Search This Blog

Thursday 24 November 2022

SHANGA ZA BIBI ZILIVYONIPA UMAARUFU - 1

 http://pseudepigraphas.blogspot.com/2020/06/shanga-za-bibi-zilivyonipa-umaarufu.html





IMEANDIKWA NA : JACK MAMBO


*********************************************************************************



Chombezo : Shanga Za Bibi Zilivyonipa Umaarufu 

Sehemu Ya Kwanza (1)




Kidawa Said Kidaluso,ndiyo majina yalioandikwa kwenye kitambulisho changu cha Taifa(NIDA).Nilitabasamu nikikumbuka vile nilivyokipata siku mbili nyuma!

Sikuhangaika sana kukipata kama wenzangu na mimi,sikupanga foleni nikachomwa na jua la utosi kama wenzangu.

Nilishasikia serikali ikitangaza sana kuhusu kusajili laini kwa alama za vidole,kama unavyojua watanzania hatuamini mpaka tuone,Ila nilipoona Mambo yamekuwa magumu kila kona naskia NIDA!NIDA!NIDA!

Nikiwasha redio NIDA,nikiwasha TV NIDA na popote ninapokwenda ni NIDA.


Maji yalipofika shingoni nikaona isiwe tabu nikachukua simu yangu,nikaitafuta namba ya buzi langu linalofanya kazi kwenye idara nyeti ya serikali nikimueleza dhamira yangu kuwa nilitaka kitambulisho cha taifa.

"Mbona hujanijuza mapema mpenzi?",aliniuliza yule mheshimiwa.

"Hapana baby sikujua kama inshu itatiliwa mkazo namna hii",nilimjibu nikimbembeleza kwa sauti tamu ya puani.

"Kidawa,kidawa ushaanza kunilegezea sauti niko ofisini mama oohooohh",alijihami mheshimiwa.

"Hapana mheshimiwa nisaidie kwa hili halafu nimekumiss,nmemiss bakora yako Mheshimiwa!"

"Mmm...mmhh uko wa...wapi Kidawa?"

Mheshimiwa alibabaika sio kidogo sauti yangu haikumwacha Salama tayari mheshimiwa alishaingia kwenye anga za Kidawa,Kidawa wa sasa sio yule ambaye ukimuonja hutamani tena Kidawa wa sasa ukigusa umenasa utamu wangu ni zaidi ya asali!!!

"Niko nyumbani baby aaasshhiii kiuno kinaumaaaa aaahh njoo uninyooshe baby aaaahh"

Nilizidi kumpagawisha Mheshimiwa ,kiukweli sikutaka laini zangu zifungwe maana laini zangu ndio zinajulikana kwa madanga yangu mengi hapa mjini,kuzikosa haiwezekani maana kuna namba ya kila aina ya bakora,nimesevu namba ya mwenye bakora ndefu nyembamba,mwenye bakora fupi Ila tamu,mwenye kombola la nyuklia mashine ya kwenda na pia wenye bakora za kupinda pinda!Kwa hiyo ni chaguo langu nikimiss iliyopinda kwenda juu nampigia simu,nikimiss mashine iliyoshiba nampigia simu,hayo ndiyo maisha yangu KIDAWA!!!


Asilimia tisini ya maisha yangu ni ngono,nilipenda ngono kuliko kula ngono kuliko kunywa,niliishi nikiiabudu bakora.

"Subiri nakupigia simu muda si mrefu KIDAWA!!

"Ok baby ndio maana nakupenda mwaaaaaaa!", mheshimiwa alikata simu nikamsindikiza na mabusu moto moto!

Baada ya muda Mheshimiwa akanipigia simu nikampokea

"Hallo kidawa"

"Abee mpenzi"

"Njoo ofisini!"

Alikuwa na ofisi yake posta,sikusita niliinuka nikaingia bafuni nikaoga vizuri nikimuosha vizuri na mwenzangu si unajua naenda kwa mwanaume lolote linaweza kutokea hawaeleweki hawa watu baba mmoja mama mmoja,kuna wengine wabishi kama nini hata uwaambie uko period watapitisha na kidole kuhakikisha ????


Nilipohakikisha nimetakata nikatoka na taulo langu nikasogea kwenye dressing table yangu nikaanza kujifuta maji huku nikijitathimini uzuri wangu huku naimba ile nyimbo ya Diamond "kioo hakidanganyi mama umejipodoa umepodoka,mwendo na shepu vyote mwanana suruali yanidondoka!"


Kusema kweli aliyeniumba alinipendelea sana jaman,alinipa shepu la maana kiuno kidogo cha dondora chini akanipa zigo la kwenda,mtako kama wote hata yule mnamuita Sanchi sijui sanchoka anasubiri hapa sio kwangu kidawa.

Nimeumbika mpaka kuna muda najitamani,basi tuachane na hayo nilijipamba nikapambika nikachukua na shanga zangu ambazo ndiyo zimenifanya nimtafute mwandishi ili nimpe stori yangu Kidawa na maajabu ya shanga zangu,utajua tu namaanisha nini. Nikavalia suruali nyepesi ya kitambaa na mkoti wake ,si unajua naenda ofisini kwa mheshimiwa haitakiwi nivae nguo za ajabu,japo hapo nimevaa Ila bado umbo langu linalotamanisha lilionekana vyema!Sikusahau mtandio wangu si unajua umaarufu ni shida!Najua unatamani kujua mi ni staa wa nini usiwe na haraka usichoke tu kusoma maandishi haya yaliyoandikwa kuhusu maisha yangu!


Nilipohakikisha nimependeza sikusahau marashi yangu nayoyapenda,niliyonunua Dubai nilipokuwa nimeenda kununua mizigo ya biashara zangu!Nikavaa na miwani ya kichokozi iliyonifanya nionekane mrembo zaidi!

Nilitoka nje nikachagua gari moja ya kutoka nayo Kati ya mawili ninayomiliki,gari nilizonunua kwa pesa zangu kabisa siyo kuhongwa na madanga moja niliyopewa na Waziri kwenye mkataba wangu wa kuutangaza utalii wa ndani nilishaiuza kitambo nikanunua gari Kali zaidi.Najua unatamani kumjua kidawa ni nani?subiri acha haraka ntakupa tu story yangu nilipotoka hadi nilipofika na mitihani niliyokutana nayo kwenye maisha yangu ya kimapenzi!!!

Mlinzi alinifungulia geti nikaitoa gari yangu taratibu nikashika barabara Sasa kuelekea posta kwa mheshimiwa!

Hakukuwa na jam sana njiani ,si muda nilifika nikapaki gari langu mbele ya ghorofa kubwa sana posta!nikatelemka kisha kwa mwendo wa mikogo nikaanza kupiga hatua zangu kuingia mle ndani, mwanamke mwendo bhana siyo unatembea unabuluza miguu kama bata inahusu!

Niliwaona wanaume walivyogeuza shingo zao kuniangalia sehemu za nyuma zinavyotingishika,sikuwajali nilizidi kusonga mbele nishazoea ile hali!

Niliingia kwenye lift nikapanda mpaka ghorofa ya tano kisha nikaingia kwenye ofisi ya Mheshimiwa nikakutana na sekretali ambaye alikuwa na taarifa zangu tayari aliniruhusu nikaingia ofisini mheshimiwa alivyoniona aliinuka akanifuata akanikumbatia.

Nikampokea mikononi mwangu japo sikumfaidi sana kumbatio lake sababu ya kitambi chake!

Akanipa ulimi nikaupokea nikampa mate yake nikamuona vile alivyoanza kukolea huku chini nikaisikia bakora yake ikinigusa gusa,ndicho nilichompendea huyu mheshimiwa ana bakora kama kaunganisha za watu watatu,mashine ikiingia unakiri kweli kitumbua changu kimepata mkunaji!!!

Mheshimiwa alienda mbali akaanza kunifungua suruali yangu nikaona utakuwa uzembe kuliwa kabla sijapata nilichofuata hapana!

"No!no! Eliasi sio sasa nimefuata kitambulisho jamani!!",nilimuona jinsi alivyokuwa na hamu akaniachia huku anameza mate ya hamu,akaketi kwenye kiti chake nami nikaketi kwenye kiti cha wageni.

Eliasi akashika simu akapiga sikujua alikuwa anaongea na nani Ila ni kama alikuwa akimtaarifu nishafika,punde akaingia kijana mmoja ambaye baada ya muda nilimjua kuwa ni mfanyakazi wa NIDA!

Huwezi amini kumbe lilikuwa tayari na mashine ya NIDA mle ofisini,napenda wanaume kama Eliasi kwa kweli hawana mambo mengi hana longo longo!!

Basi nilipigwa picha nikasajiliwa peke yangu ofisini,ndiyo vizuri kuwa na madanga yenye wadhifa serikalini.

Ilichukua masaa matatu hadi kukamilisha na kupata kitambulisho changu,Kisha yule kijana akaondoka zake!

"Ahsante Eliasi sikujua ingekuwa rahisi namna hii!",nilimwambia Eliasi ambaye nilimuona kila alipokuwa ananiangalia alimeza mate!

"Kwanini unateseka Eliasi,unashindaje njaa na chakula unacho baba nikule basi"

Niliongea muda huo nishainuka namsogelea Eliasi kwa staili ya nipe kidogo nichangamshe damu!!!

Nilifika nikamkalia Eliasi ambaye bado alikuwa ameshangaa tu kashikwa na kigugumizi kikali,nikaishika tai yake nikailegeza nikamvua mkoti wake naye akaanza kunivua mkoti wangu Kisha akaanza kuchezea kiuno changu nikahisi kizunguzungu cha mahaba!Kidawa nikaanza kumnyonya Eliasi shingoni,kama hujui tu nikiwaga kwenye hizi harakati huwa akili zinaruka nakuwa kama nimepandisha mashetani ya mahaba na hii ni tangu nivae hizi shanga,shanga za Bibi yangu ambaye ndiye kungwi wangu kabisa Bi Mwana kutoka Tanga!

Nilijua kumuandaa mwanaume haswa,nilijua kumnyegesha mwanaume mpaka bakora yake ikamwaga ute,ndio bakora ukiiandaa vizuri inatowaga viute fulani ivi vya nyege nyege!Kama hujawahi kuviona fanya uchunguzi utaviona!

Nilimvua suruali yake nikalishika rungu lake kubwa lililovimba kwa hasira.Eliasi alionekana kuwa na hamu sana na kitumbua changu.

Hakukuwa na ufundi mwingi kama ujuavyo hapo ni ofisini hivyo nilipoona tu kitumbua changu kimelowa tayari kuipokea bakora nilivua nguo zangu nikaisogeza pembeni chupi yangu nikamkalia Eliasi!nikaishika bakora yake nikaisugua juu ya kitumbua changu nikahisi ubaridi na joto kwa mbaaaaliiii!!!

Nikaizamisha ikaingia taratibu,sikuweza kuizamisha yote jamani ni dude kubwa Ilibidi niikatikie kwa balansi!!!

"Ooooshhhhhaaaassiiiiiiihhh!!aaaaaahhggghhhuuuuuuu mamaaaaaa aaahh ahhh"

Eliasi hakuwa akijiweza sana alibarikiwa tu bakora kubwa,nadhani kitambi chake kilificha makali yake,Ila sikupata taabu niliumbuka ule usemi wa wahenga!'Raha jipe mwenyewe'

Kiuno changu kilikuwa ni zaidi ya feni,nilijua kucheza na bakora nilimkatikia Eliasi ambaye siyo muda alianza kuweweseka nikajua anataka kumaliza,sikutaka aniache nyuma wanaume wa siku hizi hawaeleweki anaweza akapiga kimoja icho ndiyo ikawa bye bye!

Nilichofanya niliongeza kasi ya kiuno changu.

"Nishike shangaaaaa chezea shanga zangu aaaaahhhhhhh"

Kama nilivyohisi Eliasi alivunja dafu lake nami nikapiga bao langu safi nikatulia!!

"Asante baby huwa naenjoy sana nikifanya mapenzi na wewe"

"Hata wewe baba sio kwa bakora hiyo eti"

"Basi naomba nikupeleke nyumbani mpenzi!"

"Eliasi nimekuja na gari langu eti unakuwa kama hunijui nishakukataza kunilinganisha na videmu vyako vya uswahilini huko!"

"Basi chukua hii laki moja ukajaze hata mafuta!"

"Sijakuomba Eliasi wape viswaswadu vyako wanunue hata chupi za mitumba!"

Hayo ndiyo maisha yangi,pesa ninazo nilichofuata ni bakora tu na kitambulisho changu basi!!




Jina langu ni Kidawa bin Said,nimezaliwa miaka kadhaa iliyopita si mingi sana Ila ni mingi,ni mtoto pekee katika familia ya mzee Said mama yangu ni mtu wa Tanga huko yalikozaliwa mapenzi!

Familia yetu ilikuwa mboga Saba haswa,nimeishi mazingira ya geti kali sana kiasi kwamba hata waliokuwa wananimendea kipindi kile nimevunja ungo walipata tabu haswa kunipata!!

katika maisha kuna kumbukumbu zisizo futika kumbukumbu tamu na chungu.

Namkumbuka John,mwanaume aliyeikwangua bikra yangu miaka kadhaa iliyopita!Huyu ndiye aliyeniingiza kwenye huu ulimwengu wa mapenzi akanipa baraka zilizoambatana na mkosi kwenye maisha yangu ya mapenzi!!

Tofauti na sasa naenjoy sana nikifanya mapenzi,zamani niliyachukia sana mapenzi unajua kwanini ngoja nikupe stori tega sikio lako ikibidi vuta na mkeka wako Nina stori ndefu sana leo,hata mwandishi aandae kalamu za kutosha la sivyo tutaishia njiani!!

Kama nilivyokuambia maisha yetu ni mboga saba sana,hivyo hata shule sikusoma hizi sungura mtie moto santi kayumba shule za kukatiana vitumbua na kuumiana barafu!.

Nimesoma shule za maana shule ambazo ukimpeleka mtoto wako unajua nampeleka akafaulu tu sio kufeli,ada yake tu kwa mwaka unanunua bajaji tatu unazungushia mtaani kutafutia shibe ya tumbo!

Hiyo haikumsumbua mzee Said,hasa ukizingatia mimi ndiye mwanaye wa pekee kabisa!Kwake zile ni kama pesa fulani ya mchicha tu,alichotaka nisome,nisome katika mazingira mazuri na kweli alifanikiwa sana!

Tangu naanza chekechea sikusoma shule hizi kabisa nilisoma shule zenye hadhi nikijichanganya na watoto wa wazungu na waarabu huko wengi tu!!!


Kwa asilimia kubwa hii ilichangia kunifanya nimalize kidato changu cha sita nikiwa na bikra yangu kabisa,nilimaliza bila kinu changu kuguswa na mwichi wowote ule ulikuwa na utepe wake,kinu bado kilikuwa hakijapata mzinduzi!!

Usumbufu haukuwa mwingi kiasi cha kunifanya niwaze sana mapenzi!!!

Sekeseke lilianza ile siku nimemaliza kidato cha sita,siku ya kuondoka kurudi makwetu sijui nimlaumu nani???

Nakumbuka wazazi wangu hawakuja kunichukua kitu ambacho si cha kawaida,mama alikuwa Ulaya na baba alikuwa Dubai huko kafuatilia mambo yake na biashara zake!

Ilikuwa ni huzuni kubwa, wenzangu walifuatwa na wazazi wao,wengine walifuatwa na wapenzi wao,Kidawa nilikuwa peke yangu tena kingine kilichoniudhi eti mwalimu alinipa nauli ya basi sio ndege,nililia sana sikuzoea maisha yale,Kidawa napanda basi ??,nimezoea kudekezwa na baba yangu pamoja na mama leo nilikuwa peke yangu dah!

Mwalimu alinikatia tiketi ya Bus la dar kutoka Arusha!Bwenini tulibaki wachache sana rafiki zangu karibu wote walishaondoka na wazazi na wapenzi wao,hapo nikatamani walau ningekuwa nilishaanza mapenzi ningeshampigia bebe nikamlilia akanipa kampani Ila ndiyo ivyo nilijifanya msomea ukoo kitabu na mimi,Mimi na kitabu!

Kesho yake asubuhi nilibeba mabegi yangu mpaka stendi tayari kuanza Safari ya kurudi Dar!

Safari ilikuwa ndefu muda mwingi nilikaa kimya,nilikuwa na mawazo bado ile hali ya wazazi kutokunifuata iliniumiza sana.

Sikuwa nimewahi kusafiri na basi umbali mrefu nilibadili mikao,nikikalia tako hili Mara like yaani ilikuwa balaa!!


Nilifika ubungo kiukweli nilichoka Sana niliposhuka tu,nikaelekea kulikopakiwa teksi,kijana mmoja aliyevalia kitanashati sana alinifuata akanipokea mabegi yangu kwa uchangamfu mkubwa sana!

Sikuona sababu ya kumzibia riziki kijana mwenzangu,nikampa mabegi yangu anipokelee sikujua kuwa namfungulia milango ya riziki nyingine kijana huyu dereva teksi wa ubungo!

Nawalaumu wazazi wangu mpaka leo sababu wao ndiyo waliosababisha nikutane na huyu kijana aliyenibariki baraka zenye raha na uchungu!!!

Alipakia mabegi yangu akanifungulia mlango nikapanda alinionyesha ukarimu wa hali ya juu sana!!

Licha ya kuonyesha kunichangamkia bado sikuwa na furaha,huzuni ilificha tabasam langu, Nilijitahidi japo niweke tabasamu la bandia lakini sikuweza,hiyo haikumkatisha tamaa kijana huyu,aliendelea kunipa kampani ya maneno ya hapa na pale ambayo sikumpa ushirikiano wa kutosha!

"Naitwa John",alisema huyu kijana Ila sikumjibu nilikaa kimya nilichotaka ni kufika nyumbani tu na si kingine!!!!

"Kigamboni kibada",nilimwambia tu ninapoenda safari ikaanza.

John akawasha redio ambapo Niliona kama ni kero tu kwangu,ule mziki nilihisi ni kelele haukuleta raha maskioni tena!nilihitaji utulivu na ukimya!!

"Kaka,samahani unaweza kuzima redio?", nilimwambia dereva teksi ambaye hakujibu kitu zaidi alizima redio Safari ikaendelea!

"Nimekwambia naitwa John dada",aliniambia jambo ambalo niliona kama alinihusu kabisa Sasa Mimi jina lake la nini??

Ukimya ulitawala tena kama dakika kumi na tano hivi John akaanzisha tena maongezi!

"Unaonekana una mawazo sana",sikumjibu nilikaa kimya

"Unajua hii dunia Ina mambo mengi Sana binti mzuri kama wewe hustahili kuwa na majonzi kabisa kama kuna mtu kakukera aiseeh kakosea sana!",aliongea John bado sikujibu chochote

"Siku hizi maisha yamekuwa na mambo mengi yenye kuskitisha hata mimi mwezi uliopita nilikuwa kama wewe,mpenzi wangu aliniacha njia panda,kaniacha gizani alijua yeye ndiyo mwanga wangu,amenitelekeza jangwani nife na kiu akijua yeye ndiyo maji yangu na bila huruma akanizamisha baharini akijua bila yeye siwezi kuogelea!"

"Sijakuomba unihadithie shida zako Kaka oh sorry!sijui John sijui Juma whatever!!! sio kila mwenye mawazo anawaza mapenzi!", nilimwambia John muda huo Safari ikiendelea.

"No! Unaweza usiumie sababu ya mapenzi rafiki yangu,Ila ukaumia sababu ya kutegemea furaha kutoka kwa watu wengine,kama ambavyo niliumia mimi nilimuamini Sana mpenzi wangu furaha yangu ikamtegemea yeye,hilo ndiyo kosa nililofanya akatumia upendo wangu kama udhaifu akaanza kuninyanyasa na yote aya ni pale tu alipoanza chuo mawasliano yakapungua,nikimuuliza ananijibu anavyotaka yaani wewe acha tu mapenzi yanaumiza!Ila nashukuru sasa nina furaha yangu mwenyewe najitahid kumsahau japo ni ngumu!"

Historia yake iliniumiza ila sikutaka kuamini matatzo yake ni makubwa kuliko yangu,nilichokifanya nilimzuia hasinipe stori zake!

"Sorry!!si unaweza kunyamaza ukanifikisha niendako,kwani ni lazima mteja kujua maisha yako nina maisha yangu yako hayanihusu yangu hayakuhusu so naomba ukimya".

"Ila dada si....."

"Nishushe naona hatulewani!",nilipaza sauti kubwa hadi akanyamaza kimya akaanza kupiga gia kunipeleka home!

Tulipofika kibada nilimuelekeza mpaka tukafika nje ya geti la nyumba yetu John akanisaidia kushusha mizigo yangu na kuingiza ndani alikuwa kimya na mnyonge hadi nikamhurumia nilihisi kumkosea sana!Sijui kwanini wanawake tumeumbwa na huruma,hizi ndiyo zinatuponza??

Alipomaliza kuingiza mizigo akanisogelea karibu kabisa kisha akanitazama usoni bila aibu,sikuwa nimewahi kutazamana na mwanaume kwa Karibu vile nilikwepesha macho yangu sijui ndio aibu au nini!

"Samahani kwa maongezi yangu naweza kuwa nimekuudhi Ila naomba uchukue namba zangu hizi,unitafute nitakusaidia kurejesha tabasamu lako ntakupeleka sehemu nzuri sana naimani utaipenda na utaenjoy sana!!!"nilipokea zile namba kisha John akatoka akawasha gari akaondoka!

Sijui kwanini nilipokea zile namba?pengine leo hasingekuwa kwenye maisha yangu nashindwa kumsahau kabisa John na najuta kumfahamu,John ni mshenzi!John ni mnyama!




Tulipoishia...John kampa Kidawa namba za simu akimwambia amtafute atamuondolea upweke,je Kidawa atamtafuta na itakuwaje?


Songa nayo:


John aliondoka nikabaki na kikaratasi changu mkononi,niliingia ndani nikamkuta mfanyakazi tu wa ndani ambaye ni mtu mzima kabisa sababu ndiye aliyenilea!

"Mama shikamoo!!"

"Marahaba mwanangu za shule!"

"Nzuri tu mama?"

"Pole nilihuzunika pia kusikia umekosa wa kukufuata mwanangu mama yako kasafiri na baba yako pia najua umeumia iliniumiza hata mimi!"

Kauli ya Bi Sandra iliniumiza Sana moyoni ikaibua uchungu uliojificha,ukitaka kuamini kwamba pole inazidisha maumivu ndugu yangu upate msiba halafu mtu aje akupe pole kama ulikuwa unalia taratibu sauti itaongezeka utalia kama gari la wagonjwa vile linapiga kelele likipita na mgonjwa kumuwahisha hospital!!

Ndiyo iliyonitokea nililia kwa uchungu sana Bi Sandra akaanza kunibembeleza mpaka nikanyamaza!

"Sitamsamehe baba Wala mama wameniuzi sana!"

"Usiseme hivyo mwanangu wale ni wazazi na hawajafanya makusudi"

"Ndiyo wanitumie hela ya basi walishindwa kunikatia tiketi ya ndege yani mimi nimekaa kwenye basi hadi mgongo unauma mama!"

"Pole mwanangu!"

Hayo ndiyo maisha yangu,nilidekezwa sana nikalelewa kama yai!

Niliingia ndani chumbani kwangu,nikakuta kumeshasafishwa kabisa!Bi Sandra alijua kunidekeza hata kitanda changu sikujua kutandika!

Nilivua nguo nikajitupia kitandani usingizi ukanichukua nikaingia kwenye ndoto ya kushangaza,nikaota ndoto ya mapenzi,tena kibaya nikamuota John dereva teksi.

Niliota John amekuja hadi nyumbani akanikuta niko peke yangu,nikamkaribisha ndani eti kirahisi tu nikamuingiza chumbani kwangu hizi ndoto hizi khaa!

Sijui hii ndoto ilikuwa na nini?Ila ilionesha ni wazi kuwa nilikuwa katika hali mbaya mwili wangu ulikuwa umelegea macho yanasinzia kitumbua kinawasha balaa,nilimsukuma John kitandani nikampandia kwa juu!Jamani ndotoni unaweza ukafanya chochote kwa kweli maana kwa kipindi kile sikuwa na ujanja huo Ila hii ndoto sijui ilikuwaje nikawa kungwi ghafla!!!

Nilimpandia John nikaanza kumpapasa kifuani kisha nikapitisha ulimi wangu kwenye maskio yake nikaanza kuyalamba taratibu John akafumba macho!

Yani John hakuonyesha kujua chochote kuhusu mapenzi eti mimi ndiyo nilikuwa namuelekeza nishike hapa niguse hapa,nikawa mwalimu ghafla!!!

Nikalivua dela langu nikabaki na chupi nyeupe na chuchu zangu zilizochongoka haswa,ndiyo kwnza nimemaliza kidato cha sita Ila mzigo niliobeba namkaribia Sanchi halafu kiuno kidogoooo!!!

John mate yakamtoka nikamshika mikono yake nikamshikisha chuchu zangu hapo mizuka ikanipanda haswa!

Kilichonishangaza ni shanga zilizokuwa kiunoni Mimi sivaagi shanga ila nilishangaa kwenye ile ndoto nimevaa shanga,sikushtuka sana pengine ndiyo ndoto zenyewe hizi siunajua ndotoni unaweza ukaota unapaa kama Spider man halafu ukiamka hata kuruka huwezi mzito kama furushi la viazi!

Nilionekana kuwa fundi haswa kungwi wa mapenzi kiasi John akawa kama ameelemewa na ufundi wangu,nilimvua suruali yake pamoja na boksa kisha nikaishika bakora yake iliyovimba kwa hasira kubwa haswa!!!

Nilianza kuinyonya kichwa chake kiufundi huku naizamisha yote mpaka inagusa kooni huko Kisha naitoa najipiga nayo mashavuni basi John anasisimka hatari!

John alianza kuzichezea shanga zangu hapo ndipo alipoamsha maruhani yangu mwili ulisisimka balaa sikujua zile shanga zina nini ila zilipoguswa zilinifanya nisisimke haswa,huwezi amini hadi nywele zilisimama kwa utamu!!

Baada ya mipapaso ya hapa na pale nilishika bastola yake nikaielekeza kwenye kitumbua changu kilicholoa tepetepe kichwa chake kikagusa mashavu ya kitumbua changu nikaanza kuingiza kichwa taratibu!!

Ghafla nikaskia naamshwa!

"Kidawa!we kidawa amka chakula tayari!"

"Dahh!!ungeniacha kidogo mama aaah"

Nilimlaumu sababu kanikatisha utamu,nilikuwa naenda kuchezea bakora ya ndotoni alipotoka nikajishika kiunoni lakini sikuona chochote!

"SHANGA!!!!??",nilijiuliza navaaje shanga ndotoni na sina desturi iyo?

Nikapitisha kidole kwenye kitumbua changu,nilishangaa kukuta eti kweli kimelowa tena sana tu..

"Aaaasshhh!!!John!!",nilipaza sauti nikiita John sababu ni yeye ndiye aliyesababisha yote haya!

Nikakumbuka kanipa namba yake nikafungua kabati langu nikatoa simu yangu Samsung Galaxy ndiyo Zilikuwa zinatamba enzi zile!

Huwa naiacha nyumbani sababu shule haturuhusiwi kuwa na simu,niliiwasha bado ilikuwa na chaji nikaingiza namba za John kisha nikaisevu kwa jina la John ndoto!

Nikaingia kwenye akaunti yangu ya mpesa nikanunua salio kisha nikampigia John ambaye niliambiwa simu yake haipatikani,nikajaribu tena ikawa haipatikani.

Nikainuka nikaingia bafuni nikaoga kisha nikajifunga kanga nikatoka kwenda kwenye meza ya chakula.

"Mwanangu umekua sasa"

"Kwanini mama"

"Na ulivyojaliwa unanikumbusha enzi zangu nilipokuwa binti mdogo enzi zile natikisa kijiji chetu cha Buhongwa huko mkoani Mwanza!"

"Hahahahaaa!Mama bwana ulikuwa mzuri eeh?",nilimuuliza hili anisimulie hadithi yake kidogo.

"Mwanangu mimi nilikuwa mzuri sana,nilikuwa nafuatwa kila siku na wanaume sio sokoni wala shuleni,posa zilikuja kila wiki lakini zote nilizikataa!

Kama unavyojua ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu,licha ya uzuri wangu mwanangu niliokuwa nao nilijikuta naangukia kwenye mikono ya kijana mmoja tu aliyekuwa mkulima na kipato chake cha kawaida tu,Ila ndo ivyo mapenzi upofu nilimpenda Sana mashaka wangu hata yeye alinipenda sana kwa kweli huko aliko alale salama,Mashaka aliniacha bado namuitaji,niliapa sitaolewa tena wala kuwa na mpenzi kabisa maishani mwangu"

"Pole mama usilie jamani kumbe mapenzi yanaumiza eeh!",Ilibidi nimbembeleze historia yake fupi iliniumiza sana moyo!!Sikutaka aendelee kusimulia maisha yake(SIMULIZI YA BI SANDRA ITAKUJIA HIVI KARIBUNI)

Tulikula kisha tukatawanyika mimi nikarudi chumbani kwangu nikashika simu yangu nikaanza tena kumtafuta John ambaye bado hakupatikana,sikujua hata nataka nimwambie nini ila nilijiskia tu kumtafuta,nilisononeka moyoni kuona haipatikani.

Niliingia kwenye mitandao ya kijamii nikaingia kwenye ukurasa wa hadithi wa #story_za_mambo nikasoma soma hadithi hadi usingizi ukanichukua nikalala!

Nilishtuka asubuhi simu yangu inaita nilipoangalia alikuwa ni John anapiga sijui ni kwanini ilikuwa vile Ila moyo ulishtuka nikakurupuka nikaipokea simu huku nahema kwa nguvu!

"Halloo unaongea na John dereva teksi",nilishindwa kuongea ulimi ukawa mzito ikabidi nikate simu Kisha haraka nikamtumia meseji!

"Mimi abiria wako wa jana kibada tuchati tafadhali!",niliandika kisha nikamtumia meseji tukaanza kuchati.

"Dahh!sikutegemea kama utanitafuta tangu jana nasubiri simu yako!"

"We muongo nimekupigia jana hupatikani!"

"Dahh!kweli simu ilizima chaji siunajua tena mbagala huku!"

"Mmh!unakaa mbagala?"

"Ndio nakaa Mbagala Zakhiem"

"Mmh!sawa!"

"Nikwambie kitu"

"Nambie...!"

"Hukuniambia jina lako!"

"Hahahahaa!nilijua umesahau!"

"Naanzaje sasa jaman"

"Naitwa Kidawa!"

"Nimefurahi kujua jina lako langu vipi unalikumbuka!"

"Hahaaa!John nalikumbuka!

"Wow! Nikwambie kitu ?"

"Nambie....!"

"Wewe ni mwanamke mrembo sana unajua!"

"Mmmh!mi wa kawaida tu sina hata maajabu eti!"

"Kweli niamin Kidawa labda unaweza ukawa tiba ukanitibia madonda yangu moyoni!"

"Hahahahaa acha utani John!"

"Kweliiiiii!!"

"Naomba uje unichukue baadae unipeleke ile sehemu uliyosema jana!"

"Kweli Kidawa????",aliuliza kwa mshangao John.

"Ndioooooo,nina upweke sana nipeleke sehemu iliyotulia"




Tulipoishia....Kidawa kamwambia John aje ampeleke kwenye sehemu aliyomuahidi kuwa atapata furaha,sehemu ambayo itamuondolea huzuni,,,je John atampeleka wapi?

Songa nayo....


"Sawa Kidawa nakuja niko posta huku kuna mteja nimemleta nikitoka huku napitia hapo jiandae kabisa"

"Sawa wewe tu mimi niko tayari!"

"Nikuambie kitu Kidawa?"

"Nambie John!"

"Jana hukunilipa???? "

"?????????? Unasema kweli John?"

"Ndio!"

"Mbona hukunikumbusha?"

"Ina maana tangu jana mpaka leo hujajua kama hukunilipa kweli umevurugwa Kidawa pole????"

"Basi ntakuunganishia leo njoo basi unipeleke huko nina stress sana!"

"Nakuja utafurahi huko nakokupeleka mtoto mzuri"

"Mmhh!Aya baba"

"Mmhh!mama bhana siendi huko unakowaza Mimi!"

Niliinuka nikashika begi langu nikaangalia nikakuta hela zote zipo nilishangaa,moyoni niliumia nilihisi kumdhulumu sana yule dereva teksi!Hela yake anatafuta kwa jasho sana!

Niliamka nikaingia bafuni nikaoga vizuri kabisa nikatafuta nguo iliyonipendeza nikapata gauni zuri la blue lililoushika mwili wangu na kunichora vyema umbo namba nane!

Kipindi hicho nilikuwa Nina umbo namba nane na kiwowowo japo kubwa ila nakiita kiwowowo nikilinganisha na hili nilonalo saivi,saivi nina mtako wa kwenda yaani ni balaa sijui ndio hizi mbegu zinaninenepesha hivi jamani,harafu Zina makusudi zinaniongezea tako tu hazinigusi tumbo Wala nini jamani mpaka najitamani!

Nikiwa najiandaa andaa,Bi Sandra akaingia

"Mmh! mwanangu una Safari asubuhi hii!"

"Ndio mama!"

"Aya chai tayari jichunge na mimba tu mwanangu mi sikuzuii ushakuwa mtu mzima sasa!!

Nilitoka nikanywa chai nikarudi zangu kujiremba remba,huku nikiwa na duku duku John atanipeleka wapi?

Nilipomaliza kujiandaa nilitoka nikakaa sebuleni nikimsubiri John ambaye alipofika akanitumia meseji ,nikamuaga Bi Sandra nikatoka nje.

John aliponiona akashuka akanifungulia mlango wa mbele nikaingia Kisha na yeye akapanda akawasha gari tukaondoka!!

"Umependeza sana Kidawa!"

"Mmhh!kawaida John!"

"Jana nilikuambia wewe ni mrembo Ila Leo nakuambia wewe ni malaika kwani wazazi wako ni watu wa wapi eti!"

"Jaman John utafanya nione aibu sasa unanisifia sana!",niliongea kwa sauti ya puani ambayo sikujua kwanini nimeongea vile!!

"Hata usiogope unajua mwenye chake mpe mi sifa zako lazima nikupe"

"Sawa,halafu samahani kuhusu jana niwie radhi nilikuwa nimevurugwa sana!

"Usjali Kidawa nilijua hauko sawa nisamehe mimi kwa kukuongelesha ningenyamaza yasingefika huko!"

Kilipita kimya ambapo Sasa tulikuwa tayari tumeishika barabara ya kwenda Mbagala ikabidi nimuulize John.

"John,kwani tunaenda wapi?"

"Tunaenda kwangu naenda kubadili nguo ndiyo twende!"

"Mbona uko vizuri John hata ulivyo umependeza jamani!

"Hapana nataka nikavunje kabati,kutoka na malaika kama wewe ni lazima mtu upendeze twende sawa!"

"Mmmh!",niliguna moyoni nilianza kupata na hofu ukizingatia John mwenyewe nimemjua jana tu!

Ukimya ulitawala sikujua John anawaza nini Ila roho iliniambia nimuamini John.Siku ya kufa nyani miti yote huteleza huwezi amin hata moyo wangu ulinisaliti kabisa eti ukanishawishi nimuamini John.

Gari lilifika Mbagala Zakhiem likaacha barabara kubwa na kushika barabara ya vumbi!

"Kunaitwaje huku John"

"Kiburugwa"

"Ndiko unakoishi?"

"Ndiyo naishi huku uswazi,vigodoro ni kila siku tofauti na kwenu uko geti Kali!!!"

"Aah!wapi kawaida tu John"

Gari lilisimama barabarani John akashuka Kisha akanifungulia mlango na mimi nishuke,nilitaka kukataa lakini macho ya watu waliokuwa pale wangenifkriaje!?Ila huwa natamani siku zirudi nyuma nisingejali yale macho ya watu Bora ningebaki garini!

Nilishuka tukaanza kutembea John akiwa pembeni yangu huku nyuma zikisikika sauti ambazo hakika zilinipa tafsiri halisi kuwa John ni nani Ila sijui kwanini niliyapotezea,nilisikia wakisema

"John mzee wa totoz,tunakuaminia chapa ilaleeeeeee!!"

John wala hakuhangaika nao nami nikajipa moyo labda pengine ni maneno tu,moyo wangu ulimuamini John!


Safari yetu iliishia nje ya nyumba ambayo ni ya hadhi ya kawaida tu siyo pabaya wala sio pazuri sana!!

"Karibu ndani malikia wangu!"

"John mi siingii ndani badilisha nguo nakusubiri hapa!"

"Hapana ingia japo utie baraka zako jamani mrembo pengine utanitolea mkosi nami nikapata jiko jamani!"

Kiukweli mpaka leo sijui kwanini nilikuwa nakubali kila alichosema John,huwa najiuliza au alikuwa mchawi mbona kirahisi vile?au nilikuwa mtoto jamani!!!!

Kishingo upande nikaingia ndani, mazingira hayakuwa mabaya sana,nilifika nikakaa kwenye sofa moja lililokuwa mle ndani.

"Karibu Kidawa!"

"Ahsante fanya haraka tuondoke!"

"Mbona una haraka Kidawa tutaondoka tu!"

Alisema John huku anavua shati lake akabaki kifua wazi,mmh!nilihisi kusisimka sana sikuwa nimewahi kuona kifua cha mwanaume kikiwa wazi namna ile,ukizingatia tena na kuwa ana kifua cha mazoezi na yale mapingili ya kwenye tumbo yalivyojikata(six pack)mmmhh jamani nyie acheni tu kuna majaribu duniani.

Ilibidi niangalie chini kwa kweli,hapo ndipo nikawa nimefanya kosa,kitendo kile kilimpa John nguvu akatoka kitandani akaja hadi nilipokaa akaketi pembeni yangu akapitisha mkono kiunoni mwangu nilisisimka nikashindwa kumzuia!

"Mbona unaangalia chini Kidawa una aibu eeh!",aliniuliza John huku akiwa amenisogelea karibu zaidi,mkono wake aliopitisha kwenye kiuno changu akawa ananipapasa mbavuni huku ananibinya kama ananifinya nikajikuta natoa sauti ambayo sijui ilitokea wapi!!

"Aaahhh!Jooohn!",sauti hii ilimpa nguvu zaidi John akanisogelea sikioni sikujua alitaka kufanya nini,Ila niliskia ulimi ukipita ghafla ndani ya sikio langu nilishtuka kama nimepigwa shoti akili zikaruka hapo hapo John akaudaka ulimi wangu tukaanza kudendeka!





Tulipoishia.... John kampeleka Kidawa nyumbani kwake badala ya sehemu aliyomuahidi kuwa atampeleka akatoe mawazo,nini kinafuata....

Songa nayo....


John alinivuruga na denda lake,ukizingatia ndiyo Mara yangu ya Kwanza kudendeka na mwanaume,John inaonekana alipanga kunifanyia vile sababu alijiamini sana haikuwa bahati mbaya.Nikakumbuka ndoto niliyoota Jana yake kuwa niko na John kitandani tunafanya yetu!

Tofauti iliyokuwepo ni kuwa kwenye ndoto eti mimi ndiye nilikuwa dereva wa kila kitu Ila Sasa kulikuwa na tofauti John ndiye alikuwa ameshika usukani ananiendesha kama gari bovu!!!


John alienda mbali ulimi wake aliutoa mdomoni akaanza kuutembeza kwenye shingo yangu,nilihisi vitu vinatembea kichwani!!

"Joooohnn!!!!!niacheeee....aaaaasshhiiiiiii mmmmhhh jo .....ooohhnnn!

John aliziba maskio kelele zangu zilimpa nguvu, akaingiza mkono wake kwenye gauni langu akaichomoa chuchu moja ya kushoto akaitupia mdomoni,jamani nilichanganyikiwa John alininyonya ile chuchu kwa ufundi,kichuchu changu kile cha kunyonya mtoto akawa anakilamba kwa ncha ya ulimi wake kisha anapitisha meno kama anaking'ata ivi kweli John alinipatia mmhh!!!

Alinisimamisha nami nikasimama japo miguu ilikuwa ishaanza kukosa nguvu kabisa!

Jamani John mjanja alinisimamisha hili anivue gauni langu ndani ya dakika tatu tu Kidawa nilibaki na chupi tu,dereva teksi naye akavua suruali yake akabaki na boksa.

Kwa kweli sikuwa najua chochote kuhusu mapenzi halafu,nilijishangaa nilikuwa kama zezeta tu yani nakuwepo kuwepo tu sikuwa nikijigusa kabisa!Sikuwa najua nimguse wapi mwanaume au nifanye nini,hii ilinishangaza maana ndotoni nilikuwa kungwi haswa!

John alinivua na chupi yangu Sasa nikabaki mtupu,akanibeba mpaka kitandani.John alijua kunigusa alianza kunyonya chuchu zangu Kisha akashuka kwenye kitovu changu hapo ndipo nilihisi dunia inahama,ndipo nikajua kumbe kwenye mwili kila kitu kina raha yake yaani kitovu kilivyoguswa nilisisimka si mchezo!

Naye alipoona kunilamba kitovu kumenipagawisha akaganda hapo kwa dakika kadhaa huku mikono yake ikicheza na kiuno changu na chuchu zangu!!

John akatoka kitovuni akaanza kunilamba kiuno muda huo tayari kitumbua changu kimelowa chapa chapa!

Akawa ananilamba hapa juu yaani kwenye kitumbua kwa juu pale yanapoota mavuzi,nilitaka kulia jamani raha juu ya raha!!!!

John akashuka mpaka ikulu,sikujua anafanya nini jamani John ana mambo huyu!Kwanza alianza kulamba mapaja yangu kuanzia magotini huku anapanda juu mpaka kwenye mashavu ya kitumbua changu kilicholoa tepetepe!

Kidawa nilikuwa najikunja kama nyoka,utamu niliopata wa kunyonywa nyonywa mwilini ulinifanya niyavute mashuka kwa nguvu huku nikihema kwa mahaba!

Nilikuwa naskia tu watu wanasimulia tu mapenzi ni matamu,ndiyo nilikuwa najionea,niliamini sasa ni zamu yangu kusimulia juu ya utamu wa mapenzi,nilichoka kusimuliwa utamu wa ngoma siyo kuangalia,utamu wa ngoma kucheza!!!!


John dereva teksi alikuwa anaenda kutafuna kitumbua changu kilichokuwa kimeiva tayari kwa kupikwa vizuri na mpishi tena kitumbua cha mayai,kitumbua kipya!!!

Alisogeza Sasa kichwa karibu kabisa na ikulu yangu akanipanua mapaja yangu kisha akapitisha ulimi wake kama anapangusa kitu kwenye kitumbua changu hapo nilibinuka kidogo kwa utamu nikanyanyua kiuno juu,hiyo haikumfanya John aache kufanya anachofanya alianza kunyonya kisimi changu nilihisi kufa lakini sifi kupaa lakini sipai ilikuwa ni zaidi ya raha ,japo niliskia mapenzi matamu Ila sikutegemea yatakuwa matamu kiasi kile jaman!!!

John akawa kama anaingiza ulimi wake kitumbuani hapo ndiyo ikawa balaa..

"Aaaassshhhhiii hapo hapoooooo hhaaaaaaaaaaa ohhhhhhhhhhh"

Nilipiga kelele hadi John akaniziba mdomo nilizidiwa nilipiga goli moja hata kabla sijaingiliwa!!

Hapo ndipo John sasa akaitoa bakora yake iliyokuwa kubwa na ndefu kiasi,akanisogelea Kidawa ambaye nilikuwa tayari kwa lolote muda ule!!!

Hakuingiza Ila alichofanya alianza kukisugua kisimi changu na kichwa cha bakora yake nilihisi raha usisimuliwe kusuguliwa na bakora mmmhh!!!

Akawa ananifanyia makusudi kama anataka kuingiza anatoa kama anaingiza anatoa mmmh nilihisi ile hali niliyohisi hadi nikapiga kelele ikinirudia..

"Johnnn aasshiiii napiga keleeeeeee aaahhh nizibe mdomooooo aaaaaaaahhhhhhh"

Tayari alikuwa amechelewa nilishamwaga bao la pili,John sasa hakutaka masikhara ukafika muda wa kazi,muda wa kumuingiza Kidawa kwenye ulimwengu huu wa mapenzi nami nikasalitiwe huko nakusaliti vilevile..

Niliwahi kuskia story za bikra kuitoa inavyouma hapo nikawa na mawili naogopa lakini pia naitaka bakora patamu hapo!.

Ila Sasa ntaanzaje kukataa na tayari nilishavuliwa nguo na John yupo katikati ya mapaja yangu bakora yake imesimama kama mnara wa Vodacom!

Maji nilishayavulia nguo ilikuwa ni lazima niyaoge,John aliishika bakora yake akaanza kuingiza kwenye kitumbua changu!

"Taratibu John sijawahi!"

Kauli hii ilimshitua John ambaye alisitisha kwanza zoezi la kuingiza akanisogelea usoni akiniangalia kwa macho yaliyojawa mahaba mazito!

"Unasema kweli Kidawa hujawahi kufanya mapenzi?"

"Sijawahi John naogopa naskia inauma!"

"Usiogope subiri hutoumia Kidawa"

Alisema John kisha akanisogelea mdomoni tukaanza kudendeka hofu yote ikaondoka huku chini niliiskia bakora ya John ilivyokuwa inanigusa gusa mapajani na kwenye mashavu ya kitumbua changu!

John alipoona hofu imeondoka akaishika bakora yake akailengesha kwenye kitumbua changu akaanza kuisukuma taratibu!!

"Aaassiiiiiihhh John naumiaaaaa taratibu baba"

John akaizamisha nilihisi maumivu makali baada kuhisi kama kuna kitu kigumu kinachanwa kwa ndani nikajua tayari imeshaondoka,maumivu niliyopata nilimsukuma John ambaye tayari alishanibana ni kama alijua ntamsukuma ivyo alishanibana hata kufurukuta siwezi.

"Aaaashhhh John John naumiaaaaa!!!John niacheeeeeeeee John kuwa na hurumaaaa naumiaaaaaaa jamani mamaa maaa maamaa nisadieeeee uwiiiiiiihh John unaniuaaaaa"

Kelele za chura hazimzuii tembo kula maji John alikuwa bize anaingiza na kuchomoa ,maumivu niliyoyaskia na vile namuona John kakazana kunitia nilimfananisha na mnyama hasiye na huruma!

Hebu fikria una kidonda halafu kuna mtu anakuja anakichoma choma na mti halafu siyo Mara moja anaendelea aachi!http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Maumivu yalizidi mpaka nikazoea ikafikia Sasa nahisi maumivu na utamu kwa mbali!!

Sauti ilikauka nililia nikachoka John alikuwa kama amechanganyikiwa na kitumbua changu alisukuma ngozi kama Ronaldo uwanjani.

Baada ya muda kidogo nilimsikia John anaanza kulalamika kwa sauti..

"Aaahgggohhhhh aaaa katika baby"

Japo sikuwahi kufanya Ila nilijua Sasa ule ndiyo muda ambao John anataka kushusha wazungu wake kwenye kitumbua changu na kipindi hicho sikuwa na mpenzi hivyo kalenda sikuifata kabisa nikaona nijihami!!

"Usimwagie ndani baby"

John alianza kuongeza kasi ya kusukuma mashine kisha akatulia nikajua tayari kashusha mzigo!Alipomwaga uji wake mzigo akanilalia kifuani!Nilishtuka nikamuuliza.

"John!umemwagia ndani!!!????"





ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

Blog