Search This Blog

Thursday 24 November 2022

SIKU YA HUKUMU - 5

 

     

     



     

    Chombezo : Siku Ya Hukumu

    Sehemu Ya Tano (5)

     



    Ikram alijihimu Asubuhi na mapema siku hiyo aweze kwenda studio kurecord nyimbo yake ya kwanza. Akiwa ndani ya Daladala maeneo ya Eksteno

    Hakika foreni za magari ilikuwa kubwa sana

    Radio iliyoko ndani ya Daladala ikatangaza taarifa ya habari

    “ndugu Wananchi kama upo nyumbani basi jifungie chumbani tu usitoke nnje

    Kama upo ndani ya gari shuka na ukimbie haraka utafute sehemu ujifiche.

    Jiji la Dar es salaam kuna kiumbe cha ajabu kimeibuka sijui kutoka wapi"

    Ghafla mtikisiko wa Ardhi ukasikika

    wee kila mmoja akachomoka kwa njia yake wengine madirishani

    Wengine wakabaki kugombea mlango tu.

    Ikram akaweza kushuhudia kiumbe wa ajabu mkubwa mfano wa gorofa akizidi kuyafinya magari kwa kuyakanyaga,



    Ikram akaongea yale maneno yake ajabu hakuweza kubadilika, akaongea tena wapi ndio kwanza yupo vilevile,

    Akastuka zaidi

    Akachumpa kutoka ndani ya gari na kudondokea pembeni baada kile kiumbe kuifikia ile gari. Na kuikanyaga,

    Ikram akabaki kujiuliza kwanini hawi

    Ninja suit awashe moto

    Kwa yule kiumbe. Akakosa jibu na

    kujikuta akipiga kelele tu na kulia

    wakati huo huo Vikosi vya J.W.T.Z

    pamoja na S.W.A.T washafika na kuanza kukishambulia kile kiumbe kilikuwa kinatema moto kama vile

    Mnyama aina ya Dragon.

    hakika alitia hasara kubwa sana na kufanya mauwaji ya kutisha

    Akazidi kupiga hatua kuelekea maeneo ya Buguruni hatua yake moja ilikuwa kama vile kiromita moja,

    Ndege za kijeshi zikafika na kumrushia

    Makombora

    Kiumbe ndio kwanza kiko fiti

    Nae akajibu mapigo

    Kwa kuwatemea cheche,

    Baada kufika pale Tabata relini kiumbe kikapotea,

    Kuanzia Ubungo mpaka Tabata relini kiumbe kiliacha maafa makubwa si mchezo

    Wakati yote hayo yanafanyika kamanda

    Chanduka alikuwa anakula raha utamu na bibiye Ashura

    Sijui taarifa hakuwa nazo au vipi",,,,,

    Barabara zilikuwa hazipitiki tena maana kila kona Miili ya watu ilitapakaa tu

    Damu zilikuwa zinachuruzika kwenye mifereji utasema

    Bomba la vua,"

    Ikram akabaki kulia tu maana kipawa alichopewa Japan

    na Master wake kimeondoka hakuweza kujuwa wala kufahamu

    Kitu gani kimesababisha mpaka akawa vile.

    Kwakuwa Barabara zilikuwa zimefungwa ilibidi watu watembee kwa miguu tu,



    Kuzimu kulikuwa na vicheko kila kiumbe kilicheka namna ya anavyojuwa yeye kulikuwa na Pipa kubwa sana

    Huku damu ikichuruzika kutoka juu na kuingia mule viumbe vile wakawa wanachota ile damu na kuinywa

    Kumbe kile kiumbe alikuwa ni Sada

    Basi akapewa pongezi kwa kazi

    Nzuri

    Kessy akamnyooshea kidole Hafidhi j ikram na kumwambia zamu yako kufanya kitu!"

    Nae akatikisa kichwa kuashilia sawa kisha akapotea,"



    Chanduka alikuja kukurupuka kutoka usingizini baada kipute kile maana usingizi ulimpitia

    Akachukuwa simu yake kuitizama

    Na kukuta miss call kama hamsini hivi.

    Sms hazina idadi

    Akaifungua sms moja

    ilikuwa ya Ikram

    “mjomba naitaji msaada huku tunakufa!!!,,,,kuna kiumbe cha ajabu kimevamia huku Aksteno,

    Akatoka nnje haraka haraka huku akiita

    “Ikram,,Ikram!!!,,,akachukuwa pikipiki faster akaondoka

    Hakuweza kuamini baada kufika eneo

    La tukio dahaa







    Akachukuwa simu yake kuitizama

    Na kukuta miss call kama hamsini hivi.

    Sms hazina idadi

    Akaifungua sms moja

    ilikuwa ya Ikram

    “mjomba naitaji msaada huku tunakufa!!!,,,,kuna kiumbe cha ajabu kimevamia huku Aksteno,

    Akatoka nnje haraka haraka huku akiita

    “Ikram,,Ikram!!!,,,akachukuwa pikipiki faster akaondoka

    Hakuweza kuamini baada kufika eneo

    La tukio dahaa



    SONGA NAYO

    SASA



    Chanduka akabaki kushangaa tu na kuishia kusikitika

    Hakika akajisemea mapenzi ni

    ulevi. Yani yeye akiwa anakula raha kumbe huku nnje watu wanauwawa

    Ndipo akamkumbuka Ikram na kuanza kumtafuta kwanza akapiga simu yake haikupatikana. Akaingiwa na wasiwasi huwenda Ikram nae kakumbwa na balaa lile

    Akampigia simu Ashura na kumuuliza

    kama kaweza kumuona Ikram

    Akajibiwa hapana,

    Ashura kwa sauti ya kilio akamjibu

    Chanduka na kukata simu,

    ni kitendo kilicho mchanganya zaidi Kamanda wetu na kuona dahaa

    kama Ikram atakuwa kauwawa

    Mbona itakuwa balaa kwenye familia ile,

    Akazidi kumtafuta ajabu hakuweza kuamini macho yake baada kuweza kumuona Ikram mbele yake akiwa analia akaenda mbiombio kumkumbatia na kumwambia apande pikipiki

    Safari ya kurudi nyumbani ikaanza

    njia nzima Ikram alikuwa analia



    “nyamaza Ankor huu sio muda wa kulia bwana cha umuhimu ni kushukuru kwa kuweza kukupata wewe

    Ukiwa mzima,

    Taarifa za kupotea kwa Ikram na inavyosemekana alikuwa anaenda Mwenge, ambapo ndipo matatizo yalipoanzia yakamshitua

    Mama yake ambaye ni Husna familia nzima ikaja nyumbani kwa Bibi yake mzaa baba.

    Na kutaka kufahamu nini kinachoendelea Abdu rafiki kipenzi wa

    Kessy nae alifika,

    Wakiwa wamekaa kikundi na kujadili hili na lile

    Chanduka nae akaingia akiwa na

    Ikram,

    Husna akaenda kwanza kumkumbatia mwanae mpendwa akamfuta machozi na kumuuliza,

    “nini tatizo mwanangu?"

    Ikram hakuweza kujibu kitu zaidi ya kujitoa mikononi mwa

    Mama yake na kuingia chumbani kwake akajifungia kwa ndani.

    Akaenda kufungua kabati lake na kutoa dhana zote za Kininja alizotoka nazo nchini Japan

    Akazitizama kwa muda na kuzirudisha tena kabatini.

    Husna akabaki kuuliza tu



    “ni kitu gani kimemfika mwanangu mbona kapoteza furaha yake ghafla?"

    Chanduka akamjibu,



    “usijali kuhusu kutokuwa na furaha nahisi itakuwa ni kwasababu ya kushuhudia ni jinsi gani hiko kiumbe kikifanya mauwaji. Kingine tambua Ikram

    ni bado mtoto nahisi kama kitete hivyi kimemshika!"

    Kila mmoja akasema lake

    Abdu akamshika mkono Ashura

    na kuitaji waende nnje kuongea kitu,

    Ashura akakataa na kwenda kujiegemeza kwa

    Chanduka kumuonyesha

    Ulisema cha nini wenzio wakajiuliza watakipata lini",,,,,,,,,

    Abdu roho ilimuuma sema hakuwa na jinsi tena Ashura kashapata kituliza roho,

    Baada kupita kama wiki moja hivi

    Ndani ya soko maeneo ya Buguruni tunamuona

    Bibiye Samira akiwa na Shangazi zake yani Amina na Ashura wakichaguwa mahitaji ya hapa na pale

    Baada kuchukuwa mahitaji wakaingia ndani ya gari ghafla bin vuu

    Amina alikuwa anaongea na simu akajikuta anaporwa

    Akapaza sauti kuita mwiziiiii......

    jamani mwizi!!!,,,,,,kama ujuavyo tena maeneo ya Buguruni kama Manzese vile

    Wakamuunganishia hakika mwizi alikimbia mbio zake zote akajikuta anadakwa na kipandikizi cha Baba kisha akaichukuwa ile

    Simu na kumwambia yule mwizi

    “kimbiaa!!!,,,,,,yule mwizi hakuweza kuamini Aisee akatoka mbio huku Wananchi wakiwa tayari washamfikia yule aliyeichukuwa simu.

    “piga huyoo atakuwa mwenzake tu"

    Kikarushwa kitofa kwa ajili ya kumpiga yule Jamaa ajabu kile kitofa akakipiga kichwa na kukipasua vipande vipande.

    Mshike mshike ukaanzia hapo Wananchi wakamvamia yule kijana

    na kumuweka mtu kati

    kumbe hakuwa binaadamu ni kiumbe cha Ajabu akazunguka kama feni upepo mkali ukavuma watu wakatupwa huku na kule wengine wakaenda kujibamiza barabarani

    Na kupasuka vichwa vyao wengine kwenye magari Vioo tu vikabaki kugawanyika hakika hakikuwa kiumbe cha mchezo kabisa, pale sokoni si kuna kituo cha police.

    Wakatoka mbiombio na kutaka kwenda kupambana na kiumbe kile kilikuwa kinapiga mikono ya ajabu

    Yani anapiga zile za Drunken taiger kisha ananyonga.

    Samira akaona usinitanie wewe akaenda kwa speed ya ajabu na kurusha mateke kiumbe kikapanchi kama vile hataki na kurudi nyuma,

    Kuna teke moja likaweza kumpata akayumba na kucheka akamtizama yule aliyempiga

    Dahaa ni binti mrembo ajabu

    kitendo cha kushangaa akapigwa ngumi za uso double double akaenda chini, akainuka kama kimzimu mzimu.

    Akajiweka sawa na kusema

    “hakika wewe nini binti mzuri sana huna haja ya kupambana nami

    Naweza kukuachia huu mwili wangu ucheze nao namna utakayo itaka wewe"

    Samira nae akabaki kushangaa tu

    Kwa maneno ya yule kijana basi nae akaitumia nafasi hiyo kumsogelea Bibiye na kumkabizi ile simu kisha akampiga Kiss

    Samira mwili mzima ukasisimka,



    Siku zote mizimu inanguvu ya kumpumbaza mtu ndivyo ilivyokuwa kwa

    Samira akalainika mwenyewe tena mikono ya kiumbe kile kile ikiwa inatalii kiunoni mwake.

    Wakati huo kidume cha shoka kishafika na kupaza sauti kwa kusema

    “wewe mshenzi naomba umuachie huyo

    Binti haraka sana"

    Hafidhi j ikram hakuwa na wasiwasi wowote ule akamzunguka

    Samira na kumfata Chanduka

    Nahisi hakumjuwa vizuri kama nae ni kiumbe hatari sana,

    Kitendo cha kumkalibia tu

    Chanduka akadanki na kupiga free kick za faster, Hafidhi j ikram akarushwa mbali na pale akaenda kujipigiza kwenye kioo cha gari yani kichwa kikagota pale

    kiumbe kikaruka kutoka kwenye gari na kurudisha mapigo. Buguruni ikawa haitoshi police wakajazana kila kona

    Chanduka nae akajikuta anarushwa hewani na kwenda kujigonga kwenye vioo vya duka moja hivi,

    Ikawa piga nikupige kabla ya

    Chanduka kupigwa sijui na kitu gani kile

    Hafidhi j ikram alikitoa mfukoni

    Kikaenda kukita kichwani kwa

    Chanduka kidume kikadebweda na kubaki kuyumba tu,

    Akaenda chini kama mzigo wa kuni

    Hafidhi j ikram akaenda kuchukuwa kisu kwenye kitoroli cha muuza

    Matikiti maji kwa mwendo wa haraka zaidi akaenda kumshika

    Chanduka kichwa nia yake amchinje

    Samira akapaza sauti kwa kusema



    “Please....usimuuwe...tafadhali usifanye hivyo huyo ni My Ankor please nakuomba!"

    Samira mpaka akapiga magoti chini

    Hafidhi j ikram kiumbe kilichosumbua sana katika mtaa wa tatu enzi za uhai wake akaja kufa kwa sasa kawa Bounce.

    Akakitupa kisu pembeni na kumuacha Chanduka kisha akatoka mbio na kupotea eneo lile.

    Watu takribani kama kumi hivi walikuwa wamepoteza maisha, kiumbe kile nacho kinatisha, majeruhi wakawahishwa hospital ya Amana

    Chanduka akapelekwa aghakani kwa matibabu zaidi

    Chanduka mzee wa Majanga

    adui yake mkubwa alikuwa kama mpenzi wake Bibiye

    Nusraty alijuwa amemuuwa kumba yupo hai kuzimu na sasa amerudi tena

    Ikram aliweza kufika hospital kumuona

    Ankor wake,

    Samira akamshika mkono na kutoka nae nnje.



    “hivi kaka wewe si Ninja suit mbona umekuwa kimya siku hizi ufanyi chochote?"

    “hapana Dada yangu kipawa cha kuwa ninja suit nimepokonywa Aisee

    Mimi sio tena Ninja suit"

    Samira akashituka na kuuliza



    “kwanini kaka mpaka imekuwa hivyo

    Imekuwaje usiwe Ninja suit mkombozi wawatu"

    Ikram mchozi ukamtoka tu.



    Kwa mara nyingine tena kuzimu kulikuwa na furaha baada Hafidhi j ikram kuifanya kazi nzuri ya kuwapiga Wanaadamu, kidole kikaenda kwa Nusraty sasa ni zamu yake kuonyesha uwezo aliokuwa nao, nae akapotea

    Yapata usiku wa manane

    Ikram akiwa amelala akasikia anaitwa

    “ikram",,,,,,ikram!!!,,,,

    Akashituka kutoka usingizini na kutizama kulia na kushoto ile anatizama mbele tu akashituka zaidi na kutaka kupiga kelele sauti haikuweza kutoka kunyanyuka ili akimbie akashindwa akabaki kutoa macho tu

    Ninja suit alikuwa kasimama mbele yake,

    “Ikram usiogope kijana",,,,,,nimekuja kukuliza maswali machache tu kwanini umeisaliti kambi yetu ya Mayakuza....kipawa tulichokupa ni kikubwa sana

    ukaja kudanganya

    Eti haujui mashowart artists

    Vile vyote tulivyokufunza uliona kazi bure sio

    Sasa basi tumeamua kukichukuwa kipawa chetu na tutampatia mtu mwingine"

    Ikram akabaki kulia na kusema

    “hapana mkuu usinifanyie hivyo nilifanya yote haya

    kwa ajili ya kutunza siri nisiweze kujulikana Mimi ni nani"



    “Shata up funga mdomo wako muongo mkubwa wewe siri gani unayo izungumzia wewe wakati

    Ushawai kumwambia Dada yako tena

    ukajionyesha kabisa kuwa wewe ni

    Ninja suit,

    Kile kiumbe kikapotea na kumuacha

    Ikram akiwa ajui afanye nini.



    Hakika yalikuwa majanga mazito kwa upande wake

    Akatambua fika hawezi tena kuwa Ninja suit,

    Kesho yake Asubuhi na mapema akaenda Aghakani na kumuona

    Dada yake kwa mbaali akiongea na kijana mmoja hivi tena kwa furaha yani kila muda wakigongesheana mikono

    Akasema shit!,,,

    Akaingia hadi mapokezi na kwenda kumuona

    Ankor wake

    Nusraty baada kuambiwa ni zamu yake akaibukia Coco beach na vile ilikuwa siku ya Jumaa pili mbona

    Balaa akawasha moto kwa kuanza na Dada mmoja hivi yani alimvuta ndani ya maji kisha akamchinja

    Watu wakaanza kukimbizana huku na kule

    Nusraty akaibuka kwenye maji akiwa na sidilia na kichupi tu

    Vidume vikaona ahaa si mtoto wa kike tu huyu

    Basi wakajipanga kumkamata

    pasipo kujuwa wanajipeleka kwenye mauti yao basi kila aliyemshika akachinja miili ikatapakaa hovyo mwisho wa Dunia umefika

    Jeshi la police likafika na kumpa amri ya kutupa siraha yake chini lasivyo watamshuti. Akacheka kwa dharau

    Risasi zikaanza kulindika ajabu zinampita tu

    Hata moja haikuweza kumgusa akaruka juu na kwenda kutua katikati ya mapolice na kuanza kuwachalanga kwa visu,

    Police wengine kuona vile nani akae wakatimua mbio

    Nusraty akacheka kwa kebehi

    na kujiona yeye ni mshindi sasa hakuna aliyebaki eneo hilo nae akapotea,

    Samira akawa ameingia kwenye penzi zito baina yake na kijana Hafidhi j ikram

    Akawa hasikii wala haoni pasipo kufahamu kama mwenzake ni

    Mzimu. Siku moja baada kufanya mapenzi

    Samira akamwita mpenzi wake

    “baby"

    “naam niambie kipenzi changu"

    “please naomba msaada kutoka kwako!"

    Samira akaongea hivyo huku akianza kulengwa lengwa na machozi.

    “Ahaa usilie sasa baby niambie nini tatizo Mimi niko hapa"

    Samira hakuwa na budi kumuelezea mpenzi wake historia ya maisha yake

    Na kusema kwenye

    Familia yao hakuna msaada wowote ule!"

    Hafidhi j ikram akakuna kichwa na kusema

    “kuanzia sasa nitakuwa upande wako mpenzi wangu nitakulinda wewe na ndugu zako wote"

    Samira akatabasamu na kusema

    “nashukuru sana baby kusikia hivyo maana kivumbi ulichokitimua siku ile pale Buguruni si mchezo

    Hakika najivunia kuwa na Mwanaume kama wewe.

    Basi wakakumbatiana

    Kwa furaha,







    Familia yao hakuna msaada wowote ule!"

    Hafidhi j ikram akakuna kichwa na kusema

    “kuanzia sasa nitakuwa upande wako mpenzi wangu nitakulinda wewe na ndugu zako wote"

    Samira akatabasamu na kusema

    “nashukuru sana baby kusikia hivyo maana kivumbi ulichokitimua siku ile pale Buguruni si mchezo

    Hakika najivunia kuwa na Mwanaume kama wewe.

    Basi wakakumbatiana

    Kwa furaha,



    SONGA NAYO

    SASA



    Hakika bibiye Samira alifurahi kupita kiasi baada mpenzi wake

    kukubari kumsaidia kwenye

    matatizo yanayo wakabili. Akapanga kwenda kumtamburisha kwa ndugu zake wote akianza na Mama yake,

    Hali ya Chanduka ikazidi kuwa mbaya siku hadi siku

    Ashura akabaki kulia tu. Kumlilia mpenzi wake,

    Serikali ikakaa chini na kupanga kumpeleka nnje ya nchi akachekiwe tatizo nini hasa,

    Hafidhi j ikram baada kupewa maelezo na mpenzi wake tena aliambiwa hadi tukio la kubakwa

    akashikwa na hasira vibaya mno na kuapa kuchinja wote waliohusika ndio maana mtoto hakumkuta Bikira kumbe alibakwa kudadeki.

    Ndani ya ngome kuzimu kulikuwa na shelehe ya kuwapongeza

    Sada Nusraty Hafidhi

    kamanda Kessy aliandaa sherehe huyo babukubwa ajabu Hafidhi j ikram hakuweza kuonekana eneo hilo

    Kessy akashangaa sana, na kujiuliza atakuwa wapi huyu kiumbe"

    Chanduka akiwa hoi kitandani ajitambui kwa chochote kile ndani ya Wodi hiyo kikaingia kiumbe kwa mwendo wa kunyata akakisogelea kitanda na kwenda kumshika kichwani

    Chanduka ndipo kitu kama Taa yenye kuwaka na kumelemeta ikaanza kuwaka kichwani kwa Chanduka kama dakika tano hivi kupita kile kiumbe kikapotea.

    Kesho yake Asubuhi Makamanda kutoka kikosi maalumu wakafika kwa ajili ya kumchukuwa mgonjwa kwa ajili ya safari

    Ikram na familia yake nzima nae wakafika kwa nia ya kumuaga tu, ajabu Chanduka akatoka ndani ya Wodi akiwa mzima wa hafya na kuja kumkumbatia

    Ashura hakuna aliyeweza kuamini yani ulikuwa zaidi ya Muujiza.

    “yani siamini kabisa nimepona ghafla hakika namshukuru Mwenyezi Mungu"

    Chanduka aliongea hivyo,

    Na kuakumbatia kwa zamu yani Samira na wengineo

    Chanduka akashituka na kurudi nyuma baada kumuona Hafidhi j ikram akija eneo hilo

    Kila mmoja akageuka kuangalia kuna nini"........Samira akatoka mbio kwenda kumkumbatia kisha kumpiga kiss

    Akaja nae mpaka pale waliposimama ndugu zake na kufanya utambulisho



    “Hafidhi kipenzi changu naomba ukutane na familia yangu,

    huyu ni Bibi yangu mzaa baba na huyu ni Kaka yangu hawa ni shangazi zangu na huyu ni Mjombaangu!"

    “nashukuru sana kufahamina nao Aisee

    Hafidhi akasema hivyo huku akiwapa salamu kwa kushikana viganja vya mikono wote alishikana nao

    isipokuwa Ikram akakataa na kuona bonge la dharau Aisee....



    Kitendo cha Ikram kukataa kupeana mikono na Hafidhi kilimuuzi sana

    Samira japokuwa ilikuwa ni haki yake kufanya vile,

    mwenye Dada hakosi shemeji mbona yeye alikuwa anatembea na Wahida Dada yake Ibrahim kule Mwanza.

    Basi familia ikarudi nyumbani kwa furaha ya kupona Chanduka,

    Baada kupita wiki kama mbili hivi

    Ninja mask akaweza kuibuka tena maeneo ya manzese darajani

    Sijui ndio ilikuwa zamu yake kuwaonyesha

    vijana wake kuwa nae anajuwa pia

    Watu walikusanyika na kuimba nyimbo ya tumechoka kuonewa",,,,,,,na kuitaji kupambana na kiumbe kile yani alikuwa anadank kutoka chini na kutua juu ya daraja hakika alikuwa mwepesi mno ana speed ya ajabu"

    kiufupi tu hafai

    Kiumbe kinatisha vibaya mno. Watu wakazidi kumwagwa ubongo na kugawanywa viungo vyao

    Ninja mask akazidi kuwasha moto wananchi wengine wakaona mmh! yanini kupoteza maisha kizembe wakatimua mbio barabara ya Manzese ikafungwa police kibao walianza kumimina Risasi kwa kiumbe kile hata moja haikuweza kumgusa akachinja chinja maafande"

    na kwenda kutulia juu ya daraja akacheka kwa dharau sana hakika wanadamu hamna uwezo hata kidogo kisha akapotea.".......

    Chanduka hakuweza kufika eneo hilo maana alikuwa kwenye kikao kizito sana kikijadili kuhusu

    Nchi sasa inaangamia hii watu wanakimbia nchi na kwenda kuomba hifadhi kwenye Nchi za watu.

    Nini kifanyike kuiyokoa Nchi katika janga hili",,,,,,,,

    Chanduka akatoa jibu kwa kusema kwanza kabisa atafutwe Ninja suit nahisi atakuwa msaada mkubwa kama nikishirikiana nae kila kitu kitakuwa sawa"

    Muheshimiwa Raisi akauliza

    “Ninja suit ndio nani",,,,,kwanza nae ni kiumbe kisichojulikana,,,,simu ya mkuu wa Majeshi bwana Owned ikaita

    Kila mmoja akabaki kimya taarifa aliyopewa ikamshitua kila mtu si aliweka loudspeaker.

    Chanduka akatoka nnje haraka haraka na kuchukuwa pikipiki awai eneo la tukio na kukuta maafa tu

    Ninja mask keshasepa kitambo.

    Kwa mara nyingine tena kuzimu kulikuwa na sherehe

    Kessy akapaza sauti kwa kusema,



    “hakika muda si mrefu Nchi itakuwa ya kwetu hii tutafyeka kila mwanaadamu na kuakikisha tunapiga hatua kwa hatua mpaka tuwamalize wote.



    Mizimu ikapaza sauti kushangilia

    Weweeeee",,,,,,,ndioo!!!

    “sasa basi inabidi tugawane majukumu

    Bibiye Sada itabidi uende Tanga hakikisha mji wote unakuwa mweupe kisibaki kiumbe chochote kinachoitwa Mwanaadamu!"

    “ndio mkuu",,,,,,,

    Sada akaitikia kikakamavu na kupiga saruti,

    “Nusraty utaenda Singida nawe ufanye kama nilivyo muagiza mwenzako"

    “usijali boss kazi itafanyika"

    “Hafidhi j ikram utaenda Arusha"

    ajabu huyo kiumbe hayupo kwenye kikao hiko. Kessy akaomba atafutwe haraka sana aletwe pale

    Mizimu kama miwili ikapotea kwenda kumsaka haikuchukuwa muda

    Akarudi mmoja akiwa hoi taabani, kila mmoja akashangaa wakajalibu kumuuliza

    “vipi tena mbona hivyo",,,,,,,

    Akajibu kwa sauti ya chini sana yenye kuambatana na kuugulia maumivu.



    “hapana mkuu Hafidhi tumeweza kumuona Akiwa yupo pamoja na binaadamu tukampa taarifa za kuitwa huku. Akakataa tukaona yule Mwanaadamu ndio anamtia kiburi

    Tukataka kumuuwa

    huwezi kuamini boss Hafidhi akapambana nasi na kumuuwa mwenzetu yule niliyeenda nae mi nikakimbia!"

    Kessy akavimba kwa hasira na

    Kumuuliza unaweza kutuonyesha huyo mwanaadamu jinsi alivyo?"

    “ndio mkuu angalia pale"

    Kile kiumbe kikanyoosha kidole chake cha shahada kwenye

    Ukuta TV kubwa sana ikawaka na kuwaonyesha

    Wapendanao wapo beach wakicheza kwa furaha na kukimbizana huku na kule

    Binafsi Nusraty akaingiwa na wivu ghafla maana hata yeye anampenda Hafidhi tatizo hajawai kumtamkia.

    Akaenda kuipiga ngumi ile tv wakati anajuwa fika atamuumiza Mwenzake mkono

    Yule mzimu akapiga kelele kuugulia kwa maumivu ya mkono.

    Nusraty akang'aka kwa hasira na kusema “vyovyote itakavyo

    Kuwa lazima huyu binti afe!!!,,,,

    Kessy akasema,



    “Nusraty hapana usifanye hivyo huyo binti ni Mwanangu mimi hatakiwi kufa

    Anaetakiwa kufa ni Hafidhi

    kuanzia sasa ni adui yetu!"

    “hapana mkuu hakuna kitu kama hiko hakuna hata mmoja anatakaye weza kumgusa Hafidhi, nitachinja vichwa vyenu wote,

    Kwanza mwanao kivipi yule binaadamu wewe mzimu

    Kumbuka mizimu haina undugu na binaadamu

    Lazima binti auwawe tu",,,,,,,

    Yalikuwa maneno ya Sada

    akipinga kauli ya kutaka Hafidhi auwawe kisa yupo na mtoto wa boss wao.



    Kessy akafikilia na kusema

    “basi sawa haina haja ya kugombana kuanzia sasa

    Sina mke wala watoto wa kibinaadamu,

    Natoa amri ya kuuwawa wote,

    Nusraty na Sada wakatizamana kisha wakapotea.

    Kessy binafsi hakutaka iwe hivyo,

    yani mwanae kabisa auwawe

    na kama Samira akifa utakuwa ndio mwisho wake,

    hatoweza kutoka kuzimu kamwe

    akakuna kichwa hakika maji yalizidi unga.

    Akabaki kuchekecha akili asipate jibu,

    Hafidhi j ikram nae

    akatambua kama asipofanya kitu mpenzi wake atauwawa

    Suruhisho pekee ni kumlinda kwa ghalama yeyote ile,







    Kessy binafsi hakutaka iwe hivyo,

    yani mwanae kabisa auwawe

    na kama Samira akifa utakuwa ndio mwisho wake,

    hatoweza kutoka kuzimu kamwe

    akakuna kichwa hakika maji yalizidi unga.

    Akabaki kuchekecha akili asipate jibu,

    Hafidhi j ikram nae

    akatambua kama asipofanya kitu mpenzi wake atauwawa

    Suruhisho pekee ni kumlinda kwa ghalama yeyote ile,



    SONGA NAYO

    SASA



    Samira hakuweza kutambua chochote kile kama anasakwa aweze kuuwawa.

    Siku hiyo akiwa amekaa na kaka yake akamuuliza kitu

    “kaka sasa utakaa katika hali hiyo mpaka lini?"

    Ikram hakujibu kitu akabaki kimya tu kisha akanyanyuka na kuondoka zake na kumuacha

    Samira akiwa kashikwa na mshangao.

    Ikram tokea kipawa chake kiondoke akatokea kumchukia kila mtu,

    hakupenda kuongea na mtu yeyote yule alikuwa ni mkimya kupita kiasi

    utasema labda anaumwa, kumbe sio hivyo

    Sio kama hajui kupigana hapana anajuwa sana tu tatizo

    Kipawa cha Ninja suit kinamtia mzuka zaidi,

    “mama hivi mbona Ikram siku hizi yuko kimya sana yani kapoteza uchangamfu wake kabisa"

    Amina alimuuliza Mama yake kuhusu Ikram kuwa vile,

    “hata sijui huyu mtoto kafikwa na kitu gani maana jana tu nilimwita na kumuuliza vipi unaumwa. Akajibu hapana yeye ni mzima wa hafya!"



    “lakini mama unaonaje Ikram tukamfanyia mipango aweze kwenda kwanza Japan nahisi akienda huko akirudi akili yake itakuwa sawa"

    “mmh! yani aende tena Japan si alienda huko juzi juzi tu akarudi hapa baada kusikia kifo cha Babu yake!"

    Amina alitaka Ikram aende Japan wakati Bibi yake akapinga kitendo hiko, na kudai ni kupoteza pesa hovyo. Kwanza Japan anaenda kufanya nini wakati masomo yake

    Keshamaliza.

    Basi kauli ikawa ni moja tu hakuna kwenda Japan,



    Ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ulikuwa tayari ushawadia ndugu Waislamu wote wanakuwa katika ibada nzito sana ya mwezi huo ndani ya mwezi huu ndipo utaweza kuwaona wanafiki wengi sana Ikram nae akaingia kwenye kufunga huku akiomba duwa usiku na mchana kipawa chake kirudi aweze kuisaidia Nchi kwenye majanga mazito,

    Chanduka nae akaomba rikizo na kurudi Nchini Brazil.

    kama ujuavyo ndani ya mwezi huu Shetani anakamatwa na kufungiwa ajabu ndani ya mwezi huu wapo binaadamu ambao wanaendelea kufanya mambo machafu.

    Tena ya kishenzi

    Samira nae hakuweza kumuona mpenzi wake hakika ulikuwa mwezi wa

    Neema na baraka hata vitendo vya mauwaji vikawa hamna kabisa.



    Mwana mpotevu yani Hafidhi nae aliweza kurudi kuzimu na kukutana na hali ya utulivu kwa mizimu yote.

    Kessy baada kumuona Hafidhi

    Akaitaji kuongea nae mawili matatu,



    “Hafidhi kaka hivi unajitambua kama wewe ni nani?"

    aliuliza hivyo Kessy baada kupata nafasi ya kukaa nae pamoja"



    “ndio najitambua kama Mimi ni kiumbe ambaye nakula nakunywa nafanya mapenzi, kwani vipi mpaka umeuliza hivyo mkuu?"



    “nauliza hivi nikiwa na sababu maarumu, kwanza nashukuru kwa kujitambua kuwa wewe ni nani",,,,,,,

    Naomba utambuwe kitu kimoja tu kuhusu sheria zetu huku kuzimu

    Kwanza kabisa heshima kwa mkuu wako ni kitu cha umuhimu sana.

    Kingine utakiwi kutoka yani kwenda sehemu yeyote pasipo ruhusa ya mkuu wako,

    Utakiwi kuwa na urafiki au ukaribu wa aina yeyote ile na kiumbe kinacho itwa binaadamu!"

    Hafidhi akaona kama vile kazinguliwa tu, akapaza sauti na kutukana.



    “Shenzi zako bwege wewe",,,,,,sheria ndio kitu gani kudadeki kwanza sitaki kuongozwa na mtu wa aina yeyote yule hakuna cha kiongozi wala nini.

    Nitasimama Mimi kama mimi sio kwa niaba ya mtu fulani"

    Kessy akashikwa na hasira baada kuona

    kijana wake anamletea dharau akaenda kwa kasi na kumkunja wakawa wamekunjana tatizo kila mmoja anajiona bora zaidi ya mwenzake.

    Nusraty akaingilia kati kuwaachanisha,

    Hafidhi hakutaka kuwepo tena hapo zaidi ya kutangaza vita kwa mizimu yote.



    “kuanzia sasa naomba mtambue kitu kimoja nyinyi wote adui zangu yeyote atakaye jichanganya kwenye anga zangu nachinja tu shenzi zenu!"

    Kisha akapotea kuna mzimu

    Mmoja ukasema,

    “kama imefikia hatua hii basi tutakufa wengi maana kijana

    hashikiki wala hakamatiki!"

    Hakuna aliyeongea kitu tena mizimu ishatengana na mmoja wao

    Baadhi ya mizimu nayo ikaondoka kwenda kuungana na

    Kamanda wao Hafidhi ni kitu ambacho kilimchanganya vibaya mno

    Kessy na kujuwa mambo yote

    haya kasababisha Samira........



    Zikiwa zimebaki siku kama tano hivi kuisha kwa mwezi mtukufu

    Siku hiyo Samira alitoka kwenda Kaliakoo kwa ajili ya kununua nguo za Sikukuu,

    Akiwa na shogaake wa karibu Patrisha

    Ni mmoja kati ya marafiki zake wakubwa tu,

    Toka utotoni,

    wakati wakiwa kwenye duka moja hivi sijui kwa bahati mbaya au

    makusudi kuna binti akagongana kipushi na Samira

    mpaka nguo aliyoishika

    Samira ikamdondoka chini,



    “ohoo samahani sana shogaangu ni bahati mbaya tu"

    Hakuwa mwingine ni Nusraty

    Akajifanya kuiyokota ile nguo na kumpatia. Samira

    hakutaka maneno ukizingatia kafunga

    basi akaipokea ile nguo na kuendelea kuchaguwa nguo,

    Nusraty alikuwa katika hatuwa za awali kumuwinda Samira

    Akaona njia pekee ni kuwa karibu nae.

    Baada Samira kuchaguwa nguo ambazo aliona zitamfaa akaenda nazo sehemu ya kufanya malipo akafungua mkoba wake aweze kutoa kipochi

    Ajabu hakuweza kukiona akashituka na kuzidi kupekuwa

    “Patrisha kipochi changu unacho wewe au?"

    Alimuuliza hivyo rafiki yake,



    “hapana mbona ulikuwa nacho mwenyewe"

    “mmh mbona sikioni sasa jamani...."

    Kuna simu yangu na pesa zote zipo mule"

    Mara sauti ikasikika



    “Samahani Dada mzigo wako huu wakati tumegongana pale bahati mbaya ukadondosha bila mwenyewe kutambua!"

    Samira hakuamini yani akakipokea harakaharaka na kukifungua kuangalia kila kitu kipo sawa basi akamshukuru yule Dada.



    “Asante sana Dada yangu sijui nikushukuru vipi yani hapa nilipo nilishaanza kuchanganyikiwa!"

    “usijali ndugu yangu ni jambo la kawaida tu kusaidiana!"

    Nusraty akazidi kujenga ukaribu aweze kumteka kiakili pochi sio kama alidondosha. Yeye kama mzimu alikichukuwa kimiujiza tu,

    Nusraty hakutaka kuongea sana akajongea sehemu ya malipo na kulipia nguo baadhi na kutoka zake, huku ndani ya kichwa chake akijuwa lazima atafatwa,

    Kama alivyowazia ndivyo ilivyokuwa ile anatoka tu akasikia akiitwa

    “Aunty samahani"

    Akageuka na kumuona Samira,

    “bila samahani Dada nikusaidie nini?"

    “hapana sihitaji msaada binafsi Mimi naitwa Samira kasimu naishi Tabata sijui wewe mwenzangu",,,,,,,

    Nusraty akabaki kutabasamu maana ndege mjanja kajileta mwenyewe kwenye tundu bovu



    “naitwa Nusraty Nassoro naishi Kawe ukwamani"

    “oky nashukuru kwa kuweza kukufahamu je naweza kupata number yako ya simu",,,,,,hatimae tukaweza kujenga urafiki"

    “sio mbaya shika hii bus sines card yangu"

    Samira akaipokea na kupeana mikono ya kuagana,

    Nusraty alikuwa na furaha ajabu kumbe wakati yote yanafanyika

    Hafidhi j ikram hakuwa mbali na maeneo hayo"

    Alikuwa yupo lindo kwa kumlinda kipenzi chake popote aendapo kwanza ile bussnescard ya

    Nusraty akaibeba pasipo

    Samira kufahamu chochote.

    Maana aliiweka kwenye kimkoba.



    Samira baada kurudi tu nyumbani kwao akataka kumpigia simu

    Nusraty kabla hajafanya hivyo akasikia

    Adhana akaona subiri kwanza aswali. Akatoka nnje kwenda kutawadha,

    Ikram nae akiwa na binamu yake Saguda walikuwa wapo Zizuu fashion maeneo ya Sinza Africa sana

    wakichagua nguo,

    “oyaa kaka umeiyona supra hii",,,,,,

    Saguda alimwambia Ikram na kumuonyesha kiatu kimoja kikali balaa



    “ebwana ehee,,,nimekiona ndugu kiatu hiki shida tupu!"

    “kwahiyo unakichukuwa au?"

    “ndio nakichukuwa kwani nani alikwambia nakiacha embu lete hapa"

    Ikram akavichukuwa vile viatu na kumuacha

    Saguda anacheka tu,



    “wee cheka tu kumbe ujui kama ukicheka sana utakuwa umefungulia ehee"

    “mmh embu acha uwongo wako kitabu kipi au Aya gani inasema ukiwa umefunga ukicheka tu umetengua swahumu?"

    Wakiwa wanaongoa ndipo akaingia binti mmoja mrembo na kuanza kuchaguwa nguo,

    Saguda macho yakamtoka na kubaki kukodoa macho,

    Ikram akampiga konzi kohoo



    “yalaaaa!!!,,,,mambo gani tena ya kupigana kaka",,,,

    Ikram akabaki kutabasamu na kumuuliza

    “haya na hapo sema Aya gani?"

    (Inn swahimu) hakika mimi nimefunga"

    “dahaa nasema hivi Wallahi ningekuwa sijafunga huyu mtoto ningemzukia Aisee,,,

    Hatimae mwezi mtukufu ukaisha Waislamu ulimwenguni kote wakaenda kuswali Iddi,

    Wenye kurehemu wakafanya hivyo

    Kila nyumba ukipita kunanukia pirau

    Hata nyumba ambazo sio Waislamu nao wakajionyesha ugali leo marufuku.

    Ndani ya Tabata vijana wa kitaa walishajichanga kitambo tu na kukodi

    Daladala aina ya coaster,

    “oyaa kama unademu wako umpakate kama vipi achia siti akae yeye,

    Shetani alikuwa tayari amefunguliwa Minyororo

    Mabinti walivalia vimini kreti za bia konyagi zilijazwa kwenye gari

    Safari ya kwenda Coco beach ikawa imewiva

    Samira alikuwa na Patrisha hawana mabwana Ikram alikuwa amekaa kwenye siti peke yake hana demu

    Saguda kakamatia toto.

    Patrisha kila muda alikuwa anamkata jicho la kiwizi wizi

    Ikram na kutamani kwenda kukaa nae mtoto alitamani kupakatwa, sema

    Ikram kauzu balaa,,,,,







    Ndani ya Daladala ilikuwa kelele tupu kutoka kwa vijana wale

    Bange zilivutwa pombe zikanywewa, na kuimba nyimbo za ajabu ajabu....

    Nyimbo zingine shida tupu,

    “kama una mavi kanye kichaka kile pale",,,,,,,,Oyo,,,,,oyooo,,,,ulikuwa hujui ukipata demu miuno mpaka Asubuhi,,,,where!!!....mtoto mdogo ukimshika tako serikali inasema umembakaa,,,,,"

    Yani mpaka wanaingia Tazara kelele tu,,,,,hakika vijana wamepinda vibaya mno kuna wengine hawakusita kutoa

    Mashine zao na kukojolea kwenye chupa kisha kuzimwagia gari ambazo zilikuwa zinawaova teki.

    Na kuwashushia mitusi ya

    nguoni binafsi kuna baadhi ya Abilia kwenye Daladala zingine walioga mikojo

    Na kutamani kwenda kuwashikisha adabu vijana wale. Tatizo gari yao haikusimama,



    “hawa watoto washenzi sana

    Aisee,,,oyaa wee dereva niko tayari kukulipa pesa yeyote unayoitaka wewe Tafadhali fatilia hao kunguni wadogo,

    huko wanapokwenda tukawafunze

    Adabu!"

    Ni mmoja kati ya abilia akiwa anajifuta mikojo usoni.

    “ndio hata mimi nitachangia hiyo pesa.

    Jamani ehee nani asietaka kwenda kuwachapa wale watoto?"

    Kila mmoja akaitikia kwa kusema

    “hakuna asietaka twendeni tu"

    Dereva nae akachochea moto na kuzidisha speed,

    Mpaka wanafika daraja la Sarenda wakaweza kuiyona ile Daladala yenye watoto waliokosa heshima kutoka kwa wazazi wao

    Ndani ya gari hiyo kulikuwa kombati mbili zimetulia kimyaa ya Wanajeshi

    mmoja tu mikojo ilikuwa imempata sehemu za begani.

    Hatimae vijana wakafika Coco beach na kushuka huku wakimuomba dereva aweze kuwafata mida ya jioni.

    Kila mmoja akapewa agizo

    “oyaa jamani kila mmoja tunajuwa ataenda sehemu anayoijuwa yeye ila ikifika saa kumi na mbili ndee tukutane hapa!"

    Basi kila mmoja akatimka kimpango wake wengine na mademu zao

    Saguda akabaki kuongea kwanza na demu wake,



    “sikia nikwambie kitu Jenny kwa leo sitoweza kufanya hicho kitu, embu fikilia mwezi ndio kwaanza umeisha jana afu leo hii tu nikafanye Zinaa!"

    “mimi sitaki cha sijui mwezi au mwaka umeisha

    kama una Mwanamke mwingine si uniambie tu"

    “naomba unielewe hiki nikwambiacho Baby please subiria mpaka sita iishe nitakupa kitu roho inapenda dear"



    “Saguda naona sasa umenichoka yani uliniambia nisubirie siku 30 ziishe nikangojea leo hii tena siku sita,

    Mungu wangu",,,,,,,,

    Jenny akajikuta anatoka mbio baada kuona mpenzi wake kashikwa na

    Wanajeshi na kuanza kupigwa.

    Saguda akawekwa mtu kati kama vile Mwizi na kushambuliwa kwa mateke na makofi kuna wengine wakawa

    wakimchapa kwa mikanda

    Saguda akabaki kujikunyata kama kifaranga cha kuku.

    Jenny mbio zake akakutana na kina

    Nassoro akawapa taarifa baada kusikia kuna Wanajeshi

    Wakatoka mbio kukimbia msala,

    Ikram akiwa amekaa peke yake akiitizama bahari na kuvuta hisia kama vile tayari karudishiwa kipawa cha kuwa Ninja suit tena akajiona yupo katikati ya Bahari akipigana na

    Adui yake Ninja mask

    akabaki kutabasamu tu.

    Ghafla akasikia kelele za watu akageuka kutizama hakuweza kuamini baada kuona kikundi cha

    Watu, wakiwa wanambuluza ndugu yake

    Saguda kumbuka mtoto wa nyoka ni nyoka tu.

    Ikram ana hasira kama marehemu Baba yake yani

    Kessy akapaza sauti kupiga kelele huku akija mbio yani akajiona tayari

    Ameshakuwa Ninja suit akadaki na kwenda juu na kuachia mateke

    ya nguvu wale wanajeshi wakatupwa kule,

    wakati huo ndani ya bahari kukiwa kuna tutumuka yani kikatokea kitu kama Short hivi ya Umeme waliokuwa kwenye maji wakaanza kusheki

    Sheki

    kila mmoja akabaki kushangaa na kujiuliza kuna nini"........

    Masikini ya Mungu kumbe Samira nae akiwa na shogaake walikuwa kwenye maji

    Ikawa dhahama si kidogo wenye watoto wao wakajitosa kwa nia ya kwenda kuwatoa ikawa kama kujipeleka tu

    Ikram hakujuwa afanye nini juu ya Dada yake watu wakazidi kuteseka tu

    Ghafla kuna kiumbe cha ajabu sijui kimetoka wapi. Kikaibuka kutoka ndani ya maji na kuanza kucheka huku shoti ikiwa imeacha",,,,,,,

    Kupiga sauti yake ilikuwa kali na nzito watu wakaziba masikio yao



    “ha!ha!ha!ha!,,,,tehee!tehe!tehe....."

    Kiumbe kile baada kucheka sana akamfata Samira

    sema kabla hajamfikia akawa anauwa kila mtu anayekutana nae mbele yake

    Ikram akatest kuongea yale maneno kwa hisia kubwa.

    Wakati anaongea hivyo ghafla

    Aridhi ikaanza kutetemeka watu wakazidi kushikwa na hofu kwenye mioyo yao.

    Ikram nae akapotea eneo lile watu wakaanza kukimbizana huku na kule yani kwenye kifo bwana kuna watu wanadata vibaya mno.

    Baada mtu kukimbia aende mbali na eneo lile wengine

    Wanakimbilia kwenye maji baharini.

    Sijui akili zao zikoje,

    Kile kiumbe kikawa tayari kishamfikia

    Samira kitendo cha kutaka kumshika tu,

    Akajikuta anapigwa sijui ngumi au teke

    Atajuwa mwenyewe maana

    kitu kilitua moja kwa moja kwenye korodani kiumbe kikayumba na kudondoka chini

    Amini usiamini Ninja suit huyo hapo amerudi teena",,,,,,

    Samira akapiga kelele kushangilia

    kwa kusema

    “wewee ka",,,,,,kabla ajaongea chochote akapigwa na kitu mdomoni yani kumziba mdomo asianze kuropoka akabaki kimyaa.

    Kile kiumbe kikanyanyuka na kuitaji kujibu mapigo

    Ninja suit alikuwa mwepesi zaidi yani maji ikawa kama vile anadunda kwenye Sipring. Akadank tena na kutua karibu zaidi na kile

    Kiumbe na kuanza kumchakaza kwa visu kutoka kwa mayakuza alimchana chana hovyo hovyo mwilini kiumbe kikadebweda na kuangukia kwenye maji akapotea.

    Ninja suit nae akapotea Coco hakuna aliyetamani kubaki kwa siku hiyo ni Balaa tupu.



    “jamani ehee mi naona bora tusinge kuja maeneo haya kuwafata hawa watoto, maana tumevuka jivu na kukanyaga moto!"

    “ni kweli Aisee dahaa unajuwa Mimi nilikuwa na ahadi ya kukutana na kipenzi changu, na alikuwa tayari ameshafika sehemu ya kukutana

    Sijui shetani gani kanituma kuja huku kudadeki"......



    “wee kijana embu funga domo lako unataka kumsingizia Shetani ndio kakuleta huku, wakati tumekuja na gari"

    Wakabaki kubishana tu.

    Police wakafika na kukutana na hali ya machafuko Coco ilikuwa haifai tena,

    damu zilitapakaa kila kona,

    Kwa upande wa Hafidhi hakuweza kufahamu chochote kinacho endelea

    Kwa kipenzi chake kwani

    Nusraty akatumia kila mbinu

    kumteka kimawazo ili asiweze kwenda kutoa msaada.

    Na kweli akaweza kumteka kihisia

    Sada ndio kiumbe kilichoenda

    Coco beach kufanya mambo na kukutana na kisiki cha mpingo akachezea kichapo cha Mbwa mwizi.

    Akarudi kuzimu akiwa hoi taabani tena kwenye hatua za mwisho kuwepo tena hapa ulimwenguni,

    Kila mzimu ukabaki kuhuzunika masikitiko makubwa kwa kila mzimu.

    Hakika Sada alikuwa hatamaniki mwilini yani alikuwa kachanwa chanwa vibaya sana.

    Kessy akajikuta anadondosha chozi

    Na kumtakia maisha mema huko aendapo

    Sada akaiyaga dunia, na kupotea kama vumbi tu.

    Mizimu ikaangua vilio tena sauti zao zilikuwa kali mpaka juu ya mbingu

    Wingu zito likatanda upepo mkali ukavuma

    Radi ikapiga ilikuwa usiku wenye Giza nene.

    Vijana kwa wazee wapo kwenye kumbi za Starehe wakiruka Ngebe,

    wengine wapo guest

    Ndani ya chumba kimoja hivi kulisikika vilio vya kimapenzi yani Raha utamu

    Mmmmmmmmassssssohooo,,,,hapooooo,,,,ahaaaaa,,,osssssss,,,alikuwa bibiye

    Patrisha na Ikram

    Mtoto wakike alikuwa kabambanishwa ukutani na kusukumiziwa mashine

    ya nguvu na kujikuta akishindwa hata kukizungusha kiuno Vizuri

    Ikram alikuwa na furaha baada kipawa chake kurudi tena kwa speed ya ajabu. Akaona bora ajipongeze kutoka kimapenzi na toto la kipemba bibiye

    Patrisha...yani mtoto ana mchanganyiko fulani hivi Baba sijui mpemba au muarabu

    Mama muhindi kutoka kule Mumbai.

    Akazidi kumsurubu mtoto wawatu

    Kijasho kilimvuja

    Ndani ya ukumbi wa Uswizi maeneo ya Tabata vijana wakazidi kuruka ngebe

    Samira alikuwa akizunguka huku na kule kumtafuta Shogaake maana alikuwa nae pasipo kufahamu mwenzake anatwangwa huko.

    Akajalibu kumpigia simu inaita tu ajabu haipokelewi akajuwa bila shaka

    Best yake atakuwa kwenye majanga

    Akampigia simu Ikram yake haipatikani.

    Kwa bahati nzuri akamuona Saguda akiwa anacheza mziki na kipenzi chake

    Bibiye Jenny akaenda kumshika

    Akamvutia pembeni,



    “Kaka hivi umemuona wapi Patrisha"

    “unasemaa"

    Saguda akauliza kwa sauti maana ndani ya ukumbi huo ukiingia mchana kunakuwa usiku na usiku kunakuwa usiku hakuna dirisha sehemu hata moja

    Zaidi ya taa zenye rangi tofauti zikizunguka.

    Ikabidi nae apandishe sauti umemuona Wapi Patrisha?"



    “ahaa kumbe Patrisha nilimuona akitoka nnje akiwa na Ikram"

    Samira akatabasamu ghafla akajikuta anashikwa kiunoni mikono yenye kumtekenya akashituka kimahaba na kugeuka kumtizama aliyemshika

    ni Hafidhi j ikram

    “whao baby umekuja",,,,,umejuwaje kama nipo huku,

    Hafidhi akujibu kitu zaidi ya kupeleka mdomo wake na kuitaji denda

    Samira nae akaudaka miguno ikaanza kusikika,,,,"









    Samira akazidi kujiachia na kuvutiwa chooni kufika huko denda likaendelea

    Wakati huo kidole cha

    Hafidhi kikiwa tayari kimeipekenyua chupi ya Samira na kuanza kukichezea na vile mtoto alikuwa na Nyege za mwezi mzima akazidi kudata na kukikatikia,,,,"

    ,,,ooooh,,,bebiiiiiiiii,,,aaaa

    aaaaaah,,,,mammaaaaaaaaaaaaaaa

    ,,,weweeeeeejamaaaaaniiiiiiiii

    i,,,aaaaaaaashiiiiiiiiiii,,,aliendelea kulalamika kimahaba ambapo Hafidhi alijikuta akipandwa na mizuka na kuzidi kukitikisa kidole chake kwenye kitumbua cha bibiye,

    Ikawa sasa nipe yote unanipa nusu ya nini",,,,,,akageuka na kulishika

    sinki la kunawia mikono humo chooni na kupekenyua makalio yake yaliyonona akimsubiri Andunje,,,,aingie Ikulu,,,,

    Assssssss,,,,ahaaaaaaaa,,,,,opssssss,,,

    Samira akaanza kuweweseka utasema midomo yake amekula pilipili vile baada Andunje kuanza kuzama kichwa.

    Ndani ya usiku huo ilikuwa burudani kwa kila mtu kwa upande wake

    japokuwa Saguda alipigwa kule Coco beach akaweza kusimama vyema na kujichanganya na wenzake, kwa wale ambao walipoteza maisha pole yao,

    Kuzimu kulikuwa kimyaa

    Nusraty alilia vibaya mno. Akabaki kujiuliza kiumbe gani hiko chenye nguvu mpaka akaweza kumuuwa Rafiki yake kipenzi hakika lilikuwa pigo kwa upande wake.

    Akajiapia kupambana kwa namna yeyote ile.

    Kessy kwa upande wake hakuweza kushangaa maana anamfahamu vyema

    Ninja suit ni kiumbe hatali

    Akaitisha kikao na kuwatangazia mizimu yote,



    “jamani ndugu zanguni kwanza nashukuru sana kwa kila mmoja wenu kuweza kufika hapa,

    ndio nafahamu ni jinsi gani mlivyo na majonzi ya kuondokewa na ndugu yetu

    yani kama Mama yetu kwa upande wetu"

    Sasa basi kila mmoja akae na atambuwe ya kwamba

    Binaadamu wameamua kutangaza vita na sisi, siwezi kusema kiumbe kilichomuuwa mwenzetu ni binaadamu au vipi kwa kifupi tu

    ni kiumbe hatari sana yani ananguvu za ajabu sijui kutoka sayari gani",,,,,,

    Nusraty akanyoosha mkono ishara ya kwamba anataka kuongea kitu,

    basi akapewa ruhusa ya kuzungumza



    “kwanini mkuu unasema ni kiumbe hatari sana ina maana yeye ni bora kuliko sisi?"

    “naweza kukwambia kitu Bibiye hiko kiumbe nimewai kupambana nae zaidi ya mara mbili na kuishia kupigwa Mimi tu!"

    Kila mmoja akabaki kushangaa kama hadi mkuu wao amewai kupokea mkong'oto mbona balaa

    Nusraty nae akaona njia pekee ni kwenda kuomba msaada kwa

    Hafidhi na kikosi chake ili waweze kuunganisha nguvu kwa pamoja

    huyo kiumbe watamteketeza tu"

    ni asubuhi tulivu

    Ikram alikuwa anapasha kwa kucheza

    Taikondo

    Samira nae akadamka akiwa anapiga miayo akaenda chooni na kutoka

    “nakuona mzee mzima unapanga mapigo hapo na ulivyo mwepesi mbona balaa"

    Ikram baada kuambiwa vile akamtizama Dada yake na kumwita

    “embu njoo"

    Samira akaenda kufika tu akashikwa sikio na kupigwa konzi

    “yalaaa Kaka bwana niachie huko unaniumiza"

    Ikram akamuongeza konzi lingine

    Na kumwambia



    “hivi wewe mbona unakuwa mbeambea yani kitu kidogo umbea tu"

    “wee Ikram mbona unamfinya sikio Dada yako?"

    “hapana bibi nampa zoezi tu"

    Akamuachia,

    “toka zako yani ulikuwa unanipiga makonzi hapa sasa subiri na uwone"

    Samira akatoka mbio na kwenda ndani ikawa zamu yake Ikram

    Yeye akafinywa shavu na bibi yake.



    “yalaaaa",,,,,,bibi unaniumiza bwana"

    “kwahiyo ulivyokuwa unamfinya mwenzio alikuwa aumii ehee"

    Ikram akapigwa konzi na kujishika utosini

    Samira akatoka ndani na kuanza kucheka

    “hahahaha ndio bibi mpempe huyo kazidi kunionea

    Hakika ilikuwa familia yenye matani ya hapa na pale furaha ikawa imeweza kurudi tena.

    Ikram akaweza kujipanga zaidi kumtafuta Ninja mask aweze kumteketeza japokuwa

    hadithi inasema Baba yake ambaye kwa sasa ni marehemu ndio muazilishi wa Ninja mask.



    “mmh shost mwenzako tokea juzi kuna kijana ananisumbua huyoo",,,,

    “anakusumbua vipi tena mwenzangu?"

    “kijana mwenyewe kutoka Facebook sijui hata number yangu kampa nani",,,,yani ananipigia simu hadi saa nane za usiku, tena

    baba Muna akiwepo sasa jana usiku ile simu inaita tu Mume wangu si akaipokea yeye, na kumuuliza wewe

    Nani unapiga simu usiku wote huu",,,,,,,,

    Basi Mume wangu alijuta kwanini alipokea ile simu,

    Kwa matusi aliyotukanwa

    Akatamani kuivunja simu sasa leo nimeitupa ile Lain na kununua nyingine,

    Ajabu yule mtu kanipigia kwa number hii mpya sijui hata kaipataje?"

    “mbona makubwa sasa Hidaya

    Mumeo anasemaje kuhusu hilo maana ni Mjeshi yule!"



    “yani jana tu mwenzako nimechezea makofi na kuambiwa iwe mwanzo na mwisho kuingia Facebook, akisikia tena ujinga kama huu eti atakata makalio yangu kisha ayatafune mabichi,

    “ha!ha!ha! Shogaangu wacha kunichekesha"



    “sio nakuchekesha ni ukweli mtupu hivi unadhani Mjeshi kama yule atashindwa kufanya hivyo?"

    “ashindwi sasa subiri nikwambie kitu,

    Unaonaje tuweke mtego kwa huyo mtu yani tumtumie Mumeo katika swala hili, tuweze kumnasa msumbufu kama huyo anaetaka kuachanisha ndoa za watu",,,,,,,

    “mimi binafsi sina neno"



    “basi kama uko tayari nipatie hiyo number kisha Mimi nitaongea na Mumeo tuchonge mchongo au sio

    Amina"

    Yalikuwa mazungumzo baina ya Amina na shogaake Beatrice kuhusu

    Amina kusumbuliwa na kijana mmoja hivi akimtaka kimapenzi, mchongo ukawekwa kwa

    Beatrice kujifanya yeye ndio Amina

    kijana akapigiwa simu

    Na kuambiwa wakutane maeneo ya

    Shule ya Uhuru

    Tukija upande wa bibiye Ashura hakika hakuwa na raha kabisa mawazo yakaanza kumsonga juu ya kumuwaza kipenzi chake

    Baba watoto wake wa baadae yani

    Chanduka akabaki na maswali mazito lini atarudi kama mfungo ushaisha huu

    Hata mawasiliano yake hakuweza kuyapata,

    Mtoto wakike akabaki kukonda tu na kuhisi Mwanaume wa pili huyu nae

    kamtenda. Ikram aliweza kugundua hilo

    Basi akatumia muda wake

    mwingi kuwa karibu na Shangazi yake

    na kumpa maneno matamu

    ya hapa na pale...."

    Samira nae alikuwa hasikii wala haoni kwa Hafidhi j ikram

    ni siku hiyo nyumbani kwa Mzee mfamau kukazuka balaa kubwa kisa na mkasa kitendo cha

    Hafidhi kufika hapo kilimuuzi sana

    Saguda,

    Na kufikia hatua ya kumtusi shemeji yake

    “wewe mtoto wa malaya kenge blue umekuja kufanya nini ndani ya nyumba ya Wanaume?"

    Hafidhi akujibu kitu zaidi ya kujifanya yuko busy kuchezea simu.

    Saguda akamwambia kwa hasira



    “si unajifanya wewe kauzu ehee sasa subiri nikuonyeshe show ya Kiume"

    Wakati huo

    Samira hakuwepo sijui alienda wapi,

    Saguda akarudi mkononi akiwa kashika panga,

    “kabla sijahesabu moja mpaka tatu

    Naomba utoke mwenyewe haraka sana!"

    Kumtisha zaidi akampiga mgongoni kwa kutumia ubapa, hakujuwa kama anafanya makosa makubwa sana.

    Kitendo bila kuchelewa Saguda akajikuta anakabwa kwa mkono

    mmoja, akajitahidi kujitoa wapi

    Amina nae akaja mbio kumsaidia mwanae akapigwa kofi moja tu akapepesuka na kwenda chini. Saguda akatupwa nnje. Mwanaume akatoka kumbe nnje kulikuwa na masela wake nao baada kumuona

    Kichaa wao katupwa kama furushi la nguo chafu wakaona ehee ujinga huu

    Wakajiandaa kumchangia, kivumbi kikaanza hapo.

    Vijana walijikuta wanachezea mkono wa ajabu kisha Saguda akashikwa tena na kunyanyuliwa juu kama vile mtoto

    Kibaya zaidi

    Ikram Samira na Shangazi yao yani mama yake Saguda ndio wanarudi kila mmoja akashituka baada kukuta tukio lile.

    Ikram akatoka mbio tena kwa kasi ya ajabu na kwenda kumtandika teke shemeji yake,

    Hafidhi akayumba na kumuachia

    Saguda adondoke chini

    Ashura kwa uchungu wa mwanae akaokota jiwe na kulirusha

    nia yake ampige Hafidhi mwanaume akadank na kulipiga teke na kumrudia mwenyewe

    Kitu tii Ashura nae chali

    Ikram akatamani awe Ninja mask aweze kumchakaza huyu pimbi tatizo watu.

    Akaamua kupigana hivyo hivyo akarusha mateke

    Na kujikuta akipigwa teknik za ajabu

    Ikram nae akadebweda,

    Samira hakuweza kujuwa afanye nini

    Akaenda kumpigia magoti mpenzi wake na kumsihi aiyache familia yake.

    “Tafadhali mpenzi usifanye hivyo please nakuomba, uiache familia yangu

    Kumbuka ahadi yako baby"

    Samira akaangua kilio zaidi,

    Hafidhi akamuachia

    Ikram maana alitaka kumvunja shingo.

    Baada kumuachia akaondoka zake,

    Njia nzima akiwa anajilaumu kwanini

    Katenda kitendo cha ajabu kama kile,

    Japokuwa ilikuwa haki yake kujitetea.

    Akiwa maeneo ya Tabata bima ghafla upepo mkali ukaanza kuvuma,

    Kucheki mbele yake

    kuna kiumbe kimemsimamia kiumbe ambacho kimetinga suit zilizo mbana kisawasawa usoni kavaa mask

    Mikononi ameshika siraha aina ya mundu sijui visu,

    sema vipo kama zile za kukatia majani ya Ng'ombe kiumbe kikadank

    Na kuja kwa kasi zaidi kumvaa Hafidhi nae akajindaa kumpokea na kujikuta wanapigana vikumbo utasema wacheza mieleka.

    Wote wakaenda chini wakati huo Hafidhi akiwa tayali ameshachanwa

    Begani

    Mwanaume kitendo cha kujeruhiwa

    Akapandisha hasira na kuanza kuzunguka vumbi likatimka

    Ninja suit akabaki kumcheki tu kabla hajakaa akajikuta anapigwa na kitu kizito mfano wa kama, Gogo aina ya mstimu

    Ninja suit akarushwa mbali na pale kwa mara ya kwanza Ninja suit akapotea.

    Na kumuacha Hafidhi akimtafuta

    hakujuwa kama siku zote sio jana.

    Ikram akaonekana chumbani kwake akicheuwa damu,

    Akajitahidi kujizuia tumbo nalo

    likazidi kumsokota akapiga kelele

    za maumivu,

    Kelele ambazo ziliwashitua ndugu zake wakaingia mbiombio na kumkuta akiwa hoi taabani

    Kitendo bila kuchelewa akawahishwa hospital

    Kila mmoja akabaki kumlaumu

    Samira kwani yote haya kasababisha

    Bwanaake.

    Hali ya Ikram haikuwa nzuri hata kidogo, maana alipungukiwa na damu nyingi mwilini ilibidi

    Samira amtolee damu Kaka yake

    baada vipimo kuonyesha group lao liko sawa mashine ya oxigen ikiwa puani kwake,

    Samira akabaki kuwaza na kuwazua akafikilia imekuwaje Kaka awe hivi wakati aliachwa pale nyumbani akiwa mzima tu itakuwa alimfata tena. Akiwa katika mavazi ya

    Ninja suit na hiki ndicho kilichomtokea

    Akiwa anawaza ghafla akaguswa begani akainua kichwa chake

    Na kumtizama aliyemshika ni kipenzi chake

    Hafidhi wakabaki kutizamana tu

    Hafidhi akauliza swali,

    “Samira kumbe Kaka yako ndio

    Ninja suit?"

    Samira akatoa macho pima na kubaki na mshangao"







    Samira akabaki njia panda hakujua amjibu nini mpenzi wake, maana ulikuwa kama mtego tu,

    Hafidhi nae akamkazia macho kipenzi chake na kumuuliza tena,

    “baby nakuuliza tena inamaana

    Kaka yako ndio Ninja mask",,,,,,,please niambie ukweli baby nisije kutenda tena ujinga kama huu",,,,,,

    Samira hakuwa tayali kujibu kitu akaangua kilio ikiwa njia pekee ya kuzuga kutokusema ukweli. Kwa mpenzi wake kumbe mwenzake ameshajuwa alichotaka kutoka kwa Samira ni udhibitisho tu.

    Baada kuona mpenzi wake analia tu,

    nae akaondoka eneo lile,

    Bibiye Beatrice akiwa na vijana kama watatu hivi walifika maeneo ya shule ya Uhuru na kuangaza macho yao huku na kule simu ikiwa sikioni,



    “ehee ndio nishafika nipo hapa wanapouza makapeti"

    Beatrice aliongea hivyo kwenye simu baada kukata simu akawaambia kitu wale vijana

    “sasa Nunda wewe na wenzako itabidi muende mkazuge pale kwa mchoraji,

    maana huyu bwege kasema anakuja kwasasa yupo Boma hapo",,,,,,,

    kijana yule anaitwa Nunda akavuka barabara akiwa na vijana wenzake,

    Kwa mbali kidogo anaonekana

    Amina akiwa na mumewe nao

    wapo na vijana wengine kama wawili wametinga kombati, “sasa uyo kunguni akijitokeza tu atajuta kuzaliwa wa kiume leo"

    Baba Muna alitamka hivyo kwa hasira,

    Kuna daladala iliweza kusimama akashuka kijana mmoja hivi

    Mungu wangu",,,,,,kumbe alikuwa ni Kessy akaitowa simu yake hata hakubofya kitufe chochote cha simu akaiweka tu sikioni na kuuliza,

    “halloo,,,,,,uko pande zipi",,,,,,,ahaaa basi nakuja nishakuona

    Kessy kwa mwendo wa Kitozi au sharobalo akavuka barabara

    na kuja mpaka pale alipokuwa Beatrice kiumbe hiki cha ajabu alishafahamu huyu binti aliyekuwepo mbele yake sio mwenyewe kwakuwa kajileta mwenyewe subiri amuonyeshe

    Bibiye Beatrice kitendo cha kumuona tu Kessy mapigo yake ya moyo yakaanza kwenda kasi

    Hakika hakuwai kumuona kijana hendsom kama huyu,

    Akajikuta anakumbatiana nae na kumnong'oneza sikioni.

    “naomba ukimbie kwanza mpenzi hapa kuna mtego nilikuwekea please fanya hivyo"

    Pale pale Nunda na wenzake wakawa wamefika si walishamuona, pasipo kuchelewa

    Kessy akashikwa na kuvutwa akapigwa zinga la mtama akaruka juu kimo cha mbuzi na kutua chini

    Puhuu",,,,,wakati huo Baba Muna nae kashafika

    hakutaka kuuliza akafikia kumpiga mateke ngumi za mbavu

    Kessy akawekwa mtu kati kwa kushambuliwa kama vile vijana wanapocheza gombania goal.

    Kila mmoja akabaki kushangaa na kuona ajabu mbona huyu kijana kumpiga kote huku anacheka tu",,,,,,,

    Tena kwa dharau,

    kicheko kikapelekea kitu kama shorti itokee eneo lile Baba Muna na wenzake,

    Wakaanza kutetemeka utasema mtu aliyeshikwa na kitu kama degedege hivyo

    Kessy akafutuka kutoka chini

    Kuna kitu alimpiga nacho Beatrice cha shingo akadondoka chini na kuwa kimyaa

    Amina akatoa macho tu na kuitaji kukimbia akashikwa na kuguswa kwenye mshipa wa fahamu ulioko shingoni dahaa binti akapoteza fahamu.

    Kessy kwa speed zaidi kama vile

    kizuka akapotea na Wasichana wale wawili huku akiwaacha Vidume vikisheki mziki pasipo kuwekewa Radio

    ilikuwa full vicheko kwa wapita njia

    Basi watu wakajazana. Mpaka ikafikia hatua ya kuanza kuvua nguo,

    Dakika si nyingi gari ya Jeshi ikafika na kuwachukuwa watu wao

    Wakiwa kama vile mazezeta fulani.

    Nunda na wenzake wakabaki kusheki tu.

    Ikram akaweza kutimiza wiki hatimae mwezi pasipo kurudiwa na,

    fahamu zake,

    “kama kweli unanipenda kwanini umemfanyia kitendo cha ajabu Kaka yangu?"

    Kwa sauti ya kilio Samira alimuuliza mpenzi wake.

    “tatizo baby hutaki kusema ukweli nimekuuliza mara ngapi je yule ndio Ninja suit au",,,,,hukutaka kujibu"

    Samira hakuwa na jinsi zaidi ya kusema kitu ambacho Hafidhi alikuwa anakingojea kwa hamu kubwa,



    “Samira mpenzi hakika nimekuwa na furaha kubwa sana, kuanzia dakika hii maana nilitaka nipate uwakika tu. Kuhusu vile akili yangu ilivyonituma kuhusu Kaka yako,

    Kama unakumbuka siku ile pale

    Nyumbani kwenu nikiwa nimekaa sebuleni

    Kaka yako yule mwingine mweusi hivi akaja na kuanza kunitukana matusi ya ajabu ajabu. Sikutaka kumjibu kitu,

    kutokana na kufahamu natakiwa kumuheshimu kama shemeji yangu, kama haitoshi akaenda kuchukuwa panga na kutaka kunikata nalo

    Embu fikilia baby ningefanya nini kama sio kujitetea

    Nikapambana nae mpaka tukatoka nnje sijui wenzake wale wakaingilia kati kutaka kunipiga,

    Nikapambana kiume ndipo wewe ukiwa na Shangazi yako mkatokea

    kaka yako huyu nae akaja kwa hasira kuja kumtetea mwenzake,

    Nae nikamdhibiti ukaniomba niache

    Baby nikaacha wakati naondoka

    Ghafla akatokea Ninja mask

    Niliona kama imekuwa siku ya balaa kwangu nikapambana

    Ajabu pigo nililompiga Ninja suit ndio pigo analo ugulia Ikram.

    Baby nisamehe sana, kuanzia sasa sitoweza kuwa karibu nawe tena siwezi kukugombanisha na familia yako"

    Hafidhi akapiga goti chini

    na kumuomba mpenzi wake amsamehe,

    Kila mmoja machozi yakiwa yanamtoka,

    Samira nae akapiga magoti na kumshika usoni mpenzi wake na kumwambia



    “hapana baby usiniache kwa njia hiyo sio kosa lako dear please baki nami

    Daima"

    “hapana Samira niache niende"

    Wakiwa bado wamepiga magoti kila mmoja akilia

    Ndipo mlango wa wodini ukafunguliwa akaingia Doctor akiwa na vifaa fulani hivi,

    Wote wakasimama na kujifuta machozi

    “poleni sana vijana kumbukeni kitu kimoja huu sio muda wa kulia, kwasababu huyu ni mgonjwa tu sio Maiti kitendo cha kulia mnaweza kumuweka kwenye wakati mgumu wa kurudiwa na fahamu zake"

    Alisema hivyo Doctor Derrick huku akiweka miwani yake sawa. Akaanza kumpima mgonjwa

    Samira na mpenzi wake wakatoka nnje,

    Doctor Derrick nae baada kufanya vipimo na kumchoma sindano mgonjwa akatoka nnje

    Ajabu kwenye paji

    la uso Ikram alikuwa anadondosha chozi ina maana kasikia kila kitu kuhusu walicho kizungumza

    Dada yake na Hafidhi sijui kitu gani kilimfanya adondoshe chozi.

    Ndani ya nyumba moja hivi maeneo ya Kurasini ndani yake kulikuwa mabinti wawili

    Wakiwa wamefungwa kamba mfano wa Yesu msalabani.

    Miguuni wamepigishwa msamba tena wakiwa uchi kabisa ni

    Beatrice na mwenzake Amina walikuwa wanalia sauti hazikuweza kutoka

    Sababu midomoni wamefungwa

    Vitambaa,

    tukija chumba kingine tunamuona Kessy akiwa anakunywa damu ikiwa kwenye kitu kama fuvu hivi.

    Kisha akatoka na kuwafata kina

    Amina pale alipo wafunga

    Kessy mshenzi sana huyu hakika akawafanya kitu ambacho ilikuwa ni zaidi ya unyama

    Amina Beatrice wanakufa huku wanajiona

    Kwanza alikata matiti yao kisha akawabandika na pasi sehemu za majeleha.

    Akaendelea kuwang'oa meno moja baada ya lingine

    Yani wee acha tu kisha akawatia moto huku yeye akipotea,



    “jamanii,,,,,motoo",,,,,,motooo!!!

    Zilikuwa kelele kutoka kwa wananchi waliokuwa karibu na maeneo hayo basi simu ikapigwa zima moto wakafika na kuanza kuzima moto ule.

    Waokoaji wakazama ndani walichokiona kinatisha",,,,,,,

    Tokea tukio lile litokee sasa ikawa kama hobi watu kila siku wakawa wanauliwa tena mauwaji ya kutisha.

    Huyu kakatwa kiuno yule kagawanyishwa viungo,

    Police wakawa hawalali usiku na mchana kumsaka muuwaji tena akiuwa anapiga simu kabisa police kuwa tayari kashafanya mauwaji,

    Number yake sijui ilikuwa mtandao gani yani (777777777) ndio inasomeka hivyo

    ikafikia hatua watu wakawa wanaogopa hata kujibu sms ya mtu iwe

    Facebook Whatsapp,

    Kwani taarifa ilitangazwa kuwa wauwaji njia wanayo itumia kuwanasa watu

    ni kwenye mitandao ya kijamii

    utakuta Mwanamke katupia picha nzuri yenye kumtega Mwanaume yeyote yule rijali.

    Ukienda tu inbox nae hakatai ukiomba ukutane nae tu, basi utoe taarifa kwenu wajiandae kufunga turubai

    Na kulia

    Na Wanawake hivyo hivyo hasa madada wanaojiuza kwenye mitandao wananasa kila kukicha.



    Ikram kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu akaweza kupona na kuruhusiwa kutoka hospital siku

    aliyotoka tu akamuuliza

    Dada yake,

    “Dada shemeji yuko wapi?"

    Swali ambalo halikumshangaza

    Samira tu hata Shangazi zake na bibi yake wakabaki kushangaa.

    “Kaka tafadhali nakuomba kaa mbali na mpenzi wangu kwakuwa ushapona basi usitake kuzua mengine tena"

    “sio hivyo Dada yangu naitaji kuonana na Shemeji niweze kumuomba msamaha

    Hakika nimeweza kufahamu ukweli mwenye makosa ni huyu kichwa kama mgongo chura",,,,,,,

    Akamtia konzi Saguda kohoo,,,,,,



    “yalaaaa",,,,,,,

    Kila mmoja akabaki kucheka

    Hahahaha,,,mtakoma Mr.makonzi karudi!"

    Basi wakaweza kuongea mengi

    Samira akakubali kumkutanisha kaka yake na Hafidhi,,,,"

    Nusraty nae akazidi kufanya mauwaji kwa njia hiyohiyo anayo itumia

    Kessy sasa siku hiyo

    Alikuwa na miadi ya kukutana na Mwanaume mmoja hivi

    basi wakaomba wakutane uwanja wa kimataifa kwa Mwalimu jurias kambalage nyerere,

    Basi bibiye akafika time ileile aliyopanga kukutana na mgeni wake

    Akiwa katika kumngojea ghafla moyo wake ukafanya pahaa baada

    Kuweza kumuona mtu ambaye

    Anamkumbuka vyema ni Chanduka

    hakutaka kujiuliza sana akapotea

    Maana alijuwa huyu chizi akimuona hapa kitanuka tu",,,,,,,,







    Chanduka aliweza kurudi nchini kimya kimya yote kwa sababu ndivyo alivyo ambiwa na muheshimiwa Raisi

    Na kuja kupokelewa na vijana kutoka kitengo cha usalama wa taifa

    yani wazee wa suit.

    Chanduka akaingia ndani ya gari, na safari ya kwenda

    Ikulu ikawa imeanza ndani ya gari kulikuwa na watu kama wanne hivi ajabu hakuna aliyeongea kitu kila mmoja alikuwa kimya akisikiliza taarifa ya habari

    Kuhusu kupotea kwa wasichana wawili tena wanafunzi wa kidato cha nne taarifa zinasema ya kwamba mara ya mwisho kuonekana kwa Wasichana hawa ilikuwa ni maeneo ya Mwenge stendi,

    kuna gari aina ya Prado yenye number za usajili (KT777) tokea hapo hawakuweza kuonekana tena kwa majina mmoja anaitwa Rosemary Bernard na mwenzake ni Elizabeth Alexander.

    mpaka wanaingia maeneo ya Ikulu hakuna aliyeongea chochote,

    Chanduka akashuka na kuingia ndani akapokelewa kwa heshima na baadhi ya wakuu wa jeshi la police

    Akaongozana nao mpaka ndani ya ukumbi mmoja mkubwa kulikuwa na viti katikati imewekwa meza.

    Basi kikao kikaanza, ajenda kubwa ikiwa ni kuhusu nchi kukumbwa na majanga yasiokwisha,



    “naweza kusema hiki sio kikao cha kwanza kwa sisi kuitana hapa, labda kiwe cha kwanza kwa Commando wetu kutoka nchini Brazil Mr. Chanduka,

    mara ngapi napiga kelele kuhusu swala hili na nyie wala hamjali,

    Embu angalia ni jinsi gani Wananchi washakosa imani kabisa

    na utawala wangu vitengo vyote vya Jeshi mnafanya mambo ya kipumbavu tunaonekana tunazidi kuvimba vitambi tu wakati wananchi wanaishi kwa hofu kuhusu maisha yao!"

    Hakika muheshimiwa Raisi aliongea kwa hasira sana.

    Swala sio kama nchi haina Vitengo au vitendea kazi vya kuifanya kazi hiyo,

    hapana vipo tatizo linakuja uwoga tu kila mmoja anahofia maisha yake,



    Chanduka akapewa nafasi ya kuzungumza kama ana lolote la kusema, basi akasimama na kujiweka sawa,

    “kwanza kabisa nirudie kuhusu kauli ya muheshimiwa Raisi,

    ni kweli kabisa akisemacho na hakuna yeyote atakaye weza kupingana na hili jambo. Embu tufikilie kitu kimoja

    tu, kila mwaka Vijana wanaitaji kujiunga na Jeshi na kabla ya kujiunga kuna njia nyingi unapitia

    Sijui kufanya usaili. Kupimwa hafya yako kisha unaenda depo huko unateseka usiku na mchana.

    Unatoka huko ukiwa kijana shupavu tena mkakamavu, usieweza kuhofia chochote kile.

    Ukiingia pale JKT unangojea kuchaguliwa ujui kama utakuwa Police

    Au Soldiers ama Askari magereza.

    mpaka hapo ushajitolea maisha yako.

    Siku zote mjeshi wa kweli

    hatishiki na kitu chochote kile si mmefuzwa kuwaheshimu watu watatu tu yani wa kwanza kabisa Raisi wa pili Baba wa tatu Mama wengine wote

    wakizingua piga

    leo hii kila mmoja anaogopa kujitokeza kwenye matukio kama haya napambana peke yako muda mwingine nazidiwa,

    pasipo kupata msaada wowote ule.

    Sasa kuna haja gani ya kukabiziwa kikosi kisichokuwa na faida",,,,,,

    yani S.W.A.T wanafika eneo la tukio na kukuta kila kitu kimekwisha

    Embu Muheshimiwa nikuombe kitu kimoja tu,

    Kuanzia sasa sihitaji kuifanya kazi hii nikiwa na yeyote yule

    kama nitaitaji msaada wa mtu nitamchaguwa mimi mwenyewe!"

    kila mmoja akapiga makofi ya pongezi kikao kikaendelea kwa kila mtu kuchangia jambo lake.

    Hapa tunamuona Hafidhi akiwa amekaa na Ikram

    nao wakipanga mambo yao hakika walikuwa wameweza kupatana na kumaliza bifu,



    “kwanza nashukuru kwa kuweza kukubari ombi langu

    Shemeji yani siamini kabisa kama nimekutana nawe!"

    “usijali Ninja suit",,,,,ahaa Ikram

    Shemeji"

    Ha!ha!ha! Wakajikuta wanacheka tu

    Ikram kwa sauti ya chini kabisa akasema

    “ahaaa Shemeji bwana usiniite hivyo unajuwa tena mambo yenyewe ya siri haya"



    “usijali Shemeji binafsi Mimi niko tayali kufanya kazi pamoja nawe iwe usiku au mchana nitajitolea maisha yangu

    Kupambana na huyo Ninja suit,,ahaaa Ninja mask.

    Mmh unajuwa haya majina yananichanganya bwana,

    Baada kusema Ninja suit nasema Ninja mask basi shida tupu"

    hakika nao waliongea mengi sana

    Ikram akafurahi sana siku hiyo

    Akarudi nyumbani kwao akafurahi zaidi baada kumkuta Mjombaake yani

    Chanduka yupo nyumbani akamkumbatia kisha akampa pole kwa yaliyomkuta na kumwambia kitu kimoja tu kilicho mshitua zaidi Ikram

    eti Ninja suit naitaji kufanya kazi pamoja nawe

    Kumbuka siku zote siri ni yamtu mmoja tu sio ya watu wawili ndivyo ilivyokuwa kumbe kipindi kile Samira na Hafidhi wapo wodini

    Wanaongea kwa nnje alikuwepo

    Ashura na Saguda nao walisikia kila kitu. Ikawa si kitu cha ajabu

    Chanduka kuambiwa ukweli

    Kibaya zaidi Ashura aliya record

    Mazungumzo yote

    sijui kwa njia gani Ikram siku hiyo akawekwa mtu kati na kuonekana yeye ndio kamuuwa Baba yake

    Mkubwa siri ikawa sio siri tena

    Chanduka akasimama kumtetea

    maana bibi yake alitaka kwenda kutoa taarifa kituo cha police



    “kumbe mtoto mshenzi wewe muuwaji kabisa",,,,,,,

    Umemuuwa Baba yako mkubwa kama haitoshi ukamuuwa babu yako,

    Nitakufunga nasema"

    Bibi wawatu akaanza kulia tu,

    kupitia heshima ya

    Chanduka kama Commando akaweka kila kitu sawa familia ikaweza kumuelewa

    Ikram nae alikuwa analia tu.

    Bibi yake akasema

    “kweli nimeamini mtoto wa nyoka ni nyoka hawezi kuzaa kenge au mjusi hata siku moja naomba siri hii iwe ya kifamilia tu isitoke nnje ya nyumba hii"

    “mama siri ishatoka nnje hii maana mchumba ake Samira nae anajuwa"

    Ikram akadakia kusema



    “binafsi yule hawezi kusema chochote na ni mmoja kati ya watu aliyeamua kuungana nami kuifanya kazi hii!"

    kila mmoja akashangaa

    Samira nae akasema

    “kama mmeamua kuungana itakuwa powa sana yani huku Ninja suit

    hapa Hafidhi j ikram kule Commando Chanduka tena mmemuweka

    Kati huyo Ninja mask mbona atakoma"

    Nusraty alirudi kuzimu kichwa kikiwa kinamuuma kitendo cha kumuona

    Chanduka kule uwanja wa ndege kilimchanganya sana na kubaki kujiuliza kama amekuja yule mshenzi kuzimu

    Kutafuka moshi siku si nyingi hakika anamfahamu vyema Chanduka ni kiumbe hatali

    Akapanga mbinu za kumtumia wasichana warembo si

    Anajuwa Chanduka mzee wa mademu sasa subiri atumie mbinu hiyo"

    Kivumbi jasho kikaanza kutimka kitendo cha Ninja suit kujulikana na familia yake,

    Ikawa kama vile fungulia Mbwa maana Ninja suit alikuwa anaingia kila sehemu

    Na kuwakamatisha

    Majambazi vibaka wauza madawa ya kulevya

    yote anafanya kwa ajili ya kumchokoza Ninja mask aweze kujitokeza tu'

    Na kweli kitendo cha vyombo vya habari kumpamba

    Ninja suit kila kukicha kwa kazi nzuri anayoifanya kikamuuzi Ninja mask

    nae akaamua kutoka mafichoni

    Na kuitaji kufanya kitu,

    Akaona kwanza amtumie Nusraty kwenda kufanya tukio moja kubwa sana kwenye uwanja wa taifa

    Siku ambayo kulikuwa na big mechi ya watani wa jadi Yanga vs Simba"

    kumbe hakujuwa team Chandu ilikuwepo siku hiyo

    “nikwambie kitu Ankor"

    “ndio niambie!"

    “leo utachana mkeka kwa muhindi yule

    Okwi hapiti kwa Nsajigwa

    umemuona Yondani kulee leo Simba anapigwa tatu bila",,,,,,,

    Alikuwa Chanduka na Ikram wakibishana

    Chanduka Simba wakati Ikram Yanga,

    Hafidhi nae akadakia

    “oyaa msiandikie mate wakati wino upo

    Mpira dakika tisini tusubiri na

    tuone"

    Chanduka macho yakamtoka baada kuona kitu ambacho hakuwai kufikilia kama ataweza kukiona

    Akajiuliza

    “au nafananisha nahisi itakuwa hivyo

    Kweli duniani watu wawili wawili anakufa huyu anazaliwa huyu,

    kishindo kikubwa kikasikika kikilia

    puhuu",,,,,,watu wote wakashituka

    Hadi wachezaji wakasimama na kuangalia huku na kule

    Nusraty akafutuka pale alipokaa na kuwafawanya kwa kuwarusha watu aliokuwa amekaa nao karibu

    Chanduka akasema kumbe ndio mwenyewe eheee hukufa kule kuzimu"

    Watu wakaanza kukimbizana na kuishia kukanyagana

    Wakati huo

    Ninja suit Chanduka wamemuweka

    Nusraty katika umbo la ajabu mtu kati.

    Hafidhi nae katulia kwenye kiti tena kakunja nne







    Nusraty hakuweza kuhofia chochote akazidi kuuwa watu

    Ninja suit akadank na kwenda kutua karibu zaidi ya kiumbe kile

    kisha akazunguka kama feni na kumpiga double kick wenyewe tunaita Fighting fish,

    Nusraty akayumba kabla ya kukaa sawa kitu chenye ncha kali kikakita tumboni kwake

    Lilikuwa ni jambia katika umbile lile la kutisha akatoka na kujirudi kuwa Nusraty binafsi

    Chanduka ndie aliyemchoma, wakabaki kutizamana tu huku

    Nusraty machozi ya damu yakimtoka hakika hakuwa na uwezo wa kupambana nao kabisa kuonyesha jinsi gani ana hasira nae

    Akafanya kama kulizungusha lile jambia tumboni kwa bibiye

    Akabaki kupiga mayowe sauti yake ilikuwa kali vibaya mno. S.W.A.T nao wakafika na kuanza kummiminia risasi kwa fujo,

    Nusraty akabaki kusheki sheki tu huku akiyumba ghafla kikatupwa kitu kama nyembe kitendo bila kuchelewa

    Baadhi ya S.W.A.T wakaenda chini vichwa wakiwa hawana upepo wa ajabu ukaanza kuvuma kila sekunde upepo ukazidi na kujikuta kila mtu akipeperushwa na kutupwa kule

    Mzee wa kukunja nne nae akatupwa kule na kiti alicho kikalia kufumba na kufumbua

    Ninja mask huyo apo sio mmoja wapo zaidi ya mia moja kitu ambacho kilimshangaza

    Chanduka na Ninja suit, wakati huo

    Hafidhi kapotea sijui kawauza wenzake au vipi, kivumbi kikabaki

    Kwa mtu na mjombaake wakajipa nguvu ya kupambana hakika yalikuwa mapigano kila mmoja na wake

    Ninja suit alikuwa anadank hapa na pale akipiga moja anacheza na shingo zao zile mundu zake mikononi zilikuwa kali kupita kiasi ajabu viumbe hawafi yani utapiga wee utachinja viumbe vinajiunga na kuendelea kupambana

    Wakati huo police wametapakaa kila kona,

    Ninja suit na Chanduka wakawa wapo hoi wamechoka kila mmoja akamtizama mwenzie na kupeana Ishara ya kukimbia tu

    Kama maji yamezidi unga leo

    tatizo hawakupewa nafasi ya kukimbilia popote ikawa ni kupigana hivyo hivyo kama kufa wacha wafe kishujaa tu.

    Wakiwa washakata tamaa wakasikia sauti ya Samira ikiwaambia,

    “laleni chini!!!,,,,,,vitu vikarushwa fyaaaa,,

    Na kuja kukita kwenye miili ya wale viumbe, yani ilikuwa balaa si mchezo

    viumbe vikawa vinawaka moto na kupasuka

    Samira akiwa katika mavazi ya Kininja amekuja kutoa msaada pembeni yupo

    Hafidhi na kiroba cha misumari ndio siraha ya kuwauwa viumbe hawa basi Ninja suit akapata nguvu ghafla hata Chanduka sasa



    Ikawa mwendo wa kuwadunga misumari haikuwa kazi ndogo shukhuri ilikuwa pevu, hatimae akabaki kiumbe Mmoja tu huyu ndio Ninja mask mwenyewe

    Samira akachumpa kwa nia ya kwenda kumtandika msumari akapigwa ngumi moja tu ya tumbo

    Na kurudishwa alipotoka

    Akadondoka chini huku akitapika nyongo

    Ninja mask katika ubora wake akajipanga kupambana mpaka tone la mwisho.

    “ha!ha!ha!

    Hakuna mtu yeyote kukimbia hakika leo ndio (SIKU YA HUKUMU)niwe mimi au nyinyi"

    Ninja mask akaongea hivyo kwa dharau na kucheka.

    Chanduka nae akadank kwenda kumvamia akajikuta anapigwa sijui mapigo ya wapi maana yalikuwa na speed tena faster

    Kidume kikadebweda na kwenda chini.

    Ikawa zamu ya Ninja suit

    Akachumpa na kwenda kwa style ya pekee kabisa, kila mmoja alikuwa mkali ubishi utamalizwa hapo kumbe katika kukutana kote

    Ninja mask alikuwa ameshamsoma Adui yake,

    Ninja suit akapigwa ngumi inaitwa high speed yenye kasi,

    Nae akayumba na kwenda chini kila mmoja alikuwa anaugulia kimpango wake

    Hafidhi akadank kabla ya kutua akajikuta anapigwa mateke juu kwa juu tena yeye akatupwa mbali na pale,

    Ninja mask akabaki kucheka na kujisifia



    “hahahaha",,,,,,mimi ndio Kasimu mfamau ukipenda niite Kessy kabla sijafa nilikuwa mkombozi wawatu

    Wanawake wakaja kunitenda kwa kuniuwa kwa Ukimwi kwanini waliikatisha ndoto yangu,,,,,," kwanini imekuwa

    walinifanyia kitu kama hiki why?",,,,,,

    Kessy akabaki kuongea kwa sauti huku akibwata

    Akaivua mask yake Samira na Ikram wakashituka ni kweli baba yao

    maana picha zake wanazo,

    Wakati huo

    Chanduka akawa tayari kaokota lile jambia akainuka kwa speed ya ajabu kwenda kumchoma nalo

    Kessy ghafla pasipo kutegemea

    Samira akaenda kuzuia kwa kwenda kukaa mbele ya Baba yake huku akisema

    “hapanaa",,,,,jambia likakita tumboni kwake na kutokea mgongoni pwahaa kila mmoja akashikwa na (struck)yani mshangao wa ajabu

    Chanduka akarudi nyuma akiwa haamini kama aliyemchoma ni

    Samira"

    Kessy akamshika mwanae roho ya kibinaadamu ikawa imemjia

    “Samira mwanangu kwanini umenikinga",,,,,

    Kwa sauti ya kukatakata Samira akaongea

    (I love you dady) nakupenda Baba yangu",,,,sikupata bahati ya kuwa nawe hata dakika moja baba, leo hii ninafuraha kwa kunishika hivi na kunipakata baba yangu,,,,,"Ikram kaka yangu njoo umshike Baba haina haja ya kupambana tena

    Ikram please kaka yangu njoo!"

    Hakika kila mmoja alilia

    Kessy hakuweza kuamini kumbe mwanae wa kiume ndio Ninja suit ina maana alikuwa akipambana na damu yake mwenyewe.

    Ikram nae akavua mask akatambaa mpaka pale alipokuwa amelala Dada yake na kushika huku akiongea kwa sauti ya kilio



    “tafadhali dada yangu usife",,,,,kila kitu kimekwisha inuka turudi nyumbani tukacheze na Baba tupigane makonzi

    Samira Leo Saguda kachinja njiwa nyama unayo ipenda

    Amka tuwai kabla hajamaliza",,,,,

    Ikram aliongea maneno kama chizi vile

    “Kaka!!!,,,

    Baba"

    Samira akaita hivyo.

    Kila mmoja akaitikia naamu"

    Samira kwa sauti ya kama mtu mwenye usingizi akasema

    “nataka kulala,,,,,"nalala

    Mwishoe akawa kimyaa hakuweza kuongea kitu chochote tena

    Ikram akaita huku akimtikisa

    “Dadaa!!!dadaaaa,,,,,amkaa usilale hapa twende ukalale nyumbani Amkaaa",,,,,,

    Samira hakuweza kuamka tayari alikuwa kaenda kwenye makazi ya milele,

    Kessy akanyanyuka kwa hasira na kumfata Chanduka,

    Ikram akamzuia Baba yake asifanye hivyo akatupwa kule,

    Chanduka akawa anarudi nyuma kwa uwoga lakini akajikuta anashikwa na kukabiziwa kisu kidogo hivi

    Kessy kwa sauti yenye kuonyesha ana hasira akasema

    “nichome nacho hicho kisu kwenye moyo wangu nimuwai mwanangu huko alipoenda nichomee",,,,,,,

    Chanduka mikono ikiwa inamtetemeka akashindwa kufanya hivyo akapigwa ngumi na kurushwa mbali kisu kikabaki mikononi mwa Kessy.

    Akasema maneno haya.



    “Ikram mwanangu wacha niende katika sayari ambayo ndio makutanio yetu sisi Wanaadamu ipo siku utakuja kuungana nasi",,,,,Ikram fanya kazi ya kuilinda familia yetu

    Mwambie Mama Kessy alirudi, mwambie mama yako mzazi na wakufikia kuwa nawapenda sana mimi naondoka sitoweza kurudi tena daima,

    (SIKU YA HUKUMU) imefika kwangu

    Hukumu yangu"

    Baada kusema maneno yale akajikita kile kisu kitu kama tetemeko la Aridhi likatokea hivi'

    Kessy mwili wote ukawa unawaka moto

    na kupasuka vipande vipande

    Ikram akalia na kupoteza fahamu Hafidhi j ikram akaenda mpaka pale ulipo lala mwili wa mpenzi wake huku akilia akambusu na kutamka neno moja tu “karibu nyumbani kipenzi changu kisha akapotea"



    Siku zote kwenye mziki wa kikubwa watoto kaeni kando hakuna police aliyesogea maeneo hayo.

    Ambulance zikafika,

    Miili ikachukuliwa huku mwili wa

    Nusraty ukipotea kimiujiza tu

    Jamii iliweza kustushwa baada kutangaziwa habari za kujulikana kwa Ninja suit ndio aliyeifanya kazi

    ya kumteketeza Ninja mask kiumbe kutoka kuzimu

    Wapo waliobaki na maswali

    Kwani mtu akifa anaweza kurudi tena duniani."

    Ndio inawezekana japokuwa sio wote ni baadhi ya viumbe tu

    Ikram akashikwa na kitu kama degedege hivi hata kwenye mazishi ya Dada yake alikuwa hajielewi kabisa

    Kila mtu aliyambiawa huyu ndio Ninja suit akashindwa kuamini"

    Chanduka akaomba kwenda nae Ikram nchini Brazil akafanyiwe tiba

    Basi akapewa ruhusa ya kwenda nae

    Akiongozana na bibiye Ashura

    Siku zikazidi kusonga mbele hatimae mwaka mmoja na nusu ukatimia

    Maeneo ya Ilala boma majambazi wakavamia kwenye bank ya NMB

    barabara zikafungwa watu wakatekwa waliokuwa ndani hakuna kutoka nnje

    police wakatanda na kulizunguka jengo

    Jambazi mmoja sijui kiongozi wao akaongea kupitia kipaza sauti

    “kama mtakaidi amri hii nasi hatutokuwa na jinsi zaidi ya kuuwa mtu mmoja mmoja ondokeni haraka sana",,, sauti ya mlio wa Bastora ukasikika na mtu kutupwa nnje akiwa tayali ameshakufa baada kupigwa Risasi ya kichwa

    Police wakazidi kuchanganyikiwa

    Ghafla upepo ukavuma dakika hiyohiyo miili ya Majambazi ikawa inatupwa nnje police nao hakuna kukamata wanapiga Risasi washenzi hawa.

    Ninja suit akatoka ndani ya bank huku akishangiliwa

    na Wananchi",,,,,Ninja suit",,,,ninjaaaa suit......shamla na vigere gere police

    Wakapiga saruti kuna binti mmoja akaomba kuiyona sura ya Ninja suit kwa kusema

    “aiii jamani naomba niiyone sura yako hata kidogo"

    Ninja suit akavua mask ni Ikram

    Hakika amerudi tena,,,,,,



    ****MWISHO****

    +++THE END+++

     

     

0 comments:

Post a Comment

Blog