Search This Blog

Thursday 24 November 2022

RATIFA & MWAJUMA - 1

 

     

     IMEANDIKWA NA : HAFIDHI J IKRAM



    *********************************************************************************

    Chombezo : Ratifa Na Mwajuma Season 1

    Sehemu Ya Kwanza (1)

     





    Niliwaza na kuwazuwa ni jinsi gani tunazidi kufanywa watoto wadogo, yuko wapi Mbunge wetu aliyetuahidi kutujengea daraja iwapo tu tukimpigia kura, alitowa ahadi kemukemu eti atahakikisha wakazi wa mji mpya tunakuwa na soko letu. Hospitali yetu mabomba ya maji yatasambazwa umeme utakuwepo kila kona. Kumbe yote hayo ni akili za usiku niliwaza sana mwishoe nikacheka. Unajuwa kwanini nilicheka? Kumbe siasa ni mchezo wa kitoto, kuanzia babu yangu bibi yangu na wazazi wangu miaka nenda rudi wanazidi kudanganywa, tena na vijana wadogo sawa nasisi watoto zao. Nichaguweni nitajenga barabara, nipeni kura ajila zitakuwa za kumwaga chaguwa Mkwa kura kwa ICU tuwape maendeleo, kumbe ni fiksi tu. Leo hii yupo bungeni analipwa mamilioni ya pesa anavimbisha kitambi tu watoto wao wakiumwa wanaenda kutibiwa ulaya huwezi kumkuta mtoto wa mbunge au Waziri anasoma shule ya Kata zaidi ya hayati Mwalimu Nyerere. Viva Roma mkatoliki aliongea ukweli. Nilizidi kuwaza mpaka nikahisi kichwa kinaniuma nimeshindwa kujiunga na chuo kisa nimekosa mkopo ohoo Tanzania nchi yangu,

    “Hafidhi’’,,,,,wee Hafidhi’’,,,, ilikuwa ni sauti ya mama akiniita, “naamu’’ nikaitikia kwa sauti ya kichovu “embu njoo nikuagize dukani kwa Mangi’’ nikatoka kwa hatua za kujivuta na kumfikia mama kwa wakati huo alikuwa akikaanga sambusa, “lakini mama nitakaa nyumbani mpaka lini?’’ kabla ya kuambiwa nilichotumwa nikauliza swali. “Hafidhi mwanangu kama unionavyo mama yako hapa sina kazi sina mume tokea baba yako afariki kwaajali ya gari sina msaada wowote. Ndugu upande wa baba yako wakaniita mimi mchawi eti nimemuuwa ndugu yao niweze kurithi hii nyumba, Hafidhi mwanangu embu angalia yani nimuuwe kipenzi changu kweli kisa hiki kijumba’’,,,, mama akaongea huku machozi yakianza kumtoka nikawai kumfuta na kumwambia. “tafadhali mama yangu usilie kuanzia leo nakuahidi sitokutamkia tena kuhusu shule, haina haja yamimi kupata elimu ya juu, hii ya chini inanitosha, usilie mama yangu’’ niliongea hivyo moyoni nikiwa na machungu kwa kupoteza muda wangu wa kulilia kitambulisho cha kupigia kura nilipigana kwenye foreni mpaka nikaweza kukipata, alafu tunakuja kudanganywa kibwege kwa visenti na vikofia vyao, nikainuka na kuelekea dukani “wee Hafidhi sasa unaenda tu unajuwa nahitaji kitu gani?’’ mama akaniuliza hivyo ikanibidi nirudi kumsikiliza. “mwambie akupimie unga wangano nusu na mchele nusu,’’ “ni hivyo tu?’’ nikauliza huku nikiondoka, nikafika dukani wakati nangojea kukabidhiwa vitu vyangu pale dukani wakaja mabinti kama watatu mwanaume nikabaki kukodowa macho kwa mmoja kati ya mabinti wale. Binafsi alikuwa ni binti mrembo sijawai kumuona maishani kwangu labda unaweza kusema sijatembea na kujionea, sema nitapingana na wewe kwasababu tokea nafikia barehe yangu na kujiunga na elimu ya kidato cha kwanza nilikutana na wanawake wengi yani kila lika sio kimapenzi wengi wao walikuwa ni marafiki zangu, “wee kaka unagaiwa mzigo wako’’ Mungu wangu sauti yake sasa utasema Leyla Rashid yule mwanadada wa jahazi modern taarab hakika ana sauti tamu wee acha tu, ndio maana nyimbo nyingi za Kikundi kile anaimba yeye. Yule binti kwa sauti yake nyororo akaniambia. Basi nikapokea mzigo wangu na kuondoka “wee Hafidhi umesahau chenji yako,’’ Mangi nae akaniita dahaa kweli nilidata nikarudi na kuipokea chenji, na kuondoka huku nyuma nikiacha vicheko kwa mabinti wale, sasa nikatoka kwenye kuwaza maendeleo na kuingia kwenye dimbwi la malavidavi.

    Hata nilipofika nyumbani na kumpatia mama vile vitu “sasa mama hii chenji naenda kucheki movie kwa Venance,’’ “sawa mwanangu sema usikawie kurudi si unajuwa siku hizi kuna wakabaji wanaitwa Mwendo wa neema sasa wakikukaba kama hauna kitu wanakulawiti’’ mama akaniambia hivyo kwanza nikacheka “ha!ha!ha! “sasa unacheka nini kwani unajuwa utani ehee’’,,,,,, “mama bwana mambo hayo wanafanyiwa wajinga wajinga sio komando kama mimi kwanza mimi niko fiti kama brother Hafidhi j Ikram katika mtaa wa tatu’’ niliongea japo kiutani tu maana nafahamu mimi sina uwezo wowote zaidi ya kujivunia vikarate vyangu vya mtaa, “thubutu huna uwezo huo yani ungekuwa kama Hafidhi leo hii si ungeringa yani huko chuo ungeenda kusoma bure kwa ubabe".....

    Kauli ya mama ikanifanya nicheke na kuondoka, nilifika kwenye Kibanda cha Video show wenyewe tunaita kibanda umiza

    Maana unakaa kwenye benchi

    mpaka makalio yanauma na kiuno nacho.

    Nikatazama makava kulikuwa na

    Derta force, kacheza Chuck Norris

    Sijui Kl Gang star

    ya washikaji fulani hivi wakitaa

    kuna Mohra kacheza Sunily Sherty na Akshey Kumari

    “oyaa movie ndio inaanza hiyo"....ilikuwa kauli ya Venance akiniambia hivyo

    “toka zako nawe unakuwa naakili kama za wanasiasa kwenye kampeni, uwongo mtupu yani

    Kusema ndio inaanza kumbe ipo mwishoni kudadeki zako.

    Unakumbuka ile juzi uliniambia picha ndio linaanza kuingia namkuta Thenthia Rothrock

    Anakufa huku Mathias anaingizwa kwenye kisima cha mamba?"

    Nilimwambia hivyo Vena nikiwa Sirius

    Nishachoka akili za Wana siasa



    Venance akaniangalia na kusema

    “basi powa unalipia movie yapili"

    Sikutaka kukataa nikampatia kiasi cha shilling mia moja ndio bei ya

    Movie nikaingia ndani na kukuta watu wamejazana utasema

    Tupo kwenye kampeni za danganya toto kula nyama mbichi.

    Wanaume kwa Wanawake watoto kwa wazee japokuwa kulikuwa na feni kama mbili joto halikutaka kutoka. Mpaka ikafikia

    Vijana wakiume kuvuwa T-shirt zao na kujipepea

    “oyaa wee bwege unaniziba embu inama kidogo",,,,,,kuna jamaa mmoja akanitusi kwa kuniita bwege,

    Nikageuka kumtazama kisha nikasogea kando pasipo kumwambia chochote maana nimefunzwa penye chukizo ujiepushe.

    Nikiwa nimeikodolea macho

    Tv na kumuona mwanaume washoka

    Sunily Shety jinsi anavyofanya mauwaji kwa kuweka arama ya (X) kwenye picha ya muhusika

    Yani kabla mtu hajafa anapigwa msalaba

    Kisha kifo kinafata juu yake.

    Siku zote penye wengi kuna mengi sijui nani akajamba na kutufanya baadhi ya watu tutoke nnje,

    “ohoo kudadeki huyu atakuwa anafanywa nyuma nini?

    Jamaa mmoja akauliza huku akijiziba pua

    “itakuwa kala makande ya juzi maana si kwa harufu hii,"

    Mwingine akadakia na kusema hivyo,

    Wakati tukiendelea kuvuta pumzi nnje moyo wangu ukafanya pahaa baada kuwaona wale warembo wamekuja kucheki movie

    “ehee Vena unakumbuka jana nilikuachia chenji yangu ehee?"

    Yule binti mrembo kupita wenzake akasema hivyo.

    “ahaa Ratifa chenji gani wakati wewe na Rahma mliangalia Series ya

    Goodbye Mr. Black"

    “oyaa Vena kwani unawadai shilling ngapi?"

    Sijui akili gani ilinituma nikajikuta nikiuliza tu

    “siwadai ila wanataka kuingia ndani

    pesa hawana"

    Vena akanijibu nami pasipo kupoteza muda nikajisachi mfukoni na kutoa pesa noti ya shilling elfu mbili nikamkabidhi,

    Na kumwambia

    “basi shika hii waache mabinti waangalie movie leo ndani yao si inatosha hiyo au vipi?"

    Nikauliza kujifanya nina pesa

    Kumbe hiyo elfu mbili yenyewe sio yangu nilipewa na Dada Nasra jioni niende kumnunulia unga wa dengu kwaajili ya biashara yake ya Bagia mwanaume

    nimehonga sijui nitamueleza nini ukizingatia

    Nasra akianza kuongea mpaka

    mji mzima utajuwa leo Nasra kavurugwa

    Nikarudi kibandani na kutamani kukaa beneti na yule mrembo lakini haikuwa hivyo

    Nikashuhudia akienda kukaa na jamaa mmoja hivi kibaya zaidi akamkalia ikawa yule binti kapakatwa jamani moyo wangu wivu ukanishika na kutamani

    Kwenda kumwambia anyanyuke na tuondoke.

    Kama haitoshi yule jamaa akaipitisha mikono yake kwenye makwapa ya binti yule na kuzishika chuchu mpaka bibiye akashtuka

    “ahaaassss,,,,,,baby bwana mi sitaki unajuwa kuna watu wanatuangalia"

    Kauli ya yule binti kumwita yule jamaa baby ndio ikanichefuwa roho yangu na kujikuta nainuka na kutoka nnje

    “vipi Hafidhi unaenda chooni au?"

    Venance akaniuliza swali baada kuniona naondoka.

    Sikumjibu kitu nikaondoka kimya kimya maumivu niliyokuwa nayo ndani ya moyo wangu wee acha tu.

    Sijui kwanini nilikuwa na wivu kwa Mwanamke ambaye si wa kwangu

    Simjui hanijui, nilitembea njia nzima nikiwa nina mawazo

    “Hafidhi"

    ni sauti ya baba mdogo ndio ikanishtua kutoka kwenye dimbwi zito la mawazo

    Nikasimama na kugeuka kumtazama, “Shikamoo bamdogo"

    “sina haja na shikamoo yako mtoto mbaya sana wewe.

    Yani hutaki hata kuja kunitembelea juzi

    Dada yako Laya kafanyiwa sherehe wenzako wote walikuja

    Hafidhi wewe hata kutokea, yani unaakili kama za yule bwege mama yako",,,,,

    Kitendo cha kumwita mama bwege ndio akaniuzi kabisa ukizingatia nina hasira za yule binti

    Nikajikuta namkatisha maneno yake ya shombo tu,

    “sikia wee Mzee sijui kijana, ole wako nikusikie tena unamwita mama yangu majina ya ajabu ajabu,

    Kama bwege ni mkeo au mama yako.

    Tena nakuonya waambie na hao

    Mabwege wenzio waache tabia za kipimbi vinginevyo wajichagulie makaburi mapema"

    baada kumchimba biti Mimi huyoo nikaondoka na kumuacha kaduwaa haamini kama yale maneno yametoka kinywani kwangu au.

    Nikafika nyumbani na kumkuta

    Dada Nasra ndio kapalilia ubwabwa

    “ehee afadhali umerudi maana nilitaka nikufate huko huko Video show

    Vipi unga ushaenda kuninunulia?"https://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Yani kuniona tu akaanza kuongea na kuniuliza swali nikakumbuka pesa yake nimeonga kwa mademu na pale nilipo sina hata sentano.

    “ahaa pesa yenyewe sijui chuma ulete yani nimeiweka mfukoni,"

    “Hafidhi ishia hapohapo usitake kusema sijui pesa yangu umeipoteza, sihitaji kusikia lolote zaidi ya kuniambia Dada unga huu hapa full stop!

    Nasra akajifunga kibwebwe sijui anataka kupigana au vipi sema ukiona hivyo

    Jiandae kujaziwa Nz'i yani watu.

    “sasa si imenipotea kwa bahati mbaya tu, niliongea kwa sauti ya unyonge,

    “hakuna cha bahati mbaya wala nini pesa yangu utaitowa tu,

    Hivi unafahamu nimefanya kazi gani mpaka nimeipata ile pesa?"

    Akaniuliza sema sikutaka kumsikiliza zaidi

    Nikaingia zangu ndani nikimuacha akibwabwaja

    Akaongea wee na akianza kuongea hakuna wa kumnyamazisha mama mwenyewe anatulia pembeni

    Ukijifanya kumwambia Nasra basi yaishe

    Kibao kinageukia kwako atakupandisha na kukushusha kisha hiyo mitusi utaikoga"

    Kusema kweli

    Dada Nasra kanipita kiumri

    baada kuzaliwa yeye miaka kama sita hivi ndipo nikazaliwa mimi so namuheshimu sana sio kama nashindwa kumpiga

    Heshima ni kitu cha muhimu yeye mwenyewe anafahamu

    siku moja alirudi nyumbani analia

    Kumuuliza kisa cha kulia akasema kibwana chake kimempiga

    Sikutaka kufahamu chanzo nini nikamshika mkono mpaka kwa jamaa nikawasha moto nilimfumua

    Huyo jamaa mpaka Dada mwenyewe akamuombea msamaha

    Utasema Sunny Deol

    Mara nyingi sana namtetea napambana kwaajili yake tatizo la Nasra

    Anaongea sana nguvu hana



    Basi aliongea wee mwishoe akanyamaza, mwenzake nilikuwa nawaza kuhusu yule

    Binti kama sikosei nilimsikia Venance akimtaja kwa jina la Ratifa sijui Latifa

    Au ipi sahihi hapa sema mimi napenda zaidi iwe Ratifa,

    Mwanaume kama kawaida yangu nikianza kuwaza yani nawaza vitu ambavyo kiukweli haviwezekani. Niliwaza kama akinikubalia nitampa dunia. Sijui kama ni yakwangu hata nikimpa watu wengine wakakae wapi"......nimpe dunia wakati hata shilling hamsini sina,"

    Niliwaza tayari nipo nae chumbani

    “Hafidhi wee ni handsome boy yani kina Rahma hawaishi kukusifia.

    Tafadhali usije siku moja usije ukaniacha"

    Ratifa aliongea hivyo na kunikumbatia

    “Kaka Hafidhi chakula tayari, ni sauti ya kidomodomo ndio ikanishtua na kujikuta nimekumbatia mto nikidhani ni Ratifa,

    Nikainuka na kutoka mpaka

    Sebuleni nikakaa na kunawa,

    “Nasra"

    “Abee mama"

    “siku zote najalibu kuvumilia lakini nashindwa moyo wangu unaumia usiku kucha nalia, kilio ambacho sihitaji wanangu muweze kukisikia. Hafidhi mwanangu"

    “naamu mama"

    “ikitokea siku nikafa ghafla nakuomba please muangalie Dada yako nafahamu amekuzidi kiumri, lakini muangalie

    Usimtenge usimtupe kwasababu ya maneno yake mvumilie ipo siku atachaa".....

    Maneno ya mama yakanichoma zaidi mpaka hamu ya kula ikanipotea hata

    Nasra yale maneno yakamgusa mpaka kumoyo

    “mama kwanini unaongea maneno yote hayo nini shida?"

    Nikamuuliza,

    “Hafidhi mama yako sina muda mrefu wa kuwepo tena duniani

    Nasra mwanangu niwewe kweli wa kunidhalilisha mimi mimi mama yako

    Unadiliki kunitangazia mabaya

    Kwa Shangazi zako, ni lini ikatokea Nasra nikakunyima chakula

    Nikakuzuia usiende kwa mabwana zako.

    Nasra mwanangu tambuwa wewe si mtoto tena katika umri wa miaka Ishillini na tatu

    Ushakuwa mwanangu, sishangai kwa kuhitaji kunitenga Mimi mama yako

    Umeniita mchawi sijui nimekuroga lini

    Matusi yote unayonitukana ni sawa, wakati mama anaongea nikamfumua zinga la kofi

    Dada Nasra mpaka akaenda kujigonga kwenye meza

    Mungu wangu hasira hasara,

    Kitendo cha kujigonga kwenye meza

    Nasra hakuweza kutikisika wala kuongea chochote

    Mama akamuwai na kumshika huku akimwita “Nasra"......Nasraaaa inuka mwanangu inukaaa,

    Hafidhi umemfanyia nini Dada yako?"

    Swali la mama halikuwa na mda wa kujibiwa kwa wakati huo.

    Nikatoka nnje na kwenda kumcheki jamaa fulani dereva wa bajaji

    tumuhishe Nasra hospitali niliweza kumkuta baada kumueleza nae hakutaka maelezo marefu sijui tupatane bei ukizingatia

    Nasra ni demu wake tukafanya faster na kumbeba Dada kichwani alikuwa akivuja damu,

    “sasa mama unalia nini kwani umeambiwa huyu amekufa?"

    Niling'aka na kuuliza hivyo

    “kwani ilikuwaje mpaka akawa hivi?"

    yule jamaa nae akauliza swali

    “wee kuwa makini na barabara sijui ilikuwaje haikuhusu",,,,

    “Hafidhi mwanangu embu kuwa na heshima basi tambuwa huyu ni shemeji yako?" Nikanyamaza kimyaa mpaka tunafika hospitali ya Shamba jamaa akambeba

    Dada haraka haraka akamuwahisha wodini

    yani aliona kama machela inachelewa kuletwa.

    Alhamdulillah Dada alikuwa bado yumzima

    Alipatwa na mshtuko tu uliompelekea kupoteza fahamu,

    Jamaa akalipia kila kitu mpaka muda huo sikuweza kulifahamu jina lake

    kwakuwa mtaani kwetu ni mgeni kahamia hata miezi mitatu bado kuisha leo hii naambiwa Shemeji yangu yani kuwa na

    Madada kama hawa ni stress tupu.

    Nikiwa nimejiinamia kwenye bench

    Ndipo nikaweza kuona kasoro

    Nyingi tu ndani ya hospitali ile

    Ukosefu wa dawa na baadhi ya vitendea kazi.

    “Hafidhi embu shika hii pesa na hiki cheti nenda kule Kawe ukwamani

    Kanunue mahitaji yaliyoandikwa humu",,,,,,,Mama akaniambia sema Shemeji akanipa na funguo ya bajaji nikaipokea

    na kuelekea duka la madawa.

    Nikiwa njiani kuelekea duka la madawa mwanaume nikawaza nirudi kwanza nyumbani nikapige misele

    Mbele ya mademu nionekane mi noma

    Pasipo kufikilia

    Vitu nilivyoagizwa vinahitajika haraka sana. Sema nafsi ikanisuta kwa kuniambia niache

    Uboya sifa kitu gani jali kwanza uhai wa ndugu yako

    Nikaipaki bajaji pembeni nikaingia dukani

    Na kumpatia kile cheti

    Nilishangaa nikipatiwa mabomba ya sindano sijui dripu mbili

    Na madawa mengine, nikajiuliza hivi vitu vimekosekana vipi kwenye hospitali

    Kubwa kama ile tena ya Serikali

    Nikakumbuka

    Kampeni zilizopita jinsi yule Mbunge alivyokuwa akijinadi kwa kusema atahakikisha

    Maisha bora kwa wakazi wa kata yake,

    Kisha nikasonya na kuingia kwenye bajaji na kurudi tena hospitali

    Basi Dada akapatiwa huduma kesho yake

    Asubuhi akaruhusiwa kutoka kufika nyumbani tu

    Nasra akapiga magoti na kumuomba mama msamaha

    “tafadhali mama yangu naomba unisamehe kwahili nikweli nimekukosea sana

    yote sababu ya Shangazi zangu wameniambia maneno mengi sana ya uchochezi juu yako niweze kukuchukia ewe

    Mama yangu nisamehe usipo nisamehe wewe atanisamehe nani",,,,,,,

    Nasra aliongea huku akilia. Sasa hapo mwanaume nikazidi kujenga chuki na Dada zake marehemu baba kuna

    Husna na Rukiya hawa ni vidomodomo hatari sana bila shaka

    Nasra karithi kwa shangazi zake,

    “hapana Nasra usiongee hivyo binafsi Mimi hujanikosea lolote

    Nakuomba tu kuwa makini na Shangazi zako. Hafidhi",,,,,,,

    “naamu mama"

    “naomba funguwa kifua chako ondowa chuki kwani Mungu hapendi sisi binadamu tuchukiane hata kama atakuwa kakutendea ubaya kwa kiasi gani,

    Mlipaji wa yote ni Mungu pekee tuishi kwa kusamehana panapo makosa

    Tupendane sisi kwa sisi tuache

    Ubinafsi tabia ya umimi isiwepo ndani ya mioyo yetu, tukizingatia haya

    Maisha yetu yatazidi kusonga mbele",,,,,,

    Mama aliongea maneno yenye hekima sana kisha akatuita tusogee kalibu yake

    Na kutukumbatia hakika hakuna kama

    Mama machozi yalitutoka

    Niliwaza je baba angekuwepo furaha yetu ingekuwaje maana nilikumbuka enzi za uhai wake yeye ndio kanipigani mpaka namaliza form four





    Hakika marehemu baba alikuwa na upendo kwakiasi kikubwa sana

    Nilikumbuka vyema kauli yake ya kunitaka nisome kwa bidii niache mchezo akanisisitizia zaidi kwa kusema urithi pekee kwa mtoto ni elimu kwani ndio hadhina kubwa iliyojificha.

    Baba yangu akafariki kabla siku ya kufanyiwa Gladiasion ya kumaliza kidato cha nne,

    Hafidhi mchozi ukazidi kunidondoka nikiwa kifuani kwa mama “basi wanangu naomba mnyamaze kwani kila kitu kitakwisha iwapo tukimtumainia Mungu"

    Mama akatuambia hivyo, kwakuwa ndani maji kulikuwa hamna nikakusanya ndoo na kuelekea bombani. Nikafika bombani na kukutana na foleni si yakitoto.

    Nikaweka ndoo zangu kwenye foleni huku nikiwa bize kuchezea simu

    wakati nangojea zamu yangu ifike nikasikia sauti ya binti akilia huku akisema

    “niache",,,,,,,,nishasema sitaki!!!

    Niache bwana" ile sauti haikuwa ngeni masikioni mwangu kila mmoja akatoka mbio na kuelekea huko kwenye ugomvi. Nami nikaenda niweze kufahamu kunani.

    Kama ujuavyo uswazi kitu kidogo tu mijitu inajazana, dahaa sikuweza kuamini

    Baada kumuona yule binti akivuja damu mdomoni huku jamaa fulani kazishika nywele za binti yule akimvutia chumbani

    Hasira zikanishika siku zote hasira zangu zipo kalibu sijui kwanini ijapokuwa Mama anajitahidi kila siku kunihusia

    Nisiache nafsi ikanitawalahttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Nitakuja kufanya vitendo vya ajabu bure

    “oyaa mbona unampiga binti namna hii utasema

    Unapigana na Mwanaume mwenzio?"

    Nilimuuliza kwa sauti ya kiustaarabu

    “wee Malaya nini kwanza wewe kama nani unaniuliza hivyo?

    Kinakuuma nini embu tambaa zako huyu ni demu wangu mimi. Umesikia dogo embu jikatae",,,,,,jamaa akanijibu kiujeuli zaidi na kunisukumiza

    Lakini hakufahamu kama anafanya kosa kubwa sana kitendo cha kunyoosha mkono wake tu nikamdaka na kumvuta

    Ukicheki mtu mwenyewe hafya yenyewe matatizo matupu akaja nikamtandika kichwa kimoja tu mtu

    Chali, akainuka na kukunja ngumi nami nikajiweka sawa na kumwambia njoo

    Lakini kabla ya kupigana zaidi mjumbe

    Na watu wengine wakaja kutushika na kututaka tuache ugomvi

    “wee bwege tu mjinga subiri utaona",,,,,

    Niliongea maneno hayo kwa hasira

    “umuonyeshe nani wewe mtoto wamama tu

    Tafuta siku tukutane",,,,,

    Jamaa nae akanijibu nilikuwa mbishi kukubali kutulia mpaka mama akafika

    “Nini tena mwanangu?"

    Mama akaniuliza swali sikumjibu kitu nikaona hata aibu nikaelekea bombani kujaza ndoo nikamkuta Dada

    Nasra ndio anajaza na kuzipanga pembeni

    “Dada embu nenda kapumzike nyumbani hii sio kazi yako ukizingatia unaumwa"

    Nilimwambia hivyo huku nikiitowa ndoo ilijaa bombani

    “Kaka bwana nimeumia kidogo tu wala siumwi kivile wacha nibebe tu,"

    Nasra akasema na kuichukuwa ndoo moja kwa kuibeba mkononi

    Kichani asingeweza maana alikuwa na jeraha. Basi tukafanya kusaidiana mpaka ndoo zote zikaisha,

    “hivi wewe mtoto lini utaweza kudhibiti

    Hasira zako, yani unatoka hapa nakwenda kupigana na Mbwana kisa yule mtoto wakike, kwanza nasikia ni Malaya tu,,,,,

    “Mama usiseme hivyo, usimwite yule binti Malaya sipendi ujuwe,

    Niliwaka na kumwambia mama aikane kauli yake ya kumwita Ratifa ni Malaya

    Nikaona nikikaa sana pale naweza kupaniki na kumvunjia heshima mama yangu,

    Nikaondoka, na kumuacha mama akiguna tu

    “mmh!

    Ajabu leo hii mwanangu kuninyooshea kidole na kunitolea sauti ya ukali",

    Hakika nilianza kujilaumu kwa kumuongelea mama kwa sauti ile

    Nikafika maskani na kuwakuta washkaji wakipiga story za hapa na pale

    “oyoo mzee wakusabisha huyo"

    Akida kuniona tu akaanza kunichamkia

    Nikawapa hi kisha nikakaa kwenye benchi

    “nasikia leo kuna boys kazinguwa nawe kama kawaida yako ukampa ndefu"

    Meja Konga akaniuliza,

    “ahaa unajuwa nini jamaa alikuwa anampiga demu utasema mwizi nikaona isiwe kesi

    Wacha niingilie kati kwanza nikamuuliza si akajibu nyodo nikampa kichwa kimoja tu, kama ingekuwa sio mjumbe kuingilia kati

    Leo hii nishaenda jela,"

    Nikaongea kwa kujinadi kujiona mimi mwamba,

    “sasa ndugu ujiandae maana yule jamaa team mwendo wa neema ukimzinguwa mmoja tu watakusaka usiku na

    Mchana wakikushika utajuta juzi kati tu, kule

    Mtoni kuna mwanamke walimpiga mtungo, kibaya zaidi binti alikuwa ni mjamzito

    Yani akajifunguwa palepale kwa kubakwa.

    Sema mama na mtoto wakafariki,"

    Othmani akahadithia unyama wakikundi hiko mpaka nikahisi mapigo yangu yamoyo yakienda kasi kwa uwoga.

    “sasa kama hivyo itabidi nikimbie kitaa",,,,

    “haina haja ya kumkimbia yeyote kwanza hao Mwendo wa neema wananini mpaka tushindwe kupambana nao

    Tatizo letu tumetawaliwa na uwoga kitu kidogo tu si mbio hatuna umoja zaidi ya ubinafsi embu tushikamane

    Basi",,,,,,,,,Akida akaongea hivyo wengi tunapenda kumwita

    Kid Master kutokana na tabia yake ya kujiamini kupita kiasi,

    “yani hapo umeongea ponti tupu

    Kwanza Othaman mkali wa Karate kila siku tunajifunza kupitia kwake

    Ukimcheki Meja ni mkali wa Kingboxer

    Hafidhi yeye anajifunza Taikondo

    tukishikamana mbona mwendo wa neema ni watoto wadogo tu hawa",,,,,,,

    Mudy akachangia mada, kila mmoja akaongea lake na kukipa jina kikundi chetu

    na kukiita Wabeba Lawama.

    Yani lawama zote za mtaa tutazibeba sisi tukisikia Mwendo wa neema wameleta fyokoo tunaingia nyumba hadi

    Nyumba na kuwatembezea kichapo

    Je nini kitaendelea?"





    Tuliweza kupanga mipango kabambe na kuhakikisha hao

    Mwendo wa neema hawatoki jino moja iwapo tu wakiingia kwenye kumi na nane zetu. Yapata saa moja usiku nikajongea kurudi nyumbani, nikiwa sina hili wala lile

    Nikasikia sauti ya yule binti akiniita

    “wee kaka",,,,nikasimama na kugeuka nilimuona akija mbiombio huku akihema

    “vipi mrembo kwema huko utokako?"

    Nilimuuliza swali baada kunifikia

    “kwema tu kaka yangu nilikuwa nakutafuta niweze kukushukuru kwa

    Msaada wako ulionipatia kusema kweli sina cha kukulipa Mungu mwenyewe anajuwa",,,,,binti akaongea kwa sauti yenye kukata tamaa

    “haina shida Mrembo kama wewe unapigwa wakati sisi vidume tupo ni jukumu letu kutetea kile ambacho kimetoka ubavuni mwetu kwahiyo usijali".....

    Nilimwambia hivyo basi akatabasamu na kuniambia

    “unaonekana unaongea wewe",,,,,,

    “hamna bwana mimi sio muongeaji wala nini. Sema bibiye naweza kukuuliza kitu?"

    “bila shaka unaweza kuniuliza"

    Nae akaitikia nimuulize

    “inakuwaje binti mrembo kama wewe unatembea na Mwanaume kama yule muhuni mvuta bange madawa ya kulevya mkabaji mbakaji

    Imekuwaje mpaka ukavumilia vyote hivyo?"

    Nilimuuliza akakaa kimya kama dakika tatu hivi ndipo akanijibu.

    “siku zote jambo usilo lijuwa ni sawa na usiku wa giza,

    Ni historia ndefu kidogo kutokana na saa hizi ni usiku naomba tuonane kesho nitakusimulia kila kitu",,,,,,

    Kwa sauti yenye kuambatana na kama anataka kulia hivi bibiye akaniambia hivyo,

    “powa haina shida sasa muda

    gani wewe utakuwa upo free?"

    Nikamuuliza

    “kuanzia saa tisa alasiri ndio nitakuwa sina kazi yeyote ile",,,,,,

    “sawa basi tukutane beach kule

    Lenbow"

    Nikamwambia hivyo nae akaitikia sawa atakuja beach mwanaume nikashangilia ushindi yani ndani ya usiku huu naanda mistari tu mtoto mzuri kama yule

    Lazima nimmiliki mimi,

    Nikafika nyumbani niliona hata aibu kuulizia chakula

    Kutokana na ile mchana kumkalipia mama kisa kusema Ratifa ni Malaya

    “Hafidhi mwanangu bado umechukia tu kumwita jina baya mpenzi wako?

    Basi nisamehe baba yangu",,,,,

    Mama akaanza kujingelesha baada kuona nimepitiliza moja kwa moja mpaka chumbani kwangu,

    “hapana mama yangu hujanikosea wala nini mimi ndio nahitajika nikuombe msamaha kwa kukukalipia kama vile mtoto

    Mdogo nisamehe ewe mama yangu"

    Mama hakuongea zaidi ya kunitengea chakula nikala na kwenda kulala usiku kucha nilikuwa nikipanga mistari

    Utasema mwanasiasa

    Kesho nina kampeni viwanja vya Jangwani nitawadanganya vipi wananchi waweze kunipa Kura elimu bure

    Hospitali bure n.k

    Sikumbuki usingizi ulinipitia mda gani sema nikalala na kuota ndoto

    Nikajikuta nipo chini ya mti wa muwembe nikilia baada kushuhudia Ratifa akiolewa

    Na yule jamaa huku

    Bibiye Mwajuma binti ambaye alitokea kunipenda kwa dhati akijinyonga baada kumtamkia simtaki.

    “Hafidhi mjukuu wangu unalia nini?"

    Nikainua kichwa kumuangalia anaeniuliza hivyo

    Alikuwa ni bibi mzaa mama,

    “bibi mjukuu wako nateseka naumia

    Nimempoteza binti niliyekuwa nikimpenda kisa tu sina nguvu za kupambana

    Nikaona wacha nimuwahi binti aliyekuwa akinipenda kwa dhati nimemkuta tayari amekufa!!!

    Niliongea kwa sauti ya kilio

    “huna haja yakulia tena bibi yako nimekuja kukusaidia iwapo tu utakubaliana na mimi

    Nakuomba kesho asubuhi uwende Kilwa kiwawa

    Sema ukishuka kwenye basi usifikie nyumbani kwangu.

    Nakuomba uifate njia ya kuelekea kisimani, kabla ya kufika kisimani

    Upande wako wa kushoto ukigeuka utauwona mbuyu basi ufate.

    Kwenye huo mbuyu utakutana na kitambaa chekundu kichukuwe hicho,

    Hiko kitambaa ndio kitakuwa nguvu zako mvuto wako unaweza kufanya chochote kile kupitia nguvu ya kitambaa hicho"......

    Baada kinipatia maelezo hayo

    Bibi akapotea na kuniacha nikiita

    “bibiii",,,,,,,nikashtuka kutoka usingizini jasho likinitoka kumbe ilikuwa ni ndoto tu,

    Adhana ya alfajiri ikasikika nikainuka na

    Kufunguwa mlango nikatoka nnje.

    Nikaenda kwanza chooni kujisaidia haja ndogo kisha nikatoka na kurudi ndani niendelee kulala

    Yani niliona kama vile usiku umekuwa mrefu nilitamani kukuche haraka niende kuonana na yule mrembo.

    Swala la ndoto sikutaka kulipa nafasi akilini mwangu ndoto itabaki kuwa ndoto tu haina ukweli wowote ndani yake

    Mara ngapi nimeota mimi tajili nipo

    Marekani namiliki mademu kibao

    mpaka Biyonce

    Kareena Kapoor nimeota nafanya nao mapenzi kuja kushtuka simuoni hata mmoja zaidi ya kujikuta nimejichafua,

    Ndoto ya kweli ota unakojoa

    Ukiamka utaisoma number. Usingizi ukanichukuwa Alfajir ile usingizi unakuwa mtamu wee acha tu,

    Nikaja kuamka saa tatu “Assalam alaykum yaa Ummy",,,,,,nilimsalimia mama yangu kwa kiarabu,

    “waaleykum ssalam yaa Ibnaiya"

    Nae akaitikia ndio kawaida yetu kusalimiana hivyo,

    Ndivyo nilivyofunzwa kwa kuambiwa Shikamoo si salamu katika yetu sheria

    Shikamoo maana yake nipo chini ya miguu yako, ni salamu za wakoroni

    Nikamuacha mama pale ukumbini akifagia mie nikatoka zangu nnje

    Mmh",,,,,niliguna baada macho yangu kuweza kumuona binti mfano wa Diana Kimaro yule binti wa Bongo movie

    hakika mtoto maishaallah

    Nyuma kafungashia mguu chupa ya shampeni kila akipiga hatua moja

    kitu kinatingishika

    Nisimsifie sana nina Ratifa wangu mie yeye ndio kila kitu",,





    Nikiwa nimesimama namsaminisha yule Mrembo kwa wakati huo alikuwa akiongea na Dada Nasra bila shaka kaja kununua Bagia, nikamsikia vyema akisema “wee mimi siwezi kunywa chai na kitafunwa chochote kile zaidi ya bagia. Yani nikikosa bagia chai yenyewe sinywi Naingia zangu dukani kununua Bia au Red blue, basi nikinywa moja wapo hapo moyo wangu unatulia," “Mmh" Nikaguna tena baada kumsikia yule Mrembo akiongea vile, nikasogea mpaka pale na kufikia kuchukuwa bagia Moja, nikataka kuila ilikuwa ni mbinu ya kumchokoza Dada “Mamaaa",,,,,,si akamwita mama “Abee unasemaje Nasra?" “njoo umuone mwanao keshaanza mambo yake, yani kuna mteja hapa anasubilia bagia zake kumi yeye kafikia kuichukuwa moja",,,,,, Nasra akamueleza mama ambaye alikuwa kasimama mlangoni, Ajabu niliweza kugundua yule binti akinitazama sana mimi Kwa jicho la husda na matamanio utasema Fisi kaona mfupa. “yani nyie watoto mmh!" Mama akaongea kidogo tu na kurudi zake ndani, “Mwajei umemuona kaka yangu waukweli huyoo? Sema ananibowa wee acha tu",,,,,,

    Dada kwanza akanisifia kwa kuniita waukweli kisha akanikandia eti nambowa. “Nasra nawe yani mtu kuchukuwa bagia moja tu ndio akubowe",,,,, “ndio ananibowa yani anataka staff ndio halipii ile"

    Dada akamwaga mchele penye kuku wengi. Eti nakula bure “basi usijali shost wamie kuanzia leo nitakuwa nikimlipia kila akichukuwa bagia niambie nitakupatia pesa Yako umesikia ehee",,,,,,

    Mwajei akaongea hivyo kisha akanitazama Mimi na kunikonyeza kijicho mtoto wakike akajiramba midomo yake minene yenye haiba ya kutamani kula denda kila umuonapo nikahisi jongoo wangu kama anaanza kuitikisa bukta yangu. “Vipi mbona hiyo bagia huili muda wote umeishikilia tu?" Mwajei akaniuliza swali “nitakulaje kitu chenyewe cha masimango subiri niirudishe",,,,

    ,,nikasema huku nikitaka kuiweka kwenye beseni, “hapana bwana usifanye hivyo Mimi nishailipia kama vipi ongeza nyingine ukanywe chai, bibiye akasema huku akitabasamu. “Mwajumaa,"

    wee Mwajuma",,,,,

    Sauti ya mwanamama ilisikika nyuma ya nyumba yetu ikiita Mwajuma “Abee mama nipo huku kwakina Nasra nasubilia Bagia"

    Ajabu akaitikia Mwajei nikajiuliza inamaana huyu binti ana majina mawili pasipo kutambua

    Mwajuma kifupi chake ni Mwajei

    “Baba yako kapiga simu kasema ukampokee Airport" Akaambiwa hivyo basi akainuka hapo ndipo nikaweza kumsaminisha vizuri chuchu konzi Yani wee acha tu sema sikutaka kuupa nafasi moyo wangu juu ya mrembo huyu nikaja kuonekana ni mtu wa matamanio tu.

    “sasa Nasra nifungie hizo kwanza nyingie nitakuja kuzichukuwa baada kurudi Airport",,,,,,

    Mwajuma sijui Mwajei akaongea huku makalio yake makubwa yakifanya tetemente.

    Moyo wangu ukazidi kupwita bukta ikadunda nikaona wacha niingie ndani.

    Mtu mzima nisije kuumbuka bure, yapata saa nane mchana nikajiandaa kwa kuoga

    Nikachaguwa mavazi “sijui nivae T-shirt na jeans au Shati na hii tracksuit,

    Wacha nivae vest na suruwali ya kitambaa",,,,,,

    Yani nikazidi kupoteza muda katika kuchaguwa

    Mavazi yakwenda kukutana na mrembo

    Ratifa ambaye sijaona kama yeye katika dunia hii.

    Mwishoe nikatinga T-shirt na Jeans

    nikavaa na kiatu changu aina ya supra

    Mwanaume nikatoka kwa mwendo wa kibishoo

    “ehee wapi tena mwenzetu"

    Mama akaniuliza baada kutoka nnje

    “naenda hapo mitaa yakati",,,,

    Nilimjibu na kumtazama Dada Nasra kabla ya kumwambia

    “sasa Sister nikope shilling elfu moja tu kesho au kesho kutwa nitakulipa",,,,,

    “yani kupendeza kote huko kaka yangu huna hata sentano?"

    Nasra akaniuliza, “wee nipatie bwana

    Tusianze kuulizana maswali kwanza katika watu waliopendeza wakiambiwa watoke nami

    nitatoka kweli",,,,,,, “ndio lazima utoke kwanza kaka yangu ni Handsome boy bonge la H.b"

    Nasra akazidi kunifagilia sijui hiyo pesa ananipa au ananizuga tu.

    “ahaa mimi sio H.b jina la mbwa hilo,"

    Nikalikataa jina la H.b

    “powa basi kaka yangu shika hii"

    Aisee sikuweza kuamini Dada akinipatia noti ya shilling elfu tano mpaka nikauliza

    “nikakuchukulie unga wa dengu mida hii?"

    “hapana bwana hiyo pesa yote ni yakwako".....

    Hakika nilifurahi sana nikamkumbatia na kumbusu nikaaga huyoo safari kuelekea beach

    Kwenye miadi

    Njia nzima nilitembea kifua mbele kwa kujiona nina pesa hata nikimwaga biashara ya watu nitalipa tu

    Pesa yenyewe shilling elfu tano unaweza kuiona ndogo kwako wewe lakini kwangu

    Ni nyingi ukizingatia sina kazi. Tokea nikose mkopo wa kuendelea na elimu ya vyuo vya juu

    Nazunguka kila kukicha kutafuta kazi sipati mpaka nikahisi nimerogwa na

    Aliyeniroga kafa kitambo tu. Nikipata kazi ni show time tena kibarua kumsaidia

    Fundi ujenzi kuchanganya udongo kuteka maji

    nijaze pipa kwa kiasi kidogo cha pesa

    Shilling elfu moja na mia tano, nitafanya nini yote maisha.



    https://pseudepigraphas.blogspot.com/



    Haya ndio maisha bora kwakila Mtanzania, ndivyo tulivyoahidiwa kwenye kampeni za

    Kuongea uwongo mtupu kamwe sifikirii kupiga kura mpaka mwisho wa maisha yangu.

    Nipige kura kwaajili gani wakuniongoza pekee ni Mungu, unapiga kura baada miaka kadhaa unaanza kulalamika ulitumwa umpigie au kiherehere chako mwenyewe.

    Usimtafute mchawi wakati umejiroga wewe mwenyewe

    Usiseme fulani kaniliza wakati umejiliza mwenyewe,

    Njia nzima Hafidhi nilizama kwenye dimbwi zito la mawazo

    Mpaka nafika beach nikatafuta sehemu nzuri ambayo naweza nikakaa na bibie niweze kuchombeza. Kama ikiwezekana leoleo mwanaume nimvuwe chupi au gaguro ama

    Taiti, kwakuwa niliwahi kufika mapema tu nikapanga mikakati kabambe leo awile mundu awile nako,

    Nikiwa nimekaa na kuzama kwenye dimbwi zito la

    Mawazo ghafla nikazibwa macho na mikono

    Laini utasema vile sufi nikaishika mikono ile na kuanza kuipapasa sikutaka kuitoa.

    Mikono yangu ikatua kwenye kiuno cha binti yule, kiuno number nane kilichojitenga vyema na hipsi matata

    Nikamtekenya basi akaniachia na kutoa mguno

    “ahaaaa",,,,,,,,nikageuka kumtazama alikuwa bibiye

    Ratifa kwenye vazi la gauni lake

    Refu huku kichwani akiwa kajitanda na mtandio sio siri bibie alipendeza wee acha tu

    “samahani kwa kuchelewa kufika mapema. Naona nimekuweka sana ehee",,,,,

    Bibiye kwa sauti yake tamu yenye kumfanya hata nyoka wakibisa atune yani sauti yake tu

    Dawa tosha, sio kama namsifia

    Ni ukweli mtupu msifie na wakwako basi tuone

    “hamna hujachelewa wala nini hakika wewe ni mzungu umezingatia mulemule",,,,,,,nilianza kumchombeza kwa maneno ya kumsifia eti mzungu.

    Basi akakaa karibu yangu na kuchukuwa kijiti akaanza kuchora

    Sijui uwa au katuni “binafsi Mimi naitwa

    Ratifa Ally sijui mwenzangu unaitwa nani?"

    Akajitambulisha na kuniuliza

    “mimi naitwa Hafidhi j Ikram"

    Nikajitambulisha hivyo akaonekana kushangazwa

    “khaa! Kumbe wewe ndio Hafidhi nusu Mtu nusu Jini mpaka ukawa unauwa watu kule

    Mtaa wa Tatu?"

    Akaongea huku akirudi nyuma kwa uwoga,

    Kwanza nikatabasamu na kumjibu

    “hapana sio Mimi bali majina tu yanafanana kwanza Mimi binadamu kamili

    Sema nishawai kusimulia story yangu inaitwa Nipe nikupe",,,,,,,baada kumwambia hivyo nikamuona akishusha pumzi na kukaa vizuri

    “opsiii mwenzako nilishaanza kujambajamba

    Maana yule Hafidhi sio mtu wa mchezo mchezo ukizingatia tuko beach hapa si angenitafuna"

    “Ratifa",,,,,,,

    Nilimwita huku nikimkazia macho ndio mbinu zetu watoto wakiume kumkazia macho binti mpaka anaona aibu, bibiye akang'ata kidole na kuangalia chini sehemu ambayo alikuwa akichora

    “kabla hujaanza kunisimulia

    Je unaweza kunipa nafasi nikwambie kile ambacho moyo wangu umenituma nikwambie?"

    Jamani jamani nikazidi kumchanganya mtoto wakike,

    “ndio niambie",,,,,kwa sauti ya kutokea puani

    Bibiye akaitikia, nikavuta pumzi

    Na kuanza sera za kuitaka Ikulu

    Nifyeke nyasi nilambe kisima cha maji ya chumvi nivishike vyake vichuguu ukihitaji vitu

    hivi jipange

    Kama uwezi kujipanga utaishia kuonga pesa

    Chipsi kuku mayai

    Kama wafanyavyo wanasiasa wanawakusanya wananchi na kuwapa

    Vielfu tatu tatu kofia Vitishert

    Kumbe mwenzenu anawekeza tu siku akiingia Ikulu au Bungeni anapata faida babukubwa,

    Tena kwapesa zenu nyie walipa kodi mnateseka mnaumia pangu pakavu tia mchuzi mwenzako

    Kule mboga saba,

    Naichukia siasa kudadeki.

    “Hafidhi mbona huongei unawaza kitu gani?"

    Ratifa akanishtua kutoka kwenye ugonjwa wangu wa mawazo yani

    Dahaa “hamna nilikuwa nafikilia jinsi gani bibiye unateseka.

    Ratifa",,,,,,nikamwita tena akaitikia Abee

    Nikaanza kushusha mistali

    Ni siri yangu sikwambii usije kuniibia Ratifa wangu bure, hakika mtoto wakike akaonekana kunielewa kupita kiasi na kunitamkia

    “Hafidhi nashkuru kusikia maneno hayo kutoka kinywani mwako

    Sijui moyoni au wapi sema nyie wanaume wengi wenu ni waongo nikikukubalia tu na ukanivua chupi ndio itakuwa basi tena"

    “hamna bibiye Mimi sipo hivyo

    Juu yako sina hali sina mali

    Sitaki kukuchezea nia yangu tufunge ndoa

    Unizalie nawana",,,,,,,,







    Sikuwa na kipaji cha kuimba sema ikanibidi

    Niwe Mb Dogg kwa wakati huo nilianza kuimba

    Maneno mengi watasema juu yako eti kuna kitu honey nimekufanyia..

    ,,,,,Mganga si sababu yamimi kuja kwako baby nimekuchaguwa",

    ,,,,,,,,nakutafuuta nione sura yakoo ohoo nakutamani niwe karibu yakoo",,,,,,,hapo Mwanaume nilicopy na kupest

    Si unajuwa tena kuimba choli choli

    Chupke chupke siwezi nilimuona

    Ratifa akitabasamu ndio uzuri wa kumtokea binti ambaye tayari jina lake limetajwa kwenye kanyimbo fulani kama Salome sijui wa Dully Sykes

    Au yule wa Diamond.

    “mmh wewe nawe hiyo nyimbo sio yako kwanza kaimbiwa Latifa sio mimi

    Ratifa",,,,,,bibiye akaniambia hivyo kauli ambayo ikanifanya nimuulize

    “kwanini majina yenu yakawa na tofauti baina ya

    (R) na (L) yani ukitamka Latifa na Ratifa mbona inaonekana sawa tu",,,,,,,

    “Bwanaee embu tuachane na maswala ya jina

    Hafidhi kabla sijakupa jibu lako nahitaji nikwambie maneno haya,"

    Kusema kweli mimi katika jiji hili la

    Dar es salaam sina ndugu hata mmoja ndugu zangu wapo Bukoba,

    Nilishtuka kusikia hivyo Ratifa akaendelea kuniambia

    “kwa Mara ya kwanza nikiwa nyumbani kwetu Bukoba kuna

    Mwanamama alikuja ambaye alikuwa ni ndugu wa jirani yetu, akaniomba niweze kuja nae jijini

    Dar es Salaam kwaajili ya kufanya kazi za ndani,

    Basi wazazi wangu wakamkubalia

    Nikaondoka nyumbani kwetu kwa baraka zote na kuja kwenye jiji hili nikapokelewa vizuri, nikafundishwa vitu vingi tu kama kutumia jiko la umeme kupika vyakula ambavyo wao ndio wanapendelea

    Maisha yakazidi kusonga mbele

    Nikaanza kupendeza na kunawili

    Nakumbuka siku moja niliagizwa vitu Kariakoo nikiwa sina hili wala lile maana ni jambo la kawaida kuagizwa vitu

    Kariakoo basi nikaenda ajabu niliporejea nikakuta mlango umefungwa kabla sijauliza watakuwa wameenda wapi

    Kuna jirani yetu akaniambia

    “wee Ratifa umesahau nini mbona umerudi?"

    Sikumuelewa anamaanisha nini kuniuliza vile

    Ndipo akaniambia si mmehama nyie"

    Nilishtuka sana nikamuuliza vizuri na kumueleza mbona mimi sifahamu chochote kile

    Nae akanipa maelezo ya kina sema akasema hafahamu wapi walipoamia

    Ratifa mie sikuwa na hata sentano

    Bora ningepata hata nauli ningerudi nyumbani kwetu.

    Kila niliyemueleza kuhusu shida yangu

    Wakaishia kusema kitega uchumi

    Ninacho nikitumie vizuri nitapata pesa

    Hakika sikutaka kujihusisha na biashara ya

    Uchangudoa kwa kuogopa maladhi

    Nikawa nashinda kuanzia asubuhi mpaka usiku

    Sijatia chochote kitu tumboni

    Nikawa napita kwenye vibanda vya Mama ntilie

    Nikiomba hata ukoko

    Kulala kwangu ikawa ni shida navizia kwenye vigenge au mabanda ya watu wakifunga Mimi ndio naingia kwenda kulala

    Nashukuru Mungu akanipigania kwa kunilinda nisiweze kufikwa na mabaya kama kukutana na vijana wakihuni

    Wakanibaka ndipo nikaja kukutana na

    Mariam nikamuelezea matatizo yangu nae bila kinyongo akaongea na wazazi wake

    Wakaniambia sehemu ya kulala na kula nimeipata nitalala na Mariam nitakula nae.

    Hakika nilifurahi sana kwa kupata hifadhi.

    Yule Mbwana akanipata kwa kutumia mabavu tu kutokana na ubabe wakikundi chao

    Siku ile mpaka ukanikuta napigwa alitaka kuniingilia kinyume na maumbile nikamkatalia ndio akaanza kunipiga mateke ngumi

    Yani akanipiga popote pale",,,,,,

    Hafidhi mwenzako naonekana Malaya kutokana na tabia ya kupenda Vigodoro nakesha

    Baa na kuingia kwenye kumbi za Starehe yote hiyo ni katika kusaka pesa tu. Mimi sijiuzi

    Wala sio Malaya siku yeyote nikipata nauli nitarudi nyumbani kwetu

    Nahisi wazazi wangu wanajuwa mtoto wao

    nipo kwenye mikono salama

    Kumbe nimekuja kutupwa",,,,, Maneno ya Ratifa yakauchoma moyo wangu na kufikilia ni jinsi gani

    Kapitia maisha magumu

    Nikamshika na kumkumbatiahttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    “Ratifa",,,,,,,nikamwita kutokana na jina lake zuri

    “Abee" nae akaitikia mchozi ukimdondoka

    “kuanzia leo naomba utambuwe kitu kimoja

    Hutoteseka tena

    Nitapambana mpaka tone la mwisho na kuhakikisha

    Unakuwa kwenye mikono

    Salama niamini Mimi bibiye Nakupenda

    Nakujali Nakusamini usiniache sitokuacha,

    Usinitenge tusitengane",,,,,,

    Nikajalibu kupeleka mdomo wangu kwenye lipsi zake nae bila hiyana akafumba macho na kuachia kinywa wazi, jamani jamani.

    Mtoto alivyo na makusudi akasema

    “nataka kulala",,,,,,ahaaaaaa,,,,,,,,m

    mmmmm,,,,

    Basi nikamlaza kifuani kwangu"

    Jioni ikaingia tuliongozana kurudi mtaani kwetu nilimsindikiza mpaka nyumbani kwa kina

    Mariam nikaagana nae

    Kwa kumpatia ile shilling elfu tano ajabu

    Bibiye akaikataa kwa kusema anahitaji

    Kufutwa machozi kwa kitambaa wala sio karatasi

    Nahitaji mapenzi kutoka kwako

    Wala usinionyeshe pesa zikanifanya nizuzuke",,,

    Ratifa akaongea kisha akanikiss na kuingia zake

    Ndani nami sikuwa na jinsi zaidi ya kurudi zangu nyumbani

    Nikafika nyumbani niliweza kupata wasaa wakukaa na mama nikamuelezea kila kitu kuhusu

    Ratifa

    “masikini ya Mungu wee sasa kwanini wakaamua kumfanyia hivi mtoto

    Wawatu kawakosea nini mpaka wakamtelekeza

    Kwenye Jiji la laana kama hili, sasa

    Kesho nahitaji niongee nae kama ikibidi aje

    Kukaa nasi hapa

    Maana Nasra analala peke yake

    Chumba kile hakina mtu",,,,,

    Mama akaongea hivyo nikamkatisha kwa kumwambia “sasa mama unataka aje kuishi hapa wakati hata ndoa haijapita?"





    “ndoa yanani tena nahuyo muoaji yuko wapi?"

    Mama akaniuliza, “mama bwana yani kusoma hujui hata picha huioni",,,,,,,,

    ,nikasema hivyo

    “ahaa mpaka hapo nimeweza kukuelewa kumbe

    Ratifa ni mkwe wangu sio?"

    “ndio maana yake kuanzia kesho nahitaji nianze tena mchakato wakutafuta kazi niweze kuchanga pesa

    Kisha nitaenda nae mpaka nyumbani kwao Bukoba

    Nikatoe barua ya posa",,,,,,,

    Niliongea kwa kujiamini binafsi nishakuwa mtu mzima, basi nikaandaliwa chakula nikala

    Wakati nikiwa nakula nikaanza kumfikilia bibiye

    Ratifa sijui anakula nini kwa wakati huu au ndio analala na njaa. Sababu maisha ya wazazi wa

    Mariam ni yakubangaiza,

    Hapa naomba nikwambie kitu wewe bichwa maji mwenye akili za kushikiwa hivi katika maisha yako

    Ushawai kumfikilia masikini au ndugu zako wa

    vijijini wanakula nini wanavaa nini",,,,,,kila kukicha kazi kulalamika maisha magumu

    Wakati kutwa kucha unashinda Facebook, Whatsapp, na Instagram kazi kudisi

    Mambo ya watu tu sijui Ally Kiba na Diamond nani

    Zaidi mara utasikia Vyura sijui wamefanyaje, eti

    Wamatopeni, na mambo mengine mengi ya kipuuzi

    Hivi unafahamu kila sekunde inayokwenda inasamani kubwa sana katika maisha

    Yako utasikia maisha magumu

    Serikali imebana kila kona pesa hazionekani

    Kwani umeambiwa Serikali ndio yenye kusimamia maisha yako acha upimbi

    Piga goti chini tubu mazambi yako muombe aliye juu.

    Nilifikilia sana mwishoe nikaenda zangu kulala japokuwa sikuwa ni mtu wa kukumbuka kwenda kusali sema sikuacha kuomba duwa

    Mwenyezi Mungu anilinde kwa usiku ule

    Kutokana na fitna za viumbe wabaya.

    Niliota ndoto nzuri sana nikiwa na wangu kipenzi bibiye Ratifa nikienda nae huku na kule

    Nikageuka kuwa Shahrkhan kwa kuimba songi la

    Dil to Pagal hai

    “Hafidhi kumbuka nilikwambia nini jana zinduka mjukuu wangu hiyo ndio dawa tosha yawewe

    Kuweza kumlinda huyu binti nenda kachukuwe kile

    kitambaa",,,,,,,,nendaaa"

    Nikashtuka kutoka usingizini baada ile ndoto ya Jana kujirudia tena, tena safari hii bibi aliongea kwa sauti ya ukali sana.

    Nikabaki nimejiziba masikio nikiwa pale kitandani huku kijasho kikinitoka

    Hofu ikanishika na kujiuliza sikusoma duwa nini

    Wakati wa kulala nikasoma mara nyingi zaidi

    na kulala tena.

    Kesho yake asubuhi na mapema niliamka kama kawaida yangu nilielekea kwanza beach kupasha viungo moto, nikiwa naendelea kufanya mazoezi ghafla nikashtuka baada kuona kikundi cha watu wakija usawa ambao nilikuwa nikifanya mazoezi nikaona isiwe shida wacha nikimbie kwani sikuwa na kampani yeyote. Nao baada kuona natimua mbio wakaniungia kwa kunikimbiza kumbe alikuwa ni yule Mbwana na kikundi chao Mwendo wa neema. Nilikimbia kwa speed zote niweze kufika maskani kwa washkaji zangu kina Othman, hakika nilikuwa na mapafu ya mbwa kwani nilikimbia pasipo kuchoka nikafanikiwa kufika kitaa na kuwakuta washkaji wapo kwa mama Mpendu muuza supu, “vipi hafidhi naona mazoezi uliofanya beach hayatoshi ukaamua kutrokti mpaka huku,’’ Akida akaniambia hivyo pasipo kutambuwa mwenzake nimekimbia kifo change, “ahaa mshkaji wee acha tu mwenzako nimetokezewa na kikosi cha mwendo wa neema hapa nilipo moyo unadunda wee acha tu’’ nilimwambia hivyo nikiwa nahema balaa washkaji kusikia vile kila mmoja akainuka na kusema “kudadeki vita vimeanza oyaa Mpendu niwekee supu yangu naenda vitani’’ Akida akaongea hivyo na kuchukuwa shoka wakati Othman akichukuwa sururu mimi nikawai kisu “sasa nyie hivyo vitu vyangu mnaenda navyo wapi?’’ Mpendu akauliza swali sema hakuna aliyemjibu sisi hao. Kwanza tukawapitia kina King’oso na wengineo nao pasipo kujiuliza wakabeba silaha zao. Nakwambia mtaa mzima wakabaki kuulizana hawa vijana wamefikwa na kitu gani? Mbona wamekusanyana wakiwa na silaha za jadi’’,,,,,,maswali yao yakakosa majibu tukaongozana njia yakuelekea beach sijui walitambuwa kama masela tumejikusanya kwaajili yao maana kila kona hawakuonekana tukafika hadi beach hawapo

    “oyaa masela naona hawa mabwege wamekula chochoro.

    So kama vipi turudini tukanywe supu"

    Othman akasema kila mmoja akakubaliana naye

    “sema nini Mwamba itabidi asubuhi tuje

    Wote kupiga tizi wakijitokeza tu waandike

    Wameumia",,,Akida nae akachangia wazo lake

    Basi wanaume tukarudi kitaa vifua wazi kwa kujiona sisi ni vidume vya Shoka.

    Mimi nikapitia nyumbani sikwenda kunywa supu

    “whaoo handsome wangu huyo naona umerudi kutoka mazoezini",,,,,

    ,Alikuwa bibiye Mwajuma akiniambia hivyo kwa uchangamfu utasema

    Nafahamiana nae kumbe walaa.

    “ehee wee mtoto

    Afadhali umerudi nasikia umejikusanya na marafiki zako mkiwa na silaha mkisema mnaenda vitani.

    Haya niambie hivyo vita vya nani?"

    Mama akatoka ndani mbio na kuniuliza hivyo.

    “hamna kitu ewe mama yangu,

    Nilimkatalia na kuingia zangu ndani.

    Nikiwa chumbani kwangu kumbukumbu yaile ndoto ikanijia

    Niliyoota juzi na jana

    Nikajiuliza nini

    Maana yake nikahitaji kwenda kumueleza mama sema nafsi ikasita"......



    Kwanini siku mbili mfurulizo niote ndoto moja tu, sema nikapuuzia kuwa ndoto itabaki kuwa ndoto nikachukuwa ndoo ya maji kasha nikaenda kuoga kabla yakunywa chai, “kaka’’ Nasra akaniita baada kutoka bafuni, “naam’’ “embu njoo huku kwenye mwembe kuna ujumbe wako,’’ akaniambia hivyo “powa nakuja subiri nivae kwanza umeniwekea kiporo changu?’’ nikaulizia ubwabwa maana napenda kunywa chain a kiporo cha ubwabwa asikwambie mtu, “ndio nimekuwekea upo pembeni ya kabati’’ akanijibu nikaingia ndani nikavaa nguo zangu nikatoka na kuchukuwa jungu la ubwabwa na chupa ya chai nikaelekea huko kwenye mwembe si nikamkuta Mwajuma yeye na dada wakicheza karata. “mmh kwa mwendo huu sijui kama utakuja kuowa’’,,,,,, Mwajuma akaguna na kutamka kauli hiyo. “unamaanisha nini kusema hivyo?’’ nikamtwanga swali “siku zote mwanaume atakiwi kula kwenye sufuria’’,,, akasema huku akichanga karata “ahaa hiyo ilikuwa zamani mbona yule mzee Njiku mpaka leo anakula kwenye majungu wakati kaowa tena ana watoto watatu, unajuwa nini Mwajei siku zote wabongo tunaishi kwa kufata mkumbo tu, kisa Fulani kasema sijui mira au desturi kumbe niujinga mtupu’’ wakati naongea nikamuona Nasra anainuka na kusema anaenda kufagia sebuleni wakati nimepaona pasafi tu.

    “Hafidhi’’ Mwajuma akaniita nikamtazama pasipo kumuitikia “Hafidhi’’ akaniita tena akifahamu ile mara yakwanza sikumsikia, “naam’’ nikaitikia “kwanza samahani kama nitakuwa nimekukosea kwahiki ambacho nikwambiacho. Hafidhi tambuwa wewe si mtoto na unafahamu vyema jinsi hisia zinapomteka mwanadamu. Si mara yakwanza wala yapili mimi kukuona wewe nilishawai kumshinikiza baba yangu aweze kuniamishia shule yakata niache kusoma intanertional school yote kwasababu niwe karibu yako lakini ndoto yangu ikashindikana baada wazazi kugoma na kufikia hatua ya kupelekwa boarding huko Tanga sikuweza kupata nafasi ya kuja jijini Dar es salaam niliomba usiku na mchana Mwenyezi Mungu aweze kukulinda ili siku niweze kukutana nawe.

    “Hafidhi mwenzako nakupenda toka moyoni naomba unisikilize mwenzio naumia nateseka’’,,,, Mwajuma akaongea kwa hisia na kunifanya nibaki mdomo wazi yani mwanamke ananitongoza mimi kwakipi hasa nilichokuwa nacho, nikashindwa kuongea kufungua mdomo wangu nikabaki kimya “tafadhali nikubalie usinione mimi kama Malaya kwa kukutamkia maneno haya moyo umenituma nijiweke wazi please usinikatae’’ yani mtoto wakike akazidi kumwaga sera, akililia penzi la fukara kama mimi. “Mwajei’,,,, nikafungua mdomo wangu na kumwita nae akaitikia “abee’’ “ndio nimeweza kukusikia lakini mimi moyo wangu tayari upo kwamtu mwinginee,nilip

    omwambia hivyo ajabu akainuka na kuondoka pasipo kuaga nilimuona kama akijifuta machozi, nikainuka na kumkimbilia “Hafidhi please niache usinishike’’ akajitoa mikononi mwangu na kukimbilia nyumbani kwao nikabaki nimesimama kama vile zoba

    “Hafidhi mambo?"

    Nikashtuka si kidogo baada sauti hii tamu kupenya kwenye ngome ya masikio yangu. Nikageuka kumtazama nyonga mkalia ini bibiye Ratifa

    “vipi unaumwa au?"

    Akaniuliza hivyo baada kuniona nipo kimya namtazama tu

    Pasipo kuitikia salamu yake

    Mwajuma kanichanganya kichizi yani mtoto wakike analia kwaajili yangu

    Mbona majanga.

    “ahaa hamna nilikuwa namtafuta yule kuku wetu kishingo sijui kaingilia humu",,,,,kwa sauti ya kubabaika nilimwambia bibiye

    Ratifa na kuonyeshea kidole kwenye

    Banda la mkaa.

    “sawa wee endelea kumtafuta mi naenda dukani"

    Bibiye akasema hivyo na kuondoka

    zake, nikabaki kumsindikiza kwa macho

    Tu, hakika alikuwa kabarikiwa kila kitu

    Umbo number nane mwendo wakimiss

    “Hafidhi",,,,,,Sauti ya mama akiniita ikanifanya nirudi nyumbani mbio

    Si nikawakuta kuku wamejazana kuizunguka sufulia

    Ya kiporo changu

    Huku wengine wakivizia kusogea baada wababe

    kuwadonyoa

    “ohoo shit! Mambo gani tena haya"

    Nilongea huku nikiokota jiwe,

    Sikutaka kulirusha pale walipo kwani pembeni kulikuwa na chupa ya chai nisije kuivunja bure

    Nikafanya kuwafukuza na kuisogelea sufulia

    Ohoo shit!

    Wamekila chote. Mamaye zenu leo mmoja wenu nitamnywa supu nikaanza kukimbizana na kuku,

    “nakuona kijasho kinakutoka hapo

    Vipi nije kukusaidia kumkamata au?"

    Ratifa akiwa anarudi kutoka dukani akanikuta kwenye kivumbi na jasho akauliza anisaidie

    “hapana wangu wee nenda tu muda si mrefu huyu kishingo nitamkamata,"

    “mmh! Umkamate wapi wakati kijasho kinakutoka hapo,

    Ha!ha!ha!ha! Wacha nikapike mie endelea kukimbiza baba,"

    Ratifa akanizihaki

    Kwa kuniambia hivyo

    “Sasa bibiye mida

    Si utakuja ehee?"

    “nije wapi tena?

    Nae akaniuliza swali

    “si hapa home tupige story mbili tatu",,,

    Nikamuweka wazi

    “powa haina shida nitakuja mida ya saa

    Tisa nikimaliza kupika nikila na kuosha vyombo nitakuja wangu",,,,,,,,,





    Baada kuniambia vile bibiye akaondoka na kuniacha nikiingia ndani “mama nilisikia kama unaniita hivi?’’ nilipoingia ndani na kumkuta mama akifuma kitambaa pale sebuleni nikamuuliza “embu toka zako huko tokea nikwite robo saa sasa imepita kama ningelikuwa mgonjwa nishakufa kitambo kwa kukosa dawa,’’ mama akaniambia hivyo, “basi nisamehe mama yangu haya niambie’’ “wee nenda bwana kwanza nishasahau nilichotaka kukwambia’’ yani mama kwa gubu eti akasusa kuniambia, nikapeleka vyombo vichafu kule uwani na kuingia chumbani kwangu nikapanga ni jinsi gani leo nitakavyocheza na mtoto mzuri kama Ratifa niliona kama vile masaa hayaendi yani sikutaka kucheza mbali na nyumbani “sasa Hafidhi mimi na dada yako tunatoka’’ mama akaniambia wakati tukiwa sebuleni tukila ugali kwa dagaa pembeni kuna mbilimbi. Kwanza nikajiweka vizuri nikitaka kufahamu wanatoka kwenda wapi “mnatoka mnaenda wapi tena? Maana mimi mwenyewe nataka nitoke hivyo,’’ nikajishauwa kusema nataka kutoka kumbe danganya toto, “wewe nae kusikia sisi tunataka kutoka nawewe ushazusha safari, wenzako tunaenda kwa mama Geofrey binti yake anafanyiwa kitchern part tutarudi usiku’’,,,, Nasra akadakia na kusema hivyo moyoni nikafurahi wee acha tu yani leo mtoto akija nitajinoma mpaka kuchee. “nadhani umeweza kumsikia dada yako sasa mwanangu nakuomba usicheze mbali na nyumbani si unajuwa vijana wa mtaa huu wasije kutubebea kitivii chetu na Radio hiyo tukaanza kupiga hodi kwa majilani kuomba kuangalia taarifa ya habari,’’ mama akaniambia “mama usijali wala nini commando yoso nipo nitalinda mpaka usiku wa manane,

    Yapata saa nane kamili ya mchana mama na dada wakajiandaa na kuondoka huku nikisisitiziwa nisitoke, yani ile wanatoka tu nikaanza usafi yani nikachukuwa ufagio nikafagia kila kona nikaficha zile boxer zangu nilizovaa tokea juzi sijazifua nikaichukuwa albaamu na kuificha maana kuna picha nilipiga na visichana vya shule hasala tupu, nikaenda dukani na kununua udi nikawasha na kuuweka chumbani kwangu hakika mwanaume nilikuwa na kitete yani nikisikia ngoo najuwa huyo kafika natoka faster kwenda kufungua mlango “wee Ally unataka nini?’’ baada kwenda kufungua mlango na kumkuta mtoto wa jilani yetu ndio aliyegonga, “nataka bagia tano’’ kikaniambia hivyo nikamkazia macho na kumsonya “wee bwege kweli nani amekwambia tunauza bagia muda huu?’’ nae akanikazia macho kwa kusema “bwege mwenyewe mbona jana wakati narudi shule nilikuja muda kama huu nikazikuta’’ “bwanaee embu sepa zako’’ nikaufunga mlango lakini dogo alikuwa mbishi akazidi kugonga mlango akisema anataka bagia “Ally nitakutia makonzi ohoo nishakwambia bagia zimeisha. Kidogo kukawa kimya dakika si nyingi mlango ukagongwa tena nikaitazama saa ni saa tisa kamili. Nikainuka na kujiweka sawa huku nikitabasamu na kujisemea kaliwa huyoo.

    Nikafunguwa mlango ajabu hakuwa Ratifa ni Mwajuma “vipi naweza kukalibia mpaka ndani?’’ baada kuniona nimeduwaa akaniuliza. “yeah ingia tu’’ nikajikuta namkubalia aingie wakati natambuwa fika ndio muda wenyewe huu wa bibiye Ratifa kufika, basi akaingia yani si akapitiliza moja kwa moja mpaka chumbani kwangu, Mungu wangu nikabaki kujishika kichwa na kujiuliza huyu mgeni wa aina gani mbona kaingia chumbani wala sio sebuleni. Nikaona ukisikia cheketu kimbia siku ya kivumbi mimi sipo nikaenda kukaa kwenye sofa pale sebuleni huku nikipanga mbinu mbadara yani Ratifa akija tu na kumkuta Mwajuma pale nitamwambia huyu ni dada yangu. Bibiye baada kukaa kule chumbani kama dakika tano hivi akatoka na kuja sebuleni “hakika chumba chako ni kizuri yani kunanukia wee acha tu,’’ Mwajuma akaanza kupasifia chumbani kwangu. Sikuongea neon lolote nikatulia kimyaa kama haitoshi akaja kunikalia mapajani huku chuchu zake wakubwa za wastani zikikalibiana na uso wangu asikwambie mtu kwa mtoto mrembo kama Mwajuma mwenye umbo lenye kukufanya ukapandwa na nyege mshindo hata kama atakuwa kavaa gunia hakika atabaki kuwa mrembo tu. Bila kutarajia mwanaume nikajikuta nikimkamatia kiuno nyororo na kuanza kumtomasa yani nikapanda mpaka kwenye nido zake ngumu kidogo kuonyesha hazijawai kuchezewa, sijui kafundwa au vipi akauleta mdomo wake karibu na wangu, ikakutana na kuanza kugombeana kwa pupa yani tulinyonyana denda mpaka nikahisi kiu cha maji, akili yakwamba muda wowote Ratifa atafika sikuwa nazo tena “asssss,,,,mmmm

    mm,,,,,,ahaaaaa,,,,,babiiiiiii

    ,,,,,,ohoooo,,,,kaaa-funge mlangoo,,,,ossssss utasema anaconda mtoto kwa sauti yenye kunung’unika kwa utamu akaniambia hivyoo’’,,,,, nikainuka nakwenda kufunga mlango nikarudi na kumkuta mtoto kavua kila kitu yupo kama alivyozaliwa “tafadhali nifanye taratibuu mwenzako sijawai kufanya hivi,,,,ahaaaaammmm,,,,,hapooo

    ooo,,,,, Mwajuma akaongea kwa sauti yenye kukata tamaa kumbe ni Bikra jamani jamani’’,,,,,,





    Kwakuwa kidude mautamu kilikuwa tayari na utelezi wakutosha nikamshika Askari

    jeshi na kumuingiza pangoni akaingia kwanza kichwa. Kwa mwendo wa minyato yani taratiibu si unajuwa kunakuwaga na walinzi na istoshe ndani Giza “opsssssss,,,,,

    ,ussssssiingizeee,,,,,tenaaaaahaa,,,,,

    Mtoto wakike akaanza kutatalika na kunizuia

    Askari wangu asiingie pangoni zaidi,

    Kusema kweli sehemu ilitaiti utasema cha mtoto mdogo mbele kulikuwa hakuondeki kuna

    Mwamba mgumu, nikazidi kufukuwa niweze kuchana nyavu.

    “uuuuuuwiiiiiii,,,,,,,,mamuwee

    eeee,,,,,,osssss,,,,,unaniumiz

    aaaaa,,,,,,mamayooo,,,,,weeee,https://pseudepigraphas.blogspot.com/

    ,,,,sitakiiiii,,,,,

    Mwajuma akapaza sauti na kupiga kelele baada askari wangu kuingia wote nikavunjavunja

    Ngome zote za kivita nikazidi kupiga doria

    kwa mwendo wa njoo tudance.

    Mwishoe bibiye akawa kimyaa na kubaki kunitazama tu, baada kipute cha dakika kama

    kumi na tano hivi askari akamwaga

    Asidi ndani ya pango nikataka kumtoa

    “usimtoeeee,,,,,muacheee,,,,,u

    wiiiiuuu,,,,,,ohoooo,,,,,Mwajuma akazidi kunikumbatia na kufanya kunikandamiza kwenye kifua chake, huku akiongea maneno yake yenye Alfa bet kibao, akitaka

    Askari asitoke pangoni,

    Wakati kanikumbatia nikasikia mlango wa balazani

    Ukigongwa nikashtuka na kumkumbuka

    Ratifa nilichokifanya ni kumnyonya denda bibiye huku nikimtoa askari wangu,

    Yote ilikuwa katika kumzuia asipige kelele, nikaweza kutoka maungoni mwa bibiye

    Nikaangalia pangoni damu tu ndio zinatoka kuonyesha nimeivunja

    Bikra ya bibiye bikira ambayo sio ile ya ndimu

    Au ya kichina hii ni

    Original kabisa, nikapiga hatua za kimya kimya mpaka mlango wa balazani kabla ya kufungua nikachungulia dirishani

    Moyo wangu ukafanya pahaa nikafunika panzia

    Faster kumbe alikuwa bibiye

    Ratifa mapigo yangu ya moyo yakaanza kunienda mbio, nikajiuliza kwanini nisingemngojea

    Huyu? Yani binti nimemtongoza jana tu leo hii

    Nachepuka. Nikaishika tena panzia na kuchungulia nikaweza kumuona

    Akiwa kakaa chini akionekana akiwaza kitu mara ajing'ate kucha yani wee acha tu

    Nikarudi sebuleni na kumkuta Mwajuma akiinuka kwa kujiweka sawa

    “sasa ndio umenifanyia kwa nguvu mpaka mwenzako nimeumia sifanyi tena na wewe",,,,,,

    Mwajuma akaongea huku akiusogelea mlango wa uwani akaufungua na kutoka nnje

    Hakika hakujiweza kutembea sema akajikaza ili akikutana na watu wasiweze kumshtukia

    Nikafanya haraka kupasafisha pale

    Sebuleni na kwenda kumfungulia mlango Ratifa lakini hakuwepo nikamuangalia huku na kule sikuweza kumuona.

    Nikahisi bila shaka yale maneno ya

    Mwajuma aliweza kuyasikia.

    Yapata usiku saa tatu Mama na Dada wakarudi

    Na msosi kutoka huko kwenye kitchen party

    “vipi baba umeshindaje na ulinzi wa nyumba?"

    Mama akaniuliza huku akiwasha TV

    “ahaa nzuri tu sikupata shida kulinda",,,,, nikamjibu na kuendelea kula

    Nilipomaliza kula nikaenda kulala

    “Hafidhi kijana wangu kwanini hutaki kufata maagizo ambayo nimekupa, sasa basi

    Hakuna namna nyingine ya kufanya

    Lazima binti atengane na wewe. Si unamuona huyuu",,,,,,ilikuwa ni kauli ya bibi akiniambia hivyo huku akiwa kamshika mkono

    Bibiye Ratifa pembeni kukiwa na mwili wa binti umelala nilipomuangalia vizuri nikamgundua ni

    Mwajuma akiwa ameshakufa.

    “kitu gani unataka kutoka kwangu wee bibi

    Please nakuomba muachie kipenzi changu",,,,,

    Niliongea kwa sauti ya ukali

    “ohoo unataka kufahamu nini nataka kutoka kwako eheee",,,,,,sasa sikia tokea juzi nakupa maagizo

    Uwende kule Kilwa kiwawa ukachukuwe kile kitambaa wewe unapuuzia tu,

    Sasa nijibu utaenda au hauwendi?"

    Bibi akiwa anafuka moshi kwenye mdomo pua na masikio kote unatoka moshi

    Mzito akaniuliza, “tafadhali muachie mpenzi wangu

    Nitafanya hivyo",,,,,niliongea na kupiga magoti

    Chini,

    “sawa nimeweza kukuelewa kinachohitajika kwasasa ni kufanya haraka uwende,’’ bibi akaongea kwa msisitizo “lakini bibi mimi sina nauli nitaendaje huko?’’ nikiwa bado nimepiga magoti kwasauti yenye kutawaliwa na unyenyekevu ndani yake nikauliza. “kuhusu hilo ondoa shaka kabisa kwakuwa tayari umekubali utaipata, sasa unaweza kuja kumchukuwa mpenzi wako’’,,,,,, bibi akaongea na kumuachia Ratifa kisha akapotea kwenye upeo wa macho yetu, Ratifa akaja mbio kwania ya kunikumbatia ile ananifikia tu nikamsukumiza na kumkimbilia Mwajuma aliyelala pale chini hajitambui “Mwajuma’’,,,,,hamka mpenzi please fumbuwa macho’’ niliongea kwa sauti kubwa huku nikimtikisa ghafla akafumbuwa macho nikajikuta namuachia baada kuona vitu tofauti kwenye sura ya Mwajuma macho yake yalikuwa yakiwaka moto huku meno mawili yale ya juu yakichomoza nakuwa marefu, akaanza kutoka mapembe, mwanaume nikaanza kutetemeka kukimbia nilitaka sema nikashindwa “kwanini umenitendea hivi nilifanya makosa kukupa mwili wangu ukiwa kama mwanaume wangu wakwanza ukanivunja usichana wangu. Kutokana na makosa yako lazima nikutafune leo,’’ Mwajuma akaongea hivyo kwa sauti yake nene yenye kukwaruzakwaruza utasema speaker za studio zimechanika Akiwa karibu kunifikia Ratifa akaja mbio na kunisukumiza pembeni huku yeye akichomwa na mikucha mirefu ya bibiye Mwajuma yani alikuwa Zombie si Vampire

    Kiganja cha mkono wake kilizama tumboni mwa Ratifa kisha akauchomoa na kutoka na bandama firigisi utumbo yani wee acha tuu, “Mwajumaa’’,,,,,achaaa, Nilipaza sauti kwa kupiga kelele nikashtuka nipo kitandani kijasho kikinivuja nilitweta si kidogo “Hafidhi mwanangu kuna nini tena embu fungua mlango baba’’ sauti ya mama ikanifanya nigeuze sura yangu kuutazama mlango





    “Hafidhi kaka yangu basi fungua mlango’’,,,, nikamsikia na Nasra nae akiniomba nifunguwe mlango nikabaki kimyaa nikiutazama ule mlango jasho lilinivuja na kunifanya nilowe chapachapa. Utasema nipo kwenye mbio za kilomita mia mbili, “masikini mwanangu sijui kitu gani kimemfika maana kapiga kelele kubwa sana. Embu Nasra nenda kalete nyundo tuvunje huu mlango,’’ Mama akaongea kwa sauti yenye kuambatana na kilio kusikia wanataka kuvunja mlango nikafumbua mdomo wangu na kuwaambia “mama haina haja ya nyinyi kufanya hivyo mimi nipo sawa tu,’’ “ohoo Alhamdulillah mwanangu kama umzima embu fungua mlango basi uniambie kitu gani kimesababisha upige kelele,’’ Nikainuka na kwenda kufungua mlango “ehee niambie umeona nini?’’ yani ile kuingia tu mama akaniuliza “ni ndoto tu ewe mama yangu nimeota kuna mtu kaingia chumbani kwangu mkononi kashika zinga la joka kisha akanitupia hapa kitandani’’ “Mungu wangu wee huyo mtu umeweza kuishika sura yake?’’ “hapana sikuweza kuiona sura yake sema alikuwa ni Mwanamke kava kaniki nyeusi’’ Niliongea kwa kutunga ndoto ya uwongo. Sikutaka kusema kuhusu habari za bibi, basi mama akanishika kichwani na kuniombea Dua, “Hafidhi yani sikuhizi kuswali hautaki kusoma Qur-an ndio hukumbuki kabisa embu jitahidi usome iwe kinga kwa viumbe vibaya ewe mwanangu’’,,,,mama akanisisitizia na kuondoka kwakuwa niliogopa kulala tena kwa kuhofia ile ndoto nikainuka na kwenda sebuleni nikawasha tv na kuchukuwa movie ya Mr.bean niweze kucheka “nani tena huyo kawasha tv usiku wote huu?’’ mama akauliza. “ni mimi hapa’’ “yani unaogopa kulala tena?’’ “ndio sitaki kulala tena kuanzia leo nauwogopa usiku’’ nilimjibu hivyo nae hakuongea zaidi kukawa kimyaa, niliangalia movie mpaka usingizi ukanipitia nikiwa pale sebuleni, kesho yake asubuhi kina Othman wakanipitia twende beach kwaajili ya mazoezi sema nikawaambia nina safari ya kwenda kijijini kauli ambayo ilimshangaza sana mama na kuniuliza “wee mtoto mbona hiyo safari ni ya ghafla hivyo? Ehee unainda kijiji gani kufanya nini?’’ maswali ya mama sikuwa na muda wa kuyajibu nikaingia ndani na kuanza kupanga baadhi ya nguo zangu unaweza kujiuliza kwanini nimeamua kwenda kijijini wakati nauli sina hata sentano sema nikaamini ndoto huwenda ikawa kweli. “Hafidhi mwanangu mbona sikuelewi unaenda wapi?’’ “mama bwana kwani wewe wasiwasi wako nini mimi nina hamu na mke wangu binti Manjawila wacha nikamuone’’ “hee makubwa yani unataka kuniambia unaenda Kilwa kwa mama sasa mbona hujasema kabla nimuandalie zawadi mama yangu umpelekee. Embu subiri,’’ Mama akainuka na kutoka dakika si nyingi akarudi akiwa kabeba mfuko na kuufungua “hivi ni vitenge vya wax doti mbili na hizi kanga doti tatu nilichukuwa mkopo kwa mama Bahati hapa nilipo nadaiwa laki moja. Naomba umfikishie huu mzigo bibi yako’’ mama akanipatia ule mzigo akaniuliza “vipi nauli umepata wapi?’’ “niligaiwa na Venance yani nilimkopa nikadanganya wakati sina kitu, “hapana mwanangu mikopo mibaya hiyo yani unakopa nauli kwaajili ya safari ukifa je nani atakulipia embu shika hizi elfu thelathini ukitoka hapa mpitishie huyo Vena pesa ya itakayo bakia utatumia njiani’’,,,, mama akanipatia pesa mpaka hapo nikaipa ndoto asilimia tisini bibi alisema nauli nitapata tu ndio hivi mama kanipatia, ni safari ya kutoonana na kipenzi change Ratifa nilikumbuka vyema ile jana nilichepuka na kumuacha yeye akibisha hodi, “oyaa mwamba wapi hiyoo?’’ nilikutana na Akida akiwa na pikipiki akaniuliza naelekea wapi na begi kubwa mgongoni utasema Mnyasa narudi zetu Malawi, “naelekea Kilwa ndugu’’ nikamjibu “ahaa Kilwa wapi bob au ndio unawakimbia wale mabwege nini?’’ “hamna ndugu simkimbii mjinga yeyote sema bi mdashi kaniagiza nipeleke mzigo kwa bibi so kesho au kesho kutwa panapo majaaliwa yake Allah nageuza,’’ “powa mwana haina shida kwea basi mchuma huu nikusindikize hadi stendi’’

    Sikuvunga nikapanda lakini kabla hatujaondoka nikasikia sauti yenye kukipita kinanda na ndege chiriku yani sauti zote hizo zikasome ni bibiye Ratifa akiniita “Hafidhi’’,,,,,

    nikageuka kumtazama akija mbiombio alipofika pasipo kujiuliza wala kumuhofia Akida akanikumbatia “unaenda wapi kipenzi change, kwanini unanikimbia, nafahamu nimekukosea baada jana kuchelewa kufika mapema nisamehe mimi usinikimbiee,’’ yani Ratifa akaongea machozi yakimtoka wakati mimi ndio nilitakiwa kumuomba msamaha si yeye.

    “Hapana baby wala hujanikosea

    Wala sikukimbii sema

    Nimeagizwa kupeleka mzigo kwa bibi

    Kesho tu nitarudi baby"

    Nilimwambia hivyo huku nikimfuta machozi, “Hafidhi unasema kweli au unanidanganya tu

    Kama ni kweli basi Insha Allah nenda salama kipenzi changu",

    Jamani jamani mtoto si akanipa mdomo sikutaka kuzubaa nikaudaka utasema kinda la ndege

    Anapewa chakula na mama yake.

    “Oyaa Hafidhi mi nasepa",,,,Akida akatukatisha

    Kwenye utamu na raha yani mtoto mdomo

    Lainii utasema

    Nalamba Glukosi

    “baby wacha mi nichukuwe lift hii

    Tukijaaliwa kesho tutaonana"

    “Shemeji nawe bwana si ungojee nimuage mwenzio"

    Ratifa akamwambia

    Kid Master ukipenda muite Akida,

    “ahaa Shemu unajuwa nchi yetu hii mambo hayo yanatakiwa kufanyika chumbani sio hadharani

    Kama hivi,"

    “ha!ha!ha!ha"

    Basi tukacheka na kuondoka

    Ratifa akanisindikiza kwa macho na kunipungia mkono wa kwaheli,

    “Kaka wee noma yani umeopoa zinga la demu utasema

    Kareena kapoor

    Duhuu ulimuingia kwa gia gani yule demu?"

    Akida akamsifia

    Ratifa na kuniuliza

    “Mbona unaulizia mbinu uliwahi kumtokea nini ukamkosa?"

    “hapana sijawai kumtokea sema nini kitaa kuna

    Demu mmoja mkali kupita huyu wako,

    Demu mwenyewe anaitwa Mwajuma

    Ukipenda muite

    Mwajei"

    Nikashtuka baada kumtaja Mwajuma",,,,,,,,

    https://pseudepigraphas.blogspot.com/



    Nilishangwazwa sana na kauli ya Akida kumsifia Mwajuma ni mrembo kupita Ratifa sema sikutaka kuuliza zaidi nikaenda kukata tiketi na kuingia ndani ya Buss huku nikimuacha Akida akinipungia mkono na kunitakia safari njema nilikuwa nimekaa kwenye siti yap eke yangu. Kuanzia pale Ubungo mpaka gari inafika Mbagala kuna baadhi ya abilia wakapanda basi macho yangu yaliweza kutuwa kwa binti mmoja mrembo akipanda ndani ya Buss nikaomba aje kukaa siti moja name yani nikiona kama kuna mbaba au mmama anataka kukaa basi natanua miguu hiyo nikijifanya bonge “wee kaka kaa vizuri basi namie nikae’’,,,, ilikuwa sauti ya yule binti akiomba kukaa kwanza macho yangu yaliweza kusaminisha chuchu zake zilizokuwa ndani ya blauzi yake, “kaka si nakuomba usogee huko’’ binti akanishtua na kunifanya nisogee upande wa dirishani, “asante sana kaka yangu’’ bibiye akashukuru baada kumpisha na kuweza kukaa’’ Mwanaume nikabaki kujichekesha tu utasema mwehu nikitafuta ponti ya kuongea nae japokuwa alionekana ni mchangamfu sana. Kila mmoja akawa kimyaa nikimtupia kijicho cha wizi wizi hasa kifuani kwake “samahani kaka yangu naomba nikuulize kitu’’ binti akaniongelesha “bila samahani niulize tu’’ “kwani wewe mwenyeji wawapi?’’ “mimi au?’’ yani mwanaume nilivyokuwa nimedata na huyu binti nikajikuta nauliza mimi wakati nilimkubalia aniulize “ndio ni wewe kwani hapa naongea na nani?’’ “ok! Mimi mwenyeji wa Kilwa kiwawa’’ nikamjibu basi akafurahi na kusema “whaoo kumbe wakwetu,’’ nilishangazwa sana na kauli yake ya kusema kumbe wakwetu sikuweza kufahamu anamaanisha nini kutamka vile, “wakwenu tena?’’ nikamuuliza “ndio wakwetu nikiwa namaanisha hivi hata mimi kwetu Kilwa kiwawa’’ “ahahaa kumbe hivyo kwahiyo unataka kusema tunashuka pamoja?’’ “ndio si nishakwambia kwetu kiwawa, basi tuliweza kuzungumza mambo mengi sana pasipo kusahau kufahamiana majina mpaka basi linafika Kilwa kivinje yapata saa nane mchana “ohoo nasikia joto wee acha tu’’ binti aliongea huku akijipepea “si uivuwe hiyo brauzi’’ sijawai kuwa naakili finyu kama siku hiyo yani nilikuwa kama John liva yule mcheza movie za kihindi yani haishiwi vituko. “Hafidhi bwana yani nivuwe brauzi tena si nitabaki chuchu nnje’’ akaniambia hivyo nikanyamaza kimya na kuangalia dirishani hatimae gari ikasimama kwenye kijiji cha nyumbani Kilwa kiwawa kijiji ambacho kina historia kubwa sana toka enzi na enzi, “haya jamani wa kiwawa hiyo tushatia nanga’’ ilikuwa kauli ya utingo basi tukashuka “sasa Sharifa naona tunaachana hapa leo au kesho nitakutafuta’’ nilimwambia hivyo yule binti anaeitwa Sharifa “kesho mbali bwana mimi leo hihii nitakuja nyumbani kwenu tupige stori’’,,,, hakika binti akaonekana kuvutiwa nami zaidi “sawa si unapafahamu kwa binti Manjawila?’’ “ndio napafahamu sema hujasema Manjawila mdogo au mkubwa?’’ “mdogo’’ nikamjibu na kubeba begi langu safari ya kwenda nyumbani kwa bibi ikaanza sema nikaikumbuka ile ndoto bibi aliniambia nisifikie kwake kwanza nikashika njia kuelekea kisimani “hivi mimi mwehu au imekuwaje nikaamini hii ndoto yani nimekuja kweli basi itakuwa naamini somo la histori inavyosemekana binadamu alikuwa sokwe, nilijiuliza maswali chungu mzima na kuongea peke yangu, nikatazama kushoto nikauona mbuyu mkuubwa basi nikaingia vichakani na kuufata ule mbuyu ile kufika tu nikashtuka baada kukiona kitambaa chekundu kikwa kwenye chungu. Mapigo ya moyo yakaanza kwenda kasi nikafikia uwamuzi wa kukimbia sema miguu ilikuwa mizito kufanya hivyo jasho likanitililika kwa wingi, nafsi ikaniambia kichukuwe hiko kitambaa umewezaje kufika huku uwogope kumeza tonge ambalo ushalitafuna.

    Nikiwa na hofu tele nikainama na kukishika kile kitambaa yani ile kukishika tu mwili ukaanza kuvableti utasema Nokia ya tochi nikabaki kushekisheki nisiweze kufahamu mwisho wake nini sijui zilipita dakika ngapi au masaa mangapi short ikaondoka na kujiona mwepesi basi nilitimua mbio utasema nimemuona samba yani nilikimbia mpaka nyumbani kwa bibi na kuwakuta kibarazani huyu anatwanga mwengine akicharanga kuni huyu analima karibu na maashamba ya pale nyumbani kwanza wote wakashtuka mimi nikapitiliza huyo ndani nawao wakaingia ndani na kufunga mlango “Hafidhi mjukuu wangu umekutana na kitu gani tena?’’ bibi akaniuliza kwa sauti yake ya upole, nikamuona babu akichukuwa silaha zake za jadi yani mkuki na manati kisha akawaambia baadhi ya vijana “embu nifateni tukaangalie nini kimemkimbiza mwenzenu"

    Vijana wale

    Wawili walikuwa ni wajomba zangu

    Wengine wawili ni kaka zangu kwa upande wa mama mkubwa,

    Basi nao wakachukuwa silaha zao na kuongozana na babu kwenda kuangalia kiumbe gani

    kimenikimbiza,

    Ndani tukabaki Mimi bibi na mama mdogo

    Na Dada ambaye ni mtoto wa mama mdogo

    Nikiwa naendelea kuhema nikamkazia

    Jicho bibi mpaka akaona aibu na kuangalia pembeni

    “Hafidhi mwanangu mbona husemi umekutana na nini?"

    Mama mdogo akaniuliza na kunishika begani

    “unataka kufahamu nimekutana na nini?

    Muulize huyu mama yako",,,,

    Nilijikuta naongea kwa jaziba na kutoka zangu nnje nikiendelea kubwabwaja maneno

    “Sijui nimekuja kufanya nini huku kudadeki zenu.

    Unajuwa mie mambo yakijinga sipendi

    Kijiji gani hiki mgeni ndio kwanza nafika sijapumzika

    Nakutana na Simba huu ni uzembe wa wakazi wa maeneo haya

    Pumbavu zenu ningekufa je kwa kuliwa na simba",,,,,,Sijui ilikuwa akili yangu kusingizia Simba au vipi nilijikuta nikitamka hivyo

    “basi nisamehe mimi mjukuu wangu

    Kuanzia leo hii hilo swala halitoweza kujitokeza tena",,, Babu akajitahidi kunipooza

    Kwa kuniambia hivyo, kidogo nikapunguza Jaziba na kwenda kukaa kwenye mkeka

    Muda wote bibi alionekana mpole

    juu yangu sijui kwanini

    Ankor akaniletea begi langu baada kuliokota njiani kwani wakati nakimbia nikalitupa

    “vipi Ankor hujakiona na kitambaa changu

    Chekundu hivi?"

    Si nikaulizia kile kitambaa maana pale nilipokuwa sikuwa nacho.

    “hapana Ankor sijakiona lakini wacha nikakutafutie",,,,Mjomba akaongea na kunyanyuka

    “ahaa basi Ankor wangu haina haja

    Kilikuwa kitambaa cha kufutia jasho tu",,,,,

    Nikazidi kudanganya na kumuona bibi akitabasamu

    Kama kawaida ya mgeni afikapo kijijini nikachinjiwa Jogoo yapata saa kumi na mbili jioni tukajiwa na ugeni alikuwa ni bibiye Sharifa kaongozana na sijui ndugu yake

    “Shikamooni" wote kwa pamoja wakaamkia

    Nami nikaitikia Marhabaa watoto wazuri hamjambo eheee",,,,, “wewe nawe kwani tunakuamkia

    wewe?"

    Sharifa akaniuliza kauli ambayo iliwafanya bibi

    Babu na mama mdogo wacheke

    “sasa kumbe mmemuamkia nani wakati hapa tulipo mzee Niko peke yangu

    Embu angalia kumiliki mke kama huyu inahitajika uwe umekula chumvi nyingi"

    Niliongea na kumuonyeshea bibi ndio mke wangu",,,,

    “hahahaha Hafidhi unafaa ukacheze movie za komedi"

    Sharifa akasema na kukaa chini sema kwakuwa muda ulikuwa umeenda na usiku ndio unajongea

    Wakaaga nikaona sio mbaya niwasindikize

    “Mjukuu wangu usiende mbali si unaona kigiza hiki"

    Bibi akaniambia,

    Baada kuwasindikiza hatua kadhaa

    Sharifa akamwambia yule mwenzake

    “Somowe wee tangulia tu ningojee kule kwa mbele"

    Basi Somowe hakubisha akaendelea na safari

    Sharifa akanikazia macho kwa kuniangalia





    Zilipita kama dakika mbili hivi bibiye akiniangalia pasipo kuongea lolote “Sharifa unataka kuniambia kitu gani? Basi niambie, naona unang’aa macho tu kuongea huwongei’’ Nikaukata ukimya kwa kumwambia hivyo. Basi akanishika mikono na kunifanya nipate ashki Fulani hivi kama ujuavyo kijijini kuna baridi hasa mida ya kuanzia jioni “Hafidhi’’ bibiye akaniita kwa sauti ya chini, “naamu’’ “nikwambie kitu’’,,, “yeah niambie tu’’ mwanaume nikaitikia kwa kizungu nikichanganya na kiswahili, “Hafidhi umeniroga mwenzako hata sijielewi’’ nikashtuka kwa kauli yake ya kusema nimemroga mpaka hajielewi. “what? Unamaanisha nini kusema hivyo? Unataka kusema mimi ni mchawi sio?’’ nikauliza kwa taharuki, “sijamaanisha hivyo bwana mwenzako nimedata nawe Hafidhi nataka uwe mpenzi wangu. Nipo tayari kufanya chochote juu yako nakupenda mwenzako’’ Sharifa akaongea hivyo huku akijisogeza zaidi karibu yangu na kufanya miili yetu igusane zile zake chuchu zikinichomachoma kwenye kifua changu. Mtoto wakike akaomba mate sikuwa na jinsi ni kumpa ukizingatia hata mimi nilimtamani nilipomtia machoni tu uzuri ulioje ndege kajileta mwenyewe tunduni. Basi tukaanza kugombeana kwa kupiga romance huku tukipapasana “aaaaaaaaaaaah,

    ,,mmmmmmmmmh,,,

    ,mmmmh,,,oooosssssssssss,,,,al

    ilalamika Sharifa huku name nikitoa miguno ya utamu baada mkono wake kuanza kumchezea askari wangu aliyekuwa ndani ya suruwali. wakati huo mdomo wangu upo kwenye Chuchu yake ya kushoto nikizinyonya kwa zamu yani kulia kushoto. Utamu raha

    Nikashusha mikono yangu na kumshikashika makalio yake makubwa kidogo basi nikayaminyaminya kimahaba,aliona anipokee kwanza na zoezi hilo maana nilimwona kama ameanza kuchoka nilimkamata kisawasawa kiuno chake kisha nikamvutia kwa upande wa kichakani zaidi kumbe yule Binti Somowe aliweza kutuona akabaki kupiga chabo huku akijichezea kinembe chake kwa vidole. Basi hapo Sharifa alieleza kwanini urafiki wa mamba na kenge uliisha nikamvua chupi na kuitupa kule nikamuweka sawa na kumuingiza askari wangu sehemu husika nikaanza kupampu kwa kasi huku nikimwingiza ulimi masikioni Sharifa akasisimka hasa, yaani makalio yake yalikuwa yakitikisika hasa,ndani kama palikuwa na waimba kwaya mabubu, ni makofi tu yalisikika, yaani ule mlio wa makalio yake yalipokuwa yakigonga kwenye mapaja yangu.

    “maaa,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,Ha

    fidhiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaa,,,n

    akupendaaa,,,,mpenziiiiiiii wanguuu,,,aaaaa,mmmmmmh,,,unan

    iumizaaaaa jamanibebiiii,,

    aaaaaaaaaaaaaaa’’,,,hapo hapoooooo,,,,aaaaaaaaaaaaa,,,m

    amaaaaaaaaaaaaaaa,,,alilalamika kwa sauti kubwa pasipo kujali kama Somowe anasikia kila kitu niliendeleza kasi ileile mtoto alichanganyikiwa balaa mamaaaaaaaaaaaaaa nakojoaaaa nakojoaaa mpenziiiiiiiiiii wanguuuuuu jamaniiiiii’’,,,, “kojoa tu hapa sio kitandani tuseme utalitoa godoro nnje ukalianike. Hapa polini kojoa mamy’’,,,, nilimwambia hivyo basi akacheka na kutulia kimya akinisindikiza mimi kuwatafuta wazungu weupe basi nikajivuta na kumwagia humo humo ndani ya kitumbua. “kweli nimechaguwa sehemu sahihi yani mwanaume unasuguwa utasema umemeza vidonge vya viagra’’ Sharifa akanisifia na kuulizia chupi yake iko wapi. “tukaanza kuitafuta “hii hapa’’ wote tukageuka kumtazama anaesema hivyo alikuwa ni Somowe kaishika ile chupi “wewe nawe kuangalia mambo yakikubwa utakuja kupofuka macho’’ Sharifa akamwambia hivyo na kuichukuwa chupi yake akaivaa na kuniaga kwa kutakiana usiku mwema nikarudi nyumbani lakini njiani niliweza kukutana na wajomba zangu bila shaka walikuwa wamenifata mimi baada kuona nachelewa kurudi “ohoo vizuri tumeweza kukutana nawe Ankor,’’ “nyie bwana kwani mlijuwa nitapotea au mimi mtoto mdogo kwanza ramani nzima ya kijiji hiki nimeichora mimi nitapoteaje’’,,, niliongea kwa mbwembwe tukiwa tunaingia nyumbani basi nikaenda kuoga maji ya moto nikala na kusikiliza Hadithi kutoka kwa bibi ndio raha ya vijiji vyetu ukiwa na bibi mtamba hadithi ni furaha tosha. Nikaenda kulala ulikuwa ni usiku wa mauzauza kwa upande wangu niliota nipo katikati ya soko nimezungukwa na umati wawatu wakinipiga nakila aina ya zana mwenye panga mwenye sururu mawe nilipigwa sana mwishoe nikatakiwa kuchomwa moto nililia kwa maumivu “Hafidhi j Ikram simama upambane utakubali vipi kufa kizembe namna hiyo pambana mjukuu wangu’’,,,, ilikuwa kauli ya bibi akiwa kasimama pembeni huku kashika kile kitambaa chekundu akanirushia kitendo cha kukishika tu kile kitambaa mwili wangu ukaanza kututumuka majeraha yote yakapotea maumivu sikuwa nayo tena nilijiona kama vile Power Magula, mwanaume nikainuka na kuanza kupambana nilimkamata jamaa mmoja na kumtandika kichwa, akayumba na kwenda chini huku nikizunguka yale mateke yanaitwa Msamba kusota. Watu wakaanza kukimbizana huku na kule na kupiga kelele “jamani Jinniiii,’’





    Nikaja kushtuka kutoka usingizini nikiwa natweta kwa hofu jasho likanitoka japokuwa kijijini hakuna joto kwa usiku ule, nikanyoosha mikono yangu na kuomba dua japo kwa sauti ya chini sana kisha nikaendelea kulala, kesho yake asubuhi niliamka huku mwili wangu ukiwa na mabadiliko Fulani ambayo sikuweza kufahamu yametokea wapi yani mikono yangu inakuwa minene pindi nikitunisha msuli, nakuwa mfano wa Anord Scharzeneger, au John Cena kwanza nilijiuliza sana na kuhisi labda ugonjwa wa ajabu umenipata maana katika maisha yangu sikuwai kunyanyua vyuma. Zaidi ya kufanya mazoezi ya viungo kama vile kukimbia kupiga pushap na mingineo mwili wangu ulikuwa mkakamavu kutokana na mazoezi ya viungo sasa imekuwaje leo nimekuwa baunsa ghafla hivi. Nilibaki kitandani nikijiuliza maswali mwishoe nikainuka na kuvaa t-shirt yangu chini nikatinga tracksut na kutoka nnje, “shikamoo kaka’’ ilikuwa sauti ya dada Mwavita akinisalimia “marhabaa dada yangu vipi ujambo?’’ “ndio mi sijambo hofu kwako tu kaka yangu’’ “mi niko fresh tu vipi hawa wengine wameelekea wapi asubuhi yote hii?’’ nikauliza huku nikichukuwa maji niende kupiga mswaki “wameenda kuwajibika huko shamba’’ Mwavita akanijibu hivyo. Basi nikaenda kupiga mswaki dada akaniandalia chai nikanywa, “sasa Sister mi natoka kidogo naenda kuwacheki kina Mwakasege nahisi watakuwa hawana taarifa juu ya ujio wangu’’ “sawa sema usikawie kurudi’’ baada kumuaga Sister nikashika njia zetu utasema ramani ya nchi mi huyoo naelekea kijijini, “oyoo Jembe letu hiloo’’,,,, alikuwa Donard akipaza sauti na kunikimbilia basi tukakumbatiana kwa furaha , nikaenda hadi pale kibandani ambapo wenyewe tunapaita maskani kijiweni, kama auna kazi unakuja pale kujumuika na masela unapiga story mbili tatu huku ukicheza draft au bao. Bila kusahau kukodoa macho kwa warembo wakijijini wanapo katiza pande hizo. “nakuona mwanangu mwenye yani umenenepa kishenzi kweli mjini raha’’,,, Magembe akaniambia hivyo “nimenenepa wapi baada kusema wewe ndio umekuwa kibonge unaniambia mimi’’ wakati tukiendelea kupiga stori kuna mtoto wakiume mwenye umri wakama miaka nane au tisa kama sikosei atakuwa hivyo, akasalimia na kuniambia naitwa na dada yake. “huyo dada yako ni nani?’’ nikamuuliza “kasema nisimtaje wee twende utamuona tu, dogo akanijibu kwa kujiamini, “naona hendsome wakijiji ushakuja kuanzia leo hatuna vyetu,’’ Magembe aliongea kiutani eti hendsome nitaweza kuwachukulia mademu zao. Nikaongozana na yule dogo mpaka nyuma ya nyumba Fulani hivi na kumkuta Somowe amesimama bila shaka yeye ndio kaniita, “Hafidhi mambo?’’ ile kuniona tu akaanza kujichekesha na kunisalimia “powa tu niambie bibiye naona umejificha huku nyuma ukiwa peke yako kwani Sharifa yuko wapi?’’ name nikajichekesha na kuongea hivyo nikageuza shingo yangu huku na kule kumuangalia Sharifa sema hakuwepo maeneo hayo, “Asante sana mdogo wangu Amidu unaweza kwenda’’ Somowe akamshukuru yule dogo anaeitwa Amidu basi nae akaaga kwa kusema “usisahau zawadi yangu ehee’’,,, “sawa nitakupatia jioni wala usijali mdogo wangu’’ baada yule dogo kuondoka pale tukabaki watu wawili tu, ghafla Somowe akanisogelea na kuhitaji tunyonyane denda, sijui kasikiaga ule wimbo wa Manfongo hainaga ushemeji tunakulaga au vipi? Maana mimi ni shemeji yake kwa bibiye Sharifa naile jana aliweza kushuhudia nikifanya mapenzi na dada yake iweje leo atake hii kitu, ajabu nilishindwa kumzuia na kumuacha afanye vile anavyotaka, mtoto wakike akazidi kunipapasa mwilini mwangu mara kufuani huku akiugombea mdomo wangu, sikutaka kuzubaa nionekana zoba nikazikamatia zake chuchu.



    Nilianza kutomasa zake chuchu mtoto

    Macho yakawa mekundu utasema kala pilipili,“aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    shiiiiiiiiiiiiii ooooouhhhhh shemejiiiiiiiii

    iiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaa" basi tukajivuta kwenye kijumba kimoja hivi. Kilichotokea humo ndani ni siri yangu, ilinichukuwa kama masaa matatu

    Ndipo bibiye akaniachia nitoke

    Hakika nilikuwa nimechoka hoi kwa kipute cha Asubuhi ile, nikarudi nyumbani njia nzima nikiwaza kuhusu kuonekana msaliti juu ya nimpendae kwa dhati bibiye Ratifa kiukweli nilijisikia aibu sana

    Mpaka nafika nyumbani,

    “Nakuona mume wangu umerudi, ehee vipi kwema huko utokako?"

    Bibi akanilaki kwa furaha na kuniuliza

    Swali, “kwema tu nilienda kulee kwakina

    Magembe bahati nzuri nimeweza kuwakuta,"

    Niliongea huku nikiingia ndani,

    Yapata majira ya Alasir hivi siku hiyo kijijini kulikuwa na mechi baina ya kijiji chetu

    Kiwawa vs Hoteli tatu ni kijiji cha jilani tu,

    Vikosi vikapangwa team zikaingia uwanjani, sema ilikuwa ni mpira wa vichekesho tu

    Sheria kumi na saba hakuna

    yani mchezaji anatoka nnje kumpisha mwingine aingie baadae anarudi tena kucheza

    Wakati alitoka

    “Wewe Magembe",,,,

    “unasemaje Chichi?"

    “Njoo ukae kipa mimi nikacheze mbele"

    Basi Magembe akaja kukaa golikipa

    huku Chichi akienda kucheza mbele dakika

    si nyingi Magembe akamwambia

    Sheby akae kipa. Yeye akapandisha mbele nilibaki kucheka mpaka mpira unaisha Kiwawa wamefungwa goali mbili bila,

    “sasa mbona Hafidhi akucheza?"

    Sharifa akauliza swali kwakina Magembe,

    “hata sijui maana sio mimi niliepanga kikosi"



    “tatizo ubinafsi umewajaa kwanza mpira gani

    Mchezaji anatoka kisha anaingia tena uwanjani. Kipa hajulikani, kila dakika

    Anabadilika mara huyu mara yule ndio nini

    Sasa"..... Sharifa akang'aka yote

    sababu hakuniona kipenzi chake nikicheza,

    Magembe hakutaka kuongea zaidi wakati kajitetea

    sio yeye aliepanga kikosi.

    Kila mmoja akatawanyika na kurudi nyumbani kwao

    Kama kawaida usiku sikuweza kulala kwa raha

    Ndoto za ajabu ajabu zikazidi kunisumbua nilishtuka kutoka usingizini

    zaidi ya Mara tatu, mwishoe nikashindwa kulala na kujikuta nakesha kitandani nikiwaza hili na lile

    Nikaomba kukuche haraka niweze kurudi jijini

    Dar es salaam nilimkumbuka sana kipenzi changu

    Ratifa kukaa kijijini siku mbili tu niliona

    kama miaka,

    Alhamdulillah asubuhi ikafika nikaenda kuoga nikavaa mavazi yangu na kuaga

    “Bibi na Babu kwanza nashkuru sana kwa kuweza kunipokea vizuri mjukuu wenu,

    Japokuwa sijakaa nanyi kwa muda mrefu",,,

    Baada kuwaambia vile kila mmoja akamtazama mwenzake hata mama mdogo na

    Wajomba zangu wakashangazwa na kuondoka kwangu kwa ghafla vile.

    “Hafidhi mwanangu nini kimekusibu mbona imekuwa ghafla hivyo. Umekuja juzi tu leo hii unaondoka,"

    Mama mdogo akaongea kwa sauti yakama kunitaka nisiondoke.

    “muacheni aende tu",,,,, Bibi akatamka hivyo na kuingia ndani dakika si nyingi akatoka na kunikabidhi kifurushi cha mchele

    ufuta na mbaazi kisha akasema

    “wee Mwichande embu mkamatie

    Kuku wawili mpwa wako",,, Hakuinuka Mwichande tu wajomba zangu wote wakaenda kuifanya ile

    Kazi kuku wakakamatwa nikafungiwa kila kitu

    Safari ya kuelekea stendi ikaanza

    “Hafidhi",,,,,,,why?

    Kwanini unaondoka ghafla hivi safari gani hata kuniaga hukutaka. Basi nisubiri twende wote"

    Ilikuwa kauli kutoka kwa bibiye Sharifa baada kukutana nae njiani.



    Kwanza nilijisikia vibaya kwa kumchezea binti huyu ambaye nilimtamani tu sikuwa na haja nae tena.

    Nilishindwa nimjibu nini zaidi ya kutunga uwongo

    “Sharifa mpenzi naenda town Mara moja tu

    Kupeleka mzigo ambao

    Bibi kaniagiza so usihofu kipenzi changu

    Nitarejea tu,"

    Niliongea uwongo please msimwambie ukweli nikaja kuumbuka bure

    “Hafidhi tambuwa nakupenda nipo tayari kwa lolote juu yako, please usiniache

    Kwanjia hii nitakuwa mgeni wanani mimi",,,,,

    Sharifa akaongea huku mchozi ukimtoka.

    Mwanaume nilikuwa na kazi nzito ya kumbembeleza bibiye mpaka akawa sawa

    Akaniomba number ya simu pamoja na

    Maelekezo jinsi ya kufika nyumbani kwetu.

    Simu sikuwa nayo nikampa number ya Mamahttps://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Ndipo bibiye akalidhika

    Nikapanda ndani ya Buss safari ya kurudi mjini ikaanza

    Somowe sikuweza kumuona nikabaki kujiuliza hata yeye atajisikiaje pindi akisikia nimeondoka

    Nilimpungia mkono

    Sharifa akiwa anajifuta machozi

    Kuonyesha jinsi gani ananipenda kwa dhati ajabu hii

    Mwajuma alilia kwaajili yangu huyu

    Nae analia

    Sijui nina kitu gani cha ziada



     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog