Search This Blog

Thursday 24 November 2022

RATIFA & MWAJUMA - 2

 

     

     

     

    Chombezo : Ratifa Na Mwajuma Season 1

    Sehemu Ya Pili (2)

     



    Ndani ya buss nilikuwa nimetulia kimyaa nikiwaza na kuwazua kuhusu kile ambacho bibi aliniambia nije kukichukuwa akisema ndio kinga yangu ya kumlinda bibiye Ratifa. Japokuwa ilikuwa ni ndoto nikaweza kuiamini, sasa narudi nyumbani nikiwa sina kile kitambaa wakati niliweza kukishika. “wee mkaka sogea huko basi’’,,,, ilikuwa sauti ya mwanadada akiniomba nimpishe akae yani kama nilivyokuja na kukutana na Sharifa sema nilishtuka na kujikuta nikisema Mungu wangu mwili ukaanza kunitetemeka na kutamani hata niruke nnje ya gari baada kuiona sura ya yule dada jinsi inavyotisha hakuwa na macho wala pua sehemu zote kulibaki mashimo na kuonekana wadudu aina ya funza wakiingia huku na kutokea kule. Sehemu ya mdomo kulibaki taya tu ndio zenye kuonekana kwakifupi alikuwa anatisha si kidogo usiombe siku ukakutana na kiumbe kama hiki nikazidi kujibana upande wa dirishani wakati nae anazidi kujisogeza kwangu, “Hafidhi huna haja ya kuogopa vitu vidogo kama hivyo fanya kukishika hicho kiumbe’’ ilikuwa ni sauti ya bibi akiniambia hivyo niligeuza kichwa kuangalia nyuma na mbele labda nitaweza kumuona. Lakini haikuwa hivyo nikatest zali kwa kumgusa yule binti akapiga yowe la uchungu huku akinyanyuka kwenye siti “jamani motoo’’,,,, naungua motoo, binti alipagawa si kidogo dereva akasimamisha gari tukiwa maeneo ya mto Rufiji, ilibidi kina mama wamsaidie yule binti kwa kumzuia asiendelee kuvua mavazi yake, kwani alikuwa akipiga kelele huku akivua nguo moja baada nyingine “hawezi kutulia pale hata wafanyaje msaada pekee mpaka uwende kumgusa tena,’’ sauti ya bibi ikazidi kuniambia nikageuka kwa hasira huku nikiachia zinga la tusi kumtukana bibi “niache bwana nyoko zako sitaki ujinga’’,,,, sauti yangu ilikuwa kubwa mpaka abilia wote wakageuka kunitazama mimi “jamani kuna nini tena ndani ya gari mbona vijana wawili wanachanganyikiwa hivi?’’ Baba mmoja akauliza sema swali lake likakosa jibu. Hali ilianza kuwa mbaya zaidi kwa yule binti kiumbe cha ajabu sijui jinni au mchawi mi sijui kwani alianza kubabuka ngozi huku damu zikimtoka kwa wingi hapo kila mmoja akashikwa na hofu na kuanza kugombea mlango wa gari kila mmoja akitaka kushuka aweze kuisalimisha roho yake. Wenye kuweza kupita kwenye madirisha wakapita nami nikajifanya kukimbia lakini nikapita karibu ya yule binti na kumgusa kisha nikashuka, kuanzia abilia dereva sijui konda na utingo wote tulikuwa nnje ya gari tukimuacha yule binti ndani ya gari akiwa peke yake, tukiwa nnje ya gari tena mbali kidogo tukaweza kumuona binti akishuka sema safari hii akiwa sawa sawia sura yake imekamilika ni mrembo balaa wakati anapiga hatua kutusogelea ndio tukazidi kutimua mbio nakuwa nae mbali. “vipi ndugu zanguni mbona mnatoka mbio hivyo’’ tulikutana na baadhi ya watu mmoja wao akatuuliza “msiende huko kuna shetani’’ kuna mwanamama akapayuka kwa kuongea hivyo sijui huyo shetani kamuona wapi, licha yakusema hivyo wale watu hawakuogopa ndio kwanza wakaongeza mwendo nami nikasimama na kurudi kule kwenye buss “wee kijana twende huku usirudi huko utakuja kufa shauri yako’’ yule mama akapaza sauti kuniambia hivyo, sikutaka kumsikiliza wakati nakalibia kwenye buss nikawaona wale watu wakiwa wamemshika yule binti wakimuuliza maswali nae akawajibu huku akilia “binti unaitwa nani?’’ “naitwa Aisha Sudy’’ binti akajibu “jamani naomba niwaambie kitu kimoja huyu binti amepandikizwa kitu kibaya ndani ya mwili wake. Hiko kitu ndio chenye kumsumbua, mwenye kuamini uchawi upo basi aamini. Asietaka kuamini nae abaki na msimamo huohuo, lakini kiukweli kabisa uchawi upo’’,,,, alitoa maelezo hayo mzee mmoja kati ya wale tuliopishana nao. “sasa nyinyi mnaweza kuendelea na safari huyu binti tukabaki nae tuweze kumpatia matibabu, “Aisha kwani upo na nani?’’ “niko peke yangu’’ basi wenye roho za uruma juu ya Aisha tukamchangia kiasi cha pesa huku konda akimrudishia nauli yake. Safari ikaendelea basi ndio ilikuwa gumzo la tukio lile kila mmoja aliongea lake kuhusu Aisha.



    Yapata majira ya saa kumi arasili gari iliweza kufika maeneo ya Mbagala rangi tatu jijini Dar es salaam kila mmoja akashuka na kupatiwa mizigo yake, hapo sasa ndipo nikaweza kujionea mambo mengi ya ajabu miongoni mwa mkusanyiko wawatu kumbe wengine hawakuwa watu, nilishangazwa sana kwa hali ile nionayo, sikutaka kujiuliza sana kwani nikaweza kujitambua kile kitambaa kimenifanya mimi niweze kuona viumbe ambavyo haviwezi kuonekana kwa macho yakawaida, nikajongea mpaka stendi ya daladala, “oyaa dogo vipi unaenda au?’’ Mpiga debe akaniuliza huku akinisaidia kulibeba pakacha langu ambalo ndani yake kulikuwa na kuku. Wakati hata sijamjibu kama naenda au laa, sema alikuwa hajakosea nikaingia kwenye DCM ya Kawe, nilifika nyumbani saa kumi na mbili jioni yote sababu ya foleni iliyopo katikati ya jiji, “whaoo!’’ baba huyo, jamani mwanangu yani mama ile kuniona tu akanilaki kwa furaha huku Nasra akinipokea mizigo na kuingiza ndani, “Asslam alaykum yaa Ummy’’ nilimsalimia mama yangu nae akaitikia kwa furaha “waaleykum ssalam yaa Ibnaiya vipi kwema huko?’’ akaniuliza swali kuhusu nitokako “Alhamdulillah ewe mama yangu, “haya karibu ndani ukae Nasra muandalie chakula’’ yani nilikaribishwa utasema mfalme vile yote mapenzi ya mama kwa mwanae. Nikaandaliwa chakula wakati nakula Nasra akaniambia kitu ambacho hamu yakula ikanipotea ghafla japokuwa nilikuwa na njaa, sema kauli yake ikanifanya chakula nikione kichungu

    Mfano wa muaruvela,

    “Afadhali kaka umerudi yani ile

    Jana kikundi cha mwendo wa neema nasikia

    wamempiga Ratifa mpaka kazimia hivi nikwambiavyo yupo hospitali

    Kalazwa,

    Nikainuka kutoka kwenye sofa mwili ukaanza kunichemka na kutamani kunyonya

    Damu, nikaanza kumsogelea Nasra mpaka akaogopa







    “Mamaa’’,,,, Nasra akapiga kelele kumwita mama baada kuona nazidi kumfata mfano wa Nsyuka, mama akatoka chumbani kwake nakuja kunishika huku akiliza “vipi mbona hivi? Hafidhi mwanangu mbona mwili wako umekuwa wamoto hivi?’’ mama akauliza maswali sema sikuwa na jibu la kumpa zaidi yakutaka kutoka nnje niende kumtizama kipenzi changu Ratifa “sasa unataka kwenda wapi? embu kaa hapa chini’’ Mama akaniambia hivyo na kunikalisha kwenye sofa, Nasra embu nenda kalete panadol zipo pale kwenye dressing table’’ bila shaka mama alifahamu mwanae naumwa basi dawa zikaletwa nikapewa na maji nikameza mama akafunga milango kila mmoja akaingia chumbani kwake kulala. Lakini mimi akili ilikuwa hainipi kabisa yani nilale wakati kipenzi change yupo hospitali hapana. Nikaamka na kuvaa nguo zangu nikatinga na raba kisha nikatoka nnje kimya kimya pasipo yeyote kusikia tatizo likaja hospitali aliyolazwa siifahamu kwani Nasra hakunitajia, ilikuwa yapata saa saba usiku nikaona niende kwanza nyumbani kwakina Maryam basi nikapiga haua za haraka kuelekea huko “wee dogo unaelekea wapi usiku wote huu?’’ kwanza nilishtuka baada kusikia sauti nene na nzito ikiniuliza swali nikageuka kumtazama kumbe walikuwa ni Sungusungu wenye kulinda mitaa yetu, “tunakuuliza wewe mbona haujibu?’’ mwingine akaniuliza sema nikabaki kimya na kuamua kuwapuuzia niendelee na safari yangu. Nikageuka niweze kuondoka kabla ya kutolewa amri sijui na kiongozi wao, “Kilenge embu mkamate huyo pimbi’’ basi Kilenge akaja mbio aweze kunishika kitendo cha kunikalibia tu nikageuka na kumpushi yani huwezi kuamini kilichotokea aisee nilipomgusa tu kitu kama kimbunga kiliweza kutokea na kumfanya Kilenge nimrushe utasema nimelisukuma pira akaenda kujibamiza ukutani. Wale sungusungu wengine kuona vile wakaja mbio, kunishika lakini hawakuweza nilijiona nishakuwa Marehemu Bluce lee nikakaa stance Martial artist “wee mtoto usitake kujitafutia matatizo na viakarate vyako vya kuokoteza tutakuumiza ohoo’’,,,, yule kiongozi wao akaniambia “bora muondoke eneo hili haraka sana vinginevyo nitakunywa damu zenu, niliongea kwa sauti ya kibesi mpaka nikahisi sio sauti yangu, si wakajifanya kujuwa kutaka kunishika nilizunguka na kudunda kwenye ukuta huku nikiachia kifuti cha kifua kwayule kiongozi wao akaenda chini nakuwa kimya nao wakajitahidi kunishambulia kwa virungu vyao ajabu sikuwa nasikia mauvivu yeyote yale.



    Kuonyesha nishakuwa nunda nilikuwa napanchi tu na kuwarushia makonde dakika si nyingi wote walikuwa wamelala chini wakiugulia maumivu, “sauti za majirani ndizo zilizonifanya niondoke haraha sehemu ile nikarudi zangu nyumbani “sijui nini kimetokea tena?’’ ilikuwa sauti ya mama akimuuliza Nasra kumbe vile vishindo na vulumai la mimi na sungusungu waliweza kuvisikia, hasa kelele zao wakilia kwa maumivu, “lakini mama tumuamshe na kaka tuweze kwenda nae’’ Nasra akamwambia mama eti waniamshe wakati mwenzao nipo nnje kitambo tu, “hivi hujui kama mwenzako anaumwa kwanza ndio kwanza karudi safari muache apumzike tu’’ nilikuwa nimebana nyuma ya ukuta nikiwasikiliza tu, huku majirani wengine wakiamshana na kuulizana kunani, baada kuona mama na dada wameondoka nikaingia zangu ndani mpaka chumbani kwangu na kutulia kimya nikaanza kucheka “ha!ha!ha!, aisee nimekuwa Donny Yen kudadeki mabwege wote watanikoma pasipo kufahamu ni nguvu za kile kitambaa cha bibi ndizo zimenifanya niwe hivi. Yani kama kuna kiumbe chenye nguvu za ajabu kimepandikizwa mwilini mwangu. Nilikaa macho nikifikilia hili na lile usingizi ukanipitia, sikuota ndoto yeyote mbaya mpaka nakuja kuamka yapata majira ya saa mbili asubuhi nikapiga pushap kama sabini hivi nikafanya zoezi la kuliweka vyema tumbo langu nikatoka nnje, “whao baba huyo ameamka’’ ilikuwa kauli ya mama akinichangamkia “Assalam alaykum yaa Ummy’’,,, “waaleykum ssalam yaa Ibnaiya vipi hali yako?’’ mama akaitikia salamu yangu na kuniuliza “mi mzima tu sijui wewe?’’ “basi ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu maana jana usiku kumetokea taflani kubwa baina ya Walinzi wetu na vijana wakihuni basi walinzi wamepigwa na kufikia hatua ya kuvunjwa viungo Kilenge kavunjwa kiuno wakati Makala kavunjwa mguu na mkono, yani hakika ilikuwa balaa’’ mama akasimulia basi nikatoka nnje na kumkuta Mwajuma na Nasra wakipiga umbea tu sijui walikuwa hawajaniona au makusudi nilimsikia Nasra akimwambia “embu acha uwoga wako kwani hujui kama mara yakwanza inauma lakini ukizoea utaona utamu wake’’ sikuweza kufahamu Nasra anamaanisha nini kusema vile nikawashtua kwa kuwatolea salamu “Assalam alaykum jamani’’ basi wakageuka na kuitikia kwa sauti ya kubabaika kidogo “Wa—aleyku,,,salam’’ sikutaka kujiuliza sana nikaingia zangu chooni nikatoka na kuingia ndani, dakika si nyingi nikatoka na kwenda nyumbani kwakina Maryam ile nafika tu kuna bajaji ikaja kupaki niliweza kumshuhudia Ratifa akishuka kwenye bajaji kwa kusaidiwa mkononi kavishwa hogo kichwani kafungwa bandeji. Niliwai kwenda kusaidia huku moyoni mwangu nikiwa nawaza ndivyo sivyo kwa watu waliomtendea hivi kipenzi changu, hata kutembea hakuweza nilimuona baba yake Maryam akitoa pesa kumpa yule dereva bajaji “ahaa mzee hii pesa mbona haitoshi’’ “samahani kijana wangu hiyo ndio niliyokuwa nimebakia nayo nyingine utakuja kuchukuwa baadae, nikitoka kwenye biashara zangu’’ mzee wawatu akaongea kwa sauti yachini sana “wee mzee usitake kuntania nipe pesa yangu’’ jamaa akawa mkali na kumkunja mzee wawatu, nikawai faster “wee Kaunda embu muachie mzee wawatu’’ nilipaza sauti kumwambia Kaunda mmoja kati ya washkaji zangu kitaa akamuachia na kuingia kwenye bajaji yake huku akiongea “ukisikia wanga wachawi ndio nyie vizee badala yakwenda vijijini kulima mnakuja kung’ang’ania mjini pesa hamna mnaishia kuomba omba nyoko zako,’’ hasira zikanishika na kujikuta nikimkunja mshikaji wangu nikamchomoa kutoka kwenye bajaji nae akanikunja tukawa tumekunjana. Lakini kuna sauti ilipenya kwenye ngome ya masikio yangu kwa kuniambia “Hafidhi punguza hasira muache huyo kijana usimfanye’’ nilimuachia kwa kumsukumiza akapepwsuka na kudondoka chini. Nilimkazia macho na kumnyooshea kidole “wewe ni binadamu gani usiejali utu yani unamtusi mzee wawatu kisa shilling mia tano tu, hakika hufai kuwa rafiki mbele yangu hivi hutambui huyu mzee ni sawa na mzee wako’’,,,, niliongea kwa hasira na kumwambia aondoke haraka eneo lile, akajiinua na kujipangusa michanga akawasha bajaji yake na kuondoka kwa aibu. “Hafidhi kijana wangu umejuwaje kama nadaiwa mia tano?’’ naweza kumwita baba mkwe mlezi akaniuliza “nilijuwa kwa kubahatisha kumbe kweli unadaiwa mia tano tu?’’ “ndio hiyo mwanangu mzee wako nazalilika, basi nilimpooza mzee tukaenda kukaa Ratifa akanisimulia mwanzo wa mkasa mpaka kufikia yeye kupigwa vile muhusika wa yote akiwa ni Mbwana yule basha wake wa zamani nikampa pole na kuondoka zangu mchana nilipanga ni namna gani nitaweza kulipa kisasi kwa mabwege hawa nikaona njia pekee kuwaibukia usiku nikiwa kwenye mavazi maalumu nisiweze kufahamika Mimi ni nani







    Nilizidi kuumiza kichwa kwa kupanga mikakati kabambe kila nikimfikilia Ratifa jinsi alivyokuwa hasira ndio zinazidi kunipanda.

    Wakati nikiwa kwenye msongo wa mawazo kama ujuavyo nikianza kuwaza naweza kukaa siku nzima nikiwaza tu. Hata kula nisikumbuke

    Nikasikia kama kitasa cha mlango wangu kuna mtu anakitikisa hivi, nikafahamu bila shaka atakuwa ni

    Mama au Dada Nasra sema siku zote

    Wanabisha hodi kwanza ndio wanaingia

    tofauti na mawazo yangu yalivyofikilia hakuwa mama wala Nasra alikuwa bibiye

    Mwajuma, yani huyu mtoto ana makusudi wee acha tu “naona umekaa chumbani ukiwa mwenyewe tu,"

    Akaanza kujiongelesha na kuja kukaa kalibu yangu

    “Hafidhi mbona unaonekana kama una mawazo unawaza kitu gani baby?"

    https://pseudepigraphas.blogspot.com/

    “nawaza sina pesa sina kazi yani niponipo tu

    Baby",,,,, nami nikamjibu na kumwita hivyo

    Basi mtoto wakike akanishika kidevu na kunitazama usoni huku akiuleta mdomo wake,

    Sema nilimkwepa na kuishia kunikiss shavuni.

    “Mpenzi niambie kiasi gani cha pesa unataka?"

    Mwajuma akaniuliza utasema nikimtajia atanipa

    “unaniuliza kiasi gani nikikutajia utanipa au?"

    Nikamuuliza,

    “wee taja kwanza kama ninazo nitakupa kama sina nitakutafutia,"

    Mwajuma akaongea kwa kujiamini

    “ok nilikuwa nahitaji shilling laki nne na nusu niweze kununua simu na kufungua biashara",,,



    “ha!ha!ha!ha!"

    Ajabu Mwajuma akaanza kucheka na kunilalia mapajani mwangu,

    “sasa mbona unacheka? Mi nilijuwa tu hiyo pesa huwezi kuwa nayo embu toka zako

    Niliongea na kumtoa mabajani mwangu.

    “unajuwa nini mpenzi"

    “nini kuhusu nini?"

    Nikamuuliza kwa kibesi kidogo maana nishaanza kuchukia “hiyo pesa mbona ndogo yani laki nne tu unaumiza kichwa hivyo

    Embu nisubili niende nyumbani nakuletea sasa hivi",, Mwajuma akaongea kwa kujiamini na kutoka chumbani kwangu binafsi sikutaka kuamini

    Kama dakika kadhaa mbele nakabidhiwa laki nne keshi nikabaki kuomba dua tu ndoto iwe kweli.



    Nikiwa nafikilia Mara Mwajuma huyo akaingia kwa mbwembwe huku mkononi akiwa kabeba kimfuko fulani, “haya fumba macho nikutolee

    Zawadi yako",,,,, Mwajuma akaniambia eti nifumbe macho, nikafumba jicho moja huku lingine nikimcheki kiwiziwizi.

    “fumba bwana sasa mbona bado unaona"

    Kwa sauti ya kudeka Mwajei akaniambia

    Nikaona isiwe shida wacha nifumbe

    “haya baby fumbuwa," nikafumbua na kukutana na kiboksi kipo mbele ya uso wangu

    “pokea basi baby hii ni zawadi yako

    Akaniambia huku akifanya kupiga goti chini. Nikajiuliza inamaana hiyo laki nne itakuwa mule kwenye boksi au? Nikakipokea na kukifunguwa kwa kiherehere Mungu wangu sikuweza kuamini

    Aisee baada kukutana na simu Samsung Galaxy tab ikiwa mpya kabisa “baby unataka kusema hii yakwangu?"



    “ndio yakwako kipenzi changu hiyo simu nililetewa na Shangazi kutoka Belgium ikiwa kama zawadi ya kuzaliwa kwangu nikaiweka ndani kwaajili yako

    Mpenzi na na zile pesa ni hizi hapa",,,,

    Mwajuma aliongea akiwa ni mwenye tabasamu

    Akanipatia kiasi cha pesa shilling laki

    Sita nikazidi kuchanganyikiwa, juu ya vile vitu,

    Nilikumbuka vyema mara ya mwisho kuwa na simu

    Nilikuwa nipo darasa la sita simu yenyewe ilikuwa Nokia ya tochi baada kuiokota kwenye

    Daladala wakati natokea shule, nikajiona bonge la mshua nikiwalingishia wanafunzi wenzangu

    Siku si nyingi wakaniibia nikaenda kwa Shekhe

    Asome albadiri aliyeniibia awe chizi

    Sema Baba akaja kumwambia Shekhe asisome

    kama simu ataninunulia ikawa ndio nitakununulia mpaka siku aliyopoteza maisha

    Japokuwa ahadi ni deni nilimsamehe baba yangu kabla ya kufukiwa kaburini,

    Leo hii napewa simu ya gharama kama hii

    “Hafidhi unawaza nini tena niambie nini tena unahitaji?

    Hafidhi nipo tayari kukufanyia chochote ukitakacho kwanza pesa si tatizo nyumbani kwetu nitakupa

    Chochote ninachohitaji kutoka kwako ni

    Mapenzi tu,"

    Mwajuma aliongea kwa hisia kali basi nikamshika kidevu.



    Na kuupeleka mdomo wangu kwake akafumba macho na kuacha kinywa wazi ni

    style ya Wanawake wengi sijui wanaona aibu au

    vipi. Mdomo wangu ukapokelewa na ulimi laini tukaanza kugombeana ndimi zetu huku

    Nikiupeleka mkono wangu mpaka kwenye chuchu zake ile naishika tu Mwajuma akashtuka

    “Aaah,,,mmmh,,,oooh,,aasssssa"

    Alianza kugugumia kwa sauti ya chini sana sekunde si nyingi kila mmoja akawa kama tulivyokuja duniani

    Mtoto wakike akapiga hatua kadhaa kuisogelea

    Sabufa yangu na kuiwasha kisha

    Akaifungulia simu yake na kuchukuwa waya wa audio akauchomeka kwenye

    Kidude cha headphone sauti ya mziki wa kwenye simu ikawa ikisikika kwenye Radio

    Nilibaki nimelala chali pale kitandani nikimuangalie jinsi makalio yake, yalivyokuwa yakitingishika

    Nikaona kama anachelewa nikainuka na kumfata nikamkumbatia kwa nyuma huku nikiipitisha mikono yangu kwa mbele na kukamatia dodo zake

    Mkono wangu ukashuka mpaka kwenye kidude mautamu nikaanza kukipekenyua

    kitumbua chake na kuanza kukisugua kwa kuingiza kidole na kukitoa “mmmmh,,,aaaaah,,,,a

    aaaishiiiiiiiiisssssssssss,,,,

    uuuuuh,,,,ooooh,,,alilalamika Mwajei huku akionyesha kuishiwa nguvu za kusimama “mmmmh,,aaaah,,aaais

    sssss,,, kilichoendelea

    Itabaki siri yetu nisimwage mchele penye kuku wengi

    Mkaja kumwambia Ratifa bure

    “Hivi umeingiaje humu chumbani kwangu

    kwani Mama hajakuona kweli?"

    Baada kumaliza mechi nikamkumbuka mama na kumuuliza Mwajuma,

    “Kwani hajakuaga?" Nae akaniuliza swali

    “aniage kwani ameenda wapi?"

    Yani ilikuwa swali juu ya swali,

    “si kaenda kwenye msiba nasikia kule bondeni kuna mdada amekutwa kanyongwa"

    “What?"

    Nikashtuka na kuuliza baada kusikia mtu kanyongwa,







    Nilishangazwa sana na kusikia eti mtaani kwetu kuna mtu kanyongwa, nikainuka kutoka kitandani “sasa unaenda wapi?’’ Mwajuma akaniuliza “si huko msibani’’ nikamjibu “kwani umeambiwa wanazika leo embuu njoo tuendelee bwana’’,,, bibiye kumbe anataka tena “yani baby hujatosheka tu, wakati siku ile ulisema unipi tena’’ nilimwambia huku nikimsogelea nikampandia kwa juu kwakuwa alikuwa kalala kifudifudi na kufanya makalio yake yaumuke kwa juu si ikasikika nyimbo ya Chura anarukaruka chura chura ananesanesa chura jamani jamani asikwambie mtu basi mtoto akanibidua na kuniweka mimi chini akaukalia mchumali wangu ahaa nimechapia sio mchumali ni msumali nisije kuonekana Mmakonde bure wenyewe wanasema chambucha chiendi na polichi chilipi kisa alimwaga sambusa za watu si akaambiwa polisi utaenda na sambusa utalipa. Si akajibu hivyo “mwagia ndani mpenzi wangu’’ aliongea hivyo Mwajuma kwa sauti nyororo ya kubembeleza karibu na sikio langu la kushoto,ili kunichanganya akaniingza ulimi masikioni kisha taratibu kiuno akawa anakishusha na kukipandisha yani ilikuwa juu chini “Aaaah,,,aaaaaaaah’’ nililalamika kimahaba kwani Askari alipenya ndani ya kitumbua chenye joto la utamu hasa. Na alivyo kuwa na makusudi bibiye aliuingiza ulimi wake mpaka ndani ya sikio taratibu kama ana,chokonoa lile tundu la sikio,hapo nilisisimka mwili wote. Niliishia kuguna kama mtu anayetaka kukata roho. Yani sikufanya kazi yeyote, nilikuwa nikineng’eneka kwa utamu tu, mtoto alijaaliwa kiuno kilichopewa sifa kwa kuitwa kiuno bila mfupa kwenye ulimwengu wa mahaba, na sio kupewa tu, alijua vyema kukitumia, jinsi alivyokuwa akizungusha na kumkuna Askari wangu na ule mnofu wa makalio ulivyokuwa ukizipigapiga kende zangu wee acha tu yani nikajikuta namsahau Ratifa kwa dakika kadhaa, basi Huku sikioni sasa, mtoto alitoa maneno machafu ya matusi huku akinibembeleza nimwage. “nakupenda mpenzi wangu, una Askari mtamu Ananikuna vizuriii,,,“sugua bebii suguaaaaa,,,taratibu jamaniiiii,,,utamuuuuu,,,aaasssssssssssssssssss,,,aaaaaaaaaaah”

    https://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Mtoto alizidi kukatika mpaka nikamwaga kabisa tena ndani humo humo alinikumbatia kwa nguvu kama anataka kuruka angani akiwa pamoja nami

    “pole sana mpenzi wangu, mmmh bao lako zito jamani hadi raha’’,,,, aliongea huku akijibinua mgongo wake mpaka makalio

    “Mwajei mpenzi’’ nilimwita kwa sauti ya kukwaluza kidogo maana kipute tulichotoka kukicheza nikahisi hata sauti yangu imepotea. “abee mpenzi’’ yani itika yake tu mi hoi “hivi wewe mzaliwa wawapi?’’ nilitaka kufahamu anatokea mkowa gani “mmh! Mimi kwetu Handeni mkoani Tanga’’,,,, akanijibu na kujisemea ndio maana umekuwa balaa kwenye haya mambo yetu. Basi akacheka na kuniaga lakini kabla hajaondoka akaniambia kauli ambayo sikuhitaji atamke vile “Hafidhi kipenzi changu naomba utambuwe kitu kimoja sipendi kushare mapenzi na kinyago yeyote yule please nakuomba kaa mbali na watoto wawatu usije ukawatafutia matatizo bure’’ Mwajuma aliongea hivyo akiwa serious “hapana baby usiseme hivyo kwanza tambuwa nilikwambia nini siku ile kuwa tayari nina mpenzi wangu, au nimefanya makosa kukubalia?’’ nilimuuliza pamoja na kumkumbusha “Hafidhi sitaki uniambie hivyo nipo tayari kumlipa kiasi chochote cha pesa huyo binti ili mradi aniachie wewe. Niambie huyo binti anaitwa nani na anaishi wapi niende kuongea nae’’ Mwajuma aliongea huku machozi yakianza kumtoka, sikuwa tayari kumtajia basi akaondoka kwa kuubamiza mlango kwa hasira. Nikaenda kuoga pamoja na kubadilisha mavazi kisha nikaenda kitaa kununua line ya Tigo baada kuipata nikaiweka kwenye simu nikarudi nyumbani na kumkuta Nasra analia huku jicho lake la kushoto limevimba “vipi tena Dada nani kakufanyia hivi?’’ nilimuuliza nikitegemea jibu sema hakutaka kusema nani kamtendea vile akaingia ndani na kwenda kujifungia chumbani kwake “sasa kama utaki kumtaja subili naingia kitaa nitamjuwa tu ole wake nitamnyonya mavi na paipu yangu hii’’,,, niliongea kwa hasira na kuupiga ngumi mlango wake si nikaivunja mbao ya mlango ajabu hii mpaka nikajiuliza nina nini mimi mbona kitu kidogo kwangu kinakuwa kikubwa “ahaa kaka umetoboa mbao’’ Nasra akaacha kulia na kushangaa sikumjibu kitu nikatoka wakati nakatiza kichochoro Fulani nikaweza kumsikia yule jamaa kama unakumbuka nilimfata na kumuomba tumpeleke Nasra hospitali ikasemekana ni shemeji yangu akichonga tu “sasa akamwite huyo kaka yake nimuonyeshe kazi pumbavu zake. Kwanza demu mwenyewe Malaya tu nime mgonga sana hadi nyuma aende zake’’ Kauli ya jamaa ikauchoma moyo wangu nikiwa kama kaka niliumia si kidogo yani dada yangu mimi anamwita Malaya eti kamfanya hadi nyuma. Sasa anatangaza mbele za watu ili iweje, subili basi nikamuibukia kibaya zaidi alikuwa kanipa mgongo nikatoka mbio nakwenda kumtandika teke kwa nyuma yani nilifanya kama kumsukumiza hivi akashindwa kujizuia akaenda msobemsobe na kujigonga kwenye ukuta nikamfata kwa kasi na kumrushia ngumi za haraka haraka “Hafidhi muache utamuuwa mwenzio’’,,,, nikaja kushikwa na wababa Fulani hivi nikajitoa mikononi mwao na kumfata huyu bwege wakati huo akiwa anavuja damu sema kabla sijamfikia mama akaja na kunichapa makofi ya shavuni na kunitaka niende nyumbani haraka. Binafsi namuheshimu sana mama yangu yani hata nikiwa na hasira vipi nikimuona mama tu nakuwa mpole nikaongoza njia kurudi nyumbani



    “wee bwege ungekufa leo

    Unatukana mamba kabla hujavuka mto shukuru mama yake amekuja vinginevyo ungeisoma number",,,, Nilimsikia jamaa mmoja akimwambia yule bwege

    “Hafidhi mwanangu hivi huwogopi kwenda jela wewe

    Yani umempiga vile mkaka wawatu

    Mpaka ukataka kumuuwa mwanangu kumbuka kuna jela ohoo!

    Mama aliongea hivyo basi tukafika nyumbani

    “Mama mwanao katoboa

    Mlango wangu, embu njoo uwone",,,,

    Nasra akamwambia mama nikamtazama kwa jicho kali nikamkunja na kumvutia kalibu

    Yangu, nikamzazia macho wakati

    Yeye akineng'eneka niweze kumuachia

    “Hafidhi unataka kumfanya nini tena huyo

    Dada yako embu muachie",,,, Mama akaishika mikono yangu ghafla akashtuka na kupiga yowe

    La uchungu

    “Uwiii nakufaa, motoo akadondoka chini na

    kuwa kimya nilimuachia Nasra na kumuwai mama pale chini

    “Mamaa" niliita kwa sauti kubwa huku nikimtikisa









    Licha ya kumtikisa huku tukipaza sauti kumwita “Mamaa amka mama" hakika hakuweza kuitika wala kufumbua macho “Nasra embu kwanza mpepee mi naenda kufata bajaji",,,,, Niliongea huku nikiwa natweta nikatoka mbio

    Mpaka kwa yule jamaa niliotoka kumpiga muda si

    Mrefu nikamkuta akikandwa maji ya moto

    Sehemu zenye maumivu ile kuniona tu akakurupuka na kukimbilia chumbani kwake akajifungia kwa ndani. Nilitamani hata kucheka,

    “oyaa Shemu tafadhali naomba msaada wako mama yangu kaanguka ghafla,

    Nahitaji msaada wa usafiri please funguwa mlango, nilimwambia hivyo kwa sauti ya huruma kidogo.

    Lakini hakutaka kufunguwa mlango akiogopa kipigo,

    Akanipitishia funguo ya bajaji kwa chini

    Sikutaka kujiuliza nikaichukuwa na kuifata bajaji

    Nikaiwasha na kwenda nayo nyumbani

    Kupitia msaada wa kina Othmani tulimpakiza mama na kumuwahisha hospitali

    Alhamdulillah mama aliweza kurudiwa na fahamu zake baada kupatiwa huduma, kwakuwa usiku ulikuwa ushaingia ikabidi Mama apatiwe kitanda “sasa kijana itabidi mama yako

    Alazwe",,,, Daktari aliniambia hivyo nami sikuwa na jinsi nikaenda kuongea na Nasra

    “Dada"

    “Abee kaka"

    “sasa Doctor kasema mama hali yake bado haijawa nzuri itabidi usiku huu alazwe hapa.

    Kwahiyo nakuomba ewe Dada yangu ndani ya usiku huu ubaki kumlinda mama

    Mimi nikalinde nyumba",,,,,, niliongea kwa msisitizo

    “sawa nimekuelewa sasa tatizo nina njaa nahapa nilipo sina hata sentano"

    Dada aliniambia hivyo “kuhusu chakula wala usijali sijui wapendelea kula nini?"

    Nilimuuliza huku nikitabasamu. “sasa kwani nikikutajia hiko chakula utakitolea wapi?"

    Dada akaniuliza binafsi hakutambua kama

    Mwanaume nimejaa nina pesa chafu yani

    Laki sita nilijiona zaidi ya Biligeti

    “wee sema unataka nini nikakuchukulie"

    ,,,,

    “Nataka chips mayai na kuku nusu

    mishikaki soseji

    Mwambie aweke kachumbali nyingi"

    Dada aliongea kiutani tu, kwani alitambua sina uwezo wa kumnunulia hiko chakula

    Sikuongea sana nikainuka na kutoka nnje ya hospitali kutafuta vibanda vya chips

    Niliweza kukiona nikaagiza chips mifuko

    Mitatu mmoja wangu mwingine wa mama

    uliobaki Nasra nikarudi hospitali

    “wee inamaana umeenda kuninulia kweli?

    Aliniuliza huku akiupokea mfuko wa chipsi

    “Embu acha maswali yako, sasa hizi nyingine kampe mama wacha mi niwai nyumbani",,,, nilimuaga na kuingia kwenye bajaji. Kwa wakati huo Othman na Akida walishaondoka kitambo tu.

    Nikageuza bajaji na kuelekea nyumbani njia nzima nikiwaza kuhusu tukio lililomtokea mama kwanini kashtuka nakupiga kelele za moto baada kunishika Mimi tu, nikajiambia bila shaka ndani ya mwili wangu nina kitu si chakawaida. Niliingia kitaa na kuirudisha bajaji kwa mwenyewe

    Safari hii jamaa hakunikimbia zaidi ya kuniomba msamaha huku akitaka kufahamu hali ya Mama.



    Nikampa majibu na kuelekea nyumbani mpaka muda huo sikuweza kumkumbuka kipenzi changu Ratifa, nikaingia ndani na kuziweka chipsi mezani lakini kabla sijala taswila ya Ratifa ikanijia mbele ya upeo wa uso wangu. Kama unanipenda je utanilinda? Ni sauti iliyoweza kupenya vyema kwenye masikio yangu, nikweli Ratifa nampenda kupita kiasi je mpaka sasa nimemfanyia jambo gani la maana. Nikainuka na kuzifunga zile chipsi nikaelekea kwakina Maryam ilikuwa yapata saa tano usiku hiyo nilipokalibia nyumbani hapo nikafanya kunyata kwa kuambaa na ukuta. “basi usilie mume wangu jikaze wewe ni mwanaume kama huyo kijana kakupiga na kukuchania kanzu yako, usijali wewe muachie Mungu ndio mlipaji wa yote’’ ilikuwa ni kauli ya mama yake Maryam akimwambia mumewe maana nilimsikia kwa sauti ya chini sana akilia, nikatega sikio niweze kufahamu nini kimemkuta baba mkwe wangu “haiwezekani mtoto mdogo kama yule anidhalilishe kisa tu shilling mia tano kanipiga kama mwanae kanidumbukiza kwenye mtaro wa maji machafu, huku vijana wenzake wakishangilia tu. Hakika nimefedheheshwa sana mke wangu, Kaunda wa kunifanyia mimi hivi basi Isha Allah Mungu amjaalie miguvu kwa kunyanyua vyuma atuchape wazee kama sisi, Mke wangu nataka kulala’’ sio siri nilijikuta nadondosha chozi baada kumsikia mzee wa watu akiongea kwa majonzi makubwa sana nikaamba na ukuta mpaka chumba ambacho bibiye Ratifa analala hapa ndipo nikachanganyikiwa zaidi baada kumsikia Ratifa akilia kwa sauti ya kwikwi akiongea kwa kumshitakia Mwenyezi Mungu nikamsikiliza kwanza “Ee mola wangu nikipi nimeweza kuwakosea walimwengu, nafahamu ndio maneno hayauwi. Lakini mja wako naumia nateseka kila kona naitwa mi Malaya ni mwanamke nisiefaa. Ee mola nikutanishe na wazazi wangu, japo niweze kujifuta mchozi kwa kiganja cha mama yangu, nilindie kipenzi changu Hafidhi asije akaniacha kwa kusikiliza maneno ya watu, kiukweli nampenda sana’’,,,, maneno ya Ratifa yakazidi kuuchoma moyo wangu nikaweza kufahamu kila siku ya maombi yake ananiombea namie. Nikajifuta machozi na kusogea dirishani nikaita kwa sauti ya chini sana “Ratifa mpenzi’’,,,, Ratifaa,,, baada kumwita akanyamaza kimya na kuitikia “abee’’ “njoo hapa dirishani’’ basi akasogea mpaka dirishani na kufunua kipande cha kanga ambacho walifanya kama panzia ukicheki dirisha lenyewe hata nyamvu hakuna,



    “Assalam alaykum yaa Ukhty’’ nikajenga tabasamu la bandia usoni mwangu na kumsalimia “Waaleykum ssalam yaa sijui nini maana mwenzako nimekimbia madrasa zamani sana’’ Ratifa akaitikia japokuwa alishindwa kumalizia yaa Akhii “baby unajuwa usiku huu mwenzako sikuweza kupata lepe la usingizi kabisa. Nikaona bora nije kupitisha macho kwako, na istoshe leo nyumba nzima nipo peke yangu’’ niliongea hivyo nikitaka Ratifa aseme basi twende tukalale wote, “kwani mama na wifi yangu wameenda wapi?’’ “mama yupo hospitali kalazwa Nasra nae ndio anamtazama mama’’ “ohoo pole sana mama anasumbuliwa na nini?’’ “asante sana hakika nishapoa alipatwa na presha yani ilipanda ghafla’’ “dahaa pole yake Allah amjaalie aweze kupona nitafurahi siku nikimuona akipiga vigelegele juu ya harusi yetu ha!ha!ha!’’ Ratifa akaongea na kuangua kicheko basi tuliweza kuongea mpaka ikatimia saa saba usiku “sasa baby unaonaje ukinipa kampani tukalale wote’’,,,, nilimwambia huku nikitegemea jibu zuri kutoka kwake, “lakini baby si unafahamu kuwa mimi naumwa usije ukaniumiza bure’’ Ratifa akanikumbusha yeye ni mgonjwa “ohoo shit! Samahani sana kipenzi changu yani nilishasahau kama umgonjwa’’ nilimpatia zile chipsi tukaagana nikiwa njiani narudi nyumbani nikajiona bwege kwa kutamani kulala na Ratifa, si ataniona mwanaume limbukeni mimi’’ nikapanga kesho kabla sijaenda hospitali kumcheki mama nimfate Kaunda nyumbani kwao sitojali kama kaka yake ni mwanajeshi au vipi kama mbwai wacha iwe mbwai.



    Usiku ulikuwa mrefu sana kwa upande wangu niliwaza kufanya mambo mengi sana katika dunia kama kweli nimepewa kipawa cha nguvu za miujiza wacha nikitumie kuwatetea wanyonge nahisi hata siku nikifa nitakumbukwa daima watoto watakuja kunisoma kwenye vitabu vya kihistoria kwamba nchini Tanzania alitokea shujaa mmoja aitwae Hafidhi j Ikram alikuwa ni shujaa wa kuogopwa.







    Hatimae usingizi ukanipitia nililala unono sikuota cha kitambaa wala msambaa, sema nilipitiliza kulala nikaja kushtuka kutoka usingizini sijui saa ngapi sema jua lilikuwa kali kidogo baada kuchungulia dirishani kabla sijatoka chumbani kwangu nikasikia mtu akipisha hodi kwa kugonga mlango wa uwani nikaenda kufungua “whaoo alikuwa ni mama na Nasra wakiwa na yule shemeji yangu uchwala wacha nimwite hivyo nyoko zake. Bora dada zetu tukingekuwa tunaowa sisi wenyewe kuliko kutmbea na maboya kama hawa yani kajitapa kamla nyuma dada yangu kama si ubwege nini. “lione bichwa kubwa ubongo wa mende yani umelala mpaka saa tatu wakati unafahamu hospitali umeacha mgonjwa’’,, Nasra akaanza kunisema “Nasra embu muandalie mama uji’’ Shemeji akaingilia kati hapo kidogo ikawa afadhali Nasra akaanza kuandaa uji wa mgonjwa “dada ehee’’ nilimwita wakati naenda nnje kupiga mswaki “abee unasemaje’’ “uji uwe mwingi namimi nataka’’ “kama unataka kaoge kwanza uji wa mgonjwa huu kwani nawe unaumwa?’’ wakati nataka kumjibu kuna mtu akaja nyuma yangu kwa mwendo wa kunyata kwakutumia mikono yake laini akanitekenya niliruka na kugeuka basi yeye akacheeka “ha!ha!ha!ha! yani wewe mwanaume ni mtu wa ajabu sana yani inamaana ile jana hazikuisha tu?’’ Alikuwa ni bibiye Mwajuma akaniuliza “ziishe nini?’’ “nyege’’ “embu toka zako kwani ziishe umeambiwa nimeikata hii paipu yangu, “whaoo wifi huyo’’ yani ile Nasra kutoka ndani tu akaja kukumbatiana na Mwajuma wakiitana wifi “vipi mbona kama sioni dalili za bagia zimeisha mapema nini?’’ “ahaa shost wee acha tu mwenzako jana mama alianguka ghafla na kupoteza fahamu basi tukafanya kumuwahisha hospitali hivi unionavyo ndio tunaingia mida hii’’ “ohoo Mungu wangu poleni sana’’ baada Mwajuma kutoa pole akaingia ndani kwenda kumuona mama, “kaka umeliona zinga la totozi’’ Nasra akaanza kunichokoza kwa kutaka kunitekenya wakati mwenzake napiga mswaki,



    Sema ndio yalikuwa ni matani ya dada na kaka tukiwa watoto pekee wa marehemu mzee J Ikram na bibiye Rehema Saidi baada kumaliza kupiga mswaki nikaenda kuoga nikanywa uji wa ulezi na chapati tatu, nikatoka kuingia kitaa safari yangu ikanipeleka mpaka nyumbani kwakina Kaunda nikamkuta kaka yake akipaka viatu kiwi “mambo vipi brother’’ nikamsalimia kisela tu, “fresh vipi dogo hujambo?’’ “yeah mi sijambo vipi Kaunda yupo?’’ “Kaunda katoka sasa hivi akiwa na Akida bila shaka utakuwa umepishana nao’’ “hapana sijapishana nao mimi nimetokea njia hii so itakuwa wao wameingilia njia nyingine,’’ niliongea huku nikiondoka pasipo kumuaga “Hafidhi’’ nikamuona akisimama na kuniita “ehee niambie brother’’ “au basi wee nenda tu’’ sijui alitaka kuniambia nini akaghailisha, sikutaka kujiuliza sana nikashika njia mi huyo safari ya kuelekea maskani kumtafuta mbaya wangu njia nzima nilikuwa nikiuma meno na kukunja ngumi kwa hasira, nikaweza kufika maskani na kuwakuta washkaji kibao wakipiga stori za hapa na pale nikaangaza macho huku na kule kumtafuta Kaunda hakuwepo “oyaa mwana naona tokea uanze kuwa sharo basi siku hizi mikausho mingi hata kwa washkaji zako sio’’,,,, alikuwa ni mshikaji wangu Geradi akinipa tano na kuniambia hivyo, “hapana G.soso unajuwa life kipindi hiki yametaiti kishenzi yani wee acha tu so unakuta muda mwingine tunakuwa bize utasema machizi vile’’ nilimwambia huku nikizidi kuangaza macho si nikaiona bajaji yake ikija pande zile, nikakunja zinga la mgumi “au sio mwanangu mwenyewe sema nini kaka kule bondeni kuna mmama wakipemba hivi juzi kati kanunua bajaji mbili mpyaa yani kitu kutoka India so anasaka dereva’’ Geradi ukipenda muite G. soso akaniambia kidogo nikakunjua ngumi na kumuuliza “unasema kweli G?’’



    “ndio kweli kama vipi twenzetu hata mida hii maana tukizubaa tutakuta watu washachukuwa vyuma vile’’ wakati Soso akiniambia hivyo Kaunda akapaki bajaji yake na kushuka sikutaka kumkawiza niliruka kwa kudunda utasema mpira na kumtwanga ngumi ya uso Kaunda akayumba kabla hajakaa sawa nikaja na mateke ya free kick

    Ni mateke ambayo yanakuja double double

    Nilikita kifuani kwake nikazunguka na kumkaba roba moja nzito huku kichwa chake nikikibamiza kwenye ukuta wa mtaro

    Damu nyingi zikaanza kumtoka puani na mdomoni.

    Washkaji wakajitahidi kugombelezea ugomvi sema ikashindikana

    Kaunda alikuwa ni sugu ndio kwanza akaivua T-shirt na kujifuta damu huku akiwa katunisha mbavu nene

    "Mtoto wa Malaya wewe sogea sasa nikuonyeshe kazi",,,,,, aliongea kwa kujiamini huku kakunja ngumihttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Nikaona isiwe shida kama maji nimeyavulia nguo sina budi kuyaoga

    Nikavua T-shirt yangu kwa kuichana

    Utasema Hulk Hogan

    Yule mcheza mieleka wakipindi hiko akiingia uringoni

    Lazima achane T-shirt kwa kuivua

    Washikaji wote na watu wengineo wakabaki macho kodo kuniangalia mimi yani nilikuwa zaidi ya

    John Cena au Batister nilikuwa nimetuna zaidi ya Hulk nilimuona Kaunda nae kanywea

    Akapiga magoti kuniomba msamaha nilishangaa sana

    Lakini sikutaka kukubari msamaha wake

    Nikamfata na kumrushia ngumi kama mbili

    akayumba kudondokea Pikipiki

    Nikamfata na kumshika mguu nikaanza kumbuluza

    Washkaji wakaja kunishika nikawabwaga huko yani

    Nilikuwa na nguvu za watu mia moja

    Sijui nani alipiga simu polisi wakati naendelea kumtandika Kaunda nikajikuta nashikwa na kuvishwa pingu

    Huku nikitembezewa virungu vya ugoko

    “unataka kuuwa sio?

    Bange zako ndio zilivyokutuma ehee sasa pumbavu zako utaenda kunyea debe,"

    Ilikuwa ni kauli ya afande mmoja akiniambia hivyo wakati nikiwa nimepakizwa kwenye Defenda

    Sikumjibu kitu basi kwa hasira zake

    Akanipiga teke la uso na kunitemea mate

    Mpaka tunafika kituoni nikashushwa na kuingizwa kwenye chumba kimoja wapo

    “yani hawa vijana wananyua mivyuma kisha wanaingia mtaani kupimisha uwezo wao

    “unaitwa nani kijana?"

    Alikuwa afande mwingine akisema na kuniuliza swali

    “Naitwa Hafidhi"

    Nikamjibu

    “ehee Hafidhi nani?"

    “J Ikram"

    “what!? Unataka kusema wewe ndio yule

    Hafidhi aliyoko kule gerezani? Mbona wewe ni kijana mdogo sana au unataka kututisha kutokana na hilo

    jina?"

    Afande yule alionekana kushtushwa sana baada kumtajia jina langu kamili

    Basi nikaambiwa nivue mkanda viatu

    Basi nikatoa kila kitu kisha nikaswekwa Lokapu





    Nikiwa Lokapu nikatulia kimyaa nikiwaza na kuwazua mambo mengi tu.

    Nikiwa naendelea kuwaza ndipo nikasikia naitwa

    “Hafidhi j Ikram" binafsi Lokapu nilikuwa nipo peke yangu hakukuwa na mtuhumiwa mwingine.

    Basi nikainuka na kusogea kwenye nondo

    Pasipo kuitikia.

    Sikuweza kuamini macho yangu baada kumuona kaka yake Kaunda akiwa kaongozana na

    Wanajeshi wenzake kama watatu hivi

    wote wakiwa ndani ya kombati zao

    “kijana unabahati sana kaka yako kaja kukutolea

    Zamana kuanzia sasa upo huru"

    Afande aliniambia huku akinikabidhi vitu vyangu sema moyoni nilikuwa na hofu kwani

    Nilitambua kitendo cha kuja kunitolea

    Zamana pale ilikuwa ni moja kati ya

    Plani ya kupelekwa Lugalo

    Nikajaze pipa kwa kisoda au kupewa

    Adhabu nyinginezo, bila kusahau nitapigwa

    “haya kijana safari njema"

    Aliniaga yule afande tukatoka nnje ya kituo.

    “Hafidhi mdogo wangu kwanza naomba unisamehe Mimi kwani sikuweza kufahamu kama Kaunda kakukosea, wakati ulipokuja nyumbani nilitaka nikuulize unamtafuta Kaunda wa nini.

    Sema sikuweza kufanya hivyo, binafsi nimesikitishwa sana na kitendo alichokifanya Kaunda kwa kumpiga Mzee wa watu.

    Yote kwa yote akijivunia kazi ya kaka yake

    Mimi si miongoni mwa wanajeshi wenye

    Kuhitaji kufanya mambo yasiofaa kwenye jamii. Nimeingia jeshini kwaajili ya kutaka kuilinda nchi yangu pamoja na watu wake, Hafidhi mdogo wangu unaweza kwenda nyumbani’’ Nilishangazwa sana na kauli ya kaka yake Kaunda yani aliongea kwa upole sana tofauti na Wanajeshi wengine kitu kidogo tu wanakupiga na kukupa adhabu ambazo hazistahili kwa binadamu wa kawaida, nakumbuka kuna kipindi walimpiga dereva bajaji mpaka kupelekea kifo chake kisa tu alipaki bajaji sehemu ambayo wao walikuwa wakifyeka nyasi. Kumbe kijana wawatu bajaji ilimzimikia ghafla wakati akikatiza maeneo hayo akajitahidi kuwaelewesha lakini hawakutaka kumsikiliza walimpiga mpaka kifo kisha wakakimbia. Sikuwa na budi kuagana nao wakati naondoka akaniita “Hafidhi kaka’’,,,, nikageuka kumtazama nikamuona akitabasamu kisha akanipigia saruti huku akiniambia nijiandae kuwa mjeshi. Nilifurahi sana kuisikia kauli ile nami nikampigia saruti na wenzake wakafanya hivyo, mpaka hapo hofu iliniondoka nikiwa narudi nyumbani huku nimevaa ile t-shirt yangu iliyochanika, nikakutana na ndugu zake Kaunda yani mama yake wengineo wapo kama sita hivi. Nikatamani nigeuze nirudi nilipotoka sema nikajipa moyo wacha nipishane nao “vipi mwanangu hujambo?’’ nilishtushwa na sauti ya mama yake Kaunda akiniuliza kama sijambo, “s---ijaa-mbo, shi—kamoo’’ kwa sauti ya kubabaika kidogo nikamjibu na kumuamkia “ marhabaa vipi mbona sauti yako imekuwa hivyo unaumwa au?’’ “hapana siumwi niko sawa tu’’ nikajikaza na kumjibu, “basi msalimie mama mwambie Kaunda amelazwa katika hospitali ya Muhimbili kwani alipelekwa Mwananyamala hali yake ikaonekana sio nzuri ndio kahamishiwa Muhimbili’’,,, “sawa nitamfikishia huo ujumbe mpaka hapo nikajiuliza moyoni mwangu kwanini ndugu zake Kaunda wamekuwa wapole sana juu yangu nilifahamu baada tukio la kumpiga ndugu yao wangekuja juu kama moto wa kifuu, ajabu hata mama yake hakunikalipia wala kunisema juu ya kumpiga mwanae. Nikafika nyumbani na kumkuta Nasra akiwa amekaa na mama pale sebleni nikapitiliza moja kwa moja mpaka chumbani kwangu nikamsikia Nasra akimwambia mama “mwambie basi’’ Nikatega sikio nipate kusikia mazungumzo yao. “Nasra’’ “abee mama,’’ “naomba nikwambie kitu kimoja usije ukathubutu kumtenga ndugu yako, kutokana na tabia yake hii, siku zote nyoka hawezi kuzaa kenge yani atazaa nyoka mwenzie. Kwakifupi Hafidhi kafata tabia ya marehemu baba yenu kwani wakati wa utoto wake mpaka ujanani alikuwa ni mtu wakupenda kupigana kila wakati popote kwenye vurugu basi ataenda kujiunga ilimladi apigane niliweza kumvumilia nikajitahidi kumuhusia lakini hakutaka kunielewa kabisa akidai siku zote Mwanaume wa kweli hatakiwi kuwa mnyonge ikafikia hatua akamkata masikio kijana mmoja. Akakamatwa na polisi kesi ikaenda na kuhukumiwa kwenda jela mwaka mmoja na miezi kadhaa nilikaa kumsubili siku anayotoka tu akapigana na Mangi wa pale dukani kisa alimsikia akikuita wewe mpenzi kipindi hicho ulikuwa bado mdogo ndio kwanza una umri wa miaka mitatu Mangi akajuta kwani alipigwa na kuvunjiwa chupa za bia kichwani. Baba yako akakamatwa tena, akahukumiwa miezi sita jela nilikuwa ni mtu wa kulia tu, kwani raha ya mume sikuwa nayo. Alipokuja kutoka nikaenda nae Kilwa huko akafanyiwa tambiko na kuwa mtu mwema. Nasra,’’ “abee mama’’ “kama itatokea siku nikafa ghafla naomba umpeleke Hafidhi kwa mama kule kilwa bila shaka atafanyiwa maombi aweze kuondokana na jinamizi hili,’’ Nilimsikiliza mama kiumakini sana hasa kuhusu historia ya baba yangu pia nikafikilia kuhusu swala la mimi kupelekwa kilwa nikajisemea hapana kilwa sikanyagi ng’oo.



    Siku iliweza kupita pasipo kutambuwa chochote kuhusu hatma ya maisha ya Kaunda kwani nilisikia kahamishiwa chumba cha wagonjwa mahututi hakika nilimpiga vibaya sana. Kesho yake asubuhi nilikuwa nimekaa kibalazani nakunywa chain a kiporo kama kawaida yangu nakwangua hadi ukoko, “utatoboa sufulia’’ nikainua kichwa kumuangali anaeniambia hivyo japokuwa nilishamfahamu ni Ratifa huku akichechemea akaja kukaa pale kibalazani. “kwani nikikwangua sana sufulia inatoboka ehee?’’ nikamuuliza, “ndio maana yake, kwanza mtoto wakiume hutakiwi kula kwenye jungu utakuwa hauwoi shauli yako’’,,,, akaniambia na kunipiga kikofi shavuni basi nikajisikia raha binafsi Ratifa alikuwa na dimpozi huku nikitamani kuuwona mwanya wake mwanana kila muda akicheka au kutabasamu basi moyo wangu unapwita “vipi unaelekea wapi?’’ “naenda hapo kwa Mangi kukopa sukari’’ “embu nisubili nakuja niangalizie hapo maana mikuku ya hapa awachelewi kuja kufanya yao’’,,,, nilimwambia Ratifa nikaingia ndani sikukawia kutoka “sasa baby naomba shika hizi pesa’’ Kabla ya kuzipokea Ratifa akaniangalia kisha akazipokea ajabu akaichukuwa noti moja tu nyingine akanirudishia “Hafidhi mpenzi huna haja ya kunipatia kiasi kikubwa cha pesa elfu hamsini ni nyingi sana kwangu unaweza kuniwekea siku moja twende nyumbani pamoja’’ baada kuniambia hivyo akanikiss shavuni na kuelekea zake dukani akiniacha na hali ya mshangao “hivi wanawake kama hawa wapo kweli kwenye dunia hii. Katika awamu hii ya tano katika shilling elfu hamsini kachukuwa elfu kumi tu akisema itamtosha elfu arobaini nibaki nazo. Hakika mwanamke huyu alikuwa wa ajabu sana kwangu nikashtushwa na sauti za vifaranga vya kuku nikageuka na kutamka “Nyoko’’







    “Tokeni zenu pumbavu zenu, nilianza kukimbizana na kuku nilimuona kuku mmoja akitikisa kichwa baada kuingiza mdomo wake kwenye kikombe cha chai akaungua ha!ha!haha! nilicheka kwa dharau na kukaa chini niendelee kunywa chai yangu mie.

    “baby mie ndio narudi hivyo’’

    “powa mamy nitakucheki mida basi’’ nilimjibu huku nikitabasamu nilimuona Ratifa akiwa kabeba mifuko miwili imejaa vitu bila shaka ulikuwa ni unga na sukari au mchele yani ile pesa kanunulia chakula yote, nikabaki kusikitika tu. Na kujiambia nitakupenda daima

    “uzuri wako ulinifanya mi nidate. Uzuri wako ulinifanya wengine nisiwafate.

    Ratifa basi nikumbate’’,,,,

    nikiwa naendelea kunywa chai nikaanza kumtungia nyimbo bibiye Rati huku nikipiga sufulia kwa kijiko eti ndio beat

    “kwa mwingine sitoenda baby usinipige kalenda kimawazo nitakonda,

    sina hali sina mali.

    Sina kazi sina baazi nipende moyoni sio mfukoni,’’

    “ndio baby nishakupenda moyoni mfukoni kwa kazi gani?’’

    Nikajikuta nanyamaza kuimba baada kumuona Mwajuma kadakia na kuimba yeye kwa kunijibu, nikamtazama mwishoe nikacheka tu maana huyu binti full vituko,

    “kumbe baby unajuwa kuimba ehee basi nitakupeleka studio,’’ akaniambia huku akikaa chini na kuivuta sufulia ya ubwabwa akanawa na kuanza kula,

    “mmh kumbe mtamu ehee embu niwekee na chai’’

    nikamuwekea hapa naomba niseme kitu kimoja pindi nimuonapo Mwajuma najikuta namsahau Ratifa yani ghafla tu akili hainipi kabisa, na nikikutana na Ratifa Mwajuma nae simkumbuki

    “naona mmependezana wenyewe wapendanao’’

    ilikuwa kauli ya Nasra baada kutoka ndani na kutukuta mimi na Mwajuma tukipiga story huku tukiwa tushamaliza kunywa chai, Mwajuma akainuka na kukusanya vyombo eti anaenda kuosha, Nilianza kujiweka karibu zaidi na bibiye Ratifa nilienda nae sehemu mbalimbali iwe beach au shopping kwenda kumnunulia viwalo mtoto akazidi kupendeza nikampatia kiasi cha pesa kama shilling laki tatu akawa anaenda Kariakoo kununua Madera viatu na nguo za watoto akafungua duka la nguo pale nyumbani kwao huku bibiye Maryam akipitisha kila nyumba kwa kukopesha kwa mwezi, zote zilikuwa ni pesa kutoka kwa Mwajuma mtoto wa kishua kwao mambo safi atake nini akose kuonyesha ananipenda amini usiamini akaninunulia bajaji, “Hafidhi nafanya yote haya kwasababu nakupenda nipo tayari kukupatia chochote ilimradi tu usiniache usinisaliti, vipi yule binti bado upo nae?’’

    Mwajuma akaniuliza wakati huo tulikuwa tupo kitandani baada mtanange akiwa kaegemeza kichwa chake kifuani kwangu

    “hapana sipo nae nilishamuacha kitambo tu’’ Nilimjibu uwongo pasipo kutambua madhara yake, yanaweza kuwa makubwa.



    Basi nakumbuka siku moja niliamka asubuhi sikuwa na kawaida yakwenda kwa mama Mpendu kunywa supu sema siku hiyo nikajisikia kwenda nikaelekea huko niliwakuta washkaji zangu wamejazana

    “oyoo leo vua itanyesha’’

    Akida akapaza sauti kwa kusema hivyo,

    “wee nyoko umevuta bange isiotolewa mbegu ehee?’’

    mama Mpendu akamuuliza Akida “itakuwa hivyo maana si kwa mbwembwe hizi’’

    Othmani akadakia kwa kuunga mkonohttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    “Embu acheni zenu mwenzenu namaanisha vua itanyesha baada kumuona Hafidhi kaja kunywa supu wakati yeye mzee wa viporo tu’’ “hahahaha,,,tehe!tehe!tehe! kumbe Hafidhi amekuja basi itanyesha vua ya mawe leo’’

    mama Mpendu akacheka na kuongea kiutani sikutaka kuwajali sana nikakaa na kuagiza oda yangu. “shikamoo mama Mpendu’’,,, “marhabaa miss dunia nakuona asubuhi hii wapi mamy?’’

    “nimekuja kunywa supu sema sijaja na ela nitakuletea baadae’’

    “binti mrembo kama wewe unakosaje pesa wakati kitega uchumi unacho njoo nikupakate hapa kisha nikulipie supu’’

    ilikuwa kauli ya jamaa Fulani hivi akimwambia Ratifa kwani ndio aliyekuwa akiongea na mama Mpendu nilihisi kama kuna mtu kachukuwa chuma cha moto na kunichoma moyoni mwangu hasira zikanishika zikiambatana na wivu nikakunja ngumi.

    Akida akanituliza kwa kuniambia kausha mchizi wangu.

    “shemu njoo ukae hapa achana na huyu mnywa mataputapu nyoko zake’’

    Othman akasaidia kwa kumwita Ratifa aje kukaa pale lakini haikusaidia kitu nilimmaindi jamaa wee acha tu

    “Mama Mpendu vipi nimewahi au nimechelewa?’’

    nilishtuka baada kuisikia sauti hii nikajiambia ehee leo wamekutana sijui itakuwaje, nikajikausha kimyaa nikiendelea kunywa supu “umeikuta shost karibu ukae hapa’’ akajibiwa basi akazunguka na kuja kukaa karibu na Ratifa “mambo’’ “powa tu’’ wakasalimiana huku nikiwatupia kijicho cha wiziwizi nikiomba Mungu yeyote asishoboke kuniita baby. “Mwajuma’’,,, “abee mama’’ “yani wewe mtoto unanisikitisha sana tena sana yani umeacha supu ya maana kule ndani unakuja kunywa miuchafu hii,’’ kila mmoja akaacha kijiko cha supu tukageuka kumtazama mama yake Mwajuma akisema hii miuchafu “hivi wewe mtoto waaina gani unakuja kujichanganya na watu wasiokuwa na hadhi yako, mwanangu jitambuwe wewe ni nani au nikurudishe Marekani ukakae huko mpaka upate mume’’ “ahaa ukisikia ufala ndio huu wewe mama unataka kusema hiyo supu ya maana ni supu ipi mpaka hii tunayokunywa sisi ionekane miuchafu?’’ Akida uzarendo ukamshinda na kuanza kupayuka



    “wee mtoto shika adabu yako siwezi kuongea na nyani kama wewe kwanza nina uwezo nikakufunga mara moja nawewe mama nakupa wiki mbili nisikuone ukiuza hii miuchafu’’,,,, akaongea kwa kujiamini na kuishika bakuri ya Ratifa akaimwaga ile supu sijui bahati mbaya au makusudi ile supu ikamwagikia Ratifa kwenye nguo yake ilikuwa ya moto ikamuunguza “Mungu wangu naungua’’ Ratifa akapiga kelele huku mama Mpendu akija kumwagia maji kwenye ile sehemu. Nikahisi mwili wangu ukichemka kwa kasi nikaibamiza meza kwa hasira yani ngumi moja tu nikaivunja kila mmoja akashtuka nikamgeukia mama yake Mwajuma na kumnyooshea kidole, “wewe Mwanamke unajivunia nini hasa? Pesa, nguvu, elimu, kabila, siasa, yani unajitapa kabisa kama mwanao kaacha kitu kisafi akafata kichafu ni maisha yake. Sio yako, nyie ndio matajili ambao hamuhitajiki katika dunia hii unamtasha mama wawatu asiuze hii miuchafu tambuwa ana watoto huyu wanamtegemea yeye kwakila kitu kuanzia kula yao vaa yao elimu yao na maradhi pia leo hii unamtishia hivyo watoto watahudumiwa na nani embu acha tabia yako mchukuwe mwanao muondoke haraka sana’’,,,,, niliongea kwa ukali mpaka Mwajuma mwenyewe aliniogopa",,,,,,,





    Nilizidi kumpa makavu yule mama pasipo kuhofia chochote kama atanitolea bastola na kuhitaji kuniuwa kwa risasi powa tu,

    “vizuri sana kijana kwa kuonyesha ujasili wako. Mwajuma embu twende nyumbani’’,,,

    baada kuona nimemchana vya kutosha akanistopisha na kuniambia hivyo huku akimtaka mwanae waondoke.

    Mwajuma akanitazama kisha akatabasamu na kunioneshea dole gumba ikiwa ni ishala yakwamba amenikubali mi noma, nami nikatabasamu na kumpungia mkono kumuaga. Ghafla Ratifa akanirukia na kunikumbatia kitendo hiki Mwajuma alikiona kwa mbali nilimuona kama vile anataka kurudi sema akashindwa kwani alikuwa kashikwa mkono na mama yake. “baby wee noma yani hukutaka kumkawiza kabisa’’

    Ratifa akaniambia na kuuleta mdomo wake kwangu. Akida akaja kuweka kiganja cha mkono katikati ya nyuso zetu huku akisema

    “ahaa haya mambo hapa si mahala pake msituletee movie za kihindi Sunny Deol kampiga adui Sharkhan akaanzisha song’’

    basi tulicheka mpaka basi

    “mama Mpendu hii meza gharama yake shilling ngapi?’’

    niliulizia bei ya meza ambayo niliivunja

    “niliinunua elfu tano tu kwa mateja wapale ng’ambo kwahiyo usijali baba yangu’’

    “sio nisijali nishakutia hasara hapa embu shika hii ukanunue nyingine’’ niliongea huku nikimpatia kiasi cha shilling elfu kumi akaipokea na kutaka kunirudishia chenji nikaikataa kwa kumwambia hiyo nyingine ni faini,

    basi nilijiandaa na kuelekea maskani kijiweni kusaka abilia

    “oyii niaje mwana?’’

    alikuwa ni Kaunda akinipa hi kwani baada kupona na kurudi kitaa tulikuwa hatuna bifu tena tukarudisha urafiki wetu kama haitoshi akaenda kumuomba msamaha baba yake Maryam akiwa kamnunulia kanzu mpya kabisa yenye thamani ya shilling elfu sabini. “powa mwanangu mwenyewe niambie’’

    “sina msemo sema umesikia majanga yaliyomtokea King’oso?’’ “hapana majanga yapi hayo?’’ “mwanangu King’oso jana usiku mida yakama saa nne usiku kuna abilia wawili alikutana nao pale njia panda yakwenda Lugalo wakamuomba awapeleke

    Manzese kule Tip top

    Akaelewana nao bei safari ikaanza sasa walipofika mitaa fulani hivi kwenye zile stoo za Mkaa ghafla King'oso akaanza kushambuliwa kwa kupigwa na wale abilia huku wakimuitia kelele za mwizi

    nae akajitahidi kujibu mapigo

    Sema wakamzidi nguvu na kukimbia na

    Pikipiki,



    Wakati Kaunda akizidi kunisimulia kuhusu majanga yaliyomkuta mwenzetu King'oso

    Ghafla kuna Defender ilikuja kupaki maeneo yale

    Wakashuka kama polisi sita hivi mikononi wakiwa na

    Bunduki aina ya SMG

    “tunamtaka Hafidhi j Ikram ndio yupi hapa kati yenu?"

    Afande mmoja akauliza pasipo kusalimia

    “ni Mimi hapa nini shida wakubwa",,,,,

    Kaunda akajitaja yeye ndio Hafidhi

    Nilitaka kumkatisha sema nilishachelewa

    “Kuanzia sasa upo chini ya ulinzi

    nyoosha mikono juu",,,,,

    Afande akatamka kwa sauti ya ukali na kumuelekezea Bunduki

    Kaunda hakupinga akanyoosha mikono juu

    Askari mmoja akaja na kumfunga pingu yani

    Walimkamata utasema jambazi sugu.

    Kila mmoja wetu akabaki kushangaa tusiweze kufanya chochote juu ya kumtetea mwenzetu.

    Kwanza alijitoa muhanga kwa kuibeba kesi isiokuwa ya kwake.

    “Hafidhi mwana umefanya nini kwani?"

    Shafii akaniuliza huku kila mmoja akitaka kufahamu nimewakosea nini wale wakuda

    Nikaumiza kichwa nikifikilia mwishoe nikakumbuka

    kuhusu kumchana makavu yule mama

    Nikawapa full story washkaji

    “ahaa kumbe ni hivyo yule mama fala tu, embu twenzetuni tukamtoe mshikaji",,,,

    Adumba akatamka maneno hayo

    Kila mmoja akaingia kwenye usafiri wake

    Mwenye bajaji mwenye Pikipiki

    tukaongozana utasema msafara wa kiongozi fulani toka serikalini.

    Tukaingia kituo cha Kawe tukapaki Subaru zetu

    usiseme Bajaji au Pikipiki ita

    Subaru nasie tujione washuwa

    Nikajitolea kwenda kuulizia jibu nililopewa huyo mtuhumiwa pale hayupo itakuwa kapelekwa

    Masaki sijui Ostabey nikatoka nnje ya kituo nikaona gari ya kijeshi ikipaki

    Akashuka kaka yake Kaunda na wenzake kama sita hivi watatu kati yao wakiwa na

    Bunduki sikuweza kuzifahamu ni aina gani

    SMG au Ak47 nikabaki

    kuwatizama tu

    “Vipi kaka hawa Kenge wanasemaje juu ya mwenzako?"

    Kaka yake Kaunda akaniuliza

    “wamesema hapa hayupo itakuwa kapelekwa

    Ostabey",,,,,

    Hakuongea kitu akaingia ndani ya kituo dakika si nyingi akatoka huku akiongea

    “inawezekana vipi mtuhumiwa

    Akamatwe katika nchi yao kisha akafungiwe kwenye nchi ya kigeni?

    Kaunda si amekamatwa pale Tank Bovu inakuwaje

    Asiwekwe kituo cha Kawe

    wamempeleka Osterbay

    Nyoko zao embu twendeni",,,,, nilimuona amekasilika vibaya mno tukaingia kwenye Subaru zetu

    yeye akaja kupanda kwenye

    Usafiri wangu akiwa na wenzake watatu.

    Gari ya jeshi ikaelekea

    Lugalo



    “kwani nini kisa mpaka wakamkamata? maana huyu Kaunda nae kila muda ni mtu wa majanga tu",,

    Aliuliza na kusema maneno hayo

    Ikabidi nimpe full story

    “Dahaa kumbe kisa yule mama Mshuwa

    Hakika matajili wengine wanadharau sana

    Inamaana hiyo supu anayokunywa yeye akienda chooni anakunya dhahabu au?

    Sasa subiri nitamuonyesha kazi",,

    Basi tukaingia kituo cha polisi Osterbey Masaki

    “sasa ndugu zanguni naomba mtusubiri

    Hapa nnje wacha Mimi na huyu kijana tukaangalie

    Hali ikoje humo ndani,"

    Aliwaambia wanajeshi wenzake na kina

    Akida watungojee pale nnje.

    Sie tukaingia ndani ya kituo na kwenda kaunta yani mapokezi kuulizia

    Ghafla nilishtuka baada kumuona

    Kaunda akiwa kasimama kwenye geti la

    Lokapu akiwa anavuja damu huku

    Mdomo umekaa upande jicho limevimba bila shaka walimpiga sana,.

    Dahaa mshkaji wangu kabeba maumivu yasiokuwa yake

    “Kaka,"

    Kaunda akajitahidi kutamka kumwita kaka yake

    Nae akamsogelea mdogo wake huku akiuliza

    “jamani mbona mmemfanyia hivi mdogo wangu wangu kawakosea kitu gani?"

    Ndio kwanza kuna

    Askari mmoja akaja na kifimbo chake

    Akachapa kwenye nondo ambayo Kaunda alikuwa ameshika

    “Pumbavu zako rudi kule nyuma shwaini

    Wee",,,,,,

    nilianza kuhisi damu ikinichemka mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio

    Nikakunja ngumi

    “Wewe ndio umemfanyia hivi mdogo wangu?"

    Kaka yake Kaunda akamuuliza yule Afande

    “sikia wee nyau tambua hapa ulipo ni sehemu yenye utawala mwingine kwanza naweza nikakuweka

    Lumande sasa hivi",,,,

    Ghafla yule Afande akapigwa ngumi ya uso

    Akayumba na kujibamiza ukutani

    Mjeshi akaanza kutembeza kichapo huku polisi wakiitana kutaka kumdhibiti,

    Nikatoka nnje mbio na kuwaita wenzake.

    Kwani walikuwa hawatambui kile kinachoendelea ndani ya kituo.

    Wakaingia ndani hapo sasa ndipo nilipoweza kupima uwezo wa wanajeshi wanne kwa polisi

    Kumi na tatu zilipigwa ngumi na

    Mateke mtu anapigwa ngumi ubwabwa anaita

    Mbwambwa,

    Polisi wakazidi kumiminika nilitamani namie niingie kati nimuonje hata mmoja

    “Hafidhi"

    “Naamu kaka"

    “chukuwa funguo hiyo nenda kamfungulie mwenzako muondoke haraka sana katika maeneo haya,"

    Nikaipokea ile funguo nikafanya kama nilivyo

    Agizwa dakika si nyingi tulikuwa tupo maeneo ya kwa Warioba tukifata

    Mikocheni (B)

    Njiani tukapishana na gari kama tatu hivi zikiwa zimejaza Wanajeshi

    “Umeona kaka leo huko Masaki kutanuka vibaya sana"

    Kaunda akaniambia huku akitabasamu

    “sasa kikosi chote kile kinaenda kufanya nini

    Wakati wale Wanne tu wanatosha kabisa?"

    Niliuliza maana si kwa wingi ule

    “Wao si wameitana?"

    “Ndio wameitana baada kuona wale wanne ni shiida"

    Kaunda hakuongea kitu akabaki

    Kimya mpaka tunafika mitaa ya nyumbani



    Baada kufika kitaa niliagana na Kaunda

    huku nikimuachia Bajaji akaipaki nyumbani kwao.

    “sasa Chief huko Masaki leo kutageuka Iraq au Sudani,"

    Kaunda aliongea huku akicheka

    “wee acha tu yani hapa nilipo nawaonea huruma wale polisi maana leo watafinywa kisha wakajaze pipa kwa kisoda au wadeki

    Bahari"

    Nami nilichangia nikiwa naondoka, hakika nilikuwa na furaha sana kwa kitendo cha polisi kukutana na mziki wakiume nikafika nyumbani na kumkuta Mama akiosha vyombo,

    “ehee wee mtoto leo kutwa kucha alikuwa wapi?"

    Mama akaniuliza huku akiniangalia kwa umakini sana,

    “Mama bwana si nilikuwa kazini"

    “Hafidhi Mwanangu kumbuka mimi ni mama yako siku zote utu uzima dawa, natambua fika leo haukuwepo kazini hivi Mwanangu ndio tabia gani kwenda kumshupalia mama wa wawatu ukaanza kumtukana matusi ya nguoni.

    Hafidhi tambua kila Mwanamke aliyeshikwa na uchungu wa uzazi akaenda Reba au kuitiwa mkunga basi ni sawa na Mama yako. Ukimtukana yeye ni sawa na kunitukana mimi,"

    “lakini Mama mbona mimi sijamtukana mtu yule Mwanamke alikuja pale kwa mama Mpendu akaanza kutuletea dharau Sijui tunakunywa miuchafu nilichofanya ni kumuelewesha tu, kuwa siku zote

    Masikini na Tajili hatupo sawa

    Ajabu kaenda kunishitaki polisi, na kusingizia nimemtusi,"

    Niliongea kwa sauti ya upole kumwambia Mama akatikisa kichwa kama kunisikitia fulani kisha akasema

    “Hafidhi Mwanangu Allah (s.w.t) anasema katika Surat Muddathir aya ya tano na Mabaya yapuuze endelea kuyapuuza!"

    “Mama inamaanisha nini hiyo Aya?"

    Niliuliza nikitaka kufahamu maana Madrasa nilishakimbia kitambo na kuishia Juzuu Amma Surat Qadr.

    “Aya hii inafafanua hivi pindi ukiwa umekaa kwenye kikundi cha watu ghafla ukatokea mtafaruku haina yenu watu wakaanza kutukanana au kukutukana wewe unachotakiwa kufanya ni kuliondoa kwa mkono wako ukishindwa tumia Ulimi wako yani

    Maneno ya busara ndio msingi mkuu ukishindwa

    Basi jiondokee eneo hilo, japo kufanya hivyo ni udhaifu wa Nafsi,"

    Nilimsikiliza mama yangu kiumakini sana hakika nina furaha kubwa kuwa na mama kama huyu japokuwa mtoto wake nimekuwa bichwa maji.

    “Lakini Mama hiyo ya kuliondoa kwa mkono mbona sijaelewa hapo au unamaanisha

    Nimchape makofi?"

    Niliuliza nikitegemea ataitikia kwa kusema ndio mkate vidochi kumbe sivyo.

    “sio hivyo mkono utatumika iwapo wakatokea watu wawili wakipigana wewe usitumie

    Mikono yako kuchochea kuni za ugomvi ule

    Kama atakayeputa mchanga huu ndio mbabe au

    Mwamba Mara uchole mstari

    Sijui nini,

    Embu nenda kwanza ukale kisha ukaoge baadae nitakusimulia kisa kizuri sana tena sana"

    Sikuwa na jinsi ni kuingia ndani Ile naingia tu

    Nikamkuta Mwajuma na Nasra

    wakiangalia season ya

    Ashok kutoka kule India yani hili season

    Limefika mpaka mia nne hiyo episode moja

    Dakika ishillin ishaisha wizi mtupu

    “Whao mume wangu huyo afadhali umerudi maana nilikuwa nakutaja sasa hivi,"

    Mwajuma akaniongelesha huku akija kunikumbatia

    “Kaka!"

    Nasra nae akaniita

    “Naamu Dada"

    “umepata taarifa kuwa yule Binti Sijui anaitwa Ratifa basi leo kavamiwa pale dukani kwake na kikundi cha Mwendo wa Neema nasikia wamempiga na kunyang'anya kila kitu"

    “What?"

    Niliuliza kwa mshtuko nikageuka kutaka kutoka nikakutana na mama nae anaingia ndani akiwa na beseni la vyombo nikafunga break.

    “vipi tena unaenda wapi?"

    Mama akaniuliza huku akimtazama

    Nasra kwa jicho kali,

    “Kwani huyo Ratifa nani yenu?"

    Mwajuma akauliza.



    “ni,,,,,,

    Nasra akataka kujibu nikaweka kidole cha kati mdomoni ikiwa kama ishara ya kumtaka anyamaze sema akachenji kauli Sijui ndio alivyotaka kujibu au vipi

    “ni mtoto wa Mjomba Denide"

    “Kha! Kumbe wifi yangu upande mwingine ni mke mwenzangu aii jamani kwanini sasa wamemfanyia hivi"

    Mwajuma akaongea kwa masikitiko

    Alikuwa sawa kusema mke mwenzie sio wifi yake

    “si unajuwa tena sasa hivi maisha yamekuwahttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Magumu vijana wengi hawana ajila

    Inafikia hatua ya kuvamia Madukani na istoshe yule Binti ni mpole kupita kiasi"

    Mama akaongea na kunitaka nikae chini nile chakula niliendacho ubwabwa na Maharage

    Pembeni nyama ya kuku iliyokaangwa.

    “Hafidhi baby ujuwe leo Asubuhi umenifurahisha sana kwa kumwambia ukweli mama

    Nikamsimulia baba,

    Amekusifia sana hivi nikwambiavyo anahitaji kuonana na wewe!"

    Mwajuma alianza kuongea kitu ambacho kwangu sikumuelewa kabisa mawazo yangu yalikuwa kwa Ratifa nikimuwaza je sasa hivi atakuwa katika hali

    Gani nikaibeba sahani ya chakula na kuelekea chumbani kwangu nikafunga mlango kwa ndani.

    Niliuma meno kwa hasira

    “Hafidhi mpenzi embu fungua mlango basi"

    “Mwajuma embu acha unafiki wako

    Tambua kitu kimoja mama yako tayari ameenda kunishitaki leo kutwa kucha nimeshinda kituo cha polisi. Hivi unafikilia mimi

    Mwehu kwa kiasi gani nijipeleke kwenye

    Mdomo wa mamba tambua baba yako haitaji kuonana nami kwa

    Wema baba yako anahitaji kuniuwa,"

    “hapana mpenzi usiongee maneno hayo

    Baba yangu hawezi kukufanyia hivyo"

    Mwajuma akaanza kulia kisha nikamsikia akiongea na simu.

    “ndio umuendee polisi, hata kama tambua dharau ulizianza mwenyewe nae akakuonyesha

    Ndio nafahamu umenilea wala hukunizaa

    Nakuheshimu kama mama yangu mzazi sema kwahili tutapambana,"

    Sikuwai kumsikia Mwajuma akiongea kwa sauti ya ukali yenye kuambatana na hasira kama siku hiyo

    Akakata simu na kuniambia

    “Hafidhi mpenzi mi naenda ila tambua nakupenda nipo tayari kukosana na yeyote yule mwenye kutaka kukudhuru"

    Akaondoka nikamsikia mama akisema

    “hapa mkwe ninae maana kamtishia mpaka mama yake wa kambo kweli mapenzi kitu kingine.

    Hafidhi Mwanangu ongera yako baba,"



    Binafsi nilikuwa sifahamu kama Mwajuma yule ni Mama yake wa kambo,

    Mbona kafanana nae kwa kiasi kikubwa vile?

    Nilijiuliza maswali chungu nzima pasipo kupata majibu yake, siku hiyo nilishinda ndani

    Mpaka majira ya usiku sikumbuki ilikuwa ni saa ngapi. Kwa mara ya kwanza Mwanaume nilijiandaa kwenda kufanya tukio moja baya sana.

    Nilivalia mavazi yangu maarumu nikavaa kinyago

    Nikatoka kimyakimya safari ya kumfata

    Mbwana ikaanza nikiwa na visu vyangu

    Nilikuwa nikitembea kwa kasi mpaka mimi mwenyewe nilijishangaa





    Nilifika nyumbani kwakina Mbwana nilizunguka

    Nyuma ya nyumba yao ambapo kulikuwa na Kichochoro ambacho mara nyingi

    Wanapenda kushinda huko wakivuta bange pamoja na kubwia madawa ya kulevya.

    Kiukweli kikundi cha Mwendo wa Neema hawana tofauti na Paka load... Ahaa nimekosea

    Ni Panya Load, ni vijana ambao wamechoka na maisha yani wamejitolea maisha yao

    Wapo tayari kufanya chochote kiwe kizuri au kibaya wao hawajali wanachohitaji wao ni kupata kile wakitakacho iwe pesa aidha

    Bidhaa wanakwapua wanaweza kukujeruhi au kukuuwa iwapo utaleta ubishi kutoa wanachokihitaji kutoka kwako.

    Nakumbuka kuna kipindi kule Mbagala kulikuwa na watoto wa Mbwa walikuwa ni vijana tishio sana

    kwa wakazi wa Mbagala na maeneo ya jirani

    Walibaka wakaiba waliuwa yani walifanya kila aina ya unyama. Mwisho wa siku

    Wananchi wakachoka ukiangalia vitoto vidogo tu vinatupa jamba jamba watu wazima

    kama sisi walivyo kifanya

    Kila mmoja akashika silaha na kuingia nyumba hadi nyumba wakifika tu wanauliza

    “mama Saidi mwanao yupo?"

    Ukijibu ndio yupo basi wanaingia ndani na kutoka nae nnje kisha wanamchinja mbele yako.

    Yani ilikuwa unyama unyama kama wao

    Walimpasua mama mwenye mimba wakitaka kufahamu Mtoto anakaaje tumboni.

    Mama wa watu akafa uwaonee huruma ya nini.

    Vijana hawa wana style yao ya kunyoa wanaita kiduku, wote wamenyoa hivyo,

    Nilipofika kwenye hiko kichochoro nikasimama na kuchungulia je kuna yeyote kwa usiku huo.

    Nikaweza kuwaona vijana kama wanne hivi wakiwa wamelala yani wapo Arosto kishenzi.

    Nikatoa kisu na kunyata nilimfikia mmoja nikataka

    Nimchome kisu cha tumbo nafsi ikasita kufanya hivyo,

    Hafidhi usiuwe wape majeraha tu."

    Ndio sauti iliyopenya kwenye ngome ya masikio yangu, nilichofanya ni kukwangua kile kisu kwenye chuma kitu kikalia ngwaa kila mmoja akashtuka

    Hapo ndipo nikaanza kutembeza kichapo

    Nilikuwa mwepesi mwenye kasi ya ajabu

    Uwezo niliokuwa nao ulikuwa mkubwa achana na Vikarate vyangu vya kuiga kwenye movie

    Za Jet li au Michael J White

    Uwezo niliotoka nao Kilwa ulikuwa ni zaidi ya tsunami

    Nilimshika shingo mmoja wao nikamnyanyua juu akabaki kuning'inia huku akikukuruka nikashtukia nikipigwa na kitu kizito kichwani

    Nikamuachia yule niliyemkaba na kugeuka.

    Nilimuona Mbwana akiwa yupo uchi wa mnyama Sijui siku hiyo alikuwa kavuta Bange mbichi au haikutolewa mbegu.

    Mkononi kashikilia nyundo ndio aliyonipiga nayo kichwani ajabu hii yani nimepigwa nyundo ya kichwa nimeona kama vile nimeguswa na fimbo.

    Kitendo cha kutizamana kilimfanya Mbwana aogope akarudi nyuma kwa hofu

    Lakini haikusaidia mimi nimuache

    Nilimfata kwa kasi nikaishika Tai yake iliyokuwa ikining'inia Tai ambayo inampa kiburi mpaka kufikia hatua ya kuwabaka watoto wawatu.

    Nilipomkumbuka Ratifa nikavuta picha jinsi gani alivyokuwa akiteswa na Mbwa huyu

    Wacha nimfanyie unyama wa aina yake

    “Mamaa,weee nakufa jamani",,,, Akapaza sauti kupiga kelele huku akijitahidi kutaka kupambana lakini ilikuwa ni sawa na kujaribu kushindana kupiga mbizi na samaki kwenye Bahari.

    Kitendo bila kuchelewa kwa kutumia kisu changu kidogo nikageuka Ngariba kwa kuikata ile Tai

    Yote, kisha nikaitupa chini. Kama kubaka abake kwa vidole alilia kwa maumivu akadondoka chini

    nami sikuwa na muda wa kupoteza nikaondoka haraka eneo hilo

    “Mume wangu si umesikia kelele hizo,"

    “wee lala bwana hao vijana kupiga kelele kama hizo ni kawaida yao, yani wakishavuta mibange yao inakuwa shida tu,"

    Wakati narudi nyumbani niliweza kuwasikia

    Mtu na mkewe wakiongea ndipo nikatambua kuwa Mbwana na wenzake hata wapige kelele kwa kipaza sauti hakuna mtu yeyote atakayekuja kuwatizama

    Nikafika nyumbani kama kawaida yangu nikaingia ndani kimya kimya

    Nilihakikisha siachi arama ya aina yeyote ile

    Nilijifuta Damu nikavua mavazi yangu na kile kinyago nikalala huku nikifahamu kuwa

    Tukio nililolitenda ndio itakuwa habari ya mtaa au jiji zima mimi sio Scorpion mtoboa Macho mimi niite

    Ngariba

    Nakata mkono Andunje wote nikuache na kikwapa tu.

    Sikuweza kupata usingizi kwa wakati huo nilikuwa nikifikilia kuhusu Mbwana si atakufa iwapo itatokea akakosa msaada Maana Damu nyingi sana zinamtoka. Usingizi ukanipitia niliota ndoto nzuri

    Nipo na Wake zangu kulia yupo

    Ratifa kushoto yupo Mwajuma

    “baby unapendelea bwana,"

    “napendelea nini mamy?"

    “wewe kila siku Ratifa anakaa upande wa kulia alafu unashinda sana nyumbani kwake,

    Yani mimi wa kukaa upande wa kushoto utasema

    Naandika mazambi bwana, nimechoka

    Embu njoo ukae huku,"

    Mwajuma aliongea huku akimvuta Ratifa basi walikuwa wakivutana tu hakika ilikuwa ni burudani tosha kuwa na warembo hawa,

    “Ngo! Ngo! Ngo!

    Kaka embu amka bwana fungua mlango basi. Kakaa!"

    Hii sauti niliisikia kwa mbaali mlango wangu kugongwa huku sauti ya Nasra akiniita kiuvivu nikafumbua macho.

    Na kupiga miayo

    “haammmm!"

    Nikajinyoosha pale kitandani na kusikilizia sauti ya Nasra akizidi kuita

    „Mama bwana mwanao kumwita kote huku kaninyamazia kimya"

    “wee endelea kumgongea kwani hufahamu mtu akilala ni sawa na kifo"

    “basi kama hivyo atakuwa ameshakufa"

    “Nasra, usitake kumchuria Mwanangu

    Utakufa wewe shenzi zako"

    “sasa mama kwani mimi sio mwanao?"

    Niliwasikiliza mama na mwanae wakiongea kisha nikainuka na kufungua mlango

    Nikiwa natabasamu

    “lione sura mbaya yani kukwita kote kule

    Umeninyamazia kimyaa wakati ushaamka"

    “kwani shida nini?

    Kwanza sura yako umeiona kama ngozi ya

    Kikwapa cha Bibi Nyanyige,"

    “Mama unaona mwanao kanitusi ehee!"

    Mara nyingi Nasra akishindwa matani anasema kwa mama.

    “kwanza yule sio mama yako hilloo"

    Nilimkatisha na kumzomea basi akavimbisha mishavu utasema kapewa tenda ya kupuliza moto kwa Mama muuza Mbege

    “jamani jamani kuna msiba!"

    Alikuwa mama yake Akida akipiga kelele na kuingia ndani kwetu

    “msiba wa nani tena?"

    Mama akaenda kumshika begani na kumuuliza

    “ni Mbwana masikini ya Mungu kijana wawatu kafa kifo kibaya sana, Sijui kawakosea nini wenzake

    Wamemkata Ndudu yake yote

    Kisha wakamchinja,"

    Alielezea mama Akida kila mmoja akasikitika

    Kwa msiba huo japokuwa

    Mbwana alikuwa ni mtu mbaya lakini huwezi kufurahia kifo cha fulani

    Nilirudi chumbani kwangu nikiwa natetemeka

    Hafidhi mimi nimeuwa.







    Hakika niliogopa sana nikabaki nimeshika tama Damu ya mtu inatisha inatesa

    “Hafidhi Mwanangu sie tunaenda msibani

    kuhusu chai tayari nishakuwekea mezani pale,"

    Nikatikisa kichwa ishara ya kwamba nimemuelewa.

    Mama akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akaondoka.

    Nikaendelea na mawazo yangu

    “Hafidhi kijana wangu nini unaweza?"

    Nilishtuka si kidogo nikageuka kuangalia hiyo sauti inapotokea sikuona mtu

    “hivi Bibi kwanini unanifanyia hivyo?"

    “kukufanyia kitu gani?"

    “unajifanya ujui sio?

    “ndio sifahamu niweke wazi ewe kijana nini tatizo?"

    Yani ulikuwa ni mwendo wa kuulizana tu pasipo kupeana majibu niliamua kujifanya Kauzu kuongea na Bibi japokuwa nilikuwa simuoni zaidi ya kuisikia sauti yake kwa ukalibu zaidi

    “Bibi mwenzako nimefanya mauwaji yani nimeuwa

    Mimi"

    “hapana mjukuu wangu sio wewe ulieua,"

    “kama sio mimi kumbe ni nani?"

    “Ni wewe"

    “kha! Sasa Bibi mara useme sio mimi mara mimi nikuelewe vipi hapo?"

    “mpo wawili hahahahaha kalibuni utajuwa ondoa

    shaka kijana nenda kaoge kisha ukanywe chai uwende msibani

    leo usiku nitakuonyesha nani muuaji, kwaheri kijana,"

    Bibi akaniaga akiwa kaniacha njia panda.

    Nikaenda kuoga kisha nikatulia

    Sebuleni niweze kunywa chai wakati najiandaa kumimina chai kwenye kikombe simu yangu ikawa inaita kuangalia mpigaji ni

    Ratifa nikaiweka chupa pembeni na kupokea simu

    “Mwanaume mbaya wewe"

    Ndivyo alivyoanza kuongea

    “ubaya wangu nini hivi hiyo ndio salamu au?"

    “sina haja ya kusalimiana nawe hivi wewe ni mwanaume wa aina gani mwenzako jana nimevamiwa nikapigwa nikanyang'anywa kila

    kitu kuanzia kiasi cha pesa tsh.. Laki tatu na nusu

    Madera kumi na tisa.

    Vitenge kumi kanga ndio hata sikumbuki hesabu yake. Wewe umekaa kimya tu hata kunipigia simu kunijulia hali,

    Hafidhi unanipenda kweli?"

    Binafsi Ratifa aliongea kwa hisia kubwa sana,

    “sikia nikwambie kitu baby mwenzako jana nilikamatwa na polisi,"

    “what! Ulikamatwa kisa nini?"

    “si unaikumbuka ile ishu ya jana pale kwa Mama Mpendu?"

    “ndio naikumbuka si juu ya yule Mama kusema tunakunywa miuchafu?"

    “ehee basi kumbe kumpa makavu kote kule yeye akapiga simu polisi. Sasa nikiwa maskani nikajikuta nakamatwa yani nilipigwa wee acha

    Tu, kina Kaunda wakaja kunitolea Dhamana

    nimerudi nyumbani usiku,"

    “Dohoo pole sana kipenzi changu"

    “Asante baby"

    “vipi sasa hivi upo wapi?"

    “nipo nyumbani yani nimetulia peke yangu kwani Mama na Dada wameenda msibani"

    “basi nakuja sasa hivi nikukande sehemu yenye majeraha kipenzi changu,"

    Akakata simu yani kitendo cha Ratifa kuniambia

    Anakuja tu Mtalimbo ukaanza kugongagonga kwenye zipu ya suruwali nikampiga kofi kwa kumwambia embu tulia

    Una kiherehere

    wakati kutongoza kwenyewe hujui embu acha mambo yako,"

    Lakini jamaa ndio kwanza akatuna

    Nikaona kama nikiongea na chizi namie nitakuwa chizi, nikang'ata Bagia siku hiyo

    kiporo cha ubwabwa sikuekewa

    “sasa kwa taarifa yako akija sikutoi

    ng'oo hata kama akitaka kukuona nitamjibu unaumwa,"

    Nikiwa naongea na Mtalimbo wangu nikamkumbuka

    Katrina Kaif yani Mwajuma

    nikachukuwa simu na kumpigia Maana huyu mwanamke achelewi kuja yeye.

    Simu ikawa inaita mpaka ikakata

    nikapiga tena ndipo ikapokelewa

    “Wee Kenge blue Mtoto wa malaya mwenye bichwa kama ziwa la mzee, yani unajiona Kidume mpaka unampigia simu Mwanangu

    Asubuhi hii utake kuomba pesa ya chai yani

    masikini kama nyinyi mnanuka shida tupu

    Mnalala kwenye vibanda ambavyo hata

    Mbwa wangu hastahili kulala wenyewe mnaita nyumba chafu kukoga nyinyi

    Mse*** wewe na ukoo wako wote Malaya wakubwa,"

    Nilikaa kimyaa nikimsikiliza tu nikitaka amalize kunitusi mimi na familia yangu si kasema ukoo wangu wote

    “embu lete simu yangu"

    Nikamsikia Mwajuma akisema anataka simu yake

    “Halloo baby"

    “naomba mpatie simu uliyemuachia,"

    “hapana baby sijamuachia mimi nilikuwa nnje simu niliyacha hapa Sebuleni"

    “ndio nafahamu hilo tafadhali nakuomba mrudishie simu uliyemkuta nayo,"

    “Lakini baby punguza hasira achana nae tu, ehee niambie!"

    “siwezi kukwambia chochote nakuomba mpatie simu huyo Mama"

    Niliongea kwa hasira nikiwa nimekunja ngumi laiti kama huyu mama angekuwepo mbele yangu nishamtia ngumi ya uso.

    “sawa baby lakini usimtusi wala kumpandishia sauti si unajuwa huyu ndio Mama mlezi,"

    “wewe mpatie"

    Basi simu ikarudi kwa yule Mama sikutaka kumkawiza, nilitaka nimfanye anione mimi kweli

    Zaidi ya machizi au wavuta Bange

    “Sikia nikwambie kitu wewe Mwanamke

    hivi katika matajili wakiambiwa watoke nawe utatoka tambua unacheza na moto wa Gesi

    tumia vipesa vyako kujenga matako yako

    Sio kuniletea shobo mbishi kama mimi

    Niliyeshindikana katika dunia hii

    ipo siku nitakuja kukata Mitako yako hiyo

    Shenzi zako Malaya mkubwa wee sikuogopi kwa lolote lile, leta Wajeda leta Defender

    Sijui polisi mwanaume ni jeshi la mtu mmoja

    Nitapambana (K) yako mbovu kama

    matapishi,"

    “Mungu wangu"

    Nilijikuta nabwabwaja maneno ya ajabu ajabu

    Nikamsikia Mwajuma akisema Mungu wangu nikafahamu bila shaka simu iliwekwa

    Loudspeaker yani kasikia kila kitu

    “Mwajuma huyu ndio mkwe unaetaka kuniletea hapa nyumbani yani kanivua nguo zote na kuniacha

    Mtupu si umemsikia alivyosema hii njia

    uliyopitia wewe kuja duniani

    Eti ni matapishi"

    Nikawasikia wote wakilia.



    “Hafidhi upo nyumbani?"

    Kwa sauti ya kilio Mwajuma akaniuliza

    “hapana siko nyumbani"

    Nikamjibu hivyo kisha nikakata simu kijasho kilinitoka si mchezo siku zote Mama huniambia nisiwe na hasira lakini nashindwa kujizuia

    Sipendi dharau tokea nikiwa mdogo.

    Simu yangu ikaanza kuita mpigaji alikuwa ni

    Mwajuma sikutaka kupokea nikaikata ikawa kila akipiga nakata

    Mwishoe akatumwa message

    Ni message ambayo kama ningekuwa nafahamu kile kilichoandikwa ndani yake

    Nisingeifungua wala kuisoma iliandikwa hivi

    (HAFIDHI KIPENZI CHANGU SINA BUDI KUKWAMBIA HAYA KATIKA MAISHA YANGU SIKUWAI KUPENDA MWANAUME WA AINA YEYOTE YULE

    MPAKA IKAFIKIA HATUA MARAFIKI ZANGU SHULENI KUNIITA JINA LA MSAGAJI

    SIKUWEZA KUCHUKIA SABABU NILIKUWA NAJITAMBUA MIMI NI NANI NA NAFANYA NINI KWA WAKATI GANI.

    NILIPANGA SITOWEZA KUMVULIA CHUPI MWANAUME YEYOTE ZAIDI YA YULE ATAKAENIOWA NAKUWA MUME WANGU.

    KIAPO CHANGU KILIKUJA KUVUNJIKA SIKU AMBAYO NILIKUTIA MACHONI NILIHISI WADUDU WAKINITAMBAA

    NILIKUPENDA TOKA MOYONI

    SINA BUDI KUKWAMBIA MIMI NA WEWE BASI

    SIKUTAKI SIKUPENDI

    HAFIDHI TAMBUA HUYU NI MAMA YANGU MZAZI AMENIWEKA TUMBONI MIEZI TISA AKANIZAA KWA UCHUNGUhttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    NI MATANI TU MUDA MWINGINE NI HASIRA NDIO NAMWITA MAMA WA KAMBO

    NI MATANI AMBAYO MAMA KAYAZOEA KWA MWANAE EMBU HAFIDHI UMEMTUSI

    MAMA YANGU NITAKUCHUKIA DAIMA)

    Message iliisha hivyo mwanaume

    Nilidata aisee machozi yakaanza kunitoka

    Sikuwa tayari kutengana na Mwajuma kwani nae nampenda kitendo cha kuniambia mimi na yeye basi ni sawa na kuondoka na Kipande cha

    Moyo wangu,

    Ratifa & Mwajuma wote nawapenda katika

    Asilimia Mia moja wote nawapa hamsini kwa hamsini,

    Mimi sina moyo moyo wangu kipande anacho Mwajuma kipande anacho Ratifa

    Hasira zangu zimeniponza

    Dahaa



     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog