi nashangaa. Kila kukicha watu wanakufa na njaa,"

    Alikuwa muuza bidhaa pale dukani

    Akiimba kwa madoido, na kumfanya Hafidhi atabasamu

    “kaza kaka ipo siku utatoka tu, maana kipindi hiki ukitoa singo moja tu tayari wewe Star unapata mjengo kama ule na gari"

    “ahaa wapi? Yani singo moja tu upate mjengo huo kama si Uchawi kumbe kitu gani"

    “hahahahahaha usiseme hivyo ndugu tambua sasa hivi kila kitu kimebadirika

    kipindi kile wakati Wasanii kama Sir Nature sijui

    Voice Wonder kina Afande Sale zama zao kulikuwa hakuna pesa msanii analipwa elfu hamsini au laki mbili kwa show moja

    Unadhani atajenga au kununua gari kwa pesa ipi?

    Tukija sasa hivi msanii analipwa kuanzia Milioni tano hadi Hamsini kwa Show moja

    Kwanini asijenge asivute ndinga. Japokuwa kuna wasanii wengine wanataka kupitia Maisha ya mkato kwa kuuza madawa ya

    Kulevya ili wapate utajili wa haraka, hawataki kuridhika kwa kudogo wakipatacho.





    Wakati Hafidhi na yule Mangi wakiendelea kupiga stori na kusimuliana habari za hapa na pale, kuna gari ilikuja kupaki mbele ya Duka hilo. Wakashuka vijana wakiume kama watatu huku wengine wawili wakibaki kwenye Gari.

    “oyaa Mangi nipatie Esiemu pakti moja na kibiriti"

    “Sasa unachukuwaje pakti zima la esiemu wakati wengine tunatumia Embasi bwana!"

    “wewe embu acha uboya kila mmoja na pochi lake si ufunguwe lako ununuwe"

    “nitanunua vipi wakati mtonyo wangu sijapatiwa"

    “kama hujapatiwa tuliza mshono"

    Walikuwa ni wale vijana wakizozana dukani pale pasipo kutambua pembeni yao kuna mtu alikuwa akiwachora tu.

    “sasa itabidi kila mmoja awe makini katika jambo hili, kwanza tukifika pale tunagonga Geti yule mkuda akifungua tu hakuna cha kuuliza ni kumtwanga"

    “Sasa Martin hiyo Memory card tunaweza kuipata kwa style hii kweli?"

    “ndiyo maana yake Bosi kasema kitu kimehifadhiwa ukutani nyuma ya Picha kubwa. So sijui itakuwa picha ya nini cha umuhimu ni kuvamia tu"

    Waliongea kwa sauti ya chini sana baada kurudi ndani ya gari. Mazungumzo yao yaliweza kumfikia Bwana mkubwa aliyekuwa kakaa kwenye kiti pale Dukani. Kiukweli hata yeye hakuweza kufahamu hiyohttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Memory card wanaitakia nini vijana wale,

    Akahitaji kufahamu mwanzo mwisho. Baada kuona ile gari imeondoka akaitupia macho mpaka ikapotea mbele ya upeo wake, kisha akaaga na kuondoka.

    Alitembea hatua kadhaa tu mbele akaweza kuliona lile gari limepaki nyuma ya mtaa fulani

    akaangalia kiumakini zaidi na kugundua ndani ya gari ile amebaki mtu mmoja tu.

    Alichokifanya ni kuisogelea kwa kunyata akazunguka upande wa Dereva na kugonga kioo

    Kitendo cha yule mtu kushusha kioo akashtukia akishikwa shingo na kuvunjwa.

    Hafidhi akamshusha yule jamaa na kupotea nae.

    “Oyaa Chibo washa mchuma huo"

    Baada kupita kama dakika kumi hivi tokea Hafidhi apotee na mwili wa yule kijana.

    Wenzake walikuja mbimbio na kuingia ndani ya gari ajabu kijana aliyevunjwa shingo

    Bado yupo hai, tena amekaa pale pale sehemu ya Dereva basi gari ikawashwa na kuondoka maeneo hayo kwa speed

    “Hivi Chibo mwamba leo umevuta mjani wawapi?"

    “wa makalio yako"

    “ohoo Dogo unanitusi sio kudadeki zako nitakutwanga kama siku ile M***senge"

    “umtwange nani wee bwege tu"

    “powa mi bwege subiri tufike nikuonyeshe ubwege wangu leo nitakugeuza demu wangu shoga mkubwa wee"

    “hivi Chibo na Suma kila siku mmekuwa watu wa kugombana tu kubabeki zenu mtakuwa lini nyinyi embu acheni utoto"

    “sio hivyo Stopa huyo bwege kazidi dharau leo nitamuonyesha"

    “umuonyeshe nani mamaye zako tushuke basi hata hapa unionyeshe!"

    Chibo aliongea kwa hasira na kufunga break

    Akaipaki gari pembeni akawa wa kwanza kushuka.

    Suma naye akashuka huku akitabasamu na kusema

    “yani wee dogo unataka kupimishana nguvu nam,,,,, kabla hajamalizia kuongea Chibo alikuja kwa kasi na kuanza kumrushia makonde

    Hakika zilikuwa ngumi nzito nzito zilizomfanya Suma ashindwe kuhimili Shamburio lake

    na kujikuta zikimpata usoni kichwani kifuani

    yani kila sehemu ya Mwili wake ndani ya dakika tatu

    Suma hatamaniki yupo hoi kalala chini

    Damu zilikuwa zikimtoka.

    “Chibo basi inatosha muachee,"

    Wenzake waliokuwa wamesimama pembeni kuangalia jinsi wenzao wakifundishana adabu wakawahi kumshika Chibo na kumtaka aache.

    Wakaingia ndani ya gari kila mmoja akiwa kimya huku Suma akijifuta damu alikuwa hajaamini kama kapigwa kama mtoto tena na

    Chibo kijana wa juzi tu. Baada ya mwendo mrefu kidogo gari iliweza kufika Masaki na kusimama mbele ya Geti kubwa honi ikapigwa

    Na geti kufunguliwa gari ikaingia ndani.

    Wakashuka na kutembea kupandisha ngazi

    Wakaingia kwenye chumba kilichoandikwa neno

    Affect pale mlangoni,

    “karibuni sana vijana. Bila shaka mmeweza kufanikisha kila kitu?"

    Walikalibishwa na mzee mmoja wa makamu hivi huku akiwatupia swali kama wameweza kuja na mzigo.

    Sheby akaingiza mkono wake kwenye koti na kutoa kidude kidogo hivi cheusi na kumkabidhi yule mzee

    “vizuri sana vijana

    Nadhani huyu chizi baada kunusurika kifo kule gerezani atahitaji kutafuta ushahidi sasa

    Basi wacha tuiteketeze"

    Aliongea mzee yule na kusogea sehemu ambayo kulikuwa na kigae kikiwaka moto

    Akanyoosha mkono wake lakini kabla hajaingiza ile Momery kwenye moto

    Chibo akainuka na kwenda kuikwapua huku akimtandika zinga la teke yule

    Mzee, akadondoka chini huku kina

    Sheby wakiingiza mikono kwenye viuno na kuchomoa Bastola zao kilikuwa ni kitendo cha haraka kwa Chibo kuchumpa dirishani na kutokomea upande wa pili

    Akiwaacha wenzake wasiamini kwakile kilichotokea

    Wakatoka nnje na kuanza kumtafuta hawakuweza kuona hata arama ya unyayo wake

    Chibo alikuwa kashapotea

    “Kudadeki huyu mwanaharamu amekuwaje leo kudadeki zake. Embu tumuwahini nyumbani kwake"

    Aliongea Sheby kila mmoja akakwea pikipiki

    Na kutoka kwenye mjengo huo kwa

    Kasi. Yule mzee nae akaingia ndani ya gari.

    ***************

    Tukija upande wa Chanduka siku hiyo alikuwa amekaa ndani ya ofisi yake

    Akiwaza hili na lile hakika kichwa kilimuuma kutokana na msongo wa mawazo.

    Mpaka akahisi kinataka kupasuka kikubwa alikuwa akimfikilia yule kiumbe cha ajabu.

    Na kujiuliza mbona anamfatafata kwani ni nani yule?

    Pia akajiuliza mbona alipokuja Hafidhi kile kiumbe kilipotea inamaana anamuogopa Hafidhi au wanajuana? Na kwanini Hafidhi amchukuwe Yasri kampeleka wapi hivi hafahamu kama yule ni

    Mtuhumiwa?

    Chanduka alijiuliza maswali pasipo kupata majibu mwishoe akainuka na kutoka nnje ya ofisi

    Akiwa anatoka

    Akashtuka baada kumuona Hafidhi akiingia kwenye ofisi ya bibiye Mariam ambaye,

    Akaitoa bastola yake na kuanza kunyata utasema yupo msituni. Akazunguka kwa kuambaa na ukuta kuna sehemu akaigusa kulikuwa na nyavu pakafunuka akachumpa na kupanda juu kishaa akaanza kutambaa,

    Akiwa yupo juu anasota akafika sehemu kuna matundu fulani madogo hivi akachungulia kwa chini hapo aliweza kumuona

    Hafidhi j Ikram akiwasha Computer na kuchomeka kitu kama Flashback,

    Akakaza macho kuangalia kile ambacho kitaonekana kwenye computer.

    “kiukweli kile kiwanja nakitaka kwa udi na uvumba sema bwana Yasini amekuwa ni mbishi hataki kuniuzia"

    “kuhusu hilo usijali cha umuhimu ongea una Kiasi gani cha pesa sisi tuanze kazi!"

    “kuna Milioni mia tatu"

    “Dahaa kwa milioni mia tatu kwa kiwanja kile chenye nyumba kubwa namna ile ni ndogo mzee mwenzangu. Ndio maana Yasini akakataa"

    “ok basi nitatoa milioni mia tano"

    “Duhuu zote hizo"

    “ndiyo hivyo kama ni kweli nitaweza kuipata sehemu ile nitaongeza zaidi ya hapo"

    Yalikuwa ni mazungumzo yaliyokuwa yakiongelewa kwenye Video iliyokutwa kwenye Memory ile

    Watu wakaagana huku wakibaki watu watatu

    “Sasa sikia nikwambie kitu ndani ya usiku huu lazima Yasini afe kisha tutengeneze mazingira

    Ionekane mkewe ndiyo muhusika wa kifo cha Mumewe.

    Baada hapo mkewe nae afe. Wakishakufa hawa nyumbu kitabaki kitoto hiki tutakitengenezea kesi ambayo Nina hakika hukumu yake ni kifo.

    Baada hapo kila kitu kitakuwa mikononi mwangu tutauza kiulaiini,"

    “Vizuri sana bwana mkubwa so Yasri yuko wapi kwa sasa?"

    “Yasri kaenda Kilwa Kivinje nahisi baada kupata taarifa za kifo cha mzee wake atakuja"

    Basi mipango ikawekwa

    Lilionekana tukio moja baada ya lingine mpaka Hafidhi akajiuliza wamejirecord ili iweje? Au kuna mtu alikuwa Akirecord kwa siri bila wao wenyewe kufahamu lolote?

    Alijiuliza maswali huku akiendelea kufatilia mchezo mwanzo mwisho. Akachukuwa karatasi na peni na kuandika maelezo fulani

    Baada ile video kuisha akaicopy na kuondoka zake.

    Chanduka akashuka kutoka kule juu akaingia ndani ya ofisi akashtuka baada kukuta ujumbe umeandikwa

    MR CHANDU NAONA HUKO JUU ULIKUWA HUWONI VIZURI SASA NILICHOFANYA NIMEKUCOPIA

    JIPATIE WASAA MZURI WA KUPITIA TUKIO ZIMA.

    “ha!ha!ha!ha! Yani kweli huyu jamaa ni hatari mimi na ujanja wangu wote ule mwenyewe nimenyata nikifahamu hajaniona kumbee hola

    Embu acha niangalie vizuri.

    Aliongea Chanduka huku akicheka na kukaa kwenye kiti cha kuzunguka.

    Moshi mweusi ulikuwa ukifuka kwa wingi huku mile ya moto ikionekanika katika maeneo hayo. Kulikuwa na viumbe wa ajabu wamekusanyika. Kuonyesha kuwa kuna kikao nyeti.

    “Mama"

    “niambie Ibnuwas"

    “Ule muda wa Hafidhi kuja kuishi kuzimu umeshafika na huu ndiyo wakati wake"

    “Usijari mwanangu tushaandaa mtego atakuja tu"

    **********************

    Kina Sheby waliweza kufika kwenye mitaa ambayo anaishi Chibo wakapaki gari na kuanza kukatiza vichochoro kadhaa kabla ya kuifikia nyumba ya Chibo ajabu wakapokelewa na sauti ya vilio kutoka kwa mkewe Chibo, na baadhi ya ndugu zake.

    Sema hawakujali chochote kwa wakati huo shida yao ilikuwa ni Chibo.

    Wakaingia ndani na kushtuka zaidi baada kumuona Chibo akiwa kalala kwenye mapaja ya mkewe huku macho yamemtoka.

    Mkewe alikuwa akimtikisa aweze kuamka

    “haaaaa---Chiboo--mume wangu please fumbuaa machooohaaahiiiiichiboo wanguu jamaniiii!"

    Alilia Mwanamke yule huku majirani wakijitahidi kumbembeleza

    “Chibooooooooo, memory iko wapi Chiboo?"

    Sheby nae akaenda kumkunja Chibo na kumuuliza swali huku akipiga kelele kumwita

    Hakufahamu kama anaiuliza maiti

    Suma akamshika Sheby na kupiga kelele

    “muacheee mshikaji keshadanji

    Huyoo Chibo nani kakutendea hivi Mshikaji wanguuhiiiii,"

    Vilio vilitanda ndani ya nyumba hiyo na kuwavuta majirani zaidi.

    Kweli kijana alikuwa amekufa kifo cha ghafla mno. Hata yule mzee alipofika na kukuta hali hiyo hakuweza kuamini akaomba maiti isachiwe kwani

    Memory ni kitu muhimu kuliko kitu chochote kile.

    “bila shaka kutakuwa na mtu kaingilia hii ishu kwa kumuagiza Chibo ampelekee ndiyo akamtendea unyama huu kuficha siri"

    Aliongea Sheby kuwaambia wenzake"

    ******

    Yasri akiwa ndani ya chumba kajipumzisha akaanza kuhisi upepo usiokuwa wa kawaida ukivuma kwa kasi ya ajabu. Ghalfa kile kiumbe kikamtokea

    Na kusimama pembeni yake.

    Yasri alianza kutetemeka maana alifahamu uwezo wa kupambana na kiumbe hiko hana na istoshe yeye ni mgonjwa. Kiumbe kile kikapiga hatua za kimiss

    Kukisogelea kitanda huku akichomoa

    Silaha yake zinga la bisu.









    “Wewe ni nani na unataka nini kutoka kwangu?"

    Yasri alijikakamua kuongea huku hofu ikizidi kumtanda kutokana na lile swali kiumbe kile kikasimama na kuishika

    Mask yake na kuivua hakika alikuwa ni binti mrembo kupita kiasi mwenye asiri ya kipemba. Yasri akakaza macho kumuangalia huku akijaribu kuvuta

    Kumbukumbu zake aweze kumkumbuka binti huyo

    “Nasra ni wewe?"

    Yasri akauliza kwa mshangao

    “ni vyema umeweza kunikumbuka lakini Mimi si yule Nasra uliyekuwa ukimtoa machozi na kumfanya alale na njaa mwishoe akashikwa na ugonjwa wa ajabu uliompelekea kulala kitandani miaka mitatu. Mpaka akapoteza maisha, alilia usiku na mchana Akiimba wimbo wa Penzi ni haki yangu, ukashindwa kumpa hiyo haki.

    Sasa basi Mimi ni Nasra kutoka kuzimu nimekuja kuichukuwa hiyo haki ya Penzi langu. Yasri ulinitesa sana ulinikana mbele ya Wazazi wangu ndugu jamaa na marafiki, hukutaka kunisikiliza kwa chochote kile ukanivua nguo kwenye siku yangu ya kuzaliwa.

    Yasri embu fikilia maumivu

    uliyokuwa ukiyapata wewe juu ya

    kukataliwa na Fatma yalikuwa yanauma kwa kiasi gani? Mbona Fatma alirudisha moyo nyuma akakubari ombi lako?

    Yasri nimekuja kudai Penzi ni haki yangu,"

    Aliongea Nasra kwa sauti ya ukali chumba kizima kilikuwa kinatetemeka unaweza kusema, ukuta utaanguka muda si mrefu, hali kadharika na mabati yatafunuka. Yasri alishindwa aongee nini kama huyo aliyoko mbele yake ni mzimu

    Itakuwaje hapo

    “Tafadhali Nasra nisamehe kiukweli nilikuwa na moyo mmoja tu sikuwa na jinsi kumpenda Fatm....

    “Shatapu,,,,,pahaaa

    Nasra akapiga kelele akimtaka Yasri anyamaze kama haitoshi akampiga kibao cha shavuni kilichomfanya Yasri aone kizunguzungu

    Damu zilianza kumtoka mdomoni. Chezea kupigwa na mzimu.

    Nasra akanyoosha mkono juu Akakishika kisu mkononi kwake akaanza kucheka kwa sauti ya dharau huku akiimba nyimbo ya Penzi ni haki yangu ni nyimbo ambayo anaifahamu Yasri tu.

    Wakati hayo yakiendelea ndani ya chumba hiko upande mwingine tunamuona Chanduka akiwa anashuka ndani ya gari

    Akaangalia kushoto na kulia kisha akaingiza mkono wake kiunoni akaitoa Bastola kwa tahadhari kubwa akaanza kupandisha ngazi za nyumba moja hivii.

    Kufika sehemu akasimama na kujiandaa kubisha hodi ghafla akafutuka na kupiga mlango Teke huku akifyatua Risasi nyingi zisizo na idadi. Kumbe alikuwa amevamia chumba ambacho Yasri alikuwa kalazwa

    Mzimu ukapepesuka na kurudi nyuma kabla ya kudondoka kupitia dirishani.

    “kijana jitahidi kuinuka tuondoke haraka eneo hili"

    Chanduka aliongea huku akimshika Yasri na kuanza kumkokota kutoka nae nnje. Sijui kapajuwaje na ujio wa Nasra hapo kaambiwa na nani? Maana alivyo

    Vamia mule ndani hakuuliza akafyatua risasi.

    Wakatoka nnje na kushuka ngazi kabla ya kufika chini

    Yasri akajikuta akishikwa mguu na kuvutwa akajitahidi kujitoa lakini wapi kiumbe alikuwa na mkono utasema Terminator

    Chanduka akapiga risasi kwenye ule mkono ndiyo ukamuachia Yasri

    Wakatembea kwa haraka na kuingia ndani ya Gari na kuondoka wakimuacha Nasra akiwa bado kalala pale chini huku mwili wake ukifuka moshi utasema kamwagiwa tindi Kali

    Watu walianza kujazana kusogelea eneo hilo ghafla ule mwili ukapotea na kufanya wambea waanze kukimbiana upya kwani ile milio ya risasi tu

    Walikimbia hovyo.

    Chanduka aliendeesha gari kwa speed ya ajabu mpaka watu walioweza kuliona gari hilo walibaki kujiuliza ni majambazi au?

    Polisi wa usalama barabarani walishindwa kulifatilia kutokana na kumfahamu mmiliki wa hilo gari

    *****

    Hafidhi j Ikram alikuwa yupo hospitali amekaa pembeni ya kitanda cha mkewe bibiye Mariam wakiongea mawili matatu

    “hivi baby kwanini usijiunge katika jeshi la polisi ili uweze kulisaidia taifa lako?"

    “mimi mwenyewe ndiyo nafikilia kufanya mchakato kama huo. Lakini kuna kitu kinanitatiza"

    “kitu gani hicho?"

    “hivi kitengo gani kitaweza kunikubari mtu kama mimi?

    “chochote kile kutokana na uwanaume wako hakuna kitengo ambacho kinaweza kukukataa jiamini baby"

    Basi waliongea mambo mengi sana Hafidhi akaaga na kuondoka.

    Gari ikiwa katika mwendo wa kasi ikikatiza maeneo ya Mbezi juu Ghafla ikapiga mzinga baada tairi zote mbili za nyuma kupasuka sio kama zilipasuka.

    Bali kiumbe kilishawafikia na kuchana zile tairi

    Gari ilianza kwenda msobemsobe na kupinduka

    Chanduka aliwahi kumsukumiza Yasri nnje huku yeye akibaki na gari

    Ikabiringika kama mara mbili na kutulia kimyaa moshi mwingi ulikuwa ukifuka.

    Upepo nao ulianza kuvuma Nasra huyo hapo akashuka kwenye pikipiki yake mfano wa Ghost Ride. Na kuanza kupiga hatua kuifata hiyo gari

    Alipoifikia akawasha kibiriti cha gesi

    Akainama kuchungulia ndani hakuna mtu

    “ohoo shit!"

    Akasimama na kuangaza macho yake huku na kule akaweza kuwaona wakiwa wanakimbia kwa mwendo wa kuchechemea.

    Kiukweli tokea nimfahamu Chanduka sijawahi kumuona akikimbia vita lakini leo hii anamkimbia mtoto wakike. Pia tusisahau Ninja Suit kafanywa chapati kwa binti huyu, hakika ni wakuogopwa kupita ukoma. Chanduka mwenyewe alikuwa kaumia.

    Yasri nae ndiyo mgonjwa basi walikokotana hivyo hivyo.

    Nasra akapiga hatua za taratiibu kuifata pikipiki yake na kupaa nayo angani akatua mbele yao.

    ***********

    “psiiiii psiiii"

    Hafidhi baada kutoka hospitali alikuwa akikatiza maeneo ya Bamaga ndipo macho yake yalipoweza kutua kwa mrembo mmoja wa haja. Yani huyo mrembo tembea yake tu ilikuwa shida kila hatua aliyokuwa akiipiga Makalio yake makubwa yaliyobebwa na miguu minene mapaja yaliyonona kwa. Madereva daladala na Bodaboda bila kusahau Wamachinga na wengineo wakabaki kupiga miruzi tu na kushangilia.

    Mrembo alikuwa amekaa pale Stendi akibofya bofya simu yake sio kama alikuwa akisubiria Daladala hapana alikuwa na lake jambo.

    Kelele zile za wanaume wakwale ndizo zilizomfanya Hafidhi atupie macho kwa binti yule na kujisemea

    “whaoo mtoto anastahili sifa"

    Nae akapiga hatua na kumsogelea

    Kabla hajaongea nae chochote simu yake ikaanza kuita akataka kuipotezea sema akaitoa mfukoni kuangalia mpigaji ni Chanduka badala ya kuipokea akakata na kutaka kuzima simu.

    “Assalamu Alaykum..."

    Mwanaume akasalimia kiarabu huku binti akimuangalia Hafidhi pasipo kuitikia kamuuliza

    “mbona hupokei simu?"

    “dahaa huyu jamaa anazingua tu achana nae"https://pseudepigraphas.blogspot.com/

    “ok! Waaleykum ssalamu"

    Binti akaitikia kuanzia hapo ikawa ni mazungumzo tu simu ikazidi kuita kila akiangalia mpigaji ni

    Chanduka mwishoe akaipokea

    “nini shida kaka mbona unanisumbua nipo kwenye starehe zangu"

    Hafidhi alianza kubwabwaja pasipo kumpa nafasi Chanduka kuongea

    “Yasri anaku........

    Simu ikakatwa mkataji ni yeye Hafidhi akairudisha simu mfukoni, sijui kwanini jamaa kawa mjinga kisa demu hataki kumsikiliza mwenzake

    Wakati Hafidhi anairudisha ile simu mfukoni akajiuliza kitu hiki

    “mbona kama jamaa ametaja jina la Yasri anaku.....nini maana?"

    Akachekecha akili pasipo kupata majibu pale pale akanyoosha mkono wake mbele na kufanya kama anachora kitu kwenye ubao ni kitu kilichomshangaza sana yule Mrembo

    “mmh sasa ndiyo unafanya nini hapo?"

    Ghafla picha kubwa ikatokea mfano wa video kubwa ikimuonyesha Yasri kakabwa roba kwa kuning'inizwa juu na kiumbe cha ajabu huku

    Chanduka akiwa pembeni akiibamiza simu kwa hasira

    “tafadhali achaaa,"

    Hafidhi alipiga kelele zilizo washtua watu wote waliokuwa maeneo yale

    Akamshika mkono yule mrembo na kupotea nae

    Watu wasianze kukimbizana nini huku wakipiga kelele za Jiniiiii jamani Majiniiii

    Ni kweli Yasri alikuwa kaning'inizwa juu juu haja ndogo ikaanza kumtoka

    “Yasri karibu kuzimu karibu sanaaa"

    Aliongea kiumbe yule ambaye ni Nasra,

    Chanduka akajitutumua kwani alikuwa hawezi kusimama masikini ya Mungu kumbe alishavunjwa miguu yote miwili kama alivyofanyiwa Ninja Suit naye katendewa hivyo hivyo.

    Akajitahidi kumpigia simu Hafidhi ikiwezekana aje kutoa msaada sasa kitendo cha jamaa kukata simu na kutomsikiliza kilimuuzi kishenzi na kumkatisha tamaa akaibamiza simu yenyewe kwa kuitupa kwenye mti. Kwa mwendo wa kusota

    Akawa akimsogelea yule kiumbe

    Upepo ukaanza kuvuma kwa kasi kitendo kilichomfanya Nasra amuachie Yasri na kupotea

    Ninja Short akaibuka akiwa kaongozana na yule

    Binti

    “Zamda naomba uwangalie jinsi ya kuwapatia msaada hawa watu mimi namuwahi huyu

    Mwanaharamu"

    Hafidhi aliongea kumwambia yule Binti kisha akapotea akimuacha

    Zamda akilia na kuuliza

    “sasa huku uliponileta ni wapi na hawa watu ni kina nani jamaniii?"

    “Usiulize maswali binti piga simu waambie Mbezi juu huku kama unaenda Barabara ya Segerea"

    Chanduka aliongea na kuwa

    Kimya kuonyesha kapoteaza fahamu









    “sasa niwapigie simu kina nani? Nijibu basi wee kaka"

    Zamda aliongea lakini hakujibiwa kitu, akahitaji kukimbia kwani alihofia kubambikiwa kesi ya mauwaji akainuka na kuanza kukimbia kufika mbele kidogo akasita na kurudi eneo lile

    Akaitoa simu yake na kubofya number za Emergency akaongea haraka haraka na kukata simu.

    Msaada uliweza kufika Chanduka na Yasri wakachukuliwa na kuwahishwa hospitali.

    Zamda nae akihitajika kwaajili ya mahojiano akafishwa kituo cha polisi Centre.

    Kwenye msitu kulikuwa na kitu kikitembea kwa kasi ya kimbunga kitu hicho kilikuwa kikiwaka na kumetameta mfano wa umeta kilikata

    Mawimbi na mabonde mirima na majangwa

    Misitu na Makorongo. Kila sehemu aliyokatiza kama kulikuwa na viumbe basi aliacha vilio kwa viumbe hao. Kwani speed ya mwendo wake ilikuwa ni hatari tupu.

    Kufika sehemu kulikuwa na jumba kubwa ambalo limezungushiwa moto kila sehemu unaweza kusema nyumba hiyo inateketea na moto kumbe walaa. Huo moto ni kama Uzio tu nyumba ipo safi kabisa

    Kiumbe kile kikasimama na kuizunguka ile nyumba kisha akazama kwa kupitia sijui mlangoni au

    Getini. Baada kuingia ndani ya nyumba hiyo iliyokuwa na viumbe vya ajabu wenye kutisha vibaya mno kile kikajiweka sawa kwa kujijenga kumbe alikuwa ni Nasra

    Akapiga hatua za kimiss huku akihema

    “vipi mbona umerudi ghafla hivyo?"

    “anakujaa"

    “nani anakuja?"

    “Hafidhi j Ikram muda si mrefu atakuwa hapa hakika tumekwisha Maana hii taarifa ishafika kwa Baba yake Ibnuwasi"

    Nasra aliongea huku akizidi kuhema na kufanya ufuke moshi.

    “ohoo jamanii jiandaeni vitaa vitaaa"

    Alipaza sauti yule Jinni aliyekuwa akiongea na Nasra vikosi vilianza kujipanga kwa kuandaa dhana,

    Ghafla ule moto ulizimika vupu upepo ulikuwa ukivuma kwa kasi.

    Kishindo kizito kilisikika kikilia sehemu ile ya getini Viumbe ambao walikuwa ni kama walinzi walionekana wakirushwa juu na kutupwa mbali na pale. Ninja Short alikuwa ameshafika

    Akaingia kwa kasi akawa akikoswa koswa na silaha alizokuwa akitupiwa na vile viumbe akachumpa na kuachia misumari

    “Nasra kimbiaa"

    “siwezi kufanya hivyo nitakimbiaje wakati nyie mnabaki katika mapambano"

    “binti acha ubishi huyu kiumbe ni hatari kuliko unavyofikilia kimbiaa,"

    Baadhi ya Majinni walimtaka Nasra akimbie kwani maji yamezidi unga.

    Japokuwa Nasra aliambiwa akimbie lakini hakutaka kusikia ndiyo kwanza akatoa silaha zake na kumfata Ninja Short. Aliyekuwa bize katika kupambana na viumbe wengine, kivumbi kilitimka

    Jasho liliwatoka Ninja Short siku zote

    Silaha zake aina ya mundu zimetengenezwa na madini fulani sijui almasi au nini? Akawa akidunda huku na kule na kutembeza nyembe kwenye miili ya viumbe hao. Akikugusa tu mwili wote una mong'onyoka na kuanza kuwaka moto kisha unapotea.

    Akazidi kuwateketeza Viumbe hao

    “Acheniiii"

    Nasra akapiga kelele huku akija kwa kasi

    Akiwataka viumbe wale waache kupambana na Hafidhi kwani yeye mwenyewe ataweza kummudu.

    Viumbe wakakaa pembeni

    Ninja Short akavua mask yake na kutupa Silaha zake chini.

    “Naona binti umeoteshwa mapembe mpaka unajiamini kutaka kupambana nami!"

    Hafidhi akaongea akiwa kasimama

    “Nyamaza usitake kujiona wewe ni bora zaidi ya wengine. Kiukweli sikutaka kukuulia kule duniani, ndiyo maana nikawa nakukimbia nikijua ipo siku utanifata. Sasa leo ndiyo mwisho wako!"

    “ok! Binti usiongee sana ukaja kukaukiwa sauti bule

    Njoo uichukuwe roho yangu"

    Hafidhi aliongea na kuweka mikono yake nyuma yani alifanya hivyo utasema kafungwa kamba.

    Zote ni dharau tu mwanaume anajikubari kupita kiasi

    Nasra akaja kwa kasi na kuanza kutembeza Visu,

    Hafidhi akawa akikwepa tu kwa kumzunguka. Mara akae nyuma ya Nasra Mara kushoto

    Mikono alikuwa kaiweka vilevile

    Alipokuja kuiachia Nasra akajikuta akikabwa shingoni na kunyanyuliwa juu

    Kitu kama umeme ukaanza kusambaa kwenye mwili wa Ninja Short umeme ambao ulimfanya Nasra atetemeke

    Akamtupa mbali na pale kisha akapiga kelele

    Akimtaka Nasra akimbie

    Lakini Nasra hakutaka kusikia cha muadhini wala mkimu swala akaokota silaha zake na kumfata tena

    “Binti kimbiaaaa"

    Hafidhi akazidi kupiga kelele kwa mbaali kulikuwa na kitu misili ya kimbunga kikija maeneo

    Hayo kimbunga ambacho kilikuwa kama Seruji yenye moto

    Mkali sana.

    Hafidhi alipomuona Nasra akija kwa kasi nae akachumpa kwa kulala chini kitendo cha Nasra kumpitia kwa juu akacheza na shingo ya bibiye.

    Ikawa kichwa kule kiwiliwili chini

    Vikamong'onyoka na kupotea

    Ninja Short akavua Mavazi yake na kutanua mikono yake kimbunga kile kikafika na kuikumba ile sehemu

    Sauti ya vilio kwa baadhi ya viumbe zilisika.

    Hakuna hata kiumbe kimoja kilichoweza kubakia

    Sehemu hiyo ilikuwa nyeupe unaweza kusema hakujawahi kukaliwa na viumbe wa aina yeyote ile.

    ***

    Sekunde dakika masaa siku

    Hatimae wiki mbili ziliweza kupita pasipo Yasri kurudiwa na fahamu zake. Chanduka alikuwa kazinduka na kujikuta yupo kitandani

    “Niko wapi hapa?"

    Lilikuwa swali la kwanza kutoka kwa Chanduka baada kuzinduka

    “upo hospitali kamanda ulifikishwa hapa wiki mbili zilizopita baada kupata ajali mbaya ya gari,"

    Alitoa maelezo Doctor James

    Ndipo Chanduka akaanza kuvuta kumbukumbu zake nyuma akakumbuka kila kitu na kuishia kusema

    “ohoo Shit!"

    Akaendelea kuwaza na kufikilia

    “Yasri yuko wapi?"

    “unamuulizia Yasri yupi?"

    “kwani katika ajali mlinikuta peke yangu? Hakukuwa na majeruhi mwingine?"

    “ahaa unamzungumzia yule kijana mdogo?"

    “ehee ndiyo huyo huyo"

    “yeye mpaka sasa hajaweza kurejewa na fahamu zake yupo katika chumba maalumu cha uchunguzi"

    "Aisee ina maana amekufa au? Embu nipishe nikamtazame"

    Kiufupi Chanduka alikuwa kama ni mtu aliyedata yani aliuliza maswali huku akitaka kutelemka kutoka kitandani

    “hapana Muheshimiwa usifanye hivyo"

    “niach.....uwiiiii mamaa miguu yangu"

    Chanduka akapiga kelele baada kujihisi kama vile hana miguu.

    Sio kama miguu yake ilikuwa imekatwa bali ilikuwepo sema ikapigwa ganzi ili wataalamu wa mifupa waweze kuangalia ni namna gani wataweza kuiunganisha Mifupa hiyo

    Bwana Henzi bingwa wa mifupo kutoka nchini Belgium aliweza kuwasili nchini Tanzania siku tatu tu tokea Chanduka afikishwe hapo

    Aghakani akiwa hajitambui

    Katika kuichunguza miguu hiyo ikabainika uwezekano wa kuiunga na Chanduka kutembea tena ni mkubwa. Japokuwa itachukuwa muda mrefu kidogo. Sasa kitendo cha kutaka kwenda kumtazama Yasri akahisi miguu hana

    akapiga kelele na kutulia kitandani kimyaa,

    Bibiye Mariam aliweza kupona na kuruhusiwa kutoka hospitali yeye akawa na kazi ya kuja kumuangalia

    Chanduka huku akimletea chakula Mwezi mmoja baada Yasri nae akarejewa na fahamu ilikuwa ni furaha kubwa kwa Fatma kwani kila siku alikuwa akikesha akimuomba Mungu

    Kipenzi chake aweze kufumbua macho.

    Mzee Hossam hakuwa na jinsi ya kumzuia tena binti yake iwapo Kijana ambaye alitakiwa kumuozesha binti yake Ameshakufa atafanyaje

    Siku zilizidi kusonga mbele miaka mitatu baadae

    Yasri akapona kabisa hata

    Chanduka alikuwa akitembelea magongo siku hiyo aliyoweza kuruhusiwa kutoka hospitali ndiyo siku aliyoita mkutano na

    Waandishi wa habari akalipua Bomu

    Kuhusu kesi ya kijana Yasri kila mmoja alibaki kinywa wazi asiweze kuamini baada ile Video ilipoanza kusambazwa na kuonyeshaa kwenye vituo vya Runinga nchini.

    Swali likabaki kwa Yasri je aliwezaje kujiokoa katika tundu la sindano? Maana alikuwa ameshavishwa kitanzi. Nae hakuwa na jinsi kusimulia kila kitu na kumwagia sifa kedekede

    Hafidhi j Ikram. Wananchi wakashangilia na kuhitaji shujaa wao mwenye kutetea haki za wanyonge nae ajitokeze aongee japo mawili matatu.

    Lakini hakutokea

    Kwa upande wa bibiye Asia aliweza kuzirudisha mali za wazazi wake akamshukuru sana

    Hafidhi na Yasri

    kwa msaada mkubwa waliompa mpaka kufanikisha yote hayo akajitolea nusu ya utajili wake kwenye vituo vya kulelea Yatima na watu wasiojiweza.

    Watuhumiwa wote walikamatwa na kupatiwa hukumu stahiki

    “Baby"

    “Abeee"

    “ni miaka saba sasa imeweza kutimia pasipo kumuona Master wangu sijui yuko wapi?

    Huko alipo anafanya nini?"

    “ndiyo baby hata Mimi najiuliza atakuwa wapi hivi baby kama mtoto wakwanza angekuwa wa kiume

    Ungemwita jina gani?"

    “Hafidhi j Ikram"

    “toka zako hivi hujui kama majina yana rithi hadi tabia?"

    “ndiyo hivyo, baby sema umenizalia wa kike

    Safari nyingine nitajituma nipate wa kiume"

    “ujitume Mara ngapi wakati kitu tayari"

    “what? Baby una mimba nyingine?"

    “ndiyoo"

    “ohoo Asante Mungu bila shaka huyu atakuwa ni Hafidhi j Ikram"

    Ilikuwa ni siku ya furaha kubwa sana baina ya Yasri na Fatma baada kufunga ndoa miaka miwili iliyopita wakabahatika kupata mtoto wa kike waliyempa jina la Smaiya na siku hiyo walitoka kidogo na kuelekea

    Coco Beach kupunga upepo

    Smaiya akawa akicheza kwa mbele yao

    ndipo Fatma aliposema tayari

    Kabeba mimba nyingine. Yasri alifurahi si mchezo

    ********

    Upande mwingine tunamuona Bibiye Mariam akiwa amekaa kitandani ndani ya chumba chake

    Huku mkononi kaishikilia picha kubwa ya

    Mumewe akiiangalia ghafla kuna kikaratasi kikadondoka kutoka nyuma ya ile flemu

    Akaishika ile karatasi na kuikunjua

    (Uzuri wako ulinifanya Mimi nidate

    Uzuri wako ulinifanya wengine nisiwafate

    Baby kwanza samahani sana tena sana kwa kukuacha na majonzi makubwa nafahamu ni jinsi gani. Unanipenda sema hunishindi Mimi.

    Niliandika barua hii kabla sijaianza safari nzito. Safari ambayo haina marejeo

    Ni safari ya kifo. Sio kama nimejiuwa hapana nilihitajika kujitoa sadaka ili wengine wapone.

    Kwaheri ya kutoonana ukipata mume kubari akuowe tu kwani Mimi sitoweza kuishi nawe tena

    Labda inawezekana siku ukaja sehemu ambayo Mimi naenda.

    Mlinde Yasri walinde wanangu waambiye Baba yao nipo mbaali

    Ni kesi ya MTAA WA TATU mpaka ikafikia katika

    PENZI NI HAKI YANGU mpiganie Yasri aipate hiyo haki ya penzi

    Usilie usiumie jihurumie

    Wako kipenzi Hafidhi j Ikram

    11 September 2011)

    Barua iliisha hivyo kama tunakumbuka siku ya Jumatatu tarehe 15 September 2011

    Ndiyo siku ambayo Chanduka na Yasri

    Walikimbizwa na kile kiumbe ina maana Barua iliandikwa kabla ya siku ya tukio Mariam hakuweza kuamini akaisoma tena na tena huku akilia

    Akatoka nayo mpaka

    Sebuleni na kumkabidhi Ikram familia nzima ilikuwa hapo

    Ikram akauliza

    “nini hii mamaa?"

    “chukuwa tu uisome kwa sauti"

    Mariam aliongea huku akichukuwa imont na kuzima TV

    Ikram akaanza kuisoma kila alipokuwa akisoma miili yao ikaanza kusisimka

    “hapanaaa nitamtafuta

    Baba yangu popote alipo hata kama itakuwa kuzimu nitaenda na kumleta hapa"

    Ikram aliongea kwa sauti ya kishujaa kauli ambayo iliungwa mkono na

    Kina Yusra wakaunganisha mikono na kusema wapo tayari kumtafuta Baba yao

    Kumbuka Hafidhi j Ikram ana watoto

    wanne wawili mapacha wakike na wakiume kazaa na bibiye Beatrice mmoja kazaa na Vivian ambaye ndiyo Ikram wakatihttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Yusra mama yake ni Mariam wote ni watoto wa nnje ya ndoa.

    Barua iliweza kumfikia Yasri kiukweli aliumia sana akatamani Chanduka angekuwepo aweze kutoa msaada wa kwenda kumtafuta Hafidhi huko kuzimu kwani Chanduka sehemu hizo anazifahamu vyema. Lakini Chanduka hakuwepo alikuwa

    Amesharejea nchini Brazil huku akiacha maagizo kwa

    Serikali kuwa wasimwite tena kwani anahitaji kupumzika na team nzima ya familia yake si mnakumbuka Chanduka alitia Mimba wanawake wa kijiji kizima mpaka

    Malkia wao kisha akakimbia sasa watoto wake wapatao hamsini ni vijana wakubwa tu.

    “hakika nipo tayari kujitoa muhanga nitakutafuta

    Mwalimu lazima nilipe

    Penzi ni haki Yangu.............



    ****MWISHO****

     

     

0 comments:

Post a Comment

Blog