Search This Blog

Thursday 24 November 2022

NYETO NYETONI - 5

 

     



     

    Chombezo : Nyeto Nyetoni

    Sehemu Ya Tano (5)

     __

    Siku hiyo Bibi mtu alimuandalia mjukuu wake zawadi kibao majira ya Saa tatu Asubuhi bwana mkubwa Chinoge alikuwa ndani ya Gari akirejea Mjini

    ilishapita wiki mbili tokea tukio la kuwawa kwa Gulam chumba chake kilifungwa kwa muda siku ya siku kikafunguliwa mama mwenye nyumba akaambiwa yupo huru kukipangisha ikawa Kama bahati Chinoge kuwasili maeneo yale akiwa kaongozana na Dalali wa vyumba nyumba na mashamba bila kusahau viwanja na flemu za kufanyia biashara



    Songa nayo

    Sasa



    ”whaoo karibuni Sana vijana wangu nina hakika leo nitanukia pesa huhuhuhu"

    Mama mwenye nyumba alizungumza hivyo huku akiangua kicheko

    ”pesa wapi wakati tumekuja kukikagua chumba kwanza"

    Dalali naye alizungumza hivyo

    ”ukikague mara ngapi kwani wewe hujampatia sifa ya vyumba vyangu?"

    ”kuhadithiwa na kujionea ni vitu viwili tofauti"

    ”haya bana basi karibuni ndani"

    Basi wakaingia ndani Chinoge alianza kuikagua Sebure Kisha akaelekea chumbani sio Kama ni mara yake ya kwanza kuingia humo

    “kama kuna baadhi ya vitu utahitaji kurekebishiwa utaniambia ili niweze kuwasiliana na fundi"

    Mama mwenye nyumba alizungumza hivyo kumwambia Chinoge

    ”nahitaji zile picha zilizobandikwa ukutani zote ziondolewe itapendeza zaidi kama utanipakia rangi ya bluu bahari kile kitasa cha mlango wa Sebreni kiondolewe pia"

    Chinoge akatoa pendekezo lake

    “sawa haina shida nitafanya hivyo nadhani mpaka kesho kutwa kila kitu kitakuwa tayari"

    “sawa si itawezekana kulipia kodi ya mwaka?"

    “huhuhuhu hata ukitaka ya miaka mia wewe tu ili mradi uhai tu!"

    Mama mwenye Nyumba alifurahia maana Chumba na sebure kwa mwezi ni shilingi elfu hamsini akipiga hesabu kwa mwaka laki sita

    Chinoge akahesabu kiasi cha pesa na kumpatia

    “haya kamata hiki kiasi usisahau kumpatia na huyu jamaa"

    Mama mwenye nyumba alikipokea kibunda cha pesa na kuanza kuzihesabu

    ”uwiiii laki Saba na nusu hakika leo tajiri ni mimi"

    Alizungumza hivyo huku akichomoa elfu kumi na kumpatia Dalali

    “khaa wee Mwanamke embu acha masikhara yako aisee"

    “maskhara gani? Wakati nakupatia elfu kumi nzima kama huitaki sema"

    “utanipatiaje pesa ya mbuzi hiyo wakati katika hiyo pesa wewe yako laki sita tu!"

    “khee wee Babu inamaana unataka nikugaie laki moja na hamsini?"

    “ndiyo maana yake"

    ”ndiyo maana yake kama vile ulichangia tofari au mchanga wa kujengea embu kamata hizi na usepe"

    Dalali akazipokea zile pesa baada kuongezewa noti Sita jumla ikawa elfu sabini

    “kuna siku nilimwambia Mimi baba Rashidi kuwa umemkabidhi mkeo ndiyo awe anapokea Wapangaji hakuna hata Dalali mmoja atakaeweza kumleta mpangaji hapa! Sijui kiherehere gani kimenituma nikaja na huyu jamaa hapa kudadeki zako wee Mwanamke ulaaniwe milele"

    Dalali alizungumza kwa kubwata hakika hakupendezwa kabisa na kiasi cha pesa alichopatiwa yeye katika mawazo yake alidhania laki moja na nusu ni ya kwake ingawa kwa kawaida Dalali huchukuwa kodi ya mwezi mmoja kutoka kwa mpangaji

    ”utalaaniwa wewe unaekalisha pumbu kijiweni ukisubiria Wanaume wenzio walete pesa ili uanze kulilia uongezewe hiloo pyee na mwaka huu hauishi utakuja kupakatwa"

    Mama mwenye nyumba alizungumza kwa mipasho mda huo Chinoge alishajiondokea zake

    “wee fala tu!"

    ”fala farasi kitobo chako kina nyasi matako kunuka wewe"

    “wee si unajifanya mjanja Sasa subiri utaona"

    ”wee bwabwa nione mara ngapi? Au unadhani mi kipofu ehee ndiyo maana kibamia"

    ”ningekuwa kibamia siku ile nilivyokutomba ungelia Bwawa wewe"

    Siku zote pesa huleta marafiki na maadui ndivyo ilivyokuwa kwa Mama mwenye nyumba na Dalali walirushiana vijembe na kauli za shombo mpaka majirani wakaingilia kati ndipo Dalali akaondoka zake

    *********

    Licha ya Madebe kumchukuwa Ducha akitegemea walau anaweza kuwa sawa kisaikorojia lakini haikuwa hivyo alijaribu kumpeleka sehemu mbalimbali zenye vivutio vya kitalii lakini wapi!

    “baba, babaa yule nani?"

    “anaitwa Twiga"

    “ehee na yule kule nani?"

    “yule ni Fisi"

    ”Kitwana Kitwana umemuona rafiki yake Sungura yule"

    “rafiki yake au adui yake?"

    ”adui yake wapi? Wakati kuna ile hadithi ya Cha Wageni si walikuwa marafi? Kuna ile nyingine wanaenda kuiba machungwa"

    “walikuwa marafiki zamani bwana"

    ”baba, kwani sasa hivi Sungura na Fisi ni maadui?"

    ”ndiyo"

    “khaa inamaana tukimchukuwa Fisi na kumpeleka nyumbani atapigana na Sungura wetu?"

    Watoto wa Madebe walikuwa ni wadadisi hatari kila dakika walikuwa ni watu wa kuuliza maswali kwakile ambacho waliweza kukiona mbele ya upeo wa macho yao

    “Ducha umemuona Tiger?"

    Ducha akainua macho yake kumuangalia Tiger kisha akaendelea kucheza zake game binafsi alionekana kutokuwa na furaha

    “mume wangu hivi kwanini huyu mtoto yuko hivi? Kucheza na wenzake hataki kula kwenyewe mpaka alazimishwe"

    Siku moja bibie Mariam alimuuliza mumewe.

    “kiukweli hata sijui kwanini yuko hivi"

    ”kama vipi si umrudishe nyumbani kwao tu! Asije akatufia hapa tukapata madakesi bure"

    “sikia nikwambie kitu mke wangu huyu mtoto kuna kitu ambacho kinamtatiza sana ila naimani ipo siku atakuwa sawa"

    “kitu gani sasa?"

    “muda ukifika utaweza kukitambua kwa sasa kuwa na subra"

    ”mmh sawa lakini isijekuwa umemuulia wazazi wake huko yakaja kuzuka ya kuzuka hapa"

    “kaka huyo kaka huyo"

    Sauti za watoto wao ndizo zilizowagutusha kutoka kwenye mazungumzo yao wote wakasimama na kutoka nnje

    “whaoo hatimae kijana wetu amerudi"

    Madebe alitamka hivyo huku akiwafata watoto wake Kitwana na Milfat wakafanya kuruka Sarakasi wakatanda kwa mbele walifanya kama vile kumzuia baba yao asiweze kumfikia kaka yao aliyekuwa kavalia Kombati za Kiskauti mgongoni alikuwa kabeba begi

    Madebe alishaweza kufahamu nini kinachotaka kutokea hapo akajiweka tayari tayari kukabiliana nao

    Milfat na Kitwana wakashikana mikono huku kaka yao akiruka Samasoti na kuwapitia kichwani akabimbilika na kuachia zinga la teke lililotua kifuani mwa Madebe

    Ikawa kufumba na kufumbua watoto wale kumshambulia baba yao

    Hakika walionekana kuwa fiti

    ”oghoo inatosha inatosha dadeki"

    Madebe alitamka hivyo huku akiugulia maumivu baada ya kupigwa kifuti cha Korodani alibana miguu

    Watoto wake wakatulia Mariamu aliwapigia makofi ya pongezi

    Basi yule mkubwa mwenye umri wakama miaka kumi na miwili akakaribishwa ndani

    “Shikamoo mama, shikamoo baba"

    ”marhabaa vipi za masomo?"

    “safi tu!"

    “kaka, Ahmad"

    Milfat alimwita kaka yake kumbe anaitwa Ahmad chimbuko la majina ya watoto hawa wa Madebe Ahmad ni yule ndugu yake Chinoge aliyeuwawa kule Afghanistan kwa kupigwa risasi na Bibie Laya mzazi mwenzie Chinoge Ukiisoma Mfalme wa Masokwe utaweza kumfahamu kwaajili ya kumuenzi kaka yake Mariamu mtoto wake wa kwanza akampatia jina la Ahmad kuhusu Kitwana ni jina la Baba yake Madebe kwenye Kipapatio cha Nani?

    Milfat pia ni Dada yake Madebe

    “Milfat embu nenda kamuite Ducha mwambie chakula tayari"

    “mmh Ducha ndiyo nani?"

    Ahmad akauliza maana tokea amewasili hapo hakuweza kumuona huyo mtu ndiyo kwanza anamsikia akitajwa mda huo

    Milfat akanyanyuka na kwenda mbio mbio kumwita Ducha muda kidogo akarejea akiwa kaongozana naye Ducha akakaa kwenye kiti

    “Ducha mwanangu embu muamkie kaka yako huyu anaitwa Ahmad"

    Mariamu alimuomba Ducha amuamkie Ahmad kwanza Ducha alikaza macho kumuangalia huyo anaeambiwa heti amuamkie

    “dogo mambo?"

    Ducha alisalimia hivyo akachukuwa kijiko na kuanza kula taratiibu

    Ahmad akatikisa kichwa

    “daah yani huyu mtoto ananiita Mimi dogo kweli?"

    “itikia tu hiyo salamu yake"

    Mariam alimtaka mwanae aitikie

    Basi waliendelea kula muda huo Madebe hakuwepo nyumbani sijui alielekea wapi

    Kesho yake majira ya saa Saba mchana

    Ducha alitoka na kuelekea ufukweni kupunga upepo

    Akatafuta sehemu na kukaa akaitoa simu yake kubwa aina ya Samsung Galaxy s6 edge akawa anacheza game ni simu ambayo alipatiwa na Madebe akiwa bize kucheza Game kuna njemba kama mbili zilikuja pale wakatumia Ubabe kumnyang'anya ile simu hao wakawa wanaondoka nayo

    “nyie wakaka naombeni simu yangu"

    Ducha aliwaomba kwa kuwabembeleza

    “wee dogo vipi unakichaa nini! Nani kachukuwa simu yako hapa? Embu sepa zako"

    Mmoja kati ya zile njemba alizungumza hivyo kama haitoshi akafanya kumsukumiza Ducha akadondoka chini halafu wakaendelea na safari yao

    “nigaieni simu yangu"

    Ducha alinyanyuka na kuwakimbilia huku akipaza sauti kuhitaji simu yake

    “oyaa fanya kutuondolea kiwingu hiko"

    Kitendo pasipo kuchelewa Ducha alianza kupigwa makofi akachotwa zinga la mtama alipodondoka chini akafumuliwa zinga la teke kama vile mpira wa kona

    Ducha alilia huku akiita

    Mwalimu Mwalimu akapigwa ngumi ya mdomo hakika majamaa hayakuwa na huruma kwa kuwa

    Mda ule ufukweni hakukuwa na watu wengi ikawa ni vigumu Ducha kupata msaada

    “oyaa angalie kulee kuna watu wanampiga mtoto"

    “wapi?"

    “kulee"

    Kuna kijana mmoja aliweza kukiona kile kitendo akamtonya mwenzie ndipo wakafanya haraka haraka kuelekea kule

    “nyie vipi mbona mnampiga mtoto huyoo?"

    Zile njemba baada kuona kuna watu wanakuja ili kupoteza ushahidi mmoja akachomoa kisu na kumchoma nacho Ducha tumboni kisha wakakimbia Mpaka wale watu wanafika pale walimkuta Ducha akiwa kalala chini akipumua kwa tabu bila shaka ilionyesha muda si mrefu anaweza akapoteza maisha

    Pasipo kujiuliza wakambeba kila hatua waliyokuwa wanapiga waliacha michirizi ya Damu

    Waliweza kufanikiwa kuipata bajaji na kumuwahisha Hospitali

    “mama mtu mwenyewe chumbani kwake hayupo bwana?"

    Kitwana alizungumza hivyo baada kuagizwa akamwite Ducha kwaajili ya kuja kupata chakula cha usiku

    Madebe akasimama na kwenda kumuangalia yeye alimtafuta akajaribu kumpigia simu lakini hakupatikana

    “inamaana Ducha leo alitoka akiwa mwenyewe?"

    Madebe aliuliza hivyo

    “ndiyo kawaida yake na siku zote huwaga anawahi kurudi"

    Mariam akajibu Madebe akakaa kwenye kiti na kukuna kichwa

    “habari iliyoweza kutufikia hivi punde ni kuhusu Mtoto mdogo aliyejeruhiwa vibaya sana na vibaka inavyosemekana mtoto huyu alikuwa akichezea simu ndipo vibaka hao walipomnyang'anya na kukimbia nayo alipojaribu kuwafatiria wakamjeruhi kwa kumchoma kisu tumboni

    Mpaka sasa hali ya mtoto huyu ni mbaya Sana hakuna ndugu yoyote aliyeweza kujitokeza

    “Mungu wanguu wee Ducha jamanii"

    Mariamu alipiga kelele huku sahani ya chakula ikimdondoka mara sauti ya kishindo kizito kilisikika baada ya Madebe kuipiga ngumi meza ya chakula

    Watoto wake walishtuka si kidogo

    “ohoo shit!"

    Madebe akafanya haraka kuelekea hospitali ya Mbezi Beach

    ********

    Bwana mkubwa Chinoge alishaweza kuhamia kitaani alikuja na shehena ya vitu yani Gari aina ya Fuso mbili ndiyo iliyoleta vitu vya ndani Vijana wakaitwa kuvishusha na kuviingiza ndani

    Usiku wa siku hiyo alilala kwa utulivu kesho yake akadamkia kitaani kulikuwa na Vijana kwa wazee wakicheza Draft kama ujuavyo kwenye mkusanyiko wa watu hakukosekani gumzo na siku hiyo gumzo kubwa lilikuwa ni kuhusu Marehemu Gulam

    “yule jamaa bora hata alivyo uwawa aisee maana hapa Mtaani watu tulikuwa hatuna raha kabisa na wake zetu"

    “umeona ehee kale kajamaa kalikuwa kanajifanya muuza Genge kumbe ni Usalama wa Taifa kazi kutugongea mademu zetu tu!"

    ”unajua nini Chuga kuna siku nilikuwa namgonga demu wangu ajabu akawa anamtaja yule muuza Genge heti

    ohoo,,,Gulaaaam,,chukuwaaa,,yoteee,,ahaaa"

    Nilishangaa sana yani Mimi Sam leo hii nimekuwa Gulam"

    “hahahaha"

    Wakati gumzo linaendelea kuna Gari za kijeshi zipatazo mbili ziliweza kuwasili pale Wacheza bao na draft wote wakajikuta wamezungukwa na wanajeshi wenye Mitutu mkononi

    Bwana mkubwa Cooper akiwa na Bibie Cynthia wakashuka kutoka kwenye gari moja wapo

    Kumbe wakati wanamzungumzia Marehemu Gulam kuna shushushu akapiga simu kwa Cooper kila kilichozungumzwa alikisikia na vile ana hasira rafiki yake kauwawa kinyama akaona hasira zake wacha azimalizie kwa hawa wapuuzi wanaomsema vibaya Marehemu

    Cooper akatoa Amri moja tu kamata piga vunja hao ikibidi uwa kabisa

    Masikini wee vijana kwa wazee walianza kupokea mkong'oto kuna baadhi ya watu waliachiwa wakiwemo watoto bila Shaka na Shushushu wao

    Chinoge naye alikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wakipokea mkong'oto

    “yani mnaacha kwenda kufanya kazi mnajikusanya pale kazi kupiga Umbeya tu pumbavu"

    Bibie Cynthia alizungumza hivyo huku akiachia zinga la kofi lililotua shavuni mwa Chinoge akapepesuka kabra ya kuongezewa teke lililokita shingoni

    mpaka maskio alisikia ziii

    Kichapo kiliendelea walipigwa huku wakichukuliwa video

    Simu ya Cooper ikawa inaita wakati huo alishamvunja mguu mmoja kati ya vijana akaitoa simu yake na kuiweka sikioni

    ”ehee unasema"

    “unafanya makosa makubwa sana ndugu yangu?"

    Sauti ya Madebe ilisikika ikizungumza hivyo

    ”kwanini?"

    “miongoni mwa watu mnaowapiga hapo kuna kiumbe cha hatari sana"

    “what? Ni yupi huyo nitajie ili nimtandike Risasi sasa hivi"

    ”ndugu yangu hutoweza kufanya hivyo kamwe ninacho kushauri kwasasa fanyeni haraka Sana

    Muondoke eneo hilo"

    ”kiumbe gani huyo

    Si unitajie mkuu"

    “Chinoge yuko hapo"

    Cooper alitetemeka baada kutajiwa lile jina hata simu yenyewe ilimponyoka na kudondoka chini

    “vipi mkuu kuna nini?"

    Mmoja kati ya Wanajeshi aliuliza huku akiokota ile simu na kumrudishia Cooper

    “tuondokeni"

    Cooper alitamka hivyo haliyakuwa akifanya haraka kuwahi kwenye Gari

    Kwa kuwa mkuu wa msafara katoa amri ya wao kuondoka hakuna aliyepinga

    Wakati wanapanda kwenye Gari Chinoge alikaza macho yake kumuangalia Cynthia kile kitendo cha Cynthia kuangaliwa kwa jicho kali Cooper aliweza kukiona sema hakuweza kung'amua kama yule mtu ndiyo Chinoge mwenyewe maana alikuwa kaumizwa sana

    “vipi mkuu mbona tumeondoka ghafla ghafla wakati tulikuwa bado hatujaikamilisha kazi?"

    “Chinoge yuko pale"

    “what?"

    Cynthia akauliza kwa mshangao

    ”ndiyo hivyo aliyenijurisha ni General Madebe maana yeye ndiyo anaemfahamu"

    Cooper akajibu

    ”isijekuwa ikawa yule kijana niliyekuwa namshuhurikia mimi?"

    Cynthia akazungumza hivyo

    ”ohoo jamani kijana wangu ndiyo kwanza kahamia juzi leo hii anakutana na majanga kama haya jamani

    Mama mwenye nyumba alizungumza hivyo akimuonea huruma Chinoge sijui alikuwa kavunjwa mguu au uliteuka maana alishindwa hata kusimama

    Yule mama akaja kumsaidia kusimama kwa kumshikilia begani.

    Kila familia ilikuwa bize kusaidia ndugu zao

    “nipeleke chumbani kwangu"

    Chinoge akaomba apelekwe Chumbani kwake

    ”subiri kwanza nikupeleke hospitali hivi ujioni ulivyoumia?"

    ”nipeleke chumbani kwangu nina Daktari wangu kama hutaki niachie"

    “basi nakupeleka baba yangu"

    Basi alimkokota kila mtu aliyeweza kumuona alimuonea huruma

    ”asante kwa msaada wako unaweza ukaenda"

    Chinoge alimshukuru mama mwenye Nyumba baada kumfikisha Sebureni akakaa kwenye Sofa mama mwenye nyumba akatoka nnje

    Alipotoka tu upepo mkali ulianza kuvuma chumbani mule kuvuma kwa upepo ule kuliyafanya yale majeraha yaliyopo mwilini mwa Chinoge yatoweke yote akawa mzima kabisa

    Upepo ukatoweka kila kitu kikawa sawa bin sawia

    “hatimae tuliweza kuipata ile video ya tukio la yule mtoto aliyejeruhiwa jana mchana maeneo ya Mbezi Beach

    Chinoge baada kujiponyesha akawasha tv na kukutana na hiyo taarifa akawa makini kuiangalia

    Tukio la Ducha lilianza kuonekana sijui mtu aliyeweza kushoti tukio hilo alikuwa amekaa sehemu gani?

    Aisee

    Chinoge akauma meno kwa hasira kisha akatoweka





    _____________

    baada kumfikisha Sebureni akakaa kwenye Sofa mama mwenye nyumba akatoka nnje

    Alipotoka tu upepo mkali ulianza kuvuma chumbani mule kuvuma kwa upepo ule kuliyafanya yale majeraha yaliyopo mwilini mwa Chinoge yatoweke yote akawa mzima kabisa

    Upepo ukatoweka kila kitu kikawa sawa bin sawia

    “hatimae tuliweza kuipata ile video ya tukio la yule mtoto aliyejeruhiwa jana mchana maeneo ya Mbezi Beach

    Chinoge baada kujiponyesha akawasha tv na kukutana na hiyo taarifa akawa makini kuiangalia

    Tukio la Ducha lilianza kuonekana sijui mtu aliyeweza kushoti tukio hilo alikuwa amekaa sehemu gani?

    Aisee

    Chinoge akauma meno kwa hasira kisha akatoweka



    Songa nayo

    Sasa



    Bwana mkubwa Madebe alishawasili maeneo ya hospitali ambayo ilisemekana Ducha alifikishwa hapo

    ”habari yako binti?"

    ”safi tu,! Kaka yangu nikusaidie kitu gani?"

    ”bila shaka hii ndiyo hospitali ambayo amefikishwa mtoto ambaye mchana wa leo amejeruhiwa kwa kisu?"

    ”mmh"

    Alighuna binti yule wa mapokezi akamuangalia Madebe kwa kumshusha na kumpandisha

    ”ndiyo tunaye hapa kwani wee ni nani yake?"

    Binti aliuliza baada ya kukagua kwenye Daftari la mapokezi na kutoa jibu

    “ndiyo unazungumza na General Madebe hapa Sasa nilikuwa nahitaji Gari ya wagonjwa iweze kufika hapa Hospitali ya Renbow sasa hivi"

    Madebe hakujibu lile swali la yule binti zaidi ya kupiga simu sijui hospitali gani na kuhitaji Gari ya wagonjwa

    “samahani binti kama hautojari je unaweza ukaniongoza kwenye Wodi ambayo mtoto atakuwa amelazwa?"

    ”bila samahani kaka yangu nifate"

    Binti alionyesha utiifu baada kulisikia lile jina la Madebe wengi wanamfahamu kwa jina tu sio kisura

    Basi wakaingia kwenye Wodi ambayo Ducha alikuwa kalazwa

    “aisee"

    Madebe alitamka hivyo baada kumuona Ducha akiwa kalala kitandani haliyakuwa hajitambui puani alikuwa kawekewa kifaa cha kumsaidia kupumua

    “hapana kaka yangu hutakiwi kumsogelea kwa sasa mtoto wako yupo chini ya uangalizi wa Daktari"

    Yule binti alizungumza hivyo na kumfanya Madebe asite kumsogelea Ducha akabaki kumuangalia tu! Sauti ya king'ora cha gari ya wagonjwa ndiyo iliyowafanya watoke nnje

    Taratibu za kumuamisha Ducha pale zikafanyika akabebwa na kupakizwa kwenye gari wakaondoka naye alipelekwa hospitali ya Lugalo

    “ndiyo mkishashuka hapo Peckas chukuweni bajaji mwambieni dereva awalete hospitali ya Lugalo"

    “sawa tunakuja tupo njiani jamani mdogo wangu Ducha yu mzima kweli?"

    “sikia Mwanaidi huu sio mda wa kulia na kuulizana maswali kinachohitajika ni nyie mfike hapa kwanza"

    “sawa tunakuja"

    Madebe alizungumza na Mwanaidi kwa simu

    Pilikapilika pale hospitali zilikuwa nyingi bwana mkubwa Cooper na bibie Cynthia nao waliwasili pale wakakaa sehemu kuzungumza na Madebe muda wote mama yake Ducha alikuwa ni mtu wa kulia tu!

    Mariam naye alikuwa kakaa kwenye benchi akiwa na watoto wake,

    Mara ghafla zilisikika kelele za Madaktari na manesi zikitokea ndani ya hospitali kelele ambazo

    ziliwashtua watu wote waliopo nnje ya hospitali

    “wee kijana muachie huyo mtoto, mrudishe wewee"

    Wakajiweka tayari tayari kwaajili ya kuweza kumdhibiti huyo mwizi wa watoto

    Kumbe bwana mkubwa Chinoge alishawasili ndani ya hospitali hiyo na kufikia kumbeba Ducha akawa anatoka naye nnje Madaktari waliojaribu kumzuia waliambulia kichapo cha maana

    Alipotokezea nnje akakutana uso kwa uso na Madebe akiwa na wale Makomando wawili

    kitu ambacho kilimfanya asimame kwa dakika kadhaa akiwaangalia

    “jamani mwanangu unampeleka wapi? Msaidieni"

    Mama yake Ducha alipiga kelele huku akienda mbiombio kumvamia Chinoge

    “mama tuliya kwanza"

    Mwanaidi alimshika mama yake na kujaribu kumtuliza

    Mitutu ilishaelekezwa kwa Chinoge siku zote cheza uchezavyo ila usijaribu kuichezea sehemu ya Jeshi

    Ahmad akataka kuonyesha ushujaa kutokana nakile alichoweza kufundishwa na baba yake alichokifanya ni kusimama juu ya Benchi akadunda na kwenda kumtandika zinga la teke Chinoge kabra mguu haujagusa mwilini mwake Ahmad alishtukia akidakwa Shingoni akawa amening'inizwa kwa mkono mmoja

    Wakati mkono mwingine alikuwa kamshikilia Ducha

    “kakaa muachie mwanangu ni mpwa wako huyo"

    Mariam alipiga kelele ambapo Chinoge alimuachia Ahmad kwa kumdondosha chini

    Sijui ndiyo kilikuwa kinakata pumzi maana alidondoka kama vile mzoga

    ”babaa mbona mnamuangalia tu yule jambazi kampigeni sasa"

    Kitwana alizungumza hivyo kumwambia Baba yake

    “kakaa unafanya nini Sasa? Kwanini umeamua kuwa hivi?"

    Mariam alimuuliza kaka yake aliyekuwa amekaza macho kumuangalia Madebe na wenzake

    Chinoge akafanya kumuweka Ducha chini kisha akapiga hatua za taratiibu kumsogelea bibie Cynthia ambapo alishaanza kujihami nikweli inafahamika bibie huyu ni mkari wa kupambana na viumbe vyenye kusadikika lakini sio kwa kiumbe kama hiki kitwacho Chinoge haijurikani yukoje

    Cynthia akawa anarudi kinyume nyume Madebe akawahi kwenda kukaa mbele yake nikama kumzuia Chinoge asimsogelee binti yule

    Chinoge akarudi yeye nyuma akamshika Ducha na kutoweka naye hapo ndipo Taharuki ilipotokea kwa wale ambao hawakuwa wanamfahamu maana kule kutoweka kwake ikawa kama vile wameona Jini au Mchawi Kitwana na watoto wengine ndiyo waliogopa zaidi walipiga kelele ilibidi watu wazima watumia kazi ya ziada kuwatuliza

    ”sijawahi kuwaona watu waoga na wapumbavu waakili kama sisi aisee yani na Ukomando wetu wote tumekaa tu! Hapa tukimuangalia yule Nguchiro akifanya kile ambacho alitaka kukifanya"

    Cooper alizungumza hivyo kwa hasira

    “kijana jaribu kuwa na heshima"

    “sio heshima kaka wee umeona kabisa yule Nguchiro alitaka kumuangamiza kijana wako ajabu unamuangalia tu!"

    “asingeweza kufanya hivyo tambua yule ni Mjomba ake"

    Ikawa ni kazi ya Madebe kumtuliza mama yake Ducha aliyekuwa anamlilia mwanae

    Bwana mkubwa Chinoge Chinogae baada ya kutoweka na Ducha pale akaja kutokezea sehemu moja hivi nikama Jangwani maana hiyo sehemu hakukuwa na miti wala jani moja kwa mbele kulikuwa na jiwe kubwa Chinoge akapiga hatua kadhaa kulisogelea jiwe lile alipolifikia akamlaza Ducha juu yake kisha akampiga mruzi mmoja mkari sana

    Punde alionekana Sokwe mtoto akija mbiombio eneo lile alipofika pale akatoa salamu ya heshima huku akinyoosha mkono wake kumpatia Chinoge kibuyu

    Chinoge alikipokea kile kibuyu ambacho kwa juu kilikuwa kimezibwa kwa kufungwa kitambaa akakifungua akamshika Ducha usoni

    Alipomshika mdomo wa Ducha ukaachama nakuwa wazi

    Chinoge akamimina funda kadhaa za kinywaji ambacho kilikuwa ndani ya kibuyu kile mara moshi mzito na mweusi tii ulianza kufuka kutokea mwilini mwa Ducha dakika si nyingi mgonjwa akashtuka na kukaa kitako juu ya jiwe lile kwanza alionekana kujishangaa

    “karibu tena kijana wangu"

    Sauti ya Chinoge ndiyo iliyomshtua na kumfanya ainue uso wake kumuangalia ikawa kama haamini vile kumuona Mwalimu wake akiwa mbele ya upeo wa macho yake

    “ni wewe Mwalimu, nisamehe mimi sikufanya vile kwa kukusudia"

    Ducha alizungumza kwa sauti ya kilio

    ”Duchaa"

    ”naamu Mwalimu"

    “huu sio mda wa wewe kulia wala kukumbuka makosa yako ya nyuma

    Embu simama na uonye"

    Chinoge alizungumza hivyo Ducha akasimama na kushuka chini

    ”kwasasa unaweza ukarejea nyumbani"

    ”mwalimu naendaje nyumbani haliyakuwa hatma yangu ya kusamehewa siijui"

    “Ducha"

    “naamu"

    ”tambua nilishakusamehe kabra ya kunitendea kile kitendo na ndiyo maana leo hii nipo hapa embu kamata hii"

    Chinoge alizungumza hivyo akanyoosha mkono kumpatia Ducha kisu

    “hapana hapana Mwalimu hiko kitu sikihitaji tena"

    “kwanini?"

    “sihitaji tena kufanya makosa kuanzia Sasa nahitaji kuwa miongoni mwa Watu wema

    Sitopigana wala sitolipa kisasi kwa mabaya yote niliyowahi kutendewa au nitakayo tendewa"

    “Duchaaa"

    Chinoge aliita kwa sauti ya ukari mpaka Ducha na yule Sokwe waliogopa pasipo Ducha kuitikia Chinoge alizungumza

    “unataka kufanya nini wewe, tambua kitu kimoja Snop aliuwawa kikatiri sana kulikuwa na ulazima gani pale wa kumpiga Risasi embu angalia

    Chinoge alizungumza kwa hasira huku akimuonyesha Ducha lile tukio la Snop kuwawa ikawa Kama vile katonesha kidonda kibichi Ducha aliuma meno akakaza macho kumuangalia Afande aliyefyatua risasi

    “kwanini umewachaa wahusika wale? Embu waangalie"

    Chinoge alizungumza huku akinyoosha kidole kwenye video ile

    “shikaa uwa yule na yule"

    Chinoge akafanya kama kulazimisha ambapo Ducha akakipokea kile kisu huku akiwa makini kuwaangalia watu wale nikweli aliweza kutambua Maaskari na Wanajeshi alioweza kuwauwa hawakuwa na hatia kilichowaponza ni Mavazi yao

    Ducha akatoweka alipotoweka Chinoge akamtaka yule Sokwe akichukue kile kibuyu na atoweke Sokwe akafanya hivyo

    **************

    Bibie Cynthia yeye alikuwa anaishi maeneo ya Sinza Afrika sana

    Alikuwa anaishi na mdogo wake wakike aitwae Lucy anaesoma chuo

    Kimoja wapo jijini Dar es Salaam siku hiyo bibie Cynthia alirejea nyumbani kwake haliyakuwa akionekana kutokuwa sawa kimawazo

    “shikamoo Dada"

    Lucy alimuamkia Dada yake ikawa kama vile hakuisikia ile salamu akajipweteka kwenye sofa

    “dada si nakuamkia jamani"

    “ohoo Marhabaa mdogo wangu vipi haliyako?"

    “mi mzima tu kihafya"

    ”basi nashkuru kuskia hivyo"

    Ukimya kidogo ukatanda baina ya ndugu wale wawili Cynthia alikuwa bize na simu yake huku mdogo wake akionekana kuperuzi kwenye Laptop

    “ehee Dada nimekumbuka kitu leo Asubuhi wakati natoka nikakutana na yule jamaa wapale Dukani akaniuliza hivi Dada yako anafanya kazi gani?"

    Lucy akauvunja ukimya ule

    “mmh ukamjibuje sasa"?"

    “nilimjibu tu kuwa unauza mboga mboga soko la Buguruni"

    “akasemaje?"

    “aseme nini zaidi ya kucheka tu! Lakini Dada yangu hata Mimi ningependa kufahamu unafanya kazi gani?"

    Kumbe hata Lucy hakuwa anafahamu Dada yake anafanya kazi gani!

    Ukimya mwingine ukatanda

    Ukimya ambao ulivunjwa na sauti ya mlango ukigongwa

    “huyo kashakuja"

    ”nani?"

    “si yule muuza maji"

    ”kwani maji yameshaisha?"

    “zimebaki ndoo mbili tu!"

    ”basi nenda kamfungulie ili aweze kuingiza madumu ndani"

    Lucy akanyanyuka na kwenda kufungua mlango ajabu hakuwa muuza maji bari ni bwana mkubwa Chinoge akiwa na uso wenye bashasha alimuangalia binti yule usoni

    “Dadaa kuna mgeni wako"

    ”nani?"

    “mi simjui bana"

    ”mwambie aingie"

    Cynthia alitoa ruhusa yule mgeni aingie ndani

    Kwanza alitoa macho pima kumuangalia huyo mgeni mapigo yake ya moyo yalianza kwenda kasi

    ”karibu ukae"

    Lucy alimkaribisha Chinoge na kumuonyeshea sehemu ya kukaa huku yeye akiibeba Laptop yake na kuelekea chumbani

    ”umefata nini hapa?"

    Bibie Cynthia alijikakamua kuuliza hivyo

    “kwani wewe ulifata nini mtaani kwatu?"

    Chinoge naye akauliza swali

    “sikia nikwambie kitu wee mpumbavu usiekuwa na akili usidhani kama nakuogopa kutokana na nguvu za kishetani ulizokuwa nazo.

    Nakupa dakika tano uwe umeshaondoka"

    Cynthia alizungumza kwa kupaniki

    Chinoge akatabasamu huku akisimama badara ya kuelekea nnje yeye akawa anaelekea chumbani

    ”mlango wa kutokea nnje niule kule"

    Cynthia alizungumza na kunyoosha kidole akaenda kusimama mbele ya mlango wa kuingilia chumbani

    “tafadhari usisogee vinginevyo nitakuangamiza kwa kutumia hii kitu"

    Cynthia alizungumza hivyo akanyoosha mkono kumuonyeshea Chinoge almasi ni moja kati ya silaha zilizoandaliwa kwaajili ya kuwaangamiza majini hakuweza kufahamu kuwa Chinoge sio jini yeye ni Super hero

    Chinoge ndiyo kwanza akawa anamsogelea Cynthia akaona usintanie akairusha ile silaha yake juu alipoirusha tu ghafla bin vuu kuna Nyundo ilikuja kwa kasi kupitia dirishani ikaja kuisambalatisha ile Silaha vipande vipande huku Chinoge akiseleleka kwenye sakafu akawa tayari kamfikia bibie Cynthia aliyeanza kujihami kwa kurusha ngumi na Mateke Chinoge akawa anakwepa na kupanchi

    Wakati huo Nyundo ilionekana kuzunguka zunguka pale Sebreni

    Bibie Cynthia alijikakamua kujitoa mikononi mwa Chinoge maana alikuwa kashikiliwa ile kisawasawa akapelekeshwa na kubambanishwa Ukutani.

    ”ihiiiiiiiiii,,iyaaaaaah"

    Cynthia alizidi kujikakamua kujitoa lakini wapi ikawa kama vile kashikiliwa na nondo

    Akanyanyuliwa juu na kutupwa ukutani kibaya zaidi alienda kujibamiza kwenye Flat tv kubwa iliyokuwa imewekwa ukutani tv ilivunjika na kutoa shoti maana ilikuwa inawaka kama haitoshi alipodondoka chini aliidondokea meza ya kioo

    Bibie Cynthia vioo vilimkatakata sema alisimama imara na kukunja ngumi.

    Chinoge akadunda na kwenda kumtandika mateke sijui kwanini Chinoge anamshambulia mtoto wakike wakati alishakula kiapo mbele ya mama yake kuwa hatothubutu kuunyanyua mkono wake kwaajili ya kumpiga Mwanamke. Ajabu alimshambulia Cynthia kama vile anapigana na Mwanaume mwenzake.

    Cynthia akawa yupo hoi lakini alionekana kuwa mbishi

    Ndipo Chinoge alipoiamuru Nyundo imalize kazi

    Nyundo ikakita tumboni mwa bibie alitapika damu na nyongo Nyundo

    Ikazunguka na kwenda kukita magotini Mabonge ya damu yalizidi kumtoka bibie akawa amelala chini

    Licha ya purukushani na kelele zote zilizokuwa zikitokea hapo Sebreni Lucy hakuweza kusikia chochote hata waliokuwa nnje hawakuskia

    Nyundo ikarudi mkononi mwa Chinoge iliporudi tu! Akatoweka





    _____________

    Cynthia akawa yupo hoi lakini alionekana kuwa mbishi

    Ndipo Chinoge alipoiamuru Nyundo imalize kazi

    Nyundo ikakita tumboni mwa bibie alitapika damu na nyongo Nyundo

    Ikazunguka na kwenda kukita magotini Mabonge ya damu yalizidi kumtoka bibie akawa amelala chini

    Licha ya purukushani na kelele zote zilizokuwa zikitokea hapo Sebreni Lucy hakuweza kusikia chochote hata waliokuwa nnje hawakuskia

    Nyundo ikarudi mkononi mwa Chinoge iliporudi tu! Akatoweka



    Songa nayo

    Sasa



    Mda wote Lucy alikuwa amekaa kitandani akiendelea kuperuzi kwenye mtandao wa Facebook pasipo kufahamu kuwa Dada yake kuna kisanga kimemkuta

    “naomba vocha ya elfu tano basi"

    ”mtandao gani?"

    “nimekwambia naomba vocha"

    “ndiyo nakuuliza mtandao gani?"

    “nitumie kwenye tigopesa"

    ”sawa nipe namba basi"

    Lucy akaandika ile namba kisha akafungua mesegi ya Mwanaume mwingine

    ”mambo mrembo"

    ”safi tu nambie mkaka"

    ”mmh"

    ”sasa mbona unaghuna?"

    “nilishakata tamaa mwenzako kutokujibiwa mesegi yangu"

    ”ndiyo ishajibiwa sasa nambie"

    ”upo pande zipi?"

    ”Tabata bima"

    ”whaoo mi naishi Viwege huku"

    ”mmh Viwege ipo mkoa gani?"

    ”Dar es Salaam yani unapanda gari mpaka Gongo la Mboto kisha unapanda la Viwege"

    ”sawa nimekupata"

    ”sema nini mrembo kiukweli nimetokea kukupenda yani kila nionapo picha zako nakuwa hoi taabani"

    “mmh"

    ”usighune bwana nikubalie mtoto wa Mwanamke mwenzio nina teseka juu yako"

    “nikuulize kitu mkaka?"

    ”niulize tu! Sema usiniite mkaka jina langu si umeliona hapo kwenye Profile?"

    “hivi mpaka Sasa ushatongoza Wanawake wangapi humu mitandaoni?"

    ”ni wewe tu!"

    ”mmh sio kweli"

    ”niamini bibie"

    “sawa nimekuamini"

    “baby tayari nimekutumia elfu kumi"

    Ni mesegi iliyotoka kwa jamaa aliyeombwa vocha ya elfu tano

    ”whaoo asante baby"

    Lucy aliandika hivyo huku akisimama na kuelekea Sebreni kuifata simu yake ambayo aliiacha sofani

    Laa haula ile anafungua mlango tu! Wa chumbani hakuweza kuamini macho yake kwakile akionacho mbele yake

    Dada yake alikuwa kalala chini huku baadhi ya vitu vikiwa shaghara baghara

    ”dadaa jamani dada yanguuu"

    Alipiga kelele na kumkimbilia Dada yake akawa anamtikisa kelele zake ziliweza kusikiwa kule nnje kwakuwa mlango ulikuwa wazi baadhi ya majirani na Wapangaji wenzao wakaingia

    “khaa wee Lucy kitu gani tena kimemtokea Dada yako? Mlikuwa mnapigana au?"

    “jamani Dada yangu hiiiiiiii,, haaaaa,,"

    Lucy alilia huku akimtikisa Dada yake

    Tukija kwa wale vibaka siku hiyo walikuwa maeneo ya Tegeta Kibaoni katika harakati za kuiuza ile simu

    “oyaa wee Pimbi"

    ”nani Pimbi sasa?"

    ”embu lete hiyo simu"

    ”sio lete simu nakuuliza nani Pimbi?"

    “pimbi si wewe hapo!"

    ”wee kweli matako kuku kishingo"

    ”sema nini jeshi yule Bwege kasema ana elfu tisini tu!"

    “ninii?"

    ”ujaskia au dharau?"

    ”sio dharau yani Samsung Galaxy s6 edge toleo la kwanza kabisa hili aitake kwa hela hiyo kweli kama vipi mwambie akaushe tu!"

    ”sasa kichaa wangu hii simu hata tukiuza elfu sita kuna hasara gani tuipatayo si tumeikwapua tu!"

    ”hata kama

    “embu acha mambo yako wewe"

    ”kuanzia Sasa mpo chini ya ulinzi jisalimisheni wenyewe, haya wekeni mokono yenu juu"

    Wakati vibaka wale wakibishana kuhusu bei ya kuiuza simu ile ndipo wakashtushwa na sauti kari ikiwataka wajisalimishe. Binafsi walishtuka sana kuona Polisi takribani

    Sita wakiwa na mitutu ya Bunduki wamesimama mbele yao wakatii amri kwa kupiga magoti chini wakanyoosha mikono juu kabra ya kufungwa pingu walianza kuchezea kichapo cha kufa mtu walipigwa ile kisawasawa mpaka wanapakizwa kwenye Difenda walikuwa hawatamaniki walichakazwa ni damu tu zilikuwa zikiwachuruzika midomoni na puani

    ”ndiyo mkuu tayari tumewanasa"

    ”mko nao hapo?"

    ”ndiyo mkuu tupo nao"

    ”basi hakikisheni mnawafikisha kituoni mkishafika pale nijurishe nije kuwafata"

    ”sawa mkuu haina shida"

    Mmoja kati ya Maafande wale alisikika akizungumza kwa simu na bwana mkubwa Madebe

    Waliweza kuwasili maeneo ya kituo cha polisi watuhumiwa wakabebwa msobemsobe na kushushwa chini wakakokotwa mpaka Selo na kutupiwa humo

    Dakika si nyingi Madebe akiwa kaongozana na Cooper waliwasili pale akaomba kuwaona hao Vibaka alipowaona tu! Akatoa amri wachukuliwe na kupelekwa Lugalo

    Wakati wanajiandaa kutoka eneo lile la kituo cha polisi

    Ghafla bin vuu upepo mkali misiri ya Kimbunga ulianza kuvuma

    Vumbi lilitimka huku miti na majani yakipukutuka Makaratasi na manaironi vilipeperushwa kufumba na kufumbua kuna kiumbe mfano wa Ninja Ice aliibuka sema kiumbe hiki alionekana ni mtoto mdogo nakama sio mtoto mdogo basi ni Mbilikimo

    Sura yake

    haikuweza kuonekana vyema ila mwili wake wote ulikuwa ni barafu lenye kung'aa yule kiumbe alikaza macho yake yenye kutoa kitu kama shoti za umeme kuwaangalia wale Vibaka waliokuwa wamepakizwa kwenye Gari wakati akiwa bize kuwaangalia wale Vibaka akashtushwa na vitu vya moto vikidunda mwilini mwake kumbe Maafande walishaanza kummiminia Risasi ambazo zilikuwa zinadunda tu bwana mkubwa Cooper akachomoa kisu chake kidogo akakimbia kwa kasi kumfata yule kiumbe

    ”Coopeeeeeer"

    Madebe alipiga kelele kumwita Cooper huku akishuhudia Cooper mwenyewe akirudishwa kwa kurushwa juu baada kutandikwa zinga la teke akafikia kujibamiza kwenye Gari

    Risasi zilizidi kumiminika mwilini mwake kiumbe ndiyo kwanza kilisimama imara

    Baada kumtandika teke Cooper halafu akazunguka na kujitawanya viumbe wenye sampuri yake wasiokuwa na idadi waliibuka na kuanza kuwashambulia maafande huku

    Yeye akichumpa na kwenda kutua kwenye Gari ambayo walipakizwa wale Vibaka alimshika mmoja na kumchinja huku mwingine akimmalizia kwa kumchomeka kisu cha koromeo unajua mpaka hapo Madebe hakujua afanye nini alibaki akiwa ameduwaa tu

    Baada kuwachinja wale Vibaka yule kiumbe akatoweka pamoja na wafuwasi wake wenye kufanana naye

    Cooper alikuwa kalala chini haliyakuwa akitetemeka unaweza ukasema labda kagusishwa nyaya ya Umeme

    Ajabu hakuna hata Askari mmoja aliyeuwawa zaidi ya kujeruhiwa waliuliwa ni wale Vibaka

    “wauweee"

    Ni kelele alizopiga bwana mkubwa Chinoge akiwa amekaa sebreni kwake tukio zima la kule kituo cha polisi aliweza kulishuhudia kupitia Tv yake kubwa iliyopo ukutani hakika alishangilia sana akafungua friji na kutoa chupa ya maji akanywa funda kadhaa akapiga hatua kadhaa kuusogelea mlango baada kusikia ukigongwa akashika kitasa na kuufungua

    “habari yako kaka yangu"

    Mgongaji mwenyewe alikuwa ni bibie Salome yule Binti aliyekuwa akimuhitaji kimapenzi Marehemu Gulam

    “safi tu nambie Mrembo"

    “mmh nilikuwa naiomba ile cd niliyokuona nayo jana"

    “ohoo ile ya Fifty Shades?"

    ”ehee ndiyo hiyo hiyo"

    Chinoge akarudi chumbani muda akatoka na kumkabidhi ile cd

    “ohoo Asante sana"

    Salome alishukuru huku akiipokea ile cd

    ”vipi lakini unaenda kuangalia na shemu au?"

    ”hapana nipo tu! Mi mwenyewe kwani hii movie ina Minyanduano?"

    ”hahahaha, embu liangalie vizuri cover lake"

    Salome akaliangalia lile cover kulikuwa na picha ya wapenzi wawili wakinyonyana denda"

    ”mmh wacha nikaiangalie kama nikizidiwa nitapiga Nyeto Nyetoni"

    “shida yote ya nini bibie ingia basi humu tukaicheki pamoja"

    Salome pasipo kujivunga aliangalia kushoto na kulia kuona kama kuna Soo kisha akajitoma chumbani kwa Chinoge mlango ukafungwa.

    Mziki ulianzia Sebreni yani walipoingia tu cd ikawekwa pembeni wakashikana na kuanza kubadirisha mate

    ********

    Cooper na wale Maaskari waliweza kuwahishwa hospitali

    “kwanini unayaacha yote haya yakitokea tena mbele ya macho yako. Kumbuka wewe ni Jeneral Wananchi wote wanakutegemea wewe ndiyo utakae simama mstari wa mbele kwaajili ya kuliongoza Jeshi kwenda vitani ajabu leo hii

    unabung'aa tu!"

    Yote yalikuwa ni maneno kutoka kwa mkuu wa majeshi akimsema Madebe ilionekana kafanya uzembe mkubwa Sana kumuacha yule kiumbe akiwashambulia Maaskari muda wote Madebe alibaki kimya akimsikiliza mkuu wake simu iliyopo mezani ikawa inaita ambapo mkuu wa Majeshi akaipokea na kuiweka sikioni

    “what!?"

    Mkuu wa Majeshi alitamka hivyo baada kuambiwa kitu na mtu aliyekuwa kapiga simu akairudisha simu mahara pake kisha akamkazia macho Madebe kwa sekunde kadhaa

    “hii sasa ni hatari inavyosemekana kuwa yule Agent wakike aitwae Cynthia amejeruhiwa vibaya sana"

    “ninii?"

    Madebe aliuliza kwa hamaki huku akisimama kutoka kwenye kiti

    ”ndiyo hivyo kijana"

    Madebe akatoka ofisini pasipo kuaga binafsi alishachanganyikiwa alimuomba kijana mmoja ampeleke hospitali ya Aghakan

    ”mamaa,,Ducha amerudi"

    Zilikuwa ni kelele za Kitwana akimwita mama yake baada kuona Ducha akifunguliwa geti na kuingia ndani Mariam alitoka ndani na kusimama kwenye kizingiti cha Mlango nikweli Ducha alikuwa karejea tena akiwa mzima wa hafya

    Baada Ducha kuingia ndani aliwaangalia wale Wanajeshi halafu akafanya kuwapigia Saruti kitu ambacho kiliwafanya Wanajeshi watabasamu

    ”whaoo mwanangu huyo"

    Mariam alitanua mikono na kumraki Ducha akamkumbatia kwa muda

    Ducha alijiskia kufarijika sana kukumbatiwa na Mariam wakaingia ndani ambapo kina Milfat walianza kumdadisi maswali ya hapa na pale

    ”Ducha kwani ulipelekwa wapi na yule jini?"

    “ajakunyonya damu kweli embu nione shingo yako"

    “isijekuwa na wewe umekuwa zombie kama yule aliyekuchua"

    ”tujibu basi ulipelekwa wapi na yule Jini?"

    ”nyie watoto embu shikeni adabu zenu kaka yangu sio Jini yule"

    Mariam akawakalipia watoto wake kwa kuwaambia hivyo

    Ducha alishangazwa Sana na kauli ya Mariam kusema Chinoge ni kaka yake

    ”kha! Inamaana yule ni Mjomba etu?"

    Ahmad akauliza

    ”ndiyo maana yake au ukumbuki sikuile nilizungumza naye kitu gani embu subirini niwaonyeshe kitu"

    Mariam alizungumza hivyo akaelekea zake chumbani alirejea haliyakuwa kabeba Albaam ya kuhifadhia picha akaiweka mezani

    Alianza kuwaonyeshea picha za kifamilia

    “haaaa! Kumbee ni Ankor wetu kudadeki nami natamani siku moja niwe kama yeye"

    Ahmad alizungumza hivyo baada kujiridhisha kuwa yule kiumbe ni Mjomba wao.

    Ducha naye alishapata picha kwanini siku ile Chinoge alimuokoa Madebe asiuwawe kumbe ni Shemeji yake

    *********

    Tukija kuzimu siku hiyo kwenye tawala ya Duchani kulikuwa na kikao nyeti Makuhani na majini wote wenye kuhusika na tawala hiyo waliitwa

    “kha!kha!kha!

    Hatimae leo hii ule muda tuliokuwa tukiusubilia kwa haamu umetimia ghriiiii,,ngriiii,, Tunaitaka damu ya Ducha lazima atolewe kafara hahahaha mizimu inataka nyamaa nendeni mkamlet....

    Hata hakuweza kumalizia kuzungumza kisu kilikuja kwa kasi na kuzunguka Shingoni mwake

    Kichwa kikatengana na kiwiliwili

    Majini wote walishtuka

    Kuja kutahamaki Ducha mwenyewe akaibuka

    Akifatiwa na bwana mkubwa Chinoge Nyundo mkononi aisee

    ”kamata yule"

    Amri ikatoka kwa Duchani akiwaamrisha majini wamkamate Ducha ambaye alifanya kuchenji muonekano wake kumbe ni yeye aliyekinukisha kule Kituoni majini waliojaribu kumsogelea Ducha walijikuta wakitembelewa na Nyembe za hatari ni silaha ambazo alikuwa akizitumia Marehemu Ninja Ice kwa sasa Ducha ndiyo anazitumia ubaya wa Silaha hizo ikikugusa tu unapukutika Kama karatasi liunguapo na Moto

    Duchani baada kuona wanazidiwa ndipo akaamua kukimbia lakini hakuweza kufika mbali alijikuta akinaswa na mzee mzima Ibnuwas







    ”kamata yule"

    Amri ikatoka kwa Duchani akiwaamrisha majini wamkamate Ducha ambaye alifanya kuchenji muonekano wake kumbe ni yeye aliyekinukisha kule Kituoni majini waliojaribu kumsogelea Ducha walijikuta wakitembelewa na Nyembe za hatari ni silaha ambazo alikuwa akizitumia Marehemu Ninja Ice kwa sasa Ducha ndiyo anazitumia ubaya wa Silaha hizo ikikugusa tu unapukutika Kama karatasi liunguapo na Moto

    Duchani baada kuona wanazidiwa ndipo akaamua kukimbia lakini hakuweza kufika mbali alijikuta akinaswa na mzee mzima Ibnuwas



    Songa nayo

    Sasa



    Kuzimu kulikuwa na hekaheka ya aina yake miale yenye kuambatana na moto ilizidi kutatarika huku Majini wengi wakipukutika kama vile nyasi kavu ziunguapo kwa moto

    Nyundo zote mbili zilionekana zikizunguka huku silaha kali aina ya Star alizokuwa akizitumia Bwana mkubwa Ninja Ice zikiwapukutisha maelfu ya Majini Ducha alionekana kuzitumia vyema silaha hizo.

    Utawala wa Duchani ulikuwa umezidiwa nguvu kwa kiasi kikubwa tena na watu wawili tu! Kibaya zaidi mmoja kati ya watu hao ni mtoto wao ambaye kwa upande wao walimuona kama ni mtoto wa haramu kisa tu! Kazaliwa nnje ya ndoa.

    Baadhi ya majini waliweza kupata upenyo wa kukimbia huku

    Bwana mkubwa Duchani akinaswa na kutiwa kwenye kifaa kimoja wapo ambacho ndani yake kulikuwa na Barafu siku zote majini kwenye baridi wanateseka na kutaabika kupita kiasi ni sawa na Binadamu kuwekwa kwenye moto

    ”agriiiiiiii,,,hiiiiiii"

    Duchani akiwa amefungiwa ndani ya kile kifaa alianza kuunguruma huku akibadirika ngozi ya mwili wake kutoka ya kibinadamu aliyojitwika na kuwa ya kijani. Sio kama alifanya hivyo kwa hasira bali baridi lililopo mule lilianza kumuasiri

    ”Duu,,du! Duchaaa,, niokoe,, tafadhari fanya kunitoa humu kumbuka Mimi ni baba yako, Ducha, usiniache mwanangu"

    Duchani alipiga kelele huku machozi ya damu nyeusi tii yakianza kumchuruzika

    Ducha alimuangalia baba yake kama ujuavyo siku zote damu nzito kuliko maji hisia za kumuhurumia baba yake zikamjia sema hakuwa na la kufanya,

    ”twende kijana"

    Sauti ya Chinoge akimtaka waondoke ndiyo iliyo mgutusha

    Wakashikana mikono na kutoweka

    Simanzi na Majozi iliweza kutawala kwenye ukoo wa Duchani majini waliosalia kwenye vita hiyo walikusanyika kwa pamoja

    Wakafanya taratibu za kuwazika wenzao kisha wakakaa kikao na kuanza kujadiriana juu ya wao kwenda kumuokoa kijana wao Duchani pamoja na kulipa kisasi juu ya vifo vya wenzao

    Wakati kikao kikiendelea kuna kikosi cha majini kilionekana kuja maeneo hayo

    Kwanza walishikwa na uwoga wa aina yake wakidhani ya kwamba kikosi hiko kinachokuja ni cha wale wabaya wao

    “kila mmoja akamatie silaha yake vyema. Tujiweke tayari tayari kukabiliana nao hakuna kuogopa"

    Mmoja kati ya majini aliyeonekana kuwa ni kiongozi wao alizungumza hivyo

    “ohoo! Poleni sana ndugu zanguni"

    Alikuwa ni bibie Ozzi

    Ndiyo aliyekuwa akiuongoza msafara ule

    Waliwasili pale wakafanya kutua chini

    Kuna msafara mwingine ukawasili hawa ni wale ambao wakati wa sekeseke hawakuwepo ukichanganya na wale waliokimbia basi Walizidi kumiminika hakika walikuwa wengi kupita kiasi

    ”kama makosa tumeyafanya wenyewe, hatuna budi kujirahumu kwa maana Ducha ndiyo alitakiwa kuwa ngao yetu silaha yetu,

    Ajabu sisi wenyewe tukataka kuiangamiza kwa kisingizio kuwa ya haramu,

    Ona sasa ilivyoshiriki kutushambulia"

    Ozzi alizungumza hivyo baada ya kupewa nafasi ya kuchangia hoja juu ya nini kifanyie ili kumuokoa Duchani

    ”nikweli usemavyo Binti yangu Ozzi lakini tulitaka kufanya kitu pasipo kufikiria hata hivyo hatujachelewa tunaweza kusahihisha makosa yetu"

    Baba yake Ozzi mzee

    Makanga alizungumza hivyo

    ”unamaamisha kitu gani baba kusema hatujachelewa?"

    ”namaanisha ya kwamba kuwa juu ya hili swala tunaweza tukamtumia Ducha kwenda kumuokoa baba yake.

    Kama sikosei binti yangu Ozzi ni mmoja kati ya marafiki zake Ducha sasa kwanini tusiitumie nafasi hii

    Kumteka kiakili?"

    Alizidi kuzungumza mzee Makanga akatoa kichupa fulani hivi na kumkabidhi Binti yake

    “nikitu gani hiki?"

    Ozzi aliuliza baada kukipokea kile kichupa

    ”usiulize kitu gani unachotakiwa kufanya kwasasa ni kwenda kumnywesha Ducha hicho kinywaji

    ”nawezaje kwenda kufanya jambo ambalo sijui kama lina faida kwangu au ni hasara kwa upande wetu. Ni vyema ukaniweka wazi"

    Ozzi akang'ang'ania kufahamishwa kwanza

    ”sawa binti yangu kwanza kabisa naomba ufahamu ya kwamba ndani ya hiko kichupa kuna Kipapatio cha Nani? Ni dawa mujarabu ya kumpumbaza na kummiliki kiumbe yoyote yule yani ukimnywesha tu atakuwa chini ya tawala yako utaweza kumtumia vile utakavyo"

    Mzee Makanga alitoa ufafanuzi juu yakile kilichomo ndani ya kile kichupa Majini wote walikenua meno ya furaha kwa matumaini ya kwamba mda si mrefu Ducha atakuwa wao.

    “ohoo sawa nimeweza kukuelewa ewe baba yangu lakini ningeomba nipewe muda kidogo juu ya kuikamirisha hii kazi. Maana sio kitu rahisi kama mfikiriavyo’’

    Ozzi alizungumza hivyo akapatiwa na maelekezo mengine pale kisha Ozzi akaaga na kuondoka zake wala hakusema ni mda wa siku ngapi atakuwa tayari kuikamirisha hiyo kazi. Alipotoweka pale akafunga safari moja kwa moja mpaka Duniani akafikia sehemu moja hivi yenye njia panda akasimama katikati ya njia hiyo alikaza macho yake ya kijini kuangalia kushoto na kulia

    “hii dawa inaitwa Kipapatio cha nani? Mmh mbona kama sielewi inamaana gani kuitwa hivi? Heti nikamnyweshe kipenzi changu Ducha, hapana siwezi kumfanyia kitu kama hiki isijekuwa ikawa ni plani moja wapo ya kutaka kumuangamiza Mwanaume nimpendae katika maisha yangu mmh kwanza inawezekana vipi Ducha kuweza kupambana na ukoo wa Mzee Ibnuwas wakati Chinoge bado yupo na vipi yule Ninja Ice? Ehee nishapata wazo kwanini hii dawa nisiende kumnywesha Chinoge ili nione kitatokea kitu gani juu yake? Kwanza hata akifa sio mbaya kitu kingine cha kujiuliza hapa je nitawezaje kumfikia kiumbe hatari kama Chinoge?’’

    Binti Ozzi alijiuliza maswali mengi pamoja na kuwaza na kuwazua mwishoe akapata jawabu la majibu yake kuwa Chinoge yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na binti ajulikanae kwajina la Salome baada kufahamu hilo akakenua meno ya furaha na kuona kazi yake imekuwa nyepesi

    ************

    Siku ya siku hiyo bwana mdogo Ducha alikuwa maeneo ya shule ya msingi Mbezi Beach akiangalia mpira

    “oyaa wee dogo hutaki kucheza?’’

    “mimi au?’’

    “ndiyo wewe hapo’’

    “nataka lakini sina jezi’’

    “wee vua fulana hiyo kuhusu Jezi utapata kwani unacheza namba ngapi?’’

    “namba saba’’

    Basi Ducha akavua fulana na kuiweka pembeni akapatiwa Jezi namba saba mgongoni

    “oyaa refa tunataka kufanya sabu’’

    Yule jamaa aliyemtaka Ducha acheze akapaza sauti huku akipunga mikono juu kwakuwa mpira ulikuwa wa kurushwa sabu ikafanyika mtoto aliyetolewa alikuwa kachukia kishezi

    “yani Mwalimu unanitoa mimi super star sio na kumuingiza yule Mkurungwa sijui umemuokotea wapi huko”

    Yule mtoto alizungumza kwa udadisi

    “una ustaa gani wewe zaidi ya kuleta ubishoo tu yani wewe na goli unakosa mpuuzi mmoja wewe embu angalia vyenga vile kudadeki’’

    Mwalimu wa vijana wale alizungumza hivyo huku akitumbua mimacho kumuangalia Ducha aliyekuwa akichanja mbuga na mpira kufika sehemu akatisha kama anapiga shuti ajabu akatoa pasi ya kisigino aliyepasiwa naye hakufanya makosa akaachia zinga la shuti mpaka goli watu wewe kuingia kwa Ducha mpira ulichangamka balaa

    “mwalimu kwani yule mtoto anaitwa nani?’’

    Kuna mtoto alitoka mbio nnje na kuja kuulizia jina la Ducha Mwalimu wake kwanza akakuna kichwa maana hata yeye hamjui

    ”anaitwa Ducha Duchani’’

    Jibu likatoka kwa Madebe aliyefika hapo naye kuangalia mechi hiyo ya mchangani baina ya watoto watokao Tegeta na hao wa Mbezi Beach kabra ya Ducha kuingia Tegeta walikuwa wanaongoza kwa goli tatu kwa moja sasa alipoingia Ducha ubao ukabadirika ikawa Tano kwa zile tatu

    “Duchaaa huku huku Ducha’’

    Basi walipolifahamu jina lake ukawa ni mwendo wa kuomba pasi tu uwanja mzima Ducha Duchaa

    “mwalimu mbona yule mtoto akatiki wala hakabiki?’’

    “akatiki kivipi inamaana umekuja kucheza mpira au kukata wenzako? Embu acha uzembe wako unamuachia anakupita kizembe pale yani misifa yote ile niliyokuwa nakupatia kuwa wewe ndiyo beki wangu bora kwenye timu hii ajabu leo hii unakuja kupigwa matobo na kuvishwa mikanzu unajiabisha kijana’’

    “haya basi tufanye mi sio beki bora aingie umuonae beki bora mi nakwambia yule mtoto akabiki wala hakatiki’’

    Kuonyesha kuwa kachukia akavua Jezi yenyewe na kuitupa chini wakati huku mpira ukiendelea hapa tunamuona bibie Salome akiandaa chakula muda kidogo akawasili Binti Ozzi kwenye muonekano ambao hawezi kuonekana kwa macho ya kawaida akapiga hatua kadhaa mpaka pale jikoni akakitoa kile kichupa na kuimimina ile dawa kwenye jagi ambalo ndani yake kulikuwa na juisi alishafahamu kuwa hiko kinywaji kimeandaliwa spesho kwaajili ya Chinoge baada kufanya yake akaitikisa kwa kuichanganya sawa Masikini ya Mungu Salome wala hakufahamu chochote kile muda kidogo kila kitu kilikuwa tayari chakula kilishaandaliwa mezani bibie akaingia Chumbani kwenda kumuamsha kipenzi chake

    “baby hamka bwana chakula tayari’’

    Salome alizungumza kwa kudeka Chinoge akaamka na kumkisi mpenzi wake wakaongozana na kuelekea sebureni kitu cha kwanza alichokifanya Salome ni kumimina Juisi kwenye glasi na kumnywesha funda kadhaa kipenzi chake hata hazikupita dakika mbili tokea ameze ile juisi Chinoge alianza kujiskia vibaya alijishika kichwani na kubana meno

    “vipi tena mbona hivyo?’’

    Salome aliuliza kwa uwoga

    “yani Madebe wewe wa kunipiga mimi kweli wakati mi nilikushika kwa niya ya kutaka kukuzuia ili usiendelee kupigana,,,

    Ilikuwa ni kumbukumbu ya tukio la Dada yake Chinoge alipopigwa kibao cha nguvu na Madebe kule Uwanjani

    Ni moja kati ya kumbukumbu zilizoweza kupita kichwani mwa Chinoge kumbukumbu ambayo ikafatiwa naile siku ya yeye kuchomwa kisu na Ducha akakumbuka alivyopigwa na bibie Cynthia yani Bwana mkubwa Chinoge alikumbuka mambo mengi mabaya yaliyowahi kutokea nyuma pasipo yeye kuchukua hatua

    “baby vipi tena kichwa kinakuuma au?’’

    Pasipo kujibu lile swali la mpenzi wake Chinoge akasimama akatembea kuelekea chumbani hakupiga hata hatua mbili akadondoka chini chali na kuwa kimya Salome alipiga kelele kwa kuchanganyikiwa







    _____________

    “yani Madebe wewe wa kunipiga mimi kweli wakati mi nilikushika kwa niya ya kutaka kukuzuia ili usiendelee kupigana,,,

    Ilikuwa ni kumbukumbu ya tukio la Dada yake Chinoge alipopigwa kibao cha nguvu na Madebe kule Uwanjani

    Ni moja kati ya kumbukumbu zilizoweza kupita kichwani mwa Chinoge kumbukumbu ambayo ikafatiwa naile siku ya yeye kuchomwa kisu na Ducha akakumbuka alivyopigwa na bibie Cynthia yani Bwana mkubwa Chinoge alikumbuka mambo mengi mabaya yaliyowahi kutokea nyuma pasipo yeye kuchukua hatua

    “baby vipi tena kichwa kinakuuma au?’’

    Pasipo kujibu lile swali la mpenzi wake Chinoge akasimama akatembea kuelekea chumbani hakupiga hata hatua mbili akadondoka chini chali na kuwa kimya Salome alipiga kelele kwa kuchanganyikiwa



    Songa nayo

    Sasa



    “wee Salome nini tena kimemkuta mwenzako?"

    Lilikuwa ni swali kutoka kwa mama mwenye nyumba aliyeingia chumbani humo akiwa kaongozana na baadhi ya majirani

    “mi sijui mamaa"

    ”embu pisha kwanza"

    Mama mwenye nyumba akamtaka Salome akae pembeni alianza kumkagua Chinoge kwa kusikilizia mapigo yake ya moyo akamshika kiganja cha mkono

    ”nenda kalete maji"

    Akaomba aletewe maji yalipoletwa akayapokea na kumnyunyuzia Chinoge kichwani kisha akamnawisha usoni dakika si nyingi bwana mkubwa Chinoge alizinduka akapiga chafya mfurulizo

    ”pole sana baba yangu"

    Alipewa pole na mama mwenye nyumba

    ”asante"

    Chinoge aliitikia ile pole akanyanyuka na kwenda kukaa kwenye sofa muda kidogo Mama mwenye nyumba na wale wapangaji waliaga baada ya kujiridhisha kuwa mgonjwa Yuko sawa bin sawiya pale sebureni wakabaki wapenzi wawili

    ”mke wangu kipenzi unaweza ukaenda kuendelea na shukhuri zako nyingine acha mi nipumzike kwasasa"

    ”unapumzikaje sasa wakati chakula chenyewe ujala?"

    ”ohoo kumbe nilikuwa sijala haya fanya unipakulie nile"

    Chinoge alizungumza kwa furaha na kumfanya Salome atabasamu basi chakula kikapakuliwa

    ”mmh hiyo juisi siitaki tena"

    ”haaa kwanini tena kipenzi changu?"

    Salome aliuliza kwa mshangao

    “au nimekosea kuitengeneza?"

    Salome aliuliza huku akitaka kunywa yeye Chinoge akafanya haraka kumpokonya ile glasi juisi yenyewe yote akaimimina kwenye maji

    ”baby Sasa mbona unafanya hivyo? Jamani juisi yangu"

    Salome alizungumza kwa kunung'unika

    “nikuulize kitu kipenzi?"

    “staki"

    “basi kama utaki"

    “ndiyo Staki wee utaimwagaje juisi yote ile kama ulikuwa huitaki si ungesema ningeenda kumpa Mama Tabu"

    “kwani tatizo liko wapi kipenzi?"

    Chinoge akauliza haliyakuwa akinyanyuka na kuelekea chumbani

    ”unaenda wapi sasa?"

    ”kulala"

    ”inamaana hata kula umesusa?"

    Chinoge wala hakutaka kuendelea kuzungumza akaingia zake Chumbani japokuwa alionekana kujikaza kutokana nakile kinacho msumbua kichwani kwake binafsi hakuwa sawa kabisa

    Salome alishindwa kuendelea kula kile chakula haliyakuwa yuko peke yake naye akanyanyuka na kuelekea chumbani

    “baby nisamehe basi kama nimekuuzi"

    Salome aliomba msamaha akajilaza kifuani mwa Chinoge alipojilaza tu! Chinoge akaupitisha mkono wake Shingoni mwa Salome palepale Bibie alinyong'onyea akapitiwa na usingizi mzito bwana mkubwa akaitumia nafasi hiyo kutoweka

    Tukirudi huku uwanjani mpira ulikuwa tayari umeshaisha kulikuwa na shamra shamra za kushangilia ushindi wa kishindo walioupata unaweza kusema ni Come back ya maana kutoka goli tatu moja mpaka kushinda Saba kwa nne si kitu kidogo

    ”Ducha wee noma aisee unacheza kama Ronaldo unapiga vyenga kama Messi"

    Basi kila mmoja alitoa pongezi kwa Ducha

    Basi Ducha alivimba mbichwa huo kutokana na kumwagiwa sifa kemu kemu za kufananishwa na Wacheza soka mahiri hapa duniani

    “sasa kijana uwe unakujaga mazoezini"

    “sawa mkuu nitakuwa nafika bila kukosa"

    Ducha akaitikia

    “khaa yule jamaa vipi mbona kafikia kumpiga refa?"

    Ilikuwa ni kauli kutoka kwa mtoto mmoja wapo aliyeweza kushuhudia refa aliyechezesha mechi hiyo akichezea kichapo kutoka kwa mtu ambaye usoni alikuwa kavaa Barakoa kivazi ambacho kimeshika hatamu kuvaliwa duniani baada Gonjwa hatari la Corona kuingia ile kauli ikawafanya wote

    Wageuka na kuangalia songombingo hiyo nikweli Refa alikuwa akichezea vitasa japokuwa alionekana kujaribu kurudisha mashambulizi lakini mbele ya mtu yule hakuweza kuambulia kitu

    ”oyaa wee jamaa vipi mbona unatupigia mtu wetu?"

    Lilikuwa ni swali kutoka kwa mmoja kati ya vijana mashababi kutokea timu hiyo ya Mbezi Beach swali likajibiwa kwa kijana yule kutandikwa ngumi moja tu iliyomfanya apepesuke na kujibamiza kwenye mti kama haitoshi akaongezewa zinga la teke Kama sio Madebe kuwahi kumdaka jamaa angedondokea Nondo ambazo zilikuwa zimepigiliwa zege

    “kaka mkubwa embu mshuhurikie huyo"

    Madebe akatakiwa kumdhibiti yule jamaa naye alimsogelea kwa dharau kitendo cha kumsogelea kiliweza kumkosti kwani

    Jamaa alichumpa kwa kulibetua jiwe kubwa kiasi na kulipiga teke likatua usoni mwa Madebe na kumpasua Damu nyingi zilimtiririka

    Ducha akajiandaa kuingilia maana aliona huyu mtu anatisha ile Barakoa si ikavuliwa

    Mtu mwenyewe hakuwa mwingine bali ni bwana mkubwa Chinoge

    Si Ducha wala Madebe wote walishtuka baada kuona muonekano wa Chinoge umebadirika kwanza ana Meno mawili marefu utasema reki

    Huku macho yake yakiwa meusi tii yakifuka moshi

    “kakaa tukimbie"

    Ducha alipaza sauti akimtaka Madebe wakimbie binafsi alishaweza kufahamu kuwa Mwalimu wake kabadirishwa kiakili na pale alipo

    Yupo kisasi zaidi si vinginevyo kuonyesha msisitizo Ducha alimshika mkono Madebe na kuanza kumvuta lakini Madebe hakuwa tayari kukimbia kisa tu Chinoge wakati yeye ni Komando wa kutumainiwa jamii itamchukuliaje iwapo atakimbia huku akiacha raia wakiuwawa

    Bwana mkubwa Chinoge Alikuwa ameshachafukwa alimfata kwa kasi yule refa ikawa kufumba na kufumbua mtu kuzungurushwa kichwa akadondoka chini puuh

    Madebe akatoa kitambaa na kujifunga sehemu yenye jeraha

    Hata ngumi hakujiandaa kukunja alishtukia akipigwa na kitu kizito nyuma ya uti wa mgongo ilikuwa ni Nyundo iliyokuja kwa kasi Madebe alipepesuka huku akitema Damu kule kupepesuka aliongezewa na mateke ya Dabodabo

    “kakaa,,"

    Sauti ya bibie Mariam ilisikika ikiita hivyo huku akija mbiombio na kumfikia kumlalia Madebe aliyekuwa kalala chini akiugulia maumivu alifanya hivyo kama kumkinga maana Chinoge alishaipa ishara Nyundo yake ikite Shingoni mwa Madebe

    Kule Mariam kumlalia mumewe kwa juu Nyundo yenyewe ikasita kufanya hivyo Ducha alionekana amesimama kwa mbaali akikodoa macho tu!

    Chinoge akatoweka





    ---

    Episode (37)

    _____________

    Hata ngumi hakujiandaa kukunja alishtukia akipigwa na kitu kizito nyuma ya uti wa mgongo ilikuwa ni Nyundo iliyokuja kwa kasi Madebe alipepesuka huku akitema Damu kule kupepesuka aliongezewa na mateke ya Dabodabo

    “kakaa,,"

    Sauti ya bibie Mariam ilisikika ikiita hivyo huku akija mbiombio na kumfikia kumlalia Madebe aliyekuwa kalala chini akiugulia maumivu alifanya hivyo kama kumkinga maana Chinoge alishaipa ishara Nyundo yake ikite Shingoni mwa Madebe

    Kule Mariam kumlalia mumewe kwa juu Nyundo yenyewe ikasita kufanya hivyo Ducha alionekana amesimama kwa mbaali akikodoa macho tu!

    Chinoge akatoweka



    Songa nayo

    Sasa



    “jamani mume wangu hiii,, msaidienii"

    Mariam alilia kwa sauti huku akimtikisa mumewe aliyeonekana kuanza kupumua kwa shida watu walishajazana pale kuna wale waliokuwa wameuzunguka mwili wa Marehemu wengine wakawa wamekaa pembeni wakiulizana na kuzungumza hili na lile

    “hatimae leo hii kaka mkubwa Madebe kakutana na kisingi cha mpingo. Yani kapigika kama vile mtoto"

    ”sio kisiki cha mpingo yule jamaa aliyekutana naye ni Jini"

    ”jini wapi wakati jamaa anaonekana wa kawaida tu! Au ulichanganyikiwa naile Barakoa yenye chata la mzimu?"

    “sasa Binadamu gani anaweza kulibetua jiwe kubwa Kama lile Kisha akalipiga shuti kama vile mpira pasipo yeye kuumia?"

    “usikute jamaa atakuwa kavaa viatu vya chuma"

    ”sio viatu vya chuma kudadeki yule ni Jini tu kitu kingine ile Nyundo ilitokea wapi?"

    “khaa inamaana jamaa Alikuwa kashika Nyundo sio?"

    “sio kuishika yani ile Nyundo sijui ilitokea wapi yani iliibuka ghafla tu! Na kufikia kumshambulia Brother pale yani mi nilivyoiona tu ile kitu ilibaki kidogo nijikojolee maana inatisha"

    “Mmh wewe isijekuwa unatusimulia movie la Thor hapa yule jamaa mwenye Nyundo kubwa hivi?"

    “wee kweli fala tulichokiona hapa mwanangu sio movie ni uharisia kabisa yani live bika chenga ningekuwa na Simu yangu kubwa ningeshot video sema nimeiacha nyumbani kwenye chaji.

    ”kwakweli mi hata siamini"

    ”basi usiamini kwani umelazimishwa"

    Basi pale kila mmoja alikuwa anazungumza la kwake

    “mi nilishawahi kumwambia Akida maswala ya kujifanya kimbelembele kuchezesha mechi za mchangangani sio kitu kizuri ipo siku huu mchezo utakuja kumtokea puani.

    Mwenzangu wala hakutaka kunisikiliza Angalia sasa umauti umemfika"

    Alizungumza kwa sauti ya majonzi mmoja kati ya ndugu wa yule kijana aliyeuwawa akili yake iliwaza kuwa mtu aliyemuua ndugu yake ni mmoja kutoka kwenye timu iliyofungwa hawakufahamu kama Muuwaji aliwasili hapo akiwa na mambo yake.

    ”baby fumbua macho yako hiiiii"

    Mariam aliendelea kulia muda kidogo gari za kijeshi zipatazo tatu ziliweza kuwasili pale wakashuka wazee wakazi wakiwa na mitutu kitendo pasipo kuchelewa walimbeba mkuu wao na kumpakiza kwenye Gari

    Mariam alipotaka kupakia akazuiwa Gari zikaondoka kwa kasi ndugu jamaa na marafiki wa Marehemu nao wakafanya taratibu za kuubeba mwili wa yule kijana wao

    Mariam alirejea nyumbani kwake haliyakuwa akiwa kachanganyikiwa walinzi walijaribu kumtuliza kwa kumbembeleza pamoja na kumtoa hofu kitendo cha mama yao kulia kiliwauma Sana kina

    Ahmad walimuangalia mama yao kwa huruma alichokifanya Kitwana mtoto mdogo kabisa ni kuingia jikoni akatoka haliyakua kashika kisu mkononi

    “wee Kitwana unaenda wapi sasa huko? Embu rudi huku"

    Mariam alipaza sauti kumwita mwanaye

    “siwezi kurudi Mimi naenda kumchinja chinja mtu aliyempiga Baba yangu haiwezekani baba angu apigwe hiiiiiii haaaa"

    Kitwana alizungumza hivyo huku akiangua kilio

    “Ducha embu nenda kamrudishe Kitwana hapa!"

    Ducha alikuwa kaegemea ukuta uso kaunyanyua kuangalia mawinguni alishtuliwa na sauti ya Mariam akimtaka akamzuie Kitwana Ducha pasipo kuchelewa akafanya hivyo kwa kumfata Kitwana

    ”Duta usinisogelee nitakuchinja kudadeki zako nasema usinisogelee "

    Kitwana alipiga kelele kumwambia Ducha huku akimnyooshea kile kisu siku zote inajurikana Kitwana akishika silaha ni vigumu kumzuia hasa awapo na hasira mtu pekee anaemuwezea ni Baba yake Sasa kutokana na Mariam kusimuliwa kuwa Ducha ana talenti kubwa ya mapigano ndipo akataka kuiona moja ya hiyo Talenti je ataweza kumzuia Kitwana

    Maana kuna siku yeye mwenyewe alichomwa na Bisibisi siku hiyo Kitwana sijui nani alikuwa kamtibua huko mtaani akarudi nyumbani kwao na kubeba Bisibisi alipojaribu kumzuia alijituta hata kumzaa bahati nzuri Madebe alikuwepo.

    “Bucha ntakuua hiyaaa"

    Kitwana alipiga kelele huku akitaka kumchoma kisu cha Tumbo Ducha aliyezunguka kwa kasi na kuukita mkono wa Kitwana kisu kikadondoka chini Kitwana akashtukia akipigwa zinga la kofi lilimpata vyema shavuni

    “yalaaa mama Duta kanipigaa hiiiiiiii"

    Kitwana alilia huku akirejea kwa mama yake akakaa chini kuna mda anamwita Duta mara Bucha ili mradi tu awe kapatia

    Mariam alimuangalia Ducha haliyakuwa akitabasamu

    ********

    Bwana mkubwa Duchani bado alikuwa amefungiwa kwenye kichumba kidogo chenye ubaridi wakutisha ndani yake aliugulia maumivu pamoja na kupiga kelele za kuomba msaada lakini hakuna kiumbe chochote kilichoweza kumsikiliza

    Walinzi wa Ibnuwas walikuwa wametanda Kila kona kwa kukizunguka chumba hicho cha mateso Duchani alibaki akihesabu siku za yeye kutoweka ulimwenguni

    Alijiuliza maswali mengi Sana kuhusu Ukoo wake wenye nguvu na uwezo wa kutosha

    Kwanini wamemtelekeza kwa kipindi chote hicho tokea atekwe hakuna jitihada zozote zinazofanyika kwa yeye kuja kuokolewa? Kama kulia alilia kama kelele alipiga mpaka sauti imemkauka

    Mwisho akapata jibu huwenda wamemtelekeza kisa kuzaa na Mwanamke wa kibinadamu kibaya zaidi nnje ya ndoa

    Huku nnje shukhuri zilikuwa zikiendelea Kama kawaida

    Hata upepo ulipoanza kuvuma kutokea upande wa Kaskazini hakuna hata Jini mmoja aliyekuwa na habari maana walifahamu ni mtu wao.

    walikuja kushtuka baada bwana mkubwa Chinoge kuibuka na kuanza kushambulia walinzi waliokuwa wanalinda upande huo

    “vipi tena huyu si mwenzetu mbona amekuja kwa shari?"

    Baadhi ya majini wanaomfahamu Chinoge waliulizana kwa wakati

    Wakajiweka tayari kukabiliana naye

    “Hafidhi mjukuu wangu unafanya nini wewee? Mbona unaangamiza watu wako?"

    Bibi mtu alienda kuitwa alipowasili pale hakuweza kuamini macho yake baada kumuona Chinoge akiwaangamiza watu wake alipaza sauti kuuliza

    Chinoge alikuwa kawakaba majini wawili akawanyongelea mbali akapiga hatua kumfata Bibi yake

    Ghafla alishtukia akirudishwa nyuma baada kupigwa kifuani na kijinga cha Moto Ibnuwas naye alishawasili akamkinga Mama yake

    Chinoge alirudi nyuma mita kadhaa akajipangusa kifuani akanyoosha mikono yote miwili

    Ibnuwas naye alijikuta akirushwa juu

    Alipotua chini hakuwa na Miguu

    Nyundo zilishafanya kazi

    Zikarudi mikononi mwake yani nyundo zake unaweza kusema ni Automatiki akinyoosha mkono mmoja inakuja moja miwili zinakuja zote

    Ibnuwas alikuwa kalala chini haliyakuwa akitapatapa hakuweza kusimama kutokana na Miguu yake kusambaratishwa vipande vipande

    “Hafidh,,,,

    Bibi mtu sijui alikuwa anataka kuzungumza kitu gani alishtukia akipigwa na Nyundo ya tumbo iliyomfanya ashindwe kuzungumza Akajikaza na kuanza kurusha makombola ya Moto kumuelekezea Chinoge aliyekuwa akizunguka kwa kasi na kufanya yale makombola yazimwe na ule upepo

    Chinoge akachumpa kwenda juu

    Akatua chini kishindo kizito kilitokea na kumfanya Bibi yake apeperushwe juu kama vile kishada

    Nyundo ikaenda kumshusha kwa kukita kifuani

    Masikini wee Bibi wa watu alifikia kujibamiza sehemu mbaya

    Alibaki kuhema juu juu.

    Nyundo nyingine ikataka kukita kichwani Chinoge akawahi kuizuia kwa kuidaka

    “muiuwe huyo unasubilia nini Sasa?"

    Sauti ya Ozzi ilisikika ikimwambia hivyo

    ”hapana mjukuu wangu usimsikilize huyo binti wa Kishetani Hafidhi kumbuka bila mimi leo hii usingekuwa na uwezo huo tafadhari usiniuwe"

    Bibi mtu alijikaza kuzungumza hivyo

    Chinoge akaiachia ile Nyundo kwa kuielekeza kwenye kile kichumba alichofungiwa Duchani ikakisambalatisha kwa kukivunja vunja akapiga hatua kumsogelea Duchani aliyekuwa kajikunyata kama vile kifaranga cha kuku kilichonyeshewa na Vua

    Alipomfikia akamshika na kutoweka naye alipotoweka Malkia Kaisi akiwa na Jeshi lake wakawasili





    _____________

    Masikini wee Bibi wa watu alifikia kujibamiza sehemu mbaya

    Alibaki kuhema juu juu.

    Nyundo nyingine ikataka kukita kichwani Chinoge akawahi kuizuia kwa kuidaka

    “muiuwe huyo unasubilia nini Sasa?"

    Sauti ya Ozzi ilisikika ikimwambia hivyo

    ”hapana mjukuu wangu usimsikilize huyo binti wa Kishetani Hafidhi kumbuka bila mimi leo hii usingekuwa na uwezo huo tafadhari usiniuwe"

    Bibi mtu alijikaza kuzungumza hivyo

    Chinoge akaiachia ile Nyundo kwa kuielekeza kwenye kile kichumba alichofungiwa Duchani ikakisambalatisha kwa kukivunja vunja akapiga hatua kumsogelea Duchani aliyekuwa kajikunyata kama vile kifaranga cha kuku kilichonyeshewa na Vua

    Alipomfikia akamshika na kutoweka naye alipotoweka Malkia Kaisi akiwa na Jeshi lake wakawasili



    Songa nayo

    Sasa



    Miili ya majini ilikuwa imelaliana hovyo kuna wale waliopoteza maisha na waliojeruhiwa kelele nyingi zilisikika kutoka kwa majini ambao walikuwa wamejeruhiwa walipiga kelele za kuomba msaada Malkia Kaisi akiwa na jeshi lake waliangaza macho huku na kule yote ilikuwa ni katika kumtafuta Bibi mtu kwa maana yeye ndiye wa umuhimu kuliko majini wote

    ”mukuu mbibi muhuyu huku"

    Mmoja kati ya majini alipaza sauti kumwambia Malkia Kaisi akimaanisha kuwa mkuu Bibi huyu huku

    Malkia Kaisi alikimbilia mbio mbio ile sehemu nikweli Bibi mtu alikuwa kalala chini haliyakuwa akiwa hoi taabani

    “ohoo Mungu wangu"

    Malkia Kaisi alitamka hivyo haliyakuwa akiinama kwaajili ya kumnyanyua Bibi yule kwake nikama mama kwa maana Ibnuwas na Kaisi ni watoto wa Mamkubwa na Mdogo Yani Ibnuwas mama yake ni Mkubwa

    Wakati anamnyanyua mara ikaonekana taswila ya Ninja Ice akitabasamu

    Bibi mtu alipata nguvu ghafla za kusimama mwenyewe pasipo kusaidiwa na mtu akakaza macho kuiangalia ile taswila iliyokuwa juu mawinguni

    “wee mwehu unacheka cheka kitu gani? Umefurahi kuona alichotufanyia mpuuzi mwenzako ehee washenzi kabisa nyie"

    Bibi mtu alizungumza kwa hasira huku akinyooshea kidole ile taswila.

    Ninja Ice alizidi kutabasamu mwisho akaangua kicheko kisichokuwa na sauti alionekana akicheka mbavu hana

    ”wee cheka tu! Embu muangalie baba yako tayari kashakuwa kilema hana Miguu tena"

    Bibi mtu aliendelea kuzungumza akanyoosha mkono kumuonyeshea Ibnuwas aliyekuwa kajikunyata pale chini

    Malkia Kaisi alishtuka pindi alipoweza kumuona kaka yake

    “kakaaa,,jamani kaka yanguu"

    Alimkimbilia na kumuinamia ajabu ile taswila wala haikujari ndiyo kwanza iliendelea kucheka halafu ikatoweka ilipotoweka mara akaonekana yule binti ambaye alimpatia Mzee wa Nyapu kipawa cha Uninja Ice akija kwa mwendo wa madaha yani tembea yake unaweza ukasema akanyagi chini.

    Unajua mpaka sasa huyu binti haijurikani katokea sayari ipi sema muonekana wake ni kama Malaika

    Alipowasili pale Bibi mtu na wafuwasi wake wote walitoa heshima kwa kuinamisha nyuso zao chini naye akafanya hivyo kama ishara ya kuitikia

    Kisha akanyoosha mkono kuelekezea sehemu ambayo kulikuwa na mifupa pamoja na nyama nyama za Miguu ya Ibnuwas aliponyoosha tu Upepo mkali ulianza kuvuma pale ile mifupa na zile nyama nyama zilianza kujikusanya na kujiunga ikaenda kujipachika kwenye magoti ya Ibnuwas na kujiunga

    Ibnuwas hakuweza kuamini aisee kama amerudishiwa miguu yake

    ”unaweza ukasimama sasa"

    Yule binti alizungumza hivyo huku akipaa juu

    Alipofika sentimita kadhaa kule juu akapuliza upepo kuja chini ikawa kufumba na kufumbua majini wote waliokuwa wameuwawa na kujeruhiwa kuwa wazima

    Si Bibi wala Malkia Kaisi aliyeweza kuamini hakika binti yule alionekana kuwa na uwezo wa Ajabu kupita kiasi

    ”khaa umewezaje kufanya yote haya?

    Ibnuwas alimuuliza yule binti

    Ambaye alibaki kutabasamu pasipo kujibu swali

    “yani Chinoge wa kutushambulia sisi kweli mtoto niliyemkuza na kumtukuza kwakila kitu!"

    ”hapana usizungumze hivyo embu chekecha akili yako na uwezo wako uweze kubaini kitu juu ya mjukuu wako"

    Yule binti alizungumza hivyo akimtaka Bibi asianze kumrahumu Chinoge pasipo kutafakari

    Bibi mtu akatumia uwezo wake wa kijini

    “yani,yani huu ukoo wa Duchani sijui ukoje wameiteka akili ya mjukuu wangu pumbavu kabisa hawa"

    Bibi mtu alizungumza kwa jazba baada ya kubaini kile ambacho alifanyiwa Chinoge taswila ya Video ikaja mbele yao ikawa inaonyesha ile siku ya kikao ambacho Binti Ozzi alikabidhiwa ile Dawa mpaka alipobadirisha maamuzi na kwenda kumpatia Chinoge

    Kila mmoja alisikitika

    ”kwanini wameamua kumfanyia hivi?"

    Ibnuwas aliuliza swali ambalo hakuna aliyeweza kumjibu

    “kitu cha kujiuliza kwasasa ni nani atakaeweza kumzuia huyu kichaa?"

    “hakuna atakaeweza kumzuia kumbukeni ya kwamba Chinoge anajeshi kubwa la Masokwe ambao hawafi wala kudhurika na silaha ya aina yoyote ile.

    Tukiachana na zile silaha zake hata Ninja Ice asingeweza kumdhibiti si mnakumbuka Ninja Ice aliwahi kupigwa kwenye mpambano wao mpaka Mimi nilikuja kumuongezea uwezo?"

    “ndiyo nakumbuka"

    Bibi mtu aliitikia niule mpambano ambao yeye aliingilia kati na kuwatenganisha

    “je wewe huwezi ukamdhibiti?"

    Malkia Kaisi alimuuliza yule binti

    “hapana siwezi"

    Binti akakataa

    “kwanini Sasa wakati unaonekana unauwezo mkubwa kupita sisi"

    ”uwezo niliobarikiwa ni kutibia Viumbe wa aina yote kuwapa nguvu kitu nilichonyimwa ni kupigana tu! Siwezi na sitoweza kamwe"

    “sasa kama huna uwezo wa kupambana unajilinda vipi na Maadui zako watokeapo ghafla kutaka kukushambulia?"

    “ninao walinzi wenye nguvu na uwezo wa kutosha naweza kusema mmoja kati ya walinzi wangu ni zaidi ya Chinoge na Ninja Ice"

    “khaa Sasa kwanini usimtumie huyo kumdhibiti Chinoge?"

    ”je unataka mlinzi wangu auwawe?"

    “sasa atauwawa vipi wakati uwezo wake ni mkubwa?"

    ”hakuna kitu kama hicho. Chinoge kwasasa kawa ni Jiniasi asieweza kushikika Nyundo yake moja inauwezo wa kunisambalatisha Mimi na walinzi wangu wote"

    ”daah Sasa tutafanyaje aisee"

    ”sio mtafanyaje hapa njia ya kumdhibiti ni moja tu!"

    ”njia ipi hiyo?"

    (NYETO NYETONI)

    Binti alizungumza kauli moja tu! Akatoweka zake

    ”Nye,,,Nyeee,,,to"

    Ibnuwas alijaribu kulitamka hilo neno

    Bwana mkubwa Chinoge baada kutoweka na Duchani pale alimpeleka sehemu moja hivi ni sehemu ile ambayo Mwanzoni kabisa tuliona Ducha akifundishwa na Mwalimu wake wa awali aliyepoteza maisha baada ya kuwawa na Duchani. Sijui kwanini alimfikisha sehemu hiyo akamlaza juu ya mbao kubwa iliyoandaliwa kama kitanda halafu Chinoge akapiga mruzi wa kumwita yule Sokwe mwenye kutembea nakile kibuyu chenye dawa ya maajabu

    Ajabu zilipita dakika kama tano Sokwe hakuweza kutokea kitu ambacho kilimshangaza Sana Chinoge maana sio kawaida kutotokea ikabidi arudie kumwita licha ya kumwita kwa mara ya pili Sokwe hakutokea

    ”ohoo Shit!

    Akapiga mruzi mara ya tatu safari hii upepo mkali ulianza kuvuma si akaibuka Ducha mkononi akiwa kashika kile kibuyu

    Chinoge alimuangalia Ducha kwa jicho kali huku akinyoosha mkono ili apatiwe kibuyu hiko

    Ducha akapiga hatua za Tahadhari kumsogelea Chinoge akampatia kile kibuyu ambapo kilichukuliwa kama vile kinapokonywa

    Duchani akatakiwa kufumbua mdomo akanyweshwa ile Dawa haikuchukua sekunde hata kumi ilianza kufanya kazi ndani ya Dakika tatu Duchani alijishangaa kujiona yu mzima wa hafya

    ”bila Shaka kwasasa ushapona naomba uniulie yule"

    Chinoge alizungumza hivyo kumwambia Duchani akamtaka amuulie Ducha kitu ambacho kilimshtua Duchani

    ”khaa kwanini unataka nimuuwe Kijana wangu sipo tayari kufanya hivyo"

    Duchani alizungumza hivyo

    Alichokifanya Chinoge kilikuwa ni kitendo cha ghafla mno kwenda kumtandika zinga la teke Ducha aliyebimbilika na kwenda kujibamiza kwenye mawe makubwa

    Ducha akainuka kwa staili ya kuchenji muonekano wake maana alifahamu kuwa akizubaa atauwawa akawa katika umbo la Ninja Ice akazunguka kwa kasi kumfata Chinoge hata hakuweza kumfikia alijikuta akirushwa juu baada kutandikwa teke lingine

    Ambalo lilimuingia ile kisawasawa

    Akafatwa kulekule juu na kushikwa Shingoni akawa amekabwa kwa kuning'inizwa

    Akashushwa mpaka chini kwa kubamizwa kwenye mbao

    Duchani akaona ehee Kijana wake anaweza akauwawa mbele ya macho yake

    Akachumpa na kwenda kumvamia Chinoge akabimbilika naye alipokuja kumuachi Baba na mwana wakawa wamekunja ngumi kumzunguka Chinoge wakapeana Ishara ya kumshambulia

    Ducha alianza kuachia zile silaha zake za nyota hakuna hata Nyota moja iliyoweza kumfikia Chinoge maana Nyundo zake zilikuja kwa kasi na kuanza kuzizuia zile nyota

    Zikawa zinasambalatika

    Kwa mara nyingine Chinoge alichumpa na kwenda kumtandika Ducha teke la Shingo masikini Ducha alipepesuka kwa mawenge

    Nyundo ikaja kukita kwenye sikio la kushoto mawasiliano yakawa sio tena

    Maana aliona Dunia inazunguka

    Duchani alitumia uwezo wake kwa kumkumbatia Chinoge ili asiendelee kumshambulia Kijana wake

    “Ducha kimbia mwanangu"

    Alipiga kelele akimtaka Ducha akimbie huku akiwa kamshikilia Chinoge ile kisawa sawa kumbe ukimshika Chinoge Nyundo zake hazifanyi kazi zilikuwa zinaambaa ambaa tu!

    Ducha alikuwa kalala chini damu nyingi zilikuwa zinamtoka aliweza kushuhudia Baba yake akiuwawa kwa kung'olewa kichwa yani Chinoge alivyojitoa mikononi Mwa Duchani akakishika kichwa na kukizungusha kama haitoshi aliking'oa aisee

    Ducha alitetemeka kwa uwoga akatoweka





    _____________

    Nyundo ikaja kukita kwenye sikio la kushoto mawasiliano yakawa sio tena

    Maana aliona Dunia inazunguka

    Duchani alitumia uwezo wake kwa kumkumbatia Chinoge ili asiendelee kumshambulia Kijana wake

    “Ducha kimbia mwanangu"

    Alipiga kelele akimtaka Ducha akimbie huku akiwa kamshikilia Chinoge ile kisawa sawa kumbe ukimshika Chinoge Nyundo zake hazifanyi kazi zilikuwa zinaambaa ambaa tu!

    Ducha alikuwa kalala chini damu nyingi zilikuwa zinamtoka aliweza kushuhudia Baba yake akiuwawa kwa kung'olewa kichwa yani Chinoge alivyojitoa mikononi Mwa Duchani akakishika kichwa na kukizungusha kama haitoshi aliking'oa aisee

    Ducha alitetemeka kwa uwoga akatoweka



    Songa nayo

    Sasa



    “umefanya nini Ozzi ni upumbavu waaina gani ulioutenda binti yangu?"

    Mzee Makanga alizungumza huku akimnasa makofi ya nguvu binti yake kisha akaamuru Ozzi akamatwe na kwenda kufungiwa kwenye chumba cha mateso

    “babaa kwanini unantendea hivi mwanao?"

    Ozzi aliuliza huku akikukuruka ili aweze kujinasua kutoka mikononi mwa walinzi waliomkamata

    “Makanga embu achana na huyo binti yako siku zote maji yakimwagika hayazoleki Ozzi ni mtoto mdogo sana asieweza kutambua kile kilichopo mbele yake

    Kijana wetu Duchani amenyanyasika kupita kiasi ameuwawa kikatiri mwili wake umechezewa na kudharirishwa vya kutosha embu angalieni anachokifanya Chinoge hii sio haki kabisa,

    Chinoge amekuwa ni mshenzi wa washenzi ni unyama waina gani kamtendea Kijana wetu?"

    Mmoja kati ya wazee wa Ujinini alizungumza kwa hisia huku machozi yakimtiririka Majini wote walikaza macho yao kuangalia tukio zima la kuwawa kwa Duchani

    Alionekana Chinoge akikipiga danadana kichwa cha Duchani Kisha akawa anapasiana na Nyundo zake utasema watu watatu wanacheza kodroo walikichezea kile kichwa kisha Chinoge akakifata kiwiliwili cha Marehemu akafanya kukisimamisha ikawa wanakipiga kile kichwa kuelekezea kwenye kiwiliwili

    “wee Mshenzi kwanini unaufanyia hivyo mwili wa Kijana wangu? Ipo siku nitakuja kukuua kwa mkono wangu"

    Mzee Makanga alizungumza kwa uchungu vitendo alivyokuwa anavifanya Chinoge juu ya mwili ule ni unyama wa kupitiliza

    “kwasasa Chinoge hafai amekuwa ni kirusi chenye kuangamiza kila kiumbe kiitwacho Jini"

    Yule mzee alizungumza hivyo

    “kwanza samahanini Sana wazee wangu na ndugu zangu kwa hiki kilichoweza kutokea ila naomba nipatiwe nafasi ya mwisho ya kwenda kumuangamiza huyu Mshenzi"

    Ozzi alizungumza hivyo na kufanya Majini wote wamuangalie yeye

    ”hivi unadhani swala la kwenda kumuangamiza Chinoge ni sawa na kunywa damu ya paka embu nenda kampatie Matibabu Ducha maana naye haliyake ni mbaya

    Yule mzee alizungumza hivyo

    ”hali yake ni mbaya kivipi yani?"

    Ozzi aliuliza alichokifanya yule mzee ni kulirudisha lile tukio nyuma kidogo ndipo wakaweza kuona jinsi Chinoge akitaka kumuangamiza Ducha

    ”inamaana Chinoge amekuwa ni adui wakila mtu! Yani mpaka Ducha kamshambulia?"

    Mzee Makanga aliuliza kwa mshangao

    ”kama nilivyoweza kuelezea hapo awali kuwa Chinoge kwasasa anauwa na kushambulia kila kiumbe kiitwacho Jini kwake yeye ni adui hii yote tumesababisha sisi wenyewe na hatuna budi kupambana kwa pamoja

    Vinginevyo wote tutaangamia kama utitiri waunguzwapo kwa moto

    Twendeni tukaungane na wenzetu hii ni vita vitani.

    *********

    Siku mbili ziliweza kupita hali ya bwana mkubwa Madebe ilikuwa bado ni mbaya ikabidi asafirishwe kupelekwa nnje ya nchi

    Kwa upande wa Ducha naye hali haikuwa hali kabisa maana kuna muda akikaa hua atakohoa na kutapika damu kitu ambacho kilimuogopesha Sana bibie Mariam akafanya haraka kuwasiliana na Mwanaidi ambaye alifika na kumchukua mdogo wake

    Ducha akarudishwa nyumbani kwao hali yakuwa akiwa hoi taabani

    Siku moja Ducha akiwa chumbani kwake amejilaza kitandani akatembelewa na bibie Ozzi

    “pole sana kipenzi kwa yote yaliyokukuta"

    Pasipo kutoa salamu Ozzi alizungumza hivyo Ducha alikaza macho kumuangalia tu

    “pia nisamehe Mimi kwa maana ndiyo msababishaji wa yote haya"

    ”unamaanisha nini kuzungumza hivyo?"

    Ducha akauliza huku akijiziba mdomo ili asiweze kukohoa ikabidi Ozzi amsimulie kila kitu hata akumalizia kuzungumza alishtukia kitu kizito kikimpitia kwa hewa na kwenda kujibamiza ukutani kilikuwa ni kisturi kilichorushwa na Ducha

    ”nilijua ni jinsi gani utanichukia ndiyo maana nikatanguliza kuomba msamaha. Ducha nisamehe mimi"

    Ozzi alizungumza huku akipiga magoti na kukinga viganja vya mikono yake ni ishara ya kuomba msamaha

    Ducha alimuangalia Ozzie kwa ghadhabu

    ”inamaana huwezi hata kuzungumza

    Ducha nitamkie kauli yoyote ile ili niweze kuisikia tena sauti yako"

    Ozzie alizungumza kwa sauti yenye kuambatana na kwikwi

    Ducha alionekana kujikakamua ili aweze kuzungumza lakini wapi mwishoe damu zilianza kumchuruzika mdomoni na Puani kauli pekee aliyoitamka niile ya kumuuliza Ozzie unamaanisha nini kuzungumza hivyo kitendo cha Ducha kutapika Damu binti Ozzi akafanya haraka kwenda kumshika Ducha begani ikawa kufumba na kufumbua kutoweka naye

    Hapa tunamuona bwana mkubwa Chinoge akiwa amekaa chumbani kwake akichezea simu alionekana kuwa sawa bin sawia muda kidogo akawasili bibie Salome na kumpatia bahasha ambapo Chinoge aliipokea na kuifungua ndani ya ile bahasha kulikuwa na karatasi kadhaa

    Chinoge alizitupia macho kwa dakika kadhaa wakati huo Salome alikuwa kaichua simu ya Chinoge na kuanza kuperuzi

    ”mmh"

    Salome alisikika akighuna sijui aliona kitu gani kwenye simu

    “hivi baby mtu kama huyu utamsaidiaje yani kiushauri?"

    Salome aliuliza huku akimsogezea simu Chinoge ili aone kilichoandikwa

    ”subiri kwanza nimalizane na hizi Document

    Inamaana pale unapofanyia kazi kunavunjwa sio?"

    Alizungumza hivyo Chinoge kisha akauliza swali

    “ndiyo walivyosema kuwa pale lazima pavunjwe ili kupisha upanuzi wa barabara"

    ”na vipi kulipwa fidia?"

    “kuhusu swala la kulipwa fidia kwakweli sijajua tulichoambiwa kila mmoja aende Serikali ya mtaa akiwa na hizi karatasi"

    Salome alizungumza hivyo Basi Chinoge akaipokea ile simu na kuanza kuusoma ule ujumbe

    Naombeni msaada wenu ndugu Zanguni mimi ni binti Mwenye umri wa miaka kumi na Tisa. Mzaliwa wa Njombe nimezaliwa katika familia ya kimasikini sana

    Kutokana na umasikini wetu nimetaftiwa kazi za Ndani jijini Dar es Salaam maeneo ya Namanga mabosi wangu ni Wahindi kitu kilichonifanya niombe msaada kwenu ni kutokana na mateso na manyanyaso niyapatayo kutoka kwa mke wa Bosi wangu yani najitahidi sana kufanya kazi zangu lakini Mama akija analalamika na kusema nirudie tena kufua nguo zote kwa maana hazijatakata zinatoa harufu Mashine za kufulia zipo hataki nizitumie akidai mikono ninayo nikipika Chakula anakimwaga anaweza kumwaga ilimradi tu mimi nisipate mda wa kupumnzika pia anatuma tuma kitu hata kama kipo miguuni pake bado atakuita uche kazi yako uje umpe nikichelewa hata sekunde moja naangushiwa kipigo ananijeruhi kwa mikucha yake mirefu

    jambo ambalo linaukwaza sana moyo wangu na kunifanya nijutie kuzaliwa katika familia duni isiyo na uwezo pia kwa sasa sina Baba nna mama tu na mama yangu anaishi na Baba yangu wa kambo ambaye ni mkali alishawahi kunibaka ndio sababu ya mm kuja kufanya kazi za ndani

    lakin huku nako nateseka ila inanibidi kuvumilia yote maana sina pa kwenda

    Muda mwingine natumikishwa kingono pindi wanapokuja wageni wake wenye kunihitaji kimapenzi

    Nafosiwa kukizi haja zao??????????

    Post iliishia na emoji ya binti akilia

    Chinoge alikunja ndita







    _____________

    nizitumie akidai mikono ninayo nikipika Chakula anakimwaga anaweza kumwaga ilimradi tu mimi nisipate mda wa kupumnzika pia anatuma tuma kitu hata kama kipo miguuni pake bado atakuita uche kazi yako uje umpe nikichelewa hata sekunde moja naangushiwa kipigo ananijeruhi kwa mikucha yake mirefu

    jambo ambalo linaukwaza sana moyo wangu na kunifanya nijutie kuzaliwa katika familia duni isiyo na uwezo pia kwa sasa sina Baba nna mama tu na mama yangu anaishi na Baba yangu wa kambo ambaye ni mkali alishawahi kunibaka ndio sababu ya mm kuja kufanya kazi za ndani

    lakin huku nako nateseka ila inanibidi kuvumilia yote maana sina pa kwenda

    Muda mwingine natumikishwa kingono pindi wanapokuja wageni wake wenye kunihitaji kimapenzi

    Nafosiwa kukizi haja zao

    Post iliishia na emoji ya binti akilia

    Chinoge alikunja ndita



    Songa nayo

    Sasa



    “ehee baby mwenzako kuna kitu nimekikumbuka embu Subiri kwanza nakuja Sasa hivi"

    Salome alizungumza hivyo akasimama na kutoka nnje Chinoge bado alikuwa amekunja ndita kuonyesha ni jinsi gani kachukia

    ”jamani majirani uwiii Salome jamani umefanya nini?"

    Sauti ya mmoja kati ya wapangaji akilia huku akilitaja jina la Salome ndiyo iliyomshtua bwana mkubwa Chinoge akatoka chumbani mbiombio hakuweza kuamini macho yake baada kumuona Kipenzi chake kalala chini

    “kitu gani kimemtokea jamani embu pisheni"

    ”mi hata sijui maana nilikuwa zangu chumbani nikawa natoka ili nielekee msalani ile natokezea tu! Ukumbini ndiyo nikashtuka kumuona Salome akiwa kalala hapa halafu kulikuwa na mtu kamsimamia pembeni yake"

    Yule mpangaji alizungumza hivyo

    ”yuko wapi huyo mtu?"

    Mpangaji mwingine akauliza wakati huo Salome alishafunikwa na shuka mwili mzima kumbe tayari alishapoteza maisha yani kiutani utani tu! Alimuaga mpenzi wake kuwa Subiri narudi Sasa hivi kumbe ndiyo kwa heri

    Chinoge alikuwa akibubujikwa na machozi alikaa pembeni kwa kuegemea ukuta muda kidogo polisi walifika na kuingia ndani

    Walianza kufanya uchunguzi wao pamoja na kumuhoji yule mpangaji pamoja na Chinoge

    Mwili wa Marehemu ukabebwa na kupelekwa hospitali kwaajili ya uchunguzi

    “pole sana baba yangu siku zote mipango ya Mungu haina makosa"

    Mama mwenye nyumba alitoa pole kwa Chinoge simu zilipigwa kwa ndugu wa Salome ambapo waliweza kufika

    Yule mpangaji alichukuliwa na polisi kwaajili ya mahojiano kamili ikawa kila akiulizwa ni mtu gani huyo? Yeye akawa anajibu kuwa hamjui maana sura yake ilikuwa ni ngeni machoni mwake.

    “sasa kama humjui inawezekana ikawa wewe ndiyo mshukiwa namba moja wa tukio hili"

    “hapana afande Mimi sihusiki kwa lolote lile"

    “kama uhusiki basi tutajie ni mtu gani huyo?"

    ”sasa kama simfahamu nawezaje kumtaja?"

    “Afande Mwakanyege"

    ”naamu mkuu"

    ”kamata hii weka ndani"

    Basi afande Mwakanyege akaja kumchukua yule mpangaji na kwenda kumfungia Selo

    Ndugu zake Salome walijigawa wengine wakaelekea hospitali wakati wengine kituo cha polisi

    Mwili wa marehemu ulipochunguzwa ikaonekana amefariki kutokana na Mshtuko

    ”kitu gani kilichosababisha Dada yangu kupatwa na Mshituko wakati enzi za uhai wake hakuwahi kuwa na tatizo lolote la Presha si ya kupanda wala kushuka?"

    Kaka yake Salome alizungumza hivyo wakati wakiwa ndani ya Hospitali

    ”siku zote Ugonjwa unapoamua kukuvaa hauwangalii historia yako kitu kiitwacho Mshituko humtokea mtu yoyote yule sio mpaka awe mgonjwa wa presha"

    Daktari akatoa ufafanuzi

    Yule mpangaji aliachiwa huru mwili wa Marehemu ukachukuliwa na ndugu zake

    Kama ujuavyo tena Uswahili hakukosi kuwa na vijimaneno ndivyo ilivyokuwa kutoka kwa baadhi ya majirani kuanza kuteta kuwa Mama mwenye nyumba ile ni Mchawi tena Mwanga wa kutupwa itakuwa wapangaji wake anawaweka misukule maana juzi juzi tulimzika

    Yasri yule mtoto wa muuza Samaki wabichi

    Tukamzika yule kijana Mzuri mzuri leo hii Tena anauwawa Salome

    “tatizo lako Ashri wewe kitaani umehamia juzi tu! Humjui vizuri yule bi mdashi ni noma kwa Uchawi"

    ”wee umejuaje kuwa ni Mchawi kama nawe sio Mchawi mwenzake?"

    ”wee fala nini kwani kumjua Mchawi mpaka nawe uwe Mchawi?"

    “ndiyo maana yake"

    ”basi tufanye yule Mmama ni mwenzako haiwezekani umaindi kisa kumtaja kuwa ni mchawi"

    “mi sijari wala nini"

    Ashri alitamka hivyo akasimama na kuondoka zake

    ”yani kale kajamaa sijui

    kakoje yani kitu kidogo tu anamaindi"

    ”usikute yule anamla yule Mmama ndiyo maana kachukia"

    ”ohoo kumbee Ashri mtu mbaya wakupenda mijimama ehee?"

    ”ehee ndiyo zake anapenda kulelewa kama nini"

    ”sema nini mazee twenzetu Msibani"

    Basi vijana wale waliokuwa wakimjaji mama mwenye Nyumba wakanyanyuka na kuelekea Msibani kumbe familia ya Marehemu Salome ilikuwa inaishi mitaa kadhaa tu kutoka hapo

    Ashri naye baada kutoweka pale kijiweni akiwa amechukia akaelekea Ghetto kwake

    ”whaoo Ashri wangu huyo"

    Alilakiwa kwa furaha siku zote lisemwalo lipo nakama halipo basi laja Ashri alipokelewa kwa furaha na Mama mwenye nyumba aliyekuwa amejilaza kitandani kwa staili ya kifudi fudi na kufanya matako yake makubwa yabiduke kimtindo

    Sijui Ashri aliacha mlango wake wazi au vipi maana ile kuufungua tu anamkuta Mtu kajilaza kitandani Basi Ashri akavua shati na vest akabaki kifua wazi

    Mwili wake ulionekana kuwa ni mtu wa mazoezi kwa maana alikuwa na Sixpack kifua kilichotanuka mikono iliyojazia

    Akavua na suruwali akabaki na Boxa

    Iliyooneka imetutumuka kwa mbele

    Ashri akapiga hatua kadhaa na kwenda kujipweteka Sofani mama mwenye Nyumba akaona usintanie akajinyanyua pale kitandani na kumfata Ashri pale Sofani akamkalia

    Yani alipakatwa kama mtoto sema sasa hiyo staili ya kupakatwa ilikuwa yenyewe haswaa. Ashri alikaa kwa kuulaza mgongo wake kidogo hapo mtoto wa kiume alikuwa na boksa pekee iliyotuna ile kinomanoma mama mwenye Nyumba akajilaza kiubavu kisha miguu yake aliikunja,ule mguu mmoja wa Ashri ulipita katikati ya mapaja ukizingatia mama mtu alijibakiza na taiti pekee iliyombana na kukifanya kitumbua chake kichoreke vyema na kushawishi hasa

    Vidole vyake laini vilikuwa vikimpitia Ashri kifuani mwake taratibu mpaka kidevuni palipo na ndevu za kichokozi, jamaa alikuwa akighuna tu,naye mkono wake ulikuwa ukitembea mgongoni taratibu mpaka kwenye kiuno kwa makusudi aliuingiza kabisa ndani ya taiti na kumshika matako yake yaliyokuwa laini hasa

    “mmh jamani una makusudi wewe!"

    Mama mwenye nyumba alizungumza kimahaba mkono ulipowasili matakoni mwake na kuanza kupekenyua

    “makusudi gani Asma jamani, aaaah yaani una matako laini kama ya mtoto"

    Ashri alizungumza kwa kuyasifia matako hayo huku akiyaminyaminya

    Ilifika wakati mkono wake ukawa unatembea ndani ya taiti kuelekea kwenye kitumbua,hapo ndipo utamu ulipoanzia, hakuufikisha mkono kwenye kitumbua ila alikuwa anafanya kama anaupeleka mbele hivi na kurudisha matakoni tena.

    Asma mwenyewe alianza kuonyesha dalili ya kuhitaji mboo aliushusha mkono wake laini mpaka kwenye boksa kwa taratibu aliuingiza ndani ya boksa na kulishika Dudu

    “mmmmh"

    Ashri Alighuna kimahaba kwani mikono ya Asma ilikuwa laini ina joto, na alimjua Asma kuwa mauno yake na mambo yake kwenye mchezo huwa ni balaa hivyo hakutaka mchezo ufanyikie pale Sofani,alimbeba na kumbwaga kitandani yaani alivyombwaga tu,kwa makusudi alijigeuza na kulala kifudifudi hapo kitandani.Kitanda kilikuwa ni kikubwa sana

    “njoo nitoe taiti mpenzi wangu, unitombee"

    Asma aliongea kwa sauti ya kutokea puani huku akijifanya anahangaika kuivua taiti hiyo kumbe lengo lake ambinulie tu matako Ashri

    aliivua boksa yake na kulibakiza dudu inchi tisa urefu,lilikuwa nene hasa,yaani jamaa utadhani alikuwa ana ovasaizi.Na hiyo sababu pekee iliyomfanya Asmah kutulia kama maji ya mtungini mpaka kukubali kumlipia kodi na kumgharamikia kila kitu Ashri

    Kwa mwendo wa taratibu alipanda kitandani na kumsogelea jimama hilo kwanza ule mtuno wa matako ya Asma daah,,,halafu taiti yenyewe aliishusha mlegezo kidogo alipokuwa akihangaika kuitoa kimakusudi, mdomo ulishafika kwenye kiuno cha Asma na kuanza kukinyonya taratibu

    ”mmmmmmmmmmh,,,aaaaassssssssssss"

    Alisikika Asma akilalamika huku akitaka kama kujipindua hivi,muda huo alikuwa ameshika pindo la taiti, kwa hiyo akaanza kukishusha huku ulimi nao ukishuka taratibu,kwa makusudi aliufuatisha ule mstari wa ikweta unaogawa tako na tako ambapo Asma alihisi kama anatekenywa, alitamani kucheka huku akisikia raha kwa wakati mmoja.

    Ashri alimvua taiti na kuendelea kumnyonya matako, Asma alifurahi sana kwani anapenda kunyonywa matako, alighuna kimahaba mpaka kitumbua kikalowa kabisa kwa ajili ya kunyonywa matako maana jamaa aligusa mpaka kwenye mpododo bila kuona kinyaa na kuingiza ulimi kabisa, basi Asma wa watu alimwaga kabisa,ila ghafla alimpindua Ashri baada ya kuona ameshamkojolesha,kisha alimlaza chali yani lile dudu la jamaa lilikuwa shida hasa, alilishika kwa mkono mmoja,ulimi wake mchokozi ukawa unazitekenya kende zake na kuzinyonya “aaaaaaaaaasssssssssssssssss,,"

    Alilamika Ashri ambapo mkono ulikuwa unafanya kama unampigisha punyeto,mzigo ulisimama imara ambapo lengo la Asma lilikuwa ni kulipiza kumkojolesha,ila mambo yaligeuka Ashri akawa anataka amsugue kabisa maana tako tayari lilishampandisha nyege,,,

    Mdomo wa Asma ulipotaka kuhamia kwenye dudu maana Ashri alijua tu mama huyo alivyomtaalamu wa kunyonya dudu,huwezi kuacha kukojoa kwa muda mfupi tu

    “Ashri Subiri jamani"

    Asma aliongea kwa sauti ya upole baada ya kuona Kibenteni wake amemlaza tena kifudifudi

    “nilijua janja yako,unataka nimwage nje eeh?"

    Alipoongea hivyo Asma aliishiwa pozi, alibaki kutabasamu tu

    Wote wawili walibaki uchi wa mnyama, Asma alivyolala hapo kitandani kifudifudi ni hatari maana alijibinua kidogo matako yake,hivyo matundu yote yalionekana vyema,basi Ashri akiwa na mzinga wa dudu,alimfuata kwa nyuma,kisha akampanua vizuri matako na kulielekezea dudu lake kwenye tundu la haja kubwa

    ************

    Huku kuzimu sasa kulikuwa na mkusanyiko wa majini wasiokuwa na idadi yani Koo takribani Ishilini ziliitana na kukusanyika pamoja Ukoo wa Ibnuwas peke yake una Majini million sabini elfu wakati ukoo wa Duchani million tisini na kitu

    Achana na koo kumi na nane zilizoweza kuuzulia kwenye mkusanyiko huo na sio kama wamekuja na Watu wao wote ni baadhi tu

    Lakini walionekana kuwa ni wengi balaa

    “habari zenu ndugu zanguni? Kwa heshima na taadhima ningependa kuzungumza nanyi nakila mmoja wetu atapata nafasi ya kuchangia kile ambacho nitakizungumza hapa.

    Kitu ambacho kimetufanya tuitane na kukusanyika pamoja pasipo kujari itikadi zetu uhasama uliopo baina yetu.

    Kwasasa hatuna budi kushikamana tuwe kitu kimoja kwaajili ya kupambana na huyu kidudu mtu aitwae Chinoge Chinogae ni Mwanadamu ambaye ni kirusi kibaya Sana kwetu

    Wangapi wapo tayari kuwa pamoja nasi?"

    Mzee Makanga alizungumza hivyo kwa kupaza sauti iliyokuwa kali asilimia kubwa ya Majini walikubariana naye kwa kunyoosha mikono Juu

    Miongoni mwa waliokubari ni Ibnuwas na Malkia Kaisi

    Mzee Makanga alifurahi sana ajabu mama yake Ibnuwas alikataa katakata kuungana nao

    “Makanga wewe ni mmoja kati ya wapumbavu yani kitu Cha hatari mkitengeneze nyinyi wenyewe halafu mtake kutushirikisha sisi kukiangamiza. Sasa nasemaje hakuna hata mtu mmoja atakaeweza kumuangamiza Chinoge kiumbe ambaye amebalikiwa kuwa na nguvu"

    Bibi mtu alizungumza kwa kujiamini

    “mamaaa"

    Ibnuwas aliita

    ”na wewe unataka kusema kitu gani si umeamua kuungana naye huyu Mpuuzi wakati unafahamu zile sio Akili za Chinog,,,,,

    Hata akuweza kumalizia kulitaja jina la Chinoge upepo mkali ulianza kuvuma

    ”huyo anakuja Sasa"

    Bibi mtu alitamka hivyo Kisha akatoweka nikweli bwana mkubwa Chinoge akaibuka akiwa anahema mpaka Cheche za moto zilionekana kutokea puani

    ”nani aliyethubutu kuniulia mpenzi wangu?"

    Lilikuwa ni swali kutoka kwa Chinoge aliyeonekana kujiamini kupita kiasi wakati Binadamu wa kawaida Akikutana na Jini mmoja tu anaanza kujamba Jamba.

    “mimi hapa!"

    Mzee Makanga akajitoa kimasomaso na kutamka hivyo

    Chinoge alimuangalia mzee Makanga kwa jicho kali ikawa kufumba na kufumbua Nyundo kufyatuka iliwapita Majini takribani Elfu mbili na kwenda kutua mdomoni kwa mzee Makanga

    Alipepesuka huku akiachia mghuno wa maumivu

    Wakati huo huo tetemeko lilianza kutokea kukawa na patashika nguo kuchanika mara

    Jeshi la Masokwe wasiokuwa na Idadi wakaibuka nyuma ya Mfalme wao ni Masokwe ambao hawafi kirahisi yani hata Kama itatokea mmoja wao akafa Basi wanaibuka wawili kushika nafasi ya mmoja unaweza kusema ni Masokwe wa Ujinini maana hayo maumbo yao na nyuso zao ni za kutisha vibaya mno walionekana wakitoa pumzi za moto

    Ibnuwas na Malkia Kaisi wakaamrisha Jeshi lao kuwa wakimbie maana walishafahamu hakuna atakaeweza kupona hapo





    Chinoge alimuangalia mzee Makanga kwa jicho kali ikawa kufumba na kufumbua Nyundo kufyatuka iliwapita Majini takribani Elfu mbili na kwenda kutua mdomoni kwa mzee Makanga

    Alipepesuka huku akiachia mghuno wa maumivu

    Wakati huo huo tetemeko lilianza kutokea kukawa na patashika nguo kuchanika mara

    Jeshi la Masokwe wasiokuwa na Idadi wakaibuka nyuma ya Mfalme wao ni Masokwe ambao hawafi kirahisi yani hata Kama itatokea mmoja wao akafa Basi wanaibuka wawili kushika nafasi ya mmoja unaweza kusema ni Masokwe wa Ujinini maana hayo maumbo yao na nyuso zao ni za kutisha vibaya mno walionekana wakitoa pumzi za moto

    Ibnuwas na Malkia Kaisi wakaamrisha Jeshi lao kuwa wakimbie maana walishafahamu hakuna atakaeweza kupona hapo



    Songa nayo

    Sasa



    Kitendo cha Ibnuwas na Malkia Kaisi kukimbia kikafatiwa na tawala ya Makata wa Makatani kutoweka Subiani nao wakakimbia zikabaki tawala tatu ikiwa na maana tawala kumi na Saba zimetoweka Mzee Makanga alivimba kwa hasira wakati huo Chinoge alikuwa akiwavutia pumzi tu! Kabra ya kuliamrisha jeshi lake kuanza mashambulizi.

    Mzee Makanga akaliweka vyema jeshi lake.

    Patashika kivumbi jasho kikaanzia hapo Masokwe walikuwa wanatema moto. Wenye asidi kali sana

    Chinoge yeye alikuwa akipiga hatua za taratiibu kumfata mzee Makanga

    Baadhi ya majini wakawa wanajaribu kumzuia

    Nyundo zikawa na kazi ya kusafisha njia

    Mzee Makanga naye akawa anapiga hatua kumfata Chinoge pasipo kufahamu ya kwamba anajipeleka kwenye mdomo wa mamba

    Mara akaibuka Binti Ozzie na kufikia kumshika mkono baba yake

    “babaa usiende huko utakufa baba yangu tukimbiee"

    Ozzie alizungumza kwa sauti yenye kuambatana na kilio huku akijaribu kumvuta baba yake

    ”niachieee, Siwezi kuuliwa na Binadamu kwa maana sisi ni viumbe bora kuliko wao Jini mmoja ni sawa na Binadamu mia moja iweje leo hii tumuogope Chinoge? Hiiiii,,ghaaaa,"

    Mzee Makanga alizungumza na kuanza kuunguruma

    Yani kuna mnyororo ulikuja kwa kasi na kumvilingisha Shingoni akaanza kuvutwa kupelekwa upande ule aliopo Chinoge

    ”babaa"

    Ozzie alipiga kelele huku akijaribu kumkimbilia baba yake

    “kimbia binti yangu kimbiaa Mimi ndiyo nakufa hivi"

    Mzee Makanga alipiga kelele huku akipunga mkono wa kwaheri kumpungia binti yake

    Chinoge mwenyewe alishangaa kuona mmoja kati ya Masokwe wake akiwa amemkaba mzee Makanga kwa mnyororo wenye moto

    Haikuchukua hata dakika tano kushuhudia Makanga akianza kupukutika

    Ozzie alilia na kupiga magoti chini

    “niuweni na Mimi niuweniii,,hiiiii,,hiiiii"

    Ozzie alilia kwa uchungu

    Chinoge akatoa ishara kuwa Nyundo moja wapo ikamuangamize yule Binti Nyundo pasipo kuchelewa ikawa inaenda kwa kasi ghafla bin vuu Bwana mdogo Ducha Duchani akaibuka na kuidaka ile nyundo yani alifanya kuizuia

    Nyundo ikawa inakukuruka kujitoa pale kwenye kizuizi Mara sauti kubwa ya kishindo ilisikika sauti ambayo iliwafanya waliokuwa wakipigana kuacha kupigana wote wakageuka kuangalia sehemu ambayo hiyo sauti imetokea alionekana Ducha akijipangusa mikono Kama vile katoka kushika vumbi kumbe aliisambaratisha ile Nyundo vipande vipande na ndiyo iliyotoa kishindo hiko

    Ducha akawa anarudi kinyume nyume baada kumuona Chinoge akipiga hatua za kumfata alichokifanya Ducha ni kumuwahi bibie Ozzie na kutoweka naye

    “angamizeni wote hao"

    Chinoge alizungumza kwa hasira binafsi yeye hakuwa na kazi yoyote maana Masokwe waliifanya kazi yao vyema maana kule kutema moto kwa Sokwe mmoja ikawa kuangamia kwa majini si chini ya mia mbili

    Chinoge akayasogelea mabaki ya nyundo akanyoosha mkono vitu vilianza kujikusanya Nyundo ikajiunga upya

    Kuzimu kuligeuka kuwa ni uwanja wa machinjio

    Majini wengi walipoteza maisha hakuna majeruhi hata mmoja aliyeachwa hai wote waliangamizwa lilikuwa ni tukio baya Sana kuwahi kutokea hata Ninja Ice enzi za uhai wake hakuwahi kuuwa Majini wengi kama hivyo

    Baadhi ya majini waliamua kukimbilia Duniani kwa maana kuzimu kwasasa sio sehemu salama ya kuishi

    Ni mapambano yaliyochukua takribani masaa manne kazi ilikuwa imeisha Tawala ya Duchani na nyinginezo zilikuwa zimeangamizwa

    Masokwe waliopoteza maisha ni wenye kuhisabika tofauti na wale walioongezeka kuziba nafasi zao

    Chinoge akatafuta sehemu na kukaa alivuta pumzi na kuzishusha

    Masokwe wakatoa heshima na kumuaga Mfalme wao ambapo alitikisa kichwa kuwatakia safari njema,

    ***********

    “mmmh wewe unatakaje hivyo jamani"

    Asma alishtuka na kuongea kwa ukali kidogo baada kuhisi kichwa cha Dudu kikigusa kinyeo chake

    ”hamna bwana,siwezi kukufanyia hivyo baby ujuwe nataka unizalie mtoto mzuuri"

    Ashri alizuga kwa kuzungumza hivyo wakati lengo lake lilikuwa kuingiza kwenye Mpododo basi akalielekeza Dudu kwenye kitumbua kilichokuwa kimelowa hasa, japokuwa mama huyo alishazaa lakini Mboo ndefu na nene ilienea vyema kabisa kwenye kitumbua chake.

    Basi kilianza kichwa kupenya taratibu kwenye kitumbua ambapo Asma alilipokea kwa shangwe za mighuno ming ya kimahaba

    “uuuuuuuuuushiiiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaassssssssssssss,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah"

    Asma alilalamika hivyo huku akijichezesha matako yake ili dudu lipate kuingia vyema,

    Ashri naye taratiibu akiunguruma alilikandamiza mpaka likazama lote, laiti kama ungepata bahati ya kushuhudia mauno aliyokuwa anayazungusha Asma ungesema hakuna Mwanamke kama yeye maana alikuwa fundi kweli kweli

    Ashri alipoanza kupampu Asmah alimjia kwa juu kama ugomvi kwa hayo mauno, Mwanamke alizungusha kiuno taratibu kwa ujuvi wa hali ya juu,alikibana kitumbua chake na kufanya kama anarudisha nyuma kidogo ili dudu lizame vyema na kumkuna zaidi,uzuri wa dudu refu kwenye mtindo huo huwa halichomoki ovyo, kwa hiyo Asmah alikuwa ana uwezo wa kucheza nalo vyovyote atakavyo, Ashri aliishiwa maujanja kabisa,alibakia akimshika matako na kuyaminyaminya mpaka kidume kilimwaga kabisa bao lake ndani ya kitumbua

    “aaaaaaaaaaah,,,mmm,,ohooooooo,,,asssssss"

    Alighuna kwa utamu wa kumwaga Ashri ambapo alijilaza chali kwa uchovu,basi Asmah jinsi anavyojua kupetipeti, alimlaza juu ya kifua na kumbembeleza kama mtoto.

    “poleee babaaa eeh,pole kwa kazi nzitooo nakupenda sana pumzika kijana wangu ehee"

    Yaani alimbembeleza kama mtoto mdogo kifuani mwake huku akimshikashika nywele za kichwani,wakaanza kupiga stori

    “hivi Ashri hii Mboo ulirithi,ulichanjia au ulilipata wapi?"

    Asmah aliuliza hivyo huku akiishika shika

    “nimerithi bwana"

    kwa hiyo baba yako alikuwa na zinga la dudu inaelekea?"

    “itakuwa, ila sina uhakika,ila Asma wewe unanimalizaga sana"

    Ashri alijibu hivyo na kuzungumza kiuchokozi

    “nakumalizaga wapi hapo?"

    “kwenye mauno!,yaani ujanja wote huwa unaniishia, sijui ulifundwa wapi Mwanamke wewe?"

    Alicheka kidogo Asma huku akimfinya Ashri shavu

    Siku tatu baadae ndugu wa Salome wapatao sita waliwasili pale nyumbani alipokuwa anaishi

    Tena walikuja na gari kubwa aina ya Fuso bila shaka ujio wao hapo nikwaajili ya kubeba vitu vya Marehemu

    Nikweli maana waliomba kuonana na mama mwenye Nyumba

    “sawa nimeweza kuwaelewa ila funguo ya chumba cha marehemu anayo Mchumba ake aliyekuwa akiishi naye chumba kile pale"

    Mama mwenye Nyumba alizungumza hivyo huku akipiga hatua kuelekea mlangoni mwa chumba alichopanga Chinoge alipoufikia mlango ule alianza kubisha hodi

    Zilipita kama dakika tano pasipo mtu wa ndani kuitikia

    ”sijui itakuwa kalala au ametoka?"

    Mama Mwenye nyumba alijisemea hivyo

    Akaelekea chumbani kwake akatoka akiwa kashika simu akabofya bofya na kuiweka sikioni

    Simu ikawa inasikika ikiita chumbani mwa Chinoge na ndiyo aliyekuwa akimpigia Mmoja kati ya ndugu wa marehemu aliyeonekana kuwa kama kaka mkubwa akausogelea mlango na kukishika kitasa akajaribu kukizungusha mlango si ukafunguka

    Mama Mwenye nyumba akawa wa kwanza kuchungulia ndani huku akiita

    “Azizi,,wee Azizi upo humu ndani"

    Kumbe Chinoge alijitambulisha kwa jina la Azizi

    Mama mwenye nyumba alipatwa na mshituko baada kuingia mule Sebuleni na kumkuta mpangaji wake akiwa kalala chini ajitambui

    “jamanii njoeni hukuu"

    Mama mwenye nyumba alipiga kelele kuwaita watu

    Ambapo waliingia ndani mbio mbio

    Kila mmoja alishtuka kumuona Chinoge akiwa kalala chini

    ”mbona mtu mwenyewe anaonekana ameshafariki mda mrefu tu!"

    Mmoja kati ya Majirani alizungumza hivyo baada kumchunguza Chinoge

    “hapana hapana jamani kwanini imekuwa kwa wapangaji tu!

    Kila kukicha wanakufa ajafa huyu ni mzima"

    Mama mwenye nyumba alipiga kelele na kuanza kugalagala chini Mwili wa Chinoge ulifunikwa ukabebwa na kupelekwa hospitali

    taarifa za mpangaji mwingine tena aliyehamia juzi juzi tu kupoteza maisha ziliwashtua watu wengi sana.

    Taarifa zilitangazwa nchi nzima

    **********

    Hapa tunamuona Chinoge akiwa kuzimu amekaa pale pale kwenye Uwanja wa mapambano alionekana kuwa ni mwingi wa mawazo mara Ghafla alishtukia kiumbe kikimuibukia na kumchoma kisu chenye ncha kari kisu kilikita sehemu ileile yenye Moyo

    Chinoge alinyoosha mkono na kumkaba yule kiumbe ambapo alikukuruka ili kujinasua lakini Chinoge hakutaka kumuachia alikaza macho kumuangalia huku akizidisha kumkaba

    Sekunde si nyingi yule kiumbe alipoteza maisha kwa kupukutika

    Chinoge alianza kutembea kwa mwendo wa kupepesuka hakufika mbali alidondoka chini puuh akalala chali kuangalia juu

    “hahahahaha,,,hahahaha,,huhuhuhuhu"

    Yani alicheka kicheko ambacho kilisambaa kuzimu kote mwishoe akawa kimya ikimaanisha naye kapoteza Maisha

    Mwili wake ukiwa umelala pale Nyundo zake zilikuja na kuanza kumzunguka Masokwe waliibuka wakahitaji kumpatia ile dawa ya uzima lakini walikuwa wamechelewa siku zote Dawa haiwezi kufanya kazi kwa kiumbe ambacho kimepoteza maisha kwa maana hawezi kulimeza funda la Dawa.

    Sauti ya vilio kutoka kwa Masokwe zilisikika wakimlilia Mfalme wao

    Kwa mbaali alionekana Bibi mtu akiwa amesimama huku akilia

    mwili wa Chinoge ulianza kumung'unyuka kama vile udongo ulionyeshewa na vua ilikuwa ni ishara ya kwamba kuzimu tayari alishatoweka

    "mwanangu jamani jamani Hafidhi wangu hiiiiiii,,,"

    “jamanii,,yanguu,,,hiiii"

    “babaa,,"

    Vyote vilikuwa ni vilio vilivyotanda kutoka kwa familia ya Bwana mkubwa Chinoge kuanzi mama yake Dada zake hadi mtoto wake wakiume aitwae Ikram

    Ducha naye alikuwa analia Mwili wa Marehemu ulishawasili nyumbani kwao

    Ukaoshwa na kuvishwa sanda ulisaliwa na kwenda kupumzishwa kwenye Nyumba ya milele

    “nenda mwanangu nenda binafsi ulikuwa huitaji kuishi nasi ulizurula pa kuzurula mpaka tulifikia hatua ya kukurehemu tukidhania ulishapoteza maisha. Lakini leo hii umetudhihirishia

    Kuwa unatuacha moja kwa moja

    Kwanini uliamua kutufanyia hivi"

    Baba yake Chinoge alizungumza kwa uchungu baada kushuhudia kijana wake akifukiwa

    Huo ndiyo ukawa mwisho wa Mzee wa Nyundo

    Chinoge Chinogae

    Bila shaka ameenda kuungana na kaka yake





    _____________

    “nenda mwanangu nenda binafsi ulikuwa huitaji kuishi nasi ulizurula pa kuzurula mpaka tulifikia hatua ya kukurehemu tukidhania ulishapoteza maisha. Lakini leo hii umetudhihirishia

    Kuwa unatuacha moja kwa moja

    Kwanini uliamua kutufanyia hivi"

    Baba yake Chinoge alizungumza kwa uchungu baada kushuhudia kijana wake akifukiwa

    Huo ndiyo ukawa mwisho wa Mzee wa Nyundo

    Chinoge Chinogae

    Bila shaka ameenda kuungana na kaka yake



    Songa nayo

    Sasa



    “oyaa wee Mama hiyo nyama mnailia wapi leo?"

    Mmoja kati ya vijana wa kijiweni alipaza sauti kumuuliza mama Mwenye nyumba ni swali ambalo kama sio kulisikia basi lilimshtua

    ”nakuuliza wewe Mchawi mkubwa hiyo nyama mnailia wapi?"

    Kuonyesha msisitizo yule jamaa akauliza Tena

    “hivi wee mtoto una kichaa au uwendawazimu umekushika?"

    Mama Mwenye nyumba alizungumza kwa kupaniki

    “hakuna Cha ukichaa wala uwendawizimu acha nikupe makavu yako wewe mama ni Gwiji la Wachawi wote hapa mtaani

    Unawaweka wapangaji wako Misukule mwisho wa siku mnawala nyama."

    Mama mwenye nyumba alikereka Sana kutokana na kauli za kiwaki kutoka kwa kijana yule

    ”wee jamaa vipi mbona unaleta Mambo ya kiwaki kwa wamama wa wenzio?"

    Ashri hata alipotokea alifika pale na kuanza kufoka

    Yule jamaa alimuangalia Ashri kwa sekunde kadhaa kisha akajikataa zake

    ”hiiiii,,haaaaa,,"

    Mama mwenye Nyumba alijifanya kulia si alishamuona basha wake basi Ashri akamsogelea na kumkumbatia

    *********

    Katika jiji la Karachi nchini Pakistan ndani ya Jumba moja hivi la kifahari tunamuona binti Mrembo mwenye Asili ya kiarabu akifanya mazoezi ya kuruka kamba hakuwa mwingine bari ni Bibie Zauji ni mmoja kati ya wapiganaji hatari kwa wale walioweza kuisoma MFALME WA MASOKWE wataweza kumkumbuka vyema katika zile hekaheka zake akiwa na Chinoge wakati anaendelea kurukaruka kamba mara akashtuka baada ya kuona Madirisha na milango ikifunguka yenyewe akajiweka tayari tayari ili kukabiliana na chochote kitakachotokea Mbele yake.

    “Zaujiaa"

    Sauti kali na yenye kuumiza masikio ilisikika nyuma yake akafanya haraka kugeuka

    Daah aliyekuwa anamwita si mwingine ni Bibie Laya ambaye alishapoteza maisha kwenye yale mapambano baina ya Chinoge na Kopang enzi za uhai wake alikuwa na uwadui mkubwa na bibie Zaujia

    “huna haja ya kuniogopa rafiki Mimi na wewe tulishakuwa kitu kimoja"

    Laya alizungumza hivyo huku akipiga hatua kumsogelea Zaujia

    “ujio wangu hapa ni kwamba nahitaji msaada wako"

    Laya alizungumza hivyo alishamfikia Zaujia akafanya kupita mwilini mwa Zaujia ambaye aliishia kushika hewa tu Laya alishakuwa mzimu usioweza kushikika wala kukamatika

    “ni msaada gani unaouhitaji kutoka kwangu?"

    Zaujia aliuliza kwa kupaniki

    “nahitaji uwende kumsaidia mtoto wangu"

    Laya alizungumza hivyo haliyakuwa akinyoosha kidole kuonyeshea ukutani mara nyingi Mizimu au Majini hupenda kuzungumza kwa kuonyesha vitendo vyenye uharisia

    Basi aliponyoosha kidole kuna mtoto wakike mwenye umri wakama miaka kumi na miwili alionekana akiwa kafungwa kamba kwa kuning'inizwa juu yule Binti alionekana kafanana kila kitu na Laya

    “unaemuona pale ni Binti yangu kipenzi ni Binti ambaye nilizaa na Chinoge kipindi kile nilipoenda kufanya misheni ya Mauwaji nchini Tanzania,,,

    ”Dadaa,,njoo uwone huku,,"

    Wakati wanazungumza walishtushwa na sauti ya mtoto wakike akiita Dadaa njoo uone Zaujia akatoka mbiombio kwenda kumsikiliza mdogo wake

    “wee Naah kuna nini?"

    Zaujia alimuuliza mdogo wake

    ”Shemejiii,,hiiiiiii"

    Naah alijibu hivyo huku akianza kulia Zaujia akakaza macho yake kuangalia kwenye televisheni kulikuwa na taarifa ya habari ikitangaza juu ya kifo cha bwana mkubwa Chinoge kwanza Zaujia hakuweza kuamini macho yake ikabidi aisogelee televisheni kwa ukaribu

    Naye machozi yalishaanza kumchuruzika

    Mara televisheni yenyewe ikabutuka na kutoa sauti kama vile bomu Zaujia alirudi nyuma kwa Uwoga

    “watalipa"

    Laya alizungumza hivyo Zaujia alipojaribu kugeuka kumuangalia Laya alishangaa Sana kuona Laya akiwa anazungukwa na Shoti ya umeme

    “hatimae nimebarikiwa kipawa cha kuweza kushika na kukamata kitu chochote kile na ndiyo maana nikafanya yangu majaribio kwa kuifinya hiyo Televisheni samahani Sana rafiki nitailipa

    Kwasasa naenda kufyeka Washenzi wote Kisha tukutane Tanzania kwaajili ya kulipa kile ambacho amefanyiwa Chinoge wetu"

    Laya alizungumza hivyo Kisha akatoweka

    *********

    Nyumbani kwa kina Chinoge kulikuwa na hali ya Majozi ndugu jamaa na marafiki walihuzunika Sana juu ya kifo cha kijana wao mpendwa sema ndiyo hivyo hawakuwa na jinsi kila nafsi itaonja umauti.

    Hapa tunamuona Ducha akiwa sehemu moja hivi akitembea kwa mwendo wa taratiibu ni sehemu ambayo haijurikani wapi umetokea wala unapoelekea. Lakini yeye alikuwa anatembea tu mara kwa mbaali aliweza kuonekana mtu akiwa kajiinamia ikabidi Ducha aongeze mwendo ili kuweza kumfikia mtu yule

    Licha ya kuongeza mwendo alijikuta akitembea zaidi ya masaa sita pasipo kumfikia yule mtu Ducha akawa amechoka hoi akakaa chini kupumzika

    ”vipi kijana mbona umekaa juani?"

    Akiwa kakaa pale kwa kujipumzisha akashtuliwa na sauti ikimuuliza akanyanyua uso wake ili kumuangalia huyo mtu ile kumuona tu Ducha alishtuka si kidogo

    ”nani wewe?"

    Ducha aliuliza kwa uwoga kwanza yule mtu alitabasamu pasipo kujibu swali akanyoosha kiganja cha mkono akimaanisha kutaka kumshika Ducha

    ”simama kijana ili tuweze kujadiriana kitu"

    Yule mtu alizungumza hivyo

    Ducha akanyoosha mkono wake akanyanyuliwa

    ”wee ni nani kwani?"

    ”Ninja Ice hapa"

    Ducha alishtuka zaidi alitamani hata kukimbia sema alikuwa kashikwa mkono

    ”huna haja ya kuniogopa embu twende tukazungumze na yule mtu pale"

    Ninja Ice alizungumza hivyo

    “mtu gani? Ahaa kama ni yule mi siwezi kumfikia maana najikuta natembea kwa mda mrefu pasipo kumfikia"

    Ducha alizungumza hivyo

    ”nifate"

    Ninja Ice akamtaka Ducha amfate walitembea hatua kadhaa tu! Wakawa tayari wamemfikia yule mtu aliyekuwa kawapa mgongo

    ”kwani nani huyu?"

    Ducha aliuliza kwa sauti ya kunong'oneza swali likajibiwa baada ya yule mtu kugeuka Aisee kumbe alikuwa Marehemu Chinoge

    ”khaa! Mwalimu wangu jamani kumbe umzima ujafa, bado unaishi"

    Ducha alimrukia mwalimu wake kwa furaha

    ”kumbe Mwalimu uko huku Sasa yule waliyemzika ni nani?"

    ”ni Mimi"

    Chinoge akajibu

    ”kama ni wewe mbona hapa ni umzima?"

    Ducha aliuliza haliyakuwa akiwa bado kamkumbatia Mwalimu wake

    “Ducha"

    Ninja Ice aliita hivyo

    ”naamu mkuu"

    “kwanini uko hapa?"

    Chinoge akauliza yani kaitwa na Ninja Ice kaulizwa swali na Chinoge

    “nipo hapa kwaajili ya kufuzwa vile ambavyo sijawahi kufundishwa"

    Ducha akajibu na kumfanya Ninja Ice ampigie makofi wakati Chinoge akitabasamu

    Mara ghafla Chinoge akafanya kumsukumiza Ducha pembeni kitendo

    Kilichomshangaza Sana Ducha

    “mwalimu vipi tena,,

    Ducha alipaza sauti kuuliza akajibiwa na kimondo kilichokuwa kinakuja kwa kasi akafanya kuinama chini kile kimondo kikapita

    “pambana kijana ukizubaa utauwawa"

    Ilikuwa ni kauli kutoka kwa Ninja Ice Ducha hakuweza kuamini macho yake baada kuliona jeshi la Viumbe wa Ajabu wakija mbiombio kumfata yeye.

    Akadhani labda Ninja Ice na Chinoge watamsaidia kumbe wapi wenzake ndiyo kwanza wakatoweka naye alipojaribu kutoweka kipawa kikamgomea

    “ohoo Shit! Nini hiki?"

    Ducha alijiuliza hivyo huku akizunguka si akachenji Muonekano nakuwa kama Ninja Ice

    Vile viumbe vikafunga breki na kusimama wakabaki kumuangalia Ducha wakawa kama vile wanaulizana na kupanga mikakati ya kumvamia





    _____________

    baada kuliona jeshi la Viumbe wa Ajabu wakija mbiombio kumfata yeye.

    Akadhani labda Ninja Ice na Chinoge watamsaidia kumbe wapi wenzake ndiyo kwanza wakatoweka naye alipojaribu kutoweka kipawa kikamgomea

    “ohoo Shit! Nini hiki?"

    Ducha alijiuliza hivyo huku akizunguka si akachenji Muonekano nakuwa kama Ninja Ice

    Vile viumbe vikafunga breki na kusimama wakabaki kumuangalia Ducha wakawa kama vile wanaulizana na kupanga mikakati ya kumvamia



    Songa nayo

    Sasa



    Baada ya wale viumbe kuonekana kama wakijadiriana kitu Ducha akaitumia nafasi hiyo kuwatupia zile Star zake zilizokuwa zikifyatuka na kwenda kutua kwenye miili yao wale viumbe ambapo kila aliyeguswa naile Silaha alipukutika na kutoweka

    Kama haitoshi Ducha akaamua kuwafata yeye mwenyewe kwa kuchumpa kwenda juu alipowafikia tu! Viumbe vilianza kumshambulia kwa kwa pamoja kwa kutumia silaha zao za ajabu yani mapanga si mapanga mashoka si mashoka ni silaha zenye Kutisha Ducha akawa anakwepa huku akiachia mateke na ngumi za maana yani aliserereka huku na kule

    Ajabu wale viumbe badara ya kupungua kutokana na wengi wao kuteketea ndiyo kwanza walionekana kuzidi kuongezeka kitu ambacho kilionekana kuanza kumkatisha tamaa

    “tumia kibadach shen hung hoo"

    Sauti ya Chinoge iliweza kusikika masikioni mwake ndipo alipoamua kuchenji staili kwanza alirudi nyuma yani alifanya kama vile kutaka kuwakimbia kisha akabimbilika na kuruka juu. Alipotua chini sauti kubwa ya kishindo ilisikika huku eneo zima likianza kutetemeka Amini usiamini Ducha alikuwa kakamatia Nyundo moja wapo kati ya zile Nyundo za Chinoge

    Kwanza wale viumbe walionekana kujiziba masikio yao kutokana naile Sauti ya kishindo kuwaumiza kadri walivyoendelea kujiziba masikio ndivyo wakawa wanapasuka vipande vipande kama vile tikiti maji ulipigapo kwa Nyundo

    Ducha alibaki kushangaa Sasa wakati anashangaa shangaa si akamuona mama yake akija mbiombio kumfata huku mkononi akiwa kashika Jagi

    ”utaenda shule au huendi?"

    Mama yake alipomfikia alimuuliza hivyo

    ”khaa! Shule tena"

    “nijibu kabra sijakumwagia haya mafuta ya moto"

    ”khaa! Mama yani uniunguze kisa staki kwenda shule"

    Mara mwaaa Ducha alimwagiwa yale mafuta alitatarika huku akipiga kelele

    ”mama wee nakufaa yalaa"

    Ghafla akashtuka na kujikuta yupo kitandani sema ameloana na maji chapa chapa

    ”sasa mama Mambo gani ya kumwagiana maji asubuhi Asubuhi?"

    Ducha alimuuliza mama yake aliyekuwa kamsimamia pembeni ya kitanda

    “embu hamka huko ukajiandae ili uwende shule. Hivi wee ni mtoto waaina gani usiependa Shule jamani"

    Mama yake alizungumza hivyo

    Kiunyoonge Ducha alinyanyuka na kutoka zake nnje muda kidogo akawa tayari amejitaarisha

    “hivi wee kibwengo lini utaacha tabiya ya ukojozi?"

    Lilikuwa ni swali kutoka kwa Mwanaidi akimuuliza Ducha

    “hivi wee mshenzi wa tabiya aliyekwambia hiyo ni mikojo nani? Au hujui kutofautisha harufu ya maji na mikojo?"

    Naye akatwangwa maswali mawili mfurulizo kutoka kwa mama yake

    Ducha yeye alikuwa amenuna si kidogo

    “hoya masela tutaonana mida basi"

    Ducha aliwaaga hivyo

    Mwanaidi na mama yake wakabaki kuangaliana inamaana wao ni masela

    Ducha alikatiza mitaa miwili mitatu

    “shikamoo mama"

    “ohoo! Mwanangu Sudi huyo ahaa Ducha marhabaa ujambo mwanangu?"

    Mama yake Sudi aliitikia salamu kwa kuchanganya majina bila shaka alipomuangalia Ducha nikama aliona taswila ya Sudi

    “sijambo ewe mama yangu"

    Ducha aliitikia

    Kuna Mwanadada alifika pale alionekana tu ujio wake pale sio wa kheri maana alipofika tu! Alianza kumporomosha matusi na kauli za shombo kwa mama Sudi

    “hivi wee kigagura Mwenye uchi kama ukoma deni langu utanilipa lini? Sasa kwa taarifa yako leo utake usitake utanilipa vinginevyo nitakuanzishia mtiti sio wa nchi hii muone Kwanza miziwa kama ganda la ndizi kazi kuomba omba tu! Bora hata ungekuwa na uch,,

    “hivi wee Dada una Wazazi?"

    Ducha akamkatisha yule Binti kwa kumuuliza swali kwanza yule Binti alimuangalia Ducha mara mbili mbili alimshusha na kumpandisha

    “unaniulizaje wee kibwengo?"

    Kwa dharau binti alitema mate chini kisha akauliza hivyo

    “Ducha mwanangu wee nenda zako shule usije ukachelewa mi niache na huyu binti nitamalizana naye"

    Mama yake Sudi alizungumza hivyo

    “unamalizana naye vipi wakati amekutusi na kukudharirisha mbele yangu?"

    ”ndiyo Sasa nishamtusi wewe na mama yako ni Vibwengo tu mnanuka shid,,yalaa mama nakufaa, uwiii"

    Binti hata hakumalizia kuzungumza alipiga kelele za maumivu huku akijishika mdomoni

    Ducha alishatafuta Silaha si akalipata Gongo la ufagio wa kufagilia nnje pasipo kujiuliza mara mbili alimzibua la uso Binti akiwa analia huku kainama akaongezewa lingine kwa kutandikwa mgongoni

    “yalaaa,, nakufaa nisaidieeni"

    Kelele zake ziliweza kuwavuta baadhi ya majirani

    ”Ducha mwanangu acha, achaa Ducha"

    Ilibidi mama yake Sudi amzuie Ducha kwa kumshikilia Binti akapata upenyo wa kukimbia peku peku hata viatu hakukumbuka kuvaa baada ya yule Binti kukimbia ndipo Ducha akaachiwa akiwa amefura kwa hasira akalifata begi lake na kulivaa huyo akaelekea zake shuleni

    “mmh kumbe kiboko yao amerudi kitaani?"

    Kuna mwanamama mmoja aliuliza hivyo

    ”ndiyo maana yake wale wenye vidomo domo wote wafunge mibakuri yao Mwenye mtaa wake kashaingia ehee watajamba"

    Mwingine akadakia na kuzungumza hivyo

    ”kuna wale wa kujiita Wakaanga maji wanajifanyaga watata kama nini Sasa tuone kwa Ducha watakaanga hayo maji au kuyachemsha"

    “mi nnacho mpendeaga Ducha hanaga maneno meengi yeye vitendo tu!

    “kwani aliendaga wapi? Maana mtaa ulikuwa umepoa kweli kweli?"

    ”hata sijui mwenzangu"

    Basi kila mmoja alizungumza lake pale

    Ducha aliwasili maeneo ya shule nikweli alikuwa amechelewa mda huo wanafunzi wote walikuwa madarasani wakiendelea na masomo Ducha aliangaza macho huku na kule akapiga hatua za taratibu kulisogelea darasa ambalo alikuwa anasoma

    “kudadeki zenu Mimi ndiyo kidume pekee niliyebakia humu wengine wote Mademu zangu"

    Musa alizungumza kwa kujigamba

    ”wee fala nini! Nani demu wako humu?"

    ”oyaa Mose acha dharau za kichoko hizo"

    ”tatizo lako Musa unajikutaga John Cena ehee wee subiri siku ukiingia kwenye kumi na nane za Wakaanga maji watakubaka"

    ”nani abakwe Mbuzi nyi,,

    Musa akanyamaza kuzungumza akabaki kutumbua macho kuangalia mlangoni hakuweza kuamini macho yake kumuona rafiki yake kipenzi amerejea Shuleni alienda mbiombio na kumkumbatia

    ”Ducha ni wewe?"

    ”ndiyo ni mimi"

    ”ohoo karibu Sana kichaa wangu hakika nilikumiss Sana oyaa wee pimbi pisha kwenye hilo Dawati ili wanaume tukae"

    Musa alimtaka mmoja kati ya Wanafunzi atafute sehemu ya kukaa

    Lakini Ducha alimwambia yule mwanafunzi asitoke wakae tu pamoja

    ”huyu jamaa anajamba kama nini ni vile tu! humjui"

    Musa akakandia

    “vipi Ally yuko wapi?"

    Ducha alimuulizia Ally

    “ahaa unamuulizia yule kiande?"

    “mmh kiande tena?"

    “ndiyo maana yake yule Ally ni fara kama mafara wengine tu haiwezekani animaindi Mimi kisa yule Malaya wake"

    Musa alizungumza hivyo

    “basi nyamaza mwalimu yulee anakuja"

    Ducha akamtaka Musa anyamaze

    Muda wa mapumziko ulipofika wakatoka na kwenda kupata juisi pamoja na sambusa

    ”inamaana Ally leo hajaja shule?"

    Ducha akakumbushia kumuulizia Ally

    ”unajua nini Ducha kiukweli kabisa mimi na Ally tulikuwa ni zaidi ya marafiki yani nikama ndugu wa damu yote hii nikwaajili yako pale ulipotuunganisha sema ulipoondoka tu wewe tukaja kuzinguana kisa demu"

    Musa akizungumza hivyo

    ”mmezinguana kivipi? Mbona sikuelewi?"

    Ikabidi Musa aanze kumsimulia kisa na mkasa

    ”aisee yani mpaka mkafikia hatua ya kupigana kisa Mwanamke?"

    Ducha aliuliza kwa mshangao baada ya Musa kumaliza kusimulia

    ”ndiyo hivyo"

    “sio ndiyo hivyo watoto wakiume mnagombanaje kisa mwanamke?"

    Ducha alishakasirika Musa hakuwa na cha kuzungumza akabaki kimya

    “sasa sikia tukitoka hapa Shule tunaenda moja kwa moja nyumbani kwao"

    ”sawa kaka"

    Musa aliitikia kiunyonge wakanyanyuka na kurejea darasani

    *********

    Bibie Zaujia aliwasili nchini Tanzania na kufikia kwenye hoteli moja wapo zilizopo Jijini Dar es Salaam

    Ndani ya chumba alichofokia alionekana kuwa bize kuperuzi kwenye Website moja hivi iliyokuwa ikizungumzia swala zima la watu wasiojurikana wenye kuteka watu

    Kuwapiga kuwabaka na kuwapoteza kwenye uso wa Dunia kila alichokuwa anakipitia alikiandika kwenye kidaftari

    Mara simu ya mezani ikaanza kuita kwa fujo, akaiangalia kwa sekunde kadhaa akanyoosha mkono kuichukua

    “haloo"

    Zaujia alitamka hivyo

    ”samahani bosi kwa usumbufu Mimi ni yule Binti wa mapokezi"

    ”ohoo nambie Chiby"

    ”safi tu! Sema boss kuna mgeni wako hapa"

    Zaujia akashtuka baada kusikia kuwa kuna mgeni wake

    ”yukoje?"

    ”ni binti wa kipemba mrefu wa wastani,

    ”ni Mimi hapa"

    Sauti ya Laya ikasikika kumbe alimpokonya simu yule Muhudumu na kuzungumza yeye

    ”waweza ukamuelekeza chumba nilichopo

    Zaujia alizungumza hivyo ajabu Laya alianza Kuondoka pasipo kuelekezwa





    _____________

    wenye kuteka watu

    Kuwapiga kuwabaka na kuwapoteza kwenye uso wa Dunia kila alichokuwa anakipitia alikiandika kwenye kidaftari

    Mara simu ya mezani ikaanza kuita kwa fujo, akaiangalia kwa sekunde kadhaa akanyoosha mkono kuichukua

    “haloo"

    Zaujia alitamka hivyo

    ”samahani bosi kwa usumbufu Mimi ni yule Binti wa mapokezi"

    ”ohoo nambie Chiby"

    ”safi tu! Sema boss kuna mgeni wako hapa"

    Zaujia akashtuka baada kusikia kuwa kuna mgeni wake

    ”yukoje?"

    ”ni binti wa kipemba mrefu wa wastani,

    ”ni Mimi hapa"

    Sauti ya Laya ikasikika kumbe alimpokonya simu yule Muhudumu na kuzungumza yeye

    ”waweza ukamuelekeza chumba nilichopo

    Zaujia alizungumza hivyo ajabu Laya alianza Kuondoka pasipo kuelekezwa



    Songa nayo

    Sasa



    ”wee Dada wee Dada Sasa unaenda wapi huko? Wakati hata sijakuelekeza"

    Kwa hali ya uwoga muhudumu aliuliza na kumwita Laya aliyekuwa akibofya vitufe kadhaa vya lift Laya wala hakuitikia akaingia zake ndani ya Lifti taratiibu lifti ilijifunga na kuanza kupanda juu

    Alichokifanya muhudumu nikwenda kutoa taarifa kwa meneja wa hoteli hiyo

    “ndiyo bosi yani alipofika pale mapokezi pasipo kunisalimia aliniuliza swali tu! Kuwa Zaujia binti Sultan yuko hapa, hakika nilimshangaa sana yule binti ameshindwaje kuanza na salamu, kitu kingine kilichonishangaza kutoka kwake nikile kitendo cha kunipokonya mkonga wa simu akazungumza na mtu wake"

    ”khaa inamaana alikupokonya simu?"

    ”ndiyo bosi"

    ”bila shaka huyu Mwanamke atakuwa sio mtu Mzuri fanya haraka kutoa taarifa kituo cha polisi ili waweze kufika hapa"

    Meneja akatoa amri kuwa polisi wataarifiwe huwenda huyu binti akawa ni mmoja kati ya Magaidi

    Bibie Zaujia alikaza macho yake kuangalia mlangoni huku akiwa kaishikilia Vyema Bastola yake japokuwa alifahamu kuwa Laya ana uwezo wa kupitia sehemu yoyote ile sio mlangoni tu!

    “ohoo my dear"

    Sauti ya Laya ikitokea pembeni yake ndiyo iliyomgutusha na kumfanya amgeukie kwa kasi na kumnyooshea Bastola

    “yani wee mshenzi umeamua kunifatiria mpaka huku?"

    Zaujia aliuliza kwa ghadhabu

    ”sio kukufatiria kumbuka mi nawe tulipanga kitu gani kipenzi?"

    Laya akauliza swali

    ”sikia nikwambie kitu wee kijuso siku zote katika maisha yangu sikuwahi kuwa na urafiki na Mpakistani waaina yoyote yule, na sitegemei kuwa naye naichukia Pakistan na watu wake"

    Zaujia alizungumza hivyo

    ”kwanini unatuchukia? Kitu gani kibaya tulichokufanyia mpaka inafikia hatua ya kutuchukia hivyo,

    “shatapu!"

    Zaujia aling'aka pasipo kutegemea akafyatua Risasi sijui alisahau kufunga kiwambo cha kuzuia sauti maana sauti ya Risasi iliweza kusikika ndani ya hoteli nzima mpaka nnje watu walianza kushikwa na taharuki

    ”sikia nikwambie kitu Zaujia wewe sio kama unawachukia Wapakistani bali unanichukia Mimi kwa kosa la kukuulia mumeo mtarajiwa, hata hivyo nilishaomba Samahani mbele ya Hafidhi maana sikukusudia kumuua yeye,, Kama ungekuwa unaichukia Pakistan na watu wake usingeweza kumfunza maswala ya kijasusi yule Nustaty Kisha ukaenda naye vitani.

    Unampenda Sana yeye kuliko hata mdogo wako wa Damu aitwae Naah"

    Wakati wanaendelea kuzungumza mara waliweza kusikia ving'ora vya magari ya polisi

    Laya akasogea dirishani na kuchungulia nnje

    ”ohoo shit!"

    Zaujia alitamka hivyo baada ya kuona magari ya Polisi yakiwasili eneo hilo alishatambua kile kitendo cha yeye kufyatua risasi ndicho kilichowafanya polisi wawasili hapo

    Alipogeuza uso wake kumuangalia Laya mwenzake alishatoweka zamani yani Laya alipochungulia tu! Akasepa zake kama msala abaki nao Zaujia mwenyewe.

    Zaujia akawa anahaha mule chumbani mara akae kitandani mara asimame atembee tembee akatoa raba zake na kuzivaa kisha akaiweka ile bastola kwenye Begi akapiga hatua za kunyata kuusogelea mlango kumbuka yeye ni Komando aliyefanya misheni nyingi tena kwenye nchi za hatari kama

    vile Marekani Urusi Irani Afghanistan Korea kusini na Kaskazini na nyinginezo nchi zote hizo aliingia kwa oda maarumu ya kuua.

    Alipoukaribia mlango akakishika kitasa na kuufungua

    Akatoka nnje ya chumba hicho kwa kuambaambaa Ukutani akapiga mahesabu atelemke chini kwa Lift au Ngazi?

    Jibu alilolipata kuwa njia zote mbili kwake si salama akaangalia kushoto na kulia akawa anarudi kinyume nyume akachumpa kwa kupitia Dirishani alipopitia tu Dirishani na Lifti nayo inafunguka Aisee kumbe kikosi kazi cha ma FBI kilishawasili wakiwa na mitutu mkononi walinyata kwa kukisogelea Chumba alichofikia Bibie Zaujia pasipo kufahamu kuwa mwenzao anashuka chini taratiibu kwa kutumia kifaa maarumu alichokivaa mkononi ikawa kama Vile Spider anavyokamatia Ukuta ilikuwa ni Gorofa ya tisa

    Baada ya FBI kuvamia chumbani humu na kumkosa

    Wengine wakafanya haraka kutoka mpaka kwenye Korido wakawasiliana na wenzao waliokuwa wakipandisha juu kwa kutumia ngazi

    Kama ujuavyo Kariakoo watu ni nyomi ile sauti ya mlio wa Risasi mwanzoni iliwafanya watu kukimbia hovyo Sasa baada kuona Polisi na kikosi kazi kimewasili kikawafanya Raia nao wajivute eneo hilo

    ”jamani, mnaemtafute yule kulee"

    Mmoja kati ya Wananchi alipaza sauti kuwaambia polisi huku akinyoosha kidole kwa juu

    Polisi nao si wakamuona Bibie Zaujia alivyokuwa anateremka

    Risasi mfurulizo zilianza kuftatuliwa kuelekezwa juu Zaujia akawa anazikwema ile kiteknik

    Akajiachia kutoka kule juu huku akichomoa Bastola zake mbili naye alianza kujibu mashambulizi

    Siku zote Komando ni Komando tu haijarishi wakiume au wakike.

    Baadhi ya Polisi walianza kudondokeana kama vile kuku wenye mdondo Zaujia alikuwa na target ya hatari Risasi alizokuwa anaziachia zilikita kwenye mapaji ya Uso.

    Wananchi wakaona ehee hii sehemu sio ya kukaa walianza kukimbiana upya

    Zaujia akatua chini kwa kishindo pasipo kuchelewa alikimbia kwa kasi kuelekea kwa Mtoro alipokaribia eneo la Msikitini akadunda na kwenda juu Gorofani akabiduka sarakasi na kutua upande wapili akazidi kuchochora

    Hakika alionekana kuwa na mapafu ya Mbwa sasa hakufahamu kuwa anakimbilia wapi maana jiji la Dar es Salaam hakuwa analifahamu vyema akajikuta akiwekwa mtu kati baada ya kuwasili maeneo ya Polisi msimbazi

    “shambuliaa"

    Amri ikatoka ya kumuua Angalia ujinga wa Maaskari kwanza walikuwa wamemzunguka wote wakataka kumfyatulia Risasi

    Zaujia naye alishawasoma akafanya haraka kulala chini huku akitambaa kwa kasi Kama vile Mjusi kenge

    Maaskari wakajikuta wakichapana wenyewe,

    Kisha akasimama imara na kuingia ndani ya kituo cha mwendo kasi

    Akafyatua Risasi mbili tatu Kariakoo ikawa haitoshi si Machinga wala wanunuzi kila mmoja alikimbia kuokoa roho yake.

    Zaujia alibaki amesimama pale pale kwenye kituo cha mwendokasi akatoa kikaratasi fulani hivi na akakitupia macho kwa sekunde kadhaa ilikuwa ni ramani yenye kutoa maelezo ya jiji zima la Dar es Salaam akawa anakimbia kuelekea upande wa stendi ya Gerezani polisi na

    FBI iliwawia vigumu kumkimbiza yote ni kutokana na wingi wa watu uliokuwa umetawanyika huku nakule

    ”mmh shogaangu embu angalia kulee"

    Mmoja kati ya mabinti alizungumza hivyo kumwambia Mwanaidi kumbe na wao walikuwepo Kariakoo sijui walienda kufanya nini? Bila shaka ununuzi wa Madera

    “ohoo Mungu wangu wee Stumai tukimbie shogaangu"

    Mwanaidi alitamka hivyo sasa wakati Stumai akigeuka ili aanze kutimua mbio ghafla akajikuta akipigana kikumbo na Zaujia kikumbo ambacho kilimfanya Stumai apepesuka na kwenda kudondokea barabarani

    Mara puuh

    Stumai aligongwa na Pikipiki

    ”yaaa Stumaiii"

    Mwanaidi alipiga kelele huku akimkimbilia Zaujia aliyekuwa anatembea kwa mwendo ule wa haraka haraka kule kupigana kikumbo na Stumai kwa upande wake alichukulia Kama bahati mbaya wakati Mwanaidi aliona yule mtu ndiyo kamsukumiza rafiki yake si akamfikia na kumshika Begani

    Zaujia akazunguka kwa kuutoa mkono kilikuwa ni kitendo cha haraka Mwanaidi kujikuta akiwa kanyooshewa Bastola kichwani

    Ujuwe mpaka mda huo Zaujia alikuwa amevaa mavazi ya Kiume chini alivaa suruwali ya kijeshi flana nyeusi

    Wakati usoni alikuwa kajifunga nikabu nyeusi

    Mwanaidi alianza kutetemeka kwa uwoga

    Zaujia alimuangalia yule binti kisha akageuka na kupiga hatua za kuondoka

    ”wee mshenzi kum**mako"

    Lilikuwa ni zinga la tusi kutoka kwa Mwanaidi akimtukana Zaujia tusi ambalo lilipenya moja kwa moja kwenye mtima wa Zaujia

    Akageuka na kumrudia

    “yaaa yalaa mama yangu wee nakufaa

    Mwanaidi alishtukia akipigwa Risasi ya bega alipiga kelele na kudondoka chini

    *********

    Ilikuwa yapata majira ya saa kumi kasorobo ya alasir kengere ya kutoka Madarasani ilisikika ikilia kila mmoja alibeba Begi lake wenye mifuko walibeba mifuko yao

    Ducha na mwenzake Musa waliongozana kuelekea kwa kina Ally

    Alichokuwa anakitaka Ducha ni kufahamu kwanini wametengana japokuwa Musa alimuelezea kila kitu. Lakini yeye alitaka kumsikia na Ally

    “jamani jamani Kariakoo kumenuka"

    Ilisikika sauti ya jamaa mmoja akizungumza hivyo

    ”kivipi mpaka kumenuka watu wamejinyea nini?"

    ”sio hivyo yani iko hivi kuna Jambazi kavamia moja kati ya Benki sasa katika harakati za kukimbizwa na Polisi si akaanza kufyatua risasi hovyo

    Watu kibao wamededi"

    Yale mazungumzo yaliweza kusikika vyema kwenye ngome ya masikio ya Ducha alichokishika yeye ni neno Jambazi watu ambao anawachukia kishenzi

    ”au basi wewe nenda tu nyumbani kwenu acha Mimi nikazungumze na Ally"

    Ducha alibadirisha maamuzi

    ”mambo si ndiyo hayo kichaa wangu mi yule jamaa staki hata kuonana naye wee Kama vipi kachonge naye"

    Musa alizungumza kwa furaha wakapeana tano kitendo cha Musa kugeuka tu Ducha akatoweka

    Yani alipompa mgongo

    ”Ducha wee Ducha umepitia wapi wewe?"

    Musa aliuliza huku akimtafuta rafiki yake

    *******

    “wee niuwe tu!

    Haiwezekani umsukumize rafiki yangu mpaka amegongwa na Pikipiki yalaaa unaniumiza"

    Mwanaidi alizungumza kwa sauti ya kilio wakati huo huo Upepo mkali ulianza kuvuma bila shaka ni ujio wa Ducha nikweli alikuwa ni yeye Tena kaibukia eneo lilelile

    Kwakua Zaujia alikuwa kamuinamia Mwanaidi akilikandamiza lile jeraha kwa Bastola akashtukia

    Akikumbwa na kitu Kama upepo

    Uliomfanya arudi nyuma sema hakudondoka alisimama imara akakaza macho kumuangalia yule kiumbe aliyeibukia hapo

    Wakawa wanasogeleana yani Zaujia alishajisahau kuwa yeye ni Wanted ni vyema angeendelea kukimbia tu!

    Walipokaribiana walianza kushambuliana kwa mateke na ngumi zile za Dabo dabo uzuri kwa sasa Ducha amerefuka alishatimiza miaka kumi na nne so ana kimo

    Cha wastani navile alivyokuwa ametinga kipawa cha Ninja Ice basi alionekana kama vile mtu mzima

    Ikawa piga nikupige kama Zaujia aliwahi kupambana na Chinoge japokuwa alizidiwa uwezo Sasa kwa Ducha ndiyo ilikuwa balaa

    Bibie akarudi nyuma tena baada kupigwa ngumi nzito ya kifuani huku yeye akiachia teke zito lililotua kichwani mwa Ducha

    Wakawa wanaangaliana

    Ducha akatoa ishara fulani Nyundo ikaja ikaelekezwa kwa Zaujia ajabu Nyundo iligoma kwenda

    Zaujia naye akazitoa Bastola zake na kumuelekezea Ducha

    Kama mkono kwa mkono walishazichapa wakaona Sasa watumie Silaha

    Ducha alizunguka kwa kasi na kuachia zile Star zake zilizokuwa zikimfata Zaujia kwa Spidi ile ile

    Zaujia akajiandaa kuzikwepa lakini alijikuta akitandikwa Risasi ya mguuni iliyomfanya apepesuke akapigwa nyingine iliyotua begani nikabu ikamvuka sura yake Sasa ilionekana dhahiri machoni mwa Ducha aliyeshtuka baada kuiona sura ya mrembo yule akafanya haraka kuzizuia Silaha zake

    “na huyu je ni nani?"

    ”huyu anaitwa Zaujia naweza kusema ni mmoja kati ya Wanawake majasiri na wenye uwezo wa ajabu katika nyanja nzima ya Mapigano,"

    Chinoge alijibu hivyo

    ”ohoo unataka kusema ni Shemeji yangu?"

    ”ndiyo maana yake ukiachana na ushemeji tambua ana mtoto wetu"

    ”ohoo Mwalimu wee ni noma yani umekula mbunye hadi ya Muarabu"

    ”hahahahaha Umemuona na huyu anaitwa Laya naye ni mzazi mwenzangu"

    ”khaa! Hadi huyu umemjaza kitumbo?"

    ”ndiyo"

    ”duuh kweli wee noma Sasa mwalimu hawa Mademu zako wako wapi?"

    ”huyu mmoja ameshafariki na kuhusu huyu yupo Misri

    ”daah kumbe huyu mrembo ameshafariki na vipi kuhusu mwanetu?"

    ”kabra ya umauti kumfika Laya aliniambia ya kwamba Binti yetu yupo kwenye kituo kimoja wapo alichowahi kulelewa yeye nchini Marekani ni kituo ambacho kinawafunza watoto wadogo maswala ya kijasusi"

    Zote zilikuwa ni kumbukumbu za Ducha akikumbuka siku moja wakiwa wamekaa kule Kibaha Chinoge alikuwa na Arbaamu ya picha Sasa ile kuiona Sura ya Zaujia akamkumbuka alichokifanya Ducha ni kuwageukia FBI waliokuwa wakipiga hatua kumsogelea Zaujia aliyekuwa kajiinamia pale chini

    Upepo mwingine mkali ulianza kuvuma upepo wa safari hii ulikuwa zaidi ya kimbunga

    Maana vitu vilipeperushwa huku nakule

    Bunduki walizokuwa wamezikamatia FBI ziliwaponyoka ikawa mbele hawaendi nyuma hawarudi

    Upepo ulipokuja kutulia

    Hakuonekana Ducha wala Zaujia

    Mwanaidi naye sijui alipotelea wapi

    FBI wakabaki Kubung'aa macho







    _____________

    Zote zilikuwa ni kumbukumbu za Ducha akikumbuka siku moja wakiwa wamekaa kule Kibaha Chinoge alikuwa na Arbaamu ya picha Sasa ile kuiona Sura ya Zaujia akamkumbuka alichokifanya Ducha ni kuwageukia FBI waliokuwa wakipiga hatua kumsogelea Zaujia aliyekuwa kajiinamia pale chini

    Upepo mwingine mkali ulianza kuvuma upepo wa safari hii ulikuwa zaidi ya kimbunga

    Maana vitu vilipeperushwa huku nakule

    Bunduki walizokuwa wamezikamatia FBI ziliwaponyoka ikawa mbele hawaendi nyuma hawarudi

    Upepo ulipokuja kutulia

    Hakuonekana Ducha wala Zaujia

    Mwanaidi naye sijui alipotelea wapi

    FBI wakabaki Kubung'aa macho



    Songa nayo

    Sasa



    Polisi pamoja na FBI walibaki kuhaha huku na kule kile kitendo cha bibie Zaujia kutoweka kimiujiza kiliwachanganya sana walikuna vichwa na Sharubu zao

    ”hivi ule upepo ulitokea wapi?"

    Mmoja kati ya maafande alimuuliza mwenzake

    ”aisee hata mi mwenyewe sijui"

    Basi msako uliendelea pale waliingia mtaa kwa mtaa Gorofa kwa Gorofa kote huko Bibie Zaujia hakuweza kuonekana

    Kumbe kilichofanyika pale baada ya ule upepo kuvuma aliibuka Bibie Laya akafanya haraka kutoweka na Zaujia wakati Ducha aliyejivika taswila ya kutoonekana kwa macho ya kawaida akitoweka na Mwanaidi kila mmoja alimchukua mtu wake hapa tunamuona Laya akiwa katikati ya msitu mgongoni akiwa kambeba Zaujia

    “nimekwambia nishushe"

    Zaujia alisikika akitamka hivyo basi akashushwa chini kwa kulazwa kwenye majani

    Baada ya Zaujia kulazwa chini alichokifanya Laya ni kupiga mruzi

    “ohoo kuja kuja baby fanya haraka wewe"

    Zaujia alitamka kwa furaha huku akipunga mikono yake kumpungia Sokwe aliyeonekana akija mbio mbio haliyakuwa mkononi akiwa kabeba kile kibuya Sokwe alipofika pale akamkabidhi kibuyu Laya

    ”wee Ghost nipatie basi hiyo dawa"

    Zaujia alitamka hivyo

    ”nani Ghost?"

    ”si wewe hapo"

    ”ohoo kumbe mi ghost ehee Sasa kwa taarifa yako hii Dawa sikupatii wala nini"

    ”hapana Laya hutakiwi kufanya hivyo tambua mwenzako nipo katika hali Mbaya nipatie bana"

    ”umeniitaje?"

    ”Laya"

    ”ohoo kumbe jina langu unalifahamu ehee haya fumbua mdomo nikunyweshe"

    Laya alizungumza huku akifanya kumringishia kile kibuyu Zaujia akakiputa kibuyu chenyewe kikadondoka chini ajabu ile Dawa wala haikumwagika Zaujia akakichukua Kisha akagwida funda kadhaa wala haikuchelewa kufanya kazi majeraha yenyewe yalianza kufuka moshi Risasi zikachomoka majeraha yakatoweka Zaujia akawa sawa bin sawia

    ”asante"

    Zaujia alitoa shukrani kwa yule Sokwe aliyekuwa kakaa pembeni akiwaangalia tu

    ”unaweza ukaenda Sasa embu kamata hii"

    Laya alimtaka yule Sokwe aondoke Sokwe akakipokea kile kibuyu akakimbia hatua kadhaa mbele akatoweka

    ”inamaana Mimi hutaki kunishukuru?"

    Laya aliuliza swali

    “nikushukuru kwa kipi?"

    Zaujia naye akauliza

    ”bila Mimi kukuondoa pale Ungenaswa leo"

    ”ha!ha!ha! Wakunaswa Zaujia mimi au mwingine?"

    Mara upepo ulianza kuvuma na kufanya majani yapeperuke miti iliyumba

    Laya akataka kutoweka lakini Zaujia akawahi kumshika mkono

    ”wee nini embu niachie huko"

    ”inamaana unataka kuniacha hapa peke yangu?"

    ”embu niachie"

    Laya akautoa mkono wake lakini hakuweza kutoweka zaidi ya yeye kukaza macho kumuangalia kiumbe ambaye aliibuka mbele yao

    Hakuwa mwingine zaidi ya Ducha Duchani akiwa kwenye vazi la Uninja Ice

    Zaujia alimkumbuka vyema kiumbe yule

    Akajiweka tayari tayari kupambana naye

    Lakini walishangaa kumuona yule kiumbe akijivua ule muonekano kisha akaonekana kuwa ni kijana mdogo

    “shikamooni"

    Ducha akatoa salamu kwa kuwaamkia kwa pamoja Laya na Zaujia Lugha ya kiswahili wanaifahamu vizuri

    ”mmh marhabaa hujambo mtoto mzuri?"

    Laya ndiyo aliyeitikia na kuuliza swali

    ”sijambo je naweza kufahamiana nanyi?"

    ”bila shaka karibu tuzungumze"

    Zaujia aliitikia

    Basi wakakaa chini Ducha ndiye aliyeanza kujitamburisha

    “ha!ha!ha,huhuhuhu inamaana wewe ni kijana wa Chinoge Chinogae"

    Zaujia alicheka kifala baada ya Ducha kumaliza kujitamburisha pamoja na kusema kuwa anawafahamu kupitia Chinoge

    ”ndiyo Maadam"

    ”daah yani hata siamini aisee mtoto mdogo ulivyonitoa jasho la meno"

    ”hahahahaha"

    Ducha na Laya wakacheka

    Hakika lilikuwa ni jambo la furaha sana baina yao walizungumza mambo mengi mwishoe Ducha akaomba asaidiwe kitu kutoka kwa Laya

    ”haya nambie Mume wangu nikusaidie kitu gani?"

    ”kuna kazi moja hivi

    Sijaweza kuikamirisha bado Sasa nilikuwa naomba ukanikamirishie hiyo kazi Madam"

    ”nikazi ipi hiyo Mume?"

    ”wee naye mara hii kashakuwa mumeo kumbuka bado mtoto huyu usitake Kumbemenda bure"

    “hahahaha"

    Ducha akacheka baada ya Zaujia kumwambia hivyo Laya

    ”tulia wewe mtoto kwa mama yake huko"

    Laya akazungumza na kumfanya Ducha azidi kucheka

    ”haya nambie kuhusu hiyo kazi na mshahara wake"

    Laya alizungumza kiutani Ducha akanyoosha kidole mbele na kuwaonyeshwa tukio la kina Snop kuuwawa

    Ile video ilipotoweka tu na Laya naye akatoweka hakika alishikwa na hasira

    Baada ya Laya kutoweka Ducha akamshika mkono Zaujia ikawa kufumba na kufumbua Zaujia kujikuta akiwa Misri yani karudishwa Nyumbani kwao kwake aliona kama vile ni Ndoto lakini ndiyo hivyo haikuwa ndoto

    Wakati jeshi la polisi wanahaha kumtafuta Muuwaji aliyeuwa Askari polisi wapatao kumi na tatu mara wanapokea taarifa kuwa wanajeshi wawili wamekutwa wameuwawa kinyama kwa kukatwa Vichwa wakati huohuo

    kituo cha polisi kimoja wapo kilichopo Jijini Dar es Salaam Kikilipuliwa na Bomu huku ndani yake kukiwa na majambazi wanne na Askari watatu

    Wananchi wakapaza sauti kuwa Nchi imevamiwa na Alshababu msako ulikuwa mkali Wanajeshi FBI Usalama wa taifa wote waliingia mzigoni ili kuwatafuta Wauwaji vizuri zaidi waliouwawa ni walewale waliokuwepo Dar Live siku ambayo

    Snop na Sudi walipoteza maisha

    Binafsi yalikuwa matukio ya ajabu Sana kuwahi kutokea Tena kwa siku moja kilichopishana ni Masaa tu kumtafuta Muuwaji au wauwaji ikawa kama vile kuutafuta upepo ili uweze kuukamata Laya hakuwa anaonekana

    (DUCHA DUCHANI

    NIKO VITANI HATA SIJUI ADUI YANGU NI NANI

    NNA NYEMBE MKONONI NNA NYETO NYETONI

    Ducha alisikika akiimba hivyo kwa furaha ya ajabu Huku akilichezea Dudu lake Kama vile analipigisha NYETO kisasi chakina Snop kiliweza kukamilishwa na Laya baada kuimaliza hiyo kazi akaagana na Ducha huyo akasepa zake Ally na Musa waliweza kupatanishwa wakawa kitu kimoja

    ”Duchaaah

    “naamu Mwalimu"

    “embu muangalie yule Binti"

    Ducha akainua uso wake kumuangalia huyo Binti

    Alipomuona tu Ducha alikunja ndita huku akimuangalia Mwalimu wake

    ”nitamsaidiaaa"

    Ducha alitamka hivyo



    ****MWISHO***



     

     

0 comments:

Post a Comment

Blog