Search This Blog

Thursday 24 November 2022

NYETO NYETONI - 3

 

     

     



     

    Chombezo : Nyeto Nyetoni

    Sehemu Ya Tatu (3)

     

    Hapa tunawaona masela wawili walioshibana wakiwa wamekaa sehemu

    ”sasa Snope tunatoka hapa mpaka kwa

    Amida tukifika pale kwake tunaweka sura za mbuzi hakuna cha kumsalimia nani wala Nyani tunapitiliza moja kwa moja mpaka chumbani kwake"

    ”aina noma twenzetu"

    Basi wakakatiza kichochoro hiki nakile wakavuka sehemu kulikuwa na kidaraja

    Yani ukimuona Sudi na Snop nikama wale Aki na Ukwa

    ”halafu naskia yule fala kaenda kijijini kulima"

    “nani?"

    “si Ducha"

    “Ducha mseng** tu! Yule tena kama vipi siku akirudi tufanye kumpotezea mazima"

    ”au sio"

    ”ndiyo hivyo yeye si anajiona bora kuliko sisi nasi hatuna budi kujikubari sisi kama sisi"

    ”aminia kichaa wangu sema mi nna wazo moja"

    “wazo gani tena hilo?"

    “kwanini tusifanye mpango siku tukamuwekea madawa ya usingizi Dadaake Ducha kisha tukampiga mtungo?"

    ”ukiskia ujinga ndio huo sisi kutengana na Ducha kisiwe kigezo Cha kutowaheshimu ndugu zake halafu kitu kingine Ducha anaweza kutuzingua

    Wee mademu wote hawa kitaani huwaoni mpaka umtake Dada Mwanaidi"

    “basi poa yaishe basi"

    “sio yaishe muda mwingine kichaa wangu unazingua"

    Walishaweza kuwasili sehemu waliyokuwa wanaenda wakafanya kuzungukia dirishani

    “ohooooo,,,asssssssss,,,,mmmmmmm,,,uwiiiiiiiiii,,"

    Wakiwa wanajongea dirishani wakasikia sauti za mtoto wakike akighughumia kimahaba

    “aisee atakuwa anagongwa nini?"

    “hapana anapiga Nyeto Nyetoni wee njoo umuone"

    Sudi alimwambia Snop akapanda juu ya tofari akachuchumalia na kuchungulia Dirishani nikweli mtoto wakike alikuwa mtupu kabisa akiwa kajilaza chali kitandani huku mkono mmoja akiwa kashika ndizi Bukoba akijiingiza kwenye kitumbua chake kina Snop vimboo vyao vilisisimka

    wakati wao wakiwa bize kupiga chabo ya Nyetoni mwenzao huku kijijini alishakalishwa juu ya mianzi iliyokuwa imetengenezwa Kama vile Roboti ile mianzi ikawa inachezeshwa kwa kamba Ducha alitakiwa kuwa makini Sana kuikwepa kwa maana akizembea ataumia

    “haya moja mbili tatu"

    Kitu kikaachiwa Ducha akawa anakwepa na kupanchi ilimuwia vigumu Sana kuendana na kasi ya hilo Roboti maana lilikuwa likishambulia kila sehemu ya mwili kuna moja ikatua kichwani Ducha akawa anaona nyotanyota akadondoka chini na kupoteza fahamu

    Chinoge akafanya haraka kumbeba na kumpatia Huduma ya kwanza wiki moja baadae Ducha alishaanza kuwa mtata alipambana vyema na lile Roboti akalivunja vunja

    ”hakika nimeamini

    kuwa wewe ndiyo Ninja Ice ajae"

    Chinoge alizungumza kwa furaha

    ”mwalimu unamaanisha nini kusema hivyo?"

    ”ahaa hapana nahisi mdomo umeteleza haya chukuwa miti ile pale

    Ukaipange kule juu"

    Chinoge akafanya kuipotezea ile kauli yake Ducha akafanya kama alivyoelekezwa

    “nimewaambia kuwa nyie nyote mkaniokotee maembe mniletee hapa nile, haya fanyeni haraka sana"

    Athuman mbabe wa kitaa alitoa amri kwa watoto wenzie wakamtafutie maembe kila mmoja akaingia shambani kukusanya maembe yeye alikuwa amekaa tu sehemu akisubiliwa kuletewa hakika ukiwa mbabe raha Sana

    “ehee wee Dogo nilikuwa nakutafuta toka siku zile nilivyokutoa manundu kudadeki zako ulienda wapi?"

    Athuman alimuuliza Ducha siku hiyo aliamua kwenda kumtembelea Bibi yake Bungu

    Ducha akatoa jibu kwa kumtandika Athuman ngumi moja tu ya Uso iliyomdosha chini kama mzigo akawa kimya

    Ducha huyo akaendelea na zake





    ------------------

    “nimewaambia kuwa nyie nyote mkaniokotee maembe mniletee hapa nile, haya fanyeni haraka sana"

    Athuman mbabe wa kitaa alitoa amri kwa watoto wenzie wakamtafutie maembe kila mmoja akaingia shambani kukusanya maembe yeye alikuwa amekaa tu sehemu akisubiliwa kuletewa hakika ukiwa mbabe raha Sana

    “ehee wee Dogo nilikuwa nakutafuta toka siku zile nilivyokutoa manundu kudadeki zako ulienda wapi?"

    Athuman alimuuliza Ducha siku hiyo aliamua kwenda kumtembelea Bibi yake Bungu

    Ducha akatoa jibu kwa kumtandika Athuman ngumi moja tu ya Uso iliyomdosha chini kama mzigo akawa kimya

    Ducha huyo akaendelea na zake



    Songa nayo

    Sasa



    Zilipita takribani dakika tano pasipo Athuman kurejewa na fahamu zake wale walioagizwa kwenda kutafuta maembe walikuwa wanarejea na vikapu vyao vilivyojaa maembe kufika pale walipomuacha mbabe wao walishtuka baada kumuona Athuman akiwa amelala pale chini wakaweka vikapu vyao pembeni na kumsogelea

    ”wee Athuman Athu embu fumbua macho tumesharudi na maembe haya hapa"

    Licha ya kumtikisa lakini mwenzao wala hakushtuka ikabidi mmoja kati ya watoto wale aende mbiombio Kutoa taarifa kwakina Athuman ambapo kaka yake aliongozana nao pale na kumkuta mdogo wake ajitambui akafanya kumbeba na kumpeleka nyumbani kwao

    “vipi tena amefanyaje?"

    “kiukweli hata sijui kitu gani kimemtokea maana wenzake wanadai walienda shambani kumuokotea maembe waliporejea pale ndipo wakamkuta akiwa katika hali hii"

    “basi mlaze hapo kwenye mkeka"

    Athumani akalazwa juu ya mkeka walianza kumpepea pamoja na kumnyunyuzia maji muda kidogo akarejewa na fahamu zake alipiga chafya mfurulizo pamoja na kukohoa

    “niko wapi hapa jamani? Embu niachieni"

    Athuman alipiga kelele binafsi alionekana kama vile amewehuka kiakili

    “dogo embu tuliza wenge"

    Kaka yake akamtaka atulie kwanza

    Athuman aliweza kutulia aliangaza macho yake kumuangalia kila mtu aliyekuwa pale kulikuwa na Wazazi wake kaka zake wawili na Dada yake bila kusahau marafiki zake wale walioenda kumtafutia maembe

    “bila shaka kwasasa umeweza kutulia je unaweza ukatuambia nikitu gani kilichokutokea?"

    Kaka yake akamuuliza swali

    ”Ducha huyo"

    Athuman akataja neno Ducha

    “Ducha kafanyaje sasa?"

    “kanipiga ngumi moja tu ya uso"

    “so ulivyopigwa ngumi moja ndiyo ukazimia?"

    “ndiyo"

    “hahahaha,hahahaha"

    Kila mmoja alicheka yani walicheka mpaka basi

    “sasa mbona mnanicheka badara ya kunisikitikia?"

    “tukusikitikie kitu gani sasa wakati wewe mwenyewe ulituambia kuwa siku ile ulimpiga mpaka ukamtoa manundu au sio wewe?"

    “ndiyo siku ile nilimdunda ajabu leo hii kanitandika yeye"

    “hiyo inaitwa kutesa kwa zamu je upo tayari kurudiana naye?"

    ”ndiyo nipo tayari hata Sasa hivi twendeni nyumbani kwao"

    “ohoo tulia kwanza bwana mdogo hili swala halihitaji hasira kinachohitajika kwasasa ni Kuandaa pambano la Watoto bila shaka naye atakubari kushiriki"

    “sawa kaka haina shida"

    Siku baada ya siku Ducha alizidi kuimarika kwenye nyanja za mapambano maana Chinoge alimfundisha usiku na mchana

    “mama kwani kule shambani kuna kitu gani mbona miti inatikisika kiasi kile?"

    “mmh Hafidhi huyo"

    “anaikata au?"

    ”wee nenda kajionee mwenyewe"

    Basi Bibi yake Chinoge akatoka kuelekea sehemu ambayo miti ilionekana kutikisika utasema kuna kimbunga

    (SUBIRI KWANZA NIFAFANUE KWANINI CHINOGE WOTE WAWILI ANAWAITA BIBI WAKATI HAWA NI MTU NA MAMA YAKE BASI IKO HIVI

    BIBI YAKE CHINOGE MZAA MAMA ALIYOPO KILWA KIWAWA HUYU BI KIWAMBAZA NI MAMAAKE MDOGO NA MTOTO WA BI KIWAMBAZA NI DADA YAKE SASA CHINOGE ILITAKIWA BI KIWAMBAZA AMWITE MA MKUBWA NA MTOTO WA BI KIWAMBAZA AMWITE BIBI SASA YEYE TOKEA AKIWA MDOGO WOTE ANAWAITA BIBI KWA MAANA KUANZIA BI KIWAMBAZA HADI BINTI YAKE AITWAE FATUMA WAMEZEEKA BILA SHAKA NIMEELEWEKA)

    Bi Fatma alipiga hatua zile za tahadhari mpaka karibu na shamba lile akainama kwa chini na kupekenyua majani kuangalia aisee hakuweza kuamini macho yake baada kumuona Chinoge na Ducha wakipigana kwa kutumia mapanga

    Waliruka huku na kule utasema wana mbawa majani yalipukutika matawi ya miti yalikatika

    Ni sauti tu ya mapanga ndiyo iliyokuwa ikisikika kwa nguvu

    Akarudi mbio mbio kwenda kumueleza mama yake kwakile alichoweza kukiona

    “vipi tena mbona unarudi mbio mbio?"

    “wajukuu zako kule washakuwa wachawi"

    “wee embu shika adabu yako"

    “kweli tena mama nimeweza kuwashuhudia kwa macho yangu wakipaa juu kwa kushikilia mapanga"

    “nimekwambia shika adabu yako aliyekwambia kuwa kila anaepaa juu ni mchawi nani? Mbona hata Yesu alipaa juu. Yale ni mazoezi hakuna cha uchawi wala nini"

    Bi Kiwambaza alifoka kuskia wajukuu zake wakiitwa wachawi

    “hongera sana kijana"

    “asante mwalimu hata hivyo hongera zote ziende kwako kwa kunifanya niweze kujiamini japokuwa hapo awali nilishakata tamaa"

    ”ilikuwaje mpaka ukakata tamaa?"

    “basi tu! Mi mwenyewe nilishajikatia tamaa mpaka nikaamua kukimbilia huku Kijijini ili kuikwepa aibu ambayo ingenikuta iwapo ningeendelea kubaki kule mjini"

    “aibu gani tena kijana? Mbona kama sikuelewi"

    “sijui hata nikueleze kitu gani ili uweze kunielewa

    Mwalimu wewe ni mtu wa kwanza ninaetaka kukuelezea mkasa wangu.

    Niahidi kuwa utanifichia Siri hii"

    “Ducha"

    “naamu mwalimu"

    ”je unafahamu kwanini nilikuchagua wewe! Nawala sio watoto wengine?"

    ”sijui mwalimu"

    “basi subiri nikueleze kitu kimoja ili uweze kufahamu kuwa nakufahamu vyema wewe kuliko wewe unavyonifahamu mimi siku ile wakati natokea Kibaha kwa Mathias nikiwa ndani ya Gari nilipofika maeneo ya Bungu nilimtaka Bibie Vicky asimamishe Gari baada ya kujiwa na hisia fulani

    Gari iliposimama ndipo tukashuka wakati napiga hatua mbili tatu kujongea pale kwenu zile hisia ndiyo zikazidi kunitawala

    Nilipofika karibu na Bibi yako nikajifanya kuomba maji nikiamini kile ninachotaka kukiona ndicho kitakachoniletea hayo maji,

    Nikweli ikawa hivyo"

    “mwalimu unamaanisha nini kuzungumza maneno yote hayo?"

    ”namaanisha ya kwamba Ducha wewe ni nusu mtu nusu Jini"

    Ducha alishtuka si kidogo akabaki kumkodolea macho mwalimu wake huku akijiuliza amemjuaje

    ”ha!ha!ha!ha bila shaka unajiuliza nimejuaje ila kaa utambuwe kitu kimoja Mimi ni mwalimu wako kwa hapa Duniani na huko kuzimu"

    Wakati wanaendelea kuzungumza pale

    Kuna kiumbe cha ajabu kiliibuka mbele yao wote waliweza kukiona

    Yule kiumbe akatoa ishara ya heshima kwa kuinama kisha akaanza kuzungumza

    ”habari yako mkuu

    Nimetumwa kuja kukueleza kuwa tawala yetu imevamiwa na tawala nyingine yenye nguvu kupita kiasi

    Wamemteka Bibi yako na mzee wako Ibnuwas tafadhari kawasaidie"

    Yule kiumbe alizungumza kwa pupa akapiga magoti chini huku akidondosha machozi ya Damu

    “mwalimu nani huyu?"

    “nenda kawasaidie"

    Chinoge hakujibu swali zaidi ya kumtaka Ducha akatoe msaada

    “mwalimu nitawezaje kwenda kutoa msaada haliyakuwa uwezo wa kwenda huko sina"

    “Ducha wewe ni jasiri usieweza kuiacha asiri kumbuka nilikwambia kujituma na kujiamini ndiyo silaha kubwa ya mafanikio"

    ”Chinoge mbona tunazidi kupoteza muda twendeni basi"

    Yule kiumbe alizungumza hivyo na kumfanya Ducha amuangalie mwalimu wake mara mbili mbili yani hakuweza kuamini kuwa huyu amuonae Mbele yake mpaka akawa anamdharau kuwa hatoweza kumfundisha chochote ndiyo yule shujaa aliyekuwa akimsoma kwenye Vitabu na vijarida mpaka kufikia hatua ya kutamani kuwa Kama yeye

    “mwalimu inamaana wewe ni Chinoge?"

    “ndiyo kijana"

    Chinoge aliitikia kisha akapotea na kumuacha Ducha akifikicha macho yake

    Yule kiumbe nae akamshika mkono Ducha na kupotea nae

    **********

    Ukungu mzito na mweusi tii ulikuwa umetanda kila eneo na kufanya eneo hilo kisionekane kitu chochote kile zaidi ya miale ya moto iliyokuwa iking'aa

    “ni muda mrefu sana tulikuwa tukiwatafuta hatimae leo hii mmeweza kuingia mikononi mwetu na huu ndiyo mwisho wa Tawala yenu kuwa kwenye uso wa ulimwengu huu si mlikuwa mkijisifia wale vijana waiteni"

    Ni sauti nzito iliyoweza kusikika ikitokea kwenye Ukungu pasipo Mzungumzaji kuonekana

    “kwa hiki mnachotaka kututendea mtakuja kujuta"

    Sauti ya Bibi yake Ninja Ice ilisikika akizungumza kwa kujiamini wakati huo huo ule ukungu ukawa unatoweka aisee kulikuwa na umati wa Majini wenye kutisha takribani ishilini ile miale ya Moto haikuwa miale bari ni macho yao

    Kutoweka kwa Ukungu ule ilionekana kuwashtua Sana viumbe wale

    ”aisee inaonekana tushavamiwa embu fanyani haraka kuwachukua hawa mateka na mkawafungie kule"

    Alizungumza hivyo mmoja kati ya wale majini

    Wale walioagizwa kuwachukuwa mateka ile wanataka kuwashika tu! Ghafla kuna nyundo ilikuja kwa mtindo wa kuzunguka ikakita mikononi mwao haikuchukuwa hata sekunde mbili walipukutika kama karatasi iliyokuwa ikiteketea kwa Moto na kubakia Jivu

    “Ibnuwas mwanangu hatimae Chinoge amerudi tena"

    Bibi mtu alizungumza kwa furaha ajabu aliyeibuka pale hakuwa Chinoge ni Ducha Duchani wakati wanamshangaa Ducha mara na Chinoge naye anaibuka nyundo ikaenda kutua mkononi mwake aliidaka kwa kuizungusha





    ------------------

    ”aisee inaonekana tushavamiwa embu fanyani haraka kuwachukua hawa mateka na mkawafungie kule"

    Alizungumza hivyo mmoja kati ya wale majini

    Wale walioagizwa kuwachukuwa mateka ile wanataka kuwashika tu! Ghafla kuna nyundo ilikuja kwa mtindo wa kuzunguka ikakita mikononi mwao haikuchukuwa hata sekunde mbili walipukutika kama karatasi iliyokuwa ikiteketea kwa Moto na kubakia Jivu

    “Ibnuwas mwanangu hatimae Chinoge amerudi tena"

    Bibi mtu alizungumza kwa furaha ajabu aliyeibuka pale hakuwa Chinoge ni Ducha Duchani wakati wanamshangaa Ducha mara na Chinoge naye anaibuka nyundo ikaenda kutua mkononi mwake aliidaka kwa kuizungusha



    SONGA NAYO

    SASA



    Chinoge alikaza macho kuwaangalia wale viumbe walionekana kushikwa na hali ya uwoga ilionekana dhahiri kabisa hawakuutarajia ujio wake pale kitendo pasipo kuchelewa walianza kukimbia

    “niangamizie hao Panya"

    Chinoge alizungumza hivyo kumwambia Ducha naye akakaza macho kuwaangalia wale waliokuwa wanakimbia

    Ghafla kuna miale mikali ilitoka machoni mwake nakwenda kuwamulika Viumbe wale walitatarika huku wakipiga kelele za maumivu kuwa wanaungua na moto

    ”mamuweeeeee,,,tunakufaaaa"

    Kufumba na kufumbua wakapasuka vipande vipande,

    “kazi nzuri kijana"

    Chinoge akatoa pongezi kwa Ducha ile anataka kuitikia tu ile pongezi

    Ghafla alishtuka kutoka usingizini na kujikuta yupo kitandani Kwanza alijikagua mavazi yake

    “mmh mbona kama sielewi inamaana kile kilichotokea nayo ni ndoto? Kama zilivyo ndoto zangu za siku zote au?

    Ducha alijiuliza hivyo akanyanyuka na kujinyoosha huku akipiga miayo akachukuwa mswaki na kutoka nnje

    ”shikamoo bibi"

    “marhabaa mjukuu wangu vipi leo mbona umelala Sana unaumwa?"

    ”hapana Bibi siumwi wala nini"

    Ducha alijibu hivyo akabeba kisado na ngata ya kuchotea maji huyo akaelekea zake kisimani alitembea huku akijiuliza maswali chungu mzima pasipo kupata majibu

    Alipowasili kisimani alikuta kuna watu kama watano Mabinti watatu na wavulana wawili kila mmoja akisubilia zamu ya kuteka maji naye akaweka kisado chake pembeni

    “oyaa wee mtoto mbona usalimii wakubwa zako"

    Mmoja kati ya mabinti akamuuliza swali Ducha

    “kwani lazima kusalimia?"

    Ducha naye akauliza

    ”kwani hiki kitoto cha wapi? Mbona kinaonekana kijeuri?"

    “wee bwana ehee embu teka maji hapo wenzako tunasubilia"

    “wee naye wa wapi? Naona imekuuma mi kumuulizia huyu mtoto ehee!?"

    “iniume kitu gani Sasa kwani umeambiwa Nina undugu naye au shobo zako tu!"

    “khaa sasa nani mwenye shobo kati yangu Mimi na wewe?"

    “bwana ehee embu nipishege huko mi nijitekee maji"

    ”nakupishaje kwa mfano? Wakati ndoo yangu hata haijajaa"

    ”oyaa nyie Vishori mnazingua mjuwe!"

    Kati ya wale vijana akaingilia mzozo ule pasipo kufahamu wale mabinti wanajuana wenyewe

    Kibao kikamgeukia yeye Sasa

    ”wee tena ukome ukomae upate mimba uzae usituite Vishori sisi kawaite Ukoo wako huko Mbuzi wa kafala wewe muone kwanza sura mbaya kama nyongo iliyotapikwa

    Ndiyo maana una kibamia"

    “ohoo Shogaangu usimtafune ukammaliza peke yako embu niachie na Mimi nimpashe apashuke hivi

    wewe kuku kishingo sijui kibwezi umetoka kupandwa sasa hujui pa kutaga umeona utuchokonoe sisi ili tukutagishe ehee Sasa Kama una mavi Kanye kichaka kile pale

    Basi walizidi kumchamba na kumchambua mkaka wa watu mpaka akawa anaona aibu Ducha akaingilia kati na kuanza kuzungumza

    “hivi nyie Malaya wanuka vikwapa midomo yenu michafu haina tofauti na vinyeo vyenu

    Hivi kuna yoyote kati yenu anaweza akatoka mbele ya umati wa watu na kujitapa kuwa yeye ni mwanamke aliyekamilika nyie ni wapuuzi Kama walivyo wapuuzi wengine.

    Muda mlioutumia kumsema yule Brother pale ingekuwa ni vyema kama mngeutumia muda huo kupanua Papa zenu ili mtiwe mimba mkazae,,

    Mara puuh Ducha akarushiwa ndoo ya maji Mwanaume akabiduka tiktaka na kuipiga teke ile ndoo ikarudi ilipotoka na kwenda kumbamiza Binti aliyeirusha alipiga kelele za maumivu

    ”hivi wee mtoto umetumwa ehee? Hutujui ehee?"

    Binti mwingine aliuliza maswali mfurulizo huku akimfata Ducha alipomfikia akarusha kofi

    Ducha akainama mkono ukapita

    Ducha akajivuta pembeni

    “sikia nikwambie kitu Dada yangu sikufunzwa kupigana na watoto wakike ambao tayari mshajifia ni vyema mkateka maji na mjikatae vinginevyo

    Nitawatandika mpaka mchakae"

    Ducha alizungumza kwa kujiamini

    kwa kuwa mwenzao alikuwa kaumia kwa wakati huo alikuwa anavuja damu kwenye paji la uso baada kupigwa naile ndoo wakafanya kumsaidia kwanza mwenzao

    “wee mtoto huu ni Moto umeuwasha na lazima ukuwakie siku si nyingi tutakuonyesha"

    Wale mabinti walizungumza hivyo wakamshika mikono mwenzao hao wakaondoka zao

    ”Duuh wee dogo ni noma aisee yani ulivyobiduka ile Tiktaka kama Ronaldo"

    Wale washkaji walianza kumsifia Ducha

    “sema nini dogo fanya haraka uteke maji na

    Ujikatae mapemaa maana yule uliyempasua familia yake si watu wazuri kabisa tena usiombe wapafahamu nyumbani kwenu wanaweza kuja kutia Moto nyumba pamoja na mashamba yenu"

    Licha ya kumsifia wakampa na tahadhari alichokifanya Ducha ni kuchota maji na kuondoka

    ”vipi tena mbona hai hai kama vile umetoka kushikwa ugoni?"

    Bibi yake Chinoge alimuuliza Ducha aliyekuwa akifanya vitu haraka haraka yani aliingia chooni kuoga akatoka mara akavaa akaweka nguo zake kwenye Begi

    Ikabidi Ducha amueleze ukweli Bibi yake Chinoge kwanza akacheka sana tena sana

    ”ha!ha!ha!ha! Yani baada kuona umeharibu huko ndiyo unataka kutuachia msala embu kwanza msubilie Mwalimu wako ili tujuwe tunafanyaje"

    “bibi bwana mi kwasasa hapa sina muda wa kupoteza wala sihitaji wale watu wafahamu kuwa Mimi naishi hapa!"

    Ducha alizungumza hivyo haliyakuwa akianza kuondoka begi alishalivaa mgongoni

    “haya baba nikutakie safari njema huko uwendako wasalimie ehee"

    Ducha akaishia kupunga mkono wakati anatokezea barabarani ndipo kwa mbele yake akaweza kuona Umati wa watu watoto kwa Wazee na vijana

    Wakija uwelekeo ambao yeye anatokea alipojaribu kukaza macho yake kuwaangalia watu wale kwa umakini ndipo akaweza kuwabaini Mabinti ambao dakika kadhaa nyuma alizinguana nao kule kisimani

    Ducha akafanya haraka kuingia Vichakani na kujificha

    “ole wake tumshike tutamnywa supu mzima mzima haiwezekani anipasulie binti yangu"

    ”tena nikimshika nitamvuta na kumnyongorota mapumbu yake nitayanyofoa yote"

    ”kudadeki Mimi nitamnyonya mavi kwa ulimi

    ”mi nitamfonza ubongo na macho yote"

    Kila mmoja alikuwa anazungumza lake kuonyesha kwamba si watu wa mchezo

    Ducha aliweza kusikia yote hayo mpaka wanakatiza sehemu ambayo yeye alikuwa kajificha

    Baada ya wale watu kupita ndipo akajitokeza na kuendelea na safari yake

    “hivi mi mjinga ehee yani nafahamu fika kuwa kule nimemuacha Bibi peke yake Mwalimu naye sijui kaelekea wapi?"

    Ducha alijiongelesha hivyo akageuza kwa kurudi alipotoka

    “umesema mtu mwenyewe anaishi kwa Binti Kiwambaza ehee?"

    ”ndiyo baba kuna siku niliwahi kumuona pale"

    ”basi haina shida tuongoze njia na tukifika pale hakuna cha kuuliza nini wala cha maini ni kushambulia tu!"

    ”ndiyo mzee"

    Umati wote ukaitikia muda kidogo wakawasili pale na kukuta kukiwa na hali ya ukimya

    ”wee nyauba Mchawi mkubwa tunakuomba utoke nnje mwenyewe. Na umtoe huyo mtoto kabla hatujachukuwa maamuzi ya kuvamia humo ndani?"

    Yule mzee akaza sauti huku akipigapiga panga kwenye Jiwe

    “vipi tena ndugu zanguni mbona silaha mkononi?"

    Wakashtuliwa na Sauti ya Chinoge aliyekuwa akitokea shambani na kifurushi cha mkungu wa ndizi

    Kwanza wakamuangalia kwa kumshusha na kupandisha

    ”vijana kamateni huyo"

    Yule mzee akatoa amri

    Alichokifanya Chinoge ni kuwatupia ule mkungu wa ndizi huku yeye akichumpa na kwenda kumtandika teke moja takatifu yule mzee panga likamponyoka Chinoge akawahi kulidaka na kumuwekea Shingoni binti wa mzee yule yani kilikuwa ni kitendo cha sekunde chache Sana binti kutaitiwa

    ”nyie nikina nani? Na mmekuja nyumbani kwetu kufanya nini?"

    Chinoge aliuliza akamsukumiza yule binti pembeni

    Akawanyooshea panga

    “kijana utakufa kifo kibaya sana usitake kujifanya shujaa mbele ya Mashujaa wa kijij,,,

    “Chinogeee,,"

    Ducha alikuja mbio mbio huku akipiga kelele za kumtaja Chinoge akalitupa Begi chini na kubiduka samasoti akatua pembeni ya Mwalimu wake

    “babaa mtu mwenyewe ni huyu hapa"

    Binti akapaza sauti kumtaja Ducha

    ”khaa inamaana hiki kitoto ndicho kilichokupiga?"

    ”ndiyo baba"

    ”shenzi kabisa wewe unapigwaje na mtoto mdogo kama huyu haya mkamateni huyo mtoto"

    Kukawa na hekaheka nguo kuchanika watu walichapika

    Chinoge alikuwa anapiga na kuvunja huku Ducha akidanki danki na kuzuia vijinga vya moto kutokuigusa nyumba maana walidhamiria kuitia Moto

    *********

    “vipi mchizi wangu?"

    ”safi tu nambie"

    ”sina hata msemo sema nini Ducha mwenzako Nina majanga si kidogo"

    “huo ndiyo msemo Sasa haya nambie majanga gani tena?"

    ”au basi"

    Sudi akaghairi"

    ”wee fala tu kitu useme mwenyewe halafu ulete mizinguo kama vipi Baki na majanga yako"

    Snop alichukia kwa kitendo cha rafiki yake kutomuelezea kuhusu hayo majanga.

    Sudi akiwa amebaki pale mawazo yakampeleka mbaali

    Ilikuwa yapata majira ya saa tano usiku

    Nyumbani kwa kina Sudi kulikuwa na vilio vya watoto wadogo wakilia njaa maana tokea Asubuhi wapate kifungua kinywa kwa kunywa chai isiokuwa na Sukari tena kwa andazi moja moja Basi mpaka inatimia saa tano hakukuwa na dariri zozote za kupata Rizki wakabaki kupiga miayo

    “mamaa"

    Sudi akamwita mama yake aliyekuwa kashika tamaa kwa kujiinamia

    ”abee mwanangu"

    “mi hapa nilipo mfukoni Nina elfu mbili sijui Kama itatutosha"

    “khee mwanangu inatutosha mbona nyingi hiyo embu lete nifanye maarifa"

    Sudi akampatia ile pesa mama yake akafanya kuweka mafiga

    Sawa akakata kuni na kuwasha Moto

    Akabandika chungu cha Ugali

    “fanya uwende kwa mama Vei ukachukuwe mafungu mawili ya Dagaa mchele mwambie akate elfu moja nyingine nitampelekea kesho ili hiyo itakayobaki upitie kwa Mangi kuchukuwa Unga kilo moja"

    ”sawa mama"

    Sudi akafanya haraka kuelekea alipoagizwa dakika si nyingi akarudi

    Ugali ulianza kusongwa sema maji yalikuwa mengi Unga mdogo ikabidi Sudi aagizwe tena kufata Unga nusu

    Akaenda na kuleta ukamiminwa

    “mmh wee Sudi"

    “naamu mama"

    ”embu njoo"

    Sudi akaenda kusikiliza wito

    ”hivi ulichotuletea Sasa hivi ni unga au Sukari?"

    ”kivipi mama?"

    ”embu onja mwenyewe huo ugali maana kila nikisonga upo vilevile wakati Unga ulioniletea nimeumimina wote"

    Sudi akaonja

    “Mtumee yule fala atakuwa kanipimia sukari kudadeki zake subiri nimfate"

    ”unamfata wanini Sasa wakati muda huu atakuwa kashafunga embu kalete sinia tutaula hivyo hivyo"

    Sinia ikaletwa basi watoto waliufarahia Sana ule ugali maana mtamu kama vile Sukari Guru

    Kesho yake asubuhi wakati Sudi anaelekea Dukani kufika sehemu akakutana na Chande

    “Sudi mdogo wangu mi kuna ishu nyeti nataka nikupe ishu ambayo utaingiza Pesa wee mwenyewe mpaka ushangae je upo tayari?"

    Chande alizungumza kwa kujiamini

    ”ishu gani kwanza"

    “ya ujambazi"

    Sudi alishtuka kuskia hiyo ishu

    “khaa inamaana ka,,

    “shiip nyamaza basi usitoe sauti"

    Chande akamtaka Sudi akae kimya

    “sikia nikwambie kitu mdogo wangu wewe kazi yako wala haitokuwa ngumu kitakachokuwa kinafanyika kwako tunakuweka ndani ya Boksi kuubwa tunalifunga vizuri kisha tunaenda kulikabidhi Box hilo kwenye Duka au nyumba ambayo tumepanga kuivamia

    Itakapotimia majira ya Usiku utatoka ndani ya box na kutufungulia milango Wanaume tunazama ndani na kufanya yetu kisha tunasepa kimtindo"

    “kwanini usimchukuwe Ducha au Snop? Na je siku ikatokea nikakamatwa itakuwaje?"

    ”Ducha kwasasa hayupo hapa kuhusu Snop sio mjanja kama wewe amini nitakulinda

    Au hutaki kuwa na pesa Kama hizi?"

    Chande akazidi kumshawishi na kumuonyeshea kibunda cha pesa kilichojaa elfu kumi kumi Sudi akajilamba midomo

    ”embu zishike"

    Sudi akazipokea zile pesa huku mikono ikimtetemeka

    ”hizo zote ni za kwako"

    Sudi hakuweza kuamini maskio yake heti zile pesa zote ni za kwake ikabidi aulize

    ”zote hizi ni za kwangu?"

    “ndiyo"

    ”basi nipo tayari kuifanya hiyo kazi tunaianza lini?"

    ”kesho kutwa nitakuja kukupitia pale nyumbani kwenu"

    ”sawa na vipi kuhusu Snop nimwambie"

    “hapana hapana hapana tena nakuonya hii ni siri baina yangu mi nawe usithubutu kufungua mdomo wako kumueleza mtu yoyote yule

    Utakuja kufa kifo cha kikatiri Sana nadhani umeweza kunielewa"

    Chande alikunja ndita na kuzungumza hivyo mpaka Sudi alianza kuogopa





    ------------------

    ”hizo zote ni za kwako"

    Sudi hakuweza kuamini maskio yake heti zile pesa zote ni za kwake ikabidi aulize

    ”zote hizi ni za kwangu?"

    “ndiyo"

    ”basi nipo tayari kuifanya hiyo kazi tunaianza lini?"

    ”kesho kutwa nitakuja kukupitia pale nyumbani kwenu"

    ”sawa na vipi kuhusu Snop nimwambie"

    “hapana hapana hapana tena nakuonya hii ni siri baina yangu mi nawe usithubutu kufungua mdomo wako kumueleza mtu yoyote yule

    Utakuja kufa kifo cha kikatiri Sana nadhani umeweza kunielewa"

    Chande alikunja ndita na kuzungumza hivyo mpaka Sudi alianza kuogopa



    Songa nayo

    Sasa



    Sudi alimuangalia Chande kwa umakini Sana ikawa kama vile haamini kwakile alichoweza kukisikia akitamkiwa

    ”inamaana unantisha au vipi? Kama unantisha Basi nishaghairi hiyo kazi siifanyi nakama ujuavyo kiendacho kwa mganga hakirudi"

    Sudi alizungumza kibabe huku akiondoka

    ”Sudi Sudi wee Sudi"

    Chande akafanya kumkimbilia huku akimwita

    “hivi wee Chande wa kunitisha mimi kweli?"

    ”sio hivyo brother"

    ”sio hivyo kumbe nini wakati umeniambia pale heti nitakufa kifo cha kikatiri"

    ”sikia nikwambie kitu mdogo wangu Sudi ujuwe kila kazi kunakuwa na Masharti yake

    Nisamehe sana kama nitakuwa nimekuuzi embu kamata na hii'

    Chande hakuwa na budi kujishusha kwa maana anawafahamu vyema hawa watoto hakuna kitu wasichokipenda kwenye Utatu wao kama kuzinguliwa ukimzingua Sudi ndiyo umewazingua wenzake yani Ducha na Snop

    “ehee mambo ndiyo hayo Sasa kulaleki kufa hakuna breki"

    Sudi alizungumza kwa furaha baada kuona anaongezwa pesa nyingine. Basi wakapanga hili na lile kisha wakaagana

    Sudi akaelekea zake Dukani akanunua kitu alichoagizwa na kurudi nyumbani kwao njia nzima akawa anajiuliza maswali ya hapa na pale

    Kwanza alijiuliza kuhusu pesa zile atazitumia vipi? Maana kwa umri wake kuwa na pesa nyingi kama hizo ni balaa

    Pia akakumbuka kuwa shuleni kwao Darasa zima mtu pekee aliyekuwa anakuja na pesa nyingi ni Ducha akatamani shule ifunguliwe hata kesho ili na yeye akaonyeshane Umwamba juu ya matumizi ya pesa kama vile kuwanunulia Chostic na Ice cream watoto wakike waliokuwa wakimshobokea Sana Ducha kuliko wao makapuku. Mara nyingi Ducha alikuwa akija shule hakosi kuwa na shiling elfu tano mfukoni mwake

    Sudi aliwasili nyumbani kwao haliyakuwa akitabasamu

    ”vipi tena mbona umekawia kurudi?"

    Mama yake akamuuliza swali huku akipokea kimfuko ambacho ndani yake kulikuwa na Sukari

    ”nakuuliza wewe sasa unacheka cheka kitu gani?"

    Binafsi Sudi alikuwa Kama vile ni mtu aliyepagawa

    “mama bwana baada kuniuliza nafurahia kitu gani? Wee unaanza kunifokea ntakuwa sikupatii kitu nilichokiokota ohoo"

    Sudi alizungumza hivyo

    ”mmh mwanangu jamani si nimekuuliza zaidi ya mara mbili. Haya nambie umeokota kitu gani?"

    Alichokifanya Sudi ni kuingiza mkono mfukoni na kuzitoa zile pesa

    Mama yake alionekana kama kushtuka hivi akabaki kuzikodolea macho zile pesa

    ”khaa! Sudi mwanangu pesa zote hizi umezitolea wapi? Embu twende chumbani"

    Mama yake alizungumza kwa kubabaika kidogo wakaingia chumbani

    ”nimeziokota mama"

    “umeziokotea wapi?"

    ”kulee kwa Muarabu wakati narudi

    je kuna mtu yoyote aliyeweza kukuona wakati unaziokota?"

    “hapana mama"

    “basi unatakiwa uwe kimya usijaribu kumwambia mtu yoyote sawa baba yangu"

    Basi Sudi akaitikia na kutoka nnje. Yote yalikuwa ni mawazo yake Sudi akiwa amekaa pale aliwaza hivyo baada kukataa kumwambia Snop kuhusu Majanga ambayo alitaka kumuelezea kumbe majanga yenyewe ndiyo hayo ya yeye kujiunga kwenye Ujambazi akitumika Kama chambo

    *******

    Huku kijijini hali haikuwa hali kabisa watu walifinywa ile kisawasawa walibamizwa kwenye miti Wanakijiji walikaa mbali na eneo hilo wakibaki kushuhudia Watu wawili wakitembeza kichapo kwa watu takribani kumi na mbili

    Ducha alikuwa anapiga zile ngumi za haraka haraka akizunguka Kama kishada

    Muda kidogo Mgambo wa Kijiji wakawasili pale na kujaribu kutuliza Ghasia zile

    ”sasa mbona mnatukamata sisi wakati sie ndiyo tuliopigwa"

    Yule mzee wa msafara alipaza sauti huku akikukuruka ili asiweze kufungwa kamba mikononi Akapigwa kibao cha mgongo na kutakiwa kutulia

    ”embu tulia huko pimbi mkubwa wewe unataka kutufundisha kazi sio?"

    ”sio hivyo Afande embu tuangalie jinsi tulivyoumizwa"

    ”embu na wewe funga bakuri lako hilo kuumizwa ni haki yenu nyie wenyewe si ndiyo mliotoka huko kwenu na kuja kufanya vurugu huku?"

    ”hapana Afande hawa vijana walikuja kufanya vurugu nyumbani kwetu ndipo tukawakimbiza mpaka huku"

    ”siku zote aliyekutwa na mfupa ndiyo mla nyama Sasa nyie mnaonekana ni wenye hatia kwa maana tumewakamatia hapa haya ongozeni njia wenyewe"

    Kiongozi wa Wagambo wale alizungumza hivyo huku akiwasindikiza kwa kuwapiga makofi ya Mgongo wakaondoka nao

    Wanakijiji walitoa sifa kemukemu kwa Bi Kiwambaza huku baadhi ya Vijana na watoto wakiomba kufundishwa mapigano lakini Chinoge akawatolea nnje akidai ya kwamba kwasasa hana muda wakuwa Mwalimu kwa maana ana mambo mengi Sana anatakiwa kufatiria huko mjini

    “wee dogo kumbe wale watu unafahamiana nao ehee?"

    Chinoge alimuuliza swali Ducha aliyeonekana kushangazwa sana na swali lile

    ”unamaanisha nini Mwalimu kutamka hivyo?

    ”jibu swali je wale watu unafahamiana nao?"

    “hapana Mwalimu"

    ”sasa mbona nilikuskia unaita Chinogee ulikuwa unamaanisha nini kuita vile?"

    Ducha akaishiwa pozi kabisa ikabidi akae chini

    ”halafu mjukuu wangu hiki kitoto ujuwe mi hata sikielewi maana leo Kwanza kachelewa kuamka alivyoamka akaelekea kisimani na kwenda kuzua mabalaa huko alivyorudi hapa badara anielezee kinaga ubaga yeye akakimbilia Begi lake huyo akaondoka zake.

    Kama ingekuwa sio wewe mjukuu wangu kuwahi kurejea ningeshauliwa na wale wapuuzi"

    Bibi yake Chinoge alizungumza hivyo

    “sasa Bibi unielewi kitu gani? Wakati nilikueleza kila kitu halafu Mwalimu nawe unazingua ujuwe yani unaniuliza kuhusu Chinoge wakati ndiyo wewe hapo"

    Ducha alisimama na kuzungumza hivyo

    Chinoge akuzungumza kitu akaingia zake ndani

    “yani kila nikiliangalia lile shamba pale basi moyo wangu unakuwa na hasira isiokuwa na kifani"

    Bibi yake Chinoge alizungumza kama vile anajiongelesha mwenyewe

    ”kwanini unakuwa hivyo bibi?"

    Ducha akauliza

    ”ni historia ndefu kidogo ila kwa kifupi tu lile shamba lilikuwa langu Sasa kuna Mtu akatumia ubabe kuninyang'anya na kujimilikisha yeye akitumia kigezo Cha uwanaume wake"

    ”ohoo pole sana bibi. Je huyo mtu anaishi wapi?"

    ”anaishi kulee Kama unataka kwenda Dukani kwa Lupombe ukipita kile kinjia cha kushoto si kuna kijumba kilichopakwa rangi nyeupe"

    ”ehee ndiyo napapata"

    ”basi ukifika pale Muulizie mzee Shawawa"

    “hilo ndiyo jina la muhusika? Yani aliyekupokonya shamba?"

    ”ndiyo yeye huyo"

    ”basi nishikie begi langu wacha mi nikazungumze naye"

    Bibi mtu akalipokea lile begi alipogeuka ili aingie ndani akaskia kitu kama upepo mkali ukimpitia nyuma yake alipogeuka kuangalia hakuweza kuona kitu chochote

    Akaangaza macho yake kuangalia huku na kule

    ”Ducha wee Duchaa umepitia wapi tena? Wakati nimekwambia njia ile kulee"

    Alipaza sauti kuita pamoja na kuzungumza hivyo akazunguka nyuma ya nyumba huku akiendelea kumwita Ducha kiukweli kabisa kama Ducha alipita ile njia angeweza kumuona maana yeye alitumia sekunde chache kugeuka inakuwaje asionekane ikabidi amwite Hafidhi

    “wee Sinonge, ahaa wee Hafidhi"

    Alitaka kuita Chinoge baada kuona haliwezi akaita Hafidhi

    Chinoge akatoka ndani

    “embu njoo haraka Sana mjukuu wangu"

    ”kuna tatizo au?"

    Chinoge akauliza swali

    ”ndiyo"

    ”tatizo gani tena Bibi?"

    Ikabidi Bibi yake amuelezee kuhusu kutoweka kwa Ducha

    “huwenda atakuwa kazungukia huku maana siku zote ukimuagiza kitu Dukani anapenda kupitia njia hii"

    Chinoge alizungumza hivyo

    Binafsi Ducha alipomkabidhi begi Bibi yake Chinoge yeye akapotea kama upepo na ndiyo kitu ambacho kilimshtua Bibi mtu

    Hapa tunamuona Ducha akiibuka sehemu ileile aliyokuwa kaelekezwa akapiga hatua kadhaa kuisogelea nyumba hiyo iliyokuwa imejengwa kwa Udongo na kuchapiwa kwa Sumenti yani ukiona unaweza ukasema sio nyumba ya Udongo kwa jinsi ilivyopambwa na kupambika

    “habari yako binti vipi Mzee Shawawa nimemkuta?"

    Ducha alitoa salamu kwa binti ambaye alimkuta akiwa jikoni akisonga ugali yule Binti alimuangalia Ducha mara mbili mbili

    “mmh yani wee mtoto badara ya kuniamkia kaka yako unanisalimia Kama vile mi mkubwa mwenzio embu niamkie huko"

    ”hahahaha"

    Ducha akacheka

    “sasa unacheka kitu gani?"

    “nacheka baada kuona binti mrembo kama wewe ulivyoanza kunidharau wakati mi ni mkubwa kiumri ila ni mdogo kiumbo"

    ”hivi wee mtoto unadhani mi Mbilikimo siwafahamu ehee? Nawafahamu vyema sasa wewe hadi kisauti chako cha kitoto"

    “kama mi mtoto si unipe kidogo nikachangamshe damu"

    “nikupe nini?"

    ”pampuchi hiyo"

    ”mtumee makubwa yani wee mtoto wakutaka kunisosomora Mimi?"

    “binti embu acha ngonjera zako nijibu mzee Shawawa yupo au?"

    ”siwezi kukujibu mpaka uniamkie nakama hutaki kuniamkia basi nionyeshe huo ukubwa wako"

    ”twende chumbani nikakuonyeshe"

    Binti akaiipua ile Sufuria ya ugali na kuiweka chini maana alikuwa anakoroga Uji akasimama na kuongoza njia kuelekea chumbani Ducha akaangalia kulia kushoto ndipo akajitoma ndani humo

    “haya nionyeshe

    “nakuonyeshaje kwa mfano?"

    ”si nikione hicho kidudu chako"

    “utaweza kukiona baada ya mimi kudindisha na siwezi kudindisha mpaka wewe uvue nguo zako zote unachotakiwa kufanya kwasasa ni kupanda kitandani nikuvue nguo huku nikinyonya zako chuchu nikupikiche kisimi"

    Ducha alizungumza hivyo basi Binti

    alipanda kitandani na kujilaza, Ducha naye alipanda na kumvamia pale ambapo alianza kumvua nguo moja badara ya nyingine akambakisha kama alivyozaliwa Binti mwenyewe alijipanua miguu yake kama yuko Labour Ducha alijitosa na kujipinda shingo yake katikati ya mapaja na kuanza kukinyonya kitumbua ulimi ulipogusa ile sehemu ya maraha, yaani kiarage, Binti huyo alishtuka kwa kupiga yowe la utamu

    “aaaaaaaaaaaah,,"

    basi Mwanaume alishughulika na kiarage ambapo alikinyonya hasa,na jinsi kilivyokuwa kirefu kidogo ilimrahisishia kazi ya kukinyonya vizuri

    “aaah,,,aaaaishiiii

    iiiiiiii,,,,,mmmmh,,,,,oooooouuuuuh,,,,ssssssssssssssss,,aaaaaaaaaah"

    Binti alighughumia kwa utamu sauti yake ilikuwa ya chinichini bila kutoa sauti kubwa,ilifika muda mikono yake ilikishika kichwa cha Ducha na kukikandamiza kwenye kitumbua chake ili azidi kukinyonya kiarage kwa kasi

    Mwanaume alisitisha zoezi hilo baada ya kuona Dada huyo anastahili kuingizwa dudu, alimlaza kifudifudi ambapo makalio yake yaliyotuna yalikuwa yalionekana laivu,basi kwa kutumia mikono yake alilishika Dudu lake na kumpanua makalio Binti huyo ambaye hakuwa na hali yani hata muda wa kuliangalia Dudu hakuwa nao kisha taratibu akawa anamzamisha dudu lake kwenye kitumbua, kadri dudu hilo lilivyokuwa likiingia ndivyo binti alivyokuwa anashtuka shituka ikiwa kama vile haamini kile kinachoingia kwenye kitumbua chake akawa anajitikisa ili liingie vizuri

    Dudu lote lilizama ambayo mayai yake mawili yalikuwa kama breki juu ya makalio ya Binti huyo, alimbanisha miguu yake kisha akaanza kumsugua ndani nnje, nnje ndani,dudu lilingia na kutoka ambapo makalio ya Binti huyo yalikuwa yakitikisika hasa na kumfanya Ducha kuzidisha kasi ya kumtomba ile kinoma noma

    “aaaaaaah,,,uuuwwiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaah,,,mmh,,"

    Binti wa watu alizidi kutoa mighuno ya raha huku akijitahidi kuzungusha kiuno chake na kukipandisha juu wakati Ducha akishuka chini alipopandisha juu binti alikishusha kiuno chake chini msuguano huo ulileta msisimko wa ajabu kwa pande zote mbili ambapo Ducha hakuwa hata na dalili za kumwaga hapo alikuwa akizitumia nguvu zake za kijini kumsugua binti huyo

    Yani alimgeuza na kumuweka kiubavu,ambapo mwendo ulikuwa ni ule ule, aliichukua miguu ya ya Binti na kufanya kama anataka kuikutanisha na kichwa Binti makalio yake yalijibinua ambapo Ducha akalichomoa Dudu lake na kulichomeka tena akaendelea kupampu, Binti alianza kuhisi kitumbua chake kikitanuka utasema anataka kumpitisha mtoto Mchanga yani Dudu la Ducha lilikuwa linaongezeka nchi na sentimita kila alivyokuwa anampampu Binti alikojoa zaidi ya Bao tatu lakini Ducha bado tu!

    Wakati wanaendelea kubanjuana ghafla yule Binti akasikia akiitwa nnje

    Binti akakurupuka na kujichomoa maungoni mwa Ducha hapo ndipo akapata wasaa wa kuliangalia Dudu hilo alipoliona yani alishtuka si kidogo

    “khaaa!"





    ------------------

    Ducha akalichomoa Dudu lake na kulichomeka tena akaendelea kupampu, Binti alianza kuhisi kitumbua chake kikitanuka utasema anataka kumpitisha mtoto Mchanga yani Dudu la Ducha lilikuwa linaongezeka nchi na sentimita kila alivyokuwa anampampu Binti alikojoa zaidi ya Bao tatu lakini Ducha bado tu!

    Wakati wanaendelea kubanjuana ghafla yule Binti akasikia akiitwa nnje

    Binti akakurupuka na kujichomoa maungoni mwa Ducha hapo ndipo akapata wasaa wa kuliangalia Dudu hilo alipoliona yani alishtuka si kidogo

    “khaaa!"



    Songa nayo

    Sasa



    “khaaa yani Dudu lote hili ndiyo limeingia kwenye kipochi manyoya changu? Jamanii Uwiii ungeniuwa leo hivi wee ni mtoto au mtu mzima"

    Yule binti aliuliza maswali mfurulizo yenye hali ya mshangao

    Ducha alibaki kutabasamu tu huku akilifutafuta Dudu lake kwa kutumia shuka ya pale kitandani

    “wee Zaina"

    Mara wakaskia sauti ya Mwanaume ikiita kwa ukari yule binti alianza kubabaika akajiweka sawa na kutoka nnje

    ”hivi wee mtoto muda wote ule ulikuwa unafanya nini mpaka ujaandaa chakula"

    Alikuwa ni mzee wa makamu hivi mwenye mvi za kutosha kuanzia kichwani mwake na kidevuni

    Alipaza sauti kumuuliza yule binti aliyeonekana kutetemeka kwa uwoga

    ”nakuuliza wewe hapo Kikaragosi ulikuwa unafanya nini muda wote huo?"

    Mara Ducha naye akatoka nnje haliyakuwa akiwa kifua wazi huku akijifanya kufunga zipu ya Suruwali yule mzee alimuangalia Ducha kwa jicho baya sana na vile macho yake yalivyokuwa mekundu basi ndiyo alionekana kuzidi kutisha

    ”wee mtoto ulikuwa unafanya kitu gani ndani ya nyumba yangu?"

    Ducha akajifanya kama vile ajasikia

    “baby naomba ukaniletee maji ya kunywa"

    Ducha kwa dharau akaomba akaletewe maji ya kunywa

    Yule mzee aliona kama vile analetewa dharau fulani hivi

    ”wewe hakuna cha kwenda kuleta maji wala nini. Ninachohitaji kutoka kwenu mlikuwa mnafanya nini ndani ya nyumba yangu?"

    “kwani mkiwa chumbani wewe na demu wako mnafanyaga nini?"

    Ducha akauliza swali pasipo kujibu swali

    “khaa! Inamaana Zaina binti yangu ulikuwa unafanya mapenzi na huyu mtoto huu ni ubakaji kabisa kitoto Kama hiki kimekupa kitu gani? Zaidi ya wewe kujizaririsha wee mtoto naomba upotee haraka Sana mbele ya upeo wa macho yangu. Yani nikifumba na kufumbua nisikuone hapa"

    Yule mzee alizungumza kwa ghadhabu huku akipiga hatua za haraka kuingia ndani

    Ducha akawa anamuangalia tu

    ”wewee fanya haraka ukimbie Baba atakuwa kaenda kuchukuwa panga yule kimbia wewe"

    Zaina alipaza sauti kumtaka Ducha akimbie mwenzake wala hakushtuka

    ”kimbia wewe utakuja kufa ujuwe baba yangu akishika silaha huwa atanii atakufyekelea mbali kimbia mpenzi wangu jamani"

    Zaina akazidi kuzungumza safari hii akaja kumshika mkono Ducha na kumvuta ili akimbie lakini wapi Ducha akautoa mkono wake na kumtaka Zaina amuachie asimshike

    ”ohoo kumbe wee Mtoto unatamani kufa sio sasa subiri nikuchinje ili uwe chakula cha Mbwa wangu leo"

    Yule mzee alishatoka nnje na panga mkononi akawa anamfata Ducha kwa kasi na kuinua mkono wake juu sehemu aliyokuwa kasimama Ducha kwa pembeni kulikuwa na Kigoda alichokifanya Ducha ni kukibetua kile Kigoda na kukipiga zinga la teke

    Mzee alijikuta akipiga mueleka huku akipiga kelele za maumivu akadondoka chini Puuh

    Kigoda kilimbamiza usoni Damu nyingi zilianza kumtoka puani na mdomoni alikuwa kaumizwa vibaya sana

    Ducha akamsogelea na kuliokota lile panga

    Pasipo kujiuliza akamkata nalo Begani

    ”mamuwee nakufaa"

    Mzee wa watu alizidi kupiga kelele

    “wewe ndiyo mzee Shawawa?"

    ”uwiiiii,,ihiiii,ndi,yo,mi,,Mimi yalaaaa, tafadhari mjukuu wangu usiniuwe"

    Kwa hali ya maumivu mzee Shawawa aliitikia na kutaka asiuliwe

    “ohoo vizuri sana kwa kuweza kukufahamu Mimi naitwa Ducha Duchani ni mjukuu wa Binti Kiwambaza bila shaka unamfahamu?"

    Safari hii Ducha alikuwa anazungumza kwa sauti nzito yenye kuunguruma na sio ile sauti yake ya kitoto

    ”hiii,,hiiiii,, ndiyo namfahamu ni jirani yangu"

    Mzee Shawawa akaitikia

    ”tukiachana na ujirani uliopo baina yenu je kitu gani kibaya uliwahi kumtendea?"

    ”uhuuu,,, Usinikate nakujibu uwii"

    Mzee Shawawa alipiga kelele maana akichelewa kujibu panga linacheza na maungo yake

    Ducha hakuwa na huruma hata kidogo alikuwa anamkata mzee wa watu kama vile nyama ya Ng'ombe

    ”nilimpokonya Shamba lake lenye eka mbili"

    ”vizuri Sana ziko wapi Nyaraka za hilo shamba?"

    ”zipo chumbani kwangu Zaina binti yangu nenda kalete zile karatasi pale chini ya Droo ndogo"

    Zaina akaingia ndani punde akatoka akiwa na Makaratasi Ducha akazipokea na kuanza kuzitupia macho moja baada ya nyingine

    Sijui aliijuaje akaikunja na kuitia mfukoni

    Zilizobaki akamrudishia Zaina

    ”sikia nikwambie kitu mzee wangu katika dunia hii sio kila mtu wa kumuonea kaa utambuwe leo kwake kesho kwako

    Si umeona nawe kibao kimekugeukia? Usithubutu tena kufatiria vitu visivyo kuhusu

    Siku moja nitakuja kukiondoa kichwa chako hiko"

    Ducha alizungumza kibabe Kisha huyo akaondoka zake akimuacha Zaina akimlilia Baba yake maana alikuwa kajeruhiwa vibaya Sana

    Akafanya haraka kwenda kutafuta usafiri na kumuwahisha mzee wake hospitali

    siku mbili ziliweza kupita huku Gumzo kubwa lililokuwa likitawala pale kijijini ni kuhusu mzee Shawawa kuvamiwa na watu wasiojurikana akatembezewa Mapanga ndivyo walivyoelezea wenyewe yeye na Binti yake.

    Kuwa walivamiwa na watu wasiojurikana heti walitaka kumbaka binti yake ndipo yeye akajitahidi kupambana nao na kuzidiwa nguvu.

    Polisi wakafanya uchunguzi wao hakuna walichoambulia

    Maana maelezo yalikuwa yamepindishwa

    “nishasema mjukuu wangu hawezi kushiriki kwenye hayo mashindano yenu"

    Siku hiyo Promota aliyejitolea kuandaa Mashindano ya watoto kwenye maswala ya Masumbwi alifika Bungu kwa Bibi yake Ducha na kuelezea azma ya mjukuu wake kuandikishwa kwenye list ya watoto ambao watashiriki kwenye mashindano hayo

    Bibi mtu akakataa katakata kuwa mjukuu wake hataki ashiriki

    Yule Promota hakuwa na jinsi akaelekea nyumba nyinginezo

    Alipofika Mikongeni ndipo akaonana na Chinoge akiwa na Ducha

    ”habari yako mkuu?"

    “safi tu! Ndugu yangu nambie"

    Chinoge akaitikia ile salamu kutoka kwa Promota

    “dogo niamkie basi"

    ”hahaha huyu kuamkia kwake ni mbinde kishenzi yani"

    Chinoge akacheka na kuzungumza hivyo kumwambia yule Promota baada kumtaka Ducha amuamkie

    “inamaana hajazoea kuamkia wakubwa zake?"

    ”ndiyo maana yake hivi unajua Kama Shikamoo ni salamu za Kikoroni yani kipindi kile Mababu na Mabibi zetu walikuwa wanawapigia magoti Wazungu na kutamka hivyo. Sasa kwa watoto wenye kujifahamu hawataki kujiona wao Kama watumwa ndiyo maana watoto waliowengi hawapendi kuamkia japokuwa tunaona Kama wajeuri kumbe wenyewe wanajitambua!"

    Chinoge akatoa ufafanuzi kidogo

    ”ohoo basi nimekupata mkubwa na vipi kuhusu kijana wako je anayaweza maswala ya mapigano?"

    “kwanini umeuliza hivyo?"

    “mimi ni mtu ambaye nahusika na maswala mbalimbali kwenye Masumbwi na safari hii nimeandaa mashindano kwaajili ya Watoto wote wenye umri kuanzia miaka kumi na tano kushuka chini nahitaji kuwakutanisha Ulingoni ili waweze kuonyeshana umwamba wa Karate Wunju Kung Fu King boxer Tai chi na mengineyo kibao"

    Promota akatoa maelekezo Chinoge na Ducha wakapiga makofi ya pongezi

    “hakika wee jamaa unaonekana una miakili mingi sana sasa kabra sijauliza Mshindi wa Kwanza anapata zawadi gani embu muandike kijana wangu huyu nina imani ataweza kuiwakirisha vyema hii Mikongeni"

    Chinoge alizungumza hivyo na kumfanya Ducha afurahi kupita kiasi

    ”asante Sana ndugu yangu ehee anaitwa nani?"

    “usinione mi muhuni,,kisa sina kitu mfukoni,,,

    Niite Ducha Duchani,,,, mwanaume natembea nakipande cha sabuni,,,, kwasababu ya Nyeto Nyetoni,,,,

    Nitapiga zile za chembe nitapigaa,,,,nitapiga zile za uso nitapigaa,,,nitapiga zile za tumbo nitapigaa,,"

    Ducha alianza kuchana mistari Chinoge naye akadakia

    ”tumepigwa zile za chembe tumepigwaa,,, tumepigwa zile za uso tumepigwaa,, tumepigwa tumegwaaa,,,"

    Basi yule Promota akabaki mdomo wazi huku akipiga makofi kama vile ndiyo biti

    “aisee kumbe nyie watu mnaonekana ni hatari sana kwenye swala zima la kuchana mistari

    Hakika mnatisha kama njaa"

    Promota alizungumza hivyo huku akikenua meno Basi Ducha akaandikishwa na kutakiwa ajiandae kwani zimebaki siku kama tatu Mashindano yaanze yeye akiwa kama mmoja kati ya watoto sita walioandikishwa hapo Mikongeni

    *************

    Siku ya siku hiyo Sudi aliweza kuonana na Chande wakapanga mipango kuwa ifikapo saa kumi arasili wakutane Dar Live iliyopo Mbagala Zakhiem

    Sudi akamtaka Chande afanye juu chini akazungumze na mama yake Chande akaahidi kuwa atafanya hivyo

    Muda ulipotimia Sudi akaweza kuwasili maeneo hayo ambapo alipokelewa na vijana kama wawili ambao hakuweza kuwafahamu akaongozwa moja kwa moja mpaka ndani ya chumba kimoja wapo ambapo ndani yake kulikuwa na mijamaa yenye miili mikubwa Kama alivyo Chande

    Pembeni kulikuwa na Box kubwa

    Baada ya Sudi kuingia chumbani humo akatakiwa kuingia ndani ya Box kwanza kabisa alisita kuingia na kuomba kuonana na Chande maana ndiyo mtu pekee atakaeweza kumpatia maelekezo.

    “fanya faster uingie humo unasitasita kitu gani sasa?"

    Mmoja kati ya wale Jamaa alizungumza kwa kumkalipia Sudi alimuangalia yule jamaa kwa jicho lenye udadisi ndani yake

    “wee nikama nani mpaka uanze kunifokea? Naanzaje kuingia humu wakati Chande sijamuona bado?"

    Sudi akauliza swali

    ”sikia nikwambie kitu Dogo sisi utuonao hapa mbele yako sio watu wa mchezo mchezo kama hao unaochezaga nao huko mtaani kwenu.

    Wala hatuna muda wa kupoteza juu yako tunachohitaji wewe uingie humo ili kazi ianze Zube embu muingize huyo mtoto ndani ya Chemba"

    Yule jamaa alizungumza hivyo Sudi akabebwa na kuingizwa ndani ya box

    “nyie washenzi wakubwa pumbavu zenu nitoeni humu ndani ya Box"

    Sudi alikukuruka na kupiga kelele box lenyewe akalichana na kutoka

    Wale majamaa walishangazwa sana nakile kitendo mmoja kati yao akachomoa Bastola pasipo kujiuliza akafyatua Risasi iliyokita kichwani mwa Sudi na kumfumua kichwa

    Sudi alidondoka chini pale pale akapoteza Maisha sijui muda huo Chande alikuwa wapi

    Siku zote majambazi kuuwa kwao nikitu kidogo sana

    Yule aliyefyatua Risasi akaitoa simu yake na kubofya namba kadhaa akaiweka sikioni

    “uko wapi mkuu?"

    “bado nipo huku kitaa najaribu kuzungumza na Mama yake yule Dogo ili niweze kuja naye huko"

    Sauti ya Chande ilisikika akizungumza hivyo

    “uje naye mara ngapi? Mkuu wakati ameshafika huku"

    Simu ikakatwa muda kidogo simu ya jamaa ikawa inaita akaipokea

    “ehee vipi tayari mshamuelekeza kila kitu?"

    Chande akasikika akiuliza kitu

    “hapana mkuu kiukweli kabisa huyu mtoto asingeweza kutufaa kwenye kazi yetu maana tulimtaka aingie kwenye Chemba akazingua tulichokifanya ni kumdedisha"

    “what??"

    “ndiyo mkuu tumemuua"

    Sauti ya Chande ikasika akilia kisha akasikika akizungumza

    “fanyeni kuupoteza mwili wake"

    “sawa mkuu tutafanya hivyo"

    Hapa tunamuona Chande akijifutafuta machozi akapiga hatua kadhaa kumsogelea mama yake Sudi aliyekuwa kakaa sehemu kwenye kibaraza cha nyumba akiuza sambusa bila shaka mtaji aliupata kwenye zile pesa alizopatiwa na Marehemu mwanaye

    Chande alijiskia vibaya sana alipokutanisha macho yake na Mama wa marehemu

    “umesema unataka kwenda na Sudi kuangalia Boxing inamaana Mwakinyo usiku wa leo anapigana?"

    “ndiyo Dada lakini hata hivyo nimeghairisha kwenda naye acha mi nijiondokee zangu"

    Chande alizungumza haliyakuwa akijifuta machozi

    ”pole sana kaka yangu naona Moshi unakuumiza macho embu subiri niupepee"

    Mama yake Sudi alizungumza hivyo baada kumuona Chande akijifutafuta macho na kamasi

    Muda kidogo Snop akawasili pale akiwa na kibakuri bila shaka kaja kununua Sambusa

    ”mambo vipi ka mkubwa?"

    Snop akasalimia

    “safi tu! Vipi pacha wako yuko wapi?"

    “unamuuliza pacha yupi? Sudi au Ducha?"

    “Sudi"

    ”Sudi aliniambia kuwa anaelekea Zakhiem kwenye ukumbi wa Dar Live kuonana sijui na nani?

    Yani hapa nimekuja kununua Sambusa nile halafu nimfate huko huko"

    Snop alizungumza huku akimixia pilipili kwenye Sambusa zake

    “wee inamaana Sudi amekuwaga kuwa anaenda Dar live?"

    Mama yake Sudi akauliza

    ”sasa wee si ndiyo mama yake kwani ajakuaga?"

    Mama yake Sudi akajishika sehemu ya moyo

    “kuna kitu kibaya nahisi kimemkuta mwanangu Chande naomba ukamfatirie Sudi huko Dar Live ameenda kufanya nini jamani"

    Basi Chande akasimama Snop naye akawa anamfata ila akatakiwa arudi nyumbani

    ”embu acha kuzingua wewe wee unadhani bila Mimi kuwaambia mngejuaje kuwa kaenda huko"

    Snop akakataa kurudi

    ”basi nenda kwanza kavae viatu"

    Snop akawahi mbio nyumbani kwao kuvaa viatu

    Wakati Chande akitokomea Gizani alichokifanya ni kuwapigia simu watu wake akawauliza Kama washautoa mwili wa marehemu akaambiwa bado kwani Kila kona ya Ukumbi ule kuna walinzi itakuwa vigumu kwa wao kutoka na mwili ule

    Maana Box walilokuwa wanalitegemea Marehemu kalivuruga vuruga

    Muda kidogo Chande akawasili pale

    Ajabu hasira zilimpanda Ghafla tu baada kuona mwili wa Sudi

    “nani aliyemtendea hivi?"

    Aliuliza kwa ghadhabu

    ”mimi hapa mku,,

    Puuh

    Mlio wa Risasi ukasika mpaka nnje kwa maana Bastola ya Chande haikuwa imefungwa kiwambo cha kuzuia Sauti yule Jamaa aliyempiga Risasi Sudi naye akafumuliwa kichwa wakati huo huo nnje zikisikika kelele za watu

    ”kimenuka mkuu hapa kila mmoja asepe kimpango wake tutakutania mbele kwa mbele huko

    Mmoja kati ya wale majamaa alizungumza hivyo

    Kitendo bila kuchelewa wakatoweka





    ------------------

    “nani aliyemtendea hivi?"

    Aliuliza kwa ghadhabu

    ”mimi hapa mku,,

    Puuh

    Mlio wa Risasi ukasika mpaka nnje kwa maana Bastola ya Chande haikuwa imefungwa kiwambo cha kuzuia Sauti yule Jamaa aliyempiga Risasi Sudi naye akafumuliwa kichwa wakati huo huo nnje zikisikika kelele za watu

    ”kimenuka mkuu hapa kila mmoja asepe kimpango wake tutakutania mbele kwa mbele huko

    Mmoja kati ya wale majamaa alizungumza hivyo

    Kitendo bila kuchelewa wakatoweka



    Songa nayo

    Sasa



    Watu walianza kukimbizana huku nakule baada ya mlio wa Risasi kusikika kila mmoja alishikwa na tanaruki kina Chande nao wakaitumia nafasi hiyo kujichanganya na umati ule wa watu na kutoweka zao.

    Muda kidogo Askari Polisi walishawasili eneo la tukio na kuuzunguka Ukumbi huo na viunga vyake pia kulikuwa na Wanajeshi takribani watatu kwa Maana Dar Live haipo mbali na kambi ya Jeshi iliyopo Mbagala kuu ule mlio wa Risasi waliweza kuusikia nao wakafanya haraka kuwahi eneo la tukio

    Wakati Askari wengine wakifanya kuuzunguka ule Ukumbi wanajeshi wakaingia ndani wakawa wanakagua kila sehemu ndipo wakaweza kuiona miili ya watu wawili ikiwa imefumuliwa vichwa kwa risasi

    Wakafanya uchunguzi wakina ili kuweza kubaini nini chanzo cha tukio hilo

    Miili ikabebwa na kutolewa nnje

    Ikalazwa pale chini ndipo watu wakapata ujasiri wakuanza kujongea eneo la tukio

    Snop naye akawasili pale kwanza kabisa alishangazwa Sana naule Umati wa watu uliokuwa umejazana maeneo yale Akawa anajiuliza maswali huku akipiga hatua za kujongea

    Sijui watakuwa wanaangalia mpira au movie ya Jackie Chan? Bila shaka itakuwa kaja msanii mkubwa hapa nchini kama sio Diamond Basi ni Ally Kiba ndiyo wanamshangaa

    Alijiuliza hivyo huku akilazimisha kujipitisha katikati ya umati ule wa watu

    “wee mtoto unataka kwenda wapi embu rudi nyuma huko"

    Kuna jamaa alipaza sauti kumkalipia Snop kuwa arudi alipotoka

    Snop wala hakutaka kumsikiliza ndiyo kwanza akajipenyeza na kufanikiwa kutokezea mbele kwanza kabisa hakuweza kuamini macho yake kwakile ambacho anakiona mita kadhaa mbele Akafikicha macho mara mbili mbili na kutoka mbio huku akiita

    ”Sudii,,"

    Kabra ajaufikia mwili wa Sudi akajikuta akidakwa mkono na kuvutwa

    “wee Mngese mamae zako niachiee"

    Alikukuruka huku akimtukana yule Mtu aliyekuwa kamshika kama haitoshi akafanya kumng'ata ndipo akaachiwa akaenda kuudondokea mwili wa Rafiki yake.

    “Sudii wee Sudi fumbua macho kichaa wangu unalalaje wakati ndiyo kwanza saa kumi na mbili hii?"

    Kitendo bila kutarajia Snop akaenda kumpora bunduki mmoja kati ya Maafande sijui alikuwa kaishika kizembe au vipi

    Bunduki ikatua mikononi mwake

    “kwanini mmeniulia ndugu yangu?"

    Snop aliuliza hivyo haliyakuwa akimrenga yule Afande aliyeanza kutetemeka kwa uwoga maana aliweza kufahamu ya kwamba ndani ya Bunduki ile aina ya SMG ndani yake kulikuwa na Risasi watu wengi walishangazwa kwa ujasiri ambao anauwonesha mtoto mdogo kama Snop kwa kuikamatia vyema ile Bunduki wakati inavyosemekana ni nzito

    “nijibu kabra sijakufumua"

    Mara mlio wa Risasi ukasikika huku Snop akidondoka

    Alikuwa kapigwa risasi ya kifua na mmoja kati ya wale Wanajeshi alifanya hivyo ili kumuokoa yule Afande na watu wengineo

    Licha ya kupigwa Risasi ya kifua akaweza kupaza sauti kuzungumza

    “kwa hiki mlicho tutendea ipo siku isiokuwa na jina mtakuja kulip,,

    Mara akawa kimya ikimaanisha naye tayari kapoteza Maisha

    Mama yake Sudi aliwasili pale akiwa kaongozana na Chande pamoja na watu wengine alipoiona tu miili ya wale watoto akajikuta akidondoka chini na kupoteza fahamu.

    Miili ya marehemu ikabebwa na kwenda kuhifadhiwa Hospitali ya Zakhiem wakati mama yake Sudi akikimbizwa wodini kupatiwa matibabu

    Ukumbi ukazungushiwa utepe mwekundu

    Taarifa za kuuwawa kwa Madogo Janja zilisambaa kama umeme huku ikisadikika ya kwamba mmoja kati ya watoto hao alichukuliwa na Majambazi ili waweze kumtumia kwenye kazi zao Mtoto yule alipokataa kutumikishwa ndipo wakaamua kumuua

    Kuhusu yule Mwingine kupigwa Risasi ni uzembe wa Maaskari na Wanajeshi waliokuwepo eneo la tukio kila mmoja atawajibishwa kwa nafasi yake kwa maana kulikuwa na njia nyingi za kumzuia yule mtoto pasipo kutokea madhara ya aina yoyote

    Asasi nyingi walilaani vikali kwa kitendo cha kuwawa kwa mtoto yule.

    Mbagala nzima ikawa jii watu wengi walifurika Msibani Sudi alizikwa mapema tu kutokana na imani ya Dini yake wakati Snop akisubiliwa siku kadhaa mbele ili naye aweze kwenda kupumzishwa

    Msibani kulifurika Wanafunzi kibao kutoka shule Mbalimbali hasa waliyokuwa wanasoma

    ********

    “Mwalimu"

    “naamu"

    “usiku wa jana nilipokuwa nimelala nikaota ndoto ambayo sijui inamaanisha kitu gani kwa upande wangu?"

    “waweza nielezea kidogo"

    “kiukweli kabisa Mwalimu Mimi tokea nikiwa na umri wa mwaka mmoja nilikuwa na marafiki zangu wawili naweza kusema kwangu ni zaidi ya ndugu

    Furaha yao ndiyo kicheko changu kula kwao nikama shibe kwangu hatukuwahi kutofautiana kwa chochote kile hakika tumeshibana sana.

    Sasa cha ajabu usiku wa jana nimeota ndoto ya kwamba wananikimbia kila nikipiga hatua kuwafata ndiyo wanazidi kukimbia nilipaza sauti kuwauliza

    Kitu gani nilichowakosea mpaka hawataki kuwa nami? Hakuna yoyote kati yao aliyeweza kunijibu mwishoe wakatokomea sehemu isiojurikana nilipiga kelele kuwaita lakini wapi? Sijui kwanini?"

    Ducha alizungumza hivyo haliyakuwa akionekana kuwa na huzuni

    Alichokifanya Chinoge ni kumshika kichwani akakaza macho kumuangalia kisha akamuuliza

    “je upo tayari?"

    ”ndiyo mwalimu nipo tayari"

    Ducha akajibu kikakamavu

    “basi shika hii pesa uwende kwa Mathias ukanunue Mafuta ya taa lita tatu"

    Ducha akaipokea ile pesa akaingia ndani punde akatoka akiwa na kidumu akampungia mkono Mwalimu wake huyo akaianza safari ya kuelekea kwa Mathias

    Hapa tunamuona Athumani akiwa bize kuwaelekeza watoto wenzake jinsi ngumi zinavyorushwa na kuzikwepa kwenye kibanda kimoja wapo walionekana kaka zake na yule Promota wakipanga mambo yao

    ”oyaa Master umemuona yule pimbi?"

    Mmoja kati ya watoto waliokuwa wakielekezwa akapaza sauti kumwambia Athumani kwao wanamwita Master

    Athumani akageuka kuangalia si akamuona Mbaya wake

    ”fanyeni haraka kwenda kumzuia"

    Athumani akatoa amri wakafanya haraka kwenda kumzingira Ducha wakawa wanamzunguka Athumani naye akaja

    ”ulikuwa wapi siku zote wee fala?"

    Athumani akauliza huku akinyosha mkono wake ili amtie singi

    Ducha akauputa ule mkono

    “usijaribu kunishika nitakuzibua ohoo"

    Ducha akazungumza kwa kumkalipia

    ”hahahaha hivi wee fala unaweza ukanizibua Mimi kweli? Au umesahau siku ile nilivyokutoa manundu?"

    ”nawe umesahau nilivyokuzimisha?"

    ”ulimzimisha nani bwege wewe kama vipi tuzipige sasa!"

    Athumani alishaanza kupaniki kwaile kauli ya kuambiwa kuwa alizimishwa kwake aliona kama dharau

    Ducha akaweka kidumu pembeni

    Athumani akawa wa kwanza kukunja ngumi

    ”oyaa oyaa ona kule mtu anazibuliwa leo"

    Mmoja kati ya kaka zake Athumani aliwaambia wenzake basi wote macho kodo kuangalia Mpambano huo

    Athumani akarusha ngumi mbili tatu Ducha akafanya kuinama huku nyingine akiipanchi huku naye akiachia ngumi mbili zilizokita ubavuni mwa Athumani mpaka akajipinda kutokana na maumivu aliyoyapata

    Kabra ajakaa sawa akashtukia akizibuliwa ngumi nyingi za uso

    Akadondoka chini ile msobemsobe

    Ducha alienda naye mpaka chini huku akiendelea kumtandika ngumi za uso

    Kama sio kaka zake Athumani kuja kumuwahi mdogo wake angeng'olewa meno yote ya mbele

    Ducha akachukuwa kidumu chake

    Huyo akaendelea na safari yake

    “wee dogo embu simama hapo"

    Wakati anaondoka akashtukia akiamrishwa kusimama akasimama

    ”piga magoti chini"

    Akatakiwa kupiga magoti

    Ducha kwanza akatikisa kichwa na kuweka kidumu chini

    Akawanyooshea kidole cha kati

    ”inaonekana ni jinsi gani na wewe unawashwa washwa matako ehee? Kama vipi njoo ukalie hiki"

    Ducha alizungumza hivyo huku akipiga hatua kumsogelea kaka yake Athumani

    ”Kingo embu achana na huyo mtoto tufanye mpango wa kumuwahisha Dogo hospitali"

    Yule kaka yake mwingine Athumani akamtaka mwenzie aachane na Ducha

    ”subiri kwanza nifundishe Adabu Yani kitoto kama hiki kinanitusi Mimi kubabeki zake"

    Alizungumza kwa ghadhabu Ducha naye alishamkaribia

    Ghafla kaka yake Athumani alishtukia akichotwa zinga la mtama kwa nyuma akarushwa juu kimo cha mbuzi alipokuja kutua chini akafanya haraka kunyanyuka kumuangalia aliyempiga ni Chinoge

    ”dogo waweza kuendelea na safari yako huyu niachie mwenyewe nimuonyeshe kazi"

    Chinoge alitamka hivyo na kumfanya Ducha atabasamu

    Kaka yake Athumani alianza kurusha ngumi za dabo dabo huku akijampu huku nakule kumbuka yeye ni mwana Boxing mzuri tu!

    Chinoge akawa anapanchi pasipo kurudisha mashambulizi

    ”Mwalimu piga za chembe huyo"

    Ducha japokuwa aliambiwa aondoke wala hakufanya hivyo alibaki pale kuangalia jinsi mtu atakavyokuwa anafumuliwa

    “bila shaka umeshacheza vya kutosha kijana Sasa subiri nikuonyeshe show"

    Chinoge alizungumza hivyo akakaa staili yake

    Upepo ulivuma kuvuma kwa upepo ule kulimfanya Ducha ashtuke Sana





    ------------------

    Kaka yake Athumani alianza kurusha ngumi za dabo dabo huku akijampu huku nakule kumbuka yeye ni mwana Boxing mzuri tu!

    Chinoge akawa anapanchi pasipo kurudisha mashambulizi

    ”Mwalimu piga za chembe huyo"

    Ducha japokuwa aliambiwa aondoke wala hakufanya hivyo alibaki pale kuangalia jinsi mtu atakavyokuwa anafumuliwa

    “bila shaka umeshacheza vya kutosha kijana Sasa subiri nikuonyeshe show"

    Chinoge alizungumza hivyo akakaa staili yake

    Upepo ulivuma kuvuma kwa upepo ule kulimfanya Ducha ashtuke Sana



    Songa nayo

    Sasa



    ”Duchaa si nimekwambia uwondoke wewe? Nenda sasa"

    Kule kushtuka kwake ndipo akashtuliwa na sauti ya Chinoge akimuhimiza kuondoka

    Alichokifanya Ducha ni kukiwahi kidumu cha mafuta na kuanza kukimbia mbio yani alikimbia pasipo kugeuka nyuma japokuwa aliweza kuzisikia kelele za kaka yake Athumani akilia na kuomba msaada

    Aliwasili kwa Mathias haliyakuwa akiwa anahema si kidogo jasho lilimvuja aliangaza macho yake huku nakule akapiga hatua za taratibu kusogea sehemu ambayo wanauza mafuta ya taa

    Kwa pembeni kulikuwa na kikundi cha watu wakiwa wameizingira meza ya Muuza Magaazeti

    “hakika huu ni unyama usioweza kuvumilika. Pia umechangiwa na uzembe wa Askari polisi anaishikaje Silaha legelege mpaka anapokonywa na mtoto mdogo kama huyu aisee"

    “kibaya zaidi baada kutumia busara za kuichukuwa wao wanamtandika Risasi"

    “ndiyo jeshi letu hili kazi kuvimbiana vitambi tu!"

    Ni kauli ambazo ziliweza kusikika masikioni mwa Ducha akafanya kusogea pale

    Kwanza kabisa akatupia macho kwenye kurasa za Magaazeti kwa mbele

    Macho yalimtoka pima akanyoosha mkono na kulitwaa moja kati ya Gaazeti

    Ambalo kulikuwa na kichwa cha habari kisemacho watoto wawili na mtu mzima mmoja wauwawa kwa ushukiwa wa Ujambazi

    ”wee dogo lipia Gaazeti hilo"

    Muuza Magaazeti akapaza sauti kumtaka Ducha alilipie

    Ducha alikaza macho kumuangalia yule muuza Magaazeti kisha akamtupia usoni lile Gaazeti akatoka mbio kuelekea kituo cha kupandia Daladala zinazoelekea Mjini

    muuza Magaazeti akaona kama vile kafanyiwa dharau akanyanyuka na kuhitaji kumkamata akawa anamkimbiza kama ujuavyo kwenda kupanda Gari ambazo zinaelekea mjini lazima uvuke Barabara Kubwa mara ghafla sauti nzito ya kishindo yenye kuambatana na kelele za watu ziliweza kusikika huku Ducha akirushwa juu hewani na kutua chini kibaya zaidi alifikia kujibamiza kwenye rami

    Damu nyingi zilianza kumtoka

    Ducha alikuwa amegongwa na Gari aina ya Coaster

    Baadhi ya watu walimvamia muuza Magaazeti na kuanza kumpiga kwa maana yeye ndiyo aliyekuwa akimkimbiza mtoto yule wakati wengine wakiizingira ile Daladala iliyokuwa umejaza Abilia kibao

    Muda kidogo polisi waliweza kuwasili maeneo yale

    Mwili wa Ducha ukabebwa na kuwahishwa hospitali ya Tumbi

    **********

     

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog