Search This Blog

Thursday 24 November 2022

RATIFA & MWAJUMA (2) - 1





 

 



 IMEANDIKWA NA : HAFIDHI J IKRAM



*********************************************************************************

Chombezo : Ratifa Na Mwajuma Season 2

Sehemu Ya Kwanza (1)

 

-----------------

Tulipoishia

Season one

********

Nikiwa bado nashangaa sijui nifanye nini

simu yangu ikaanza kuita nikarudi kwanza sebuleni na kuichukuwa Suruwali yangu nikaisachi na kuitoa simu mpigaji ni Nasra

“haloo kaka mtoto kapotea huku"

“what?"

“Ratifa kapotea,"

Nikamsikia na mama akisema hivyo"

Ndipo niliweza kufahamu kuwa ile kauli ya Shekhe Ally ni ya kweli nilikuwa natetemeka sijui hasira au hofu nikavaa nguo zangu na kwenda chumbani

Nilipofika hakuna cha Gogisu wala

Regina nikapiga kelele na kutamka ile Lugha

Khaa si nikajikuta nipo nyumbani.

SONGA NAYO

SASA

Sikuweza kuamini kwakile ambacho nilikikuta nyumbani. Kulikuwa na kikundi cha watu

wamejazana kila mmoja akiwa bize katika kuuzima moto. Uliokuwa ukiwaka kwa kasi ya ajabu

Nilipiga kelele huku nikikimbia kuelekea ndani,

baada kuisikia sauti ya Mama akilia kwa uchungu. Huku akiomba msaada kabla sijaingia ndani nilijikuta nikishikwa kwa nyuma na kuvutwa

“niacheni nikatoe msaada!"

Nilipiga kelele huku nikikukuruka niweze kujinasua mikononi mwa watu wale, lakini nilishindwa

“jamani nisaidieni nakufaa!!!

“Mume wangu nakufaa tafadhali nisaidie,"

“kakaa nakufaa"

Niliweza kuzisikia sauti za familia yangu yani Mama Dada pamoja na mke wangu mpendwa wakiomba msaada.

“embu mshike vizuri asije akatuponyoka na kwenda kuingia mule ndani maana moto umetanda kila sehemu,"

“niacheni nikamtoe Mama yangu na mke wangu niacheni nasemaa,"

Nikajikaza na kufanikiwa kujitoa mikononi mwa wale Watu nikatoka mbio huku kelele za watu nikizisikia wakinitaka nisimame

“tafadhali kijana usiingie humo. Please kijana simama!"

Kiukweli kulikuwa hakuna sehemu ya kupitia mlango ulikuwa umeziba baada kuangukiwa na kifusi, ajabu mpaka muda huo Fire sijui zima moto walikuwa bado hawajafika.

Niliangaza macho huku na kule nikaona dirisha limeng'oka na kudondoka chini. Basi nikaruka kwa kupitia dirishani na kuingia ndani. Nilianza kuwatafuta kwa kuzunguka chumba Mara jikoni, japokuwa nilikuwa nikikoswa koswa kuangukiwa na vitu vizito huku nikianza kuona

Mawengewenge kutokana na moshi mzito uliotanda mule ndani huku mwili wangu ukichemka kwa kasi. Nilitembea kwa mwendo wa kuyumba

“Mamaa,,, Dada

Mke wanguu mama mkwee!!!

Nilikuwa nikiita kwa sauti kubwa na kuendelea kupekuwa. Lakini sikuweza kufanikiwa kumuona hata mtu mmoja. Sikutaka kukata tamaa, madamu niliweza kuwasikia wakilia. Nilijaribu kuuliza watakuwa wamejificha wapi, kama Bafuni au chooni kote niliingia kila sekunde iliyokuwa ikienda mbele moshi ulitanda na kunifanya nisiweze kuona vizuri nilianza kuishiwa nguvu nilikata tamaa zaidi baada kutofanikiwa kumuona mtu yeyote yule

Nilidondoka chini, nikiwa sijiwezi hata kutambaa nilianza kukohoa na kuhema kwa

Shida kuna kitu kizito kilishuka kutoka juu ya

Dari na kuniangukia kichwani. Mpaka hapo sikufahamu nini kiliendelea. Nilikuja kuzinduka na kujikuta nimelala juu ya kitanda

Niliangaza macho huku na kule ndipo nikagundua nipo hospitali. Baada kuona pembeni yangu kuna watu wengine wamelazwa huku

Dripu ikining'inia kwa kupitisha maji kwenye mishipa yangu. Nilianza kujiuliza kitu gani kimenitokea mbona nipo hospitali? Nikajaribu kuvuta kumbukumbu zangu lakini sikuweza kukumbuka chochote. Nikatulia kimya nikiwaza hili na lile.

Ghafla mlango ukafunguliwa wakaingia watu wawili mmoja Mwanaume mwingine ni Mwanamke

yule wakike akiwa kavalia Gauni jeupe

Mkononi kabeba sinia,

Yule Wakiume kavalia suruwali nyeusi na koti kubwa jeupe shingoni sijui kaweka nini

“Ohoo asante Mungu hatimae kijana ameweza kurudiwa na fahamu zake"

Aliongea yule Mwanaume huku akiweka miwani yake sawa na kuanza kunipima

“Nyie kina nani?"

“mimi naitwa Doctor Mwambe, na huyu umuonae pembeni yangu anaitwa Doctor Jacklin,"

“imekuwaje Mimi nikawa hapa?"

“ulipata ajali ya Pikipiki"

“khaa! Dereva wa hiyo pikipiki nae ni mzima au?"

“ehee yeye ni mzima kwani alipata michubuko tu"

“mimi naitwa nani?"

Kwanza wakaangaliana na kushangaa kutokana na swali langu kuuliza jina langu ni ajabu hii kwa mtu mzima kama mimi kusahau jina.

“unaitwa James"

Mpaka hapo sikuwa na swali maana nishaweza kufahamu nini kilichosababish

a mimi kuwepo pale. Kuanzia siku hiyo niliona watu wakila aina wakija kuniangalia na kuniletea zawadi za hapa na pale

“Hafidhi kichaa wangu inamaana sisi hutukumbuki kabisa Mimi ni Kaunda huyu ni Akida yule pale ni Meja na Othmani, ndugu zako sisi

Rudisha kumbukumbu zako mwamba tafadhali usiwe hivyo!"

Siku hiyo kuna vijana walikuja kuniona na kuanza kuongea maneno ambayo yalikuwa ni mageni kwangu Mimi.

Niliwaona wakitolewa nnje na walinzi.

Mimi ni James huyu kaniita Hafidhi sasa mimi ni nani?

Nilianza kujiuliza maswali kila siku, mpaka siku niliyoruhusiwa kutoka hospitali nilikuja kuchukuliwa na Mzee mmoja hivi na kunipeleka sehemu ambayo niliambiwa ndio nyumbani kwetu

“Sikia nikwambie kitu Zaynabu hakikisha unamuangalia kila hatua anayopiga mpaka pale siku atakayoweza kurudiwa na kumbukumbu zake,

Usimuache akaenda sehemu yoyote ile bila wewe kuwepo. Chochote kibaya kikitokea juu yake utawajibika. Nadhani umenisikia!"

“ndiyo Baba nimekuelewa"

“kama ukiwa na shida ya pesa nipigie simu ila mchunge sana Hafidhi ni mkwe wangu huyu"

Yule mzee aliongea huku akijifuta machozi

Japokuwa niliweza kusikia kila kitu sema Mimi nilikuwa bize kutazama Tv huku nikichekacheka tu.

Kisha yule mzee akaondoka nilibaki pale Sebuleni kutazama tv mpaka usiku,

“James"

“naam Dada"

“chakula hiki hapa"

“mi chitaki"

“sasa unataka nini Mdogo wangu"

“taka Bwabwa"

“lakini James kumbuka Doctor kasema hutakiwi kula ubwabwa mara kwa mara leo kula hizi tambi na maziwa alafu kesho nitakupikia ubwabwa si umenielewa Mdogo wangu ehee"

“ndiyo"

“haya kula au unataka nikulishe?"

“chitaki ntakuya mwenyewe"

Basi Dada akaingia chumbani na kwenda kulala nilikula na kulala pale pale sebuleni

Sema nilikuja kuamka kesho yake Asubuhi na kujikuta nipo kitandani niliinuka na kujinyoosha kwa kupiga miayo kisha nikatoka mpaka ukumbini na kumkuta Dada akipiga deki

“Hafidh,,,ahaa James usipite huku bwana utachafua bado hakujakauka!"

Dada alianza kuita Hafidhi mwishoe James na kunifanya nijiulize mbona nasikia jina la Hafidhi kwani huyo Hafidhi ndio nani? Sikutaka kujiuliza sana nikatoka nnje kwa kupitia mlango wa barazani.

“ahaa Hafidhi mambo vipi?"

ile natoka tu kuna binti akasalimia ikabidi niangalie huku na kule kuangalia anamsalimia nani

wakati tupo wawili tu.

Au anaongea na simu

“Hafidhi si nakusalimia unisikii au?"

“unaongea na Mimi au?"

“kwani mwenye jina la Hafidhi hapa mtaani wapo wangapi si upo peke yako au umedata kutokana na kifo cha ndugu zako"

Kauli ya yule binti ikanifanya kama nipigwe na kitu cha moto kwenye moyo wangu nikajishika upande ule wa kushoto na kuanza kuondoka kuelekea chooni.

Sijui kwanini nilitokewa na hali ile, nilipoingia chooni nikajisaidia na kutoka, ziliweza kupita wiki mbili nikiwa pale nyumbani Dada akaleta Mwanaume nikawa namwita Shemeji, siku za mwanzo jamaa alikuwa akinifurahia lakini siku baada siku

Akaanza kunichukia mpaka kufikia hatua ya kumwambia Dada asinipe chakula.

Sijui sababu ni nini kibaya zaidi Dada hakuwa na sauti juu ya Mwanaume yule usiku niliweza kusikia jinsi Dada akilia kutokana na kupigwa na yule jamaa

“Sikia nikwambie kitu wee Malaya nipatie hati ya hii nyumba"

“mimi sijui ilipo"

“hujui kivipi wakati wewe ndiyo uliyekabidhiwa kila kitu sasa nakupa siku tatu vinginevyo huu msukule wako utaukuta tushaunywa supu"

“Hapana Gaimba usifanye hivyo nitajitahidi kuitafuta, tafadhali usimuuwe Mdogo wangu"

Ni usiku mmoja nilikuwa nimetega sikio nikisikiliza jinsi Dada akipigwa na kutakiwa kutoa hati vinginevyo nitauwawa.

Mwili ulinitetemeka kwa uwoga ukichanganya na njaa niliyokuwa nayo, ndio balaa. Tumbo lilikuwa linaunguruma kwani tokea Asubuhi mpaka usiku sikuweza kutia chochote kitu tumboni

Mwangu, sikuweza kupata usingizi mpaka kesho yake asubuhi

Nilitoka nnje nikiwa sina nguvu yeyote ya kuweza kutembea nilijitahidi kujikongoja mpaka nikafika sehemu kulikuwa na kibanda cha Mama ntilie

nikashindwa kuingia ndani kwakuwa sikuwa na hata sentano.

Nilibaki kukodoa macho jinsi watu wanavyokula.

“Jamani mwizi,,mwizii,"

Ni kelele zilizosikika kutoka kwa Binti mmoja baada mimi kumpora mfuko wa chapati na kujaribu kukimbia nao sikufika mbali nilijikuta nikirushwa juu na kutua chini kama mzigo wa kuni

Kumbe nilipigwa mtama,,, huku

Mwenye jiwe mwenye nondo na vitu vinginevyo wakinipiga navyo.

Nililia kwa maumivu makubwa sana huku nikiomba wanisamehe.

“embu subiri kwanza acheni kumpiga, Nimesema muacheni!"

Kuna kikundi cha vijana walikuja na kutaka nisipigwe wakaingia kati na kuniangalia wakati huo nilikuwa nishapasuka kichwani pamoja na kuchanika mdomo, yule kijana baada kuniangalia nilimuona akiuma meno huku mwili ukimtetemeka na kuinuka akampiga ngumi mzee mmoja aliyekuwa kashika Nondo

huku akimfumua mwingine zinga la teke,

“w**nge wakubwa nyie mamaye zenu mnampigaje mchizi wetu kudadeki akifa huyu nitazaa na

Nyinyi leo nyoko zenuu"

Hakika kijana alikuwa kapandisha mori alipiga kila mtu sio yeye tu hata wale wengine, nao wakaanzisha mtiti sikuweza kufahamu kwanini wananitetea wakati nimeiba,

“pole sana Mwamba nini shida? Nini tatizo ndugu zako tuko hapa kukusikiliza"

“nyie kina nani?"

“mimi naitwa Kaunda unikumbuki kwani?"

“hapana chikukumbuki"

“Kaunda kumbuka hatuna muda wa kupoteza tumpeleke mshikaji hospitali kisha mambo mengine yafatie,"

Nilipelekwa hospitali Dada Zaynabu alikuja kuniona pamoja na kunipa pole

“sikia wee binti usitake kujifanya mtu mwema sana juu ya jamaa wetu wakati unamtesa kwa kumnyima chakula mtu mpaka anafikia hatua ya kwenda kuiba Chapati sasa kuanzia leo

Tunaleta shehena ya chakula tena migunia ya kilo mia moja ole wako tusikie kashinda au kulala na njaa. Kumbuka ile nyumba ni ya

Baba yake





“mimi naitwa Kaunda unikumbuki kwani?"

“hapana chikukumbuki"

“Kaunda kumbuka hatuna muda wa kupoteza tumpeleke mshikaji hospitali kisha mambo mengine yafatie,"

Nilipelekwa hospitali Dada Zaynabu alikuja kuniona pamoja na kunipa pole

“sikia wee binti usitake kujifanya mtu mwema sana juu ya jamaa wetu wakati unamtesa kwa kumnyima chakula mtu mpaka anafikia hatua ya kwenda kuiba Chapati sasa kuanzia leo

Tunaleta shehena ya chakula tena migunia ya kilo mia moja ole wako tusikie kashinda au kulala na njaa. Kumbuka ile nyumba ni ya Baba yake.

SONGA NAYO

SASA

Aliongea maneno hayo yule kijana anaeitwa Kaunda kumwambia Dada Zaynabu, nae akaitikia haina shida nilikaa hospitali sijui siku ngapi. Nikaja kuruhusiwa na kurudi nyumbani

“sasa Sister sisi wacha twende kwenye mishe zetu kama kutakuwa na tatizo lolote juu ya mwenzetu usikose kutucheki pale Maskani au kutupigia simu kwa number hii,"

Aliongea Akida na kumkabidhi Dada kikaratasi fulani kisha wakaondoka

“embu nipatie hiyo number"

Aliongea yule jamaa huku akiwa kakunja sura mpaka nikaogopa

“Hii chiyo yako kapewa Dada"

Nilimwambia hivyo ghafla nilianza kupigwa makofi ya shavuni akanishika shingoni na kunikandamiza ukutani masikini ya Mungu nilipokea kipigo cha maana kitendo kilichopelekea kunitonesha vidonda vyangu, nililia kama mtoto Mdogo akaniingiza chumbani na kunifungia kwa nnje

“Sikia wee Nyani huyu mbwa hakuna kutoka nnje mpaka afie humo humo ndani kisha mzoga wake nitaenda kuutupa Serengeti, umenisikia," paaa

Likasikika kofi huku Dada akiitikia kwa sauti ya kilio

“ndiyoohiiiii,"

Usiku wa siku hiyo kuna watu waliingia chumbani kwangu wakiwa wamevaa mavazi Meusi na kuficha sura zao kwa vitambaa vyeusi

Nilitaka kupiga kelele kumwita Dada lakini ghafla nikapigwa na kitu kizito kichwani na kupoteza fahamu,

Nilikuja kuzinduka na kukuta watu wamenizunguka

Kilikuwa ni kikundi cha watu wengi wote wamevalia mavazi yenye rangi nyeusi

“oyaa huyu bwege karudiwa na fahamu zake sasa kifuwatacho ni kumchinja,"

Nilishtuka kusikia kauli ile. Nikaanza kulia na kuomba wasiniuwe,

“sikia nikwambie kitu Scuba huyu

Bwege sio wa kumchinja wala nini nionavyo Mimi tumtoe macho asiweze kuona milele, au unaonaje?"

“sawa haina shida lete bisibisi"

Nilizidi kulia niomba wasinitendee unyama wa aina hiyo bora wanikate miguu sio

Macho.

Bisibisi ikaletwa jamaa akakishika kichwa changu na kuanza kuileta ile bisibisi mfano wa kutaka kufungua nati. Nilifumba macho yangu

“Scuba embu acha!"

Nilifumbua macho baada kusikia kauli ya jamaa akiambiwa aache

Akasitisha kwa kuirudisha bisibisi nyuma

“vipi tena mwamba mbona umeniambia niache?"

“Nduri kapiga simu kasema anahitaji

Mzigo yupo na keshi sasa unaonaje tukimuuzia huyu

Mbwa?"

“hapo freshi mwamba yani inakuwa pesa juu ya pesa"

Nilinyanyuliwa na kufungwa kitambaa usoni nikapakizwa kwenye gari safari ya kupelekwa sehemu isiofahamika kwa upande wangu ikaanza. Hakika safari ilikuwa ndefu njiani walikuwa wakisimama na kuweka kambi kwa muda

kisha safari ikaendelea.

Mpaka tukaja kutokezea sehemu moja hivi yenye jangwa.

Gari zikasimama hapo, nilishushwa na kufunguliwa kamba zote pamoja na kutolewa kile kitambaa machoni.

“Sikia dogo hapa ulipo upo mikononi mwa viumbe hatari sana ni bora ukutane na Simba wenye njaa kuliko kuingia kwenye mikono ya wanaume, sasa basi usitake kuleta ubishi wa aina yeyote ile. Wewe songa mbele aliongea mmoja kati ya watu wale huku akinisukumiza nitembee kwa kutangulia mbele sikuwa na jinsi kufata amri tu kwani niliogopa kufa huku mwili wangu ukiliwa na Mwewe, nilifahamu hakuna yeyote kati yao ambaye atakuwa na muda wa kushuhurika na uzikaji wa mwili wangu.

Nilizidi kutembea kwa mwendo wa kuchechemea huku nikiyumba yote sababu ya njaa na kiu cha maji.

“Simamaaa"

Niliamrishwa kwa sauti ya ukali. Nikasimama mbele yetu kulikuwa na kikundi cha watu wengine wakiwa na wanyama bila shaka ni Farasi

“tembea kwa mwendo wa taratiibu"

Nikamrishwa tena nikatembea huku na wale watu wakija kwa mwendo uleule mwishoe tukakutana

Tulipokalibiana sijui ndiyo viongozi wa makundi haya au vipi walikumbatiana kwa furaha huku wakionge Lugha ambayo sikuweza kuifahamu

Sijui Kikongo Kinyalwanda au kinini sikuambulia neno hata moja.

Baada kuongea kwa muda yule mtu akanisogelea na kunishika usoni akaanza kunikagua utasema nimeficha silaha. Akaniongelesha nikashindwa kumjibu kutokana na sikumuelewa,

Akageuka kuangalia watu wake na kufanya ishara ya kama kumwita mtu hivi. Kuna Binti mrembo alipiga hatua za haraka na kufika mbele ya yule

Baba kuna maneno akamwambia

Binti akanisogelea na kuanza kunivua

T-shirt nilitaka kukataa sema sikuwa na jinsi kukubari.

Baada kunivua akaanza kunichezea kifua changu kipana kilichojengeka kutokana na mazoezi kisha akapiga magoti na kunifungua mkanda wa Suruwali. Nilibaki nimesimama utasema vile sanamu, akanifungua kifungo na kuishusha zipu

Akanivua nikabaki na boxer si akataka na kuivuwa na hii nikaishika mikono yake kwa kumzuia japo nilifahamu nafanya kosa, nikashtukia nikipigwa na ngumi nzito ya uso iliyonifanya niyumbe na kudondoka chini. Kabla sijakaa sawa nikafumuliwa teke la mbavu nikacheuwa nyongo

“Basii inatosha achaa"

Aliongea yule Bosi kumbe anaweza kuzungumza Kiswahili fasaha, nikanyanyuliwa na kusimama wima

“kijana usitake kuingia kwenye matatizo kwanza unafahamu huku ulipo ni sehemu gani?"

Nikatikisa kichwa kuonyesha kuwa sifahamu,

“huku ni Uganda lazima uwe mpole kwa kila jambo vinginevyo utakufa kibudu kisha mwili wako uliwe na wadudu,

Rosequeen njoo uendelee na kazi!"

Aliongea yule bosi na kumwita binti yule aitwae Rosequeen akaja na kuninong'oneza kitu sikioni yani alifanya kama kunilamba sikio hivi

“tuliaa handsome utaumizwa,, assss"

Akaishika ile Boxer safari hii hakuivua akaichana kwa kutumia kisu na kuitupa kulee kila mmoja akashikwa na mshangao na kuacha vinywa wazi kwa kuniangalia Mimi sehemu ambayo kulikuwa na Bunduki yangu ya mauwaji

“whaoo bonge la Bomu aisee huyu jamaa kachanjia au vipi? Embu lete futi,"

Aliongea yule Bosi huku Rose akiishikashika bunduki yangu na kuilamba mwili ulianza kusisimka na miguu kuchezacheza, kutokana na uanza kupata utamu wa mdomo wa bibiye Rose

Bunduki ikapimwa na kuonekana nchi kumi na mbili so ni mara mbili ya bunduki ya Binadamu wa kawaida hata Mimi mwenyewe nilijishangaa kuwa na nchi kumi na mbili si mchezo.

Nikavishwa nguo huku wale viongozi wa makundi yale wakienda kuteta chemba na kukubaliana biashara sio siri nilikuwa nauzwa kwenye nchi ya kigeni nilimkumbuka Dada Zaynabu mwishoe nililia sikufahamu nauzwa kwaajili ya kitu gani

Nikapakizwa kwenye Farasi na kuondoka eneo hilo.

Tulifika kwenye ngome ya watu hao

nikashushwa na kwenda kufungiwa kwenye chumba kimoja wapo chenye Giza totoro, nilikaa humu sijui takribani masaa mangapi nikaja kutolewa na kupelekwa sehemu nyingine

“Karibu sana kijana jisikie upo nyumbani maana asilimia nyingi ya watu wote uwanao hapa ni Watanzania wenzako. Na wapo hapa kwaajili ya kutafuta maisha mazuri kwa kufanya biashara za hapa na pale. Mimi jina langu naitwa

Zahoro Mwampembe, ni mwenyeji wa Arusha kule nchini Tanzania sijui mwenzangu unaitwa nani?"

Nilichelewa kidogo kujibu kwani sikuwa na kumbukumbu kuhusu jina langu

“naitwa James"

Nilimjibu hivyo

“ohoo James ni jina zuri sana je baba yako anaitwa nani? Na ni mzaliwa wa wapi kule Tanzania?"

“sijui"

“basi sawa kuanzia sasa utaiwa James Zahoro mimi nitakuwa kama Baba yako nitakutunza na kukuangalia sawa kijana"

Nikatikisa kichwa kuitikia sawa nikapelekwa bafuni kuogeshwa na bibiye Rosequeen mtoto kila muda akiniangalia alikuwa akinimezea mate.

Huko bafuni sasa nilivuliwa nguo zote na kuanza kumwagiwa maji nikapakwa sabuni kila maeneo ya mwili wangu, akaushika mtalimbo wangu na kuanza kuosha akapiga magoti hakika huyu binti

Alikuwa kafundwa kafundika. Nilifumba macho kwa kusikilizia utamu mtoto alikuwa akinikuna kwenye viazi mbatata kwa kutumia kucha zake

Akautoa ulimi wake na kuanza kulamba ile sehemu ambayo inatoa risasi zisizokuwa na idadi

“aaaaaaashiiiiiiiiiii,,,

mmmmmmmh,,,ooooouuuusss,"

Niligugumia kwa utamu huku nikikishika kichwa chake na kutaka kuwingiza mtalimbo kwenye kichwa chake na akaachama

Nikaingiza akaanza kuunyonya kwa Lips za midomo yake ilinifanya niweweseke utasema mgonjwa wa degedege,“aaaaa

aaaaaaaaaaaa

mmmmmmh!"

Sikutaka kumpiga adui sehemu sio nilimshika na kumnyanyua nilimvua kile Kibrauzi kilichokuwa kimeloa na maji nikaivamia chuchu mchongoko mfano wa Embe boribo na kuanza kuzinyonya

Rose alianza kugugumia na kupanda kwa juu. Nikahisi mtalimbo wangu ukiingia sehemu yenye joto kwa kuteleza

“aaaaaaaaaaaaaaaaa

aaaaaaaaah,,,,asssssohooooooooo,,,

Mihemko na miguno ya utamu ndio iliyosikika huku Rosequeen akizungusha kiuno utasema hana akili nzuri alikaa kila aina ya mikao ambayo sikuwahi kuiona maishani mwangu, kweli nilikuwa mgeni katika mambo hayo. Lakini siku zote kipofu haonyeshwi mdomo ulipo

“usiingizeee,,,,yoteeee,,,,uwiiiiiiiiiiiii,,,

,maaaaaaaaaaaaaaa,"

Alitatalika na kurusha maji mengi yaliyotoka kwenye kipochi manyoya chake akatulia kimyaa, kiukweli Mimi nilikuwa bado sijafika mshindo nikamshika na kuendelea kutwanga mpaka nilikojoa.

“Thank you baby mwahaa"

Akanishukuru na kunikisi kisha tukajisafisha na kutoka bafuni nikapelekwa sehemu ya kupata msosi nilikula chakula nikipendacho. Kilichonishangaza ni ile tabia ya kuanza kuheshimiwa na kunyenyekewa utasema Mfalme. Pia nilikuwa na tabia ya kupenda ngono kuliko kitu chochote

Mara nyingi nilikuwa nikifanya na Rosequeen ambaye nilimgeuza ndio Mke wangu.

Siku moja usiku tukiwa tumelela kitandani Mimi na Rose baada kudonyoana akaniambia hivi

“James kipenzi changu nasikitika kukwambia haya kuwa kesho nitaondoka ndani ya kasri hili naenda mbali na hapa"

“usijali tutaenda wote"

“hapana wewe huwezi kwenda kumbuka kuwa umenunuliwa na huwezi kutoka bila ruhusa ya Bosi hakika nitakumiss sana

Bye mpenzi"

Rose aliongea na kunyanyuka kitandani akiwa uchi wa mnyama na kuanza kupiga hatua kutoka chumbani mule

“sasa mbona unaondoka usiku huu wakati ulisema safari ni kesho?"

Nilimuuliza lakini hakunijibu kitu akaondoka nilinyanyuka kwa nia ya kumkimbilia sikuweza kumuona nikarudi chumbani na kukaa kwenye kiti







Bye mpenzi"

Rose aliongea na kunyanyuka kitandani akiwa uchi wa mnyama na kuanza kupiga hatua kutoka chumbani mule

“sasa mbona unaondoka usiku huu wakati ulisema safari ni kesho?"

Nilimuuliza lakini hakunijibu kitu akaondoka nilinyanyuka kwa nia ya kumkimbilia sikuweza kumuona nikarudi chumbani na kukaa kwenye kiti



SONGA NAYO

SASA



Nikiwa nimekaa nilianza kujiuliza maswali mengi sana pasipo kupata majibu. Usingizi nao ukanipitia kesho yake asubuhi niliitwa na Bwana Zahoro nilienda kumsikiliza,

“whaoo naona kijana wangu umefika? Haya karibu ukae"

Aliponiona alianza kunichangamkia kama ilivyokuwa kawaida yake, tukaweza kusalimiana vinywaji vikaleta nilikuwa nimetulia kimya kutaka kumsikiliza Bwana yule japokuwa ilikuwa ni kitu cha kawaida kwa Mimi kuitwa na kuambiwa mambo ya kadhaa wa kadhaa. Lakini leo hii niliona kuna jambo zito yote sababu ya kuondoka kwa

Rosequeen,

“James mwanangu"

“naam Mzee"

“vipi unayaonaje maisha ya nchini Uganda?"

“kiukweli mzee wangu nimeweza kuyafurahia kwa kiasi kikubwa tu"

“basi nashukuru kusikia hivyo kijana wangu, maana tokea ufike ni miezi miwili sasa

upo ndani ya mjengo huu hukuwahi kutoka nnje. Sasa basi leo jiandae kutoka

kuna sehemu unahitajika kupeleka mzigo kisha utapewa mzigo!"

“lakini Mzee hiyo sehemu nitaifahamu vipi wakati Mimi ni mgeni katika nchi hii?"

“kuhusu ilo wewe ondoa shaka kuna Binti utaongozana nae,"

Basi sikuwa na jinsi kujiandaa kwaajili ya safari huku nikiwa sifahamu napeleka mzigo gani, na kwa nani?

Baada kujiandaa safari ikaanza kwa kutumia usafiri wa farasi, huyo kimbembe huyo

Mwenyeji alikuwa na sura mbovu utasema karamba ndimu ilikuwa ni Mara yangu ya kwanza kumuona Mwanamke wa aina hiyo yani mwili wake

Umetuna kila sehemu bila shaka ni

mnyanyua vitu vizito yani Baunsa, safari ilizidi kusonga mbele kwa kupita kwenye Misitu iliyofungamana na kutokea kwenye Majangwa mirima kwa mabonde hatimae tukaingia kwenye makazi ya watu nikaambiwa hapa panaitwa Kinshasa, tukashuka kwenye Farasi wetu.

Na kujichanganya kwenye umati wa watu yule Binti aliniambia niwe makini pia akajitambulisha kwa kusema anaitwa Nikita, mimi sikuwa na haja ya kumtajia jina langu maana ameshaweza kulifahamu,

Tukaingia kwenye hoteli moja hivi ipo pembezoni mwa mji huo.

“James"

“naam"

“umemuona yule Mzee aliyekaa upande wa kushoto kwenye nguzo?"

Niliangaza macho kabla ya kujibu kisha nikatikisa kichwa kuwa ndiyo nimemuona

“ok! Sasa unachotakiwa kufanya ni kwenda kubadirishana mikoba yeye atakupa wa kwake nawe utampatia wa kwako. Nadhani mpaka hapo umenielewa,"

“sawa nimekupata"

Nikaitikia na kuanza kupiga hatua kumfata yule mtu aliyekuwa kavalia suti nyeusi na kofia aina ya pama, alikuwa kainama chini ikawa vigumu kuiona sura yake, nilipofika pale

Nikafanya kama nilivyoelekezwa

kwa kuchukuwa mkoba wa yule Mzee nikaondoka

“Vizuri sana kijana hakika umenifurahisha sana"

Aliniambia hivyo bibiye Nikita tukiwa tumekaa sehemu kwaajili ya mapumziko mafupi.

Si akaanza kunishikashika hiyo mikono yake migumuu utasema unaguswa na jiwe,

“James nahitaji unisuguwe mwenzako sijawahi kusuguliwa kwa kipindi kirefu sana, nipee!"

Nikita alianza kuhema na kuniongelea sikioni mwenzake hata sikujisikia kufanya chochote juu yake. Kwa kifupi sikuwa na hisia zozote juu yake.

“kiukweli leo sipo sawa katika kufanya hicho kitu"

“kivipi hauko sawa? Au kwasababu ya huu mwili wangu Mimi sio mrembo kama walivyo Wanawake wengine au?"

“hapana sio hivyo"

“kumbe je sikuvutii embu nitomase chuchu zangu hata kidogo namimi nijisikie rahaa,"

Nikita aliongea na kufungua vifungo vya shati lake

Akaushika mkono wangu na kutaka

Nizitomase chuchu zake,

Niliishika moja wapo na kuanza kuipapasa, mtalimbo wangu ukaanza kututumuka

Mchezo uliofatia ilikuwa lala nikukalie.

Nikita alikuwa kama vile mwanamke bikira kutokana na kipochi manyoya chake kukaza

Nilipata shida kukifungua na kukiandaa kikalainika mpaka hapo kila mmoja alifurahia tendo hilo la Uzinzi,

“opssssssss,,,,,,ahaaaaa,,,,Asante"

Alinishukuru kutokana na kumpa show ile ya kibabe. Tukavaa nguo zetu na kurudi kambini naweza kuita kambi kutoka na kuzungukwa na

Walinzi wenye silaha kali kila sehemu ya mjengo huo. Huwezi kutoka wala kuingia pasipo kukaguliwa

“vizuri sana kijana hakika mwanzo mzuri!"

Nilipewa pongezi na bwana Zahoro baada kumpatia ule Mkoba

“Nadhani sasa utakuwa umechoka sana wacha nikupe ofa kijana wangu ya kujichagulia kimwana ambaye ataenda kukutoa uchovu kwa usiku wa leo"

Baada kuongea vile kuna kikundi cha wanawake wakaingia na kupanga mstari

“Sasa kijana unaweza kujichagulia yoyote umtakaye kati ya hao warembo ukitaka mmoja wawili watatu au wote chukuwa tu ukastarehe nao,"

Kila binti alikuwa ni mrembo sikufahamu nimchague yupi nimuache yupi. Pia sikutaka kuwachukuwa wote kama Bosi alivyosema nikamnyooshea kidole

Binti mmoja mfupi wawastani

Mwenye kiuno kilichobinuka mfano wa Nyigu na kubeba makalio makubwa. Alitembea kwa mwendo wa madaha na kufanya kila hatua aliyokuwa akipiga makalio yake yatikisike kwa kiasi cha kunipa msisimko wa ajabu.

Akanishika kiuno na kuniangalia usoni akauleta mdomo wake kalibu na wangu ndimi zetu zilianza kugombana kwa pupa

Nikambeba na kwenda nae chumbani. Nikamtumpia kitandani ndani ya dakika moja tukawa tupo uchi wa mnyama.

Nikamshika miguu na kuipanua nikaingia kati nilimnyonya kipochi manyoya kwa kuingiza ulimi mpaka ndani.

Nikalamba kona zote “aaaaah,,,aaah,,ooooo

mmmmh,.,,,aaaissssssssssss!" Alilalamika mtoto wa watu na kutoa sauti zilizokuwa hazieleweki anachomaanisha nini.

Sikutaka kumuacha ndiyo kwanza niliendelea kumnyonya huku nikimshikashika Chuchu zake zilizosimama kwa hamu.

Akatangaza kumwaga.

Nikaushika mtalimbo wangu na kuchomeka nilimpampu kwa kasi.

Binti akawa anakipeleka kiuno chake kwa chini baada kuona nchi kumi na mbili inazidi kusogea. Nilimshika kiuno na kumfata huko huko chini

“aaah,,aaaah,,aaai

ssssssssss,,,aaah,,,hapoooo,hapoooo,,uuuwiiiiimmmh,,"

Mwishoe tukawa kimya tumelaliana kama Ming'ombe

“Hafidhi j Ikram hatimae umerudi katika himaya yetu. Tulifanya kila kitu juu yako tulikupenda na kukulinda na kukufanyia kazi ambazo ulituagiza mwisho wa siku ukatukana mbele ya Shekhe wako,

Ambaye ni adui yetu mkubwa katika ulimwengu huu. Tambua umesababisha maafa makubwa sana katika ukoo wetu, sasa basi Sisi hatulipi ubaya kwa ubaya, tutaishikilia familia yako huku wewe tukikutupa katika Nchi za mbali kabisa huko utakutana na mitihani ya kila aina.

Na tunafanya yote hayo kwaajili ya kuitaka

Spanach,"

“hiyo Spanach ndio nini mbona sikuelewi?"

“ha!ha!ha!ha! Huwezi kunielewa kwa sasa sababu hujitambui wewe ni nani? Spanach

ni kidude kidogo sana mfano wa memory card

Tuliipandikiza kwenye mfuko wa uzazi wa mama yako. Kwa minajili ya kwamba siku ukizaliwa ikae kifuani mwako kisha uje kuwa mkuu wetu.

Ndivyo ilivyotokea ajabu ukatusaliti, sasa basi tupatie Spanach yetu!"

“kama ipo kifuani nitaitoaje sasa?"

“ilikuwepo hapo awali lakini kwasasa haipo tena ipo Nchini Pakistan sasa basi fanya uwende ukailete"

Nilikuja kushtuka kijasho kikinivuja kwa kasi niliangalia pembeni nilimuona yule Binti akiwa bado kalala. Nilianza kuifikilia ile ndoto

Spanach kidude kipo Pakistan, nini hii sema nilichukulia ndoto kama zilivyo ndoto zingine.

Niliinuka na kuelekea bafuni nikaoga kisha nikatoka nnje kabisa ya nyumba kwani sikutaka kuendelea tena kulala. Nilienda kukaa kwenye Ukingo wa swimming pool huku nikiangalia

Mandhari ya kupendeza katika maeneo yale. Walinzi walikuwa wakilanda huku na kule

kuonyesha kuwa wako makini katika kazi yao

“vipi kijana naona umekaa hapa peke yako usiku wote huu au umepewa kazi ya kulinda?"

Alikuwa ni bwana Zahoro akiniuliza huku akishuka ngazi kuja upande ule

“Dahaa hapana mzee wangu nimeamua kutoka tu kwaajili ya kupunga upepo"

“basi imekuwa vyema tumeungana sehemu hii pamoja, maana hata Mimi nimeboreka kukaa ndani embu kamata Glass tunywe na kufurahi"

Basi niliipokea Glass akanimiminia kinywaji nikanywa nilikunja uso baada kumeza funda moja ya kinywaji kile kwani kilikuwa kichungu

Tena kinaunguza kwenye kifua changu,

“hahahahaha kunywa kijana ipo siku utaizoea tu"

“Aisee siwezi kuendelea kuinywa kama mambo yenyewe ndio haya"

Niliiweka glass chini yeye akaichukuwa na kuinywa tulipiga story za hapa na pale mwishoe akaanza kuongea maneno ambayo yalinishtua.

Moyo wangu nisiweze kuamini

“James kijanaa, wanguu najuaa hujuiii walaa hufahamuu, kuhusuuu hii sehemuu, umenunuliwaa kwaajiliii yaa kazii mbilii kuwaa Mkee wanguu au kuuza madawaa ya kulevyaa

Bahatii yakoo ukaonekanaa una Bundukii kuuuubwa kushinda yanguu sasa unatakiwaa uchezee videoo zaaa ngonoo, usioneee watuu wotee hawaa

Wanakulaaa na kuvaaa wanalalaa yooote sababu yaa hizii kazi

Ukikataaa utakatwaa hiyo bundukiii kisha uwee mkee wakila mwanaumee. Kijanaa siku zoote akilii kumkichwaa siku akifikaa. Bwana Harrison utahitajikaa kufanyiwaa majalibioo

Usikuu mwemaa kijanaa!"

Nilibaki kimyaa nikimsikiliza akiongea kwa sauti yake iliyotawaliwa na ulevi. Mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda kasi kijasho cha kwapa kilianza kunivuja ndipo niliweza

Kufahamu kwanini naheshimiwa kumbe yote sababu ya ukubwa wa mtalimbo wangu ni

Dili katika uchezaji wa Movie za ngono.

Usiku niliuona mrefu sana kwa upande wangu nilianza kufikilia ni jinsi gani nitaweza kujiokoa kwenye himaya hii nzito. Pia nilimfikilia Dada Zaynabu mwishoe mchozi ulinitoka

“ewe Dada yangu mpendwa Zaynabu tambua ya kwamba kaka yako nakupenda kuliko unavyofikilia, Dada mwenzako niko mbaali huku unaweza usinione tena kwani nitakuja kufa muda si

Mrefu usilie wala usihudhunike juu yangu Mimi. Kwani kifo tumeumbiwa sisi wanadamu, Dada

Nisalimie kwa Watanzania wenzangu wote waambie nimekufa kifo cha kizembe kwa kujiuwa

Mimi mwenyewe. Katika dunia hii sina thamani tena Mimi ni nani?"

Ndiyo swali kubwa najiuliza mpaka sasa Dada kwani sisi hatuna wazazi ama ndugu au marafiki.

Nijibu ewe Dada yangu!"

Nilipiga kelele nzito mpaka walinzi na watu wengine walishtuka na kuja mbio upande ule niliokuwa nimekaa

“James nini tatizo?"

Alikuwa Nikita akiniuliza huku kanishika begani sikuwa na jibu la kuwapa zaidi ya kulia tu. Basi Nikita akakaa kalibu yangu na kunikumbatia







Nilipiga kelele nzito mpaka walinzi na watu wengine walishtuka na kuja mbio upande ule niliokuwa nimekaa

“James nini tatizo?"

Alikuwa Nikita akiniuliza huku kanishika begani sikuwa na jibu la kuwapa zaidi ya kulia tu. Basi Nikita akakaa kalibu yangu na kunikumbatia.............



SONGA NAYO

SASA



Kidogo nilihisi faraja kutoka kwa bibiye baada kunikumbatia. Nilikuwa kama mtoto kwa Mama yake mwishoe akanisindikiza hadi chumbani nikapanda kitandani. Akanifunika Blanket na kunitakia usiku mwema. Kisha akatoka, sikuweza kulala nilibaki macho mpaka kulipokuwa.

Niliinuka kitandani na kuelekea bafuni nikaoga na kurudi Chumbani nilivaa mavazi yangu kisha nikatoka nnje,

“Ohoo James za asubuhi kijana?"

“safi tu shikamoo mzee"

“marhabaa kijana sasa unaonaje ukaongozana nami twende kwenye Mawindo"

“mawindo tena"

“ehee tunaenda msituni kuwinda Mbuzi pori kama vile Swala Nyati Sungura na wengineo"

“sawa haina shida tunaweza kwenda"

Safari hii hatukutumia usafiri wa farasi tukapanda Gari aina ya Isuzu nyeupe

“Unajuwa nini James binafsi nahitaji uyazoee mazingira ya huku kadri siku zinavyozidi kusonga mbele. Kama itatokea siku ukafanikiwa kurudi nchini Tanzania uweze kuadithia au sio James?"

“sawa nitajitahidi kuyasoma mazingira"

Safari haikuwa ndefu tukafika sehemu ya mawindo hiyo sehemu kulikuwa na mahema

huku kukiwa na mchanganyiko wa watu

Niliona pia kuna Kamera hii kidogo ikanishtua na kujiuliza tumekuja kuwinda au?

“Oyiiiioyiii hatuna muda wa kuchelewa Staring ameshakuja wekeni kila kitu sawa. Shooting iyanze"

Aliongea bwana Zahoro huku akipigapiga makofi basi kila kitu kikaandaliwa

“James embu nifate"

Nikita akaniomba nimfate basi nikamfata tukaingia ndani ya hema.

“Sikia nikwambie kitu huku umeletwa kwaajili ya kushuti Filamu ya Sex Forrest sasa kabla hujaingia kwenye Shooting yenye angalia hatua zote za kuanza hii kazi hutakiwi kuleta mchezo utakufa

Watu wengi wanapigwa risasi za kichwa,

Haya angalia hii video!"

Nikita alinipa maelekezo na kuiwasha hiyo Tv

Nilianza kuangalia hatua ya kwanza mpaka ya mwisho huku Nikita akiunyonya Mtalimbo wangu nikajiandaa kuingia mzigoni,

“vipi kila kitu ushakiweka sawa?"

“ndiyo Bosi"

"Haya shooting iyanze"

Nilisogea mpaka kwenye mti fulani mkubwa mkononi nikiwa nimeshika panga nikaanza kukata mti ghafla nikasikia kelele za Msichana akipiga kelele huku akiomba msaada Niliacha kukata mti, na kuelekea kule sehemu ambayo ilisikika sauti ya Binti yule, nilifika na kuona Mijibaba kama Wawili hivi yenye miili mikubwa ikiwa imemfunga kamba yule Binti kwa kumning'iniza kwenye mti

Huku wakimchezea kwenye Maungo yake nikapiga kelele huku nikitoka mbio nikadunda na kuruka juu nikaachia mateke kwa mmoja kati yao

Nikamrusha mbali na pale. Yule mwingine baada kuona vile akakimbia basi nikamfungulia kamba yule Binti na kumshika mkono ajabu akanivuta na kuuvamia mdomo wangu

“Oshiiiiiiiiiiii,,,,,,ahaaaaaaaaa,,,,,mmmmmmmmm,,,ohiyoooooooo,,,,Binti alianza kutoa vilio utasema Bikra kumbe wala katika Style ya mbuzi kagoma kwenda nilikuwa nikimpampu na kuyapiga makalio yake makubwa wastani vikofi fulani vya kishikaji. Akazidi kuzungusha kiuno utasema hana mfupa. Na kuukuna vyema mtalimbo wangu uliokuwa ukizama wote. Na kutoka. Jamani jamani duniani kuna raha asikwambie mtu.

“piga makofi weweee hakika movie imeenda vyema sana Staring yuko shapu hongera sana James hakika umenifurahisha pia Sarah nawe Ongera

kwa kazi nzuri

“Lakini Bosi mbona jamaa tulikuwa bado hatujamfunga kamba ya kumpaisha juu kwenye kuruka ajabu karuka mwenyewe?"

“hata Mimi mwenyewe najiuliza kuhusu jambo hilo hata kitendo cha Zito kupigwa mateke sio kwa kurushwa kule, kwani nae ile kamba ilikuwa bado kuandaliwa. Kazi imeenda kiuharisia zaidi japo jamaa kaumia sio mbaya ajali kazini,"

Aliongea bwana Zahoro kumwambia Director wa ile movie iitwayo Sex Forrest. Hata mimi mwenyewe nilijiuliza nimetoa wapi uwezo kama ule,

Tulirudi kambini iliweza kupita kama wiki moja hivi pasipo mimi kuagizwa chochote au kucheza Movie yeyote

Siku hiyo tukatembelewa na ugeni. Walikuwa ni wazungu kutokea nchini Marekani. Bwana Zahoro aliwachangamkia na kupokelewa kifalme wakaingia mpaka ndani ya ukumbi ambao mara nyingi inakuwa kama sehemu ya makutano mimi niliwahi kuingia siku moja tu siku ya kwanza kuletwa kwenye mjengo huo.

Siku hiyo niliingia tena nikaenda kukaa kwenye kiti Wazungu wale bila shaka walikuwa hawafahamu kuongea Kiswahili wala Kiganda

wakaenda kukaa sehemu maarumu wenyewe tunaita V.I.P

“Ndugu zanguni hasa kwa wale wageni waliokuja hivi karibuni ndani ya mjengo huu napenda kuwatambuliza kwenu tajili yetu Bosi wetu Bwana Harrison Ed hakika tulikuwa tukimsubiria kwa hamu sana hatimae leo hii amekuja na tunamkaribisha kwa movie yetu Mpya ya Sex Forrest

Taa zikazimwa huku ikiwasha ile tv kubwa ya tambara kila mtu akawa kimyaa kuangalia movie hiyo. Mpaka movie ilipoisha kila mmoja akapiga makofi ya pongezi huku kuna binti wa Kizungu akainuka na kusogea pale nilipokaa Mimi kisha akanishika mkono na kunipa ishara ya kwamba nimfate.

Sikuweza kufahamu binti huyu anahitaji kitu gani kutoka kwangu alitembea kwa madoido na huku akiyatikisa makalio yake. Binafsi alionekana ni mwenyeji wa mjengo huo. Maana alitembea kwa kujiamini sana tukafika sehemu akasimama akaingiza mkono kwenye

Mfuko wa pensi yake aina ya Jeans akatoa ufunguo na kufungua mlango akanipa ishara ya kwamba nitangulie kuingia. Nikaingia ghafla akanishika kwa nyuma na kuanza kunichezea,

Akanisukumiza nikataka kudondoka sema niliwahi kujishikiza kwenye ukuta nilikuwa nikihema kwa kasi sikuweza kujiamini mbele ya Mzungu yule akaanza kuvua nguo zake huku akinitaka na Mimi nifanye hivyo.

Mwishoe tukabaki watupu mtoto alikuwa mweupee hana hata doa akanisogelea na kuanza kunishikashika mara kwenye chuchu

Mkono wake ulishuka mpaka kwenye kitovu Akazidi kunichezea huku akishuka chini zaidi.

Nilibana mdomo na kugugumia kutokana na utamu basi aliuleta mdomo wake kalibu tukaanza kulana denda.kwa pupa.

Kila mmoja akiung'ang'ania ulimi wa mwenziye. Nilipata msisimko wa ajabu vidole vyake vilikuwa na kazi ya kuukuna Mtalimbo wangu ulikuwa umesimama dede utasema askari yupo kwenye gwaride. Na vile alivyo na ngozi laini ya mkono. Akawa kama vile ananipigisha punyeto.

“asssssssghaaaa,,,,oghooooo,,,ahaaaghaa nilikuwa nagugumia sauti utasema Mbuzi dume.

Sikutaka kubaki nyuma eti nimuachie Mzungu autawale mwili wangu nikamshika kiuno na kumvutia kwenye Mbonyeo.

Nilianza kwa kukipigapiga kiarage chake na kidole

“aaaah,,,,,,,aaaissssssssssaaaaahmmmmmh,"

Alianza kutoa miguno ya kimahaba huku akikata kiuno kwa mwendo wa blues akazidi kunibana kichwa asitamani hata nitoke katikati hapo ya mapaja yake

Huku akizidi kulalamika wakati ulimi wangu ukiwa unamsugua vyema kitumbua chake kilichokuwa kimelowa

“aaaah,,oooh,,comeeeeon..babiiiiiiii,,,,,aaah"

Nikampandia kwa juu na kumpanua mapaja yake kisha Nikamwingiza mtalimbo ukaingia taratiibu akanishika na kuanza kukatika.

Kuanzia siku hiyo nilianza kucheza filamu mfurulizo na wanawake wakila aina nilizuiwa kutumia Condomu kisa haitaleta uharisia katika movie hizo. Sijui Wachina, Wahindi, Waarabu, Wakorea, yani walikuja wanawake kutokea mataifa mbalimbali

kuna siku nililetewa Shemale

Mwanamke mwenye jinsia mbili

Nilishangaa sana kwani hakuwa na kipochi manyoya nilijiuliza Nitafanya nae vipi? Nikaonyeshwa sehemu ambayo sio

japo njia hiyo nilikuwa naitumia kwa baadhi ya Wanawake lakini sikutaka kufanya hivyo kwa Shemale yule.

“James embu acha ushamba mbona Vivica ulifanya nae kwa kutumia njia ile

Inakuwaje leo hii ujiulize fanya mambo tuanze kushoort,"

Aliniambia bwana Zahoro basi nilitii amri

Wakati nikiwa nashikanashikana na yule Shemale

Ghafla cheche zikapiga kwenye nyaya ilikuwa ni

Shorti ya umeme moto ukaanza kuwaka.

Kila mmoja alikimbia kimpango wake, fundi mitambo akawahi kwenda kuzima kwenye Men switch ile anagusa tu akapigwa shoti ya maana na kurushwa mbaali

Moto ulizidi kutanda ukicheki mimi na yule

Shemale tulikuwa ndani ya chumba,

“Hafiiiidhi,,,,niokoeee mwanangu,

“Mumee, wanguu nakufaa,"

Nilianza kuona na kusikia sauti za watu ambayo nilianza kuwakumbuka

Mama, Dada Nasra Mwajuma

na mtoto wangu Ratifa nilipiga kelele kwa kuita

“Mwajumaaa, mamaaa,"

Nilipiga teke mlango nilihitaji kujiokoa Mimi na Shemale yule

Niliweza kufanikiwa kutoka.

Nilipofika nnje pasipo kujiuliza chochote nikaanza kukimbia kwa kasi kuelekea Geti kubwa

“Bosi muangalie James anakimbia kulee!"

“Mkamateni upesi mkimbizeni nasema,"

Bwana Zahoro akapiga kelele akitaka nikamatwe pasipo kufahamu kama mwenzake nisharudiwa na kumbukumbu zangu. Nilizidi kukimbia sikutaka kurudi nyuma,

“James, simama nasema"

Niliamrishwa kusimama, na walinzi sikutaka kusimama kama nimeweza kujikumbuka kilichobaki ni kutafuta njia ya kurudi nchini Tanzania tu sauti za

Mbwa wakibweka huku wakija kwa kasi, niliweza kuzisikia nilipofika

Getini kwanza nikasimama baada

Walinzi waliopo getini kufyatua risasi ikiwa kama kunitisha tu. Nikaangalia nyuma

Mbwa hao nikadunda na kuruka juu nikaachia zinga la teke kwa mlinzi mmoja huku nikichumpa na kutua nnje ya Ngome,

Nilipotua nnje sikuzubaa nikazidi kuchanja mbuga kuelekea upande wa kaskazini mwa Nchi niliweza kufahamu kutokana na kuishi maeneo yale kwa kipindi cha miezi sita tu.

Kitendo nilichokitenda cha kutaka kutoroka kilikuwa ni cha hatari sana nilishawahi kuambiwa kuwa

Wengi wa watu waliothubutu kutaka kutoroka walishindwa kufanikiwa kwa hilo. Wakaishia kukamatwa na kuwawa kikatili. Kila nilipoifikilia kauli hiyo nikazidi kupata nguvu, nikakimbia zaidi.

Nilikimbia kwa muda mrefu kidogo mpaka kigiza kikaanza kuingia nikawa natembea baada kugundua kuwa wale watu hawanifati tena. Kiukweli nilikuwa nimechoka si

Mchezo nikaamua kupumzika chini ya mti, Njaa nayo ikaanza kuniuma achana na kiu cha maji.

Nilikaa pale kwenye mti huku nikiwaza hili na lile niliwaza mambo mengi sana

Usingizi ukaanza kuninyemelea nikaona kama nikilala pale naweza kupatwa na matatizo.

Nikanyanyuka na kuanza kupiga hatua kuingia ndani zaidi ya msitu. Nilikuwa nafahamu nitokako nisijuwe niendako. Nilitembea tu nikafika sehemu kulikuwa na kijito cha maji

Niliyavamia na kuanza kunywa kwa pupa

Kiukweli nilikuwa na kiu saana nilikunywa mfano wa mnyama. Nilipotosheka nilikaa chini nikaangalia kulia na kushoto, nisiweze kuona chochote zaidi ya ule msitu uliofungamana.

Nikanyanyuka na kuzidi kusonga mbele sikutaka kulala. Hata nikilala nitalala wapi?

Mpaka kunakucha nilikuwa bado natembea tu nikiitafuta barabara,







Nilitembea tu nikafika sehemu kulikuwa na kijito cha maji

Niliyavamia na kuanza kunywa kwa pupa

Kiukweli nilikuwa na kiu saana nilikunywa mfano wa mnyama. Nilipotosheka nilikaa chini nikaangalia kulia na kushoto, nisiweze kuona chochote zaidi ya ule msitu uliofungamana.

Nikanyanyuka na kuzidi kusonga mbele sikutaka kulala. Hata nikilala nitalala wapi?

Mpaka kunakucha nilikuwa bado natembea tu nikiitafuta barabara,



SONGA NAYO

SASA



Miguu nayo ilianza kuniuma lakini sikutaka kukata tamaa, siku zote unaambiwa Mwanaume huwezi kufanikiwa bila kupitia magumu.

Kwakuwa nilikuwa natamani kufika nyumbani niweze kukutana na familia yangu, hasa mke wangu na mwanangu mpendwa. Nilipanda mirima kwa mabonde majangwa kwa makorongo. Mara kwa mbaali niliweza kuona kitu kama moshi, nikafahamu bila shaka eneo hilo kutakuwa na makazi ya

Watu, nikazidi kukaza mwendo

Tumbo likazidi kuninyongorota kutokana na njaa kuzidi kuwa Kali. Kila nilipozidi kutembea ndipo nilipoanza kukaribia kuifikia ile sehemu sema sikutaka kuingia eneo hilo kichwa kichwa wakati sijafahamu wakazi wa maeneo hayo wakoje,

Ghafla nikasikia sauti ya kishindo ikilia

Buhuu, nikalala kifudifudi na kuangalia juu moshi mzito mweusii ulikuwa ukifuka na kutanda juu angani.

Sikuweza kufahamu ule mlio uliokuwa wa kitu gani? Nikafikilia na kupata jibu kumbe bila shaka ni bomu. Nilipofikilia hivyo hofu ikanishika sema nilikuwa nikihitaji chakula na nikaona sehemu hiyo ndiyo sahihi kwa Mimi kujaribu kutafuta msosi

Nikaanza kusota kwenye mchanga kila nilipozidi kukalibia ndio nilizidi kusikia vilio vya

Watu wakilia kuomba msaada huku

watu wakiongea Kiganda Lugha ambayo nilishaanza kuifahamu na kuielewa japo si sana.

Watoto ndiyo walikuwa wakilia kwa sauti niliweza kulifikia moja kati ya jengo nikainuka na kubana kwa nyuma nikaambaa na jengo lile mpaka kwenye kidirisha nikachungulia kwa ndani, hakuna mtu

Nikachumpa na kuzama ndani. Chumba kilikuwa na mikorokoro kibao nilianza kupekuwa

Alhamdulillahi niliweza kuiona mikate nilianza kuifakamia kwa pupa huku nikitamani kuimaliza yote japokuwa ilikuwa mingi, nikaona

Kuna mtungi wa maji sema hakukuwa na cha kunywea.

Nikainama kama vile mnyama na kuanza kunywa ghafla nilihisi kuguswa na kitu kizito kwa nyuma.

Nikajiandaa kufanya mambo lakini kabla sijafanya chochote nilishtukia nikipigwa usoni kwa kutumia kitako cha Bunduki, nilidondoka chini

Huku damu nyingi zikinivuja kitendo bila kuchelewa nikababwa msobemsobe na kutolewa nnje.

Embu jamani nikumbusheni yale maneno ya

Bibi mwenzenu sikumbuki hata moja.

Nilipotolewa nnje nikafungwa kamba na kwenda kujumuishwa kwenye kikundi cha watu waliokuwa wamefungwa kama Mimi.

Kila mtu alikuwa akilia na kuomba Mungu wake aweze kumnusuru,

Nikafumba macho na kuanza kufikilia mwanzo wa maisha yangu mpaka hapo nilipokuwa nikaitamka ile Lugha ya kubadirika

Ghafla kilitokea kitu kama tetemeko la Ardhi wale Askari sijui Maharamia wakaanza kukimbizana

huku na kule kila mmoja akatafuta sehemu ya kuweza kujishikiza ajabu lile tetemeko halikufika sehemu ambayo wananchi walioshikwa walikuwa wamewekwa. Kamba nilizofungwa zikaanza kuachia utasema kuna mtu anazikata kwa kisu

Hapo hapo watu wote tulishtuka baada kuona kiumbe cha ajabu kikiibuka kutoka chini ya Ardhi nilimkumbuka kiumbe yule ni

Gogisu japo ni kitambo sana sikuweza kuonana nae. Sikutaka kujiuliza sana juu ya ujio wake pale

Nilichukuwa kisu na kuanza kufungulia watu kamba nikaacha wasaidiane wenyewe. Maana katika watu mia moja ukimfungulia mmoja ni sawa na kuwasaidia wote. Kwani uliemfungulia atamfungulia mwingine itaenda hivyo hivyo mwishoe utakuwa watu kumi wakiifanya kazi hiyo.

Nilichokuwa nakitaka mimi ni kuwaangamiza Wavamizi wale, ili wasiweze kurudi tena katika kijiji kile nilikimbia kwa kasi utasema sina Jeraha lolote nikimpita Gogisu aliyekuwa akiniangalia kwa mshangao. Sijui ananishangaa kitu gani

Ghafla nikasimama na kugeuka kumuangalia Gogisu

“twenzetu tukafanye kazi"

“sawa mkuu"

Alikuja mbio akiwa kafurahi si kidogo.

“Mkuu hao Panya watakuwa washafika mbali sana panda mgongoni tuweze kuwawahi"

Nikachumpa na kukwea kwenye mgongo wa Gogisu safari ikaanza

“Gogisu"

“Naamu mkuu"

“kwanza naomba mnisamehe kwa yote mabaya niliyoweza kuwafanyia"

“hapana mkuu wewe hauna makosa yeyote sisi ndiyo wenye makosa,"

“Kwanini unasema hivyo? Wakati mimi nilienda kwa Shekhe nikatia ubani?"

“Ndiyo ulienda kwa Shekhe lakini yote yalikuwa ni makosa yetu sisi kwa kushindwa kukulinda tusamehe sana mkuu maana tumekupoteza takribani miaka kumi sasa"

“Gogisuuuu!"

“naaaamu mkuu"

“acha maskhara unasemaje miaka kumi wakati hata mwaka mmoja bado?"

“hahahahaha, Mkuu bwana kweli ulipoteza kila kitu ni miaka kumi sasa imepita Mwajuma kachumbiwa wiki ijayo anafunga ndoa,,,,,

“What?"

Nilishtuka kusikia kauli ya Gogisu eti Mwajuma anaolewa.

“Mkuu wale Mbwa walee sasa hapa dawa ni kuvamia kambi yao na kuteketeza wote"

“sasa Gogisu Mke wangu ataolewa vipi wakati wakati sijampa talaka?"

“kwani Mwanamke akifiwa na mumewe hawezi kuolewa tena?"

“Ushasema akifa sasa kwani Mimi nimekufa?"

Lilikuwa swali juu ya swali.

“kwanza nishushe sitaki tena kwenda huko tuwahi Nyumbani"

Gogisu akaanza kushuka chini na kutua kwenye uwanja fulani kisha akaanza kuniambia hivi.

“Sikia nikwambie kitu mkuu tokea maafa yale yatokee sio kama kikosi chetu tuliangamia hapana, yule Shekhe alikuwa katufungia kwenye chumba

mfano wa Jela, tulikuwa hatuna uwezo wa kutoka mule bila msaada wako, tuliteseka kwa muda mrefu sana mpaka kufikia hatua ya wengine kuanza kupoteza maisha. Kutokana na ukosefu wa chakula ikatubidi sisi wengine tule miili ya

Wenzetu tupate kuongeza siku za kuishi.

taarifa zote kuhusu wewe tuliweza kuzipata

mpaka siku ambayo ulifunga ndoa siku hiyo ilikuwa ni siku ngumu sana kwa upande

Wetu kwani kitendo cha wewe kuoa ilionyesha kuwa funguo ya kututoa sisi kwenye kile kifungo haipo tena.

Japokuwa kuna Binti ulikuwa ukimtaka kimapenzi akawa akikutolea nnje ndipo siku moja usiku bibi yako wa Kijinni alipoutoa unywele na kuutuma kwa msichana yule, awe na matamanio nawe

Ukifanya nae mapenzi tu ndiyo itakuwa Uhuru wetu na kweli ikawa hivyo

Akakupigia simu ukaenda tulipotoka tu tukamfata yule Shekhe sema tukashindwa kupambana nae ana kinga kubwa sana kutoka kwa Mungu

Figisu akaja kumla yule binti tukaichukuwa familia yako huku tukiacha miili bandia

Nawe ulipofika tukakuondolea kumbukumbu zako kichwani. Kwanza ulilala kitandani miezi miwili

Siku ambayo unaletwa huku Uganda tulimtengeza Hafidhi wa bandia akiwa amekufa kwa kugongwa na gari!"

“Gogisu embu achana na stori za kufikilika ninachotaka kufahamu Mke na Mama Mwanangu pamoja na Dada wako wapi?"

“wapo Tanzania"

“basi nipeleke"

“kiukweli mkuu siwezi kufanya hivyo embu subiri nikanyonye damu za wale mbwa miee"

Baada Gogisu kuongea hivyo akapotea nilimwita lakini hakuitika

Nikawa sina jinsi ni kutafuta namna ya kujisaidia Mimi mwenyewe, nilianza kutembea kurudi kule kijijini nikifahamu naweza kupata msaada wowote ule.

Mpaka kigiza kinaingia sikuwa nimefika sehemu husika usingizi nao ulikuwa umenishika nikatafuta mti na kupanda juu nikaegemea kwenye tawi na kulala. Nilikuja kushtuka kumeshakucha.

Nikajinyoosha ghafla vuuu nilitondoka chini.

Na kufikia kiuno mamaa weee,,,, niliugulia kwa maumivu nilikaa pale chini nusu saa nzima kisha nikainuka na kuanza kutembea

Kwa mwendo wa kuchechemea mguu wa kushoto ulikuwa umeshtuka sijui kuteguka. Baada kudondoka kule juu ya mti nilikuwa na maumivu makali asikwambie mtu

Nilifika kwenye kijiji kile na kukuta wakiendelea na shukhuri zao za hapa na pale. Kila mmoja akaacha alichokuwa akikifanya na kuniangalia Mimi

wengine wakatoka mbio kwenye majumba yao kuja kuniangalia mimi. Hakika iyacheni dunia iitwe dunia sikuwahi kuona watu waliochoka na kukondeana kama watu wa kijiji hiki. Yani

hawakuwa na mavazi zaidi ya matambara.

Niliangaza macho huku na kule kuwaangalia watu wale waliokuwa washakata tamaa ya maisha.

Nikamuona Mtu mmoja mzee sana akiwa kajilaza chini nikapiga hatua kumfata

“shikamoo babu"

“Marhabaa kijana"

Naomba niseme kitu hapo nilikuwa naongea Kiganda tu kwa kutaka nisikuache njia panda wacha nikandamize kiswahili japokuwa

Uganda kiswahili wanakifahamu vyema,

“Babu nilikuwa nahitaji maji ya kunywa"

Nilipomwambia vile akanyanyuka ajabu aliponyanyuka akaonekana kijana tu kama Mimi sema yeye kakondaa utasema

Yule katuni aitwaye Rango.

Akaniomba nimfate niliongozana nae mpaka kwenye kibanda kimoja tukaingia kisha nikapatiwa maji nikanywa tuliweza kupata wasaa wa kuongea mambo mengi sana huku akiniuliza kuhusu

Ulaiya wangu sikumficha nilimjibu

Mimi ni Mtanzania akashangaa sana nawezaje kuongea Kiganda namna ile

nilimjibu ni kuishi kwa muda mrefu kwenye kambi ambayo nilikuwa kama mateka ndiyo iliyonifanya niifahamu hii Lugha pia nilimwambia nahitaji kuwepo katika kijiji hiki kwaajili ya kutoa mafunzo ya hafya pamoja na kupambana na maadui. Alifurahi sana kwa kauli yangu ile

Mgeni nikaandaliwa makazi usiku huo nilianza darasa langu rasmi Kijiji kizima walikusanyika na kwenye uwanja mkubwaa moto ukawashwa tukawa tumeuzunguka Mimi nikakaa kati

“Assalamu Alaykumu"

Nilisalimia hivyo japokuwa sio wote walioweza kuitikia nikaanza darasa kwa kuwafundisha vyakula vya kutumia hasa matunda kufanya mazoezi

kila mmoja akafurahia darasa langu tukaenda kulala kumbee usilolijua sawa na usiku wa Giza







Mgeni nikaandaliwa makazi usiku huo nilianza darasa langu rasmi Kijiji kizima walikusanyika na kwenye uwanja mkubwaa moto ukawashwa tukawa tumeuzunguka Mimi nikakaa kati

“Assalamu Alaykumu"

Nilisalimia hivyo japokuwa sio wote walioweza kuitikia nikaanza darasa kwa kuwafundisha vyakula vya kutumia hasa matunda kufanya mazoezi

kila mmoja akafurahia darasa langu tukaenda kulala kumbee usilolijua sawa na usiku wa Giza



SONGA NAYO

SASA



Niliingia ndani kulala wakati napanda kitandani kuna kitu kilifyatuka na kunisomba nikajikuta nabebwa juu kwa juu nikawa naning'inia kichwa chini miguu juu. Ulikuwa ni mtego sikuweza kufahamu nimeekewa Mimi au ni kama ulinzi juu ya maharamia, wenye kuvamia kijiji kile.

Bila shaka itakuwa ni bahati mbaya nimeiufyatua. Sasa kwanini sikuambiwa kuwa pale mlangoni kuna mtego? Mbona wakati tunaingia mimi na yule kiongozi wa kijiji tuliingia vizuri tu?

Nilianza kujiuliza maswali chungu mzima nisipate majibu nikataka kupiga kelele kuomba msaada, sema nikasita baada kuanza kusikia sauti za watu.

“tayari kanasa"

“tusubiri kwanza tusiwe na haraka maana kiumbe mwenyewe hatabiriki yule"

“lakini mkuu kwanini tusifate ushauri wa hawa watu kwa kutumia vyakula wanavyokula wao. Hivi huoni wao wanakuwa na miili mikubwa iliyonona, wakati sisi tunakuwa kama Vijiti,"

“Embu nyamaza usirudie tena kuongea upuuzi wako unataka kusema tufate mambo ya kimagharibi sio? Kumbuka swala la sisi kula nyama za watu ni

toka enzi na enzi za Mabibi na Mababu zetu.

Hatuwezi kuvunja mira hii"

“lakini kula kwenyewe kwa msimu mpaka tumpate mtu wa kumla au akifa mwenzetu tutaishi hivi mpaka lini?"

“mpaka siku ya mwisho wa dunia,"

Kutokana na mazungumzo yale nilishtuka kumbe kijiji hiki ni wala nyama za watu. Ndiyo maana nilikuta mikate imejazana kule, hapo niliweza kupata picha kwanini wale Askari walikivamia kile kijiji bila shaka wenzao walikuwa wakiliwa nyama. Ndipo wakavamia pale, nilianza jitihada za kutaka kujiokoa kimya kimya nikiwa katika harakati za kufungua kamba nikashtukia nikianguka na kufikia kwenye nyavu nikafungwa na kutolewa nnje. Jamani yani kabla sijajiokoa wao wakaja kuniwahi dahaa.

“Chomaaaa,chomaaaa,,,,"

“tafunaaaa,ng'ataaaaaaa,,,,,"

Wanakijiji walipiga kelele kwa kushangilia kwa furaha kisa wamepata nyama. Hivi unawezaje kumchinja Binadamu mwenzako ukaanza kumchuna ngozi na kumkatakata vipande vipande utasema mbuzi au Ng'mbe umtoe sijui miutumbo ahaa.

Kama binadamu anaweza kufanya hivyo kwa wanyama basi kuna watu wanaweza kufanya hivyo kwa wenzao. Kijiji hiki kilichopo pembeni ya Uganda ndiyo mfano. Baada kunitoa nnje wanakijiji wakizidi kupiga kelele utasema watoto waliona pilau siku ya sikukuu. Nikaenda kuninginizwa kwenye

Mti fulani niliwekwa kama vile mnofu wa nyama mbichi unataka kubanikwa

Kuni zilianza kujazwa kwa chini nikabaki kukodoa macho nisiweze kufanya chochote,

Binafsi nilikuwa ndani ya nyavu na istoshe nyavu yenyewe ni nyaya sasa kila nikikukuruka zilikuwa zinanichana maumivu niliyokuwa nikiyapata hayana kipimo sikuweza kuamini kama mwisho wangu unakuwa mbaya

Kwa kiasi kile nakufa kifo cha kikatili kufa huku najiona kisha mwili wangu uliwe kama mishikaki.

Au ndiyo ukila nawe utaliwa.

Lakini si bora niliwe na kuku bata au samaki na Ng'ombe kwani hao ndiyo niliokuwa nikila nyama zao. Nikiwa nawaza nilianza kuhisi joto la mwili kupanda nikafumbua macho

Khaa moto ulishaanza kuwaka

“Nilifumba macho na kukumbuka hadithi moja hivi niliyowahi kuisoma kipindi hicho nikiwa shuleni darasa la nne hadithi hii iliitwa Mzimu wa Dada sikumbuki mtunzi ni nani. Sema kuna kijana alikamatwa kama Mimi akatakiwa kuliwa nyama akauita mzimu wa Dada yake ukaja kumsaidia.

Nilifumbua macho na kuanza kulia kwa maumivu moto ulikuwa unazidi kuwaka na kuniunguza mgongoni nilijizungusha na kutaka kukaa kiubavu nikapiga kelele

“Gogiiiiiiiiiiiisu

Figiiiiiiiiiiiisu,,,,,, hata sikumaliza kuita vua kubwa ikaanza kunyesha na kufanya ule moto uzimike

Kumbe haikuwa vua kama nilivyofikilia. Ni ndugu wawili wamekuja kwa pamoja si nimewaita

Mmoja akafanya kutema maji kwenye ule moto na kuuzima huku mwingine akitema moto kwa Watu wale. Kisha yule aliyezima moto akaja kunifungulia kwenye Nyavu nilikuwa na maumivu hatari asira nazo zikanishika

“Nipatie jambia,"

Nilimwambia yule kiumbe nae bila kuchelewa akanyoosha mkono wake na kunipa jambia nilijikaza kutembea kwa kumfata yule kiongozi aliyekuwa akikimbia kwa hofu kudadeki hakufahamu kama kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho.

Nilitembea huku nikiyumba na kudondoka chini. Niliuma meno kwa hasira na kusimama tena,

“wewe naomba nikamatie yule panya niletee hapa harakaa"

Nilitoa amri kwa hasira chezea kunusurika kufa wewe. Ukiangalia bado nina maumivu

sijui Gogisu au Figisu akaenda kumnyakuwa yule mzee utasema kunguru anyakuapo kifaranga cha kuku, akamtupia mbele yangu.

“pumbavu mwana haramu mkubwa, m**nge. Mamayo zako, malaya kudadeki sali sala zako za mwisho wewe kenge wenzako wote!"

Nilianza kuporomosha mitusi huku nikiwa nimemuwekea jambia shingoni. Nilimuangalia kufumba na kufumba nilikata kichwa chake

“Na nyie mnashangaa nini? Uweni wote hao"

Nilitoa amri ya kuuwawa watu wote.

“Embu acheni kwanza msiuwe, niliwakatisha wasiendelea kuuwa maana walishaanza kazi ya kutafuna tafuna na kuwaunguza kwa moto

Nikasimama mbele ya wale watu waliobaki kuwa hai kisha nikawaambia

“nyie itabidi mbaki kuwa hai ili muweze kubadirisha mtazamo wa jamii nyingine nyama ya Binadamu mwenzako sio chakula ni haramu kumla mwenzako bora ule majani na miti lakini sio Binadamu"

Niliongea hivyo na kuanza kupiga hatua kuondoka japokuwa ilikuwa ni usiku sana. Lakini sikutaka kujali kuhusu hilo sababu ya kuwa nina walinzi wa nguvu maumivu ya vidonda navyo ilizidi kunifukuta

“tafadhali kaka usiondoke baki na sisi hapa,"

Kuna mtoto mmoja alinikimbilia na kunipigia magoti akaniomba huku akilia

“Haya wakubwa kazi yenu imeishia hapa wacha Mimi nibaki na hawa vijana ili niweze kuwajenga kisaikorojia"

“sawa mkuu lakini angalia usirudie kosa"

“usijali Gogisu maadamu wamewaona nyie hawawezi kunifanyia hivyo tena"

“kwani mkuu hapa Gogisu ndiyo yupi?"

“si wewe hapo"

“ha!ha!ha!ha! Hapana mkuu Mimi ni Figisu"

“khaa unataka kusema Gogisu ndiyo huyu mwenye Chogo kama mtalimbo wa jeshi eheee?"

“hahahahahaha"

Basi tulicheka kutokana na matani ya hapa na

pale kisha Gogisu aliniomba nifumbe macho kuna kitu anahitaji kunifanyia japo nilikuwa nasita kufumba macho. Sikuwa na budi kufanya hivyo nikafumba nilipofumba tu upepo mwanana ukaanza kupita kwenye mwili wangu maumivu yakaondoka nilipokuja kufumbua macho, sikuweza kuwaona walikuwa washaondoka

Mbele yangu kulikuwa na kikundi cha watoto wamekaa chini. Nilijikagua mwilini na kuona nimevaa nguo mpya kabisa kombati za kijeshi huku nikiwa sina hata jeraha moja nilijikagua kwa kuvua jacket sikuona hata kovu,

Nilichuchumaa na kuwaangalia wale watoto nikageuka kuangalia watu wazima baadhi walibaki lakini wengi wao washauliwa. Kesho yake niliwafundisha jinsi ya kuzika huku tukila ile mikate pamoja na matunda kama Vile ndizi

asikwambie mtu hawa watu walikuwa na mashamba makubwa tu, ya kilimo cha Ndizi ajabu wenyewe hawali sijui wamepanda wao au

Imejiotea tu.

Nilijiuliza kuhusu hilo.

Niliwafundisha mambo mengi tu ikiwemo kupiga mswaki japokuwa ilikuwa miswaki ya miti pamoja na kuwinda wanyama pori kuvua samaki kwenye mto ambao haukuwa mbali na makazi hayo.

“Figisu"

“naamu mkuu"

“Mimi si mkuu wako au sio?"

“ndiyo ni mkuu wangu ndiyo maana kila siku nakuja kuongea nawe mkuu kama una tatizo lolote linakutatiza niambie tu,"

“sasa kama Mimi ni mkuu wako nilikuwa na maombi mawili kwako katika maombi hayo

Nikubalie hata moja"

“ndiyo nakusikiliza niambie tu"

“hivi nikweli Mimi nipo huku miaka kumi sasa?"

“ndiyo mkuu, na hivi tuongeavyo mkeo anakalibia kuolewa. Binti yako yupo darasa la nne"

“dahaa sasa kama hivyo unaonaje ukaniwahisha huko Tanzania ili niweze kuizuia ndoa hiyo"

“kuhusu hilo sahau mkuu"

“kwanini nisahau wakati yule ni mke wangu Mimi,"

“ehee ombi lingine ni lipi mkuu?"

Figisu akauliza kumaanisha ombi la kwanza nimekataliwa.

“basi haina shida wee nenda tu wacha Mimi nikalale"

Nilishakasirika sikutaka kuongea zaidi nikanyanyuka na kuelekea kwenye kibanda changu

Figisu nae akapotea ilikuwa kawaida yetu kila siku usiku kukutania hapo na kuongea pamoja na kumtuma kazi za kwenda kuleta

Vitu kadhaa yani nguo madawa vyakula na vinginevyo alileta vitu kwa wingi

Kijiji kilianza kupendeza watu walivaa Mavazi ya kupendeza.

Niliingia kibandani nikiwa mnyonge hasa nikifikilia kama Mke wangu akiolewa na mwanaume mwingine itakuwaje siku nikifanikiwa kurudi nyumbani nikaonana naye. Kumbe kila mtu anafahamu mimi nimekufa dahaa,

Kesho yake asubuhi na mapema niliwaita watu wote, wakakusanyika kuja kunisikiliza Mimi nilikuwa nikama kiongozi wao mpya niliyefanya mabadiriko makubwa kwenye maisha yao kutoka kwenye kula nyama za watu mpaka kula

Ubwabwa kwa mchuzi wa samaki

Nikawatangazia kuhusu kujifunza kusoma na Mimi ndiyo nitakuwa mwalimu shule itafunguliwa siku ya Jumaatatu. Sikuwa na uwakika siku hiyo ni

Siku gani nilikisia tu





Maandalizi ya kujiandaa kujifunza kusoma na kuandika yalianza kwa kasi kwa kujenga sehemu ambayo itatumika kama darasa.

Siku moja kabla ya kuanza masomo tukiwa shambani, niliweza kumuona Gogisu akiwa amesimama kwa mbaali. Nilimuangalia kwa kumkazia macho nikapiga hatua kumfata cha ajabu kabla sijamfikia akapotea. Nilibaki kuikazia macho ile sehemu utasema Gogisu bado yungalipo eneo lile.

“uwiiiiiiiii, nyokaaa"

Nilishtushwa na sauti ya mtoto mmoja akilia kwa sauti kubwa niligeuka na kukimbilia ile sehemu

Nilifunga break za ghafla baada kukaribia sehemu ile huku nikipishana na kikundi cha

Watoto wengine wakikimbia hovyo na kupiga kelele

hakuwa nyoka wa kawaida. Tuseme naweza kuchukuwa fimbo au panga nimkate kichwa. Huyu alikuwa ni Nyoka mkubwa jamii ya Anakonda,

Alikuwa kamviringisha mtoto

Mmoja akambana kisawasawa na kuanza

Kumvunja mbavu nilibaki kushuhudia tukio lile nikiwa nimesimama. Lakini sikutaka kumuacha mtoto kama yule akiuwawa kizembe tena mbele ya upeo wa macho yangu.

Nilianza kupiga kelele kwa sauti ya juu huku nikiongea Lugha za ajabu ghafla nilianza kufutuka nikajikuta nimeshika

Silaha aina ya Jambia nilianza kupambana na yule Anakonda nae akajitahidi kunizuia kwa kunichapa na mkia wake lakini nilikuwa mwepesi katika kumkwepa

Katika zile purukushani aliweza kumuachia yule mtoto akanigeukia Mimi huku akifoka kwa hasira.

Akajaribu kunitemea mate

niliweza kuyakwepa

mpambano ulikuwa mkali akarusha mkia wake huku na kule nilizunguka kwa kasi na kudunda kwenye mti.

Niliruka kwenda juu nikakita kwenye kichwa chake nilitaka kukikata kichwa chake. Ajabu akanipiga kofi la kifua nikadondoka chini, lakini kabla sijadondoka niliwahi kujishikiza kwenye tawi la mti.

Anakonda huyu alianza kuchomoa mikono ni ajabu hii kwa Nyoka kuwa na miguu na mikono utasema Dragon. Akanitemea moto hapo ndipo nilipoweza kutambua kuwa sipambani na kiumbe cha kawaida

ni mzimu sina budi kukaza

Nilibimbilika na kutua kwenye miguu yake nilifanya kutembeza jambia mwilini mwake cheche ziliruka na kuunguza baadhi ya miti

Nikaingia chini kabisa ya uvungu kwa kuseleleka nikainuka kwa kumzamisha lile jambia kwenye tumbo alitoa kilio kikubwa cha maumivu akaanza kutapatapa huku na kule kisha akapotea.

Mpaka kufikia hatua ya kumtandika yule kiumbe mpaka akakimbia ilikuwa ni shukhuri pevu si mchezo nilisimama imara na kurudi kijijini. Niliwakuta watoto wakinisubiria kila mmoja alifurahi kuona nimemuokoa mwenzao nilitembea kwa kuliburuza lile jambia

Mpaka kuna watoto

Wakaja kunisaidia kulibeba nilikaa chini kwa uchovu huku nikifikilia kuhusu kiumbe yule atakuwa katokea wapi? Hatimae usiku ukaingia huku yule mtoto akiendelea kupatiwa matibabu ya asiri na wakubwa wa kijiji kile. Nilienda kukaa sehemu ambayo ndiyo makutanio yetu kati ya Mimi na

Figisu kila siku usiku tupige story mbili tatu kabla ya mimi kwenda kulala. Ajabu siku hiyo Figisu hakuweza kufika kabisa nilimsubiri na kumngojea kimya kikazidi nilijaribu kumwita lakini kukawa kimya. Nikaona isiwe shida wacha nikalale maana nahitajika kuamka kesho yake asubuhi na mapema kwaajili ya kuanza kufundisha,

Niliingia kwenye kibanda changu na kupanda kwenye kitanda cha miti. Sikuweza kupata usingizi mapema nilimkumbuka Mama na Dada Nasra pia niliwakumbuka marafiki zangu kina Akida. Kaunda. Na wengineo bila kumsahau mke wangu mpendwa bibiye Mwajuma, nilimkumbuka na marehemu Ratifa nikatabasamu na kujisemea ipo siku wote tutaonana kama sio hapa duniani hata kwenye maisha ya ulimwengu mwingine.

Usingizi ukanichukuwa

“khaakhaakhaakhaa, karibu sana mkuu pisheni njiaa mkuu apitee,"

Nilijikuta nipo katikati ya pori nimezungukwa na viumbe vya ajabu wakiwa wananuka na kutoa miuchafu kwenye vinywa vyao sijui minini

Nikaziba pua kutokana na hali ya hewa kuzidi kuwa mbaya. Sema kila nilipokuwa nikipiga hatua kwenda mbele wakawa wanapisha njiaa. Ndipo nikamsikia

Figisu akiongea hivyo nikaongeza mwendo kwenda mbele zaidi khaa nilishtuka baada kumuona

Gogisu akiwa kalala chini huku akipumua kwa shida sana

“vipi Gogisu umefanyaje? Mbona upo hivi?"

“kwanza samahani mkuu kwa yote yaliyotokea baada hapo naomba umpatie tiba kaka yangu aweze kupona,"

“unamaanisha nini kuniomba samahani?"

“Gogisu ndiyo yule nyoka uliyekuwa ukipambana nae ukamshinda sasa tiba pekee ipo mikononi mwako ndiyo maana nimetanguliza msamaha kabl.....

“Figisu embu nyamaza unaongea nini wewe unataka kusema Gogisu alijigeuza Anakonda akataka kumla yule mtoto sio? Hivi unafahamu kama Gogisu siku hizi amekuwa mtovu wa nidhamu juu yangu.

Mpaka anadiriki kupambana nami muache afe kudadeki zake!"

Niliongea kwa hasira huku nikivimba kila kiumbe kilianza kuogopa

“nii,,,samehee m---kuuu"

Gogisu akajitahidi kuongea kwa tabu sauti yake ilikuwa ya chini.

Nikafikilia na kumwambia hivi

“ok! Nipo tayari kukusaidi iwapo utaweza kuniahidi jambo moja tu"

“Jambo gani mkuu?"

“wewe embu tulia kwani wewe ndiyo Gogisu!"

Figisu akanywea nilikuwa na haki ya kuwatetemesha viumbe hatari kama hao uwezo si ninao kitendo cha kumtandika Gogisu ni ushujaa tosha kuna Jinni mwingine mwenye kuhitaji kupambana nami. Iwapo wanamuogopa Gogisu

“nitakutibia iwapo utakubari kunipeleka nyumbani ndani ya wiki ijayo"

“kuhusu hilo usijali mkuu hata ukisema leo nitakupelek,

“hivi Figisu nawe ushaanza kuniletea mambo ya kijinga kwanza wewe si ulisema kuhusu swala hilo nisahau. Jiangalie dogo nitakuchinja"

“Figisu Mdogo wangu embu tulia kwanza"

Gogisu akajitahidi kuongea na kutulia. Baada makubaliano nilianza kumpatia tiba kwa kuishika ile sehemu yenye jeraha nikaanza kuongea Lugha za Ajabu ajabu miti ikaanza kugongana na kuyumba huku na kule kutokana na upepo mkali uliosababishwa na kisomo changu

Ilituchukuwa dakika sita tu Gogisu akawa tayari ni mzima akanishukuru sana na kusema hana budi kulipa deni. Kisha akapotea

Ghafla nikashtuka nipo kitandani.

Nikaangaza macho huku na kule kisha nikanyanyuka na kujinyoosha nikatoka

nnje na kukuta pilikapilika za watoto.

“Odinga"

Nilimwita mtoto mmoja nae pasipo kuitikia akaja mbio na kusimama mbele yangu.

“Shikamoo"

“marhabaa hujambo?"

“ndiyo sijambo"

“vipi mbona naona kama kuna shamrashamra asubuhi yote hii kuna nini kwani?"

“Watuksi wamekuja kutupatia msaada"

“Watusk ndiyo kina nani?"

“ni waasi wa Nchi hii"

Niliposikia vile tu kuwa ni waasi wa nchi pale pale machale yakaanza kunicheza nikatoka mbio na kuelekea sehemu ambayo inasemekana hao

Watuski ndiyo wapo.

“kamata huyoo, kata mkono,"

Kitu ngwaa kikapita kwenye mkono wa mtoto mmoja lilikuwa ni shoka. Damu ziliruka kwa wingi huwezi kuamini kulikuwa hakuna cha

Msaada wala nini watoto

Kalibia kumi na tatu walikamatwa na kukatwa Viganja vya mikono nilipofika tu. Ndipo nikashuhudia unyama huo.

Nilipiga kelele kwa hasira huku nikikimbia kwa kasi nikachumpa kwenda juu nilipokuwa natua nilishaingia katikati ya Watusk wale.

Nikakoswa koswa kupigwa na kitako cha Bunduki niliinama na kumsukutua ngumi huku nikiachia mateke ya taikondo.

Kufumba na kufumbua nilishaishika

AK47 nikaibofya

target na kuachia risasi mfurulizo kwa

Watuski wale ndani ya nusu saa hakuna aliyebaki nikawa tayari nimewafyeka wote kelele pekee zilizoweza kusikika ni za wale watoto.

Waliokatwa viganja nikatoa huduma ya kwanza kwa kuchukuwa moto na kuchoma Vibubutu vyao ili kuzuia damu. Isiendelee kutoka.

Walikuwa ni watoto watatu tu.

Baada kuwapatia huduma ya kwanza wakabebwa na kurudi nao kijijini. Kiukweli ilikuwa ni shida tupu, jana tu mtoto mmoja alitaka kuliwa na Gogisu. Nikamuokoa leo hii watoto wametekwa

Na kuanza kukatwa viganja vyao si

Balaa hili nilikuwa nimechoka kwa kiasi kikubwa. Nikaenda kukaa chini ya mti, nikiwa nahema

“mkuu chakula hiki"

Nikainua kichwa kumuangalia huyo ambaye ananikaribisha chakula.

Alikuwa ni yule Odinga.

Nilimuangalia kwa dakika kadhaa kisha nikamwambia

“weka hapa chini alafu na wewe ukae pale"

Akafanya kama nilivyo muelekeza akaweka kile kikapu ambacho ndani yake kulikuwa na minofu ya nyama na ndizi

Na kibuyu cha maziwa

“Odinga"

“naamu mkuu"

“hivi hawa Watusk wanatokea wapi?"

“wanatokea kulee kilimani kwenye kisiwa kilee"

“nijibu wanatokea wapi sasa kusema sijui kilimani mala kisiwani nitakuelewa vipi?"

“Ehee basi kule kisiwani"

“ok! Ni kawaida yao kuja hapa au ni mara yao ya kwanza kufanya kitu kama kile?"

“mmh! Sio mara ya kwanza wanakujaga kila mwisho wa mwaka na kufanya vile"

“je una fahamu kwanini wanatenda vile"

“ehee ni kafara ya Mfalme Jundo kila mwisho wa mwaka huwa anahitaji damu. Na kama hatutofanya hivyo kijiji kitaangamia chote"

Binafsi maneno ya Odinga yalinishtua si kidogo kumbe kitendo kile ni kafara sasa kihelehele changu cha kuzuia nimekiletea kijiji

Balaa kubwa kumbe ndiyo maana

Watu wote walikuwa wanyonge wala hawakunishangilia kama nilivyo

Muokoa yule mtoto kwa Gogisu. Sema sikutaka kuwa na hofu nikajisemea nitapambana kwa chochote kibaya kitakacho tokea kwenye kijiji hiki.

“sawa nimeweza kukuelewa unaweza kwenda!"

Odinga alipoondoka tu nikakishika kikapu na kuanza kula minofu ya Nyama.

“nakuona Bosi unajisevia tu"

Nilishtushwa na sauti ile ni sauti ambayo niliitambua vyema na kuikumbuka japokuwa ni miaka mingi sana imepita tokea niisikie sauti hiyo

Ni sauti ya Bibi nikainua kichwa changu kumtazama nilishtuka zaidi na kutamani kukimbia

Sauti ilikuwa ni tofauti kabisa na yule

Mtu aliyekuwa kanisimamia mbele yangu......





-----------------

Tulipoishia

Jana

“sawa nimeweza kukuelewa unaweza kwenda!"

Odinga alipoondoka tu nikakishika kikapu na kuanza kula minofu ya Nyama.

“nakuona Bosi unajisevia tu"

Nilishtushwa na sauti ile ni sauti ambayo niliitambua vyema na kuikumbuka japokuwa ni miaka mingi sana imepita tokea niisikie sauti hiyo

Ni sauti ya Bibi nikainua kichwa changu kumtazama nilishtuka zaidi na kutamani kukimbia

Sauti ilikuwa ni tofauti kabisa na yule

Mtu aliyekuwa kanisimamia mbele yangu......

SONGA NAYO

SASA

Hakika nilishtuka sana nilianza kurudi nyuma kwa uwoga ni kweli nilikuwa na haki ya kuogopa kutokana na yule kiumbe aliyenitokea mbele yangu

Nilisota kwa makalio nilipokuja kukaa sawa nikakurupuka na kutimua mbio.

Nilikimbia kama vile chizi mpaka kufikia kujibamiza kwenye mti nikadondoka chini puhuu.

Nikawa kimyaa, sio kama nilipoteza fahamu hapana nilifanya hivyo ili kumzuga yule kiumbe.

Ambaye ni marehemu Ratifa sema sauti yake anaongea kama ya Bibi.

Nikiwa nimelala chali huku nikiugulia maumivu ya kujigonga kwenye mti

Nikahisi nikishikwa miguu

“mamaaa weee nakufaa niachee jamani zombiee!!!

Nilipiga kelele na kuinuka khaa kumbe alikuwa ni Odinga na watoto wenzake.

“hahahahaha vipi mkuu kumbe na wewe muoga ehee?"

Walianza kucheka na kuniuliza laiti wangejua kile kilichonitokea nahisi wangezimia sembuse mimi kukimbia. Basi nikanyanyuka na kujipangusa michanga na miuchafu mingine. Kisha tukaongozana kurudi kijijini maana wakati nakimbia nilikimbilia Msituni.

“Mkuu kesho ndiyo siku ambayo Mwajuma anaolewa"

“Gogisu unasemaa?"

“kwani hujazikia au unataka niongee kwa msisitizo sasa ni hivi Mwajuma anaolewa"

“kudadeki nasema haiwezekani hata kidogo yani mke wangu Mimi aolewe wakati mwenyewe bado nipo hai Gogisu"

“naamu mkuu"

“hivi wewe unafurahia kweli Shemeji yako aolewe na mtu mwingine?"

“ndiyo nafurahia sana tu maana ndani ya ndoa hiyo kuna sababu hapo"

“wee kweli Mwehu yani unafurahia Mke wangu aolewe pimbi nini embu kwenda zako.

Ehee umesema sababu ni ipi hiyo?"

“kiukweli Mkuu wewe tulia tu uone kile ambacho tunahitaji kukifanya kwa huyo Mwanaume ndiyo ataoa lakini Jogoo wake atashindwa kupanda mtungi wa Mwajuma na hakuna mwanaume yeyote atakayeweza kumuingilia Mwajuma zaidi yako. Baada ndoa hiyo kupita ndani ya Mwezi mmoja atakufa mtu kutoka kwenye familia ya Bwana harusi baada ya hapo sasa.

Mwanaume nae atakufa kwa kujinyonga kisa hana nguvu za kiume katika kifo chake ataacha ujumbe kuwa yeye ni Shoga alioa kwaajili ya kuficha udhaifu wake tu.

“kwahiyo unataka kusema Mwajuma anaolewa na Shoga?"

“sio hivyo"

“kumbee?"

“ni Mwanaume kamili sema kuna vijimambo tumefanya ndiyo atakuwa hivyo. Na hili jambo litatokea siku ya kwanza kwenye fungate"

“ehee umesema sijui atakuja kufa baada ya miezi mingapi vilee?"

“baada Miezi miwili yani wakishamzika mtu wao wa karibu ndipo kifo chake kitafatia"

“unajipangia tu kama vile Mungu!"

“hapana mkuu sio kama najipangia hivi nikuulize kitu?"

“ehee niulize"

“hivi siku ikitokea Binadamu akachukuwa panga na kusema leo lazima nimuuwe huyu Hafidhi

Akaja akakupiga panga la kichwa ukafa si alipanga kukuuwa huyo unaweza kumwita

Mungu au?"

“hapana siwezi kumwita hivyo maana Mwenyezi Mungu ni mmoja tu hakuzaa na wala hakuzaliwa. Na hakuna chenye kufanana nae"

“basi ndiyo hivyo sisi sio Mungu bali ni viumbe tulioumbwa na yeye tunajipangia tu mambo ila yeye ndio muweza wa yote akitaka kitu kisiwe basi hakiwi"

“sasa hapo ndipo napata picha kama jamaa jogoo wake akipanda mtungi je itakuwaje?"

“hawezi kupanda mbona utaki kuelewa Mkuu kwani vipi?"

“vipi biscuit"

“embu wacha niondoke maana naona unataka kunipanda kichwani bure"

“sio kukupanda kichwani nataka nipate uhakika ole wako Mwajuma azalishwe na Mwanaume mwingine utajuta kunifahamu"

“kwenda zako huko usitake kunitisha wala nini. Hivi mkuu ile jana ulimuona Shemeji Ratifa?"

“What?"

“hiyo What mwishoe utasema Bati nimekuuliza jana ulimuona Ratifa?"

“mmh! Unajua Gogisu leo sikuelewi kabisa sijui unaongea nini? Kwanza unamzungumzia Ratifa yupi?"

“si yule aliyekuwa akikugombea wewe, embu tega sikio nikupe umbea"

Nikaweka sikio vizuri na kumsogelea kiukweli huwezi kuamini kama ukibahatika kuniona Mimi na Gogisu kwanza hatufananii kabisa Gogisu ni kiumbe cha ajabu anatisha vibaya mno

Sema Mimi nilikaa nae na kutaniana nae utasema nacheza na Kuku kumbe huyo ni Jinni hatari sana.

“kama ulikuwa haujui au kutambua ni hivi

Ratifa hakufa Ratifa alichukuliwa na mizimu tu hivi hufikilii hata mazingira ya kifo chake!"

Hapo ndipo nilianza kuvuta kumbukumbu zangu nyuma na kufikilia siku ambayo

Ratifa alidondoka chini na kuanza kutokwa na damu masikioni na mdomoni tena damu yenyewe ilikuwa nyeusii.

“ehee nimekumbuka kila kitu je unaweza kuniambia Ratifa atakuwa wapi kwa sasa?"

“ndiyo mkuu nafahamu alipo ni miaka mingi sana tokea atolewe kule kuzimu na kurudishwa Duniani sasa hivi anaishi maeneo ya Mbagala Kiburugwa akijihusisha na biashara ya umama ntilie kitu kingine kaondolewa kumbukumbu zake zote kuanzia utotoni mpaka siku ambayo

Alipoteza maisha kiukweli hakumbuki chochote"

“sasa unataka kusema anaishi vipi bila kumbukumbu unataka kusema kawa chizi au?"

“kwani wewe ulikuwa ukiishi vipi miaka kumi yote ulipokuwa mcheza filamu za ngono?"

“sawa nimekupata tuachane na hayo,"

“kitu kingine mkuu yule Aliyekutokea jana katika sura ya Ratifa sio yeye ni Bibi"

“Kwanza Nyoko zake kudadeki kanishtua kweli mpaka nikakimbia hovyo"

“tehe!tehe!tehe! Tulikuona kwajinsi ulivyokuwa ukikimbia kufika pale kilimani ukajibamiza kwenye mti ukatulia kimyaa hahahaha,"

Gogisu alicheka mbavu hana kwaajili ya kicheko mwishoe tuliagana.

Nikaingia ndani kulala ndani ya usiku huo sikuweza kupata usingizi kabisa nilikuwa katika

Dimbwi zito la mawazo kumbe Mwajuma anaolewa? Kumbe Ratifa hakufa ni miaka kumi na mbili sasa tokea Ratifa apoteze maisha.

Kama ujuavyo mawazo mengi huchosha usingizi ukanichukuwa

“Hafidhiiii,,,"

“naamu"

“ni mimi bibi yako nimekuja kukuchukuwa na kukurudisha nyumbani"

Nikainuka kutoka kitandani na kukaa kitako ni kweli alikuwa ni bibi katika muonekano wake uleule wa miaka ile nilimuangalia kwa dakika kadhaa kisha nikamuuliza

“umefata nini katika maeneo haya?"

“nimekuja kukuchukuwa baada kupotezana kwa miaka mingi kidogo, embu tamka ile

Lugha ukimalizia na neno Tanzania"

“lugha gani?"

“khaa kumbe umeshaisahau basi wacha nikukumbushe ni hivi

2?????????????????????????????

?????????????????,"

“Whaoo nimeikumbuka si hivi ehee

2?????????????????????????????

????????????????? Tanzania"

Pale pale upepo mkali ukaanza kuvuma na kunichukuwa nilihisi kama vile nipo ndotoni nilisafiri kwa kasi na kujikuta nipo maeneo yenye Mijengo mikubwa mirefuu imeenda hewani

Ulikuwa ni usiku mkubwa sana, nikashindwa kufahamu pale nilipoletwa ni wapi.

Zaidi ya kuona Migolofa

“vipi mbona unashangaa shangaa?"

“Mimi si nilisema niende Tanzania sasa huku tena wapi?"

“si Kariakoo hii au ushaisahau kutokana na wingi wa Nyumba

“haa kumbe hapa ni Kariakoo mbona kumebadirika hivi?"

“ndiyo hivyo

Siku hizi ni karne ya Sayansi na Tekenorajia sasa hivi kuna magari ya mwendo kasi na vitu vingine vingi tu"





-----------------

Tulipoishia

Jana

“vipi mbona unashangaa shangaa?"

“Mimi si nilisema niende Tanzania sasa huku tena wapi?"

“si Kariakoo hii au ushaisahau kutokana na wingi wa Nyumba

“haa kumbe hapa ni Kariakoo mbona kumebadirika hivi?"

“ndiyo hivyo

Siku hizi ni karne ya Sayansi na Tekenorajia sasa hivi kuna magari ya mwendo kasi na vitu vingine vingi tu"

SONGA NAYO

SASA

Nilianza kuona baridi nikajishika mabega kwa kujikumbata nikatulia kwa kulala chini. Sijui nilikuja kushtuka majira ya saa ngapi sema Jua lilikuwa kali kidogo. Nikajiinua na kujinyoosha kisha niliangaza macho chini

Aisee kulikuwa na pilikapilika za Magari mengi huku kukiwa na utitili wa watu wasiokuwa na idadi kutokana na wingi wake.

Nikapiga miayo na kujinyoosha nikaanza kupiga hatua kushuka ngazi kwa mwendo wa kichovu niliweza kufika chini. Nikawa najipangusa macho

“oyaa pisha njiaa pishaa njiaa,"

Nikajikuta napigwa kikumbo na kupepesuka kama sio kuwahi kuegemea moja kati ya Magari yaliyopaki kwenye Soko hilo ninge dondoka chini. Nikajishikiza

“Ms***nge mkubwa mtoto wa Malaya wewe!"

Alitoa zinga la tusi yule jamaa huku akiwa kabeba Gunia sijui la viazi au nini.

Sikutaka kumrudishia nikaondoka taratiibu na kukatiza Stendi ya Kawe nikataka kupanda daladala sema nikasita sababu sikuwa na hata sentano mfukoni.

Nikabaki kushuhudia jinsi watu wakigombea usafiri asubuhi ile.

“vipi mwamba naona unashangaa shangaa tu!"

Nikageuka baada kuisikia sauti ile kisha nikatabasamu baada kufahamu ni Gogisu akiwa katika umbile la kibinadamu yani kijana wa kiarabu.

“tena Afadhari umewahi kuja maana nilishaanza kukasirika"

“sasa ukikasirika au usikasirike sisi inatuhusu nini?"

“nyoko zako embu nipatie pesa nikanywe chai usitake kunitibua Asubuhi yote hii ntakutafuna ohoo!"

“Basi bosi usiwe na hasira twenzetu Mgahawani tukapate kifungua kinywa"

“kwani na wewe unakunywaga chai?"

“maswali ya nini wee twende"

Hatukutaka mjadara tukaongozana mpaka kwenye Mtaa mmoja hivi uitwao Tanda Mti tukaingia kwenye mgahawa na kutafuta sehemu ya kukaa kiukweli nafasi kulikuwa hamna kutokana na wateja kujazana kibao.

Muhudumu akaja kutuletea viti ndipo tukaweza kupata sehemu ya kukaa. Niliagiza chai

ya maziwa Chapati mbili mayai na

Sambusa sita.

Gogisu nae akanigeza mimi kumbe tumeingia humo jamaa pesa hana kudadeki zake

“mkuu wacha nikafanye mchakato wa kupata pesa"

“Gogisu nini???

Nilishtuka na kuuliza mpaka chai ikanipalia na kujikuta nikikohoa

Nae hakunijibu kitu akanyanyuka na kuelekea sehemu ambayo ilikuwa ni kama kaunta hivi

Akapita pale na kuzunguka utasema kaenda kulipia alafu akarudi na kusema

“kila kitu safi"

“ziko wapi?"

“mfukoni mwako"

Nikajipapasa ni kweli nilikuwa na kibunda cha pesa angalia Ushenzi wa Gogisu kakusanya pesa zote yani kuanzia za Wateja mpaka za mmiliki wa Mgahawa shenzi sana huyu jamaa

“Sikia nikwambie kitu wee bwege huwezi kuingia humu yani umekunywa supu na chapati ukashushia Juisi kisha useme eti pesa hauna

Utalipa tu paka shume wee,"

Ilikuwa ni kauli ya Muhudumu akimwambia kijana mmoja hivi Shalobaro kijana wa watu alikuwa akitia huruma akawa anajisachi kila sehemu

“sio hivyo kaka yangu pesa nilikuwa nazo akia Mungu na Mtume nakuapia nimeibiwa tu"

“umeibiwa wapi embu lete hiyo

Simu kudadeki"

Kijana akanyang'anya simu yake kubwa tu.

“Zubeda"

“nini bwana kila wakati kuniita jina langu ujuwe sipendi kutajwatajwa hovyo. Mbona wewe sikuiti

Jina lako"

“sio hivyo shost!"

“kumbe nini?"

“nilikuwa nataka nikuulize kitu kuhusu yule Star wa katika movie ya Sex forest na nyinginezo kama

Fighting Savage Porn kuna ile Sex punch

Embu geuza kichwa chako kisha muangalie yule kaka aliyevaa T-shirt nyeupe na Jinzi rangi ya kaki"

“ohoo Mungu wangu mbona kama ni yeye"

“Zubeda embu punguza mapepe itakuwa kafanania tu maana yule James mmh!

Sijui nisemeje maana nimempenda bure"

“Gogisu"

“naamu mkuu"

“hivi umewasikia wale mabinti wanaongea nini kuhusu mimi?"

“si wanakusifia tu"

“embu acha upuuzi wako unataka kusema nasifiwa kwa upuuzi nilioufanya kule Uganda. Kwani mmeshindwa kuzuia filamu zangu zisiweze kuingia hapa nchini?"

Nilipiga meza ngumi na kuinuka niliongea kwa hasira ajabu nimeongea vingine watu wamesikia vingine.

“toka zako utakuwa ushashiba wewe na istoshe pesa hauna unaanza kuleta visingizio eti

Chapati zina chumvi lipa pesa ya watu au na wewe toa Simu huyoo,"

Nilimuangalia yule mtu aliyekuwa akiongea upumbavu nikamsogelea kwa ukalibu zaidi

“wewe bwage kwanza wee mwenyewe pesa unayo?"

“Unazani mimi napenda vitonga kama wewe subiri nikuhisabie"

Aliongea kwa kujiamini na kutoa Wallet akaifungua asishtuke mchezo akaisachi wallet pamoja na kuikumuta chini akajisachi mifukoni.

Akaangalia chini ya kiti mpaka kwenye meza hamna kitu.

“sasa hapo ndipo utajua kati yangu Mimi na wewe nani mzee wa vitonga. Umeziona pesa hizi!"

Nakwambia jamaa alitamani kulia

Wakati huo huo nilimuona yule Muhudumu wa kule kaunta akiwa anahangaika kutafuta kitu huku akijifuta jasho.

Hakika Gogisu kazua balaa si kidogo.

“Muhudumu ehee embu leta sambusa kumi na vipapatio viwili hapa!"

Licha ya jamaa kupaza sauti lakini yule muhudumu alikuwa kama hajasikia hivyi

Nikavuta kiti na kwenda kukaa kalibu ya wale

Mabinti

“samahani naweza kujumuika nanyi katika meza hii?"

“bila samahani unaweza kukaa tu"

Basi nikaenda kuchukuwa na vitu vyangu kabisa nikamuacha Gogisu akiwa ananiangalia juu chini pasipo kunimaliza.

Nilipokaa tu wale mabinti walikuwa wapo makini sana katika kunitazama.

“Jasmin embu nipatie pochi langu"

Aliongea binti mmoja akapatiwa mkoba wake akaufungua ghafla akashtuka si kidogo

Kiukweli humo ndani kulikuwa na filamu ya kushtuka tu

“khaa! Jasmin mbona pesa zangu sizioni?"

“unasemaje Zubeda?"

“Shilling elfu hamsini zangu hazipo"

“embu subiri niangalie kwenye pochi yangu isijekuwa tumechanganya mizigo

Mtumee mbona na Mimi hamna kitu......





 

 

ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog