Search This Blog

Thursday 24 November 2022

MKE JEURI - 3

 

     

     

     

    Chombezo : Mke Jeuri

    Sehemu Ya Tatu (3)

     



    Kesho yake mida ya saa nne hivi sheby akiwa katika hali yake kimaskini sana,.. Wakati huo ndio wanawasili katika nyumba ya mama mkwe au mama yake na zai,..

    "mungu wangu, sheby ile nyumba yetu imeuzwa, wazazi wangu watakuwa wapi sasa"

    Zaituni aliongea hivyo na wakati huo kashika fimbo yake na miwani kavaa ili kumdanganya mama yake kuwa bafo haoni,...

    "we twende tu"

    Sheby alimwambia zai kuwa wao waende tu,.. Na ukumbuke leo hii ni siku ya Jumapili,.. Sasa ghafla mama zai katika nje, alifurahi sana kumuona mtoto wake, lakini bado hajui kama tayari mtoto anaona.... Sasa mama kujiandaa kumkumbatia mtoto wake lakini ghafla kakwepa, kana kwamba zaituni alikuwa akiona.

    "heeeee we umenionaje kama nakuja"

    Mama aliongea hivyo bila kujua kuwa kumbe zai anaona,..

    "mama, huezi amini nakuona tena mama angu"

    Zaituni alimwambia mama yake hivyo huku akitupa mti na miwani, mama zai haamini kwa kile anachoambiwa na mtoto wake kuwa anaona,..

    "za... Za.. Zai... Zaituni unasema kweli"

    "ndio mama... Sasa hivi naona"

    Mama alilia huku akimkumbatia mtoto wake, kiukweli sheby alimpenda sana zaituni, yaani nyumba ya akina zai imependeza mno

    "mama nani kafanya hivyo"

    Zaituni aliuliza nani kaikarabati nyumba yao,..

    Sasa mama akamwangalia sheby, ila sheby akatikisa kichwa kuwa asiseme kuwa ni yeye,.. Mana mama anajua fika sheby ni kijana mwenye pesa, lakini zai hajui

    "mwanangu, nimeganga ganga sokoni, nikakusanya na vibati vyangu, nimeikarabati mimi"

    "jamani mama.... Pole sana mama angu, nahisi utakuwa umejidhiki sana mpaka kufanya hivyo"

    "usijali mwanagu........ Sasa karibuni ndani jamani"

    Sasa wakiwa wanaingia ndani, ghafla zainabu pacha wake zaituni katokea kwa mbele,...

    "heeeeee ndugu yangu zai... Ulikuwa wapi"

    "toka mbele yangu"

    Zaituni kapita pembeni baada ya kuona zainabu kasimama njiani..

    "heeeeeee mama... Zaituni anaona"

    "nani kakwambia"

    "sasa mbona kaweza kukata kona bila kuelekezwa"

    "kwaio we ulitaka asione... Haya mmwagie tena hio tindikali yako"

    "mamaaaaa.... Lakini si nimeomba msamaha mama angu, ilikuwa ni mambo ya kitoto tu"

    "mambo ya kitoto kumpofua mwenzio"

    Mama na zainabu walikuwa wakichemshana huko nje lakini zaituni na sheby wapo ndani tena kwenye sofa

    "mmmmhhh zai kwenu kuzuri eee"

    Sheby nae alijifanya hajui kuhusu nyumba hio

    "we acha tu mama yangu kajitahidi kweli yani, nampa hongera"

    Basi mama alifika hapo sebuleni na kuongea mengi sana kuhusu zai na sheby...

    "sasa mnatakiwa mfunge ndoa wanangu... Hakuna kitu kizuri kama kupata mtoto mkiwa ndani ya ndoa"

    "ni kweli mama, ila wacha nijipange ndani ya miezi hii miwili mitatu, lazima ndoa itimie"

    Aliongea sheby huku akiwa na aibu ya kumwangalia mama mkwe...

    "mama, hata mimi natamani niolewe hata sasa hivi, sema mchumba wangu bado hajajipanga vizuri"

    Aliongea zaituni huku mama yake akijibu kuwa

    "ni kweli mwanangu za,.. Lakini kumbukeni maisha ni haya haya, kama unataka kuwa tajiri ndio uoe, hutoweza"

    "ni kweli mama"

    "ila zai, nakusihi sana, naomba mpende mchumba wako,.. Huyu kijana sio masiki, huyu kijana sio fukara, lakini huyu kijana ni tajiri wa roho"

    Sheby alipasukwa tumbo, mana alijua mama atasema kuwa yeye ni tajiri,...

    "mama, mimi nampenda sheby wangu, yaani kumuacha we sahau"

    "hata mimi nataka iwe hivyo"

    Mara simu ya sheby inaita, kucheki alikuwa ni baba yake...

    "haloo zee shkamoo"

    "marahaba... We asubuhi subuhi hiii umekwenda wapi wewe"

    "aahhh nimetoka kidogo nipo mazoezini"

    "mazoezi gani ya saa hizi saa sita hii"

    "nipo njiani narudi"

    "hebu fanya haraka uje kuna mahari twende"

    "sawa mzee nakuja"

    Simu ilikata kisha kijana huyo akawa anaaga kuondoka...

    "mama naomba tukuage"

    "sawa baba... Ila naomba huu mwezi usiishe muoane baba... Maisha ni haya haya sio mpaka upate pesa ndio uoe"

    "sawa mama yangu, nimekuelewa"

    Sasa sheby ile anataka kutoka tu,.. Zaituni kamuita

    "baby... Naomba tuongee kidogo"

    Walitoka nje na kuanza kuongea

    "mume wangu... Naomba ruksa toka kwako"

    "ruksa gani tena"

    "nina hamu na mama yangu"

    "kwahio inataka kubaki"

    "ndio mume wangu"

    "haina shida,... Ila ukumbuke una kwako ujue"

    "au basi twende tu"

    "no, no,... We ondoa hamu na mama kwanza sawa"

    "sawa, ahsante mume wangu.. Narudi kesho"

    "sawa haina shida"



    Sasa tukija huku nyumbani kwa akina sheby

    "huyu mtoto akioa ndio atatulia"

    Aliongea baba yake sheby huku akitamani hata kijana wake aoe leo

    "lakini baba sheby, yule mschana ni mkubwa yule... Ni mzazi mwenzangu yule"

    "wewe mama sheby, kwanini unamkuza mtoto wa mwenzio kiasi hiki"

    "kiukweli ni basi lakini sijapenda mwanangu aoe pale"

    "mtoto kakuwa huyu, na nyumba yake imeshaisha ni yeye kuoa na kuhamia tu"

    Aliongea mzee rshidi huku wakiwa wamevaa vizuri sijui walikuwa wanakwenda wapi,..

    Ghafla sheby anaingia ndani huku akiwa kavaa kawaida tu..

    "wewe umetoka wapi mchana wote huu"

    "mzee kwani leo kuna kazi... Mimi nitakaaje ndani mzee nimekuwa godoro"

    "umeona majibu ya mtoto wako.. Unayaona sasa... Mi nakuambia keshakuwa huyu, aoe aende kwake"

    "baba sheby kuwa mpole basi"

    "hebu ajiandae twende"

    Sasa sheby anashangaa ajiandae waende wapi,...

    "mzee, tunakwenda wapi"

    "jiandae twende utajua mbele tu"

    Sheby aliingia chumbani kwake na kuoga haraka haraka,.. Dakika chache keshamaliza kuvaa, mzee kawasha gari kisha haooo, sheby hajui wanakwenda wapi,... Safari yao iliwachukuwa nusu saa nzima, walifika katika nyumba moja ya kitajiri, wakafunguliwa geti na kuingia ndani,..

    "aaahhhhhh mr rashidi, habari yako bwana"

    "swalama tu, hali yako mr Mohamed"

    "swalama kabisa...... Aahhhh Mrs Rashidy hali zenu jamani"

    "aahh tunamshukuru mungu siku zinakwenda"

    "vipi mbona simuoni kijana wako"

    "yumo ndani humo...... We Sharbiny hebu shuka basi baba"

    Mzee rashidi alimwita mtoto wake kwa heshima ya hali ya juu,.. Sheby alishuka na kutoa salamu kwa wote,. Wakati huo walikuwa wanaingia ndani.. Walipofika ndani waliongea mengi sana, lakini ilifikia hatua mke wa mzee Muhammad anamwita mtoto wake..

    "mwanaheri,.."

    Mama alimwita mtoto wake kwa heshima

    "abeee mama"

    "njooo mwanangu"

    Mwanaheri alikuja huku akiwa kajitanda mtandio mkubwa, tena alikuwa kavalia kihindi sio kihindi,.. Na huyo mwanaheri sio haba, ni bonge la dada haswa,..

    "mwanangu mwana.... Huyu ndio yule kijana tuliokuambia jana, anataka kukuoa"

    Sasa sheby kashtuka kwa kuskia hivyo,... Lakini ghafla baba yake sheby nae akasema kuwa...

    "mwanangu sheby,... Huyu ndio yule mschana tuliokuchagulia mwanangu, ana heshima nzuri kama unavyoona..... Jamani tupigeni vigelegele kwa furaha ya watoto wetu"

    Sasa ile watu wanajiandaa kupiga vigelegele, ghafla mama sheby kastopisha vigelegele vyao

    "Eehh eehhh hebu tulieni kwanza.. Naomba kwanza kuuliza umri wa huyu mtoto wa kike, kisha muendelee na hizo kelele zenu"









    Kila mtu alishangaa kwa kuskia sauti ya mama sheby ikisema, baada ya kujua umri wa mschana huyo, basi waendelee na kelele zao.....

    Unajua hakuna raha ya ndoa katika maisha kama wanandoa wote mtakuwa mmeridhiana, ndoa yenye furaha ni ile ya kupendana wenyewe na sii kuchaguliana wake au waume, mama sheby aliona mbali sana kuhusiana na mtoto wake sheby kuoa kwa kuchaguliwa mwanamke,..

    "mama sheby, mtoto wetu keshakuwa sasa, kwanini ahangaike mwishowe tutakuja kumpoteza kwenye mijumba ya starehe huko"

    Aliongea baba yake sheby, mana ile kauli ya mkewe ilimfanya ajue kuwa mkewe hajaridhika na jambo hilo,

    "nataka kujua umri wa huyu mtoto wa kike"

    Alirudia tena mama sheby

    "ok, mtoto wangu ana miaka... "

    Sasa aliokuwa anataka kuongea ni mama wa mschana, lakini baba wa mschana akamkatisha mkewe ili aseme yeye

    "ana miaka 21 huyu"

    Baba mwai au baba mwana aliongea hivyo huku wakicheka na baba yake sheby,..

    "hapana mimi siamini... Kwasababu mimi namzaa mwanangu wa kwanza ambae ni Rehema, huyu mtoto wenu alikuwa mkubwa tu, yaani hata halingani na mtoto wangu wa kwanza"

    Sasa baba sheby akaona mambo yataharibika hapo, ikabidi amchukue mke wake mpaka nje ili aongee nae..

    Waliongea mambo mengi sana lakini sisi hatujasikia maongezi hayo

    "lakini baba sheby tutamtesa mtoto wetu lakini"

    "mama sheby....... "



    Baada ya dakika kadhaa hivi walirudi lakini mama sheby alionekana kutoridhika na hali hio lakini alikubali, sasa sijui kaambiwa nini na mume wake, lakini kakubali sheby aoe, na sheby nae hana ujanja mana ni wazazi wake hawezi kuwakatalia, japo ana mchumba wake ambae ni zaituni,

    "kilichobaki ni kupanga siku ya harusi yao"

    Aliongea baba yake mwai au mwana au mwanaheri,...

    "aahhh sio mbaya kama itakuwa Jumapili"

    Alijibu baba yake sheby huku wakipeana mikono ile ya kiutu uzima, ila mzee Mohamed alikua akitoa shukrani nyingi sana kwa jambo hilo kufikia wakati wake...

    Sasa kwa sheby na mwai, wakati huo wazee wanaagana sheby akamfunua mtandio huyo mchumba aliochaguliwa na wazazi wake,.. Kweli sii haba, yaani sema ni kuzidiwa kiumri tu, lakini mwai alikuwa ni mzuri wa kila kiungo, na hata umbo lake lilikuwa kubwa kiasi, kifua alijaaliwa mshalah, sasa kijana alivyomfunua ule mtandio akawa anamkagua sana tu, kisha akampa mkono kwa kumsalimia, mana haina jinsi na ili usioe basi cha kwanza uwakane wazazi wako na cha pili uhame na usijuane na wazazi wako, kitu ambacho hakipo...

    "mambo"

    "safi tu"

    Mwai aliitikia ile kiaibu aibu, lakini huezi amini sheby alikuwa ana hasira ya ndani kwa ndani iliokuwa ikimla taratibu, yaani haamini kama anachaguliwa mke,..



    Sasa wakiwa katika gari lao wanarudi nyumbani,...

    "lakini mzee mbona mnanifanyia hivi lakini"

    Aliongea sheby huku akilia kabisa

    "nini tena... Wewe umeshakuwa sasa uoe utulie"

    "sikatai kuoa baba... Lakini kwanini mnichagulie mke, jitu nene lile hamlioni"

    Wakati huo mama sheby katulia tu hana usemi, mana tayari nae kesha shawishiwa na mume wake,..

    "mwanangu, acha kunitia aibu kiasi hicho, wewe ni mwanaume bwana"

    Sheby hakuwa na ujanja zaidi ya kukubali kuoa



    Baada ya siku hio kuoita na leo ni siku nyingine tena ikiwa ni siku ya Jumatatu mida ya saa nne hivi,.. Mary na rose wakiwa kazini

    "heeeee mary ibi umeipata hio"

    Aliongea rose huku akipanga panga mafile yake vizuri

    "nini tena"

    "mwai ndani ya ndoa keshokutwa tu"

    Kwa mshangao mary kajikuta kaamka kwenye kiti

    "weeeeee mwai huyu huyu shost wwtu au kuna mwai mwingine"

    "huyu huyu shost yetu"

    "eeeeehhhh maajabu haya, mana mwai hapendi kuolewa sijui imekuwaje kwakweli... Enheee harusi ni lini"

    "Jumapili ijayo"

    "nitaikosaje hioooo, ni kitu kisichowezekana kabisa"

    "nakwambia naskia anaolewa na kijana mdogo mdogo"

    "weweeeeeee acha utani"

    "ndio"

    "au ndivyo alivyokuwa akitaka nini"

    "labda"







    Akina rose na mary walikuwa wakimwongelea rafiki yao mkubwa ambae ni mwai, afu hawajui nani anamuoa mwai....

    "dada rose... Natamani ingelikuwa mimi na boss sheby"

    Aliongea mary bila kujua sheby huyo huyo ndio anaemuoa rafiki yake,

    "tatizo lako una haraka sana, kila kitu ni taratibu tu"

    "sawa nimekuelewa jamani"

    Wakati huo kijana sheby yupo ofisini kwake akiwa na mawzo mengi sana juu ya zaituni, atamuambia nini na wamesha ahidiana ndoa yeye na zai, na mbaya zaidi hata mama yake zai anajua kabisa ni siku chache tu ndoa ifungwe baina ya sheby na zaituni,...

    "ngo, ngo, ngo"

    Ilikuwa ni sauti ya mlango uliokuwa ukigongwa katika ofisi ya kijana huyo

    "karibu"

    Aliingia rose huku akiwa kashika baadhi ya mafaili flan hivi..

    "boss kuna kazi hapa"

    "Samahani, naomba umpelekee mzee"

    Aliongea kijana sheby kuwa hatoweza kuifanya, bali ampelekee mzee wake...

    "lakini boss... "

    "Rose??..."

    "abeee boss"

    "niliongea Kingereza au Kiswahili"

    "ok sorry boss"

    Rose aligeuka na mafaili yake mpaka kwa mzee

    "boss... Kuna document za kutia saini hapa"

    "sheby kashindwa"

    "aahhh kiukweli hayupo vizuri na ndio mana kasema nilete huku kwako"

    "ok ziache hapo nitazifanyia kazi"

    Mzee alinyanyuka kwenda ofisini kwa mtoto wake, lakini huku ofisini kwa akina rose

    "mary"

    "abeee"

    "mpenzi wako anaumwa"

    "Unasemaje wewe"

    "nahisi kitu kama hicho, nimemkuta ana mawazo mwanzo mwisho"

    Mary kweli alimpenda sheby, yqani alijikuta tu anakurupuka na kwenda ofisini kwa kijana huyo... Lakini huku nyuma rose akajisemea kuwa

    "wacha akakutane na boss mkubwa huko mana kazidi kiherehere sana"

    Rose ameshaanza kumchukia mwenzake kisa ni mapenzi tu, yqani kitendo cha mary kumpenda sheby imekuwa tabu kwa rose,.. Sasa mary ile kufika tu na kufungua mlango, aliongea neno moja tu

    "boss..... "

    Aliongea mary baada ya kuingia ndani, lakini alishindwa kuendelea kwasababu alimkuta mzee rashidi kakaa na mtoto wake,..

    "sema kuna shida"

    "hapana boss... Samahani kwa hilo"

    Mary alitoka lakini alijiskia vibaya sana, na yote hayo ni kwasababu ya upendo tu, yaani anampenda kuoita maelezo sema aibu ndio inayomsumbua...

    "wee dada rose una dhambi wewe"

    "nini kwani"

    "kwanini uniambie boss anaumwa afu kumbe haumwi"

    "heeeeee boss hana hali nzuri"

    "mbona nimemkuta na baba yake"

    "labda alienda sasa hivi lakini mimi nilimkuta peke yake"

    "ok tuyaache hayo tuendelee na kazi"



    Huku kwa sheby na baba yake wakiwa, mzee alikuwa na wasiwasi na mtoto wake

    "nini shida baba"

    Aliongea mzee rashidi huku akimuangalia mtoto wake, lakini sasa hata mzee rashidi hakupenda mtoto wake aoe yule mwanamke, sasa sijui sababu ya kuoa pale imetokea wapi na wakati hata baba pia roho yake inamuuma.... Tutajua mbele kwanini mzew huyo hapendi mtoto wake amuoe yule bint, na wakati yeye ndio kashinikiza waowane...

    "mzee, Samahani lakini... Ivi hata mama angu pia mlichaguliwa"

    Aliongea sheby huku akitamani hata kulia

    "hapana.. Ila ninachokuomba wewe kubali tu, ila utanielewa nilikuwa nina maana gani"

    "yaani Nikubali kuoa mtu ambae sijampenda.. Aiseew mzee unanifanyia nini mwanao"

    Huezi amini mzee mwenyewe ikabidi aondoke mana ni kweli huu sio wakati wa kuchaguliana wake au waume...



    Tukija huku nyumbani kwa akina zaituni, tunamwona Zainabu kaketi chini ya mti na rafiki yake neema,

    "haya ndugu yako kaona tena, vipi utampofua tena"

    Aliongea neema kwa kumuuliza Zainabu,

    "huo ujinga siwezi kuufanya tena, coz nilijuta sana kwa kile nilichokifanya mwaka ule,.. Yaani sina hata hilo wazo, mana kwa sasa kama unavyonijua nimeshakuwa malaya wa kutupwa, hakuna mwanaume yeyote yule atakaesubutu kunioa.. Hivyo sina haja ya kugombania wanaume"

    "lakini mpenzi aliompata sasa hivi wala hana hela kama wale wa mwanzo"

    Aliongea neema na kumfanya Zainabu kushtuka

    "weeeeeeee, tena sasa hivi ndio kapata tajiri haswa.. Yaani yule mkaka ana pesa"

    Sasa kumbe zaituni alikuwa akizisikia zile story.. Mana dirisha lilikuwa wazi, na yeye alikuwa chumbani kwake...

    "mmmmhhhh mwanaume yenyewe hata nguo hajui kuvaa yule, yaani katika hasara ya wanaume aliowapata ndugu yako, huyu ni hasara"

    "neema wewe hujui... Yule mwanaume mimi ndio mtu wa kwanza kukutana nae"

    "ulikutana nae wapi wewe"

    "nilikutana nae supamaketi akiwa na mdogo wake wa kiume,... Gari wanayotumia ni gari ya pesa haswa"

    "we Zainabu muongo mmmhhh sikuezi"

    Sasa zaituni ndio kwanza anatega skio vizuri...

    "sasa sikia... Unaiona hii nyumba yetu"

    "ndio"

    "yeye ndio kainunua, na yeye ndio kaikarabati upyaaa"

    Sasa huku ndani zaituni ndio anafungukwa na masikio, kumbe mpenzi wake ni tajiri kiasi hicho afu anaishi kwenye kibanda kina matundu kila kona..

    Zaituni bila kuchelewa alimfuata mama yake na kumuuliza

    "mama, ina maana kukosa kwangu kuona ndio hata ukweli hutaki kuniambia"

    "una nini zai mwanangu, kwani mimi nimekudanganyia nini"

    "nani kununua hii nyumba.. Na kama ni huyu mchumba wangu mbona ni muuza viazi, au ni jambazi afu mnanificha, kwahio mnataka niolewe na jambazi si ndio mama"







    Katika maisha ya hapa duniani, kuna viungo ukivikosa basi wengine husema bora ufe tu, japo wengine hutamani kuishi, wakati zai akiwa kipofu alikuwa haoni vitu vingi vizuri na vibaya, alikuwa akisikia tu lakini kukiona kwake ni ngumu, uhusiano wake wa yeye na sheby ulianza kipindi akiwa kipofu, hivyo hajui sheby ana kazi gani, lakini kwa kuelezewa aliweza kujua kuwa sheby ni muuza viazi, na hata alipokuja kupona pia alimwona kweli sheby ni muuza viazi, lakini alishangaa sana kumsikia ndugu yake Zainabu akisema kuwa kijana alienae kwa sasa ni tajiri kuliko hata wale waliopita,... Sasa zaituni baada ya kusikia hivyo, ikabidi amfuate mama yake na kumuuliza kama ifuatavyo

    "nani kununua hii nyumba.. Na kama ni huyu mchumba wangu mbona ni muuza viazi, au ni jambazi afu mnanificha, kwahio mnataka niolewe na jambazi si ndio mama"



    Aliongea zai huku akiwa mkali kwa mama yake, mana haelewi chochote kinachoendelea kuhusu kijana huyo

    "zai mwanangu, nani kakuambia ujinga"

    "si nimewasikia akina zai wanaongea huko nje"

    "we kweli akili huna wewe, yaani unatekwa kiakili na Zainabu, huyo zai kamjulia wapi huyu kijana kama sio uongo, unatekwa kiakili wewe tulia na mchumba wako ndoa sio kitu cha mchezo mchezo"

    Sasa zaituni akafikiria kweli toka akiwa kipofu alisikia kazi ya huyu mtu, mpaka leo anaona na anamuona anauza viazi kwa mkokoteni tena anatembeza mtaani, sasa kwanini adanganyike kuwa ana hela,... Zaituni aliona kweli huo ni ujinga.. Ila kitu anachokililia zai ni kwamba, kama sheby ana hela sasa kwanini anaishi kwenye kile kibanda,.. Basi zaituni alitulia lakini mama anajua ukweli wote kuwa sheby yu hali gani,..



    Mida ya jioni huku kwa sheby akiwa ndio anatoka kazini lakini hana hata raha yaani toka lile swala litokee basi amekuwa mtu wa mawazo tuuu mwanzo mwisho,.. Alipanda gari yake na kutaka kuondoka lakini rose alimsimamisha

    "Samahani boss, naomba utuache pale kona"

    "sawa pandeni"

    Rose alikimbilia kukaa mbele, na ile nafasi ya kukaa mbele mary alikuwa anaitamani kuliko maelezo, lakini kwa bahati mbaya kawahiwa na rose, maskini mary ni mpole na vitu vyake havina haraka,.. Basi safari ilianza lakini sasa mary alijikuta anafuraha kwa nafasi ya kukaa nyima, mana alikuwa ana nafasi nzuri ya kuongea na sheby hata kwa macho tu,.. Kwahio rose akajikuta kumbe mbele kakimbilia bure tu lakini siti ya nyuma ndio ilikuwa ishu... Sasa mary akawa anamuona sheby kupitia kile kioo cha pele mbele ya dereva, kile ambacho dereva anaweza kumuona abiria wa nyuma,.. Sheby akipiga jicho anakutana na macho makubwa ya mary, kijana anarudisha macho kwa aibu,... Mary akaona bora ampe pole mana alikuwa anaumwa,... Unacheki sasa mambo yanavyonoga yaani rose kabugi step,.. Mary aliandika ujumbe flani kwenye karatasi kisha ile karatasi akaibandika kwenye paji la uso wake,... Sheby kucheki kioo akakutana na ujumbe kwenye maji la uso wa mary..

    "niliskia unaumwa na ndio mana nilikuja mbio pale ndani... Pole sana boss"

    Sheby alikisoma kisha akashusha macho chini kana kwamba tayari keshakisoma

    "ahsante"

    Aliongea sheby huku kaangalia mbele mana yeye ndio dereva mwenyewe, sasa rose akashangaa mbona boss kasema asante na hakuna mtu aliokuwa anaongea nae, rose akiangalia simu ya boss wake, wala haikuwa ikiita wala nini, lakini kasema Ahsante... Rose akamwangalia mary, akamkuta mary kanyamaza kimyaa kama vile hajui kitu, na wakati huo karatasi keshaitoa kwenye paji lake la uso,. Hivyo kakakuka kau....

    Rose hakutaka kuendelea kudadisi sana kwanini boss wake kasema Ahsante,...

    Mary kaandika karatasi nyingine na kuiweka katika paji la uso, kisha kijana huyo akaisoma

    "boss napenda ufurahi muda wote"

    Sheby alisoma ujumbe huo kisha akasema

    "sawa usijali, ni mawazo madogo madogo tu wala hakuna shida"

    Na Wakati huo sheby anaongea sio kuwa anamwangalia mtu, hapana bali macho yake mbele huku anaongea, mana aligundua kuwa mary hakua akihitaji mtu ajue, hivyo hata sheby alikuwa akijibu na mtu hajui anamjibu nani...

    "boss unaongea na nani"

    Rose kavunja ukimya baada ya kuzidi kumsikia boss wake anabwatuka tu, bila kujua mary ndio chanzo,... Rose akimwangalia mary anamkuta kakaa kimya katulia tulii kama vile hajui..

    "we acha tu rose, ni mawazo tu yananiandama"

    Aliongea sheby huku wakikaribia nyumbani kwao kwa akina rose...

    "mmmhhh pole sana boss"

    "ahsante"

    Sheby anasimamisha gari na kuwashusha abiria wake,..

    "Ahsante boss... Mungu akubariki boss wetu"

    Kila mtu alitoa shukrani zake za dhati kwa kijana huyo aliokuwa mpole wa ajabu...

    Sheby aliondoka zake na kupotelea huko... Wakati huku wakina rose wanaulizana

    "we mary, ivi ulimsikia boss kwa makini"

    "ndio, hata sijui kapatwa na nini maskini ya mungu"

    "mmmhhh boss ana shida, tena sio ndogo, yaani mpaka anaongea mwenyewe"

    "we acha tu rose"

    Mary nae alijifanya hajui chochote kilichokuwa kikiendelea, kumbe yeye ndio sababu ya boss kubwatuka kwa ujanja aliokuwa nao...







     





    Basi siku zilizidi kwenda na leo ni siku ya Jumamosi, hata kijana sheby hakwenda kazini, karibia familia yote haikwenda kazini kwasababu kuna maandalizi ya harusi ya mtoto wake, haswa mzee ndio alikuwa bize sana, harusi ilioandaliwa kitajiri sana, mana inakwenda kufanyika katika mijumba ya kifahari huko mjini,.. Shamra shamra zilikuwa nyingi mno, wakati huo kijana sheby yupo ndani katulia tuliii anasubiri kinachoendelea



    Siku hio ilikwisha na leo ni siku ya Jumapili ambayo ndio siku ya kufunga ndoa kwa kijana sheby,.. Wakati huku kwa akina mary waliokuwa wakijiandaa kwa ajili ya harusi ya rafiki yao mpendwa mwanadada mwai, tena walikuwa wana furaha sana kwa rafiki yao kupata mume, lakini sasa mary na rose hawajui kwamba mume wa mwai ndio huyo huyo boss wao,.. Walikuwa wameshonesha sale zao wao wawili kwa jinsi wanavyopendana ila kwenye mapenzi ndio chuki huanzia hapo, lakini kwa kupendana kawaida, sio haba upendo wanao..

    "nakwambia mary nina hamu ya kumwona huyo mume wake mana alisema sintokaa kuolewa na janaume la ajabu ajabu, sasa nataka nimjue huyo janaume lenyewe"

    "mimi pia nina hamu ya kumuona we acha tu"

    Walikuwa wakiongea hivyo huku wakiendelea kujiandaa....





    Huku kwa kijana sheby akiwa yupo na baba yake ndani

    "sheby mwanangu... Nakuomba sana usije ukanieibisha"

    "nikuaibishe na nini tena"

    Aliongea sheby kuonyesha sura ya kupenda jambo hilo lakini linamla ndani kwa ndani,..

    "hutakiwi kugombana na huyo mwanamke, mpe matumizi yote, akikukosea njoo twende kwa wazazi wake lakini sio kumpiga mtoto wa watu, kuwa makini sana na ndoa yako"

    Sasa sheby anashangaa mbona baba yake anamwambia vitu kama hivyo kwanini, yaani mwanamke hata akimkosea amuache,.. Ghafla mama yake katokea

    "mama... Mama"

    "abee baba"

    "mbona baba simuelewi"

    "kwanini"

    "nasema huyo mwanamke hapigwi"

    "ni kweli mwanangu, huyo mwanamke ni mgonjwa, anaanguka kifafa, ukimgusa kwa ngumi umeuwa baba... Huna budi kumuacha"

    "sasa mke wa aina hio ni wa nini mimi"

    "baba yako ndio kuniambia nije kukwambia"

    "mungu wangu, kwahio hata akinitukana nimuache"

    "njooo unipe taarifa"



    Sasa tukija huku kwa akina zaituni akiwa katulia katika kibanda chake, tena kwa sasa ana kasimu chake,.. Maskini zaituni alikuwa akila viazi vya kuchemsha mana ndio kazi ya mchumba wake atafanyeje,... Ghafla anaingia shadya FUNDI CHEREHANI

    "mambo zai"

    "safi tu shadi, karibu tule"

    "mmnhhh Ahsante"

    Lakini kwa muonekano wa shadya alikuwa kang'aa sana, alafu mkononi kashika pesa nyingi sana sasa sijui kazipata wapi...

    "heeeeeeee shadi umependeza"

    Aliongea zai huku akimuonea wivu mwenzie

    "yes, ni mambo ya kujiachia tu.. Nitajibana mpaka lini na wakati najitambua"

    Shadya kumbe hakuwa mschana mzuri, kumbe alivaa ngozi ya kondoo na wakati kumbe ni chui,.. Huezi amini kumbe shadya ni mschana anaejiuza, na kutudanganya ni fundi cherehani kumbe ni malaya,.. Kwani hata nguo alioivaa ilikuwa ni fupi na hata yeye mwenyewe alikuwa akiivuta vuta ili isiwe fupi sana...

    "kujiachia Kivipi tena"

    "mi nakushangaa unakaa na kijidume kichaafu hakina mbele wala nyuma, pesa ya kuendea kule india yenyewe kakopa sasa hivi anadaiwa weeee, utakufa njaaa"

    "lakini shadi mbona sikuelewi shost"

    "ona pesa hizi hapa"

    "Haaaaaaaaaaaaaaa umetoa wapi pesa zote hizo"

    "una sura, una umbo zuri.. Una kila kitu kwanini usipate pesa mtoto wa kike"

    Huezi amini shadi kaanza kumharibu mdada wa watu, maskini zai anatamani mavazi aliovaa shadi, anatamani pesa alizonazo shadi

    "nitapate sasa"

    "sikia... Kuna kijidume kinakuoenda kina pesa chafu.. Vipi sema nikupeleke"

    "mmhhhhh lakini shadi"

    "lakini nini acha ujinga... Mimi nawagereshea tu hapa lakini nina nyumba yangu mjini"

    Mara ghafla simu ya shadi ikaita, sijui nani aliokuwa akipiga

    "enheee tena mwanaume mwenyewe huyu hapa anapiga... Sema nimuambieje sasa kuhusu wewe"

    Zaituni alianza kujing'ata ng'ata vidole huku akiziangalia zile pesa za shadi....











    Kweli wahenga walisema mtu mpole ndio mbaya kuliko mcharuko, huezi kuamini shadi yule mpole sana huku akijifanya ni mshona nguo, kumbe ni mschana wa kujiuza,.. Na huwezi amini anataka kumwambukiza na zaitini wa watu,

    Maisha wanayoishi ni maisha magumu sana hivyo kushawishiana ni rahisi sana tena pale unapoona ushawishi unakuja na pesa juu lazima ukubali

    Sasa wakiwa wanazidi kuongea mara simu ya shadi ukaita, kuangalia jina hakutaka kusema ila alimwambia zai kuwa

    "enheee tena mwanaume mwenyewe huyu hapa anapiga... Sema nimuambieje sasa kuhusu wewe"

    Zaituni alianza kujing'ata ng'ata vidole huku akiziangalia zile pesa za shadi,

    "mmmhhh shadi hapana, hapana... Siwezi kufanya hivyo, nampenda sana sheby siwezi.. Kama ni pesa wacha nizikose tu"

    Aliongea zaituni huku akiingia zake ndani na kumwacha shadi akiongea na simu,... Na hata hivyo hatukujua aliokuwa akiongea nae,



    Sasa tukija huku kwa akina rose wakiwa wana furaha sana ya kwenda kwenye harusi ya rafiki yao mwai,.. Kwa furaha kubwa walishonesha sale zao,...

    "nakwambia mary mi nataka nikamwone tu huyo mpenzi wake, mana alisema hataki wazee"

    Aliongea rose huku wakiendelea kujipara vipodozi vyao katika kioo...



    Sasa tukija huku kwa baba yake sheby akiwa kaketi sebuleni, ghafla simu yake inaita, kuangalia jina alikuwa ni mr sadiki, mfanyabiashara mwenzake ndio aliompigia

    "haloo mr sadiki vipi"

    "safi tu mr rashidi... Sasa bwana ile kazi yangu vipi"

    "oooohhhhh unajua bado sijaiandikia kabisa, ila natarajia kuiandikia kesho"

    "ayaaaaaaaa mr rashidiiii... Nilikwambia leo ndio naonfoka naenda Sweden, na siwezi kuondoka bila Documents husika za kazi ile"

    "aaahhhhh sasa tufanyeje mr sadiki"

    "hebu fanya fanya hata leo... Nisaidie bwana"

    Mzee sadiki alikuwa na haraka na kazi zake, mana kuchelewa kwa documents hizo kutasababisha asisafiri,

    "unajua leo nina harusi ya mtoto wangu"

    "kwani huna wafanyakazi mr Rashidy... Hebu nisaidie niondoke leo hiii"



    Muda wa mabwana harusi kutoka ulikuwa unakaribia, wakati huo akina mary na rose wako nje ya nyumba yao wakiita tax ili waweze kupelekwa harusini, lakini wahenga walisema mpania maji hua hayanywi, na akiyanywa basi hua sio mengi kama alivyopania,...  Simu ya rose iliita

    "heeeeeee boss"

    Aliongea Rose huku wakishtuka kwa kuiona simu ya boss wao,... Rose aliipokea simu hio na kuongea kwa heshima

    "halooo boss"

    "rose,.. Samahanini watoto wangu, naombeni kuna kazi mkaifanye kule ofisini, naombeni sana wanangu, nawatumia pesa ya siku ya leo.. Kila mmoja atapata elfu 50 kwa kuifanya hio kazi..."

    Akina rose walikasirika sana lakini waliposikia kuna posho ya elfu 50 mbali na mshahara.... Walifurahi

    "ni kazi gani boss"

    "ile ya mr sadiki, anataka kwenda Sweden leo jioni sasa kazi zake bado hazijaguswa"

    "sawa boss... Tunakwenda"

    "sawa, nawatumieni laki moja sasa hivi"

    Mzee huyo alizamiria kuwalipa akina rose,..

    Basi simu ilikata na safari ya kwenda harusini ikafia hapo...

    "mary, chagua moja uende harusini au ule elfu 50...kama hutaki wacha nile laki moja peke yangu"

    "nyoooooo, ulifikiri nimekuja mjini kuzungusha sketi hapa? Twende kazini woteee, kwani harusi kitu gani bwana"

    Aliongea mary huku gari ikielekea kazini,.. Na siku hio haikuwa siku ya kazi, licha ya kuwa kuna harusi lakini pia haikuwa siku ya kazi...



    Sasa huku kwenye harusi ikiwa imepamba moto, yaani hakusemeki ni full shangwe katika hoteli ya kitajiri jijini hapo,.. Yaani hoteli ya maana haswa tena inalipiwa kwa lisaa, ulishawahi kulipa hoteli kwa lisaa... Sasa hio inalipiwa kwa lisaa shilingi laki mija kwa lisaa limoja,.. Wakati huo mama sheby kaketi katika vile viti vya watu maalum (VIP) kiufupi wazazi wote wamekaa viti maalum



    Muda nao ulisogea na sasa ni wakati wa kuvishana pete baina ya mwai na kijana sheby,.... Kwa shinikizo la wazazi ndoa ikawa imefungwa lakini kati yao hakuna aliompenda mwenzie,

    "kwa sisi wazazi tunashukuru sana watoto wetu kufunga ndoa"

    Waalikwa walipiga vigelegele huku wengine wakisema kuwa wanandoa hao hawaendani kabisa hata kiumri,

    "Namshukuru sana mwanangu mwanaheri kwa kupata mume,.. Kiukweli kapata kijana hensamu, mchapa kazi, mcheshi.. Kiukweli nashukuru sana"

    Aliongea mama yake mwai huku akimpa mama sheby maiki nae atoe sifa zake, lakini baba sheby akajua mke wake ni mtu wa kuropoka hua hafichi kitu...

    "mke wangu kuwa mpole"

    Alimwambia mkewe kwa sauti ya chini chini

    Mama sheby alikasirika sana kitendo cha mtoto wake kuoa jitu zima mtu mwenye umri mkubwa hata mtoto wake wa kwanza hawalingani kabisaa..

    "hata mimi nina furaha kwa mwanangu sheby kupata jiko,.. Mimi na mume wangu tumewazawadia nyumba ya kifahari ilio mpya.. Tunawaombea katika ndoa yao na maisha mazuri"

    Aliongea mama yake sheby huku akitoa hatimiliki ya jumba hilo la kifahari, ambalo ndio wataishi sheby na mke wake mwai...



    BAADA YA MIEZI MITATU KUOITA







     





    Siku, wiki, miezi kadhaa ilipita na leo ni siku nyingine kijana sheby akiwa ofisini kwake, lakini mawazo ni yale yale, hakuwa na raha kabisa...

    "boss kuna kazi hiii hapa ya mr kifesi"

    Alikuwa ni mary akiwa kaleta kazi fulani ambayo ilistahiki aifanye kijana huyo,.. Sheby akiwa katika mawazo mengi sana hata kazi zilikuwa haziwezi.... Na wakati huo muda wa kutoka kazini ulishafika lakini sheby yeye hatamani hata kurudi nyumbani, japokuwa ana mke lakini bado hana raha,... Wafanyakazi wote waliondoka baada ya saa 11 kamili kufika, sheby alibaki ofisini akiwa mpole sana...

    "rose, unajua boss tumemwacha ndani"

    "weeeeee ina maana bafo hajatoka"

    "ndio, gari yake si ile pale"

    "mungu wangu weee, amina atakuwa keshafunga mlango"

    "lakini boss ana ufunguo"

    "aaahhh basi kama anao.... Lakini mary, boss mdogo kapatwa na nini"

    "mi ata sijui"

    "mana ni muda sasa, hana raha kama mwanzo"

    "mi nakwambia kama ndio tungelikuja kuomba kazi kipindi hiki, ingekula kwetu"

    "kweli.. Mana asingetuelewa"

    "mungu amlinde tu, mana anakosa raha"

    Unajua hata akina rose hawajui kama sheby kaoa, yaani harusi ilikuwa ni kubwa kila mtu anaju lakini hawa wawili hawajui, ila wafanyakazi wengine wanalijua hilo kasoro hawa, mana siku ile ndoa inafungwa rose na mary waliingia kazini, na hata ile siku waliotaka kwenda kwenye harusi sio kuwa walitaka kwenda kwasababu ya sheby, Hapana bali walitaka kwenda kwasababu ya rafiki yao mwai, na pia hawajui kama huyo huyo mwai ndio kaolewa na sheby, unaona kamchezo hako...



    Wakati huo mke wa mtu, mwanadada mwai, akiwa ndani ya gari yake kuelekea kwa marafiki zake ambao ni akina rose.... Gari anayotembelea ni gari ya maana tena mpyaaaaaaaaa

    Ana nyodo mwanzo mwisho, na vile uso wake ni mpana heeeee kweli hapo sheby ana kazi ya ziada... Basi mwai kafika katoka boma la akina rose walipopangisha akachukuwa simu yake na kuanza kuwapigia, lakini kabla haijapokelewa ghafla akina rose haoooo

    "waoooooo jamani mwai, umekuja saa ngapi hapa"

    "heeeeeee siku hizi mnapendezaje"

    Aliongea mwai mana kipindi cha nyuma alikuwa akiwapa wavae nguo zake, mana walikuwa hawajapata kazi bado, sasa hivi wana kazi wanang'aaa tu...

    "we acha tu mwai, lakini si tulikwambiaga tumepata kazi"

    "ndio, mliniambiaga.... Lakini nyie wabaya sana nyie"

    Aliongea mwai huku wakiingia ndani

    "heeeeeeee ubaya wetu ni upi we mwai"

    Alijibu rose huku wakikaa katika sofa, na wakati huo mary alikuwa akiandaa juisi baridi...

    "kwanza kwenye harusi yangu hamkuja na niliwaalika... Pili hata nyumbani kwangu hamji, au kuolewa kwangu imekuwa kero kwenu eti ee"

    "hapana bwana mwai... Unajua siku ile tuliingia kazini... Na huezi amini tulijiandaa kwa ajili ya kuja harusini, lakini tukapigiwa simu na boss tuende kazini kuna kazi ya kufanya haraka haraka... Ikabidi twende"

    "ok haya, na kwangu je mbona hamji"

    "kweli apo utusamehe, ila nadhani unajua pilika pilika ya hapa kazi tu"

    "na ni kweli hapa kazi tu"

    Basi hakukuwa na ugomvi wowote ule zaidi ya kufurahi,

    "lakini mwai, sisi tunajua kwenu tu, lakini huko ulipoolewa hatukujui ng'ooo"

    "msijali nitakuja siku kuwachukuwa.. Mana kuna kaumbali kidogo"

    "enheee tupe habari za mumeo.. Nakumbuka ulisema hutaki mume mzee"

    "we acha tu, nina mume mtoto.. Yaani kama ningelikuwa malaya toka nikiwa shule ya msingi, ningemzaa mimi"

    Aliongea mke wa sheby kuwa kama angelikuwa malaya kipindi hicho basi angelikuwa na mtoto lika la kijana sheby

    "weeeee mwai... Ina maana ni mdogo"

    "yaani kitoto kimo hiki, sema urefu umemseidia"

    "lakini ulisema mwenyewe"

    "ndio ila huyo kazini afu istoshe sijampenda yaani namchukia"

    "wewe mwai, wenzio wanazitafuta ndoa kama hizo hawazipati"

    "I know but huyo mume wangu bwege tu"

    Mwai alikuwa akimsema kijana sheby huku wakicheka sana

    "kwahio ni jinga jinga tu"

    "yaani halina hata akili, lipo lipo lipoleee halipendi kutoka out, yaani ni yeye na kazi tu muda wote"

    "heheheeeeeeeee halooooooo bibie unalo ilooo"

    Rose alicheka huku wakigongesheana mikono kwa umbea, wakati huo mary yupo bize na laptop yake, alikuwa anachati

    "sasa hivi shost una laptop ni kuchat mwanzo mwisho"

    "we acha tu... Hapa kuchati tuu"

    "weweeeeee.... Halooooo"

    "mary, umesikia mwai anavyosema kuhusu mumewe"

    "nimesikia... "

    "mmmhhhh lakini mwai, uyo mi mumeo tu usimfanyie hivyo"

    Aliongea rose huku akicheka kwa unafiki wa hali ya juu tena wakati huo mikono inagongana haswa kwa umbea

    "tena hilo ni dogo, sasa nakwambia kuna kitendo namfanyia mpaka leo hana hata raha yani"

    Aliongea mwai huku rose akitega skio kujua hicho kitendo...

    "Enheeee umemfanyia nini tena"

    Aliuliza rose huku akitamani sana kujua, na mwai bila hiana akaanza kuropoka siri za ndoa yake..

    "huezi amini rose,.. Yule mtoto wa kiume....







    Ndoa ina mambo mengi sana ya kuficha tena kwa asilimia 90 hutakiwi kuongelea mambo ya ndoa,.. Mwanamke ulie tayari kuolewa kitu cha kwanza ambacho hata kwenye vitabu vya dini vimeandika usiri wa ndoa, tunza ndoa yako kwa kila njia unayoijua lakini usitoke nje ya ndoa usimsemee mume au mke vibaya,.. Uimara wa ndoa huja pale mnapofichiana siri zenu mpaka kifo kiwatenganishe,...



    "Enheeee umemfanyia nini tena"

    Aliuliza rose huku akitamani sana kujua, na mwai bila hiana akaanza kuropoka siri za ndoa yake..

    "huezi amini rose,.. Yule mtoto wa kiume toka anioe sijawahi kumpa tendo la ndoa hata siku moja mpaka leo hii tuna zaidi ya miezi miwili naa.. Lakini hajui uchi wangu upoje"

    Aliongea mwai huku akijisifu sana kwa kitendo hicho cha kutompa mumewe tendo la ndoa,..

    "we mwai umezidi uongo sasa mmmhhh"

    "mi nakuambia sasa,.. Yaani mimi wa kunila ni jemsi peke yake na sio haka kasambaa ka kijinga"

    "he he he he he HaaaaLoooooooo laaake ilooo"

    Mwai na rose walikuwa wakicheka sana na hata mary alikuwa akisapoti kiasi ila yeye sio kivile na mambo ya umbea,... Mary hua anapenda kujiepusha na umbea umbea wa hapa na pale,

    "nakwambia shost kweli umepata mume bwege"

    "tena sio bwege wa kawaida, ni bwege haswa"

    Aliongea mwai huku akitoa pochi na kuangusha vinywaji maalum kwa wanawake,.. Walianza kunywa huku stori kwa wingi zikiendelea...



    Tukija huku kwa kijana sheby akiwa ndio anatoka na wakati huo kagiza kameshaingia tayari yeye ndio anatoka ofisini kuelekea nyumbani kwake

    "boss leo kazi zimekubana sana ee"

    Aliuliza mlinzi wao huku akiambatanisha na kicheko

    "aahhh si unajua kazi zetu hizi, yaani ni ngumu sana kiukweli"

    "pole sana boss"

    "Ahsante sana"

    Basi kijana huyo alitoka na kuelekea nyumbani kwake, lakini hua hapiti mbali na hoteli fulani na kula kabisa, inashangaza mwanaume ana mke lakini anakula hotelini, ni kitendo cha ajabu sana,

    "Samahani nitengenezee chipsi moja safi sana takeaway"

    Aliongea sheby kwa kumtaka muhudumu afanye hivyo,...

    "sawa boss"

    Muda ulisogea na sasa ni saa mbili usiku sheby akiwa nje ya geti la Nyumba yake, kama unakumbuka walizawadiwa nyumba ya kifahari na wazazi wake,..

    "aahhhh boss karibu sana boss"

    Alikuwa ni mlinzi wa jengo hilo akimkaribisha boss wake aingie ndani, lakini sheby alishtuka kufika kwenye paking haoni gari ya mke wake...

    "john... John"

    Alimuita mlinzi na kumuuliza

    "yes boss"

    "gari ya shemeji yako ipo wapi"

    "ametoka nayo mwenyewe boss"

    Kijana huyo alijiskia vibaya sana kwa kuskia mke wake katoka afu mbaya zaidi sasa ni saa mbili hii usiku, afu mke wa mtu bado hajarudi nyumbani,.Ilimuuma roho japo matukio hayo hutokea kila siku, ...

    "ametoka saa ngapi"

    Aliuliza kijana huyo huki akitoa zawadi nyingi tu alizoleta

    "kama saa 12 hivi kasoro"

    "duuuuuuu toka saa hio"

    Ghafla honi ya gari imelia kwa nje, sheby akajua ndio yeye mana honi anaijua, sasa sheby hakutaka kuendelea kukaa hapo aliondoka zake na kuingia ndani,...

    Mlinzi alifungua geti kisha mama mwenye nyumba kaingia, wakati huo kijana sheby yupo ndani kajituliza kwenye sofa huku akijifanya kaja muda mrefu, kumbe kaja muda huo huo...

    "weeee amerudi saa ngapi"

    Mwai alimuuliza mlinzi kuwa sheby kaja saa ngapi,..

    "muda sio mrefu, kama dakika tano hivi"

    "ok poa"

    Mwai aliingia ndani na kumkuta mume wake kaweka mguu juu, sheby alikuwa akijifariji tu na masofa kwa kuweka mguu juuuu.... Lakini mwai alipoingia aliutoa ule mguu na kukaa yeye,

    "mume wa mtu, unarudi saa hizi nyumbani, ulikuwa wapi"

    Aliongea mwai huku akiwa kavinyoosha vidole vyake kama vile anasuta mtu,...

    "sasa mke wangu, mi na wewe nani wa kumuuliza mwenzie? mimi nilikuwa kazini, haya na wewe je"

    "hio haikuusu, zawadi zangu zipo wapi"

    "hizo hapo"

    Haya ndio maisha wanayoishi wanandoa hao, yaani sheby anaumia moyo wake sana, yaani hatamani hata kuitwa mume, na hata hio hadhi ya mume hapewi kama mume,...

    "kila siku chipsi mayai kila siku chipsi mayai, kwani mi mwanafunzi"

    Maskini kijana sheby alikuwa kimya, yaani kama kuna wanaomchukia kijana huyo basi kwa hapo alipo watakuwa wanafurahia sana,..

    "lakini mke wangu"

    "Eh eeeeeeee, hilo neno mke wangu nilishakwambia lisiwe wimbo mdomoni mwako sawa eee"

    "sawa, lakini wewe ulisema lete zawadi yeyote"

    "kwahio yeyote ndio umeona chipsi"

    Sheby hakutaka malumbano, alikumhuka siku anaonywa na baba yake kuwa

    #"haruhusiwi kumpiga, wala hutakiwi kumchukiza"#

    #"mzee, nitakaaje na mke asioadhibiwa"#

    #"nimeshasema... Naomba utii amri"#

    Sheby alipomaliza kukumbuka maneno ya baba yake, aliamka katika sofa na kuingia zake chumbani,.. Aliingia bafuni na kuoga kisha akatoka na kujilaza zake kitandani..

    Nyumba hio haijawahi kupikwa hata siku moja, mwanamke kila siku anakula vitu vya kununua tu, na ndio mana hqta sheby kala kule kule hotelini mana anajua torati ya mke wake hua hapikagi na ndio mana sheby akirudi anakuja na chipsi kuku au chipsi mayai,...



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA







     





    Leo kijana sheby kapata muda kidogo wa kutembelea kule uswahilini kwa mchumba wake, sheby akiwa na mkokoteni wake uliojaa viazi vya chipsi,..

    "haya kula kiazi cha leo leo ichooo"

    Alikuwa ni kijana sheby akiwa anauza viazi, lakini sisi tunajua sio kazi yake

    "unamsikia bwege wako uyo, kila siku anakuletea viazi uchemshe, we una upungufu wa madini ya wanga mwilini wewe?... Kazi kula hela zangu tu nakuambia kila siku husikiii"

    Aliongea shadi huku akiamka... Wakati huo zai kanyamaza kimya hana neno na mtu yeye anampenda sheby wake hata kama ni muuza viazi

    "karibu kaka sheby"

    Shadi alimkaribisha huku upole wake ukiwa umerudi, maskini ya mungu kijana sheby ana balaa tupu, yaani ana balaa sio kidogo.. Shadi alikuwa mpole kama ilivyo kawaida ya upole wake, lakini sheby akiondoka tu, shadi anavaa nguo fupi na kutoka muda wowote ule..

    "Ahsante sana dada shadi"

    "waaaooo baby mambo"

    Alikuja zai kwa furaha na kumsalimia mpenzi wake,...

    "poa nambie"

    "safi tu, nimekumiss mie"

    "muongo zai"

    Basi sheby akaacha mkokoteni wa viazi hapo nje na kuingia ndani,...

    "siku hizi unazidi kunenepa tu vipi mwenzangu"

    "mmmhhh shida zangu tu wala hakuna jipya"

    Sheby alijikuta anamtamani zai, ukumbuke toka aoe, hajawahi kupewa haki ya ndoa na mke wake, sasa leo kamkuta zai kavaa kanga alioifunga kifuani, sheby alimsogelea kimatamanio huku akitaka kumnyonya denda, maskini yaani hata huyu zai pia ana kiapo nae na kuvunja kiapo ni kitu kibaya sana, tena mbaya zaidi ni kwamba aliapa mbele ya mama mkwe wake kuwa hatokaa kumgusa mpaka pale atakapokuwa mke wake, lakini mpaka sasa sheby kesha oa, ana mke sasa sijui kama kiapo bado kipo au kimevunjika,...

    Wakati huo shadi kaingia chumbani kwake katulia kimyaa kitandani kwake, kama unavyoujua upole wa shadya ni adimu kwa kila mwanamke lakini huezi amini hapo alipo kavaa ngozi ya kondoo wakati ni chui...

    Hata zai alikuwa na hamu ya mapenzi toka kwa mchumba wake huyo, ila hajui kama mwenzie keshaoa kwa lazima bila kupenda, mambo ya wazazi hao....

    Wawili hao waliweza kukutanisha midomo yao na kuanza kunyonyana denda, hapo sheby kaacha mkokoteni wa viazi hapo nje, mikono ya zai ilianza kumpapasa sheby huku sheby nae akiyajibu mapigo toka kwa zai,.. Kutokana na zai kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi, hivyo kila alipoguswa kwake ilikuwa ni kelele tu,...

    "aaaiiiii"

    Vilio vilivyokuwa vya kichokozi kwa kijana huyo,

    "uuuuuuwiiiiiiiiiii shebiiiiiiiii usiachie please"

    Aliongea zai huku macho yake yakiwa yamejifumba, chuchu zake zilikuwa kero kwa kijana sheby, kwani kila akizigusa sheby lazima afumbe macho yake huku akijibu mapigo ya sauti

    "assisisiiiiiiii"

    "sheby nini sasa, mimi nilie hata wewe pia"

    "kwani mi sina hisia... Ukiona silii basi ujue umbo lako halinifai"

    Zai kuskia hivyo alitamani kuvua hata chupi kabisa mana ni maneno yaliompa furaha katika moyo wake,.. Zai aliitupa ile kanga na kubaki na chupi huku akimrukia sheby na kumnyonya katika shingo...



    Sasa huku kwa shadi kumbe hata shadi alikuwa akizisikia hizo sauti za akina sheby na zai...

    Huezi amini nae alikua akijitomasa katika kifua chake... Sasa swali linakuja hivi, Kama shadi ni malaya, sasa mbona anazishangaa sana na kuzifurahia sauti hizo, kana kwamba hajawahi hata kuzisikia wala kukutana nazo, na wakati yeye ni malaya.... Mi sijui twendeni mbele



    Tukirudi huku katika chumba cha akina sheby na zai,.. Sheby alisitisha denda kwanza na kuanza kuongea mambo ya ndoa yao, mana zai ndio kaanza

    "we sheby umeamua kuvunja kiapo, lakini sawa tu kwani kuna nini"

    Hapo ndipo sheby akasitisha kumnyonya mate mpenzi wake

    "aaahhhh nisamehe zai"

    "No, mi nipo tayari kama utataka"

    "zai... Kuna kitu nataka kukuambia ila sjui kama utakasirika"

    "we bwana kama wataka mapenzi ina haja gani uniambie, we nisukumie kitandani nipe vyangu, mi ni mkeo mtarajiwa huna haja ya kusema nataka.. We nivute ule vyako jamani sheby"

    "sio hilo"

    "nini kwani.... Au umeanza tabia mbaya, mana nyie wanaume wa siku hizi manpenda sana tabia mbaya..."

    "tabia gani tena sisi tunaipenda"

    "si kurukana hovyo hovyo... Mi naomba hilo lisikupate mme wangu"

    "zai.... Mi mwenzio nimeoa"

    Zai ana macho makubwa yalimpendeza kutokana na umbo lake, lakini kwa maneno hayo alioyaongea sheby, macho ya zai yamekuwa makubwa zaidi... Mpaka sheby aliogopa huenda yakapasuka..

    Lakini sasa kumbe......









    Mapenzi ni upofu, mapenzi hayana utani hata kidogo, na pia mapenzi nzi hayana heshima unaweza ukajikuta unapenda bila ya wewe kujijua, unashtukia tu una mpenzi, kupenda kubaya sana tena haswa akipenda mwanamke hua mpaka aje aseme itachukua muda mrefu sana, labda awe malaya, lakini kama ni mtu anaejiheshimu hawezi kumtongoza mwanaume hata siku moja, yeye atabaki kuwa kimya muda wote, akisubiri wewe mwanaume uanze kumsemesha....

    Kijana sheby na mpenzi wake zai wakiwa katika ya mahaba mazito, lakini wakati huo kijana huyo alikuwa tayari kumwambia ukweli zai kuwa ameoa,

    "zai.... Mi mwenzio nimeoa"

    Zai ana macho makubwa yalimpendeza kutokana na umbo lake, lakini kwa maneno hayo alioyaongea sheby, macho ya zai yamekuwa makubwa zaidi... Mpaka sheby aliogopa huenda yakapasuka..

    Lakini sasa kumbe Maneno hayo hayakumuumiza zai peke yake bali hata shadi yalimuumiza katika moyo wake, ukumbuke shadi anasikia kila kitu kule alipo, si unajua mambo ya nyumba za udongo hazinaga siri, labda mnong'onezane skioni, lakini bila ya hivyo ni lazima msikiwa na mtu wa upande wa pili, huezi amini shadi kshikilia kifua chake huku roho ikimuuma kwa kusikia sheby kaoa,.. Kwahio kumbe hata shadi anampenda sheby sema anaogopa kumwambia afu istoshe ana mpenzi wake ambaye ni zai,...



    "mume wangu, ivi hio ni story au ni kweli"

    Aliuliza zaituni huku akiivuta kanga yake avae

    "sitaki kukudanganya, ni kweli nimeoa na nina mwezi wa tatu sasa toka nioe"

    "sheby mume wangu, kwaio mimi sina hadhi ya kuwa mkeo... Ahsante sana lakini"

    Zai alianza kulia na kukata tamaa ya kuolewa,.. Sheby akaona kumbe zai anampenda sana na anatamani siku moja waishi wote..

    "nimekudanganya bwana sina mke wala nini"

    Ilibidi amdanganye kuwa hajaoa, lakini ukweli tunaujua kuwa sheby ana mke,..

    Sasa huku kwa shadi kuskia hivyo tu alijikuta anaropoka kwa nguvu

    "afafhali huna mke jamani"

    Sheby aliskia lile neno lakini zai hajaskia vizuri

    "nani kasema afadhali"

    "aahhh ni watu huko nje sjui wanadaiana"

    Aliongea hivyo, lakini sheby kajua hio afafhali imetokea wapi..



    Basi kijana sheby aliondoka zake mpaka kwenye vituo vya mikokoteni na kumpa mwenye mkokoteni wake, kisha kaingia hoteli na kuvaa nguo zake za asili yaa uhalisia wake, kama kawaida kachukuwa gari yake na kuingia zake ofisini,.. Kiukweli kijana sheby anateseka sana,..

    "mary namsikia boss sjui kaingia sasa hivi"

    "ebu kamcheki basi"

    "mmmhhh subiri tuone kwani si lazima atembelee wafanyakazi wake"

    Kweli sheby hua ana tabia ya kutembelea wafanyakazi wao ili kujua aliopo na ambae hayupo,..

    "za saa hizi boss"

    Ilikuwa ni sauti ya amina ikimsalimia sheby

    "salama tu hali yako"

    "safi tu"

    Alizunguka ofisi nzima kisha akarudi kuketi katika ofisini yake, wakati huo mzee wake bado hajafika kazini,..



    Sasa huku uswahilini baada ya sheby kutoka, shadi karudia kuvaa nguo zake zile zile za kimalaya kisha akachukua kipochi chake na kutoka..

    "shadi unaenda wapi saa 5 hii"

    "heeeeeeee mi sio golikipa mwenzangu naenda kufanya kazi"

    "lakini shadi, kwanini usitafute mwanaume mmoja tu utulie"

    "heeeeeeee we zai, mwanaume mmoja atanipa nini mimi, wanaume wenyewe ndio hawa wanaotembeza viazi na mikokoteni"

    "no simaanisha Mchumba wangu, we tafuta yeyote yule, kwani lazima auze viazi kama sheby wangu"

    "mmmhhh Eti sheby wangu.... Funguka akili wewe, unaweza ukakuta mwenzio kaoa tayari huyo, unafanywa mchepuko tu apo"

    "sawa wacha niwe mchepuko tu... Lakini siwezi kumwacha sheby wangu... Shadi, mimi nilikuwa sioni mimi nilikuwa kipofu, lakini kwa uwezo wa mungu, kamjaalia mpenzi wangu akaniseidia... Siwezi kumsaliti"

    "utabakia hivyo hivyo"

    Shadi aliondoka tena kwa kuita tax,.. Wakati huo sasa ndio anaonyesha makucha yake...

    Zai aliingia zake ndani na kuangalia mazingira ya nyumba hiyo akiangalia kitanda, akiangalia makochi ya mbao

    "hivi hivi nitaishi nae tu"

    Aliongea zai huku akijilaza kitandani,. Zai ni mschana mrembo sana, yaani ana umbo la kipekee sana yani...



    Sasa huku kwa akina mama yake na zai aikiwa na Zainabu, pacha wake na zaituni..

    "ivi mama, kwanini zaituni hajui kama mpenzi wake ni tajiri"

    Aliongea Zainabu huku wakiwa wanakula, yaani mama anawapenda sana watoto wake, japo huyu mmoja ni katili lakini bado anampenda tu..

    "afu wewe ndio uliompa umbea kuhusu huyo mwanaume wake"

    "wala mimi sijaongea nae mwanao.. Labda alisikia tukiongea"

    "naomba uache umbea wako, japo mimi sijui kwanini huyo kijana hataki ajulikane na zaituni"

    "we mama weee, usije ukamuuza mwanao"

    "kwa jinsi alivyofanya yule kijana, nimemuamini kwa asilimia zote"

    Mama Aliongea ukweli wake juu ya kumwamini kijana huyo,..

    "mmmhhhhh haya, afu dada hajaja siku nyingi nimemmisije"

    Aliingea Zainabu kana kwamba anamemisi sana dada yake wa kwanza mana huyo kaolewa na keshatulia na ndoa yake,...



    BAADA YA SIKU KADHAA KUPITA







     





    Rehema ambae ni dada yake na sheby akiwa yupo nyumbani, alikuwa akishangaa sana kuskia mdogo wake kaoa,... Japo alijulishwa kwa simu akiwa chuoni..

    "mama, umekubali vipi sheby aoe, huoni kuwa bado ni mdogo yule mama"

    Aliuliza rey huku akiwa mkali juu ya mdogo wake kuoa akiwa na umri mdogo..

    "mwanangu rey, mimi nimeongea lakini sijasikika kabisaa"

    "huyu sheby ana akili kweli, yaani anadiliki vipi kuoa.. Atilist angelikuwa hata na miaka 25"

    "heeeeeeee, kwani kaamua yeye, ni baba yako ndio kamlazimisha aoe"

    "ati nini... Yaani baba ndio kamwambia aoe"

    "sio kumwambia tu, na kumchagulia mke kabisaa kisa ni mtoto wa rafiki yake"

    "na wewe mama ukakaa kimya"

    "mimi niseme nini na wakati baba yake kaamua kumpa mtoto wake mke"

    "wanaishi wapi sasa"

    "kule bondeni"

    "ngoja nitakwenda kuwasalimia"

    "ila staki fujo, sitaki fujo na huyo mwanamke, na kama unakwenda kwa fujo bora usiende"

    Mama anamjua mtoto wake rey sio mtu wa kudharauliwa, kitu kidogo tu ngumi mkononi...

    "naenda kumsalimia tu"



    Ikiwa ni mida ya jioni hivi kama saa 11, Shadi akiwa anarudi mjini tena alikuwa kavaa nguo zingine tofauti na zile alizotoka nazo asubuhi..

    "shost, we zai upo"

    "heeeeeeee, shadi umebadili nguo tena"

    "sasa je, nifanyeje na wakati pesa inaingia tu"

    "mmmhhhh umependeza"

    "hata wewe unaweza kupendeza tena zaidi ya mimi"

    "mmmhhhhh lakini shadi kazi yako ngumu sana kwakweli"

    "sikia wewe acha ujinga,.. Una sura nzuri una umbo zuri tena kuliko hata mimi, nashangaa unabweteka tu hapa na kula viazi vya kuchemsha kila siku"

    Aliongea shadya kwa kumshawishi zai nae aingie katika kazi alionayo...

    "mmmhhhh... Mi nampenda sheby, hivi kwa hiki alichonifanyia, afu leo ananikuta nina mwanaume ivi atanifanyeje"

    Aliongea zai huku akiwa kama anaanza kukubali

    "heeeeeeee kwani hujaona sheby alivyokuja mi nimebadilika ghafla... Na ni nani atampa taarifa,.. Tafuta pesa wewe acha kubweteka una vyanzo vya pesa nashangaa unavikalia tu"

    "mmmmhhhhh... Sasa"

    "sasa nini zai.... Hebu ngoja niite tax kwanza nikakunyuke pamba afu usiku tutoke au vipi"

    "mmmhhhhh... Sheby atanioana bwana hapana"

    "sheby na umaskini aliokuwa nao atawezaje kuingia sehemu za kitajiri? Hio pesa ya kuingilia hapo atatoa wapi"

    "haaaa, ina maana wewe unafanyaga na matajiri"

    "sasa si ndio mana nami nina pesa, unataka utembee na kapurwa ili iweje"

    "mmmhhhh lakini.... "

    "acha ujinga.. Ngoja niite taxi,.. Kwanza kila siku unaniomba buku buku zangu wakati hata wewe unaweza kuzipata..... Eeehh haloo Taxi, njoo hapa uliponishusha muda huu"



    Tukija huku kwa mke wa sheby akiwa kakaa kwenye kioo huku anajipodoa, yaani meza imejaa vipodozi tu, hakuna mafuta ya mchezo mchezo hapo yote ni ya bei ghali mno....

    "hodii"

    Alisikia hodi ikibishwa huko sebuleni, wakati yeye alikuwa yupo chumbani kwake,..

    "karibu"

    Aliongea huku akiuendea mlango na kuufungua

    Alikutana na sura ya dada yake sheby sema hamkumbuki vizuri ila dada yake sheby anamkumbuka mana ni watoto waliokuwa kuwa pamoja pamoja, lakini walipokuwa wakubwa kila mmoja alijua mambo yake,.. Na sababu ya hawa kujuana kidogo ni kwamba baba wa mwai na baba rey, ni marafiki toka zamani,..

    "mambo"

    Rehema alimsalimia mwai lakini mwai alikunja mdomo na kuitikia

    "poa nikuseidie nini"

    Rey kaingia mpaka ndani na kukaa bila hata kukaribishwa,.. Mwai hamkumbuki kabisa rey lakini rey anamkumbuka ila sio sana yaani kama taswira yake inamjia afu inapotea, si unajua mavipodozi yakiwa mengi usoni hata uhalisia wa sura hupotea,..

    "we dada vipi, nakuuliza nikuseidie nini"

    Aliongea mwai huku akimjia kwa ukali

    "kwanza ungeuliza mimi ni nani afu uongee unavyotaka"

    "sioni haja ya kukujua, we sema shida yako nikuseidie uende"

    Mwai alikuwa akijibu vibaya kama jinsi anavyomjibu mume wake.... Lakini hahajua kama huyo ni dada yake na sheby

    "kwa muda ulioolewa, natumai mpaka sasa hukosi mimba,.. Mana natamani niitwe shangazi"

    Sasa mwai ndio anashtuka kwa maneno hayo, na kujua kuwa kumbe huyo alikuwa ni dada yake na mumewe....

    "hahahahahaha, ni kweli ninayo ina mwezi mmoja"

    Aliongea mwai huku akijichekesha baada ya kujua kuwa huyo ni dada yake sheby, hivyo ni wifi yake

    "una uhakika"

    "ndi... Nd.... Nd....ndi...ndiooo..."

    Mwai alishikwa na kigugumizi cha ghafla, huku akishika tumbo lake

    "nina kipimo hapa nimekuja nacho... Unajua mi napenda sana watoto, tena haswa haswa mtoto wako nitampenda sana"

    Aliongea rehema kisha akakirusha kile kipimo kwenye meza, afu akamwambia...

    "tuhakikishe wote... Mana natamani sana ulete mtoto wa kiume kama mumeo"







    Katika maisha, kila mmoja ana mkubwa wake na kila mmoja ana mtu aliomzidi ujanja au maarifa, kijana sheby ni mmoja kati ya wanaume walioshikwa na wake zao, na mwanamke huyo kuishika familia nzima hawezi bali kumshika mmoja au wawili ni rahisi lakini sio wote, kijana sheby ni mtoto wa pili katika familia yao, wakiongizwa na dada yao rehema,... Mwanaheri ni mwanamke alioweza kumkalia bwana mdogo katika ndoa yake,... Familia nzima mpaka baba yake hakupenda sheby aoe mwanamke huyo sema kuna sababu maalumu zilizofanya sheby kuoa mwanamke huyo, mana hawalingani hata kidogo, sio kiumri wala kiumbo,....



    "sasa ngoja nikupe siri alioniambia mdogo wako"

    Aliongea mama yake sheby wakati akiwa anaongea na rehema kule nyumbani kabla rehema hajaja kwa wifi yake,...

    "siri gani tena mama"

    Aliuliza rehema huku akiwa makini ili kujua siri anayotaka kupewa na mama yake...

    "kwa sasa ni miezi mitatu toka wafunge ndoa, lakini huezi kuamini hawajawahi kulala hata siku moja kama mke na mume"

    Aliongea mama huyo huku akiwa na uhakika wa jambo hilo

    "mamaaa, we umejuaje hilo"

    "mwanangu hawezi kunificha kwa ujinga kama huo, na hata mimi sitaki iwe hivyo"

    "ina maana hutaki mjukuu kutoka kwao"

    "nataka sana mjukuu kutoka kwa mwanangu lakini sio lile gume gume la mjini"

    "kwaio unataka uniambie hata sheby karidhika kwa hilo"

    "hata mimi nimemshauri asihusishe mwili wake na yule mwanamke"

    "lakini mama, huoni kwamba wale tayari ni mke na mume"

    "najua, lakini ndoa yao hakuna anaempenda mwenzie"

    Maongezi hayo ni kabla ya rehema kwenda kwa mwai au wifi yake,... Sasa rehema baada ya kujua ukweli huo alipitia katika pharmacy iliopo karibu nae na kununua kipimo cha uja uzito kisha akaianza safari ya kwenda kwa wifi yake,... Alikuwa na gari yake ile wakati anaingia hakutaka kuingia nayo, aliiacha nje kisha akabisha hodi... Wakati huo Mwanaheri alikuwa chumbani kwake akiwa karibu sana na kioo huku akijipara vipodozi vya usoni, kama mnavyojua wanawake wa mjini kazi kushinda na vioo tu.. Umetoka sana dukani au jirani kubwaga umbea, lakini wale wanaoelewa nini maana ya ndoa wanatulia majumbani mwao,

    Mwai akiwa ndani alisikia mlango ukigongwa, alifungua lakini hakiwa akimkumbuka hata kidogo, yaani kiufupi hawakumbukani lakini ni watu waliochezaga pamoja kutokana na urafiki wa wazazi wao kuwa karibu...

    Mwai alimkaribisha rey kwa nyodo sana na asijue ni nani yake,.. Waliongea sana mpaka kufikia katika upande wa ujauzito mana rey alishaambiwa na mama yake kuwa mwai toka wafunge ndoa hawajawahi kula tendo la ndoa,..



    "una uhakika"

    "ndi... Nd.... Nd....ndi...ndiooo..."

    Mwai alishikwa na kigugumizi cha ghafla, huku akishika tumbo lake

    "nina kipimo hapa nimekuja nacho... Unajua mi napenda sana watoto, tena haswa haswa mtoto wako nitampenda sana"

    Aliongea rehema kisha akakirusha kile kipimo kwenye meza, afu akamwambia...

    "tuhakikishe wote... Mana natamani sana ulete mtoto wa kiume kama mumeo"

    Mwai alikuwa hana la kuongea zaidi ya kuinama na kukichukuwa kile kipimo

    "twende bafuni tukapime"

    Aliongea rehema huku akiamka na kuanza kuoiga nae hatua, mwai alikuwa na hofu, mana ni kweli hana ujauzito wala nini,... Wasiwasi ulimjaa katika moyo wake, atamjibu nini wifi yake,...

    Huezi amini waliingia wote bafuni kisha mwai akawa anainama ili kutoa haja ndogo,..

    "ah ahhhh... Sasa mimi nitajuaje kama unakojoa kweli... Toa nguo zote"

    "lakini wifi"

    "kwani mimi ni mwanaume"

    Swali hilo mwai hakutaka kulijibu ila alionekana kuvua nguo zote kama jinsi rey alivyotaka.. Mpaka hapo naweza kusema sheby huenda kapona mana kaseidiwa ukali na dada yake, hivyo sheby anaweza kuheshimiwa kupitia ukali wa dada yake,.. Mwai alitoa nguo zote na hapo alikuwa anamalizia chupi tu,.. Lakini sasa cha ajabu na chakushangaza rehema alikuwa ana asili kama ya kiume, yaani alikuwa anamtamani mwai akiwa anavua nguo,...  Rehema alimsogelea wifi yake

     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog